Adabu za vikao na mazungumzo

Page 1

Adabu za Vikao na ­Mazungumzo

Kimeandikwa na: Jumuiya ya Maarifa na Utamaduni wa Kiislamu

Kimetarjumiwa na: Amiri Mussa Kea

Kimehaririwa na: Alhajj Hemedi Lubumba Selemani

Kimepitiwa na: Mubarak A. Tila


‫ﺗﺮﺟﻤﺔ‬

‫ﺁداب اﻟﻤﺠﻠﺲ واﻟﺤﺪﻳﺚ‬

‫ﺗﺄﻟﻴﻒ‬ ‫ﺟﻤﻌﻴﺔ اﻟﻤﻌﺎرف اﻹﺳﻼﻡﻴﺔ اﻟﺜﻘﺎﻓﻴﺔ‬

‫ﻡﻦ اﻟﻠﻐﺔ اﻟﻌﺮﺑﻴﺔ اﻟﻰ اﻟﻠﻐﺔ اﻟﺴﻮا ﺡﻠﻴﺔ‬


©Haki ya kunakili imehifadhiwa na: AL-ITRAH FOUNDATION

ISBN: 978 - 9987 – 17 – 044 – 9

Kimeandikwa na: Jumuiya ya Maarifa na Utamaduni wa Kiislamu

Kimetarjumiwa na: Amiri Mussa Kea

Kimehaririwa na: Alhajj Hemedi Lubumba Selemani

Kimepangwa katika Kompyuta na: Al-Itrah Foundation

Toleo la kwanza: Machi, 2014 Nakala: 1000 Kimetolewa na kuchapishwa na: Alitrah Foundation S.L.P. - 19701, Dar es Salaam, Tanzania Simu: +255 22 2110640 / 2127555 Barua Pepe: alitrah@yahoo.com Tovuti: www.ibn-tv-com Katika mtandao: www.alitrah.info



YALIYOMO Neno la Mchapishaji......................................................................01 Sehemu ya kwanza: Adabu za Kikao na Mazungumzo.................03 Utangulizi.......................................................................................03 Kuchagua kikao.............................................................................05 Umuhimu wa kuchagua kikao.......................................................05 Jiepushe vikao hivi.........................................................................07 Shiriki vikao hivi...........................................................................12 Tukae na nani.................................................................................18 Usikae na watu hawa.....................................................................18 Tukae na watu gani........................................................................22 Adabu za Kikao..............................................................................27 Sehemu ya Kukaa..........................................................................31 Kutowabana Wakaaji.....................................................................31 Kuacha Nafasi................................................................................32 Kujikunyata....................................................................................32 Kutonyoosha Miguu......................................................................33 v


Adabu za Vikao na Mazungumzo

Kutabasamu Mbele ya Wengine....................................................34 Kunyamaza....................................................................................35 Kutowakata Maneno Wazungumzaji.............................................36 Kutonong’ona Wawili....................................................................37 Kuficha Siri....................................................................................37 Je! tuwaombe ushauri watu hawa..................................................40 Sehemu ya pili: Adabu za Uzungumzaji Madhumuni ya Mazungumzo........................................................41 Kuacha Mabishano.........................................................................42 Kusengenya na Kusingizia.............................................................43 Kusema Ukweli..............................................................................45 Kuacha Upuuzi...............................................................................45 Aina za Uzungumzaji.....................................................................48 Kujiepusha Kuudhi........................................................................48 Kutonyanyua Sauti.........................................................................49 Masharti ya Mzaha.........................................................................50

vi


Adabu za Vikao na Mazungumzo

‫ﺑﺴﻢ اﷲ اﻟﺮﺣﻤﻦ اﻟﺮﺣﻴﻢ‬ NENO LA MCHAPISHAJI

NENO LA MCHAPISHAJI

Kitabu ulichonacho mkononi mwako ni tarjuma ya kitabu cha Kiirabu kiitwacho, Aadabu 'l-Majlis wa 'l-Hadiith kililchoandikwa na Jumuiya Utamaduni mkononi na Maarifamwako ya Kiislamu. Sisi tumekiitwa, itabu ya ulichonacho ni tarjuma ya kitabu cha Adabu Kiirabu za Vikaokiitwacho, na Mazungumzo. Aadabu ‘l-Majlis wa ‘l-Hadiith kililchoandikwa na Jumuiya ya Utamaduni na Maarifa ya Kiislamu. Sisi tumeNi kawaida ya watu popote duniani kukaa vikao na kufanya kiitwa, Adabu Vikaombalimbali na Mazungumzo. mazungumzo ya za mambo yanayohusu maisha yao au

K

jamii Ni yaokawaida kwa ujumla. Hivipopote huwa duniani ni vikao kukaa maalumu ambavyo vina maya watu vikao na kufanya taratibu na kanuni zake. Lakini kuna vikao ambavyo si rasmi, zungumzo ya mambo mbalimbali yanayohusu maisha yaowatu au jamii hukaa kwenye mabaraza, kwenye mikahawa na kwenye vikao yao kwa ujumla. Hivi huwa ni vikao maalumu ambavyo vina taratiambavyo huku kwetu ni maarufu kwa jina la kijiweni au vijiweni. bu na kanuni zake. Lakini kuna vikao ambavyo si rasmi, watu hukaa Vikao vya aina hii ndivyo vyenye matatizo, kwani vingine ni vya kwenye kwenye mikahawa ambavyo walevi wa mabaraza, pombe, vingine ni vya wanywajinawakwenye kahawa,vikao vingine ni huku kwetu ni maarufu kwa jina la kijiweni au vijiweni. Vikao vya michezo ya aina mbalimbali hususan michezo ya bao, karata, vya ainanahii ndivyomingine vyenyeambayo matatizo, kwani ni vya walevi wa pool michezo haina tija. vingine Watu wanaoshiriki katika vikao na mazungumzo haya wa huathiriwa vikao hivyo pombe, vingine ni vya wanywaji kahawa,navingine ni vyana michezo kulemaa ya ainakabisa. mbalimbali hususan michezo ya bao, karata, pool na michezo mingine ambayo haina tija. Watu wanaoshiriki katika vikao na Mwandishi wa kitabu hiki anatufundisha namnanayakulemaa kuchagua vikao mazungumzo haya huathiriwa na vikao hivyo kabisa. vya mazungumzo vyenye tija na manufaa kwa jamii inayotuzunguka, kitabuwalio hiki anatufundisha namna na ya marafiki kuchagua na piaMwandishi kuchagua wa marafiki wema na kujiepusha waovu ili kuepukana na ushawishi wao na hatimaye kuiga tabia yake vikao vya mazungumzo vyenye tija manufaa kwa jamii inayoisiyofaa. tuzunguka, na pia kuchagua marafiki walio wema na kujiepusha na marafiki waovu ili kuepukana na ushawishi wao na hatimaye kuiga Tumekiona hiki ni chenye manufaa sana hususan wakati huu tabia yake kitabu isiyofaa. wa utanda wazi. Hivyo, Taasisi yetu ya Al-Itrah Foundation Tumekiona kitabu hiki ni chenye manufaa hususan wakati imeamua kukichapisha kitabu hiki kwa lugha sana ya Kiswahili kwa huu wa utanda wazi. Hivyo, Taasisi yetu ya Al-Itrah Foundation ime5 1


Adabu za Vikao na Mazungumzo

amua kukichapisha kitabu hiki kwa lugha ya Kiswahili kwa madhumuni yake yaleyale ya kuwahudumia Waislamu na wasio Waislamu, hususan wazungumzaji wa Kiswahili. Tunamshukuru ndugu yetu Amiri Mussa Kea kwa kukubali jukumu hili la kukitarjumi kitabu hiki pamoja na wale wote walioshiriki kwa njia moja au nyingine hadi kufanikisha kuchapishwa kwake. Mchapishaji Al-Itrah Foundation

2


Adabu za Vikao na Mazungumzo

SEHEMU YA KWANZA ADABU ZA ­KIKAO SEHEMU YA KWANZA ADABU ZA KIKAO

Utangulizi Utangulizi

‫ﺑﺴﻢ اﷲ اﻟﺮﺣﻤﻦ اﻟﺮﺣﻴﻢ‬ KwaKwa jinajina la Mwenyezi la MwenyeziMungu Mungu Mwingi wa wa rehemaMwenye Mwingi rehema Mwenyekurehemu. kurehemu. na huruma ni msingi wa mahusiano mema Hakika Hakika upendoupendo na huruma ni msingi imaraimara wa mahusiano mema ya ya kijamii baina ya watu wote, yaliyosimama juu ya msingi wa kitakijamii baina ya watu wote, yaliyosimama juu ya msingi wa kitabia, bia, na kwamba kupatikana msingi ni miongonimwa mwamambo mambo ya na kwamba kupatikana msingi huo huo ni miongoni ya dharura ili wanajamii walelewe msingi huo… dharura ili wanajamii walelewe juujuu ya ya msingi huo… Asili na maumbile ya binadamu ni mtu mwenye kuishi kijamii, Asili namaumbile ya binadamu ni mtu mwenye kuishi kijamii,katika katika hali ya maingiliano na kupashana habari za kijamii maishani hali ya maingiliano na kupashana habari za kijamii maishani mwake, mwake, kwa hivyo anachukia hali kujitenga na upweke. kwa hivyo anachukia hali kujitenga na upweke. Mwenyezi Mungu (a.j) anasema: Mwenyezi Mungu (a.j) anasema:

‫ﻦ ذَآَﺮٍ وَُأ ْﻧﺜَﻰ وَﺟَﻌَ ْﻠﻨَﺎ ُآ ْﻢ‬ ْ ِ‫س إِﻧﱠﺎ ﺧَﻠَ ْﻘﻨَﺎ ُآ ْﻢ ﻣ‬ ُ ‫ﻳَﺎ أَﻳﱡﻬَﺎ اﻟﻨﱠﺎ‬ $pκš‰r'¯≈tƒâ¨$¨Ζ9$#$¯ΡÎ)/ä3≈oΨø)n=yz⎯ÏiΒ9x.sŒ4©s\Ρé&uρöΝä3≈oΨù=yèy_uρ$\/θãèä©Ÿ≅Í←!$t7s%uρ(#þθèùu‘$yètGÏ94¨ ‫ﺷﻌُﻮﺑًﺎ وَﻗَﺒَﺎﺋِﻞَ ﻟِﺘَﻌَﺎرَﻓُﻮا‬ ُ βÎ)ö/ä3tΒtò2r&y‰ΨÏã«!$#öΝä39s)ø?r&4¨βÎ)©!$#îΛ⎧Î=tã×Î7yz∩⊇⊂∪ “Enyi watu! Kwa hakika tumekuumbeni kutokana na

mwanaume ­ na mwanamke, na tumekufanyeni mataifa na "Enyi watu! Kwa hakika tumekuumbeni kutokana na m ­ akabila mbali mbali ili mpate kujuana.” (49:13) mwanaume na mwanamke, na tumekufanyeni mataifa na makabila mbali mbali ili mpate kujuana."(49:13) 3

Imepokewa hadithi kutoka kwaMtume (s.a.w.w.) amesema: 7


Adabu za Vikao na Mazungumzo

Imepokewa hadithi kutoka kwaMtume (s.a.w.w.) amesema:

‫"المؤمن الّذي يخالط النّاس ويصبر على آذاھم أفضل من‬ " ‫المؤمن الّذي ال يخالط النّاس وال يصبر على أذاھم‬ "Mu’mini nana watu nana huvumilia maudhi yaoyao “Mu’miniambaye ambayehuchanganyika huchanganyika watu huvumilia maudhi ninibora zaidi kuliko mu’mini ambaye hachanganyikani na watu bora zaidi kuliko mu’mini ambaye hachanganyikani na watunana havumilii maudhi yao.1"havumilii maudhi yao.”1 Kwa mantiki hiyo hapana budi kuweka mipangona kuratibu Kwa mantiki hiyo hapana budi kuweka mipango na kuratibu mahusiano kati ya wanajamii kwamsingi wa mambo ya kheri, mazuri mahusiano kati ya hivyo wanajamii kwa msingi wa mambohupenda ya kheri, na ya fadhila.Kwa mtu mu’mini ni yuleambaye mazuri nahujifungua ya fadhila. Kwa hivyo mtu mu’mini ni yule wengine, kwaona huukubali ukweli pasi ambaye nakuwahupenda wengine, hujifungua huukubali ukweli pasi na tu, kuwa king’ang’anizi katika mambo,kwao haishina kibinafsi na kujali nafsi yake wala hajitengi na mambo ya kijamii, kwani sifa hizo ni mfano halisi king’ang’anizi katika mambo, haishi kibinafsi na kujali nafsi yake wamaendeleo ambayohuwa ni muhimuna ya kwani dharurasifa katika tu, wala hajitengi na mambo ya kijamii, hizokuifanya ni mfano jamii kuwa nzuri na bora.

halisi wa maendeleo ambayo huwa ni muhimu na ya dharura katika kuifanya jamii hapa kuwakwamba nzuri nakujitenga bora. ni bora katika baadhi ya aina Yafaa ieleweke

fulani za ibada, hali hapa kadhalika katika hali ya ni mtu kuitathmini nafsi ya Yafaa ieleweke kwamba kujitenga bora katika baadhi yake ya tafakari iliyo nzuri,hali kwanikujitenga huwa aina tathmini fulani zaongofu ibada,nahali kadhalika katika ya mtu kuitathmini ni kizuizi na kikwazo ulimwenguniambapo husababisha kelele nafsi yake tathmini na ya ile tafakari iliyo nzuri,kujitenga kwani kujitensehemu nyingi, kwa ongofu hali yoyote itakavyokuwa, sio ga huwa ni kizuizi na kikwazo ulimwenguni ambapo kanuni wala jambo la msingi bali lapasa liwe kwa dharura. husababisha

kelele sehemu nyingi, kwa hali yoyote ile itakavyokuwa, kujitenga Na limedhihiri katika kupitia mfumo ambapo sio hilo kanuni wala jambo la Uislamu msingi bali lapasa liwe maalum kwa dharura.

Uislamu umekuja kwa ajili ya lengo hilo.Kuanzia hapo Uislamu Na wahimiza hilo limedhihiri Uislamu kupitiakatika mfumokukidhi maalumnaamukawa suala katika la kuitikia maombi bapo Uislamu umekuja kwa ajili yayalengo hilo. Kuanzia hapoya Uiskutekeleza mahitaji ya kimaumbile kibanadamu, kwa ajili lamu ukawa wahimiza kutokana suala la kuitikia maombi katika kukidhi kuhifadhi na kuyalinda na mmomonyoko wa maadili na na upotokaji, ni matokeo ya kukutana na kuchanganyikana kutekelezanayo mahitaji ya kimaumbile ya kibinadamu, kwa ajili ya

kuhifadhi na kuyalinda kutokana na mmomonyoko wa maadili na

1

. Miizanul-Hikma Juz. 6, Uk. 302. Miizanul-Hikma Juz. 6, Uk. 302.

1

8 4


Adabu za Vikao na Mazungumzo

upotokaji, nayo ni matokeo ya kukutana na kuchanganyikana ambayo husababisha jamii kuwa hivyo, kwani hapana budi kunadhimiwa na kupangiliwa vyema. Na miongoni mwa nidhamu hizo ni adabu za kukaa, ambapo hutizama mahusiano katika vikao, kumchagua yule unayekaa naye, haki zake na mengineyo, na hayo ndiyo tutakayoyaeleza katika kitabu hiki, tukitaraji kutoka kwa Mwenyezi Mungu (a.j) uwezeshwaji ili kushiriki vikao vya wanazuoni pamoja na watu wema, aidha atufanye madhubuti katika njia yake iliyonyooka kwani yeye ni msikivu wa maombi.

KUCHAGUA KIKAO: Imepokewa hadithi kutoka kwa Mtume (s.a.w.w.) alisema: “Burudikeni katika viwanja vya peponi… “masahaba wakasema: Ewe Mtume! Ni viwanja gani hivyo vya peponi? Akasema (s.a.w.w:) “Vikao vya kumtaja Mwenyezi Mungu.”

UMUHIMU WA KUCHAGUA KIKAO: Hakika kujichanganya na jamii na kuendana nayo haimaanishi kufanya fujo na kusukumana na wengine, sio sahihi tukae kikao chochote kile tukionacho, ili mradi tu tumeshiriki na kukusanyika pamoja na wengine, kwani kikao huenda kikakuathiri zaidi kuliko wewe utakavyowaathiri washiriki wa kikao, na huenda ukapotoka kitabia na kimwenendo, pia hata upeo wako wa kufikiri, kama isemavyo methali maarufu: “Niambie ni nani ambaye unaishi naye nitakwambia wewe ni nani.”

5


chochote kile tukionacho, ili mradi tu tumeshiriki na kukusanyika pamoja na wengine, kwani kikao huenda kikakuathiri zaidi kuliko wewe utakavyowaathiri washiriki wa kikao, na huenda ukapotoka kitabia na kimwenendo, pia hata upeo wako wa kufikiri, kama isemavyo methali maarufu:"Niambie ni nani ambayeunaishi naye Adabu za Vikao na Mazungumzo nitakwambia wewe ni nani."

Imekujakatika katika hadithiiliyopokewa hadithi iliyopokewa kutoka kwaMtume Imekuja kwaMtume(s.a.w.w.) (s.a.w.w.) amesema: amesema:

‫المرء على دين خليله وقرينه‬ 9

“Mtu yu katika dini ya rafiki yake na mkaribu wake.”2

"Mtu yu katika dini ya rafiki yake na mkaribu wake."1

Hapana budi mwanadamu achunguze na kuchunga kwa umakini mkubwa wale mwanadamu anaotaka kukaa nao, aidha au njia ataiHapana budi achunguze na mbinu kuchunga kwaambayo umakini mkubwa aidha mbinu au njia na ambayo tumia kwawale waleanaotaka anaokaakukaa nao, nao, hali kadhalika kuchunga kulinda ataitumia kwa wale anaokaa nao,anayeketi hali kadhalika na kulinda haki zinazofungamana na yule naye,kuchunga na huenda mtu akafhaki zinazofungamana na yule anayeketi naye, na huenda mtu ikwa na majuto kutokana na vikao vingi anavyohudhuria. akafikwa na majuto kutokana na vikao vingi anavyohudhuria.

Kwa mantiki hiyo Luqman alimuusia mwanawe akisema:

Kwa mantiki hiyo Luqman alimuusia mwanawe akisema:

‫اختر المجالس على عينيك فان رأيت قوما يذكرون ﷲ‬ ‫فاجلس معھم فانّك ان تك عالما ينفعك علمك ويزيدونك وان‬ ‫كنت جاھال علموك ولع ّل ﷲ يصلھم برحمة فتعمك معھم‬ "Chagua vikao kwa kuangalia kwa macho yako, ikiwa utawaona “Chagua vikaoMwenyezi kwa kuangalia yako, ikiwa utawaona watu wanamtaja Mungukwa basimacho kaa nao, kwani wewe ukiwa watu Mwenyezi Mungu basi kaa nao, kwani msomiwanamtaja itakunufaisha na watakuongezea elimu yako, na wewe ukiwaukiwa ni msomiwatakufundisha, itakunufaisha na watakuongezea elimu yako, na ukiwa ni mjinga huenda Mwenyezi Mungu akawashushia mjinga na huenda Mungu akawashushia rehema,watakufundisha, basi nawe ukafaidika pamoja Mwenyezi nao.2 rehema, basi nawe ukafaidika pamoja nao.3 Kwa hivyohapana budi kurejea maandiko ya kidini pia kuchunguza hukumu ambazo zimeletwa na sheria ya kiislamu kuhusiana na Kwa hivyo hapana budi kurejea maandiko ya kidini pia kuchunkikao, mkaaji na mazungumzo ili tuwe ndani ya wigo wa haki na guza hukumu ambazo zimeletwa na sheria ya kiislamu kuhusiana tuelekee kwa Mwenyezi Mungu kwa nyoyo zenye kuepukana na 2 upuuzi na usahaulifu, kwa hivyo ni kikao gani ambacho yatupasa sisi Al-Kaafi Juz. 2, Uk. 375. 3 kushiriki? Na kikao kipi ambacho hatupaswi kushiriki?Kwa kweli Miizanul-Hikma Juz. 1, Uk. 398. zipo hadithi chungu nzima ambazo zinatueleza kuhusiana na suala hilo. 6 1

Al-Kaafi Juz. 2, Uk. 375. Miizanul-Hikma Juz. 1, Uk. 398.

2

10


Adabu za Vikao na Mazungumzo

na kikao, mkaaji na mazungumzo ili tuwe ndani ya wigo wa haki na tuelekee kwa Mwenyezi Mungu kwa nyoyo zenye kuepukana na upuuzi na usahaulifu, kwa hivyo ni kikao gani ambacho yatupasa sisi kushiriki? Na kikao kipi ambacho hatupaswi kushiriki?Kwa kweli zipo hadithi chungu nzima ambazo zinatueleza kuhusiana na suala hilo.

JIEPUSHE NA VIKAO HIVI: Ni vikao gani ambavyo yatupasa kujiepusha na kujiweka mbali navyo? Vipo vikao vingi ambavyo havimfai mu’mini wala havimsaidii katika kufikia lengo na mwelekeo wa roho yake. Kwa hakika zipo Aya kadhaa wa kadha na hadithi chungu nzima zilizopokewa kutoka kwa Ahlul-Bayt (a.s) zinazohusiana na vikao hivyo: 1.

Vikao vya kukebehi mambo matakatifu:

Hususan ikiwa wakaaji ni miongoni mwa wale ambao hawakatazani maovu wala hawana staha katika kufanya maovu. Mwenyezi Mungu (a.j) anasema:

‫ن إِذَا ﺳَﻤِ ْﻌ ُﺘ ْﻢ ﺁﻳَﺎتِ اﻟﻠﱠ ِﻪ‬ ْ َ‫وَﻗَ ْﺪ ﻧَﺰﱠلَ ﻋَﻠَ ْﻴ ُﻜ ْﻢ ﻓِﻲ ا ْﻟﻜِﺘَﺎبِ أ‬ ‫ﺴﺘَ ْﻬﺰَُأ ﺑِﻬَﺎ ﻓَﻠَﺎ ﺕَ ْﻘ ُﻌﺪُوا ﻡَﻌَ ُﻬ ْﻢ ﺣَﺘﱠﻰ ﻳَﺨُﻮﺿُﻮا‬ ْ ُ‫ُﻳ ْﻜﻔَ ُﺮ ﺑِﻬَﺎ وَﻳ‬ ِ‫ﻓِﻲ ﺣَﺪِﻳﺚٍ ﻏَ ْﻴﺮِﻩ‬

“Na amekwisha wateremshia katika kitabu ya kwamba mnaposikia Aya za Mwenyezi Mungu zinakataliwa na kufanyiwa mzaha, basi msikae pamoja nao, mpaka waingie katika mazungumzo mengine…” (4:140). 7


Adabu za Vikao na Mazungumzo

Kwa hakika Imam Swadiq (a.s) ameitolea maelezo Aya hiyo, mradi wa watu hao pamoja na sifa zao kuhusu maneno ya Mwenyezi Mungu (a.j) yanayosema:

‫ن إِذَا ﺳَﻤِ ْﻌ ُﺘ ْﻢ ﺁﻳَﺎتِ اﻟﻠﱠ ِﻪ‬ ْ َ‫وَﻗَ ْﺪ ﻧَﺰﱠلَ ﻋَﻠَ ْﻴ ُﻜ ْﻢ ﻓِﻲ ا ْﻟﻜِﺘَﺎبِ أ‬ ‫ﺴﺘَ ْﻬﺰَُأ ﺑِﻬَﺎ ﻓَﻠَﺎ ﺕَ ْﻘ ُﻌﺪُوا ﻡَﻌَ ُﻬ ْﻢ ﺣَﺘﱠﻰ ﻳَﺨُﻮﺿُﻮا‬ ْ ُ‫ُﻳ ْﻜﻔَ ُﺮ ﺑِﻬَﺎ وَﻳ‬ ô‰s%uρtΑ¨“tΡöΝà6ø‹n=tæ’ÎûÉ=≈tGÅ3ø9$#÷βr&#sŒÎ)÷Λä⎢÷èÏÿxœÏM≈tƒ#u™«!$#ãxõ3ãƒ$pκÍ5é&t“öκtJó¡ç„uρ$pκÍ5Ÿξsù(# ِ‫ﻓِﻲ ﺣَﺪِﻳﺚٍ ﻏَ ْﻴﺮِﻩ‬ ρ߉ãèø)s?óΟßγyètΒ4©®Lym(#θàÊθèƒs†’ÎûB]ƒÏ‰tnÿ⎯ÍνÎöxî4∩⊇⊆⊃∪

Na amekwisha wateremshia katika kitabu ya kwamba mnaposikia Aya za Mwenyezi Mungu zinakataliwa na kufanyiwa mzaha, basi Na amekwishawateremshia katika kitabu ya kwamba msikae pamoja nao, mpaka waingie katika mazungumzo mengine…” mnaposikia Aya za Mwenyezi Mungu zinakataliwa na kufanyiwa (4:140). mzaha, basi msikae pamoja nao, mpaka waingie katika

mazungumzo mengine…" (4:140).

