TOLEO No 5
4,000
TSH
kiswahili | english
2015
MITAZAMO TOFAUTI - SAUTI YA PAMOJA
Tanzania bila umaskini inawezekana!
EVANS BUKUKU atueleza jinsi UK 5 inavyowezekana
IDRIS UK 36 SULTAN: $300,000
NI ZAWADI YA WATANZANIA!
Ajira, Gari, Vyumba na Vitu Mbali Mbali
Washindi wa Tupomoja Model Contest
Tubonge na Loveness & Abel
UK 8
Jipatie na unganishwa na unachotafuta siku nyingi
UK 15
Afrika Mbona Tunashuka Kwenye Soka? Kupanda na kushuka kwa soka ya Africa UK 33
EDUCATION - BUSINESS - LISTINGS - HEALTH - FASHION - LIFESTYLE - FOOD - SPORTS - LOVE - OPINION - TECHNOLOGY ELIMU - BIASHARA - ORODHA - AFYA - MITINDO - MAISHA - CHAKULA - MICHEZO - UPENDO - MAONI - TEKNOLOJIA
HABARI ZA TUPOMOJA
04 Tupomoja ni nini? 08 Angalia mtindo: Washindi wa Tupomoja Model Contest - Tubonge na Loveness & Abel 15 Matangazo mapya ya Tupomoja
MUZIKI, MITINDO & MAISHA
30 Lala, mtoto, lala - Jinsi ya kupamba chumba cha watoto kiwavutie zaidi 38 Steps Entertainment inawaletea: Bongo Movies za kisasa
MICHEZO, AFYA & CHAKULA 11 11 32 33
Hutibu kisukari hivi... Mapishi ya mwezi: Keki ya ndizi na tende Acha uvivu! Mazoezi ya dakika 10 kila siku yatakayokupa motisha Afrika mbona tunashuka kwenye soka? - Kupanda na kushuka kwa soka ya Africa
BIASHARA, ELIMU & MAFUNZO
09 Business Portrait: Dakika 10 na Mbunifu wa Fashion Husna 36 Idris Sultan: $300,000 ni zawadi ya Watanzania
UVUMBUZI NA TEKNOLOJIA
34 Ipendwe isipendwe - Selfie Stick imefika 35 Gari inayojiendesha! - Haya ni mambo yanayokuja 35 Ongea na saa yako kama James Bond - Icheki saa mpya ya Apple
UPENDO & MARAFIKI
12 Tamthiliya ya mapenzi: Huyu sio mwanangu! 31 Chachu ya penzi: Sehemu 5
MAONI & USHAURI
05 Tanzania bila umaskini inawezekana! - Shujaa wa Ucheshi Evans Bukuku atueleza jinsi inavyowezekana 10 Msanii wa leo: Sarah Markes 28 "Nimekusamehe, lakini sitokusahau" - Hadithi ya ukweli kuhusu unyanyasaji ya mtoto
KWA MAWASILIANO ZAIDI PUBLISHED BY Tupomoja Live Ltd, P.O.Box 3564, Stone Town, Zanzibar, Tanzania | Company Reg. Number L.24572012, TIN Number 119-084-504 TOLEO No 5
2015
kiswahili | english
YALIYOMO
EDITORS Julia Glei / Marry Msegelwa
MITAZAMO TOFAUTI - SAU TI
Tanzania bila umaskini inawezekana!
PROOF
YA PAMOJA
EVANS BUKU
KU atueleza jinsi UK 5 inavyowezekana
Abdul Sykes
GRAPHIC DESIGN
IDRIS SULTAN $300,0
NI ZAW
KEW Design
YA WATANZA
PICTURES
Washindi wa Tupomoja Model Conte st Tubonge na
Slide Visuals / KEW Design Kristin Dorl
UK 8
GRATEFUL FOR THE SUPPORT OF
Loveness & Abe l
Ajira, Gari, Vyu mba na Vitu Mbali Mbali
Jipatie na unga nishwa na unachotafuta siku nyingi UK 14
Afrika Mbo Tunashuka Kwenye Sok
Kupanda na kushuka kwa soka ya Afric a UK 33
EDUCATION - BUSINESS - LISTINGS ELIMU - BIASH HEALTH - FASHI ARA - OROD ON HA - AFYA MITINDO - MAISH- LIFESTYLE - FOOD SPORT A - CHAKULA - MICHEZO - S - LOVE - OPINION - TECHN UPENDO - MAON I - TEKNOLOJ
Evans Bukuku / Idris Sultan / Kipanya / Husna Tandika Abel & Loveness / John Haule / Abdulmalik Siraji Amatusi Kasola Sasagu / Patricia Anton Sweki John Lucas John / Levina Shaban Pirax Sarafina Bendu Kasmil / Agatha Amatusi Kasola Mussa Ngwali / Kristin Dorl / Chukwani Dispensary
ADVERTISING Tupomoja is not responsible for products, content and range of services of their advertisers. We shall not be liable for the correctness of the information provided.
DISTRIBUTION Quarterly 5,000 copies | distribution points in Dar es Salaam, Zanzibar & other cities in Tanzania, Editorial deadline 4 weeks before publication
TUPOMOJA HOTLINES +255 776 77 12 12 / +255 773 13 13 32
UNI K AT W EZI YA M
MASOUD KIPANYA CARTOONIST
04
HABARI ZA TUPOMOJA
KARIBU / WELCOME TO THE TUPOMOJA MAGAZINE
albino inaweza kuuzwa kwa bei inayokaribia $75,000. Fedha ndiyo kitu ambacho kinawaharibu na kuwadanganya watu, kuwavutia hata ndugu kuhusiana na mchezo huu mbovu kabisa. Fikiria tu matokeo ya matokeo haya, kama uuzaji wa figo unaweza ukapanda mpaka ukachangia kwenye uuzaji wa viungo kwa njia za Hii sio kingine zaidi ya uhalifu dhidi ya haki biashara haramu na magendo, tutajikuta za binadamu. Inajulikana sana kwamba kwenye hali mbaya kama nchi nyingi nywatu bado wanao maoni kwamba watu ingine ambazo zimeelekea hivi hivi. wenye ulemavu wa ngozi albino ni watu Idadi ya watoto na wanawake ambao ambao wako chini ya binadamu na hawa- wanapitita unyanyasaji pia inapanda: takwi. Huu sio ukweli kabisa! Turudie tena Karibia 30% ya kila msichana mdogo an na kujikumbusha ugonjwa wa albinism ni idadi ya mtoto 1 kati ya 7 wa kiume nchini nini: Watu wenye ulemavu wa ngozi albi- Tanzania amewahi kupitia unyanyasano ni watu ambao wamerithi jeni ambazo ji wa kijinsia kabla hajafika miaka ya 18. hazizalishi pigmenti (au rangi) za kutosh- Tumeongea na mwathirika mmoja wa unyanyasaji utotoni na tumemwuliza ni nini wa kwenye macho, ngozi na nywele. Wanauawa kwasababu viumbo vyao vi- ambacho mnyanyasaji wake amemnyima natumiwa na waganga wakiwa wanaja- maishani kutokana na alichokifanya. Hizi siku zilizopita, timu yetu ilikuwa ikikaa na kuongea kuhusu watu wenye ulemavu wa ngozi albino na jinsi wanavyoteswa hapa nchini. Wiki chache zilizopita kwenye maeneo ya Kaskazini-Magharibi nchini Tanzania, mtoto mdogo wa kiume aliibwa, alikatwa viungo vya mwili mpaka akauawa.
Ujumbe wetu kwa wale wote ambao wananyima uhuru wa kuishi maisha ya usalama ni – Tu e n d e l e e kupambaWatu zaidi ya 72 wenye ulemavu wa ngo- na na hili! zi wa albino wameuawa nchini Tanzania JULIA & tangu mwaka 2000. Viungo vya mwi- MARRY li mzima wa mtu mwenye ulemavu wa EDITORS ribu kuwaletea watu bahati nzuri, utajiri au mafanikio. Lakini vile vile wanauawa kwasababu hawatamaniki kabisa – mtoto mwenye ulemavu wa ngozi wa albino akizaliwa, inachukuliwa kama adhabu kwa jambo flani au mkosi.
NAWEZAJE KUINGIA SOKO LA TUPOMOJA?
Chagua njia unayoipendelea kutumia kipawa cha Tupomoja / Just choose your favorite channel to use the power of Tupomoja: Web: www.tupomoja.co.tz SMS: +255 777 75 12 12
Sh
irt &
Skirt from H&A Design
E-mail: karibu@tupomoja.com Facebook: www.facebook.com/tupomoja
Huduma ya simu (Hotline): +255 0776 77 12 12 au +255 773 13 13 32 Tembelea wakala wa Tupomoja katika eneo lako. / Visit a Tupomoja Agent in your area.
TUPOMOJA NI NINI? WHAT IS TUPOMOJA?
SW Nia yetu ni kuwa soko la kidijitali linaloongoza Afrika Mashariki kwa kuunganisha watu, kuwapa ujumbe, kutengeneza jamii iliyo na usaw a kwa wote, wanao badilishana mawazo, kutumia njia tofauti kutanga za bishara zao kubwa au ndogo, kuto a huduma au bidhaa na kutafuta wanachokitihaji. Tupomoja ni rahisi sana kutumia ! Tembelea wakala wetu aliyopo kari bu nawe upate usaidizi, tuma ujum be wako kwenda +255 777 75 12 12 au kupitia barua pepe karibu@tupomoja.com.Mengine yote tutafanya sisi. Unaweza pia kutembelea tovuti yetu ya www.tupomoja.co.tz na unaweza kutengeneza orodha yako wew e mwenyewe na Tupomoja. Kwa kutu mia nafasi ya Tupomoja itabadilisha maisha yako! EN Our vision is to be the leading digital marketplace in East Afric a by connecting people, providing information, creating a community of equal members, which can transfer ideas, use different channels to advertise their small and big busines ses, offer their services or products and search for anything they want. Tupomoja is super easy to use! Visit your nearest Agent to get persona l assistance, send your information to +255 777 75 12 12 or via email to karibu@tupomoja.com. We will do the rest. You can also visit our website on www.tupomoja.co.tz and crea te your own Tupomoja Listing. Usin g the possibilities of Tupomoja will change your life!
CHANGING LIVES
MAONI & USHAURI
05
TANZANIA BILA UMASKINI INAWEZEKANA!
TUNAKUTANA NA MR. EVANS BUKUKU KUJADILI KUHUSU MATATIZO MAKUBWA NDANI YA JAMII YA TANZANIA NA KITU AMBACHO HAKIWEZI KUNIFANYA NICHEKE...
by JULIA GLEI
Mtangazaji mahiri na mpendwa Envans Bukuku wa Choice FM Radio, pia ni mkurugenzi wa Vuvuzela Company na Event Life jijini Dar es salaam. Na kama ulikuwa hujui wapi kaanzia, wapi alipo na wapi anakwenda huu ndo muda muafaka kwako. Endelea...
Ni vitu gani kutoka elimu yako ya udogoni ambavyo unavikumbuka mpaka leo? EB: Nimelelewa katika mazingira tofauti, kimazingira, tamaduni na kielimu. Maisha yangu ya utoto nimeishi Uingereza na kusoma kule katika moja ya shule za Top Five jijini humo. Baada ya kurudi Tanzania lugha ya Kiswahili ilinipa tabu sana kuzungumza, ilinichukua muda kujifunza upya. Niliendelea na masomo ya sekondari shule moja ya serikali Iringa vijijini. Nakiri kuwa mazingira niliyotoka na niliyoyaanza ilikuwa kama ni adventure. Chakula, mazingira ya kujisomea, vifaa vya kufundishia ilikuwa ni shida.
Wewe ulipata nafasi ya kusoma Uingereza pamoja na Iringa. Unaweza kusemaje kuhusu mfumo wa elimu nchini Tanzania? EB: Kuna tofauti kubwa kati ya mwalimu wa Uingereza na mwalimu wa Tanzania. Uingereza mwalimu anashughulikia namba ndogo ya wanafunzi ni rahisi kumpitia kila mmoja, Tanzania mwalimu anashughulikia wanafunzi zaidi ya 60 darasa moja, anapata kipato kidogo tena anapata kwa kucheleweshewa. Adhabu anazopewa mwanafunzi ni viboko, manyanyaso kama ndio njia sahihi ya kumwonya.
Ukiwafikiria watoto wako wewe mwenyewe na viwango vya elimu, ni nini ambacho unafikiri ni lazima liboreshwe haraka sana? EB: Mzazi ananafasi kubwa ya kuhakikisha maendeleo ya mtoto wake. Badala yake imekuwa ndo cha kwanza kuwafanya watoto wetu wawe mbali na sisi na kuogopa kusema lolote linalomtokea. Kwa njia hiyo kamwe hatutabadilika. Njia rahisi na nyepesi ni kumjengea mtoto mazingira ya kuwa karibu na huru kueleza chochote. Mipaka ni muhimu ila ikizidi inabomoa badala ya kujenga. Kaa karibu na mwanao ujue anapenda nini zaidi, hiyo ndio silaha pekee. Kwa mfano, kama anapenda kucheza game, mwambie “ukifanya vizuri home work yako nakupa saa moja la kucheza game�. Ni lazima atafanya vizuri ili apate anachokipenda. Elimu kubwa ya binadamu haipatikani darasani, nje ya darasa ndiko kwenye elimu halisi kwa njia ya vitendo.
EVANS BUKUKU
06
MAONI & USHAURI
Tuambie jinsi unatumia masaa yako 24 ya siku, ni nini ambacho unakipa kipaumbele sasa hivi? EB: Ndani ya masaa 24 ninashughuli mbali mbali zinazonikabili kila siku. Asubuhi mpaka saa nne nakuwa kwenye kipindi redioni, baada ya hapo nakaa na wenzangu ili kutathimini kipindi kilikuwaje na siku inayofwata tufanye kitu gani. Saa tano asubuhi naweza kupata chai na baada ya hapo naendelea na michakato kama mkurugenzi wa kampuni mbili (2), Vuvuzela Company na Event Life. Kuandaa vikao vya wakurugenzi wa kiofisi na kujadili mipango na mikakati ya kujua nini kifanyike ili tusonge mbele.
Unakazana sana kwenye kuwafundisha na kuwasaidia wenye vipaji chipukizi. Ni nani ambaye unatushauri tuendelee kuwafatilia? EB: Nguvu yangu kubwa pia hutumika kwenye brand yangu inayosimama kama Evans Comedy Show ambayo huifanya kila mwezi, pia nasimamia jukumu la kuwapa mafunzo (training) vijana kama vile MC Pili Pili, Dogo Pepe na Ray.
Unajulikana sana na unapendwa sana Ni kipi unakiona ni rahisi zaidi: Kuanza kama mcheshi wa Stand-Up Comedy. kitu kipya au kusimamisha shughuli Lakini kuna kitu gani ambacho hata wewe huwezi ukakichekelea? Ni kitu flani? gani ambacho kinakufanya uwaze sana? EB: Mimi ni mbunifu wa vitu vingi hivyo ni rahisi kuanza kuliko kumaliza. Kumaliza EB: Napenda sana utani na fani yangu inahitaji muda mwingi kulingana na ma- ni uchekeshaji, ila nikiwa kazini huwa na pokeo, kipi kiongezwe, kipi kipunguzwe, heshimu mipaka ili kulinda heshima, utanini kiboreshwe na mambo mengine ni upo mashuleni, madaktari na sehemu nyingi ila fakti ni mipaka. mengi.
NAFIKIRI KUWA MAZINGIRA NILIYOTOKA NA NILIYOYAANZIA ILIKUWA KAMA NI ADVENTURE.
akili kupangilia kazi zake. Kwa upande wa nyumbani Joti na Mpoki, Mc Pili Pili napenda kumsikia na kumuona akifanya kazi, Mzee Majuto nimemjua ukubwani ni mzee anayefanya vizuri sana kwasababu ni mchesi asilia haigizi wala hatengenezi, natamani nikiwa mzee niwe kama yeye. Kwa maoni yako, changamoto kubwa hapa nchini ni nini? Ni uajiri? Inahusiana vipi na elimu ya udogoni? Ni nini ambacho kinaweza kufanyika hapa?
