Hukumu za mgonjwa (2)

Page 1

Hukumu za MGONJWA

Mfululizo wa Masuala ya Kisheria Hukumu za Mgonjwa Ni Mfululizo wa Masuala ya Kisheria

‫ﻓﻘﻪ اﻟﻤﺮﻳﺾ‬ Kimeandikwa na: Jumuiya ya Utamaduni na Maarifa ya Kiislamu.

Kimeandikwa na: Jumuiya ya Utamaduni na Maarifa ya Kiislamu.

Kimetarjumiwa na: Amiri Mussa Kea. na: Kimetarjumiwa Amiri Mussa Kea.

Kimehaririwa na: Hemedi Kimehaririwa Lubumba (Abu na: Batul) Hemedi Lubumba (Abu Batul) Kimepitiwa na: Mbaraka A. Tila 1 Kimepitiwa na: Mbaraka A. Tila


‫ﺗﺮﺟﻤﺔ‬ ‫ﺗﺮﺟﻤﺔ‬ ‫ﺗﺮﺟﻤﺔ‬ ‫ﺗﺮﺟﻤﺔ‬

‫ﻓﻘﻪ اﻟﻤﺮﻳﺾ‬ ‫ﻓﻘﻪ اﻟﻤﺮﻳﺾ‬ ‫ﻓﻘﻪ اﻟﻤﺮﻳﺾ‬ ‫ﻓﻘﻪ اﻟﻤﺮﻳﺾ‬ ‫ﺗﺄﻟﻴﻒ‬ ‫ﺗﺄﻟﻴﻒ‬ ‫اﻹﺳﻼﻡﻴﺔ اﻟﺜﻘﺎﻓﻴﺔ‬ ‫ﺟﻤﻌﻴﺔ اﻟﻤﻌﺎرف‬ ‫ﺗﺄﻟﻴﻒ‬ ‫اﻹﺳﻼﻡﻴﺔ اﻟﺜﻘﺎﻓﻴﺔ‬ ‫ﺟﻤﻌﻴﺔ اﻟﻤﻌﺎرف‬ ‫ﺗﺄﻟﻴﻒ‬ ‫ﺟﻤﻌﻴﺔ اﻟﻤﻌﺎرف اﻹﺳﻼﻡﻴﺔ اﻟﺜﻘﺎﻓﻴﺔ‬ ‫ﺟﻤﻌﻴﺔ اﻟﻤﻌﺎرف اﻹﺳﻼﻡﻴﺔ اﻟﺜﻘﺎﻓﻴﺔ‬ ‫ﻡﻦ اﻟﻠﻐﺔ اﻟﻌﺮﺑﻴﺔ اﻟﻰ اﻟﻠﻐﺔ اﻟﺴﻮا ﺣﻠﻴﺔ‬ ‫ﻡﻦ اﻟﻠﻐﺔ اﻟﻌﺮﺑﻴﺔ اﻟﻰ اﻟﻠﻐﺔ اﻟﺴﻮا ﺣﻠﻴﺔ‬ ‫اﻟﻰ اﻟﻠﻐﺔ اﻟﺴﻮا ﺣﻠﻴﺔ‬ ‫ﻡﻦ اﻟﻠﻐﺔ اﻟﻌﺮﺑﻴﺔ ‪2‬‬ ‫ﻡﻦ اﻟﻠﻐﺔ اﻟﻌﺮﺑﻴﺔ ‪2‬اﻟﻰ اﻟﻠﻐﺔ اﻟﺴﻮا ﺣﻠﻴﺔ‬ ‫‪2‬‬

‫‪2‬‬


© Haki ya kunakili imehifadhiwa na: Al-Itrah Foundation

ISBN No: 978 - 9987 – 17 – 055 – 5

Kimeandikwa na: Jumuiya ya Maarifa na Utamaduni wa Kiislamu

Kimetarjumiwa na: Amiri Mussa Kea

Kimehaririwa na: Alhajj Hemedi Lubumba Selemani

Kimepangwa katika Kompyuta na: Al-Itrah Foundation

Toleo la kwanza: Julai, 2014 Nakala: 1000

Kimetolewa na kuchapishwa na: Alitrah Foundation S.L.P. - 19701, Dar es Salaam, Tanzania Simu: +255 22 2110640 / 2127555 Barua Pepe: alitrah@yahoo.com Tovuti: www.ibn-tv-com Katika mtandao: www.alitrah.info


YALIYOMO Neno la Mchapishaji........................................................................1 Utangulizi.........................................................................................3 Sehemu ya Kwanza: ADABU...............................................4 Kwa nini yawepo maradhi?.............................................................4 Adabu za mgonjwa: ........................................................................7

1. Kuwa na subira na kumshukuru Mwenyezi Mungu: ...........7

2. Kutokulalamika: ..................................................................8

3. Kutoa sadaka: ....................................................................10

4. Awaruhusu watu kumtembelea: .........................................10

5. Dua ya ponyo: .................................................................... 11

Kumtembelea mgonjwa na adabu zake: .......................................13 Thawabu za Kumtembelea mgonjwa: ...........................................14 Maradhi yenye kuambukiza:..........................................................14 Ni wakati gani wa kumtembelea mgonjwa?..................................14 Adabu za kumtembelea mgonjwa: ................................................15 1. Asiwe sababu ya kumuudhi mgonjwa: ....................................15 2. Msikae kwake muda mrefu: ....................................................16 3. Weka mkono wako juu ya dhiraa ya mgonjwa: ......................16 iv


4. Kumpelekea zawadi: ...............................................................17 Sehemu ya Pili: TOHARA Utangulizi: .....................................................................................18 Hukumu za wudhuu na kuoga........................................................18 Bendeji na kitata: ..........................................................................18 Jeraha, kidonda na kiungo kilichovunjika.....................................19 Wudhuu: .......................................................................................19 Hukumu ya bendeji na gango lenye kufunika sehemu kubwa ya viungo: .............................................................19 Kuoga: .......................................................................................20 Hukumu ya bendeji na kitata vilivyonajisika: ..............................20 Jeraha, kidonda au kiungo kilichovunjika kilicho wazi: ...............21

1. Hakuna madhara wala najisi: .............................................23

2. Kuna madhara au najisi mahala pa kuosha: .......................23

3. Kuna madhara au najisi mahala pa kupaka: ......................23

4. Jeraha likiwa linatoa damu: ...............................................24

5. Sehemu ambazo si sehemu ya udhu: .................................00

Hukumu ya aliyeungua au aliye na maradhi ya ngozi: .................25 Hukumu ya gamba la kidonda: .....................................................25 Hukumu ya ugonjwa wa macho: ...................................................25

v


Hukumu za Mgonjwa

Hukumu za jumla kuhusu bendeji na kitata: .................................25 Aliyekatika moja ya viungo vyake: ..............................................26 Asiyeweza kujizuia kutokwa na haja ndogo au kubwa au ushuzi: ...........................................................................26 Miongoni mwa hukumu za asiyeweza kudhibiti haja ndogo au kubwa au ushuzi.....................................................28 Tayamamu ya mgonjwa: ...............................................................28 Matatizo mkononi: ........................................................................29 Mgonjwa anayeshindwa kufanya tayammamu: ............................30 Namna ya kuweka msaidizi katika tayammamu: ..........................30 Miongoni mwa hukumu za tayammamu: .....................................30 Hukumu za mgonjwa asiyeweza kufanya jambo lolote: ...............31 Hukumu ya kizuizi: .......................................................................32 Tutafanya nini iwapo kuna kizuizi? ..............................................32 Sehemu ya Tatu: SWALA YA MGONJWA........................33 Utangulizi: .....................................................................................33 Kwa hali yoyote swala haiachwi: .................................................34 Kutokwa akili: ...............................................................................34 Jukumu la mgonjwa kuhusiana na tangulizi za swala...................35 .. 1. Wakati: ...............................................................................35

2. Tohara ya mavazi na mwili: ...............................................35

vi


Hukumu za Mgonjwa

Najisi ambazo husamehewa katika swala: ....................................36

3. Sehemu ya kusalia:

Jukumu la mgonjwa kuhusu vitendo vya swala.............................37 1. Kisimamo: .........................................................................37 Namna ya kuswali kwa kulala: .....................................................37 Miongoni mwa hukumu za kisimamo cha mgonjwa: ...................38 2. Kisomo: .............................................................................38

3. Rukuu: ...............................................................................39

4. Kusujudu: ..........................................................................39

i. Matumbo ya viganja viwili vya mikono: .....................39

ii. Magoti mawili: .............................................................40

iii. Vidole gumba viwili vya miguu: ..................................40

iv. Paji la uso: ....................................................................40

Hukumu ya mtu aliyeshindwa kusujudu: ......................................41

Sehemu ya Nne: SWAUMU..................................................42 Utangulizi: .....................................................................................42 Aina ambazo huzuia swaumu kusihi: ...........................................42 Watu ambao wanaruhusiwa kula: .................................................43 Maradhi na zuio la tabibu: ............................................................44 Matumizi ya dawa wakati wa kufunga: ........................................44 vii


Hukumu za Mgonjwa

1. Dawa ambazo hudhuru swaumu: (Yaani hupelekea mfungaji afungue Swaumu yake): ..............44 2. Tiba ambazo hazijulikani uhalisia wake na ambazo hudhuru swaumu ya mgonjwa: ..................................45 3. Dawa ambazo hazidhuru swaumu, ambazo funga hubakia kuwa sahihi: .....................................................45 Kadhaa ya swaumu ya mgonjwa: .................................................46 Swaumu ya mzee na yule aliyepatwa na maradhi ya kiu: ............47 Swaumu ya mjamzito: ...................................................................47 Swaumu ya mama anayenyonyesha: ............................................47 Sehemu ya Tano: HUKUMU ZA MATIBABU..................48 Dawa ambazo zimetengenezwa kwa vitu haramu: .......................49 Kujitibia kwa kula udongo: ...........................................................49 Hukumu ya utazamaji wakati wa matibabu: .................................49 Hukumu ya kugusa wakati wa matibabu: .....................................49 Kujipodoa: .....................................................................................50 Kupandikiza nywele: ....................................................................51 Ubadilishaji wa jinsia: ...................................................................51 Uhamishaji wa viungo: .................................................................52 Maradhi ya kifo: ............................................................................53

viii


Hukumu za Mgonjwa

Sehemu ya Sita: UJAUZITO...............................................55 Kuzuia kushika mimba: ................................................................55

1. Kuzuia mimba kwa muda: .................................................55

2. Kufunga mirija ya tumbo la uzazi: ....................................56

Mwanamume kuzuia kupata mtoto: ........................................56

Kuangusha mimba: .......................................................................57 Fidia ya kuangusha mimba: ..........................................................58 Kiwango cha fidia ya kuharibu ujauzito: ......................................58 Utungishaji mimba wa maabara: ..................................................59 Miongoni mwa hukumu za utungishaji mimba wa maabara:........60 NYONGEZA.................................................................................62 Dua zilizoteuliwa zinazomhusu mgonjwa: ...................................62 Dua za jumla: ................................................................................62 Dua mahususi: ...............................................................................62

ix



Hukumu za Mgonjwa

‫ﺑﺴﻢ اﷲ اﻟﺮﺣﻤﻦ اﻟﺮﺣﻴﻢ‬ NENO LA MCHAPISHAJI NENO LA MCHAPISHAJI

K

itabu ulichonacho mikononi mwako asili yake ni cha lugha ya

Kitabu ulichonacho mwako ni kitabu ambachonaaslili Kiarabu mikononi kwa jina la, Fiqhu ‘l-Mariidh. Kimechapishwa Ju- yake muiya Maarifa na Utamaduni wa Kiislamu, na sisi tumekiita kwa ni cha lugha ya ya Kiarabu kwa jina la: Kiswahili, Hukumu za Mgonjwa.

Uislamu ni dini na ni mfumo kamili wa maisha. Kwa maana hiyo Uislamu mbali na kuwaaendeleza waumini wake kiroho, huangalia pia maendeleo ya waumini wake kimaisha katika nyanja mbalimbali Maarifa Utamaduni Jumuiya ikiwaya ni pamoja na ustawina wa jamii kwa ujumla.wa Kiislamu

‫ﻓﻘﻪ اﻟﻤﺮﻱﺾ‬

na sisi na tumekiita: “Hukumu zamgonjwa mgonjwa kwa Kiswahili. Kumhudumia ni moja”ya huduma muhimu sana za ubi-

nadamu. Uislamu unahimiza watu kutumia dawa wanapoumwa na huhimiza waumini wakekamili kujifunzawa pamoja na taaluma nyingine, Uislamu nipiadini na ni mfumo maisha. Kwa maana hiyo taaluma hii ya tiba. Lakini kiroho pia mgonjwa anatakiwa awe Uislamu mbali na kuwaaendeleza waumini wake kiroho, na huangalia subira na kumtegemea Allah, kwani Yeye ndiye anayeteremsha mapia na maendeleo yaanayeteremsha waumini dawa wake kimaisha katika gonjwa na Ndiye kwa ajili ya magonjwa hayo. nyanja

mbalimbali ikiwa ni pamoja na ustawi wa jamii kwa ujumla. Tumekiona kitabu hiki ni chenye manufaa sana, hususan wakati

huu wa maendeleo makubwa ya elimu katika nyanja zote ambapo Kumhudumia mgonjwa ni namoja ya wahuduma muhimu uwongo, ngano za kale upotoshaji historia ni vitu ambavyosana za havina nafasi tena katika akili za watu. kutumia dawa wanapoumwa ubinadamu, Uislamu unahimiza watu

Kutoka na ukweli huu, taasisi kujifunza yetu ya Al-Itrah imeamuana ku- taaluma na pia huhimiza waumini wake pamoja kichapishahii kitabu kwaLakini lugha ya Kiswahili kwa madhumini nyingine, taauma yahiki tiba. kiroho pia mgonjwayake anatakiwa yaleyale ya kuwahudumia Waislamu, hususan wazungumzaji wa awe na Kiswahili. subira na kumtegemea Allah kwani Yeye ndiye anayeteremsha magonjwa na Ndiye anayeteremsha dawa kwa ajili ya magonjwa hayo. 1

Tumekiona kitabu hiki ni chenye manufaa sana, hususan wakati huu wa maendeleo makubwa ya elimu katika nyanja zote; ambapo


Hukumu za Mgonjwa

Tunamshukuru ndugu yetu Amiri Mussa Kea kwa kazi kubwa aliyoifanya ya kukitarjumi kitabu hiki kwa Kiswahili kutoka lugha ya asili ya Kiarabu. Aidha tunawashukuru wale wote walioshiriki kwa namna moja au nyingine hadi kufanikisha kuchapishwa kwake. Allah awalipe wote malipo mema hapa duniani na kesho Akhera – Amin. Mchapishaji Al-Itrah Foundation

2


Hukumu za Mgonjwa

UTANGULIZI

S

ifa njema zote zinamstahiki Mola wa viumbe wote. Rehema na amani zimfikie mbora wa Mitume na mwisho wa Manabii na Mitume, na Aali zake wema watoharifu maasumina. Kwa hakika miongoni mwa mambo ambayo humpata binadamu mara kwa mara ni maradhi, na bila shaka mwanadamu mpaka sasa ameshatumia juhudi kubwa ili kuponya maradhi hayo au kupunguza athari zake mbaya, hivyo amefungua hospitali nyingi na vituo vya afya chungu nzima, na ametenga vitivo mahsusi vya masomo ya tiba na uchunguzi wa magonjwa mbalimbali, aidha pia ametumia fedha nyingi ili kushughulikia suala la upunguzaji wa athari na maumivu ya maradhi husika. Lakini umuhimu huo mkubwa unaohusu tiba ni suluhisho la upande mmoja wa athari za maradhi, aidha upo upande mwingine ambao inalazimu kuutupia macho nao ni upande wa hukumu za kisheria zinazohusu ibada, mambo mbalimbali ya wajibu na mipaka ya kisheria ambayo yapaswa kujulikana na kuchungwa. Hivyo juhudi hii kubwa iliyomo mikononi mwako tunaikabidhi kwako ili itoe suluhisho la athari nyinginezo za maradhi zinazohusu mambo ya kiibada, na ni ili mukallafu apate kujua hukumu mbali mbali zinazohusiana na hali ya maradhi na achunge mipaka yake ya kisheria. Tunamuomba Mwenyezi Mungu kupitia kitabu hiki amfaidishe kila mhitaji na mwenye haja, aidha amponye kila mgonjwa kwa huruma Yake na msaada Wake. Jumuiya ya Utamaduni na Maarifa ya Kiislamu.

3


Hukumu za Mgonjwa

SEHEMU YA KWANZA: ADABU Kwa nini yawepo maradhi?

M

wenyezi Mungu katika kitabu chake kibainifu anasema:

ÏN≡tyϑ¨W9$#uρ ħàΡF{$#uρ ÉΑ≡uθøΒF{$# z⎯ÏiΒ <Èø)tΡuρ Æíθàfø9$#uρ Å∃öθsƒø:$# z⎯ÏiΒ &™ó©y´Î/ Νä3¯Ρuθè=ö7oΨs9uρ Ïμø‹s9Î) !$¯ΡÎ)uρ ¬! $¯ΡÎ) (#þθä9$s% ×πt7ŠÅÁ•Β Νßγ÷Fu;≈|¹r& !#sŒÎ) t⎦⎪Ï%©!$#

∩⊇∈∈∪ š⎥⎪ÎÉ9≈¢Á9$# ÌÏe±o0ρu 3

ãΝèδ šÍׯ≈s9'ρé&uρ ( ×πyϑômu‘uρ öΝÎγÎn/§‘ ⎯ÏiΒ ÔN≡uθn=|¹ öΝÍκön=tæ y7Íׯ≈s9'ρé&

∩⊇∈∉∪ tβθãèÅ_≡u‘

∩⊇∈∠∪ tβρ߉tGôγßϑø9$# “Na kwa hakika tutawajaribu kwa jambo la khofu na njaa na upun“Na kwa hakika tutawajaribu kwa jambo la khofu na njaa na gufu wa mali na nafsi na matunda, nawe wape habari ya furaha upungufu wa mali na nafsi na matunda, nawe wape habari ya wenye kusubiri. Ambao ukiwafika msiba, husema: Hakika sisi ni wa furaha wenye kusubiri. Ambao ukiwafika msiba, husema: Mwenyezi Mungu na sisi tu wenye kurejea kwake. Hao juu yao ziko Hakika sisi ni wa Mwenyezi Mungu na sisi tu wenye kurejea baraka na rehema kutoka kwa Mola wao, nao ndio wenye kuongokwake. Hao juu yao ziko baraka na rehema kutoka kwa Mola ka.” (Sura al-Baqarah: 155-157) wao, nao ndio wenye kuongoka." (Sura al-Baqarah: 155-157)

Aya hiyo tukufu inaelezea la majaribu ya Mwenyezi Aya hiyo tukufu inaelezea suala suala la majaribu ya Mwenyezi Mungu Mungu kwawake wajakatika wakenyanja katikambali nyanja mbali mbali, huo ni kwa waja mbali, kwani huokwani ni utaratibu utaratibu wa kimaumbile ambao haubadiliki, na kwa mujibu wa aya wa kimaumbile ambao haubadiliki, na kwa mujibu wa aya hizo tukufu ushindi haupatikani katika halihali hizo isipokuwa chini hizo tukufu ushindi haupatikani katika hizo isipokuwa chiniyaya kivuli cha subira na kumtawakali Mwenyezi Mungu, na baada kivuli cha subira na kumtawakali Mwenyezi Mungu, na baadayaya kuelezahayo hayoAya Aya ikasema: "Na wabashirie wenye kusubiri." kueleza ikasema: “Na wabashirie wenye kusubiri.” Kwa Kwa hiyo wenye kusubiri ndio wenye uwezo wa kutoka hali ya hiyo wenye kusubiri ndio wenye uwezo wa kutoka hali ya kuwa kuwa wameshinda mitihani hiyo, kwani watu hao wanakiri wameshinda mitihanianayestahiki hiyo, kwani watu haoni wanakiri kikamilifu kwamba kuabudiwa Mwenyezikikamilifu Mungu tu, ambaye hutufundisha sisi kuwa tusihuzunike kwa yale 4 yaliyotupita, kwa sababu Yeye Mola aliyetakasika ndiye mwenye kutumiliki sisi na vyote tunavyomiliki, kwa mapenzi Yake hutoa na hutwaa, na katika utoaji na uchukuaji wake kuna maslahi kwetu.


Hukumu za Mgonjwa

kwamba anayestahiki kuabudiwa ni Mwenyezi Mungu tu, ambaye hutufundisha sisi kuwa tusihuzunike kwa yale yaliyotupita, kwa sababu Yeye Mola aliyetakasika ndiye mwenye kutumiliki sisi na vyote tunavyomiliki, kwa mapenzi Yake hutoa na hutwaa, na katika utoaji na uchukuaji wake kuna maslahi kwetu. Kwa hakika maradhi ni neema ya Mwenyezi Mungu, hiyo ni Kwa hakika maradhi ni Mwenyezi neema ya yaMungu Mwenyezi Mungu, hiyo ni ni Kwa hakika ni neema Mwenyezi Mungu, kutokana na maradhi rehema za ambazo huwa hiyo ndani ya kutokana na rehema za Mwenyezi Mungu ambazo huwa ndani ya kutokana na rehema za Mwenyezi Mungu ambazo huwa ndani ya maradhi hayo. Imepokewa hadithi kutoka kwa Mtume (s.a.w.w.) maradhi hayo. hayo. Imepokewa Imepokewa hadithi hadithi kutoka kutoka kwa kwa Mtume Mtume (s.a.w.w.) (s.a.w.w.) maradhi kuwa amesema: kuwaamesema: amesema: kuwa

‫كفارة لخطاياه‬ ‫فھو كفارة‬ ‫مكروه فھو‬ ‫من مكروه‬ ‫المؤمن من‬ ‫أصاب المؤمن‬ ‫ماما أصاب‬ ‫لخطاياه‬ "Lolote lilelile limpatalo muumini katika yale yanayomchukiza,kwa kwa "Lolote lile limpatalo muumini kwa “Lolote limpatalo muuminikatika katikayale yale yanayomchukiza, yanayomchukiza, hakikani nikafara kafaraya yahakika makosa yake." ya makosa yake.” hakika makosa ni yake." kafara Na imepokewa imepokewa kutoka kwakwa Imam AliAli (a.s) kuwa alisema pale Na kutoka kwa Imam Ali (a.s) Na imepokewa kutoka Imam (a.s)kuwa kuwaalisema alisemapale pale mmoja wa masahaba wake alipougua: mmoja wa masahaba wake alipougua: mmoja wa masahaba wake alipougua:

ّ‫يحطّط‬ ‫ولكن يح‬ ‫فيه ولكن‬ ‫أجر فيه‬ ‫المرض الال أجر‬ ‫فانّ المرض‬ ‫لسيّيّئاتك‬ ‫شكواك ححطّطّاا لس‬ ‫ﷲ شكواك‬ ‫جعل ﷲ‬ ‫جعل‬ ّ‫ئاتك فان‬ ‫القول باللسان‬ ‫في القول‬ ‫األجر في‬ ‫األوراق واوانّنّماما األجر‬ ‫حتّ األوراق‬ ‫ئات ويح‬ ‫السيّيّئات‬ ‫الس‬ ّ‫ويحتّتّھاھا حت‬ ‫باللسان‬ ‫يدخل بصدق‬ ‫تعالى يدخل‬ ‫ﷲ تعالى‬ ‫واألقدام واوانّنّ ﷲ‬ ‫باأليدي واألقدام‬ ‫والعمل باأليدي‬ ‫والعمل‬ ‫بصدق الالنّنّيةية‬ ‫عباده الج‬ ‫من عباده‬ ‫الحة من‬ ‫صالحة‬ ‫سريرة‬ ‫وال‬ ‫الجنّنّةة‬ ّ ‫ريرة الال‬ ّ ‫وال‬ ّ‫ص‬ ّ‫س‬ “Mwenyezi Mungu amefanyamaumivu maumivuya yaugonjwa ugonjwa wako wako "Mwenyezi Mungu amefanya maumivu ya ugonjwa wako kuwa kuwani ni "Mwenyezi Mungu amefanya kuwa ni futo la maovu yako, kwani maradhi hayana malipo lakini hufuta mafuto lala maovu maovu yako, yako, kwani kwani maradhi maradhi hayana hayana malipo malipo lakini lakini hufuta hufuta futo ovu, na kama vile yanavyopukutika majani ya maovu, nahupukutisha hupukutishadhambi dhambi kama vile yanavyopukutika majani maovu, na hupukutisha dhambi kama vile yanavyopukutika majani mti kutoka mtini, kwa hakika malipo yapo katika maneno ya ulimi ya mti mti kutoka kutoka mtini, mtini, kwa kwa hakika hakika malipo malipo yapo yapo katika katika maneno maneno ya ya ya na kazi za mikono na miguu, ni dhahiri kwamba Mwenyezi Mungu ulimi na na kazi kazi za za mikono mikono na na miguu, miguu, ni ni dhahiri dhahiri kwamba kwamba Mwenyezi Mwenyezi ulimi Mungu mtukufu humuingiza peponi yule ampendaye miongoni Mungu mtukufu humuingiza peponi yule ampendaye miongoni 11 5 mwawaja wajaWake Wakemwenye mwenyenia niaya yakweli kwelina nasiri sirinjema." njema." mwa 11

Biharul-AnwarJuz. Juz.69, 69,Uk. Uk.19, 19,chapa chapaya yaBeirut Beirut, ,Muassasat MuassasatAl-Wafai Al-Wafaicha cha Biharul-Anwar Muhammad Baqir Majlisi. Muhammad Baqir Majlisi.