Akasema:”Kwa hakika makusudio yake ni yule mtu ambaye anayepinga na kukadhibisha haki na kuwakebehi viongozi, basi Akasema:"Kwa hakika makusudio yake ni yule mtu ambaye 4 anayepinga na kukadhibisha haki na kuwakebehiviongozi, basi achana naye wala usikae naye yeyote atakaye kuwa.” achana naye wala usikae naye yeyote atakaye kuwa."1

Kwa hivyo kigezo cha chini zaidi ambacho yalazimu kukizingatia katikahivyo vikao ambavyo mtu huhudhuria, kuheshimuyalazimu vitakatifu Kwa kigezo chachini zaidi niambacho kukizingatiakatika vikao ambavyo mtu mambo huhudhuria, ni kuheshimu vya kiislamu, na kutoyafanyia mzaha ya msingi kama vile vitakatifu vya kiislamu, na (a.j) kutoyafanyia mzaha ya msingiwaAya za Mwenyezi Mungu au Mitume yakemambo au Maimamu kama vile Aya za Mwenyezi Mungu (a.j) au Mitume yake au takatifu (a.s). Maimamu watakatifu (a.s).

Imepokewa hadithi kutoka kwa Mtume (s.a.w.w.) amesema:

Imepokewa hadithi kutoka kwaMtume (s.a.w.w.) amesema:

‫يسب‬ ‫من كان يؤمن با� واليوم اآلخر فال يجلس في مجلس‬ ّ :‫فيه امام أو يغتاب فيه مسلم انّ ﷲ يقول في كتابه‬ 4

"Mwenye kumwamini Mwenyezi Mungu na Siku ya Mwisho basi asikae katikaHadithi kikao Miizanul-Hikma. 2373.ambacho hutukanwa humo Imam au husengenywa mwislamu, hakika Mwenyezi Mungu (a.j) katika kitabu chake anasema: 8 1

. Miizanul-Hikma. Hadithi 2373.

12


Adabu za Vikao na Mazungumzo

“Mwenye kumwamini Mwenyezi Mungu na Siku ya Mwisho basi asikae katika kikao ambacho hutukanwa humo Imam au husengenywa mwislamu, hakika Mwenyezi Mungu (a.j) katika kitabu chake anasema:

‫ض ﻋَ ْﻨ ُﻬ ْﻢ‬ ْ ِ‫ﻋﺮ‬ ْ َ‫وَإِذَا رَأَ ْﻳﺖَ اﻟﱠﺬِﻳﻦَ ﻳَﺨُﻮﺿُﻮنَ ﻓِﻲ ﺁﻳَﺎﺗِﻨَﺎ ﻓَﺄ‬ ‫ن‬ ُ ‫ﺣَﺘﱠﻰ ﻳَﺨُﻮﺿُﻮا ﻓِﻲ ﺣَﺪِﻳﺚٍ ﻏَ ْﻴﺮِﻩِ وَإِﻣﱠﺎ ُﻳ ْﻨﺴِﻴَﻨﱠﻚَ اﻟﺸﱠ ْﻴﻄَﺎ‬ َ‫ﻓَﻠَﺎ ﺗَ ْﻘ ُﻌ ْﺪ ﺑَ ْﻌﺪَ اﻟﺬﱢ ْآﺮَى ﻣَﻊَ ا ْﻟﻘَ ْﻮمِ اﻟﻈﱠﺎﻟِﻤِﻴﻦ‬ “Na unapowaona wale wanaozungumza Aya zetu, (kwa kuzikadhibisha) basi jitenge nao mpaka wazungumze maneno mengine na kama shetani akikusahaulisha, basi baada ya kukumbuka usikae pamoja na watu madhalimu.”5 (6:68).

1.

Vikao vya pombe:

Kwa hakika pombe ni miongoni mwa mambo ya kimsingi ambayo yameharamishwa na Uislamu kwa kukata shauri, kwa sababu ya ufisadi wake na athari zake mbaya kwa binadamu, na yatosha kuwa kinywaji hiki cha shetani humtoa mtu akili yake, akili ambayo Mwenyezi Mungu (a.j) ameifanya ndio fadhila katika hii dunia, akili ambayo ni fahari kwake na humnyanyua yeye, na ikiwa mwanadamu atakosa akili hakutokuwa na kitu ambacho kitampambanua yeye na kiumbe mwingine hapa ardhini! Kinywaji hiki ndicho humfanya mtu aishi katika maisha ya chini, hubadilika na huwa uchafu miongoni mwa uchafu ambao unakataliwa na kutupiliwa mbali na jamii, 5

Miizanul-Hikma. Hadithi 2375. 9


Adabu za Vikao na Mazungumzo

bali huwa ni mtumwa wa shetani baada ya kuumbwa na Mwenyezi Mungu (a.j) hali akiwa huru! Imepokewa hadithi kutoka kwa Imam as-Sadiq (a.s) kuwa amesema:

‫ح ّرمھا ألنّھا أ ّم الخبائث ورأس ك ّل ش ّر يأتي على شاربھا‬ ‫ساعة يسلب لبه فال يعرف ربه وال يترك معصية االّ ركبھا‬ ‫وال يترك حرمة اال انتھكھا وال رحما ماسة االّ قطعھا وال‬ ‫فاحشة االّ أتاھا والسكران زمامه بيد الشيطان ان أمره أن‬ ‫يسجد لألوثان سجد وينقاد حيثما قاده‬ "Imeharamishwa hiyo hiyo (pombe) kwa kuwa mama wa machafu na “Imeharamishwa (pombe) kwa ni kuwa ni mama wa machakichwa cha kila maovu, hufika wakati mnywaji fu na kichwa cha kila maovu, hufika humtoa wakati akili humtoa akili wake, mnywaji hapo huwa Mola wake nawake wala huwa hayaoni yaaina wake, hapohamjui huwa hamjui Mola na wala huwamaasi hayaoni maasi yoyote isipokuwa huyatenda, wala haachi jambo lolote la heshima ila ya aina yoyote isipokuwa huyatenda, wala haachi jambo lolote la hulivunjia heshima, wala ndugu wa damu ila huvunja udugu naye, heshima ila uovu hulivunjia heshima, wala ndugu wa damu ila huvunja wala hauoni ila huufanya, na hatamu ya mambo ya mlevi yako udugu naye, wala hauoni uovu ila huufanya, na hatamu ya mambo mikononi mwa shetani, ikiwa atamwamrisha kuyasujudia masanamu 1 atayasujudia, atampeleka popote apendapo. ya mlevi yakonamikononi mwa shetani, ikiwa" atamwamrisha kuyasujudia masanamu atayasujudia, na atampeleka popote apendapo.6”

Uislamu haukutosheka kuiharamisha tu ikiwa nyingi bali hata ikiwa Uislamu kuiharamisha tukikao ikiwacha nyingi bali kidogo, aidha haukutosheka umeharamisha hata kukaa katika pombe, halihata kadhalika mezaaidha ambayo juu yake imewekwa pombe, hiyocha ikiwa kidogo, umeharamisha hata kukaa katikahali kikao imeharamishwa kwa kukata shauri! Na imefikia kulaaniwa yule pombe, hali kadhalika meza ambayo juu yake imewekwa pombe, ambaye hutendahilo!

hali hiyo imeharamishwa kwa kukata shauri! Na imefikia kulaaniwa yule ambayehadithi hutenda hilo!kwa Imam Ali (a.s.) amesema: Imepokewa kutoka Imepokewa hadithi kutoka kwa Imam Ali (a.s.) amesema:

6

‫ال تجلسوا على مائدة يشرب عليھا الخمر فانّ العبد ال يدري‬ Wasaailus-Shi’a Juz. 25, Uk. 317. ‫متى يؤخذ‬ 10

1

Wasaailus-Shi’a Juz. 25, Uk. 317.

14


Uislamu haukutosheka kuiharamisha tu ikiwa nyingi bali hata ikiwa kidogo, aidha umeharamisha hata kukaa katika kikao cha pombe, hali kadhalika meza ambayo juu yake imewekwa pombe, hali hiyo imeharamishwa kwa kukata shauri! Na imefikia kulaaniwa yule ambaye hutendahilo! Adabu za Vikao na Mazungumzo Imepokewa hadithi kutoka kwa Imam Ali (a.s.) amesema:

‫ال تجلسوا على مائدة يشرب عليھا الخمر فانّ العبد ال يدري‬ ‫متى يؤخذ‬ 1

Wasaailus-Shi’a Juz. 25, Uk. 317. “Msikae katika meza ambayo hunywewa pombe juu yake, kwani

14 mja hajui ni wakati gani itachukuliwa roho yake.”7

Na kitakuwaje kisimamo cha binadamu mbele ya Mwenyezi Mungu (a.j), ikiwa atafikwa na kifo hali akiwa katika meza ya pombe?! 1.

Kukaa Njiani:

Njia ni miongoni mwa sehemu za umma, ni haki ya watu wote kufaidika nazo, na kuepusha msongamano wowote ule au kutowapa nafasi ya kupita mwingine! Na sio adabu kufanya vikao barabarani na kubana njia, kwa hakika kufanya hivyo huenda kukasababisha kuwaudhi watu. Imepokewa hadithi kutoka kwa Imam Ali (a.s.) amesema: 8

7 8

‫اﻳﺎك واﻟﺠﻠﻮس ﻓﻲ اﻟﻄﺮﻗﺎت‬ “Jiepushe na kukaa njiani.”

Miizanul-Hikma. Hadithi 2377. Miizanul-Hikma. Hadithi 2378. 11


Adabu za Vikao na Mazungumzo

SHIRIKI VIKAO HIVI:

H

akika vikao ambavyo yampasa mtu mu’mini kushiriki na kuhudhuria ni vikao vya Mwenyezi Mungu (a.j) na vile ambavyo hutajwa Mwenyezi Mungu (a.j) katika vikao hivyo. Zipo hadithi chungu nzima ambazo zimeviita vikao ambavyo hutajwa Mwenyezi Mungu (a.j) katika vikao hivyo kuwa ni viwanja vya peponi, na labda humo wakahudhuria Malaika. Imepokewa hadithi kutoka kwa Mtume (s.a.w.w.) amesema:

Imepokewa hadithi kutoka kwaMtume (s.a.w.w.) amesema: Imepokewa hadithi kutoka kwaMtume (s.a.w.w.) amesema:

‫"ارتعوا في رياض الجنّة " قالوا يا رسول ﷲ وما رياض‬ ّ "‫مجالس‬ ‫قالوا" يا رسول ﷲ وما رياض‬ ‫رياض الجنّة‬ " ‫الذكر‬ " :‫فيص‬ ‫ارتعواقال‬ ‫الجنّة؟‬ ّ ‫ " مجالس‬:‫ الجنّة؟ قال ص‬ " ‫كر‬ ‫الذ‬ “Burudikeni na vikao vya peponi” wakasema: Ewe Mtume!ni "Burudikeni na vikao vya peponi" wakasema: Ewe Mtume!ni vikao vikao gani vya hivyo vya peponi? kumtaja gani hivyo peponi? Akasema: Akasema: "Vikao vya“Vikao kumtajavya Mwenyezi "Burudikeni wakasema: Ewe Mtume!ni vikao 1 na vikao vya peponi" 9 Mungu swt. " Mwenyezi Mungu swt.” gani hivyo vya peponi? Akasema: "Vikao vya kumtaja Mwenyezi

Mungu swt.1katika " Na imekuja hadithi nyingine iliyopokewa kutokakutoka kwaMtume Na imekuja katika hadithi nyingine iliyopokewa kwaM(s.a.w.w.) amesema: tume (s.a.w.w.) amesema: Na imekuja katika hadithi nyingine iliyopokewa kutoka kwaMtume (s.a.w.w.) amesema:

‫ما قعد عدّة من أھل األرض يذكرون ﷲ االّ قعد معھم عدّة‬ ‫المآلئكةمن أھل األرض يذكرون ﷲ االّ قعد معھم عدّة‬ ‫منقعد عدّة‬ ‫ما‬ ‫من المآلئكة‬ "Hawakai watu wa ardhini wakimtaja Mwenyezi Mungu ila kundi la 2

malaika hukaa nao." wakimtaja Mwenyezi Mungu ila kundi “Hawakai watupamoja waardhini ardhini "Hawakai watu wa wakimtaja Mwenyezi Mungu ila kundi la 10 2 lamalaika malaika hukaa pamoja nao.” hukaa pamoja nao." Kwa hivyo vikao vya kumtaja Mwenyezi Mungu ni vikao vya ibada na sio ajabu kuhudhuria Miizanul-Hikma. Hadithi 2386. humo Malaika, na miongoni mwa vikao 10Kwa hivyo vikao vya kumtaja Mwenyezi Mungu ni vikao vya ibada hivyo ni vikaoHadithi vya 2387. kuwataja Ahlul-bayt (a.s.), sawa iwe kutaja Miizanul-Hikma. na sio ajabu Malaika, na miongoni mwa vikao fadhila zao nakuhudhuria mafundishohumo yao au kutaja masaibu yaliyowapata.Na hivyo ni vikao vya kuwataja Ahlul-bayt (a.s.), sawa iwe kutaja imekuja katika hadithi iliyopokewa 12 kutoka kwaImam Ridha (a.s.) fadhila zao na mafundisho yao au kutaja masaibu yaliyowapata.Na amesema: imekuja katika hadithi iliyopokewa kutoka kwaImam Ridha (a.s.) amesema: 9


Adabu za Vikao na Mazungumzo

Kwa hivyo vikao vya kumtaja Mwenyezi Mungu ni vikao vya ibada na sio ajabu kuhudhuria humo Malaika, na miongoni mwa vikao hivyo ni vikao vya kuwataja Ahlul-bayt (a.s.), sawa iwe kutaja fadhila zao na mafundisho yao au kutaja masaibu yaliyowapata. Na imekuja katika hadithi iliyopokewa kutoka kwa Imam Ridha (a.s.) amesema:

‫يموت‬ ‫أمرنا لم‬ ‫يحيى‬ ‫مجلسا‬ ‫جلس‬ ‫يموت‬ ‫يوميوم‬ ‫قلبهقلبه‬ ‫يمتيمت‬ ‫أمرنا لم‬ ‫فيهفيه‬ ‫يحيى‬ ‫مجلسا‬ ‫جلس‬ ‫منمن‬ ‫القلوب‬ ‫القلوب‬ “Mwenye kukaa kikao ambacho huhuishwa humo utajo wetu "Mwenye kukaa kikao ambacho huhuishwa humo utajo wetu "Mwenye kukaa kikao ambacho huhuishwa humo utajo wetu 1 1 11 hatokufa wake siku ambayo mioyo itakufa." hatokufa moyo wake siku ambayo mioyo itakufa.” hatokufa moyo wake siku ambayo mioyo itakufa."

Na imepokewa kutoka kwa Imam as-Sadiq (a.s.) kuwa alisema

Na imepokewa kutoka kwaImam as-Sadiq (a.s.) kuwa alisema Nakumwambia imepokewa kutoka kwaImam as-Sadiq (a.s.) kuwa alisema sahaba wake Fudhail: kumwambia sahaba wake Fudhail: kumwambia sahaba wake Fudhail:

"‫فداكقال‬ ‫فداك‬ ‫جعلت‬ ‫ّثون؟‬ ‫وتحد‬ ‫تجلسون‬ ّ‫ ان‬:" ‫ انّتلكتلك‬:" ‫قالع"ع‬ ‫جعلت‬ ‫نعمنعم‬ ‫قلتقلت‬ ‫ّثون؟‬ ‫وتحد‬ ‫تجلسون‬ ‫فرحم‬ ‫فضيل‬ ‫أمرنا يا‬ ‫فأحيوا‬ ‫المجالس‬ ‫أحياأحيا‬ ‫منمن‬ ‫ﷲﷲ‬ ‫فرحم‬ ‫فضيل‬ ‫أمرنا يا‬ ‫فأحيوا‬ ‫ھابّھا‬ ‫أحبّأح‬ ‫المجالس‬ ‫عينه‬ ‫فخرج‬ ‫ذكرناعنده‬ ‫ذكرنا‬ ‫ذكرنا‬ ‫فضيل‬ ‫أمرنا يا‬ ‫عينه‬ ‫منمن‬ ‫فخرج‬ ‫عنده‬ ‫أو أو‬ ‫ذكرنا‬ ‫منمن‬ ‫فضيل‬ ‫أمرنا يا‬ ّ ‫جناح‬ ّ ‫الذ‬ ‫ذنوبه‬ ‫جناح‬ ‫زبدزبد‬ ‫منمن‬ ‫أكثرأكثر‬ ‫كانكان‬ ‫ولوولو‬ ‫ذنوبه‬ ‫له له‬ ‫ﷲﷲ‬ ‫غفرغفر‬ ‫بابباب‬ ‫الذ‬ ‫مثلمثل‬ ‫البحر‬ ‫البحر‬ Mnakaa Nikasema: Ndiyo, nafsi yangu “Je! Mnakaa namnazungumza?" mnazungumza?” Nikasema: Ndiyo, nafsi yangu "Je!"Je! Mnakaa na na mnazungumza?" Nikasema: Ndiyo, nafsi yangu nimeitoa fidia kwako, akasema: "Hakika vikao hivyo vinapendwa nimeitoa fidiafidia kwako, akasema: "Hakika vikao hivyo vinapendwa nimeitoa kwako, akasema: “Hakika vikao hivyo vinapendwa zaidi huisheni mambo yetu, Fudhail! Mwenyezi Mungu zaidi basibasi huisheni mambo yetu, eweewe Fudhail! Mwenyezi Mungu zaidi basi huisheni mambo yetu, ewe Fudhail! Mwenyezi Mungu humhurumia nahumpa rehema mwenye kuhuisha mambo yetu, humhurumia nahumpa rehema mwenye kuhuisha mambo yetu, yetu, eweewe humhurumia na humpa rehema mwenye kuhuisha mambo ewe Fudhail mwenye kututaja au tukatajwa mbele yake akatokwa na Fudhail mwenye kututaja au tukatajwa mbele yakeyake akatokwa na na Fudhail mwenye kututaja au tukatajwa mbele akatokwa machozi machoni kwake kadiri ya Mwenyezi Mungu machozi machoni kwake kadiri ya ubawa wa wa mbu Mwenyezi Mungu machozi machoni kwake kadiri yaubawa ubawa wambu mbu Mwenyezi Mungu atamsamehe madhambi yake hata kama yakiwa zaidi ya povu atamsamehe madhambi yake hata kama yakiwa zaidi ya povu la la 11 Miizanul-Hikma. Hadithi 2394. 2 2 bahari." bahari." 13

1 Miizanul-Hikma. Hadithi 2394. Miizanul-Hikma. Hadithi 2394. 2 Miizanul-Hikma. Hadithi 2395. Miizanul-Hikma. Hadithi 2395.

1 2


Adabu za Vikao na Mazungumzo

atamsamehe madhambi yake hata kama yakiwa zaidi ya povu la bahari.”12

NaNa imepokewa hadithi kutoka kwaAbu Hasan Hasan Imam Kadhim (a.s.) imepokewa hadithi kutoka kwaAbu Imam Kadhim Na imepokewa hadithi kutoka kwaAbu Hasan Imam Kadhim (a.s.) amesema: (a.s.) amesema: amesema:

‫أھل‬ ‫فضلنا أھل‬ ‫يذكران فضلنا‬ ‫ثم يذكران‬ ‫ﷲ ثم‬ ‫فيذكرون ﷲ‬ ‫يلتقيان فيذكرون‬ ‫المؤمنينن يلتقيان‬ ‫وانّ المؤمني‬ ّ‫وان‬ ّ ‫تخدد ححتّتّىى‬ ‫لحم ااالّال تخدد‬ ‫مضغة لحم‬ ‫ابليس مضغة‬ ‫وجه ابليس‬ ‫على وجه‬ ‫يبقى على‬ ‫فال يبقى‬ ‫البيت فال‬ ‫البيت‬ ‫مالئكة‬ ‫فتحس مالئكة‬ ‫األلم فتحس‬ ‫من األلم‬ ‫تجد من‬ ‫ما تجد‬ ‫شددّةّة ما‬ ‫من ش‬ ‫لتستغيث من‬ ‫روحه لتستغيث‬ ‫أن روحه‬ ‫أن‬ ّ‫سماء وخزان الج ّنّان فيلعنونه حتى ال يبقى ملك مق ّرب ا ّال‬ ‫ال‬ ‫سّماء وخزان الجنان فيلعنونه حتى ال يبقى ملك مق ّرب اال‬ ّ ‫ال‬ ‫مدحورا‬ ‫حسيرا مدحورا‬ ‫خاسئا حسيرا‬ ‫فيقع خاسئا‬ ‫لعنه فيقع‬ ‫لعنه‬ “Hakikawaumini wauminiwakikutana wakikutanana na wakawa wakawa wanamtaja Mwenyezi "Hakika wanamtaja Mwenyezi "Hakika waumini wakikutana na wakawa wanamtaja Mwenyezi Mungu kisha wakataja fadhila zetu Ahlul-Bayt, hakutobaki usoni Mungu kisha wakataja fadhila zetu Ahlul-Bayt, hakutobaki usoni Mungu kisha wakataja fadhila zetu Ahlul-Bayt, hakutobaki usoni mwa Ibilis pande la nyama ila litakunjana hadi roho yake iombe mwa Ibilis pande la nyama ila litakunjana hadi roho yake iombe mwa Ibilis pandena lamaumivu nyama ila litakunjana hadi roho Malaika yake iombe msaada kutokana na maumivu makali, na hapo watahisi Malaika msaadakutokana makali,na hapo watahisi wawa msaadakutokana na maumivu makali,na hapo watahisi Malaika wa mbingu na wahazini wa peponi, ndipo watamlaani yeye hadi asibakie mbingu na wahazini wa peponi,ndipowatamlaani yeye hadi asibakie mbingu na wahazini wa peponi,ndipowatamlaani yeye hadi asibakie malaika mukarabu ila atamlaani, atakuwa mwenye malaika mukarabu ila atamlaani, naye naye IbilisiIbilisi atakuwa mwenye hasara 13 malaika mukarabu ila atamlaani, naye atakuwa mwenye hasara 1 Ibilisi kuangamia.” hasara mwenye kujuta mwenye mwenye kujuta mwenye kuangamia." 1 mwenye kujuta mwenye kuangamia."

