Kumkosoa yule anayeigawanya tawhidi kwa mafungu

Page 1

KUMKOSOA YULE ANAYEIGAWANYA TAWHIDI KWA MAFUNGU Kubatilisha Utatu katika Tawhidi na katika Imani ya Kiislamu

‫التَّنديد بِ َمن َع َّدد التَّوحيد‬

Mwandishi: Hasan bin Ali as-Saqqaf

07_16_Kumkosoa_18_June_2016.indd 1

6/18/2016 2:53:17 PM


‫ترجمة‬

‫التَّنديد بِ َمن َع َّدد التَّوحيد‬

‫تأ ليف‬ ‫الشيخ حسن بن علي السقاف‬

‫من اللغة العربية الى اللغة السواحلية‬

‫‪6/18/2016 2:53:17 PM‬‬

‫‪07_16_Kumkosoa_18_June_2016.indd 2‬‬


© Haki ya kunakili imehifadhiwa na: Al-Itrah Foundation ISBN No: 978 - 9987 –17 – 045 – 6 Mwandishi: Hasan bin Ali as-Saqqaf Kimetarjumiwa na: Jopo la Watarjumi Kimehaririwa na: Alhaji Hemedi Lubumba Selemani Kimesomwa-Prufu na: Al-Haj Ramadhani S. K. Shemahimbo Kimepitiwa na: Al-Haj Mujahid Rashid Kimepangwa katika Kompyuta na: Al-Itrah Foundation Toleo la kwanza: Oktoba, 2016 Nakala: 1000 Kimetolewa na kuchapishwa na: Alitrah Foundation S.L.P. - 19701, Dar es Salaam, Tanzania. Simu: +255 22 2110640 / 2127555 Barua Pepe: alitrah@yahoo.com Tovuti: www.ibn-tv-com Katika mtandao: www.alitrah.info

07_16_Kumkosoa_18_June_2016.indd 3

6/18/2016 2:53:17 PM


Yaliyomo 1. Dibaji........................................................................................ vi 2. Neno la Mchapishaji...................................................................1 3. Utangulizi...................................................................................3 4. Zinduo........................................................................................5 5. Sehemu muhimu katika ufafanuzi kwamba yule mwenye kukubali kuwepo kwa mwenyezi mungu na hampwekeshi, huyo ni kafiri kwa ijmai wala haitwi mwenye kupwekesha tawhid ya rububiyya, kwa mujibu wa qur’ani tukufu:- ......................16 6. Sehemu ya Tatu ya Tawhidi ni ile Waliyoiita kwa Jina la Tawhidi Asmaa wa Swifaat (Tawhidi Katika Majina na Sifa).................................17 7. Juu ya Kubatilisha Kugawanya Tawhid ya Rububiyyah na ya Uluhiyya:....................................................28 8. Nyongeza Juu ya Kadhia ya Istighatha....................................66 9. Ufafanuzi juu ya Kubatilisha Kigawanyo cha Tatu Kati ya Vile Vinavyodaiwa, Nacho ni Tawhidi ya Majina na Sifa.......................................................76

07_16_Kumkosoa_18_June_2016.indd 4

6/18/2016 2:53:17 PM


10. Taawili ndio Njia ya Watangulizi Wema wa Mwanzo.............78 11. Anamsifu Mwenyezi Mungu kwa Namna Alivyojisifu Mwenyewe na Anamthibitisha Mungu Alivyojithibitishia Mwenyewe, na Jinsi Anavyojipinga:-................................................................79 12. Yafuatayo ni Baadhi ya Itikadi za Wakaramiyya pia Zilizotokana na Maneno yaIbn Abul Uzza Katika Sharhu Twahawy:.............................93 13. Angalia maneno ya baadhi ya wanavyuoni wa Kiislamu kuhusu jambo hilo:..............................................96

07_16_Kumkosoa_18_June_2016.indd 5

6/18/2016 2:53:17 PM


KUMKOSOA YULE ANAYEIGAWANYA TAWHIDI KWA MAFUNGU

‫بسم هللا الرحمن الرحيم‬ DIBAJI

K

itabu hiki ni toleo la Kiswahili la taasisi ya Al Itrah Foundation. Chapisho lake limelenga kukidhi mahitaji ya kiroho ya zama hizi pamoja na Ubongo na fikra zinazokuwa za Muislam. Jitihada kubwa zimefanywa na Taasisi kuweka chapisho hili la Kiswahili katika msingi wa haki na wenye kukubalika katika Uislam. Unaombwa kwa Taadhima ukisome kitabu hiki katika malengo yaliyokusudiwa. Pia Unaombwa kuwasilisha kwetu maoni yako huru juu ya chapisho letu hili, jambo ambalo tutashukuru sana. Kutangaza ujumbe wa Uislam ni kazi ambayo inahitaji ushirikiano wetu sote. Taasisi inakuomba kuungana na kushirikiana kama ilivyoagizwa katika aya ya Qur’an: (Surat Saba’ 34:46). Na rehma za Allah ziwe juu yako. Wako katika Uislam Al Itrah Foundation Barua Pepe: alitrah@yahoo.com SMS: +255 778 300 140

vi

07_16_Kumkosoa_18_June_2016.indd 6

6/18/2016 2:53:17 PM


KUMKOSOA YULE ANAYEIGAWANYA TAWHIDI KWA MAFUNGU

‫بسم هللا الرحمن الرحيم‬ NENO LA MCHAPISHAJI

K

itabu ulichonacho mikononi mwako asili yake ni cha lugha ya Kiarabu kwa jina, at-Tandidu biman ‘Addada ‘t-Tawhid kilichoandikwa na Hasan bin Ali as-Saqqaf. Mwandishi wa kitabu hiki amefanya utafiti wa kisomi kuhusu Tawhidi; na kitabu hiki ni matokeo ya utafiti wake huu. Humu amebainisha upotofu uliofanywa na baadhi ya wanachuoni hususan wa Kiwahabi na kuifanya Tawhidi ionekane kama Utatu. Haya ni makosa ya kisomi na kihistoria ambayo imebidi yarekebishwe na mwanachuo kama huyu na kuwarudisha Waislamu katika tafsiri sahihi ya Umoja wa Mwenyezi Mungu (Tawhidi). Katika utafiti wake wa kina, mwandishi anathibitisha ubatili wa aina tatu za ushirikina (shirki) katika Umoja wa Mwenyezi Mungu (Tawhidi) ambao unafanana kwa namna moja na itikadi ya Utatu wa Wakristo. Utatu huo wa Kiwahabi ni: Tawhidi ya 1) Uluhiyya (Uungu), 2) Rububiyya (Urabi), na 3) Asmaa wa Sifaat (Majina na Sifa). Mgawanyo huu haukujulikana kamwe na watangulizi wa mwanzo, bali ni jambo lililoboniwa baada ya karne ya saba Hijria. Mwenyezi Mungu alishabihishwa na kiumbe na kufanywa kuwa na mwili kama ambavyo Utatu wa Kikristo unavyomshabihisha Mwenyezi Mungu na kiumbe katika Biblia. Ushabihisho huo wa kishirki uliingizwa katika Uislamu na Waashaira na ukashadidiwa na Ibn Taymiyya na baadaye na Muhammad bin Abdul Wahhab – mwasisi wa Uwahabi. Ni dhahiri kuwa mwanachuoni wa Kihanbali aitwaye Ibn Batta al-Abkari ndiye aliyetaja kugawanywa huku 1

07_16_Kumkosoa_18_June_2016.indd 1

6/18/2016 2:53:18 PM


KUMKOSOA YULE ANAYEIGAWANYA TAWHIDI KWA MAFUNGU

uzushi huo akifuatiwa na Ibn Taymiyyah ambaye alirefusha na kupanua zaidi itikadi hiyo batili. Sisi tumekiona kitabu hiki ni chenye manufaa sana husasan wakati huu wa maendeleo makubwa ya kielimu ambapo uwongo, ngano za kale na upotoshaji wa historia ni vitu ambavyo havina nafasi katika akili za watu. Kutoka na ukweli huu, taasisi yetu ya Al-Itrah Foundation imeamua kukichapisha kitabu hiki kwa lugha ya Kiswahili kwa madhumini yake yaleyale ya kuwahudumia Waislamu hususan wazungumzaji wa Kiswahili. Tunalishukuru Jopo la Watarjumi na Wafasiri kwa kazi kubwa lililofanya ya kukitarjumi kitabu hiki kwa lugha ya Kiswahili kutoka Kiarabu. Vilevile tunawashukuru wale wote walioshiriki kwa namna moja au nyingine hadi kufanikisha kuchapishwa kwake. Allah awalipe wote malipo mema hapa duniani na kesho Akhera – Amin. MCHAPISHAJI AL-ITRAH FOUNDATION

2

07_16_Kumkosoa_18_June_2016.indd 2

6/18/2016 2:53:18 PM


KUMKOSOA YULE ANAYEIGAWANYA TAWHIDI KWA MAFUNGU

‫بسم هللا الرحمن الرحيم‬ UTANGULIZI

S

hukrani ni za Mwenyezi Mungu na ametosha. Rehema na amani zimuendee mja Wake Al Mustafa, Bwana wetu Muhammad na Aali zake, watu watekelezaji. Hii ni Juzuu na ni mnara ambao ndani yake nathibitisha ubatili wa mambo ya utatu katika kuigawanya Tawhiid sehemu tatu: Tawhid ya Uluhiyya, ya Rububiyya na ya Asmau na Swifat. Ambapo itikadi hii imeenea katika zama hizi. Na lililonifanya niingie katika utafiti huu ni yale niliyoyaona kwa baadhi ya wale walioandika kuhusu Tawhidi na itikadi; wakithibitisha mgawanyo huu, na kufuata bila ya kutafiti kwa busara ukweli wa jambo hili.1 Na hasa ukizingatia kuwa mgawanyo huu haujulikani kamwe kwa watangulizi wa mwanzo, bali ni jambo lililobuniwa baada ya karne ya saba ya Hijriya.2 Hivyo nikataka kuwazindua watu ili mmoja katika wanaotafuta elimu asighururike na mgawanyo huu. Tunamuomba Mwenyezi Mungu msaada katika makusudio yetu ya kufafanua. Na hapana budi kuzindua kuhusu kifungu cha tatu cha Tawhidi, nacho ni Tawhidi ya Majina na Sifa, na kubainisha makusudio yake   Pamoja na kuwa vigawanyo hivi vya utatu ni vya kiwahabi, yaani ni kazi ya wenye kumshabihisha Mungu na kumfanya kuwa na mwili. Japokuwa ilikuwa kabla ya kuzaliwa Ibn Abdul Wahhab An-Najdy, baadhi ya maashaira wameghurika nayo na pia madokta wenye upeo mdogo wa kielimu! Wakafuata rai hii, wengine hata wakitungia katika itikadi, naye akaitaja kwa vizuri bila ya kujua kuwa yuafuata fikra za mahasimu wake wanaompinga rai yake bali akaichukilia kuwa ni kigawanyo cha kielimu chenye faida! Na kurejea kwenye haki ni fadhila! 2   Ni dhahiri kuwa Ibn Batta Al-Abkary, huyu ni Mhanbali, ni wa kwanza aliyetaja kugawanya huku kwenye uzushi, na Ibn Taymiyya alirefusha na kuipanua zaidi. 1

3

07_16_Kumkosoa_18_June_2016.indd 3

6/18/2016 2:53:18 PM


KUMKOSOA YULE ANAYEIGAWANYA TAWHIDI KWA MAFUNGU

kwa mujibu wa anayeamini hivyo. Tutafanya hivyo kwenye risala hii fupi, na Mwenyezi Mungu ndiye Mwenye kutoa taufiki. Elewa ya kwamba kugawanya Tawhid katika mafungu haya matatu si sahihi, na ni kosa ambalo watunzi wa zamani wamelizungumzia. Kati yao ni mwenye Sharhul Akidatu Twahawiyyah Ibn Abil Uzza, mwenye kunasibishwa na uhanafi kimakosa. Ambaye alimjibu mwenye kitabu cha asili Imam Abu Jafar Twahawiy, Mhanafi, wakati akikifafanua kitabu chake cha Tawhidi - Matnu Twahawiyyah - Ibn Abil Uzza akayapotosha baadhi ya maneno ya Imam Jafar Twahawiy Mhanafi. Akajidhihirisha kwa kuvaa nguo ya wito wa kulingania madhehebu ya watangulizi wema. Akapinga ukweli wa uwazi wa Qur’ani na Hadithi na Ijmai na akida ya Ahlu Sunna WalJamaa iliyotajwa na Imam Abu Jafar Twahawiy. Wale waliokuwa wakifanya bidii kueneza Sharhul Akidatu Twahawiyyah wakadhani kuwa wataweza kuwakinaisha watu kuwa hizi ni fikra za Twahawiy, na kwamba yeye anawakilisha akida ya Kiislamu ya kweli, ambapo walificha yale wasiyoyataka katika akida za Twahawiy, akida inayounga mkono utakatifu na inayowakilisha akida ya Ahlu Sunna ya watu wa karne tatu zilizojaa kheri. Na aliyeshuhudia Sharhul Akidatu Twahawiyyah hii ataona jinsi ilivyojaa makosa mbali mbali. Ibn Abul Uzza katika Sharhu yake ameeleza juu ya vigawanyo hivyo akasema: 3 “Tawhid iko aina tatu: Ni maneno juu ya sifaat, ya pili ni Tawhid ya Rububiyya, ya kubainisha kuwa Mwenyezi Mungu ni wa pekee na ni Muumba wa kila kitu, ya tatu ni Tawhidi ya Uluhiyya, nayo ni haki ya Mola kuabudiwa peke Yake bila ya mshirika.” Hebu na tuanze na kuthibitisha kutokuwapo kwa vigawanyo hivi, nasi – kwa taufiki ya Mwenyezi Mungu - tunasema hivi: 3

Tazama Sharhul Aqiiatu Twahawiyyah cha Ibn Abul Uzza kilichotolewa na Albany na kufafanuliwa na Shawish, chapa ya Maktabul-Islamy, chapa ya 6, Uk. 78. 4

07_16_Kumkosoa_18_June_2016.indd 4

6/18/2016 2:53:18 PM


sifaat, ya pili ni Tawhid ya Rububiyya, ya kubainisha kuwa Mwenyezi Mungu ni wa pekee na ni Muumba wa kila kitu, ya tatu ni Tawhidi ya Uluhiyya, nayo ni haki ya Mola kuabudiwa peke Yake bila ya mshirika.” Hebu na tuanze na kuthibitisha kutokuwapo kwa vigawanyoTAWHIDI hivi, KWA nasiMAFUNGU – kwa taufiki ya KUMKOSOA YULE ANAYEIGAWANYA Mwenyezi Mungu - tunasema hivi: 4 ZINDUO ZINDUO 4

Mwenyezi kwa MwenyeziMungu Munguamemtuma amemtumaMtume Mtumewetu wetuMuhammad Muhammad  � kwa neno la Tawhid: LaaLaa Ilaha Illallah Muhammadu Rasuulullah, akaneno la Tawhid: Ilaha Illallah Muhammadu Rasuulullah, akahimiza neno hilo na kumuahidi mwenye kulisema kuwa himiza neno hilo na kumuahidi mwenye kulisema kuwa atapata atapata Pepo. Zimekuja Aya na Hadithi sahih ya hilo, Pepo. Zimekuja Aya na Hadithi sahih juu ya hilo,juu kama vile:kama “Jua vile: “Jua ya kwamba hakika hapana Mungu ila Allah” ya kwamba hakika hapana Mungu ila Allah” (Muhammad: 19) (Muhammad: 19) nyingine ni: nyingine ni: ∩⊇⊂∪ #ZÏèy™ t⎦⎪ÌÏ≈s3ù=Ï9 $tΡô‰tFôãr& !$¯ΡÎ*sù ⎯Ï&Î!θß™u‘uρ «!$$Î/ .⎯ÏΒ÷σムóΟ©9 ⎯tΒuρ “Na asiyemwamini MwenyeziMungu na Mtume Wake, hakika sisi3 Tazama tumewaandalia makafiri moto wa 48:13). Sharhul Aqiiatu Twahawiyyah cha mkali.” Ibn Abul (Al-Fat’hi; Uzza kilichotolewa na Na Mtume kufafanuliwa amesema: na “Anayeshuhudia kuwa hapana mola ila AlAlbany na Shawish, chapa ya Maktabul-Islamy, chapa ya 6, Uk. Yake 78. asiye na mshirika na kwamba Muhammad ni mja na lah4 peke Nimefaidika sana na utafiti wa kupinga kuigawanya Tawhid aliyoizusha Ibn Mtume Wake na Isa ni mja wa Mwenyezi Mungu na mjumbe Wake Taymiyya katika kitabu ‘Baratul ash ariyiina min aqaaidil mukhalifiina’ 5 na ni lakemkubwa alilolitia kupitia kwa Maryam na niambaye roho itokayo chaneno Allama Muhammad Al-Araby Tibany, kwenye 6 gombo la kitabu ameweka jina lake Abu Hamid bin Marzuq kwa sababu kwake , na Pepo ni kweli na moto ni kweli Mwenyezi Mungu atahasa. Hilo halikumzuia kutoa dalili na kubainisha anavyoamini ili muingiza mtu huyo Peponi kwa kadiri ya amali zake.” (Ameipokea kuwaokoa Waislamu kutokana na upotovu na itikadi za kushabihisha na Bukhari Jz. 6, uk. 474). Pia katika Fat’h (hadith ya 3435; na Muskumfanya Mungu ana umbo. lim (Jz. 1, uk. 57 Hadithi ya 28). Na Akasema Mtume : ‘Nime8 amrishwa kupigana vita na watu mpaka washuhudie kuwa hapana Mola ila Allah na Mimi ni Mtume Wake. Wakisema hivyo, damu zao zimehifadhika kwangu na mali zao ila kwa haki yake, na hisabu yao   Nimefaidika sana na utafiti wa kupinga kuigawanya Tawhid aliyoizusha Ibn Taymiyya katika kitabu ‘Baratul ash ariyiina min aqaaidil mukhalifiina’ cha Allama mkubwa Muhammad Al-Araby Tibany, ambaye kwenye gombo la kitabu ameweka jina lake Abu Hamid bin Marzuq kwa sababu hasa. Hilo halikumzuia kutoa dalili na kubainisha anavyoamini ili kuwaokoa Waislamu kutokana na upotovu na itikadi za kushabihisha na kumfanya Mungu ana umbo. 5   Maana ya “Neno lake amelitia kwa Maryam” yaani: bishara yake ameituma kwa Bibi Maryam kupitia kwa malaika 6   Maana ya roho itokayo Kwake ni: Ni kumuumba kwake, na sio Isa ni sehemu yake.

4

5

07_16_Kumkosoa_18_June_2016.indd 5

6/18/2016 2:53:18 PM


KUMKOSOA YULE ANAYEIGAWANYA TAWHIDI KWA MAFUNGU

iko kwa Mwenyezi Mungu. (Sahih Bukhary, Jz. 1, uk. 75; Fat’hi uk. 25; Sahih Muslim Jz. 1, uk. 53 hadithi ya 21). Kutokana na Aya hizi tukufu na Hadithi inatudhihirikia wazi kuwa Mweneyzi Mungu ametubainishia wazi kuwa Tawhid ni “Laa Ilaha Illallah Muhamadu Rasuululllah – hapana Mungu ila Allah, Muhammad ni Mtume wa Mungu. Mwenyezi Mungu hakutaja katika Qur’ani yake wala Mtume hakutaja katika Hadithi zake kuwa Tawhid imegawanyika katika vigawanyo vitatu, ya Rububiyya, Uluhiyya na Asmau wa Swifat, hata swahaba mmoja pia hakusema hivyo wala tabiina hata pia watangulizi wema. Bali kigawanyo hiki ni bidaa iliyozuka katika karne ya nane Hijriyya, yaani kiasi cha miaka mia nane baada ya kufariki Mtume , na hakuna aliyevisema hapo mwanzoni. Lengo la anayesema vigawanyo hivi, ni kuwafananisha na makafiri Waislamu wasiofuata mwendo wa wanafalsafa, pia kuwakufurisha kwa madai kuwa wao wameamini Tawhid ya Rububiyya kama makafiri wengine, kwa madai yao, lakini hawaamini Tawhid ya Uluhiyya, nayo ni ile ya ibada kama wanavyodai wao. Na ni kwa mantiki hiyo wao wamewaakufurisha wale wenye kutawasali na Mitume na Mawalii. Wamewakufurisha pia wengi wanaopinga mambo yao wanayoyaona kuwa ni sawa. Na yote hayo sababu yake ni Al-Harraniy (Ibn Taymiyyah), na ni katika njia hiyo amepita yule aliyefafanua na kuandika kitabu Sharhul Akidatu Twahawiyyah, Ibn Abul Uzza Mhanafi, akimpinga mahali pengi Imam Hafidh Twahawiy Mhanafi katika akida yake. Miongoni mwa maeneo aliyompinga ni pale mwandishi wa matini ya kitabu husika, Imam Twahawiy anapokataa kumuwekea mipaka Mwenyezi Mungu, lakini mwenye kufafanua matini hiyo anampinga na kuthibitisha mipaka ya Mwenyezi Mungu! 6

07_16_Kumkosoa_18_June_2016.indd 6

6/18/2016 2:53:18 PM


aliyompinga ni pale mwandishi wa matini ya kitabu husika, Imam Twahawiy anapokataa kumuwekea mipaka Mwenyezi Mungu, lakini mwenye kufafanua matini hiyo anampinga na kuthibitisha mipaka ya Mwenyezi Mungu! KUMKOSOA YULE ANAYEIGAWANYA TAWHIDI KWA MAFUNGU

Pia mwandishi wa matini anamtakasa Mwenyezi Mungu kwa kutokuwa na sehemu maalum, mfafanuzi anapinga hilo na Pia mwandishi matini Mwenyezi Mungu kwa kuthibitisha kuwa wa Mungu anaanamtakasa sehemu maalum, mpaka Allamah kutokuwa na sehemu maalum, mfafanuzi hilo naal-Akbar kuthibitiAli Al-Qariy Mhanafi akasema katika anapinga Sharhul-Fiqhi (uk. 172)Mungu kuhusuana mfafanuzi huyo, Ibnmpaka Abul Uzza, kwamba huyo sha kuwa sehemu maalum, Allamah Ali Al-Qariy ni: “Mwenye batili naal-Akbar anafuata(uk.kikundi cha Mhanafi akasema madhehebu katika Sharhul-Fiqhi 172) kuhusu kizushi.” mfafanuzi huyo, Ibn Abul Uzza, kwamba huyo ni: “Mwenye madhehebu batili na anafuata kikundi cha kizushi.” Hapana budi tubatilishe kwa muhtasari kigawanyo hiki cha Hapanakatika budiutangulizi tubatilishehuu kwa muhtasari kigawanyo cha Tawhid mdogo. Tutatumia njia ya:hiki “Bora Tawhid katika niutangulizi huu mdogo. Tutatumia Kwa njia ya: “Borayaya ya maneno yale mafupi yenye kufunza.” tawfiki Mwenyezi Mungu tunasema maneno ni yale mafupi yenye hivi: kufunza.” Kwa tawfiki ya Mwenyezi Mungu tunasema hivi: Mosi: Kisheria haijulikani kamwe kuwa huwa ni mwenye Mosi: Kisheria haijulikaniMungu, kamwe kuwa huwa ni mwenye kumpwekesha Mwenyezi yule aliyekufuru hata kumpkwa wekesha Mwenyezi Mungu, yule aliyekufuru hata kwa sehemu ndosehemu ndogo ya imani ya Kiislamu. Na hiyo ni kwa maelezo goyayaQur’ani imani ya Na pia hiyohaifai ni kwa maelezosheria ya Qur’ani naKiislamu. Sunnah, na tuisemee mambona Sunnah, pia haifai tuisemee sheria kwetu mambosisi ambayo ambayonahaikuyasema; wala haifai tusemehaikuyasema; kuwa mtu anayekiri kuwepo Mungu kuwa na mtu kuwa Yeye kuwepo ndiye Mungu Mola wala haifai kwetu sisi tuseme anayekiri bila ya kutangaza na kuingia hii kwamba naanayestahiki, kuwa Yeye ndiye Mola anayestahiki, bila dini ya kutangaza na mtu kuinhuyo ni mwenye kumpwekesha Mwenyezi Mungu, bali gia dini hii kwamba mtu huyo ni mwenye kumpwekesha Mwenyezi tunasema ni kafiri dalili yadalili kauliyayake Mungu, bali huyo tunasema huyo kwa ni kafiri kwa kauliMwenyezi yake MweMungu: nyezi Mungu: Ν ö èδ $tΒ ’Îû óΟßγoΨ÷t/ Ν ã ä3øts† ©!$# ¨βÎ) #’s∀ø9ã— ! « $# ’n<Î) !$tΡθç/Ìhs)ã‹Ï9 ωÎ) öΝèδ߉ç6÷ètΡ $tΒ …..” ∩⊂∪ Ö‘$¤Ÿ2 Ò>É‹≈x. uθèδ ô⎯tΒ “ωôγtƒ Ÿω ©!$# ¨βÎ) 3 šχθàÎ=tGøƒs† Ïμ‹Ïù “Sisi wao ilawao wapateila kutusogeza “Sisihatuwaabudu hatuwaabudu wapatetu kumkaribia kutusogeza Mwetu nyezi Mungu. Hakika Mwenyezi Mungu atahukumu baina yao kakumkaribia Mwenyezi Mungu. Hakika Mwenyezi Mungu tika wanayohitilafiana, hakika Mwenyezi Mungu hamuongozi aliye atahukumu baina yao katika wanayohitilafiana, hakika muongo kafiri.” (Sura al Zumar Mwenyezi Mungu hamuongozi aliye 39:3). muongo kafiri.”

(Zumar: 3). Mungu amewataja kwa uongo na kufru bali kwa tamMwenyezi ko la ‘makafiri wakubwa’! Vipi wataitwa kuwa ni wenye kumpwekeMwenyezi Mungu amewataja kwa uongo na kufru bali kwa tamko la ‘makafiri wakubwa’! Vipi wataitwa kuwa ni wenye 7

10 07_16_Kumkosoa_18_June_2016.indd 7

6/18/2016 2:53:18 PM


KUMKOSOA YULE ANAYEIGAWANYA TAWHIDI KWA MAFUNGU

kumpwekesha Mwenyezi Mungu kwa Tawhid ya Rububiyya, na hali Mwenyezi Mungu amewataja ni makafiri wazi wazi? na Mwenyezi Mungukuwa kwa Tawhid yanaRububiyya, sha kumpwekesha Mwenyezi Mungu kwa Tawhid ya Rububiyya, hali Mwenyezi hali Mwenyezi Mungu amewataja kuwa ni makafiri wazi wazi? Mungu kuwa ambao ni makafiri wazi wazi? Pili: amewataja Hao makafiri wanasema, kama alivyosema Mwenyezi katika Ayahwanasema, hii:wanasema, Pili: HaoMungu makafiri ambao kama alivyosema Pili: Hao makafiri ambao kama alivyosema MweMwenyezi Mungu katika Ayah hii: nyezi Mungu katika Ayah hii: Ν ö èδ߉ç6÷ètΡ $tΒ … 4 .. ! ª $# ∅ ä9θà)u‹s9 Ú u ö‘F{$#uρ N Ï ≡uθ≈yϑ¡¡9$# t,n=y{ ô⎯¨Β ΟßγtFø9r'y™ ⎦Í.s!uρ Ν ö èδ߉ç6÷ètΡ $tΒ … 4 .. ! ª $# ∅ ä9θà)u‹s9 Ú u ö‘F{$#uρ N Ï ≡uθ≈yϑ¡¡9$# , t n=y{ ô⎯¨Β ΟßγtFø9r'y™ ⎦Í.s!uρ ! « $# ’n<Î) $! tΡθç/Ìhs)ã‹Ï9 ωÎ) «!$# ’n<Î) !$tΡθç/Ìhs)ã‹Ï9 ωÎ)

“Ukiwauliza ni nani aliyeumba mbingu na ardhi, watasema “Ukiwauliza ni nani (Zumar; aliyeumba mbingu na ardhi, watasema ni“Ukiwauliza Mwenyezi Mungu,” 39:38). Nana ambao ni nani aliyeumba mbingu ardhi,wasemao: watasema ni “Sisi Mwenyezi Mungu,” Naambao ambaowasemao: wasemao: hatuwaabudu wao ila 39:38). wapateNa kutusogeza tu ni Mwenyezi Mungu,”(Zumar; (Zumar; 39:38). kumkaribia Mwenyezi Mungu…”(39:3), “Sisi hatuwaabudu wao ila tu walikuwa kumkaribia “Sisi hatuwaabudu waowapate ila kutusogeza wapate kutusogeza tu hawakubali Tawhid ya Rububiyya na walikuwa hawakubali Mwenyezi Mungu…”(39:3), hawakubali Tawhid ya Rukumkaribia Mwenyezi walikuwa Mungu…”(39:3), walikuwa kuwepo Mwenyezi Walisema hivyohawakubali wakatiWalhawakubali Tawhidhawakubali yaMungu. Rububiyya na Mwenyezi walikuwa bubiyya na walikuwa kuwepo Mungu. wakilumbana na Mtume na akiwapa dalili ya kuwepo kwa kuwepo Mwenyezi Mungu. naWalisema hivyo wakati isema hivyo wakati wakilumbana Mtume na akiwapa dalili ya Mungu Mtukufunana Mtume kubatilisha uungu wadalili vile wanavyoviabudu wakilumbana ya kuwepo kuwepo kwa Mungu Mtukufunanaakiwapa kubatilisha uungu wa vile kwa wanabadala ya Allah Mtukufu. Mungu Mtukufu na kubatilisha uungu wa vile wanavyoviabudu vyoviabudu badala ya Allah Mtukufu. badala ya Allah Mtukufu. Mwenyezi Mungu Mtukufu Mtukufualimuamuru alimuamuru Mtume Mwenyezi Mungu Mtume Wake Wake ajadiliane ajadiliane nao katika imani yao na mambo mengine machafu, ili Mtukufu alimuamuru Wake nao Mwenyezi katika imaniMungu yao na mambo mengine machafu,Mtume ili awathibitishie awathibitishie haki akiwaambia: nao katika imani yao na mambo mengine machafu, ili hakiajadiliane akiwaambia: awathibitishie haki akiwaambia: “….. πÏ uΖ|¡ptø:$# πÏ sàÏãöθyϑø9$#uρ πÏ yϑõ3Ïtø:$$Î/ 7 y În/u‘ ≅ È ‹Î6y™ 4’n<Î) äí÷Š$# “….. πÏ uΖ|¡ptø:$# πÏ sàÏãöθyϑø9$#uρ πÏ yϑõ3Ïtø:$$Î/ y7În/u‘ ≅ È ‹Î6y™ 4’n<Î) äí÷Š$#

“Waite kwenye njia yanamna Mola Wako kwa hekima mawaid“Na ujadiliane nao kwa iliyo bora.” (Nahl; na 16:125). haAlipokuwa mazuri” (Nahl; 16:125). Alipokuwa Mtume Muhammad  akiMtumenao Muhammad � akiwathibitishia kuwepo kwa “Na ujadiliane kwa namna iliyo bora.” (Nahl; 16:125). wathibitishia kuwepo kwa Mwenyezi Mungu na kuwa ni Mmoja Mwenyezi Mungu na kuwa ni Mmoja na hapana mola ila Yeye, Alipokuwa Mtume Muhammad � akiwathibitishia kuwepo kwa na naMwenyezi akiwalazimisha kuabudu masanamu nakuabudu kuyasujudia hapana mola ila Yeye,kuacha akiwalazimisha masanaMungu nanakuwa ni Mmoja nakuacha hapana mola ila Yeye, badala ya Allah. Walichanganyikiwa wakawa hawana majibu, mu na kuyasujudia badala ya Allah. Walichanganyikiwa wakawa haakiwalazimisha kuacha kuabudu masanamu na kuyasujudia wakawa wanapoulizwa na Mtume, aliyeumba mbingu na ardhi badala ya Allah. Walichanganyikiwa wakawa hawana majibu, wana majibu, wakawa wanapoulizwa na Mtume, aliyeumba mbingu niwakawa nani, wanapoulizwa wakisema ni naAllah, lakini wakitoa hoja nakuwa Mtume, aliyeumba mbingu ardhi tunatunayaabudu ardhi ni nani, wakisema ni Allah, lakini wakitoa hoja kuwa masanamuniiliAllah, yatusogeze karibu na Mwenyezi ni nani,masanamu wakisema wakitoa hoja Mungu. kuwa nayaabudu ili yatusogeze lakini karibu na Mwenyezi Mungu. tunayaabudu masanamu ili yatusogeze karibu na Mwenyezi Mungu. 8 Huu ni uongo wa wazi. Walikuwa hawaamini kuwepo kwa Mwenyezi Mungu aliyeumba mbingu ardhi kabisa, na dalili Huu ni uongo wa wazi. Walikuwa nahawaamini kuwepo kwa niMwenyezi kuwa Mwenyezi Mungu aliwataka wafikirie, aliwaamrisha Mungu aliyeumba mbingu na ardhi kabisa, na dalili watafakari katika kuumbwa mbingu na ardhi,aliwaamrisha ili wajue ni kuwa Mwenyezi Mungu kwa aliwataka wafikirie, 07_16_Kumkosoa_18_June_2016.indd 8 kuwa hivyo vina Mola aliyeviumba ili waamini, anasema 6/18/2016

2:53:19 PM


KUMKOSOA YULE ANAYEIGAWANYA TAWHIDI KWA MAFUNGU

Huu ni uongo wa wazi. Walikuwa hawaamini kuwepo kwa Mwenyezi Mungu aliyeumba mbingu na ardhi kabisa, na dalili ni kuwa Mwenyezi Mungu aliwataka wafikirie, aliwaamrisha watafakari katika kuumbwa kwa mbingu na ardhi, ili wajue kuwa hivyo vina Mola ôMyèÏùâ‘ y#ø‹Ÿ2 !$uΚ¡¡9$# ’n<Î)uρanasema ∩⊇∠∪ M ô s)Mwenyezi Î=äz y#ø‹Ÿ2 Mungu: ≅ È Î/M}$# ’n<Î) tβρãÝàΨtƒ Ÿξsùr& aliyeviumba ili Ï™waamini, ∩⊄⊃∪ ôMysÏÜß™ y#ø‹x. Ú Ç ö‘F{$# ’n<Î)uρ ∩⊇®∪ M ô t6ÅÁçΡ y#ø‹x. ÉΑ$t6Ågø:$# ’n<Î)uρ ∩⊇∇∪ ôMyèÏùâ‘ # y ø‹Ÿ2 Ï™$! uΚ¡¡9$# ’n<Î)uρ ∩⊇∠∪ M ô s)Î=äz y#ø‹Ÿ2 ≅ È Î/M}$# ’n<Î) tβρãÝàΨtƒ Ÿξsù&r

∩⊄⊄∪ @ ÏÜøŠ|ÁßϑÎ/ ΟÎγø‹n=tæ |Mó¡©9 ∩⊄⊇∪ ÖÅe2x‹ãΒ |MΡr& !$yϑ¯ΡÎ) ö Ïj.x‹sù ∩⊄⊃∪ ôMysÏÜß™ y#ø‹x. Ú Ç ö‘F{$# ’n<Î)uρ ∩⊇®∪ M ô t6ÅÁçΡ y#ø‹x. ÉΑ$t6Ågø:$# ’n<Î)uρ ∩⊇∇∪

“ Je! Hawamtazami ∩⊄⊄∪ @ÏÜøŠ|Ángamia ßϑÎ/ ΟÎγø‹n=tæjinsi |Mó¡©9alivyoumbwa? ∩⊄⊇∪ ÖÅe2x‹ãΒ |MNa Ρr& !$yϑmbingu ¯ΡÎ) öÏj.x‹sù jinsi ilivyoinuliwa? Na milima jinsi ilivyothibitishwa? Na ardhi jinsi ilivyotandazwa? Basialivyoumbwa? Na kumbusha! Hakika wewe ni “ Je! Hawamtazami ngamia jinsi mbingu jinsi “ Je! Hawamtazami ngamia jinsi alivyoumbwa? Na mbingu mkumbushaji. Wewe si mwenye kuwatawalia.” (alilivyoinuliwa? Na milima jinsi ilivyothibitishwa? Na ardhi jinsi ilivyjinsi ilivyoinuliwa? Na milima ilivyothibitishwa? Na si Ghashiya; 88:17-22) otandazwa? Basi kumbusha! Hakika jinsi wewe ni mkumbushaji. Wewe ardhi jinsi ilivyotandazwa? Basi(al-Ghashiya; kumbusha! Hakika mwenye kuwatawalia.” 88:17-22)wewe ni mkumbushaji. Wewe Mungu: si mwenye kuwatawalia.” (alNa akasema Mwenyezi Na akasema Mwenyezi Mungu: Ghashiya; 88:17-22) È,ù=yz ’Îû β ¨ Î) Mwenyezi ∩⊇∉⊂∪ Ο Þ ŠÏm§9$Mungu: # ß⎯≈yϑôm§9$# uθèδ ω  Î) μt ≈s9Î) ω H (‰ Ó Ïn≡uρ μ× ≈s9Î) ö/ä3ßγ≈s9Î)uρ Na akasema

Ì óst7ø9$# ’Îû “ÌøgrB ©ÉL©9$# Å7ù=àø9$#uρ ‘Í $yγ¨Ψ9$#uρ È≅øŠ©9$# É#≈n=ÏG÷z$#uρ Ú Ç ö‘F{$#uρ ÏN≡uθ≈yϑ¡¡9$# , È ù=yz ’Îû ¨βÎ) ∩⊇∉⊂∪ Ο Þ ŠÏm§9$# ß⎯≈yϑôm§9$# uθèδ ωÎ) tμ≈s9Î) ω H (‰ Ó Ïn≡uρ ×μ≈s9Î) ö/ä3ßγ≈s9Î)uρ

‰ y ÷èt/ uÚö‘F{$# μÏ Î/ $uŠômr'sù ™& !$¨Β ⎯ÏΒ ™Ï !$yϑ¡¡9$# z⎯ÏΒ ! ª $# Α t t“Ρr& $! tΒuρ ¨ } $¨Ζ9$# ßìxΖtƒ $yϑÎ/ Ì óst7ø9$# ’Îû “ÌøgrB ©ÉL©9$# Å7ù=àø9$#uρ ‘Í $yγ¨Ψ9$#uρ ≅ È øŠ©9$# É#≈n=ÏG÷z$#uρ ÇÚö‘F{$#uρ N Ï ≡uθ≈yϑ¡¡9$# ⎦ t ÷⎫t/ Ì ¤‚|¡ßϑø9$# > É $ys¡¡9$#uρ x Ë ≈tƒÌh9$# É#ƒÎóÇs?uρ π7 −/!#yŠ e≅ È à2 ⎯ÏΒ $pκÏù £]t/uρ $pκÌEöθtΒ y‰÷èt/ uÚö‘F{$# μÏ Î/ $uŠômr'sù &™!$¨Β ⎯ÏΒ ™Ï !$yϑ¡¡9$# z⎯ÏΒ ! ª $# tΑt“Ρr& !$tΒuρ }¨$¨Ζ9$# ì ß xΖtƒ $yϑÎ/

∩⊇∉⊆∪ tβθè=É)÷ètƒ 5Θöθs)Ïj9 M ; ≈tƒUψ ÇÚö‘F{$#uρ Ï™!$yϑ¡¡9$# t⎦÷⎫t/ Ì ¤‚|¡ßϑø9$# É>$ys¡¡9$#uρ Ëx≈tƒÌh9$# É#ƒÎóÇs?uρ 7π−/!#yŠ e≅ È à2 ⎯ÏΒ $pκÏù ] £ t/uρ $pκÌEöθtΒ

“Na mungu “NaMungu Munguwenu wenuniniMungu Mungu hapana Ï™!$yϑ¡¡ila ∩⊇∉⊆∪ tβθèmmoja =É)mmoja ÷ètƒ Θ 5 öθs)tu, Ïj9 tu, ;Mhapana ≈tƒUψ ÇÚö‘F{ $#uρmungu 9$# ila Yeye. Mwingi wa rehema, Mwenye kurehemu. Hakika Yeye. Mwingi wa rehema, Mwenye kurehemu. Hakika katika katika kuumbwa kwa mbingu na ardhi, na kukhitalifiana “Na Mungu wenu na ni Mungu mmoja tu, hupita hapanabaharini mungu kwa ila usiku na mchana, marikebu ambazo Yeye. Mwingiwatu, wa na rehema, kurehemu. Hakika viwafaavyo maji 9Mwenye anayoyateremsha Mwenyezi katika kwa mbingu kukhitalifiana Mungukuumbwa kutoka mbinguni, na na kwaardhi, hayo na akaihuisha ardhi usiku mchana, na marikebu ambazo hupita kwa baadanaya kufa kwake, na akaeneza humo baharini kila aina ya viwafaavyo watu, na mabadiliko maji anayoyateremsha wanyama; na katika ya pepo, naMwenyezi mawingu Mungu mbinguni, na kwa akaihuisha ardhi 07_16_Kumkosoa_18_June_2016.indd 9 6/18/2016 yanayo kutoka amrishwa kupita baina ya hayo mbingu na ardhi, bila

2:53:20 PM


∩⊇∉⊆∪ tβθè=É)÷ètƒ Θ 5 öθs)Ïj9 ;M≈tƒUψ ÇÚö‘F{$#uρ Ï™!$yϑ¡¡9$# “Na Mungu wenu ni Mungu mmoja tu, hapana mungu ila

KUMKOSOA ANAYEIGAWANYA KWA MAFUNGU Yeye. Mwingi waYULE rehema, Mwenye TAWHIDI kurehemu. Hakika

katika kuumbwa kwa mbingu na ardhi, na kukhitalifiana usiku na mchana, na marikebu ambazo hupita baharini kwa kuumbwa kwa watu, mbingu ardhi, na kukhitalifiana usiku na viwafaavyo na namaji anayoyateremsha Mwenyezi mchana, marikebu ambazona hupita kwa viwafaavyo Mungunakutoka mbinguni, kwa baharini hayo akaihuisha ardhi watu, na ya maji Mwenyezi kutoka baada kufaanayoyateremsha kwake, na akaeneza humo Mungu kila aina ya wanyama; na katika mabadiliko ya baada pepo, ya nakufa mawingu mbinguni, na kwa hayo akaihuisha ardhi kwake, yanayo amrishwa kupita baina ya mbingu na ardhi, bila na akaeneza humo kila aina ya wanyama; na katika mabadiliko shaka zimo Ishara kwa watu wanao zingatia.” (Al-Baqara; ya pepo, na mawingu yanayo amrishwa kupita baina ya mbingu 2:163-164). na ardhi, bila shaka zimo Ishara kwa watu wanao zingatia.” ­(Al-Baqara; 2:163-164). Wakawa wanarudia yaliyokuja katika Aya hizi tukufu wakisema: Wakawa wanarudia yaliyokuja katika Aya hizi tukufu wakisema: ∩∈∪ > Ò $yfãã í™ó©y´s9 #x‹≈yδ β ¨ Î) ( #´‰Ïn≡uρ $Yγ≈s9Î) πs oλÎ;Fψ$# Ÿ≅yèy_r& “Amewafanya miungu kuwa mungu mmoja tu, hakika hili ni jambo la ajabu.” (Swaad; 38:5). 12

Lau kama wangelikuwa wanakubali kuwa Allah ndiye muumba wa mbingu na ardhi na vilivyomo ndani, Mwenyezi Mungu asingetaja Aya hizi zenye kuwaamrisha wafikirie ngamia alivyoumbwa, milima ilivyosimishwa na ardhi ilivyotandikwa na mbingu ilivyoinuliwa. Kauli yao ya kusema walipoulizwa na Mtume katika malumbano, nani aliyeumba mbingu na ardhi wakasema ni Mwenyezi Mungu, na kauli yao “ili watusogeze karibu na Mwenyezi Mungu”, ni uongo tu na kufru kwa nassi ya Qur’ani tukufu katika mwisho wa Aya, hakika Mwenyezi Mungu hamuongozi aliye muongo kafiri. Ni kama pia alivyosema Mwenyezi Mungu: “Wanakufurahisheni kwa midomo yao tu, na nyoyo zao zinakataa hayo.” Wala haifai kwa mtu afanye ung’amuzi baada ya ubainifu huu wa wazi wa Aya hizi mbili: “Hatuwaabudu” na “na ukiwauliza..” kwamba wao walikuwa wana Tawhid ya Rububiyya, bali ung’amuzi huu unapingana na Qur’ani iliyowahukumu kwa ukafiri, bali uka10

07_16_Kumkosoa_18_June_2016.indd 10

6/18/2016 2:53:21 PM


midomo yao tu, na nyoyo zao zinakataa hayo.” Wala haifai kwa mtu afanye ung’amuzi baada ya ubainifu huu wa wazi wa Aya hizi mbili: “Hatuwaabudu” na “na ukiwauliza..” kwamba wao walikuwa wana Twahid ya KUMKOSOA YULE ANAYEIGAWANYA TAWHIDI KWA MAFUNGU Rububiyya, bali ung’amuzi huu unapingana na Qur’ani iliyowahukumu kwa ukafiri, bali ukafiri mkubwa. Na hapa ung’amuzi huokuwa si wa kina, na huo unasemwa na firiinabainika mkubwa. kuwa Na hapa inabainika ung’amuzi si wa kina, yule ambaye hakuzama katika kuzifahamu Aya za Qur’ani na na unasemwa na yule ambaye hakuzama katika kuzifahamu Aya za Sunnah ya Mtume � na kaida za elimu ya Tawhid. Qur’ani na Sunnah ya Mtume  na kaida za elimu ya Tawhid. Tatu: makafiri,ilienea ilienea walikuwa wakiabudu Tatu: Hao makafiri, kuwakuwa walikuwa wakiabudu masanamasanamu hayo na kwa wakihiji ajilikuwa yao na kuwa karibu nayo: mu hayo na wakihiji ajili kwa yao na karibu nayo: ∩∠⊆ šχρç|ÇΖムöΝßγ¯=yè©9 ZπyγÏ9#u™ ! « $# Èβρߊ ⎯ÏΒ #( ρä‹sƒªB$#uρ

“Nawameishika wameishika miungu ya Mwenyezi Mun“Na miungu mingine minginebadala badala ya Mwenyezi guMungu wapatewapate kusaidiwa” (Yasin; 36:74). nyingine: Mmekusaidiwa” (Yasin;Aya 36:74). Aya “ Je! nyingine: muona Lata na Uzza? Na mwingine tatu?” wa Bali “ Je! Mmemuona Lata naManaat, Uzza? Na Manaat,wa mwingine ilienea kwao kwamba walikuwa wakisema, hakuna chochote ila tatu?” Bali ilienea kwao kwamba walikuwa wakisema, hakunani uzao tu unalinda na ardhi na kinachotuangamiza ni ulimchochote ila ni uzao inameza tu unalinda na ardhi inameza na kinachotuangamiza ni ulimwengu tu. wengu tu. Amesema Mwenyezi Mungu Mtukufu, akitueleza kuhusu wao: Amesema Mwenyezi Mungu Mtukufu, akitueleza kuhusu wao: $tΒuρ 4 ã÷δ¤$!$# ωÎ) $! uΖä3Î=öκç‰ $tΒuρ $u‹øtwΥuρ ßNθßϑtΡ $u‹÷Ρ‘‰9$# $uΖè?$uŠym ωÎ) }‘Ïδ $tΒ (#θä9$s%uρ

∩⊄⊆∪ tβθ‘ΖÝàtƒ ωÎ) Λö èε β ÷ Î) ( AΟù=Ïæ ô⎯ÏΒ 7 y Ï9≡x‹Î/ Μçλm;

“Na walisema: Hapana ila huu uhai wetu wa duniani - twafa na twaishi, na hapana kinachotuhiliki isipokuwa dahari. Lakini wao hawana ilimu ya hayo, ila wao wanadhani tu. (Al Jaathiya; 45:24).7 13

Bali pia mmoja wao alimwambia Mtume:

7

Ukweli ni kuwa mwenye kuigawanya Tawhid katika utatu amefanya ubatili, sawa awe amekusudia au la. Na ameifuta Aya kama hii iliyothibiti kama mlima katika Kitabu cha Mwenyezi Mungu. 11

07_16_Kumkosoa_18_June_2016.indd 11

6/18/2016 2:53:21 PM


“Na walisema: Hapana ila huu uhai wetu wa duniani - -twafa “Na walisema: Hapana ila huu uhai wetu wa duniani -twafa twafa “Na walisema: Hapana ila huu uhai wetu wa duniani na twaishi, na hapana kinachotuhiliki isipokuwa dahari. na twaishi, twaishi, na na hapana hapana kinachotuhiliki kinachotuhiliki isipokuwa isipokuwa dahari. dahari. na Lakini wao hawana ilimu ya hayo, ila wao wanadhani tu. (Al(Al Lakini wao hawana ilimu ya hayo, ila wao wanadhani tu. Lakini wao hawana 7 7 ilimu ya hayo, ila wao wanadhani tu. (Al Jaathiya; 45:24). 7 Jaathiya; 45:24). Jaathiya; 45:24).        KUMKOSOA YULE ANAYEIGAWANYA TAWHIDI KWA MAFUNGU

Bali pia mmoja wao alimwambia Mtume: Bali pia mmoja wao alimwambia Mtume: Bali pia mmoja wao alimwambia Mtume: ∩∠∇∪ ÒΟÒΟ ŠÏΒÒΟ Éδ}‘Éδ uρ Éδ Ïè≈sà ø9Ïè$#ø9ÏèÄ©$#ø9÷∏ ãƒ÷∏ Β⎯t $s%tΑ z yzŤ tΡŤ uρtΡuρWξ sWWξ tΒsWtΒsW$oΨtΒ$os9Ψ$os9z> uz> ŸÑ ∩∠∇∪ z ≈sà $#Ä©Ä© ù=© zŤ tΡuρWξ Ψs9z> uuρŸÑ ∩∠∇∪ ŠÏu‘ΒŠÏu‘Β}‘u‘}‘ uρzΝuρΝ z≈sàΝ ÷∏ ãƒ⎯tãƒ⎯t ΒtΑΒtΑ $s%( $s…ç%( μ…çs)( μ…çù=s)μyzs) ù=yz © z © uŸÑ uρ uρ “Ni huyo atakayeihuisha nayo imekwisha “Ni nani huyo atakayeihuisha mifupa, nayo imekwisha “Ninani nani huyo atakayeihuishamifupa, mifupa, nayo imekwisha “Ni nani huyo atakayeihuisha mifupa, nayo imekwisha mung'unyika? (Yasin; 36:78). mung’unyika? (Yasin; 36:78). mung'unyika?(Yasin; (Yasin;36:78). 36:78). mung'unyika?

Baada ya haya bado itafaa sisi tuseme kuwa asiyekubali kuwa Baada yayaya haya bado itafaa sisi tuseme kuwa asiyekubali kuwa Baada haya bado itafaa sisi tuseme kuwa asiyekubali kuwa Baada haya bado itafaa sisi tuseme kuwa asiyekubali kuwa Allah ni muumba na mwenye kufufua, kwamba mtu huyo anampAllah Allahnininimuumba muumbanananamwenye mwenyekufufua, kufufua,kwamba kwambamtu mtuhuyo huyo Allah muumba mwenye kufufua, kwamba mtu huyo wekesha Mwenyezi Mungu kwa Tawhid ya Rububiyya? Na hali anampwekesha Mwenyezi Mungu kwa Tawhid ya Rububiyya? anampwekesha Mwenyezi Mungu kwa Tawhid ya Rububiyya? anampwekesha Mwenyezi Mungu kwa Tawhid ya Rububiyya? Mwenyezi Mungu anasema: “Na Allah hamuongozi aliye muNa hali Mwenyezi Mungu anasema: “Na Allah hamuongozi Na hali Mwenyezi Mungu anasema: “Na Allah hamuongozi Na hali Mwenyezi Mungu anasema: “Na Allah hamuongozi aliye muongo, kafiri?” (Zumar; 39:3). Bali wamefikia katika ongo, (Zumar; Bali39:3). wamefikia katika ukafiri wao aliyekafiri?” muongo, kafiri?”39:3). (Zumar; 39:3).Bali Baliwamefikia wamefikia katika aliye muongo, kafiri?” (Zumar; katika ukafiri wao kama alivyosema Mwenyezi Mungu katika Aya: kama alivyosema Mwenyezi Mungu katika Aya: ukafiriwao waokama kamaalivyosema alivyosemaMwenyezi MwenyeziMungu Mungukatika katikaAya: Aya: ukafiri $tΡ$tãΡãΒ$tãΡù'ãΒãs?ù'ãΒs?ù'$ys?ϑ$yϑ Ï9$yϑ ß Ï9‰ ó¡àf nΣr&ó¡nΣr&ß⎯ ß∨ ó™ß∨ $# ó™ ã $#Ν Ÿ s9≅ ß àf nΣr&⎯ ß ÷q ≈o§Η9$÷q Ç ÷q ≈u§Η=Ï÷q ρ߉ ãs9ßγßγs9≅ Ÿ ŠÏ%ŠÏ#s%Œ#sÎ)Œuρ#sÎ)ŒuρÎ)uρ Ï9‰ ß àf‰ ó¡ ß ≈oΗ⎯ ≈oΗ÷q §#9$§#$t9$Β#$tuρΒ$tuρΒ#( uρθä#( 9θä$s#( 9θä%$s9%$sÇ⎯%⎯ Ç ≈uΗ⎯ ≈uΗ÷q §9=ϧ9(#=Ïρß9(#‰ρß(#‰ ß∨ ó™ $#Ν ãßγΝ Ÿ ŠÏ%≅

∩∉⊃∪ ))#Y) ‘#Yθà‘#Yθà‘çΡθàçΡöΝçΡöΝ èδöΝ yŠèδ #yyŠ—#yyŠuρ—#yuρ—uρ ∩∉⊃∪ ∩∉⊃∪ èδ

“Na wanapoambiwa: Msujudieni Ar-Rahman! Wao husema: “Na wanapoambiwa: Msujudieni Ar-Rahman! Wao husema: “Na wanapoambiwa: Msujudieni Ar-Rahman! Wao husema: “Na wanapoambiwa: Msujudieni Ar-Rahman! Wao husema: Ni nani NiAr-Rahman? nani Ar-Rahman? Je! Tumsujudie unayetuamrisha wewe naniAr-Rahman? Ar-Rahman? Je!Tumsujudie Tumsujudie unayetuamrisha wewe Je! Tumsujudie unayetuamrisha wewe tu? Na huwaNiNinani Je! unayetuamrisha wewe tu? Na huwazidishia chuki. (Al-Furqan; 25:60). Hao tu? Na huwazidishia chuki. (Al-Furqan; 25:60). Hao zidishia chuki. (Al-Furqan; 25:60). Hao wanasema kuwa Mungu tu? Na huwazidishia chuki. (Al-Furqan; 25:60). Hao wanasema kuwa Mungu yupo kweli?? wanasema kuwa Mungu yupo kweli?? kweli?? wanasema kuwa Mungu yupo kweli??