EB: Ajira kwa vijana sio tatizo linalojitegemea, akili na maarifa vinahitajika kulitatua. Watanzania wengi tunadhama ya kuwa kufika elimu ya Degree au Masters ndio kilele cha mafanikio. Unachotakiwa kufanya ni kufika sehemu na kufanya lile Kuna mtu yoyote ambayo anakuvutia unaloliweza, ukigundua kipaji chako ukasana? Mtu ambaye anakuhamasisha kitumia vizuri basi mafanikio yako yako kutokana na kazi zake au maoni yake ya mikononi mwako. maisha? Umasikini Tanzania imechangiwa na kuEB: Wako wengi ila hawa nawakuba- tegemea misaada, misaada tunalemaa li zaidi, Eddie Griffin, McIntyre-Brit wa akili, fikra na mtazamo kwa kutegeamea Uingereza, Russell Peters (Canada), Kevin bure. Tuachane na dhama ya Ujamaa na Hart (America) huyu sio kwa sababu ya tujitegemee. Maamuzi magumu yafanyuchekeshaji tu bali utendaji wake wa kazi we na viongozi kuanzisha mfumo mpya na napenda falsafa yake na jinsi anavyo- na kuuweka wazi kwa wananchi. Hili pia fikisha ujumbe. Dave Chapelle, linategemea sana viongozi wa juu kuonyChris Rock jinsi anavyotumia esha mfano.
„
NJIA RAHISI NA NYEPESI NI KUMJENGEA MTOTO MAZINGIRA YA KUWA KARIBU NA HURU KUELEZA CHOCHOTE.
MAONI & USHAURI
07
Ukiwa unasafiri, ni nini lazima uwe nacho? EB: Nikiwa safarini hasa ya kikazi kitu ambocho siwezi kukisahau ni simu yangu ya mkononi kwa ajili ya FB, Twitter, Email ili niwe connected na shughuli nyingine zinazonihusu. Nguo kwa ajili ya kazi yangu ni viatu na akili yangu ifikirie kazi nayotarajia kuifanya. Ukiwa umechoka shughuli zako zote na unataka kujihisi huru kabisa, ni wapi ambapo unapenda kwenda? EB: Baada ya mizunguko yangu na kuhisi uchovu napenda sehemu tulivu ambayo nitapata kupumzika. Kama Zanzibar kisiwa chake kimetulia sana, vijijini pia chaguo sahihi kwangu napata hewa safi, maji safi, chakula halisia kabisa. Ni wakati gani ambapo uko mchangamfu zaidi? EB: Kitu kinachonifanya nijione mzima wa afya ni uhuru wa kile ninachokifanya haswa navyoongea na watu, shauku ya kujua vitu vingi kutoka kwa mtu nisiyemfahamu. Napenda kuzungumza vitu kwa uhuru hii ni tofauti sana na nikiwa jukwaani. Pale nakuwa siko real kwasababu vitu navyozungumza vinakuwa vimepangwa.
„
AJIRA KWA VIJANA SIO TATIZO LINALOJITEGEMEA, AKILI NA MAARIFA VINAHITAJIKA KULITATUA.
08
HABARI ZA TUPOMOJA
ANGALIA
MITINDO
Washindi wa Tupomoja
KWA KUSHIRIKIANA NA H&A DESIGN
Malengo yako ya baadae ni nini?
MODELT CO N T E S 01/2015
L: Malengo yangu ni kuwa mwana mitindo wa kimataifa na kubadilisha mawazo na fikra za watu kuhusu modeling. Je, famila yako imeiweka wazi kuhusu career yako, na wanalichukuliaje?
L: Kitu ukipendacho hakina kificho. Kwa hivyo ndugu, jamaa na marafiki zangu wanajua na niko wazi kwa sababu muda mwingine napenda kuwavalisha mama na dada yangu. Pia ni mtoto wa pekee katika famila yetu ninayopenda mitindo na urembo na ninashukuru kwamba wanakikubali kipaji changu. Mpangilio wako wa chakula na mazoezi ukoje? L: Since bado naishi nyumbani kwa wazazi sina maamuzi sana kwenye chakula, nakula mlo wa kawaida kwa kiasi pia napendelea zaidi matunda hivyo huwa napendekeza sana kuwepo kwa matunda japo milo miwili. Kulingana na ubize wa masomo, mazoezi hufanya kila jumamosi ya wiki.
„
MALENGO YANGU NI KUWA MWANA MITINDO WA KIMATAIFA NA KUBADILISHA MAWAZO NA FIKRA ZA WATU KUHUSU MODELING.
Unamipaka yoyote katika uvaaji wa mavazi? L: Sipendelei nguo fupi sana ambayo itaninyima uhuru mbele za watu na kunipa picha tofauti.
Shukrani ze tu za dhati kw a H&A desig n kwa kuwapend ezesha washindi w etu.
LOVENESS
Msichana mdogo wa Kiafrika Loveness Martini mwenye umri wa miaka 20, ameamua kuthubutu na kuelezea hisia zake kuhusu mitindo na urembo. Akizungumza na timu ya Tupomoja Magazine na alikuwa na haya ya kusema. Mambo Loveness na hongera kwa kuwa mshindi wa Tupomoja Magazine Model contest! Ulikuwa katika hali gani kabla na baada ya matokeo? LOVENESS: Mmh! Ni ngumu kidogo kuielezea ila ki ukweli shindano lolote kuna kushinda na kushindwa, shauku yangu kubwa ilikuwa ni kushinda. Hata nilivyopokea simu kuwa mimi ni mshindi, nilifurahi sana tena sana. Msingi wako wa elimu ukoje? L: Nimemaliza elimu yangu ya msingi mwaka 2007 na kujiunga kwenye masomo ya sekondari na O’level Shule ya Jangwani na kwa sasa nachukua Bachelor Degree ya Medicine na Sugery chuo cha Kampala International.
Upatikanaji wako ukoje, kusafiri, kazi ya full time, part time au muda wowote? L: Napenda kusafiri so hiyo itakuwa sehemu ya furaha yangu. Kuhusu muda: itategemea.
ABEL
Baada ya kuibuka mshindi wa Tupomoja Model Contest Abel mwenye umri wa miaka 20 ameelezea juu ya mapenzi yake juu ya fani ya mitindo. “Nimekua katika mazingira ya kupenda kuvaa vizuri na kupendeza. Watu wengi wamekuwa wakinisifia kwa unadhifu na mpangilio mzuri wa mavazi yangu toka nikiwa na umri mdogo sana. Ndugu na jamaa zangu wa karibu wamekuwa wakinishawishi kwanini nisiingie kwenye fani ya modeling” alisema Abel. “Kwangu mimi ni fahari kuwa model kwasababu familia yangu na rafiki zangu wamekuwa kipaumbele kuniunga mkono na kuona uthamani wa kile ninachokipenda, so hicho ni kitu ambacho kinanipa moyo sana nakujiona mwenye bahati ya pekee. Tumekuwa bega kwa bega katika shindano hili dogo ambalo ilikuwa ni mara yangu ya kwanza kuthubutu kushiriki, hivyo napata matumaini makubwa katika safari hii najua huu ndio mwanzo tu ila makubwa yatatoke na niko tayari kufanya kazi kwa bidii zangu zote. Baada ya kumaliza masomo yangu ya uhasibu natarajia kujiunga na chuo cha modeling na fashion ili nipate kujifunza mengi zaidi. Shauku yangu sio kuishia modeling bali kuwa mwana mitindo mahiri kitaifa na kimataifa”.
BIASHARA, ELIMU & MAFUNZO 09
NAJENGA UTAMADUNI WA KUVAA NGUO ZA KIAFRIKA KWA AJILI YA WAAFRIKA
DAKIKA 10 NA MBUNIFU WA FASHION HUSNA
HUSNA TANDIKA by MARRY MSEGELWA
Habari Husna, unaweza kutueleza hisNi vikwazo vipi unakumbana navyo toria yako kwa uchache? katika kazi zako za kila siku? HUSNA: Ni mtoto wa kwanza kwenye familia ya watoto watatu. Nimezaliwa H: Vikwazo ni vingi hasa kwa kila kitu Ujerumani na nimekulia Italy. Elimu yangu kinachochipukiza, mafundi hunipa wakati ya msingi mpaka kupata degree nimema- mgumu sana pale wanapochelewesha lizia huko. Nimemaliza masomo yangu ya oda za watu, kushona mshono tofauti na Masters hapa Tanzania kwenye kozi ya matakwa yangu, najua ni vigumu kwao pia ila nimejitahidi kupunguza mapunguEconomic Diplomacy. fu na kuwafanya wateja wangu kujisikia wako sehemu sahihi.
Ni kitu gani kilikupa msukumo wa kufanya fashion?
kufungua chuo kitakacho egemea upande wa fashion kwa vijana wenye nia, malengo na hamasa kwenye fashion. Unaushauri gani kwa vijana?
H: Ushauri wangu ni kwamba mafanikio hayaji haraka, uvumilivu, utu na kufanya kazi kwa bidii ni vitu muhimu sana kwa ajili ya mafanikio maishani. Mafanikio yoyote yanahitaji muda uvumilivu na pia inategemea picha yako ya baadae ina ukubwa gani. Kwa models ninaofanya nao kazi huwa nawasaidia kwa kuwaanFashion unayoifanya imewalenga dalia kitabu cha kazi zao hiyo huwasaidia watu gani hasa? kupata kazi sehemu nyingine. Tunatoa pia H: Mwanzo nilikuwa nafanya kwa vijana huduma za kupiga picha kwa models na tu ila sasa nimegundua kuwa rika zote zi- wengine wote wanaohitaji. nahitaji kazi zangu hivyo nafanya mchanganyiko, vijana na wazee na jinsia zote. Nafanya mavazi ya Kiafrika zaidi, rangi mchanganyiko na vitambaa mchanganyiko pia inategemea na mahitaji ya mteja.
Kama ukipata nafasi ya kumvalisha msanii mkubwa yoyote Duniani, unH: Mazingira ya Italy yalinifanya nipende gemchagua nani? fashion na sio kufanya fashion, nilikuwa H: Kwa upande wa wanawake ningemnapenda kununua kila brand mpya inapochagua Beyonce, napenda kazi zake pia toka hasa kwa nguo niliyoipenda. Hivyo ninafikiri anapendeza akivaa African niliporudi Tanzania sikupata maduka ya dress. brand mpya mara kwa mara so nikawa HUSNA TANDIKA nafanya design yangu halafu napeleka Malengo yako ya / Tel. +255 759 413 234 kwa fundi na ananishonea nguo ninayoi- baadae ni nini? 1 20 1 71 4 75 +255 taka. Nilifanya hivyo kwa ndugu na jamaa m zangu wa karibu. Ndio hapo mume wangu H: Lengo langu kubwa ni Email: t.husna@gmail.co ss pre Im to ss Dre anilishawishi na kunipa moyo kuwa mb- kujenga utamaduni wa H&A hna.dress2impress unifu wa mavazi na kuweza hadi kufika kuvaa nguo za Kiafrika House hapa nilipo. kwa ajili ya Waafrika, na pia Ofisi zao ziko Ada Estate Salaam No. 72, Kinondoni, Dar es
10
MAONI & USHAURI
STREET LEVEL
SARAH MARKES
Picha hii ni kutoka mradi wa Street Level wa mchoraji Sarah Markes. Street Level ilianzia kutoka hamasa zilizoanzishwa na historia ndefu na ya kuvutia ya mitaa ya Dar es Salaam. Ni jinsi ya kuelimisha watu kuhusu jinsi tunapoteza urithi wetu wa utamaduni na majengo yetu kutokana na jinsi tunabomoa majengo yetu na kujenga jiji letu upya haraka sana. Kuona zaidi tembelea tovuti ya www.darsketches.wordpress.com
Branches:
Shekilango
Quality Center
Makumbusho (Bus Stand)
Segerea (Bus stand)
Mbezi Kawe (Oilcom)
MICHEZO, AFYA & CHAKULA 11
HUTIBU KISUKARI HIVI...
Mpishi ni mtu muhimu katika jamii kuliko wafanyakazi wote unaoweza kuwaajiri. Mpishi ndiye anayechanganya kemikali unazokula na kukufanya uwe katika afya njema. Baunsa, mwanasheria, dereva, mshauri, daktari na hata mwalimu na wengineo wote hawana fursa ya kupata ajira kwako endapo mpishi hakutekeleza majukumu yake ipasavyo. Unaweza ukamuajiri rasmi mpishi wako au kwa masaa (Part Time) pia inawezekana akakupa ushauri mzuri juu ya afya yako na vyakula. Mpishi anayo nafasi kubwa kuliko daktari katika tiba ya ugonjwa wa kisukari. Kisukari, yaani 'Diabetes Mellitus' ni maradhi yatokanayo na sukari kuzidi katika mzunguko wa damu mwilini. Hii hutokea iwapo kiungo kiitwacho kongosho hakitazalisha 'insulin' au kitazalisha insulin kidogo kwa mahitaji ya sukari kugeuzwa kuwa nishati (au calories) za kumwendesha binadamu. Dalili za maradhi haya huwa hazijifichi: Kiu ya mara kwa mara, njaa ya mara kwa mara, Uzito hupotea, macho huanza kufa taratibu na maambukizi ya mara kwa mara pamoja na homa za kujirudia rudia kwa kuwa kinga yake ya mwili hushuka.
ISHI MAPW EZI YA M
by JOHN HAULE
Wagonjwa wasiozalisha kabisa insulin hawa huitwa 'Insulin Dependant' ambapo mara nyingi hujitokeza toka utotoni kwa kuwa na ulemavu wa aina tofauti katika kongosho. Wagonjwa hawa huhitaji sindano moja au zaidi ya insulin ili kupata mchanganyo sawa na kiwango cha sukari mwilini. 'Non Insulin Dependant' ni aina ya pili ya wagonjwa wa kisukari ambao kwa kawaida ni wengi sana na huwatokea wakiwa watu wazima kabisa. Kwa wao, kongosho huzalisha insulin kama kawaida yake ila huwa haitoshelezi mahitaji ya sukari iliyopo mwilini kutokana na sababu tofauti lakini mara nyingi ikiwa ni unene ambao ni tatizo kwa wengi, msongo wa akili pia husababisha kisukari na hata wazazi wenye kisukari hurithisha watoto kwa 50%.
58% wengi wao wakiwa ni wazee wa miaka 60 na kuendelea. Mafanikio hupatikana baada ya mpishi kumpa mgonjwa vyakula visivyo na kaloris nyingi huku akimhimiza mgonjwa kufanya mazoezi na hapo mgonjwa hupoteza 5%-7% ya uzito wake kwa siku. Hii itamsaidia mgonjwa kupona kwa kuwa seli za misuli ya mwili hupata Wanawake waliojazia mitaa ya shingo, ki- nafasi ya kuidhibiti sukari kikamilifu zaidi. fua, mabega na tumbo wapo hatarini au Kwa kawaida, wagonjwa wa kisukari, wameshaukwaa ugonjwa huu ukilinganiwazee, na watu wanene (Obese) huhisha na wale waliojazia sehemu za makalio taji kiasi cha kalori 1000 hadi 1600 kwa na mapajani zaidi. Ila, tafiti za tiba zinatoa siku nzima. Mpishi atapunguza kiwango uhakika wa tiba kwa lishe kupitia mpishi cha kalori 500 kati ya hizo na atafanikiwa mbobevu ambaye huponyesha kabisa kumpunguza uzito wa mgonjwa kati ya ugonjwa huu kwa kumpa mgonjwa lishe kilo 2 hadi 4 na uhakika upo wazi. maalum hasa wagonjwa wa 'Non Insulin Dependant' ambao hupona kwa asilimia Chakula kwa mtu mwenye kisukari:
KEKI YA NDIZI NA TENDE BILA SUKARI MAANDALIZI:
UNACHOHITAJI: Ï Maziwa 30
Ï Unga 275g
0ml
Ï Tende 225
Ï Siagi laini
g
100g
Ï Karanga au korosho au almonds ziliz okatwa katwa 75g Ï Kijiko 1 1/2 cha baking powder Ï Ndizi 2 ziliz oiva Ï Yai 1
1
Ikatekate tende kuwa vipande vidogo vidogo
2
Iweke tende na maziwa kwenye sufuria kisha ichemshe kidogo
3
Iweke unga na siagi kwenye bakuli na kuichanganya vizuri
4
Weka yai, ndizi (zikiwa zimepondwa pondwa), karanga/korosho na mchanganyiko wa tende na maziwa na ichanganye pamoja
5
Weka baking paper kwenye sufuria ya kupikia mkate kishe weka mchanganyiko wako wa keki
6
Pika kwa muda wa dakika 45 kwenye moto wa 180°C
7
Iache ipoe kwenye chombo chake chakupikia
TAYARI! ENJOY!
