KUVUNJA HOJA ILIYOTUMIKA KUTETEA UIMAMU WA ABUBAKR

Page 1

‫ﺑﺴﻢ اﷲ اﻟﺮﺣﻤﻦ اﻟﺮﺣﻴﻢ‬

Kuvunja hoja Kuvunja hoja iliyotumika kutetea iliyotumika kutetea Uimamu wa Abubakr Uimamu wa Abubakr ‫إﺑﻄﺎل ﻣﺎ اﺳﺘﺪل ﺑﻪ ﻹﻣﺎﻣﺔ أﺑﻲ ﺑﻜﺮ‬ Kimeandikwa na: Sayyid Ali Husainiy Milaniy Kimeandikwa Kimeandikwa na: na: Sayyid Ali Husainiy Sayyid Ali Husainiy Milaniy Milaniy

Kimetarjumiwa Kimetarjumiwa na: na: Alhaji Hemedi Kimetarjumiwa na: Alhaji Hemedi Lubumba Lubumba Alhaji Hemedi Lubumba Kimehaririwa Kimehaririwa na: na: Sheikh Sheikh Haroon Haroon Pingili Pingili 11 Kimehaririwa na: Sheikh Haroon Pingili


‫ﺕﺮﺟﻤﺔ‬ ‫ﺕﺮﺟﻤﺔ‬ ‫إﺑﻄﺎل ﻣﺎ اﺳﺘﺪل ﺑﻪ ﻹﻣﺎﻣﺔ أﺑﻲ ﺑﻜﺮ‬ ‫إﺑﻄﺎل ﻣﺎ اﺳﺘﺪل ﺑﻪ ﻹﻣﺎﻣﺔ أﺑﻲ ﺑﻜﺮ‬ ‫ﺕﺄﻟﻴﻒ‬ ‫ﻋﻠﻲ اﻟﺤﺴﻴﻨﻲ اﻟﻤﻴﻼﻧﻲ‬ ‫ﺕﺄﻟﻴﻒ‬ ‫ﻋﻠﻲ اﻟﺤﺴﻴﻨﻲ اﻟﻤﻴﻼﻧﻲ‬

‫ﻣﻦ اﻟﻠﻐﺔ اﻟﻌﺮﺑﻴﺔ إﻟﻰ اﻟﻠﻐﺔ اﻟﺴﻮاﺡﻠﻴﺔ‬ ‫ﻣﻦ اﻟﻠﻐﺔ اﻟﻌﺮﺑﻴﺔ إﻟﻰ اﻟﻠﻐﺔ اﻟﺴﻮاﺡﻠﻴﺔ‬ ‫‪2‬‬


ŠHaki ya kunakili imehifadhiwa na: AL-ITRAH FOUNDATION

ISBN: 978 - 9987 - 17 - 049 - 4

Kimeandikwa na: Sayyid Ali Husainiy Milaniy

Kimetarjumiwa na: Alhaji Hemedi Lubumba

Kimehaririwa na: Sheikh Haroon Pingili

Kimepangwa katika Kompyuta na: Al-Itrah Foundation

Toleo la kwanza: Machi, 2014 Nakala: 1000 Kimetolewa na kuchapishwa na: Alitrah Foundation S.L.P. - 19701, Dar es Salaam, Tanzania Simu: +255 22 2110640 / 2127555 Barua Pepe: alitrah@yahoo.com Tovuti: www.ibn-tv-com Katika mtandao: www.alitrah.info



YALIYOMO Neno la Mchapishaji......................................................................01 Dibaji..............................................................................................03 Utangulizi.......................................................................................05 Dalili Zao Muhimu Juu ya Uimamu wa Abu Bakr.......................10 Dalili Zao Juu ya Ubora wa Abu Bakr:..........................................10 Dalili ya Kwanza............................................................................12 Dalili ya Pili...................................................................................12 Dalili ya Tatu..................................................................................12 Dalili ya Nne..................................................................................13 Dalili ya Tano.................................................................................13 Dalili ya Sita..................................................................................13 Dalili ya Saba.................................................................................14 Dalili ya Nane................................................................................14 Dalili ya Tisa..................................................................................14 Dalili ya Kumi................................................................................14 Kujibu Dalili Zao Juu ya Ubora wa Abu Bakr:..............................16 v


Kuvunja hoja iliyotumika kutetea Uimamu wa Abubakr

Jibu la Dalili ya Kwanza................................................................16 Jibu la Dalili ya Pili........................................................................19 Jibu la Dalili ya Tatu......................................................................23 Jibu la Dalili ya Nne......................................................................24 Jibu la Dalili ya Tano.....................................................................24 Jibu la Dalili ya Sita.......................................................................25 Jibu la Dalili ya Saba.....................................................................32 Jibu la Dalili ya Nane.....................................................................33 Jibu la Dalili ya Tisa......................................................................33 Jibu la Dalili ya Kumi....................................................................35 Mjadala Juu ya Ijmai ya Ukhalifa wa Abu Bakr...........................37 Mwisho wa Safari..........................................................................38

vi


This Mchapishaji is not FINAL, will have to replace once the FINAL typesetting is ready as Kuvunja hoja iliyotumika kutetea Uimamu wa Abubakr FINAL PDF for printing.

‫ﺑﺴﻢ اﷲ اﻟﺮﺣﻤﻦ اﻟﺮﺣﻴﻢ‬ NENO LA MCHAPISHAJI

NENO LA MCHAPISHAJI

Kitabu uliconacho mikononi mwako asili yake ni kitabu kilichoandikwa kwa lugha ya Kiarabu, mwandishi wake akiwa ni itabuAli ulichonacho mikononi mwako kimetarjumiwa kutoka Sayyid Husainiy Milaniy lugha ya Kiarabu ambacho kimeandikwa na Sayyid Ali al-HuKitabu hiki ni matokeo ya mhadhara uliofanywa na sheikh wetu saini al-Milani. huyu kwa njia ya mdahalo. Kitabu hiki ni matokeo ya mhadhara uliofanywa na aalimu huyu kwa njiaulikuwa ya mdahalo. Huu mdahalo wa kistaarabu na wa kielimu ambao ulifuata taratibu zote za midahalowa ya kistaarabu kielimu bila za uliwatu Huu ulikuwa mdahalo naya wakuumiza kielimuhisia ambao wengine. fuata taratibu zote za midahalo ya kielimu bila ya kuumiza hisia za

K

watu wengine. Madhumuni ya mdahalo huu ilikuwa ni hoja iliyoletwa juu ya Uimamu au Ukhalifa wa Abu Bakar. Je, ulikuwa sahihi au la.juu ya Madhumuni ya mdahalo huu ilikuwa ni hoja iliyoletwa Uimamu au Ukhalifa wa Abu Bakr. Je, ulikuwa sahihi au la. Mhadhiri alitoa hoja za kila upande na kuzichambua akitumia dalili Mhadhiri alitoa hoja zaSunnah, kila upande kukutoka katika Qur’an, elimunanakuzichambua matukio ya kwa kihistoria tumia dalili kutoka Qur’ani, katika kuvunja aukatika kuthibitisha hojaSunna, hizo. elimu na matukio ya kihistoria katika kuvunja au kuthibitisha hoja hizo. Tumekiona kitabu hiki kuwa ni chenye manufaa sana hususan Tumekiona kitabu hiki kuwa ni chenye manufaa sana hususan wakati huu wa maendeleo makubwa katika nyanja zote za kielimu wakati huu wa maendeleo makubwa katika nyanja zote za kielimu ambapo uwongo na upotoshaji wa historia hauna nafasi katika akili za watu. 5 Tunamshukuru ndugu yetu Alhaji Hemedi Lubumba kwa kazi kubwa aliyoifanya ya kukitarjumi kitabu hiki katika lugha ya Kiswahili, na wengine wote waliosaidia kwa njia moja au nyingine hadi 1


Kuvunja hoja iliyotumika kutetea Uimamu wa Abubakr

kufanikisha kuchapishwa kwake. Allah awalipe wote malipo mema ya hapa duniani na huko Akhera pia. Mchapishajji Al-itrah Foundation

2


Kuvunja hoja iliyotumika kutetea Uimamu wa Abubakr

DIBAJI DIBAJI

‫ﺑﺴﻢ اﷲ اﻟﺮﺣﻤﻦ اﻟﺮﺣﻴﻢ‬ Bismillahir-Rahmanir-Rahim Bismillahir-Rahmanir-Rahim

H

Haifichiki kuwakuwa hakika sisi sisi bado tuna mkazonana aifichiki hakika bado tunahaja hajaya ya kutilia kutilia mkazo kuongeza juhudi juhudi kuelekea uwelewa sahihi na na ufahamishaji kuongeza kuelekea uwelewa sahihi ufahamishajiwenye wekulingana na itikadi zetu zilizo haki tupu na uwelewa wetu wa hali nye kulingana na itikadi zetu zilizo haki tupu na uwelewa wetu wa ya juu. Jambo ambalo linahitaji kufuata vilivyo ratiba na selabasi hali ya juu. Jambo ambalo linahitaji kufuata vilivyo ratiba na sila-za kielimu ambazo ya uwelewano wenye wenye kudumu kati ya basi za kielimuzinaleta ambazohali zinaleta hali ya uwelewano kudumu Ummah, heshima yake yake ya kweli, ambayo kati ya na Ummah, na heshima ya kweli,kwa kwa namna namna ambayo itanasibiana na lugha ya kisasa na maendeleo mapya ya Sayansi itanasibiana na lugha ya kisasa na maendeleo mapya ya Sayansi nana Teknolojia. Teknolojia. Kutokana na hayo kimeharakishaKituo Kituo kinachojihusisha kinachojihusisha nana Kutokana na hayo kimeharakisha Theiolojiazaza Kiislamu, chinichini ya ofisiyaya ofisi Samahatu Theiolojia Kiislamu,kilicho kilicho ya Ayatullah Samahatu Al-Udhma Sayyid Sistaniy (Mola arefushe huduma yake) kutumia Ayatullah Al-Udhma Sayyid Sistaniy (Mola arefushe huduma yake) njia ya mazungumzo mbalimbali kwa lengo la kutoa fikra za kutumia njia ya mazungumzo mbalimbali kwa lengo la kutoa fikra Kiislamu kwa wa madhehebu ya ShiayaImamiya, kwa mapana za Kiislamu kwamujibu mujibu wa madhehebu Shia Imamiya, kwa zaidi zaidi kwa kadiri iwezekanavyo. mapana kwa kadiri iwezekanavyo. Kutokana

na

mazungumzo

hayo

imefanywa

mikutano

Kutokana na mazungumzo hayoyaimefanywa mbalimbali mbalimbali mahsusi kwa ajili mas-ala ya mikutano kiakida kwa kualika mahsusi kwa ajili ya mas'ala ya kiakida kwa kualika kundi kundi la walimu wa vyuo vya kielimu (Hawza) na wasomi wake wala walimu wa vyuo vyahushughulikia kielimu (Hawza) na wasomi wakemuhimu, wa juu. juu. Kundi ambalo aina fulani ya maudhui Kundi ambalo hushughulikia aina fulani ya maudhui muhimu, ambapo huiwakilisha na kuichambua na hatimaye hutoa fikra ya ambapo huiwakilisha na kuichambua na hatimaye hutoa fikra Kishia inayochaguliwa ndani ya maudhui hiyo. Kisha maudhui hiyoya Kishia inayochaguliwa ndani ya maudhui hiyo. Kisha maudhui hiyo huwa tayari kwa ajili ya mazungumzo yaliyo wazi na mdahalo uliyo huru, kwa lengo la kufikia matokea yaliyo bora zaidi. 3


Kuvunja hoja iliyotumika kutetea Uimamu wa Abubakr

huwa tayari kwa ajili ya mazungumzo yaliyo wazi na mdahalo uliyo huru, kwa lengo la kufikia matokea yaliyo bora zaidi. Na kwa ajili ya kueneza faida ni kuwa mikutano hii imepata tovuti katika njia ya Intaneti kwa njia ya maandishi na sauti. Kama ambavyo hukithirishwa kwa njia ya kurekodi kanda za sauti na za picha kisha husambazwa kwenye Vituo na Taasisi za Kiislamu na kwa wasomi mashuhuri pande zote za dunia. Na mwisho imetimia hatua ya tatu kwa kuichapa na kuisambaza kwa namna ya kurasa chini ya anwani “Mfululizo wa Mikutano ya Kithiolojia.”, baada ya kupitia hatua kadhaa zinazohusu uhakiki na utaalamu wa lazima juu ya kurasa hizi. Na kurasa hizi zilizopo mikononi mwako ni moja ya mfululizo huo ulioashiriwa. – Tunamwomba Mwenyezi Mungu azipokee kwa mapokezi mazuri. Kituo cha Tafiti za Kielimu. Faris Al-Hassuna.

