Abu talib

Page 1

ABU TALIB Jabali Imara la Imani

Kimeandikwa na: Faisal Hasan

Kimetarjumiwa na: ABDUL-KARIM J. NKUSUI

Kimehaririwa na: Alhaji Hemedi Lubumba (Abubatul)

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 1

6/13/2013 2:10:38 PM


‫ﺗﺮﺟﻤﺔ‬ ‫ﺗﺮﺟﻤﺔ‬ ‫ﺗﺮﺟﻤﺔ‬

‫ﻃﺎﻟﺐ‬ ‫أﺑﻮ‬ ‫أﺑﻮ ﻃﺎﻟﺐ‬

‫ﻃﻮد اﻹﻳﻤﺎن اﻟﺮاﺳﺦ‬

‫اﻟﺮاﺳﺦ‬ ‫اﻹﻳﻤﺎن‬ ‫ﻃﺎﻟﺐ‬ ‫ﻃﻮدأﺑﻮ‬ ‫ﻃﻮد اﻹﻳﻤﺎن اﻟﺮاﺳﺦ‬ ‫ﺗﺄ ﻟﻴﻒ‬ ‫ﻓﻴﺼﻞ ﺣﺴﻦ‬

‫ﺗﺄ ﻟﻴﻒ‬ ‫ﻓﻴﺼﻞ ﺣﺴﻦ‬

‫ﺗﺄ ﻟﻴﻒ‬ ‫ﻓﻴﺼﻞ ﺣﺴﻦ‬

‫اﻟﺴﻮا ﺣﻠﻴﺔﻡﻦ اﻟﻠﻐﺔ اﻟﻌﺮﺑﻴﺔ اﻟﻰ اﻟﻠﻐﺔ‬

‫اﻟﺴﻮا ﺣﻠﻴﺔﻡﻦ اﻟﻠﻐﺔ اﻟﻌﺮﺑﻴﺔ اﻟﻰ اﻟﻠﻐﺔ‬ ‫من اللغة العربية الى اللغة السوا حلية‬

‫اﻟﺴﻮا ﺣﻠﻴﺔﻡﻦ اﻟﻠﻐﺔ اﻟﻌﺮﺑﻴﺔ اﻟﻰ اﻟﻠﻐﺔ‬ ‫‪ ‬‬ ‫‪6/13/2013 2:10:39 PM‬‬

‫‪2‬‬

‫‪02_Abu Talib_13_June_2013.indd 2‬‬


©Haki ya kunakili imehifadhiwa na: AL-ITRAH FOUNDATION ISBN: 978 - 9987 - 17 - 025 - 8 Kimeandikwa na: Faisal Hasan Kimetarjumiwa na: Abdul Karim Juma Nkusui Barua pepe: abdulkarimjuma@yahoo.com Kimepangwa katika Kompyuta na: Al-Itrah Foundation Toleo la kwanza: Septemba, 2013 Nakala: 1000 Kimetolewa na kuchapishwa na: Alitrah Foundation S.L.P. - 19701, Dar es Salaam, Tanzania Simu: +255 22 2110640 / 2127555 Barua Pepe: alitrah@yahoo.com Tovuti: www.ibn-tv-com Katika mtandao: w.w.w.alitrah.info Kwa kushirikiana na: Ahlul Bayt (‘a) Charitable Committee, Ahlul Bayt (‘a) Centre (ABC) S.L.P. – 7169, Arusha, Tanzania

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 3

6/13/2013 2:10:39 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

Yaliyomo Neno la Mchapishaji.............................................................................. 01 Utangulizi…………………………………………………………………………….03 Ukweli ndio mlinzi wetu katika uhakika.............................................. 04 Tafsiri sahihi...........................................................................................11 Tafsiri ya kimakosa............................................................................... 12 Mazungumzo juu ya utukufu wa Mwenyezi Mungu kulingana na Qur’ani na ............................................................................................ 17 Riwaya za Ahlul-Bait (as) kutoka katika Nahjul-Balaghah.................... 17 Nyote ni wachungaji............................................................................. 30 Kutafuta ukweli na kuubaini uhakika................................................... 34 LENGO LA MAUDHUI............................................................41 Dondoo kutoka kwa Abu Talib na Abdul–Mutalib................................ 41 Kumlea kwake Nabii (s.a.w.w.) na ukubwa wa majukumu yake.......... 52 Abu Talib na ishara kabla ya Da’awa.................................................... 57 Hakika wewe ni mwenye kubarikiwa................................................... 58 Kipindi cha Da’awa............................................................................... 64 Msimamo wake kwa watoto wake: ‘Ali, Aqiyl na Ja’far........................ 70 Biashara mbaya na mfuasi bora............................................................ 76 Ghadhabu ya Abu Talib alipomkosa Nabii (s.a.w.w.)............................ 76 Msimamo wa Abu Talib kwa Nabii anapopatwa na udhalili na adha... 78 Msimamo wake na masahaba wa Nabii (s.a.w.w.)................................ 81 Msimamo wake na Mfalme wa Uhabeshi............................................. 82 Abu Talib anadhihirika wazi katika mtihani wa Shi’ab Abu Talib......... 84 Hotuba tukufu katika wasia wake wa mwisho...................................... 92 iv

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 4

6/13/2013 2:10:39 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

Mwaka wa huzuni................................................................................. 95 Maudhi kwa Abu Talib na uongofu wa Mwenyezi Mungu................... 97 Hebu tuzungumze na akili.................................................................... 98 Uongofu................................................................................................. 99 Misingi ambayo Mwenyezi Mungu kwayo anawaongoa watu na kuwaacha wengine............................................100 Aina ya kwanza....................................................................................100 Dhulma ya kurithi................................................................................106 Imam Ali (‘a) ni nani?..........................................................................107 Sababu za Abu Talib............................................................................ 139 Jaribio la uzushi na tuhuma zilizopokelewa dhidi ya Abu Talib........ 143 Al-Mughira bin Shu’ubah.................................................................... 147 Abu Talib ni kiashirio kinachobainisha ukweli................................... 150 Mfumo wa kuwafuata Ahlul-Bait (as)................................................. 153 Kusujudu juu ya udongo na kukusanya baina ya swala mbili.............171 Shahada ya tatu katika adhana............................................................ 173 Ndoa ya muda..................................................................................... 173 Maatam ya Imam Husein................................................................... 175 Kadhia ya Mahdi................................................................................. 177 Kuzuru kaburi la Nabii, Maimam, Mawalii, kutawasali kwa Mwenyezi Mungu kupitia kwao na kutabaruku kwao hao .......................................................... 178 Daraja la Abu Talib kwa Ahlul-Bait (‘as)............................................. 184 Ahlul-Bayt (‘as) wanasema nini juu ya Abu Talib (‘as)?..................... 185 Imam Zainul-Abidin (‘as).................................................................... 187 Imamu al-Baqir (‘as)............................................................................ 187 Imam Ali (‘as)..................................................................................... 188 v

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 5

6/13/2013 2:10:39 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

Imamu as-Sadiq (‘as)........................................................................... 189 Uadilifu wa mwanachuoni wa Kisunni............................................... 192 Imam Ridha (‘as)................................................................................. 192 Kauli ya Ibnu Abbas............................................................................ 194 Kauli ya Abu Dharr............................................................................. 195 Kisimamo pamoja na akili.................................................................. 195 Visimamo baina ya akili na dhati....................................................... 197 Kuona miujiza..................................................................................... 198 Makafiri kushutumiwa........................................................................ 198 Hatima ya makafiri............................................................................. 199 Maamuzi muhimu............................................................................... 199 Kujitolea na thamani........................................................................... 200 Kukhofia kupoteza masilahi.................................................................201 Uwerevu na hasara............................................................................. 202 Asili ya Abu Talib................................................................................ 203 Mapenzi ya Nabii kwa waumini.......................................................... 204 Ni yupi mwenye kosa kubwa zaidi..................................................... 205 HITIMISHO......................................................................... 210 Muumin wa Aali Firaun.......................................................................210 Abu Talib amesema nini?.....................................................................217 Matunda ya Utafiti.............................................................................. 227

vi

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 6

6/13/2013 2:10:39 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

َّ ‫ِيم‬ ِ ‫ِبسْ ِم اللـ ِه الرَّ حْ َم ٰـ ِن الرَّ ح‬

NENO LA MCHAPISHAJI

K

itabu kilichoko mikononi mwako ni tarjuma ya kitabu cha Kiarabu kiitwacho, al-Iymanu 'r-Rasikh Abu Talib kililchoandikwa na Faisal Hasan.. Sisi tumekiita. Abu Talib. Katika upotoshaji mkubwa uliofanywa katika historia ya Uislamu ni suala la Abu Talib bin Abdul Muttalib, ami yake Mtukufu Mtume (s.a.w.w) na ambaye alikuwa mlezi wake mkubwa, na ambaye pia ni baba yake mzazi wa Imam Ali (a.s). Vitabu vingi vya historia, hadithi, wasifu na tafsiri vimemtuhumu Abu Talib eti kuwa alikuwa kafiri na akafa akiwa kafiri! Tunasema huu ni upotoshaji mkubwa wa historia, kwani jambo hili haliingii akilini kwa mtu kama huyu aliyekuwa mlezi wa Mtume na kipenzi chake awe hakumuamini Mtume na akafa akiwa kafiri! Kama inavyosemwa uwongo ukikaririwa sana huonekana kuwa ni kweli, na hivi ndivyo ilivyofanyika katika suala la Abu Talib. Vitabu vingi vimekariri uwongo huu na watu wakaamini kwamba yaliyoandikwa katika vitabu hivyo ni kweli. Mwandishi wa kitabu hiki amefanya juhudi kubwa ya kuichambua kwa kina historia na kuonesha kwa uwazi na bila shaka yoyote ukweli wa Abu Talib - kwamba yeye hakuwa ka1

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 1

6/13/2013 2:10:39 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

firi wala hakufa akiwa kafiri. Huu ndio ukweli na watu warejee vitabu sahihi vya historia kama alivyofanya mwandishi huyu na ukweli watauona. Hakika ukweli siku zote huelea na uwongo huzama na kutengwa mbali. Kutokana na ukweli huo, Taasisi yetu ya Al-Itrah Foundation imeamua kukichapisha kitabu hiki kwa lugha ya Kiswahili kwa madhumuni yake yaleyale ya kuwahudumia Waislamu, hususan wazungumzaji wa Kiswahili. Tumekiona kitabu hiki ni chenye manufaa sana, hususan wakati huu wa maendeleo makubwa ya elimu katika nyanja zote ambapo upotoshaji wa historia na hekaya za uwongo havina nafasi katika akili za watu. Tunamshukuru ndugu yetu, Ustadh A. J. Nkusui kwa kukubali jukumu hili la kukitarjumi kitabu hiki. Vilevile tunawashukuru wale wote walioshiriki kwa njia moja au nyingine hadi kufanikisha kuchapishwa kwake. Mchapishaji Al-Itrah Foundation

2

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 2

6/13/2013 2:10:39 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

UTANGULIZI

N

i malipo makubwa yalioje kwa yule ambaye lengo lake lilikuwa ni Mwenyezi Mungu Mtukufu katika kila jambo, anapotembea, anapofikiria, anaposoma na anapoandika. Ambaye lengo lake ni Mwenyezi Mungu basi biashara yake imefaulu hata kama atatopea katika ufakiri.

Tunapotafiti juu ya ridhaa ya Mwenyezi Mungu Mtukufu tunaikuta ipo katika ridhaa ya wale aliowaashiria, na mapenzi yake yapo katika mapenzi ya wale aliowaashiria, ridhaa ya Mwenyezi Mungu ipo katika ridhaa ya Mtume Wake (s.a.w.w.) na mapenzi ya Mwenyezi Mungu Mtukufu yapo katika mapenzi ya Mtume Wake (s.a.w.w.) na wale anaowapenda Mtume (s.a.w.w.) kama vile Ahlul- Bait wake watukufu kama alivyoashiria Mtume (s.a.w.w.) “Mwenyezi Mungu anampenda anaye mpenda Husein” vile vile aliposema: “Hakika Mwenyezi Mungu anaridhika kwa ridhaa ya Fatimah (as) na anakasirika kwa kukasirika kwake.” Vivyo hivyo “Mwenye kumtukana Ali ameshanitukana, na mwenye kunitukana ameshamtukana Mwenyezi ­Mungu.” Hivyo mwenye kumuudhi Mtume wa Mwenyezi Mungu katika mmoja wa vipenzi vyake atakuwa ameshamuudhi Mwenyezi Mungu Mtukufu na Mtume Wake, na kwa hiyo anastahili adhabu yake. Kama ilivyokuja katika Kitabu Chake kitukufu:

3

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 3

6/13/2013 2:10:39 PM


vyo hivyo “Mwenye kumtukana Ali ameshanitukana, na mwenye kunitukana eshamtukana Mwenyezi Mungu.” Hivyo mwenye kumuudhi Mtume wa Mwenyezi ngu katika mmoja wa vipenzi vyake atakuwa ameshamuudhi Mwenyezi Mungu Abu Talib Jabali Imara la Imani ukufu na Mtume Wake, na kwa hiyo anastastahili adhabuyake. Kama ilivyokuja katika abu Chake kitukufu: ‫ﻴﻢ‬‫ ﺃﹶﻟ‬‫ﺬﹶﺍﺏ‬‫ ﻋ‬‫ﻢ‬‫ ﻟﹶﻬ‬‫ﻮﻝﹶ ﺍﻟﻠﱠـﻪ‬‫ﺳ‬‫ﺫﹸﻭﻥﹶ ﺭ‬‫ﺆ‬‫ ﻳ‬‫ﻳﻦ‬‫ﺍﻟﱠﺬ‬‫ﻭ‬

a wale wanaomuudhi wa Mwenyezi Mungu wanaadhabu iumizayo.” “Na waleMtume wanaomuudhi Mtume wa Mwenyezi Mungu wanaadhabu iumizayo.” (Sura Tawba: 61). ra Tawba: 61).

Na ghera Mtume waMungu Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) na vipenzi ghera ya Mtume wayaMwenyezi (s.a.w.w.) na vipenzi vyake ni ghera ya vyake ni ghera ya Mwenyezi Mungu, na Mwenyezi Mungu ni wenyezi Mungu, na Mwenyezi Mungu ni mwenye ghera na anampenda mwenye ghera mwenye ghera na anampenda mwenye ghera na chimbuko chimbukola kitabu hiki ni ghera ya Mwenyezi Mungu na Mtume Wake katika ghera la kitabu hiki ni ghera ya Mwenyezi Mungu na Mtume Ami wa Mtume wa Mwenyezi Mungu kwa yule aliye mkosea. IkiwaWake wewe ni kati ya katika ghera ya Ami wa Mtume wa Mwenyezi Mungu kwa ioamini uongo uliosemwa juu ya Ami wa Mtume wa MwenyeziMungu (s.a.w.w.) basi Ikiwa wewe kati ya walioamini uongo ma kitabu hikiyule kwaaliye ajilimkosea. ya kujikurubisha kwaniMwenyezi Mungu na kwa nia safi na uliosemwa juu ya Ami wa Mtume wa Mwenyezi Mungu wa huru na wala usiwe mtumwa wa mtu mwingine. Kama utanufaika na kitabu hiki (s.a.w.w.) basi soma kitabu hiki kwa ajili ya kujikurubisha i niombee dua, wasalaam. kwa Mwenyezi Mungu na kwa nia safi na kuwa huru na wala usiwe mtumwa wa mtu mwingine. Kama utanufaika na kitabu hiki basi niombee dua, wasalaam.

‫ﻴﻢﹺ‬‫ﺣ‬‫ـﻦﹺ ﺍﻟﺮ‬ ٰ ‫ﻤ‬‫ﺣ‬‫ ﺍﻟﺮ‬‫ﻢﹺ ﺍﻟﻠﱠـﻪ‬‫ﺑﹺﺴ‬ la Mwenyezi Mungu,Mwingiwa wa rehema, rehema, KwaKwa jinajina la Mwenyezi Mungu,Mwingi Mwenye kurehemu Mwenye kurehemu

7 mlinzi wetu Ukweli ndio li ndio mlinzi wetu katika uhakika katika uhakika

ana na ukweli tumemjua Mtume wa Mwenyezi Mungu(s.a.w.w.) kwamba yeye Kutokana na ukweli Mtume wa Mwenyezi be wa Mwenyezi Mungu na tumemjua kwa sababu yeye ni mkweliMungu na mwaminifu (s.a.w.w.) kwamba yeye ni Mjumbe wa Mwenyezi Mungu na ana kwa hilo baina ya kaumu yake yote, tumemwamini na alitoa ushahidi juu kwa sababu yeye ni mkweli na mwaminifu na alijulikana ale alipokusanya kaumu yake na akawauliza kwamba kama atawaambia kuw a ya mlima huu kuna adui je, watamwamini? Jibu lao lilikuwa ndio, hivyo k 4 hokisema ni kweli na itakuwa ni hoja kwa sababu yeye ni mkweli. Msingi w i ni msingi mkubwa na kupitia kwayo hoja imethibiti juu yetu, kwamba yeye e wa Mwenyezi Mungu na kwamba yote aliyokuja nayo ni kutoka kwa Mwenye 02_Abu Talib_13_June_2013.indd 4

6/13/2013 2:10:39 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

kwa hilo baina ya kaumu yake yote, tumemwamini na alitoa ushahidi juu ya hilo pale alipokusanya kaumu yake na akawauliza kwamba kama atawaambia kuwa nyuma ya mlima huu kuna adui je, watamwamini? Jibu lao lilikuwa ndio, hivyo kila atakachokisema ni kweli na itakuwa ni hoja kwa sababu yeye ni mkweli. Msingi wa ukweli ni msingi mkubwa na kupitia kwayo hoja imethibiti juu yetu, kwamba yeye ni Mtume wa Mwenyezi Mungu na kwamba yote aliyokuja nayo ni kutoka kwa Mwenyezi Mungu Mtukufu. Na ukweli – wakati huo huo – ni msingi hatari sana kama tutamwamini mtu yeyote anayedai ukweli bila ya kuthibitisha au kwa kutegemea wengine, bila shaka tutatumbukia katika hatari kubwa na tutafuata njia ya maangamio, hivyo ni wajibu wetu tuwe katika tahadhari kubwa mno ili tusiwe wepesi na wajinga tunaoamini kila tunachoambiwa na kusadikisha, kinyume na alivyotuambia Mtume (s.a.w.w.) na tukawa kana kwamba hatujamwamini na hatujaamini aliyotuletea miongoni mwa Kitabu cha Mwenyezi Mungu, na kwa sababu hiyo tukawa tumerejea katika upotovu mara nyingine. Bali ni wajibu tupinge kila yaliyokuja miongoni mwa habari zinazopingana na aliyokuja nayo Mtume (s.a.w.w.), vyovyote itakavyokuwa rejea yake kwani kutomwamini mtu wa kawaida ni jambo jepesi zaidi kuliko kutomwamini Mtume (s.a.w.w.). Vivyo hivyo lau yakija yenye kuteremsha hadhi ya Mtume katika ulimi wa mwenye kudai kuwa ni mkweli ni rahisi kwetu kumkadhibisha na hilo ni jepesi kuliko kukubali yanayoteremsha hadhi na cheo cha Nabii wetu Mtukufu. Lau mtu Mtukufu, mwanachuoni Mtukufu akitupa habari inayoteremsha hadhi ya Nabii wetu (s.a.w.w.), na kama tut5

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 5

6/13/2013 2:10:39 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

amkadhibisha, wapenzi na washabiki wa mwanachuoni huyu watatufanyia fujo, lakini jua hilo nijepesi zaidi kuliko kusadikisha aliyokuja nayo katika yale yanayoteremsha hadhi ya Nabii wetu (s.a.w.w.). Na nadhani kila mmoja anakubali msingi huu na wewe ewe msomaji Muislam mwenye ghera nadhani wewe ni wa kwanza kati ya wenye kukubali hayo, lakini ngoja, je umeijaribu nafsi yako na kutahini utu wako katika kusadikisha habari yoyote? Je, wewe ni huru katika kusadikisha habari au huna hiyari mbele ya anayoyasema fulani na fulani na jamaa wale na mila fulani? Pima uhuru wako wa kifikra na zinduka sasa, unaweza kusema zimepokewa juu ya hilo riwaya nyingi au Hadith katika kitabu sahihi na ukasahau kuwa Mwenyezi Mungu ameahidi kuihifadhi Qur’ani tu kutokana na upotoshaji:

hau kuwa Mwenyezi Mungu ameahidi kuihifadhi Qur’ani tu kutokana shaji:

‫ﻈﹸﻮﻥﹶ‬‫ﺎﻓ‬‫ ﻟﹶﺤ‬‫ﺎ ﹶﻟﻪ‬‫ﺇﹺﻧ‬‫ ﻭ‬‫ّﻛﹾﺮ‬‫ﺎ ﺍﻟﺬ‬‫ﻟﹾﻨ‬‫ﺰ‬‫ ﻧ‬‫ﻦ‬‫ﻧﺤ‬ ‫ﺎ‬‫ﺇﹺﻧ‬

“Hakika Sisi tumeuteremsha ukumbusho huundio na tuulindao” (Su ika Sisi tumeuteremsha ukumbusho huu na hakikaSisi hakikaSisi ndio tuulindao” (Sura Hijri: 9). Lakini je yamepokewa : 9).Lakini je yanayoonyesha yamepokewakulinda yanayoonyesha kulinda vitabubaina vya yaHadith zilizoen vitabu vya Hadith zilizoenea ya Waislam? Waislam?

Unaweza kusema kuna kanuni zinazotuhakikishia ukweweza kusema kuna kanuni zinazotuhakikishia ukweli wa Hadith hii juu ya ha li wa Hadith hii juu ya hayo, lakini utasemaje kama hayo utasemaje kama hayo yatapingana na Qur’ani yenyewe? Kama hutakubali mant yatapingana na Qur’ani yenyewe? hutakubali mantiki mtu fulani akuwa umeshatumbukia katika makosa kwa Kama kuogopa kumkadhibisha hii utakuwa umeshatumbukia katika makosa kwa kuogopa uogopa kumkadhibisha Mtume wa Mwenyezi Mungu na unaogopa kuterems kumkadhibisha mtu fulani na kutokuogopa kumkadhibisha ya mtu wa Mtume kawaida na huogopi kuteremsha hadhi ya Mtume (s.a.w.w.), zindu wa Mwenyezi Mungu na unaogopa kuteremsha hauko katika dhi msuguano unapembua madini yenye thamani kwa yasiyoku ya mtu ambao wa kawaida na huogopi kuteremsha hadhi ya 6

nyezi Mungu Mtukufu amesemaje juu ya tabia ya Mtume Wake(s.a.w.w ozungumza Mwenyezi Mungu hakika yeye ni mkweli zaidi kati ya wasem wishasema katika Kitabu Chake kitukufu kauli iliyowazi juu ya Mtu 02_Abu Talib_13_June_2013.indd 6

6/13/2013 2:10:39 PM


weza kusema kuna kanuni zinazotuhakikishia ukweli wa Hadith hii juu ya ha utasemaje kama hayo yatapingana na Qur’ani yenyewe? Kama hutakubali mant akuwa umeshatumbukia katika makosa kwa kuogopa kumkadhibisha mtu fulani uogopa kumkadhibisha Mtume waJabali Mwenyezi na unaogopa kuterems Abu Talib Imara la Mungu Imani ya mtu wa kawaida na huogopi kuteremsha hadhi ya Mtume (s.a.w.w.), zindu uko katika msuguano ambao unapembua madini yenye thamani kwa yasiyoku Mtume (s.a.w.w.), zinduka wewe uko katika msuguano ambao unapembua madini yenye thamani kwa yasiyokuwa hayo.

Mtukufu tabia ya nyezi Mungu Mwenyezi Mtukufu Mungu amesemaje juu amesemaje ya tabia juu ya ya Mtume Wake(s.a.w.w Mtume Wake (s.a.w.w.)? Anapozungumza Mwenyezi Mungu ozungumza Mwenyezi Mungu hakika yeye ni mkweli zaidi kati ya wasem hakika yeye ni mkweli zaidi kati ya wasemaji, amekwishasewishasema ma katika Kitabu Chake kitukufu kauli iliyowazi juu ya Mtu katika Kitabu Chake kitukufu kauli iliyowazi juu ya (s.a.w.w.): Mtume Wake (s.a.w.w.):

‫ﻴﻢﹴ‬‫ﻈ‬‫ﻠﹸ ﹴﻖ ﻋ‬‫ﻠﹶ ٰﻰ ﺧ‬‫ ﻟﹶﻌ‬‫ﻚ‬‫ﺇﹺﻧ‬‫ﻭ‬

“Na hakika wewe una(Sura tabia tukufu.” (Sura hakika wewe una tabia tukufu.” al-Qalam: 4).al-Qalam: 4).

Mungu anaposema kuwa kitubasi ni kitukufu basi kweli.Tafak nyezi MunguMwenyezi anaposema kuwa kitu ni kitukufu ni kitukufu kitukufu Tafakarinatunapojua itakuwaje nakwamba kwa daraja gani landio bwana waje na kwanidaraja ganikweli. la utukufu Mtume utukufu na tunapojua kwamba Mtume ndio bwana wa Mime na mbora wa Mitume, na tunajua waliyokuwa nayo Mitume wa Mweny tume na mbora wa Mitume, na tunajua waliyokuwa nayo Miumiongoni mwa tabia njema, na kwamba Mtume ndio mbora wao, basi tabia ya tume wa Mwenyezi Mungu miongoni mwa tabia njema, na kufu zaidi kuliko tabia ya Manabii nawao, Mitume wote.yake Hakika Mwenyezi Mun kwamba Mtume ndio mbora basi tabia ni tukufu muheshimu mno jina lake Manabii wengine abadani, bali w zaidihakumwita kuliko tabiakwa ya Manabii nakama Mitume wote. Hakika Mweumekuja kwa: Ewe Nabiiamemuheshimu na ewe Mtume.mno hakumwita kwa jina lake nyezi Mungu

kama Manabii wengine abadani, bali wito wake umekuja kwa: Ewe Nabiihii natutazame ewe Mtume. o kabla hatujaanza nukta kwa haraka utangulizi wa muhtasari juu ya Nabii Mtukufu(s.a.w.w.). Hivyo kabla hatujaanza nukta hii tutazame kwa haraka utangulizi wa muhtasari juu ya tabia ya Nabii Mtukufu ka Mwenyezi(s.a.w.w.). Mungu ameteua katika viumbe vyake kundi lenye hadhi ya juu kat

a kimaumbile Hakika na kinafsi, nao ndio mabwana wakatika viumbe, nao vyake ndio Manabii, kis Mwenyezi Mungu ameteua viumbe agua kati yao wenye juu katika zaidi sifa na utukufu zaidi kati kundi lenyehadhi hadhi ya ya juu za kimaumbile na ki-yao,naye nd nafsi, Muhammad nao ndio mabwana wa viumbe, nao ndio kiho wa Manabii, (s.a.w.w.), naye ndio boraManabii, zaidi katika kila jam sha akachagua kati yao wenye hadhi ya juu zaidi na utukufu a sifa za kimaumbile na za kinafsi, na Waarabu kumwita ‘Mkweli Mwaminifu’ h mbo jepesi ambapo mwanadamu hasifiwi kwa sifa fulani kutokana na baadhi ya h otokea kwake bali ni kwa kulazimiana 7 na hali hii daima, na hii inamaanis mba Mtume wa Mwenyezi Mungu Muhammad(s.a.w.w.) alikuwa ni kipande c kinachotembea ardhirini kinachofunikwa kwa hali ya utukufu na hadhi katika pan a utu 02_Abu wake kamili hadi ikasambaakwa makuraishi, akawa mashuhuri baina yao k Talib_13_June_2013.indd 7 6/13/2013 2:10:39 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

zaidi kati yao,naye ndiye Mwisho wa Manabii, Muhammad (s.a.w.w.), naye ndio bora zaidi katika kila jambo, katika sifa za kimaumbile na za kinafsi, na Waarabu kumwita ‘Mkweli Mwaminifu’ hili sio jambo jepesi ambapo mwanadamu hasifiwi kwa sifa fulani kutokana na baadhi ya hali zinazotokea kwake bali ni kwa kulazimiana na hali hii daima, na hii inamaanisha kwamba Mtume wa Mwenyezi Mungu Muhammad (s.a.w.w.) alikuwa ni kipande cha nuru kinachotembea ardhini kinachofuni kwa kwa hali ya utukufu na hadhi katika pande zote za utu wake kamili hadi ikasambaa kwa makuraishi, akawa mashuhuri baina yao kwa namna ambayo imefanya dosari, yaani upungufu katika haki yake ni jambo lisilowezekana hata kwa mtu mwenye akili duni kabisa miongoni mwao. Baadhi ya visa vinavyoonyesha juu ya utukufu wa tabia ya Mtume (s.a.w.w.). Alikuja bedui na akaingia kwa Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) na kavuta nguo ya Nabii hadi nguo ikaumiza shingo yake tukufu na masahaba wa Mtume (s.a.w.w.) wakamshambulia, lakini Mtume akawazuia na akamsemesha kwa upole, na akamkidhia haja yake. Na miongoni mwa tabia yake (s.a.w.w.) anapopeana mkono na mtu hauachii mkono wake hadi mtu huyu aachie mkono wa Nabii (s.a.w.w.), na alikuwa anamsaidia mtumishi kusaga ngano pindi anapochoka. Ewe Mwislam mwenye ghera nadhani umeshajua ninayoyakusudia kuyasema! Je, unakubali Nabii wako kuambiwa kwamba alipojiwa na kipofu maskini anataka kujifunza kutoka kwake alikunja uso na akageuza uso wake. Simama ewe Mwislam mwenye ghera na funika kitabu na tafakari pamoja na nafsi yako na uliza swali hili katika nafsi yako mara elfu moja: Kama 8

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 8

6/13/2013 2:10:39 PM


mshambulia, lakini Mtume akawazuia na akamsemesha kwa upole, na akamkid yake. Na miongoni mwa tabia yake (s.a.w.w.) anapopeana mkono na mtu hauac no wake hadi mtu huyu aachie mkono wa Nabii (s.a.w.w.), na alikuwa anamsai mishi kusaga ngano pindi anapochoka. Abu Talib Jabali Imara la Imani

Mwislam mwenye ghera nadhani umeshajua ninayoyakusudia kuyasema! ingekuwa ni wewekwamba mahala paalipojiwa Mtume (s.a.w.w.) na akakujia ubali Nabii wako kuambiwa na kipofu maskinikipanataka kujifun ofu maskini anataka kujifunza je, ungekunja uso mbele yake ka kwake alikunjauso na akageuza uso wake.Simama ewe Mwislammwenye gh simama na swali tafakarihilikatika kisha nika kitabu na nakumzuia? tafakari Simama pamoja na natafakari nafsi yako natena uliza nafsi ya jibu je, unatarajia hayo katika nafsi yako kuamiliana na maselfu moja: Kama ingekuwa ni wewe mahalapa Mtume (s.a.w.w.) na akakujia kip kini kipofu kwa ubaya wowote tena mbele ya watu? Nadhani ini anataka kujifunza je, ungekunja uso mbele yake na kumzuia? Simama na tafak mwanadamu yeyote hata kama angekuwa na tabia ya kawaida ma tena na tafakari kisha jibunaje, unatarajia hayohuu. katika nafsi kipofu yako kuamiliana tu asingeamiliana kipofu kwa ubaya Ambapo ini kipofu kwa ubaya wowote tena yakama watu? Nadhani mwanadamu yey ni mtu wa kuhurumiwa na mbele watu, na yeyote angeruhusu kama angekuwa tabia yakinyume kawaidanatuhivyo asingeamiliana na kipofu kwa ubaya h katikana nafsi yake basi haya itamzuia, watu apo kipofu nikumuona mtu wa anaamiliana kuhurumiwa watu, na kama angeruhusu katika na nana kipofu maskini kwayeyote ubaya. Basi hebu kinyume natuachane hivyo na basi haya itamzuia, suala la kukunja uso. watu kumuona anaamiliana na kipo ini kwa ubaya.Basihebu na sualayalahatari kukunja Hapa kunatuachane maana nyingine zaidiuso. nayo ni hiyana

ya uaminifu katika kumuongoza anayetaka kuongozwa na kuna maana nyingine ya hatari zaidi ni hiyana ya juu uaminifu kat kuwaelekea matajiri! Je, haya ndio nayo inayoyasema Qur’ani uongoza anayetaka yake: kuongozwa na kuwaelekea matajiri!Je, haya ndio inayoyase

ani juu yake:

‫ ٰﻰ‬‫ﻧ‬‫ ﺃﹶﺩ‬‫ﻦﹺ ﺃﹶﻭ‬‫ﻴ‬‫ﺳ‬‫ ﻗﹶﻮ‬‫ﺪﻟﱠ ٰﻰ ﻓﹶﻜﹶﺎﻥﹶ ﻗﹶﺎﺏ‬ ‫ﺘ‬‫ﺎ ﹶﻓ‬‫ﻧ‬‫ ﺩ‬‫ﹸﺛﻢ‬ “Kisha akakaribia na akateremka. Akawa umbali wa pinde

ha akakaribiambili, na akateremka. Akawa umbali mbili, au karibu zaid (Sura Najm: 8 – 9).wa Je, pinde anaweza kukunja au karibu zaidi.” a Najm: 8 – 9). Je, anaweza kukunja kwa fakiri maskini? uso kwauso fakiri maskini?

ukufu yupi tunamzungumzia: Ni Mtukufu yupi tunamzungumzia:

‫ك َل َعلَّ ُه َي َّز َّك ٰى أَ ْو‬ َ ‫س َو َت َولَّ ٰى أَنْ َجا َءهُ ْاألَعْ َم ٰى َو َما ي ُْد ِري‬ َ ‫َع َب‬ ‫ ﹶﻟﻪ‬‫﴾ﻓﹶﺄﹶﻧﺖ‬٥﴿ ‫ ٰﻰ‬‫ﻨ‬‫ﻐ‬‫ﺘ‬‫ماﻦﹺ ﺍﺳ‬‫ﺎو ﻣ‬‫﴾ﹶﺃﻣ‬ ﴾٣ ﴿ ‫ﻌ‬ٰ ‫ر ﹶﻟ‬ ‫الذﹺﺭﻳ ْكﻚ‬ َ ‫ﻌﻪ‬ ‫أ َﻨ ْنﹶﻔ‬‫ ﻓﹶَفﺘ‬‫ﻳغ َنﺬﱠ ٰﻛﱠىﺮ‬ْ ‫اسْﺃﹶ َتﻭ‬ ‫َّاﻛﱠ ٰﻰَم ِن‬‫ﻳمﺰ‬َ‫أ‬‫ىﻠﱠﻪ‬ َ َ ‫ ٰى‬٤‫ص﴿ َّد‬ َ ‫ َت ٰﻯ‬‫ّ ُهﻛﹾﺮ‬‫تﺍﻟ َلﺬ‬ َ ِّ ‫ﺪ‬‫ﺎ ﻳ‬‫ﻭ ُهﻣ‬‫ َف﴾ َع‬٢‫ ُرٰﻰ َف﴿ َت ْن‬‫ َّكﻤ‬‫ ﺍ َيﻟﹾﺄﹶَّذﻋ‬‫ﺎ َﺀﻩ‬‫﴾ﺃﹶﻥ ﺟ‬١﴿ ‫ﻮﻟﱠ ٰﻰ‬ ‫ﺗ‬‫ﻭ‬ ‫ﺲ‬ ١١﴿ ‫ﺓﹲ‬‫ﺮ‬‫ﺬﹾﻛ‬‫ﺎ ﺗ‬‫ﻬ‬‫﴾ﻛﹶﻠﱠﺎ ﺇﹺﻧ‬١٠ْ﴿َ ‫ ٰﻰ‬‫ﻠﹶﻬ‬‫ ﺗ‬‫ﻪ‬‫ﻋ ْﻨ‬ ‫﴾ﻓﹶﺄﹶﻧﺖ‬٩﴿ ‫ ٰﻰ‬‫ﺸ‬‫ﺨ‬‫ﻮ ﻳ‬ ‫ﻭﻫ‬ ﴾٨﴿ ‫ ٰﻰ‬‫ﻌ‬‫ﺴ‬‫ َﻳ‬‫ﺎﺀَﻙ‬‫ﻦ ﺟ‬‫ﺎ ﻣ‬‫ﺃﹶﻣ‬‫ َ﴾ َّﻭ‬٧﴿ ‫ﻛﱠ ٰﻰ‬‫ﻳﺰ‬ ‫ ﹶﺃﻟﱠﺎ‬‫ﻚ‬‫ﻠﹶﻴ‬‫ﺎ ﻋ‬‫ﻭﻣ‬ ﴾٦﴿ َ ‫ك َيسْ َع ٰى َوھ َُو َيخ َش ٰى َفأن‬ ‫ت‬ َ ‫ْك أال َي َّز َّك ٰى َوأمَّا َمنْ َجا َء‬ َ ‫َع َلي‬ ٌ‫ َھا َت ْذك َِرة‬kipofu! ‫ھ َّٰى َك َّال إِ َّن‬Na ‫ع ْن ُه َت َل‬ َ kunja uso na akageuka.Kwa sababu alimjia nini kitakujulis

da akatakasika? Au atakumbuka ukamfaa ukumbusho? Ama anayejio itosha. Ndio weweunamshughulikia?9 Na si juu yako asipojitakasa. A nye kukujia mbio mbio. Naye anaogopa. Ndio wewe unajipurukusha. o!Hakikahizo ni ukumbusho.” (Sura A’basa: 1 – 11). 02_Abu Talib_13_June_2013.indd 9

6/13/2013 2:10:40 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

“Alikunja uso na akageuka. Kwa sababu alimjia kipofu! Na nini kitakujulisha huenda akatakasika? Au atakumbuka ukamfaa ukumbusho? Ama anayejiona amejitosha. Ndio wewe unamshughulikia? Na si juu yako asipojitakasa. Ama mwenye kukujia mbio mbio. Naye anaogopa. Ndio wewe unajipurukusha. Si hivyo! Hakikahizo ni ukumbusho.” (Sura A’basa: 1 – 11).

Hapa ni lazima sisi tusimame katika aya hii na tafsiri yake ambapo tumeitaja kwa njia ya mfano katika maudhui ya ukweli na kusadikisha, kisha turejee katika asili ya maudhui baada ya kubainisha aya na kuchukua mazingatio katika tafsisri sahihi na isiyokuwa sahihi.

10

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 10

6/13/2013 2:10:40 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

Tafsiri sahihi

U

thmani bin Affan alikunja uso, yaani alikunja uso wake na akageuza mgongo, yaani alimgeuzia mgongo kipofu Ibnu Ummu Maktum alipokuja katika baraza la Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.),Uthmani aliona kinyaa katika nafsi yake na akamgeuzia mgongo wake. Aya baada ya kuelezea hali hii,Qur’ani inatoa maelezo moja kwa moja “kipi kinachokujulisha” ikimkusudia Uthman yaani kipi kinakujulisha ewe Uthman huenda atatakasika na kuwa Mtukufu, atawaidhika na kunufaika kwa utajo (yaani mawaidha). Ama ajionaye hana haja, yaani tajiri kwa mali, wewe ndio unamshughulikia (yaani unamwelekea), na kipi kinachokujulisha kwamba atatakasika, (yaani usimzingatie kwani sio twahara), lakini anayekukimbilia akitaka kheri hali ya kuwa anaogopa Akhera wewe ndio unampuuza (yaani humjali na wala huzingatii mambo yake). Na aya zinapinga, basi usiwe hivyo, hakika Sura ni ukumbusho (yaani ni mawaidha kwa mwenye kutaka kukumbuka). Basi anayependa atakumbuka (yaani atawaidhika). Msemaji anaweza kusema: Hakika tafsiri hii inataka kuteremsha hadhi ya Uthman na yuko mbali nayo, vipi asikubali kwa Uthman anayoyakubali kwa Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.).

11

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 11

6/13/2013 2:10:40 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

Tafsiri ya kimakosa

K

wa wepesi kabisawanasema hakika maana hii katika aya inamkusudia Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.), tunajilinda kwa Mwenyezi Mungu kwa hilo. Ndio tunasema: Hakika kusema aliyonukuu kwetu maana hii yenye kukataliwa amekosea, ni bora kwetu kuliko kusema kwamba Mtume wa Mwenyezi Mungu alikosea. Kama tukijaalia – kwa mfano- kwamba Mtume wa Mwenyezi Mungu aliamiliana na mtu kipofu kwa muamala huu mbaya uliotajwa katika aya zilizotangulia na akawapokea matajiri kwa kuwakaribisha, na ikiwa tukio hilo lilitokea kabla ya kuwalingania watu dini na waarabu wakasikia hayo, je, wangemwamini kuwa ni mkweli na mwaminifu? Je, wangemwamini katika mambo ya ghaibu? Je, unaamini ewe Muislam mwenye ghera – bila ya kurejea kwenye kitabu chochote cha Hadith- kwamba Nabii wako anatabia hii na anamoyo huu? Ukisadikisha basi kana kwamba umemsadikisha anayekuambia kwamba Mtume sio mkweli na kwamba ni muongo - tunajilinda kwa Mwenyezi Mungu kwa hayo- kwa sababu mkweli hatokuwa mkweli tena anaponukuu kwetu habari inayomtuhumu ambaye Qur’ani inashuhudia juu ya utukufu wa tabia yake na utukufu wa adabu yake, na sidhani kwamba Mwenyezi Mungu atamsifu mtu kwamba tabia yake ni tukufu naye ana upungufu wa daraja hilo. Hebu acha hali ya Mtume iwe ni yenye kumeremeta, angavu na tukufu katika akili yako. Je, Qur’ani si inafasiri baadhi yake kama ilivyokuja katika habari? Nini maana ya “ Hakika wewe una tabia njema kabisa.” (Sura al-Qalam: 4). Na amesema 12

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 12

6/13/2013 2:10:40 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

(s.a.w.w.): “Mola Wangu alinifunza adabu hivyo tabia yangu ikawa nzuri kabisa.” Imesimuliwa kwamba Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) alinunua farasi kwa mtu, baadaye yule mtu akakanusha hilo kwa Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.), Khuzaimah bin Thabit akashuhudia kwa Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) kwamba Mtume amenunua farasi, yule mkanushaji akashangaa hilo kwa Mtume wa Mwenyezi Mungu, lakini Mtume wa Mwenyezi Mungu akamuuliza Khuzaimah bin Thabiti ambaye ameshuhudia na hakuwepo: Ni kipi kilichokufanya ushuhudie na haukuwa pamoja nasi? Khuzaimah mwenye uelewa, uoni madhubuti na yakini imara akajibu kwa jibu rahisi na kwa wepesi wa ukweli uliowazi, lakini wenye kina cha imani ya kweli, jibu ambalo yawezeakajibu jibu rahisi nakwa kwa wepesi ukweli wenye uliowazi, lakini wenye kina cha imani kana kwa lisipatikane waliowawengi kudai imani: ya kweli, jibu ambalo yawezekana lisipatikane kwa walio wengi wenye kudai imani:

ۖ◌ ‫ﻲ ﻗﹸﻠﹸﻮﺑﹺﻜﹸﻢ‬‫ﺎﻥﹸ ﻓ‬‫ ﹺﻞ ﺍﻟﹾﺈﹺﳝ‬‫ﺧ‬‫ﻳﺪ‬ ‫ﺎ‬‫ﻟﹶﻤ‬‫ﺎ ﻭ‬‫ﻨ‬‫ﻠﹶﻤ‬‫ﻦ ﻗﹸﻮﻟﹸﻮﺍ ﺃﹶﺳ‬‫ـﻜ‬ ٰ ‫ﻭﻟﹶ‬ ‫ﻮﺍ‬‫ﻣﻨ‬ ‫ﺆ‬‫ ﺗ‬‫ﺎ ◌ۖ ﻗﹸﻞ ﻟﱠﻢ‬‫ﻨ‬‫ ﺁﻣ‬‫ﺍﺏ‬‫ﺮ‬‫ ﺍﻟﹾﺄﹶﻋ‬‫ﻗﹶﺎﻟﹶﺖ‬ “Mabedui walisema:Tumeamini.Sema:Hamjaamini, lakini semeni:Tumesilimu. “Mabedui walisema: Tumeamini. Sema: Hamjaamini, lakini Kwani imani haijaingia katika nyoyo zenu.” (Sura Hujurat: 14).

semeni: Tumesilimu. Kwani imani haijaingia katika nyoyo

(Sura Hujurat: Jawabu hili la Khuzaimah ni zenu.” mfumo, ujumbe na hekima14). ambayo wanaihitajia waliowengi kati ya waliosoma mijaladi na wakatunga vitabu vya rejea. Ni jawabu linalotokana na nafsi ya muumini aliyemsadikisha Mtume wa Mwenyezi Mungu imani inayomfanya atoe Jawabu hili la Khuzaimah mfumo, ujumbe na hekima amroho na kusubiriaghaibu kana kwambani ni yakini

bayo wanaihitajia waliowengi kati ya waliosoma mijaladi na ‫ﺐﹺ‬‫ﻴ‬‫ﻮﻥﹶ ﺑﹺﺎﻟﹾﻐ‬‫ﻨ‬‫ﻣ‬vya ‫ﺆ‬‫ ﻳ‬‫ﻳﻦ‬‫ﺍﻟﱠﺬ‬rejea. ﴾ ٢﴿ ‫ﲔ‬  ‫ﻘ‬ ‫ﺘ‬‫ﻤ‬Ni ‫ّﻠﹾ‬‫ﻯ ﻟ‬‫ﺪ‬jawabu ‫ ◌ۛ ﻫ‬‫ﻴﻪ‬‫ ◌ۛ ﻓ‬‫ﺐ‬linalotokana ‫ﻳ‬‫ ﻟﹶﺎ ﺭ‬‫ﺎﺏ‬‫ﺘ‬‫ ﺍﻟﹾﻜ‬‫ﻚ‬‫ٰﺫﹶﻟ‬ wakatunga vitabu na nafsi ya muumini aliyemsadikisha Mtume wa Mwenyezi Mun“Hiki ni kitabu kisicho na shaka ndani yake;nimwongozo kwa wenye takua. Ambao gu imanighaibu.” inayomfanya atoe 2roho wanaamini (Sura al-Baqarah: – 3). na kusubiriaghaibu kana kwamba ni yakini

Khuzaimah akasema katika jawabu lakekwa Nabii (s.a.w.w.): “Nimekuamini kwa uliyokuja nayo na nikajua kwamba wewe hausemi isipokuwa haki.” Basi Mtume akalichukulia hilo kuwa ni jambo jema na akazingatia ushahidi wa Khuzaimah baada ya hapo kuwa ni sawa na ushahidi wa watu wawili na akapewa jina la Dhuu shahadatain na ushahidi wake kwa Waislam ukawa ni sawana ushahidi wa watu wawili. 13 Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) akasema:“Ambaye Khuzaimah atashuhudia kwa ajili yake au dhidi yake basi inamtosheleza.”

Na riwaya kama alivyoitaja Ibnu Kathir katika Kitabu ChakeUsudul-GhabahFiy 2,Uk. 114, ni kama ifuatavyo:“Nabii (s.a.w.w.) alinunua6/13/2013 farasi

Ma’arifatis-SwahabahJuz: 02_Abu Talib_13_June_2013.indd 13

2:10:40 PM


limu. liowengi okana na fanya atoe

Abu Talib Jabali Imara la Imani

‫ﺐﹺ‬‫ﻴ‬‫ﻮ ﹶﻥ ﺑﹺﺎﻟﹾﻐ‬‫ﻣﻨ‬ ‫ﺆ‬‫ ﻳ‬‫ﻳﻦ‬‫ﲔ ﺍﻟﱠﺬ‬  ‫ﻘ‬ ‫ﺘ‬‫ّﻠﹾﻤ‬‫ﻯ ﻟ‬‫ﺪ‬‫ ﻫ‬‫ﻴﻪ‬‫ ﻓ‬‫ﺐ‬‫ﻳ‬‫ ﻟﹶﺎ ﺭ‬‫ﺎﺏ‬‫ﺘ‬‫ ﺍﻟﹾﻜ‬‫ﻚ‬‫ٰﺫﹶﻟ‬ “Hik “Hiki ni kitabu kisicho na shaka ndani yake; nimwongozo kwa wenye takua. Ambao wanaamini ghaibu.” wanaami (Sura al-Baqarah: 2 – 3).

Khuzaim uliyok Khuzaimah akasema katika jawabu lake kwa Nabii akal (s.a.w.w.): “Nimekuamini kwa uliyokuja nayo na nikajua kwamba wewe hausemi isipokuwa haki.” Basi Mtume akaushahidi lichukulia hilo kuwa ni jambo jema na akazingatia ushahidi wa Khuzaimah baada ya hapo kuwa ni sawa na ushahidi wa Mtum watu wawili na akapewa jina la Dhuu shahadatain na ushaajili yake hidi wake kwa Waislam ukawa ni sawa na ushahidi wa watu wawili. Na riwa Ma’arifa Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) akasema:“Ambaye kutoka kwa Sawau bin Qaysi al-Muharibiy, Sawau akakanusha, ndipo Khuzaimah bin Khuzaimah atashuhudia kwa ajili yake au dhidi yake basi Thabiti akatoa ushahidi kwa Nabii (s.a.w.w.), Mtume (s.a.w.w.) akamwambia ni kipi inamtosheleza.” kilichokupelekea kushuhudia na hukuwa pamoja na sisi? Akasema: Niliamini uliyokuja nayo na Na nimejua kuwawewe husemi isipokuwa haki. Akasema riwaya kama alivyoitaja Ibnu Kathir katika Kitabu(s.a.w.w.):‘Ambaye ChaKhuzaima atatoa ushahidi kwa ajili yake au dhidi yake basi inamtosheleza.’” ke Usudul-Ghabah Fiy Ma’arifatis-Swahabah Juz: 2, Uk. 114, ni kama ifuatavyo: “Nabii (s.a.w.w.) alinunua farasi kutoka kwa Na cha kushangaza katika jambo hili ni kitendo cha kuamini maneno ya dhulma katika Sawau bin Qaysi al-Muharibiy, Sawau akakanusha, ndipo haki ya bwana wa viumbe, maneno tunayayochukua kutoka kwa ambaye zimejirudia Khuzaimah Thabiti ushahidi kwa Nabii (s.a.w.w.), mara kwa mara toka bin kwake Hadithakatoa za kimakosa zisizosahihi kiakili na kimantiki, ambazo Mtume (s.a.w.w.) akamwambia ni kipi kilichokupelekea kila mwenye akili aona aibu kuziamini au hata kudhania ukweli wake, tunaziamini bila na hukuwa na sisi? Akasema: Niliamini kujali kushuhudia kuwatwamfanyia khiyana pamoja Mwenyezi Mungu na Mtume Wake, nakwakweli mwenye kuyasadikishamaneno hayo anaweza kuingia katika isipokuwa shirki iliyofichikana au uliyokuja nayo na nimejua kuwa wewe husemi ukafirihaki. uliowazi au katika itikadi ya kimakosa au upumbavu au mfano wa hayo. Akasema (s.a.w.w.): ‘Ambaye Khuzaima atatoa ushahidi kwa ajili yake au dhidi yake basi inamtosheleza.’” Hebu tazama mifano hii: Na cha kushangaza katika jambo hili ni kitendo cha kuamini maneno ya na dhulma haki bwana wakutoka viumbe, 1- Amepokea Bukhari Muslimkatika kwa njia ya ya Abdur-Razaq kwamaMa’amar kutoka kwa Hamaam, kutoka kwa Abu Huraira, amesema:“Amesema Nabii (s.a.w.w.) ….. hadi aliposema:‘Mwenyezi Mungu (swt) aliiambia pepo: Wewe ni rehema yangu namhurumia 14 kwako nimtakaye kati ya waja wangu.Na akauambia moto: Hakika wewe ni adhabu, 12 02_Abu Talib_13_June_2013.indd 14

6/13/2013 2:10:40 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

neno tunayayochukua kutoka kwa ambaye zimejirudia mara kwa mara toka kwake Hadith za kimakosa zisizo sahihi kiakili na kimantiki, ambazo kila mwenye akili aona aibu kuziamini au hata kudhania ukweli wake, tunaziamini bila kujali kuwa twamfanyia khiyana Mwenyezi Mungu na Mtume Wake, na kwa kweli mwenye kuyasadikisha maneno hayo anaweza kuingia katika shirki iliyofichikana au ukafiri uliowazi au katika itikadi ya kimakosa au upumbavu au mfano wa hayo.

Hebu tazama mifano hii 1- Amepokea Bukhari na Muslim kwa njia ya Abdur-Razaq kutoka kwa Ma’amar kutoka kwa Hamaam, kutoka kwa Abu Huraira, amesema: “Amesema Nabii (s.a.w.w.)….. hadi aliposema: ‘Mwenyezi Mungu (swt) aliiambia pepo: Wewe ni rehema yangu namhurumia kwako nimtakaye kati ya waja wangu. Na akauambia moto: Hakika wewe ni adhabu, kupitia wewe namwadhibu nimtakaye kati ya waja wangu. Na kila kimoja kati ya hivyo kina ujazo wake, ama moto hautojaa hadi Mwenyezi kupitia wewenamwadhibu nimtakaye ya wake, waja wangu.Na kila kimoja Mungu atakapoweka humokati mguu hapo utasema: Basi kati ya hivyokina basi, ujazohapo wake,ndipo ama utakapojaa moto hautojaa hadi Mwenyezi Mungu atakapoweka humo na baadhi itagandamana na baadhi mguu wake, hapo 1 utasema:Basi basi, hapo ndipo utakapojaa na baadhi itagandamana na yake.”’ baadhi yake.”’1

Zinduka ndugu yangu Mwislam: Amesema Mwenyezi Zinduka nduguMtukufu yangu Mwislam: Amesema Mwenyezi Mungu Mtukufukatika Kitabu Mungu katika Kitabu Chake kitukufu: Chake kitukufu:

‫ﻲ‬‫ﻤﻌ‬ ‫ﺟ‬ ‫ ﹶﺃ‬‫ﻨﻜﹸﻢ‬‫ ﻣ‬‫ﻢ‬‫ﻨ‬‫ﻬ‬‫ﹶﻠﹶﺄﻥﱠ ﺟ‬‫ ﹶﻟﹶﺄﻣ‬‫ﻢ‬‫ﻬ‬‫ﻨ‬‫ ﻣ‬‫ﻚ‬‫ﺒﹺﻌ‬‫ﻦ ﺗ‬‫ﺍ ۖ ﻟﱠﻤ‬‫ﻮﺭ‬‫ﺣ‬‫ﺪ‬‫ﺎ ﻣ‬‫ﻣ ﹾﺬﺀُﻭﻣ‬ ‫ﺎ‬‫ﻬ‬‫ﻨ‬‫ ﻣ‬‫ﺝ‬‫ﺮ‬‫ﻗﹶﺎﻝﹶ ﺍﺧ‬ “Akasema: Toka humo, hali ya kuwa ni mwenye kufedheheka na mwenye 1 Al-Bukhariy katika tafsiri ya Suratu Qaaf, Juz: 3,basi Uk: 127. Na ameiandika Muslim kufukuzwa.Atakayekufuata miongoni mwao, hakika nitaijazaJahannam kwa katika Juz: 2 uk: al-Aaraf: 482 nyinyi nyote.” (Sura 18). Jahannam Mwenyezi Mungu ataijaza kwa15mashetani na wafuasi wao kati ya waasi, hivyo kuna hekima gani Mwenyezi Mungu kuweka mguu wake ili Jahannam ijae – tunajilinda kwa Mwenyezi Mungu na hilo -. Vipi tunaamini habari za mtu anayenukuu hadith hizo katika kuthibitisha haki? 02_Abu Talib_13_June_2013.indd 15

6/13/2013 2:10:40 PM


uka ndugu yangu Mwislam: Amesema Mwenyezi Mungu Mtukufukatika Kit ke kitukufu: Abu Talib Jabali Imara la Imani

kupitia wewenamwadhibu nimtakaye kati ya waja wangu.Na kila kimoja kati ya ‫ﻲ‬‫ﻌ‬‫ﻤ‬‫ﺟ‬ujazo ‫ ﺃﹶ‬‫ﻨﻜﹸﻢ‬wake, ‫ ﻣ‬‫ﻢ‬‫ﻨ‬‫ﻬ‬‫ﺟ‬ama ‫ﹶﻠﹶﺄﻥﱠ‬‫ﻣ‬moto ‫ ﹶﻟﹶﺄ‬‫ﻢ‬‫ﻬ‬‫ﻨ‬hautojaa ‫ ﻣ‬‫ﻚ‬‫ﺒﹺﻌ‬‫ﻦ ﺗ‬hadi ‫◌ۖ ﻟﱠﻤ‬Mwenyezi ‫ﺍ‬‫ﻮﺭ‬‫ﺣ‬‫ﺪ‬‫ﺎ ﻣ‬‫ﻣ‬Mungu ‫ﺬﹾﺀُﻭ‬‫ﺎ ﻣ‬‫ﻬ‬atakapoweka ‫ﻨ‬‫ ﻣ‬‫ﺝ‬‫ﺮ‬‫ ﻗﹶﺎﻝﹶ ﺍﺧ‬humo hivyokina mguu wake, hapo utasema:Basi basi, hapo utakapojaa na baadhi itagandamana na “Akasema: Toka humo, hali ndipo ya kuwa ni mwenye kufedhe1 baadhi yake.”’ heka na mwenye kufukuzwa. Atakaye kufuata miongoni

asema: Toka humo, hali ya kuwa ni mwenye kufedheheka na mwe mwao, basi hakika nitaijaza Jahannam kwa nyinyi nyote.” ukuzwa.Atakayekufuata miongoni mwao, basi hakika nitaijazaJahannam k Zinduka ndugu yangu Mwislam: Amesema Mwenyezi Mungu Mtukufukatika Kitabu (Sura al-Aaraf: 18). Chake kitukufu: yi nyote.” (Sura al-Aaraf: 18). Jahannam Mwenyezi Mungu ataijaza kwa mashetani na

‫ﻲ‬‫ﻌ‬‫ﻤ‬‫ ﺃﹶﺟ‬‫ﻨﻜﹸﻢ‬‫ ﻣ‬‫ﻢ‬‫ﻨ‬‫ﻬ‬‫ﹶﻠﹶﺄﻥﱠ ﺟ‬‫ ﹶﻟﹶﺄﻣ‬‫ﻢ‬‫ﻬ‬‫ﻨ‬‫ ﻣ‬‫ﻚ‬‫ﺒﹺﻌ‬‫ﻦ ﺗ‬‫ﺍ ◌ۖ ﻟﱠﻤ‬‫ﻮﺭ‬‫ﺣ‬‫ﺪ‬‫ﺎ ﻣ‬‫ﺬﹾﺀُﻭﻣ‬‫ﺎ ﻣ‬‫ﻬ‬‫ﻨ‬‫ ﻣ‬‫ﺝ‬‫ﺮ‬‫ﻗﹶﺎﻝﹶ ﺍﺧ‬

nnam Mwenyezi Mungu ataijaza kwahivyo mashetani na wafuasi wao kati ya waasi, hi wafuasi wao kati ya waasi, kuna hekima gani Mwenyezi kuweka mguu wake ili ni Jahannam tunajilinda hekima ganiMungu Mwenyezi Mungu kuweka wakeijae ili –Jahannam – tunajili “Akasema: Toka humo, hali ya kuwa mguu mwenye kufedheheka na ijae mwenye kwa Mwenyezi hilo -. Vipi tunaamini habari za mtu kwa Mwenyezi Mungu na hiloMungu -. miongoni Vipinatunaamini habari zanitaijazaJahannam mtu anayenukuu hadith h kufukuzwa.Atakayekufuata mwao, basi hakika anayenukuu hadith hizo katika kuthibitisha haki? nyinyi nyote.” (Sura al-Aaraf: 18). ka kuthibitisha haki? Tazama utukufu wa aya za Qur’ani na utukufu wa jambo

Jahannam Mwenyezi Mungu ataijaza kwa mashetani naanavyoisifu wafuasi wao nafsi kati yayake waasi, hivyo lake, na tazama vipi Mwenyezi Mungu ma utukufu wa aya za Qur’ani na utukufu wa jambo lake, na tazama vipi Mwen kuna hekima gani Mwenyezi Mungu kuweka mguu wake ili Jahannam ijae – tunajilinda katika Qur’ani, kisha oanisha hayo na yale maneno yaliyokwa Mwenyezinafsi Mungu na hilo -. Vipi Qur’ani, tunaamini habari anayenukuu hizo man gu anavyoisifu yake katika kishaza mtu oanisha hayohadith na yale tangulia: haki? katika kuthibitisha yotangulia: Tazama utukufu wa aya za Qur’ani na utukufu wa jambo lake, na tazama vipi Mwenyezi Mungu anavyoisifu nafsi yake hayo na yale maneno ‫ﺽﹺ‬‫ﺭ‬katika ‫ﺍﻟﹾﺄﹶ‬‫ ﻭ‬‫ﺍﺕ‬Qur’ani, ‫ﺎﻭ‬‫ﻤ‬‫ ﺍﻟﺴ‬‫ﻮﺭ‬kisha ‫ ﻧ‬‫ﻠﱠـﻪ‬oanisha ‫ﺍﻟ‬ yaliyotangulia:

Mungu ya na ardhi.” ‫ﺽﹺ‬ni‫ﻟﹾﺄﹶﺭ‬nuru ‫ﺍ‬‫ ﻭ‬na ‫ﺍﺕ‬‫ﺎﻭ‬‫ﻤ‬ardhi.” ‫ ﺍﻟﺴ‬mbingu ‫ﻮﺭ‬‫ ﻧ‬‫(ﺍﻟﻠﱠـﻪ‬Sura wenyezi Mungu“Mwenyezi ni nuru ya mbingu Nuru:(Sura 35). Nuru: 35).

“Mwenyezi Mungu ni nuru Aya tukufu yaNaal-Kursiyu, na ya mbingu na ardhi.” (Sura Nuru: 35). Aya tukufu ya al-Kursiyu, na Na Aya tukufu ya al-Kursiyu, na

ۚ◌ ‫ﻴﻨﹺﻪ‬‫ﻤ‬‫ ﺑﹺﻴ‬‫ﺎﺕ‬‫ﻄﹾﻮﹺﻳ‬‫ ﻣ‬‫ﺍﺕ‬‫ﺎﻭ‬‫ﻤ‬‫ﺍﻟﺴ‬‫ ﻭ‬‫ﺔ‬‫ﺎﻣ‬‫ﻴ‬‫ ﺍﻟﹾﻘ‬‫ﻡ‬‫ﻮ‬‫ ﻳ‬‫ﻪ‬‫ﻀﺘ‬  ‫ﺎ ﹶﻗﺒ‬‫ﻴﻌ‬‫ﻤ‬‫ ﺟ‬‫ﺽ‬‫ﺍﻟﹾﺄﹶﺭ‬‫ ﻭ‬‫ﺭﹺﻩ‬‫ ﻗﹶﺪ‬‫ﻖ‬‫ ﺣ‬‫ﻭﺍ ﺍﻟﻠﱠـﻪ‬‫ﺪﺭ‬ ‫ﺎ ﹶﻗ‬‫ﻣ‬‫ﻭ‬ ۚ◌ ‫ﻴﻨﹺﻪ‬‫ﻤ‬‫ ﺑﹺﻴ‬‫ﺎﺕ‬‫ﻄﹾﻮﹺﻳ‬‫ ﻣ‬‫ﺍﺕ‬‫ﺎﻭ‬‫ﻤ‬‫ﺍﻟﺴ‬‫ ﻭ‬‫ﺔ‬‫ﺎﻣ‬‫ﻴ‬‫ ﺍﻟﹾﻘ‬‫ﻡ‬‫ﻮ‬‫ ﻳ‬‫ﻪ‬‫ﻀﺘ‬  ‫ﺎ ﹶﻗﺒ‬‫ﻴﻌ‬‫ﻤ‬‫ ﺟ‬‫ﺽ‬‫ﺍﻟﹾﺄﹶﺭ‬‫ ﻭ‬‫ﺭﹺﻩ‬‫ ﻗﹶﺪ‬‫ﻖ‬‫ ﺣ‬‫ﻭﺍ ﺍﻟﻠﱠـﻪ‬‫ﺪﺭ‬ ‫ﺎ ﹶﻗ‬‫ﻣ‬‫ﻭ‬

hawakumkadiria Mwenyezi Mungu kadiri yake.NaSiku ya Kiya “Na hawakumkadiria Mwenyezi Mungu haki haki yayakadiri yake.NaSiku ya Kiyama “Na hawakumkadiria Mwenyezi Mungu haki ya kadiri yake. hi yoteardhi itakuwamkononi Mwake, zitakunjwa katikamkono yote itakuwamkononi Mwake,na nambingu mbingu zitakunjwa katikamkono Wake waWake Na Siku ya Kiyama ardhi yote itakuwa mkononi Mwake, na kuume.” (Sura Az-Zumar: me.” (Sura Az-Zumar: 67).67). mbingu zitakunjwa katika mkono Wake wa kuume.”

Az-Zumar: 67). kulingana na Qur’ani na riwaya Mazungumzo juu ya utukufu wa (Sura Mwenyezi Mungu ungumzo juu ya(as) utukufu wakatika Mwenyezi Mungu kulingana na Qur’ani na za Ahlul-Bait na kutoka Nahjul-Balaghah:

hlul-Bait (as) na kutoka katika Nahjul-Balaghah:

riw

Kuhusu sifa za Mwenyezi Mungu Mtukufu16Imam Ali (as) anasema: “Ni Mmoja si kwa taawili ya idadi, ni Muumbaji lakini si kwa maana ya harakati na kuchoka, ni Msikivu usu sifa za sio Mwenyezi Mungu Mtukufu Alikwa (as)macho….mwenye anasema: “Nikumsifu Mmoja si lakini kwa masikio, ni Mwenye kuonaImam lakini sio ili ya atakuwa idadi, ni Muumbaji lakini si kwakumuwekea maana ya harakati naamemhesabu, kuchoka, na ni Msik amemuwekea mpaka, na mwenye mpaka atakuwa mwenye kumhesabu atakuwa amebatilisha utangu wake na mwenye kusema yuko wapi ni sio 02_Abu kwaTalib_13_June_2013.indd masikio, ni16 Mwenye kuona lakini sio kwa macho….mwenye 6/13/2013 2:10:40 PM kum


Abu Talib Jabali Imara la Imani

Mazungumzo juu ya utukufu wa Mwenyezi Mungu kulingana na Qur’ani na riwaya za Ahlul Bayt (as) na kutoka katika Nahjul-Balaghah:

Kuhusu sifa za Mwenyezi Mungu Mtukufu Imam Ali (as) anasema: “Ni Mmoja si kwa taawili ya idadi, ni Muumbaji lakini si kwa maana ya harakati na kuchoka, ni Msikivu lakini sio kwa masikio, ni Mwenye kuona lakini sio kwa macho…. mwenye kumsifu atakuwa amemuwekea mpaka, na mwenye kumuwekea mpaka atakuwa amemhesabu, na mwenye kumhesabu atakuwa amebatilisha utangu wake na mwenye kusema yuko wapi atakuwa amemuwekea kikomo…” Na katika hotuba namba 89 amesema: “Na wala usiukadirie utukufu wa Mwenyezi Mungu kwa akili yako utakuwa kati ya wenye kuhiliki.” Na anamsemesha Mola Wake kwa kusema: “Na nashuhudia kwamba mwenye kukulinganisha na kitu kati ya viumbe Vyako atakuwa amekengeuka Kwako, na mwenye kukengeuka Kwako basi ni kafiri kwa yale zilizokuja nazo aya Zako zilizo wazi…” Hakika Mwenyezi Mungu ni Mtukufu na katika utukufu Wake ni kwamba Yeye: “Hakuna chochote kama mfano wake”2 “Hayamfikii macho; bali Yeye huyafikia macho.”3 “Akasema: Hutaniona.”4 Ndugu yangu Mwislam utaamini kwamba Mwenyezi Mungu husema kumwambia mmoja wa waasi: “Fanya dhambi upendavyo kwani nimeshakusamehe?” Hilo si kati ya madai ya kufanya madhambi na kupuuza utii wa Mwenyezi Mungu Suratu Shura:11 Suratul An’am: 103 4 Suratul A’araf: 143 2 3

17

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 17

6/13/2013 2:10:40 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

na kutomuogopa? Je, Mwenyezi Mungu hajasema katika Kitabu Chake kitukufu:

‫ ﻗﹶﺎﻝﹶ ﺇﹺﻧﹺّﻲ‬‫ﺕ‬‫ﻮ‬‫ ﺍﻟﹾﻤ‬‫ﻢ‬‫ﺪﻫ‬ ‫ﺣ‬ ‫ ﹶﺃ‬‫ﺮ‬‫ﻀ‬‫ ٰﻰ ﺇﹺﺫﹶﺍ ﺣ‬‫ﺣﺘ‬ ‫ﻴﹺّﺌﹶﺎﺕ‬‫ﻠﹸﻮﻥﹶ ﺍﻟﺴ‬‫ﻤ‬‫ﻌ‬‫ ﻳ‬‫ﻳﻦ‬‫ﻠﱠﺬ‬‫ﺑﺔﹸ ﻟ‬‫ﻮ‬‫ ﺍﻟﺘ‬‫ﺖ‬‫ﺴ‬‫ﻟﹶﻴ‬‫ﻭ‬ ‫ﺎ‬‫ﻴﻤ‬‫ﺎ ﺃﹶﻟ‬‫ﺬﹶﺍﺑ‬‫ ﻋ‬‫ﻢ‬‫ﺎ ﻟﹶﻬ‬‫ﻧ‬‫ﺪ‬‫ﺘ‬‫ ﺃﹶﻋ‬‫ﻚ‬‫ـﺌ‬ ٰ ‫ﺭ ۚ ﺃﹸﻭﻟﹶ‬ ‫ ﹸﻛﻔﱠﺎ‬‫ﻢ‬‫ﻫ‬‫ﻮ ﹶﻥ ﻭ‬‫ﻮﺗ‬‫ﻳﻤ‬ ‫ﻳﻦ‬‫ﻟﹶﺎ ﺍﻟﱠﺬ‬‫ ﺍﻟﹾﺂﻥﹶ ﻭ‬‫ﺖ‬‫ﺒ‬‫ﺗ‬ “Na si toba ya wale ambao hufanya maovu mpaka mmoja wao akafikiwa na mauti akasema: sasa mimi nimetubia. Wala ambao hufa wakiwa makafiri; hao tumewaandalia adhabu iumizayo” (Sura Nisaa: 18).

Na amesema (swt):

‫ﲔ‬‫ﺗ‬‫ ﺍﻟﹾﻮ‬‫ﻪ‬‫ﻣﻨ‬ ‫ﺎ‬‫ﻨ‬‫ ﻟﹶﻘﹶﻄﹶﻌ‬‫ﲔﹺ ﹸﺛﻢ‬‫ﻤ‬‫ ﺑﹺﺎﻟﹾﻴ‬‫ﻪ‬‫ﻣﻨ‬ ‫ﺎ‬‫ﺬﹾﻧ‬‫ ﺍﻟﹾﺄﹶﻗﹶﺎﻭﹺﻳﻞﹺ ﻟﹶﺄﹶﺧ‬‫ﺾ‬‫ﻌ‬‫ﺎ ﺑ‬‫ﻨ‬‫ﻠﹶﻴ‬‫ﻝﹶ ﻋ‬‫ﻘﹶﻮ‬‫ ﺗ‬‫ﻟﹶﻮ‬‫ﻭ‬ ‫ﺎﺟﹺﺰﹺﻳﻦ‬‫ ﺣ‬‫ﻪ‬‫ﻋﻨ‬ ‫ﺪ‬‫ ﺃﹶﺣ‬‫ّﻦ‬‫ﻨﻜﹸﻢ ﻣ‬‫ﺎ ﻣ‬‫ﻓﹶﻤ‬ “Na lau kama angelituzulia baadhi ya maneno, bila ya shaka tungelimshika kwa mkono wa kulia. Kisha kwa hakika tungelimkata mshipa mkubwa wa moyo! Na hapana yeyote katika nyinyi ambaye angeliweza kutuzuia naye.” (Sura al-Haqqa: 44 – 47).

Wakati Aya zikisema hivyo tunakuta Hadith ya ajabu anayoipokea Abu Huraira inasema: “Mja alifanya dhambi akasema: ‘Eee Mwenyezi Mungu nisamehe dhambi yangu.’ Mwenyezi Mungu Mtukufu akasema: ‘Mja wangu amefanya dhambi na hakujua kwamba ana Mola anaye samehe dhambi, na anayeadhibu.’ Akasema: Kisha akarudia kufanya dhambi na akasema: ‘Eee Mola nisamehe dhambi yangu.’ Mwenyezi Mungu Mtukufu akasema: ‘Mja wangu amefanya dhambi na akajua 18

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 18

6/13/2013 2:10:41 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

kuwa ana Mola Mwenye kusamehe dhambi na kuadhibu kwa dhambi. Tenda utakavyo, nimeshakusamehe.’”5 Msomaji Mtukufu nakuachia ufafanuzi na hukumu juu ya Hadith hii Ila nasema si vema kwa anayenukuu Hadithi hii kufikiri na kutulizana. Baadhi wanaweza kusema kwamba Masheikh wa vitabu sahihi na wapokezi walihakiki baada yao Hadith kulingana na kanuni zinazohakikisha usahihi wa riwaya na haipasi kuipeleka tena riwaya baada yao kwenye akili na kufikiri na kupembua, tunawaambia: Hakika Mwenyezi Mungu ametutaka katika Qur’ani tukufu mara nyingi tutafakari na tutadaburi “Je, hawaizingatiiQur’ani”?6 “Hakika katika hayo kuna ishara kwa watu wanaosikia”7 “Hakika tumezipambanua Ishara kwa watu wenye kukumbuka”8 “Au kwenye nyoyo zipo kufuli.?”9 Kisha kuna wito kutoka kwenye akili na nukuu ya kutupia mbali kila yanayokhalifu Qur’ani, kwa sababu Qur’ani ni kitabu ambacho hakipatwi na batili kutoka mbele yake wala nyuma yake. Baada ya mazungumzo juu ya maelezo ya Hadith na wajibu wa kutoiamini inapopingana na akili na Qur’ani, hebu sasa tuhamie katika maudhui ya mpokezi mwenyewe, tutafakari na tuhakiki katika upande wa shakhisiya, historia na mantiki, ili tuwe na usalama katika uhuru wetu wa kufikiria, na tusimruhusu yeyote kutupora uhuru huo, wala tusizisalimishe akili zetu isipokuwa kwa Mwenyezi Mungu na Mtume Wake. Ama kwa asiyekuwa hawa ni wajibu tuwe na tahadhari Sahih Muslim juz: 2 uk: 445 Suratu Nisaa: 82 7 Suratu Rum: 23 8 Suratul An’am: 126 9 Suratu Muhammad: 24 5 6

19

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 19

6/13/2013 2:10:41 PM


sha kunawito nyuma yake. kutoka kwenye akili na nukuu ya kutupiambali kila yanayok ur’ani, kwa sababu Qur’ani ni kitabu ambacho hakipatwi na batili kutoka mbele ala yake. juu ya maelezo ya Hadith na wajibu wa kutoiamini inapopinga yanyuma mazungumzo Abu Talib Jabali Imara laya Imani li na Qur’ani, hebu sasa tuhamie katika maudhui mpokezi mwenyewe, tutafak aada ya mazungumzo juu ya maelezo ya Hadith na wajibu kutoiamini inapopi akiki katika upande wa shakhisiya, historia na mantiki, iliwa tuwe na usalama kati akili na hebu sasa tuhamie katika maudhui ya Akhera mpokezi mwenyewe, tuta wetu waQur’ani, kufikiria, na tusimruhusu yeyote kutupora uhuru huo, na wala sana kwao, ambapo katika mas’ala ya kidini, ha-tusizisalimis tuhakiki katika upande wa shakhisiya, historia naWake.Ama mantiki,Mwenyezi ilikwa tuwe na usalama etu isipokuwa kwa Mwenyezi Mungu Mtume asiyekuwa haw tima haipasi kupuuzia hilo, na kwani ameshasema uru wetu kufikiria, nasana tusimruhusu yeyote kutupora uhuru ya huo,kidini, wala tusizisali jibu tuwewa naMungu tahadhari kwao, ambapo katika mas’ala Akhera ambaye ndio Mwingi wa rehema kwa Wanadamu na zetu isipokuwa kwa Mwenyezi Mungu Mtume Wake.Ama kwa asiyekuwa mwenye kuwapenda zaidi kulikona mama zao wanapokuwa ka- ndio ailihaipasi kupuuzia hilo,kwani ameshasema Mwenyezi Mungu ambaye Mwin tika yao, amesema: wajibu namalezi tahadhari sana kwao, ambapo katika mas’ala Akh hema kwatuwe Wanadamu na mwenye kuwapenda zaidi kuliko mama ya zaokidini, wanapokuw tima haipasi kupuuzia hilo,kwani ameshasema Mwenyezi Mungu ambaye ndio M malezi yao, amesema: a rehema kwa Wanadamu na mwenye kuwapenda zaidi kuliko mama zao wanapo tika malezi yao, amesema: ‫ﲔ‬‫ﻗ‬‫ﺎﺩ‬‫ ﺍﻟﺼ‬‫ﻊ‬‫ﻮﺍ ﻣ‬‫ﻛﹸﻮﻧ‬‫ ﻭ‬‫ﻘﹸﻮﺍ ﺍﻟﻠﱠـﻪ‬‫ﻮﺍ ﺍﺗ‬‫ﻨ‬‫ ﺁﻣ‬‫ﻳﻦ‬‫ﺎ ﺍﻟﱠﺬ‬‫ﻬ‬‫ﺎ ﺃﹶﻳ‬‫ﻳ‬

‫ﲔ‬‫ﻗ‬‫ﺎﺩ‬‫ ﺍﻟﺼ‬‫ﻊ‬Mcheni ‫ ﻣ‬Mungu ‫ﻮﺍ‬‫ﻛﹸﻮﻧ‬‫ ﻭ‬Mwenyezi ‫ﱠـﻪ‬na ‫ﹸﻮﺍ ﺍﻟﻠ‬kuweni ‫ﺗﻘ‬‫ﻮﺍ ﺍ‬Mungu ‫ﻣﻨ‬ ‫ ﺁ‬‫ﻦ‬pamoja ‫ﻳ‬‫ﺍﻟﱠﺬ‬na ‫ﺎ‬‫ﻳﻬ‬‫ﹶﺃ‬kuweni ‫ﺎ‬‫ ﻳ‬na wakweli.” (Su mlioamini!Mcheni Mwenyezi “Enyi mlioamini! pamoja na wakweli.” (Sura Tawba: 119). a: 119). Enyi mlioamini!Mcheni Mwenyezi Mungu na kuweni pamoja na wakweli.” Hakuna kupuzia katika dini wala hakuna katikahakuna itiawba: 119).katika na kupuzia dini wala hakuna kupuuzia katikakupuuzia itikadi wala kuzemb kadi wala hakuna kuzembea katika hatima na wala hatutaki hatima na wala hatutaki iwe mbaya au katika hali isiyojulikana, fursa ni moja tu iwe mbaya au katika hali isiyojulikana, fursa ni moja tu na akuna kupuzia katika diniya wala hakuna kupuuzia katika itikadi wala hakuna kuz udii tena, ambapo baada mauti ni hisabu na hakuna amali na wala hatutorej haijirudii tena, ambapo baada ya mauti ni hisabu na hakuna tikayahatima na wala hatutaki iwe mbaya au katika hali isiyojulikana, fursa ni moja jili kutenda, vyovyote amali na walatutakavyokariri: hatutorejea kwa ajili ya kutenda, vyovyote tuijirudii tena,takavyo ambapo baada ya mauti ni hisabu na hakuna amali na wala hatut kariri: wa ajili ya kutenda,ۚ◌vyovyote ‫ﻛﹾﺖ‬‫ﺮ‬‫ﺎ ﺗ‬‫ﻴﻤ‬‫ﻓ‬tutakavyokariri: ‫ﺎ‬‫ﺤ‬‫ﺎﻟ‬‫ﻤﻞﹸ ﺻ‬ ‫ّﻲ ﹶﺃﻋ‬‫ﻠ‬‫﴾ﻟﹶﻌ‬٩٩﴿ ‫ﻮﻥ‬‫ﺟﹺﻌ‬‫ﺏﹺّ ﺍﺭ‬‫ﺭ‬ ۚ ‫ﻛﹾﺖ‬‫ﺮ‬‫ﺎ ﺗ‬‫ﻴﻤ‬‫ﺎ ﻓ‬‫ﺤ‬‫ﺎﻟ‬‫ﻤﻞﹸ ﺻ‬ ‫ّﻲ ﹶﺃﻋ‬‫ﻠ‬‫ ﻟﹶﻌ‬‫ﻮﻥ‬‫ﺟﹺﻌ‬‫ﺏﹺّ ﺍﺭ‬‫ﺭ‬

a wangu nirudishe, ili nitendemema badala ya yale niliyoyaacha.” (Su minin: 99 – 100). Mola wangu “Mola nirudishe, nitendemema ya yale niliyoyaacha.” wangu ili nirudishe, ili nitendebadala mema badala ya yale niliyoyaacha.” (Sura Mu’minin: 99 – 100). u’minin: 99 – 100).yetu ambapo tumetaja baadhi ya Hadith zilizopokelewa kuto ee katika maudhui Abu Huraira kama mfano, hebu tueleze baadhi ya sehemu ya shakhisiya hii kw maudhui ambapobaadhi tumetaja Haurejee maudhui yetu ambapo tumetaja ya baadhi Hadithyazilizopokelewa k kama katika mfanoTurejee katika katika maudhui yetu. yetu dith zilizopokelewa kutoka kwa Abu Huraira kama mfano, wa Abu Huraira kama mfano, hebu tueleze baadhi ya sehemu ya shakhisiya hi hebu tueleze baadhi ya sehemu ya shakhisiya hii kwa kifupi fupi kama mfano katika maudhui yetu. Huraira amesilimu mwaka wa saba Hijiria kwa maafikiano ya watu wa habari, baa kama mfano katika maudhui yetu. unguzi wa Khaibari, na kusuhubiana kwake na Nabii (s.a.w.w.) ilikuwa ni mia bukama Huraira amesilimuwazi mwaka waHuraira saba Hijiria kwa maafikiano ya watu wa habari, alivyoeleza Abu katika Hadith aliyoipokea 20mwenyewe 5 ufunguzi wa Khaibari, na kusuhubiana kwake na Nabii (s.a.w.w.) ilikuwa ni ariy. tatu kama alivyoeleza wazi Abu Huraira mwenyewe katika Hadith aliyoipok 5 ukhariy. 02_Abu Talib_13_June_2013.indd 20 6/13/2013 2:10:41 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

Abu Huraira amesilimu mwaka wa saba Hijiria kwa maafikiano ya watu wa habari, baada ya ufunguzi wa Khaibari, na kusuhubiana kwake na Nabii (s.a.w.w.) ilikuwa ni miaka mitatu kama alivyoeleza wazi Abu Huraira mwenyewe katika Hadith aliyoipokea al-Bukhariy.10 Inapasa apokee idadi gani ya Hadith? Ewe msomaji Mtukufu tafakari, dadisi! Je, inawezekana kupokea hadith nyingi zaidi kuliko Khalifa wa kwanza au wa pili au watatu au wanne au zaidi kuliko yeyote kati ya wake wa Nabii au yeyote kati ya Bani Hashim kati ya watoto wa Ami zake waliokaribu mno naye (s.a.w.w.)? Utasemaje kama utajua kuwa amepokea Hadith nyingi zaidi kuliko Khalifa wa kwanza, khalifa wa pili, khalifa wa tatu, khalifa wa nne na nyingi zaidi kuliko wake wa Nabii (s.a.w.w.) mmoja baada ya mwingine, na nyingi zaidi kuliko yeyote kati ya Bani Hashim. Lakini mnasemaje enyi wenye akili mtakapojua kwamba katika miaka mitatu amepokea kiasi kikubwa zaidi kuliko walichokipokea hao ambao tumewataja kwa pamoja, pamoja na kuchelewa kusilimu kwake kuliko makhalifa wanne na kuhudhuria kwao katika matukio kwa miaka 52 na kwa kulazimiana kwao na Nabii (s.a.w.w.) kwa miaka 23.11 Makhalifa wanne wamepokea Hadith 1411 wakati ambapo Abu Huraira peke yake amepokea Hadith 5374, tumemaliza? Hatujamaliza bado, Abu Huraira amepokewa kwamba: “Hakika nimehifadhi kutoka kwa Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) mifuko miwili, mmoja nimeutoa ama mwin10 11

Babu alamaatin Nubuwati fiyl- Islaam Juz: 2 uk: 182 Tazama Tarikhul- Khulafai ya Suyutwiy 21

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 21

6/13/2013 2:10:41 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

gine kama ningeutoa basi hili koo lingekatwa”12 Na amesema: “Kama ningewasimulia yote yaliyopo moyoni mwangu mngenitupia kwenye vinyesi kisha msingeniangalia.” Na amesema: “Wanasema: Umezidisha ewe Abu Huraira, naapa kwa yule ambaye nafsi yangu iko mikononi mwake, lau ningewasimulia kila kitu nilichokisikia kutoka kwa Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) mngenitupia kwenye uchafu kisha msingenitazama.”13 Na amesema: “Nimehifadhi kutoka kwa Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) mifuko mitano, nimetoa kwayo mifuko miwili na lau ningetoa watatu mngenipiga kwa mawe.”14 Kama utatafakari ewe msomaji Mtukufu katika maelezo ya Abu Huraira utakuta na kuona hisia za hofu juu ya kukataliwa Hadith zake kutoka kwa watu, kwa sababu yale ambayo yanabebwa na hadithi hizo hayakubaliwi na akili wala mantiki. Na anaeleza kwamba anamengi bali yaliyobaki ni mengi zaidi kuliko aliyoyatoa. Na simlaumu katika hilo, vipi haogopi kunukuu kutoka kwa Mtume wa Mwenyezi Mungu kwamba Mwenyezi Mungu amempa habari kwamba Musa Kalimullah, Nabii mwenye karama na miujiza mikubwa, anampiga malaika wa mauti na kumng’oa jicho lake kwa sababu alimjia ili kutoa roho yake, na malaika huyo akarejea kwa Mwenyezi Mungu hali anachongo na hivyo alishindwa kutoa roho ya Musa. Na baada ya tukio hili Izrail akawa anakuja kwa watu kwa kujificha ili kuchukua roho zao baada ya kuwa anawajia waziwazi,.UsiAl- Bukhariy juz:1 uk: 24 At Twabaqaatu al-qismu thaniy juz:4 uk: 57 14 Ameitoa Abu Nua’im min ahawaali Abiy Huraira uk: 381 fiy khailatihi 12 13

22

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 22

6/13/2013 2:10:41 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

shangae kwa hilo, ndio riwaya hiyo imekuja kutoka kwa Abu Hurarira na riwaya kama ilivyokuja neno kwa neno ni kama ifuatavyo:Wamepokea Masheikh wawili katika sahihi zao kwa sanadi ya Abu Huraira amesema: “Malaika wa mauti alikuja kwa Musa (as) akamwambia: Mwitike Mola wako. Akasema: Musa akampiga, jicho la Malaika akaling’oa. Akasema: Malaika akarejea kwa Mwenyezi Mungu na kusema: Hakika wewe umenituma kwa mja wako asiyetaka mauti, ametoboa jicho langu.Akasema: Mwenyezi Mungu akamrudishia jicho lake na akasema: Rejea kwa mja wangu umwambie unataka uhai? Kama unataka uhai basi weka mkono wako juu ya mgongo wa ng’ombe dume basi kwa kila unyoya utakaofunikwa na mkono wako utaishi mwaka mmoja.”15 Mtu anaweza kutoa maelezo gani juu ya Hadith hii na wangapi wanasema hakuna maelezo isipokuwa mtu kuwa na tahadhari kubwa katika anayoyasoma na kuyasikia, hususan ikiwa yanagusa itikadi au yanapanga mwelekeo na mtazamo wake, na kwa safina ipi utakuwa mwelekeo wa maisha yake. Na hapa najua kuwa wengi kati ya wanaosoma maneno haya inachemka ghera yao juu ya Abu Huraira kwa kuwa kwake sahaba, lakini kinachopasa ni kupata ghera juu ya Manabii wa Mwenyezi Mungu ambao wameguswa na Hadith za Abu Huraira, na itupate ghera juu ya akili zetu ambazo hatuwezi kukosa kuziamini na kuzishusha mpaka kiwango ambacho baada ya hapo akili haitakuwa na thamani tena. Akili ni nabii wa ndani na kwayo Mwenyezi Mungu anatoa thawabu na kuadhibu, kwayo tumemjua Mwenyezi Mungu 15

Muslim juz: 2 uk: 309, al-Bukhariy juz: 1 uk: 158 na juz: 2 uk: 163 23

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 23

6/13/2013 2:10:41 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

na tumetambua utukufu Wake na upweke wake, akili hii ni lazima iwe na sauti na lazima iwe na msimamo.16 Mtu kusuhubiana na Nabii ni wajibu wake kushikamana sana na adabu za usuhuba wa Mtume wa Mwenyezi Mungu na kulazimiana sana nazo na kumheshimu, kwani ndio taklifu katika upande wa utukufu. Na masahaba wenyewe hawakukhalifu rai hii na hawakuzingatia kuwa usuhuba wa Nabii kuwa ni utakaso na umaasumu, na kwa sababu hiyo tunawaona wanawakosoa baadhi yao na wanawapiga vita baadhi yao. Ni huyu hapa khalifa wa pili tunamkuta anamuuzulu Abu Huraira baada ya kumpa ugavana wa Bahrain na anamtuhumu kwa matumizi mabaya, na wakati mmoja alimpiga hadi akamtoa damu. Imekuja katika habari kwamba Khalifa wa pili alimpa ugavana wa Baharain mwaka 21Hijiria, pia imekuja kwamba ulipofika mwaka wa 23 akamuuzulu na akamtawalisha Uthmani bin Abi al-A’asi at-Thaqafiy.17 Na hakutosheka kwa kumuuzulu alimnyang’anya diriham 15,000 nakuzirudisha katika Baitul-Mali kwa madai kuwa ameziiba kutoka katika mali ya Mwenyezi Mungu katika kadhia ambayo ni mashuhuri. Na imekuja katika kitabu al-Uqudul-Fariyd, katika juzuu ya kwanza: “Khalifa wa pili alimwita AbuHuraira akamwambia: ‘Unajua kwamba mimi nilikupa ugavana Bahrain na wewe ukiwa huna hata kandambili, kisha imenifikia kwamba wewe l-Kaafiy juz: 1 uk: 10 hadith kutoka kwa Abu Jaafar (as) amesema: Mwenyezi A Mungu alipoiumba akili akaitamkisha kisha akaiambia: Njoo ikaja kisha akaiambia nenda ikaenda kisha akasema: Naapa kwa utukufu wangu sijaumba kiumbe kinachopendeza kwangu kuliko wewe na wala sijakukamilisha isipokuwa kwa ninayo yapenda, hakika kwa ajili yako ninaamrisha na kwa ajili yako ninakataza, kwa ajili yako nitaadhibu na kwa ajili yako nitalipa thawabu. 17 Usudul-Ghaabah, Ibnu al-Athiyr juz: 5 uk: 321 16

24

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 24

6/13/2013 2:10:41 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

umenunua farasi kwa dinari alfu moja na mia sita.’ Akasema: ‘Hiyo si juu yako.’ Akasema: ‘Wallahi ni kazi yangu, nitaupiga mgongo wako.’ Kisha akamsimamia na ngao akampiga nayo hadi akamtoa damu kisha akasema: ‘Ilete.’ Akasema: ‘Ihesabie kwa Mwenyezi Mungu.’ Akasema: ‘Hiyo ni ikiwa umeichukua kwa halali na umeipata hali ya kutii, umeenda Bahrain ili watu wakufanyie kazi wewe badala ya Mwenyezi Mungu na Waislam? Sikurejeshi kwa Umiymah (yaani kwa mama yake) ila kwenda kuchunga punda.”’18 Na alimwambia kama ilivyokuja katika Tabaqaati: “Ewe adui wa Mwenyezi Mungu na adui wa Kitabu Chake, umeiba mali ya Mwenyezi Mungu.”19 Na kuna mifano mingi kuhusu yaliyokuja katika Hadith kupitia kwa Abu Huraira yanayoshangaza wanadamu watafiti kutokana na mgongano wake na misingi ya Uislam, na kuelemea kwake katika upotofu. Hivyo mas’ala ya ukweli ni mas’ala ya msingi, ni wajibu tuyaweke katika sehemu nyeti sana, kwa sababu humo kuna hatima yetu duniani na Akhera. Hebu fikiri ndugu yangu Muislam, lau Qur’ani imechapishwa na humo kuna baadhi ya uongo au hata uongo mmoja tu au aya moja sio katika Qur’ani, na hilo likawa ni kosa, itatokea nini kama tutachapisha Qur’ani hii kwa mamilioni ya nakala? Bila shaka itaenea hofu kutokana na kosa hili na Waislam wote watataka kuteketeza nakala zote hizi hata kama zitakuwa mamilioni na kuvuka mabilioni, hiyo ni kwa kuhofia miymah: Ni Mama yake na Abu Huraira, na makusudio yake ni kwamba alU imshutumu. 19 Tabaqaatu al-Qisim thaaniy fiy tarjamatu Abiy Huraira Juz: 4 Uk: 90 18

25

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 25

6/13/2013 2:10:41 PM


Na kuna mifano mingi kuhusu yaliyokuja katika Hadith kupitia kwa Abu Huraira anayoshangaza wanadamu watafiti kutokana na mgongano wake na misingi ya Uislam, a kuelemea kwake katika upotofu. Hivyo mas’ala ya ukweli ni mas’ala ya msingi, ni wajibu tuyaweke katika sehemu nyeti sana,kwa sababu humo kuna hatima yetu duniani Abu Talib Jabali Imara la Imani a Akhera.

Hebu fikirindugu yanguuongo Muislam, lauau Qur’ani imechapishwa humoQur’akuna baadhi ya kuingia mmoja kukosea aya moja tunakatika ongo au hata ni uongo mmoja hapa tu au nauliza: aya mojaVipi sio katika Qur’ani, na hilo likawa tukufu.Na lau ikichapishwa tafsiri ya ni kosa, atokea nini kama tutachapisha Qur’ani hii kwa mamilioni ya nakala? Qur’ani hii ikiwa imejaa makosa na uongo na tukauchukulia uongo huu katika tafsiri kuwa ni katika mambo ya kawaida

Bila shaka itaenea na kosa hilitumetumbukia na Waislam wote watataka tu na hofukutokana ni sahihi, je hatutakuwa katika makosakuteketeza akala zote hizihata kama zitakuwa mamilioni na kuvuka mabilioni, hiyo ni kwa kuhofia yanayofanana na kupotosha Qur’ani? uingia uongo mmoja au kukosea aya moja tu katika Qur’ani tukufu.Na hapa nauliza: Na lau ikija kabisahiinaikiwa iliyoyataka Vipi lau ikichapishwa tafsirikinyume ya Qur’ani imejaaQur’ani makosaje haina uongo na takuwahuu kuchukua tafsirikuwa hii ninikuipiga vita Qur’ani na kumpiukauchukulia uongo katika tafsiri katika mambo ya kawaida tu na ni sahihi, ga vita Mwenyezi Mungu nayanayofanana Mtume Wakena ? kupotosha Qur’ani? e hatutakuwa tumetumbukia katika makosa Na lau ikija kinyume kabisa na iliyoyataka Qur’ani je haitakuwa kuchukua tafsiri hii ni Kwa mfano anasema Mwenyezi Mungu Mtukufu katika uipiga vita Qur’ani na kumpiga vita Mwenyezi Mungu na Mtume Wake ? Qur’ani tukufu:

Kwa mfano anasema Mwenyezi Mungu Mtukufu katika Qur’ani tukufu:

‫ﻨﻜﹸﻢ‬‫ﺮﹺ ﻣ‬‫ﻲ ﺍﻟﹾﺄﹶﻣ‬‫ﺃﹸﻭﻟ‬‫ﻮﻝﹶ ﻭ‬‫ﺳ‬‫ﻮﺍ ﺍﻟﺮ‬‫ﻴﻌ‬‫ﺃﹶﻃ‬‫ ﻭ‬‫ﻮﺍ ﺍﻟﻠﱠـﻪ‬‫ﻴﻌ‬‫ﻮﺍ ﺃﹶﻃ‬‫ﻨ‬‫ ﺁﻣ‬‫ﻳﻦ‬‫ﺎ ﺍﻟﱠﺬ‬‫ﻬ‬‫ﺎ ﺃﹶﻳ‬‫ﻳ‬

“Enyi mlioamini! Mtiini Mwenyezi MunguMtume na mtiini Enyi mlioamini!Mtiini Mwenyezi Mungu na mtiini na Mtume wenye mamlaka (Sura Nisaa: 59).mwa Waislam ni naNisaa: wenye59). mamlaka katika nyinyi.” atika nyinyi.” (Sura Kuwatii wenye mamlaka miongoni uwalinda wao kutotumbukia katika kuwatii waovu na madhalimu ambao wamewakandamiza Waislam kwamamlaka batili kama walivyofanya Bani Umayyah Kuwatii wenye miongoni mwa Waislam ni ku- na Bani Abbasi na wengineo, ili wanufaike katika utawala wao na dunia yao, kana kwamba damu walinda wao kutotumbukia katika kuwatii waovu na mada Nabii, AhlulBait ambao wake nawamewakandamiza masahaba wake imepotea waokama na watoto wao halimu Waislambure kwailibatili waneemeke kwa ufalme. walivyofanya Bani Umayyah na Bani Abbasi na wengineo, ili

wanufaike katika utawala wao na dunia yao, kana kwamba

Wakati aya hiidamu ilikuwa kingaAhlulkwa Waislam kuwatii madhalimu, ya ni Nabii, Bait wakekutotumbukia na masahabakatika wake imepotea nakuta wengibure wanaifasiri hii kwamba ni kumtii mtawala yeyote anayetawala, awe ili wao aya na watoto wao waneemeke kwa ufalme. halimu, fasiki na mwizi, ni kumtii tu. Hivyo hapa haitakuwa tu tumeshindwa kufahamu Wakati aya hii ilikuwa ni kinga Waislam kutotumbukia aki bali pia tutakuwa tumemsaidia dhalimu dhidikwa ya haki.

katika kuwatii madhalimu, unakuta wengi wanaifasiri aya hii kwamba ni kumtii mtawala awetafsiri dhali-ya Qur’ani, Hivyo ni wajibu wetu tutafute ukweli katikayeyote Hadith anayetawala, na ukweli katika mu, fasiki na mwizi, ni kumtii tu. Hivyo hapaMwenyezi haitakuwaMungu tu inginevyo tutakwenda kinyume na mwendo ambao ameutaka kwetu,

a tutakuwa tumeitumiaQur’ani kumpiga vita Mwenyezi Mungu na Mtume Wake, na Hadith itakuwa ni zana ya kuisaidia batili na26watu wake. Kwa mfano tu ni pale Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) alipomwambia Ammaar bin Yasir katika Hadith mutawatir: “ Ewe Ammaar litakuuwa kundi ovu.”1Ambapo Mtume wa Mwenyezi Mungu litaka kwa hilo kuwabainishia wale waliopotoka na kughafilika wakati wa6/13/2013 vita baina 02_Abu Talib_13_June_2013.indd 26 2:10:41 PMya


Abu Talib Jabali Imara la Imani

tumeshindwa kufahamu haki bali pia tutakuwa tumemsaidia dhalimu dhidi ya haki. Hivyo ni wajibu wetu tutafute ukweli katika Hadith na ukweli katika tafsiri ya Qur’ani, vinginevyo tutakwenda kinyume na mwendo ambao ameutaka Mwenyezi Mungu kwetu, na tutakuwa tumeitumia Qur’ani kumpiga vita Mwenyezi Mungu na Mtume Wake, na Hadith itakuwa ni zana ya kuisaidia batili na watu wake. Kwa mfano tu ni pale Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) alipomwambia Ammaar bin Yasir katika Hadith mutawatir: “ Ewe Ammaar litakuuwa kundi ovu.”20 Ambapo Mtume wa Mwenyezi Mungu alitaka kwa hilo kuwabainishia wale waliopotoka na kughafilika wakati wa vita baina ya Imam Ali na Muawiyah, kwamba haki iko pamoja na Imam Ali (as), hiyo ni kuachilia m ­ bali yale aliyoyabainisha Mtume wa Mwenyezi Mungu katika sehemu nyingi kwamba haki iko pamoja na Ali na Ali yuko pamoja na haki. Lakini kundi lilibaki likihitaji njia ndefu ya mwenye kuwaongoa, alipokufa shahidi Ammaar bin Yasir katika mikono ya jeshi la Muawiya, ikabainika kwa wengi kwamba kundi ovu ni jeshi la Muawiya, na kwa hiyo ukaondoka mkanganyiko kwa wengi waliokuwa pamoja na Muawiya na Amru bin alAsi, lakini Muawiya na Amru waliwaambia: “Hakika Hadith hii ni sahihi, lakini aliyemtoa Ammaar kuja kupigana ni Ali 20

Imekuja katika Kashiful-Yaqiyn uk: 234 kutoka kwa Abu Ayub al-Answaariy amesema: Nilimsikia Nabii (s.a.w.w.) anamwambia Ammaar bin Yaasir litakuuwa kundi ovu …., na ameipokea Muslim katika Sahih yake kutoka kwa Abi Jaruwa al- Maaziniy amesema: Nilimsikia Ali anamwambia Zuberi: Nakunasihi kwa ajili ya Mwenyezi Mungu je hujamsikia Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) anasema: Hakika wewe utanipiga vita hali ya kuwa wewe ni dhalimu, akasema. ni kweli, lakini mimi nimesahau kauli yake (s.a.w.w.) kwa Ammaar: “ litakuuwa kundi ovu.” 27

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 27

6/13/2013 2:10:41 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

bin Abu Talib, na kwa hiyo yeye na jeshi lake ndio kundi ovu!” Na kuna mifano mingi ambayo inazuliwa kwa ajili ya kuchezea tafsiri na maana, nayo inatengeneza fitina ambayo ni wajibu Muislam awe na tahadhari nayo, na njia pekee ya kunusurika ni maneno ya Mwenyezi Mungu Mtukufu:

‫ِين‬ َ ‫ﷲ َو ُكو ُنوا َم َع الصَّا ِدق‬ َ ‫َيا أَ ُّي َھا الَّذ‬ َ َّ ‫ِين آ َم ُنوا ا َّتقُوا‬ “Enyi mlioamini! Mcheni Mwenyezi Mungu na kuweni pamoja na wakweli.” (Sura Tawba: 119).

Ni wajibu wetu kutafiti juu ya ukweli na wakweli, hapa tunakuta neno analoashiria kwalo Imam Ali (as) katika maana hii kwa ibara ya “ndimi za kweli” ambayo imekuja katika Nahjul-Balaghah Juzuu ya 1, Uk: 155. Imam Ali (as) anasema: “Mnakwenda wapi na vipi mnadanganywa? Hoja zimeshasimama na dalili ziko wazi na alama zimesimikwa, wapi mnapelekwa bali vipi mnapotea na baina yenu kuna kizazi kitukufu na wao ndio kielelezo cha haki na wajuzi wa dini na ndimi za kweli, wawekeni katika nafasi nzuri ya Qur’ani na waendeeni mfano wa ngamia wenye kiu, enyi watu chukueni kutoka kwa Mwisho wa Manabii (as), hakika anakufa miongoni mwetu hali ya kuwa si maiti na anamalizika anayemalizika miongoni mwetu hali ya kuwa hajamalizika, hivyo msiseme msiyoyajua hakika mara nyingi haki iko katika mnayoyakataa.”21 21

Nahjul- Balaghah Uk: 120 28

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 28

6/13/2013 2:10:41 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

Tatizo ambalo lipo kwa baadhi ni kwamba wanajadili katika kila kitu “Lakini mtu amezidi kila kitu kwa ubishi.”22 Na anazungumza katika asiyoyajua “Je, nyinyi si ndio wale mnaojadiliana katika mlilolijua. Mbona (sasa)mnabishana katika msilolijua? Na Mwenyezi Mungu ndiye ajuaye, na nyinyi hamjui (kitu).”23 Na anaamini anayoyapenda na anapita ili kuiondolea nafsi yake taabu ya kutafiti na taabu ya kukabiliana na matatizo yanayotokana na utafiti na matokeo. Ajabu ya mwanadamu unamkuta anakata masafa katika nchi na anahamisha familia na watoto na anavumilia safari na ugeni miongoni mwa tabu inayompata,na matatizo yasiyohesabika yanawapata watoto kwa ajili ya kutafuta maisha, na pengine chakula chake kipo katika nchi yake, bali ni kwa ajili tu ya kuboresha maisha hayo na kuwa mazuri zaidi, basi naiwe hivyo, lakini ni lipi jambo muhimu zaidi? Je hawezi kuvumilia katika njia ya kutafuta chakula chake cha kiroho na hatima yake ya milele moja ya kumi ya taabu hii? Imekuja Hadith au kwa madhumuni yake: “Uliza katika dini yako au kuhusu dini yako hadi watu wakutuhumu (kwa wenda wazimu).”