12
UPENDO & MARAFIKI
O HUYU SI ANGU!
Kwa kipindi hiki EMMANUEL anapita wakati mgumu. Anafanya mafunzo yake Hospital ya Aga Khan, yuko kwenye hatua za mwisho kabla ya kufanya mtihani wake wa mwisho. Ndoto yake ni kuja kuwa daktari bingwa wa watoto. Muda wote yuko bize na kazi yake.
MWAN
THERESIA naye ndio kwanza anaanza mafunzo ya unesi, anapenda kuwa karibu na watu na kuwasaidia kadiri awezavyo. Ni msichana mwenye aibu hasa akiwa kwenye mazingira mapya, pia ni msichana mwenye moyo wa ujasiri na upendo, anapenda maisha ya kujitegemea zaidi. JENIFA ni mdogo wake Theresia. Yeye bado anasoma ngazi ya chuo, mateo yake ni mabaya sana inapelekea wazazi kukasirika na kufikia hatua ya kumwacha afanye analotaka. Muda mwingi anapenda kuangalia movie na kupendeza. Ndoto yake kubwa ni kuolewa.
EMMANUEL
JENIFA
THERESIA Mama mwanao amedhoofu sana, hii ni hatari kadi yako pia inaonyesha mahudhurio hafifu. Tafadhali zingatia dozi hii na fuata lishe yenye mpangilio kuokoa maisha ya mwanao.
1
Nesi, nesi tafadhali msaidie huyu mama mwanae yuko kwenye mstari mwekundu, hakikisha unampa dawa na maelekezo yote muhimu. Sawa?
Usipoteze pesa zetu bure, kama hutaki kusoma ukae kitako tujue moja kila siku kiguu na njia kwenda chuoni halafu unatuletea sapu mihula yote
Mmmh, moto huyu ananiumiza kichwa...
2
3
THERESIA ANAMWANGALIA EMMANUEL KIMAHABA.
THERESIA ANATOKEA KUMPENDA GHAFLA DOCTOR EMMANUEL ILA ANAJARIBU KUZIFICHA HISIA ZAKE.
MARA SIMU INAITA, EMMANUEL ANAMWONA NESI AKIPITA NA KUMWITA. JENIFA ANAFIKA NYUMBANI MOTO UMEWAKA, NI BAADA YA MATOKEO YAKE.
Ndio nimekuelewa doctor.
Kisa Theresia nesi basi wote tuwe manesi, inahusu.
Mama yako ninaumwa mwaka sasa pesa zote tunamlipia karo, bado tuu!
Mke wangu kuanzia leo bora niangalie afya yako tuu, yeye dunia itamfunza.
Hivi yaha ndio matokeo unayoniletea kila siku unazidi kushuka na kuongeza miswaki tuu!
4
5
THERESIA BAADA YA KAZI ANAMSUBIRI JENIFA WAENDE SOKONI.
Hujaacha tu mambo yako, umeniweka sana.
7
Waoh! Umemwona yule kaka?
Wewe unashangaa nini namna hiyo? Yule kaka anaitwa Emmanuel nafanya nae kazi, ni doctor mzuri sana wa watoto.
6
Pole si unajua matokeo ya muhula huu yashatoka halafu full majanga, basi bi mother na mshua wamewaka kama walotiwa ndimu kwenye kidonda.
MARA EMMANUEL ANATOKEA HUKU AKIZUNGUMZA NA SIMU.
Hello, nimeshatoka kazini ila unaweza kunifuata nyumbani nitajaribu kukuangali tatizo lako, ikiwa litahitaji vipimo zaidi nitakushauri uonane na daktari maalumu wa mifupa. Nitakuwa hapo baada ya 9 nusu saa.
8
That means, atakuwa baba bora wa wanangu!
Dada naomba nikusindikize kazini, aah! halafu nimekumbuka kuna rafiki yangu kamaliza chuo muhimbili nahisi anafanya kazi pale.
Eti nini? Acha ujinga, sio kwa kuwa daktari mzuri kwa watoto basi atakuwa baba bora, weka hilo akilini mwako.
10
12
Usijali mumy nitakuwa powa tu.
11
13
SIKU ILIYOFUATA
Okay ila mami nikifika kazini nitakuwa bize sana leo, nitakupeleka mapokezi ukamuulizie huyo best yako.
UPENDO & MARAFIKI Habari ya asubuhi doctor Emma.
EMMANUEL AKIWA MAPOKEZI ANASAINI FOMU ZA ASUBUHI.
13
MARA JENIFA ANAANGUKA, EMMANUEL ANAMUWAHI KABLA HAJAFIKA CHINI NA KUMBEBA.
Nzuri!
14
17
Tobaa! Balaa gani hili tena?
Dada samahani sana kama nimekuudhi kwa swali langu, ila nilikuwa katika kuifanya kazi yangu kwani wanawake wengi hupatwa na kizunguzungu na kuanguka na wengine hata kupoteza fahamu kwa muda‌
15
16
18
19
Kwanini umeniuliza swali kama hilo, mimi sina mimba wala mchumba ndo kwanza natafuta, sikutegemea kabisa kama unamaswali ya kitoto kama hayo.
Emmanuel!
EMMANUEL ANAMLAZA KITANDANINI NA KUANZA KUMPIMA, MARA JENIFA ANFUNGUA MACHO TARATIBU NA KUMKONYEZA.
ANAINUKA NA KUMWANGALIA KWA MACHO MAKALI, HUKU AKIRUSHA MANENO MFULULIZO.
EMMANUEL NA THERESIA WANAKUTANA CAFETERIA KUPATA CHAKULA CHA MCHANA.
JENIFA ANATOKA AKIJIPONGEZA KWA USHINDI
Karibu tukae meza moja, tunaweza kuzungumza maneno machache. Mimi nishakwambia sina mimba ninamaradhi mengine tuu, ila kama vipi nipe namba yako ntakutafuta nikitulia kwa sasa siwezi kuelezea.
Ok, ila nitakula kwa haraka kwani kuna wagonjwa wengi leo.
Chezea Jenifa wewe, hapa ndo town ukipwesa jicho tuu watu washachukua vyao mapemaaa!!
20
21
22
JENIFA ANAFANIKIWA KUPATA NAMBA YA SIMU YA EMMANUEL
Inaonekana unaipenda sana kazi yako, inatia sana moyo hasa kwa vijana kama sisi.
24
Ni kweli kabisa, cheers!
Cheers!
Ndoto yangu bado haijatimia ndio kwanza naanza safari yangu, hapo baadae nataka nije kuwa daktari bingwa wa magonjwa ya kina mama na watoto na hata kufungua hospitali yangu mwenyewe itakayokuwa na vifaa vyote muhimu hasa wakati wa kujifungua kina mama. Ni idadi kubwa ya watoto na kina mama tunawapoteza kila siku.
23
JENIFA ANAMPIGIA SIMU EMMANUEL WAKUTANE ANAJISIKIA VIBAYA.
Mmh! Nitajitahidi...
Samahani kwa usumbufu,doctor tatizo langu ni moyo ila nimeamua wewe ndiye uwe doctor wa maradhi yangu ninaimani nitapona kabisa tatizo langu.
Mambo Emma, samhani naomba tuonane Irambo Cafe jioni. Ni muhimu sana
25
Dada ushawahi kupima ujauzito hivi karibu?
26
27
Mmh siwezi kukuahidi lolote, nadhani ni vyema tukutane hospitali ili uweze kupata vipimo na kulipatia ufumbuzi swala lako, kwa macho tuu siwezi kuona tatizo la moyo.
14
UPENDO & MARAFIKI BAADA YA GLASS MOJA YA WINE NA MAONGEZI LAINI YA JENIFA.
Sina maradhi ya moyo na wala sijawahi umwa toka nizaliwe, ila wewe umeufanya moyo wangu upate maumivu makali toka nilipokuona kwa mara ya kwanza, tafadhali niamini haya niyasemayo, nimeshindwa kuvumilia.
OOH! AMRI YA SITA IKAVUNJWA...
Inaonesha unapenda sana masihara.
Sipendi usumbufu, ila sina budi..
28
Duuuh huyu mtoto ananichanganya, ntang’oka kweli?
BAADA YA KUINGIA GARINI Nakupenda sana Emmanueli, nionee huruma... 29
31
Kibaro barooo! Haaa type yangu mimi ni watu na vyeo vyao sio washusha suruali bibi eee, nilikuwa na mtambo zaidi ya gesi ya Mtwara. Emmanueli Doctor bingwa, chezea Jenifa wewe! Hii sio umeme wa sola bali ni Bayo gas, cheza mbali itakulipua.
BAADA YA JENIFA KURUDI USIKU MKUBWA
Jenifa kashaharibu kila kitu!
32
33
Hongera dada, una ujauzito wa miezi 3!
BAADA YA MIEZI 3 KUPITA... 34
Ulikuwa wapi mpaka saa hizi? Tena usithubutu kunidanganya maana nakujua vilivyo na kibaro baro gani kinachokurusha akili?
JENIFA ANAPATA MABADILIKO YA MWLI, HAPENDI KWENDA CHUO, AKILA ANATAPIKA HATAKI KUSAIDIA KAZI ZA NYUMBANI, YEYE NI KULALA TU HUKU TUMBO LIKIMSOKOTA, ANAAMUA KWENDA KUPIMA. Unasemaje? Huyo sio mwanangu na sihitaji kuitwa baba kwa sasa na hata nikiwa tayari sio na wewe Jenifa. Sina mapenzi na wewe na wala sijawahi kukupenda. Tena tafadhali usinichafulie jina langu.
EMMANUEL NA JENIFA WANAGONGANA MLANGONI.
35
Siamini, ndoto yangu imetimia.
30
Mbona sikuelewi Jenifa, hebu niweke wazi??!!
Afadhali nimekuona mpenzi wangu! Nina habari nzuri tena za moto moto. Najua uko busy baby ila hili pia ni muhimu zaidi kwetu sote. Nina ujauzito miezi mitatu sasa.
Huyu sio mwanangu, siwezi kuwa na mtoto kwa sasa ndoto zangu ni kumwoa Theresia kwani ndo mwanamke ninayempenda. Anamawazo mazuri, mpole, mkarimu pia hata mawazo yetu ya baadae yanafanana. Siwezi, siwezi huyo sio mwanangu.
Lazima tuishi pamoja tulee mtoto wetu.
36
37
BAADA YA MIEZI 9 40
Hata iweje siwezi kukubaliana na matakwa yake, safari yang undo kwanza inaanza na siwezi kuishia njiani kwa ajili yake. Akita atoe mimba la sivyo atalea mwenyewe. 38
USHAURI:
ANABAKI ANALIA HUKU AKIJILAUMU MAAMUZI YAKE YA HARAKA ALIYOYACHUKUA KWA KUDHANI EMMANUELI ATAMPENDA POLE POLE.
39
JENIFA ANARUDI NYUMBANI KWA UNYONGE NA KUOMBA MSAMAHA KWA WAZAZI WAKE NA DADA YAKE, WOTE WANAAMUA KUMSAMEHE NA KUMPA SAPOTI KATIKA KIPINDI KIGUMU ALICHONACHO.
Usifanye maamuzi ya haraka kwa kupata furaha ya muda mfupi na kutengeneza jeraha la muda mrefu. Wazazi pia tusiwasuse watoto wetu, tuwaonye na kuwasihi warudi kwenye maadili yaliyo bora.
MATANGAZO YA TUPOMOJA
JE, UNAHITAJI?
HABARI ZA TUPOMOJA 15
Tuma SMS kupitia 0777 75 12 12 na namba iliopo chini, pia na jina lako na ujumbe ungependa umfikishe mtangazaji!
SAFIRI SALAMA AIRLINES COASTAL AVIATION Coastal Aviation has been developing a far-reaching and extensive range of Air Charter and Scheduled flying safaris across the country: Zanzibar, Dar es Salaam, Arusha, Ruaha, Serengeti, Selous, Bagamoyo, Fanjove, Kilimanjaro, Lake Manyara, Mafia, Ngorongoro, Pemba, Quirimbas, Rubondo, Nairobi, Entebbe, Kigali, Masai Mara. Hotline: +255 752 627 825
ZANAIR ZanAir is an acknowledged expert within Tanzania serving all destinations, including remote unpaved bush locations. We provide regular scheduled flights to Arusha, Dar es Salaam, Lake Manyara, Pemba Island, Sadaani, Selous, Zanzibar, Entebbe, Kampala, Mombasa Moi Intl. and private charter flights to any Airport in Tanzania. Bookings: +255 24 2233670 / 2233768
AURIC AIR Auric Air is Tanzania’s preferred corporate and safari airline with a wide network of domestic scheduled services. From its bases at Dar es Salaam, Arusha & Mwanza Airports, Auric Air provides scheduled flights to some of the most remote and otherwise inaccessible destinations within Tanzania. Branch Dar es Salaam: Dar es Salaam +255 688 937 165/6
FLIGHTLINK LTD. Daily Flights to Zanzibar, Arusha, Pemba, Iringa, Dodoma, Selous, Serengeti & Ruaha. Central Reservations: +255 782 35 44 48/49/50
AS SALAAM AIR As Salaam Air is an independent based aviation company with offices in Zanzibar Tanzania. We offer scheduled flights across Tanzania to Dar es Salaam, Pemba, Zanzibar, Tanga and private charters. Bookings: +255 772 771 770
PRECISION AIR We maintain a regular schedule to all the major commerce centers in Tanzania (Arusha, Mwanza, Bukoba, Dar es Salaam, Pemba, Kigoma, Kilimanjaro, Shinyanga, Mbeya) and we fly internationally to Kenya, Uganda, Rwanda, Zambia, DRC, Mozambique and the Comoros. Branch Zanzibar: +255 (0) 242 235 126
KAMPUNI YA BASI IBRA EXPRESS Routes: Dar - Newala, Mtwara - Newala, Tandahima Newala - Masasi, Newala - Masasi - Liwale, Office Dar: Temeke Stand 15, contact: +255 713 616550/ +255 784 616550. Ubungo Bus Terminal 30, contact: +255 655 742378/ +255 688 742378/ +255 767 616 550. Office Newala: +255 784 146019/ +255 788 739034/ +255 652 118380. Office Lindi: +255 714 581098/ +255 787 649013.