4


Kuvunja hoja iliyotumika kutetea Uimamu wa Abubakr

UTANGULIZI

UTANGULIZI

‫ﺑﺴﻢ اﷲ اﻟﺮﺣﻤﻦ اﻟﺮﺣﻴﻢ‬

K

Bismilahir-Rahmanir-Rahim Bismilahir-Rahmanir-Rahim

ila sifa njema ni ya Mwenyezi Mungu Mola Mlezi wa walimKila sifa njema ni ya Mwenyezi Mungu Mola Mlezi wa wengu. Rehema na amani zimwendee bwana wetu Muhammad walimwengu. Rehema na amani zimwendee bwana wetu (saww), yeye na aali zake wema watoharifu. Na laana za Mwenyezi Muhammad (saww), yeye na aali zake wema watoharifu. Na laana Mungu ziwe juu ya maadui wao ya wote kuanzia walewote wa kwanza za Mwenyezi Mungu ziwe juu maadui wao kuanziahadi wale wale wa mwisho. wa kwanza hadi wale wa mwisho. Baada ya kumaliza dalili zilizoteuliwa kuthibitisha Uimamu wa

Baada ya kumaliza dalili zilizoteuliwa kuthibitisha Uimamunawa Amirul-Muuminina toka katika maelezo ya Kitabu na Sunnah, Amirul-Muuminina tokayakatika ya Uimamu Kitabu nawaSunnah, pia tumemaliza dalili kiakili maelezo kuthibitisha Amirul- na piaMuuminina tumemaliza dalili ya kiakilizilizoasisiwa kuthibitishanaUimamu Amirulkulingana na kanuni kuwekwa wa na ulamaa Muuminina kulingana na kanuni zilizoasisiwa na kuwekwa wa Thiolojia wa Kisunni, kwa kufuata masharti yanayozingatiwa – na ulamaa wa - Thiolojia Kisunni, kwa kufuata masharti yapatikane kwa Imam, wa na laiti kama si masharti hayo isingesihi yanayozingatiwa – yapatikane - kwa na laiti kama si kumteua mtu huyo na kumchagua kuwa Imam, Imam baada ya Mtume masharti hayo isingesihi kumteua mtu huyo na kumchagua kuwa (saww). Imam baada ya Mtume (saww). Wanasema: Uimamu hupatikana kwa uchaguzi na uteuzi, na kwa msingi huu wao huainisha sifa na masharti ambayo ni lazima Wanasema: Uimamu hupatikana kwa uchaguzi na uteuzi, na kwa yatimie kwake ili aweze kuteuliwa. Na sisi tumezungumza nao kwa msingi huu wao huainisha sifa na masharti ambayo ni lazima kufuata msingi wa masharti hayo yanayozingatiwa kwao kwa Ijmai, yatimie kwake ili aweze kuteuliwa. Na sisi tumezungumza nao kwa na kulingana na maneno ya Ulamaa wao wakubwa.

kufuata msingi wa masharti hayo yanayozingatiwa kwao kwa Ijmai, Hivi sasa kuhusu dalili ambazo wanazisimamisha na kulingana nauchambuzi maneno yaniUlamaa wao wakubwa. kuthibitisha uimamu wa Abu Bakr, na laiti tusipogusia dalili hizi basisasa uchambuzi wetu ni utakuwa hiyo ni kwa sababu sisi Hivi uchambuzi kuhusupungufu, dalili ambazo wanazisimamisha kuthibitisha uimamu Bakr, na laiti tusipogusia dalili hizi tumesimamisha daliliwa juuAbu ya Uimamu wa Amirul-Muuminina, lakini 5

9


Kuvunja hoja iliyotumika kutetea Uimamu wa Abubakr

hapohapo wao wanasimamisha dalili juu ya Uimamu wa Abu Bakr, hivyo ni lazima vilevile tuzichunguze dalili hizo ili tuweze kujua dalili hizo zimetimu kwa kiwango gani, kwa kufuata vipimo vya kielimu. Vileile katika sehemu hii tutashikamana na adabu za uchambuzi na kanuni za mdahalo. Pia tutaona je wao hutoa dalili kupitia Hadithi au kupitia dalili makhsusi kwao tu, au wao peke yao ndio hutetea kupitia dalili hizo, na tutaangalia riwaya za Hadithi hizo. Tangu usiku wa kwanza tumesema na kukiri kuwa, dalili ni lazima ziwe ni zile zenye kukubalika pande zote mbili, au dalili hizo zinazotumika kuthibitisha ziwe ni zile zenye kukubalika na upande wa pili, ili isihi kwa upande huu wa kwanza kushikilia na kutoa hoja kwa kutumia dalili ambazo zinaridhiwa na upande huu wa pili. Lakini dalili wanazotumia kutetea uimamu wa Abu Bakr ni dalili zao peke yao, na hata kama ni riwaya basi ni zile zisizopatikana ila katika vitabu vyao tu na kwa njia yao tu. Pamoja na hayo yote, tutalazimika kuzichunguza riwaya hizo na tutazichambua na kuzungumza nao kwa kufuata misingi ya vitabu vyao, riwaya zao na kauli za ulamaa wao. Na kama nilivyogusia tangu mwanzo kuwa, vilevile ndani ya sehemu hii tutakuwa tukifuata adabu za uchambuzi, tukitumia maneno laini na kutokuwa na upendeleo binafsi, na dalili zetu zote zitakuwa kulingana na riwaya zao na vitabu vyao. Ili iwe bayana kwao upungufu wa dalili zao kulingana na maneno ya ulamaa wao. Itakuwaje watulazimishe kufuata dalili hizi ambazo wao wenyewe hawazikubali na ulamaa wao hawakubali usahihi wake, na wala hawaridhii usahihi wake na kuruhusu kuzitumia kama dalili? Tunapotaka kunukuu dalili hizo tunategemea vitabu vyao muhimu na vilivyo mashuhuri kati ya vitabu vyao vya elimu ya thiolojia ya 6


Kuvunja hoja iliyotumika kutetea Uimamu wa Abubakr

Kiislamu. Na vitabu vyao muhimu ni kitabu Al-Mawaqif Fii IlmilKalaam, Sharhul-Mawaqif na Sharhul-Maqaasid. Hivi ndio vitabu vyao muhimu katika thiolojia, vitabu ambavyo vimeandikwa karne ya nane na ya tisa ya Hijriya. Vitabu hivi vilikuwa vikifundishwa katika vyuo vyao, na walimu wao wameandika vitabu mbalimbali vya ufafanuzi kuhusu vitabu hivi. Na laiti mtarejea kwenye kitabu Kashfud-Dhunun na mkasoma anayoyasema mwandishi wa kitabu hicho juu ya kitabu SharhulMawaqif, Sharhul-Maqaasid na Al-Mawaqif Fii Ilmil-Kalaam1, mtaona vitabu vingi sana vya ufafanuzi vimeandikwa kuvifafanua. Na vitabu hivi vitatu vimekuwa kwao ndio chanzo cha wingi wa vitabu hivyo vya thiolojia. Na hakuna tofauti kati yao kuhusu umuhimu na nafasi ya vitabu hivi, na kuwa vyenyewe ndio nguzo na tegemeo lao katika mambo ya theiolojia ya Kiislamu.

1

Kashfud-Dhunun Alal-Asamiy Al-Kutub Wal-Funun Juz. 2, uk. 1780 na 1891 7


Kuvunja hoja iliyotumika kutetea Uimamu wa Abubakr

DALILI ZAO MUHIMU JUU YA ­UIMAMU WA ABU BAKR

H

ebu tuchunguze dalili zao muhimu juu ya Uimamu wa Abu Bakr, tutazame wanasema nini katika dalili hizi:

Ibara ya Sharhul-Mawaqif inasema2: “Kusudio la nne: Kuhusu Imam mstahiki baada ya Mtume wa Mwenyezi Mungu, naye kwetu sisi ni Abu Bakr, na kwa Mashia ni Ali….Tuna dalili mbili: Ya kwanza: Hakika njia ya kumwainisha Imam ni ima tamko au Ijmai….Ama tamko lenyewe halipatikani.3 Na ama Ijmai haipatikani kwa asiyekuwa Abu Bakr, hilo ni kongamano la Ummah….Ijmai imetimia juu ya ustahiki wa uimamu wa mmoja kati ya watatu: Abu Bakr, Ali na Abbas – Yaani ni utata uliyojifunga na kuwepo baina ya hawa watatu tu -, kisha wao wawili – Ali na Abbas - hawakumpinga Abu Bakr, na laiti (Abu Bakr) asingestahiki (uimamu) basi wangelimpinga.”4 Hivyo dalili ya uimamu wa Abu Bakr ni Ijmai na anakiri kuwa hakuna tamko. Hivyo dalili ya kwanza juu ya uimamu wa Abu Bakr ni Ijmai, hakuna tamko. Mwandishi wa Sharhul-Maqaasid5 anasema: “Kuhusu mada ya tatu inayohusu njia ya kuthibiti uimamu: Hakika njia ni ima tamko au uchaguzi, na tamko halipo katika haki ya Abu Bakr pamoja na kuwa Sharhul-Mawaqif Juz. 8, uk. 354. nakiri kutokuwepo tamko si la Mwenyezi Mungu wala la Mtume linalothibitisha uimamu A wa Abu Bakr – Mtarjumu. 4 Maana yake ni kuwa, kwa kuwa Abu Bakr alikuwa anastahiki uimamu kati ya hao watatu, na hao wawili Ali na Abbas kutambua na kuamini hilo, ndio maana hawakumpinga bali walikaa kimya. Tunamwambia: Pole sana mwandishi kama wewe, uko wapi na khutba Shaqshaqiyya bali uko wapi na Nahjul-Balagha?!! – Mtarjumu5 Sharhul-Maqaswid Juz. 5 Uk. 255. 2 3

8


Kuvunja hoja iliyotumika kutetea Uimamu wa Abubakr

yeye ni Imam kwa Ijmai.” – Hivyo mpaka sasa imedhihirika kuwa hakuna tamko kuhusu ustahiki wa Abu Bakr, bali dalili ni Ijmai.6 Imebaki njia ya tatu, nayo huwa wanaigusia, nayo ni njia ya ubora. Kama tunavyozungumzia sisi kuhusu ubora na wao pia huzungumzia ubora, kama tulivyoashiria jana. Lakini wanapozungumzia ubora, wao hutofautiana kuhusu kuwa kwake moja ya sharti za kuzingatiwa kwa Imam, kama tulivyoashiria hilo hapo kabla. Hivyo atakayekanusha sharti la kuzingatiwa ubora, kama vile Fadhlu Ibnu Ruzabuhani, hana sababu ya kung’ang’ania ubora wa Abu Bakr, na hilo tumeligusia jana. Ama yule anayezingatia sharti la ubora kwa Imam, basi ni lazima ang’ang’anie ubora wa Abu Bakr, kwa sababu anaamini uimamu wa Abu Bakr, na miongoni mwa hawa wanaodai ubora ni Ibnu Taymiyya, hivyo anang’ang’ania ubora wa Abu Bakr na anapinga dalili zote wanazozitoa Shia Imamiyya kuthibitisha ubora wa Ali (a.s.).

6

umbuka kuwa mwandishi wa Sharhul-Mawaqif katumia neno Ijmai, wakati mwandishi K a Sharhul-Maqaswid ametumia neno uchaguzi. Lakini hamna shaka kila moja litajadiliwa. 9


Kuvunja hoja iliyotumika kutetea Uimamu wa Abubakr

DALILI ZAO JUU YA UBORA WA ABU BAKR

H

apo tunarejea kuchambua mada ya ubora katika kitabu AlMawaqif na Sharhul-Mawaqif7 anasema: “ Kusudio la tano: Kuhusu mbora zaidi ya watu wote baada ya Mtume, naye kwetu sisi na kwa wahenga wa Kimuutazila ni Abu Bakr, na kwa Mashia na Muutazila wengi wa sasa ni Ali.” Mpaka hapa inadhihiri kuwa dalili waliyonayo kutetea uimamu wa Abu Bakr ni Ijmai na ubora kwa yule anayezingatia sharti la ubora kwa Imam. Tamko la (Qur’an na Hadithi) hawana. Ama sisi tumesimamisha dalili zote tatu (Qur’an, Hadithi na Ubora) zikithibitisha uimamu wa Amirul-Muuminina (a.s.). Wao wanasema: Hakuna tamko juu ya Abu Bakr na wanakiri hilo, hivyo dai linalobaki ni ubora kisha dai la Ijmai juu ya uimamu Hakuna juu ya Abu Bakr wanakiri waWao Abuwanasema: Bakr. Hivyo basi tamko hebu tuchunguze dalilinazao kuhusuhilo, ubora hivyo dai linalobaki ni ubora kisha dai la Ijmai juu ya uimamu wa (wa Abu Bakr): Abu Bakr. Hivyo basi hebu tuchunguze dalili zao kuhusu ubora (wa Abu Bakr):

DALILI YA KWANZA DALILI YA KWANZA Kauli ya ya Mwenyezi Mungu: Kauli Mwenyezi Mungu:

∩⊇∇∪ 4’ª1u”tItƒ …ã&s!$tΒ ’ÎA÷σム“Ï%©!$# ∩⊇∠∪ ’s+ø?F{$# $pκâ:¨Ζyfã‹y™uρ ∩⊇®∪ #“t“øgéB 7πyϑ÷èÏoΡ ⎯ÏΒ …çνy‰ΨÏã >‰tnL{ $tΒuρ

7

"Na ataepushwa nao mwenye takua. Ambaye anatoa mali yake kwa kujitakasa. Wala hapana yeyote aliyemfanyia hisani ili alipwe." (Sura Layli: 17-19) 10

Sharhul-Mawaqif Juz. 8, uk. 365.

