Mkakati wa kupambana na ufakiri

Page 1

Mkakati wa Kupambana na Ufakiri Katika Mfumo Wa Imam Ali Bin Abu Talib (a.s.)

‫إسترا تيجيات مكافحة الفقر‬ ‫في منهج وتعاليم‬ )‫اإلمام علي بن أبي طالب (عليه السالم‬

Kimeandikwa na: Sayyid Murtadha Husaini Shirazi

Kimetarjumiwa na: Alhaji Hemedi Lubumba


‫ترجمة‬

‫إسترا تيجيات مكافحة الفقر‬

‫في منهج وتعاليم‬ ‫اإلمام علي بن أبي طالب (عليه السالم)‬

‫تأليف‬ ‫السيد مرتضى الحسيني الشيرازي‬

‫من اللغة العربية الى اللغة السوا حلية‬


© Haki ya kunakili imehifadhiwa na: Al-Itrah Foundation ISBN No: 978 - 9987 – 17 – 078 – 4 Kimeandikwa na: Sayyid Murtadha Husaini Shirazi Kimetarjumiwa na: Alhaji Hemedi Lubumba Kimehaririwa na: Alhaj Ramadhani S.K. Shemahimbo Kimepitiwa na: Mbarak A. Tila Kimepangwa katika Kompyuta na: Al-Itrah Foundation Toleo la kwanza: Decemba, 2014 Nakala: 1000 Kimetolewa na kuchapishwa na: Alitrah Foundation S.L.P. - 19701, Dar es Salaam, Tanzania Simu: +255 22 2110640 / 2127555 Barua Pepe: alitrah@yahoo.com Tovuti: www.ibn-tv-com Katika mtandao: www.alitrah.info



Yaliyomo Neno la Mchapishaji........................................................................2 Utangulizi.........................................................................................4 Njia za kimkakati za kupambana na ufukara...................................8 Hotuba ya Sayyid ............................................................................8 1 - Ufukara ni nini?........................................................................10 2 - Imamu Ali (as) na maeneo ya ufakiri.......................................14 3 - Ufukara ni changamoto kubwa.................................................17 4 - Kwa nini tumemchagua Imam Ali (as) kuwa mwalimu na mwongozaji?..............................................23 Faslu ya Kwanza: .............................................................30 Masuluhisho ya kimkakati ya kupambana na Ufukara..................30 Vigawanyo vya Masuluhisho ya Kimkakati..................................30 Kwanza: Kuhakikisha Tunafuata Hekima ya Mwenyezi Mungu Katika Ulimwengu......................................30 Pili: Kipaumbele cha Kwanza Katika Miundombinu ni Kuendeleza Ardhi na Kuzalisha.........................32 Tatu: Udhibiti wa Matumizi..........................................................34 Nne: Hifadhi ya Jamii....................................................................37 Tano: Uwiano Sawa Baina ya Vijiji na Miji Katika Mipango ya Kiuchumi...................................................................38

v


Mkakati wa Kupambana na Ufakiri

Sita: Mshikamano wa Kijamii.......................................................39 Saba: Kufuata Vipimo vya Kimaudhui Katika Kuteua Maafisa wa Uchumi.......................................................................41 Nane: Kuimarisha Kanuni ya Kuhoji na Kukagua........................43 Tisa: Kuchangamsha Mzunguko wa Mali na Kutokomeza Ulimbikizaji Mali.....................................................44 Kumi: Kupunguza Saa za Kazi.....................................................46 Kumi na Moja: Huruma Katika Kodi............................................47 Kumi na Mbili: Kutoa Uhuru.........................................................47 Kumi na Tatu: Kazi ya Serikali ni Kusimamia, si Kuzalisha.........50 Kumi na nne: Kupiga vita vyanzo vyote vya ufakiri.....................51 Faslu ya Pili:........................................................................52 Masuluhisho ya Kighaibu na Kimaadili........................................52 Takwa ........................................................................................52 Wepesi ........................................................................................52 Shuka Chini....................................................................................53 Kuwa Mkweli.................................................................................53 Uungwana......................................................................................54 Jiepushe na Riba............................................................................54 Usafi wa Kiroho.............................................................................54

vi


Mkakati wa Kupambana na Ufakiri

Sadaka ........................................................................................54 Kuunga Udugu...............................................................................55 Faslu ya Tatu: .....................................................................59 Vyanzo vya Ufukara na sababu zake.............................................59 Kwanza: Serikali Kumiliki Rasilimali...........................................59 Pili: Wingi wa Wafanyakazi wa Serikali........................................60 Tatu: Ulimbikizaji Silaha...............................................................61 Nne: Wizi wa Serikali....................................................................63 Tano: Mgawanyo Mbovu...............................................................63 Sita: Kamari...................................................................................63 Saba: Uharibifu kwa Njia ya Mali.................................................65 Nane: Ufichaji Bidhaa....................................................................67 Tisa: Riba.......................................................................................67 Kumi: Uharibifu wa Mazingira......................................................70 Kumi na Moja: Uharibifu na Ubadhirifu.......................................71 Kumi na Mbili: Ghushi na Upunjaji Vipimo................................71 Kumi na Tatu: Fedha Bandia.........................................................73 Kumi na Nnne: Kuweka Kodi Kwenye Matumizi.........................74 Kumi na Tano: Kufunga Masoko...................................................74 Waraka wa Imam Ali kwenda kwa Malik Ashtar..........................75 vii


Mkakati wa Kupambana na Ufakiri

Tabia za Kiongozi..........................................................................75 Kipimo cha Kiongozi Mwema.......................................................76 Kiongozi na Raia............................................................................76 Kiongozi Katika Kumwelekea Mwenyezi Mungu........................77 Kufuata Uadilifu na Usawa............................................................77 Jamaa Makhususi na Wenye Manufaa...........................................78 Wambeya na Majasusi...................................................................78 Washauri ........................................................................................79 Sifa za Mawaziri............................................................................79 Kuwafanyia Wema Watu................................................................80 Mwenendo Mwema.......................................................................80 Matabaka ya Raia...........................................................................81 Wanajeshi.......................................................................................81 Majaji, Watendaji na Makarani......................................................81 Wafanyabiashara na Wenye Viwanda............................................82 Tabaka la Chini..............................................................................82 Sifa za Maafisa...............................................................................82 Ufuatiliaji wa Mzazi......................................................................83 Mkuu Bora.....................................................................................83 Ukadhi na sifa za Kadhi.................................................................84 viii


Mkakati wa Kupambana na Ufakiri

Sifa za Viongozi na Wakuu............................................................85 Kuwafuatilia viongozi na Wakuu...................................................85 Uendelezaji wa Ardhi na Kufuata Uadilifu....................................86 Sifa za Makarani na Namna bora ya Kuwachagua........................87 Wafanyabiashara na Wenye Viwanda............................................88 Walala Hoi.....................................................................................89 Mayatima na Wenye Mahitaji Maalumu........................................89 Kutumia Wakati.............................................................................90 Viongozi Kujificha Mbali na Raia.................................................91 Wasiri wa viongozi na Wakuu........................................................92 Kushikamana na Haki....................................................................92 Kanuni ya Suluhu na Amani..........................................................92 Ahadi, Mikataba na Makubaliano..................................................93 Kulinda Damu za Raia...................................................................94 Sifa na Maadili ya Kiongozi na Mkuu...........................................94 Bibliografia....................................................................................97

ix



Mkakati wa Kupambana na Ufakiri

‫ﺑﺴﻢ اﷲ اﻟﺮﺣﻤﻦ اﻟﺮﺣﻴﻢ‬ ∩⊇∪ ÉΟŠÏm§9$# ⎯ Ç ≈uΗ÷q§9$# ! « $# Οó¡Î0

ÏΘöθtƒ Å7Î=≈tΒ ∩⊂∪ ÉΟŠÏm§9$# Ç⎯≈uΗ÷q§9$# ∩⊄∪ š⎥⎫Ïϑn=≈yèø9$# Å_Uu‘ ! ¬ É߉ôϑysø9$# Ú Þ x ≡uÅ_Ç9$# $tΡω÷δ$# ∩∈∪ ⎥ ⎫ÏètGó¡nΣ y‚$−ƒÎ)uρ ߉ç7÷ètΡ x‚$−ƒÎ) ∩⊆∪ É⎥⎪Ïe$!$#

Ο ó Îγø‹n=tæ U Å θàÒøóyϑø9$# Î öxî Ν ö Îγø‹n=tã |Môϑyè÷Ρr& t⎦⎪Ï%©!$# xÞ≡uÅÀ ∩∉∪ tΛ⎧É)tGó¡ßϑø9$# ∩∠∪ t⎦⎫Ïj9!$Ò9$# Ÿωuρ Kwa la Mwenyezi Mungu, Kwa jinajina la Mwenyezi Mungu, Mwingi rehema, Mwenye kurehemu. Mwingi wawa rehema, Mwenye kurehemu. Sifa njema ni za Mwenyezi Mungu, Mola wa viumbe Sifa njema (zote)(zote) ni za Mwenyezi Mungu, Mola wa viumbe (vyote). (vyote). Mwingi Mwenye wa rehema, Mwenye Mwenye Mwingi wa rehema, kurehemu. Mwenyekurehemu. kumiliki Siku ya kumiliki Siku ya Malipo. Wewe tu tunakuabudu, na Wewe Malipo. Wewe tu tunakuabudu, na Wewe tu tunakuomba msaada. tu tunakuomba msaada. Tuongoze njia iliyonyooka. Njia sio ya (wale) Tuongoze njia iliyonyooka. Njia ya (wale) uliowaneemesha; ya uliowaneemesha; sio ya (wale) waliokasirikiwa wala ya (wale) (wale) waliokasirikiwa wala ya (wale) waliopotea. waliopotea.

1

12


Mkakati wa Kupambana na Ufakiri

NENO LA MCHAPISHAJI

K

itabu ulichonacho mikononi mwako asili yake ni cha lugha ya Kiarabu kwa jina la, Istatriyjaatu Mukafihata ‘l-Faqra fi Minhaji wa Ta’liyma ‘l-Imam ‘Ali bin Abu Talib, kilichoandikwa na Sayyid Murtadha Husaini Shirazi. Sisi tumekiita, Mkakati wa Kupambana na Ufakiri katika Mfumo wa Imam Ali bin Abu Talib (a.s.). Ufukara au umasikini ni chanzo cha matatizo ya maisha ya kimwili na kiroho. Mtu anapokuwa maskini anakosa matumizi muhimu, kama vile chakula, mavazi na nyumba nzuri ya kuishi. Kutokana na hali hiyo, mtu huyo hudhoofika kimwili, kiakili na hata kiroho pia. Inapofikia hatua hiyo, mtu huyo anashindwa kufanya kazi na hata kutekeleza ibada zake za wajibu, na ndio maana Mtukufu Mtume Muhammad (s.a.w.w.) akasema kwamba, “Ufukara ni nusu ya ­ukafiri.” Nchi nyingi duniani zinajitahidi kupambana na umasikini kwa njia mbalimbali, lakini kutokana na mifumo yake mibovu zimeshindwa kufikia lengo la kuutokomeza umasikini. “Tatizo ni nini?” Jibu ni ubinafsi wa viongozi wa nchi husika kutumia rasilimali za nchi kwa maslahi yao binafsi. Sisi kama Waislamu tunacho kigezo kizuri cha kuweza kulipatia ufumbuzi suala hili. Kwanza, ni mafunzo ya Mtukufu Mtume wetu Muhammad (s.a.w.w.); na pili, ametuachia mtu ambaye amewahi kuogoza dola na akaonesha kwa vitendo namna ya kupambana na umaskini, naye si mwingine ila ni Imam Ali bin Abu Talib (a.s.) ­ambaye ni lango la elmu ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.). Katika kitabu hiki tutaona na kujifundisha njia sahihi za kupambana na umaskini kupitia mafundisho matukufu ya Kiislamu. 2


Mkakati wa Kupambana na Ufakiri

Tumekiona kitabu hiki ni chenye manufaa makubwa hususan wakati huu ambapo ufisadi na ukandamizaji umeenea katika nchi ­nyingi duniani na kuwaacha watu wengi kuwa maskini na watu wachache kuwa matajiri wa kupindukia kutokana na kuhodhi mikononi mwao pamoja na familia zao uchumi wa nchi husika. Taasisi yetu ya Al-Itrah imeamua kukichapisha kitabu hiki kwa lugha ya Kiswahili kwa madhumuni yake yaleyale ya kuwahudumia Waislamu wazungumzaji wa lugha ya Kiswahili. Ni matumaini yetu kwamba kitabu hiki kitakuwa ni chenye manufaa makubwa kwao. Tunamshukuru ndugu yetu Al-Hajj Ustadh Hemedi Lubumba Selemani kwa kufanikisha tarjuma ya kitabu hiki katika lugha ya Kiswahili, pia na wale wote waliosaidia kwa njia moja au nyingine hadi kufanikisha chapisho la toleo hili kuchapishwa na kuwa mikononi mwa wasomaji. Allah awalipe wote malipo mema hapa duniani na kesho Akhera pia. Amin! Mchapishaji: Al-Itrah Foundation

3


Mkakati wa Kupambana na Ufakiri

‫بسم هللا الرحمن الرحيم‬ UTANGULIZI Kwa jina la Mwenyezi Mungu, Mwingi wa rehema, Mwenye kurehemu.

N

i mzizi wa tatizo, lakini suluhisho linalifata mpaka kwenye matawi. Hakika lenyewe ni nyundo ya kubomolea jengo la uchumi na jamii ya kila nchi, hata iwe na hifadhi ya utajiri kiasi gani au iwe na nguvu ya rasilimali watu na mali kiasi gani. Wakati huo huo tunalikuta kundi dogo, kwa kudhamiria au kwa kutokudhamiria, linafanya kazi ya kuendeleza jambo hili, kuliimarisha na kuzuia lisiweze kumalizika, hakika jambo hili ni ufakiri. Neno hili dogo katika kulitamka lakini lenye maana pana, bado liko mbali na ramani ya uchunguzi, elimu na maamuzi makubwa katika ngazi ya taifa letu la Kiislamu na mataifa ya ulimwengu. Hakika masikio yetu yamejaa mazungumzo kuhusu mfumuko wa bei, uwekezaji na mwisho ugumu wa maisha, lakini ni nini chanzo cha mambo yote haya? Hakika afisa wa juu kabisa serikalini na mtafiti mkubwa au mtaalamu wa uchumi, kikawaida katika kujibu swali hili, katika kutoa mtazamo wake hatazungumzia zaidi ya sababu na matukio yanayohusu wakati na sehemu, na huenda ikawa ni mapambano dhidi ya utawala na mamlaka, na huenda ikawa ni vita, na huenda ikawa ni sababu nyingine zisizovuka matukio ya kawaida…. Wakati ambapo ukweli ni zaidi sana ya hapo. Na watafiti na wachukua maamuzi hawajazilazimisha nafsi zao ili washuke hadi 4


Mkakati wa Kupambana na Ufakiri

katika mustawa wa tabaka ambalo mara nyingi na bado linaendelea kutumia utajiri wa wengine kwa dhulma, ikiwa ni pamoja na watu wenye madaraka makubwa serikalini na makundi ya kimataifa ya wale ambao hujihodhia mali, na ni wao si wengine ndio wamiliki wa viwanda na mashirika makubwa ya mafuta. Kadhalika wao ndio wamiliki wa hisa na wafanyabiashara wa bidhaa muhimu na za mahitaji ya lazima bila kuheshimu vipimo; cha kiakili, kisharia na kijamii, na wengineo wengi ambao akaunti zao za benki zinazidi kupanda huku mustawa wa maisha ya wengine ukizidi kushuka mpaka katika daraja la utapiamlo na mazingira hatarishi na hatimaye mauti. Kuanzia hapa ndipo tunapofahamu ni kwa sababu gani Amirul-Muuminin (as) alijitenga mbali na kuukimbia ufakiri kwa kuuzingatia wenyewe kuwa ni adui mkubwa, pale aliposema kauli yake mashuhuri: “Laiti ufakiri ungejitokeza mbele yangu kwa sura ya mtu basi ningemuuwa.” Na wala tusiache kusema ukweli kuwa hakika nchi za Magharibi na mashirika yake angamizi ya kiuchumi, leo hii ndiyo yenye kuchukizwa na kitendo cha kudhihiri na kuenea mfumo wa AmirulMuuminin (as) ulimwenguni, kwani kila mkweli mwenye busara anaamini kuwa yeye (as) ndiye suluhisho kamili lenye mafanikio, la matatizo na majanga yote yanayomkabili mwanadamu leo hii. Kama si hivyo basi ni nini maana ya “mfumuko wa bei” kama hakuna ulafi na tamaa yenye kuteketeza uwezo wa ununuzi wa mtu na kuwafanya watu wawe pumba zenye kuzunguka barabarani na kwenye masoko, huku wakiwa ni mafakiri katika viwango tofauti?! Na ni nini maana ya “ugumu wa maisha” kama si kuhodhi rasilimali na ardhi na kuziweka fursa za kazi mikononi mwa serikali au mwa kundi dogo, huku mamilioni ya watu wakinyimwa na kuwa wageni (kwenye nchi zao na) kwenye visima vya mafuta (vya gesi, machimbo ya dhahabu, almasi na tanzanaiti) na kwenye ardhi kubwa 5


Mkakati wa Kupambana na Ufakiri

yenye rutuba na ambayo katika tumbo lake inakusanya utajiri wa madini ambao hakuna aujuaye isipokuwa Mwenyezi Mungu tu? Ni kwa ajili hii na ile ndio maana limekuja jaribio la Ayatullah Sayyid Murtadha Husayniy Shiraziy ili kuchunguza njia za kimkakati za kupambana na ufakiri katika jamii, na mwanzo wake ni hotuba aliyoitoa Sayyid huko London katika kongamano la sita la kila mwaka la Imam Ali (as), lililofanyika sanjari na maadhimisho ya kuzaliwa kwake (as), mwezi kumi na tatu Rajab Tukufu. Ambapo Amirul-Muuminin (as) ndio taa itakayotuangazia njia itakayotunasua kutoka katika hali hii ya maradhi. Sayyid mwenyewe anafafanua sababu iliyomfanya amchague Amirul-Muuminin (as) kuwa mwongozaji mkuu atakayetupeleka kwenye lango kuu ambalo hapo ufakiri utapita kutoka kwenye umma na kupotea milele, na kwa kweli lango hilo ni sababu halisi na husika, kwani hakika yeye Imam (as) ameishi na ufakiri na hali ngumu ya maisha tangu utotoni mwake, kama alivyoishi nao katika maisha yake pamoja na Mtukufu Mtume (saww) katika kipindi cha safari yake ya kiungu ya kueneza Uislamu, ikiwa ni pamoja na hatua za kidhalimu na kiuonevu zilizochukuliwa na Mushrikina dhidi ya yule aliyeuamini Uislamu miongoni mwa watu wa Makka. Na baada ya hijra yeye alikuwa ni kiongozi mkubwa, mwaminifu na jasiri katika medani ya kutekeleza kivitendo maadili na misingi ya Uislamu hasa katika sekta ya uchumi. Hakika alitekeleza mwenendo wa Mtume (saww) katika kutengeneza jamii iliyo salama kiuchumi na kimaisha, hivyo waraka wake kwenda kwa Malik Ashtar Nakhaiy (r.a) baada ya kumteua kuwa Gavana wa Misri, umekuja kuelezea mfumo wa kielimu na kikanuni wa uchumi wenye mafanikio na matunda, usiouachia ufakiri nafasi baina ya wanajamii wa jamii ya Kiislamu. Somo hili lililomo mikononi mwako, ewe msomaji mpendwa, ni jaribio la uhakika ambalo tunataraji litafuatiwa na majaribio mengine 6


Mkakati wa Kupambana na Ufakiri

ya kielimu ya kuondoa hali ya ufakiri katika jamii na kuitokomeza kabisa, kwa sababu kuwepo tu hali hii kunapingana kikamilifu na utaratibu na mafunzo yaliyoletwa na Uislamu. Na umuhimu wa kueneza somo hili unatokana na mtazamo wa kimkakati na wa kijumla wa kutatua tatizo hili, kwani tatizo hili halipo kwa watu ambao tandiko lao ni ardhi na ni wenye kuwaomba watu, bali lipo katika vyanzo na sababu kadhaa zenye kuingiliana, ambazo zimepelekea kupatikana kundi hili kubwa, na kudhihiri kwa sura hii ambayo mara zote husikitisha na kusononesha zaidi kuliko inavyoleta huruma na mshikamano. Hii inamaanisha kuwa sisi hatuko katika suluhisho moja, bali ni masuluhisho yenye kufuatana na yenye kuungana katika pande kadhaa, ambayo yana mchango na athari katika hali ya ufakiri, na hili ndilo linalotutaka tufuatilie somo hili. Taasisi ya Nabau, inayojishughulisha na utamaduni na uelimishaji, Karbala Takatifu.

7


Mkakati wa Kupambana na Ufakiri

‫بسم هللا الرحمن الرحيم‬ NJIA ZA KIMKAKATI ZA ­KUPAMBANA NA UFUKARA

A

sili ya kitabu hiki ni hotuba aliyoitoa Ayatullah Sayyid Murtaza Husayniy Shiraziy katika kongamano la sita la kila mwaka la Imam Ali (as), lililofanywa na Kituo cha Kimataifa cha utamaduni na uelimishaji cha Firdawsi, sanjari na maadhimisho ya kuzaliwa kwa Amirul-Muuminin Imam Ali bin Abu Talib (as), yaliyofanyika mwezi 13 Rajab, 1427 A.H. katika ukumbi wa Broujstr, katika Jiji la London, Uingereza.

Hotuba ya Sayyid: Kwa jina la Mwenyezi Mungu, Mwingi wa rehema Mwenye kurehemu. Kila sifa njema ni ya Mwenyezi Mungu Mola Mlezi wa walimwengu wote. Sala na salamu zimfikie Mtume mwaminifu wa Mwenyezi Mungu, na ziwafikie Aali zake wema. Laana ya Mwenyezi Mungu iwe juu ya maadui zao mpaka siku ya Kiyama. Na hakuna nguvu wala uwezo isipokuwa kwa msaada wa Mwenyezi Mungu Mtukufu Aliye juu. Mwenyezi Mungu Mtukufu anasema: ∩∉⊇∪ $pκÏù óΟä.tyϑ÷ètGó™$#uρ Ú Ç ö‘F{$# z⎯ÏiΒ Νä.r't±Ρr& uθèδ “Yeye “Yeye ndiye aliyewaumba kutokana na ardhi na na akaifanya ndiye aliyewaumba kutokana ardhi iwe na koloni lenu.” (Surat Hud: 61). akaifanya iwe koloni lenu.” (Surat Hud: 61).

Na amesema tena:

8

¨ } $¨Ζ9$# #( θÝ¡y‚ö7s? Ÿωuρ ( Ý Å ó¡É)ø9$$Î/ šχ#u”Ïϑø9$#uρ tΑ$u‹ò6Ïϑø9$# (#θèù÷ρr& ÏΘöθs)≈tƒuρ


ù ä.óΟtä.yϑt÷èyϑtG÷èó™tG$#ó™uρ $#ÇÚ uρ ÇÚ ∩∉⊇∩∉⊇ ∪ ∪$pκÏ$pùκÏóΟ ö‘F{ö‘F{ $# ⎯ z $# ÏiΒz⎯ÏiΒΝä.Νär'.t±r't± Ρr& Ρruθ&èδθu èδ Mkakati wa Kupambana na Ufakiri

“Yeyendiye ndiyealiyewaumba aliyewaumbakutokana kutokanananaardhi ardhinana “Yeye akaifanya iwe koloni lenu.” (Surat Hud: 61). akaifanya iwe koloni lenu.” (Surat Hud: 61). Na amesema tena: amesematena: tena: NaNaamesema ( ÅÝ Î/ šχ ”Ïø9ϑ$#uρø9$#uρtΑ$utΑ‹ò6 $u‹ò6 ¨ } }¨ $¨Ζ$¨9$Ζ# 9$#( #θÝ#(¡θÝ¡ y‚y‚ ö7s?ö7Ÿs?ωŸω uρ uρ( ÅÝ ó¡ó¡ É)ø9É)$$Î/ø9$$šχ #u”Ï#uϑ Ïϑø9Ïϑ$# ø9(#$#θè(#ùθè÷ρùr& ÷ρÏΘr& öθÏΘs)öθ≈ts)ƒuρ≈tƒuρ ∩∇∈∪t⎦⎪Ït⎦‰⎪ÏÅ¡ ‰ø Å¡ãΒøãΒÇÚÇÚ $# †Î s? Ÿω ö u™èδ!$u™‹ô© !$u‹r&ô©r& ö uρ èδΝ ∩∇∈∪ ö‘F{ö‘F{ $# †Î û (#ûöθ(#sWöθ÷èsWs?÷èŸω uρ Ν

“Enyiwatu watuwangu! wangu!Timizeni Timizenikipimo kipimonanamizani mizani “Enyi

“Enyi watu Timizeni na mizani kwawatu uadilifu wala kwawangu! uadilifu walakipimo msiwatilie kasoro watuvitu vitu kwa uadilifu wala msiwatilie kasoro msiwatilie kasoro watu vitu vyao; wala msifanye ufisadi katika nchi vyao;wala walamsifanye msifanyeufisadi ufisadikatika katikanchi nchimkafanya mkafanya vyao; mkafanya vurugu.” (Sura Hud: 85). vurugu.” (Sura Hud: 85).

vurugu.” (Sura Hud: 85).

Naamesema: amesema: NaNaamesema: ∩⊄®∪$Yè$YŠÏèϑŠÏy_ ϑy_ÇÚÇÚ s9 šY ∩⊄®∪ ö‘F{ö‘F{ $# ’Î$# û’Î$¨ûΒ$¨ΒΝä3Νäs93šY n=y{n=y{“Ï“Ï %©!%$# ©!uθ$#èδuθèδ “Yeyendiye ndiyealiviumbia aliviumbiavyote vyotevilivyomo vilivyomokatika katika “Yeye

“Yeye ndiye aliviumbia vyote vilivyomo ardhi..” (Sura Baqarah: 29).katika ardhi..” (Sura Baqaardhi..” (Sura Baqarah: 29). rah: 29).

Imamu Ali Ali bin bin Abutalib Abutalib (as) (as) amesema: amesema: “Laiti “Laiti ufakiri ufakiri NaNa Imamu 1 Na Imamu Ali bin Abu Talib (as) amesema: “Laiti ufakiri ungejitokezambele mbeleyangu yangukwa kwasura surayayamtu mtubasi basiningemuuwa.” ningemuuwa.”1 ungejitokeza ungejitokeza mbele yangu kwa sura ya mtu basi ningemuuwa.”1 Na kablayayakuanza kuanza nanamada mada ya kimkakati ninilazima kwanza kabla kuanzana madahii kimkakati nilazima lazima kwanza NaNa kabla hiihii yaya kimkakati kwanza kujua maana ya ufakiri, mipaka yake na wigo wake. kujua maana ya ufakiri, mipaka yake na wigo wake. kujua maana ya ufakiri, mipaka yake na wigo wake. 1 1

An-Nidham as-Siyasiy Fil-Islam cha Sheikh Baqir Sharif al-Qarashiy. An-Nidham as-Siyasiy Fil-Islam cha Sheikh Baqir Sharif al-Qarashiy.

2121 1

An-Nidham as-Siyasiy Fil-Islam cha Sheikh Baqir Sharif al-Qarashiy. 9


Mkakati wa Kupambana na Ufakiri

1 - Ufukara ni nini? 1 - Ufukara ni nini?

I

li tuweze ukubwa wa madhara ya tatizo la ufakiri, ni wajibu Ili tuweze kujuakujua ukubwa wa madhara ya tatizo la ufakiri, ni wajibu kwanzakwanza tuujue tuujue ufakiriufakiri wenyewe kwa kwa usahihi na kwa ukamilifu. wenyewe usahihi na kwa ukamilifu. Hakika ufukara haukomei tu katika upande wa mahitaji ya kimada Hakika ufukara haukomei tu katika upande wa mahitaji ya kimada kamakama wanavyodhani watu wengi, mpana mpaka mpakamiwanavyodhani watu wengi,bali baliuna una wigo wigo mpana mipaka yaya mbali, hiyo ni ni kwa sababu ufakiri humaanisha uhitaji na na paka mbali, hiyo kwa sababu ufakiri humaanisha uhitaji ukosefu, na kwa msingi huu hujumuisha anwani zote zote zifuatazo: ukosefu, na kwa msingi huu hujumuisha anwani zifuatazo: mapenzi na huruma, imekuja katika hadithi Kwanza:Kwanza: KukosaKukosa mapenzi na huruma, imekuja katika hadithi 1 2 kwamba: si chochote isipokuwa mapenzi.”Na Napia:pia: kwamba: “Dini“Dini si chochote isipokuwa ni ni mapenzi.” “Wahurumieni waliomo aridhini atawahurumieni yuleyulealiyoko “Wahurumieni waliomo aridhini atawahurumieni aliyoko 2 mbinguni.” Na3 imekuja katika dua:dua: “Na“Na nihurumie kwakwa huruma mbinguni.” Na imekuja katika nihurumie huruma 3 Yako.” Yako.”4 Pili: Kukosa elimu inayofaa, hapa inajumuisha elimu ya dini na Pili: dunia, Kukosa elimu inayofaa, hapa inajumuisha elimu ya dini na Mwenyezi Mungu amesema: dunia, Mwenyezi Mungu amesema:

öΝÍκÏj.t“ãƒuρ ⎯ÏμÏG≈tƒ#u™ öΝÍκön=tã (#θè=÷Ftƒ öΝåκ÷]ÏiΒ ω Z θß™u‘ z⎯↵Íh‹ÏiΒW{$# ’Îû y]yèt/ “Ï%©!$# uθèδ

∩⊄∪ &⎦⎫Î7•Β 9≅≈n=|Ê ’Å∀s9 ≅ ã ö6s% ⎯ÏΒ (#θçΡ%x. βÎ)uρ sπyϑõ3Ïtø:$#uρ |=≈tGÅ3ø9$# Ν ã ßγßϑÏk=yèãƒuρ

“Yeye Ndiye Aliyempeleka Mtume kwenye watu

“Yeye Ndiyekusoma, Aliyempeleka Mtume kwenye watu wasiojua kusoma, wasiojua aliyetokana na wao, awasomee aliyetokana na wao, awasomee Aya Zake, na awatakase, na awafunze Aya Zake, na awatakase, na awafunze Kitabu na Kitabu na hikima, japokuwa hapo kabla walikuwa katika hikima, japokuwa hapo kabla walikuwa katika upotofu ulio dhahiri.” (Surat Jum’a: upotofu ulio dhahiri.” (Surat Jum’a: 2). 2). 2

1

Al-Kafiy Juz. 2, Uk. 125.

3 Mawsuatul-Ahadith Al-Kafiy Juz. 2, Uk. 125.Ahlul-Bayt Juz. 4, Uk. 146. 4 2 Al-Misbah Uk. 560. Mawsuatul-Ahadith Ahlul-Bayt Juz. 4, Uk. 146. 3 Al-Misbah Uk. 560.

10

22


Mkakati wa Kupambana na Ufakiri

Tatu: Upungufu wa huduma kamili ya afya, hii inajumuisha afya ya mwili, ya nafsi, ya roho na ya akili, imekuja katika hadithi tukufu kwamba: “Hakika elimu ni nne: ….na elimu ya tiba kwa ajili ya kuilinda miili.”5 Nne: Udhaifu katika utunzaji wa mwili na kufanya mazoezi anayoyahitajia mtu, ili kulinda afya ya mwili wake, roho yake na akili yake. Na hiyo ni miongoni mwa sababu zilizopelekea kuogelea, kurusha mishale na kupanda farasi kukawa ni mustahabu katika Uislamu. Tano: Ufukara wa kukosa makazi yanayofaa ambayo yatakidhi mahitaji yake ya kimwili, kiroho na kinafsi. Imekuja katika hadithi tukufu kwamba: “Miongoni mwa saada ya Mwislamu ni kuwa na makazi ya kutosha.”6 Sita: Pia ni kuhitaji na kukosa mavazi yanayofaa, Mwenyezi Mungu amesema: “Chukueni mapambo yenu.” (Sura Aaraf: 31). Na amesema pia: “Enyi wanadamu! Hakika tumewateremshia vazi lifichalo tupu zenu na vazi la pambo. (Sura Aaraf: 31). Saba: Ukosefu wa kinywaji na chakula cha kumwezesha mtu kupata kizio cha joto litolewalo na chakula na virutubisho muhimu vya chakula, Mwenyezi Mungu anasema: “Basi wamwabudu Mola wa Nyumba hii. Ambaye amewalisha wasipate njaa na akawasalimisha na hofu.” (Surat Qurayshi: 3 – 4). Na amesema: “Na vilivyo vizuri katika riziki.” (Surat Aaraf: 32). Nane: Ukosefu wa usafiri, imekuja katika hadithi tukufu: “Na mnyama aendaye mbio.”7 Tisa: Ukosefu wa mapambo, urembo na vipodozi, Mwenyezi Mungu anasema: Sharhu Risalatul-Huquq Uk. 385. Al-Kafiy Juz. 6, Uk. 526. 7 Al-Fiqhi al-Idarah cha Imam Shiraziyy Juz. 2, Uk. 176. 5 6

11


Nane: Ukosefu wa usafiri, imekuja katika hadithi tukufu: “Na mnyama aendaye mbio.”1 Mkakati wa Kupambana na Ufakiri

Tisa: Ukosefu wa mapambo, urembo na vipodozi, Mwenyezi Mungu anasema: ∩⊂⊄∪ ⎯ÍνÏŠ$t7ÏèÏ9 ylt÷zr& û©ÉL©9$# «!$# πs oΨƒÎ— Πt §ym ⎯ ô tΒ ö≅è% “Sema: Ni nani aliyeharamisha pambo la Mwenyezi Mungu “Sema: Ni nani aliyeharamisha pambo la Mwenyezi Mungu ambalo ambalo amewatolea waja Wake” (Surat Aaraf: 32). amewatolea waja Wake” (Surat Aaraf: 32).