Lau wangelikuwa wanakubali kuwa Mungu ndiye muumba Lau wangelikuwa wanakubali kuwa Mungu ndiye muumba Lau wangelikuwa wanakubali kuwa Mungu ndiye muumba Lau wangelikuwa wanakubali kuwa Mungu ndiye muumba asingesema juujuu yao: asingesema yao: asingesema juu yao: “….. 4Ù < 4 <Ù ÷èt/÷èt/’ 4÷èt/n?’ ßγöΝ àÒ ÷èàÒ t/÷èt/ξ Ÿ÷èt/ξ n=y{, Î/$yϑ ‘ Î)9Î)‘≅ ä.‘≅ yδ= s%yδ ©!s%s% #]©!Œ©!#]Î)Œ#]…..” “….. 4 <Ù 4n?tãn?öΝtãöΝ Ÿ s9yèuρs9yèuρt,s9uρt, t n=y{n=$yy{ϑ$yϑ ä.|= | yδ …..” “….. 4 tã’ ßγßγ àÒ Ÿ yèξ Î/μ¥ ≈sÎ/μ¥ 9≈sÎ)μ¥ 9≈s≅ ä.|= Î)ŒÎ)…..” “Ingekuwa hivyo basi kila mungu angelichukua alivyoumba, “Ingekuwa hivyo basi kila mungu angelichukua alivyoumba, “Ingekuwa hivyo basi mungu angelichukua alivyoumba, “Ingekuwa hivyo basi kilakila mungu angelichukua alivyoumba, na baana baadhi yao wangeliwashinda wengine.” (Al-muuminuun; nadhi baadhi yaowangeliwashinda wangeliwashinda wengine.” (Al-muuminuun; na baadhi yao wengine.” (Al-muuminuun; yao wangeliwashinda wengine.” (Al-muuminuun; 23:91). 23:91). 23:91). 23:91). Imetaja Ilahi nanana sisiRabbi, kuonyesha kuwa wao hawampwekeshi Imetaja Ilahi siRabbi, Rabbi, kuonyesha kuwa wao hawampwekeshi Imetaja Ilahi kuonyesha kuwa wao hawampwekeshi 12 Ilahi wala Rabbi, kwa sababu Rabbi ndiye huyo huyo Ilahi. Ilahiwala walaRabbi, Rabbi,kwa kwasababu sababuRabbi Rabbindiye ndiyehuyo huyohuyo huyo Ilahi. Ilahi Ilahi. 7

Ukweli ni kuwa mwenye kuigawanya Tawhid katika utatu amefanya ubatili, 7 7 Ukweli kuwa mwenye kuigawanya Tawhid katika utatu amefanya ubatili, Ukweli ninikuwa mwenye kuigawanya Tawhid katika utatu amefanya ubatili, sawa awe amekusudia au la. Na ameifuta Aya kama hii iliyothibiti kama 6/18/2016 sawa awe amekusudia au la. Na ameifuta Aya kama hii iliyothibiti kama sawa awe amekusudia au la. Na ameifuta Aya kama hii iliyothibiti kama

07_16_Kumkosoa_18_June_2016.indd 12

2:53:22 PM


KUMKOSOA YULE ANAYEIGAWANYA TAWHIDI KWA MAFUNGU

Imetaja Ilahi na si Rabbi, kuonyesha kuwa wao hawampwekeshi Ilahi wala Rabbi, kwa sababu Rabbi ndiye huyo huyo Ilahi. Nne: Taymiyyaaliyebuni aliyebuni kuigawanya Tawhid Nne:Huyo Huyo Ibn Taymiyya kuigawanya Tawhid kwenye kwenye Uluhiyya na Rububiyya anasema kuwa mushrikina Uluhiyya na Rububiyya anasema kuwa mushrikina walikuwa wakiwalikuwa wakikubali Tawhidnayasi Rububiyya na na si ya Uluhiyya, kubali Tawhid ya Rububiyya ya Uluhiyya, kwamba Waisna kwamba Waislamu wanaompinga rai zake lamu wanaompinga rai zake pia wamepwekesha Mungu katika pia Uruwamepwekesha Mungu katika Urububiyya na hawakupwekesha bubiyya na hawakupwekesha katika Uluhiyya, yeye anawakufurisha katika Uluhiyya, yeye anawakufurisha kwa jambo hilo. Na haya kwa jambo hilo. Na haya ndio makusudio yake katika kigawanyo ndio makusudio yake katika kigawanyo hiki. hiki. Katika kitabu chake Minhaju Sunna amesema: (2:62) baada yaya Katika kitabu chake Minhaju Sunna amesema: (2:62) baada kuwapondaMaimamu Maimamuwa wakiislamu kiislamu kama Saharwirdiy, Alkuwaponda kama vilevile Saharwirdiy, Al-GhazGhazaliy, Ar-Raziy, Al-Amidiy na wengineo miongoni mwa aliy, Ar-Raziy, Al-Amidiy na wengineo miongoni mwa wale anaopwaleraianaopinga zao katikakama wanafalsafa kamana vile Aristotlena inga zao katikarai wanafalsafa vile Aristotle Al-Farabiy na Al-Farabiy na Ibn Sina, akasema: “Wameingia katika ubatili Ibn Sina, akasema: “Wameingia katika ubatili na uzushi, wakatoa na uzushi, wakatoa kutoka katika Tawhid kile ambacho ni kutoka katika Tawhid kile ambacho ni sehemu ya Tawhidi, kama sehemu ya Tawhidi, kama vile Tawhid ya Uluhiyya na vile Tawhid ya Uluhiyya na kuthibitisha ukweli wa majinaTawhid ya Allah, kuthibitisha ukweli wa majina ya Allah, na hawakujua na Tawhid ila ya Rububiyya ya kukubali kuwawaMola ilahawakujua ya Rububiyya ya kukubali kuwa Mola ni Muumba kila ni Muumba kila kitu. Tawhid hii pia mushrikina wakkitu. Nawa Tawhid hiiNapia mushrikina walikuwa walikuwa wakiikubali, iikubali, ambao Mwenyezi Mungu amesema juu yao: “Ukiwauliza ambao Mwenyezi Mungu amesema juu yao: “Ukiwauliza ni ni nani aliyeumba mbingu ardhi,watasema watasemani niMwenyezi Mwenyezi nani aliyeumba mbingu nana ardhi, Mungu,” Mungu,”

Haya ni makosa tulivyofafanua Haya ni makosa yakeyake mtu mtu huyuhuyu kamakama tulivyofafanua awali.awali. Je Je yaingia akilini mtu aseme kuwa Firaun alikuwa akimpwekesha yaingia akilini mtu aseme kuwa Firaun alikuwa akimpwekesha Mungu Mungukirububiyya kirububiyyana nasisikiuluhiyya??! kiuluhiyya??!Naye Nayendiye ndiyeanayesema: anayesema: “….. ”Îöxî >μ≈s9Î) ô⎯ÏiΒ Νà6s9 àMôϑÎ=tã $tΒ _|yϑø9$# $y㕃r'¯≈tƒ ãβöθtãöÏù tΑ$s%uρ “NaFirauni Firauni akasema: Enyi waheshimiwa! “Na akasema: Enyi waheshimiwa! Sijui kamaSijui mnayekama mungu mnaye asiyekuwa mungu asiyekuwa mimi.”28:38). (Al-Qasas; 28:38). Na mimi.” (Al-Qasas; Na aliyesema: aliyesema:

13

∩⊄⊆∪ 4’n?ôãF{$# ãΝä3š/u‘ O$tΡr& tΑ$s)sù 07_16_Kumkosoa_18_June_2016.indd 13

6/18/2016 2:53:23 PM


“….. ”Îöxî >μ≈s9Î) ô⎯ÏiΒ Νà6s9 àMôϑÎ=tã $tΒ _|yϑø9$# $y㕃r'¯≈tƒ ãβöθtãöÏù tΑ$s%uρ “….. ”Îöxî >μ≈s9Î) ô⎯ÏiΒ Νà6s9 àMôϑÎ=tã $tΒ | _ yϑø9$# $y㕃r'¯≈tƒ ãβöθtãöÏù tΑ$s%uρ “Na Firauni akasema: Enyi waheshimiwa! Sijui kama “Na Firauni akasema: Enyimimi.” waheshimiwa! kama mnaye mungu asiyekuwa (Al-Qasas;Sijui 28:38). Na        KUMKOSOA YULE ANAYEIGAWANYA TAWHIDI28:38). KWA MAFUNGU mnaye mungu asiyekuwa mimi.” (Al-Qasas; Na aliyesema: aliyesema: ∩⊄⊆∪ 4’n?ôãF{$# ãΝä3š/u‘ $O tΡr& tΑ$s)sù ∩⊄⊆∪ 4’n?ôãF{$# ãΝä3š/u‘ O$tΡr& tΑ$s)sù “Mimi ndiye mungu wenu mkuu kabisa.” (Naziaat; 79:24). “Mimi ndiye mungu wenu mkuu (Naziaat; 79:24). “Mimi ndiye mungu wenu mkuu kabisa.” (Naziaat; 79:24). Kama angelikuwa anakubali sifa ya kabisa.” Mungu ya Rubuubiyya Kama angelikuwa anakubali sifasifa ya Mungu ya(Rabbukum) Rubuubiyya asingeseKama angelikuwa anakubali ya Mungu ya Rubuubiyya asingesema “Mimi ni mungu wenu mkuu asingesema “Mimi ni (Rabbukum) mkuu ma “Mimi ni mungu wenu (Rabbukum) kabisa.” kabisa.” Angesema ;” mungu Mimi ni wenu Molamkuu (ilaahi) wenuAngesema mkuu kabisa.” Angesema ;” Mimi ni Molakabisa.” (ilaahi) wenu mkuu ;”kabisa.” Mimi ni Mola wenu mkuu Lau Taymiyya Lau Ibn(ilaahi) Taymiyya angelikumbuka kauli yaIbn Mwenyezi kabisa.” Lau Ibn Taymiyya angelikumbuka kauli ya Mwenyezi Mungu katika Sura angelikumbuka kauliAaraf: ya Mwenyezi Mungu katika Sura Aaraf: Mungu katika Sura Aaraf: ∩∠∉∪ šχρãÏ≈x. ⎯ÏμÎ/ ΝçGΖtΒ#u™ ü“Ï%©!$$Î/ $¯ΡÎ) (#ÿρçy9ò6tFó™$# š⎥⎪Ï%©!$# tΑ$s% ∩∠∉∪ šχρãÏ≈x. ⎯ÏμÎ/ ΝçGΖtΒ#u™ ü“Ï%©!$$Î/ $¯ΡÎ) (#ÿρçy9ò6tFó™$# š⎥⎪Ï%©!$# tΑ$s%

“Wakasema wale waliotakabari: SisiSisi tunayakataa 15 Hakika “Wakasema wale waliotakabari: Hakika “Wakasema wale waliotakabari: Hakika Sisitunayakataa tunayakataa yale mnayoyaamini.” (A’araf; 7:76). Na kauli ya Nabii Yusuf “Wakasema wale waliotakabari: Hakika Sisi tunayakataa 15 yalemnayoyaamini.” mnayoyaamini.”(A’araf; (A’araf;7:76). 7:76).Na Nakauli kauli Nabii Yusuf yale yaya Nabii Yusuf : �:yale �: mnayoyaamini.” (A’araf; 7:76). Na kauli ya Nabii Yusuf �: ‘â $£γs)ø9$# ‰ ∩⊂®∪ ª ø9$#$#ª! ÏΘr&$# îΘ ÒtG•Β $t> Ç r&u™ôf⎯ Á9|≈tÁ ƒ ≈tƒ ∩⊂®∪ ‘â $£γs)ß ø9$#Ïn‰ ß ≡uθÏnø9$#≡uθ! Ï ör&yzîöšχ yz χ š θè%Ìhθèx%tGÌh•Βx> Ò /ö‘r&$tu™/ö‘⎯ Ç Åb¡ôf9$#Åb¡Ä©9$t<#Ås Ä©t<9|Ås ∩⊂®∪ ‘â $£γs)ø9$# ‰ ß Ïn≡uθø9$# ª!$# Θ Ï r& îöyz šχθè%ÌhxtG•Β > Ò $t/ö‘r&u™ ⎯ Ç ôfÅb¡9$# Ä©t<Ås9|Á≈tƒ

“Je, mabwana wengi wanaofarikiana wao kwa wao ni ni bora “Je, mabwana wengi wanaofarikiana wao kwa wao bora “Je, mabwana wengi wanaofarikiana wao kwa wao ni bora au“Je, Mwenyezi Mungu Mmoja Mwenye nguvu? (Yusuf; mabwana wengi wanaofarikiana wao kwa wao ni bora au Mwenyezi Mungu Mmoja Mwenye nguvu? (Yusuf; au Mwenyezi Mungu Mmoja �: Mwenye nguvu? (Yusuf; 12:39). 12:39). NaNa kauli ya Nabii Ibrahim au Mwenyezi Mungu Mmoja �:Mwenye nguvu? (Yusuf; 12:39). kauli ya Nabii Ibrahim Na kauli ya Nabii Ibrahim : 12:39). Na kauli ya Nabii Ibrahim �: ∩∇∉∪∩∇∉∪ tβρ߉ « è?$#! Í←r&øÍ←r& tβƒÌρß‰è? ƒÌ! « tβ$#ρߊtβρßπZ ŠyγÏ9πZ #u™yγÏ9%¸#u3™ø%¸3 ∩∇∉∪ tβρ߉ƒÌè? «!$# tβρߊ ZπyγÏ9#u™ %¸3øÍ←r&

“Kwa kuzua tu tumnataka badala ya ya “Kwa kuzua mnatakamiungu miungumingine mingine badala “Kwa kuzua tu mnataka miungu mingine badala ya MweMwenyezi Mungu?” (Safat; 37:86). Na kauli yake Mwenyezi “Kwa kuzua tu mnataka miunguNamingine badala ya Mwenyezi Mungu?” (Safat; 37:86). kauli yake Mwenyezi nyezi Mungu?” (Safat; 37:86). Na kauli yake Mwenyezi Mungu: Mungu: Mwenyezi Mungu?” (Safat; 37:86). Na kauli yake Mwenyezi Mungu: Mungu: “….. πZ yγÏ9πZ #u™yγÏ9! « #u™$#! È $#ρßŠβ “….. «β È ρß⎯ÏŠΒ⎯Ï(#ρäΒ‹(#sƒρäªB‹$#uρsƒªB$#uρ “….. πZ yγÏ9#u™ ! « $# β È ρߊ ⎯ÏΒ (#ρä‹sƒªB$#uρ

“Na “Nawameishika wameishikamiungu miungumingine minginebadala badalaya yaMwenyezi Mwenyezi Mungu…..”(Yasin; 36:74). Na kauli ya makafiri wakati Mtume “Na wameishika miungu mingine badala ya Mwenyezi Mungu…..”(Yasin; 36:74). Na 14 kauli ya makafiri wakati Mtume alipowaita kwenye neno la Tawhidi: Mungu…..”(Yasin; 36:74). Na kauli ya makafiri wakati Mtume alipowaita kwenye neno la Tawhidi: alipowaita kwenye neno la Tawhidi: 07_16_Kumkosoa_18_June_2016.indd 14

Ÿ≅$#yèŸ≅ #´‰Ïn y_yèr& y_r& #´‰≡uρÏn$Y≡uγρ≈s9$YÎ)γπs ≈s9oλÎ)Î;Fψ πs oλ$#Î;Fψ

6/18/2016 2:53:24 PM


“Kwa kuzua tu mnataka miungu mingine badala ya Mwenyezi Mungu?” (Safat; 37:86). Na kauli yake Mwenyezi Mungu: “….. πZ yγÏ9#u™ ! « $# β È ρߊ ⎯ÏΒ (#ρä‹sƒªB$#uρ

KUMKOSOA YULE ANAYEIGAWANYA TAWHIDI KWA MAFUNGU

wameishikamiungu miungu mingine mingine badala Mwenyezi Mun“Na“Na wameishika badalayaya Mwenyezi gu…..”(Yasin; 36:74). Na kauli ya makafiri wakati Mtume alipMungu…..”(Yasin; 36:74). Na kauli ya makafiri wakati Mtume owaita kwenye neno la Tawhidi: alipowaita kwenye neno la Tawhidi: #´‰Ïn≡uρ $Yγ≈s9Î) πs oλÎ;Fψ$# Ÿ≅yèy_r&

“Amewafanya miungu kuwa Mungu Mmoja “Amewafanya miungu wotewote kuwa ni ni Mungu Mmoja tu?”(Swad; Ibn Taymiyya Taymiyya angeona angeonahaya hayakusema kusemamatu?”(Swad; 38:5), basi Ibn maneno haya. neno haya. Kutokana na ufafanuzi inadhihirika kubatilika Kutokana na ufafanuzi huuhuu inadhihirika waziwazi kubatilika kwakwa mgawanyo wa wa Tawhid Tawhid katika mgawanyo katika vigawanyo vigawanyo hivi. hivi. Bali Bali ni ni wazi wazipia piakugawanya huku kunapingana na na Qur’ani na imani ya Kiislamu. Haifai kugawanya huku kunapingana Qur’ani na imani ya Kiislamu. isemwe kuwa hiki ni kigawanyo cha kielimu. Bali isemwe ni Haifai isemwe kuwa hiki ni kigawanyo cha kielimu. Balicha makosa ni kinachopingana na Qur’ani. Yapasa kila mtu ajuekila kuwa isemwe cha makosa kinachopingana na Qur’ani. Yapasa mtu ajueAqaid kuwaTwahawiyyah Sharhu Aqaidimekusanya Twahawiyyah imekusanya makosa Sharhu makosa haya yenye kugonhaya yenye kugongana! Kukitegemea kitabu hiki na hasa katika gana! Kukitegemea kitabu hiki na hasa katika kukisomesha ni kosa kukisomesha ni kosa kubwa. wengi Waalimu na wanafunzi wengihili, kubwa. Waalimu na wanafunzi hawajazinduka na jambo hawajazinduka na jambo hili, tahadharini na mimi kwenu ni tahadharini na mimi kwenu ni mwenye kuonya. mwenye kuonya. Elewa ya kwamba matini ya Twahawiyyah ni kitabu kilichotungwa na imam Jafar Twahawiy, nyoofu, ninikatika vitabu Elewa ya Abu kwamba matini yani kitabu Twahawiyyah kitabu 8 kilichotungwa imamyaAbu Jafar Twahawiy, kitabu nyoofu, vizuri sana vyanaitikadi watangulizi wema nanikwa kuwa yeye pia yaani Twahawiy - ametaja katika utangulizi wa kitabu hicho kuwa hiyo ni imani ya Imam Abu Hanifa na wenzake Muhammad bin 16 Hasan na kadhi Abu Yusuf. Ama Sharhu Aqaid Twahawiyyah iliyoenezwa masokoni ni ya Ibn Abil Uzza, ina mambo mengi yanayopingana na kitabu cha asili matini ya Twahawiyyah, na humo kuna itikadi mbaya kama vile ya 8

Hata kama hatuwafikiani naye katika kila herufi au neno au masuala fulani, bado nimefafanua katika Sharhu yangu ya Tahawiyya. 15

07_16_Kumkosoa_18_June_2016.indd 15

6/18/2016 2:53:25 PM


wa kitabu hicho kuwa hiyo ni imani ya Imam Abu Hanifa na wenzake Muhammad bin Hasan na kadhi Abu Yusuf. Ama Sharhu Aqaid Twahawiyyah iliyoenezwa masokoni ni ya

Ibn Abil Uzza, ina mambo mengi yanayopingana kitabu cha        KUMKOSOA YULE ANAYEIGAWANYA TAWHIDIna KWA MAFUNGU

asili matini ya Twahawiyyah, na humo kuna itikadi mbaya kama vile ya kuamini kuwa ulimwengu ni watangu milele,9 na 10 9 kuamini ni watangu naina kwamba kwambakuwa dhatiulimwengu ya Mwenyezi Mungu milele, Mtukufu mipaka.dhati Naya 10 Mwenyezi Mungu Mtukufu saukuthibitisha herufi, sautiina namipaka. manenoNayakuthibitisha Mwenyeziherufi, Mungu 11 11 kwa dhati yake Mwenyezi ti (s.w.t.), na manenonayakusimama Mwenyezi matukio Mungu (s.w.t.), na kusimama matukio 12 12 na mengineyo katika makosa Mungu kwa dhati yake Mwenyezi Mungu na makubwa, mengineyozindukeni! katika makosa makubwa, zindukeni! Sehemu Muhimu Katika Ufafanuzi Kwamba yule Mwenye Sehemu Kuwepo Muhimukwa Katika Ufafanuzi Kwamba yule Mwenye Kukubali Mwenyezi Mungu na Hampwekeshi, Kukubali Kuwepo Mwenyezi Mungu na Hampwekeshi, Huyo ni Kafiri kwakwa Ijmai wala Haitwi Mwenye Kupwekesha Huyo ni Kafiri kwa Ijmai Haitwi MwenyeTukufu:Kupwekesha Tawhid ya Rububiyya, kwawala Mujibu wa Qur’ani Tawhid ya Rububiyya, kwa Mujibu wa Qur’ani Tukufu:Ili kujadilina na watu wenye fikra za chini, Mwenyezi Mungu Ili kujadilina watu wenye za chini, Mwenyezi Mungu anasema: “Na naujadiliane naofikra kwa namna iliyo bora.” anasema: “Na ujadiliane nao kwa namna iliyo bora.” (Nahl:125). (Nahl:125). Nami nasema: Kuna baadhi ya kikundi cha watu Nami nasema: Kuna baadhi ya kuna kikundi cha watu wajinga katika wajinga au katika makafiri wanaokubali kuwa au Mungu makafiri kuna wanaokubali kuwa Mungu muumba mwenye ndiye muumba na mwenye kufufua na ndiye kufisha, lakinina kukubali kufufua na kufisha, lakini hakumfanyi huyo kuitwasini huku hakumfanyi huyo kukubali kuitwa nihuku muumini au mpwekeshaji, kisheria au wala si kilugha, si ama kisheria dalili yake ni ama kaulikisheria yake muumini mpwekeshaji, kisheria wala si kilugha, Mwenyezi Mungu: dalili yake ni kauli yake Mwenyezi Mungu: öΝèδ߉ç6÷ètΡ $tΒ u™!$uŠÏ9÷ρr& ⎯ ÿ ÏμÏΡρߊ ∅ÏΒ #( ρä‹sƒªB$# š⎥⎪Ï%©!$#uρ 4 È ß Ï9$sƒø:$# ⎯ ß ƒÏe$!$# ! ¬ Ÿωr& 3χ š θàÎ=tGøƒs† Ïμ‹Ïù Ν ö èδ $tΒ ’Îû Ο ó ßγoΨ÷t/ ãΝä3øts† ! © $# ¨βÎ) ’ # s∀ø9ã— «!$# ’n<Î) !$tΡθç/Ìhs)ã‹Ï9 ωÎ) ‘Ö $¤Ÿ2 > Ò É‹≈x. θu èδ ô⎯tΒ “ωôγtƒ Ÿω ©!$# ¨βÎ)

“Ehee!Dini Dini halisi ni ya Mwenyezi Na wale “Ehee! halisi ni ya Mwenyezi Mungu. NaMungu. wale wanaowafanya wengine kuwa ni walinzi Yake,kuwa (husema): Sisi hatuwaabudu ila wapawanaowafanya wengine ni walinzi Yake, (husema): teSisi kutujongeza tu kumkaribia Mwenyezi Mungu. Hakika Mwenyezi hatuwaabudu ila wapate kutujongeza tu kumkaribia   Hiyo ni katika uk. 129 chapa ya nane, Al Maktabul Islamiya   8Angalia uk. 219 katika Sharhu Twahawiyah tumepinga hii na tumebatilisha katika risala Hata kama hatuwafikiani naye katika kila herufi au neno au masuala fulani, yetu. bado nimefafanua yangu ya Tahawiyya. 11   9Angalia uk. 169 katikakatika SharhuSharhu Twahawiyya 12 Hiyo niuk.katika uk. 129 chapa ya nane, Al Maktabul Islamiya   10 Angalia 177 katika Sharhu Twahawiyya 9

10

Angalia uk. 219 katika Sharhu Twahawiyah tumepinga hii na tumebatilisha katika risala yetu. 16 11 Angalia uk. 169 katika Sharhu Twahawiyya 12 Angalia uk. 177 katika Sharhu Twahawiyya

07_16_Kumkosoa_18_June_2016.indd 16

17

6/18/2016 2:53:25 PM


KUMKOSOA YULE ANAYEIGAWANYA TAWHIDI KWA MAFUNGU

Mungu atahukumu baina yao katika wanayohitalifiana. Hakika Mwenyezi Mungu hamwongozi aliye mwongo kafiri.” (Zumar; 39:3).

Hii imetueleza kuhusu mtu huyo kwa kauli yake; ila wapate kutujongeza tu kumkaribia Mwenyezi Mungu, kwamba kwa moyo wake anakiri kuwa anakubali kuwapo kwa Mungu! Hiyo ndiyo iitwayo Tawhidu Rububiyya, pamoja na hayo yote lakini Mwenyezi Mungu amekata kauli yake kama tuonavyo kuwa huyo ni mwongo, kafiri. Ama kilugha na kijamii, ni kwamba katika Sunnah za Mtume wetu  zilizo pana haikuja kuwa aliwaita watu wa namna hiyo kuwa ni wenye kumpwekesha Mwenyezi Mungu ki-rububiyya, wala haikunukuliwa kutoka kwa swahaba yeyote kwamba alisema juu yao kuwa “Ni imani iliyo chini ya imani” kama ilivyonukuliwa kutoka kwa baadhi yao kama Ibn Abbas ambaye alisema katika baadhi ya mambo: “Ni kufru iliyo chini ya kufru.” Hii inasisitiza na kutujulisha kwamba lugha ambayo Mtume na Aali zake na maswahaba zake walikuwa wakiizungumza, na wajuzi waliokuwako, inazuia kabisa Tawhid ya Rububiyya kwa mwanadamu huyo. Kisha imani na Tawhid na akida ni ile iliyokaa kwenye moyo na kuthibitishwa na amali, na maelezo ya imani na Tawhid yapo wazi katika Hadithi ya Jibril katika swali lililopokewa na Muslim, nayo ni: “Kuleta shahada mbili kwa kutamka kwa ulimi na kukiri kwa moyo yote yaliyokuja kutoka kwa Mwenyezi Mungu na Mtume wake, pamoja na kuitangaza.” Wapi na wapi hilo na hilo? Hapo inadhihirika wazi kubatilika kwa madai ya mpingaji, na Mwenyezi Mungu ndiye Mwenye tawfiki. Sehemu ya Tatu ya Tawhidi ni ile Waliyoiita kwa Jina la Tawhidi Asmaa wa Swifaat (Tawhidi Katika Majina na Sifa) 17

07_16_Kumkosoa_18_June_2016.indd 17

6/18/2016 2:53:25 PM


KUMKOSOA YULE ANAYEIGAWANYA TAWHIDI KWA MAFUNGU

Ameitaja Ibn Taymiyya katika Minahj Sunna yake (2:62) kwa jina la Kuthibit isha ukweli wa majina ya Mwenyezi Mungu na sifa zake. Makusudio ya sehemu hii ni kuthibitisha Tashbih (kumshabihisha Mungu) na Tajsiimi (kumfanya ana mwili) wala usistaajabu msomaji wangu, subiri tu nitanukuu kutoka kwenye vitabu vya Ibn Taymiyya, nikithibitisha ni katika Juzuu gani na namba na ukurasa wake. Amesema Ibn Taymiyya katika kitabu chake At-Taasis (101): “Hakuna katika kitabu cha Mwenyezi Mungu wala Sunna ya Mtume Wake, wala kauli ya mmoja wa watangulizi wema na Maimamu wake kwamba imesemwa kuwa Mungu hana mwili na kwamba sifa zake si za kimwili au viungo, hivyo kukanusha maana iliyothibiti kisheria na kiakili. Kwa kukanusha matamshi ambayo sheria wala akili havijakanusha maana zake ni ujinga na upotevu.” Na huyu ni Ibn Taymiyya anasema kama ilivyothibiti kutoka kwake katika vitabu vyake: “Usimsifu Mwenyezi Mungu ila tu kama alivyojisifu Mwenyewe!!” Nasi twamwambia: Ikiwa humsifu Mwenyezi Mungu ila kama alivyojisifu mwenyewe kwa nini unathibitisha kutulia kwake - kutokana na usemavyo - juu ya mgongo wa mbu? Je hii ndio Tawhid ya sifa na majina ewe sheikh Al Harraniy? Hivi ndivyo alivyojisifu Mwenyezi Mungu mwenyewe? Amesema Ibn Taymiyya katika kitabu chake ‘At-Taasis fiir-raddi asas taqdiis (1:568 ): “Na lau Mwenyezi Mungu angelipenda angelitulia juu ya mgongo wa mbu, akatulia kwa uwezo Wake na upole wa kiungu, vipi katika Arshi kubwa.” Je ni katika Tawhid safi ewe Sheikh Al-Harraniy kumnasibisha Mwenyezi Mungu, Mola wa viumbe wote, aliyetakasika na yote hayo mnayotaja, na kitendo cha kutulia juu ya mgongo wa nzi au mbu? Hata hao wenye kuabudu masanamu pia wameona haya kuwasifu miungu wao na sifa kama hizo. Je ni katika tawhid ya sifa na 18

07_16_Kumkosoa_18_June_2016.indd 18

6/18/2016 2:53:25 PM


KUMKOSOA YULE ANAYEIGAWANYA TAWHIDI KWA MAFUNGU

majina kuthibitisha kutingishika kwa Mwenyezi Mungu kama anavyosema Ibn Taymiyya katika kitabu chake Muwaafaqatu Swariihul Maaquul (2:4)? Amelinasibisha hilo kwa watu wa Hadithi na watangulizi waongo. Wapi Mwenyezi Mungu amejisifu kwa kuwa na harakati? Na Ibn Taymiyya anasema katika kitabu chake Tasiis (1:101): “Hakuna katika kitabu cha Mwenyezi Mungu wala Sunna ya Mtume Wake, wala kauli ya mmoja wa watangulizi wema na Maimamu wake kwamba imesemwa kuwa Mungu hana mwili na kwamba sifa zake si za kimwili au viungo.” Nasi tunamwambia: Bali katika Kitabu cha Mwenyezi Mungu, katika Sunnah za Mtume na katika maneno ya watangulizi kumekanushwa hilo, amesema Mwenyezi Mungu: “Hana mfano na kitu chochote,” na akasema: “Wala hana anayefanana naye.” (Ikhlas; 112:4). Ama upande wa Sunnah, imepokewa na Imam Al-Hakim katika Mustadrak (2:540) na Tirmidhiy (3364) kutoka kwa Ubayy bin Kaab: “Kwamba mushrikina walimwambia Mtume, ewe Muhammad, tusifie Mungu wako. Mwenyezi Mungu akateremsha: ⎯ä3tƒ öΝs9uρ ∩⊂∪ ô‰s9θムöΝs9uρ ô$Î#tƒ öΝs9 ∩⊄∪ ߉yϑ¢Á9$# ª!$# ∩⊇∪ î‰ymr& ª!$# θu èδ ö≅è% 7‰ymr& #·θàà2 …ã&©!

“Sema: Yeye Mwenyezi Mungu ni wa pekee. Mwenyezi Mun“Sema: Yeye Mwenyezi Mungu ni wa pekee. Mwenyezi gu Mkusudiwa.” (Ikhlas) akasema: Hakuzaa wala hakuzaliwa. Mungu Mkusudiwa.” (Ikhlas) akasema: Hakuzaa wala Wala hana anayefanana naye hata mmoja. Kwa kuwa hakuna kinhakuzaliwa. Wala hana anayefanana naye hata mmoja. Kwa achozaliwa ila kitakufa, na hakuna kitakachokufa ila kitarithiwa, na kuwa hakuna kinachozaliwa ila kitakufa, na hakuna Mwenyezi Munguila hafikitarithiwa, wala harithiwi hana anayefanana naye kitakachokufa na Wala Mwenyezi Mungu hafi wala hata mmoja. Wala Akasema: “Hakuwa na anayefanana hakufaharithiwi hana anayefanana naye naye hata nammoja. Akasema: “Hakuwa na anayefanana naye na hakufanana na kitu chochote. Al-Hakim amesema: “Sanadi yake ni sahih na 19 hawakuitaja.” Ad-Dhahaby amesema: “Ni sahihi” Ibn Hajar ameinyamazia katika Fat’hul Bariy (13:356). Nasema, hiyo ni sahih. 07_16_Kumkosoa_18_June_2016.indd 19

6/18/2016 2:53:25 PM


KUMKOSOA YULE ANAYEIGAWANYA TAWHIDI KWA MAFUNGU

nana na kitu chochote. Al-Hakim amesema: “Sanadi yake ni sahihi na hawakuitaja.” Ad-Dhahaby amesema: “Ni sahihi” Ibn Hajar ameinyamazia katika Fat’hul Bariy (13:356). Nasema, hiyo ni sahihi. Itakuja baadaye Inshaallah kutoka kwa Imam Abu Hanifa kulaumu tashbiih. Al-Hafidh Al-Bayhaqiy katika kitabu chake Manaqib Ahmad bin Hanbali ambaye yeye ni katika Maimamu wa watangulizi wa mwanzo na ni katika viongozi wa muhadithina ameeleza: “Ahmad amewakanusha wanaoamini tajsiim na akasema, majina yamechukuliwa kutoka kwenye sheria na lugha, na watu wa lugha wameweka jina hili kwa mwenye urefu na upana “Umbo na sura.” Hayo mambo Mwenyezi Mungu yuko mbali nayo, haifai liitwe Umbo kwa kuwa yuko nje ya maana ya umbo, na haikuja hivyo katika sharia, hivyo hilo ni batili.” Maneno haya yanatoka kwa Imam Ahmad akiyaponda maneno ya Ibn Taymiyya, Ibnul Qayyim mwanafunzi wa Ibn Taymiyya anathibitisha katika kitabu Badaaiul Fawaaid (4:39) kwamba Mwenyezi Mungu anakaa katika Arshi na kando yake anamkalisha Muhammad, na kwamba hii ni daraja kuu yenye kuhimidiwa!13 Na anathibitisha katika kitabu chake As-Sawaiqul Mursalah kwamba Mwenyezi Mungu ana miguu miwili, na kwamba ikiwa Mwenyezi Mungu hakutaja katika Kitabu Chake ila mguu mmoja hii haimaanishi kuwa hana mguu mwingine, anasema: “Mwenyezi Mungu ametoa habari kwamba anaonyesha mguu mmoja, hiyo ni sifa, ni wapi sasa katika Qur’ani imetajwa kwamba Mwenyezi Mungu hana ila sifa hiyo moja tu?14 Hata wewe ukimsikia mtu anasema nimeonyesha jicho langu na mguu wangu, je itafahamika kwake kwamba yeye hana sifa isipokuwa sifa hiyo moja tu?   Pamoja na kuwa imethibiti katika Sahih Mbili tafsiri ya daraja yenye kuhimidiwi kuwa ni kuombewa shafaa, hebu rejea maelezo yetu juu ya kitabu cha Al-Hafidh Ibnul Jawzy, Daf’u Shabhi Tashbih Biakaffi Tanziih, uk. 127, maelezo namba 53. 14   Najilinda kwa Mwenyezi Mungu na upuuzi huu! 13

20

07_16_Kumkosoa_18_June_2016.indd 20

6/18/2016 2:53:25 PM


moja tu?14 Hata wewe ukimsikia mtu anasema nimeonyesha jicho langu na mguu wangu, je itafahamika kwake kwamba yeye hana sifaYULE isipokuwa sifa hiyo moja tu? KWA MAFUNGU KUMKOSOA ANAYEIGAWANYA TAWHIDI Angalia kumpa Mungu umbo huku kwa wazi wazi, uk. 31-32 Angalia kumpa Mungu umboMursalah huku kwachapa wazi wazi, uk. 31-32 katika Mukhtasar Sawaaiqul ya Maktabatu katika Mukhtasar Sawaaiqul Mursalah ya Maktabatu Riyadhul Haditha, na angalia kitabu chapa Sawaiqul Mursalaa RiyadAlal Mutalahkitabu cha Ibnul Qayyim (91:245), ya hulJahamiya Haditha, Wal na angalia Sawaiqul Mursalaa AlalChapa Jahamiya Darul Asimah Ibnul Qayyim ni Chapa mwenye Wal Mutalah chaRiyadh. Ibnul Qayyim (91:245), ya kug’ang’ania Darul Asimah hilo na itikadi nyingine za Sheikh wake Riyadh. Ibnul Qayyim ni mwenye kug’ang’ania hilo Al-Harraniy na itikadi nyaliyemuanzishia kitabu chake Taasiis (1:109), ambapo ingine za Sheikh wake Al-Harraniy aliyemuanzishia kitabuhumo chake amesema: “Ikiwa ni hivyo basi jina la tashbihi halikutajwa kwa Taasiis (1:109), ambapo humo amesema: “Ikiwa ni hivyo basi jina kulaumu katika Qur’ani na Sunnah na maneno ya Swahaba na la Tabiina. tashbihi halikutajwa kwa kulaumu katika Qur’ani na Sunnah na maneno ya Swahaba na Tabiina. Nasema: mfano wa wa maneno manenomepesi mepesitu tukatika katika Nasema:SiSi hivyo; hivyo; na na mfano kukuvunja maneno haya ni kwamba Al-Hafidh ametaja katika vunja maneno haya ni kwamba Al-Hafidh ametaja katika Siyaru AalSiyaru Aalamu Nubalaa (7:202) akinukuu kutoka Imam amu Nubalaa (7:202) akinukuu kutoka kwa Imam Abukwa Hanifa amAbu Hanifa ambaye amesema: “Rai mbili chafu zimetujia baye amesema: “Rai mbili chafu zimetujia kutoka Mashariki nazo kutoka Mashariki nazo ni Jahm na Mushabbihi.” Na Ibn Jarir ni Tabariy Jahm naametaja Mushabbihi.” Ibn Jarir ametajaSurat katika Tafsiir katika Na Tafsiir yake Tabariy katika kufasiri Ikhlas, yake katika kufasiri Ikhlas, kutoka kwa Abulwatangulizi Aaliya na wenkutoka kwa Abul Surat Aaliya na wengineo katika wa gineo katika kwamba, watangulizihakika wa mwanzo kwamba, hakikahana Mwenyezi mwanzo Mwenyezi Mungu wa Mungu hana wa kumshabihi wala mfano wake. kumshabihi wala mfano wake.

Chukua utukufu wako katika kusema tajsimi ewe Ibnul Qayyim, Chukua utukufu wako katika kusema tajsimi ewe Ibnul Qayyim, wala hujali wanaokupinga katika watu Ahlu sunna unaowabandiwala hujali wanaokupinga katikawawatu wa Ahlu sunna kaunaowabandika majina ya Jahmiyya na Muattwila. Amethibitisha Qayyim majina ya Jahmiyya na Ibnul Muattwila. piaAmethibitisha ubavu wa Mwenyezi Mungu, hayo katika kauli yake Ibnul Qayyim pia ametaja ubavu wa Mwenyezi Mungu, Mwenyezi Mungu: ametaja hayo katika kauli yake Mwenyezi Mungu: ∩∈∉∪ ⎦ t ⎪ÌÏ‚≈¡¡9$# z⎯Ïϑs9 M à Ζä. βÎ)uρ ! « $# = É /Ζy_ ’Îû àMÛ§sù $tΒ ’ 4 n?tã ’ 4 tAuô£ys≈tƒ …..” “Ee majuto niliyopotezaupande upande(ubavu) (ubavu) “Ee majutoyangu yangukwa kwa yale yale niliyopoteza wawa Mwenyezi Mungu (Zumar; 39:56). ­Mwenyezi Mungu (Zumar; 39:56).

Imetajwakatika katikaSwawaaiqul SwawaaiqulMursalah Mursalah(1:250) (1:250)nanaMukhtasiru Mukhtasiru Imetajwa Sawaaiq, Al-Muswily (1:33) kwamba: “Qur’ani imetaja kwa Sawaaiq,chacha Al-Muswily (1:33) kwamba: “Qur’ani imetaja kwa kuthibitisha ubavu kuwa ni sifa yake, basi ni wapi kwa 21 imetajwa kuwa ana ubavu na dhahiri yake na kwa batini yake upande mmoja tu? Na inavyojulikana ni kwamba utajaji kama huu haujulishi juu ya kuwa ni upande mmoja kama alivyosema Mtume � kumwambia Imran bin Hasin: “Swali kwa kusimama,

07_16_Kumkosoa_18_June_2016.indd 21

6/18/2016 2:53:26 PM


KUMKOSOA YULE ANAYEIGAWANYA TAWHIDI KWA MAFUNGU

kuthibitisha ubavu kuwa ni sifa yake, basi ni wapi kwa dhahiri yake na kwa batini yake imetajwa kuwa ana ubavu na upande mmoja tu? Na inavyojulikana ni kwamba utajaji kama huu haujulishi juu ya kuwa ni upande mmoja kama alivyosema Mtume  kumwambia Imran bin Hasin: kwa kusimama, usipoweza kaa, usipoweza usipoweza kaa,“Swali usipoweza basi kiubavu. Na hii haioneshi kuwa basi Na hii haioneshi kuwatu.” mtu hana isipokuwa ubavu mtukiubavu. hana isipokuwa ubavu mmoja mmoja tu.” Nasema hivi: Enyi wenye akili! Je yaswihi kumpima Mwenyezi Nasema hivi: Enyi wenye akili! Je yaswihi kumpima Mwenyezi Mungu na Imran bin Haswin na kumshabihisha? Na je yafaa Mungu na Imran kumpwekesha bin Haswin na Mwenyezi kumshabihisha? Na aseme je yafaakuwa mtu mtu mwenye Mungu mwenye kumpwekesha Mwenyezi asemeWallahi kuwa Mwenyezi Mwenyezi Mungu ana upandeMungu (ubavu)? kusema Mungu ana kama upandehaya (ubavu)? Wallahinyuma kusemakwa maneno kamakuabudu haya ni maneno ni kurudi wenye kurudi nyuma kwa wenye kuabudu masanamu: masanamu: ∩⊇∇⊃∪ šχθàÅÁtƒ $¬Ηxå Í﨓Ïèø9$# Éb>u‘ y7În/u‘ z⎯≈ysö6ß™

“AmetakasikaMola Mola Mlezi Mlezi Mwenye Mwenye enzi enzi na na yale yale wanayo wanayo “Ametakasika mzulia. (As(As Safat; 37:180). mzulia. Safat; 37:180). Na Imam Ibnu Taymiyya kiongozi wake katika balaa hili ni Abu Na Imam Ibnu 15Taymiyya kiongozi wake katika balaa hili ni Abu 15 akisema: “Nifuateni kwa mtakayo ila yaala AlAl Hanbaly aliyekuwa akisema: “Nifuateni kwa mtakayo yaala Hanbalyaliyekuwa ndevu na utupu.” Yaani katika za Mwenyezi Mungu, kama alila ndevu na utupu.” Yaani sifa katika sifa za Mwenyezi Mungu, ivyonukuu hivyo Ibnulhivyo ArabyIbnul Al Maliky kitabukatika Al-Awaasim kama alivyonukuu Araby katika Al Maliky kitabu (2:283). Hii ndio TawhidHiiyandio majina wanayotaka kuithibitisha, na Al-Awaasim (2:283). Tawhid ya majina wanayotaka mwenye kukanusha chochote kukanusha katika madudu yao basi tawhid yake kuithibitisha, na mwenye chochote katika madudu basi tawhid yake ina na kuwa si sahihi, na inamlazimu inayao upungufu na si sahihi, naupungufu inamlazimu kafiri. kuwa kafiri. Wanawatisha watu kwa ukafiri ili watu waogope kuzikanusha sifaWanawatisha hizi walizozizusha kwa ukafiri Mwenyezi Mungu, angaliakuzikanusha kwa makini. watu kwa ili watu waogope Nasifa kitabu Abu Yaala juukwa ya Sifa kiitwacho Ibtalu Taawiil hizicha walizozizusha Mwenyezi Mungu, angalia humo kwa makini. Na kitabu cha Abu Yaala juu ya Sifa kiitwacho Ibtalu 15   Al-Hafidh Ibnul Jawzy amempinga huyu katika kitabu chake mashuhuri Dafu Shabhi Taawiiltumekihakiki humo kuna majanga na kumtosheleza maajabu mwenye ambayo yatosha Tashbihi, na kukifafanua kiasi cha kutaka haki. kumfanya mwenye akili amhukumu mtunzi wake kuwa hajui katika Uislamu chochote, kama 22 alivyosema Ibnul Jawzy katika kitabu chake Daf-u shibhu tashbiih biakaffi tanziih, wala hana utakaso wowote kwa Mwenyezi Mungu. Amekichapisha na kupitiwa na mtu wa chini, nayo ni dalili kwa kila msomaji 07_16_Kumkosoa_18_June_2016.indd 22 mwerevu juu ya uabudu masanamu unaoitwa na wao kuwa6/18/2016 ni

2:53:26 PM


KUMKOSOA YULE ANAYEIGAWANYA TAWHIDI KWA MAFUNGU

kuna majanga na maajabu ambayo yatosha kumfanya mwenye akili amhukumu mtunzi wake kuwa hajui katika Uislamu chochote, kama alivyosema Ibnul Jawzy katika kitabu chake Daf-u shibhu tashbiih biakaffi tanziih, wala hana utakaso wowote kwa Mwenyezi Mungu. Amekichapisha na kupitiwa na mtu wa chini, nayo ni dalili kwa kila msomaji mwerevu juu ya uabudu masanamu unaoitwa na wao kuwa ni Tawhid ya sifa na majina (Tawhidu sifaat wal asmaa). Tanbihi muhimu sana: Na linalojulisha kuwa hawa wanaojifanya watangulizi wa mwanzo ni wafuasi wa Ibnu Taymiyya na Ibnul Qayyim ni kwamba wanafuata mwendo wa masheikh wao, na tungo zao zinathibitisha hilo. Miongoni mwazo ni kitabu kilichochapishwa hivi karibuni cha muwahabi aitwaye Abdallah bin Muhammad Duweish, kiitwacho Al-Mawrudu Zalaal fii tanbih ala akhtaau dhwalaal anamtukana humo Sheikh Seyyid Qutb akimtaja kuwa ni Mjahmiy, Muutaziliy, Ash’ary. Angalia baadhi ya ayasemayo huyu: 1.

Anasema katika uk. 9: “Ameaibisha – Seyyid Qutb – kauli za Ahlu Sunnah wal-Jamaa, na huu ndio mwendo wa watu wa bidaa wa Jahamiyya na Muutazila, na maneno yake yatakuja yanayofafanua kuwa yeye alifuata njia zao.”

2.

Anasema katika uk. 19: “Nami nasema maneno yake haya – Seyyid Qutb - ni kauli ya watu wa bidaa kama Jahmiyya na Mutazilah na Ashaira. Ama Ahlu Sunna wal-Jamaa hawamtaji Mungu ila vile alivyojitaja yeye mwenyewe…” Kisha akasema baada ya hivyo kwa mistari mitano katika ukurasa huo huo akiwatukana watu wa bidaa: “Na makusudio yao ni kukanusha sifa za Mwenyezi Mungu kama vile za mwili…” Naye anaona kuwa katika sifa za Mwenyezi Mungu ni mwili na kwamba maneno ya Seyyid Qutb na 23

07_16_Kumkosoa_18_June_2016.indd 23

6/18/2016 2:53:26 PM


Seyyid Qutb - ni kauli ya watu wa bidaa kama Jahmiyya na Mutazilah na Ashaira. Ama Ahlu Sunna wal-Jamaa hawamtaji Mungu ila vile alivyojitaja yeye mwenyewe…” Kisha akasema baada ya hivyo kwa mistari mitano katika ukurasa huo huo akiwatukana watu YULE wa bidaa: “Na makusudio yao niMAFUNGU kukanusha        KUMKOSOA ANAYEIGAWANYA TAWHIDI KWA sifa za Mwenyezi Mungu kama vile za mwili…” Naye anaona kuwa katika sifa za Mwenyezi Mungu ni mwili na kwamba Maashaira wanaomtakasa Mwenyezi Mungu na mahali na maneno ya Seyyid Qutb na Maashaira wanaomtakasa Mwenyezi Mungu na mahali na wanasema: wanasema: ∩⊇⊇∪ ç ÅÁt7ø9$# ßìŠÏϑ¡¡9$# θu èδuρ ( ™Ö ï†x« ⎯ÏμÎ=÷WÏϑx. § } øŠs9 …..”4

“Hafanani kitukitu chochote, naye ni mwenye kusikia, mwenye “Hafananinana chochote, naye ni mwenye kusikia, kuona.” (Ah Shura; 42:11), kuwa ni uzushi wa Jahmiyya, na Mwemwenye kuona.” (Ah Shura; 42:11), kuwa ni uzushi wa nyeziJahmiyya, Mungu ndiye mwenye kuwatoshea na kulitoshea kundi hili pia.na na Mwenyezi Mungu ndiye mwenye kuwatoshea kulitoshea kundi hili pia. kitabu Tadhkir katika suala la mwili Imam Al-Qurtubiy katika

wa Mwenyezi Mungu, uk. 208 amesema: “Ni sahihi kuwakufuriImam Al-Qurtubiy katika kitabu Tadhkir katika suala la mwili sha, kwani hakuna tofauti kati yao na wanaoabudu masanamu na piwa Mwenyezi Mungu, uk. 208 amesema: “Ni sahihi cha.”kuwakufurisha, Imam Nawawi kwani amesema katikatofauti Majmuu yawanaoabudu Muhadhab hakuna katiSharhu yao na (4:253): “Bali umekusanyika umma katikaamesema kumkufurisha masanamu na picha.” Imam Nawawi katikamwenye Majmuu kumpa mwiliyaMungu kama(4:253): inavyojulikana.” Sharhu Muhadhab “Bali umekusanyika umma katika kumkufurisha mwenye kumpaZalalmwili Mungu kama 3. Mwenye kitabu Al-Mwawrid fi Tanbihi ala Akhtai inavyojulikana.” Dhwalal muwahabi huyu ananona ni mpotevu kila asiyekunywa maji yao. Hilo lajulikana pale anaposema katika 3. Mwenye kitabu Al-Mwawrid Zalal fi Tanbihi ala Akhtai uk. 13: “Amesema Sheikh Muhammad bin Abdul Wahhab Dhwalal muwahabi huyu ananona ni mpotevu kila asiyekunywa Mungu rohokatika yake….” majiimam yao. wa Hiloulingano, lajulikana pale aitukuze anaposema uk. Al13: ipomtajaSheikh Ibn Taymiyya alimsifu Sheikh wa Wais“Amesema Muhammad bin kuwa AbdulniWahhab imam wa lamu, wengine hakuwapa sifa hiyo. Zingatieni enyi wenye ulingano, Mungu aitukuze roho yake….” Alipomtaja Ibn akili. Na waliolala waamke!! Taymiyya alimsifu kuwa ni Sheikh wa Waislamu, wengine hakuwapa sifa hiyo. Zingatieni enyi wenye akili. Na waliolala Kukamilisha: waamke!! Ni vizuri hapa tupige jicho kwa watu wa ilimu kwamba Ibn Abul Uzza aliyenasibishwa na uhanafi, mwenye kitabu Sharhu Twahawiyya aliyepinga akida ya Imam Al-Hafidh 23 Twahawiy, huyu ni mwenye kuzungumzia tofauti baina ya tawhid ya Uluhiyya na ya Rububiyya. Na ofisi ya Kiislamu iliyochapisha kitabu hicho kwa ufafanuzi wa mkubwa wake, Shawish na toleo la Imam Al-Albany, Imam wake 24

07_16_Kumkosoa_18_June_2016.indd 24

6/18/2016 2:53:26 PM


KUMKOSOA YULE ANAYEIGAWANYA TAWHIDI KWA MAFUNGU

na sheikh wake; wameweka nakala za baadhi ya kurasa za Sharhu Twahawiyya (ubatili), na wamefanya kusudi kuweka kurasa hizo ili kuonesha kuwa ni humo ndimo imetajwa Tawhid ya Uluhiyya na ya Rububiyya (Angalia uk. 64, chapa ya nane). Kisha mfafanuzi Shawish, na mhakiki wake na mtoaji Hadithi; Al-Albany wameweka katika ukurasa wa ndani maneno ya Imam AlHafidh As-Sabkiy katika kauli yake juu ya akida ya Twahawiy: “Jamhuri ya madhehebu manne kiukweli wanakubali imani ya Twahawiy ambayo wameikubali wa mwanzo na wa baadaye.” Ili awababaishe wasioelewa kwamba wasifu huu unaotoka kwa Imam Hafidh As-Sabky umejumuisha pia ufafanuzi husika ambao ni kitabu alichokitunga Ibn Abul Uzza anayenasibishwa na uhanafi; ilihali ukweli ni kinyume na hivyo, na huu ni udanganyaji tu kutoka kwao, kwa sababu hizi: Mosi: Kitabu hiki cha ufafanuzi kimeandikwa baada ya kufa Imam Sabkiy. Pili: Maneno ya Imam Sabkiy hayana thamani kwa wanaojifanya watangulizi wema kwa sababu yeye ni Ash–ariy, na kwa sababu yeye hampendi Ibn Taymiyya, akimjua kiuhakika mambo yake na akitahadhirisha watu kumfuata Ibn Taymiyya. Hapa wao kuyataja maneno ya Imam Sabkiy ni kuwaficha wasio na elimu na wanafunzi kwamba Imam Sabkiy anaisifu Sharhu Twahawiyyah hii iliyotungwa na Ibn Abul Uzza iliyojaa upinzani wa itikadi za Kiislamu. Kama vile kuthibitisha matukio yasiyo na mwanzo, na kumthibitishia kikomo na mipaka kwa dhati ya Mwenyezi Mungu. Tatu: Kisha msambazaji – Shawish - amesimamia jambo la sheikh wake na Imam wake Al-Albaniy kwa kucheza na maneno katika uk. 5, Chapa ya pili katika maelezo: Ambapo hakunukuu maneno ya Imam Al-Hafidh Sabkiy kwa ukamilifu na kwa herufi zake, bali ameongeza herufi na akayafuta yasiyomfaa yeye. 25

07_16_Kumkosoa_18_June_2016.indd 25

6/18/2016 2:53:26 PM


KUMKOSOA YULE ANAYEIGAWANYA TAWHIDI KWA MAFUNGU

Hebu tunukuu aliyoyataja msambazaji huyu humo kisha tufuatilize na maneno ya Imam Sabkiy kutoka kwenye kitabu chake Muiidun Naim. Amesema msambazaji huyu16 neno la Allamah As-Sabkiy katika kitabu chake ni: “Haya medhehebu manne yapo katika itikadi moja, ila aliyekutana na Muutazila na Tajsiim, na kama si hivyo watu wao wako katika haki wanakubali akida ya Abu Jaf’ar Twahawiy wameisoma maulamaa wakaipokea wa zamani na wa baadaye.” Na Imam Sabkiy mwenyewe anasema ukweli huu katika kitabu chake Muiidin-Niam, uk. 62 chapa ya Muasasatu Kutubu Thaqaafiyyah, chapa ya kwanza (mwaka 1986): “Hao Hanafi, Shafiy, Maliky na Hanbali – Alhamdu lilahi - kwenye akida wako mkono mmoja, wote wanafuata rai ya Ahlus-sunna wal Jamaa, wanafuata dini ya Mwenyezi Mungu kwa njia ya sheikh wa Sunna Abul Hasan alAsh’ariy, Mungu amrehemu. Hawaendi kinyume ila baadhi ya Hanafi na Shafiy waliokutana na Muutazilah, na baadhi ya Hanbali waliokutana na watu wa tajsiim. Na Mwenyezi Mungu amewaepusha Maliki, hatujamuona mtu wa Maliki ila ni mfuasi wa Ash’ariy kiakida. Kwa ujumla ni kwamba akida ya Al-Ash’ariy ni ile ya Abu Jafar Twahawiy waliyoikubali ulamaa wa madhehebu na kuiridhia.” Hebu angalia maneno ya msambazaji alivyodanganya kumzulia maneno Sabkiy, kisha angalia maneno ya Sabkiy mwenyewe ya kiukweli niliyoyanukuu kwako kutoka kwenye kitabu chake Muiidin-Niam ili ugundue kuwa hao wanaojifanya watangulizi wa mwanzo ni wapotofu na wazushi, wamepotosha yaliyomo kweye vitabu vya turathi na ibara za ulamaa wa Kiislamu kwa ufisadi! Nne: Na kinachoonyesha kwamba wao ni wenye kupotosha, na hasa msambazaji wa Twahawy na mwenye kutoa hadithi zake, ni kwamba msambazaji Shawish amekihakiki – kama anavyodai – 16

Kusema ukweli habebi dhambi za kazi ya msambazaji tu bali anabeba dhambi za sheikh wake mkinzani aliyekuwa akimpa msambazaji fikra hizi. 26

07_16_Kumkosoa_18_June_2016.indd 26

6/18/2016 2:53:26 PM


KUMKOSOA YULE ANAYEIGAWANYA TAWHIDI KWA MAFUNGU

kitabu Ar-Radul Waafir cha Ibn Nasir Damishqy, aliyempinga humo Imam Bukhariy, na akanukuu Shawish katika utangulizi wa uhakiki wake wa kitabu kilichotajwa, wasifu wa Bukhariy na akazidisha sana kumponda! Na akanukuu sehemu ya wasifu wake kutoka katika kitabu Ad-Dhaw’u Lamiu cha Al-Hafidh Sakhawiy, akapotosha katika kunukuu aliposema kuhusu Bukhariy kuwa: “Alikuwa amejipendekeza sana kwa watawala!” Ambapo tunajua kuwa maneno yenyewe ya asili katika kitabu Ad-Dhaw’u Lamiu cha Sakhawy (19:291) ni: “Wanapofika kwake wakuu wa nchi alikuwa akiwapa mawaidha sana na kuwa mkali kwao, bali akiwatumia wafalme ujumbe mkali zaidi na kuhimiza kuondoa mambo ya wadhulumiwa..” Angalia kwa makini namna alivyogeuza ibara: ‘alikuwa mkali kwa watawala.’ (daraja 180) kiasi cha kugeuza kichwa chini miguu juu, akasema: “alikuwa akijipendekeza sana kwa watawala..” Mungu ndiye aombwaye msaada!! Nimemrejelea Shawish juu ya masuala haya nikamthibitishia kuwa haya yanaonyesha khiyana na kukosa uaminifu wa kielimu, yeye akaahidi kupitia tena na kusahihisha ibara isemayo: “Alikuwa amejipendekeza sana kwa watawala.” Katika chapa mpya itakayotoka, nasi twasubiri tuone.17 17

Naam, nimeona chapa ya hivi karibuni mpya wala sikuona kurejea kwake katika haki, hii inaonyesha namna wanavyong’ang’ania watu hawa kwenye batili! Katika upotofu wao, wamechapisha kitabu al-Adhkar cha Imam Nawawy, chapa mpya, chapa ya Darul Huda! Riyadh, kilichotolewa na Idaratu Hay’atul-Buhuth wa daawah, mwaka 1409 (A.H.). Humo wamebadilisha maneno ya Imam Nawawy, wakapotosha sehemu na kufuta wasiyoweza kuyapotosha yasiyoafikiana na hawaa yao. Wamefanya hivyo katika faslu ya Hijja ya kitabu hicho sehemu inayohusiana na ziyara ya Mtume 3. Na anayebeba dhima hiyo mbele ya Mungu ni Abdul Qadir Al-Arnawit aliyehakiki kitabu hicho na kuzitoa Hadithi zake na kufafanua kama ilivyoelezwa kwenye gombo la kitabu. Baadhi ya watu wameghurika na kudanganywa na muwahabi huyu kwa namna anavyotoa maneno matamu kama ilivyokuja katika Qur’ani: “wanawaridhia kwa midomo yao lakini nyoyo zao zinakataa” (Tawbah: 8). Nilikutana na Abdul Qadir Al-Arnawit na nikazungumza naye juu ya hayo nyumbani kwake Damascus, akajaribu kutetea, akisema wenye jukumu la upotofu huu ni wachapishaji waliochapisha kitabu hicho huko Riyadh! 27

07_16_Kumkosoa_18_June_2016.indd 27

6/18/2016 2:53:26 PM


KUMKOSOA YULE ANAYEIGAWANYA TAWHIDI KWA MAFUNGU

UFAFANUZI

J

Juu ya Kubatilisha Kugawanya Tawhid ya Rububiyyah na ya Uluhiyya:

ua ya kwamba ibada kisheria ni upeo wa kunyenyekea kwa yule anayeitakidi kuwa ana sifa za Rubuubiyya, ama katika lugha ibada ni kutii. Ibada kisheria sio ibada kilugha, haisemwi kwa mwenye kumnyenyekea mwanadamu kwamba huyo amemuabudu kisheria. Mtu anaponyenyekea kwenye kaburi la Mtume au walii na akatawasali naye haisemwi kuwa amwemuabudu asiyekuwa Mwenyezi Mungu. Kwa sababu kufanya hivyo ni mwito na istighatha na kutarajia huko hakuitwi ni ibada kisheria, na dalili ya hilo ni mambo haya: Swala, hii kilugha ni kunyenyekea na kuomba. Ama kisheria na kiistilahi ni maneno na vitendo maalum ninanyoanza na takbiir na kufungwa na salaam. Si kila dua ni Swala, na mtu akimuomba fulani haisemwi kuwa amemswalia na hivyo hivyo ni ibada.