Hukumu za Mgonjwa

mtukufu humuingiza peponi yule ampendaye miongoni mwa waja Wake mwenye nia ya kweli na siri njema.” 1

Na imepokewa kutoka kwa Imam Ridha (a.s) kuwa amesema: NaNa imepokewa kutoka kwakwa Imam Ridha (a.s)(a.s) kuwakuwa amesema: imepokewa kutoka Imam Ridha amesema:

‫المرض للمؤمن تطھير ورحمة وللكافر تعذيب ولعنة وانّ المرض‬ ‫المرض للمؤمن تطھير ورحمة وللكافر تعذيب ولعنة وانّ المرض‬ ‫ال يزال بالمؤمن حتّى ال يكون عليه ذنب‬ ‫ال يزال بالمؤمن حتّى ال يكون عليه ذنب‬ "Maradhikwa kwamuumini muuminihumtoharisha humtoharishanananinirehema, rehema,na nakwa kwakafiri kafiri "Maradhi ni adhabu na laana, kwa hakika huendelea ugonjwa kwa muumini "Maradhi kwa muumini humtoharisha na ni rehema, na kwa kafiri ni adhabu na laana, kwa hakika huendelea ugonjwa kwa muumini 2 1 hadi na dhambi.” ni adhabu na laana, kwaasibakiwe hakika huendelea ugonjwa kwa muumini hadi asibakiwe na dhambi." hadi asibakiwe na dhambi." 1 Na imepokewa hadithi kutoka kwa Mtume (s.a.w.w.) amesema: Na imepokewa hadithi kutoka kwa Mtume (s.a.w.w.) amesema: Na imepokewa hadithi kutoka kwa Mtume (s.a.w.w.) amesema:

‫انّ المؤمن اذا ح ّم حماة واحدة تناثرت الذنوب كورق الشّجر فان‬ ‫انّ المؤمن اذا ح ّم حماة واحدة تناثرت الذنوب كورق الشّجر فان‬ ‫صار على فراشه فأنينه تسبيح وصياحه تھليل وتقلّبه على فراشه‬ ‫صار على فراشه فأنينه تسبيح وصياحه تھليل وتقلّبه على فراشه‬ ‫كمن يضرب بسفه في سبيل ﷲ فان أقبل يعبد ﷲ بين اخوانه‬ ‫كمن يضرب بسفه في سبيل ﷲ فان أقبل يعبد ﷲ بين اخوانه‬ ‫وأصحابه كان مغفورا له فطوبى له ان تاب وويل له ان عاد‬ ‫وأصحابه كان مغفورا له فطوبى له ان تاب وويل له ان عاد‬ ‫أحب الينا‬ ّ ‫والعافية‬ ‫أحب الينا‬ ّ ‫والعافية‬

"Kwahakika hakikamuumini muumini anapopatwa homa mara moja hupukuti"Kwa anapopatwa nana homa mara moja hupukutisha sha madhambi yake kama yanavyopukutika majani yamiti, miti,na na "Kwa hakika muumini anapopatwa na homa mara mojaya hupukutisha madhambi yake kama vilevile yanavyopukutika majani anapokuwa kitandani kwake kunung’unika kwake huwa ni tasbiihi, madhambi yake kama vile yanavyopukutika majani ya miti, na anapokuwa kitandani kwake kunung’unika kwake huwa ni tasbiihi, na kelele zake ni tahlili, na kujigeuza kwake kitandani ni kama vile anapokuwa kunung’unika huwa ni tasbiihi, na kelele zakekitandani ni tahlili,kwake na kujigeuza kwake kwake kitandani ni kama vile anayepigana kwa upanga wake katika njia ya Mwenyezi Mungu, na na kelele zake ni tahlili, na kujigeuza kwake kitandani ni kama anayepigana kwa upanga wake katika njia ya Mwenyezi Mungu, vile na anaposimama yeye, nduguwake zake katika pamoja naya marafiki zakeMungu, kwa kumanayepigana kwa upanga njia Mwenyezi na 1 Biharul-Anwar

Uk. 19, chapa Beirut , Muassasat Al-Wafai cha Muhammad Wasailus-Shi’aJuz. cha69, Muhammad bin ya Hasan Amilii Juz. 2, Uk. 401 chapa ya pili, 1Baqir Majlisi. Wasailus-Shi’a cha Muhammad bin Hasan Amilii Juz. 2, Uk. 401 chapa ya pili, Muhr, Qum. 2 Wasailus-Shi’a Muhr, Qum. cha Muhammad bin Hasan Amilii Juz. 2, Uk. 401 chapa ya pili, Muhr, Qum.

17 17 6


Hukumu za Mgonjwa

wabudu Mwenyezi Mungu huwa mwenye kusamehewa dhambi zake. Na ni uzuri uliyoje ikiwa atatubia, na ole wake ikiwa atarejea katika yale ya kabla, na afya twaipenda zaidi.”3

Adabu za mgonjwa: Ukiachilia mbali kwamba maradhi hupukutisha madhambi, pia mgonjwa hupata thawabu pale anapojipamba na adabu za jumla na mahsusi, kama vile: 1. Kuwa na subira na kumshukuru Mwenyezi Mungu: Suala la subira na shukurani huzingatiwa kuwa ni miongoni mwa nyenzo muhimu zenye kusababisha mja kuteremshiwa rehema za Mwenyezi Mungu na kumnyanyua na kumpandisha madaraja, Qur’an tukufu inasema:

َ ‫الص ِاب ِر‬ ‫ين‬ َّ ‫َو َب ِّش ِر‬ "Na wape bishara njema wenye kusubiri” (Sura al-Baqarah :155).

Aya hiyo inawabashiria wale wenye subira aidha inatilia mkazo kwamba uongofu na kufaulu ni matokeo mazuri ya wale ambao hujipamba kwa sifa ya kusubiri, kuhusu hilo Mwenyezi Mungu anasema:

3

hawabul-Aamal cha Muhammad bin Babawayh Swaduq Uk. 192, kimechapishwa na T Ridhawi Qum. 7


Hukumu za Mgonjwa

∩⊇∈∠∪ tβρ߉Gt ôγßϑø9$# ãΝèδ šÍׯ≈s9'ρé&uρ ( ×πyϑômu‘uρ öΝÎγÎn/§‘ ⎯ÏiΒ ÔN≡uθn=|¹ öΝÍκön=tæ y7Íׯ≈s9'ρé& ∩⊇∈∠∪ tβρ߉tGôγßϑø9$# ãΝèδ šÍׯ≈s9'ρé&uρ ( ×πyϑômu‘uρ öΝÎγÎn/§‘ ⎯ÏiΒ ÔN≡uθn=|¹ öΝÍκön=tæ y7Íׯ≈s9'ρé&

“Hao zikobaraka baraka na na rehema kwa Mola wao,wao, nao “Hao juujuu yaoyao ziko rehemakutoka kutoka kwa Mola ndiojuu wenye kuongoka.” “Hao yao ziko baraka na (Sura rehemaal-Baqarah kutoka:157). kwa :157). Mola wao, nao ndio wenye kuongoka." (Sura al-Baqarah nao ndio wenye kuongoka." (Sura al-Baqarah :157).

Vileanasema: vile anasema: Vile vile Vile vile anasema:

∩⊇∈∠∪ tβρ߉tGôγßϑø9$# ãΝèδ šÍׯ≈s9'ρé&uρ ( ×πyϑômu‘uρ öΝÎγÎn/§‘ ⎯ÏiΒ ÔN≡uθn=|¹ öΝÍκön=tæ y7Íׯ≈s9'ρé&

β È ρãàõ3s? Ÿωuρ ’Í< (#ρãà6ô©$#uρ öΝä.öä.øŒr& þ’ÎΤρãä.øŒ$$sù þ ÎΤρãä.øŒ$$sù ∩⊇∈⊄∪ β È nao ρã∩⊇ndio à∈⊄∪ õ3s?wenye Ÿωuρkuongoka." ’Í< (#ρãà6 ô©$#al-Baqarah uρ öΝä.öä.øŒ:157). r& ’ (Sura

“Hao juu yao ziko baraka na rehema kutoka kwa Mola wao,

Vile vile anasema: nami niwakumbuke, na mnishukuru wala "Basi nikumbukeni “Basi nikumbukeni nami niwakumbuke, na mnishukuru wala msinimsinikufuru." (Sura al-Baqarah: 152). kufuru.” (Sura al-Baqarah: "Basi nikumbukeni nami niwakumbuke, na152). mnishukuru wala

Na wala haitoshi “kushukuru kutokukufuru” msinikufuru." (Sura 152). þ ÎΤρãkuchezesha ∩⊇∈⊄∪ β È al-Baqarah: ρãàõ3 s? Ÿωuρ ’Í< (#ρãna à6 ô©$#uρ öΝä.öä.øŒkwa r& ’ ä.øŒ$$sù ulimihaitoshi tu kwa ibara za shukuraninapekee, bali hapana budi kuwe na Na wala “kushukuru kutokukufuru” kwa kuchezesha lengo la kupata matunda ya kila neema na kupita njia ya lengo Naulimi walatuhaitoshi “kushukuru na kutokukufuru” kwa budi kuchezesha kwa ibara za tumeumbwa shukurani pekee, balinahapana kuwe na husika kwalo, katika kulitekeleza "Basi ambalo nikumbukeni nami niwakumbuke, mnishukuru hilo wala ulimi tu kwa ibara za shukurani pekee, bali hapana budi kuwe na hupatikana nyongeza rehema za Mwenyezi Mungu, hapana husika lengo la kupata matunda yayaal-Baqarah: kila neema na kupita njiabasi ya lengo msinikufuru." (Sura 152). budi kwa mgonjwa kusubiri juu ya maradhi yake na amshukuru lengo la kupata matunda ya kila neema na kupita hilo njia ya lengo ambalo tumeumbwa kwalo, katika kulitekeleza hupatikana Mwenyezi Mungu juu yanahisani yake. Na walatumeumbwa haitoshiMtukufu “kushukuru kutokukufuru” kwa kuchezesha hilo husika ambalo kwalo, katika kulitekeleza nyongeza ulimi ya rehema za Mwenyezi Mungu, basi hapana tu kwa ibara za shukurani pekee, bali hapana budi kuwebudi na kwa hupatikana nyongeza ya rehema za Mwenyezi Mungu, basi hapana 2. Kutokulalamika: lengo la kupata matunda ya kila neema na kupita njia ya lengo mgonjwa kusubiri juu ya maradhi yake na amshukuru Mwenyezi husika ambalo tumeumbwa katikayake kulitekeleza hilo budi kwa mgonjwa kusubiri juu yakwalo, maradhi na amshukuru Mungu Mtukufu juu ya anasema: hisani yake.za Mwenyezi Mungu, basi hapana Mwenyezi Mungu hupatikana nyongeza ya rehema Mwenyezi Mungu Mtukufu juu ya hisani yake. budi kwa mgonjwa kusubiri juu ya maradhi yake na amshukuru Mwenyezi Mungu Mtukufu juu ya hisani yake.

Kutokulalamika: 2. 2. Kutokulalamika: ∩⊇⊇∪ 3 ! « $# ÈβøŒÎ*Î/ ωÎ) π> t6ŠÅÁ•Β ⎯ÏΒ > z $|¹r& !$tΒ 2. Kutokulalamika:

Mwenyezi Mungu anasema: Mwenyezi Mungu anasema: Mwenyezi Mungu anasema:

∩⊇⊇∪ 3 ! « $# ÈβøŒÎ*Î/ ω  Î) π> t6ŠÅÁ•Β ⎯ÏΒ > z $|¹r& !$tΒ

∩⊇⊇∪ 3 ! « $# ÈβøŒÎ*Î/ ω  Î) π> t6ŠÅÁ•Β ⎯ÏΒ z>$|¹r& !$tΒ 19

"Haufiki msiba wowote ila kwa idhini ya Mwenyezi Mungu…” (64:11). 19

19 8


Hukumu za Mgonjwa "Haufiki msiba wowote ila kwa idhini ya Mwenyezi Mungu…" (64:11). msiba wowote ila kwa idhini ya Mwenyezi Mungu…" "Haufiki (64:11). Kwa hakika uongezaji wa ya nguvu nimuhimu nyenzo katika muhimu Kwa hakika uongezaji wa nguvu imaniyaniimani nyenzo katika majaribu kufaulu majaribu na masaibu na pasi huzuni, na huzuni, pamojanana kufaulu nawamasaibu pamoja Kwa hakika uongezaji nguvu ya pasi imani ni nyenzo muhimu katika kujisalimisha katika amri ya Mwenyezi Mungu Mtukufu na kujisalimisha katika amri ya Mwenyezi Mungu Mtukufu kufaulu majaribu na masaibu pasi na huzuni, pamoja na na kujiepusha kulalamika, kwani la kulalamika hupunguza malipo kujiepusha kulalamika, kwani la kulalamika hupunguza malipo kujisalimisha katika amri yahilohilo Mwenyezi Mungu Mtukufu na na thawabu. Imekuja katika hadithi kwamba siku moja Imam asna thawabu. Imekuja katika hadithi kwamba siku moja Imam kujiepusha kulalamika, kwani hilo la kulalamika hupunguza malipoasSadiq (a.s) aliulizwa kuhusu kikomo cha malalamiko yaya mgonjwa, Sadiq (a.s) aliulizwa kuhusu kikomo cha malalamiko mgonjwa, na thawabu. Imekuja katika hadithi kwamba siku moja Imam asakasema: akasema: Sadiq (a.s) aliulizwa kuhusu kikomo cha malalamiko ya mgonjwa, akasema:

‫انّ ال ّرجل يقول حممت اليوم وسھرت البارحة وقد صدق وليس‬ ‫وليس‬ ‫حممت‬ ‫يقول‬ ‫ھذاال ّر‬ ّ‫ان‬ ّ‫جل وان‬ ‫صدقبه أحد‬ ‫البارحةبماوقدلم يبتل‬ ‫وسھرت ابتليت‬ ‫اليوم يقول لقد‬ ‫ّكوى ان‬ ‫ما الش‬ ‫شكاة‬ ‫لقد ابتليت بما لم يبتل به أحد‬ ‫شكاةلقدوانّما الش‬ ‫ھذا‬ ‫يقولأحد‬ ‫ّكوىلمانيصب‬ ‫أصابني ما‬ :‫ويقول‬ ‫ لقد أصابني ما لم يصب أحد‬:‫ويقول‬

"Hakika mtumtu kusema: ‘Nimeshikwa na na homa leoleo nana nimekesha "Hakika kusema: ‘Nimeshikwa homa nimekeshajana jana usiku kucha.’ Kwa hakika huwa amesema ukweli, hayo sio usikumtu kucha.’ Kwa ‘Nimeshikwa hakika huwa na amesema ukweli, nana hayo siojana ma"Hakika kusema: homa leo na nimekesha malalamiko, kwani malalamiko ni mtu ‘Nimefikwa anaposema: lalamiko, ni pale mtu pale anaposema: usiku kucha.’kwani Kwamalalamiko hakika huwa amesema ukweli, na hayo siona ‘Nimefikwa na majaribu ambayo hayajamfika yeyote.’ Na pia majaribu ambayo yeyote.’ pia anaposema: ‘Yamenimalalamiko, kwani hayajamfika malalamiko ni Na pale mtu anaposema: 1 4 anaposema: ‘Yamenisibu ambayo hayajamsibu yeyote.’” sibu ambayo hayajamsibu yeyote.’” ‘Nimefikwa na majaribu ambayo hayajamfika yeyote.’ Na pia

anaposema: ‘Yamenisibu ambayo hayajamsibu yeyote.’”1 Imepokewa hadithihadithi kutokakutoka kwa Mtume (s.a.w.w.) kuwakuwa amesema: Imepokewa kwa Mtume (s.a.w.w.) amesema: Imepokewa hadithi kutoka kwa Mtume (s.a.w.w.) kuwa amesema:

‫من شكا مصيبة نزلت به فانّما يشكو ربّه‬ ‫من شكا مصيبة نزلت به فانّما يشكو ربّه‬

"Mwenye kulalamika juu ya msiba uliyompata kwa hakika amlalamikia Mola wake.” 5

1

Wasailus-Shi’a cha Muhammad bin Hasan Amilii Juz. 2, Uk. 401 chapa ya pili, Muhr, Qum. 1 Wasailus-Shi’a cha Muhammad bin Hasan Amilii Juz. 2, Uk. 401 chapa ya pili, 4 Muhr, Qum. Wasailus-Shi’a cha Muhammad bin Hasan Amilii Juz. 2, Uk. 401 chapa ya pili, Muhr, 5

Qum. 20 Biharul-Anwar Juz. 70, Uk. 89, chapa ya Beirut, Muassasat Al-Wafai cha Muhammad Baqir Majlisi. 20 9


Hukumu za Mgonjwa

"Mwenye kulalamika juu ya msiba uliyompata kwa hakika "Mwenye kulalamika juu ya msiba uliyompata kwa hakika amlalamikia Mola wake." 11 amlalamikia Mola wake." 3.3.Kutoa sadaka: Kutoa sadaka: 3. Kutoa sadaka: Imepokewa hadithi kutoka kwa Imam as-Sadiq (a.s) kuwa amesema: Imepokewa hadithi kutoka kwa Imam as-Sadiq (a.s) kuwa Imepokewa hadithi kutoka kwa Imam as-Sadiq (a.s) kuwa amesema: amesema:

‫دقة‬ ّ‫ص‬ ‫صدقة‬ ‫مرضاكم بال‬ ‫داووا مرضاكم‬ ‫داووا‬ ّ ‫بال‬

6 “Watibieni wagonjwa wenu kwasadaka. kutoa 2sadaka.” “Watibieni wagonjwa wenu kwa kutoa " “Watibieni wagonjwa wenu kwa kutoa sadaka.2"

Vile imepokewa vile imepokewa kutoka muombaji kuwaamesema: amesema: Vile vile kutoka kwakwa muombaji kuwa Vile vile imepokewa kutoka kwa muombaji kuwa amesema: Nilimsikia Imam (a.s) akisema: NilimsikiaImam Imam(a.s) (a.s)akisema: akisema: Nilimsikia

‫يدعوله‬ ّ‫س‬ ّ‫س‬ ّ ‫يستحب‬ ‫أن يدعوله‬ ‫ائل أن‬ ‫سائل‬ ‫بيده ويأمر‬ ‫ائل بيده‬ ‫سائل‬ ‫أن يعطي‬ ‫للمريض أن‬ ‫يستحب للمريض‬ ّ ‫ويأمر الال‬ ّ ‫يعطي الال‬ ّ "Ni kitu na na ampe muombaji muombaji kwa "Nimustahabu mustahabukwa kwamgonjwa mgonjwa atoe atoe "Ni mustahabu kwa atoe kitu kitu naampe ampe muombaji3kwa kwa mkono wake, na amuombe muombaji amuombee 3" 7 mkono wake,nanaamuombe amuombemuombaji muombajiamuombee amuombeeyeye yeyedua. dua.” mkono wake, yeye dua. " Awaruhusu watu kumtembelea: 4.4.4. Awaruhusu watu kumtembelea: Awaruhusu watu kumtembelea: Yampasa mgonjwa awaruhusu watu wenye kumtembelea yeye Yampasa mgonjwa awaruhusu watuwenye wenye kumtembelea Yampasa mgonjwa watu kumtembelea yeye yeye wainwaingie alipo, kwaniawaruhusu huenda maombi ya mmoja wao yakawa ni waingie alipo, kwani huenda maombi ya mmoja wao yakawa ni gie alipo, kwani huenda maombi ya mmoja wao yakawa ni sababu sababu ya kuteremka rehema za Mola Muumba. Kwa mantiki hiyo ya sababu ya kuteremka rehema za Mola Muumba. Kwa mantiki hiyo kuteremka rehema Mola Muumba. Kwa mantiki imepokewa imepokewa hadithi zakutoka kwa Imam as-Sadiqhiyo (a.s) kuwa imepokewa hadithi kutoka kwa Imam as-Sadiq (a.s) kuwa hadithi kutoka kwa Imam as-Sadiq (a.s) kuwa amesema: amesema: amesema:

ّ‫اذا مرض أحدكم فليأذن للنّاس يدخلون عليه فانّه ليس من أحد اال‬ ‫مستجابة‬ Juz. 70, Uk. 89, chapa ya Beirut, Muassasat Al-Wafai‫دعوة‬ cha ‫وله‬ Biharul-Anwar Juz. 70, Uk. 89, chapa ya Beirut, Muassasat Al-Wafai cha Muhammad Baqir Majlisi. Baqir Majlisi. 2Muhammad "Pindi mmoja anapopatwa maradhi cha wenu Muhammad bin HasannaAmilii 9,basi Uk. awaruhusu 375 chapa ya watu pili, 2 Wasailus-Shi’a "Pindi mmoja wenu anapopatwa na Juz. maradhi basi awaruhusu Wasailus-Shi’a cha Muhammad binmtu Hasan Amilii Juz. 9, Uk. 375 chapa ya pili,8 kuingia alipo, kwani hakuna ila ana maombi yenye kujibiwa.” Muhr, Qum. watu kuingia alipo, kwani hakuna mtu ila ana maombi yenye 3Muhr, Qum. 1 9, Uk. 222. Juz. 3 Wasailus-Shi’a 6 Wasailus-Shi’a cha kujibiwa.” Wasailus-Shi’a Juz.Muhammad 9, Uk. 222.bin Hasan Amilii Juz. 9, Uk. 375 chapa ya pili, Muhr, 1

1 Biharul-Anwar

Qum. Wasailus-Shi’a Juz. 9, Uk. 222. 5. Dua ya ponyo: 8 Al-Kaafi Juz.3, Uk. 117. 7

21 21 Mwenyezi Mungu anasema:

10

’ÎAyŠ$t6Ïã ô⎯tã tβρçÉ9õ3tGó¡o„ š⎥⎪Ï%©!$# ¨βÎ) 4 ö/ä3s9 ó=ÉftGó™r& þ’ÎΤθãã÷Š$# Ν ã à6š/u‘ tΑ$s%uρ


‫وله دعوة مستجابة‬ "Pindi mmoja wenu anapopatwa na maradhi basi awaruhusu watu kuingia alipo, kwani za hakuna mtu ila ana maombi yenye Hukumu Mgonjwa kujibiwa.”1

5. Dua ponyo: 5. yaDua ya ponyo: Mwenyezi Mungu anasema: Mwenyezi Mungu anasema: ’ÎAyŠ$t6Ïã ô⎯tã β t ρçÉ9õ3tGó¡o„ ⎥ š ⎪Ï%©!$# β ¨ Î) 4 ö/ä3s9 ó=ÉftGó™r& ’ þ ÎΤθãã÷Š$# ãΝà6š/u‘ tΑ$s%uρ ∩∉⊃∪ š⎥⎪ÌÅz#yŠ tΛ©⎝yγy_ tβθè=äzô‰u‹y™

"Na Mola wenu husema: Niombeni nitawajibu, kwa hakika

“Na Mola husema: Niombeni nitawajibu, hakikaJahannam wale wawale wenu wajivunao kufanya ibada yangu, kwa wataingia jivunao kufanya ibada yangu, wataingia Jahannam wakifedheheka.” wakifedheheka." (40:60). (40:60).