Kumi: Amani katika kiwango cha kijamii, kisiasa na kiuchumi, Kumi: Amani katika kiwango cha kijamii, kisiasa na Mwenyezi Mungu anasema: “Na akawasalimisha na hofu.” (Surat kiuchumi, Mwenyezi Mungu anasema: “Na akawasalimisha na Qurayshi: 4). Na hofu inajumuisha kila jambo lenye kumtishia mtu hofu.” (Surat Qurayshi: 4). Mwenyezi Na hofu inajumuisha kila jambo kisiasa, kiuchumi na kijamii, Mungu amesema: “Na lenye kumtishia mtu kisiasa, kiuchumi na kijamii, Mwenyezi kuwaondolea mizigo yao na minyororo iliyokuwa juu yao.” MunguAaraf: amesema: kuwaondolea yao naaliyoikatakata minyororo (Surat 157).“Na Na hiyo ni mizigo mizigo na minyororo iliyokuwa juu yao.” Mungu (Surat (saww), Aaraf: 157). Navikwazo hiyo ni vinavyozuia mizigo na Mtume wa Mwenyezi nayo ni minyororo aliyoikatakata na Mtume wa kilimo, Mwenyezi Mungukutembea, (saww), uhuru wa kujishughulisha biashara, uzalishaji, kusafiri, kuishi, navinavyozuia hata mila na desturi uhuru. nayo ninavikwazo uhuru zinazozuia wa kujishughulisha na biashara, kilimo, uzalishaji, kutembea, kusafiri, na kuishi, na hata Kumi nadesturi moja:zinazozuia Kukosa haki za msingi na za ziada, kama vile haki mila na uhuru. ya mtu kuwa na uhuru wa kutoa yake, haki ya mtu kusafiri Kumi na moja: Kukosa hakimawazo za msingi na za ziada, kama vile na kutokusafiri, haki ya mtu kumiliki ardhi na miradi, haki ya mtu haki ya mtu kuwa na uhuru wa kutoa mawazo yake, haki ya mtu kufanya biashara na kuzalisha, na haki ya mtu kutumia kitu chake kusafiri na kutokusafiri, haki ya mtu kumiliki ardhi na miradi, haki kulingana na kanuni ya Kifiqhi inayotokana na Kauli ya Mtume ya mtu kufanya biashara na kuzalisha, na haki ya mtu kutumia kitu (saww): “Watu wana mamlaka juu ya mali zao na nafsi zao.”2 Na chake kulingana na kanuni ya Kifiqhi inayotokana na Kauli ya Mtume itokanayo na Aya tukufu: “Nabii ana mamlaka..” (Surat Ahzab: (saww): “Watu wana mamlaka juu ya mali zao nawala nafsikujidhuru.” zao.”8 Na 3 6), na kauli ya Mtume (saww): “Hakuna kudhuru itokanayo na Aya tukufu: “Nabii ana mamlaka..” (Surat Ahzab: 6), na kauli ya Mtume (saww): “Hakuna kudhuru wala kujidhuru.”9 1 Al-Fiqhi cha ImamMungu: Shiraziyy“Mna Juz. 2, Uk. Na kaulial-Idarah ya Mwenyezi dini176. yenu nami nina dini 2 Al-Khilaf cha Sheikh Tusiy Juz. 3, Uk. 176. 3 yangu.” (Surat Kafirun: 6). Biharul-An’war Juz. 2, Uk. 276. Kumi na mbili: Ukosefu wa fikra, maarifa na itikadi, Mwenyezi Mungu amesema: “Na hakika tulikwishampa Ibrahim uongofu 24 8 9

Al-Khilaf cha Sheikh Tusiy Juz. 3, Uk. 176. Biharul-An’war Juz. 2, Uk. 276.

12


Mkakati wa Kupambana na Ufakiri

wake” (Surat Anbiyaa: 51). Na amesema tena: “Na awatakase, na awafunze Kitabu na hikima.” (Surat Jum’a: 2). Kumi na tatu: Ufakiri wa jamii na dola, ambapo ufakiri si makhususi tu kwa mtu binafsi, bali pia una mifano halisi ya dola kukosa vyombo vya kikatiba, na pia dola na jamii kukosa mihimili ya taifa. Kumi na nne: Kukosa uhuru wa kiuchumi na kisiasa..

13


Mkakati wa Kupambana na Ufakiri

2 - Imamu Ali (as) na maeneo ya ufukara

W

igo huu wa matawi ya ufakiri unaakisiwa na hadithi za Amirul-Muuminina (as):

a.

Ameashiria (as) ufakiri wa elimu kwa kauli yake: “Hakuna utajiri kama akili na hakuna ufakiri kama ujinga.”10 Ujinga wenyewe ulivyo ni ufakiri na kukosa elimu na maarifa, na pia ni sababu muhimu ya ufakiri wa kiuchumi.

b.

Na ameashiria (as) ufakiri na ukosefu wa maarifa, uwelewa na mwongozo wa kifikra kwa kauli yake: “Upumbavu ni ufakiri mkubwa.”11

c.

Na ameashiria (as) ufakiri na ukosefu wa amani na usalama wa kijamii na kisiasa kwa kauli yake: “Ninyi si nguzo ya kutegemewa na wala si ngome imara ya kukimbilia.”12 Na ufakiri huu unajumuisha ufakiri wa mtu mmoja mmoja, ufakiri wa dola na ufakiri wa jamii pia.

d.

Kama alivyoashiria (as) ufakiri wa kiroho na kimaadili kwa kauli yake: “Ufakiri mbaya zaidi ni ufakiri wa nafsi.”13 Na “Balaa kubwa kabisa ni ufakiri wa nafsi.”14 Kama unavyojumuishwa ndani ya kauli yake: “Huenda fakiri ni tajiri kushinda kila tajiri.”15 Bali ufakiri hapa una

Nahjul-Balaghah, Hekima ya 54. Nahjul-Balaghah, Hekima ya 38. 12 Nahjul-Balaghah, Hekima ya 34. 13 Ghurarul-Hikam, Uk. 232. 14 Ghurarul-Hikam, Uk. 232. 15 Ghurarul-Hikam, Uk. 366. 10 11

14


Mkakati wa Kupambana na Ufakiri

mifano mingi, miongoni mwake ni ufakiri wa kukosa afya au amani au haki au mambo mengine. Kwani inawezekana kuna mtu ambaye ni fakiri wa mali lakini ni tajiri wa afya, na anaweza kuwepo mwingine ambaye ni tajiri wa mali lakini mali hii imeshindwa kumpa siha, usalama na afya njema. Au anaweza kuwepo ambaye ni tajiri wa mali lakini yeye ni fakiri kwa kukosa haki zake za msingi na za pili, kama vile uhuru wa kutoa mawazo, uhuru wa kusafiri na kuishi sehemu fulani, uhuru wa kumiliki, kuzalisha na mengineyo. Hakika huyu ana hali mbaya zaidi kushinda yule aliye tajiri wa haki zake licha ya ufakiri wake wa mali.

16

e.

Kama ufakiri wa kukosa dini na akida sahihi ulivyoashiriwa kwa kauli ya Mtume wa Mwenyezi Mungu (saww): “Ufakiri ni kusawijika uso katika nyumba mbili – dunia na Akhera.”16 Na makusudio ya ufakiri hapa ni ufakiri wa kukosa dini, takwa, uchaji na maadili mema ya hali ya juu, nayo ndio sababu ya kupata khasara duniani na Akhera, kwani hakika mtu aliyekosa kizuizi cha kidini hasiti kuiba, kunyang’anya, kuuwa na kutenda aina mbalimbali za uhalifu. Kama ambavyo dola isiyo na kizuizi cha kidini na maadili mema hupokonya uhuru wa watu, huwaweka gerezani watu huru na wasio na hatia, na kuwateketeza wengi na wachache pamoja. Na yote hayo ndio kusawijika kwa uso katika nyumba mbili.

f.

Kama ambavyo Aya Tukufu inayosimulia kauli ya Nabii wa Mwenyezi Mungu Musa (as): “Na akasema: Mola Wangu! Hakika mimi ni mhitaji wa kheri utakayoniteremshia.” (Surat al-Qasas: 24), ijapokuwa tukio la kuteremka kwake ni chakula, isipokuwa

Biharul-An’war, Juz. 69, Uk. 30. 15


Mkakati wa Kupambana na Ufakiri

7.

inajumuisha pia kila maana inayoweza kuingia chini ya anwani ya uhitaji, kwani hakika mtu katika mambo yake yote ni mhitaji wa aina zote za hiba za Mwenyezi Mungu Mtukufu. Imamu Ali (as) amesema: “Fakiri kushinda watu wote ni yule mwenye kufanya ubahili juu ya nafsi yake licha ya utajiri na wasaa alionao, huku akimwachia utajiri huo mwingine baada yake.”17 Hivyo ufakiri si tu kutomiliki mali na utajiri wa kimada, bali ni kukosa kufaidika nao na kutoutumia katika kukidhi mahitaji ya kimada na kiroho, ya kisiasa na kijamii, ya kielimu, kifikra na kimaarifa, ya msingi, ya uzuri na ukamilifu. Hivyo mwenye kumiliki mabilioni ya pesa lakini hayatumii katika kutetea haki zake na haki za umma wake huyo ni fakiri, bali ni fakiri kushinda watu wote. Na dola ambayo inamiliki mabilioni ya pesa lakini haitumii katika mihimili ya taifa na kuboresha taasisi za kikatiba, hiyo ni fakiri pia.

Ndiyo, ufakiri pekee ulio mzuri na wenye manufaa na ambao ndio utajiri wenyewe ni ufakiri wa kumhitajia Mwenyezi Mungu. Imekuja katika dua tukufu: “Ewe Mungu Wangu! Nitosheleze kwa kukuhitajia Wewe, na wala usinipe ufakiri wa kutokukuhitajia Wewe.”18 Kadhalika imekuja katika sahifa ya Nabii Idirisa (as): “Hana utajiri asiyekuhitajia Wewe, na hana ufakiri mwenye kukuhitajia Wewe.”19

Ghurarul-Hikam, Uk. 369. Biharul-An’war, Juz. 69, Uk. 31. 19 Biharul-An’war, Juz. 95, Uk. 462. 17 18

16


Mkakati wa Kupambana na Ufakiri

3 - Ufukara ni changamoto kubwa

U

fakiri unahesabika miongoni mwa changamoto kubwa zilizomkabili mwanadamu katika muda wote wa historia yake, na wenyewe pamoja na ujinga, maradhi na ukosefu wa amani kwa namna zake zote, kwa pamoja yanatengeneza sababu kuu nne zinazomfanya mwanadamu akose maendeleo na aishi katika mateso. Pamoja na maendeleo yote ya kielimu na mipango na mifumo yote ya kiuchumi katika ngazi ya kitaifa na kimataifa lakini bado ufakiri umeendelea kuwa jambo hatari zaidi na tishio kubwa kwa mwanadamu, kwani imekuja katika ripoti ya Rais wa Benki ya Dunia kuwa: “Hakika baina ya watu bilioni 6 kuna watu bilioni 2.8 ambao wanaishi kwa wastani wa kiwango cha chini ya dola mbili kwa siku. Na kuna watu bilioni 1.2 ambao wanaishi kwa kiwango cha wastani wa chini ya dola moja kwa siku. Na katika kila watoto wachanga mia moja wanaokufa, sita hufa kabla ya kutimiza umri wa mwaka mmoja. Ama watoto wanaofikia umri wa kwenda shule, ni watoto tisa wa kiume na kumi na nne wa kike ndio hufanikiwa kujiunga na shule ya msingi kati ya kila watoto mia moja, na waliosalia hubaki nyuma ya milango.�20

20

ila baada ya miaka kadhaa Benki ya Dunia hutoa taarifa ya makisio mapya kuhusu K hali ya ufakiri, ikitegemea taarifa mpya za kiulimwengu zinazohusu gharama za maisha, kadhalika utafiti makhususi uliofanywa katika nchi kwa kulinganisha na matumizi ya kaya. Taarifa iliyotolewa na Benki ya Dunia tarehe 29 Februari 2012, inaashiria kwamba idadi ya watu wanaoishi kwa chini ya dola 1.25 kwa siku kwa mtu mmoja ilifikia watu bilioni 1.29 katika mwaka 2008, ambayo ni sawa na asilimia 22 ya wakazi wote wa nchi zenye kuendelea. Ripoti hii mpya imetegemea kaya 850 zilizofanyiwa utafiti katika nchi 130, na kwa ajili hii Martin Ravallion amesema: “Kwa ujumla wake nchi zenye kuendelea 17


Mkakati wa Kupambana na Ufakiri

Hakika tatizo la ufakiri ni gumu sana na linaingia katika sekta nyingine zote za maisha, za kisiasa na kijamii, za kinafsi na kifikra na kiroho, za kikanuni na kidini. Na kwa kuwa kila sababu ina uhusiano wa kupeana na ufakiri, hivyo inachangia katika kutengeneza tatizo zimepiga hatua katika kupambana na umasikini wenye kupindukia, lakini wale waliovuka msitari wa ufakiri na ambao idadi yao imefikia watu milioni 663, ukilinganisha na vipimo vya nchi za kati na zenye kipato kikubwa, wao bado ni mafakiri, kama ilivyotokea katika nchi fakiri zaidi. Na huku kuvuka msitari wa ufakiri wenye kupindukia ni dalili juu ya hali ya udhaifu inayowatesa watu wengi miongoni mwa mafakiri ulimwenguni. Na kwa mujibu wa vipimo vya sasa vya maendeleo ni kwamba hakika idadi ya mafakiri wenye ufakiri wa kupindukia watafikia watu bilioni moja tu ifikapo mwaka 2015. Na wastani wa dola 1.25 unawakilisha msitari wa kati wa ufakiri katika nchi 10 hadi 20 zilizo fakiri zaidi ulimwenguni, wakati ambapo wastani wa dola mbili kwa siku kwa mtu mmoja ambao unaoonesha msitari wa juu wa ufakiri (nao ndio msitari wa kati katika nchi zenye kuendelea) unafichua kwamba yamepatikana maendeleo machache ukilinganisha na wastani wa dola 1.25 kwa mtu mmoja kwa siku. Na kwa hiyo kulikuwa na upunguaji mdogo katika idadi ya watu wanaoishi kwa wastani wa dola mbili kwa siku kwa mtu mmoja katika kipindi cha kuanzia mwaka 1981 mpaka 2008, kutoka watu bilioni 2.59 hadi watu bilioni 2.44, japo ilipungua kwa kasi tangu mwaka 1999.” Katika upande mwingine, ….. ambaye ni kiongozi wa timu ya Benki ya Dunia inayohusika na kupunguza ufakiri na kuleta usawa, amesema: “Vipimo vya ufakiri katika nchi zenye kuendelea vilivyofikia asilimia 22 kwa wanaoishi kwa wastani wa chini ya dola 1.25 kwa siku kwa mtu mmoja, na asilimia 43 kwa wanaoishi chini ya dola mbili kwa mtu mmoja kwa siku, ni namba zisizokubalika. Tunahitaji kuongeza juhudi zetu, hiyo ni katika upande wa siasa na mipango, sisi tuna haja ya kuushambulia ufakiri katika pande zote, kwa kuzalisha kazi zaidi na bora, ikiwa ni pamoja na kutoa huduma bora katika elimu na afya na kujenga miundombinu bora kwa ajili ya kuyanusuru makundi dhaifu na yaliyoathirika. Ama kwa upande wa makadirio, hakika kuna haja ya nchi kupanua zoezi la kukusanya taarifa na kuimarisha mfumo wa takwimu, hasa katika nchi zenye kipato cha chini.” Kama ilivyotamka wazi Benki ya Dunia Agosti 26 mwaka 2008, kwamba makisio ya uchumi mzuri yamedhihirisha kuwepo kwa idadi kubwa ya mafakiri ulimwenguni kuliko ilivyokuwa inaaminiwa huko nyuma. Na katika uchunguzi mpya chini ya anwani “Ulimwengu wenye kuendelea una mafakiri wengi kuliko ilivyokuwa ikiaminiwa, lakini mafanikio yake si machache katika vita dhidi ya ufakiri” wote wawili Martin Ravallion na Shaohua Chen wameanza kutathmini makisio ya ufakiri kuanzia mwaka 1981, na wakafupisha kwa kusema kwamba hadi mwaka 2005 kulikuwa bado kuna watu bilioni 1.4 (mtu mmoja katika kila watu wanne) katika nchi zenye kuendelea, ambao wanaishi chini ya wastani wa 1.25 kwa siku kwa mtu mmoja, ambapo ni kunyume na mwaka 1981 ambapo ilikuwa ni watu bilioni 1.9 (mtu mmoja kati ya kila watu wawili). Kwa maelezo zaidi tembelea tovuti ya http://worldbank.org. 18


Mkakati wa Kupambana na Ufakiri

hili kwa upande mmoja, na kuathiriwa na ufakiri huo kwa upande mwingine. Na kumeshakuwa bayana kushindwa kwa mwanadamu katika kupata suluhisho kamili la tatizo la ufakiri,21 na kama kuna 21

Kwa mujibu wa takwimu zilizotangulia ni kwamba ardhi ina watu zaidi ya bilioni

sita, kati ya hao wakazi wa nchi zenye kuendelea ni bilioni 4.3, kati ya hao watu karibuni bilioni 3 wanaishi chini ya msitari wa ufakiri, ambao ni wastani wa dola mbili za Marekani kwa siku. Na kati ya hawa kuna watu bilioni 1.2 wanaopata chini ya dola moja kwa siku. Na nusu ya wakazi wa dunia leo hii wanaishi katika miji na majiji. Katika mwaka 2005 karibuni theluthi (watu bilioni 1) walikuwa wanaishi katika janga la umasikini. Na katika nchi zenye kuendelea tunakuta asilimia 33.3 hawana maji salama ya kunywa au kwa matumizi ya binadamu. Na asilimia 25 hawana makazi yanayofaa, na asilimia 20 hawapati huduma ya afya ya kawaida, na asilimia 20 miongoni mwa watoto hawafiki zaidi ya darasa la tano katika elimu ya msingi, na asilimia 20 ya wanafunzi hawana chakula cha kutosha. Na kwa siku wanakufa karibuni watoto 30,000 kwa sababu ya ufakiri. Na anaashiria mmoja wa watafiti katika takwimu nyingine kwamba watu hamsini elfu wanakufa kila siku kwa sababu ya ufakiri. Na karibuni nusu ya wakazi wa ulimwengu wanaishi chini ya msitari wa ufakiri, zaidi ya hapo asilimia 70 kati yao ni wanawake. Na kwa mwaka wanakufa watoto milioni 1.8 kwa sababu ya kuhara, na watoto milioni 1.4 wanakufa kwa mwaka kwa sababu ya upungufu wa maji na huduma ya afya, na milioni 22 kwa maradhi ambayo yanaweza kuzuilika. Na katika kila mwaka kuna watu milioni 30 – 500 wanaougua malaria, kati ya hao milioni moja wanakufa, na Afrika inaongoza kwa asilimia 90 ya vifo vinavyotokana na malaria. Na watoto wanatengeneza asilimia zaidi ya 80 ya waathirika wa malaria katika pande zote za dunia. Kama ambavyo katika nchi zenye kuendelea karibuni watoto milioni 72 walio katika umri wa kwenda shule katika kiwango cha elimu ya msingi, walikuwa hawajakwenda shule katika mwaka 2005, kati yao asilimia 57 ni wasichana. Na kati ya asilimia 29 na 28 ya watoto wa nchi zenye kuendelea wanataabika kwa kukosa uzito. Theluthi ya wakazi wa nchi zenye kuendelea hawatarajii kuishi zaidi ya miaka 40, kutokana na upungufu wa lishe. Kama ambavyo watu bilioni 1.6 – yaani robo ya wanadamu – wanaishi bila nishati ya umeme, kama ambavyo watu bilioni moja katika nchi zenye kuendelea hawapati kiasi cha kutosha cha maji. Na Benki ya Dunia ilitoa makisio yaliyotangulia ya watu wanaoishi katika ufakiri wa kupindukia katika nchi zenye kuendelea, kabla ya kubadili makisio ya ufakiri kwenda kwenye wastani wa 1.25 kwa siku badala ya dola moja. Benki ilisema kuwa watu bilioni 1.4 ambao ni sawa na asilimia 1.25 ya wakazi wa nchi zenye kuendelea walikuwa wanaishi katika ufakiri wenye kupindukia na wanaishi chini ya wastani wa dola 1.25 kwa siku katika mwaka 2005, katika nchi kumi hadi ishirini fakiri zaidi katika kiwango cha dunia. Na katika mwaka 2007 19


Mkakati wa Kupambana na Ufakiri

Benki ikasema kuwa watu milioni mia moja wanaweza kuingia katika orodha ya masikini wanaotokana na kuongezeka kwa gharama za chakula na nishati. Na Umoja wa Mataifa umethibitisha kupitia taarifa mpya ya Benki ya Dunia kwamba mtikisiko wa uchumi uliongeza watu milioni 50 katika idadi ya wanaoteseka kwa ufakiri wa kupindukia, katika kipindi cha mwaka 2009. Kama ambavyo uliongeza watu wengine milioni 64 katika kipindi cha mwaka 2010, hasa katika eneo la Kusini mwa jangwa la Sahara, na Mashariki na Kusini Mashariki mwa Asia. Kama ambavyo pia janga la ukosefu wa chakula pamoja na janga la mtikisiko wa uchumi, kwa pamoja viliongeza idadi ya wanaoteseka na njaa, ambapo idadi ya wanaoteseka kutokana na ukosefu wa lishe bora ilifikia watu zaidi ya bilioni moja katika kipindi cha mwaka 2009. Na takwimu za Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAW) zinasema kuwa watu zaidi ya bilioni moja ulimwenguni wanateseka kwa upungufu wa chakula, yaani karibuni sudusi ya wakazi wa dunia. Kama ambavyo karibuni theluthi ya wakazi wa dunia (watu bilioni 2.5) hawana uwezo wa kupata huduma bora ya afya ya matibabu ya msingi, na zaidi ya watu bilioni moja ya wakazi wa dunia wanatembea uchi. Mkabala na taarifa hiyo, takwimu za nchi za Magharibi zinabainisha kwa namba kwamba nchi za viwanda zinamiliki asilimia 97 ya haki katika sekta mbalimbali ulimwenguni, na kwamba mashirika ya kimataifa yanamiliki asilimia 90 ya haki za teknolojia, uzalishaji na mauzo, na kwamba zaidi ya asilimia 80 ya faida ya jumla ya uzalishaji wa nje unaofanywa katika nchi zenye kuendelea inakwenda kwenye nchi 20 tajiri. Na ni karibuni asilimia 13 ya wakazi wa ulimwengu ndio wanaodhibiti asilimia 25 ya rasilimali, yaani dola tirioni 27 zinamilikiwa na watu milioni saba tu katika ulimwengu wote. Na uchambuzi unaonesha kwamba kama wangetoa asilimia moja tu ya utajiri huu basi ingetosha kukidhi gharama za masomo ya msingi kwa watoto wote katika nchi zenye kuendelea. Kama ambavyo ingechukuliwa chini ya asilimia moja ya gharama zinazotumika kujiimarisha kisilaha basi ingetosha kuwaingiza watoto wote shuleni. Na watu wa Ulaya pamoja na Wamarekani wanatumia dola bilioni 4 kwa mwaka kwa ajili ya kununulia booze, urembo, manukato na vyakula vya wanyama wa nyumbani, yaani kiasi kinachotosha kuziba pengo katika afya ya uzazi, masomo ya msingi, maji, afya, usafi na chakula kwa watu wote ulimwenguni. Joseph Stiglitz mshindi wa tuzo ya Nobel ya uchumi, anasema: Hakika tarakimu katika wakati wetu huu tulionao zinaashiria kwamba ndoto za Marekani ni ngano tupu, kwani katika Marekani ya leo usawa katika fursa ni mdogo sana kuliko ulivyo Ulaya, bali katika nchi yoyote ile iliyoendelea kiviwanda ambayo taarifa zake zinapatikana. Na hii ni moja ya sababu zinazoifanya Marekani, kati ya nchi zote zenye maendeleo, kuwa nchi yenye kiwango kikubwa cha tofauti na kutokuwepo na usawa, na ufa uliopo baina yake na nchi nyingine zenye maendeleo unazidi kuongezeka. Katika kipindi cha mwaka 2009 – 2010 kuna kundi la asilimia moja katika mia moja liliingiza pato kubwa Marekani 20


Mkakati wa Kupambana na Ufakiri

suluhisho la msingi la tatizo hili basi chanzo chake ni mbingu, ambapo ni Kwake Yeye Mungu Mwenye hekima, Mwadilifu, Mjuzi ambalo ni asilimia 93 ya pato la ndani, na ukichunguza kwa kina utagundua mchezo mchafu uliochezwa na watu hawa, baadhi yao wamepata utajiri wao kwa kutumia nguvu ya kuzuia bidhaa.� Na takwimu zinazohusu ulimwengu wa Kiarabu zinaashiria kwamba karibuni Waarabu milioni 40 wanateseka kwa upungufu wa chakula, yaani ni sawa na asilimia 13 ya wakazi wote. Zaidi ya hapo ni kwamba karibuni Waarabu milioni mia moja wanaishi chini ya msitari wa ufakiri, yaani karibuni theluthi ya wakazi wa ulimwengu wa Kiarabu. Na asilimia 9 ya watoto wa ulimwengu wa Kiarabu wanakufa wakiwa chini ya umri wa miaka mitano kutokana na umasikini na kukosa lishe bora. Na asilimia 15 ya watoto wa ulimwengu wa Kiarabu wana upungufu wa uzito. Na Wizara ya Mipango na Misaada ya Maendeleo ya Iraki imegundua kuwa ndani ya jamii yake, asilimia 23 ya wanajamii ni mafakiri walio chini ya wastani wa msitari wa ufakiri, nao wanatengeneza idadi ambayo si chini ya Wairaki milioni saba. Kipato chao kwa siku hakizidi dola moja ya Kimarekani. Na taarifa nyingine iliyotolewa na Wizara ya Mipango na Misaada ya Maendeleo ya Iraki imegundua kuwa mwishoni mwa mwaka 2007 ufakiri ulisambaa kwa Wairaki wakati ukosefu wa kazi uliongezeka hadi asilimia 50. Taasisi ya Ashoka imetaja kwamba asilimia 52 ya Wamisri wanaishi chini ya wastani wa dola mbili kwa siku, na kwamba asilimia 10 ya jamii inateseka kwa ukosefu wa makazi, na kwamba asilimia 68 ya makazi ni makazi duni, jambo ambalo linaifanya Misri kuingia chini ya orodha ya nchi fakiri zaidi ulimwenguni. Na wajuzi wanaona kwamba zaidi ya nusu ya watoto wa Bangladesh wanaishi katika ufakiri na hawana chakula, huduma ya afya na makazi, na wanakosa fursa za kuyakimbia mazingira haya. Kuna watoto milioni 33 walio chini ya umri wa miaka 18, yaani karibuni asilimia 56 ya watoto wote wa Bangladesh, hivi sasa wanaishi chini ya msitari wa ufakiri ulioainishwa na ulimwengu, wa wastani wa dola moja kwa siku kwa kila mtu. Na jumla ya wakazi wa nchi nzima inafika watu milioni 140, kati yao milioni 66 ni watoto, yaani asilimia 44 ya wakazi wote. Angalizo: Takwimu hizi kuhusu ufakiri ambazo zilisambazwa na mashirika ya habari kutoka kwenye Mashirika ya Kimataifa kama vile Umoja wa Mataifa, Benki ya Dunia na mengineyo, inawezekana zisiwe zimeeleza ukweli halisi wa janga na tatizo la ufakiri ulimwenguni. Ripoti hizi zinajaribu kuonesha kuwa idadi ya mafakiri ulimwenguni imepungua ukilinganisha na mwaka 1981, na hivyo mashirika haya yanajaribu kujinasibisha na mafanikio ambayo uhalisia wake ni tofauti. Mashirika haya hayajazungumzia mfumuko wa bei katika nchi masikini, kama ambavyo hayajazungumzia bei ya dola ya Marekani, kama ambavyo hayajakuwa makini kuchunguza tatizo la utandawazi na kufunguka kwa masoko. 21


Mkakati wa Kupambana na Ufakiri

wa kila kitu na Muweza, ndiko kuliko na suluhisho la tatizo ikiwa ni pamoja na suluhisho la nguzo zake tatu ambazo ni: Mwanadamu, rasilimali na mpango na mfumo. Kuanzia hapa ndipo ikawa ni lazima tulitambue suluhisho la tatizo la ufakiri kwa mujibu wa mafundisho ya Mwenyezi Mungu ambayo yameelezwa na Qur’ani Tukufu, Maneno ya Mtume wa Mwenyezi Mungu (saww) na Imam Ali bin Abu Talib (as).

22


Mkakati wa Kupambana na Ufakiri

4 - Kwa nini tumemchagua Imam Ali (as) kuwa mwalimu na mwongozaji?

S

ababu ya msingi iliyotufanya tuyazingatie maneno, hekima na hatua za Imamu Ali bin Abu Talib (as) za kiuchumi kuwa marejeo ya msingi katika kujua suluhisho la kimkakati katika kupambana na ufakiri, ni kundi la sababu zifuatazo:

22

1.

Kwa sababu yeye ndiye mjuzi zaidi wa mpango wa mbingu baada ya Mtume wa Mwenyezi Mungu (saww), kwani Mtume wa Mwenyezi Mungu (saww) amesema: “Ali ndiye mjuzi zaidi kushinda ninyi nyote.�22

2.

Kwa sababu yeye kupitia hadithi zake, maneno yake na hotuba zake na hasa waraka wake kwenda kwa Malik Ashtar, ametuachia mipango mikubwa inayotuwekea mkakati wenye mafundisho bayana ya kupambana na ufakiri katika muda wote wa historia.

3.

Na kwa sababu yeye (as) amepitia mateso katika maisha yake ya kila siku, kwani amezaliwa katika mazingira ya ufakiri na akaonja humo ladha ya ufakiri, hivyo akahisi kiundani maumivu ya mafakiri.

4.

Na ni kwa sababu ya kujitofautisha kwake kwa tajriba kubwa na uzoefu mkubwa aliokuwa nao katika kushughulikia tatizo hili, kwani yeye (as) aliishi na Mtume wa Mwenyezi Mungu (saww) katika kipindi cha ufakiri mkubwa sana, kisha katika kipindi cha utajiri mkubwa uliommiminikia

Al-Kafiy Juz. 7, Uk. 424. 23


Mkakati wa Kupambana na Ufakiri

Mtume wa Mwenyezi Mungu (saww), akaona na akajifunza kutoka kwa Mtume wa Mwenyezi Mungu (saww) namna ya kuamiliana na ufakiri, na namna ya kuamiliana na utajiri, na jinsi gani anavyoitumia kila hali katika kuweka hatua iliyokamilika kila upande ili kupambana na ufakiri. 5.