Imepokewa hadithi kutoka kwa Mtume (s.a.w.w.) amesema: Imepokewa hadithi kutoka kwaMtume (s.a.w.w.) amesema: Imepokewa hadithi kutoka kwaMtume (s.a.w.w.) amesema:

‫فضائل الال‬ ‫طالب ""عع"" فضائل‬ ‫أبي طالب‬ ‫بن أبي‬ ‫على بن‬ ‫ألخي على‬ ‫جعل ألخي‬ ‫تعالى جعل‬ ‫ﷲ تعالى‬ ‫انّ ﷲ‬ ّ‫ان‬ ‫ﷲ‬ ‫غفر‬ ‫بھا‬ ‫ا‬ ‫ر‬ ‫مق‬ ‫فضائله‬ ‫من‬ ‫فضيلة‬ ‫قرأ‬ ‫فمن‬ ‫كثرة‬ ‫تحصى‬ ‫تحصى كثرة فمن قرأ فضيلة من فضائله مق ّ ّرا بھا غفر ﷲ‬ ّ ّ ‫له ما تقدم من ذنوبه وما‬ ‫فضائله‬ ‫من فضائله‬ ‫فضيلة من‬ ‫كتب فضيلة‬ ‫ومن كتب‬ ‫تأخرر ومن‬ ‫تأخ‬ ‫له ما تقدم من ذنوبه وما‬ ..‫رسم‬ ‫الكتاب رسم‬ ‫لتلك الكتاب‬ ‫بقي لتلك‬ ‫ما بقي‬ ‫له ما‬ ‫يستغفرون له‬ ‫المالئكة يستغفرون‬ ‫تزل المالئكة‬ ‫لم تزل‬ ‫لم‬ 12 13

Miizanul-Hikma. Hadithi 2395.

1Al-Kaafi Juz. 2, Uk. 188. Al-Kaafi Juz. 2, Uk. 188. 1

Al-Kaafi Juz. 2, Uk. 188.

18 18 14


Adabu za Vikao na Mazungumzo

‫ومن استمع الى فضيلة من فضائله غفر ﷲ له ال ّذنوب التي‬ ‫ﷲ له‬ ‫غفر‬ ‫فضائله من‬ ‫نظرمنالى كتابة‬ ‫الىومن‬ ‫بالسمع‬ ‫التي‬ ‫نوب‬ ‫فضائله ال ّذ‬ ‫غفر ﷲ له‬ ‫فضيلة‬ ‫اكتسبھااستمع‬ ‫ومن‬ ‫اكتسبھا‬ ‫اكتسبھاالتي‬ ‫الذنوب‬ ‫بالنظرالى كتابة من فضائله غفر ﷲ له‬ ‫ومن نظر‬ ‫بالسمع‬ ‫بالنظر‬kwa ‫اكتسبھا‬ ‫التي‬ ‫الذنوب‬ "Hakika Mwenyezi Mwenyezi Mungu Mungu (a.j) (a.j) ameweka amewekakwa ndugu “Hakika nduguyangu yanguAli Alibin bin

Abi Talib (a.s.) fadhila nyingi ambazo hazina hisabu Abi Talib (a.s.) fadhila nyingi ambazo hazina hisabu kwa kwa wingiwingi wake, "Hakika Mwenyezi Mungu (a.j) amewekakwa ndugu yangu Ali zake bin wake, na yule ambaye atasoma fadhila miongoni mwa fadhila na yule ambaye atasoma fadhila miongoni mwa fadhila zake na Abi Talib (a.s.) fadhila nyingi ambazo hazina hisabu kwa wingi na akawa mwenye hilo, Mwenyezi Mungu atamsamehe akawa mwenye kukirikukiri hilo, Mwenyezi Mungu atamsamehe dhambi wake, na zake yule zilizopita ambaye atasoma fadhila miongoni mwa fadhila zake dhambi na zitazokuja.Na kuandika zake zilizopita na zitazokuja. Na mwenyemwenye kuandika fadhila fadhila mionna akawa mwenye kukiri hilo, Mwenyezi Mungu atamsamehe miongoni mwa zake, fadhila zake,Malaika wataendelea kumuombea goni mwa fadhila Malaika wataendelea kumuombea msamaha dhambi zakemuda zilizopita na zitazokuja.Na mwenye kuandika fadhila msamaha wotekadiri hayo yatakavyobakia. Na muda wote kadiri maandishimaandishi hayo yatakavyobakia. Na mwenye miongoni mwa fadhila zake,Malaika wataendelea kumuombea mwenye kusikiliza fadhila miongoni mwa fadhila zake, Mwenyezi kusikiliza fadhila miongoni mwa fadhila zake, Mwenyezi Mungu msamaha muda wotekadiri maandishi hayo yatakavyobakia. Na Mungu atamsamehe madhambi ambayo kwa atamsamehe madhambi yake ambayoyake alichuma kwa alichuma usikilizaji wake. mwenye kusikiliza fadhila miongoni mwa fadhila zake, Mwenyezi usikilizaji wake.Na mwenye kuangalia maandishinayanayohusiana Na mwenye kuangalia maandishi yanayohusiana fadhila zake Mungu atamsamehe madhambi yake ambayo madhambi alichuma kwa nafadhila zake Mwenyezi Mungu atamsamehe yake Mwenyezi Mungu atamsamehe madhambi yake ambayo alichuma usikilizaji wake.Nakwa mwenye kuangalia 1maandishi yanayohusiana ambayo alichuma njia ya kutizama." 14 kwa njia ya kutizama.” nafadhila zake Mwenyezi Mungu atamsamehe madhambi yake

1 ambayo alichuma njia yaya kutizama." Kwa jumla hayokwa ni baadhi mambo ambayo hutajwa vikaoni, na Kwa jumla ni baadhi ya mambo miongoni mwahayo mambo mahsusi ambayo ambayo husemwahutajwa vikaoni vikaoni, katika Kwa jumla hayo ni baadhi ya mambo ambayo hutajwa vikaoni, na ambayo yamepokewa kutoka ambayo kwa Abuhusemwa Ja’far Imam as-Sadiq nayale miongoni mwa mambo mahsusi vikaoni katika miongoni mwa mambo mahsusi ambayo husemwa vikaoni katika (a.s.) amesema: yale ambayo yamepokewa kutoka kwa Abu Ja’far Imam as-Sadiq yale ambayo yamepokewa kutoka kwa Abu Ja’far Imam as-Sadiq (a.s.) amesema: (a.s.) amesema:

‫من أراد أن يكتال بالمكيال األوفى فليقل اذا أراد أن يقوم من‬ ‫وسالم على‬ ‫بالمكيالالع ّزة‬ ‫يكتالربك رب‬ ‫سبحان‬ ‫مجلسه‬ ‫يقوم من‬ ‫يصفونأراد أن‬ ‫عمافليقل اذا‬ ‫األوفى‬ ‫أراد) أن‬ ‫من‬ (‫العالمين‬ ‫ربكرب‬ � ‫والحمد‬ ‫عما يصفون وسالم على‬ ‫رب الع ّزة‬ ‫المرسلين)سبحان‬ ‫مجلسه‬ (‫المرسلين والحمد � رب العالمين‬ 1

Biharul-Anwar Juz. 26, Uk. 229.

141

Biharul-Anwar Biharul-AnwarJuz. Juz.26, 26,Uk. Uk.229. 229.

19 19 15


Adabu za Vikao na Mazungumzo

nye kutaka kupima vipimo vyenyekutosheleza basi otaka kusimama aseme:Subhaana rabbika rabbulizzatamma “Mwenye kutaka kupima vipimo vyenye kutosheleza basi atakapotauuna wasalaamu a’lal-Mursaliina walhamdulillahi rabbilka kusimama aseme: Subhaana rabbika rabbul izzat amma yaswifuuna "Mwenye kutaka kupima vipimo vyenyekutosheleza basi 1 15 ina." wasalaamu a’lal-Mursaliina walhamdulillahi atakapotaka kusimama aseme:Subhaana rabbikarabbil-A’lamiina.” rabbulizzatamma

yaswifuuna wasalaamu a’lal-Mursaliina walhamdulillahi rabbil1 Na imekuja katika hadithi nyingine amesema(a.s.): ekuja katikaA’lamiina." hadithi nyingine amesema(a.s.): Na imekuja katika hadithi nyingine amesema(a.s.):

ّ ‫وھذه ھي كفارة‬ ‫الذنوب في المجلس‬

ّ ‫وھذه ھي كفارة‬ ‫الذنوب في المجلس‬

2 "Na hiyo ndiyo kafara ya madhambi “Na hiyo ndiyo kafaraya ya vikaoni." madhambi ya vikaoni.”16

"Na hiyo ndiyo kafara ya madhambi ya vikaoni."2

epokewa kutokaNakwa baba wa Abdillah imam Swadiqimam (a.s)Swadiq (a.s) imepokewa kwa baba wa Abdillah Na imepokewa kutokakutoka kwa baba wa Abdillah imam Swadiq (a.s) ma: amesema: amesema:

‫وجل(ﷲولم)ع ّز وجل( ولم‬ ‫يذكروا‬ ‫مجلس‬ ‫ما اجتمعمافياجتمع‬ ‫قومﷲلم)ع ّز‬ ‫يذكروا‬ ‫مجلسفيقوم لم‬ ‫حسرةالقيامة‬ ‫عليھم يوم‬ ‫ذلكحسرة‬ ‫المجلس‬ ‫يذكرونا االّ كان‬ ‫عليھم يوم القيامة‬ ‫المجلس‬ ‫ذلكالّ كان‬ ‫يذكرونا ا‬ “Hawakusanyiki watu kikaoni ambao hawakumtaja Mwenyezi Mun-

"Hawakusanyiki watu kikaoni ambao hawakumtajachenye Mwenyezi gu wala hawakututaja ila kikao hicho kitakuwa hasara kusanyiki Mungu watu kikaoni ambaosisisisi hawakumtaja Mwenyezi wala hawakututaja ila kikao hicho 17 kitakuwa chenye kwao Siku ya Kiyama.” u wala hawakututaja sisi yailaKiyama." kikao 3 hicho kitakuwa chenye hasara kwao Siku

3 kwao Siku ya Kiyama." Basi hongera kwa yule ambaye anahudhuria vikao vya dhikr

Basi hongera kwa yule ambaye anahudhuria vikao vya dhikr akiwa akiwa mwenye kukumbuka, mwenye ikhlas na mwenye kumuabudu mwenye kukumbuka, mwenye vikao ikhlas vya na dhikr mwenye kumuabudu ongera kwa yule ambaye anahudhuria akiwa Mwenyezi Mungu (a.j), kwa kushiriki vikao hivyo atasahamehewa Mwenyezi Mungu (a.j), kwa na kushiriki vikao kumuabudu hivyo atasahamehewa ye kukumbuka, mwenye ikhlas mwenye madhambi yake na atarehemewa na Ahlul-Bayt (a.s)… madhambi yake na atarehemewa na Ahlul-Bayt (a.s)…

yezi Mungu (a.j), kwa kushiriki vikao hivyo atasahamehewa Hilo ni kuhusiana na uhalisia wa kikao ambacho yatupasa kumbi yake na atarehemewa na Ahlul-Bayt (a.s)… jiepusha nacho na kutoshiriki katika vikao hivyo. Zaidi ya hayo ni

Wasaailus-Shi’a Juz. 7, Uk.154 Muassasat Ahlul-Bayt. Qum Iran. Wasaailus-Shi’a Juz. 7, Uk.154 Muassasat Ahlul-Bayt. Qum Iran. 16 Hilyatul-Muttaqiina Uk. 573-574. 2 Hilyatul-MuttaqiinaUk. 573-574. 17 Al-Kaafi Juz. 2 Uk. 496. 3 Al-Kaafi Juz. 2 Uk. 496. 1

15

lus-Shi’a Juz. 7, Uk.154 Muassasat Ahlul-Bayt.20 Qum Iran. 16 l-MuttaqiinaUk. 573-574. fi Juz. 2 Uk. 496.

20


Adabu za Vikao na Mazungumzo

dharura ya kuzingatia desturi za watu ambao hushiriki kwenye vikao. Kwa vivyo vikao vina athari kubwa hata kama kikao hicho hakitakuwa na anwani ya maasi. Kwa hiyo ni sifa gani ambazo yapasa awe amepambika nazo mwenza wako katika kikao?

17


Adabu za Vikao na Mazungumzo

UKAE NA NANI? UKAE NA NANI?

I

mepokewa kutoka kwa Imam Zaynul-Abidiina (a.s.) amesema: Imepokewa kutoka kwaImam Zaynul-Abidiina (a.s.) amesema:

‫مجالسة الصالحين داعية الى الصالح‬ “Kukaa watuwema wemahumsukuma humsukumamtu mtukatika katikamambo mambo mema." mema.” "Kukaa nanawatu

USIKAE NA WATU WAFUATAO:

USIKAE NA WATU WAFUATAO:

Mtume (s.a.w.w.) pamoja na Ahlul-Bayt wake (a.s.) wameweka mfumo maalum kuhusiana na suala la mgawanyo wa watu ambao Mtume (s.a.w.w.) pamoja Ahlul-Bayt wakenao (a.s.) inafaa kukaa nao, aidha wale na ambao haifai kukaa pia,wameweka kwa hivyo mfumo maalum kuhusiana na suala la mgawanyo wa watu ambao kunamakundi matatu ya watu ambao yatupasa sisi tujiepushe kukaa inafaa kukaa nao, aidha wale ambao haifai kukaa nao pia, kwa hivyo nao, na hao ni: kuna makundi matatu ya watu ambao yatupasa sisi tujiepushe kukaa na wa hao ni: 1. nao, Watu dunia:Makusudio ya watu wa dunia ni wale ambao waliosahau Akhera na hawakutenda amali kwa ajili yake wala 1. Watu wa dunia: Makusudio watu duniaradhi ni wale hawakujali kumtii Mwenyezi Munguya(a.j.) ili wa kupata yake,amna waliosahau Akhera hawakutenda kwakupita ajili yake hakika bao lengo lao ni dunia hii,nanayo ni mamboamali yenye kwa kumtii Mwenyezi Mungu (a.j.) ili kupata radhi mfano–wala mali,hawakujali cheo na umashuhuri, mishughuliko na mihangaiko yao yake, na lengonalaomalengo ni duniayao.Hakika hii, nayo ni kuchanganyika mambo yenye katika dunia hiihakika hulingana kwa mfano– cheonana watu umashuhuri, mishughuliko pamojakupita na watu hao namali, kukaa hao muda mwingi na mihangaiko dunia hii hulingana na malengo yao. hudhoofisha imani yayao mtukatika na humsahaulisha Akhera na humfanya Hakika kuchanganyika hao na kukaa na watu awe mateka wa dunia pamoja ambayona watu Mwenyezi Mungu (a.j) ametuhadharisha kwayo.Imepokewa kutoka kwaImam Ali (a.s) hao muda mwingi hudhoofisha imani ya mtu na humsahaulisha amesema: Akhera na humfanya awe mateka wa dunia ambayo Mwenyezi Mungu (a.j) ametuhadharisha kwayo. Imepokewa kutoka kwa Imam Ali‫وتضعف‬ (a.s) amesema: ‫اليقين‬ ‫خلطة أبناء الدنيا تشين الدين‬ 18

22


katika dunia hii hulingana na malengo yao.Hakika kuchanganyika pamoja na watu hao na kukaa na watu hao muda mwingi hudhoofisha imani ya mtu na humsahaulisha Akhera na humfanya awe mateka wa dunia ambayo Mwenyezi Mungu (a.j) ametuhadharisha kwayo.Imepokewa kutoka kwaImam Ali (a.s) Adabu za Vikao na Mazungumzo amesema:

‫خلطة أبناء الدنيا تشين الدين وتضعف اليقين‬ “Kuchanganyika na watu wa dunia husababisha kuichukia dini na hudhoofisha yakini.”18 22 Mwenyezi Mungu (a.j) ndani ya Qur’ani tukufu anaeleza watu ambao walipotoka kwa sababu ya kuishi pamoja na watu wenye kuijali na kuipenda dunia tu, na jinsi watakavyojuta hukoAkhera, anasema:

َ‫ت ﻣَﻊ‬ ُ ‫ل ﻳَﺎ ﻟَ ْﻴﺘَﻨِﻲ اﺕﱠﺨَ ْﺬ‬ ُ ‫وَﻳَ ْﻮمَ ﻳَﻌَﺾﱡ اﻟﻈﱠﺎﻟِ ُﻢ ﻋَﻠَﻰ ﻳَﺪَ ْﻳﻪِ ﻳَﻘُﻮ‬ ‫اﻟﺮﱠﺳُﻮلِ ﺳَﺒِﻴﻠًﺎ ﻳَﺎ وَ ْﻳﻠَﺘَﻰ ﻟَ ْﻴﺘَﻨِﻲ ﻟَ ْﻢ أَﺕﱠﺨِ ْﺬ ُﻓﻠَﺎﻥًﺎ ﺥَﻠِﻴﻠًﺎ ﻟَﻘَ ْﺪ‬ ‫ن‬ ُ ‫أَﺿَﻠﱠﻨِﻲ ﻋَﻦِ اﻟﺬﱢ ْآﺮِ ﺏَ ْﻌﺪَ إِ ْذ ﺟَﺎءَﻥِﻲ وَآَﺎنَ اﻟﺸﱠ ْﻴﻄَﺎ‬ ‫ﻟِ ْﻠﺈِ ْﻥﺴَﺎنِ ﺥَﺬُوﻟًﺎ‬ “Na siku (hiyo) dhalimu atajiuma mikono yake, akisema: laiti ningelishika njia pamoja na Mtume. Eee ole wangu! Laiti nisingelimfanya fulani kuwa rafiki. Kwa hakika yeye alinipoteza nikaacha mawaidha baada ya kunifikia, na shetani ndiye anayemtupa mwanadamu.” (25:27-29).

2.

18

Tajiri mwenye kupituka mipaka: Ni lazima visituchukue vigezo vya kidunia, na kutufanya tushiriki katika vikao vya matajiri, hata kama vikao vyao vinahusiana na utajo wa Mwenyezi Mungu (a.j), kwani vikao hivyo husababisha ugumu wa mioyo, hususan wakiwa ni madhalimu. Imepokewa hadithi kutoka kwaMtume (s.a.w.w.) amesema:

Miizanul-Hikma. Hadithi 2432. 19


2. Tajiri mwenye kupituka mipaka:Ni lazima visituchukue vigezo vya kidunia, na kutufanya tushiriki katika vikao vya matajiri, hata kama vikao vyao vinahusiana na utajo wa Mwenyezi Mungu (a.j), kwani vikao hivyo husababisha ugumu wa mioyo, hususan wakiwa ni madhalimu.Imepokewa hadithi kutoka kwaMtume (s.a.w.w.) Adabu za Vikao na Mazungumzo amesema:

‫ايّاكم ومجالسة الموتى‬ “Ole wenu kukaa na wafu” 1 Miizanul-Hikma. Hadithi 2432. ikaulizwa: Ewe Mtume! Ni watu gani hao wafu? Akasema: "Ole wenu kukaa na wafu" ikaulizwa: Ewe Mtume! Ni watu gani hao 23

wafu? Akasema:

‫ك ّل غني أطغاه غناه‬ 1 "Kila tajiriambaye utajiriwake wakeumemfanya umemfanya apituke apituke mipaka." “Kila tajiri ambaye utajiri mipaka.”19 Kwa hakika kwa vigezo vya kiungu mali haimpatii cheo mtu, bali uchamungu ambao vya humpatia Kwa hakikandiyo kwa vigezo kiungu mtu mali cheo.Qur’ani haimpatii cheotukufu mtu, inasema: bali uchamungu ndiyo ambao humpatia mtu cheo. Qur’ani tukufu

inasema:

$pκš‰r'¯≈tƒâ¨$¨Ζ9$#$¯ΡÎ)/ä3≈oΨø)n=yz⎯ÏiΒ9x.sŒ4©s\Ρé&uρöΝä3≈oΨù=yèy_uρ$\/θãèä©Ÿ≅Í←!$t7s%uρ(#þθèùu‘$yètGÏ94¨

‫ﺮٍ وَُأ ْﻥﺜَﻰ وَﺟَﻌَ ْﻠﻨَﺎ ُآ ْﻢ‬βÎ)َ‫آ‬ö/ä3َ‫ذ‬tΒ‫ﻦ‬ ْtò2 ِ‫ ﻣ‬r&‫ْﻢ‬y‰‫ُآ‬ΨÏ‫َﺎ‬ã‫ﻠَ ْﻘ!«ﻨ‬$#َ‫ﺧ‬öΝä3‫ﱠﺎ‬9s‫إِ)ﻥ‬ø?r&‫س‬ ُ4¨βÎ)©!‫ﻨﱠﺎ‬$#‫اﻟ‬îΛ⎧Î=tã‫×ﻬَﺎ‬Î‫ﻳﱡ‬7َ‫أ‬yz‫∪⊂ﻳ⊇∩َﺎ‬ ‫"ْﻢ‬Enyi ‫ﻪِ أَ ْﺕﻘَﺎ ُآ‬watu! ‫ﻋِ ْﻨﺪَ اﻟﻠﱠ‬Kwa‫ﻣَ ُﻜ ْﻢ‬hakika َ‫ن أَ ْآﺮ‬ ‫إِ ﱠ‬tumekuumbeni ‫ﺒَﺎﺋِﻞَ ﻟِﺘَﻌَﺎرَﻓُﻮا‬kutokana َ‫ﺷﻌُﻮﺑًﺎ وَﻗ‬ ُ na

mwanaume na mwanamke, na tumekufanyeni mataifa mbali mbali ili mjuane, hakika aliye mtukufu zaidi kati yenu kwa “Enyi watu! Kwa hakika tumekuumbeni kutokana na mwanaume Mwenyezi Mungu ni yule mcha Mungu zaidi katika na mwanamke, na tumekufanyeni mataifa mbali mbali ili mjuane, nyinyi…"(49:13). hakika aliye mtukufu zaidi kati yenu kwa Mwenyezi Mungu ni yule mcha Mungu zaidi katika nyinyi…” (49:13). Kwa hivyo ni jukumu la mtu mu’mini kuhifadhi vipimo vya Mwenyezi Mungu (a.j) katika uhusiano wake na jamii.Na Kwa hivyo ni jukumu la mtu mu’mini kuhifadhi vipimo vya imepokewa hadithi kwamba:

Mwenyezi Mungu (a.j) katika uhusiano wake na jamii. Na imepokewa hadithi kwamba:

‫من أتى غنيا فتواضع له لغناه ذھب ثلثا دينه‬

19

"Atakayekwenda kwa tajiri akamnyenyekea kwa utajiri wake, dini yake."2

Miizanul-Hikma. Hadithimbili 2429. ya hutoweka theluthi 1

Miizanul-Hikma. Hadithi 2429. Miizanul-Hikma. Hadithi 21849.