Hakika miongoni mwa mambo ambayo yanahusu dua ni dua ya Hakika miongoni mwa mambo ambayo yanahusu dua ni dua kuondoa balaa, iwapo binadamu yatamsibu maradhi basi ni ya juu kuondoa balaa, iwapo binadamu yatamsibu maradhi basi ni juu yake yake pamoja na kujitibu kwa dawa za kawaida, kutumia njia za pamoja kwa dawa zayeye kawaida, kutumiananjia dua au duanaaukujitibu maombi, ajiombee mwenyewe pia za awaombee waumini. Hususan dua ya mama, kwani hasa huwa ya dhati maombi, ajiombee yeye mwenyewe na pia awaombee waumini. Hu-na nayehuwa ni mtu wa dhati susanhutoka dua yamoyoni mama, mwake, kwani hasa ya mwenye dhati na upendo hutoka moyoni na mwenye huruma zaidi baina ya watu kwa mwanawe, kwa mwake, naye ni mtu mwenye upendo wa dhati na mwenye huruma iwapo kwakwa Mwenyezi Mungu kwa ikhlas zaidi hivyo baina ya watuatanyenyekea kwa mwanawe, hivyo iwapo atanyenyekea bila shaka hujibiwa dua yake wala haina mfanowe. kwa Mwenyezi Mungu kwa ikhlas bila shaka hujibiwa dua yake wala haina mfanowe. 1

Al-Kaafi Juz.3, hadithi Uk. 117.kutoka kwa Is’mail bin Arqat, ambaye mama imepokewa

yake ni Ummu Salama, dada wa Imam as-Sadiq (a.s.) kuwa alisema: “Niliugua sana katika mwezi wa Ramadhani, nikazidiwa na ugonjwa 22 hadi hali yangu ikawa mbaya sana…..… Mama yangu akapatwa na fadhaa juu yangu, basi mjomba wangu ambaye ni Abu Abdillah Imam as-Sadiq (a.s) akamwambia mama yangu: ‘Panda juu ya nyumba na swali rakaa mbili, na utakapotoa salamu sema: “Ewe Mola Wangu hakika wewe ndiye uliyenipa yeye na hakuwa kitu chochote. Ewe Mola Wangu hakika mimi namkabidhi Kwako, mpokee.” Basi 11


nikazidiwa ugonjwa hadi hali yangu ikawa mbaya sana…..… nikazidiwa nana ugonjwa hadi hali yangu ikawa mbaya sana…..… Mama yangu akapatwa na fadhaa juu yangu, basi mjomba Mama yangu akapatwa na fadhaa juu yangu, basi mjomba wangu ambaye ambaye ni ni Abu Abu Abdillah Abdillah Imam Imam as-Sadiq as-Sadiq (a.s) (a.s) wangu akamwambia mama yangu: ‘Panda juu ya nyumba na swali akamwambia mama yangu: ‘Panda juu ya nyumba na swali rakaambili, mbili,nanautakapotoa utakapotoasalamu salamusema: sema:“Ewe “EweMola MolaWangu Wangu rakaa Hukumu za Mgonjwa hakika wewe ndiye uliyenipa yeye na hakuwa kitu chochote. hakika wewe ndiye uliyenipa yeye na hakuwa kitu chochote. EweMola MolaWangu Wanguhakika hakikamimi miminamkabidhi namkabidhiKwako, Kwako,mpokee.” mpokee.” Ewe Basi akafanya kama alivyoelekezwa, basi nikazinduka na kukaa. akafanya kama alivyoelekezwa, basi nikazinduka na kukaa.naWakaBasi akafanya kama alivyoelekezwa, basi nikazinduka kukaa. 1 9 1 Wakaomba chakula cha jioni wakala naye akala pamoja nao.’” omba chakula cha jioni cha wakala naye akalanaye pamoja nao.’” Wakaomba chakula jioni wakala akala pamoja nao.’” Sio vibaya mgonjwa kuomba dua yoyote ile, lakini ni bora Sio vibaya mgonjwa kuomba dua yoyote lakini bora zaidi Sio vibaya mgonjwa kuomba dua yoyote ile,ile, lakini ni ni bora zaidi zaidi aombe zile ambazo zimepokewa kutoka katika hadithi aombe zile ambazo zimepokewa kutoka katika hadithi takatifu, aombe zile ambazo zimepokewa kutoka katika hadithi takatifu, takatifu, na miongoni mwa dua hizo ni: miongoni mwa dua hizo nana miongoni mwa dua hizo ni:ni:

‫وعافهمنمنبالئك‬ ‫بدوائكوعافه‬ ‫وداوهبدوائك‬ ‫بشفائكوداوه‬ ‫اشفهبشفائك‬ ‫اللھماشفه‬ ‫اللھم‬ ‫بالئك‬ "Ewe Mola wangu mponye kwa ponyo lako, na mtibie kwa

"EweMola Molawangu wangu mponye lako, nakwa mtibie "Ewe mponye kwa kwa ponyoponyo lako, na mtibie dawakwa dawa zako afya kutokana balaa lako." zako nampe mpe afya kutokana na balaa lako.” dawa zako nana mpe afya kutokana nana balaa lako."

Imepokewa katika baadhi hadithi kwamba: Mwenye kusema Imepokewa katika baadhi ya hadithi kwamba: Mwenye Imepokewa katika baadhi yaya hadithi kwamba: Mwenye kusema hali ya kuwa anamwambia mgonjwa; kusema hali ya kuwa anamwambia mgonjwa; hali ya kuwa anamwambia mgonjwa;

‫مرات(االاالعوفي‬ (‫سبعمرات‬ ‫سبع‬ ) ‫العظيمأنأنيشفيك‬ ‫العرشالعظيم‬ ‫ربالعرش‬ ‫اسأل‬ ّ ‫اسألﷲﷲ‬ ‫عوفي‬ ) ‫يشفيك‬ ّ ‫رب‬ "Namuomba Mwenyezi Mungu Mola wa kiti cha enzi akuponye

"Namuomba Mola 1wa x 7 ni lazimaMwenyezi mtu huyoMungu ataponywa. " kiti cha enzi akuponye x 7 ni lazima mtu huyo ataponywa.”10 1 Wasailus-Shi’a Juz. 8, Uk. 137.Imam as-Sadiq (a.s) amesema: Na imepokewa kutoka kwa Wasailus-Shi’a Juz. 8, Uk. 137. Na imepokewa kutoka kwa Imam as-Sadiq (a.s) amesema:

1

23 ‫لو قرأت الحمد على ميت‬ ‫ مرة ث ّم ردت فيه ال ّروح ما كان‬23 ‫سبعين‬

‫عجبا‬ “Lau maiti maiti atasomewa Surat "Lau Surat Fatiha xx 70 70kisha kishaikarudishwa ikarudishwaroho roho 2 11 yake yake hilo sio la ajabu. " hilo sio la ajabu.” Wasailus-Shi’a Juz. 8, Uk. 137. KUMTEMBELEA MGONJWA NA ADABU Kanzul-Ummal Juz. 9, Uk.104 Muassasat Risaalat Beirut. 11 Wasailus-Shi’a Juz. 6, Uk. 231. 9

10

ZAKE:

Thawabu za Kumtembelea mgonjwa: Hakika suala la kumtembelea mgonjwa ni miongoni 12 wa mambo ya sunna yaliyo kokotezwa mno na dini ya kiislamu, kwani hayo yameelezwa na hadithi chungu nzima, na baadhi ya hadithi hizo ni: Imepokewa kutoka kwa Imam al-Baqir (a.s) amesema:


‫لو قرأت الحمد على ميت سبعين مرة ث ّم ردت فيه ال ّروح ما كان‬ Hukumu za Mgonjwa

‫عجبا‬

"Lau maiti atasomewa Surat Fatiha x 70 kisha ikarudishwa roho yake hilo sio la ajabu.2"

KUMTEMBELEA MGONJWA NA ADABUKUMTEMBELEA ZAKE: MGONJWA NA ADABU ZAKE:

T

Thawabu za zaKumtembelea mgonjwa:Hakika Hakika la hawabu Kumtembelea mgonjwa: sualasuala la kumtemkumtembelea mgonjwa ni miongoni wa mambo ya sunna yaliyo belea mgonjwa ni miongoni wa mambo ya sunna yaliyo kokotekokotezwa na dini ya kiislamu, yameelezwa na zwa mnomno na dini ya kiislamu, kwanikwani hayo hayo yameelezwa na hadithi hadithi chungu nzima, na baadhi ya hadithi hizo ni: chungu nzima, na baadhi ya hadithi hizo ni: Imepokewa kutokakutoka kwa Imam (a.s) amesema: Imepokewa kwa al-Baqir Imam al-Baqir (a.s) amesema:

‫رب ما بلغ من عيادة‬ ّ ‫ يا‬:‫كان فيما ناجى به موسى ربّه أن قال‬ ‫)زيارة( المريض من أجر؟ فقال ﷲ )ع ّز وج ّل( أوكل به ملكا‬ ‫يعوده )يزوره( في قبره الى محشره‬ “Kati ya yale ambayo Nabii Musa aliongea na Mola Wake, alisema: yale ambayo Nabii Musa na Mola Wake, alisema: Ewe“Kati MolayaWangu kuna malipo kiasi aliongea gani kuhusu kumtembelea Ewe Mola Wangu kuna malipo kiasi gani kuhusu kumtembelea mgonjwa? Mwenyezi Mungu akasema: Hupelekewa malaika na 1 Kanzul-Ummal 9, Uk.104Mungu Muassasat Risaalat Hupelekewa Beirut. 1 malaika na mgonjwa?Juz. Mwenyezi akasema: 2humtembelea kaburini mwake hadi atakapofufuliwa. " Wasailus-Shi’a Juz. 6, Uk.kaburini 231. humtembelea mwake hadi atakapofufuliwa.”12

Na imepokewa hadithi kutoka kwa Imam Ali (a.s) amesema: Na imepokewa hadithi kutoka 24 kwa Imam Ali (a.s) amesema:

‫ منھم رجل خرج يعود مريضه فمات له‬.... ‫ضمنت لستّة الجنّة‬ ‫الجنّة‬ “Watu wamedhaminiwapepo…miongoni pepo…miongoni mtu “Watusita sita wamedhaminiwa mwaomwao ni mtu ni aliyetoka ili kumtembelea mgonjwa basi akafikwa kifo, kwa aliyetoka ili kumtembelea mgonjwa basi na akafikwa nahakika kifo, mtu kwa 2 ataingia hakika mtu huyo ataingiahuyo peponi. " peponi.”13 12 Maradhi yenyeJuz. kuambukiza: Wasailus-Shi’a 2, Uk. 416. 13

Wasaiusl-Shi’a Juz. 2, Uk. 417.

Imetangulia hapo kabla kwamba kumtembelea mgonjwa ni miongoni mwa mambo ya sunna 13ambayo yamehimizwa mno na sheria takatifu ya kiislamu, isipokuwa ipo hali iliyoelezwa na hadithi chungu nzima ambazo zimelifuta suala la utembeleaji, na kwamba hali hiyo ni pale ambapo mgonjwa atakuwa ni miongoni


Hukumu za Mgonjwa

Maradhi yenye kuambukiza: Imetangulia hapo kabla kwamba kumtembelea mgonjwa ni miongoni mwa mambo ya sunna ambayo yamehimizwa mno na sheria takatifu ya kiislamu, isipokuwa ipo hali iliyoelezwa na hadithi chungu nzima ambazo zimelifuta suala la utembeleaji, na kwamba hali hiyo ni pale ambapo mgonjwa atakuwa ni miongoni mwa wale wenye magonjwa ya kuambukiza, hususan katika yale magonjwa hatari mno, imepokewa hadithi kutoka kwa Mtume (s.a.w.w.) kuwa amesema:

‫وال تدخلوا عليھم واذا مررت فأسرعوا المشي ال يصيبكم ما‬..." "‫أصابھم‬ wala msiingie walipo, mtakapopita basi tembeeni haraka “…“… wala msiingie walipo, nana mtakapopita basi tembeeni haraka ili ili 14 1 yasiwasibu nyinyi yale yaliyowasibu wao.” yasiwasibu nyinyi yale yaliyowasibu wao. "

Ni wakati gani wa kumtembelea mgonjwa?

Ni wakati gani wa kumtembelea

Inapaswa kuchungwa hali ya mgonjwa pindi anapotembelewa, mgonjwa? isiwe badala ya kumpunguzia yeye maumivu na kupata utulivu na nafuu ikageuka na kuwa ni kumtaabisha na kumchosha. Imepokewa hadithi kutoka kwa Abu Abdillah as-Sadiq (a.s) kuwa Inapaswa kuchungwa hali ya mgonjwaImam pindi anapotembelewa, isiwe amesema: badala ya kumpunguzia yeye maumivu na kupata utulivu na nafuu ikageuka na kuwa ni kumtaabisha na kumchosha. Imepokewa haAbu Imam (a.s) kuwa ‫ال‬dithi ‫ويوم‬kutoka ‫ فيوم‬kwa ‫وجبت‬ ‫فاذا‬Abdillah ‫ثالثة أيّام‬ ‫ من‬as-Sadiq ‫عيادة في أقل‬ ‫تكون‬amesema: ‫وال‬..."

"‫فاذا طالت العلّة ترك المريض وعياله‬ 14

"… B iharul-Anwar Juz. 59, wako Uk. 213mgonjwa cha Muhammad Baqir Majlisi, chapa Utembeleaji usipungue sikuMuasasat tatu, naWafai iwapo ya pili iliyosahihishwa. utalazimika kufanya hivyo basi nenda siku moja na usiende siku

ya pili, na iwapo mtu ataugua muda mrefu, huachwa mgonjwa 14 na familia yake.2"

Adabu za kumtembelea mgonjwa:


Inapaswa kuchungwa hali ya mgonjwa pindi anapotembelewa, isiwe badala ya kumpunguzia yeye maumivu na kupata utulivu na nafuu ikageuka na kuwa ni kumtaabisha na kumchosha. Imepokewa hadithi kutoka kwa Abu Abdillah Imam as-Sadiq (a.s) kuwa Hukumu za Mgonjwa amesema:

‫وال تكون عيادة في أقل من ثالثة أيّام فاذا وجبت فيوم ويوم ال‬..." "‫فاذا طالت العلّة ترك المريض وعياله‬ "… Utembeleaji wako mgonjwa usipungue siku tatu, na iwapo utalazimika kufanya hivyo basimgonjwa nenda siku moja na usiende siku pili, "… Utembeleaji wako usipungue siku tatu, naya iwapo nautalazimika iwapo mtu ataugua muda mrefu, huachwa mgonjwa na familia kufanya hivyo basi nenda siku moja na usiende siku 15 yake.” ya pili, na iwapo mtu ataugua muda mrefu, huachwa mgonjwa

na familia yake.2"

Adabu za kumtembelea mgonjwa: Adabu za kumtembelea mgonjwa:

Zipo adabu nyingi ambazo zinamhusu yule anayemtembelea nyingi zinamhusu yule anayemtembelea mgonjwa ambazo yampasa baadhi ya adabu hizo ni: 1 Zipo adabu Biharul-Anwar Juz. 59,ambazo Uk. kuzichunga, 213 cha Muhammad Baqir Majlisi, Muasasat mgonjwa yampasa kuzichunga, baadhi ya adabu hizo ni: Wafai chapaambazo ya pili iliyosahihishwa. 2 Wasailus-Shi’a Juz. 2, kumuudhi Uk. 421, mlango wa 13 riwaya ya 2529. 5. Asiwe sababu ya mgonjwa: 5. Asiwe sababu ya kumuudhi mgonjwa: Nilazima lazima kwa kwa jumla jumla tuchukue tuchukue tahadhari tahadhari kuwaudhi Ni kuwaudhi watu watu na na hasa hasa 26 Mungu hujibu dua na maombi hasa mgonjwa, kwani Mwenyezi hasa mgonjwa, kwani Mwenyezi Mungu hujibu dua na maombi yake kama linavyoashiriwa hilo na hadithi iliyopokewa kutoka kwa yake kama linavyoashiriwa hilo na hadithi iliyopokewa kutoka kwa Imam as-Sadiq (a.s), amesema: Imam as-Sadiq (a.s), amesema:

‫الحاج فانظروا كيف تخلفونه والغازي في‬ :‫ثالثة دعوتھم مستجابة‬ ّ ‫سبيل ﷲ فانظروا كيف تخلفونه المريض فال تغيظوه وال تزجروه‬ “Watuwatatu watatuhujibiwa hujibiwamaombi maombi yao: yao: Alhaji, “Watu Alhaji, basi basiangalieni angalienivipi vipi mtamfuata. Mpiganaji katika njia ya Mwenyezi Mungu, basi anmtamfuata. Mpiganaji katika njia ya Mwenyezi Mungu, basi galieni vipi vipi mtamfuata. Na msimkasirishe mgonjwa mgonjwa wala msimpigie angalieni mtamfuata. Na msimkasirishe wala 16 1 makelele.” msimpigie makelele.” Wasailus-Shi’a Juz. 2, Uk. 421, mlango wa 13 riwaya ya 2529. 6. Msikae mrefu:bin Hasan Hurri Aamili, Muasasat Ahlul Wasailus-Shi’a Juz. kwake 7, Uk.128muda cha Muhammad Bayt, chapa ya pili, 1414 A.H. Kumtembelea mgonjwa ni suala la kawaida, lakini miongoni mwa

15 16

adabu za kumtembelea mgonjwa, mtembeleaji mgonjwa asikae 15 muda mrefu kwake ila iwapo tu mgonjwa atamuomba afanye hivyo. Imepokewa hadithi kutoka kwa Imam Ali (a.s.) kuwa amesema:

‫ومن أعظم الع ّواد )ال ّزوار( أجرا عند ﷲ لمن اذا عاد )زار( أخاه‬


‫الحاج فانظروا كيف تخلفونه والغازي في‬ :‫ثالثة دعوتھم مستجابة‬ ّ ‫سبيل ﷲ فانظروا كيف تخلفونه المريض فال تغيظوه وال تزجروه‬ “Watu watatu hujibiwa maombi yao: Alhaji, basi angalieni vipi za Mgonjwa mtamfuata. Mpiganaji Hukumu katika njia ya Mwenyezi Mungu, basi angalieni vipi mtamfuata. Na msimkasirishe mgonjwa wala 1 msimpigie 6. Msikae makelele.” kwake muda mrefu: 6. Msikae mgonjwa kwake muda mrefu: Kumtembelea ni suala la kawaida, lakini miongoni mwa Kumtembelea mgonjwa ni suala la kawaida, lakini miongoni mwa adabu za kumtembelea mgonjwa, mtembeleaji mgonjwa asikae adabu za kumtembelea mgonjwa, mtembeleaji mgonjwa asikae muda mrefu mrefu kwake kwakeila ilaiwapo iwapotu tumgonjwa mgonjwaatamuomba atamuombaafanye afanyehivyo. hivyo. muda Imepokewahadithi hadithikutoka kutokakwa kwaImam ImamAli Ali(a.s.) (a.s.)kuwa kuwaamesema: amesema: Imepokewa

‫ومن أعظم الع ّواد )ال ّزوار( أجرا عند ﷲ لمن اذا عاد )زار( أخاه‬ ‫خفف الجلوس االّ أن يكون المريض يجب ذلك ويريده‬ “Mtembeleaji mgonjwa ambaye ana malipo makubwa kwa Mwenyezi Mungu ni yule ambaye anapomtembelea ndugu yake hakai 1 Wasailus-Shi’a Juz. 7, Uk.128 cha atapenda Muhammad bin Hasan Hurri Aamili, "Mtembeleaji mgonjwa ambaye ana hivyo malipo makubwa kwa muda mrefu, ila ikiwa mgonjwa na kumtaka yeye Muasasat Ahlul-Bayt, chapa ya pili, 1414 A.H. 17 afanye hivyo.” Mwenyezi Mungu ni yule ambaye anapomtembelea ndugu yake

hakai muda mrefu, ila ikiwa mgonjwa atapenda hivyo na kumtaka yeye afanye hivyo.1"27 7. Weka mkono wako juu ya dhiraa ya mgonjwa:

7. Weka mkono wako juu ya dhiraa ya mgonjwa: Imepokewa hadithi hadithi kutoka Imam as-Sadiq (a.s.) kuwa Imepokewa kutokakwa kwa Imam as-Sadiq (a.s.)amesekuwa ma: amesema:

‫تمام العيادة للمريض أن تضع يدك على ذراعه‬ "Utimilifu kumtembelea mgonjwa ni kuweka wako "Utimilifu wawa kumtembelea mgonjwa ni kuweka mkonomkono wako juu ya 2 juu ya dhiraa yake.” dhiraa yake.”18

Na huenda uwekaji mkono juu ya dhiraa ya mgonjwa huwa ni kielelezo cha kumjali na kuwa na ya kumfariji yeye, vileni Na huenda uwekaji mkononaye juu pamoja ya dhiraa mgonjwa huwa vile unampa nguvu ili kustahmili ugonjwa na kuushinda. kielelezo cha kumjali na kuwa naye pamoja na kumfariji yeye, vile vile unampa nguvu ili kustahmili ugonjwa na kuushinda. 8. Kumpelekea zawadi: 17 18

Al-Kaafi Juz. 3, Uk. 193 cha Kulayni Daarul-kutbil-Islamiyya Akhundi chapa ya tatu. Al-Kaafi Juz. 3, Uk. 118.

Miongoni mwa mambo ambayo yamezoeleka katika jamii ni kwamba mtembeleaji mgonjwa 16aingie kwa mgonjwa na hali mikononi mwake kuna zawadi ya kumfurahisha. Kwa hivyo kutoa zawadi ni jambo la sunna, hususan kwa muumini, kama ilivyo kumfurahisha muumini ni miongoni mwa mambo bora mbele ya Mwenyezi Mungu, na huenda suala la mgonjwa kufurahia zawadi


Hukumu za Mgonjwa

8. Kumpelekea zawadi: Miongoni mwa mambo ambayo yamezoeleka katika jamii ni kwamba mtembeleaji mgonjwa aingie kwa mgonjwa na hali mikononi mwake kuna zawadi ya kumfurahisha. Kwa hivyo kutoa zawadi ni jambo la sunna, hususan kwa muumini, kama ilivyo kumfurahisha muumini ni miongoni mwa mambo bora mbele ya Mwenyezi Mungu, na huenda suala la mgonjwa kufurahia zawadi ikawa sababu ya kupata nguvu ya kukabiliana na maradhi, hiyo ni kutokana na kuhisi kuwa unamuunga mkono, unamjali na kumtilia umuhimu. Ipo riwaya imepokewa na mmoja wa masahaba wa Imam asSadiq (a.s.) kuwa amesema: “Mmoja wa wafuasi wa Imam (a.s.) aliugua, basi tukatoka na kwenda kumtembelea, na sisi tukiwa ni kikundi cha vipenzi wake (a.s.), tukakutana na Imam (a.s.) njiani, akasema: ‘Mnamtaka nani?’ Tukasema: Tunamtaka fulani tumtembelee. Akasema: ‘Simameni!’ Basi tukasimama. Akasema: ‘Mmoja wenu analo tufaha au pera au balungi au kipande cha udi?’ Tukasema: Hatuna chochote. Akasema: ‘Hamjui kwamba mgonjwa anastarehe kwa kipande chochote kiingizwacho kwake.”’19

19

Biharul-Anwar Juz. 87, Uk. 227. 17


Hukumu za Mgonjwa

SEHEMU YA PILI: TOHARA Utangulizi:

M

azungumzo yatahusu tohara ya mgonjwa kuhusiana na wudhuu wake, kuoga kwake na kutayammamu kwake, na hukumu za tohara hizi tatu iwapo kuna kizuizi kitakachozuia hayo kutekelezwa katika njia yake ya kawaida, kama vile lau litapatikana gango au jeraha na mengineyo miongoni mwa vizuizi kama vile magonjwa ya ngozi n.k. Hivyo ni zipi hukumu mbadala ambazo Mwenyezi Mungu ameziweka makhususi kwa ajili ya tohara ya mgonjwa, ili kumfanyia tahfifu kutokana na machungu na pia kumrahisishia tohara yake?

Hukumu za wudhu na kuoga Bendeji na kitata: Hakika bendeji na kitata huenda vikawekwa kwa sababu ya jeraha, kidonda au kiungo kilichovunjika, na muda mwingine huwekwa kwa jambo lingine, kwa hivyo jeraha, kidonda na kiungo kilichovunjika yote yana hukumu moja, na mambo mengine yana hukumu zingine, na ufafanuzi wake ni kama ufuatavyo:

18


Hukumu za Mgonjwa

Jeraha, kidonda na kiungo ­kilichovunjika Wudhuu: Jeraha, kidonda au kiungo kilichovunjika, kama juu yake kuna bendeji au kitata {sawa iwe inatokana na muhogo au nguo nyembamba sana au visivyokuwa hivyo}, basi mwenye hali hiyo ana sura mbalimbali: Akiweza kuchukua wudhuu kwa utaratibu wa kawaida, yaani kwa kuondoa gango au kufikisha maji chini yake kwa namna ambayo itathibiti kwamba kaosha, bila shaka itamlazimu kufanya hivyo. Na kama halitawezekena hilo basi atafuta juu yake, sawa iwe ni sehemu ya kuosha au kupaka.20 Hukumu ya bendeji na gango lenye kufunika sehemu kubwa ya viungo: Ikiwa gango limefunika kiungo kimoja kwa ukamilifu, basi wadhifa na jukumu la mukallafu katika hali hii ni kutumia hukumu ya kitata iliyotangulia. Ama ikiwa gango limefunika sehemu kubwa ya viungo, basi hukumu ya mukallafu wakati huo ni kutayammamu, kama viungo vya tayammamu vipo wazi. Na ama ikiwa gango limefunika viungo vya tayammamu pamoja na viungo vya wudhuu, na ikawa hatoweza kufanya tayammamu juu ya ugozi moja kwa moja, basi atafanya wudhuu wa kitata.21.