23

Ni kwa sababu ya uvumilivu wake (as) juu ya mateso yaliyoendelea kwa kipindi kirefu, mateso ambayo yaligeuka na kuwa hatua za kivitendo za kupambana na ufakiri katika medani yake. Alipooa aliishi maisha ya mafakiri pamoja na mke wake Fatima Zahra Mkweli aliye maasumu (as), kuna wakati alikuwa akiweka rehani deraya yake ili aweze kukopa pishi tatu za shairi ya chakula cha siku moja.23 Na

sudul-Ghabah cha Ibn Athir al-Jazriy, Juz. 5, Uk. 530, Wasifu wa Bi Fidha U an-Nawbiyah: Amepokea kwa njia yake kutoka kwa Mujahid, naye amepokea kutoka kwa Ibn Abbas, amesema kuhusu kauli ya Mwenyezi Mungu: “Wanatimiza ahadi, na wanaiogopa siku ambayo shari yake inaenea sana. Na huwalisha chakula, juu ya kukipenda kwake, masikini, na yatima, na wafungwa.” Amesema: “Imam Hasan na Husain (as) walikuwa wagonjwa, babu yao Mtume wa Mwenyezi Mungu (saww) aliwatembelea na akawaahidi atawaletea kijakazi wa kiarabu. Kisha Imam Ali (as) akapewa ushauri ya kuwa: ‘Ewe Abal-Hasan laiti ungeweka nadhiri kwa ajili ya watoto wako.’ Imam Ali (as) akasema: ‘Ikiwa watapona ugonjwa walionao nitafunga siku tatu kwa ajili ya Mwenyezi Mungu kama shukrani yangu Kwake.’ Naye Fatima (as) akasema hivyo hivyo, pia kijakazi wao aliyeitwa Fidha an-Nawbiyah akasema: ‘Ikiwa mabwana zangu hawa watapona nitafunga kwa ajili ya Mwenyezi Mungu kama shukurani yangu Kwake.’ Mara wakapona hawa vijana, na wakati huo Aali Muhammadi hawakuwa na kitu, si kichache wala kingi. “Ndipo Ali (as) alipokwenda kwa Sham’un Khaybariy na akamkopa pishi tatu za shairi na kumletea Fatima (as) naye akasaga na kuoka mikate. Baada ya Ali (as) na Mtume wa Mwenyezi Mungu kumaliza kuswali, Ali (as) alirejea nyumbani kwake na mara kikawekwa chakula mbele yake, mara wakajiwa na masikini akiwa amesimama mlangoni na kusema: ‘Assalaam Alaykum enyi watu wa nyumba ya Muhammad, mimi ni masikini katika watoto wa Kiislam, nilisheni Mwenyezi Mungu atawalisha chakula katika meza za peponi., hapo Ali (as) akamsikia na akawaamrisha ahli zake wakampelekea chakula, na wao wakashinda siku nzima na kulala wakiwa hawajaonja chochote zaidi ya maji. Na ilipowadia siku ya pili Fatima (as) alisaga tena ile shairi na akatengeneza mkate, baada ya Ali (as) na Mtume wa Mwenyezi Mungu kumaliza kuswali, Ali (as) alirejea 24


Mkakati wa Kupambana na Ufakiri

nyumbani kwake na mara kikawekwa chakula mbele yake, mara wakajiwa na yatima akiwa amesimama mlangoni na kusema: ‘Assalaam Alaykum enyi watu wa nyumba ya Muhammad, yatima ambaye baba yake amekufa shahid yupo mlangoni, nilisheni.’ Wakampa chakula yule yatima na wakabaki siku mbili bila kuonja chochote zaidi ya maji. Na ilipowadia siku ya tatu Fatima (as) alisaga tena ile pishi ya shairi iliyobakia na akatengeneza mkate, baada ya Ali (as) na Mtume wa Mwenyezi Mungu kumaliza kuswali, Ali (as) alirejea nyumbani kwake na mara kikawekwa chakula mbele yake, mara wakajiwa na mfungwa, alisimama mlangoni na kusema: ‘Assalaam Alaykum enyi watu wa nyumba ya unabii! Hivi kweli tunatekwa na kufungwa na wala hatupewi chakula, nilisheni kwani mimi ni mfungwa.’ Wakampa chakula na kubaki siku tatu mchana na usiku bila kuonja chochote zaidi ya maji. “Baadaye Mtume aliwatembelea na kuiona hali waliyonayo kutokana na njaa, na ndipo Mwenyezi Mungu akateremsha: ”Hakika kilimpitia binaadamu kipindi katika zama ambacho kwamba hakuwa kitu kinachotajwa. – mpaka - Hakika sisi tunakulisheni kwa wajihi wa Mwenyezi Mungu. Hatutaki kwenu malipo wala shukrani.” Kisha Amesema: Ameiandika Abu Mussa. Nasema: Ameitaja pia Zamakhshariy ndani ya al-Kashaf katika tafsiri ya kauli ya Mwenyezi Mungu: “Na atawajazi Bustani za Peponi na maguo ya hariri kwa vile walivyosubiri.” Katika Sura ad-Dahri. Na ameeleza pia kuwa al-Wahidiy naye kaitaja. Na ameitaja pia Fakhri Raziy katika tafsiri yake Tafsirul-Kabiir, amesema: “al-Wahidiy ni katika wafuasi wetu.” - akimaanisha ni katika Maashaira -. Ametaja ndani ya kitabu Al-Basit kwamba aya hizi ziliteremshwa kwa haki ya Ali (as), amesema: “Mwandishi wa Tafsiri Al-Kashaf kakitaja kisa hiki, kapokea kutoka kwa Ibn Abbas, na hapo kaitaja riwaya iliyotangulia. Asbabun-Nuzul cha al-Wahidiy Uk. 331: Katika kueleza sababu ya kuteremka kauli ya Mwenyezi Mungu: Na huwalisha chakula, juu ya kukipenda kwake, masikini, na yatima, na wafungwa: Amesema: Amesema Atau kutoka kwa Ibn Abbas, amesema: “Ni kwamba Ali (as) aliajiriwa na mtu ili afanye kazi ya kumwagilia mtende kwa malipo ya shairi, na ilipotimia usiku na kulipwa, alichukua theluthi ya ile shairi na kuisaga, akatengeneza chakula kinachoitwa harira, na kilipoiva alikuja masikini nao wakamtolea kile chakula {wao wakabaki na njaa}, kisha siku ya pili wakatengeneza theluthi ya pili na kilipoiva mara akaja yatima akiomba wakampa kile chakula, na wao wakabaki tena na njaa, siku ya tatu akatengeneza theluthi ya tatu iliyobakia, kilipoiva tu mara akaja mfungwa katika mushirikina akiomba, wakampa, wakalala na njaa tena siku ile, ndipo ikateremshwa hii Aya. Nasema: Na vilevile Tabari amekitaja kisa hiki katika Riyadh an-Nadhirah Juz. 2 Uk. 227, humo ameeleza: “Harira hufahamika kama mkate usiokuwa na mafuta.” Na akasema: “Hii ni kauli nzuri.” Na pia kasema Qatadah: “Hakika yule mfungwa alikuwa miongoni mwa mushrikina.” Na amesema Said bin Jubair: “Mfungwa alikuwa miongoni mwa Waislam.” Na ameitaja riwaya hii katika yake Uk. 102. 25


Mkakati wa Kupambana na Ufakiri

Ad-Durul-Manthur cha as-Suyutiy, Mwishoni mwa tafsiri ya kauli ya Mwenyezi Mungu: “Na huwalisha chakula, juu ya kukipenda kwake, masikini, na yatima, na wafungwa”: Amesema: Ameandika Ibn Mardaway kutoka kwa Ibn Abbas kuhusu kauli ya Mwenyezi Mungu Na huwalisha chakula, juu ya kukipenda kwake, masikini, na yatima, na wafungwa.” Amesema: Iliteremka kumuhusu Ali bin Abu Talib (as) na Fatima binti ya Mtume wa Mwenyezi Mungu (as). Nurul-Abswar cha as-Shablanjiy Uk. 102: Amesema: Na katika maelezo ya Shaykhul-Akbar ni kwamba Abdullah bin Abbas amesema kuhusu kauli ya Mwenyezi Mungu: “Wanatimiza ahadi, na wanaiogopa siku ambayo shari yake inaenea sana”: “Hasan na Husain wakati wakiwa wadogo walipatwa na maradhi, babu yao Mtume wa Mwenyezi Mungu (saww) aliwatembelea akiwa amefuatana na Abubakr na Umar, ndipo Umar alipomwambia Ali (as): ‘Ewe Abal Hasan laiti ungeweka nadhiri juu ya watoto wako hakika Mwenyezi Mungu atawaponyesha.’ Ali (as) akasema: ‘Nitafunga siku tatu kumshukuru Mwenyezi Mungu.’ Fatima (as) akasema: ‘Nami nitafunga siku tatu kumshukuru Mwewnyezi Mungu.’ Na watoto wakasema: ‘Nasi tutafunga siku tatu.’ Naye kijakazi wao Fidha akasema: ,Nitafunga siku tatu.’ Mwenyezi Mungu akawaponyesha na wakaamkia kwenye Swaumu wakiwa hawana chakula, ndipo Ali alipokwenda kwa jirani yake Myahudi aliyeitwa Sham’un alikuwa akitengeneza sufi, akamwambia: ‘Je, una chochote cha kunipa katika upande wa sufi ili binti ya Muhammad aweze kukufumia kwa malipo ya pishi tatu za shairi?” Akasema ndio, akampa na akaja na zile pishi tatu za shairi na sufi, alipomueleza Fatima (as) alikubali na akafuma theluthi ya sufi ile, akachukua pishi moja ya shairi na kuisaga kisha akatengeneza vipande vitano vya mikate kwa kila mtu kipande kimoja. “Baada ya Ali (as) kuswali pamoja na Mtume wa Mwenyezi Mungu Swala ya Maghrib alirudi nyumbani kwake, alipowekewa chakula na kabla ya kumega tonge la kwanza alifika masikini na kusimama mlangoni, akasema: ‘Assalaam Alaykum enyi watu wa nyumba ya Muhammad. Mimi ni masikini wa Kiislam, nilisheni kile mnachokula, Mwenyezi Mungu atakulisheni kutoka katika meza za peponi.’ Ali akatoa tonge mkononi mwake na kumpa yule masikini, kisha akasema: ‘Fatima mwenye utukufu na yakini! Ewe binti ya aliye mbora kushinda watu wote! Hivi humuoni masikini asiye na kitu, amekuja mlangoni yu mwenye huzuni. Kila mtu ana dhamana kwa kile alichokichuma.’ “Wakati huo huo Fatima akasema: ‘Amri yako ewe mtoto wa ami yangu ni yenye kusikilizwa na kutiiwa, sina la kulaumu wala kukhofu, kwa unyenyekevu wa hali ya juu nimetoa chakula, nataraji kupata radhi kwa kumlisha mwenye njaa, ili niungane na jamaa wema na niingie peponi kwa shifaa.’” Ibnu Abbas anasema: “Fatima alichukua kilichokuwa katika sahani na kumpelekea yule masikini, wakalala hali wana njaa na wakaamka wakiwa wenye Swaumu huku wakiwa hawajaonja chochote isipokuwa maji matupu. Kisha alichukua theluthi ya pili ya sufi iliyobaki akaifuma, kisha alichukua pishi na kuanza kusaga na kutengeneza vipande vitano vya mikate, kila mmoja kipande kimoja. Baada ya Ali (as) kuswali pamoja na Mtume wa Mwenyezi Mungu Swala ya Maghrib alirudi nyumbani kwake, alipowekewa 26


Mkakati wa Kupambana na Ufakiri

alifanya kazi na kuvuja jasho katika biashara na kilimo, kisha alipopata utajiri aliendelea kubeba mpango wake kamili na wa pekee katika kupambana na ufakiri, mpango ambao chakula na kabla ya kumega tonge la kwanza alifika yatima na kusimama mlangoni, akasema: ‘Assalaam Alaykum enyi watu wa nyumba ya Muhammad. Mimi ni yatima wa Kiislam nilisheni kile mnachokula na Mwenyezi Mungu atakulisheni katika meza za peponi.’ Ali akatoa tonge mkononi mwake na kumpa yule masikini, kisha akasema: ‘“Ewe Fatima binti ya Bwana wa wakarimu! Hakika Mwenyezi Mungu ametuletea huyu yatima. Ni nani leo anahitaji radhi ya Rahim? Ahadi yake ni malipo ya pepo yenye neema.’ “Fatima (as) akajibu kwa kusema: ‘Nitampa wala sitojali, nitamtanguliza Mwenyezi Mungu kabla ya watoto wangu, japo wameshinda na njaa kama mimi, bila shaka mdogo wao atauwawa katika vita.’ Kisha alitoa kilichokuwa kwenye sahani na kumpa yule yatima na wakalala na njaa bila kuonja chochote zaidi ya maji matupu, na wakaamka asubuhi hali ya kuwa wamefunga. Kisha alichukua theluthi ya tatu ya sufi iliyobaki akaifuma, kisha alichukua pishi na kuanza kusaga na kutengeneza vipande vitano vya mikate, kila mmoja kipande kimoja. Baada ya Ali (as) kuswali pamoja na Mtume wa Mwenyezi Mungu Swala ya Maghrib alirudi nyumbani kwake, alipowekewa chakula na kabla ya kumega tonge la kwanza alifika mfungwa miongoni mwa wafungwa wa Kiislamu na kusimama mlangoni, akasema: ‘Assalaam Alaykum enyi watu wa nyumba ya Muhammad! Hakika makafiri wametuteka, wakatufunga na kututesa wala hawakutupa chakula.’ Ali akatoa lile tonge mkononi mwake na kusema: ‘Eh Fatima binti ya Mtume anayesifiwa, binti ya Mtume Bwana wa heshima. Huyu hapa mfungwa amekuja na hana muongozo, Amefungwa na shingoni mwake pana mnyororo, anatushitakia njaa na mateso. Atakayemlisha leo, kesho (siku ya Qiyama) atakipata, mbele ya Mtukufu Mmoja wa pekee, kwani kila anachopanda mlimaji (leo) kesho atavuna.’ “Fatima (as) akajibu kwa kusema: ‘Haijabaki hata pishi moja uliyoleta, nimekwisha hakiki kwa kutoa. Ewe Mwenyezi Mungu hawa watoto wangu wako kwenye njaa muda wa siku tatu. Ewe Mola Wangu nakuomba usiwahilikishe kwa njaa.’ Kisha alitoa kile chakula kilichokuwa kwenye sahani na kumpa yule mfungwa na wakabaki hawana chochote, ndipo Ali na wanawe Hasan na Husain (as) wakaelekea kwa Mtume wa Mwenyezi Mungu (saww) huku watoto wakiwa wamesinyaa kama vifaranga kwa njaa. Mtume wa Mwenyezi Mungu (saww) alipowaona alisema: ‘Ewe Aba Hasan kinachoniumiza mimi ni yale yaliyokukuteni, haya twendeni kwa binti yangu Fatima.’ Wakaelekea kwake, walimkuta kwenye mihrabu huku tumbo lake likiwa limegusana na mgongo wake, huku macho yake yameingia ndani kwa mateso ya njaa, Mtume wa Mwenyezi Mungu (saww) alipomuona tu alimkumbatia na kusema: ‘Ewe Mwenye msaada.’ Basi akateremka Jibril (as) na kusema: ‘Ewe Muhammad ikirimu familia ya nyumba yako.’ Mtume akamuuliza: ‘Kwa kitu gani ewe Jibril?’ Akasema: ”Hakika kilimpitia binaadamu kipindi katika zama ambacho kwamba hakuwa kitu kinacho tajwa. – mpaka - Hakika sisi tunakulisheni kwa wajihi wa Mwenyezi Mungu. Hatutaki kwenu malipo wala shukrani.”

27


Mkakati wa Kupambana na Ufakiri

miongoni mwa maeneo yake ni hifadhi ya jamii, mshikamano wa kijamii na mingineyo mingi, hivyo alikuwa ameuweka utajiri wake wote katika kutokomeza ufakiri.24

24 25

6.

Ni kwa sababu ya uvumilivu wake wa kipekee na azma yake thabiti aliyokuwa nayo katika kuwasilisha suluhisho la kivitendo katika kupambana na ufakiri, alifanya hivyo kupitia kitendo cha kuendeleza ardhi kubwa zilizokuwa nje ya mji wa Madina, akitumia fursa ya kipindi cha muda wa miaka ishirini na tano alicholazimika kuishi huko wakati akipinga utawala wa kidikteta na wa mapinduzi yasiyo halali, yaliyofanywa dhidi ya mwenendo wa Mtume wa Mwenyezi Mungu. Na hivyo aliwafunza watu utamaduni wa kufanya kazi na kuzalisha badala ya kungojea msaada kutoka kwa watu.

7.

Ni kwa sababu ya kung’ara kwake kinadharia na kivitendo pindi alipokuwa kiongozi wa dola ya Kiislamu ambayo kipindi hicho haikuwa ikikimbiwa na jua (ikiacha kustawi na kung’ara). Hivyo aliwasilisha nadharia ya kiuchumi iliyo kamili kisha akaitekeleza katika jamii kwa uhalisia wake, nchi ikabadilika na kuwa pepo isiyo na fakiri hata mmoja, na yote hayo ni katika muda wa kipindi kilicho chini ya miaka mitano, mpaka yeye mwenyewe akasema: “Na huenda Hijaz na Yamamah kuna ambaye hana tamaa ya kupata mkate, wala hana mazoea ya kushiba.”25 Na hata Afrika hakubakia fakiri hata mmoja, kama wanahistoria wasemavyo. Na waraka wake kwenda kwa Malik Ashtar unaakisi sehemu ya mfumo wake wa kiuchumi wa kipekee aliokuwa nao katika kutokomeza ufakiri.

Rejea kitabu Dhamanul-Ijtimaiy Fil-Islam, na Siyasat Min Waqiil-Islam. Nahjul-Balaghah Juz. 3, Uk. 72. 28


Mkakati wa Kupambana na Ufakiri

Na hebu sasa twende pamoja tukaone baadhi ya misingi aliyoiweka Imam Ali (as) katika kuondoa hali ya ufakiri, na baadhi ya mafunzo ya mkakati wake wa kudumu.

29


Mkakati wa Kupambana na Ufakiri

‫بسم هللا الرحمن الرحيم‬ Faslu ya Kwanza MASULUHISHO YA KIMKAKATI YA KUPAMBANA NA UFUKARA Vigawanyo vya Masuluhisho ya ­Kimkakati:

M

asuluhisho ya kimkakati ya kupambana na ufakiri yamegawanyika sehemu mbili:

Sehemu ya Kwanza: Suluhisho lenye kukinga au kuzuia: Nalo ni lile lenye kuzuia uzalikaji wa ufakiri, na lina uhusiano na miundombinu, mfumo wa jamii na mazingira ambayo ndio yenye kulea tatizo la ufakiri. Sehemu ya Pili: Suluhisho la kuondoa au kutokomeza: Nalo ni lile lenye kushughulikia ufakiri baada ya kutokea kwake. Na masuluhisho haya ambayo yanagawanyika katika sehemu mbili, yale yenye kuzuia na yale yenye kuondoa, tunaweza kuyagusia kwa ujumla katika nukta zifuatazo:

Kwanza: Kuhakikisha Tunafuata Hekima ya Mwenyezi Mungu Katika Ulimwengu: Kufuata huku kwa urahisi kabisa ni kukubaliana na kuendana na kauli ya Mwenyezi Mungu: “Yeye ndiye aliwaumbia vyote vilivyomo 30


Mkakati wa Kupambana na Ufakiri

katika ardhi.” (Surat al-Baqarah 29). Kwa maana kwamba utajiri wote ni wa watu wote, na hii inamaanisha kwamba serikali haimiliki ardhi wala madini wala mabahari wala anga, na mengineyo miongoni mwa rasilimali, bali zote umiliki wake unarudi kwa raia moja kwa moja. Hivyo yeyote akijitwalia kitu, kitu hicho kinakuwa chake, na wajibu wa dola ni kunadhimu tu zoezi hili. Na kwa ajili hiyo gharama kubwa itaondoka kwa wepesi kabisa kutoka kwenye mzigo wa mafakiri. Hivyo kwa mfano ili fakiri amiliki makazi hatakuwa na haja ya kununua ardhi, kwani Mtume wa Mwenyezi Mungu (saww) anasema: “Ardhi ni ya Mwenyezi Mungu na anayeiendeleza.”26 Bali ataimiliki kwa kujitwalia na hivyo hatagharamia isipokuwa gharama za ujenzi tu. Kipengele hiki kutoka kwenye kanuni ya Kiislamu kina mchango mkubwa sana katika kutoa pigo kubwa dhidi ya ukosefu wa kazi, kupanda kwa gharama za maisha na mfumuko wa bei, hiyo ni kwa sababu inapelekea watu kupata ardhi, mawe, madini ya aina yote, mbao na mfano wake bure bila gharama yoyote, kwa ajili ya kujenga nyumba za kuishi au viwanda au maduka au sehemu za kufanyia biashara, au malisho au mashamba ya mifugo na mfano wake. Na hiyo inamaanisha kwamba itapatikana fursa kubwa ya kazi, kama ambavyo pia ni kuongeza uwezo wa mafakiri katika uzalishaji, hiyo ni kupitia upatikanaji wa ardhi na sehemu ya mitaji wanayohitajia wale wenye kipato kidogo, kwa ajili ya kujenga mashamba ya kufugia kuku, au malisho ya mbuzi na ng’ombe na miradi mingine ya uzalishaji, hivyo mwanadamu huyu hatakuwa na haja ya kutoa kiasi kikubwa cha pesa kuipa serikali ili aweze kufanya kazi katika ardhi ya kilimo au nyingineyo. Kadhalika katika hali ya kuanzisha viwanda, hatakuwa na haja ya kuandaa thamani ya kununulia ardhi au thamani ya vifaa vya kuanzishia, bali hayo yote atayapata bure, kwani anaweza kupata 26

Wasailus-Shiah Juz. 17, Uk. 328. 31


kiasi kikubwa cha pesa kuipa serikali ili aweze kufanya kazi katika ardhi ya kilimo au nyingineyo. Kadhalika katika hali ya kuanzisha viwanda, hatakuwa na haja ya Mkakati wa Kupambana na au Ufakiri kuandaa thamani ya kununulia ardhi thamani ya vifaa vya kuanzishia, bali hayo yote atayapata bure, kwani anaweza kupata vifaa hivyo kutoka mlimani au kwenye miti ya porini au kutoka vifaa hivyo kutoka mlimani au kwenye miti ya porini au kutoka kwenye madini, kwa kadiri anayohitajia. kwenye madini, kwa kadiri anayohitajia. Mfumohuu huundio ndio alioutekeleza alioutekeleza Imam doladola yakeyake Mfumo Imam Ali Ali(as) (as)katika katika kubwa, ardhi zilikuwa huru kwa watu wote, na pia mapori na na kubwa,kwani kwani ardhi zilikuwa huru kwa watu wote, na pia mapori rasilimali kulingana na na istilahi ya ya kifiqhi ni kwamba rasilimalinyingine. nyingine.NaNa kulingana istilahi kifiqhi ni kwamba hakika ni ni kingo za za mito, pwani za bahari, vilele vya vya hakikangawira, ngawira,nazo nazo kingo mito, pwani za bahari, vilele milima ya ya mabonde na na mengineyo, rasilimali zotezote milimananamaporomoko maporomoko mabonde mengineyo, rasilimali hizo zilikuwa kwa jambo watu, muhimu jambo muhimu ni wao hizo zilikuwa huruhuru kwa watu, lilikuwa nililikuwa wao kwenda kwenda kujenga, kulima na kuzalisha bila kutoa mbadala wowote kujenga, kulima na kuzalisha bila kutoa mbadala wowote hata wa hata wa shilingi moja yazilekununulia rasilimali Mwenyezi alizowaumbia shilingi moja ya kununulia rasilimalizile alizowaumbia Mwenyezi Mungu, na bila kupitia urasimu wowote wa kiofisi, Mungu, na bila kupitia urasimu wowote wa kiofisi, na bila kutoa kodi na bilaajili kutoa koditukwa ajilikwao ya kule tu kujenga kwao nyumba au kwa ya kule kujenga nyumba au kiwanda au shamba, kiwanda au shamba, hivi Mwenyezi Mungu hakusema: hivi Mwenyezi Mungu hakusema: ∩§ ⊄®∪ $YèŠÏϑy_ ÇÚö‘F{$# ’Îû $¨Β Νä3s9 šYn=y{ “Ï%©!$# uθèδ “Yeye ndiye aliwaumbia vyote vilivyomo katika “Yeye ndiye aliwaumbia vyote vilivyomo katika ardhi.” ardhi.” (Surat al-Baqarah 29).29). (Surat al-Baqarah Pili:Kipaumbele Kipaumbele cha Kwanza Katika Miundombinu Pili: cha Kwanza Katika Miundombinu ni Kuen- ni Kuendeleza Ardhi na Kuzalisha: deleza Ardhi na Kuzalisha: Nayo ni kanuni aliyoianzisha Ali (as), ya kutoa kipaumbele cha kwanza katika kuendeleza ardhi na kuzalisha na si katika kodi. Kanuni hii imetamkwa na usia wake aliompa Malik Ashtar pindi alipomfanya Gavana wake huko Misri, 43 anasema: “Mazingatio yako yawe zaidi kwenye uendelezaji wa ardhi (kilimo) kuliko ukusanyaji wa kodi.”27 Na akatoa sababu ya kuhimiza hilo, sababu ambayo inaonesha mtizamo mkubwa wa kimkakati na wa kiuchumi aliokuwa nao (as), 27

Nahjul-Balaghah Juz. 3, Uk. 96. 32


Mkakati wa Kupambana na Ufakiri

anasema: “Kwani hilo (kodi) halipatikani isipokuwa kwa kilimo, na mwenye kutaka mapato bila ya kulima atakuwa ameiharibu nchi, na kuwaangamiza waja, na suala lake halitokuwa imara ila kidogo.”28 Na hapa ndipo zinapokosea serikali nyingi mara mbili, pindi zinapotilia mkazo katika ukusanyaji wa kodi. Mara kwa kuharibu uwezo wa wakulima na wazalishaji wadogo wadogo, na kwa kitendo hicho kwanza inaongezeka idadi ya mafakiri na matokeo yake ni serikali kupata hasara, kwani ni lazima kiwango cha kodi watakayoikusanya kitapungua. Na mara nyingine ni kwa sababu kutilia mkazo ukusanyaji wa kodi ni kuwaangamiza waja. Ibara hii yenye ufasaha kutoka kwake (as) tunaweza kuona mifano yake halisi katika hali zifuatazo:

28

a.

Katika matatizo ya kijamii yanayotokana na mapinduzi yenye kubeba umwagaji damu na machafuko, ambayo huteketeza kila bichi na kavu na hatimaye mazingira ya kiuchumi huzidi kuwa mabaya zaidi.

b.

Katika kudhihiri maradhi yatokanayo na shinikizo la kisaikolojia ambalo hukumbana nalo wakulima na wazalishaji wadogo wadogo, kwa kitendo cha serikali kung’ang’ania ukusanyaji kodi. Kadhalika maradhi ambayo hutokana na kutokuwa na uwezo wakati huo, wa kupata mahitaji muhimu ya maisha kwa utulivu. Kisha ni kwamba maradhi yenyewe ni ongezeko lingine la ufakiri na kutokuwa na kitu.

c.

Katika kupunguka kwa uwezo wa mafakiri na wenye kipato kidogo na kushindwa kwao kutumia fursa za elimu na kujifunza, na kushindwa kupata mahitaji muhimu ya maisha mazuri na mengineyo, jambo ambalo husababisha athari hasi kwenye mzunguko mzima wa uchumi wa nchi.

Nahjul-Balaghah Juz. 3, Uk. 96. 33


Mkakati wa Kupambana na Ufakiri

Imam Ali (as) amewatangulia zaidi ya miaka elfu moja mia tatu na hamsini, wale mabingwa wa uchumi ambao wanaamini kwamba “Kufika kwenye kiwango cha asilimia ishirini na tano au thelathini kutoka kwenye uzalishaji wa ndani, kwa muda wa miaka mingi yenye kufuatana, hutokomeza uzorotaji na udororaji na husababisha kustawi kwa uchumi.� Na mtazamo huu ndio wa Benki ya Dunia pia, ambayo inaona kwamba kukua kwa uzalishaji na mitaji huondoa tatizo. Na mfumo wa Imam Ali, ukiachilia mbali kutangulia kwake, pia ni wenye maendeleo zaidi, kwani Imam (as) haweki kikomo cha asilimia ishirini na tano au thelathini, bali anafungua milango wazi kwa ajili ya kuendeleza miundombinu, ili yaweze kupatikana; si mahitaji tu ya msingi bali hata ya ziada.

Tatu: Udhibiti wa Matumizi: Hakika katika serikali ya Kiongozi wa Waumini (as) kuwa na udhibiti wa matumizi ni moja ya mambo ya msingi yanayoufanya uchumi uendelee kuwa salama, na ni njia ya kutokomeza ufakiri. Na sisi katika hilo tuna mifano mingi inayoonesha Imam (as) alivyokuwa makini katika kuweka kanuni zenye kuzuia ubadhirifu hata katika shilingi moja ambayo ni sehemu ya haki za watu. Na ni wazi kwamba jambo hilo kama lingekuwa ni mfumo na mwenendo wa watu wote, basi yangeweza kupatikana mamilioni ambayo leo hii yanachezewa huku na kule, na ambayo yanaonekana kana kwamba ni matone tu, na vijisenti tu na mali zisizo na thamani, lakini kwa ujumla wake zinatengeneza bajeti kubwa ambayo ilipasa kutumika katika kufufua na kukuza uchumi wa nchi na kukamilisha miundombinu ya uchumi na kuondoa ufakiri kwa mafakiri. Na miongoni mwa mifano yake (as) katika kudhibiti matumizi ni: 34


Mkakati wa Kupambana na Ufakiri

a.

Kitendo cha Imam (as) kuzima taa, ambayo ilikuwa ni sehemu ya mali za hazina kuu ya Waislamu – na kwa istilahi ya leo ni mali ya serikali – pindi alipojiwa na mtu ili azungumze naye jambo binafsi.

b.

Alikuwa anabana mistari katika barua zake, bali ni kwamba alikuwa ametoa amri kwa Magavana wake kwamba: “Chongeni kalamu zenu na baneni mistari yenu.”29

c.

Na miongoni mwa amri zake pia ni: “Niondoleeni maneno ya ziada, na nendeni kwenye lengo moja kwa moja.”30 Hiyo inamaanisha kutumia vizuri wakati wa kiongozi, wakati wa watendaji na wa wafanyakazi, kwani wakati una thamani yake kubwa, na jumla ya wakati wote huu inatengeneza utajiri mkubwa kwa nchi, na kama utatumika katika mambo ya kimkakati, muhimu na ya msingi, na si katika mazungumzo ya ziada na kauli zisizo na maana, basi nchi itapiga hatua kubwa kuelekea mbele.

Hii ndio hali iliyokuwepo katika zama za Kiongozi wa Waumini (as) katika muongo wa tatu kuanzia kuasisiwa kwa dola ya Kiislamu, ambapo ilikuwa ni sawa na karne ya saba Miladiya. Na tunapotupia jicho la haraka haraka katika jaribio la kutaka kuwa na udhibiti wa matumizi katika nchi zetu za Kiislamu ambazo nyingi kati ya hizo zinaneemeka kwa uchumi na utajiri mkubwa, tutakuta kwamba tofauti ya kwanza inayojitokeza ni kuwa udhibiti wa matumizi wa Kiongozi wa Waumini (as) ulikuwa unaleta faida na maslahi kwa jamii na umma, lakini udhibiti wa matumizi wa watawala wa leo unaleta madhara kwa jamii, kwani (kwa mtindo wa watawala wa 29 30

Biharul-An’war Juz. 41, Uk. 105. Wasailus-Shiah Juz. 12, Uk. 299, Mlango wa 15, Hadithi ya 2. 35


Mkakati wa Kupambana na Ufakiri

leo) watu ndio wanaowajibika kutoa thamani na si waziri au Rais, ambapo ni kinyume na alivyofanya Imam (as). Hebu tutizame aina na mwelekeo wa udhibiti wa matumizi katika nchi yetu: Hakika udhibiti wa matumizi katika nchi yetu mwelekeo wake ni kupunguza huduma ambazo serikali inazitoa kwa watu katika sekta mbalimbali, hasa katika sekta ya afya, elimu, maji, umeme, usafirishaji na mawasiliano, jambo ambalo huzidisha mzigo wa gharama katika bajeti ya mtu binafsi na familia kwa ujumla. Zaidi ya hapo ni kwamba huipeleka nchi katika shinikizo la kiuchumi, kisiasa na kiusalama, kwa sababu ya udhibiti wa matumizi wa kimakosa, kwani serikali na mamlaka za kisiasa hutumia sera hiyo kupanua miradi yake ya kijeshi au ya kiuchumi yenye madhara na yenye kuteketeza uchumi wa taifa na nchi, kama vile kuwekeza katika silaha na mipango ya ujasusi iliyo mipana zaidi, au miradi ya uzalishaji isiyo na tija na mafanikio, ambayo hutolewa kwa mashirika ya nje. Yote hayo yanafanywa kwa gharama ya kudhibiti matumizi katika mambo muhimu ya kimaisha. Na jambo linalothibitisha yote hayo ni kitendo cha watu wa tabaka la juu miongoni mwa watumishi wa serikali (watawala na maafisa wa ngazi za juu) kukataa na kupinga jaribio lolote la udhibiti wa matumizi iwapo tu udhibiti huo unawalazimisha kupunguza marupurupu yao na maslahi yao waliyozoea kupata. Na hili ndilo tunaloliona katika nchi nyingi za Kiislamu, hivyo inapotokea kwamba suala la udhibiti wa matumizi linasisitizwa katika matumizi ya serikali, hakika tabaka hili na maafisa wa ngazi za juu husukumizia gharama za sera hii katika mzigo na mgongo wa raia na jamii (kwa kupunguza bajeti kwenye huduma muhimu za kijamii).