Anasema katika Sharhul-Mawaqif: "Wafasiri wengi wamesema na ulamaa wengi wametegemea hiyo: Hakika yenyewe iliteremka kwa ajili ya Abu Bakr, hivyo yeye ndiye mchamungu mno, na aliye


∩⊇∇∪ 4’ª1u”tItƒ …ã&s!$tΒ ’ÎA÷σム“Ï%©!$# ∩⊇∠∪ ’s+ø?F{$# $pκâ:¨Ζyfã‹y™uρ ∩⊇®∪ #““t øgéB 7πyϑ÷èÏoΡ ⎯ÏΒ …çνy‰ΨÏã >‰tnL{ $tΒuρ

Kuvunja hoja iliyotumika kutetea Uimamu wa Abubakr

“Na Ambaye anatoa mali yake kwa "Naataepushwa ataepushwanao naomwenye mwenyetakua. takua. Ambaye anatoa mali yake kujitakasa. Wala hapana aliyemfanyia hisani ili alipwe.” kwa kujitakasa. Wala yeyote hapana yeyote aliyemfanyia hisani (Sura ili Layli: 17-19) alipwe." (Sura Layli: 17-19)

Anasema katika Sharhul-Mawaqif: "Wafasiri wengiwengi wamesema na Anasema katika Sharhul-Mawaqif: “Wafasiri wamesema ulamaa wengi wametegemea hiyo: Hakika yenyewe iliteremka kwa na ulamaa wengi wametegemea hiyo: Hakika yenyewe iliteremka ajiliajili ya ya Abu Bakr, hivyo yeye ndiye mchamungu mno, na na aliye kwa Abu Bakr, hivyo yeye ndiye mchamungu mno, aliye mchamungu mno ndiye mbora zaidi mbele ya Mwenyezi Mungu, mchamungu mno ndiye mbora zaidi mbele ya Mwenyezi Mungu, kwa mujibu wa kauli yake:

kwa mujibu wa kauli yake:

∩⊇⊂∪ ×Î7yz îΛ⎧Î=tã ©!$# ¨βÎ) 4 öΝä39s)ø?r& «!$# y‰ΨÏã ö/ä3tΒtò2r& ¨βÎ) 4 "Hakika mtukufu zaidi yenu mbele ya Mwenyezi Mungu ni “Hakika mtukufu zaidi yenu mbele ya Mwenyezi Mungu ni aliye na aliye na takua zaidi yenu. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye takua zaidi yenu. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kujua, Mwekujua, Mwenye habari." (Sura Hujrat: 13). nye habari.” (Sura Hujrat: 13).

Hivyo Abu Bakr anakuwa ndiye mbora zaidi mbele ya Mwenyezi 14 Mungu. “Na hamna shaka kuwa aliye mbora zaidi mbele ya Mwenyezi Mungu ndiye mteuliwa kwa ajili ya uimamu na ukhalifa baada ya Mtume wa Mwenyezi Mungu. Hili halina mushkeli, aliye mbora zaidi mbele ya Mwenyezi Mungu ndiye mteule kwa ajili ya uimamu na ukhalifa baada ya Mtume wa Mwenyezi Mungu, hivyo Abu Bakr anakuwa ndiye mbora na ndiye mbora kuliko Ummah wote baada ya Mtume wa Mwenyezi Mungu, hivyo yeye ndiye aliyeainika kwa ukhalifa baada yake (saww).”

11


Kuvunja hoja iliyotumika kutetea Uimamu wa Abubakr

DALILI YA PILI Kauli ya Mtume (saww): “Wafuateni hawa wawili baada yangu: Abu Bakr na Umar.” Hakika sentensi ‘Wafuateni’ ni amri, na wanaoambiwa ni Waislamu wote, na uambiwaji huu ni wa ujumla, unamjumuisha hata Ali, hivyo hata Ali ameamrishwa kuwafuata masheikh wawili (Abu Bakr na Umar), hivyo ni wajibu kwa Ali awe mwenye kuwafuata masheikh wawili, na mwenye kufuatwa ndiye Imam. Hadithi hii inayonasibishwa na Mtume (saww) imepokewa katika vitabu vyao, hivyo inakuwa ndio dalili juu ya uimamu wa Abu Bakr, na ukhalifa wa Umar ni tawi la ukhalifa wa Abu Bakr, hivyo utakapothibiti ukhalifa wa Abu Bakr utathibiti ukhalifa wa Umar. Na hapa hatuzungumzii ukhalifa wa Umar bin Khattab.

DALILI YA TATU Hakika Mtume (saww) alimwambia Abu Dardai: “Wallahi jua halijachomoza wala kuzama juu ya mtu mbora baada yangu kuliko Abu Bakr.” Hakika Hadithi hii inafaa kuwa maelezo ya kuthibitisha uimamu wa Abu Bakr, kwani Wallahi jua halijachomoza wala kuzama juu ya mtu mbora baada ya Manabii na Mitume kuliko Abu Bakr. Hivyo Abu Bakr anakuwa mbora kuliko Ali, na kumtanguliza asiye mbora kabla ya mbora, au kumtanguliza mbora juu ya aliye mbora zaidi yake haifai, hivyo Abu Bakr anakuwa ndiye mteule kwa ajili ya ukhalifa na uimamu baada ya Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.).

12


Kuvunja hoja iliyotumika kutetea Uimamu wa Abubakr

DALILI YA NNE Kauli ya Mtume (saww) kuwahusu Abu Bakr na Umar: “Hao wawili ni mabwana wa vikongwe vya watu wa peponi, isipokuwa Manabii na Mitume.” Aliye bwana wa kaumu na aliye mkubwa wa kaumu ndiye Imam kati yao, na ndiye anayefanywa kiongozi kati yao na kufuatwa kati yao, na Ali vilevile ni miongoni mwa watu, hivyo Ali anakuwa miongoni mwa wanaowajibika kuwafuata masheikh wawili, na hao wawili ndio mabwana wa vikongwe vya watu wa peponi.

DALILI YA TANO Kauli ya Mtume (saww): “Haipasi kwa watu ambao kati yao yumo Abu Bakr, mtu mwingine amtangulie (Abu Bakr).” Hivyo asiyekuwa Abu Bakr haruhusiwi kumtangulia Abu Bakr, na hili linamjumuisha pia Ali, hivyo Ali haruhusiwi kumtangulia Abu Bakr, na wala hairuhusiwi kwa yeyote yule kudai kumtanguliza Ali mbele ya Abu Bakr, kwa sababu atakuwa amekhalifu kauli ya Mtume wa Mwenyezi Mungu (saww).

DALILI YA SITA Kitendo cha Mtume kumtanguliza Abu Bakr katika Swala japokuwa yenyewe ndio ibada bora zaidi, hivyo Abu Bakr aliswali katika nafasi ya Mtume (saww) wakati wa maradhi ya Mtume (saww). Na kama wanavyopokea kuwa Swala hiyo ilikuwa ni kwa amri ya Mtume (saww), na Swala ndio ibada bora zaidi, hivyo mtu yeyote 13


Kuvunja hoja iliyotumika kutetea Uimamu wa Abubakr

akiswali katika nafasi ya Mtume na kuwa Imam wa Waislamu kwa amri kutoka kwa Mtume, mtu huyu anakuwa ndiye mtu anayefaa kuwa Imam wa Waislamu baada ya Mtume (saww).

DALILI YA SABA Kauli ya Mtume (saww): “Mbora wa Ummah wangu ni Abu Bakr kisha Umar.” Hadithi hii nayo pia wameipokea ndani ya vitabu vyao.

DALILI YA NANE Kauli ya Mtume (saww): “Lau ningekuwa natafuta khalili asiyekuwa Mola Wangu Mlezi, basi ningemfanya Abu Bakr khalili.”

DALILI YA TISA Kauli ya Mtume (saww) baada ya Abu Bakr kutajwa mbele yake: “Na yuko wapi mfano wa Abu Bakr; watu walinikadhibisha, yeye akanisadikisha, akaniamini na akanioza binti yake. Akaniandaa kwa mali yake na akanisaidia kwa nafsi yake, akapigana jihadi pamoja nami wakati wa khofu.”

DALILI YA KUMI Kauli ya Ali (a.s.): “Mbora wa watu baada ya Manabii ni Abu Bakr kisha Umar kisha Mwenyezi Mungu ndiye ajuwaye zaidi.” 14


Kuvunja hoja iliyotumika kutetea Uimamu wa Abubakr

Hizi ndio dalili tegemeo juu ya ubora wa Abu Bakr, utazikuta dalili hizi katika vitabu vya Fakhrur-Razi, katika SwawaiqulMuhriqah, Sharhul-Mawaqif, Sharhul-Maqaswid na katika vitabu vyao vyote vya wahenga na wa sasa, hata Muutazila, yaani hata Muutazila nao wanashirikiana na Ashaira katika kutoa dalili kupitia dalili kama hizi juu ya uimamu wa Abu Bakr, isipokuwa Muutazila wa sasa ambao hawadai ubora wa Abu Bakr, bali wanaamini ubora wa Ali lakini masilahi yalilazimu Abu Bakr amtangulie Ali katika uimamu.

15


Kuvunja hoja iliyotumika kutetea Uimamu wa Abubakr

KUJIBU DALILI ZAO JUU YA UBORA WA ABU BAKR

H

izi ndio dalili zao zote, na laiti ukiniuliza kuhusu dalili zao muhimu kati ya dalili hizi nitakujibu kuwa: Kwanza ni tukio la Swala na Hadithi “Wafuateni hawa wawili baada yangu: Abu Bakr na Umar.” Hizo mbili ndio dalili zao muhimu kati ya hizo kumi. Tutazungumzia dalili hizi moja baada ya nyingine kulingana na vitabu vyao, na kwa misingi ya riwaya zao na kauli za ulamaa wao. JIBU LA DALILI YA KWANZA

JIBU LA DALILI YA KWANZA

Kauli Mungu: KauliyayaMwenyezi Mwenyezi Mungu:

∩⊇∇∪ 4’ª1u”tItƒ …ã&s!$tΒ ’ÎA÷σム“Ï%©!$# ∩⊇∠∪ ’s+ø?F{$# $pκâ:¨Ζyfã‹y™uρ ∩⊇®∪ #“t“øgéB 7πyϑ÷èÏoΡ ⎯ÏΒ …çνy‰ΨÏã >‰tnL{ $tΒuρ

"Na ataepushwa nao mwenye takua. Ambaye anatoa mali yake “Na ataepushwa nao mwenye takua. Ambaye anatoa mali yake kwa kwa kujitakasa. Wala hapana yeyote aliyemfanyia hisani ili kujitakasa. Wala hapana yeyote aliyemfanyia hisani ili alipwe.” alipwe." (Sura Layli: 17-19) (Sura Layli: 17-19)

Hii ni Aya ya Qur’ani, na kama tulivyosema katika uchambuzi wetu Hii ni Aya Aya zilizotumika ya Qur’ani,katika na kama katika uchambuzi kuhusu dalilitulivyosema juu ya uimamu wa Ali kuwa: wetu kuhusu Aya zilizotumika katika dalili juu ya uimamu wa Ali Hakika Aya kuwa dalili juu ya uimamu wa Ali inategemea kuwa: Hakikakwake Aya kuwa juu ya uimamuAli, watena Ali kwa inategemea kuthibitika kuwa dalili iliteremka ikimhusu dalili yenye kukubalika. Na kama sivyo basi elewa kuwa sehemu kuthibitika kwake kuwa iliteremka ikimhusu Ali, Aya tenanikwa dalili ya Qur’ani na katika Aya hiyo hamna jina la Ali wala jina yenye kukubalika. Na kama sivyo basi elewa kuwa Aya ni sehemulaya mwingine asiyekuwa Ali. Hivyo kauli ya Mwenyezi Mungu:

Qur’ani na katika Aya hiyo hamna jina la Ali wala jina la mwingine asiyekuwa Ali. Hivyo kauli ya Mwenyezi Mungu:

$tΒuρ ∩⊇∇∪ 4’ª1u”tItƒ …ã&s!$tΒ ’ÎA÷σãƒ16“Ï%©!$# ∩⊇∠∪ ’s+ø?F{$# $pκâ:¨Ζyfã‹™ y uρ

∩⊇®∪ #“t“øgéB 7πyϑ÷èÏoΡ ⎯ÏΒ …çνy‰ΨÏã >‰tnL{

"Na ataepushwa nao mwenye takua. Ambaye anatoa mali yake


Hii ni Aya ya Qur’ani, na kama tulivyosema katika uchambuzi wetu kuhusu Aya zilizotumika katika dalili juu ya uimamu wa Ali kuwa: Hakika Aya kuwa dalili juu ya uimamu wa Ali inategemea kuthibitika kwake kuwa iliteremka ikimhusu Ali, tena kwa dalili yenye kukubalika. Na kama sivyo basi elewa kuwa Aya ni sehemu Kuvunja hoja Uimamu ya Qur’ani nailiyotumika katika Aya kutetea hiyo hamna jina wa la Abubakr Ali wala jina la mwingine asiyekuwa Ali. Hivyo kauli ya Mwenyezi Mungu:

$tΒuρ ∩⊇∇∪ 4’ª1u”tItƒ …ã&s!$tΒ ’ÎA÷σム“Ï%©!$# ∩⊇∠∪ ’s+ø?F{$# $pκâ:¨Ζyfã‹™ y uρ

∩⊇®∪ #“t“øgéB 7πyϑ÷èÏoΡ ⎯ÏΒ …çνy‰ΨÏã >‰tnL{

"Na ataepushwa nao mwenye takua. Ambaye anatoa mali yake “Na mwenye takua. Ambaye anatoa mali yakeili kwa kwa ataepushwa kujitakasa. nao Wala hapana yeyote aliyemfanyia hisani kujitakasa. Wala hapana yeyote aliyemfanyia hisani ili alipwe.” alipwe." (Sura Layli: 17-19) (Sura Layli: 17-19)

ili iwe dalili inategemea utangulizi, hivyo ili itimie kuwa dalili juu ya uimamu wa Abu Bakr inahitaji: 19