20 21

Tahrirul-Wasiilat Juz. 1, uk. 34 Mas-ala ya kwanza. Tahrirul-Wasiilat Juz. 1, uk. 34 Mas-ala ya tatu.. 19


Hukumu za Mgonjwa

Kuoga: Huenda kikaendelea kipindi cha bendeji au gango kwa siku kadhaa, na akapatwa na yale ambayo yatamlazimu kuoga, basi ni ipi hukumu ya kisheria kuhusu hali hiyo? Jibu la swali hilo tunaweza kulieleza katika sura kadhaa, nazo ni: i. Kuna wakati hakuna madhara katika kufikisha maji hadi ndani ya bendeji au kitata, basi ikiwa hivyo hapo inamlazimu afikishe maji chini yake katika hali ambayo itaitwa kuoga. ii. Na wakati mwingine huwa haiwezekani kufikisha maji hadi chini yake ila kwa kuliondoa, basi ikiwa inawezekana kuliondoa, yaani ikiwa hakuna madhara iwapo ataliondoa, hapo inamlazimu kuliondoa na kufikisha maji chini yake. iii. Iwapo ufikishaji wa maji chini yake utakuwa na madhara basi hapo huoshwa sehemu zile zisizo na gango, na atapaka juu ya bendeji au kitata. Na kwa mujibu wa ihtiyat ya wajibu uogaji wake uwe wa aina ya utaratibu (yaani atatanguliza kuosha kichwa pamoja na shingo, kisha ataosha upande wa kulia na kumalizia kuosha upande wa kushoto, na haiwezekani kuoga kwa aina ya upigaji mbizi.)22 Hukumu ya bendeji na kitata vilivyonajisika: Miongoni mwa majaribu ambayo huenda yakamuingiza mtu majaribuni ni kunajisika kwa gango la mtu mwenye majeraha, vidonda na mvunjiko katika moja ya viungo vyake, kwa namna ambayo haisihi kupaka juu yake na hali ya kuwa ni lenye kunajisika. Hukumu yake ni kwamba ikiwa hataweza kupaka juu ya gango kwa sababu ya najisi basi ataweka kitambaa juu yake kwa namna ambayo kitahesabiwa 22

Tahrirul-Wasiilah Uk. 36, Mas-ala ya kumi. 20


Hukumu za Mgonjwa

kuwa ni sehemu ya gango hilo, na hapo atapaka juu yake. Jeraha, kidonda au kiungo kilichovunjika kilicho wazi: Ikiwa jeraha, kidonda au kiungo kilichovunjika kiko wazi na hakuna bendeji au kitata juu yake, basi mtu huwa katika hali zifuatavyo: 1. Hakuna madhara wala najisi: I kiwa kufikisha maji kwenye jeraha hakuna madhara kwake, na hakuna najisi ndani ya jeraha kama vile damu, basi anawajibika kuosha au kupaka viungo vya wudhuu kwa utaratibu wa kawaida. 2. Kuna madhara au najisi mahala pa kuosha: I kiwa ufikishaji maji sehemu hiyo utakuwa na madhara, au mahala hapo pana najisi wala haiwezekani kupatoharisha, basi iwapo jeraha au kidonda au kiungo kilichovunjika ni sehemu ya kuosha {uso na mikono miwili}, yatosha kuosha pembezoni mwake. Na kwa mujibu wa ihtiyat ya sunna, pamoja na hivyo, kuwekwe juu yake kitambaa na apake juu yake.23 3. Kuna madhara au najisi mahala pa kupaka: I kiwa ni sehemu ya kupaka {yaani miguu au kichwa}, basi wajibu ni kufanya tayammamu badala ya kufanya wudhuu, lakini akiweza kuweka juu yake kitambaa, basi atapaka juu yake. Na kwa mujibu wa ihtiyat ya wajibu ni kwamba pamoja na kufanya tayammamu badala ya wudhuu pia apake kwa kupaka juu ya kitambaa.24 ahrirul-Wasiilah Juz. 1 Uk. 35 na Tawdhiihul-Masaail Uk. 43 Mas-ala ya 32 {cha T kifarsi}. 24 Ajwibatul-Istiftaat Uk. 41 Mas’ala ya 125. 23

21


Hukumu za Mgonjwa

4. Jeraha likiwa linatoa damu: uenda binadamu akapatwa na jeraha katika moja ya viungo H vya wudhuu na ikawa damu haikatiki, hivyo atakapotaka kufanya wudhuu atalazimika kuweka bendeji juu yake ili kuzuia najisi isitapakae hadi viungo vingine, na pia ili damu ikatike. Yampasa mukallafu katika hali hiyo kuelewa kwamba yamlazimu yeye mwenyewe kuweka bendeji ili damu isitoke, kwa mfano aweke nailoni n.k.25 5. Sehemu ambazo si sehemu ya udhu: au kikiwa kiungo kilichovunjika au chenye jeraha sio L sehemu ya wudhuu, lakini utumiaji wa maji katika sehemu ya wudhuu hudhuru sehemu iliyovunjika na yenye jeraha, basi hukumu ya mukallafu ni kuhama kutoka kwenye wudhuu au kuoga hadi kwenye tayammamu.26 Hukumu ya aliyeungua au aliye na maradhi ya ngozi: Mazungumzo yaliyopita yalihusu jukumu la mgonjwa mwenye jeraha au kidonda au ambaye kimevunjika kiungo chake, na hivi sasa mazungumzo yetu yanahusu mgonjwa aliyepatwa na maradhi mengineyo, kama vile maradhi ya ngozi au kuungua moto, basi hukumu yake ni ipi? Zipo sura mbali mbali kuhusiana na kadhia hiyo, nazo ni: i. Ikiwa kiungo chote kilichopatwa na tatizo kitadhurika kwa utumiaji wa maji basi atafanya tayammamu. ii. Ikiwa sehemu tu ya kiungo iliyopatwa na tatizo ndio itadhurika kwa utumiaji wa maji na ikawa inawezekana 25 26

Ajwibatul-Istiftaat Uk. 34 Mas’ala ya 137. Tahrirul-Wasiilah Juz. 1, Uk. 35 Mas-ala ya saba. 22


Hukumu za Mgonjwa

kuosha pembezoni mwake, basi ataosha pembezoni mwake. Na kwa mujibu wa ihtiyat ya wajibu ni kwamba atafanya pia tayammamu, na vizuri zaidi ni aweke kitambaa kisha apake juu yake kisha ndipo afanye tayammamu.27 Hukumu ya gamba la kidonda: i. Gamba la kidonda wakati wa kupona kwake na ambalo limekuwa sehemu ya ngozi ya mwili, si lazima kuliondoa bali ataosha juu yake tu.28 ii. Dawa iliyoganda juu ya jeraha ambayo haiwezekani kuiondoa, hukumu yake ni kama ile hukumu ya bendeji na kitata, hivyo haitoshi kuosha juu yake, bali aweke kitambaa na apake juu yake.29 Hukumu ya ugonjwa wa macho: Ugonjwa wa macho ni miongoni mwa maradhi mashuhuri ambayo huyasibu macho na humdhuru mtumiaji wa maji, na kwa ajili hiyo zipo hukumu nyingi zinazomhusu mwenye kupatwa na maradhi hayo: i. Ikiwa utumiaji wa maji utamdhuru mwenye kupatwa na maradhi ya macho, basi akiweza kuosha pembezoni mwa jicho bila madhara, basi hapo ataosha pembezoni mwake, na kisha atalazimika kufanya tayammamu, hiyo ni kwa mujibu wa ihtiyat ya wajibu. ii. Na iwapo hatoweza kuosha pembezoni mwa jicho, hapo atawajibika kufanya tayammamu.30 Tahrirul-Wasiilah Juz. 1, Uk. 35 Mas-al ya saba. Tahrirul-Wasiilah Juz. 1, Uk. 22 Mas-al ya 11. 29 Tahrirul-Wasiilah Juz. 1, Uk. 22 Mas-al ya 11. 30 Tahrirul-Wasiilah Juz. 1, Uk. 35 Mas-ala ya 8. 27 28

23


Hukumu za Mgonjwa

Hukumu za jumla kuhusu bendeji na kitata: i. Itamlazimu mhusika kupaka kiungo chote katika viungo vya kuosha. Naam! halazimiki kupaka sehemu yenye udhuru au ambayo ni vigumu kuipaka, ile iliyo baina ya nyuzi. Ama katika viungo vya kupaka, ni wajibu kupaka juu ya kitata au bendeji kwa kiwango kile ambacho ni wajibu kupaka katika utaratibu wa mtu asiye na gango, na kwa njia ile ile.31 ii. Wudhuu wa bendeji au kitata na kadhalika kogo lake na tayammamu kwa yule ambaye jukumu lake ni hilo, mambo hayo huondoa hadathi kikamilifu. Hiyo ina maana kwamba mwenye kufanya wudhuu au kuoga kwa utaratibu wa mtu mwenye bendeji au kitata, au akafanya tayammamu badala ya wudhuu au kuoga kwa sababu ya bendeji au kitata, inaruhusiwa kwake kuleta vitendo vyote ambavyo ili uvilete inashurutishwa kuwa na tohara, kama vile kugusa maandiko ya msahafu, kugusa majina matukufu ya Mwenyezi Mungu na kuingia msikitini‌ iii. Udhuru utakapotoweka, hailazimu kuzirudia swala ambazo aliziswali kwa wudhuu wa bendeji au kitata, na inaruhusiwa kuleta swala zitakazofuata kwa wudhuu huo huo. iv. Anaruhusiwa mwenye bendeji au kitata kuchukua wudhuu na kuswali mwanzo wa wakati iwapo atakata tamaa ya kutoweka udhuru kabla ya mwisho wa wakati. Ama kama hatakata tamaa, basi kwa mujibu wa ihtiyat ya wajibu atalazimika kuchelewesha wudhuu wake na sala yake hadi utakapobaki wakati wa kuweza tu kufanya tohara na kuswali kabla ya wakati kulazimika.32 31 32

Tahrirul-Wasiilah Juz. 1, Uk. 34 Mas-ala ya pili. Tahrirul-Wasiilah Juz. 1, Uk. 35-36 Mas-ala ya 11-13. 24


Hukumu za Mgonjwa

Aliyekatika moja ya viungo vyake: Zipo aina nyingi ambazo yawezekana kuzifikiria ikiwa mwenye kutawadha hana kimoja kati ya viungo vyake vya wudhuu, au sehemu ya kiungo kwa mfano kiganja cha mkono, na kuhusu hilo zipo aina nyingi nazo ni: i. Ikiwa utakatika mkono mmoja wa mtawadhaji au yote miwili, hautoanguka wajibu wa kuosha uso, bali ni wajibu wake kuosha kwa njia yoyote ile iwezekanayo, kama vile aweke uso wake chini ya bomba la maji kisha atayapitisha maji kuanzia juu mpaka chini huku akiweka nia ya kuosha uso. ii. Ikiwa utakatika mkono mmoja wa mwenye kufanya wudhuu, na akataka kuosha mkono mwingine, kwa mfano lau utakatika mkono wa kushoto na akataka kuosha mkono wa kulia, hapo ataweka mkono wake wa kulia chini ya bomba akianzia juu ya kiwiko mpaka ncha za vidole. iii. Ikiwa itakatika sehemu ya mkono, kwa mfano kiganja n.k hautoanguka wajibu wa kuosha bali ataosha sehemu iliyobakia, ama kuhusu kupaka iwapo kitakatika kiganja chake cha kulia, kwa hivyo yeye anaweza kupaka kichwa kwa kutumia mkono wa kushoto au hata dhiraa yake.33 iv. Ikiwa atakatika mikono yote miwili hatoweza kufanya wudhuu, na kwa hivyo atamfanyia wudhuu mtu mwingine, basi mwenye kumfanyia wudhuu atanuia kufanya wudhuu, atamuosha uso wake kisha atachukua unyevunyevu kutoka usoni mwa mgonjwa atampaka kichwani kwake. 33

Tahrirul-Wasiilah Juz. 1, Uk. 23 Mas-ala ya 14. 25


Hukumu za Mgonjwa

v. Namna ya kupaka nyayo mbili kwa yule aliyekatika mikono: Ikiwa hatakuwa na kiganja cha kulia wala dhiraa basi atapaka kwa kutumia kiganja cha kushoto na kama si hivyo basi atatumia dhiraa, na ikiwa atakatika mikono yote miwili basi atamchukua mtu wa kumsaidia kumfanyia yeye wudhuu kwa maji ya uso wake na atampaka nyayo zake kama alivyompaka kichwani.34 Ama ikiwa atakatika unyayo mmoja basi atapaka unyayo uliobakia, na ikiwa atakatika sehemu tu ya unyayo basi atapaka sehemu iliyobakia, ikiwa ni katika sehemu ya wajibu kupaka. vi. Ikiwa itakatika nyama ya mikono miwili au ya uso itawajibika kuosha kiungo kilichobakia, vivyo hivyo ni wajibu kuosha kiungo kilichokatika ikiwa kimeungana lau hata kwa ngozi nyepesi.35 vii. Hali ambavyo huwa juu ya ugozi mfano wa ngozi ya maiti inatosha kuosha juu yake wala si wajibu kuosha chini yake na wala si wajibu kuikata, ama lau kitadhihiri kile kilicho chini ya ngozi kwa ukamilifu lakini ikawa bado imebakia ngozi yenye kuungana, ambayo inawezekana kuiunganisha au haiwezekani kuiunganisha, basi hapo hukumu yake ni kuosha kilicho chini yake.36 Asiyeweza kujizuia kutokwa na haja ndogo au kubwa au ushuzi: Baadhi ya wagonjwa hushindwa kudhibiti haja ndogo, upepo na haja kubwa, hivyo baadhi ya wakati hali hiyo huwafanya wawe weAjwibatul-Istiftaat Juz. 1, Uk. 39 swali la 120. Tahrirul-Wasiilah Juz. 1, Uk. 22 Mas-ala ya 6. 36 ahrirul-Wasiilah Juz. 1, Uk. 22 Mas-ala ya 8. 34 35

26


Hukumu za Mgonjwa

nye kupatwa na hadathi, basi jukumu lao ni lipi kuhusu wudhuu na kuswali? Na mgonjwa mwenye tatizo hilo hukumu yake ni ipi? Mgonjwa mwenye maradhi hayo ana hali mbili, na kila moja hukumu mahsusi: 1.

Ikiwa ana muda ambao humwezesha kufanya tohara na kuswali – lau kwa ufupi na wajibu mdogo zaidi – hukumu yake ni kuswali na wudhuu wa hali ya kawaida ndani ya muda huo.

2.

Ikiwa hana muda utoshao kufanya hivyo, basi hali hiyo ina vipengele viwili navyo ni: (i) Ima iwe hadathi {yaani haja ndogo, haja kubwa na upepo} humtoka katikati ya swala mara moja, mara mbili au mara tatu kwa namna ambayo haitokuwa uzito kwake kufanya wudhuu katikati ya swala na kukamilisha swala kuanzia pale alipoisitisha kwa ajili ya wudhuu, kwa hivyo hukumu yake kuhusu kutokwa na haja kubwa ni achukue wudhuu na ajishughulishe na swala huku akiwa ameweka maji karibu yake, basi ikiwa atatokwa na chochote, atachukua wudhuu mara moja bila kupita muda na ataikamilisha swala yake, na kwa mujibu wa ihtiyat ya sunna ni kwamba arudie tena swala kwa wudhuu mmoja. Ama kuhusu haja ndogo, kwa mujibu wa ihtiyat ya istihbabu ni kwamba afanye kama ilivyoelekezwa hapo kabla, lakini inaruhusiwa kutosheka na wudhuu kwa swala nzima bila kufanya upya wudhuu katikati ya swala. (ii) Na ima kutoka kwa hadathi kuwe ni kwenye kuungana kwa namna ambayo atapata uzito lau atafanya wudhuu kila atokwapo na hadathi, basi hapa kuna maelezo haya: Kwa mujibu wa ihtiyat ya wajibu ni kwamba 27


Hukumu za Mgonjwa

mwenye matatizo ya kutokwa na haja kubwa afanye wudhuu mara moja kwa kila swala ya faradhi. Ama mwenye ugonjwa wa kutokwa na haja ndogo, yeye anaweza kuswali kwa wudhuu mmoja swala mbili, maadamu hajatokwa na matone ya mkojo baina ya swala mbili.37 Miongoni mwa hukumu za asiyeweza kudhibiti haja ndogo au kubwa au ushuzi: i. Anawajibika kudhibiti utapakaaji wa najisi lau kwa mfuko ambao una pamba au linalofanana na hilo, wala sio wajibu kubadilisha au kuitoharisha kwa kila swala. Ndio, ni bora kuitoharisha sehemu ya kutokea haja ndogo au haja kubwa kama haitakuwa ni uzito kwake kufanya hivyo.38 ii. Si wajibu kwake kulipa swala zilizompita baada ya kupona kwake, ama swala ambazo wakati wake bado ungalipo, lau ataziswali kwa hali ya dharura kisha akapona ndani ya wakati wa swala husika na wakati ukawa bado mpana zaidi kwake hata kama atachukua tohara ya kawaida, basi hapo atairudia swala hiyo.39 Tayamamu ya mgonjwa: Ikiwa mukallafu atashindwa kufanya wudhuu au kuoga kwa kuchelea kupata madhara au kumuia vigumu, itawajibika kwake kufanya tayammamu badala ya kuoga au badala ya wudhuu. Tahrirul-Wasiilah Juz. 1, Uk. 31 Mas-ala ya 3 na Zubdatul-Ahkam Uk. 18 Mas-ala ya 2. Tahrirul-Wasiilah Juz. 1, Uk. Mas-ala ya 4. 39 Tahrirul-Wasiilah Juz. 1, Uk. 32 Mas-ala ya 5. 37 38

28


Hukumu za Mgonjwa

Matatizo mkononi: Huenda mukallafu akapatwa na matatizo ambayo yatamzuia kufanya tayammamu kikawaida, basi maelezo ya hilo ni kama ifuatavyo: 1. Ikiwa atashindwa kupiga juu ya ardhi kwa matumbo ya viganja vyake vya mikono basi atapiga kwa sehemu ya mgongo wa hivyo viganja viwili na ataendelea na tayammamu yake.40 2. Ikiwa kimoja kati ya viganja vyake kimekatika basi atapiga kwa dhiraa yake na atapaka kwa kiganja chake kilichobakia, anapaka paji lake la uso kwa dhiraa yake, vivyo hivyo atapaka juu ya kiganja chake. 3. Aliyekatika mmoja kati ya mikono yake miwili na akataka afanye tayammamu basi atapiga juu ya ardhi kwa tumbo la kiganja chake kilichobakia, kisha atapaka paji la uso kwacho, kisha atapaka sehemu ya juu ya kiganja kilichobaki kwa kutumia ardhi badala ya kukipaka hicho kwa mkono. Katika kuongezea hilo ni bora zaidi ikiwezekana mtu mwingine amfanyie tayammamu, apige mkono wake juu ya ardhi na apake mgongo wa kiganja kilichobakia. 4. Iwapo itakatika mikono yake yote miwili itamwajibikia kupaka paji lake la uso ardhini kwa nia ya kufanya tayammamu, na kwa ihtiyat ni bora kuongezea katika hilo ikiwa itawezekana, mtu mwingine amfanyie tayammamu, apige mikono yake juu ya ardhi na ampake paji lake la uso.41

40 41

Tahrirul-Wasiilah Juz. 1, Uk. 110 Mas-ala ya 2. Tahrirul-Wasiilah Juz. 1, Uk. 110 Mas-ala ya 4. 29


Hukumu za Mgonjwa

Mgonjwa anayeshindwa kufanya tayammamu: Huenda mgonjwa akashindwa kufanya tayammamu yeye mwenyewe, kwa mfano ikiwa amepatwa na ugonjwa wa kiharusi, katika hali hiyo kama itawezekana basi itawajibika mwingine amfanyie tayammamu. Namna ya kuweka msaidizi katika tayammamu: 1. Mgonjwa aweke nia ya kufanya tayammamu. 2. Msaidizi wake ashike mikono ya mgonjwa na apige juu ya ardhi kwayo. 3. Msaidizi wake ashike mikono ya mgonjwa na apake paji la mgonjwa, kisha apake mgongo wa mkono wake wa kulia kisha mkono wa kushoto. Ikiwa msaidizi wa mgonjwa hatoweza kufanya tayammamu kwa mikono yake {yaani kwa mikono ya mgonjwa mwenyewe} basi msaidizi atafanya tayammamu kwa kutumia mikono yake mwenyewe.42 Na hapana budi kuwa makini na kuchunga masharti ya jumla ya tayammamu, kwa mfano yale ambayo husihi kufanyia tayammamu, basi inalazimu iwe ardhi kweli, iwe tohara, iwe ya halali na kavu. Miongoni mwa hukumu za tayammamu: 1. Ikiwa aliyepatwa na hadathi ndogo atatayammamu badala ya wudhuu, kwa hakika tayammamu yake itatenguka kwa kupatwa tena na hadathi ndogo na kubwa. 2. Ikiwa aliyepatwa na hadathi kubwa atatayammamu badala ya kuoga, kwa hakika tayammamu yake itatenguka kwa hadathi 42

Tahrirul-Wasiilah Juz. 1, Uk. 110 Mas-ala ya 3. 30


Hukumu za Mgonjwa

kubwa. Ama lau atapatwa na hadathi ndogo basi haitatenguka tayammamu yake ya badala ya kuoga, kwa hivyo anakuwa kama yule aliyepatwa na hadathi ndogo, na kwa mujibu wa ihtiyat ya istihbabu ni kwamba atafanya tayammamu mbili, moja badala ya kuoga na nyingine badala ya wudhuu.43 3. Yule ambaye jukumu lake ni kufanya tayammamu badala ya kuoga, ikiwa ni juu yake kuoga josho la janaba, basi tayammamu yake itamtosheleza hatahitaji kuchukua wudhuu, na ikiwa analazimika kuoga josho lisilokuwa la janaba basi tayammamu yake itakuwa badala ya kuoga tu, na akiweza atachukua wudhuu, na kama si hivyo atatayammamu kwa mara ya pili badala ya wudhuu.44 4. Na kama ana sababu nyingi za kuoga, kama vile janaba, kugusa maiti, hedhi na istihadha, haitoshi tayammamu moja kwa nia ya mambo yote, bali kwa mujibu wa ihtiyat ya wajibu atalazimika kufanya tayammamu kwa kila josho.45 Hukumu za mgonjwa asiyeweza kufanya jambo lolote: Na huenda mgonjwa akafikwa na hali ambayo anaamka hali ya kuwa hawezi kufanya lolote lile, kwa mfano hawezi kuchukua maji au kufanya matendo ya wudhuu au tayammamu, basi ni lipi jukumu lake la kisheria katika hali hiyo? Jukumu lake la kisheria anapokuwa na hali hiyo ni kama ifuatvyo: i. Lau tutajaalia kwamba ni muweza wa kuleta maji kwa msaada wa muuguzi au mwingine, basi hapo itamwajibikia Tahrirul-Wasiilah Juz. 1, Uk. 112 Mas-ala ya 5 chapa ya Darul-Muntadhar. Tahrirul-Wasiilah Juz. 1, Uk. 112 Mas-ala ya 3 chapa ya Darul-Muntadhar. 45 Tahrirul-Wasiilah Juz. 1, Uk. 112 Mas-ala ya 4. 43 44

31


Hukumu za Mgonjwa

yeye hilo, hata kama kwa kumpa mtu malipo fulani kwa namna ambayo malipo hayafikii hali ya kumdhuru yeye. ii. Ama ikiwa hatoweza kuomba msaada kwa mwingine {kwa mfano kutoka kwa muuguzi au msamaria mwema}, basi akijua kwamba hapo baadaye atapata uwezo wa kuleta hayo maji kabla ya kuisha wakati, itawajibika juu yake kungojea hadi mwisho wa wakati. iii. Ikiwa atajua tangu mwanzo wa wakati kwamba hatokuwa na uwezo wa kupata maji, kama vile lau atafanyiwa upasuaji na kwa hivyo hawezi kufanya kazi mpaka baada ya muda mrefu, na hana uwezo wa kutafuta usaidizi ili kupata maji, hapo anaruhusiwa yeye kutayammamu na kuswali mwanzo wa wakati. Hukumu ya kizuizi: Kizuizi ni kile kitu ambacho kinazuia kufika maji katika ngozi. Na kwa hivyo kizuizi kikiwa ni ile rangi ambayo huwekwa chini ya ngozi, na juu ya ngozi kukawa hakuna kitu chochote kingine miongoni mwa vile vinavyozuia maji, basi haitozingatiwa kuwa ni kizuizi.46 Tutafanya nini iwapo kuna kizuizi? Ikiwa haitowezekana kuondoa kizuizi kwa kuchelea kupata madhara au kuwepo uzito juu ya hilo, basi yatosha kupaka juu yake, na kwa mujibu wa ihtiyat ya istihbabu upakaji uwe kwa kiwango ambacho hufikia kuitwa uoshaji, na kwa mujibu wa ihtiyat ya istihbabu mhusika afanye hivyo na pia afanye tayammamu.47 46 47

Ajwibatul-Istiftaat Uk. 44 swali la 144. Tahrirul-Wasiilah Juz. 1 Uk. 35 Mas-ala ya 9. 32


Hukumu za Mgonjwa

SEHEMU YA TATU: SWALA YA MGONJWA Utangulizi:

H

akika swala ni muhimili wa msingi katika ibada za mtu mwislamu, na kwa hivyo zipo Aya mbali mbali na hadithi chungu nzima ambazo zinasisitiza na kuhimiza juu ya utekelezaji wake kwa wakati wake, miongoni mwa hadithi hizo ni: Imepokewa kutoka kwa Imam as-Sadiq (a.s.) pindi alipoulizwa:Ni Imepokewa kutoka kwa Imam as-Sadiq (a.s.) pindi alipoulizwa: Ni kitugani ganiambacho ambachokinawakaribisha kinawakaribisha waja waja kwa kitu kwa Mwenyezi MwenyeziMungu? Mungu? Imam Imam(a.s) (a.s)alisema: alisema:

‫صالة أال ترى أنّ العبد‬ ّ ‫ما أعلم شيئا بعد المعرفة أفضل من ھذه ال‬ ...... ‫صالح عيسى بن مريم )ع( قال‬ ّ ‫ال‬

∩⊂⊇∪ $|‹ym àMøΒߊ $tΒ Íο4θŸ2¨“9$#uρ οÍ 4θn=¢Á9$$Î/ ©Í_≈|¹÷ρr&uρ M à Ζà2 $tΒ ⎦ t ø⎪r& %º.u‘$t7ãΒ ©Í_n=yèy_uρ

"Sijui kitu kilicho bora baada ya kumjua Mwenyezi Mungu

“Sijui kitu kilicho bora baada ya kumjua Mwenyezi Mungu kushkushinda swala, je! Huoni kwamba mja mwema Isa bin Maryam inda swala, je! Huoni kwamba mja mwema Isa bin Maryam (a.s) (a.s) amesema: "Na ameniusia swala na zaka maadamu amesema: “Na 1ameniusia swala na zaka maadamu ningali hai.”48 (Sura Mariam: 31). Basi kwa ni zipi hukumuNiza ningali hai.31). " Basi (Sura Mariam: ni zipi hukumu za swala mgonjwa? swala kwa mgonjwa? Ni vipi ataitekeleza katika hali ya vipi ataitekeleza katika hali ya maradhi?

maradhi?