20

2

24


mbali ili mjuane, hakika aliye mtukufu zaidi kati yenu kwa Mwenyezi Mungu ni yule mcha Mungu zaidi katika nyinyi…"(49:13). Kwa hivyo ni jukumu la mtu mu’mini kuhifadhi vipimo vya Adabu za Vikao na Mazungumzo Mwenyezi Mungu (a.j) katika uhusiano wake na jamii.Na imepokewa hadithi kwamba:

‫من أتى غنيا فتواضع له لغناه ذھب ثلثا دينه‬ "Atakayekwenda kwa tajiri akamnyenyekea kwa utajiri wake, 2 “Atakayekwenda tajiriyake." akamnyenyekea kwa utajiri wake, hutoweka theluthi mbilikwa ya dini hutoweka theluthi mbili ya dini yake.”20 1

Miizanul-Hikma. Hadithi 2429. 3. Wanawake:Yampasa Miizanul-Hikma. Hadithi 21849.

2

mtu ajiepushe kukaa na wanawake, 3. Wanawake:Yampasa mtu ajiepushe kukaa na wanawake, vivyo hivyo mwanamke ajiepushe na wanaume, kwavivyo mantiki 24 kukaa hivyo mwanamke ajiepushe kukaa na wanaume, kwa mantiki hiyo inalazimu kuhifadhi mipaka baina ya mwanaume na hiyo mwaninalazimu kuhifadhi mipaka baina pamoja, ya mwanaume mwanamke na amke na kuacha kuchanganyika kwanina hayo na yanayofakuacha kuchanganyika pamoja, kwani hayo na yanayofanana na nana na miongoni hayo ni miongoni mwa mambo ambayo yapaswa kushikahayoni mwa mambo ambayo yapaswa kushikamana nayo mana katika ya mahusiano ya ule kijamii, hata ule uchanganyikaji katikanayo mahusiano kijamii, hata uchanganyikaji ulioruhusiwa yapaswa kuupunguza wigo mdogokwa zaidi,wigo kwani huendazaidi, ukaathiri ulioruhusiwa yapaswakwa kuupunguza mdogo kwani roho yaukaathiri binadamu.roho ya binadamu. huenda Imepokewa hadithi kutoka kwaMtume (s.a.w.w.) amesema: Imepokewa hadithi kutoka kwaMtume (s.a.w.w.) amesema:

‫ مجالسة األنذال والحديث مع‬:‫ثالثة مجالستھم تميت القلوب‬ ‫النساء ومجالسة األغنياء‬ " Watu kufakufa moyo, kukaa na na “Watuwatatu watatukukaa kukaanaonaokunasababisha kunasababisha moyo, kukaa 1 21 madhalili, kuzungumza kuzungumza na nana kukaa na matajiri." madhalili, nawanawake wanawake kukaa na matajiri.” TUKAE NA WATU WA AINA GANI? Jibu:Swali hilo liliulizwa na Hawariyyuuna (Wanafunzi wateule wa Nabii Isa) pindi waliposema kumwambia Nabii Isa (a.s.): Ewe roho ya Mwenyezi Mungu kwa hivyo tukae na nani? Akasema:

20 21

‫من يذكركم ﷲ رؤيته ويزيد في علمكم منطقه ويرغبكم في‬ Miizanul-Hikma. Hadithi 21849. ‫الألخرة عمله‬ Miizanul-Hikma. Hadithi 2423. 21 1

Miizanul-Hikma. Hadithi 2423.

25


Imepokewa hadithi kutoka kwaMtume (s.a.w.w.) amesema:

‫ مجالسة األنذال والحديث مع‬:‫ثالثة مجالستھم تميت القلوب‬ Adabu za Vikao na Mazungumzo ‫النساء ومجالسة األغنياء‬ " Watu watatu kukaa nao kunasababisha kufa moyo, kukaa na

1 TUKAE NA WATU WA AINA GANI? madhalili, kuzungumza na wanawake na kukaa na matajiri."

TUKAE NA WATU WA AINA GANI?

J

ibu: Swali hilo liliulizwa na Hawariyyuuna (Wanafunzi wateule wa Nabiihilo Isa) pindi waliposema kumwambia Nabii Isa wa (a.s.): Jibu:Swali liliulizwa na Hawariyyuuna (Wanafunzi wateule Nabii Isa) pindi waliposema kumwambia Nabii Isa (a.s.): Ewe roho Ewe roho ya Mwenyezi Mungu kwa hivyo tukae na nani? Akasema: ya Mwenyezi Mungu kwa hivyo tukae na nani? Akasema:

‫من يذكركم ﷲ رؤيته ويزيد في علمكم منطقه ويرغبكم في‬ ‫الألخرة عمله‬ “Yule ambaye mkimuona anawakumbusha Mwenyezi Mungu na mazungumzo yake huwaongezea elimu yenu na matendo yake huwapen1 nyinyi akhera.”22 Miizanul-Hikma. Hadithi dezeshea 2423. 25

Hadithi hii inazungumzia pande tatu za mtu ambazo yapaswa kuzingatia kabla ya kuchanganyikana naye au kukaa naye, nyanja tatu hizo ni: i.

Mwonekano wa mtu: Kwa hakika mwonekano wake ambao huonekana kwa alama ya uso wake, uvaaji wake … ni lazima uoneshe hali ya kushikamana na dini. Kumuona mtu huyo kuwe kunatukumbusha Mwenyezi Mungu (a.j), kuweni dhihirisho la kumtaja Mwenyezi Mungu (a.j) na kumpa kivuli cha ucha Mungu katika kikao.

ii. Usemaji: Hatumii matamshi yasiyofaa wala ibara zenye kuchukiza, bali mwenye matamshi mazuri wakati anapozungumza, huwafaidisha wasikilizaji na huwaongezea mwamko, ubainifu na ukamilifu katika elimu. 22

Miizanul-Hikma Hadithi 2403. 22


Adabu za Vikao na Mazungumzo

iii. Matendo: Ni lazima mapitio ya mtu huyu yawe sahihi na yenye kulingana na vipimo na mizani ya kisheria, asitende dhambi wala asiache jambo la wajibu, aidha afanye kulingana na utashi wa Mwenyezi Mungu (a.j), aishi akiwa na radhi ya Mwenyezi Mungu na kupata rehema zake. Na tunaweza kuzigawa hadithi zitokazo kwa Mtume (s.a.w.w.) na Ahlu-Bayt wake (a.s.) kuhusu kuishi na watu na kukaa pamoja nao katika makundi kadhaa: 1.

2.

Watu wema: Suala la kukaa na watu hao ni jambo lililoelezwa na hadithi kwamba husababisha kufanya mema na namna ya kuathiri kwao ni suala lisilokuwa la kiutashi. Imepokewa hakwao suala lisilokuwa kiutashi.Imepokewa hadithi kutoka kwa dithi ni kutoka kwa ImamlaZainul-Abidiina (a.s.) amesema:

Imam Zainul-Abidiina (a.s.) amesema: 2.kwao ni suala lisilokuwa la kiutashi.Imepokewa hadithi kutoka kwa Imam Zainul-Abidiina (a.s.) amesema:

‫مجالسة الصالحين داعية الى الصالح‬

1 "Kukaa na watu wema humfanya mtu‫مجالسة‬ afanye ‫الصالح‬ ‫الى‬ ‫داعية‬ ‫الصالحين‬ “Kukaa na watu wema humfanya mtu afanyemema." mema.”23 1 3. Wanazuoni:Miongoni mwahumfanya matundamtu ya afanye kuishi mema." na wanazuoni ni "Kukaa na Miongoni watu wema 2. Wanazuoni: mwa matunda ya kuishi na wanazuoni kupata kutoka kwao utu kutokana na elimu zao, tabia zao na ni kupata wao, kutoka kwaohayo utu kutokana na elimu zao, zao na mwenendo ambayo na yanayofanana hayotabia huitakasa 3. Wanazuoni:Miongoni mwa matunda ya kuishi nanawanazuoni ni mwenendo wao, ambayo hayo na yanayofanana na hayo nafsi kutoka yake, aidha yatamsaidia kupata kwao hayo utu kutokana na huko elimu akhera.Imekuja zao, tabia zao katika na huiwosia wanafsi Luqman kwa mwanawe alimwambia: takasa yake, aidha yatamsaidia na huko akhera. Imekumwenendo wao, ambayo hayohayo na yanayofanana hayo huitakasa nafsi yake, aidha hayo yatamsaidia huko akhera.Imekuja katika ja katika wosia wa Luqman kwa mwanawe alimwambia:

(‫يا بني جالس العلماء وزاحمھم بركبتيك فان ﷲ )عز وجل‬ ‫السماء‬ ‫يحي‬ ‫الحكمة كما‬ ‫جالسبنور‬ ‫القلوب‬ (‫وجل‬ ‫بوابل )عز‬ ‫األرضفان ﷲ‬ ‫بركبتيك‬ ‫وزاحمھم‬ ‫العلماء‬ ‫يحيبني‬ ‫يا‬

wosia wa Luqman kwa mwanawe alimwambia:

"Ewe mwanangu! kaa na ‫يحي‬ wanazuoni na karibiana nao, kwa‫يحي‬ hakika ‫السماء‬ ‫األرض بوابل‬ ‫الحكمة كما‬ ‫القلوب بنور‬ Mwenyezi Mungu (a.j) huhuisha mioyo kwa kuipa nuru ya hekima 2 kama vile aihuishavyoardhi kwa mvua "Ewe mwanangu! kaa na wanazuoni na zitokazo karibianambinguni." nao, kwa hakika Mwenyezi Mungu (a.j) huhuisha mioyo kwa kuipa nuru ya hekima 2 23 Na imepokewa hadithi kwaImam Ali (a.s.) amesema: Miizanul-Hikma. Hadithi 2404.kutoka kama vile aihuishavyoardhi kwa mvua zitokazo mbinguni."

‫جالس العلماء يزدد علمك ويحسن أدبك وتزك نفسك‬

Na imepokewa hadithi kutoka kwaImam Ali (a.s.) amesema: 23

"Kaa na wanazuoni elimu yako iongezeke, adabu yakoiwe nzuri ‫نفسك‬ ‫ وتزك‬ili‫أدبك‬ ‫ويحسن‬ ‫يزدد علمك‬ ‫العلماء‬ ‫جالس‬ na itakasike nafsi yako."3


mwenendo wao, ambayo hayo na yanayofanana na hayo huitakasa nafsi yake, aidha hayo yatamsaidia huko akhera.Imekuja katika wosia wa Luqman kwa mwanawe alimwambia:

(‫ﷲ )عز وجل‬Adabu ‫بركبتيك فان‬ ‫وزاحمھم‬ ‫يا بني جالس العلماء‬ za Vikao na Mazungumzo ‫يحي القلوب بنور الحكمة كما يحي األرض بوابل السماء‬

“Ewe mwanangu! kaa na wanazuoni na karibiana nao, kwa haki-

mwanangu! kaa na wanazuoni na karibiana nao, kwa hakika ka"Ewe Mwenyezi Mungu (a.j) huhuisha mioyo kwa kuipa nuru ya hekMwenyezi Mungu (a.j) huhuisha mioyo kwa kuipa nuru ya hekima 24 2 ima kama vile aihuishavyokwa ardhi kwa mvua mbinguni." zitokazo mbinguni.” kama vile aihuishavyoardhi mvua zitokazo

Na imepokewa hadithi kutoka kwa Imam Ali (a.s.) amesema:

Na imepokewa hadithi kutoka kwaImam Ali (a.s.) amesema:

‫جالس العلماء يزدد علمك ويحسن أدبك وتزك نفسك‬ "Kaa na adabu yakoiwe nzuri “Kaa nawanazuoni wanazuoniiliilielimu elimuyako yakoiongezeke, iongezeke, adabu yako iwe nzuri na itakasike nafsi yako."3 25 na itakasike nafsi yako.”

3. 1

Wenye hekima: Hao ni watu waliobobea katika elimu, wazoe-

Miizanul-Hikma. Hadithi 2404. fu, hekima:Hao wenye akili na watu mambo yao ni mujarabu, na miongoni mwa 2 Miizanul-Hikma. Hadithini2406. 4. Wenye waliobobea katika elimu, wazoefu, 3 Miizanul-Hikma. Hadithi 2409. ya kuishi ni hupevuka upeo wa akili wa mtu, na wenyematunda akili na mambo yaonao ni mujarabu, na miongoni mwa matunda

27wa yale ya kuishi nao niushauri hupevuka akili ambayo wa mtu, kwayo na kuwataka kuwataka waoupeo katika ni mambo ushauri wao katika yale ambayo kwayo ni mambo mazuri, ni dhahiri mazuri, ni dhahiri shahiri kwamba mwenye kuwaomba watu shahirikwamba mwenye kuwaomba watu ushauri hushiriki nao ushauri hushiriki nao katika akili zao. Imepokewa hadithi kukatika akili zao.Imepokewa hadithi kutoka kwa Imam Ali (a.s.) toka kwa Imam Ali (a.s.) amesema: amesema:

‫جالس الحكماء يكمل عقلك وتشرف نفسك وينتف عنك‬ ‫جھلك‬ “Kaananawatu watuwenye wenye hekima hekimaitakamilika itakamilikaakili akiliyako, yako,nafsi nafsiyako yako ita"Kaa 1 26 pata utukufu na utatoweka ujinga wako.” itapata utukufu na utatoweka ujinga wako." Aidha imepokewa hadithihadithi kutoka kwake amesema: Aidha imepokewa kutoka(a.s.) kwake (a.s.) amesema:

‫مجالسة الحكماء حياة العقول وشفاء النفوس‬

" 24 Kukaa na watu wenye Miizanul-Hikma. Hadithi hekima 2406. (busara) akili inapata uhai na ni ponyo 25 laMiizanul-Hikma. nafsi."2 Hadithi 2409. 26

Miizanul-Hikma. Hadithi 2410.

5. Mafukara:Imepokewa amesema:

hadithi

kutoka

kwa

Mtume

(s.a.w.w.)

24

‫سائلوا العلماء وخاطبوا الحكماء وجالسوا الفقراء‬


‫جھلك‬ ‫جالس الحكماء يكمل عقلك وتشرف نفسك وينتف عنك‬ "Kaa na watu wenye hekima itakamilika akili yako, nafsi yako ‫جھلك‬ 1

itapata utukufu Adabu na utatoweka ujinga za Vikao nawako." Mazungumzo "Kaa na watu wenye hekima itakamilika akili yako, nafsi yako 1 Aidha utukufu imepokewa hadithi kutoka (a.s.) amesema: itapata na utatoweka ujingakwake wako." Aidha imepokewa kwake amesema: ‫ النفوس‬hadithi ‫وشفاء‬kutoka ‫العقول‬ ‫(حياة‬a.s.) ‫الحكماء‬ ‫مجالسة‬

" Kukaa na watu wenye hekima (busara) inapata‫مجالسة‬ uhai na ni ponyo ‫النفوس‬ ‫وشفاء‬ ‫العقول‬ ‫حياة‬akili ‫الحكماء‬ 2 watu wenye hekima (busara) akili inapata uhai na ni “Kukaa na la nafsi." " ponyo la nafsi.”27 Kukaa na watu wenye hekima (busara) akili inapata uhai na ni ponyo 5. laMafukara:Imepokewa hadithi kutoka kwa Mtume (s.a.w.w.) nafsi."2 amesema: Imepokewa hadithi kutoka kwa Mtume (s.a.w.w.) Mafukara: amesema: 5. Mafukara:Imepokewa hadithi kutoka kwa Mtume (s.a.w.w.) amesema: ‫سائلوا العلماء وخاطبوا الحكماء وجالسوا الفقراء‬ "Waulizeni na wenye hekima‫سائلوا‬ na kaeni na ‫الفقراء‬wanazuoni, ‫ وجالسوا‬zungumzeni ‫وخاطبوا الحكماء‬ ‫العلماء‬ mafukara."1 "Waulizeni wanazuoni, zungumzeni na wenye hekima na kaeni na 1 1 Miizanul-Hikma. Hadithi 2410. zungumzeni na wenye hekima na kaeni mafukara." “Waulizeni wanazuoni, 2

Miizanul-Hikma. Hadithi 2412.

na mafukara.”28 1

28

Miizanul-Hikma. Hadithi 2410. Kwa hakika kukaa na mafukara Miizanul-Hikma. Hadithi 2412.

2

huhifadhi mambo mengi mazuri

28 ambayo Mwenyezi Mungu (a.j) anayaridhia, na hilo ni katika kuwa-

fariji mafukara ili wasiwe wenye kusahaulika na kuwekwa kando na jamii, bali jamii yote inatakiwa kuishi pamoja na mafukara, na matatizo ya mmoja wao ni yao wote, na kila mmoja miongoni mwa wanajamii ahakikishe anatekeleza jukumu lake katika kutatua haja zao, vivyo hivyo jambo hilo ni katika mambo ambayo yanayoondoa ubinafsi, kiburi na majivuno, na humsafisha na magonjwa ambayo huenda yakawa ni kikwazo kwa mtu kufikia daraja kubwa katika waja wa Mwenyezi Mungu (a.j), pia yapasa kujishusha na kujiepusha kuwanyanyapaa kwa kukataa kukaa nao. Kwa hivyo kukaa katika vikao vya mafukara ni nyenzo ya kumnasua mtu kutokana na maradhi hayo, na kwa hivyo unyenyekevu kwa waja wa Mwenyezi Mungu (a.j) huchukua mahala pa kiburi. 27 28

Miizanul-Hikma. Hadithi 2412. Miizanul-Hikma. Hadithi 2414. 25


magonjwa ambayo huenda yakawa ni kikwazo kwa mtu kufikia daraja kubwa katika waja wa Mwenyezi Mungu (a.j), pia yapasa kujishusha na kujiepushakuwanyanyapaa kwa kukataa kukaa nao.Kwa hivyo kukaa katika vikao vya mafukara ni nyenzo ya kumnasua mtu Adabu kutokana na maradhi hayo, na kwa hivyo za Vikao na Mazungumzo unyenyekevu kwa waja wa Mwenyezi Mungu (a.j) huchukua mahala pa kiburi. Yote hayo nikuachili ambali mambo mazuri mengine ambayo Yote hayo na nikuachiliambali mambokutoka mazurikwamengine ambayo yanaelezwa hadithi iliyopokewa Imam Ali (a.s.), yanaelezwa na hadithi iliyopokewa kutoka kwa Imam Ali (a.s.), amesema: amesema:

‫جالس الفقراء تزدد شكرا‬ 2 29 “Kaa ili shukurani shukuranizako zakozipate zipatekuzidi." kuzidi.” "Kaa na na mafukara mafukara ili

hakika ambaye hukaa nao hujua thamani ya neema KwaKwa hakika yuleyule ambaye hukaa naohujua thamani ya neema ya ya Mwenyezi Mungu ambayoMola MolaMuweza Muwezaamemneemesha amemneemeshayeye yeye Mwenyezi Mungu ambayo kwayo, kwa kwayo, kwa hivyo hivyo huelekea huelekea kwa kwa akili akili yake yake na na moyo moyo wakeili wake iliawe awe miongoni mwa wenye kumshukuru Mola Manani. miongoni mwa wenye kumshukuru Mola Manani.

1

Miizanul-Hikma. Hadithi 2414. . Ghurarul-Hikam. Hadithi 4733.

2

29

29

Ghurarul-Hikam. Hadithi 4733. 26


Adabu za Vikao na Mazungumzo

ADABU ZA KIKAO

M

wenyezi Mungu (a.j) anasema:

ِ‫ﻳَﺎ أَﻳﱡﻬَﺎ اﻟﱠﺬِﻳﻦَ ﺁﻣَﻨُﻮا إِذَا ﻗِﻴﻞَ ﻟَ ُﻜ ْﻢ ﺗَﻔَﺴﱠﺤُﻮا ﻓِﻲ ا ْﻟﻤَﺠَﺎﻟِﺲ‬ ‫ﺸ ُﺰوا‬ ُ ‫ﺸﺰُوا ﻓَﺎ ْﻥ‬ ُ ‫ﻓَﺎ ْﻓﺴَﺤُﻮا ﻳَ ْﻔﺴَﺢِ اﻟﻠﱠ ُﻪ ﻟَ ُﻜ ْﻢ وَإِذَا ﻗِﻴﻞَ ا ْﻥ‬ Enyi mlioamini! Mkiambiwa: Fanyeni nafasi katika vikao, basi fanyeni nafasi. Na Mwenyezi Mungu atawafanyia nafasi. Na mkiambiwa: ondokeni, basi ondokeni. (58:11)

Kila kitu katika Uislamu kina suna zake na adabu zake, ambazo ni vyema kuzielewa na kushikamana nazo, kwa mantiki hiyo kikao kina adabu zake ambazo lau mtu atazizingatia bila shaka angeliijua kheri katika dunia kabla kufika Akhera. Hapa tutaeleza baadhi tu ya adabu hizo:

UKAE WAPI? Zipo hadithi chungu nzima ambazo zinaelezea sehemu ambayo yampasa mtu kukaa, zipo sehemu tatu nazo ni: i.