Kwanza: Kutumia Aya hii kama dalili ya uimamu wa Abu Bakr kunategemea kuanguka kwa dalili zote ambazo zimetolewa na Imamiyya juu ya umaasumu wa Ali (a.s.), la sivyo basi maasumu ni mbora mno mbele ya Mwenyezi Mungu kuliko ambaye hutoa mali yake kwa ajili ya kujitakasa. Hivyo kutumia Aya hii kama dalili ya uimamu wa Abu Bakr kunategemea kutokutimia kwa dalili hizo ambazo Imamiyya wamezisimamisha juu ya umaasumu wa Ali (a.s.), hivyo kama dalili hizo zitatimu Ali atakuwa ndiye mbora zaidi mbele ya Mwenyezi Mungu, na hapo dalili hii itakuwa imebatilika. Pili: Kutumia Aya hii tukufu kama dalili ya ubora wa Abu Bakr inategemea kutokutimu kwa zile dalili zilizotumika kuthibitisha ubora wa Ali, na la sivyo basi zitakuwa zinapingana kutokana na kusihi kwa dalili hizo na kuwepo hoja ya Hadithi iliyopo mwishoni mwa Aya hii tukufu. Hapo dalili zote mbili zinakuwa na hoja zenye kupingana, hivyo zinaondoana (kwenye wigo wa dalili). Hapo Aya hii inabaki bila dalili juu ya uimamu wake (Abu Bakr). Lakini jambo ambalo halihitaji dalili katika kulithibitisha ni kuwa: Hakika Ali hajawahi kulisujudia sanamu katu, na Abu Bakr 17


Kuvunja hoja iliyotumika kutetea Uimamu wa Abubakr

alilisujudia, na kwa ajili hiyo anapotajwa Ali (Masunni) husema: Karramallahu Wajhahu “Mwenyezi Mungu autukuze wajihi wake.”, na hii inalazimu Ali awe ndiye mbora zaidi mbele ya Mwenyezi Mungu. Tatu: Kutumia Aya hii kama dalili ya ubora wa Abu Bakr kunategemea kuthibiti kuwa Aya hii iliteremka ikimhusu Abu Bakr, na hali ni kuwa wao wenyewe wametofautiana juu ya tafsiri ya Aya hii katika kauli tatu: a. Hakika Aya hii inawahusu Waislamu wote wala si makhsusi kwa mtu mmoja miongoni mwao. b. Aya iliteremka ikihusu kisa cha Abu Dahdahi na mmiliki wa mtende. Rejeeni Durul-Manthur Fitafsir Bil-Maathur8, anawatajia kisa hiki mwishoni mwa Aya hii. Na hakika Aya hii kulingana na kauli hii iliteremka ikihusu kisa hicho na wala haina uhusiano wowote na Abu Bakr. c. Aya hii iliteremka ikimhusu Abu Bakr. Hivyo kauli ya kuteremka Aya hii tukufu ikimhusu Abu Bakr ni moja ya kauli tatu kwao. Lakini kauli hii – ya kuteremka ikimhusu Abu Bakr - ili isihi inategemea usahihi wa njia ya upokezi wa habari hiyo, na iwapo haijasihi habari inayoonyesha kuwa Aya hii iliteremka ikimhusu Abu Bakr, kauli hii inabatilika. Ifuatayo kwenu ni rejea ambayo humo imetajwa habari ya kuteremka Aya hii ikimuhusu Abu Bakr, na jinsi alivyotamka bayana udhaifu wa njia ya upokezi wa habari hii: Riwaya ameipokea Tabarani, na kutoka kwake anaipokea Hafidh Al-Haythamiy katika kitabu Majmauz-Zawa’id, kisha anasema (kuhusu njia ya upokezi wa hadithi hiyo): 8

Durul-Manthur Fitafsir Bil-Maathur Juz. 6, Uk. 358. 18


Kuvunja hoja iliyotumika kutetea Uimamu wa Abubakr

“Yumo Muswaab bin Thabit na yeye ni dhaifu.”9 Hivyo kauli ya tatu ambayo ni moja ya kauli tatu katika mas’ala hii inategemea riwaya hii, na riwaya hii ni dhaifu. Muswaab bin Thabit ni mjukuu wa Abdullah bin Zubair, yeye ni Maswaab bin Thabit bin Abdullah bin Zubair. Na Aali Zubair ni wenye kujitenga kando na Ahlulbayt (a.s.), kama ilivyo mashuhuri katika vitabu vikubwa vya ufafanuzi. Maswaab bin Thabit amedhoofishwa na Yahya bin Mu’in, Ahmad bin Hanbal na Abu Hatima, yeye amesema: “Hafanywi hoja.” Nasaiy amesema: “Ni dhaifu.” Na hivyo hivyo ndivyo walivyosema wengine wasiokuwa hawa.10 Basi ni vipi Aya hii tukufu ifanywe dalili ya ubora wa Abu Bakr na hali kuna kauli tatu katika mas’ala hii, na kauli inayosema kuwa iliteremka ikimhusu Abu Bakr inategemea riwaya hiyo, na riwaya hiyo ni dhaifu? Zaidi ya hapo ni kuwa kutumia Aya hii kama dalili kunategemea kutotimu kwa dalili zilizotolewa na Shia Imamiyya kuthibitisha ubora wa Amirul-Muuminiina na uimamu wake.

JIBU LA DALILI YA PILI Kauli ya Mtume (s.a.w.w.): “Wafuateni hawa wawili baada yangu: Abu Bakr na Umar.” Hadithi hii ni miongoni mwa dalili zao nzuri juu ya uimamu wa Masheikh wawili. Huitumia Hadithi hii kama dalili katika vitabu vyao vya theolojia na ndani ya vitabu vyao vya misingi ya sheria. Na kwa kutegemea Hadithi hii wanafanya mwafaka wa Masheikh wawili kuwa ni hoja na pia wanauzingatia mwenendo wa Masheikh 9

Majmauz-Zawa’id Juz. 9, Uk. 50. Tahdhibut-Tahdhiib Juz. 10, Uk. 144.s

10

19


Kuvunja hoja iliyotumika kutetea Uimamu wa Abubakr

wawili kuwa ni hoja, kwa kutegemea Hadithi hii. Hivyo Hadithi hii ni muhimu sana kwao, na hasa ukizingatia kuwa inapatikana katika kitabu Musnad Ahmad bin Hanbal11, Sahih Tirmidhi12 na Mustadrakul-Hakim13, hivyo ni Hadithi iliyomo katika vitabu vyenye kupewa umuhimu na mashuhuri, na huitumia kama dalili katika mambo mbalimbali. Lakini mnaweza mkarejea nyinyi wenyewe katika njia za upokezi wa Hadithi hii, na mchunguze humo kwa makini hali ya njia hizo za mapokezi kulingana na kauli za ulamaa wao katika dosari za wapokezi na uadilifu wao. Iwapo mtatekeleza hili na mkachunguza kwa umakini na mkafuatilia katika vitabu, basi mtaona njia zake zote za upokezi ni dhaifu, na ulamaa wao wakubwa wanatoa maelezo kuhusu wapokezi wa Hadithi hii kuwa wengi wao ni dhaifu, na wanawakuta na dosari kwa aina nyingi za dosari. Lakini nyinyi ni lazima mniombe niwatajie muhtasari wa yale wasemayo kuhusu Hadithi hii, na hapa nawasogezeeni njia na wala hamuhitaji kurejea vitabu hivyo, nasema: Al-Munawiy amesema katika kitabu Faydhul-Qadiir anapofafanua kitabu Al-Jamiu As-Swaghiir: “Abu Hatim ameikuta na dosari.” Yaani amesema: Hadithi hii ina dosari. Na Al-Bazzar amesema kama Ibnu Hazmi: “Haisihi.”14 Hawa watatu ni miongoni mwa maimamu wao, nao wanaikanusha Hadithi hii: Abu Hatim, Abu Bakr Al-Bazzar na Ibnu Hazmi AlAndlusiy. Na Tirmidhi ameileta Hadithi hii katika kitabu chake kwa njia nzuri mno kati ya njia zake, na anaidhoofisha waziwazi. Rejeeni Musnad Ahmad bin Hanbal Juz. 5, Uk. 382 na 385. Sahih Tirmidhi Juz. 5, Uk. 572. 13 Mustadraku Alas-Swahihayn cha Al-Hakim Juz. 3, Uk. 75. 14 Faydhul-Qadiir Sharhul-Jamiu As-Swaghiir Juz. 2, uk. 56. 11

12

20


Kuvunja hoja iliyotumika kutetea Uimamu wa Abubakr

kitabu cha Tirmidhi nacho kipo kinapatikana.15 Na iwapo mtarejea katika kitabu Ad-Dhuafau Al-Kabiir cha Abu Ja’far Al-Uqayliy mtamuona akisema: “Haikubaliki, haina asili.”16 Na mtakaporejea katika kitabu Mizanul-Iitidal ananukuu kauli toka kwa Abubakr bin An-Nuqqash: “Na Hadithi hii ni mbovu.”17 Daruqutuniy anasema: “Hadithi hii haijathibiti.”18 Kumbukeni huyu kwao wao ndiye kiongozi wa waumini katika Hadithi katika karne ya nne Hijriyya. Na mtakaporejea kitabu cha Allama Al-Abriyyu Al-Farghaniy aliyefariki mwaka 743 A.H. anasema katika ufafanuzi wake wa kitabu Minhajul-Baydhawi: “Hakika Hadithi hii ni ya kuzushwa.”19 Na mtakaporejea Mizanul-Iitidal mtamuona Hafidh Dhahbi anaitaja Hadithi hii maeneo mbalimbali ya kitabu hiki, na huko kote anaikanusha Hadithi hii na kuikadhibisha na kuibatilisha. Rejeeni humo.20 Na mtakaporejea katika kitabu Talkhisul-Mustadrak mtamuona Al-Hakim anarudia tena kusema: “Njia yake ya upokezi ni mbovu sana.”21 Na mtakaporejea kitabu Majmauz-Zawa’id cha AlHaythamiy anaipokea hadithi hii kwa njia itokayo kwa Tabarani, anasema: “Na humo wamo ambao sijawajua.”22 Mkirejea katika kitabu Lisanul-Mizan cha Ibnu Hajar AlAsqalaniy Hafidh Shaikhul-Islam mtamuona anaitaja Hadithi hii zaidi ya sehemu moja na anaeleza kuanguka kwa Hadithi hii. Rejeeni Lisanul-Mizan.23 Sahih Tirmidhi Juz. 5, uk. 572. Kitabud-Dhuafau Al-Kabiir Juz. 4, uk. 95. 17 Mizanul-Iitidal Juz. 1, uk. 142. 18 Lisanul-Mizan Juz. 5, uk. 237. 19 Sharhul-Minhaj. 20 Mizanul-Iitidal Juz. 1, uk. 105 na 141 na Juz. 43, uk. 610. 21 Talkhisul-Mustadrak kimechapwa mwishoni mwa kitabu Al-Mustadrak Juz. 3, uk. 75. 22 Majmauz-Zawaid Juz. 9, uk. 53. 23 Lisanul-Mizan Juz. 1, uk. 188 na 272 na Juz. 5, uk. 237. 15 16

21


Kuvunja hoja iliyotumika kutetea Uimamu wa Abubakr

Na mkirejea kwa mmoja wa ulamaa wa karne ya kumi Hijriya, naye ni Shaikhul-Islam Al-Harawi, ana kitabu kiitwacho Ad-Duru An-Nadhiid Min Majmuatul-Hafiid, kitabu hiki kimeshachapwa na kinapatikana, anasema: “Hadithi hii ni ya kuzushwa.”24 Ibnu Darwishul-Hut anaileta Hadithi hii katika kitabu chake Asnal-Matwalib Fii Ahadithi Mukhtalifil-Matwalib, anataja humo kauli kuhusu udhaifu wa Hadithi hii, kuanguka kwake na kubatilika kwake.25 Hivyo Hadithi hii haifai kuwa dalili katika mas’ala ya uimamu, sawasawa itumiwe na Mashia Imamiyya au Masunni, na hata tukitaka kutumia Hadithi kama hii dhidi yao kutetea uimamu wa Ali, hali ikiwa ni Hadithi ambayo inabatilishwa na maimamu wengi kiasi hiki, haiwezekani asilani kuwa hoja dhidi yao ili kuthibitisha uimamu. Na wala haiwezekani kuitumia kama dalili sehemu yoyote ile. Hivyo tunawaona baadhi wanapoona Hadithi hii imeanguka upande wa njia ya upokezi, na hali upande mwingine wanaiona ni Hadithi inayofaa kimaana kuthibitisha uimamu wa Abu Bakr, wanalazimika kuongopa kwa kuinasibisha kwa Mashaikh wawili (Muslim na Bukhar) na Sahihi mbili. Kwa mfano, Al-Qariy katika kitabu chake Sharhul-Fiqhil-Akbar anainasibisha na Sahih Bukhari na Muslim, na hali Hadithi haimo katika Sahih mbili, jambo ambalo linaonyesha kuwa wao wanakiri kuanguka kwa Hadithi hii upande 24 25

Ad-Duru An-Nadhiid Min Majmuatul-Hafiid, uk. 97.

snal-Matwalib Fii Ahadithi Mukhtalifil-Matwalib, uk. 48. Kumbuka kuwa A Hafidh Ibnu Hazmi Al-Andlusiy ana neno muhimu sana kuhusu utoaji dalili kupitia Hadithi hii, na yafuatayo ni maelezo yake: “Na lau sisi tungeruhusu uzushi wa Hadithi na jambo ambalo lau maadui zetu wakilipata wangeruka kwa furaha au wangekata tamaa kwa huzuni, basi tungetoa hoja kupitia riwaya: “Wafuateni hawa wawili baada yangu: Abu Bakr na Umar.” Lakini yenyewe haijasihi na tunamwomba Mwenyezi Mungu atulinde mbali na kutoa hoja kupitia yasiyosihi. Tazama Al-Faslu Fil-Milal Wan-Nihali Juz. 4, uk. 88. 22


Kuvunja hoja iliyotumika kutetea Uimamu wa Abubakr

wa njia ya upokezi. Lakini wameghafilika kuwa watu watachunguza katika vitabu vyao na kuvirejea, na watafanya uhakiki katika mambo wanayoyataja. Kisha itakuwaje Mtume wa Mwenyezi Mungu (saww) aamuru kuwafuata Masheikh wawili (Abu Bakr na Umar) na hali wametofautiana katika mambo mengi, basi ni yupi kati ya hao wawili Waislamu wamfuate? Na itakuwaje Mtume wa Mwenyezi Mungu (saww) aamuru kuwafuata Masheikh wawili (Abu Bakr na Umar) na hali Maswahaba waliwakhalifu Masheikh wawili (Abu Bakr na Umar) katika mambo mengi waliyoyasema na kuyatenda? Na je mnaweza kuwaona ni mafasiki wale Maswahaba ambao waliwakhalifu Masheikh wawili (Abu Bakr na Umar) katika kauli zao na vitendo vyao? Na ni katika maeneo mengi sana.