Ama dua si yote ni ibada ila tunapomuomba Yule ambaye tunaitakidi kuwa ana sifa za Rubuuubiyyah, au sifa moja tu ya hizo. Kauli ya Mtume : “Dua ni ibada,” kama alivyoipokea al-Hakim na wengineo18 maana yake si kila dua ni ibada kama itakavyobainika punde kidogo. Dua inakuwa ni ibada inapokuwa ni kwa ajili ya Allah pekee. Wamesema baadhi ya ulamaa kama alivyonukuu Al-Manawy katika Faydhul Qadir (3:540): “Hakika maana ya Hadithi, ‘Dua ni 18  Ameipokea Ahmad (4:271) na Ibn Abu Shayba (7:33) na Abu Daud (2:77 namba 1579, na Tirmidhiy (5:375 namba 3247) na akasema ni sahih, hasan. Na Nasai katika Al-Kubra (6:450) na Ibn Maja (2:1285) na Abu Nuaim katika Hulyatul-Awliyai (8: 120) na Tabrany katika Muujam Swaghir (2:208) na Tabariy katika Tafsiri yake 9 Juz. 12 / 24 Uk. 78) na Ibn Habban katika Sahih (2: 124, Darul fikr) na Al-Hakim katika Al Mustadrak (1:491) na akasema kuwa ni sahih na kaikubali Ad-Dhahaby. 28

07_16_Kumkosoa_18_June_2016.indd 28

6/18/2016 2:53:26 PM


Ama dua si yote ni ibada ila tunapomuomba Yule ambaye tunaitakidi kuwa ana sifa za Rubuuubiyyah, au sifa moja tu ya hizo. Kauli ya Mtume �: “Dua ni ibada,” kama alivyoipokea alHakim na wengineo18 maana yake si kila dua ni ibada kama itakavyobainika punde kidogo. Dua inakuwa ni ibada KUMKOSOA YULE ni ANAYEIGAWANYA TAWHIDI KWAWamesema MAFUNGU baadhi ya inapokuwa kwa ajili ya Allah pekee. ulamaa kama alivyonukuu Al-Manawy katika Faydhul Qadir (3:540): “Hakika maana ya Hadithi, ‘Dua ni ibada,’ yaani dua ni ibada,’ yaani dua tukufu ni katika na kubwa kama ilivyo katika ibada na ibada kubwatukufu zaidi kama ilivyozaidi katika Hadithi katika Hadithi “Hija niYaani Arafah.” yake Dua “Hija ni Arafah.” ndio Yaani nguzo ndio yake nguzo kuu. Dua inakuu. maana ina maana nyingi miongoni mwazo ni mwito na mwito si ibada, nyingi miongoni mwazo ni mwito na mwito si ibada, na maanana hizihizi ni ni nyingi miongoni mwamwa maneno ya Waarabu. AmaAma katikakamaana nyingi miongoni maneno ya Waarabu. kauli za Mwenyezi Mungu katika Qur’ani ni: tika kauli za Mwenyezi Mungu katika Qur’ani ni: ! ª $# Ν ã n=÷ètƒ ô‰s% 4 $VÒ÷èt/ Νä3ÅÒ÷èt/ ™Ï !%tæ߉x. Ν ö à6oΨ÷t/ ÉΑθß™§9$# ™u !$tãߊ #( θè=yèøgrB ω

4 #]Œ#uθÏ9 Ν ö ä3ΖÏΒ χ š θè=¯=|¡tFtƒ š⎥⎪Ï%©!$#

“Msifanye wito wa wa Mtume baina yenuyenu kama wito wito wa nyinyi kwa “Msifanye wito Mtume baina kama wa nyinyi nyinyi. Mungu anawajua wakwaHakika nyinyi.Mwenyezi Hakika Mwenyezi Mungu miongoni anawajuamwenu miongoni naoondoka kwa uficho.” ( Nur; 24:63). mwenu wanaoondoka kwa uficho.” ( Nur; 24:63).

Yaani msifanye mwito baina yenu kama mnavyoitana kwa jina Yaani msifanye mwito baina yenu kama mnavyoitana kwa jina la mtu na baba – mathalan - Ewe Muhamla alilopewa mtu alilopewa na yake, baba msiseme yake, msiseme – mathalan - Ewe mad,Muhammad, lakini semeni Ewe Nabii wa Mwenyezi Mungu, ewe Mjumbe lakini semeni Ewe Nabii wa Mwenyezi Mungu, wa Allah, kwa heshima na taadhima na sauti ya unyenyekevu, kwa ewe Mjumbe wa Allah, kwa heshima na taadhima na sauti ya kwaMungu: kauli yake Mwenyezi Mungu: kauliunyenyekevu, yake Mwenyezi …çμs9 (#ρãyγøgrB Ÿωuρ c© Ä É<¨Ψ9$# ÏNöθ|¹ − s öθsù öΝä3s?≡uθô¹r& (#þθãèsùös? ω Ÿ (#θãΖtΒ#u™ t⎦⎪Ï%©!$# $pκš‰r'¯≈tƒ

tβρâßêô±s? Ÿω óΟçFΡr&uρ öΝä3è=≈yϑôãr& xÝt7øtrB βr& CÙ÷èt7Ï9 öΝà6ÅÒ÷èt/ Ìôγyfx. ÉΑöθs)ø9$$Î/ 18

∩⊄∪

Ameipokea Ahmad (4:271) na Ibn Abu Shayba (7:33) na Abu Daud (2:77

“Enyi mlio amini! Msinyanyue sauti zenu kuliko sauti ya Nabii, wala namba 1579, na Tirmidhiy (5:375 namba 3247) na akasema ni sahih, hasan. msiseme naye kwa kelele kama mnavyosemezana nyinyi kwa nyinyi, Na Nasai katika Al-Kubra (6:450) na Ibn Maja (2:1285) na Abu Nuaim “Enyivisije mliovitendo amini!vyenu Msinyanyue sautinazenu kuliko sauti ya vikaharibika, hali hamtambui katika Hulyatul-Awliyai (8: 120) na Tabrany katika Muujam Swaghir Nabii, wala msiseme naye kwa kelele kama (Al-Hujuraat; 49:2). (2:208) na Tabariy katika Tafsiri yake 9 Juz. 12 / 24 Uk. 78) na Ibn Habban

mnavyosemezana nyinyi kwa nyinyi, katika visije vitendo vyenu 124, Darul fikr) Al-Hakim Mustadrak (1:491)ya Nakatika hujaSahih dua (2: kwa maana ya naibada, hiyo ipoAlkatika maneno vikaharibika, na hali hamtambui (Al-Hujuraat; 49:2). na akasema kuwa ni sahih na kaikubali Ad-Dhahaby. Waarabu. Na katika Qur’ani iliyoshuka kwa lugha yao fasaha, ni: Na huja dua kwa maana ya ibada, hiyo ipo katika maneno ya 27 Waarabu. Na katika Qur’ani iliyoshuka kwa lugha yao fasaha, 29 ni: ∩⊇⊂∪ AÏϑôÜÏ% ⎯ÏΒ šχθä3Î=÷Κtƒ $tΒ ⎯ÏμÏΡρߊ ⎯ÏΒ šχθããô‰s? t⎦⎪Ï%©!$#uρ 4 …..”

07_16_Kumkosoa_18_June_2016.indd 29

6/18/2016 2:53:27 PM


vikaharibika, na hali hamtambui (Al-Hujuraat; 49:2). mnavyosemezana nyinyi nyinyi, visije vitendo vyenu Na huja dua kwa maana yakwa ibada, hiyo ipo katika maneno ya vikaharibika, na haliQur’ani hamtambui (Al-Hujuraat; Waarabu. Na katika iliyoshuka kwa lugha49:2). yao fasaha, Na huja dua kwa maana ya ibada, hiyo ipo katika maneno ya ni: Waarabu. Na kwa katika Qur’ani iliyoshuka lugha yao fasaha, Na huja dua maana ya ibada, hiyo kwa ipo katika maneno ya        KUMKOSOA ANAYEIGAWANYA TAWHIDI KWA MAFUNGU ni: Waarabu. Na katikaYULE Qur’ani iliyoshuka kwa lugha yao fasaha, ni: ∩⊇⊂∪ AÏϑôÜÏ% ⎯ÏΒ šχθä3Î=÷Κtƒ $tΒ ⎯ÏμÏΡρߊ ⎯ÏΒ šχθããô‰s? t⎦⎪Ï%©!$#uρ 4 …..”

∩⊇⊂∪ AÏϑôÜÏ% ⎯ÏΒ šχθä3Î=÷Κtƒ $tΒ ⎯ÏμÏΡρߊ ⎯ÏΒ šχθããô‰s? t⎦⎪Ï%©!$#uρ 4 …..” “Na∩⊇⊂∪wale badala hawamiliki AÏϑôÜÏ%mnaowaomba ⎯ÏΒ šχθä3Î=÷Κtƒ $tΒ ⎯Ï μÏΡρߊ ⎯ÏΒ Yake šχθããô‰ s? t⎦⎪Ï%©!$#uρ 4 …..”hata utando wa kokwa ya tende.” (Fatir; 35:60), yaani wale “Na wale mnaowaomba badala YakeNahawamiliki hata wanaoabudu asiyekuwa Mwenyezi Mungu. kama kauli “Na wale mnaowaomba badala Yake hawamiliki hata Yake utanutando wa kokwa ya tende.” (Fatir; 35:60), yaani wale “Na wale mnaowaomba badala Yake hawamiliki hata Allah: do utando wa kokwa tende.” (Fatir; 35:60), yaani wanaoabudu asiyekuwa Mungu. Nawale kamawanaoabudu kauli Yake wa ya kokwa yaMwenyezi tende.” (Fatir; 35:60), yaani wale asiyekuwa Mwenyezi Mungu. Na kama kauli Yake Allah: Allah: wanaoabudu asiyekuwa Mwenyezi Mungu. Na kama kauli Yake z⎯ÏiΒ #]ŒÎ) y7¯ΡÎ*sù |Mù=yèsù βÎ*sù ( 8 x •ÛØtƒ Ÿωuρ y7ãèxΖtƒ ω Ÿ $tΒ «!$# Èβρߊ ⎯ÏΒ äíô‰s? ω Ÿ uρ Allah: z⎯ÏiΒ #]ŒÎ) y7¯ΡÎ*sù |Mù=yèsù βÎ*sù ( x8•ÛØ ä ô‰s? Ÿωuρ ∩⊇⊃tƒ∉∪Ÿωt⎦uρ⎫Ïϑy7Î=≈©ãèàx9$Ζt# ƒ Ÿω $tΒ «!$# Èβρߊ ⎯ÏΒ í z⎯ÏiΒ #]ŒÎ) y7¯ΡÎ*sù |Mù=yèsù βÎ*sù ( 8 x •ÛØtƒ Ÿωuρ y7ãèxΖtƒ ω Ÿ $tΒ «!$# Èβρߊ ⎯ÏΒ äíô‰s? ω Ÿ uρ ∩⊇⊃∉∪ t⎦⎫ÏϑÎ=≈©à9$# “Na wala usiwaombe wasiokuwa Mungu ambao ∩⊇⊃∉∪ t⎦⎫ÏϑÎ=≈©à9$Mwenyezi # hawakufai kitu wala hawakudhuru. Ukifanya hivyoambao basi “Na wala usiwaombe wasiokuwa Mwenyezi Mungu “Na wala miongoni usiwaombemwa wasiokuwa Mwenyezi Mungu ambao utakuwa walio dhulumu.” (Yunus: 106), hawakufai kitu wala hawakudhuru. Ukifanya hivyo basi utakuhawakufai kitu wala wasiokuwa hawakudhuru. Ukifanya hivyo basi “Na wala usiwaombe Mwenyezi Mungu ambao usiabudu Mwenyezi Mungu asiyekufaa wala wayaani miongoni mwa asiyekuwa waliomwa dhulumu.” (Yunus: 106), yaani usiabudu utakuwa miongoni walio dhulumu.” (Yunus: 106), hawakufai kitu wala hawakudhuru. Ukifanya hivyo basi kukudhuru. asiyekuwa Mwenyezi Mungu wala kukudhuru. yaani usiabudu asiyekuwa Mwenyezi Mungu asiyekufaa wala utakuwa miongoni mwaasiyekufaa walio dhulumu.” (Yunus: 106), kukudhuru. yaani usiabudu asiyekuwa Mwenyezi Mungu asiyekufaa wala Dua maana nyingine, nayoninikutaka kutaka msaada. Mfano Dua pia pia ina maana nyingine, nayo msaada. Mfano kakukudhuru. katika kauli Yake Mwenyezi Mungu: tika kauli Yake Mwenyezi Mungu: Dua pia ina maana nyingine, nayo ni kutaka msaada. Mfano katikapia kauli Mwenyezi Mungu: Dua inaYake maana nyingine, nayo ni kutaka msaada. Mfano / ö 3 ä 9 s = ó f É G t ™ ó & r ’ þ ÎΤθãã÷Š$# ãΝà6š/u‘ tΑ$s%uρ katika kauli Yake Mwenyezi Mungu:

/ö ä3s9Mlezi ó=ÉftGó™anasema: r& þ’ÎΤθãã÷Š$# ãΝà6 š/u‘ tΑ$s%uρ nitakuitikieni. “Na Mola wenu Niombeni “Na Mola wenu Mlezi anasema: Niombeni nitakuitikieni. s9 ó=maana ÉftGó™r& þ’ya ÎΤθããkuomba, ÷Š$# ãΝà6š/u‘kama tΑ$s%uρ kaui (Ghafir; 40:60) piaö/ä3ina yake Mwe(Ghafir; 40:60) pia ina maana ya kuomba, kama kaui yake nyezi “NaMungu: MolaMungu: wenu Mlezi anasema: Niombeni nitakuitikieni. Mwenyezi (Ghafir; ina anasema: maana ya Niombeni kuomba, kama kaui yake “Na Mola40:60) wenupia Mlezi nitakuitikieni. Mwenyezi Mungu: (Ghafir; 40:60) pia ina maana ya kuomba, kama kaui yake …..4©o_ó¡çtø:$# â™!$yϑó™F{$# &ã s#sù (#θããô‰s? $¨Β $wƒr& ( z⎯≈uΗ÷q§9$# (#θãã÷Š$# ρÍ r& ©!$# (#θãã÷Š$# È≅ è% Mwenyezi Mungu: 28 “Sema: Mwiteni Allah (Mwenyezi Mungu), au mwiteni “Sema: Mwiteni Allah (Mwenyezi Mungu), au Rahman mwiteni 28 mnalomwita. Kwani Yeye ana (Mwingi wa Rehema), kwa jina lolote Rahman (Mwingi wa Rehema), kwa jina lolote mnalomwita. 28 majina (Al-Israi; 17:110). Pia kutaja majina, kama Kwanimazuri Yeye mazuri. ana majina mazuri mazuri. (Al-Israi; 17:110). katika Aya: Pia kutaja majina, kama katika Aya:

….. $pκÍ5 çνθãã÷Š$$sù 4©o_ó¡çtø:$# â™!$oÿôœF{$# ! ¬ uρ 30

“Na Mwenyezi Mungu ana majina mazuri kabisa, basi

07_16_Kumkosoa_18_June_2016.indd 30

6/18/2016 2:53:29 PM


“Sema: Mwiteni Allah (Mwenyezi Mungu), au mwiteni Rahman (Mwingi wa Rehema), kwa jina lolote mnalomwita. KUMKOSOA KWA MAFUNGU17:110). Kwani YeyeYULE anaANAYEIGAWANYA majina mazuriTAWHIDI mazuri. (Al-Israi; Pia kutaja majina, kama katika Aya: ….. $pκÍ5 çνθãã÷Š$$sù 4©o_ó¡çtø:$# â™!$oÿôœF{$# ¬!uρ

“Na Mwenyezi Mungu ana majina mazuri kabisa, basi mu“Na Mwenyezi Mungu ana majina mazuri kabisa, basi ombeni kwa hayo…..” (al-Aaraf; 7:180). YaaniYaani mtajeni kwa majimuombeni kwa hayo…..” (al-Aaraf; 7:180). mtajeni na hayo, na maana nyinginezo. kwa majina hayo, na maana nyinginezo. Imebainika kuwa kule kuita na kufanya istighatha au kuomba Imebainika kule au kuita na kufanya istighatha au kuombaibada. msaada aukuwa matarajio tawassul au kujidhalilisha hakuitwi msaada au matarajio kwa au tawassul hakuitwiwake Mtoto hujidhalilisha baba yakeaunakujidhalilisha askari kwa mkubwa ibada. Mtoto hujidhalilisha kwa baba yake na askari kwa na humuogopa na ategemea kupata vitu kutoka kwake. Hiyo haimkubwa wake na humuogopa na ategemea kupata vitu kutoka itwi kuwa makubaliano wenye akili, ya na sio kwake. Hiyoanamuabudu, haiitwi kuwakwa anamuabudu, kwayamakubaliano kuita tu ni ibada, japo kukiwa kuita huku ni kwa mfu. Katika Sahihi wenye akili, na sio kuita tu ni ibada, japo kukiwa kuita huku ni mbili kuna Hadithi kwamba  aliwaambia wa � kisima kwa mfu. Katika Sahih mbili Mtume kuna Hadithi kwambawatu Mtume kiitwacho Al Qalib ambamokiitwacho humo zilitupwa za makafiri aliwaambia watu wa kisima Al Qalibmaiti ambamo humo katika vita maiti vya Badr: “Je mmepata aliyowaahidi Mungu zilitupwa za makafiri katika vita vya Badr:Mweneyezi “Je mmepata aliyowaahidi Mweneyezi MunguMimi na Mtume kuwa Mungu ni na Mtume Wake kuwa ni kweli? nimepataWake aliyoniahidi kweli? Mimi nimepata aliyoniahidi Mungu kuwa ni kweli.” kuwa ni kweli.” Mtume aliwaambia maiti waliotupwa ndani ya kisiMtume ndani“Eee ya kisima ma chaaliwaambia Qaliib hukomaiti Badr.waliotupwa Imar akasema: Mtumecha waQaliib Mwenyezi huko Badr. Imar akasema: “Eee Mtume wa Mwenyezi Mungu! Mungu! Vipi wazungumza na miili ambayo haina roho?” Akasema: Vipi wazungumza na miili ambayo haina roho?” Akasema: “Nyinyi hamsikii zaidi yao yale niyasemayo, bali wao hawawezi “Nyinyi hamsikii zaidi yao yale niyasemayo, bali wao hawawezi kunijibuchochote. chochote.(Bukhari: (Bukhari:7:301 7:301fat-h) fat-h)nanaMuslim Muslim(4:2203). (4:2203). kunijibu Tawassul si kumwabudu yule anayefanya tawassul kwa MweTawassul si kumwabudu anayefanya tawassul kwa nyezi Mungu kupitia kwake.yule Mtume  alimfundisha kipofu akamMwenyezi Mungu kupitia kwake. Mtume � alimfundisha wambia aseme: “Mimi nimeelekea Kwako kupitia Nabii Wako Mukipofu akamwambia nimeelekea mimi Kwako kupitia kwa hammad Nabii wa aseme: rehma, “Mimi ewe Muhammad, naelekea Nabii Wako Muhammad Nabii wa rehma, ewe Muhammad, Mola Wangu kupitia kwako kwa haja yangu ili itimizwe.” Ni hadith mimi naelekea kwa Mola Wangu kupitia kwako kwa haja yangu na maarufu bainasahih ya watu wa elimu,baina ameipokea ilisahihi itimizwe.” Ni hadith na maarufu ya watuTirmidhiy wa (5:569)ameipokea na Bayhaqiy (dalailu (5:569) nnubuwwa Al-Hakim elimu, Tirmidhiy na 6:166-168) Bayhaqiy na (dalailu (1:313) na 6:166-168) Ad-Dhahabinaamesema kuwa ni sahihi wengineo kwa nnubuwwa Al-Hakim (1:313) na na Ad-Dhahabi sanad sahihi. amesema kuwa ni sahih na wengineo kwa sanad sahihi. Vilevile kufanya istighatha kwa mwanaadamu aliyeumbwa sio 31 kumwabudu, kama ilivyothibiti katika Sahih mbili: “Siku ya Kiyama kwamba jua litakaribia kufikia mshipa nusu ya sikio, watu watakapokuwa katika hali hiyo wataomba istighatha kwa 07_16_Kumkosoa_18_June_2016.indd 31

6/18/2016 2:53:29 PM


KUMKOSOA YULE ANAYEIGAWANYA TAWHIDI KWA MAFUNGU

Vilevile kufanya istighatha kwa mwanaadamu aliyeumbwa sio kumwabudu, kama ilivyothibiti katika Sahih mbili: “Siku ya Kiyama kwamba jua litakaribia kufikia mshipa nusu ya sikio, watu watakapokuwa katika hali hiyo wataomba istighatha kwa Adam kisha kwa Musa, kisha kwa Muhammad , nao wataombewa ili wahukumiwe baina ya viumbe.” Tirmidhiy (3:338), Wanavyodai wajinga kuwa kila mwito wa maiti ni kumuabudu yeye huo ni ujinga mbaya wa mwisho. Mukhtasari wa yaliyopita ni kuwa ibada katika lugha ni kutii na kunyenyekea kwa yeyote, kinyume na ibada katika istilahi ya kisheria, nayo ni upeo wa kujidhalilisha kwa Yule anayemuitakidi kuwa ni mwenye sifa za Urububiyya. Ukielewa hivyo utajua kwamba mtu anapomtii mwingine si kwa itikadi kwamba ana sifa za Rububiyyah hiyo haiitwi kuwa ni mwenye kumuabudu kisheria, japo katika baadhi ya sura inaweza kuwa ni haramu, kama pale mtu atakapomnyenyekea tajiri kwa ajili ya utajiri wake, lakini si kumwabudu, wala mwenye kufanya hivyo haitwi mushrik, kama alivyosema Allama Shanqity katika kitabu chake, Zaadul Muslim bimattafaqa alayhi l Bukhary wa Muslim. Na iko wazi pia kwamba, tunasema kuwa ibada kisheria maana yake ni kuleta unyenyekevu wa hali ya juu sana kimoyo na kimwelekeo, nao una aina mbili, Qalbiyya na Qaalibiyya. Qalbiyya ni kuitakidi uungu na mambo yake yanayomhusu, kama kuhusu kuwa peke yake katika kunufaisha, kudhuru na kupitisha matakwa kwa anayeitikadiwa hivyo. Ama Qaalibiyya ni kufanya unyenyekevu kwa namna ya kunyenyekea kwa dhahiri katika kusimama, kurukuu, kusujudu na mengineyo pamoja na kuitakidi kimoyo pia. Ikiwa mtu atafanya moja ya mambo hayo bila itikadi hiyo, kunyenyekea huko hakuwi kisheria 32

07_16_Kumkosoa_18_June_2016.indd 32

6/18/2016 2:53:29 PM


kupitisha matakwa kwa anayeitikadiwa hivyo. Ama Qaalibiyya ni kufanya unyenyekevu kwa namna ya kunyenyekea kwa dhahiri katika kusimama, kurukuu, kusujudu KUMKOSOA YULE pamoja ANAYEIGAWANYA TAWHIDI KWA MAFUNGU na mengineyo na kuitakidi kimoyo pia. Ikiwa mtu atafanya moja ya mambo hayo bila itikadi hiyo, kunyenyekea huko hakuwi kisheria ni ibada hata kama atasujudu. ni ibada hata kama atasujudu. Wanavyuoni wamezungumzia juu ya Wanavyuoni wamezungumzia juu ya kumkufurisha anayeabudu kumkufurisha masanamu sanamu masanamu kwaanayeabudu sababu sanamu hilo ni kwa alamasababu ya itikadi hiyo,hilo na ni alama ya itikadi hiyo, na si kwa kuwa unyenyekevu wenyewe ni si kwa kuwa unyenyekevu wenyewe ni kufru. Lau ingekuwakufru. Lau ingekuwa kusujudu kwenyewe ni kufru kusingekuwa halali kusujudu kwenyewe ni kufru kusingekuwa halali kisheria, kisheria, ameamuru Mwenyezi na hawezi kuamuru uchafu, ameamuru Mwenyezi Mungu Mungu na hawezi kuamuru uchafu, akasema: akasema: “. ……. Ï™!$t±ósxø9$$Î/ âßΔù'tƒ Ÿω ©!$# χÎ) ö≅è% 3 …..” “Hakika Mwenyezi Munguhaamrishi haamrishi mambo “Hakika Mwenyezi Mungu mambomachafu.” machafu.” (al-A’araf; 7:28). (al-A’araf; 7:28).

Kama inavyojulikana katika sheria zilizopita zamani, kumsujuKama inavyojulikana katika sheria zilizopita zamani, dia asiyekuwaasiyekuwa Mwenyezi Mungu kwa njia ya kumtukuza na kumuakumsujudia Mwenyezi Mungu kwa njia ya kumtukuza na kumuamkia kulifaa, na kuliharamishwa kwenye mkia kulifaa, na kuliharamishwa kwenye sheria hii ya sasa. Anaysheria hii mtu ya kwa sasa. kumuamkia Anayemsujudia mtu kwa kumuamkia au emsujudia au kumheshimu bila ya kuitakidi 30uungu wake hupata dhambi kwa kumheshimu bila ya kuitakidi uungu wake hupata dhambi kwa kusujudu huko, wala hawi kafiri ila kusujudu huko, wala hawi ya kafiri ila atakapoambatanisha na atakapoambatanisha na imani umungu kwa yule anayemsujudia. imani ya umungu kwa yule anayemsujudia. Na hilo Mwenyezi Na hilo Mwenyezi Mungu amekuongoza kwa kauli Yake kwa SayyMungu amekuongoza kwa kauli Yake kwa Sayyidna Yakub na idna Yakub na wanawekwa walipoingia Sayyidna Yusuf: wanawe walipoingia Sayyidnakwa Yusuf: ‘ } ≈tƒö™â‘ ≅ ã ƒÍρù's? #x‹≈yδ M Ï t/r'¯≈tƒ Α t $s%uρ ( #Y‰£∨ß™ …çμs9 #( ρ”yzuρ ¸ Ä öyèø9$# ’n?tã μÏ ÷ƒuθt/r& yìsùu‘uρ "….. ( $y)ym ’În1u‘ $yγn=yèy_ ô‰s% ã≅ö6s% ⎯ÏΒ

“Na akawapandisha wazazi wake kwenye kitikiti cha enzi “Na akawapandisha wazazi wake kwenye cha enzinana wakaporomokakumsujudia. kumsujudia.Na Naakasema: akasema:Ewe Ewebaba babayangu! yangu!Hii wakaporomoka Hii ndiyo tafsiri ya ile ndoto yangu ya zamani. Mwenyezi ndiyo tafsiri ya ile ndoto yangu ya zamani. Mwenyezi Mungu Mungu ameijaalia iwe(Yusuf; kweli. 12:100). (Yusuf; 12:100). ameijaalia iwe kweli. Ibn Kathir katika Tafsiir yake amesema (2:597): “Yaani walimsujudia Nabii Yusuf baba 33 yake, mama yake na ndugu zake na walikuwa ni watu kumi na mmoja. Hii katika sheria yao ilikuwa ni kawaida wanapomsalimia mkubwa wanamsujudia, na hii iliendelea kutoka kwa Adam hadi kwa Isa, kisha 07_16_Kumkosoa_18_June_2016.indd 6/18/2016 ikaharamishwa33 katika mila hii.”

2:53:30 PM


KUMKOSOA YULE ANAYEIGAWANYA TAWHIDI KWA MAFUNGU

Ibn Kathir katika Tafsiir yake amesema (2:597): “Yaani walimsujudia Nabii Yusuf baba yake, mama yake na ndugu zake na walikuwa ni watu kumi na mmoja. Hii katika sheria yao ilikuwa ni kawaida wanapomsalimia mkubwa wanamsujudia, na hii iliendelea kutoka kwa Adam hadi kwa Isa, kisha ikaharamishwa katika mila hii.” Pia Mola aliwaamrisha Malaika wamsujudie Adam, ikawa sijda yao kwake ni amri ya Mwenyezi Mungu na kumheshimu Adam . Hapa tunafahamu kwamba kuitukuza Al-Kaaba kwa kuitufu pembezoni mwake na kulitukuza jiwe jeusi (Hajarul-Aswad) kwa kulishika na kulibusu na kusujudu mbele yake si kuiabudu Al-Kaaba wala jiwe jeusi, ila ni ibada ya kumuabudu aliyeamrisha kufanya hivyo, Allah, (s.w.t.) ambaye mwenye kutufu anaitakidi uungu Wake (Rububiyya). Si kila kukitukuza kitu ni kukiabudu bali kuna yaliyo wajibu au sunna aliyoamrisha Mungu yafanywe hivyo. Na kuna yaliyo makruh au haramu au mubah. Wala haiwi kukitukuza kitu ni shirki mpaka pale utukuzaji huo uwe umeambatana na imani ya kuamini uungu wa kitu hicho. Kila anayekitukuza kitu, katika sheria hachukuliwi kuwa ni mwenye kukiabudu, ila pale atakapoitakidi uungu wa kitu hicho. Imetulia katika akili za binadamu kuwa anayestahiki uungu basi apaswa kuabudiwa, na asiye na uungu hapaswi kuabudiwa. Kuthibiti uungu na kustahiki kuabudiwa ni mambo mawili yaliyoshikana katika aliyoweka Mwenyezi Mungu na ilivyo katika akili za watu. Na kwa msingi wa kuitaikidi kuwa kuna ushirika katika Rububiya, mushrikina walijengea haki ya kustahiki kuabudiwa wale waliowaamini kuwa ni miungu yao badala ya Allah (s.w.t.). Na mushrik hawezi kukubali kumwabudu Mungu mmoja hadi akubali kuwa Mungu ni mmoja katika uungu Wake. Na maadam nafsi yake inaitakidi uungu wa mwingine, basi ni lazima aitakidi kuwa huyo mwingine ­asiyekuwa Allah (Mtukufu) anastahiki kuabudiwa, na 34

07_16_Kumkosoa_18_June_2016.indd 34

6/18/2016 2:53:30 PM


kustahiki kuabudiwa wale waliowaamini kuwa ni miungu yao badala ya Allah (s.w.t.). Na mushrik hawezi kukubali kumwabudu Mungu mmoja hadi akubali kuwa Mungu ni mmoja katika uungu Wake. Na maadam nafsi yake inaitakidi uungu wa mwingine, ni lazima TAWHIDI aitakidiKWA kuwa huyo mwingine KUMKOSOA YULEbasi ANAYEIGAWANYA MAFUNGU siyekuwa Allah (Mtukufu) anastahiki kuabudiwa, na kwa ajili hiyo ni wazi kwa wenye akili kuwa Tawhid ya Rububiya na Tawhid ya ni Uluhiyya ni wenye kitu kimoja hakuna tofautiyakati ya viwili kwa ajili hiyo wazi kwa akili kuwa Tawhid Rububiya na hivi. Haviachani katika kuwepo na katika itikadi, na Tawhid ya Uluhiyya ni kitu kimoja hakuna tofauti kati ya viwili hivi. kuvigawanya ya Uluhiyya na Rububiyya ni ubatilishaji Haviachani katikakati kuwepo na katika itikadi, na kuvigawanya kati ya kama tutakavyobainisha. Uluhiyya na Rububiyya ni ubatilishaji kama tutakavyobainisha.

Anayekiri kuwa kuwa hapana huyo amekiri kuwakuwa hasAnayekiri hapana mola molailailaAllah, Allah, huyo amekiri tahiki mwingine kuabudiwa ila Allah, hii ndio yamaana laa ilailla hastahiki mwingine kuabudiwa ilana Allah, na maana hii ndio ya laa ilailla llah katika nyoyo za Waislamu wote. Na kwa hivyo llah katika nyoyo za Waislamu wote. Na kwa hivyo twaona Qur’ani twaona Qur’ani mahalina pengine inatosheka na Yake mojawapo; mahali pengine inatosheka mojawapo; angalia kauli Mweangalia kauli Yake Mwenyezi Mungu: nyezi Mungu: $£ϑtã ¸ Ä öyèø9$# b> É u‘ ! « $# ⎯ z ≈ysö6Ý¡sù 4 $s?y‰|¡xs9 ! ª $# ω  Î) πî oλÎ;#u™ $! yϑÍκÏù β t %x. öθs9 ∩⊄⊄∪ tβθàÅÁtƒ

Lau wangelikuwamo humo waungu wengine isipokuwa Mwenyezi Lau wangelikuwamo humo waungu wengine isipokuwa Mungu basi zingelifisidika. Ametakasika Mwenyezi Mungu, Mola Mwenyezi Mungu basi zingelifisidika. Ametakasika wa Arshi, na hayo wanayoyasifu.” (Al-Anbiyaa; 21:22). Na kauili Mwenyezi Mungu, Mola wa Arshi, na hayo wanayoyasifu.” yake:

(Al-Anbiyaa; 21:22). Na kauili yake:

$yϑÎ/ μ¥ ≈s9Î) ≅ ‘ ä. |=yδs%©! #]ŒÎ) 4 μ> ≈s9Î) ⎯ ô ÏΒ …çμyètΒ χ š %Ÿ2 $tΒuρ $ 7 s!uρ ⎯ÏΒ ! ª $# ‹ x sƒªB$# $tΒ

∩®⊇∪ χ š θàÅÁtƒ $£ϑtã ! « $# ⎯ z ≈ysö6ß™ 4 Ù < ÷èt/ ’ 4 n?tã Ν ö ßγàÒ÷èt/ ξ Ÿ yès9uρ t,n=y{

“Mwenyezi Mungu hakujifanyia mwana, wala hanaye “Mwenyezi Mungu hakujifanyia mwana, walamungu hanaye mwingine. Ingelikuwa hivyo basi kila Mungu angelichukua alivyovimungu mwingine. Ingelikuwa hivyo basi kila Mungu umba. Na baadhi yaoalivyoviumba. wangeliwashinda wengine. angelichukua Na Ametakata baadhi Mweyao nyezi Mungu na wanavyomsifu.” (al-Muuminun; 23:91), ambapo wangeliwashinda wengine. Ametakata Mwenyezi Mungu na ametaja kwa neno ilahi na si rabbi na katika kauli yake: wanavyomsifu.” (al-Muuminun; 23:91), ambapo ametaja kwa

neno ilahi na si rabbi na katika kauli yake:

35

07_16_Kumkosoa_18_June_2016.indd 35

6/18/2016 2:53:30 PM


KUMKOSOA YULE ANAYEIGAWANYA TAWHIDI KWA MAFUNGU

öΝÍκŦàΡr& ’ # n?tã öΝèδy‰pκô−r&uρ öΝåκtJ−ƒÍh‘èŒ Ο ó ÏδÍ‘θßγàß ⎯ÏΒ tΠyŠ#u™ û©Í_t/ ⎯ . ÏΒ y7•/u‘ x‹s{r& øŒÎ)uρ

öΝÍκŦàΡr& #’n?tã öΝèδy‰pκô−r&uρ öΝåκtJ−ƒÍh‘èŒ óΟÏδÍ‘θßγàß ⎯ÏΒ tΠyŠ#u™ û©Í_t/ .⎯ÏΒ y7•/u‘ ‹ x s{r& øŒÎ)uρ ô⎯tã $¨Ζà2 $¯ΡÎ) Ïπyϑ≈uŠÉ)ø9$# tΠöθtƒ (#θä9θà)s? χr& ¡ !$tΡô‰Îγx© ¡ 4’n?t/ #( θä9$s% ( öΝä3În/tÎ/ àMó¡s9r&

ô⎯tã $¨Ζà2 $¯ΡÎ) Ïπyϑ≈uŠÉ)ø9$# tΠöθtƒ (#θä9θà)s? χr& ¡ !$tΡô‰Îγx© ¡ ’ 4 n?t/ #( θä9$s% ( öΝä3În/tÎ/ àMó¡s9r& ∩⊇∠⊄∪ t⎦,Î#Ï≈xî #x‹≈yδ

∩⊇∠⊄∪ t⎦,Î#Ï≈xî #x‹≈yδ “Na Mola Wako alipowaleta katika wanaadamu kutoka migongoni mwao kizazi chao, nakatika akawashuhudisha juu ya “NaMola MolaWako Wakoalipowaleta alipowaleta wanaadamukutoka kutoka “Na katika wanaadamu nafsi zao, akawaambia: Mimi si Mola Wenu? migongoni chao, naJe, akawashuhudisha juu juu ya nafsi migongonimwao mwaokizazi kizazi chao, na akawashuhudisha ya Wakasema: Kwa nini! Tumeshuhudia. Msije mkasema Siku zao, akawaambia: Je, Mimi si Mola Wenu? Wakasema: Kwa nini! nafsi zao, akawaambia: Je, Mimi si Mola Wenu? ya Kiyama sisi tulikuwa tumeghafilika na haya (Al Aaraf: Tumeshuhudia. Msije mkasema Siku yaMsije Kiyama sisi tulikuwa Wakasema: Kwa nini! Tumeshuhudia. mkasema Siku 172) wala hakusema bi ilaahikum. Na hadithi ya Mtume �: ya Kiyama sisi tulikuwa tumeghafilika na haya (Al Aaraf: tumeghafilika na hayamalaika (Al Aaraf: 172) wala hakusema bi ilaahi“Watakuja kaburini wawili kwa maiti na watamuuliza; 172) wala hakusema bi ilaahikum. Na hadithi ya Mtume �: kum. hadithi ya Mtume “Watakuja kaburini malaika wawili ‘NiNanani Mungu (Rabbi): wako;” hili swali latosha kuonyesha “Watakuja kaburini malaika wawili kwa maiti na watamuuliza; kwa maiti na watamuuliza; ‘Ni nani Mungu Jawabu (Rabbi) wako;” hili swali Urububiyya wa Mwenyezi Mungu. lake litakuwa: ‘Ni nani Mungu (Rabbi) wako;” hili swali latosha kuonyesha latosha kuonyesha wa Mwenyezi Jawabu lake ‘Allahu rabbi, Urububiyya wala hawatomuuliza je Mungu. waijua Tawhid ya Urububiyya wa Mwenyezi Mungu. Jawabu lake litakuwa: litakuwa: ‘Allahu wala Je, hawatomuuliza je waijua Tawhid ya Rububiyya na rabbi, kuikubali? hukuijua Tawhid ya Uluhiyya? ‘Allahu rabbi, wala hawatomuuliza je waijua Tawhid ya Wala hawatomwambia kuwa Tawhid ya Rububiyya inatosha Rububiyya kuikubali? Je, hukuijua Tawhid ya Uluhiyya? Wala haRububiyyana na kuikubali? Je, hukuijua Tawhid ya Uluhiyya? katika imani.kuwa Tawhid ya Rububiyya inatosha katika imani. watomwambia Wala hawatomwambia kuwa Tawhid ya Rububiyya inatosha katika Huyuimani. hapaNabii NabiiIbrahim Ibrahim(a) (a)akimwambia akimwambiayule yulemfalme mfalmejabari: jabari: Huyu hapa Huyu hapa Nabii Ibrahim (a) akimwambia yule mfalme jabari: àM‹ÏΒé&uρ ⎯Ä©óré& O$tΡr& Α t $s% M à ‹Ïϑãƒuρ ⎯Ç‘ósム”Ï%©!$# }‘În/u‘ ãΝ↵Ïδ≡tö/Î) Α t $s% øŒÎ) …..” àM‹ÏΒé&uρ ⎯Ä©óré& O$tΡr& tΑ$s% àM‹Ïϑãƒuρ ⎯Ç‘ós“….. ム”Ï%©!$# }‘În/u‘ Ν ã ↵Ïδ≡tö/Î) tΑ$s% Œø Î) …..”

“….. “MunguWangu Wangu (Rabbii) (Rabbii)ni niYule Yule anayehuisha anayehuisha na na kufisha.” kufisha.” “Mungu Yeye akasema: (Al-Baqara; Yeye akasema:Mimi Mimipia pianahuisha nahuisha na na kufisha (Al-Baqara; “Mungu Wangu (Rabbii) ni Yule anayehuisha na kufisha.” 2:258), Ibrahim akabatilisha ya madai ya uungu na 2:258), Ibrahim akabatilisha hojahoja ya madai ya uungu wakewake na hatiYeye akasema: Mimi pia nahuisha na kufisha (Al-Baqara; hatimaye ikabatilika haki ya kufaa yeye kuabudiwa. Na maye ikabatilika ya kufaa hoja yeyeya kuabudiwa. inathibitishwa 2:258), Ibrahimhaki akabatilisha madai ya Na uungu wake na inathibitishwa tena kuwa hakuna tofauti kati yapale Tawhid hizo tena kuwa hakuna tofauti kati ya Tawhid hizo mbili Mwenyezi hatimaye ikabatilika haki ya kufaa yeye kuabudiwa. Na mbili pale Mwenyezi Mungu anapoeleza kuhusu Firauni Mungu anapoeleza kuhusu Firauni aliposema: inathibitishwa tena kuwa hakuna tofauti kati ya Tawhid hizo aliposema: mbili pale Mwenyezi Mungu anapoeleza kuhusu Firauni aliposema: ’Í< ‰ ô Ï%÷ρr'sù ”Îöxî >μ≈s9Î) ô⎯ÏiΒ Νà6s9 36M à ôϑÎ=tã $tΒ _|yϑø9$# $y㕃r'¯≈tƒ ãβöθtãöÏù tΑ$s%uρ ’Í< ‰ ô Ï%÷ρr'sù ”Îöxî >μ≈s9Î) ô⎯ÏiΒ Νà6s9 M à ôϑÎ=tã $tΒ _|yϑø9$# $y㕃r'¯≈tƒ β ã öθtãöÏù Α t $s%uρ ß ≈yϑ≈yγ≈tƒ ’ÎoΤÎ)uρ † 4 y›θãΒ Ïμ≈s9Î) ’ # n<Î) ßìÎ=©Ûr& ’ þ Ìj?yè©9 $[m÷|À ’Ík< ≅yèô_$$sù È⎦⎫ÏeÜ9$# ’n?tã ⎯

ß ≈yϑ≈yγ6/18/2016 ’ÎoΤÎ)uρ 4†y›θãΒ Ïμ≈s9Î) ’ # n<Î) ßìÎ=©Ûr& þ’Ìj?yè©9 $[m÷|À ’Ík< ≅yèô_$$sù È⎦⎫ÏeÜ9$# ’n?tã ⎯ ≈tƒ

07_16_Kumkosoa_18_June_2016.indd 36

2:53:32 PM


Yeye akasema: Mimi pia nahuisha na kufisha (Al-Baqara; 2:258), Ibrahim akabatilisha hoja ya madai ya uungu wake na hatimaye ikabatilika haki ya kufaa yeye kuabudiwa. Na inathibitishwa tena kuwa hakuna tofauti kati ya Tawhid hizo mbili pale Mwenyezi Mungu anapoeleza kuhusu Firauni KUMKOSOA YULE ANAYEIGAWANYA TAWHIDI KWA MAFUNGU aliposema: ’Í< ô‰Ï%÷ρr'sù ”Îöxî >μ≈s9Î) ô⎯ÏiΒ Νà6s9 àMôϑÎ=tã $tΒ | _ yϑø9$# $y㕃r'¯≈tƒ ãβöθtãöÏù Α t $s%uρ ’ÎoΤÎ)uρ 4†y›θãΒ Ïμ≈s9Î) ’ # n<Î) ßìÎ=©Ûr& ’ þ Ìj?yè©9 $[m÷|À ’Ík< ≅yèô_$$sù ⎦ È ⎫ÏeÜ9$# ’n?tã ß⎯≈yϑ≈yγ≈tƒ

∩⊂∇∪ t⎦⎫Î/É‹≈s3ø9$# š∅ÏΒ …çμ‘ΖàßV{

“NaFirauni Firauni akasema: SijuiSijui kamakama mnaye “Na akasema: Enyi Enyiwaheshimiwa! waheshimiwa! mungu asiye kuwa mimi. Ewe Haman! Niwashie moto unichomnaye mungu asiye kuwa mimi. Ewe Haman! Niwashie mee udongo, unijengee mnara nipate kumchungulia mungu moto unichomee unijengee mnara nipatewa kumchungulia munguudongo, wa Musa. Na hakika mimi namwona yeye niNakatika waongo. (Al-Qasas;yeye 28:38); na mara nyingine Musa. hakika mimi namwona ni katika waongo. (Alanasema: 33 Qasas; 28:38); na mara nyingine anasema: ∩⊄⊆∪ 4’n?ôãF{$# ãΝä3š/u‘ O$tΡr& tΑ$s)sù

“Akasema: Mimi ndiye Mola wenu Mkuu.” (An-Naziaat; “Akasema: Mimi ndiye Mola wenu Mkuu.” (An-Naziaat; 79:24) Rabbi na na Rabbi ndiye Ilahi, 79:24) ikadhihirika ikadhihirikakuwa kuwaIlahi Ilahindiye ndiye Rabbi Rabbi ndiye hakuna tofauti.tofauti. Ilahi, hakuna Kwa ujumla Qur’ani imeashiria pamoja na Hadithi kuwa Tawhid Kwa ujumla naQur’ani pamoja nandivyo Hadithi kuwa ya Rububiyya Uluhiyyaimeashiria ni kitu kimoja, hivyo alivyoamua Tawhid ya Rububiyya na Uluhiyya ni kitu kimoja, hivyo ndivyo Mola wa viumbe vyote. Na akazitosheleza sifa hizi mbili kwa pamoalivyoamua Mola wa viumbe vyote. Na akazitosheleza sifa hizi ja kwa mja Wake pia kwa Malaika wanapouliza kaburini. Na watu mbili kwa pamoja kwa mja Wake pia kwa Malaika wanapouliza wamefahamu huu, hata mafirauni makafiri, walahata mmokaburini. Namshikamano watu wamefahamu mshikamano huu, jamafirauni katika maswahaba wema hakuna aliyesema makafiri, wala walawatangulizi mmoja katika maswahaba walatofauti na hivyo. watangulizi wema hakuna aliyesema tofauti na hivyo. Haikunukuliwa hata kwa mmoja wao hata kwa kunukuu kutoka Haikunukuliwa kwa mmoja wao kwahadi kunukuu kutoka katika Qur’ani nahata Sunnah kinyume na hata hivyo, pale alipozusha katika Qur’ani na Sunnah kinyume na hivyo, hadi pale mgawanyo huo Ibn Taymiyya katika karne ya nane ya Hijriyya. alipozusha mgawanyo huo Ibn Taymiyya katika karne ya nane Wala hakuna Wala mazingatio uzushikatika wake uzushi huo, nawake kugawanya ya Hijriyya. hakunakatika mazingatio huo, gani huku kulikozushwa na hao wazushi na kuwasingizia Waislamu na kugawanya gani huku kulikozushwa na hao wazushi na kuwasingizia Waislamu kuwa ati ndio waliosema hivyo, kuwa Tawhid Rububiyya si Tawhid Uluhiyya na kwamba tawhid ya 37 Rububiyya haiwatoshi Waislamu kuwatoa katika ukafiri na kuwaingiza katika Uislamu. Yatubidi tutupie jicho kwenye kauli Yake Mwenyezi Mungu:

07_16_Kumkosoa_18_June_2016.indd 37

6/18/2016 2:53:33 PM


Haikunukuliwa hata kwa mmoja wao hata kwa kunukuu kutoka katika Qur’ani na Sunnah kinyume na hivyo, hadi pale alipozusha mgawanyo huo Ibn Taymiyya katika karne ya nane ya Hijriyya. Wala hakuna mazingatio katika uzushi wake huo,        KUMKOSOA YULE ANAYEIGAWANYA TAWHIDI KWA MAFUNGU na kugawanya gani huku kulikozushwa na hao wazushi na kuwasingizia Waislamu kuwa ati ndio waliosema hivyo, kuwa Tawhid Rububiyya si Tawhid Uluhiyya na Rububiyya kwamba tawhid ya kuwa ati ndio waliosema hivyo, kuwa Tawhid si Tawhid Rububiyya haiwatoshi Waislamu kuwatoa katika ukafiri na Uluhiyya na kwamba tawhid ya Rububiyya haiwatoshi Waislamu kuwaingiza katika Uislamu. kuwatoa katika ukafiri na kuwaingiza katika Uislamu. 
 Yatubidi Yatubiditutupie tutupiejicho jichokwenye kwenyekauli kauliYake YakeMwenyezi MwenyeziMungu: Mungu: “….. (#θßϑ≈s)tFó™$# §ΝèO ª!$# $oΨš/u‘ (#θä9$s% š⎥⎪Ï%©!$# ¨βÎ)

“Hakika waliosema: Mola wetu Mlezi ni Mwenyezi Mungu! “Hakika waliosema: Mola wetu Mlezi ni Mwenyezi Mungu! Kisha nayo iko iko mahali mahali Kishawakanyooka wakanyookasawa.” sawa.”(Fuswilat; (Fuswilat; 41:30) 41:30) nayo pawili katika Qur’ani wala wala hakusema ilahuna,ilahuna, amesemaamesema rabbuna, pawili katika Qur’ani hakusema narabbuna, kauli yake Mtume  Mtume walipomuuliza juu ya wasia akasema: na kauli yake � walipomuuliza juu ya wasia “Sema, Mola (rabbii) wangu ni Allah kisha nyooka.” Na hakumakasema: “Sema, Mola (rabbii) wangu ni Allah kisha nyooka.” Na hakumwambia, (ilahii) wangu kisha nyooka, alitosheka wambia, Mola (ilahii)Mola wangu kisha nyooka, alitosheka na Tawhid na Tawhid ya Rububiyya katika kufaulu kwa kushikamana nayo, ya Rububiyya katika kufaulu kwa kushikamana nayo, na hii ni kwa na hii ni kwa ushahidi wa Allah na Mtume Wake kama ushahidi wa Allah na Mtume Wake kama uonavyo. uonavyo. Mwenye kushikana na tawfiki na akayaangalia masuala haya kwa macho ya mwenye kutafiti, basi atajua kwa yakini isiyochanganyika Mwenye kushikana na tawfiki na akayaangalia masuala haya nakwa shaka,macho kwamba kila kinachoonyesha taadhima hakiwi ni ibada ila ya mwenye kutafiti, basi atajua kwa yakini kitakapoambatanishwa na itikadi ya Rububiyya. Huoni askari husimama mbele ya mkubwa wake kwa 34 saa kadhaa kwa kumheshimu, kusimama huku hakuwi ni ibada kisheria wala kilugha, na mwenye kuswali anasimama mbele ya Mola wake kwa dakika chache kiasi cha kusoma al-Fatiha na mfano wake, kisimamo hiki kinakuwa ni ibada kisheria. Na wala hakuna hata mmoja katika Maimamu wanne au wengineo katika maimamu wa watangulizi wa mwanzo wala wafuasi wa tabiina, wala tabbiina wala maswahaba wala Mtume  katika Hadithi zilizomo katika Sahih, Sunan na Enklopedia, kwamba alisema kuwa Tawhid inagawanyika katika Rububiyya na Uluhiyya na 38

07_16_Kumkosoa_18_June_2016.indd 38

6/18/2016 2:53:33 PM


Na Na wala wala hakuna hakuna hata hata mmoja mmoja katika katika Maimamu Maimamu wanne wanne au au wengineo katika maimamu wa watangulizi wa mwanzo wala wengineo katika maimamu wa watangulizi wa mwanzo wala wafuasi wafuasi wa wa tabiina, tabiina, wala wala tabbiina tabbiina wala wala maswahaba maswahaba wala wala Mtume Mtume KUMKOSOA YULE ANAYEIGAWANYA TAWHIDI KWA MAFUNGU � � katika katika Hadithi Hadithi zilizomo zilizomo katika katika Sahih, Sahih, Sunan Sunan na na Enklopedia, Enklopedia, kwamba kwamba alisema alisema kuwa kuwa Tawhid Tawhid inagawanyika inagawanyika katika katika Rububiyya Rububiyya na Uluhiyya na asiyejua Tawhid ya Uluhiyya haihesabiwi kuwa na Uluhiyya na asiyejua Tawhid ya Uluhiyya haihesabiwi kuwa asiyejua Tawhid yayaUluhiyya haihesabiwi kuwa anaijua Tawhidi ya anaijua Tawhidi Rububiyya. anaijua Tawhidi ya Rububiyya. Rububiyya. Ama kauli Yake Ama kauli Yake Mwenyezi Mungu: Ama kauli YakeMwenyezi MwenyeziMungu: Mungu: "….. ä9ä9θàθà))u‹u‹s9s9 uÚ "….. ª! ª!$#$# ∅ ∅ uÚö‘ö‘F{ F{$#$#uρuρ ÏN N Ï ≡u≡uθθ≈y≈yϑ ϑ¡¡ ¡¡9$9$## t, t,n=n=y{ y{ ô⎯ ô⎯¨Β¨Β Οß ΟßγγtFtFø9ø9r'r'y™ y™ ⎦Í⎦Í..s!s!uρuρ “Na ukiwauliza:NiNinani nani aliyeziumbambingu mbingu naardhi? ardhi? Bila “Na “Na ukiwauliza: ukiwauliza: Ni nani aliyeziumba aliyeziumba mbingu na na ardhi? Bila Bila yayashaka watasema: Mwenyezi Mungu…..” (Zumar; 39:38). Na ya shaka shaka watasema: watasema: Mwenyezi Mwenyezi Mungu…..” Mungu…..” (Zumar; (Zumar; 39:38). 39:38). kauli Yake Mwenyezi Mungu: Na Na kauli kauli Yake Yake Mwenyezi Mwenyezi Mungu: Mungu: 4 4 ¬! ¬! šχ šχθäθä99θàθà))u‹u‹y™ y™ ∩∇∉∪ ∩∇∉∪ ËΛΛË ⎧Ï⎧Ïà àyèyèø9ø9$#$# ĸ ĸööyèyèø9ø9$#$# > >  u‘u‘uρuρ Æì Æìö7ö7¡¡ ¡¡9$9$## ÏN ÏN≡u≡uθθ≈y≈yϑ ϑ¡¡ ¡¡9$9$## > >  §‘§‘ ⎯t ⎯tΒΒ ö≅ ö≅è%è% ∩∇∠∪ Ÿ Ÿξsùsùr&r& ö≅ ∩∇∠∪ šχ šχθàθà))−G−Gs?s? ξ ö≅è%è%