36


Mkakati wa Kupambana na Ufakiri

Nne: Hifadhi ya Jamii:

M

iongoni mwa kanuni alizoziasisi Imam Ali (as) katika upande huu ni ile aliyoitaja katika waraka wake kwenda kwa Malik Ashtar: “Kisha tahadhari sana juu ya watu wa tabaka la chini, miongoni mwa wale ambao hawana hila, na masikini na wahitaji, na ambao ni hohehahe na wenye ulemavu, kwani katika tabaka hili kuna anayeomba na asiyetosheka. Na hifadhi kwa ajili ya Mwenyezi Mungu wajibu Wake miongoni mwa haki Yake kwao, na wawekee sehemu kutoka mfuko wa hazina ya mali yako kutokana na mazao ya ardhi ya ngawira ya Kiislam katika kila mji, kwani aliye mbali miongoni mwao ni sawa na aliye karibu, na wote kila mmoja haki yake imewekwa chini ya uangalizi wako, hivyo basi asikushughulishe kutokana nao jeuri.�31 Na hifadhi ya jamii katika serikali ya Kiongozi wa Waumini (as) inajumuisha:

31 32

a.

Watu wa dini nyingine walio wachache, kwa mfano tu Imam (as) alimwekea posho kutoka katika Baitul-Mal yule mzee wa Kikristo ambaye alikosa fursa ya kufanya kazi.32

b.

Kama ambavyo Uislamu umekubali kulipa deni la mdaiwa yeyote asiye na uwezo wa kulipa deni, kutoka kwenye mali ya Baitul-Mali, je unaweza kupata jambo kama hili katika ulimwengu wa leo?

c.

Kama ambavyo pia Uislamu umeitaka Baitul-Mali ibebe jukumu la matumizi ya mke yeyote ambaye mume wake

Nahjul-Balaghah Uk. 436. Tazama kitabu As-Siyasat Min Waqiil-Islam. 37


Mkakati wa Kupambana na Ufakiri

hana uwezo wa kumpatia matumizi, au mtoto yeyote ambaye baba yake hana uwezo wa kumpatia matumizi, au baba yeyote ambaye mwanaye hana uwezo wa kumpatia matumizi. Ama katika wakati wetu huu hifadhi ya jamii inawahusu raia wa nchi tu zenye utajiri wa mafuta na gesi, kama ambavyo pia hifadhi hiyo ina mapungufu na dosari. Ama katika nchi masikini (kama Tanzania) mtu hana hata mahitaji madogo kabisa miongoni mwa mahitaji muhimu ya maisha ya kila siku, achilia mbali hifadhi ya mustakbali wa maisha yake. Na hata hifadhi za jamii zilizopo sasa katika nchi zetu bado ni kanuni mbovu zisizo na uwezo wa kupambana na changamoto za kiuchumi na kisiasa, na wala huduma yake haiwajumuishi wanajamii wote, isipokuwa yule mwenye mahusiano na sekta rasmi kwa kazi ya kuajiriwa. Hivyo sehemu kubwa ya jamii nayo ni ile ya walala hoi, wanafunzi, wazee, wajane na wengineo inabaki bila kinga au hifadhi itakayokidhi mahitaji yao ya msingi. Bali ni kwamba mashirika ya hifadhi ya jamii katika sehemu nyingi yamekuwa ni mashirika ya kibiashara ambayo hayafikirii isipokuwa faida tu. Tano: Uwiano Sawa Baina ya Vijiji na Miji Katika Mipango ya Kiuchumi: Hakika miongoni mwa sababu muhimu zinazopelekea kukosekana uwiano wa kiuchumi na kusababisha ufakiri kutapakaa, ni kitendo cha serikali kujali na kutilia umuhimu sana miji kwa gharama ya vijiji, jambo ambalo husababisha vipaji na vipawa kukimbia vijiji na kuelekea mijini, kutokana na kuwepo fursa nyingi za kazi huko, na kutokana na kuwepo raha na starehe na vivutio vingine. Na jambo hilo husababisha udhaifu katika uzalishaji wa kilimo na kuongezeka kiwango cha ufakiri vijijini, na hivyo vijiji huendelea kubaki nyuma 38


Mkakati wa Kupambana na Ufakiri

kielimu na kimaarifa, jambo ambalo madhara yake huakisi katika uchumi wa nchi. Imam Ali (as) alikuwa ndio mtu wa kwanza aliyelingania kuwepo na uwiano sawa baina ya vijiji na miji, aliposema katika waraka wake kwenda kwa Malik Ashtar: “Kwani aliye mbali miongoni mwao ni sawa na aliye karibu, na wote kila mmoja haki yake imewekwa chini ya uangalizi wako.”33 Yaani haki za kiuchumi walizonazo watu wa mbali, ambao ni watu wa vijijini na porini ni sawa kabisa na haki walizonazo watu wa karibu, ambao ni watu wa mjini, “Na wote kila mmoja haki yake imewekwa chini ya uangalizi wako.” Hivyo kiongozi ndiye mwenye kuwajibika katika haki zote mbili, na wala si ruhusa kwake kupuuza haki yoyote kati ya hizo mbili. Na akasema (as): “Na fuatilia suala la ukusanyaji wa kodi kwa namna itakayowaweka watu wako katika hali njema, kwani kuwa kwako katika hali njema na kuwa kwao katika hali njema ni kuwafanya wengine kuwa katika hali njema.”34 Hivyo kujali na kutilia umuhimu vijiji ni sababu ya msingi katika kuhifadhi uchumi salama na wenye maendeleo? Sita: Mshikamano wa Kijamii: Imam Ali (as) aliimarisha nguzo za mshikamano wa kijamii, ambapo Uislamu umeweka misingi ya mshikamano wa kijamii katika sekta mbalimbali, na hilo likawa ni moja kati ya nyenzo muhimu za kupambana na ufakiri, zaidi ya hapo ni kule kuwa kwake sababu ya jamii kujitegemea. Mtume wa Mwenyezi Mungu (saww) amesema: “Hajaniamini mimi mtu ambaye analala na shibe wakati jirani yake ana njaa.”35 Na akasema (saww): “Si muumini mtu ambaye analala na Nahjul-Balaghah Uk. 437. Nahjul-Balaghah Uk. 436. 35 Al-Kafiy Juz. 2, Uk. 668. 33 34

39


1

Mkakati wa Kupambana na Ufakiri

ana njaa.” Na akasema (saww): “Si muumini mtu ambaye analala na 2 1 shibe wakati yake ana njaa.” Imamu Shiraziy katika al-Fiqhi Na jirani akasema (saww): “Si muumini mtu ambaye analala na ana njaa.” shibe wakati jirani yake ana njaa.” 362 Imamu Shiraziy katika al-Fiqhi al-Iqtiswad, nao ni mujaladi wa 107 kutoka kwenye Enklopidia shibe wakati jirani yake ana njaa.” Imamu Shiraziy katika al-Fiqhi al-Iqtiswad, naoanasema: ni wa kwenye Ensiklopidia yake, Uk. 298, “Hadithi hii ima ni ya kimaadili inakusudia al-Iqtiswad, nao ni mujaladi mujaladi wa107 107kutoka kutoka kwenye Enklopidia yake, Uk. 298, anasema: “Hadithi hii ima ni ya kimaadili inakusudia imani kamili, au ni ya kifiqhi inakusudia wakati wa dharura, kama yake, Uk. 298, anasema: “Hadithi hii ima ni ya kimaadili inakusudia imani kamili, au ni ya kifiqhi inakusudia wakati wa dharura, kama vile katika baa la njaa, ambapo mtu atatakiwa kuchukua imani kamili,mwaka au ni wa ya kifiqhi inakusudia wakati wa dharura, kama vile katika mwaka baa ambapo atatakiwa kuchukua kadiri ya mwaka mahitajiwa ya dharura kwamtu kutoa badala, na kama vile katika wayake baa la la njaa, njaa, ambapo mtu atatakiwa kuchukua kadiri mahitaji yake ya ya dharura kwa kwa kutoa badala, na kamanahawehaweziya badala na dhamana itakuwa juukutoa ya Baitul-Mali.” kadiri yabasi mahitaji yake dharura badala, kama zi basi badala na dhamana itakuwa juu yajuu Baitul-Mali.” hawezi basi badala na dhamana itakuwa ya Baitul-Mali.” Na Na anaongeza “Kama atakopa atakopabasi basianawajibika anawajibika anaongezaImam ImamShiraziy: Shiraziy: “Kama kulipa ndani ya kipindi cha mwaka, na kama hataweza basi Na anaongeza Imam Shiraziy: “Kama atakopa basi anawajibika kulipa ndani ya kipindi cha mwaka, na kama hataweza basi ni ni juujuu yaya Baitul-Mali kumlipia.” kulipa ndani kumlipia.” ya kipindi cha mwaka, na kama hataweza basi ni juu ya Baitul-Mali Baitul-Mali kumlipia.” Mwenyezi Mungu amesema: Mwenyezi Mungu amesema: Mwenyezi Mungu amesema: ∩⊄∪ “ 3 uθø)−G9$#uρ ÎhÉ9ø9$# ’n?tã (#θçΡuρ$yès?uρ ∩⊄∪ “ 3 uθø)−G9$#uρ ÎhÉ9ø9$# ’n?tã #( θçΡuρ$yès?uρ

“Na saidianeni katika wema na takua.” (Surat Maidah 2). “Na saidianeni katika wema na takua.” (Surat Maidah 2). “Na saidianeni katika wema na takua.” (Surat Maidah 2). Na miongoni mwa mifano halisi ya wema ni: Na miongoni mwa mifano halisi ya wema ni: Na miongoni mwa mifano halisi ya wema ni: $YΖŠÅ3ó¡ÏΒ ρ÷ r& ∩⊇∈∪ π> t/tø)tΒ #sŒ $VϑŠÏKtƒ ∩⊇⊆∪ π7 t7tóó¡tΒ “ÏŒ Θ 5 öθtƒ ’Îû Ο Ò ≈yèôÛÎ) ÷ρr& $YΖŠÅ3ó¡ÏΒ ρ÷ r& ∩⊇∈∪ >πt/tø)tΒ #sŒ $VϑŠÏKtƒ ∩⊇⊆∪ 7πt7tóó¡tΒ “ÏŒ Θ 5 öθtƒ ’Îû Ο Ò ≈yèôÛÎ) ÷ρr& ∩⊇∉∪ 7πt/uøItΒ #sŒ ∩⊇∉∪ 7πt/uøItΒ #sŒ

“Au kumlisha siku ya njaa. Yatima aliye na udugu. Auya maskini hohe hahe.” (Surat Au Balad 14 “Au kumlisha siku ya aliye njaa. aliye na–hohe “Au kumlisha siku njaa. Yatima naYatima udugu. maskini 16). udugu. Au maskini hoheBalad hahe.” hahe.” (Surat 14 (Surat – 16). Balad 14 – 16). Hivyo Uislamu umepitisha kanuni ya mume kubeba jukumu la 1matumizi ya mke. Umepitisha pia wajibu wa baba kutoa matumizi

Al-Kafiy Juz. 2, Uk. 668. Makarimul-Akhlaq cha Sheikh Tusiy Uk. 137. 36Al-Kafiy Juz. 2, Uk. 668.

1 2

2

Makarimul-Akhlaq cha Sheikh Tusiy Uk. 137.

Makarimul-Akhlaq cha Sheikh Tusiy Uk. 137. 4051

51


Mkakati wa Kupambana na Ufakiri

kwa watoto wake maadamu tu wanahitajia. Na pia umepitisha wajibu wa mtoto kutoa matumizi kwa wazazi wake maadamu tu wanahitajia. Yote hayo ni kwa maana ya kuudhibiti ufakiri katika pembe zake zote, kwani wake, wazazi na watoto ndio wanaounda sehemu kubwa ya jamii. Na yote hayo yalikuwa yanatekelezwa katika serikali ya Imam Ali (as)!37 Saba: Kufuata Vipimo vya Kimaudhui Katika Kuteua Maafisa wa Uchumi: Imamu Ali (as) aliweka misingi na vigezo madhubuti na muhimu kwa kila anayehusika na suala la uchumi katika nchi, kuanzia kiongozi hadi msaidizi, hiyo inamaanisha kwa kila mwenye mamlaka ya kuchukua maamuzi katika uchumi wa watu, kwa mfano Gavana wa Benki Kuu. Miongoni mwa vigezo alivyoweka ni: a.

Asiwe bakhili, kwani ni wazi kwamba bakhili huelemea kwenye kujaza hazina ya nchi na kuongeza kiwango cha akiba, hata kama atahalalisha hilo kwa falsafa ya uchumi, bali hujaribu kuzuia njia yoyote ile inayolenga kuzitumia mali hizo kwa watu, hivyo hupiga vita bima ya afya na hupinga kuongeza bajeti ya elimu, bali daima hufanya juhudi kuhakikisha kiwango cha bajeti katika mambo yote ya kibinadamu kinapungua ili kuongeza bajeti ya kuongeza silaha. Na Marekani inafaa kutolewa mfano katika hili, na pia tawala nyingi za nchi za Kiislamu ni mfano mwingine katika hili.38

wa nyongeza zaidi rejea kitabu Amirul-Muuminina Shamsu Fiy Ufuqil-Bashariyyah cha K Imam Shiraziyy. 38 Taarifa zilizotoka katika Kamati ya Uchunguzi ya Bunge la Congress la Marekani zinaonesha kwamba kiwango cha fedha kilichotolewa na nchi za Ghuba katika mwaka uliopita wa 2010, kwa ajili ya kununulia silaha kimevuka dola bilioni 105 za Kimarekani, kiasi ambacho ni zaidi ya dola bilioni 11 ukilinganisha na kiasi kilichotumiwa na nchi 37

41


Mkakati wa Kupambana na Ufakiri

b.

Asikose ujuzi, na awe katika kiwango cha juu.

c.

Asiwe mkavu wa tabia.

d.

Asiwe mwenye kupendelea kundi fulani la ndani au la nje, yaani asiwe mwenye kuelemea na mwenye huruma na shirika hili au taasisi ile au kundi fulani au hata mtu fulani.

e.

Asiwe mtu wa rushwa. Ni wazi kwamba muomba rushwa huwapendelea matajiri kwa gharama ya mafakiri, hivyo kwa mfano badala ya kutoa zabuni za serikali kwa shirika au kampuni inayotoa huduma bora na kwa bei rahisi, yeye hutoa zabuni kwa kampuni ambayo inampa mali zaidi au inayomuunga mkono kisiasa au inayomfanyia mfano wa hayo, hata kama si kampuni bora, jambo ambalo huwa ni pigo kubwa dhidi ya uchumi na mafakiri.

Imam Ali (as) anasema: “Bila shaka mnajua kuwa kiongozi mwenye mamlaka ya kulinda hadhi (heshima za watu), damu, ngawira, hukumu na uongozi wa Waislamu, haipaswi awe bakhili, hizo katika mwaka 2009. Taarifa hiyo imetaja kuwa Saudia ndio nchi inayoongoza kwa kuagiza silaha kati ya nchi zote za Arabuni na baina ya nchi zote za Ghuba, kwani thamani ya manunuzi yake ya silaha imefikia dola bilioni 40. Na kwa mujibu wa taarifa ya Taasisi ya Kimataifa ya Kusaka Amani ya Stockholm ni kwamba Umoja wa Falme za Kiarabu inashika nafasi ya tatu katika orodha ya waagizaji wakubwa wa silaha ulimwenguni, tangu miaka miwili iliyopita, kwani katika mwaka 2008 ilinunua asilimia 6 ya silaha zote zilizouzwa ulimwenguni, ambapo inatarajiwa kuwa nchi hizo mbili (Saudia na Umoja wa Falme za Kiarabu) zitatumia dola bilioni 123 kwa ajili ya kujiimarisha kisilaha katika kipindi cha miaka mitatu ijayo, hiyo ni kwa mujibu wa gazeti la Uingereza la Alvinnchal Times. Na Mashariki ya Kati kwa ujumla, na nchi za Ghuba kwa upekee, bado ni soko lenye kuvivutia viwanda vya silaha ulimwenguni. Licha ya mtikisiko wa uchumi kuendelea kuathiri mipango ya kujiimarisha kisilaha ya dola kubwa kama vile Marekani na Uingereza, lakini mwaka 2010 umeshuhudia nchi kadhaa za Kiarabu kama vile Saudia, Umoja wa Falme za Kiarabu, Kuwait, Morocco na Libya, zikitilia umuhimu na kujali sana kutaka kumiliki teknolojia bora kabisa na ya kisasa zaidi katika silaha, zaidi ya hapo ni kuanzisha kwake ratiba za mazoezi ya kijeshi. 42


Mkakati wa Kupambana na Ufakiri

kwani atakuwa mlafi wa mali zao, wala kuwa mjinga, kwani atawapoteza kwa ujinga wake, wala mkavu wa tabia, kwani atawakata kwa ukavu wake, wala mwenye upendeleo na makundi, kwa kuwapa wengine na kuwanyima wengine, wala mla rushwa katika hukumu, kwani atapoteza haki (za wengine) na kuhukumu pasi na sheria (za Mwenyezi Mungu), wala muacha Sunna, kwani atauhilikisha umma.”39 Nane: Kuimarisha Kanuni ya Kuhoji na Kukagua: Imamu Ali (as) aliimarisha kanuni ya kuhoji, kufuatilia na kufanya ukaguzi, bali pia alifungua mlango wa kumuuzulu kiongozi pindi anapotoka nje ya mfumo wa uchumi au siasa salama ambayo inawapa watu haki zao. Imamu (as) amesema: “Kisha chunguza kazi zao, tuma kwao waangalizi miongoni mwa watu wa kweli na waaminifu.”40 Na jambo hili ni moja ya tofauti muhimu zilizopo baina ya Uislamu na tawala dhalimu, kuhusiana na suala la kufuatilia tokea mbali. Katika Uislamu na kwa mujibu wa mfumo wa Imam Ali (as) ni kwamba wapelelezi huwa wanawapeleleza viongozi, wakurugenzi na maafisa wa uchumi kwa maslahi ya watu (wanajamii). Ama katika tawala za kidhalimu ni kinyume kabisa, ambapo wapelelezi na majasusi huwekwa ili kuwapeleleza watu (wanajamii) kwa maslahi ya viongozi, watawala na wakubwa. Hebu tusome kanuni ya Ali (as) kwa ukamilifu wake kama ilivyo katika waraka alioupeleka kwa Malik Ashtar: “Kisha chunguza kazi zao, tuma kwao waangalizi miongoni mwa watu wakweli na waaminifu, kwa kuwa kufuatilia kwako mambo yao kwa siri, ni kutoa msukumo kwao wa kuwa waaminifu, na kuwa wapole kwa 39 40

Nahjul-Balaghah Juz. 2, Uk. 96. Nahjul-Balaghah Juz. 2, Uk. 96. 43


Mkakati wa Kupambana na Ufakiri

raia. Kuwa makini na wasaidizi, endapo mmoja wao amekunjua mkono wake kuielekea khiyana ambayo habari za wachunguzi wako zimeafikiana kuihusu, basi habari hizo zikutoshe kuwa shahidi, utamshushia adhabu mwilini mwake, na kufidia alichopata katika kazi yake, kisha muweke mahali pa udhalili, na muorodheshe miongoni mwa watu wabaya, na mvishe kidani cha aibu.” Na hapa kuna maneno marefu katika kutoa maelezo juu ya vifungu vya hadithi hii tukufu, tunayaacha mpaka sehemu nyingine. Tisa: Kuchangamsha Mzunguko wa Mali na Kutokomeza ­Ulimbikizaji Mali: Kadiri mitaji inavyozunguka zaidi ndivyo uchumi unavyoshuhudia ustawi, kukua, kunawiri na kuendelea kuwa hai zaidi, na hivyo wepesi unapatikana mikononi mwa watu na miamala kuwa rahisi zaidi na hatimaye mfumuko wa bei unapunguka. Ama kitendo cha kulimbikiza mali chenyewe kinalaza mali na kuzuia kwanza mzunguko wa utajiri, na pili kinapunguza au kuzuia mizunguko ya rasilimali, na ni kwa ajili hiyo tunaukuta Uislamu ukikipiga vita kwa nguvu zote kitendo hicho cha kulimbikiza mali, Mwenyezi Mungu anasema:

È≅‹Î6y™ ’Îû $pκtΞθà)ÏΖムŸωuρ sπÒÏø9$#uρ |=yδ©%!$# χ š ρã”É∴õ3tƒ ⎥ š ⎪Ï%©!$#uρ 3 « $# ∩⊂⊆∪ 5ΟŠÏ9r& A>#x‹yèÎ/ Νèδ÷Åe³t7sù !

“Na wale walimbikizao dhahabu na fedha na

“Na wale walimbikizao na fedha naMungu, hawazitumii hawazitumii katikadhahabu njia ya Mwenyezi basikatika njia ya Mwenyezi Mungu, basi wabashirie adhabu iumizayo.” (Surat wabashirie adhabu iumizayo.” (Surat Tawbah: Tawbah: 34).

34).

Uharamu wa kulimbikiza haukomei tu kwenye dhahabu na fedha bali hiyo ni mifano tu juu ya suala44hilo. Na kwa kweli nchi nyingi hivi sasa zinafanya kitendo hiki cha hatari, cha kulimbikiza mali kwa jina la akiba, ambapo kwa anwani hii mamilioni bali mabilioni yanakaa bure, na hapa tatizo linakuwa maradufu, ambapo mali hii


Mkakati wa Kupambana na Ufakiri

Uharamu wa kulimbikiza haukomei tu kwenye dhahabu na fedha bali hiyo ni mifano tu juu ya suala hilo. Na kwa kweli nchi nyingi hivi sasa zinafanya kitendo hiki cha hatari, cha kulimbikiza mali kwa jina la akiba, ambapo kwa anwani hii mamilioni bali mabilioni yanakaa bure, na hapa tatizo linakuwa maradufu, ambapo mali hii kubwa inaangukia mikononi mwa wakiritimba wa madaraka. Wakati ambapo katika mfumo wa uchumi wa Imam Ali (as) ni kwamba mali zote zinazokusanywa kutoka kwenye kodi na mapato mengine ni lazima wapewe mali hiyo watu haraka iwezekanavyo, na kuanzia hapa hakuwa Imam Ali (as) akilaza mali katika BaitulMali hata usiku mmoja, bali alikuwa akigawa mali yote siku hiyo hiyo, na jioni anafagia Baitul-Mali ili kuthibitisha kuwa hakuna kitu kilichobakia humo. Mfumo huu unapelekea mali yote kuwekwa na kuachwa mifukoni mwa wanajamii na miongoni mwao ni mafakiri, jambo ambalo kwanza linapunguza kwa kiasi kikubwa kiwango cha ufakiri katika jamii, kisha linaongeza kasi ya mzunguko wa mitaji katika gurudumu la uchumi. Zaidi ya hapo ni kwamba kitendo hiki kina athari nyingine chanya katika hali ya nchi na watu, kwani kuwapa mali yote watu kunawatengenezea wao fursa kubwa ya kuendeleza na kufaidika na ardhi kwa ujenzi, kilimo, ufugaji, kuimarisha viwanda, uchimbaji wa madini na rasilimali nyingine ambazo ni miongoni mwa mitaji mikubwa na vyanzo vikubwa vya mali kwa watu, na matokeo yake ni kupatikana makusanyo makubwa ya kodi – kama kodi hiyo ikisihi kisharia – kwa serikali, kodi ambayo itarudishwa tena na kumwagwa ndani ya mifuko ya watu. Na kwa njia hii tunakuta kwamba kumimina mikononi mwa watu mali iliyowekwa akiba, ya sarafu adimu au ya dhahabu, kunatengeneza uwezo mkubwa wa moja kwa moja au usiokuwa wa moja kwa moja wa kutokomeza kabisa ufakiri, na kuongeza 45


Mkakati wa Kupambana na Ufakiri

kipato na nguvu kwa nchi na raia, kwa sababu kitendo hicho kinaongeza sehemu kubwa ya uzalishaji wa ndani, na kwa kweli hii ndio akiba ya kweli yenye manufaa, na jambo hili ndio lenye kutengeneza msingi wa uchumi mkubwa wenye kuiimarisha sarafu. Baadhi ya watafiti wanaona kuwa ulazima wa kuuchangamsha mzunguko wa mitaji na kuitia kasi katika mwendo wake, ulikuwa ni moja ya sababu za msingi zilizokuwa nyuma ya maamuzi aliyoyachukua Mtume wa Mwenyezi Mungu (saww) Muhammad pindi alipobadili mfumo wa kubadilishana bidhaa na kuufanya kuwa wa fedha taslimu, na akafanya kipimo chake kuwa ni madini ya dhahabu na fedha, kama ambavyo pia aliweka thamani ya sarafu kwa kufanya gramu moja ya dhahabu kuwa sawa na dinari moja, na dinari mia moja kuwa sawa na ngamia mmoja. Ni wazi kwamba mfumo wa fedha taslimu, uwepo wa nyenzo zenye kurahisisha ubebaji wake, kuhamisha na kubadilishana, na pia uwezekano wa kubadilishwa kwa kila bidhaa na kinyume chake, ni jambo lenye kuongeza kasi na uwezo zaidi katika mzunguko wa mali na katika kutokomeza mfumuko wa bei, kuliko mfumo wa kubadilishana bidhaa, mfumo ambao unakosesha au kuchelewesha mahitaji mengi, kama ambavyo pia unaweza kusababisha bidhaa nyingi kuharibika wakati wa mchakato wa muamala. Kumi: Kupunguza Saa za Kazi: Uislamu kwa njia ya moja kwa moja au isiyo ya moja kwa moja umelingania kupunguza saa za kazi, na hii inamaanisha kwamba mafakiri watakuwa na eneo kubwa la kushiriki katika uzalishaji ili kujitoa kwenye ufakiri, na katika miaka ya karibuni Ufaransa ilipita njia hii. Tume ya Taifa ya Takwimu ya Ufaransa ilisema: “Hakika sheria ya kazi ambayo ilipunguza saa za kazi kutoka saa 39 mpaka saa 35 46


Mkakati wa Kupambana na Ufakiri

kwa wiki, ilitoa fursa 350,000 za kazi tangu ilipoanza kutekelezwa mwaka 1998 mpaka mwaka 2002. Ijulikane wazi kwamba matarajio yao ilikuwa ni kutengeneza fursa 600,000 za kazi. Ama ukosefu wa ajira wenyewe ulipungua kwa asilimia kumi kwa mujibu wa shirika la habari la Associated Press, lakini Bunge la Ufaransa ambalo linadhibitiwa na wahafidhina lilibadili sheria baadaye. Na dosari iliyokuwepo katika sheria ya kazi ya Ufaransa ni kwamba haikufanya kazi ya kutatua tatizo kwa pande zake zote, yaani ilitizama upande mmoja.”41 Imamu Ali (as) alilingania kupunguza saa za kazi kupitia njia mbalimbali: 1.

Kwa njia ya kuhimiza kutoka mapema sokoni.

2.

Kwa njia ya kuhimiza kuswali Swala tano ndani ya wakati wake, jambo ambalo litamfanya mtu atoke sokoni mara mbili au zaidi kwa siku.

3.

Kwa njia ya kuhimiza kutenga muda mzuri katika wakati kwa ajili ya ibada, familia, marafiki na mapumziko. Imekuja katika hadithi kwamba: “Inapasa kwa mwenye akili kama kweli ni mwenye akili timamu awe na vipindi vinne mchana: Kipindi kimoja kwa ajili ya kuongea na Mola wake, na kipindi kwa ajili ya kuitathmini nafsi yake…..”42

Kumi na Moja: Huruma Katika Kodi: Kodi kubwa ni miongoni mwa sababu muhimu zinazosababisha ufakiri, na tumeshaashiria huko nyuma kwamba miongoni mwa sababu 41 42

CNN ya Kiarabu, Tarehe 25 – 6 – 2006. Biharul-An’war Juz. 1, Uk. 131. 47


Mkakati wa Kupambana na Ufakiri

za ufakiri ni kuweka kodi katika uzalishaji na mitaji badala ya kuweka katika faida. Uislamu umeweka kodi katika faida kama ilivyo katika Khumsi, Zaka na Ushuru, na si kwenye uzalishaji na mitaji. Na hapa tunasema: Hakika miongoni mwa masuluhisho, ukiachilia mbali suala la kodi kuwekwa kwenye faida na si kwenye uzalishaji na mitaji, ni mamlaka ya mapato na kodi iwe na sifa ya huruma, hivyo ni wajibu kiwango cha kodi kipungue kadiri kiwango cha faida kinavyopungua, na hali hiyo ndio inayoingia akilini. Na katika hilo tunasoma kanuni yenye utu aliyoitoa Kiongozi wa Waumini (as), aliposema: “Endapo watalalamikia uzito (wa kodi) au ugonjwa, au kukatika kwa unyweshelezeaji au ubichi au kubadilika kwa ardhi iliyofunikwa na mafuriko, au ukosekanaji wa mvua, basi wapunguzie (kodi) kwa kiasi unachoona kitawaboreshea mambo yao.” Na kwa kuwa Imam (as) alikuwa kwa mtazamo wake wa kina anajua kwamba watawala na viongozi ni vigumu kwao – bali inakaribia kutowezekana – kupunguza kodi, aliongeza: “Wala kusiwe na uzito kwako kwa ajili ya punguzo ulilowafanyia, kwani hiyo ni akiba watakayoirudisha kwako kwa njia ya kuiletea ufanisi nchi yako, na kuyaendeleza mamlaka yako, pamoja na kuipata sifa njema kutoka kwao (kukusifu), na kuipata furaha kwa kuenea uadilifu kati yao, huku ukitegemea ziada ya nguvu zao kutokana na uliyowekeza kwao kupitia kuwapumzisha kwako wao. Na utapata kuaminiwa na wao kwa uadilifu wako uliowazoesha, na kwa upole wako kwao. Huenda yakajitokeza mambo, ambayo endapo baadaye utawategemea wao, watayachukua kwa sababu ya uzuri wa nafsi zao, kwani maendeleo yanatarajiwa kwa kadiri utakayofanikisha. Na kwa hakika uharibifu wa ardhi huletwa kutokana na ufakiri wa watu wake, na kwa kweli watu wake huwa mafakiri kwa sababu ya watawala kujilimbikizia mapato (ya nchi) na dhana yao mbaya ya kuendelea kutawala, na uchache wa kunufaika kwao na mazingatio.”43 43

Nahjul-Balaghah, Waraka wake kwenda kwa Malik Ashtar. 48


wa ardhi huletwa kutokana na ufakiri wa watu wake, na kwa kweli watu wake huwaMkakati mafakiri sababu na ya Ufakiri watawala kujilimbikizia wakwa Kupambana mapato (ya nchi) na dhana yao mbaya ya kuendelea kutawala, na uchache wa kunufaika kwao na mazingatio.”1 Kumi na Mbili: Kutoa Uhuru: Kumi na Mbili: Kutoa Uhuru: Hakika asili katika Uislamu ni uhuru, Mwenyezi Mungu ameorodhesha uhuru malengo ya kuletwa Mtukufu Mtume (saww), Hakika asilikatika katika Uislamu ni uhuru, Mwenyezi Mungu ameorodhesha uhuru katika malengo ya kuletwa Mtukufu Mtume aliposema: (saww), aliposema: š∩⊇∈∠∪ 4 óΟÎγøŠn=tæ ôMtΡ%x. ©ÉL©9$# Ÿ≅≈n=øñF{$#uρ öΝèδuñÀÎ) öΝßγ÷Ζtã ßìŸÒtƒuρ “Na kuwaondolea mizigo yao na minyororo

“Na iliyokuwa kuwaondolea na minyororo iliyokuwa juu yao.” juumizigo yao.”yao (Surat A’raf 157). (Surat A’raf 157).