RUNGWE EXPRESS Routes: Dar - Mbeya, Dar - Kyela, Dar - Tunduma, Dar - Arusha, Dar - Kahama, Dar - Mwanya. Office Ubungo Oil Com Petrol Station & Ubungo Terminal Bus Stand 19 & 37. Contact: 0756 477789/ 0713 282834/ 0768 573213
LEINA TOURS Routes: Dar - Dodoma, Singida - Kahama (every day) | Office Dar: Ubungo near OilCom | Contact: +255 713 165876, +255 766 118001, +255 688 265845 | Office Kahama: Bus Stand | Contact: +255 655 345571, +255 755 345572
MTEI EXPRESS
Routes: Dar - Babati via Morogoro - Dodoma - Singida, Dar - Arusha via Moshi, Moshi - Singida, Arusha - Singida, Arusha - Mwanza, Arusha - Dodoma, Babati - Mbulu. Office Dar: Ubungo Bus Terminal, Hotline: +255 715 066 113 +255 656 76 97 08
PRINCESS MURU
Routes: Dar - Singida - Shinyanga - Mwanza, Dar Kahama - Bukoba, Dar - Nzega - Tabora, Dar - Iringa - Mbeya - Tunduma, Dar - Moshi - Arusha - Nairobi | Office Dar 0756 640398 | Dodoma: 0757 362521 | Singida: 0755 691092 | Kahama: 0754 437420 | Shinyanga: 0754 757914 | Tabora: 0712 689797
WAKATI EXPRESS
Routes: Dar - Rombo, Dar - Arusha, Arusha - Mbea | Office Dar: Kimara Baruti, Ubungo Bus Terminal | Office Arusha: Mianzini | Office Rombo: Mkuu Rombo | Office Moshi: Opposite Kilimanjaro Bus Office | Contact: +255 762 347439, +255 719 390570
MACHAME SAFARI
Routes: Dar - Arusha via Moshi, Arusha - Moshi, Office in Dar: Ubungo Bus Terminal, Hotline: +255 715 17 17 50
PRINCE LINE
Routes: Dar - Singida - Katesh - Babati, Dar - Singida Kiomboi | Office Dar: Ubungo No.3 | Contact: +255 715 855900 | Office Singida Contact: +255 752 869981 | Office Babati Contact: +255 787 531832
ACCOMMODATION DAR ES SALAAM TRINITI GUESTHOUSE We are located on the peninsula in Oysterbay, Msasani Street 6 behind the Oysterbay School. Our Rates: Single US$65,-/ Standard double US$ 75,-/ Deluxe US$ 85,- incl. Breakfast & wifi. Contact: 0755 963686 or 0769 628328
J&P HOTEL Our self-contained rooms are furnished with fan and mosquito net. We are located in Kariakoo, Kiungani Street. Rates: Single or Double Room, Lower Floors: 23,000 TZS, Upper Floors: 18,000 TZS, Triple Rooms: 33,000 TZS. Contact: +255 715 372804
THE GRAND HOTEL A luxurious Four- star Hotel located in Dar Es Salaam, at Jamhuri street just 20 minutes from the Airport, 5 minutes from the Ferry Port. Contact: +255 716 504451
MANYANGWE HOTEL LTD We are located in Kariakoo, Pemba/ Lumumba Street. Our 32 self-contained rooms are furnished with fan and mosquito net. Some with TV. Single or Double Room Lower Floors: 23,000 TZS, Upper Floors: 18,000 TZS, Triple Rooms: 33,000 TZS. Conatct: +255 714 783129 or +255 22 2129351
KEYS HOTEL TRAVEL & TOURS LTD Keys Hotel is located in Kariakoo, Uhuru Street, near CRDB Bank. It is a modern hotel with 40 rooms that offers comfort for very good prices. Double & Triple Rooms with AC, TV, fan, telephone and en-suite bathroom. Double Room 25,000 TSH, Triple Room 30,000 TSH. Contact: +255 789 554196
MBYEA PEACE OF MIND REST HOUSE All of our rooms are ensuited with comfortable sitting and dining rooms with attached kitchenette whereby you have a choice for entire apartment or individual self contained room. JAMATIKHANA ROAD, MBEYA TOWN CENTER. Double Room 45,000TSH. Contact: 0754277410, 0655179311, 0752099166, 0756683117.
ARUSHA
ETHIOPIAN RESTAURANT AND BAR Hostel with 18 clean and safe self contained rooms, Ethiopian Restaurant and Bar in Kijenge Arusha between Impala Hotel and the Kijenge Supermarket. Fast wireless Internet. RATES: Single Room 40,000 TSH, Double Room 50,000 TSH. Contact: +255 754 818533
OLDUVAI INN The Olduvai Inn is a prestigious mini Lodge. This magnificent hotel is ideally situated adjacent to a quiet residential area in the suburbs of Arusha and is just 700 mts from the Arusha City centre. Kilimanjaro International Airport (KIA) 45 mins drive, 20 mins to Arusha Airport, 5 mins to the main bus station. 15 simple rooms which with en-suite bathrooms, TV and telephone. SINGLE - 35000 TSHS, DOUBLE - 45000 TSHS. Contact: +255 753 341578
MOROGORO KINGS WAY HOTEL Kingsway Hotel is set to be the most modern and stylish hotel in Morogoro. With a classy ambience and contemporary facilities, the hotel dubbed as the Shagilila of Morogoro is ideal for business, holiday getaways and events. Double Room 60,000TSH Contact: +255 755 908595
TANGA CENTRAL CITY HOTEL LIMITED Central City Hotel has a wide range of rooms for your needs. Wi-Fi, a secured door and safe, a small fridge. Tanga Street Number 8 Ngamlani/Mkwakwani Road. Room Rates: TSH 45000 Standard/ 55000 Twin STD/ 55000 Superior/ 60000 Twin Deluxe/ 90000 Suite. Contact: 0718282272/ 0713237137/ 027 2644476
KAHAMA
HOTEL GAPRENA All Guests In Our Hotel, Are More Than VIP! Hotel Gaprena located at Kahama town 150M from Kahama Main Bus Stand. Hotel provides various services like accomodations, Food and drinks. From 60,000TSH Contact: 0688 474 251
NJOMBE FM HOTEL This large, soulless multistory place bills
as Njombe’s sleekest option, with modern rooms boasting nets and TV. There’s a restaurant. It’s on the main road 1km south of and diagonally opposite the bus stand. Contact: +255 786 513321
MATANGAZO YA TUPOMOJA
JE, UNAHITAJI?
SAFIRI SALAMA ZANZIBAR
Tuma SMS kupitia 0777 75 12 12 na namba iliopo chini, pia na jina lako na ujumbe ungependa umfikishe mtangazaji!
MOSHI
MPANDA
KIPONDA BED & BREAKFAST
UMOJA HOSTEL MOSHI
KING PARIS ANNEX
The charm of the past prevails at Kiponda B&B, a traditional house and a simple classic hotel, adapted to modern standards of comfort, making this hotel a unique and pleasant place to stay: Budget meets Style. Starting from: 35US$. Contact: +255 777 431665
Our place is located in the city centre. We offer clean and simple rooms around a small quiet courtyard. Room Rates: 30,000/=, 40,000/= normal room single bed 15,000/=, double bed 25,000/= Contact: +255 27 275 0902
A newish, clean place with squat toilets, but real showers. The attached bar doesn’t get too noisy. It’s on a side street west of the bus station. Contact: +255 784 762424
ZANZIBAR STONE TOWN LODGE Zanzibar Stone Town Lodge centrally located and ideal for everyone that wants to be mobile and explore the city by foot. Lovely rooftop terrace. 9 spacious room with private bathroom, AC and hot water. Prices: Double room 50,000 tsh, Single room 45,000 tsh. Contact: +255 652 581439
ANNEX OF ABDALLAH GUEST HOUSE We offer budget accommodation for people who want to experience the atmosphere of historic Stonetown. We have 10 rooms. Room Rates: Single $12, Double Self-Contained $ 40. Contact: +255 777 411300
JAMBO GUEST HOUSE Jambo Guest House is located in the centre of Stone Town, just 10 minutes walk from the main shopping and restaurant district. 8 rooms containing traditional Zanzibar beds, mosquito nets, ceiling fans and air conditioning in some rooms, sharing a common bathroom. SINGLE $ 25 T/SH 40000/= DOUBLE $ 40 T/SH 64000/=. Contact: +255 653 943548
KIGOMA AQUA LODGE A fairly basic place with large clean rooms (some have fans) on the beach, each with a screened porch and wi-fi access. It’s situated across from the Tanesco generator. Rates: 20,000 TSH - 50,000TSH. Contact: +255 764 980788
UHURU HOSTEL MOSHI Lutheran Uhuru Hotel & Conference Centre is host to national and international conferences, meetings, symposia, seminars, retreats, personal study and research. We offer different types of rooms starting from 40,000/=. Contact: 0753037216 or 0272754512
SUMBAWANGA HOLLAND HOTEL The Holland Hotel, which is close to the bus station, offers big, airy, bright rooms with desks. The downstairs restaurant is the nicest in town! Secure parking is available. Contact: +255 786 553753
LIBORI CENTRE Our church-run centre has clean, quite and secure rooms. Breakfast is included. We are close to the bus station. Contact: +255 757 494225
MUSOMA MATVILLA BEACH LODGE & CAMPSITE Matvilla Beach is located along the lake side road, about 1.5km from Musoma town centre. Rates: Single 40,000TSH, Double 50,000TSH, Twin 50,000TSH, Suite 60,000TSH. Contact: +255 28 262 2485
AFRILUX HOTEL Afrilux hotel is situated at Karume St, Musoma, Mara Region - a quiet, friendly town on the eastern shore of Lake Victoria. We offer Accomodation, food, drinks as well as a modern conference hall for holding events, conferences and functions. Contact: +255 28 262 0031
SINGIDA
AMINI MAGOROFANI LODGE
KBH HOTEL
Tuko Kigoma mjini. Our rates: 17,000tshs self contained with hot water and break fast included. 25,000tshs self contained with air condition, hot water and breakfast included. Contact Mr Amin: 0768371213
KBH HOTEL with offices located at Plot No 17LD Bomani along the shore of lake Singidani.. Single Standard Rooms 40,000 Tsh bed & breakfast. Contact: 0754 474791 / 0737 098654 0766 163529.
NEW MAPINDUZI GUEST HOUSE Our guesthouse is a good choice if you want to be right in the centre of town. The basic, self-contained rooms have TVs and fans. Contact: +255 753 771680
SONGEA SEED FARM VILLA Seed Farm Villa a 10 roomed hotel located on the slopes of Matogoro mountains 3 km east of Songea town centre on the Songea-Tunduru highway. It is 5min drive from town centre. Single 75,000TSH, Double 85,000TSH. Contact: 0655 477743 or 0752 842086
LAKE HOTEL
BUKOBA
Hotel yetu ni ya kitalii na ya kwanza mkoani Kagera, toka enzi ya mkoroni. Inatoa huduma zote za huduma za utalii wa nje na utalii wa ndani. Kwa maelezo zaidi wasiliano zaidi piga simu No 0765876240 au 0683467335, Mr Sarapion Christian. Karibuni sana
BABATI KAHEMBE’S MODERN GUEST HOUSE Home of Kahembe’s Culture & Wildlife Safaris, this friendly place just northwest of the bus stand has decent twin- and double-bedded rooms with TVs and reliable hot-water showers. Their full breakfast is included in the price. Contact: +255 784 397477
MORAVIAN HOSTEL Our church-run place in Mpanda is friendly and has freasonable prices. Convenient for early-morning buses. Contact: +255 785 006944
LUSHOTO MASAULE RESORT CENTRE This private home has one small and two larger rooms attached to the family quarters, and meals on order. It’s diagonally opposite the post office in Lushoto. Contact: +255 784 420310
KANAANI RESTHOUSE Our large, inviting and selfcontained family-sized guestrooms in a quiet and beautiful surrounding of the Usambara Mountains are waiting for you! Rates: Single 30000/= tsh, Double 50000/= tsh. Contact: +255 759 277399 / +255 756189123 / +255 655 189123
PEMBA PEMBA CROWN HOTEL Located at the center of Wete town, overlooking the central market and a short walking distance away from the sea port. Our tour services staff is always available at your service. 15 self contained rooms with AC, TV, hot water. Contact: +255777493667
THE AIYANA RESORT All our 30 villas range from 80 -160sqm and enjoy wonderful views over the crystal-clear waters of the lagoon, the coral reef and the Indian Ocean beyond. Rates on request. Contact: +255 784 345 332 or +255 754 264 297
NYUMBA / KIWANJA DODOMA IT / DESIGN / TECHNOLOGY NATAFUTA NYUMBA YA KUNUNUA KUNGU DODOMA Natafuta nyumba yenye vyuma vitano
maeneo ya Kungu Dodoma. Nyumba iwe ya kawaida tu. Gharama milioni 15 #5.27421
INDUSTRIAL PLOT SIZE 6000 SQ M FOR SALE IN DODOMA Located in Western Industrial Area Dodo-
ma Municipality. About 2 Km from town centre with easy access to the Dodoma/Manyoni highway 200 m away. Plot is well-served with electricity and water and has a clean title deed. Contact for any queries or questions! #5.26263
HOUSE FOR SALE AT MAJENGO DODOMA One house for sale at Majengo Dodoma. Faru Road it has 9 rooms. It can be used as plot for commercial use. Good location. #5.25719 IT / DESIGN / TECHNOLOGY KILIMANJARO PLOT FOR SALE WITH 3,000 ACRES IN WEST KILIMANJARO Plot for sale with 3,000 acres in west
Kilimanjaro region. The plot is harvest wheatflour and presence of air trip $8 milion #5. 25372
MATANGAZO YA TUPOMOJA
JE, UNAHITAJI?
HABARI ZA TUPOMOJA 17
Tuma SMS kupitia 0777 75 12 12 na namba iliopo chini, pia na jina lako na ujumbe ungependa umfikishe mtangazaji!