“Sema: Ni nani Mola wa mbingu saba na Mola wa Arshi “Sema: Ni wa mbingu na wa Arshi “Sema: Ni nani nani Mola Mola wa Mwenyezi mbingu saba saba na Mola Mola waBasi Arshi tukufu? Watasema: Ni vya Mungu. Sema: je, tukufu? Watasema: Ni vya Mwenyezi Mungu. Sema: Basi tukufu? Watasema: Ni vya Mwenyezi Mungu. Sema: Basi je, je, hamwogopi? (Al-Muuminuun; 23: 86-87), maana yake ni kuwa hamwogopi? hamwogopi? (Al-Muuminuun: (Al-Muuminuun: 86-87), 86-87), maana maana yake yake ni ni kuwa kuwa wao wanasema hivyo unapowauliza, wanapodhihirikiwa na hoja na wao wanasema hivyo unapowauliza, wanapodhihirikiwa na wao wanasema hivyo unapowauliza, wanapodhihirikiwa na hoja hoja Aya wazi,wazi, na husema tu kwa yao lakini katikakatika nyoyo na Aya na tu kwa yao na zilizo Aya zilizo zilizo wazi, na husema husema tumidomo kwa midomo midomo yao lakini lakini katika zao si hivyo, kwa sababu wakikiri kuwapo Mwenyoyo zao hivyo, kwa sababu wakikiri kuwapo nyoyo zao si si hivyo, kwahawakuwa sababu hawakuwa hawakuwa wakikirikwa kuwapo kwa Mwenyezi Mungu muumba kinyume na anayedai kuwa nyezi Mungu muumba kinyume na anayedai kuwa wao walikuwa kwa Mwenyezi Mungu muumba kinyume na anayedai kuwa wao wakipwekesha kwa Rububiyya, na wakipwekesha Tawhid ya Rububiyya, na ya ni na anayewao walikuwa walikuwakwa wakipwekesha kwa Tawhid Tawhid ya kinyume Rububiyya, na ni ni kinyume na anayedai kuwa Mitume hawakutumwa ila kwa na anayedai kuwa Mitume hawakutumwa ila Nayo kwa daikinyume kuwa Mitume hawakutumwa ila kwa Tawhid ya Uluhiyya. Tawhid ya Uluhiyya. Nayo ni kuwa Mwenyezi Mungu pekee Tawhid ya Uluhiyya. Nayo ni kuwa Mwenyezi Mungu pekee ni kuwa Mwenyezi Mungu pekee ndiye wa kuabudiwa na kwamba ndiye kuabudiwa na Tawhid Rububiyya ndiye yawa waRububiyya kuabudiwa na kwamba kwamba Tawhidna ya ya Rububiyya Tawhid yajulikana kwa Waislamu mushrikina kwa yajulikana kwa Waislamu na mushrikina kwa dalili ya kauli yajulikana kwa Waislamu na mushrikina kwa dalili ya kauli dalili ya kauli Yake Mwenyezi Mungu: Yake Yake Mwenyezi Mwenyezi Mungu: Mungu: “….. 4 ª!$# ⎯ £ ä9θà)u‹s9 uÚö‘F{$#uρ N Ï ≡uθ≈yϑ¡¡9$# t,n=y{ ô⎯¨Β ΝßγtFø9r'y™ ⎦È⌡s9uρ 35 35

“Na ukiwauliza ni nani aliyeumba mbingu na ardhi, 39 watasema ni Mwenyezi Mungu. (Luqman; 31:25). Madai haya ni batili kwani yamewakanganya wasio na elimu juu ya maana ya Aya au yule ambaye hakuifahamu! 07_16_Kumkosoa_18_June_2016.indd 39

6/18/2016 2:53:34 PM


“….. 4 ª!$# £⎯ä9θà)u‹s9 Ú u ö‘F{$#uρ ÏN≡uθ≈yϑ¡¡9$# t,n=y{ ô⎯¨Β ΝßγtFø9r'y™ ⎦È⌡s9uρ “….. 4 ª!$# £⎯ä9θà)u‹s9 Ú u ö‘F{$#uρ ÏN≡uθ≈yϑ¡¡9$# t,n=y{ ⎯ ô ¨Β ΝßγtFø9r'y™ ⎦È⌡s9uρ

KUMKOSOA YULE ANAYEIGAWANYA TAWHIDI KWA MAFUNGU

“Na ukiwauliza ni nani aliyeumba mbingu na ardhi, “Naukiwauliza ukiwauliza ni aliyeumba mbingu na31:25). ardhi, watasewatasema ni Mwenyezi Mungu. (Luqman; “Na ninani nani aliyeumba mbingu na Madai ardhi, haya ni batili kwani yamewakanganya wasio na elimu juu ya ma ni Mwenyezi Mungu. (Luqman; 31:25). Madai haya ni batili watasema ni Mwenyezi Mungu. (Luqman; 31:25). Madai maana Aya au yule yamewakanganya ambaye kwani wasio hakuifahamu! na elimu juu ya na maana yajuu Ayayaau haya yamewakanganya niyabatili kwani wasio elimu yule ambaye hakuifahamu! maana ya Aya au yule ambaye hakuifahamu! Tumebainisha maana yake, kwamba wao walikiri kwa ndimi zao Tumebainisha maana yake,Mwenyezi kwamba wao walikiri kwa ndimi zao tu, na kwa ajilimaana hiyo ndipo Mungu amesema katika Tumebainisha yake, kwamba wao walikiri kwa ndimi zao tu, kwa hiyo ndipo Mwenyezi Mungu amesema katika Aya Aya nyingine: tu,nana kwaajili ajili hiyo ndipo Mwenyezi Mungu amesema katika nyingine: Aya nyingine: tyϑs)ø9$#uρ }§ôϑ¤±9$# t¤‚y™uρ uÚö‘F{$#uρ ÏN≡uθ≈yϑ¡¡9$# t,n=y{ ô⎯¨Β ΝßγtFø9r'y™ ⎦È⌡s9uρ t yϑs)ø9$#uρ }§ôϑ¤±9$# t¤‚y™uρ uÚö‘F{$#uρ N Ï ≡uθ≈yϑ¡¡9$# t,n=y{ ô⎯¨Β ΝßγtFø9r'y™ ⎦È⌡s9uρ ∩∉⊇∪ tβθä3sù÷σム4’¯Τr'sù ( ª!$# ⎯ £ ä9θà)u‹s9 ∩∉⊇∪ β t θä3sù÷σム4’¯Τr'sù ( ª!$# £⎯ä9θà)u‹s9 Na ukiwauliza; Nani aliyeumba mbingu na ardhi na Na ukiwauliza; Nani aliyeumba na ardhi na akalitiiakalitiisha jua na mwezi? Bila mbingu yambingu shaka watasema ni Na ukiwauliza; Nani aliyeumba na ardhi na sha jua na mwezi? Bila ya shaka watasema ni Mwenyezi Mungu. Mwenyezi Mungu. Basi wanageuzwa wapi? (al-Ankabut; akalitiisha jua na mwezi? Bila ya shaka watasema ni Basi wanageuzwa wapi? (al-Ankabut; 29:61). Maana yakeTafsiir ni kama 29:61). Maana yake niBasi kama alivyosema Qurtubiy katika Mwenyezi Mungu. wanageuzwa wapi? (al-Ankabut; alivyosema Qurtubiy Tafsiir yake (61:361): “Vipi wanakanuyake (61:361): “Vipi wanakanusha Tawhidi (upweke) Wangu na 29:61). Maana yakekatika ni kama alivyosema Qurtubiy katika Tafsiir wanaacha kuniabudu. Maana yake ni kuwa wao wanasema kwa sha Tawhidi (upweke) na wanaacha kuniabudu. yake (61:361): “Vipi Wangu wanakanusha Tawhidi (upweke)Maana Wanguyake na zao tu, unapowasimamishia hoja na kwa ukweli kabisa nindimi kuwa wao wanasema kwa ndimi zao tu, unapowasimamishia hoja wanaacha kuniabudu. Maana yake ni kuwa wao wanasema kwa hivyo. nawao kwahawasemi ukweli wao hawasemi hivyo. ndimi zao tu,kabisa unapowasimamishia hoja na kwa ukweli kabisa wao hawasemi hivyo. Mwenyezi Mungu amesema: PiaPia Mwenyezi Mungu amesema: Pia Mwenyezi Mungu amesema: $yγÏ?öθtΒ ‰ Ï ÷èt/ .⎯ÏΒ uÚö‘F{$# ÏμÎ/ $uŠômr'sù [™!$tΒ Ï™!$yϑ¡¡9$# š∅ÏΒ tΑ¨“¯Ρ ⎯¨Β ΟßγtFø9r'y™ ⎦Í.s!uρ $yγÏ?öθtΒ Ï‰÷èt/ ⎯ . ÏΒ uÚö‘F{$# ÏμÎ/ $uŠômr'sù [™!$tΒ Ï™!$yϑ¡¡9$# š∅ÏΒ tΑ¨“¯Ρ ⎯¨Β ΟßγtFø9r'y™ ⎦Í.s!uρ "….. 4 ª!$# £⎯ä9θà)u‹s9 "….. 4 ª!$# £⎯ä9θà)u‹s9 “Na ukiwauliza: Ni nani maji kutokamaji mbinguni, na “Na ukiwauliza: Ni aliyeteremsha nani aliyeteremsha kutoka akaihuisha kwayo ardhi baada ya kufa kwake? Bila ya shaka watasembinguni, na akaihuisha kwayo ardhi baada kufa “NaNi ukiwauliza: Ni nani aliyeteremsha majiya kutoka ma: Mwenyezi Mungu. (Sura Ankabut; 29:63). Imam Qurtubiy kwake? Bilanayaakaihuisha shaka watasema: Ni Mwenyezi mbinguni, kwayo ardhi baadaniMungu. ya kufa amesema, yaani watakapopata ukame watu “Watasema Mwenyezi (Sura Ankabut; 29:63). Imam Qurtubiy amesema, yaani

kwake? Bila ya shaka watasema: Ni Mwenyezi Mungu. watakapopata ukame29:63). watu “Watasema ni Mwenyezi Mungu,” (Sura Ankabut; Imam Qurtubiy amesema, yaani 40 yaani mnapokiri hivyo kwa nini basi mnamshirkisha? “Sema: watakapopata ukame watu “Watasema ni Mwenyezi Mungu,” Alhamdulillah njema zabasi Mwenyezi Mungu),”“Sema: yaani yaani mnapokiri(sifa hivyo kwa ni nini mnamshirkisha? kwa hoja alizozifafanua bali wengi hawa “Bali wengi yaani wao Alhamdulillah (sifa njema ni za wao Mwenyezi Mungu),” hawafahamu.” kwa hoja alizozifafanua bali wengi wao hawa “Bali wengi wao 07_16_Kumkosoa_18_June_2016.indd 40 6/18/2016

2:53:35 PM


KUMKOSOA YULE ANAYEIGAWANYA TAWHIDI KWA MAFUNGU

Mungu,” yaani mnapokiri hivyo kwa nini basi mnamshirkisha? “Sema: Alhamdulillah (sifa njema ni za Mwenyezi Mungu),” yaani kwa hoja alizozifafanua bali wengi wao hawa “Bali wengi wao hawafahamu.”

Utakapozinduka na kujua maana ya Aya hizi na mfano wake utajua kuwa hiyo kama si dalili kuwa wao walikuwa wakikirikwa Tawhid ya yayaRububiyya Rububiyya kamawanavyodhani wanavyodhanibaadhi baadhiyayawatu watu kwasababu sababu Rububiyya kama wanavyodhani baadhi ya watu kwa sababu Qur’ani Qur’ani inafafanua kuwa wao walikuwa wakimkanusha Qur’ani inafafanua kuwa wao walikuwa wakimkanusha inafafanua kuwa walikuwa kumsujudia, wakimkanusha Muumba na wakiMuumba nanawao wakikanusha itakavyokuja Muumba wakikanusha kumsujudia, kama kama itakavyokuja kanusha kumsujudia, kama itakavyokuja maelezo yake inshaallah. maelezo yake Pia wakikanusha ufufuo maelezo yakeinshaallah. inshaallah. Piawalikuwa walikuwa wakikanusha ufufuonana kuwa mambo hayaendeshwi na Mungu. Lau Piawakiitakidi walikuwa wakikanusha ufufuo na wakiitakidi kuwa mambo wakiitakidi kuwa mambo hayaendeshwi na Mungu. hayLau wangelikuwa wakikubali Tawhid ya Rububiyya, Mwenyezi aendeshwi na Mungu. Lau wangelikuwa wakikubali Tawhid ya Ruwangelikuwa wakikubali Tawhid ya Rububiyya, Mwenyezi Mungu asingeliwaambia: bubiyya, Mwenyezi Mungu asingeliwaambia: Mungu asingeliwaambia: Ν ö ä3 Î=ö6s%Î=ö6s%⎯Ï⎯Ï Β Βt⎦⎪Ït⎦%⎪Ï©!%$#uρ©!$#uρöΝä3 s)n=s)s{n=s{“Ï“Ï %©!%$#©!ãΝ$# ä3 −/u‘−/u‘(#ρß(#‰ρ߉ ç6ôãç6ôã $# ¨ â $# ¨ öΝä3 Ν ö ä3 ãΝä3 â $¨Ψ$¨9$Ψ#9$$p#κš‰$pr'κš‰¯≈tƒr'¯≈tƒ “Enyi watu! Muabuduni Wenu “Enyi watu! Muabuduni Mola(rabbi) (rabbi) Wenualiyewaumba aliyewaumba “Enyi watu! Muabuduni MolaMola (rabbi) Wenu aliyewaumba ninyi na ninyi na wale wa kabla yenu,” (Al-Baqara; 2:21) bali ilikuwa waleninyi wa kabla yenu,” 2:21) bali ilikuwa aseme: Muabuna wale wa(Al-Baqara; kabla yenu,” (Al-Baqara; 2:21) bali ilikuwa aseme: Muabuduni Mungu (ilaahu) Wenu. duniMungu Mungu(ilaahu) (ilaahu)Wenu. Wenu. aseme: Muabuduni

AmesemaMwenyezi Mwenyezi Mungu: Amesema Amesema MwenyeziMungu: Mungu: ÿ⎯Ïμÿ⎯În/Ïμu‘În/u‘’Îû’ÎzΝû ↵ÏzΝδ↵Ïδ ≡tö/≡tÎ)ö/l ¢ Î) ¢l !%tn!%tn“Ï“Ï %©!%$#©!’n$# <’nÎ) <tÎ)s?ts?öΝs9Ν ö r&s9r&

“Je hukumuona Yule aliyeshindana na Ibrahim juu ya Mola “Je Yule nanaIbrahim juu yayaMola “Jehukumuona hukumuona Yulealiyeshindana aliyeshindana Ibrahim Mola (rabbi) wake?” (Al-Baqara: 258). Kwa mujibu wa yulejuu anayesema (rabbi) wake?” (Al-Baqara: 258). Kwa mujibu (rabbi) wake?” (Al-Baqara: 258). Kwa mujibu wa wa yule yule kuwa Namrudh alikuwaNamrudh akiijua Tawhid ya Rububiyya na hakuijua anayesema anayesema kuwa kuwa Namrudh alikuwa alikuwa akiijua akiijua Tawhid Tawhid yaya ya Rububiyya Uluhiyya, ingemlazimu Mungu asemeingemlazimu hivi: Je hukumuona Yule Rububiyyananahakuijua hakuijuayayaUluhiyya, Uluhiyya, ingemlazimuMungu Munguaseme aseme aliyeshindana na Ibrahim juualiyeshindana ya Mungu (ilahi) Najuu kulinhivi: Yule nanawake? Ibrahim hivi:JeJehukumuona hukumuona Yule aliyeshindana Ibrahim juuyaya Mungu (ilahi) Na wanavyodai badala gana na wanavyodai badala Mungu kusema:nana “Tena wale waliokuMungu (ilahi)wake? wake? Nakulingana kulingana wanavyodai badala Mungu kusema: “Tena wale waliokufuru wanamlinganisha furuMungu wanamlinganisha Molawale wao (na wengine).”wanamlinganisha Ingepasa aseme: kusema: “Tena waliokufuru Mola Molawao wao(na (nawengine).” wengine).”Ingepasa Ingepasaaseme: aseme: 41

Ο ¢ ¢Ο èO èO( ‘u ( θ‘u‘Ζθ‘9$Ζ#uρ9$#uρÏMÏM ≈uΗä>≈u—à 9$#9$#Ÿ≅Ÿ≅ yèy_ uρ uρuÚ ö‘F{ $#uρ$#uρÏNÏN ≡uθ≡u≈yθϑ≈yϑ ¡¡¡¡ 9$#9$#t,n=t,y{n=y{“Ï“Ï %©!%$#©!$#! ¬ ¬!‰ ptø:pt$#ø:$# ß ‰ Ηä>—à yèy_ uÚ ö‘F{ ß ôϑôϑ 07_16_Kumkosoa_18_June_2016.indd 41

∩⊇∪ θä9θäω9ω ÷ètƒ÷èöΝ ∩⊇∪šχ šχ tƒ ÍκöΝÍh5tÍκÍh5Î/t#(Î/ρã#( ρãxx.xx.t⎦⎪Ït⎦%⎪Ï©!%$#©!$#

6/18/2016 2:53:37 PM


(rabbi) wake?” (Al-Baqara: 258). Kwa mujibu wa yule anayesema kuwa Namrudh alikuwa akiijua Tawhid ya Rububiyya na hakuijua ya Uluhiyya, ingemlazimu Mungu aseme hivi: Je hukumuona Yule aliyeshindana na Ibrahim juu ya Mungu (ilahi) wake? Na kulingana na wanavyodai badala        KUMKOSOA YULE ANAYEIGAWANYA TAWHIDI KWA MAFUNGU Mungu kusema: “Tena wale waliokufuru wanamlinganisha Mola wao (na wengine).” Ingepasa aseme: ¢ΟèO ( u‘θ‘Ζ9$#uρ ÏM≈uΗä>—à9$# Ÿ≅yèy_uρ uÚö‘F{$#uρ ÏN≡uθ≈yϑ¡¡9$# , t n=y{ “Ï%©!$# ¬! ߉ôϑptø:$# ∩⊇∪ šχθä9ω÷ètƒ öΝÍκÍh5tÎ/ #( ρãxx. t⎦⎪Ï%©!$#

Sifanjema njemazote zote ni Mwenyezi za Mwenyezi Mungu aliyeumba Sifa ni za Mungu aliyeumba mbingumbingu na ardhi, na akafanya giza akafanya na mwangaza. waliokufuru wanamlinna ardhi, na gizaTena nawale mwangaza. Tena wale ganisha Mola wao (Sura An’am; 6:1). waliokufuru wanamlinganisha Mola wao (Sura An’am; 6:1).

Lakini hilo ni fasidi kwao kwa kuwa wao walikuwa hawakubali, Lakini hilo ni fasidi kwao kwa kuwa wao walikuwa hawakubali, na dalili ya hilo ni kauli yake Mwenyezi Mungu: na dalili ya hilo ni kauli yake Mwenyezi Mungu:

‫ب لَنَا َمثَ اًل َونَ ِس َي َخ ْلقَهُ ۖ قَا َل َم ْن يُحْ يِي‬ َ ‫ض َر‬ َ ‫َو‬ ‫∪®∠∩ َشأَهَا أَ َّو َل‬ ‫ أَ ْن‬íΟ‫ي‬ŠÎ=tæ‫@لَّ ِذ‬,‫ا‬ù=yz‫هَا‬e≅È ‫ي‬ä3ِ‫ي‬Î/ْ‫ح‬θu ُ‫ي‬èδuρ ْ‫ (ل‬ο; ُ‫§ق‬tΒ‫ ٌم‬tΑ‫¨ي‬ρ‫ ِم‬r& ‫!ر‬$َ yδr't±‫ َي‬Σr&‫ ِه‬ü“‫ َو‬Ï%©!$#‫ َم‬$p‫ا‬κÍَ‫‹ظ‬ós‫ ِع‬ム‫ْال‬ ‫ق َعلِي ٌم‬ ‫َم َّر ٍة ۖ َوهُ َو بِ ُك ِّل َخ ْل‬ ٍ 37

ö≅è% ∩∠∇∪ ÒΟŠÏΒu‘ }‘Éδuρ zΝ≈sàÏèø9$# Ä©÷∏ム⎯tΒ tΑ$s% ( …çμs)ù=yz z©Å¤tΡuρ WξsWtΒ $oΨs9 > z uŸÑuρ

“Na akatupigia mfano, na akasahau kuumbwa kwake, “Na akatupigia akasahau kuumbwa kwake, akasema: Ni akasema: Ni mfano, nani nahuyo atakayeihuisha mifupa nayo nani huyo atakayeihuisha mifupa nayo imemung’unyika? Sema: imemung'unyika? Sema: Ataihuisha aliyeiumba mara ya Ataihuisha aliyeiumba mara ya kwanza. Na Yeye ni Mjuzi wa kila kwanza. Na Yeye niuumbaji.” Mjuzi wa(Yasin: kila uumbaji.” (Yasin: 78-79) 78-79) kauli yake Mwenyezi Mungu: Na Na kauli yake Mwenyezi Mungu:

$tΒ Ο Þ n=÷ètƒuρ Ú Ç ö‘F{$#uρ N Ï ≡uθ≈yϑ¡¡9$# ’Îû ™u ó=y‚ø9$# ßlÌøƒä† “Ï%©!$# ! ¬ (#ρ߉àfó¡o„ ωr& tβθãΖÎ=÷èè? $tΒuρ tβθàøƒéB

“Kwamba hawamsujudii Mwenyezi Mungu ambaye huyatoa yali-

“Kwamba Mwenyezi huyatoa yofichikanahawamsujudii katika mbingu na ardhi, naMungu huyajuaambaye mnayoyaficha na yaliyofichikana katika mbingu na ardhi, na huyajua mnayoyaficha na mnayoyadhihirisha. (an-Naml; 27:25), na 42 kauli yake swt: ü“Ï%©!$# Ν ã Íκön=tã #( uθè=÷GtFÏj9 Ν Ö tΒé& $! yγÎ=ö6s% ⎯ÏΒ M ô n=yz ‰ ô s% 7π¨Βé& þ’Îû y7≈oΨù=y™ö‘r& y7Ï9≡x‹x.

07_16_Kumkosoa_18_June_2016.indd 42

6/18/2016 2:53:38 PM


“Kwamba hawamsujudii Mwenyezi Mungu ambaye huyatoa yaliyofichikana katika mbingu na ardhi, na huyajua “Kwamba hawamsujudii Mwenyezi Mungu ambaye huyatoa mnayoyaficha na mnayoyadhihirisha. (an-Naml; 27:25), na yaliyofichikana katika mbingu na ardhi, na huyajua kauli yake swt: mnayoyaficha na mnayoyadhihirisha. (an-Naml; 27:25), na KUMKOSOA YULE ANAYEIGAWANYA TAWHIDI KWA MAFUNGU kauli yake swt: “ ü Ï%©!$# ãΝÍκön=tã (#uθè=÷GtFÏj9 Ν Ö tΒé& $! yγÎ=ö6s% ⎯ÏΒ M ô n=yz ô‰s% 7π¨Βé& ’ þ Îû y7≈oΨù=y™ö‘r& y7Ï9≡x‹x.

“ ü Ï%©!$#mnayoyadhihirisha. ãΝÍκön=tã #( uθè=÷GtFÏj9 Ν Ö tΒé& $! yγ(an-Naml; Î=ö6s% ⎯ÏΒ M ô n=27:25), yz ‰ ô s% 7πna ¨Βé& kauli þ’Îû 7 y yake ≈oΨù=y™ö‘swt: r& y7Ï9≡x‹x. Ïμø‹n=tã uθèδ ω  Î) tμ≈s9Î) Iω ’În1u‘ θu èδ ≅ ö è% 4 ⎯ Ç ≈uΗ÷q§9$$Î/ tβρãàõ3tƒ Ν ö èδuρ y7ø‹s9Î) !$uΖø‹ym÷ρr& Ïμø‹n=tã θu èδ ω  Î) tμ≈s9Î) ω I ’În1u‘ θu èδ ö≅è% 4 ⎯ Ç ≈uΗ÷q§9$$Î/ tβρãàõ3tƒ Ν ö èδuρ y7ø‹s9Î) !$uΖø‹ym÷ρr& ∩⊂⊃∪ > É $tGtΒ μÏ ø‹s9Î)uρ àMù=2uθs?

∩⊂⊃∪ > É $tGtΒ Ïμø‹s9Î)uρ àMù=2uθs? “Ndio kama hivi tumekutuma kwa umma ambao wamekwisha kabla yao ili uwasomee “Ndio kama hivipita tumekutuma kwaumati umma nyingine, ambao pita “Ndio kama hivi tumekutuma kwa wamekwisha umma ambao tunayokufunulia, na wao wanamkufuru Rahmani, Mwingi kabla yao umati pita nyingine, ili uwasomee na wao wawamekwisha kabla yao umatitunayokufunulia, nyingine, ili uwasomee wa Rehema! Sema:Mwingi Yeye ndiye Mola wangu Mlezi. Hapana namkufuru Rahmani, wa Rehema! Sema: Yeye ndiye Mola tunayokufunulia, na wao wanamkufuru Rahmani, Mwingi munguMlezi. isipokuwa Yeye. Juu yake nimetegemea, na kwake wangu Hapana mungu isipokuwa Yeye. Juu yake nimetegewa Rehema! Sema: Yeye ndiye Mola wangu Mlezi. Hapana ndio marejeo yangu! (Ar-Raad; 13:30). na kwake ndio marejeo yangu! (Ar-Raad; mungumea, isipokuwa Yeye. Juu yake nimetegemea,13:30). na kwake ndio marejeo yangu! (Ar-Raad; 13:30). Amawao waohawakumfanya hawakumfanyakuwa kuwanini rabbi. rabbi. Akasema Akasema Mwenyezi Mwenyezi Ama Mungu; kwa kauli ya Nabii Yusuf (a): Mungu; kwa kauli ya Nabii Yusuf (a): Ama wao hawakumfanya kuwa ni rabbi. Akasema Mwenyezi Mungu; kwa kauli ya Nabii Yusuf (a): ∩⊂®∪ â‘$£γs)ø9$# ‰ ß Ïn≡uθø9$# ! ª $# ÏΘr& î öyz χ š θè%ÌhxtG•Β > Ò $t/ö‘r&u™ ⎯ Ç ôfÅb¡9$# Ä©t<Ås9|Á≈tƒ ∩⊂®∪ ‘â $£γs)ø9$# ‰ ß Ïn≡uθø9$# ª!$# ÏΘr& îöyz šχθè%ÌhxtG•Β > Ò $t/ö‘r&u™ Ç⎯ôfÅb¡9$# Ä©t<Ås9|Á≈tƒ

“Enyi wafungwa wenzangu wawili! Je, waungu wengi wanaofarikiana ni bora au Mwenyezi Mungu Mmoja Mwenye nguvu? (Yusuf; na akasema tena:Je, waungu wengi “Enyi wafungwa 12:39), wenzangu wawili!

wanaofarikiana ni bora au Mwenyezi Mungu Mmoja “Enyi wafungwa wenzangu wawili! Je, waungu wengi Mwenye nguvu? (Yusuf; 12:39), na akasema tena: 3 5Οù=Ïæ ÎötóÎ/ #Jρô‰tã ©!$#ni(#θ™7bora Ý¡uŠsù «!$#au ÈβρߊMwenyezi ⎯ÏΒ β t θããô‰tƒ š⎥ ⎪Ï%©!$# (#θ™Mmoja 7Ý¡n@ Ÿωuρ wanaofarikiana Mungu Mwenye nguvu? (Yusuf; 12:39), na akasema tena: (#θçΡ%x. $yϑÎ/ Οßγã∞Îm7t⊥ã‹sù Ο ó ßγãèÅ_ó£Δ ΝÍκÍh5u‘ ’ 4 n<Î) Ν § èO óΟßγn=uΗxå >π¨Βé& Èe≅ä3Ï9 $¨Ψ−ƒy— y7Ï9≡x‹x. ∩⊇⊃∇∪ tβθè=yϑ÷ètƒ

38

38 “Wala msiwatukane wale wanaoomba asiyekuwa Mwenyezi Mungu, “Wala msiwatukane wale wanaoomba asiyekuwa Mwenyezi wasije wakamtukana Mwenyezi Mungu kwa jeuri bila ya kujua. Mungu, wasije wakamtukana Mwenyezi Mungu kwa jeuri Kama hivyo tumewapambia kila umma vitendo vyao. Kisha marejeo

bila ya kujua. Kama hivyo tumewapambia kila umma vitendo vyao. Kisha marejeo yao yatakuwa kwa Mola wao, 43 naye atawaambia yale waliyokuwa wakiyatenda. (al-An’am; 6:108). Kukanusha

kwao

07_16_Kumkosoa_18_June_2016.indd 43

ufufuo

kunajulikana

na

kwamba 6/18/2016

2:53:40 PM


∩⊇⊃∇∪ tβθè=yϑ÷ètƒ “Wala msiwatukane wale wanaoomba asiyekuwa Mwenyezi Mungu, wasije wakamtukana Mwenyezi Mungu kwa jeuri        KUMKOSOA YULE ANAYEIGAWANYA TAWHIDI KWA MAFUNGU bila ya kujua. Kama hivyo tumewapambia kila umma vitendo vyao. Kisha marejeo yao yatakuwa kwa Mola wao, naye atawaambia wakiyatenda. (al-An’am; yao yatakuwa kwa yale Molawaliyokuwa wao, naye atawaambia yale waliyokuwa wakiyatenda. (al-An’am; 6:108). 6:108). Kukanusha kwao ufufuo kunajulikana na kwamba kinachowKukanusha kwao ufufuo kunajulikana na kwamba aangamiza wao ni ulimwengu tu. Pia walikuwa wakisema: “Hakuna kinachowaangamiza wao ni ulimwengu tu. Pia walikuwa chochote ila “Hakuna ni matumbo yanazaa inameza tu. Jena mwenye wakisema: chochote ilananidunia matumbo yanazaa dunia akili anaweza kusema kuwa watu hao walikuwa wakimpwekesha inameza tu. Je mwenye akili anaweza kusema kuwa watu hao Mwenyezi kwa tawhidMwenyezi ya Rububiyya? Hata kama walikuwalikuwa Mungu wakimpwekesha Mungu kwa tawhid ya wa wanakubaliHata Tawhid ya Rububiyya hoja, kule kukuRububiyya? kama walikuwawalipopewa wanakubali Tawhid ya bali tu hakuitwi kuwa nihoja, tawhid Waislamu, lau ingelikuwa Rububiyya walipopewa kulekwa kukubali tu hakuitwi kuwa ni kukubali Rububiyya ndiyo Tawhid kama wanavyodai tawhid kwa Waislamu, lau ingelikuwa kukubali washindani, Rububiyya ndiyo Tawhid kusadikisha kama wanavyodai washindani, basi ingelikuwa basi ingelikuwa kwa Makuraish na kukadhibisha Aya kusadikisha kwa Makuraish na kukadhibisha Aya za Mwenyezi za Mwenyezi Mungu ni tawhid, na bila shaka mwenye akili hasemi Mungu ni tawhid, na bila shaka mwenye akili hasemi hili. hili. Amesema Mwenyezi Mungu Mtukufu: Amesema Mwenyezi Mungu Mtukufu:

⎯ £ Å3≈s9uρ  š tΡθç/Éj‹s3ムω Ÿ Ν ö åκ¨ΞÎ*sù ( β t θä9θà)tƒ “Ï%©!$# 7 y çΡâ“ósu‹s9 …çμ¯ΡÎ) Ν ã n=÷ètΡ ô‰s%

∩⊂⊂∪ tβρ߉ysøgs† «!$# ÏM≈tƒ$t↔Î/ t⎦⎫ÏΗÍ>≈©à9$#

“Hakika tunajua ya kwamba yanakuhuzunisha yale wanayoyasema. “Hakika tunajua ya kwamba yanakuhuzunisha yale Basi hakika wao hawakukadhibishi wewe, lakini madhalimu wawanayoyasema. Basi hakika wao hawakukadhibishi wewe, nakataa Ishara za Mwenyezi Mungu. (al-An’am; 6:33).

lakini madhalimu wanakataa Ishara za Mwenyezi Mungu. Lau ingelikuwa (al-An’am; 6:33). kukubali Rububiyya ndiyo Tawhid kama wanavyodai, basi elimu ya Aad kwa Muumba pamoja na kukadhiLau kwao ingelikuwa kukubali Rububiyya ndiyoHud, Tawhid kama bisha Aya Zake, na Mtume Wake Nabii alipowatisha wanavyodai, basi elimu ya Aad kwa Muumba pamoja na kwa kuwaadhibu, ingekuwa ni Tawhid kama alivyosema Allah kukadhibisha kwao Aya Zake, na Mtume Wake Nabii Hud, kuwahusu: alipowatisha kwa kuwaadhibu, ingekuwa ni Tawhid kama alivyosema Allah kuwahusu: 44

39 07_16_Kumkosoa_18_June_2016.indd 44

6/18/2016 2:53:41 PM


óΟs9uρr& ( ο¸ §θè% $¨ΖÏΒ ‘‰x©r& ô⎯tΒ (#θä9$s%uρ Èd,ptø:$# ÎötóÎ/ ÇÚö‘F{$# ’Îû (#ρçy9ò6tGó™$$sù ׊%tæ $¨Βr'sù óΟs9uρr& ( ¸ο§θè% $¨ΖÏΒ ‘‰x©r& ⎯ ô tΒ (#θä9$s%uρ Èd,ptø:$# ÎötóÎ/ ÇÚö‘F{$# ’Îû (#ρçy9ò6tGó™$$sù ׊%tæ $¨Βr'sù $uΖÏG≈tƒ$t↔Î/ (#θçΡ%x.uρ ( οZ §θè% öΝåκ÷]ÏΒ ‘‰x©r& θu èδ öΝßγs)n=yz “Ï%©!$# ©!$# χr& #( ÷ρttƒ óΟs9uρr& ( ¸ο§θè% $¨ΖÏΒ ‘‰x©r& ⎯ ô tΒ (#θä9$s%uρ Èd,ptø:$# ÎötóÎ/ ÇÚö‘F{$# ’Îû (#ρçy9ò6tGó™$$sù ׊%tæ $¨Βr'sù $uΖÏG≈tƒ$t↔Î/ (#θçΡ%x.uρ ( Zο§θè% öΝåκ÷]ÏΒ ‘‰x©r& uθèδ öΝßγs)n=yz “Ï%©!$# ©!$# χr& #( ÷ρttƒ óΟs9uρr& ( ¸ο§θè% $¨ΖÏΒ ‘‰x©r& ⎯ ô tΒ (#θä9$s%uρ Èd,ptø:$# ÎötóÎ/ ÇÚö‘F{$# ’Îû (#ρçy9ò6tGó™$$sù ׊%tæ $¨Βr'sù ∩⊇∈∪ šχρ߉ysøgs† $uΖÏG≈tƒ$t↔Î/ (#θçΡ%x.uρ ( Zο§θè% öΝåκ÷]ÏΒ ‘‰x©r& uθèδ öΝßγs)n=yz “Ï%©!$# ©!$# χr& #( ÷ρttƒ ∩⊇∈∪ šχρ߉ysøgs† $uΖÏG≈tƒ$t↔Î/ (#θçΡ%x.uρ ( Zο§θè% öΝåκ÷]ÏΒ ‘‰x©r& uθèδ öΝßγs)n=yz “Ï%©!$# ©!$# χr& (#÷ρttƒ “Ama kina Adi walitakabari katika ardhi bila∩⊇∈∪yašχ haki, ρ߉ysna øgs† wakasema: Nani aliye na nguvu zaidi kuliko sisi? Kwani ∩⊇∈∪ya šχ ρ߉yswao øgna s† “Ama kina Adi walitakabari katika ardhi bila haki, hawakuonaNanikwamba Mwenyezi Mungu ambaye wakasema: aliye na nguvu zaidi kuliko sisi? Kwani wao “Ama kina Adi walitakabari katika ardhi bila ya haki, na amewaumba nikwamba Mwenye nguvu zaidi kuliko wao? ambaye Na wao hawakuona Mwenyezi Mungu “Ama kina Adi walitakabari katika ardhi bila ya haki, na wakasema: wakasema: Nani aliye Ishara na nguvu zaidi kuliko sisi? wao “Ama kina Adi katika ardhi bila yaKwani haki, na wakawa wanazikataa Zetu! (Fuswilat; 41:15). amewaumba ni walitakabari Mwenye nguvu zaidi kuliko wao? Na wao Nani aliye na Nani nguvu zaidina kuliko sisi?zaidi Kwani waoMungu hawakuona kwamhawakuona kwamba Mwenyezi ambaye wakasema: aliye nguvu kuliko sisi? Kwani wao wakawa wanazikataa Ishara Zetu! (Fuswilat; 41:15). ba Mwenyezi Mungu ambaye amewaumba nikuliko Mwenye nguvu amewaumba ni Mwenye Nazaidi wao hawakuona kwamba Mwenyezi Mungu ambaye Wala mwenye akili hasemi nguvu juu ya zaidi hili, hivi kweliwao? mwenye akili kuliko wao? Na wao wakawa wanazikataa Ishara Zetu! wakawa wanazikataa Ishara Zetu! (Fuswilat; 41:15). amewaumba ni Mwenye nguvu zaidi kuliko wao? Na wao atasema juu yaakili Firauni aliyesema: Wala mwenye hasemi juu ya41:15). hili, hivi kweli mwenye akili (Fuswilat; wakawa wanazikataa Ishara Zetu! (Fuswilat; 41:15). atasema juu ya Firauni aliyesema: Wala Walamwenye mwenyeakili akilihasemi hasemijuu juuya yahili, hili, hivi hivi kweli kweli mwenye akili ∩⊄⊆∪ 4 ’ ? n ã ô { F # $ ã Ν 3 ä / š ‘ u O $ Ρ t & r $s ) ù s Α t atasema Firauni aliyesema: Wala mwenye akili hasemi juu ya hili, hivi kweli mwenye akili atasema juujuu yaya Firauni aliyesema: 4’n?ôãF{$# ãΝä3š/u‘ O$tΡr& tΑ$s)sù atasema juu ya Firauni∩⊄⊆∪ aliyesema: KUMKOSOA YULE ANAYEIGAWANYA TAWHIDI KWA MAFUNGU

“Mimi ni Mungu (rabbi) wenu ∩⊄⊆∪ 4’n?ôãF{ $# ãΝä3š/u‘mkuu.” O$tΡr& tΑ$s)sù(Naziaat; 79:24) na akasema: “Mimi ni Mungu ∩⊄⊆∪ (rabbi) 4’n?ôãF{wenu $# ãΝä3š/u‘mkuu.” $O tΡr& tΑ$s)sù (Naziaat; 79:24) na akasema: “Mimi ni ni Mungu (rabbi) wenu wenu mkuu.”mkuu.” (Naziaat;(Naziaat; 79:24) na 79:24) akasema: “Mimi Mungu (rabbi) na ∩⊂∇∪ ”Î   ö î x > μ ≈s 9 ) Î ô ⎯ Β i Ï Νà 6 9 s à M ϑ ô = Î ã t $t Β _ | ϑ y 9 ø # $ $y γ ƒ • ' r ≈ ¯ ƒ t ã β θ ö ã t  ö ù Ï $s % ρ u Α t akasema: “Mimi ni Mungu (rabbi) wenu mkuu.” (Naziaat; 79:24) na ∩⊂∇∪ ”Îöxî >μ≈s9Î) ⎯ ô ÏiΒ Νà6s9 àMôϑÎ=tã $tΒ _|yϑø9$# $y㕃r'¯≈tƒ ãβöθtãöÏù tΑ$s%uρ akasema:

“Na∩⊂∇∪ Firauni ”Îöxî μ> akasema: ≈s9Î) ⎯ ô ÏiΒ Νà6s9Enyi àMôϑÎ=tãwaheshimiwa! $tΒ | _ yϑø9$# $y㕃r'¯≈tƒ ãβöθSijui tãöÏù tΑ$s%kama uρ mnaye mungu asiyekuwa mimi.” (al-Qaswas; 28:38). Na “Na Firauni “Na∩⊂∇∪ Firauni ”Îakasema: öxî >μ≈sakasema: 9Î) ⎯ ô ÏiΒEnyi Νà6waheshimiwa! s9 Enyi àMôϑÎ=tã $twaheshimiwa! Β _|yϑSijui ø9$# $yγkama •ƒr'¯≈tƒ ãβöθmnaye tãSijui öÏù tΑ$s%mungu uρkama kauli yake: asiyekuwa (al-Qaswas; 28:38). Na kauli yake: mnaye mungu mimi.” asiyekuwa mimi.” (al-Qaswas; 28:38). Na “Na Firauni akasema: Enyi waheshimiwa! Sijui kama kauli yake: mnaye munguakasema: asiyekuwa mimi.” (al-Qaswas;Sijui 28:38). Na “Na Firauni Enyi waheshimiwa! kama ∩⊄®∪ š ⎥ ⎫Ï Ρ θà f ¡ ó ϑ y 9 ø # $ z ⎯ Β Ï y 7 Ζ ¨ = n è y _ ô { V “Î   ö î x $· γ ≈s 9 ) Î | N ‹ õ ƒ s B ª # $ È ⎦ . Í ! s Α t $s % kauli yake: mnaye mungu asiyekuwa mimi.” (al-Qaswas; 28:38). Na ∩⊄®∪ š⎥⎫ÏΡθàfó¡yϑø9$# z⎯ÏΒ y7¨Ζn=yèô_V{ “Îöxî $·γ≈s9Î) |Nõ‹sƒªB$# È⎦Í.s! tΑ$s% kauli yake:

“Akasema: Kama ukimfanya mungumungu mwingine asiyekuwa mimi basi “Akasema: ∩⊄®∪bila š⎥ ⎫ÏKama Ρθàfnitakufanya ó¡yϑø9ukimfanya $# z⎯ÏΒ y7¨Ζn=miongoni yèô_V{ “Îömwa xî $·mwingine γ≈swafungwa.” 9Î) |Nõ‹sƒªB$# È⎦asiyekuwa Í.s! tΑ$s% shaka mimi basi⎫ÏΡKama “Akasema: ∩⊄®∪ š⎥ θà(Sura fbila ó¡yϑShuaraa; ø9$#ukimfanya z⎯shaka ÏΒ y7¨Ζn=26:29). yèô_nitakufanya V{mungu “ÎNa öxîkauli $·γmwingine ≈s9Î)yake: |Nmiongoni õ‹sƒªB$# È⎦asiyekuwa Í.s! tΑ$s% mwa

wafungwa.” Na kaulimiongoni yake: mimi basi (Sura bila Shuaraa; shaka 26:29). nitakufanya mwa “Akasema: Kama ukimfanya mungu mwingine wafungwa.” (Sura Shuaraa; 26:29). Na kauli yake: asiyekuwa mimi basiKama bila ukimfanya shaka nitakufanya miongoni mwa “Akasema: mungu mwingine asiyekuwa 45 ×βθãΖôfShuaraa; yϑshaka s9 óΟä3ö‹s9Î) Ÿ≅nitakufanya Å™ö‘é& ü“Ï%Na ©!$# ãΝkauli ä3s9θß™ u‘yake: ¨βÎ) tΑ$s% mwa wafungwa.” 26:29). mimi basi∩⊄∠∪(Sura bila miongoni ∩⊄∠∪(Sura ×βθãΖôfShuaraa; yϑs9 óΟä3ö‹s9Î) Ÿ≅26:29). Å™ö‘é& ü“Ï%Na ©!$# ãΝkauli ä3s9θß™yake: u‘ ¨βÎ) tΑ$s% wafungwa.”

“Akasema: wenu ∩⊄∠∪Hakika ×βθãΖôfyϑs9 mtume óΟä3ö‹s9Î) Ÿ≅Å™ ö‘é& ü“Ï%mliyetumiwa ©!$# ãΝä3s9θß™u‘ β ¨ Î) tΑni $s% mwenda 6/18/2016 wazimu.” huyu ni “Akasema: Hakika mtume ∩⊄∠∪(Sura ×βθãΖôfShuaraa; yϑs9 óΟ ä3ö‹s9Î) Ÿ≅26:27). Å™wenu ö‘é& ü“Ï%Atasema ©!mliyetumiwa $# ãΝä3s9θß™u‘kuwa β ¨ Î) tΑ$sni %mtumwenda

07_16_Kumkosoa_18_June_2016.indd 45

2:53:44 PM


∩⊄®∪ š⎥⎫ÏΡθàfó¡yϑø9$# z⎯ÏΒ y7¨Ζn=yèô_V{ “Îöxî $·γ≈s9Î) |Nõ‹sƒªB$# È⎦Í.s! tΑ$s% “Akasema: Kama ukimfanya mungu mwingine asiyekuwa

KUMKOSOA ANAYEIGAWANYA TAWHIDI KWA MAFUNGU mimi basi bila YULE shaka nitakufanya miongoni mwa

wafungwa.” (Sura Shuaraa; 26:29). Na kauli yake:

∩⊄∠∪ ×βθãΖôfyϑs9 óΟä3ö‹s9Î) Ÿ≅Å™ö‘é& ü“Ï%©!$# ãΝä3s9θß™u‘ ¨βÎ) tΑ$s% “Akasema: Hakika mtume wenu mliyetumiwa ni mwenda “Akasema: Hakika mtume wenu mliyetumiwa ni mwenda wazimu.” ni wazimu.”(Sura (SuraShuaraa; Shuaraa;26:27). 26:27).Atasema Atasemakuwa kuwa mtu mtu huyu huyu ni mwanatawhidi? alikuwa akiamini tawhidi ya Rububiyya lakini mwanatawhidi?EtiEti alikuwa akiamini tawhidi ya Rububiyya alikuwa haamini ya Uluhiyya? Baada ya haya, je inaweza kusemwa lakini alikuwa haamini ya Uluhiyya? Baada ya haya, je inaweza kuwa Firaunikuwa alikuwa akiijua Tawhiid ya Rububiyya ya kusemwa Firauni alikuwa akiijua Tawhiid na ya hakuijua Rububiyya Uluhiyya? Kigawanyo hiki cha Tawhid si sahihi ni batili,sina kila na hakuijua ya Uluhiyya? Kigawanyo hiki cha Tawhid sahihi asemaye huyo ni mwenye maanamakosa. ya kauliAma yake ni batili,hivyo, na kila asemaye hivyo,makosa. huyo niAma mwenye ni batili, na kila asemaye hivyo, huyo ni mwenye makosa. Ama Mwenyezi Mungu: maana ya kauli yake Mwenyezi 40 Mungu: maana ya kauli yake Mwenyezi Mungu: ∩⊇⊃∉∪ tβθä.Îô³•Β Νèδuρ ω  Î) ! « $$Î/ ΝèδçsYò2r& ⎯ ß ÏΒ÷σム$tΒuρ ∩⊇⊃∉∪ β t θä.Îô³•Β Νèδuρ ω  Î) ! « $$Î/ ΝèδçsYò2r& ß⎯ÏΒ÷σム$tΒuρ

“Na wengi wao hawamuamini Mwenyezi Mungu pasi na “Na wao Mwenyezi na “Nawengi waohawamuamini hawamuamini Mwenyezi Mungu pasi kuwa niwengi washirikina.Yusuf; 12:106) maana Mungu yake nipasi kuwa, kuwa ni washirikina.Yusuf; 12:106) maana yake ni kuwa, kuwa washirikina.Yusuf; 12:106) ni kuwa, wenginiwao humwamini Mungu kwamaana kukiriyake kwao uwepo wenwa wengi wao humwamini Mungu kwa kukiri kwao uwepo wa giMwenyezi wao humwamini kwawakati kukiri kwao uwepo wa Mwenyezi MunguMungu muumba wanapopewa hoja, lakini Mwenyezi Mungu muumba wakati wanapopewa hoja, lakini wakati muumba huo huwa nyoyo zao zinakadhibisha, yao Mungu wakati wanapopewa hoja, lakinihivyo wakatiimani huo huwa wakati huo huwa nyoyo zao zinakadhibisha, hivyo imani yao mbele zao yenu wanapopewa hivyo hoja juu ya yao kuwepo ni kwa nyoyo zinakadhibisha, imani mbeleMungu yenu wanapombele yenu wanapopewa hoja juu ya kuwepo Mungu ni kwa ndimihoja zaojuutu,yanakuwepo hivyo Mungu haizingatiwi kwa pewa ni kwawala ndimihaikubaliwi zao tu, na hivyo ndimi zao tu, na hivyo haizingatiwi wala haikubaliwi kwa Mwenyezi Mungu: haizingatiwi wala haikubaliwi kwa Mwenyezi Mungu: Mwenyezi Mungu: Νä3tΡθàÊöム4 πZ ¨ΒÏŒ ω Ÿ uρ ω ~ Î) Ν ö ä3‹Ïù #( θç7è%ötƒ ω Ÿ Ν ö à6ø‹n=tæ #( ρãyγôàtƒ βÎ)uρ y#ø‹Ÿ2 Νä3tΡθàÊöム4 πZ Β¨ ÏŒ ω Ÿ uρ ω ~ Î) Ν ö ä3‹Ïù #( θç7è%ötƒ Ÿω Ν ö à6ø‹n=tæ #( ρãyγôàtƒ βÎ)uρ y#ø‹Ÿ2

∩∇∪ šχθà)Å¡≈sù öΝèδçsYò2r&uρ óΟßγç/θè=è% 4’n1ù's?uρ öΝÎγÏδ≡uθøùr'Î/ ∩∇∪ šχθà)Å¡≈sù Ν ö èδçsYò2r&uρ Ο ó ßγç/θè=è% ’ 4 n1ù's?uρ öΝÎγÏδ≡uθøùr'Î/

“Itakuwaje! Nao wakiwashinda hawaangalii kwenu ujirani aha“Itakuwaje! Nao wakiwashinda hawaangalii kwenuwala ujirani di. Wanawafurahisha kwa midomo yao tu, hali nyoyo zao zinakataa; “Itakuwaje! Nao wakiwashinda hawaangalii kwenu ujirani wala ahadi. Wanawafurahisha kwa midomo yao tu, hali wengi wao ni mafasiki. 8). yao tu, hali wala ahadi. na Wanawafurahisha kwa(Tawba: midomo

nyoyo zao zinakataa; na wengi wao ni mafasiki. (Tawba: 8). nyoyo zao zinakataa; na wengi wao ni mafasiki. (Tawba: 8). Wao ni waongo kwa kule kuchukua miungu yao na kuiabudu Wao niyawaongo kwaMungu. kule kuchukua miungu viongozi yao na kuiabudu 46 badala Mwenyezi Au kuwafanya wao ni badala ya Mungu.ana Au mtoto. kuwafanya miungu au Mwenyezi kuitakidi Mungu Ama viongozi kukubali wao kwaoni miungu au kuitakidi Mungu ana mtoto. Ama kukubali kwao uwepo wa muumba, mwenye kuruzuku, mwenye kuhuisha, uwepo wa muumba, kuruzuku, kuhuisha, mwenye kufisha na hukumwenye wanafanya kinyumemwenye na kukubali huko, 07_16_Kumkosoa_18_June_2016.indd 46 6/18/2016 mwenye kufisha na huku wanafanya kinyume na kukubali huko,

2:53:46 PM


∩∇∪ šχθà)Å¡≈sù Ν ö èδçsYò2r&uρ Ο ó ßγç/θè=è% ’ 4 n1ù's?uρ öΝÎγÏδ≡uθøùr'Î/ ∩∇∪ šχθà)Å¡≈sù Ν ö èδçsYò2r&uρ Ο ó ßγç/θè=è% 4’n1ù's?uρ öΝÎγÏδ≡uθøùr'Î/ “Itakuwaje! Nao wakiwashinda hawaangalii kwenu ujirani “Itakuwaje! Nao wakiwashinda hawaangalii kwenu ujirani wala ahadi. Wanawafurahisha kwa midomo yao tu, hali wala ahadi. Wanawafurahisha kwa KUMKOSOA YULE ANAYEIGAWANYA TAWHIDI KWAmidomo MAFUNGU yao tu, hali nyoyo zao zinakataa; na wengi wao ni mafasiki. (Tawba: 8). nyoyo zao zinakataa; na wengi wao ni mafasiki. (Tawba: 8). WaoWao ni waongo kwakwa kule kuchukua miungu yaoyao na kuiabudu ni waongo waongo Wao ni kwa kule kule kuchukua kuchukua miungu miungu yaona nakuiabudu kuiabudu badala ya Mwenyezi Mungu. Au kuwafanya viongozi waoninimibadala ya Mwenyezi Mungu. Au kuwafanya viongozi wao badala ya Mwenyezi Mungu. Au kuwafanya viongozi wao ni miungu au kuitakidi Mungu ana mtoto. Ama kukubali kwaowa ungu au kuitakidi Mungu ana mtoto. Ama kukubali kwao uwepo miungu au kuitakidi Mungu ana mtoto. Ama kukubali kwao uwepo wa muumba, mwenye kuruzuku, mwenye kuhuisha, muumba, kuruzuku, mwenyekuruzuku, kuhuisha, mwenye na uwepo mwenye wa muumba, mwenye mwenyekufisha kuhuisha, mwenye kufisha na huku wanafanya kinyume na kukubali huko, mwenye kufisha na huku wanafanya kinyume na kukubali huko, huku wanafanya kinyume na kukubali huko, tena wakimuabudu asitena wakimuabudu asiyekuwa Mwenyezi Mungu, kama tena wakimuabudu asiyekuwa Mwenyezi Mungu, kama yekuwa Mwenyezi alivyosema (s.w.t.): Mungu, kama alivyosema (s.w.t.): alivyosema (s.w.t.): ∩∠⊆∪ χ š ρç|ÇΖãƒ Ν ö ßγ¯=yè©9 ZπyγÏ9#u™ ! « $# β È ρߊ ⎯ÏΒ (#ρä‹sƒªB$#uρ ∩∠⊆∪ šχρç|ÇΖãƒ Ν ö ßγ¯=yè©9 πZ yγÏ9#u™ ! « $# β È ρߊ ⎯ÏΒ (#ρä‹sƒªB$#uρ wameishikamiungu miungu mingine mingine badala Mwenyezi Mun“Na “Na wameishika badalaya ya Mwenyezi “Na wameishika miungu mingine badala ya Mwenyezi gu wapate kusaidiwa! (Yasin; 36:74), hiyohiyo si Tawhid na imani Mungu wapate kusaidiwa! (Yasin; 36:74), si Tawhid na Mungu wapate kusaidiwa! (Yasin; 36:74), hiyo si Tawhid kilughakilugha wala kisheria, kwa sababu kilugha kusadiki ni kwana imani wala kisheria, kwaimani sababu imanini kilugha imani kilugha wala kisheria, kwa sababu imani kilugha ni moyo tu kwa na katika kumsadiki Muhammad  na kusadiki moyosheria tu nanikatika sheriaMtume ni kumsadiki Mtume kusadiki kwa moyo tu na katika sheria ni kumsadiki Mtume Muhammad � na kusadiki aliyokuja nayo, hivyo kusema kwao: kusadiki aliyokuja nayo, hivyo kusema kwao: Muhammad � na kusadiki aliyokuja nayo, hivyo kusema kwao:

’n<Î) $! tΡθç/Ìhs)ã‹Ï9 ω  Î) Ν ö èδ߉ç6÷ètΡ $tΒ u™!$uŠÏ9÷ρr& ⎯ ÿ ÏμÏΡρߊ ∅ÏΒ #( ρä‹sƒªB$# š⎥⎪Ï%©!$#uρ 4 …..” ’n<Î) $! tΡθç/Ìhs)ã‹Ï9 ω  Î) Ν ö èδ߉ç6÷ètΡ $tΒ u™!$uŠÏ9÷ρr& ⎯ ÿ ÏμÏΡρߊ ∅ÏΒ #( ρä‹sƒªB$# ⎥ š ⎪Ï%©!$#uρ 4 …..” “….. ’ # s∀ø9ã— «!$# “….. #’s∀ø9ã— «!$#

“Sisi hatuwaabudu ila wapate kutujongeza tu kumkaribia Mwenyezi Mungu (Zumar; 39:3) pale wanapopewa hoja, ni uongo 41 mtupu, ili wajitakase nafsi zao, na41 Mwenyezi Mungu amebainisha uongo wao aliposema mwisho wa Aya: “ila wapate kutujongeza tu kumkaribia Mwenyezi Mungu (Zumar; 39:3). Muhimu: Nimenukuu utafiti huu juu ya Tawhid ya Rububiyya na Uluuhiyya herufi kwa herufi, pamoja na nyongeza kidogo, kutoka kitabu Baraatul Ash-ariyyina min aqaaidil lmukhalifiina cha Allama Muhammad al-Arabiy At Tibaniy.

47

07_16_Kumkosoa_18_June_2016.indd 47

6/18/2016 2:53:48 PM


KUMKOSOA YULE ANAYEIGAWANYA TAWHIDI KWA MAFUNGU

NYONGEZA MPYA

M

akusudio hapa ni: Tungelipenda kubainisha hapa kwamba kumuomba asiyekuwa Mungu si shirki, wala si dhambi, bali hata si makruhu pia, kama wanavyodai wasemao kuwa kuomba, au mwito kwa waliokufa au asiyekuwa Mwenyezi Mungu ni kufru na shirki. Tawassul ni mtu amuombe Mwenyezi Mungu (s.w.t.) kupitia kwa heshima au daraja ya Nabii au Walii au Malaika, n.k.