Na Imam AliAli (as) Adamhakuzaa hakuzaa Na Imam (as)amesema: amesema:“Enyi “Enyiwatu! watu! Hakika Hakika Adam mtumwa mwanamume wala mtumwa mwanamke, na hakika watu mtumwa mwanamume wala mtumwa mwanamke, na hakika watu wote ni huru.”244 Na amesema (as): “Miongoni mwa taufiki ya mtu wote huru ni huru.” Na amesema (as):njia “Miongoni ya mtu 3 kuwa ni kuchuma mali kwa ya halali.”mwa Piataufiki amesema (as): 4ya halali.”45 Pia amesema (as): kuwa huru ni kuchuma mali kwa njia “Uhuru hauna mnyororo wala hila.” Na alisema pia: “Ameukana 46 5 alisema pia: “Ameukana “Uhuru hauna mnyororo wala hila.” uhuru yule mwenye kuwaogopa watu.”Na Hivyo uhuru ni sababu ya uhuru yule mwenye Hivyo na uhuru sababu kwanza katika kukua kuwaogopa na kustawiwatu.” kwa 47uchumi, kwaniajili hiyo ya kwanza marehemu katika kukua na kustawi uchumi, na ya kwa ajili hiyo tunamkuta Imam Shiraziykwa ametoa fatwa kuharamisha 6 tunamkuta marehemu Imam Shiraziy ametoa fatwa ya kuharamisha kila kinachosababisha uzalishaji kushuka. Na akasema katika al48 Fiqhi al-Awlamah: “Niuzalishaji haramu sheria yoyote au mpango wowote kila kinachosababisha kushuka. Na akasema katika alunaosababisha kudorora na kupunguka uzalishaji, sawa uwe wa Fiqhi al-Awlamah: “Ni haramu sheria yoyote au mpango wowote kilimo au wa viwanda. Nana ni haramu kupanga na kutekeleza mpango unaosababisha kudorora kupunguka uzalishaji, sawa uwe wa kilimo au wa viwanda. Na ni haramu kupanga na kutekeleza mpango 1 Nahjul-Balaghah, Waraka wake kwenda kwa Malik Ashtar. 2wowote unaomdhuru mwanadamu au kuvunja heshima yake, hata Al-Kafiy Juz. 8, Uk. 69. 3kama ni kwa kupunguza pato lake la siku.”49 Ghurarul-Hikam Uk. 354. 4

Ghurarul-Hikam Uk. 291. Al-Kafiy Juz. 8, Uk. 69.204. Ghurarul-Hikam Uk. 645 Ghurarul-Hikam Uk. 354. Rejea Qiraat Fiy Fikri Imam Shiraziyy. 46 544

Ghurarul-Hikam Uk. 291. Ghurarul-Hikam Uk. 204. 48 Rejea Qiraat Fiy Fikri Imam Shiraziyy. 49 Al-Fiqhi al-Awlamah cha Imam Shiraziyy 60 Uk. 216. 47

49


Mkakati wa Kupambana na Ufakiri

Kama ambavyo pia uhuru ni moja ya zana za msingi katika kuzalisha nguvu, kuibua vipaji na vipawa, jambo ambalo hutoa fursa kubwa ya ugunduzi na eneo kubwa katika nyanja ya teknolojia ya kilimo au ya viwanda, na matokeo yake ni kutoa fursa kubwa ya kupambana na kutokomeza ufakiri kwa nguvu na haraka zaidi. Yeyote atakaye ufafanuzi zaidi kuhusu maudhui hii arejee alFiqhi al-Huriyyat, na al-Fiqhi al-Iqtiswad, na as-Swiyaghat alJadidah Lialamil-Iman Wal-Huriyyah War-Rifah Was-Salam, vya marehemu Imam Shiraziy, ambapo humo amethibitisha kwa dalili kwamba katika ulimwengu wa leo uhuru wa uchumi haufiki hata asilimia kumi ya uhuru wa uchumi uliotolewa na Uislamu. Kumi na Tatu: Kazi ya Serikali ni Kusimamia, si Kuzalisha: Ni wajibu kwa serikali kujikita katika wajibu wa kulinda nidhamu, kusimamia uadilifu na kupanga mipango ya kustawisha uchumi. Na wakati huo huo ni wajibu kwa serikali kujiepusha kujishughulisha na shughuli ya kiuchumi ambayo ni sehemu ya shughuli za raia, sawa iwe ni sehemu ya shughuli za mtu binafsi au mashirika. Na kwa msingi huo ni kuwa suala la utaifishaji ambao unaziweka mali za nchi mikononi mwa serikali ni moja ya kosa kubwa sana, kama ambavyo serikali kujiingiza katika uzalishaji wa moja kwa moja ni kosa jingine. Inapasa ijulikane kwamba fikra ya kutaifisha mali ilianza ili iwe njia ya raia kukomboa utajiri wao wa madini, kilimo na mwingineo kutoka kwenye udhibiti wa ukoloni wa zamani. Lakini sasa tunakuta jambo hili limebadilika kabisa kwa kuwa dhidi ya raia na kuwa balaa kwao badala ya kuwa neema kwao, kwani inapasa umiliki wa utajiri wote urudi kwa raia na uwe mikononi mwao. Ama suala la kuendesha baadhi ya mitaji mikubwa ambayo mtu mmoja binafsi hawezi kuendesha (kama vile viwanda na mashirika makubwa) kinachopasa ni kuwa mikononi mwa wawakili50


Mkakati wa Kupambana na Ufakiri

shi wa raia, watakaochaguliwa na wao, na si kuwa mikononi mwa serikali.50 Yote hayo (kutaifisha mali na serikali kufanya biashara) yamepelekea ufakiri kuongezeka, Imam Ali (as) amesema: “Kisha wausie mema wafanyabiashara na wenye viwanda, mkaazi (mwenye maduka) kati yao au anayetembeza biashara yake au kibarua, kwa hakika watu hao ndio chimbuko la manufaa na njia ya faida…… Na yachunguze mambo yao mbele yako na popote wawapo kwenye maeneo ya nchi yako.”51 Na akasema pia: “Na fuatilia suala la ukusanyaji wa kodi kwa kiasi ambacho kitawaweka watu wake katika hali njema.” Hivyo wajibu wa kiongozi ni kuhakikisha uchumi unakuwa salama na kulinda amani katika safari yote ya mchakato wa uzalishaji, na si kuingilia moja kwa moja katika kuzalisha bidhaa au kutoa huduma. Maudhui hii ina maelezo mengi sana, unaweza kuifuatilia katika al-Fiqhi as-Siyasiyyah, na katika al-Fiqhi al-Iqtiswad, na katika al-Fiqhi al-Huquq, na katika al-Fiqhi ad-Dawlah al-Islamiyyah, kutoka kwenye Ensklopedia ya marehemu Imam Shiraziy. Kumi na nne: Kupiga vita vyanzo vyote vya ufakiri: Hili ndilo tutakalolizungumzia peke yake katika faslu ya tatu, inshaallah.

50 51

ejea kitabu At’ru Wadhawabitul-Alaqat Bayna ad-Dawlah Washaab, cha Mwandishi. R Nahjul-Balaghah Uk. 436. 51


Mkakati wa Kupambana na Ufakiri

‫بسم هللا الرحمن الرحيم‬ Faslu ya Pili MASULUHISHO YA KIGHAIBU NA ­KIMAADILI

I

mam Ali (as) ana usia wa jumla ambao kama watu wataufanyia kazi na kuutekeleza pamoja na yale yaliyotangulia na yatakayokuja baadaye, basi ufakiri utang’oka tokea kwenye mizizi yake. Usia huo umegawanyika katika sehemu tatu: Wa kimaadili, wa kiuchumi na wa kijamii. Na huu ni baadhi tu ya usia huo: a.

Takwa: “Enyi kundi la wafanyabiashara mwogopeni Mwenyezi Mungu..”52 Ni wazi kwamba kumwogopa Mwenyezi Mungu kunazuia kunyonya damu za mafakiri kupitia udanganyifu, ghushi, utapeli, ulimbikizaji mali na upandishaji bei, jambo ambalo hupunguza kiwango cha ufakiri.

b. Wepesi: “Na tafuteni baraka kupitia wepesi.”53 Hakika aina yoyote ya urasimu wa kimadaraka, au ugumu au ukiritimba, huzuia mzunguko wa mitaji, huongeza gharama na hupoteza sehemu kubwa ya wakati, na pia hufanya orodha na idadi ya maafisa na watumishi kuwa kubwa, na hutoa shinikizo kubwa katika mishipa na afya (mchoko wa kiakili na kimwili), jambo ambalo nalo 52 53

Al-Kafiy Juz. 5, Uk. 151. Al-Kafiy Juz. 5, Uk. 151. 52


Mkakati wa Kupambana na Ufakiri

husababisha maradhi ambayo huzidi kuongeza ufakiri kwa mafakiri. Hivyo muamala wowote ule sawa uwe wa kuuza na kununua au mwingineo, unatakiwa utimie kwa wepesi bila urasimu na vikwazo, na kwa ajili hiyo ndio maana tunakuta sehemu kubwa ya serikali za ulimwengu wa leo zimeanza kupunguza urasimu wa kimchakato katika usajili wa mashirika na katika miamala mingine. Na katika Uislamu hakuna haja kabisa ya kuwa na urasimu huo. c.

Shuka Chini: “Na kuweni karibu na wanunuzi.” Hakika kuwepo na rundo la watu wa kati kunasababisha ughali na mfumuko wa bei, kwa sababu mtu wa kati huishi kwa kuongeza bei ili na yeye apate faida – mara nyingine ni maradufu ya faida halisi – hivyo kadiri watakavyoondolewa watu wa kati ndivyo bei nazo zinavyopunguka na hatimaye kupunguka kiwango cha ufakiri. Na ni wajibu kwa serikali kuweka mipango ya kuondoa watu wa kati kwa sababu ukiachilia mbali suala la kupandisha bei pia huongeza uwezekano wa kuyumbisha na kuchezea soko kutokana na uwezo mkubwa yalionao mashirika yanayojishughulisha na suala hili la kuwa mtu wa kati katika miamala.

d. Kuwa Mkweli: “Jiepusheni na uwongo.”54 Hakika kufanya udanganyifu katika miamala ni kuongeza mbinyo dhidi ya mafakiri, kwa sababu mfanyabiashara au shirika litaongopa ili liuze bidhaa zake kwa bei ghali, au ili liuze bidhaa mbovu kwa anwani ya kwamba ni nzuri, au mfano wa hayo. 54

Al-Kafiy Juz. 5, Uk. 151. 53


Mkakati wa Kupambana na Ufakiri

e.

Uungwana: “Na kuweni waungwana kwa 55 waliodhulumiwa.” Katika muamala wowote ni wajibu kuwa muungwana kwa aliyedhulumiwa kabla huyo aliyedhulumiwa hajakwenda kushtaki, kisha kama aliyedhulumiwa – sawa awe ni mtu binafsi au shirika au kampuni – akienda kushtaki ni wajibu kwa dhalimu aliyedhulumu kukiri kosa haraka. La sivyo kitendo hicho ukiachia mbali kwamba kitakuwa ni kuvunja haki za binadamu pia kitaongeza mbinyo kwa mafakiri, kwa sababu mawakili watetezi watatumia fursa hiyo kujinufaisha kwa gharama za pande mbili, na kwa sababu dhalimu au aliyedhulumiwa (kulingana na atakayeshindwa) atajaribu kurejesha gharama za malipo aliyotoa kumlipa wakili na mfano wake, atafanya jaribio hilo kwa kuongeza bei au kwa kuchukua uamuzi wa kutoongeza malipo ya wafanyakazi, jambo ambalo ni kuzidi pia kuongeza mbinyo kwa mafakiri.

f.

Jiepushe na Riba: “Msile riba.”56 Na tumezungumzia hilo katika faslu ya mwisho.

g.

Usafi wa Kiroho: “Na timizeni vipimo na mizani na wala msiwaibie watu vitu vyao.”57 Hii ni kuharamisha kuchezea soko, na tayari tumeshazungumzia hilo.

h. Sadaka: Imamu Ali (as) anasema: “Mkipatwa na ufakiri fanyeni biashara na Mwenyezi Mungu kwa sadaka.”58 Na sadaka ina athari ya moja kwa moja katika kuondoa Al-Kafiy Juz. 5, Uk. 151. Sura Imran: 130. 57 Al-Kafiy Juz. 5, Uk. 151. 58 Nahjul-Balaghah, Hekima ya 258. 55 56

54


g. Usafi wa Kiroho: “Na timizeni vipimo na mizani na wala msiwaibie watu vitu vyao.”2 Hii ni kuharamisha kuchezea soko, na tayari tumeshazungumzia hilo. h. Sadaka: Imamu Ali (as) anasema: “Mkipatwa na ufakiri Mkakati wa Kupambana na Ufakiri fanyeni biashara na Mwenyezi Mungu kwa sadaka.”3 Na sadaka ina athari ya moja kwa moja katika kuondoa ufakiri, kama ufakiri, ilivyo wazi. pia ina athari pia isiyo moja kamaKama ilivyoambavyo wazi. Kama ambavyo inayaathari kwa moja lakini ya msingi na ya kimkakati sana, hakika sadaka isiyo ya moja kwa moja lakini ya msingi na ya kimkakati huimarisha mshikamano kijamii na kuongeza wa virutubisho sana, hakika sadaka wa huimarisha mshikamano kijamii vya mapenzi baina ya wanajamii, jambo ambalo huleta na kuongeza virutubisho vya mapenzi baina ya wanajamii, matokeo chanya katika uzalishaji. Yote haya ni pamoja na jambo ambalo huleta matokeo chanya katika uzalishaji. sababu za kighaibu, kwani hakika riziki imo mikononi mwa Yote ni pamoja na sababu za kighaibu, kwani hakika Mwenyezi haya Mungu, anasema: riziki imo mikononi mwa Mwenyezi Mungu, anasema: i. ∩∈∇∪ ß⎦⎫ÏGyϑø9$# Ïο§θà)ø9$# ρèŒ ä−#¨—§9$# uθèδ ©!$# ¨βÎ)

“Kwa hakika Mwenyezi Mungu ndiye Mtoaji wa riziki, Mwenye nguvu, Madhubuti.” (Surat Dhariyat: 158). 1

Sura Imran: 130. Na Imam (as) amesema: “Utajiri na ufakiri ni baada ya kufika Al-Kafiy Juz. 5, Ali Uk. 151. 3 kwa Mwenyezi Mungu (Siku ya Kiyama).”59 Mwenyezi Mungu Nahjul-Balaghah, Hekima ya 258. 2

anapoona utoaji kutoka kwa mja wake licha ya kuwa na haja na kile alichotoa, hakika humfungulia mlango wa riziki kwa namna 65 asiyotarajia, na anaweza kumruzuku kwa kiwango asichotarajia. Na sababu hii inawahusu watu, mashirika na hata serikali pia. Kisha ni kwamba, hakika mfumo wa sadaka kama utaenea, bila shaka faida itarudi kwa mwanadamu mwenyewe, hiyo ni pale mazingira yanapogeuka, kwani leo hii huyu anampa sadaka yule, kisha siku zinazunguka na wa pili anakuja kumpa sadaka wa kwanza, hivyo sadaka ni moja ya aina muhimu na za msingi za mshikamano wa kijamii. i.

59

Kuunga Udugu: Hakika kuunga udugu ni moja ya sababu muhimu na nyenzo muhimu za kutokomeza ufakiri, ni sababu ya kighaibu na kimaada pia. Imam Ali

Nahjul-Balaghah Uk. 555. 55


Mkakati wa Kupambana na Ufakiri

(as) amesema: “Tambueni! Mtu asiache kusaidia haja aionayo kwa ndugu wa karibu, awaonapo katika shida azitatue, kwa kile ambacho hakitomzidishia au kumsaidia chochote akiacha, na wala hakitompunguzia chochote endapo atakitumia. Na ambaye anauzuia mkono wake kuwasaidia ndugu zake wa karibu, ukweli ni kwamba ni mkono mmoja tu unaozuilika kutoka kwake kuwaendea wao, lakini itazuilika kutoka kwao mikono mingi kwenda kwake.”60 Na (as) anataja faida za jambo hilo akieleza kwamba karaba: 1.

Wao ni watu muhimu sana kwa uangalizi nyuma yake.

2.

Wao ni kiunganishi kikubwa dhidi ya mfarakano uliyopo na ndugu zake.

3.

Ni wenye huruma mno kwake anapokumbwa na shida.

4.

Ni utajo mwema ambao Mwenyezi Mungu humjaalia mtu miongoni mwa watu, ambao ni bora kwake kuliko mali ambayo atawarithisha watu wengine.61

Hivyo kuunga udugu – kwa mapenzi, mali na mengineyo – kunachangia moja kwa moja katika kupunguza kiwango cha ufakiri, kama ilivyo wazi. Na kunajenga misingi na miundombinu ya kijamii ya kutokomeza ufakiri, kwani kwa kuunga udugu nyoyo zinasogeleana na kuwa karibu na mikono yao inaungana na hivyo kundi – kwa kusaidiana pamoja – linakuwa na uwezo zaidi wa kupambana na ufakiri na kujenga uchumi bora wenye kuendelea. Na kwa ajili hiyo ndio maana tunakuta mashirika mengi ya kifamilia yamefanikiwa maadamu tu wameshikamana na tabia ya kuunga udugu, lakini yanaporomoka pindi mizozo inapoendelea 60 61

Nahjul-Balaghah Uk. 65. Nahjul-Balaghah Uk. 65. 56


Mkakati wa Kupambana na Ufakiri

baina yao, pindi wanapokata udugu na kukatika kamba ya mahaba na upendo. Kisha ni kwamba kuunga udugu ni moja kati ya mambo muhimu yanayofanya mishipa iwe salama na kutokomeza uchovu, na kuleta hali ya kujiamini, na yote hayo hujiakisi kwa kuwa na matokeo chanya katika uwezo wa mwanadamu, katika kukuza uchumi wake. Na kinyume chake ni kwamba kukata udugu ni moja ya sababu zinazosababisha mchoko, kuumiza mishipa na kuleta maradhi mengine, jambo ambalo hupunguza uwezo wa kufikiri na kupanga mipango ya uchumi salama, kuendesha mipango kwa njia bora na hata kuitekeleza ipasavyo. Kama ambavyo pia hupunguza umri, na kwa ajili hiyo Imam Ali (as) alisema: “Ewe Nuf, unga udugu wako Mwenyezi Mungu atarefusha umri wako.”62 Na Imam ar-Ridha (as) amesema: “Kuunga udugu kunaleta tabia njema, kunaleta ukarimu, kunaleta roho nzuri, kunaongeza riziki na kunasogeza kifo mbele.”63 Na Imam Ali (as) amesema: “Balaa humfika aliyekata udugu.” Na amesema (as): “Watakapokata udugu mali zitawekwa mikononi mwa watu waovu.”64 Hakika kukata udugu ni moja kati ya mambo na sababu muhimu zinazosambaratisha ukoo na kupoteza watoto, jambo ambalo pia linamaanisha kwamba: 1.

Hakika mali za ukoo zinahama – kwa urithi na njia nyingine – kwenda kwa watoto waovu.

2.

Hakika mali za ukoo – kutokana na kusambaratika kwa familia – zitatumika katika mambo ya haramu, kama vile kamari, pombe, zinaa na mengineyo, jambo ambalo linamaanisha kuwa mali imefika mikononi mwa watu waovu.

Biharul-An’war Juz. 74, Uk. 89. Biharul-An’war Juz. 74, Uk. 114. 64 Biharul-An’war Juz. 74, Uk. 138. 62 63

57


Mkakati wa Kupambana na Ufakiri

3.

65

Hakika mali za koo njema ambazo zimekata udugu baina ya wanandugu zitahamia kwenye koo zisizo njema lakini zilizounga udugu, hayo yakiwa ni matokeo ya kufilisiwa kwa mashirika ya koo za mwanzo – kutokana na mizozo au jambo jingine - na ni matokeo ya kusaidiana na kuunga udugu kunakofanywa na koo zisizo njema. Kwa ajili ya hayo yote na mengineyo ndio sababu Imam al-Baqir (as) akasema: “Kuunga udugu kunaimarisha majumba na kunaongeza umri, hata kama wahusika si watu wema.”65

Biharul-An’war Juz. 74, Uk. 94. 58


Mkakati wa Kupambana na Ufakiri

‫بسم هللا الرحمن الرحيم‬ Faslu ya Tatu VYANZO VYA UFUKARA NA SABABU ZAKE

K

una sababu nyingi zinazoleta ufakiri na kuongeza idadi ya mafakiri katika jamii kwa namna ya moja kwa moja na isiyo ya moja kwa moja, kwa mfano mambo yanayopelekea bei za bidhaa kupanda na kuwa ghali. Na kundi hili ni la baadhi ya sababu muhimu zenye kuleta ufakiri kwa namna ya moja kwa moja na isiyo ya moja kwa moja: Kwanza: Serikali Kumiliki Rasilimali: Ni kwa sababu Serikali imejimilikisha rasilimali na utajiri wa asili kama vile ardhi, madini, mapori, maziwa na utajiri wa nchi. Na ni wazi kwamba vitu vyote hivi husababisha ufakiri na ukosefu na pia ughali wa maisha, kwani kama ardhi itakuwa huru na bure kwa watu wote bila shaka gharama kubwa itaondoka na kupunguka kutoka kwenye mzigo wa mafakiri na moja kwa moja kiwango cha ufakiri kitapungua, kama ambavyo pia mafakiri watapata fursa na vyanzo rahisi vya uzalishaji halali. Hakika Uislamu unasisitiza kwamba vyanzo vya utajiri huo ni milki ya Mwenyezi Mungu, kisha ni ya watu wote, na wala serikali haina haki ya kumzuia mtu yeyote kumiliki vyanzo hivyo, Mwenyezi Mungu anasema: 59


kitapungua, kama ambavyo pia mafakiri watapata fursa na vyanzo rahisi vya uzalishaji halali. Hakika Uislamu unasisitiza kwamba vyanzo vya utajiri huo ni milki ya Mwenyezi Mungu, kisha ni ya watu wote, na wala serikali haina Mkakati wa Kupambana na Ufakiri haki ya kumzuia mtu yeyote kumiliki vyanzo hivyo, Mwenyezi Mungu anasema: ∩⊄®∪ $YèŠÏϑy_ ÇÚö‘F{$# ’Îû $¨Β Νä3s9 t,n=yz “Ï%©!$# uθèδ “Yeye ndiye aliyekuumbieni vyote vilivyomo katika ardhi.” (Surat “Yeye ndiye aliyekuumbieni vyote vilivyomo al-Baqarah 29).

katika ardhi.” (Surat al-Baqarah 29).

Na Mtume wa Mwenyezi Mungu (saww) anasema: “Atakayetangulia katika lile ambalo hakuna Mwislamu aliyetangulia kabla yake basi hilo ni haki yake.”66 Imam Ali (as) aliwapa watu uhuru wao na haki zao, walime katika ardhi kadiri wawezavyo au 69wajenge watakavyo au wafuge kadiri wapendavyo, au wazalishe na kujitwalia mapori na madini na mengineyo kadiri watakavyo.67 Pili: Wingi wa Wafanyakazi wa Serikali: Uislamu unaona kwamba kitendo cha kuwa na idadi kubwa ya maafisa katika ofisi na taasisi za serikali ni kuongeza mzigo juu ya mafukara, ambapo hawa maafisa wanaishi na kutumia bila kuzalisha, wakati ambapo fakiri anajituma ili kuzalisha lakini ni baada ya taabu kubwa ndipo anaweza kupata na kukifikia kile atakacho. Tatizo hili limeenea katika nchi ambazo zinatawaliwa na uchumi uliojifunga serikalini.68 – Miongoni mwa mifano ya ukubwa wa tatizo hili ni: Mustadrakul-Wasail Juz. 17, Uk. 111. Rejea Siyasat Min Waqiil-Islam. 68 Kama uchumi tunaoushuhudia katika nchi zetu za Afrika, pindi Waziri wa Fedha anapolihutubia Bunge na wananchi kwa ujumla bila aibu wala soni, tena akijivuna na kujigamba kwa kusema: “Uchumi wetu katika kipindi cha mwaka 2010 – 2012 umekua na kuimarika kwa asilimia 5.1” anasema hayo wakati ambapo hali za hao wanaoambiwa na kupewa taarifa kuwa uchumi wao umekua na kuimarika, ndio kwanza zimeingia katika mwendo kasi wa kuzidi kuporomoka kiuchumi, huku ufakiri ukizidi kujikita majumbani mwao kwa kasi ya asilimia 100 na si 5.1, kwa kukosa hata mlo wa asubuhi, sikwambii wa mchana na usiku, sikwambii matibabu na maji safi, wala elimu bora na makazi, na huu ndio uchumi wenye kukua na kuimarika kwa akili ya Waziri huyu – Mtarjumi. 66 67

60


Mkakati wa Kupambana na Ufakiri

1.

Ni kuwepo maelfu ya maafisa katika vyombo vya usalama, Jeshi la Polisi na Jeshi la Ulinzi na Usalama.

2.

Ni kuwepo maelfu ya maafisa na wafanyakazi katika idara za uhamiaji, kuanzia vitengo vya pasipoti, uraia, na ulinzi wa mipakani.

3.

Ni kuwepo maelfu ya maafisa katika idara na taasisi zilizo chini ya Wizara za Serikali.

Imam Ali (as) alifanya jambo la kushangaza katika kuondoa tatizo la wingi wa maafisa, ambapo yeye na kwa mipango mikubwa na kamili ya kimkakati ya kisiasa, kiuchumi na kiidara, aliweza kutawalisha uadilifu katika mji wa Kufah ambao ulikuwa na watu milioni nne lakini wakiwa chini ya Kadhi mmoja. Kama ambavyo Mtume wa Mwenyezi Mungu (saww) baada ya kuukomboa mji wa Makka alitosheka na mtu mmoja aliyemuweka kuwa kiongozi wa Makka, aliyekuwa akiitwa Itabu, japokuwa Makka ilikuwa ni mji mkubwa wenye kumpinga Mtukufu Mtume (saww) muda wote wa kipindi cha miongo kadhaa, na ulikuwa ukitoa upinzani wa silaha.69 Tatu: Ulimbikizaji Silaha: Hakika mashindano ya kumiliki silaha kwa mwaka yanatumia mabilioni ya dola, kwa mujibu wa taarifa ilioandaliwa na chuo cha diplomasia ni kwamba matumizi ya kijeshi ya dunia nzima katika mwaka 2004 yalivuka dola bilioni elfu moja. Na katika mwaka 2006 yalikaribia dola bilioni elfu mbili na mia nane, yaani dola trilioni mbili na bilioni mia nane. Ni wazi kwamba mali hii kubwa ilikuwa inapasa itolewe na kutumiwa katika kuhakikisha huduma za msingi 69

I li kujua kwa undani tatizo la wingi wa maafisa rejea kitabu Swiyaghatul-Jadidah Lialamil-Iman Wal-Huriyyah War-Rifah Was-Salam. Na pia kitabu Dawlatur-Rasul cha Dk. Al-Qazwiniy. Na pia al-Fiqhi ad-Dawlatul-Islamiyyah, na al-Fiqhi al-Qadhau vya Imam Shiraziy. 61


Mkakati wa Kupambana na Ufakiri

za matumizi ya watu zinapatikana, lakini zimetolewa na kutumika katika vyombo na vifaa vya kifo na silaha za kuteketeza. Kisha ni kwamba silaha zina matokeo hasi, miongoni mwayo ni: 1. Silaha zinaongeza mzigo kwa watu, kwa sababu serikali inazipata kutokana na kodi, jambo ambalo linatengeneza mzigo wa ziada juu ya mgongo wa mafakiri, au inazipata kupitia rasilimali za nchi na utajiri wake wa asili kama vile mafuta (kama vile gesi na madini), na huu ni wizi wa mali za watu chini ya kisingizio cha kuimarisha nchi kijeshi, na ni kutoa dhamana ya kudumu kwa serikali ya kidikteta au hata ya dikteta anayetawala kwa vazi la demokrasia. 2. Silaha hizi kwa wepesi kabisa zinapata njia ya kuleta mizozo ya ndani na vita, bali kuna wakati wauzaji wa silaha hizo (hasa Serikali ya Marekani na washirika wake) wanapanga mipango kuhusu ulimwengu na hatimaye dola hizo zenye kuzalisha silaha huanzisha na kuchochea vita hata kwa uwakala, ili ziweze kuuza silaha zao, na hivyo hufanya kila mbinu kuhakikisha vita hivyo vinaendelea na kudumu. Na hakika vita ni kuharibu nchi na ni moja kati ya vyanzo vikubwa vya ufakiri kwa wananchi. Imam Shiraziy amebainisha kwamba Mwakilishi Mkuu wa Mwenyezi Mungu aliyebakia, Imam Mahdi (as), yeye katika zana za kivita na kimapambano atarudisha zile zilizokuwepo mwanzo, hivyo atarudisha majambia na mikuki – kwa mfano jambo ambalo kwanza litafanikisha kuziacha mifukoni mwa watu na mafakiri mali zote zinazokusanywa kwa ajili ya silaha. Na pili litapunguza hatari na madhara ya vita vinavyotokana na sababu za kisiasa au kijamii au 62


Mkakati wa Kupambana na Ufakiri

kiuchumi, madhara hayo yatapungua hadi kuwa chini ya asilimia moja ya laki moja.70 Nne: Wizi wa Serikali: Wizi unaweza kuwa ni ule ulio bayana, na unaweza kuwa sio ule ulio bayana. Kipengele hiki kina mazungumzo marefu tunayaacha mahali pake, lakini tutatosheka na mfano ufuatao: Mwanafunzi wa Imam Ali (as) Abu Dhari al-Ghafariy alimtolea hoja Muawiya pindi alipojijengea kasri kwa thamani ya dinari milioni nne za dhahabu, alimwambia: “Ikiwa umejenga kasri lako hili kwa mali za Mwenyealipojijengea kwa thamani ya dinari milioni nne za haramu. dhahabu, zi Mungu basikasri jua kwamba umefanya dhambi na umetenda alimwambia: “Ikiwa umejenga kasri lako hili kwa mali za Mwenyezi Na ikiwa umejenga kwa mali yako binafsi basi jua umefanya ubaMungu basi jua kwamba umefanya dhambi na umetenda haramu. Na dhirifu.” ikiwa umejenga kwa mali yako binafsi basi jua umefanya ubadhirifu.” Tano: Mgawanyo Mbovu:

Tano: Mgawanyo Mbovu: Hakika Mwenyezi Mwenyezi Mungu Hakika Mungu Mtukufu Mtukufu ndio ndio Muumba Muumbawa waardhi ardhiyote, yote,nana ndiye Muumba wa wanadamu wote, na Yeye ameifanya ardhi ndiye Muumba wa wanadamu wote, na Yeye ameifanya ardhikwa kwa utajiriwake wakewote wotekuwa kuwaya yabinadamu binadamuwote, wote, akatamka akatamka bayana bayana kuwa: kuwa: utajiri ∩⊄®∪ $YèŠÏϑy_ ÇÚö‘F{$# ’Îû $¨Β Νä3s9 t,n=yz “Ï%©!$# θèδ “Yeye ndiye aliyekuumbieni vyote vilivyomo

“Yeye ndiye aliyekuumbieni vyote vilivyomo katika ardhi.” katika ardhi.” (Surat al-Baqarah 29). (Surat al-Baqarah 29).