Kwa hali yoyote swala haiachwi: Wasailus-Shi’a 4 Uk. 38 cha Hurrukutoka Aamilii. katika baadhi ya hadithi ni Swala kamaJuz.ilivyopokewa kwamba: “Haiachwi swala kwa hali yoyote ile.” swala haianguki 33 kwa ugonjwa wowote ule, na ikiwa mgonjwa hawezi kuswali kwa hali ya kawaida, basi kila mgonjwa ataswali kulingana na hali yake, na mchanganuo wa hali yake ameachiwa yeye mwenyewe, na kila hali ina hukumu yake na ufafanuzi wake kama ufuatavyo:

48


Hukumu za Mgonjwa

Kwa hali yoyote swala haiachwi: Swala kama ilivyopokewa kutoka katika baadhi ya hadithi ni kwamba: “Haiachwi swala kwa hali yoyote ile.” swala haianguki kwa ugonjwa wowote ule, na ikiwa mgonjwa hawezi kuswali kwa hali ya kawaida, basi kila mgonjwa ataswali kulingana na hali yake, na mchanganuo wa hali yake ameachiwa yeye mwenyewe, na kila hali ina hukumu yake na ufafanuzi wake kama ufuatavyo: Kutokwa akili: Miongoni mwa masharti ya kuwajibika swala inalazimu mtu awe na akili timamu, wala hakuna ukalifishaji kwa mwendawazimu, kwa mantiki hiyo kutokwa na akili kunapelekea kuanguka kwa swala, na hapa kuna aina kadhaa nazo ni: i. Uwendawazimu wa kudumu: Yaani Uwendawazimu wa kudumu, hali hii huondoa wajibu wa swala juu yake, na huwa si wajibu kwake kulipa swala zilizompita. ii. Uwendawazimu katika baadhi ya wakati: Hii ina maana kwamba uwendawazimu humjia wakati fulani, basi mtu huyo wajibu wa swala huanguka kwake wakati tu atapopandwa na uwendawazimu, hivyo kama uwendawazimu wake humpanda wakati wa mchana basi wajibu wa kuswali swala za mchana utamwondoka, na utabakia wajibu wa swala za usiku. Na wala sio wajibu kwake kulipa swala zilizompita kipindi cha uwendawazimu wake, ikiwa ulimpanda uwendawazimu muda wote wa swala. iii. Kuzimia: Ikiwa atazimia wakati fulani - bila hiari yake – basi wakati huo wajibu wa swala utamwondoka, kwa mfano akizimia muda wa mchana na akazinduka usiku, basi wajibu 34


Hukumu za Mgonjwa

wa swala za mchana utamwondoka na wala hatozilipa, lakini atawajibika na swala za usiku. Jukumu la mgonjwa kuhusiana na tangulizi za swala 1. Wakati: iongoni mwa tangulizi za msingi za swala ni kuingia M wakati wa swala, wala haisihi kuswali kabla ya wakati wake, ni mustahabu kuswali mwanzo wa wakati, lakini swali ni, ni ipi hukumu ya mgonjwa? Jibu: Mwenye gango anaruhusiwa kuswali mwanzo wa wakati ikiwa atakata tamaa ya kutoondoka udhuru kabla ya mwisho wa wakati wake, lakini pamoja na ukataji tamaa huo bado kwa mujibu wa ihtiyat ya wajibu atalazimika kuchelewesha swala.49 2. Tohara ya mavazi na mwili: i. Ikiwa mgonjwa anaweza kuiondoa najisi mwishoni mwa wakati wa swala huku akibakiwa na muda mrefu wa swala, basi itamlazimu kungojea. ii. Ikiwa hawezi kuindoa najisi na itamlazimu uzito juu yake au kupata madhara, akijua kwamba udhuru hautoweki kabla ya mwisho wa wakati, basi hukumu yake ni kusihi swala aliyoiswali mwanzo wa wakati, wala sio wajibu kwake kuilipa nje ya wakati baada ya kutoweka udhuru.

49

Tahrirul-Wasiilah Juz. 1, Uk. 36 Mas-ala ya 14 na uk. 11 Mas-ala ya kwanza. 35


Hukumu za Mgonjwa

Najisi ambazo husamehewa katika swala: Zipo najisi nyingi ambazo mtu husamehewa katika swala, baadhi ya najisi hizo ni: i. Damu ya kidonda na majipu inapokuwa mwilini au nguoni hadi kitakapopona, lakini kwa mujibu wa ihtiyat ya wajibu ni lazima kuiondoa au kubadilisha nguo ikiwa haitoleta tabu au uzito kwa mhusika. Aidha huingia katika hukumu ya kusamehewa ile damu ya bawasiri, na kila kidonda au jeraha la ndani ambao hutoa damu mpaka nje. ii. Damu iliyopo mwilini na nguoni ikiwa ukubwa wake ni chini ya ncha ya kidole cha shahada. Kama damu ya mgonjwa ni kidogo kuliko ncha ya kidole, basi damu hiyo husamehewa na anaruhusiwa kuswali nayo, kwa sharti tu isiwe ni miongoni mwa damu tatu (yaani damu ya hedhi, damu ya nifasi na damu ya istihadha).50 3. Sehemu ya kusalia: Haizingatiwi tohara katika sehemu ya kuswalia, kwa mfano kitanda cha mgonjwa, basi lau kitakuwa kimenajisika hali hiyo haitadhuru chochote swala ya mgonjwa, isipokuwa tohara inalazimu mahala tu pa kuweka paji la uso. Vile vile inazingatiwa kwamba mahala hapo pawe thabiti na panaposihi kusujudu juu yake, hiyo ni kwa mgonjwa hadi kwa asiyekuwa mgonjwa. Lau tutajaalia kwamba mgonjwa au mtu mwingine hana kile kinachosihi kusujudu juu yake, au hawezi kusujudu juu yake kwa udhuru, basi atasujudu juu ya nguo ya pamba au katani, na asipokuwa nazo hizo (nguo ya pamba au katani) basi atasujudu juu ya nguo yake isiyokuwa ya jinsi ya hizo mbili, na ak50

Tahrirul-Wasiilah Juz. 1, Uk. 124 Mas-ala ya kwanza. 36


Hukumu za Mgonjwa

iikosa atasujudu juu ya mgongo wa kitanga chake cha mkono, na kama hakuweza kufanya hivyo basi atasujudu juu ya madini.51 Jukumu la mgonjwa kuhusu vitendo vya swala 1. Kisimamo: atika hali ambayo mtu si mgonjwa ni wajibu kwake kuswali K kwa kusimama pindi anapotoa Takbiratul-Ihraam, anapokuwa katika kisomo na dhikri ndani ya swala, aidha haifai kuegemea kitu wakati wa kusimama katika hali ya kawaida akiwa na uwezo wa kufanya hivyo, ama katika hali ya kudharurika (kwa mfano mgonjwa mwenye kudharurika kuegemea kitu au kukaa) hakika jambo hilo linaruhusiwa kwa kiwango cha mahitaji ya dharura imsababishayo kufanya hivyo, hairuhusiwi kukaa au kumuegemea mtu au kitu kingine bila ya udhuru wowote ikiwa ana uwezo wa kusimama. La muhimu aelewe mwenye kuswali kwamba haifai kuweka mwanya mkubwa kati ya miguu miwili kwa upana usio maarufu isipokuwa akidharurika kufanya hivyo. Kwa muhtasari ni kwamba mwenye kuswali ikiwa hawezi kabisa kusimama hata kwa kuegemea au kunesa upande mmoja au kupanua miguu yake miwili, basi ataswali kwa kukaa, kama ambavyo pia haifai kuegemea na kunesa upande mmoja katika hali ya kukaa isipokuwa akidharurika kufanya hivyo. Namna ya kuswali kwa kulala: Na huenda mtu akafikwa na baadhi ya hali ya ugonjwa kiasi ambacho hawezi kukaa, na hukumu ya mgonjwa katika hali hii anatakiwa aswali kwa kulalia upande wa kulia, na ikiwa ni taabu kwake ataswali kwa kulalia upande wa kushoto, na kama hawezi kusimama au 51

Tahrirul-Wasiilah Juz. 1, Uk. 28 Mas-ala ya 12. 37


Hukumu za Mgonjwa

kukaa au kulalia upande mmoja basi ataswali chali kama hali ya yule anayekaribia kufariki, kwa namna ambayo nyayo zake za miguu zinaelekea Kibla.52 Miongoni mwa hukumu za kisimamo cha mgonjwa: i. Ikiwa ataweza kusimama na hawezi kurukuu hali ya kuwa amesimama, ataswali kwa kusimama kisha atakaa na atarukuu akiwa amekaa. ii. Ikiwa mgonjwa hawezi kabisa kurukuu na kusujudu wala kuinama hata kiasi kidogo hata katika hali ya kukaa, basi ataswali hali ya kuwa amesimama na atarukuu na kusujudu kwa ishara, na kwa mujibu wa ihtiyat ya wajibu ni kwamba akiweza kukaa basi atasujudu kwa ishara hali ya kuwa amekaa, bali kwa mujibu wa ihtiyat ya wajibu ataweka juu ya paji lake la uso kile kinachosihi kusujudu juu yake iwapo ataweza kufanya hivyo.53 iii. Ikiwa ataweza kuswali kwa kusimama katika baadhi ya rakaa, itawajibika asimame hadi atakaposhindwa kusimama, na hapo ndipo atakaa, kisha atakapoweza kusimama atasimama, hivyo hivyo mpaka mwisho. 2. Kisomo: Miongoni mwa hukumu za usomaji kwa mgonjwa ni kama ifuatavyo: Yule ambaye hawezi kusoma kisomo sahihi kwa maradhi aliyonayo ulimini mwake anaruhusiwa kuswali peke yake.54 Na asiTahrirul-Wasiilah Juz. 1, Uk. 148 Mas-ala ya pili na Juz. 2 Mas-ala ya tano.. Tahrirul-Wasiilah Juz. 1, Uk. 164 Mas-ala ya sita. 54 Tahrirul-Wasiilah Juz. 1, Uk. 154 Mas-ala ya 16. 52 53

38


Hukumu za Mgonjwa

yeweza kutamka vizuri kwa maradhi ya kigugumizi au ububu, basi ataswali kwa ishara. 3. Rukuu: i. Ikiwa mgonjwa hawezi kufanya rukuu ya wajibu yeye mwenyewe (uinamaji unaojulikana kwa namna ambayo viganja vyake vya mikono hufika kwenye magoti yake), basi inakuwa wajibu kwake kumuegemea mwingine ikiwa linawezekana hilo.55 ii. Ikiwa hawezi kumwegemea mwingine, basi atarukuu kwa kuinama kadiri awezavyo, wala hatohamia kwenye kukaa. iii. Ikiwa hawezi kurukuu ila kwa kukaa basi atarukuu kwa kukaa, na ni bora zaidi aswali swala nyingine kwa ishara hali akiwa amesimama. Itathibiti rukuu kwa yule aliyeketi kwa kutoa ishara namna ambayo uso wake utalingana sawa na magoti yake. iv. Ikiwa hawezi kurukuu hali ya kuwa amekaa, basi itatosheleza kufanya ishara, ataashiria kwa kuinamisha kichwa chake akiwa amesimama, na ikiwa hawezi kutoa ishara basi atafumba macho yake kwa ajili ya rukuu na atafumbua kama alama ya kutoka katika rukuu.56 4. Kusujudu: Ni wajibu kusujudu kwa kutumia viungo saba, navyo ni: i. Matumbo ya viganja viwili vya mikono: Na kwa dharura {kama vile ugonjwa} hutosheleza kile kiitwacho tumbo la kiganja, {yaani agusishe tumbo la 55 56

Tahrirul-Wasiilah Juz. 1, Uk. 170 Mas-ala ya kwanza. Tahrirul-Wasiilah Juz. 1, Uk. 170 Mas-ala ya pili. 39


Hukumu za Mgonjwa

kiganja ardhini lau kidogo}, na ikiwa hatoweza ila kwa kufumba kiganja chake na kisha kusujudu juu yake, basi hilo litatosheleza kwake, na kama hilo pia hawezi basi itatosheleza kutumia mgongo wa vitanga viwili, vile vile kama hakuna uwezekano wa kutumia mgongo kutokana na kukatika mkono au kutokana na jambo lingine linalofanana na hilo, basi atahamia sehemu ya karibu zaidi ya kiganja cha mkono. ii. Magoti mawili: Kwa namna ambayo yanagusa ardhi. iii. Vidole gumba viwili vya miguu: Na kwa mujibu wa ihtiyat ya wajibu achunge ncha zake mbili. iv. Paji la uso: Basi mwenye kuwa na maradhi katika paji lake la uso kama vile jeraha au kidonda au kuungua, ikiwa kizuizi hakijaenea usoni kote, basi asujudu juu ya sehemu iliyo salama, angalau kwa kuchimba shimo na kuliweka jipu ndani ya shimo hilo. Ikiwa maradhi yameenea usoni kote au ikawa haiwezekani kuiweka juu ya ardhi ile sehemu ya paji la uso iliyo salama, basi atasujudu juu ya moja ya sehemu mbili za uso, na vizuri ni atangulize upande wa kulia kisha wa kushoto, na akishindwa kufanya hivyo basi atasujudu juu ya kidevu chake. Na akishindwa kusujudu juu ya kidevu chake basi kwa mujibu wa ihtiyat ya wajibu ataleta sura ya sajda kwa kuweka sehemu ya paji lake la uso au sehemu ya mbele ya uso wake juu ya ardhi. Na iwapo mgonjwa hatoweza kufanya yote hayo basi kwa mujibu wa ihtiyat ya wajibu afanye aliwezalo ambalo ni karibu zaidi na sura ya sajda.57 57

Tahrirul-Wasiilah Juz. 1, Uk. 175 Mas-ala ya sita na juz. 1 uk. 173 Mas-ala ya kwanza. 40


Hukumu za Mgonjwa

Hukumu ya mtu aliyeshindwa kusujudu: Mgonjwa huenda akashindwa kusujudu kwa hali ya kawaida kutokana na baadhi ya maradhi, na hukumu yake katika hali hizo afanye kwa kadiri ya uwezo wake, akiweza kufanya baadhi ya daraja zilizo nyepesi katika kusujudu basi ni wajibu kwake kufanya hilo, na hapana budi kwake achunge mambo yaliyowajibu katika sajda, kama vile kuweka viungo vya sajda juu ya ardhi n.k. Na akiweza kuinama atafanya kiwango akiwezacho, atainua anachosujudu juu yake mpaka katika paji lake la uso, kwa mfano aweke {sajada au udongo} juu ya meza ndogo huku akichunga nguvu yake ya kuinama. Na ikiwa hawezi kabisa kuinama ataashiria kwa kichwa chake, na ikiwa hatoweza kuashiria kwa kichwa chake basi ataashiria kwa kutumia macho yake, na kwa mujibu wa ihtiyat ya wajibu ni kwamba pamoja na hilo pia atainua kile anachosujudia iwapo ataweza kuweka paji lake la uso juu yake.58

58

Tahrirul-Wasiilah Juz. 1, Uk. 175 Mas-ala ya nane. 41


Hukumu za Mgonjwa

SEHEMU YA NNE: SWAUMU Utangulizi:

M

wenyezi Mungu anasema katika aya zake bainifu:

“……Basi mwenye kuwamo katika mwezi huu na afunge, na ambaye ni mgonjwa au yuko safarini {akala} basi itampasa {kulipa} idadi {yake} katika siku nyingine. Mwenyezi Mungu huwatakieni yaliyo mepesi wala hawatakieni yaliyo mazito, na mtimize hesabu na kumtukuza Mwenyezi Mungu kwa kuwa amewaongozeni na ili mpate kushukuru.” (Sura alBaqarah:185). Ugonjwa huenda ukamzuia mukallafu kufunga katika baadhi ya hali, kwa mantiki hiyo yamewekwa masharti ya kusihi swaumu, kwa mfano mtu asiwe mgonjwa aliye katika maradhi ambayo funga itamzidishia maradhi. Aina ambazo huzuia swaumu kusihi: 1. Asiwe tayari ni mgonjwa, lakini anakhofia kwamba lau atafunga ugonjwa utazuka kwa sababu ya swaumu, kwa sharti kwamba chanzo cha hofu kiwe kinakubalika kiakili, yaani kinazingatiwa na watu wenye akili timamu. 2. Awe tayari ni mgonjwa wakati huo, na anahofia kwamba ugonjwa utazidi na kuongezeka iwapo atafunga. 3. Awe tayari ni mgonjwa wakati huo, na anahofia kwamba iwapo atafunga basi maradhi yake yatachukua muda mrefu kupona.

42


Hukumu za Mgonjwa

4. Asiwe tayari ni mgonjwa wakati huo, lakini iwapo atafunga atadhoofika mno kiasi cha kutoweza kustahamili, hapo inaruhusiwa kula bali ni wajibu kula. Ama katika hali ya udhaifu wa kawaida haruhusiwi kula.59 Watu ambao wanaruhusiwa kula: Wapo baadhi ya watu ambao Mwenyezi Mungu amewaruhusu kula, nao ni: 1. Mwenye ugonjwa wa kiu (ni maradhi ambayo husababisha kiu kikali ambapo mtu hawezi kustahamili na huenda kikampelekea mtu kuangamia) basi mwenye kupatwa na maradhi hayo sio wajibu kwake kufunga, hiyo ni sawa awe hawezi kufunga au inamuwia vigumu au itamsababishia yeye madhara makubwa. 2. Mzee wa kiume na mzee wa kike (wenye umri mkubwa kwa namna ambayo hawawezi kustahamili kufunga kwa kudhoofika), basi ikiwa hawawezi kufunga au swaumu kwao ina uzito mkubwa, basi haiwawajibikii kwao swaumu. 3. Mja mzito (ambaye muda wa kujifungua kwake umekaribia), aidha funga humdhuru yeye au itamdhuru kichanga chake kilichopo tumboni, kwa hivyo kisheria hatakiwi kufunga.60 4. Mwenye kunyonyesha ambaye maziwa yake ni kidogo, ikiwa atadhurika yeye mwenyewe au utaathirika unyonyeshaji wa mtoto, kwa hivyo hukumu yake hatakiwi kufunga.61 Tambua kuwa kudhoofika kimwili hakumhalalishii kula isipokuwa katika hali isiyokuwa ya kawaida.62 Tahrirul-Wasiilah Juz. 1, Uk. 293 Mas-ala ya kwanza. Tahrirul-Wasiilah Juz. 1, Uk. 262 Mas-ala ya nane. 61 Tahrirul-Wasiilah Juz. 1, Uk. 267 Mas-ala ya kwanza. 62 Tahrirul-Wasiilah Juz. 1, Uk. 293 Mas-ala ya kwanza. 59 60

43


Hukumu za Mgonjwa

Maradhi na zuio la tabibu: Mara nyingi madaktari hutoa ushauri nasaha juu ya kutokufunga, na lau mgonjwa atazuiwa na daktari kufunga, je anaruhusiwa mgonjwa kula kwa kufuata maneno ya daktari? Au yapo masharti mahsusi ambayo huzingatiwa ili maneno yake yafuatwe? Jibu: Kutokana na hali hiyo anaruhusiwa kula lakini ni lazima yathibiti mambo yafuatayo: i. Daktari awe mwaminifu. ii. Maneno yake yafaidishe na yalete matumaini ya kuzuka maradhi au kuongezeka na kushadidi. iii. Maneno ya daktari yamsababishie hofu ya madhara.63 Matumizi ya dawa wakati wa kufunga: Huenda mgonjwa akadharurika kutumia dawa mchana wa swaumu, hivyo ni ipi hukumu ya kisheria kuhusu utumiaji wa dawa na matibabu mengineyo? Jibu: Kuna matibabu mengine ambayo yanadhuru funga, na yapo baadhi ya matibabu hayadhuru funga, ufafanuzi wake ni kama ifuatavyo: 1. Dawa ambazo hudhuru swaumu: (Yaani hupelekea mfungaji afungue Swaumu yake): i. Tiba ya vidonge, ambavyo hupitia kinywani.64 ii. Tiba kwa njia ya bomba (kwa mfano kutundikiwa bomba la dawa kwa kupitia mishipa), kwa mujibu wa ihtiyat ya 63 64

Ajwibatul-Istiftaat Juz. 1, Uk. 23 swali la 766. Ajwibatul-Istiftaat Juz. 1, Uk. 223 swali la 787. 44


Hukumu za Mgonjwa

wajibu ajiepushe kufanya hilo wakati akiwa na swaumu,65 bali kwa njia ya sindano yoyote ile kupitia mishipa au hata kama si kwa kuingiza chakula, hiyo ni kwa mujibu wa ihtiyat ya wajibu.66 2. Tiba ambazo hazijulikani uhalisia wake na ambazo hudhuru swaumu ya mgonjwa: Tiba ya dawa ambazo huzitumia wale waliobanwa na pumzi, hususan wenye maradhi ya pumu, nazo ni kasha ambalo ndani yake kuna kimiminika chenye kugandamizwa, na hutumiwa kwa njia ya kinywa. Ikiwa itathibiti kwamba tiba hiyo ambayo huingizwa kwenye pafu kupitia mdomo ni hewa tu, basi haidhuru funga ya mfungaji. Ama ikiwa hewa hiyo iliyosongwa huambatana na vimea vya dawa, japo kwa umbo la vumbi au unga, basi funga yake itakuwa na mushkeli iwapo dawa hiyo itafika mpaka kooni.67 3. Dawa ambazo hazidhuru swaumu, ambazo funga hubakia kuwa sahihi: i. Bomba la sindano lisilokuwa la kulisha, kwa sharti kwamba haliingii ndani ya mshipa, hiyo ni kwa mujibu wa ihtiyat ya wajibu.68 ii. Dawa mahsusi ya kutibu baadhi ya maradhi (dawa ya mafuta ya kupaka katika ngozi, au kushika uja uzito) ambazo huwekwa ndani ya mwili. Ajwibatul-Istiftaat Juz. 1, Uk. 234 swali la 775-776 chapa ya tatu. Ajwibatul-Istiftaat kupitia tovuti 77634. 67 Ajwibatul-Istiftaat Juz. 1, Uk. 223 swali la 795 chapa ya tatu. 68 Ajwibatul-Istiftaat Juz. 1, Uk. 224 swali la 764 na Istiftaat kupitia tovuti j 77634. 65 66

45


Hukumu za Mgonjwa

Kadhaa ya swaumu ya mgonjwa: 1.

Mwenye kuzimia sio wajibu kwake kulipa swaumu zilizompita wakati akiwa amezimia.69

2.

Ikiwa mgonjwa hatofunga mwezi mtukufu wa Ramadhani au baadhi yake na ugonjwa ukaendelea mpaka Ramadhani nyingine, hapo utaanguka wajibu wa kulipa na atatoa kafara ya kila siku kibaba (yaani robo tatu ya chakula, na itatosheleza mkate au unga).70

3.

Lau mgonjwa itampita swaumu ya mwezi wa Ramadhani au baadhi yake, na akaichelewesha kulipa mpaka Ramadhani nyingine, na sababu ya kuchelewesha ni udhuru mwingine usiokuwa ugonjwa, au kinyume na hivyo, yaani alipitwa na swaumu kwa udhuru usiokuwa ugonjwa na akachelewa kulipa kwa ugonjwa, basi katika hali hii atalazimika kulipa tu. Ama kwa mujibu wa ihtiyat ya istihbabu afanye yote mawili, yaani kulipa na kutoa kafara ya kibaba.71

4.

Lau mgonjwa atapitwa na swaumu ya mwezi mtukufu wa Ramadhani kutokana na ugonjwa, na akafa kabla ya kumalizika mwezi wa Ramadhani - sio wajibu kulipwa swaumu iliyompita ya mwezi mtukufu wa Ramadhani ambao amefia humo.72

5.