Na Istighatha ni mwenye kuomba kuelekea kwa kumtaja Mtume  au wengineo anaoamini ukaribu wao na cheo chao kwa Mwenyezi Mungu amuombee Mungu katika kuhakikisha amepata malengo yake. Istighatha si shirk wala si kufru kama wanavyodai baadhi yao. Na mukhtasari wa kuthibitisha hilo ni kuwa maana ya dua ni kuomba,19 inajuzu kisheria kumuomba asiyekuwa Allah, mathalan, unapomuomba nduguyo au mwanao, au baba yako au rafiki yako akusaidie katika jambo la kidunia au la kidini. Jambo lisilofaa ni kumuomba asiyekuwa Allah ukiwa na itikadi kuwa yeye ni Mola na si Mwenyezi Mungu ndiye Mola. Ama kuwaomba manabii, maimamu na mawalii ni ili watawasali (wawe ni njia) nao kwa Mwenyezi Mungu. Wanataka kutoka kwao uombezi, wawaombee kwa Mungu ili awatimizie haja zao. Hawaitakidi kuwa wao ni miungu wala hawawaabudu, bali wanaamini kuwa hao wako hai mbele ya Mwenyezi Mungu wanaruzukiwa. Na kama wakiwa hawapo hai basi wanasikia maneno wanayowaomba. Haya yote hayapingwi na sheria; yana misingi ya dalili katika Kitabu 19

Al Hafidh Ibn Hajar amesema katika Fat’hul Bari (1:94): “Dua ni kuomba na kuomba kitu ni kusisitiza kukifanya, ukisema pia dawtu fulanaa yaani nimemuomba, pia ina maana ya utukufu. 48

07_16_Kumkosoa_18_June_2016.indd 48

6/18/2016 2:53:48 PM


KUMKOSOA YULE ANAYEIGAWANYA TAWHIDI KWA MAFUNGU

na sheria; yana misingi ya dalili katika Kitabu kitukufu na Sunnah, sawa wawe Masalafi (Mawahabi) wamekubali au kitukufu na Sunnah, sawa wawe Masalafi (Mawahabi) wamekubali wamekataa. au wamekataa. Mfano Bwana wetu alikuwa akifufua wafu Mfano Bwana wetuIsa Isa� alikuwa akifufua wafukwa kwaidhini idhiniya ya Mwenyezi Mungu (s.w.t.) na kuponya wenye upofu na Mwenyezi Mungu (s.w.t.) na kuponya wenye upofu na mbalanga na mbalanga na mengineyo, pindi mtu wake anapomuomba mengineyo, na pindi mtu wakenaanapomuomba amfufulie maiti huwa amfufulie maiti huwa hajakufuru, licha ya kuwa kazi ya kufufua hajakufuru, licha ya kuwa kazi ya kufufua maiti ni ya Mwenyezi maiti ni ya Lakini Mwenyezi Munguhuyo hasa.mtu Lakini huyo Mungu hasa. anapoamini kuwa anapoamini yeye Isa si Mungu mtu kuwa yeye Isa si Mungu na hamwabudu, hii si kufru wala si na hamwabudu, hii si kufru wala si shirki wala si kupinga Tawhid. shirki wala si kupinga Tawhid. Mwenyezi Mungu amesema juu Mwenyezi Mungu amesema juu ya Nabii Isa : ya Nabii Isa �: ß,è=÷zr& þ’ÎoΤr& ( Ν ö à6În/§‘ ⎯ÏiΒ 7πtƒ$t↔Î/ Νä3çGø⁄Å_ ‰ ô s% ’ÎoΤr& ≅ Ÿ ƒÏ™ℜuó Î) © û Í_t/ 4’n<Î) »ωθß™u‘uρ

( ! « $# β È øŒÎ*Î/ #MösÛ ãβθä3u‹sù μÏ ‹Ïù ‡ ã àΡr'sù Î ö©Ü9$# Ïπt↔øŠyγx. ⎦ È ⎫ÏeÜ9$# ∅ š ÏiΒ Νà6s9

$yϑÎ/ Νä3ã⁄Îm;tΡé&uρ ( ! « $# β È øŒÎ*Î/ 4’tAöθuΚø9$# © Ä óré&uρ ⇑ š tö/F{$#uρ μt yϑò2F{$# Û˜Ìö/é&uρ …..öΝà6Ï?θã‹ç/" ’Îû β t ρãÅz£‰s? $tΒuρ tβθè=ä.ù's?

“Na Mtume kwa wana wa Israili (awaambie): Mimi “Na Mtumena kwa wana wa Israilikwa (awaambie): Mimi nimewajia na nimewajia Ishara kutoka Mola Wenu, hakika mimi Ishara kutokakama kwa Mola Wenu, nitawafanyia nitawafanyia namna yahakika ndegemimi katika udongo; kama kisha namna ya ndege katika udongo; kisha nimpulizie awe ndege kwa nimpulizie awe ndege kwa idhini ya Mwenyezi Mungu. Na idhini ya Mwenyezi Mungu. Na niwaponye vipofu na wenye mbalanniwaponye vipofu na wenye mbalanga. Niwafufue wafu kwa ga. Niwafufue wafu kwa idhini ya Mwenyezi Mungu. Na niwambie idhini ya Mwenyezi Mungu. akiba Na niwambie mnavyovila mnavyovila na mtakavyoweka katika nyumba zenu…..”na mtakavyoweka akiba (Al-Imran; katika nyumba 3:49). zenu…..” (Al-Imran; 3:49). Ikiwa Mwenyezi Mungu anaweza kumpa kazi Zake maalum hizi Mwenyezi anaweza maalum hizi –Ikiwa kwa idhini Yake Mungu Mwenyewe - mjakumpa Wake kazi kamaZake Nabii Isa ambaye kwafukara idhiniKwake, Yake kwa Mwenyewe - mja Wake Nabii Isa ni– mja nini Mwenyezi Mungukama asiweze kuwapa ambaye ni mja fukara Kwake, kwa nini Mwenyezi Mungu asiweze kuwapa waliokufa uwezo wa kusikia istighatha ya anayetaka haja zake amuombee49kwa Mungu? Nasi twasema kuwa wale wenye kufanya istighatha na kutawasali kwa manabii na kwa watu wema katika waja Wake 07_16_Kumkosoa_18_June_2016.indd 49 6/18/2016

2:53:49 PM


KUMKOSOA YULE ANAYEIGAWANYA TAWHIDI KWA MAFUNGU

waliokufa uwezo wa kusikia istighatha ya anayetaka haja zake amuombee kwa Mungu? Nasi twasema kuwa wale wenye kufanya istighatha na ­kutawasali kwa manabii na kwa watu wema katika waja Wake hawakusudii ila wanawataka wao wawaombee kwa Mungu. Hivyo ni kwa sababu wanaamini heshima zao mbele ya Mwenyezi Mungu, hii ni kinyume na mushrikina ambao wanaabudu masanamu na kuyafanya ni miungu! Hapa wale wapingao wamekoseawanapotumia wanapotumiaAya Ayailiyoshuka iliyoshuka Hapa wale wapingao wamekosea kwa ajili ya wanaoabudu masanamu na kuifanya kuwa sawa kwa ajili ya wanaoabudu masanamu na kuifanya kuwa ni ni sawa na na kwa wanaotawasali na kudai ni sawa! kwa hao hao wanaotawasali na kudai kuwakuwa wotewote ni sawa!

βÎ) 4 öΝÎγÏδ≡uθøùr& ⎯ ô ÏΒ l ß ãøƒrB ZπyϑÎ=Ÿ2 N ô uã9x. 4 óΟÎγÍ←!$t/Kψ Ÿωuρ Ο 5 ù=Ïæ ⎯ ô ÏΒ ⎯ÏμÎ/ Μçλm; $¨Β

∩∈∪ $\/É‹x. ωÎ) šχθä9θà)tƒ

“Wao ujuziwawa kuu “Wao hawana hawana ujuzi hili,hili, walawala baba baba zao. Nizao. nenoNi kuuneno litokalo vinywani mwao. Hawasemi ila uwongo tu. (al-Kahf; 18:5). litokalo vinywani mwao. Hawasemi ila uwongo tu. (al-Kahf; 18:5). Dalili za wazushi katika madai yao kuwa kuomba asiyekuwa Mungu ni shirki na ni kuabudu asiyekuwa Mungu ni baadhi ya Aya Dalili za wazushi katika madai yao kuwa kuomba asiyekuwa zinazotaja la dua (kuomba), hivyo wanachanganya baina Mungu ni tamko shirki na ni kuabudu asiyekuwa Mungu ni baadhi ya ya maana za dua tamko na kuongezea na Hadithi hivyo ya Nuuman bin Bashir, Aya zinazotaja la dua (kuomba), wanachanganya 20 Mtume aliposema: Na na akasoma: Mola Wenu baina ya maana za“Dua dua ni na ibada.” kuongezea Hadith “Na ya Nuuman bin 20 20   Hadithi hii ni dhaifu.aliposema: Ameipokea Tirmidhy na 3247, 3372) na Abu Daud “Na (1479) Na akasoma: Bashir, Mtume “Dua (2926 ni ibada.” na Ibn Wenu Majah (3828) na Ahmad Niombeni (4:267). Tirmidhy amesema ni sahihi, Numan Mola amesema: nitawaitikia. Kwalakini hakika bin Bashir haijathibiti kuwa yeye alimsikia Mtume. Amesema al-Hafidh al-Mazy katika wale ambao wanajivuna kufanya ibada Yangu wataingia Tahdhibul Ahaam (29:412) katika kumuelezea Numan bin Bashir: “Amesema Yahya bin Jahannamu wadhalilike.” Wanachanganya yaliyomo kwenye Muin kwamba, watu wa Madina wanasema, huyu hakusikia kutoka kwa Mtume 3, na watu wa ya IraqAya wanasema ni sahih kusikia kwake kwa Mtume.” dhahir na Hadithi hii ili wapoteze watu. Makusudio ya Nasema:hii Watu wa Madina kwani yeyedua kazaliwa hapo. Inathibiti Hadith hapa, ikiwandio ni wamjuae sahih - zaidi ni kwamba ya kumuomba kuwa yeye ni katika maswhaba wadogo na wamehitilafiana katika21umri wake wakati Mwenyezi Mungu ni moja kati ya ibada kubwa, na wala si kwamba kumwita na kumuomba asiyekuwa Mwenyezi Mungu 50 ni ibada, sawa iwe yule anayeombwa ni hai au amekufa, na hata kama ni kwa unyenyekevu. 07_16_Kumkosoa_18_June_2016.indd 50

6/18/2016 2:53:49 PM


KUMKOSOA YULE ANAYEIGAWANYA TAWHIDI KWA MAFUNGU

amesema: Niombeni nitawaitikia. Kwa hakika wale ambao wanajivuna kufanya ibada Yangu wataingia Jahannamu wadhalilike.” Wanachanganya yaliyomo kwenye dhahir ya Aya na Hadithi hii ili wapoteze watu. Makusudio ya Hadithi hii hapa, ikiwa ni sahihi - ni kwamba dua ya kumuomba Mwenyezi Mungu ni moja kati ya ibada kubwa,21 na wala si kwamba kumwita na kumuomba asiyekuwa Mwenyezi Mungu ni ibada, sawa iwe yule anayeombwa ni hai au amekufa, na hata kama ni kwa unyenyekevu. Kwa mfano mtoto anamuomba baba yake kitu, naye humuomba katika hali ya kumtukuza. Au mwanafunzi humuomba sheikh wake, au askari humuomba kiongozi wake na wengineo, hiyo haichukuliwi kuwa ni ibada kwao kisheria, kama kusujudu juu ya jiwe jeusi (Hajarul aswad) au kulibusu hakuzingatiwi kuwa ni shirki na kufru, na pia kusujudu kwa ndugu zake Yusuf na baba yao, Mtume Yaqub  na mama yao kwa njia ya kumuamkia si ibada wala si shirki pia!22 Mtume alipokufa, je umri wake ulikuwa ni miaka sita au minane? Na utapata habari zake kwenye maelezo namba 90 katika uhakiki wa kitabu al-Uluwwu. Na katika sanadi ya Hadith yupo Hadhramiy Kindiy, naye hata kama Nasai atamuamini ila hakupokea kutoka kwake ila mmoja, naye ni Dharr Al-Hamdaniy, na hii inahukumu kuwa hadithi hii haikuwa yake. 21   Amefafanua al-Hafidh Ibn Hajar katika Fat’hul-Bariy (11:94) maana ya Hadith hii akasema: “Jamhuri wamejibu kuwa dua ni katika ibada kubwa, nayo ni kama Hadithi nyingine isemayo “Hijja ni Arafa” yaani Arafa ni nguzo kubwa ya Hijja. 22   Wanavyodai Mawahabi kuwa yaliyoruhusiwa na Mwenyezi Mungu kama kuitukuza Hajarul Aswad, Al Kaaba au kusujudu kwa watu wa Seyyidna Yusuf hakuwi ni kufru, na kisichoruhusiwa na Mwenyezi Mungu basi ni shirk na kufru, maneno haya ni ufisadi. Kwani kufru ni kufru tu kwa hali yoyote ile, wala haitofautishwi ila na nia tu na makusudio. Abdallah bin Awfa amepokea kwamba: “Mu’adh alikwenda Yemen au Sham akawaona manaswara wakiwasujudia maaskofu wao akajilazimisha nafsi yake kuwa Mtume ana haki zaidi ya kutukuzwa. Aliporudi, akasema: “Ee Mtume wa Mwenyezi Mungu! Nimewaona manaswara wakiwasujudia maaskofu wao nikaona kwa nafsi yangu wewe una haki zaidi ya kutukuzwa.” Mtume 3 akasema: ‘Lau ningekuwa ni mwenye kuamrisha mtu amsujudie mwingine basi ningeamrisha mke amsujudie mumewe.” Ameipokea Ahmad (4:381) na Abdu Razzaq (11:301) na akaisahihisha al-Albaniy katika Sahih yake (3:202) wakati wa kutoa Hadithi namba 1203. Wala Mtume hakumwambia Mu’adh waliyofanya hao ni kufru na shirki kwa kuwa Mu’adh anakubali kuwa Mtume ni 51

07_16_Kumkosoa_18_June_2016.indd 51

6/18/2016 2:53:49 PM


katika hali ya kumtukuza. Au mwanafunzi humuomba sheikh wake, au askari humuomba kiongozi wake na wengineo, hiyo haichukuliwi kuwa ni ibada kwao kisheria, kama kusujudu juu ya jiwe jeusi (Hajarul aswad) au kulibusu hakuzingatiwi kuwa        TAWHIDIzake KWA MAFUNGU ni shirki naKUMKOSOA kufru, naYULE pia ANAYEIGAWANYA kusujudu kwa ndugu Yusuf na baba yao, Mtume Yaqub � na mama yao kwa njia ya kumuamkia si ibada wala si shirki pia!22 Qur’ani imebainisha kuwa kumuomba asiyekuwa Mwenyezi Qur’ani imebainisha kuwa kumuomba asiyekuwa Mwenyezi Mungu kauli ya ya Mwenyezi Mwenyezi Mungu Mungu kwa kwa Mungusisiibada ibada kama kama mfano mfano wa wa kauli Sayyidna Ibrahim juu ya ndege aliyemuamrisha amchinje: Sayyidna Ibrahim juu ya ndege aliyemuamrisha amchinje: Α t $s% ( ⎯ÏΒ÷σè? öΝs9uρr& tΑ$s% ( 4’tAöθyϑø9$# ‘ Ç ósè? y#ø‹Ÿ2 ‘ÏΡÍ‘r& Éb>u‘ Ο Þ ↵Ïδ≡tö/Î) Α t $s% øŒÎ)uρ ¢ΟèO y7ø‹s9Î) £⎯èδ÷ÝÇsù Î ö©Ü9$# z⎯ÏiΒ Zπyèt/ö‘r& õ‹ã‚sù Α t $s% ( ©É<ù=s% £⎯Í≥yϑôÜuŠÏj9 ⎯Å3≈s9uρ 4’n?t/

“….. $\Š÷èy™ y7oΨÏ?ù'tƒ £⎯ßγãã÷Š$# ¢ΟèO #[™÷“ã_ £⎯åκ÷]ÏiΒ 9≅t6y_ e≅ È ä. 4’n?tã ö≅yèô_$#

“Na Ibrahim: Mola Wangu! Nionyeshe Nionyeshe jinsi unavyofufua “Naaliposema aliposema Ibrahim: Mola Wangu! jinsi wafu. (Mwenyezi Mungu) akasema: Huamini? Akasema: Kwa nini unavyofufua wafu. (Mwenyezi Mungu) akasema: Huamini? (naamini)!Kwa Lakini ili utulie moyo wangu. Basi chukua Akasema: nini (naamini)! Lakini Akasema: ili utulie moyo wangu. ndege wane na uwakusanye, kisha (uwachinje) uweke juu ya kila Akasema: Basi chukua ndege wane na uwakusanye, kisha jabali sehemu katika wao, kisha waite, watakujia mbio…..” (al-Baqa(uwachinje) uweke juu ya kila jabali sehemu katika wao, rah; 2:260).

kisha waite, watakujia mbio…..” (al-Baqarah; 2:260). Na kaui Yake Mwenyezi Mungu: Na kaui Yake Mwenyezi Mungu:

$tΡu™!$oΨö/r& í ä ô‰tΡ (#öθs9$yès? ö≅à)sù ÉΟù=Ïèø9$# z⎯ÏΒ x8u™!%y` $tΒ Ï‰÷èt/ .⎯ÏΒ μÏ ‹Ïù y7§_!%tn ô⎯yϑsù

22

Wanavyodai Mawahabi kuwa yaliyoruhusiwa na Mwenyezi Mungu kama

wa «!kuitukuza $# M | uΖ÷è©9 ≅yHajarul èôfuΖsù ö≅Aswad, ÍκtJö6tΡ Ο ¢ èOAl Ν ö ä3Kaaba |¡àΡr&uρau $oΨ|¡kusujudu àΡr&uρ öΝä.u™kwa !$|¡ÎΣuρwatu $tΡu™!$|¡ ÎΣuρ Seyyidna ö/ä.u™!$oΨö/r&uρ

Yusuf hakuwi ni kufru, na kisichoruhusiwa na Mwenyezi Mungu basi ni shirk na kufru, maneno haya ni ufisadi. Kwani kufru ni kufru tu kwa hali ∩∉⊇∪ š⎥⎫Î/É‹Abdallah ≈x6ø9$# ’nbin ?tã yoyote ile, wala haitofautishwi ila na nia tu na makusudio. Awfa amepokea kwamba: “Mu’adh alikwenda Yemen au Sham akawaona manaswara wakiwasujudia maaskofu wao akajilazimisha nafsi yake kuwa “Na watakaokuhoji kukufikia elimuelimu hii, waambie: Njooni “Na watakaokuhoji kukufikia hii,“Eewaambie: Mtume ana haki zaidi baada ya baada kutukuzwa. Aliporudi, akasema: Mtume wa tuwaite watoto wetu na watoto wenu, na wanawake zetu na waMwenyezi Mungu! Nimewaona manaswara wakiwasujudia maaskofu wao Njooni tuwaite watoto wetu na watoto wenu, na wanawake

mja wana Mwenyezi Mungu nawenu, niwewe Mtume Wake. na hakumfanya mungu, zetu wanawake na nafsi zetuyana nafsi zenu, kisha ila nikaona kwa nafsi yangu una hakiHakumuabudu zaidi kutukuzwa.” Mtume Mtume alimkataza kufanya hivyo akamwambia, lau ningekuwa ni mwenyemwingine kuamrisha akasema: ‘Lau unyenyekevu ningekuwa ni mwenye mtu amsujudie tuombe kwa tutakekuamrisha laana ya Mwenyezi Mungu mtu mwingine ningeamrisha mke amsujudie mumewe, Mtume basiamsujudie ningeamrisha mke basi amsujudie mumewe.” Ameipokea Ahmadna(4:381) iwashukie waongo.” (Imran; 3:61). kusema ni kufru!

na Abdu Razzaq (11:301) na akaisahihisha al-Albaniy katika Sahih yake (3:202) wakati wa kutoa Hadithi namba 1203. Wala Mtume hakumwambia Na kauli Yake: Mu’adh waliyofanya hao ni kufru 52 na shirki kwa kuwa Mu’adh anakubali kuwa Mtume ni mja wa Mwenyezi Mungu na ni Mtume Wake. Hakumuabudu na hakumfanya mungu, ila Mtume alimkataza kufanya þ’hivyo Îû öΝà2 θããô‰tƒ Û^θß™§9$#uρ 7‰ymr& #’n?tã šχ…âθù=s? Ÿωuρ šχρ߉ÏèóÁè? Œø Î) * akamwambia, lau ningekuwa ni mwenye kuamrisha mtu amsujudie mwingine basi52ningeamrisha mke amsujudie mumewe, na Mtume kusema 07_16_Kumkosoa_18_June_2016.indd 6/18/2016

2:53:50 PM


! « $# |MuΖ÷è©9 ≅yèôfuΖsù ö≅ÍκtJö6tΡ Ο ¢ èO öΝä3|¡àΡr&uρ $oΨ|¡àΡr&uρ Ν ö ä.u™!$|¡ÎΣuρ $tΡu™!$|¡ÎΣuρ ö/ä.u™!$oΨö/r&uρ ∩∉⊇∪ š⎥⎫Î/É‹≈x6ø9$# ’n?tã

KUMKOSOA YULE ANAYEIGAWANYA TAWHIDI KWA MAFUNGU

“Na watakaokuhoji baada kukufikia elimu hii, waambie: Njooni tuwaite watoto wetu na watoto wenu, na wanawake nawake na nafsi zetu na tuombe kwakisha unyzetu nawenu, wanawake wenu, nanafsi nafsizenu, zetukisha na nafsi zenu, enyekevukwa tutake laana ya Mwenyezi Mungu waongo.” tuombe unyenyekevu tutake laana yaiwashukie Mwenyezi Mungu (Imran; 3:61). iwashukie waongo.” (Imran; 3:61). kauli Yake: NaNa kauli Yake:

’ þ Îû Ν ö à2θããô‰tƒ ^ Û θß™§9$#uρ ‰ 7 ymr& ’ # n?tã šχ…âθù=s? Ÿωuρ šχρ߉ÏèóÁè? Œø Î) *

!$tΒ Ÿωuρ Ν ö à6s?$sù $tΒ ’ 4 n?tã (#θçΡt“óss? ξ Ÿ øŠx6Ïj9 dΟ 5 tóÎ/ $Cϑxî Ν ö à6t7≈rOr'sù öΝä31t÷zé& ∩⊇∈⊂∪ β t θè=yϑ÷ès? $yϑÎ/ 7Î6yz ! ª $#uρ 3 öΝà6t7≈|¹r&

“(kumbukeni) mlipotoka mbio hamumtazami “(kumbukeni) mlipotoka mbio walawala hamumtazami yeyote, yeyote, na hali na hali Mtume anawaita nyuma yenu. Akawalipa majonzi Mtume anawaita nyuma yenu. Akawalipa majonzi kwa majonzi, ili kwa majonzi, msihuzunike mliyoyakosaNa wala kwa msihuzunike kwa ili mliyoyakosa wala kwa kwa yaliyowasibu. Mwenyezi yaliyowasibu. Mwenyezi Mungu (Imran; ana 3:153) habari za Mungu anaNa habari za mnayoyatenda.” mnayoyatenda.” (Imran; 3:153) Nassi zote zilizokuja kukataza kumuomba asiyekuwa Allah, Nassi zoteyake zilizokuja kukataza kumuomba asiyekuwa Allah, makusudio ni kukataza kumwabudu na kumfanya asiye Munmakusudio yake ni kukataza kumwabudu na kumfanya asiye gu kuwa ni Mungu. Ama wito tu, sawa iwe ni kwa kuomba au si Mungu kuwahiyo ni Mungu. tu,bali sawa ni ambapo kwa kuomba kwa kuomba, si shirkiAma na siwito kufru, ni iwe sunna wakaau si kwa kuomba, hiyo si shirki na si kufru, bali ni sunna ti mwingine mtu hupata thawabu. Mtume  alikuwa akifundisha ambapo wakati mwingine mtu hupata thawabu. Mtume � anayezuru makaburi katika maswahaba zake anadi kwa hao maiti alikuwa akifundisha anayezuru makaburi katika maswahaba na kuwaelekea kwa ibara wakisema: “Assalam alaykum ahlu-diyaar zake anadi kwa hao maiti na kuwaelekea kwa ibara wakisema: minal muuminiin walahlu-diyaar muslimiin wainna inshaaallahwal bikum lahiqu“Assalam alaykum minal muuminiin muslimiin 23 un, as-alu llaha lanaa walakumul aafiyya.” as-alu llaha lanaa wainna inshaaallah bikum lahiquun,

23 walakumul Na katikaaafiyya.” riwaya nyingine sahih Mtume alikuwa akienda kwenye makaburi akisema: “Assalam alaykum ahlu-diyaar minal Na katikawalriwaya nyingine Mtumebikum alikuwa akienda muuminiin muslimiin wainnasahih inshaaallah lahiquun, ankwenye makaburi akisema: “Assalam alaykum ahlu-diyaar 23 minal muuminiin wal muslimiin wainna inshaaallah bikum   Ameipokea Muslim (975) na wengineo.

53 23

Ameipokea Muslim (975) na wengineo.

07_16_Kumkosoa_18_June_2016.indd 53

46

6/18/2016 2:53:51 PM


KUMKOSOA YULE ANAYEIGAWANYA TAWHIDI KWA MAFUNGU

tum lanaa faratun wanahnu lakum tabaun as’alu llahal-aafiyya lanaa walakum.”24 Kuwaita maiti sio kufru wala si shirki wala si bidaa, bali saa nyingine ni Sunnah, kinyume na wanavyoeneza wazushi. Imethibiti katika Sahih mbili kwa njia ya Anas bin Malik, kwamba Mtume  aliwaacha watu watatu wameuliwa kwenye vita vya Badr, kisha akawarudia akasimama akanadi: “Eee Abu Jahl bin Hisham! Ee Umayya bin Khalaf! Eee Utba bin Rabiia! Eee Shayba bin Rabiah! Je si mmeyapata aliyowaahidi Mola Wenu kuwa ni kweli? Mimi nimeyapata aliyoniahidi Mola Wangu kuwa ni kweli.” Umar akasikia maneno ya Mtume , akasema: “Ee Mtume wa Mwenyezi Mungu! wanasikia vipi, na watajibu vipi na wamekuwa mizoga?” Akasema: “Naapa kwa Yule ambaye nafsi yangu iko mikononi Mwake! Nyinyi hamsikii zaidi ya wasikiavyo, ila tu hawawezi kujibu.”25 Kwa dalili hizi inatubainikia wazi kuwa mwito au maombi yasiyokuwa kwa Mwenyezi Mungu hayawi kufru wala shirki wala bidaa kama wanavyodai baadhi ya watu. Na kwa kukamilisha maudhui haya naangalie msomaji uwazi wa mambo, tunanukuu hapa baadhi ya kauli za wanaodai kwamba kumuomba asiyekuwa mungu ni kufru na shirki, katika hizo ni: Kauli ya Sheikh Suleiman bin Abdallah bin Muhammad bin Abdul Wahhab katika kitabu chake Taysiirul Aziizil-Hamiid fii Sharh Kitabu Tawhid, uk. 239: “Watangulizi wema wa mwanzo wameitakasa tawhid mpaka ikawa mmoja wao anapomsalimia Mtume kisha akitaka kuomba dua, huelekea Qibla na kuuweka mgongo 24 25

Amepokea Nasai (2040) an Abu Naim katika Mustakhraj Alaa Sahih Muslim (3:53).   Hili ni tamko la Muslim katika Sahih (2875) pia katika na. 2873 na katika Bukhari kwa matamshi na njia tofauti, angalia namba zifuatazo: 1370, 3976, 3981, 4026. 54

07_16_Kumkosoa_18_June_2016.indd 54

6/18/2016 2:53:51 PM


KUMKOSOA YULE ANAYEIGAWANYA TAWHIDI KWA MAFUNGU

wake ukutani mwa kaburi kisha akaomba. Na Maimamu wannne wamelisema hilo la kuwa yeye alielekea Qibla wakati wa kusoma dua ili asiombe mbele ya kaburi26 kwani dua ni ibada na katika Tirmidhiy imepokewa kuwa: “Dua ni ibada.” Hivyo Watangulizi wema wa mwanzo wakafanya ni ibada kwa ajili ya Mungu tu na hawakufanya kwenye makaburi ila kwa idhini ya Mtume  kwa dua ya kuwaombea maswahaba wake na kuwatakia maghfira na kuwatakia rehma. Kisha katika kutukuza makaburi na kufanya ni sehemu za sikukuu ni katika mambo mabaya sana ambayo hayajui ila Mwenyezi Mungu, anayakasirikia kila ambaye katika moyo wake kuna heshima ya Mungu na upendo juu ya Tawhid, na kuchukia shirki.”27 Haya ndio aliyoyasema Suleiman bin Abdallah kutoka kwenye kitabu cha Ibnul Qayim al-Jawziyya Ighathatul-Lahfani Min Maswaidi Shaytwan (1:200). Tunaongeza hapa aliyoyasema Ibn Taymiyya, huyu ni imam wa kundi hili na ndio marejeo yao. Imekuja katika   Katika Khulasatul wafaa fii akhbaari daril Mustafa cha Allama Ali Abdallah Samhudiy kuna riwaya tofauti na hii kutoka kwa Maimamu wanne. Amebainisha Samhudiy kuwa hiyo ni shaddha na imekataliwa! Katika aliyosema ni kuwa: Katika al-Mustawa’abu cha Abu Abdallah Samiry al-Hanbaly kuna maelezo kwamba: “Kisha huja kwenye ukuta wa kaburi na akasimama pembeni mwake na kuliweka kaburi mbele ya uso wake na kukiweka Kibla nyuma ya mgongo wake, na mimbari kushotoni kwake, na hutaja salam na dua. Amesema Iyadh: ‘Amesema Malik katika riwaya ya Ibn Wahb, ‘Anapomsalimia Mtume na kusoma dua husimama na uso wake ukiwa umeelekea kaburini si kiblani, hukaribia na hutoa salaam.’ Ibrahim al-Hariri amesema katika Manasik: “Kibla kipe mgongo na uelekee katikati yake, yaani kaburi.’ Na katika Musnad ya Abu Hanifa kwa nukuu ya Abul Qasim Twalha kutoka kwa Abu Hanifa: ‘Alikwenda Ayyub Sakhtiyani akalikurubia kaburi la Mtume akakipa mgongo Kibla akaelekeza uso wake kwenye kaburi akalia sana..’ na kutoka kwa watu wa Shafii, alisimama na mgongo wake ukiwa kwenye Kibla na uso wake ukielekea kaburini, nayo ni kauli ya Ibn Hanbali. Na tutaeleza kwa sanadi sahihi kutoka kwa Ahmad bin Hanbali kuwa hapana ubaya kuliekekea kaburi na kulibusu. Amepokea Al-Khatib al-Baghdad katika Tarikh yake (1:120) kwa sanad sahih kutoka kwa Abu Ali al-Khalal amesema: “Sikupatwa na shida ya jambo nikakusudia kaburi la Musa bin Jafar na nikatawasali nalo ila Mungu hunisahilishia nipendavyo!” 27   Mpaka mwisho wa aliyoyasema mtunzi huyo juu ya kuzuru makaburi ya Mitume na watu wema na kuzipa picha ambayo si yake na si ukweli wake, hatutaki kurudia kila aliyoyasema kwa hivi sasa.

26

55

07_16_Kumkosoa_18_June_2016.indd 55

6/18/2016 2:53:52 PM


Mungu na upendo juu ya Tawhid, na kuchukia shirki.” Haya ndio aliyoyasema Suleiman bin Abdallah kutoka kwenye kitabu Ibnul Qayim al-Jawziyya Ighathatul-Lahfani Min Haya ndiocha aliyoyasema Suleiman bin Abdallah kutoka kwenye Maswaidi Shaytwan (1:200). Tunaongeza hapa aliyoyasema kitabu cha Ibnul Qayim al-Jawziyya Ighathatul-Lahfani MinIbn Taymiyya, huyu ni(1:200). imam wa kundi hilihapa na aliyoyasema ndio marejeoIbn yao. Maswaidi Shaytwan Tunaongeza        KUMKOSOA YULE ANAYEIGAWANYA TAWHIDI KWA MAFUNGU Imekuja katika (15:12): “Amesema Taymiyya, huyu niMajmuul imam waFatawa kundi hili na ndio marejeo Sheikh yao. Taqiyyud-din Taymiyya juu ya“Amesema kauli ya Mwenyezi Imekuja katika Ahmad MajmuulIbnFatawa (15:12): Sheikh Mungu:Fatawa Taqiyyud-din Ahmad Ibn “Amesema Taymiyya juu ya kauli ya Mwenyezi Majmuul (15:12): Sheikh Taqiyyud-din Ahmad Mungu: Ibn Taymiyya juu ya kauli ya Mwenyezi Mungu: ∩∈∈∪ š⎥⎪ωtF÷èßϑø9$# =Ïtä† Ÿω …çμ¯ΡÎ) 4 ºπuŠøäzuρ %Yæ•|Øn@ öΝä3−/u‘ (#θãã÷Š$# ∩∈∈∪ ⎥ š ⎪ωtF÷èßϑø9$# =Ïtä† ω Ÿ …çμ¯ΡÎ) 4 ºπuŠøäzuρ %Yæ•|Øn@ öΝä3−/u‘ (#θãã÷Š$# “Muombeni Mola Wenu kwa unyenyekevu na kwa uficho. Hakika Yeye wapetukao mipaka.” “Muombeni Mola Wenukwa kwa unyenyekevu na uficho. kwa(al-Aaraf; uficho. “Muombeni Molahawapendi Wenu unyenyekevu na kwa Hakika Yeye hawapendi wapetukao mipaka.” (al-Aaraf; 7:55),(al-Aaraf; na kuhusu 7:55), na kuhusu Hakika Yeye hawapendi wapetukao mipaka.” 7:55), na kuhusu 4 …ÿ çνçöxî μ> ≈s9Î) ô⎯ÏiΒ /ä3s9 $tΒ ©!$# #( ρ߉ç7ôã$# ÉΘöθs)≈tƒ Α t $s% 3 #YŠθèδ Μ ô èδ%s{r& >Š%tæ 4’n<Î)uρ * 4 ÿ…çνçöxî >μ≈s9Î) ô⎯ÏiΒ /ä3s9 $tΒ ©!$# (#ρ߉ç7ôã$# Θ É öθs)≈tƒ tΑ$s% 3 #YŠθèδ Μ ô èδ%s{r& Š> %tæ 4’n<Î)uρ * ∩∉∈∪ tβθà)−Gs? Ÿξsùr& ∩∉∈∪ tβθà)−Gs? ξ Ÿ sùr&

“Na kwa Adi (tulimpeleka) ndugu yao Hud, akasema: Enyi waturiwaya wangu! Muabuduni Mwenyezi Mungu. Nyinyi hamna ya Ibn Wahb, ‘Anapomsalimia Mtume na kusoma dua husimama Mungu mwingine zaidi Yake. Basi hamuogopi?” (al-Aaraf: 65) na uso wakeWahb, ukiwa umeelekea kaburini si na kiblani, hukaribia na hutoa riwaya ya Ibn ‘Anapomsalimia Mtume kusoma dua husimama salaam.’ Ibrahim al-Hariri amesema katika Manasik: “Kibla kipe HizinaAya zakusanya adabu za ainasi mbili dua: Dua ibada uso mbili wake ukiwa umeelekea kaburini kiblani,zahukaribia naya hutoa mgongo Ibrahim na uelekee katikati amesema yake, yaani kaburi.’ Na katika ya al-Hariri katika Manasik: “Kibla na salaam.’ dua ya kuomba. Dua katika Qur’ani hukusudiwa hiviMusnad nakipe mara Abu Hanifa kwa nukuu ya Abul Qasim Twalha kutoka kwa Abu Hanifa: mgongo na uelekee katikati yake, yaani kaburi.’ Na katika Musnad ya nyingine vile, na nukuu makusudio ni zote mbili nakaburi zotekwa pamoja. ‘Alikwenda Sakhtiyani akalikurubia lazaenda Mtume akakipa Abu Hanifa kwaAyyub ya Abul Qasim Twalha kutoka Abu Hanifa: mgongo Kibla usoakalikurubia wake kwenye kaburi akalianaakakipa sana..’ na Dua‘Alikwenda ya kuomba ni akaelekeza kuomba yanayomnufaisha muombaji kuomba Ayyub Sakhtiyani kaburi la Mtume kutoka kwa watu wa Shafii, alisimama na mgongo wake ukiwa kwenye mgongo Kibla akaelekeza uso wake kwenye kaburi akalia sana..’ na kuondolewa yanayomdhuru. Na kila anayeweza kunufaisha na kudKiblakwa na uso ukielekea kaburini,nanayo ni kauli yaukiwa Ibn Hanbali. kutoka watuwake wa Shafii, alisimama mgongo wake kwenyeNa huru ndiye mwenye kuabudiwa, na kwa hivyo lazima amiliki yote mawili tutaeleza kwa sanadi sahihi kutoka Ahmad bin Hanbali kuwa Kibla na uso wake ukielekea kaburini, nayo ni kauli ya Ibn Hanbali.hapana Na 28 hayo, la kunufaisha la kudhuru. kwabin ajili hii ndio Mwenyezi ubaya kuliekekea kaburi na kulibusu. Amepokea Al-Khatib al-Baghdad tutaeleza kwa sanadina sahihi kutoka kwaNa Ahmad Hanbali kuwa hapana katika Tarikh yake (1:120) kwa sanad sahih kutoka kwaal-Baghdad Abu Ali alubaya kuliekekea kaburi na kulibusu. Amepokea Al-Khatib Khalal amesema: “Sikupatwa na shida ya jambo nikakusudia kaburi   Kinachobatilisha chafu kwa ni kuwa watu baadhi yao wanamiliki na katika Tarikh akida yake hii (1:120) sanad sahih kutoka kwa Abu kudhuru Ali al- la Musaamesema: bin baadhi Jafar nawanaweza nikatawasali ila nikakusudia Mungu hunisahilishia kunufaisha. Ikiwa yao kuwasaidia wengine kwa huduma za kwanza Khalal “Sikupatwa na shida yanalo jambo kaburi la na nipendavyo!” chakula nabin matibabu kinywaji na pesa na kuwasaidia shidahunisahilishia wanapoomba, je Musa Jafarna na nikatawasali nalo ila wenye Mungu 27 Mpaka mwisho wa aliyoyasema mtunzi huyo juu makaburi ya wale wanaosaidia huchukuliwa kuwa ni wenye kuabudiwa na ya haokuzuru waombao kwa mujibu nipendavyo!” 27 wa madai Mitume na Taymiyya? watu wema ambayo si yake si ukweli ya Ibn Zaidina ya kuzipa hapo ni picha kuwa Mungu nanaMtume Wake Mpaka mwisho wa aliyoyasema mtunzi huyoMwenyezi juu ya kuzuru makaburi ya wamethibitisha kuwakurudia kuna viumbe wanaodhuru kunufaisha. Imekuja Bukhary wake, na hatutaki kila aliyoyasema hivi sasa. Mitume watu wema na kuzipa pichaaukwa ambayo si yake na katika si ukweli (927) kwamba Mtume alisema katika khutba yake: “Mwenye kuwa na kitu katika 3kila aliyoyasema kwa hivi sasa. wake, hatutaki kurudia

28

umma wa Muhammad na akaweza kudhuru48 kwa hicho au anufaishe kwacho mtu yeyote, basi na akubali mema yao na ajiepushe na 48maovu yao.” Na Mwenyezi Mungu amesema: “Ama kinachowafaa watu hubakia kwenye ardhi.” (Raad: 17). 56

07_16_Kumkosoa_18_June_2016.indd 56

6/18/2016 2:53:53 PM


yahivi ibada na dua ya kuomba. Dua katika Qur’ani na mara nyingine vile, na makusudio ni zote hukusudiwa mbili na zote hivi na mara nyingine na makusudio ni zote mbili na zote zaenda pamoja. Dua vile, ya kuomba ni kuomba yanayomnufaisha zaenda pamoja. ya kuomba ni kuomba yanayomnufaisha muombaji na Dua kuomba kuondolewa yanayomdhuru. Na kila muombaji kuomba kuondolewa yanayomdhuru. Na kila anayewezanakunufaisha na kudhuru ndiye mwenye kuabudiwa, anayeweza kunufaisha na yote kudhuru ndiye mwenye kuabudiwa, KUMKOSOA ANAYEIGAWANYA TAWHIDI KWA MAFUNGU na hivyoYULE lazima amiliki mawili hayo, la kunufaisha na la 28 nakudhuru. hivyo lazima amiliki yote mawili hayo, la kunufaisha na la Na kwa ajili hii ndio Mwenyezi Mungu amekataza 28 kwa ajili hiiYeye, ndio 29Mwenyezi Mungu amekataza kudhuru. kuabudiwaNa asiyekuwa asiyeweza kudhuru wala 29 29 30 Mungu amekataza kuabudiwa asiyekuwa Yeye, asiyeweza kudhuru kuabudiwa asiyekuwa Yeye, asiyeweza kudhuru wala kunufaisha. Imekuja mara nyingi katika Qur’ani: 30 30 wala kunufaisha. Imekuja nyingi katika Qur’ani: Imekuja maramara nyingi katika Qur’ani: kunufaisha. “….. x8•ÛØtƒ ω Ÿ uρ y7ãèxΖtƒ ω Ÿ $tΒ ! « $# β È ρߊ ⎯ÏΒ äíô‰s? ω Ÿ uρ “….. x8•ÛØtƒ ω Ÿ uρ y7ãèxΖtƒ ω Ÿ $tΒ ! « $# β È ρߊ ⎯ÏΒ äíô‰s? Ÿωuρ “Wala usiwaombe wasiokuwa Mwenyezi Mungu ambao “Wala usiwaombe wasiokuwa Mwenyezi Mungu ambaona “Wala usiwaombe wasiokuwa Mwenyezi Mungu ambao hawakunuhawakunufaishi wala hawakudhuru.” (Yunus; 10:106), faishi wala hawakudhuru.” (Yunus; 10:106), na akaseama: hawakunufaishi wala hawakudhuru.” (Yunus; 10:106), na akaseama: akaseama: “….. óΟßγãèxΖtƒ Ÿωuρ öΝèδ•ÛØo„ ω Ÿ $tΒ ! « $# Âχρߊ ⎯ÏΒ šχρ߉ç7÷ètƒuρ “….. óΟßγãèxΖtƒ Ÿωuρ öΝèδ•ÛØo„ Ÿω $tΒ «!$# Âχρߊ ⎯ÏΒ šχρ߉ç7÷ètƒuρ “Na wasiowadhuru wala kuwanufaisha.” (Yunus: 18). “Nawanaabudu wanaabudu wasiowadhuru wala kuwanufaisha.”

“Na wanaabudu wasiowadhuru wala kuwanufaisha.” (Yunus: 18). Mwenyezi (Yunus: 18). Mungu amekanusha kwa hao wenye kuabudiwa kuweza kudhuru wala kunufaisha, hawamiliki nafsi zao wala za wale Mwenyezi Mungu amekanusha kwa hao wenye kuabudiwa 31 wanaowaabudu. Hoja ni nyingi katika Qur’ani kwamba mwenye Mwenyezi Mungu amekanusha kwa hao wenye kuweza kudhuru wala kunufaisha, hawamiliki nafsikuabudiwa zao wala za 31kudhuru na kuabudiwa lazimawala aweze kunufaisha na mawili hayo kuweza kudhuru kunufaisha, hawamiliki nafsi zao wala za ni Hoja ni nyingi katika Qur’ani kwamba wale wanaowaabudu. 31 yenye kuwa pamoja. KilaHoja dua ni ni nyingi ibada inayoshikamana na dua ya katika Qur’ani kwamba wale wanaowaabudu. 32 28 kuomba, na kila dua ni maombi yanayodhamini dua ya ibada, na Kinachobatilisha akida hii chafu ni kuwa watu baadhi yao wanamiliki 28 akida hiiIkiwa chafubaadhi ni kuwa baadhi yao wanamiliki kudhuru na kunufaisha. yao watu wanaweza kuwasaidia wengine piaKinachobatilisha kauli yake Allah: kudhuru na kunufaisha. Ikiwa baadhi yao wanawezanakuwasaidia wengine kwa huduma za kwanza na chakula na matibabu kinywaji na pesa na kwa huduma za kwanza chakula na matibabu kinywaji na pesa na kuwasaidia wenye shidanawanapoomba, je wale na wanaosaidia huchukuliwa wenye shida wanapoomba, je walekwa wanaosaidia 29 kuwasaidia kuwa nimaana wenye na haomwengine. waombao mujibu wahuchukuliwa madai ya Ibn   Kumbuka ya kuabudiwa Min duunihi yaani ni wenye kuabudiwa na hao waombao kwa mujibu wa madai ya Wake Ibn 30 kuwa Taymiyya? Zaidi ya hapo ni kuwa Mwenyezi Mungu na Mtume   Makusudio ni masanamu yaliyokuwa yakiabudiwa, hayadhuru wala hayanufaishi, na Ibn Taymiyya? Zaidi ya hapo ni kuwa Mwenyezi Mungu na Mtume Wake wamethibitisha kuwa kuna viumbe wanaodhuru au kunufaisha. Imekuja Taymiyya anayachukulia katika mambo mengine, amekosea. 31 wamethibitisha kuwa kuna viumbe wanaodhuru au kunufaisha. Imekuja   Makusudio ni kama (927) uonavyo katika Aya aliyoitaja Ibn Taymiyya ni makafiri  alisema katikakuwa khutba yake: katika Bukhary kwamba Mtume waliomchukua asiyekuwa mungu wakamfanya Mungu, wakawa mawe  alisema katika khutba kudhuru yake: na katika Bukhary (927) kwamba “Mwenye kuwa na kitu katika Mtume umma wa Muhammad nawakiabudia akaweza masanamu na wakiyaomba yawatimizie haja zao, nayo ni mawe hayafahamu, hayadhuru “Mwenye kuwa na kitu katika umma Muhammad akaweza kudhuru kwa hicho au anufaishe kwacho mtuwa yeyote, basi nanaakubali mema yao na wala hayanufaishi. Ama waumini wapwekeshaji wao wanawaomba Mitume na Mawalii kwa hicho auna anufaishe basi na akubali mema yao“Ama na ajiepushe maovu kwacho yao.” mtu Na yeyote, Mwenyezi Mungu amesema: na Maimamu, walio hai kwa Mungu, wao wanawasikia wenye kuwasalimu na kuwataka ajiepushe na maovu yao.” kwenye Na Mwenyezi Mungu amesema: “Ama kinachowafaa watu hubakia ardhi.” (Raad: 17). wawaombee kwa Mungu na kutawasali na wao, ili awape maghfira au awatimizie 29 kinachowafaa watu hubakia kwenye ardhi.” (Raad: 17). Kumbuka maana yaMungu Min duunihi yaani haja zao. Na hawamjui ila mmoja tu, mwengine. Allah. Kipimo cha kuwapima waumini 29 30 Kumbuka maana ya Min duunihi yaani mwengine. Makusudio ni masanamu yaliyokuwa yakiabudiwa, hayadhuru wala 30wanaompwekesha Mwenyezi Mungu na wale wanaoabudu masanamu na kuyafanya Makusudio ni masanamu yaliyokuwa yakiabudiwa, wala hayanufaishi, na Ibn Taymiyya anayachukulia mambo mengine, miungu, ni kipimo kibaya, batili kiakili na kwa kunukuu! katika hayadhuru na Ibn maombi Taymiyya anayachukulia katikabali mambo mengine, 32 hayanufaishi, amekosea.   Angalia, hapa hakufunga kwa walio hai au waliokufa ni maombi tu! 31 amekosea. Makusudio ni kama uonavyo katika Aya aliyoitaja Ibn Taymiyya kuwa ni 31 Makusudio ni kama uonavyo katika Aya aliyoitaja Ibn Taymiyya ni makafiri waliomchukua asiyekuwa mungu wakamfanya Mungu,kuwa wakawa makafiri waliomchukua asiyekuwa 57 mungu wakamfanya Mungu, wakawa

49 49

07_16_Kumkosoa_18_June_2016.indd 57

6/18/2016 2:53:53 PM


mwenye kuabudiwa lazima aweze kudhuru na kunufaisha na mwenye kuabudiwa lazimakuwa awezepamoja. kudhuruKila na kunufaisha na mawili hayo nilazima yenye dua ninaibada mwenye kuabudiwa aweze kudhuru na kunufaisha mawili hayo ni na yenye kuwa pamoja. dua ninimaombi ibada inayoshikamana dua ya pamoja. kuomba, na Kila kila dua mawili hayo ni yenye kuwa Kila duadua niniibada 32 inayoshikamana na dua ya kuomba, na kila maombi pia kila kauliTAWHIDI yakeniAllah: yanayodhamini dua ya ibada,        KUMKOSOA YULE ANAYEIGAWANYA KWA MAFUNGU 32 na na inayoshikamana na dua dua kuomba, dua maombi na pia kauli yake Allah: yanayodhamini yayaibada, 32 yanayodhamini dua ya ibada, na pia kauli yake Allah: “….. ö/ä3s9 ó=ÉftGó™r& þ’ÎΤθãã÷Š$# ãΝà6š/u‘ tΑ$s%uρ “….. ö/ä3s9 ó=ÉftGó™r& þ’ÎΤθãã÷Š$# ãΝà6š/u‘ tΑ$s%uρ “….. ö/ä3s9 ó=ÉftGó™r& þ’ÎΤθãã÷Š$# ãΝà6š/u‘ tΑ$s%uρ

“Na Mola Wenu anasema: Niombeni nitawaitikia…..” “Na Mola Wenu anasema: Niombeni nitawaitikia…..” (Ghafir; 40:60). “NaWenu Mola anasema: Niombeni nitawaitikia…..” “Na(Ghafir; Mola anasema: Niombeni nitawaitikia…..” 40:60).Wenu (Ghafir; 40:60). (Ghafir; 40:60). Dua ina aina mbili, na ile ya ibada ni dhahiri zaidi, amesema Dua aina nana ileileyayaibada zaidi, amesema Duainaina ainambili, mbili, ibadaninidhahiri dhahiri zaidi, amesema Allah: “hakika wale wanaotakabari na ibada yangu…” na Dua Allah: ina aina mbili, na ile ya ibada ni dhahiri zaidi, amesema “hakika wale wanaotakabari na ibada yangu…” Allah: “hakika wale wanaotakabari na ibada yangu…” na na ibaibada inafasiriwa kwa dua katika Ayah hii na nyinginezo. Allah: “hakika wale wanaotakabari naAyah ibadahiiyangu…” na inafasiriwa kwakatika dua Ayah katika na nyinginezo. daibada inafasiriwa kwa dua hii na nyinginezo. Amepokea Amepokea Tirmidhiy kutoka kwa Numan bin Bashir, amesema: ibadaAmepokea inafasiriwa kwa dua katika Ayah hiibin naBashir, nyinginezo. Tirmidhiy kutoka kwa Numan amesema: Tirmidhiy kutoka kwa Numan bin Bashir, “Nimemsikia “Nimemsikia Mtume � kwa akisema juubin yaamesema: mimbari: “Hakika dua Amepokea Tirmidhiy kutoka Numan Bashir, amesema: “Nimemsikia Mtume � akisema juu ya mimbari: “Hakika dua ni ibada.” kisha akasoma kauli Yake Mwenyezi Mngu: “Na Mtume  akisema ya mimbari: “Hakika dua ni ibada.” kisha “Nimemsikia Mtume �juuakisema juu ya mimbari: “Hakika dua “Na niMola ibada.” kisha akasoma kauli Yake Mwenyezi Mngu: wenu anasema: Niombeni nitawaitikia (Ghafir; 40:60). akasoma kauli Yake Mwenyezi Mngu: “Na Mola wenu anasema: ni ibada.” kishaanasema: akasoma Niombeni kauli Yakenitawaitikia Mwenyezi (Ghafir; Mngu: “Na Mola wenu 40:60). Tirmidhiy amesema ni(Ghafir; Hadithi hasan sahih. Niombeni nitawaitikia 40:60). Tirmidhiy amesema Mola wenu anasema: Niombeni nitawaitikia (Ghafir; 40:60).ni HaTirmidhiy amesema ni Hadithi hasan sahih. Tirmidhiy amesema dithi hasan sahih. ni Hadithi hasan sahih. Ama kauli yake Allah: Ama kauli yake Allah: Ama kauli yake Allah: Ama kauli yake Allah: Èθs9uρ $\/$t/èŒ (#θà)è=øƒs† ⎯s9 «!$# Èβρߊ ⎯ÏΒ šχθããô‰s? š⎥⎪Ï%©!$# χÎ) 4 …..” Èθs9uρ $\/$t/èŒ (#θà)è=øƒs† ⎯s9 «!$# Èβρߊ ⎯ÏΒ šχθããô‰s? š⎥⎪Ï%©!$# χÎ) 4 …..” Èθs9uρ $\/$t/èŒ (#θà)è=øƒs† ⎯s9 «!$# Èβρߊ ⎯ÏΒ šχθããô‰s? š⎥⎪Ï%©!$# χÎ) 4 …..” “….. …çμs9 #( θãèyϑtGô_$# “….. …çμs9 (#θãèyϑtGô_$# “….. …çμs9 #( θãèyϑtGô_$#

“Hakikawale wale mnaowaomba badala ya Mwenyezi “Hakika mnaowaomba badala ya Mwenyezi Mungu,Mungu, hawa“Hakika wale hata mnaowaomba badalawatajumuika ya Mwenyezikwa Mungu, hawatoumba nzi ijapokuwa hilo.” toumba hata nzi ijapokuwa watajumuika kwa hilo.” “Hakika wale mnaowaomba badala yawatajumuika Mwenyezi Mungu, hawatoumba hata nzi ijapokuwa kwa hilo.” (Al Hajj; Hajj 22:73). (Al Hajj; Hajj 22:73). hawatoumba hata 22:73). nzi ijapokuwa watajumuika kwa hilo.” (Al Hajj; Hajj (Al Hajj; Hajj yake: 22:73). Na kauli Na kauli yake: Na kauli yake: Na kauli yake: "….. $ZW≈tΡÎ) HωÎ) ÿ⎯ÏμÏΡρߊ ⎯ÏΒ šχθããô‰tƒ βÎ) "….. $ZW≈tΡÎ) HωÎ) ÿ⎯ÏμÏΡρߊ ⎯ÏΒ šχθããô‰tƒ βÎ) "….. $ZW≈tΡÎ) HωÎ) ÿ⎯ÏμÏΡρߊ ⎯ÏΒ šχθããô‰tƒ βÎ) “Hawawaombi asiyekuwa Yeye ila (masana) ya kike.”

wakiabudia mawe na masanamu na 4:117). wakiyaomba yawatimizie haja zao, (An Nisaa; wakiabudia mawe na masanamu na wakiyaomba yawatimizie zao, nayo ni mawe hayafahamu, hayadhuru wala hayanufaishi. Amahaja waumini wakiabudia masanamu na wakiyaomba yawatimizie haja nayo nimawe mawena hayafahamu, hayadhuru wala hayanufaishi. Ama zao, waumini wapwekeshaji wao wanawaomba Mitume na Mawalii na Maimamu, walio Na kaulihayafahamu, yake Allah:hayadhuruMitume nayo wapwekeshaji ni wala wenye hayanufaishi. Ama waumini wao wanawaomba na Mawalii na Maimamu, walio haimawe kwa Mungu, wao wanawasikia kuwasalimu na kuwataka wapwekeshaji wao wanawaomba Mitume na Mawalii na Maimamu, walio hai kwa Mungu, wao wanawasikia wenye kuwasalimu na kuwataka wawaombee kwa Mungu na kutawasali na wao, ili awape maghfira au hai kwa Mungu,haja wao wanawasikia wenye kuwasalimu naAllah. kuwataka wawaombee kwa Mungu na kutawasali ili tu, awape maghfira awatimizie zao. Na hawamjui Munguna ilawao, mmoja Kipimo au cha 58 wawaombee kwa Mungu na kutawasali na wao, ili awape maghfira au cha awatimizie haja zao. Na hawamjui Mungu ila mmoja tu, Allah. Kipimo kuwapima waumini wanaompwekesha Mwenyezi Mungu na wale awatimizie haja zao. Na hawamjui ila mmoja tu, ni Allah. Kipimo cha wale kuwapima waumini wanaompwekesha Mwenyezi Mungu na wanaoabudu masanamu na Mungu kuyafanya miungu, kipimo kibaya, batili kuwapima waumini wanaompwekesha Mwenyezi Mungu na wale wanaoabudu masanamu kiakili na kwa kunukuu! na kuyafanya miungu, ni kipimo kibaya, batili wanaoabudu na kuyafanya kipimo kibaya,bali batili 32 kiakili namasanamu kwa Angalia, hapakunukuu! hakufunga maombi miungu, kwa walionihai au waliokufa ni 6/18/2016 32 na kwa kunukuu! 07_16_Kumkosoa_18_June_2016.indd kiakili Angalia, hapa58hakufunga maombi kwa walio hai au waliokufa bali ni

2:53:55 PM


“Hawawaombi “Hawawaombiasiyekuwa asiyekuwaYeye Yeyeilaila(masana) (masana)yayakike.” kike.”(An (An Nisaa; Nisaa;4:117). 4:117). KUMKOSOA YULE ANAYEIGAWANYA TAWHIDI KWA MAFUNGU Na Nakauli kauliyake yakeAllah: Allah: “….. ö6s%ö6s%⎯Ï⎯Ï Β Βtβtβ θããθãã ô‰ô‰ tƒ (#tƒθç(#Ρθç%x.Ρ%x.$¨Β$¨ΒΝåκΝå÷]tã |Ê|Ê uρ uρ ¨ ¨≅ “…..ã≅ã≅ κ÷]tã≅ “Na wakawapotea wale waliokuwa wakiwaomba hapo “Na wakawapotea waliokuwa wakiwaomba hapo kwanza.” “Na wakawapoteawale wale waliokuwa wakiwaomba hapo kwanza.” (Fuswilat; 41:48). kwanza.”(Fuswilat; (Fuswilat;41:48). 41:48).