22 23

Suratul Kahf: 54 Suratul Imran: 66 29

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 29

6/13/2013 2:10:41 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

Nyote ni wachungaji

W

atu wengi wako mbali na elimu ya kweli na hawana uwezo wa kuzama humo na wanaweza kutoa visingizio kwamba majukumu haya ni ya Maulamaa na wala hawalaumiwi bali Maulamaa ndio wanabeba madhambi yao. Kauli hii sio sahihi kabisa. “Nyote ni wachungaji na kila mmoja wenu ataulizwa juu ya uchungaji wake.” Na kwa mtu ambaye hajabobea na mchache wa elimu ya kidini kuna mambo mengi kama akitaka kufikia ukweli:1. Ni wajibu wake afuate Hadith na riwaya mutawatir ambazo Maulamaa wote wa Waislam wameafikiana na ambazo haiwezekani kuzikataa na ambazo ni katika mambo ya kawaida na hakuna mjadala humo – wa kuikimbia haki - na mifano ni mingi katika hilo na itakuja mingi katika sehemu zijazo. 2. Ni wajibu wake kuikubali haki vyovyote itakavyokuwa ngeni, kwani mwanadamu anazingatia kwamba aliyoyazoea ndio haki na isiyokuwa hiyo ni batili, kichekesho na ni kitu cha kudharauliwa. Mfano: Asiyekuwa Mwislam anaweza kuona jambo la kumpiga mawe shetani katika Hijja ni jambo la kipuuzi na kichekesho wakati ambapo kwa Mwislam ni jambo tukufu. Hapa nataja mfano unaofafanua maana hii. Aliniambia mmoja wa wasomi kati ya ninaowajua kwamba kuna Muislam alikuwa anaishi katika nchi za Kimagharibi katika maisha yake yote na ikatokea kwamba alikwen30

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 30

6/13/2013 2:10:41 PM


kufikia ukweli:1. Ni wajibu wake afuate Hadith na riwaya mutawatir ambazo Maulamaa wote wa Waislam wameafikiana na ambazo haiwezekani kuzikataa na ambazo ni katika mambo Abu humo Talib Jabali Imara la haki Imani ya kawaida na hakuna mjadala – wa kuikimbia - na mifano ni mingi katika hilo na itakuja mingi katika sehemu zijazo.

da kuikubali Hijja, na haki katika kikundiitakavyokuwa hiki alikuwepo huyu msi2. Ni wajibu wake vyovyote ngeni,kwani mwanadamu muliaji, lakini baada ya masiku tangu kuanza kwa ibaanazingatia kwamba aliyoyazoea ndio haki na isiyokuwa hiyo ni batili, kichekesho na ni da za Hijja alianza kukereka naanaweza hakuvutiwa ibada kitu cha kuadharauliwa.Mfano:Asiyekuwa Mwislam kuonana jambo la kumpiga hizi.Akasema: “Yaani mimi nimeacha biashara zangu mawe shetani katika Hijja ni jambo la kipuuzi na kichekesho wakati ambapo kwa Mwislam ni jambona tukufu. Hapa nataja mfano hii.tu.” Aliniambia kazi zangu kwa ajili yaunaofafanua kuja kutupamaana mawe Hapo mmoja wa wasomi kati yaakaamua ninaowajua kwamba kuna Muislam alikuwa anaishi katika nchi za kusitisha Hijja na akaamua kurejea katika Kimagharibi katikanchi maisha yake yote na ikatokea alikwenda Hijja, na katika yake. Wakati ambapo ni kwamba wajibu juu ya Muislam kikundi hiki alikuwepo huyu msimuliaji, lakini baada ya masiku tangu kuanza anapoamini utume wa Muhammad (s.a.w.w.) kuaminikwa ibada za Hijja alianzakukereka na hakuvutiwa na ibada hizi.Akasema: “Yaani mimi nimeacha yote aliyokuja nayo, hata kama atayaona kwa mara ya biashara zangu na kazi zangu kwa ajili ya kuja kutupa mawe tu.” Hapo akaamua kusitisha kwanza kuwa sio sahihi, kwani hiyo ni kwa sababu ya Hijja na akaamua kurejea katika nchi yake.Wakati ambapo ni wajibu juu ya Muislam wake anapoamini utumeujahili wa Muhammad (s.a.w.w.) kuamini yote aliyokuja nayo, hata kama atayaona kwa mara ya kwanza kuwa sio sahihi, kwani hiyo ni kwa sababu ya ujahili wake

‫ﻢ‬‫ﺮﹺﻫ‬‫ ﺃﹶﻣ‬‫ﻦ‬‫ﺓﹸ ﻣ‬‫ﺮ‬‫ﻴ‬‫ ﺍﻟﹾﺨ‬‫ﻢ‬‫ﻜﹸﻮﻥﹶ ﹶﻟﻬ‬‫ﺍ ﺃﹶﻥ ﻳ‬‫ﺮ‬‫ ﺃﹶﻣ‬‫ﻮﻟﹸﻪ‬‫ﺳ‬‫ﺭ‬‫ ﻭ‬‫ﻰ ﺍﻟﻠﱠـﻪ‬‫ﺔ ﺇﹺﺫﹶﺍ ﻗﹶﻀ‬ ‫ﻨ‬‫ﻣ‬ ‫ﺆ‬‫ﻟﹶﺎ ﻣ‬‫ﻣ ﹴﻦ ﻭ‬ ‫ﺆ‬‫ﻟﻤ‬ ‫ﺎ ﻛﹶﺎﻥﹶ‬‫ﻣ‬‫ﻭ‬ “Haiwi kwa muumini mwanamume wala muumini mwanamke, Mwenyezi Mungu na Mtume Wake wanapoamua jambo, kuwa na hiyari jambo lao.” (Surat al“Haiwi kwa muumini mwanamume wala katika muumini mwanAhzab: 36). amke, Mwenyezi Mungu na Mtume Wake wanapoamua jambo, kuwa na hiyari katika jambo lao.” (Surat al-Ahzab: 36).

3.Kuwa na niya safi, na kuelekea kwa imani yake kwa Mwenyezi Mungu Mtukufuili 3. Kuwa na niya safi, na kuelekea kwa imani yake kwa amuonyeshe haki na aifuate, na amuonyeshe batili na aiche vyovyote yatakavyokuwa Mwenyezi Mungu Mtukufu ili amuonyeshe haki na matokeo yake.Na kuwa mkweli pamoja na nafsi yako, kaa faragha na Mwenyezi Mungu aifuate, na amuonyeshe batili na najitume aichekatika vyovyote ya-yako. na zungumza pamoja naye, muombe, tawasali kwake maombi takavyokuwa matokeo yake. Na kuwa mkweli pamoja na nafsi yako, kaa faragha na Mwenyezi Mungu 4. Fanya bidii katika kutafuta ukweli bila kudhihirisha yaliyopo katikananafsi yako zungumzaMungu.Jitahidi pamoja naye,katika muombe, tawasali isipokuwa kwa Mwenyezi kutafiti juu yakwake ukweli,naMwenyezi Mungu anasema: jitume katika maombi yako.

‫ﺎ‬‫ﻠﹶﻨ‬‫ﺒ‬‫ ﺳ‬‫ﻢ‬‫ﻬ‬‫ﻳﻨ‬kutafuta ‫ﺪ‬ ‫ﻨﻬ‬‫ﺎ ﹶﻟ‬‫ﻴﻨ‬‫ﻭﺍ ﻓ‬‫ﺪ‬‫ﻫ‬ukweli ‫ﺎ‬‫ ﺟ‬‫ﻳﻦ‬‫ﺍﻟﱠﺬ‬‫ ﻭ‬bila kudhihirisha 4. Fanya bidiiۚ◌ katika yaliyopo katika nafsi yako isipokuwa kwa Mwenyezi “Na wale wanaofanya juhudikwa Yetu,hakika kwenye Mungu. Jitahidiajili katika kutafiti tutawaongoza juu ya ukweli, Mwe-njia zetu.” (Sura Ankabut: 69). nyezi Mungu anasema: 31

20 02_Abu Talib_13_June_2013.indd 31

6/13/2013 2:10:42 PM


3.Kuwa na niya safi, na kuelekea kwa imani yake kwa Mwenyezi Mungu Mtukufuili amuonyeshe haki na aifuate, na amuonyeshe batili na aiche vyovyote yatakavyokuwa matokeo yake.Na kuwa mkweli pamoja na nafsi yako, kaa faragha na Mwenyezi Mungu na zungumza pamoja naye, muombe, tawasali kwake na jitume katika maombi yako. Abu Talib Jabali Imara la Imani

4. Fanya bidii katika kutafuta ukweli bila kudhihirisha yaliyopo katika nafsi yako isipokuwa kwa Mwenyezi Mungu.Jitahidi katika kutafiti juu ya ukweli, Mwenyezi

ۚ ‫ﺎ‬‫ﻠﹶﻨ‬‫ﺒ‬‫ ﺳ‬‫ﻢ‬‫ﻬ‬‫ﻳﻨ‬‫ﺪ‬ ‫ﻨﻬ‬‫ﺎ ﹶﻟ‬‫ﻴﻨ‬‫ﻭﺍ ﻓ‬‫ﺪ‬‫ﺎﻫ‬‫ ﺟ‬‫ﻳﻦ‬‫ﺍﻟﱠﺬ‬‫ﻭ‬ “Na wale wanaofanya juhudikwa ajili Yetu,hakika tutawaongoza kwenye njia zetu.” “Na wale wanaofanya juhudi kwa ajili Yetu, hakika (Sura Ankabut:­tutawaongoza 69). kwenye njia zetu.” (Sura Ankabut: 69).

Na utapata mwanga katika giza totoro kwa sababu mwanga kwa tabia yake ni wenye kuangaza na unaonekana kwa ura20 Na utapata mwanga giza totoro kwa sababu mwanga kwa tabia yake ni wenye hisi kwakatika kila anayeutafuta, na haki imeshakuja iko wazi: kuangaza na unaonekana kwa urahisi kwa kila anayeutafuta, na haki imeshakuja iko wazi:

ّ‫ﻲﹺ‬‫ ﺍﻟﹾﻐ‬‫ﻦ‬‫ ﻣ‬‫ﺪ‬‫ﺷ‬‫ ﺍﻟﺮ‬‫ﻦ‬‫ﻴ‬‫ﺒ‬‫ﻗﹶﺪ ﺗ‬

“Uongofu umekwisha pambanuka naupotovu.” (Sura al-Baqarah: 256). “Uongofu umekwisha pambanuka na upotovu.”

(Sura unaweza al-Baqarah: kutaabika, 256). 5. Ukiipata nuru na ukataka kujiangazia vumilia yanayotokea kwako kama alivyovumilia Abu Dharr na kama alivyovumilia Ammar, lakini tazama hatima na pima kwa nafsi yako, pima linafaakujiangazia au laa. Na unaweza jua kwamba mambosio mepesi 5. Ukiipata nurujambo na ukataka kutaabika, kwani ni jihadi ya nafsi na lawama kwa wenye kulaumu, ni ngumu na ni tabu isipokuwa vumilia yanayotokea kwako kama alivyovumilia Abu Dharr kwa kundi la na waumini ambalo Mwenyezi Mungu ameangazia nyoyo zao kwa imani: kama alivyovumilia Ammar, lakini tazama hatima na pima kwa nafsi yako, pima jambo linafaa au laa. Na jua kwamba ‫ﻠﹶﻰ‬‫ ﻋ‬‫ﺓ‬‫ﺰ‬‫ﲔ ﺃﹶﻋ‬  ‫ﻣﹺﻨ‬ ‫ﺆ‬‫ﻟﹾﻤ‬mambo ‫ﻠﹶﻰ ﺍ‬‫ﺔ ﻋ‬ ‫ﺫﻟﱠ‬ ‫ ﹶﺃ‬‫ﻪ‬sio ‫ﻮﻧ‬‫ﺒ‬‫ﺤ‬mepesi ‫ﻳ‬‫ ﻭ‬‫ﻢ‬‫ﻬ‬‫ﺤﺒ‬  ‫ﻡﹴ ﻳ‬kwani ‫ ﺑﹺﻘﹶﻮ‬‫ﺍﻟﻠﱠـﻪ‬ni‫ﻲ‬‫ﺗ‬jihadi ‫ﺄﹾ‬‫ ﻳ‬‫ﻑ‬‫ﻮ‬‫ﻓﹶﺴ‬ya‫ﻳﻨﹺﻪ‬‫ﺩ‬nafsi ‫ﻦ‬‫ ﻋ‬‫ﻜﹸﻢ‬na ‫ﻨ‬‫ ﻣ‬‫ﺪ‬lawama ‫ﺗ‬‫ﺮ‬‫ﻦ ﻳ‬‫ﻮﺍ ﻣ‬‫ﻨ‬‫ﻣ‬kwa ‫ ﺁ‬‫ﻳﻦ‬‫ﺎ ﺍﻟﱠﺬ‬‫ﻬ‬‫ﺎ ﺃﹶﻳ‬‫ﻳ‬ ‫ ﹴﻢ‬‫ﺔﹶ ﻟﹶﺎﺋ‬‫ﻣ‬‫ﺎﻓﹸﻮﻥﹶ ﻟﹶﻮ‬‫ﺨ‬‫ ﻳ‬wenye ‫ﻟﹶﺎ‬‫ ﻭ‬‫ ﺍﻟﻠﱠـﻪ‬kulaumu, ‫ﺒﹺﻴﻞﹺ‬‫ﻲ ﺳ‬‫ﻭ ﹶﻥ ﻓ‬‫ﺪ‬‫ﻫ‬ni‫ﺎ‬‫ﺠ‬ngumu ‫ ﻳ‬‫ﺮﹺﻳﻦ‬‫ ﺍﻟﹾﻜﹶﺎﻓ‬na ni tabu isipokuwa kwa kundi la waumini ambalo Mwenyezi Mungu ameangazia nyoyo zao kwa imani: “Enyi mlioamini!Atakayeritadi dini yake miongoni mwenu, basi Mwenyezi Mungu atawaleta watu anaowapenda nao wanampenda, wanyenyekevu kwa waumini,wenye wenye jihadi njia ya ‫ﺓ‬‫ﺰ‬‫ﲔ ﺃﹶﻋ‬  nguvu ‫ﻣﹺﻨ‬ ‫ﺆ‬‫ﻠﹶﻰ ﺍﻟﹾﻤ‬‫ﺔ ﻋ‬ ‫ﻟﱠ‬juu ‫ﺫ‬ ‫ ﹶﺃ‬‫ﻪ‬‫ﻮﻧ‬‫ﺒ‬‫ﺤ‬‫ﻳ‬ya ‫ ﻭ‬‫ﻢ‬‫ﻬ‬‫ﺤﺒ‬ makafiri, ‫ﻡﹴ ﻳ‬‫ ﺑﹺﻘﹶﻮ‬‫ﻲ ﺍﻟﻠﱠـﻪ‬‫ﺄﹾﺗ‬‫ ﻳ‬‫ﻑ‬ ‫ﻮ‬‫ ﻓﹶﺴ‬‫ﻳﻨﹺﻪ‬‫ﻦ ﺩ‬‫ﻋ‬kufanya ‫ﻨﻜﹸﻢ‬‫ ﻣ‬‫ﺪ‬‫ﺗ‬‫ﺮ‬‫ﻦ ﻳ‬‫ﻮﺍ ﻣ‬ ‫ﻨ‬‫ ﺁﻣ‬‫ﻳﻦ‬‫ﺎ ﺍﻟﱠﺬ‬‫ﻬ‬‫ﻳ‬katika ‫ﺎ ﺃﹶ‬‫ﻳ‬ Mwenyezi Mungu, wala hawaogopi lawama ya anayelaumu.” (Sura Maida: 54). ‫ﻢﹴ‬‫ﺔﹶ ﻟﹶﺎﺋ‬‫ﻣ‬‫ﺎﻓﹸﻮﻥﹶ ﻟﹶﻮ‬‫ﺨ‬‫ﻟﹶﺎ ﻳ‬‫ ﻭ‬‫ﺒﹺﻴﻞﹺ ﺍﻟﻠﱠـﻪ‬‫ﻲ ﺳ‬‫ﻭ ﹶﻥ ﻓ‬‫ﺪ‬‫ﺎﻫ‬‫ﺠ‬‫ ﻳ‬‫ﺮﹺﻳﻦ‬‫ﻠﹶﻰ ﺍﻟﹾﻜﹶﺎﻓ‬‫ﻋ‬ Na kama si makali ya uchungu wa kinafsi ambao unasababishwa na lawama kuwa na athari, basi Mwenyezi Mungu asingeitaja lawama katika aya hii na kuwasifu waumini ambao hawaiogopi. Hivyo kama waogopa lawama basi jua kwamba wewe bado ungali 32 unahitaji imani zaidi:

‫ﻲ ﻗﹸﻠﹸﻮﺑﹺﻜﹸﻢ‬‫ﺎﻥﹸ ﻓ‬‫ ﹺﻞ ﺍﻟﹾﺈﹺﳝ‬‫ﺧ‬‫ﻳﺪ‬ ‫ﺎ‬‫ﻟﹶﻤ‬‫ﺎ ﻭ‬‫ﻨ‬‫ﻠﹶﻤ‬‫ﻦ ﻗﹸﻮﻟﹸﻮﺍ ﺃﹶﺳ‬‫ـﻜ‬ ٰ ‫ﻟﹶ‬‫ﻮﺍ ﻭ‬‫ﻣﻨ‬ ‫ﺆ‬‫ ﺗ‬‫ﺎ ◌ۖ ﻗﹸﻞ ﻟﱠﻢ‬‫ﻨ‬‫ ﺁﻣ‬‫ﺍﺏ‬‫ﺮ‬‫ ﺍﻟﹾﺄﹶﻋ‬‫ﻗﹶﺎﻟﹶﺖ‬ 02_Abu Talib_13_June_2013.indd 32

6/13/2013 2:10:42 PM


Na utapata mwanga katika giza totoro kwa sababu mwanga kwa tabia yake ni wenye kuangaza na unaonekana kwa urahisi kwa kila anayeutafuta, na haki imeshakuja iko wazi:

ّ‫ﻲﹺ‬‫ ﺍﻟﹾﻐ‬‫ﻦ‬‫ ﻣ‬‫ﺪ‬‫ﺷ‬‫ ﺍﻟﺮ‬‫ﻦ‬‫ﻴ‬‫ﺒ‬‫ﻗﹶﺪ ﺗ‬

Abu Talib Jabali Imara la Imani

“Uongofu umekwisha pambanuka naupotovu.” (Sura al-Baqarah: 256). 5. Ukiipata nuru na ukataka kujiangazia unaweza kutaabika, vumilia yanayotokea kwako “Enyi mlioamini! Atakayeritadi dini yake miongoni mwenu, kama alivyovumilia Abu Dharr na kama alivyovumilia Ammar, lakini tazama hatima na basi Mwenyezi atawaleta nao wapima kwa nafsi yako, Mungu pima jambo linafaa au watu laa. Naanaowapenda jua kwamba mambosio mepesi kwani ni jihadi ya nafsi na lawama kwa wenye kulaumu, ni ngumu na ni tabu isipokuwa nampenda, wanyenyekevu kwa waumini, wenye nguvu juu kwaya kundi la wauminiwenye ambalo Mwenyezi ameangazia nyoyoya zao Mwenyezi kwa imani: makafiri, kufanyaMungu jihadi katika njia

Mungu, wala hawaogopi lawama ya anayelaumu.” ‫ﻠﹶﻰ‬‫ ﻋ‬‫ﺓ‬‫ﺰ‬‫ﲔ ﺃﹶﻋ‬  ‫ﻣﹺﻨ‬ ‫ﺆ‬‫ﻠﹶﻰ ﺍﻟﹾﻤ‬‫ﺔ ﻋ‬ ‫ﺫﻟﱠ‬ ‫ ﹶﺃ‬‫ﻪ‬‫ﻮﻧ‬‫ﺒ‬‫ﺤ‬‫ﻳ‬‫ ﻭ‬‫ﻢ‬‫ﻬ‬‫ﺤﺒ‬  ‫ﻡﹴ ﻳ‬‫(ﻮ‬Sura ‫ ﺑﹺﻘﹶ‬‫ﺍﻟﻠﱠـﻪ‬Maida: ‫ﻲ‬‫ﺄﹾﺗ‬‫ ﻳ‬‫ﻑ‬‫ﻮ‬54). ‫ ﻓﹶﺴ‬‫ﻳﻨﹺﻪ‬‫ﻦ ﺩ‬‫ ﻋ‬‫ﻨﻜﹸﻢ‬‫ ﻣ‬‫ﺪ‬‫ﺗ‬‫ﺮ‬‫ﻦ ﻳ‬‫ﻮﺍ ﻣ‬‫ﻨ‬‫ ﺁﻣ‬‫ﻳﻦ‬‫ﺎ ﺍﻟﱠﺬ‬‫ﻬ‬‫ﺎ ﺃﹶﻳ‬‫ﻳ‬ ‫ﻢﹴ‬‫ﺔﹶ ﻟﹶﺎﺋ‬‫ﻣ‬‫ﺎﻓﹸﻮﻥﹶ ﻟﹶﻮ‬‫ﺨ‬‫ﻟﹶﺎ ﻳ‬‫ ﻭ‬‫ﺒﹺﻴﻞﹺ ﺍﻟﻠﱠـﻪ‬‫ﻲ ﺳ‬‫ﻭ ﹶﻥ ﻓ‬‫ﺪ‬‫ﺎﻫ‬‫ﺠ‬‫ ﻳ‬‫ﺮﹺﻳﻦ‬‫ﺍﻟﹾﻜﹶﺎﻓ‬

Na kama si makali ya uchungu wa kinafsi ambao unasa-

“Enyi mlioamini!Atakayeritadi dini yake miongoni mwenu, basi Mwenyezi Mungu babishwa na lawama kuwanao na athari, basi Mwenyezi Munatawaleta watu anaowapenda wanampenda, wanyenyekevu kwa waumini,wenye nguvu juu ya katika makafiri,aya wenye jihadi katika njia ya gu asingeitaja lawama hii kufanya na kuwasifu waumini Mwenyezi wala hawaogopi lawama ya anayelaumu.” (Sura Maida: ambaoMungu, hawaiogopi. Hivyo kama waogopa lawama basi54).jua Na kama si makali ya uchungu wa kinafsi ambao unasababishwa na lawama kuwa na kwamba wewe Mungu bado ungali unahitaji imani athari, basi Mwenyezi asingeitaja lawama katika aya zaidi: hii na kuwasifu waumini ambao hawaiogopi. Hivyo kama waogopa lawama basi jua kwamba wewe bado ungali unahitaji imani zaidi:

‫ﻲ ﻗﹸﻠﹸﻮﺑﹺﻜﹸﻢ‬‫ﺎﻥﹸ ﻓ‬‫ ﹺﻞ ﺍﻟﹾﺈﹺﳝ‬‫ﺧ‬‫ﻳﺪ‬ ‫ﺎ‬‫ﻟﹶﻤ‬‫ﺎ ﻭ‬‫ﻨ‬‫ﻠﹶﻤ‬‫ﻦ ﻗﹸﻮﻟﹸﻮﺍ ﺃﹶﺳ‬‫ـﻜ‬ ٰ ‫ﻟﹶ‬‫ﻮﺍ ﻭ‬‫ﻣﻨ‬ ‫ﺆ‬‫ ﺗ‬‫ﺎ ◌ۖ ﻗﹸﻞ ﻟﱠﻢ‬‫ﻨ‬‫ ﺁﻣ‬‫ﺍﺏ‬‫ﺮ‬‫ ﺍﻟﹾﺄﹶﻋ‬‫ﻗﹶﺎﻟﹶﺖ‬ “Mabedui walisema:Tumeamini.Sema:Hamjaamini, lakini “Mabedui walisema: Tumeamini. Sema: lakini semeni:Tumesilimu,kwani imani haijaingia katika nyoyoHamjaamini, zenu.” (Sura Hujurat: 14).

semeni: Tumesilimu, kwani imani haijaingia katika nyoyo

Hizi ni baadhi ya hatua kwa zenu.” mwenye (Sura kutakaHujurat: kutafiti 14) juu.ya uhakika na ukweli ambao Mwenyezi Mungu ametaka utufikie, na mwanadamu anaweza kukanganyikiwa katika kupambana na mgongano uliopo katika medani ya Ulimwengu wa Kiislam, kama Hizi baadhi ya hatua yaAli maneno hayaniyatasihi. Lakini ni lazimakwa kwa mwenye mwanadamukutaka kutafuta kutafiti ukombozi.juu Imam (as) anasema:na “Watu wakoambao aina tatu: Mwanachuoni mchamungu.Mwenye kujifunza uhakika ukweli Mwenyezi Mungu ametaka utufikie, katika njia ya ukombozi.Na kundi la wapumbavu wanaoelemea pamoja na bendera fuata na mwanadamu anaweza kukanganyikiwa katika kupambana upepo.” Hivyo chagua lolote kati ya haya mawili unalolitaka uwe, kama hautakuwa na mgongano uliopo katika ya Ulimwengu wa Kiislam, katika kundi la kwanza basi usiwe katikamedani kundi la mwisho.

kama maneno haya yatasihi. Lakini ni lazima kwa mwanadamu kutafuta ukombozi. Imam Ali (as) anasema: “Watu wako aina tatu:riwaya Mwanachuoni mchamungu. Mwenye katika njia Katika maarufu katika pande zote za Waislamkujifunza inasema: “Ummah wangu utagawanyika katika makundi sabini na tatu, yote yataingia motoni ila kundi moja tu.”1 ya ukombozi. Na kundi la wapumbavu wanaoelemea pamoja na Na Hadithi hii inahitaji kutafakari na kudadisi sana ili tuweze kunufaika. bendera fuata upepo.” Hivyo chagua lolote kati ya haya mawili unalolitaka uwe, kama hautakuwa katika kundi la kwanza basi usiwe kundi mwisho. Kutoka kwa Alikatika (as) amesema. Amesema la Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.): “Ummah wangu utagawanyika makundi sabini na Kutafuta ukweli na kuubaini uhakika:

1

tatu, kundi moja tu ndio litakalofaulu na yaliyobaki yataangamia, na wenye kufaulu ni wale wenye kushikamana na uongozi wenu na wanafuata vitendo vyenu na wala hawafanyi kwa rai yao, hao hakuna njia nyingine juu yao.” Wasailus-Shiah: Juz. 27 Uk. 50.

21

33

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 33

6/13/2013 2:10:42 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

Kutafuta ukweli na kuubaini uhakika Katika riwaya maarufu katika pande zote za Waislam inasema: “Ummah wangu utagawanyika katika makundi sabini na tatu, yote yataingia motoni ila kundi moja tu.”24 Na Hadithi hii inahitaji kutafakari na kudadisi sana ili tuweze kunufaika. Kwanza: Hadithi hii yashangaza, yashangaza kwa mshangazo wa mwanadamu ambaye anaona haki kisha anakwenda huku na huko hadi anakuwa katika makundi sabini na tatu, yoteHadithi yameacha njia yayashangaza haki na kwa yanataka batili, isipokuwa ambaye Kwanza: hii yashangaza, mshangazo wa mwanadamu kundi mojaanakwenda tu. Kwa nini? anaona haki kisha huku na huko hadi anakuwa katika makundi sabini na tatu, yote yameacha njia ya haki na yanataka batili, isipokuwa tu.Kwa Je, kwa kiasi hiki haki haijulikani? Kwakundi kiasimoja hiki, dini nini? hii, Nabii huyu na Mungu huyu Mtukufu, wanawaacha watu waJe, kwa kiasi hiki haki haijulikani? Kwa kiasi hiki, dini hii, Nabii huyu na Mungu huyu nakwenda Jahannam? Mtukufu, wanawaacha watu wanakwenda Jahannam?

‫ﻮﻟﹰﺎ‬‫ﺳ‬‫ﺚﹶ ﺭ‬‫ﻌ‬‫ﺒ‬‫ ٰﻰ ﻧ‬‫ﺘ‬‫ ﺣ‬‫ّﺑﹺﲔ‬‫ﺬ‬‫ﻌ‬‫ﺎ ﻣ‬‫ﺎ ﹸﻛﻨ‬‫ﻣ‬‫ﻭ‬ “Wala sisi hatuadhibu tupelekempaka Mtume.”tupeleke (Sura BaniMtume.” Israil: 15). “Wala sisimpaka hatuadhibu (Sura Bani Israil: 15). Kwa kiasi hiki dini haifahamiki, hapana, hapana abadani, Mwenyezi Mungu anasema: 1 Kwa kiasi hiki dini haifahamiki, hapana abadani, “Uongofu umekwisha pambanuka na upotofu.”hapana,

Mwenyezi Mungu anasema: “Uongofu umekwisha pam-

Hivyo kwa ninina makundi sabini25na tatu yanamwamini Mwenyezi Mungu, yanaswali, banuka upotofu.” yanahiji na yanafanya kazi bure, makundi sabini na mbili yamesoma na yamejitahidi Hivyo kwa nini makundi sabininana tatu yanamwamini katika njia ya Mwenyezi Mungu, wamejitahidi wamefanya wajibu huu, wameacha haramu na wamevumilia katika hayo adha na taabu na baada ya hapo kazi wanakwenda Mwenyezi Mungu, yanaswali, yanahiji na yanafanya motoni! 24

Kutoka kwa Ali (as) amesema. Amesema Mtume wa Mwenyezi Mungu

wangu utagawanyika makundi sabini na tatu, kundi mojaMwenyezi tu Hivyo (s.a.w.w.): ni lazima“Ummah tujue kwamba aliyezembea ni mwanadamu.Lakini vipi? ndio litakalofaulu na yaliyobaki yataangamia, na wenye kufaulu ni wale wenye Mungu Mtukufu anasema: kushikamana na uongozi wenu na wanafuata vitendo vyenu na wala hawafanyi kwa rai yao, hao hakuna njia nyingine juu yao.” Wasailus-Shiah: Juz. 27 Uk. 50. 25  ‫ﻮﺍ ﺃﹶﻧﻔﹸ‬‫ﻦ ﻛﹶﺎﻧ‬‫ـﻜ‬ ٰ ‫ﻟﹶ‬‫ ﻭ‬‫ﻢ‬‫ﺎﻫ‬‫ﻨ‬‫ﺎ ﻇﹶﻠﹶﻤ‬‫ﻣ‬‫ﻭ‬ Suratul Baqarah: 256 ‫ﻮﻥﹶ‬‫ﻤ‬‫ﻈﹾﻠ‬‫ ﻳ‬‫ﻢ‬‫ﺴﻬ‬

34 “Na hatukuwadhulumu, lakini walijidhulumu wenyewe.” (Sura Nahl: 118). Hivyo ni lazima tujue kwamba Mwenyezi Mungu anataka utii kwa mwanadamu.

Huyu hapa Ibilis, amemwabudu Mwenyezi Mungu miaka elfu moja, na matokeo ya juhudi zakeakaenda motoni, kwa sababu alitaka ibada yake iwe kama anavyotaka yeyePM 6/13/2013 2:10:42

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 34


‫ﻮﻟﹰﺎ‬‫ﺳ‬‫ﺭ‬na‫ﺚﹶ‬huko ‫ﻌ‬‫ﺒ‬‫ ٰﻰ ﻧ‬‫ﺘ‬‫ﺣ‬hadi ‫ّﺑﹺﲔ‬‫ﺬ‬anakuwa ‫ﻌ‬‫ﺎ ﻣ‬‫ﺎ ﹸﻛﻨ‬‫ﻣ‬‫ ﻭ‬katika makundi sabini na tatu, anaona haki kisha anakwenda huku yote yameacha njia ya haki na yanataka batili, isipokuwa kundi moja tu.Kwa nini? “Wala sisi hatuadhibu mpaka tupeleke Mtume.” (Sura Bani Israil: 15). Je, kwa kiasi hiki haki haijulikani? Kwa kiasi hiki, dini hii, Nabii huyu na Mungu huyu Mtukufu, wanawaacha watu wanakwenda Jahannam? Abu Talib Jabali Imaraabadani, la ImaniMwenyezi Mungu anasema: Kwa kiasi hiki dini haifahamiki, hapana, hapana 1 “Uongofu umekwisha pambanuka na upotofu.”

‫ﻮﻟﹰﺎ‬‫ﺳ‬‫ﺚﹶ ﺭ‬‫ﻌ‬‫ﺒ‬‫ ٰﻰ ﻧ‬‫ﺘ‬‫ ﺣ‬‫ّﺑﹺﲔ‬‫ﺬ‬‫ﻌ‬‫ﺎ ﻣ‬‫ﺎ ﹸﻛﻨ‬‫ﻣ‬‫ﻭ‬

bure, sabininanatatu mbili yamesoma na yamejitahiHivyo kwa nini makundi makundi sabini yanamwamini Mwenyezi Mungu, yanaswali, di katika njia ya Mwenyezi Mungu, wamejitahidi nanawa“Wala sisi hatuadhibu mpaka tupeleke Mtume.” (Sura Bani Israil: 15). yanahiji na yanafanya kazi bure, makundi sabini na mbili yamesoma yamejitahidi mefanya wajibu huu, wameacha haramu na wamevumilia katika njia ya Mwenyezi Mungu, wamejitahidi na wamefanya wajibu huu, wameacha Kwa kiasi hiki dini haifahamiki, hapana, hapana abadani, Mwenyezi Munguwanakwenda anasema: katika hayo adha na hayo taabu na baada ya na hapo wanakwenda haramu na wamevumilia katika adha na taabu baada ya hapo 1 “Uongofu umekwisha pambanuka na upotofu.” motoni! motoni! Hivyonikwa nini tujue makundi sabini na tatu yanamwamini Mwenyezi Mungu, Hivyo ni lazima tujue kwamba aliyezembea ni mwanadaHivyo lazima kwamba aliyezembea ni mwanadamu.Lakini vipi?yanaswali, Mwenyezi yanahiji na yanafanya kazi bure, makundi sabini na mbili yamesoma na yamejitahidi mu.Lakini vipi? Mwenyezi Mungu Mtukufu anasema: Mungu Mtukufu anasema: katika njia ya Mwenyezi Mungu, wamejitahidi na wamefanya wajibu huu, wameacha haramu na wamevumilia katika hayo adha na taabu na baada ya hapo wanakwenda ‫ﻮﻥﹶ‬‫ﻤ‬‫ﻈﹾﻠ‬‫ ﻳ‬‫ﻢ‬‫ﺴﻬ‬  ‫ﻮﺍ ﺃﹶﻧﻔﹸ‬‫ﻦ ﻛﹶﺎﻧ‬‫ـﻜ‬ ٰ ‫ﻟﹶ‬‫ ﻭ‬‫ﻢ‬‫ﺎﻫ‬‫ﻨ‬‫ﺎ ﻇﹶﻠﹶﻤ‬‫ﻣ‬‫ﻭ‬ motoni! Hivyo ni lazima tujue kwamba aliyezembea niwenyewe.” mwanadamu.Lakini vipi? Mwenyezi “Na hatukuwadhulumu, lakini walijidhulumu (Sura Nahl: 118). Hivyo ni “Na hatukuwadhulumu, lakini walijidhulumu weMungu Mtukufu anasema: lazima tujue kwamba Mwenyezi Mungu anataka utii kwa mwanadamu. nyewe.” (Sura Nahl: 118). Hivyo ni lazima tujue kwamba Mwenyezi Mungu anataka utii kwa mwanadamu. ‫ﻮﻥﹶ‬‫ﻤ‬‫ﻈﹾﻠ‬‫ ﻳ‬Mwenyezi ‫ﻢ‬‫ﺴﻬ‬  ‫ﻮﺍ ﺃﹶﻧﻔﹸ‬‫ﻦ ﻛﹶﺎﻧ‬‫ﻜ‬Mungu ‫ـ‬ ٰ ‫ﻟﹶ‬‫ ﻭ‬‫ﻢ‬‫ﺎﻫ‬‫ﻨ‬‫ﻤ‬miaka ‫ﺎ ﻇﹶﻠﹶ‬‫ﻣ‬‫ ﻭ‬elfu moja, na matokeo ya Huyu hapa Ibilis, amemwabudu juhudi zakeakaenda motoni, kwa sababu alitaka ibada yake iwe kama miaka anavyotaka yeye Huyu hapa Ibilis, amemwabudu Mwenyezi Mungu pale kwa kutomsujudia Adam; nimsujudie “Na alipompinga hatukuwadhulumu, lakiniMungu walijidhulumu wenyewe.” (Sura Nahl:“Je, 118). Hivyo ni elfu moja,Mwenyezi na matokeo ya juhudi zake akaenda motoni, kwa 2 Sio haki kwa kiumbe kumpinga Mwenyezi uliyemuumba kwa udongo.” lazima tujue kwamba Mwenyezi Mungu anataka utii kwa mwanadamu. sababu alitaka ibada yake iwe kama anavyotaka yeye pale ali- Mungu: “Akasema: Basi shuka kutoka huko, haikufalii kufanya kiburi humo.”3Na pompinga Mwenyezi Mungu kwa kutomsujudia Adam; “Je, Huyu hapa Ibilis,akamwambia: amemwabudu Mwenyezi Mungu miaka elfu moja, na matokeo ya Mwenyezi Mungu 26 haki kwa yeye nimsujudie uliyemuumba kwa ibada udongo.” juhudi zakeakaenda motoni, kwa sababu alitaka yake iweSio kama anavyotaka kiumbe kumpinga Mwenyezi Mungu: “Akasema: Basi shupale alipompinga ‫ﲔ‬‫ﻌ‬‫ﻤ‬‫ ﺃﹶﺟ‬Mwenyezi ‫ﻨﻜﹸﻢ‬‫ ﻣ‬‫ﻢ‬‫ﻨ‬‫ﻬ‬‫ﻥﱠ ﺟ‬2‫ﹶﻠﹶﺄ‬Mungu ‫ ﹶﻟﹶﺄﻣ‬‫ﻢ‬‫ﻬ‬‫ﻨ‬‫ ﻣ‬‫ﻚ‬kwa ‫ﺒﹺﻌ‬‫ﻦ ﺗ‬‫ﻟﱠﻤ‬kutomsujudia ۖ◌ ‫ﺍ‬‫ﻮﺭ‬‫ﺣ‬‫ﺪ‬‫ﺎ ﻣ‬‫ﺬﹾﺀُﻭﻣ‬‫ﻣ‬Adam; ‫ﺎ‬‫ﻬ‬‫ﻨ‬‫ ﻣ‬‫ﺝ‬‫ﺮ‬‫“ﺧ‬Je, ‫ﹶﺎﻝﹶ ﺍ‬27‫ ﻗ‬nimsujudie ka kutoka huko, haikufalii kufanya humo.” Na Mungu: Sio haki kwa kiumbekiburi kumpinga Mwenyezi uliyemuumba kwa udongo.” “Akasema: Basi shuka kutoka huko, haikufalii kufanya kiburi humo.”3Na Mwenyezi Mungu akamwambia: “Akasema: Toka humo, hali ya kuwa ni mwenye kufedheheka na mwenye Mwenyezi Mungu akamwambia: kufukuzwa. Atakayekufuata miongoni mwao, basi hakika nitaijaza Jahannam kwa nyinyi nyote.” (Sura ‫ﲔ‬‫ﻌ‬‫ﻤ‬‫ ﺃﹶﺟ‬A’araf: ‫ﻨﻜﹸﻢ‬‫ ﻣ‬‫ﻢ‬‫ﻨ‬‫ﻬ‬‫ ﺟ‬18). ‫ﹶﻠﹶﺄﻥﱠ‬‫ ﹶﻟﹶﺄﻣ‬‫ﻢ‬‫ﻬ‬‫ﻨ‬‫ ﻣ‬‫ﻚ‬‫ﺒﹺﻌ‬‫ﻦ ﺗ‬‫ﺍ ◌ۖ ﻟﱠﻤ‬‫ﻮﺭ‬‫ﺣ‬‫ﺪ‬‫ﺎ ﻣ‬‫ﺬﹾﺀُﻭﻣ‬‫ﺎ ﻣ‬‫ﻬ‬‫ﻨ‬‫ ﻣ‬‫ﺝ‬‫ﺮ‬‫ﻗﹶﺎﻝﹶ ﺍﺧ‬

Vivyo hivyo Muislam hana haki ya kumpinga Mwenyezi Mungu kufedhena Mtume Wake hata “Akasema: Toka ya kuwa ni mwenye “Akasema: Toka humo, halihumo, ya kuwahali ni mwenye kufedheheka na mwenye kwa chembeheka ndogo kabisa. Uislam ni kujisalimishakikamilifu. Lakini vipi na hali na mwenyemiongoni kufukuzwa. Atakayekufuata miongoni kufukuzwa. Atakayekufuata mwao, basi hakika nitaijaza Jahannam kwa Waislam wako katika hali hii ya kuhitalifiana? Lau nikijaalia kuwa nimesilimu na mwao, basiA’araf: hakika18). nitaijaza Jahannam kwa nyinyi mimi nyote.” nyinyi nyote.” (Sura naona Hadith hii, hakika swali la kwanza nitakalojiuliza baada ya kujisalimisha kwa (Sura A’araf: 18). 26 Vivyo hivyo Muislam hana haki ya kumpinga Mwenyezi Mungu na Mtume Wake hata Suratul Israil: 61 27 Suratul A’araf: 13 kwa chembe ndogo kabisa. Uislam ni kujisalimishakikamilifu. Lakini vipi na hali 1 Suratul Baqarah: 256 2 Waislam wako katika hali hii ya kuhitalifiana? Lau nikijaalia kuwa mimi nimesilimu na Suratul Israil: 61 3 naonaA’araf: Hadith hii, hakika swali la kwanza35nitakalojiuliza baada ya kujisalimisha kwa Suratul 13 22 1 2

Suratul Baqarah: 256 Suratul Israil: 61 Suratul A’araf: 13

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 35 3

6/13/2013 2:10:42 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

Vivyo hivyo Muislam hana haki ya kumpinga Mwenyezi Mungu na Mtume Wake hata kwa chembe ndogo kabisa. Uislam ni kujisalimisha kikamilifu. Lakini vipi na hali Waislam wako katika hali hii ya kuhitalifiana? Lau nikijaalia kuwa mimi nimesilimu na naona Hadith hii, hakika swali la kwanza nitakalojiuliza baada ya kujisalimisha kwa Mwenyezi Mungu na Mtume Wake ni kwamba nitakuwa katika Waislam wapi, nani kundi lipi nitalichagua? Inapasa kuwa na tahadhari,vinginevyo hakuna faida katika Uislamu wangu, na nitaikalifisha nafsi yangu na hatima yangu kisha baada ya hapo niende motoni! Hapa ningependa kutaja kisa ambacho tumekisikia kutoka kwa waliotangulia: Kwamba mtu mmoja alifika na kuwa mgeni wa mtu muhimu katika mwezi wa Ramadhani, akamkuta mwenyeji wake yuko katika meza ya chakula hali ya kuwa si mgonjwa wala hana udhuru, akastaajabu na akamuuliza nini sababu, akajibu kwamba hakuna faida katika funga yangu hali ya kuwa mimi najua kwamba nitaingia motoni, kwa sababu mwendo wangu sio sawasawa, na mimi najua hilo, hivyo kwa nini nijipe tabu kwa saumu? Na sababu ni kwamba hataki kufuata haki, kwa sababu haki inataklifu kubwa ambazo zinaweza kumgharimu maisha yake au cheo chake au utukufu wake wa kidunia. Ndio, kufuata haki sio rahisi daima, inaweza kumgharimu kama ilivyomgharimu Ammaar bin Yasir, baba yake Yasir, na mama yake Sumaiyah, na inaweza kumgharimu kama ilivyomgharimu Mus’ab bin Umair, yule kijana tajiri mwenye kudeka ambaye alitoka katika utukufu wa dhahiri na kwenda katika ufukara, na inaweza kumgharimu kama ilivyowagharimu wengi kati ya waliopoteza maisha yao, familia zao na watoto 36

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 36

6/13/2013 2:10:42 PM


Na sababu ni kwamba hataki kufuata haki, kwa sababu haki inataklifu kubwa ambazo zinaweza kumgharimu maisha yake au cheo chake au utukufu wake wa kidunia. Ndio, kufuata haki sio rahisi daima, inaweza kumgharimu kama ilivyomgharimu Ammaar bin Talibyake JabaliSumaiyah, Imara la Imani Yasir, baba yake Yasir, naAbu mama na inaweza kumgharimu kama ilivyomgharimu Mus’ab bin Umair,yule kijana tajiri mwenye kudeka ambaye alitoka katika utukufu wana dhahiri na kwenda katika ufukara, na inaweza kumgharimu kama wao, wakaonja aina mbalimbali za mateso ya kimwili na ilivyowagharimu wengi kati waliopoteza maisha yao, familia na wa watoto wao, na kinafsi chini yaya mikono ya madhalimu katika mudazao wote wakaonja aina mbalimbali za mateso ya kimwili na kinafsi chini ya mikono ya historia. madhalimu katika muda wote wa historia.

Hivyo ni lazima kujinasua na kila kitu wakati wakuchagua njia Kujinasua masilahi kimada, kijamii na kiHivyo ni lazima sahihi. kujinasua na kila na kitu wakati ya wakuchagua njia sahihi.Kujinasua na familia: masilahi ya kimada, kijamii na kifamilia:

‫ﻭﻥﹶ‬‫ﺪ‬‫ﻘﹾﺘ‬‫ﻢ ﻣ‬‫ﻠﹶ ٰﻰ ﺁﺛﹶﺎﺭﹺﻫ‬‫ﺎ ﻋ‬‫ﺇﹺﻧ‬‫ﺔ ﻭ‬ ‫ﻠﹶ ٰﻰ ﺃﹸﻣ‬‫ﺎ ﻋ‬‫ﺎﺀَﻧ‬‫ﺎ ﺁﺑ‬‫ﻧ‬‫ﺪ‬‫ﺟ‬‫ﺎ ﻭ‬‫ﺇﹺﻧ‬

“Hakika sisi tuliwakuta baba zetu juu ya desturi natunafuata nyayo zao.” (Sura “Hakika sisi kuepukana tuliwakutanababa juu ya desturi na- marafiki na Zukhruf: 23). Ni lazima hofuzetu ya mazingira ya kijamii, tunafuata nyayo lawama zao.” (Sura 23). 1Ni Ni lazima lazima kuangalia mazoea: “wala hawaogopi ya Zukhruf: anayelaumu.” kuepukana na hofu ya mazingira ya kijamii, marafiki na mayanayomridhisha Mwenyezi Mungu tu. Mtu amridhishe Mwenyezi Mungu tu hata 28 zoea: “wala hawaogopi lawama ya anayelaumu.” Ni la- hali hii kana kimpate chochote kitakachompata, na amwelekee Mwenyezi Mungu kwa zima kuangalia yanayomridhisha Mwenyezi Mungu tu. Mtu kwamba anasema: “Na laiti baina yangu na yako kungeimarika, na baina yangu na baina amridhishe Mwenyezi Mungu tu hata kimpate chochoteviumbe kiya walimwengu kungeharibika.”Nakana kwamba anasema:“Nimeacha kwa ajili takachompata, na amwelekee Mwenyezi Mungu kwa hali hii ya mapenzi yako.Na nimewafanya watoto wangu yatima ili nikuone. Kama utanikata kana kwamba anasema: laitiusingempenda baina yangu asiyekuwa na yako kunkatika kupenda vipande vipande, moyo “Na wangu Wewe.”

geimarika, na baina yangu na baina ya walimwengu kungekana kwamba viumbe Ndio, litakaloharibika.” nusurika niNa kundi moja tu.Kwaanasema: nini?Kwa “Nimeacha sababu njia ya Mwenyezi Mungu kwa ajili ya mapenzi yako. Na nimewafanya watoto wangu ni moja na njia yake iliyonyooka ni moja.Na tufahamu kupitia Hadith hii idadi kubwa ya yatimawanapata ili nikuone. Kama utanikata katika kupenda vipande makundi ambayo mtihani kwayo Waislam, na ambayo yanawaelekeza vipande, moyo wangu usingempenda asiyekuwa Wewe.” Mashariki na Magharibi, na kila moja linapiga kelele mimi ni mwenye haki, na walimu Ndio, litakalo ni kundi moja tu. Kwa nini? kujifunza Kwa wa kila kundi wanatoa juhudi, nusurika mali na umri, na kila mmoja anabobea Qur’ani, sababu njia ya Mwenyezi Mungu ni moja na njia yake iliyoHadith na Tafsiri.Na kunatokea vita na mizozo miaka na miaka, na yote hayo ni kazi moja. bure, kwa nininyooka hasara ni yote hii? Na tufahamu kupitia Hadith hii idadi kubwa ya makundi ambayo wanapata mtihani kwayo Waislam, na ambayo yanawaelekeza Iko wapi rehema ya Mwenyezi Mungu? Mashariki na Magharibi, na kila moja linapiga kelele mimi ni mwenye haki, na walimu wa

1

28

Suratul- Maida: 54

Suratul- Maida: 54

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 37

‫ﲔ‬  ‫ﺴﹺﻨ‬ ِ ‫ﺤ‬‫ ﺍﻟﹾﻤ‬‫ّﻦ‬‫ ﻣ‬‫ ﻗﹶﺮﹺﻳﺐ‬‫ ﺍﻟﻠﱠـﻪ‬‫ﺖ‬‫ﻤ‬‫ﺣ‬‫ﹺﺇﻥﱠ ﺭ‬ 37

23 6/13/2013 2:10:43 PM


kimpate chochote kitakachompata, na amwelekee Mwenyezi Mungu kwa hali hii kana kwamba anasema: “Na laiti baina yangu na yako kungeimarika, na baina yangu na baina ya walimwengu kungeharibika.”Nakana kwamba anasema:“Nimeacha viumbe kwa ajili ya mapenzi yako.Na nimewafanya watoto wangu yatima ili nikuone. Kama utanikata katika kupenda vipande vipande, moyo wangu usingempenda asiyekuwa Wewe.” Abu Talib Jabali Imara la Imani

Ndio, litakalo nusurika ni kundi moja tu.Kwa nini?Kwa sababu njia ya Mwenyezi Mungu ni moja na njia yake iliyonyooka ni moja.Na tufahamu kupitia Hadith hii idadi kubwa ya kundiwanapata wanatoamtihani juhudi,kwayo mali na umri, nanakila mmoja anamakundikila ambayo Waislam, ambayo yanawaelekeza bobea kujifunza Tafsiri. kunatokea Mashariki na Magharibi, na Qur’ani, kila moja Hadith linapiga na kelele mimiNa ni mwenye haki,vita na walimu wa kila kundi wanatoamiaka juhudi,na mali na umri, kila mmoja anabobea kujifunza na mizozo miaka, nanayote hayo ni kazi bure, kwaQur’ani, Hadith na Tafsiri.Na nini hasara kunatokea yote hii? vita na mizozo miaka na miaka, na yote hayo ni kazi bure, kwa nini hasara yote hii?

Iko wapi rehema ya Mwenyezi Mungu?

Iko wapi rehema ya Mwenyezi Mungu?

‫ﲔ‬  ‫ﺴﹺﻨ‬ ِ ‫ﺤ‬‫ ﺍﻟﹾﻤ‬‫ّﻦ‬‫ ﻣ‬‫ ﻗﹶﺮﹺﻳﺐ‬‫ ﺍﻟﻠﱠـﻪ‬‫ﺖ‬‫ﻤ‬‫ﺣ‬‫ﹺﺇﻥﱠ ﺭ‬ 1

“Hakika Suratul- Maida: 54

rehema ya Mwenyezi Mungu iko karibu na wanao23 (Sura A’araf: 56). fanya mema.”

“Hakika rehema ya Mwenyezi Mungu iko karibu na wanaofanya mema.” (Sura A’araf: 56).

Je, Mwenyezi Mungu hajasema:

Je, Mwenyezi Mungu hajasema:

‫ﺎ‬‫ﻌ‬‫ﻨ‬‫ﻮﻥﹶ ﺻ‬‫ﺴِﻨ‬‫ﺤ‬‫ ﻳ‬‫ﻢ‬‫ﻬ‬‫ﻮﻥﹶ ﺃﹶﻧ‬‫ﺒ‬‫ﺴ‬‫ﺤ‬‫ ﻳ‬‫ﻢ‬‫ﻫ‬‫ﺎ ﻭ‬‫ﻴ‬‫ﻧ‬‫ ﺍﻟﺪ‬‫ﺎﺓ‬‫ﻴ‬‫ﻲ ﺍﻟﹾﺤ‬‫ ﻓ‬‫ﻢ‬‫ﻬ‬‫ﻴ‬‫ﺳﻌ‬ ‫ﺿﻞﱠ‬  ‫ﻳﻦ‬‫ﺎﻟﹰﺎ ﺍﻟﱠﺬ‬‫ﻤ‬‫ ﺃﹶﻋ‬‫ﺮﹺﻳﻦ‬‫ﺴ‬‫ﻨﹺّﺒﺌﹸﻜﹸﻢ ﺑﹺﺎﻟﹾﺄﹶﺧ‬‫ﻞﹾ ﻧ‬‫ﻗﹸﻞﹾ ﻫ‬ “Sema Je, tuwaambiewale wenye hasara mno ya vitendo? Ambao juhudi yao katika

“Sema tuwaambie wale wenye hasara mno yakazi vitendo? maisha yaJe, dunia imepotea bure, nao wanadhani kuwa wanafanya nzuri.” (Sura Ambao Kahf: 103juhudi – 104). yao katika maisha ya dunia imepotea bure, nao wanadhani kuwa wanafanya kazi nzuri.”

Wanasoma aya hii na kila mmoja anasema sio mimi niliokusudiwa na maana ya aya hii, (Sura Kahf: 103 – 104). bali niwengine. Mwenyezi Mungu ni mwenye huruma na kati ya huruma yake ni kwamba wewe unapata mwongozo na maelekezo katika kila kona kati ya kona za Qur’ani, na kwa maneno ya Mtume Mwenyezi Mungu,tangu wa maisha hadi mwisho Wanasoma ayawahii na kila mmojamwanzo anasema sioyake mimi niwa uhai wake, lakini lau mwanadamu akitaka kuongoka “Bali mtu anajiona 1 niwengine. Mwenyeliokusudiwa na maana aya hii, bali Shikamana na kamba madhubuti mwenyewe. Ingawa atatoa ya nyudhuru zake.” anayemkataa taghutinana akamwamini ziutanusurika:“Basi Mungu ni mwenye huruma kati2 ya Mwenyezi hurumaMungu,hakika yake ni yeye ameshika kishiko madhubuti kisichovunjika.”

kwamba wewe unapata mwongozo na maelekezo katika kila kona yapamoja konanazanafsi Qur’ani, na kwa maneno Mtume wa Kuwakati mkweli yako na itafute haki utaipata kwa ya msaada wa Mwenyezi Mungu: “Na wale wanaofanyajuhudi kwa ajili Yetu, hakika tutawaongoza kwenye Mwenyezi3 Mungu, tangu mwanzo wa maisha yake hadi mwinjia Zetu.” sho wa uhai wake, lakini lau mwanadamu akitaka kuongoka Taka msaada Mwenyezi Mungu na kwa wajaIngawa wa Mwenyezi Mungu wa kweli: “Bali mtu kwa anajiona mwenyewe. atatoa nyudhu29 ru zake.” Shikamana na kamba madhubuti utanusurika: ‫ﲔ‬‫ﻗ‬‫ﺎﺩ‬‫ ﺍﻟﺼ‬‫ﻊ‬‫ﻮﺍ ﻣ‬‫ﻛﹸﻮﻧ‬‫ ﻭ‬‫ﺗﻘﹸﻮﺍ ﺍﻟﻠﱠـﻪ‬‫ﻮﺍ ﺍ‬‫ﻣﻨ‬ ‫ ﺁ‬‫ﻳﻦ‬‫ﺎ ﺍﻟﱠﺬ‬‫ﻳﻬ‬‫ﺎ ﹶﺃ‬‫ﻳ‬ 29

Suratul Qiyama: 14 -15 “Enyi mlioamini! Mcheni Mwenyezi Mungu na kuweni pamoja na wakweli.” (Sura Tawba: 119). 38

Itafute haki kwa wenye kutafakari juu ya Mwenyezi Mungu na wala hakuna kitu isipokuwa radhi za Mwenyezi Mungu, kiasi kwamba lau ukiacha hayataathirika isipokuwa maslahi yako ya Akhera tu: 02_Abu Talib_13_June_2013.indd 38

6/13/2013 2:10:43 PM


nasoma nasoma aya aya hii hii na na kila kila mmoja mmoja anasema anasema sio sio mimi mimi niliokusudiwa niliokusudiwa na na maana maana ya ya aya aya h h niwengine. Mwenyezi Mungu ni mwenye huruma na kati ya huruma yake ni kwam niwengine. Mwenyezi Mungu ni mwenye huruma na kati ya huruma yake ni kwam we we unapata unapata mwongozo mwongozo na na maelekezo maelekezo katika katika kila kila kona kona kati kati ya ya kona kona za za Qur’ani, Qur’ani, na na k k Abu Talib Jabali Imara la Imani eno ya Mtume wa Mwenyezi Mungu,tangu mwanzo wa maisha yake hadi mwis eno ya Mtume wa Mwenyezi Mungu,tangu mwanzo wa maisha yake hadi mwis uhai uhai wake, wake, lakini lakini lau lau mwanadamu mwanadamu akitaka akitaka1 kuongoka kuongoka “Bali “Bali mtu mtu anajio anajio 1Shikamana na kamba madhub enyewe. Ingawa atatoa nyudhuru zake.” “Basi anayemkataa taghuti zake.” na akamwamini Shikamana Mwenyena kamba madhub enyewe. Ingawa atatoa nyudhuru usurika:“Basi anayemkataa taghutina akamwamini Mwenyezi zi anayemkataa Mungu, hakikataghutina yeye ameshika kishikoMwenyezi madhubutiMungu,haki usurika:“Basi akamwamini Mungu,haki 2 30 2 ee ameshika kishiko madhubuti kisichovunjika.” kisichovunjika.” ameshika kishiko madhubuti kisichovunjika.” Kuwa mkweli pamoja na nafsi yako na itafute haki utaipa-

wa nafsi yako na haki utaipata msaada ta kwa na msaada Mwenyezi Mungu: wale kwa wanaofanya wa mkweli mkweli pamoja pamoja na nafsiwa yako na itafute itafute haki “Na utaipata kwa msaada wa wa Mweny Mweny ngu: “Na wale wanaofanyajuhudi kwa ajili Yetu, hakika tutawaongoza juhudi kwa ajili Yetu, hakika tutawaongoza kwenye njia ngu: “Na kwa ajili Yetu, hakika tutawaongoza kwen kwen 3 wale wanaofanyajuhudi 31 3 Zetu.” Zetu.” Zetu.” Taka msaada kwa Mwenyezi Mungu na kwa waja wa

aa msaada Mwenyezi Mungu kwa Mungu wa na kweli: msaada kwa kwaMwenyezi Mwenyezi Mungu na kwa waja waja wa wa Mwenyezi Mwenyezi Mungu Mungu wa wa kweli: kweli:

‫ﲔ‬‫ﻗ‬‫ﻗ‬‫ﺩ‬‫ﺎﺩ‬‫ﺎ‬‫ﺼ‬ ‫ﲔ‬ ‫ ﺍﻟﺍﻟﺼ‬‫ﻊ‬‫ﻊ‬‫ﻣ‬‫ﻮﺍ ﻣ‬ ‫ﻮﺍ‬‫ﹸﻮﻧﻧ‬ ‫ﻛﻛﹸﻮ‬‫ﻭ‬‫ ﻭ‬‫ﻪ‬‫ﱠـﻪ‬ ‫ﹸﻮﺍ ﺍﻟﺍﻟﻠﻠﱠـ‬ ‫ﻘﻘﹸﻮﺍ‬‫ﺗ‬‫ﻮﺍ ﺍﺍﺗ‬ ‫ﻮﺍ‬‫ﻨﻨ‬‫ﻣ‬‫ ﺁﺁﻣ‬‫ﻦ‬‫ﻳﻦ‬‫ﻳ‬‫ﺎ ﺍﺍﻟﱠﻟﱠﺬﺬ‬‫ﺎ‬‫ﻬﻬ‬‫ﻳ‬‫ﺎ ﺃﹶﺃﹶﻳ‬‫ﺎ‬‫ﻳﻳ‬

“Enyi mlioamini! Mcheni Mwenyezi Mungu na kuweni yi Mungu na kuweni pamoja na yi mlioamini! mlioamini! Mcheni Mcheni Mwenyezi Mwenyezi Mungu na kuweni pamoja na wakweli.” wakweli.” (Su (Su (Sura Tawba: 119). pamoja na wakweli.” wba: 119). wba: 119).

Itafute haki kwa wenye kutafakari juu ya Mwenyezi Mun-

ute kutafakari juu ya Mungu na ute haki haki kwa kwagu wenye wenye ya Mwenyezi Mwenyezi Mungu Mungu, na wala wala hakuna hakuna k k na wala kutafakari hakuna kitujuu isipokuwa radhi za Mwenyezi okuwa radhi za Mwenyezi Mungu, kiasi kwamba lau ukiacha hayataathiri lau ukiacha isipokuwa maslahi hayataathiri okuwa radhikiasi za kwamba Mwenyezi Mungu,hayataathirika kiasi kwamba lau ukiacha okuwa maslahi yako ya Akhera tu: yako ya ya Akhera tu: tu: okuwa maslahi yako Akhera

‫ﻬﻬﻪﻪ‬ ‫ﺟ‬‫ﻭﻭﺟ‬ ‫ﻭﻥﹶﻥﹶ‬ ‫ﻭ‬‫ ﹺﹺﺮﺮﻳﻳﺪﺪ‬‫ﻲﹺّﻲﹺّ ﻳﻳ‬‫ﺸ‬ ‫ﺸ‬‫ﻌ‬‫ﺍﻟﹾﻟﹾﻌ‬‫ﺍ‬‫ ﻭﻭ‬‫ﺓ‬‫ﺍﺓ‬‫ﺍ‬‫ﺪﺪ‬‫ﻐ‬‫ﻢ ﺑﺑﹺﺎﹺﺎﻟﹾﻟﹾﻐ‬ ‫ﻢ‬‫ﻬﻬ‬‫ﺑ‬‫ﺑ‬‫ﺭ‬‫ﻮﻥﹶﻥﹶ ﺭ‬ ‫ﻮ‬‫ﻋﻋ‬‫ﺪ‬‫ﺪ‬‫ﻳ‬‫ ﻳ‬‫ﻦ‬‫ﻳﻦ‬‫ﻳ‬‫ ﺍﺍﻟﱠﻟﱠﺬﺬ‬‫ﻊ‬‫ﻊ‬‫ﻣ‬‫ ﻣ‬‫ﻚ‬ ‫ﻚ‬‫ﺴ‬ ‫ﻔﹾﻔﹾﺴ‬‫ﻧ‬‫ ﻧ‬‫ﺮ‬‫ﺒﹺﺒﹺﺮ‬‫ﺻ‬ ‫ﺍﺻ‬‫ﺍ‬‫ﻭﻭ‬

“Na isubirishe nafsi yako pamoja na wanaomuomba Mola isubirishe pamoja na wanaomuomba Mola Wao isubirishe nafsi nafsi yako yako najioni, wanaomuomba Mola Wao asubuhi asubuhi na na jio jio Wao pamoja asubuhi na wakitaka radhi Yake.” itaka radhi Yake.” (Sura Kahf: 28). (Sura Kahf: 28). itaka radhi Yake.” (Sura Kahf: 28).

Mtafute Mwenyezi Mungu kwa atakuongoza moyo wa ukweli atakuonfute Mungu kwa moyo wa ukweli njia iliyonyooka fute Mwenyezi Mwenyezi Mungu kwa moyo wa ukweli atakuongoza njia iliyonyooka goza njia iliyonyooka 30 31

Suratul Baqarah: 256 Suratul Ankabut: 69

‫ﻢ‬‫ﻴﻢ‬‫ﻴ‬‫ﻘﻘ‬‫ﺘ‬‫ﺘ‬‫ﺴ‬ ‫ﺴ‬‫ﻤ‬‫ﻁﹶ ﺍﺍﻟﹾﻟﹾﻤ‬ ‫ﺍﺍﻁﹶ‬‫ﺮ‬‫ّﺮ‬‫ﺼ‬ ّ‫ﺎ ﺍﻟﺍﻟﺼ‬‫ﺎ‬‫ﻧﻧ‬‫ﺪ‬‫ﺪ‬‫ﻫ‬‫ﺍﺍﻫ‬

“Tuongoze (Sura 39 “Tuongoze njia njia iliyonyooka.” iliyonyooka.” (Sura al-Fatihah: al-Fatihah: 6). 6).

ul Qiyama: 14 -15 ul ul Qiyama: Baqarah: 14 256-15 ul Ankabut: Baqarah: 256 02_Abu tul 69Talib_13_June_2013.indd

39

6/13/2013 2:10:43 PM


rishe nafsi yako pamoja na wanaomuomba Mola Wao asubuhi radhi Yake.” (Sura Kahf: 28). Abu Talib Jabali Imara la Imani

wenyezi Mungu kwa moyo wa ukweli atakuongoza njia iliyonyooka

‫ﻴﻢ‬‫ﻘ‬‫ﺘ‬‫ﺴ‬‫ﺍﻁﹶ ﺍﻟﹾﻤ‬‫ّﺮ‬‫ﺎ ﺍﻟﺼ‬‫ﻧ‬‫ﺪ‬‫ﺍﻫ‬ “Tuongoze njia iliyonyooka.”

(Sura al-Fatihah: 6).

“Tuongoze njia iliyonyooka.” (Sura al-Fatihah: 6).

a: 14 -15 h: 256 ut: 69

a Inshaallah tutapitia katika maana hizi katika sehemu N zijazo ili tujue ni nani hao wakweli ? Na nani wanaotaka radhi za Mwenyezi Mungu ? Na ni nani waliojitahidi katika njia ya Mwenyezi Mungu ?

24

Na ni ipi kamba madhubuti ? Na ni ipi njia iliyonyooka ? Ni lazima tufikiri kwa makini na kutafakari kwa kina, kwa sababu kuwepo kwetu katika maisha haya na juu ya dunia hii kuna neema kubwa, ambapo tunamiliki uhuru wa kuchagua, na kesho iko karibu, na inawezekana siku yetu ya kesho tusiione, na tukawa ndani ya ardhi na huko hakuna isipokuwa hisabu na adhabu. Hakika ni marejeo yaliyopangwa, na inatupasa kutafakari ili tusiwe miongoni mwa wenye hasara katika vitendo wakati muda wote wa uhai wetu tulikuwa tunafikiri kwamba tunafanya vitendo vizuri.

40

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 40

6/13/2013 2:10:43 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

LENGO LA MAUDHUI Dondoo kutoka kwa Abu Talib na Abdul–Mutalib

Y

aliyotangulia katika kurasa hizi yalikuwa ni utangulizi wa maudhui muhimu sana, maudhui yanahusiana na Muumba Mtukufu kupitia kwa Nabii wake (s.a.w.w.), na kila yanayohusiana na Nabii Mtukufu basi ni jambo tukufu na utukufu wake hatimaye ni utukufu wa Mwenyezi Mungu. Tunataka kumsoma mmoja kati yaami zake Nabii (s.a.w.w.), naye ni ami ambaye alikuwa na athari katika maisha ya Nabii (s.a.w.w.), daawa yake, dini yake na kufikisha kwake ujumbe wake. Ami ambaye Mtume wa Mwenyezi Mungu alikuwa anamtegemea, hivyo alikuwa ni ngao ya kumkinga kutokana na hatari za kikuraishi kwake na kwa daawa yake. Mwanzo tutaangazia juu ya asili yake na maisha yake kwa yale yaliyofungamana na ukweli na matukio, kisha tutagusia juu ya yale yaliyosemwa juu yake, na kwa nini yasemwe? Ikiwa ni pamoja na kutathimini sababu hizi. Na nini msimamo wetu juu ya hali hii na misingi ambayo inategemewa katika utafiti, tathmini na majukumu. Ami huyu wa Nabii (s.a.w.w.) ni Abu Talib bin Abdul-Muttalib, na hapa inatosha kwa sababu baada ya hapo nasaba itakuwa ndio nasaba ya Nabii (s.a.w.w.). Abdul-Muttalib ni babu wa Nabii, na ni mzazi wa Abu Talib. Abu Talib ni yule mtoto 41

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 41

6/13/2013 2:10:43 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

aliyeleleka katika malezi ya baba yake Abdul-Muttalib,katika kizazi cha kipenzi cha Mwenyezi Mungu Ibrahim (as). Ni nguzo kuu ya familia tukufu ya Hashimiyah, na ambaye amehifadhi usalama waitikadi yake tukufu ambayo iliwafikia kutoka katika mila ya baba yao Ibrahim (as), ambayo imesimama juu ya tauhidi na iliyombali na dhulma na ushirikina ambao walikuwa nao Makuraishi wakati huo. Kwa sababu hiyo tunamuona Abdul-Muttalib katika maisha yake alikuwa anaishi katikati ya mafunzo ya babu yake Ibrahim, anaharamisha pombe, anaharamisha kuoa mahram, anaharamisha zinaa, anakataza kutufu uchi, na anaweka mpaka wa tawafu katika nyumba tukufu kuwa ni mara saba baada ya kuwa haina mpaka, anamkata mwizi mkono, na anakataza kuuwa watoto wa kike, kuapa kwa miungu, kula vilivyochinjwa kwa ajili ya miungu, na anaamuru kutekeleza nadhiri.32 Na Uislam unakuja na unakubali mambo yote haya ambayo aliyakubali Abdul-Muttalib, huku Abu Talib mwenye akili ya sawa na uongofu katika mwenendo wake na muamala wake, na aliye maarufu kwa hekima yake, anaona na anashuhudia mambo yote hayo. Na anamshuhudia Abraha mhabeshi anakuja na jeshi lake kubwa ili kuvunja al-Ka’aba, na anasikia maneno ya baba yake muumini anasema kwa imani kwamba: “Nyumba ina Mola anayeihami.” Hakukimbilia kwa Hubal na mfano wake kama wanavyofanya Makuraishi, bali anamsikia akimuomba Mola wake hali yakuwa ameshikilia pazia la mlango wa al-Ka’aba, maombi ya mpwekeshaji mwenye imani: “Ewe Mola simtarajii asiyeku32

anabiul-Mawadah juz: 2 uk: 90, Siratul- Halabiyah juz: 1 uk: 5, Siratu ­Nabawiyyah Y juz: 1 uk: 21 42

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 42

6/13/2013 2:10:43 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

wa Wewe. Eee Mola wazuie kwa ulinzi wako, hakika adui wa nyumba ni mwenye kukufanyia uadui, wazuie wasiharibu kijiji chako.”33 Na mara nyingine anamsikia anasoma shairi kwa kusema: “Hakika msalaba wao hautashinda, nafasi yao ni ya adui wako. Na kama utafanya hivyo hakika, jambo litatimu kwa kitendo chako. Wewe ni ambaye anapokuja muovu tunakutarajia kwa hilo. Wakakimbia na hawakupata isipokuwa fedheha, na maangamio yao ni huko. Sijasikia hata siku moja kafiri, kati yao anataka kupigana na Wewe. Walileta kundi la jeshi kubwa toka nchi yao, na tembo ili wawateke watu wako. Walikusudia nyumba yako kwa hila zao na kwa ujahili, na hawakujali utukufu wako.” Kisha akafuatilizia kwa kauli yake: “Enyi Makuraishi hatovunja nyumba hii kwani ina Mola anayeilinda na kuihifadhi.” Kisha ikajibiwa dua yake na likaja kundi la ndege katika kisa ambacho Qur’ani tukufu inakisimulia katika sura mahususi ya al-Fil:

‫ﻬﹺﻢ‬‫ﻠﹶﻴ‬‫ﻞﹶ ﻋ‬‫ﺳ‬‫ﺃﹶﺭ‬‫ﻴﻞﹴ ﻭ‬‫ﻠ‬‫ﻀ‬‫ﻲ ﺗ‬‫ ﻓ‬‫ﻢ‬‫ﻫ‬‫ﺪ‬‫ﻞﹾ ﻛﹶﻴ‬‫ﻌ‬‫ﺠ‬‫ ﻳ‬‫ﻴﻞﹺ ﺃﹶﻟﹶﻢ‬‫ﺎﺏﹺ ﺍﻟﹾﻔ‬‫ﺤ‬‫ ﺑﹺﺄﹶﺻ‬‫ﻚ‬‫ﺑ‬‫ﻞﹶ ﺭ‬‫ ﻓﹶﻌ‬‫ﻒ‬‫ ﻛﹶﻴ‬‫ﺮ‬‫ ﺗ‬‫ﺃﹶﻟﹶﻢ‬ ‫ﺄﹾﻛﹸﻮﻝﹴ‬‫ ﻣ‬‫ﻒ‬‫ﺼ‬‫ ﻛﹶﻌ‬‫ﻢ‬‫ﻌﹶﻠﻬ‬ ‫ﺠ‬  ‫ﺠﹺّﻴﻞﹴ ﹶﻓ‬‫ّﻦ ﺳ‬‫ ﻣ‬‫ﺓ‬‫ﺎﺭ‬‫ﺠ‬‫ﻴﻬﹺﻢ ﺑﹺﺤ‬‫ﻣ‬‫ﺮ‬‫ﺎﺑﹺﻴﻞﹶ ﺗ‬‫ﺍ ﺃﹶﺑ‬‫ﺮ‬‫ﻃﹶﻴ‬ 33

Al-Kaamil ya Ibnu al- Athiyr Juz: 1 Uk: 261, Muruju dhahab Juz: 2 Uk: 128 43

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 43

6/13/2013 2:10:43 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

“Je, hukujua namna gani alivyowafanya Mola Wako wenye ndovu? Je, hakuvifanya vitimbi vyao ni vyenye kupotea? Na akawapelekea ndege makundi makundi. Wakawatupia mawe ya udongo mkavu. Akawafanya kama majani yaliyoliwa.” (Sura al-Fil: 1-5).

Abu Talib akamjali baba yake huyu mwema, mtukufu ambaye alikuwa anasifika kwa wema hadi akapewa jina la Shaybatul- Hamdi. Fikra yake ilikuwa ni fikra ya Manabii katika itikadi, katika muamala, na katika kutangamana na watu. Na alikuwa anasema: “Mwenye kudhulumu hatotoka duniani hadi alipiziwe kisasi, na aadhibiwe.” Punde akafariki mtu dhalimu – katika watu wa Sham -bila ya kuguswa na ubaya wowote katika dunia hii, na ghafla akamjia mwenye kukinzana naye, naye akamjibu: “Wallahi baada ya dunia hii kuna ulimwengu, humo analipwa mwema kwa wema wake na muovu anaadhibiwa kwa uovu wake.”34 Tafakari ndugu yangu msomaji nuru ya misingi ya mbinguni katika fikra hii ambayo ni muhali kuwa ni matokeo ya fikra ya mtu aliyoko katikati ya giza, katika kisiwa cha Kiarabu ambacho kinaabudu masanamu, ambapo Makka ilikuwa na masanamu makubwa zaidi ya 360, tukiachiliambali masanamu yaliyopo katika kila nyumba. Wakati ambapo hatuwakuti Abdul-Muttalib au Abu Talib akiamini au kutambua mojawapo ya miungu hiyo, si kwa karibu wala kwa mbali. Na katikati ya mfumo huu wa Ibrahim mtukufu na katikati ya mti huu wa Kihashimiya mzuri tunashuhudia tawi baya na ovu, nalo ni Abulahab, kwa sababu 34

As-Siratun-Nabawiyyah Juz: Uk: 12 44

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 44

6/13/2013 2:10:43 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

hiyo ukafiri wake na shiriki yake inazingatiwa kuwa ni jambo la kushangaza ndani ya Bani Hashim. Na sababu ya msingi ya ukafiri wake ni maslahi ya kimada na sio kutokana na kukinai kwake katika fikra ya upagani. Aliogopa kuathirika katika biashara yake kama ataamini dini hii mpya, kwa sababu watumiaji wa bidhaa yake wakati huo ni jamii hii ya kipagani, na hiyo itamsababishia vikwazo na vizingiti ambavyo hatoviweza. Ukimuondoa Abulahab historia imehifadhi kurasa nzuri za Bani Hashim katika mfumo wao na fikra yao ambayo imepenya kutoka katika utukufu safi, kwani habari za Nabii aliyeahidiwa na alama zake zilikuwa ni katika mambo ya kawaida yanayofahamika wazi kwao, na hiyo ni kutokana na nukuu za wahenga zilizowajia kutoka kwa Mitume waliotangulia. Mara mmoja wao wanamwambia Abdul-Mutalib: “Atakapozaliwa kwa Bani Hashim kijana mwenye alama baina ya mabega yake basi atakuwa ni kiongozi, na kupitia kwake ninyi mtakuwa na uongozi hadi siku ya Kiyama.” Na anamkamilishia Abdul-Muttalib kwa kumwambia: “Jina lake ni Ahmad, baba yake na mama yake watafariki, atalelewa na babu yake na ami yake.” Hapo Abdul-Muttalib akasujudu kwa kumshukuru Mwenyezi Mungu, kisha akanyanyua kichwa chake kwa furaha akitabasamu na akasema: “Amefariki baba yake na mama yake na nimemlea mimi na ami yake.”35 Kwa sababu hiyo unamkuta Abdul-Muttalib anatoa ulinzi wake na uangalizi wake na mapenzi yake kwa mjukuu wake huyu mtukufu Muhammad (s.a.w.w.), tangu alipozaliwa 35

As-Siratul-Halabiyah Juz. 1 Uk.135, Siratun-Nabawiyyah Juz. 1 Uk. 66- 68 na 79 45

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 45

6/13/2013 2:10:43 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

(s.a.w.w.) tunamkuta anambeba na anafanya haraka kwenda kwenye Ka’aba ili akamuombe Mwenyezi Mungu na kumshukuru juu ya fadhila hii tukufu na anasema kwa njia ya shairi: “Shukurani ni za Mwenyezi Mungu ambaye amenipa kijana huyu mzuri mwekundu. Amekuwa kiongozi utotoni kwa vijana, namkinga kwa Mwenyezi Mungu mwenye mamlaka, hadi nione amekomaa. Nitamkinga kutokana na shari za waovu, kutokana na hasidi ya mwenye kukanganyikiwa mchovu.”36 Kijana huyu Mtukufu (s.a.w.w.) anakua baina ya uangalizi wa Abdul-Muttalib na mapenzi, huruma na uangalizi wa ami yake Abu Talib,ambaye baba yake alimuusia wakati mmoja kwa kumwambia: “Ewe Abu Talib, hakika kijana huyu anajambo kubwa, mhifadhi na shikamana naye, hakika yeye ni mpweke, kuwa kama mama yake asifikwe na jambo analolichukia.”37 Na Abdul-Muttalib sio mtu wa kawaida, anajua ulimwengu unaozunguka kaumu yake, mjuzi wa mambo, ni mwenye kukubaliwa dua yake na ni mwenye shufaa kwa Mwenyezi Mungu Mtukufu, kwa upande mwingine ni babu wa Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.), kwani alibeba katika kinywa chake nuru ya utume na kwa upande mwingine alihifadhi mafunzo matukufu ya mbinguni, mchamungu, mwenye hekima, mpole, muumini katika zama ya ujahili, ukafiri, dhulma na giza. 36 37

Murujudhahab Juz. 2, Uk. 281. A–Majaalisis-Saniya. 46

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 46

6/13/2013 2:10:43 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

Hivyo hakuna mshangao Waarabu wanapomkimbilia wakati wa njaa na ukame ili wanyeshelezewe mvua, kwani yeye ndio wasila kwa Mwenyezi Mungu, na hapo ananyanyua mikono yake mitukufu kwa kumwelekea Muumba wake: “Eee Mwenyezi Mungu, hawa ni waja wako na watoto wa waja wako, ni vijakazi watoto wa vijakazi wako, yametufikia unayoyaona na umetujia ukame huu ukatuondolea malisho, ukatuletea udhaifu na unyonge, zihurumie nafsi, tuondolee njaa na tuletee mvua na malisho.” Na hakukaribia kuondoka mlimani isipokuwa na mifereji inatiririka maji baada ya mbingu kuteremsha mvua nyingi kutoka kwa Mwenyezi Mungu mwenye huruma kwa utukufu wa Shaibatul-Hamdi, babu wa Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.). Pamoja na kheri pia zinamiminika beti tamu za shairi alizozitunga Qurayhah (Ruqayah binti Abi Swafaa bin Hashim): “Kwa baraka za Shaybatul-Hamdi, alinyesheleza nchi yetu.

Mwenyezi

Mungu

Uhai ulitoweka na mvua ikapotea, ndipo maji yakateremka kwa njia yake, yakatiririka wanyama na mimea ikaishi. Baraka za Mungu kwetu zikashuka, na bora aliyobashiri siku hiyo kwayo Mudhar. Jina la baraka kwalo hunyeshelezwa mvua, hakuna anayelingana naye katika watu wala mtukufu.”38 Qais na Mudhar wakasikia, na katika ardhi yao wakati huo hapakuwa na kheri ambayo imeteremka Makka. Wakuu wake 38

Siratul-Halabiya Juz: 1, Uk. 64 47

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 47

6/13/2013 2:10:44 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

wakaazimia wakamlilie Abdul-Muttalib, huyo mzee Mtukufu, wakamwendea na wakamlalamikia hali yao: “Tumepatwa na ukame mkali mno na utukufu wako umeshaonekana kwetu, na imesihi kwetu habari yako, tuombee kwa yule aliyekupa uombezi na akakunyeshelezea.” Siku iliyofuata Abdul-Muttalib Shaybatul-Hamdi akiwa na kundi la watoto wake na baina yao yuko mjukuu wake kipenzi al-Mustafaa (s.a.w.w.), roho za walimwengu ziwe fidia kwa ajili yake, akiwa amekaa juu ya paja la babu yake, amefunikwa kwa nuru ya Mwenyezi Mungu, na watu wamekusanyika pembezoni mwake, Abdul-Muttalib alinyanyua mikono yake mitukufu kuelekea mbinguni kwa moyo wenye kujaa imani na kwa ulimi mkweli: “Eee Mwenyezi Mungu, Mola wamuwako wenye kupora, na radi yenye kuunguruma, Mkuu wa wakuu, Mwenye kulainisha magumu, hawa hapa Qais na Mudhar, ni watu wema, vichwa vyao vimeinama na migongo yao imepinda, wanakulalamikia shida ya ukondefu, kuhiliki watu na mali! Eee Mwenyezi Mungu, wafungulie mawingu na kheri yake, na mvua nyingi, ili istawi ardhi yao na yaondoke kwao madhara.” Mbingu zikaitika amri ya Mola Wake na yakakusanyika mawingu, hapo Abdul-Muttalib akawatawanya: “Enyi Qais na Mudhar, ondokeni mtanyeshelezewa.” Mtoto wake, Abu Talib kwa furaha akasoma beti hizi za mashairi: “Baba yetu ni muombezi wa watu ambapo zimenyeshelezewa ­kutokana na mvua familia zilizokhofia ukame kwenye mimea. Na sisi miaka ya ukame alisimama muombezi wetu, katika Makka akaomba na maji yakatiririka.

48

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 48

6/13/2013 2:10:44 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

Nyayo hazikuondoka hadi waliona, mawingu ya mvua mbele yao yanazunguka. Na Qais walitujia baada ya matatizo na shida, walipoelemewa na ukame. Hawakuondoka hadi Mwenyezi Mungu akainyesheleza ardhi yao,mvua kwa baraka za Shaybah,na ikawa vigumu kuthabiti.”

Hivyo ndivyo alivyoishi huyu Yatima Mtukufu (s.a.w.w.) baina ya familia ya Kihashimiyah yenye mwanga, katika uangalizi wa babu yake ambaye alikuwa anamhifadhi kwa kumjali na uangalizi mkubwa, hadi akawa anatafakari ni nani atamwangalia baada ya kufariki kwake, hivyo akamchagua mmoja wa watoto wake mwenye kumcha Mungu zaidi, mwenye kujali zaidi na mwenye kumjua zaidi, hivyo akamwambia Abu Talib: “Nakuusia ewe Abdu-Manafi baada yangu, kwa mpweke ambaye baada ya baba yake ni mkiwa.” Na katika kauli nyingine: “Nimemuusia ambaye jina lake ni Abu Talib, Abdu-Manafi, naye ni mwenye uzoefu, kwa mtoto wa kipenzi, mtukufu zaidi kwa ukaraba, kwa mtoto ambaye ameghibu pasi na kurudi.” Abu Talib alibeba wasia huu hali yakuwa ni mwenye kuufurahia ambapo anasema: “Usiniusie jambo la lazima na wajibu kwangu. Hakika mimi nimesikia maajabu kushinda maajabu yote. Kwa kila elimu ya mwanachuoni na mwandishi, imebainika kwa sifa za Mwenyezi Mungu kauli ya mchungaji.” Kisha Shaybatul-Hamdi Abdul-Muttalib anamwambia: “Tazama ewe Abu Talib, uwe mwangalifu kwa huyu mkiwa ambaye hakunusa harufu ya baba yake, na wala hakuonja upole wa mama yake. Angalia awe kwako kama ini lako, 49

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 49

6/13/2013 2:10:44 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

hakika mimi niliwaacha watoto wangu wote na nikakufanya wewe ni makhususi kwake, kwa sababu wewe unatokana na mama wa baba yake. Tambua: Kama utaweza kumfuata basi fanya hivyo, na umnusuru kwa ulimi wako, mkono wako na mali yako, hakika Wallahi atakuongoza na atamiliki ambayo hatoyamiliki yeyote kati ya watoto wangu. Je,umekubali?” Abu Talib akamjibu: “Nimekubali na Mwenyezi Mungu ni shahidi juu ya hayo.” Akanyoosha mkono wake kwake na akapiga kwayo juu ya mkono wa Abu Talib, na akasema hali yakuwa na matumaini: “Hivi sasa mauti yamekuwa mepesi kwangu.” Kisha akambusu mtoto wake kwa mapenzi na akasema: “Nashuhudia kwamba sijamuona yeyote katika watoto wangu mwenye harufu nzuri na mzuri wa uso kuliko wewe.” Kwa misingi hii mitukufu na kwa misingi hii yenye nuru, na kwa kanuni madhubuti katika imani, ikapata mwelekeo wa kiimani shakhisiya ya Abu Talib, na ikaacha athari zake zilizowazi zenye kuonekana na zenye kuhisiwa juu ya imani yake na itikadi yake kwa Mwenyezi Mungu na kwa Mtume anayekuja. Ndio, Mwenyezi Mungu Mtukufu huwa amemneemesha mtu yeyote anapombainishia alama Zake na miujiza Yake, na Abu Talib ingawa hahitaji chochote katika miujiza hii ili kuzatiti imani yake kwa Mwenyezi Mungu, yeye ni muumini ambaye amerithi imani kutoka kwa baba zake Isma’il na Ibrahim (as), imani inamzunguka kwa kila pande, anaishi nayo

50

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 50

6/13/2013 2:10:44 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

na ananeemeka kwayo,39 ambapo alikuwa anasikia habari zinazokuja kwa baba yake, kwa wanachuoni na wahenga, na anashuhudia miujiza ya Mwenyezi Mungu ambayo inawazunguka baba yake na mtoto wa kaka yake Muhammad, kuanzia katika utoto wake Mtukufu.

39

Na ni nani ambaye moyo wake hautojaa imani lau akiishi maisha matukufu 51

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 51

6/13/2013 2:10:44 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

KUMLEA KWAKE NABII (S.A.W.W.) NA UKUBWA WA MAJUKUMU YAKE

B

aada ya Abdul-Muttalib kwenda kwa Mola Wake, uongozi wa Bani Hashim moja kwa moja ulihamia kwa mbora wa watoto wake na mtukufu wao,naye ni Abu Talib, pamoja na kwamba alikuwa na mali chache ila hilo halikuzima chochote katika nuru yake, bali ilikuwa ni dalili juu ya daraja lake kubwa, ambapo shakhisiya na cheo chake kitukufu cha kijamii vilinyanyuka bila ya mali, kwani yeye ni mtu mwenye haiba, mwenye kutiiwa na mtu pekee anayesikilizwa.

Na yeye hakuwa anakusanya mali kama wengine bali alikuwa anaitoa, na alisimamia kunywesha mahujaji maji baada ya baba yake pamoja na uchache wa mali ya kidunia aliyokuwa nayo, hadi alikuwa anakopa mali nyingi kwa ajili ya kuwanywesha mahujaji wa nyumba ya Mwenyezi Mungu. Mwaka mmoja alikopa kwa ndugu yake Abbas dirham elfu kumi katika msimu wa Hijja na ukawadia mwaka mwingine na ikawa hajaweza kumlipa ndugu yake deni lake, bali akataka kwake mwaka huo mkopo mwingine wa dirham elfu kumi na nne ili asiache kunywesha mahujaji wa nyumba ya Mwenyezi Mungu, wageni wa Mwenyezi Mungu, lakini Abbas hakumkopesha mara hii ila kwa sharti, nalo ni kwamba Abu Talib akishindwa kulipa deni lake mwaka unaokuja basi ni wajibu wake amwachie yeye kazi ya kunywesha mahujaji, na ikawa hivyo.40 Na miongoni mwa mtazamo wake Mtukufu alikuwa anatupia zabibu na tende katika maji ya zamzam ili 40

S harh Nahjul-Balaghah ya Ibnu Abil-Hadidiy Juz. 3, Uk. 461, Siratul-Halibiyah, Juz. 1, Uk. 17, al- Kaamil Fitaarikh ya Ibnu al-Athiyr Juz. 2, Uk. 14. 52

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 52

6/13/2013 2:10:44 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

maji yake yawe matamu kutokana na ukarimu wake na uzuri wa nafsi yake. Huyu ndio mlezi wa Nabii (s.a.w.w.) baada ya baba yake Abdul-Muttalib, hivyo si ajabu kwa Mwenyezi Mungu kumchagulia Nabii Wake mlezi mfano wa Abu Talib kwani anafaa kuwa fahari ya Makuraishi: “Chemchem ya kheri na ngome imara ambayo itamkinga kutokana na matukio na dharura, kwani kwake wanarejea wanyonge wenye shida, na kila mwenye matatizo ya kiu na njaa kwa aliyekata tamaa, hivyo kupitia yeye unarejea uhai wenye kumea,na kwake wanatawasali inapokosekana mvua, naye ndiye kiungo cha rehema, mwenye kuondoa matatizo, mwema na mkarimu kwa anayoyamiliki bila ya masimbulizi, na mkarimu kwa anayoyaweza bila ya kuombwa, mwenye maamuzi madhubuti, mwenye kauli ya sawa, mwenye fasaha, mwenye moyo imara, mwenye huruma, mpole mwenye uelewa mzuri, mwenye haiba, aliyejaa heshima na utukufu.�41 Na hakika alikuwa ni mjuzi wa sheria, mwenye maarifa mengi na elimu pana, alijiharamishia unywaji pombe katika nafsi yake, ufanyaji madhambi, na kila kinachomzunguka miongioni mwa ujahili, uchafu wa shirki na madhambi madogo madogo. Hapo akanyanyuka kwa roho yake hadi kwenye wigo mpana, huku akiwa ni mwenye mustawa wa juu, mwenye shabaha, msafi wa moyo, katika usafi na utwahara.42 Na Abu Talib alikuwa ni walii kati ya mawalii wa kweli wa Mwenyezi Mungu, kwani akinyanyua mikono yake mbinguni kamwe hairudi mitupu. 41 42

Ithibatul-Wasiyah, Uk. 107. Abu Talib Muuminil-Quraish cha Khaniziy Uk. 118. 53

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 53

6/13/2013 2:10:44 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

Amepokea Ibnu Asakir kutoka kwa Jahalamah amesema: “Nilifika Makka na wao wakiwa katika ukame na shida kutokana na ukosefu wa mvua, mmoja kati yao akasema: ‘Mwendeeni Laata na Uzaa.’ Msemaji wao mwingine akasema: ‘Mwendeeni Manataa - sanam jingine la tatu.’ Mzee mwenye busara, mweupe wa uso, mzuri wa rai, akasema: ‘Vipi mnahadaika na kwenu kuna mabaki ya Ibrahim na kizazi cha Isma’il’- na hayakuwa mbali yale ambayo alikuwa anayakusudia huyu mzee wa busara na mwenye rai ya sawa, mzuri wa uso,na elimu hii haikuwa mpya kwao, na wao kwayo wana maarifa nayo ya kina na mapokezi mapana.Wakasema kana kwamba umemkusudia Abu Talib: Akasema: ‘Enyi…..!’ Wote wakasimama na nikasimama pamoja nao, tukabisha hodi akatutokea mwanaume mzuri wa uso, amejifunga shuka, naye ni mzee, wakamwendea wakamwambia: ‘Ewe Abu Talib, bonde limekauka na watoto wana njaa, tunakuomba tuombee mvua.’ Akatoka akiwa pamoja na kijana – naye ni Nabii (s.a.w.w.) - kana kwamba ni jua lenye kuangaza limefunikwa na mawingu meusi, na pembezoni mwake kuna vijana. Abu Talib akamchukua akauegemeza mgongo wa kijana kwenye Ka’aba, na kijana akaomba, yaani akaashiria kwa kidole chake mbinguni kama vile mwenye kuomba mwenye kuhitajia, na angani hapakuwa na wingu, mawingu yakaja toka huko na huku na bonde likafunikwa, manyunyu yakawa mengi na bonde likawa la kijani.”43 Hakika ni kumdhulumuAbu Talib kalamu zetu pungufu, dhaifu na kondefu kuandika, zitawezaje kuandika mbele yaMuumba wa mbingu na ulimwengu, ambaye anafichua johari ya mtu huyu, ambapo dua yake inajibiwa haraka na kue43

Ibnu Asakir na Siratul-Nabawiiya, Juz: 1, uk; 80 54

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 54

6/13/2013 2:10:44 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

leza kwamba yeye ni mja kati ya waja wetu wachamungu na anacheo, daraja na utukufu kwa utii wake kwa Mwenyezi Mungu, yeye ni walii na muumini, Mwenyezi Mungu anampenda. Haya ndio tunayoyafahamu kwa muombezi, yeye ni Mtukufu mwenye heshima ya juu mbele ya Muumba Wake. Huyu ndio Abu Talib, na aliye mfano wake inastahiki Mwenyezi Mungu kufichua uhalisia wake na utukufu wake kwa watu, na kumjua zaidi na kuzibwa midomo ya wenye kumhasidi, na kuuangaza uhalisia wake katika historia, na Mwenyezi Mungu azipige kofi nyuso za waongo ambao wanataka kupindisha, na hali Mwenyezi Mungu anataka njia iliyonyooka. Na matakwa ya Mwenyezi Mungu daima ni yenye kushinda, kwa sababu ameahidi kutimiliza nuru yake milele: “Na Mwenyezi Mungu atakamilisha Nuru Yake ijapokuwa makafiri watachukia.”44 Vinginevyo vipi ungeweza ukweli huu kutufikia licha ya kuwepo watu ambao wametaka kuuficha. Ndio, wametaka kuuficha kwa panga, kwa kalamu, kwa uongo na kwa kila njia ya watu wa batili kadri walivyo vumbua, hakuna zana waliyoipata ila waliitumia katika kuipiga vita haki kwa ujahili wao na ujinga wao. Lakini mwenye kupigana na haki itamshinda kama anavyosema Amirul-Mu’minin (as): “Kwa sababu haki ina nguvu kwa nguvu ya Mwenyezi Mungu, na mazingatio ni hatima, ambapo zama haikusimama na haitosimama. Mwenyenzi Mungu ni mwenye kutimiza nuru yake hata kama makafiri watachukia.” Ewe Abu Talib! Ewe mtukufu! Ni mema mangapi uliyo nayo, ambayo unadai kwa Waislam wote, hadi hapo Mwenyezi Mungu atakapoirithisha ardhi na walio juu yake. Je, hu44

Suratu Saf: 8 55

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 55

6/13/2013 2:10:44 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

kuwa ngao ya ujumbe wa Muhammad? Je, hukuwa hifadhi imara kwa Nabii wa Ummah? Je, hukumaliza uhai wako na hali wewe una uchunga na kuulinda na kuukinga uhai wake (s.a.w.w.) kwa nafsi yako na roho yako dhidi ya mishale ya maadui zake, huku ukiweka ini lako katika shabaha ya mikuki yao kumkinga yeye (s.a.w.w.)? Je, hukuwaweka watoto wako, nao ndio pande la ini lako tukufu kwa ajili ya kumhami Mtume wa Mwenyezi Mungu? Wewe ni mtukufu na utukufu wako ni kutokana na utukufu wa Muumba Wako. Kwa kweli nakuomba msamaha kwa kuitumbukiza nafsi yangu ndogo kati ya wale wenye kuandika juu ya watukufu. Sisi tunamswalia na kumsalimia Muhammad na kizazi chake, tunataka kwa hilo kunyanyuka daraja zetu mbele ya Mwenyezi Mungu. Eee, amani iwe juu yako ewe ngao ya Mtume wa Mwenyezi Mungu, ewe Mwenye kumhami Mtume wa Mwenyezi Mungu. Salamu ikufikie, salamu ya mtu mwenye kupenda, mwenye kuheshimu cheo chako na mwenye kujua fadhila zako na nuru yako, licha ya kuwepo dhulma ya wapingaji.

56

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 56

6/13/2013 2:10:44 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

ABU TALIB NA ISHARA KABLA YA DA’AWA

N

abii (s.a.w.w.) anakulia katika malezi ya Abu Talib na zinaenea alama za utume wake katika anga la kisiwa cha Kiarabu, na zinaanza dalili za utume zile ambazo zilionyeshwa na vitabu vya mbingu ni na watu wa dini ambao wana maarifa na alama za utume, na zile zilizokuwa zinaandamana naye katika maisha yake tangu utotoni hadi ukubwani mwake. Hayo yote yakiwa ni maandalizi ya mbinguni katika harakati za kuchomoza daawa yake tukufu, na yote hayo yalikuwa chini ya uangalizi wa muumini mtukufu ami yake, Abu Talib. Na alikuwa anakumbuka ukumbusho wa mwenye kujua mwenye kusubiri tukio kubwa. Imekuja katika Siratun-Nabawiyah Juz. 1 Uk. 89 na Siratul-Halabiyah Juz. 1 Uk. 139, kwamba Mtume (s.a.w.w.) alikuwa pamoja na Ami yake Abu Talib katika eneo la Dhil-Majaaz ambapo hapakuwa hata na tone la maji, akamweleza mtoto wa ndugu yake makali ya kiu, basi Mtume wa Mwenyezi Mungu akapiga juu ya jiwe kwa mguu wake mtukufu, maji yakabubujika mbele ya macho ya ami yake Abu Talib, akanywa hadi akakata makali ya kiu.