NYUMBA/KIWANJA IT / DESIGN / TECHNOLOGY ARUSHA 4 BEDROOM FULLY FURNISHED VILLA FOR SALE IN ARUSHA Brand new 4 bedroom fully furnished villa for sale in Arumeru, Arusha, $300,000 #5.28476
21 ACRE PLOT AT LAKE MANYARA FOR SALE IN ARUSHA Plot at Lake Manyara
ideal for safari lodge centre area Tarangire Ngorongoro and Manyara all these 3 national park can be visited from the plot within 45 min driving distance. Plot size is 21 acre. price $90,000 #5.28423
KIWANJA KINAUZWA ARUSHA KIWANJA ARUSHA Kiwanja ninauzwa arusha Maeneo ni Muriet karibia na barabara mpya ya east africa ukubwa wa 20 by 18 asking price ni 14.5m. #5.24991 LAND FOR SALE NEAR MKOMAZI GAME RESERVE Three decimal point point three six. - Situated
at Njiro, Kisiwani in Same District (Close to the Mkomazi Game Reserve) - Its suitable for Hotels, Camps or Curios Shops. Price 100,000/= USD (Negotiable). #5. 27833
IT / DESIGN BAGAMOYO / TECHNOLOGY SHAMBA LA KUMWAGILIA LINAUZWA PEMBENI YA MTO RUVU Eneo zuri kwa ajili ya kilimo cha
umwagiliaji na ufugaji wa samaki linauzwa kilometa 8 kutoka Bagamoyo mjini, jirani na mto Ruvu. Lina ukubwa wa ekari 4 na jingine lina ukubwa wa ekari 2. bei ni SH. 2,000,000 kila kwa ekari moja (mazungumzo yapo) #5.24954
VIWANJA VINAUZWA BAGAMOYO KWA BEI NAFUU Viwanja vilivyopimwa vinauzwa Kilometa Tano
kabla ya kufika Bagamoyo Mjini. Ukubwa ni meta 45 x 20, na meta 50 x 20. Bei ni kati ya Tsh. milioni 8 hadi milioni 10. Bei ni pamoja na kuandaliwa hati milki (Title Deed) kwa jina lako. Wahi, vimebaki vichache! #5.24964
IT / DESIGN DAR ES /SALAAM TECHNOLOGY I’M LOOKING FOR DAR APARTMENT IN A GOOD AREA IN DAR I am looking for an apartment of: - 1
bedroom - bathroom - kitchen and reliable water in a good area in Dar. Furnished or unfurnished under 450,000 Tsh. #5.29124
KIWANJA MAENEO YA KINZUDI KINAUZWA Hiki kiwanja kinauzwa
NAUZA GODOWN MAENEO YA KILWA ROAD
HOUSE FOR SALE IN KARIAKOO A 4 storey house for sale in kariakoo, 40 rooms, it has title deed, ideal for hotel , price $1.5 mil. #5.27675
NAUZA GODOWN HEKA MOJA NA NUSU Nauza Godown maeneo ya kilwa road Heka moja na nusu kwa USD 1 million #5.27166
5 STOREY HOUSE AT KARIAKOO ILALA FOR SALE House/
Nauza Godown maeneo ya Kilwa road Dar es Salaam kwa USD 3M #5.27167
OFFICE SPACES TO LET ALONG INDIA STREET, DAR The Office spaces on the 5th & 6th floors, total of
60sqmt and 110sqmt. Modern facilities: standby Power-Generator, Elevator, Cutting-edge Security Systems plus 24/7 security Guards. Located in India Street (City center). The rent required: For 60 sqmt = $992 + tax. For 110 = $1,818 + tax per month. Minimum contract 6 month. #5.26878
FULLY FURNISHED IN UPANGA WITH 3 BEDROOMS FOR RENT The new & classy apartments are
fully furnished in Upanga area very close to UN road. 3 spacious & neat en-suite bedrooms. Living room, kitchen & balcony, lift, ample parking space, standby power generator and 24 hrs security. The available swimming pool and gym services are not included in the rent. Rent is $1,600. #5.26203
NAUZA NYUMBA YA VYUMBA VITATU INAUZWA DAR Nauza
nyumba ipo Mburahati eneo la madoto Dar es salaam. Iko kwenye eneo la ukubwa wa mt 15 x mt 17, ina vyumba 3. Barabara inafika hadi kwenye nyumba, inauzwa shs 23,500,000/=. #5.25375
RENT AND BUY HOUSE IN MASAKI, UPANGA, KARIAKOO Rent and buy house in Masaki, Upanga,
Kariakoo, Msasani. #5.25373
NYUMBA YA GHOROFA IPO BWENI DAR INA VYUMBA 5. Nyumba ya ghorofa ipo Bweni Dar es
Flat is built for commercial use. It has 40 self contained rooms, 4 kitchens, Electricity, Water in a well. Business street at Kariakoo. Location: Narungombe. 2730 SQUARE FEET PRICE; 1,900,000/= USD #5.26548
SEVEN FLOOR APARTMENT FOR SALE The Building with seven floors for sale is In Kariakoo. JENGO yote yenye ghorofa saba liko Sokoni. Ni Bei ya kutupa kabisa Wahi sasa Tuwasiliane. #5.26417 3 BEDROOM APARTMENT IN KARIAKOO FOR RENT The 3
bedroom apartment has a master room, public Toilet, Kitchen, Tiled floors and an elevator Rent @ tshs. 800,000/month. terms six months only. #5.26408
3 BEDROOM FULLY FURNISHED APARTMENT TO LET AT KARIAKOO FIRE FOR $500 #5.25383 HOUSE TO LET IN KAWE BEACH NEAR KIWANGO SECURITY
House to let in Kawe beach near Kiwango security this house has two bedroom each room is master bedroom, sitting room & public toilet. Good garden, slide window and big parking space $800 pm. Price is negotiable. #5.28894
PLOT FOR SALE 4KM FROM KIGAMBONI MJI MWEMA Beautiful but cheap plots for sale, 4km from
salaam ukanda wa bahari, nyumba ina vyumba vitano, chini viwili na juu vitatu, Nyumba ina master bedroom 4. Inauzwa kwa US DOLLAR 100, Pia ina uzio. #5.24970
Kigamboni Mji mwema. Can be paid by instalment but within two months. #5.25367
4600 SQ METER PLOT FOR SALE IN BAHARI BEACH The Plot
2 BEDROOMS HOUSE FOR RENT IN KIJITONYAMA 2 BR, a living room, kitchen, a common washroom.
for sale is located in Bahari Beach by the roadside. The land is flat and in a prime area. It covers 4600 sq meters. Price: $ 395,000 #5.28986
Gypsum boards’ Ceilings, shiny tiled floor. Slide Aluminum type windows. In a community of three gated independent units. Short distance to SAYANSI Bus stop (Kijitonyama). Asking rent is TShs. 450,000 per month. Required Contract 1 year. #5.26877
ukubwa wake ni 32 kwa 25. Kinapatikana maeneo ya Kinzudi, Salasala kwa juu. Bei ni 15 Milion. Wasiliana nami kwa atakayekuwa tayari.#5.30029
3 BDR HOUSE AT KITUNDA DAR ES SALAAM FOR SALE
IPO Dar es salaam, kitunda mwanagati. 3 bedrooms, 1 master bedroom, Public toilet, Bafu, Jiko, Store, Sebule kama uwanja wa taifa, Dining, Ina leseni ya makazi, Bati za South Africa original. Inauzwa million 75 Tsh. #5.29950
10 BEDROOM HOUSES TO LET IN DAR ES SALAAM Houses with more than ten rooms suitable for office or residential to let in Upanga and Ally Hassan Mwinyi. Rent $10,000 #5.28173
BEACH PLOT 1,900SQM FOR SALE WITH 3 BRDS HOUSE Third plot from the beach 1,900sqm
for sale with a 3 bedroom bungalow house. It is a few meters from the main tarmac road near Mediteraniano hotel, price $380,000 #5.27475
FUMBA TOWN DEVELOPMENT MODERN LIVING IN ZANZIBAR
meet us at the 5th Tanzanian Homes Expo 30 - 31 May 2015 at Mlimani City Conference Center, Booth E2 for any questions contact +255 779 776 676
MATANGAZO YA TUPOMOJA
JE, UNAHITAJI?
NYUMBA/KIWANJA IT / DESIGN DAR ES /SALAAM TECHNOLOGY STUDIO APARTMENT TO LET IN KUNDUCHI DAR ES SALAAM A studio apartment
to let in Kunduchi. A good location near Kunduchi Beach hotel. $600 pm #5.28558
4 BEDROOMS HOUSE FOR SALE IN NEAR TARMAC ROAD DAR Beautiful, quiet & spacious home
with magnificent view, space, quality, location, amenities. Walking distance to Kunduchi beach hotel & bus stops. Total area 949 SQM. Main house with 4BR, toilet, 1 living room, 1 dining room, 1 kitchen, 1 store room, garage, parking lot, garden, poultry Hut. Dawasco water is available 24/7. Asking for TShs. 200 mil #5.26214
4 BEDROOMS APARTMENT FOR SALE AT MASAKI SEA CLIFF Apartment for sale at Masaki Sea cliff, ground floor, 4 bedrooms one being master, sitting & dinning room, kitchen, gym, swimming pool, secure area. $375,000. #5.26708
3 BEDROOM HOUSE TO LET IN MASAKI NEAR SLIPWAY Beautiful, quiet &
spacious home with magnificent view, space, quality, location, amenities. Walking distance to Kunduchi beach hotel & bus stops. Total area 949 SQM. Main house with 4BR, toilet, 1 living room, 1 dining room, 1 kitchen, 1 store room, garage, parking lot, garden, poultry Hut. Dawasco water is available 24/7. Asking for TShs. 200 mil #5.26214
6 BEDROOMS DOUBLE STOREY HOUSE FOR RENT MASAKI Masaki double storey house for rent
with six bedrooms and five toilets. Big rooms, sitting room and kitchen. Beautifull garden and swimming pool. Also has a big generetor and electricity fence$6,500 pm #5.28176
5 BEDROOM FULLY FURNISHED HOUSE FOR SALE IN MBEZI 5 bedroom fully furnished house for
sale in Mbezi beach, Dar es Salaam. It is in good location in Mbezi beach area with very good green garden, area 1,500 sqm, TShs. 12 mil. #5.28564
3 BDRMS ALL SELF CONTAINED FOR SALE AT MBEZI BEACH Beach house for sale at Mbezi beach,
fully A/C, 3 bedrooms all self contained, sitting & dinning room, kitchen, 3 bedrooms guest wing, swimming pool, secure area, wall fence, $ 800,000. #5.27387
VIWANJA 2 VINAUZWA BEI NI MILLION 500 DAR Viwanja 2 vinauzwa kimoja kina nyumba, vipo Dar
es Salaam eneo la Mbezi beach-Makonde, karibu na bahari barabara kuu ya Bagamoyo road. Bei ni million 500 vyote 2. #5.27354
3896 SQ METERS PLOT FOR SALE IN BOKO/ MBWENI The 3896 sq meters
of flat land is by the road side making it suitable for a petrol station, apartments or a supermarket. The plot is in Boko on your way to Mbweni by the tarmac road. Price is $290000 #5.28987
8 BEDROOMS HOUSE TO LET MIKOCHENI B ALONG GARDEN Big house to let Mikocheni B along
Garden road. The house has 8 bedrooms, but we want people to use for office only $3,000 pm. But price is negotiable #5.28892
Tuma SMS kupitia 0777 75 12 12 na namba iliopo chini, pia na jina lako na ujumbe ungependa umfikishe mtangazaji!
3 BEDROOM APARTMENT FOR RENT IN MIKOCHENI B Nice 3 bedroom apartment to let in Miko-
cheni B. Located in a nice and secure area with modern lounge, kitchen and ample parking. Rent Tshs. 850,000 #5.26268
3 BEDROOM APARTMENT TO LET IN MIKOCHENI A New 3 bedroom apartment to let in Mikocheni A.
Its new apartment with nice kitchen, nice lounge, its nice and secure close to Tarmac Road. Rent is TShs. 800,000 #5.26287
2 SHOPS OR OFFICE TO LET IN MIKOCHENI FOR RENT 2 Shops or office to let in Mikocheni along Old
Bagamoyo road (Mwai Kibaki rd) just behind Shoppers Plaza near Mayfair plaza, shop, office with a wash room, TShs. 600,000 pm or TShs. 400,000pm. For more details please call Mr shimba #5.26472
ONE BEDROOM TO LET IN MSASANI, DAR ES SALAAM One bedroom with sit-
ting room, fully furnished to rent in Msasani near Namanga on the way to Masaki. $700 pm #5.28904
2 BEDROOMS LOCATED IN MSASANI FOR RENT
2 bedrooms are of medium size, fully furnished and neat. There is a living room and kitchen area, 24 hrs security, a standby power generator, AC units and car parking shade. Located in Msasani ‘Kwa Mwalimu’ – very close to convenient stores. Note: The rent is fixed. #5.26196
3 BDRMS FOR RENT IN SINZA DAR 3BR self-con-
tained home, one en-suite, with a conjoined living-dining area, kitchen & common toilet, ample parking, high secure bricks wall. Ceiling of Gypsum boards and the floor of marble tiles. Location is quiet, just a walking distance to Mori bus stop. Rational dawasco water service. Rent per month is TShs. 650,000. Minimum contract 1 year. #5.26218
WAREHOUSE AND OFFICE FOR RENT AT SINZA (MEADA) 3 Warehouses and
offices both for rent. The warehouse is 120 SQM each 1,000 USD each per month. The 2 office rooms 400 USD each. #5.6959
SHOPS/FRAMES AVAILABLE ALONG SHEKILANGO RD IN SINZ Shops/Frames available along
Shekilango rd in Sinza, Dar es Salaam. Strategically positioned along the main Shekilango road. Area with promising market success for various types of businesses. The rent is between TShs. 450,000-700,000 per month depending on size, location & quality. Minimum contract 1 year. #5.25903
KIWANJA KINAUZWA TABATA KISUKURU Ki-
wanja kinauzwa kiko tabata kisukuru karibu na barabara, kina maji ya dawasco, kina ukubwa wa 40 kwa 20, bei milioni 50. #5.29317
NEW HOUSE FOR SALE WITH 4 BR IN TABATA, DAR ES SALAAM A new
house for sale with 4 bedrooms, sitting & dining room, kitchen, store and public toilet, located at Tabata Kisukulu kwa Swai, the house is fanced with paving blocks, enouph parking space, gypsum all rooms. The house is new with title deed tShs. 190 mil (negotiable). #5.26234
UNFINISHED HOUSE FOR SALE WITH 3 ROOMS
Unfinnished house for sale. Just 200m from TANROAD. It has 3 rooms 1 Master. New roof, 2 bathrooms, kitchen, dining & sitting rooms. Plot is enough for a fence & parking. #5.26234
NYUMBA YA KUPANGA TEMEKE INATAFUTWA
Naitwa Gerald John. Natafuta nyumba ya kupanga yenye vyumba vinne maeneo ya Temeke Dar es Salaam. #5.30121
3 BEDROOMS UNFURNISHED FOR RENT IN UPANGA The new & classy apartments are fully fur-
nished in Upanga area very close to UN road. 3 spacious & neat en-suite bedrooms, living room, kitchen & private balcony. The available swimming pool and gym services are not included in the rent. It is unfurnished one the rent is $1,400 per month-fixed #5.26204
3 ENSUITE BEDROOMS FOR RENT Three en-suite
bedrooms,one common toilet, living room, Store room and Kitchen. With a private garage for one Car. Located in Upanga near Ali hassan Mwinyi road, Very close to Red cross bus stop/Las Vegas Cassino and just a walking distance to Viva towers. The rent is $1,500 per month. #5.26191
ZANZIBAR IT / DESIGN / TECHNOLOGY NATAFUTA NYUMBA YAKUKODI MAENEO YA AMANI, KWEREKWE AU MCHINA MWANZO.
Natafuta Nyumba yakukodi nyumba nzima maeneo ya Amani kwerekwe au Mchina mwanzo nyumba iwe na fensi au kama ni nyumba ya Ghorofa nahitaji Flat moja bei maelewano #5.30006
LOOKING FOR BUNGALOWS IN ZNZ TO RENT FOR BUSINESS Looking for: - Simple bungalow - Near
the beach - Nice - Maybe 8-10 rooms to make business. - Possibly at Jambiani or Nungwi #5.25518
BEACH PLOT FOR SALE AT PWANI MCHANGANI, ZANZIBAR Beach plot for sale
at Pwani Mchangani, Zanzibar. The plot is in good location at Pwani Mchangani Zanzibar very good and ideal for hotel bulding in the white sand beach. Price $2.5 mil #5.28507
GUEST HOUSE AVAILABLE FOR RENT AT PWANI MCHANGANI Guest house
available for rent at Pwani Mchangani, Zanzibar. #5.28503
AMAZING CLIFF PLOT WITH COTTAGE FOR RENT ON THE FUMBA PENINSULA Few min south of Stone
Town with newly built cottage, staff quarter, sea view. Facts: open kitchen, store, en-suite bathroom, On demand fully furnished and air conditioned. Plot with 6,914.60 sq. m. fully documented 3 Baobab trees, ruin of an old house, Staff quarter with 3 en-suite rooms, laundry room water tower. Rental option available.#5.29961
3 HECTARS BEACH PLOT FOR SALE IN JAMBIANI ZANZIBAR The land is located
in the South- East of Zanzibar in the village of Jambiani. Around 3 hectares. It has a 60m beautiful beach front. Road access, power, water, full of trees. The land is between two small operating hotels and has clean title deed. Price:- USD 460,000/= #5.26538
MATANGAZO YA TUPOMOJA
JE, UNAHITAJI?
HABARI ZA TUPOMOJA 19
Tuma SMS kupitia 0777 75 12 12 na namba iliopo chini, pia na jina lako na ujumbe ungependa umfikishe mtangazaji!