Sehemu uliyotengewa: Imepokewa hadithi kutoka kwaMtume (s.a.w.w.) amesema:

27


Adabu za Vikao na Mazungumzo

‫اذا أخذ القوم مجالسھم فان دعا رجل أخاه وأوسع له في‬ ‫في‬ ‫له‬...‫وأوسع‬ ‫أكرمهأخاه‬ ‫كرامة رجل‬ ‫مجالسھمھيفان دعا‬ ‫مجلسهالقوم‬ ‫اذا أخذ‬ ...... ‫بھا أخوه‬ ‫فليأته فانما‬ .........‫مجلسه فليأته فانما ھي كرامة أكرمه بھا أخوه‬ "Iwapo watu watakaa sehemu zao na ikiwa mtu atamwita ndugu yake

“Iwapo watu watakaa sehemu zao na ikiwa mtu atamwita ndugu nayake akamwekea mahala pa kukaa, aende kwani huo ni ukarimu nawatu akamwekea mahala pabasi kukaa, basi kwani huo yake ni uka1 "Iwapo watakaa sehemu zao na ikiwa mtuaende atamwita ndugu 30 ambao ndugu yake amemkirimu nao…" rimumahala ambaopa ndugu yake na akamwekea kukaa, basiamemkirimu aende kwaninao…” huo ni ukarimu

1 ndugu yake amemkirimu nao…" Naambao mtu atakapo kuwekea nafasi ya kukaa Na yeyote mtu yeyote atakapo kuwekea nafasi ya katika kukaakikao katikanakikao akakuita ili ukae pembeni mwake, huo ni ukarimu wa mtu huyo na ili ukae pembeni mwake, ukarimu wa mtu na huyo Naakakuita mtubasi yeyote atakapo nafasihuo ya ni kukaa katika kwako, ni juu yako kuwekea kuitikia ombi hilo, kukubali na kikao kujali akakuita ili ukae pembeni mwake, huo ni ukarimu wa mtu huyo kwako,huo, basinanisio juukatika yakoadabu kuitikia kukubalinanakukujali kujali ukaukarimu mtuombi akupehilo, kipaumbele kwako, basi ni juu yako kuitikia ombi hilo, kukubali na rimunahuo, sio katika adabu mtu akupe kipaumbele na kujali kukujali wewe kishanawewe usijali wala kuonesha umuhimu wowote ule! ukarimu huo, na sio katika adabu mtu akupe kipaumbele na kukujali wewe na kisha wewe usijali wala kuonesha umuhimu wowote ule! wewe na yenye kisha wewe usijalikatika wala kuonesha umuhimu ule! ii.Sehemu nafasi:Na kuhitimisha hadithiwowote iliyopokewa

ii. Sehemu nafasi: Na katika kuhitimisha hadithi ilikutoka kwaMtumeyenye (s.a.w.w.) amesema: ii.Sehemu yenyekutoka nafasi:Na iliyopokewa yopokewa kwa katika Mtumekuhitimisha (s.a.w.w.) hadithi amesema: kutoka kwaMtume (s.a.w.w.) amesema:

‫وان لم يوسع له أحد فلينظر أوسع مكان يجده فيجلس‬... ‫وان لم يوسع له أحد فلينظر أوسع مكان يجده فيجلس‬... "…na ikiwa hakumpa nafasi mtu yoyote, basi aangalie sehemu iliyo

wazi na akae." “…naikiwa ikiwahakumpa hakumpanafasi nafasi mtu yoyote, basi aangalie sehemu iliyo "…na mtu yoyote, basi aangalie sehemu iliyo wazi na akae." wazi na akae.” Na katika hali ya kawaida ambapo hakuna yeyote anayekupa nafasi

ya kutosha na kukuita pembeni mwake, basi ni juu yako kuchagua Na Na katika hali ya kawaida ambapo hakuna yeyote anayekupa nafasi hali ya kawaida ambapo hakuna yeyote anayekupa sehemu yakatika nafasi utakayoikuta kikaoni, ili ukaaji wako usiwe wenye ya kutosha na kukuita pembeni mwake, basi ni juu yako kuchagua nafasi ya kutosha na kukuita pembeni mwake, basi ni juu yako kumbana au kumuudhi yeyote miongoni mwa wale waliokaa. sehemu ya nafasi utakayoikuta kikaoni, ili ukaaji wako usiwe wenye kuchagua sehemu ya nafasi utakayoikuta kikaoni, ili ukaaji wako yeyote miongoni mwa wale waliokaa.hadithi iii.kumbana Pale au kumuudhi walipoishia kukaa watu:Imepokewa

usiwe wenye kumbana au kumuudhi yeyote miongoni mwa wale

kutokakwaMtume (s.a.w.w.) amesema: waliokaa. iii. Pale walipoishia kukaa watu:Imepokewa kutokakwaMtume (s.a.w.w.) amesema: 1

hadithi

iii. Pale walipoishia kukaa watu:Imepokewa hadithi kutoka kwa Mtume (s.a.w.w.) amesema:

Miizanul-Hikma. Hadithi 2365. 1

Miizanul-Hikma. Hadithi 2365. Miizanul-Hikma. Hadithi 2365.

30

31 31 28


Adabu za Vikao na Mazungumzo

‫اذا أتى أحدكم مجلسا فليجلس حيث ما انتھى به مجلسه‬ "Mmoja wenu atakapokwenda kwenye kikao basi akae sehemu 1 “Mmoja wale wenuwaliokaa." atakapokwenda kwenye kikao basi akae sehemu walipoishia walipoishia wale waliokaa.”31 Kwa mujibu wa mafundisho hayo kutoka kwa bwana Mtume (s.a.w.w.) yatupasawa kutotafuta sehemu ya kutoka Rais, cheo na bwana kuonekana, Kwa mujibu mafundisho hayo kwa Mtume bali ametuasa tuhisi ndani ya nafsi zetu hali ya unyenyekevu, na (s.a.w.w.) yatupasa kutotafuta sehemu ya Rais, cheo na kuonekana, kwamba sisi ni kama vile wengine wala hatuko juu yao kicheo, bali bali ametuasa ndani yatu…Mwenyezi nafsi zetu hali ya unyenyekevu, fadhila na uboratuhisi ni uchamungu Mungu (a.j) anasema: na

kwamba sisi ni kama vile wengine wala hatuko juu yao kicheo, bali fadhila na ubora ni uchamungu tu…Mwenyezi Mungu (a.j) anasema:

$pκš‰r'¯≈tƒâ¨$¨Ζ9$#$¯ΡÎ)/ä3≈oΨø)n=yz⎯ÏiΒ9x.sŒ4©s\Ρé&uρöΝä3≈oΨù=yèy_uρ$\/θãèä©Ÿ≅Í←!$t7s%uρ(#þθèùu‘$yètGÏ94¨

‫ُأ ْﻥﺜَﻰ وَﺟَﻌَ ْﻠﻨَﺎ ُآ ْﻢ‬βÎَ‫)و‬ö/ä3ٍ‫ﺮ‬tΒَ‫آ‬tَ‫ذ‬ò2‫ﻦ‬ ْ r&ِ‫ﻣ‬y‰ΨÏ‫ْﻢ‬ã‫ﻨَﺎ!«ُآ‬$#öΝ‫ﻠَ ْﻘ‬ä3َ‫ﺧ‬9s)‫ﱠﺎ‬ø?‫ﻥ‬r&4¨βِ‫ إ‬Î)‫س‬ ُ©!$#îΛ‫⎧ﱠﺎ‬Î‫اﻟ=ﻨ‬tã×Î‫َﺎ‬7‫ﻬ‬yz‫ﻳ∪َﺎ⊂⊇∩أَﻳﱡ‬ "Enyi ‫ﻘَﺎ ُآ ْﻢ‬watu! ‫ اﻟﻠﱠﻪِ أَ ْﺕ‬Kwa َ‫ْﻢ ﻋِ ْﻨﺪ‬hakika ‫ أَ ْآﺮَﻣَ ُﻜ‬tumekuumbeni ‫ﻞَ ﻟِﺘَﻌَﺎرَﻓُﻮا إِنﱠ‬kutokana ِ‫ﻌُﻮﺑًﺎ وَﻗَﺒَﺎﺋ‬na ‫ﺷ‬ ُ mwanaume na mwanamke, na tumekufanyeni mataifa na

makabila mbali mbali ili mjuane, hakika aliye mtukufu zaidi kati yenu kwa Mungu ni aliye kutokana mchamungu zaidi kati na “Enyi watu!Mwenyezi Kwa hakika tumekuumbeni na mwanaume yenu…"(49:13). mwanamke, na tumekufanyeni mataifa na makabila mbali mbali ili iv.Tusikimbilie sehemu ya mbele:Huenda baadhi ya watu mjuane, hakika aliye mtukufu zaidi kati yenu kwa Mwenyezi Mungu wakauliza: Hivi kwa nini jambo hilo limetiliwa mkazo mno? Ikiwa ni aliye mchamungu zaidi kati yenu…” (49:13). sehemu ipo wazi basi akae sehemu aipendayo… lakini suala sio mahala pa wazi au pasipo nauwazi, bali lengo ni kumkinga mu’mini iv. Tusikimbilie sehemu yakwani mbele: Huenda ya watu asidharauliwe au kudhalilishwa, waandaaji wa baadhi vikao huenda wakauliza: Hivi kwa nini jambo hilo limetiliwa mkazo mno? wakaweka mahala maalum kwa mtu mahsusi au mheshimiwa, na Ikiwa hawataki sehemu kukaa ipo wazi basi akaesehemu sehemu aipendayo… kwa hivyo mtu mwingine hiyo na humtaka laaondoke sehemu hiyo, na kwa mantiki hiyo huenda akadhalilika, kini suala sio mahala pa wazi au pasipo na uwazi, balikwa lengo hivyoniinamlazimu mu’mini ajiepushe na tabia ya kimbelembele na kumkinga mu’mini asidharauliwe au kudhalilishwa, kwani

waandaaji wa vikao huenda wakaweka mahala maalum kwa mtu mahsusi au2363. mheshimiwa, na kwa hivyo hawataki kukaa Miizanul-Hikma. Hadithi

1

31

Miizanul-Hikma. Hadithi 2363.

32

29


Adabu za Vikao na Mazungumzo

mtu mwingine sehemu hiyo na humtaka aondoke sehemu hiyo, na kwa mantiki hiyo huenda akadhalilika, kwa hivyo inamlazimu mu’mini ajiepushe na tabia ya kimbelembele na kukaa kukaa sehemu ambayohuenda huenda ikawa ikawa imeandaliwa ya ya mtumtu sehemu ambayo imeandaliwakwa kwaajili ajili mwingine. mwingine. kukaa sehemu ambayo huenda ikawa imeandaliwa kwa ajili ya mtu mwingine. Kuhusu hilohilo Imam Ali (a.s.) amesema: Kuhusu Imam Ali (a.s.) amesema: Kuhusu hilo Imam Ali (a.s.) amesema:

‫ال تسرعنّ الى أرفع موضع في المجلس فانّ الموضع الذي‬ ‫المجلسعنه‬ ‫الذي تحط‬ ‫خير من‬ ‫الترفع ال‬ ‫فانّ الموضع الذي‬ ‫الموضع في‬ ‫أرفع موضع‬ ‫يه الى‬ ّ‫تسرعن‬ ‫عنه‬ufikapo ‫الذي تحط‬ ‫الموضع‬ ‫من‬kukaa ‫خير‬mahala ‫ترفع اليه‬ "Usikimbilie kikaoni, kwani pa “Usikimbiliemeza mezakuu kuu ufikapo kikaoni, kwani kukaa mahala pa

kawaida na na kupelekwa meza kuuni na kawaidakisha kishaukanyanyuliwa ukanyanyuliwa kupelekwa meza kuu bora ni bora "Usikimbilie meza kuu ufikapo kikaoni, kwani kukaa mahala pa heshima kwako kuliko kukaa sehemu kisha ukaondolewana na heshima kwako kuliko kukaa sehemu kisha ukaondolewa na 1 kawaida kisha ukanyanyuliwa na kupelekwa meza kuuni bora na 32 ukashushwa hadhi." ukashushwa hadhi.” heshima kwako kuliko kukaa sehemu kisha ukaondolewana ukashushwa hadhi."1 nani?Zipo hadithi mbali mbali ambazo kwa yamuhusu v. v. Meza Mezakuu kuu yamuhusu nani?Zipo hadithi mbali mbali ambazo njia moja au nyingune zimehusisha watu maalum ambao wanastahiki kwa njia moja au na nyingune watu maalum ambao v. Meza kuuya yamuhusu nani?Zipo mbali ambazo kwa kukaa mbele kikao, sehemu zimehusisha yahadithi mbele mbali ya kikao ina mahusiano kukaa mbele ya kikao, na sehemu ya wanastahiki mbele ya kinjiawanastahiki moja na au daraja nyingune zimehusisha watu maalum ambao kulingana za watu katika jamii, kama vile: Mwanachuoni, kukaa ya kikao, nakulingana sehemuhadithi yanambele ya za kikao inakatika mahusiano Mnasihi na Msimulizi.Imepokewa kutoka kwaImam Ali (a.s.) kao mbele ina mahusiano daraja watu jamii, kulingana na daraja za watu katika jamii, kama vile: Mwanachuoni, amesema: kama vile: Mwanachuoni, Mnasihi na Msimulizi. Imepokewa Mnasihi na Msimulizi.Imepokewa hadithi kutoka kwaImam Ali (a.s.) hadithi kutoka kwa Imam Ali (a.s.) amesema: amesema:

‫ يجيب‬:‫ال يجلس في صدر المجلس اال رجل فيه ثالث خصال‬ ‫بالرأي الذي‬ ‫ويشير‬ ‫صدراذا عجز‬ ‫وينطق‬ ‫الاذا سئل‬ ‫فيهيجيب‬:‫خصال‬ ‫فيه ثالث‬ ‫القومرجل‬ ‫المجلس اال‬ ‫يجلس في‬ ‫أحمق‬ ‫منھن‬ ‫القومشيئ‬ ‫يكن فيه‬ ‫سئل أھله‬ ‫صالح‬ ‫فھوفيه‬ ‫فجلسالذي‬ ‫بالرأي‬ ‫ويشير‬ ‫فمناذالمعجز‬ ‫وينطق‬ ‫اذا‬ ‫أحمق‬meza ‫فھو‬kuu ‫فجلس‬ ‫منھن‬ ‫ شيئ‬ana ‫ فيه‬mambo ‫ لم يكن‬matatu; ‫أھله فمن‬ ‫صالح‬ "Asikae ila mtu ambaye akiulizwa

atajibu, husema pale watu wameshindwa kusema na hutoa maoni "Asikae meza kuu ila mtu ambaye ana mambo matatu; akiulizwa “Asikae meza kuu ila mtu ambaye ana mambo matatu; akiulizwa atajibu, husema pale watu wameshindwa kusema na hutoa maoni atajibu, husema pale watu wameshindwa kusema na hutoa maoni Miizanul-Hikma. Miizanul-Hikma.Hadithi Hadithi2372. 2372.

32 1

1

Miizanul-Hikma. Hadithi 2372.

33

30

33


Adabu za Vikao na Mazungumzo

mazuri ambayo huleta manufaa kwa watu wake, na asiyekuwa na moja kati ya hayo kisha akakaa, basi huyo ni mpumbavu.”33

Kwa sababu amekaa mahala ambapo watu wakidhani kuwa mazuri ambayo hapo huleta humuuliza manufaa kwa watu wake, na asiyekuwa ni mwanachuoni maswali kumbe si1 hivyo, na basi moja kati ya hayo kisha akakaa, basi huyo ni mpumbavu." ­watamkejeli kwa kukaa sehemu ya wanazuoni… Kwa sababu amekaa mahala ambapo watu wakidhani kuwa ni mwanachuoni hapo humuuliza maswali kumbe si hivyo, basi KUTOWABANA WALIOKAA: watamkejeli kwa kukaa sehemu ya wanazuoni… 2. KUTOWABANA WALIOKAA:

Kwa hakika jambo hilo huitwa ni uovu wa kikaoni, kwa mfano mtu fulani akae na hali kapanua miguu yakewa namna ambayo anachukua Kwa hakika jambo hilo huitwa ni uovu kikaoni, kwa mfano mtu fulanizaakae hali kapanua namna ambayosehemu anachukua sehemu watunawawili badalamiguu ya mtuyake mmoja, hususan ikiwa sehemu za watu wawili badala ya mtu mmoja, hususan sehemu ikiwa finyu, na huenda wale waliokaa wala hawamgombezi yeye, lakini finyu, na huenda wale waliokaa wala hawamgombezi yeye, lakini hapana shaka kwamba watachukizwa na tabia yake hiyo, na Mtume hapana shakakwamba watachukizwa na tabia yake hiyo, naMtume (s.a.w.w.) ametuhadharisha kuhusiana na tabia hiyo mbaya (s.a.w.w.) ametuhadharishakuhusiana na tabia hiyo naichukimbaya zayo..Imepokewa hadithi kutoka kwaMtume (s.a.w.w.) amesema: naichukizayo..Imepokewa hadithi kutoka kwaMtume (s.a.w.w.) amesema:

‫ال تفحش في مجلسك لكي يحذروك بسوء خلقك وال تناج مع‬ ‫رجل وأنت مع آخر‬ "Usipanuemiguu miguukatika katika kikao kikao chako chako ili ili wajihadhari wajihadhari na “Usipanue nawewe wewekwa kwa tabia yako mbaya, wala usinong’one na mtu hali ya kuwa wewe tabia yako mbaya, wala usinong’one na mtu hali ya kuwa wewe unae unaemtu mwingine."2 mtu mwingine.”34 tabia hiyo na na Na tabia hiyo wakati wakati fulani fulanichimbuko chimbukolake lakehuwa huwani niubinafsi ubinafsi kupenda umimi na kutozingaita haki za wengine, basi yampasa kila kupenda umimi na kutozingaita haki za wengine, basi yampasa kila mu’mini aiadabishe nafsi yake kwa kuzingatia raha za ndugu zake mu’mini aiadabishe nafsi yake kwa kuzingatia raha za ndugu zake waumini. waumini. 33 34

Miizanul-Hikma. Hadithi 2371. 1 Miizanul-Hikma. Hadithi 2371. 2 Miizanul-Hikma. Hadithi 2370. Miizanul-Hikma. Hadithi 2370.

34

31


Adabu za Vikao na Mazungumzo

KUTOA NAFASI: Ikiwa sehemu imebana na akaja yule ambaye anataka kushiriki nawe katika kikao, yakupasa kumwachia nafasi yeye ili aweze kukaa. Mwenyezi Mungu (a.j) anasema:

ِ‫ﻳَﺎ أَﻳﱡﻬَﺎ اﻟﱠﺬِﻳﻦَ ﺁﻣَﻨُﻮا إِذَا ﻗِﻴﻞَ ﻟَ ُﻜ ْﻢ ﺗَﻔَﺴﱠﺤُﻮا ﻓِﻲ ا ْﻟﻤَﺠَﺎﻟِﺲ‬ ‫ﺸﺰُوا‬ ُ ‫ﺸﺰُوا ﻓَﺎ ْﻥ‬ ُ ‫ﺤﻮا ﻳَ ْﻔﺴَﺢِ اﻟﻠﱠ ُﻪ ﻟَ ُﻜ ْﻢ وَإِذَا ﻗِﻴﻞَ ا ْﻥ‬ ُ َ‫ﻓَﺎ ْﻓﺴ‬ Enyi mlioamini! Mkiambiwa: Fanyeni nafasi katika vikao, basi fanyeni nafasi. Na Mwenyezi Mungu atawafanyia nafasi. Na mkiambiwa: ondokeni, basi ondokeni. (58:11)

KUJIKUNYATA: Kujikunyata na kumwachia nafasi mwingine ni miongoni mwa mambo yaliyozoeleka na yaliyo mashuhuri, nayo hujulisha namna gani mhusika alivyo na adabu na humheshimu mwengine, kwa hakika hiyo ilikuwa ni tabia ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), imeelezwa kwamba siku moja mtu mmoja aliingia kwa bwana Mtume (s.a.w.w.) akiwa amekaa msikitini peke yake, basi Mtume (s.a.w.w.) alijikunyata na kumwachia nafasi kwa ajili yake, yule mtu akasema: Ewe Mtume! Mbona sehemu ni pana! Mtume (s.a.w.w.) akasema:

32


hakika hiyo ilikuwa ni tabia ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), imeelezwa kwamba siku moja mtu mmoja aliingia kwa bwana Mtume (s.a.w.w.) akiwa amekaa msikitini peke yake, basi Mtume (s.a.w.w.) alijikunyata na kumwachia nafasi kwa ajili yake, yule mtu Adabu za Vikao na Mazungumzo akasema: Ewe Mtume! Mbona sehemunipana! Mtume (s.a.w.w.) akasema:

‫انّ حق المسلم على المسلم اذا رآه يريد الجلوس اليه أن‬ ‫يتزحزح له‬ 35

“Hakika ni haki ya mwislamu kwa mwislamu mwenziwe atakapomuona anataka kukaa pamoja naye, basi ajikunyate na amwachie nafasi yeye.”35 "Hakika ni haki ya mwislamu kwa mwislamu mwenziwe atakapomuona KUTONYOOSHA anataka kukaa pamoja naye, basi ajikunyate na MIGUU: amwachie nafasi yeye."1

Kunyoosha miguu ni miongoni mwa mambo ambayo huonye5. KUTONYOOSHA MIGUU: sha – kulingana ya mwa watu mambo –ni kumdharau mtu na kutomKunyoosha miguunanimazoea miongoni ambayo huonyesha – kulingana na mazoea ya watu –ni kumdharau mtu na kutomheshimu, heshimu, nalo haliendani na tabia nzuri. Imepokewa hadithi kutonalo haliendani na tabia hadithi kwaImam ka kwa Imam Ali (a.s.)nzuri.Imepokewa alipokuwa akieleza sifakutoka za bwana Mtume Ali (a.s.) alipokuwa akieleza sifa za bwana Mtume (s.a.w.w.) (s.a.w.w.) amesema: amesema:

‫وما رؤي مقدما رجله بين يدي جليس له قط‬ "Hakuonekana (Mtume) miguu yake mbele ya mtu “Hakuonekana (Mtume)katu katuamenyoosha amenyoosha miguu yake mbele ya mtu 36 aliyekaa naye."2 aliyekaa naye.” 6. MTU ATABASAMU ANAPOKUTANA NA WENGINE: Huenda baadhi ya watu ambao wako mbali na hadithi na uwelewa sahihi wa kiislamu hufikiria kwamba miongoni mwa sifa za mu’mini ni awe mwenye kukunja uso na mwenye fikra potofu, haendi kwa mtu ila anapopewa mwaliko, na sifa nyinginezo zisizo kuwa hizo… isipokuwa ukweli ni ule ulioelezwa na hadithi mbali mbali kwamba mu’mini hukutana na wengine kwa uso wa tabasamu na 35 Miizanul-Hikma. Hadithi na 2368. bashasha.Imepokewa Is’hak bin Ammar amesema: Imam as-Sadiq 36 Biharul-Anwar Juz. 13 Uk. 236. (a.s) amesema: 33

1

Miizanul-Hikma. Hadithi 2368.


Adabu za Vikao na Mazungumzo

MTU ATABASAMU ANAPOKUTANA NA ­WENGINE: Huenda baadhi ya watu ambao wako mbali na hadithi na uwelewa sahihi wa kiislamu hufikiria kwamba miongoni mwa sifa za mu’mini ni awe mwenye kukunja uso na mwenye fikra potofu, haendi kwa mtu ila anapopewa mwaliko, na sifa nyinginezo zisizo kuwa hizo… isipokuwa ukweli ni ule ulioelezwa na hadithi mbali mbali kwamba mu’mini hukutana na wengine kwa uso wa tabasamu na bashasha. Imepokewa na Is’hak bin Ammar amesema: Imam as-Sadiq (a.s) amesema:

‫فان‬ ‫للمؤمن فان‬ ‫ودك للمؤمن‬ ‫واخلص ودك‬ ‫بلسانك واخلص‬ ‫المنافق بلسانك‬ ‫صانع المنافق‬ ‫ صانع‬::‫اسحاق‬ ‫يايا اسحاق‬ ‫مجالسته‬ ‫فأحسن مجالسته‬ ‫يھودي فأحسن‬ ‫جالسك يھودي‬ ‫جالسك‬ “Ewe na mnafiki kwa ulimiwako, wako,na naupendo upendowa wa "Ewe Is’hak: Amiliana "EweIs’hak: Is’hak:Amiliana Amiliana na na mnafiki mnafiki kwa kwa ulimi ulimi wako, na upendo wa dhati iwapo Myahudi atakaana nawewe wewebasi basikaa kaa dhati uwe kwa mu’mini, iwapo dhatiuwe uwekwa kwamu’mini, mu’mini, iwapo Myahudi Myahudi atakaa atakaa na wewe basi kaa 11 37 naye kwa uzuri zaidi.” naye kwa uzuri zaidi." naye kwa uzuri zaidi." Na hadithi kutoka kwaMtume (s.a.w.w.) amesema: Naimepokewa imepokewa hadithi kutoka kwa Mtume (s.a.w.w.) amesema: Na imepokewa hadithi kutoka kwaMtume (s.a.w.w.) amesema:

‫بالبشر‬ ‫يلقاه بالبشر‬ ‫المسلم يلقاه‬ ‫ألخيه المسلم‬ ‫المرء ألخيه‬ ‫للمؤمن المرء‬ ‫ود للمؤمن‬ ‫يضفين ود‬ ‫ثالث يضفين‬ ‫ثالث‬ ‫بأحب‬ ‫ويدعوه بأحب‬ ‫اليه ويدعوه‬ ‫جلس اليه‬ ‫اذا جلس‬ ‫المجلس اذا‬ ‫في المجلس‬ ‫ويوسع لهله في‬ ‫لقيه ويوسع‬ ‫اذا لقيه‬ ‫اذا‬ ‫اليه‬ ‫األسماء اليه‬ ‫األسماء‬ "Mambo matatu huongeza mwislamu; “Mambo matatu upendo wamtu mtukwa kwanduguye nduguye mwislamu; "Mambo matatuhuongeza huongezaupendo upendowa wa mtu kwa nduguye mwislamu; kuwa bashasha anapokutana katika kikao, kuwa nana bashasha naye, nakumpa kumpanafasi nafasi katika kikao, kuwa na bashashaanapokutana anapokutananaye, naye,na na kumpa nafasi katika kikao, 22 na kwa mazuri atapokaa naye." na kumwita kwa majina mazuri atapokaa naye.”38 nakumwita kumwita kwamajina majina mazuri atapokaa naye." 37 7. KUNYAMAZA: 7.Hilyatul-MuttaqiinUk. KUNYAMAZA:570. 38

Hilyatul-MuttaqiinUk. 570.