Na wakati mmoja Kuhani alimshuhudia pamoja na Abu Talib kama ilivyokuja katika Siratul-Hashimiya Juz. 1,Uk. 190, na Siratul-Halabiya Juz.: 1,Uk. 139. Kuhani akasema kwa kumshangaa kijana: “Mlete kwangu.” Abu Talib aliposikia mazingatio na msisitizo huu, basi akamficha Muhammad (s.a.w.w.)haraka, na hiyo ni baada ya Kuhani kupiga kelele: “Ole wenu! Mrejesheni kwangu kijana ambaye nimemuona hivi punde! Wallahi hakika atakuwa na jambo kubwa.” 57

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 57

6/13/2013 2:10:44 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

Hakika wewe ni mwenye kubarikiwa

H

akika hili ni neno ambalo alikuwa analisema Abu Talib: “Hakika wewe ni mwenye kubarikiwa,” kwa mtoto wa ndugu yake mwenye kubarikiwa Muhammad (s.a.w.w.), na hiyo ni pindi alipokuwa kijana mdogo analeleka katika nyumba yake tukufu pamoja na watoto wake.Chakula walichokuwa wanakiandaa katika nyumba ya Abu Talib kilikuwa hakitoshi kwa sababu ya ufakiri, kwa sababu hiyo Abu Talib alikuwa anamwita mtoto wa ndugu yake katika meza ya chakula, na anapohudhuria Nabii (s.a.w.w.) basi Mwenyezi Mungu alikuwa anatia baraka katika chakula hicho na hawaondoki mezani isipokuwa wote wameshiba. Hii ni ukiachilia ziada katika chakula hicho, hivyo ami yake alikuwa anamwambia hakika wewe ni mwenye kubarikiwa. Ni utukufu ulioje wa nyumba tukufu ambayo humo yumo Abu Talib, watoto wake na mtoto wa ndugu yake Al-Mustafaa (s.a.w.w.). Ilikuwa Mzee wa Makka (Abu Talib) anapolazimika kusafiri kwenda Sham na kumwacha yatima Muhammad, basi humfikia katika masikio yake sauti ya Mustafaa (s.a.w.w.) ikisema: “Ewe ami yangu unaniacha na nani, na mimi sina baba wala mama?” Hapo machozi ya Abu Talib yanatiririka katika mashavu yake matukufu, pamoja na machozi ya Mustafaa (s.a.w.w.), hapo Mzee wa Makka anashindwa kuvumilia hadi anasema: “Wallahi atatoka pamoja na mimi na hatoniacha mimi, wala mimi sitomuacha abadani.” 58

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 58

6/13/2013 2:10:44 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

Ami anafurahi kuandamana na mtoto wa ndugu yake katika kipando kimoja, na njiani wanapitia kwa mchungaji katika kibanda chake, mjuzi wa elimu ya kinaswara anayeitwa Buhairah, hiyo ni kama ilivyokuja katika Siratul-Halabiyah, Siratun-Nabawiyah, Kaamil ya Ibnul-Athiyr na katika Tabariy. Huyu mchungaji anamuuliza ami yake Abu Talib: “Huyu kijana ni nani kwako?” “Ni Mtoto wangu.” Mchungaji akasema: “Si mtoto wako, au hapasi kijana huyu baba yake kuwa hai.” Abu Talib ana jibu: “Ni mtoto wa ndugu yangu.” “Baba yake amefanyaje?” “Amefariki hali yakuwa mama yake ni mjamzito.” “Umesema kweli! Rejea na mtoto wa ndugu yako katika nchi yake, na jihadhari na Mayahudi. Wallahi kama watamuona na wakamjua watamdhuru, hakika mtoto huyu wa ndugu yako atakuwa na jambo kubwa, fanya haraka kumrejesha katika nchi yake.” Maalumati haya yanarundikana katika kumbukumbu ya Mzee wa Makka, na katika akili yake tukufu. Na hivyo siku moja akatuletea busara ya beti za shairi ambazo zinapamba uso wa historia ya mwanadamu, ambapo Mzee wa Makka alisema kwa maarifa, elimu, fadhila na nuru inayopenya katika historia na kuangazia siku zake hadi leo hii, na hadi milele: “Hakika mtoto wa Amina, Nabii Muhammad, kwangu anapita daraja ya watoto. 59

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 59

6/13/2013 2:10:44 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

Nilichunga kwake ukuruba wa uhusiano, na kwake nimehifadhi wasia wa mababu. Nimemwamuru kwenda baina ya ami zake, mwenye uso mweupe kiunganishi cha utukufu. Hadi kaumu watakapoona watashuhudia, kuwa wamepata katika shirki adhabu. Elimu imewaambia maneno ya kweli kuhusu yeye, na wakapinga wengi wenye husuda. Kaumu ya Mayahudi waliona waliyoyaona, kufunikwa na mawingu na weupe wa anga. Walitaka kumuuwa Muhammad, akawakataza, na akapigana jihadi kali sana. Zuberi akamsifu mchungaji kwa sifa, katika kaumu baada ya mjadala kutofautiana. Akazuia mzozo kwa kauli yake, elimu inayoafiki jambo lake kwa uongofu.� Pia amesema: “Je, hujaona baada yao nilikusudia kumwacha, asiye na wazazi wawili. Hakuvumilia baada ya kupanda farasi wangu, nikiwa tayari kuondokana hali nimeshamwaga kwa amani. Alilia kwa huzuni na kutafuta maisha kumetutenganisha, na nilishashika hatamu kwa viganja viwili. 60

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 60

6/13/2013 2:10:44 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

Nilimkumbuka baba yake machozi yakalengalenga, yakatiririka machoni mfululizo. Walikuja hali wameshadhamiria kumuuwa Muhammad, akawarejesha kwa hoja madhubuti. Kwa kuawili kwake Taurati hadi wakapata yakini, na akawaambia mmepita mapito mabaya. Je, mnataka kumuuwa Nabii Muhammad, mmefanya na mmedhamiria juu ya kosa kwa madhambi ya muda mrefu. Na hakika ambayo tunayachagua kwake ni kumlinda, kumtosheleza dhidi yenu na dhidi ya hila ya kila dhalim. Hiyo ni kati ya tangazo lake na ubainifu wake, na mchana si uko dhahiri kuliko giza.� Hivyo ndivyo Abu Talib anavyofahamu nuru ya utume katika uchanga wake na anaona mwanga wake wenye kuangaza, yeye ndiye ambaye hakuacha kuandamana naye, anaizunguka kwa ulinzi wake mtukufu kila anapoweza kufanya hivyo. Na Nabii (s.a.w.w.) anakua na anaona ni vema amtafutie kazi nzuri, hivyo anaonelea atoke na biashara ya mmoja wa matajiri. Khadija akasikia habari na akatuma ujumbe kwake akitaka atoke na biashara yake, naye ndio mwenye bahati njema, ambapo aliwatangulia wengine kupata chumo hili tukufu, Nabii Muhammad (s.a.w.w.) akaenda na akarejea na faida kubwa, na Khadija akasikia kutoka kwa (Maisarah) mtumishi wa Khadija ambayo yalimshangaza miongoni mwa utukufu wa Nabii, ukarimu wake, tabia yake njema, na utukufu wa sifa zake, ambapo bibi Khadija Mtukufu alizingatia sana hili, kwamba asiwe na mume mwingine isipokuwa Yeye. 61

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 61

6/13/2013 2:10:44 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

Na akatuma mtu mwenye kufikisha fikra hii kwa Mtume wa Mwenyezi Mungu na ujumbe Mtukufu ukafika, na Abu Talib bwana wa Makuraishi akaenda kumposa na akasema: “Tunamshukuru Mwenyezi Mungu kwa kutujaalia miongoni mwa kizazi cha Ibrahim na uzao wa Isma’il na asili yake, tunahesabiwa kuwa ni sehemu ya Mudhar, na akatujaalia kuwa ni waangalizi wa nyumba yake na waongozaji wa nyumba yake, na akatujaalia nyumba yenye ulinzi na nyumba yenye amani, na akatujaalia kuwa ni waongozaji wa watu. Kisha Mtoto wa ndugu yangu huyu Muhammad bin Abdillah halinganishwi na yeyote isipokuwa atamshinda kwa utukufu, wema, fadhila na akili, ingawa kuna upungufu katika mali lakini mali ni kitu chenye kuondoka, na ni jambo la muda, na la kuazima na kurejesha. Muhammad ambaye mmeshajua ukuruba wake, ameshamposa bibi Khadija binti Khuwaylid na ameshalipa kwa taslimu na kwa baadaye – kadhaa- na yeye Wallahi baada ya haya atakuwa na jambo tukufu, kubwa na zito.45 Hapa ni lazima tusimame kidogo kwa ajili ya kueleza baadhi ya yaliyopokewa katika hotuba hii, katika maneno ya Abu Talib na yale inayoyaashiria hutuba hii miongoni mwa hazina muhimu ya huyu bwana Mtukufu: 1. Kusisitiza kwake juu ya utukufu wa Nabii Mtukufu, hakika yeye ana nafasi ya juu ambayo halinganishwi na yeyote. 2. Abu Talib ameapa kwamba hakika Muhammad ni mtoto wa ndugu yake atakuwa na jambo kubwa na jambo tukufu adhimu, hii inaonyesha juu ya elimu ya Abu Talib na maarifa yake juu utume unaokuja wa mtoto wa ndugu yake, 45

Siratun-Nabawiyah Uk. 106, Siratul- Halabiya Uk. 165. 62

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 62

6/13/2013 2:10:44 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

na kutambua kwake nafasi ya jambo hili katika nafsi yake, vinginevyo asingelitaja kwa njia hii na kujifaharisha kwayo mbele ya hafla. Na Mwenyezi Mungu Mtukufu akakamilisha ndoa tukufu ya mbora wa viumbe wote. Na hapo bwana wa Wazee wa Makka, akawa amemaliza kwa hilo hatua ya uangalizi wa Nabii (s.a.w.w.) baada ya kusimamia malezi yake na uangalizi wake akiwa mdogo,na kisha kumfundisha biashra na safari na kuongoza suala la hotuba ya posa na kumuozesha kwa bibi Khadijatul-Kubraa. Pongezi kwako, hii ni fadhila kubwa ewe bwana wa Wazee wa Makka, ewe bwana wangu na kiongozi wangu, ewe Abu Talib, ni nani anayekukaribia kwa fadhila, ewe mlezi wa bwana wa Mitume. Mwenyezi Mungu amekunyanyua katika daraja la juu la wema kwa kumhifadhi na kumlinda Nabii Wake na kipenzi Chake al-Mustafaa (s.a.w.w.). Mwenyezi Mungu akulipe malipo mema.

63

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 63

6/13/2013 2:10:44 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

KIPINDI CHA DA’AWA

N

a Abu Talib akaingia- huyu shujaa ambaye Mweyezi Mungu amemchagua kuwa mlinzi wa Nabii |Wake – katika kipindi kipya katika kumlea mtoto wa ndugu yake, kipindi hiki si kama cha mwanzo ambacho kwa kiasi fulani kilikuwa na taabu lakini bila ya vita na hatari zake. Kipindi hiki ndio kilele cha aliyokabiliana nayo Abu Talib kati ya changamoto ambazo zinaonekana katika ukatili wa Makuraishi, ubabe wake, ugumu wake na lawama zake katika kupambana na ujumbe, mwenye ujumbe na anayesimama pamoja naye, lakini ni lazima kwa Abu Talib afanye kazi inayopasa kwake na ambayo Mwenyezi Mungu ameikadiria kwake, naye ndio anayefaa kwa kazi hii, kwani alitoa kila anachoweza katika kuihami daawa na mwenye daawa, alitoa hadhi yake, mali yake nafsi yake, familia yake hadi akakutana na Mola Wake. Natumwangalie Abu Talib katika muono huu, naye anakwenda samabamba pamoja na utume hatua kwa hatua, na tutazame na tuangaze kwa makini ili tuone ufafanuzi katika misimamo yake kwa Nabii na ujumbe wake, na ibainike kwa msomaji maarifa ya huyo mtu Mtukufu. Kipindi hiki ni kipindi cha kuingia katika ulingo wa mapambano na nguvu zilizokuwepo katika utawala wakati huo, na ambazo zinawakilisha utawala wa kisiasa uliokuwa unatawala kwa msemo wa kileo, na mengineyo mfano wa hayo miongoni mwa nguvu zilizosimama kidete mbele ya kila anayekaribia au anayegusa utawala, na hapa inabainika umadhubuti wa mwenye kuunga mkono, mwenye kunusuru na muoga mwenye msimamo usiofungamana na upande wowote, na mpiganaji….! 64

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 64

6/13/2013 2:10:44 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

Mwenyezi Mungu Mtukufu anamfikishia Nabii Wake (s.a.w.w.) juu taklifu kubwa ya Mwenyezi Mungu, na anamwamuru kudhihirisha jambo lake, siku ambayo Abu Talib alikuwa anasubiria kwa muda mrefu kuchomoza kwake. Na masikio ya Abu Talib hayakuacha kusikia bishara za daawa ya Muhammad huku nuru ya Uislam imeshachomoza, isipokuwa dhamira yake ilifurahi na uso wake kuwa mkunjufu na moyo wake kupumua na kubainika kwa furaha ya nuru ya uso wake mwangavu, na kwa kutamka maneno haya yenye nuru mbele ya mtoto wa ndugu yake, kipenzi chake na kipenzi cha Mola wa mbinguni, Mtume wa Ummahh huu Muhammad (s.a.w.w.) ambapo alimwambia: “Toka ewe mtoto wa baba yangu, hakika wewe ni mwenye daraja tukufu, mwenye kuzuia huzuni na ni baba mtukufu zaidi. Wallahi hautokuandama ulimi mbaya isipokuwa nitaukabili kwa makali ya mkuki na kung’olewa na upanga wa chuma,Wallahi kwayo utawadhalilisha Waarabu udhalili wa mnyama kwa mtoto wake. Na baba yangu alikuwa anasoma kitabu chote, na alishasema hakika katika kizazi changu kuna Nabii natamani nifike katika wakati huo na kumwamini, atakayefikia miongoni mwa watoto wangu basi amwamini.”46 Na mwenye akili anafahamu wazi kwamba hapa Abu Talib hakuamini wakati huu bali alikuwa amemwamini Nabii, Muumba Wake na ujumbe tangu kabla, na alikuwa anasubiri kutangazwa kwa shauku ya muumini mwenye yakini, sasa ndio anazungumza juu ya jambo la juu zaidi la kuamini ujumbe kwa yale aliyokuja nayo Nabii (s.a.w.w.), na ndio kujitoa muhanga na kutetea ujumbe huo katika kiwango cha juu kabisa, nayo ni kuutetea kwa upanga. Na sidhani kwam46

aqihi al-Hanabilah Ibrahim bin Ali Daniyuriy katika Kitabu Chake (NihayatuF Twalib wa ghaayatus –Suali fiy manaaqib Aaal Rasuli, na fiyl-Abbas uk: 18) 65

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 65

6/13/2013 2:10:44 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

ba yeyote atatetea kwa upanga na kutia nafsi yake katika hatari katika jambo ambalo haliamini. Na mfano wake katika hilo ni kama mfano wa mtu anayemtafuta baba yake aliyepotea miaka arubaini na amekaa muda wote huu, hivyo haachi jitihada katika lengo hili, anatafuta, anangojea, anahisi na anasubiri kama vile kusubiri kwa Ya’qub juu ya Yusuf (as). Na anapompata mzazi wake yuko mbele yake hahitaji kumwambia mimi nakukubali kuwa baba, bali atajitupia mbele ya mikono yake na kumwangukia miguuni na kuibusu kwa furaha, kwa kumpata na kukata kiu ya nafsi yake na roho yake kwa bashasha na furaha, kama ilivyofurahi nafsi ya Ya’qub kwa Yusuf (as) pindi aliponusa kanzu yake. Vivyo hivyo ndivyo alivyopokea Abu Talib habari ya daawa kutoka kwa mtoto wa ndugu yake Muhammad (s.a.w.w.). Na vivyo hivyo Mwenyezi Mungu anaunga mkono daawa ya Nabii Wake kwa ngao hii imara, ili Nabii aondokee katika daawa yake katika mazingira imara, ambayo yanaimarisha nyayo zake katika hatua zake tukufu hali yakuwa anautulivu na matumaini kamili kwamba, Mwenyezi Mungu atamhami kupitia ami yake mwenye nguvu: “Na Wallahi hautokuandama ulimi mbaya isipokuwa nitaukabili kwa ndimi kali na utango’olewa na panga kali.” Na hivyo Nabii (s.a.w.w.) akaendelea kwa baraka za Mwenyezi Mungu katika daawa yake, naye (s.a.w.w.) akiwa ndio anahudhuria mahafali ya kwanza, analingania kaumu yake kwa Mwenyezi Mungu pale iliposhuka Aya ya kuonya. “Nawaonye jamaa zako wa karibu.” Hivyo akamwamuru mtoto wa ami yake Ali bin Abu Talib (as) kuwaita jamaa wa 66

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 66

6/13/2013 2:10:44 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

karibu na kuwalingania katika dini ya Mwenyezi Mungu. Ami yake Abu Talib akajitokeza kwa kujibu kana kwamba anakamilisha maneno ya Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) akasema: “Inapendeza kiasi gani sisi kukusaidia wewe, tumekuja kusikiliza nasaha zako na kukusadikisha kikweli kweli mazungumzo yako, hawa ni ukoo wa baba yako, wamekusanyika na hakika mimi ni mmoja wao, isipokuwa mimi ni mwepesi mno kwa unayoyapenda, endelea katika uliyoamrishwa,Wallahi sitoacha kukulinda na kukuhami.�47 Hapa ni lazima mtu aulize swali muhimu nalo ni: Je, dauru ya Abu Talib haikuwa ni kumnusuru Mtume na daawa yake na ni lazima afiche imani yake kwa Makuraishi ili aweze kuwa mlinzi mbele ya upinzani wa Makuraishi na kuzuia mikono yao kwake, kwa kuzingatia nafasi ya Abu Talib na Makuraishi kama vile kaumu ya Swaleh, ambapo walimwambia kama sio kundi lako tungekupiga mawe, vivyo hivyo Makuraish waliacha kumuuwa Mtume kwa kumuogopa Abu Talib na nafasi yake na kutomkosa. Abu Talib alikuwa anaficha Uislam wake kamili na hakuwa anadhihirisha ukafiri, bali alikuwa katika werevu na akili ambapo alikuwa mashuhuri kwa sifa hizo, naye ni mshairi mwenye hekima na msemaji, hivyo hakuacha mnasaba isipokuwa humo alimsifu Nabii na dini yake na kunyanyua jambo lake, na hivyo nguzo za daawa na ujumbe zikapata nguvu, na ikaimarika michipuo yakijamii katika kuisadikisha daawa hii ya Mwenyezi Mungu. Na katika upande mwingine hakuwa anasema wazi mimi ni Muislam, na wakati huo huo hakuwa anasifu au kunyanyua upande wa shirki na ukafiri, na hakuwataja kwa kheri hata mara moja ili kunyanyua jambo lao na kuwapa nguvu, na akilazimika katika hilo basi ni lazima atumie hila na ujanja 47

Al-Kaamil cha Ibnu Athiyr, Juz. 2, Uk. 41. 67

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 67

6/13/2013 2:10:44 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

ambao haukosi, kwani yeye ni mwerefu mwenye akili, alikuwa anasema juu ya dini ya baba zake Abdul-Muttalib, naye anakusudia dini ya haki ambayo imewaunganisha na Manabii, nayo ni mila ya Ibrahim (as) iliyo tukufu na safi, kama ilivyo maarufu, na kwa sababu hiyo Abu Talib alipoikubali daawa ya Nabii (s.a.w.w.) ya kuonya kama ilivyotangulia alisema: “Unapendezaje msaada wetu kwako, Wallahi sitaacha kuwa nakulinda na kukuhami.” Lakini alipoona macho katika nyuso za wenye hasira hawavutiwi na maneno haya, na yanamwangalia kwa husuda mbaya, Abu Talib akawahi na akasema: “Isipokuwa mimi siwezi kuacha dini ya Abdul-Muttalib.” Hivyo ndivyo ilivyokuwa imani yake madhubuti katika moyo uliowazi mbele za watu kama ulivyo uwazi wa Abu Dhari al-Ghaffariy, na wala hakuwataja waungu wao kwa kheri kama vile Ammar bin Yasiri. Na mfano wake katika Qur’ani ni kama mfano wa Muumini wa Aali Fir’aun, na utakuja ufafanuzi wake kwa kirefu katika sehemu ijayo katika kitabu hiki Inshaallah. Pamoja na kwamba Abu Talib ameashiria kwamba yuko katika mila ya Abdul-Muttalib isipokuwa Abulahab hafurahishwi na maneno haya kutoka kwa kaka yake Abu Talib, na anaogopa maneno yake kupelekea waliohudhuria kukubali daawa ya Nabii (s.a.w.w.), hivyo anawahi kwa kusema: “Wallahi huu ni uovu, uchukueni mikononi mwake kabla hawajauchukua wasiokuwa nyinyi.” Na Abu Talib anajibu: “Wallahi tutamlinda maadamu tuko hai.” Hongera mwanajihadi Abu Talib! Jihadi yake ilianza dhidi ya mtoto wa baba yake tangu awali, anakasirika mbele ya uso wa kaka yake na mbele ya wote kwa ajili ya kumtetea Nabiii (s.a.w.w.) na katika maneno ambayo Abu Talib alilazimika 68

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 68

6/13/2013 2:10:44 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

kumkemea huyu kafiri Abulahab na kumuona mpumbavu, alisema: “Nyamaza ewe mwenye chongo una nini wewe na huyu?” Wakati ambapo tunamkuta anaonyesha upole na huruma kwa mtoto wa ndugu yake na anamwambia kwa unyenyekevu na adabu ya muumini ambapo anamwambia Nabii: “Simama ewe bwana wangu na zungumza utakayo na fikisha ujumbe hakika wewe ni mkweli mwenye kusadikishwa.” Ni unyenyekevu ulioje kwa Abu Talib anapomsemesha mtoto wa ndugu yake ambaye amemlea akiwa yatima na akamlea hadi akafikia utu uzima, naye Abu Talib ni mkubwa kwake kiumri na katika cheo cha kijamii katika kaumu yake, lakini anamwita “Ewe bwana wangu!” Hakika ni unyenyekevu kamili juu ya ujumbe na utumwa kamili kwa Mwenyezi Mungu Mtukufu, hii ni nafasi ya utume ambayo iko juu ya kila cheo na huyu ni Abu Talib yule mja mwema ambaye anafahamu maana hii tukufu.

69

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 69

6/13/2013 2:10:44 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

MSIMAMO WAKE KWA WATOTO WAKE ALI, AQIYL NA JA’FAR

N

uru na utukufu wa Abu Talib unadhihirika wazi katika hali mbalimbali katika historia moja baada ya nyingine, na kila mojawapo ni nzuri zaidi kuliko nyingine kwa usafi na ung'aavu, huyu hapa anakutana na watoto wake mbele ya nyuso za vigogo wa kikuraishi kwa ajili ya kumtetea Nabii (s.a.w.w.) na daawa ingali bado haijakomaa, hatari za kidunia katika kukabiliana na nguvu za madhalimu ni kunusurika katika mtazamo wa muumini Abu Talib, anamwambia Ali (as) kama anavyopokea Ali (as) jinsi alivyoambiwa: “Baba yangu aliniambia: Ewe Ali, mwandame mtoto wa ami yako, hakika utasalimika kwake kutokana na kila ovu hapa na kesho. Kisha akaniambia: Hakika uaminifu ni katika kumwandama Muhammad, hivyo imarisha mikono yako katika kusuhubiana naye.” Na wakati mmoja anamuona Nabii (s.a.w.w.) anaswali na Ali yuko kuliani kwake, moyo wake ukajaa ukunjufu na furaha akamwambia mtoto wake wapili Ja’far Tayaar: “Unga bawa la mtoto wa ami yako swali, kushotoni kwake.”48 Roho yake ikajaa furaha na wema anapowaona watoto wake wawili ni nguzo katika dini ya Mwenyezi Mungu, mmoja wao yuko kuliani mwa Nabii na mwingine yuko kushotoni kwake, hapo ikamiminika kutoka kwake chemchem ya fasihi yake ya ushairi mtamu katika maneno yaliyopokewa ambapo anasema: 48

Sharh Nahjul-Balaghah ya Ibn Abiyl- Hadiyd, Juz. 3, Uk. 314 70

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 70

6/13/2013 2:10:44 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

“Hakika Ali na Ja’far ni tegemeo langu wakati wa shida na haja. Msinifedheheshe mnusuruni mtoto wa ami yenu, ndugu yangu kwa baba na mama yuko baina yao. Wallahi simfedheheshi Nabii wala, hamfedheheshi katika ukoo wangu yule mwenye heshima.” Pia anamwelekea ndugu yake Sayid Shuhadaa Hamza (Abu Ya’li) anamhimiza juu ya kumnusuru Nabii (as) na dini ya Mwenyezi Mungu, natusikilize mashairi mazuri anayomwambia katika kumnusuru Nabii na dini yake ambapo anasema: “Subiri ewe Abu Ya’li katika dini ya Ahmad. Kuwa mdhihirisha dini uliyeafikishwa subira. Mlinde aliyekuja na haki kutoka kwa Mola Wake, kwa ukweli na azma Hamza usiwe kafiri. Imenifurahikia uliposema wewe ni muumini, kuwa kwa Mtume wa Mwenyezi Mungu ni mwenye kumnusuru kwa ajili ya Mwenyezi Mungu. Walinganie Makuraishi kwa uliyokuja nayo, waziwazi sema Ahmad hakuwa mchawi.”49 Hapa msikilizaji haoni katika habari hizi isipokuwa utukufu wa Mwenyezi Mungu na namna gani Yeye amemnusuru Nabii Wake (s.a.w.w.) kwa nuru hii ya Kihashimiya, na anailinda kama anavyolinda sayari zenye kuangaza. Abu Talib ni nguzo na ngao na watoto wake Ali, Ja’afar na ami yake Hamza ni mashujaa. Liliburudika jicho la Nabii anapoona wanamzunguka kama vile simba imara, amani iwe juu yao wote. 49

Asnaul-Matalib, Juz. 10, Uk. 6 71

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 71

6/13/2013 2:10:45 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

Na huu ukawa msingi ambao utakuwa ni kituo cha kuondokea Nabii, kwani karibuni kitadhihiri kimbunga kikali kutoka kwa vigogo wa kikuraishi watakapohisi hatari katika masilahi yao kutokana na nuru hii yenye kuangaza, ambayo imeanza kupasua giza nene, na wameanza kuhofia masanamu yao yenye kutoweka ambayo yalikuwa yanawadundulizia diriham na dinari, vyeo vya kijeuri na mamlaka dhalimu pasipo haki, na ibada potovu zisizo na hoja. Daawa ya Nabii ikamea na kuenea nuru yake kama nuru ya jua linapochomoza katika usiku wa kiza, na makuraishi wakatetemeka na wala hawana mbinu yoyote baada ya kushindwa kuzuia nuru yenye kuangaza kwa hila zao za kipuuzi na dhaifu, isipokuwa kwenda kwa Abu Talib katika jaribio jingine ili awaombee kwa mtoto wa ndugu yake, hivyo linakwenda kundi miongoni mwao kwa Abu Talib na kumwambia: “Ewe Abu Talib, hakika mtoto wa ndugu yako amewatukana miungu wetu na ameiaibisha dini yetu, na amepuuza matarajio yetu na amewapoteza baba zetu, hivyo ima umzuie kwetu na ima utuache sisi na yeye, hakika wewe uko katika mfano tulionao sisi juu yake katika ikhitilafu, hivyo tutakutosheleza kwaye.” Hapa Abu Talib akatumia nafasi yake kwa kila werevu na akajaribu kumeza mbinyo ili usifike kwa Mtume (s.a.w.w.) kwa diplomasia yake ya hali ya juu – kwa msemo wa kileo- na hivyo wanaondoka bila ya athari yoyote kwa Mtume (s.a.w.w.) na bila ya kuleta ghadhabu juu yake, kana kwamba anawapa ganzi inayochukua muda mrefu, na unapita muda mrefu katika hali yao na Mtume anakuwa ameshakata ­masafa marefu katika daawa yake kadiri livyowezekana na wanarejea tena mara nyingine. 72

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 72

6/13/2013 2:10:45 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

“Ewe Abu Talib hakika wewe una umri mkubwa na utukufu – kwetu- tulishakutaka umkanye mtoto wa ndugu yako kwetu na hukumkanya,na hakika hatuwezi kusubiri tena juu ya haya katika kutukanwa baba zetu na kupuuzwa matarajio yetu na kuaibishwa waungu wetu, hadi umzuie dhidi yetu au tumpige vita pamoja nawe katika hilo, hadi lihiliki moja kati ya makundi mawili.”50 Hapa zikabainika ishara za vita na mapambano ya silaha katika ndimi za vigogo wa Kikuraishi. Je wakati unaruhusu vita na mapambano, na je, vita ni masilahi ya daawa changa? Jawabu liko wazi kwamba wakati na mazingira yaliyopo, vita si kwa masilahi ya Nabii (s.a.w.w.) na daawa yake, hivyo ni lazima kwa Abu Talib kuonyesha kuafiki ili kutuliza hasira za Makuraishi na bila ya kulegeza msimamo wa kivitendo katika upande wa haki, na nilazima kwa Abu Talib afikishe ujumbe kwa Nabii ili Makuraishi waridhike, na lazima Makuraishi waone kwamba Abu Talib anashirikiana pamoja nao na kwamba anatoa juhudi kubwa kadri awezavyo, na baada ya hapo atabaki kuwa ni mwenye kuhifadhi nafasi yake kwao na mwenye nguvu, ni mwenye haiba, na nguvu yake inaogopewa katika upande wa Makuraishi, na Makuraishi wanaogopa kubadilika kwake na kuwa dhidi yao, na hivyo panga zao zikakosa nguvu, na hilo ndio linalotakikana kwa Abu Talib. Kwa ajili hiyo tunakuta Abu Talib anafikisha ujumbe na kuonyesha ushirikianao pamoja na Makuraishi, naye anajua ni lipi jibu kutoka kwa mtoto wa ndugu yake Nabii (s.a.w.w.), na anajua kwamba jawabu linafungamana na mbingu, na liko mbali na matamanio, akamfikishia Nabii (s.a.w.w.) ma50

Al-Bidaya Wanihaya Juz: 3, Uk. 47 73

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 73

6/13/2013 2:10:45 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

zungumzo ya Makuraishi kama walivyosema: “Ewe Abu Talib hakika wewe una umri mkubwa, utukufu na cheo kwetu, na hakika sisi tulikutaka umkanye mtoto wa ndugu yako na hukumkanya, na hakika sisi Wallahi hatutasubiri katika hili, katika kuwatukana waungu wetu na kupuuza matarajio yetu na kuwaaibisha waungu wetu, hadi umzuie au tumpige vita pamoja nawe katika hilo, hadi lihiliki moja kati ya makundi mawili.”51 Na hapa anasema kwa sababu ambazo tumezitaja awali: “Bakisha kwa ajili yangu na kwa ajili ya nafsi yako na usinibebeshe jambo nisiloliweza.” Abu Talib anafurahi anafarijika na kuheshimu jawabu la mtoto wa ndugu yake Nabii (s.a.w.w.), nalo analinukuu kwa Makuraishi ambapo al-Mustafaa (s.a.w.w.) alisema: “ Ewe ami yangu, kama wataweka jua kuliani mwangu na mwezi kushotoni mwangu ili niache jambo hili, sitoliacha katu, hadi Mwenyezi Mungu alidhihirishe au nife kwa ajili yake.”52 Na yanadhihirika katika msimamo huu mambo mawili: Kwanza: Makuraishi wataongeza nguvu za mapambano dhidi ya Nabii na Abu Talib na wala hawataacha nguvu yoyote katika kuzidisha mapambano. Pili: Hakika Abu Talib atahamia katika hatua ya jihadi ngumu na nilazima ajiandae kwa ajili ya mapambano makubwa kwa ajili ya kumuunga mkono Nabii (s.a.w.w.) katika upande mwingine, kwa ajili hiyo tunamkuta Mzee wa Makka Abu Talib mtukufu, haogopi katika kuweka wazi msimamo huu mpya katika kumsaidia Nabii (s.a.w.w.), katika kueleza 51 52

Al-Bidaya Wanihaya Juz: 3, Uk. 47 Tarikh Tabary Juz. 3 Uk. 366 74

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 74

6/13/2013 2:10:45 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

­ simamo mpya kwa Ummahh, ulimwengu na historia, amm bapo alimwambia mtoto wa ndugu yake al-Mustafaa (s.a.w.w.) msimamo aliochukua kutoka katika nuru na moto, nuru ya Mtume wa Mwenyezi Mungu na moto wa Makuraishi: “Nenda ewe mtoto wa ndugu yangu, sema utakayo,Wallahi sitokusalimisha kwa chochote abadani.”53 Kisha yakatiririka mashairi ambayo ni nuru na imani: “Wallahi hawatofika kwako kwa wingi wao, hadi niwe nimezikwa mchangani. Tangaza unayoamrishwa usiwe na hofu, furahi kwa hilo na kuwa na utulivu. Umenilingania nanishajua kuwa ni mwenye kunipa nasaha. Nimeshakusadiki na nilikuwa kabla mjinga. Na nimeshajua kwamba dini ya Muhammad, ni dini bora kati ya dini za binadamu.”54 Unaona misimamo ya Jabali hili imara madhubuti Abu Talib Mzee wa Makka, ambayo inafichua siri yake, na hayo ni machache tu kati ya mengi yaliyotufikia, licha ya kwamba yalikabiliwa na mazingira ya uadui kati ya dhulma na chuki dhidi ya kizazi cha Nabii (s.a.w.w.). Na muda si mrefu tutaeleza baadhi ya misimamo yake mitukufu pamoja na Nabii (s.a.w.w.) katika kuitetea haki. abariy Juz.2, Uk. 64- 67, Siratu Nabawiya Juz. 1, Uk. 196 Siaratul-Halabiya na T Siratul-Hashimiya. 54 Siratun-Nabawiya, Uk. 85 na 197, Hisham Daamiya Uk: 167, al-Kashaaf Juz. 1, Uk. 448 53

75

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 75

6/13/2013 2:10:45 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

Biashara mbaya na mfuasi bora

N

a kama anavyoashiria Imam Ja’far bin Muhammad asSadiq (as) aliposema: “Sifa zote njema ni za Mwenyezi Mungu ambaye amejaalia maadui zetu kuwa ni wapumbavu, Makuraishi walikuja na ghadhabu na mkanganyiko kutokana na nguvu ya Nabii (s.a.w.w.), na kumweleza Abu Talib jambo hili lakipumbavu, ambapo walimjia na wakamwambia: ‘Ewe Abu Talib huyu hapa ni Amarah bin Walid, mchukue utapata akili yake na msaada wake, na mfanye kuwa ni mtoto wako, na utukabidhi mtoto wa ndugu yako, huyu ambaye amekhalifu dini yako na dini ya baba zako, na amefarikisha jamaa ya kaumu yako na amepuuza matarajio yetu, ili tumuuwe kwani hiyo itakuwa ni mtu kwa mtu.’ Abu Talib akawajibu: ‘Wallahi ni mabaya mnayonifanyia, mnanipa mtoto wenu nimlishe kwa ajili yenu, na niwape mtoto wangu mkamuuwe! Wallahi haitakuwa hivyo abadani.’”55

Ghadhabu ya Abu Talib alipomkosa Nabii (s.a.w.w.)

M

simamo ambao unafichua uhalisia wa Abu Talib lau kama Nabii akipatwa na ubaya, ni msimamo unaofichua nafasi aliyonayo Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) katika nafsi ya Abu Talib, ni msimamo unaofichua ni nani Abu Talib na nini anaweza kufanya kwa Makuraishi kama

55

Al-Bidayatu Wanihayah Juz: 3, Uk. 48 76

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 76

6/13/2013 2:10:45 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

watamgusa Nabii (s.a.w.w.). Abu Talib alimkosa Mtume wa Mwenyezi Mungu wakati mmoja katika kipindi ambacho Makuraishi walikuwa wanamtishia na kudhamiria kumuuwa, akamtafuta na hakumpata, akashikwa na huzuni katika moyo wake na hofu ikaingia juu ya maisha ya Nabii, akaghadhibika sana, akatuma waitwe vijana wa Bani Hashim ukoo wa Nabii (s.a.w.w.), na akamwamuru kila mmoja afiche silaha kali ndani ya nguo zake na akamwamuru kila mmoja asimame kwa kiongozi kati ya wanaume wa kikuraishi, na lengo liko wazi kwani walikuwa wanasubiri ishara kutoka kwa Abu Talib, hivyo kama ataona yanayomuudhi juu ya Nabii hakika vichwa vya hawa makafiri havitakuwa isipokuwa katika upande wake sekunde moja tu. Huyu ndio Abu Talib ngao imara ya Nabii ambaye Mwenyezi Mungu kwaye amemnusuru Nabii Wake, naye ndio mwiba uliowatatiza washirikina wa Kikuraishi na vigogo wao, kwao alikuwa ni mkuki ulioelekezwa katika vifua vyao, na wala hawawezi kufurukuta kuikabili dini hata kidogo. Na uso wa Abu Talib ulimeremeta na kujawa na nuru alipomkuta mtoto wa ndugu yake yuko salama kutokana na adha, moyo wake ukatulia, lakini hakuacha fursa hii impite, akaitumia ili kubainisha kwa Makuraishi uhalisia wa nguvu ya Nabii (s.a.w.w.), akashika mkono wa Nabii (s.a.w.w.) na akapaza sauti: “Enyi Makuraishi, je mnajua niliyoyakusudia?” Akawaamuru vijana wake wafichue silaha zao na wakafanya hivyo, basi ikadhihiri kuvunjika moyo katika nyuso zao mbaya, na ilikuwa wazi zaidi katika uso wa Abu Jahali, na hapo Abu T ­ alib akawaambia: “Wallahi lau mngemuuwa nisingembakisha yeyote miongoni mwenu hadi tumalizike sote nyinyi na sisi.”56 56

Al-Hujjah Uk. 61 na Abu Talib Uk. 67 77

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 77

6/13/2013 2:10:45 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

Na Abu Talib anaandika tukio hili katika mashairi kama kawaida yake, ambapo anafichua kwayo siri ya mapenzi yake, ufuasi wake na huruma yake kwa Nabii Mtukufu (s.a.w.w.): “Eee wafikishie Makuraishi popote walipo, na kila siri zote kati yake ni ghururi. Hakika mimi na ngamia waendambio, na mapambano yanayofuatia nimashuhuri. Kwa Aali Muhammadni mlinzi makini, mahaba ya moyo wangu na dhamira. Siwezi kata udugu wangu na mtoto wangu, hata kama gharama yake itagharimu ngamia. Je, kundi lote la watoto wa Fihri linaamuru, kumuuwa Muhammad na jambo ni la uongo. Hapana naapa hawatofaulu Makuraishi, wala hawana busara wanaposhauri. Mtoto wa ndugu yangu ni sehemu ya moyo wangu, na maji yake meupe matamu na mengi, na kuyanywa vijana baada yake ni mazuri. Na Ahmad atakuwa ameshafariki. Eee mtoto wamtukufu wa Bani Quswai, kana kwamba uso wako ni mwezi wenye kung’ara.”

Msimamo wa Abu Talib Nabii anapopatwa udhalili na adha

M

akuraishi wanapoogopa kumuuwa Mtume wa Mwenyezi Mungu ni kwa sababu wameshajua kwamba hiyo ni hatari kubwa haiwezakani kuikaribia kwa kuwepo Abu Talib, hivyo walikimbilia kwenye mbinu ya udhalilishaji ili kuvunja shakhisiya ya Mtume na kukwamisha kutekeleza daawa yake kwa njia hii, hivyo walikuwa wanamwita mchawi na mara 78

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 78

6/13/2013 2:10:45 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

nyingine wanamwita kichaa na kadhalika, hadi ikasambaa na kuenea katika msemo, wakati mmoja Mtume wa Mwenyezi Mungu alizama katika kumuomba Mwenyezi Mungu wakati wa swala yake basi Abdillah bin az-Za’biy akamsogelea na kumtupia damu na uchafu wa ngamia hali ya kuwa amesujudu, Mwenyezi Mungu ndio anajua ni uchungu kiasi gani na masikitiko kiasi gani yaliupata moyo wa Abu Talib kipenzi cha Mustafaa, kwani yeye ni Mtukufu zaidi kuliko vilivyopo juu ya ardhi baada ya Mwenyezi Mungu, na kuelekeza udhalili huu kwake ni adha kubwa sana katika nafsi ya Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.), na Nabii hana mwingine zaidi ya ami yake Abu Talib wa kumwendea na kumweleza masaibu haya makubwa, Nabii alimwambia ami yake ninasibishe mimi ni nani? Abu Talib aliposikia tatizo hili akakasirika kwa ajili ya Mwenyezi Mungu na Mtume Wake, akamchukua mtoto wa ndugu yake na akaelekea kwenye mkusanyiko wa Makuraishi, na upanga wake uko begani mwake na walipohisi kuja kwake wakataka kukimbia, akapaza sauti: “Wallahi akisimama mtu nitamkata kwa upanga wangu.” Wakalala ardhini na hali wao wanajua ni nani Abu Talib anapokasirika kwa ajili ya Mtume wa Mwenyezi Mungu, na wanamjua kana kwamba ni katika wao, akamgeukia mtoto wa ndugu yake na kumwambia: “Ewe mwanangu nani aliyekufanyia haya?” Mtume akamuonyesha Ibnu Za’biy, akamsogelea na akamgiga pua yake kisha akaipitisha damu na uchafu kwa watu, na akapaka kwayo nyuso zao, ndevu zao na nguo zao, kisha akawaambia kwa ukali na akawadhalilisha, kisha akamrejea mtoto wa ndugu yake kwa kauli ya upole na ya sawa: “Ewe mtoto wa ndugu yangu: Umeri79

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 79

6/13/2013 2:10:45 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

dhika? Umeuliza wewe ni nani? Wewe ni Muhammad bin Abdillahi.” Na akaelezea nasaba yake tukufu. “Wewe Wallahi ni Mtukufu wao wa nasaba na ni mwenye daraja zaidi kuliko wao.” “Enyi Makuraishi, anayetaka kufurukuta na akuguse, Mimi ni yule mnayemjua.” Kisha akakariri kwa kuseama: “Wewe ni Nabii Muhammad, mtoto mtukufu kiongozi. Utawaongoza watukufu na wema, na ni mzuri uzao wao. Mti bora kwa asili yake, mtukufu wenye nguvu na umoja. Kulainika na kunyongeka ni katika finjani, na maisha Makka ni mabaya. Sunna imekuwa hivyo, humo kuna mmea laini. Sisi tunanywesha mahujaji maji, humo ananyweshwa mwenye kiu,Maazimaanna kinachokusanya, Arafa yake na Masjid. Vipi utaonewa nami sijafa, na mimi ni shujaa jasiri. Na mzee wa Makka haoni humo chakula kibaya, na watoto wa baba yako kana kwamba wao ni simba mkali aliyekasirika. Na nimekuta wewe ni mkweli, katika kauli huzidishi. Hujaacha kusema ukweli, tangu ungali mtoto mdogo.”

80

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 80

6/13/2013 2:10:45 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

Msimamo wake na masahaba wa Nabii (s.a.w.w.)

T

unaona ni namna gani alikasirika kwa ajili ya sahaba mtukufu Uthman bin Madh’un ambaye alikuwa ni wa kwanza kuzikwa Baqi’i, ambaye aliadhibiwa na Makuraishi kwa ajili ya imani yake na Uislam wake, kisha akatunga beti hizi: “Je, mwenye kutaja Mwenyezi Mungu hana amani, umekuwa mnyonge unalia kama aliye nahuzuni. Au mwenye kutaja watu wapumbavu, wanaowadhulumu wenye kulingania katika dini. Je, hamuoni Mwenyezi Mungu amedhalilisha wingi wao. Hakika sisi tumekasirika kwa ajili ya Uthman bin Madh’un, na inazuiwa dhulma kwa mwenye kutaka kutudhulumu. Kwa kila aliyefukuzwa katika ngome imara, na mapanga kana kwamba chumvi imechanganywa humo. Unapona kwayo ugonjwa wa mgonjwa mwenye wazimu, hadi wakiri wanaume kwamba humo hawana ndoto tena. Baada ya ugumu kwa upole na huruma, je, mnaamini kitabu cha ajabu kilichoshushwa kwa Nabii kama vile Musa au Dha Nuun.”57 Na Makuaraishi walipomwadhibu Abu Salamah bin Abdu Asad al- Makhuzumiy kwa ajili ya Uislamu wake hakupata mtu wa kumkimbilia isipokuwa ngome imara ya Waislamu Abu Talib, alimuomba msaada ili amzuie na ukatili wa 57

Sharhu Ibnu Abi Hadiyd Juz. 3, Uk. 312, Hashim Uk. 164 81

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 81

6/13/2013 2:10:45 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

Makuraishi,na alifanya hivyo na akamnusuru kutokana na ukandamizaji wao.

Msimamo wake na Mfalme wa Uhabeshi

M

saada wake kwa Waislamu unaendelea hadi nje ya Makka na nje ya al-Jazira, alipohama mtoto wake DhulJanahayn Ja’far bin Abu Talib pamoja na kundi la Waislamu ambao walikimbia ukandamizaji wa Makuraishi, Makuraishi waliwatuma nyuma yao Amru bin Abbas, na Ammarah bin Walid ili wakawafitinishe na kutengeneza uadui kwa Mfalme wa Uhabeshi. Lakini Ja’far bin Abu Talib kwa werevu wake na nuru ya imani yake alikabiliana na hila za Makuraishi: “Na wanafanya hila na Mwenyezi Mungu anahila na ni Mjuzi zaidi wa hila.”58 Na Abu Talib alituma Uhabeshi msaada wa kimaanawiya kwa jeshi la Waumini na msaada wa taarifa inayosaidia na kuupa nguvu msimamo wao na kundi lao, na kwa kuwa Abu Talib anamiliki kipaji cha ushairi mtamu kama maji ya kisima na ana nuru anayotembea nayo katika nyoyo safi, na ni moto mkali unaounguza maadui wa haki, basi mashairi yake ni jeshi, ngao na ni mali katika kunusuru haki, akamtumia Mfalme wa Uhabeshi beti hizi:“Eee vipi katika watu yupo Ja’far, na Amru na adui wa Nabii. Je, Ja’far amepata ihsani ya Najashiy, na wafuasi wake au amemhusudu katika hilo muovu. Unajua umekataa laana, hivyo wewe ni mtukufu na mkarimu.

58

Suratul-Anfal: 30 82

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 82

6/13/2013 2:10:45 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

Hapati ubaya kwako jirani, kwani unajua kwamba Mwenyezi Mungu amekupa nguvu, na sababu zote za kheri ziko kwako.” Pamoja na kwamba An-Najashiy ni mtu mkarimu isipokuwa Abu Talib kumsifu ni ili kumshukuru kwa aliyoyazidisha Najashi katika kumkirimu Ja’far na Waislam ambao walikuwa pamoja naye. Na hayo yakamfikia Abu Talib na akafanya wajibu wake, kwani hapati fursa ya kuulingania Uislam humo isipokuwa anaitumia kwa ukamilifu na kwa kiwango cha juu na kwa ufanisi, kwani yeye na watoto wake wawili Ja’far na Ali ni walinganiaji wenye ikhilasi katika dini ya Mtume Mtukufu, hivyo anamwambia Mfalme wa Uhabeshi nakulingania katika dini kwa kusema: “Na wajue watu wema kwamba Muhammad, ni Nabii kama Musa na Masihi Isa bin Mariyam. Amekuja na uongofu mfano wa waliyokuja nayo, kila mmoja kwa amri ya Mwenyezi Mungu anaongoza na kulindwa. Na nyinyi mnamsoma katika kitabu chenu, kwa maneno ya kweli na si ya tarjama, hivyo msimfanyie Mwenyezi Mungu mwenzi. Jisalimisheni kwani njia ya haki haina giza. Hakika wewe wanakujia waovu katika lengo lako, rejea kwenye ukarimu.”59 Je, beti za mashairi haya hazimaanishi maneno yafuatayo:“Ash-hadu an laa ilaaha illa llahu wa ash-hadu anna Muhammadan rasulullahi?” Nashuhudia kwamba hakuna mungu ispokuwa Allah. Na nashuhudia kwamba Muhammad ni Mtume wa Mwenyezi Mungu. Mna nini, namna gani mnahukumu?” 59

Al-Abbas Uk. 22, Majimaul-Bayaan Juz. 7, Uk. 37

83

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 83

6/13/2013 2:10:45 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

ABU TALIB ANADHIHIRIKA WAZI KATIKA MTIHANI WA SHI’AB ABU TALIB

D

aawa inakua na kibano cha Makuraishi kinazidi dhidi ya Waislam, na mapambano yanahamia katika kiwango cha juu baina ya upande wa haki na vigogo wa shari katika wakuu wa Kikuraishi. Hapana shaka kwamba mapambano hapa ni baina ya maadui waovu nao ni vigogo wa Kikuraishi na wale wenye kufanyiwa uadui nao ni upande wa haki, Nabii na wafuasi wake, na kiongozi wao ni Abu Talib, yeye ndiye atakaye pambana na mapigo yao, na ni juu yake kuvumilia na kusubiri na kupata shida nyingi. Hapa ndio mahala pa kudhihirisha dhahabu kwa isiyokuwa hiyo katika madini ya thamani: “Abu Talib hahitaji kuthibitisha imani yake kwa wanaomjua, lakini kwa asiyemjua utabainika zaidi uhalisia wa shujaa huyu mtukufu.” Makuraishi walipanga kumtenga kila Bani Hashim na Bani Abdul-Muttalib, kuwatenga kiuchumi na kijamii, hawauziani nao wala hawaoani nao, na wawe kitu kimoja dhidi yao na wawapige vita, na kwamba hawatarudi nyuma katika uamuzi huu ambao umebandikwa katika Ka’aba kama mkataba isipokuwa wakimsalimisha Nabii au kumuacha. Hakika Abu Talib anajua kwamba vikwazo na vita vya kiuchumi vitamwangusha mkubwa kabla ya mdogo kutokana na njaa, maradhi na masononeko, na Makuraishi wakadhani kwamba wataporomosha azima ya Abu Talib na hatovumil84

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 84

6/13/2013 2:10:45 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

ia mbele ya vikwazo hivi, na matakwa yake yataanguka na kudhoofika mbele ya pigo kali la Makuraishi walioungana, na Abu Talib aliposikia hila hii ovu ambayo itampata mtoto kabla ya kijana, mzee kabla ya mwenye nguvu, akaanza kujiandaa kwa makabiliano ya moja kwa moja bila ya udhaifu wowote au kusitasita, mashairi yake yalikuwa sawa na tangazo la kwanza katika kuwajibu Makuraishi ambapo alisema: “Wanataraji kwetu mbinu bila ya kutupata, kupiga na kukata kwa panga kali. Mmsema uongo naapa kwa nyumba ya Mwenyezi Mungu hadi vipasuke, vichwa vyao vitatupiwa katika maporomoko na Zamzam. Udugu utakatwa na mke atamsahau, mume na ndugu kumkimbia ndugu. Katika yaliyopita madhambi yenu na uovu wenu, na kufanya kwenu maovu katika jambo lenu, yote ni madhambi. Na kumdhulumu Nabii amekuja kulingania uongofu na kuamuru, amekuja kutoka kwa Mwenyezi Mungu Mtukufu. Msidhani tutamsalimisha mfano wake, ikiwa katika kaumu kuna mtu hatutomsalimisha.”60 Hii ilikuwa ni sehemu ya aliyoyasema Abu Talib katika kuonyesha nguvu ya msimamo, azima, itikadi imara ambayo hawakuijua Makuraishi kabla yake. Na katika hatua ya pili walikusanyika wazee wa Bani Hashim na ukoo wao, wakaafikiana kwenda katika Shi’ab, na humo kuna nuru ya Mwenyezi Mungu katika ardhi Yake, Mtume wa Mwenyezi Mungu ili wawe katika amani dhidi ya uvamizi wa Makuraishi, na huko kulikuwa na changamoto katika kumnusuru Mtume (s.a.w.w.), na mfano wake katika kujitolea kwa Abu Talib kumuhami Nabii ni ule muhanga ambao historia haijaujua mwingine kabla yake, ilikuwa unapoingia usiku na Nabii ku60

Sharhu Nahjul-Balaghah ya Ibnu Hadiyd Juz. 3, Uk. 312 85

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 85

6/13/2013 2:10:45 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

lala katika tandiko lake na vile vile Imam Ali (as), Abu Talib alikuwa anabadilisha sehemu ya Nabii kwa sehemu ya Ali, na Ali analala sehemu ya Nabii, na alikuwa anafanya hivi mara nyingi ili ukitokea uvamizi wa kutaka kumuuwa Nabii basi Imam Ali ndio atakayepata pigo na Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) kunusurika katika mauaji. Ni misimamo yenu mingapi yenye kuchanua ewe Abu Talib, kwa kweli baadhi yake ni mizuri kuliko baadhi. Abu Talib alipomshika Imam Ali mkono ili alale katika sehemu ya mtoto wa ami yake, Mtume wa Mwenyezi Mungu, Imam alisema: “Ewe baba yangu hakika mimi ni mwenye kuuliwa.” Baba yake akamjibu kwa beti hizi ambazo zinapamba uso wa historia: “Subiri, subira ni uerevu, kila aliyehai hatima yake ni kwa ajili ya raia. Hakika tumekutoa na balaa ni kubwa, kumfidia kipenzi na mtoto wa kipenzi. Kumfidia mtukufu zaidi, mwenye cheo kitukufu, muuzaji mtukufu, na mwenye akili. Kama mauti yatakukuta, mauti yatamwepuka, atakayepatwa kwayo na asiyepatwa.” Na Imam Ali (as) ambaye hana mfano katika imani yake na kujitolea kwake kwa Nabii (s.a.w.w.) Mtukufu, akamjibu kwa kusema: “Unaniamuru kusubiri katika kumnusuru Ahmad, Wallahi sikusema niliyosema kwa huzuni. Lakini mimi nimependa uone nusura yangu, naujue kwamba mimi bado ningali nakutii. 86

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 86

6/13/2013 2:10:45 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

Nitajitahidi kwa ajili ya Mwenyezi Mungu katika kumnusuru Ahmad, Nabii wa uongofu mwenye kusifiwa katika udogo na ujana.�61 Siku ngumu na chungu zikapita kwa Abu Talib katika bonde la Abu Talib, naye anashuhudia njaa, uchungu, maradhi na masikitiko kwa watoto na wanawake wa Bani Hashim, naye hawezi kuwapa chochote kinachoweza kukidhi haja yao au kupunguza machungu yao. Na katika upande mwingine anaona nafsi yake inajukumu katika kaumu yake na ukoo wake, na anajua kwamba Makuraishi wanataka kumbana ili amsalimishe Nabii kwao, na kumalizika kwa matatizo ya watu wake ni kumsalimisha Nabii (s.a.w.w.) kwao, na hili ni jambo lisilowezekana, kwani yeye anahami ujumbe na ni mwenye kumhami mwenye ujumbe hadi kufa. Na tunapoikaribia nafsi yake tukufu na yaliyomo humo, tunasikia anayoyasema katika mashairi, naye ni ambaye ana diwani ya mashairi yenye mashairi zaidi ya beti 3000, nazo ni hekima na kujitolea kwa ajili ya Mwenyezi Mungu na Mtume Wake, na katika yanayosemwa katika mtihani wa bonde ni: “Je, hamkujua kwamba kutenga ni dhambi, na jambo la balaa ni lagiza na sio ufumbuzi. Na kwamba njia ya uongofu itajulikana kesho, hakika neema za watu hazidumu. Msitarajie ndoto yenu kwa Muhammad, wala msifuate mambo ya waovu wabaya. Mmetamani kumuuwa hakika, matarajio yenu haya ni kama ndoto za mwenye kulala. 61

Sharhu Nahjul-Balaghah ya Ibnu Abil-Hadiyd Juz. 3, Uk. 310 87

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 87

6/13/2013 2:10:45 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

Na hakika Wallahi hamtamuuwa, bila yakuona makali ya upanga na kukatana vichwa. Mnadhani sisi tutamsalimisha Muhammad, bila ya kupigana kwa ajili yake na kushindwa. Katika kauli tukufu amekataa uadui, kuwezekana katika matawi mawili ya Aali Hashim. Mwaminifu kipenzi katika waja anathamani, hitimisho la Mola Muweza kwa viumbe. Watu wanaona hoja kwake na haiba, na mjinga katika kaumu yake si kama mjuzi. Nabii umemjia wahyi toka kwa Mola Wake, na mwenye kusema hashindwi anakoleza makali ya kujuta.� Na hapa anakabiliana nao waziwazi anawabainishia ubaya wa matarajio yao na kwamba hakuna faida kwayo, na hawatofikia katika malengo yao na wala hawawezi kusimamisha nguvu ya mbinguni, na matokeo yatakuwa dhidi yao, sasa nini faida ya matarajio haya ya kidhalimu, na kwa hiyo anajaribu kuweka wazi ukweli, huenda wanaweza kurejea katika uongofu wao na kwa hiyo anatoa hoja kwao, na kwa upande mwingine anaunga mkono msimamo wa Nabii na wafuasi wake, na tutarejea katika sehemu zingine Inshallah katika yale yanayoashiria beti hizi kadri itakavyowezekana. Siku na miezi ya matatizo mazito, machungu na huzuni, Nabii na ukoo wake wanakamilisha katika kutengwa, huku mwaka wao wa tatu ukiwa umeingia, siku moja Nabii Mtukufu alimpa habari ami yake, habari yenye kufurahisha, Nabii alimpa habari kwamba Mwenyezi Mungu amemtuma 88

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 88

6/13/2013 2:10:45 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

mchwa katika karatasi ya mkataba huo uliobandikwa ndani ya Ka’aba, akalila isipokuwa neno moja tu,nalo ni jina la Mwenyezi Mungu, basi Abu Talib akapata silaha ya kukabiliana na hila za Makuraishi na kuwashinda, akaondoka na jopo la Bani Hashim kwenda katika msikiti mtukufu. Makuaraishi walipomuona wakafurahi wakidhani kwamba wao wamekuja kumsalimisha Nabii (s.a.w.w.), Abu Talib akawaanza, naye ndio mjuzi wa kuendesha mjadala kwa werevu na uhodari, mjadala ambao matokeo yake ni kung’oa nguzo za batili: “Enyi Makuraishi imetokea baina yetu na baina yenu mambo ambayo hayajatajwa katika mkataba wenu uleteni huenda ikapatikana suluhu baina yetu na yenu.” Alipoona mkataba uko mikononi mwao akasema: “Nakuleteeni jambo ambalo nusu ipo kwetu na nusu ipo kwenu, hakika mtoto wa ami yangu amenipa habari na hakunidanganya katu kwamba Mwenyezi Mungu amemtuma mchwa katika mkataba wenu na hivyo hakuacha isipokuwa jina la Mwenyezi Mungu tu, kama alivyosema ndivyo basi zindukeni katika mliyonayo, Wallahi hatumsalimishi hadi tufe sote, na kama ni batili na uongo basi tutamkabidhi na mtamuuwa au mtamwacha hai.” Wakafungua mkataba na kushangaa, lakini wao wakang’ang’ania ukaidi wao na kusema: “Huu ni uchawi wa mtoto wa ndugu yako.” Abu Talib akasema: “Kwa kipi tunawekewa vikwazo na mambo yameshabainika, naimebainika kwamba nyinyi mnafaa zaidi kwa dhulma na kutengwa.” Kisha yeye pamoja na aliokuwa nao wakashikamana na pazia la Ka’aba na kumuomba Mwenyezi Mungu: “Eee Mwenyezi Mungu tunusuru na waliotudhulumu na kukitenga kizazi chetu, na kuhalalisha wanachokiharamisha kwao dhidi yetu.” 89

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 89

6/13/2013 2:10:45 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

Hivyo ndivyo Abu Talib alivyovunja mkusanyiko wa Makuraishi na kupanda baina yao ikhitilafu, kwa hekima yake na hoja yake likapasuka kutoka kwa Makuraishi kundi linalotaka kutengua na kuukataa, na vikwazo vikaporomoka na Mwenyezi Mungu akaondoa kwa Nabii Wake na Bani Hashim balaa hii na wakatoka humo na ushindi, wako imara katika mtihani huu wa Mwenyezi Mungu ambao uliwazidishia uimara na nguvu katika kutangaza daawa na kuisambaza, na Abu Talib akatoa ubainifu wake katika shairi ambapo anasema: “Kuwa na mazingatio katika jambo la mkataba. Alipotoa habari ya ghaibu kaumu wakastaajabu. Mwenyezi Mungu alifuta kwayo ukafiri wao na uovu wao. Na waliyomwadhibu msema kweli, yakawa waliyoyasema katika jambo batili. Na anayetunga yasiyo ya haki basi anasema uongo.” Na amesema katika beti zingine: “Eee je, imekuja kwa ubora wetu uamuzi wa Mola Wetu, juu ya umbali wao, na Mwenyezi Mungu yuko karibu na watu. Anawataarifu kwamba mkataba umechanwa,na asiyoyaridhia Mwenyezi Mungu ni mabaya.

yote

Yanapeperushwa angani na uchawi umekusanywa, na uchawi wenye kufungwa haukuwa ni wenye kuendelea milele. Amedai hayo asiyekuwa njiwa, ndege yuko kichwani mwake anasitasita. 90

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 90

6/13/2013 2:10:45 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

Mwenye kuanzisha vikwazo Makka vimemshinda, utukufu wetu uko ndani ya Makka, je vitafaulu. Tumekuwa nao na watu humo ni wachache, na hatukuacha kuzidisha kheri na kushukuru. Na tunalisha hadi watu wanasaza mabaki yao, ambapo mikono ya waovu inatetema. Eee mbora wa watu kwa nafsi na mzazi, wakihesabiwa ­watukufu katika watu ni Ahmadi, Nabii wa Mwenyezi Mungu na Mtukufu kwa asili yake. Tabia yake ni tukufu yenye kukubalika, shujaa katika k­ usema ya kheri kana kwamba, miali viganjani mwake na kijinga kinawaka. Kati ya watukufu katika Luway bin Ghalib, anapotokea ­unafifia uso wake na kupiga weusi. Ni mwingi wa kusaidia, hutoa nje nusu yake, anahimiza katika kukirimu wageni na kuunganisha. Na anajenga watoto wa ukoo mwema, sisi tunapozunguka katika nchi na kuandaa.” Ndugu msomaji mtukufu, tunakuachia utafakari katika beti hizi. Sema je, si inafaa sana kuhifadhi beti hizi na kuwahifadhisha watoto wetu mashuleni ?

91

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 91

6/13/2013 2:10:45 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

HOTUBA TUKUFU KATIKA WASIA WAKE WA MWISHO

N

a unazidi kusonga mbele umri wa mwenye kumhami Nabii, umri uliojaa jihadi na mapambano katika kuondoa matatizo mbele ya Nabii Mtukufu (s.a.w.w.) kwa kutetea dini na itikadi, na unawadia wakati wa kukutana na Mola Wake hali ya kuwa ananukia vizuri, biashara yake imepata faida kwa Mwenyezi Mungu, lakini shujaa huyu jambo lake ni jambo la kila mwenye hekima mtukufu, hasahau ujumbe wake hata katika dakika za mwisho za kukata roho, bali ni kinyume hakika anasisitiza katika dakika zake za mwisho kwa msisitizo mkali sana katika malengo yake, kwa sababu anaondoka na vivyo hivyo mwanadamu anabainisha uhalisia wake katika anayoyabeba wakati anaaga dunia hii, ambapo mwanadamu katika dakika za mwisho aghlabu huwa anashughulika na nafsi yake, anasikitika kwa atakayoyaacha kati ya anaowapenda na watukufu. Na hebu sasa tutazame juu ya uhalisia wa mtu huyu kupitia atakayoyausia wakati wa kukata roho. Kwa sauti iliojaa haiba na utulivu, Abu Talib anausia katika kundi la wakuu wa Kikuraishi wasia wake wa mwisho: “Enyi Makuraishi nyinyi ni wateule wa Mwenyezi Mungu katika viumbe Vyake na moyo wa Waarabu, na kwenu yupo bwana mwenye kutiiwa, na kwenu ni mwenye kutangulizwa shujaa mwenye upeo mpana. Na tambueni: Hakika nyinyi hamtawaachia Waarabu fungu la athari isipokuwa mtalipata, wala hamtaacha utukufu isipokuwa mtaupata, na mnayo kwa hilo fadhila kwa watu, na wao watakuwa na wasila kwenu, na 92

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 92

6/13/2013 2:10:45 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

watu watawapiga vita na katika vita vyenu kuna mkusanyiko, na hakika mimi nawausia kulitukuza jengo hili (Anakusudia al-Ka’aba), kwani humo kuna ridhaa ya Mwenyezi Mungu na watu katika maisha, na uimara katika nguvu. Ungeni udugu wenu na wala msiukate, hakika kuunga udugu kunapunguza vifo na kuongeza kizazi. “Acheni uovu na madhambi, humo kuna kaumu zimeangamia kabla yenu, mwitikieni mlinganiaji na mpeni mwenye kuomba, kwani humo kuna utukufu wa maisha na mauti, jilazimisheni kusema kweli na kutimiza amana, hakika humo kuna upendo maalumu na utukufu katika ujumla. Na mimi nawausieni kheri kwa Muhammad, hakika yeye ni mwaminifu kwa Makuraishi na ni mkweli kwa Waarabu, naye ndiye mwenye kukusanya yote niliyowausia kwayo. “Eee, Wallahi kana kwamba natazama ufakiri wa Waarabu na watu mashambani, na wanyonge kati ya watu wameshakubali daawa yake na kuamini maneno yake na kutukuza jambo lake, akawaingiza katika vita na viongozi wa Makuraishi wakiwa nyuma, nyumba zao zimeharibiwa, wanyonge wao wameshakuwa viongozi na wakuu wao wameshakuwa wanawahitajia wao, na waliokuwa mbali naye wamekuwa ni wenye hadhi sana kwake, Waarabu wameshampenda na nyoyo zimemsikiliza na kumpa uongozi wake. Mwangalieni enyi Makuraishi mtoto wa baba yenu, kuweni wenye kumtawalisha na walinzi wa kundi lake. Wallahi hatofuata yeyote njia yake isipokuwa ataongoka, wala hatochukua yeyote mwongozo wake isipokuwa atatukuka. Kama ningeishi na kusogezwa mbele kifo changu, ningemlinda na matatizo na ningemtetea dhidi ya waovu.”62 62

Siratun-Nabawiya Uk. 86; Siratul-Halabiya Uk. 390. 93

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 93

6/13/2013 2:10:45 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

Kisha akataka Bani Hashim na Bani Abdul-Muttalib ­wapate hadhi mahususi katika kumfuata kwao Nabii ambapo anasema: “Enyi Bani Hashim na Bani Abdul-Muttalib, mtiini Muhammad na msadikisheni mtafaulu na kuongoka.” Kisha akawahusisha Bani Hashim mambo manne ili watoe nusura kwa Nabii kwa uwezo wao wote: “Nausia watu wanne jambo la kumnusuru Nabii mwema: Mtoto wangu Ali, ami mwema Abbasi. Hamza, simba mwenye kuogopwa nguvu zake, na Ja’far, muwakinge watu dhidi yake. Jitoeni mhanga, mama yangu naalichokizaa awefidia katika kumnusuru Ahmad dhidi ya watu wabaya. Kwa kila upanga mkali unaomkusudia, unaopenya katika kiza cha usiku uwe niwenye kuzuiwa.” Kwa mapenzi haya ya kina kwa Nabii, na kwa ikhilasi hii na kwa imani hii na kwa msaada huu wa kweli, na kwa imani hii ya kina na kwa biashara hii nzuri yenye kung’ara na safi, Abu Talib alitaka kumalizia maisha yake, na baada ya hapo anakwenda kukutana na Mola Wake ambapo atapokelewa kwa rehema ya Mwenyezi Mungu Mtukufu hali ameshatekeleza jukumu la kumhami kipenzi cha Mwenyezi Mungu al-Mustafaa Muhammad (s.a.w.w.).

94

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 94

6/13/2013 2:10:46 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

Mwaka wa huzuni

I

lipofika habari ya mauti yake katika masikio ya Mtume (s.a.w.w.) kutoka kwa Imam Ali (as), yakabubujika machozi mengi ya Nabii (s.a.w.w.) na ikaenea huzuni kubwa katika uso wake Mtukufu, kwani ameshaondoka mwenye kumhami na mlezi wake na mwenye kumnusuru, umeondoka moyo mpole wa mtu mwenye huruma mwenye nafsi safi tukufu. Ameondoka ambaye amejaalia maisha yake yote na watoto wake wote na uhai wake wote kuwa ngao ya kuuhami ujumbe na mwenye ujumbe kwa ajili ya dini ya Mwenyezi Mungu Mtukufu, anamkinga na kila pigo hali yakuwa yeye ni mwenye furaha, hivyo ni haki ya Mtume wa Mwenyezi Mungu kumhuzunikia huzuni kubwa, na ni haki kuuita mwaka wa kufariki kwake kuwa ni mwaka wa huzuni. Nabii (s.a.w.w.) akaelekea kwa mtoto wa ami yake Ali (as) akisema hali ya kuwa huzuni imeshamwelemea sana: “Nenda kasimamie josho lake utakapomaliza unijulishe.” Na katika riwaya ya Ubaydullah bin Abi Rafi’i anasimulia kutoka kwa Ali kwamba Mtume wa Mwenyezi Mungu alibubujikwa na machozi mengi na akasema katika riwaya: “Mwenyezi Mungu amsamehe na amhurumie.”63 Baada ya Ali kumaliza maandalizi Mtume wa Mwenyezi Mungu akasimama kwenda kwenye jeneza kumsindikiza ami yake ambaye kwake alikuwa ni baba mpole, huku akibainisha fadhila zake ambapo anasema: “ Rehema zikufikie – ewe ami – na ulipwe kheri, hakika umenilea na kuni63

Siratun-Nabiwiyah Juz. 1, Uk. 48 95

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 95

6/13/2013 2:10:46 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

tunza nikiwa mdogo na umeninusuru na kunisaidia nikiwa mkubwa.”64 Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) akaenda katika kusindikiza jeneza hadi kaburini mwake hadi alipomwingiza katika mwanandani, akasimama na akasema: “Hakika nitakuombea maghufira na kukuombea shufaa, uombezi ambao kwao watashangaa wanadamu na majini.”65 Na hapa Mtume wa Mwenyezi Mungu anaubainishia ulimwengu nafasi ya ami yake Abu Talib wakati anapomlilia kwa kusema: “Ewe baba yangu. Ewe Abu Talib.Ooh ni huzuni ilioje kwako ewe ami yangu, vipi nitakuliwaza, umenilea nikiwa mdogo na umenipenda nikiwa mkubwa, kwako nilikuwa kama jicho na mboni na kama roho katika mwili.”66 Na ilipoondoka ngao ambayo ilikuwa inamhami Mtume wa Mwenyezi Mungu, zikachomoza shingo za watu ambao ni maadui wa Mwenyezi Mungu ili kumuudhi Nabii, ambapo Nabii anaeleza hayo waziwazi: “Makuraishi hawakunisibu kwa adha kwa chochote ninachokichukia hadi alipofariki Abu Talib.”67 Na amesema (s.a.w.w.): “Ewe ami, ni haraka iliyoje kuhisi kutokuwepo kwako?” Ambapo Mwenyezi Mungu Mtukufu alimhami Mtume Wake kupitia ami yake Abu Talib, na huu ni wito wa Mwenyezi Mungu unamjia kwa amri katika Hadith al- Qudusiy: “Toka humo - yaani Makka – hakika ameshafariki mwenye kukunusuru.”68 Sharhu Nahjul-Balaghah ya Ibnu Ibnu Abil-Hadiyd Juz. 3, Uk. 314 Rejea iliyotangulia. (Ni maarufu kwamba kila mwanadamu anahitaji uombezi wa Mtume (s.a.w.w.) Siku ya Kiyama) 66 Al-Iswabatu Fiy Ma’arifatis-Sahabati cha Ibnu Hajar Juz. 7, Uk. 112 chapa ya Misri ya mwaka 1325. 67 Siratun-Nabawiyah Juz. 1, Uk. 281, Siratul-Halabiyah Juz. 1, Uk. 391, Tabariy Juz. 2, Uk. 8 na Ibnu al- Athiriy Juz. 2, Uk. 62. 64 65

68

Nahjul-Balaghah Juz. 1, Uk. 10

96

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 96

6/13/2013 2:10:46 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

MAUDHI KWA ABU TALIB NA ­UONGOFU WA MWENYEZI MUNGU

B

aada ya mzunguko huu wa haraka na mfupi kuhusu maisha ya Abu Talib, sasa tunataka kusimama kisimamo ambacho kinatarajiwa kuwa ni cha kushangaza, lakini kwa baadhi imekuwa ni jambo lenye kuzoeleka kama ambavyo maovu yamekuwa mema na mema kuwa maovu, kama alivyotoa habari Nabii (s.a.w.w.): “Itakuwaje kwenu mema yatakapokuwa maovu na maovu yakawa mema.” Msimamo wa ajabu ni pamoja na watu wanaomsadiki anayesema kwamba Abu Talib – tunajilinda kwa Mwenyezi Mungu - “Hakuamini bali alikuwa kafiri na amekufa kafiri.” Kisimamo chetu sio pamoja na wanaosema kauli hii bali ni pamoja na wale ambao wanaamini kila wanayoyasikia, na ni lazima tusimame kisimamo hiki na ni lazima kueleza propaganda hii, na hii ndio njia ya Qur’ani ambapo inasimama pamoja na kila maajabu na uongo, pamoja na yale yasiyo na maana na wala hayana kiwango cha mazingatio. Imekuja katika kitabu cha Mwenyezi Mungu: “Je, kunashaka na Mwenyezi Mungu, Muumba wa mbingu na ardhi?”69 Kati yao kuna wanaosema: “Abu Talib ni kafiri licha ya kwamba amefanya aliyoyafanya, amesema aliyoyasema, amepigana jihadi kadri alivyopigana, na amejitolea kadri alivyojitolea!” Hivyo nilazima kusikiliza na kujibu upuuzi wa kauli hii na uduni wake, Qur’ani imesikiliza na kujibu makubwa zaidi kuliko maneno haya, nayo ni kukataa 69

Suratu Ibrahim: 10

97

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 97

6/13/2013 2:10:46 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

kuwepo kwa Mwenyezi Mungu au kushuku uwepo Wake, na tuna kigezo chema kutoka katika Qur’ani. Na kama tulivyosema hakika sisi tutawajadili wale watu ambao wanaamini propaganda, na si wale ambao hawako katika usahihi na wana malengo yao binafsi na wanajua kwamba wao wako katika makosa kama wanavyozijua nafsi zao. Wale wanaoamini propaganda hiyo ndio tunaowaelekezea maneno yetu.

Hebu tuzungumze na akili Tutajadiliana kidogo na akili zetu ambazo Mwenyezi Mungu ametutambulisha kwazo kabla ya habari yoyote, akili zetu ndio viumbe ambavyo Mwenyezi Mungu amevipa uwezo wa kujua kheri na shari, zuri na baya, kinachokubalika na kisichokubalika, kisha baada ya hapo turejee katika hadithi na Aya za Qur’ani ili baada ya hapo tutoke na sura halisi juu ya haki na ukweli, na kuepuka kwazo na njia ya maangamizi, na tutakuwa kwa idhini ya Mwenyezi Mungu ni wenye kunusurika. Na nataraji kwako ewe msomaji mtukufu uepukane angalau kwa muda mfupi na kasumba au kutofungamana na upande wowote au rai ya kundi, lakini hakuna ubaya kuwa na kasumba katika haki halisi kama vile Qur’ani tukufu au kauli ambayo hakuna ikhitilafu. Narudia, kuepukana tu kwa muda mfupi ili tuweze kufika kwenye ukweli ikiwa unautaka. Kama utaweza kufika katika kuepukana huku na kutofungamana basi endelea kusoma kitabu hiki, vinginevyo kiweke pembeni. 98

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 98

6/13/2013 2:10:46 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

Uongofu Uongofu uko mikononi mwa nani? Jawabu lako na langu ni moja tu, nalo ni Mwenyezi Mungu Mtukufu: “Ambaye Mwenyezi Mungu anamuongoza basi yeye ndiye aliyeongoka, na anayempoteza hutampatia mlinzi (wala)mwongozi.� (Sura al-Kahf: 17). Hivyo Mwenyezi Mungu ndiye ambaye anaongoa na uongofu upo mikononi Mwake. Swali la pili ni nani anayeongozwa na Mwenyezi Mungu? Na kwa msingi upi Mwenyezi Mungu humuongoa mtu fulani bila ya mwingine? Nadhani majibu ni mengi sana na hayana mpaka, vinaweza kutungwa vitabu vingi kwa swali hili, lakini kwa muhtasari hakika akili inasema kwamba kuna watu wanastahiki uongofu wa Mwenyezi Mungu, na hao ndio anaowaongoza. Na kwamba kuna watu waovu wasiostahiki uongofu, na hivyo Mwenyezi Mungu huwaacha wapotee katika upotovu wao.

Je, hii sio mantiki? Sisi tunashuhudia katika maisha yetu ya kawaida namna gani watu wazuri aghlabu Mwenyezi Mungu huwapa taufiki ya uongofu kutokana na uzuri wao, wakati ambapo madhalimu waovu aghlabu hawapati taufiki ya uongofu, yaani Mwenyezi Mungu anawaongoza watu kutokana na mazingatio maalum, na kuwaacha wengine kwa mazingatio vilevile. Na hebu sasa tutafiti kidogo na kwa muhtasari katika misingi ambayo, kwa 99

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 99

6/13/2013 2:10:46 PM


yeongozwa na Mwenyezi Mungu?Na kwa msingi upi Mwenyezi u fulani bila ya mwingine?Nadhani majibu ni mengi sana na kutungwa vitabu vingi kwa swali hili, lakini kwa muhtasari amba kuna watu wanastahiki uongofu wa Mwenyezi Mungu,na Abu Talib Jabali Imara la Imani . Na kwamba kuna watu waovu wasiostahiki uongofu, na hivyo acha wapotee katika upotovu wao.

misingi hiyo Mwenyezi Mungu huwaongoa watu wengine, na kwa misingi ambayo Mwenyezi Mungu hawaongoi watu a maisha yetu ya kawaida namna gani watu wazuri aghlabu wengine.

pa taufiki ya uongofu kutokana na uzuri wao, wakati ambapo labu hawapati taufiki ya uongofu, yaani Mwenyezi Mungu Misingi Mwenyezi okana na mazingatio maalum, na ambayo kuwaacha wengine kwa Mungu kwayo hebu sasa tutafiti kidogoanawaongoa na kwa muhtasari katika watu na misingi kuwaacha wengine: yo Mwenyezi Mungu huwaongoa watu wengine, na kwa misingi gu hawaongoi watu wengine.

Kuna aina mbili za uongofu nazo zinatoka kwa Mwenyezi Mungu.

Misingi ambayo Mwenyezi Mungu kwayo nawaongoa watu na kuwaacha wengine:

Aina ya kwanza

ofu nazo zinatoka kwa Mwenyezi Mungu.

woteambapo nao ni uongofu ambao unalingana ao ni uongofu ambaoUnawaenea unalingana kwawatu watu wote,

kwa watu wote, ambapo anasema Mwenyezi Mungu Mtukungu Mtukufu : fu: ‫ﺍ‬‫ﺎ ﻛﹶﻔﹸﻮﺭ‬‫ﺇﹺﻣ‬‫ﺍ ﻭ‬‫ﺮ‬‫ﺎﻛ‬‫ﺎ ﺷ‬‫ﺒﹺﻴﻞﹶ ﺇﹺﻣ‬‫ ﺍﻟﺴ‬‫ﺎﻩ‬‫ﻨ‬‫ﻳ‬‫ﺪ‬‫ﺎ ﻫ‬‫“ ﺇﹺﻧ‬Hakika tumemwongoza njia, ama awe ni mwenye kushukuru, au mwenye kukufuru.” (Sura alInsan: 3). Nayo ni kwa maana ya kuongoza njia, kila mtu ma awe ni mwenye kushukuru, au mwenye kukufuru.” (Sura anakuta katika nafsi yake mwongozo katika kuijua haki, naye wa maana ya kuongoza njia, kila mtu anakuta katika nafsi yake kwa nafasi yake ni wajibu wake anufaike na uongofu huu wa 53 awali, hivyo kama ataamiliana nao vizuri uongofu utakuja, mwongozo katika kuijua nao haki, naye kwa Mwenyezi nafasi yake ni Mungu wajibu wake anufaike na uongofu na akiamiliana vibaya anamuacha, na huu vivyo wa awali,hivyo kama ataamiliana nao vizuri uongofu utakuja, na akiamiliana nao hivyo katika aya nyingine: vibaya Mwenyezi Mungu anamuacha, na vivyo hivyo katika aya nyingine:

‫ﻮﻥﹶ‬‫ﻜﹾﺴِﺒ‬‫ﻮﺍ ﻳ‬‫ﺎ ﻛﹶﺎﻧ‬‫ ﺑﹺﻤ‬‫ﻮﻥ‬‫ﺬﹶﺍﺏﹺ ﺍﻟﹾﻬ‬‫ﻋ ﹶﻘﺔﹸ ﺍﻟﹾﻌ‬ ‫ﺎ‬‫ ﺻ‬‫ﻢ‬‫ﻬ‬‫ﺧ ﹶﺬﺗ‬ ‫ﻯ ﹶﻓﹶﺄ‬ ٰ ‫ﺪ‬‫ﻠﹶﻰ ﺍﻟﹾﻬ‬‫ ٰﻰ ﻋ‬‫ﻤ‬‫ﻮﺍ ﺍﻟﹾﻌ‬‫ﺒ‬‫ﺤ‬‫ﺘ‬‫ ﻓﹶﺎﺳ‬‫ﻢ‬‫ﺎﻫ‬‫ﻨ‬‫ﻳ‬‫ﺪ‬‫ ﻓﹶﻬ‬‫ﻮﺩ‬‫ﺎ ﺛﹶﻤ‬‫ﺃﹶﻣ‬‫ﻭ‬ “Na ama Thamudi tuliwaongoza, lakini walistahabu upofu kuliko uwongofu.Basi “Na ama Thamudi tuliwaongoza, lakini walistahabu upuliwachukuaukelele wa adhabu ya kuwafedhehi kwa sababu ya yale waliyokuwa ofu kuliko uwongofu. uliwachukua ukelele adwakiyachuma.” (Sura Fussilat: 17).Basi Ambapo Mwenyezi Mungu Mtukufuwa anamwenea kwa habu msaada wake mwenye kunufaikakwa kutokana na uongofu awali na kuamiliana nao ya kuwafedhehi sababu ya wa yale waliyokuwa vizuri:

wakiyachuma.” (Sura Fussilat: 17). Ambapo Mwenyezi ‫ﻢ‬‫ﺍﻫ‬‫ﻘﹾﻮ‬‫ ﺗ‬‫ﻢ‬‫ﺎﻫ‬‫ﺁﺗ‬‫ﻯ ﻭ‬‫ﺪ‬‫ ﻫ‬‫ﻢ‬‫ﻫ‬‫ﺍﺩ‬‫ﺍ ﺯ‬‫ﻭ‬‫ﺪ‬‫ﺘ‬‫ ﺍﻫ‬‫ﻳﻦ‬‫ﺍﻟﱠﺬ‬‫ﻭ‬

“Na ambaowameongoka anawazidishia 100 uongofu.” (Sura Muhammad: 17). Wakati ambapo utakuta kwamba uongofu wa pili haufikii kundi ovu kwa sababu wao wamefanya vibaya licha ya kuwa na uongofu wa awali ambao Mwenyezi Mungu aliwajumuisha

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 100

6/13/2013 2:10:46 PM


awali,hivyo kama ataamiliana kwahuu nafasiwa yake ni wajibu wake anufaike na uongofu nao vizuri uongofu ana nao vizuri uongofu utakuja, na anamuacha, akiamiliana nao vibaya Mwenyezi Mungu na vivyo hivyo katika a, na vivyo hivyo katika aya nyingine:

utakuja, na akiamiliana nao aya nyingine:

wa nafasi yake ni wajibu wake anufaike na uongofu ‫ﻮ ﺍﻟﹾﻥﹶ‬‫ﺴِﻠﺒﹶﻰ‬‫ ٰﻰﻜﹾ ﻋ‬‫ﻤ‬‫ ﻳ‬‫ﻌ‬utakuja, ‫ﻮﺍ‬ ‫ﺒﻛﹶﺎ‬‫ﺤ‬‫ﺎﺘ‬‫ﻓﺑﹺﹶﺎﻤﺳ‬na‫ﻥ‬‫ﻢ‬‫ﻮﻫ‬akiamiliana ‫ﻤﺬﹶﺍ‬‫ﺎﻟﹾ ﺛﹶﻌ‬‫ﺔﹸﺃﹶﻣﺍ‬‫ﻭ‬Talib ‫ﻋ ﹶﻘ‬ ‫ﺎ‬‫ ﺻ‬‫ﻢ‬Jabali ‫ﻬ‬‫ﺧ ﹶﺬﺗ‬ ‫ﻯ ﹶﻓﹶﺄ‬ ٰ Imara ‫ﺪ‬‫ﻠﹶﻰ ﺍﻟﹾﻬ‬‫ﻋ‬la‫ ٰﻰ‬‫ﻤ‬Imani ‫ﻮﺍ ﺍﻟﹾﻌ‬‫ﺒ‬‫ﺤ‬‫ﺘ‬‫ﻓﹶﺎﺳ‬ a‫ ﺻ‬nao nao ‫ﻢ‬‫ﻬ‬‫ ﹶﺬﺗ‬vizuri ‫ﺧ‬ ‫ﻯ ﹶﻓﹶﺄ‬ ٰ ‫ﺪ‬‫ﻬ‬uongofu ‫ﻮﺍﻧ ﺍﻟﹾ‬ ‫ﺎ‬‫ﻨﻬ‬‫ﻳ‬‫ﺍﻟﹾﺪ‬‫ﺏﹺﻬ‬ ‫ ﻓﹶ‬‫ﺩ‬Abu ‫ﻮ‬ na vivyo hivyo katika aya nyingine:

‫ﻢ‬‫ﺎﻫ‬‫ﻨ‬‫ﻳ‬‫ﺪ‬‫ ﻓﹶﻬ‬‫ﻮﺩ‬‫ﺎ ﺛﹶﻤ‬‫ﺃﹶﻣ‬‫ﻭ‬

, lakini walistahabu upofu kuliko uwongofu.Basi lakini walistahabu upofu kuliko uwongofu.Basi ‫ﻢ‬ ‫ﻬ‬‫ﺧ ﹶﺬﺗ‬“Na ‫ﻯ ﹶﻓﹶﺄ‬ ٰ ‫ﺪ‬‫ﻬ‬ama ‫ﻠﹶﻰ ﺍﻟﹾ‬‫ ٰﻰ ﻋ‬‫ﻤ‬Thamudi ‫ﻮﺍ ﺍﻟﹾﻌ‬‫ﺒ‬‫ﺤ‬sababu ‫ﺘ‬‫ ﻓﹶﺎﺳ‬‫ﻢ‬‫ﺎﻫ‬‫ﻨ‬‫ﻳ‬tuliwaongoza, ‫ﺪ‬ya ‫ ﻓﹶﻬ‬‫ﺩ‬yale ‫ﻮ‬‫ﺎ ﺛﹶﻤ‬‫ﺃﹶﻣ‬‫ﻭ‬waliyokuwa ya kuwafedhehi kwa Mungu Mtukufu anamwenea kwa msaada wakeyamwenye uliwachukuaukelele wa adhabu ya kuwafedhehi kwa sababu yale waliyokuwa 7). Ambapo Mwenyezi Mungu Mtukufu anamwenea kunufaika kutokana nanao uongofu awali na kuamiliana wakiyachuma.” (Sura Fussilat: 17). Ambapo wa Mwenyezi Mungu Mtukufunao anamwenea akini walistahabu upofuwa kuliko uwongofu.Basi ka kutokana na uongofu awali na kuamiliana

kuwafedhehi kwavizuri: sababu ya yale waliyokuwa kwa msaada wake mwenye kunufaika Ambapo Mwenyezi Mungu Mtukufu anamwenea ‫ﻫ‬ ‫ﺎ‬‫ﺁﺗ‬‫ ﻭ‬vizuri: ‫ﻯ‬‫ﺪ‬‫ ﻫ‬‫ﻢ‬‫ﻫ‬‫ﺍﺩ‬‫ﺍ ﺯ‬‫ﻭ‬‫ﺪ‬‫ﺘ‬‫ ﺍﻫ‬‫ﻳﻦ‬‫ﺍﻟﱠﺬ‬‫ﻭ‬ kutokana na uongofu wa awali na kuamiliana nao

kutokana na uongofu wa awali na kuamiliana nao

‫ﻢ‬‫ﺍﻫ‬‫ﻘﹾﻮ‬‫ ﺗ‬‫ﻢ‬‫ﺎﻫ‬‫ﺁﺗ‬‫ﻯ ﻭ‬‫ﺪ‬‫ ﻫ‬‫ﻢ‬‫ﻫ‬‫ﺍﺩ‬‫ﺍ ﺯ‬‫ﻭ‬‫ﺪ‬‫ﺘ‬‫ ﺍﻫ‬‫ﻳﻦ‬‫ﺍﻟﱠﺬ‬‫ﻭ‬

Muhammad: 17). Wakati ‫ﺁ‬dishia ‫ﻯ ﻭ‬‫ﺪ‬‫ ﻫ‬‫ﻢ‬‫ﻫ‬uongofu.” ‫ﺍﺩ‬‫ﺍ ﺯ‬‫ﻭ‬‫ﺪ‬‫ﺘ‬‫ ﺍﻫ‬‫ﻳﻦ‬‫(ﺬ‬Sura ‫ﺍﻟﱠ‬‫ﻭ‬

“Na wameongoka anawazidishia (Sura a pili“Na haufikii kundi ovu kwaambao sababu wao wamefanya ambaowameongoka anawazidishia uongofu.” (Sura uongofu.” Muhammad: 17).

Wakati Muhammad: 17). Wakati ambapo utakuta kwamba uongofu apili awali ambao Mwenyezi Mungu aliwajumuisha wakwa pili haufikii kundiwa ovu sababu wao wamefanya haufikii kundi ovu sababu wao wamefanya ambapo utakuta kwamba uongofu pilikwa haufikii kundi ovu kwa sababuvibaya wao wamefanya licha ya kuwa na uongofu wa awali ambao Mwenyezi Mungu awaongoi. ‫ ﻛﹶﺬﱠﺍ‬‫ﹺﺮﻑ‬aliwajumuisha ‫ﺴ‬‫ﻮ ﻣ‬ ‫ ﻫ‬‫ﻦ‬‫ﻱ ﻣ‬‫ﺪ‬‫ﻬ‬‫ ﻟﹶﺎ ﻳ‬‫ﹺﺇﻥﱠ ﺍﻟﻠﱠـﻪ‬ wali ambao Mwenyezi‫ﺏ‬ Mungu vibaya lichaaliwajumuisha ya kuwa na uongofu awali ambao Mwenyezi Mungu aliwajumuisha wote,wa watu hao Mwenyezi Mungu hawaongoi. waongoi. ‫ ﻛﹶﺬﱠﺍﺏ‬‫ ﹺﺮﻑ‬‫ﺴ‬‫ﻮ ﻣ‬ ‫ ﻫ‬‫ﻦ‬‫ﻱ ﻣ‬‫ﺪ‬‫ﻬ‬‫ ﻟﹶﺎ ﻳ‬‫“ ﹺﺇﻥﱠ ﺍﻟﻠﱠـﻪ‬Hakika Mwenyezi Mungu hamunmungoiapindukiaye mipaka, mwongo mkubwa.” wote, watuhao Mwenyezi Mungu hawaongoi. ‫ ﻛﹶﺬﱠﺍﺏ‬‫ﻑ‬ ‫ ﹺﺮ‬‫ﺴ‬‫ﻮ ﻣ‬ Mu’min: ‫ ﻫ‬‫ﻦ‬‫ﻱ ﻣ‬‫ﺪ‬‫ﻬ‬‫ ﻟﹶﺎ ﻳ‬‫ﹺﺇﻥﱠ ﺍﻟﻠﱠـﻪ‬ goi apindukiaye mipaka, mwongo mkubwa.” (Sura mba Mwenyezi Mungu haongoi watu mkubwa.” kwa mienendo ngoiapindukiaye mipaka, mwongo 28). Tunakuta kwamba Mwenyezi Mungu haongoi watu kwa mienendo hii ambayo wanaifanya, wakati ambapo uongoba Mwenyezi haongoi Mungu watu kwa mienendo bapo uongofuMungu wa Mwenyezi Mwenyezi unawaenea watu “Hakika Mungu hamungoiapindukiaye mipaka, mwongo mkubwa.” fu wa Mwenyezi Mungu unawaenea watu wenye harakati po uongofu wa Mwenyezi Mungu nzuri:28).Tunakuta “Na wale Mungu wanaofanya kwamienendo ‫ﺎ‬‫ﻠﹶﻨ‬‫ﺒ‬‫ ﺳ‬‫ﻢ‬unawaenea ‫ﻬ‬‫ﻳﻨ‬‫ﺪ‬ ‫ﻨﻬ‬‫ﺎ ﹶﻟ‬‫ﻴﻨ‬‫ﻭﺍ ﻓ‬kwamba ‫ﺪ‬watu ‫ﺎﻫ‬‫ ﺟ‬‫ﻳﻦ‬‫ﺍﻟﱠﺬ‬‫ ﻭ‬Mwenyezi (Sura Mu’min: haongoijuhudi watu kwa ajili Yetu, kwenye njia Zetu.” (Sura An‫ﺎ‬‫ﻠﹶﻨ‬‫ﺒ‬‫ ﺳ‬‫ﻢ‬‫ﻬ‬‫ﻳﻨ‬‫ﺪ‬hakika ‫ﻨﻬ‬‫ﺎ ﹶﻟ‬‫ﻴﻨ‬‫ﻭﺍ ﻓ‬‫ﺪ‬‫ﺎﻫ‬‫ﺟ‬tutawaongoza ‫ﻳﻦ‬‫ﺍﻟﱠﺬ‬‫ﻭ‬ kabut: 69). wanaifanya, wakati ambapo udi hii kwaambayo ajili Yetu, hakika tutawaongoza kwenye uongofu wa Mwenyezi Mungu unawaenea watu

shia uongofu.” (Sura Muhammad: 17). Wakati

di kwa ajili Yetu, hakika Na tutawaongoza huyu hapakwenye Salman

al-Farisiy alikuja akitafuta ukweli, ‫ﺎ‬‫ﻠﹶﻨ‬‫ﺒ‬‫ ﺳ‬‫ﻢ‬‫ﻬ‬wa ‫ﻳﻨ‬‫ﺪ‬ ‫ﻨﻬ‬zama ‫ﺎ ﹶﻟ‬‫ﻴﻨ‬‫ﻭﺍ ﻓ‬‫ﺪ‬‫ﺎﻫ‬‫ ﺟ‬‫ﻳﻦ‬‫ﺍﻟﱠﺬ‬‫ﻭ‬ wenye harakati nzuri: alikuja akimtafuta Mtume wa Mwenyezi Mungu ya mwisho, akiwa pamoja na alama za Mwisho wa Mitume alimpata, na taabu yake katikahakika njia ya Mwenyezi kwenye ikuja akitafuta“Na ukweli, alikuja akimtafuta Mtume wa ni wale wanaofanya juhudi kwajihadi ajili Yetu, tutawaongoza isho, akiwa pamoja na alama za Mwisho wa Mitume uja akitafuta ukweli, alikuja akimtafuta Mtume wa aliyoyafikia kwa sababu alitaka uonMungu, akafikia katika katika ya na Mwenyezi akafikia katika ho, akiwanjia pamoja alama za Mungu, Mwisho wa Mitume gofu, wakati ambapo waovu wa Kikuraishi walio karibu na njia Zetu.” (Sura Ankabut: uongofu, wakati ambapo waovu wa69). Kikuraishi atika njia ya Mwenyezi Mungu, akafikia katika Mtume wa kwa Mwenyezi wanashuhudia haki kwa maezi Mungu wanashuhudia haki macho yao Mungu na ongofu, wakati ambapo waovu wa Kikuraishi metaka ya kidunia, zi Mungumasilahi wanashuhudia haki kwa macho yao na na cho yao nawakakadhibisha wanaipinga, kwa sababu wao wametaka masilahi etaka masilahi wakakadhibisha na ustahiki uongofuya wa kidunia, Mwenyezi Mungu, na Mwenyezi ya kidunia, na wakapinga ukweli, na hivyo ahiki uongofu wa Mwenyezi na Mwenyezi a katika Qur’ani tukufu kwaMungu, namnawakakadhibisha iliyowazi, kwani Na huyu hapa Salman al-Farisiy alikuja akitafuta ukweli, alikuja Mtume wa katika Qur’ani tukufu kwa namna iliyowazi, kwani misingi na anaachahawakustahiki kwa misingi watu wapotee katika uongofu wa Mwenyezi Mungu, naakimtafuta Mwenyezi singi na anaacha kwa misingi watu wapotee katika Mwenyezi Mungu wa zama ya mwisho, akiwa pamoja na alama za Mwisho wa u na kutafakari Qur’ani tukufuameshabainisha na kuelewa hekima yamambo haya katika Qur’ani tukufu Mitume Mungu a kutafakari tukufu na yake kuelewa ya katika atu kwa uoniQur’ani wa na Qur’ani, kulingana na tafsiri ya alimpata, taabuna nihekima jihadi njia ya Mwenyezi Mungu, akafikia katika uameusia kwa uonikwao, wa Qur’ani, na wao kulingana na tafsiri ya kwamba ni safina za uokovu: aliyoyafikia sababu meusia kwao, kwambakwa wao ni safina zaalitaka uokovu: uongofu, wakati ambapo waovu wa Kikuraishi 54 waliokaribu na Mtume wa Mwenyezi Mungu wanashuhudia haki kwa macho yao na 101 54 wanaipinga, kwa sababu waowametaka masilahi ya kidunia, wakakadhibisha na wakapinga ukweli, na hivyo hawakustahiki uongofu wa Mwenyezi Mungu, na Mwenyezi Mungu ameshabainisha mambo haya katika Qur’ani tukufu kwa namna iliyowazi, kwani Yeye ni Talib_13_June_2013.indd Mwadilifu anaongoa kwa misingi na anaacha kwa misingi watu wapotee katika 02_Abu 101 6/13/2013 2:10:46 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

kwa namna iliyowazi, kwani Yeye ni Mwadilifu anaongoa kwa misingi na anaacha kwa misingi watu wapotee katika uovu wao, ni wajibu wetu tufahamu na kutafakari Qur’ani tukufu na kuelewa hekima ya Mwenyezi Mungu na kufahamu watu kwa uoni wa Qur’ani, na kulingana na tafsiri ya Nabii na Ahlul-Bait wake ambao ameusia kwao, kwamba wao ni safina za uokovu: “Mfano wa Ahlul-Bait wangu kwenu ni kama mfano wa safina ya Nuhu, mwenye kuipanda ataokoka na mwenye kuacha kuipanda ataghariki.”70 Huyu hapa ni Abu Sufian ambaye amemuudhi Mtume wa Mwenyezi Mungu na amempiga vita, bila ya kutia chumvi humo na akaendelea kuwa kati ya wakaidi na wale waliomuudhi Mtume wa Mwenyezi Mungu, hadi Nabii alikaribia kuuliwa katika Uhudi katika mikono yao, kisha h a k u s i l i m u isipokuwa katika usiku wa ufunguzi wa Makka kwa kuogopa. Je, huyo ndio atakuwa kati ya wanaostahiki uongofu wa Mwenyezi Mungu na atakayeingia peponi akiwa Mwenyezi Mungu amemuongoa?! Na katika usiku huo alitamka shahada mbili, na hakuwa anataka kuzitamka kama si hofu yake kwa panga za Waislam, pamoja na kwamba historia yake na aliyoyafanya lakini cha kushangaza ni mwenye kuongoka kwa baadhi ya watu, Innaa lillahi wainnaa ilayhi raji’una. Ni namna gani mnahukumu? Na katika mkabala wa hayo tunakuta mtu ambaye mwenendo wake unamuwezesha kushukiwa na rehema na baraka za Mwenyezi Mungu kwa namna ya wazi kabisa. Hakika elimu yake, mwenendo wake, jihadi yake katika njia 70

ajima’uz-Zawaid, Juz. 9, Uk. 168 na amesema: Ameipokea al-Bazaz na TabaM raniy. 102

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 102

6/13/2013 2:10:46 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

ya Mwenyezi Mungu na kujitolea kwake ndio kuongoka kwenyewe ambako kunahitaji kuzidishiwa uongofu. Na nadhani ndugu yangu msomaji umeshajua ni nani ninayemkusudia, naye ni msafi Mzee wa Makka, mwenye kumhami Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.), na mwenye kuhami ujumbe wa mbinguni,ami ya Mtume wa Mwenyezi Mungu, na kipenzi chake Abu Talib bin Abdul-Muttalib. Sifa zake, jihadi yake tabia yake, kujitolea kwake, elimu yake na maarifa yake yote ni vitu vinavyo mfanya kuwa ni mwenye kuteremkiwa na uongofu. Lakini cha kushangaza ni kwamba pamoja na kila dalili za historia na uhalisia wa mantiki anakuja mtu na kuamini kwamba Mwenyezi Mungu hakumuongoza. Na sijui ni kwa sababu gani uongofu wa mbinguni ukosee, na kwa maslahi yapi yalimfanya Abu Talib akatae uongofu wa Mwenyezi Mungu – tunajikinga kwa Mwenyezi Mungu. Je, kwa ukafiri wake anapata mali kutoka kwa Makuraishi au alikuwa anapenda makafiri wa kikuraishi na alikuwa anataraji ridhaa yao, au ukafiri kwake ulikuwa ni kitu kizuri hadi ashikamane nao? Ni sababu zipi zinapelekeakutokuamini kwake? “Hakika Mwenyezi Mungu hamungoi apindukiaye mipaka, mwongo mkubwa.”71 Je, Abu Talib anachochote kati ya hayo–Au’udhubillahi! “Hakika Mwenyezi Mungu hawaongozi watu madhalimu.” 72 Je, Abu Talib ni miongoni mwao, au’udhubillahi! “Na Mwenyezi Mungu hawaongoi watu mafasiki.”73 Unasemaje? Suratul Mu’min: 28 Suratul Ahqaf: 10 73 Suratu Saf: 5 71

72

103

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 103

6/13/2013 2:10:46 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

Kama tungekuwa na kiasi kidogo cha uadilifu tungejua ukweli: “Na wale wanaofanya juhudi kwa ajili Yetu, hakika tutawaongoza kwenye njia Zetu.”74 Nao ni mkazo kutoka kwa Mwenyezi Mungu Mtukufu katika uongofu. Je, kulikuwa na jihadi kubwa kushinda ya Abu Talib katika kuihami kwake daawa katika uchanga wake na jihadi yake kupitia watoto wake, Ali na Ja’far, nafsi yake na uwepo wake na maisha yake yote tangu mwanzo hadi mwisho? Ni mantiki gani inakubali kuwa moyo wa Abu Talib ulikuwa mbali na uongofu wa mbinguni na hali Mwenyezi Mungu ameshatoa habari kwamba unakuwa kwa wanaopigana jihadi, naye Abu Talib ndio mwenye sehemu kubwa na mwingi wao wa hadhi katika njia hii. Bali ndio mwenye kuongoka na Mwenyezi Mungu alisha mzidishia uongofu na nuru, na Mwenyezi Mungu alimuongoza katika njia Yake ambayo ilimwelekeza kumhami Mtume Wake pamoja na magumu yote ambayo yalimsibu katika muda wote wa maisha yake, na alifanya vizuri na akatekeleza, na Mtume wa Mwenyezi Mungu alimpenda, na waumini wote walimpenda. Katika nukta ya mwisho tunasema ni nani anayeongozwa na Mwenyezi Mungu? Mwenyezi Mungu anamuongoa anayestahiki uongofu, na anastahiki kwa vitendo vyake na harakati zake.Je, Abu Talib anastahiki uongofu? Ni vipi vitendo vyake na harakati zake? Hakika kiumbe kitukufu katika ulimwengu ni Nabii Muhammad (s.a.w.w.), na mwenye kumsaidia zaidi na kumnusuru zaidi atakuwa ndio mtukufu zaidi bila yawengine. Je, 74

Suratul Ankabut: 69 104

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 104

6/13/2013 2:10:46 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

kuna yeyote katika zama ya Abu Talib aliyekuwa anahuduma kubwa zaidi na msaada mkubwa zaidi na mwenye kumnusuru zaidi Mtume wa Mwenyezi Mungu kuliko Abu Talib? Kisha je, ni vipi vitendo vyake na harakati zake na nyendo zake ili astahiki au asistahiki uongofu wa Mwenyezi Mungu? Abu Talib wakati anamnusuru Mtume wa Mwenyezi Mungu hakika anainusuru dini, kwa sababu Mtume alikuwa ndio dini na hapakuwa na kisichokuwa dini, maisha yake, utulivu wake, yote hayo yalikuwa ni kwa ajili ya Mwenyezi Mungu na dini, msaada wake na nusura ya Abu Talib yote yalikuwa kwa ajili ya dini hii ambayo alikuja nayo mbashiri na muonyaji, dini ndio inayopanga kwamba haya ni ya peponi na haya ni ya motoni. Je Abu Talib alinusuru dini itakayomwambia wewe ni wa motoni? Dini ni mapambano, mwenendo na harakati na imepokewa katika Hadithi tukufu: “Dini ni kuamiliana.� Je, kulikuwa na muamala au mwenendo au harakati tukufu zaidi kuliko kumnusuru Nabii na dini yake, kwa sababu gani Mwenyezi Mungu ampoteze Abu Talib na wala asimuongoe. Je, kuna uongofu zaidi kuliko ule aliokuwa nao Abu Talib? Tunamuomba Mwenyezi Mungu atuongoze angalau kwa uongofu mdogo ambao alimuongoa nao Abu Talib, na kusheheni maisha yetu kwa ajili ya Mwenyezi Mungu, na tujitolee kwa ajili ya dini yake kwa kila alichotupa Mwenyezi Mungu, na biashara yetu kuwa na faida. Hivyo kwa nini ametuhumiwa kwa ukafiri, na nani mwenye masilahi katika hilo, na ni nani mwenye kufaidika?