Yaani vyote vilivyomo katika ardhi ni vyenu wote. Lakini Yaani vyote vilivyomo katika ardhi ni vyenu wote. Lakini wanadamu kwa ujinga wao wameugawa ulimwengu na kuweka wanadamu kwa ujinga wao wameugawa ulimwengu na kuweka mipaka ya kijografia, ambayo imefanya baadhi ya nchi zivimbewe mipaka ya kijografia, ambayo imefanya nchi zivimbewe na nyingine zisote chini ya mbinyo wa baadhi ufakiri.yaHakika mipaka ya 70 Rejea kitabu al-Imam al-Mahdiy cha Shiraziy. kijografia ina madhara mengi, kwa upande mmoja imezinyima nchi fakiri ule utajiri ambao ni wao wa fungu lao linalotokana na kanuni 63 ya Mwenyezi Mungu. Na kwa upande mwingine imezuia maingiliano huru ya kibiashara baina ya nchi na nchi, na hatimaye ni kuwekwa ushuru wa forodha (viza, kibali cha kuishi ugenini, au kufanya kazi na vikwazo vingine), jambo ambalo limewadhuru sana


Mkakati wa Kupambana na Ufakiri

na nyingine zisote chini ya mbinyo wa ufakiri. Hakika mipaka ya kijografia ina madhara mengi, kwa upande mmoja imezinyima nchi fakiri ule utajiri ambao ni wao wa fungu lao linalotokana na kanuni ya Mwenyezi Mungu. Na kwa upande mwingine imezuia maingiliano huru ya kibiashara baina ya nchi na nchi, na hatimaye ni kuwekwa ushuru wa forodha (viza, kibali cha kuishi ugenini, au kufanya kazi na vikwazo vingine), jambo ambalo limewadhuru sana mafakiri wa nchi zote mbili. Na ni kwa ajili hiyo Mtume wa Mwenyezi Mungu (saww) aliondoa mipaka yote ya kijiografia baina ya nchi tisa zilizokuwa chini ya serikali yake, na Imam Ali (as) akaondoa mipaka ya kijografia baina ya nchi hamsini zilizokuwa chini ya serikali yake. Na Imam Mahdi (as) ataondoa mipaka ya kijografia baina ya nchi zote za ulimwengu, pindi atakapodhihiri zama za mwisho ili kuja kuujaza uadilifu na pindi atakapodhihiri zama za mwisho ili ukandamizaji. kuja kuujaza uadilifu na usawa baada ya kuwa umejaa dhulma na usawa baada ya kuwa umejaa dhulma na ukandamizaji. Sita: Kamari: Sita: Kamari: Mwenyezi MwenyeziMungu Munguanasema: anasema:

×Î7Ÿ2 Ν Ö øOÎ) !$yϑÎγŠÏù ö≅è% ( Πţ÷yϑø9$#uρ Ìôϑy‚ø9$# Ç∅tã y7tΡθè=t↔ó¡o„ * ß Ï≈oΨtΒuρ ∩⊄⊇®∪ 3 $yϑÎγÏèø¯Ρ ⎯ÏΒ çt9ò2r& !$yϑßγßϑøOÎ)uρ Ĩ$¨Ζ=Ï9 ì

“Wanakuuliza na Waambie: kamari. Waambie: “Wanakuuliza juu ya juu uleviya naulevi kamari. Katika hayo mna uovu mkubwa na manufaa (kidogo) kwa watu, uovu wake ni Katika hayo mna uovu mkubwa nanamanufaa mkubwa zaidi kuliko manufaa yake.” al-Baqarah (kidogo) kwa watu, na uovu wake(Surat ni mkubwa zaidi219).

kuliko manufaa yake.” (Surat al-Baqarah 219). Hakika kamari ni miongoni mwa sababu za msingi zinazobomoa jengo la jamii ya pia kusambaratisha maisha ya familia, Hakika kamari ni mafakiri miongoninamwa sababu za msingi zinazobomoa jambo matokeo katika uzalishaji, kwayasababu ni jengo la ambalo jamii yahuleta mafakiri na piahasi kusambaratisha maisha familia, jambo ambalo huleta matokeo hasi katika uzalishaji, kwa sababu ni kitendo maalumu cha matumizi, hivyo mcheza kamari si mzalishaji 64 bali yeye anaishi kwa kutegemea mifuko ya watu wengine, ufafanuzi wa maudhui hii unapatikana katika vitabu maalumu. Saba: Uharibifu kwa Njia ya Mali:


Mkakati wa Kupambana na Ufakiri

kitendo maalumu cha matumizi, hivyo mcheza kamari si mzalishaji bali yeye anaishi kwa kutegemea mifuko ya watu wengine, ufafanuzi wa maudhui hii unapatikana katika vitabu maalumu. Saba: Uharibifu kwa Njia ya Mali: Imam Ali (as) amesema: “Hakika waliangamia waliokuwa kabla yenu kwa sababu waliwanyima watu haki, na wao wakazinunua. Wakawaongoza katika batili, na wao wakawafuata.”71 Na amesema (as): “Haipasi kiongozi kuwa mla rushwa katika hukumu kwani atapoteza haki (za wengine) na kuhukumu pasi na sheria (za Mwenyezi Mungu).”72 Hakika rushwa inawaongezea mafakiri ufakiri, nayo ni ufisadi, ugandamizaji, uvurugaji na uharibifu, hakika mla rushwa hutumia kwa manufaa yake haja ya mtu mwingine, sawa mtu huyo awe fakiri au tajiri, jambo ambalo huongeza kiwango cha ufakiri kama wanaotoa ni mafakiri, na kama ni matajiri basi wao hufidia hasara yao ya kutoa rushwa kwa kuongeza bei ya bidhaa zao, jambo ambalo madhara yake hurejea kwa fakiri.73 Nahjul-Balaghah, Uk. 366. Nahjul-Balaghah, Hotuba ya 131. 73 Taarifa ya ulimwengu ya ufisadi ya mwaka 2009 iliyoandaliwa na Taasisi huru ya Kimataifa imefichua kwamba ulimwengu hutoa rushwa ya kiasi cha kati ya dola bilioni 20 na 40 kwa mwaka, na kiasi hiki cha kati ya dola bilioni 20 na 40 kinalingana na thamani ya misaada ya maendeleo na ukuzaji uchumi. Na hili ni jambo linalosababisha madhara katika biashara, uzalishaji na matumizi. Ripoti imebainisha kuwa rushwa hiyo imesababisha makampuni kutokufuata sheria na kutekeleza miradi bila ubora, kutokuhisi kuwajibika na kutokujali hatima ya baadaye, kwa mfano huko Uturuki rushwa inasababisha kujengwa majengo yasiyo salama kiuhandisi, jambo ambalo husababisha kuporomoka na madhara mabaya kwa roho na mali. Na huko Nigeria inasababisha kutapakaa kwa dawa zisizokuwa salama. Na huko China inasababisha matatizo katika mazingira ya kazi. Na huko Hispania imepelekea upungufu wa maji. Lakini pia inaongeza gharama za miradi, ambapo taarifa inabainisha kuwa nusu ya wakuu wa idara kati ya wale waliohojiwa walisema kuwa ufisadi huu wa rushwa umeongeza gharama katika miradi hadi kufikia asilimia 10 kwa uchache, kama ambavyo wakuu kumi wa idara kati ya wale waliohojiwa walisema kuwa wamepoteza kazi zao kwa sababu ya rushwa. 71 72

65


Mkakati wa Kupambana na Ufakiri

Viashiria vya uwepo wa ufisadi vya mwaka 2008 vilivyotolewa na Taasisi huru ya Kimataifa vimeangazia uhusiano uliopo baina ya ufakiri na kushindwa kwa makampuni na mashirika, na hivyo katika nchi zenye ufakiri zaidi inawezekana viwango vya ufisadi ndio vikawa kitenganishi baina ya uhai na kifo, pindi mali zilizotengwa kwa ajili ya mahospitali na maji safi na salama zinapokuwa hatarini. Kama ambavyo hali ya jamii nyingi kuendelea kupatwa na kiwango cha juu cha ufisadi na ufakiri imefikia kiwango cha janga la kibinadamu lenye kuendelea kwa namna ambayo haiwezi kunyamaziwa. Kuenea kwa ufisadi katika nchi zenye kipato kidogo kunauweka katika hatari mkakati wa kupambana na ufakiri, na kunaweka kizuizi dhidi ya kufikia malengo ya Umoja wa Mataifa ya kukuza uchumi, ambapo kunasababisha ufisadi kuzidi kuendelea bila kizuizi. Zaidi ya hapo ni kupoteza kiasi cha dola bilioni 50 za Kimarekani, sawa na Euro bilioni 35, gharama inayotolewa kwa ajili ya kufikia malengo ya maendeleo katika sekta ya maji na huduma za afya, kiasi ambacho kinakaribiana na nusu ya fedha zinazotolewa kwa ajili ya misaada mbalimbali ulimwenguni. Taarifa ya Taasisi huru ya Kimataifa inasema kwamba kitendo cha watu wa usalama, polisi na maafisa wengine wa serikali kuomba rushwa ndio tatizo kubwa katika nchi zenye kuendelea. Shirika hili lisilokuwa la kiserikali ambalo makao yake makuu ni Berlin limeongeza kuwa viashiria vya ufisadi vya mwaka 2006 vilidhihirisha kwamba rushwa imetapakaa sana Afrika, ambapo asilimia 36 ya wale waliohojiwa walisema kwamba wao au mmoja wa wanafamilia walitoa rushwa katika kipindi cha miezi kumi na mbili iliyopita. Na wastani wa fedha za rushwa anazopewa polisi na hakimu huko Afrika, ni zaidi ya Euro 50, yaani sawa na dola 66.43. Ama fedha anazopewa muhudumu wa afya, na hiyo ndio sekta ya pili kwa kupokea rushwa huko Afrika, si chini ya Euro sita. Na nchi yenye hali mbaya zaidi huko Afrika katika jambo hili, kati ya nchi zilizofikiwa na uchunguzi huu ni Morocco, ambayo asilimia 60 ya walioshiriki katika uchunguzi huu walisema wao walitoa rushwa. Na Cameroun ambayo ilifikia asilimia 56 katika mwaka uliopita. Taasisi huru ya Kimataifa imesema kwamba hakika polisi ndio idara yenye kupokea zaidi rushwa. Na huko Amerika ya Kusini mtu mmoja kati ya kila watu watatu waliohojiwa alitoa rushwa katika kuamiliana kwake na polisi. Mahakama imechukua nafasi ya tatu huko Amerika ya Kusini kati ya idara na taasisi zenye ufisadi zaidi. Na rushwa kubwa inatolewa katika huduma za afya, imefikia wastani wa Euro 450, na inafuatiwa na rushwa inayotolewa katika mahakama na kwa maafisa wa ushuru wa forodha, ambapo inazidi Euro 200. Katika kufafanua matokeo haya, raisi wa Taasisi huru ya Kimataifa, Huguette Labelle, amesema: “Hakika uchunguzi huu wa ngazi ya kimataifa unafichua kiwango cha madhara cha ufisadi katika maisha ya watu ya kila siku.” Na ameongeza kwa kusema: “Hakika mafakiri ambao hawana uwezo wa kutoa rushwa katika baadhi ya nchi, hawapati huduma za msingi. Na kwa ajili hiyo tunaziomba serikali za nchi zote zibebe wajibu wao na kuutekeleza kwa azma kubwa katika kupambana na hali hii.” Shirika limesema: Asilimia 20 ya watu huko Afrika na Amerika ya Kusini mwishoni wamelazimishwa kutoa rushwa wanapoamiliana na vyombo vya maamuzi, na hali hii 66


Mkakati wa Kupambana na Ufakiri

Nane: Ufichaji Bidhaa: Mtume wa Mwenyezi Mungu (saww) amesema: “Mleta bidhaa huNane: Ufichaji Bidhaa: 74 Na Imam Ali (as) amesema: ruzukiwa na mfichaji Mtume wa Mwenyezihulaaniwa.” Mungu (saww) amesema: “Mleta bidhaa 1 “Hivyo basi, zuia ufichaji wa bidhaa, kwani Mjumbe wa Mwenyezi huruzukiwa na mfichaji hulaaniwa.” Na Imam Ali (as) amesema: Mungu amekataza hilo, na biashara inabidi iwe nafuu, “Hivyo (saww) basi, zuia ufichaji wa bidhaa, kwani Mjumbe wa ya Mwenyezi kwa vipimo na mizani za kiadilifu, bei isio inabidi dhulumu pande zote Mungu (saww) amekataza hilo, nanabiashara iwe ya nafuu, kwa vipimo mizaninazamnunuzi.” kiadilifu,75 na bei isio dhulumu pande zote mbili kati ya na muuzaji mbili kati ya muuzaji na mnunuzi.”2 Tisa: Riba: Tisa: Riba: Mwenyezi Mungu anasema: Mwenyezi Mungu anasema: ∩⊄∠∉∪ ?Λ⎧ÏOr& A‘$¤x. ≅ ¨ ä. =Åsムω Ÿ ª!$#uρ 3 ÏM≈s%y‰¢Á9$# ‘Î/öãƒuρ (#4θt/Íh9$# ª!$# ß,ysôϑtƒ “Mwenyeezi Mungu huiondolea riba, na “Mwenyeezi Mungu huiondolea baraka riba,baraka na huizidisha sadaka, huizidisha sadaka, na Mwenyezi Mungu hampendi na Mwenyezi Mungu hampendi kila kafiri afanyaye dhambi.” kila kafiri afanyaye dhambi.” 276). (Sura al-Baqarah: (Sura al-Baqarah: 276).

imefikia asilimia moja katika nchi za Ulaya. Shirika limefafanua kwamba chombo cha maamuzi kinapokuwa huru basi ukuaji wa uchumi unakwenda kwa kasi na haraka sana. Na taarifa imedhihirisha kuwaya kwafamilia uchachekumi familiaililazimika moja kati yakutoa familiarushwa kumi ililazimika uchache familia moja kati ili iweze kutoa rushwa ili iweze kufanyiwa uadilifuhiyo (katika hiyoya ni katika zaidi nchi kufanyiwa uadilifu (katika maamuzi), nimaamuzi), katika zaidi nchi 25. Nayakatika 25. Na nchi asilimia 20 nyingine 30 yazimesema familia zimesema wao walitoa rushwa nchi 20 katika nyingine 30 asilimia ya familia wao walitoa rushwa ndipo ndipo wakapata maamuzi mahakamani. wakapata maamuzi adilifuadilifu mahakamani. Na amesema raisi wa Taasisi huru ya Kimataifa, Huguette Labelle: “Hakika kitendo chaamesema kuwepo ufisadi katika sekta huru ya maamuzi kinamaanisha kwamba sauti ya raia Na raisi wa Taasisi ya Kimataifa, Huguette Labelle: “Hakika wema haisikiki wakatiufisadi wahalifu wakiendelea adhabu yoyote.” Na taarifa kitendo cha kuwepo katika sekta yakujinafasi maamuzibila kinamaanisha kwamba sauti kwamba japo imepita kadhaa katika kulinda uhuru wabila mahakama yaimeongeza raia wema haisikiki wakatimiongo wahalifu wakiendelea kujinafasi adhabu lakini mashinikizo wanayofanyiwa watoe maamuzi kwa maslahi ya katika siasa yoyote.” Na taarifa imeongeza mahakimu kwamba ili japo imepita miongo kadhaa bado ni makubwa. Na taarifa imeonesha kwamba rushwa na ushawishi wa kisiasa katika kulinda uhuru wa mahakama lakini mashinikizo wanayofanyiwa mahakimu ili mahakama ni mambo yanayowanyima raia wa nchi nyingi haki zao za kupata maamuzi watoe maamuzi kwa maslahi ya siasa bado ni makubwa. Na taarifa imeonesha yenye uadilifu, na kwamba kwa uchache familia moja kati ya kila familia kumi ililazimika kwamba rushwa na ushawishi wa kisiasa katika mahakama ni mambo kutoa rushwa ili iweze kuupata uadilifu, hiyo ni katika zaidi ya nchi 25. yanayowanyima raia wa nchi nyingi haki zao za kupata maamuzi yenye uadilifu, 74 Al-Kafiy Juz. 5, Uk. 165. na kwamba kwa 75 Nahjul-Balaghah uchache Juz. 3, Uk.familia 100. moja kati ya kila familia kumi ililazimika kutoa

rushwa ili iweze kuupata uadilifu, hiyo ni katika zaidi ya nchi 25. 1 2

Al-Kafiy Juz. 5, Uk. 165. Nahjul-Balaghah Juz. 3, Uk. 100.

67

77


Mkakati wa Kupambana na Ufakiri

Imam Ali (as) amesema: “Enyi kundi la wafanyabiashara, kwanza elimu ya sharia kisha ndio biashara. Kwanza elimu ya sharia kisha ndio biashara. Wallahi riba katika umma huu ina njia ya siri mno kushinda njia ya mdudu chungu iliyo juu ya mlima.�76 Nayo ni ishara ya kuharamishwa riba ya waziwazi au ya kificho ya ujanja. Ama kuhusu namna riba inavyoeneza janga la ufakiri katika kiwiliwili cha umma, tutaashiria hapa hali mbili kati ya hali nyingi ambazo zinafanya mkopo wa riba kuwa sababu ya kuimarisha ufakiri: 1. Ima mkopaji awe ana haja muhimu na mkopo, kama pale atakapohitaji kukopa kwa ajili ya kufanyiwa upasuaji au tiba ya haraka, au anapohitaji mali kwa ajili ya kugharamia gharama za ndoa ya mwanawe, au kwa ajili ya kulipa deni au gharama au kodi au jambo jingine. Ni wazi kwamba kikawaida mtu kama huyu ni mwenye kipato cha chini, la sivyo asingehitaji kukopa, hivyo kuchukua riba kutoka kwake hata kama ni kwa asilimia ndogo ni kuzidi kumkandamiza na kumuongezea ufakiri au kumbadili kutoka tabaka la watu wa kati kwenda tabaka la mafakiri. 2. Na ima akope kwa ajili ya kuanzisha au kupanua biashara. Ni wazi kwamba kuchukua riba kutoka kwa mtu huyu mzalishaji kunapelekea pia kuongeza mbinyo kwa mafakiri, kwa sababu ili yeye aweze kufidia kiwango cha riba anachotakiwa kutoa atalazimika ima kupunguza mshahara wa wafanyakazi, na ambao kwa kawaida huwa ni watu wa kipato cha chini. Na ima atafidia kwa njia ya kuongeza bei ya bidhaa zake, jambo ambalo litaleta madhara kwa mafakiri. 76

Tahdhibul-Ahkam Juz. 7, Uk. 6, Mlango wa 6, Hadithi ya 16. 68


Mkakati wa Kupambana na Ufakiri

Kisha hakika riba hutengeneza kundi lisilozalisha katika umma, kwa sababu watu wengi utajiri huu usio na jasho utawageuza kuwa mamwinyi, kuanzia kwenye ngazi ya kijiji kidogo hadi kwenye ngazi ya ulimwengu, na hiyo ni kutengeneza kundi lisilozalisha bali lenye kutegemea kupata utajiri wake kupitia njia ya kunyonya damu za wengine, jambo ambalo litasababisha kuongezeka pengo baina ya matajiri na mafakiri, hivyo matajiri wataendelea kuongeza utajiri huku mafakiri wakiendelea kudidimia katika kina cha ufakiri, na jambo hili lenyewe lilivyo litazalisha msururu wa matatizo ya kijamii katika wigo mfinyu na mpana. Katika wigo mfinyu matatizo ya kiuchumi yatapelekea kusambaratika kwa jengo la familia na kutengeneza maradhi ya kisaikolojia kama vile kukata tamaa, na yatasababisha kusinyaa kwa mishipa, bali yatatengeneza mazingira ya kuzuka maradhi mbalimbali ya aina mbalimbali, mambo yote hayo yataakisi moja kwa moja katika uzalishaji na hivyo yatawaongezea mafakiri ufakiri kutoka katika pande mbalimbali. Hivi karibuni Japan ilifikia katika madhara makubwa ya riba na hivyo ikasababisha kiwango cha faida kupungua hadi kufikia karibu na asilimia sifuri, kisha katika mwezi wa sita au mwishoni mwa mwezi wa saba riba ikakifikisha kiwango hicho katika asilimia sifuri.77 Na katika mwelekeo ulio dhidi ya riba ni kwamba kuharamisha riba kunaufanya uzalishaji wa kweli kuwa na tija sana katika kilimo, ubia, ujenzi na sekta nyingine za uzalishaji. Na kwa ibara nyingine ni kwamba riba inabadili fedha taslimu kupitia njia sahihi kuwa bidhaa ya uwongo. Hayo yaliyotangulia na mengineyo ndio aliyoashiria Imam as-Sadiq (as) alipoulizwa na Hisham bin al-Hakam, anasema: “Nilimuuliza Aba Abdillah (as) kuhusu sababu ya kuharamishwa riba, akasema: ‘Hakika kama riba ingekuwa halali watu – makusudio ni watu wengi – wangeacha biashara na wanayoyahitajia, hivyo 77

Kwa mujibu wa gazeti la New York. 69


Mkakati wa Kupambana na Ufakiri

Mwenyezi Mungu akaharamisha riba ili watu waikimbie haramu na kwenda kwenye biashara, kwenye kuuza na kununua, na kwa njia hiyo waungane baina yao kwa mikopo.’”78 kwenda kwenye biashara, kwenye kuuza na kununua, na kwa njia Kumi: Uharibifu wayao Mazingira: hiyo waungane baina kwa mikopo.’”1 Miongoni mwa sababu muhimu zinazosababisha ufakiri ni uharibifu Kumi: Uharibifu wa Mazingira: wa mazingira, Mwenyezi Mungu ametahadharisha hiloni kwa kauli Miongoni mwanasababu muhimu zinazosababisha ufakiri uharibifu yake: wa mazingira, na Mwenyezi Mungu ametahadharisha hilo kwa kauli yake:

y^öysø9$# y7Î=ôγãƒuρ $yγŠÏù y‰Å¡øã‹Ï9 ÇÚö‘F{$# ’Îû 4©tëy™ ’ 4 ¯<uθs? #sŒÎ)uρ ∩⊄⊃∈∪ yŠ$|¡xø9$# =Ïtä† Ÿω ª!$#uρ 3 Ÿ≅ó¡¨Ψ9$#uρ

“Na“Na anapotawala katikaardhi ardhikufanya kufanya ufisadi, anapotawalahufanya hufanya bidii bidii katika ufisadi, na na huangamiza mimea na viumbe, na Mwenyezi Mungu hapendi huangamiza mimea na viumbe, na Mwenyezi Mungu hapendi ufisaufisadi.” (Surat al-Baqarah di.” (Surat205). al-Baqarah 205). Na uharibifu wa mazingira ni sababu inayosababishwa na Na uharibifu wa mazingira ni sababu inayosababishwa na serikali mbalimbali na raianapia, hivyo serikali kikuucha cha serikali mbalimbali raia pia, hivyo serikalindio ndiochanzo chanzo kikuu uharibifu mfano juu juu ya ya hilo hiloninikama kamaifuatavyo: ifuatavyo: uharibifu wa mazingira, na mfano Katika makubaliano ya Kyoto, Marekani ilikataa kupunguza Katika makubaliano ya Kyoto, Marekani ilikataa kupunguza kiwango kiwango cha uzalishaji wa gesi yenye sumuinasababisha ambayo inasababisha cha uzalishaji wa gesi yenye sumu ambayo madhara madhara makubwa kwenye tabaka la ozoni. Mfano mwingine kinu makubwa kwenye tabaka la ozoni. Mfano mwingine ni kinunicha cha nyuklia cha Muungano wa Sovieti ya zamani, na mingineyo. nyuklia cha Muungano wa Sovieti ya zamani, na mingineyo. Kama Kama ambavyo pia raia nao wanawajibika katika uchafuzi huo. ambavyo pia raia nao wanawajibika katika uchafuzi huo. Ni bayana kwamba uharibifu mazingira unaongeza ufakiri Ni bayana kwamba uharibifu wa wa mazingira unaongeza ufakiri kwa kwa mafakiri, kama ambavyo unasababisha na unalibadilisha mafakiri, kama ambavyo unasababisha na unalibadilisha kundi kundi kubwa la la tabaka tabaka la kubwa la kati kati kuwa kuwa kundi kundi lala tabaka tabakafakiri, fakiri,kwa kwasababu sababu uharibifu wa wa mazingira mazingira ninimoja mojaya yavyanzo vyanzomuhimu muhimuvya vyamaradhi, maradhi,na uharibifu 78 Biharul-An’war Juz. 103, Uk. 117.sababu zinazosababisha ufakiri, kwa maradhi ni miongoni mwa sababu maradhi yanamzuia mfanyakazi kufanya kazi na kuzalisha, 70 na hivyo familia inabaki bila huduma. Na pia maradhi yanasababisha 1

Biharul-An’war Juz. 103, Uk. 117.


Mkakati wa Kupambana na Ufakiri

na maradhi ni miongoni mwa sababu zinazosababisha ufakiri, kwa sababu maradhi yanamzuia mfanyakazi kufanya kazi na kuzalisha, na hivyo familia inabaki bila huduma. Na pia maradhi yanasababisha mzigo mkubwa (gharama za matibabu) katika mabega ya familia, mzigo mkubwa (gharama za matibabu) katika mabega ya familia, mzigo ambao wakati mwingine hata familia za tabaka la kati huwa mzigo ambao wakati mwingine hata familia za tabaka la kati huwa zinashindwa kuubeba. kuubeba. Na Napiapiauharibifu uharibifuwawa mazingira hudhuru zinashindwa mazingira hudhuru pia pia uzalishaji wa kilimo, jambo ambalo husababisha madhara uzalishaji wa kilimo, jambo ambalo husababisha madhara kwa kwa mafakiri. Kwa Kwa ufafanuzi ufafanuzi zaidi zaidi rejea mafakiri. rejea al-Fiqhi al-Fiqhi al-Biah al-Biah cha cha Imam Imam Shiraziy. Shiraziy. Kumina naMoja: Moja:Uharibifu Uharibifuna naUbadhirifu: Ubadhirifu: Kumi MwenyeziMungu Munguanasema: anasema: Mwenyezi

∩⊄∠∪ #Y‘θàx. ⎯ÏμÎn/tÏ9 ⎯ ß ≈sÜø‹¤±9$# tβ%x.uρ ( ⎦ È ⎫ÏÜ≈u‹¤±9$# β t ≡uθ÷zÎ) #( þθçΡ%x. ⎦ t ⎪Í‘Éj‹t6ßϑø9$# ¨βÎ) “Hakika wabadhirifu wamekuwa ni ndugu wa

“Hakika wabadhirifu wamekuwa ni ndugu wa mashetani, na shetani mashetani, na shetani ni mwenye kumkufuru mno ni mwenye kumkufuru mno Mola Wake.” (Surat Israi: 27).

Mola Wake.” (Surat Israi: 27).

Imam Ali (as): “Ubadhirifu ni anwani ya ufakiri.”79 Na Imam Ali (as): “Ubadhirifu ni anwani ya ufakiri.”1 Na amesema pia: amesema pia: “Atakayejifakharisha kwa ubadhirifu atadharaulika 2 “Atakayejifakharisha kwa ubadhirifu atadharaulika kwa kufilisika.” 80 kwaamesema kufilisika.” amesema pia: lakini “Kuwausiwe mkarimu lakini usiwe Na pia: Na “Kuwa mkarimu mbadhirifu, kuwa 81 3 mbadhirifu, kuwa mkadiriaji lakini usiwe bakhili.” – Lakini mkadiriaji lakini usiwe bakhili.” – Lakini ulimwengu wa leo umejaa ulimwengu wa leo umejaa ubadhirifu. ubadhirifu. Kumina naMbili: Mbili: Ghushi Ghushina naUpunjaji Upunjaji Vipimo: Vipimo: Kumi MwenyeziMungu Munguamesema: amesema: Mwenyezi Ghurarul-Hikam Uk. 27. Ghurarul-Hikam Uk. 360. 81 Nahjul-Balaghah Uk. 474. 79 80

71 1

Ghurarul-Hikam Uk. 27. Ghurarul-Hikam Uk. 360. 3 Nahjul-Balaghah Uk. 474. 2


Mkakati wa Kupambana na Ufakiri

tβθèùöθtGó¡o„ Ĩ$¨Ζ9$# ’n?tã (#θä9$tGø.$# #sŒÎ) ⎦ t ⎪Ï%©!$# ∩⊇∪ t⎦⎫ÏÏesÜßϑù=Ïj9 ×≅÷ƒuρ tβθèùöθtGó¡o„ Ĩ$¨Ζ9$# ’n?tã (#θä9$tGø.$# #sŒÎ) t⎦⎪Ï%©!$# ∩⊇∪ t⎦⎫ÏÏesÜßϑù=Ïj9 ×≅÷ƒuρ

∩⊂∪ tβρçÅ£øƒä† Ν ö èδθçΡy—¨ρ ρr& Ν ö èδθä9$x. #sŒÎ)uρ ∩⊄∪ ∩⊂∪ tβρçÅ£øƒä† Ν ö èδθçΡy—¨ρ ρr& Ν ö èδθä9$x. #sŒÎ)uρ ∩⊄∪

“Ole wao wanaopunja! Ambao wakipimia kwa

“Ole wao wanaopunja! Ambaokwa wakipimia kwa “Ole wao Ambao wakipimia watu wanakamilisha. watuwanaopunja! wanakamilisha. Na wanapowapimia kwa watu wanakamilisha. Na wanapowapimia kwa Na wanapowapimia kipimo au mizani wao hupunguza.” kipimo au kwa mizani wao hupunguza.” (Surat (Surat kipimo au mizani wao hupunguza.” (Surat Mutafifina 1 – 3). Mutafifina 1 – 3).

Mutafifina 1 – 3). Na katika riwaya imekuja: “Haudhihiri upunjaji katika mizani Na katika riwaya imekuja: “Haudhihiri upunjaji katika mizani 82 Na katika riwaya imekuja: upunjaji katika mizani isipokuwa lazima hasara “Haudhihiri na ufakiri ufakiri vitadhihiri Na isipokuwa nini lazima hasara na vitadhihiri kwao.” kwao.”11 Na isipokuwa ni lazima hasara na ufakiri vitadhihiri kwao.” Na MwenyeziMungu Munguamesema: amesema: Mwenyezi Mwenyezi Mungu amesema: #( θÝ¡y‚ö7s? ω Ÿ uρ ( ÅÝó¡É)ø9$$Î/ šχ#u”Ïϑø9$#uρ tΑ$u‹ò6Ïϑø9$# #( θèù÷ρr& ÏΘöθs)≈tƒuρ #( θÝ¡y‚ö7s? ω Ÿ uρ ( ÅÝó¡É)ø9$$Î/ šχ#u”Ïϑø9$#uρ tΑ$u‹ò6Ïϑø9$# (#θèù÷ρr& ÏΘöθs)≈tƒuρ

∩∇∈∪ t⎦⎪ωšøãΒ ÇÚö‘F{$# †Îû (#öθsW÷ès? ω Ÿ uρ Ν ö èδu™!$u‹ô©r& }¨$¨Ζ9$# ∩∇∈∪ t⎦⎪ωšøãΒ ÇÚö‘F{$# †Îû (#öθsW÷ès? Ÿωuρ öΝèδu™!$u‹ô©r& }¨$¨Ζ9$#

“Enyi wangu! na uadilifu mizani “Enyi watu watu wangu! TimizeniTimizeni kipimo nakipimo mizani kwa “Enyi watu wangu! Timizeni kipimo na mizani wala kwa uadilifu wala msiwatilie kasoro watu vitu nchi msiwatilie watu vitu vyao; wala msifanye kwa kasoro uadilifu wala msiwatilie kasoro ufisadi watu katika vitu vyao; wala msifanye ufisadi(Surat katikaHud: nchi85). mkafanya mkafanya vurugu.” vyao; wala msifanye ufisadi katika nchi mkafanya

vurugu.” (Surat Hud: 85). vurugu.” (Surat Hud: 85). Hili ndilo linalofanywa na nchi na baadhi ya wafanyabiashara Hili na nchi na sababu baadhi ya ufakiri, wafanyabiashara wa wa ndilo sasa, linalofanywa nalo ni miongoni mwa kwa sababu Hili ndilo linalofanywa na nchi na baadhi za ya wafanyabiashara wa sasa, nalo ni miongoni mwa sababu za moja ufakiri, kwamoja sababu upunjaji mizani unaleta madhara kwa kwaupunjaji tabaka sasa, nalo wa ni miongoni mwa sababu za ufakiri, kwa sababu upunjaji wala mizani unaleta madhara moja kwa moja kwa tabaka watu kipato kidogo. Kama ambavyo upunjaji wa la mizani wa watu mizaniwenye unaleta madhara moja kwa moja kwa tabaka la watu wenye kipato kidogo. Kama ambavyo upunjaji wa mizani ulivyo ulivyokipato ndivyokidogo. na ghushi ilivyo, inavyozidisha mojaulivyo kwa wenye Kama ambavyo upunjaji mbinyo wa mizani ndivyo na ghushi ilivyo, inavyozidisha mbinyo moja kwa moja kwa ndivyo na ghushi ilivyo, inavyozidisha mbinyo moja Hisham kwa moja kwa moja kwa mafakiri. Imam (as) alimkataza kuuza mafakiri. Imam al-Baqir (as) al-Baqir alimkataza Hisham kuuza Sabiriyy - hii mafakiri. Imam al-Baqir (as) alimkataza Hisham kuuza Sabiriyy - ya hii - hii ni aina ya kitambaa sana - chini(as): niSabiriyy aina ya kitambaa cha thamani sana -cha chinithamani ya kivuli, akasema ni aina ya kitambaa cha thamani sana - chini ya kivuli, akasema (as): 82

Biharul-An’war Juz. 70 Uk. 373.

1 1 Biharul-An’war

Juz. 70 Uk. 373. Biharul-An’war Juz. 70 Uk. 373.