Kila duailiyotajwa iliyotajwa kuhusu mushrikina na miungu yao yao makuKila Kila dua dua iliyotajwa kuhusu kuhusu mushrikina mushrikina nana miungu miungu yao sudio ni dua ya ibada ambayo imebebea pia dua ya maombi. makusudio makusudio nini dua dua yaya ibada ibada ambayo ambayo imebebea imebebea pia pia dua dua yaya maombi. Hivyo dua ya ibada ni dhahiri zaidi kwa hoja tatu: Ya Hivyo duaHivyo ya ibada kwa hojakwa tatu: Yatatu: kwanza; maombi. dua ni ya dhahiri ibada nizaidi dhahiri zaidi hoja Ya kwanza; Wamesema: kwanza;Wamesema: Wamesema: “….. $# ’n$# <’nÎ) <!$Î)tΡ!$θçtΡ/θçÌh/s)Ìhã‹s)Ï9ã‹ω Ï9 ω ߉߉ ç6÷èç6tΡ÷è$ttΡΒ$tΒ…..” “…..«!«!  Î) öΝÎ) èδ öΝèδ …..”

“Sisi hatuwaabudu ila wapate kutujongeza tu kumkaribia “Sisi hatuwaabudu ilailawapate kutujongeza tutukumkaribia “Sisi hatuwaabudu wapate kutujongeza kumkaribia Mwenyezi Mungu (Zumar; 39:3), hapa wamekubali kuwa dua yao Mwenyezi Mungu (Zumar; 39:3), hapa wamekubali kuwa dua Mwenyezi Mungu (Zumar; 39:3), hapa wamekubali kuwa dua hapahapa ni ibada ya ya kuwaabudu haohao masanamu.” Yamekwisha hapa yao ibada masanamu.” Yamekwisha yao hapanini ibada yakuwaabudu kuwaabudu hao masanamu.” Yamekwisha makusudio ya kauli ya Ibn Taymiyya katika jambo hili, nayo ni kauli hapa hapamakusudio makusudioyayakauli kauliyayaIbn IbnTaymiyya Taymiyyakatika katikajambo jambohili, hili, ya mwanzo aliyoinukuu mwandishi wake kutoka kwa Ibnul Qayynayo nayoninikauli kauliyayamwanzo mwanzoaliyoinukuu aliyoinukuumwandishi mwandishiwake wakekutoka kutoka im, inakupa kidokezo kifupi juu ya rai ya kundi hili na kufikiri kwao kwa kwaIbnul IbnulQayyim, Qayyim,inakupa inakupakidokezo kidokezokifupi kifupijuu juuyayarairaiyayakundi kundi hili nanakufikiri kwao nanadalili zao nahili dalili zao katika mas’ala haya. kufikiri kwao dalili zaokatika katikamas’ala mas’alahaya. haya. Tukizitafiti Aya alizozitaja Ibn Taymiyya na wengineo katika Tukizitafiti Aya alizozitaja nanawengineo katika Tukizitafiti Aya alizozitajaIbn IbnTaymiyya Taymiyya wengineo katika wafuasi wake wanaomuunga mkono tutapata kwamba haziwafikiani wafuasi wake wanaomuunga mkono tutapata kwamba wafuasi wake wanaomuunga mkono tutapata kwamba na madai yao ya kuomba kupitia kwa walioukufa aukwa walio haziwafikiani nanakwamba madai yao yayakwamba kuomba kupitia haziwafikiani madai yao kwamba kuomba kupitia kwa hai, na kutaka istighatha kwao ni kufru na shirki kubwa sana! na Yatowalioukufa walioukufaauauwalio waliohai, hai,nanakutaka kutakaistighatha istighathakwao kwaoninikufru kufru na sha kwetu kabla ya kuingia katika Aya hizo tuwasilishe kwenu kauli shirki shirkikubwa kubwasana! sana!Yatosha Yatoshakwetu kwetukabla kablayayakuingia kuingiakatika katikaAya Aya yahizo baadhi ya mahufadh na kauli muhadithina ambaoyaya wao (Mawahabi hizo tuwasilishe kwenu mahufadh nanana tuwasilishe kwenu kauli yaya baadhi baadhi mahufadh muhadithina ambao wao (Mawahabi na Masalafi) wanakiri Masalafi) wanakiri elimu zao, wanawaamini na kuwaheshimu katika muhadithina ambao wao (Mawahabi na Masalafi) wanakiri elimu nanakuwaheshimu hili, jambo hili, na miongoni mwazo ni kauli yakatika al-Hafidh ad-Dhahabiy elimuzao, zao,wanawaamini wanawaamini kuwaheshimu katikajambo jambo hili,nana miongoni mwazo ni kauli ya al-Hafidh ad-Dhahabiy katika katika Siyaru Aalaamin Nubalaa (10:107) katika wasifu wa Bibi miongoni mwazo ni kauli ya al-Hafidh ad-Dhahabiy katika Siyaru Aalaamin Nubalaa (10:107) katika wasifu wa Bibi Nafisa: dua ni yenye kujibiwa kwenye kaburi lake nawa mbele Siyaru “Na Aalaamin Nubalaa (10:107) katika wasifu Bibiya Nafisa: yenye kaburi lake Nafisa:“Na “Na duanini yenye kujibiwa kwenye kaburi lakenanambele mbele makaburi yadua watu wema nakujibiwa Manabiikwenye na katika misikiti….na hakatazyayamakaburi makaburiyayawatu watuwema wemananaManabii Manabiinanakatika katikamisikiti….na misikiti….na hakatazwi dua ilaila wakati hakatazwi mwenye mwenye kuomba, kuomba, kuomba kuomba dua wakati wa wa 59 kujisaidia na wakati wa kufanya tendo la ndoa na mfano wa kujisaidia na wakati wa kufanya tendo la ndoa na mfano wa hivyo.” hivyo.”

Ad-Dhahabiy 6/18/2016 Ad-Dhahabiyamesema amesemakatika katikaSiyar Siyar(17:77): (17:77):“Nimesema: “Nimesema:Na Na

07_16_Kumkosoa_18_June_2016.indd 59

2:53:55 PM


KUMKOSOA YULE ANAYEIGAWANYA TAWHIDI KWA MAFUNGU

wi mwenye kuomba, kuomba dua ila wakati wa kujisaidia na wakati wa kufanya tendo la ndoa na mfano wa hivyo.” Ad-Dhahabiy amesema katika Siyar (17:77): “Nimesema: Na dua ni yenye kujibiwa kwenye makaburi ya Manabii na watu wema na kwenye viwanja vingine, lakini sababu ya kujibiwa ni kuwa hadhiri muombaji, na unyenyekevu wake na bila shaka katika sehemu iliyobarikiwa…” Ama Hadithi ya “Dua ni ibada” pamoja na udhaifu wake, hata ikifanywa sahih na mwenye kuifanya sahih, tukikubali kuthibiti kwake, haionyeshi kuwa kila dua ni ibada bali yaonyesha kwamba dua kwa Mwenyezi Mungu ni katika jumla ya kumuabudu. Ama kumuomba asiyekuwa Mwenyezi Mungu haihesabiwi kuwa ni ibada ila atakapoitakidi muombaji kuwa huyo anayemuomba ni mungu, kama walivyoitakidi wale mushrikina kwenye masanamu yao kwamba hiyo ni miungu. Na Aya aliyoitoa Ibn Taymiyya na wafuasi wake haionyeshi kuwa dua –mwito – na kuomba haja kwa kiumbe anayefaa kuombwa - ambaye si Mwenyezi Mungu - kuwa ni ibada, kwa hivyo si katika kufru na shirki, kama anavyodai Ibn Taymiyya na wafuasi wake kwa kuwa yule anayemuomba mmoja miongoni mwa Manabii au Mawalii au watu wema au Mashahidi ili amuombee kwa Mwenyezi Mungu, kumkidhia haja zake, hawaabudu hao wala hawafanyi kuwa ni miungu badala ya Mwenyezi Mungu! Mwenye kuomba au kufanya istighatha au kufanya tawassuli hamuabudu ila Mwenyezi Mungu peke Yake, vipi Ibn Taymiyya aakisi na kuwafananisha hao na mushrikina walioyafanya masanamu na mawe na jua kuwa ni miungu? Na mwenye kuangalia kwa makini katika Aya za Qur’ani tukufu ataona kwamba hoja hizo zinazowapelekea hao watu kuwasingizia 60

07_16_Kumkosoa_18_June_2016.indd 60

6/18/2016 2:53:55 PM


Mwenye Mwenyekuomba kuombaauaukufanya kufanyaistighatha istighathaauaukufanya kufanyatawassuli tawassuli hamuabudu ila Mwenyezi Mungu peke Yake, vipi Ibn Taymiyya hamuabudu ila Mwenyezi Mungu peke Yake, vipi Ibn Taymiyya aakisi aakisi nana kuwafananisha kuwafananisha hao hao nana mushrikina mushrikina walioyafanya walioyafanya masanamu na mawe na jua kuwa ni miungu? masanamu na mawe na jua kuwa ni miungu?

KUMKOSOA YULE ANAYEIGAWANYA TAWHIDI KWA MAFUNGU

Na Namwenye mwenyekuangalia kuangaliakwa kwamakini makinikatika katikaAya AyazazaQur’ani Qur’anitukufu tukufu ataona kwamba hoja hizo zinazowapelekea ataona kwamba hoja hizo zinazowapelekea hao hao watu watu watu kufru na shirk ni batili kwa nass ya Kitabukwa kinachobainisha cha kuwasingizia kuwasingiziawatu watukufru kufrunanashirk shirkninibatili batili kwanass nassyayaKitabu Kitabu Qur’ani. Amesema cha Mwenyezi Mungu: kinachobainisha Amesema kinachobainisha chaQur’ani. Qur’ani. AmesemaMwenyezi MwenyeziMungu: Mungu: ∩∇⊇∩∇⊇ ∪ ∪#x“Ïã ö çλΝ « !  $# χ sƒªBsƒ$#ªBuρ$#uρ #x“ÏãΝ ö m;çλ#( m;θç#( ΡθçθäΡ3θäu‹3Ïj9u‹πZ Ïj9 yγπZ Ï9yγ#u™Ï9#u™! « $# χ  ρߊρߊ⎯ÏΒ⎯ÏΒ(#ρä(#‹ρä‹ “Na wamechukua miungu mingine badala ya Mwenyezi Mungu ili “Na wamechukua miungu mingine badala yayaMwenyezi “Na wamechukua miungu mingine badala Mwenyezi 81 ). Na kauli yake: iwape nguvu.” (Maryam; 19: Mungu Munguiliiliiwape iwapenguvu.” nguvu.”(Maryam; (Maryam;19:81). 19:81).Na Nakauli kauliyake: yake:

∩∠⊆∪ ΖãƒΖãΝ ö ƒ ßγΝ « «! $# β È $# ρßβ sƒªBsƒ$#ªBuρ$#uρ ∩∠⊆∪šχ χ š ρçρç|Ç |Ç ö ¯=ßγyè¯=©9yèπZ ©9 yγπZ Ï9yγ#u™Ï9#u™! È Šρߊ⎯ÏΒ⎯ÏΒ(#ρä(#‹ρä‹ “Na wameishika miungu mingine badala yabadala Mwenyezi wa“Na wameishika miungu mingine Mwenyezi “Na wameishika miungu mingine badala yayaMungu Mwenyezi pate kauli yake: ©ÉMungu L©9$# Ν ã åκçJyγwapate Ï9wapate #u™ Ν ö kusaidiwa.” åκ÷]tãkusaidiwa.” M ô uΖøîr& !$(Yasin; yϑsù (Yasin; ( Ν ö (Yasin; åκ36:74). |¦àΡr& 36:74). (#36:74). þθNa ßϑn=sß ⎯Å 3 ≈skauli 9uρkauli Ν ö ßγyake: ≈oΨôϑ n=sß $tΒuρ Mungu Na kusaidiwa.” Na yake:

5=ŠÎ7÷Gs? u öxî Ν ö èδρߊ#y— $tΒuρ ( y7În/u‘ âöΔr& ™u !%y` $£ϑ©9 ™& ó©x« ⎯ÏΒ ! « $# β È ρߊ ⎯ÏΒ tβθããô‰tƒ ©ÉL©9$# Ν ã åκçJyγÏ9#u™ Ν ö åκ÷]tã M ô uΖøîr& !$yϑsù ( Ν ö åκ|¦àΡr& (#þθßϑn=sß ⎯Å3≈s9uρ Ν ö ßγ≈oΨôϑn=sß $tΒuρ

∩⊇⊃⊇∪ = 5 ŠÎ7÷Gs? u öxî Ν ö èδρߊ#y— $tΒuρ ( 7 y În/u‘ â öΔr& ™u 52 !%y`52$£ϑ©9 ™& ó©x« ⎯ÏΒ ! « $# β È ρߊ ⎯ÏΒ tβθããô‰tƒ “Nasi

hatukuwadhulumu,

lakini

wao

wamejidhulumu ∩⊇⊃⊇∪

“Nasi hatukuwadhulumu, lakini wao wamejidhulumu wenyewe. wenyewe. Na miungu yao waliyokuwa wakiiabudu badalaNa ya miungu yao waliyokuwa wakiiabudu badala ya Mwenyezi Mungu Mwenyezi Mungu haikuwafaa kitu ilipofika amri ya Mola haikuwafaa ilipofika amri yaisipokuwa Mola Wako, nawamejidhulumu haikuwazidishia “Nasi lakini wao Wako, hatukuwadhulumu, nakitu haikuwazidishia maangamizo.” (Hud; isipokuwa maangamizo.” (Hud; 11:101). Na kauli yake: wenyewe. Nakauli miungu wakiiabudu badala ya 11:101). Na yake:yao waliyokuwa

Mwenyezi Mungu haikuwafaa kitu ilipofika amri ya Mola Wako, na haikuwazidishia isipokuwa maangamizo.” (Hud; ∩∉∉∪ Ν ö ä.•ÛØ uρ $\↔ø‹x© öΝà6ãèxΖtƒ ω Ÿ $tΒ ! « $# χ  ρߊ ⎯ÏΒ χ š ρ߉ç7÷ètGsùr& tΑ$s% 11:101). Natƒ Ÿω kauli yake:

Akasema: Basi nyinyi nyinyi mnaabudu badala ya Mwenyezi visivyAkasema: yaMungu ∩∉∉∪ Ν ö ä.•ÛØtƒ ŸωBasi uρ $\↔ø‹x© öΝà6ãèxΖtmnaabudu ƒω Ÿ $tΒ «!$# χ  badala ρߊ ⎯ÏΒ šχ ρ߉Mwenyezi ç7÷ètGsùr& tΑ$s% owanufaisha kitu wala kuwadhuru?” Mungu visivyowanufaisha kitu wala kuwadhuru?” (al(al-Anbiyaa; Anbiyaa; 21:66). Na kauli21:66). yake: Na kauli yake:

Akasema: Basi nyinyi mnaabudu badala ya Mwenyezi Mungu visivyowanufaisha kitu wala kuwadhuru?” (al’ 4 n?tã ãÏù%s3ø9$#21:66). tβ%x.uρ 3 Ν ö Na èδ•ÛØ o„ Ÿωuρyake: Ν ö ßγãèxΖtƒ ω Ÿ $tΒ «!$# χ  ρߊ ⎯ÏΒ tβρ߉ç6÷ètƒuρ Anbiyaa; kauli 61

∩∈∈∪ #ZÎγsß ⎯ÏμÎn/u‘ ’ 4 n?tã ãÏù%s3ø9$# tβ%x.uρ 3 Ν ö èδ•ÛØo„ Ÿωuρ Ν ö ßγãèxΖtƒ Ÿω $tΒ «!$# χ  ρߊ ⎯ÏΒ tβρ߉ç6÷ètƒuρ

07_16_Kumkosoa_18_June_2016.indd 61

6/18/2016 2:53:58 PM


∩∉∉∪ Ν ö ä.•ÛØtƒ Ÿωuρ $\↔ø‹x© Ν ö à6ãèxΖtƒ ω Ÿ $tΒ ! « $# χ  ρߊ ⎯ÏΒ šχρ߉ç7÷ètGsùr& tΑ$s% ∩∉∉∪ Ν ö ä.•ÛØtƒ Ÿωuρ $\↔ø‹x© öΝà6ãèxΖtƒ ω Ÿ $tΒ ! « $# χ  ρߊ ⎯ÏΒ šχρ߉ç7÷ètGsùr& tΑ$s% Akasema: Basi nyinyi mnaabudu badala ya Mwenyezi Akasema:visivyowanufaisha Basi nyinyi mnaabudu badala ya Mwenyezi Mungu kitu wala kuwadhuru?” (alMungu visivyowanufaisha kitu wala kuwadhuru?” (al       KUMKOSOA YULE ANAYEIGAWANYA TAWHIDI KWA MAFUNGU Anbiyaa; 21:66). Na kauli yake: Anbiyaa; 21:66). Na kauli yake: t ρ߉ç6÷ètƒuρ ’ 4 n?tã ã Ïù%s3ø9$# β t %x.uρ 3 öΝèδ•ÛØo„ ω Ÿ uρ Ν ö ßγãèxΖtƒ ω Ÿ $tΒ ! « $# χ  ρߊ ⎯ÏΒ β ’ 4 n?tã ã ùÏ %s3ø9$# tβ%x.uρ 3 Ν ö èδ•ÛØo„ ω Ÿ ρu Ν ö γ ß ãèxΖtƒ ω Ÿ $tΒ ! « $# χ  ρߊ ⎯ÏΒ tβρ߉ç6÷ètƒuρ

∩∈∈∪ #ZÎγsß ⎯ÏμÎn/u‘ ∩∈∈∪ #ZÎγsß ⎯ÏμÎn/u‘

“Na wanaabudu wasiowadhuru wala kuwanufaisha badala

“Na wanaabudu wasiowadhuru wala kuwanufaisha badala “Na wasiowadhuru kuwanufaisha ya Mweya wanaabudu Mwenyezi Mungu. Na wala kafiri daima ni badala msaidizi wa ya Mwenyezi Mungu. Na kafiri daima ni msaidizi wa nyezi Mungu. Na kafiri daima ni msaidizi wa mpinzani wa Mola mpinzani wa Mola Wake.” (al-Furqan; 25:55). Na akasema mpinzani wa Mola Wake.” 25:55). Na akasema Na akasema Mwenyezi Mungu: Wake.” (al-Furqan; 25:55). (al-Furqan; Mwenyezi Mungu: Mwenyezi Mungu:

⎯ ß ≈sÜø‹¤±9$# Ν ã ßγs9 z⎯−ƒy—uρ ! « $# β È ρߊ ⎯ÏΒ Ä§ôϑ¤±=Ï9 β t ρ߉àfó¡o„ $yγtΒöθs%uρ $yγ›?‰y`uρ ⎯ ß ≈sÜø‹¤±9$# Ν ã γ ß s9 z⎯ƒ− y—uρ ! « $# β È ρߊ ⎯ÏΒ Ä§ôϑ¤±=Ï9 tβρ߉àfó¡o„ $yγΒt öθs%uρ $yγ?› ‰y`uρ

∩⊄⊆∪ tβρ߉tGôγtƒ ω Ÿ Μ ô ßγsù È≅‹Î6¡¡9$# ⎯ Ç tã Ν ö è䣉|Ásù öΝßγn=≈yϑôãr& ∩⊄⊆∪ tβρ߉tGôγtƒ ω Ÿ Μ ô ßγsù È≅‹Î6¡¡9$# ⎯ Ç tã Ν ö è䣉|Ásù öΝßγn=≈yϑôãr&

“Nimemkuta yeye na watu wake wanalisujudia jua badala

“Nimemkuta yeye na na watu wakewake wanalisujudia jua badala ya Mwe“Nimemkuta yeye watu wanalisujudia jua vitendo badala ya Mwenyezi Mungu; na Shetani amewapambia nyezi Mungu; na Shetani amewapambia vitendo vyao na akawazuilia ya Mwenyezi Mungu; na Kwa Shetani amewapambia vitendo vyao na akawazuilia Njia. hivyo hawakuongoka.” (anNjia. Kwa hivyo hawakuongoka.” (an-Naml; 27:24) na akasema vyao na akawazuilia Njia. Kwa hivyo hawakuongoka.” (anNaml; 27:24) na akasema tena: tena: Naml; 27:24) na akasema tena:

t⎦⎪Ï%©!$# χÎ) 4 %¸3øùÎ) šχθà)è=øƒrBuρ $YΖ≈rO÷ρr& «!$# Èβρߊ ⎯ÏΒ šχρ߉ç7÷ès? $yϑ¯ΡÎ)

! « $# y‰ΖÏã (#θäótGö/$$sù $]%ø—Í‘ Ν ö ä3s9 šχθä3Î=ôϑtƒ Ÿω «!$# Èβρߊ ⎯ÏΒ šχρ߉ç7÷ès? šχθãèy_öè? Ïμø‹s9Î) ( ÿ…ã&s! (#ρáä3ô©$#uρ çνρ߉ç6ôã$#uρ šXø—Îh9$#

53 53 “Hakika nyinyi mnaabudu masanamu kinyume na Mwenyezi Mun“Hakika nyinyi mnaabudu masanamu kinyume na gu, na mnazua uzushi. Hakika mnaowaabudu kinyume na Mwenyezi Mwenyezi Mungu, na mnazua uzushi. Hakika Mungu hawamilikiini riziki yoyote. Takeni riziki kwa Mwenyezi mnaowaabudu kinyume na Mwenyezi Mungu hawamilikiini Mungu, na mumwabudu na mumshukuru. Kwake mtarudriziki yoyote. Takeni riziki kwa 29:17). Mwenyezi Mungu, na ishwa.” (al-Ankabut;

mumwabudu na mumshukuru. Kwake mtarudishwa.” (alAnkabut; 29:17).

62 Na hao wasiomwabudu Mwenyezi Mungu na kuwachukua miungu isiyokuwa Allah wanapoambiwa mwabuduni Mola Mwenye kurehemu, wao hukanusha hilo kama alivyosema Mwenyezi Mungu juu yao: 07_16_Kumkosoa_18_June_2016.indd 62 6/18/2016

2:54:02 PM


Mwenyezinyinyi Mungu, mnazua uzushi. mnaowaabudu kinyume nanaMwenyezi Mungu hawamilikiini “Hakika mnaabudu masanamu kinyumeHakika na mnaowaabudu kinyume na Mwenyezi Mungu hawamilikiini riziki yoyote. Takeni riziki kwa Mwenyezi Mungu, na Mwenyezi Mungu, na mnazua uzushi. Hakika riziki yoyote. Takeni riziki kwa Mwenyezi Mungu,(al-na mumwabudu nakinyume mumshukuru. Kwake mtarudishwa.” mnaowaabudu na Mwenyezi Mungu hawamilikiini mumwabudu mumshukuru. mtarudishwa.” (alAnkabut; 29:17).na riziki yoyote. Takeni riziki kwaKwake Mwenyezi Mungu, na KUMKOSOA YULE ANAYEIGAWANYA TAWHIDI KWA MAFUNGU Ankabut; 29:17). mumwabudu na mumshukuru. Kwake mtarudishwa.” (alNa hao wasiomwabudu Mwenyezi Mungu na kuwachukua Ankabut; 29:17). Na haoisiyokuwa wasiomwabudu Mwenyezi Mungu na kuwachukua miungu Allah wanapoambiwa MolamiNa hao wasiomwabudu Mwenyezi Mungumwabuduni na kuwachukua miungu isiyokuwa wao AllahMwenyezi wanapoambiwa mwabuduni Mola Mwenye hukanusha hilo kama alivyosema Na hao kurehemu, wasiomwabudu Mungu na Mola kuwachukua ungu isiyokuwa Allah wanapoambiwa mwabuduni Mwenye Mwenye kurehemu, wao hukanusha hilo kama alivyosema Mwenyezi Mungu juu yao: miungu isiyokuwa Allah wanapoambiwa mwabuduni Mola kurehemu, wao hukanusha hilo kama alivyosema Mwenyezi Mungu Mwenyezi Mungu juuwao yao: Mwenye kurehemu, hukanusha hilo kama alivyosema juu yao: Mwenyezi Mungu juu yao: _|yϑø9$# t,n=sÜΡ$#uρ ∩∈∪ Ò>$yfãã í™ó©y´s9 #x‹≈yδ ¨βÎ) ( #´‰Ïn≡uρ $Yγ≈s9Î) sπoλÎ;Fψ$# ≅ Ÿ yèy_r& _|yϑø9$# t,n=sÜΡ$#uρ ∩∈∪ Ò>$yfãã í™ó©y´s9 #x‹≈yδ ¨βÎ) ( #´‰Ïn≡uρ $Yγ≈s9Î) sπoλÎ;Fψ$# ≅ Ÿ yèy_r& _|yϑø9$# t,n=sÜΡ$∩∉∪ #uρ ߊ#t∩∈∪ ™í ó©¨β y´Î)s9( ö/#xä3‹ÏG≈yyγδÏ9#u¨β #´‰(#Ïn $# r&Ÿ≅Ν ム֙ó©Ò>y´$yf s9 #xãã ‹≈yδ ™ Î)’ # ( n?tã ρç≡uÉ9ρô¹$Yγ$#uρ≈s9(#Î)θàsπ±oλøΒÎ;Fψ $# Èβ ÷]ÏΒr& ö yèåκy_ ∩∉∪ ߊ#tム֙ó©y´s9 #x‹≈yδ ¨βÎ) ( ö/ä3ÏGyγÏ9#u™ #’n?tã (#ρçÉ9ô¹$#uρ (#θà±øΒ$# β È r& Ν ö åκ÷]ÏΒ ∩∉∪ ߊ#tム֙ó©y´s9 #x‹≈yδ ¨βÎ) ( ö/ä3ÏGyγÏ9#u™ #’n?tã (#ρçÉ9ô¹$#uρ (#θà±øΒ$# Èβr& öΝåκ÷]ÏΒ “Amewafanya miungu wote kuwa ni Mungu Mmoja tu? “Amewafanya miungu wote la kuwa ni Mungu Mmoja tu? Hakika hili kweli ni jambo ajabu. Na wakaondoka “Amewafanya miungu wote kuwa ni Mungu Mmoja tu? Hakikatu? hili Hakika hili kweli ni jambo la ajabu. Na wakaondoka wakubwa wao wakiwaambia: Nendeni zenu na dumuni na “Amewafanya miungu wote kuwa ni Mungu Mmoja kweli ni jambo la ajabu. Na wakaondoka wakubwa wao wakiwaamwakubwa wakiwaambia: Nendeni zenu dumuni miungu yenu, kwani ni jambo lililopangwa.” (Swad;na Hakika hiliwao kweli nihili jambo la ajabu. Na na wakaondoka bia: Nendeni zenu na dumuni na miungu yenu, kwani hili ni jambo miungu yenu, kwani hili ni jambo lililopangwa.” (Swad; 38:5-6). Na akasema: wakubwa wao wakiwaambia: Nendeni zenu na dumuni na lililopangwa.” (Swad; 38:5-6). Na akasema: 38:5-6). yenu, Na akasema: miungu kwani hili ni jambo lililopangwa.” (Swad; 38:5-6). Na akasema: $tΡããΒù's? $yϑÏ9 ߉àfó¡nΣr& ß⎯≈oΗ÷q§9$# $tΒuρ (#θä9$s% Ç⎯≈uΗ÷q§=Ï9 (#ρ߉ß∨ó™$# ãΝßγs9 ≅ Ÿ ŠÏ% #sŒÎ)uρ $tΡããΒù's? $yϑÏ9 ߉àfó¡nΣr& ß⎯≈oΗ÷q§9$# $tΒuρ (#θä9$s% Ç⎯≈uΗ÷q§=Ï9 (#ρ߉ß∨ó™$# ãΝßγs9 ≅ Ÿ ŠÏ% #sŒÎ)uρ $tΡããΒù's? $yϑÏ9 ߉àfó¡nΣr& ß⎯≈oΗ÷q§9$##Y‘$tθàΒuρçΡ#( θäΝ Ÿ ŠÏ% #sŒÎ)uρ #y—≈uuρΗ÷q§=Ï9 (#ρ߉ß∨ó™$# ãΝßγs9 ≅ ö 9èδ$s%yŠÇ⎯ #Y‘θàçΡ öΝèδyŠ#y—uρ #Y‘θàçΡ Ν ö èδyŠ#y—uρ “Na wanapoambiwa: Msujudieni Mwingi wa rehema, “Na Msujudieni Mwingi rehema, wanasema: “Nawanapoambiwa: wanapoambiwa: Msujudieni Mwingi wa rehema, wanasema: Ni nani huyo mwingi wa wa rehema? Je! Ni nani huyo mwingi wa rehema? Je! Tumsujudie unayetuamrisha wanasema: Ni nani huyo mwingi wa rehema? Je! Tumsujudie unayetuamrisha wewe? Na huwazidishia “Na wanapoambiwa: Msujudieni Mwingi wa rehema, wewe? Na huwazidishia chuki.” (al-Furqan; 25:60). Na akasema: Tumsujudie wewe? waNa rehema? huwazidishia chuki.” (al-Furqan; 25:60). Na akasema: wanasema: Niunayetuamrisha nani huyo mwingi Je! chuki.” (al-Furqan; 25:60). Na akasema: Tumsujudie unayetuamrisha wewe? Na huwazidishia chuki.” (al-Furqan; 25:60). Na akasema: àMù=2uθs? μÏ ø‹n=tã uθèδ ωÎ) tμ≈s9Î) Iω ’În1u‘ θu èδ ≅ ö è% 4 Ç⎯≈uΗ÷q§9$$Î/ β t ρãàõ3tƒ öΝèδuρ …..” àMù=2uθs? μÏ ø‹n=tã uθèδ ωÎ) tμ≈s9Î) Iω ’În1u‘ θu èδ ö≅è% 4 Ç⎯≈uΗ÷q§9$$Î/ tβρãàõ3tƒ Ν ö èδuρ …..” àMù=2uθs? μÏ ø‹n=tã uθèδ ωÎ) tμ≈s9Î) Iω ’În1u‘ θu èδ ö≅è% 4 Ç⎯≈uΗ÷q§9$$Î/ tβρã∩⊂⊃∪ àõ3tƒÉ> Ν ö $tèδGuρtΒ …..” Ïμø‹s9Î)uρ ∩⊂⊃∪ É>$tGtΒ μÏ ø‹s9Î)uρ ∪ É>ni $tGtΒMola μÏ ø‹s9Î)uρ “Na wao wamemkufuru Mwingi wa rehema. Sema:∩⊂⊃ Yeye Wangu, hakuna Mola mwingine 54 isipokuwa Yeye. Juu yake nimetege54 mea, na Kwake Yeye ndio marejeo yangu!” (Raad; 13:30). 54 63

07_16_Kumkosoa_18_June_2016.indd 63

6/18/2016 2:54:05 PM


KUMKOSOA YULE ANAYEIGAWANYA TAWHIDI KWA MAFUNGU

Na kwa hivyo inadhihiri kubatilika kwa kauli ya anayesema: “Dua kwa asiyekuwa Mwenyezi Mungu – yaani kuomba kutoka kwake – ni kumuabudu na ni katika jumla ya ukafiri na shirki. Tunahitimisha hapa baada ya kutoa Aya tukufu za ukweli wa masuala haya kwa kutaja Hadithi zinazohalalisha mwito kwa asiyekuwa Mwenyezi Mungu na kufanya istighatha kwake, na alivyotekeleza hilo Ahmad bin Hanbal, na Hadithi hii ameipokea al-Bazaz kutoka kwa Ibn Abbas kwa tamko: “Mwenyezi Mungu ana malaika ardhini wasiokuwa wahifadhi. Wao wanaandika kinachoanguka kutoka kwenye majani ya miti. Mmoja wenu akipatwa na ajali katika ardhi ya jangwa basi anadi: ‘Enyi waja wa Mwenyezi Mungu! Nisaidieni!’” nayo ni Hadithi hasan. Na hadithi ya Abdallah bin Mas’ud amesema Mtume : “Atakapotoroka mnyama wa mmoja wenu jangwani basi anadi: ‘Enyi waja wa Mwenyezi Mungu! Njooni karibu nami, Enyi waja wa Mwenyezi Mungu! Njooni karibu nami;’ hakika Mwenyezi Mungu yupo ardhini atakuwa karibu nanyi.’”33 Na katika riwaya nyingine ya Hadithi hii: “Mmoja wenu akipoteza kitu au akitaka kuokoka katika ardhi isiyo na mtu wa kumliwaza, basi aseme: ‘Enyi waja wa Mwenyezi Mungu niokoeni! Enyi waja wa Mwenyezi Mungu niokoeni!’ Kwani Mwenyezi Mungu ana waja ambao sisi hatuwaoni.”34 Ameipokea Tabraniy katika kitabu Al-Kabir, na akasema: “Na ilijaribiwa hiyo.”   Hasan kwa mashahidi, ameipokea Abu Yaala katika Musnad yake (9:177) na Ibn Sunny katika Amalul Yawm Wallaylah namba 508, na Tabrany katika al-Kabir (10/267/10518) na akasema al-Hafidh al-Haythamy katika Majmau Zawa’aid (10:132): “Ndani yake yuko Maaruf bin Hassan nayo ni dhaif. Na kwa Shahid iliyopokewa kutoka kwa Ibn Abbas aliyoipokea al-Bazaar na kuisahihisha al-Hafidh Ibn Hajar katika Amalul Idhkar (5:151) na kukubali kwa Albany kuwa ni dhaif (2:111) kunahukumu Hadith hii kuwa ni hasan. 34   Hasan, kwa mashahid, ameipokea Tabrany katika Muujam yake kubwa (17117-118) akasema al-Hafidh al-Haythamy katika Majmau Zawa’aid: (10:133) amepokea Tabrany na watu wake wakaithibitisha katika udhaifu wake kwa baadhi yao ila Zaid bin Ali.” 33

64

07_16_Kumkosoa_18_June_2016.indd 64

6/18/2016 2:54:06 PM


KUMKOSOA YULE ANAYEIGAWANYA TAWHIDI KWA MAFUNGU

Na amefanya istighatha hii na mwito na kumuomba asiyekuwa Mungu, Ahmad bin Hanbali, Sheikh wa watu wa Hadithi na wanaojiita wafuasi wa watangulizi wema wa mwanzo! Amepokea Abdallah bin Ahmad bin Hanbali akasema: “Nimemsikia baba yangu akisema nimehiji Hijja tano, mbili nikiwa nimepanda mnyama na tatu kwa miguu, au mbili kwa miguu na tatu juu ya mnyama. Nikapotea njiani katika Hijja ile niliyokuwa nikienda kwa miguu, nikawa nasema: ‘Enyi waja wa Mwenyezi Mungu, tuonyesheni njia.’ Sikuacha kusema hivyo mpaka nikaangukia njiani.”35 Na hii yote inabainisha kuwa maimamu wa watangulizi wema wa mwanzo na watu wa hadithi walikuwa dhidi ya mwendo wa Ibn Taymiyya na wafuasi wake wanaowasingizia watu shirki, upotevu na bidaa. Na katika mlango huu pia, Ibn Taymiyya anazingatia kuwa ni katika jumla ya shirki na vitendo vya wapotevu, kuyashika na kuyabusu makaburi. Anasema katika Majmuul Fatawa (4:517): “Asili ya uongo huu ni upotevu, bidaa na shirki, kwani wapotevu hufunga safari kwenda kwenye sehemu hizi za makaburi na kuswali mbele yake na kuomba na kuweka nadhiri, kuyashika na kuyabusu na mengineyo katika vitendo vya wema na dini…”36   Hii ni sahih imethibiti kutoka kwa Ahmad bin Hanbal, ameipokea mwanawe Abdallah kutoka kwake kama ilivyo katika masa’ail ya Ahmad riwaya ya Abdallah uk. 245 namba 912 chapa ya Maktabul Islamy, Beirut, chapa ya pili, 1804 A.H. sawa na 1988 AD. na ameipokea al-Bayhaqy katika Shiibul Imaan (6:128, namba 7697) Akasema Albany katika Silsiladhaifa yake (2:111) akikubali hilo: “Inaonyesha Hadithi ya Ibn Abbas aliyoifanya hasan Al-Hafidh, Imam Ahmad alikuwa akiiunga mkono kwa sababau yeye aliitumia na mwanawe Abdallah akasema katika al-Massail (217): “Nimemsikia baba yangu akisema: “Nimehiji Hijja tano….” Na ameipokea pia al-Bayhaqy katika As Shiib (2:455/2) na Ibn Asakir (3:72/1) kutoka kwa njia ya Abdallah kwa sanad yake sahih.” 36   Hii kauli anayoisema Ibn Taymiyya ndiyo wanayosema wafuasi wake kama vile: Ibnul Qayyim katika Ighathatu lahfaani (1:194) na katika Zaadil Maani chapa ya Maktabatu risala 93:601). Na Suleiman bin Abdallah Muhammad bin Abdul Wahab katika Taysirul Azizul Hamid katika Sharhu kitabu Tawhid, uk. 640, na Suleiman bin Subhan katika Swawaaiqul Murasalah Shahaabiyya (3:70). 35

65

07_16_Kumkosoa_18_June_2016.indd 65

6/18/2016 2:54:06 PM


KUMKOSOA YULE ANAYEIGAWANYA TAWHIDI KWA MAFUNGU

Hii inapingana na alivyotoa fatwa Ahmad bin Hanbal. Katika Kitabul ilal wa maarifat rijaal (2:492)37 kutoka katika riwaya ya mwanawe Abdallah amesema: “Nilimuuliza juu ya mtu anayeshika mimbari ya Mtume  na kutabaruku nayo kwa kuigusa na kuibusu na kufanya hivyo hivyo katika kaburi, akikusudia kuwa karibu na Mwenyezi Mungu Mtukufu, akasema: “Hapana ubaya kufanya hivyo.” Kwa hayo imetimia kuvunja yale wanayodai wao na kuwasingizia watu shirki, ukafiri na upotevu. Nyongeza Juu ya Kadhia ya Istighatha Hapa inafaa tuangalie Hadithi: “Dua ni ibada.” Na Hadithi: “Unapoomba muombe Mwenyezi Mungu.”38 Na mfano wake japokuwa dhahiri ya Hadithi hizi ni ya kiujumla lakini makusudio si ujumla wake, nazo ni maalumu kwa dalili nyingine iliyopo kwa wenye akili wote. Lakini Mawahabi Masalafi wanatoa hoja kwa ujumla wake kwamba kumuomba asiyekuwa Mwenyezi Mungu ni kufru na shirki kubwa. Lakini wanapopewa hoja kwa baadhi ya dalili za kisheria ambazo humo zahalalisha kumuomba asiyekuwa Mungu au kufanya istighatha kwake, husema: ‘Hii yafaa na haina mjadala kwa sababu ni katika milango ya istighatha na kuomba msaada kwa asiyekuwa Allah katika lile ambalo kiumbe ana uwezo nalo.’ Hivyo hapo wanatoka na kuukana ujumla uliomo katika maandiko ya Qur’ani na Sunnah na wanajipinga wao wenyewe.   Nass namba 3243 na kitabu ni chapa ya Altabul Islamy, Beirut na Darul Khany, Riyadh, kwa kuhakikiwa na Abbas, chapa ya 1408 AH sawa na 1988AD, (46) dhaif. 38   Hii ni dhaif, ameipokea Ahmad (1:303). Imepokewa kwa maneno haya kutoka kwa Ibn Abbas kwa njia zisizokuwa zake na zingine ni bora zaidi ya zingine. Na maneno haya yakisihi kutoka wa Mtume ni kumuelekeza mtoto ili aelekee kwa Mwenyezi Mungu katika mambo ambayo hayamzuii asimuombe mtu kitu au amuombe maada asiyekuwa yeye kukidhi haja zake. 37

66

07_16_Kumkosoa_18_June_2016.indd 66

6/18/2016 2:54:06 PM


KUMKOSOA YULE ANAYEIGAWANYA TAWHIDI KWA MAFUNGU

Katika hayo ni kauli ya Albaniy katika Silsila Swahihah (5:591) kutoka kwenye Hadithi ambayo ndani yake kuna istighatha ya watu siku ya Kiyama watakayoifanya kwa Sayyidna Adam, kisha kwa Sayyidna Musa, kisha kwa Sayyidna Muhammad : “Hakuna kufanya istighatha kwa waliokufa kama wanavyodhani watu wengi wa bidaa bali ni mlango wa kufanya istighatha kwa aliye hai katika lile ambalo kiumbe ana uwezo nalo, kama ilivyo katika kauli yake Mwenyezi Mungu: “Yule mwenzake alimtaka msaada kumpiga adui yake. (Al Qasas:15). Yeye muombaji ni mwenye uwezo kuliko maiti anayeombwa msaada badala ya Mwenyezi Mungu. Na anayepinga hili, ama atakuwa ni mjinga au mushrik kwa kuwa yeye anaamini kuwa maiti wake anasikia na anaona,39na anaweza kufanya kila jambo, na hapa ndipo penye hatari kwa kuwa ni shirki kubwa, na hili ndilo watu wa Tawhid wanaloliogopa kwa watu wenye kufanya istighatha hizo kwa asiyekuwa Mwenyezi Mungu, naye Allah amesema:

ۖ ‫ون للاهَّ ِ ِعبَا ٌد أَ ْمثَالُ ُك ْم‬ َ ‫ين تَ ْد ُع‬ َ ‫إِ َّن الَّ ِذ‬ ِ ‫ون ِم ْن ُد‬ ‫ين‬ َ ِ‫صا ِدق‬ َ ‫فَا ْد ُعوهُ ْم فَ ْليَ ْستَ ِجيبُوا لَ ُك ْم إِ ْن ُك ْنتُ ْم‬ 39

Amesahau al-Albany Hadithi ya Bukhari wakati akiandika maneno haya, hadithi ya 1338 na Muslim 2870 kwamba maiti husikia sauti za viatu vya watu waliomzika wanapoondoka baada ya kuzika. Na kauli ya Ibn Taymiyya katika Majmuul fatawy (27:384): “Naye Mtume 3 anasikia salaam ya aliye karibu na hufikishiwa salaam kutoka mbali, hii ni pamoja na kauli yake Mwenyezi Mungu (s.w.t.): “(Aambiwe): Kwa hakika ulikuwa umeghafilika na haya; basi leo tumekuondolea pazia lako, na kwa hivyo kuona kwako leo ni kukali. (Qaaf: 22). Mtume wetu 3 alikutana na Mitume waliokufa kabla yake, kwenye usiku wa Israi na walikuwa wakimuona na wakimsikia na kuzungumza naye, na hadithi ya Badr aliposema Mtume 3 kwa mushrikina waliouwawa: “Naapa kwa ambaye nafsi yangu iko Kwake nyinyi hamsikii zaidi niyasemayo kama wao wanavyoyasikia ila tu wao hawawezi kujibu.” Iko katika Bukhary (1370, 3976, 4026). Na katika Muslim (2875, 2873). 67

07_16_Kumkosoa_18_June_2016.indd 67

6/18/2016 2:54:06 PM


istighatha hizo kwa asiyekuwa Mwenyezi Mungu, naye Allah amesema: #( θç6‹ÉftGó¡uŠù=sù Ν ö èδθãã÷Š$$sù ( Ν ö à6ä9$sWøΒr& Šî $t6Ïã ! « $# β È ρߊ ⎯ÏΒ šχθããô‰s? t⎦⎪Ï%©!$# ¨βÎ)

KUMKOSOA YULE ANAYEIGAWANYA TAWHIDI KWA MAFUNGU

‰ 7 ÷ƒr& Ν ö çλm; Θ ô r& ( $! pκÍ5 tβθà±ôϑtƒ ≅ × ã_ö‘r& Ν ö ßγs9r&

∩⊇®⊆∪ t⎦⎫Ï%ω≈|¹ Ο ó çFΖä. βÎ) óΟà6s9

ۖ ‫ون بِهَا‬ َ ‫ون بِهَا ۖ أَ ْم لَهُ ْم أَ ْي ٍد يَب ِْط ُش‬ َ ‫أَلَهُ ْم أَرْ ُج ٌل يَ ْم ُش‬ ٌ ‫ ْم∪∈®لَ⊇∩هُ ْم آ َذ‬βÈَ‫ أ‬ρãۖ Ïà‫هَا‬Ζè?ِ‫ب‬ξŸ ‫ُون‬ ‫ُون‬ َ ‫ان يَ ْس َمع‬ َsù βÈ ρß‫ر‬‰‹Ï‫ْص‬ ِ . Ν§ èO‫يُب‬Νö ä.‫ُن‬u™ٌ !%x.‫ي‬u‫ع‬à°ْ َ‫أ‬#( θãã‫÷ ْم‬Šُ‫ه‬$# َ‫ل‬È≅‫م‬è%ْ َ‫أ‬ ‫ُون‬ ‫ون فَ اَل تُ ْن ِظر‬ ‫بِهَا ۗ قُ ِل ا ْد ُعوا ُش َر َكا َء ُك ْم ثُ َّم ِكي ُد‬ ِ“Hakika ِ hao mnaowaabudu badala ya Mwenyezi Mungu ni 3 $pκÍ5 tβθãèyϑó¡o„ χ Ò #sŒ#u™ Ο ó ßγs9 Π÷ r& ( $! pκÍ5 šχρçÅÇö7ム⎦ × ã⎫ôãr& Ο ó ßγs9 Θ ô r& ( $! pκÍ5 tβθà±ÏÜö7tƒ

waja mfano wenu. Hebu badala waombeni nao wawaitikie “Hakika hao mnaowaabudu ya Mwenyezi Mungu ni ikiwa waja nyinyi mnasema kweli. Je, wao wanayo miguu ya kuendea? mfano wenu. Hebu waombeni nao wawaitikie ikiwa nyinyi mnasema Au wanayo mikonomiguu ya kushika? AuAuwanayo ya kweli. Je, wao wanayo ya kuendea? wanayo macho mikono ya kuonea? Au wanayo wanayomacho masikio ya kusikilizia? Sema: Waiteni kushika? Au ya kuonea? Au wanayo masikio ya hao mnaowashirikisha kisha nifanyieni vitimbi wala msinipe kusikilizia? Sema: Waiteni hao mnaowashirikisha kisha nifanyieni muda.”wala (al-A’araf; 7:194-195). Na akasema: vitimbi msinipe muda.” (al-A’araf; 7:194-195). Na akasema: βÎ)

∩⊇⊂∪ A ÏϑôÜÏ% ⎯ÏΒ χ š θä3Î=÷Κtƒ $tΒ ⎯ÏμÏΡρߊ ⎯ÏΒ χ š θããô‰s? ⎦ t ⎪Ï%©!$#uρ 4 …..”

πÏ yϑ≈uŠÉ)ø9$# Πt öθtƒuρ ( /ö ä3s9 #( θç/$yftGó™$# $tΒ #( θãèÏÿxœ öθs9uρ /ö ä.u™!$tãߊ #( θãèyϑó¡o„ ω Ÿ óΟèδθããô‰s? ∩⊇⊆∪ 9 Î7yz ≅ ã ÷WÏΒ 7 y ã∞Îm;uΖムω Ÿ uρ 4 Ν ö ä3Å2÷ųÎ0 tβρãàõ3tƒ

“…..Na walewale mnaowaomba badalabadala Yake hawamiliki hata utando wa “…..Na mnaowaomba Yake hawamiliki hata kokwa ya tende. Mkiwaomba, hawasikii maombi yenu. Na maombi wakisikia utando wa kokwa ya tende. Mkiwaomba, hawasikii hawajibu. siku ya hawajibu. Kiyama watakataa yenu. Na hapana yenu. Na Na wakisikia Na sikushirki ya Kiyama watakataa atakayekuambia kama Yeye Mwenye habari.”(Fatir; 35:13-14 shirki yenu. Na hapana atakayekuambia kama Yeye

Mwenye 35:13-14 ya Aya ya kwanza: “Hakika Jibu lakehabari.”(Fatir; madai haya ni: Makusudio hao mnaowaabudu badala ya Mwenyezi Mungu ni waja mfano Jibu lake madai haya ni: Makusudio ya Aya ya kwanza: wenu,” ni masanamu, Mwenyezibadala Munguya amebainisha hawana “Hakika hao mnaowaabudu Mwenyezi wao Mungu ni mikono kufanyiawenu,” wala miguu ya kuendea. Mwenyezi Na maana ya “waja waja yamfano ni masanamu, Mungu mfano wenu” ni wameumbwa kamayanyinyi, yaani waomiguu si wenye amebainisha wao hawana mikono kufanyia wala ya akili kama utakavyoona katika Tafsiri ya Tabari, Ibn Kathir na Qurtubiy. Aya haifai kuichukulia kwa waumini wanaompwekesha Mwena wakimsikia na kuzungumza naye, na hadithi ya nyeziwalikuwa Mungu,wakimuona wanaotawasali au kufanya istighatha kwa Mola wao Badr aliposema Mtume  kwa mushrikina waliouwawa: “Naapa kwa ambaye nafsi yangu iko Kwake nyinyi hamsikii zaidi niyasemayo kama 68 wao wanavyoyasikia ila tu wao hawawezi kujibu.” Iko katika Bukhary (1370, 3976, 4026). Na katika Muslim (2875, 2873).

58 07_16_Kumkosoa_18_June_2016.indd 68

6/18/2016 2:54:07 PM


kuendea. Na maana ya “waja mfano wenu” ni wameumbwa kama nyinyi, yaani wao si wenye akili kama utakavyoona katika Tafsiri ya Tabari, Ibn Kathir na Qurtubiy. Aya haifai KUMKOSOA YULE ANAYEIGAWANYA TAWHIDI KWA MAFUNGU kuichukulia kwa waumini wanaompwekesha Mwenyezi Mungu, wanaotawasali au kufanya istighatha kwa Mola wao kupitia Mitume walio hai, wanaosikia na wanaweza kuwaombea kupitia Mitume walio hai, wanaosikia wanaweza kuwaombea Mwenyezi Mungu kukidhi haja zao! Pianakauli katika Aya ya pili Mwenyezi kukidhi haja zao! kauliamesema katika Aya ya pili ni ni mfano Mungu wa tulivyosema katika ya Pia kwanza, al-Hafidh mfano wa tulivyosema ya yake kwanza, amesema Ibn Ibn Jarir Tabari katikakatika Tafsiri (10:402) kaulial-Hafidh yake: “Na Jarir katika Tafsiri yake (10:402) yake:(Fatir: “Na siku sikuTabari ya Kiyama watakataa shirki kauli yenu.” 14).ya Anasema Mwenyezi Mungu katika Kiyama watakataa shirki yenu.”amewataja (Fatir: 14). mushrikina Anasema Mwenyezi waabuduo masanamu: Na siku ya Kiyama miungu yenu Mungu amewataja mushrikina katika waabuduo masanamu: Na siku mnayoiabudu itawakataa kuwa wao walikuwa ni washirika wa ya Kiyama miungu yenu mnayoiabudu itawakataa kuwa wao waliAllahniduniani…” kuwa washirika wa Allah duniani…”

AmenukuuIbn Ibn Jarir Jarir kwa kutoka kwakwa baadhi ya maimAmenukuu kwa maana maanahiihii kutoka baadhi ya amu wa watangulizi wema wa mwanzo. Na istighatha kwa mitume maimamu wa watangulizi wema wa mwanzo. Na istighatha kwa mitume sawa iwe niyakabla kufaau kwao au baada yake,nihiyo  sawa � iwe ni kabla kufayakwao baada yake, hiyo kwa ni kwa sababu ya uwezo aliowawezesha Mwenyezi Mungu, na sababu ya uwezo aliowawezesha Mwenyezi Mungu, na dalili za dalili zazaonyesha kisheria zaonyesha kuwa waliokufa, na hasa,mawalii manabii,na kisheria kuwa waliokufa, na hasa, manabii, mawalii nawako mashahidi, kwawanaruzukiwa Mola wao wanaruzukiwa mashahidi, hai kwawako Molahaiwao na wanasikia na wanasikia maneno ya walio hai na: maneno ya walio hai na: ô⎯ÏiΒ ΝÍκÍ5 (#θà)ysù=tƒ Ν ö s9 t⎦⎪Ï%©!$$Î/ tβρçųö;tGó¡o„uρ ⎯Ï&Î#ôÒsù ⎯ÏΒ ª!$# ãΝßγ9s?#u™ !$yϑÎ/ t⎦⎫ÏmÌsù ∩⊇∠⊃∪ šχθçΡt“óstƒ öΝèδ Ÿωuρ öΝÍκön=tæ ì∃öθyz ωr& öΝÎγÏù=yz

“Wanafurahia aliyowapa Mwenyezi Mungu katika fadhilafadhila Zake, “Wanafurahia aliyowapa Mwenyezi Mungu katika na wanawashangilia wale ambao bado hawajajiunga nao, walio Zake, na wanawashangilia wale ambao bado hawajajiunga nyuma yao, ya kwamba hofuhaitakuwa juu yao wala hawatahuzunao, walio nyuma yao,haitakuwa ya kwamba hofu juu yao nika.” (Aal Imran; 3:170). wala hawatahuzunika.” (Aal Imran; 3:170). Al Albany katika Sahih yake (621) ameizingatia kuwa ni sahihi Al Albany katika Sahih yake (621) ameizingatia kuwa ni sahihi Hadithi: “Manabii wako katika makaburi yao wanaswali.” Na HaHadithi: “Manabii wako katika makaburi yao wanaswali.” Nana dithi ya Israi na humo kuna kukutana kwa Mtume Muhammad Hadithi ya Israi na humo kuna kukutana kwa Mtume mitume wengine , na Hadithi ya Muslim (2375): “Nilipita kwa Muhammad na mitume wengine �, na Hadithi ya Muslim Musa  usiku wa Israi naye akiwa amesimama anaswali katika (2375): “Nilipita kwa Musa � usiku wa Israi naye akiwa kaburi lake.” anaswali katika kaburi lake.” amesimama

Wenye kutawasali wanamuomba Mola awatimizie haja zao kwa 69 vyeo na jaha walizonazo Mitume, Mawalii, Mashahidi na watu wema hao, na wenye kufanya istighatha hawakuwafanya hao kuwa ni miungu, wala hawaitakidi kuwa ni miungu bali ni waja waliokirimiwa, kinyume na wafanyavyo wanaoabudu 07_16_Kumkosoa_18_June_2016.indd 69 6/18/2016

2:54:08 PM


KUMKOSOA YULE ANAYEIGAWANYA TAWHIDI KWA MAFUNGU

Wenye kutawasali wanamuomba Mola awatimizie haja zao kwa vyeo na jaha walizonazo Mitume, Mawalii, Mashahidi na watu wema hao, na wenye kufanya istighatha hawakuwafanya hao kuwa ni miungu, wala hawaitakidi kuwa ni miungu bali ni waja waliokirimiwa, kinyume na wafanyavyo wanaoabudu masanamu mushrikina. Yanayofanana na maneno ya Albaniy ni yale waliyoyaandika hao katika utangulizi wa kitabu Al-Ghaniyya (1:55): cha Khatabiy aliposema: “Je mmoja wao anaweza kutuletea herufi moja ya Qur’ani au ya Hadithi sahihi juu ya kuhalalishwa tawasul ya watu wema, Mitume, Manabii, sembuse kufanya istighatha kwa Mtume au mwingine asiyekuwa Mungu. Hakika kufanya istighatha kwa asiyekuwa Mungu ni shirk isiyo na shaka, na tawasul ni bidaa, si kufru.” Huyu msemaji – kama inavyoonekana - ni katika washindani wakubwa kwani nass za kisheria zinazoeleza kuwapo kwa tawasul, istighatha kutoka kwa watangulizi wema wa mwanzo na kutoka kwa watu wa Hadithi, ni nyingi! Ama tawassul kwa watu wema, yatosha kuithibitisha kwa aliyopokea Bukhari (1010, na 3710) kutoka katika Tawasul ya Umar kwa Abbas, na amekubali hilo Ibn Taymiyya katika kitabu Majmuul Fatawa (1:104), Ibn Kathir ambaye ni katika marafiki wa Ibn Taymiyya na katika wanafunzi wake amesema katika Tarikh yake (14:45) kwamba Ibn Taymiyya amesema: “Hafanyiwi istighatha ila Mwenyezi Mungu tu, hafanyiwi istighatha Mtume kwa maana ya ibara, bali anafanyiwa tawassul na kuombwa shafaa kwa Mwenyezi Mungu.” Ama kuhusu istighatha, ikiwa kwa kauli yake hiyo anamaanisha kuwa kumuomba msaada Mtume wakati wa uhai wake ni shirk, basi kauli hiyo ni batili, kwa ushahidi wa maimamu wake. Imetangulia punde kauli ya Albaniy juu ya uhalali wa kufanya istighatha kwa walio hai. Na kama alikusudia baada ya kufa kwake Mtume  basi 70

07_16_Kumkosoa_18_June_2016.indd 70

6/18/2016 2:54:08 PM


na kuombwa shafaa kwa Mwenyezi Mungu.” Ama kuhusu istighatha, ikiwa kwa kauli yake hiyo anamaanisha kuwa kumuomba msaada Mtume wakati wa uhai wake ni shirk, KUMKOSOA KWAwa MAFUNGU basi kauliYULE hiyoANAYEIGAWANYA ni batili, kwaTAWHIDI ushahidi maimamu wake. Imetangulia punde kauli ya Albaniy juu ya uhalali wa kufanya istighatha kwa walio hai. Na kama alikusudia baada ya kufa hiyo pia ni batili,��basi kwa sababu wako hai MolaManabii Wao, wakwake Mtume hiyoManabii pia ni batili, kwakwa sababu nasikia anayewatakia na anayewasalimu. Mwenyezi Mungu wako hai kwa Molarehema Wao, wanasikia anayewatakia rehema na (s.w.t.) amesema: Mwenyezi Mungu (s.w.t.) amesema: anayewasalimu. Ο Þ ßγs9 t xøótGó™$#uρ ! © $# #( ρãxøótGó™$$sù 8 x ρâ™!$y_ Ν ö ßγ|¡àΡr& #( þθßϑn=¤ß ŒÎ) Ν ö ßγ¯Ρr& θö s9uρ …..” ∩∉⊆∪ $VϑŠÏm§‘ $\/#§θs? ! © $# #( ρ߉y`uθs9 ãΑθß™§9$#

“Nalau lau kwamba walipojidhulumu wangekujia, waka“Na kwamba wao wao walipojidhulumu wangekujia, omba maghfiramaghfira kwa Mwenyezi na wakaombewa wakaomba kwaMungu, Mwenyezi Mungu, maghna fira na Mtume, hapana shaka Mwenyezi Munwakaombewa maghfira nawangelimkuta Mtume, hapana shaka wangelimkuta Mwenyezi toba, Mungu ni Mwenye kutakabali gu ni Mwenye kutakabali Mwenye kurehemu.” (Nisaa; toba, Hii Mwenye kurehemu.” (Nisaa; 4:64). Hiiyainajumuisha 4:64). inajumuisha alipokuwa hai na baada kufa kwake. alipokuwa na baada ya kufa kwake. Yeye Mtume � Yeye Mtumehai  anawasikia au malaika wanampelekea, kwa dalili malaika wanampelekea, dalili ya mfanopopote wa yaanawasikia mfano wa au Hadithi: “Nisomeeni salaam,kwa kwani zinanifikia Hadith: “Nisomeeni salaam, kwani zinanifikia popote mtakapokuwa.” Ameipokea Ibn Daud nayo ni sahihi (20:42), na pia kuna Hadithi ya Abu Hurayra ambayo ni marfuu: “Hakuna mtu ata60 kayenitolea salaam ila Mwenyezi Mungu hunirudushia roho yangu mpaka niijibu.” Hii ameipokea Ahmad, (2:527) na Abu Daud (2041) na wengineo, nayo ni sahih. Na Hadithi ya kwamba maiti anasikia sauti za viatu vya watu waliokwenda kumzika mara wanapoondoka: “Mtu anapowekwa katika kaburi lake na watu wake wakaondoka huwa anasikia sauti za viatu vyao. Watamjia Malaika wawili…” Imepokewa na Bukhari (1338) na Muslim (2870), na akasema Ibn Taymiyya katika Majmul Fatawa (27:384): “Mtume anasikia salam kutoka karibu naye na hupelekewa na malaika salaam za kutoka mbali.” Hafidh Sakhawiy amesema katika Qaulul badii fii swalat alal habiibishafii´ uk. 171: “Huchukuliwa kutokana na Hadithi hizi kuwa 71

07_16_Kumkosoa_18_June_2016.indd 71

6/18/2016 2:54:08 PM


sauti za viatu vyao. Watamjia Malaika wawili…” Imepokewa na Bukhari (1338) na Muslim (2870), na akasema Ibn Taymiyya katika Majmul Fatawa (27:384): “Mtume anasikia salam kutoka karibu naye na hupelekewa na malaika salaam za kutoka mbali.”