105

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 105

6/13/2013 2:10:47 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

Dhulma ya kurithi Tukitaka kujua sababu iliyoko nyuma ya kitendo cha kumkufurisha Abu Talibni wajibu wetu tuchukue mifano ya watu watukufu zaidi kuliko Abu Talib, na wamesha kufurishwa na baadhi ya watu ilihali wao wako ndani ya duara la Uislam, ndio walisha mkufurisha ambaye ni Mtukufu zaidi kuliko Abu Talib, naye ni mtoto wake Ali bin Abu Talib (as). Pamoja na utukufu wake mbele ya Mwenyezi Mungu na Nabii (s.a.w.w.) na katika Qur’ani, lakini walisha mkufurisha na kumlaani juu ya mimbari katika nchi za Kiislam kwa muda miakawake 80, wakati dola dhalim Bani Ummayyah, (as).Pamojawa na utukufu mbele yawa Mwenyezi Mungu naya Nabii (s.a.w.w.) na katika hali Qur’ani, lakini walishamkufurisha na kumlaani juu ya mimbarikatika nchi za Kiislam yakuwa wao wanadhani ni wenye kupata malipo juu ya hilo. kwa muda wa miaka 80, wakati wa dola dhalim ya BaniUmmayyah,hali yakuwa wao bila kupata shakamalipo tunajua washaka kosa ambalo wanalifanya wanadhani Na ni wenye juu yaukubwa hilo. Na bila tunajua ukubwa wa kosa hao, hivyo ni wajibu tujue utukufu Ali (as) ambalo wanalifanya hao, hivyo ni wajibu wetu wetu tujue utukufu wa Imamwa Ali Imam (as) na nafasi yake katikana Uislam, licha ya kwambawalimkufurisha na walimlaani.Sasa kutakuwa na nafasi yake katika Uislam, licha ya kwambawalimkufurithamani gani kwao kwa yale waliyoyanasibisha kwa Abu Talib? sha na walimlaani. Sasa kutakuwa na thamani gani kwao kwa Hebu tujaribu kufahamu kiasi kidogo katika kwa utukufu wa Imam Ali (as) na tuingie taratibu yale waliyoyanasibisha Abu Talib? tujaribu kufahamu kidogo katikawautukufu wa katika bahari hiiHebu yenye mawimbi yenye nafsi tukufukiasi na tushuhudie mukabala Imam Ali (as) na tuingie taratibu katika bahari hii yenye mgongano wenye giza, wenye kusema ukanushaji wakena nawaseme wanayotaka na mawimbi yenye nafsi tukufu tushuhudie mukabala wa mgongano wenye giza, wenye kusema ukanushaji wake  � ‫ﻛﹶﻠﱠﺎ‬ Mwenyezi Mungu anasema: ‫ﺍ‬‫ﺪ‬‫ﺬﹶﺍﺏﹺ ﻣ‬‫ ﺍﻟﹾﻌ‬‫ﻦ‬‫ ﻣ‬‫ ﹶﻟﻪ‬‫ﺪ‬‫ﻧﻤ‬‫ﻭ‬ ‫ﻘﹸﻮﻝﹸ‬‫ﺎ ﻳ‬‫ ﻣ‬‫ﺐ‬‫ﻨﻜﹾﺘ‬‫ﺳ‬ nawaseme wanayotaka na Mwenyezi Mungu anasema: ْ ‫“ َك َّال ۚ سَ َن‬Hapana! Tutaandika anayoyase‫ب َم ًّدا‬ ‫ك ُتبُ مَا َيقُو ُل َو َن ُم ُّد َل‬na ِ ‫ُه مِنَ ْالع َ​َذا‬anayoyasema “Hapana! Tutaandika tutamkunjulia muda wa adhabu.” (Sura ma na tutamkunjulia muda wa adhabu.” (Sura Maryam: 79). Na Na anasema: Maryam: 79). anasema: ‫ ﺍﻟﹾﺄﹶﺵﹺ‬‫ﻦﹺ ﺍﻟﹾﻜﹶﺬﱠﺍﺏ‬‫ﺍ ﻣ‬‫ﻮﻥﹶ ﻏﹶﺪ‬‫ﻠﹶﻤ‬‫ﻌ‬‫ﻴ‬‫“ ﺳ‬Kesho watajua ni nani huyo mwongo mwenye kujivuna.” (Sura al-Qamar: 26). “Kesho watajua ni nani huyo mwongo mwenye kujivuna.” (Sura al-Qamar: 26). ni Masikini! Wao hawana isipokuwa kauli tu, nayo

dhaifu “Wanataka kuizima nuru ya Mwenyezi Mungu kwa vinyMasikini!Wao kauli tu, nayoMungu ni dhaifu “Wanataka kuizimaNuru nuru yaYake wahawana vyao.isipokuwa Na Mwenyezi akakamilisha

Mwenyezi Mungu kwa vinywa vyao. Na Mwenyezi Mungu akakamilishaNuru Yake ijapokuwa makafiri watachukia.”1Lakini kauli hii ni dhaifu inawapeleka wengi katika moto wa Jahannam. 106

Ndio ni dhaifu inawapelekea kwenye moto wa Jahannam.Je, Ibilisi sianawachukua pamoja naye wengi kwenda jahannam?Mwenyezi Mungu anasema: ‫ ﻛﹶﺎﻥﹶ‬‫ﻄﹶﺎﻥ‬‫ﻴ‬‫ ﺍﻟﺸ‬‫ﺪ‬‫ﹺﺇﻥﱠ ﻛﹶﻴ‬ ‫ﻴﻔﹰﺎ‬‫ﻌ‬‫“ﺿ‬Hakika hila za shetani ni dhaifu.” (Sura Nisaa: 76). Tahadhari, tahadhari ewe 02_Abu Talib_13_June_2013.indd 106 mwanadamu na matamanio, yasije kukupeleka kwenye upotovu ambapo humo majuto

6/13/2013 2:10:47 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

ijapokuwa makafiri watachukia.”75 Lakini kauli hii ni dhaifu inawapeleka wengi katika moto wa Jahannam. Ndio ni dhaifu inawapelekea kwenye moto wa Jahannam. Je, Ibilisi si anawachukua pamoja naye wengi kwenda jahannam? Mwenyezi Mungu anasema: ‫ضعِي ًفا‬ َ ‫ان‬ َ ‫ان َك‬ ِ ‫إِنَّ َكيْدَ ال َّش ْي َط‬ “Hakika hila za shetani ni dhaifu.” (Sura Nisaa: 76). Tahadhari, tahadhari ewe mwanadamu na matamanio, yasije kukupeleka kwenye upotovu ambapo humo majuto hayatakusaidia.

IMAM ALI (A.S.) Imam Ali ni nani?

Kabla hatujaanza, msomaji mtukufu nakuuliza swali, tafadhali lijibu katika nafsi yako na dhamira yako. Lau nikikujia na fadhila ya Imam Ali (as) na ukaiona ni kubwa katika nafsi yako na ukawa hudhanii usahihi wake, kisha nikakujia na rejea kutoka kwa Mtume wa Mwenyezi Mungu na kwa njia ya pande mbili, je utakubali na kusalimu amri au utatafuta njia ya kuidhoofisha na njia ya kutokea itakayokufanya usikubali na kusadikisha, jibu kisha uendelee kukamilisha kusoma. Mtukufu anasema: “Na anachowapa Mtume kichukueni, na Mwenyezi Mungu Mtukufu anasema: “Na anachowapa Mtume ki Mwenyezi Mungu Mtukufu anasema: “Na anachow1 1 pusheni nacho.” Nafsi yako ikilikubali au ikilikataani kwa sababu apa Mtume kichukueni, na anachowakataza jiepushanachowakataza jiepusheni nacho.” Nafsi yako ikilikubali au ikilikataa 76 eni nacho.” Nafsi yako ikilikubali au ikilikataa ni kwa ِ‫ﻮﺀ‬‫ﺓﹲ ﺑﹺﺎﻟﺴ‬‫ﺎﺭ‬sababu ‫ ﻟﹶﺄﹶﻣ‬‫ﻔﹾﺲ‬‫ ﹺﺇﻥﱠ ﺍﻟﻨ‬nafsi “Hakika nafsi ndiyo iamrishayo nafsi kama ilivyokuja ِ‫ﻮﺀ‬‫ﺓﹲ ﺑﹺﺎﻟﺴ‬‫ﺎﺭ‬‫ ﻟﹶﺄﹶﻣ‬‫ﻔﹾﺲ‬‫“ ﹺﺇﻥﱠ ﺍﻟﻨ‬Hakika “Hakika nafsi ndiy kama ilivyokuja nafsi ndiyo iamrishayo mno uovu.” (Sura Yusuf: 53). .‫ﻯ‬ ٰ ‫ﻮ‬‫ﻦﹺ ﺍﻟﹾﻬ‬‫ ﻋ‬‫ﻔﹾﺲ‬‫ﻰ ﺍﻟﻨ‬‫ﻬ‬‫ﻧ‬‫ ﻭ‬‫ﺑﹺّﻪ‬‫ﺭ‬ ٰ ‫ﺄﹾﻭ‬‫ﻟﹾﻤ‬ama ‫ ﺍ‬‫ﻲ‬‫ﺔﹶ ﻫ‬‫ﻨ‬‫ﺠ‬mwenye ‫﴾ﹶﻓﹺﺈﻥﱠ ﺍﻟﹾ‬٤٠﴿ ‫ﻯ‬ usuf: 53) .‫ﻯ‬ ٰ ‫ﺄﹾﻭ‬‫ ﺍﻟﹾﻤ‬‫ﻲ‬‫ﺔﹶ ﻫ‬‫ﻨ‬‫ﹶﻓﹺﺈﻥﱠ ﺍﻟﹾﺠ‬mno ‫ﻯ‬ ٰ ‫ﻮ‬‫ﺍﻟﹾﻬ‬uovu.” ‫ﻦﹺ‬‫ ﻋ‬‫ﻔﹾﺲ‬‫(ﺍﻟﻨ‬Sura ‫ﻰ‬‫ﻬ‬‫ﻧ‬‫ ﻭ‬‫ﺑﹺّﻪ‬‫ﺭ‬Yusuf: ‫ﻘﹶﺎﻡ‬‫ ﻣ‬‫ﺎﻑ‬‫ﺧ‬53) ‫ﻦ‬‫ﺎ ﻣ‬‫ﺃﹶﻣ‬‫“ ﻭ‬Na 75

Suratu Saf: 8

76 “Na ama Wake mwenyenakuogopa kusimama mbele ya Mola Wak SuratulHashir:mbele 7 wenye kuogopa kusimama ya Mola akaizuia

nafsi na matamanio. hakika Pepo ndio makazi!” (Sura Nazia 107 Basi 40 . Basi hakika Pepo ndio makazi!” (Sura Nazia’t: – 41).

“Naapa kwa Mola wako!Hawataamini mpaka wakufanye wewe n

wako!Hawataamini mpaka wakufanye wewe ndiye hakimu

katika yale wanayohitalifiana baina yao.Kisha wasionedhiki n 6/13/2013 2:10:47katika PM

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 107


Abu Talib Jabali Imara la Imani

kuogopa kusimama mbele ya Mola Wake na akaizuia nafsi na matamanio. Basi hakika Pepo ndio makazi!” (Sura Nazia’t: 40 – 41). “Naapa kwa Mola wako! Hawataamini mpaka wakufanye wewe ndiye hakimu katika yale wanayohitalifiana baina yao. Kisha wasione dhiki katika nyoyo zao kwa uliyohukumu na wanyenyekee kabisa kabisa.”77 Hapa tutataja kiasi kidogo katika fadhila za Imam Ali (as) na kila fadhila kama isingekuwepo ila hiyo tu basi ingemtosheleza kuwa ni fadhila na utukufu mkubwa kwa Waislamu wote baada ya Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.). Kabla hatujaanza kueleza kiasi kidogo cha fadhila hizo za Imam Ali (as) ni lazima tufafanue jambo, nalo ni kwamba Imam Ali (as) si mwandamu wa kawaida kabisa, kwake imetokea ikhitilafu na kwake zimekanganyika akili, yeye ni mahala pa mtihani wa Ummah na kwa ajili yake watu wawili wameingia motoni, kati yao kuna waliomfanya Imam Ali (as) kuwa ni Mungu na wakasema yeye ni mungu na mola mlezi –audhubillahi, na kati yao kuna waliomkanusha na wakamkufurisha na kumtukana, na Imam Ali (as) aliyapiga vita makundi haya mawili ili yaingie katika haki, kati yao kuna aliyekubali na kuokoka na kati yao kuna aliyekaidi na kuamgamia. Yote yanayoambatana na Imam Ali sio ya kawaida, na lau ukiangalia yaliyokuja kutoka kwa Mtume wa Mwenyezi Mungu ungeona ni makubwa na ungekanganyikiwa kwayo kama ungetafakari, na lau ungejua kiasi tu cha elimu yake ungeona ni kubwa na ungezimia kwa mshtuko wa ukubwa wa aliyonayo kati ya elimu, na hakuna ajabu katika hilo kwani yeye ni mlango wa elimu na mji wa elimu ya Mtume 77

Suratu Nisaa: 65 108

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 108

6/13/2013 2:10:47 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

(s.a.w.w.), na ni kiasi gani cha elimu ya Mtume na kwamba ina ukubwa wa mji mzima, unaweza kuweka vitabu na elimu ngapi katika mji? Na mlango wake ni Ali bin Abu Talib (as), naye ndiye aliyesema: “Amenifundisha Mtume wa Mwenyezi Mungu milango elfu moja ya elimu na inafunguka kwangu kwa kila mlango milango elfu moja.”78 Na haikudhihirika kwayo isipokuwa kiasi kidogo tu na nyingi itadhihiri atakapodhihiri Imam Mahdi anayengojewa kama ilivyokuja katika riwaya nyingi kuhusu kukamilika kwa akili na kuenea kwa elimu katika zama ya kudhihiri Imam Mahdi (as). Na jua kwamba Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) hana isipokuwa mlango mmoja tu, nao ni Imam Ali (as), hivyo ndivyo alivyotaka Mwenyezi Mungu na Mtume Wake, na mwenye kutaka mji basi na auendee kupitia mlango wake, na mwenye kukataa basi atapotea na kukanganyikiwa, na elimu ya Imam Ali ilihamia kwa Hasan kisha kwa Husein, na vivyo hivyo hadi kwa wa mwisho wao kama alivyoashiria Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.): “Ahlul-Baiti wangu kwenu ni kama Safina ya Nuhu, mwenye kuipanda atanusurika na mwenye kuacha kuipanda ataangamia.”79 Cha muhimu ni kwamba Imam Ali (as) ndio kitovu cha dini baada ya Mtume wa Mwenyezi Mungu, naye ndio mwendelezo wa Mtume wa Mwenyezi Mungu isipokuwa utume kama utakavyosoma baadae, yeye ndio jabali, ndio kilele kama alivyoashiria mwenyewe katika moja ya misimamo migumu wakati wa fitina baada ya kuuliwa khalifa 78 79

As-Swaaiqul-Muhriqah: 126 Biharul-An’war Juz. 36, Uk. 29 kutoka kwa Abu Ja’far (as) amesema: Amesema Ali (as) amenifundisha Mtume wa Mwenyezi Mungu milango elfu moja kila mlango unafunguliwa milango elfu moja. 109

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 109

6/13/2013 2:10:47 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

wa pili, pale Masahaba walipokusanyika kwake wakitaka akubali ukhalifa, akasema: “Nilitua walipotua na niliruka waliporuka,” katika khutuba ya Shaqshaqiyah, lakini Waislamu walimpunja haki yake na wakamdhulmu, ni dhulma kubwa ilioje! Na ndio ikaja katika habari kwamba wa kwanza atakayelalamika mbele ya Mwenyezi Mungu ni Imam Ali (as) Siku ya Kiyama kama ilivyokuja katika SwawiqulMuhriqah kutoka kwa Bukhari kutoka kwa Ali (as): “Mimi ni wa kwanza kwenda kulalamika mbele ya Mwenyezi Mungu kwa ugomvi Siku ya Kiyama.”80 na imekuja katika Swawiqul-Muhriqah, Uk. 127 kutoka kwa Abdillahi bin Ahmad bin Hanbal amesema: “Nilimuuliza baba yangu kuhusu Ali na Muawiya, akasema: ‘Jua kwamba Ali alikuwa na maadui wengi, maadui zake wakamtafutia kasoro wakakosa, wakamwendea mtu aliyempiga vita na kupigana naye wakamsifia kwa hila, au kwenda kwa jamaa zake wa karibu wakawatuhumu kama walivyofanya kwa Abu Talib (as), wakafanya jitihada za kumuondolea fadhila zake kwa upuuzi, walijaribu hao maadui zake na ambao ndio maadui wa Nabii (s.a.w.w.) na maadui wa Mwenyezi Mungu kabla hawajawa maadui wa Ali.”’ Kwa vyovyote iwavyo na tuanze na kiasi kidogo cha fadhila zake ili tujue dhambi waliyoifanya maadui zake. Ibnu Hajar al- Haithamiy pamoja na kasumba yake dhidi ya wafuasi wa Ali amepokea mlango maalum katika fadhila za Imam Ali (as), ambapo ni lazima autaje ili afanye insafu katika nafsi yake kwa wafuasi wake, imekuja katika ukurusa wa 120 katika Swawaiqul- Muhuriqah katika fasili ya fadhila zake: “Ni nyingi, tukufu na mashuhuri hadi Ahmad amesema haijaja 80

As-Swawaiqul-Muhriqah: 126 110

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 110

6/13/2013 2:10:47 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

kwa yeyote katika fadhila kama ilivyokuja kwa Ali. Ismail al-Qadhwi, An-Nasaaiy na Abu Ali An-Nisaburiy wamesema: ‘Haijapokewa kwa sahaba yeyote kwa sanadi hasan mengi zaidi kama ilivyopokewa kuhusu Ali (r.a).’ Al-Khaliyl amesema katika Irshadi: ‘Amesema mmoja wa mahufaadh: Nimeangalia waliyoyaweka watu wa Kufah katika fadhila za Ali na Ahlul-Bayt wake, ni zaidi ya hadithi laki tatu, na Mwenyezi Mungu ndio mjuzi zaidi.’” Maneno haya bado ni ya Ibnu Hajar katika Swawaiqul-Muhuriqah yake Uk. 121. Na tutajitahidi kadiri tuwezavyo ziwe ni kutoka katika maelezo yaliyopokelewa katika njia za Ahlus-Sunnah na sio katika njia za wafuasi wa Ahlul-Bait, na lau tukitaka kutaja fadhila zake katika yaliyo pokelewa kutoka kwa Mtume wa Mwenyezi Mungu kwa njia ya Ahlul-Bait basi tungerefusha sana na angesema msemaji sio hoja kwa Ahlus-Sunnah. Kuzaliwa kwake Imam Ali (a.s.) ni Imam wa maajabu tangu saa ya kwanza ya uhai wake, kati ya hayo ni kwamba mama yake Fatimah binti Asad muumini mchamungu na ambaye alimlea Mtume wa Mwenyezi Mungu katika nyumba yake alikwenda katika nyumba ya Mwenyezi Mungu akiwa amebeba nuru ambayo ni Imam Ali (as), akawa anamuomba Mola Wake, na hakwenda kwa Lata, Uzaa wala Manata sanamu jingine la tatu, bali aliomba kulingana na dini safi, tukufu kama alivyomfundisha Abu Talib, akaufungua ulimi wake kwa Mola Wake akiwa mtulivu na mwenye imani, ambapo alishika pazia la Kaaba: “Mola Wangu mimi nakuamini Wewe na kwa yaliyokuja kwa mja Wako kati ya Mitume na vitabu, mimi nasadikisha mane111

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 111

6/13/2013 2:10:47 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

no ya babu yangu Ibrahim kipenzi, na kwamba yeye alijenga nyumba kongwe naomba kwa haki ya aliyejenga nyumba hii, na kwa haki ya kiumbe kilichomo tumboni mwangu, nisahilishie kujifungua kwangu.” Jawabu la Muweza likamjia haraka, ukuta wa Kaaba ukapasuka na akaingia ndani yake, kisha ukuta ukajifunga na haukufunguka licha ya baadhi kujaribu kufungua, si ukuta wala mlango wa Kaaba uliofunguka. Watu wakajua kwamba hilo ni jambo kutoka kwa Mwenyezi Mungu wakamwacha na jambo lake, Fatima binti Asadi akabakia katika ugeni wa Mwenyezi Mungu kwa muda wa siku tatu katika nyumba yake tukufu, na katika siku ya nne alitoka na mikononi mwake kuna mtoto, na Nabii alikuwa akimsubiria ambapo alimpokea mtoto na kumkumbatia kifuani mwake.81 Fadhila hii imekuwa ni ya Ali bin Abu Talib pekee katika ulimwengu mzima, je hii haionyeshi juu ya jambo fulani? Mwenyezi Mungu Mtukufu katika Qur’ an tukufu hataki tupoteze fursa katika kumtazama ngamia jangwani bila ya kupata mazingatio na kutafakari: “Je, hawamtazami ngamia jinsi alivyoumbwa.”82 Je hatutazami tukio hili kubwa kwa jicho la mazingatio na kutafakari? Je, hamtazami Fatima binti Asad ni wapi amejifungulia? Kwa nini bibi huyu hakujifungulia katika nyumba yake kama wanawake wengine? Kwa nini Mwenyezi Mungu alipasua ukuta wa Kaaba kwa muujiza? Kisha ni kwa nini iwe katika nyumba tukufu ya Mwenyezi Mungu? Huyu mtoto anayezaliwa ni nani? Na nini jambo lake kwa Mwenyezi Mungu, Mtume Wake na ujumbe? urul-Abswar cha Shablanjiy Uk. 95 (katika Maulamaa wa Kisunni), al-FusuliulN Muhimmah Uk. 30 na al-Alusiy katika tafsiri yake. 82 SuratulGhashiya: 17 81

112

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 112

6/13/2013 2:10:47 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

Tafadhali msomaji Mtukufu tafakari na wala usisikilize fikra za wengine, sikiliza fikra yako huru na kuwa huru isipokuwa kwa Mwenyezi Mungu na Mtume Wake. Kauli ya Nabii (s.a.w.w.) “Mimi ni Jiji la elimu na Ali ni mlango wake.”83 Pia imepokewa kutoka kwa Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.): “Mimi ni nyumba ya hekima na Ali ni mlango wake.” Hakika mas’ala ya elimu ni mas’ala ya msingi na ya mwelekeo ambapo elimu ndio ramani ambayo inatuwekea wazi mwelekeo wetu na mambo yote ya maisha yetu duniani na Akhera. Na elimu ya Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) ni nyingi, Qur’ani haikushereheshwa yote katika maisha yake mafupi ya utume na hakubainisha isipokuwa machache katika elimu nyingi, elimu yote ya mbinguni na ardhini iko kwake, naye anasema: “Mimi ni mji wa elimu” kinaya ya kiasi cha elimu na aina nyingi na kama mkiitaka basi mlango wake ni Ali bin Abu Talib. Je mtu akimkusudia mwingine asiyekuwa yeye na akakosea atamlaumu yeyote zaidi ya nafsi yake? Na nani atakayekuwa mwenye hasara zaidi ya yeye mwenyewe. Narudia tena ndugu msomaji, usiyapite maneno ya Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) hivi hivi, kwani ni yako na ni kwa masilahi yako, tafakari na fikiri ili uchukue faida kwayo, na ukitaka kujua machache katika elimu ya Ali tazama katika Nahjul-Balagha ufafanuzi wa Sheikh Muhammad Abduh (Cairo), na tafuta khutba yake ambayo ilizitatiza akili, ambayo haina hata herufi moja yenye nukta, yaani hakuna Baa, wala Jiym, wala Ghayn…. Kauli ya Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.): “Ewe Ali wewe kwangu ni kama Haruna kwa Musa isipokuwa haku83

una rejea nyingi sana na ni mutawatir toka pande mbili kati ya hizo ni SwawaiK qul- Muhuriqah Uk. 12 amenukuu kwa Tabaraniy, al-Hakim na Tirimidhiy. 113

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 113

6/13/2013 2:10:47 PM


Sheikh Muhammad Abduhya(Cairo), na tafuta yake ambayo ilizitati ukitaka kujua machache katika elimu Ali tazama katikakhutba Nahjul-Balaghahufafanuzi ambayo haina hata (Cairo), herufi moja yenye khutba nukta, yaani wala Jiy Sheikh Muhammad Abduh na tafuta yake hakuna ambayoBaa, ilizitatiza ak Ghayn…. ambayo haina hata herufi moja yenye nukta, yaani hakuna Baa, wala Jiym, w Ghayn…. Kauli ya Mtume Mwenyezi Mungu “ Ewe Ali wewe kwangu Abuwa Talib Jabali Imara la(s.a.w.w.): Imani Kauli ya Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.): “ Ewe Ali wewe kwangu ni ka Haruna kwa Musa isipokuwa hakuna nabii baada yangu.”1 Kama alivyoitaj 1 84 Kama alivyoitaja kat Haruna kwa Musa isipokuwa baada katika yangu.”Swawaiqulna nabii baada yangu.”hakuna Kamanabii alivyoitaja Swawaiqul-Muhriqah kutoka kwawawili Masheikh wawili na Tabaraniy.Hakika Hadit Muhriqah kutoka kwa Masheikh na Tabaraniy. Hakika Swawaiqul-Muhriqah kutoka kwa Masheikh wawili na Tabaraniy.Hakika Hadith hizi Hadith hizi ni kwa ajili yetu sisi Waislam ili tunufaike, na kwa ajili yetu sisi Waislam ili tunufaike, na tukitaka kujua nafasi ya Ali kw tukitaka kujua nafasi ya Ali kwa Nabii inapasa tujue nafasi kwa ajili yetu sisi Waislam ili tunufaike, na tukitaka kujua nafasi ya Ali kwa Na ya inapasa Harunatujue kwanafasi Musa, tutazame Qur’ani ili tujue. Musaili tujue. Musa ya basi Haruna kwa Musa, basi tutazame Qur’ani anasema Qur’ani: inapasa tujue nafasikatika ya Haruna kwa Musa, basi tutazame Qur’ani ili tujue. Musa anase

katika Qur’ani: ‫ﺮﹺﻱ‬‫ﻲ ﺃﹶﻣ‬‫ ﻓ‬‫ﺮﹺﻛﹾﻪ‬‫ﺃﹶﺷ‬‫﴾ﻭ‬٣١﴿ ‫ﺭﹺﻱ‬‫ ﺃﹶﺯ‬‫ﺩ ﺑﹺﻪ‬ ‫ﺪ‬‫﴾ﺍﺷ‬٣٠﴿ ‫ﻲ‬‫ﻭﻥﹶ ﺃﹶﺧ‬‫ﺎﺭ‬‫﴾ﻫ‬٢٩﴿ ‫ﻲ‬‫ﻠ‬‫ ﺃﹶﻫ‬‫ّﻦ‬‫ﺍ ﻣ‬‫ﺯﹺﻳﺮ‬‫ّﻲ ﻭ‬‫ﻞ ﻟ‬‫ﻌ‬‫ﺍﺟ‬‫“ﻭ‬ ‫ﺮﹺﻱ‬‫ﻲ ﺃﹶﻣ‬‫ ﻓ‬‫ﺮﹺﻛﹾﻪ‬‫ﺃﹶﺷ‬‫ﺭﹺﻱ ﻭ‬‫ ﺃﹶﺯ‬‫ ﺑﹺﻪ‬‫ﺩ‬‫ﺪ‬‫ﻲ ﺍﺷ‬‫ﻭﻥﹶ ﹶﺃﺧ‬‫ﺎﺭ‬‫ﻲ ﻫ‬‫ﻠ‬‫ ﺃﹶﻫ‬‫ّﻦ‬‫ﺍ ﻣ‬‫ﺯﹺﻳﺮ‬‫ﻟّﻲ ﻭ‬ ‫ﻞ‬‫ﻌ‬‫ﺍﺟ‬‫ﻭ‬

waziri katika watuwangu. Harun ndugu yangu. Niongezee nguvu zangu “Nawatuwangu. nipe waziriHarun katikandugu watu yangu. wangu.Niongezee Harun ndugu waziri katika nguvu zangu kwa yangu. Niongezee nguvu zangu kwaye, Naumshirikishe Naumshirikishe katika jambo langu.” (Sura Taha: 29-32). Na Mwenyezi katika jambo (Sura Taha: Na Mwenyezi Naumshirikishe katika langu.” jambo langu.” (Sura29-32). Taha: 29-32). Na Mwenyezi Mun Mungu akasema: ‫ﺎ‬‫ﻜﹸﻤ‬‫ﻠﹸﻮﻥﹶ ﺇﹺﻟﹶﻴ‬‫ﺼ‬‫ﺎ ﻓﹶﻠﹶﺎ ﻳ‬‫ﻠﹾﻄﹶﺎﻧ‬‫ﺎ ﺳ‬‫ﻌﻞﹸ ﻟﹶﻜﹸﻤ‬ ‫ﻧﺠ‬‫ﻭ‬ ‫ﻴﻚ‬‫ﻙ ﺑﹺﺄﹶﺧ‬ ‫ﺪ‬ ‫ﻋﻀ‬ ‫ﺪ‬‫ﻨﺸ‬‫ﺳ‬ ‫ﻗﹶﺎﻝﹶ‬ (swt) (swt) akasema (swt) akasema ‫ﺎ‬‫ﻜﻤ‬ ‫ﻴ ﹸ‬‫ﻠﹸﻮﻥﹶ ﹺﺇﹶﻟ‬‫ﺼ‬‫ﻠﹶﺎ ﻳ‬nguvu ‫ﺎ ﻓﹶ‬‫ﺳﻠﹾﻄﹶﺎﻧ‬  ‫ﺎ‬‫ﻜﻤ‬ ‫ ﹸ‬mkono ‫ﻌﻞﹸ ﻟﹶ‬ ‫ﻧﺠ‬‫ﻭ‬ ‫ﻴﻚ‬‫ﺄﹶﺧ‬wako ‫ﻙ ﺑﹺ‬  ‫ﺪ‬ ‫ﻋﻀ‬ ‫ﺪ‬kwa ‫ﻨﺸ‬‫ﺳ‬  ‫ ﻗﹶﺎﻝﹶ‬ndugu “Akasema: Tutautia yako, na tutaupa madaraka hawatawafikia.” “Akasema:Tutautia nguvumkono wako kwa (Sura ndugu yako, natu ­Qasas: 35). “Akasema:Tutautia nguvumkono wako kwa ndugu yako, natutawu madaraka hawatawafikia.” (Sura Qasas: 35). na Nabii baada Hapa tunauliza swali: Kama kungekuwa madaraka (Surazaidi Qasas: 35). Ali kwa tamko la maya hawatawafikia.” Nabii angekuwa nani ya Imam

neno ya Mwenyezi Mungu (swt), lakini hakuna utume baada Hapa tunauliza swali: Kama kungekuwa na Nabii baada ya Nabii angekuwa nani ya Imam Nabii (s.a.w.w.). Ali kwa tamko la manenonayaNabii Mwenyezi (swt), lakini hakuna utum Hapa tunauliza swali: Kama kungekuwa baadaMungu ya Nabii angekuwa nani zaidi

ya Nabii Imam Ali kwa tamko la maneno ya Mwenyezi Mungu (swt), lakini hakuna utume baa Kauli ya(s.a.w.w.). Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.): “Hakika ya Nabii nitampa (s.a.w.w.). bendera kesho mtu anayempenda Mwenyezi Mungu ya Wake Mtumena waMwenyezi Mwenyezi Mungu Mungu (s.a.w.w.): nitampa bendera ke na Kauli Mtume na Mtume“Hakika Wake wananayempenda Mwenyezi Mungu(s.a.w.w.): na Mtume “Hakika Wake na nitampa Mwenyezibendera Mungu kesho na Mtum Kauli ya Mtume wa Mwenyezi Mungu m ampenda, shujaa madhubuti asiyekimbia ambaye Mwenyezi wanampenda, asiyekimbia ambaye Mwenyezi Mungu kway anayempenda Mwenyezi shujaa Mungumadhubuti na Mtume Wake na Mwenyezi Mungu na Mtume Wa 85 2 Kisha akampa bendera Ali kwaye atal Mungu kwaye ataleta ushindi.” Kisha akampa bendera Ali (as) bila yamwinginewe. ushindi.” wanampenda, shujaa madhubuti asiyekimbia ambaye Mwenyezi Mungu 2 bilaakampa ya mwinginewe. Kisha bendera Ali (as) bila yamwinginewe. ushindi.”(as) Na kisa vitavita vya vya Khaibar: Bukhari na Muslim wamekipokea kutoka k Na kisakipo kipokatika katika Khaibar: Bukhari na Muslim Sa’advita na vya Tabaraniy kutoka kwa Ibnu Abbas, wamekipokea kwamba hakikakutoka Mtumekwa wa Sa M Na kisa kipobin katika Khaibar: Bukhari na Muslim wamekipokea kutoka kwa Sahli bin Sa’ad na Tabaraniy kuMungu alisema siku ya Khaibar:“Hakika nitampa bendera mtuwa ambaye M bin Sa’ad na Tabaraniy kutoka kwa Ibnu Abbas, kwamba hakika kesho Mtume Mweny 84 Al-Isti’ab yaatafungua Hafidh al-Andalusiy Juz. 3, uk: 1098anampenda Mungu kupitia kwake, yeye na Mweny Mtume Mungu alisema siku ya Khaibar:“Hakika nitampa bendera Mwenyezi kesho mtuMungu ambaye 85 Al-Ihtijaaji Juz: Mungu 1, Uk. 272.na yeye Mwenyezi Mtume Wake wanampenda.”Kulipokucha asubuhi wal Mungu atafungua kupitia kwake, anampenda Mwenyezi Mungu na Mtume Wake Mtume Mwenyezi (s.a.w.w.) wote wanatarajiasubuhi kupewa walikwen bendera, Mwenyezi kwa Mungu na wa Mtume WakeMungu wanampenda.”Kulipokucha 114 bin Mungu Abu Talib yuko wapi? Akaambiwa akasema: kwa Mtume(s.a.w.w.)Ali wa Mwenyezi (s.a.w.w.) wote wanatarajianaumwa kupewamacho, bendera, akase akaletwa,Mtukufu Mtume akamuwekea mate yake matukufu katika macho (s.a.w.w.)Ali bin Abu Talib yuko wapi? Akaambiwa anaumwa macho, akasema: Mlete akaletwa,Mtukufu Mtume akamuwekea mate yake matukufu katika macho yake 1 1

Al-Isti’ab ya Hafidh al-Andalusiy Juz. 3, uk: 1098 Al-Ihtijaaji Juz: 1, Uk. 272.

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 114 2

6/13/2013 2:10:48 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

toka kwa Ibnu Abbas, kwamba hakika Mtume wa Mwenyezi Mungu alisema siku ya Khaibar: “Hakika nitampa bendera kesho mtu ambaye Mwenyezi Mungu atafungua kupitia kwake, yeye anampenda Mwenyezi Mungu na Mtume Wake na Mwenyezi Mungu na Mtume Wake wanampenda.” Kulipokucha asubuhi walikwenda kwa Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) wote wanataraji kupewa bendera, akasema (s.a.w.w.) Ali bin Abu Talib yuko wapi? Akaambiwa anaumwa macho, akasema: Mleteni, akaletwa, Mtukufu Mtume akamuwekea mate yake matukufu katika macho yake na akamuombea na akapona kana kwamba hakuwa anaumwa, basi akampa bendera na yakawa yaliyokuwa katika ushujaa ulioandikwa na historia katika Khaibar, na akaifungua kama alivyotoa habari Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.), na akang’oa mlango wa Khaibar kwa mkono wake na mlango hawautikisi isipokuwa wanaume 40. Hakika yeye ni mtu anayependwa zaidi na Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) kama alivyosema Aisha. Tirmidhiy amepokea kutoka kwa Aisha: “Fatimah alikuwa ni mtu anayependwa sana na Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.), na mume wake alikuwa ni mwanaume anayependwa sana na Mtume (s.a.w.w.) na Mtume wa Mwenyezi Mungu hapendi wala kuchukia isipokuwa kwa ajili ya Mwenyezi Mungu.” Hakika kila kitu kina anuani na ishara inayoashiria kwayo, ukitaka kujua imani ya mtu basi kuna alama sasa ni ipi alama ya muumini mwenye kufaulu, mwandishi wa kitabu Swawaiqul-Muhriqah ametaja katika ukurasa wa 125 kwamba amepokea al-Khatibu kutoka kwa Anasi kwamba Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) amesema: 115

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 115

6/13/2013 2:10:48 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

“Anuani ya kitabu cha muumini ni kumpenda Ali bin Abu Talib.” Na amesema: “Mwenye kumuudhi Ali basi amesha niudhi mimi.”86 ‘Ali ni bwana wa Waarabu Imeandikwa katika Swawaiqul- Muhriqah ukurasa wa 122 kuwa Bayhaqiy amepokea kwamba, siku moja Ali alionekana kwa mbali, ndipo Mtume (s.a.w.w.) akasema: “Huyu ni bwana wa Waarab.” Aisha akasema: “Wewe si ndio bwana wa Waarab?” Akasema (s.a.w.w.): “Mimi ni bwana wa Walimwengu na yeye ni bwana wa Waarabu.” Na amepokea al- Hakim katika sahih yake kutoka kwa Ibnu Abbasi: “Mimi ni bwana wa kizazi cha Adam na Ali ni bwana wa Waarabu.” Na alisema (s.a.w.w.): “Mwenye kumtukana Ali basi ameshanitukana mimi.” Ahmad, Tirmidhiy, An-Nasaiy na Ibnu Majah wamepokea kutoka kwenye Swawaiqul-Muhurqah ukurasa 122, kuwa Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) alisema: “Ali anatokana na mimi na mimi ninatokana na Ali, na wala hatonitimizia jambo ila mimi mwenyewe au Ali.” Hadith ya udugu Kutoka katika Swawaiqul-Muhuriqah ukurasa wa 122, amepokea Tirmidhiy kwamba Nabii (s.a.w.w.) alifanya udugu bai86

iharul-An’war Juz: 39 Uk. 331. Al-Akbariy ametaja katika al-Inaabah kutoka B kwa Mus’ab bin Sa’ad kutoka kwa baba yake Sa’ad bin Abi Waqaas amesema: “Nilikuwa mimi pamoja na wanaume wawili msikitini basi tukamsema Ali (as), Nabii (s.a.w.w.) akaingia amekasirika akasema: ‘Mna nini nyinyi na Ali! Mwenye kumuudhi Ali ameshaniudhi mimi, mwenye kumuudhi Ali ameshaniudhi mimi, mwenye kumuudhi Ali ameshaniudhi mimi.”’ 116

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 116

6/13/2013 2:10:48 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

na ya masahaba wake, Ali akaja analia akisema: “Ewe Mtume wa Mwenyezi Mungu umefanya udugu baina ya masahaba wako na hukunifanyia mimi udugu na yeyote.” Akasema (s.a.w.w.): “Wewe ni ndugu yangu duniani na Akhera.” Ewe msomaji Muislam, je umejiuliza ni kwa nini Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) hakufanya udugu wa Ali na yeyote kati ya Waislamu? Swali hili linahitaji kutafakari. Maneno yote ya Nabii ni muhimu, hivyo kati ya Hadith muhimu za mwelekeo katika fadhila za Ali ni kama ilivyokuja katika Swawiqul–Muhriqah ukurasa wa 123, amepokea Ahmad na al- Hakim kwa sanadi sahihi kutoka kwa Said al-Khudiriy kwamba hakika Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) alimwambia Ali: “Hakika wewe utapigana vita kwa ajili ya maana (ya Qur’ani) kama nilivyopigana vita katika mshuko wake.” Amepokea Tabaraniy kutoka katika Swawaiqul-Muhriqah ukurasa wa 144 kutoka kwa Ummu Salmah amesema: “Nimemsikia Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) anasema: ‘Ali yuko pamoja na Qur’ani na Qur’ani iko pamoja na Ali, havitengani hadi vitakaponijia katika haudhi.’” Na Qur’ani ni kitabu kisichopatwa na batili na Ali vivyo hivyo. Pia ameandika al-Hakim na Tirmidhiy kutoka kwa Imran bin Hasiyn kwamba Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) amesema: “Wanataka nini kwa Ali, mnataka nini kwa Ali, mnataka nini kwa Ali, hakika Ali anatokana na mimi na mimi natokana na Ali, naye ni kiongozi wa kila muumini baada yangu.” Je, hatutanabahi kwa maneno ya Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) jambo la kuheshimu, kufahamu na kuelewa na kutekeleza na kufaidika kama alivyotaka kwako Nabii wa rehema (s.a.w.w.), yaani rehema kwako. 117

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 117

6/13/2013 2:10:48 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

Kutoka katika Swawaiqul-Muhriqah ukurasa wa 127 amepokea Ibnu Sa’ad kutoka kwa Ali (as) kuwa amesema: “Wallahi haikushuka Aya isipokuwa nimejua kwa nini imeshuka na wapi imeshuka na kwa kuhusu nani imeshuka, hakika Mola Wangu amenipa moyo wenye akili na ulimi wenye kutamka.” Na amepokea Ibnu Sa’ad na wengineo kutoka kwa Abu Tufail amesema: Ali alisema: “Niulizeni kuhusu Kitabu cha Mwenyezi Mungu kwani hakika hakuna Aya isipokuwa ninajua imeshuka usiku au mchana, katika tambarare au mlimani.” Ibnu Hajar anataja katika Swawaiq yake utukufu huu katika ukurasa wa 128, anasema: “Na kati ya karama zake zenye kushangaza ni kwamba jua lilirejeshwa kwa ajili yake wakati kichwa cha Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) kilipokuwa katika paja lake na wahyi unateremka kwake na Ali akawa hajaswali Alasiri na hakuondoka kwake (s.a.w.w.) isipokuwa baada ya kuzama jua, Nabii (s.a.w.w.) akasema: “Eee Mwenyezi Mungu hakika alikuwa katika utii Wako na utii wa Nabii Wako basi rejesha jua kwa ajili yake.” Basi likajitokeza baada ya kuwa limeshazama.” Mtu anaweza kutoa maelezo gani juu ya tukio hili, je, haihitajii tusimame kwa kutafakari katika fadhila hii? Je kama fadhila hii ingekuwa kwa mwingine yeyote asiyekuwa Ali (as) miongoni mwa wale wenye kuwadhania vizuri wangefanya nini? Naamini wangemkufurisha kila anayejaribu kumgusa mwenye fadhila hii kama asingekuwa Ali (as). Kutoka katika Swawaiqul-Muhriqah ukurasa wa 128 amepokea Tabaraniy na Ibnu Abi Hatim kutoka kwa Ibnu Abbas, amesema: “Mwenyezi Mungu hakuteremsha: Enyi mlioamini, isipokuwa Ali ni kiongozi wake na mtukufu wake, na Mwenyezi Mungu amewalaumu masahaba wa Muhammad 118

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 118

6/13/2013 2:10:48 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

katika zaidi ya sehemu moja na wala hakumtaja Ali isipokuwa kwa kheri.” Na amepokea Ibnu Asaakir kutoka kwake kuwa alisema: “Haikushuka kwa yeyote katika Kitabu cha Mwenyezi Mungu Mtukufu kama ilivyoshuka kwa Ali.” Na amepokea kutoka kwake vilevile kuwa alisema: “Zimeshuka Aya mia tatu kuhusu Ali.” Na kati ya kauli zake (as) ambazo zinaonyesha juu ya utukufu wake ni: “Wallahi lau ningepewa miji saba na yaliyomo chini ya anga lake ili nimwasi Mwenyezi Mungu kwa kumpokonya sisimizi punje nisingefanya hivyo.” Amepokea Dar Qutuniy kwamba Ali aliwaambia watu sita ambao Umar alijaalia jambo la shura liwe baina yao maneno marefu, kati ya hayo ni: “Nakunasihini, je kati yenu kuna mmoja wenu asiyekuwa mimi aliyeambiwa na Mtume wa Mwenyezi Mungu: ‘Ewe Ali wewe ni mgawaji wa pepo na moto siku ya Kiyama?’87 Wakasema: Eee Mwenyezi Mungu hakuna.” Na imepokewa kutoka kwa Ibnu as-Sahak kwamba Abubakr alimwambia: “Nilimsikia Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) akisema: ‘Hatovuka yeyote siratwa isipokuwa atakayeandikiwa na Ali ruhusa ya kuvuka.’” Baadhi ya yaliyoshuka kwake katika Qur’ani ni: Al-Waqidiy amepokea kutoka kwa Ibnu Abbas amesema: “Ali alikuwa na dirhamu nne na hakuwa na zingine ila hizo, usiku akatoa sadaka dirham moja, na mchana dirhamu moja,dirhamu moja akaitoa kwa siri na dirhamu moja nyingine akaitoa kwa dhahiri. Basi ikashuka kwake: Kwa jina la Mwenyezi Mungu Mwingi wa rehema mwenye kurehemu.

87

Swawaiqul-Muhrqah cha Ibnu Hajar Uk. 126 119

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 119

6/13/2013 2:10:48 PM


ningepewa miji saba na yaliyomo ya anga lake ili nimwasi Mwenyezi kwa alimwambia: “Nilimsikia Mtume chini waMwenyezi Mungu (s.a.w.w.) akisema:Mungu ‘Hatovuka kumpokonya punje nisingefanya hivyo.” yeyote siratwasisimizi isipokuwa atakayeandikiwa na Ali ruhusa ya kuvuka.’” Amepokea Dar Qutuniykwake kwamba AliQur’ani aliwaambia watu sita ambao Umarkutoka alijaalia Baadhi ya yaliyoshuka katika ni: Al-Waqidiy amepokea kwajambo Ibnu la shura liwe baina yao maneno marefu, kati ya hayo ni: “Nakunasihini, je kati yenu Abbas amesema: “Ali alikuwa na dirhamu nne na hakuwa na zingine ila hizo, usiku kunammoja wenu asiyekuwa mimi aliyeambiwa na Mtume wa Mwenyezi Mungu: ‘Ewe Abuna Talib Jabali Imara la Imani akatoa sadaka dirham moja, mchana dirhamu moja,dirhamu moja akaitoa kwa siri na 1 Wakasema: Mwenyezi Ali wewemoja ni mgawaji wa akaitoa pepo na kwa motodhahiri. siku ya Basi Kiyama?’ dirhamu nyingine ikashuka kwake:Eee Kwa jina la Mungu imepokewa kutoka kwa Ibnu as-Sahak kwamba Abubakr Mwenyezihakuna.”Na Mungu Mwingi wa rehema mwenye kurehemu. alimwambia: “Nilimsikia Mtume waMwenyezi Mungu (s.a.w.w.) akisema: ‘Hatovuka yeyote siratwa isipokuwa atakayeandikiwa na Ali ruhusa ya kuvuka.’”

‫ﻮﻥﹶ‬‫ﻧ‬‫ﺰ‬‫ﺤ‬‫ ﻳ‬‫ﻢ‬‫ﻟﹶﺎ ﻫ‬‫ ﻭ‬‫ﻬﹺﻢ‬‫ﻠﹶﻴ‬‫ ﻋ‬‫ﻑ‬‫ﻮ‬‫ﻟﹶﺎ ﺧ‬‫ ﻭ‬‫ﺑﹺّﻬﹺﻢ‬‫ ﺭ‬‫ﻨﺪ‬‫ ﻋ‬‫ﻢ‬‫ﻫ‬‫ﺮ‬‫ ﹶﺃﺟ‬‫ﻢ‬‫ﺔﹰ ﹶﻓﹶﻠﻬ‬‫ﻠﹶﺎﻧﹺﻴ‬‫ﻋ‬‫ﺍ ﻭ‬‫ﺮ‬‫ﺎﺭﹺ ﺳ‬‫ﻬ‬‫ﺍﻟﻨ‬‫ ﹺﻞ ﻭ‬‫ﻢ ﺑﹺﺎﻟﻠﱠﻴ‬‫ﺍﻟﹶﻬ‬‫ﻮ‬‫ﻘﹸﻮ ﹶﻥ ﺃﹶﻣ‬‫ﻨﻔ‬‫ ﻳ‬‫ﻳﻦ‬‫ﺍﻟﱠﺬ‬

Baadhi ya yaliyoshuka kwake katika Qur’ani ni: Al-Waqidiy amepokea kutoka kwa Ibnu “Wale amesema: watoao mali usiku na mchana kwa sirihakuwa na dhahiri,wana waousiku kwa Abbas “Alizao alikuwa na dirhamu nne na na zingine ujira ila hizo, “Wale watoao mali zao usiku na mchana kwaakaitoa siri na Mola wao;wala haitakuwa hofu juu dirhamu yao wala wao hawatahuzunika.” (Sura alakatoa sadaka dirham moja, na mchana moja,dirhamu moja kwa siri na dhahiri,wana ujira wao kwa kwadhahiri. Mola wao; wala haitakuwa Baqarah: 274).2nyingine dirhamu moja akaitoa Basi ikashuka kwake: Kwahofu jina la 88 juuMungu yao wala hawatahuzunika.” Mwenyezi Mwingiwao wa rehema mwenye kurehemu.(Sura al-Baqarah: 274). Ama msimamo wake katika vita ya Ahzab (Khandaq)ni msimamo wa mwelekeo na wa kimsingi Muhammad, ‫ﻮﻥﹶ‬‫ﻧ‬‫ﺰ‬‫ﺤ‬katika ‫ ﻳ‬‫ﻢ‬‫ﻟﹶﺎ ﻫ‬‫ ﻭ‬kupanga ‫ﻬﹺﻢ‬‫ﻠﹶﻴ‬‫ ﻋ‬‫ﻑ‬‫ﻮ‬‫ ﺧ‬mwelekeo ‫ﻟﹶﺎ‬‫ ﻭ‬‫ﻢ‬wake ‫ﺑﹺّﻬﹺ‬‫ ﺭ‬‫ﻨﺪ‬‫ ﻋ‬‫ﻢ‬wa ‫ﻫ‬‫ﺮ‬‫ﹶﺃﺟ‬ujumbe ‫ﻢ‬‫ﺔﹰ ﹶﻓﹶﻠﻬ‬‫ﻴ‬vita ‫ﻠﹶﺎﻧﹺ‬‫ﻋ‬wa ‫ﺍ ﻭ‬‫ﺮ‬‫ﺳ‬ya ‫ﺎﺭﹺ‬‫ﻬ‬‫ﺍﻟﻨ‬‫ ﹺﻞ ﻭ‬‫ﻢ ﺑﹺﺎﻟﻠﱠﻴ‬‫ﺍﻟﹶﻬ‬hakika ‫ﻮ‬‫ﻘﹸﻮ ﹶﻥ ﺃﹶﻣ‬‫ﻨﻔ‬‫ﻳ‬Mwenyezi ‫ﻳﻦ‬‫ﺍﻟﱠﺬ‬ Mungu Ama anawezamsimamo kumnusuruNabii wakekatika kwa ghaibu na kwa Ahzab neno moja(Khandaq) kuwa na ikawa, niMwenyezi msimamo waamekataa mwelekeo na wa kimsingi kupanga lakini Mungu kuendesha mambo isipokuwakatika kwa sababu zake na ili “Wale watoao mali zaonausiku na mchana kwanasiri na dhahiri,wana ujira waonafasi kwa afichue undani wa watu ili atofautishe kizuri kibaya, nahakika ili kila mtu astahiki mwelekeo wa ujumbe wa Muhammad, Mwenyezi Mola wao;wala haitakuwa juu yaokawaida wala wao hawatahuzunika.” (Sura alyake kwa uwezo2 wake, na hivi hofu ndivyo ilivyo ya Mwenyezi Mungukatika viumbe Mungu anaweza kumnusuru Nabii wake kwa ghaibu na kwa Baqarah: 274). vyake.

neno moja kuwa na ikawa, lakini Mwenyezi Mungu amekataa

Ama msimamo wake hali katika vita ya Ahzab (Khandaq)ni msimamo wa mwelekeo nahali wa Katika vita ya Ahzab ilikuwa ngumu sana kwasababu Waislamu, na Qur’ani kuendesha mambo isipokuwa kwa zake nahakika iliimeelezea afichue kimsingi katika kupanga mwelekeo wa ujumbe wa Muhammad, Mwenyezi hii ngumu ambapo inasema: Kwa jina la Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema mwenye undani wakumnusuruNabii watu na ili atofautishe kizuri naneno kibaya, ilinakila Mungu anaweza wake kwa ghaibu na kwa moja na kuwa ikawa, kurehemu. lakini Mwenyezi Mungu amekataa mambowake, isipokuwa kwa sababu zakeilina ili mtu astahiki nafasi yakekuendesha kwa uwezo na hivi ndivyo afichue undani wa watu na ili atofautishe kizuri na kibaya, na ili kila mtu astahiki nafasi vyo kawaida ya Mwenyezi Mungu katika viumbe vyake. yake kwa uwezo wake, na hivi ndivyo ilivyo kawaida ya Mwenyezi Mungukatika viumbe ‫ﺎ‬‫ﻮﻧ‬‫ ﺍﻟﻈﱡﻨ‬‫ﻮﻥﹶ ﺑﹺﺎﻟﻠﱠـﻪ‬‫ﻈﹸﻨ‬‫ﺗ‬‫ ﻭ‬‫ﺎﺟﹺﺮ‬‫ﻨ‬‫ ﺍﻟﹾﺤ‬‫ ﺍﻟﹾﻘﹸﻠﹸﻮﺏ‬‫ﺖ‬‫ﻠﹶﻐ‬‫ﺑ‬‫ ﻭ‬‫ﺎﺭ‬‫ﺼ‬‫ ﺍﻟﹾﺄﹶﺑ‬‫ﺍﻏﹶﺖ‬‫ﺇﹺﺫﹾ ﺯ‬‫ ﻭ‬‫ﻨﻜﹸﻢ‬‫ﻔﹶﻞﹶ ﻣ‬‫ ﺃﹶﺳ‬‫ﻦ‬‫ﻣ‬‫ ﻭ‬‫ﻜﹸﻢ‬‫ﻗ‬‫ّﻦ ﻓﹶﻮ‬‫ﺎﺀُﻭﻛﹸﻢ ﻣ‬‫ﺇﹺﺫﹾ ﺟ‬ vyake. Katika vita ya Ahzab hali ilikuwa ngumu sana kwa Wais-

lamu, naAhzab Qur’ani imeelezea hali hii ngumu inasema: “Walipowajiakutoka juuilikuwa yenu na kutoka yenu; naambapo macho yakakodoka na Katika vita ya hali ngumu sana chini kwa Waislamu, na Qur’ani imeelezea hali nyoyo zikapanda kooni, na mkamdhania Mwenyezi Mungu dhana mbali mbali.” hii ngumu ambapo Kwa jina la Mwenyezi Mungu wa rehema mwenye Kwa jina la inasema: Mwenyezi Mungu mwingi wamwingi rehema mwenye (Sura Ahzab: 10). kurehemu. kurehemu.

Inabainika wazi katika aya hizi msimamo wa Waislam dhaifu, ambapo Makuraishi na washirika waliwazunguka wakatabiri ‫ﺎ‬‫ﻮﻧ‬‫ ﺍﻟﻈﱡﻨ‬‫ﻪ‬wake ‫ﻮﻥﹶ ﺑﹺﺎﻟﻠﱠـ‬ ‫ﻈﹸﻨ‬‫ﺗ‬‫ ﻭ‬‫ﺎﺟﹺﺮ‬‫ﻨ‬‫ ﺍﻟﹾﺤ‬‫ﺍﻟﹾﻘﹸﻠﹸﻮﺏ‬kwa ‫ﺖ‬‫ﻠﹶﻐ‬‫ﺑ‬‫ﻭ‬nje ‫ﺎﺭ‬‫ﺼ‬na ‫ ﺍﻟﹾﺄﹶﺑ‬wanafiki ‫ﺍﻏﹶﺖ‬‫ﺇﹺﺫﹾ ﺯ‬‫ ﻭ‬‫ﻜﹸﻢ‬kwa ‫ﻨ‬‫ﻔﹶﻞﹶ ﻣ‬ndani, ‫ ﺃﹶﺳ‬‫ﻦ‬‫ﻣ‬‫ ﻭ‬‫ﻢ‬na ‫ﻜﹸ‬‫ﻗ‬‫ﻮ‬wengi ‫ّﻦ ﻓﹶ‬‫ُﻭﻛﹸﻢ ﻣ‬ ‫ﺎﺀ‬‫ﺇﹺﺫﹾ ﺟ‬ mwisho wa Nabii (s.a.w.w.) na mwisho wa daawa yake, ni kwa yale aliyoyasema Amru bin Abdu Wud al-Amiry pale alipovuka handaki kwa kuruka na farasi wake na akawa “Walipowajiakutoka juu yenu na kutoka chini yenu; na macho yakakodoka na “Walipowajia kutoka juu yenu na kutoka chini yenu; na nyoyo zikapanda kooni, na mkamdhania Mwenyezi Mungu dhana mbali mbali.” 1 Swawaiqul-Muhrqah cha Ibnu Hajar Uk. 126 na nyoyo zikapanda kooni, na mkamdmacho 2 (Sura Ahzab: yakakodoka 10). Swawaiqul-Muhriqah cha Ibnu Hajar Uk. 126 hania Mwenyezi Mungu dhana 64 mbali mbali.” (Sura Ahzab: 10). Inabainika wazi katika aya hizi msimamo wa Waislam dhaifu, ambapo Makuraishi na washirika wake waliwazunguka kwa njeaya na wanafiki kwa ndani, na wakatabiri Inabainika wazi katika hizi msimamo wawengi Waislam mwisho wa Nabii (s.a.w.w.) na mwisho wa daawa yake, ni kwa yale aliyoyasema Amru Makuraishi na washirika waliwazunbin dhaifu, Abdu Wudambapo al-Amiry pale alipovuka handaki kwa kurukawake na farasi wake na akawa

guka kwa nje na wanafiki kwa ndani, na wengi wakatabiri

1

Swawaiqul-Muhrqah cha Ibnu Hajar Uk. 126 88 Swawaiqul-Muhriqah cha 2 Swawaiqul-Muhriqah cha Ibnu Hajar Uk. 126

Ibnu Hajar Uk. 126

64

120

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 120

6/13/2013 2:10:48 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

mwisho wa Nabii (s.a.w.w.) na mwisho wa daawa yake, ni kwa yale aliyoyasema Amru bin Abdu Wud al-Amiry pale alipovuka handaki kwa kuruka na farasi wake na akawa anatamba na kuwachezea shere Waislam,huyu ni shujaa mzoefu na ni sawa na wapiganaji 1000 wenye farasi, na alikuwa anawaita Waislamu wajitokeze na hakumjibu yeyote isipokuwa Ali (as), ambapo aliacha sehemu yake katika vita na akaenda kwa Nabii (s.a.w.w.) na kumwambia: “Mimi nitapambana naye ewe Mtume wa Mwenyezi Mungu.” Nabii alikuwa anamkatalia akisubiri yeyote kati ya Waislam asiyekuwa Ali (as) ili aitike wito wa kujitokeza, lakini hakujitokeza yeyote huku Amru bin Abdi Wud akizidi kuwachezea shere: “Iko wapi pepo yenu ambayo mnadai kwamba anayeuliwa kati yenu anaingia? Je hapendi mmoja wenu aende peponi.?” Akawa anaimba kama anavyopokea al-Halabiy katika Siira yake na Mufid katika ­Irshadi yake kwa nukuu kutoka katika Siira ya Aimatul- Ithna Ashara cha Hashim al-Husniy: “Nimeshaweka wazi katika wito, kwa mkusanyiko wenu kuna atakayejitokeza? Vilevile bado ningali mwepesi katika mapambano, hakika ushujaa upo kwa kijana, na ukarimu ni kati ya sifa nzuri.” Mtume (s.a.w.w.) akasema kwa kuamsha dhamira za Waislam: “Nani atajitokeza kwake na mimi namdhamini pepo kwa Mwenyezi Mungu.” Lakini hakumjibu yeyote. Hapo Mtume wa Mwenyezi Mungu akamruhusu Ali na akampa upanga wake na akamvalisha ngao yake na kilemba chake na akanyanyua mikono yake mbinguni na akasema (s.a.w.w.): “Eee Mwenyezi Mungu hakika Wewe ulimchukua Ubaidah siku ya Badir na Hamza siku ya Uhud, na huyu ni Ali ndugu yangu na mtoto wa ami yangu, ee usiniache 121

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 121

6/13/2013 2:10:48 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

pweke na Wewe ni mbora wa wenye kurithi.” Ali akajitokeza kwake huku akisema: “Usiwe na haraka ameshakujia, mwenye kujibu wito wako na sio ajizi. Mwenye nia na uoni, mkweli mwokozi wa kila mwenye kufuzu. Hakika mimi ninataraji, kuleta kwako kilio cha msiba, kwa pigo la uhakika, litalobakisha mtikisiko wake katika vita.” Mapambano yakaanza baina yao na halikutulia vumbi isipokuwa na Waislamu wanapiga takbira na Ali akarejea hali ameshashinda kwa kumuuwa adui wa Mwenyezi Mungu. Na tukio hili lilikuwa ndio ukomo katika kuvunjika moyo wa washirikina na kunusurika Waislam, kwa sababu hiyo Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) amesema kama ilivyokuja katika Mustadrakus-Sahihain: “Hakika kujitokeza Ali kupambana na Amru siku ya Khandaq ni amali bora zaidi kuliko amali za Ummah wangu hadi Siku ya Kiyama.” Baada ya hapo ikateremka Aya: “Na Mwenyezi Mungu amewakifia Waumini na vita,”89 kwa Ali. Siku ya Ghadir: Amesema Ibnu Hajar katika Swawaiq yake ukurasa wa 122, kuwa Mtume (s.a.w.w.) alisema siku ya Ghadir Khum, nayo ni sehemu iliyopo maili tatu kutoka Juhfah baina ya Makka na Madina: “Ambaye mimi nilikuwa kiongozi wake basi Ali ni kiongozi wake. Eee Mwenyezi Mungu mpende atakaye mtawalisha na mfanye adui atakaye mfanyia uadui.” Na wamepokea kutoka kwa Nabii Masahaba thelethini na kwamba nyingi kati ya njia zake ni sahihi. 89

Suratul Ahzab: 25

122

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 122

6/13/2013 2:10:48 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

Hakika tukio la Ghadir Khum ni kati ya matukio ya mwelekeo katika historia ya Ummahh wa Kiislam, hivyo imelazimu kuelezea kwa uwazi zaidi juu ya tukio hili na ufafanuzi ili tujue umuhimu wake na lengo lake halisi. Katika Hija ya mwisho ya Nabii (s.a.w.w.) nayo ndio ya kuaga, hakika aliashiria zaidi ya mara moja kwamba ni ya mwisho nayo ndio ya kuaga, kwani wakati mmoja walimsikia anamwambia Ali (as): “Sitokutana nanyi baada ya mwaka huu.” Na wakati mwingine akisema: “Ninaweza kuitwa na kuitika.” Baada ya kuhiji na kuanza kurejea Madina pamoja na kundi kubwa la wakazi wa Madina ambalo halina mfano, na ikiwa ni kabla ya kutawanyika kundi la Waislam, aliwasimamisha Waislamu na akashuka karibu na Juhfah eneo la Ghadir Khum. Imekuja kutoka kwa Ibnu Kathir kutoka kwa Zaid bin Arqam kwamba Nabii (s.a.w.w.) aliporejea kutoka kwenye Hija ya kuaga na akashuka Ghadir Khum aliamuru kusimama katika miti, nasi tukasimama baina ya kundi hilo kubwa, Mtume akasema: “Kana kwamba nimeitwa na punde nitaitika.” Kisha akasema (s.a.w.w.): “Hakika mimi nimeshawaachieni vizito viwili: Kitabu cha Mwenyezi Mungu na Kizazi changu watu wanyumbani kwangu, hivyo angalieni ni namna gani mtanifuata kwavyo, hakika hivyo havitatengana hadi vitakaponijia katika haudhi.” Kisha akasema: “Hakika Mwenyezi Mungu ni kiongozi wangu na mimi ni kiongozi wa kila muumini.” Akaushika mkono wa Ali (as) akasema: “Ambaye mimi ni kiongozi wake basi Ali ni kiongozi wake. Eee Mwenyezi Mungu mpende atakaye mtawalisha na mchukie atakayemfanyia uadui.”90 90

Al-Bidayatu Wan-Nihayah, Juz. 5, Uk. 209 123

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 123

6/13/2013 2:10:48 PM


nimeitwa na punde nitaitika.”Kisha akasema (s.a.w.w.):“Hakika mimi nimeshawaachieni Imekuja kutoka kwa Ibnu Kathir kutoka kwa Zaid bin Arqam kwamba Nabii (s.a.w.w.) vizito viwili: Kitabukwenye cha Mwenyezi Mungunanaakashuka Kizazi changu wanyumbani kwangu, aliporejea kutoka Hija ya kuaga Ghadirwatu Khum aliamuru kusimama hivyo ni namna gani kwavyo, havitatengana hadi katikaangalieni miti,nasi tukasimama bainamtanifuata ya kundi hilo kubwa,hakika Mtumehivyo akasema: “Kana kwamba vitakaponijia nimeitwa na katika punde haudhi.” nitaitika.”Kisha akasema (s.a.w.w.):“Hakika mimi nimeshawaachieni Abu Talib Jabalina Imara Imani watu wanyumbani kwangu, vizito viwili: Kitabu cha Mwenyezi Mungu Kizazilachangu Kisha Mwenyezi Mungu nikwavyo, kiongozihakika wangu hivyo na mimi ni kiongozi hadi wa hivyoakasema: angalieni“Hakika ni namna gani mtanifuata havitatengana kila muumini.”katika Akaushika mkono wa Ali (as) akasema: “Ambaye mimi ni kiongozi wake vitakaponijia haudhi.” Na amepokea Kathir vileMungu vile kutoka Udaymtawalisha binbasi Ali ni kiongozi wake. Ibnu Eee Mwenyezi mpendekwa atakaye na 1 Thabit“Hakika kutoka kwa Baraa bin Aazib, imekuja riwaya mchukie atakayemfanyia uadui.” Kisha akasema: Mwenyezi Mungu ni kiongozi wangukatika na mimi ni kiongozi wa kila muumini.” Akaushika wa Alialikutana (as) akasema: “Ambaye ni kiongozi wake kwamba Umar mkono bin Khatab na Ali baadamimi ya Mtume Na Ibnu Kathir vile Eee vile kutoka kwaMungu Uday binThabit kutoka kwa Baraa bin basiamepokea Ali kumaliza ni kiongozi wake. Mwenyezi mpende atakaye mtawalisha na khutuba yake na akamwambia: “Pongezi kwako, 1 Aazib, imekuja katika riwaya kwamba Umar bin Khatab alikutana na Ali baada ya mchukie atakayemfanyia uadui.” umeshakuwa kiongozi wa kila muumini mwanaume na muMtume kumaliza yake na91 akamwambia: “Pongezi kwako, umeshakuwa kiongozi uminikhutuba mwanamke.” wa muuminiIbnu mwanaume na muumini mwanamke.” Nakila amepokea Kathir vile vile kutoka kwa Uday2 binThabit kutoka kwa Baraa bin Jambo hiliriwaya la Mwenyezi limekuja ya kushuAazib, imekuja katika kwamba Mungu Umar bin Khatab baada alikutana na Ali baada ya Jambo la Mwenyezi Mungu limekuja baada ya kushuka Aya hii: Mtumehili kumaliza khutuba yake na akamwambia: “Pongezi kwako, umeshakuwa kiongozi ka Aya hii: 2 wa kila muumini mwanaume na muumini mwanamke.”

‫ﲑﹺ‬‫ﻌ‬‫ ﺍﻟﺴ‬‫ﺬﹶﺍﺏ‬‫ ﻋ‬‫ﻢ‬‫ﺎ ﻟﹶﻬ‬‫ﻧ‬‫ﺪ‬‫ﺘ‬‫ﺃﹶﻋ‬‫ﲔﹺ ◌ۖ ﻭ‬‫ﺎﻃ‬‫ﻴ‬‫ّﻠﺸ‬‫ﺎ ﻟ‬‫ﻮﻣ‬‫ﺟ‬‫ﺎ ﺭ‬‫ﺎﻫ‬‫ﻠﹾﻨ‬‫ﻌ‬‫ﺟ‬‫ ﻭ‬‫ﺎﺑﹺﻴﺢ‬‫ﺼ‬‫ﺎ ﺑﹺﻤ‬‫ﻴ‬‫ﻧ‬‫ﺎﺀَ ﺍﻟﺪ‬‫ﻤ‬‫ﺎ ﺍﻟﺴ‬‫ﻨ‬‫ﻳ‬‫ ﺯ‬‫ﻟﹶﻘﹶﺪ‬‫ﻭ‬

Jambo hili la Mwenyezi Mungu limekuja baada ya kushuka Aya hii:

“Ewe Mtume!Fikisha uliyoteremshiwa kutoka kwa Mola Wako; “Ewe Mtume! uliyoteremshiwa kwana kama ‫ﲑﹺ‬basi ‫ﻌ‬‫ ﺍﻟﺴ‬‫ﺏ‬hukufikisha ‫ﺬﹶﺍ‬‫ ﻋ‬‫ﻢ‬‫ﺎ ﻟﹶﻬ‬‫ﻧ‬‫ﺪ‬‫ﺘ‬‫ﺃﹶﻋ‬‫ﻭ‬Fikisha ۖ◌ ‫ﲔﹺ‬‫ﺎﻃ‬‫ﻴ‬‫ّﻠﺸ‬‫ﻟ‬Wake; ‫ﺎ‬‫ﻮﻣ‬‫ﺟ‬‫ﺎ ﺭ‬‫ﺎﻫ‬na ‫ﻠﹾﻨ‬‫ﻌ‬‫ﺟ‬‫ﻭ‬Mwenyezi ‫ﺎﺑﹺﻴﺢ‬‫ﺼ‬‫ﺎ ﺑﹺﻤ‬‫ﻴ‬‫ﻧ‬‫ﺪ‬kutoka ‫ﺍﻟ‬Mungu َ‫ﺎﺀ‬‫ﻤ‬‫ﺎ ﺍﻟﺴ‬‫ﻨ‬‫ﻳ‬‫ﺯ‬atakulinda ‫ﻟﹶﻘﹶﺪ‬‫ﻭ‬ hutafanya,Mola ujumbe na Wako; na kama hutafanya, basi hukufikisha watu. Hakika Mwenyezi Mungu hawaongozi watu makafiri.” (Sura al-Maida: 67). ujumbe Wake; na Mwenyezi Mungu atakulinda na watu. “Ewe Mtume!Fikisha uliyoteremshiwa kutoka kwa Mola Wako; na kama Hakika Mwenyezi Mungu hawaongozi watu makafiri.” Kisha anapokea Kathir riwaya ya piliWake; kutokana kwa Abu Huraira: Baada ya mnasaba hutafanya, basiIbnu hukufikisha ujumbe Mwenyezi Mungu atakulinda na (Sura al-Maida: 67). huu ilishuka AyaMwenyezi hii kwa Nabii (s.a.w.w.),nayo watu. Hakika Mungu hawaongozini: watu makafiri.” (Sura al-Maida: 67). Kisha anapokea Ibnu Kathir riwaya ya pili kutoka kwa Abu Kisha anapokea kutoka Abu Huraira: ‫ﲑﹺ‬‫ﻌ‬‫ ﺍﻟﺴ‬‫ﺏ‬Ibnu ‫ﺬﹶﺍ‬‫ﻋ‬Baada ‫ﻢ‬‫ﻬ‬Kathir ‫ﺎ ﻟﹶ‬‫ﻧ‬‫ﺪ‬‫ﺘ‬‫ﻋ‬ya ‫ﺃﹶ‬‫ﻭ‬riwaya ۖ◌mnasaba ‫ﲔﹺ‬‫ﺎﻃ‬‫ﻴ‬ya ‫ّﻠﺸ‬‫ ﻟ‬pili ‫ﺎ‬‫ﻮﻣ‬‫ﺟ‬huu ‫ﺎ ﺭ‬‫ﺎﻫ‬‫ﻨ‬ilishuka ‫ﻠﹾ‬‫ﻌ‬‫ﺟ‬‫ﻭ‬kwa ‫ﺎﺑﹺﻴﺢ‬‫ﺼ‬ ‫ﻤ‬Aya ‫ﺎ ﺑﹺ‬‫ﻴ‬‫ﻧ‬Huraira: ‫ﺍﻟﺪ‬hii َ‫ﺎﺀ‬‫ﻤ‬‫ﺴ‬kwa ‫ﺎ ﺍﻟ‬Baada ‫ﻨ‬‫ﻳ‬‫ﺯ‬Nabii ‫ﻟﹶﻘﹶﺪ‬‫ ﻭ‬ya mnasaba huu ilishuka Aya hii kwa Nabii (s.a.w.w.),nayo ni: (s.a.w.w.), nayo ni: “Ewe Mtume!Fikisha uliyoteremshiwa kutoka kwa Mola Wako; na kama ‫ﻌ‬‫ ﺍﻟﺴ‬‫ﺏ‬ ‫ﺬﹶﺍ‬‫ ﻋ‬‫ﻢ‬‫ﺎ ﻟﹶﻬ‬‫ﻧ‬‫ﺪ‬‫ﺘ‬‫ﺃﹶﻋ‬‫ ﻭ‬ujumbe ۖ◌ ‫ﲔﹺ‬‫ﺎﻃ‬‫ﻴ‬‫ّﻠﺸ‬‫ﻟ‬Wake; ‫ﺎ‬‫ﻮﻣ‬‫ﺟ‬‫ﺎ ﺭ‬‫ﺎﻫ‬na ‫ﻠﹾﻨ‬‫ﻌ‬‫ﺟ‬‫ﻭ‬Mwenyezi ‫ﺎﺑﹺﻴﺢ‬‫ﺼ‬‫ﺎ ﺑﹺﻤ‬‫ﻴ‬‫ﻧ‬‫ﺍﻟﺪ‬Mungu َ‫ﺎﺀ‬‫ﻤ‬‫ﺎ ﺍﻟﺴ‬‫ﻨ‬‫ﻳ‬‫ﺯ‬atakulinda ‫ﻟﹶﻘﹶﺪ‬‫ﻭ‬ hutafanya, ‫ﲑﹺ‬basi hukufikisha na watu. Hakika Mwenyezi Mungu hawaongozi watu makafiri.” (Sura al-Maida: 67). “Ewe Mtume!Fikisha kutoka kwa Mola Wako; “Ewe Mtume!uliyoteremshiwa Fikisha uliyoteremshiwa kutoka kwana kama hutafanya, basi hukufikisha ujumbe Wake; na Mwenyezi Mungu atakulinda na Mola Wako; na kama hutafanya, basi hukufikisha watu. Hakika Mwenyezi Mungu hawaongozi watu makafiri.” (Sura al-Maida: 67). ujumbe Wake; na Mwenyezi Mungu atakulinda na watu. 1 Al-Bidayatu Wan-Nihayah, Juz. 5, Uk. 209 Hakika Mwenyezi Mungu hawaongozi watu makafiri.” 2 Al-Bidayatu Wan-Nihayah Juz. 5, Uk. 209 66 Ibnu Kathir anasema: “Tabariy ametunga juu ya Ghadir 1 Al-Bidayatu Wan-Nihayah, Juz. 5, Uk. 209 2 Al-Bidayatu Wan-Nihayah Juz. 5, Uk. 209 Khum mijaladi miwili, humo amekusanya sanadi zake na laf66 (Sura al-Maida: 67).

91

Al-Bidayatu Wan-Nihayah Juz. 5, Uk. 209 124

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 124

6/13/2013 2:10:48 PM


Jambo hili la Mwenyezi Mungu limekuja baada ya kushuka Aya hii:

‫ﲑﹺ‬‫ﻌ‬‫ ﺍﻟﺴ‬‫ﺬﹶﺍﺏ‬‫ ﻋ‬‫ﻢ‬‫ﺎ ﻟﹶﻬ‬‫ﻧ‬‫ﺪ‬‫ﺘ‬‫ﺃﹶﻋ‬‫ﲔﹺ ◌ۖ ﻭ‬‫ﺎﻃ‬‫ﻴ‬‫ّﻠﺸ‬‫ﺎ ﻟ‬‫ﻮﻣ‬‫ﺟ‬‫ﺎ ﺭ‬‫ﺎﻫ‬‫ﻠﹾﻨ‬‫ﻌ‬‫ﺟ‬‫ ﻭ‬‫ﺎﺑﹺﻴﺢ‬‫ﺼ‬‫ﺎ ﺑﹺﻤ‬‫ﻴ‬‫ﻧ‬‫ﺎﺀَ ﺍﻟﺪ‬‫ﻤ‬‫ﺎ ﺍﻟﺴ‬‫ﻨ‬‫ﻳ‬‫ ﺯ‬‫ﻟﹶﻘﹶﺪ‬‫ﻭ‬ Abu Talib Jabali Imara la Imani

“Ewe Mtume!Fikisha uliyoteremshiwa kutoka kwa Mola Wako; na kama hutafanya, ujumbe Wake; na Mwenyezi na dhibasi zakehukufikisha na akasema kuwa ni mutawatir na wala Mungu hakunaatakulinda njia watu. Hakika Mwenyezi Mungu hawaongozi watu makafiri.” (Sura al-Maida: 67). ya kuikanusha. Na ameipokea Imam Ahmad na Razi katika tafsiri Ibnu yake,Kathir na al-riwaya Baghdadiy katika kwa tarikhi na Baada TabaraKisha anapokea ya pili kutoka Abuyake, Huraira: ya mnasaba niyAya katika Dhakhair yake, na wametilia mkazo kwamba Aya: huu ilishuka hii kwa Nabii (s.a.w.w.),nayo ni:

‫ﲑﹺ‬‫ﻌ‬‫ ﺍﻟﺴ‬‫ﺬﹶﺍﺏ‬‫ ﻋ‬‫ﻢ‬‫ﺎ ﻟﹶﻬ‬‫ﻧ‬‫ﺪ‬‫ﺘ‬‫ﺃﹶﻋ‬‫ﲔﹺ ◌ۖ ﻭ‬‫ﺎﻃ‬‫ﻴ‬‫ّﻠﺸ‬‫ﺎ ﻟ‬‫ﻮﻣ‬‫ﺟ‬‫ﺎ ﺭ‬‫ﺎﻫ‬‫ﻠﹾﻨ‬‫ﻌ‬‫ﺟ‬‫ ﻭ‬‫ﺎﺑﹺﻴﺢ‬‫ﺼ‬‫ﺎ ﺑﹺﻤ‬‫ﻴ‬‫ﻧ‬‫ﺎﺀَ ﺍﻟﺪ‬‫ﻤ‬‫ﺎ ﺍﻟﺴ‬‫ﻨ‬‫ﻳ‬‫ ﺯ‬‫ﻟﹶﻘﹶﺪ‬‫ﻭ‬ “Ewe Mtume!Fikisha kutoka kwa Mola “Ewe Mtume!uliyoteremshiwa Fikisha uliyoteremshiwa kutoka kwaWako; Mola na kama na kama hutafanya, basi hukufikisha ujumbe Wake; hutafanya,Wako; basi hukufikisha ujumbe Wake; na Mwenyezi Mungu atakulinda na na Mwenyezi watu. Hakika Mwenyezi watu. Hakika Mwenyezi Mungu Mungu atakulinda hawaongozi na watu makafiri.” (Sura al-Maida: 67). Mungu hawaongozi watu makafiri.”

(Sura al-Maida: 67).

Iliteremka kwa ajili ya mnasaba huu. 1 2

Al-Bidayatu Wan-Nihayah, Juz. 5, Uk. 209 Pia imekuja Al-Bidayatu Wan-Nihayah Juz. 5, Uk.kutoka 209

kwa Mufid katika Irshadi yake: “Hakika Nabii (s.a.w.w.) alitengeneza hema la Ali 66na akawaamuru Waislamu waingie makundi makundi kumsalimia na kumpongeza kwa uongozi wake kwa Waumini, na wote wakafanya hivyo hata wale aliokuwa nao miongoni mwa wake zake na wake wa Waislamu.” Na ndugu yangu muumini ukitaka kujua zaidi juu ya Ghadir ni juu yako kurejea kitabu cha al- Ghadir cha al-Allammah al-Amin. Yeye ndio kamba ya Mwenyezi Mungu Imekuja katika kitabu Aliyu Fil-Qur’ani cha Sayyid Swaadiq Shiraziy Juz. 1, Uk. 132, amepokea al-Allammah al-Bahraaniy kutoka kwa Abu Abdurahman Abdillahi bin Ahmad bin Hanbal, Imam wa Hanbal kutoka kwa Ibnu Mubarak bin Masurur kwa sanadi yake iliyotajwa kutoka kwa Said bin Jubair, kutoka kwa Abdillahi bin Abbasi amesema: “Tulikuwa kwa Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) alipokuja bedui akasema: ‘Ewe Mtume wa Mwenyezi Mungu nimesikia unase125

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 125

6/13/2013 2:10:49 PM


hata wale aliokuwa nao miongoni mwa wake zake na wake wa Waislamu.” yangu muumini ukitaka kujua zaidi juu ya Ghadir ni juu yako kurejea kit Ghadir cha al-Allammah al-Amin. Yeye ndio kamba ya Mwenyezi Mungu: Abu Talib Jabali Imara la Imani

Imekuja katika kitabu Aliyu Fil-Qur’ani cha Sayyid Swaadiq Shiraziy Juz. amepokea al-Allammah al-Bahraaniy kutoka kwa Abu Abdurahman Ab Ahmad bin Hanbal, Imam wa Hanbal kutoka kwa Ibnu Mubarak bin Masurur ma: Shikamaneni yake na kamba Mwenyezi ni ipi kwa kamiliyotajwaya kutoka kwa Said Mungu, bin Jubair, kutoka Abdillahi bin Abbas “Tulikuwa kwa Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) alipokuja bedui aka ba ya Mwenyezi Mungu ambayo tutashikamana nayo?’ Nabii Mtume wa Mwenyezi Mungu nimesikia unasema: Shikamaneni na kamba ya (s.a.w.w.) akapiga mkono wake juu ya mkono wa Ali na akaMungu, ni ipi kamba ya Mwenyezi Mungu ambayo tutashikamana na 92 sema: ‘Shikamaneni na huyu yeye ni wake kamba madhubuti.’” (s.a.w.w.) akapiga mkono juu ya mkono wa Ali na akasema: ‘ Shik huyu yeye ni kamba madhubuti.’”1 Wanaulizana kuhusu nini? nini? Wanaulizana kuhusu

Amepokea al-Hafdhi al-Haskaaniy amesema: Ametupa habari Aqil bin H

Amepokea al-Hafdhi al-Haskaaniy amesema: Ametupa sanadi yake iliyotajwa kutoka kwa Abdul-Khair kwa Ali (as), amesem habari Aqil bin Husein kwa sanadi yake iliyotajwakutoka kutoka kwa Abdul-Khair kutoka kwa Ali (as), amesema: Swakhar bin bin Harib alikuja hadi akaketi kwa Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) Harib alikuja hadi akaketi kwa Mtume wa Mwenyezi Mungu “Jambo“Jambo hili baada hili yako baada litakuwayako kwa nani?” Akasema (s.a.w.w.): “Kwa am (s.a.w.w.) na kusema: litakuwa kwa nani?” Akasema (s.a.w.w.): “Kwa ambaye nafasi yake kwanyake kwangu ni kama nafasiya Haruna kwa Musa.”Mwenyezi Mung gu ni kama nafasi ya Haruna kwa Musa.” Mwenyezi Munakateremsha: ‫ﺎﺀَﻟﹸﻮﻥﹶ‬‫ﺴ‬‫ﺘ‬‫ ﻳ‬‫ﻢ‬‫ﻋ‬ “Ni waulizanalo.” lipi waulizanalo.” (Sura Naba: gu Mtukufu akateremsha: “Ni lipi (Sura Naba: 1). Yaani Watu wa Makka wanakuuliza juu ya ُ‫َع ِن ال َّن َبإِ ْالعَظِ ِيم الَّذِي ُھ ْم فِي ِه م ُْخ َتلِف‬ َ Ali ukhalifawa‫ون‬ ‫ون‬ َ ُ‫“ َع ِن ال َّن َبإِ ْالعَظِ ِيم الَّذِي ُھ ْم فِي ِه م ُْخ َتلِف‬Ni ile habari kubwa, Ghayatul-Maraam kutoka katika Aliyu Fil-Qur’ani cha Sayid2-3). Swaadiq Shiraziy 1, Uk. 132 Ambayo kwayo wanahitalifiana.” (Sura Nabai: KatiJuz.yao 67 kuna anayesadikisha na kati yao kuna anayekadhibisha uonُ َّ َ َ gozi wake. ‫ُون‬ Punde tu watajua. َ َ ‫ُون ث َ َّم كال َس َيعْ لم‬ َ ‫“ َ َك َّال َس َيعْ لم‬Si َّ hivyo! ‫ُون‬ َ ‫ُون ُث َّم َك َّال َس َيعْ لم‬ َ ‫َكال َس َيعْ لم‬ Tena si hivyo! Punde tu watajua.” (Sura Nabai: 4 - 5). Nalo nijibu kwao, watajua ukhalifa wake kuwa ni haki ambapo wanauliza juu yake, watajua makaburini mwao, hivyo haitabaki maiti Mashariki wala Magharibi, nchikavu wala baharini isipokuwa Munkari na Nakiyr watamuuliza, watamuuliza ni nani Mola wako? Ni ipi dini yako? Ni nani Nabii wako na nani Imamu wako?93 1

hayatul-Maraam kutoka katika Aliyu Fil-Qur’ani cha Sayid Swaadiq Shiraziy G Juz. 1, Uk. 132 93 Shawahidut-Tanzil Juz. 318 Kutoka katika Aliyu Fil-Qur’ani cha Ayatullah Sayid Swadiq Shiraziy Juz. 2, Uk. 5761. 92

126

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 126

6/13/2013 2:10:49 PM


haitabaki maiti Mashariki wala Magharibi, nchikavu wala baharini isipokuwa M

Nakiyr watamuuliza, watamuuliza ni nani Mola wako? Ni ipi dini yako ? Ni n Abu Talib Jabali Imara la Imani wako na nani Imamu wako?1

Suratul-Adiyaat

Walikusanyika kundi la Waarabu katika bonde la al-Yaabis

Suratul-Adiyaat: ili kumfanyia Nabii (s.a.w.w.) njama huko Madina, waliku-

wa wanataka kumshambulia na kummaliza (s.a.w.w.). Nabii Walikusanyika kundi la Waarabu katika bonde la al-Yaabisna ili kumfany (s.a.w.w.) akawaambia Masahaba wake nani atakabiliana kundi lawalikuwa Ahlu Sufah na wakasema sisi, (s.a.w.w.)hawa, njamalikasimama huko Madina, wanataka kumshambulia na ku akamwamuru Abu Bakr, akachukua bendera na kwenda kwa (s.a.w.w.). Nabii (s.a.w.w.)akawaambia Masahaba wake nani atakabi Bani Salim. Lakini hatimaye likauliwa hawa,likasimama kundi la walishindwa Ahlu Sufahnana wakasema sisi, kundi akamwamuru A la Waislam, hapo Waislam wakarejea wakiwa wameshindwa akachukua bendera na kwenda kwa Bani Salim. Lakini walishindwa na wa Abu Kisha wakarudi chini ya likauliwa chini kundiyalauongozi Waislam, hapoBakr. Waislam wakarejeatena wakiwa wameshindwa uongozi wa Umar na Umar bin al-Aaswi, na matokeo yakawa uongozi waAbu Bakr. Kisha wakarudi tena chini ya uongozi waUmar na Um yale. Nabii (s.a.w.w.) akabaki kwa muda kisha akamtuAaswi, nayale matokeo yakawa yale yale. Nabii (s.a.w.w.) akabaki kwa mu ma Ali kwao, Ali akawaendea kwa njia isiyozoeleka na akaakamtuma Ali kwao, Ali akawaendea kwa njia isiyozoeleka na akawashambul washambulia wakati wa mapambazuko ya alfajir shambulio wa mapambazuko ya alfajir shambulio la kushtukiza kama vile radi, akawa la kushtukiza kama vile radi, akawavamia na akawatia hofu akawatia na hofuakawashinda na akawashinda na akawachukua makundi kwa makundi mate na akawachukua makundi kwa makundi ikashuka Aya hii: ndipo ikashuka Aya hii: mateka,

‫ﺎ‬‫ﻘﹾﻌ‬‫ ﻧ‬‫ﻥﹶ ﺑﹺﻪ‬‫ﺎ ﻓﹶﺄﹶﺛﹶﺮ‬‫ﺒﺤ‬‫ ﺻ‬‫ﲑﺍﺕ‬ ‫ﻐ‬ ‫ﺎ ﻓﹶﺎﻟﹾﻤ‬‫ﺣ‬‫ ﹶﻗﺪ‬‫ﺎﺕ‬‫ﻮﺭﹺﻳ‬‫ﺎ ﻓﹶﺎﻟﹾﻤ‬‫ﺒﺤ‬‫ﺿ‬  ‫ﺎﺕ‬‫ﻳ‬‫ﺎﺩ‬‫ﺍﻟﹾﻌ‬‫ﻭ‬ “Naapawanaokwenda kwa wanaokwenda mbio wakihema. moto moto kwa “Naapa kwa mbio wakihema.Wakitoa Wakitoa kwa kupiga kwato, asubuhi.” kwato,Wakishambulia wakatiWakishambulia wa asubuhi.”wakati (Sura wa Adiyat: 1 – 3). (Sura Adiyat: 1 – 3).

Yeye ndiye Yeye mtu pekee aliyevamiwa na Waislamu wakitaka wakitaawe kiongozi wao ndiye mtu pekee aliyevamiwa na Waislamu kuuliwa Uthman, naye akakubali iliyakusimamishahoja yao. Kisha akahut ka awe kiongozi wao baada kuuliwa Uthman,juu naye akakusema katika yake ya ash-Shaqshaqiyah katika Nahjul-Balagh kubalihutuba ili kusimamisha hoja juu yao. Kishailiyomo akahutubia kwa ufafanuzi kusema wa Muhammad Abduhu: “Wallahi alilishikilia mtoto wa Abu Quha katika hutuba yake ya ash-Shaqshaqiyah iliyomo akijua kwamba nafasi yangukatika kwayo ni mahala pa kitovu katika Nahjul-Balaghah ufafanuzi wa Muhammad Ab- katika m 2 duhu: “Wallahi alilishikilia mtoto wa ndege Abu Quhafah, aki- wa khutba. yananimiminikia mafuriko na wala hanifikii …” hadinaye mwisho 127 1 2

Shawahidut-Tanzil Juz. 318 Kutoka katika Aliyu Fil-Qur’ani cha Ayatullah Sayid Swadiq Shiraziy Juz. 2, Uk. 5761. Sharh Nahjul-Balaghah ya Ibnu Abi Hadiydi Juz.1, Uk. 151. 02_Abu Talib_13_June_2013.indd 127

68

6/13/2013 2:10:49 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

jua kwamba nafasi yangu kwayo ni mahala pa kitovu katika mzunguko, yananimiminikia mafuriko na wala hanifikii ndege …” hadi mwisho wa khutba.94 Kauli yaKauli Mwenyezi Mungu: wewe ya Mwenyezi Mungu ‫ﺎﺩ‬‫ﻡﹴ ﻫ‬‫ﻜﹸﻞﹺّ ﻗﹶﻮ‬‫ﻟ‬‫ ◌ۖ ﻭ‬‫ﺭ‬‫ﻨﺬ‬‫ ﻣ‬‫ﺎ ﺃﹶﻧﺖ‬‫ﻤ‬‫“ ﺇﹺﻧ‬Hakika “Hakika wewe ni Mwonyaji ni Mwonyaji tu. Na kila kaumu ina wa kuwaongoza.” (Sura tu. Na kila kaumu ina wakutoka kuwaongoza.” Ra’ad: Suyutwiy amepokea kutoka Ra’ad: 7). Suyutwiy amepokea kwa (Sura Mtume wa7).Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) kwamba alisema: wa Ummahh Kauli yawa Mwenyezi Mungu Mungu ‫ ﻣ‬‫ ﺃﹶﻧﺖ‬muonyaji ‫ﺎ‬‫ﻤ‬‫ ﺇﹺﻧ‬kwamba ‫ﺎﺩ‬‫“ﻫ‬Mimi ‫ﻡﹴ‬‫ﻜﹸﻞﹺّ ﻗﹶﻮ‬‫ﻟ‬‫( ﻭ‬s.a.w.w.) ۖ◌ ‫ﺭ‬‫ﻨﺬ‬ni “Hakika wewe ni Mwonyaji kwa Mtume Mwenyezi alisema: “Mimi ni muonyaji wa huu na Ali ndio muongozaji.” tu. Na kila ina wa kuwaongoza.” (Sura Ra’ad: 7). Suyutwiy amepokea kutoka Ummahh huu nakaumu Ali ndio muongozaji.”

Eee Amirul-Mu’minin mtukufu ulioje na “Mimi wewe ni kiakwa Mtume wa wewe Mwenyezi ni Mungu (s.a.w.w.) kwamba alisema: ni muonyaji wa si gani umedhulumiwa, wewe ndio mtihani wa Ummah huu. Na Ummahh huu na Ali ndio muongozaji.” Eee Amirul-Mu’minin wewe ni mtukufu ulioje na wewe ni kiasi gani mwenye kutaka maarifa ya ziada ya wa ayaUmmah zilizoshuka katika fadhiumedhulumiwa,wewe ndio juu mtihani huu.Na mwenye kutaka maarifa ya ziada Amirul-Mu’minin wewefadhila ni mtukufu na wewe nina kiasi gani ya Eee aya zilizoshuka katika za Aliulioje binKishia Abu Talib kwa njia zisizokuwa za la za Ali binjuu Abu Talib na kwa njia zisizokuwa za ni juu ndio mtihani wa Ummah huu.Na mwenye kutaka maarifa yake ya ziada Kishia umedhulumiwa,wewe ni juu yake kurejea kitabu cha Aliyu Fil–Qur’ani cha Marji’u Sayyid Swaadiq ya aya zilizoshuka katika fadhila za Ali bin Abu Talib na kwa njia zisizokuwa za kurejea kitabu chajuu Aliyu Fil–Qur’ akitabu ni cha Marji’u Sayyid Swaadiq ShiShiraziy chenye miwili. Kishia ni juumijaladi yake kurejea cha Aliyu Fil–Qur’ani cha Marji’u Sayyid Swaadiq Shiraziymiwili. chenye mijaladi miwili. raziy chenye mijaladi  ‫ﺃﹸﻭﻟﹶ‬‫ﻢ‬‫ﺕ‬‫ﺎﻫ‬‫ﺤ‬‫ﻚ‬‫ﺎﻟ‬‫ﺼ‬‫ـﺌ‬ ٰ‫ﻤﻠﹸﻭﻟﹶﹸﻮﺍ ﺍﻟ‬‫ﻋﺃ‬ ‫ﺕ‬  ‫ﻋ‬ ‫ﻭ‬ ‫ﻮﺍ‬‫ﻨ‬‫ ﺁﻣ‬‫ﻳﻦ‬‫ﹺﺇﻥﱠ ﺍﻟﱠﺬ‬ Amesema Mwenyezi Mungu Mtukufu ‫ﺔ‬‫ﺮﹺﻳ‬‫ ﺍﻟﹾﺒ‬‫ﺮ‬‫ﺧﻴ‬‫ﺔ‬‫ﻳ‬‫ﺮﹺﻢ‬‫ﻫ‬‫ﺍﻟﹾﺒ‬‫ﻚ‬‫ﺮ‬‫ـﺌ‬ ٰ‫ﺧﻴ‬ ‫ﻭ‬ ‫ﻮﺍ‬‫ﺎ‬‫ﺤﻨ‬ ‫ ﺁﻣ‬‫ﻟ‬‫ﺎﻦ‬‫ﺼ‬ ‫ﻳ‬‫ﹸﻮﺍﻥﱠ ﺍﺍﻟﻟﱠﺬ‬ ‫ﻤﻠ ﹺﺇ‬ Amesema Mwenyezi MunguMtukufu: Mtukufu Amesema Mwenyezi Mungu “Hakika wale walioamini na wakatenda mema hao ndio viumbe “Hakika wale walioamini na wakatenda mema hao ndio viumbe bora.” (Sura “Hakika wale 7). walioamini na wakatenda mema hao ndio viumbe bora.” (Sura Bayyina: Ameipokea al-Hafidh Jamaludiyn Na- bora.” (Sura Bayyina: 7). Ameipokea al-Hafidh Jamaludiyn Nazarandiy kutoka kwa Ibnu Abbasi (r.a) zarandiy kutoka kwa Abbasi (r.a)Jamaludiyn kwamba Nazarandiy Aya hii iliposhuka Bayyina: 7). Ibnu Ameipokea al-Hafidh kutoka kwa Ibnu Abbasi (r.a) kwamba Aya hii iliposhuka Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) alimwambia Ali: Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) alimwambia Ali: “Ni wewe kwamba iliposhuka Mtume wa Mwenyezi (s.a.w.w.) alimwambia Ali: “NiAya wewe hii na wafuasi wako, utakuja na wafuasi wako Siku yaMungu Kiyama mkiwa radhi hali na wafuasi wako, utakuja na wafuasi wako Siku ya Kiyama mkiwa yakuwa mmeridhiwa na atakuja adui yako amekasirika hali ya kuwa amekasirikiwa.” “Ni wewe mmeridhiwa na wafuasi wako,na utakuja na wafuasi ya Kiyama mkiwa radhi hali radhi hali yakuwa atakuja adui wako yakoSiku amekasirika Na katika riwaya nyingine katika Swawaiq vilevile Mtume wa Mwenyezi Mungu 95 hali ya kuwayakuwa amekasirikiwa. ” mmeridhiwa na atakuja adui yako amekasirika hali ya kuwa amekasirikiwa.”1 1

(s.a.w.w.) amesema: “Ewe Ali, wewe na wafuasi wako mtakuwa katika mimbari za nuru

Na katika riwaya nyingine katika Swawaiq vilevile Mtume wa Siku yariwaya Kiyama.” nyingine katika Swawaiq vilevile Mtume wa Mwenyezi Mungu Na katika Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) amesema: “Ewe Ali, wewe na wafuasi (s.a.w.w.) amesema: “Eweza Ali, weweSiku wafuasi wako mtakuwa katikawamimbari za nuru Katika Swawaiqul-Muhuriqah ukurasa wana 156, amepokea Tabaraniy wako mtakuwa katika mimbari nuru ya Kiyama. ” kuwa Mtume Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) aliseama: “Hakika Mwenyezi Mungu Mtukufu amejaalia

cha kila Nabii katika mgongo wake, na hakika Mwenyezi Mungu Mtukufu Siku yakizazi Kiyama.” Swawaiqul-Muhuriqah ukurasa waAbu156, Na katika riwaya amejaalia kizazi changu katika mgongo wa Ali bin Talib.”2amepokea

Katika amesema: “Mtume wa Mwenyezi Mungu alitabasamu wakati wa kumuoza Ali Tabaraniy kuwanyingine Mtume Mwenyezi (s.a.w.w.) kwa Fatimah na wa akamwambia Ali: ‘HakikaMungu Mwenyezi Mungu ameniamrishaalisekukuoza

Katika Fatimah.”’ Swawaiqul-Muhuriqah ukurasa wa 156, amepokea Tabaraniy kuwa Mtume wa Sharh Nahjul-Balaghah yandugu Ibnu Abi Hadiydi Juz.1,Mungu Uk. Mtukufu 151.Mwenyezi Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) “Hakika MunguMtume Mtukufu amejaalia Tafakari msomaji: Hakikaaliseama: Mwenyezi ndiye anamwamuru 95 Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) kumuoza Aliwake, kwa Fatimah, na kizaziMwenyezi chao kuwa ndio Swawiqul-Muhriqah cha IbnuNabii Hajarkatika Uk. 161 kizazi wa cha kila mgongo na hakika Mungu Mtukufu kizazi cha Mtume wa Mwenyezi Mungu. amejaalia kizazi changu katika mgongo wa Ali bin Abu Talib.”2 Na katika riwaya nyingine amesema: “Mtume wa Mwenyezi Mungu alitabasamu wakati wa kumuoza Ali 128 kwa Fatimah na akamwambia Ali: ‘Hakika Mwenyezi Mungu ameniamrisha kukuoza Swawiqul-Muhriqah cha Ibnu Hajar Uk. 161 Swawiqul-Muhriqah cha Ibnu Hajar Uk. 156 Fatimah.”’ 94

1 2

69

Tafakari ndugu msomaji: Hakika Mwenyezi Mungu Mtukufu ndiye anamwamuru Mtume chao kuwa 02_Abu Talib_13_June_2013.indd wa 128Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) kumuoza Ali kwa Fatimah, na kizazi 6/13/2013 2:10:49 PM ndio


Abu Talib Jabali Imara la Imani

ama: “Hakika Mwenyezi Mungu Mtukufu amejaalia kizazi cha kila Nabii katika mgongo wake, na hakika Mwenyezi Mungu Mtukufu amejaalia kizazi changu katika mgongo wa Ali bin Abu Talib.”96 Na katika riwaya nyingine amesema: “Mtume wa Mwenyezi Mungu alitabasamu wakati wa kumuoza Ali kwa Fatimah na akamwambia Ali: ‘Hakika Mwenyezi Mungu ameniamrisha kukuoza Fatimah.”’ Tafakari ndugu msomaji: Hakika Mwenyezi Mungu Mtukufu ndiye anamwamuru Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) kumuoza Ali kwa Fatimah, na kizazi chao kuwa ndio kizazi cha Mtume wa Mwenyezi Mungu. Nabii (s.a.w.w.) amesema: “Mwenye kumuudhi Ali ameshaniudhi mimi, na mwenye kuniudhi mimi ameshamuudhi Mwenyezi Mungu.”97 Na imekuja katika ukurasa wa 173 vile vile kutoka kwa Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) kwamba yeye alitoka amekasirika na akasema (s.a.w.w.): “Watu nini wanamdharau Ali,Ali hakika Ali anatokana na Nabii wana (s.a.w.w.) amesema: “Mwenye kumuudhi ameshaniudhi mimi, na mwenye 1 kuniudhi mimi ameshamuudhi Mwenyezi Mungu.” Na imekuja katika ukurasa wa 173 mimi na mimi ninatokana naye, ameumbwa kwa udongo vile vile kutoka kwa Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) kwamba yeye alitoka wangu na mimi nimeumbwa na udongo Ibraamekasirika na akasema (s.a.w.w.):“Watukutokana wana nini wanamdharau Ali, wa hakika Ali anatokana na mimi mimi kuliko ninatokanaIbrahim, naye, ameumbwa kwa baadhi udongo wangu na kwa mimi him, na mimi ninabora kizazi yake nimeumbwa kutokana na udongo wa Ibrahim, na mimi ni bora kuliko Ibrahim, kizazi 98 2 baadhi, na kwa Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusikia baadhi yake baadhi, na Mwenyezi Mungu niMwenye kusikia Mjuzi.”Mjuzi.” Tafsiri ya aya ‫ﺍ‬‫ﺩ‬‫ ﻭ‬‫ﻤ ٰـﻦ‬ ‫ﺣ‬‫ ﺍﻟﺮ‬‫ﻢ‬‫ﻌﻞﹸ ﹶﻟﻬ‬ ‫ﻴﺠ‬‫ﺳ‬ “Mwingi Tafsiri ya aya “Mwingi wawarehema rehemaatawajaalia atawajaalia mapenzi.” (Sura Maryam: 96). Amepokea al-Hafidh as-Salafiy mapenzi.” Maryam: 96).bin Amepokea al-Hafidh as-Salafiy kutoka kwa kutoka kwa(Sura Muhammad al-Hanafiyah katika tafsiri ya Aya hii kuwa: “Hatobaki muumini wa kiume wala wakike Muhammad bin al-Hanafiyah katika tafsiri ya Aya hii kuwa:“Hatobaki muumini wa isipokuwa katika moyo wake kuna mapenzi ya Ali na watu kiume wala wakike isipokuwa katika moyo wake kuna mapenzi ya Ali na watu wa wa nyumbani kwake.” Na amesema kutoka kwa Bayhaqiy na nyumbani kwake.”Na amesema kutoka kwa Bayhaqiy na Abu Sheikh ad-Daylamiy

Swawiqul-Muhriqah cha Ibnu Hajar Uk. 156 kwamba Mtume (s.a.w.w.)amesema: “Muumini hatoamini mpaka mimi niwe napendeza Swawiqul-Muhriqah cha Ibnu Hajar Uk. 172 98 Biahrul-An’war, Juz. 37,yake, Uk. 235 kwake zaidi kuliko nafsi na watu wa nyumbani kwangu wanapendeza kwake mno 96 97

kuliko ahali yake.”3

129

Hiki ni kiasi kidogo tu kati ya yaliyoponyoka toka mikononi mwa waangalizi wa kanuni ya uchapishaji wa Bani Ummaiyya, ambao walikuwa wanatoa hukumu ya kunyongwa kwa kila anayepokea fadhila moja ya Ali au ya kizazi cha Nabii (s.a.w.w.).Na kati ya 02_Abu Talib_13_June_2013.indd 129 6/13/2013

2:10:49 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

Abu Sheikh ad-Daylamiy kwamba Mtume (s.a.w.w.) amesema: “Muumini hatoamini mpaka mimi niwe napendeza kwake zaidi kuliko nafsi yake, na watu wa nyumbani kwangu wanapendeza kwake mno kuliko ahali yake.�99 Hiki ni kiasi kidogo tu kati ya yaliyoponyoka toka mikononi mwa waangalizi wa kanuni ya uchapishaji wa Bani Ummaiyya, ambao walikuwa wanatoa hukumu ya kunyongwa kwa kila anayepokea fadhila moja ya Ali au ya kizazi cha Nabii (s.a.w.w.). Na kati ya makosa makubwa ilikuwa ni Muislam kumwita mtoto wake Ali, hiyo ilikuwa ni balaa kwake na hatari kubwa ambayo inaweza kumpata wakati wowote. Baada ya fadhila zote hizi na ambazo ni sehemu ndogo mno, na mwenye kutaka ziada basi arejee kitabu Fadhailus-Sahabati Fiy Sihahi Sitah na vitabu ambavyo vimepokea sira ya Ali (as), mfano kitabu Ali Minal-Mahdi Ilalahdi cha Sayyid Muhammad Kadhim al-Qazuwiniy na vinginevyo ambavyo havina idadi. Baada ya fadhila zote hizi tunasikia kwamba Bani Umayyah walisimamisha mimbari elfu moja katika dola ya Kiislam kwa ajili ya kumtukana Ali bin Abu Talib (as), nazo ni mimbari za misikitini na katika khutuba za Ijumaa, na wakamtusi kwa muda wa miaka 80 hadi alipokuja mmoja wa makhalifa wa dola ya Bani Umayyah na akasitisha matusi haya. Fikiri ni idadi ya Waislam wangapi ambao walikuwa wanasikiliza matusi dhidi ya Ali (a.s.) kupitia katika mimbari elfu sabini, na kwa muda wa miaka 80, na wanaona kuwa hiyo ni kujikurubisha kwa Mwenyezi Mungu. Hicho ni kisingizio ambacho kilikuwa kinasambazwa na kuambiwa kundi la Waislam ili waone kuwa kumtukana Ali ni kujikurubisha kwa Mwenyezi Mungu, na kwamba Ali anastahili shutuma hii. 99

Swawaiqul-Muhuriqah Uk. 172 130

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 130

6/13/2013 2:10:50 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

Inatosha kujua kwamba wao walisema kwamba alikuwa anakunywa pombe na hakuwa anaswali, hadi mmoja wa watu wa Sham aliposikia kwamba Ali aliuliwa katika msikiti akasema kwa mshangao: “Ali alikuwa anafanya nini msikitini!” Hivyo kila fadhila yake ilikuwa inazimwa na mukabala wa hilo anapakaziwa kila ovu, na yanatolewa mamilioni ya fedha kwa ajili ya hilo, na anazushiwa hadithi na riwaya na kila hadithi ilikuwa na malipo yake.