GARI CANTER 3 TONS FOR CARGO AVAILABLE 27,000,000 TSH
Transmission: Manual, Drive train: 4WD, Fuel type: Diesel, Build year: 1999, Color: Silver, Condition & other details: Good #5.26744
1995 LAND ROVER DEFENDER FOR SALE IN DAR ES SALAAM 20,000,000 TSH Brand: Land Rover,
Engine Type: Diesel 3000CC, Color: White, # of doors: 5, Condition: 100%. TShs. 20 mil. #5.27449
2005 LAND ROVER DEFENDER 110 FOR SALE 17,000 US $ 2005
LAND ROVER DEFENDER 110 STATION WAGON DIESEL ENGINE MANUAL 4WD USD 17,000/= UP TO DAR ES SALAAM PORT #5.27380
TOYOTA VEROSSA WHITE 2003 FOR SALE 9,500,000 TSH Transmission: Automatic, Drive
train: 2WD, Fuel type: Petrol, Build year: 2003, Color: white, Condition & other details: Good #5.26817
sion: Automatic, Build year: 2004, Milage: 94 322, Fuel type: Petrol, Drive train: 2WD, Color: Silver #5.25775
TOYOTA CARINA TI SILVER COLOR 2001 8,500,000 TSH
TOYOTA PRIMMIO FOR SALE 6,000,000 TSH Transmission:
TOYOTA VITZ SILVER COLOR FOR SALE 5,500,000 TSH
RED 2005 TOYOTA PORTE 8,500,000 TSH Toyota Porte, Year
Transmission: Automatic, Build year: 2001, Fuel type: Petrol, Drive train: 2WD, Color: Silver #5.26802
Transmission: Automatic, Build year: 2001, Fuel type: Petrol, Drive train: 2WD, Color: Silver #5.26817
TOYOTA I.S.T SILVER AVAILABLE 7,500,000 TSH Transmis-
2006 RANGE ROVER FOR SALE IN DAR ES SALAAM 25,000 US $
sion: Automatic, Drive train: 2WD, Fuel type: Petrol, Build year: 2003, Color: Silver, Condition & other details: Good #5.26757
2002 NISSAN SKYLINE 10,000,000 TSH 2002 Black Nissan skyline for sale, 4
TOYOTA TOWN ACE WHITE COLOR FOR SALE 12,000,000 TSH Transmission: Manual, Build
#5.27242
door, mileage: 130,000 km, 2500 CC, mint condition. Price is negotiable #5.30484
NISSAN BUS CREAM & BLUE STRIP FOR SALE 32,000,000 TSH Transmis-
TOYOTA STARLET GLANZA FOR SALE 7,000,000 TSH Transmis-
year: 1991, Fuel type: Petrol, Drive train: 2WD, Color: White #5.26754
Automatic, Build year: 1996, Milage: 87 430, Fuel type: Petrol, Drive train: 2WD, Color: White. #5.25772
model: 2005, Low mileage. Price Tsh 8,500,000 /= #5.25768
TOYOTA BREVIS FOR SALE 10,000,000 TSH Transmission: Automatic, Build year: 2003, Milage: 77 114, Fuel type: Petrol, Drive train: 2WD, Color: Black #5.25752
2001 SILVER TOYOTA CARINA TI 9,800,000 TSH Toyota Carina TI, Year model: 2001, 5A Engine. Price Tsh 9,800,000 /= #5.25765
sion: Manual, Drive train: 4WD, Fuel type: Diesel, Build year: 1997, Color: Cream & Blue, Condition & other details: Good #5.26735
SUZUKI CARRY WHITE COLOR FOR SALE 6,000,000 TSH Trans-
mission: Automatic, Build year: 1996, Fuel type: Petrol, Drive train: 4WD, Color: White #5.26811
2009 SUZUKI GRAND VITARA FOR SALE 37,000,000 TSH 2009 Suzuki
Grand Vitara SZ5, 5 x speed Manual Transmission (stick shift). 2400 cc VVTi engine. Electronic Stability Program (ESP), on demand 4 wheel drive, leather interior, sunroof, 6 x CD changer, allow wheels, all service records available. 60k service by CFAO/DT Dobie Tanzania. Imported from the UK in Sepetember 2013. 1 x Owner. Metallic Black. In excellent condition.TShs. 37 million #5.27292
SUZUKI ESCUDO SILVER COLOR 2004 16,000,000 TSH Transmis-
sion: Automatic, Drive train: 4WD, Fuel type: Petrol, Build year: 2004, Color: Silver, Condition & other details: Good #5.25751
2008 SILVER TOYOTA PASSO 5 DOORS 8,500,000 TSH 2008
TOYOTA PASSO, Color: SILVER, Engine Capacity: 990cc, Engine Model: 1KR-FE, Mileage: 72,500km, Seats: 5, Doors: 5, OPTIONS: A/C | PS | PM | PW | AIRBAGS | ABS | FM RADIO | DVD PLAYER | TV | KEYLESS ENTRY | PRICE: 8,500,000 TSHS #5.25691
2001 TOYOTA VEROSSA FOR SALE IN DAR ES SALAAM 12,000,000 TSH 2001 toyota verossa model ta-
gx-110 in very good condition TShs 12 million #5.27417
Opening Dec 2015 is announcing the following vacancies:
EXPERIENCED GENERAL MANAGER as well as: RECEPTIONIST | CHEF | ASSISTANT CHEF WAITER | BARMAN | HOUSEKEEPER *Jambiani Zanzibar
*English & Swahili required
Please send your CV with photo to info@mwezizanzibar.com
MATANGAZO YA TUPOMOJA
JE, UNAHITAJI?
KAZI
Tuma SMS kupitia 0777 75 12 12 na namba iliopo chini, pia na jina lako na ujumbe ungependa umfikishe mtangazaji!
ACCOUNTING
HOUSEKEEPING / DOMESTIC
BASIC IN MATHEMATICS LOOKING FOR A JOB
TANZANIAN LADY LOOKING FOR A JOB AS A BABYSITTER My name is Mercy (32), I live in Msasani
Gregory from Dar es Salaam. Education: Bachelor of Science in Mathematics. I’m working at Swissport Tanzania Place Dar-es-salaam. #5.29748
EXPERIENCED ACCOUNTANT LOOKING FOR JOB Naitwa Anna, nina umri wa miaka 24. Ninaishi Dar
es Salaam. Natafuta kazi ya Accountant au Hotel. Elimu: Account certificate, Hotel Certificate. Uzoefu: Miezi nane Bahari Beach Muhudumu, sales, front office na accountant. #5.29220
I AM SEEKING ACCOUNTANT WORK Bernad, Aru-
sha. Education: Diploma in Accountancy. Special skills: Strong conceptual clarity in oral communication and writing skills in both English and Swahili. COMPUTER SKILLS: MS Word, Excel, PowerPoint. MANAGER SKILLS: Leadership and organizational skills, interpersonal skills, team work, and counseling skills. #5.28348
I AM LOOKING FOR A JOB AS AN ACCOUNTANT/ BUSINESSMAN My name is Kweka, I live in Temeke
Dar es salaam. I am a graduate with a degree in Accounting and Finance. I have one year working experience in an International Company. I have best knowledge in SAP, MS Office (Excel, PowerPoint and Word) and average knowledge in Tally. I am prominently a hardworking person, proactive, pragmatic and results oriented. I can work under little supervision. Available to work immediately. #5.24187
MHASIBU ANATAFUTA KAZI Kwa jina naitwa Esther umri wangu ni miaka 23. Naishi Dar es Salaam. Nina diploma ya uhasibu. Uzoefu ni miaka 2.. #5.30304 ADMINISTRATION / RECEPTIONISTS ADMIN, ACCOUNTS, HRM, MANAGEMENT LOOKING FOR JOB. I am a Tanzanian aged 38, di-
ploma holder in Project Management, Customer Service, English Grammar, Operations Management, Business Legal Studies, Business Management and Leadership. I am seeking a senior position. I have 19 years working experience in different industries holding senior positions in finance, accounts and management. #5.20716
MAN LOOKING FOR JOB FINANCE/ADMINISTRATION MANAGER I have worked in the field of
Finance, Accounts Human Resource Management and Administration for nineteen years acquiring enough experience in Finance, Accounting, Administration, Human Resource, Procurement and logistics and Management skills. #5.24208
QUALIFIED BUSINESS ADMINISTRATOR My
name is Lidas, aged 53. I live in Mbezi Dar es Salaam. Looking for a job in Business administration. Education: Masters in Business Administration, Diploma in Logistic. Work experience: TTCL, Unicef.. #5.29686
I HAVE A DIPLOMA IN BUSINESS ADMINISTRATION Scholar Education: Kilimanjaro Institute of Tech-
nology and Management, certificate of Hotel Management, Diploma in Businesses Administration. Language: Conversation & written Swahili and English. Strengths: Quality Customer Service, Customer advisor, Fast Learner, Team Worker. I can work under minimum supervision. #5.25017
REHEMA IN SEARCH OF FRONT OFFICE OR RECEPTION Rehema, Age 27, Education: Certificate
in Front Office. Language: English & Swahili. Experience: Sales and Marketing, Front Office, Cashier, Telephone Operator, Guest Relations. HOTEL COMPUTER PACKAGE - Brilliant PM pro - Fidelio. #5.29125
Dar es salaam. I am looking for a job as a Babysitter/ House girl/Cleaner/Ironing etc. 3 years experience. Fluent in Swahili & English. Experience: I have been working for more than three years for a family from Denmark. I am very reliable, hard working and work very independently. I am interested in full or part time job in Dar es Salaam. #5.24466
I AM LOOKING FOR A JOB AS DOMESTIC HELPER My name is Joyce, I am a well experienced hardwork-
ing lady looking for a job as a housekeeper, babysitter, cleaner, laundry work. I am punctual, attentive to detail, honest and have good references. #5.24445
I’M LOOKING FOR A JOB AS A GARDENER OR WATCHMAN Samson (32) kutoka Mbweni Zanzi-
bar. Uzoefu wa kazi: 2007-2010 Bustani, 2014 Mlinzi. #5.29175
NATAFUTA KAZI YA USAFI AU YOYOTE Khairati
(23). Elimu yangu ni kidato cha tatu, pia nimesomea kozi ya English. Natafuta kazi ya usafi. Uzoefu wa kazi ya housekeeper kwa miezi 6. #5.13363
NINA UWEZO MKUBWA WA KUNG’ARISHA NYUMBA AU CHUMBA Naitwa Prisca John. Nina
umri wa miaka 22. Naishi Dar es Salaam. Natafuta kazi ya usafi mahotelini, ninauwezo wa kusafisha ndani na nje ya chumba au nyumba, kuweka vitu kwenye mpangilio mzuri. #5.30296
CHACHA FROM KAHAMA, I’M LOOKING FOR A JOB AS A HOUSEKEEPING SUPERVISOR I have a gained vast ex-
perience and am looking for a job as a Housekeeping Supervisor in an administration or NGO. Fluent in English. Experience: as Housekeeping Supervisor/Administrator. #5.29837
KIJANA SHUPAVU ANATAFUTA KAZI YA ULINZI
Naitwa Yustol umri miaka 22. Naishi Iringa Tanzania. Natafuta kazi ya ulinzi nilipitia jeshi kwa miaka 6. Niko tayari kufanya kazi sehemu yeyote. #5.30305
HOSPITALITY JOB OFFER: 2 WAITRESSES NEEDED FOR HOTEL IN CHUKWANI ZANZIBAR For our hotel in
Chukwani, Zanzibar we are looking for 2 waitresses to start as soon as possible. Have experience, Speak English, Friendly and with a professional appearance, Be able to concentrate on the job and hard-working, Be familiar with hygienic requirements. #5.29714
EXPERIENCED LADY IS LOOKING FOR A JOB IN A KITCHEN Neema, Age 39, Fuoni Zanzibar. Educa-
tion: Certificate how to make a mushroom, Certificate of computer skills, Certificate of English course, Secondary education certificate. EXPERIENCE: Chef (The Residence Hotel in Zanzibar), Housekeeper (Double Tree Zanzibar), Housekeeper (Breezes Beach Club Zanzibar). LANGUAGES: Swahili, English. #5.27735
JOB OFFER: HOTEL IN ZNZ NEEDS NIGHT AUDITOR/ RECEPTIONIST OR TRAINEE. Please send
your CV via email to us!#5.32,502
LOOKING FOR HOTEL JOB: WAITRESS OR HOUSEKEEPER Education: Certificate of Hotel Man-
agement based on housekeeping and waitressing. Experience: Trainee at Sea Cliff Zanzibar as waitress, Palumbo Hotel Zanzibar as Housekeeper.. #5.24115
NATAFUTA KAZI YA KUHUDUMIA WATEJA HOTELINI Naitwa Mathias. Naishi Dar es salaam. Nina
umri wa miaka 25. Uzoefu: City garden - Muhudumu kwa muda wa mwaka mmoja. Ako Catering LTD - Muhudumu kwa muda wa mwaka mmoja. Store keeper - Cashier kwa muda wa mwaka. Natafuta kazi ya kuhudumia wateja (waiter) katika hotel. #5.28581
JOB OFFER: BASIC MASSAGE THERAPIST Boutique hotel requires a massage therapist with basic knowledge, good work habits and some knowledge of English. #5.31681 JOB SEEKER: WAITRESS, FOOD & BEVERAGE OR HOUSEKEEPING POSITION My name is Ma-
greth Felician Masolwa. I am 34 years old living in Kiembe Samaki. Experience: Food & Beverage: 3 years. Waitress: 4 years. Housekeeping: 2 years. Languages: Swahili and English. Education: Certificate in Hotel Management. #5.29787
JOB OFFER: MISOSI BOMBA CAFE INATAFUTA MPISHI Misosi Bomba Cafe iliyopo Mwananya-
mala Dar es Salaam inatafuta mpishi wakupika vyakula vifuatavyo, Chipsi Kuku, Chips, Kukaanga kuku na kupika sambusa. #5.31191
ABDUL IS LOOKING FOR A JOB AS CHEF IN ZANZIBAR Name: Abdul, Age: 46. Live at: Amani Zanzibar.
EDUCATION: Form 3. EXPERIENCE: Bwawani Hotel for 6 years, Bluzz Restaurant (Frontea) for 3 years, Suneshine Hotel in Matemwe for 4 years, Maruhubi Beach villa for 3 years, Chwaka Bay for 6 months. LANGUAGES: Swahili, English. #5.24107
JOB OFFER: We have a vacancy in the following field for our 5* well established hotel resort in Zanzibar: Guests Relations. Must be fluent in Italian and English. Minimum 3 years Experience in similar positions. Please send your CV via email to us! #5.29714 I’M LOOKING FOR A TRAINEE POSITION IN HOSPITALITY My name is Khamis, I am 25 years old.
I live at Magomeni, Zanzibar Educational Background: I have a Diploma in Hotel Management Course. I am looking for a trainee position from a Restaurant or Hotel. #5.27830
JOB OFFER: BEACH LODGE SEEKING A SOUSCHEF A remote beach lodge in Pangani is seeking an
experienced sous-chef, well-rounded, able to assist in all aspects of kitchen management and food preparation, team-worker, be prepared to work with all hotel staff during quiet periods in hotel maintenance and ongoing assistance in kitchen garden. Should possess creative skills in cooking and should be prepared to contribute towards menu planning and recipe creation. Candidates should send their CVs with contact information and references via email only. #5.26625
MATANGAZO YA TUPOMOJA
JE, UNAHITAJI?
HABARI ZA TUPOMOJA 21
Tuma SMS kupitia 0777 75 12 12 na namba iliopo chini, pia na jina lako na ujumbe ungependa umfikishe mtangazaji!