72

82 82


Mkakati wa Kupambana na Ufakiri

kivuli, akasema (as): “Ewe Hisham! Hakika kuuza chini ya kivuli ni ghushi, na ghushi ni haramu.”83 Na miongoni mwa mwongozo wa Imam as-Sadiq (as) ni: “Wala usifiche kasoro iliyoko kwenye biashara yako, wala usimfanyie ghushi aliyekutuma (bidhaa), hakika ghushi ni haramu. Na wala usiridhie kuwatendea watu isipokuwa lile unaloridhika kutendewa. Toa haki na ichukue, usifanye khiyana wala usidhulumu.”84 Na jambo lililo wazi ni kwamba kutokuficha kasoro na kutowafanyia watu ghushi, kuna athari ya moja kwa moja katika kupunguza mbinyo kwa mafakiri, na kuna athari isiyo ya moja kwa moja katika kueneza uaminifu na hali ya kuaminiana baina ya watu, jambo ambalo huleta matokeo mazuri katika mahusiano ya kijamii na kupunguza kiwango cha mvutano na matatizo ya kijamii, jambo ambalo hutengeneza mazingira ya uchumi ulionawiri na wa kuendelea. Zaidi ya hapo ni kwamba huisukuma jamii katika umakini na uzingativu wakati wa kuzalisha na hivyo kuongeza ubora katika bidhaa na hatimaye bidhaa hudumu kwa muda mrefu na kupunguza mbinyo kwa mafakiri, kwa sababu hawatakuwa na ulazima wa kununua bidhaa tena baada ya muda mchache kwa sababu ya kuharibika kwake au kutofanya tena kazi au mfano wa hayo. Kumi na Tatu: Fedha Bandia: Hakika fedha bandia ni moja ya sababu zinazosababisha ughali na ufakiri, kwa sababu uchapishaji wa fedha na sarafu nyingi kushinda hali halisi ya uchumi wa kweli ni moja ya sababu zinazosababisha mfumuko wa bei, na kwa ajili hii tunamkuta Imam al-Kadhimu (as) alipoitazama dinari na kugundua kuwa ni bandia, aliichukua na kuivunja vipande viwili kisha akasema: “Itupeni chooni ili isitumike 83 84

Tahdhibul-Ahkam Juz. 7, Uk. 13. Juz. 17, Uk. 385. 73


Mkakati wa Kupambana na Ufakiri

kununulia kitu kwa ghushi.” Katika kitendo hicho kuna ujumbe muhimu sana kwa kila anayejihusisha na fedha bandia. Kumi na Nne: Kuweka Kodi Kwenye Matumizi: Na hili ni kosa kubwa ambalo zimedumbukia humo serikali nyingi, wakati ambapo tunakuta Uislamu umeweka kodi katika faida iliyozidi baada ya matumizi, kwani hakika kuweka kodi kwenye matumizi kunaongeza mbinyo kwa mafakiri na kunawaongezea ufakiri. Katika nchi za Magharibi kodi imewekwa katika kila bidhaa, ambapo kila bidhaa anayoinunua mtu kutoka sokoni inakuwa na kodi yake, jambo ambalo linatengeneza mzigo mkubwa juu ya mafakiri. Ama kodi za Uislamu, kwa mfano Khumsi na Zaka, hazichukuliwi isipokuwa zitakapobaki baada ya mahitaji na matumizi ya mtu katika chakula, mavazi, vinywaji, usafiri, makazi, ndoa, safari, matembezi na mengineyo, tena kulingana na hadhi yake, hivyo khumsi yake huchukuliwa baada ya faida kupitiwa na mwaka mmoja, na baada ya kutoa gharama na matumizi yote. Kumi na Tano: Kufunga Masoko: Uislamu umeharamisha hilo kwa sababu kufanya hivyo kunadhuru uchumi wa taifa, na ni moja ya ushindani usiokuwa wa kiadilifu, na kunasababisha viwanda kufungwa na wafanyakazi kuachishwa kazi, kama ambavyo pia kunasababisha matatizo ya kijamii na kisiasa, na kunapunguza uzalishaji wa taifa, na kwa ajili hiyo Imam Shiraziy katika al-Fiqhi al-Murur 85 ametoa fatwa ya kuharamisha kitendo hicho, kwa kutumia kanuni ya “Hakuna Kujidhuru wala kuwadhuru wengine”. Na hakika kufunga masoko ni moja ya njia na zana za serikali za kikoloni katika kuyasambaratisha mataifa yenye mwamko, nayo ni moja ya madhara ya utandawazi pia. 85

Al-Fiqhi al-Murur Uk. 176 – 177. 74


Mkakati wa Kupambana na Ufakiri

WARAKA WA IMAM ALI (A.S.) KWENDA KWA MALIK ASHTAR

‫بسم هللا الرحمن الرحيم‬ Kwa jina la Mwenyezi Mungu, Mwingi wa rehema, Mwenye kurehemu.

H

aya ndiyo ambayo mja wa Mwenyezi Mungu; Ali, Kiongozi wa Waumini anayomuamuru Malik ibn al-Harith al-Ashtar katika mwongozo wake wa kumtawaza alipomfanya gavana wake Misri ili kukusanya kodi zake, na kupigana Jihadi dhidi ya maadui wake (wa Misri) na kuwafanyia mema watu wake (wa Misri) na kuiendeleza miji yake. Tabia za Kiongozi: Alimuamrisha juu ya kumcha Mwenyezi Mungu na kuupa kipaumbele utiifu wake, na kufuata aliyoamrisha katika Kitabu Chake, kama vile: Faradhi Zake, na Sunna Zake, ambayo yeyote hawezi kuyafikia maisha ya furaha ila kwa kuyafuata, na wala hawi muovu ila kwa kuyakana na kutoyatelekeza. Na amnusuru Mwenyezi Mungu Mtukufu kwa moyo wake na kwa mkono wake na ulimi wake, kwani Yeye Mwenyezi Mungu Aliyetukuka amechukua dhamana ya kumnusuru atakayemnusuru, na kumlinda anayemsaidia.

75


Mkakati wa Kupambana na Ufakiri

Kipimo cha Kiongozi Mwema: Na alimuamuru auvunje moyo wake kwa kujiweka mbali na matamanio, na kuibana nafsi inaposhika kasi (ya kutaka kufanya maovu). Kwa hakika nafsi ni yenye kuamrisha mabaya, isipokuwa ile aliyoirehemu Mwenyezi Mungu. Halafu elewa ewe Maliki kwamba, nimekupeleka kwenye eneo ambalo zimepita serikali mbalimbali kabla yako, miongoni mwa serikali adilifu na zile za kidhalimu, na kwa hakika watu watakuwa wanayaangalia mambo yako kama vile ulivyokuwa ukiyaangalia mambo ya watawala waliokuwa kabla yako. Na watakuwa wanakukosoa kama ulivyokuwa ukiwakosoa. Kwa kweli hutambulika watu wema kwa yale ayapitishayo Mwenyezi Mungu katika ndimi za waja, hivyo basi hazina uipendayo zaidi iwe ni hazina ya matendo mema. Udhibiti utashi wako, inyime nafsi yako yasiyo halali kwako, kwani kuinyima nafsi ni miongoini mwa kuifanyia uadilifu katika inayoyapenda au kuyachukia. Kiongozi na Raia: Uzoeshe moyo wako kuwa na huruma kwa raia, na upendo kwao, na kuwatendea wema. Na wala usiwe mnyama mkali mwenye madhara kwao, ukavizia fursa ya kuwang’ata (kuwatafuna), Kwani wao (raia) wako wa aina mbili: Ama ni ndugu yako katika Dini au ni mfano wako katika kuumbwa (ni binadamu kama wewe), ni wenye kutokewa na makosa, na kukabiliwa na dosari, yanawajia mikononi mwao kwa makusudi na kwa kukosea. Basi wape msamaha wako na kuwafumbia macho, kama vile unavyopenda Mwenyezi Mungu akupe msamaha wake na kukufumbia macho. Kwa sababu wewe uko juu yao, na mwenye mamlaka kwako (Khalifa wako) yuko juu yako, na Mwenyezi Mungu yuko juu ya aliyekupa mamlaka. Na kwa 76


Mkakati wa Kupambana na Ufakiri

hakika Mwenyezi Mungu amekutaka uwatosheleze jambo lao, na amekupa mtihani kupitia wao. Kiongozi Katika Kumwelekea Mwenyezi Mungu: Wala usijiletee vita kwa kupigana na Mwenyezi Mungu kwani huna mkono (nguvu) mbele ya kisasi Chake, na hujitoshelezi bila ya msamaha Wake na huruma Yake. Wala usijutie juu ya msamaha wala kufurahia adhabu, wala usiharakie kwenye linalojitokeza ambalo umelipatia wasaa. Wala usiseme kuwa mimi ni mwenye kuamrishwa, hivyo naamrisha nitiiwe, kufanya hivyo ni kuuingiza ufisadi moyoni, na kuidhoofisha Dini, na kujikurubisha kwenye maangamizi. Na ikiwa mamlaka uliyonayo inakusababishia majivuno au kiburi, angalia utukufu wa mamlaka ya Mwenyezi Mungu juu yako, na uwezo Wake kwako, ambao usiouweza nafsini mwako, hilo litaishusha tamaa yako, na kuzuia ukali wako, na kukurejeshea yaliyoghibu mbali na akili yako! Tahadhari dhidi ya kujilinganisha na Mwenyezi Mungu katika utukufu Wake, na kujishabihisha Naye katika uwezo Wake, kwani Mwenyezi Mungu humdhalilisha kila jabari na kumuaibisha kila mwenye jeuri. Kufuata Uadilifu na Usawa: Mfanyie uadilifu Mwenyezi Mungu na wafanyie watu uadilifu kutokana na nafsi yako na kutokana na jamaa zako walio makhsusi, na kwa ambaye wewe una muelemeo naye (una mafungamano makubwa naye) miongoni mwa raia wako, kwani ikiwa kama hutofanya (uadilifu) utakuwa ni mwenye kudhulumu, na mwenye kuwadhulumu waja wa Mwenyezi Mungu ni Yeye atakuwa hasimu wake na sio waja Wake. Na ambaye Mwenyezi Mungu amemfanya hasimu wake atakuwa amebatilisha hoja yake, na Mwenyezi Mungu atakuwa na 77


Mkakati wa Kupambana na Ufakiri

vita naye mpaka aiache dhulma yake au atubu. Na hapana kitu kinachosababisha kuibadili neema ya Mwenyezi Mungu na kuharakisha adhabu Yake kama kubakia katika dhulma, kwa sababu Mwenyezi Mungu ni msikivu mno wa maombi ya wenye kukandamizwa, Naye yuko kwenye lindo kwa ajili ya madhalimu. Na yawe mambo yapendwayo sana na wewe ni yale ya wastani katika haki, na yenye kuenea zaidi katika uadilifu, na yenye mkusanyo mkubwa wa ridhaa za raia, kwani makasiriko ya walio wengi huondoa ridhaa ya walio makhsusi, na makasiriko ya walio makhsusi husameheka waridhiapo walio wengi. Jamaa Makhususi na Wenye Manufaa: Na hapana yeyote miongoni mwa raia aliye na uzito zaidi juu ya gavana katika raha ya maisha, na mwenye msaada kidogo kwake katika balaa, na mwenye kuuchukia mno uadilifu, na king’ang’anizi mno katika kuomba, na mchache mno wa shukrani wakati wa kupewa, na mwenye udhuru goigoi mno wakati wa kunyimwa, na mwenye subira dhaifu mno wakati wa shida, kushinda jamaa makhsusi. Kwa hakika watu wa kawaida katika jamii ndio nguzo ya Dini na nguvu ya Waislamu, na walinzi dhidi ya maadui, basi usikivu wako uwe kwao, na muelemeo wako uwe kwao. Wambea na Majasusi: Na raia wa mbali zaidi kwako na muovu mno katika mtizamo wako, awe yule ambaye hutafuta aibu za watu, kwani kati ya watu kuna mambo ya aibu, na mtawala ndiye mwenye haki zaidi ya kuzisitiri. Hivyo basi, usizifichue zilizofichika ghaibu nawe kati ya aibu hizo, bali ni wajibu wako kuzirekebisha zilizokudhihirikia na Mwenyezi Mungu atahusika na zilizojificha mbali na wewe, basi zisitiri aibu 78


Mkakati wa Kupambana na Ufakiri

kiasi uwezavyo, Mwenyezi Mungu atakusitiri uyapendayo yasitiriwe mbali na raia wako. Wafungue watu vifundo vyote vya chuki, na zikate mbali na wewe sababu zote za uadui, na jisahaulishe na kila ambalo si wazi kwako. Wala usiharakie kumsadiki chakubimbi mfanya ghushi, hata kama atajishabihisha na watoao nasaha. Washauri: Usimwingize katika mashauri yako mtu bakhili, kwani atakuweka nyuma usiwe mkarimu, na atakukhofisha kwa ufakiri. Wala (usimtake ushauri) mtu mwoga, atakufanya uhisi udhaifu kwenye mambo, wala mwenye pupa kwani atakupambia shari kwa dhulma, kwa sababu ubakhili, woga, na pupa ni tabia tofauti zinazokusanywa na jambo moja, nalo ni kumdhania vibaya Mwenyezi Mungu. Sifa za Mawaziri: Waziri wako mbaya ni yule aliyekuwa waziri wa waovu kabla yako, na aliyeshirikiana nao katika dhambi. Wala asiwe mwandani wako, kwani wao ni wasaidizi wa watenda dhamnbi, na ni ndugu wa wadhalimu. Na wewe unaweza kuwapata badala yao wengine wema, ambao watakuwa kama wao, katika rai zao na ushawishi wao, lakini hana dhambi kama zao, na mizigo kama yao, miongoni mwa ambao hawajamsaidia dhalimu katika udhalimu wake, wala mweye dhambi katika dhambi zake. Hao wana mahitaji madogo kwako, na ni wasaidizi wema kwako, na ni wenye huruma sana na wewe, na wenye upendo mdogo na wengine. Wafanye hao kuwa ni watu maalumu wa siri zako na bayana zako, kisha iwe unayemtanguliza zaidi kwako ni yule asemaye zaidi haki zilizo chungu kwako, na mchache mno wa kusaidia katika lile litokalo kwako miongoni mwa ayachukiayo Mwenyezi Mungu kwa mawalii wake, hata kama jambo hilo wali79


Mkakati wa Kupambana na Ufakiri

penda zaidi. Jiambatanishe na wachamungu na wa kweli, kisha wazoeshe wasizidishe kukusifu, wala wasikufurahishe kwa batili usiyoifanya, kwani kukithirisha sifa kunazalisha fakhari, na kusogeza kiburi. Wala mwema na muovu wasiwe daraja sawa kwako, kwani hilo huwatia unyonge watendao wema kutenda wema, na kuwatia motisha waovu kutenda uovu. Muambatanishe kila mmoja kati yao na lile alilojiambatanisha nalo. Kuwafanyia Wema Watu: Na tambua kwamba hapana kitu kinachomletea sana mtawala dhana nzuri kwa raia wake kuliko kuwatendea kwake wema, na kuwapunguzia kwake shida, na kuacha kuwalazimisha wasiloliweza, basi uwe na jambo ambalo kwalo litakusanya dhana njema kwa raia wako, kwani wao kuwa na dhana njema na wewe inakuondolea tabu ya muda mrefu. Na mwenye haki ya kuwa na dhana nzuri na wewe ni yule ambaye matendo yako ni mema kwake, na ambaye ana haki ya kutokuwa na dhana nzuri na wewe ni yule ambaye matendo yako yamekuwa mabaya kwake. Mwenendo Mwema: Wala usiutengue mwenendo mwema uliofanywa na wa mwanzo katika umma huu, ambao kwa mwenendo huo umepatikana upendo, na kwa huo raia wamekuwa na hali njema. Na wala usizushe mwenendo utakaodhuru kitu chochote miongoni mwa mienendo ile iliyopita, ujira uwe kwa walioufanya, na dhambi juu yako kwa vile umeutengua. Na kithirisha kuongea na wanachuoni, na wadodose wenye hekima katika kuimarisha lile litakalosababisha suala la nchi yako kuwa jema, na kuimarisha lile walilokuwa nalo daima watu kabla yako. 80


Mkakati wa Kupambana na Ufakiri

Matabaka ya Raia: Na tambua ya kwamba raia wako katika matabaka tofauti, baadhi ya matabaka hayapati ufanisi ila kwa ushirikiano na baadhi ya matabaka mengine, wala baadhi yao hayajitoshelezi bila ya mengine. Miongoni mwao ni askari wa Mwenyezi Mungu, na miongoni mwao ni waandishi kwa sura ya jumla, na maalumu, na miongoni mwao ni makadhi waadilifu, na miongoni mwao ni watendaji wa uadilifu na upole (wastawishaji wa jamii), na miongoni mwao ni wakusanyaji wa kodi kutoka kwa wale wanaoishi katika himaya ya dola ya Kiislamu na Waislamu wa kawaida, na miongoni mwao ni wafanyabiashara na wenye viwanda, na miongoni mwao ni tabaka la chini; Wahitaji na masikini. Na kila mmojawapo Mwenyezi Mungu ametaja hisa yake na ameweka kwa ajili ya heshima yake faradhi yake katika Kitabu Chake au katika Sunna ya Nabii Wake (s.a.w.w.) kwa ahadi ambayo imehifadhiwa kwetu. Wanajeshi: Hivyo Kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, wao ni ngome ya raia, na ni pambo la mtawala, na ni nguvu ya Dini, na ni sababu ya kuwepo kwa amani. Na raia hawawezi kuishi (kwa amani) bila ya wao, hali ikiwa askari hawawezi kuhifadhiwa ila kwa mfuko ulioainishwa na Mwenyezi Mungu katika mapato, kupitia huo wanakuwa na nguvu za kupigana dhidi ya adui yao. Na ambao wanautegemea kwa ajili ya ufanisi wao, na unakuwa kwa ajili ya haja zao. Majaji, Watendaji na Makarani: Halafu makundi haya mawili hayawezi kujitosheleza isipokuwa kwa makundi matatu, ambayo ni tabaka la majaji, watendaji, na makara81


Mkakati wa Kupambana na Ufakiri

ni, kwa vile wao ndio wanaopitisha maamuzi ya mikataba, kukusanya mapato, na ni wategemewa katika mambo makhsusi (maalumu) na yale ya ujumla. Wafanyabiashara na Wenye Viwanda: Na tabaka hizo zote haziwezi kuishi vyema bila ya wafanyabiashara na watu wa viwanda, ambao wanatoa mahitaji kwa ajili yao, wanaimarisha masoko yao, na kufanya iwezekane kwa wengine kutokufanya kila kitu kwa mikono yao. Tabaka la Chini: Halafu ni tabaka la chini la wahitaji na masikini ambao wanastahiki kusaidiwa na kuungwa mkono. Na kila mmoja katika wao ana hisa katika mahitaji ya maisha kwa jina la Mwenyezi Mungu. Na kila mmoja ana haki kwa mtawala kwa kadiri awezavyo kujikimu nayo. Mtawala hawezi kujitoa kwenye hakika (uwajibikaji) ambayo Mwenyezi Mungu amemlazimisha nayo katika jambo hili, ila kwa kutilia hima na kuomba msaada kwa Mwenyezi Mungu na kuutuliza moyo wake katika kujiambatanisha na haki, na kuvuta subira kwa hilo, sawa liwe jepesi au zito. Sifa za Maafisa: Kati ya wanajeshi wako wape uongozi wale ambao ndani ya nafsi yako ni wenye kunasihika sana kwa ajili ya Mwenyezi Mungu na Mtume Wake na Imamu wako, walio wasafi mno wa nyoyo, na walio na akili bora mno, wasio na haraka kughadhibika, na wenye utulivu kwenye udhuru, wenye huruma kwa wanyonge. Wanaoumuka dhidi ya wenye nguvu, vurugu haziwachochei, unyonge hauwafanyi wabweteke. Kisha jiambatanishe na wenye hadhi, na waliotoka ukoo 82


Mkakati wa Kupambana na Ufakiri

mwema, na waliotanguliwa na sifa njema. Kisha wenye nguvu, mashujaa, wakarimu na wasamehevu, kwani wao ni hazina ya ukarimu na chemchemu za maadili. Ufuatiliaji wa Mzazi: Kisha yafuatilie mambo yao kwa ufuatiliaji wa baba na mama kwa mtoto wao, wala usikizingatie nafsini mwako chochote utendacho kuwapa nguvu kuwa ni kikubwa kuliko walivyostahiki, wala usikizingatie kitu chochote cha wema uwatendeacho (usiuhesabu wema unaowatendea) kuwa ni hafifu japokuwa ni mdogo, kwani hiyo ni sababu ya kuwafanya wao wakupe nasaha, na kukudhania mema. Na wala usiache kufuatilia mambo yao madogo kwa kutegemea makubwa, kwani wema wako mdogo una maeneo wananufaika nao, na mkubwa una maeneo hawajitoshi bila wenyewe. Mkuu Bora: Mkuu bora wa jeshi lako kwako awe yule anayewasaidia wanajeshi kwa uadilifu, na ambaye ni bora kwao kwa nguvu zake kwa kinacho watosha, na kuwasaidia wanaobaki nyuma, miongoni nwa jamaa zao waliobaki nyuma, ili hima yao iwe moja katika Jihadi dhidi ya adui. Kwa hakika wema wako juu ya wakuu wa jeshi utazifanya nyoyo zao ziwe na huruma na wewe. Na kwa kweli kitu kinachopendeza sana kwa watawala ni kufanya uadilifu katika nchi, na kudhihiri upendo wa raia, na kwa hakika upendo wao haudhihiri na wala hawatoi nasaha nzuri isipokuwa kwa kuwalinda wasimamizi wa mambo yao, na kutoiona dola yao kuwa ni mzigo mzito kwao, na kuacha kuona kuwa muda wa dola yao ni mrefu. Basi wakunjulie katika matumaini yao, na endelea kuwasifu sifa njema, na kuyahesabu mema makubwa yaliyofanywa na 83


Mkakati wa Kupambana na Ufakiri

watenda mema katika wao, kwani kukithirisha kutaja matendo yao mema kunausukuma mbele ushujaa na kumuhimiza dhaifu Mwenyezi Mungu akipenda. Halafu tambua kazi ya kila mtu aliyoifanya, wala usiambatanishe tendo la mtu kwa mwingine, wala usishushe chini ya kiwango cha matendo yake, wala utukufu wa mtu usikufanye uitukuze kazi yake ambayo ilikuwa ndogo, wala udhalili wa mtu usikufanye uione ndogo kazi yake iliyokuwa kubwa. Yarejeshe kwa Mwenyezi Mungu na Mtume Wake mambo yanayokuwia magumu na kukukanganya, kwani Mwenyezi Mungu Mtukufu ameiambia kaumu aliyoipenda kuiongoza: ‘’Enyi mlioamini! Mtiini Mwenyezi Mungu na mtiini Mtume na wale wenye mamlaka miongoni mwenu, na endapo mtazozana juu ya jambo lolote, basi lirudisheni kwa Mwenyezi Mungu na Mtume.’’ (Qur’ani; 4:59). Kurudisha kwa Mwenyezi Mungu maana yake ni kuitekeleza hukumu iliyo bayana ya Kitabu Chake, na kurudisha kwa Mtume ni kuitekeleza Sunna inayokusanya isiyo na khitilafu (isiyo na khitilafu kati ya Waislamu). Ukadhi na sifa za Kadhi: Kisha mchague mtu wa kupitisha hukumu (hakimu) kati ya watu, yule mbora kati ya raia wako katika nafsi yako, ambaye mambo hayatambana, wala uhasama wa mahasimu hautomuingiza kwenye ukaidi, asiye ng’ang’ania katika makosa, asiyeshindwa kurejea kwenye haki pindi anapoitambua, nafsi yake haimsukumi kwenye tamaa, asiyetosheka na ufahamu wa karibu bila ya mbali, na mwenye kusimama sana kwenye jambo ambalo hukumu yake haiko wazi, mwenye kushikamana na hoja, mchache mno wa kuchoshwa kumrejea hasimu, mwenye subira zaidi pindi mambo yanapofichuka, na mkataji shauri mno pindi hukumu inapokuwa wazi, asiyepunguzwa 84


Mkakati wa Kupambana na Ufakiri

na sifa nyingi, hapindishwi na chombezo, kwa kweli watu aina hiyo ni wachache. Kisha kithirisha kufuatilia maamuzi yake, na mfanyie nafasi katika kumpa kiwezacho kumuondolea shida zake, kimpunguziacho haja yake kwa watu, na mpe daraja kwako, asiyoweza kuitamani yeyote miongoni mwa watu mahsusi kwako, ili kwako awe katika amani dhidi ya kudhuriwa na watu. Na angalia hilo uangalizi wa kina, kwa sababu Dini hii ilikuwa mateka mikononi mwa watu waovu, ilikuwa inatendewa kwa matamanio, na ikitumika kutafuta dunia. Sifa za Viongozi na Wakuu: Kisha angalia mambo ya wafanyakazi wako, wape kazi baada ya majaribio, usiwachague kwa upendeleo au ufadhili, kwani viwili hivi ni mkusanyiko wa matawi ya dhulma na khiyana. Wachague katika wao wenye uzoefu na adabu, kutoka katika watu wa nyumba njema, na waliotangulia katika Uislamu, kwani wao wana tabia njema sana, na asili sahihi, na ni wenye muelemeo mdogo wa tamaa. Wana mtazamo yakinifu wa matokeo ya mambo. Kisha wakamilishie riziki ya wasaa (mshahara wa kutosha) kwani hilo huwa ni nguvu kwa ajili ya kujiweka vyema wao wenyewe, na wao kutosheka na kutogusa kilicho chini ya uangalizi wao. Na ni hoja dhidi yao endapo watakhalifu amri yako, au kuitia dosari amana yako. Kuwafuatilia viongozi na Wakuu: Kisha chunguza kazi zao, watumie waangalizi miongoni mwa watu wakweli na watekelezaji, kwa kuwa kuwafuatilia kwako kwa siri mambo yao, ni msukumo kwao wa kuwa waaminifu, na kuwa wapole kwa raia, na kuwa makini na wasaidizi. Na endapo mmoja 85


Mkakati wa Kupambana na Ufakiri

wao amekunjua mkono wake kuielekea khiyana ambayo habari za wachunguzi wako zimeafikiana, basi hizo zikutoshe kuwa shahidi, utamshushia adhabu mwilini mwake, na kufidia alichopata katika kazi yake, kisha muweke mahali pa udhalili, na kumuorodhesha kuwa ni miongoni mwa watu wabaya, na mvishe kidani cha aibu. Na fuatilia suala la ukusanyaji wa kodi kwa namna itakayowaweka watu wake katika hali njema, kwani kuwa kwake katika hali njema na kuwa kwao katika hali njema ni kuwafanya wengine kuwa katika hali njema. Na hapana hali njema kwa wengine isipokuwa kwa kupitia kwao (walipa kodi), kwa sababu watu wote wanategemea mapato na walipaji wake. Uendelezaji wa Ardhi na Kufuata Uadilifu: Mazingatio yako yawe kwenye uendelezaji wa ardhi (kilimo) zaidi kuliko ukusanyaji wa kodi, kwani hilo (kodi) halipatikani isipokuwa kwa kilimo, na mwenye kutaka mapato bila ya kulima atakuwa ameiharibu nchi, na kuwaangamiza waja, na suala lake halitokuwa imara ila kidogo. Endapo watalalamikia uzito (wa kodi) au ugonjwa, au kukatika kwa unyweshelezeaji au ubichi au kubadilika kwa ardhi iliyofunikwa na mafuriko, au ukosekanaji wa mvua, basi wapunguzie (kodi) kwa kiasi unachoona kitawaboreshea mambo yao. Wala kusiwe na uzito kwako kwa ajili ya punguzo ulilowafanyia, kwani hiyo ni akiba watakayoirudisha kwako kwa njia ya kuiletea ufanisi nchi yako, na kuyaendeleza mamlaka yako, pamoja na kuipata sifa njema kutoka kwao (kukusifu), na kuipata furaha kwa kuenea uadilifu kati yao, huku ukitegemea ziada ya nguvu zao kutokana na uliyowekeza kwao kupitia kuwapumzisha kwako wao. Na utapata kuaminiwa na wao kwa uadilifu wako uliowazoesha, na kwa upole wako kwao. Huenda yakajitokeza mambo, ambayo endapo baadaye utawategemea wao, watayachukua kwa sababu ya uzuri wa nafsi 86


Mkakati wa Kupambana na Ufakiri

zao, kwani maendeleo yanatarajiwa kwa kadiri utakayofanikisha. Na kwa hakika uharibifu wa ardhi huletwa kutokana na ufakiri wa watu wake, na kwa kweli watu wake huwa mafakiri kwa sababu ya watawala kujilimbikizia mapato (ya nchi) na dhana yao mbaya ya kuendelea kutawala, na uchache wa kunufaika kwao na mazingatio. Sifa za Makarani na Namna bora ya Kuwachagua: Kisha waangalie makarani wako, wape mamlaka kushughulikia mambo yako wale walio bora kati yao. Ama barua zako ambazo unaingiza humo mikakati (ya kupambana na maadui) yako na siri zako hizo, mpe mwandishi maalumu kati ya wale wenye tabia bora zaidi kuliko wote, ambaye kukirimiwa hakumpelekei kufurahi kupita kiasi, ili asije akathubutu kusema dhidi yako mbele ya halaiki, na wala asiwe mzembe wa kuleta mawasiliano ya maofisa wako mbele yako. Yule ambaye mughafiliko haumzuwii kutambua yanayoingia miongoni mwa maandishi ya wafanyakazi wako kwako, wala haumzuwii kutoa majibu yake yaliyo sahihi kutokana na wewe katika anayochukua kwa ajili yako na kutoa kutoka kwako. Asifanye makubaliano dhaifu kwa niaba yako, wala asishindwe kukataa makubaliano yaliyofanyika dhidi yako, wala asiwe hajui kiwango cha nafasi yake katika mambo, kwani asiyejua kiwango cha nafsi yake mwenyewe, kiwango cha nafasi ya mwingine atakuwa hakijui zaidi. Halafu kuwachagua kwako hao kusiwe kunategemea nguvu za utambuzi wako na upendeleo wako maalumu, na kwa dhana yako njema. Kwa hakika watu huchukua utambuzi wa watawala kwa kujionesha kwao wao wenyewe na uzuri wa huduma zao, hivyo huwa hakuna nasaha na uaminifu nyuma ya hayo. Lakini wajaribu walivyowatendea watu wema kabla yako. Chukua maamuzi kutoka kwa mwenye jina miongoni mwa watu wa 87


Mkakati wa Kupambana na Ufakiri

kawida na aliye maarufu kwa uaminifu. Hiyo ni dalili ya kuwa nasaha zako ni kwa ajili ya Mwenyezi Mungu na ni kwa niaba ya yule ambaye umetawalia mambo yake. Weka kiogozi miongoni mwao kwenye kila idara miongoni mwa idara za kazi, ambaye ukubwa wake haumshindi, na wingi wake haumchanganyi. Na aibu yoyote utakayoipuuza kwa maofisa wako itakulazimu wewe (itakuganda). Wafanyabiashara na Wenye Viwanda: Kisha wausie mema wafanyabiashara na wenye viwanda, mkaazi (mwenye maduka) kati yao au anayetembeza biashara yake au kibarua, kwa hakika watu hao ndio chimbuko la manufaa na njia ya faida, na waletaji wake (wa bidhaa) kutoka mbali na maeneo ya mbali zaidi, nchi kavu na majini, ardhi tambarare na ya milimani, maeneo ambayo watu hawathubutu kwenda huko, kwa hakika wao (wafanyabiashara na wenye viwanda - wachamungu) ni watu wa amani haukhofiwi kwao uasi, na ni watu wema ambao haukhofiwi kwao uhaini. Na yachunguze mambo yao mbele yako na popote wawapo kwenye maeneo yako. Na elewa kwamba, pamoja na hayo wengi miongoni mwao wana ufinyu wa kutisha wa mawazo, na ubakhili mbaya, na ufichaji wa vitu vya manufaa, na upandisha bei ya bidhaa, na hayo ni sababu ya madhara kwa walio wengi, na ni aibu kwa watawala, hivyo basi, zuia ufichaji wa bidhaa, kwani Mjumbe wa Mwenyezi Mungu (saww) amekataza hilo, na biashara inabidi iwe ya nafuu, kwa vipimo na mizani za kiadilifu, na bei isiyodhulumu pande zote mbili kati ya muuzaji na mnunuzi. Basi mwenye kuficha bidhaa baada ya kuwa umemkataza, mpe fundisho, lakini sio adhabu kali ya kupita kiwango.