Ikiwa hali ya Ali iko hivi je baba yake Abu Talib itakuwaje, hali yakeanafanya haikuwa kuliko kwa Bani wa mshangao: “Ali alikuwa nini nzuri msikitini!” Hivyoyeye kila fadhila yake Ummayyah, zimwa na mukabala wa hilo anapakaziwa ovu, na na yanatolewa hivyo ni lazima awekila kafiri kwamba mamilioni atadumu katika moto wa ajili ya hilo, wa na anazushiwa hadithi na riwaya na kila hadithi ilikuwa na vita Nabii na Jahanam, wakati ambapo yule aliyempiga e. akamuudhi na akampinga kwa kila juhudi zake yeye anakuwababa ni yake kati Abu ya wachamungu zuhudi, ya Ali iko hivi je Talib itakuwaje, na haliwenye yake haikuwa nzurikama vile Abu kwa BaniUmmayyah, hivyo ni lazima awe kafiri na kwamba atadumu katika Sufian na wengineo ambao unaweza kuangalia fadhila zao Jahanam, wakatikatika ambapomlango yule aliyempiga vita Nabii na akamuudhi wa fadhila zao katika vitabu na vya hadith. Na kwa kila juhudi zake yeye anakuwa ni kati ya wachamungu na wenye zuhudi, yote hayo ni lazima yawe ni hadith zilizopokelewa kutoka Abu Sufian na wengineo ambao unaweza kuangalia fadhila zao katika mlango kwavya Mtume Mungu, na kila hadithi kwa thamzao katika vitabu hadith.wa NaMwenyezi yote hayo ni lazimayawe ni hadith ewa kutoka kwa ani Mtume wa Mwenyezi Mungu,na kila hadithikwa thamani yake, na Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alishasema tangu tukufu Mtume (s.a.w.w.) alishasema tangu mwanzo: “Baada yangu kutakuwa mwanzo: “Baada yangu kutakuwa na waongo wengi watakawengi watakaonisingizia.” Je, umetambua maana ya “watakuwa wengi”? ewe msomaji. onisingizia.” Je, umetambua maana ya “watakuwa wengi”? Pambanua ewe msomaji. imamo cha kutafakari ewe msomaji ili ubainishe humo dhulma ambayo

Je, kuna kisimamo cha kutafakari ewe msomaji ili ubainishe humo ukweli, utasemajedhulma ikiwa yaliyosemwa kwa Abu ukweli, Talib ni utasemaje uongo, na hivyo ambayo inakuzuia ikiwa yaliyosemwa kwa Abu Talib ni uongo, na hivyo ndivyo, lakini wewe unayasema kini wewe unayasema mbele ya Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) mbele ya Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) duniani na akhera. “Na wale wale wanaomuudhi Mtume wa akhera. ‫ﻴﻢ‬‫ ﺃﹶﻟ‬‫ﺬﹶﺍﺏ‬‫ ﻋ‬‫ﻢ‬‫ ﻟﹶﻬ‬‫ﻮﻝﹶ ﺍﻟﻠﱠـﻪ‬‫ﺳ‬‫ﺫﹸﻭﻥﹶ ﺭ‬‫ﺆ‬‫ ﻳ‬‫ﻳﻦ‬‫ﺍﻟﱠﺬ‬‫“ ﻭ‬Na wanaomuudhi Mwenyezi Mungu wanaadhabu iumizayo.” (Sura Tawba: 61). Mwenyezi Mungu wanaadhabu iumizayo.” (Sura Tawba: 61).

Hivyo kumkufurisha Abu Talibni tuhuma iliyokuja ili kuongezea katika jalada la Imam Ali (as), ni kazi iliyofanywa

kufurisha Abu Talibni tuhuma iliyokuja ili kuongezea katika jalada la Imam i kazi iliyofanywa katika utawala wa BaniUmmaiya 131 ambao ni maadui wa enye kumchukia, ni kazi yajopo la makachero wa dola ya BaniUmmayyah kuwa inajizatiti kwakila ilichonacho miongoni mwa nguvu na hila ili kutoa ha utawala wake katika dola ya Kiislam, na kwamba wao ndio makhalifa wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.).Fikiri ni vipi mtu ambaye yuko karibu na zama 02_Abu Talib_13_June_2013.indd 131

6/13/2013 2:10:50 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

katika utawala wa Bani Ummaiya ambao ni maadui wa Imam na wenye kumchukia, ni kazi ya jopo la makachero wa dola ya Bani Ummayyah ambayo ilikuwa inajizatiti kwa kila ilichonacho miongoni mwa nguvu na hila ili kutoa kisingizio cha utawala wake katika dola ya Kiislam, na kwamba wao ndio makhalifa wa Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.). Fikiri ni vipi mtu ambaye yuko karibu na zama ya Nabii (s.a.w.w.) anaweza kuthibitisha kwako kwamba Yazid bin Muawiya ni khalifa wa Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) katika utawala wa dola ambayo aliisimamisha Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) kwa damu za Waumini na vilio vya wajane wao na machozi ya mayatima, na bwana wa vijana wa watu wa peponi anakuwa ni mwasi anayestahili kuuliwa yeye na watoto wake na watu wa nyumbani kwake (as)? Na kwa kuwa tumeshamtaja Husein (as) hakuna budi tusimame kwake ili tujue kwa upande fulani kitendo cha Bani Umayyah na ili tukumbushe udhalimu ambao ulitokea dhidi ya mtoto wa Mtume wa Mwenyezi Mungu kwa upande mwingine. Aah, kwa msiba wako ewe mtoto wa Mtume wa Mwenyezi Mungu. Aah kwa msiba wa Mtume wa Mwenyezi Mungu kwako. Aah kwa huzuni kubwa ambayo wameiacha katika nafsi yako. Ewe Abu Abdillahi al-Husein je imekusanyika huzuni katika ulimwengu wote kuanzia siku ya kwanza ya khalifa hadi siku ya kumalizika kwake kama ilivyokusanyika katika moyo wako ewe Abu Abdillahi? Hatutoweza wala hawatoweza washairi wote wa ulimwenguni kufahamu au kuelezea moja ya kumi ya uliyoyavumilia moyo wa Husein (as) katika masaibu haya na machungu, lakini tujaribu kufahamu kupitia katika riwaya ambazo zimepoke132

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 132

6/13/2013 2:10:50 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

wa kutoka kwa Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) nafasi ya Husein mbele ya Mwenyezi Mungu na Mtume Wake, ili tujue baada ya hayo ukubwa wa kosa ambalo lilitikisa ulimwengu hadi leo hii, na ili tujue vipi imehalalishwa damu takatifu katika mikono ya wale wanaojiita Waislamu, ili tujue vipi uhakika ulipotoshwa na namna gani ukweli wa kidini ulivyovunjwa hadi anakuja katika siku zetu hizi mtu anayemwita Yazid ‘Amiri aliyedhulumiwa’, na anakuja anayeitukuza dola ya Bani Umayyah ambayo mizizi yake imenyweshwelezwa kwa damu ya Ahlul-Bait wa Nabii (s.a.w.w.), nayo ni damu ya Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.). Bukhariy, Tabaraniy na al-Hakim wamepokea kwamba Mtume (s.a.w.w.) alisema: “Hasan na Husein ni mabwana wa vijana wa watu wa peponi.” Na alisema (s.a.w.w.): “Husein anatokana na mimi na mimi nimetokana naye.” Na alisema (s.a.w.w.): “Mwenye kumpenda Hasan na Husein basi ameshanipenda na mwenye kuwachukia basi ameshanichukia.”100 Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) alikuwa kwa Ummu Salama na akamwambia tuangalizie mlango ambapo alikuwa na Malaika aliyeomba idhini kwa Mola Wake kumzuru Nabii (s.a.w.w.) na akamruhusu, wakati akiwa mlangoni aliingia Husein akamrukia, Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) akawa anamnusa na kumbusu, Malaika akamwambia je, unampenda? Akasema (s.a.w.w.): Ndio. Akasema: Hakika Ummah wako utamuuwa ..... hadi mwisho wa Hadith.”101 Na amepokea Tirmidhiy kwamba Ummu Salama alimuona Nabii (s.a.w.w.) analia na katika kichwa chake na ndevu zake kuna udongo, akamuuliza akasema: “Husein ameshauliwa.” 100 101

As-Swawaiqul-Muhriqah Uk. 191 As Swawaiqul-Muhriqah uk: 192 133

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 133

6/13/2013 2:10:50 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

Na kwamba Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) alichukua udongo wa ardhi ambayo humo atauliwa Husein kutoka kwa Jibril akampa Ummu Salama udongo huo na Ummu Salama akauweka kwenye chupa. Alipouliwa Husein ukawa damu. Ibnu Sa’ad amepokea kutoka kwa Sha’abiy amesema: “Ali (r.a) alipita Karbalaa wakati wa kwenda Siffin na karibu na Nainawa kijiji kilichokaribu na mto Furati, akasimama na akauliza jina la ardhi hiyo, akaambiwa ni Karbalaa, akalia hadi ardhi ikalowana kwa machozi yake kisha akasema: “Mtume wa Mwenyezi Mungu aliingia kwangu hali analia nikamwambia: Nini kinakuliza? Akasema. Jibril alikuwa kwangu hivi punde na amenipa habari kwamba mtoto wangu Husein atauliwa ufukweni mwa Furati katika sehemu inayoitwa Karbalaa. Kisha Jibril akachukua udongo akaninusisha, macho yangu hayakuvumilia yakabubujika machozi.” Na katika riwaya nyingine Ali (as) amesema: “Hapa ni sehemu ya vipando vyao, hapa ni sehemu ya mizigo yao, hapa ni mahala patakapo mwagwa damu zao, vijana kutoka katika kizazi cha Muhammad watauwawa katika jangwa hili, mbingu na ardhi zitawalilia.”102 Hakika Mtume wa Mwenyezi Mungu haridhii kuudhiwa Husein kwa neno moja au msimamo unaokasirisha, sasa kuna watu wanaswali wanasoma Qur’ani na wanashuhudia shahada mbili, lakini wanamuuwa Husein na watoto wake, na wanawateka wake zake hadi Sham kwa njia ambayo inamadhila na kila aina ya udhalilishaji na adhabu, na mbele yao kuna kichwa cha Husein kilichokatwa wamekichomeka katika ncha ya mkuki na wamekinyanyua mbele ya msafara wakijifakharisha kwa kitendo hiki. 102

As Swawaiqul-Muhriqah uk: 193 134

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 134

6/13/2013 2:10:50 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

Kichwa cha Husein kipenzi cha Nabii (s.a.w.w.) kinakatwa na kinanyanyuliwa juu ya mkuki! Vipi! Mambo yakawa kwa wepesi Husein huu kana kwamba hakijatokea, alishasema ahada mbili, lakini wanamuuwa na watoto wake, kitu na wanawateka wake zake “Vipi na nyinyi mema yatakapokuwa di Sham kwa njia (s.a.w.w.): ambayo inamadhila kila aina ya udhalilishaji na adhabu,maovu na mbelena maoo kuna kichwa cha Husein kilichokatwa wamekichomeka katika ncha ya mkuki na vu kuwa mema.”

mekinyanyua mbele ya msafara wakijifakharisha kwa kitendo hiki.

Tahadharini enyi Waislam msidanganyike kwa maneno ya

chwa cha Huseinwaongo, kipenzi cha Nabii (s.a.w.w.) kinakatwa na wale kinanyanyuliwa juu ya vinginevyo tutakuwa kama ambao waliridhia kwa uki! Vipi! Mambo yakawa kwa wepesi huu kana kwamba kitu hakijatokea, alishasema kuuliwa wa Mtume Mwenyezi Mungu na kana kwama.w.w.): “Vipi nyinyi mema mtoto yatakapokuwa maovu wa na maovu kuwa mema.”

ba hakijatokea kitu na lengo lao ni dola, ufalme na utawala.

hadharini enyi Waislam msidanganyikekwa maneno ya waongo, vinginevyo tutakuwa Ndugu msomaji, je umeona kizimbani anasema ma wale ambao waliridhia kwa kuuliwa mtoto wa Mtume muovu wa Mwenyezi Mungu na mimikitu ni namuovu? daima anadai kuwa hana hatia na na kwamba hakijatokea lengo lao Muovu ni dola, ufalme na utawala.

anaweka wakili kwa ajili ya hilo kwa kila alichonacho katika nguvu, na wakili anatunga uongo kadri awezavyo, lakini adai kuwa hana hatia na anaweka wakili kwa ajili hadanganyiki, ya hilo kwa kila alichonacho ikiwa kadhi ni mwerevu na ikiwakatika ni mwenye uvu, na wakili anatunga uongobasi kadrianaanguka awezavyo, lakini ikiwa kadhi niuongo, mwerevuna watu kughafilika na kusadikisha wakiwa ni werevu hukataa maneno ya wakiliuongo, na maneno ya danganyiki, na ikiwa ni mwenye kughafilika basi anaanguka na kusadikisha na kadhi ikiwa lakini tu wakiwa ni werevu hukataayanamakosa, maneno ya wakili nawakiwa maneno wajinga ya kadhi wameghafiliikiwa ka basi uongo wote na upumbavu wa kadhi unasambaa kama namakosa, lakini wakiwa wajinga wameghafilika basi uongo wote na upumbavu wa atausadikisha. Je sisi pia tutakuwa hivyo au tutakuwa huru dhi unasambaa kama atausadikisha.Je sisi pia tutakuwa hivyo au tutakuwa huru watambuzi, muumini ni mwerevu anang’amua, kwani “Muutambuzi, muumini ni mwerevu kwani“Muumini ni yule kuonaMungu”, mini ni yuleanang’amua, mwenye kuona kwa nuru ya mwenye Mwenyezi a nuru ya Mwenyezi Mungu”,nasisi tunakariri swala zetutano: tano: ‫ﻴﻢ‬‫ﻘ‬‫ﺘ‬‫ﺴ‬‫ﺍﻁﹶ ﺍﻟﹾﻤ‬‫ّﺮ‬‫ﺎ ﺍﻟﺼ‬‫ﻧ‬‫ﺪ‬‫“ ﺍﻫ‬Tuonna sisi tunakariri katikakatika swala zetu goze njia iliyonyooka.” (Sura al-Fatihah: 6).

ugu msomaji, je umeona muovu kizimbani anasema mimi ni muovu? Muovu daima

uongoze njia iliyonyooka.” (Sura al-Fatihah: 6).

Na sasa baada ya hayo yote uliyoyasoma kuhusu maisha

sasa baada ya hayo kuhusu maisha ya Abu Talib, katika je imebaki shaka ya Abu ya yote Abuuliyoyasoma Talib, je imebaki shaka yoyote imani yote katika imani Talib? ya Abu Talib?

emaji anaweza kusema: Mamboanaweza yameenda kusema: kulia na mwingine anasema yameendakulia na Msemaji Mambo yameenda shoto, na jambohilo ni sawa na jambo lingine ambalowatu huhitalifiana humo hilo ni mwingine anasema yameenda kushoto, na jambo ingana na utashi wao na malengo yao, kama ikhitilafu katika utamaduni, dini, imani, sawa ntiki, akili, masilahi n.k.na jambo lingine ambalo watu huhitalifiana humo kul-

ta katika kumwamini Mwenyezi Mungu, Nabii na ujumbe tunakuta ikhitilafu inaanza 135 wala haimaliziki, na kauli na rai zinakuwa nyingi, na chimbuko lake aghlabu linakuwa ujinga na elimu na uovu na usafi wakati mwingine, na wakati mwingine inakuwa ni ilasi na maslahi,na Qur’aniinaeleza baadhi ya ushahidi huu ambao humo mambo ya waida yanakuwa wazi pamoja na hayo ikhitilafu inatokea, kwa mfano tukiola Nabii ahim(as)02_Abu anapolingania tauhidi,135 yeye anasema: “Hakika Mwenyezi Mungu anahuisha Talib_13_June_2013.indd

6/13/2013 2:10:50 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

ingana na utashi wao na malengo yao, kama ikhitilafu katika utamaduni, dini, imani, mantiki, akili, masilahi n.k. Hata katika kumwamini Mwenyezi Mungu, Nabii na ujumbe tunakuta ikhitilafu inaanza na wala haimaliziki, na kauli na rai zinakuwa nyingi, na chimbuko lake aghlabu linakuwa ni ujinga na elimu na uovu na usafi wakati mwingine, na wakati mwingine inakuwa ni ikhilasi na maslahi,na Qur’ani inaeleza baadhi ya ushahidi huu ambao humo mambo ya kawaida yanakuwa wazi pamoja na hayo ikhitilafu inatokea, kwa mfano tukio la Nabii Ibrahim (as) anapolingania tauhidi, yeye anasema: “Hakika Mwenyezi Mungu anahuisha na anafisha.” Namrud anasema: “Mimi pia nahuisha na kufisha.” Ibrahim akasema: “Hakika Mwenyezi Mungu analitoa jua Mashariki wewe litoe kutoka Magharibi.” Hapo akaanguka ambaye amekufuru lakini hakuamini na akanga’ang’ania ukafiri wake na ukaidi wake. Na katika tukio jingine ni pale Ibrahim alipovunja masanamu yao na kuwataka waliulize sanamu lao kubwa lakini wanang’ang’ania juu ya ukafiri wao na kutoa wito wa kumuuwa na kumtupia katika moto. Na katika tukio jingine, mwingine anasema katika Surat Yasin: “Vipi ataihuisha mifupa nayo imesagika?” Mwenyezi Mungu anasema: “Sema: Ataihuisha aliyeiumba mara ya kwanza. Na Yeye ni Mjuzi wa kila uumbaji.”103 Na katika sura nyingine Mwenyezi Mungu Mtukufu anauliza swali kubwa: “Je, kuna shaka na Mwenyezi Mungu, Muumba wa mbingu na ardhi?”104 Lakini kafiri anabaki kama alivyo na wakati mwingine anazidi katika ukafiri wake na anatopea na kupata dhambi kama inavyoashiria Qur’ani: “Hu103 104

Suratu Yasin: 79 Suratu Ibrahim: 10 136

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 136

6/13/2013 2:10:50 PM


Na katika tukio jingine, mwingine anasema katika Surat Yasin: “Vipi ataihuisha mifupa nayo imesagika?” Mwenyezi Mungu anasema: “Sema: Ataihuisha aliyeiumba mara ya kwanza. Na Yeye ni Mjuzi wa kila uumbaji.”1 Abu Talib Jabali Imara la Imani

Na katika sura nyingine Mwenyezi Mungu Mtukufu anauliza swali kubwa: “Je, kuna shaka na Mwenyezi Mungu, Muumba wa mbingu na ardhi?”2 Lakini kafiri anabaki kamapandwa alivyo na na wakati mwingine anazidi katika ukafiri105wake na anatopea na kupata mori wa kufanya dhambi.” Lakini Mwenyezi dhambi kama inavyoashiria Qur’ani: “Hupandwa na mori wa kufanyadhambi.”3 Mungu anawaonya na kuwaacha katika dunia “Hakika tunaLakini Mwenyezi Mungu anawaonya na kuwaacha katika dunia “Hakika tunawapa 4 mudatuna wanazidi katika dhambi.”106 mudawapa na wanazidi katika dhambi.”tu

Hivyo ukweli unabaki uko wazi kwa anayeutaka, na asi-

Hivyo ukweli unabaki uko wazi kwa anayeutaka, na asiyeutaka ndio mwenye hasara yeutaka ndio mwenye hasara kubwa: kubwa: ِ‫ﺎﺀ‬‫ﻤ‬‫ﻲ ﺍﻟﺴ‬‫ﺪ ﻓ‬ ‫ﻌ‬‫ﺼ‬‫ﺎ ﻳ‬‫ﻤ‬‫ﺎ ﻛﹶﺄﹶﻧ‬‫ﺟ‬‫ﺮ‬‫ﻴﹺّﻘﹰﺎ ﺣ‬‫ ﺿ‬‫ﻩ‬‫ﺭ‬‫ﺪ‬‫ﻞﹾ ﺻ‬‫ﻌ‬‫ﺠ‬‫ ﻳ‬‫ﻀﻠﱠﻪ‬  ‫ ﺃﹶﻥ ﻳ‬‫ ﹺﺮﺩ‬‫ﻦ ﻳ‬‫ﻣ‬‫ﻠﹶﺎﻡﹺ ◌ۖ ﻭ‬‫ﻠﹾﺈﹺﺳ‬‫ ﻟ‬‫ﻩ‬‫ﺭ‬‫ﺪ‬‫ ﺻ‬‫ﺡ‬‫ﺮ‬‫ﺸ‬‫ ﻳ‬‫ﻳﻪ‬‫ﺪ‬ ‫ﻳﻬ‬ ‫ ﺃﹶﻥ‬‫ ﺍﻟﻠﱠـﻪ‬‫ ﹺﺮﺩ‬‫ﻦ ﻳ‬‫ﻓﹶﻤ‬ “Basi“Basi yule ambaye MwenyeziMwenyezi Mungu anataka kumwongozahumfungulia yule ambaye Mungu anataka kumwon- kifua chakeUislam; na yule anayetaka apotee hufanya kifua chake dhiki kimebana. goza humfungulia kifua chake Uislam; na kina yule anayeKama kwamba anapanda mbinguni.” (Sura An’am: 125).

taka apotee hufanya kifua chake kina dhiki kimebana. anapanda mbinguni.” (Sura An’am: . Na Kama Mtume kwamba wa Mwenyezi Mungu alikuwa vivyo hivyo125) anataabika

na Makuraishi,anawapelekea uongofu lakini wanampiga mawe na kumwita kuwa ni kichaa, Na Mtume Mwenyezi Mungu Mungu alikuwa vivyokaumu hivyo ana-hakika kisha anawaombea kwawa kusema: “Eee Mwenyezi iongoze yangu taabika na Makuraishi, anawapelekea uongofu lakini wanamwao hawajui.”

piga mawe na kumwita kuwa ni kichaa, kisha anawaombea

Na anajitahidi hadi katika pumzi yake ya mwisho lakini wanaachanana dini yake na kwa kusema: “Eee Mwenyezi Mungu iongoze kaumu yangu wanapendelea upofu badala ya uongofu, na wanauliwa katika njia ya upotovu na hakika kujitolea wao hawajui.” wanakwenda katika maangamio katika vita vya Badri, Uhud na vinginevyo, hivyo katika kila jambo lazima kuwepo na mwenye ukweli anayeubainisha na baada ya Na mwanadamu anajitahidini hadi katika pumzi ya mwisho hapo hakika mjuzi wa nafsi yake hata yake kama atatoa visingizio lakini na sababu.

wanaachana na dini yake na wanapendelea upofu badala ya

Katika kadhia yana Abuwanauliwa Talib tumeelezea baadhi na sehemu ambazo haziachi uongofu, katika njiayayamatukio upotovu na wanakwenmwanya kwa mwenye insafu kuona kwamba Abu Talib hakuwa Mwislam, kundi da kujitolea katika maangamio katika vita vya Badri, Uhud na linaweza kutokubali maneno haya, hawa tunawaambia: Basi tuache kando kwa muda vinginevyo, hivyojuukatika kila wa jambo kuwepo na mwenye riwaya ambazo zinasema ya ukafiri Abu lazima Talib,kisha tuyaangalie maisha ya Abu na na baada ya hapo hakika mwanadamu Talib,ukweli nafasi anayeubainisha yake, vitendo vyake harakati zake kwa Nabii na ujumbe katika kumwangalia Nabiiyake kablahata ya kama utume atatoa na kumlea kwake, na kumhami kwake na ni mjuzikwake wa nafsi visingizio sababu. kujitolea kwake mhanga katika kumlinda baada ya utume, na kujitolea kwake kwa kila anachomiliki na watoto wake ya tumeelezea kulingania, na kajitolea wake katika njia Katika kadhia yakatika Abu njia Talib baadhiuhai ya matukio ya ujumbe hadi pumzi ya mwishoalipofariki akiwa mgonjwa na mwenye njaa chini ya na sehemu ambazo haziachi mwanya kwa mwenye insafu vikwazo vya Makuraishi katika shamba la Abu Talib, na Mtume akahuzunika5 juu yake kuona kwamba Abu Talib hakuwa na akauita mwaka huo kuwa ni mwaka wa huzuni.Mwislam, kundi linaweza

kutokubali maneno haya, hawa tunawaambia: Basi tuache

105 106

Suratul- Baqara: 206 Suratul- Imran: 178

1

Suratu Yasin: 79 Suratu Ibrahim: 10 137 3 Suratul- Baqara: 206 4 Suratul- Imran: 178 5 Unadhani Nabii (s.a.w.w.) anaweza kuhuzunika juu ya Kafiri kwa ajili ya ukuruba tu, au kwa msimamo uliotokea kwake tu kwa ajili ya Mtume (s.a.w.w.), je inaingia akilini Nabii kuuita mwaka ambao alifariki Abu Talib kuwa ni mwaka wa huzuni, huzuni ya ami yake kwa ajili ya uhusiano wa ukuruba tu? 2

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 137

74

6/13/2013 2:10:50 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

kando kwa muda riwaya ambazo zinasema juu ya ukafiri wa Abu Talib, kisha tuyaangalie maisha ya Abu Talib, nafasi yake, vitendo vyake na harakati zake kwa Nabii na ujumbe katika kumwangalia kwake Nabii kabla ya utume na kumlea kwake, kumhami kwake na kujitolea kwake mhanga katika kumlinda baada ya utume, na kujitolea kwake kwa kila anachomiliki na watoto wake katika njia ya kulingania, na kajitolea uhai wake katika njia ya ujumbe hadi pumzi ya mwisho alipofariki akiwa mgonjwa na mwenye njaa chini ya vikwazo vya Makuraishi katika shamba la Abu Talib, na Mtume akahuzunika107 juu yake na akauita mwaka huo kuwa ni mwaka wa huzuni. Pengine mwenye kusoma mashairi yake (as) anayakuta yanatukuza ujumbe na mwenye ujumbe, ambaye alikuwa anatukuza shakhisiya hiyo. Je, inawezekana jabali hili tukufu ni kati ya wale ambao hawakuamini ujumbe huo na dini hiyo ambayo mara nyingi alijitoa muhanga na akatoa kilicho ghali na cha thamani kwa ajili yake? Acha riwaya hizo na jibu kwa uwazi. Je, tunaweza kushuku katika imani ya shujaa huyu mtukufu? Anaweza kusema msemaji, ndio mimi ninashuku. Si vibaya ikiwa mzungumzaji huyu ni mkweli katika imani yake, tuendelee pamoja naye katika upande mwingine na tuangalie rai za watu katika pande zote za mustawa wao kwa Abu Talib (as). Kadhia ni kwamba kuna ambao wanamtuhumu Abu Talib kwa ukafiri. Hapa ni yule mtu mwenye kumtuhumu Abu Talib kwa dhambi kubwa zaidi katika maisha na hakuna 107

nadhani Nabii (s.a.w.w.) anaweza kuhuzunika juu ya Kafiri kwa ajili ya ukuU ruba tu, au kwa msimamo uliotokea kwake tu kwa ajili ya Mtume (s.a.w.w.), je inaingia akilini Nabii kuuita mwaka ambao alifariki Abu Talib kuwa ni mwaka wa huzuni, huzuni ya ami yake kwa ajili ya uhusiano wa ukuruba tu? 138

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 138

6/13/2013 2:10:50 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

kitu kikubwa kama ukafiri “Hakika shirki ni dhulma kubwa kabisa.”108 Sababu za Abu Talib Katika kosa lolote wanalolitafiti watafiti hutafiti sababu ya kosa, na inapopatikana sababu basi uwezekano wa kutokea kosa kwa mtu huyu huwa ni kubwa zaidi. Hapa nini sababu ya Abu Talib kumkufuru Mwenyezi Mungu na kuamini masanamu? Mimi nakuachia ndugu msomaji Mwislam usome kwa muda na tafakari pamoja nami nini sababu ya ami wa Nabii na kipenzi cha Nabii kumkufuru Mwenyezi Mungu, na asikubali daawa ya Mtume (s.a.w.w.). Tafadhali simama na tafakari kwa makini. Nakuapia kwa Mwenyezi Mungu Mola wa viumbe, je kuna sababu hata moja ya kukufuru kwake naye ndiye alikuwa karibu mno na nuru ya utume na alikuwa anaangalia nuru ya Mtume wa Mwenyezi Mungu zaidi ya miaka 40 na aliona muujiza baada ya muujiza. Namna gani mnahukumu ? Tukitaka kujua sababu za ukafiri inayopelekea upande mwingine wa makafiri kupambana na Mtume wa Mwenyezi Mungu utakuta sababu nyingi sana katika kosa hili kubwa, utakuta sababu za maslahi ya kimaada zinafungamana na ibada ya masanamu, na kama alivyosema Abu Sufiani: “Miungu wa kikuraishi ni ibada na biashara, hivyo masanamu yakiondoka biashara pia inaondoka au ni utawala, masanamu yakiondoka utawala na nafasi ya kisiasa na kijamii pia itaondoka.” Au uhuru katika ufuska na uovu, dini inayoharamisha matanio ni dini isiyokubaliwa, na masanamu ni bora kuliko dini 108

Suratu Luquman: 13 139

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 139

6/13/2013 2:10:50 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

hiyo, na masanamu yanayohalalisha riba ni bora kuliko dini inayoharamisha riba, hadi mwisho wa sababu hizi ambazo walizidai makafiri wa kikuraishi katika kubakia katika ukafiri wao na kukataa dini ya Mungu mmoja na masharti yake. Nakuapia kwa Mwenyezi Mungu, je Abu Talib anafikiria moja kati ya haya, naye ndio alikuwa anatoa mali yake, watoto wake na kila cha ghali na cha thamani kwa ajili ya Nabii Mtukufu, na alikuwa anakopa kwa ndugu yake kwa ajili ya kunywesha mahujaji bila ya malipo yoyote kutoka kwa utawala au kwa wafanyabiashara. Msemaji anaweza kusema: “Hakika Abu Talib alikuwa anaogopa Makuraishi kusema kwamba ameacha dini ya baba zake kama wanavyopokea uongo huo. Je, hakuogopa Makuraishi kusema kwamba ameisaidia dhidi ya dini ya baba zake? Nakuapia kwa Mwenyezi Mungu, je Abu Talib alikuwa anajali Makuraishi waliotangulia kati ya makafiri au alikuwa anajali rai za wale ambao waliokuwa wanampiga vita Mtume wa Mwenyezi Mungu na wamempiga vita na wakamfukuza kwenda katika mabonde ya milimani ili wakafe njaa kwa muda wa miaka mitatu? Je, Abu Talib anajali kundi hili najisi kati ya makafiri wa kikuraishi na waovu wake na majahili wake, naye ndiye ambaye amekuwa pamoja na Mtume wa Mwenyezi Mungu takriban miaka arubaini, kisha vipi itakuwa hivyo naye ni mtu mwenye akili mwenye hekima mwerevu ambaye kila mtu anamshuhudia kwa utu na utukufu na uzuri wa akili yake na maarifa yake katika dini, na kwa dini ya babu yake Ibrahim (as) kupitia urithi wake wa kifamilia tukufu hadi kwa Ibrahim kipenzi. Kisha ikiwa anajali ukafiri huu muovu dini ya Makuraishi na vigogo vyake basi asingesimama pamoja 140

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 140

6/13/2013 2:10:50 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

nae, na asingemsaidia kwa mali yake na kwa watoto wake Imam Ali (as), Ja’far na Aqil dhidi ya ambaye anampiga vita. Nakuapia kwa Mwenyezi Mungu, hakika ni mkusanyiko wa vitu visivyoafikiana, haiwezekani kukaa pamoja wala hawezi kuyakubali mwenye akili sahihi abadani. Ndio, inaweza kutokea na kuikubali kwa njia zisizo za kawaida na kwa taawili maalum kama vile kusema Abu Talib alikuwa kafiri lakini kwa muujiza alipigana jihadi pamoja na Mtume dhidi ya makafiri na akamhami Nabii na akanusuru Uislam, na hii ni kati ya kauli za kipuuzi kabisa. Haya yako karibu na mantiki ya makundi yaliyotangulia ingawa hayo yanaleta mshangao na nikucheza shere. Ndio, ilitokea na aliyasema hayo mmoja wao tarehe 17/ 3/2008 baada ya swala ya alfajir katika idhaa ya nchi ya Kuwait, ni maneno aliyoyaandika Sheikh Mahamud Ahmad Muhammad. Anasema: “Hakika Abu Talib alikuwa ni ngao ya Mtume na msaada na alimtetea na kumhami Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) lakini pamoja na hivyo hakusilimu na alikuwa kafiri!” Vipi imekuwa hivyo ewe Mahamud? Anasema, nitakusimulia hilo. Akasema: “Hiyo ni kati ya miujiza ya Mwenyezi Mungu! Mwenyezi Mungu kumjaalia mtu kati ya makafiri kwa njia ya muujiza ili kumtetea Mtume wa Mwenyezi Mungu na kumhami, na hii ni dalili juu ya muujiza wa Mwenyezi Mungu.” Imemalizika kauli ya Sheikh Mahamud. Ndio, hii inamaanisha kwamba itikadi hiyo inamkufurisha Abu Talib pamoja na kwamba historia yake nzuri na yenye kuchanua haiwezekani kutimia kwa njia ya kawaida. Sisi tunaafikiana pamoja naye, kwani ni ima historia yake nzuri yenye kuchanua kwa kumhami Mtume na kutetea dini 141

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 141

6/13/2013 2:10:50 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

yake ni uongo, jambo ambalo ni muhali, kwani pande zote zinakiri kumnusuru kwake Nabii na jihadi yake. Na ima ukafiri wake ni uongo na dhulma na uzushi, na kwa kweli ni uongo na dhulma kwa Nabii, dini, Waislam, akili na mantiki. Na ama kauli yake kuwa hayo yametokea kwa muujiza wa Mwenyezi Mungu, na Mwenyezi Mungu alimnusuruMtume Wake kwa muujiza wa kiungu siku aliyompa msaada wa Malaika ili kumsaidia katika vita vyake: “Na akamsaidia kwa majeshi msiyoyaona.”109 Na sio kwa makafiri, vinginevyo muujiza ungetokea kwa Abu Jahali na kundi lake kumnusuru Mtume wa Mwenyezi Mungu. Na imeshatangulia kwamba Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) alimuomba Mola Wake: “Eee Mwenyezi Mungu usimjalie kafiri awe na fadhila yoyote kwangu.”110 Msikilizaji akiwa ni mwadilifu atafanyaje? Msomaji anaweza kusema ni lazima asikilize riwaya iliyokuja dhidi ya Abu Talib, si vibaya! Sasa tuzichambue hizi riwaya ili tusiache mwanya wa shaka na wewe msomaji usipoteze wakati wako katika mahakama hii ikiwa unanuia kuwa mwadilifu, baada ya kusikiliza uchambuzi wa riwaya basi endelea kusoma vinginevyo nini faida ya kuendelea kwako kusoma kitabu hiki? Kuwa mkweli pamoja na nafsi yako na jua kwamba tunayemzungumzia ni Mtukufu mbele ya Mwenyezi Mungu na kwa kipenzi chake Muhammad (s.a.w.w.), na kuwa tayari kumhukumu kwa haki ami wa Nabii na kipenzi chake na hatokufaa yeyote kama utamdhulumu Nabii kwa kumkufurisha ami yake baada ya hoja zote hizi. Na utasemaje siku ambayo wewe utahitajia uombezi wake Siku ya Kiyama? 109 110

Suratu Tauba: 40 Biharul-An’war Juz. 91, Uk. 334 142

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 142

6/13/2013 2:10:50 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

Baada ya kusikiliza uchambuzi sema kweli na amini na wala usituambie hayo, kwani hatutaki kwako utushuhudulishe kwayo bali shuhudia katika nafsi yako na kwa ambaye jambo lake lina kuhusu, na kuwa mwadilifu pamoja na Mtume wa Mwenyezi Mungu na ami yake, na omba uongofu kwa Mwenyezi Mungu ili usiwe dhalimu kwa kiumbe mtukufu mno kati ya viumbe vya Mwenyezi Mungu Muhammad (s.a.w.w.), na jua kwamba Ibilis hatokuacha pamoja na nafsi yako na mambo yako bali anakuangalia, naye ni adui yako na kabla ya hayo ni adui wa Nabii wako Muhammad (s.a.w.w.), hivyo jihadhari naye na yale atakayokuambia, na jua kwamba kukufika kitabu hiki mikononi mwako ni hoja juu yako Siku ya Kiyama, na jihadhari asikudanganye Ibilis kwa maneno haya: “Hakika wakubwa kuliko wewe kati ya maulamaa hawakutambua imani ya Abu Talib, lau angekuwa ameamini wangejua hilo ambao ni wajuzi kuliko wewe.” Mwambie Ibilis: Mtume amesema ijue haki utawajua watu wake, haki iko wazi kwako itambue na ifuate baada ya hapo utawajua watu wake. Na mwambie: Ukimuona mwanachuoni anafuata batili basi hii ni dalili ya upotovu wa mwanachuoni huyu, si kwamba batili ndio haki, ni wingi ulioje wa watu wa motoni: “Nawatu wengi si wenye kuamini ujapopupia.”111 Hivyo usiuze Akhera yako kwani ndio yenye kubakia kwa ajili yako.

Jaribio la uzushi na tuhuma zilizopokelewa dhidi ya Abu Talib Hakika riwaya ambazo zinamkufurisha Abu Talib zimekuja katika njia zifuatazo:111

Suratu Yusuf: 103

143

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 143

6/13/2013 2:10:50 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

Kwanza: Katika utangulizi wa kitabu cha Laa Maaqulat yaliyopokewa kutoka kwa Abu Huraira na kwa njia yake mambo yasiyoingia akilini ambayo ndio utangulizi wa kitabu hiki, na riwaya yake hii dhalimu ambayo tutainukuu dhidi ya Abu Talib inaongezewa katika hazina ya Laa Maaqulat kwa Abu Huraira. Abu Huraira – kama anavyoitakidi kila mwenye mantiki hatuwezi kumwamini katika dini yetu na kuchukua kwake Hadith bila ya kuzichambua. Na vipi tutachukua Hadith kwa yule anayesema kwa maslahi ya dola ya Bani Ummaiya uwongo kuhusu Ali bin Abu Talib, kwa kushuhudia kwa Mwenyezi Mungu kwamba Ali amezua katika dini baada ya Mtume wa Mwenyezi Mungu uzushi ambao unawajibisha laana ya Mwenyezi Mungu, Malaika na watu wote! Na kama alivyopokea Ibnu Abil-Hadid katika Sharh NahjulBalaghah kutoka kwa Abu Ja’far al-Asqaafiy kwamba Muawaiya aliweka watu katika Masahaba na Tabiina kupokea habari mbaya juu ya Ali (as) ambazo zinapelekea kumtuhumu na kujiepusha naye, na akatenga fungu kwa ajili hiyo kwa kuwaraghibisha katika mfano wa hayo, basi wakatunga yaliyomridhisha, na kati ya watungaji hao ni Abu Huraira, Amru bin Aasi na Mughira bin Shu’ubah, na katika Tabiina ni Uruwatu bin Zuberi.112 Na maelezo ya riwaya iliyotangulia kutajwa katika kumshtumu Ali (as) ni kama ifuatavyo: “Amesema Abu Ja’far al-Asqaafiy katika riwaya ya A’amash, kama ilivyokuja katika Nahju ya Ibnu Abil- Hadid: Abu Huraira alipowasili Iraki pamoja na Muawiya mwaka wa jamaa, alikwenda katika msi112

Sharhu Ibnu Abil-Hadid Juz. 4 Uk. 63 144

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 144

6/13/2013 2:10:50 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

kiti wa Kufah, alipoona wingi wa watu waliompokea akapiga magoti kisha akapiga kipara chake mara nyingi kisha akasema: ‘Enyi watu wa Iraki mnadai kwamba mimi namsingizia Mtume wa Mwenyezi Mungu na naiteketeza nafsi yangu kwa moto? Wallahi hakika mimi nilimsikia Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) anasema: Hakika kila Nabii ana haram yake na hakika haram yangu ni Madina ambayo ipo baina ya I’yru na Thaur, na mwenye kuzua humo jambo basi ni juu yake laana ya Mwenyezi Mungu, Malaika wake na watu wote, na nashuhudia kwamba Ali alizua humo.’ Kauli yake ilipomfikia Muawaiya akamzawadia, akamkirimu na akampa ugavana wa Madina.”113 Na anayetaka ziada katika kumjua Abu Huraira ni juu yake asome kitabu “Abu Huraira Sheikhul-Mudhwirah” cha Sheikh wa Azhari Mahamud Abu Rayh ambaye anamfichua mtu huyu kwa njia ya kielimu na kimantiki. Na Hadith aliyoipokea Abu Huraira juu ya Abu Talib wakati wa kukata roho inafichua uongo wa hadith hii, na kwamba ni kichekesho, vipi yeye alikuwa anakaa kwa Mtume wa Mwenyezi Mungu wakati wa kukata roho Abu Talib na hili ni tukio limetangulia kabla ya kuingia kwake katika Uislam kwa miaka kumi. Abu Talib alifariki kabla ya kuhama Makka katika shamba la Abu Talib, na Abu Huraira ameingia katika Uislam katika mwaka wa saba Hijiria,iko wapi mantiki hapa? Lakini kwa kuwa Hadith inabainisha kuwa Abu Talib ni kafiri basi inakuwa sahihi, naiwe iwavyo! Na maelezo ya hadith iliyopokewa dhidi Abu Talib kwa njia ya Abu Huraira ni kama ifuatavyo: 113

Sharh Nahjul-Balaghah Juz. 4, Uk. 67 145

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 145

6/13/2013 2:10:50 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

Abu Huraira anasema Mtume wa Mwenyezi Mungu alimwambia Abu Talib:“Sema: Laa ilaha illa llahu nitakushuhudilia kwayo Siku ya Kiyama.” Abu Talib akakataa na akasema: “Lau kama hawatoniaibisha Makuaraishi …..” hadi mwisho wa Hadith. Imeshapita kwetu baadhi ya uchambuzi wa historia ya Abu Huraira na mambo yake ambayo yanatubainishia ukweli wa mpokezi huyu, na ambao uko wazi kwa kila mtafiti anayetaka ukweli mbali na kasumba, huyu hapa ni Imam Muhammad Abduhu naye ni mwanachuoni kati ya wanachuoni wa Azhar na ulimwengu wa Kiislam, anasema: “Hakika Abu Huraira amezua hadith ambazo zilimridhisha Muawaiya.” Hayo yamekuja katika kitabu Tarikh Imam Muhammad Abduhu cha Sayyid Muhammad Rashid Ridhwa. Kutoka kwa Ibrahim At-Tamiymiy amesema: “Walikuwa hawachukui kutoka kwa Abu Huraira isipokuwa ambayo yanahusu pepo au moto.”114 Na kutoka kwa A’amash amesema: “Ibrahim alikuwa na Hadith sahihi, nilikuwa ninaposikia hadith namwendea na kumuonesha, siku moja nikamwendea na hadith kati ya hadith za Abu Salih kutoka kwa Abu Huraira, akasema niachane na Abu Huraira hakika wao wanaacha nyingi kati ya hadith zake.”115 Imam Husein (as) amesema katika dua ya Arafah, naye anamwambia Mola Wake: “Limepofuka jicho lisilokuona.” Sisi tunajua katika ibara hii kwamba uwepo wa Mwenyezi Mungu uko dhahiri kuliko inavyopasa, hakika ushahidi mmoja kati ya ushahidi huu uliopo katika viumbe vya 114 115

Siyraitul-A’alamai Bubalai, Juz. 2, Uk. 438 Siyraitul-A’alamai Bubalai, Juz. 2, Uk. 438 146

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 146

6/13/2013 2:10:50 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

Mwenyezi Mungu Mtukufu unatosha mwanadamu kuona uwepo waMola Wake, sasa ni vipi licha ya kuwepo ushahidi na dalili nyingi ambazo hazihesabiki wala hazina idadi, lakini bado mja hamuoni Muumba Wake? Vivyo hivyo jicho ambalo halioni uwepo wa Muumba halisitahiki neema ya kuona bali linasitahili upofu. Na kama anavyosema Mwenyezi Mungu: “Je, Hawazingatii hii Qur’an? Au kwenye nyoyo zipo kufuli.”116 na “Nyoyoni mwao mna maradhi, na Mwenyezi Mungu amewazidishia maradhi.”117 Vivyo hivyo kila ukweli uko wazi kwa anayeutaka, naumefichikana kwa upofu wa moyo ingawa uko mbele yake, na huu ndio mtihani na balaa ambalo kwalo Mwenyezi Mungu huwalipa waja Wake. Na hapa katika kadhia yetu, kadhia ya imani ya Abu Talib mambo yako hivyo, hakika ukweli uko wazi dhahiri shahiri kwa anayeutaka, lakini sisi tunaleta dalili baada ya nyingine ili iwe ni hoja kwa anayekanusha ukweli, ikiwa mfano wa Mughira bin Shu’uba ndio mwenye kumtuhumu Abu Talib kwa ukafiri basi hii ni dalili juu ya usafi wa Abu Talib. Al-Mughira bin Shu’ubah Hebu tumjue al-Mughira bin Shu’ubah kama mtu wa pili kati ya wapokezi baada ya Abu Huraira, na tutatosheka kwa hilo kwa uchambuzi wa wapokezi juu ya maudhui haya, kisha tutahamia katika sehemu nyingine, al-Mughira bin Shu’uba ni nani na nizipi hadith alizozipokea? 116 117

Suratu Muhammad: 24 Suratul Baqarah: 10

147

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 147

6/13/2013 2:10:51 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

1- Anasema Ibnu Qutaibah katika kitabu al-Maarifu cha mwaka 1970 ukurasa wa 128: “al- Mughira alikuwa na marafiki kati ya mushrikina, akawaua kwa hila na akachukua waliyokuwa nayo.” Hivi ndivyo alivyowauwa rafiki zake na akachukua fedha zao na alipoogopa kisasi kwa jamaa zao alikwenda kwa Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) na akaingia katika Uislam ili kuhami nafsi yake. alikwenda na fedha zao kwa Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) ili azitoe khumsi, lakini Nabii (s.a.w.w.) akakataa na akasema: “Hatuchukui chochote katika mali zao kwa sababu hii ni hiyana hakuna kheri humo.” Imekuja katika Sharhu Nahjul-Balaghah ya Ibnu Abi Hadid. 2- Abdurahman bin Auf anamtuhumu al-Mughira kwa unafiki na uongo, mwandishi waal-Uqdul-Fariyd anasema: “al-Mughira bin Shu’ubah alimwambia Abdurahman bin Auf alipompa kiapo cha utii Uthman kwa ajili ya ukhalifa: ‘Ewe Abu Muhammad umepatia ulipompa kiapo cha utii Uthman, na kama ungempa kiapo cha utii mwingine tusingeridhia.’ Abdurahman akamwambia: ‘Umesema uongo ewe mwenye chongo, kama ningempa kiapo cha utii mwingne ungempa kiapo cha utii na ungesema maneno haya.’”118 3- Khalifa wa pili anamwambia al-Mughira: “Wewe ni muovu.” Mwandishi wa al-Uqdul-Fariyd anasema kwamba: “Baada ya Khalifa wa pili kupokea malalamiko kutoka kwa watu wa Kufah juu ya Saadi bin Abi Waqaas alisema: ‘Nani ataniombea msamaha kwa watu wa Kufah? Nikiwatawalishia mchamungu wanasema ni dhaifu na nikiwatawalishia mwenye nguvu wanasema ni muovu.’ al-Mughira akamwambia: ‘Ewe Amirul-Mu’minin mchamungu dhaifu, Uchamungu ni kwa ajili yake na udhaifu wake ni juu yako. Na mwenye nguvu muovu, nguvu yake ni kwa ajili yako na uovu wake ni juu yake.” Akasema: ‘Umesema kweli, wewe ni mwenye nguvu muovu.” Basi akamtawalisha Kufah.”119 118 119

Al-Uqudul-Fariyd juz: 3 uk: 30 Al-Uqudul-fariyd juz: 1 uk: 16 148

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 148

6/13/2013 2:10:51 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

4 - al-Mughira anazua Hadith: Amesema Ibnu Abul-Hadid: “Hakika Abu Ja’far al-Asqaafiy alisema kwamba: ‘Muawiya aliweka watu katika masahaba na tabiina kwa ajili ya kupokea habari mbaya dhidi ya Ali ambazo zitamtia dosari, basi wakazua yaliyomridhisha, na wazushi hao ni: Abu Huraira, Amru bin Aasi na al-Mughira bin Shu’ubah. Na katika tabiina ni Urwatu bin Zubair.”120

Kwakweli hata Mustashiriqina wanakauli yao juu ya alMughira: Mustashiriq wa kijerumani Karl Poor Kalman anasema katika Kitabu Chake Tarikhu Shu’ubil-Islamiyah katika ukurasa wa 121: “Muawiya alimtawalisha al-Mughira bin Sh’ubah Kufah, naye ni mtu asiyefungamana na upande wowote hana uaminifu wala muamana.” Na mabaya zaidi yanayotikisa nyoyo na yanaliza macho ni al-Mughira bin Shu’uba kumzulia uongo Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) alipomnasibishia na kauli kwamba Abu Talib yuko katikati ya moto na kama si mimi angekuwa tabaka la chini la moto, kama ilivyokuja katika Sahih al-Bukhariy. Mwenyezi Mungu atulinde na uongo na uzushi huu. Ni nani hapa mwenye uadilifu kwa Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) anakubali Hadith hii. Qur’ani imehifadhiwa na Mwenyezi Mungu kutokana na upotoshaji, je imekuja ahadi kutoka kwa Mwenyezi Mungu katika kuhifadhi Sunna za Nabii (s.a.w.w.)? Hakika wazushi na waongo wanaomsingizia Mtume wa Mwenyezi Mungu hawana mpaka, kinachohitajika tu katika jambo hili ni uelewa na uadilifu na maarifa ya ukweli ili mwanadamu ajue kibaya na kizuri, haki na batili. 120

Sharhu Nahjul-Balaghah Juz; 1, uk: 358 149

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 149

6/13/2013 2:10:51 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

Na tuliyoyanukuu hapa kuhusu wale waliopokea batili juu ya Abu Talib ni mfano mdogo tu, na mwenye kutaka ziada ni juu yake kurejea kitabu “Abu Talib Min Quraish” cha mtunzi mahiri Abdillah al–Khaniziy mmoja kati ya wanachuoni wajuzi wa mji wa al-Qatif.

ABU TALIB NI KIASHIRIO KINACHOBAINISHA UKWELI Kadhia ya Abu Talib kwa hakika ni kadhia inayotufichulia ukweli, madhumuni yake ni kwamba watawala wakitaka kuimarisha mizizi ya utawala wao, hakika wao hutumia kila kitu katika njia hii na wanageuza ukweli na mwonekano, hata kama utakuwa ni dini iliyoteremka kutoka mbinguni. Walipotosha hadith na wakazua hata kama hawakuweza kupotosha Qur’ani, lakini walipotosha tafsiri yake na maana zake. Huyu hapa Muawiya ameufanya ukhalifa na utawala ni urithi wa Bani Umaiyya na ni juu ya Ummah kutii na kukubali, na kwa kuwa Muawiya ni sahaba basi ni wajibu watu wote waitakidi uadilifu wa masahaba vyovyote watakavyokuwa, na kuwawekea kinga ya kidini vyovyote watakavyofanya na vyovyote watakavyouwa na vyovyote watakavyobadilisha, na ni juu yetu Waislamu kuwa wapumbavu bendera fuata upepo. Imekuja katika Hadith: “Wataletwa watu katika Ummah wangu na watapelekwa upande wa kushoto, nami nitasema: ‘Ewe Mola Wangu masahaba wangu.’ Nitaambiwa: Hujui waliyoyazua baada yako. Nitasema kama alivyosema mja mwema: ‘Nilikuwa shahidi juu yao nilipokuwa nao na 150

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 150

6/13/2013 2:10:51 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

uliponifisha,Wewe ndio ulikuwa mwangalizi wao na Wewe ni Muweza wa kila kitu.’ Itasemwa: Hakika hawa hawakuacha kuwa ni wenye kuritadi kwa visigino vyao tangu ulipowaacha.’”121 Kana kwamba Qur’ani haikutuzindua na kutuonya: “Je, akifa au akiuliwa mtarudi nyuma?”122 Na katika Aya nyingine Mwenyezi Mungu anamhutubia Nabii Wake juu ya kundi la wanafiki ambalo Nabii hakulijua, naundani wake ulifichuka baada ya mauti ya Nabii, ambapo Mwenyezi Mungu anamwambia Nabii wake: “Wewe huwajui sisi tunawajua.” Nanyinginezo kati ya Aya zinazotukataza tusije tukaghafilika, kwani muumini ni mwerevu anaona kwa nuru ya Mwenyezi Mungu, haipenyi kwake hila. Kadhia ya Abu Talib ni moja ya vipimo ambavyo mwanadamu Mwislam huitumia kuipima nafsi yake na ya mwingine. Baada ya yote uliyoyasoma, je unakubali kwamba Abu Talib ni kafiri na yuko motoni, na kwamba Abu Sufian na mtoto wake Muawiya na mjukuu wake Yazid wanaburudika peponi! Msemaji anaweza kusema mambo yamenikanganya na siwezi kupambanua pamoja na wimbi hili kubwa.Vema, hebu tujaribu kupata taa yenye kuangaza ituangazie giza na tutafute ngome imara ambayo hawatofautiani wawili, na Ummah umeafikiana juu yake na wakaungana kwayo, ili tufikie kwenye maafikiano wanayoyakubali wote ili kufikia kwenye ukweli. Unaonaje ndugu msomaji tuchukue rai ya Ahlul-Bait wa Nabii (s.a.w.w.) katika maudhui haya? Maudhui ya kusilimu Abu Talib. 121 122

Al-Bukhariy Juz. 6, Uk. 179 Suratul Imran: 144 151

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 151

6/13/2013 2:10:51 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

Haya sasa tuangalie rai ya wafuasi wa Ahlul-Bait, je unakubali ewe msomji rai ya Ahlul-Bait wa Nabii (s.a.w.w.) na wafuasi wao juu ya Abu Talib? Kama unakubali rai yao hili ni jambo zuri na utaiona hivi punde. Ama ikiwa hukubali basi njoo tujadili kukataa huku na tuone je kuna kisingizio au hakuna kisingizio? Na lengo letu na wewe ni njia ya kunusurika Inshaallah. Hakika wafuasi wa Ahlul-Bait walichagua njia iliyowazi ambayo Nabii (s.a.w.w.) aliiashiria, nayo ni njia ya Ahlul-Bait ambayo haikubali kosa, na nyoyo zao zimetulia na zimeamini katika kila jambo ambalo humo imekuja ikhitilafu, na wala hawanashaka baada ya hapo, na wakati huo huo kuna watu wengi wanawashambulia Shi’ah, wafuasi wa Ahlul-Bait mashambulizi mabaya kabisa na wanawatuhumu kwa upotovu, na baadhi yao wanachupa mipaka hadi wanawatuhumu kwa ukafiri hadi mambo yanafikia kwa baadhi ya wenye kasumba ya upofu kuwatuhumu kwa ukafiri na uzandiki. Hivyo hapa ni lazima sisi tusimame tutathmini hali hii, kwani kuna Shi’ah wafuasi wa Ahlul-Bait na kuna wanaowatuhumu kwa makosa, na Shi’ah wanajibu kwamba wao wanafuata njia sahihi na isiyokuwa hiyo sio sahihi. 1 – Shi’ah wanasemaje? 2 – Na kwa nini upande mwingine unawatuhumu kwa mishikeli na shubuhati? 3 – Na nini majibu ya mishikeli na shubuhati hizi?

Tutajaribu kuweka wazi hali ndani ya nukta hizi tatu huenda tutafika katika hali inayotufaa katika kufuata njia ya haki na hususani katika yaliyosemwa juu ya Abu Talib, na kuondoa dhulma ambayo imetokea kwake kwa kuongezea yale wanayohitalifiana humo Ummah wa Kiislam. 152

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 152

6/13/2013 2:10:51 PM


Ahlul-Bait mashambulizi mabaya kabisa na wanawatuhumu kwa upotovu, na baadhi wanachupa mipaka hadi wanawatuhumu kwa ukafirihadi mambo yanafikia kwa – Shi’ahyawanasemaje? hi ya wenye 1kasumba upofu kuwatuhumu kwa ukafiri na uzandiki. Hivyo hapa ni 2 – Na kwa ninihali upande mwingine mishikeli na ma sisi tusimame tutathmini hii, kwani kuna unawatuhumu Shi’ah wafuasi kwa wa Ahlul-Bait na shubuhati? wanaowatuhumu na mishikeli Shi’ah wanajibu kwamba wao wanafuata njia 3 – Nakwa ninimakosa, majibu ya na shubuhati hizi? hi na isiyokuwa hiyo sio sahihi. Abu Talib Jabali Imara la Imani

Tutajaribu kuweka wazi hali ndani ya nukta hizi tatu huenda tutafika katika hali Shi’ah wanasemaje? inayotufaa katika kufuata njia ya haki na hususani katika yaliyosemwa juu ya Abu Talib, Na kwa nini upande mwingine unawatuhumu mishikeli na shubuhati? na kuondoa dhulma ambayokwa kwake kwa kuongezea yale wanayohitalifiana Mfumo waimetokea kuwafuata Ahlul-Bait (as) Na nini majibu ya mishikeli na shubuhati hizi? humo Ummah wa Kiislam.

jaribu kuweka wazi haliya ndani ya nukta hizi tuseme tatu huenda tutafika katikamsomaji hali Kabla kuanza lazima Ndugu ikiwa wa kuwafuata Ahlul-Bait : neno. otufaa katikaMfumo kufuata njia ya haki na hususani katika(as) yaliyosemwa juu ya Abu Talib, wewe si katika wafuasi wa Ahlul-Bait inakupasa usitoe hukumu uondoa dhulma ambayo imetokea kwake kwa kuongezea yale wanayohitalifiana ya kuanza lazima tuseme neno.Ndugu msomaji ikiwakuwa wewena si uadilifu katika wafuasi wa kiholela kabla ya kusoma ambayo yatasemwa, o Ummah waKabla Kiislam.

Ahlul-Bait usitoe kiholela ya kusoma ambayo yatasemwa, kuwa katikainakupasa nafsi yako ili hukumu uepukane na kabla kasumba, na nafsi yako iwe

na uandilifu katika nafsi mo wa kuwafuata Ahlul-Bait (as) : yako ili uepukane na kasumba, na nafsi yako iwe tayari kukubali

tayari kukubali haki yoyote iwayo na popote itakapokuwa, na

haki yoyote iwayo na popote itakapokuwa,na kumbuka kauli ya Mwenyezi kumbuka kauli ya Mwenyezi a ya kuanza MunguMtukufu: lazima tuseme neno.Ndugu msomaji ikiwaMungu wewe si Mtukufu: katika wafuasi wa

l-Bait inakupasa usitoe hukumu kiholela kabla ya kusoma ambayo yatasemwa, kuwa andilifu katika nafsi yako ‫ﺎ‬‫ﻌ‬‫ﻨ‬‫ﺻ‬ili‫ﻮﻥﹶ‬uepukane ‫ﺴِﻨ‬‫ﺤ‬‫ ﻳ‬‫ﻬﻢ‬ ‫ﻮ ﹶﻥ ﺃﹶﻧ‬na ‫ﺴﺒ‬  ‫ﺤ‬kasumba, ‫ﻳ‬ ‫ﻢ‬‫ﻭﻫ‬ ‫ﺎ‬‫ﻴ‬‫ﻧ‬‫ ﺍﻟﺪ‬‫ﺓ‬na ‫ﺎ‬‫ﻴ‬‫ﺍﹾﻟﺤ‬nafsi ‫ﻲ‬‫ ﻓ‬‫ﻢ‬‫ﻬ‬yako ‫ﻴ‬‫ﺳﻌ‬ ‫ﺿﻞﱠ‬  iwe ‫ﻳﻦ‬‫ﻟﱠﺬ‬tayari ‫ﺎﻟﹰﺎ ﺍ‬‫ﻤ‬‫ ﺃﹶﻋ‬‫ﻦ‬kukubali ‫ﺮﹺﻳ‬‫ﺴ‬‫ﻨﹺّﺒﺌﹸﻜﹸﻢ ﺑﹺﺎﻟﹾﺄﹶﺧ‬‫ﻞﹾ ﻧ‬‫ﻗﹸﻞﹾ ﻫ‬ yoyote iwayo na popote itakapokuwa,na kumbuka kauli ya Mwenyezi guMtukufu:

“Sema je, tuwaambie wenye yajuhudi viten“Sema je,tuwaambie wale wenyewale hasara mno yahasara vitendo?mno Ambao yao katika juhudi katika dunia imeponao kazinzuri.” (Sura ‫ﺎ‬‫ﻌ‬‫ﻨ‬‫ﻮﻥﹶ ﺻ‬‫ﺴِﻨ‬‫ﺤ‬maisha ‫ ﻳ‬‫ﻢ‬‫ﻬ‬‫ ﺃﹶﻧ‬do? ‫ﻮﻥﹶ‬‫ﺒ‬‫ﺴ‬‫ﺤ‬ya ‫ ﻳ‬‫ﻢ‬Ambao ‫ﻫ‬dunia ‫ﺎ ﻭ‬‫ﻴ‬‫ﻧ‬‫ ﺍﻟﺪ‬‫ﺎﺓ‬‫ﻴ‬imepotea ‫ﻲ ﺍﻟﹾﺤ‬ ‫ ﻓ‬‫ﻢ‬‫ﻬ‬‫ﻴ‬‫ﺳﻌ‬ ‫ﺿﻞﱠ‬ bure, ‫ﻦ‬yao ‫ﻳ‬‫﴾ﺍﱠﻟﺬ‬١٠٣ ﴿ ‫ﹰﺎ‬wanadhani ‫ﺎﻟ‬‫ﻤ‬‫ ﺃﹶﻋ‬‫ﺮﹺﻳﻦ‬‫ﺴ‬maisha ‫ﻜﹸﻢ ﺑﹺﺎﻟﹾﺄﹶﺧ‬kuwa ‫ﻨﹺّﺒﺌﹸ‬‫ﻞﹾ ﻧ‬‫ﻞﹾ ﻫ‬ya ‫ ﻗﹸ‬wanafanya al-Kahf: – 104). tea 103 bure, nao wanadhani kuwa wanafanya kazi nzuri.”

ma je,tuwaambie(Sura wale al-Kahf: wenye hasara mno ya vitendo? Ambao juhudi yao katika 103 – 104). inaweza kuwa ambayo ulikuwa unaitakidikazinzuri.” kuwa ni batili, ha ya duniaHaki imepotea bure, nao ni wanadhani kuwa wanafanya (Surana batili inaweza ikawa ni ile uliyokuwa unaitakidi kuwa ni haki.Tafadhali simama kusoma muda, ahf: 103 – 104). Haki inaweza kuwa ni ambayo ulikuwa unaitakidi kwa kuwa ni fikiri na

kishabatili, tafakrina niliyoyasema, kisha ikawa rejea naendelea kusoma tena. batili inaweza ni ile uliyokuwa unaitakidi kuwa

inaweza kuwa ni ambayo ulikuwa unaitakidi kuwa ni batili, na batili inaweza ikawa ni haki.Tafadhali simama kusoma kwa muda, fikiri kisha Mungu e uliyokuwa Unasemaje? unaitakidi kuwa ni haki.Tafadhali simama kusoma kwa muda, fikiri na na Ukimuuliza yeyote kati ya Waislam swali hili:Je Mwenyezi a tafakri niliyoyasema, kisha niliyoyasema, rejea naendelea kusoma tafakari kishatena. rejea naendelea kusoma tena.

amedhamini kuhifadhi Qur’ani?Jawabu litakuwa ndio kwa Waislam wote Shi’ah na

semaje? Ukimuuliza Unasemaje? yeyote kati yaUkimuuliza Waislam swali hili:Je kati Mwenyezi Mungu yeyote ya Waislam

swali hili: Jekwa Mwenyezi Mungu amedhamini Jawabu Sunni, dalili ya Aya tukufu: ‫ﻈﹸﻮﻥﹶ‬‫ﺎﻓ‬‫ ﻟﹶﺤ‬‫ﺎ ﹶﻟﻪ‬‫ﻧ‬kuhifadhi ‫ﺇﹺ‬‫ ﻭ‬‫ّﻛﹾﺮ‬‫ﺎ ﺍﻟﺬ‬‫ﻟﹾﻨ‬‫ﺰ‬‫ ﻧ‬‫ﻦ‬‫ﻧﺤ‬Qur’ani? ‫ﺎ‬‫ﹺﺇﻧ‬ Hakika Sisi dhamini kuhifadhi Qur’ani?Jawabu litakuwa ndio kwa Waislam wote Shi’ah na litakuwa ndio kwa Waislam wote Shi’ah na Sunni, kwa dalili ya Aya tukufu:ukumbusho Sisi tumeuteremsha ‫ﻈﹸﻮﻥﹶ‬‫ﺎﻓ‬‫ ﻟﹶﺤ‬‫ﺎ ﹶﻟﻪ‬‫ﺇﹺﻧ‬‫ ﻭ‬‫ﻛﹾﺮ‬huu ّ‫ﺎ ﺍﻟﺬ‬‫ﻟﹾﻨ‬‫ﺰ‬‫ﻧ‬na ‫ﻦ‬‫ﻧﺤ‬hakika ‫ﺎ‬‫“ ﺇﹺﻧ‬Hakika Hakika Sisi (Sura Hijr: 9). Na i, kwa dalili tumeuteremsha ya Aya tukufu: Sisi ndiotuulindao.” ukumbusho huu na hakika Sisi ndio tuulindao.” (Sura Qur’ani inahitajia tafsiri: “Na Hijr: anajua 9). kila mmoja anajua kwamba Qur’ani tafsi-isipokuwa euteremsha kilammoja ukumbusho huuNa nakwamba hakika Sisi ndiotuulindao.” (Sura Hijr:hajui 9).inahitajia Natafsiri yake ri: “Na hajui tafsiri yake isipokuwa Mwenyezi Mungu na mmoja anajua kwamba Qur’ani inahitajia tafsiri: “Na 123 hajui tafsiri yake isipokuwa waliozama katika elimu.” Na wote wanajua kwamba Nabii (s.a.w.w.) amesema: “Hakika82mimi nimewaachia vizito viwili kama mtashikamana navyo hamtopotea kamwe baada 82

123

Suratul-Imran: 7 153

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 153

6/13/2013 2:10:51 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

yangu.”124 Yaani yule anayeshikamana na Qur’ani tu nayo ni kizito cha kwanza atakuwa katika waliopotea. Hakuna atakayetofautiana na mimi katika hilo kwani maelezo ya Hadith yamesema: Kama mtashikamana navyo hamtopotea. Yaani kama mtashikamana na kizito kimoja na mkaacha kingine mtapotea, na sharti pekee ni kushikamana na vyote viwili: “Kama mtashikamana navyo…” kwani sisi tunahitajia kizito cha pili ili tujue Qur’ani inasema nini na nini tafsiri yake. Na ukamilisho wa Hadith ya vizito viwili umepokewa kwa matamko mawili, moja linasema: “Kitabu cha Mwenyezi Mungu na Sunnah zangu.” Na riwaya nyingine inasema:“Kitabu cha Mwenyezi Mungu na kizazi changu watu wa nyumbani kwangu.” Riwaya zote mbili zimepokewa kwa Ahlus Sunnah, riwaya ya kwanza: “Sunnah zangu,” imepokewa mara moja au kwa njia moja na kwa Hadith isiyo na sanadi kamili. Ama riwaya ya: “Kitabu cha Mwenyezi Mungu na kizazi changu”, imepokewa kwa njia kumi na moja, nayo ni mutawatir na sahihi. Ama Shi’ah hakika riwaya sahihi kwao ni “Kitabu cha Mwenyezi Mungu na kizazi changu Ahlul-Bait wangu.” Na hebu tujaalie tu kwamba riwaya ni “Kitabu cha Mwenyezi Mungu na Sunnah zangu.” Vema, hapa nauliza swali jingine, je umepokewa ubainisho wa kiasharia wa kuhifadhiwa sunnah kama ilivyopokelewa dhamana yakuhifadhiwa Qur’ani? Hakuna yeyote anayeweza kusema kwamba Mwenyezi Mungu au Nabii amedhamini ulinzi wa Sunnah. Ikiwa hivyo ndivyo na bila shaka ndivyo ilivyo, sasa kuna faida gani ya kushikamana na Qur’ani ambayo imedhaminiwa kulindwa pamoja na Sunnah ambayo haijadhaminiwa kulindwa? Na 124

Biharul-An’war, Juz. 23, Uk. 106 154

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 154

6/13/2013 2:10:51 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

kwakweli Waislam wote wanashuhudia idadi kubwa ya hadith alizosingiziwa Mtume wa Mwenyezi Mungu, dhaifu na za uongo ambazo zinajaza mijaladi na maktaba. Iko wapi dhamana hii ya kusalimika na upotevu pindi tutakaposhikamana na Sunnah ilihali hatujui ni ipi sahihi kati yake? Na hata katika kiwango cha vitabu sahihi bado hadi sasa unasikia wito wa kutaka kuzichambua na kuziondoa humo baadhi ya Hadith kwa hoja ya udhaifu wake, wakati ambapo sababu ni kwamba haziafikiani na Waislam wengi na zinapingana na mwenendo wao. Na inawezekana katika harakati hizo za kuondoa ikaondolewa iliyosahihi na kuachwa iliyodhaifu, na hivyo kuzidisha uharibifu na kuzama zaidi na zaidi. Hivyo iko wapi dhamana hii ya kusalimika na upotevu? “Kama mtashikamana navyo hamtopotea kamwe baada yangu.” Jawabu liko wazi kama jua katikati ya mchana, na wala haihitaji utafiti wa riwaya katika usahihi wa riwaya ambayo inataja kwamba kizito cha pili ni Ahlul–Bait, kwa sababu Qur’ani imehifadhiwa inahitaji watu wakweli na Sunnah inahitaji watu wakweli ili waibebe na kutufikishia, na Qur’ani imetuashiria kwa uwazi: “Hakika mengineyo Mwenyezi “Hakika si si mengineyo Mwenyezi Mungu anataka kuwaondolea uchafu, Mungu kuwaondolea uchafu,naenyi watu wa kabisa nyumba ya Mtume, enyi watuanataka wa nyumba ya Mtume, kuwatakasa kabisa.” (Sura Ahzab: 33). Na inaashiria kwa waliobobea kanakuwatakasa kabisa kabisa.” (Sura Ahzab: 33).Na inaashiria kwa waliobobea katika tika elimu: “Na hajui taawili yake isipokuwa Mwenyezi Mungu na waliobobea.” hapa uwiano unakamilika.Kwa elimu: “Na hajui taawili yakeNa isipokuwa Mwenyezi Mungu na waliobobea.”Na hapa uwazi kabisa Mwenyezi Mungu Mtukufu anatuhakikishia uwiano unakamilika.Kwa kabisa Mwenyezi Mungu Mtukufu kuhifadhiwa kwa Qur’aniuwazi na vilevile anatuhakikishia utakasoanatuhakikishia wakuhifadhiwa Ahlul–Bait dhidi ya na kila dhambi na uchafu: “Nawa kuwatakwa Qur’ani vilevile anatuhakikishia utakaso Ahlul–Baitdhidi ya kila kasa kabisa kabisa,” na kwa uhakika kabisa Nabii (s.a.w.w.) ‫ﺍ‬‫ﻄﹾﻬﹺﲑ‬‫ ﺗ‬‫ﻛﹸﻢ‬‫ﻄﹶﻬﹺّﺮ‬‫ﻳ‬‫ ﻭ‬‫ﻴﺖ‬‫ﻫﻞﹶ ﺍﹾﻟﺒ‬ ‫ ﺃﹶ‬‫ﺟﺲ‬ ّ‫ ﺍﻟﺮﹺ‬‫ﻨﻜﹸﻢ‬‫ﺐ ﻋ‬  ‫ﻫ‬ ‫ﺬﹾ‬‫ﻟﻴ‬ ‫ ﺍﻟﻠﱠـﻪ‬‫ ﹺﺮﻳﺪ‬‫ﺎ ﻳ‬‫ﻤ‬‫ﺇﹺﻧ‬

dhambi na uchafu:“Nakuwatakasa kabisa kabisa,” na kwa uhakika kabisa Nabii 155

(s.a.w.w.) anasema:“Kitabu cha Mwenyezi Mungu na kizazi changu Ahlul–Bait wangu.” Hii ndio haki iliyowazi kwa anayeitaka na mwenye kutaka utafiti wa riwaya katika 6/13/2013 2:10:51 PM usahihi wa riwaya ya Ahlul–Bait wangu mambo ni mepesi, haki iko wazi nayo nikufuata

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 155


“Hakika si mengineyo Mwenyezi

‫ﺐﻋ‬  ‫ﻫ‬ ‫ﺬﹾ‬‫ﻟﻴ‬ ‫ ﺍﻟﻠﱠـﻪ‬‫ ﹺﺮﻳﺪ‬‫ﺎ ﻳ‬‫ﻤ‬‫ﺇﹺﻧ‬

ndolea uchafu, enyi watu wa nyumba ya Mtume,

bisa.” (Sura Ahzab: 33).Na inaashiria kwa waliobobea katika Abu Talib Jabali Imara la Imani

yake isipokuwa Mwenyezi Mungu na waliobobea.”Na hapa

uwazi kabisa Mwenyezi Mungu Mtukufu anatuhakikishia anasema: “Kitabu cha Mwenyezi

Mungu na kizazi changu

Ahlul–Bait na vilevile anatuhakikishia utakasowangu.” wa Ahlul–Baitdhidi ya kila

Hii ndio haki iliyowazi kwa anayeitaka na mwenye kutaka utafiti wa riwaya katika usahihi wa riwaya ya Ahlul–Bait wangu mambo ni mepesi, haki iko wazi nayo nikufuata Ahlul– cha Mwenyezi Mungu na kizazi changu Ahlul–Bait wangu.” Bait, kwa sababu wao ndio wanaoweza kufasiri Qur’ani, na wao utafiti na bwana waokatika baada ya Mtume wa Mwenyezi wa anayeitaka nakiongozi mwenye kutaka wa riwaya l–Bait wangu mambo ni mepesi, haki iko wazi nayo nikufuata Mungu (s.a.w.w.) ni Imam Ali (as), naye (s.a.w.w.) anasema: wao ndio wanaoweza kufasiri Qur’ani, na kiongozi waoninamlango wake, mwenye kuta“Mimi ni mji wa elimu na Ali tume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) ni Imam Ali (as), ka elimu aiendee kupitia mlango wake.”125 Mimi ni mji wa elimu na Ali nibasi mlango wake, mwenye kutaka

watakasa kabisa kabisa,” na kwa uhakika kabisa Nabii

mlango wake.”1

Na Qur’ani ni Kitabu chenye dhahiri na batini, hajui taawili yake waliobobea katika elimu kama ye dhahiri na batini, hajui taawili yakeisipokuwa isipokuwa waliobobea ilivyokuja katika Aya: “Na hajui taawili yake isipokuja katika Aya: “Na hajui taawili yake isipokuwa Mwenyezi wa Mwenyezi Mungu na waliobobea katika elimu.” Nanihii nikutoka ishara Mwenyezi Mungu kwetu ili atika elimu.”Na hii ishara kwakutoka Mwenyezikwa Mungu tusichukue taawili yake isipokuwa kwa waliobobea. Je, i yake isipokuwa kwa waliobobea.Je, kuna aliyebobea katika kuna aliyebobea katika elimu kuliko mlango wa mji wa bin Talib? Na Shi’ah wanawafuamji wa elimu waelimu Mtume,wa AliMtume, bin Abu Ali Talib? NaAbu Shi’ah ta Ahlul–Bait baada ya Mtume wa Mwenyezi Mungu kwa aada ya Mtume wa Mwenyezi Mungu kwa utiifu katika yale utiifu katika yale aliyoamrisha Mwenyezi Mungu Mtukufu: ungu Mtukufu: ‫ﻮﺍ‬‫ﻬ‬‫ ﻓﹶﺎﻧﺘ‬‫ﻪ‬‫ﻋﻨ‬ ‫ﺎﻛﹸﻢ‬‫ﻬ‬‫ﺎ ﻧ‬‫ﻣ‬‫ ﻭ‬‫ﺬﹸﻭﻩ‬‫ﻮﻝﹸ ﻓﹶﺨ‬‫ﺳ‬‫ ﺍﻟﺮ‬‫ﺎﻛﹸﻢ‬‫ﺎ ﺁﺗ‬‫ﻣ‬‫“ ﻭ‬Na anachowapa Mtume kichukueni, na anachowakataza jiepusheni nacho.” (Surat Mtume kichukueni, na anachowakata jiepusheni nacho.” Hashr: 7). Na Nabii ametuamrisha kuwafuata Ahlul–Bait watukufu ili kuokoka na kuepukana na upotovu: “Kamwe ametuamrisha kuwafuata Ahlul–Bait watukufu ilikuokoka na hamtapotea baada yangu.”

amwe hamtapotea baada yangu.”

Je, kuna yeyote asiyependa kuhakikishiwa kutopotea na kuwa na msimamo, haya ndio waliyoyafanya Shi’ah, na kwa a kuhakikishiwa kutopotea na kuwa muhtasari waonanimsimamo, wafuasihaya wa ndio Ahlul–Bait wa Muhammad baakwa muhtasari wao ni wafuasi wa Ahlul–Bait wa Muhammad da ya Mtume kwa wasia kutoka kwake (s.a.w.w.). kutoka kwake (s.a.w.w.). 125

Biharul-An’war, Juz. 40, Uk. 87

84

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 156

156

6/13/2013 2:10:51 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

Imebakia tuseme ni nani Ahlul–Bait kwa kuwataja majina ili tupate uhakika wakutowafuata wasiokuwa wao, kwa kudhani wao ni Ahlul–Bait, kumbe sivyo! Hawatofautiani wawili kati ya wafuasi wa Ahlul–Bait kwamba waliokusudiwa ni Ali, Fatimah, Hasan, Husein na watoto wa Husein Imebakia tuseme ni nani Ahlul–Bait kwa kuwataja majina ili tupate uhakika (a.s.). Hapa wasiokuwa najikuta wao, nalazimika kunukuu wanayoyasema wakutowafuata kwa kudhani wao ni Ahlul–Bait, kumbe sivyo!Hawatofautiani wawili kati wafuasiwa Ahlul–Bait kwamba waliokusudiwa Sunnatu Wal-Jamaah, naya hapa nimechagua mmoja kati ya ni Ali, Fatimah, Hasan, Husein na watoto wa Husein (a.s.).Hapa najikuta nalazimika maadui wa wafuasi wa Ahlul–Bait, naye ni Ibnu Hajar alkunukuu wanayoyasema Sunnatu Wal-Jamaah, na hapa nimechagua mmoja kati ya Haythamiy nawa kitabu chake maadui wa wafuasi Ahlul–Bait, nayeas-Swaiqul-Muhriqah. ni Ibnu Hajar al-Haythamiy naAnasemakitabu chakeasSwaiqul-Muhriqah.Anasemaje Ibnu Hajar katika as-Swaiqul-Muhriqah yake katika je Ibnu Hajar katika as-Swaiqul-Muhriqah yake katika makumakusudio ya Ahlul–Bait? sudio ya Ahlul–Bait? Anasema Ibnu Hajar:Mwenyezi Mungu amesema:

Anasema

Ibnu

Hajar:

Mwenyezi Mungu amesema: “Hakika si mengineyo Mwenyezi Mungu anataka kuwaondolea uchafu, enyi “Hakika si mengineyo Mwenyezi Mungu anataka kuwaondolea uchafu, enyi watu watu wa ya nyumba Mtume, na kabisa.” kuwatakasa kabisa wa nyumba Mtume, naya kuwatakasa kabisa (Sura Ahzab: 33). kabisa.” (Sura Ahzab: 33). ‫ﺍ‬‫ﻄﹾﻬﹺﲑ‬‫ ﺗ‬‫ﻛﹸﻢ‬‫ﻄﹶﻬﹺّﺮ‬‫ﻳ‬‫ ﻭ‬‫ﺖ‬‫ﻴ‬‫ﻞﹶ ﺍﻟﹾﺒ‬‫ ﺃﹶﻫ‬‫ﺲ‬‫ ﺍﻟﺮﹺّﺟ‬‫ﻨﻜﹸﻢ‬‫ﺐ ﻋ‬  ‫ﻫ‬ ‫ﺬﹾ‬‫ﻟﻴ‬ ‫ ﺍﻟﻠﱠـﻪ‬‫ ﹺﺮﻳﺪ‬‫ﺎ ﻳ‬‫ﻤ‬‫ﺇﹺﻧ‬

Ibnu Hajar anasema: “Wafasiri wengi wamesema kwamba Aya hii imeshuka kwa Ali, 1 Fatimah Hasan na Husein.” Ibnu Hajar anasema: “Wafasiri wengi wamesema kwamba

Aya hii imeshuka kwa Ali, Fatimah Hasan na Husein.”126

Ibnu Hajar anasema: “Amepokea Ahmad kutoka kwa Abu Sa’id al-Khudriy kwamba, imeshuka watu watano: Nabii(s.a.w.w.), Ali, Fatimah, Hasan na Husein.” Ibnukwa Hajar anasema: “Amepokea Ahmad kutoka kwa Abu

Sa’id al-Khudriy kwamba, imeshuka kwa watu watano: Nabii

Na ameipokea Ibnu Jarir kutoka kwa Mtume wa Mwenyezi Mungu kuwa alisema: “Aya (s.a.w.w.), Ali, Fatimah, Hasan Husein.” hii imeshuka kwa watu watano,kwangu, Ali,na Hasan, Husein na Fatimah.”

Na ameipokea Jarir kwa Mtume wa MwenyeNa amepokea Tabaraniy Ibnu na Muslim vilekutoka vile kwamba (s.a.w.w.) aliwaingiza hao ndani ya kishamiya na kuwa akasomaalisema: Aya hii. Na imesihi kwamba yeye(s.a.w.w.) aliwafunika hawa zi Mungu “Aya hii imeshuka kwa watu watano, kwa kishamiya na akasema: “Eee Mwenyezi Mungu hawa ndioAhlul–Bait wangu kwangu, Ali, Hasan, Husein na Fatimah.” wanaonihusu mimi, waondolee uchafu na watakase kabisa kabisa.” Ummu Salama akasema:Na mimi niko pamoja nao? Akasema katika kheri.” Na amepokea Tabaraniy na (s.a.w.w.): Muslim“Wewe vile uko vile kwamba (s.a.w.w.) aliwaingiza hao ndani ya kishamiya na akasomavita Na katika riwaya nyingine amesema kwamba:“Mimi ni mgovi waatakayewapiga Ayaamani hii. kwa Naatakayewapa imesihi amani, kwamba (s.a.w.w.) nani ni aduiyeye kwa atakaye wafanyiaaliwafunika uadui.” Na katika riwaya nyingine ni kwamba (s.a.w.w.) aliweka mkono wake juu yao, ipo katika hawa kwa kishamiya na akasema: “Eee Mwenyezihiyo Mungu ukurasa 145. Na katika riwaya ni kwamba alisema (s.a.w.w.): “Eee mwenye kuwaudhi jamaa zangu wakaribu basi ameshaniudhi na mwenye kuniudhi ameshamuudhi 126 As-Swawaiqul-Muhriqah ya Ibnu Hajar Uk. 143 chapa ya pili maktaba ya cairo Mwenyezi Mungu.” Na katika riwaya nyingine amesema (s.a.w.w.): “Naapa kwa ambaye nafsi yangu iko mikononi mwake, mja hatoamini hadi anipende mimi na wala 157 karibu.” Hivyo akawaweka mahala pake. hatonipenda hadi awapende jamaa zangu wa Kisha imesihi kuwa alisema (s.a.w.w.): “Hakika mimi nimewaachia vizito viwili, kama mtashikamana navyo hamtopotea kamwe:Kitabu cha Mwenyezi Mungu na kizazi changu Ahlul–Bait wangu.”

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 157

6/13/2013 2:10:52 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

hawa ndio Ahlul–Bait wangu wanaonihusu mimi, waondolee uchafu na watakase kabisa kabisa.” Ummu Salama akasema: Na mimi niko pamoja nao? Akasema (s.a.w.w.): “Wewe uko katika kheri.” Na katika riwaya nyingine amesema kwamba: “Mimi ni mgovi wa atakaye wapiga vita nani amani kwa atakayewapa amani, ni adui kwa atakaye wafanyia uadui.” Na katika riwaya nyingine ni kwamba (s.a.w.w.) aliweka mkono wake juu yao, hiyo ipo katika ukurasa 145. Na katika riwaya ni kwamba alisema (s.a.w.w.): “Eee mwenye kuwaudhi jamaa zangu wakaribu basi ameshaniudhi na mwenye kuniudhi ameshamuudhi Mwenyezi Mungu.” Na katika riwaya nyingine amesema (s.a.w.w.): “Naapa kwa ambaye nafsi yangu iko mikononi mwake, mja hatoamini hadi anipende mimi na wala hatonipenda hadi awapende jamaa zangu wa karibu.” Hivyo akawaweka mahala pake. Kisha imesihi kuwa alisema (s.a.w.w.): “Hakika mimi nimewaachia vizito viwili, kama mtashikamana navyo hamtopotea kamwe: Kitabu cha Mwenyezi Mungu na kizazi changu Ahlul–Bait wangu.” Na Tirmidhiy na An-Nasaiy wamepokea kutoka kwa Jabir, na pia imepokewa katika Kanzul-Ummal ukurasa wa 44, juzuu ya 1, kuwa amesema (s.a.w.w.): “Enyi watu hakika mimi nimewaachia ambayo kama mtashikamana nayo hamtopotea: Kitabu cha Mwenyezi Mungu na kizazi changu Ahlul– Bait wangu.” Pia Amepokea Tirmidhiy kutoka kwa Arqam bin Zaid, nayo ni Hadith ya 874 katika Kanzul-Ummal, juzuu ya 1, ukurasa wa 44, amesema (s.a.w.w.): “Hakika mimi nime158

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 158

6/13/2013 2:10:52 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

waachia ambayo kama mtashikamana nayo baada yangu hamtopotea kamwe baada yangu: Kitabu cha Mwenyezi Mungu kamba iliyonyooka toka mbinguni hadi ardhini, na kizazi changu Ahlul–Bait wangu, na havitatengana hadi ­vitakaponijia katika hodhi. Tazameni ni namna gani mtanifuata kwavyo.” Na kwa ziada, ili Waislamu wengi wayatazame yaliyokwishapita katika aliyoyataka Mtume wa Mwenyezi Mungu kwao, nataja tukio moja katika mabano, kisha tutarejea katika asili ya utafiti wetu juu ya Ahlul–Bait, na tukio hili ni muhimu sana kwa Waislam na ujumbe wao na mwelekeo wao, kiasi kwamba linaweza kupanga hatima yao Siku ya Kiyama, na umuhimu huu sio unatokana na utafiti na ufafanuzi bali umuhimu huu ni kutoka kwa Mtume wa Mwenyezi Mungu, nayo ni kama ilivyokuja: Hakika Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) alipokaribiwa na mauti aliwaambia waliokuwa pembezoni mwake: “Nileteeni kalamu na karatasi niwaandikie maandiko ambayo hamtapotea kamwe baada yangu.” Nini kilitokea wakati huo? Ndugu yangu Muislam, hebu jaalia kuwa wewe ulikuwa umekaa kwa Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.), roho yangu na roho za walimwengu ziwe fidia kwake, na ukamuona Mtume wa Mwenyezi Mungu katika wakati wake wa mwisho katika dunia na anaomba kwako, je ungefanya nini? Nadhani utasema kabla sijakamilisha swali langu kama angetaka roho yangu ningempa kwa furaha na fahari, na hii ni hali ya kila Mwislam mwenye kumpenda Mtume, sasa itakuwaje lau kama angetaka kitu cha kuandikia wasia utakaolinda Ummah wa Kiislam kutokana na upotofu hadi Siku ya Kiyama?! 159

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 159

6/13/2013 2:10:52 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

Ndugu yangu Muislam kuwa mwadilifu hadi mwisho, nini kilitokea Mtume wa Mwenyezi Mungu alipoomba? Muslim amepokea katika mwisho wa kitabu cha wasia katika Sahih yake, na Ahmad kutoka kwa Ibnu Abbasi katika juzuu ya 1 ukurasa wa 222, na wamepokea wapokezi wengine. Muslim amepokea katika kitabu cha wasia katika Sahihi yake kutoka kwa Sa’ad bin Jubair, katika njia nyingine kutoka kwa Ibnu Abbas, amesema: “Siku ya alkhamisi! na ni ipi siku ya alkhamisi!!” Kisha machozi yakawa yanatiririka hadi yalionekana katika mashavu yake kana kwamba lulu, akasema: “Alisema Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.): ‘Nileteeni kalamu na karatasi au kibao na kalamu niwaandikie maandiko ambayo hamtopotea kamwe baada yake.’ Wakasema: ‘Hakika Mtume wa Mwenyezi Mungu anaweweseka!!!’” Na katika riwaya nyingine Ibnu Abbas anakamilisha: “Walikhitalifiana waliokuwepo ndani ya nyumba siku hiyo. Wakakhitalafiana, kati yao kuna wanaosema mpeni awaandikie maandiko hamtopotea baada yake, na kati yao wanasema aliyoyasema Umar – yaani- Mtume wa Mwenyezi Mungu anaweweseka.” Na katika riwaya nyingine ya Bukhariy alilipoza neno la Mtume anaweweseka kwa kusema: “Nabii amezidiwa na maumivu.” Ambapo anapokea katika juzuu ya nne katika Sahih yake katika mlango wa kauli ya mgonjwa: Ondokeni kwangu! Kutoka kwa Ibnu Abbas amesema: “Alipohudhuria Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) na katika nyumba kuna watu akiwemo Umar bin al-Khattab, Nabii (s.a.w.w.) alisema: ‘Sogeeni niwaandikie maandiko ambayo hamtopotea kamwe 160

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 160

6/13/2013 2:10:52 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

baada yake.’ Umar akasema: ‘Hakika Nabii amezidiwa na maumivu na mnayo Qur’ani; kinatutosha Kitabu cha Mwenyezi Mungu.’ Wakakhitalifiana waliokuwepo katika nyumba, kati yao kuna wanaosema sogeeni Nabii awaandikie maandiko ambayo kwayo hamtapotea kamwe baada yake, na kati yao wanasema aliyoyasema Umar, basi makelele na mzozo ukawa mwingi kwa Nabii, Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) akawaambia: ‘Ondokeni!’ (Na hii ni mara ya kwanza Nabii kuwafukuza watu kutoka kwake).” Na Ibnu Abbas alikuwa anasema: “Hakika huzuni kubwa ni huzuni iliyotokea baina ya Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) na kizuizi kilichozuia yeye kuwaandikia maandiko hayo, ambacho nifujo na ikhtilafu yao.” Ndugu msomaji simama katika tukio hili na tafakari mambo mengi huenda yatakunufaisha, imekuja katika Hadith: “Kutafakari kwa muda wa saa ni bora kuliko ibada ya miaka sabini,” kunaweza kuwa ni sababu ya kukuongoza kwenye usawa, ama ibada inaweza kuwa miaka sabini katika njia isiyo ya sawa na bila ya faida yoyote. Huzuni hii ya siku ya alkhamisi kama anavyoiita Ibnu Abbas ni kipengele muhimu katika maisha ya Muislam yeyote aliyetafakari na akazingatia, na wala usiache mtu yeyote akutolee visingizio, vyovyote itakavyokuwa elimu yake na cheo chake, vipi Muislam asitekeleze amri ya Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) na wahimize kuwa: “Toshekeni na kutotimiza amri.” Bali walimjibu ambapo walisema kimetosha Kitabu cha Mwenyezi Mungu, kana kwamba wao wanajua zaidi Kitabu cha Mwenyezi Mungu kushinda Mtume wa Mwenyezi Mungu na hivyo wanahimizana kutotekeleza amri yake. Si rahisi mtu kuwa na ujasiri wa kusema maneno haya 161

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 161

6/13/2013 2:10:52 PM


ee visingizio, vyovyote itakavyokuwa elimu yake na cheo chake, vipi Muis eleze amri ya Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) na wahim “Toshekeni na kutotimiza amri.” Bali walimjibu ambapo walisema kimeto Jabali Imara Imani zaidiKitabu cha Mweny u cha Mwenyezi Mungu, Abu kanaTalib kwamba wao la wanajua u kushinda Mtume wa Mwenyezi Munguna hivyo wanahimizana kutotekeleza a Si rahisi mtuyenye kuwa kujeruhi: na ujasiri“Mtume wa kusema maneno haya yenye kujeruhi:“Mtume wa Mwenyezi Mungu anawewnyezi Mungueseka!!” anaweweseka!!”na yuko baina yaonatena na hali Mtumehali yukoMtume baina yao tena karibu mau-karibu na ma wako wapi wao na Kitabu cha Mwenyezi Mungu: wapi wao nati,Kitabu cha Mwenyezi Mungu: ‫ﻮﺍ‬‫ﻬ‬‫ ﻓﹶﺎﻧﺘ‬‫ﻪ‬‫ﻋﻨ‬ ‫ﺎﻛﹸﻢ‬‫ﻬ‬‫ﺎ ﻧ‬‫ﻣ‬‫ ﻭ‬‫ﺬﹸﻭﻩ‬‫ﻮﻝﹸ ﻓﹶﺨ‬‫ﺳ‬‫ ﺍﻟﺮ‬‫ﺎﻛﹸﻢ‬‫ﺎ ﺁﺗ‬‫ﻣ‬‫ﻭ‬ “Na anachowapa Mtume kichukueni, na anachowakataza

anachowapa Mtume kichukueni, anachowakata jiepusheni nacho.”(Su Hashri: 7). Wako wapi na kauli ya jiepusheni nacho.” (Surana “Na anachowapa Mtume kichukueni, na anachowakata jiepusheni nacho.”(Sura ri: 7).Wako wapi naHashri: kauli ya Mwenyezi Mungu: ­Mwapi wenyezi 7).Wako na kauli ya Mwenyezi jiepusheni Mungu: nacho.”(Sura “Na anachowapa Mtume kichukueni, naMungu: anachowakata “Na anachowapa Mtume kichukueni, na anachowakata jiepusheni nacho.”(Sura Hashri:7).Wako 7).Wakowapi wapinanakauli kauliyayaMwenyezi MwenyeziMungu: Mungu: Hashri:

‫ﻮ‬‫ﻨ‬‫ﺠ‬‫ﻜﹸﻢ ﺑﹺﻤ‬‫ﺒ‬‫ﺎﺣ‬‫ﺎ ﺻ‬‫ﻭﻣ‬ ‫ﲔﹴ‬‫ ﺃﹶﻣ‬‫ﻄﹶﺎﻉﹴ ﺛﹶﻢ‬‫ﲔﹴ ﻣ‬‫ﻜ‬‫ﺵﹺ ﻣ‬‫ﺮ‬‫ﻱ ﺍﻟﹾﻌ‬‫ ﺫ‬‫ﻨﺪ‬‫ﺓ ﻋ‬ ‫ﻱ ﻗﹸﻮ‬‫ﻮﻝﹴ ﻛﹶﺮﹺﱘﹴ ﺫ‬‫ﺳ‬‫ﻝﹸ ﺭ‬‫ ﹶﻟ ﹶﻘﻮ‬‫ﻪ‬‫ﹺﺇﻧ‬ ‫ﻮﻥ‬‫ﻨ‬‫ﺠ‬‫ﻜﹸﻢ ﺑﹺﻤ‬‫ﺒ‬‫ﺎﺣ‬‫ﺎ ﺻ‬‫ﻣ‬‫﴾ﻭ‬‫ﻥ‬٢١ ﴿ ‫ﲔﹴ‬‫ ﺃﹶﻣ‬‫ﻄﹶﺎﻉﹴ ﺛﹶﻢ‬‫﴾ﻣ‬٢٠﴿ ‫ﲔﹴ‬‫ﻜ‬‫ﺵﹺ ﻣ‬‫ﺮ‬‫ﻱ ﺍﻟﹾﻌ‬‫ ﺫ‬‫ﻨﺪ‬‫ﺓ ﻋ‬ ‫ﻱ ﻗﹸﻮ‬‫﴾ﺫ‬١٩﴿ ‫ﻮﻝﹴ ﻛﹶﺮﹺﱘﹴ‬‫ﺳ‬‫ﻝﹸ ﺭ‬‫ ﹶﻟ ﹶﻘﻮ‬‫ﻪ‬‫ﹺﺇﻧ‬ ‫ﻮﻥ‬‫ﻨ‬‫ﺠ‬‫ﻜﹸﻢ ﺑﹺﻤ‬‫ﺒ‬‫ﺎﺣ‬‫ﺎ ﺻ‬‫ﻭﻣ‬ ‫ﲔﹴ‬‫ ﺃﹶﻣ‬‫ﻄﹶﺎﻉﹴ ﺛﹶﻢ‬‫ﲔﹴ ﻣ‬‫ﻜ‬‫ﺵﹺ ﻣ‬‫ﺮ‬‫ﻱ ﺍﻟﹾﻌ‬‫ ﺫ‬‫ﻨﺪ‬‫ﺓ ﻋ‬ ‫ﻱ ﻗﹸﻮ‬‫ﻮﻝﹴ ﻛﹶﺮﹺﱘﹴ ﺫ‬‫ﺳ‬‫ﻝﹸ ﺭ‬‫ ﹶﻟ ﹶﻘﻮ‬‫ﻪ‬‫ﹺﺇﻧ‬

‫ﻮﻥ‬‫ﻨ‬‫ﺠ‬‫ﻜﹸﻢ ﺑﹺﻤ‬‫ﺒ‬‫ﺎﺣ‬‫ﺎ ﺻ‬‫ﻭﻣ‬ ‫ﲔﹴ‬‫ ﺃﹶﻣ‬‫ﻄﹶﺎﻉﹴ ﺛﹶﻢ‬‫ﲔﹴ ﻣ‬‫ﻜ‬‫ﺵﹺ ﻣ‬‫ﺮ‬‫ﻱ ﺍﻟﹾﻌ‬‫ ﺫ‬‫ﻨﺪ‬‫ﺓ ﻋ‬ ‫ﻱ ﻗﹸﻮ‬‫ﻮﻝﹴ ﻛﹶﺮﹺﱘﹴ ﺫ‬‫ﺳ‬‫ﻝﹸ ﺭ‬‫ ﹶﻟ ﹶﻘﻮ‬‫ﻪ‬‫ﹺﺇﻧ‬ “Hakika hiyobila hiyobila shaka ni kauli ya mjumbeMtukufu, Mwenye nguvu, mwenye “Hakika shaka ni kauli ya mjumbeMtukufu, Mwe- cheo mbele ya Mwenye Arshi, Mwenye kutiiwa huko mwaminifu. Na mwenzenu simwenye “Hakika hiyobila shaka ni kauli ya mjumbeMtukufu, Mwenye nguvu, mwenye cheo nye nguvu, mwenye mbele ya Mwenye Arshi, Mwenye ika hiyobila shaka nishaka kauli ya cheo mjumbeMtukufu, Mwenye nguvu, c “Hakika hiyobila ni kauli ya mjumbeMtukufu, Mwenye nguvu, mwenye cheo mwendawazimu.” (Sura Takwir: 19 – 22), na wako wapi na kauli yake: mbele ya Mwenye Arshi, Mwenye kutiiwa huko mwaminifu. Na mwenzenu si kutiiwa huko mwaminifu. Na mwenzenu si mwendawazmbele yaArshi, MwenyeMwenye Arshi, Mwenye kutiiwa huko mwaminifu. Na mwenzenu ya Mwenye kutiiwa huko mwaminifu. Na simwenzenu mwendawazimu.” (SuraTakwir: Takwir: –22), 22),na nawako wako wapinana kauliyake: yake: 19 – 22), 19 na19–wako wapi nawapi kauli yake: imu.” (Sura Takwir: mwendawazimu.” (Sura kauli

dawazimu.” (Sura Takwir: 19 – 22), na wako wapi na kauli yake: ‫ﲔ‬‫ﺎﻟﹶﻤ‬‫ﺏﹺّ ﺍﻟﹾﻌ‬‫ّﻦ ﺭ‬‫ﻨﺰﹺﻳﻞﹲ ﻣ‬‫ﻭﻥﹶ ﺗ‬‫ﺗ ﹶﺬﻛﱠﺮ‬ ‫ﺎ‬‫ﻴﻠﹰﺎ ﻣ‬‫ﻦﹴ ۚ ﻗﹶﻠ‬‫ﻝﹺ ﻛﹶﺎﻫ‬‫ﻟﹶﺎ ﺑﹺﻘﹶﻮ‬‫ﻮﻥﹶ ﻭ‬‫ﻨ‬‫ﻣ‬‫ﺆ‬‫ﺎ ﺗ‬‫ﻴﻠﹰﺎ ﻣ‬‫ﺮﹴ ۚ ﻗﹶﻠ‬‫ﺎﻋ‬‫ﻝﹺ ﺷ‬‫ﻮ ﺑﹺﻘﹶﻮ‬ ‫ﺎ ﻫ‬‫ﻭﻣ‬ ‫ﻮﻝﹴ ﻛﹶﺮﹺﱘﹴ‬‫ﺳ‬‫ﻝﹸ ﺭ‬‫ ﹶﻟ ﹶﻘﻮ‬‫ﻪ‬‫ﹺﺇﻧ‬ ‫ ﺍﻟﹾ‬‫ّﻦﺏﹺّﺭ‬ ‫ﺭ‬‫ﻞﹲّﻦﻣ‬‫ﻨﻞﹲﺰﹺﻳﻣ‬‫ﻨﻥﹶﺰﹺﻳﺗ‬‫ﻥﹶﻭﺗ‬‫ﻭﻛﱠﺮ‬‫ﺗﻛﱠ ﹶﺬﺮ‬ ‫ﺎﹶﺬ‬‫ﺗﻣ‬ ‫ﺎ‬‫ﻴﻠﻣﹰﺎ‬‫ﻴﻠﻗﹶﹰﺎﻠ‬ۚ‫ ﻗﹶﻦﹴﻠ‬‫ﻛﹶﺎﻦﹴ ۚﻫ‬‫ﻝﹺﻛﹶﺎﻫ‬‫ﺑﹺﻘﹶﻝﹺﻮ‬‫ﺑﹺﻟﹶﺎﻘﹶﻮ‬‫ﻥﹶﻟﹶﺎﻭ‬‫ﻮﻭ‬‫ﻨﻥﹶ‬‫ﻮﻣ‬‫ﻨﺆ‬‫ﺗ‬‫ﻣ‬‫ﺎﺆ‬‫ﻣ‬‫ﺎ ﺗ‬‫ﻴﻠﻣﹰﺎ‬‫ﻴﻠﻗﹶﹰﺎﻠ‬ۚ‫ﻗﹶﺮﹴﻠ‬‫ﺎ ۚﻋ‬‫ﺷﺮﹴ‬‫ﺎﻋ‬‫ﻝﹺﺷ‬‫ﺑﹺﻘﹶﻝﹺﻮ‬‫ﻮﻘﹶﻮ‬ ‫ﺑﹺ‬‫ﻮﻫ‬ ‫ﺎ‬‫ﻭﻣﻫ‬‫ﺎ‬‫ﻭﱘﹴﻣ‬ ‫ﻮﻝﹴﻛﹶﺮﹺﻛﹶﱘﹴﺮﹺ‬‫ﻮﺳﻝﹴ‬‫ﻝﹸﺳﺭ‬‫ﺭ‬‫ﹶﻟ ﹶﻘﻝﹸﻮ‬‫ﹶﻘﻮ‬‫ﻪ‬‫ﹺﺇﹶﻟﻧ‬‫ﻪ‬‫ﹺﺇﻧ‬ ‫ﲔ‬‫ﻤ‬‫ﺎﻟﹶﲔ‬‫ﺎﺍﻟﹶﻟﹾﻌﻤ‬‫ﺏﹺّﻌ‬