KAZI JOB OFFER: BARTENDER/WAITER A remote
beach lodge near Pangani is seeking experienced bartenders. Candidate should have: Excellent communication skills, Good initiative and problem solving skills, Training and experience in service and mixing drinks is a requirement, English. Candidate should be a team player. Should be prepared to work with all hotel staff during quiet periods in hotel maintenance. Candidates should send their CVs with contact information and references via email. #5.26623
SALES & MARKETING SEEKING A JOB IN SALES AND MARKETING Ed-
ucation: Bachelors of Commerce in sales, marketing and advertising. Experience: Sales Executive (Afrikings Tanzania Limited) Vodacom Zanzibar, General Manager and Brand Supervisor (Vodacom Zanzibar), Guest Relations Manager (Zama Tours And Safaris), General Manager Royal Beach Residence/Villas. #5.29749
AFISA MASOKO NA MATANGAZO ANATAFUTA KAZI Naitwa Tumaini. Nina umri wa miaka 28. Naishi
Mabibo Dar es Salaam. Natafuta kazi ya Marketing Manager, Accountant Assistant, Sales Manager or Administrative Officer. Elimu: Degree ya kwanza ya Usimamizi wa Biashara. Uzoefu: Mwaka 1 kama Customer Care na Cashier mwaka mmoja. Lugha: Kiswahili na Kiingereza.#5.27358
JIPATIE KAZI YA NETWORK MARKETING SYSTEM Natafuta wafanyakazi wakufanya kazi kwenye
mtandao wa network marketing system. Pata kazi yenye mshahara hadi kufikia 50,000 kwa siku. Fanya kazi popote ukiwa nchini na kwa muda wowote upendao wewe (part time/full time), hata ukiwa nyumbani umepumzika, fanya kazi online. Malipo ni kwa siku na hakuna masharti wala vigezo .#5.25253
I'M LOOKING FOR A JOB IN ADMINISTRATION OR RECORDS. I have a diploma,
did my field training and a computer course. #5.32649
NAOMBA KAZI YA MASOKO NDANI YA KAMPUNI Naitwa Fadhili.
Naishi Iringa. Nina umri wa miaka 21. Elimu yangu ni kidato cha nne. Nilikuwa naomba kazi ya masoko katika kampuni. Ninauzoefu wa miaka miwili katika kampuni ya Airtel. #5.25833
VERY EXPERIENCED & EDUCATED WOMAN SEEKING A JOB IN SALES. I am reliable,
hardworking and caring lady who doesn't shy away from a challenge. #5.32654
JOB OFFER: PART TIME MARKETERS WANAHITAJIKA We Share Success Inc. ni kampuni ya kima-
taifa yenye makao yake makuu Las Vegas, Marekani. Tuna fursa kwa Marketers kutangaza bidhaa na huduma zetu kwa kuwafahamisha ndugu, jamaa na marafiki. #5.31274
SALES AND MARKETING WOMAN IS LOOKING FOR A JOB Name: Mwanaidi, Age: 25 Live in: Matar-
umbeta Zanzibar. Education: Certificate of Business Adminstration based on Markerting, Certificate of Information Technology Computer course, A level Certificate, O level Certificate. EXPERIENCES: TPC Company Moshi for six month, ACO Catering services Company as sales and marketing for six month. Languages: Swahili, English. #5.23856
PROFESSIONAL SALES AND MARKETING IS AVAILABLE My name is
Amsi. Education: Bachelors Degree in Sociology (Health and Population Studies), Certificate in mastering MS Word, Excel and Power Point. Experience: as Adviser on HIV/AIDS (Member of reproductive health unit), MIT (Market Impact Team), Sales & Marketing Personnel, Customer Care Agent/ Sales and Marketing, Retail Associate/Consumer Trade and Marketing Department. Fluent in English. #5.29735
JOB OFFER: ZANZIBAR PARASAILING LOOKING FOR SALES OFFICER Position As: Seller. Require-
ments: Certificate/ Diploma in Sales, Hard working and presentable, Speaking and Writing English. Send CV via E-mail. #5.30656
TEACHING (MWALIMU) NATAFUTA KAZI YA UALIMU, NINA CERTIFICATE Naitwa Jacob, nina umri wa miaka 64. Naishi
Mbezi Dar es Salaam. Natafuta kazi ya Ualimu. Elimu: Certificate ya Ualimu. Uzoefu: KAWE B miaka 11, Lugalo miaka 14, Hananfisi miaka mitatu, Mwenge miaka mitatu, Namkuwe miaka mitano. Lugha: Kiswahili na Kiingereza. #5.27152
JOB OFFER: GRADE 3A FEMALE TEACHER REQUIRED Peter Vigne Pre Primary School and Day Care
Centre is looking for a Grade 3A female teacher. All interested candidates can contact me. #5.26937
NATAFUTA KAZI YA KUFUNDISHA KOZI FUPI
Natafuta kazi ya kufundisha computer, Kiiingereza na utalii/hotel pia nafanya ufundi wa computer na graphic design. Napendelea kufanya kazi maeneo ya Dar es Salaam na Zanzibar tu, mshahara uanzie na 350,000/=. Mwajiri aliye serious tuwasiliane. #5.25813
JOB OFFER: VACANCY ZNZ: WALIMU WA SHULE YA MSINGI, SAYANSI & HESABU Awe
amesomea ualimu, Awe ni mwanaume, Awe na uzoefu wa kufundisha kwa muda wa miaka miwili, Awe na uwezo wa kufundisha masomo ya sayansi na hesabu. #5.31221
DRIVER JUMA MWENYE UZOEFU WA MIAKA 5, ANATAFUTA KAZI YA UDEREVA Jina langu naitwa Juma
Ramadhani. Nina umri wa miaka 32. Naishi Dar es Salaam. Natafuta kazi ya udereva. Ninao uzoefu wa miaka mitano kwa mtu binafsi. #5.29753
NATAFUTA KAZI YA UDEREVA, UZOEFU WA MIAKA 7 Naitwa Selemani Juma. Nina umri wa miaka
32. Naishi Same Kilimanjaro. Natafuta kazi ya udereva nina leseni ya Class C. Elimu: Cheti cha udereva Veta Tanga Kidato cha nne. Uzoefu: Miaka saba ya kuendesha gari.#5.29548
DEREVA HODARI NA MAKINI ANAPATIKANA
Naitwa Mussa. Nina umri wa miaka 23, naishi Dar es Saalam, natafuta kazi ya udereva. Nina leseni Class A, D, B na E. Elimu: Cheti cha Udereva Veta Dar es Salaam Kidato cha pili. Uzoefu: Mwaka mmoja Kariakoo kama dereva wa kusambaza bidhaa. #5.29487
NATAFUTA KAZI YA UDEREVA NINA LESENI CLASS A,B,C D Naitwa Jabey. Nina umri wa miaka 25.
Naishi Dar es Salaam. Natafuta kazi ya udereva nina leseni Class A, B, C na D. ELIMU: Veta cheti cha udereva Kidato cha nne. Uzoefu: Bandarini, gari la mtu binafsi. Lugha: Kiswahili. #5.27627
DEREVA MWENYE UZOEFU WA KAZI ANATAFUTA KUAJIRIWA. Naitwa Lazaro, naishi Mabibo
Dar es Salaam Tanzania. Elimu yangu ni kidato cha nne. Natafuta kazi ya udereva. Nina uzoefu wa kazi niliupatia kampuni zifuatazo: Kilimanjaro Truck kwa muda wa Miaka 2, Coca Cola Kwanza LTD kwa muda wa Miaka 3, Proches Ngowi kwa muda wa miaka 3, Basic Element kwa muda wa miaka 2. #5.23269
DEREVA MWENYE UZOEFU WA KAZI ANATAFUTA KUAJIRIWA. Naitwa Lazaro, naishi Mabibo
Dar es Salaam Tanzania. Elimu yangu ni kidato cha nne. Natafuta kazi ya udereva. Nina uzoefu wa kazi niliupatia kampuni zifuatazo: Kilimanjaro Truck kwa muda wa Miaka 2, Coca Cola Kwanza LTD kwa muda wa Miaka 3, Proches Ngowi kwa muda wa miaka 3, Basic Element kwa muda wa miaka 2. #5.23269
3YRS EXPERIENCE IN DRIVING - LOOKING FOR A JOB I’m James, with the age of 24 yrs. I am looking
for a job as a Driver. I have Driving Licence Class A, B, C1 C2, C3, D and E. I have full experience of 3 years. I live in Moshi. #5.29126
MATANGAZO YA TUPOMOJA
JE, UNAHITAJI?
KAZI IT / DESIGN / TECHNOLOGY HAND MADE GRAPHIC DESIGN, LOOKING FOR A JOB I am looking for a jobs as Graphic Design. I have
experience in graphic design for 2 years and I have a diploma in marketing & IT. I am currently living in Zanzibar. #5.19198
RAJABU KUTOKA TANGA, NATAFUTA KAZI YA IT Naitwa Rajabu kutoka Tanga, nina umri wa miaka
26, elimu yangu ni Degree ya IT. Ninauzoefu wa kazi kwa muda wa mwaka mmoja kutoka taasisi ya Tree Of Hope iliyoko Tanga Tanzania. Pia ninapokea kazi binafsi za kutengeneza desktop computer na laptop. #5.29627
I AM LOOKING FOR JOB AS NETWORKING ENGINEER I am Peter, with degree in computer science,
and economic, Cisco certifications, I am looking for job as networking engineer, in networking or any computer science related work. I am willing to work in Dar es Salaam or Arusha. I have worked in Canada, Kenya and Tanzania. #5.23439
LOOKING FOR JOB IN IT, I HAVE 1ST DEGREE
Naitwa Ally. Age 30, Dar es Salaam. Looking for a job in IT. I have got my 1st degree. Elimu: UTL College India. 1st Degree in IT. Experience: Linfort Dar es Salaam (20032006), MFI (1 year), TTCL (2007- 2015). Language: Kiswahili & Kiingereza. #5.25141
I.T. MANAGER OR SENIOR ANALYST LOOKING FOR A JOB I am an Information Technology(IT) Expert
Tuma SMS kupitia 0777 75 12 12 na namba iliopo chini, pia na jina lako na ujumbe ungependa umfikishe mtangazaji!
NINAUZOEFU MKUBWA WA KUTUNZA STOO
Naitwa Ally, nina umri wa miaka 23. Naishi Vingunguti Dar es salaam. Elimu yangu ni kidato cha nne. Pia nimesomea udereva Chuo cha VETA. Nina uzoefu wa kazi kwa muda wa miaka miwili na miezi mitatu, nimefanya kazi kampuni ya Muza kwa miezi mitatu na CIA Nursery and primary school kama storekeeper. #5.20344
NATAFUTA KAZI YA STOREKEEPER Naitwa Mwanakhamis. Nina umri wa miaka 25. Naishi Kidongo Chekundu Zanzibar. Natafuta kazi ya Storekeeper. Elimu: Cheti cha Human Resource and Management, Kidato cha nne Uzoefu: Nina uzoefu wa field work. Lugha: Kiswahili na Kiingereza. #5.25246 MEDICAL SERVICES & HEALTH I’M LOOKING FOR A JOB IN MEDICAL OFFICER DEPARTMENT My name is Judith, age 25 years. I
live in Tegeta Dar es Salaam. I’m looking for a job as a medical officer. Education: Degree in Medical Officer. Experience: Committers in Dar es Salaam for 2 month. Language: Swahili and English. #5.27434
JOB OFFER: NAFASI ZA MASOMO CLINICAL OFFICER AU ASSISTANT Chuo cha Afya Gisan Health
Institute Mwanza Inatangaza nafasi za Masomo ya Utabibu CA na C 2015/2016. Mwisho ni 30/6/2015. Tembelea tovuti yetu au wasiliana na sisi kupata maelezo zaidi.#5.30833
JOB OFFER: VACANCY: CLINICAL OFFICER AND CLINICAL ASSISTANT GISAN HEALTH (T) LTD is look-
looking for a job anywhere within Zanzibar. I live in Chukwani Zanzibar and I have many years I.T. experience in varying industries (e.g. Banking, Hospitality I.T. Service provision etc.). Please contact me for further information. #5.21225
ing for 1 Clinical Officer and 1 Clinical Assistant. Contact for interested people only. #5.30833
PROFESSION IN INFORMATION TECHNOLOGY IS AVAILABLE My name is Adila. I’m 26 Live
Gisan Health Training Institute located in Mwanza. #5.30663
at: Zanzibar Amani. Education: Certificate of Information technology (ICT), Diploma certificate of Information Technology (ICT), A level certificate. Experience: Traning from Zantel for 3 month. Language Kiswahili & English. #5.21697
FUNDI FUNDI MWENYE UZOEFU NA HODARI ANAPATIKANA Naitwa Joseph, nina umri wa miaka 37. Naishi
Tandika Dar es Salaam. Natafuta kazi ya welding and Fabrication nina uzoefu wa miaka 15. Elimu: MBS company Welding and Fabrication Kidato cha nne. Uzoefu: Miaka kumi na tano kuunda bodi, tank za mafuta na trailer. Lugha: Kiswahili. #5. 23749
KWA HUDUMA YA FUNDI UMEME, TUWASILIANE Naitwa Yussuf. Nina umri wa miaka 22. Naishi
Iringa Tanzania. Natafuta kazi ya fundi umeme. Elimu: Ifunda Technic Kidato cha nne. Uzoefu: Tanesco mwaka mmoja, Kiwanda na cha chai mwaka mmoja, Tanwat mwaka mmoja. Lugha: Kiswahili.. #5.28473
STOREKEEPING UNAHITAJI MTU WA KUUZA KWENYE DUKA LAKO? Naitwa Fred Ahmed. Nina umri wa miaka 21.
Naishi Dar es Salaam. Natafuta kazi ya kuuza duka au kazi za ndani kwa mtu binafsi. Mimi ni kijana mchapakazi pia napenda kujituma sana. #5.30303
NATAKA KAZI YA STORE KEEPER NINA DIPLOMA Naitwa Tunda, 46. Naishi Dar es Salaam. Nahitaji
kazi ya Store Keeper nina Diploma. Elimu: IFM Diploma ya Store keeper. Form Six. Uzoefu: Oryx Company six years, Mwadui Diamonds LTD five years. Lugha: Kiswahili na Kiingereza. #5.25136
JOB OFFER: NAFASI YA KAZI: MTU WA HOUSEKEEPING Tunahitaji mtu mmoja wa housekeeping.
JOB OFFER: VACANCY: SALES & MARKETING, HEALTH TRAINING SECTOR Gisan Health Training
Institute is looking for a Sales and Marketing Person. Tunahitaji mtu mmoja wa sales & marketing. Institute located in Mwanza. #5.30662
JOB OFFER: DOCTORS MO/ AMO Gisan Health
Training Institute is looking for MO/ AMO for their institute located in Mwanza. #5.30565
FARMING AFISA KILIMO NA MIFUGO ANATAFUTA KAZI
Naitwa Kitereja, nina umri wa miaka 26. Naishi Musoma Tanzania. Elimu: Cheti cha Kilimo na mifugo kutoka Ikiguru, Cheti cha mafunzo ya madawa ya mimea na mifugo. Uzoefu: Kampuni ya kusambaza madawa Bajuka kwa muda wa mwaka mmoja. Kampuni ya Musca kwa muda wa miezi 6. Lugha: Kiswahili & Kiingereza #5.22625
UNAHITAJI USHAURI KUHUSU MIFUGO YAKO? WASILIANA NAMI Naitwa Michael Alex. Nina umri wa
miaka 22. Naishi Dar es Salaam. Natafuta kazi ya ushauri wa wanyama kama mbuzi, ngombe na kadhalika. Nina uzoefu wa muda mrefu sana na kazi hii. #5.20723
JOB OFFER: KARIBU KWETU ADVENTURES INATOA NAFASI YA KAZI YA KILIMO Uzoefu: Awe na
uzoefu na kazi ya kilimo japo kwa mwaka mmoja, awe mchapakazi, awe tayari kupata elimu ya miradi kama kufuga uyoga, nyuki, kuku na mbuzi. Tunahitaji: Barua tatu za wadhamini, Historia ya kazi, Barua ya sheha wa mtaa wake. #5.31603
VARIOUS I‘M LOOKING FOR AN INTERNSHIP OR ENTRY LEVEL JOB IN A COMPANY OR ORGANIZATION.