Hii Hii ina ina maana maana ya ya kutofanya kutofanya haraka haraka katika katika mazungumzo mazungumzo naulimikuuvuta nyuma.Imepokewa hadithi kutoka kwa 34 naulimikuuvuta nyuma.Imepokewa hadithi kutoka kwa AmiirulAmiirulMu’miniina Mu’miniinaAli Ali(a.s) (a.s)amesema: amesema:

‫خرقا‬ ‫بذلك خرقا‬ ‫فكفى بذلك‬ ‫تسمع فكفى‬ ‫اس بكبك ّل ّل ماما تسمع‬ ‫تح ّد ّدثث الالنّنّاس‬ ‫الال تح‬


‫ثالث يضفين ود للمؤمن المرء ألخيه المسلم يلقاه بالبشر‬ ‫اذا لقيه ويوسع له في المجلس اذا جلس اليه ويدعوه بأحب‬ ‫األسماء اليه‬ Adabu za Vikao na Mazungumzo

"Mambo matatu huongeza upendo wa mtu kwa nduguye mwislamu; kuwa na bashasha anapokutana naye, na kumpa nafasi katika kikao, na kumwita kwa majinaKUNYAMAZA: mazuri atapokaa naye."2 7. KUNYAMAZA:

Hii ina maana ya kutofanya haraka katika mazungumzo na ulimi kuHii nyuma. ina maana ya kutofanya harakakwa katika mazungumzo uvuta Imepokewa hadithi kutoka Amiirul-Mu’miniina naulimikuuvuta nyuma.Imepokewa hadithi kutoka kwa AmiirulAliMu’miniina (a.s) amesema: Ali (a.s) amesema:

‫ال تح ّدث النّاس بك ّل ما تسمع فكفى بذلك خرقا‬ “Usiwaeleze watu kila ulisikialo, basi yatosha hilo kuwa ni upumbavu.”39 "Usiwaeleze watu kila ulisikialo, basi yatosha hilo kuwa ni 1 1 Hilyatul-MuttaqiinUk. 570. upumbavu." 2

Kwa hivyo inabidi Hilyatul-MuttaqiinUk. 570.ulimi ufuate akili na sio kinyume chake, na kama si hivyo kunyamaza bora zaidi, kamachake, vile zipo hadithi kadKwa hivyo inabidi ulimi ufuate ni akili na37sio kinyume na kama si haa hivyo ni boraishara zaidi, kuhusu kama vile zipo hadithi kadhaa wakunyamaza kadha zinazotoa hilo. Imepokewa kutoka kwa wakadha zinazotoa ishara kuhusu hilo.Imepokewa kutoka kwa Amiirul-Mu’miniina Ali (a.s) amesema: Amiirul-Mu’miniina Ali (a.s) amesema:

‫صمت يكسوك الكرامة خير من قول يكسبك الندامة‬ "Yatosha kunyamaza kuwakuwa ni vazi tukufu, kwani ni bora ni kuliko “Yatosha kunyamaza ni lako vazi lako tukufu, kwani bora kuliko 2 kauli ambayo yakusababishia majuto." 40 kauli ambayo yakusababishia majuto.” Haina maana kwamba binadamu abakie kimya vikaoni, bali Haina maana kwamba binadamu abakie kimya vikaoni, bali makusudio yake ni kwamba azungumze yale ambayo yatamnufaisha makusudio yake kwamba azungumze yale ambayo yatamnufaisha iwapomazingira yani kikao yatamsababisha kufanya hivyo.Na miongoni mwa matunda kunyamaza kwa mtu, anyamaze kwa yale iwapo mazingira ya ya kikao yatamsababisha kufanya hivyo. Na mionambayo yasiyomhusu, kwa hakika Mwenyezi Mungu (a.j) atampa goni mwa matunda ya kunyamaza kwa mtu, anyamaze kwa yale hekima na busara.Imepokewa hadithi kutoka kwa Imam Ridha (a.s) ambayo yasiyomhusu, kwa hakika Mwenyezi Mungu (a.j) atampa amesema:

hekima na busara. Imepokewa hadithi kutoka kwa Imam Ridha (a.s) amesema:

‫انّ الصمت باب من أبواب الحكمة انّ الصمت يكسب المحبّة‬ Miizanul-Hikma Juz. 8, Uk. 443. ‫انّه دليل على ك ّل خير‬ Hilyatul-MuttaqiinUk. 447. 39 40

"Hakika kunyamaza nimlango miongoni mwa milango ya hekima, 35 hakika kunyamaza huleta upendo, kwani hilo ni dalili ya kila kheri."3 8. KUTOWAKATA MANENO WAZUNGUMZAJI: 1


Haina maana kwamba binadamu abakie kimya vikaoni, bali makusudio yake ni kwamba azungumze yale ambayo yatamnufaisha iwapomazingira ya kikao yatamsababisha kufanya hivyo.Na miongoni mwa matunda ya kunyamaza kwa mtu, anyamaze kwa yale ambayo yasiyomhusu, kwa hakika Mwenyezi Mungu (a.j) atampa Adabu za Vikao na Mazungumzo hekima na busara.Imepokewa hadithi kutoka kwa Imam Ridha (a.s) amesema:

‫انّ الصمت باب من أبواب الحكمة انّ الصمت يكسب المحبّة‬ ‫انّه دليل على ك ّل خير‬ "Hakika kunyamaza miongoni milango ya hekima, “Hakika kunyamazanimlango ni mlango miongo mwa ni mwa milango ya heki3 hakika kunyamaza huleta upendo, kwani hilo ni dalili ya kila kheri." ma, hakika kunyamaza huleta upendo, kwani hilo ni dalili ya kila kheri.”41 8. KUTOWAKATA MANENO WAZUNGUMZAJI: 1

Miizanul-Hikma Juz. 8, Uk. 443.

Hilyatul-MuttaqiinUk. 447.MANENO WAZUNGUMZAJI: KUTOWAKATA 2 3

Al-Kaafi Juz. 2, Uk. 113.

38

Hakika kuwakata maneno wazungumzaji ni miongoni mwa desturi mbaya inayokwenda kinyume na tabia njema, na mara nyingi mtu hulisahau hilo basi huangukia kwalo, hususan katika vikao vya majadiliano na mijadala, namna ambayo mmoja wa wakaaji anazungumza na yeye anamkata maneno yake, na anakuja mwingine anamkata maneno wa pili, vivyo hivyo hadi kikao kinakuwa ni kikao cha fujo, vurugu na zogo, kila mmoja hafahamu maneno ya mwingine, hali ya kuwa wamesahau maneno ya mbora wa viumbe Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) amesema:

‫ﻣﻦ ﻋﺮض ﻷﺧﻴﻪ اﻟﻤﺴﻠﻢ اﻟﻤﺘﻜﻠﻢ ﻓﻲ ﺣﺪﻱﺜﻪ ﻓﻜﺎﻧﻤﺎ‬ ‫ﺧﺪث وﺟﻬﻪ‬ “Mwenye kumkata nduguye mwislamu mazungumzo yake ni kana kwamba ameuparura uso wake.”42

41 42

Al-Kaafi Juz. 2, Uk. 113. Al-Kaafi Juz. 2, Uk. 660. 36


Adabu za Vikao na Mazungumzo

KUTOTETA JAMBO: Miongoni mwa adabu za kikao ni kutoteta watu wawili, nayo ni hali ya mmoja wa wakaaji kumnong’one zamwingine sikioni mwake kwa mazungumzo mahsusi pasi na kuwahusisha watu wengine, kwa hakika hilo ni miongoni mwa yale ambayo huwaudhi wahusika, na iwapo watakuwa watatu basi wawili wasitete jambo bila kumhusisha watatu, kwani hilo ni kati ya yale ambayo humchukiza na humfanya yeye ahisi vibaya, kwa hakika zipo hadithi chungu nzima zilizopokewa kutoka kwa Ahlul-Bayt (a.s)zinazokataza jambo hilo. Imepokewa hadithi kutoka kwaAbu Abdillah Imam as-Sadiq (a.s) amesema:

‫اذا كان القوم ثالثة فال يتناجى فيھم اثنان دون صاحبھما‬ ‫يتناجى فيھم اثنان دون صاحبھما‬ ‫القومماثالثة‬ ‫فانّ كان‬ ‫اذا‬ ‫فال ويؤذيه‬ ‫يحزنه‬ ‫في ذلك‬ ‫فانّ في ذلك ما يحزنه ويؤذيه‬ “Iwapowatakuwa watakuwa watu watatu wawili wasitete jambo "Iwapo watu watatu basibasi wawili wasitete jambo bila bila ya ya kumhusisha mwenzao, kwani humhuzunisha yeye pia kumhusisha mwenzao, kwani hilohilo humhuzunisha yeye nanapia "Iwapo watakuwa watu watatu basi wawili wasitete jambo bila ya humuudhi."1 humuudhi.”43 kumhusisha mwenzao, kwani hilo humhuzunisha yeye na pia humuudhi."1 10. KUFICHA SIRI:

KUFICHA SIRI:

10. KUFICHA SIRI: Imepokewa hadithi kutoka kwaMtume (s.a.w.w.) amesema:

Imepokewa hadithi kutoka kwaMtume (s.a.w.w.) amesema:

Imepokewa hadithi kutoka kwaMtume (s.a.w.w.) amesema:

‫المجالس باألمانة وافشاء سر أخيك خيانة فاجتنب ذلك‬ ‫المجالس باألمانة وافشاء سر أخيك خيانة فاجتنب ذلك‬

"Vikao ni amana, na kufichua siri ya ndugu yako ni hiyana, basi jiepushe na hilo."2 "Vikao na “Vikao ni ni amana, amana, nakufichua kufichuasiri siriya yandugu nduguyako yakoninihiyana, hiyana,basi basi 2 44 jiepushe na hilo." jiepushe na hilo.” Kwa hakika binadamu hupendelea mambo ya majigambo, 43 kudhihirisha maarifa na umiliki wa siri ambayo kwa njia moja au Al-Wasaail, Mlango binadamu wa Ahkamul-Ushra. Kwa hakika hupendelea mambo ya majigambo, 44 nyingine huenda hali2382. hiyo ikamsukuma yeye katika kufichua jambo Miizanul-Hikma Hadithi kudhihirisha maarifa na umiliki wa siri ambayo kwa njia moja au lolote alijualo, kulizungumzia na kulieneza bila kujali je ni jambo la nyingine huenda hali hiyo ikamsukuma yeye katika kufichua jambo umuhimu au duni, la hatari au lisilo na kwa hakikahali 37 la hatari… lolote alijualo, kulizungumzia na kulieneza bila kujali je ni jambo la hiyo humfanyaasiweze kuaminiwa katika maneno mengi yaliyo ya umuhimu au duni, la hatari au lisilo la hatari… na kwa hakikahali siri, mazungumzo au mambo ya kikao… hiyo humfanyaasiweze kuaminiwa katika maneno mengi yaliyo ya siri, mazungumzo au mambo ya kikao… Katika hadithi iliyotanguliaMtume (s.a.w.w.) anatilia mkazo juu ya


Adabu za Vikao na Mazungumzo

Kwa hakika binadamu hupendelea mambo ya majigambo, kudhihirisha maarifa na umiliki wa siri ambayo kwa njia moja au nyingine huenda hali hiyo ikamsukuma yeye katika kufichua jambo lolote alijualo, kulizungumzia na kulieneza bila kujali je ni jambo la umuhimu au duni, la hatari au lisilo la hatari… na kwa hakika hali hiyo humfanya asiweze kuaminiwa katika maneno mengi yaliyo ya siri, mazungumzo au mambo ya kikao… Katika hadithi iliyotangulia Mtume (s.a.w.w.) anatilia mkazo juu ya hatari ya kufichua siri na kueneza kila lile ambalo mtu hulipata vikaoni, huenda mu’mini akataja baadhi ya mambo kikaoni na wala hapendi yasemwe hayo katika kikao kingine…Kwa mantiki hiyo lolote lile alisikialo mtu kikaoni hugeuka kuwa ni amana ambayo wewe utaulizwa kwayo, aidha yakupasa kulichunga na kutolifanya hilo kuwa ndiyo mada ya mazungumzo popote utakapokuwa.Yapo mengi ambayo mu’mini hukuficha wewe ziwe habari zake, maoni yake n.k, na yapo ambayo huamua kukwambia wewe wala hamwambii mwingine asiyekuwa wewe kwa ajili ya kukuamini, basi ni juu yako uuthibitishe uaminifu huo kwa kulinda amana hiyo na kutoieneza kwa watu. Na aina mbaya ya hiyana ni kama lengo kuu la mtu kushiriki vikao vyovyote vile ni kufuatilia aibu na siri za watu na kisha kuzieneza kwa lengo la kuudhi, kupata umaarufu na kufanya hiyana. Kwa hivyo yampasa mu’mini kuzingatia mambo yafuatayo: Awe mwenye kuacha kutaja na kufichua siri kwa wengine, aidha ajiepushe kutumia vyombo vilivyowekwa ambavyo havilingani na hadhi ya mu’mini. Awe mwaminifu vikaoni, na yanapotajwa mambo mbali mbali ya siri mbele yake basi si vizuri kuzifichua siri hizo, ni juu yake asiziseme hata kama atatakiwa kufanya hivyo… 38


Adabu za Vikao na Mazungumzo

Ni aina gani ya miamala ambayo hulazimu kufichwa siri zake na kutofichuliwa?: Ni dhahiri shahiri kwamba yatupasa kujenga mazoea ya kuwa na maneno machache, na kuzizoesha nafsi kwalo, wala tusihamishe lile tulisikialo hata kama halina madhara yoyote kwa mhusika, lakini ni jambo bora zaidi kuhamisha mambo mema, mazuri na yenye faida ambayo huruhusiwa kuyahamisha na kuyapeleka sehemu nyingine wala mhusika hatoudhika kwayo…Imepokewa hadithi kutoka kwa Abu Abdillah Imam as-Sadiq (a.s) amesema:

‫المجالس باألمانة وليس ألحد أن يحدّث بحديث يكتمه‬ ‫صاحبه االّ باذنه اال أن يكون ثقة أو ذكرا له بخير‬ “Vikao ni amana, na haifai kwa yeyote kuzungumzia mambo ambayo mwenyewe huyaficha yawe ni ya ambayo kweli au yenye "Vikao ni mtu amana, na haifai kwa yeyoteisipokuwa kuzungumzia mambo 45 kumtaja yeye kwa heri.” mtu mwenyewe huyaficha isipokuwa yawe ni ya kweli au yenye kumtaja yeye kwa heri."1 JE! WATU HAWAWANAPASA KUSITIRIWA? Kuna baadhi ya mambo ya hatari sana ambayo Mwenyezi Mungu (a.j) hana radhi nayo na wala hataki yatendwe na kutokea kwa namna yoyote ile, mambo kama hayo haipasi kufichwa na kuzingatiwa kuwa ni amana ya kikao, hususani ufichaji siri huo ukiwa una lengo la kuhamasisha watu hao na husaidia katika kuwaendeleza wao katika matendo yao yenye kuleta madhara kwa watu.Vikao hivyo na vinavyofanana na hivyo ambavyo hutendwa humo mambo mabaya makubwa si haramu kuvifichua. Imepokewa hadithi kutoka kwaMtume (s.a.w.w.) amesema: 2 Uk. 660. ‫حرام‬Al-Kaafi ‫فيه دم‬Juz.‫سفك‬ ‫المجاس باألمانة االّ ثالث مجالس مجلس‬ 39 ‫أو مجلس استحل فيه‬ ‫فرج حرام او مجلس يستحل فيه مال‬ ‫حرام بغير حقه‬ 45


‫المجالس باألمانة وليس ألحد أن يحدّث بحديث يكتمه‬ za Vikao Mazungumzo ‫بخير‬Adabu ‫ذكرا له‬ ‫ثقة أو‬na‫يكون‬ ‫صاحبه االّ باذنه اال أن‬

JE! WATU HAWA "Vikao ni amana, na haifai kwa WANAPASA yeyote kuzungumzia mambo ambayo mtu mwenyewe huyaficha isipokuwa yawe ni ya kweli au yenye ­KUSITIRIWA? kumtaja yeye kwa heri."1

K

JE! WATU HAWAWANAPASA KUSITIRIWA?

una baadhi ya mambo ya hatari sana ambayo Mwenyezi Mungubaadhi (a.j) hana radhi nayo na wala kutokea Kuna ya mambo ya hatari sana hataki ambayoyatendwe MwenyezinaMungu kwa namna yoyote ile, mambo kama hayo haipasi kufichwa na kuz(a.j) hana radhi nayo na wala hataki yatendwe na kutokea kwa namna yoyote ile, mambo kamayahayo haipasi kufichwa na siri kuzingatiwa ingatiwa kuwa ni amana kikao, hususani ufichaji huo ukiwa kuwa ni amana ya kikao, hususani ufichaji siri huo ukiwa una lengo una lengo la kuhamasisha watu hao na husaidia katika kuwaendela kuhamasisha watu hao na husaidia katika kuwaendeleza wao leza wao katika matendo yao yenye kuleta madhara kwa watu.Vikao katika matendo yao yenye kuleta madhara kwa watu.Vikao hivyo na hivyo na vinavyofanana hivyo ambavyo humo mambo vinavyofanana na hivyo na ambavyo hutendwa hutendwa humo mambo mabaya mabaya makubwa haramu kuvifichua. makubwa si haramusikuvifichua. Imepokewa hadithi kutoka kwaMtume (s.a.w.w.) amesema:

Imepokewa hadithi kutoka kwaMtume (s.a.w.w.) amesema:

‫المجاس باألمانة االّ ثالث مجالس مجلس سفك فيه دم حرام‬ ‫أو مجلس استحل فيه فرج حرام او مجلس يستحل فيه مال‬ ‫حرام بغير حقه‬ “Vikao ni amana ila vikao vitatu, kikao ambacho kinahusiana na umwagaji wa damu au kinachohalalisha mambo ya haramu kama vile uzinzi au huhalalisha humo mali za haramu pasi na haki.”46

1

Al-Kaafi Juz. 2 Uk. 660.

42 katika vikao vivyo haimaanishi Lakini kutokuwepo uharamu mtu kusema kila alisikialo, ni juu yetu kutoa habari yenye maana, vile vile ambayo italeta faida ikielezwa, na kuwafanya watendaji waache kutenda hayo kwa upande mmoja, na kwa upande mwingine kuokoa haki na kuzuia uhalifu. 46

Wasaailus-Shi’a Juz. 8, Uk. 471. 40


"Vikao ni amana ila vikao vitatu, kikao ambacho kinahusiana na umwagaji wa damu au kinachohalalisha mambo ya haramu kama vile uzinzi au huhalalisha humo mali za haramu pasi na haki.”1 Adabu za Vikao na Mazungumzo Lakini kutokuwepo uharamu katika vikao vivyo haimaanishi mtu kusema kila alisikialo, ni juu yetu kutoa habari yenye maana, vile vileambayo italeta faida ikielezwa, na kuwafanya watendaji waache kutendahayo kwa upande mmoja, na kwa upande mwingine kuokoa hakina kuzuia uhalifu.

SEHEMU YA PILI

SEHEMU YA PILI ADABU ZA MAZUNGUMZO ADABU ZA MAZUNGUMZO ­MADHUMUNI YA MAZUNGUMZO MADHUMUNI YA MAZUNGUMZO

Imepokewa hadithi kutoka kwa Mtume (s.a.w.w.) amesema:

Imepokewa hadithi kutoka kwaMtume (s.a.w.w.) amesema:

‫الحج‬ ‫ال تنظروا الى كثرة صالتھم وصومھم وكثرة‬ ّ ‫والمعروف وطنطنتھم بالليل ولكن انظروا الى صدق الحديث‬ ‫وأداء األمانة‬ "Msiangaliewingi wingiwa waswala swala zao, zao, swaumu swaumu zao kuhiji, “Msiangalie zao na na kukithirisha kukithirisha kuhiji, kufanya mema na kuswali kwao swala za sunna za usiku, lakini kufanya mema na kuswali kwao swala za sunna za usiku, lakini anangalieni ukweli wa mazungumzo na utekelezaji wa amana." galieni ukweli wa mazungumzo na utekelezaji wa amana.” Mazungumzo yana malengo na adabu mbali mbali, kwa hivyo Mazungumzo malengo adabu mbali mbali, kwa hivyo kujuana baina ya yana watu ni haja ya na kijamii yenye kuendelea.Kukithiri kujuana baina ya watu haja ya kijamiimazungumzo yenye kuendelea. Kukithmalengo tofauti ya nibinadamukatika kunatokana

iri malengo tofauti ya binadamu katika mazungumzo kunatokana 1 Wasaailus-Shi’a 8, Uk. 471. mbali ambazo huambatana na hisia za na kukithiri kwaJuz. haja mbali 43 kibinadamu. Na pia uhusiano wa mtu huzidi kutokana na kukithiri mazungumzo, namna ambayo iwapo utafanywa uchunguzi utakuta kwamba mambo mengi ambayo hutendwa na mtu chanzo chake huwa ni maneno, hasa hasa ni njia yenye kutukuza kazi ambazo mtu huzitekeleza. Kwa mantiki hiyo sio ajabu kuona sheria inaweka uangalizi mkubwa kuhusu hukumu zake na adabu zake.