KUMKOSOA YULE ANAYEIGAWANYA TAWHIDI KWA MAFUNGU

Hafidh Sakhawiy amesema katika Qaulul badii fii swalat alal habiibishafii´ uk. 171: “Huchukuliwa kutokana na Hadithi hizi Mtume .) yuko hai daima, na ni muhali kwamba awe hayuko hakuwa Mtume �.) yuko hai daima, na ni muhali kwamba awe dhiri kwa anayemsalimia usiku na mchana, nasi tunaamini kuwa hayuko hadhiri kwa anayemsalimia usiku na mchana, nasi Mtume  yu haiMtume na anaruzukiwa katika kaburi lake, na kwamba tunaamini kuwa � yu hai na anaruzukiwa katika kaburi mwili mtukufu hauliwi wadudu, hii nina Ijmai.” Ibn hii Hazmi lake, wake na kwamba mwili wakena mtukufu hauliwi wadudu, ni amesema katika al-Mahalliy (1:25): “Ama kuhusu wafiadini, MweIjmai.” Ibn Hazmi amesema katika al-Mahalliy (1:25): “Ama nyezi Mungu amesema: kuhusu wafiadini, Mwenyezi Mungu amesema: tβθè%y—öムóΟÎγÎn/u‘ y‰ΨÏã í™!$uŠômr& ö≅t/ 4 $O?≡uθøΒr& «!$# È≅‹Î6y™ ’Îû #( θè=ÏFè% t⎦⎪Ï%©!$# ¨⎦t⎤|¡øtrB Ÿωuρ

“….. ⎯Ï&Î#ôÒsù ⎯ÏΒ ª!$# ãΝßγ9s?#u™ $! yϑÎ/ t⎦⎫ÏmÌsù ∩⊇∉®∪

“Nausiwadhanie usiwadhaniekabisa kabisa wale njianjia ya Mwe“Na walewaliouawa waliouawakatika katika ya nyezi Mungu kuwa wamekufa, bali wako hai mbele ya Mola Mwenyezi Mungu kuwa wamekufa, bali wako hai mbele ya wao wanaruzukiwa. Wanafurahia aliyowapa Mwenyezi Mungu Mola wao wanaruzukiwa. Wanafurahia aliyowapa Mwenyezi Mungu katika fadhila Zake…..” (Imran; 3:169katika fadhila Zake…..” (Imran; 3:169-170). Wala hakuna ikhti170). Wala hakuna ikhtilafu baina yaniWaislamu kuwa manabii lafu baina ya Waislamu kuwa manabii wenye daraja za juu kabisa ni wenye daraja za juu kabisa na fadhila zilizotimia na fadhila zilizotimia za Mwenyezi Mungu kuliko mwengine,zana Mwenyezi hili Mungu kuliko na anayepinga hili basi si anayepinga basi si katikamwengine, Waislamu.” katika Waislamu.” Mmoja kati ya wapinzani wanaojaribu kutujibu amesema katika kitabu chake al-Is’af Min Ighathatu kutujibu Saqaf, uk. 48: “Hata kama Mmoja kati ya wapinzani wanaojaribu amesema katika kitabu chake al-Is’af Min Ighathatu Saqaf, uk. 48: “Hata kama itathibiti kuwa maiti wanasikia kama wanavyoitakidi watu wa makaitathibiti maiti wanasikia kama wanavyoitakidi buri, bado kuwa hiyo si dalili ya kujuzu istighatha. Istighathawatu kwawa asimakaburi, bado hiyo si dalili ya kujuzu istighatha. Istighatha yekuwa Mungu ni shirki, haijuzu na hoja ni hii: kwa asiyekuwa Mungu ni shirki, haijuzu na hoja ni hii: 3Ú Ç ö‘F{$# ™u !$xn=äz Ν ö à6è=yèôftƒuρ ™u þθ¡9$# # ß Ï±õ3tƒuρ νç %tæyŠ #sŒÎ) § sÜôÒßϑø9$# Ü=‹Ågä† ⎯¨Βr&

∩∉⊄∪ χ š ρã2x‹s? $¨Β ξ W ŠÎ=s% 4 ! « $# yì¨Β ×μ≈s9Ï™r&

61 ‘Au nani yule anayemjibu aliyedhikika pale anapomwomba, ‘Au nani yule anayemjibu aliyedhikika pale anapomwomba, na akaiondoa dhiki, na akawafanya ninyi ni warithi wa ardhi? Je! Yuko mungu pamoja na Mwenyezi Mungu? Ni 72 machache mnayoyazingatia.” (Namli; 27:62). Nasema: Hakuna shaka kuwa dua ya mwenye haja sana ni istighatha. Angalia jinsi Mola alivyojalia kufanya istighatha kwa asiyekuwa Yeye ni kuthibitisha uwepo wa Mola mwingine pamoja naye.” 6/18/2016 07_16_Kumkosoa_18_June_2016.indd 72

2:54:09 PM


KUMKOSOA YULE ANAYEIGAWANYA TAWHIDI KWA MAFUNGU

na akaiondoa dhiki, na akawafanya ninyi ni warithi wa ardhi? Je! Yuko mungu pamoja na Mwenyezi Mungu? Ni machache mnayoyazingatia.” (Namli; 27:62). Nasema: Hakuna shaka kuwa dua ya mwenye haja sana ni istighatha. Angalia jinsi Mola alivyojalia kufanya istighatha kwa asiyekuwa Yeye ni kuthibitisha uwepo wa Mola mwingine pamoja naye.” Hivyo kwa mujibu wa dalili za maskini huyu, ni kwamba kama mtu atapata shida na akamuomba ndugu yake au mwanadamu amsaidie kukidhi haja yake, basi huyo atakuwa ni mushrik kwa kuwa anayetakiwa kumuomba ni Mola tu pekee, kulingana na anavyodai na kutoa dalili ya Ayah hii. Shawkaniy amesema katika tafsiri yake (4:210): “Na laam katika Al-mudhtarr ni ya jinsi na si ya mjumuisho, hivyo huenda isijibiwe dua ya mtu mwenye kuwa na haja sana kutokana na kizuizi kinachozuia hilo.” Angalia jinsi anavyokubali kuwa maiti wanasikia kwa njia fulani kisha anasema kufanya istighatha kwa asiyekuwa Mungu ni shirki. Tumebainisha hapa kuwa istigatha maana yake ni kuomba kutoka kwa Mtume  awaombee Mungu wanaoomba kutimiziwa haja zao, na hili wanaliweza Mitume na Mashahidi na Mawalii baada ya kuthibiti kuwa wao wanasikia na kuwafurahia waumini ambao hukutana nao waliokuja nyuma yao. Anapinga huyu maskini katika kitabu hicho hicho, uk. 7, anasema: “Sisi hatumkufurishi mwenye kuomba walio hai mambo wanayoyaweza bali hata anayeingia kwenye shirki hatumkufurishi hadi hoja itimie kwake.” Ni bora lau angeongeza maneno haya: na pia hatumkufurishi mwenye kufanya istighatha kwa Manabii, Mashahidi na Mawalii kwa mambo wanayoyaweza katika kuelekea kwa Mwenyezi Mungu ili watimiziwe haja wenye kutawasali na kufanya istighatha kwa sababu wao wanasikia mwito wa maombi; hapo angekuwa amepata! 73

07_16_Kumkosoa_18_June_2016.indd 73

6/18/2016 2:54:09 PM


KUMKOSOA YULE ANAYEIGAWANYA TAWHIDI KWA MAFUNGU

Na mfano wa wenye kufanya istighatha kwa Mtume  ni yule mtu aliyekwenda kwa Mtume naye alikuwa akihutubu kama alivyopokea Anas bin Malik katika sahihi Mbili akasema: “Kuna mtu aliingia siku ya Ijumaa kwenye mlango uliokuwa ukielekeana na mimbari ya Mtume, na huku Mtume alikuwa amesimama akihutubu. Akamuelekea Mtume akasema: “Ewe Mtume wa Mwenyezi Mungu! Wanyama wamekufa na mvua imekatika tuombee Mungu alete mvua…” Ikiwa Mtume  yu hai katika kaburi lake na anasikia, kuna kizuizi gani cha kumuomba yeye? Na mfano wa istighatha kwa Mtume  baada ya kufa kwake ni kama alivyosema al-Hafidh bin Hajar katika Fat’hul Bary (2:495) : “Ameipokea Ibn Abi Shayba kwa sanad sahihi kutoka riwaya ya Abu Swaleh Saman, kutoka kwa Malik Dari. Huyu alikuwa ni mtunza hazina wa Umar amesema: “Watu walipatwa na ukame katika zama za Umar akaja mtu kwenye kaburi la Mtume  akasema: ‘Ewe Mtume wa Mwenyezi Mungu! Waombee mvua umma wako kwani wameangamia.’ Akaletewa mtu ndotoni akaambiwa, nenda kwa Umar.” Hivyo ndivyo ilivyo katika al-Muswannaf ya Ibn Abi Shaybah (6:356), na ukamilifu wake ni: “Nenda kwa Umar na mpe salaam na umwambie kuwa mtapata mvua na umwambie ajilazimishe na mfuko…. akaenda kwa Umar akamwambia, Umar akalia kisha akasema:……” Hadithi hii imekata ushindani wa hao wanaojifanya wanawafuata watangulizi wema wa mwanzo, na walijaribu kuifanya dhaifu riwaya hii kwa kumfanya dhaifu Malik Dari, mara nyingine kwa kutokuwa na uhusiano kati ya Abu Swaleh Samman na Malik Dar, na yote ni madai potofu, na hata tukisema kuwa riwaya hii si sahihi, bado dalili tulizotanguliza za kujibu uovu wao juu ya mas’ala haya zatosha kuwaumbua.

74

07_16_Kumkosoa_18_June_2016.indd 74

6/18/2016 2:54:09 PM


KUMKOSOA YULE ANAYEIGAWANYA TAWHIDI KWA MAFUNGU

Imethibiti kama tulivyosema mwanzo kuwa kumuomba asiyekuwa Mungu si shirki, si kufru wala si haram au makruh bali inaweza kuwa ni sunnah na ni jambo linalotakiwa, kama vile kutawasali na istighatha kwa Manabii na Mitume wengine wote. Na hili halipingani na Tawhid na imani kama tulivyothibitisha. Na ulamaa wameeleza hilo: 1.

Imam Nawawiy amesema katika Sharhul Muhadhab (8:274) katika haki ya mwenye kuzuru kaburi la Mtume : “Kisha atarejea kwenye kisimamo chake cha mwanzo akimeuelekea Mtume  na atatawasali naye kwa haki ya nafsi yake, na kutaka shufaa kutoka kwake kwa Mola wake . Na katika mazuri zaidi atakayoyasema ni aliyoyapokea al-Marudy, Kadhi Abu Talib na wengineo: “Assalaam Alayka ya Rasulullah. Nimemsikia Mtume akisema:

Ο Þ ßγs9 t xøótGó™$#uρ ! © $# #( ρãxøótGó™$$sù 8 x ρâ™!$y_ Ν ö ßγ|¡àΡr& #( þθßϑn=¤ß ŒÎ) Ν ö ßγ¯Ρr& θö s9uρ …..”

∩∉⊆∪ $VϑŠÏm§‘ $\/#§θs? ! © $# #( ρ߉y`uθs9 ãΑθß™§9$#

‘Nalaulaupale palewalipojidhulumu walipojidhulumu nafsi wangeliku‘Na nafsi zao zao wangelikujia, jia, wakamwomba MwenyeziMungu Mungumsamaha, msamaha,nanaMtume Mtume wakamwomba Mwenyezi akawaombeamsamaha, msamaha, hapana shaka wangelimkuta akawaombea hapana shaka wangelimkuta Mwenyezi Mwenyezi Mungu ni Mwenye kupokea toba na Mwenye Mungu ni Mwenye kupokea toba na Mwenye kurehemu.’ (ankurehemu.’ (an-Nisa’; 4:64). Nami nimekujia nikiomba Nisa’; 4:64). Nami nimekujia nikiomba msamaha wa dhambi zangu msamaha wakwa dhambi zangu hivyo niombee kwa Mola hivyo niombee Mola Wangu….” Wangu….” 2. Imam Subky: Amesema allamah al-Manawiy katika al-Qadir 2. bisharhil Imama Subky: Amesema(2:135). allamah al-Manawiy alJaamii Swaghiir Amesema Subky:katika “ Ni vizuri Qadir bisharhil Jaamii Swaghiir (2:135). Amesema Subky: “ Ni mtu kufanya tawasul na istighatha na kutaka shufaa kwa Mola vizuri mtu kufanya tawasul na istighatha na kutaka shufaa kwa Wake; hakuna hata mtangulizi mwema wa mwanzo aliyeMola Wake; hakuna hata mtangulizi mwema wammoja mwanzo mmoja aliyekanusha hilo, hata waliokuja baadaye, hadi 75 alipokuja Ibn Taymiyya akakanusha hilo na kupotoka kwenye njia iliyonyooka, na kuzusha mambo ambayo hayajasemwa na ulamaa baada yake.” 07_16_Kumkosoa_18_June_2016.indd 75

6/18/2016 2:54:10 PM


KUMKOSOA YULE ANAYEIGAWANYA TAWHIDI KWA MAFUNGU

kanusha hilo, hata waliokuja baadaye, hadi alipokuja Ibn Taymiyya akakanusha hilo na kupotoka kwenye njia iliyonyooka, na kuzusha mambo ambayo hayajasemwa na ulamaa baada yake.” Nyongeza hii nimeizidisha kutoka kwenye ufafanuzi wangu wa Jawhara ambao nimeutunga baada ya kitabu hiki kwa kiasi cha miaka ishirini hivi. Ufafanuzi juu ya Kubatilisha Kigawanyo cha Tatu Kati ya Vile Vinavyodaiwa, Nacho ni Tawhidi ya Majina na Sifa Elewa ya kwamba Ahlus-Sunna wal-jaamaa wakiwamo Maashaira na Matridiyya wanathibitisha sifa za Mwenyezi Mungu alizothibitisha Yeye Mwenyewe. Waliyoyasema wenye kumfanya Mungu ana mwili ni ushawishi batili usio na thamani baada ya utafiti wa ndani wa kielimu.40 Ahlu sunna wanathibitisha kwa Mwenyezi Mungu kuwa na sifa za elimu, kudra, irada, matakwa, rehma, uhai, kusikia, kuona, na zinginezo, na wanamuepusha Mwenyezi Mungu na yasiyomfaa wala hawafuati tu matamko na nyongeza zilizokuja katika Qur’ani na Hadithi ambazo hazikusudiwi uhakika wake katika sifa za Mwenyezi Mungu. Kwa sababu kaida za msingi na Aya na Hadithi, zinakataa hilo. Kwa pamoja mfano hawathibitishi sifalayakusahau kusahau,limehusishwa pamoja na kuwa kusahau, na kuwa tamko na tamko la kusahau limehusishwa na Mwenyezi Mungu katika Qur’ani: Mwenyezi Mungu katika Qur’ani: “….. 3 Ν ö åκuÅ¡t⊥sù ! © $# #( θÝ¡nΣ …..”4 “Wamemsahau Mwenyezi Mungu, basi na Yeye amewasahau. (Taw“Wamemsahau Mwenyezi Mungu, basi na Yeye bah; 9:67). Hawamsifu Mungu kwa kusahau kwa kuwa Mwenyezi amewasahau. (Tawbah; 9:67). Hawamsifu Mungu kwa Mungu asema pia:

kusahau kwa kuwa Mwenyezi Mungu asema pia:

40

Mwislamu hadanganyiki na nembo bali anathibitisha mwenyewe kila jambo kwa kuchunguza na kutafiti mwenyewe. Naomba Mungu asituweke sisi Waislamu na kauli ya wale maadui zetu wasemao: “ Huu ∩∉⊆∪ $|‹Å¡ nΣ y7•/niu‘ umma tβ%x. $tΒunaosikia uρ 4 …..”tu na wala hausomi!” 76

“Na Mola Wako si mwenye kusahau. (Maryam; 19:64). Pia tamko la kufanya haraka na kucheka, kuumwa, kushikwa na 6/18/2016 njaa yamekuja katika Hadithi, haifai kwa mwenye akili ayafanye

07_16_Kumkosoa_18_June_2016.indd 76

2:54:10 PM


“….. 3 Ν ö åκuÅ¡ t⊥sù ! © $# #( θÝ¡nΣ …..”4 “Wamemsahau Mwenyezi Mungu, basi na Yeye amewasahau. (Tawbah; 9:67). Hawamsifu Mungu kwa kusahau kwa kuwa Mwenyezi Mungu asema pia: basi na Yeye “Wamemsahau Mwenyezi Mungu, KUMKOSOA YULE ANAYEIGAWANYA TAWHIDI KWA MAFUNGU

amewasahau. (Tawbah; 9:67). Hawamsifu Mungu kwa kusahau kwa kuwa asema pia: ∩∉⊆∪ $|‹Mwenyezi Å¡nΣ y7•/u‘ tβ%x. Mungu $tΒuρ 4 …..”

∩∉⊆∪ $|‹kusahau. Å¡nΣ 7 y •/u‘ β t %x(Maryam; . $tΒuρ 4 …..” 19:64). “Na Mola Wako si mwenye Pia tamko la Mola kufanya haraka na kucheka, kuumwa, kushikwa na Wako mwenye kusahau. (Maryam; 19:64). “Na“Na Mola Wako sisimwenye kusahau. (Maryam; 19:64). njaa yamekuja katika Hadithi, haifai kwa mwenye akili ayafanye kufanya haraka na kucheka, kuumwa, na kuwaPia nitamko sifa la za Mwenyezi Mungu. Hadith sahih kushikwa ambayo Pia tamko la kufanya haraka na kucheka, kuumwa, kushikwa na njaa yamekuja katika Hadithi, haifai kwa hali mwenye akili ayafanye inasema: “Mwenye kunijia mimi katika ya kutembea, njaa yamekuja katika Hadithi, haifai kwa mwenye akili ayafanye kuwa ni sifa za Mwenyezi Mungu. Hadith sahihkwa ambayo inasema: nitamwendea katika hali yaMungu. kutembea haraka.” kuwa ni yeye sifa za Mwenyezi Hadith sahih ambayo “Mwenye kunijia mimi katika hali ya kutembea, nitamwendea yeye Haithibitishi kuwa kwenda haraka ni katika sifa za Mungu inasema: “Mwenye kunijia mimi katika hali ya kutembea, ambayo kilungha hasa kukazana, bali wenye akili katika hali ya kutembea kwa haraka.” Haithibitishi kuwa kwenda nitamwendea yeye nikatika hali ya kutembea kwa wote haraka.” wanajua kuwa makusudio yake ni kimajazi katika lugha na si haraka ni katika sifa za Mungu ambayo Kilugha hasa ni kukazana, Haithibitishi kuwa kwenda haraka ni katika sifa za Mungu kihakika. Nyingine inasema: kunipa kuwa nikaribu bali ambayo wenye akili wote wanajua makusudio yake kimajazi kilungha hasa “Mwenye ni kuwa kukazana, balinawenye akili wote nakatika Mimi Nami nitamkurubia kwa kumkirimu na kumneemesha lugha na si kihakika. Nyingine inasema: “Mwenye kunipananasi wanajua kuwa makusudio yake ni kimajazi katika lugha kwa wingi na kwa haraka zaidi.” Hii“Mwenye pia ni majazi. kihakika. Nyingine inasema: kunipa na kuwa kuwa karibu na Mimi Nami nitamkurubia kwa kumkirimu na karibu kumna Mimi Nami nitamkurubia kwa kumkirimu na kumneemesha neemesha kwa wingi na kwa haraka zaidi.” Hii pia ni majazi. Pia katika Hadithi ya haraka Qudsy: zaidi.” “Na mja Wangu, niliumwa na kwa wingi na kwa Hii pia ni majazi. Pia katika Hadithi ya Qudsy:Muslim “Na mja(4:1990) Wangu, niliumwa na hukuhukunitembelea…” ameipokea namba 2569. Haisemi amethibitisha kuwa Yeye aliumwa nasi na nitembelea…” ameipokea namba 2569. Haisemi Pia kuwa katika Mola Hadithi ya Muslim Qudsy: (4:1990) “Na mja Wangu, niliumwa tuthibitishe sifa ya ugonjwa wake. Mwenye akili hasemi hivi. kuwa Mola amethibitishaameipokea kuwa YeyeMuslim aliumwa nasi tuthibitishe sifa hukunitembelea…” (4:1990) namba 2569. Sifa hii ni ya mwanaadamu si sifa ya Mungu. Kaida za ya ugonjwa wake. Mwenye akili hasemi hivi. Sifa hii ni ya mwaHaisemi kuwa Mola amethibitisha kuwa Yeye aliumwa nasi kumtakasa zimetoka katikaMwenyezi Qur’ani na hivi. naadamu siMwenyezi sifa sifa ya Mungu. Kaida za kumtakasa Mungu tuthibitishe ya Mungu ugonjwa wake. Mwenye akili hasemi Hadithi zisemazo kuwa: Sifa hii ni Qur’ani ya mwanaadamu si sifa ya Mungu. Kaida za zimetoka katika na Hadithi zisemazo kuwa: kumtakasa Mwenyezi Mungu zimetoka katika Qur’ani na Hadithi zisemazo “….. Ö™kuwa: ï†x« ⎯ÏμÎ=÷WÏϑx. § } øŠs9 4 …..” “….. ™Ö ï†mfano x«wake. ⎯ÏμÎ=÷WÏϑwake. (Shura: x.(Shura: § } øŠs9 4 …..” “Hapana chochote kama “Hapana chochote kama mfano 11). 11). Kucheka pia haifai kufanywa kuwa ni kitendo cha Mwenyezi Kucheka pia haifai kufanywa niwake. kitendo chahadithi Mwenyezi “Hapana chochote kama kuwa mfano (Shura: 11). kwamba Mungu, bali hufasiriwa kimajazi. Inapokuja katika Mungu, bali hufasiriwa kimajazi. Inapokuja katika hadithi Mwenyezi Mungu amemchekea fulani maana yake ni amemridhia kwamba Mwenyezi Mungu amemchekea fulani maana ni Kucheka pia haifai kufanywa kuwazilizothibitishwa ni kitendo chayake Mwenyezi na amemrehemu. Kuna kaida na usuul na ulamaa amemridhia na amemrehemu. Kuna Inapokuja kaida nakatika usuul Mungu, bali hufasiriwa kimajazi. hadithi ni lazima turejee kwazo. Tumezifafanua katikaturejee maelezokwazo. ya kitabu zilizothibitishwa na ulamaa ni lazima kwamba Mwenyezi Mungu amemchekea fulani maana yake ni Tumezifafanua maelezo ya kitabu Daf-ushubhu. amemridhia katika na amemrehemu. Kuna kaida na usuul 77 zilizothibitishwa na ulamaa ni lazima turejee kwazo. Tumezifafanua katika 65 maelezo ya kitabu Daf-ushubhu. 07_16_Kumkosoa_18_June_2016.indd 77

65

6/18/2016 2:54:11 PM


KUMKOSOA YULE ANAYEIGAWANYA TAWHIDI KWA MAFUNGU

Daf-ushubhu. Amepokea Imam Bayhaqiy katika kitabu Al-Asmaau wa Swifaat (uk. 297) kwamba Imam Bukhari amefasiri ‘kucheka’ kwa maana ya rehema, na huu ndio mwendo wa watangulizi wema wa mwanzo na muhadithina. Na Imam Bukhary bila shaka ni katika maimamu wa muhadithina na katika watu wa karne ya tatu, karne ya watangulizi wema wa mwanzo iliyoshuhudiwa ikiwa imejaa mambo ya kheri. Taawili ndio Njia ya Watangulizi Wema wa Mwanzo Hawa watu wenye imani ya kumshabihisha Mungu na viumbe, pia kumfanya ana mwili wanaeneza habari kwamba madhehebu ya watangulizi wema wa mwanzo hayafuati taawili wao huzipitia tu nassi, na kuamini udhahiri wake tu, madhehebu ya waliokuja nyuma, wakiongozwa na Maashairah, ndio wanaoangalia taawili na sifa. Madai haya hayana msingi kabisa, na watu wengi wamehadaika nayo hata watu wa ilimu wakadhani kuwa ni kweli, lakini usawa ni kuwa watangulizi wema wa mwanzo wakiwamo maswahaba na tabiina walikuwa wakifanya taawili katika maneno mengi. Na tafsiri ya Imam al-Hafidh Ibn Jarir Tabary (aliyekufa mwaka 310 A.H.) ndio dalili kubwa katika hilo, humo ametaja na kupokea kwa sanad zake kutoka kwa Ibn Abbas taawil ya neno as-saaq lililokuja katika kauli yake Mwenyezi Mungu: “Siku utakapowekwa wazi muundi, (al-Qalam; 68:42) kwa maana ya ukali au nguvu, kwa sababu Waarabu husema: Kashafal-Harbi Ani Saqiha, yaani vita vimekuwa vikali. Kama alivyonukuu Ibn Jarir taawil ya ‘kusahau’ kwa mana ya kuacha, angalia Tafsiir Tabariy Juz. 8, uk. 201-202, na akanukuu taawili ya kauli yake Mwenyezi Mungu: “Na mbingu tumezifanya kwa nguvu, (Dhariyat; 51:47) neno Biaydii, kwa maana ya tumeijenga kwa nguvu. Angalia Tafsiri yake. 78

07_16_Kumkosoa_18_June_2016.indd 78

6/18/2016 2:54:11 PM


KUMKOSOA YULE ANAYEIGAWANYA TAWHIDI KWA MAFUNGU

Taawili hizi zimenukuliwa kutoka kwa Ibn Abbas na Mujahid, Qatada, Hasna, Mansur, Ibn Zayd na wengineo katika ulama wa watangulizi wema wa mwanzo. Na yote yashuhudia uongo wa wanaosema kuwa watangulizi wema wa mwanzo hawakufanya taawil wala haikuwa njia yao ila kwa waliokuja baada yao na Maashairah na Majahmiyya, neno kubwa latoka vinywani mwao wanalochafulia haki na ukweli na kuzinusuru rai zao kosefu. Taawil pia imethibiti kwa Ahmad bin Hanbal kuthibiti kwa jua mchana kweupe, naye ni katika watangulizi wema wa mwanzo na maimamu wa Hadithi, na kwake kunadhihirika mambo ya tajsim naye alikuwa akitoa taawil, tumefafanua hilo katika Daf’u Shibhu Tashbiih. Huyu ameawili kauli yake Allah (swt): “Na akaja Mola Wako ..… (al-Fajr; 89:22) yaani zimekuja thawabu zake, kama ilivyothibiti kwake kutoka katika sanad sahih. Angalia kitabu Bidaya wan-Nihayya cha Ibn Kathir (10:327). Na humo kuna taawili nyingine nyingi zimekuja kupitia kwa Ahmad bin Hanbal; sitaki kurefusha maneno, baadhi nimeyataja katika kitabu changu al-Adillatul Muqawwama liiwijaaj lmujsamah rejea huko, na zote zathibitisha ubatilifu wa maneno ya anayesema: “Maashairah na waliokuja baada yao ni wenye kupotosha sifa kwa kuwa wameawili, na watangulizi wema wa mwanzo hawakuawili bali wamethibitisha sifa kwa Mwenyezi Mungu kama alivyothibitisha Mwenyewe. Nimethibitisha katika ufafanuzi mrefu katika ufafanuzi wangu wa kitabu Jawharat tawhiid kwamba kutegemezwa huko si kwa watangulizi wema wa mwanzo, na nimejadili hilo kwa kirefu na nimenukuu taawil zilizopokewa kwao kutoka kwa watangulizi wema wa mwanzo. Rejea humo uujue ukweli. Kufichua Ukweli wa Anayesema Kwamba yeye Anamsifu Mwenyezi Mungu kwa Namna Alivyojisifu 79

07_16_Kumkosoa_18_June_2016.indd 79

6/18/2016 2:54:11 PM


KUMKOSOA YULE ANAYEIGAWANYA TAWHIDI KWA MAFUNGU

­Mwenyewe na Anamthibitisha Mungu Alivyojithibitishia Mwenyewe, na Jinsi Anavyojipinga:Ibn Taymiyya ndiye imam wa taifa hili anayesema maneno haya na anadai Tawhid ya majina na sifa, kisha tunamuona anamthibitishia Mungu mambo ambayo Mungu Mwenyewe hakuyathibitisha na kumpa sifa Allah ambazo hazimstahiki, na huyu anafuatiwa na wanafunzi wake na wafuasi wake. Tunamuona akimthibitishia Allah kuwa na mtingishiko (harakati), na kukaa, na kuweza kukaa juu ya mgongo wa mbu na ana kikomo na….. Na anamthibitishia Mungu sifa za Hadithi za Kiyahudi na Hadithi maudhui, katika hizo amethibitisha kuwa Mungu anazungumza kwa sauti inayofanana na ya radi.41 Bali pia anasema kuwa Mungu kuwa na umbo42 na kushabihishwa na kitu si makosa, si katika Qur’ani, si hadithi wala si kwa watangulizi wema wa mwanzo kama ilivyotangulia, hivyo, anasema katika kitabu chake Bayan Talbiisl Jahamiyya fii Taasisi BidaihimulKalammiyyah (1:109): “Jina la kumshabihisha Mwennyezi Mungu halikutajwa katika Qur’ani wala Hadithi wala katika maneno ya maswahaba.” Na anasema katika kitabu chake Taaissi (1:101) hivi: “Na hakuna katika kitabu cha Mwenyezi Mungu wala Sunnah ya Mtume wala kauli ya mmoja wa watangulizi wa umma huu asemaye kuwa Mungu si umbo.” Na anasema katika kitabu Taasis (1:568) akimnuku Uthman, akimkubali: “Lau Mungu angelitaka basi angelikaa juu ya mgongo wa mbu na kutulia kwa kudra Yake, upole na uungu Wake, sembuse kukaa juu ya Arshi kubwa.” Na anathibitisha Ibn Taymiyya katika Taasis Wal-Muwafaqa (2:29) kikomo kwa Mwenyezi Mungu, na kikomo kwa mahali pake, akijua kuwa neno kikomo halikutajwa katika Qur’ani wala katika Hadithi, sasa kauli yake iko wapi anay41 42

Tazama chapa ya Minhaju Sunna (2:151)   Minhaju Sunna (1:180) na Taasiss (1:101) 80

07_16_Kumkosoa_18_June_2016.indd 80

6/18/2016 2:54:11 PM


KUMKOSOA YULE ANAYEIGAWANYA TAWHIDI KWA MAFUNGU

osema: ‘Hatumsifu Mwenyezi Mungu ila kama alivyojisifu Mwenyewe?’ Bali katika Al-Muwafaqah (2:29) anamkufurisha asiyeamini kuwa Mungu ana kikomo, naye kwa mtazamo wake mtu huyo ni mkanushaji wa Aya za Allah, mpinzani wa uteremsho, anasema hivi: “Haya yote ni ushahidi wa kuonyesha kuwapo kikomo, na asiyekubali basi huyo amekufuru uteremsho wa Mwenyezi Mungu na kukanusha Aya Zake.” Waislamu wote wasioamni imani yake hii (ambayo haikutajwa kwenye Qur’ani wala Hadithi), wao ni makafiri kwa maoni yake, hata mwanafunzi wake al-Hafidh Dhahaby anayesema katika kitabu chake Mizanul Iitidali (7: 507): “Kujishughulisha na masuala ya kikomo kwa Mungu ni kujishughulisha na maneno ya kipuuzi.” Ambaye anasema pia katika Siyar Aalami Nubalaa (16:97): “Na Mwenyezi Mungu ametakasika na kuwa na kikomo, na asifiwe kama alivyojisifu Mwenyewe tu…” Pia Ibnu Hajar al-Asqalany aliyekanusha kikomo kwa Mungu katika Lisanul Mizan (5:14) atakuwa ni kafiri kwa kaida ya Ibn Taymiyya. Mungu apishe mbali! Waislamu wa karne nyingi kabla ya Ibn Taymiyya walikubaliana juu ya kumtakasa Mwenyezi Mungu na kuwa hana kikomo, na hayo yamenukuliwa na Maimamu na ulamaa. Amesema Abu Mansur al-Baghdady, ambaye maneno yake yanategemewa sana na Ibn Hajar na wengineo katika ulamaa, katika kitabu chake al-Farqu Bainal Firaq, uk. 233 kilichohakikiwa na Muhammad Muhyi Din Abdul Hamid: “Wamekanusha (yaani Ahlu sunna) mwisho wa Mungu na kikomo cha Muumbaji dunia…..” Kutokana na niliyoyafafanua na kutoa dalili juu yake, unabainika uhakika wa Tawhid ya majina na sifa inayolinganiwa na Mawahabi, si kingine bali ni kulingania kuwa Mungu ana mwili na umbo na 81

07_16_Kumkosoa_18_June_2016.indd 81

6/18/2016 2:54:11 PM


KUMKOSOA YULE ANAYEIGAWANYA TAWHIDI KWA MAFUNGU

kumshabihishisha na viumbe Vyake, na ni kumsifu Mungu kwa sifa ambayo Mwenyewe hakujisifu nayo, au kuyachukua baadhi ya maneno - kwenye Qur’ani na Hadithi ambayo hayakukusudiwa kuwa ni sifa - na kuyachukulia kuwa ni sifa za uhakika za Mwenyezi Mungu, na kueneza maneno kuwa taawili ni bidaa na kwamba Maashairah na wengineo ni wapotevu kwa kuzidunisha sifa za Mwenyezi Mungu, (wanavyodai wao), na yote haya ni batili hayana asili. Katika kutimiza utafiti huu ni lazima tuzungumzie kikundi cha zamani ambacho ndicho kikubwa zaidi kati ya vikundi vinavyodai Mungu ana umbo, nacho ni Al-Karamiyya, na nibainishe baadhi ya rai zao katika sifa zinazowafikiana na anavyoitakidi Ibn Taymiyya na wafuasi wake, na hasa ukizingatia kuwa Ibn Taymiyya analisifu kundi hilo katika Minhaju sunna (1: 181) na kuwachukulia watu wake kuwa ni miongoni mwa wanamaoni wakubwa wa Waislamu. Kisha tunatoa mifano ya kitabu Sharhul Aqidatu Twahawiyya cha Ibn Abul Uzza anayenasibishwa na Uhanafi kimakosa, naye si Mhanafi. Kitabu hicho ni hatari kwa sababu kina itikadi mbaya, nitazitaja baadhi Inshallah. Na wanafunzi na walimu yapasa wajihadhari wajue kuwa Ibn Abul Uza aliandika kitabu hicho akimpinga mwandishi wa kitabu al-Aqidat at-Twahawiyya, Abu Jafar Twahawy. Nami nasema hivi: Imam wa Al-Karamiyya, ambao anawasifu Ibn Taymiyya ni Muhamad bin Karram As-Sajziy mwenye kusema kuwa Mungu ana mwili, na mwenye itikadi za kuabudu masanamu. Hapa nakueleza kuhusu imam wao huyu ili umuelewe na uelewe itikadi zao potofu. Sheikh Abdul Kadir Al-Baghdadiy amesema katika Usulu diin, uk. 337: “Ama wenye kumfanya Mungu ana mwili, wale wa Khurasan, kuwakufurisha ni wajib, kwa kauli yao, kwamba Mwenyezi Mungu ana kikomo na mwisho upande wa chini, na kwa kauli yao kwamba Mwenyezi Mungu ana mahali pa kuzukia.” 82

07_16_Kumkosoa_18_June_2016.indd 82

6/18/2016 2:54:11 PM


KUMKOSOA YULE ANAYEIGAWANYA TAWHIDI KWA MAFUNGU

Amesema pia katika al-Firaqu Baynal Firaq:43 “Ufafanuzi juu ya kutaja maneno ya Karamiyya na kubainisha mambo yake, Karamiyya wa Khurasan wana aina tatu, na vikundi hivi havikufurishani, hata kama vinakufurishwa na vikundi vingine, kwa hivyo tunavihesabu kuwa ni kikundi kimoja. Na kiongozi wao maarufu ni Muhammad bin Karram na wafuasi wake. Tutataja mambo yao mashuhuri yaliyotajwa kwa ubaya, miongoni mwayo ni kuwa Ibn Karram aliwalingania wafuasi wake kwenye kumfanya Mungu kuwa na mwili na kudai kuwa Mungu ana umbo lenye kikomo na mwisho kwa chini, nao ni upande anaokutana na Arshi yake, na Arshi ni makazi yake. Na wamehitilafiana watu wake katika maana ya istiwaa iliyotajwa katika Qur’ani: ‘Mwenyezi Mungu ametawala kwenye Arshi.’ (Taha: 5). Kuna katika wao wanaodai, Arshi yote ni makazi Yake. Na kuna wanaosema hazidi ukubwa wa umbo lake na wala hakuna kitu bora Kwake zaidi ya Arshi, na Karram na wafuasi wake wakadai kuwa Mungu wao ana mahali pa kuzuka.” Amenukuu pia Sheikh Ali al-Qari Katika Sharhul Mishkaat (2:137) ijmai ya watangulizi wema wa mwanzo na waliokuwa baada yao kwamba anayeitakidi kuwa Mungu yuko upande fulani basi huyo amekufuru, kama alivyosema wazi al-Iraqiy; na akasema Abu Hanifa na Malik na Shafi na Abul Hasan al-Ashary na al-Balaqaniy.” Hapana shaka hapa kuwa imani ya kuwa Mungu yuko upande fulani ni aina fulani ya kuamini kuwa ana umbo. Imam al-Qurtubiy amesema katika Tidhkar uk. 208: “Na ni sahihi kusema kuwa wamekufuru hao wanaompa Mungu mwili, kwani hapana tofauti kati yao na wanaoabudu masanamu na picha.” Imam Nawawiy amekata shauri kabisa kabisa kuwa ni makafiri watu hao katika al-Majmuu (4:253), naye ni wa madhehebu ya Shafi. 43

Angalia kitabu Al-Firaq baynal firaq cha Abdul Qahir Al-Baghdad, uk. 215 kwa uhakiki wa Muhyi diin Abdul Hamid 83

07_16_Kumkosoa_18_June_2016.indd 83

6/18/2016 2:54:11 PM


KUMKOSOA YULE ANAYEIGAWANYA TAWHIDI KWA MAFUNGU

Ama kupinga kwa Imam Ahmad kuwapinga watu hao kumenukuliwa katika kitabu Daf-u Shubuhaat cha Ibnul Jawzy al-Hanbaliy na kitabu Mirhamul ilalul lmuudhala cha Yafii, kwa kirefu. Na Imam Twahawi ambaye (Mawahabi) walitaka kuichafua imani yake, anasema: “Itikadi ya Ahlus-Sunnah wal-jamaa ni kwa kufuata madhehebu ya mafakihi wa mila, Abu Hanifa na Abu Yusuf Muhammad bin Hasan.” Hao ni katika Maimamu wa watangulizi wema wa mwanzo kama ilivyo wazi, kisha akasema: “Mwenyezi Mungu ametakasika na kuwa na kikomo na upeo, viungo, vyombo, na hakusanywi na pande sita kama zilivyo baadhi ya itikadi za uzushi.”44 Nami nasema: Kwa yote haya, yamedhihirika madhehebu ya Ahlus-Sunnah na hukumu yao juu ya watu wa upotofu wenye kumshabihisha na kumpa Mungu mwili. Na asili ya itikadi hiyo katika huu umma ni Ibn Karram Sajistany mwenye akida chafu. Na upotofu kama yeye. Miongoni mwa maneno ya kufru ni umma wa Kiislamu umemkufurisha yeye na yake wanaosema upotofu kule kikomo Mungu, kumnasibisha na kamakumwekea yeye. Miongoni mwaMwenyezi maneno yake ya kufru ni kule kumwekea mwili na kwamba hukaa upande wa chini wa Arshi Yake kwa kikomo Mwenyezi Mungu, kumnasibisha na mwili na kwamba hukuwa yuko juu ya Arshi. kaa upande wa chini wa Arshi Yake kwa kuwa yuko juu ya Arshi. Navizuri ni vizuri kutanabahisha kuwa Ahlus-Sunnah wanasema kuwa Na ni kutanabahisha kuwa Ahlus-Sunnah wanasema kuwa Mungu juuyayaArshi; Arshi; lakini kuwa juu huko kwa Mungu yuko juu lakini kuwa juu huko ni kwanikimaana, 45 45 kimaana, si kihisia. Mwenyezi Mungu yuko juu ya viumbe si kihisia. Mwenyezi Mungu yuko juu ya viumbe Vyake, ujuu wa Vyake, wa kinguvu wa kimungu: kinguvuujuu wa kimungu: “….. ⎯ÍνÏŠ$t6Ïã s−öθsù ãÏδ$s)ø9$# uθèδuρ “Naye ndiye Mwenye nguvu za za kushinda juujuu ya ya waja “Naye ndiye Mwenye nguvu kushinda waja wake…..(al-An’aam; 6:61). Wanavyuoni wa Kisunni 44   Angalia kitabu Al-Firaq baynal firaq cha Abdul Qahir Al-Baghdady, uk. 215 wamekubaliana juu ya kumtakasa Mwenyezi Mungu kuwa hana kilichohakikiwa na Muhammad Muhyi ddin Abdul Hamid mahali kama inavyojulikana, lakini huyu Ibn Karram ametaja 45   Angalia Sharh Aqiidatu Twahawiyaa cha Ibn Abdul Uzza kilichotolewa na Al-Bany na kuwa Munguna Shawish anakuwa juu,chapa anaya hisia, na ana mahali, hivyo kufafanuliwa uk. 238, pili Ahlus-Sunnah wakamkufurisha yeye na wanaomfuata, kisha akasema: “Mweyezi Mungu ni84 mahali pa matukio, yaani huzukiwa na matukio kwenye dhati Yake.” Mwenyezi Mungu ametakasika na kufru hii kubwa ya wazi kabisa!: 07_16_Kumkosoa_18_June_2016.indd 84

6/18/2016 2:54:12 PM


kimaana, si kihisia.45 Mwenyezi Mungu yuko juu ya viumbe Vyake, ujuu wa kinguvu wa kimungu: “….. ⎯ÍνÏŠ$t6Ïã s−öθsù ã Ïδ$s)ø9$# uθèδuρ

KUMKOSOA YULE ANAYEIGAWANYA TAWHIDI KWA MAFUNGU

“Naye ndiye Mwenye nguvu za kushinda juu ya waja wake…..(al-An’aam; Wanavyuoni wa Kisunni wamewake…..(al-An’aam;6:61). 6:61). Wanavyuoni wa Kisunni kubaliana juu ya juu kumtakasa Mwenyezi Mungu kuwakuwa hanahana mawamekubaliana ya kumtakasa Mwenyezi Mungu hali kama inavyojulikana, lakini huyu Ibn Karram ametaja kuwa mahali kama inavyojulikana, lakini huyu Ibn Karram ametaja Mungu ana hisia, anahisia, mahali, Ahlus-Sunnah kuwaanakuwa Mungu juu, anakuwa juu, na ana na hivyo ana mahali, hivyo Ahlus-Sunnah yeye wakamkufurisha yeyekisha na wanaomfuata, kisha wakamkufurisha na wanaomfuata, akasema: “Mweyezi akasema: “Mweyezi Mungu ni mahali pa matukio, yaani Mungu ni mahali pa matukio, yaani huzukiwa na matukio kwenye huzukiwa matukioMungu kwenyeametakasika dhati Yake.” Mungu dhati Yake.” na Mwenyezi na Mwenyezi kufru hii kubwa ya ametakasika na kufru hii kubwa ya wazi kabisa!: wazi kabisa!: ∩⊇∇⊃∪ χ š θàÅÁtƒ $¬Ηxå Í﨓Ïèø9$# Éb>u‘ 7 y În/u‘ z⎯≈ysö6ß™ “Kutakata na mawi ni kwa Mola Wako, Mola Mwenye enzi,

“Kutakata na mawi ni kwa Mola Wako, Mola Mwenye enzi, na yale na yale wanayomsifu. (Saaffat; 37:180). wanayomsifu. (Saaffat; 37:180).

Makusudio Makusudioyayakueleza kuelezahaya hayaninikuwa kuwahao haowanaotaja wanaotajaTawhid Tawhid ya ya majina wanaosema hivyo, katika Ibn Uzza, Abul sifasifa na na majina ndiondio wanaosema hivyo, katika wao wao ni IbnniAbul Uzza, kitabu mwenyeSharhu kitabuTwahawiyya Sharhu Twahawiyya kama Ama ifuatavyo: mwenye kama ifuatavyo: kauli Ama kauli ya mwenye Sharhu Twahawiyya kuhusu matukio ya mwenye Sharhu Twahawiyya kuhusu matukio yasiyo na mwanna mwanzo, katika zo,yasiyo amezungumza hilo amezungumza katika uk. 129 hilo katika chapauk. ya 129 pili: katika “Aina chapa ya pili: “Aina ya matukio je inawezekana kudumu muda ya matukio je inawezekana kudumu muda wote ujao na uliopita wote ujao na uliopita au sivyo? Au muda ujao tu? Au uliopita autu? sivyo? Aukuna mudakauli ujao tatu tu? Au uliopitakwa tu? watu Hapo wa kuna Hapo maarufu raikauli kati tatu ya maarufu kwa watu wa rai kati ya Waislamu: Waislamu: dhaifu zaidi nizaidi ya yule 1.1. Mosi: Mosi:Iliyo Iliyo dhaifu ni asemaye: ya yuleHaiwezekani asemaye: kuendelea kudumu, si katika muda uliopita muda wala ujao, Haiwezekani kuendelea kudumu, si katika mudawala uliopita kama kama kauli kauli ya Jahm bin Safwan na AbunaHudhayl al-Ulaf. muda ujao, ya Jahm bin Safwan Abu Hudhayl alUlaf. 2. Ya pili: Kauli ya asemaye, inawezekana kudumu katika 45

wakati ujao na si uliopita, kama wasemavyo wengi katika watu wa Aqiidatu elimu ya kumjua Mungu na wanaowaunga mkono Angalia Sharh Twahawiyaa cha Ibn Abdul Uzza kilichotolewa na Al-Bany na kufafanuliwa na Shawish uk. 238, chapa ya pili miongoni mwa mafakihi. 71 85

07_16_Kumkosoa_18_June_2016.indd 85

6/18/2016 2:54:12 PM


KUMKOSOA YULE ANAYEIGAWANYA TAWHIDI KWA MAFUNGU

3.

Tatu: Ni asemaye kuwa inawezekana kudumu katika wakati uliopita na ujao kama wasemavyo Maimamu wa Hadithi.”

Angalia namna alivyonasibisha ukafiri huu kwa watu wa Hadithi, akasema, wao wanasema kuwa kugeuka kwa matukio ni mambo yaliyoumbwa, inawezekana kuwa katika wakati uliopita. Na watu wa Hadithi wako mbali na hilo, Qur’ani imetaja kuwa hiyo ni batili katika Aya nyingi na pia Hadithi za Mtume wetu . Katika Bukhari kuna Hadith: “Mwenyezi Mungu alikuwapo na46 hapakuwa na kitu chochote kabla yake” na umma umekubaliana kwamba matukio kabla ya kutokea hayakuwa vitu kama alivyonukuu Ustadh Abu Mansur Al-Baghdady katika kitabu al-Firaq.47 Amesema Abu Mansur pia: “Watu wa Basra miongoni mwa Qadiriyyah wanadai kwamba vitu vilikuwapo kabla ya kuzuka, na maneno yao haya yanapelekea kusema kuwa ulimwengu ulitangulia kuwepo, na neno linalopelekea kwenye kufru basi lenyewe hilo ni kufru.” Yaani kusema kuwa kulikuwa na matukio hapo kabla ya kuwepo Mungu ni kufru. Kongamano hili linatiliwa nguvu na kauli yake Mwenyezi Mungu: “Yeye ni wa Mwanzo.” Ibn Hazm katika kitabu chake Maraatibul ijmai amesema katika mlango wa itikadi zenye Ijmai, zinazomkufurisha anayepinga ijmai (kongamano) husika: “Wamekongamana kwamba Mwenyezi Mungu Mtukufu yu pekee, hana mshirika, ni Muumba wa kila kitu na ameendelea kuwa pekee na hakuna kitu kilicho pamoja Naye. Kisha aliumba kila kitu kama alivyotaka. Nafsi imeumbwa, Arshi imeumbwa na ulimwengu wote umeumbwa!”48 Kisha baada ya maelezo yote hayo tuseme nini juu ya Ibn Abul Uzza aliyenasibishwa na watu wa ithbati, watu wa Hadithi na Ma  Angalia Fat-hul-Bary (13: 410)   Angalia Al-Firaqu Baynal firaq uk. 332 na pia uk. 328 48   Angalia Maratibul ijmai, iliyochapishwa uk. 167. 46 47

86

07_16_Kumkosoa_18_June_2016.indd 86

6/18/2016 2:54:12 PM


KUMKOSOA YULE ANAYEIGAWANYA TAWHIDI KWA MAFUNGU

hanafi kimakosa! Kisha waliomfuata wakaeleza maneno yake na kueneza kitabu chake kwa watu na wakasifia kitabu chake! Mtu huyu amesema katika uk. 133 katika Sharhu Twahawiy, chapa ya nane, iliyotolewa na Al-Baniy na kushereheshwa na Shawish: “Na kauli ya kwamba matukio yana mwanzo inampasa kusimamisha kabla ya kufanya hivyo, na kwamba Mwenyezi Mungu alikuwa si mwenye kufanya kisha akawa ni mwenye kufanya.” Mungu atulinde na upotofu huu. Kisha yeye wazi wazi amepinga Qur’ani na Hadithi na ijmai na kuleta taawili ya ubatilifu kama uonavyo. Tuhuma zake dhidi ya taawili zimekwenda wapi ambapo amejiaribu katika zaidi ya kurasa ishirini za kitabu chake kila alipopata fursa kuwatuhumu wanaofanya taawili. Lakini ni kama wasemavyo: “Amenitupia ugonjwa wake akaponyoka!” Kisha tazama katika uk. 135 kwenye kauli yake ya chapa ya pili akitoa hoja kutaka kuthibitisha kuwa kuna matukio yasiyo na mwanzo, akiipinga riwaya isemayo: “Alikuwapo Mwenyezi Mungu na hakukuwa pamoja Naye kitu chochote.” na riwaya: “Hakukuwa na kitu isipokuwa Yeye.” Ili athibitishe kuwa kuna matukio yasiyo na mwanzo, akasema: “Mtume amewajibu - yaani Ashairah - juu ya mwanzo wa ulimwengu huu uliopo na si juu ya jinsi ya viumbe, kwani wao hawakumuuliza hilo.” Yaani kabla ya ulimwengu huu kulikuwa na mwingine yaani wa zamani. Yatutosha kwa kiasi hiki tulichokitaja kuhusu viumbe visivyo na mwanzo, na sasa hebu tuonyeshe jambo jingine kwenye msiba huu mkubwa: Ibnul Uzza amesema katika Sharhu yake akithbitisha kwamba maneno ya Mwenyezi Mungu ni herufi na sauti na kwamba huzungumza atakapo na kunyamaza atakapo, yaani ni mwenye kufahamika kwa maneno yake:49 “Mwenyezi Mungu ni Mwenye kuendelea kuzungumza anapotaka na wakati anaotaka na jinsi anavyotaka. Ana49

Bali amesema wazi juu ya hili-la kunyamaza kwake Ibn Taymiyya. Anglia Minhaj (2:38) 87

07_16_Kumkosoa_18_June_2016.indd 87

6/18/2016 2:54:12 PM


KUMKOSOA YULE ANAYEIGAWANYA TAWHIDI KWA MAFUNGU

zungumza kwa sauti inayosikika na aina ya maneno ni ya zamani, na hii iko katika Hadithi za maimamu wa Hadithi na kwenye Sunna.”50 Katika maneno haya ya hatari na falsafa zilizozidi katika kufanya upuuzi kwenye dhati ya Allah na sifa Zake kuna kuthibitisha kutokea mageuko katika dhati Yake, Mwenyezi Mungu ametakasika na wanayosema. Imethibitishwa na ulamaa kwamba mwenye kuwa na mabadiliko basi ni mwenye kubadilika. Ulamaa wa Kiislamu wamewakufurisha Karamiyya kwa kusema hivi kama tulivyonukuu hapo awali. Ibn Abul Uzza amethibitisha hili na kulitetea akasema katika uk. Ibn Abul Uzza amethibitisha hili na kulitetea akasema katika uk. 177: “Wakituambia, hii inapasa kugeuka, tutasema, ni imam 177: “Wakituambia, hii inapasa kugeuka, tutasema, ni imam gani gani aliyekanusha hili kabla yenu? Na hali nass za Qur’ani na aliyekanusha hili kabla yenu? halipia nassnass za Qur’ani na HadithnazinHadith zinaunga mkono hili?NaNa za Maimamu 51 51 aunga mkono hili? Na pia nass akida za Maimamu na akili?” Na akaunga akili?” Na akaunga mkono hii potofu kwa Hadith ya mkono akida hii potofu ya uwongo, akasema katika uwongo, akasema katikakwa uk.Hadith 170: “Mtume � amesema; ‘Watu uk. 170:peponi “Mtume  amesema; peponi walipokuwa katika wa walipokuwa katika‘Watu starehewa zao, mara kukatokea nuru, starehe zao,macho mara kukatokea nuru, wakainua macho yao Mungu kuangalia, wakainua yao kuangalia, mara ni Mwenyezi Mtukufu amejitokeza juu Mtukufu yao. Akasema: As salaam alaykum mara ni Mwenyezi Mungu amejitokeza juu yao. Akasema: enyi watu wa Peponi! Nayo ni kauli Yake (s.w.t.): As salaam alaykum enyi watu wa Peponi! Nayo ni kauli Yake (s.w.t.):

∩∈∇∪ Ο 5 ŠÏm§‘ 5b>§‘ ⎯ÏiΒ Zωöθs% ÖΝ≈n=y™ “Salam! Ndiyo kauli itokayo kwa Mola Mwenye kurehemu. “Salam! Ndiyo kauli itokayonao kwa Mola Mwenyenakurehemu. (Yasin; 36:58). Watu wa Peponi hawakuendelea starehe (Yasin; 36:58). Watu wa Peponi nao hawakuendelea na starehe zao ila waliendelea kumuangalia mpaka akapotea, baraka nazao ila waliendelea kumuangalia mpaka baraka na nuru Zake nuru Zake zikabaki.” (Imepokewa na akapotea, Ibn Majah). zikabaki.” (Imepokewa na Ibn Majah). Nasema: Katika sanadiuk.yake Abumaimamu Aswimhaoal-Ubbadaniy, 50   Angalia Sharh Twahawiyya 169, yumo jua kwamba wamejitenga na hili, nahaya jinani lake halisiyao. ni Abdullah bin Ubaydullah. Dhahbi katika almasingizio 51   Akijua(2/458/4437) kuwa nass hii ni amesema manqul kutoka kwenye Minhajus-Sunna (1:224) cha Sheikh Mizan kumhusu: “Ni mpuuzi, naye ni Al-Harany huu ni mukhtasari wa Minhaju-sunna na Muwafaqa Swarih Limaaquul, mhadhiri mwenye kujinyima lakini ni Qadiriyyah.” Amesema kwa ajilli hiyo wanafanya bidii kukisambaza. Al-Hafidh Ibn Hajar katika al-Mizan (3:314) chapa ya India: “Imekuja riwaya ya al-Uqayliyyu kutoka kwenye riwaya ya 88 Fadhlu Ruqashy kutoka kwa Ibnul Mukandar kutoka kwa Jabir: “Watakapokuwa watu wa peponi wamekaa katika starehe zao, mara kutatokea nuru…..” (Hadithi), na akasema huyu hafuatwi wala hajulikani88kwa Hadithi ila hiyo tu.. Angalia Dhuafaa Al-6/18/2016 07_16_Kumkosoa_18_June_2016.indd

2:54:13 PM


KUMKOSOA YULE ANAYEIGAWANYA TAWHIDI KWA MAFUNGU

Nasema: Katika sanadi yake yumo Abu Aswim al-Ubbadaniy, na jina lake halisi ni Abdullah bin Ubaydullah. Dhahbi katika al-Mizan (2/458/4437) amesema kumhusu: “Ni mpuuzi, naye ni mhadhiri mwenye kujinyima lakini ni Qadiriyyah.” Amesema Al-Hafidh Ibn Hajar katika al-Mizan (3:314) chapa ya India: “Imekuja riwaya ya al-Uqayliyyu kutoka kwenye riwaya ya Fadhlu Ruqashy kutoka kwa Ibnul Mukandar kutoka kwa Jabir: “Watakapokuwa watu wa peponi wamekaa katika starehe zao, mara kutatokea nuru…..” (Hadithi), na akasema huyu hafuatwi wala hajulikani kwa Hadithi ila hiyo tu.. Angalia Dhuafaa Al-Kabbir cha al-Uqayliyyu. (2:274). Ama ile ya Al-Fadhl Ar-Raqashy anayoipokea kutoka kwake Abu Asi hiyo ni munkar kama alivyosema Al-Hafidh katika At-Taqriib (namba 5413) na katika Al-Kamil fi dhuafaa cha Ibn Adiyy (6:2039): “Amesema Bukhari kutoka kwa Ibn Ayyina kuwa hafai kupokea kutoka kwake.” Na pia Hadithi hii ameitaja Ibnul Jawziy katika Maudhuuat, akasema: “Al-Fadhl ni mtu mbaya.” Angalia anavyotoa dalili Ibn Abul Uzza juu ya itikadi zake kwa Hadithi hii maudhui. Sikutaja majanga yake yote katika mlango huu nimeashiria baadhi tu, nikipata wakati baadaye nitataja yote na kujibu inshaallah! Tuliyotaja sasa inatosha. 3.