JIBU LA DALILI YA TATU Kauli ya Mtume (s.a.w.w.) kumwambia Abu Dardai: “Wallahi jua halijachomoza wala kuzama juu ya mtu mbora baada yangu kuliko Abu Bakr.” – Hadithi hii kwao ni dhaifu sana. Tabarani ameipokea katika kitabu Al-Awsat kwa njia ya upokezi ambayo Al-Haythamiy anasema: “Humo mna Isma’il bin Yahya At-Taymiy, naye ni mwongo sana.” Na pia imo katika Majmauz-Zawa’id kwa njia nyingine ya upokezi, anaipokea toka kwa Tabarani, anasema (kuihusu njia hiyo): “Humo yumo Baqiyyah – Baqiyyah bin Al-Walid - naye ni mzushi wa Hadithi, naye ni dhaifu.”26 – Na hii ni yenye kuanguka mbele ya ulamaa wa hali za wapokezi. 26

Majmauz-Zawaid Juz. 9, uk. 44. 23


Kuvunja hoja iliyotumika kutetea Uimamu wa Abubakr

JIBU LA DALILI YA NNE Kauli ya Mtume (s.a.w.w.) kuwahusu Abu Bakr na Umar: “Hao wawili ni mabwana wa vikongwe vya watu wa peponi, isipokuwa Manabii na Mitume.” Hadithi hii anaipokea Al-Bazzar na anaipokea Tabarani, wote wawili wameitoa kwa Abu Said. Al-Haythamiy katika kitabu Majmauz-Zawa’id ameipokea kutoka kwao wawili, amesema: “Humo yumo Ali bin Aabis, naye ni dhaifu.” Na anaipokea Al-Haythamiy kutoka kwa Al-Bazzar, kutoka kwa Ubaydullah bin Umar, na anasema kuhusu mpokezi wake AbdurRahman bin Malik: “Yeye ni mwenye kuachwa.”27 - Hadithi hii haina njia nyingine ya upokezi isiyokuwa hizi mbili.

JIBU LA DALILI YA TANO Kauli ya Mtume (s.a.w.w.): “Haipasi kwa watu ambao kati yao yumo Abu Bakr, mtu mwingine amtangulie (Abu Bakr).” Na kwa bahati nzuri ni kuwa Hafidh Ibnu Al-Jawzi ameileta Hadithi hii katika kitabu Al-Mawdhuati (Hadithi zilizo zushwa), akasema: “Hadithi hii imezushwa kwa jina la Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.).”28 Ikiwa fatwa za Ibnu Al-Jawzi zinazingatiwa kwa Ibnu Taymiyya na mfano wake, basi kauli yake na fatwa yake katika mas’ala hii ni hoja pia. 27 28

Majmauz-Zawaid Juz. 9, uk. 53. Kitabul-Mawdhuati Juz. 1, uk. 318. 24


Kuvunja hoja iliyotumika kutetea Uimamu wa Abubakr

JIBU LA DALILI YA SITA Ama Swala ya Abu Bakr, yenyewe ni mas’ala muhimu mno, kwa sababu mbili: Sababu ya kwanza: Hakika habari za Swala ya Abu Bakr imepatikana katika Sahih mbili, na si kwa njia moja bali nyingi. Imepatikana pia katika vitabu Masanid na vitabu Sunan, na katika vitabu vyao vingi vyenye kupewa umuhimu vilivyo mashuhuri. Ya pili: Swala ndio ibada bora, na ikiwa Mtume wa Mwenyezi Mungu amemtuma Abu Bakr aswali sehemu yake katika hali ya maradhi yake na karibu na kifo chake, hakika hali hiyo itakuwa ni dalili ya kuwa yeye anataka kumwandaa kwa ajili ya ukhalifa baada yake, hivyo Hadithi ya Abu Bakr kuswali nafasi ya Mtume wa Mwenyezi Mungu inakuwa ni dalili nzuri mno juu ya uimamu wa Abu Bakr. Na lau mtarejea katika vitabu mtaona jinsi walivyoitilia umuhimu Hadithi hii, na wanavyoitumia habari hii kama dalili kabla ya dalili zote, na ndio ya mwanzo wanayotumia kutoa hoja ili kutetea uimamu wa Abu Bakr. Hadithi hii imepokewa kutoka kwa Maswahaba kadhaa, wa mwanzo wao akiwa ni Aisha binti Abu Bakr, lakini wewe utakapofanya taamuli katika njia za upokezi utaona Maswahaba wanaipokea habari hii bila kutaja mlolongo mzima wa wapokezi wake, au wanaisikia habari kutoka kwa Aisha naye anakuwa ndio kiungo katika unukuzi wa habari hii, na hapo njia zote za upokezi wa habari hii zinakomea kwa Aisha, na Aisha ni mtuhumiwa katika unukuzi wa kadhia mfano wa hii, kwa sababu mbili: Ya kwanza: Kumkhalifu kwake Ali.

25


Kuvunja hoja iliyotumika kutetea Uimamu wa Abubakr

Ya pili: Kuwa kwake binti wa Abu Bakr. Lakini hata tukifumbia macho upande huu, lau tukichunguza mazingira yaliyoizunguka kadhia hii na vielelezo vya ndani katika matamshi ya habari hii, na pia vielelezo vya nje ambavyo vina uhusiano na habari hii, mtaona kuwa Abu Bakr kwenda kwenye Swala kulikuwa ni kwa utashi wa Aisha mwenyewe, na si kwa kutumwa na Mtume wa Mwenyezi Mungu. Miongoni mwa vielelezo muhimu ambavyo vina athari kubwa katika uwelewa wa kadhia hii, ni kadhia ya Mtume wa Mwenyezi Mungu kuwaamrisha jamaa watoke pamoja na Usamah, yaani kadhia ya kikosi cha Usamah na mkazo wake (saww) juu ya kikosi hiki mpaka mwisho wa uhai wake uliobarikiwa. Ama suala la kuwa Mtume (saww) alikuwa akihimiza mpaka mwisho wa uhai wake kujiunga na kikosi cha Usamah, hili hajalikhalifu yeyote, wala halina khilafu Abadan, nalo limetajwa katika vitabu vyao na katika vitabu vyetu, hakuna tofauti katika hili. Na ama kwamba Maswahaba wakubwa akiwemo Abu Bakr na Umar walikuwa katika amri hii ya kutoka na kikosi, na hili pia limethibiti katika vitabu vyao vyenye kupewa umuhimu, ambavyo vimenukuu habari hii. Hivyo itakuwaje Mtume wa Mwenyezi Mungu (saww) amwamrishe Abu Bakr kutoka na kikosi cha Usamah na atilie mkazo kutoka huko mpaka mwisho wa uhai wake, pamoja na hayo amwamrishe Abu Bakr aswali nafasi yake? Na hapa ndipo anapolazimika mtu kama Ibnu Taymiyya kukanusha Abu Bakr kuwemo katika amri ya kutoka na kikosi cha Usamah na kusema huu ni uwongo, kwa sababu anajua fika kuwa Abu Bakr kuwemo katika amri ya kutoka na kikosi cha Usamah, maana yake ni kuonyesha uongo wa habari ya Abu Bakr kutumwa kwenye Swala, lakini mas’ala ya Swala ni miongoni mwa dalili 26


Kuvunja hoja iliyotumika kutetea Uimamu wa Abubakr

zao muhimu juu ya uimamu wa Abu Bakr, hivyo basi ni lazima kukanusha, japokuwa hali ilivyo Abu Bakr kuwemo katika amri ya kutoka na kikosi cha Usamah ni jambo lisilokanushika. Nawanukulia ibara moja tu ambayo Hafidh Ibnu Hajar AlAsqalanii ameitamka katika kitabu Fat’hul-Bari Bisharhil-Bukhari: “Hilo - la Abu Bakr kuwa katika amri ya kutoka na Usamah amelipokea Al-Waqidiy, Ibnu Saad, Ibnu Is’haqa, Ibnu Al-Jawzi, Ibnu Asakir na wengineo.”29 Yaani na wengine miongoni mwa ulamaa wa habari za vita na Hadithi. Na hivyo alipofariki Mtume wa Mwenyezi Mungu (saww) Usamah alikuwa na jeshi lake nje ya Madina, na Abu Bakr alipochukua utawala, Usamah alimpinga na hakumpa kiapo cha utii Abu Bakr, akasema: “Mimi ni kiongozi juu ya Abu Bakr vipi nimpe kiapo cha utii?” Kwa ajili hiyo Abu Bakr alipomwandalia Usamah safari kuelekea kule alikomwamrisha Mtume wa Mwenyezi Mungu (saww), (Abu Bakr) alimwomba idhini (Usamah) ambakishe Umar Madina, ili awe pamoja naye katika kutekeleza njama zilizopangwa. Vielelezo vya ndani na vya nje vinalazimu kuikadhibisha habari hii, yaani habari ya kwamba Mtume (saww) alimtuma Abu Bakr kwenye Swala. Lakini hatutosheki na kiwango hiki, tunaongeza kuwa hakika Ali (a.s.) mwenyewe pamoja na Ahlulbayti wote walikuwa wakiamini kuwa Abu Bakr kutoka kwenda kwenye Swala ilikuwa ni kwa amri ya Aisha na si kwa amri ya Mtume wa Mwenyezi Mungu (saww). Ibnu Abil-Hadid amesema: “Nilimuuliza Shaikh – yaani Shaikh wake na ustadhi wake mwenye neno katika kadhia hii: ‘Unasema wewe hakika Aisha alimteua baba yake kwa ajili ya Swala na hali Mtume wa Mwenyezi Mungu hajamteua?’ Akasema: ‘Ama mimi 29

Fat’hul-Bari Bisharhil-Bukhari Juz. 8, uk. 124. 27


Kuvunja hoja iliyotumika kutetea Uimamu wa Abubakr

sisemi hilo, lakini Ali alikuwa akilisema, na taklifu yangu si taklifu yake, alikuwa hadhiri (katika tukio hilo) nami sikuwa hadhiri.�’ Hatutosheki na kiwango hiki, tunasema: Tukubali kuwa Mtume wa Mwenyezi Mungu (saww) ndiye aliyemwamuru Abu Bakr kwenda kwenye Swala hii, ni Maswahaba wangapi Mtume wa Mwenyezi Mungu (saww) aliwaamuru waswali katika nafasi yake katika msikiti wake na katika mihrabu yake, na hajadai yeyote kuwa kwa Swala hiyo umethibiti uimamu wa Swahaba ambaye aliswali katika nafasi ya Mtume (saww). Lakini mnaweza kusema: Hakika Swala mwishoni mwa uhai wake (saww) inatofautiana na Swala katika nyakati zilizopita, Swala hii kwa sifa hii ambayo ni kuwa kwake mwishoni mwa uhai wake, inahisisha cheo, nacho ni kumsimika Abu Bakr kwa ajili ya uimamu wa baada yake. Unaweza ukasema hili kama walivyosema. Hebu sasa sikiliza uhalisia wa kadhia na sikiliza yafuatayo: Lau Mtume wa Mwenyezi Mungu angekuwa ndiye aliyeamuru, basi ni kuwa habari hizo zimetaja kuwa yeye (saww) alitoka yeye mwenyewe akiwa mwenye kuwaegemea watu wawili na miguu yake ikiburuza aridhini, akamwengua Abu Bakr toka mihrabuni na akaswalisha Swala hiyo yeye mwenyewe (saww). Lakini wao hurudi na kusema: Hakika Swala ya Abu Bakr ilikuwa siku kadhaa, na hili lililotokea kutoka kwa Mtume lilitokea siku moja tu. Nasema: Kwanza: Kuswalisha haikuwa mara kadhaa bali ilikuwa mara moja tu, nayo ni Swala ya alfajri ya siku ya Jumatatu, hivyo ilikuwa ni Swala moja. Pili: Tuchukulie kuwa aliswalisha siku kadhaa na Swala kadhaa, ni kuwa Mtume wa Mwenyezi Mungu kufanya hivyo (yaani kwenda 28