41


nakukithiri kwa haja mbali mbali ambazo huambatana na hisia za kibinadamu.Na piauhusiano wamtu huzidi kutokana na kukithiri mazungumzo, namna ambayo iwapo utafanywa uchunguzi utakuta Adabu za Vikao na Mazungumzo kwamba mambo mengi ambayo hutendwa na mtu chanzo chake huwa ni maneno, hasa hasa ni njia yenyekutukuza kazi ambazo mtu huzitekeleza. Kwa mantiki hiyomzungumzaji sio ajabu kuyachunga kuona sheria Ama mambo ambayo yampasa nainawekauangalizi mkubwa kuhusu hukumu zake na adabu zake. kuyazingatia katika mazungumzo yake ni kama yafuatayo: Ama mambo ambayo yampasa mzungumzaji kuyachunga nakuyazingatia katika mazungumzo yake ni kama yafuatayo: KUACHA MABISHANO: KUACHA MABISHANO: Mabishano ni mjadala ambao lengo lake sio kufikia katika ukweli, Mabishano ni mjadala lengo lake kufikia bali kuidhihirisha nafsi ambao na kuthibitisha rai sio yake kuwa katika ni zaidiukweli, kuliko bali kuidhihirisha nafsi na kuthibitisha raiyake kuwa ni zaidi kuliko ya mwingine, nayo yana athari mbaya duniani na Akhera, na hakika ya mwingine, nayo yana atharikwa mbaya duniani na Akhera, na hakika hadithi zilizopokewa kutoka Mtume (s.a.w.w.) na Ahlul-Bayt hadithi zilizopokewa kutoka kwa Mtume (s.a.w.w.) na Ahlul-Bayt (a.s) zimetilia mkazo mkubwa kutojiingiza katika mabishano hata (a.s) zimetilia mkazo mkubwa kutojiingiza katika mabishanohata ikiwa katika haki. Imepokewa hadithihadithi kutoka kutoka kwaMikiwa mhusika mhusikayupo yupo katika haki.Imepokewa tume (s.a.w.w.) kuwa amesema: kwaMtume (s.a.w.w.) kuwa amesema:

‫أورع النّاس من ترك المراء وان كان محقّا‬ “MchajiMungu Mungu zaidi kati watu yule ni yule mwenye kuacha mabis"Mchaji zaidi kati yaya watuni mwenye kuacha mabishano 1 47 hano kama akiwa yu katika haki.” hata kama akiwa yuhata katika haki."

Amiirul-Mu’miniina Ali Talib(a.s) (a.s) amemwelezea amemwelezea Na Na Amiirul-Mu’miniinaAli bin bin AbiAbiTalib mwenye kubishana kwa sifa mbaya. mbaya. Imepokewa mwenye Imepokewa hadithi hadithikutoka kutokakwa kwa Imam Ali (a.s) kuwa amesema: Imam Ali (a.s) kuwa amesema:

‫فأما صاحب المراء والجھل تراه مؤذيا مماريا للرجل في‬ ‫وتخلى عن الورع‬ ‫أندية المقال وقد تسربل بالت‬ Man la Yahdhuruhul-Faqiih Juz. ‫خشع‬ 4 Uk. 395.

1

44 "Ama mbishani na na mjinga utamuona ni mwenye kuudhi na mwenye “Ama mbishani mjinga utamuona ni mwenye kuudhi na mwenye kuwabishiawatu katika kupendezesha mazungumzo,na huenda kuwabishia watu katika kupendezesha mazungumzo, na huenda aka1 akadhihirisha unyenyekevu na kukosana uchamungu." dhihirisha unyenyekevu kukosa uchamungu.”48 47

Man la Yahdhuruhul-Faqiih Juz. 4 Uk. 395.

Miongoni mwa athari za mbishinikukosatabia nzuri na kupenda 48 Al-KhiswalUk. 194. umimina ubinafsi.Kwa mtu mu’mini haina maana yoyote yeye kuanza kujadilianana mtu asiyekubali haki wala ukweli.La hasha! ila 42 akiwa anapenda kuthibitisha uhodari wa nafsi na kuwa yeye ndiyebingwakwa kudhihirisha ushindi kwa wengine, na yasiyokuwa hayo miongoni mwa mambo ya kishetani ambayo Ibilis huyatumia kuitoa imani ya mu’mini moyoni na kuingiza ushetani moyoni


Adabu za Vikao na Mazungumzo

Miongoni mwa athari za mbishi ni kukosa tabia nzuri na kupenda umimi na ubinafsi. Kwa mtu mu’mini haina maana yoyote yeye kuanza kujadiliana na mtu asiyekubali haki wala ukweli. La hasha! ila akiwa anapenda kuthibitisha uhodari wa nafsi na kuwa yeye ndiye bingwa kwa kudhihirisha ushindi kwa wengine, na yasiyokuwa hayo miongoni mwa mambo ya kishetani ambayo Ibilis huyatumia kuitoa imani ya mu’mini moyoni na kuingiza ushetani moyoni mwake.

KUSENGENYA NA KUSINGIZIA: Miongoni mwa magonjwa hatari yaliyopo katika jamii mbali mbali ni kusema mambo ya watu na kutaja aibu zao, pia kuwa na kimbelembele katika kutumia vikao kwa kuleta fedheha kwa yale yaliyofichika, kana kwamba kikao hakiwi bila ya kutaja aibu za watu, kuwataabisha hao na kuhamisha habari mbaya hali ya kuwa wenyewe hawapo, na kitendo hicho ndicho huitwa usengenyaji. Na kusengenya ni miongoni mwa madhambi makubwa ambayo Mwenyezi Mungu (a.j) ameahidi kwayo adhabu ya moto. Zimepokewa hadithi chungu nzima zenye kuharamisha usengenyaji pamoja na kuhadharisha jambo hilo. Imepokewa hadithi kutoka kwa Mtume (s.a.w.w.) amesema:

‫ ايّاك والغيبة فانّ الغيبة أش ّد من ال ّزنا‬: ‫يا أبا ذ ّر‬ "Ewe Abu Dharri! Jiepushe na na usengenyaji, kwani usengenyaji ni ni “Ewe Abu Dharri! Jiepushe usengenyaji, kwani usengenyaji 1 jambo baya zaidi kuliko zinaa.” 49 jambo baya zaidi kuliko zinaa.” Na imepokewa hadithi kutoka kwaImam Ali (a.s) kuwa amesema: 49

Mizanul-Hikma. Hadithi 15502.

‫الغيبة جھد العاجزالغيبة آية المنافق الغيبة شراالفك‬ 43

"Usengenyaji ni juhudi za mshindwaji, kusengenya ni alama ya unafiki, na usengenyaji ni uongo mbaya."2


‫ ايّاك والغيبة فانّ الغيبة أش ّد من ال ّزنا‬: ‫يا أبا ذ ّر‬ Adabu za Vikao na Mazungumzo

"Ewe Abu Dharri! Jiepushe na usengenyaji, kwani usengenyaji ni ‫من ال ّز‬ ‫أش ّد‬ ‫الغيبة‬ ّ‫فان‬1 ‫ ايّاك والغيبة‬: ‫يا أبا ذ ّر‬ jambo‫نا‬baya zaidi kuliko zinaa.”

Na imepokewa hadithi kutoka kwa Imam Ali (a.s) kuwa amese-

"Ewe Abu Dharri! Jiepushe na kwaImam usengenyaji, kwanikuwa usengenyaji Na imepokewa hadithi kutoka Ali (a.s) amesema:ni ma: 1 jambo baya zaidi kuliko zinaa.”

‫شراالفك‬hadithi ‫لغيبة‬kutoka ‫المنافق ا‬ ‫الغيبة آية‬ ‫العاجز‬ ‫الغيبة‬ Na imepokewa kwaImam Ali (a.s) kuwa‫جھد‬ amesema: "Usengenyaji ni juhudi za mshindwaji, kusengenya ni alama ya 2 ‫شراالفك‬ ‫لغيبة‬ ‫المنافق ا‬ ‫آية‬mbaya." ‫الغيبة‬kusengenya ‫العاجز‬ ‫جھد‬ni ‫الغيبة‬ “Usengenyaji ni juhudi za mshindwaji, alama ya ununafiki, na usengenyaji ni uongo afiki, na usengenyaji ni uongo mbaya.”50 "Usengenyaji juhudi za mshindwaji, kusengenya ni alama yana Kwa hivyo nikitu cha kwanza ambacho yapaswa kuzingatiwa 2 unafiki, na usengenyaji ni uongo mbaya." kutiliwa umuhimu ni tujiepushena usengenyaji vikaoni mwetu, nana Kwa hivyo kitu cha kwanza ambacho yapaswa kuzingatiwa mbadala wa hilo ni kutaja mambo ya heri na mazuri ya watu badalana kutiliwa umuhimu ni tujiepushe na usengenyaji vikaoni mwetu, Kwa hivyo aibu kitu zao.Vile cha kwanza ambachomkaaji yapaswa kuzingatiwa nana ya kutaja vile yampasa wa kikao ajiepushe mbadala wa hilo ni kutaja mambo ya heri na mazuri ya watu badala kutiliwa umuhimu ni tujiepushena usengenyaji na kusingizia, kwa hakika hilo ni jambo baya zaidivikaoni kuliko mwetu, usengenyaji, ya kutaja aibu zao.Vile yampasa mkaaji wawatu kikao ajiepushe mbadala wa hilo ni hujumuisha kutajavile mambo ya heri na mazuri ya na watu badala na kwa sababu hilo uongo, kuwazulia kuwazushia yawengine kutaja aibu zao.Vile vile wa kikao ajiepushe na kusingizia, kwa hakika wasiyoyatenda.Imepokewa hilo yampasa ni jambomkaaji baya zaidi kuliko usengenyaji, mambo hadithi kutoka kusingizia, kwa hakika hilo ni jambo baya zaidi kuliko usengenyaji, kwaMtume (s.a.w.w.) amesema: kwa sababu hilo hujumuisha uongo, kuwazulia watu na kuwazushia kwa sababu hilo hujumuisha uongo, kuwazulia watu na kutoka kuwazushia wengine mambo wasiyoyatenda. Imepokewa hadithi kwaMwengine mambo wasiyoyatenda.Imepokewa hadithi kutoka tume (s.a.w.w.) amesema: ‫أقامه ﷲ‬ ‫ليس فيه‬ ‫من بھت مؤمنا أو مؤمنة أو قال فيه ما‬ kwaMtume (s.a.w.w.) amesema:

‫تعالى يوم القيامة على تل من نار حتى يخرج م ّما قاله فيه‬ ‫من بھت مؤمنا أو مؤمنة أو قال فيه ما ليس فيه أقامه ﷲ‬ ‫تعالى يوم القيامة على تل من نار حتى يخرج م ّما قاله فيه‬ “Mwenye kumsingizia mu’mini wa kiume na mu’mini wa kike, au 1 Mizanul-Hikma. 15502. nalo, Mwenyezi Mungu atamsimamisha akasema ambaloHadithi asilokuwa 2 Mizanul-Hikma. 15464-15465-15466. mtu huyo SikuHadithi ya Kiyama juu ya jabali la moto hadi amvue yale 46kwake.”51 aliyoyasema 1 Mizanul-Hikma. Hadithi 15502. Mizanul-Hikma. Hadithi 15464-15465-15466.

2

Kwa hivyo ni wajibu kwa mtu 46 mu’mini kuchunga maneno ambayo hutoka kinywani mwake, kwani ataulizwa Siku ya Kiyama kwayo. 50 51

Mizanul-Hikma. Hadithi 15464-15465-15466. Mizanul-Hikma. Hadithi 1991. 44


Adabu za Vikao na Mazungumzo

KUSEMA KWELI: Hakika uongo ni miongoni mwa maafa hatari ambayo jamii ya kibinadamu ipo katika majaribu yake, nalo ni miongoni mwa magonjwa yaliyoenea kwa sababu ya wapesi wake, kwa hivyo yatosha kuuchezesha ulimi bila ya haki na kutegemea nguvu ya tahayuli, aidha inakuwa ni ada iliyoota mizizi kwa mtu baada ya kupita muda na hatimaye inakuwa ni vigumu kwake kujinasua kwayo. Na kuanzia hapo Uislamu ukatilia umuhimu, ukaharamisha na kuhimiza kujiepusha na jambo hilo. Halikadhalika ukafanya kusema kweli kuwa ni alama miongoni mwa alama za mu’mini. Imepokewa hadithi kutoka kwa Mtume (s.a.w.w.) kuwa amesema:

‫ﻻ ﺗﻨﻈﺮوا اﻟﻰ آﺜﺮة ﺻﻼﺗﻬﻢ و ﺻﻮﻣﻬﻢ وآﺜﺮة اﻟﺤﺞ‬ ‫واﻟﻤﻌﺮوف وﻃﻨﻄﻨﺘﻬﻢ ﺑﺎﻟﻠﻴﻞ وﻟﻜﻦ اﻥﻈﺮوا اﻟﻰ ﺻﺪق‬ ‫اﻟﺤﺪﻱﺚ وأداءاﻷﻣﺎﻥﺔ‬ “Msiangalie wingi wa swala zao, swaumu zao na kuhiji sana, kufanya mema na kuswali kwao swala za sunna za usiku, lakini angalieni ukweli wa mazungumzo na utekelezaji wa amana.”52

Kwa mantiki hiyo kitu cha mwanzo juu yako kukifanya wakati wa kuzungumza ni kudhibiti ulimi huu mdogo na kuuzuia kufanya utakavyo na hatimaye kukufanya useme uongo!

52

Mizanul-Hikma. Hadithi 10195. 45


Adabu za Vikao na Mazungumzo

Kwa mantiki hiyo kitu cha mwanzo juu yako kukifanya wakati wa kuzungumza ni kudhibiti ulimi huu mdogo na kuuzuia kufanya KUACHA UPUUZI: utakavyo na hatimaye kukufanya useme uongo!

Upuuzi ni mazungumzo KUACHA UPUUZI: katika mambo yasiyokuwa na manufaa kidini na kidunia, kujishughulisha na mambo yasiyo na faida, pia mtu kupoteza kubwa katika na tija.naKwa hakika Upuuzi juhudi ni mazungumzo katikamambo mamboyasiyo yasiyokuwa manufaa kidini na kidunia, kujishughulisha na mambo yasiyo na faida, mu’mini yuko mbali na upuuzi na uzembe, yeye ni mwenyepia kumtu kupoteza juhudi kubwa katika mambo yasiyo na tija.Kwa hakika jishughulisha na mambo yenye manufaa, basi yeye daima kupitia mu’mini yuko mbali na upuuzi na uzembe, yeye ni mwenye ulimi wake hutafuta mambo ya msingi na yenye manufaa, kwani kujishughulisha na mambo yenye manufaa, basi yeye daima kupitia humfanya yeye awe mwenye zaidi na na mwenye kujikurubisha ulimi wake hutafuta mambo kujali ya msingi yenye manufaa,kwani kwa Mwenyezi (a.j). Mwenyezi (a.j) katika kuwasifu humfanya yeyeMungu awe mwenye kujali zaidiMungu na mwenye kujikurubisha kwa Mwenyezi Mungu (a.j).Mwenyezi Mungu (a.j) katika kuwasifu waumini anasema: waumini anasema:

t⎦⎪Ï‫ُﻮ‬ %‫ﺿ‬ ©!$#uρöΝ َ‫ن‬ ِ‫ﺮ‬èδ‫ُﻣ ْﻌ‬Ç⎯tãِ‫ﻮ‬Èθ‫ ْﻐ‬øó‫ﻟ=¯ﻠﱠ‬9$‫ا‬#šχ ِ‫ ﻋَﻦ‬θà‫ ْﻢ‬Ê ‫ ُه‬Ìَ‫÷ﻦ‬è‫ِﻳ‬ãΒ‫∪⊂∩ﺬ‬ ‫وَاﻟﱠ‬ “Na ambao hujiepusha na mambo ya upuuzi.” (23:3). "Na hujiepusha mambo ya upuuzi."(23:3). Naambao mazungumzo boranazaidi ni yale ambayo humfanya mtu am-

kumbuke Mwenyezi bora Munguzaidini na Akhera humlingania yeye katika Na mazungumzo yale naambayo humfanya mtu mambo matukufu. Imepokewa hadithi kutoka kwa Imam (a.s) amkumbuke Mwenyezi Mungu na Akhera na humlinganiaAliyeye kuwa amesema: katika mambo matukufu.Imepokewa hadithi kutoka kwaImam Ali (a.s) kuwa amesema:

‫ك ّل قول ليس � فيه ذكر فلغو‬ "Kauli yoyote ile ambayo hatajwi humo Mwenyezi Mungu ni “Kauli 1 yoyote ile ambayo hatajwi humo Mwenyezi Mungu ni upuuzi." upuuzi.”53 1

53

. Miizanul-Hikma. Hadithi 18247.

48

Miizanul-Hikma. Hadithi 18247. 46


Adabu za Vikao na Mazungumzo

KUACHA KUZUNGUMZA SANA: KUACHA KUZUNGUMZA SANA:

Nayo ni kutokana na sababu ambazo humfanya ajione na kujivuna, na tabia ya kujiona ni miongoni yale mambo hufichua Nayo ni kutokana na sababu ambazomwa humfanya ajionenaambayo kujivuna,na tabia ya kujiona ni miongoni mwa yale mambo ambayo hufichua shakhsia yake, kwani ambaye hajizuii kuzungumza, kusema na yasishakhsia kwani ambaye hajizuii kuzungumza, kusema na huyokuwa yake, hayo, huenda akawa yeye ni mwenye kujiona, ambapo yasiyokuwa hayo, huenda akawa yeye ni mwenye kujiona, ambapo penda kuidhihirisha nafsi yake na elimu zake kwa wengine, zaidi hupenda kuidhihirisha nafsi yakena elimu zake kwa wengine, zaidi ya hapo hapohuvunja huvunjaheshima heshimaza za wengine kujifanya anatoa nafasi ya wengine na na kujifanya anatoa nafasi mbeleyao yaoiliiliawashirikishe awashirikishe kuziheshimu mbele na na kuziheshimu hakihaki zao zao kwakwa njia njia ya ya maneno.Vivyohivyo hivyohakika hakika kusema sana huenda kukamsababisha maneno.Vivyo kusema sana huenda kukamsababisha mzungumzaji kuwa hatambui. hatambui.Ama mzungumzajikufanya kufanyaharamu haramuhali hali ya ya kuwa Ama mtu mtu kukupupia kusikiliza mengi yanayosemwa humfanya kuwa mtulivuna pupia kusikiliza mengi yanayosemwa humfanya kuwa mtulivu na mnyenyekevu, na makosa yake huwa machache na hufaidika mnyenyekevu, na makosa yake huwa machache na hufaidika zaidi. zaidi.Imepokewa hadithi kutoka kwa Mtume (s.a.w.w.)kuwa Imepokewa hadithi kutoka kwa Mtume (s.a.w.w.)kuwa amesema: amesema:

‫ ال تكوننّ مكثارا بالنّطق‬:( ‫من وصايا الخضر لموسى )ع‬ ‫مھذارا فانّ كثرة النّطق تثين العلماء وتبدوى مساوئ‬ ‫سخفاء‬ ّ ‫ال‬ “Miongoni mwa usia Hidhri kwa Nabii Musa (a.s.) alimwambia: "Miongoni mwa usia wawa Hidhri kwa Nabii Musa (a.s.) alimwambia: Usiwe mwenye kuzungumza sana mwenye kubwabwaja, kwani Usiwe mwenye kuzungumza sana na na mwenye kubwabwaja, kwani kuzungumza sana huwachukiza wanazuoni na hudhihirisha kuzungumza sana huwachukiza wanazuoni na hudhihirisha maovumaovu ya 54 1 ya wapumbavu.” wapumbavu."

AINA ZA UZUNGUMZAJI Imepokewa hadithi kutoka kwaMtume (s.a.w.w.) kuwa amesema: 1

. Miizanul-Hikma Juz. 8, uk. 439. 54

Miizanul-Hikma Juz. 8, uk. 439.

49 47


Adabu za Vikao na Mazungumzo

AINA ZA UZUNGUMZAJI Imepokewa hadithi kutoka kwa Mtume (s.a.w.w.) kuwa amesema:

‫أذ ّل النّاس من أھان النّاس‬ "Dhalili zaidi kati ya watu ni yule ambaye anawadhalilisha watu."1 55 “Dhalili zaidi kati ya watu ni yule ambaye anawadhalilisha watu.” KUJIEPUSHA KUUDHI: ‫أذل النّاس من أھان النّاس‬ Miongoni mwa haki msingi ya mu’mini kwaّ nduguye mu’mini ni kutomuudhi, aidhaKUJIEPUSHA ni wajibu kwake kuacha kumuudhi yeye kwa KUUDHI: "Dhalili zaidi kati ya watu yule anawadhalilisha watu."1 ni maneno na kujiepusha na ni kila lileambaye ambalolitamvunjia heshima… haramu kumtukuna, kunyanyua sauti yenye kumuudhi, kumsengenya Miongoni mwaKUUDHI: haki msingi ya mu’mini kwa nduguye mu’mini ni KUJIEPUSHA nakutomuudhi, kumteta yeye, na kusambaza siri zake, kwa hakika mambo yotemaaidha ni wajibuyakwake kuacha kumuudhi yeye kwa Miongoni mwa haki msingi mu’mini kwa nduguye mu’mini ni hayo ni miongoni mwa madhambi makubwa ambayo yakitendwa neno na kujiepusha na kila lile ambalo litamvunjia heshima… ni kutomuudhi, aidha ni wajibu kwake kuacha kumuudhi yeye bure kwaharhuwa ni sababu ya kuangamiza nafsi ya mhusika na kupoteza maneno na kujiepusha kila lile ambalolitamvunjia ni amunakumtukana, kunyanyua sauti yenye kumuudhi,heshima… kumsengenya mali, kuenea uadui nanachuki. haramu kumtukuna, kunyanyua sauti yenye kumuudhi, kumsengenya na kumteta yeye, na kusambaza siri zake, kwa hakika mambo yote na kumteta yeye, na mwa kusambaza siri zake, kwa hakika yote hayo ni miongoni madhambi makubwa ambayo yakitendwa Mtume (s.a.w.w.) amemkemea vikali yulemambo ambaye hayo ni miongoni mwa madhambi makubwa ambayo yakitendwa huwadhalilishawatu hupata maudhi kutoka kwake.Imepokewa huwa ni sababu ya na kuangamiza nafsi ya mhusika na kupoteza bure huwa nikutoka sababukwaMtume ya kuangamiza nafsikuwa ya mhusika na kupoteza bure hadithi (s.a.w.w.) amesema: mali,nanakuenea kuenea uadui chuki. mali, uadui na na chuki. Mtume (s.a.w.w.) amemkemea vikali yule ambaye huwadhaliliّ‫الن‬amemkemea ّ‫ن‬vikali Mtume ambayekusha watu (s.a.w.w.) na hupata kwake. ‫اس‬maudhi ‫أھان‬kutoka ‫اس من‬ ‫ ّل ال‬Imepokewa ‫ أذ‬yule hadithi huwadhalilishawatu na hupata maudhi kutoka kwake.Imepokewa toka kwa Mtume (s.a.w.w.) kuwa amesema: hadithi kwaMtume (s.a.w.w.) kuwaanawadhalilisha amesema: "Dhalilikutoka zaidi kati ya watu ni yule ambaye watu."2 Vile vile imepokewa kutoka ‫النّاس‬hadithi ‫من أھان‬ ‫النّاس‬kwake ‫( أذ ّل‬s.a.w.w.) kuwa amesema: "Dhalili zaidi kati ya watu ni yule ambaye anawadhalilisha watu."2 56 “Dhalili zaidi kati ya watu ni yule ambaye anawadhalilisha watu.”

‫من آذى مؤمنا فقد آذاني‬

55 Vile vile imepokewa hadithi kutoka kwake (s.a.w.w.) kuwa Miizanul-Hikma. Hadithi 453. 56 Miizanul-Hikma. Hadithi 453. amesema: "Mwenye kumuudhi mu’mini kwa hakika ameniudhi mimi."1

1 2

48

‫من آذى مؤمنا فقد آذاني‬

. Miizanul-Hikma. Hadithi 453. . Miizanul-Hikma. Hadithi 453.