52

Akasema Ibn Abul Uzza akithibitisha kikomo kwa Mwenyezi Mungu, katika uk. 219: “Kikomo kwa maana hii haijuzu kuwe na ushindani aslan, kwa sababu kukataa hilo ni kukataa kuwapo kwa Mungu na uhakika wake.”52 Yeye kwa ibara hii amethibitisha kikomo kwa Mwenyezi Mungu akasema waliyoyasema wapotofu wa zamani kwamba: “Mwenye kukanusha kikomo kwa Mwenyezi Mungu basi amesema kuwa Mungu hayuko.”

Kwa kujua kuwa hii nass imenukuliwa kutoka kwenye Minhaju sunna (1:224) cha Sheikh Al-Harrany, na Sharh al-Aqidatu Twahaawiyya ni muhtasari wa Minhajus-Sunna na ya Muwafaqatu swariihi l aaquul! Kwa ajili hiyo wanasisitiza kukisambaza! 89

07_16_Kumkosoa_18_June_2016.indd 89

6/18/2016 2:54:13 PM


KUMKOSOA YULE ANAYEIGAWANYA TAWHIDI KWA MAFUNGU

Hao kwao wao Mungu ana mwili, hivyo walipoleta fikra za Mungu kuwa na mwili wakamsukumia sifa za mwili. Tangu lini mwili ukawa hauna mpaka na mwisho. Na hivyo ndivyo walivyomtasawari Mungu. Na ama kuhusu kauli yao kwa masunni kuwa, “Nyinyi masunni mlipokataa Mungu kuwa na kikomo mmemfanya Mungu wenu kuwa ni kitu kisichokuwapo,” ameijibu Al-Hafidh Ibn Hajr Al-Asqalaniy katika kitabu Lisanul Mizan (5:114) alipofafanua kuwa neno la watu hawa wanaomfanya Mungu kuwa na mwili ni neno duni, halina mazingatio; akasema: “Na kauli yake: ‘Alimwambia mpingaji kuwa wewe umemfanya Mola Wako ni kitu kisichokuwapo kwa kuwa kisichokuwapo hakina kikomo.’ Hili ni neno duni kwani sisi hatukubali kwamba kukosekana kikomo kunasababisha kutokuwapo baada ya kuwa tumeshahakikisha kuwapo kwake.” Tulieleza mwanzo wa Risala yetu hii kuwa umma umewakufurisha watu wanaomfanya Mungu ana mwili, na Ibn Karram kwa kauli yake juu ya ukomo. Imam Abu Ali al-Mansur al-Baghdadiy amesema katika kitabu Al-Firaq, uk. 332: “Ahlus-Sunna wameafikiana juu ya kukataa upeo na kikomo cha Allah Muumba wa ulimwengu, kinyume na wale Mahishamiyya na Makaramiyya.” Na maneno ya Abul Uzza kabla ya ibara tuliyoinukuu na baada yake, yote ni kuchafua watu na kuuza bidhaa yake na kuwakinaisha wajinga. Mara anamkadhibisha Imam Abdallah Mubarak, ananukuu kutoka kwake uongo kwamba yeye aliunga mkono na kusema juu ya kikomo cha Allah. Na lau angelisema basi angepingwa kwa hili, kwa sababu kufru ni kufru iwe itakavyokuwa, na upotofu ni upotofu uwe utakavyokuwa asili yake. Hakuna katika Uislamu dini inayohitilafiana kwa kuhitilafiana watu. Imani ni imani tu, na kufru ni kufru tu. Kile kilichokuja katika Qur’ani na Hadithi kwa ujumla au kwa upambanuzi ndicho cha kufuatwa, na kiliichokatal90

07_16_Kumkosoa_18_June_2016.indd 90

6/18/2016 2:54:13 PM


KUMKOSOA YULE ANAYEIGAWANYA TAWHIDI KWA MAFUNGU

iwa na Qur’ani na Hadithi kwa ujumla au kwa upambauzi ni cha kuachwa. Mara nyingine Ibn Abul Uzza anakanusha kikomo akitoa hoja kuwa kikomo kina maana nyingi, kama alivyosema katika uk. 219: “Ama kikomo kwa maana ya elimu na maneno, kwa waja kumuwekewa kikomo, hilo halipo na halina mjadala kwa Ahlus-Sunna.” Angalia uovu ulioje huu, kwa nini kupagawa huku na falsafa isiyo na maana? Hapana shaka haya yote ni kwa ajili ya kugeuza ukweli na kuiunga mkono imani potofu na kuwakinaisha watu nayo, na Ahlu sunna walipokongamana katika kupinga kuwepo kwa kikomo kwa Mwenyezi Mungu, na kumkufurisha asemaeye juu ya hilo, hakuna hata mmoja wao aliyethibitisha na kusema kikomo kwa maana kadhaa inafaa na kwa maana kadhaa haifai, ila walisema: “Amma watu wa imani ya kuwa Mungu ana mwili wa Khurasan katika watu wa Karamiyya kuwakufurisha ni wajibu, kwa kule kusema kwao kuwa Mungu ana kikomo na mwisho.” Kama ilivyotangulia katika risala hii juu ya Sheikh Abdul Qahir al-Baghdady. 4.

Ama kuhusu masuala ya upande, huyu Ibn Abdul Uzza ni katika wanaosema hivyo juu ya Mungu, na kupigana hasa juu ya hilo. Angalia anavyosema katika uk. 221 katika Sharhu Twahawiyya: “Na tamko la upande, hukusudiwa kile kilichokuwapo na kisichokuwapo, na inavyojulikana ni kuwa hakuna kilichopo ila muumba na muumbwa.” Angalia namna anavyompima Muumba juu ya muumbwa. Na maana ya maneno yake ni kuwa, kama ambavyo aliyeumbwa yuko upande fulani, basi pia na aliyeumba yuko upande fulani kwa kukusanya kuwa wote wapo, wanapatikana. Hapana shaka hiki ni kipimo cha wanaoabudu masanamu. Kisha Ibn Abul Uzza akasema katika ukurasa huo huo: “Mimi nakusudia katika suala la upande, jambo lisilokuwapo, nalo ni lililo juu ya ulimwengu, na huko 91

07_16_Kumkosoa_18_June_2016.indd 91

6/18/2016 2:54:13 PM


KUMKOSOA YULE ANAYEIGAWANYA TAWHIDI KWA MAFUNGU

hakuna ila Allah mmoja peke yake, ikisemwa kuwa Yeye yuko katika upande, kwa maana hii basi ni sahihi.” Amethibitisha kuwa Mungu yuko katika upande fulani juu ya ulimwengu, na mahali hapa alipomuweka Mwenyezi Mungu kwa kughafilika kwake amepaita mahali palipokosekana. Mimi nastaajabu sana, itakuwaje kwa Mola wake awe na mahali panapoonyeshwa kwa kidole kama ilivyokuja kwenye Hadithi ya kijakazi ambayo wanaishabikia, kisha patakuwaje mahali hapa hapapo? Kwani huonyeshwa kitu kisichokuwepo? Ni wazi ewe ndugu yangu Mwislamu kuwa watu wa Sunna wamekongamana kwenye kumtakasa Mwenyezi Mungu na kutokuwa na mahali kwa dalili ya Qur’ani na Sunna zilizo wazi juu ya jambo hilo. Amesema Ibn Abul Izza katika mfululizo wa makosa yake, akizidisha sauti ya kinanda chake katika kitabu Raas, uk. 221: Kwamba pande hazina mwisho, yaani maana yake ni kuwa hakuna kikomo, na akamfanya Mungu kuwa na kikomo, na kuwafanya viumbe kutokuwa na kikomo! Pamoja na kuwa Ahlus-Sunna, kama alivyosema Sheikh al-Baghdady katika al-Firaq uk. 330 kuwa: “Wamekongamana kuwa ardhi ina mwisho ncha zake kwenye pande zote na pia mbingu mwisho wake kuna ncha kutoka kwenye pande sita, kinyume na maneno ya Wadahriyya.” Kisha Ibn Abul Izza akampinga Imam Twahawy katika kumtakasa Mungu kutokana na pande, Imam Twahawy alisema katika uk. 221: “Mwenyezi Mungu hazungukwi na pande sita kama viumbe wengine, Yeye ni haki, kwa kuzingatia kuwa hazungukwi na kitu chochote katika viumbe vyake.” Akageuza maneno ya Twahawy kulingana na makusidio yake, ili aoneshe kuwa Imam Twahawy hakanushi madai yake. Akaseama katika ukurasa huo huo: “Lakini katika maneno yake mnabaki mambo mawili, la kwanza ni kuwa matamshi kama haya yana kukusanya kiujumla na dhana 92

07_16_Kumkosoa_18_June_2016.indd 92

6/18/2016 2:54:13 PM


KUMKOSOA YULE ANAYEIGAWANYA TAWHIDI KWA MAFUNGU

hivyo kuyaacha ni bora, ama sivyo yatalazimisha kugongana katika kuthibitisha kuwa Mungu amezunguka na yuko juu.” Yafuatayo ni Baadhi ya Itikadi za Wakaramiyya pia Zilizotokana na Maneno ya Ibn Abul Uzza Katika Sharhu Twahawy: 5.

Amesema katika uk. 282: “Itakataaje akili na hali Mwenyzi Mungu hukaribia kutoka kwenye baadhi ya sehemu za dunia Naye yu juu ya Arshi yake juu ya mbingu? Au amkaribie katika waja Wake anayetaka? Anayekanusha hivyo basi huyo hakumpa heshima Yake Mungu anayostahili.”

6.

Amesema katika uk. 286: “Kumi na mbili: Kufafanua juu ya kushuka Kwake Mungu kila usiku mpaka kwenye wingu ulio karibu na dunia, na kushuka kunakojulikana kwa wote ni kule kutoka juu kwenda chini. Kumi na tatu: Kuonyesha kwake kihisia kuwa yuko juu kama anavyoonyesha anayemjua zaidi Mola Wake.” Na akataja kabla ya hapo na baada yake, dalili kudaiza kwake kuhusu kuwakuwa juu kihisia, na na inayotajwa wakati kudai kwake kuhusu juu kihisia, inayotajwa wakati mwingine ni kuwa juu kwa dhati Yake, na kwa upande wa kuwa mwingine ni kuwa juu kwa dhati Yake, na kwa upande wa kuwa juu mbinguni…” juu mbinguni…”

Hata sijui wapimbali mbalina na kauli Hata sijuimtu mtuhuyu huyu alikwenda wapi kauli YakeYake MweMwenyezi Mungu: nyezi Mungu: …..Èβ$tãyŠ #sŒÎ) í Æ #¤$!$# nοuθôãyŠ = Ü ‹Å_é& ( ë=ƒÌs% ’ÎoΤÎ*sù ©Íh_tã “ÏŠ$t6Ïã y7s9r'y™ #sŒÎ)uρ “Na waja wajawangu wanguwatakapokuuliza watakapokuuliza habari Yangu, nipo “Na habari Yangu, MimiMimi nipo karibu. karibu. yaanaponiomba….. mwombaji anaponiomba….. Naitikia Naitikia maombi yamaombi mwombaji (Baqara; 2:168). (Baqara; 2:168). Na kauliNa yake: kauli yake: “….. öΝä3ΖÏΒ Ïμø‹s9Î) Ü>tø%r& ⎯ ß øtwΥuρ 93

“Na Sisi tuko karibu zaidi naye kuliko nyinyi …..” (alWaaqiah; 56:85). Na kauli yake: 07_16_Kumkosoa_18_June_2016.indd 93

6/18/2016 2:54:14 PM


Mwenyezi Mungu: …..Èβ β$t$tã ãyŠyŠ #s#sŒŒÎ)Î) ÆÆí í#¤#¤$ $!$!$## οοnn uθuθôã ôãyŠyŠ = Ü ‹Å‹Å_ _é&é& (( ë= = ë ƒÌƒÌs%s% ’Î ’ÎoΤoΤÎ*Î*sùsù ©Í ©Íh_h_tã tã “Ï “ÏŠŠ$t$t66Ïã Ïã y7 y7s9s9r'r'y™ y™ #s#sŒŒÎ)Î)uρuρ …..È Ü= …..Èβ$tãyŠ #sŒÎ) Æí#¤$!$# οn uθôãyŠ = Ü ‹Å_é& ( = ë ƒÌs% ’ÎoΤÎ*sù ©Íh_tã “ÏŠ$t6Ïã y7s9r'y™ #sŒÎ)uρ …..Èβ$tãyŠ #sŒÎ) Æí#¤$!$# nοuθôãyŠ = Ü ‹Å_é& ( ë=ƒÌs% ’ÎoΤÎ*sù ©Íh_tã “ÏŠ$t6Ïã y7s9r'y™ #sŒÎ)uρ “Na waja waja wangu watakapokuuliza watakapokuuliza habari habari Yangu, Yangu, Mimi Mimi nipo nipo “Na       wangu KUMKOSOA YULE ANAYEIGAWANYA TAWHIDI KWA MAFUNGU “Na waja wangu watakapokuuliza habari Yangu, Mimi nipo karibu. Naitikia maombi ya mwombaji anaponiomba….. karibu. Naitikia maombi ya mwombaji anaponiomba….. karibu. Naitikia maombi ya mwombaji anaponiomba….. (Baqara; 2:168). Na kauli kauli yake: “Na waja wangu watakapokuuliza habari Yangu, Mimi nipo (Baqara; 2:168). Na yake: (Baqara; Na kauli yake:ya mwombaji anaponiomba….. karibu.2:168). Naitikia maombi (Baqara; 2:168). Na kauli yake: “….. ß⎯ “….. Ν ööΝä3 ä3ΖÏΖÏΒΒ ÏμμÏ ø‹ø‹s9s9Î)Î) Ü> > Ü ttø%ø%r&r& ⎯ wΥuρuρ ß øtøtwΥ “….. öΝä3ΖÏΒ μÏ ø‹s9Î) > Ü tø%r& ⎯ ß øtwΥuρ “….. öΝä3ΖÏΒ Ïμø‹s9Î) > Ü tø%r& ⎯ ß øtwΥuρ “Na tuko karibu zaidi naye kuliko nyinyi …..” “Na Sisi Sisi “Na tuko karibu zaidi naye kuliko …..” (al(alSisi tuko karibu zaidi naye kulikonyinyi nyinyi …..” “Na Sisi tuko karibu zaidi naye kuliko nyinyi …..” (alWaaqiah; 56:85). Na kauli yake: Waaqiah; 56:85). Na kauli yake: (al-Waaqiah; 56:85). Na kauli yake: Waaqiah; kauli zaidi yake: naye kuliko nyinyi …..” (al“Na Sisi56:85). tuko Na karibu Waaqiah; 56:85). Na kauli yake: “….. t⎦ “….. 44 ööΝ ΝçGçGΨäΨä.. $t$tΒΒ ⎦ t ø⎪ø⎪r&r& óóΟ Οä3 ä3yèyètΒtΒ uuθθèδ èδuρuρ (( …..” …..” “….. 4 öΝçGΨä. $tΒ t⎦ø⎪r& óΟä3yètΒ θu èδuρ ( …..” “….. 4 öΝçGΨä. $tΒ t⎦ø⎪r& óΟä3yètΒ uθèδuρ ( …..” “Naye yu pamoja nanyi popote mtakapokuwa” (al-Hadid; “Naye yu pamoja nanyi popote mtakapokuwa” (al-Hadid; “Naye yukauli pamoja nanyinanyi popotepopote mtakapokuwa” (al-Hadid; 57:4). Na “Naye yu pamoja mtakapokuwa” (al-Hadid; 57:4). Na yake: 57:4). Na kauli yake: kauli yake: 57:4). Na yu kauli yake: nanyi “Naye pamoja popote mtakapokuwa” (al-Hadid; 57:4). Na kauli yake: $t$tΒΒ ããΝ ööΝä.ä.ttôγ Å™ Ν ãã n=n=÷è÷ètƒtƒ (( ÇÇÚ F{$#$# ’Î ÏÏ ≡u≡uθθ≈y≈yϑ Νn=n=÷è÷ètƒtƒuρuρ Ν ôγy_ y_uρuρ ööΝ Νä.ä.§§Å™ Ν Úö‘ö‘F{ ’Îûûuρuρ N N ϑ¡¡ ¡¡9$9$## ’Î ’Îûû ªª! !$#$# uθθu èδ èδuρuρ $tΒ ãΝn=÷ètƒuρ öΝä.tôγy_uρ Ν ö ä.§Å™ Ν ã n=÷ètƒ ( ÇÚö‘F{$# ’Îûuρ N Ï ≡uθ≈yϑ¡¡9$# ’Îû ! ª $# uθèδuρ $tΒ ãΝn=÷ètƒuρ Ν ö ä.tôγy_uρ Ν ö ∩⊂∪ ä.§Å™tβ tƒ õ3 ( ÇÚ ∩⊂∪ s?s? ö‘F{$# ’Îûuρ ÏN≡uθ≈yϑ¡¡9$# ’Îû ª!$# uθèδuρ Å¡ õ3 tβãΝθçθçn=77÷èÅ¡ ∩⊂∪ tβθç7Å¡õ3s? ∩⊂∪ tβθç7Å¡õ3s? “Na “Na Yeye Yeye ndiye ndiye Mwenyezi Mwenyezi Mungu Mungu mbinguni mbinguni na na ardhini; ardhini; “Na Yeye ndiye Mwenyezi Mungu mbinguni na ardhini; anaijua siri yenu na dhahiri yenu. Na anayajua anaijua siri yenu na dhahiri yenu. Na anayajua “Na Yeye ndiye Mwenyezi Mungu mbinguni na ardhini; anaijua siri anaijua siri yenu na dhahiri yenu. Na anayajua mnayoyachuma. (al-An’aam; 6:3). Na yake: “Nayenu Yeye ndiye Mwenyezi Mungu mbinguni na ardhini; mnayoyachuma. (al-An’aam; 6:3). Na kauli kauli yake: na dhahiri yenu. Na anayajua mnayoyachuma. mnayoyachuma. (al-An’aam; 6:3). Na kauli yake: anaijua siri yenu na dhahiri yenu. Na anayajua Natø%kauli yake: ∩⊇∉∉∪ Ï (al-An’aam; ƒÍƒÍ‘‘uθuθø9ø9$#$# ≅ ÈÈ ö7ö7ym ym ô⎯ ô ÏΒÏΒ6:3). ÏÏμμø‹ø‹s9s9Î)Î) ÜÜ> ßß øtøtwΥ …..” ∩⊇ ∪ ω ‰ ≅ ⎯ > tø%r&r& ⎯ ⎯ wΥuρuρ (( kauli …..” yake: mnayoyachuma. (al-An’aam; 6:3). Na ∩⊇∉∪ ‰ Ï ƒÍ‘uθø9$# ≅ È ö7ym ⎯ ô ÏΒ μÏ ø‹s9Î) > Ü tø%r& ⎯ ß øtwΥuρ ( …..”

∩⊇∉∪ ωƒÍ‘uθø9$# È≅ö7ym ⎯ ô ÏΒ Ïμø‹s9Î) > Ü tø%r& ß⎯øtwΥuρ ( …..” “Na “Na Sisi Sisi tuko tuko karibu karibu naye naye kuliko kuliko mshipa mshipa wa wa shingo.” shingo.” (Qaaf; (Qaaf; “Na Sisi tuko karibu naye kuliko mshipa wa shingo.” (Qaaf; 50:16). 50:16). 50:16). “Na Sisi tuko karibu naye kuliko mshipa wa shingo.” (Qaaf; “Na Sisi tuko karibu naye kuliko mshipa wa shingo.” (Qaaf; 50:16). 53 Na katka na 50:16). Na nyinginezo nyinginezo katka Aya Aya 53 53 na katika katika Hadithi Hadithi ni ni kauli kauli yake yake 53 na katika Hadithi ni kauli yake Na nyinginezo katka Aya Mtume �: “Mahali anapokuwa karibu zaidi mja na Mola Wake Na nyinginezo katka Aya na katika Hadithi ni kauli yake Mtume �: “Mahali anapokuwa karibu zaidi mja na Mola Wake 53 karibu zaidi mja na Mola Wake Mtume �: “Mahali anapokuwa na katika kauli yake Na : nyinginezo Aya karibu Mtume “Mahali katka anapokuwa zaidi Hadithi mja na ni Mola Wake Mtume �: “Mahali anapokuwa karibu zaidi mja na Mola Wake 53 53 Au imefanyiwa kama alivyotaja al-Bayhaqy katikakatika Al-Asmaau wa Swifaat, 53   Au imefanyiwataawili taawili kama alivyotaja al-Bayhaqy Al-Asmaau wa uk. Au imefanyiwa taawili kama alivyotaja al-Bayhaqy katika Al-Asmaau wa 53 kwa uhakiki wa al-Kawthary. Nimebainisha hiyo kwa kirefu katika risala yangu ya 327,

Au imefanyiwa taawili kamawa alivyotaja al-Bayhaqy katika Al-Asmaau Swifaat, uk. 327, 327, kwa uhakiki wa al-Kawthary. Nimebainisha hiyo kwa kwa wa Swifaat, uk. uhakiki al-Kawthary. Nimebainisha hiyo Tanbih wa raddu alakwa muutaqid qadmul aalam wa l haddi 53 Swifaat, uk. 327, kwa uhakiki al-Kawthary. Nimebainisha hiyo kwawa Au imefanyiwa taawili kamawa alivyotaja al-Bayhaqy katika Al-Asmaau 78 78 Swifaat, uk. 327, kwa uhakiki 94 wa al-Kawthary. Nimebainisha hiyo kwa

78

78 07_16_Kumkosoa_18_June_2016.indd 94

6/18/2016 2:54:17 PM


KUMKOSOA YULE ANAYEIGAWANYA TAWHIDI KWA MAFUNGU

ni wakati wa kusujudu.” Muslim (1: 350). Na kauli yake pia: ni wakati wa kusujudu.” Muslim (1: 350).safari Na kauli pia: “Ewe Mola! ndiweMuslim mwenza na yake niyake khalifa ni wakati wa Wewe kusujudu.” (1: katika 350). Na kauli pia: “Ewe jamii.” Mola! Tirmidhy Wewe ndiwe mwenza katika safari na nihasan, khalifa katika (5:497) na ni Hadithi ni wakati waWewe kusujudu.” Muslim (1: akasema 350). Na kauli pia: “Ewe “Ewe Mola! ndiwe mwenza katika safari nayake ni khalifa katika jamii.” Tirmidhy (5:497) na akasema ni Hadithi hasan, swahih. katika jamii.” Tirmidhy (5:497) na safari akasema nikhalifa Hadithi hasan, Mola! Wewe ndiwe mwenza katika na ni katika jamii.” swahih. swahih. Tirmidhy (5:497) na akasema ni Hadithi hasan, swahih. Na itakapokuwa anazifanyia taawili nassi hizi, si ajabu pia NaNaitakapokuwa anazifanyia taawili nassi hizi, hizi,si siajabu ajabu pia itakapokuwa anazifanyia taawili nassi pia akaakafanya taawili anazifanyia kwenye nassitaawili za kumfanya Mungu kuwa na Na itakapokuwa nassi hizi, si ajabu pia akafanya taawili kwenye nassi za kumfanya Mungu kuwa na fanya taawili kwenye nassi za kumfanya Mungu kuwa na umbo umbo nataawili kumfananishia na za viumbe Vyake kwa kuwa wajinga akafanya kwenye nassi kumfanya Mungu na na umbo na kumfananishia na kwa viumbeambayo Vyake nikwa wajinga wasiojua ya itikadi ya kumfananishia na viumbe Vyake asili ya itiumbo na asili kumfananishia na Kiislamu, viumbewajinga Vyakewasiojua kwakumtakasa wajinga wasiojua asili ya itikadi ya Kiislamu, ambayo ni kumtakasa Mwenyezi Mungu dhidi ya kufanana na viumbe Vyake. kadi ya Kiislamu, ni kumtakasa dhidi ya wasiojua asili ya ambayo itikadi ya Kiislamu, Mwenyezi ambayo niMungu kumtakasa Mwenyezi naMungu dhidi ya kufanana na viumbe Vyake. Iliyosemwa ulamaa: “Kila fikra inayokujia kwenye akili yako Mwenyezi Mungu dhidi ya kufanana na viumbe Vyake. kufanana na viumbe Vyake. Iliyosemwa na ulamaa: “Kila Iliyosemwa na Mungu ulamaa: “Kila fikra inayokujia kwenye akilifikra yakoinbasi Mwenyezi hayuko hivyo.” Hii Mungu inatoka katika Aya Iliyosemwa na ulamaa: “Kila fikra inayokujia kwenyehayuko akili yako ayokujia kwenye akili yako basi Mwenyezi hivyo.” basi Mwenyezi Mungu hayuko hivyo.” Hii inatoka katika Aya isemayo: basi Mwenyezi Mungu hayuko hivyo.” Hii inatoka katika Aya Hii inatoka katika Aya isemayo: isemayo: isemayo: “….. ™Ö ï†x« ⎯ÏμÎ=÷WÏϑx. § } øŠs9 …..”4 “….. ™Ö ï†x« ⎯ÏμÎ=÷WÏϑx. § } øŠs9 …..”4 “….. Ö™ï†x« ⎯ÏμÎ=÷WÏϑx. § } øŠs9 …..”4 “Hakuna chochote kama mfano wake (Shura; 42:11) na kauli “Hakuna chochote kama mfano wake (Shura; 42:11) na kauli yake: “Hakuna chochote kama mfano wake (Shura; 42:11) na kauli yake: “Hakuna chochote kama mfano wake (Shura; 42:11) na kauli yake: yake: ∩⊆∪ ‰ 7 ymr& #·θàà2 …ã&©! ⎯ä3tƒ öΝs9uρ ∩⊆∪ 7‰ymr& #·θàà2 …ã&©! ⎯ä3tƒ öΝs9uρ ∩⊆∪ ‰ 7 ymr& #·θàà2 …ã&©! ⎯ä3tƒ öΝs9uρ

“Wala hana anayefanana naye hata mmoja.” (Ikhlas; 112:4). “Wala hana anayefanana naye hata mmoja.” (Ikhlas; 112:4). “Wala hana anayefanana naye hata mmoja.” (Ikhlas; 112:4). Na kauli yake: “Wala hana anayefanana naye hata mmoja.” (Ikhlas; 112:4). Na kauli yake: Nakauli kauliyake: yake: Na “….. ß,è=øƒs† ω ⎯yϑx. ß,è=øƒs† ⎯yϑsùr& “….. , ß è=øƒs† ω  ⎯yϑx. , ß è=øƒs† ⎯yϑsùr& “….. , ß è=øƒs† ω  ⎯yϑx. , ß è=øƒs† ⎯yϑsùr&

anayeumba ni kama asiyeumba?.....”(Nahl; (Nahl; 16:17). “Je,“Je, anayeumba ni kama asiyeumba?.....” 16:17). “Je, anayeumba ni kama asiyeumba?.....” (Nahl; 16:17). “Je, anayeumba ni kama asiyeumba?.....” (Nahl; 16:17). 7. NaNa kaulijuu juuyayakuwa kuwa Mungu Mungu Yuko kuwa Yuko 7. kauli Yukoupande upandefulani fulaninana kuwa 7. Na kauli juu ya kuwa Mungu Yuko upande fulani na kuwa kihisia inasababisha kusema kuwa yuko nje yana ulimwengu, Yuko juu kihisia inasababisha kusema kuwafulani yuko nje ya 7. Na juu kauli juu ya kuwa Mungu Yuko upande kuwa Yuko juu kihisia inasababisha kusema kuwa yuko nje ya juu ya Arshi Yake kwa dhati Yake hasa, kama wasemavyo ulimwengu, juu ya Arshi Yake kwa dhati Yake hasa, kama Yuko juu kihisia inasababisha kusema kuwa yuko nje yawatu ulimwengu, juu ya Arshi Yake kwa dhati Yake hasa, kama wa tajsiim mwili.), au yumwili.), ndaniYake yaauulimwengu mbinwasemavyo watu(kumpa tajsiim (kumpa yu ndani ya ulimwengu, juu yawaArshi Yake kwa dhati hasa, kama wasemavyo watu wa tajsiim (kumpa mwili.), au yu ndani ya ulimwengu mbinguni kihisia, kaulinizote mbiliau ni yu batili. guni kihisia, zotena mbili batili. wasemavyo watu na wakauli tajsiim (kumpa mwili.), ndani ya ulimwengu mbinguni kihisia, na kauli zote mbili ni batili. Wamekubaliana pamoja Waislamu Mwenyezi ulimwengu mbinguni kihisia, na kaulikwamba zote mbili ni batili. Mungu Wamekubaliana pamoja Waislamu kwamba Mwenyezi Mungu hana mahali, yaani hanaWaislamu upande95 maalum vile kiumbe, Wamekubaliana pamoja kwamba kama Mwenyezi Mungu hana mahali, yaani hana upande maalum kama vile kiumbe, akaambiwa atihana amekaa mahali. Kauli ya watuvile wanaosema hana mahali,kuwa yaani upande maalum kama kiumbe, akaambiwa kuwa ati amekaa mahali. Kauli ya watu wanaosema anageuka yuko fulanimahali. ni batili, na kauli ya wanaosema wanaosema akaambiwa kuwamahali ati amekaa Kauli ya watu anageuka yuko mahali fulani ni batili, na kauli ya wanaosema ana mwili,yuko na kwamba ulimwengu juu ya anageuka mahali yuko fulanijuu ni ya batili, na kaulinje ya akiwa wanaosema ana mwili, na kwamba yuko juu ya ulimwengu nje akiwa juu ya 07_16_Kumkosoa_18_June_2016.indd 95 Arshmwili, pia ni kwa sababu hivi nje kunafanya kuwa ana na batili, kwamba yuko juu yakusema ulimwengu akiwa juu ya6/18/2016

2:54:18 PM


KUMKOSOA YULE ANAYEIGAWANYA TAWHIDI KWA MAFUNGU

Wamekubaliana pamoja Waislamu kwamba Mwenyezi Mungu hana mahali, yaani hana upande maalum kama vile kiumbe, akaambiwa kuwa ati amekaa mahali. Kauli ya watu wanaosema anageuka yuko mahali fulani ni batili, na kauli ya wanaosema ana mwili, na kwamba yuko juu ya ulimwengu nje akiwa juu ya Arsh pia ni batili, kwa sababu kusema hivi kunafanya kuwa Mungu anaambatana na kutengana na kitu na kuwa yuko ndani nje wao ya dunia. Hayo yote na nje ya dunia. Hayo yote ni batili kwana kuwa wamejengea ni batili kwa kuwa wao wamejengea hayo msingi wa hayo kutokana na msingi wa kwamba anakutokana mwili, na wakasema kwamba ana mwili, kuwa ili anakuwa nje ya itikadi ulimwengu kuwa anakuwa nje wakasema ya ulimwengu kuthibitisha zao ili kuthibitisha itikadi zao potofu kuwakinaisha watuhiyo kwa Ahlushilo. Kwa potofu na kuwakinaisha watu na kwa hilo. Kwa ajili ajili hiyo Ahlus-Sunna wamesema kwambaMungu Mwenyezi Mungu Sunna wamesema wazi kwamba wazi Mwenyezi hatajwi kuwa yuko njeyuko ya ulimwengu wala ndani, ni aina hatajwi kuwa nje ya ulimwengu wala kwani ndani, hii kwani hii niyaaina kumjua Muumba, na Mwenyezi Mungu hakuna anayemjua ya kumjua Muumba, na Mwenyezi Mungu anayemjua kakatika viumbe vyake, na wao wanataka wamjue na tika viumbe vyake, na wao wanataka wamjue alivyo naalivyo kumuwekea kumuwekea mahali: mahali:

∩⊇∇⊃∪ šχθàÅÁtƒ $¬Ηxå Í﨓Ïèø9$# Éb>u‘ y7În/u‘ z⎯≈ysö6ß™ “Kutakata na mawi ni kwa Mola Wako, Mola Mwenye enzi, “Kutakata na mawi ni kwa Mola Wako, Mola Mwenye enzi, na yale wanayomsifu. (Swafat; 37:180). Kwa ajili hiyo na yale wanayomsifu. (Swafat; 37:180). Kwa ajili hiyo amesema amesema Ibn Abul Uzza katika Sharhu yake uk. 222: “Wala Ibn Abul Uzza katika Sharhu yake uk. 222: “Wala hatudhani kwa hatudhani kwa Sheikh (yaani Sheikh Twahawy) kwamba ni Sheikhwanaosema (yaani Sheikh Twahawy) kwamba katika ndani wanaosema katika kuwa Mwenyezi Mungunihayuko ya kuwa Mwenyezi Mungu hayuko ndani ya ulimwengu wala nje kwa ulimwengu wala nje kwa kukanusha kuainisha.” kukanusha kuainisha.” Angalia maneno ya baadhi ya wanavyuoni Angalia maneno ya baadhi ya wanavyuoni wawaKiislamu kuhusu jambo Kiislamu kuhusu jambohilo: hilo: Imam Ghazaliy amesema: “Mwenyezi Mungu hana mahali, Imam Ghazaliy amesema: “Mwenyezi Mungu hana mahali, na na hayuko upande upande fulani, fulani, na na hayuko hayuko ndani ndani wala nje ya ulimwengu, na hayuko na haambatani ulimwengu, wala hatengani nao. Akili za watu haambatani na na ulimwengu, wala hatengani nao. Akili za watu zimezimepagawa mpaka wakamkanusha kwa sababu hawawezi kumsikia wala kumjua.” (Ihyaa ulumid-Diin 4:434).54 Katika 96 Fat’hul Bariy cha Ibn Hajar al-Asqalaniy (1:220-221): “Akili haina uwezo wa kutambua siri za Uungu, hivyo haielekei kwenye kusema kwa nini au vipi, kama vile kusema yuko wapi na vipi.” 07_16_Kumkosoa_18_June_2016.indd 96 6/18/2016

2:54:18 PM


KUMKOSOA YULE ANAYEIGAWANYA TAWHIDI KWA MAFUNGU

pagawa mpaka wakamkanusha kwa sababu hawawezi kumsikia wala kumjua.” (Ihyaa ulumid-Diin 4:434).54 Katika Fat’hul Bariy cha Ibn Hajar al-Asqalaniy (1:220-221): “Akili haina uwezo wa kutambua siri za Uungu, hivyo haielekei kwenye kusema kwa nini au vipi, kama vile kusema yuko wapi na vipi.” al-Hafidh al-Bayhaqiy amesema katika al-Asmaau wa Swifaat (410): “Mwenyezi Mungu yuko juu ya Arshi Yake; hakusimama wala hakukaa, wala hakuambatana nayo wala kutengana nayo. Hapa anakusudia kwa Dhati Yake kuwa mbali, au kutengana nayo, kwani kinyume na hivyo ni kukaa na kusimama na ni katika sifa za miili. Naye ni Mmoja pekee, anayehitajiwa na waja. Hakuzaa wala hakuzaliwa, wala hakuna anayefanana naye hata mmoja. Haijuzu Kwake mambo yanayojuzu kwa miili, ametukuka.” Abu Mudhaffar al-Isffrayini katika at-Tabswiri (uk. 97) amesema: “Na ujue ya kwamba kutingishika na kutulia, kwenda na kurudi, kuwa mahali na kukusanyika na kutengana, kuwa karibu na kuwa mbali, kwa masafa, kuwa mzoga na kuwa picha kiasi na kuwa na upande, kuwa kwenye nchi na sehemu, yote hayo hayajuzu kwa Mwenyezi Mungu kwa kuwa sifa zote hizo ni za ukomo na mwisho. Imam Nawawiy naye amesema katika Rawdha (10:64): “Mwenye kuitakidi kuwa umwanzo wa ulimwengu au kuzuka baadaye Muumba, au kukanusha yaliyothibiti kwa ijmai kama vile Mungu ni Mjuzi Mwenye uwezo, au akathibitisha kilichokanushwa kwa ijmai kama rangi, au akathibitisha kuwa Mungu anakuwa kwenye Arshi, na pia kuwa mbali nayo, basi huyo ni kafiri.” Mulla Ali al-Qari naye amesema katika Sharhu al-Fiqhul Akbar, akimtukana Ibn Abul Uzza, huyu mfafanuzi wa Twahawiyyah, uk. 172: “Huyu mwenye kufafanua anazungumzia mahali pa juu na ku54

Pia tazama Sharhu Ihyaa cha Zubeidy (10: 181) 97

07_16_Kumkosoa_18_June_2016.indd 97

6/18/2016 2:54:19 PM


KUMKOSOA YULE ANAYEIGAWANYA TAWHIDI KWA MAFUNGU

kanusha tashbiih na kufuata watu wa bidaa.” Angalia! Pia Allama al-Qari amesema: “Jambo la kushangaza ni kuwa yeye ametoa dalili ya kuinua mikono juu mbinguni kwa kuomba.” Tumeeleza kwa uchache yaliyomo katika kitabu Sharhu Twahawiyya miongoni mwa makosa na yaliyokataliwa katika imani ya kiislamu, tukiwatahadharisha wanafunzi na waalimu katika nyanja zote, wajihadhari katika kusoma na kusomesha na kuwafikiana na makosa yaliyomo humo, yote hayo ni katika mlango wa kauli yake Mtume : “Dini ni nasaha.” Nataraji waalimu na wanafunzi watajua kilichokusudiwa katika Tawhid ya majina na sifa kwa anayedai hivyo, na makusudio ya hao tuliyoyaona ya kumfanya Mungu kuwa na mwili na kuendeleza uabudu masanamu uliopigwa vita na Uislamu na kuvunjwavunjwa. Na wajue tuliyoyaandika na kuyathibitisha katika dalili za wazi katika kubatilisha kugawanya Tawhid kati ya: Rububiyya na Uluhiyya, na hiki kitakuwa ndicho kitabu chetu cha mwisho. Tunamuomba Mwenyezi Mungu atujaalie mwisho wema. Risala hii imekamilika mnamo tarehe 5 Rabiul Awwal 1497 (A. H.).

98

07_16_Kumkosoa_18_June_2016.indd 98

6/18/2016 2:54:19 PM


KUMKOSOA YULE ANAYEIGAWANYA TAWHIDI KWA MAFUNGU

Orodha Ya Vitabu Vilivyo ­Chapishwa Na Al-Itrah Foundation 1. 2. 3. 4. 5. 6. 7. 8. 9. 10. 11. 12. 13. 14. 15. 16. 17. 18. 19. 20. 21. 22. 23. 24. 25. 26.

i) Qur’ani Tukufu – Pamoja na Tarjuma ya Kiswahili ii) Qur’an Al-Kariim - Tafsir Al-Kashif Juzuu ya kwanza mpaka Thelathini Uharamisho wa Riba Uharamisho wa uwongo Juzuu ya Kwanza Uharamisho wa uwongo Juzuu ya Pili Hekaya za Bahlul Muhanga wa Imamu Husein (A.S.) Mikingamo iliyomzunguka Imamu Ali (a.s.) Hijab vazi Bora Ukweli wa Shia Ithnaashari Madhambi Makuu Mbingu imenikirimu Abdallah Ibn Saba Khadijatul Kubra Utumwa Umakini katika Swala Misingi ya Maarifa Kanuni za Ndoa na maadili ya Familia Bilal wa Afrika Abudhar Usahihi wa Historia ya Uislamu na Waislamu Salman Farsi Ammar Yasir Qur’an na Hadithi Elimu ya Nafsi Yajue Madhehebu ya Shia Ukusanyaji na Uhifadhi wa Qur’an Tukufu 99

07_16_Kumkosoa_18_June_2016.indd 99

6/18/2016 2:54:19 PM


KUMKOSOA YULE ANAYEIGAWANYA TAWHIDI KWA MAFUNGU

27. 28. 29. 30. 31. 32. 33. 34. 35. 36. 37. 38. 39. 40. 41. 42. 43. 44. 45. 46. 47. 48. 49. 50. 51. 52. 53. 54. 55. 56. 57.

Al-Wahda Ponyo kutoka katika Qur’an Uislamu mfumo kamili wa maisha ya kijamii Mashukio ya Akhera Al Amali Dua kwa Mujibu wa Ahlulbayt (a.s) Udhuu kwa Mtazamo wa Qur’ani na Sunna Haki za wanawake katika Uislamu Mwenyezi Mungu na sifa zake Kumswalia Mtume (s) Nafasi za Ahlul Bayt (a.s) Adhana Upendo katika Ukristo na Uislamu Qur’ani na Kuhifadhiwa Kwake Maana ya laana na kutukana katika Qur’ani Tukufu Kupaka juu ya khofu Kukusanya Sala Mbili Bismillah ni sehemu ya Qur’ani na husomwa kwa Jahara Kuwaongoza vijana wa kizazi kipya Kusujudu juu ya udongo Kusheherekea Maulidi Ya Mtume (s) Tarawehe Malumbano baina ya Sunni na Shia Kupunguza Swala safarini Kufungua safarini Umaasumu wa Manabii Qur’an Yatoa Changamoto as-Salaatu Khayrun Mina -’n Nawm Uadilifu wa Masahaba Dua e Kumayl Sauti Ya Uadilifu wa Binadamu 100

07_16_Kumkosoa_18_June_2016.indd 100

6/18/2016 2:54:19 PM


KUMKOSOA YULE ANAYEIGAWANYA TAWHIDI KWA MAFUNGU

58. 59. 60. 61. 62. 63. 64. 65. 66. 67. 68. 69. 70. 71. 72. 73. 74. 75. 76. 77. 78. 79. 80. 81. 82. 83. 84. 85. 86. 87. 88.

Umaasumu wa Mitume - Faida Zake Na Lengo Lake Umaasumu wa Mitume - Majibu Ya Aya Zenye Utata Umaasumu wa Mitume - Umaasumu wa Mtume Muhammad (s) Nahju’l-Balaghah - Juzuu ya Kwanza Nahju’l-Balaghah - Juzuu ya Pili Kuzuru Makaburi Maswali Na Mishkili Elfu - Sehemu ya Kwanza Maswali Na Mishkili Elfu - Sehemu ya Pili Maswali Na Mishkili Elfu - Sehemu ya Tatu Maswali Na Mishkili Elfu - Sehemu ya Nne Maswali Na Mishkili Elfu - Sehemu ya Tano Maswali Na Mishkili Elfu - Sehemu ya Sita Tujifunze Misingi Ya Dini Sala ni Nguzo ya Dini Mikesha Ya Peshawar Malezi Ya Mtoto Katika Uislamu Ubora wa Imam ‘Ali na Ushia ndio njia iliyonyooka Hukumu za Kifikihi zinazowahusu Wanawake Liqaa-u-llaah Muhammad (s) Mtume wa Allah Amani na Jihadi Katika Uislamu Uislamu Ulienea Vipi? Uadilifu, Amani na Mtume Muhammad (s) Dhana ya Ndoa ya Mitala na Ndoa za Mtume Muhammad (s) Urejeo (al-Raj’ah) Mazingira Utokezo (al - Badau) Hukumu ya kujenga juu ya makaburi Swala ya maiti na kumlilia maiti Uislamu na Uwingi wa Dini Mtoto mwema 101

07_16_Kumkosoa_18_June_2016.indd 101

6/18/2016 2:54:19 PM


KUMKOSOA YULE ANAYEIGAWANYA TAWHIDI KWA MAFUNGU

89. 90. 91. 92. 93. 94. 95. 96. 97. 98. 99. 100. 101. 102. 103. 104. 105. 106. 107. 108. 109. 110. 111. 112. 113. 114. 115. 116. 117. 118. 119.

Adabu za Sokoni Na Njiani Johari za hekima kwa vijana Maalimul Madrasatain Sehemu ya Kwanza Maalimul Madrasatain Sehemu ya Pili Maalimul Madrasatain Sehemu ya Tatu Tawasali (AT- TAWASSUL) Imam Mahdi katika Usunni na Ushia Hukumu za Mgonjwa Sadaka yenye kuendelea Msahafu wa Imam Ali Maimamu wa Ahlul Bait – Ujumbe na Jihadi Idi Al-Ghadir Kusoma sura zenye Sijda ya wajibu Hukumu zinazomuhusu mkuu wa kazi na Mfanyakazi Huduma ya Afya katika Uislamu Sunna za Nabii Muhammad (saww) Historia na sera ya viongozi wema (Sehemu ya Kwanza) Historia na sera ya viongozi wema (Sehemu ya Pili) Shahiid Mfiadini Mwanamke Na Sharia Ujumbe -Sehemu ya Kwanza Ujumbe - Sehemu ya Pili Ujumbe - Sehemu ya Tatu Ujumbe - Sehemu ya Nne Mariamu, Yesu na Ukristo kwa mtazamo wa Kiislamu Hadithi ya Thaqalain Ndoa ya Mutaa Ukweli uliopotea sehemu ya Kwanza Ukweli uliopotea sehemu ya Pili Ukweli uliopotea sehemu ya Tatu Ukweli uliopotea sehemu ya Nne 102

07_16_Kumkosoa_18_June_2016.indd 102

6/18/2016 2:54:19 PM


KUMKOSOA YULE ANAYEIGAWANYA TAWHIDI KWA MAFUNGU

120. 121. 122. 123. 124. 125. 126. 127. 128. 129. 130. 131. 132. 133. 134. 135. 136. 137. 138. 139. 140. 141. 142. 143. 144. 145. 146. 147. 148. 149. 150.

Ukweli uliopotea sehemu ya Tano Mkutano wa Maulamaa wa Baghdad Safari ya kuifuata Nuru Fatima al-Zahra Myahudi wa Kimataifa Kuanzia ndoa hadi kuwa Wazazi Visa vya kweli sehemu ya Kwanza Visa vya kweli sehemu ya Pili Elimu ya Ghaibu ya Maimamu Mwanadamu na Mustakabali wake Imam Ali (‘a) Ndugu wa Mtume Muhammad (s) (Sehemu ya Kwanza) Imam Ali (‘a) Ndugu wa Mtume Muhammad (s) (Sehemu ya Pili) Khairul l’Bariyyah Uislamu na mafunzo ya kimalezi Vijana ni Hazina ya Uislamu Adhana ni Ndoto au ni Wahyi? Tabaruku Saada Kamili – Kitabu cha Kiada cha Maadili Vikao vya furaha Shia asema haya Sunni asema haya Wewe wasemaje? Visa vya wachamungu Falsafa ya Dini Kuhuzunika na Kuomboleza Sunna katika Kitabu Fiqhi al-Sunnah Mjadala wa Kiitikadi Kuonekana kwa Allah Tabia njema kwa Mujibu wa Ahlul-Bayt (Sehemu ya Kwanza) Tabia njema kwa Mujibu wa Ahlul-Bayt (Sehemu ya Pili) Ndugu na Jirani Ushia ndani ya Usunni Maswali na Majibu 103

07_16_Kumkosoa_18_June_2016.indd 103

6/18/2016 2:54:19 PM


KUMKOSOA YULE ANAYEIGAWANYA TAWHIDI KWA MAFUNGU

151. 152. 153. 154. 155. 156. 157. 158. 159. 160. 161. 162. 163. 164. 165. 166. 167. 168. 169. 170. 171. 172. 173. 174. 175. 176. 177. 178. 179. 180. 181.

Mafunzo ya hukmu za ibada Ahlul Bayt ndani ya tafsiri za Kisunni No 1 Ahlul Bayt ndani ya tafsiri za Kisunni No 2 Ahlul Bayt ndani ya tafsiri za Kisunni No 3 Abu Huraira Vipengee kadhaa katika Swala ya Jamaa na Msikiti. Mazingatio kutoka katika Qur’an - Sehemu ya Kwanza Mazingatio kutoka kaitka Qur’an - Sehemu ya Pili Mazingatio kutoka katika Uislamu - Sehemu ya kwanza Mazingatio kutoka katika Uislamu - Sehemu ya Pili Shia na Qur’ani – Majibu na Maelezo Falsafa ya Mageuzi ya Imam Husein (a.s) Amali za Mwezi Mtukufu wa Ramadhani Elimu ya Tiba za Kiislamu - Matibabu ya Maimamu Uislamu Safi Majlisi za Imam Husein Majumbani Je, Kufunga Mikono Uislam wa Shia Amali za Makka Amali za Madina Asili ya Madhehebu katika Uislamu Sira ya Imam Ali kuhusu Waasi Ukweli uliofichika katika neno la Allah Uislamu na Mifumo ya Uchumi Umoja wa Kiislamu na Furaha Mas’ala ya Kifiqhi Jifunze kusoma Qur’ani as-Sahifatul Kamilah as-Sajjadiyyah Hayya ‘Alaa Khayri’l-’Amal Katika Adhana Ukweli kuhusu Funga ya Siku ya Ashura Dua za Miezi Mitatu Mitukufu (Rajabu, Shaabani na Ramadhani) 104

07_16_Kumkosoa_18_June_2016.indd 104

6/18/2016 2:54:19 PM


KUMKOSOA YULE ANAYEIGAWANYA TAWHIDI KWA MAFUNGU

182. 183. 184. 185. 186. 187. 188. 189. 190. 191. 192. 193. 194. 195. 196. 197. 198. 199. 200. 201. 202. 203. 204. 205. 206. 207. 208. 209. 210. 211. 212.

Uadilifu katika Uislamu Mahdi katika Sunna Maswali Ya Uchunguzi Kuhusu Uislam Kazi na Bidii ni njia ya maendeleo Abu Talib – Jabali Imara la Imani Ujenzi na Utakaso wa Nafsi Vijana na Matarajio ya Baadaye Historia maana na lengo la Usalafi Ushia – Hoja na Majibu Mateso ya Dhuria wa Mtume (saww) Maombolezo – Msiba wa Bwana wa Mashahidi (a.s.) Shahidi kwa Ajili ya Ubinadamu Takwa Upotoshaji Dhahiri katika (Turathi) Hazina ya Kiislamu Amirul Muuminina (as) na Makhalifa Tawheed Na Shirki Kuvunja hoja iliyotumika kutetea Uimamu wa AbuBakr Adabu za vikao na mazungumzo Hija ya Kuaga Uwazi baina ya Maslahi na Vikwazo Fadhila za watukufu watano katika Sahih Sita Mdahalo baina ya Mwanachuoni waKisunni na Kishia (Al- Muraja’aat) Utawala na Uendeshaji katika Sera ya Imam Ali (as) Imam Husain ni Mfumo wa Marekebisho na Mageuzi Mtazamo kuhusu msuguano wa Kimadhehebu Nchi na Uraia – Haki na wajibu kwa Taifa Mtazamo wa Ibn Taymiyyah juu ya Imam Ali (as) Uongozi wa Kidini – Maelekezo na Utekelezaji wa Kijamii Maadili ya Ashura Mshumaa – Shahidi na Kifo cha Kishahidi Mizani ya Hekima – Hadithi za Ahlul Bait (as) – Sehemu ya Kwanza 105

07_16_Kumkosoa_18_June_2016.indd 105

6/18/2016 2:54:19 PM


KUMKOSOA YULE ANAYEIGAWANYA TAWHIDI KWA MAFUNGU

213. Imam Ali na Mambo ya Umma 214. Imam Ali na Mfumo wa Usawa 215. Uimamu na Tamko la Kutawazwa 216. Mfumo wa Wilaya 217. Vipi Tutaishinda Hofu? 218. Kumswalia Mtume ni Ufunguo wa Utatuzi wa Matatizo 219. Maeneo ya Umma na Mali Zake 220. Nahju ‘L-Balagha– Majmua ya Khutba, Amri, Barua, Risala, Mawaidha na Semi za Amirul-Muuminin Ali bin Abu Talib (a.s.) 221. Mukhtar – Shujaa aliyelipiza kisasi dhidi ya wauaji wa Imam Husein (as) hapo Karbala 222. Mazingatio Katika Swala 223. Imam Hasan na Mfumo wa Kujenga Jamii 224. Vyakula Na Vinywaji 225. Kuelewa Rehema ya Mwenyezi Mungu 226. Imam Mahdi na Bishara ya Matumaini 227. Mtazamo Mpya - Wanawake katika Uislamu 228. Shia Na Sahaba - Majibu na Maelezo 229. Majanga Na Jukumu la Jamii 230. Shia Na Hadith - Majibu na Maelezo 231. Upotofu Ndani ya Kitabu cha Mitaala kwa Shule za Sekondari 232. Ugaidi Wa Kifikra Katika Medani Ya Kidini 233. Yafaayo kijamii 234. Uswalihina Dhahiri Na Batini Yake 235. Mkakati wa Kupambana na Ufakiri 236. Mwanamke Katika Harakati Za Mageuzi 237. Jihadi 238. Hija Katika Maneno Na Ujumbe Wa Imam Khomeini (R.A) 239. Tiba Ya Maradhi Ya Kimaadili 240. Yusuf Mkweli 241. Taqiyya Kwa Mujibu Wa Sheria Ya KIISLAMU

106

07_16_Kumkosoa_18_June_2016.indd 106

6/18/2016 2:54:19 PM


KUMKOSOA YULE ANAYEIGAWANYA TAWHIDI KWA MAFUNGU

242. Imam Mahdi (A.S) Imam Wa Zama Hizi Na Kiongozi Wa Dunia 243. Talaka Tatu 244. Safari Ya Kuelekea Kwa Mwenyezi Mungu 245. Hotuba Za Kiislamu Juu Ya Haki Za Binadamu 246. Mashairi Ya Kijamii 247. Ngano Ya Kwamba Qur’ani Imebadilishwa 248. Wito Kwa Waumini: “Enyi Mlioamini” 249. Imam Husain (a.s) ni Utu na Kadhia 250. Imam Husain ni Kielelezo cha Kujitoa Muhanga na Fidia 251. Imam Mahdi ni Tumaini la Mataifa 252. Kuchagua Mchumba 253. Mazungumzo ya Umoja – Ukosoaji na Usahihishaji 254. Utamaduni wa Mwamko wa Kijamii 255. Hekima za kina za Swala 256. Kanuni za Sharia za Kiislamu 257. Utamaduni kufuatana na Qur’ani na Utekelezaji wa Kivitendo (Sehemu ya Kwanza) 258. Kauli sahihi zaidi katika kufafanua Hadithi

107

07_16_Kumkosoa_18_June_2016.indd 107

6/18/2016 2:54:19 PM


Turn static files into dynamic content formats.

Create a flipbook
Issuu converts static files into: digital portfolios, online yearbooks, online catalogs, digital photo albums and more. Sign up and create your flipbook.