Kuvunja hoja iliyotumika kutetea Uimamu wa Abubakr

na kumwengua) mwishoni mwa uhai wake, na kutoka kwake katika namna kama hii akiwa ni mwenye kuwaegemea watu wawili na miguu yake ikiburuza juu ya ardhi, ni dalili kuwa yeye (saww) alimuuzulu baada ya kuwa amemsimika, iwapo tu kusimikwa huku kutasihi. Hivyo lau tukikubali kuwa mwamrishaji wa Swala hii ni Mtume wa Mwenyezi Mungu, tukikubali hili, basi Mtume wa Mwenyezi Mungu alitambua kwa makini kuwa wao watatumia Swala hii kutetea uimamu wake (wa Abu Bakr) baada yake, ndipo akatoka kwa namna hii ili aondoe dhana hii na aondoe kihisishi hiki. Na hili lipo na limetajwa katika riwaya zenyewe ambazo mwanzoni mwake zinaeleza kuwa Mtume wa Mwenyezi Mungu (saww) ndiye mwamrishaji wa Swala hii kwa madai yao. Hapa kuna nukta kadhaa: Nukta ya kwanza: Riwaya zinasema: Hakika alitoka akiwa ni mwenye kuwaegemea watu wawili, na mpokezi ni Aisha, kama tulivyotaja kuwa riwaya zote zinakomea kwa Aisha. Mtume wa Mwenyezi Mungu alitoka huku akiwa ni mwenye kuwaegemea watu wawili na miguu yake ikiburuza ardhi, akamwengua Abu Bakr toka mihrabuni, na yeye mwenyewe (saww) akaswalisha Swala hiyo. Kutoka kwake kwa sura hii ni dalili ya kumuuzulu kama kuna tamko la kumsimika. Aisha amemtaja mmoja kati ya hawa wawili ambao Mtume wa Mwenyezi Mungu (saww) alikuwa amewaegemea wakati wa kutoka kwake, na hajataja jina la mtu wa pili, na hali mtu wa pili alikuwa ni Ali (a.s.), jambo ambalo laonyesha Aisha alichukizwa na kitendo hiki. Ibnu Abbas anamwambia mpokezi: ”Je amekutajia jina la mtu wa pili?” Akasema hapana. Ibnu Abbas akasema: ”Ni Ali, lakini yeye (Aisha) nafsi yake haifurahii kumtaja (Ali) kwa kheri.” 29


Kuvunja hoja iliyotumika kutetea Uimamu wa Abubakr

Nukta ya pili: Baadhi yao walipoona kitendo cha Mtume (saww) kutoka kwa sura hii na kuswalisha yeye mwenyewe na kumuuzulu Abu Bakr, hali hii inabomoa msingi wa kutumia Swala hii kama dalili juu ya uimamu wa Abu Bakr baada ya Mtume wa Mwenyezi Mungu (saww), wakaweka Hadithi ya uwongo kuwa Mtume wa Mwenyezi Mungu (saww) hakumuuzulu Abu Bakr, bali hakika alikuja kwenye Swala akiwa ni mwenye kuwaegemea watu wawili na akaswali nyuma ya Abu Bakr, hapo kadhia ya (ukhalifa) ikathibiti na kupata nguvu. Na kwa ibara nyingine: Mtume wa Mwenyezi Mungu (saww) anamsimika Abu Bakr kivitendo, nyongeza ya kule kumtuma kwake kimatamshi na kikauli kwenda kuswalisha. Kwani anakuja muda huo akiwa mwenye kuwaegemea watu wawili na miguu yake ikiburuza aridhini na hatimaye anaswali nyuma ya Abu Bakr. Basi ni nani muda huo anaweza kuhoji uimamu wa Abu Bakr na kuwa kwake Khalifa wa Mtume wa Mwenyezi Mungu, na hali Mtume wa Mwenyezi Mungu yeye mwenyewe kaongozwa (na Abu Bakr) katika Swala? Hivi haitoshi kitendo hiki kuwa dalili juu ya uimamu wa Abu Bakr kwa asiyekuwa Mtume wa Mwenyezi Mungu? Ndiyo, wameweka Hadithi hizi za kuzushwa ili ziwe dalili juu ya kwamba Mtume wa Mwenyezi Mungu (saww) aliongozwa na Abu Bakr. Lakini Masheikh wawili (Bukhar na Muslim) hawajaipokea hadithi hii, yaani kipande hiki cha Hadithi hakimo katika Sahih mbili, bali kilichomo katika Sahih mbili ni: “Hakika Mtume wa Mwenyezi Mungu alimwengua na kumwondoa na Abu Bakr akakaa nyuma na Mtume wa Mwenyezi Mungu akaswalisha yeye mwenyewe Swala hiyo.� Ama Hadithi hii (ya Mtume kuswali nyuma ya Abu Bakr) imo katika kitabu Musnad Ahmad, nayo ni Hadithi ya uwongo moja kwa 30


Kuvunja hoja iliyotumika kutetea Uimamu wa Abubakr

moja. Na ameikadhibisha zaidi ya mmoja miongoni mwa maimamu wakubwa katika mahafidhi wa Hadithi wa Kisunni. Na mpaka baadhi yao kama vile Hafidh Abul-Faraj Ibnu Al-Jawzi ametunga kitabu risala makhsusi ikibatilisha Hadithi ya Mtume wa Mwenyezi Mungu (saww) kuongozwa na Abu Bakr. Je inaingia akilini kuwa Mtume aongozwe na Abu Bakr ambaye ni mmoja wa wafuasi wake, huyo mfuasi awe Imam wa Mtume (saww), asilani hili haliingii akilini. Risala ya Ibnu Al-Jawzi imechapwa kwa mara ya kwanza tangu miaka ishirini iliyopita, niliisambaza mimi mwenyewe na kwa uhakiki wangu, na kwa hilo namshukuru Mwenyezi Mungu.30 Nukta ya tatu: Hakika Mtume (saww) baada ya kutoka kwenda kwenye Swala na kuswalisha yeye mwenyewe na kumwengua Abu Bakr, hakutosheka na kiwango hiki, bali baada ya Swala hiyo alikaa juu ya mimbari akatoa khutba. Akatia msisitizo juu ya Qur’ani na kizazi na akawaamuru watu wavifuate viwili hivyo na waongozwe na hivyo viwili, basi Mtume wa Mwenyezi Mungu (saww) kwa khutba yake hii akasisitizia kile kilichojulishwa na kitendo chake. Yaani kuhudhuria Swala yake na kumuuzulu Abu Bakr mihrabuni, kisha katika khutba hii ya baada ya Swala akaongeza kuwa ni wajibu juu ya Waislamu wote kutoka pamoja na Usamah, na akasisitiza juu ya wajibu wa kutoka na kikosi hiki na kuharakisha uondokaji huo! – Baada ya haya yote haibaki nafasi ya kutumia Hadithi hii kama dalili ya kuthibitisha kutangulizwa kwake (Abu Bakr) katika Swala.

30

Risala hii aliitunga Hafidh Abul-Faraj Ibnu Al-Jawzi Al-Hanbaliy aliyefariki mwaka 597 A.H., ikiwa ni jibu la kumpinga Hafidh wa zama zake Abdul-Mughith Al-Hanbaliy, na kwa ajili hiyo aliipa jina la Afat Asw’habul-Hadith Fii Raddi Ala Abdil-Mughith. Ilichapwa mara ya kwanza chini ya uhakiki wetu. 31


Kuvunja hoja iliyotumika kutetea Uimamu wa Abubakr

JIBU LA DALILI YA SABA Kauli ya Mtume (s.a.w.w.): “Mbora wa Ummah wangu ni Abu Bakr kisha Umar.” Hadithi hii kwa kiwango hiki ameitaja Al-Qadhi Al-Iyjiy na akaifafanua yeye na wengineo. Lakini Hadithi haiko hivyo, Hadithi ina mwisho wake, na wao wameondoa mwisho huu ili waweze kuitumia kama dalili, hebu sasa isikie Hadithi kamili: Kutoka kwa Aisha, nilisema: “Ewe Mtume wa Mwenyezi Mungu! Ni nani mbora wa watu baada yako?” Akasema: “Abu Bakr.” Nikasema: “Kisha nani?” Akasema: “Umar.” – Hiki ndio kiwango walichotumia hawa kama dalili. - Lakini katika baraza alikuwepo Fatima (a.s.), akasema Fatima (a.s.: “Ewe Mtume wa Mwenyezi Mungu! Haujasema chochote kumhusu Ali!” Akasema: “Ewe Fatima! Ali ni nafsi yangu, basi ni nani uliyemuona akisema chochote kuihusu nafsi yake?” Wanatoa dalili kupitia kifungu cha mwanzo cha Hadithi kinachowahusu Masheikh wawili na wanakifanya ni dalili ya uimamu wa Masheikh wawili, na wanaondoa mwisho wake, kana kwamba wao hawajui kuwa yupo atakayerejea kwenye Hadithi na kuisoma matamshi yake kamili, na ataipata ndani ya rejea. Lakini pamoja na hayo bado Hadithi ni dhaifu upande wa njia ya upokezi. Rejea kitabu Tanzihus-Shariah Al-Marfuah Anil-Ahadithi As-Shaniah AlMaudhua.31

31

Tanzihus-Shariah Al-Marfuah Anil-Ahadithi As-Shaniah Al-Maudhua Juz. 1, uk. 367. 32


Kuvunja hoja iliyotumika kutetea Uimamu wa Abubakr

JIBU LA DALILI YA NANE Kauli ya Mtume (s.a.w.w.): “Lau ningekuwa natafuta khalili asiyekuwa Mola Wangu Mlezi, basi ningemfanya Abu Bakr khalili.” Katika jibu la Hadithi hii inatosha tuseme: Ikiwa kweli Mtume wa Mwenyezi Mungu (saww) alisema kuhusu haki ya Abu Bakr: “Lau ningekuwa natafuta khalili asiyekuwa Mola Wangu Mlezi, basi ningemfanya Abu Bakr khalili,” ikiwa kweli alisema hivyo katika haki ya Abu Bakr, basi kwao wao wenyewe imekuja riwaya nyingene kama hiyo katika haki ya Uthman kuwa: Hakika yeye (saww) alimfanya Uthmani khalili. Upande wa Abu Bakr anasema: “Lau,” ama katika haki ya Uthman anasema: “Nimemfanya khalili,” anasema: “Hakika kila Nabii ana khalili toka katika Ummah wake, na hakika khalili wangu ni Uthman bin Affan.” Hapo Uthman anakuwa ni mbora kuliko Abu Bakr. Na mimi pia naona kuwa kwa mujibu wa vitabu vyao Uthman ni mbora kuliko Abu Bakr na Umar, kutokana na sifa zake zilizomo katika vitabu vyao, na kati ya sifa hizo ni hii Hadithi, lakini yenyewe ni Hadithi batili mfano wa nyingine.32

JIBU LA DALILI YA TISA Kauli ya Mtume (s.a.w.w.) baada ya Abu Bakr kutajwa mbele yake: “Na yuko wapi mfano wa Abu Bakr; watu walinikadhibisha, yeye akanisadikisha, akaniamini na akanioza binti yake. Akaniandaa kwa mali yake na akanisaidia kwa nafsi yake, akapigana jihadi pamoja nami wakati wa khofu.” 32

Tanzihus-Shariah Al-Marfuah Anil-Ahadithi As-Shaniah Al-Maudhua Juz. 1, uk. 392. 33


Kuvunja hoja iliyotumika kutetea Uimamu wa Abubakr

Hadithi hii: Njia ya upokezi wake ni kuwa Hafidh Suyuti katika kitabu chake Al-laali Al-Mas’nuah ameiweka chini ya orodha ya Hadithi zilizozushwa.33 Na pia Hafidh Ibnu Arraq mwandishi wa kitabu Tanzihus-Shariah,34 mwandishi huyu ameiweka katika kitabu chake hiki chini ya orodha makkhsusi kwa ajili ya riwaya zilizozushwa. Ama hoja, yenyewe yaonyesha kuwa Abu Bakr alikuwa akimpa Mtume wa Mwenyezi Mungu (saww) sehemu ya mali yake, na alikuwa akitumia mali yake binafsi kwa ajili ya Mtume wa Mwenyezi Mungu (saww), na Mtume wa Mwenyezi Mungu (saww) alikuwa na haja na mali ya Abu Bakr na kupewa na yeye, na hii ni miongoni mwa kadhia za uwongo. Uwongo wa Hadithi hii umefikia kiwango cha mtu kama Ibnu Taymiyya kukimbilia kutamka wazi bayana kuhusu uwongo wake. Mtu kama Ibnu Taymiyya anatamka bayana kuwa hii si sahihi,35 na Mtume (saww) hakuwa anahitaji mali ya Abu Bakr. Ni hivyo wazushi wa uwongo wanaweka fadhila za uwongo na sifa ambazo zinalazimu kumtia dosari Mtume wa Mwenyezi Mungu (saww), hivyo habari ya Abu Bakr kumpa matumizi Mtume wa Mwenyezi Mungu (saww) ni uwongo, na Ibnu Taymiyya ni miongoni mwa wanaokiri hilo. Hivyo Hadithi hii kimaana hadi kiupokezi ni uwongo mtupu.