Ikiwa atafungua swaumu yake kwa kukhofia kupata madhara ambayo ni matokeo ya kuelezwa na daktari mwaminifu au chanzo kinachokubalika kiakili, kisha ikabainika kutokuwa na madhara, basi itawajibika kulipa tu.73

Ajwibatul-Istiftaat Juz. 1, Uk. 233 swali la 774. Tahrirul-Wasiilah Juz. 1, Uk. 299 suala la nane. 71 Tahrirul-Wasiilah Juz. 1, Uk. 299. 72 Tahrirul-Wasiilah Juz. 1, Uk. 299 suala la saba. 73 Ajwibatul-Istiftaat Juz. 1, Uk. 238 swali la 821. 69 70

46


Hukumu za Mgonjwa

Swaumu ya mzee na yule aliyepatwa na maradhi ya kiu: Mzee wa kiume na mzee wa kike {yaani vikongwe} na yule ambaye ana ugonjwa wa kuwa na kiu, ikiwa watadhurika kutokana na kufunga, wanaruhusiwa kufungua wala sio wajibu wao kutoa kafara, lakini ikiwa wataweza kufunga baada ya muda fulani watawajibika kulipa kwa mujibu wa ihtiyat ya wajibu. Ama ikiwa swaumu itawawia vigumu wanaruhusiwa kufungua, lakini ni wajibu juu yao kutoa kafara kwa kila siku kibaba cha chakula, na ikiwa wataweza kufunga baada ya hivyo watalipa kwa mujibu wa ihtiyat.74 Swaumu ya mjamzito: Mjamzito ni wajibu kwake kufunga ikiwa ataweza kufanya hivyo, ama akichelea kupata madhara juu ya nafsi yake au juu ya mtoto aliyomo tumboni mwake na ikawa chimbuko la hofu yake ni jambo linalokubalika kiakili, basi atawajibika kufungua na kisha atalipa kadhaa. Na anawajibika pia kutoa kafara kila siku kibaba cha chakula, yaani robo tatu, ikiwa swaumu itamdhuru mwanawe. Ama iwapo itamdhuru yeye binafsi basi ni bora pia kutoa kafara.75 Swaumu ya mama anayenyonyesha: Ikiwa atachelea nafsi yake au kichanga chake, kama ikiwa hali yake ya kimwili ni dhaifu au maziwa yake ni kidogo, na chanzo cha khofu yake ni jambo linalokubalika kiakili (yaani sio ufikiriaji tu usio na msingi wowote ule, wala sio kupiga chenga kufunga), itamlazimu kufungua na kisha atalipa siku alizofungua kwa kila siku moja atatoa kafara ya kibaba cha chakula.76 Tahrirul-Wasiilah Juz. 1, Uk. 296 suala la kwanza. Tahrirul-Wasiilah Juz. 1, Uk. 296 suala la nane na kuongezea Ajwibatul-Istiftaat Juz. 1, Uk. 218 suala la 744 – 7746. 76 Tahrirul-Wasiilah Juz. 1, Uk. 296 suala la nane na kuongezea Ajwibatul-Istiftaat Juz. 1, Uk. 218 suala la 744 – 746. 74 75

47


Hukumu za Mgonjwa

SEHEMU YA TANO: HUKUMU ZA MATIBABU Dawa ambazo zimetengenezwa kwa vitu haramu:

B

aadhi ya dawa hupatikana kutokana na vitu ambavyo ni haramu kuliwa na kunywewa. Je anaruhusiwa mgonjwa kutumia dawa hizo? Jibu: Swali hilo linajibiwa kama ifuatavyo: i. Haifai kufanya hivyo katika hali ya kawaida ambayo sio ya dharura, lakini ikiwa tiba yake imefungika kwalo, yaani hakuna tiba mbadala ya halali lau kwa thamani ghali, basi kwa ajili ya dharura anaruhusiwa kuitumia ili apone, lakini kwa kiwango cha dharura tu, na iwapo tu anajua kwamba kuacha kuitumia itakuwa ni sababu ya kuangamia au maradhi kuzidi zaidi.77 ii. Inaruhusiwa kujitibia maradhi mbali mbali kwa kitu haramu hata kujitibia kwa najisi ikiwa tiba yake itafungika kwayo tu, hiyo ni baada ya kuthibitishwa hilo na madaktari bingwa waaminifu na kukubalika maneno yao.78

77 78

Tahrirul-Wasiilah Juz. 2, Uk. 169 suala la 30. Tahrirul-Wasiilah Juz. 2, Uk. 45 suala la 14. 48


Hukumu za Mgonjwa

Kujitibia kwa kula udongo: Wapo baadhi ya watu hujitibia kwa kula kiwango fulani cha udongo unaochukuliwa sehemu alipozikwa Imam Husein (a.s), je anaruhusiwa mgonjwa kula udongo huo wenye baraka kwa nia ya kujitibu? Na ni kiwango gani ambacho kinaruhusiwa kula? Jibu: Ni haramu kula udongo hata kwa nia ya kujitibu, isipokuwa udongo wa kaburi la Imam Husein (a.s) iwapo tu ni kwa nia hiyo. Kiwango ambacho kinahalalishwa kula ni kadiri ya punje ya ulezi iliyo ya kati na kati tu. Hukumu hii ni mahsusi kwa udongo, ama changarawe, mawe na aina nyingine za madini ni halali kula ikiwa hakuna madhara yoyote yale.79 Hukumu ya utazamaji wakati wa matibabu: Huenda tiba ikawa inafanywa na mtu anayefanana naye jinsia (yaani mwanaume kwa mwanaume na mwanamke kwa mwanamke), na kuna baadhi ya wakati mtu anaweza kutibiwa na asiyekuwa wa jinsia yake (kwa mfano mwanaume kumtibu mwanamke au mwanamke kumtibu mwanaume), basi ni ipi hukumu ya kisheria kuhusiana na jambo hilo? Swali hilo linajibiwa kama ifuatavyo: Ikiwa wanafanana jinsia (yaani mwanaume kwa mwanaume au mwanamke kwa mwanamke) hapo inaruhusiwa katika kutibu kumwangalia na kumgusa mwili wote isipokuwa sehemu za siri. Ama sehemu za siri hairuhusiwi kuziweka wazi isipokuwa itakapokuwa ni dharura kufanya hivyo, kama vile kuhitani na kuzaa, lakini hilo li79

Tahrirul-Wasiilah Juz. 2, Uk. 164 suala la saba na nane. 49


Hukumu za Mgonjwa

nahusu tu katika hali ya dharura.80 Na kwa hali yoyote ile ni kwamba, ni wajibu kumtumia mwanamke kusimamia mambo ya wanawake wakati wa matibabu na kujifungua ikiwa italazimu kuangalia toka kwa wanawake yale ambayo kwa kawaida ni haramu kuangalia. Na ikiwa tabibu sio anayefanana naye jinsia (kwa mfano mwanaume kumtibia mwanamke au kinyume chake), kwa hakika inaruhusiwa pale anapokosekana wa jinsia yake, hivyo katika hali ya dharura mtu anaruhusiwa kumtibia asiyekuwa wa jinsia yake.81 Hukumu ya kugusa wakati wa matibabu: Inaruhusiwa katika suala la tiba katika hali isiyokuwa ya dharura mtu kumgusa mtu wa jinsia yake, kwa sharti isiwe ni sehemu ya siri, ama katika hali ya dharura sio vibaya kugusa sehemu za siri. Ama kwa asiyekuwa wa jinsia moja haifai kugusa ikiwa inawezekana kutibu na kufanya uchunguzi wa maradhi nyuma ya nguo, au kwa kuvaa mipira maalum (gloves). Wala haifai kugusa moja kwa moja hata kwa kupima joto la mgonjwa, mapigo ya moyo n.k, maadamu tu hilo linawezekana bila dharura ya kumgusa moja kwa moja.82 Kujipodoa: Suala la kujipamba na kujipodoa ni jambo ambalo linaruhusiwa kisheria, lakini kwa sharti kwamba tangulizi zake zisiwe ni miongoni mwa mambo ya haramu kama vile kugusa na kuangalia yale ambayo hayaruhusiwi kuangaliwa.83 Ajwibatul-Istiftaat Juz. 2, Uk. 78 swali la 114 – 209. Tahrirul-Wasiilah Juz. 2, Uk. 276 suala la kwanza. 82 Ajwibatul-Istiftaat Juz. 2, Uk. 79 swali la 215. 83 Ajwibatul-Istiftaat Juz. 2, Uk. 77 swali la 207. 80 81

50


Hukumu za Mgonjwa

Kupandikiza nywele: Suala la kupandikiza nywele kwa binadamu ni jambo ambalo linaruhusiwa wala halina mushkeli wowote, isipokuwa yampasa mhusika kutambua kwamba nywele hizo ziwe zinatokana na mnyama ambaye nyama yake ni halali kuliwa, au zinatokana na nywele za mtu mwingine.84 Ubadilishaji wa jinsia: Je inaruhusiwa kubadilisha jinsia kwa maana kwamba mwanaume kuwa mwanamke na mwanamke kuwa mwanaume, au mwenye jinsia mbili moja kuifanya ifanye kazi na kuitelekeza nyingine? Jibu: Huenda lengo la kubadilisha jinsia ni kule kuifichua na kuidhihirisha jinsia halisi ya mtu, kwa hakika katika hali hii inaruhusiwa kufanya upasuaji na kufichua jinsia halisi ya mhusika, kwa sharti kwamba isisababishe kutendwa tendo la haramu na isipelekee kutokea uovu.85 Ama upasuaji wa mtu mwenye jinsia mbili kwa lengo la kuifanya mojawapo ifanye kazi hakuna mushkeli kwalo, lakini lizingatiwe suala la mtu kuangukia katika tangulizi za haramu.86 Ikiwa mtu kwa hakika ana jinsia ambayo ni kinyume kabisa na anavyoonekana na ikawa kuna uwezekano wa kuibadilisha na kuwa jinsia halisi, kwa hakika sio wajibu kuibadilisha na kwenda kwenye jinsia yake ya halisi hata kama inaruhusiwa kufanya hivyo.87

Ajwibatul-Istiftaat Juz. 2, Uk. 74 swali la 199. Ajwibatul-Istiftaat Juz. 2, Uk. 72 swali la 192. 86 Ajwibatul-Istiftaat Juz. 2, Uk. 72 swali la 193. 87 Tahrirul-Wasiilah Juz. 2, Uk. 563 suala la kwanza. 84 85

51


Hukumu za Mgonjwa

Uhamishaji wa viungo: 88 Kwa asili inaruhusiwa mtu kwa idhini na ridhaa yake kujitolea viungo vyake na kuwapa wengine, au ausie kujitolea viungo vyake baada ya kufariki kwake, kwa kanuni hiyo kuna masuala mbali mbali: 1.

Haizuiliwi mtu kujitolea au kuuza moja ya figo lake au kiungo chochote miongoni mwa viungo vya mwili wake kipindi cha uhai wake ili mgonjwa aweze kufaidika navyo, na huenda ikawajibika hilo ikiwa itaokoa nafsi tukufu iwapo tu muhusika hatopata madhara au kumuwia vigumu.89 Vivyo hivyo kufaidika na mshipa mkuu wa damu ikiwa ni kwa idhini yake au kwa idhini ya wasimamizi wake au ni kwa kuokoa nafsi tukufu.90

2.

Hairuhusiwi kuchukua viungo kutoka katika mwili wa mwislamu aliyekufa bila ya kupata idhini yake na ridhaa yake kabla ya kufa kwake, na itakuwa ni dhambi na italazimu kutolewa fidia lau kitachukuliwa kiungo chake bila ya idhini yake, mfano wa kuchukua mboni ya jicho lake pasi na ruhusa yake. Zaidi ya kupata dhambi itamlazimu kutoa fidia ambayo ni dinari hamsini (sawa na gram 180 za dhahabu).91

3.

Lau kwa mfano mtu amepatwa na madhara kwenye korodani zake na akawa mgumba {tasa} hazai, hapo inaruhusiwa kupandikiza korodani nyingine na itakuwa tohara baada ya kuwa ni kiungo chake na mtoto atakayempata atakuwa wake.92

ai ya Imam Khomeini: “Haifai kukata kuingo miongoni mwa viungo vya maiti R mwislamu na kupandikiza kwa mtu aliye hai, isipokuwa ikiwa uhai wake utategemea hilo� { Tahrirul-Wasiilah Juz. 2 Uk. 561 suala la tano}. 89 Ajwibatul-Istiftaat Juz. 2, Uk. 75 swali la 204. 90 Ajwibatul-Istiftaat Juz. 2, Uk. 75 swali la 201. 91 Ajwibatul-Istiftaat Juz. 2, Uk. 75 swali la 202. 92 Ajwibatul-Istiftaat Juz. 2, Uk. 75 swali la 203. 88

52


Hukumu za Mgonjwa

4.

Ikiwa madaktari watahukumu kwamba hali ya mtu fulani ni mahututi na mbaya sana yaani (baina ya kifo na uhai), hata katika hali hiyo haifai kunyofua viungo vyake kutoka mwilini mwake (kama vile moyo na figo) kabla ya kifo chake, isipokuwa hilo litakuwa ni uuaji wa makusudi na itathibiti juu yake hukumu ya kuua.93

5.

Lau itajaaliwa kwamba mtu amepatwa na hali ya kupoteza fahamu na anaishi kwa kutumia vyombo vya kupumulia, na ikawa kurudia tena katika uhai ni muhali kulingana na kauli za madaktari bingwa, je, inaruhusiwa katika hali hiyo kutumia kimoja kati ya viungo vyake ili kuokoa uhai wa wagonjwa wengine?

Jibu: Ikiwa kutumia kiungo chake kutaharakisha kifo chake, basi haifai kukitumia. Na kama haitokuwa sababu ya kuharakisha kifo chake bali atabakia katika hali yake ya kawaida, basi ikiwa ameshatoa idhini hapo kabla, au ikiwa uhai wa nafsi hiyo tukufu unategemea kiungo hicho, basi hapo itafaa bila mushkeli wowote.94 Maradhi ya kifo: Na makusudio ya maradhi ya kifo ni kwamba ni yale maradhi ambayo mgonjwa hufia, basi wakati wa maradhi hayo mgonjwa anawajibika kutekeleza mambo yafuatayo: i. Ni lazima kwa yule ambaye amedhihirikiwa na alama za kifo kutekeleza haki za wajibu za viumbe, kama vile madeni na amana, au kuusia hizo baada ya kupata uhakika wa utekelezaji wake. ii. Ni wajibu kutekeleza haki za wajibu za Mola muumba 93 94

Ajwibatul-Istiftaat Juz. 2, Uk. 75 swali la 200. Ajwibatul-Istiftaat Juz. 2, Uk. 77 swali la 205. 53


Hukumu za Mgonjwa

kama vile ibada mbali mbali, khumsi, zaka, nadhiri n.k, na inalazimu ikiwa ana mali kuusia wajibu ambao wakati wa uhai wake hapasi kuutekeleza mwingine kwa niaba yake, kwa mfano swala, swaumu, hija na yale yanayofanana na hayo. Ama wajibat ambazo yalazimu kutekelezwa na msimamizi {mtoto mkubwa}, basi mgonjwa atakuwa na hiari baina ya kumjulisha hilo au kuusia. iii. Sio wajibu kwake kuainisha msimamizi wa watoto wake wadogo ila ikiwa kutomtangaza yeye msimamizi itakuwa ni sababu ya kupoteza haki zao, na iwapo atamtangaza msimamizi basi mhusika aliyeainishwa ni lazima awe mwaminifu, vivyo hivyo awe na sifa hiyo yule aliyeainishwa na marehemu kutekeleza haki zilizo wajibu.95

95

Tahrirul-Wasiilah Juz. 2, Uk. 61 cha Imam Khomeini. 54


Hukumu za Mgonjwa

SEHEMU YA SITA: UJAUZITO Kuzuia kushika mimba:

B

aadhi ya wanandoa hupendelea kuzuia kushika ujauzito, ima kutokana na kufanyiwa mara kadhaa upasuaji au kwa matatizo mengine, basi ni ipi hukumu ya kisheria kuhusu kuzuia kushika ujauzito na kuhusu njia zinazotumiwa katika jambo hilo? Kabla ya kujibu swali hilo hapana budi kujua kwamba kuzuia kushika ujauzito huenda kukawa kwa sura mbili: Kuna wakati jambo hilo husababisha kuharibu mbegu ya uhai, baada ya kuwa imetulia katika tumbo la uzazi la mwanamke. Na wakati mwingine huzuia tangu mwanzo kabla ya kutunga mbegu ya uhai. Ama katika hali ya kwanza ambayo husababisha kuanguka mbegu ya uhai baada ya kuwa imetulia katika tumbo la uzazi, kwa hakika katika hali hiyo haifai kabisa kwa hali yoyote ile, sawa mume awe ameafiki au hajaafiki.96 Ama katika hali ya pili ambayo utumiaji wa njia za kuzuia kushika ujauzito huzuia kabisa tangu mwazo utungwaji wa mimba, hakika hilo lina aina mbili: 1. Kuzuia mimba kwa muda: Inaruhusiwa kwa mke mgonjwa au aliye salama kuzuia kushika mimba na kutumia njia mbalimbali ambazo kwa njia moja au nyingine huzuia kushika mimba, kama vile njia ya vidonge na dawa, au kwa njia ya kutumia kitanzi au kipandikizi, na njia zote hizo huwa katika masharti matatu yafuatayo: 96

Ajwibatul-Istiftaat Juz. 2, swali la 167. 55


Hukumu za Mgonjwa

i.

Litaruhusiwa ikiwa ataafiki mume juu ya hilo, wala hairuhusiwi ikiwa bila ya ridhaa ya mumewe, hiyo ni kwa mujibu wa ihtiyat, vile vile haifai mume kumlazimisha mkewe kuzuia kushika mimba.

ii. Ikiwa uzuiaji hautomsababisha mmoja wao kupata madhara ya kawaida. iii. Ikiwa haitalazimu kuangaliwa utupu wake na ugusaji ulioharamishwa.97 2. Kufunga mirija ya tumbo la uzazi: Inaruhusiwa mke kufunga mirija ya tumbo la uzazi, lakini kulingana na masharti yafuatayo: i. Itaruhusiwa ikiwa mume ataafikiana nalo, wala haifai mume kumlazimisha yeye kuzuia kushika mimba. ii. Itaruhusiwa hilo ikiwa halitasababisha madhara ya kawaida. iii. Itaruhusiwa hilo ikiwa haitolazimu yeye kufanyiwa mambo ya haramu, kama vile kuangaliwa na kuguswa isipokuwa katika hali ya dharura. iv. Itaruhusiwa hilo ikiwa kuzuia kushika mimba daima kuna kwenda sanjari na malengo yanayokubalika kiakili na yaliyo halali.98 Mwanamume kuzuia kupata mtoto: Vilevile inaruhusiwa mwanaume kuzuia kupata mtoto kwa muda kama ilivyo kwa mwanamke.99 Ama kufanya hivyo daima kama jwibatul-Istiftaat Juz. 2, Uk. 62 – 63 swali la 167 – 170. Ajwibatul-Istiftaat Juz. 2, Uk. 62 – 63 swali la 167 – 170. 99 Ajwibatul-Istiftaat Juz. 2, Uk. 216 suala la 14. 97 98

56


Hukumu za Mgonjwa

vile kufunga mirija ya manii, jambo hilo linaruhusiwa kwa masharti mawili: i. Linaruhusiwa ikiwa lengo la uzuiaji linakubalika kiakili. ii. Linaruhusiwa ikiwa atasalimika na madhara ya kawaida.100 Kuangusha mimba: i.

Hairuhusiwi kabisa kuangusha mimba kwa sababu ya ugumu wa maisha na matatizo ya kiuchumi. Ama katika hali ya kukhofu usalama wa mama au mtoto kwa kuzingatia utafiti wa daktari bingwa na mahiri, kabla ya kupuliziwa roho, au kwa kukhofia usalama wa mama na mtoto pamoja ikiwa mimba itaendelea kukua, basi katika hali hiyo hakuna kizuizi katika kuangusha mimba.

ii. Ama ikiwa yatamsibu mtoto maradhi makali mno na ikawa ni vigumu kuhifadhi uhai wake kipindi chote cha uhai wake, basi hapo inaruhusiwa kuangusha mimba kabla ya kupuliziwa roho, lakini kwa mujibu wa ihtiyat ya wajibu atalazimika kulipa fidia.101 Ama ikiwa ni baada ya kupuliziwa roho na ikiwa khofu ni juu ya mama tu, hapo haijuzu kuangusha mimba.102 iii. Na ikiwa khofu ni juu ya mama pamoja na mtoto, na iwapo kubakia kwake kutahatarisha maisha yao wote wawili, basi ikiwa inawezekana kumuokoa mama pekee yake, hapo inaruhusiwa kuharibu mimba, lakini ni wajibu kwa kadiri iwezekanavyo kufanya kwa namna ambayo hatahusishwa yeyote na kuuwawa kwa mtoto.103 Ajwibatul-Istiftaat Juz. 2, Uk. 63 swali la 169. Ajwibatul-Istiftaat Juz. 2, Uk. 65 - 66 swali la 174 – 178. 102 Ajwibatul-Istiftaat Juz. 2, Uk. 66 swali la 179. 103 Ajwibatul-Istiftaat Juz. 2, Uk. 66 swali la 179. 100 101

57


Hukumu za Mgonjwa

iv. Haifai kuangusha mimba kwa sababu tu ya mapungufu ya kimaumbile au kutokana na matatizo mbalimbali ambayo yatamsumbua maishani mwake ikiwa atamzaa hai,104 bali kitendo hicho ni haramu. v.

Ujauzito uliyotokana na zinaa hauhalalishi kuharibu mimba hata lau baba au ndugu au mama ataomba kuiharibu, kadhalika hairuhusiwi kuharibu mimba iliyotokana na kujamiana kwa njia ya utata.

Fidia ya kuangusha mimba: Tumekwishaelewa kwamba kuharibu ujauzito ni haramu, wala hairuhusiwi kisheria, sawa iwe kabla ya kutiwa roho au baada ya kutiwa roho, isipokuwa ikiwa ni sababu ya ugonjwa au khofu halisi ya usalama, kama ilivyokwisha tangulia hapo kabla, lakini kwa vyovyote itakavyokuwa ni kwamba haifai kuharibu kichanga cha tumboni bila sababu ya kisheria, kwani ukiachilia mbali kuwa hilo ni katika kumuasi Mwenyezi Mungu lakini pia hilo husababisha kutoa fidia. Swali, ni ipi fidia ambayo Mwenyezi Mungu ameifaradhisha kuhusiana na kadhia ya kuharibu ujauzito? Kiwango cha fidia ya kuharibu ujauzito: 1.

Ikiwa mimba imeshatiwa roho, basi akiiharibu fidia yake ni kamili, nayo ni dinari 1000 (sawa na gram 3600 za dhahabu), hiyo ni kwa mtoto wa kiume, ama kwa mtoto wa kike ni nusu yake, yaani dinari 500, sawa na gram 1800 za dhahabu.

2.

Ikiwa bado hajatiwa roho lakini kiwiliwili kimeshakuwa na nyama na maumbile yake yametimia, fidia yake ni dinari 100

104

Ajwibatul-Istiftaat Juz. 2, Uk. 65 swali la 176. 58


Hukumu za Mgonjwa

(sawa na gram 360 za dhahabu) hiyo ni sawa awe mwanaume au mwanamke. 3.

Ikiwa bado hajatiwa roho na bado ni mifupa ambayo haijavalishwa nyama, basi fidia yake ni dinari 80 (gram 288 za dhahabu), hiyo ni sawa awe mwanaume au mwanamke.

4.

Ikiwa ni pande la nyama, basi fidia yake ni dinari 60 (sawa na gram 216 za dhahabu).

5.

Ikiwa ni pande la damu, basi fidia yake ni dinari 40 (sawa na gram 144 za dhahabu).

6.

Na ikiwa ni mbegu ya uhai, basi fidia yake ni dinari 20 (sawa na gram 72 za dhahabu).105

Utungishaji mimba wa maabara: Je! Jambo hilo linaruhusiwa au hapana? Ipo njia ya kimatibabu ya kutungisha mimba, njia ambayo hatimaye hupatikana mtoto, njia hiyo ni maarufu kwa jina la ‘Utungishaji mimba wa maabara’. Basi ni ipi hukumu ya kisheria kuhusiana na amali hiyo? Tunaweza kuleta sura mbalimbali kuhusiana na kadhia hiyo, kwa sababu maadamu mbegu ya uzazi ambayo hukutanishwa na mayai ya mwanamke, ni ima iwe inatokana na mumewe au itokane na asiyekuwa mumewe, na ima ukutanishi wa mbegu na yai ulazimu kutendwa la haramu, kama vile kuguswa na kuangaliwa au usilazimu hivyo, na ima mbegu hizo za uzazi ambazo hukutanishwa na mayai zitolewe kwa njia ya halali au la. Hivyo basi, ikiwa mbegu za uzazi zinatokana na mume na ukutanishi wa mbegu na yai haulazimu kutendwa la haramu, kwa mfano mume mwenyewe akutanishe mbegu hizo na yai la mkewe na awe amezitoa kwa njia ya halali, basi 105

Tahrirul-Wasiilah Juz. 2, Uk. 538. 59


Hukumu za Mgonjwa

hapo utungishaji huo wa mimba unaruhusiwa wala hakuna mushkeli wowote, na mtoto anayepatikana katika mchakato huo hunasibishwa na hao wawili.106 Ama lau ikiwa mbegu za uzazi zimetoka kwa mume, lakini ukutanishi wa mbegu na yai umepatikana kwa njia ya daktari na kwamba utalazimu daktari kumwangalia na kumgusa mke, jambo ambalo ni haramu, basi utungishaji wa aina hiyo hauruhusiwi, na lau atafanya hivyo atakuwa amemuasi Mwenyezi Mungu, lakini mtoto huyo hunasibishwa na hao wawili mume na mke.107 Ama lau itakuwa mbegu za uzazi zimetoka kwa mwanaume ajinabi, yaani asiyekuwa mumewe, basi hakuna kizuizi katika utungishaji huo kwa sharti tu la kujiepusha na tangulizi za haramu kama vile kumwangalia mwanamke na kumgusa, lakini mtoto husika hanasibishwi na mume wa mwanamke huyo, bali hunasibishwa na mwenye mbegu hizo za uzazi, yaani yule ambaye mbegu hizo zimechukuliwa kutoka kwake.108 Miongoni mwa hukumu za utungishaji mimba wa maabara: 1.