50 "Mwenye kumuudhi mu’mini kwa hakika ameniudhi mimi."1


Adabu za Vikao na Mazungumzo

Vile vile imepokewa hadithi kutoka kwake (s.a.w.w.) kuwa amesema:

‫ﻣﻦ ﺁذى ﻣﺆﻣﻨﺎ ﻓﻘﺪ ﺁذاﻥﻲ‬ “Mwenye kumuudhi mu’mini kwa hakika ameniudhi mimi.”57

َ‫ن أَ ْﻥﻜَﺮ‬ ‫إِ ﱠ‬KUTONYANYUA َ‫ﻦ ﺹَ ْﻮﺗِﻚ‬ ْ ِ‫ﺾ ﻣ‬ ْ ‫ﻀ‬ ُ ‫ﻏ‬ ْ SAUTI: ‫ﺸﻴِﻚَ وَا‬ ْ َ‫وَا ْﻗﺼِ ْﺪ ﻓِﻲ ﻣ‬ ِ‫ت ا ْﻟﺤَﻤِﻴﺮ‬ ُ ‫ﺹﻮَاتِ ﻟَﺼَ ْﻮ‬ ْ َ‫ا ْﻟﺄ‬ Kunyanyua sauti mbele ya wengine ni miongoni mwa tabia mbaya

na yenye kuchukiza, na pia kutonyanyua sauti kwa hali ambayo humfanya mhudhuriaji anyoshe shingo yake ili kusikiliza sauti, hayo ni katika yale mambo ambayo humkera na kumuudhi yule anayeambiwa, hususan ikiwa ni kikao cha hadhara kubwa, kwani anapoanza kuzungumza kila mhudhuriaji humsikiliza yeye, halikadhalika kitendo hicho hupelekea kufanywa mambo yasiyohusu kama vile kujishughulisha na mazungumzo ya mwingine n.k. Mwenyezi Mungu (a.j) katika Kitabu chake kupitia ulimi wa Luqman Mwenye hikimaanasema:

‫ﻣﻦ ﺁذى ﻣﺆﻣﻨﺎ ﻓﻘﺪ ﺁذاﻥﻲ‬

َ‫ﻦ ﺹَ ْﻮﺗِﻚَ إِنﱠ أَ ْﻥﻜَﺮ‬ ْ ِ‫ﺾ ﻣ‬ ْ ‫ﻀ‬ ُ ‫ﻏ‬ ْ ‫ﺸﻴِﻚَ وَا‬ ْ َ‫وَا ْﻗﺼِ ْﺪ ﻓِﻲ ﻣ‬ ِ‫ت ا ْﻟﺤَﻤِﻴﺮ‬ ُ ‫ﺹﻮَاتِ ﻟَﺼَ ْﻮ‬ ْ َ‫ا ْﻟﺄ‬ “Na ushike mwendo wa katikati, na uteremshe sauti yako, bila shaka sauti ya punda ni mbaya kuliko sauti zote.” (31:19). 57

Miizanul-Hikma. Hadithi 454. 49


Adabu za Vikao na Mazungumzo

MASHARTI YA MZAHA: Mzaha ni jambo la muhimu ambalo ni vyema kulitambua, kujua vipengele vyake na mipaka yake, kwani kuna mambo mengi ambayo husababisha maudhi na uovu kwa wengine kwa sababu ya mzaha. Inalazimu kuacha kuzidisha mzaha na kuacha kucheka sana, kwani hayo na yanayofanana na hayo huondoa haiba na murua na huwasababisha wengine kufanya mambo ya haramu, kwani huenda hayo yakalazimu kuleta maudhi kwa upande mwingine kimaneno au kivitendo, jambo ambalo huenda likasababisha kutokea ugomvi, uadui na hata kifo. Imepokewa hadithi kutoka kwa Imam Ali (a.s.) kuwa amesema:

‫آﺜﺮة اﻟﻤﺰاح ﺗﺴﻘﻂ اﻟﻬﻴﺒﺔ‬ “Kukithirisha mzaha kunaondoa haiba.”58

‫آﺜﺮة اﻟﻤﺰاح ﺗﺴﻘﻂ اﻟﻬﻴﺒﺔ‬ ‫اﻟﻤﺰاح ﺧﺮق‬ ‫اﻻﻓﺮاط ﻓﻲ‬ Vile vile imepokewa hadithi kutoka kwake (a.s.) kuwa amesema: ‫اﻻﻓﺮاط ﻓﻲ اﻟﻤﺰاح ﺧﺮق‬ “Kukithirisha mizaha ni upumbavu.”59

Hayo mawili yanaweza kusababishwa na mzaha, nalo ni jambo ambalo hutokea mara nyingi katika nyanja tofauti na kupitia matendo maalum. Na imepokewa hadithi ikikataza kukithirisha jambo hilo au ikitoa tahadhari juu ya hilo. Imepokewa hadithi kutoka kwa Imam Ja’far as-Sadiq (a.s.) kuwa amesema: 58 59

Miizanul-Hikma. Hadithi Hadithi 18892. Miizanul-Hikma Juz..9, Uk. 144. 50


"Kukithirisha mizaha ni upumbavu."2 Hayo mawili yanaweza kusababishwa na mzaha, nalo ni jambo ambalo hutokea mara nyingi katika nyanja tofauti na kupitia matendo maalum.Na imepokewa hadithi ikikataza kukithirisha jambo hilo au Adabu za Vikao na Mazungumzo ikitoa tahadhari juu ya hilo.Imepokewa hadithi kutoka kwaImam Ja’far as-Sadiq (a.s.) kuwa amesema:

‫ضغينة وھو‬ ّ ‫سخيمة و يورث ال‬ ّ ‫ايّاكم والمزاح فانّه يج ّر ال‬ ‫ب األصغر‬ ّ ‫س‬ ّ ‫ال‬ “Jiepusheni na mzaha! kwani mzaha uchafuzi na inasababi"Jiepusheni na mzaha!kwani mzaha huletahuleta uchafuzi na inasababisha 3 sha chuki nalo ni tusi dogo.”60 chuki nalo ni tusi dogo."

sahihi kwamba miongoni mambo ya wajibu kule Ni sahihi kwambamiongoni mwa mambo ya ni NiNi sahihi kwambamiongoni mwa mwa mambo ya wajibu wajibu ni kule kulenimtu mtu kuingiza furaha moyoni mwa nduguye mu’mini, anahaki haki kuingiza furaha moyoni mwa nduguye mu’mini, bali ana kuingiza furaha moyoni mwa nduguye mu’mini, balibali ana haki . mtu Miizanul-Hikma. Hadithi Hadithi 18892. 2 . nyingine Miizanul-Hikma Juz..9, Uk. 144. nyingine nayoni asimuudhi kupitia utani na mzaha huo, na hayo nayo ni asimuudhi kupitia utani na mzaha huo, na hayo nyingine nayoni asimuudhi kupitia utani na mzaha huo, na hayo 3 . Miizanul-Hikma. Hadithi 18872.waumini hutokea sana kwa vijana hutokeasana sanakwa kwavijana vijana waumini na na wengineo, wengineo, kwa kwa namna ambayo hutokea waumini na wengineo, kwanamna namnaambayo ambayo 52 wanapitiliza kiwango kuhusu jambo hilo, na hatimaye kuwa wanapitiliza kiwango kuhusu jambo hilo, na hatimaye wanapitiliza kiwango kuhusu jambo hilo, na hatimaye kuwakuwa mionmiongoni mwa mambo ambayo yanawasababisha kufanya maasi miongoni mwa mambo ambayo yanawasababisha kufanya maasi na na goni mwamengine mamboya ambayo yanawasababisha kufanya maasi na kukutenda kutenda mengine ya haramu. haramu. 1

tenda mengine ya haramu.

Kwa hivyo inalazimu mzaha na uwe na na ya Kwa hivyo inalazimu mzaha na utani utani uweuwe na mipaka mipaka na ndani ndani ya Kwa hivyo inalazimu mzaha na utani na mipaka na ndani miko ya kisheria, kwani hakika hilo limetiliwa uzito na miko ya kisheria, kwani hakika hilo limetiliwa uzito na yasheria.Imepokewa miko ya kisheria,hadithi kwani kutoka hakika hilo limetiliwa uzito na kuwa sheria. sheria.Imepokewa hadithi kutoka kwaMtume kwaMtume (s.a.w.w.) (s.a.w.w.) kuwa Imepokewa amesema: amesema: hadithi kutoka kwa Mtume (s.a.w.w.) kuwa amesema:

‫أقول ااالّالّ ححقّقّاا‬ ‫وال أقول‬ ‫ألمزح وال‬ ‫اانّنّيي ألمزح‬ 11 61 "Mimi nafanya mzaha “Mimi lakini isipokuwahaki." haki.” "Miminafanya nafanyamzaha mzaha lakini lakini sisemi sisemi isipokuwa isipokuwa haki."

Vile kutoka kwaMtume(s.a.w.w.) Vile vile imepokewa hadithi kutoka kutoka kwa kwaMtume(s.a.w.w.) Vile vile vile imepokewa imepokewa hadithi hadithi Mtume(s.a.w.w.) kwambaamesema: kwambaamesema: kwamba amesema:

‫غضب‬ ‫قطب غضب‬ ‫والمنافق قطب‬ ‫لعب والمنافق‬ ‫دعب لعب‬ ‫المؤمن دعب‬ ‫المؤمن‬ 22 62 "Mu’mini hupenda mzaha na ni cha "Mu’mini hupenda mzaha na mnafiki mnafiki ni kituo kituo cha ghadhabu." ghadhabu." “Mu’mini hupenda mzaha na mnafiki ni kituo cha ghadhabu.” 60 61 62

Miizanul-Hikma. 18872. Na hadithi kutoka Na imepokewa imepokewaHadithi hadithi kutoka kwaImam kwaImam Ali Ali (a.s.) (a.s.) kuwa kuwa amesema: amesema: Miizanul-Hikma Juz. 9, Uk. 140. Miizanul-Hikma Juz. 9, Uk. 140.

‫سرورا‬ ‫قلبا سرورا‬ ‫أودع قلبا‬ ‫أحد أودع‬ ‫من أحد‬ ‫ما من‬ ‫األصوات ما‬ ‫سمعه األصوات‬ ‫وسع سمعه‬ ‫فوالذي وسع‬ ‫فوالذي‬ 51 ‫نائبة‬ ‫به نائبة‬ ‫نزلت به‬ ‫فاذا نزلت‬ ‫لطفا فاذا‬ ‫السرور لطفا‬ ‫ذلك السرور‬ ‫من ذلك‬ ‫له من‬ ‫ﷲ له‬ ‫وخلق ﷲ‬ ‫ااالّالّ ّ ّ وخلق‬

11 .. Miizanul-Hikma Miizanul-HikmaJuz. Juz.9, 9,Uk. Uk.140. 140. 22

.. Miizanul-Hikma Miizanul-HikmaJuz. Juz.9, 9,Uk. Uk.140. 140.


Adabu za Vikao na Mazungumzo

Na imepokewa hadithi kutoka kwa Imam Ali (a.s.) kuwa a­ mesema:

‫فوالذي وسع سمعه األصوات ما من أحد أودع قلبا سرورا‬ ‫االّ ّ وخلق ﷲ له من ذلك السرور لطفا فاذا نزلت به نائبة‬ ‫جرى اليه كالماء في انحداره حتى يردھا عنه كما تطرد‬ ‫غريبة األبل‬ “Naapa kwa yule ambaye ameyapa masikio yake nafasi za sauti, hakuna yeyote aliyeingiza moyoni furaha isipokuwa Mwenyezi Mungu atamuumbia yeye kutokana na hiyo furaha upole, na anapofikwa na janga litatoweka hilo mfano wa maji yanavyoteremka kutoka juu ya mwinuko hadi chini, na kama vile anavyofukuzwa ngamia mgeni.”63

Kwa mantiki hiyo Uislamu umezingatia sana suala la kuingiza furaha katika nyoyo za wengine, na kuwa ni haki miongoni mwa haki za kitabia zinazomlazimu mu’mini kumwelekezea ndugu yake, kwa namna ambayo umehimiza hilo kwa dharura ya hali ya juu, kwa lengo la kushibisha upendo upande wa pili, ili mahusiano yaendelee kudumu zaidi na zaidi. Na mwisho wa dua yetu ni kumwomba Mwenyezi Mungu tawfiq ya kutimiza wajibu, haki na adabu wakati wa mazungumzo.

63

Miizanul-Hikma Juz. 4, Uk. 438. 52


Adabu za Vikao na Mazungumzo

ORODHA YA VITABU VILIVYO ­CHAPISHWA NA AL-ITRAH FOUNDATION 1.

Qur’an Al-Kariim - Tafsir Al-Kashif Juzuu ya kwanza mpaka Thelathini

2.

Uharamisho wa Riba

3.

Uharamisho wa uwongo Juzuu ya Kwanza

4.

Uharamisho wa uwongo Juzuu ya Pili

5.

Hekaya za Bahlul

6.

Muhanga wa Imamu Husein (A.S.)

7.

Mikingamo iliyomzunguka Imamu Ali (A.S.)

8.

Hijab vazi Bora

9.

Ukweli wa Shia Ithnaashariyyah

10. Madhambi Makuu 11. Mbingu imenikirimu 12. Abdallah Ibn Saba 13. Khadijatul Kubra 14. Utumwa 15. Umakini katika Swala 16. Misingi ya Maarifa 53


Adabu za Vikao na Mazungumzo

17. Kanuni za Ndoa na maadili ya Familia 18. Bilal wa Afrika 19. Abudharr 20. Usahihi wa Historia ya Uislamu na Waislamu 21. Salman Farsi 22. Ammar Yasir 23. Qur’an na Hadithi 24. Elimu ya Nafsi 25. Yajue Madhehebu ya Shia 26. Ukusanyaji na Uhifadhi wa Qur’an Tukufu 27. Al-Wahda 28. Ponyo kutoka katika Qur’an. 29. Uislamu mfumo kamili wa maisha ya kijamii 30. Mashukio ya Akhera 31. Al Amali 32. Dua Indal Ahlul Bayt 33. Udhuu kwa mujibu wa Kitabu na Sunna 34. Haki za wanawake katika Uislamu 35. Mwenyeezi Mungu na sifa zake 36. Kumswalia Mtume (s) 37. Nafasi za Ahlul Bayt (a.s) 38. Adhana 54


Adabu za Vikao na Mazungumzo

39

Upendo katika Ukristo na Uislamu

40. Tiba ya Maradhi ya Kimaadili 41. Maana ya laana na kutukana katika Qur’ani Tukufu 42. Kupaka juu ya khofu 43. Kukusanya swala mbili 44. Bismillah ni sehemu ya Qur’ani na husomwa kwa Jahara 45. Kuwaongoza vijana wa kizazi kipya 46. Kusujudu juu ya udongo 47. Kusherehekea Maulidi Ya Mtume (s) 48. Tarawehe 49. Malumbano baina ya Sunni na Shia 50. Kupunguza Swala safarini 51. Kufungua safarini 52. Umaasumu wa Manabii 53. Qur’an inatoa changamoto 54. as-Salaatu Khayrun Mina -’n Nawm 55. Uadilifu wa Masahaba 56. Dua e Kumayl 57. Sauti Ya Uadilifu wa Binadamu 58. Umaasumu wa Mitume - Faida Zake Na Lengo Lake 59. Umaasumu wa Mitume - Majibu Ya Aya Zenye Utata 60. Umaasumu wa Mitume - Umaasumu wa Mtume Muhammad (s) 55


Adabu za Vikao na Mazungumzo

61. Nahju’l-Balaghah - Juzuu ya Kwanza 62. Nahju’l-Balaghah - Juzuu ya Pili 63. Kuzuru Makaburi 64. Maswali Na Mishkili Elfu - Sehemu ya Kwanza 65. Maswali Na Mishkili Elfu - Sehemu ya Pili 66. Maswali Na Mishkili Elfu - Sehemu ya Tatu 67. Maswali Na Mishkili Elfu - Sehemu ya Nne 68. Maswali Na Mishkili Elfu - Sehemu ya Tano 69. Maswali Na Mishkili Elfu - Sehemu ya Sita 70. Tujifunze Misingi Ya Dini 71. Sala ni Nguzo ya Dini 72. Mikesha Ya Peshawar 73. Malezi Ya Mtoto Katika Uislamu 74. Ubora wa Imam ‘Ali Juu ya Maswahaba Na Ushia ndio njia iliyonyooka 75. Hukumu za Kifikihi zinazowahusu Wanawake 76. Liqaa-u-llaah 77. Muhammad (s) Mtume wa Allah 78. Amani na Jihadi Katika Uislamu 79. Uislamu Ulienea Vipi? 80. Uadilifu, Amani na Mtume Muhammad (s) 81. Mitala na Ndoa za Mtume Muhammad (s)

56


Adabu za Vikao na Mazungumzo

82. Urejeo (al-Raja’a ) 83. Mazingira 84. Utokezo (al - Badau) 85. Hukumu ya kujenga juu ya makaburi 86. Swala ya maiti na kumlilia maiti 87. Uislamu na Uwingi wa Dini 88. Mtoto mwema 89. Adabu za Sokoni 90. Johari za hekima kwa vijana 91. Maalimul Madrasatain Sehemu ya Kwanza 92. Maalimul Madrasatain Sehemu ya Pili 93. Maalimul Madrasatain Sehemu ya Tatu 94. Tawasali 95. Imam Mahdi katika Usunni na Ushia 96. Huduma ya Afya katika Uislamu 97. Sunan an-Nabii 98. Historia na sera ya viongozi wema (Sehemu ya Kwanza) 99. Shahiid Mfiadini 100. Ujumbe -Sehemu ya Kwanza 101. Ujumbe - Sehemu ya Pili 102. Ujumbe - Sehemu ya Tatu 103. Ujumbe - Sehemu ya Nne 57


Adabu za Vikao na Mazungumzo

104. Kumswalia Nabii (s.a.w) 105. Mariamu, Yesu na Ukristo kwa mtazamo wa Kiislamu 106. Hadithi ya Thaqalain 107. Ukweli uliopotea sehemu ya Kwanza 108. Ukweli uliopotea sehemu ya Pili 109. Ukweli uliopotea sehemu ya Tatu 110. Ukweli uliopotea sehemu ya Nne 111. Ukweli uliopotea sehemu ya Tano 112. Safari ya kuifuata Nuru 113. Fatima al-Zahra 114. Myahudi wa Kimataifa 115. Kuanzia ndoa hadi kuwa Wazazi 116. Visa vya kweli sehemu ya Kwanza 117. Muhadhara wa Maulamaa 118. Mwanadamu na Mustakabali wake 119. Imam Ali (‘a) Ndugu wa Mtume Muhammad (s) (Sehemu ya Kwanza) 120. Imam Ali (‘a) Ndugu wa Mtume Muhammad (s) (Sehemu ya Pili) 121. Khairul Bariyyah 122. Uislamu na mafunzo ya kimalezi 123. Vijana ni Hazina ya Uislamu. 124. Yafaayo kijamii 58


Adabu za Vikao na Mazungumzo

125. Tabaruku 126. Taqiyya 127. Vikao vya furaha 128. Shia asema haya Sunni asema haya Wewe wasemaje? 129. Visa vya wachamungu 130. Falsafa ya Dini 131. Kuhuzunika na Kuomboleza - Azadari 132. Sunna katika Kitabu Fiqhi al-Sunnah 133. Kuonekana kwa Allah 134. Tabia njema kwa Mujibu wa Ahlul-Bayt (Sehemu ya Kwanza) 135. Tabia njema kwa Mujibu wa Ahlul-Bayt (Sehemu ya Pili) 136. Ushia ndani ya Usunni 137. Maswali na Majibu 138. Mafunzo ya hukmu za ibada 139. Ahlul Bayt ndani ya tafsiri za Kisunni No 1 140. Ahlul Bayt ndani ya tafsiri za Kisunni No 2 141. Ahlul Bayt ndani ya tafsiri za Kisunni No 3 142. Abu Huraira 143. Vipengee kadhaa katika Swala ya Jamaa na Msikiti. 144. Mazingatio kutoka katika Qur’an - Sehemu ya Kwanza 145. Mazingatio kutoka kaitka Qur’an - Sehemu ya Pili 146. Mazingatio kutoka katika Uislamu - Sehemu ya kwanza 59


Adabu za Vikao na Mazungumzo

147. Mazingatio kutoka katika Uislamu - Sehemu ya Pili 148. Qur’ani Tukufu – Pamoja na Tarjuma ya Kiswahili 149. Falsafa ya Mageuzi ya Imam Husein (a.s) 150. Amali za Mwezi Mtukufu wa Ramadhani 151. Elimu ya Tiba za Kiislamu - Matibabu ya Maimamu 152. Uislamu Safi 153. Majlisi za Imam Husein Majumbani 154. Uislam wa Shia 155. Amali za Makka 156. Amali za Madina 157. Asili ya Madhehebu katika Uislamu 158. Sira ya Imam Ali kuhusu Waasi 159. Ukweli uliofichika katika neno la Allah 160. Uislamu na Mifumo ya Uchumi 161. Umoja wa Kiislamu na Furaha 162. Mas’ala ya Kifiqhi 163. Jifunze kusoma Qur’ani 164. As-Sahifatul Kamilah as-Sajjadiyyah 165. Hayya ‘Alaa Khayri’l-’Amal Katika Adhana 166. Ukweli kuhusu Funga ya Siku ya Ashura 167. Dua za Miezi Mitatu Mitukufu (Rajabu, Shaabani na ­Ramadhani) 168. Uadilifu katika Uislamu 60


Adabu za Vikao na Mazungumzo

169. Mahdi katika Sunna 170. Kazi naBidii ni njia ya maendeleo 171. Abu Talib – Jabali Imara la Imani 172. Ujenzi na Utakaso wa Nafsi 173. Vijana naMatarajio ya Baadaye 174. Usalafi – Historia yake, maana yake na lengo lake 175. Ushia – Hoja na Majibu 176. Mateso ya Dhuria wa Mtume (saww) 177. Maombolezo – Msiba wa Bwana wa Mashahidi (a.s.) 178. Shahidi kwa Ajili ya Ubinadamu 179. Takwa 180. Amirul Muuminina (‘as) na Makhalifa 181. Utawala na Uendeshaji katika Sera ya Imam Ali (a.s.) 182. Kuelewa Rehma ya Mwenyezi Mungu 183. Mtazamo kuhusu msuguano wa kimadhehebu 184. Upotoshaji Dhahiri katika Turathi (Hazina) ya Kiislamu 185. Nchi na Uraia – Haki na wajibu kwa Taifa 186. Mtazamo wa Ibn Taymiyyah kwa Imam Ali (a.s.) 187. Uongozi wa kidini – Maelekezo na utekelezaji wa Kijamii 188. Huduma ya Afya katika Uislamu 189. Historian a Sira za Viongozi Waongofu – Sehemu ya Pili 190. Uwazi baina ya Maslahi na Vikwazo 61


Adabu za Vikao na Mazungumzo

KOPI NNE ZIFUATAZO ­ZIMETAFSIRIWA KWA LUGHA KINYARWANDA 1.

Amateka Na Aba’Khalifa

2.

Nyuma yaho naje kuyoboka

3.

Amavu n’amavuko by’ubushiya

4.

Shiya na Hadithi

62


MUHTASARI

63


Turn static files into dynamic content formats.

Create a flipbook
Issuu converts static files into: digital portfolios, online yearbooks, online catalogs, digital photo albums and more. Sign up and create your flipbook.