Al-laali Al-Mas’nuah Bil-Ahadithi Al-Maudhuah Juz. 1, uk. 295. Tanzihus-Shariah Al-Marfuah Anil-Ahadithi As-Shaniah Al-Maudhua Juz. 1, uk. 344. 35 Minhajus-Sunna Juz. 4 Uk. 289. 33 34

34


Kuvunja hoja iliyotumika kutetea Uimamu wa Abubakr

JIBU LA DALILI YA KUMI Kauli ya Ali (a.s.): “Mbora wa watu baada ya Manabii ni Abu Bakr kisha Umar kisha Mwenyezi Mungu ndiye ajuwaye zaidi.” Si tamshi hili pekee bali wana Hadithi nyingine na matamshi mengine wanayanukuu kutoka kwa Ali (a.s.) yakihusu ubora wa Mashaikh wawili. Lakini: Mosi: Abu Bakr yeye mwenyewe anakiri kuwa hakuwa mbora wa watu, kwani alisema: “Nimewatawala na mimi si mbora wenu.” Ibara hii imo katika kitabu At-Tabaqat cha Ibnu Saad.36 Au hakusema: “Niuzuluni mimi si mbora wenu”?! Kama ilivyo katika rejea nyingi.37 Pili: Mwandishi wa Al-Istaab anapoelezea wasifu wa AmirulMuuminiina (a.s.)38 amesema: “Hakika kundi kubwa miongoni mwa Maswahaba walikuwa wakimfadhilisha Ali juu ya Abu Bakr.” Pia hilo limetajwa na Ibnu Hazmi katika kitabu Al-Faslu,39 na wamelitaja wengine miongoni mwa mahafidhi. Ikiwa Ali mwenyewe anakiri ubora wa Masheikh wawili kuliko yeye, ilikuwaje hao wakawa wanamfadhilisha Ali juu yao wawili? Wametaja majina ya Maswahaba kadhaa wanaoamini ubora wa Ali (juu ya Abu Bakr na Umar), miongoni mwa hao ni Abudhar, Salman, Al-Miqadad, Ammar na….. kisha tena Ali akiri ubora wa Masheikh wawili kuliko yeye!! Hizi ni habari za uwongo zilizozushwa kwa jina la Amirul-Muuminiin (a.s.). Hivyo hatujapata dalili ya jamaa hawa iliyosalimika na dosari, kasoro na mushkeli, ima ni upande wa njia ya upokezi au ni upande At-Tabaqat Al-Kubra Juz. 3 Uk. 139. Majmauz-Zawaid Juz. 5, uk. 183. Sirat Ibnu Hisham Juz. 2, uk. 661. Tarikhul-Khulafai uk. 71. 38 Al-Istaab Fii Maarifatil-Aswhabi Juz. 3, uk. 1090. 39 Al-Faslu Fil-Milal Wan-Nahli Juz. 4, uk. 181. 36 37

35


Kuvunja hoja iliyotumika kutetea Uimamu wa Abubakr

wa hoja, au ni upande wa njia ya upokezi na hoja pamoja, hayo yote ni kwa mujibu wa mwanga wa vitabu vyao na mwanga wa maneno ya ulamaa wao. Hadithi hizo ni miongoni mwa Hadithi zilizozuliwa na kuwekwa ambazo hazina msingi wowote, kwa kukiri kwao, na hasa Hadithi ‘Wafuateni hawa wawili baada yangu.’ Na muhimu ni kadhia ya Swala, kwani Swala ya Abu Bakr zama za uhai wa Mtume wa Mwenyezi Mungu (saww) inaweza kuhisisha uimamu wake baada yake, lakini Mtume wa Mwenyezi Mungu (saww) alimuuzulu toka mihrabuni na akaswalisha Swala hiyo yeye mwenyewe, ikiwa habari ya Abu Bakr kutumwa kwenye Swala itasihi. Zaidi ya hapo ni kuwa uimamu wa Masheikh wawili ni lazima uchunguzwe upande mwingine, nao ni kuwa: Kuna kizuizi, kuna kadhia zinazowazuia wasiwe Maimamu wa Waislamu, kadhia hizo ni nyingi na zimetajwa katika vitabu, na kwa mfumo wetu hatuwezi kugusia kadhia hizo hapa.

36


Kuvunja hoja iliyotumika kutetea Uimamu wa Abubakr

MJADALA JUU YA IJMAI YA UKHALIFA WA ABU BAKR

I

mebaki Ijmai. Ijmai ya Maswahaba juu ya ukhalifa wa Abu Bakr, na nyinyi ni wajuzi mno wa hali yake, na wala sipendi kuingia katika mjadala huu, kwa sababu huenda ukatuvutia kwenye kadhia ambazo hazipasi kutajwa wakati huu. Ni Ijmai gani hii wanayoidai juu ya Abu Bakr?! Na hali kuna kadhia za Saqifa na mazingira ya Baiya ya Abu Bakr na uimamu wake, mazingira ambayo wao wenyewe huyasema. Huenda tukagusia baadhi ya nukta zinazohusiana na jambo hili katika uchambuzi wetu kuhusu Shura ambayo tumeiwekea usiku maalumu.

Lakini linalotosha niseme hapa ni kuwa: Mwandishi wa kitabu Sharhul-Maqaswid40 na wengineo miongoni mwa ulamaa wa theiolojia wanasema kuwa: Sisi tunapodai kuwepo Ijmai, hatudai kutokea Ijmai halisi. Tunaposema: Ijmai ilisimama juu ya ukhalifa wa Abu Bakr, haimaanishi kuwa watu wote walikusanyika na kukongamana na kuafikiana juu ya uimamu wake, bali uimamu wake kwa kweli ulipatikana kwa Baiya ya Umar na ndani ya Saqifa baada ya mzozo baina ya Muhajirina na Ansari, na kuondoa mzozo baina ya Ansari wa Ki-Ausi na Ki-Khazraji. Niishie hapa kugusia mada hii. Lakini pamoja na hayo tunaporejea kwenye vitabu hivi wanasema ni aula tuzinyamazie kadhia kama hizi na tusizizungumzie. Hakika Mtume wa Mwenyezi Mungu (saww) ameaamuru kunyamazia yale yatakayotokea baina ya Maswahaba zake, hamna sababu ya kuleta kadhia kama hizi na kugusia mambo kama haya. 40

Sharhul-Maqaswid Juz. 5, uk. 254. 37


Kuvunja hoja iliyotumika kutetea Uimamu wa Abubakr

Na mimi naona ni munasibu niwasomeeni tamko la ibara ya As-Saad At-Taftazaniy katika Sharhul-Maqaswid ili muone jinsi wanavyotapatapa, na kuwa ni wapi wao wanakimbilia, anasema: “Ulamaa wote wa Kiislamu na ulamaa wa Ummah wameafikiana juu ya hilo – Yaani uimamu wa Abu Bakr, - na kuwa na dhana nzuri kwao inahukumu kuwa laiti wasingemjua kwa dalili na alama basi wasingekubaliana juu yake.” Nasema: Ikiwa ni hivyo, ikiwa twawafuata Maswahaba moja kwa moja kutokana na kuwadhania vizuri, basi ni kwa nini tumezichosha nafsi zetu? Na kwa nini tumejitahidi na kuchunguza dalili na kuleta Aya na Hadithi? Ilifaa tangu mwanzo tuseme: Hakika sisi katika mas’ala hii twawafuata Maswahaba, wao walifanya hivi na sisi twasema hivi. Chunguzeni, kisha At-Taftazaniy anasema: “Ni wajibu kuwatukuza Maswahaba na kujizuia kuwakuta na dosari. Na yale yanayolazimu kwa dhahiri kuwa dosari kwao, yaletewe tafsiri na maana nyingine, hasa Muhajirina na Ansari.”

MWISHO WA SAFARI As-Saad anapomaliza kunukuu kauli ya Imamiyya: “Hakika baada ya Mtume wa Mwenyezi Mungu kuna Imam, na si asiyekuwa Ali, kutokana na kutokuwepo sharti la umaasumu, tamko na ubora kwa asiyekuwa yeye.” Anaanza kumshambulia na kumtukana Sheikh AlMuhaqiq Nasirud-Diyn At-Tusi na ulamaa wengine wa Imamiyya. Tazameni maneno yake, nanukuu tamko la ibara yake, ili muone kiwango cha uwelewa wa hawa na kiwango cha adabu yao, kisha mlinganishe baina ya maneno ya Imamiyya na maneno ya hawa watu. 38


Kuvunja hoja iliyotumika kutetea Uimamu wa Abubakr

Anasema: “Shia wametoa hoja toka katika akili na nukuu, kwa sababu walizonazo katika kuthibitisha uimamu wa Ali baada ya Mtume (s.a.w.w.), na kumtia kasoro asiyekuwa yeye miongoni mwa Maswahaba wa Mtume wa Mwenyezi Mungu (saww) ambao walichukua madaraka. Na wanadai kuwepo tawaturi katika habari nyingi zilizopatikana katika mlango huu, kutokana na umashuhuri wake baina yao, na kukithiri mzunguko wake juu ya ndimi zao na kutokea katika mikutano yao na kuafikiana kwake na maumbile yao, na kugonga kwa masikio yao, na wala hawafanyi taamuli ni vipi lilifichikana juu ya wakubwa miongoni mwa Ansari na Muhajirina, na waaminifu miongoni mwa wapokezi wa Hadithi na wasimulizi. “Baadhi hawajatoa hoja juu ya wengine, wala hawakuwanyamazisha kwa dosari na kasoro, na hilo halikudhihiri ila baada ya kutoweka kipindi cha uimamu na zama kurefuka kwa amri ya utume, na kudhihiri upendeleo binafsi na utumiaji nguvu mbovu, na dini kuwekwa kwa ulamaa waovu, na ufalme kwa viongozi madhalimu. Na miongoni mwa ajabu ni kuwa baadhi ya waliokuja baadaye miongoni mwa wasambaza shari ambao hawajamwona yeyote yule miongoni mwa wasimulizi wa Hadithi, na wala hawakupokea hata Hadithi moja katika suala la dini, wamejaza vitabu vyao mifano ya Habari hizi na dosari kuwahusu Maswahaba wema. Na ukitaka tazama kitabu At-Tajrid kinachonasibishwa na Al-Hakiim Nasirud-Diyn At-Tusi, jinsi gani amezinusuru batili na akaridhia uwongo……” Nasema: Ama Nasirud-Diyn At-Tusi, hakika sisi tunamshukuru At-Taftazaniy kwa kutosheka na kiwango hiki cha shutuma na kumtusi, tunamshukuru kwa kutosheka kwake na kiwango hiki. Kwani hakika kutokana na Sheikh Nasirud-Diyn At-Tusi kutunga kitabu At-Tajrid na kutumia dalili za kitabu hiki kutoka katika vitabu vya Ahlus-Sunna kuthibitisha Uimamu wa Ali, Ibnu Taymiya 39


Kuvunja hoja iliyotumika kutetea Uimamu wa Abubakr

amemtaja kwa yale ambayo Mwislamu hawezi kuyatamka kumhusu mtu wa chini kabisa kati ya watu. Amemtaja kwa yasiyosemeka, akamnasibisha na madhambi makubwa na aibu zisizosemekana. Tumetenga usiku makhsusi ili kuhakiki maudhui hii na humo tutayaweka bayana maneno yake, kwa auni ya Mwenyezi Mungu. Haya ni yale yanayohusiana na Sheikh Nasirud-Diyn At-Tusi. Ama asili ya mada, hakika sisi tumesimamisha dalili juu ya Uimamu wa Ali kutoka katika vitabu vyao wenyewe, tumebainisha usahihi wa dalili hizo kwa mujibu wa vitabu vyao wao wenyewe, na tumeshataja hoja zetu kwa kila aina ya adabu heshima na unyenyekevu, hatujamgusa yeyote miongoni mwao kwa matusi, hivyo tukathibitisha uimamu wa Amirul-Muuminina kwa tamko, tukathibitisha uimamu wake kwa umaasumu na tukathibitisha uimamu wake kwa ubora. Hayo yote ni kutoka katika vitabu vyao, hayo yote ni kwa mujibu wa kauli za ulamaa wao. Tumetoa ushahidi kupitia njia bora kabisa za upokezi wa Hadithi na tukategemea hilo vitabu na utunzi wao mashuhuri, hatukuwa tukitoa matusi wala kashfa wala upendeleo binafsi na wala utumiaji nguvu. Kisha tukachunguza dalili zao katika uimamu wa Abu Bakr. Ama tamko wao wenyewe wamesema halipo, ama Ijmai yenyewe hakuna, hadi wamelazimika wao wenyewe kukiri kuwa haikufanyika. Huenda hilo nalo tukaligusia katika usiku makhsusi. Ama ubora hiyo ndio dalili yao bora, nao tumeshauchunguza hatua kwa hatua kwa mujibu wa vitabu vyao, basi ni ipi dhambi yetu iwapo dalili juu ya uimamu wa Abu Bakr haijatimia? Na imetimia dalili toka katika vitabu vyao juu ya uimamu wa Ali? Kwa nini hawataki kuchunguza ukweli? Kwa nini ukweli unakuwa mchungu? Kwa nini wanakimbilia kutukana na kukashifu? 40


Kuvunja hoja iliyotumika kutetea Uimamu wa Abubakr

Na mashambulizi haya ni ya nini? Hivi hayatoshi yale waliyokumbana nayo ulamaa wetu tangu zama za mwanzo mpaka leo hii, ambayo ni matusi, kashfa, kuuwawa, kufungwa, kufukuzwa na mengineyo? Haya yataendelea mpaka lini? Na ni kwa nini haya yatokee? Sisi tunataka kuchunguza ukweli halisi unaohusiana na yule tunayetaka kumfuata baada ya Mtume wa Mwenyezi Mungu (saww), tunataka kumfanya kiungo kati yetu na Mwenyezi Mungu, katika mambo yetu ya kiitikadi na yale ya kivitendo, yaani katika misingi na matawi katika wajihi zote. Tunataka kuuchunguza ukweli na tuufikie, na tutakapoufikia ukweli na kuipata haki hapo tunamwambia Mola wetu Mlezi: Hakika sisi tumechunguza dalili na tumechunguza ukweli, haya ndio tuliyoyafikia, na huyu ndiye Imamu wetu, na hii ndio njia yetu, ili tuwe na udhuru kwa Mwenyezi Mungu. Uchunguzi wote huu wa hili si kwa mapenzi na chuki, na wala hatuna lengo lolote baya, basi ni ipi sababu ya kashfa? Na ni mpaka lini ukweli utaendelea kuwa mchungu, na mpaka lini wataendelea kutokuwa tayari kusikia haki, kuchukua haki na kuikubali haki? Kashfa hizi za nini? Tunamwomba Mwenyezi Mungu atuwafikishe katika yale anayoridhia. Tunamwomba Mwenyezi Mungu atuongoze katika uwelewa wa kweli, na tunamwomba Mwenyezi azing’arishe nyuso zetu siku tutakapofika Kwake na kukutana Naye, na pindi tutakapokutana na Mtume wa Mwenyezi Mungu (saww). Naomba rehema na amani zimfikie Muhammad na Aali Muhammad. Na Mwisho wa dua zetu ni kumshukuru Mwenyezi Mungu Mola Mlezi wa walimwengu.