Inaruhusiwa mwanamke kujitungisha mimba kwa maji ya mumewe aliyekufa sawa kabla ya kuisha eda au baada ya kumalizika eda, kwa sharti tu ya kujiepusha na tangulizi za haramu.109

ahrirul-Wasiilah Juz. 2, Uk. 559 suala la kwanza na Ajwibatul-Istiftaat juz. 2 uk. 69 T swali la 185. 107 Tahrirul-Wasiilah Juz. 2, Uk. 559 suala la kwanza na Ajwibatul-Istiftaat juz. 2 uk. 69 swali la 185. 108 Ajwibatul-Istiftaat Juz. 2, Uk. 70 swali la 188, “Ama kuhusu rai ya imam Khomeini hakika utungishaji kwa maji ya mwingine haifai kabisa, sawa iwe ameridhia mke au hapana� Tahrirul-Wasiilah Juz. 2, Uk. 559 suala la pili. 109 Ajwibatul-Istiftaat Juz. 2, Uk. 71 swali la 190. 106

60


Hukumu za Mgonjwa

2.

Lau atakufa mumewe wa kwanza na akaolewa na mwanaume mwingine, inaruhusiwa kujitungisha mimba kwa mbegu za mumewe wa kwanza baada ya kufa mumewe wa pili au katika uhai wake lakini baada ya kutoa idhini.110

3.

Ikiwa mke wa kwanza hana mayai inaruhusiwa kuhamisha mayai kutoka kwa mke wa pili baada ya kutungisha mimba katika tumbo lake la uzazi kutoka kwa mumewe (yaani kuhamisha mimba toka kwa mke wa pili kwenda kwa wa kwanza), lakini mtoto atanasibishwa na mwenye mayai, vile vile hapana budi kuchunga na kuchukua tahadhari kuhusu athari za nasaba upande wa mwenye tumbo la uzazi.111

4.

Ikiwa mke hana mayai inaruhusiwa kufaidika kutokana na mayai ya mwanamke mwingine, hata kama mwanamke mwingine sio mkewe, kwa namna ambayo utungishaji mimba utatimia nje ya tumbo la uzazi kisha ndipo ipandikizwe katika tumbo la uzazi la mke, na mtoto huyo hunasibishwa na mwanamke mwenye mayai. Vile vile hapana budi kuzingatiwa na kuchukuliwa tahadhari kuhusu athari za nasaba upande wa mwenye tumbo la uzazi.112

Ajwibatul-Istiftaat Juz. 2, Uk. 71 swali la 190. Ajwibatul-Istiftaat Juz. 2, Uk. 70 swali la 189. 112 Ajwibatul-Istiftaat Juz. 2, Uk. 69 swali la 189. 110 111

61


Hukumu za Mgonjwa

NYONGEZA Dua zilizoteuliwa ­z inazomhusu mgonjwa: Dua zilizoteuliwa zinazomhusu mgonjwa: Dua zilizoteuliwa zinazomhusu mgonjwa: Dua zilizoteuliwa zinazomhusu Dua zilizomo yaya vitabu ni za zaaina ainambili: mbili: Dua za jumla ua zilizomondani ndani vitabu mgonjwa: Dua za jumla zizinazohusu magonjwa na maradhi mbalimbali. Na dua mahsusi kwa nazohusu magonjwa na maradhi mbalimbali. Na dua mahsusi Dua ndani yayavitabu Duazilizomo zilizomo ndani vitabuninizazaaina ainambili: mbili:Dua Duazazajumla jumla ajili ya baadhi ya maradhi. kwa ajili ya baadhi ya maradhi. zinazohusu magonjwa na maradhi mbalimbali. Na dua mahsusi kwa zinazohusu magonjwa na maradhi mbalimbali. Na dua mahsusi kwa ajili ya baadhi ya maradhi. ajiliDua ya ya maradhi. za jumla: Dua za baadhi jumla: 1. jumla: Nijumla: mustahabu mgonjwa aombe hivi: Dua za Dua 1. Ni za mustahabu mgonjwa aombe hivi:

D

1. 1. NiNi mustahabu mgonjwa aombe hivi: mustahabu mgonjwa aombe hivi:

‫يا شافي يا معافي يا رؤوف يا رحيم ارحمني واشفني‬ ‫واشفني‬ ‫رحيم‬ ‫معافييا يا‬ ‫شافي يا‬ ‫ارحمنيواشفني‬ ‫ارحمني‬ ‫يارحيم‬Imam ‫رؤوفيا‬ ‫رؤوف‬ ‫معافي‬ ‫ياشافي‬amesema: ‫يا‬ Imepokewa kutoka kwa as-Sadiq (a.s) ‫يا‬kuwa

2. ugonjwa hivi: 2. Imepokewa kutoka kwa Imam as-Sadiq (a.s) kuwaamesema: amesema: 2.Uambie 2.Imepokewa Imepokewakutoka kutokakwa kwaImam Imamas-Sadiq as-Sadiq(a.s) (a.s)kuwa kuwa amesema: Uambie ugonjwa hivi: Uambie ugonjwa hivi: Uambie ugonjwa hivi:

‫بسم ﷲ وبا� كم من نعمة � في عرق ساكن وغير ساكن على‬ ‫على‬ ‫وغيركممنمن‬ ‫بسمﷲﷲ‬ ‫ساكنعلى‬ ‫وغيرساكن‬ ‫ساكنوغير‬ ‫عرقساكن‬ ‫نعمة��فيفيعرق‬ ‫شاكرنعمة‬ ‫وبا�كم‬ �‫وبا‬ ‫بسم‬ ‫شاكر‬ ‫عبد‬ ‫شاكر‬ ‫وغيرشاكر‬ ‫شاكروغير‬ ‫عبدشاكر‬ ‫عبد‬

3. Utashika ndevu zako kwa mkono wako wa kulia, baada ya swala faradhi na hapo utasema mara 3. Utashika ndevu zakomkono kwa tatu: mkono wako wa baada kulia, ya baada ya 3.ya Utashika ndevu zako kwa wako wa kulia, swala 3. Utashika ndevu zako kwa mkono wako wa kulia, baada ya swala swala ya faradhi na mara hapo utasema mara tatu: yaya faradhi nana hapo utasema tatu: faradhi hapo utasema mara tatu:

‫وعجل عافيتي واكشف ض ّري‬ ‫اللھم ف ّرج عنّي كربتي‬ ّ ‫يي‬ ‫ض ّر‬ ‫وعجل عافيتي‬ ‫اللھم ّرف ّجرجعنّع‬ ّ‫وعجل‬ ‫واكشفض ّر‬ ‫واكشف‬ ‫(ينّيكربتي‬a.s) ‫اللھم ف‬ ّ ‫كربتي‬ Imepokewa kutoka‫عافيتي‬ kwa Imam as-Sadiq kuwa amesema:

4. “Weka mkono wako sehemu ya maumivu na sema: 4. 4.Imepokewa Imepokewakutoka kutokakwa kwaImam Imamas-Sadiq as-Sadiq(a.s) (a.s)kuwa kuwaamesema: amesema: “Weka mkono wako sehemu ya maumivu na sema: “Weka mkono wako sehemu ya maumivu na sema: 62


Hukumu za Mgonjwa

4. Imepokewa kutoka kwa Imam as-Sadiq (a.s) kuwa amesema: “Weka mkono wako sehemu ya maumivu na sema:

�‫با‬ ‫قوة‬ ‫وال‬ ‫حول‬ ‫وال‬ ‫ص‬ ‫ﷲ‬ ‫رسول‬ ‫ومح‬ �‫وبا‬ ‫ﷲ‬ ‫بسم‬ �‫با‬ ‫قوة‬ ‫وال‬ ‫حول‬ ‫وال‬ (((‫ص‬ ‫رسول‬ �‫وبا‬ ‫بسم‬ ّ ‫ومح ّ​ّمم‬ �‫با‬ �‫قوةاااالالاّ​ّالّالّبا‬ ‫والقوة‬ ‫حولوال‬ ‫والحول‬ ‫ص(وال‬ ‫ﷲﷲ))) )ص‬ ‫رسولﷲ‬ ‫ومحمدد ّدمدرسول‬ ‫وبا�ومح‬ �‫ﷲﷲوبا‬ ‫بسمﷲ‬ ‫بسم‬ ‫اجد‬ ‫ما‬ ‫امسح‬ ‫اللھم‬ ‫اجد‬ ‫امسح‬ ‫اللھم‬ ّ‫ععننّ​ّنّعن‬ ‫اجد‬ ‫مامااجد‬ ‫يييما‬ ‫ي‬ ‫امسحع‬ ‫اللھمامسح‬ ‫اللھم‬ nautapaka utapaka maratatu tatuukitumia ukitumia mkono wakowa wakulia kulia sehemu ya ya mara tatu mkono wako wa sehemu na utapaka tatu ukitumia mkono wasehemu kulia sehemu nana mara mkono wako yaya na utapaka utapaka maramara tatu ukitumia ukitumia mkono wakowako wa kulia kulia sehemu ya ugonjwa. ugonjwa. ugonjwa. ugonjwa. ugonjwa.

5. Imepokewa kutoka kwa Mtume(s.a.w.w.) (s.a.w.w.)pindi pindialipoumwa alipoumwa 5.Imepokewa Imepokewa kutoka kwa Mtume (s.a.w.w.) pindi alipoumwa kutoka kwa Mtume 5.5. 5. Imepokewa Imepokewakutoka kutokakwa kwaMtume Mtume(s.a.w.w.) (s.a.w.w.)pindi pindialipoumwa alipoumwa ImamAli Ali (a.s) alimwendea naakamwambia akamwambia sema: sema: Imam Ali (a.s) alimwendea na akamwambia Imam (a.s) alimwendea sema: Imam Imam Ali Ali(a.s) (a.s)alimwendea alimwendeanana na akamwambia akamwambiasema: sema:

‫الى‬ ‫وخروجا‬ ‫تك‬ ‫على‬ ‫وصبرا‬ ‫عافيتك‬ ‫تعجيل‬ ‫أسألك‬ ‫اللھم اا‬ ‫اللھم‬ ‫الى‬ ‫وخروجا‬ ‫على‬ ‫وصبرا‬ ‫عافيتك‬ ‫تعجيل‬ ‫أسألك‬ ّ‫اللھماننّ​ّنّان‬ ‫الى‬ ّ‫بلبلييّ​ّيّبلي‬ ‫وخروجاالى‬ ‫تكتكوخروجا‬ ‫تك‬ ‫علىبل‬ ‫وصبراعلى‬ ‫عافيتكوصبرا‬ ‫تعجيلعافيتك‬ ‫أسألكتعجيل‬ ‫يييأسألك‬ ‫ي‬ ‫اللھم‬ ‫رحمتك‬ ‫رحمتك‬ ‫رحمتك‬ ‫رحمتك‬ 6.Imekuja Imekuja katika hadithi nyingine nikwamba kwamba alimwambia weka 6. Imekuja katika hadithi nyingine kwamba alimwambia weka katika hadithi nyingine kwamba alimwambia weka 6.6. katika hadithi nyingine nini alimwambia weka 6. Imekuja Imekuja katika hadithi nyingine ni ni kwamba alimwambia weka mkono wako wa kulia juu ya ugonjwa na sema: mkono wako wa kulia juu ugonjwa sema: mkono wako wa kulia juu ya ugonjwa na sema: mkono kulia juu yaya nana mkonowako wakowa wa kulia juu yaugonjwa ugonjwa nasema: sema:

‫األمين‬ ‫وح‬ ‫به‬ ‫نزل‬ ‫الذي‬ ‫العظيم‬ ‫القرآن‬ ‫بح‬ ‫أسألك‬ ‫اللھم اا‬ ‫اللھم‬ ّ​ّ ‫بحبح‬ ‫األمين‬ ‫وح‬ ‫نزل‬ ‫الذي‬ ‫العظيم‬ ‫القرآن‬ ‫أسألك‬ ّ‫ق‬ ّ‫اللھماننّ​ّنّان‬ ‫األمين‬ ّ‫ق‬ ‫وحاألمين‬ ‫بهبهالالال ّ​ّررّالر ّروح‬ ‫نزلبه‬ ‫الذينزل‬ ‫العظيمالذي‬ ‫القرآنالعظيم‬ ‫قالقرآن‬ ‫ق‬ ‫أسألكبح‬ ‫يييأسألك‬ ‫ي‬ ‫اللھم‬ ‫وتداويني‬ ‫بشفائك‬ ‫تشفني‬ ‫أن‬ ‫حكيم‬ ‫عل‬ ‫الكتاب‬ ‫في أأ‬ ‫في‬ ‫عندك‬ ‫وھو‬ ‫وتداويني‬ ‫بشفائك‬ ‫تشفني‬ ‫حكيم‬ ‫الكتاب‬ ‫عندك‬ ‫وھو‬ ّ​ّ ‫عل‬ ‫وتداويني‬ ‫بشفائكوتداويني‬ ‫تشفنيبشفائك‬ ‫أنأنتشفني‬ ‫حكيمأن‬ ‫يّي ّيحكيم‬ ‫علي‬ ‫الكتابعل‬ ‫فيأ ّ​ّمم ّمأ ّمالكتاب‬ ‫عندكفي‬ ‫وھوعندك‬ ‫وھو‬ ّ‫وتصللّ​ّل‬ ‫ص‬ ‫محمد‬ ‫وآل‬ ‫محمد‬ ‫على‬ ‫وتص‬ ‫بالئك‬ ‫من‬ ‫وتعافيني‬ ‫بدوائك‬ (((‫ص‬ ‫محمد‬ ‫وآل‬ ‫محمد‬ ‫على‬ ‫بالئك‬ ‫من‬ ‫وتعافيني‬ ‫بدوائك‬ (‫ص‬ ‫محمد))) )ص‬ ‫وآلمحمد‬ ‫محمدوآل‬ ‫علىمحمد‬ ‫ىىىعلى‬ ‫وتصلّى‬ ‫بالئكوتص‬ ‫منبالئك‬ ‫وتعافينيمن‬ ‫بدوائكوتعافيني‬ ‫بدوائك‬ 7.Sema: Sema: 7. Sema: 7.7. 7. Sema: Sema:

‫ارحم‬ ‫استرحم‬ ‫من‬ ‫أرحم‬ ‫ويا‬ ‫سأل‬ ‫من‬ ‫خير‬ ‫ويا‬ ‫أعطى‬ ‫من‬ ‫أجود‬ ‫ارحم‬ ‫استرحم‬ ‫من‬ ‫أرحم‬ ‫ويا‬ ‫سأل‬ ‫من‬ ‫خير‬ ‫ويا‬ ‫أعطى‬ ‫من‬ ‫أجود‬ ‫ارحم‬ ‫استرحمارحم‬ ‫مناسترحم‬ ‫أرحممن‬ ‫وياأرحم‬ ‫سألويا‬ ‫منسأل‬ ‫خيرمن‬ ‫وياخير‬ ‫أعطىويا‬ ‫منأعطى‬ ‫أجودمن‬ ‫ياياياأجود‬ ‫يا‬ ّ‫وقللّ​ّل‬ ‫وجعي‬ ‫من‬ ‫وأعفني‬ ‫حيلتي‬ ‫وق‬ ‫ضعفي‬ ‫وجعي‬ ‫من‬ ‫وأعفني‬ ‫حيلتي‬ ‫ضعفي‬ ‫وجعي‬ ‫منوجعي‬ ‫وأعفنيمن‬ ‫حيلتيوأعفني‬ ‫وقةةلّةةحيلتي‬ ‫ضعفيوق‬ ‫ضعفي‬ Duamahususi: mahususi: Dua Dua Dua mahususi: mahususi: 63

74 7474 74


Hukumu za Mgonjwa

Dua mahususi: 1. Dua ya homa: 1. Dua ya homa: 1. Dua ya homa:

Dua‫القديم‬ ya homa: ‫ العظيم‬1.ّ‫والمن‬ ‫سلطان‬ ّ ‫اللھم ال اله االّ أنت العل ّي العظيم ذو ال‬ ّ‫أنتال‬ ‫العظيمات‬ ‫والمنّتّا ّم‬ ‫الكلمات ال‬ ‫ولي‬ ‫العظيم‬ ‫اله ا‬ ‫الكريم ال‬ ‫العظيم‬ ‫القديمالقديم‬ ‫لطان‬ ‫س‬ ‫العظيم‬ ‫العلالّ ّي‬ ‫والوجهاالّاله ا‬ ‫اللھمالاللھمالهال‬ ّ ‫ذو ال‬ ‫لطان‬ ‫س‬ ‫أنتذو‬ ‫العظيم‬ ‫أنت ّي‬ ‫العل‬ ّ‫والمن‬ ّ ‫العلال ّي‬ ّ‫الكلماتم الت‬ ‫أصبح‬ ‫أنتالّح ّل‬ ‫المستجابات‬ ‫والد‬ ‫اتا ّمات‬ ‫بفالنولي‬ ‫العظيم‬ ‫ماالعل ّي‬ ‫الكريمالهالاالّاله ا‬ ‫والوجه‬ ‫ولي‬ ‫العظيم‬ ‫أنت ّي‬ ‫العل‬ ‫ّعوات ال‬ ‫الكريم‬ ‫والوجه‬ ّ ‫الكلمات التّا‬ ‫بفالن‬ ‫أصبحأصبح‬ ‫ ما‬Weka ‫المستجابات ماح ّل‬ ‫ّعوات‬ ‫والد والد‬ 2. Dua ya maumivu ya ‫بفالن‬ mgongo: wako sehemu ‫ ّل‬mkono ‫المستجابات ح‬ ‫ّعوات‬

naya utasema maraWeka tatu: mkono wako sehemu ya 2. Duaya yamaumivu maumivu mgongo: 2. Dua ya maumivu ya mgongo: WekaWeka mkono wakowako sehemu 2. Dua ya maumivu yatatu: mgongo: mkono sehemu maumivu na utasema mara ya maumivu na utasema maramara tatu: tatu: ya maumivu na utasema ‫وما كان لنفس أن تموت االّ باذن ﷲ كتايا مؤجال ومن يرد ثواب‬

ّ ّ‫يرداال‬ ‫وسنجزي‬ ‫منھا‬ ‫نؤته‬ ‫ثواب‬ ‫وما الد‬ ‫ثوابثواب‬ ‫ومن يرد‬ ‫مؤجال‬ ‫باذن ﷲ‬ ‫تموت‬ ‫منھاأن‬ ‫لنفس‬ ‫وماّنياكان‬ ّ ‫ال‬ ّ‫ومناال‬ ‫ومن يرد‬ ‫مؤج‬ ‫كتايا‬ ‫ﷲ‬ ‫باذن‬ ‫تموت‬ ‫نؤته أن‬ ‫لنفس‬ ‫كان‬ ّ ‫األخرةكتايا‬

‫ّاكرين‬ ‫وسنجزي‬ ‫منھا منھا‬ ‫نؤته نؤته‬ ‫األخرة‬ ‫ثوابثواب‬ ‫ومن يرد‬ ‫منھا منھا‬ ‫نؤته‬ ‫الدّنياالدشّنيا‬ ‫وسنجزي‬ ‫األخرة‬ ‫ومن يرد‬ ‫نؤته‬ ‫ّاكرينّاكرين‬ ‫الش الش‬ soma Sura Zilzalah mara saba bila shaka utapona kwa

Kisha mapenzi ya Mwenyezi Mungu. Kisha somasoma SuraSura Zilzalah mara saba bilabila shaka utapona kwa Kisha Zilzalah mara saba shaka utapona kwa Kisha soma Sura Zilzalah mara saba bila shaka utapona kwa mapenzi ya Mwenyezi Mungu. 3.mapenzi Maumivu ya tumbo: Sema: mapenzi ya Mwenyezi Mungu. ya Mwenyezi Mungu. 3. Maumivu ya tumbo: Sema:

tumbo: βr3.& M Ï Maumivu ≈yϑè=—à3. 9$# ’ÎûMaumivu “ 3 ya yŠ$oΨtumbo: sù Ïμø‹n=tã ya u‘ωø)Sema: ¯Ρ ⎯©9 βr& £⎯Sema: sàsù $Y6ÅÒ≈tóãΒ |=yδ©Œ ŒÎ) Èβθ‘Ζ9$# #sŒuρ

βr& M Ï ≈yβrϑ&è=—à “ 3 9$# yŠ’Î$oš⎥ u‘Ïμωø‹9$#n=ø)tãz⎯¯Ρ ÏΒu‘⎯©Ï‰àM 9 ø)βr¯ΡΖà&2 ÅÒ |= ŒÎΡr)&yδHω Èβ©Œθ‘Î) ŒÎΖtμ9$)≈s#9ÈβÎ)#sŒθ‘ω ö6ß™ H uρΖ9$# #sŒuρ M Ï 9$#≈yϑ’Îè=û—à∩∇∠∪ ûΨsù“ 3 ÏμyŠø‹⎫Ïn=ϑ $otã ΨÎ=sù≈©à ⎯©£⎯9sàβr’Îsù&oΤÎ)$Y£⎯6š sàsù≈tóoΨ$Y≈yãΒ6s ÅÒ ≈tóyδãΒ©Œ|M|= ∩∇∠∪ š⎥⎫ÏϑÎ=≈©à9$# z⎯ÏΒ M à Ζà2 ’ÎoΤÎ) šoΨ≈ysö6ß™ |MΡr& ω H Î) tμ≈s9Î) ω H

∩∇∠∪Fatiha ⎥ š ⎫ÏϑÎ=mara ≈©à9$# z⎯saba. ÏΒ àMΖà2 ’ÎoΤÎ)  š oΨ≈ysö6ß™ |MΡr& HωÎ) tμ≈s9Î) ω H Kisha utasoma Sura

Kisha utasoma Sura Sura Fatiha maramara saba.saba. Kisha utasoma Sura Fatiha mara saba. Kisha Fatiha 64

75

75 75


Hukumu za Mgonjwa

4. Maumivu ya kitovu: Imepokewa kwamba utakapomaliza swala 4. Maumivu ya kitovu: Imepokewa kwamba utakapomaliza weka mkono juu yaImepokewa mahala pa ya kusujudia kisha pafute kisha na 4. Maumivu ya kitovu: kwamba swalawako weka mkono wako juu mahalautakapomaliza pa kusujudia 4. Maumivu ya kitovu: Imepokewa kwamba utakapomaliza swala weka mkono wako juu ya mahala pa kusujudia kisha soma aya hii: na somawako aya hii: swala pafute weka mkono juu ya mahala pa kusujudia kisha pafute na soma aya hii: pafute na soma aya hii: ’n?≈yètGsù ∩⊇⊇∈∪ β t θãèy_öè? ω Ÿ $uΖøŠs9Î) Ν ö ä3¯Ρr&uρ $ZWt7tã Ν ö ä3≈oΨø)n=yz $yϑ¯Ρr& óΟçFö7Å¡yssùr& ’n?≈yètGsù ∩⊇⊇∈∪ tβθãèy_öè? ω Ÿ $uΖøŠs9Î) Ν ö ä3¯Ρr&uρ $ZWt7tã Ν ö ä3≈oΨø)n=yz $yϑ¯Ρr& óΟçFö7Å¡yssùr& ’n?≈yètGsù ∩⊇⊇∈∪ tβθãèy_öè? ω Ÿ $uΖøŠs9Î) Ν ö ä3¯Ρr&uρ $ZWt7tã Ν ö ä3≈oΨø)n=yz $yϑ¯Ρr& óΟçFö7Å¡yssùr& ⎯tΒuρ ∩⊇⊇∉∪ ÉΟƒÌx6ø9$# ĸöyèø9$# >  u‘ θu èδ ωÎ) μt ≈s9Î) ω I (, ‘ ysø9$# 7 à Î=yϑø9$# ª!$# ⎯tΒuρ ∩⊇⊇∉∪ Ο É ƒÌx6ø9$# ĸöyèø9$# >u‘ θu èδ ωÎ) tμ≈s9Î) ω I (, ‘ ysø9$# à7Î=yϑø9$# ª!$# ⎯tΒuρ ∩⊇⊇∉∪ Ο É ƒÌx6ø9$# ĸöyèø9$# >u‘ θu èδ ωÎ) tμ≈s9Î) ω I (, ‘ ysø9$# à7Î=yϑø9$# ª!$# 4⎯ ÿ ÏμÎn/u‘ y‰ΖÏã …çμç/$|¡Ïm $yϑ¯ΡÎ*sù ⎯ÏμÎ/ …çμs9 ⎯ z ≈yδöç/ Ÿω t yz#u™ $·γ≈s9Î) ! « $# yìtΒ äíô‰tƒ 4⎯ ÿ ÏμÎn/u‘ y‰ΖÏã …çμç/$|¡Ïm $yϑ¯ΡÎ*sù ⎯ÏμÎ/ …çμs9 ⎯ z ≈yδöç/ ω Ÿ tyz#u™ $·γ≈s9Î) «!$# yìtΒ äíô‰tƒ 4⎯ ÿ ÏμÎn/u‘ y‰ΖÏã …çμç/$|¡Ïm $yϑ¯ΡÎ*sù ⎯ÏμÎ/ …çμs9 ⎯ z ≈yδöç/ ω Ÿ tyz#u™ $·γ≈s9Î) «!$# yìtΒ äíô‰tƒ ç öyz M | Ρr&uρ Ο ó ymö‘$#uρ öÏøî$# Éb>§‘ ≅è%uρ ∩⊇⊇∠∪ β t ρãÏ≈s3ø9$# x ß Î=øムω Ÿ …çμ¯ΡÎ) ç öyz |MΡr&uρ Ο ó ymö‘$#uρ öÏøî$# Éb>§‘ ≅è%uρ ∩⊇⊇∠∪ tβρãÏ≈s3ø9$# ßxÎ=øムω Ÿ …çμ¯ΡÎ) ç öyz |MΡr&uρ Ο ó ymö‘$#uρ öÏøî$# Éb>§‘ ≅è%uρ ∩⊇⊇∠∪ tβρãÏ≈s3ø9$# ßxÎ=øムω Ÿ …çμ¯ΡÎ) ∩⊇⊇∇∪ t⎦⎫ÏΗ¿q≡§9$# ∩⊇⊇∇∪ t⎦⎫ÏΗ¿q≡§9$# ∩⊇⊇∇∪ t⎦⎫ÏΗ¿q≡§9$# 5. Ugonjwa wa kichwa na sikio: Futa kichwa chako na sema Ugonjwa kichwa sikio: Futa kichwa chakonanasema sema mara saba: 5. 5. Ugonjwa wawa kichwa na na sikio: Futa kichwa chako 5. Ugonjwa wa kichwa na sikio: Futa kichwa chako na sema mara saba: mara saba: mara saba:

‫أعوذ با� الذى سكن له ما فى البر والبحر وما فى السموات‬ ‫السموات‬ ‫الذى‬ �‫با‬ ‫أعوذ‬ ‫فى السموات‬ ‫وما فى‬ ‫والبحر وما‬ ‫البر والبحر‬ ‫فى البر‬ ‫ما فى‬ ‫له ما‬ ‫سكن له‬ ‫سكن‬ ‫الذى‬ �‫با‬ ‫أعوذوھو السميع العليم‬ ‫واألرض‬ ‫العليم‬ ‫السميع‬ ‫وھو‬ ‫واألرض‬ ‫واألرض وھو السميع العليم‬

Vivyo hivyo imepokewa kuhusiana na sikio. VivyoVivyo hivyo imepokewa kuhusiana na sikio. imepokewa kuhusiana na sikio. Vivyo hivyohivyo imepokewa kuhusiana na sikio. 6. Kipandauso: Weka mkono wako juu ya kipanda uso 6. Kipandauso: Weka mkono wako yake juu na ya sema kipanda uso ambapo hukusumbua maumivu mara tatu: Kipandauso: Weka mkono wako juu ya kipanda uso 6. 6. Kipandauso: Weka mkono wako juu ya kipanda uso ambapo ambapo hukusumbua maumivu yake na sema mara tatu: ambapo hukusumbua sematatu: mara tatu: hukusumbua maumivumaumivu yake na yake semana mara

‫يا ظاھرا موجودا و يا باطنا غير مفقود اردد على عبدك أيادك‬ ‫أيادك‬ ‫اردد‬ ‫غيرر‬ ‫موجودا وو يا‬ ‫يا ظاھرا‬ ‫عبدك أيادك‬ ‫على عبدك‬ ‫على‬ ‫مفقود اردد‬ ‫مفقود‬ ‫باطنامنغي‬ ‫باطنا‬ ‫موجودا‬ ‫يا‬ ‫رحيم قدير‬ ‫أذى إنك‬ ‫عنه ياما به‬ ‫ظاھراواذھب‬ ‫الجميلة عنده‬ ‫قدير‬ ‫رحيم قدير‬ ‫إنك رحيم‬ ‫أذى إنك‬ ‫من أذى‬ ‫به من‬ ‫ما به‬ ‫عنه ما‬ ‫واذھب عنه‬ ‫عنده واذھب‬ ‫الجميلة عنده‬ ‫الجميلة‬ 76 65 76

76


‫‪Hukumu za Mgonjwa‬‬

‫‪7. Ugonjwa‬‬ ‫‪wa kinywa:‬‬ ‫‪Weka‬‬ ‫‪mkono‬‬ ‫‪wako‬‬ ‫‪juu yake‬‬ ‫‪na‬‬ ‫‪7. Ugonjwa‬‬ ‫‪wa kinywa:‬‬ ‫‪WekaWeka‬‬ ‫‪mkono‬‬ ‫‪wakowako‬‬ ‫‪juu yake‬‬ ‫‪sema:‬‬ ‫‪7. Ugonjwa‬‬ ‫‪wa kinywa:‬‬ ‫‪mkono‬‬ ‫‪juu na‬‬ ‫‪yake‬‬ ‫‪na‬‬ ‫‪sema:‬‬ ‫‪sema:‬‬

‫داء أعوذ‬ ‫اسمه داء‬ ‫مع اسمه‬ ‫يض ّر ّر مع‬ ‫الذي الال يض‬ ‫ﷲ الذي‬ ‫بسم ﷲ‬ ‫الرحيم بسم‬ ‫الرحمن الرحيم‬ ‫ﷲ الرحمن‬ ‫بسم ﷲ‬ ‫بسم‬ ‫أعوذ‬ ‫قدوس أسالك‬ ‫قدوس قدوس‬ ‫قدوس قدوس‬ ‫شيئ قدوس‬ ‫معھا شيئ‬ ‫يض ّر ّر معھا‬ ‫ﷲ الالتّتّيي الال يض‬ ‫بكلمات ﷲ‬ ‫بكلمات‬ ‫أسالك يايا‬ ‫به أعطيته‬ ‫سألك به‬ ‫من سألك‬ ‫الذي من‬ ‫المبارك الذي‬ ‫المقدس المبارك‬ ‫اھر المقدس‬ ‫باسمك الالطّطّاھر‬ ‫رب باسمك‬ ‫ّ‬ ‫أعطيته‬ ‫ربّ‬ ‫على محمد‬ ‫تصلّلّيي على‬ ‫أن تص‬ ‫ﷲ أن‬ ‫ﷲ يايا ﷲ‬ ‫ﷲ يايا ﷲ‬ ‫أسألك يايا ﷲ‬ ‫أجبته أسألك‬ ‫به أجبته‬ ‫دعاك به‬ ‫ومن دعاك‬ ‫ومن‬ ‫محمد‬ ‫فمي وفي‬ ‫في فمي‬ ‫أجد في‬ ‫مما أجد‬ ‫تعافيني مما‬ ‫وأن تعافيني‬ ‫بيته ))عع(( وأن‬ ‫وأھل بيته‬ ‫ص(( وأھل‬ ‫النبي ))ص‬ ‫النبي‬ ‫وفي‬

‫وفي يدي‬ ‫ظھري وفي‬ ‫وفي ظھري‬ ‫بطني وفي‬ ‫وفي بطني‬ ‫بصري وفي‬ ‫وفي بصري‬ ‫سمعي وفي‬ ‫وفي سمعي‬ ‫رأسي وفي‬ ‫رأسي‬ ‫يدي‬ ‫جوارحي ككلّلّھا‬ ‫وفي جوارحي‬ ‫رجلي وفي‬ ‫وفي رجلي‬ ‫وفي وفي‬ ‫وفي‬ ‫ھا‬

‫‪8. Maumivu ya meno: Soma Sura al-Fatiha, Sura an-Nas,‬‬ ‫‪8. Maumivu‬‬ ‫‪ya meno:‬‬ ‫‪Soma‬‬ ‫‪Sura al-Fatiha,‬‬ ‫‪Sura an-Nas,‬‬ ‫‪8. Maumivu‬‬ ‫‪ya meno:‬‬ ‫‪SomaTawhid,‬‬ ‫‪Sura al-Fatiha,‬‬ ‫‪Sura Bismillah‬‬ ‫‪an-Nas,‬‬ ‫‪Sura‬‬ ‫‪Sura al-Falaq‬‬ ‫‪na Sura‬‬ ‫‪anza kusoma‬‬ ‫‪kisha‬‬ ‫‪Sura‬‬ ‫‪al-Falaq‬‬ ‫‪na‬‬ ‫‪Sura‬‬ ‫‪Tawhid,‬‬ ‫‪anza‬‬ ‫‪kusoma‬‬ ‫‪Bismillah‬‬ ‫‪kisha‬‬ ‫‪al-Falaq‬‬ ‫‪na Sura‬‬ ‫‪anzanakusoma‬‬ ‫‪Bismillah‬‬ ‫‪kisha Tawhiid‬‬ ‫‪utasoma‬‬ ‫‪utasoma‬‬ ‫‪kila Tawhid,‬‬ ‫‪sura husika,‬‬ ‫‪baada ya‬‬ ‫‪kusoma Sura‬‬ ‫‪kila sura husika, na baada ya kusoma Sura Tawhiid‬‬ ‫‪kila utasoma‬‬ ‫‪sura‬‬ ‫‪husika,‬‬ ‫‪na baada‬‬ ‫‪utasoma‬‬ ‫‪maneno‬‬ ‫‪haya:ya kusoma Sura Tawhiid utasoma‬‬ ‫‪utasoma maneno haya:‬‬ ‫‪maneno haya:‬‬

‫ھار وھو‬ ‫والنّنّھار‬ ‫الليل وال‬ ‫في الليل‬ ‫سكن في‬ ‫وله ماما سكن‬ ‫الرحيم وله‬ ‫الرحمن الرحيم‬ ‫ﷲ الرحمن‬ ‫بسم ﷲ‬ ‫بسم‬ ‫وھو‬ ‫ابراھم وأرادوا‬ ‫على ابراھم‬ ‫وسالما على‬ ‫بردا وسالما‬ ‫كوني بردا‬ ‫نار كوني‬ ‫قلنا يايا نار‬ ‫العليم قلنا‬ ‫ميع العليم‬ ‫سميع‬ ‫الال ّ‬ ‫وأرادوا‬ ‫سّ‬ ‫في الالنّنّارار ومن‬ ‫من في‬ ‫بورك من‬ ‫أن بورك‬ ‫نودي أن‬ ‫األخسرين نودي‬ ‫فجعلناھم األخسرين‬ ‫كيدا فجعلناھم‬ ‫به كيدا‬ ‫به‬ ‫ومن‬ ‫رب العالمين‬ ‫وسبحان ﷲ‬ ‫حولھا وسبحان‬ ‫حولھا‬ ‫ﷲ ّ‬ ‫العالمين‬ ‫رب ّ‬

‫‪77‬‬ ‫‪77‬‬ ‫‪66‬‬


Hukumu za Mgonjwa

Kisha sema: Kisha sema:

‫اللھم يا كافيا من ك ّل شيئ وال يكفي منك شيئ اكف عبدك وابن‬ ‫أمتك من ش ّر ما يخاف ويحذر ومن ش ّر الوجع الذي يشكوه اليك‬

MWISHO ORODHA YA VITABU VILIVYO CHAPISHWA NA AL-ITRAH FOUNDATION 1. Qur'an Al-Kariim - Tafsir Al-Kashif Juzuu ya kwanza mpaka Thelathini 2. Uharamisho wa Riba 3. Uharamisho wa uwongo Juzuu ya Kwanza 4. Uharamisho wa uwongo Juzuu ya Pili 5. Hekaya za Bahlul 6. Muhanga wa Imamu Husein (A.S.) 7. Mikingamo iliyomzunguka Imamu Ali (A.S.) 8. Hijab vazi Bora 9. Ukweli wa Shia Ithnaashari 10. Madhambi Makuu 11. Mbingu imenikirimu 12. Abdallah Ibn Saba 13. Khadijatul Kubra 14. Utumwa 15. Umakini katika Swala 16. Misingi ya Maarifa 17. Kanuni za Ndoa na maadili ya Familia

78 67


Hukumu za Mgonjwa

MWISHO ORODHA YA VITABU VILIVYO CHAPISHWA NA AL-ITRAH FOUNDATION 1. Qur’an Al-Kariim - Tafsir Al-Kashif Juzuu ya kwanza mpaka Thelathini 2.

Uharamisho wa Riba

3.

Uharamisho wa uwongo Juzuu ya Kwanza

4.

Uharamisho wa uwongo Juzuu ya Pili

5.

Hekaya za Bahlul

6.

Muhanga wa Imamu Husein (A.S.)

7.

Mikingamo iliyomzunguka Imamu Ali (A.S.)

8.

Hijab vazi Bora

9.

Ukweli wa Shia Ithnaashari

10. Madhambi Makuu 11. Mbingu imenikirimu 12. Abdallah Ibn Saba 13. Khadijatul Kubra 14. Utumwa 15. Umakini katika Swala 68


Hukumu za Mgonjwa

16. Misingi ya Maarifa 17. Kanuni za Ndoa na maadili ya Familia 18. Bilal wa Afrika 19. Abudharr 20. Usahihi wa Historia ya Uislamu na Waislamu 21. Salman Farsi 22. Ammar Yasir 23. Qur’an na Hadithi 24. Elimu ya Nafsi 25. Yajue Madhehebu ya Shia 26. Ukusanyaji na Uhifadhi wa Qur’an Tukufu 27. Al-Wahda 28. Ponyo kutoka katika Qur’an 29. Uislamu mfumo kamili wa maisha ya kijamii 30. Mashukio ya Akhera 31. Al Amali 32. Dua Indal Ahlul Bayt 33. Udhuu kwa mujibu wa Kitabu na Sunna. 34. Haki za wanawake katika Uislamu 35. Mwenyezi Mungu na sifa zake 36. Kumswalia Mtume (s) 37. Nafasi za Ahlul Bayt (a.s) 69


Hukumu za Mgonjwa

38. Adhana 39

Upendo katika Ukristo na Uislamu

40. Tiba ya Maradhi ya Kimaadili 41. Maana ya laana na kutukana katika Qur’ani Tukufu 42. Kupaka juu ya khofu 43. Kukusanya swala mbili 44. Bismillah ni sehemu ya Qur’ani na husomwa kwa Jahara 45. Kuwaongoza vijana wa kizazi kipya 46. Kusujudu juu ya udongo 47. Kusheherekea Maulidi Ya Mtume (s) 48. Tarawehe 49. Malumbano baina ya Sunni na Shia 50. Kupunguza Swala safarini 51. Kufungua safarini 52. Umaasumu wa Manabii 53. Qur’an inatoa changamoto 54. as-Salaatu Khayrun Mina -’n Nawm 55. Uadilifu wa Masahaba 56. Dua e Kumayl 57. Sauti Ya Uadilifu wa Binadamu 58. Umaasumu wa Mitume - Faida Zake Na Lengo Lake 59. Umaasumu wa Mitume - Majibu Ya Aya Zenye Utata 70


Hukumu za Mgonjwa

60. Umaasumu wa Mitume - Umaasumu wa Mtume Muhammad (s) 61. Nahju’l-Balaghah - Juzuu ya Kwanza 62. Nahju’l-Balaghah - Juzuu ya Pili 63. Kuzuru Makaburi 64. Maswali Na Mishkili Elfu - Sehemu ya Kwanza 65. Maswali Na Mishkili Elfu - Sehemu ya Pili 66. Maswali Na Mishkili Elfu - Sehemu ya Tatu 67. Maswali Na Mishkili Elfu - Sehemu ya Nne 68. Maswali Na Mishkili Elfu - Sehemu ya Tano 69. Maswali Na Mishkili Elfu - Sehemu ya Sita 70. Tujifunze Misingi Ya Dini 71. Sala ni Nguzo ya Dini 72. Mikesha Ya Peshawar 73. Malezi Ya Mtoto Katika Uislamu 74. Ubora wa Imam ‘Ali Juu ya Maswahaba Na Ushia ndio njia iliyonyooka 75. Hukumu za Kifikihi zinazowahusu Wanawake 76. Liqaa-u-llaah 77. Muhammad (s) Mtume wa Allah 78. Amani na Jihadi Katika Uislamu 79. Uislamu Ulienea Vipi? 80. Uadilifu, Amani na Mtume Muhammad (s)

71


Hukumu za Mgonjwa

81. Mitala na Ndoa za Mtume Muhammad (s) 82. Urejeo (al-Raja’a ) 83. Mazingira 84. Utokezo (al - Badau) 85. Hukumu ya kujenga juu ya makaburi 86. Swala ya maiti na kumlilia maiti 87. Uislamu na Uwingi wa Dini 88. Mtoto mwema 89. Adabu za Sokoni 90. Johari za hekima kwa vijana 91. Maalimul Madrasatain Sehemu ya Kwanza 92. Maalimul Madrasatain Sehemu ya Pili 93. Maalimul Madrasatain Sehemu ya Tatu 94. Tawasali 95. Imam Mahdi katika Usunni na Ushia 96. Hukumu za Mgonjwa 97. Sadaka yenye kuendelea 98. Msahafu wa Imam Ali 99. Ngano ya kwamba Qur’ani imebadilishwa 100. Idil Ghadiri 101. Kusoma sura zenye Sijda ya wajibu 102 Hukumu zinazomuhusu mkuu wa kazi na Mfanyakazi 72


Hukumu za Mgonjwa

103. Huduma ya Afya katika Uislamu 104. Sunan an-Nabii 105. Historia na sera ya viongozi wema (Sehemu ya Kwanza) 106. Historia na sera ya viongozi wema (Sehemu ya Pili) 107. Shahiid Mfiadini 108. Kumsalia Nabii (s.a.w) 109. Ujumbe -Sehemu ya Kwanza 110. Ujumbe - Sehemu ya Pili 111. Ujumbe - Sehemu ya Tatu 112. Ujumbe - Sehemu ya Nne 113. Mariamu, Yesu na Ukristo kwa mtazamo wa Kiislamu 114. Hadithi ya Thaqalain 115. Maarifa ya Kiislamu 116. Ukweli uliopotea sehemu ya Kwanza 117. Ukweli uliopotea sehemu ya Pili 118. Ukweli uliopotea sehemu ya Tatu 119. Ukweli uliopotea sehemu ya Nne 120. Ukweli uliopotea sehemu ya Tano 121. Mkutano wa Maulamaa wa Baghdad 122. Safari ya kuifuata Nuru 123. Fatima al-Zahra 124. Myahudi wa Kimataifa 73


Hukumu za Mgonjwa

125. Kuanzia ndoa hadi kuwa Wazazi 126. Visa vya kweli sehemu ya Kwanza 127. Visa vya kweli sehemu ya Pili 128. Elimu ya Ghaibu ya Maimamu 129. Mwanadamu na Mustakabali wake 130. Imam Ali (‘a) Ndugu wa Mtume Muhammad (s) (Sehemu ya Kwanza) 131. Imam Ali (‘a) Ndugu wa Mtume Muhammad (s) (Sehemu ya Pili) 132. Khairul Bariyyah 133. Uislamu na mafunzo ya kimalezi 134. Vijana ni Hazina ya Uislamu. 135. Yafaayo kijamii 136. Tabaruku 137. Taqiyya 138. Vikao vya furaha 139. Shia asema haya Sunni asema haya Wewe wasemaje? 140. Visa vya wachamungu 141. Falsafa ya Dini 142. Azadari-Kuhuzunika na Kuomboleza 143. Sunna katika Kitabu Fiqhi al-Sunnah 144. Mtazamo Mpya - Wanawake katika Uislamu 145. Kuonekana kwa Allah

74


Hukumu za Mgonjwa

146. Tabia njema kwa Mujibu wa Ahlul-Bayt (Sehemu ya Kwanza) 147. Tabia njema kwa Mujibu wa Ahlul-Bayt (Sehemu ya Pili) 148. Ndugu na Jirani 149. Ushia ndani ya Usunni 150. Maswali na Majibu 151. Mafunzo ya hukmu za ibada 152. Ahlul Bayt ndani ya tafsiri za Kisunni No 1 153 Ahlul Bayt ndani ya tafsiri za Kisunni No 2 154. Ahlul Bayt ndani ya tafsiri za Kisunni No 3 155. Abu Huraira 156. Vipengee kadhaa katika Swala ya Jamaa na Msikiti. 157. Mazingatio kutoka katika Qur’an - Sehemu ya Kwanza 158. Mazingatio kutoka kaitka Qur’an - Sehemu ya Pili 159. Mazingatio kutoka katika Uislamu - Sehemu ya kwanza 160. Mazingatio kutoka katika Uislamu - Sehemu ya Pili 161. Qur’ani Tukufu – Pamoja na Tarjuma ya Kiswahili 162. Falsafa ya Mageuzi ya Imam Husein (a.s) 163. Amali za Mwezi Mtukufu wa Ramadhani 164. Elimu ya Tiba za Kiislamu - Matibabu ya Maimamu 165. Uislamu Safi 166. Majlisi za Imam Husein Majumbani 167. Je, Kufunga Mikono 75


Hukumu za Mgonjwa

168. Uislam wa Shia 169. Amali za Makka 170. Amali za Madina 171. Asili ya Madhehebu katika Uislamu 172. Sira ya Imam Ali kuhusu Waasi 173. Ukweli uliofichika katika neno la Allah 174. Uislamu na Mifumo ya Uchumi 175. Umoja wa Kiislamu na Furaha 176. Mas’ala ya Kifiqhi 177. Jifunze kusoma Qur’ani 178. As-Sahifatul Kamilah as-Sajjadiyyah 179. Hayya ‘Alaa Khayri’l-’Amal Katika Adhana 180. Ukweli kuhusu Funga ya Siku ya Ashura 181. Dua za Miezi Mitatu Mitukufu (Rajabu, Shaabani na Ramadhani) 182. Uadilifu katika Uislamu 183. Mahdi katika Sunna 184. Maswali Ya Uchunguzi Kuhusu Uislam 185. Kazi na Bidii ni njia ya maendeleo 186. Abu Talib – Jabali Imara la Imani 187. Ujenzi na Utakaso wa Nafsi 188. Vijana na Matarajio ya Baadaye 189. Usalafi – Historia yake, maana yake na lengo lake 76


Hukumu za Mgonjwa

190. Ushia – Hoja na Majibu 191. Mateso ya Dhuria wa Mtume (saww) 192. Maombolezo – Msiba wa Bwana wa Mashahidi (a.s.) 193. Shahidi kwa Ajili ya Ubinadamu 194. Takwa 195. Mwonekano wa Upotoshaji katika Hazina ya Kiislamu 196. Amirul Muuminina (‘as) na Makhalifa 197. Uongozi na Utawala katika Mwenendo wa Imam ‘Ali (‘a) 198. Kuvunja hoja iliyotumika kutetea Uimamu wa AbuBakr 199. Adabu na vikao na mazungumzo 200. Hija ya Kuaga 201. Uwazi baina ya Maslahi na Vikwazo 202. Fadhila za watukufu watano katika Sahih Sita 203. Mdahalo baina ya Mwanachuoni wa Kisunni na Mwanachuoni wa Kishia (Al-Muraja’aat) 204. Utawala na Uendeshaji katika Sera ya Imam Ali (as) 205. Upotoshaji dhahiri katika Turathi (Hazina) ya Kiislamu 206. Mtazamo kuhusu msuguano wa Kimadhehebu 207. Nchi na Uraia – Haki na wajibu kwa Taifa 208. Mtazamo wa Ibn Taymiyyah juu ya Imam Ali (as) 209. Uongozi wa Kidini – Maelekezo na Utekelezaji wa Kijamii 210. Maadili ya Ashura

77


Hukumu za Mgonjwa

211. Mshumaa – Shahidi na Kifo cha Kishahidi 212. Mizani ya Hekima – Hadithi za Ahlul Bait (as) – Sehemu ya Kwanza 213. Imam Ali na Mambo ya Umma 214. Imam Ali na Mfumo wa Usawa 215. Kuvunja Hoja Iliyotumika Kutetea Uimamu wa Abu Bakr 216. Mfumo wa Wilaya 217. Ndoa ya Mutaa

78


Hukumu za Mgonjwa

KOPI NNE ZIFUATAZO ­ZIMETAFSIRIWA KWA LUGHA KINYARWANDA 1.

Amateka Na Aba’Khalifa

2.

Nyuma yaho naje kuyoboka

3.

Amavu n’amavuko by’ubushiya

4.

Shiya na Hadithi

ORODHA YA VITABU VILIVYO ­CHAPISHWA NA AL-ITRAH FOUNDATION KWA LUGHA YA KIFARANSA 1.

Livre Islamique

79


Turn static files into dynamic content formats.

Create a flipbook
Issuu converts static files into: digital portfolios, online yearbooks, online catalogs, digital photo albums and more. Sign up and create your flipbook.