‫ﻨﺰﹺﻳ ﹲﻞ‬‫﴾ﺗ‬٤٢﴿ ‫ﻭﻥﹶ‬‫ﺗ ﹶﺬﻛﱠﺮ‬ ‫ﺎ‬‫ﻴﻠﹰﺎ ﻣ‬‫ﻦﹴ ◌ۚ ﻗﹶﻠ‬‫ﻝﹺ ﻛﹶﺎﻫ‬‫ﻟﹶﺎ ﺑﹺﻘﹶﻮ‬‫﴾ﻭ‬٤١﴿ ‫ﻮﻥﹶ‬‫ﻨ‬‫ﻣ‬‫ﺆ‬‫ﺎ ﺗ‬‫ﻴﻠﹰﺎ ﻣ‬‫ﺮﹴ ◌ۚ ﻗﹶﻠ‬‫ﺎﻋ‬‫ﻝﹺ ﺷ‬‫ﻮ ﺑﹺﻘﹶﻮ‬ ‫ﺎ ﻫ‬‫ﻣ‬‫﴾ﻭ‬٤٠﴿ ‫ﻮﻝﹴ ﻛﹶﺮﹺﱘﹴ‬‫ﺳ‬‫ﻝﹸ ﺭ‬‫ﻮ‬

“Kwa hakika hii ni kauli ya Mjumbe mwenye hishima. Wala si kauli ya “Kwa hakika hiini ni kauli ya Mjumbe mwenye hishima. Walaya mshairi.Nimchache mnayoyaamini. Wala si kauli ya kuhani.Ni “Kwahakika hakikahiihii kauli yaMjumbe Mjumbe mwenye hishima. Walasimchache sikauli kauli “Kwa ni kauli yaNi mwenye hishima. Wala ya si kauli ya mshairi. machahe mnayoyaamini. Wala si(Sura mnayoyakumbuka. Ni uteremsho utokao kwa Mola wa walimwenguwote.” almshairi.Nimchache mnayoyaamini. Wala kauli kuhani.Nimchache mchache mshairi.Nimchache mnayoyaamini. Wala sisikauli yayakuhani.Ni kauli ya kuhani. Ni machahe mnayoyakumbuka. Ni uteremHaqqa: 40 – 43).Na wako wapi na kauli yake: mnayoyakumbuka. Ni uteremsho utokao kwa Mola wa walimwenguwote.” (Sura hakika hii ni kauli ya Mjumbe mwenye hishima. Wala mnayoyakumbuka. Ni uteremsho utokao kwa Mola wa walimwenguwote.” (Sura si al-al-kauli (Sura al-Haqqa: 40 sho utokao kwa Mola wa walimwengu wote.” Haqqa: 40 – 43).Na wako wapi na kauli yake: Haqqa: 40 – 43).Na wako wapi nakauli kauli yake: ri.Nimchache mnayoyaamini. Wala – 43). Na wako wapi nasikauli yake: ya kuhani.Ni mcha ‫ﻮ‬ ‫ ﺍﻟﹾﻘﹸ‬‫ﻳﺪ‬‫ﺪ‬‫ ﺷ‬‫ﻤﻪ‬ ‫ﻋﻠﱠ‬ ‫ﺣ ٰﻰ‬ ‫ﻮ‬‫ﻳ‬utokao ‫ﻲ‬‫ﺣ‬‫ﻮ ﺇﹺﻟﱠﺎ ﻭ‬ ‫ ﺇﹺﻥﹾ ﻫ‬kwa ‫ﻯ‬ ٰ ‫ﻮ‬‫ﻦﹺ ﺍﻟﹾﻬ‬‫ ﻋ‬Mola ‫ﻄﻖ‬ ‫ﻨ‬‫ﺎ ﻳ‬‫ﻭﻣ‬ ‫ﻯ‬ ٰ ‫ﻮ‬wa ‫ﺎ ﻏﹶ‬‫ﻭﻣ‬ ‫ﻢ‬walimwenguwote.” ‫ﻜﹸ‬‫ﺣﺒ‬ ‫ﺎ‬‫ﺿﻞﱠ ﺻ‬  ‫ﺎ‬‫ﻣ‬ oyakumbuka. Ni ‫ٰﻯ‬uteremsho (Sura ‫ﻯ‬ ٰ ‫ﻮ‬  ‫ﻘ‬ ‫ﹸ‬ ‫ﹾ‬ ‫ﻟ‬ ‫ﺍ‬ ‫ﺪ‬  ‫ﻳ‬ ‫ﺪ‬ ‫ﺷ‬   ‫ﻪ‬ ‫ﻤ‬  ‫ﱠ‬ ‫ﻠ‬ ‫ﻋ‬  ‫ﻰ‬ ٰ ‫ﺣ‬  ‫ﻮ‬ ‫ﻳ‬ ‫ﻲ‬  ‫ﺣ‬  ‫ﻭ‬  ‫ﱠﺎ‬ ‫ﻟ‬ ‫ﺇ‬ ‫ﹺ‬ ‫ﻮ‬   ‫ﻫ‬ ‫ﻥ‬ ‫ﹾ‬ ‫ﺇ‬ ‫ﹺ‬ ‫ﻯ‬ ٰ ‫ﻮ‬  ‫ﻬ‬  ‫ﻟ‬ ‫ﹾ‬ ‫ﺍ‬ ‫ﻦ‬ ‫ﹺ‬ ‫ﻋ‬   ‫ﻖ‬ ‫ﻄ‬  ‫ﻨ‬ ‫ﻳ‬ ‫ﺎ‬ ‫ﻣ‬ ‫ﻭ‬  ‫ﻯ‬ ٰ ‫ﻮ‬  ‫ﻏ‬ ‫ﹶ‬ ‫ﺎ‬ ‫ﻣ‬ ‫ﻭ‬  ‫ﻢ‬  ‫ﹸ‬ ‫ﻜ‬  ‫ﺒ‬ ‫ﺣ‬  ‫ﺎ‬ ‫ﺻ‬ ‫ﱠ‬ ‫ﻞ‬ ‫ﺿ‬  ‫ﺎ‬ ‫ﻣ‬ a: 40 – 43).Na wako kauli ‫ﻯ‬ ٰ ‫ﻮ‬ ‫ﻟﹾﻘﹸ‬wapi ‫ ﺍ‬‫ﻳﺪ‬‫ﺪ‬‫ ﺷ‬‫ﻤﻪ‬ ‫ﻠﱠ‬na ‫ﻋ‬ ‫ﺣ ٰﻰ‬ ‫ﻮ‬ ‫ ﻳ‬‫ﻲ‬‫ﺣ‬‫ ﺇﹺﻟﱠﺎ ﻭ‬yake: ‫ﻮ‬ ‫ﻯ ﺇﹺﻥﹾ ﻫ‬ ٰ ‫ﻮ‬‫ﻦﹺ ﺍﻟﹾﻬ‬‫ ﻋ‬‫ﻄﻖ‬ ‫ﻨ‬‫ﺎ ﻳ‬‫ﻭﻣ‬ ‫ﻯ‬ ٰ ‫ﺎ ﻏﹶﻮ‬‫ﻭﻣ‬ ‫ﻜﹸﻢ‬‫ﺣﺒ‬ ‫ﺎ‬‫ﺿﻞﱠ ﺻ‬  ‫ﺎ‬‫ﻣ‬ “Mwenzenu hakupotea, wala hakukosea. Wala hatamki kwa matamanio. Hayakuwa haya ila ni wahyihakupotea, uliotolewa.wala Amemfundisha Mwenye nguvukwa sana.” (Sura Najm: 2 – 5). “Mwenzenu hakukosea.Wala Wala hatamki matamanio. Hayakuwa “Mwenzenu hakupotea, wala hakukosea. hatamki kwa matamanio. Hayakuwa haya ila ni wahyi uliotolewa. Amemfundisha Mwenye nguvu sana.” (Sura Najm: “Mwenzenu hakupotea, walaMwenye hakukosea. haya ila ni wahyi uliotolewa. Amemfundisha nguvuWala sana.”hatamki (Sura Najm: 2 2– –5).5). 87 kwa matamanio. Hayakuwa haya ila ni wahyi uliotolewa. ­Amemfundisha Mwenye nguvu sana.” (Sura Najm: 2 – 5). 162

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 162

6/13/2013 2:10:53 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

Lakini wao walijua aliyotaka kuyaandika na ufafanuzi wa aliyokuwa anayazungumza ambapo alikuwa anasema: “Hakika mimi nimewaachieni vizito viwili: Kitabu cha Mwenyezi Mungu na kizazi changu Ahlul-Bait wangu, kama mtashikamana navyo hamtapotea kamwe baada yangu.” Na dhamana hiyo ya kutopotea: “Hamtopotea kamwe” inabainika kupitia Hadith ya vizito viwili, na hadithi ya kalamu na karatasi alipotaka kuandika dhamana ya kutopotea. Ee ni ubabe ulioje mbele ya Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.), na kama Nabii angeendelea kutaka kuandika basi ubabe ungekuwa ni mwingi zaidi na pengine mengi katika maneno ya Nabii yangetuhumiwa, sitofafanua zaidi ila tu nitakuachia wewe mwenyewe ndugu msomaji ufikirie na utoe natija! Hebu ijaalie nafsi yako kati ya waliokuwepo kwa Nabii (s.a.w.w.) na ikakujia amri kutoka kwa Nabii (s.a.w.w.), je ungejibu nini? Acha kusoma tafakari kadiri uwezavyo, weka hadithi ya karatasi mbele yako na amiliana na hadith pamoja na tukio, na hakikisha usahihi wa hadithi kama utataka, na kuwa huru na rai yako na uamuzi wako ambao kwa msingi wake utahesabiwa kwawo Siku ya Kiyama, na kwa msingi wake utamjibu Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.), naye ndio muombezi wako, kama atakuuliza nini rai yako katika niliyodhulumiwa na ni upi msimamo wako? Kumbuka kuwa wewe unahitajia uombezi wake Mtukufu na kumbuka kwamba yeye alikuwa katika hali ya kukata roho, na kumbuka kwamba Yeye amesema: “Hakuudhiwa Nabii mfano wa nilivyoudhiwa.” Na kumbuka kauli ya Mwenyezi Mungu (swt):

163

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 163

6/13/2013 2:10:53 PM


msingi wake utahesabiwa kwawo Siku ya Kiyama, na kwa msingi wake utamjibu Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.), naye ndio muombezi wako, kama atakuuliza nini rai yako katika niliyodhulumiwa na ni upi msimamo wako? Kumbuka kuwa wewe unahitajia uombezi Mtukufu na kumbuka kwamba yeye Abu Talib Jabaliwake Imara la Imani alikuwa katika hali ya kukata roho, na kumbuka kwamba Yeye amesema:“Hakuudhiwa Nabii mfano wa nilivyoudhiwa.”Na kumbuka kauli ya Mwenyezi Mungu (swt): ‫ﺎ‬‫ﻬﹺﻴﻨ‬‫ﺎ ﻣ‬‫ﺬﹶﺍﺑ‬‫ ﻋ‬‫ﻢ‬‫ ﻟﹶﻬ‬‫ﺪ‬‫ﺃﹶﻋ‬‫ ﻭ‬‫ﺓ‬‫ﺮ‬‫ﺍﻟﹾﺂﺧ‬‫ﺎ ﻭ‬‫ﻴ‬‫ﻧ‬‫ﻲ ﺍﻟﺪ‬‫ ﻓ‬‫ ﺍﻟﻠﱠـﻪ‬‫ﻢ‬‫ﻨﻬ‬‫ﻌ‬ ‫ ﹶﻟ‬‫ﻮﹶﻟﻪ‬‫ﺳ‬‫ﺭ‬‫ ﻭ‬‫ﺫﹸﻭﻥﹶ ﺍﻟﻠﱠـﻪ‬‫ﺆ‬‫ ﻳ‬‫ﻳﻦ‬‫ﹺﺇﻥﱠ ﺍﻟﱠﺬ‬ “Hakika wale ambao wale wanamuudhi Mwenyezi Mungu na Mtume Wake, “Hakika ambao wanamuudhi Mwenyezi Mungu na Mwenyezi Mtume Wake, Mwenyezi amewalaani duniani nakufedhehesha.” Akhera, na amewalaani duniani na Akhera, na amewaandalia adhabu ya (Sura Ahzab: 57). amewaandalia adhabu ya kufedhehesha.” (Sura Ahzab: 57). Jihadhari ndugu yangu Muislam huzuni hii hivi hivi tu, ifahamu Jihadhari ndugu kupita yangukatika Muislam kupita katika huzuni hiihadithi na ielewe nahivi wakati huo utajua ni matukio mangapi yamepotoshwa na historia hivi tu, ifahamu hadithi na ielewe na wakati huo utajua nayakafichikana kwa Waislamu wengi.Narudia tena, kama wewe ni nayakafimkweli pamoja na ni matukio mangapi yamepotoshwa na historia nafsi yako utapata ukweli utakapochukua matukio na kuyachambua wewe mwenyewe na chikana kwa Waislamu wengi. Narudia tena, kama wewe ni wala usichukue tafsiri,visingizio na taawili kutoka kwa wengine, hapo utaona nuru ya ukweli. mkweli pamoja na nafsi yako utapata ukweli utakapochukua matukio na kuyachambua wewe mwenyewe na wala usichukuehapo tafsiri,visingizio na taawili kutoka wengine, hapo ibara hii Tunasimama na tunarejea kwenye maudhui yetu,kwa na kabla hatujaacha utaona nurualiyempinga ya ukweli.Nabii (s.a.w.w.) na kusema kwambaanaweweseka na nauliza na kumwambia kwamba kinatutosha kitabu cha Mwenyezi Mungu, namwambia,je ni haki kwa yeyote Tunasimama hapo na tunarejea kwenye maudhui yetu, katika dunia hii kumzuia Nabii anayotaka, yeyote yule awaye? Na je kuna yeyote kabla hatujaacha ibara hii nauliza na kumwambia aliyematakayejibuna zaidi ya hakuna? pinga Nabii (s.a.w.w.) na kusema kwamba anaweweseka na kwamba kinatutosha kitabu cha Mwenyezi Mungu, namwamHaya turejee katika utafiti wetu, nayo ni yale aliyousia kwayo Nabii (s.a.w.w.) kufuata ni haki kwa yeyote katikaiwapo dunia hii kumzuia Nabii ana- baadhi Ahlul-Bait bia, wakejekwa dhamana ya kutopotea tutawafuata.Hebu tuziangalie yotaka, yeyote yule awaye? 88 Na je kuna yeyote atakayejibu zaidi ya hakuna?

Haya turejee katika utafiti wetu, nayo ni yale aliyousia kwayo Nabii (s.a.w.w.) kufuata Ahlul-Bait wake kwa dhamana ya kutopotea iwapo tutawafuata. Hebu tuziangalie baadhi ya hadithi ambazo zinatia mkazo maana hii kiasi kwamba haziachi mwanya wa shaka yoyote katika maana hii. Amesema Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.): “Hakika mfano wa Ahlul-Bait wangu kwenu ni kama safina ya 164

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 164

6/13/2013 2:10:53 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani ya hadithi ambazo zinatia mkazo maana hii kiasi kwamba haziachi mwanya wa shaka yoyote katika maana hii. atakayeipanda atanusurika na atakayeacha Nuhu,

kuipanda ataghariki.” Ameipokea al-Hakim Mustadrak. Amesema Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.): “Hakika mfano wakatika Ahlul-Bait wangu kwenu ni kama safina ya Nuhu, atakayeipanda atanusurika na atakayeacha kuipanda ataghariki.” Ameipokea al-Hakimtukufu katika Mustadrak. Qur’ani imeeleza kisa cha safina

ya Nuhu na gani ilikuwa pekee ya kunusurika katika waQur’ani tukufunamna imeeleza kisa cha safina ya Nuhunjia na namna gani ilikuwa njia pekee ya kati huo,na vipi mtoto wa Nuhu (as) alitaka kunusurika kunusurika katika wakati huo,na vipi mtoto wa Nuhu (as) alitaka kunusurika kwa njia kwa njia nyingine: “Akasema nitapanda mlima utaninyingine: “Akasema nitapanda mlima utaninusuru kutokana na maji.” Nuhu (as) nusuru kutokana na maji.” Nuhu (as) akamwambia: “Akasema: akamwambia: ‫ﲔ‬‫ﻗ‬‫ﺮ‬‫ﻐ‬‫ ﺍﻟﹾﻤ‬‫ﻦ‬‫ ﻓﹶﻜﹶﺎﻥﹶ ﻣ‬‫ﺝ‬‫ﻮ‬‫ﺎ ﺍﻟﹾﻤ‬‫ﻤ‬‫ﻬ‬‫ﻨ‬‫ﻴ‬‫ﺎﻝﹶ ﺑ‬‫ﺣ‬‫ ◌ۚ ﻭ‬‫ﻢ‬‫ﺣ‬‫ﻦ ﺭ‬‫ ﺇﹺﻟﱠﺎ ﻣ‬‫ﺮﹺ ﺍﻟﻠﱠـﻪ‬‫ ﺃﹶﻣ‬‫ﻦ‬‫ ﻣ‬‫ﻡ‬‫ﻮ‬‫ ﺍﻟﹾﻴ‬‫ﻢ‬‫ﺎﺻ‬‫“ ﻗﹶﺎﻝﹶ ﻟﹶﺎ ﻋ‬Akasema: Leo hapana wa kulindwa na amri ya Mwenyezi Mungu. Na wimbi Leo hapana wa kulindwa na amri ya Mwenyezi Mungu.Na wimbi likaingia kati yao likaingia kati yao akawa miongoni mwa waliogharikiakawa miongoni mwa waliogharikishwa.” shwa.” (Sura Hud: 43)(Sura . Hud: 43). Hakika njia ni moja na kwamba njia yoyote nyingine ma-

Hakika njia ni moja na kwamba njia yoyote nyingine matokeo yake ni kughariki na kuhiliki.Sisi katika duniayake hii tukoni katika bahari yenye na kina kuhiliki. na matokeo yake ni kughariki, tokeo kughariki Sisi katika dunia hii tuko tazama kulia na kushoto utaona imejaa ufasiki na upotovu kwa kila upande na wito katika yenye yake ninikughariki, tazawenye shubuha kwa kilabahari aina na pande, lakinikina nusurana iko matokeo katika njia moja tu nayo safina ya Ahlul-Bait, mwenye atanusurika na mwenye kuipanda ma kulia nakuipanda kushoto utaona imejaakuacha ufasiki na upotovu kwa anaghariki, na hakuna udhuru tena baada ya hapo kwa watakaoangamia.Sauti ya Mtume natangu wito wenye kwa kila aina na panwa Mwenyezi kila Munguupande imeweka wazi siku ya kwanza yashubuha daawa yake kwa kuashiria katika wasii wake Ali hadi mwisho wa pumzi ya uhai wake. Tazama ndugu yangu de, lakini nusura iko katika njia moja tu nayo ni safina ya Mwislam, je unaweza kukamilisha swala yako bila ya kuwataja Ahlul-Bait watukufu?NiniAhlul-Bait, maana ya hilo? Jibu wewe, nini kuipanda maana ya Mtume (s.a.w.w.) kutukataza mwenye atanusurika na mwenye kuakumswalia swala kigutu? Waliuliza nini maana ya swala ya kigutu? Akasema (s.a.w.w.): cha kuipanda anaghariki, na hakuna udhuru “Ni kuniswalia mimi na kuwasahau kizazi changu.” Hadith hii anaitaja Ibnu Hajar, tena baada ya niajabu ilioje,hapo kwani katika uleule anamswalia Mtume swala ya wa Mwenyezi kwaukurasa watakaoangamia. Sauti(s.a.w.w.) ya Mtume kigutu!

Mungu imeweka wazi tangu siku ya kwanza ya daawa yake

Kwa kifupi tunakuta kwamba Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.)ameashiria katika kwa kuashiria katika wasii wake Ali hadi mwisho wa pumzi ulazima wa kuwafuata Ahlul-Bait wake baada yake, na amemwashiria wa kwanza wao naye ni Ali binya Abuuhai Talib alipomteua GhadirKhum na akasema: “Je mimi si bora wake. katika Tazama ndugu yangu Mwislam, je unaweza kwenu kuliko nafsi zenu?” Wakasema: “Ndio wewe ni bora.” Akasema: “Ambaye mimi kukamilisha yako ya kuwataja Ahlul-Bait watukunilikuwa kiongozi wake basi Ali swala ni kiongozi wake.bila Eee Mwenyezi Mungu mpende atakaye mtawalisha na mchukie atakayemchukia, na mnusuru atakaye mnusuru na fu? Nini maana ya hilo? Jibu wewe, nini maana ya Mtume mdhalilishe atakaye mdhalilisha.”1

(s.a.w.w.) kutukataza kumswalia swala kigutu? Waliuliza nini

Na katika kubainisha, Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.)amesema kwamba maana ya swala kigutu? Akasema (s.a.w.w.): “Ni kuniswalia Maimam waongofu baada yake ni kumi na wawili wote wanatokana na makuraishi, nao ni kama ifuatavyo:mimi na kuwasahau kizazi changu.” Hadith hii anaitaja Ibnu

Hajar, niajabu 1. Imam Ali bin Abu Talib (as)

ilioje, kwani katika ukurasa uleule anamswalia Mtume (s.a.w.w.) swala ya kigutu!

1

Rejea Kitabu cha al- Ghadir kama unataka ziada

89

165

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 165

6/13/2013 2:10:53 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

Kwa kifupi tunakuta kwamba Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.)ameashiria katika ulazima wa kuwafuata AhlulBait wake baada yake, na amemwashiria wa kwanza wao naye ni Ali bin Abu Talib alipomteua katika Ghadir Khum na akasema: “Je mimi si bora kwenu kuliko nafsi zenu?” Wakasema: “Ndio wewe ni bora.” Akasema: “Ambaye mimi nilikuwa kiongozi wake basi Ali ni kiongozi wake. Eee Mwenyezi Mungu mpende atakaye mtawalisha na mchukie atakayemchukia, na mnusuru atakaye mnusuru na mdhalilishe atakaye mdhalilisha.”127 Na katika kubainisha, Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) amesema kwamba Maimam waongofu baada yake ni kumi na wawili wote wanatokana na makuraishi, nao ni kama ifuatavyo:1. Imam Ali bin Abu Talib (as) 2. Imam Hasan bin Ali (as) 3. Imam Husain bin Ali (as) 4. Imam Zainul-Abidin Ali bin Husain Mfiadini (as), ambaye kazikwa huko Madina katika ardhi ya Baqii, na baada yake ni mtoto wake. 5. Imam Muhammad bin Ali al-Baqir (as) ambaye kazikwa huko Madina katika ardhi ya Baqii, na baada yake ni mtoto wake 6. Imam Ja’far bin Muhammad (as) ambaye kazikwa huko Madina katika ardhi ya Baqii, na baada yake ni mtoto wake 7. Imam Musa bin Ja’far (as) ambaye kazikwa huko Baghdad, na baada yake ni mtoto wake 127

Rejea Kitabu cha al- Ghadir kama unataka ziada 166

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 166

6/13/2013 2:10:53 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

8. Imam Ali bin Musa ar-Ridhaa (as) ambaye kazikwa huko Khurasan, na baada yake ni mtoto wake 9. Imam Muhammad bin Ali al-Jawad (as) ambaye kazikwa huko Baghdad, na baada yake ni mtoto wake 10. Imam Ali al-Haadiy (as)ambaye kazikwa huko Samarrah, na baada yake ni mtoto wake 11. Imam Hasan al-Askariy (as) ambaye kazikwa huko Samarrah, na baada yake ni mtoto wake 12. Imam Muhammad (as) naye yuko katika ghaiba anasubiriwa, ambaye Mtume wa Mwenyezi Mungu amebashiri kudhihiri kwake, na kuujaza ulimwengu uadilifu baada ya kujazwa dhulma na ujeuri.

Ibnu Hajaral-Haiythamiy ameashiria katika Swawaiq yake majina ya Maimam kumi na wawili, na amepokea hadith kutoka kwa Nabii (s.a.w.w.) kwamba anatoa salamu zake kwa Imam Muhammad al-Baqir bin Zainil-Abidin mjukuu wa Husein. Sahaba mtukufu Jabir al-Answariy alimwambia al-Baqir akiwa angali mdogo: “Mtume wa Mwenyezi Mungu anakusalimia.” Akaambiwa – yaani Jabir- “Na vipi hiyo?” Akasema: “Nilikuwa nimekaa kwake na Husein yuko miguuni mwake anamchezea, Nabii akasema: ‘Ewe Jabir, atazaliwa mtoto jina lake ni Ali, itakapofika Siku ya Kiyama atanadi mwenye kunadi: Asimame bwana wa wachamungu,atatangulia.Kisha atazaliwa mtoto jina lake ni Muhammad, kama utamdiriki ewe Jabir mpe salamu zangu.”128 Ibnu Hajar al-Haiythamiy akataja fadhila zake baada ya kutaja fadhila za Ali, Hasan, Husein, Zainul-Abidin, kisha Mu128

as -Swawaiqul-Muhriqah Uk. 201 167

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 167

6/13/2013 2:10:53 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

hammad al-Baqir, Ja’far as-Sadiq, Musa al-Kadhim, kisha Ali Ridhaa, Muhammadi al-Jawad, Ali al–Hadi na akamwita alAskariy, kisha Hasan al-Askariy na akamwita al-Khalis, kisha akasema huyo hakuacha isipokuwa mtoto mmoja jina lake ni Muhammad alighibu akiwa na umri wa miaka mitano. ­Kisha Ibnu Hajar al-Haiythamiy akasema kwa kuwazulia uongo Shi’ah kwamba: “Rafidh wanadai kuwa huyo ndio al-Mahdi anayesubiriwa.” (Uwongo hapa ni kuwaita Shi’ah Rafidh). Hayo yamekuja hadi katika ukurasa 208 katika Swawaiqu yake ambayo humo ameshuhudia kwa haki fadhila zao. Kwa mwenye kutaka ufafanuzi wa ziada na arejee kitabu hicho. Pia yamepokewa majina ya Maimam kumi na wawili katika baadhi ya vitabu vya Ahlus-Sunnah. Imekuja katika FaraidusSamtwayn cha Hamuwaniy al–Misriy katika juzuu ya 2 ukurasa wa 123 mfano wa yaliyokuja katika Yanabiul-Mawaddah cha alQanduziy katika juzuu 3 ukurasa wa 282, kutoka kwa Mujahid bin Abbas, yeye amesema: “Myahudi anayeitwa Na’thal alikuja kwa Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) na kusema: Ewe Muhammad hakika mimi nakuuliza mambo, hadi aliposema: ‘Niambie wasii wako ni nani? Kwani hakuna Nabii isipokuwa ana wasii, na Nabii wetu Musa bin Imran alimuusia Yusha’a bin Nun.’ Akasema (s.a.w.w.): ‘Ndio, wasii wangu na khalifa baada yangu ni Ali bin Abu Talib na baada yake ni wajukuu wangu Hasan na Husein, wanafuatiwa na Maimam wema tisa kutoka katika kizazi cha Husein.’ Akasema: ‘Ewe Muhammad nitajie majina yao.’ Akasema (s.a.w.w.): ‘Ndio, akiondoka Husein ni mtoto wake Ali, akiondoka Ali ni mtoto wake Muhammad, akiondoka Muhammad ni mtoto wake Ja’far, akiondoka Ja’far ni mtoto wake Musa, akiondoka Musa ni mtoto wake Ali, akiondoka Ali ni mtoto wake Muhammad, akiondoka Muhammad ni 168

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 168

6/13/2013 2:10:53 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

mtoto wake Ali, kisha mtoto wake Hasan, kisha al- Hujjah Ibnu Hasan, Maimam kama idadi ya viongozi wa Bani Israil, hawa ni kumi na wawili.’” Na wamepokea mfano wa hayo wengi, tutawataja kwa ajili ya mfano tu na sio kuwahesabu wote:Al-Allammah Muhammad al-Hanafiy Tirmidhiy katika kitabu al- Manaqib Aridhawiyah ukurasa wa 127, mwandishi wa kitabu al- Mahajatu kama ilivyo katika al-Yanabi’ulMawaddah ukurasa wa 427 na Durar as-Samtwaiyn cha alHamuwiniy. Na anayetaka ziada katika maudhui haya juu ya ukweli wa madhehebu ya Ahlul-Bait ni juu yake kurejea vitabu vya rejea vinavyohusika na hayo, na kitabu bora zaidi ni alMurajaati cha al-Allammah Sayyid al-Husein Sharaf Din,na ambacho kimejaa katika maktaba za Kisuni, nacho ni kitabu cha mjadala baina ya Sayyid Abdul-Husein Sharaf Din na mwanachuoni wa Azhar katika zama zake Sheikh Salim alBushry,Sheikh mkuu wa chuo kikuu cha Azhar. Lakini lazima tuashirie katika baadhi ya rejea zilizopokea Makhalifa kumi na wawili katika vitabu vya Ahlus-Sunnah na Sahihi zao, na kwa njia ya mutawatir isiyokubali shaka:Amepokea al-Bukhariy, Ahmad na Baihaqiy kwa sanadi zao kutoka kwa Jabir bin Samrah, amesema:“Nilimsikia Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) anasema: ‘Watakuwepo maamiri kumi na wawili wote ni kutoka katika Makuraishi.”’129 Amepokea Muslim kutoka kwa Jabir bin Samrah: “Nimemsikia Nabii (s.a.w.w.) anasema: ‘Hakika jambo hili halitamal129

Al-Bukhariy katika kitabu al-Ahkam, mlango wa 51, Juz. 4, Uk. 375 169

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 169

6/13/2013 2:10:53 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

izika hadi wapite kwao makhalifa kumi na wawili, wote ni kutoka katika Makuraishi.”’130 Na katika baadhi ya riwaya wote ni katika Bani Hashim. Na amepokea Ahmad kutoka kwa Jabir bin Samrah kuwa amesema: “Nilimsikia Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) anasema: ‘Baada yangu kutakuwa na makhalifa kumi na wawili wote ni katika Makuraishi.”’131 Na amepokea Ahmad na al-Hakim kuwa Nabii (s.a.w.w.) amesema: “Jambo la Ummah wangu halitaacha kuwa jema hadi wapite makhalifa kumi na wawili.”132 Natosheka na kiasi hiki katika kubainisha ukweli wa madhehebu ya Shi’ah, yaani madhehebu ya Ahlul-Bait ili niweze kukuelezea waliyoyapokea kuhusiana na Abu Talib. Imebakia kuelezea baadhi ya shubuhati kuhusu madhehebu ya AhlulBait na wafuasi wao kutoka kwa wapinzani wao, na baada ya hapo tutakamilisha mazungumzo yetu juu ya Abu Talib (as). Shubuhati ambazo zimepokewa dhidi ya wafuasi wa Ahlul-Bait kutoka kwa wapinzani wao, kwa muhtasari ni kama ifuatavyo:1. Kuswali kwa kusujudu juu ya udongo. 2. Kukusanya swala. 3. Adhana. 4. Ndoa ya Muta. 5. Maatam ya Imam Husein. Kitabul-Imarah Juz. 3, Uk. 1452 Sunanu Abi Daud Juz. 4 Uk. 486 Kitabul-Mahdiy 132 Al-Mustadrak Juz. 3, Uk. 618 130 131

170

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 170

6/13/2013 2:10:53 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

6. K uzuru makaburi, kutabaruku nayo, kuomba shufaa kwa mawalii wa Mwenyezi Mungu, maudhui ya shirki, kuitwa Abdu Rasul au Abdul- Husein.

Na hapa nitapita haraka tu katika shubuhati hizi na kuzijibu, kwa sababu sio sehemu ya utafiti wetu, na mwenye kutaka ziada anaweza kurejea vitabu mahsusi katika maudhui haya. Kabla hatujaanza nasisitiza kwamba haya ni mambo ya kifiqhi, katika Shi’ah yamechukuliwa kutoka kwa Ahlul-Bait ambao Nabii ameusia kwao, na hawakuyachukua kama walivyochukua wengine kutoka kwa maimamu wa madhehebu mengine,waliozaliwa miaka mia moja na hamsini baada ya kufariki kwa Nabii (s.a.w.w.), na wala Nabii hakuusia kuchukua kutoka katika madhehebu zao. al- Ash’ariy amezaliwa mwaka 270 A.H. na akafariki mwaka 330 A.H. Ibnu Hanbal amezaliwa mwaka 164 A.H. na akafariki mwaka 241 A.H. Shafiy amaezaliwa mwaka 150 A.H. na amefariki mwaka 204 A.H.Maliki amezaliwa mwaka 95 A.H. na amefariki mwaka 179 A.H. na Abu Hanifa amezaliwa mwaka 80 A.H. na amefariki mwaka 150 A.H. Maimam wa Ahlul-Bait ndio upande wa pili wa Qur’ani, wao ni safina ya ukombozi, wao ni watoharifu ambao Mwenyezi Mungu amewaondolea uchafu na akawatakasa kabisa kabisa na walikuwa ndani ya nyumba ya Utume. Kusujudu juu ya udongo na kukusanya baina ya swala mbili Shi’ah hawaruhusu kusujudu isipokuwa juu ya ardhi ya kawaida mfano udongo au mawe au ganda au majani, 171

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 171

6/13/2013 2:10:53 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

kama alivyokuwa anafanya Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.), hivyo haijuzu kusujudu juu ya vinavyoliwa au vinavyovaliwa, zulia na busati bali unyenyekevu kamili kwa Mwenyezi Mungu unapatika kwa kumsujudia ili hali nyuso zetu ziko juu ya kitu rahisi zaidi nacho ni udongo, baadhi ya masahaba walikuwa wanapata adha ya joto la ardhi hivyo walikuwa wanapooza baadhi ya changarawe kwa mikono yao kisha wanasujudu juu yake, ambapo Mtume (s.a.w.w.) amesema: “Nimefanyiwa ardhi kuwa ni mahala pa kusujudia na ni twahara.”133 Na Mtume alikuwa na kipande cha udongo na mkeka anasujudia juu yake na wakati mwingine wanakiita al-khatharah. Kama ambavyo haijuzu kutayamam isipokuwa kwa ardhi vile vile haijuzu kusujudu isipokuwa juu ya ardhi kama alivyofanya Mtume wa Mwenyezi Mungu katika misikiti wakati huo, ambapo kulikuwa na udongo sio mazulia, mabusati na mengineyo. Ama kukusanya baina ya Adhuhuri na Alasiri vile vile baina ya Magharibi na Isha imethibiti kwa Shi’ah na Sunni kwamba Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) alikusanya baina ya swala mbili bila ya kuwa na mvua au hofu au safari au bila ya udhuru wowote.134 Hii ni amali halali na wala hakuna haki kwa yeyote kuiharamisha atakavyo, kwani halali ya Muhammad ni halali hadi Siku ya Kiyama na haramu ya Muhammad ni haramu hadi Siku ya Kiyama.

133 134

Sahih Al-Bukhariy Juz. 1, kitabu tayamum na katika Muslim kitabu al-Masajid Sahihi Muslim, Juz. 2, Uk. 151, Sunnan Ahmad Juz.1, Uk. 223, Tirimidhiy, AnNasaai, Baihaqiy na wengineo. 172

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 172

6/13/2013 2:10:53 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

Shahada ya tatu katika adhana Nayo ni Ash-hadu anna Aliyan waliyullah, kama tukitoa kila sababu na dalili zilizopo duniani kwa Shi’ah kuadhini katika adhana yao kwa shahada ya tatu, kwamba Ali ni walii wa Mwenyezi Mungu, wapinzani hawatokubali,watasema hii ni bidaa katika dini. Mie nitaipumzisha nafsi yangu na kusema:Vipi hii itakuwa ni bidaa katika dini lakini Khalifa wa pili kuongeza ibara ya “Aswalatu khairu mina naumi” katika adhana ya Al-Fajir sio bidaa! Na kwa kufupisha katika maudhui tunakomea katika nukta hii. Ndoa ya muda Riwaya na Hadith zinathibitisha kwamba ndoa hii ilikuwepo katika zama ya Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.), na Uthman amesema ndoa hii ilikuwepo katika zama ya Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) na zama ya Abu Bakr, na Umar bin Khattab akaiharamisha kwa kauli yake: “Muta mbili zilizokuwepo katika zama ya Mtume wa Mwenyezi Mungu, mimi naziharamisha na nitaadhibu kwazo, Muta’atul-Haji na Muta ya wanawake.” Wakati mmoja aliniambia mmoja wa Ahlus-Sunnah kwa utani, nini dalili yako juu ya uhalali wa Muta’a? Nikamjibu kwa utani vile vile, dalili ni kwamba Umar aliiharamisha. Na hapo maudhui hayo yakamalizika. Lakini yupo anayetaka kujadili kwa kauli: “Nani anakubali mtoto wake au dada yake aolewe kwa muda?” Jibu ni kwamba: Hakika Mwenyezi Mungu ameridhia jambo linalochukiza, nalo ni talaka halali inayochukiza kwa Mwenyezi Mungu, ikiwa amesha halalisha kitu anachokichukia na hakijawa haramu kwa kuwa Mwenyezi Mungu anakichukia, je ndoa 173

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 173

6/13/2013 2:10:53 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

ya muda itakuwa haramu kwa sababu fulani anaichukia kwa mtoto wake au binti yake? Nani anaridhia kuachwa mtoto wake mara moja au mara mbili au mara tatu? Hakuna anayeridhia hayo lakini hii inatokea na ni halali, vilevile hakuna yeyote anayeridhia mtoto wake au dada yake kuolewa ndoa ya muda lakini hili haliifanyi kuwa haramu, Subhanallah! Hii hapa ndoa ya Misiyari imeingia katika jamii ya Kisunni kwa nguvu zote na imefungua milango kwa mapana na marefu, nayo ni ndoa ya muda kwa vazi jipya, nayo ni kuyazunguka maudhui, na hakuna yeyote anayeridhia mtoto wake au dada yake kuolewa ndoa ya Misiyari. Hakuna yeyote anayesema ndoa ya Muta au Misiyari au talaka inapendwa au inaridhiwa, lakini ni sawa na dawa chungu kwa baadhi ya maradhi ya kijamii, na hili amelianzisha Mwenyezi Mungu, kwani halali ya Muhammad ni halali hadi Siku ya Kiyama na haramu ya Muhammad ni haramu hadi Siku ya Kiyama. Na maangamio ni kwa yule anayeharamisha au kuhalalisha kwa matamanio yake na rai yake. Kwa mnasaba tu hapa nataja maudhui ya talaka, maudhui ambayo yanafichua kwetu utukufu wa fiqhi ya Ahlul-Bait (as). Katika fiqhi ya Ahlul-Baiti talaka haitimii isipokuwa kwa kuhudhuria mashahidi wawili waadilifu, kwa kuongezea kwamba mwanamke awe katika twahara na wala hajapata janaba baada ya kutwaharika, na hii ni katika mambo ambayo kama Sunni watayatekeleza basi idadi ya talaka ingepungua kwa kiasi kikubwa kuliko ilivyo hivi sasa, kwani talaka nyingi zinatokea wakati waghadhabu, na hivyo kwa kitendo cha kutekeleza masharti yake ya kuleta mashahidi wawili waadilifu, uharaka wa ghadhabu utakuwa umetulia na rai zimeshabadilika, huu ni mfano mmoja tu, unathibitisha namna gani Ahlul-Bait (a.s.) 174

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 174

6/13/2013 2:10:53 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

wao ni safina ya ukombozi, mwenye kuipanda atanusurika na mwenye kuacha kuipanda anaghariki.

ataja maudhui ya talaka, maudhui ambayo yanafichua kwetu l-Bait (as). Katika fiqhi ya Ahlul-BaitiMaatam talaka haitimii ya isipokuwa Imam Husein di wawili waadilifu, kwa kuongezea kwamba mwanamke awe hajapata janaba baada ya kutwaharika, na hii ni katika mambo Kuendelea kumlilia Husein na kuvaa nguo nyeusi na kupiga ayatekeleza basi idadi ya talaka ingepungua kwa kiasi kikubwa vifua kwawakati mikono, kupiga na vichwa kwa panga …hadi mwisho. wani talaka nyingi zinatokea waghadhabu, hivyo kwa asharti yake ya kuleta mashahidi wawili waadilifu, uharaka wa muhtasari sana namna Kuhusiana na kulia nitataja kwa etulia na rai zimeshabadilika, huu ni mfano mmoja tu, gani Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) alikuwa anaamiAhlul-Bait (a.s.) wao ni safina ya ukombozi, mwenye kuipanda liana na kilio, hakika kumlilia mtu inaashiria juu ya mapenuacha kuipanda anaghariki.

zi kwa mtu huyo, kila mapenzi yako yanapokuwa makubwa kwa mtu basi kilio chako kwake kitakuwa ni kingi, je Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) hakuathirika pale alipokosa in na kuvaa nguo nyeusi na kupiga vifua kwa mikono, kupiga mtu anayemlilia ami yake Hamza kwa namna inayolingana mwisho. na hadhi yake, na ndipo akasema: “Ama Hamza hana mtu ataja kwa muhtasari sana namnaWaislam gani Mtume wa Mwenezi wa kumlilia.” wakaitika wito wa Nabii (s.a.w.w.) waa anaamiliana na kilio, hakika kumlilia mtu inaashiria juu ya kaweka maatam humo wakamlilia na kuomboleza.

n:

kila mapenzi yako yanapokuwa makubwa kwa mtu basi kilio i kingi, je Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.)hakuathirika Vile vile Mtume (s.a.w.w.) alilia katika kaburi la mama mlilia ami yake Hamza kwa namna inayolingana na hadhi yake, yake na akawaliza waliokuwa pembezoni mwake. a Hamza hana mtu wa kumlilia.”Waislam wakaitika wito wa ka maatam humo wakamlilia na kuomboleza. Vile vile tunakuta kwamba Mtume wa Mwenyezi Mun-

gu katika kikao chake na Ahlul-Bait wake walimlilia Husein baada ya Jibril (as) kumpa habari yatakayomtokea Husein (as), sisi Shi’ah tunampenda Husein mapenzi ambayo ba Mtume wa Mwenyezi katika kikaonichake na Ahlul- Mwenyezi Mungu na hayanaMungu mfano, nayo kumpenda sein baada ya Jibril (as) kumpa habari yatakayomtokea Husein Mtume Wake (s.a.w.w.), na kwa kutaka radhi za Mwenyenda Husein mapenzi ambayo hayana mfano, nayo ni kumpenda zi Mungu na radhi Mtume Wake,Mungu ambapo amesema (swt): ume Wake(s.a.w.w.), na kwa kutaka za Mwenyezi “Sema: kwa haya haya siwaombi maliamesema (swt):‫ ٰﻰ‬‫ﺑ‬‫ﻲ ﺍﻟﹾﻘﹸﺮ‬‫ﺓﹶ ﻓ‬‫ﺩ‬‫ﻮ‬‫ﺍ ﺇﹺﻟﱠﺎ ﺍﻟﹾﻤ‬‫ﺮ‬‫ ﺃﹶﺟ‬‫ﻪ‬‫ﻠﹶﻴ‬‫ ﻋ‬‫ﹶﺄﻟﹸﻜﹸﻢ‬‫“ﻗﹸﻞ ﻟﱠﺎ ﹶﺃﺳ‬Sema:kwa po yoyote kwenu isipokuwa mapenzi katika ndugu.” e kwenu isipokuwa mapenzi katika ndugu.” (Sura Shura: (Sura Shura: 23).

w.) alilia katika kaburi la mama yake na akawaliza waliokuwa

kipenzi chako, hakika utamlilia kwa siku nyingi, na kama ni lilia miezi mingi,na kama akiwa ni mtoto basi utamlilia miaka a kuuliwa na kwa kudhulumiwa tena mbele yako basi 175huzuni i, napengine kwa umri wako wote.Na sisi Shi’ah mapenzi yetu mno, haitoshi kumlilia umri wote hususan kwa njia ambayo toria aliyeuliwa na kudhulumiwa katika kuuliwa kwake, watoto ilivyotokea kwa Husein (as), na kila tunaposikia yaliyomtokea 02_Abu Talib_13_June_2013.indd 175

6/13/2013 2:10:53 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

Lau akifariki rafiki yako kipenzi chako, hakika utamlilia kwa siku nyingi, na kama ni kipenzi chako zaidi utamlilia miezi mingi, na kama akiwa ni mtoto basi utamlilia miaka mingi, na kama akifa kwa kuuliwa na kwa kudhulumiwa tena mbele yako basi huzuni yako itakuwa kubwa zaidi, napengine kwa umri wako wote. Na sisi Shi’ah mapenzi yetu kwa Husein ni makubwa mno, haitoshi kumlilia umri wote hususan kwa njia ambayo aliuliwa, hupati katika historia aliyeuliwa na kudhulumiwa katika kuuliwa kwake, watoto wake na wake zake kama ilivyotokea kwa Husein (as), na kila tunaposikia yaliyomtokea tunazidi kusikitika na kilio chetu kinazidi, nayo ni kama tulivyotanguliza, ni mapenzi na maelezo juu ya mapenzi yetu kwake na kwa babu yake, na kama ukisoma katika vitabu vya Sunni yaliyotokea katika ulimwengu ungejua kwamba mambo sio ya kawaida abadani. Soma yaliyokuja katika Swawaiqul-Muhriqah cha Ibnu Hajar, naye ni mwenye kasumba dhidi ya Shi’ah, utasoma maajabu namna gani mvua ya damu ilinyesha toka mbinguni katika siku aliyouliwa Imam Husein (as). Je, hujasoma kwamba Mtume wa Mwenyezi Mungu alimpa Ummu Salama kichupa chenye udongo wa Karbala, akampa habari kwamba ni kutoka kwa Jibril kutoka kwa Mwenyezi Mungu, kwamba utakuwa mwekundu siku ya kuuliwa Husein. Je, hadithi hii ya Qudusi haikupi habari ya utukufu wa jambo hili, kisha ni kwamba kuhuisha utajo wa kuuliwa Husein hakika ni kuhuisha jihadi dhidi ya madhalimu. Ama kadhia ya kupiga vichwa kwa panga na kutoa damu ni jambo ambalo humo wamehitalifiana maulamaa, kati yao kuna wanaosema ni kudhihirisha msimamo katika hali ya kawaida, katika hali ya maigizo yenye kuathiri yanayoupa mna176

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 176

6/13/2013 2:10:53 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

saba mwamko na upeo wa uhalisia, kwa sharti mtu asiidhuru nafsi yake madhara makubwa, na sisi katika Uislam kuumika ni Sunnah, nayo ni kitendo cha kutoa damu katika m ­ wili. Na kati yao kuna wanaosema yasiyokuwa hayo, kwamba jambo hili sio nguzo katika madhehebu ya Shi’ah bali ni ijtihadi isiyogusa msingi wa dini, kama ambavyo katika kila madhehebu kunapatikana mambo maalumu, baadhi yao wanayaacha na wengine wanayapenda, mfano ni mkusanyiko wa dhikri ulioenea katika nchi ya Misri na Moroco. Kadhia ya Mahdi Hakika wale wanaowakebehi Shi’ah na kuwachezea shere katika kadhia ya Mahdi (as) hakika wanamchezea shere Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.)- Mungu atuepushe na hilo kwa sababu utajo wa Mahdi umekuja katika kauli ya Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) na katika Sahihi sita, Bukhari, Muslim, Ibnu Majah, Abu Daudi, Nasaiy, Ahmad na katika Mustadrakus-Sahihayn, Majmauz-Zawaid, Musnad Shafiy, Sunanu al-Bayhaqiy, Musnad Abi Hanifa, Kanzul-Umaal na vinginevyo vingi. Na katika vitabu vya historia utakuta utajo wa Mahdi katika kauli ya Nabii, katika Tarikh Tabari, Tarikh Ibnu al-Athir, Tarikh al-Masu’udiy, Tarikh Suyutiy, Tarikh Ibnu Khuldun na vinginevyo. Na iko katika ulimi wa kila Mwislam wanachuoni na watu binafsi, nasi kama mfano, kwa muhtasari na kwa haraka sana ili tusitoke katika maudhui na kwenda katika maudhui nyingine bali ni dharura tu tunataja riwaya hii. Kutoka kwa Abu Ayub al-Answariy katika YanabiulMawaddah cha al-Qanduziy amesema: “Mtume wa Mwenyezi 177

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 177

6/13/2013 2:10:54 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

Mungu (s.a.w.w.) alimwambia Fatimah (r.a): ‘Katika sisi kuna mbora wa Manabii naye ni baba yako, na katika sisi kuna mbora wa Mawasii naye ni mume wako, na katika sisi kuna mbora wa mashahidi naye ni ami ya baba yako Hamza, na katika sisi kuna ambaye anamabawa mawili anaruka kwayo peponi anavyotaka naye ni mtoto wa ami ya baba yako Ja’far, na katika sisi kuna wajukuu wa Ummah huu nao ni wanao, na katika sisi kuna Mahdi naye ni katika kizazi chako.”’ Na katika Musnad Ahmad bin Hanbal Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) amesema: “Ardhi itajazwa dhulma na ufisadi kisha atatoka mtu katika kizazi changu atatawala miaka saba au tisa ataijaza ardhi usawa na uadilifu.” Kutoka kwa al-Hafidh As-Suyutiy kutoka kwa Nabii (s.a.w.w.) amesema: “Mahdi ni mtu anayetokana na kizazi changu, uso wake ni kama mbalamwezi.” Na katika Musnad Ahmad bin Hanbal kutoka kwa Abi Said al-Khudriy amesema: Amesema Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.): “Hakitasimama Kiyama hadi atakapotawala mtu kutoka katika kizazi changu, naye ataijaza ardhi uadilifu kama ilivyojazwa dhulma kabla yake.” Kuzuru kaburi la Nabii, Maimam, Mawalii, kutawasali kwa Mwenyezi Mungu Mungu kupitia kutawasali kwa Mwenyezi kupitia kwao na kutabaruku kwao hao. kwao na kutabaruku kwao hao

Hakika katika ya Shi’ahna wengina katiwengi ya Sunnikati ni kwamba Nabii na Maimam w Hakika katikaitikadi itikadi ya Shi’ah ya Sunni ni kwamba Nabii na Maimam wa Ahlul-Bait (s.a.w.w.) hata Ahlul-Bait (s.a.w.w.) hata kama katika dhahiri wamekufa lakini wao si hivyo, Qur’an kama katika dhahiri wamekufa lakini wao si hivyo, Qur’ani inasema inasema wazi:wazi: ‫ﻗﹸﻮﻥﹶ‬‫ﺯ‬‫ﺮ‬‫ ﻳ‬‫ﺑﹺّﻬﹺﻢ‬‫ ﺭ‬‫ﻨﺪ‬‫ﺎﺀٌ ﻋ‬‫ﻴ‬‫ﻞﹾ ﺃﹶﺣ‬‫ﺎ ◌ۚ ﺑ‬‫ﺍﺗ‬‫ﻮ‬‫ ﺃﹶﻣ‬‫ﺒﹺﻴﻞﹺ ﺍﻟﻠﱠـﻪ‬‫ﻲ ﺳ‬‫ﺘﻠﹸﻮﺍ ﻓ‬‫ ﻗﹸ‬‫ﻳﻦ‬‫ ﺍﻟﱠﺬ‬‫ﻦ‬‫ﺒ‬‫ﺴ‬‫ﺤ‬‫ﻟﹶﺎ ﺗ‬‫“ ﻭ‬Na “Na usiwadhanie kabisa wale waliouawa katika njia ya

usiwadhanie kabisa wale waliouawa katika njia ya Mwenyezi Mungukuw 178

wamekufa, bali wako hai mbele ya Mola wao wanaruzukiwa.” (Sura Imran: 169

Na katika Aya nyingine:“Lakini nyinyi hamtambui.”Na hii ni daraja yao na daraja y 02_Abu Talib_13_June_2013.indd 178

6/13/2013 2:10:54 PM

Nabii, hakuna shaka ni daraja kubwa zaidi katika ulimwengu, sasa vipi tutamhesab


Abu Talib Jabali Imara la Imani

Mwenyezi Mungu kuwa wamekufa, bali wako hai mbele ya Mola wao wanaruzukiwa.” (Sura Imran: 169). Na katika Aya nyingine: “Lakini nyinyi hamtambui.” Na hii ni daraja yao na daraja ya Nabii, hakuna shaka ni daraja kubwa zaidi katika ulimwengu, sasa vipi tutamhesabu kuwa ni mfu asiyehisi? Hivyo ikiwa kuna sehemu ya Waislam haitaki kuamini ghaibu ilihali Mwenyezi Mungu ameshawasifu wale walioamini kwa ghaibu katika aya za mwanzo katika Suratul–Baqara: “Alif Laam Miym. Hiki ni Kitabu hakina shaka ndani yake, humo kuna uongofu kwa wachamungu, ambao wanaamini ghaibu.” basi wapinzani hao ni kama Waislamu wapenda dunia, hiyo ni kama maneno haya yatasihi, kwani wao hawaamini wasiyoyaona kwa macho yao. Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) alikuwa anawasemesha wafu, wakati mmoja Umar akasema: “Je wanasikia?” Mtume (s.a.w.w.) akasema: “Nyinyi hamsikii kuwashinda wao.” Hiyo ni kama ilivyokuja katika vitabu vya Ahlus Sunna. Sasa vipi ishindikane kwa Mtume wa Mwenyezi Mungu na AhlulBait wake. Sisi tunawazuru na tunawasemesha, na wao hakuna shaka wanasikia na wanaitikia salamu. Na kuna kundi linawatuhumu Shi’ah kwa ukafiri kwa sababu wao wamejengea makaburi ya Maimam na watu wema, wakati ambapo amali hiyo pia ipo kwa Sunni tangu zamani, hapa tunataja baadhi yake:1. K aburi la Abu Hanifa lipo mjini Baghdad, napo kunajengo ­kubwa na kuna Quba 2. K aburi la Abu Huraira lipo Misri wanalizuru na kuna jengo na Quba 179

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 179

6/13/2013 2:10:54 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

3. K aburi la Nabii Ibrahim (as) lipo Jordani katika mji wa Khalil pamoja na kundi la Manabii, kuna jengo na kuna Quba.

Na Shi’ah wameyatukuza haya makaburi kwa sababu ni alama za Kiislam, na watu wake walikuwa ni wenye kujitolea mno kwa ajili ya Mwenyezi Mungu, hivyo kuwatukuza wao ni kumtukuza Mwenyezi Mungu, kama ambavyo tunaitukuza Nyumba ya Mwenyezi Mungu kwa ajili ya Mwenyezi Mungu, tunamtukuza walii wa Mwenyezi Mungu kwa ajili ya Mwenyezi Mungu: “Tutalifanya kuwa ni mahala pa kusalia.” Na wafahamu wenye akili ni kipi kiko karibu zaidi na shiriki katika mtazamo wa kundi hili pinzani, je ni kutukuza jiwe la Kaaba nayo ni Nyumba ya Mwenyezi Mungu au kumtukuza Mtume wa Mwenyezi Mungu naye ni Walii wa Mwenyezi Mungu na mjumbe kutoka kwake? Kama wakitaka kutuhumu Waislam kwa shiriki kwa mtazamo wao basi wawatuhumu Waislamu wote kwa shirki kwa sababu wanatukuza jiwe la nyumba tukufu –audhubillah! Na mtu anapobusu kaburi wanasema anafanya shirki! Hivyo mwenye kumbusu mtoto wake ni mushriku, na mwenye kubusu ardhi ya nchi yake kwa kuipenda basi ni mushriku, wameyatoa wapi kwamba kubusu ni shiriki ? Hawa namna gani wanahukumu? Mtu anapotaka shufaa kwa Nabii anakuwa mushriku! hivyo ni kwa nini wamewaacha ombaomba wanatembea barabarani? Je, hawa si wananyoosha mikono yao na wanaomba kwao, ni vema wawatuhumu hawa kwa shirki na ukafiri na kutoa fatwa za kujuzu kuuliwa kwao, wawaambie muombeni Mwenyezi Mungu na wala msiwaombe watu. Na dua ni kuomba. Wakati mmoja nilimsikia kwa masikio yangu Ibnu Baaz anasema: “Kutaka msaada kwa waliohai inajuzu, na kuomba 180

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 180

6/13/2013 2:10:54 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

msaada kwa wafu ni shirki.” Kwa nini ? Ikiwa kutaka msaada kwa asiyekuwa Mwenyezi Mungu ni shirki, basi ni shirki tu, sawa sawa iwe kwa aliyehai au maiti, kwa sharti awe anaitakidi kwamba wao wanasaidia wenyewe mali na kudra ya Mwenyezi Mungu. Na wala sio shirki ikiwa ataitakidi kwamba msaada wao ni kutoka kwa Mwenyezi Mungu. Maiti ananisaidia kwa yale aliyopewa na Mwenyezi Mungu,na maiti mwenye jaha mfano Nabii na Walii ananisaidia kwa shufaa yake kwa yale aliyopewa na Mwenyezi Mungu kutokana na jaha yake na daraja yake: “Sema yote ni kutoka kwa Mwenyezi Mungu.” Na haya ndio wanayoyafanya Shi’ah na Sunni isipokuwa kundi lenye kasumba, na cha muhimu ni kuitikadi kwamba kila kitu kiko katika mamlaka ya Mwenyezi Mungu, na hakuna yeyote anayeitakidi yasiyokuwa hayo, na hizi sababu ziko katika mamlaka ya Mwenyezi Mungu, lakini kundi potovu limekanganyikiwa katika kunasibisha kufuru katika makundi ya Waislam, na inapotokea wamemkosa Shi’ah wa kumtupia hayo, basi wanalenga makundi mengine ya Waislam na kuwabandika uzushi huu kama ilivyo katika Misri, Morocco na kwingineko. Hakika wao wanagawa ukafiri bure kama zinavyopenda nafsi zao, wakisikia jina la Abdul-Husein au Abdu Rasul wanasema ni shirki, audhubillahi! Hiyo ni kana kwamba Uislam katika historia yake haujalitumia neno Abdi kwa masahaba wengi. Ukichunguza Sira utakuta Fulani ni Abdi wa Fulani, lakini huo sio utumwa kwa ajili ya Mwenyezi Mungu, kisha hakika majina haya haya yapo kwa Sunni vilevile, kwa nini yawe ni ubaya kwa Shi’ah tu? Ama wakisikia mtu anasema: Yaa Muhammad, au Yaa Ali, kinasimama Kiyama na ni dalili kuu juu ya ukafiri wa Shi’ah na kwamba wao watadumu motoni. Mimi ni181

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 181

6/13/2013 2:10:54 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

mewasikia mara nyingi marafiki zangu kutoka Palestina na Syria wanaitana na wanapendelea kuita “Yaa Muhammad” nalo ni jambo la kawaida unapomwita mja mwema kukusaidia katika uombezi wake kwa Mwenyezi Mungu, kama ambavyo tunaomba kwa marafiki zetu wa kawaida na tunawatarajia kwa kusema “Nakuomba ewe ndugu yangu” wakati ambapo Mwenyezi Mungu amesema: “­ Niombeni nitawajibu.”135 Na ni nani mbora kuliko Mtume wa Mwenyezi Mungu na Ahlul-Bait wake kwa dua! tunawafanya waombezi wetu ili kutambua thamani ya uombezi wao, vinginevyo ni ya nini Shufaa? Je, Mwenyezi Mungu anahitajia kuchukua maarifa kutoka kwa yeyote na hali Yeye ndiye mjuzi, lakini Yeye ndiye aliyeruhusu shufaa kwetu na kuipa uhalali wa kisharia, licha ya kwamba Yeye ni Muweza katika kuwajua watu na kuwalipa bila ya Shufaa. Na anaweza kusema msemaji: Hakika Shi’ah wanamwamini zaidi Imam Ali kuliko Mtume wa Mwenyezi Mungu? Jawabu: Hakika Shi’ah hawakujua utukufu wa Ali isipokuwa kupitia kwa Mtume, na tunampenda Imam Ali kwa ajili ya Mtume na maneno yake kwake, lakini kutia mkazo juu yake (yaani juu ya Imam Ali) ni ili kubainisha fadhila zake mukabala wa wale waliokanusha fadhila zake na wakamtuhumu, wakamtukana na wakamlaani juu ya mimbari elfu 70 kwa muda wa miaka 80, hadi ikafika hali ya Muawiya kumlaani Ali katika kunuti yake, na pia ni mukabala wa wale wanaokanusha fadhila zake na cheo chake kwa Mwenyezi Mungu, hivyo sisi tunataja na tunabainisha fadhila zake na sisi tunaitakidi kwamba Mtume wa Mwenyezi Mungu ni mbora 135

Suratul Mu’min: 60 182

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 182

6/13/2013 2:10:54 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

wa viumbe, naye ni mja wa Mwenyezi Mungu na Ahlul-Bait wake wako chini yake. Anayetaka kujua tauhidi ya Shi’ah ni juu yake kusoma vitabu vya dua zao mfano Mafatihul-Jinan. Hapa nitanukuu sehemu ya dua kama mfano. Katika ukurasa wa 229 chapa ya mwisho, unakuta dua hii kati ya dua za mwezi wa Ramadhani: “Eee Mwenyezi Mungu mimi ni kwa ajili yako na kutoka kwako, naomba haja yangu, na kuna mwenye kuomba haja yake kwa watu, hakika mimi siombi haja zangu isipokuwa kwako peke yako usiye na mshirika….” Hivyo mmoja wa waumini anapomuomba Nabii Isa (as) kuhuisha maiti wake, hakika anaomba haja yake kwa Mwenyezi Mungu, na Isa (as) ni sababu tu, naye anahuisha wafu kwa idhini ya Mwenyezi Mungu. Na Mtume Muhammad (s.a.w.w.) anakidhi haja kwa anayetaka kukidhiwa haja yake kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, akiwa hai au maiti, na vivyo hivyo kila mwenye jaha mbele ya Mwenyezi Mungu ambaye Mwenyezi Mungu amemjaalia karama mahususi. Na yote niliyoyataja kuhusu shubuhati na majibu yake si kingine isipokuwa ni dondoo tu, na kwa anayetaka ziada, utafiti na kudadisi juu ya maudhui ya Ahlul-Bait (Safina ya ukombozi) basi arejee rejea maalumu juu ya hilo, na hususan vitabu viwili: Fadhailul-Khamsatu Min Sihaahi Sitta, na alMurajaat.

183

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 183

6/13/2013 2:10:54 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

Daraja la Abu Talib kwa Ahlul-Bait (as) Katika utafiti wetu wa msingi kuhusu Abu Talib (as) tumeshasikia rai ya wapinzani juu ya Abu Talib, nalo ni kundi lililokuwa karibu na watawala wakati huo,na lililokuwa linanufaika na utawala wakati huo, nalo ni kundi ambalo si katika wale ambao Mwenyezi Mungu ametuamuru kushikamana nao.Wao wanamsukumo maalum wa kimasilahi kwa watawala. Hivyo mtafiti akishuku na kukanganyikiwa katika kosa lolote basi hutafiti juu ya sababu za kosa kwanza, kama atapata sababu basi shaka yake huzidi na anaendelea kutafiti na kushuku zaidi hadi afike kwenye ukweli, vivyo hivyo mwenye kumtuhumu Abu Talib kwa ukafiri ana sababu zake, sababu ya kwanza na muhimu zaidi ni kupunguza hadhi ya Ali bin Abu Talib (as) kupitia baba yake. Sasa tutafiti rai ya watu wasiokuwa na msukumo isipokuwa Mwenyezi Mungu na anayoyataka tu, na ni nani hao zaidi ya Ahlul-Bait ambao Mwenyezi Mungu amewaondolea uchafu na akawatakasa kabisa kabisa? Ahlul-Bait wao ndio kundi tukufu ambalo Mtume wa Mwenyezi Mungu ametuusia kulifuata, na wao ndio safina ya ukombozi dhidi ya kuhiliki, na wao ndio kizito cha pili baada ya Qur’ani, na wao ndio dhamana ya usalama wa kutopotea: “Hamtopotea kamwe baada yangu.” Ni ipi rai yao juu ya Abu Talib kuhusu kadhia ya Uislamu wake?

184

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 184

6/13/2013 2:10:54 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

Ahlul-Bayt (A.S) Wanasema Nini Juu ya Abu Talib (A.S.)? Hakika ni huzuni mno kutosikia utajo wa Abu Talib isipokuwa kusikia kwamba yuko motoni! Kwa nini uwepo msisitizo juu ya nukta hii? Hakika mara wewe unasikia maelezo ya ufafanuzi ya adhabu yake motoni kwa mkazo katika wasifu, na msisitizo wa adhabu unadai kwamba amevaa viatu vya moto ambavyo vinafanya ubongo wake utokote. Na hatujasikia juu ya muuwaji wa Husein nini anavaa huko motoni, na nini kinatokota kwake, bali aghlabu tunasikia kwamba ni madhulum aliyetubia, ni masikitiko yalioje haya!? Kwa nini? Kwa nini mnamtaja Abu Talib maadamu mnataka kutaja adhabu yake motoni? Bora muache kumtaja, msimsifu kisha mkamtia motoni, wanaweza kukujibu kwamba ni kwa ajili ya mazingatio ili ujue kwamba mwenye kukufuru vyovyote atakavyofanya katika dini atakuwa motoni, kwa yule unayetaka kumpa nasaha na mazingatio. Je mnahofia kwamba atakuja mtu na kujitolea kwa kila anachomiliki, ikiwa ni maisha yake, familia yake na mali yake kwa ajili ya dini, kisha atakufuru, na sasa mnataka apate zingatio? Kwa nini hatusikii katika idhaa kwamba Ali walimtukana juu ya mimbari kwa muda wa miaka 70 na kumtukana kwake ilikuwa ni sharti la kukubaliwa swala ya Ijumaa, kwa nini hatusikii hayo? Na nini malipo ya mwenye kumtukana na hali yeye anajua daraja lake kwa Mtume wa Mwenyezi Mungu na kwa Mwenyezi Mungu? Na nini malipo yao? Utasikia: Hapana hapa! hii inaleta fitina! Na je kutaja nafasi yaAbu Talib katika moto wa Jahannam ndio inayoleta utangamano, mahaba na mawaidha? Eee ni ajabu ilioje katika vipimo hivi!!! 185

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 185

6/13/2013 2:10:54 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

Je mmewahi kusikia wakati mmoja kwamba mwenye kumsifu Ibnu Muljim muuwaji wa Imam Ali ni kati ya wapokezi wa Hadithi, na kwamba Bukhariy ana nukuu kutoka kwake na anamzingatia kuwa ni kati ya wakweli katika kusihi anayonukuu!? Haya hayasikii yeyote lakini wote wanasikia kwamba Abu Talib yuko motoni. Wewe, ewe msomaji jaalia kwamba malaika kati ya malaika amekuambia chagua sehemu moja kati ya sehemu mbili za akhera na hakuna sehemu ya tatu, pepo au moto, na Abu Talib yuko kati ya moja ya sehemu hizo, na huruhusiwi isipokuwa kuwa upande wa Abu Talib au upande mwingine ambao hayupo Abu Talib, lakini huko yupo Abu Sufiani, Muawiya na Yazidi, je utachagua upande asiokuwepo Abu Talib na humo mwingine yupo Abu Sufiani, Muawaiya na Yazidi? Ikiwa Abu Talib anaburudika peponi pamoja na mtoto wa ndugu yake Mtume wa Mwenyezi Mungu, wewe utakuwa wapi, na hauna uchaguzi mwingine wa tatu? Nasema jaalia hivyo tu. Kama alivyosema Mwenyezi Mungu lau kungekuwa na waungu isipokuwa Mwenyezi Mungu basi pangetokea uharibifu, nayo ni majaaliwa yasiyowezekana, lakini Mwenyezi Mungu alijaalia hivyo ili kuleta ukweli karibu. Tafakari tofauti iliyopo baina ya mtu anayesilimu unaposhindwa ukafiri jioni ya siku ya ufunguzi na kwa makali ya upanga, na mtu huyo alishajaribu kumuuwa Mtume (s.a.w.w.) hadi pumzi ya mwisho, na baina ya Abu Talib ambaye anaacha kila kitu, mali yake, watoto wake na cheo chake kwa Makuraishi, na cheo chake katika Jaziratul-Arabia, anaacha yote hayo na kuwa mfuasi wa mtu mnyonge asiyemiliki nafsi muhimu katika kipimo cha Makuraishi wakati huo, anamsaidia katika siku ngumu za mtihani wake na udhaifu wake mbele ya maadui wenye nguvu, je unaweza kutambua tofauti? 186

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 186

6/13/2013 2:10:54 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

Na kama ukishindwa kwa uerevu wako kutambua ukweli basi natuwasikilize Ahlul-Bait wa Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) wanasemaje juu ya Abu Talib (as). Imam Zainul-Abidin (as) Al-Imam Sajjad Ali bin Husein as-Shahid Zainul-Abidin burudisho la jicho la watazamaji, Imam ambaye ni wajibu kumtii baada ya kuuliwa Husein (as). Alisikia swali lenye kujeruhi na la dhulma kuhusu Abu Talib: Je amekufa kafiri? Imam akajibu kwa uchungu, maumivu na kwa mshangao mkubwa mno! Wanamtuhumu Abu Talib au Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.)? Na Mwenyezi Mungu alishamkataza kumwambatanisha muumini wake pamoja nakafiri katika zaidiya Aya moja katika Qur’ani. Na hashuku yeyote kwamba Fatimah binti Asadi (r.a) ni kati ya waumini wa mwanzo na hakuacha kuwa chini ya Abu Talib hadi alipofariki Abu Talib (r.a).136 Anasema Imam Sajjad hakika Mtume wa Mwenyezi Mungu ni Mtukufu mno kuliko kumwaacha Fatimah binti Asad muumini ambaye amemlea, chini ya himaya ya mtu kafiri, hata kama ni ami yake baada ya Mwenyezi Mungu kumkataza juu ya hilo, hii ni tuhuma kwa Mtume wa Mwenyezi Mungu kwa daraja la kwanza, nayo ni batili kwa asili yake. Imamu al-Baqir (as) Ama Imam Muhammad al-Baqir bin Ali bin Husein Shahid (as) anasema juu ya Abu Talib kauli fupi: “Yeye ndiye aliyehami dini yote na kama si yeye dini isingesimama, fadhila zake ziko kwa kila Mwislam, kwa shakhisiya yake Uislamu 136

l-Hujjatu Uk. 24, Nahjul-Balaghah Sharhu ya Ibnu Abil-Hadiyd Juz. 3, Uk. 312, A Sheikh al-Abutwah Uk: 76 na al- Ghadyr Uk. 381. 187

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 187

6/13/2013 2:10:54 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

umeenea na kumfikia kila Mwislam, kila kheri inayotufikia katika dini basi anafungu katika malipo.” Anasema Ibnu Sajjad al-Baqir (as): “Kama ingewekwa imani ya Abu Talib katika upande mmoja wa mizani na imani ya viumbe hawa ikawekwa katika upande mwingine wa mizani, basi imani yake ingekuwa nzito.” Na niwazi kwamba Muhammad na Ahali zake hawajumuishwi na watu katika riwaya hii. Amesema al-Baqir (as): “Je, hamkujua kwamba AmirulMu’minin Ali (as) katika uhai wake alikuwa anaamrisha kuhiji kwa niaba ya Abdillahi mzazi wa Nabii, Amina mama wa Nabii, na Abu Talib, kisha akausia katika wasia wake kuhijiwa kwa niaba yao?”137 Imam Ali (as) Imam Ali (as) yeye pia anaeleza wazi - naye ndio mlango wamji wa elimu ya Mtume – kuhusu imani ya Abu Talib kwa namna isiyo na shaka, kwani haisihi kuhiji kwa niaba ya kafiri au kuamuru kuhijiwa kwa niaba yakafiri. Hapa unapata ishara katika maudhui muhimu, nayo ni kwamba baadhi wanazingatia kwamba wazazi wa Nabii ni makafiri na kwamba wao walikufa wakiwa makafiri, na wao wako motoni kwa sababu wao hawakusilimu. Audhubillah, tena Audhubillahi, nami siwezi kuyasema, lakini najiuliza nini hukumu ya Mtume wa Mwenyezi Mungu kabla ya kupewa utume? Je, Hanafiya “mila tukufu ya Ibrahim” si ilikuwa kabla ya utume wa Muhammad? Lakini sijui namna gani inajuzu kwa baadhi kunasibisha ukafiri kwa familia ya Nabii (s.a.w.w.) (baba yake na mama yake). 137

Nahjul-Balagah Juz: 3, uk: 311, Sheikh al-Abtwah uk: 33 na al-Ghadiyr 188

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 188

6/13/2013 2:10:54 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

Ama katika madhehebu ya Ahlul-Bait (as) hakika wazazi wa Nabii hadi kwa Adam ni waumini, vilevile wazazi wa wasii wa Nabii kama vile Ali (as). Ama Ibrahim (as) na kisa cha baba yake, hakika huyo si mzazi wake ambaye amemzaa lakini ni ami yake, yaani ni ndugu wa baba yake na alikuwa anamwiita baba kwa heshima tu (au alikuwa ni mkwe wake). Imam as-Sadiq (a.s.) Ama Imam Ja’far as-Sadiq (as), naye ni Imam ambaye Abu Hanifa Nuuman amemzungumzia baada ya kusoma fiqh kwake: “Kama si miaka miwili Nuuman angeangmia.” Kuna wanafunzi elfu nne waliokuwa wakisoma kwake elimu mbalimbali na kati yao ni Jabir bin Hayyan na Hasan al-Basriy, na elimu yake (as) ilikuwa ni pana na yakina kiasi kwamba unakuta kundi la wataalamu wa kimagharibi wameweka kitabu kipya ambacho kimetarjumiwa kwa Kiarabu, jina lake ni Al-Imam Swaadiq Kama Arafahu Ulamaaul- Gharb “Imam as-Sadiq kama walivyomjua ulamaa wa kimagharibi,” kitabu hiki kimekusanya nyanja za elimu mbalimbali kama vile hesabu, elimu ya anga, tiba kemia n.k. kimeandikwa na zaidi ya wataalamu 20 kutoka vyuo vikuu vya Marekani, Ulaya na wengineo. Ukitaka kujua sehemu ndogo tu katika elimu nyingi ya Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) ambayo imewafikia Ahlul-Bait basi soma kitabu hiki ili ujue ni namna gani Ahlul-Bait wamerithishana elimu ya Mtume mmoja baada ya mwingine, na tujue kwamba utamaduni wa kimagharibi umenyanyuka kutokana na elimu ya Mtume wa Mwenye189

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 189

6/13/2013 2:10:54 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

zi Mungu ambayo ipo kwa Imam as-Sadiq (as) na baadhi ya elimu hizo zilijitokeza wakati wa siasa tulivu kiasi fulani, wakati ambao Imam as-Sadiq aliutumia vizuri ikiwa ni ­mwanzoni mwa utawala wa Bani Abbas na mwishoni mwa utawala wa Bani Ummayyah. Anasemaje Imam Ja’far as-Sadiq (sa) kuhusu Abu Talib, muulizaji alimwambia: “Hakika watu wanasema kwamba Abu Talib yuko pembezoni mwa moto.” Imam akajibu kwa uchungu: “Wamesema uongo. Jibril hakushuka kwa hili.” Kisha akasema: “Hakika mfano wa Abu Talib ni mfano wa As’habul-Kahfi walificha imani na wakadhihirisha shirki basi Mwenyezi Mungu akawapa malipo mara mbili, na hakutoka duniani hadi alipopata bishara kutoka kwa Mwenyezi Mungu ya kuingia peponi.” Kisha akasema: “Vipi wanamwelezea kwa haya? Ilihali Jibril alishuka usiku aliofariki Abu Talib na akasema: Ewe Muhammad toka Makka hakika huna wa kukunusuru tena baada ya Abu Talib.”138 Hakika anayeficha imani yake ni mtu anayetekeleza jukumu la ujumbe kivitendo linalopelekea kuficha ikiwa ni pamoja na jitihada na matatizo, vivyo hivyo ndivyo ilivyokuwa dauru ya Abu Talib katika ujumbe. Na Qur’ani imeshataja mara nyingi juu ya anayeficha imani yake kwa ajili ya umuhimu fulani. Hapa nauliza ni lipi jukumu la hao ambao wanamtuhumu Abu Talib katika dini? Wamefanya nini katika kuinusuru? Jibuni enyi wenye akili? Yalitokea mazungumzo baina ya Imam as-Sadiq (a.s.) na Yunus Ibnu Nabatah, Imam alimuuliza: “Ewe Yunus watu wanasemaje juu ya Abu Talib?” Akasema: “Yuko katikati yamoto unatokotesha ubongo wake!” 138

ahjul-Balaghah Juz. 3, Uk. 312, al-Ghadiyr Uk. 381 na Muujam Qubuur Juz. 1, N Uk. 191 190

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 190

6/13/2013 2:10:54 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

Imam akajibu kwa yakini kamili: “Wamesema uongo maadui wa Mwenyezi Mungu, hakika Abu Talib ni katika marafiki wa Manabii, wakweli, watu wema, mashahidi na hao ndio marafiki wazuri.”139 Na mwingine alimwambia: “Hakika wao wanadai kwamba Abu Talib alikuwa kafiri.” Akasema (as): “Wamesema uongo, vipi naye anasema: ‘Je, hamjatambua kuwa sisi tumempata Muhammad, ni Nabii kama Musa ameandikwa katika vitabu vya awali.”’ Na mara nyingine Imam Ja’far as-Sadiq (sa) anasema: “Vipi Abu Talib atakuwa kafiri ilihali yeye anasema: ‘Wameshajua kwamba mtoto wetu hakadhibishwi kwetu na wala hasemi kauli batili. Mawingu yananyesheleza mvua kwa utukufu wake, ni salio la mayatima na ngao ya wajane.”’ Kama ilivyokuja katika kaswida ya Abul-Faraj al-Isfahaniy na rejea zingine. Na anasema Imam as-Sadiq (as): “Amirul-Mu’minin alikuwa anavutiwa na kunukuu mashairi ya Abu Talib (as)na kuyaandika na akasema: Jifunzeni na muwafundishe watoto wenu, hakika alikuwa katika dini ya Mwenyezi Mungu na humo kuna elimu nyingi.” Hadith hii haihitaji rejea wala ufafanuzi, chukua diwani ya Abu Talib ya Khatib Muhammad Khalili katika kitabu Ghayatul- Matwalib Fiy Sharhi Diwaani Abiy Twalib, chapa ya as-Sha’araawiy Twantwaa Cairo ya mwaka 1950, nayo ni kati ya sharhu ya diwani ya Abu Talib, na mimi sijakisoma bali nimesikia habari zake na nilikiulizia katika moja ya maonyesho ya vitabu – katika moja ya dola za Ghuba – kitengo cha Cairo,wakasema: “Wamezuia kubeba kila kitabu chenye jina la Abu Talib.” 139

S heikh al-Abutwah, na al- Ghadyr imetegemezwa katika Kanzul–Fawaid na Dhiyaul-Alamiyna 191

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 191

6/13/2013 2:10:54 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

Uadilifu wa mwanachuoni wa Kisunni Hapa nakumbuka maneno ya mmoja wa wanachuoni wa Kisunni, naye amemfanyia uadilifu Abu Talib kati ya watu wa zama hizi, hiyo ni kulingana na elimu yangu chache na kwa yale niliyoyasikia mwenyewe katika moja ya chaneli za luninga aliposema: Kwa mtazamo wangu Abu Talib amefariki akiwa muumini.” Na hakuzungumza sana alimwambia tumzungumzaji kwa simu: “Soma diwani yake.” Na mwanachuoni huyu wa Kisaudia katika Maulamaa wa Riyadh naye ni Hasan Farhaan al-Malikiy katika kipindi chake “Hiwaru Min Dakhil” ambacho kinarushwa na chanel hiyo, na hiyo ilikuwa 29/3/2008, na anashukuriwa kwa uadilifu huu na ushujaa wa ajabu, na amesema juu ya Hadith inayosema kwamba Abu Talib yuko motoni kuwa ni Hadith ya uongo. Namuomba Mwenyezi Mungu amuongoe katika kheri daima na ajaalie ushahidi huu kutoka kwake katika mizani ya mema yake na Mwenyezi Mungu ampe shufaa ya Mtume, Inshaallah. Imam Ridha (as) Natusikilize nini anasema Imam Ali bin Musa Ridha (as). Abana bin Muhammad alimwandikia barua Imam Ridhaa (as): “NijaalNatusikilize nini fidia anasema Imamhakika Ali binmimi Musanimeshuku Ridha (as). katika Abana bin Muhammad iwe kuwa kwako, Uislamu alimwandikia barua Imam Ridhaa (as):“Nijaaliwe kuwa fidia kwako, hakika mimi wa Abu Talib.” Imam Ridha (as) akamjibu ambapo aliandika: nimeshuku katika Uislamu wa Abu Talib.” Imam Ridha (as) akamjibu ambapo aliandika: ‫ﺍ‬‫ﲑ‬‫ﺼ‬‫ ﻣ‬‫ﺎﺀَﺕ‬‫ﺳ‬‫ ◌ۖ ﻭ‬‫ﻢ‬‫ﻨ‬‫ﻬ‬‫ﻪ ﺟ‬ ‫ﻠ‬‫ﺼ‬‫ﻭﻧ‬ ‫ﻮﻟﱠ ٰﻰ‬ ‫ﺗ‬ ‫ﺎ‬‫ ﻣ‬‫ّﻪ‬‫ﻟ‬‫ﻮ‬‫ﲔ ﻧ‬  ‫ﻣﹺﻨ‬ ‫ﺆ‬‫ﺒﹺﻴﻞﹺ ﺍﻟﹾﻤ‬‫ ﺳ‬‫ﺮ‬‫ ﻏﹶﻴ‬‫ﺒﹺﻊ‬‫ﺘ‬‫ﻳ‬‫ﻯ ﻭ‬ ٰ ‫ﺪ‬‫ ﺍﻟﹾﻬ‬‫ ﹶﻟﻪ‬‫ﻦ‬‫ﻴ‬‫ﺒ‬‫ﺎ ﺗ‬‫ ﻣ‬‫ﺪ‬‫ﻌ‬‫ﻦ ﺑ‬‫ﻮﻝﹶ ﻣ‬‫ﺳ‬‫ﻖﹺ ﺍﻟﺮ‬‫ﺎﻗ‬‫ﺸ‬‫ﻦ ﻳ‬‫ﻣ‬‫ﻭ‬

“Na kumpinga mwenye kumpinga Mtume baada ya yeye kumdhihirikia “Na mwenye Mtume baada ya kumdhihirikia uongofu, na akafuata njia isiyokuwa ya wenye alikoelekea na kuamitumtie katika yeye uongofu, na kuamini, akafuatatutamwelekeza njia isiyokuwa ya wenye Jahannam, na ndiomarejeo maovu.” (Sura Nisaa: 115). katika Jahannam, ni, tutamwelekeza alikoelekea na tumtie na ndiomarejeo maovu.” (Sura Nisaa: 115). Na baada yake hakika wewe kama hujakiri imani ya Abu Talib basi hatima yako ni motoni.” 192

Na kutoka kwa Imam Hasan bin Ali bin al-Jawad bin Ridhaa (as) anasema katika Hadith ndefu kwa sanadi yake kutoka kwa baba zake watukufu (as):“Hakika Mwenyezi Mungu Mtukufu alimuusia Mtume wa Mwenyzi Mungu katika Hadith al-Qudusiy: ‘Hakika mimi 02_Abu Talib_13_June_2013.indd 6/13/2013 2:10:54 PM nimekupa nguvu kwa192wafuasi wawili, wafuasi watakaokunusuru kwa siri na kwa wafuasi


Abu Talib Jabali Imara la Imani

Na baada yake hakika wewe kama hujakiri imani ya Abu Talib basi hatima yako ni motoni.” Na kutoka kwa Imam Hasan bin Ali bin al-Jawad bin Ridhaa (as) anasema katika Hadith ndefu kwa sanadi yake kutoka kwa baba zake watukufu (as): “Hakika Mwenyezi Mungu Mtukufu alimuusia Mtume wa Mwenyezi Mungu katika Hadith alQudusiy: ‘Hakika mimi nimekupa nguvu kwa wafuasi wawili, wafuasi watakao kunusuru kwa siri na kwa wafuasi watakao kunusuru kwa uwazi. Ama watakao kunusuru kwa siri ni bwana wao na mbora wao ami yako Abu Talib, ama wale wanao kunusuru kwa wazi bwana wao na mbora wao ni mtoto wake Ali bin Abu Talib (as).’ Kisha akasema: ‘Hakika Abu Talib ni kama muumini wa Aali Firaun anaficha imani yake.”’140 Mwenyezi Mungu Mtukufu ndio ambaye anamnusuru Mtume Wake (s.a.w.w.) na akampa nguvu lakini amemnusuru kwa mtu gani? Amemnusuru kwa ngome imara na kizuizi madhubuti na kwa mlima imara ambao kwawo anaegemea Nabii (s.a.w.w.) na anaondoka kwa nguvu, naye ni Abu Talib. Je Mwenyezi Mungu anamchagua mwabudu masanamu naye ni mwenye kudumu katika moto wa Jahanam? Audhubillahi Mungu aepushie mbali hayo, bali anamchagulia nuru yenye kuangaza safi na tukufu ambayo mwanadamu muumini hatosikia aliyoyafanya ila nafsi yake itajaa mapenzi na kumtukuza. Ndio ni nuru ambayo Mwenyezi Mungu aliichagua kwa ajili ya kipenzi Chake, na itoke katika kizazi chake nuru nyingine, nayo ni Ali bin Abu Talib (as), hivyo Mwenyezi Mungu akawa amemchagulia kipenzi Chake mtukufu wa watukufu kwa ajili ya kumnusuru, na haya ndio anayoyatambua kila muumini mwadilifu pindi anaposoma sira tukufu ya Nabii (s.a.w.w.). 140

Al-Hujjatu uk: 115 al-Ghadyr Juz: 3, uk: 296 193

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 193

6/13/2013 2:10:54 PM


kwa nguvu, naye ni Abu Talib.Je Mwenyezi Mungu anamchagua mwabudu masanamu naye ni mwenye kudumu katika moto wa Jahanam? AudhubillahiMungu aepushie mbali hayo, bali anamchagulia nuru yenye kuangaza safi na tukufu ambayo mwanadamu muumini hatosikia aliyoyafanya ilanafsiyake itajaa mapenzi na kumtukuza. Ndio ni nuru Abu Talibkwa Jabali la Imani ambayo Mwenyezi Mungu aliichagua ajiliImara ya kipenzi Chake, na itoke katika kizazi chake nuru nyingine, nayo ni Ali bin Abu Talib (as), hivyo Mwenyezi Mungu akawa amemchagulia kipenzi Chake mtukufu wa watukufu kwa ajili ya kumnusuru, na haya Hakikakila sisimuumini tutamdhulumu (as) tutakaposema ndio anayoyatambua mwadilifuAbu pindiTalib anaposoma sira tukufu ya Nabii (s.a.w.w.). kwamba amekufa akiwa Mwislam! Hakika yeye ni zaidi ya Uislamu! Ni mafasiki wangapi na waovu wangapi na waasi Hakika sisiwangapi tutamdhulumu Abu Talib (as) tutakaposema kwambaWaislam? amekufa akiwa na madhalimu wangapi wamekufa wakiwa Mwislam! Hakika yeye ni zaidi ya Uislamu! Ni mafasiki wangapi na waovu wangapi na Hakika Abu Talib yuko kileleni, ni Mtukufu kati ya watukufu, waasi wangapi na madhalimu wangapi Mungu wamekufa wakiwa Waislam? Hakika Abu Talib kupitia yeye Mwenyezi amemnusuru Mtume Wake. yuko kileleni, ni Mtukufu kati ya watukufu, kupitia yeye Mwenyezi Mungu amemnusuru Ni Waislamu wangapi hakuna kheri kwao? Mtume Wake. Ni Waislamu wangapi hakuna kheri kwao? ‫ﻲ ﻗﹸﻠﹸﻮﺑﹺﻜﹸﻢ‬‫ﺎﻥﹸ ﻓ‬‫ ﹺﻞ ﺍﻟﹾﺈﹺﳝ‬‫ﺧ‬‫ﻳﺪ‬ ‫ﺎ‬‫ﻟﹶﻤ‬‫ﺎ ﻭ‬‫ﻨ‬‫ﻠﹶﻤ‬‫ﻦ ﻗﹸﻮﻟﹸﻮﺍ ﺃﹶﺳ‬‫ـﻜ‬ ٰ ‫ﻟﹶ‬‫ﻮﺍ ﻭ‬‫ﻣﻨ‬ ‫ﺆ‬‫ ﺗ‬‫ﺎ ◌ۖ ﻗﹸﻞ ﻟﱠﻢ‬‫ﻨ‬‫ ﺁﻣ‬‫ﺍﺏ‬‫ﺮ‬‫ ﺍﻟﹾﺄﹶﻋ‬‫ﻗﹶﺎﻟﹶﺖ‬ Tumeamini. Sema: Hamjaamini, lakini “Mabedui “Mabedui walisema: walisema:Tumeamini. Sema:Hamjaamini, semeni: Tumesilimu.imani Kwanihaijaingia imani haijaingia lakinisemeni:Tumesilimu.Kwani katika katika nyoyo nyoyo zenu.” (Sura (Sura Hujurat: 14). zenu.” Hujurat: 14).

1

‫ﺌﹰﺎ‬‫ﻴ‬‫ ﺷ‬‫ ﺍﻟﻠﱠـﻪ‬‫ﻀﺮ‬  ‫ ﻓﹶﻠﹶﻦ ﻳ‬‫ﻪ‬‫ﻴ‬‫ﺒ‬‫ﻘ‬‫ﻠﹶ ٰﻰ ﻋ‬‫ ﻋ‬‫ﺐ‬‫ﻨﻘﹶﻠ‬‫ﻦ ﻳ‬‫ﻣ‬‫ ◌ۚ ﻭ‬‫ﻘﹶﺎﺑﹺﻜﹸﻢ‬‫ﻠﹶ ٰﻰ ﺃﹶﻋ‬‫ ﻋ‬‫ﻢ‬‫ﺘ‬‫ﺘ ﹶﻞ ﺍﻧﻘﹶﻠﹶﺒ‬‫ ﻗﹸ‬‫ ﺃﹶﻭ‬‫ﺎﺕ‬‫ﺃﹶﻓﹶﺈﹺﻥ ﻣ‬

Al-Hujjatu uk: 115 al-Ghadyr Juz: 3, uk: 296

103 akifamtarudi au akiuliwa mtarudi nyuma? Na atakayerudi “Je, akifa au “Je, akiuliwa nyuma?Na atakayerudi nyuma hatamdhuru kitu nyumakwa hatamdhuru kitu Mwenyezi Mungu kwa chochote.” Mwenyezi Mungu chochote.” (Sura Imran: 144). (Sura Imran: 144).

Hapana ewe Mtume wa Mwenyezi Mungu! Mnusuru wako mkuu ni ami yako Abu Talib Hapana ewe Mtume wa Mwenyezi Mungu! Mnusuru wako kilele cha imani, kilele cha uchamungu, kilele cha utukufu,na kilele cha jihadi, na mkuu ni ami yako Abu Talib kilele chawa imani, kilele uchahatusemi kama wanavyosema wapingaji wakanushaji fadhila zake,cha kwani Mwenyezi mungu,akili kilele utukufu, naametutambulisha kilele cha jihadi, na hatusemi Mungu ameshatupa na cha tafakari,ambapo kwayo Mwenyezi Mungu kamana wanavyosema wapingaji wakanushaji wa Talib. fadhila zake, na tukakutambua, kwayo tumemtambua ami yako mtukufuAbu kwani Mwenyezi Mungu ameshatupa akili na tafakari, ambaKauli ya Ibnu po Abbas: ametutambulisha kwayo Mwenyezi Mungu na tukakutambua, na kwayo tumemtambua ami yako mtukufu Abu Talib. Huyu hapa Ibnu Abbas,aliulizwa na mtu mmoja: “Ewe mtoto wa ami wa Mtume wa Kauli Ibnu Mwenyezi Mungu, niambie juu ya Abuya Talib, je Abbas alikuwa Mwislam?” Akamjibu kwa mshangao:“Na vipi hakuwa Muislam,naye ndiye aliyesema: ‘Walishajua kwamba mtoto Huyu hapa Abbas, aliulizwa na mtu mmoja: “Ewemfano mto- wake ni wetu hakadhibishwi kwetuIbnu na wala hasemi kauli batili.’ Hakika Abu Talib to wa ami wa Mtume wa Mwenyezi Mungu, niambie juushirki, ya mfano wa vijana wa pangoni walipoficha imani yao na wakadhihirisha basi 1 Mwenyezi Mungu akawapa malipo yao mara mbili.” Kauli ya Abu Dharr:

194

Na huyu ni Sahaba Mtukufu ambaye haogopi wala hampaki mtu mafuta kwa mgongo 02_Abu Talib_13_June_2013.indd 194 2:10:55 wachupa, Abu Dharr al-Ghafariy (r.a), anaapa kwa sauti yake ya juu mbele 6/13/2013 ya batili naPM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

Abu Talib, je alikuwa Mwislam?” Akamjibu kwa mshangao: “Na vipi hakuwa Muislam, naye ndiye aliyesema: ‘Walishajua kwamba mtoto wetu hakadhibishwi kwetu na wala hasemi kauli batili.’ Hakika Abu Talib mfano wake ni mfano wa vijana wa pangoni walipoficha imani yao na wakadhihirisha shirki, basi Mwenyezi Mungu akawapa malipo yao mara mbili.”141 Kauli ya Abu Dharr Na huyu ni Sahaba Mtukufu ambaye haogopi wala hampaki mtu mafuta kwa mgongo wachupa, Abu Dharr al-Ghafariy (r.a), anaapa kwa sauti yake ya juu mbele ya batili na katika akili ya watu wepesi: “Naapa kwa Mwenyezi Mungu ambaye hakuna mungu ila Yeye, Abu Talib hakufariki hadi aliposilimu.”142

KISIMAMO PAMOJA NA AKILI Ni mara ngapi Mwenyezi Mungu ameisifu akili katika Qur’ani na kumsifu mwenye kuitumia: “Na wanafikiria umbo la mbingu na ardhi.”143 Na mara ngapi amemlaumu asiyetumia akili yake: “Je, Hawaizingatii hii Qur’an? Au kwenye nyoyo zipo kufuli.”144 “Hao hawakuwa ila ni kama wanyama howa; bali wao wamepotea zaidi njia.”145 Na Aya ziko nyingi sana. Al-Hujjatu Juz. 94, Uk. 115, al-Ghadyr Juz. 3, Uk. 397 Al-Ghadyr Juz. 3, Uk. 399 kutoka katika Abu Twalib mu’min Quraish cha alKhaniyziy 143 Suratul Imran: 191 144 Suratul Muhammad: 24 145 Suratul Furqan: 44 141

142

195

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 195

6/13/2013 2:10:55 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

Imekuja katika Hadith kwa maana yake: Hakika Mwenyezi Mungu cha kwanza alichoumba ni akili kisha akaiambia: Njoo ikaja, kisha akaiambia geuka ikageuka. Akasema: Naapa kwa Utukufu Wangu Sijaumba kiumbe kinachopendeza Kwangu kuliko wewe, kupitia wewe nitatoa thawabu na kwa kupitia wewe nitatoa adhabu.