88


Mkakati wa Kupambana na Ufakiri

Walalahoi: Kisha tahadhari sana juu ya watu wa tabaka la chini, miongoni mwa wale ambao hawana hila, na masikini na wahitaji, na ambao ni hohehahe na wenye ulemavu, kwani katika tabaka hili kuna anayeomba na asiyetosheka. Na hifadhi kwa ajili ya Mwenyezi Mungu wajibu Wake miongoni mwa haki Yake kwao, na wawekee sehemu kutoka mfuko wa hazina ya mali yako kutokana na mazao ya ardhi ya ngawira ya Kiislam katika kila mji, kwani aliye mbali miongoni mwao ni sawa na aliye karibu, na wote kila mmoja haki yake imewekwa chini ya uangalizi wako, hivyo basi asikushughulishe kutokana nao jeuri, kwa kweli wewe hutopewa udhuru kwa kupoteza jambo hafifu, eti kwa sababu ya kutilia maanani mengi yaliyo muhimu, kwa hivyo usiiondoe hima yako mbali nao, wala usiwatazame watu kwa upande mmoja wa uso wako (usiwafanyie jeuri). Na yaangaliye mambo yale ambayo hawawezi kuwasiliana na wewe miongoni mwao kati ya wale ambao macho yanadharau kuwaona, na wanadharauliwa na watu, basi teua watu unaowaamini wakae nao faragha ili kujua hali zao, watu hao (wakukaa nao) wawe miongoni mwa wachamungu na wanyenyekevu, hao wakufikishie mambo yao, kisha wafanyie yale ambayo utakuwa na utetezi kwa Mwenyezi Mungu siku utakayokutana Naye. Kwa kweli hao ni raia walio na haja zaidi ya kutendewa wema kuliko wengine, basi kwa kila mmoja mtendee yale ambayo utakuwa na utetezi kwa Mwenyezi Mungu katika kumtekelezea haki yake. Mayatima na Wenye Mahitaji Maalumu: Na waangalie mayatima na wenye umri mkubwa miongoni mwa ambao hawana hila (njia ya kupata riziki), wala hawako tayari kuomba, na hilo ni zito kwa watawala, na kwa kweli haki yote ni nzito, 89


Mkakati wa Kupambana na Ufakiri

huenda Mwenyezi Mungu akaifanya nyepesi kwa wale wanaoitaka Akhera na watakaovuta subira wao wenyewe, na kuamini ukweli wa ahadi ya Mwenyezi Mungu kwao. Na watengee wenye kudhulumiwa sehemu (muda) utakaokuwa nao faragha wewe mwenyewe, na kukaa nao kikao cha wote, basi uwe mnyenyekevu katika kikao hicho kwa ajili ya Mwenyezi Mungu aliyekuumba, waweke kando askari wako na wasaidizi wako, ili msemaji wao aseme na wewe, bila ya woga, kwani mimi nimemsikia Mjumbe wa Mwenyezi Mungu (saww) akisema tena si mara moja: ‘Hautotakaswa umma ambao haki ya mnyonge humo haichukuliwi bila ya woga kutoka kwa mwenye nguvu.’ Kisha wavumilie dhidi ya kutumia kwao maneno makali na kushindwa (kueleza wazi haja yao), na achana na mbinyo wa kifua na kiburi, kwa kufanya hivyo Mwenyezi Mungu atakukunjulia ncha za rehema Zake na atakulipa thawabu za kumtii kwako Yeye. Na toa ulichotoa kwa upole, na zuia kwa uzuri na tekeleza ulilo na hoja nalo. Kisha miongoni mwa mambo yako huna budi ila kuyafanya mwenyewe, miongoni mwayo, kuwajibu wafanyakazi wako yale ambayo makarani wako wanashindwa, na miongoni mwayo, kuondoa shida za watu siku zinapokufikia ambazo vifua vya wasaidizi wako vinapata shida kwazo. Kutumia Wakati: Na ikamilishie kila siku kazi yake, kwani kila siku ina kazi yake. Na jitengee kwa ajili yako muda mzuri na mkubwa kwa ajili ya Mwenyezi Mungu, ingawa muda wote ni wa Mwenyezi Mungu endapo nia itakuwa njema na raia watabaki salama. Na jambo maalum umpwekeshalo Mwenyezi Mungu katika Dini yako liwe ni kutekeleza wajibu wake ambao ni maalum kwa ajili Yake, basi mpe Mwenyezi Mungu uyatendayo kwa mwili wako wakati wa 90


Mkakati wa Kupambana na Ufakiri

usiku wako na mchana wako. Na yatekeleze kikamilifu bila ya dosari wala upungufu, yale uyatendayo kwa ajili ya kutaka ukaribu kwa Mwenyezi Mungu, fanya hivyo kadiri mwili wako uwezavyo. Na pindi Usimamapo na watu katika Swala yako usiwe mchukizaji (usiirefushe) wala mpotezaji (wa nguzo zake). Zingatia kwamba kati ya watu kuna ambaye ni mgonjwa, na mwenye shida. Na nilimuuliza Mjumbe wa Mwenyezi Mungu (saww) pale aliponipeleka Yemen: Vipi niswalishe? Akasema: ‘Waswalishe kwa Swala ya aliye dhaifu zaidi miongoni mwao, na kuwa mwenye huruma kwa Waumini.’ Viongozi Kujificha Mbali na Raia: Na ama baada ya hayo: Usirefushe kutoonekana kwako mbali na raia wako, kwani kutoonekana kwa mtawala ni tawi miongoni mwa matawi ya dhiki na uchache wa elimu juu ya mambo. Na kutoonekana kwako kwao pia kunawazuia wao kujua vitu ambavyo hawavijui, kwa minajili hiyo, kubwa wanalifanya dogo na dogo wanalifanya kubwa, na uzuri unakuwa mbaya na ubaya kuwa mwema, na haki huchanganywa na batili. Na mtawala ni binadamu hajui waliyojitenga nayo watu miongoni mwa mambo. Na wala haki haina alama (iliyo dhahiri ambayo kwayo ukweli unatambulika) zijulishazo aina za ukweli na uongo. Na wewe ni mmoja kati ya watu wawili: Ima ni mtu ambaye nafsi yake imekuwa karimu kwa kutoa katika haki, basi kwa nini unajificha katika kuwapa haki wanayostahiki, au kuwatunukia kitendo chema? Au ni mtu ambaye umepatwa na mtihani wa kunyimwa, basi mikono ya watu itajitenga mbali nawe kukuomba pindi watakapokata tamaa na utoaji wako, na hata hivyo haja nyingi za watu kwako hazina ugumu wowote kwako, haja zao ni kama vile malalamiko dhidi ya dhulma, au maombi ya kutaka kutendewa uadilifu. 91


Mkakati wa Kupambana na Ufakiri

Wasiri wa viongozi na Wakuu: Kisha kwa hakika mtawala huwa na watu maalum na wasiri, kati yao kuna wanaojitwalia na kudhulumu, na kuwa na uchache wa uadilifu katika matendo, basi kata chimbuko (la shari yao) lao kwa kukata sababu za hali hizo. Wala usimkatie (usimpe) yeyote miongoni mwa wapambe na wasaidizi wako kipande cha ardhi. Na wala asitamani yeyote kwako umiliki (wa ardhi) ambao utamdhuru aliye karibu miongoni mwa watu katika kunywesheleza au kazi ya ushirikiano ambayo wao (wapambe) wataubebesha mzigo wake (gharama yake) juu ya wengine, na hatimaye manufaa yake yatakuwa ni ya kwao na si yako, na aibu yake itakuwa juu yako duniani na Akhera. Kushikamana na Haki: Iambatanishe haki kwa wale wanaojilazimisha nayo, kwa aliye karibu na wewe au aliye mbali, na kuwa mwenye subira ukitarajia thawabu, hata kama itawahusu ndugu zako wa karibu na watu maalum kwako, na taka matokeo yake kwa jambo zito kwako, kwani matokeo yake ni yenye kuhimidiwa. Endapo raia wako watakudhania kuwa umetenda dhulma, jidhihirishe kwa udhuru (kwa ambalo utakuwa na utetezi nalo) wako kwao, na ziweke sawa dhana zao kwa kujiweka wazi. Kwa kweli katika hilo kuna mazoezi kwako kwa ajili ya nafsi yako, na kuna kuwatendea upole raia wako na kueleza udhuru, na kwa hayo utaifikia haja yako ya kuwanyoosha kwenye haki. Kanuni ya Suluhu na Amani: Wala usiikatae suluhu aliyokuitia adui yako ambayo ndani mwake mna ridhaa ya Mwenyezi Mungu. Kwa kweli katika suluhu kuna raha kwa askari wako, na pumziko la majonzi yako, na amani kwa 92


Mkakati wa Kupambana na Ufakiri

nchi yako. Lakini tahadhari yote iwe kwa adui wako baada ya kufanya naye suluhu, kwa kuwa huenda adui akawa amejikurubisha kwa suluhu ili akughafilishe, kwa hivyo kuwa thabiti, na katika hilo ituhumu dhana njema. Ahadi, Mikataba na Makubaliano: Na endapo utakuwa umefunga ahadi kati yako na adui yako, au umemvisha dhimma (umekubaliana na asiye mwislamu kuishi katika dola ya Kiisalmu, na yeye kukubali kulipa stahiki zote za dola), basi tekeleza ahadi yako, na chunga ahadi yako kwa uaminifu. Ihifadhi ahadi uliyoifanya kwa nafsi yako. Kwa hakika watu hawajajumuika kwenye jambo la faradhi miongoni mwa faradhi za Mwenyezi Mungu, kushinda walivyojumuika katika kuheshimu utekelezwaji wa ahadi, hiyo ni pamoja na kutofautiana upendo wao na kutawanyika kwa rai yao, kiasi kwamba hata washirikina wamejilazimisha kutekeleza ahadi kati yao na Waislamu, kwa vile wamekuta matokeo ya kuangamiza kwa kutotekeleza ahadi, hivyo basi, kabisa usifanyie khiyana dhima yako wala usiitengue ahadi yako. Wala usimdanganye adui yako, kwani mtu hawezi kuthubutu kumchukiza Mwenyezi Mungu isipokuwa aliye jahili muovu. Mwenyezi Mungu amezijaalia ahadi na dhima Zake kuwa ni amani ambayo ameieneza kati ya viumbe kwa rehema Zake, na ni miiko ambayo viumbe wanakimbilia kwenye hifadhi yake, na ni ulinzi Wake ambao kwa haraka wanakimbilia karibu yake, kwa hivyo hapana ufisadi wala khiyana wala hadaa humo, wala usifanye mapatano ambayo yataruhusu tafsiri tofauti ndani yake, wala usibadilishe tafsiri ya maneno yasiyo wazi baada ya kuhakikishwa na kuthibitishwa. Wala shida ya jambo lililokulazimu ndani yake ahadi ya Mwenyezi Mungu isikufanye utake kulibatilisha bila ya haki, kwani subira yako kwenye jambo la shida ambayo unataraji faraja 93


Mkakati wa Kupambana na Ufakiri

yake na fadhila za matokeo yake, ni bora kuliko usaliti unaokhofia kufuatiliwa kwake na kuzungukwa na uwajibishwaji kutoka kwa Mwenyezi Mungu, ambao hutoweza kuomba msamaha wake hapa duniani wala Akhera. Kulinda Damu za Raia: Tahadhari sana kumwaga damu bila ya uhalali wake, kwani hakuna kitu kinacholeta adhabu kwa haraka zaidi, wala uwajibishwaji mkubwa zaidi, wala kiondoacho neema kwa haraka zaidi na kukatisha muda (uhai), kushinda kumwaga damu bila ya haki yake. Mwenyezi Mungu Mtukufu ataanza hukumu kati ya waja Siku ya Kiyama kwa walivyoimwaga damu, hivyo basi msiimarishe utawala wenu kwa njia ya kumwaga damu ya haramu, kwani hilo ni miongoni mwa mambo yanayoudhoofisha na kuutweza utawala, bali kuondoa na kuupeleka (kwa wengine). Hutakuwa na hoja kwa Mwenyezi Mungu wala kwangu kwa kuuwa makusudi, kwani katika hilo kuna kisasi cha mwili (kuuwawa kama ulivyouwa). Na ukipatwa na hilo kwa makosa (ukiuwa bila ya kukusudia), kama vile kupiga mjeledi kupita kiasi, au upanga wako, au mkono wako, au kuadhibu kwa nguvu, kwa hakika katika kumpiga mtu ngumi na zaidi yake pengine husababisha mauwaji, hivyo basi kiburi cha mamlaka yako kisikuzuwie kuwapa ndugu wa aliyeuawa haki yao (wape fidia). Sifa na Maadili ya Kiongozi na Mkuu: Na tahadhari juu ya kujifakharisha mwenyewe na kujiamini kunakopelekea kujiona, na kupenda sifa, kwani kwa hakika hizo ni tabia anazoziamini Shetani nafsini mwake, ili afutilie mbali mema ya watenda mema. Na tahadhari juu ya kuwasimbulia raia wako kutokana 94


pengine husababisha mauwaji, hivyo basi kiburi cha mamlaka yako kisikuzuwie kuwapa ndugu wa aliyeuawa haki yao (wape fidia). Sifa na Maadili ya Kiongozi na Mkuu: Kupambana namwenyewe Ufakiri Na tahadhari Mkakati juu ya wa kujifakharisha na kujiamini kunakopelekea kujiona, na kupenda sifa, kwani kwa hakika hizo ni tabia anazoziamini Shetani nafsini mwake, ili afutilie mbali mema ya na wema wako, kudhihirisha katika vitendo vyako watenda mema.auNa tahadhari ziada juu ya kuwasimbulia raia(kwa wako lengo la kujifakharisha), kisha ahadi yakovitendo ikafuatiwa kutokana na wema wako,auaukuwaahidi kudhihirisha ziada katika vyako na kutoitekeleza, kwa hakika masimbulizi yanabatilisha (kwa lengo la kujifakharisha), au kuwaahidi kisha wema, ahadi na yako kudhihirisha kufanya ziada kunaondoa nuru masimbulizi ya haki, na kutotekeleza ikafuatiwa na kutoitekeleza, kwa hakika yanabatilisha wema,kunasababisha na kudhihirisha kufanya ziada kunaondoa nuru haki, ahadi chuki mbele ya Mwenyezi Mungu na ya mbele ya na kutotekeleza ahadi kunasababisha chuki mbele ya Mwenyezi Mungu watu, Mwenyezi Mungu Mtukufu amesema: na mbele ya watu, Mwenyezi Mungu Mtukufu amesema: ∩⊂∪ šχθè=yèøs? Ÿω $tΒ (#θä9θà)s? βr& «!$# y‰ΨÏã $ºFø)tΒ uã9Ÿ2 “Yanachukiza mno kwa Mwenyezi Mungu kuwa mnasema msiyoyatenda.’’86

Tahadhari juu ya kuharakia mambo kabla ya wakati wake, 102 au kuyachukua pole pole yanapokuwa tayari, au kung’ang’ania yanapokosa kujulikana uhalisia wake, au kuonesha udhaifu yanapokuwa wazi, basi weka kila jambo pahala pake, na fanya kila jambo linavyotakiwa. Tahadhari kujipendelea kwenye kitu ambacho watu wote wako sawa (wanatakiwa wapate sawasawa), na kujighafilisha na linalotiliwa umuhimu miongoni mwa mambo ambayo yako wazi mbele ya macho ya watu, kwani (ikiwa utaghafilika) litachukuliwa kutoka kwako na kupewa mtu mwingine. Na ni punde mambo yatakufichukia (utapatwa na kifo), na hapo atakutaka haki yake yule mwenye kudhulumiwa. Imiliki wakati wa ghadhabu nafsi yako, mripuko wa ukali wako, nguvu za mkono wako, na ulimi wako mkali. Na jiepushe mbali na yote hayo kwa kujizuia na lile linalojitokeza (ulimini wakati wa ghadhabu). Na chelewesha ukali mpaka ghadhabu yako itulie na uitamalaki hiyari, na wala 86

Qur’an 61:3. 95


Mkakati wa Kupambana na Ufakiri

hutoitamalaki nafsini mwako mpaka pale utakapokithirisha majonzi yako kwa kukumbuka marejeo kwa Mola Wako. Ni wajibu juu yako kujikumbusha yaliyopita kwa waliokutangulia miongoni mwa serikali adilifu, au Sunna bora, au athari kutoka kwa Nabii wetu (saww) au wajibu katika Kitabu cha Mwenyezi Mungu, na ufuate uliyoyaona katika yale tuliyoyafanya. Na ujitahidi mwenyewe kufuata niliyokuagiza katika hati yangu hii, na hoja yangu mwenyewe niliyokuthibitishia, ili usiwe na sababu wakati nafsi yako inapoharakia utashi wake. Na mimi namuomba Mwenyezi Mungu kwa wasaa wa rehema Zake, na uwezo Wake mkubwa wa kutoa kila upendo, anipe mimi na wewe taufiiki ya lile ambalo ndani yake mna ridhaa Yake, kwa kulifanya lile ambalo lina hoja ya wazi Kwake na kwa viumbe Vyake, ikiwa ni pamoja na kutupa sifa njema kwa waja, athari nzuri katika nchi na neema kamilifu, na kutuzidishia utukufu, na anihitimishie mimi na wewe kwa furaha na shahada, na sisi ni wa kurudi kwake. Na Swala na Salamu zimuendee Mjumbe wa Mwenyezi Mungu pamoja na Jamaa zake waliotoharishwa, ziwaendee kwa wingi mno. Na kwaheri.

96


Mkakati wa Kupambana na Ufakiri

BIBLIOGRAFIA 1.

Qur’an Tukufu.

2.

Nahjul-Balagha.

3.

Ghurarul-Hikam Wasurarul-Kalim, cha al-Qadhiy Nasir Din Abul-Fat’hi Abdul-Wahid bin Muhammad al-Amidiy, Chapa ya kwanza ya Darul-Huda, 1413 A.H. Sawa na 1992 A.D.

4.

Biharul-An’war cha Sheikh Muhammad Baqir al-Majlisiy, Chapsa ya pili ya Muasasatul-Wafai, Beirut, Lebano, 1403 A.H. Sawa na 1983 A.D.

5.

Al-Usul Minal-Kafiy, cha Thiqatul-Islam Abu Ja’far Muhammad bin Ya’qub bin Is’haq al-Kulayniy ar-Raziy, Chapa ya tatu ya Darul-Kutub al-Islamiyyah, 1388 A.H.

6.

Wasailus-Shia, cha Allamah Sheikh Muhammad bin Hasan al-Hur al-Amiliy, Chapa ya tano ya Daru Ihyai TurathilArabiy, Beirut, Lebano, 1403 A.H. Sawa na 1983 A.D.

7.

Tahdhibul-Ahkam, cha Sheikh Tusiy, Chapa ya tatu ya Khurishid, Tehran, 1364.

8.

Mustadrakul-Wasail, cha Haji Mirza Husain Nuriy Tabarasiy, Chapa ya ya kwanza iliyohakikiwa, ya Muasasat Aal alBayti, 1808 A.H. Sawa na 1987 A.D.

9.

Makarimul-Akhlaq cha Sheikh al-Jalil Radhiyud-Din Abi Nasril-Hasan bin al-Fadhli Tabarasiy, Chapa ya sita ya Muasasat al-Aalamiy, 1392 A.H. Sawa na 1972 A.H. 97


Mkakati wa Kupambana na Ufakiri

10. Tawdhih Nahjul-Balaghah cha Ayatullahil-Udhma Sayyid Muhammad al-Husayniy Shiraziy, Chapa ya kwanza iliyohakikiwa, 1423 A.H. Sawa na 2002 A.D. 11. al-Fiqhi al-Iqtiswad cha Ayatullahil-Udhma Sayyid Muhammad al-Husayniy Shiraziy, Chapa ya tano ya DarulUluum, Beirut, Lebanon, 1413 A.H. Sawa na 1992 A.D. 12. as-Siyasat Min Waqiul-Islam cha Ayatullahil-Udhma Sayyid Swadiq al-Husayniy Shiraziy, Chapa ya tatu ya Darul-Uluum, Beirut, Lebanon, 1421 A.H. Sawa na 2000 A.D. 13. an-Nidhamu as-Siyasiy Fil-Islam cha Sheikh Baqir Sharif alQarashiy. 14. Dawlatur-Rasul cha Dkt. Muhsin al-Musawi, cha Taasisi ya Darul-Bayan al-Arabiy, Beirut, 1990 A.D.

98


Mkakati wa Kupambana na Ufakiri

ORODHA YA VITABU VILIVYO CHAPISHWA NA AL-ITRAH FOUNDATION 1. Qur’an Al-Kariim - Tafsir Al-Kashif Juzuu ya kwanza mpaka Thelathini 2.

Uharamisho wa Riba

3.

Uharamisho wa uwongo Juzuu ya Kwanza

4.

Uharamisho wa uwongo Juzuu ya Pili

5.

Hekaya za Bahlul

6.

Muhanga wa Imamu Husein (A.S.)

7.

Mikingamo iliyomzunguka Imamu Ali (A.S.)

8.

Hijab vazi Bora

9.

Ukweli wa Shia Ithnaashari

10. Madhambi Makuu 11. Mbingu imenikirimu 12. Abdallah Ibn Saba 13. Khadijatul Kubra 14. Utumwa 15. Umakini katika Swala 16. Misingi ya Maarifa 17. Kanuni za Ndoa na maadili ya Familia 99


Mkakati wa Kupambana na Ufakiri

18. Bilal wa Afrika 19. Abudharr 20. Usahihi wa Historia ya Uislamu na Waislamu 21. Salman Farsi 22. Ammar Yasir 23. Qur’an na Hadithi 24. Elimu ya Nafsi 25. Yajue Madhehebu ya Shia 26. Ukusanyaji na Uhifadhi wa Qur’an Tukufu 27. Al-Wahda 28. Ponyo kutoka katika Qur’an 29. Uislamu mfumo kamili wa maisha ya kijamii 30. Mashukio ya Akhera 31. Al Amali 32. Dua Indal Ahlul Bayt 33. Udhuu kwa mujibu wa Kitabu na Sunna. 34. Haki za wanawake katika Uislamu 35. Mwenyezi Mungu na sifa zake 36. Kumswalia Mtume (s) 37. Nafasi za Ahlul Bayt (a.s) 38. Adhana 39

Upendo katika Ukristo na Uislamu 100


Mkakati wa Kupambana na Ufakiri

40. Tiba ya Maradhi ya Kimaadili 41. Maana ya laana na kutukana katika Qur’ani Tukufu 42. Kupaka juu ya khofu 43. Kukusanya swala mbili 44. Bismillah ni sehemu ya Qur’ani na husomwa kwa Jahara 45. Kuwaongoza vijana wa kizazi kipya 46. Kusujudu juu ya udongo 47. Kusheherekea Maulidi Ya Mtume (s) 48. Tarawehe 49. Malumbano baina ya Sunni na Shia 50. Kupunguza Swala safarini 51. Kufungua safarini 52. Umaasumu wa Manabii 53. Qur’an inatoa changamoto 54. as-Salaatu Khayrun Mina -’n Nawm 55. Uadilifu wa Masahaba 56. Dua e Kumayl 57. Sauti Ya Uadilifu wa Binadamu 58. Umaasumu wa Mitume - Faida Zake Na Lengo Lake 59. Umaasumu wa Mitume - Majibu Ya Aya Zenye Utata 60. Umaasumu wa Mitume - Umaasumu wa Mtume Muhammad (s)

101


Mkakati wa Kupambana na Ufakiri

61. Nahju’l-Balaghah - Juzuu ya Kwanza 62. Nahju’l-Balaghah - Juzuu ya Pili 63. Kuzuru Makaburi 64. Maswali Na Mishkili Elfu - Sehemu ya Kwanza 65. Maswali Na Mishkili Elfu - Sehemu ya Pili 66. Maswali Na Mishkili Elfu - Sehemu ya Tatu 67. Maswali Na Mishkili Elfu - Sehemu ya Nne 68. Maswali Na Mishkili Elfu - Sehemu ya Tano 69. Maswali Na Mishkili Elfu - Sehemu ya Sita 70. Tujifunze Misingi Ya Dini 71. Sala ni Nguzo ya Dini 72. Mikesha Ya Peshawar 73. Malezi Ya Mtoto Katika Uislamu 74. Ubora wa Imam ‘Ali Juu ya Maswahaba Na Ushia ndio njia iliyonyooka 75. Hukumu za Kifikihi zinazowahusu Wanawake 76. Liqaa-u-llaah 77. Muhammad (s) Mtume wa Allah 78. Amani na Jihadi Katika Uislamu 79. Uislamu Ulienea Vipi? 80. Uadilifu, Amani na Mtume Muhammad (s) 81. Mitala na Ndoa za Mtume Muhammad (s)

102


Mkakati wa Kupambana na Ufakiri

82. Urejeo (al-Raja’a ) 83. Mazingira 84. Utokezo (al - Badau) 85. Hukumu ya kujenga juu ya makaburi 86. Swala ya maiti na kumlilia maiti 87. Uislamu na Uwingi wa Dini 88. Mtoto mwema 89. Adabu za Sokoni 90. Johari za hekima kwa vijana 91. Maalimul Madrasatain Sehemu ya Kwanza 92. Maalimul Madrasatain Sehemu ya Pili 93. Maalimul Madrasatain Sehemu ya Tatu 94. Tawasali 95. Imam Mahdi katika Usunni na Ushia 96. Hukumu za Mgonjwa 97. Sadaka yenye kuendelea 98. Msahafu wa Imam Ali 99. Ngano ya kwamba Qur’ani imebadilishwa 100. Idi Al-Ghadir 101. Kusoma sura zenye Sijda ya wajibu 102 Hukumu zinazomhusu mkuu wa kazi na Mfanyakazi 103. Huduma ya Afya katika Uislamu 103


Mkakati wa Kupambana na Ufakiri

104. Sunan an-Nabii 105. Historia na sera ya viongozi wema (Sehemu ya Kwanza) 106. Historia na sera ya viongozi wema (Sehemu ya Pili) 107. Shahiid Mfiadini 108. Kumsalia Nabii (s.a.w) 109. Ujumbe -Sehemu ya Kwanza 110. Ujumbe - Sehemu ya Pili 111. Ujumbe - Sehemu ya Tatu 112. Ujumbe - Sehemu ya Nne 113. Mariamu, Yesu na Ukristo kwa mtazamo wa Kiislamu 114. Hadithi ya Thaqalain 115. Ndoa ya Mutaa 116. Ukweli uliopotea sehemu ya Kwanza 117. Ukweli uliopotea sehemu ya Pili 118. Ukweli uliopotea sehemu ya Tatu 119. Ukweli uliopotea sehemu ya Nne 120. Ukweli uliopotea sehemu ya Tano 121. Mkutano wa Maulamaa wa Baghdad 122. Safari ya kuifuata Nuru 123. Fatima al-Zahra 124. Myahudi wa Kimataifa 125. Kuanzia ndoa hadi kuwa Wazazi 104


Mkakati wa Kupambana na Ufakiri

126. Visa vya kweli sehemu ya Kwanza 127. Visa vya kweli sehemu ya Pili 128. Elimu ya Ghaibu ya Maimamu 129. Mwanadamu na Mustakabali wake 130. Imam Ali (‘a) Ndugu wa Mtume Muhammad (s) (Sehemu ya Kwanza) 131. Imam Ali (‘a) Ndugu wa Mtume Muhammad (s) (Sehemu ya Pili) 132. Khairul Bariyyah 133. Uislamu na mafunzo ya kimalezi 134. Vijana ni Hazina ya Uislamu 135. Yafaayo kijamii 136. Tabaruku 137. Taqiyya 138. Vikao vya furaha 139. Shia asema haya Sunni asema haya Wewe wasemaje? 140. Visa vya wachamungu 141. Falsafa ya Dini 142. Azadari-Kuhuzunika na Kuomboleza 143. Sunna katika Kitabu Fiqhi al-Sunnah 144. Mtazamo Mpya - Wanawake katika Uislamu 145. Kuonekana kwa Allah 146 Tabia njema kwa Mujibu wa Ahlul-Bayt (Sehemu ya Kwanza) 105


Mkakati wa Kupambana na Ufakiri

147. Tabia njema kwa Mujibu wa Ahlul-Bayt (Sehemu ya Pili) 148. Ndugu na Jirani 149. Ushia ndani ya Usunni 150. Maswali na Majibu 151. Mafunzo ya hukmu za ibada 152. Ahlul Bayt ndani ya tafsiri za Kisunni No 1 153 Ahlul Bayt ndani ya tafsiri za Kisunni No 2 154. Ahlul Bayt ndani ya tafsiri za Kisunni No 3 155. Abu Huraira 156. Vipengee kadhaa katika Swala ya Jamaa na Msikiti. 157. Mazingatio kutoka katika Qur’an - Sehemu ya Kwanza 158. Mazingatio kutoka kaitka Qur’an - Sehemu ya Pili 159. Mazingatio kutoka katika Uislamu - Sehemu ya kwanza 160. Mazingatio kutoka katika Uislamu - Sehemu ya Pili 161. Qur’ani Tukufu – Pamoja na Tarjuma ya Kiswahili 162. Falsafa ya Mageuzi ya Imam Husein (a.s) 163. Amali za Mwezi Mtukufu wa Ramadhani 164. Elimu ya Tiba za Kiislamu - Matibabu ya Maimamu 165. Uislamu Safi 166. Majlisi za Imam Husein Majumbani 167. Je, Kufunga Mikono 168. Uislam wa Shia 106


Mkakati wa Kupambana na Ufakiri

169. Amali za Makka 170. Amali za Madina 171. Asili ya Madhehebu katika Uislamu 172. Sira ya Imam Ali kuhusu Waasi 173. Ukweli uliofichika katika neno la Allah 174. Uislamu na Mifumo ya Uchumi 175. Umoja wa Kiislamu na Furaha 176. Mas’ala ya Kifiqhi 177. Jifunze kusoma Qur’ani 178. As-Sahifatul Kamilah as-Sajjadiyyah 179. Hayya ‘Alaa Khayri’l-’Amal Katika Adhana 180. Ukweli kuhusu Funga ya Siku ya Ashura 181. Dua za Miezi Mitatu Mitukufu (Rajabu, Shaabani na Ramadhani) 182. Uadilifu katika Uislamu 183. Mahdi katika Sunna 184. Maswali Ya Uchunguzi Kuhusu Uislam 185. Kazi na Bidii ni njia ya maendeleo 186. Abu Talib – Jabali Imara la Imani 187. Ujenzi na Utakaso wa Nafsi 188. Vijana na Matarajio ya Baadaye 189. Usalafi – Historia yake, maana yake na lengo lake

107


Mkakati wa Kupambana na Ufakiri

190. Ushia – Hoja na Majibu 191. Mateso ya Dhuria wa Mtume (saww) 192. Maombolezo – Msiba wa Bwana wa Mashahidi (a.s.) 193. Shahidi kwa Ajili ya Ubinadamu 194. Takwa 195. Upotoshaji dhahiri katika Turathi (Hazina) ya Kiislamu 196. Amirul Muuminina (‘as) na Makhalifa 197. Uongozi na Utawala katika Mwenendo wa Imam ‘Ali (‘a) 198. Kuvunja hoja iliyotumika kutetea Uimamu wa AbuBakr 199. Adabu za vikao na mazungumzo 200. Hija ya Kuaga 201. Uwazi baina ya Maslahi na Vikwazo 202. Fadhila za watukufu watano katika Sahih Sita 203. Mdahalo baina ya Mwanachuoni wa Kisunni na Mwanachuoni wa Kishia (Al- Muraja’aat) 204. Utawala na Uendeshaji katika Sera ya Imam Ali (as) 205. Mjadala wa Kiitikadi 206. Mtazamo kuhusu msuguano wa Kimadhehebu 207. Nchi na Uraia – Haki na wajibu kwa Taifa 208. Mtazamo wa Ibn Taymiyyah juu ya Imam Ali (as) 209. Uongozi wa Kidini – Maelekezo na Utekelezaji wa Kijamii 210. Maadili ya Ashura

108


Mkakati wa Kupambana na Ufakiri

211. Mshumaa – Shahidi na Kifo cha Kishahidi 212. Mizani ya Hekima – Hadithi za Ahlul Bait (as) – Sehemu ya Kwanza 213. Imam Ali na Mambo ya Umma 214. Imam Ali na Mfumo wa Usawa 215. Mwanamke na Sharia 216. Mfumo wa Wilaya 217. Vipi Tutaishinda Hofu? 218. Kumswalia Mtume ni Ufunguo wa Utatuzi wa Matatizo 219. Maeneo ya Umma na Mali Zake 220. Nahjul-Balagha – Majmua ya Khutba, Amri, Barua, Risala, Mawaidha na Semi za Amirul-Muuminin Ali bin Abu Talib (a.s.) 221. Mukhtar – Shujaa aliyelipiza kisasi dhidi ya wauaji wa Imam Husein (as) hapo Karbala 222. Uimamu na Tamko la Kutawazwa 223. Imam Husain ni Mfumo wa Marekebisho na Mageuzi 224. Saada Kamili – Kitabu cha Kiada cha Maadili 225. Imam Hasan na Mfumo wa Kujenga Jamii 226. Adhana ni Ndoto au ni Wahyi? 227. Maimamu wa Ahlul Bait – Ujumbe na Jihadi 228. Qur’ani na Kuhifadhiwa Kwake 229. Shia na Qur’ani – Majibu na Maelezo 109


Mkakati wa Kupambana na Ufakiri

KOPI NNE ZIFUATAZO ZIMETAFSIRIWA KWA LUGHA KINYARWANDA 1.

Amateka Na Aba’Khalifa

2.

Nyuma yaho naje kuyoboka

3.

Amavu n’amavuko by’ubushiya

4.

Shiya na Hadithi

110


Mkakati wa Kupambana na Ufakiri

ORODHA YA VITABU VILIVYO CHAPISHWA NA AL-ITRAH FOUNDATION KWA LUGHA YA KIFARANSA 1.

Livre Islamique

111


Turn static files into dynamic content formats.

Create a flipbook
Issuu converts static files into: digital portfolios, online yearbooks, online catalogs, digital photo albums and more. Sign up and create your flipbook.