41


Kuvunja hoja iliyotumika kutetea Uimamu wa Abubakr

ORODHA YA VITABU VILIVYO ­CHAPISHWA NA AL-ITRAH FOUNDATION 1.

Qur’an Al-Kariim - Tafsir Al-Kashif Juzuu ya kwanza mpaka Thelathini

2.

Uharamisho wa Riba

3.

Uharamisho wa uwongo Juzuu ya Kwanza

4.

Uharamisho wa uwongo Juzuu ya Pili

5.

Hekaya za Bahlul

6.

Muhanga wa Imamu Husein (A.S.)

7.

Mikingamo iliyomzunguka Imamu Ali (A.S.)

8.

Hijab vazi Bora

9.

Ukweli wa Shia Ithnaashariyyah

10.

Madhambi Makuu

11.

Mbingu imenikirimu

12.

Abdallah Ibn Saba

13.

Khadijatul Kubra

14. Utumwa 15.

Umakini katika Swala

16.

Misingi ya Maarifa 42


Kuvunja hoja iliyotumika kutetea Uimamu wa Abubakr

17.

Kanuni za Ndoa na maadili ya Familia

18.

Bilal wa Afrika

19. Abudharr 20.

Usahihi wa Historia ya Uislamu na Waislamu

21.

Salman Farsi

22.

Ammar Yasir

23.

Qur’an na Hadithi

24. Elimu ya Nafsi 25. Yajue Madhehebu ya Shia 26.

Ukusanyaji na Uhifadhi wa Qur’an Tukufu

27. Al-Wahda 28.

Ponyo kutoka katika Qur’an.

29.

Uislamu mfumo kamili wa maisha ya kijamii

30.

Mashukio ya Akhera

31.

Al Amali

32.

Dua Indal Ahlul Bayt

33.

Udhuu kwa mujibu wa Kitabu na Sunna

34.

Haki za wanawake katika Uislamu

35.

Mwenyeezi Mungu na sifa zake

36.

Kumswalia Mtume (s)

37.

Nafasi za Ahlul Bayt (a.s)

38. Adhana 43


Kuvunja hoja iliyotumika kutetea Uimamu wa Abubakr

39

Upendo katika Ukristo na Uislamu

40.

Tiba ya Maradhi ya Kimaadili

41.

Maana ya laana na kutukana katika Qur’ani Tukufu

42.

Kupaka juu ya khofu

43.

Kukusanya swala mbili

44.

Bismillah ni sehemu ya Qur’ani na husomwa kwa Jahara

45.

Kuwaongoza vijana wa kizazi kipya

46.

Kusujudu juu ya udongo

47.

Kusherehekea Maulidi Ya Mtume (s)

48. Tarawehe 49.

Malumbano baina ya Sunni na Shia

50.

Kupunguza Swala safarini

51.

Kufungua safarini

52.

Umaasumu wa Manabii

53.

Qur’an inatoa changamoto

54. as-Salaatu Khayrun Mina -’n Nawm 55.

Uadilifu wa Masahaba

56. Dua e Kumayl 57.

Sauti Ya Uadilifu wa Binadamu

58.

Umaasumu wa Mitume - Faida Zake Na Lengo Lake

59.

Umaasumu wa Mitume - Majibu Ya Aya Zenye Utata

60. Umaasumu wa Mitume - Umaasumu wa Mtume Muhammad (s) 44


Kuvunja hoja iliyotumika kutetea Uimamu wa Abubakr

61.

Nahju’l-Balaghah - Juzuu ya Kwanza

62.

Nahju’l-Balaghah - Juzuu ya Pili

63. Kuzuru Makaburi 64.

Maswali Na Mishkili Elfu - Sehemu ya Kwanza

65.

Maswali Na Mishkili Elfu - Sehemu ya Pili

66.

Maswali Na Mishkili Elfu - Sehemu ya Tatu

67.

Maswali Na Mishkili Elfu - Sehemu ya Nne

68.

Maswali Na Mishkili Elfu - Sehemu ya Tano

69.

Maswali Na Mishkili Elfu - Sehemu ya Sita

70.

Tujifunze Misingi Ya Dini

71.

Sala ni Nguzo ya Dini

72.

Mikesha Ya Peshawar

73.

Malezi Ya Mtoto Katika Uislamu

74. Ubora wa Imam ‘Ali Juu ya Maswahaba Na Ushia ndio njia iliyonyooka 75.

Hukumu za Kifikihi zinazowahusu Wanawake

76. Liqaa-u-llaah 77.

Muhammad (s) Mtume wa Allah

78.

Amani na Jihadi Katika Uislamu

79.

Uislamu Ulienea Vipi?

80.

Uadilifu, Amani na Mtume Muhammad (s)

81.

Mitala na Ndoa za Mtume Muhammad (s)

45


Kuvunja hoja iliyotumika kutetea Uimamu wa Abubakr

82. Urejeo (al-Raja’a ) 83. Mazingira 84.

Utokezo (al - Badau)

85.

Hukumu ya kujenga juu ya makaburi

86.

Swala ya maiti na kumlilia maiti

87.

Uislamu na Uwingi wa Dini

88.

Mtoto mwema

89.

Adabu za Sokoni

90.

Johari za hekima kwa vijana

91.

Maalimul Madrasatain Sehemu ya Kwanza

92.

Maalimul Madrasatain Sehemu ya Pili

93.

Maalimul Madrasatain Sehemu ya Tatu

94. Tawasali 95.

Imam Mahdi katika Usunni na Ushia

96.

Huduma ya Afya katika Uislamu

97.

Sunan an-Nabii

98.

Historia na sera ya viongozi wema (Sehemu ya Kwanza)

99.

Shahiid Mfiadini

100. Ujumbe - Sehemu ya Kwanza 101. Ujumbe - Sehemu ya Pili 102. Ujumbe - Sehemu ya Tatu 103. Ujumbe - Sehemu ya Nne 46


Kuvunja hoja iliyotumika kutetea Uimamu wa Abubakr

104. Kumswalia Nabii (s.a.w) 105. Mariamu, Yesu na Ukristo kwa mtazamo wa Kiislamu 106. Hadithi ya Thaqalain 107. Ukweli uliopotea sehemu ya Kwanza 108. Ukweli uliopotea sehemu ya Pili 109. Ukweli uliopotea sehemu ya Tatu 110. Ukweli uliopotea sehemu ya Nne 111. Ukweli uliopotea sehemu ya Tano 112. Safari ya kuifuata Nuru 113. Fatima al-Zahra 114. Myahudi wa Kimataifa 115. Kuanzia ndoa hadi kuwa Wazazi 116. Visa vya kweli sehemu ya Kwanza 117. Muhadhara wa Maulamaa 118. Mwanadamu na Mustakabali wake 119. Imam Ali (‘a) Ndugu wa Mtume Muhammad (s) (Sehemu ya Kwanza) 120. Imam Ali (‘a) Ndugu wa Mtume Muhammad (s) (Sehemu ya Pili) 121. Khairul Bariyyah 122. Uislamu na mafunzo ya kimalezi 123. Vijana ni Hazina ya Uislamu. 124. Yafaayo kijamii 47


Kuvunja hoja iliyotumika kutetea Uimamu wa Abubakr

125. Tabaruku 126. Taqiyya 127. Vikao vya furaha 128. Shia asema haya Sunni asema haya Wewe wasemaje? 129. Visa vya wachamungu 130. Falsafa ya Dini 131. Kuhuzunika na Kuomboleza - Azadari 132. Sunna katika Kitabu Fiqhi al-Sunnah 133. Kuonekana kwa Allah 134. Tabia njema kwa Mujibu wa Ahlul-Bayt (Sehemu ya Kwanza) 135. Tabia njema kwa Mujibu wa Ahlul-Bayt (Sehemu ya Pili) 136. Ushia ndani ya Usunni 137. Maswali na Majibu 138. Mafunzo ya hukmu za ibada 139. Ahlul Bayt ndani ya tafsiri za Kisunni No 1 140. Ahlul Bayt ndani ya tafsiri za Kisunni No 2 141. Ahlul Bayt ndani ya tafsiri za Kisunni No 3 142. Abu Huraira 143. Vipengee kadhaa katika Swala ya Jamaa na Msikiti. 144. Mazingatio kutoka katika Qur’an - Sehemu ya Kwanza 145. Mazingatio kutoka kaitka Qur’an - Sehemu ya Pili 146. Mazingatio kutoka katika Uislamu - Sehemu ya kwanza 48


Kuvunja hoja iliyotumika kutetea Uimamu wa Abubakr

147. Mazingatio kutoka katika Uislamu - Sehemu ya Pili 148. Qur’ani Tukufu – Pamoja na Tarjuma ya Kiswahili 149. Falsafa ya Mageuzi ya Imam Husein (a.s) 150. Amali za Mwezi Mtukufu wa Ramadhani 151. Elimu ya Tiba za Kiislamu - Matibabu ya Maimamu 152. Uislamu Safi 153. Majlisi za Imam Husein Majumbani 154. Uislam wa Shia 155. Amali za Makka 156. Amali za Madina 157. Asili ya Madhehebu katika Uislamu 158. Sira ya Imam Ali kuhusu Waasi 159. Ukweli uliofichika katika neno la Allah 160. Uislamu na Mifumo ya Uchumi 161. Umoja wa Kiislamu na Furaha 162. Mas’ala ya Kifiqhi 163. Jifunze kusoma Qur’ani 164. As-Sahifatul Kamilah as-Sajjadiyyah 165. Hayya ‘Alaa Khayri’l-’Amal Katika Adhana 166. Ukweli kuhusu Funga ya Siku ya Ashura

49


Kuvunja hoja iliyotumika kutetea Uimamu wa Abubakr

167. Dua za Miezi Mitatu Mitukufu (Rajabu, Shaabani na Ramadhani) 168. Uadilifu katika Uislamu 169. Mahdi katika Sunna 170. Kazi na Bidii ni njia ya maendeleo 171. Abu Talib – Jabali Imara la Imani 172. Ujenzi na Utakaso wa Nafsi 173. Vijana na Matarajio ya Baadaye 174. Usalafi – Historia yake, maana yake na lengo lake 175. Ushia – Hoja na Majibu 176. Mateso ya Dhuria wa Mtume (saww) 177. Maombolezo – Msiba wa Bwana wa Mashahidi (a.s.) 178. Shahidi kwa Ajili ya Ubinadamu 179. Takwa 180. Amirul Muuminina (‘as) na Makhalifa 181. Utawala na Uendeshaji katika Sera ya Imam Ali (a.s.) 182. Kuelewa Rehma ya Mwenyezi Mungu 183. Mtazamo kuhusu msuguano wa kimadhehebu 184. Upotoshaji Dhahiri katika Turathi (Hazina) ya Kiislamu 185. Nchi na Uraia – Haki na wajibu kwa Taifa 186. Mtazamo wa Ibn Taymiyyah kwa Imam Ali (a.s.) 187. Uongozi wa kidini – Maelekezo na utekelezaji wa Kijamii

50


Kuvunja hoja iliyotumika kutetea Uimamu wa Abubakr

188. Huduma ya Afya katika Uislamu 189. Historian a Sira za Viongozi Waongofu – Sehemu ya Pili 190. Uwazi baina ya Maslahi na Vikwazo

51


Kuvunja hoja iliyotumika kutetea Uimamu wa Abubakr

KOPI NNE ZIFUATAZO ­ZIMETAFSIRIWA KWA LUGHA ­KINYARWANDA 1.

Amateka Na Aba’Khalifa

2.

Nyuma yaho naje kuyoboka

3.

Amavu n’amavuko by’ubushiya

4.

Shiya na Hadithi

52


Turn static files into dynamic content formats.

Create a flipbook
Issuu converts static files into: digital portfolios, online yearbooks, online catalogs, digital photo albums and more. Sign up and create your flipbook.