Kwa nini msisitizo huu juu ya akili? Kwa sababu akili ndiozana yetu ya kutambua haki, kumjua Mwenyezi Mungu na kujua kila ukweli, kujua kheri na shari na kujua kinachoingia akilini, unaposema juu ya kitu kwamba kinaingia akilini maana yake ni kwamba kinakubaliana na akili. Basi hapa katika hitimisho na tuwe na njia ya kisimamo pamoja na akili zetu na tuamiliane pamoja nayo kwa umakini, haiwezekani akili zetu zitufanyie hiyana isipokuwa tukifanya kasumba kwa ajili ya nafsi zetu na matamanio yetu, hakika nafsi inaamrisha maovu, na matamanio ni adui mwenye kuangamiza. Amesema Imam Ali (as): “Hakika ninachoogopa zaidi juu yenu ni mambo mawili: Kufuata matamanio na kuwa na matarajio marefu, ama kufuata matamanio na haki, naniamaadui mweny yetu, hakika nafsi inaamrisha maovu,inakuzuia na matamanio matatarajio marefu yanaipuuza Akhera.” kuangamiza.Amesema Imam Ali (as): “Hakika ninachoogopa zaidi juu yenu ni mamb mawili: Kufuata matamanio na kuwa matarajio marefu, ama kufuata matamani Na tumeshashuhudia jinsinagani matamanio yanavyozuia inakuzuia na haki, ama gani matatarajio marefu yanaipuuza Akhera.” haki. Nanajinsi akili inatuongoza kwenye haki. Na tukitaka kisimamo hiki kiwe pamoja na haki, kiwe ni tunNa tumeshashuhudia jinsi gani matamanio ni yanavyozuia Na jinsi gani aki da lenye kuiva na kulichuma, juu yetu haki. kuzisafisha inatuongoza kwenye tukitaka kisismamo hiki pamoja na haki,kiwe ni tund dhati zetuhaki.Na kutokana na uchafu wake nakiwe matamanio yake. lenye kuivaMwenyezi na kulichuma, ni juu yetu kuzisafisha dhati zetu kutokana na uchafu wake n Mungu amesema:

matamanio yake.Mwenyezi Mungu amesema:

‫ﻯ‬ ٰ ‫ﺄﹾﻭ‬‫ ﺍﻟﹾﻤ‬‫ﻲ‬‫ﺔﹶ ﻫ‬‫ﻨ‬‫ﻯ ﹶﻓﹺﺈﻥﱠ ﺍﻟﹾﺠ‬ ٰ ‫ﻮ‬‫ﻦﹺ ﺍﻟﹾﻬ‬‫ ﻋ‬‫ﻔﹾﺲ‬‫ﻰ ﺍﻟﻨ‬‫ﻬ‬‫ﻧ‬‫ ﻭ‬‫ﺑﹺّﻪ‬‫ ﺭ‬‫ﻘﹶﺎﻡ‬‫ ﻣ‬‫ﺎﻑ‬‫ ﺧ‬‫ﻦ‬‫ﺎ ﻣ‬‫ﺃﹶﻣ‬‫ﻭ‬

“Na ama mwenye kuogopa kusimama mbele yaMola Wake na akaizuia nafsin matamanio. Basi hakika Pepo ndio makazi!” (Sura Naziat: 40-41). Na amesema pia: 196 ‫ﺍﻩ‬‫ﻮ‬‫ ﻫ‬‫ﻬﻪ‬ ‫ـ‬ ٰ ‫ﺬﹶ ﹺﺇﹶﻟ‬‫ﺨ‬‫ﻦﹺ ﺍﺗ‬‫ ﻣ‬‫ﺖ‬‫ﺃﹶﻳ‬‫ﺃﹶﺭ‬

Talib_13_June_2013.indd 196 2:10:55 PM “Je,02_Abu umemuona aliyeyafanya matamanio yake kuwa ndio Mungu 6/13/2013 wake?” (Sura al


Na tumeshashuhudia jinsi gani matamanio yanavyozuia haki. Na jinsi gani akili inatuongoza kwenye haki.Na tukitaka kisismamo hiki kiwe pamoja na haki,kiwe ni tunda lenye kuiva na kulichuma, ni juu yetu kuzisafisha dhati zetu kutokana na uchafu wake na matamanio yake.Mwenyezi Mungu amesema: Abu Talib Jabali Imara la Imani ‫ﻯ‬ ٰ ‫ﺄﹾﻭ‬‫ ﺍﻟﹾﻤ‬‫ﻲ‬‫ﺔﹶ ﻫ‬‫ﻨ‬‫﴾ﹶﻓﹺﺈﻥﱠ ﺍﻟﹾﺠ‬٤٠﴿ ‫ﻯ‬ ٰ ‫ﻮ‬‫ﻦﹺ ﺍﻟﹾﻬ‬‫ ﻋ‬‫ﻔﹾﺲ‬‫ﻰ ﺍﻟﻨ‬‫ﻬ‬‫ﻧ‬‫ ﻭ‬‫ﺑﹺّﻪ‬‫ ﺭ‬‫ﻘﹶﺎﻡ‬‫ ﻣ‬‫ﺎﻑ‬‫ ﺧ‬‫ﻦ‬‫ﺎ ﻣ‬‫ﺃﹶﻣ‬‫ﻭ‬ “Na ama mwenye kuogopa kusimama mbele ya Mola Wake na akaizuia nafsi na matamanio. Basi hakika Pepo ndio “Na ama mwenye kuogopa kusimama mbele yaMola Wake na akaizuia nafsina makazi!” (Sura Naziat: 40-41). Na amesema pia: matamanio. Basi hakika Pepo ndio makazi!” (Sura Naziat: 40-41). Na amesema pia: ‫ﺍﻩ‬‫ﻮ‬‫ ﻫ‬‫ﻬﻪ‬ ‫ـ‬ ٰ ‫ﺬﹶ ﹺﺇﹶﻟ‬‫ﺨ‬‫ﻦﹺ ﺍﺗ‬‫ ﻣ‬‫ﺖ‬‫ﺃﹶﻳ‬‫ﺃﹶﺭ‬ “Je, umemuona yake kuwa ndioyake Mungu wake?” “Je,aliyeyafanya umemuona matamanio aliyeyafanya matamanio kuwa ndio (Sura alFurqan: 43). Mungu wake?” (Sura al-Furqan: 43). Tunapoona tumeepukana natumeepukana uchafu wa matamanio hapo wa ndiomatamanio tukae kikao hapo na akili zetu, Tunapoona na uchafu huenda tutafikia katika yale yanayofaa.Na ili maudhui yalete faida basi majadiliano hayo ndio tukae kikao na akili zetu, huenda tutafikia katika yale pamoja na akili yawe katika nukta maalum ili tudhibiti maudhuina ili iwe ni maudhui yanayofaa. Na ili maudhui yalete faida basi majadiliano maalum kuhusu Abu Talib,hapo tutafika kwa akili zetu inshaallah katika kutambua pamoja nahuyu akilishujaa yawe mkubwa katika nukta maalum ili tudhibiti namna ganihayo amedhulumiwa kipenzi cha Mtume wa Mwenyezi maudhui na ili iwe ni maudhui maalum kuhusu Mungu (s.a.w.w.), na hiyoitatimia kupitia nukta mbalimbali, nazo niAbu ibaraTalib, ya visimamo hapo tutafika kwa akili zetu inshaallah katika kutambua nambaina ya akili na dhati. na gani amedhulumiwa huyu shujaa mkubwa kipenzi cha BAINA YA AKILI NA DHATI Mtume VISIMAMO wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.), na hiyo itatimia kupitia nukta mbalimbali, nazo ni ibara ya visimamo baina Msimamo wa ya mtambuzi: akili na dhati. Baada ya kutufahamisha Mtume (s.a.w.w.) kupitia sira ya Nabii namna gani Abu Talib aliishi na Nabii (s.a.w.w.) tangu utotoni mwake, na akajua utukufu wa huyu Nabii Mtukufu (s.a.w.w.) kupitia kumlea kwake na ukaribu wake kwake, hatua kwa hatua na VISIMAMO BAINA YA AKILI NA DHATI kwa muda wa mika 40, na kwamba Abu Talib sio yule mtu wa kawaida bali yeye ni wa mtambuzi mwenye hekima,mtukufuMsimamo na kiongozi wa kaumu yake, hivyo utambuzi waAbu Talib kwa Nabii si sawa na utambuzi wa wengine.Kama ingekuwa wewe mahala pa Abu Talib je Baada kutufahamisha Mtume (s.a.w.w.) kupitia sira ya ungemkhalifu Nabiiya (s.a.w.w.) katika jambo? Nabii namna gani Abu Talib aliishi na Nabii (s.a.w.w.) tangu utotoni mwake, utukufu wa ungekuwa huyu Nabii Mtukufu Lau ikijaaliwa mtu wa kawaidana anaakajua msimamo huu, nini msimamo wako kama ungekuwa mahala pake? Hali yako na msimamo wako vingekuwaje kwa Nabii? Je, (s.a.w.w.) kupitia kumlea kwake na ukaribu wake kwake, ungesadikisha au ungekanusha? hatua kwa hatua na kwa muda wa mika 40, na kwamba Abu Talib sio yule mtu wa kawaida bali yeye ni mwenye hekima, Kuona miujiza: mtukufu na kiongozi wa kaumu yake, hivyo utambuzi wa Mambo hayakuishia katika kumtambua Nabii (s.a.w.w.) na kujua utukufu wake tu bali Abu Talib aliona miujiza ya dhahiri kwa macho 197 yake na ambayo tumeshaitaja, kama vile kutembea kwa wingu pamoja na Nabii (s.a.w.w.) na miti kutoa matunda, na kondoo kutoamaziwa na mengineyo kati ya miujiza na dalili zilizowazi kutoka kwa wanachuoni waliotangulia na wachungaji, nini utakuwa msimamo wako baada ya ubainifu wote huu, 02_Abu Talib_13_June_2013.indd 197

6/13/2013 2:10:55 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

Abu Talib kwa Nabii si sawa na utambuzi wa wengine.Kama ingekuwa wewe mahala pa Abu Talib je ungemkhalifu Nabii (s.a.w.w.) katika jambo? Lau ikijaaliwa mtu wa kawaida ana msimamo huu, nini ungekuwa msimamo wako kama ungekuwa mahala pake? Hali yako na msimamo wako vingekuwaje kwa Nabii? Je, ungesadikisha au ungekanusha? Kuona miujiza Mambo hayakuishia katika kumtambua Nabii (s.a.w.w.) na kujua utukufu wake tu bali Abu Talib aliona miujiza ya dhahiri kwa macho yake na ambayo tumeshaitaja, kama vile kutembea kwa wingu pamoja na Nabii (s.a.w.w.) na miti kutoa matunda, na kondoo kutoa amaziwa na mengineyo kati ya miujiza na dalili zilizowazi kutoka kwa wanachuoni waliotangulia na wachungaji, nini utakuwa msimamo wako baada ya ubainifu wote huu, je inawezekana Abu Talib (as) asitambue, ungekuwaje msimamo wa mtu wa kawaida mwenye akili na utambuzi wa wastani? Wewe msimamo wako ungekuwaje kama ungekuwa mahala pake ? Makafiri kushutumiwa Mwenyezi Mungu amewashutumu makafiri katika Qur’ani shutuma mbaya kabisa na akawalaani sana katika aya nyingi, mwanzo wa Qur’ani hadi mwisho, ambapo amesema (swt): “Hakika wao ni kama wanyama bali wao wamepotea njia.” Na akasema katika kumshutumu ndugu yake Abu Lahabi kwa ukafiri wake na kwa aliye mfano wake, amesema (swt): “Imeangamia mikono ya Abu Lahab.”146 Na akasema: “Tutamtia doa juu 146

Suratul Lahab: 1 198

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 198

6/13/2013 2:10:55 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

ya pua.”147 Na amesema: “Ehee! Laana ya Mwenyezi Mungu iko juu ya madhalimu.”148 Na kasema: “Tutamburuza kwa nywele za utosi.”149 Hivi baada ya shutuma hizi, onyo na kemeo kutoka kwa Mwenyezi Mungu, ataridhia huyu mwerevu mwenye akili ambaye ameishi na utume awe ni miongoni mwao? Vipi ingekuwa wewe uko mahala pake? Hatima ya makafiri Mwenyezi Mungu amewaahidi makafiri adhabu kali ambayo hatoivumilia mwanadamu, amesema (swt): “Kila zitakapoiva ngozi zao, tunawabadilishia ngozi nyingine ili waonje adhabu.”150 Na amesema: “Hakika wanafiki watakuwa katika tabaka ya chini motoni.”151 Na amesema: “Watakapotupwa humo watausikia muungurumo wake na huku inafoka.”152 Ayanyingine kuhusu adhabu yaelezea adhabu ya Jahannam: “Tena mtieni katika mnyororo wenye urefu wa dhiraa sabini.”153 Unatarajia utakuwaje msimamo wa Abu Talib ewe mwenye akili pamoja na ahadi hizi za moto wa Jahannam kwa makafiri? Utakuwaje msimamo wa mwanadamu yeyote mwenye akili? Na vipi ingekuwa uko mahala pa Abu Talib? Maamuzi muhimu Mwenyezi Mungu hakubali misimamo yoyote ya kuigawa vipande haki, ambapo anasema (swt): “Na mwenye kutaka Suratul-Qalam: 16 Suratul Hud: 18 149 Suratul-A’laq: 15 150 Suratu Nisaa: 56 151 Suratu Nisaa: 145 152 Suratul-Mulk: 7 153 Suratul-Haqqa: 32 147 148

199

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 199

6/13/2013 2:10:55 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

dini isiyokuwa Uislam haitakubaliwa kwake, naye katika Akhera ni miongoni mwa wenye kupata hasara.”154 Na amasema (swt): “Usimshirikishe Mwenyezi Mungu na chochote, hakika shirki ni dhulma kubwa.”155 Na anasema: “Hakika Mwenyezi Mungu hasamehi kufanyiwa mshirika, lakini husamehe yasiyokuwa hayo kwa amtakaye.”156 Na Aya zingine katika madhumuni haya, nini utakuwa msimamo wa mtu yeyote aliyeishi maisha ya Abu Talib baada ya kusikia Aya hizi? Nini utakuwa msimamo wako kama ungekuwa mahala pake? Kujitolea na thamani Hakika kila mwanadamu anayeishi katika maisha haya anajitahidi kuishi maisha mazuri apate riziki na familia yake, analea watoto wake vema na haiwezekani kuzembea abadani, na yuko tayari kupigana kwa ajili yake kwa roho yake, na hayuko tayari kumwacha kwa gharama yoyote vyovyote itakavyokuwa na vyovyote atakavyo lipwa, kwa sababu mali na watoto ni pambo la maisha ya duniani, lakini tukimuona mtu anajitolea maisha yake mazuri ikiwa ni pamoja na mali na watoto, basi ni lazima linalomfanya ajitolee hayo liwe ni jambo la msingi. Hebu sasa tuone ni vipi Abu Talib aliamiliana pamoja na chumo hili la maisha mazuri ikiwa ni pamoja na mali na watoto katika maisha ya kijamii? Bila shaka imeshatangulia namna gani alijitolea watoto wake, Ali (as) na Ja’far na alikuwa anamuweka yeye mwenyewe mtoto wake Ali mahala pa Mtume wa Mwenyezi Mungu katika bonde la Abu Talib, na ni mateso mangapi ya njaa aliyovumilia hadi Suraul Imran: 85 Suratu Luqman: 13 156 Suratu Nisaa: 48 154 155

200

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 200

6/13/2013 2:10:55 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

yakamuuwa katika bonde la Abu Talib, ikiwa ni pamoja na jihadi, mapambano ya vita ya umwagaji damu n.k. Kutokana na hayo yaliyotangulia kutajwa je, inaingia akilini kuwa Abu Talib alijitolea hivi hivi tu kila kilichoghali kwake? Haingii akili abadani isipokuwa ni kwa kuwa yeye Hakikakiongozi kila mwanadamu katikakatika maisha haya anajitahidi kuishi maisha mazuri ndio wa anayeishi waumini dini hii, je kuna sababu apate riziki na familia yake, analea watoto wake vema na haiwezekani kuzembea nyingine imani? kama abadani, na isiyokuwa yuko tayari kupigana kwaVipi ajili yake kwa ingekuwa roho yake, na ndio hayukowewe tayari kumwacha kwa gharamayoyote vyovyote itakavyokuwa na vyovyote atakavyo lipwa, uko mahala pake ? kwa sababu mali na watoto nipambo la maisha ya duniani, lakini tukimuona mtu anajitolea maisha yake mazuri ikiwa ni pamoja na mali na watoto, basi ni lazima linalomfanya ajitolee hayoliwe ni jambo la msingi. Hebu sasa tuone ni vipi Abu Talib Kukhofia kupoteza masilahi aliamiliana pamoja na chumo hili la maisha mazuri ikiwa ni pamoja na mali na watoto katika maisha ya kijamii? Bila shaka imeshatangulia namna gani alijitolea watoto wake, (as) na Ja’far na alikuwa anamuweka yeye mwenyewe mtoto wake Ali mahala pa NiAlikawaida kuona baadhi ya makafiri wanang’ang’ania ukaMtume wa Mwenyezi Mungu katika bonde la Abu Talib, na ni mateso mangapi ya njaa firi wao kwa sababu imani inawapokonya baadhi aliyovumilia hadi yakamuuwa katika bonde la Abu Talib, ikiwa ni pamojaya na masijihadi, mapambano ya vita yakwa umwagaji damu n.k. lahi ya kidunia, mfano tu ni wakuu wa kikuraishi ambao

imani ingewapokonya wa kisiasa na manufaa ya kiuKutokana na hayo yaliyotanguliautawala kutajwa je, inaingia akilini kuwaAbu Talibalijitolea hivi hivi tu kila kilichoghali kwake?Haingii akili abadani isipokuwa ni kwakuwa yeye ndio chumi yanayofungamana na ibada ya masanamu na shirki. kiongozi wa waumini katika dini hii, je kuna sababu nyingine isiyokuwa imani? Vipi Lakini tutasemaje mtu pake ambaye hana umuhimu na masikama ingekuwa ndio wewekwa uko mahala ? lahi haya ya kidunia? Bali unamuona yuko kinyume kabiKukhofia kupoteza masilahi: sa, anajitolea kwa ajili ya daawa ya ujumbe wa Muhammad, Ni kawaida kuona baadhi ya makafiri wanang’ang’ania wao kwa sababu imani hana anachokiogopa anapoamini, baliukafiri ni kinyume kabisa, inawapokonya baadhi ya masilahi ya kidunia, kwa mfano tu ni wakuu wa kikuraishi yuko kila alichonacho katikana njia hii ya ambaotayari imani kutoa ingewapokonya utawala wa kisiasa manufaa ya daawa. kiuchumi yanayofungamana na ibada ya masanamu na shirki. Lakini tutasemaje kwa mtu Je, inaingia akilini mtu kama Abu Talib asiwe ni wa ambaye kwanhanaumuhimu na masilahi haya ya kidunia? Bali unamuona yuko kinyume kabisa, zaanajitolea kati yawalioitika ujumbe wa mbinguni? Naye hatoogopa kwa ajili ya daawa ya ujumbe wa Muhammad, hana anachokiogopa anapoamini, bali bali ni ametoa kinyume kabisa, tayari kutoa kila alichonacho katika njia hii ya chochote kilayuko kitu, ingekuwaje kama angekuwa daawa. ni mtu wa kawaida yuko mahala pake? Na vipi kama ingekuJe, inaingia akilini mtu kama Abu Talibasiwe ni wa kwanza kati yawalioitika ujumbe wa wa wewe uko mahala pake? Qur’ani inaashiria katika maana mbinguni? Naye hatoogopa chochote bali ametoa kila kitu, ingekuwaje kama angekuwa hii: ni mtu wa kawaida yuko mahala pake? Na vipi kama ingekuwa wewe uko mahala pake?Qur’ani inaashiria katika maana hii:

‫ﻜﹸﻢ‬‫ ﺇﹺﻟﹶﻴ‬‫ﺐ‬‫ﺎ ﺃﹶﺣ‬‫ﻬ‬‫ﻧ‬‫ﻮ‬‫ﺿ‬‫ﺮ‬‫ ﺗ‬‫ﻛﻦ‬ ‫ﺎ‬‫ﺴ‬‫ﻣ‬‫ﺎ ﻭ‬‫ﻫ‬‫ﺎﺩ‬‫ﻥﹶ ﻛﹶﺴ‬‫ﻮ‬‫ﺸ‬‫ﺨ‬‫ﺓﹲ ﺗ‬‫ﺎﺭ‬‫ﺠ‬‫ﺗ‬‫ﺎ ﻭ‬‫ﻮﻫ‬‫ﻤ‬‫ﻓﹾﺘ‬‫ﺮ‬‫ﺍﻝﹲ ﺍﻗﹾﺘ‬‫ﻮ‬‫ﺃﹶﻣ‬‫ ﻭ‬‫ﻜﹸﻢ‬‫ﺗ‬‫ﲑ‬‫ﺸ‬‫ﻋ‬‫ ﻭ‬‫ﻜﹸﻢ‬‫ﺍﺟ‬‫ﻭ‬‫ﺃﹶﺯ‬‫ ﻭ‬‫ﻜﹸﻢ‬‫ﺍﻧ‬‫ﻮ‬‫ﺇﹺﺧ‬‫ ﻭ‬‫ﻛﹸﻢ‬‫ﺎﺅ‬‫ﻨ‬‫ﺃﹶﺑ‬‫ ﻭ‬‫ﻛﹸﻢ‬‫ﺎﺅ‬‫ﻗﹸﻞﹾ ﺇﹺﻥ ﻛﹶﺎﻥﹶ ﺁﺑ‬ ‫ﲔ‬‫ﻘ‬‫ ﺍﻟﹾﻔﹶﺎﺳ‬‫ﻡ‬‫ﻱ ﺍﻟﹾﻘﹶﻮ‬‫ﺪ‬‫ﻬ‬‫ ﻟﹶﺎ ﻳ‬‫ﺍﻟﻠﱠـﻪ‬‫ ◌ۗ ﻭ‬‫ﺮﹺﻩ‬‫ ﺑﹺﺄﹶﻣ‬‫ ﺍﻟﻠﱠـﻪ‬‫ﻲ‬‫ﺄﹾﺗ‬‫ ٰﻰ ﻳ‬‫ﺘ‬‫ﻮﺍ ﺣ‬‫ﺼ‬‫ﺑ‬‫ﺮ‬‫ ﻓﹶﺘ‬‫ﻪ‬‫ﺒﹺﻴﻠ‬‫ﻲ ﺳ‬‫ ﻓ‬‫ﺎﺩ‬‫ﺟﹺﻬ‬‫ ﻭ‬‫ﻪ‬‫ﻮﻟ‬‫ﺳ‬‫ﺭ‬‫ ﻭ‬‫ ﺍﻟﻠﱠـﻪ‬‫ّﻦ‬‫ﻣ‬ “Sema ikiwa baba zenu na wana wenu na ndugu zenu na wake zenu na jamaa zenu na mali mlizozichuma na biashara mnazohofia kuharibikiwa, na majumba 201 Mwenyezi Mungu na Mtume Wake na mnayopenda, nivipenzi zaidi kwenu kuliko jihadi katika njia Yake,basi ngojeni mpaka Mwenyezi Mungu alete amri Yake, na Mwenyezi Mungu hawaongozi watu mafasiki.” (Sura Tawba: 24).1 Ambapo Mwenyezi Mungu anaashiria katika vizuizi ambavyo vinamzuia mwanadamu katika jihadi na kujitolea, navyo ni vitu alivyovitoa Abu Talib vyote katika njia ya Mwenyezi 02_Abu Talib_13_June_2013.indd 6/13/2013 Mungu na kwa201 ufahari na utukufu.

2:10:55 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

“Sema ikiwa baba zenu na wana wenu na ndugu zenu na wake zenu na jamaa zenu na mali mlizozichuma na biashara mnazohofia kuharibikiwa, na majumba mnayopenda, ni vipenzi zaidi kwenu kuliko Mwenyezi Mungu na Mtume Wake na jihadi katika njia Yake, basi ngojeni mpaka Mwenyezi Mungu alete amri Yake, na Mwenyezi Mungu hawaongozi watu mafasiki.” (Sura Tawba: 24).157 Ambapo Mwenyezi Mungu anaashiria katika vizuizi ambavyo vinamzuia mwanadamu katika jihadi na kujitolea, navyo ni vitu alivyovitoa Abu Talib vyote katika njia ya Mwenyezi Mungu na kwa ufahari na utukufu.

Uwerevu na hasara Qur’ani inatueleza mifano ya makafiri ambao ukafiri wao uliendelea hadi mwisho kwa ubaya wa nia zao na kwa kutokuamini kwao, na udhaifu wa yakini yao kwa Mwenyezi Mungu, mfano ni Firaun ambapo unamuona anatangaza toba yake na imani yake alipoona nafsi yake imepata hasara, lakini Mwenyezi Mungu hakukubali toba yake:

‫ن‬f َ mِ ّ mَ iُ ‫ َم‬fْ mَْ i َ fَ ifِ ِْ mmُْ i‫ ا‬fَ iِ f َ mْ iُ ‫ َو‬fُ mْ iَ f َ mْ mَ iَ fَْ i‫آ ْﻵ َن َو‬ َ ‫ ُﳉ‬mَ ِi fَ ِifَ mَ iِ fm ‫ن‬fُ َ mْmiَ fْ mَ ِi َ mِ mَ َi mَ ِi iَ ‫ آ‬fْ iَ ‫س‬ ِ mَّ i‫ ا‬fَ iِ ‫ﲑا‬ ً mِ iَ ‫ َوإِ َّن‬f ً ۚ iَ ‫ آ‬fَ “Hivi, sasa? Na hali uliasi kabla yake na ukawa miongoni mwa wafisadi. Basi leo tutakuokoa mwili wako ili uwe ishara kwa ajili wa nyuma yako. Na hakika watu wengi wameghafirika na Ishara Zetu.” (Sura Yunus: 91–92). “Akasema: Hakika mimi nimetubu sasa.” 157

Suratu Tauba: 24 202

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 202

6/13/2013 2:10:56 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

Vivyo hivyo Qaarun alipoona amepata hasara katika kila kitu aliomba msaada kwa Musa, wakati tunakuta dhulma mbaya kabisa inampata Abu Talib ambapo wanamtuhumu kwamba hadi saa ya mwisho na katika maradhi ya mauti hakukubali haki. Audhubillahi, mwanadamu hata kama hakuamini kwa sababu fulani lakini sababu hizi hazibakii wakati wa mauti, sasa ni wa nini ukafiri na ukaidi? Je inaingia akilini ewe muumini? Je wewe unazikubali? Asili ya Abu Talib Mtu ambaye aliabudu sanamu, Mwenyezi Mungu akamlaani na akamfukuza katika rehema Zake, na akang’ang’ania juu ya ukafiri wake pamoja na kwamba aliona kila miujiza ya Nabii kwa macho yake na akajua ukweli wote lakini yeye akang’anga’nia katika ukafiri, je unataraji kwa mtu huyo kheri? Vipi Nabii atamwacha karibu yake na katika handaki lake? Waovu wauaji, mafisadi wakaidi katika ukafiri, ambao walimpiga Mtume wa Mwenyezi Mungu na wakawaadhibu Waislam hadi wakafa, na ambao walikaribia kumuuwa Nabii baada ya kumpiga hadi damu zikamtoka, wote hawa nyoyo zao zinalainika kwa utajo wa Mwenyezi Mungu na kwao kuna kheri, lakini eti ambaye ameona kila miujiza ya Nabii na karama na akaishi naye kwa miaka 40 –huku akimhami - moyo wake haulainki kwa ajili ya Uislamu, je inatarajiwa kheri yoyote kwa mtu huyu? Watakuambia “Kwa hakika wewe humuongoi umpendae, lakini Mwenyezi Mungu humuongoa amtakaye.”158 Ndio, uongufu ni kutoka kwa Mwenyezi Mungu kwa wale aliowataka Mtume, na sio kutoka kwa Nabii. Maana ya Aya si 158

Suratul Qasas: 56 203

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 203

6/13/2013 2:10:56 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

kwamba Mwenyezi Mungu hatomuongoa yule anayependwa na Nabii, kama walivyoongopa katika tafsiri ya Aya hii. Ni nani anayeongozwa na Mwenyezi Mungu, je kuna mtu anayestahiki uongofu kuliko mtu aliyependwa na Nabii mapenzi ya kweli na akampenda Nabii na akamtetea, na alikuwa ni kielelezo cha kila kheri katika ulimwengu: “Na hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi mafasiki.”159 “Hakika Mwenyezi Mungu hawaongozi watu madhalimu.”160 Mapenzi ya Nabii kwa waumini Abu Talib na watoto wake walikuwa ni kitu kimoja, na Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) alikuwa katika kilele cha juu cha upendo na mahaba kwa ami yake Abu Talib, jehayo yaAbu Talib na watoto wake walikuwa ni kitu kimoja, na Mtume wa Mwenyezi Mungu nanasibiana pamoja na juu Mtume wanaMwenyezi Mungu (s.a.w.w.) alikuwa katika kilele cha cha upendo mahaba kwa ami yake Abukwa Talib, mujibu wa kauli yake (swt) wa katika SuraMungukwa Tawba:mujibu wa kauli yake jehayo yananasibiana pamoja na Mtume Mwenyezi (swt) katika Sura Tawba:

‫ﻮﻥﹶ‬‫ﻤ‬‫ ﺍﻟﻈﱠﺎﻟ‬‫ﻢ‬‫ ﻫ‬‫ﻚ‬‫ـﺌ‬ ٰ ‫ ﻓﹶﺄﹸﻭﻟﹶ‬‫ّﻨﻜﹸﻢ‬‫ﻢ ﻣ‬‫ﻟﱠﻬ‬‫ﻮ‬‫ﺘ‬‫ﻦ ﻳ‬‫ﻣ‬‫ ◌ۚ ﻭ‬‫ﺎﻥ‬‫ﻠﹶﻰ ﺍﻟﹾﺈﹺﳝ‬‫ ﻋ‬‫ﻮﺍ ﺍﻟﹾﻜﹸﻔﹾﺮ‬‫ﺒ‬‫ﺤ‬‫ﺘ‬‫ ﺍﺳ‬‫ﺎﺀَ ﺇﹺﻥ‬‫ﻴ‬‫ﻟ‬‫ ﺃﹶﻭ‬‫ﻜﹸﻢ‬‫ﺍﻧ‬‫ﻮ‬‫ﺇﹺﺧ‬‫ ﻭ‬‫ﺎﺀَﻛﹸﻢ‬‫ﺨﺬﹸﻭﺍ ﺁﺑ‬  ‫ﺗﺘ‬ ‫ﻮﺍ ﻟﹶﺎ‬‫ﻨ‬‫ ﺁﻣ‬‫ﻳﻦ‬‫ﺎ ﺍﻟﱠﺬ‬‫ﻬ‬‫ﺎ ﺃﹶﻳ‬‫ﻳ‬ “Enyi“Enyi mlioamini!Msiwafanye baba zenu na ndugu zenu mawalii mlioamini! Msiwafanye baba zenu nakuwa ndugu zenuikiwa wamestahabukufuru kuliko imani.Na atakayewafanya mawalii katika nyinyi basi kuwa mawalii ikiwa wamestahabu kufuru kuliko imani. Na hao ndio madhalimu.” (Sura Tawba: 23).

atakayewafanya mawalii katika nyinyi basi hao ndio madha(SuraMungu Tawba:kumpenda 23). limu.” Je, inaingia akilini Mtume wa Mwenyezi mtu aliyependa ukafiri

badala ya imani? Na kuingia katika orodha ya madhalimu? Je, Mtume wa Mwenyezi MunguJe, anapenda kwa akilini ajili ya masilahi ya wa ulinziMwenyezi na hali yeye Mungu anamtegemea Mwenyezi inaingia Mtume kumpenMungu na ni mwenye kumwamini.

da mtu aliyependa ukafiri badala ya imani? Na kuingia katika Hakika makusudio ya “kupenda” katika aya iliyotangulia ni kupenda Mungu kunakotoka ndani orodha ya madhalimu? Je, Mtume wa Mwenyezi anaya moyo, na kupenda huku ni haramu kwa Waislam kama anayependwa ni yule penda kwa ajili ya masilahi ya ulinzi na hali yeye anamtegeanayependelea ukafiri badala ya imani.Wakati ambapo tunakuta Mtume wa Mwenyezi mea Mwenyezi Mungu na ni mwenye kumwamini. Mungualikuwa anampenda ami yake mapenzi makubwa na alimlilia kwa uchungu alipofariki na akauita mwaka wa kufariki kwake na kufariki kwa Khadija kuwa ni 159 Suratul-Maida: mwaka wa huzuni, na108 je yanapatikana mapenzi zaidi ya mapenzi haya? 160

Suratul-An’am: 144

Ni yupi mwenye kosa kubwa zaidi: 204

Ni mtu aliyeishi porini tangu kuzaliwa kwake, hajui kusoma wala hajajifunza hukumu za dini wala hakuwa karibu na elimu na utamaduni, na sasa amefanya kosa la wizi kwa mfano, au ni mtu aliyeishi mjini na ni msomi wa chuo kikuu na anaishi baina ya misikiti na amejifunza elimu ya dini, kisha sasa kaiba?Ni yupi ana kosa kubwa zaidi? Hata 02_Abu Talib_13_June_2013.indd Mwenyezi Mungu204 ameleta sheria ya adhabu kali zaidi kwa zinaa ya mtu aliyeoa 6/13/2013 kuliko

2:10:56 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

Hakika makusudio ya “kupenda� katika aya iliyotangulia ni kupenda kunakotoka ndani ya moyo, na kupenda huku ni haramu kwa Waislam kama anayependwa ni yule anayependelea ukafiri badala ya imani.Wakati ambapo tunakuta Mtume wa Mwenyezi Mungu alikuwa anampenda ami yake mapenzi makubwa na alimlilia kwa uchungu alipofariki na akauita mwaka wa kufariki kwake na kufariki kwa Khadija kuwa ni mwaka wa huzuni, na je yanapatikana mapenzi zaidi ya mapenzi haya? Ni yupi mwenye kosa kubwa zaidi Ni mtu aliyeishi porini tangu kuzaliwa kwake, hajui kusoma wala hajajifunza hukumu za dini wala hakuwa karibu na elimu na utamaduni, na sasa amefanya kosa la wizi kwa mfano, au ni mtu aliyeishi mjini na ni msomi wa chuo kikuu na anaishi baina ya misikiti na amejifunza elimu ya dini, kisha sasa kaiba? Ni yupi ana kosa kubwa zaidi? Hata Mwenyezi Mungu ameleta sheria ya adhabu kali zaidi kwa zinaa ya mtu aliyeoa kuliko adhabu ya zinaa ya mtu asiyeoa, na hii inaingia akilini. Hivyo aliye karibu na utume ambaye amejua na ameshuhudia kwa macho yake miujiza na alama kisha anamkufuru Mwenyezi Mungu na anakataa imani, huyo ni mwenye kufuru mbaya zaidi kuliko yule aliye mbali ambaye hajasikia isipokuwa kidogo, na inapasa adhabu yake iwe kali zaidi kuliko mwingine, na sio nyepesi kama wanavyodai kwa kumzushia uongo Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.). Abu Talib ni haki kwake awe kati ya waumini wa mwanzona sio kukataa imani, na kama angefanya maasi – Audhubillahi- angekuwa mbali mno na Mwenyezi Mungu kuliko mwingine, na haya ni ambayo hayakutokea abadani. 205

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 205

6/13/2013 2:10:56 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

Hakika Abu Talib alikuwa katika handaki la Nabii na Nabii anawapiga vita washirikina, na kundi la washirikina linapigana vita dhidi ya upande mwingine, na kadhia ambayo iko baina yao sio mali wala ardhi au mto bali kadhia ambayo wanapigana kwa ajili yake ni dini, misingi na itikadi, na Abu Talib sio askari wa kawaida tu katika safu ya jeshi la Nabii bali yuko katika daraja la waziri au mshauri au mfano wa hayo kwa msamiati wa kileo, na vita vinapiganwa kwa ajili ya (dini ya Kiislam) tauhidi. Ni namna gani itajengeka shakhisiya hii ambayo inapigana vita pamoja na Mtume dhidi ya washirikina na hali yeye ni katika itikadi ileile ambayo wanaiamini washirikina? Je inaingia akilini mtu kupiga vita kundi la shirki naye ni mushriku mfano wao? Na vipi atapiga vita washirkina kama sio muumini? Kwani kinachomfanya awapige vita washirikina ni imani kama ambavyo haingii akilini kwamba mtu anaamini ujamaa kisha aupige vita ujamaa. Hiyo ni baada ya kukanusha kwa Abu Talib (as) yote yanayoweza kuwa ni sababu ya kusimama kwake pamoja na Nabii (s.a.w.w.) kati ya maslahi ya kisiasa, kiuchumi na kijamii, kwa sababu kama tulivyo tanguliza kuwa aliyaweka chini ya nyayo zake kwa ajili ya kumnusuru Nabii (s.a.w.w.) na utume. Anasema (swt) juu ya nafsi yake: “Basi Mwenyezi Mungu ni Mwenye shukrani (na)Mjuzi.”161 Na anasema (swt): “Hakuna malipo ya ihsani ila ihsani?.”162 Lau kama mtu anaishi katika dola ya mbali yenye mali na uongozi, na ikatokea siku moja mtoto wenu akaenda katika nchi hiyo na 161 162

Suratul-Baqarah: 158 Suratul-ar-Rahman: 60

206

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 206

6/13/2013 2:10:56 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

huko mtoto wenu akakabiliwa na hatari kubwa kabisa na hakuwa na mahala pa kukimbilia wala mwenye kumnusuru na kumhami, huku maadui wanamuwinda ili wamuuwe, na ndipo mtu huyo akamhami mtoto wenu, akampa hifadhi na akamlinda kutokana na maadui kwa kila anachomiliki, na akapoteza cheo chake na akatoa katika kumuhami huko mali yake hadi akawa fakiri asiye nakitu, na akapata adha yeye na familia yake, na ikavunjwa heshima yake ya kijamii, mali na cheo, akajitolea kwa ajili ya mtoto wenu na akamkirimu, akamtukuza, akamtajirisha na akaratibu mambo ya usalama wake na maisha yake kwa hisabu ya nafsi yake na watoto wake, na akamrudisha mtoto wenu kwenu na kwa utukufu na heshima, nini itakuwa hisia yenu kwa mtu huyu mwema kama mtamuona baada ya muda? Jibu mwenyewe kisha uendelee kusoma. Sisi wanadamu tuko hivi, sasa yatakuwaje majibu ya Mwenyezi Mungu Mwingi wa rehema na ambaye anasema juu ya nafsi yake kuwa ni Mwingi wa kushuru. Namna gani yatakuwa majibu ya Mwenyezi Mungu Mtukufu kwa yote aliyoyafanya Abu Talib (as) kwa Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.)? Je, hastahiki Mwenyezi Mungu swt. kumuongoza katika njia iliyonyooka, naye ni Mtukufu ambaye anasema: “Na humwongoza amtakaye na Yeye ni Mwenye nguvu Mwenye hekima.”163 “Mwenyezi Mungu humuongoza kwenye nuru Yake amtakaye.”164 Kama Abu Talib hakustahiki uongofu wa Mwenyezi Mungu ni nani anastahiki uongofu? 163 164

Suratu Ibrahim: 4 Suratu Nur: 35 207

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 207

6/13/2013 2:10:56 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

Je, kuna mtu katika Bara Arabu aliyemnusuru Mtume wa Mwenyezi Mungu kama Abu Talib na watoto wake Ali (as) na Ja’far (as)? Uongofu wa Mwenyezi Mungu ni kwa wote isipokuwa wale aliowaweka mbali Mwenyezi Mungu katika Aya za Qur’ani kwa mfano: “Hakika Mwenyezi Mungu hamwongoi apindukiaye mipaka, mwongo mkubwa.” 165 “Hakika Mwenyezi Mungu hawaongozi watu madhalimu.”166 “Na Mwenyezi Mungu hawaongoi watu mafasiki.”167 Wakati uongofu unakuwa karibu kwa wenye nyoyo tukufu na sifa nzuri, basi ni nani atakayestahiki zaidi ya Abu Talib ? Kutoka katika Sahihi Tirmidhiy, kutokakwa Ibnu Amru bin Aasi amesema: Amesema Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.): “Ummah wangu utafanya waliyoyafanya Bani Israil hatua kwa hatua.” Na katika riwaya nyingine kutoka kwa Tirmidhiy: Hakika (s.a.w.w.) amesema: “Naapa kwa ambaye nafsi yangu iko mikononi mwake, hakika mtafanya waliyoyafanya waliokuwa kabla yenu hatua kwa hatua naunyayo kwa unyayo… na sijui mtaabudu ndama au laa.” Na katika baadhi ya tafsiri ya Aya: “Bila shaka mtapanda tabaka kwa tabaka!”168 Yaani hali baada ya hali. Mtume (s.a.w.w.) amesema: “Mtafuata nyendo za waliokuwa kabla yenu hatua kwa hatua na unyayo kwa unyayo, hamtakosea hatua zao na wala hamtakosea shibiri kwa shibiri, dhiraa kwa dhiraa na pima kwa pima, kiasi kwamba lau waliokuwa kabla yenu wangeingia katika shimo la kenge nanyi pia mngeinSuratul Mu’min: 28 Suratul Ahqaf: 10 167 Suratu Saf: 5 168 Suratul Inshiqaq: 19 165 166

208

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 208

6/13/2013 2:10:56 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

gia.” Wakasema: “Ni Wayahudi na Manaswara ndio unaowakusudia ewe Mtume wa Mwenyezi Mungu?” Akasema: “Sasa ni nani ninaowakusudia? Mtatengua misingi ya Uislamummoja baada ya mwingine, na wa mwanzo mtakaoutengua ­katika dini yenu ni Uimamu na wa mwisho ni Swala.”169

169

Tafsirul-Qumiy Uk. 717 (Manshuraati Dhawayl- Qurbaa). 209

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 209

6/13/2013 2:10:56 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

HITIMISHO Muumin wa Aali Firaun

Q

ur’ani tukufu imetuzoesha kueleza matukio wazi wazi kupitia visa vilivyopita katika kaumu zilizotangulia na Manabii waliotangulia, ili viwe karibu na wazi zaidi na ufahamu, na tunaona wazi msisitizo katika visa vya Firaun na muamala wake pamoja na Nabii Musa (as), na huenda msisitizo huu umekuja kwa ajili ya uasi mkubwa wa Firaun na hasara yake mwishoni katika mikono ya Nabii Musa (as). Na kupitia maigizo yenye shauku yenye kuvutia na yaliyojaa mazingatio na mawaidha, na hata katika riwaya na Hadith kuna habari kwamba ambayo yatatokea kwa Waislamu yataelezea yaliyotokea katika kaumu ya Musa (as). Katika hadith kutoka kwa Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) tunakuta kwamba Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) ameashiria katika cheo cha Imam Ali kupitia cheo cha Haruna kwa Musa, pale alipomwambia: “Cheo chako kwangu ni kama cheo cha Haruna kwa Musa isipokuwa hakuna utume baada yangu.”170 Na hii ni Qur’ani inaeleza kisa kinacho afikiana na maudhui yetu, kana kwamba kimewekwa kwa ajili ya maudhui haya. Ambapo anasema (swt):

170

l-Jam’u Baina as-Sahihayn Juz. 1, Uk. 192, Sahih Muslim Juz. 4, Uk. 1870, SuA nan Ibnu Maajah Juz. 1, Uk. 45 210

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 210

6/13/2013 2:10:56 PM


hata katika riwaya na Hadith kuna habari kwamba ambayo yatatokea kwa Waislamu yataelezea yaliyotokea katika kaumu ya Musa (as).Katika hadith kutoka kwa Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) tunakuta kwamba Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) ameashiria katika cheo cha Imam Ali kupitia cheo cha Haruna kwa Musa, pale alipomwambia: “Cheo chako kwangu ni kama cheo cha Haruna kwa Musa isipokuwa 3 hakuna utume baada yangu.” Abu Talib Jabali Imara la Imani Na hii ni Qur’ani inaeleza kisa kinachoafikiana na maudhui yetu, kana kwamba kimewekwa kwa ajili ya maudhui haya. Ambapo anasema (swt): ‫ﻪ‬‫ﻠﹶﻴ‬‫ﺎ ﻓﹶﻌ‬‫ﺑ‬‫ ﻛﹶﺎﺫ‬‫ﻳﻚ‬ ‫ﺇﹺﻥ‬‫ ◌ۖ ﻭ‬‫ﺑﹺّﻜﹸﻢ‬‫ﻦ ﺭ‬‫ ﻣ‬‫ﺎﺕ‬‫ﻴﹺّﻨ‬‫ﺎﺀَﻛﹸﻢ ﺑﹺﺎﻟﹾﺒ‬‫ ﺟ‬‫ﻗﹶﺪ‬‫ ﻭ‬‫ ﺍﻟﻠﱠـﻪ‬‫ﺑﹺّﻲ‬‫ﻘﹸﻮﻝﹶ ﺭ‬‫ﻠﹰﺎ ﺃﹶﻥ ﻳ‬‫ﺟ‬‫ﻠﹸﻮﻥﹶ ﺭ‬‫ﻘﹾﺘ‬‫ ﺃﹶﺗ‬‫ﻧﻪ‬‫ﺎ‬‫ ﺇﹺﳝ‬‫ﻢ‬‫ﻳﻜﹾﺘ‬ ‫ﻥﹶ‬‫ﻮ‬‫ﻋ‬‫ﺮ‬‫ ﺁﻝﹺ ﻓ‬‫ّﻦ‬‫ ﻣ‬‫ﻦ‬‫ﻣ‬‫ﺆ‬‫ﻞﹲ ﻣ‬‫ﺟ‬‫ﻗﹶﺎﻝﹶ ﺭ‬‫ﻭ‬ ‫ ﹶﻛﺬﱠﺍﺏ‬‫ ﹺﺮﻑ‬‫ﺴ‬‫ﻮ ﻣ‬ ‫ ﻫ‬‫ﻦ‬‫ﻱ ﻣ‬‫ﺪ‬‫ﻬ‬‫ ﻟﹶﺎ ﻳ‬‫ ◌ۖ ﹺﺇﻥﱠ ﺍﻟﻠﱠـﻪ‬‫ﻛﹸﻢ‬‫ﻌﺪ‬ ‫ﻳ‬ ‫ﺬﻱ‬ ‫ ﺍﻟﱠ‬‫ﺾ‬‫ﺑﻌ‬ ‫ﻜﹸﻢ‬‫ﺒ‬‫ﺼ‬‫ﻗﹰﺎ ﻳ‬‫ﺎﺩ‬‫ ﺻ‬‫ﻳﻚ‬ ‫ﺇﹺﻥ‬‫ ◌ۖ ﻭ‬‫ﻪ‬‫ﺬﺑ‬ ‫ﹶﻛ‬ “Na akasema mtumtu mmoja Muumini, katika watu wa Firauni, Imani “Na akasema mmoja Muumini, katika watuanayeficha wa Firauni, yake: Mtamuuwa mtu kwa sababu anasema Mola Wangu ni Mwenyezi Mungu?Na anayeficha Imani yake: Mtamuuwa mtu kwa sababu anasehali amewajia na hoja zilizo wazi? Na ikiwa ni mwongo basi uwongo wake ni juu ma Mola Wangunani ikiwa Mwenyezi Mungu? Na hali baadhi amewajia yake mwenyewe, ni mkweli yatawafika ya na hayo hoja zilizo wazi? Na ikiwa ni mwongo basi uwongo wake ni juu yake mwenyewe, na ikiwa ni mkweli yatawafika baadhi Suratul Inshiqaq: 19 ya hayo anayowaahidi. Hakika Mwenyezi Mungu hamwonTafsirul-Qumiy Uk. 717 (Manshuraati Dhawayl- Qurbaa). Al-Jam’u Baina goi as-Sahihayn Juz. 1, Uk. 192, Sahih Muslim Juz. 4, Uk. 1870, Sunan Ibnu Maajah Juz. 1, Uk. 45 apindukiaye mipaka, mwongo mkubwa.” 1 2 3

111

(Sura Mu’min: 28).

Qur’ani inazungumzia kwa namna ya wazi na dhahiri msingi wa kuficha, na inaelezea kwamba ni msingi sahihi na muhimu kwa masilahi ya daawa na walinganiaji, na msingi huu ni wakawaida, huyu hapa Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) mwanzo hakuamuru kuweka wazi imani ya wafuasi wake, wengi miongoni mwa Masahaba Uislamu wao ulibakia kuwa siri kwa muda, kila mmoja anaficha imani yake kwa muda, kisha audhihirishe kulingana na masilahi ya jumla. Na katika Aya zilizo tangulia Mwenyezi Mungu anaweka wazi namna gani muumini wa jamaa wa Firaun Haziqiyl, naye ni katika jamaa wa karibu wa Firaun na mtoto wa ami yake kama ilivyo katika baadhi ya hadith, alikuwa muumini mwenye kuficha imani, na hii ni nukta muhimu, kwani kwa kuwa kwake muumini imemuwezesha kuwa katika kundi la Musa kwa kuficha imani yake, na hivyo aliweza kuwa na daraja kubwa mbele ya Mwenyezi Mungu; kwa sababu atakuwa na dauru kubwa katika ujumbe na jihadi, atamtetea Nabii na ujumbe kwa nafasi kubwa zaidi, sawa kabisa na aliyokuwa akiyafanya ami yake Mtume wa Mwenyezi Mungu, Abu Talib (as). 211

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 211

6/13/2013 2:10:56 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

Tunamkuta Haziqiyl kwa kuficha imani yake alisema vitu ambavyo asingeweza kuvisema kama imani yake ingekuwa dhahiri. Acha tueleze majadiliano ambayo yalitokea baina ya mtu muumini anayeficha imani yake kama Abu Talib na kundi la makafiri la Firaun na kaumu yake na ambao kwa dauru yao ni kama makafiri wa kikuraishi, huenda tutatambua baadhi ya ukweli wenye faida katika utafiti wetu huu. Haziqiyl anafuatilizia kauli yake kwa maneno ya Qur’ani tukufu:

‫ل‬fَ ِ َّ ‫ ْ ِس‬iَ fِْ i fَifُ mُ ْ iَ fْ mَ iَ ‫ ِﰲ ْاﻷ َ ْر ِض‬fَ i fِ iِ fiَ ‫ َم‬fْ mَْ i‫ ا‬fُْ mmُْ i‫ ا‬fُ​ُ ‫َﳉ‬i ‫ ِم‬fَْ i fiَ َ i fۚ iَ ‫ َء‬fَ ‫اﻪﻠﻟ إِ ْن‬ َ َ ُ ‫ﲝ ِد‬iَ fi‫ا‬ َّ fَ m�ِ iَ ‫ إِ َّﻻ‬fُْ mifِ iْ ‫ أ‬fiَ ‫ى َو‬ ٰ ‫ أ َر‬fiَ ‫ إِ َّﻻ‬fُْ mi‫ أ ِر‬fiَ ‫ ُن‬fْ iَ fْ iِ ‫اب‬ ُ iَ َ ‫ ِم إِ ِ ّﱐ أ‬fَْ i fiَ fَ iَ ‫ي آ‬fِ َّi‫ل ا‬fَ َ i‫َو‬ ِ fَ iْ َ ‫ ِم ْاﻷ‬fْ iَ fَ mْ iِ fُْ mmَْ mَ‫ف ﻋ‬f “Enyi watu wangu! Leo mnaufalme, mmeshinda katika nchi; basi ni nani atakayetusaidia kutokana na adhabu ya Mwenyezi Mungu kama ikitufikia? Firaun akasema: Siwapi rai ila ile niliyoiona, wala siwaongozi ila kwenye njia ya uongofu. Na akasema yule aliyeamini: Hakika mimi nawahofia mfano wa siku ya makundi.” (Surat Mu’min; 40: 29 – 30).

Ndugu yangu msomaji Qur’ani tukufu inatia mkazo juu ya imani ya huyu mtu ambaye aliamini na akaweza kutekeleza jukumu la kuongoa kwa kulingania kutoka ndani ya kundi la ukafiri, vivyo hivyo ndivyo alivyokuwa anafanya Abu Talib, ambapo alikuwa anamtetea Mtume wa Mwenyezi Mungu na daawa kwa kila akiwezacho kwa kule kuwepo kwake ndani 212

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 212

6/13/2013 2:10:56 PM


“Enyi watu wangu! Leo mnaufalme,mmeshinda katika nchi; basi ni nani atakayetusaidia kutokana na adhabu ya Mwenyezi Mungu kama ikitufikia? Firaun akasema:Siwapi rai ila ile niliyoiona,wala siwaongozi ila kwenye njia ya uongofu. Na akasema yule aliyeamini:Hakika mimi Imara nawahofia mfano wa siku ya makundi.” Abu Talib Jabali la Imani (SuratMu’min; 40: 29 – 30). Ndugu yangu msomaji inatia mkazo ya imanikuwanasihi ya huyu mtu ambaye ya kundi la Qur’ani kikafiritukufu la Makuraishi, najuu anajaribu aliamini nanaakaweza la kuongoa kwa kulingania kutoka kuelezakutekeleza wazi fikrajukumu ya tauhidi kadri awezavyo, huenda wao ndani ya kundi la ukafiri, vivyo hivyo ndivyo alivyokuwa anafanya Abu Talib, ambapo wataongoka. Kwa sababu kwa kiburi chao hawatoweza kum- alikuwa anamtetea Mtume wa Mwenyezi Mungu na daawa kwa kila akiwezacho kwa kule sikiliza Nabii moja kwa moja lakini wao wanaweza kumsikikuwepo kwake ndani ya kundi la kikafiri la Makuraishi, na anajaribu kuwanasihi na lizafikra mtuyamiomngoni na haya wao ndiowataongoka. aliyokuwa Kwa akiyakueleza wazi tauhidi kadri mwao, awezavyo,huenda sababu kwa fanya Abu Talibkumsikiliza (as). kiburi chao hawatoweza Nabii moja kwa moja lakini wao wanaweza kumsikiliza mtu miomngoni mwao, nakuelezea haya ndio aliyokuwa Abu Talib Qur’ani inaendelea na kutoaakiyafanya maelekezo na (as).

mwongozo kupitia maneno ya Haziqiyl: Qur’aniinaendelea kuelezea na kutoa maelekezo na mwongozo kupitia maneno ya Haziqiyl: ‫ﺎﺩ‬‫ﺒ‬‫ّﻠﹾﻌ‬‫ﺎ ﻟ‬‫ ﻇﹸﻠﹾﻤ‬‫ ﹺﺮﻳﺪ‬‫ ﻳ‬‫ﺎ ﺍﻟﻠﱠـﻪ‬‫ﻣ‬‫ ◌ۚ ﻭ‬‫ﻢ‬‫ﻫ‬‫ﺪ‬‫ﻌ‬‫ﻦ ﺑ‬‫ ﻣ‬‫ﻳﻦ‬‫ﺍﻟﱠﺬ‬‫ ﻭ‬‫ﻮﺩ‬‫ﺛﹶﻤ‬‫ ﻭ‬‫ﺎﺩ‬‫ﻋ‬‫ﻮﺡﹴ ﻭ‬‫ﻡﹺ ﻧ‬‫ﺃﹾﺏﹺ ﻗﹶﻮ‬‫ﺜﹾﻞﹶ ﺩ‬‫ﻣ‬ 112 “Mfano wa hali ya watu wa Nuh na A’di na Thamudi na wale wa baada yao. Na Mwenyezi Mungu hataki kuwadhuMu’min: 31) “Mfano wa hali ya watu wa lumu Nuh nawaja.” A’di (Sura na Thamudi na wale wa baada yao. Na Mwenyezi Mungu hataki kuwadhulumu waja.” (Sura Mu’min: 31) “Mfano wa hali ya watu wa Nuh na A’di na Thamudi na wale wa baada yao. Na Mwenyezi Mungu hataki kuwadhulumu ‫ﺎﺩ‬‫ﻨ‬‫ ﺍﻟﺘ‬‫ﻡ‬‫ﻮ‬‫ ﻳ‬‫ﻜﹸﻢ‬‫ﻠﹶﻴ‬‫ﻋ‬waja.” ‫ﺎﻑ‬‫(ﺇﹺﻧﹺّﻲ ﺃﹶﺧ‬Sura ‫ﻡﹺ‬‫ﺎ ﻗﹶﻮ‬‫ﻳ‬‫ ﻭ‬Mu’min: 31) “Nawangu! enyi watu wangu! Siku yaMu’min: ku‫ﺎﺩ‬‫ﻨ‬‫ ﺍﻟﺘ‬‫ﻡ‬‫ﻮ‬‫ﻳ‬Hakika ‫ﻜﹸﻢ‬‫ﻠﹶﻴ‬‫ ﻋ‬‫ﺎﻑ‬‫ﺃﹶﺧ‬mimi ‫ﺇﹺﻧﹺّﻲ‬Siku ‫ﻡﹺ‬‫ﺎ ﻗﹶﻮ‬‫ﻳ‬nawahofia ‫ﻭ‬ya kunadi.” “Na enyi watu Hakika mimi nawahofia (Sura 32) “Mfano wa hali ya watu wanadi.” Nuh na (Sura A’di na Thamudi Mu’min: 32) na wale wa baada yao. Na Mwenyezi Mungu hataki kuwadhulumu waja.” (Sura Mu’min: 31)

“Na enyi watu wangu! Mu’min: 32) ‫ﺎﺩ‬‫ ﻫ‬‫ﻦ‬‫ ﻣ‬‫ﹶﻟﻪ‬Hakika ‫ﺎ‬‫ ﻓﹶﻤ‬‫ ﹺﻞ ﺍﻟﻠﱠـﻪ‬mimi ‫ﻠ‬‫ﻀ‬‫ﻦ ﻳ‬‫ﻣ‬‫ ﻭ‬nawahofia ۗ◌ ‫ﻢﹴ‬‫ﺎﺻ‬‫ ﻋ‬‫ﻦ‬‫ ﻣ‬‫ﻠﱠـﻪ‬Siku ‫ ﺍﻟ‬‫ّﻦ‬‫ﻜﹸﻢ ﻣ‬ya ‫ﺎ ﻟﹶ‬‫ﻣ‬kunadi.” ‫ﹺﺑ ﹺﺮﻳﻦ‬‫ﺪ‬‫ﻟﱡﻮﻥﹶ ﻣ‬‫ﻮ‬‫( ﺗ‬Sura ‫ﻡ‬‫ﻮ‬‫ﻳ‬ ‫ﺎﺩ‬‫ﻨ‬‫ ﺍﻟﺘ‬‫ﻡ‬‫ﻮ‬‫ ﻳ‬‫ﻜﹸﻢ‬‫ﻠﹶﻴ‬‫ ﻋ‬‫ﺎﻑ‬‫ﻡﹺ ﺇﹺﻧﹺّﻲ ﺃﹶﺧ‬‫ﺎ ﻗﹶﻮ‬‫ﻳ‬‫ﻭ‬

‫ﺎﺩ‬‫ ﻫ‬‫ﻦ‬‫ ﻣ‬‫ﺎ ﹶﻟﻪ‬‫ ﻓﹶﻤ‬‫ ﺍﻟﻠﱠـﻪ‬nyuma, ‫ﻠ ﹺﻞ‬‫ﻀ‬‫ﻦ ﻳ‬‫ﻣ‬‫ﻢﹴ ◌ۗ ﻭ‬‫ﺎﺻ‬‫ ﻋ‬‫ﻦ‬‫ ﻣ‬‫ ﺍﻟﻠﱠـﻪ‬‫ّﻦ‬‫ﻣ‬na ‫ﻟﹶﻜﹸﻢ‬wa ‫ﺎ‬‫ ﻣ‬‫ﻳﻦ‬kuwalinda ‫ﹺﺑ ﹺﺮ‬‫ﺪ‬‫ﻟﱡﻮﻥﹶ ﻣ‬‫ﻮ‬‫ ﺗ‬‫ﻡ‬‫ﻮ‬‫ ﻳ‬kwa Mwenyezi “Siku mtakapogeuka “Na enyi watukurudi wangu! Hakika mimihamtakuwa nawahofia Siku ya kunadi.” (Sura Mu’min: 32) Mungu. Na ambaye Mwenyezi Mungu amempoteza, basi huyo hana wa ‫ﺎﺩ‬‫ ﻫ‬‫ﻦ‬‫ ﻣ‬‫ﺎ ﹶﻟﻪ‬nyuma, ‫ﻤ‬33) ‫ ﻓﹶ‬‫ﻠ ﹺﻞ ﺍﻟﻠﱠـﻪ‬‫ﻀ‬‫ﻳ‬kurudi ‫ﻦ‬‫ﻣ‬hamtakuwa ‫ﻢﹴ ◌ۗ ﻭ‬‫ﺎﺻ‬‫ ﻋ‬‫ﻦ‬‫ﻣ‬nyuma, ‫ ﺍﻟﻠﱠـﻪ‬‫ّﻦ‬‫ﹸﻢ ﻣ‬ ‫ﺎ ﻟﹶﻜ‬‫ ﻣ‬wa ‫ﹺﺑ ﹺﺮﻳﻦ‬‫ﺪ‬‫ ﻣ‬kuwalinda ‫ﻟﱡﻮﻥﹶ‬‫ﻮ‬‫ ﺗ‬‫ﻡ‬‫ﻮ‬‫ﻳ‬ “Siku mtakapogeuka kurudi na kumwongoa.” (Sura mtakapogeuka Mu’min: “Siku hamtakuwa nakwa wa Mwenyezi Mungu. Na ­kambaye Mungu amempoteza, basi huyo hana wa uwalindaMwenyezi kwa Mwenyezi Mungu. Na ambaye Mwenyezi “Siku mtakapogeuka kurudi nyuma, hamtakuwa na wa kuwalinda kwa Mwenyezi kumwongoa.” (SuraNaMu’min: 33) Mungu amempoteza, huyo hana wa basi kumwongoa.” Mungu. ambaye Mwenyezibasi Mungu amempoteza, huyo hana wa 33) ‫ﻚ‬‫ﻮﻟﹰﺎ ◌ۚ ﻛﹶ ٰﺬﹶﻟ‬‫ﺳ‬‫ ﺭ‬‫ﻩ‬‫ﺪ‬kumwongoa.” ‫ﻌ‬‫ﻦ ﺑ‬‫ ﻣ‬‫ﺚﹶ ﺍﻟﻠﱠـﻪ‬‫ﻌ‬‫(ﺒ‬Sura ‫ ﻟﹶﻦ ﻳ‬‫ﻢ‬‫ﻠﹾﺘ‬Mu’min: ‫ ﻗﹸ‬‫ﻠﹶﻚ‬‫ ٰﻰ ﺇﹺﺫﹶﺍ ﻫ‬33) ‫ﺘ‬‫(ﺣ‬Sura ۖ◌ ‫ﹸﻢ ﺑﹺﻪ‬Mu’min: ‫ﺎﺀَﻛ‬‫ﺎ ﺟ‬‫ّﻤ‬‫ّ ﻣ‬‫ﻚ‬ ‫ﻲ ﺷ‬‫ ﻓ‬‫ﻢ‬‫ﺎ ﺯﹺﻟﹾﺘ‬‫ ﻓﹶﻤ‬‫ﺎﺕ‬‫ﻴﹺّﻨ‬‫ﻞﹸ ﺑﹺﺎﻟﹾﺒ‬‫ﻦ ﹶﻗﺒ‬‫ ﻣ‬‫ﻒ‬‫ﻮﺳ‬‫ ﻳ‬‫ﺎﺀَﻛﹸﻢ‬‫ ﺟ‬‫ﻟﹶﻘﹶﺪ‬‫ﻭ‬ ‫ﺎﺏ‬‫ﺗ‬‫ﺮ‬‫ ﻣ‬‫ ﹺﺮﻑ‬‫ﺴ‬‫ﻮ ﻣ‬ ‫ ﻫ‬‫ﻦ‬‫ ﻣ‬‫ﻞﱡ ﺍﻟﻠﱠـﻪ‬‫ﻳﻀ‬ ‫ﻚ‬‫ﻮﻟﹰﺎ ◌ۚ ﻛﹶ ٰﺬﹶﻟ‬‫ﺳ‬‫ ﺭ‬‫ﻩ‬‫ﺪ‬‫ﻌ‬‫ﻚ‬‫ﻦ ﺑ‬ ‫ ﻣ‬‫ﺚﹶ ﺍﻟﻠﱠـﻪ‬‫ﻌ‬‫ﺒ‬‫ ﻟﹶﻦ ﻳ‬‫ﻢ‬‫ ﻗﹸﻠﹾﺘ‬‫ﻠﹶﻚ‬‫ ٰﻰ ﺇﹺﺫﹶﺍ ﻫ‬‫ﺘ‬‫ ◌ۖ ﺣ‬‫ﺎﺀَﻛﹸﻢ ﺑﹺﻪ‬‫ﺎ ﺟ‬‫ّﻤ‬‫ّ ﻣ‬‫ﻚ‬‫ﻲ ﺷ‬‫ ﻓ‬‫ﻢ‬‫ﺎ ﺯﹺﻟﹾﺘ‬‫ ﻓﹶﻤ‬‫ﺎﺕ‬‫ﻴﹺّﻨ‬‫ﻞﹸ ﺑﹺﺎﻟﹾﺒ‬‫ﻦ ﹶﻗﺒ‬‫ ﻣ‬‫ﻒ‬‫ﻮﺳ‬‫ ﻳ‬‫ﺎﺀَﻛﹸﻢ‬‫ ﺟ‬‫ﻟﹶﻘﹶﺪ‬‫ﻭ‬ ‫ﻮﻟﹰﺎ ۚ ﻛﹶ ٰﺬﹶﻟ‬‫ﺳ‬‫ ﺭ‬‫ﻩ‬‫ﺪ‬‫ﻌ‬‫ﻦ ﺑ‬‫ ﻣ‬‫ﺚﹶ ﺍﻟﻠﱠـﻪ‬‫ﻌ‬‫ﺒ‬‫ ﻟﹶﻦ ﻳ‬‫ﻢ‬‫ ﻗﹸﻠﹾﺘ‬‫ﻠﹶﻚ‬‫ ٰﻰ ﹺﺇﺫﹶﺍ ﻫ‬‫ﺣﺘ‬ ۖ ‫ﺎﺀَﻛﹸﻢ ﺑﹺﻪ‬‫ﺎ ﺟ‬‫ﻤ‬‫ّ ّﻣ‬‫ﻚ‬‫ﻲ ﺷ‬‫ ﻓ‬‫ﻢ‬‫ﺎ ﺯﹺﻟﹾﺘ‬‫ ﻓﹶﻤ‬‫ﺎﺕ‬‫ﻴﹺّﻨ‬‫ﻞﹸ ﺑﹺﺎﻟﹾﺒ‬‫ﻦ ﹶﻗﺒ‬‫ ﻣ‬‫ﻒ‬‫ﻮﺳ‬‫ ﻳ‬‫ﺎﺀَﻛﹸﻢ‬‫ ﺟ‬‫ﻟﹶﻘﹶﺪ‬‫ﻭ‬ ‫ﺏ‬ ‫ﺎ‬‫ﺗ‬‫ﺮ‬‫ ﻣ‬‫ﻑ‬ ‫ ﹺﺮ‬‫ﺴ‬‫ﻮ ﻣ‬ ‫ ﻫ‬‫ﻦ‬‫ ﻣ‬‫ﻞﱡ ﺍﻟﻠﱠـﻪ‬‫ﻳﻀ‬ Yusuf zamani kwa dalili zilizo wazi,‫ﺎﺏ‬‫ﺗ‬lakini ‫ﺮ‬‫ ﻣ‬‫ ﹺﺮﻑ‬‫ﺴ‬‫ﻮ ﻣ‬ ‫ ﻫ‬nyinyi ‫ﻦ‬‫ ﻣ‬‫ﻀﻞﱡ ﺍﻟﻠﱠـﻪ‬  ‫ﻳ‬mliendelea “Na alikwishawajia katika shaka kwa yale aliyowaletea; mpaka alipokufa mkasema: Mwenyezi Mungu “Na alikwishawajia Yusuf zamani kwa dalili zilizo wazi, lakini nyinyi mliendelea “Na alikwishawajia kwampaka dalili zilizo wazi, lakini nyinyi mliendelea hataleta tena Mtume baada yake. Kama hivyo Mwenyezi Mungu humpoteza yule katika shakaYusuf kwa yalezamani aliyowaletea; alipokufa mkasema: Mwenyezi Mungu 213 katika shaka kwa yaleMtume aliyowaletea; alipokufa mkasema: Mwenyezi aliyepita kiasi mwenye shaka.” (Sura Mu’min: 34) hataleta tena baada yake.mpaka Kama hivyo Mwenyezi Mungu humpoteza yule Mungu aliyepita kiasi baada mwenye shaka.” Mu’min: hataleta tena Mtume yake. (Sura Kama hivyo34)Mwenyezi Mungu humpoteza yule aliyepita kiasi mwenye shaka.” (Sura Mu’min: 34) ‫ﻜﹶﺒﹺّﺮﹴ‬‫ﺘ‬‫ﹴﺮﻠﹶ ٰﻰ ﻛﹸﻞﹺّ ﻗﹶﻠﹾﺐﹺ ﻣ‬‫ ﹶﻜّﹺﺒﻋ‬‫ﺘﻪ‬‫ﻣ‬‫ ﻗﹶﻠﹾﺍﻟﻠﺐﹺﱠـ‬‫ﺒﻞﹺّﻊ‬‫ﻳٰﻰﻄﹾﻛﹸ‬ ‫ﻠﹶ‬‫ﻚ‬ ‫ ﺍﻟﻛﹶﻠ ٰﺬﹶ‬‫ﺒ◌ۚﻊ‬‫ﻳﻄﹾ‬‫ﻮﺍ‬ ‫◌ۖ◌ۖ ﹶﻛﹶ‬‫ﻢ‬‫ﻫ‬‫ﺎﻢ‬‫ﺎ ﹶﺃﺗﻫ‬‫ﻄﹶﺎﺃﹶﺗﻥ‬‫ﻠﹾﻥ‬‫ﺮﹺﻄﹶﺎﺳ‬‫ﻠﹾﻴ‬‫ﻐ‬‫ ﺑﹺﺳ‬‫ﱠـﻪ‬ ‫ﺮﹺ‬‫ﻠﻴ‬‫ ﺑﹺﺍﻟﻐ‬‫ﺕ‬‫ﱠـﻪ‬ ‫ ﻓﺍﻟ‬‫ﺕ‬ ‫ﻟﹸﻮﺍﻟﱠﹶ‬‫ﺎﺩ‬‫ﺠ‬‫ ﻳ‬‫ﻳﻦ‬‫ﺍﻟﱠﺬ‬ ‫ ﻋ‬‫ﻪ‬‫ﱠـﻟ‬ ‫ﻨﻚ‬‫ﻟ‬‫ﻛﹶﺁ ٰﺬﹶﻣ‬‫ﻳ◌ۚﻦ‬‫ﻮﺍﺬ‬‫ﻣﺍﻨﻟﱠ‬ ‫ﺁ‬‫ﺪ‬‫ﻨﻦ‬‫ﻳﻋ‬‫ﺬ‬‫ ﺍﻟﱠﻭ‬‫ﺪ‬‫ﻨﻪ‬‫ﱠـ‬ ‫ﻋ‬‫ﺍﻟﻠﻭ‬‫ﱠـﻪ‬‫ﻨﺍﻟﻠﺪ‬‫ﻋ‬‫ﻨﺪ‬‫ﺎﻋ‬‫ﺎﻘﹾﺘ‬‫ﺘ‬‫ﻘﹾﻣ‬‫ﺮ ﻣ‬‫ﺮ‬‫ﺒ‬‫ﻛﺒ‬ ‫ﺎ‬‫ﻲﻠ ﺁﻳ‬ ‫ﺎﻟﹸﻮ ﹶﻥ‬‫ﺎﻳﺩ‬‫ﻲﺠﺁ‬ ‫ ﻳ‬‫ﻳﻓﻦ‬‫ﻥﺬ‬ 02_Abu Talib_13_June_2013.indd 213 ‫ﺎ ﹴﺭ‬‫ﺟﺒ‬6/13/2013 2:10:57 PM ‫ﺎﺭﹴ‬‫ﺒ‬‫ﺟ‬


‫ﺎﺩ‬‫ﻨ‬‫ ﺍﻟﺘ‬‫ﻡ‬‫ﻮ‬‫ ﻳ‬‫ﻜﹸﻢ‬‫ﻠﹶﻴ‬‫ ﻋ‬‫ﺎﻑ‬‫ﻡﹺ ﺇﹺﻧﹺّﻲ ﺃﹶﺧ‬‫ﺎ ﻗﹶﻮ‬‫ﻳ‬‫ﻭ‬

“Mfano wawatu hali wangu! ya watuHakika wa Nuh na nawahofia A’di na Thamudi wale wa baada yao. Na “Na enyi mimi Siku ya na kunadi.” (Sura Mu’min: 32) Mwenyezi Mungu hataki kuwadhulumu waja.” (Sura Mu’min: 31) ‫ﺎﺩ‬‫ﻫ‬watu ‫ﻦ‬‫ ﻣ‬‫ﺎ ﹶﻟﻪ‬‫ﻤ‬wa ‫ﻓﹶ‬Talib ‫ﻠﱠـﻪ‬Nuh ‫ﻠ ﹺﻞ ﺍﻟ‬‫ﻀ‬Jabali ‫ ﻳ‬na ‫ﻦ‬‫ﻣ‬‫◌ۗ ﻭ‬A’di ‫ﻢﹴ‬‫ﺎﺻ‬‫ﻋ‬Imara ‫ﻦ‬‫ ﻣ‬‫ﻪ‬Thamudi ‫ ﺍﻟﻠﱠـ‬‫ّﻦ‬‫ﻣ‬la ‫ﺎ ﻟﹶﻜﹸﻢ‬Imani ‫ ﻣ‬na ‫ﹺﺑ ﹺﺮﻳﻦ‬‫ﺪ‬wale ‫ﻟﱡﻮﻥﹶ ﻣ‬‫ﻮ‬‫ﺗ‬wa ‫ﻡ‬‫ﻮ‬‫ ﻳ‬baada yao. Na Abu “Mfano wa hali ya na ‫ﺎﺩ‬‫ﻨ‬‫ ﺍﻟﺘ‬‫ﻡ‬‫ﻮ‬‫ ﻳ‬‫ﻜﹸﻢ‬‫ﻠﹶﻴ‬‫ ﻋ‬waja.” ‫ﺎﻑ‬‫( ﺇﹺﻧﹺّﻲ ﺃﹶﺧ‬Sura ‫ﻡﹺ‬‫ﺎ ﻗﹶﻮ‬‫ﻳ‬‫ ﻭ‬Mu’min: 31) Mwenyezi Mungu hataki kuwadhulumu “Siku mtakapogeuka kurudi nyuma, hamtakuwa na wa kuwalinda kwa Mwenyezi “Na enyi watu Hakika mimi (Sura Mu’min: Mungu. Na wangu! ambaye Mwenyezi basi huyo hana32)wa ‫ﺎﺩ‬‫ﻨ‬‫ ﺍﻟﺘ‬‫ﻡ‬‫ﻮ‬nawahofia ‫ ﻳ‬‫ﻢ‬Mungu ‫ﻜﹸ‬‫ﻠﹶﻴ‬‫ ﻋ‬‫ﺎﻑ‬‫ّﻲ ﺃﹶﺧ‬Siku ‫ﻧﹺ‬amempoteza, ‫ﻡﹺ ﺇﹺ‬‫ﺎ ﻗﹶﻮ‬‫ﻳ‬‫ﻭ‬ya kunadi.” “Na alikwisha zamani kwa dalili zilizo wazi, kumwongoa.” (Surawajia Mu’min:Yusuf 33) ‫ﺎﺩ‬‫ ﻫ‬‫ﻦ‬mliendelea ‫ ﻣ‬‫ ﹶﻟﻪ‬Hakika ‫ﺎ‬‫ ﻓﹶﻤ‬‫ﻠ ﹺﻞ ﺍﻟﻠﱠـﻪ‬mimi ‫ﻀ‬‫ﻦ ﻳ‬‫ﻣ‬‫◌ۗ ﻭ‬nawahofia ‫ﻢﹴ‬‫ﺎﺻ‬‫ ﻋ‬‫ﻦ‬‫ ﻣ‬‫ﺍﻟﻠﱠـﻪ‬Siku ‫ﻦ‬shaka ّ‫ﻜﹸﻢ ﻣ‬ya ‫ﺎ ﻟﹶ‬‫ ﻣ‬kunadi.” ‫ﹺﺑ ﹺﺮﻳﻦ‬‫ﺪ‬kwa ‫ﻟﱡﻮﻥﹶ ﻣ‬‫ﻮ‬‫ ﺗ‬‫(ﻡ‬Sura ‫ﻮ‬‫ﻳ‬yale lakini katika aliyow“Na enyi nyinyi watu wangu! Mu’min: 32)

aletea; mpaka alipokufa mkasema: Mwenyezi Mungu ‫ﻚ‬‫ﻛﹶ ٰﺬﹶﻟ‬mtakapogeuka ۚ ‫ﻮﻟﹰﺎ‬‫ﺳ‬‫ ﺭ‬‫ﻩ‬‫ﺪ‬‫ﻌ‬‫ﻦ ﺑ‬‫ ﻣ‬‫ﻪ‬‫ﱠـﺩ‬ ‫ﻠ ﹺﻞﻚ‬‫ﻠﹶ‬‫ﻀ‬ ‫ ﻫ‬‫ﻦﺫﹶﺍﻳ‬ ‫ ٰﻰﻣ ﹺﺇ‬‫ﻭ‬‫ﺣﺘ‬ۗ◌hamtakuwa ۖ ‫ﻢﹴ‬‫ﻪ‬‫ﺻ‬ ‫ﺎﹸﻢ ﺑﹺ‬‫ﺀَﻛﻋ‬‫ﺎﻦ‬‫ﺟ‬‫ ﻣ‬‫ﺎﻪ‬‫ﱠـ‬ ‫ﻤ‬‫ّﺍﻟﻠّﻣ‬‫ﻚ‬‫ﻦ‬‫ﺷ‬na ‫ﻲ‬‫ ﻓﻜ‬wa ‫ﻒ‬‫ﻮﺳ‬‫ﻳ‬Mwenyezi ‫ﺎﺀَﻛﹸﻢ‬‫ ﺟ‬‫ﻟﹶﻘﹶﺪ‬‫ﻭ‬ “Siku ‫ﺎ‬‫ﺍﻟﻠﻫ‬‫ﻦ‬‫ﺚﹶﻣ‬kurudi ‫ﻪ‬‫ﹶﻟﻌ‬‫ﺎﺒ‬‫ﻟ ﻓﹶﹶﻦﻤﻳ‬‫ﻪ‬‫ﱠـﻢ‬‫ﺍﻟﻗﹸﻠﻠﹾﺘ‬nyuma, ّ‫ﹸﻢ ﻣ‬ ‫ﻟﹶ‬‫ﺎﻢ‬‫ﺯﹺﻟﹾﻣﺘ‬‫ﺎﻦ‬kuwalinda ‫ﹺﺑﻓﹶ ﹺﺮﻤﻳ‬‫ﺪ‬‫ﺕ‬ ‫ﺎ ﻣ‬‫ﱡﻮﻴﹺّﻨﻥﹶ‬‫ﹺﺎﻟﻟﹾﺒ‬‫ﺑﻮ‬‫ﻞﹸ ﺗ‬‫ﻡ‬‫ﺒ‬‫ﹶﻗﻮ‬‫ﻦ ﻳ‬‫ﻣ‬kwa hataleta Mtume baada yake. Kama hivyo Mungu. Natena ambaye Mwenyezi Mungu amempoteza, basi ‫ﺎﺏ‬‫ﺗ‬‫ﺮ‬‫ ﻣ‬‫ﻑ‬huyo ‫ ﹺﺮ‬‫ﺴ‬‫ﻣ‬Mwenyezi ‫ﻮ‬ ‫ ﻫ‬‫ﻦ‬hana ‫ ﻣ‬‫ﻀﻞﱡ ﺍﻟﻠﱠـﻪ‬ wa ‫ﻳ‬ kumwongoa.” (Sura Mu’min: 33) Mungu humpoteza kiasi mwenye shaka.” “Siku mtakapogeuka kurudiyule nyuma,aliyepita hamtakuwa na wa kuwalinda kwa Mwenyezi

Mungu. Na ambayeYusuf Mwenyezi basi nyinyi huyo mliendelea hana wa “Na alikwishawajia zamani Mungu kwa daliliamempoteza, zilizo wazi, lakini kumwongoa.” Mu’min: 33) katika shaka (Sura kwa yale aliyowaletea; mpaka alipokufa mkasema: Mwenyezi Mungu ‫ﻚ‬hataleta ‫ﻮﻟﹰﺎ ◌ۚ ﻛﹶ ٰﺬﹶﻟ‬‫ﺳ‬‫ ﺭ‬‫ﻩ‬tena ‫ﺪ‬‫ﻌ‬‫ﻦ ﺑ‬‫ ﻣ‬Mtume ‫ﺚﹶ ﺍﻟﻠﱠـﻪ‬‫ﻌ‬‫ﺒ‬‫ﹶﻦ ﻳ‬ ‫ ﻟ‬‫ﻢ‬‫ ﻗﹸﻠﹾﺘ‬‫ﻠﹶﻚ‬‫ﻫ‬yake. ‫ ٰﻰ ﺇﹺﺫﹶﺍ‬‫ﺘ‬‫ ﺣ‬Kama ۖ◌ ‫ﺎﺀَﻛﹸﻢ ﺑﹺﻪ‬‫ﺟ‬hivyo ‫ﺎ‬‫ّﻤ‬‫ّ ﻣ‬‫ﻚ‬‫ﺷ‬Mwenyezi ‫ﻲ‬‫ ﻓ‬‫ﻢ‬‫ﺎ ﺯﹺﻟﹾﺘ‬‫ ﻓﹶﻤ‬‫ﺎﺕ‬Mungu ‫ﻴﹺّﻨ‬‫ﻞﹸ ﺑﹺﺎﻟﹾﺒ‬‫ﻦ ﹶﻗﺒ‬‫ ﻣ‬‫ﻒ‬ ‫ﻮﺳ‬‫ ﻳ‬‫ﺎﺀَﻛﹸﻢ‬‫ ﺟ‬‫ﻟﹶﻘﹶﺪ‬‫ﻭ‬yule baada humpoteza ‫ﺏ‬aliyepita ‫ﺎ‬‫ﺗ‬‫ﺮ‬‫ ﻣ‬‫ ﹺﺮﻑ‬‫ﺴ‬‫ﻮ ﻣ‬ ‫ﻫ‬kiasi ‫ﻦ‬‫ ﻣ‬‫ﱠـﻪ‬mwenye ‫ﻞﱡ ﺍﻟﻠ‬‫ﻳﻀ‬ shaka.” (Sura Mu’min: 34) ‫ﻚ‬‫ﻮﻟﹰﺎ ۚ ﻛﹶ ٰﺬﹶﻟ‬‫ﺳ‬‫ ﺭ‬‫ﻩ‬‫ﺪ‬‫ﻌ‬‫ﻦ ﺑ‬‫ ﻣ‬‫ﺚﹶ ﺍﻟﻠﱠـﻪ‬‫ﻌ‬‫ﺒ‬‫ ﻟﹶﻦ ﻳ‬‫ﻢ‬‫ ﻗﹸﻠﹾﺘ‬‫ﻠﹶﻚ‬‫ ٰﻰ ﹺﺇﺫﹶﺍ ﻫ‬‫ﺣﺘ‬ ۖ ‫ﺎﺀَﻛﹸﻢ ﺑﹺﻪ‬‫ﺎ ﺟ‬‫ﻤ‬‫ّ ّﻣ‬‫ﻚ‬‫ﻲ ﺷ‬‫ ﻓ‬‫ﻢ‬‫ﺎ ﺯﹺﻟﹾﺘ‬‫ ﻓﹶﻤ‬‫ﺎﺕ‬‫ﻴﹺّﻨ‬‫ﻞﹸ ﺑﹺﺎﻟﹾﺒ‬‫ﻦ ﹶﻗﺒ‬‫ ﻣ‬‫ﻒ‬‫ﻮﺳ‬‫ ﻳ‬‫ﺎﺀَﻛﹸﻢ‬‫ ﺟ‬‫ﻟﹶﻘﹶﺪ‬‫ﻭ‬ ‫ﺘ ﹶﻜّﹺﺒ ﹴﺮ‬‫ﻣ‬ alikwishawajia ‫ﻠﹶ ٰﻰ ﻛﹸﻞﹺّ ﻗﹶﻠﹾﺐﹺ‬‫ ﻋ‬‫ ﺍﻟﻠﱠـﻪ‬‫ﺒﻊ‬‫ﻳﻄﹾ‬Yusuf ‫ﻚ‬‫ ◌ۚ ﻛﹶ ٰﺬﹶﻟ‬zamani ‫ﻮﺍ‬‫ﻣﻨ‬ ‫ ﺁ‬‫ﻳﻦ‬‫ ﺍﻟﱠﺬ‬‫ﺪ‬kwa ‫ﻨ‬‫ﻋ‬‫ ﻭ‬‫ﻠﱠـﻪ‬dalili ‫ ﺍﻟ‬‫ﻨﺪ‬‫ﺎ ﻋ‬‫ﻘﹾﺘ‬‫ﻣ‬zilizo ‫ﺮ‬ ‫ ◌ۖ ﹶﻛﺒ‬‫ﻢ‬wazi, ‫ﺎﻫ‬‫ ﹶﺃﺗ‬‫ﻠﹾﻄﹶﺎﻥ‬lakini ‫ ﺳ‬‫ﺏ‬ ‫ﺮﹺ‬‫ﻴ‬‫ﺎﻐ‬‫ﺗﺑﹺ‬‫ﺮ‬‫ﻪ‬‫ﱠـﻣ‬‫ﻑ‬nyinyi ‫ ﹺﺮﺍﻟﻠ‬‫ﺴ‬ ‫ﺕ‬‫ﺎﻣ‬‫ﻮﻳ‬‫ ﺁ‬‫ﻲﻫ‬‫ ﻓﻦ‬mliendelea ‫ﺎﺩ‬‫ ﺍﻟﺠﻠ‬‫ﻞﱡﻳ‬‫ﻀﻦ‬ “Na ‫ﹸﻮ ﹶﻥﻣ‬‫ﱠـﻟﻪ‬  ‫ﻳ‬‫ﻳﺬ‬‫ﺍﻟﱠ‬ ‫ﺎ ﹴﺭ‬‫ﺟﺒ‬ katika shaka kwa yale aliyowaletea; mpaka alipokufa mkasema: Mwenyezi Mungu hataleta tena Mtume baada yake. Kama hivyo Mwenyezi Mungu humpoteza yule “Na alikwishawajia Yusuf zamani kwa dalili zilizo wazi, lakini nyinyi mliendelea aliyepita kiasi mwenye shaka.” (Sura Mu’min: 34) katika yale aliyowaletea; mpaka za alipokufa mkasema: Mwenyezi Mungu “Waleshaka ambaokwa wanajadiliana katika Ishara Mwenyezi Mungu bila ya dalili yoyote

(Sura Mu’min: 34)

hataleta tenaambao Mtume baada yake. Kama hivyo Mwenyezi humpoteza yule iliyowafikia, ni chukizo kubwa mbele ya Mwenyezi MunguMungu naza mbele ya walioamini. “Wale wanajadiliana katika Ishara Mwenyezi ‫ ﹴﺮ‬aliyepita ّ‫ﻜﹶﺒﹺ‬Hivi ‫ﺘ‬‫ﻞﹺّ ﻗﹶﻠﹾﺐﹺ ﻣ‬ndivyo ‫ ﻛﹸ‬kiasi ‫ﻠﹶ ٰﻰ‬‫ ﻋ‬‫ﱠـﻪ‬mwenye ‫ﺍﻟﻠ‬Mwenyezi ‫ﺒﻊ‬‫ﻳﻄﹾ‬ ‫ﻚ‬‫ﻛﹶ ٰﺬﹶﻟ‬shaka.” ۚ◌ ‫ﻮﺍ‬‫ﻨ‬‫ﻣ‬Mungu ‫ ﺁ‬‫ﻳﻦ‬‫(ﺬ‬Sura ‫ ﺍﻟﱠ‬‫ﻨﺪ‬‫ﻋ‬‫ ﻭ‬‫ﻪ‬apigavyochapa ‫ﱠـ‬ ‫ ﺍﻟﻠ‬‫ﻨﺪ‬‫ﺎ ﻋ‬‫ﻘﹾﺘ‬‫ﺮ ﻣ‬ ‫ﺒ‬34) ‫ ◌ۖ ﹶﻛ‬‫ﻢ‬‫ﺎﻫ‬‫ﺗ‬juu ‫ ﺃﹶ‬‫ﻠﹾﻄﹶﺎﻥ‬‫ ﺳ‬ya ‫ﺮﹺ‬‫ﻴ‬‫ ﺑﹺﻐ‬‫ﱠـﻪ‬ ‫ ﺍﻟﻠ‬‫ﺎﺕ‬‫ﺁﻳ‬moyo ‫ﻲ‬‫ﻟﹸﻮ ﹶﻥ ﻓ‬‫ﺎﺩ‬‫ﺠ‬wa ‫ ﻳ‬‫ﻳﻦ‬‫ﺍﻟﱠﺬ‬jeuri Mu’min: kila Mungu bila ya dalili yoyote iliyowafikia, ni chukizo kubwa ‫ﺎﺭﹴ‬‫ﺒ‬anayejivuna.” ‫ﺟ‬ (Sura Mu’min: 35) mbele ya ‫ﺘ ﹶﻜّﹺﺒ ﹴﺮ‬‫ﻣ‬ ‫ﻠﹶ ٰﻰ ﻛﹸﻞﹺّ ﻗﹶﻠﹾﺐﹺ‬‫ ﻋ‬‫ﱠـﻪ‬Mwenyezi ‫ ﺍﻟﻠ‬‫ﺒﻊ‬‫ﻳﻄﹾ‬ ‫ﻚ‬‫ﻮﺍ ◌ۚ ﻛﹶ ٰﺬﹶﻟ‬‫ﻣﻨ‬ ‫ ﺁ‬Mungu ‫ﻳﻦ‬‫ ﺍﻟﱠﺬ‬‫ﻨﺪ‬‫ﻋ‬‫ ﻭ‬‫ﺍﻟﻠﱠـﻪ‬na ‫ﻨﺪ‬‫ﺎ ﻋ‬‫ﻘﹾﺘ‬mbele ‫ﺮ ﻣ‬ ‫ ◌ۖ ﹶﻛﺒ‬‫ﻢ‬‫ﺎﻫ‬‫ ﹶﺃﺗ‬ya ‫ﻠﹾﻄﹶﺎﻥ‬‫ﺳ‬walioamini. ‫ﺮﹺ‬‫ﻴ‬‫ ﺑﹺﻐ‬‫ ﺍﻟﻠﱠـﻪ‬‫ﺎﺕ‬‫ﻲ ﺁﻳ‬‫ﻟﹸﻮ ﹶﻥ ﻓ‬‫ﺎﺩ‬‫ﺠ‬Hivi ‫ ﻳ‬‫ﻳﻦ‬‫ﺍﻟﱠﺬ‬ ndivyo Mwenyezi Mungu apigavyo chapa juu yayakila ‫ﺎﺏ‬katika ‫ﺒ‬‫ﻠﹸﻎﹸ ﺍﻟﹾﺄﹶﺳ‬‫ّﻲ ﹶﺃﺑ‬Ishara ‫ﻠ‬‫ﻌ‬ ‫ﺎ ﻟﱠ‬‫ﺣ‬‫ﺮ‬‫ﻲ ﺻ‬ ‫ﻦﹺ ﻟ‬‫ﺑ‬Mwenyezi ‫ﺎﻥﹸ ﺍ‬‫ﺎﻣ‬‫ﺎ ﻫ‬‫ﻥﹸ ﻳ‬‫ﻋﻮ‬ ‫ﺮ‬‫ﻓ‬Mungu ‫ﻗﹶﺎﻝﹶ‬‫ﻭ‬ ‫ﺎ ﹴﺭ‬‫ﺟﺒ‬ “Wale ambao wanajadiliana za bila dalilimoyo yoyote iliyowafikia, ni chukizo kubwa mbele ya Mwenyezi Mungu na mbele (Sura Mu’min: 35) ya walioamini. wa jeuri anayejivuna.” Hivi Mungu apigavyochapa juu Mungu yaili kila moyo wa yoyote jeuri “Na ndivyo Firauni akasema: Ewe Hamana! mnara nipate kuzifikia njia.” “Wale ambao Mwenyezi wanajadiliana katika IsharaNijengee za Mwenyezi bila ya dalili anayejivuna.” (Sura Mu’min: 35) (Sura Mu’min: 36) iliyowafikia, ni chukizo kubwa mbele ya Mwenyezi Mungu na mbele ya walioamini. Hivi ndivyo Mwenyezi Mungu apigavyochapa juu ya kila moyo wa jeuri ‫ﻮﻠﹸﺀُﻎﹸ‬‫ﻠﻥﹶّﻲﺳﹶﺃﺑ‬‫ﻌ‬‫ﻟﱠﻮ‬‫ﺎﻋ‬‫ﺣﺮ‬‫ﻔ‬‫ﺮ‬‫ ﻟ‬‫ﺻ‬‫ﻳﹺّﻦ‬‫ﻲﺯ‬‫ﻟ‬‫ﻦﹺﻚ‬‫ﻟ‬‫ﻥﹸﻛﹶ ﺍٰﺬﹶﺑ‬‫ﺎﻭ‬‫◌ۚﻣ‬ ‫ﺎ‬‫ﺎ ﻫ‬‫ﺎ‬‫ﺫﻳﺑ‬ ‫ﻛﻥﹸﹶﺎ‬‫ﻋﻮ‬‫ﻪ‬‫ﺮ‬‫ﻇﹸﻨ‬‫ّﻲﹶﺎ ﻟﻝﹶﹶﺄ ﻓ‬ ‫ﻗ‬‫ﺇﹺﻧﹺﻭ‬‫ﺳ ٰﻰ ﻭ‬ ‫ﻮ‬‫ ﻣ‬‫ـﻪ‬ ‫ﻲ‬‫ﻥﹶ ﹺﺇﻟﱠﺎ ﻓ‬‫ﻮ‬‫ﻋ‬‫ﺮ‬‫ ﻓ‬‫ﺪ‬‫ﺎ ﹶﻛﻴ‬‫ﻭﻣ‬ (Sura ۚ◌ ‫ﺴﺒﹺﻴ ﹺﻞ‬  ‫ﺍﻟ‬Mu’min: ‫ﻦﹺ‬‫ ﻋ‬‫ﺻﺪ‬ ‫ﻭﺏ‬‫ﺎ‬‫ﺒ‬‫ﻪ‬‫ﺳ‬‫ﻠ‬‫ﻟﹾﺄﹶﻤ‬‫ ﺍﻋ‬35) ٰ ‫ﻊ ﺇﹺﻟﹶ ٰﻰ ﺇﹺﻟﹶ‬ ‫ﻠ‬‫ ﹶﻓﹶﺄﻃﱠ‬‫ﺍﺕ‬‫ﺎﻭ‬‫ﻤ‬‫ ﺍﻟﺴ‬‫ﺎﺏ‬‫ﺒ‬‫ﺃﹶﺳ‬ anayejivuna.” ‫ﺏ‬ ‫ﺎ ﹴ‬‫ﺗﺒ‬ “Na Firauni akasema: Ewe ‫ﺎﺏ‬‫ﺒ‬‫ﺄﹶﺳ‬Hamana! ‫ﻠﹸﻎﹸ ﺍﻟﹾ‬‫ﻠّﻲ ﹶﺃﺑ‬‫ﻌ‬ ‫ﺎ ﻟﱠ‬‫ﺣ‬‫ﺮ‬‫ﺻ‬Nijengee ‫ﻲ‬‫ﻦﹺ ﻟ‬‫ﺎﻥﹸ ﺍﺑ‬‫ﺎﻣ‬‫ ﻫ‬mnara ‫ﺎ‬‫ﻥﹸ ﻳ‬‫ﻋﻮ‬ ‫ﺮ‬‫ﻗﹶﺎﻝﹶ ﻓ‬ili ‫ ﻭ‬nipate kuzifikia njia.” (Sura 36) ili nikamwone Mungu wa Musa. Na kwa hakika mimi bila ya “NjiaMu’min: za mbinguni

“Na Firauni akasema: Ewe Hamana! Nijengee mnara ili ni“Na Firauni akasema: Ewe Hamana! Nijengee ilialivyopambiwa nipate kuzifikia njia.” shaka namjua kuwa ni mwongo tu. Na hivi ndivyomnara Firauni ubaya wa pate Mu’min: ‫ﻲ‬(Sura ‫ﻓ‬vitendo ‫ﻥﹶ ﺇﹺﻟﱠﺎ‬‫ﻮ‬‫ﻋ‬kuzifikia ‫ﺮ‬Mu’min: ‫ ﻓ‬‫ﺪ‬‫ﹶﻛﻴ‬vyake, ‫ﺎ‬‫ﻣ‬‫ﻞﹺ ◌ۚ ﻭ‬36) ‫ﺒﹺﻴ‬na ‫ﺍﻟﺴ‬njia.” ‫ﻦﹺ‬akazuiliwa ‫ ﻋ‬‫ﺻﺪ‬  ‫ ﻭ‬‫ﻪ‬‫ﻠ‬‫(ﻤ‬Sura ‫ﻮﺀُ ﻋ‬‫ﻥﹶ ﺳ‬Njia. ‫ﻮ‬‫ﻋ‬‫ﺮ‬‫ﻔ‬‫ ﻟ‬‫ﻳﹺّﻦ‬Na ‫ ﺯ‬‫ﻚ‬36) ‫ ٰﺬﹶﻟ‬vitimbi ‫ﻛﹶ‬‫ﺎ ◌ۚ ﻭ‬‫ﺑ‬‫ ﻛﹶﺎﺫ‬vya ‫ﻪ‬‫ّﻲ ﹶﻟﹶﺄﻇﹸﻨ‬Firauni ‫ﺇﹺﻧﹺ‬‫ ٰﻰ ﻭ‬‫ﻮﺳ‬‫ ﻣ‬‫ـﻪ‬ ٰ havikuwa ‫ﻊ ﺇﹺﻟﹶ ٰﻰ ﺇﹺﻟﹶ‬ ‫ﻠ‬‫ ﹶﻓﹶﺄﻃﱠ‬‫ﺍﺕ‬‫ﻭ‬ila ‫ﺎ‬‫ﻤ‬‫ ﺍﻟﺴ‬katika ‫ﺎﺏ‬‫ﺒ‬‫ﺃﹶﺳ‬

‫ﺏﹴ‬kuangamia ‫ﺎ‬‫ﺒ‬‫ﺗ‬ tu.” (Sura Mu’min: 37) ‫ﻲ‬‫ﻥﹶ ﹺﺇﻟﱠﺎ ﻓ‬‫ﻮ‬‫ﻋ‬‫ﺮ‬‫ ﻓ‬‫ﺪ‬‫ﺎ ﹶﻛﻴ‬‫ﻭﻣ‬ ۚ◌ ‫ﺴﺒﹺﻴ ﹺﻞ‬  ‫ﻦﹺ ﺍﻟ‬‫ ﻋ‬‫ﺻﺪ‬  ‫ﻭ‬ ‫ﻪ‬‫ﻠ‬‫ﻤ‬‫ﻮﺀُ ﻋ‬‫ﻥﹶ ﺳ‬‫ﻮ‬‫ﻋ‬‫ﺮ‬‫ﻔ‬‫ ﻟ‬‫ﻳﹺّﻦ‬‫ ﺯ‬‫ﻚ‬‫ﻛﹶ ٰﺬﹶﻟ‬‫ﺎ ◌ۚ ﻭ‬‫ﺫﺑ‬ ‫ ﻛﹶﺎ‬‫ﻪ‬‫ﺇﹺﻧﹺّﻲ ﹶﻟﹶﺄﻇﹸﻨ‬‫ﺳ ٰﻰ ﻭ‬ ‫ﻮ‬‫ ﻣ‬‫ـﻪ‬ ٰ ‫ﻊ ﺇﹺﻟﹶ ٰﻰ ﺇﹺﻟﹶ‬ ‫ﻠ‬‫ ﹶﻓﹶﺄﻃﱠ‬‫ﺍﺕ‬‫ﺎﻭ‬‫ﻤ‬‫ ﺍﻟﺴ‬‫ﺎﺏ‬‫ﺒ‬‫ﺃﹶﺳ‬ ‫ﺩ‬  ‫ﺎ‬ ‫ﺷ‬ ‫ﺮ‬  ‫ﺍﻟ‬ ‫ﻞ‬ ‫ﹶ‬ ‫ﹺﻴ‬ ‫ﺒ‬ ‫ﺳ‬  ‫ﻢ‬  ‫ﻛ‬ ‫ﹸ‬ ‫ﺪ‬  ‫ﻫ‬  ‫ﺃ‬ ‫ﹶ‬ ‫ﻥ‬  ‫ﻮ‬ ‫ﻌ‬ ‫ﺒ‬ ‫ﹺ‬ ‫ﺗ‬  ‫ﺍ‬ ‫ﻡ‬ ‫ﹺ‬ ‫ﻮ‬  ‫ﻗ‬ ‫ﹶ‬ ‫ﺎ‬ ‫ﻳ‬ ‫ﻦ‬  ‫ﻣ‬  ‫ﺁ‬ ‫ﻱ‬ ‫ﺬ‬ ‫ﻟ‬ ‫ﱠ‬ ‫ﺍ‬ ‫ﻝ‬ ‫ﹶ‬ ‫ﹶﺎ‬ ‫ﻗ‬ ‫ﻭ‬  ‫ ﹴ‬ya ‫ﺎ‬‫ﺗﺒ‬ “Njia za mbinguni ili nikamwone Mungu wa Musa. Na kwa hakika mimi bila ‫ﺏ‬ shaka namjua kuwa ni mwongo tu. Na hivi ndivyo Firauni alivyopambiwa ubaya wa vitendo na aliamini akazuiliwa Njia.Mungu Na vitimbi vya Firauni ila bila katika “Na yule ambaye alisema: Enyi watu wangu! nitawaongoza njia “Njia zavyake, mbinguni ili nikamwone wa Musa. NaNifuateni, kwa havikuwa hakika mimi ya kuangamia (SuraMu’min: 37) ya uongofu.” (Sura “Njia za tu.” mbinguni ili 38) nikamwone Mungu wa Musa. Na kwa shaka namjua kuwa niMu’min: mwongo tu. Na hivi ndivyo Firauni alivyopambiwa ubaya wa vitendo vyake, na akazuiliwa Njia. Na namjua vitimbi vya Firauni ila tu. katika hakika mimi bila‫ﺎﺩ‬ya shaka kuwa nihavikuwa mwongo ‫ﺷ‬‫ﹺﻴﻞﹶ ﺍﻟﺮ‬37) ‫ﺒ‬‫ ﺳ‬‫ﻛﹸﻢ‬‫ﺪ‬‫ ﺃﹶﻫ‬‫ﻮﻥ‬‫ﻌ‬113 ‫ﺒﹺ‬‫ﻡﹺ ﺍﺗ‬‫ﺎ ﻗﹶﻮ‬‫ ﻳ‬‫ﻦ‬‫ﻱ ﺁﻣ‬‫ﻗﹶﺎﻝﹶ ﺍﻟﱠﺬ‬‫ﻭ‬ kuangamia tu.” (Sura Mu’min:

Na hivi ndivyo Firauni alivyopambiwa ubaya wa vitendo vyake, na akazuiliwa havikuwa “Na yule ambaye aliamini alisema: nitawaongoza njia ‫ﺎﺩ‬‫ﺷ‬‫ﺮ‬Njia. ‫ﺒﹺﻴﻞﹶ ﺍﻟ‬‫ ﺳ‬‫ﻢ‬Enyi ‫ﻛﹸ‬‫ﺪ‬Na ‫ﻥ ﺃﹶﻫ‬ ‫ﻮ‬watu ‫ﻌ‬vitimbi ‫ﺗﹺﺒ‬‫ﻡﹺ ﺍ‬‫ﺎ ﻗﹶﻮ‬wangu! ‫ ﻳ‬‫ﻦ‬‫ﻱ ﺁﻣ‬‫ﻟﱠﺬ‬vya ‫ﻝﹶ ﺍ‬Nifuateni, ‫ﻗﹶﺎ‬‫ ﻭ‬Firauni ya uongofu.” (Sura Mu’min:kuangamia 38) ila katika tu.” (Sura Mu’min: 37) “Na yule ambaye aliamini alisema: Enyi watu wangu! Nifuateni, nitawaongoza njia 113 ya uongofu.” (Sura Mu’min: 38)

214 113

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 214

6/13/2013 2:10:58 PM


‫ﻲ‬‫ﻥﹶ ﺇﹺﻟﱠﺎ ﻓ‬‫ﻮ‬‫ﻋ‬‫ﺮ‬‫ ﻓ‬‫ﺪ‬‫ﺎ ﹶﻛﻴ‬‫ﻣ‬‫ﺒﹺﻴﻞﹺ ◌ۚ ﻭ‬‫ﻦﹺ ﺍﻟﺴ‬‫ ﻋ‬‫ﺻﺪ‬  ‫ ﻭ‬‫ﻪ‬‫ﻠ‬‫ﻤ‬‫ﻮﺀُ ﻋ‬‫ﻥﹶ ﺳ‬‫ﻮ‬‫ﻋ‬‫ﺮ‬‫ﻔ‬‫ ﻟ‬‫ﻳﹺّﻦ‬‫ ﺯ‬‫ﻚ‬‫ﻛﹶ ٰﺬﹶﻟ‬‫ﺎ ◌ۚ ﻭ‬‫ﺑ‬‫ ﻛﹶﺎﺫ‬‫ﻪ‬‫ﺇﹺﻧﹺّﻲ ﹶﻟﹶﺄﻇﹸﻨ‬‫ ٰﻰ ﻭ‬‫ﻮﺳ‬‫ ﻣ‬‫ـﻪ‬ ٰ ‫ﻊ ﺇﹺﻟﹶ ٰﻰ ﺇﹺﻟﹶ‬ ‫ﻠ‬‫ ﹶﻓﹶﺄﻃﱠ‬‫ﺍﺕ‬‫ﺎﻭ‬‫ﻤ‬‫ ﺍﻟﺴ‬‫ﺎﺏ‬‫ﺒ‬‫ﺃﹶﺳ‬ ‫ﺎﺏﹴ‬‫ﺒ‬‫ﺗ‬ “Njia za mbinguni ili nikamwone Mungu wa Musa. Na kwa hakika mimi bila ya Talibtu.Jabali la Imani shaka namjua kuwa Abu ni mwongo Na hivi Imara ndivyo Firauni alivyopambiwa ubaya wa vitendo vyake, na akazuiliwa Njia. Na vitimbi vya Firauni havikuwa ila katika kuangamia tu.” (Sura Mu’min: 37) ‫ﺎﺩ‬‫ﺷ‬‫ﺒﹺﻴﻞﹶ ﺍﻟﺮ‬‫ ﺳ‬‫ﻛﹸﻢ‬‫ﺪ‬‫ ﺃﹶﻫ‬‫ﻮﻥ‬‫ﺒﹺﻌ‬‫ﻡﹺ ﺍﺗ‬‫ﺎ ﻗﹶﻮ‬‫ ﻳ‬‫ﻦ‬‫ﻱ ﺁﻣ‬‫ﻗﹶﺎﻝﹶ ﺍﻟﱠﺬ‬‫ﻭ‬ “Na yule ambaye aliamini alisema: Enyi watu wangu! Nifuateni, nitawaongoza njia “Na yule ambaye aliamini alisema: Enyi watu wangu! ya uongofu.” (Sura Mu’min: 38) Nifuateni, nitawaongoza njia ya uongofu.” (Sura Mu’min: 38) 113

‫ﺍﺭﹺ‬‫ ﺍﻟﹾﻘﹶﺮ‬‫ﺍﺭ‬‫ ﺩ‬‫ﻲ‬‫ﺓﹶ ﻫ‬‫ﺮ‬‫ﻭﹺﺇﻥﱠ ﺍﻟﹾﺂﺧ‬ ‫ﺎﻉ‬‫ﺘ‬‫ﺎ ﻣ‬‫ﻴ‬‫ﻧ‬‫ﺎﺓﹸ ﺍﻟﺪ‬‫ﻴ‬‫ ﺍﻟﹾﺤ‬‫ﻩ‬‫ـﺬ‬ ٰ ‫ﺎ ﻫ‬‫ﻤ‬‫ﻡﹺ ﺇﹺﻧ‬‫ﺎ ﻗﹶﻮ‬‫ﻳ‬ “Enyi watu wangu! Hakika maisha haya ya dunia ni starehe yenye kupita tu, na hakika Akhera nyumba “Enyi watundiyo wangu! ‫ﺍﺭﹺ‬‫ ﺍﻟﹾﻘﹶﺮ‬‫ﺍﺭ‬Hakika ‫ ﺩ‬‫ﻲ‬ya ‫ﺓﹶ ﻫ‬‫ﺮ‬daima.” ‫ﻭﹺﺇﻥﱠ ﺍﻟﹾﺂﺧ‬ maisha ‫ﺎﻉ‬‫ﺘ‬‫(ﻣ‬Sura ‫ﺎ‬‫ﻴ‬‫ﻧ‬‫ﺎﺓﹸ ﺍﻟﺪ‬‫ﻴ‬‫ﺤ‬Mu’min: ‫ﺍﻟﹾ‬haya ‫ﻩ‬‫ـﺬ‬ ٰ ‫ﺎ ﻫ‬‫ﻤ‬‫ﺇﹺﻧ‬ya ‫ﻡﹺ‬39) ‫ﺎ ﻗﹶﻮ‬‫ﻳ‬dunia ni starehe

yenye kupita tu, na hakika Akhera ndiyo nyumba ya

‫ﺎﺏﹴ‬‫ﺴ‬‫ﺮﹺ ﺣ‬‫ﻴ‬‫ﺎ ﺑﹺﻐ‬‫ﻴﻬ‬‫ﻗﹸﻮﻥﹶ ﻓ‬‫ﺯ‬‫ﺮ‬‫ﺔﹶ ﻳ‬‫ﻨ‬‫ﻠﹸﻮﻥﹶ ﺍﻟﹾﺠ‬‫ﺧ‬‫ﺪ‬‫ ﻳ‬‫ﻚ‬‫ـﺌ‬ ٰ ‫ ﻓﹶﺄﹸﻭﻟﹶ‬‫ﻦ‬‫ﻣ‬‫ﺆ‬‫ﻮ ﻣ‬ ‫ﻭﻫ‬ ‫ ﺃﹸﻧﺜﹶ ٰﻰ‬‫ّﻦ ﺫﹶﻛﹶﺮﹴ ﺃﹶﻭ‬‫ﺎ ﻣ‬‫ﺤ‬‫ﺎﻟ‬‫ﻞﹶ ﺻ‬‫ﻤ‬‫ ﻋ‬‫ﻦ‬‫ﻣ‬‫ﺎ ◌ۖ ﻭ‬‫ﺜﹾﻠﹶﻬ‬‫ﻯ ﺇﹺﻟﱠﺎ ﻣ‬ ٰ ‫ﺰ‬‫ﺠ‬‫ﻴﹺّﺌﹶﺔﹰ ﻓﹶﻠﹶﺎ ﻳ‬‫ﻞﹶ ﺳ‬‫ﻤ‬‫ ﻋ‬‫ﻦ‬‫ﻣ‬ “Enyi watu wangu! Hakika maisha haya dunia ni starehe yenye kupita tu, na (SurayaMu’min: 39) daima.” hakika Akhera ndiyo nyumba ‫ﺍﺭﹺ‬‫ ﺍﻟﹾﻘﹶﺮ‬‫ﺍﺭ‬‫ ﺩ‬‫ﻲ‬ya ‫ﺓﹶ ﻫ‬‫ﺮ‬‫ﺧ‬daima.” ‫ﻭﹺﺇﻥﱠ ﺍﻟﹾﺂ‬ ‫ﺎﻉ‬‫ﺘ‬‫(ﻣ‬Sura ‫ﺎ‬‫ﻴ‬‫ﻧ‬‫ﺎﺓﹸ ﺍﻟﺪ‬‫ﻴ‬‫ﺤ‬Mu’min: ‫ ﺍﻟﹾ‬‫ﻩ‬‫ـﺬ‬ ٰ ‫ﺎ ﻫ‬‫ﻤ‬‫ﻡﹺ ﺇﹺﻧ‬39) ‫ﺎ ﻗﹶﻮ‬‫ﻳ‬ “Mwenye kutenda uovu hatalipwa ila sawa na huo, na mwenye kutenda wema, akiwa ‫ﺎ‬‫ﻠﹶﻬ‬yenye ‫ﺜﹾ‬‫ﱠﺎ ﻣ‬wataingia ‫ﻯ ﺇﹺﻟ‬ ٰ ‫ﺰ‬‫ﺠ‬kupita ‫ﻴﹺّﺌﹶﺔﹰ ﻓﹶﻠﹶﺎ ﻳ‬‫ ﺳ‬Peponi, ‫ﻞﹶ‬tu, ‫ﻤ‬‫ ﻋ‬‫ﻦ‬na ‫ﻣ‬ ‫ﺎﺏﹴ‬‫ﺴ‬‫ ﺣ‬mwanamume ‫ﺮﹺ‬watu ‫ﻴ‬‫ﺎ ﺑﹺﻐ‬‫ﻴﻬ‬‫ﻥﹶ ﻓ‬wangu! ‫ﻗﹸﻮ‬‫ﺯ‬‫ﺮ‬‫ﺔﹶ ﻳ‬‫ﻨ‬‫ ﺍﻟﹾﺠ‬au ‫ﻥﹶ‬Hakika ‫ﻠﹸﻮ‬‫ﺧ‬mwanamke, ‫ﺪ‬‫ ﻳ‬‫ﻚ‬‫ـﺌ‬ ٰ maisha ‫ ﻓﹶﺄﹸﻭﻟﹶ‬‫ﻦ‬‫ﻣ‬‫ﺆ‬‫ﻮ ﻣ‬ ‫ﻫ‬naye ‫ﻭ‬ ‫ ﺃﹸﻧﺜﹶ ٰﻰ‬‫ﻭ‬ni ‫ﻛﹶﺮﹴ ﺃﹶ‬Muumini, ‫ﺫﹶ‬dunia ‫ّﻦ‬‫ﺎ ﻣ‬‫ﺤ‬‫ﺎﻟ‬‫ﺻ‬ni‫ﻞﹶ‬‫ﻤ‬starehe ‫ﻋ‬basi ‫ﻦ‬‫ﻣ‬‫◌ۖ ﻭ‬hao “Enyi haya ya waruzukiwe humo bila ya hisabu.” (Sura Mu’min: 40) ‫ﺍﺭﹺ‬‫ ﺍﻟﹾﻘﹶﺮ‬‫ﺍﺭ‬‫ ﺩ‬‫ﻲ‬ya ‫ﺓﹶ ﻫ‬‫ﺮ‬‫ﺧ‬daima.” ‫ﻭﹺﺇﻥﱠ ﺍﻟﹾﺂ‬ ‫ﺎﻉ‬‫ﺘ‬‫(ﻣ‬Sura ‫ﺎ‬‫ﻴ‬‫ﻧ‬‫ﺎﺓﹸ ﺍﻟﺪ‬‫ﻴ‬‫ﺤ‬Mu’min: ‫ ﺍﻟﹾ‬‫ﻩ‬‫ـﺬ‬ ٰ ‫ﺎ ﻫ‬‫ﻤ‬‫ﻡﹺ ﺇﹺﻧ‬39) ‫ﺎ ﻗﹶﻮ‬‫ﻳ‬ hakika Akhera ndiyo nyumba “Mwenye kutenda uovu hatalipwa ila sawa na huo, na mwenye kutenda wema, ‫ﺎﺭﹺ‬uovu ‫ﻨﹺﻲ ﺇﹺﻟﹶﻰ ﺍﻟﻨ‬‫ﻮﻧ‬‫ﻋ‬hatalipwa ‫ﺪ‬‫ﺗ‬‫ ﻭ‬naye ‫ﺎﺓ‬‫ﺠ‬‫ﻟﹶﻰ ﺍﻟﻨ‬ni ‫ ﺇﹺ‬‫ﻮﻛﹸﻢ‬‫ﻋ‬‫ﺩ‬ila ‫ﻲ ﺃﹶ‬‫ﺎ ﻟ‬‫ﻡﹺ ﻣ‬‫ﺎ ﻗﹶﻮ‬basi ‫ﻳ‬‫ ﻭ‬haohuo, “Mwenye akiwa mwanamume au Peponi, ‫ﺎﺏﹴ‬‫ﺴ‬‫ﺮﹺ ﺣ‬watu ‫ﻴ‬‫ﺎ ﺑﹺﻐ‬‫ﻴﻬ‬‫ﻥﹶ ﻓ‬wangu! ‫ﻗﹸﻮ‬kutenda ‫ﺯ‬‫ﺮ‬‫ﺔﹶ ﻳ‬‫ﻨ‬‫ﻥﹶ ﺍﻟﹾﺠ‬Hakika ‫ﻠﹸﻮ‬‫ﺧ‬‫ﺪ‬mwanamke, ‫ ﻳ‬‫ﻚ‬ ‫ـﺌ‬ ٰ maisha ‫ ﻓﹶﺄﹸﻭﻟﹶ‬‫ﻦ‬‫ﻣ‬‫ﺆ‬‫ﻮ ﻣ‬ ‫ﻫ‬haya ‫ﻭ‬ ‫ ﺃﹸﻧﺜﹶ ٰﻰ‬‫ﻭ‬ya ‫ﻛﹶﺮﹴ ﺃﹶ‬Muumini, ‫ﺫﹶ‬dunia ‫ّﻦ‬‫ﺎ ﻣ‬‫ﺤ‬‫ﺎﻟ‬‫ﺻ‬sawa ‫ ﻋ‬‫ﻦ‬‫ﻣ‬‫ﻭ‬na ۖ◌ ‫ﺎ‬‫ﻠﹶﻬ‬yenye ‫ﺜﹾ‬‫ﱠﺎ ﻣ‬wataingia ‫ﻯ ﺇﹺﻟ‬ ٰ ‫ﺰ‬‫ﺠ‬kupita ‫ﻳ‬na ‫ﻴﹺّﺌﹶﺔﹰ ﻓﹶﻠﹶﺎ‬‫ﺳ‬mwe‫ﻞﹶ‬tu, ‫ﻤ‬‫ ﻋ‬‫ﻦ‬na ‫ﻣ‬ “Enyi ni‫ﻞﹶ‬‫ﻤ‬starehe waruzukiwe humo bilanyumba ya hisabu.” (Suramwanamume Mu’min: 40) nyeAkhera kutenda wema, akiwa au mwanamke, hakika ndiyo ya daima.” (Sura Mu’min: 39) “Nanaye Enyi watu wangu! Kwa nini hao mimi wataingia ninawaita kwenye wokovu, nanyi mnaniita Muumini, basi waruzukiwe “Mwenyeni kutenda uovu hatalipwa ila sawa na huo,Peponi, na mwenye kutenda wema, kwenye Moto?” (Sura Mu’min: 41) ‫ﺭ‬ ‫ﹺ‬ ‫ﺎ‬ ‫ﻨ‬ ‫ﺍﻟ‬ ‫ﹶﻰ‬ ‫ﻟ‬ ‫ﺇ‬ ‫ﹺ‬ ‫ﹺﻲ‬ ‫ﻨ‬ ‫ﻧ‬  ‫ﻮ‬ ‫ﻋ‬ ‫ﺪ‬  ‫ﺗ‬  ‫ﻭ‬  ‫ﺓ‬  ‫ﺎ‬ ‫ﺠ‬ ‫ﻨ‬  ‫ﺍﻟ‬ ‫ﹶﻰ‬ ‫ﻟ‬ ‫ﺇ‬ ‫ﹺ‬ ‫ﻢ‬  ‫ﻛ‬ ‫ﹸ‬ ‫ﻮ‬ ‫ﻋ‬ ‫ﺩ‬  ‫ﺃ‬ ‫ﹶ‬ ‫ﻲ‬ ‫ﻟ‬ ‫ﺎ‬ ‫ﻣ‬ ‫ﻡ‬ ‫ﹺ‬ ‫ﻮ‬  ‫ﻗ‬ ‫ﹶ‬ ‫ﺎ‬ ‫ﻳ‬ ‫ﻭ‬  ‫ﺎﺏﹴ‬‫ﺴ‬‫ﺮﹺ ﺣ‬mwanamume ‫ﻴ‬‫ﺎ ﺑﹺﻐ‬‫ﻴﻬ‬‫ﻗﹸﻮﻥﹶ ﻓ‬‫ﺯ‬‫ﺮ‬‫ﺔﹶ ﻳ‬humo ‫ﻨ‬‫ﻥﹶ ﺍﻟﹾﺠ‬au ‫ﻠﹸﻮ‬‫ﺧ‬‫ﺪ‬mwanamke, ‫ ﻳ‬bila ‫ﻚ‬‫ـﺌ‬ ٰ ‫ ﻓﹶﺄﹸﻭﻟﹶ‬ya ‫ﻦ‬‫ﻣ‬‫ﺆ‬‫ ﻣ‬hisabu.” ‫ﻮ‬ ‫ﻫ‬naye ‫ﻭ‬ ‫ ﺃﹸﻧﺜﹶ ٰﻰ‬‫ﻭ‬ni ‫ﻛﹶﺮﹴ ﺃﹶ‬Muumini, ‫ّﻦ ﺫﹶ‬‫(ﻣ‬Sura ‫ﺎ‬‫ﺤ‬‫ﺎﻟ‬‫ﻞﹶ ﺻ‬Mu’min: ‫ﻤ‬‫ﻋ‬basi ‫ﻦ‬‫ﻣ‬‫◌ۖ ﻭ‬hao ‫ﺎ‬‫ﻬ‬40) ‫ﺜﹾﻠﹶ‬‫ﱠﺎ ﻣ‬wataingia ‫ﻯ ﺇﹺﻟ‬ ٰ ‫ﺰ‬‫ﺠ‬‫ﻴﹺّﺌﹶﺔﹰ ﻓﹶﻠﹶﺎ ﻳ‬‫ﺳ‬Peponi, ‫ﻞﹶ‬‫ﻤ‬‫ ﻋ‬‫ﻦ‬‫ﻣ‬ akiwa waruzukiwe humo bila ya hisabu.” (Sura Mu’min: 40) ‫ﻔﱠﺎﺭﹺ‬‫ﺰﹺﻳﺰﹺ ﺍﻟﹾﻐ‬‫ﹶﻰ ﺍﻟﹾﻌ‬ ‫ ﺇﹺﻟ‬‫ﻮﻛﹸﻢ‬‫ﻋ‬nini ‫ﺎ ﺃﹶﺩ‬‫ﺃﹶﻧ‬‫ ﻭ‬‫ﻠﹾﻢ‬‫ ﻋ‬‫ﻲ ﺑﹺﻪ‬ninawaita ‫ ﻟ‬‫ﺲ‬‫ﺎ ﻟﹶﻴ‬‫ ﻣ‬‫ ﺑﹺﻪ‬‫ ﹺﺮﻙ‬‫ﺷ‬kwenye ‫ﻭﺃﹸ‬ ‫ﺮ ﺑﹺﺎﻟﻠﱠـﻪ‬ ‫ﻛﹾﻔﹸ‬wokovu, ‫ﹶﺄ‬‫ﻨﹺﻲ ﻟ‬‫ﻮﻧ‬‫ﻋ‬‫ﺪ‬‫ ﺗ‬nanyi mnaniita “Na Enyi kutenda watu wangu! “Mwenye uovuKwa hatalipwamimi ila sawa na huo, na mwenye kutenda wema, kwenyemwanamume Moto?” (SuraauMu’min: ‫ﺎﺭﹺ‬‫ﹺﻲ ﺇﹺﻟﹶﻰ ﺍﻟﻨ‬41) ‫ﻨ‬‫ﻮﻧ‬‫ﻋ‬‫ﺪ‬‫ﺗ‬‫ ﻭ‬naye ‫ﺎﺓ‬‫ﺠ‬‫ﹶﻰ ﺍﻟﻨ‬ni ‫ ﺇﹺﻟ‬‫ﻛﹸﻢ‬Muumini, ‫ﻮ‬‫ﻋ‬‫ﻲ ﺃﹶﺩ‬‫ﺎ ﻟ‬‫ﻡﹺ ﻣ‬‫ﺎ ﻗﹶﻮ‬basi ‫ﻳ‬‫ﻭ‬ akiwa mwanamke, hao wataingia Peponi, “Mnaniita nimkufuru na nimshirikishe na yule ambaye simjui, waruzukiwe humo bilaMwenyezi ya hisabu.”Mungu (Sura Mu’min: 40) nami ninawaita kwa Mwenye nguvu, Mwingi wa maghufira?” 42) ‫ﺭ‬ ‫ﹺ‬ ‫ﱠﺎ‬ ‫ﻔ‬ ‫ﻐ‬  ‫ﻟ‬ ‫ﹾ‬ ‫ﺍ‬ ‫ﺰ‬ ‫ﹺ‬ ‫ﹺﻳ‬ ‫ﺰ‬ ‫ﻌ‬  ‫ﻟ‬ ‫ﹾ‬ ‫ﺍ‬ ‫ﹶﻰ‬ ‫ﻟ‬ ‫ﺇ‬ ‫ﹺ‬ ‫ﻢ‬  ‫ﻛ‬ ‫ﹸ‬ ‫ﻮ‬ ‫ﻋ‬ ‫ﺩ‬  ‫ﺃ‬ ‫ﹶ‬ ‫ﺎ‬ ‫ﻧ‬ ‫ﺃ‬ ‫ﹶ‬ ‫ﻭ‬  ‫ﻢ‬  ‫ﻠ‬ ‫ﹾ‬ ‫ﻋ‬  ‫ﻪ‬  ‫ﺑ‬ ‫ﹺ‬ ‫ﻲ‬ ‫ﻟ‬ ‫ﺲ‬  ‫ﻴ‬  ‫ﻟ‬ ‫ﹶ‬ ‫ﺎ‬ ‫ﻣ‬ ‫ﻪ‬  ‫ﺑ‬ ‫ﹺ‬ ‫ﻙ‬  ‫ﺮ‬ ‫ﹺ‬ ‫ﺷ‬  ‫ﹸ‬ ‫ﺃ‬ ‫ﻭ‬  ‫ﻪ‬  ‫ﱠـ‬ ‫ﻠ‬ ‫ﹺﺎﻟ‬ ‫ﺑ‬ ‫ﺮ‬  ‫ﹸ‬ ‫ﻔ‬ ‫ﻛ‬ ‫ﹾ‬ ‫ﹶﺄ‬‫(ﹺﻲ ﻟ‬Sura ‫ﻨ‬‫ﻮﻧ‬‫ﻋ‬‫ﺪ‬‫ ﺗ‬Mu’min: “Na Enyi watu wangu! Kwa nini mimi ninawaita kwenye wokovu, nanyi mnaniita “Na Enyi watu wangu! Kwa nini mimi ninawaita kwenye ‫ﺭ‬ ‫ﹺ‬ ‫ﺎ‬ ‫ﻨ‬ ‫ﺍﻟ‬ ‫ﹶﻰ‬ ‫ﻟ‬ ‫ﺇ‬ ‫ﹺ‬ ‫ﹺﻲ‬ ‫ﻨ‬ ‫ﻧ‬  ‫ﻮ‬ ‫ﻋ‬ ‫ﺪ‬  ‫ﺗ‬  ‫ﻭ‬  ‫ﺓ‬  ‫ﺎ‬ ‫ﺠ‬ ‫ﻨ‬  ‫ﺍﻟ‬ ‫ﹶﻰ‬ ‫ﻟ‬ ‫ﺇ‬ ‫ﹺ‬ ‫ﻢ‬  ‫ﻛ‬ ‫ﹸ‬ ‫ﻮ‬ ‫ﻋ‬ ‫ﺩ‬  ‫ﺃ‬ ‫ﹶ‬ ‫ﻲ‬ ‫ﻟ‬ ‫ﺎ‬ ‫ﻣ‬ ‫ﻡ‬ ‫ﹺ‬ ‫ﻮ‬  ‫ﻗ‬ ‫ﹶ‬ ‫ﺎ‬ ‫ﻳ‬ ‫ﻭ‬  kwenye Moto?” (Sura Mu’min: 41) ‫ﺎﺭﹺ‬‫ ﺍﻟﻨ‬‫ﺎﺏ‬nimkufuru ‫ﺤ‬‫ ﺃﹶﺻ‬‫ﻢ‬‫ ﻫ‬nanyi ‫ﲔ‬‫ﺮﹺﻓ‬‫ﺴ‬‫ ﺍﻟﹾﻤ‬Mwenyezi ‫ﻭﹶﺃﻥﱠ‬ mnaniita ‫ﺎ ﺇﹺﻟﹶﻰ ﺍﻟﻠﱠـﻪ‬‫ﻧ‬‫ﺩ‬Mungu ‫ﺮ‬‫ﻭﹶﺃﻥﱠ ﻣ‬ kwenye ‫ﺓ‬‫ﺮ‬‫ﹾﺂﺧ‬na ‫ﻲ ﺍﻟ‬‫ ﻓ‬nimshirikishe ‫ﻟﹶﺎ‬‫ﺎ ﻭ‬‫ﻴ‬‫ﻧ‬‫ﺪ‬Moto?” ‫ﻲ ﺍﻟ‬‫ﺓﹲ ﻓ‬‫ﻮ‬‫ﻋ‬‫ ﺩ‬‫ ﹶﻟﻪ‬‫ﺲ‬na ‫ ﻟﹶﻴ‬‫ﻪ‬‫ﻴ‬yule ‫ﻨﹺﻲ ﺇﹺﻟﹶ‬‫ﻧ‬Mu’min: ‫ﻮ‬‫ﻋ‬ambaye ‫ﺪ‬‫ﺎ ﺗ‬‫ﻤ‬‫ ﺃﹶﻧ‬‫ﻡ‬‫ﺮ‬‫ﺟ‬41) ‫ﻟﹶﺎ‬simjui, (Sura wokovu, “Mnaniita nami Enyi ninawaita 42) ‫ﻔﱠﺎﺭﹺ‬‫ ﺍﻟﹾﻐ‬Mwenye ‫ﺰﹺﻳﺰﹺ‬‫ ﺍﻟﹾﻌ‬Kwa ‫ ﺇﹺﻟﹶﻰ‬‫ﻮﻛﹸﻢ‬nguvu, ‫ﻋ‬‫ﺎ ﺃﹶﺩ‬‫ﺃﹶﻧ‬‫ﻭ‬mimi ‫ﻠﹾﻢ‬‫ﻋ‬Mwingi ‫ﻲ ﺑﹺﻪ‬ninawaita ‫ ﻟ‬‫ﺲ‬‫ﺎ ﻟﹶﻴ‬wa ‫ ﻣ‬‫ ﺑﹺﻪ‬‫ﻙ‬maghufira?” ‫ ﹺﺮ‬‫ﺷ‬kwenye ‫ﻭﺃﹸ‬ ‫ﺮ ﺑﹺﺎﻟﻠﱠـﻪ‬ ‫ﻛﹾﻔﹸ‬wokovu, ‫ﹶﺄ‬‫(ﹺﻲ ﻟ‬Sura ‫ﻨ‬‫ﻮﻧ‬‫ﻋ‬‫ﺪ‬‫ ﺗ‬Mu’min: “Na watu kwa wangu! nini nanyi mnaniita “Bila ya Moto?” shaka mnayeniitia, hastahiki kwenye (Sura Mu’min: 41) wito duniani wala Akhera. Na hakika marejeo yetu ni ‫ﺭﹺ‬kwa ndio ‫ﺎ‬‫ ﺍﻟﻨ‬‫ﺏ‬nimkufuru ‫ﺎ‬Mwenyezi ‫ﺤ‬‫ ﺃﹶﺻ‬‫ﻢ‬‫ ﻫ‬‫ﲔ‬‫ﺮﹺﻓ‬‫ﺴ‬‫ﻟﹾﻤ‬Mungu. ‫ﺍ‬Mwenyezi ‫ﻭﹶﺃﻥﱠ‬ ‫ﹶﻰ ﺍﻟﻠﱠـﻪ‬Na ‫ﺎ ﺇﹺﻟ‬‫ﻧ‬‫ﺩ‬Mungu ‫ﺮ‬wanaopita ‫ﻭﹶﺃﻥﱠ ﻣ‬ ‫ﺓ‬‫ﺮ‬‫ﹾﺂﺧ‬na ‫ﻲ ﺍﻟ‬‫ ﻓ‬nimshirikishe ‫ﹶﺎ‬kiasi ‫ﻟ‬‫ﺎ ﻭ‬‫ﻴ‬‫ﻧ‬‫ ﺍﻟﺪ‬basi ‫ﻲ‬‫ﺓﹲ ﻓ‬‫ﻮ‬‫ﻋ‬‫ﺩ‬hao ‫ ﹶﻟﻪ‬‫ﺲ‬na ‫ ﻟﹶﻴ‬‫ﻪ‬‫ﻟﹶﻴ‬yule ‫ﹺﻲ ﺇﹺ‬watu ‫ﻨ‬‫ﻮﻧ‬‫ﻋ‬‫ﺪ‬ambaye ‫ﺎ ﺗ‬‫ﻤ‬wa ‫ ﺃﹶﻧ‬‫ﻡ‬‫ﺮ‬‫ﺟ‬Motoni!” ‫ﻟﹶﺎ‬simjui, “Mnaniita (Sura Mu’min: 43) ‫ﻔﱠﺎﺭﹺ‬‫ ﺍﻟﹾﻐ‬Mwenye ‫ﺰﹺﻳﺰﹺ‬‫ ﺇﹺﻟﹶﻰ ﺍﻟﹾﻌ‬‫ﻮﻛﹸﻢ‬nguvu, ‫ﻋ‬‫ﺎ ﺃﹶﺩ‬‫ﺃﹶﻧ‬‫ ﻭ‬‫ﻠﹾﻢ‬‫ﻋ‬Mwingi ‫ﻲ ﺑﹺﻪ‬‫ ﻟ‬‫ﺲ‬‫ﺎ ﻟﹶﻴ‬wa ‫ ﻣ‬‫ ﺑﹺﻪ‬‫ﻙ‬maghufira?” ‫ ﹺﺮ‬‫ﻭﺃﹸﺷ‬ ‫ﺮ ﺑﹺﺎﻟﻠﱠـﻪ‬ ‫ﹶﺄﻛﹾﻔﹸ‬‫(ﹺﻲ ﻟ‬Sura ‫ﻨ‬‫ﻮﻧ‬‫ﻋ‬‫ﺪ‬‫ ﺗ‬Mu’min: 42) nami ninawaita kwa “Bila ya shaka mnayeniitia, hastahiki wito duniani wala Akhera. Na hakika marejeo ‫ﺎﺩ‬‫ﺒﻓ‬‫ﻟﹾﺮﹺﻌ‬‫ﺑﹺﺎﺴ‬‫ﻤ‬‫ﺍﻟﹾﲑ‬Mwenyezi ‫ﻥﱠﺼ‬‫ﻭﹶﺃﺑ‬ ‫ﱠـﻪ‬ ‫ﹶﻰﻥﱠﺍﻟﻠﺍﻟﻠ‬ ‫ ﹺﺇ‬Na ‫ﱠـ‬ ‫ﹶﺎﹺّﻮ‬kiasi ‫ﻟﻓﹶ‬‫ﺃﹸﻭ‬‫ﺎﻭ‬‫◌ۚﻴ‬‫ﻧ‬‫ﺍﻟﺪ‬‫ﻢ‬basi ‫ﻲﻜﹸ‬‫ﺓﹲﻝﹸ ﻓﻟﹶ‬‫ﹸﻮﻮ‬‫ﺃﹶﻗﻋ‬hao ‫ﺮ‬‫ﻛﹸﻟﹶﻴ‬‫ﺬﹾﻪ‬‫ﻟﹶﻴ‬yule ‫ﺘ‬‫ﺴﺇﹺ‬  ‫ﹺﻲ‬ ‫ ﹶﻓ‬watu yetu ni‫ﺭﹺ‬kwa Mungu. ndio ‫ﺎ‬‫ ﺍﻟﻨ‬‫ﺏ‬nimkufuru ‫ﺎ‬‫ﺤ‬Mwenyezi ‫ ﺃﹶﺻ‬‫ﻢ‬‫ ﻫ‬‫ﲔ‬ ‫ﱠـﻪ‬ ‫ﺎ ﺇﹺ◌ۚﻟ‬‫ﻧ‬‫ﻪ‬‫ﺩ‬Mungu ‫ﺮ‬wanaopita ‫ﹶﻰﻥﱠﺍﻟﻠﻣ‬ ‫ﻭﹶﺃ‬ ‫ﺇﹺﻟ‬‫ﺓ‬‫ﻱﺮ‬‫ﹾﺂﺮﹺﺧ‬‫ﻣ‬na ‫ ﺍﺃﹶﻟ‬‫ﺽ‬ ‫ﻲ‬‫ ﻓ‬nimshirikishe ‫ﺎﺩ‬‫ﻣ‬‫ﻥﹶ ﹶﻟﻪ‬‫ﻭﺲ‬na ‫ﻨ‬‫ﻮﻧ‬‫ﻋ‬‫ﺪ‬ambaye ‫ﺎ ﺗ‬‫ﻤ‬wa ‫ ﺃﹶﻧ‬‫ﻡ‬‫ﺮ‬‫ﺟ‬Motoni!” ‫ﻟﹶﺎ‬simjui, “Mnaniita “Mnaniita nimkufuru Mwenyezi Mungu na nimshirikishe (Suraninawaita Mu’min: 43) nami kwa Mwenye nguvu, Mwingi wa maghufira?” (Sura Mu’min: 42) na yule ambaye simjui, nami ninawaita kwa MwenyeMungu “Basi mtayakumbuka ninayowaambia. Nami namkabidhi “Bila ya shaka mnayeniitia, hastahiki wito duniani wala Akhera. Mwenyezi Na hakika marejeo (Sura Mu’min: nguvu, Mwingi wa maghufira?” ‫ﺩ‬  ‫ﺎ‬ ‫ﺒ‬ ‫ﻌ‬  ‫ﻟ‬ ‫ﹾ‬ ‫ﹺﺎ‬ ‫ﺑ‬ ‫ﲑ‬  ‫ﺼ‬  ‫ﺑ‬  ‫ﻪ‬  ‫ﱠـ‬ ‫ﻠ‬ ‫ﺍﻟ‬ ‫ﱠ‬ ‫ﻥ‬ ‫ﺇ‬ ‫ﹺ‬ ◌ ۚ ‫ﻪ‬  ‫ﱠـ‬ ‫ﻠ‬ ‫ﺍﻟ‬ ‫ﹶﻰ‬ ‫ﻟ‬ ‫ﺇ‬ ‫ﹺ‬ ‫ﻱ‬ ‫ﺮ‬ ‫ﹺ‬ ‫ﻣ‬  ‫ﺃ‬ ‫ﹶ‬ ‫ﺽ‬  ّ ‫ﻮ‬ ‫ﹺ‬ ‫ﻓ‬ ‫ﹶ‬ ‫ﺃ‬ ‫ﹸ‬ ‫ﻭ‬  ◌ ۚ ‫ﻢ‬  ‫ﻜ‬ ‫ﹸ‬ ‫ﻟ‬ ‫ﹶ‬ ‫ﻝ‬ ‫ﹸ‬ ‫ﹸﻮ‬ ‫ﻗ‬ ‫ﺃ‬ ‫ﹶ‬ ‫ﺎ‬ ‫ﻣ‬ ‫ﻥ‬ ‫ﹶ‬ ‫ﻭ‬  ‫ﺮ‬ ‫ﹺﻲ ﺇﹺ‬ ‫ ﹶﻓ‬watu mambo yangu. Hakika Mwenyezi Mungu ni mwenye kuwaona ‫ﺎ‬‫ ﺍﻟﻨ‬‫ﺎﺏ‬‫ﺤ‬Mwenyezi ‫ ﺃﹶﺻ‬‫ﻢ‬‫ ﻫ‬‫ﲔ‬‫ﺮﹺﻓ‬‫ﺴ‬‫ﺍﻟﹾﻤ‬Mungu. ‫ﻭﹶﺃﻥﱠ‬ ‫ﻟﹶﻰ ﺍﻟﻠﱠـﻪ‬Na ‫ﺎ ﺇﹺ‬‫ﻧ‬‫ﺩ‬‫ﺮ‬wanaopita ‫ﻭﹶﺃﻥﱠ ﻣ‬ ‫ﺓ‬‫ﺮ‬‫ﻲ ﺍﻟﹾﺂﺧ‬‫ﹶﺎ ﻓ‬kiasi ‫ﻟ‬‫ﺎ ﻭ‬‫ﻴ‬‫ﻧ‬‫ ﺍﻟﺪ‬basi ‫ﻲ‬‫ﺓﹲ ﻓ‬‫ﻮ‬‫ﻋ‬hao ‫ ﺩ‬‫ ﹶﻟﻪ‬‫ﺲ‬ndio ‫ ﻟﹶﻛﹸﻴ‬‫ﺬﹾﻪ‬‫ﺘﻴ‬‫ﺴﻟﹶ‬ ‫ﻨ‬‫ﻮﻧ‬‫ﻋ‬‫ﺪ‬‫ﺗ‬42) ‫ﺎ‬waja.” ‫ﻤ‬wa ‫ ﺃﹶﻧ‬‫ﻡ‬‫ﺮ‬‫ﺟ‬Motoni!” ‫( ﻟﹶﺎ‬Sura yetu ni‫ﺭﹺ‬kwa Mu’min: 44) (Sura Mu’min: 43) ‫ﺬﹶﺍﺏﹺ‬ninayowaambia. ‫ﻮﺀُ ﺍﻟﹾﻌ‬hastahiki ‫ﻥﹶ ﺳ‬‫ﻮ‬‫ﻋ‬‫ﺮ‬‫ ﺑﹺﺂﻝﹺ ﻓ‬‫ﻕ‬wito ‫ﺎ‬‫ﺣ‬‫◌ۖ ﻭ‬duniani ‫ﻭﺍ‬‫ﻣ ﹶﻜﺮ‬ ‫ﺎ‬‫ ﻣ‬‫ﺕ‬namkabidhi ‫ﻴﹺّﺌﹶﺎ‬‫ ﺳ‬‫ﱠـﻪ‬Akhera. ‫ ﺍﻟﻠ‬‫ﻗﹶﺎﻩ‬‫ ﻓﹶﻮ‬Mwenyezi “Basi Nami Mungu “Bila yamtayakumbuka shaka mnayeniitia, wala Na hakika marejeo mambo yangu. Hakika Mungu ni (Sura ‫ﺎﺩ‬‫ﺒ‬‫ ﺑﹺﺎﻟﹾﻌ‬‫ﲑ‬Mungu. ‫ﺼ‬‫ ﺑ‬Mwenyezi ‫ ﹺﺇﻥﱠ ﺍﻟﻠﱠـﻪ‬Na ۚ◌ ‫ﱠـﻪ‬ ‫ﹶﻰ ﺍﻟﻠ‬ ‫ﺮﹺﻱ ﺇﹺﻟ‬‫ ﺃﹶﻣ‬‫ﹺّﻮﺽ‬kiasi ‫ﺃﹸﻓﹶ‬‫◌ۚ ﻭ‬mwenye ‫ﻢ‬basi ‫ﺃﹶﻗﹸﻮﻝﹸ ﻟﹶﻜﹸ‬hao ‫ﺎ‬‫ﻥﹶ ﻣ‬kuwaona ‫ﻭ‬ndio ‫ﺘﺬﹾﻛﹸﺮ‬‫ﺴ‬  ‫ ﹶﻓ‬watuwaja.” yetu ni kwa Mwenyezi wanaopita wa Motoni!” Mu’min: 44) 43) “Basi Mungu akamlinda na 215 ubaya wa hila walizozifanya. Na adhabu (Sura Mwenyezi Mu’min: ‫ﺬﹶﺍﺏﹺ‬ninayowaambia. ‫ ﺍﻟﹾﻌ‬wa ُ‫ﻮﺀ‬‫ ﺳ‬Firauni.” ‫ﻥﹶ‬‫ﻮ‬‫ﻋ‬‫ﺮ‬‫ ﺑﹺﺂﻝﹺ ﻓ‬‫ﺎﻕ‬‫(ﺣ‬Sura ‫◌ۖ ﻭ‬Nami ‫ﻭﺍ‬‫ ﹶﻜﺮ‬Mu’min: ‫ﻣ‬ ‫ﺎ‬‫ ﻣ‬‫ﺕ‬namkabidhi ‫ﻴﹺّﺌﹶﺎ‬‫ ﺳ‬‫ﱠـﻪ‬45) ‫ ﺍﻟﻠ‬‫ﻗﹶﺎﻩ‬‫ ﻓﹶﻮ‬Mwenyezi Mungu mbaya watu “Basi itawazunguka mtayakumbuka ‫ﺩ‬  ‫ﺎ‬ ‫ﺒ‬ ‫ﻌ‬  ‫ﻟ‬ ‫ﹾ‬ ‫ﹺﺎ‬ ‫ﺑ‬ ‫ﲑ‬  ‫ﺼ‬  ‫ﺑ‬  ‫ﻪ‬  ‫ﱠـ‬ ‫ﻠ‬ ‫ﺍﻟ‬ ‫ﱠ‬ ‫ﻥ‬ ‫ﺇ‬ ‫ﹺ‬ ◌ ۚ ‫ﻪ‬  ‫ﱠـ‬ ‫ﻠ‬ ‫ﺍﻟ‬ ‫ﹶﻰ‬ ‫ﻟ‬ ‫ﺇ‬ ‫ﹺ‬ ‫ﻱ‬ ‫ﺮ‬ ‫ﹺ‬ ‫ﻣ‬  ‫ﺃ‬ ‫ﹶ‬ ‫ﺽ‬  ّ ‫ﻮ‬ ‫ﹺ‬ ‫ﻓ‬ ‫ﹶ‬ ‫ﺃ‬ ‫ﹸ‬ ‫ﻭ‬  ◌ ۚ ‫ﻢ‬  ‫ﻜ‬ ‫ﹸ‬ ‫ﻟ‬ ‫ﹶ‬ ‫ﻝ‬ ‫ﹸ‬ ‫ﹸﻮ‬ ‫ﻗ‬ ‫ﺃ‬ ‫ﹶ‬ ‫ﻭ‬‫ﺘﺬﹾﻛﹸﺮ‬‫ﺴ‬  ‫ﹶﻓ‬ mambo yangu. Hakika Mwenyezi Mungu ni mwenye‫ﺎ‬‫ﻥﹶ ﻣ‬kuwaona waja.” (Sura Tazama ndugu msomaji namna na ganiubaya huyu wa anayeficha imani yake ambaye kwa “Basi Mwenyezi Mungu akamlinda hila walizozifanya. Na adhabu Mu’min: 44) yangu mtazamo wa watu ni kafiri Firaun, kutangazaMungu dini ya mbaya itawazunguka watu ‫ﺬﹶﺍﺏﹺ‬ninayowaambia. ‫ﻟﹾﻌ‬kutoka ‫ ﺍ‬wa ُ‫ﻮﺀ‬‫ﻥﹶ ﺳ‬Firauni.” ‫ﻮ‬‫ﻋ‬‫ﺮ‬katika ‫ ﺑﹺﺂﻝﹺ ﻓ‬‫ﺎﻕ‬‫ﺣ‬jamaa ‫(ﻭ‬Sura ۖ◌ Nami ‫ﻭﺍ‬‫ ﹶﻜﺮ‬wa ‫ﻣ‬Mu’min: ‫ﺎ‬‫ ﻣ‬‫ﺕ‬ ‫ﻴﹺّﺌﹶﺎ‬‫ ﺳ‬‫ﱠـﻪ‬45) ‫ﺍﻟﻠ‬ameweza ‫ﻗﹶﺎﻩ‬‫ ﻓﹶﻮ‬Mwenyezi “Basi mtayakumbuka namkabidhi 02_Abu Talib_13_June_2013.indd 215 6/13/2013 Mwenyezi Mungu kwa kiwango hiki kikubwa na namna alivyotetea dini ya Mwenyezi

2:10:59 PM


‫ﺎﺏﹴ‬‫ﺴ‬‫ﺮﹺ ﺣ‬‫ﻴ‬‫ﺎ ﺑﹺﻐ‬‫ﻴﻬ‬‫ﻥﹶ ﻓ‬humo ‫ﻗﹸﻮ‬‫ﺯ‬‫ﺮ‬‫ﺔﹶ ﻳ‬‫ﻨ‬‫ﺠ‬bila ‫ﻠﹸﻮﻥﹶ ﺍﻟﹾ‬‫ﺧ‬ya ‫ﺪ‬‫ ﻳ‬‫ﻚ‬ ‫ـﺌ‬ ٰ ‫ ﻓﹶﺄﹸﻭﻟﹶ‬‫ﻦ‬‫ﻣ‬‫ﺆ‬‫(ﻣ‬Sura ‫ﻮ‬ ‫ﻭﻫ‬ ‫ﺃﹸﻧﺜﹶ ٰﻰ‬Mu’min: ‫ّﻦ ﺫﹶﻛﹶﺮﹴ ﺃﹶﻭ‬‫ﺎ ﻣ‬‫ﺤ‬40) ‫ﺎﻟ‬‫ﻞﹶ ﺻ‬‫ﻤ‬‫ ﻋ‬‫ﻦ‬‫ﻣ‬‫ﺎ ◌ۖ ﻭ‬‫ﺜﹾﻠﹶﻬ‬‫ﻯ ﺇﹺﻟﱠﺎ ﻣ‬ ٰ ‫ﺰ‬‫ﺠ‬‫ﻴﹺّﺌﹶﺔﹰ ﻓﹶﻠﹶﺎ ﻳ‬‫ﻞﹶ ﺳ‬‫ﻤ‬‫ ﻋ‬‫ﻦ‬‫ﻣ‬ waruzukiwe hisabu.” “Na Enyi watu wangu! Kwa nini mimi ninawaita kwenye wokovu, nanyi mnaniita kwenye Moto?” (Sura Mu’min: “Mwenye kutenda uovu hatalipwa na huo, ‫ﺎﺭﹺ‬‫ﹺﻲ ﺇﹺﻟﹶﻰ ﺍﻟﻨ‬41) ‫ﻨ‬‫ﻮﻧ‬‫ﻋ‬‫ﺪ‬‫ﺗ‬‫ﻭ‬ila ‫ﺎﺓ‬‫ﺠ‬‫ﻨ‬sawa ‫ ﺇﹺﻟﹶﻰ ﺍﻟ‬‫ﻮﻛﹸﻢ‬ ‫ﻋ‬‫ﻲ ﺃﹶﺩ‬ ‫ﺎ ﻟ‬‫ﻡﹺ ﻣ‬‫ﻗﹶﻮ‬na ‫ﺎ‬‫ﻳ‬‫ ﻭ‬mwenye kutenda wema, akiwa mwanamume au mwanamke, naye ni Muumini, basi hao wataingia Peponi, waruzukiwe humo (Sura ‫ﻔﱠﺎﺭﹺ‬bila ‫ﺰﹺﻳﺰﹺ ﺍﻟﹾﻐ‬‫ﻌ‬ya ‫ ﺍﻟﹾ‬Kwa ‫ﻟﹶﻰ‬hisabu.” ‫ ﺇﹺ‬‫ﻮﻛﹸﻢ‬nini ‫ﻋ‬‫ﺎ ﺃﹶﺩ‬‫ﺃﹶﻧ‬‫ﻭ‬mimi ‫ﻠﹾﻢ‬‫ ﻋ‬‫ﻲ ﺑﹺﻪ‬ninawaita ‫ﻟ‬Mu’min: ‫ﺲ‬‫ﺎ ﻟﹶﻴ‬‫ ﻣ‬‫ ﺑﹺﻪ‬‫ ﹺﺮﻙ‬‫ﺷ‬40) ‫ﻭﺃﹸ‬ ‫ﺮ ﺑﹺﺎﻟﻠﱠـﻪ‬ ‫ﻛﹾﻔﹸ‬wokovu, ‫ﹶﺄ‬‫ﻨﹺﻲ ﻟ‬‫ﻮﻧ‬‫ﻋ‬‫ﺪ‬‫ ﺗ‬nanyi mnaniita “Na Enyi watu wangu! kwenye Abu Talib Jabali Imara la Imani kwenye Moto?” (Sura Mu’min: 41) ‫ﺎﺭﹺ‬‫ﻨﹺﻲ ﺇﹺﻟﹶﻰ ﺍﻟﻨ‬‫ﻮﻧ‬Mungu ‫ﻋ‬‫ﺪ‬‫ﺗ‬‫ ﻭ‬‫ﺎﺓ‬‫ﺠ‬‫ﹶﻰ ﺍﻟﻨ‬ ‫ ﺇﹺﻟ‬‫ﻛﹸﻢ‬nimshirikishe ‫ﻮ‬‫ﻋ‬‫ﻲ ﺃﹶﺩ‬‫ﺎ ﻟ‬‫ﻡﹺ ﻣ‬‫ﺎ ﻗﹶﻮ‬‫ﻳ‬‫ ﻭ‬na yule ambaye simjui, “Mnaniita nimkufuru Mwenyezi na nami ninawaita kwa ‫ﻔﱠﺎﺭﹺ‬‫ ﺍﻟﹾﻐ‬Mwenye ‫ﺰﹺﻳﺰﹺ‬‫ ﺇﹺﻟﹶﻰ ﺍﻟﹾﻌ‬‫ﻮﻛﹸﻢ‬nguvu, ‫ﻋ‬‫ﺎ ﺃﹶﺩ‬‫ﺃﹶﻧ‬‫ ﻭ‬‫ﻠﹾﻢ‬‫ﻋ‬Mwingi ‫ﻲ ﺑﹺﻪ‬‫ ﻟ‬‫ﺲ‬‫ﺎ ﻟﹶﻴ‬wa ‫ ﻣ‬‫ ﺑﹺﻪ‬‫ﻙ‬maghufira?” ‫ ﹺﺮ‬‫ﻭﺃﹸﺷ‬ ‫ﺮ ﺑﹺﺎﻟﻠﱠـﻪ‬ ‫ﹶﺄﻛﹾﻔﹸ‬‫(ﹺﻲ ﻟ‬Sura ‫ﻨ‬‫ﻮﻧ‬‫ﻋ‬‫ﺪ‬‫ ﺗ‬Mu’min: 42) “Na Enyi watu wangu! Kwa nini mimi ninawaita kwenye wokovu, nanyi mnaniita kwenye ‫ﺎﺭﹺ‬‫ﻨ‬Moto?” ‫ ﺍﻟ‬‫ﺏ‬nimkufuru ‫ﺎ‬‫ﺤ‬‫ ﺃﹶﺻ‬‫(ﻢ‬Sura ‫ ﻫ‬‫ﲔ‬‫ﺮﹺﻓ‬‫ﺴ‬‫ﻤ‬Mu’min: ‫ﺍﻟﹾ‬Mwenyezi ‫ﻭﹶﺃﻥﱠ‬ ‫ﻟﹶﻰ ﺍﻟﻠﱠـﻪ‬41) ‫ﺎ ﺇﹺ‬‫ﻧ‬‫ﺩ‬Mungu ‫ﺮ‬‫ﻭﹶﺃﻥﱠ ﻣ‬ ‫ﺓ‬‫ﺮ‬‫ﹾﺂﺧ‬na ‫ﻲ ﺍﻟ‬‫ ﻓ‬nimshirikishe ‫ﻟﹶﺎ‬‫ﺎ ﻭ‬‫ﻴ‬‫ﻧ‬‫ﻲ ﺍﻟﺪ‬‫ﺓﹲ ﻓ‬‫ﻮ‬‫ﻋ‬‫ ﺩ‬‫ ﹶﻟﻪ‬‫ﺲ‬na ‫ ﻟﹶﻴ‬‫ﻪ‬‫ﻟﹶﻴ‬yule ‫ﻨﹺﻲ ﺇﹺ‬‫ﻮﻧ‬‫ﻋ‬‫ﺪ‬ambaye ‫ﺎ ﺗ‬‫ﻤ‬‫ ﺃﹶﻧ‬‫ﻡ‬‫ﺮ‬‫ﻟﹶﺎ ﺟ‬simjui, “Mnaniita

nami ninawaita kwa Mwenye nguvu, Mwingi wa maghufira?” (Sura Mu’min: 42) ‫ﻔﱠﺎﺭﹺ‬‫ﺰﹺﻳﺰﹺ ﺍﻟﹾﻐ‬‫ﻟﹾﻌ‬mnayeniitia, ‫ ﺇﹺﻟﹶﻰ ﺍ‬‫ﻢ‬hastahiki ‫ﻮﻛﹸ‬‫ﻋ‬‫ﺎ ﺃﹶﺩ‬‫ﺃﹶﻧ‬‫ ﻭ‬‫ﻠﹾﻢ‬‫ﻋ‬wito ‫ﻲ ﺑﹺﻪ‬‫ ﻟ‬‫ﺲ‬ ‫ﺎ ﻟﹶﻴ‬‫ ﻣ‬‫ ﺑﹺﻪ‬‫ ﹺﺮﻙ‬‫ﺷ‬wala ‫ﻭﺃﹸ‬ ‫ﻠﱠـﻪ‬wito ‫ﹺﺎﻟ‬Akhera. ‫ﺮ ﺑ‬ ‫ﹶﺄﻛﹾﻔﹸ‬‫ﹺﻲ ﻟ‬duniani ‫ﻨ‬‫ﻮﻧ‬‫ﻋ‬Na ‫ﺪ‬‫ ﺗ‬hakikawala “Bila ya shaka duniani marejeo “Bila ya mnayeniitia, shaka hastahiki yetu ni kwa Mwenyezi Mungu. Na wanaopita kiasi basi hao ndio watu wa Motoni!” ‫ﺭ‬ ‫ﹺ‬ ‫ﺎ‬ ‫ﻨ‬ ‫ﺍﻟ‬ ‫ﺏ‬  ‫ﺎ‬ ‫ﺤ‬ ‫ﺻ‬  ‫ﺃ‬ ‫ﹶ‬ ‫ﻢ‬  ‫ﻫ‬  ‫ﲔ‬  ‫ﻓ‬  ‫ﺮ‬ ‫ﹺ‬ ‫ﺴ‬  ‫ﻤ‬  ‫ﻟ‬ ‫ﹾ‬ ‫ﺍ‬ ‫ﱠ‬ ‫ﻥ‬ ‫ﺃ‬ ‫ﹶ‬ ‫ﻭ‬  ‫ﻪ‬  ‫ﱠـ‬ ‫ﻠ‬ ‫ﺍﻟ‬ ‫ﹶﻰ‬ ‫ﻟ‬ ‫ﺇ‬ ‫ﹺ‬ ‫ﺎ‬ ‫ﻧ‬ ‫ﺩ‬  ‫ﺮ‬  ‫ﻣ‬  ‫ﱠ‬ ‫ﻥ‬ ‫ﺃ‬ ‫ﹶ‬ ‫ﻭ‬  ‫ﺓ‬  ‫ﺮ‬  ‫ﺧ‬  ‫ﹾﺂ‬ ‫ﻟ‬ ‫ﺍ‬ ‫ﻲ‬ ‫ﻓ‬ ‫ﹶﺎ‬ ‫ﻟ‬ ‫ﻭ‬  ‫ﺎ‬ ‫ﻴ‬ ‫ﻧ‬  ‫ﺪ‬  ‫ﺍﻟ‬ ‫ﻲ‬ ‫ﻓ‬ ‫ﺓ‬ ‫ﹲ‬ ‫ﻮ‬  ‫ﻋ‬  ‫ﺩ‬   ‫ﻪ‬ ‫ﻟ‬ ‫ﹶ‬ ‫ﺲ‬  ‫ﻴ‬  ‫ﻟ‬ ‫ﹶ‬ ‫ﻪ‬  ‫ﻴ‬  ‫ﻟ‬ ‫ﹶ‬ ‫ﺇ‬ ‫ﹺ‬ ‫ﹺﻲ‬ ‫ﻨ‬ ‫ﻧ‬  ‫ﻮ‬ ‫ﻋ‬ ‫ﺪ‬  ‫ﺗ‬  ‫ﺎ‬ ‫ﻤ‬ ‫ﻧ‬  ‫ﺃ‬ ‫ﹶ‬ ‫ﻡ‬  ‫ﺮ‬  ‫ﺟ‬  ‫ﻟﹶﺎ‬ Akhera. Na hakika marejeo yetu ni kwa Mwenyezi Mungu. (Sura Mu’min: 43) “Mnaniita nimkufuru Mwenyezi Mungu na nimshirikishe na yule ambaye simjui, Na wanaopita kiasi basi hao wa ndio watu wa Motoni!” nami kwa Mwenye nguvu, Mwingi maghufira?” (Sura Mu’min: 42) “Bila ninawaita ya shaka mnayeniitia, hastahiki wito duniani wala Akhera. Na hakika marejeo (Sura Mu’min: 43) ‫ﺩ‬  ‫ﺎ‬ ‫ﺒ‬ ‫ﻌ‬  ‫ﻟ‬ ‫ﹾ‬ ‫ﹺﺎ‬ ‫ﺑ‬ ‫ﲑ‬  ‫ﺼ‬  ‫ﺑ‬  ‫ﻪ‬  ‫ﱠـ‬ ‫ﻠ‬ ‫ﺍﻟ‬ ‫ﱠ‬ ‫ﻥ‬ ‫ﺇ‬ ‫ﹺ‬ ◌ ۚ ‫ﻪ‬  ‫ﱠـ‬ ‫ﻠ‬ ‫ﺍﻟ‬ ‫ﹶﻰ‬ ‫ﻟ‬ ‫ﺇ‬ ‫ﹺ‬ ‫ﻱ‬ ‫ﺮ‬ ‫ﹺ‬ ‫ﻣ‬  ‫ﺃ‬ ‫ﹶ‬ ‫ﺽ‬  ّ ‫ﻮ‬ ‫ﹺ‬ ‫ﻓ‬ ‫ﹶ‬ ‫ﺃ‬ ‫ﹸ‬ ‫ﻭ‬  ◌ ۚ ‫ﻢ‬  ‫ﻜ‬ ‫ﹸ‬ ‫ﻟ‬ ‫ﹶ‬ ‫ﻝ‬ ‫ﹸ‬ ‫ﹸﻮ‬ ‫ﻗ‬ ‫ﺃ‬ ‫ﹶ‬ ‫ﺎ‬ ‫ﻣ‬ ‫ﻥ‬ ‫ﹶ‬ ‫ﻭ‬  ‫ﺮ‬ ‫ﹸ‬ ‫ﻛ‬ ‫ﺬ‬ ‫ﹾ‬ ‫ﺘ‬  ‫ﺴ‬  ‫ﻓ‬ ‫ﹶ‬ yetu ni kwa Mwenyezi Mungu. Na wanaopita kiasi basi hao ndio watu wa Motoni!” ‫ﺎﺭﹺ‬‫ ﺍﻟﻨ‬‫ﺎﺏ‬‫ﺤ‬‫ ﺃﹶﺻ‬‫ﻢ‬43) ‫ ﻫ‬‫ﲔ‬‫ﺮﹺﻓ‬‫ﺴ‬‫ﻭﹶﺃﻥﱠ ﺍﻟﹾﻤ‬ ‫ﺎ ﺇﹺﻟﹶﻰ ﺍﻟﻠﱠـﻪ‬‫ﻧ‬‫ﺩ‬‫ﺮ‬‫ﻭﹶﺃﻥﱠ ﻣ‬ ‫ﺓ‬‫ﺮ‬‫ﻲ ﺍﻟﹾﺂﺧ‬‫ﻟﹶﺎ ﻓ‬‫ﺎ ﻭ‬‫ﻴ‬‫ﻧ‬‫ﻲ ﺍﻟﺪ‬‫ﺓﹲ ﻓ‬‫ﻮ‬‫ﻋ‬‫ ﺩ‬‫ ﹶﻟﻪ‬‫ﺲ‬‫ ﻟﹶﻴ‬‫ﻪ‬‫ﻨﹺﻲ ﺇﹺﻟﹶﻴ‬‫ﻮﻧ‬‫ﻋ‬‫ﺪ‬‫ﺎ ﺗ‬‫ﻤ‬‫ ﺃﹶﻧ‬‫ﻡ‬‫ﺮ‬‫ﻟﹶﺎ ﺟ‬ (Sura Mu’min: “Basi mtayakumbuka ninayowaambia. Nami namkabidhi Mwenyezi Mungu mambo yangu.mnayeniitia, Hakika Mungu waja.”marejeo (Sura “Bila ya shaka wito ‫ﻢ‬wala ‫ﺃﹶﻗﹸﻮﻝﹸ ﻟﹶﻜﹸ‬Akhera. ‫ﺎ‬‫ﻥﹶ ﻣ‬kuwaona ‫ﻭ‬‫ﺘﺬﹾﻛﹸﺮ‬‫ﺴ‬  ‫ﹶﻓ‬Na hakika ‫ﺎﺩ‬‫ﺒ‬‫ ﺑﹺﺎﻟﹾﻌ‬‫ﲑ‬‫ﺼ‬‫ ﺑ‬Mwenyezi ‫ﱠـﻪ‬hastahiki ‫ ◌ۚ ﹺﺇﻥﱠ ﺍﻟﻠ‬‫ﹶﻰ ﺍﻟﻠﱠـﻪ‬ ‫ﺮﹺﻱ ﺇﹺﻟ‬‫ﻣ‬duniani ‫ ﺃﹶ‬‫ ﹺّﻮﺽ‬ni ‫ﺃﹸﻓﹶ‬‫◌ۚ ﻭ‬mwenye Mu’min: 44)Mwenyezi Mungu. Na wanaopita kiasi basi hao ndio watu wa Motoni!” yetu ni kwa (Sura Mu’min: 43) ‫ﺬﹶﺍﺏﹺ‬ninayowaambia. ‫ﻮﺀُ ﺍﻟﹾﻌ‬‫ﻥﹶ ﺳ‬‫ﻮ‬‫ﻋ‬‫ﺮ‬‫ ﺑﹺﺂﻝﹺ ﻓ‬‫ﺎﻕ‬‫ﺣ‬‫◌ۖ ﻭ‬Nami ‫ﻭﺍ‬‫ﻣ ﹶﻜﺮ‬ ‫ﺎ‬‫ ﻣ‬‫ﺕ‬namkabidhi ‫ﻴﹺّﺌﹶﺎ‬‫ ﺳ‬‫ ﺍﻟﻠﱠـﻪ‬‫ﻗﹶﺎﻩ‬‫ ﻓﹶﻮ‬Mwenyezi Mungu “Basi mtayakumbuka

“Basi mtayakumbuka ninayowaambia. Nami namkabidhi

mambo yangu. Hakika Mwenyezi Mungu ni mwenye kuwaona waja.” (Sura Mwenyezi Mungu Mungu ‫ﺎﺩ‬‫ﺒ‬‫ ﺑﹺﺎﻟﹾﻌ‬‫ﲑ‬‫ﺼ‬‫ ﺑ‬akamlinda ‫ﻪ‬mambo ‫ ◌ۚ ﹺﺇﻥﱠ ﺍﻟﻠﱠـ‬‫ ﺍﻟﻠﱠـﻪ‬yangu. ‫ﹶﻰ‬ ‫ﻱ ﺇﹺﻟ‬ubaya ‫ﺮﹺ‬‫ ﺃﹶﻣ‬‫ﺃﹸﻓﹶ ﹺّﻮﺽ‬‫ﻭ‬Hakika ۚ◌ ‫ﻜﹸﻢ‬hila ‫ﺎ ﺃﹶﻗﹸﻮﻝﹸ ﻟﹶ‬walizozifanya. ‫ ﻣ‬Mwenyezi ‫ﻭﻥﹶ‬‫ﺘﺬﹾﻛﹸﺮ‬‫ﺴ‬  ‫ﹶﻓ‬ “Basi Mwenyezi Mungu na wa Na adhabu Mu’min: 44) (Sura Mu’min: 44) ni mwenye kuwaona waja.” mbaya itawazunguka watu ‫ﺬﹶﺍﺏﹺ‬‫ ﺍﻟﹾﻌ‬wa ُ‫ﻮﺀ‬‫ﻥﹶ ﺳ‬Firauni.” ‫ﻮ‬‫ﻋ‬‫ﺮ‬‫ ﺑﹺﺂﻝﹺ ﻓ‬‫ﺎﻕ‬‫ﺣ‬‫(ﻭ‬Sura ۖ◌ ‫ﻭﺍ‬‫ﻜﺮ‬ ‫ﻣ ﹶ‬Mu’min: ‫ﺎ‬‫ ﻣ‬‫ﻴﹺّﺌﹶﺎﺕ‬‫ ﺳ‬‫ﱠـﻪ‬45) ‫ ﺍﻟﻠ‬‫ﻗﹶﺎﻩ‬‫ﻓﹶﻮ‬ “Basi mtayakumbuka ninayowaambia. Nami namkabidhi Mwenyezi Mungu TazamaMwenyezi ndugu msomaji namna Mungu ganiubaya huyu anayeficha imani yakewaja.” ambaye kwa mambo yangu.yangu Hakika Mwenyezi niwa mwenye kuwaona (Sura “Basi Mungu akamlinda na hila walizozifanya. Na adhabu mtazamo wa watu ni kafiri kutoka katika jamaa wa Firaun, ameweza kutangaza dini ya Mu’min: 44) mbaya itawazunguka watu wa Firauni.” (Sura Mu’min: 45) Mwenyezi Mungu kwa ‫ﺏﹺ‬ kiwango alivyotetea dini ya Mwenyezi ‫ﺬﹶﺍ‬‫ﻮﺀُ ﺍﻟﹾﻌ‬‫ﻥﹶ ﺳ‬‫ﻮ‬hiki ‫ﻋ‬‫ﺮ‬‫ﹺﺂﻝﹺ ﻓ‬kikubwa ‫ ﺑ‬‫ﺎﻕ‬‫ﺣ‬‫ﻭﺍ ◌ۖ ﻭ‬‫ﺮ‬na ‫ﻣ ﹶﻜ‬ ‫ﺎ‬namna ‫ ﻣ‬‫ﻴﹺّﺌﹶﺎﺕ‬‫ ﺳ‬‫ﱠـﻪ‬ ‫ ﺍﻟﻠ‬‫ﻗﹶﺎﻩ‬‫ﻓﹶﻮ‬ Mungu Musa,yangu na kwa hakika namna alikuwagani anajua mbinu ambazoimani anazipanga Firaun dhidi Tazama na ndugu msomaji huyu anayeficha yake ambaye kwa ya Musa (as), hivyo Mwenyezi Mungu alikuwa anamlinda kivitendo Haziqiyl, je “Basi Mwenyezi akamlinda na jamaa ubayawawaFiraun, hilaubaya walizozifanya. Nawaladhabu mtazamo waMwenyezi watu Mungu ni kafiriMungu kutoka katika ameweza kutangaza dini ya “Basi akamlinda na wa hila Haziqiyl angeweza kutekeleza jukumu hili kama angetangaza imani yake na akawa mbaya itawazunguka watu wa Firauni.” (Sura Mu’min: 45) Mwenyezi Mungu kwaNa kiwango hiki kikubwa naitawazunguka namna alivyotetea watu dini ya wa Mwenyezi izozifanya. adhabu mbayakisa katika za waumini?Qur’ani inapotueleza hikiambazo kama njia yakulingania, Mungusafu na Musa, na kwa hakika alikuwa anajua mbinu anazipanga Firaun yaani dhidi hakika hii ndio yangu njia wajibu wapatikane walinganiaji waliofichikana ndanikwa ya (Sura Mu’min: 45) imani ­Fniirauni.” Tazama ndugu msomaji namna gani huyu anayeficha yake ambaye ya Musa (as), hivyosahihi, Mwenyezi Mungu alikuwa anamlinda kivitendo Haziqiyl, je kundi la adui, tena waliokaribu nao ili kumlinda mwenye ulinganio kwa kila waliyopewa mtazamo wa watu ni kafiri kutoka katika jamaa wa Firaun, ameweza kutangaza dini ya Haziqiyl angeweza kutekeleza jukumu hili kama angetangaza imani yake na akawa kati ya safu nguvu, na kupitia nyadhifa zao katika kisa kaumu ambazo kuzitumia Mwenyezi Mungu kwa kiwango hiki kikubwa na namna alivyotetea dini ya Mwenyezi katika za waumini?Qur’ani inapotueleza hikinakama njiawanaweza yakulingania, yaani Tazama ndugu yangu msomaji namna gani huyu anayefiMungu na Musa, na kwa hakika alikuwa anajua mbinu ambazo waliofichikana anazipanga Firaun dhidi hakika hii ndio njia sahihi, ni wajibu wapatikane walinganiaji ndani ya 114 cha yake ambaye kwa mtazamo wa watu kafiri ku-je ya Musa (as),tena hivyo Mwenyezi alikuwa anamlinda kivitendo Haziqiyl, kundi laimani adui, waliokaribu nao Mungu ili kumlinda mwenye ulinganio kwanikila waliyopewa Haziqiyl angeweza kutekeleza hili kama angetangaza imani yakedini na akawa kati ya nguvu, na jamaa kupitia nyadhifa zao katika kaumu na ambazo wanaweza kuzitumia toka katika wajukumu Firaun, ameweza kutangaza ya katika safu za waumini?Qur’ani inapotueleza kisa hiki kama njia yakulingania, yaani Mwenyezi Mungu kiwango kikubwa na namna 114 hiki hakika hii ndio njia sahihi, kwa ni wajibu wapatikane walinganiaji waliofichikana ndanialya kundi la adui, tena waliokaribu nao ili kumlinda mwenye ulinganiona kwakwa kila waliyopewa ivyotetea dini ya Mwenyezi Mungu na Musa, hakika kati ya nguvu, na kupitia nyadhifa zao katika kaumu na ambazo wanaweza kuzitumia

alikuwa anajua mbinu ambazo anazipanga Firaun dhidi ya 114 Musa (as), hivyo Mwenyezi Mungu alikuwa anamlinda kivitendo Haziqiyl, je Haziqiyl angeweza kutekeleza jukumu hili kama angetangaza imani yake na akawa katika safu za waumini? Qur’ani inapotueleza kisa hiki kama njia yakulingania, yaani hakika hii ndio njia sahihi, ni wajibu wapa216

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 216

6/13/2013 2:11:00 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

tikane walinganiaji waliofichikana ndani ya kundi la adui, tena waliokaribu nao ili kumlinda mwenye ulinganio kwa kila waliyopewa kati ya nguvu, na kupitia nyadhifa zao katika kaumu na ambazo wanaweza kuzitumia kikamilifu, ili wajaribu kutoa fikra ya imani kwa njia nyingine isiyokuwa ya moja kwa moja kutoka kwa kiongozi wa da’awa,ili makafiri waweze kutafakari jambo nje ya kiburi cha nafsi. Ikiwa njia hii anaielezea Mwenyezi Mungu kuwa ni njia sahihi katika kulingania, sasa yuko wapi Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) katika kutekeleza njia hii sahihi katika daawa yake? Je, kuna yaliyobora zaidi kuliko aliyoyafanya Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) dhidi ya Makuraishi kwa kumuweka Abu Talib mahala pa muumini wa jamaa wa Firaun, anaficha imani yake na anatekeleza jukumu lake la jihadi.

ABU TALIB AMESEMA NINI? Hakika Abu Talib ni mshairi mkubwa amezatiti mashairi yake katika itikadi na msingi, ushairi wake ulikuwa ni kama kombora ambalo linatua juu ya vichwa vya mushrikina, ushairi wake ni hatari kuliko chanel za luninga katika zama hizi, na ni hatari kuliko wizara ya habari, ambapo ushairi wakati huo ni matangazo ambayo wote waliyaogopa, na Abu Talib anapodhihirisha maneno yake basi huo ni ushahidi kuwa ameyasema bila kuficha na bila kuacha hata chembe kwa Kikuraishi itakayowazuia kumuweka kando na duru za kisiasa katika mkusanyiko wao.

217

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 217

6/13/2013 2:11:00 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

Abu Talib Mtukufu amesema nini? Qur’ani imeelezea baadhi ya kauli za muumini wa jamaa wa Firaun – Haziqiyl, kwamba anaficha imani yake, na sisi tunaeleza hapa baadhi ya kauli za Abu Talib na ambazo zinafichua kilichopo ndani licha ya kwamba alificha imani yake, ambapo alifikisha kadiri ya uwezo wake bila kujali chuki za makafiri, alifikisha kwa njia ambayo inahifadhi hali yake ndani ya jamii ya Kikuraishi, hali ya kuwa na kauli na heshima ndani ya jamii ya Kikuraishi, lakini wakati ule ule anasema anayoyataka kuyasema katika haki ya Nabii na dini na kumnusuru Mwenyezi Mungu na Mtume Wake kwa siri na kwa wazi, na kwa uerevu wake na elimu yake nyingi Abu Talib anaweza kutekeleza jukumu hili kwa njia nzuri. Ni nani anaweza kutekeleza jukumu hili asiyekuwa yeye katika kundi la Nabii (s.a.w.w.)? Tutaeleza sehemu tu ya yale aliyoyasema Abu Talib (as) katika maarifa yake juu ya Mwenyezi Mungu.Ubeti huu umekuja katika kaswida, nasi tunautaja hapa peke yake kisha tutautaja tena ndani ya kaswida: “Nakumdhulum Nabii aliyekuja analingania uongofu, Na jambo limekuja kutoka kwa Mwenye Arshi tukufu.” Je, hii haimaanishi kumwamini Nabii na Qur’ani?Acha tueleze kaswida ambayo imekuja kubainisha vikwazo viovu vya Makuraishi vya kuwatenga Bani Hashim na kuwaweka katika hali ya njaa kwa muda wa miaka mitatu, na hiyo ni ili Abu Talib amwache Nabii, nao wamlenge kwa mapanga yao, hiyo ni ili wamvue Nabii ngao yake madhubuti, nayo ni Abu Talib, lakini vipi litawezekana hilo, ambapo Abu Talib (as) alisema: 218

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 218

6/13/2013 2:11:00 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

“Wanatarajia kwetu mbinu bila ya kuipata, kupiga na kukata kwa panga lenye kukata. Wanataraji tuwe wakarimu kwa kuuliwa Muhammad, na wala mapanga hayajatapakaa kwa damu. Mmeongopa naapa kwa Mungu hadi mfunge,mafuvu yatupwe bondeni na Zamazam. Udugu ukatwe na hadi mke amsahau mume, na au liwe ndugu baada ya ndugu. Katika yaliyopita katika uovu na ubaya wenu, na kujiingiza kwenu katika jambo lenu kwa kila dhambi. Na kumdhulumu Nabii aliyekuja kulingania uongofu, na jambo limekuja kutoka kwa Mwenye Arshi tukufu. Wala msidhani tutamsalimisha mfano wake, maadam kuna mtu katika kaumu katu hatutomsalimisha.” Je, Abu Talib hajasema katika beti hizi nashuhudia kwamba hakuna Mungu isipokuwa Mwenyezi Mungu na kwamba Muhammad ni Mtume wa Mwenyezi Mungu? Tutaacha ufafanuzi wa ushairi wa Abu Talib kwa msomaji ili ahukumu mwenyewe kwa kuwa uko wazi kama nuru kwa kila mwenye uoni na uelewa. Na Makuraishi walipomweleza Nabii Mtukufu kupitia Abu Talib kwamba wampe dunia, utawala na mali ili aache ujumbe wake au apambane hadi kufa, Abu Talib alinukuu ujumbe kisha akarejea kwao na jibu la Muhammad Mtukufu ambalo Nabii alilijadili katika upeo wa mbali zaidi na wa milele. Jawabu ambalo lilimfurahisha Abu Talib na likawashinda Makuraishi: “Wallahi ewe ami lau wangeweka jua kuliani kwangu na mwezi kushotoni kwangu ili niache jambo 219

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 219

6/13/2013 2:11:00 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

hili, nisingeliacha katu, hadi Mwenyezi Mungu alidhihirishe au nife kwa kulitetea.” Roho ya Abu Talib ikafurahi ambapo alitekeleza jukumu lake kwa ucheshi na furaha mwenye yakini, ambapo anamwambia wazi Nabii wa rehema: “Nenda ewe mtoto wa ndugu yangu sema utakayo, Wallaahi sitokusalimisha kwa chochote abadani.” Kisha akatoa nuru, yakini na jihadi ambapo alisema: “Wallahi hawatokufika kwa wingi wao, hadi niwe nimezikwa mchangani. Tangaza jambo lako usiwe na huzuni, furahi kwa hilo tulizana na upate burudani. Umeniita nikajua utaninasihi, umesema kweli na ulikuwa mwaminifu. Nimeshajua kwamba dini ya Muhammadi ni dini bora kati ya dini za wanadamu.” Je, haya yanahitaji maelezo, ufafanuzi na sharhi! Je, haya sio sawa na: “Ash’ hadu anna Muhammad Rasulullah” Na Ibnu Za’abiy alipomfanyia ubaya Nabii, akamuudhi na akamtupia baadhi ya uchafu, Nabii alishitakia hayo kwa Abu Talib na akamwambia: “Mimi ni nani?” Abu Talib akakasirika alikwenda na akampiga makofi Ibnu Za’abiy, na akamwacha anamiminika damu, kisha akapitisha uchafu kwa rafiki zake akazipaka ndevu zao uchafu, kisha akamjibu Nabii swali lake alipomuuliza mimi ni nani, akamwambia: “Wewe ni Nabii Muhammad, mtu mtukufu na azizi. Ni bwana wa watukufu, walikuwa wema na uzao ulikuwa ni mwema. 220

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 220

6/13/2013 2:11:00 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

Mtu mtukufu katika asili yake,Amru mvunjaji mpweke. Maisha Makka yamekuwa mabaya, wamevunjika wamechanganyikiwa wanahasira. Na kuishi Makka ni kubaya, desturi imekuwa hivyo. Humo waovu wameasi, sisi tunanywesha mahujaji maji. Kwayo husaidiwa mwenye kiu, vipi utadhulumiwa na hali sijafa. Na mimi ni shujaa mahiri, na ukoo wa baba yako kana kwamba wao, ni simba aliyejeruhiwa na mkuki wamechemka. Hukuacha kusema ya sawa, na wewe ni mtoto mdogo.” Unaona Abu Talib anawatetea Waislam ambao Makuraishi waliwafanyia uadui, na huyu ni Uthman bin Madh’un sahaba mtukufu alisilimu na akaingia katika adhabu na adha za Makuraishi, Abu Talib alikwenda na akamchukua kutoka katika makucha ya mushrikina na akasema humo: “Je, anayemtaja Mwenyezi Mungu hapati amani, amekuwa mwenye kuadhibiwa na analia kama mwenye huzuni. Au mwenye kuwataja watu wenye upumbavu, wanamkandamiza na kumdhulumu anayelingania katika dini. Je, hamuoni Mwenyezi Mungu amedhalilisha wingi wao, hakika sisi tumekasirika kwa ajili ya Ibnu Madh’un.171 Na tunampa hifadhi anayebaki katika himaya yetu, kwa kila aliyefukuzwa atapata ulinzi madhubuti. Na mnyongekana kwamba amebebeshwa chumvi, wanaponya kwayo ugonjwa katika ugonjwa wa vichaa. 171

Sahaba mtukufu na kaburi lake lipo Baqi’i (as) 221

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 221

6/13/2013 2:11:00 PM


Je, hamuoni Mwenyezi Mungu amedhalilisha wingi wao, hakika sisi tumekasirika kwa ajili ya Ibnu Madh’un.1 Na tunampa hifadhi anayebaki katika himaya yetu, kwa kila liyefukuzwa atapata ulinzi Abu Talib Jabali Imara la Imani madhubuti. Namnyongekana kwamba amebebeshwa chumvi, wanaponya kwayo ugonjwa katika Hadi wanaume wakiri kwamba hawanatena ndoto kwayo, ugonjwa wa vichaa. baada ya ubabe wa kusikia na upole. Hadi wanaume kwamba hawanatena ndoto kwayo, baada ya ubabe wa kusikia na Auwakiri mtaamini kitabu cha ajabu kiloshuka, kwa Nabii kama upole. vile Musa au kama Yunus.” kwenye ubeti wa mwisho, Au mtaamini Hapa kitabu naashiria cha ajabu kiloshuka, kwa Nabii kama vile kana Musa kwamba au kama Yunus.” Abu Talib anaelezea yaliyokuja katika Qur’ani tukufu kwa ulimi wa Haziqiyl, alimwambia Firaun kaumu yake yaliyokuja Hapa naashiria kwenye ubetiambapo wa mwisho, kana kwamba AbunaTalib anaelezea akiwatukufu anawakumbusha zilizotangulia: katika Qur’ani kwa ulimi waUmmah Haziqiyl, ambapo alimwambia Firaun na kaumu yake akiwa anawakumbusha Ummah zilizotangulia:

‫ﺎﺩ‬‫ﺒ‬‫ّﻠﹾﻌ‬‫ﺎ ﻟ‬‫ ﻇﹸﻠﹾﻤ‬‫ ﹺﺮﻳﺪ‬‫ ﻳ‬‫ﺎ ﺍﻟﻠﱠـﻪ‬‫ﻣ‬‫ ◌ۚ ﻭ‬‫ﻢ‬‫ﻫ‬‫ﺪ‬‫ﻌ‬‫ﻦ ﺑ‬‫ ﻣ‬‫ﻳﻦ‬‫ﺍﻟﱠﺬ‬‫ ﻭ‬‫ﻮﺩ‬‫ﺛﹶﻤ‬‫ ﻭ‬‫ﺎﺩ‬‫ﻋ‬‫ﻮﺡﹴ ﻭ‬‫ﻡﹺ ﻧ‬‫ﺃﹾﺏﹺ ﻗﹶﻮ‬‫ﺜﹾﻞﹶ ﺩ‬‫ﻣ‬ “Mfano wa hali ya watu wa Nuh na A’di na Thamudi na wale wa baada yao. Na Mwenyezi Mungu hataki kuwadhulumu waja.” (Sura Mu’min: 31). 1

Sahaba mtukufu na kaburi lake lipo Baqi’i (as)

Na hii ndio kilele cha imani117 katika fikra ya mbinguni.Vivyo hivyo Abu Talib (as) alimwambia Mfalme wa Uhabeshi Najashi baada ya Ja’far bin Abu Talib kuhamia huko ili ajihami na adhabu ya Makuraishi, akamtumia barua hii ya mashairi: “Unajua Mfalme wa Uhabeshi kwamba Muhammad, ni Nabii kama Musa na Masihi bin Mariam. Amekuja na uongofu mfano wa waliokuja nao, wote kwa amri ya Mungu wanaongoa mpotevu. Na hakika nyinyi mmemsoma katika vitabu vyenu, mkweli wa maneno na sio maneno ya muovu. Msimfanye Mungu ni adui bali silimuni, hakika njia ya haki haina dhulma.

222

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 222

6/13/2013 2:11:00 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

Hakika watakapokujia toka kwetu waovu, kwa kukusudia, basi rejeeni kwenye ukarimu.” Je, Abu Talib hajasema katika beti zake: “Ash-hadu anna Muhammada Rasulullah”? Vilevile amesema katika kaswaida yake: “Je, hamjajua kwamba sisi tumempata, Nabii ni kama Musa, ameandikwa katika vitabu vya mwanzo. Na kwamba anamapenzi kwa waja, na hakuna kumuweka kando aliyechaguliwa na Mungu kwa mahaba. Hakika ambaye mmempamba katika kitabu chenu, atakuwa kwenu kama mtu aliyekwama. Zindukeni, zindukeni kabla mambo hayajawa mabaya, na asiye fanya dhambi hawi kama mwenye dhambi. Wala msifuate mambo ya wapotovu nakukata, kizazi chetu baada ya mahaba na ukuruba. Na pengine ni kujipalia vita mbaya kabisa, juu ya yule aliyeonja maziwa ya vita. Tunaapa Wallahi hatutomsalimisha Ahmad, kwa ajili ya hadaa katika ugumu wa zama wala kwa shida. Na wala hatutochoka vita hadi mchoke, na wala hatulalamiki kwa yanayotupata kati ya tabu.” Na hapa anamfidia Nabii kwa roho yake na anawausia wengine katika jamaa zake kumjali Nabii kwa kuchelea kudhalilishwa, na wakati mwingine anamtaka mtoto wake Ali (as) kuwa na subira pale Imam Ali (as) anapolala sehemu ya Nabii (s.a.w.w.) katika shamba la Abu Talib, ambapo Ali alim223

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 223

6/13/2013 2:11:00 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

wambia baba yake: “Ewe baba yangu hakika mimi nitauliwa.” Abu Talibu akasema: “Subiri ewe mwanangu subira ni lazima, kila aliye hai ­maisha yake ni kwa ajili ya watu.172 Tumekutoa na balaa ni kali, kumfidia kipenzi mtoto wa k­ ipenzi. Kama yatakufika mauti basi Mtukufu atapona, hivyo kuna atayepatwa kati yao na asiyepatwa. Kila aliyehai hata kama ataishi umri mrefu, atachukua vionjo vya hisa yake.” Na Imam Ali akamjibu: “Unaniamuru kusubiri katika kumnusuru Ahmad, Wallahi sijasema niliyoyasema kwa masikitiko. Lakini nilipenda uone nusura yangu, na ujue kwamba mimi bado ningali nakutii. Najitahidi kwa ajili ya Mwenyezi Mungu katika kumnusuru Ahmadi,Nabii wa uongofu mwenye kusifiwa udogoni na katika ujana.”173 Na wakati mwingine anawausia Bani Hashim, ambapo anasema katika mtiririko wa ushairi ambao unapaswa kuandikwa katika historia kushuhudia utukufu wa Abu Talib, mapenzi yake na kujitolea kwake katika kumnusuru Nabii (s.a.w.w.): “Nawausia wanne kumnusuru Ahmad Nabii bora, mtoto wangu Ali na Aami wa Nabii Abbasi. 172 173

Ilimul-Maniyatu Nahjul-Balaghah sharhu ya Ibnul-Hadiyd Juz. 3, Uk. 310. 224

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 224

6/13/2013 2:11:00 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

Hamza simba anayeogopewa kwa nguvu zake, na Ja’far, mjitolee mumkinge na watu. Kuweni imara - mama yangu na alichozaa - awe fidia kwenu, katika kumnusuru dhidi ya watu. Kwa kila upanga uliochomoza mkali, muuzamishe katika giza usiku kwenye hala.” Na amesema katika tauhidi: “Mfalme wa watu hana mshirika,Yeye ni Mpaji,Muumba na Mwenye kuhuisha. Na walio chini ya mbingu ni miliki yake kwa haki, na walio juu ya mbingu ni watumwa wake.”174 Na anasema: “Ewe mshuhudiaji Mwenyezi Mungu, juu yangu kuwa shahidi. Hakika mimi niko katika dini ya Nabii Ahmad. Aliyepotea katika dini, hakika mimi nimeongoka.”175 Na amesema: “Najilinda kwa Mola wa nyumba na kila muovu, juu yetu kwa ubaya au anayekusudia batili. Wallahi mmeongopa Muhammad kushindwa,176 kabla hatujapiga na kupambana. Hatumsalimishi hadi tuuliwe pembezoni mwake, na kuwasahau watoto wetu na wake zetu. Diwan Abiy Talib Uk. 11, Sheikhul Abtwaha Uk. 85 Sheikhul-Abtwaha Uk. 80 176 Nihayatu Fiy Ghariybul – Hadith Wal-Athar Juz. 1, Uk. 125 174 175

225

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 225

6/13/2013 2:11:01 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

Wallahi,sisi yakipamba moto ninayoyaona, panga zetu zitachanganyika na mfano wake. Kwa kila kijana mfano wa miale, atadhihiri ndugu yangu mkweli katika ulinzi na shujaa. Panga zitanyeshelezwa mvua kwa ajili yake, salio la yatima ngao ya wajane. Wanakimbilia kwake wenye kuhiliki katika kizazi cha Hashim, wao kwake ni neema na fadhila. Hamjajua kwamba mtoto wetu hakadhibishwi kwetu,na wala hatujali kauli batili. Wallahi nimekalifishwa kumlinda Ahmad, na nimempenda mapenzi ya kipenzi muunga udugu. Nimemkuta yeye bila ya mwingine nikamhami, na nimemtetea kwa heshima ya uzee, maadamu duniani kuna uzuri kwa watu wake, na kitu kwa afanyaye uadui na kupamba mahafali. Na katika watu mithili yake anatarajiwa, wanapomfanyia ugumu watawala katika ubora. Mpole muongofu mwadilifu asiyedhulumu, anampenda Mungu na haghafiliki naye. Na Mola wa waja akamuunga mkono kwa nusura yake, naakaidhihirisha dini, hivyo haki yake sio batili.” Na wakati mwingine alipita ndugu yake Hamza kwa ajili ya kuinusuru dini, akamwambia: “Subiri Abu Ya’liy katika dini ya Ahmad, na katika kudhihirisha dini umesimama kwa subira, na kumlinda aliyekuja na haki toka kwa Mola Wake. 226

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 226

6/13/2013 2:11:01 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

Kwa ukweli na azma Hamza usiwe kafiri, imenifurahikia uliposema ni muumini. Kuwa mnusuru wa Mtume kwa ajili ya Mungu, na walinganie Makuraishi kwa uliyokwenda kupigania jihadi, na sema Ahmadi sio mchawi.” Tunatosheka na kiasi hiki cha mashairi ya Abu Talib (as) na anayetaka ziada ni juu yake kurejea diwani ya Abu Talib ili amjue shujaa huyu mkubwa zaidi na zaidi.

MATUNDA YA UTAFITI Hakika Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) alipowaita watu katika Uislam, watu walikuwa wanatafuta ukweli katika daawa yake, je ni mkweli na yuko katika haki ili wamfuate au daawa yake ni batili hivyo wamwepuke, hususan kwa wale wasiomjua Nabii kwa karibu, lakini baada ya kuthibiti kwa watu – wa karibu na wambali - ukweli wa daawa yake, uwiano ukabadilika baada ya kwamba swali lilikuwa Muhammad ni Nabii au hapana? Swali likawa: “Je fulani amemsadikisha na amekuwa ni muuminiau amemkadhibisha, na hivyo ni kafiri?” Hali ni vivyo hivyo kwa Abu Talib, kupitia yeye tunajua ni nani muumini na ni nani mnafiki, na wala swali sio kwamba Abu Talib ni Muislam au kafiri, bali swali ni nani amethubutu “kusema hayo” kwa Abu Talib? Huyo ndio mahala pa kujiuliza na kwake maswali yanazunguka, na hivyo mtu kama huyo anatoka katika duara la waumini na ni wajibu tujihadhari naye, na ikiwa anazungukwa na kundi basi ni wajibu tujihadhari na kundi hilo ambalo linamzunguka na kulituhumu, na huu ni ukweli wa Hadith inayosema: “Mwenye kumku227

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 227

6/13/2013 2:11:01 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

furisha Muislam basi ameshakufuru.� Vivyo hivyo mwenye kumtuhumu Mtume wa Mwenyezi Mungukwa uongo basi ni muongo vyovyote atavyotujia na hoja na dalili, na mwenye kusema kwamba Mtume anatabia mbaya basi ameshasema uongo. Hivyo Zaid akimtuhumu Mtume wa Mwenyezi Mungu kwa tuhuma yoyote hata kama Zaid ni mkweli basi itikadi yetu juu ya Zaid kwamba ni mkweli ni kosa kubwa, ambapo inapasa tumwepuke, na kumtazama upya kila anayejiunga naye. Mwanadamu wa kawaida na asiye kuwa wa kawaida anaposema mimi ni Muislam, si haki kwa yeyote kumwambia wewe sio Muislam, hii ndio kanuni, hata kama huyu mtu ni faski na muovu si haki kwa yeyote kumkufurisha, sasa itakuwaje ikiwa mtu huyu ni shujaa Abu Talib ami wa Mtume wa Mwenyezi Mungu mwenye kuhami na kunusuru itikadi dhidi ya upotovu, na ambaye anahaki juu ya kila Muislam katika ulimwengu huu, kwani kama si yeye isingenusurika dini, na daawa ingeuliwa katika uchanga wake? Abu Talib yuko mbali mno na riwaya zote hizi za uzushi na uongo, na yuko juu ya kila shaka,yuko juu sana.Na hiyo inatosha kujua nafasi yake halisi kutoka kwa AhlulBait watukufu. Ahlul-Bait wote, wapenzi wao na wafuasi wao bila kubagua wanamtukuza Abu Talib na kumheshimu sana na wanamuweka katika nafasi yake anayostahiki katika imani na daraja tukufu mbele ya Mwenyezi Mungu na Mtume Wake (s.a.w.w.). Inatosha kujua kwamba kila aliyemtuhumu Abu Talib ni mwenye kuwachukia Ahlul-Bait au yuko mbali nao au ni mwenye kitu katika nafsi yake dhidi ya Ahlul-Bait wa Mtume (s.a.w.w.) kwa ajili ya masilahi duni ya kidunia. 228

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 228

6/13/2013 2:11:01 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

Ndio, anayemtuhumu Abu Talib (as) ni muongo.Wewe msomaji ukitaka kunusurika ni juu yako kujihadhari kumkhalifu Mtume wa Mwenyezi Mungu na kukiacha kizazi chake, vinginevyo utakuwa kati ya wenye kuhiliki kwa sababu amesema (s.a.w.w.): “Kama mtashikama navyo hamtopotea kamwe baada yangu.”177 Kwa sababu kama utashikamana na Kitabu cha Mwenyezi Mungu na kuacha kizazi cha Mtume wa Mwenyezi Mungu utapotea bila shaka, na hawa walioacha kizazi kitukufu ndio ambao wanamkufurisha ami wa Mtume wa Mwenyezi Mungu mwenye kumnusuru na kumhami, na hivyo wakamuudhi Mtume Wake hata baada ya kufariki kwake, kama walivyomuudhi sana katika uhai wake. Kwa sababu Mtume wa Mwenyezi Mungu yuko hai anasikia na anaona kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu: “bali wako hai mbele ya Mola wao wanaruzukiwa.”178 “Na wale wanaomuudhi Mtume wa Mwenyezi Mungu wanaadhabu iumizayo.”179 Tambua ewe msomaji hakika wewe kama utafuata kizazi cha Mtume wa Mwenyezi Mungu hutokuta ­nafsi yako inaitakidi kuwa Abu Talib ni kafiri, bali utakuta nafsi yako ni yenye kuitakidi kwake kama anavyoitakidi Mtume (s.a.w.w.) na Ahlul-Bait (as), na utamfurahisha Nabii wako kwani Abu Talib ni kipimo cha haki. Hivi ndivyo alivyomwambia Ammar: “Ewe Ammar litakuuwa kundi ovu.”180 Pamoja na hivyo utakuta kundi la Waislam linapinga Hadith hii na kuiacha kana kwamba Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) hakuisema Hadith hii, na kana kwamba Biharul-An’war Juz. 3, Uk. 122 Suratu Imran: 169 179 Suratu Tauba: 61 180 Usudul-Ghaba: Juz. 3, Uk. 630 177 178

229

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 229

6/13/2013 2:11:01 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

haikuwa, hivyo ndugu yangu kuwa mwerevu na tambua kwamba kundi ovu ambalo linamkufurisha Abu Talib ndio kundi ambalo liko nje na ukweli. Ndio,Abu Talib katika giza la usiku ni kipimo, kwacho hupimwa haki na batili, ni ishara na dalili zilioje kwako ewe Muislam za kufuata haki na zote zitakuwa hoja dhidi yako Siku ya Kiyama? Zinduka na wafuate Ahlul-Bait wa Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) utanusurika na kufaidika: “Hakika mimi nimewaachia vizito viwili: Kitabu cha Mwenyezi Mungu na kizazi changu, watu wa nyumbani kwangu, kama mtashikama navyo hamtopotea kamwe baada yangu.” Na Abu Talib huyu anaainisha wafuasi wa haki hadi leo hii kama alivyokuwa katika zama ya Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.), fitina waliyotumbukia humo wengi kati ya Waislam kwa kumkufurisha, basi hii ni ishara na uzinduzi kwao ili waache njia isiyo ya sawa na kurejea katika njia ya Ahlul-Bait. Ndio, anayemtuhumu Abu Talib ni muongo na sivinginevyo, ni sawa sawa awe mtu mmoja au mamilioni au mabilioni ya watu, kwa sababu haki haifungamani na idadi. Je, Mtume (s.a.w.w.) hajasema: “Ewe Ammar kama watu watafuata njia moja, na Ali akafuata njia nyingine basi fuata njia aliyoifuta Ali.”181 Tazama ewe msomaji mtu alisimama dhidi ya ulimwengu wote kwa sababu haki ni haki hata kama watu wote wataiacha, na batili ni batili hata kama watu wote wataifuata, nini wajibu wetu zaidi, ni kufuata wasia wa Mtume wa Mwenyezi Mungu, nao ndio utakaotufikisha kwenye haki: “Fuata maneno ya Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) 181

Al-Bidayatu wan-Nihayatu, Juz: 7, uk: 306 230

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 230

6/13/2013 2:11:01 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

utanusurika.” Ahlul-Bait ndio safina ya uokovu, Makhalifa kumi na wawili wote wanatokana na Makuraishi, kisha utakapopanda safina utaona maajabu kutoka katika nuru, watafute kuanzia sasa. Huyu hapa Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) anakuongoza. Hadithi hii ni kutoka katika Swawaiqul-Muhriqah katika mlango wa fadhila za Ahlul-Bait, amesema (s.a.w.w.): “Katika kila watakaokuja nyuma katika Ummah wangu kuna waadilifu kutoka katika Ahlul-Bait wangu, watazuia upotovu wa wapotoshaji katika dini hii na nyongeza za watu wa batili na taawili za majahili. Eee hakika Maimamu wenu ni wawakilishi wenu kwa Mwenyezi Mungu Mtukufu, hivyo angalieni ambaye mtampa uwakilishi wenu.” Na amesema (s.a.w.w.) kutoka kwa Tabaraniy: “Hakika mimi nimewaachieni Kitabu cha Mwenyezi Mungu na AhlulBait wangu, hivyo msiwatangulie mtaangamia wala msizembee kwao mtaangamia, wala msiwafundishe kwani wao wanajua zaidi kuliko nyinyi.” Na njia ya Ahlul-Bait iko wazi, nayo ni njia ambayo ameiweka Imam Ja’far as-Sadiq (as) kutoka kwa baba zake kutoka kwa Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.). Eeeh! Hakika nimefikisha. Eee Mwenyezi shuhudia. Imetimia na wakushukuriwa ni Mwenyezi Mungu Mtukufu. 1 Dhul- Qa’ad 1429. 21/ 10/ 2008. Kuwait

231

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 231

6/13/2013 2:11:01 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

ORODHA YA VITABU VILIVYO CHAPISHWA NA AL-ITRAH FOUNDATION 1. Qur'an Al-Kariim - Tafsir Al-Kashif Juzuu ya kwanza mpaka Thelathini 2.

Uharamisho wa Riba

3.

Uharamisho wa uwongo Juzuu ya Kwanza

4.

Uharamisho wa uwongo Juzuu ya Pili

5.

Hekaya za Bahlul

6.

Muhanga wa Imamu Husein (A.S.)

7.

Mikingamo iliyomzunguka Imamu Ali (A.S.)

8.

Hijab vazi Bora

9.

Ukweli wa Shia Ithnaashari

10. Madhambi Makuu 11. Mbingu imenikirimu 12. Abdallah Ibn Saba 13. Khadijatul Kubra 14. Utumwa 15. Umakini katika Swala 16. Misingi ya Maarifa 17. Kanuni za Ndoa na maadili ya Familia 232

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 232

6/13/2013 2:11:01 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

18. Bilal wa Afrika 19. Abudharr 20. Usahihi wa Historia ya Uislamu na Waislamu 21. Salman Farsi 22. Ammar Yasir 23. Qur'an na Hadithi 24. Elimu ya Nafsi 25. Yajue Madhehebu ya Shia 26. Ukusanyaji na Uhifadhi wa Qur'an Tukufu 27. Al-Wahda 28. Ponyo kutoka katika Qur'an. 29. Uislamu mfumo kamili wa maisha ya kijamii 30. Mashukio ya Akhera 31. Al Amali 32. Dua Indal Ahlul Bayt 33. Udhuu kwa mujibu wa Kitabu na Sunna. 34. Haki za wanawake katika Uislamu 35. Mwenyeezi Mungu na sifa zake 36. Kumswalia Mtume (s) 37. Nafasi za Ahlul Bayt (a.s) 38. Adhana. 39 Upendo katika Ukristo na Uislamu 233

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 233

6/13/2013 2:11:01 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

40. Tiba ya Maradhi ya Kimaadili 41. Maana ya laana na kutukana katika Qur’ani Tukufu 42. Kupaka juu ya khofu 43. Kukusanya swala mbili 44. Bismillah ni sehemu ya Qur’ani na husomwa kwa Jahara 45. Kuwaongoza vijana wa kizazi kipya 46. Kusujudu juu ya udongo 47. Kusherehekea Maulidi Ya Mtume (s) 48. Tarawehe 49. Malumbano baina ya Sunni na Shia 50. Kupunguza Swala safarini 51. Kufungua safarini 52. Umaasumu wa Manabii 53. Qur’an inatoa changamoto 54. as-Salaatu Khayrun Mina -'n Nawm 55. Uadilifu wa Masahaba 56. Dua e Kumayl 57. Sauti Ya Uadilifu wa Binadamu 58. Umaasumu wa Mitume - Faida Zake Na Lengo Lake 59. Umaasumu wa Mitume - Majibu Ya Aya Zenye Utata 60. Umaasumu wa Mitume - Umaasumu wa Mitume Muhammad (s)

234

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 234

6/13/2013 2:11:01 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

61. Nahju’l-Balaghah - Juzuu ya Kwanza 62. Nahju’l-Balaghah - Juzuu ya Pili 63. Kuzuru Makaburi 64. Maswali Na Mishkili Elfu - Sehemu ya Kwanza 65. Maswali Na Mishkili Elfu - Sehemu ya Pili 66. Maswali Na Mishkili Elfu - Sehemu ya Tatu 67. Maswali Na Mishkili Elfu - Sehemu ya Nne 68. Maswali Na Mishkili Elfu - Sehemu ya Tano 69. Maswali Na Mishkili Elfu - Sehemu ya Sita 70. Tujifunze Misingi Ya Dini 71. Sala ni Nguzo ya Dini 72. Mikesha Ya Peshawar 73. Malezi Ya Mtoto Katika Uislamu 74. Ubora wa Imam 'Ali Juu ya Maswahaba Na Ushia ndio njia iliyonyooka 75. Hukumu za Kifikihi zinazowahusu Wanawake 76. Liqaa-u-llaah 77. Muhammad (s) Mtume wa Allah 78. Amani na Jihadi Katika Uislamu 79. Uislamu Ulienea Vipi? 80. Uadilifu, Amani na Mtume Muhammad (s) 81. Mitala na Ndoa za Mtume Muhammad (s)

235

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 235

6/13/2013 2:11:01 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

82. Urejeo (al-Raja’a ) 83. Mazingira 84. Utokezo (al - Badau) 85. Hukumu ya kujenga juu ya makaburi 86. Swala ya maiti na kumlilia maiti 87. Uislamu na Uwingi wa Dini 88. Mtoto mwema 89. Adabu za Sokoni 90. Johari za hekima kwa vijana 91. Maalimul Madrasatain Sehemu ya Kwanza 92. Maalimul Madrasatain Sehemu ya Pili 93. Maalimul Madrasatain Sehemu ya Tatu 94. Tawasali 95. Imam Mahdi katika Usunni na Ushia 96. Hukumu za Mgonjwa 97. Sadaka yenye kuendelea 98. Msahafu wa Imam Ali 99. Ngano ya kwamba Qur’ani imebadilishwa 100. Idil Ghadiri 101. Kusoma sura zenye Sijda ya wajibu 102 Hukumu zinazomhusu mkuu wa kazi na Mfanyakazi 103. Huduma ya Afya katika Uislamu 236

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 236

6/13/2013 2:11:01 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

104. Sunan an-Nabii 105. Historia na sera ya viongozi wema (Sehemu ya Kwanza) 106. Historia na sera ya viongozi wema (Sehemu ya Pili) 107. Shahiid Mfiadini 108. Kumswalia Nabii (s.a.w) 109. Ujumbe -Sehemu ya Kwanza 110. Ujumbe - Sehemu ya Pili 111. Ujumbe - Sehemu ya Tatu 112. Ujumbe - Sehemu ya Nne 113. Mariamu, Yesu na Ukristo kwa mtazamo wa Kiislamu 114. Hadithi ya Thaqalain 115. Maarifa ya Kiislamu 116. Ukweli uliopotea sehemu ya Kwanza 117. Ukweli uliopotea sehemu ya Pili 118. Ukweli uliopotea sehemu ya Tatu 119. Ukweli uliopotea sehmu ya Nne 120. Ukweli uliopotea sehmu ya Tano 121. Johari zenye hekima kwa vijana 122. Safari ya kuifuata Nuru 123. Fatima al-Zahra 124. Myahudi wa Kimataifa 125. Kuanzia ndoa hadi kuwa Wazazi 237

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 237

6/13/2013 2:11:01 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

126. Visa vya kweli sehemu ya Kwanza 127. Visa vya kweli sehemu ya Pili 128. Muhadhara wa Maulamaa 129. Mwanadamu na Mustakabali wake 130. Imam Ali (‘a) Ndugu wa Mtume Muhammad (s) (Sehemu ya Kwanza) 131. Imam Ali (‘a) Ndugu wa Mtume Muhammad (s) (Sehemu ya Pili) 132. Khairul Bariyyah 133. Uislamu na mafunzo ya kimalezi 134. Vijana ni Hazina ya Uislamu. 135. Yafaayo kijamii 136. Tabaruku 137. Taqiyya 138. Vikao vya furaha 139. Shia asema haya Sunni asema haya Wewe wasemaje? 140. Visa vya wachamungu 141. Falsafa ya Dini 142. Kuhuzunika na Kuomboleza - (Azadari) 143. Sunna katika Kitabu Fiqhi al-Sunnah 144. Mtazamo Mpya - Wanawake katika Uislamu 145. Kuonekana kwa Allah 146. Tabia njema kwa Mujibu wa Ahlul-Bayt (Sehemu ya Kwanza) 238

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 238

6/13/2013 2:11:01 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

147. Tabia njema kwa Mujibu wa Ahlul-Bayt (Sehemu ya Pili) 148. Ndugu na Jirani 149. Ushia ndani ya Usunni 150. Maswali na Majibu 151. Mafunzo ya hukmu za ibada 152. Ahlul Bayt ndani ya tafsiri za Kisunni No 1 153 Ahlul Bayt ndani ya tafsiri za Kisunni No 2 154. Ahlul Bayt ndani ya tafsiri za Kisunni No 3 155. Abu Huraira 156. Vipengee kadhaa katika Swala ya Jamaa na Msikiti. 157. Mazingatio kutoka katika Qur’an - Sehemu ya Kwanza 158. Mazingatio kutoka katika Qur’an - Sehemu ya Pili 159. Mazingatio kutoka katika Uislamu - Sehemu ya kwanza 160. Mazingatio kutoka katika Uislamu - Sehemu ya Pili 161. Qur’ani Tukufu – Pamoja na Tarjuma ya Kiswahili 162. Falsafa ya Mageuzi ya Imam Husein (a.s) 163. Amali za Mwezi Mtukufu wa Ramadhani 164. Elimu ya Tiba za Kiislamu - Matibabu ya Maimamu 165. Uislamu Safi 166. Majlisi za Imam Husein Majumbani 167. Mshumaa. 168. Uislam wa Shia 239

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 239

6/13/2013 2:11:01 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

169. Amali za Makka 170. Amali za Madina 171. Asili ya Madhehebu katika Uislamu 172. Sira ya Imam Ali kuhusu Waasi 173. Ukweli uliofichika katika neno la Allah 174. Uislamu na Mifumo ya Uchumi 175. Umoja wa Kiislamu na Furaha 176. Mas’ala ya Kifiqhi 177. Jifunze kusoma Qur’ani 178. As-Sahifatul Kamilah as-Sajjadiyyah 179. Hayya ‘Alaa Khayri’l-’Amal Katika Adhana 180. Ukweli kuhusu Funga ya Siku ya Ashura 181. Dua za Miezi Mitatu Mitukufu (Rajabu, Shaabani na Ramadhani) 182. Uadilifu katika Uislamu 183. Mahdi katika Sunna 184. Jihadi ya Imam Hussein (‘as) 185. Kazi na Bidii ni njia ya maendeleo 186. Abu Talib – Jabali Imara la Imani 187. Ujenzi na Utakaso wa Nafsi 188. Vijana na Matarajio ya Baadaye 189. Usalafi – Historia yake, maana yake na lengo lake

240

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 240

6/13/2013 2:11:01 PM


Abu Talib Jabali Imara la Imani

190. Ushia – Hoja na Majibu 191. Mateso ya Dhuria wa Mtume (saww) 192. Maombolezo – Msiba wa Bwana wa Mashahidi (a.s.) 193. Shahidi kwa Ajili ya Ubinadamu 194. Takwa 195. Upotoshaji Dhahiri katika Turathi (Hazina) ya Kiislamu 196. Amirul Muuminina (‘as) na Makhalifa 197. Uongozi na Utawala katika Mwanendo wa Imam ‘Ali (‘a) 198. Kuelewa Rehema ya Mwenyezi Mungu 199. Utawala na Uendeshaji katika Sera ya Imam Ali (as) 200. Mtazamo kuhusu msuguano wa kimadhehebu 201. Nchi na Uraia - Haki na wajibu ka taifa

KOPI NNE ZIFUATAZO ZIMETAFSIRIWA KWA LUGHA KINYARWANDA 1. Amateka Na Aba'Khalifa 2. Nyuma yaho naje kuyoboka 3. Amavu n’amavuko by’ubushiya 4. Shiya na Hadithi

241

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 241

6/13/2013 2:11:01 PM


MUHTASARI

242

02_Abu Talib_13_June_2013.indd 242

6/13/2013 2:11:01 PM


Turn static files into dynamic content formats.

Create a flipbook
Issuu converts static files into: digital portfolios, online yearbooks, online catalogs, digital photo albums and more. Sign up and create your flipbook.