I have a Diploma in Clearing, Forwarding and Shipping Management. My core subjects being Clearing & Forwarding Practices, Office Practices, Customs Declarations, Warehouse Management and Research. #5.30294
JOB OFFER: BUSINESS OPPORTUNITY IN JAMBIANI I am looking for a partner in opening a
bar, restaurant and accommodation venture situated on the landward side on the main Jambiani – Makunduchi road, between Jambiani and the Reef Beach Resort. The beach is approximately 170 metres away.#5.31527
NATAFUTA KAZI YA KITENGO CHA UHASIBU
Naitwa Shakila. Nina umri wa miaka 37. Naishi Morogoro Tanzania. Natafuta kazi ya uhasibu. Nina advance Diploma. Elimu: TIA advance diploma in accounts, Kidato cha sita. Uzoefu: Miaka kumi na mbili wizara ya mambo ndani. #5.27444
MCHAPAKAZI, MCHESI NA NADHIFU Naitwa Godfrey, nina umri wa miaka 26, naishi Tegeta Dar es salaam. Natafuta kazi ya upiga debe kwenye daladala. Elimu: Kidato cha nne. Uzoefu: Upiga debe kwenye daladal kwa muda mrefu, Ulinzi. Lugha: Kiswahili. #5.19448 EDUCATED MAN LOOKING FOR A JOB IN ANY MANAGEMENT Name: John Age: 36 Live in: Arusha.
EDUCATION: Tourism Management, ICT, Electronic - Civil engineering - DSTV, Tour operator, A level certificate, O level certificate. LANGUAGE: Swahili - English - Spanish - French - German etc. #5.24644
NIKO TAYARI KUFANYA KAZI Jina langu ni Grace, umri wangu ni miaka 23, ninaishi Dar es salaam. Nimehitimu masomo yangu ngazi ya cheti kozi ya kutunza record (record management). Muda wa uzoefu ni mwaka 1. #5.30308 UANDISHI WA HABARI NDIO NDOTO YANGU
Naitwa Salehe (27). Naishi Dar es Salaam. Natafuta kazi ya uandishi wa habari. Elimu: DSJ Diploma ya Uandishi wa Habari. Uzoefu: Mtu Kwao Community Media miaka mitatu. Naweza kufanya kazi kama PRO, video production and graphics, kutengeneza vipeperushi vya aina mbalimbali. #5.27604
NEEMA MALYWANGA, SECRETARIAL I am looking for a job as a secretary in any company or office. I am Neema (24). Form six, started bachelor of computer science. I am good at learning quickly. Experience: Field practise in my first year in NSSF and SWISSPORT LIMITED COMPANY IN AIRPORT. #5.26582 I HAVE DIPLOMA IN PROCUREMENT SUPPLY.
Naitwa Miriam, nina umri wa miaka 26. Naishi Ubungo Dar es Salaam. Looking for a job in Procurement and Supply. Education: Diploma in Procurement & Supply CBE College Dar es Salaam. Experience: 15 years at Vodacom Dar es Salaam. #5.25703
KIJANA MCHAPAKAZI, MCHESHI NA MKARIMU
Naitwa Jonex, nina umri wa miaka 22, ninaishi Moshi Kilimanjaro. Natafuta kazi ya kuwa wakala au mhudumu kwa wateja. Elimu yangu ni kidato cha nne, ninauzoefu wa mwaka mmoja kutoka kampuni ya Smart. Ni mchapakazi, mcheshi na mkarimu.. #5.28476
MATANGAZO YA TUPOMOJA
JE, UNAHITAJI?
KAZI I’M A FULL PACKAGE PRESENTER My name is Debora, I am a Tanzanian lady holding a Bachelors Degree in Mass Communication and I am looking for a job. Experience: 2 years at Wapo Radio, Praise Power Radio and Radio Habari Maalumu and some experience at the national radio in Uganda and TV. #5.29133 FATMA (26) LOOKING FOR A POSITION IN THE FIELD OF HR Education: Diploma certificate of Human
Resource Management, Certificate of Human Resource Management, Certificate of Secondary Education from Wete Education Centre, Certificate of Primary Education. #5.13478
REQUEST FOR A JOB: RECORDS MANAGEMENT/REGISTRY Name: Prisca, 21 years old, holding
diploma in Records Management. Experience: Nachingwea district coart one month as a records management assistant (registry), NSSF-Mtwara one month as a recods management assistant (administration), Nachingwea district court one month as a surveyor (registry). Education: Ordinary diploma in records management, Basic technician certificate in records management, Certificate of microcomputer applications. #5.23726
JOB OFFER: TOURISM TRAINEES FOR COMPANIES JUL-SEP 2015 Time: July 2015. Target
group: Students who have completed one and two years theoretical training in our institute. Following departments: DHTM (Diploma in Hospitality and Tourism management), DICT/Acc (Diploma in Information and Communication Technology and Accounting), CIT/Acc (Certificate in Information and Communication Technology and Accounting), Food and Beverage Service, Food Production, Front Office, Housekeeping. #5.31716
KAMPUNI CLASSES ON FINE ART: Individual courses in Glass Painting, Fine Art, Sand Painting, Shadings & Sketch Drawings, Plate Paintings, Creative Art and Abstract Art - Separate or complete packages available. #5.33160 COUNSELING OFFER BY JAYKESH RATHOD, known
from the Sunday Citizen column "Dear Uncle Jaykesh". Contact for further information and appointments. #5.33161
I AM A REIKI HEALER AND A COUNSELOR BASED IN DAR ES SALAAM. Reiki is a
Japanese technique for stress reduction and relaxation which promotes healing, too. Welcome to contact me for appointments. #5.26988
THINKING OF A TATTOO? THIS IS YOUR PLACE. We
offer professional tattoo service, tattoo design, professional advice. We can help you with choosing the design, the size and colour and can also suggest the right size of the design that would be suitable and elegant. #5.6738
WAKALA WA TUPOMOJA
WANAPATIKANA SASA DAR ES SALAAM KATIKA UCHUMI SUPERMARKET! WAHI SASA UPATE TANGAZO LAKO! Ï Ï Ï Ï Ï
Uchumi Quality Centre Uchumi Segerea Uchumi Shekilango Uchumi Makumbusho Uchumi Mbezi Beach
HABARI ZA TUPOMOJA 23
Tuma SMS kupitia 0777 75 12 12 na namba iliopo chini, pia na jina lako na ujumbe ungependa umfikishe mtangazaji!
MATANGAZO YA TUPOMOJA
JE, UNAHITAJI?
RAFIKI/MAPENZI DAR ES SALAAM JE, UNAPENDA MASOMO YA BIASHARA? KARIBU TUCHATI Naitwa Brown Juma. Naishi Dar es Sa-
laam na ninatafuta rafiki anayejua masomo ya kibiashara na mwenye kupenda masomo. #5.29330
MSICHANA MWENYE MAADILI MEMA NDIO CHAGUO LANGU Naitwa Muhammed Ramadhani.
Nina umri wa miaka 35. Naishi Mbezi Dar es Salaam. Natafuta rafiki wakike ambaye ni mpole, mkarimu, mcheshi, mwenye upendo, asiwe kiburi asiwe anavaa nguo fupi na mwenye upendo. Mimi ni mwanaume mpole na napenda dini sana. #5.29290
MIMI NI KIJANA MCHAPA KAZI, NATAFUTA RAFIKI WA KIKE MSOMI Naitwa Jackson Zephania.
Nina umri wa miaka 31. Ninaishi Mbezi Dar es Salaam. Natafuta rafiki wakike umri kuanzia miaka 20 mpaka 24. Awe mcheshi, mpole, mstaarabu na msomi. Mimi ni mpole, muelewa, napenda kufanya kazi kwa bidii. #5.29287
UKO TAYARI KUISHI NA MIMI? CALL OR TXT
Naitwa Michael Charles. Nina umri wa miaka 24. Naishi Mbezi Dar es Salaam. Natafuta rafiki wa kuanzisha naye maisha. Awe wa kike, mwenye umri wa miaka 19-22, mweupe, mnene kidogo na mwenye pesa zake. Situmii alcohol yoyote wala sigara wala kashfa mbaya sina. Mimi ni mcha MUNGU, naishi Dar Mbezi Kimara. Kazi yangu ni Director wa filamu na Producer wa miziki, majina yangu ni Michael Chars, elimu yangu ni form six, Mimi ni modol black kidogo. #5.29189
NIKIKUPATA MILELE NITAFURAHI Natafuta mwanamke ambaye hajawahi kuolewa mwenye sifa hizi: anayejitegemea/siyo anayeishi kwa wazazi, mrefu, mweusi/mweupe asilia na umbo namba nane. Mzuri wa sura na tabia maana mimi nina tabia njema na ninayajua mapenzi. Najua kumpenda mwanamke,asiwe na mtoto,miaka 25 hadi 30 tu,asiwe mwembamba,dini siyo kigezo sana ila mimi ni mkristo na nina mcha mungu kweli. Mimi ni mrefu mweusi,mzuri wa sura wa kutosha sana,mwili wa wastani,sijaajiriwa ila nafanya kazi zangu ndogo ndogo maana nimebahatika kusoma kidogo na kupata maarifa/elimu ya kuniwezesha kuishi maisha ya kawaida ya kitanzania. Nitatoa kipaumbele kwa wanawake madaktari,pharmacists,lecturers na wajasiliamali,pombe sinywi na sigara sivuti,nakunywa wine isiyo na kilevi ninapokuwa na free time, ningependa kupata asiye kunywa wala kuvuta pombe. Karibu tuanze maisha pamoja kama una vigezo hivyo,uwe unaishi Dar itakuwa vizuri. #5.28588 PESA SI KILA KITU ILA INALINDA PENZI Naitwa
Frank Mwiti. Nina umri wa miaka 21. Naishi Dar es Salaam. Natafuta rafiki wa kike mwenye umri kuanzia miaka 20 na kuendelea. Natafuta rafiki mwenye uwezo kidogo, asijisikie, mwenye mapenzi ya kweli na atakaye nithamini. Mimi ni mpole, napendelea kusoma vitabu. #5.28346
SIBAGUI RANGI, DINI WALA KABILA. MAISHA DUMU NDO MPANGO MZIMA Naitwa Peter. Nina
umri wa miaka 32. Naishi Dar es Salaam. Nafanya kazi gazeti la Mwananchi. Natafuta mchumba awe Mzungu, Mwarabu, Muhindi au Mswahili. Awe mweupe, mzuri, kajazia, mrefu wastani, umri awe miaka 22 mpaka 35. Sichagui dini wala kabila. #5.28113
KUCHATI NI FANI YANGU, WA KIKE/KIUME KARIBUNI Naitwa Asha Kasasi. Nina umri wa miaka
18. Naishi Nyerere Dar es Salaam. Natafuta marafiki wa kike na wa kiume wakuchat nao. Marafiki wawe wapole, watulivu na wenye kunipa support kwenye kila nachohitaji.. #5.26653
Tuma SMS kupitia 0777 75 12 12 na namba iliopo chini, pia na jina lako na ujumbe ungependa umfikishe mtangazaji!
Wanawake / Wanaume BADO NAHITAJI MARAFIKI Naitwa Grace Nathania. Nina umri wa miaka 46. Naishi Kimara Dar es Salaam. Natafuta marafiki wa kike na wa kiume umri kuanzia miaka 45 na kuendelea. Rafiki awe mstaarabu na muelewa na asiwe na kiherehere, awe mchangamfu, mwenye nidhamu, apende maendeleo na ushauri, na awe na heshima. #5.25259
ALIYE MKARIMU NA MREMBO Naitwa Gaspal Thomasi mwenye umri wa miaka 26, ninaishi Kurasini Dar es salaam. Mimi ni kijana mpole, mkarimu na mwenye kujiheshimu. Natafuta rafiki wa kike mwenye nidhamu na muonekano mzuri, sibagui dini wala kabila. #5.30835
age. I live in Kimara Dar es Salaam. Am looking for a man white, tall, six pack, polite and decent. I consider myself to be very beautiful, with a nice shape, very polite, charming and likes to listen to music. #5.25902
mwenye upendo, mwenye kujali na ambaye ana ushauri mzuri. Mimi ni mpole na mcheshi. #5.31185
TUSOME NA KUJADILI PAMOJA Naitwa Faraja Abdallah. Nina umri wa miaka 18. Naishi Mtoni Mtongani Dar es Salaam. Natafuta rafiki wa kubadilisha nae mawazo kuhusu masomo. Napendelea kusikiliza music, kuogelea na kuchat. #5.23938
MOYO MPWEKE, NATAFUTA MCHUMBA WA KUFUNGA NAE NDOA Naitwa Mrisho Hassan. Nina
SHABANI MROPE, MIAKA 23 Naitwa Shabani S. A WHITE MAN AND DECENT? WELCOME TO Mrope. Nina umri wa miaka 23. Naishi Temeke Dar es MY WORLD My name is Samiha Rashid. 18 years of Salaam. Natafuta rafiki wa kike mwenye hekima, busara,
MSICHANA MPOLE NA MSTAARABU ANANIMALIZA KABISA Naitwa Fatuma Rashid. Nina umri wa
miaka 22. Naishi Tegeta. Natafuta rafiki wa kike mwenye umri kuanzia 18-28. Rafiki asiwe na tabia mbaya, awe mpole na mstaarabu. #5.23659
NINAJUA KUPENDA KWELI Naitwa Zakaria Michael. Nina umri wa miaka 28. Naishi Dar es Salaam. Ninatafuta marafiki wa kike wenye umri kuanzia miaka 1825. Rafiki awe na hekima, mwenye upendo, mpole na asiwe mkorofi. Mimi ni mpole na ninajua kupenda sana. #5.22433 HAIJALISHI NCHI, MKOA AU WILAYA Naitwa Eva.
Nina umri wa miaka 19. Naishi Ubungo Dar es salaam. Natafuta marafiki wa kuchati, ninasoma chuo Dar es salaam. #5.20648
BINTI MREMBO ANAYETAFUTA MARAFIKI
Naitwa Zainat. Nina umri wa miaka 19. Naishi Tabora. Natafuta marafiki wa kike na wa kiume wenye ushauri mzuri, wapole na wenye ukarimu. Mimi ni binti mrembo na mpole.#5.31578
WA KIKE NA WA KIUME KARIBUNI TUCHATI
Naitwa Julieth Simon. Nina umri wa miaka 34. Naishi Mwananyamala Dar es Salaam. Natafuta rafiki wakike na wakiume wakuchat nao umri kuanzia 30 mpaka 34. Rafiki awe na ushauri zaidi kuhusu masomo na awe tayari kubadlishana mawazo. Mimi ni mpole na mcheshi sana. #5.17692
KWA MCHA MUNGU TU Kwa jina naitwa Tupa Zakaria. Nina umri wa miaka 22. Naishi Tegeta Dar es salaam. Natafuta marafiki wa kuchat nao, wawe wanapenda kusali. Mimi napenda kuangalia movie, kusikiliza music, kuangalia mpira, na kucheza mpira. #5.17012 SEMA NA KIDOLE GUMBA, KUCHAT MPAKA BASI Naitwa Fatuma Juma. Nina umri wa miaka 21. Na-
ishi Kunduchi Dar es Salaam. Natafuta rafiki wa kike na wa kiume wakuchat nao. Wawe na umri kuanzia miaka 20 mpaka 30. Rafiki awe mpole mstaarabu, mcheshi na anajua kubadlishana mawazo. Mimi napenda kupika, kusikiliza mziki na kuchat sana. #5.14720
NIKUBALI UWE MKE WANGU Naitwa Doto Ngwabi. Nina umri wa miaka 22. Naishi Dar es Salaam. Natafuta mke wakuoa mwenye tabia njema, mpole, mstaarabu na mwenye ushauri ambaye hajali maisha magumu wala ambaye hana tamaa. Mimi ni kijana napenda kujituma na ni mstaarabu sana. #5.29897
ZANZIBAR
umri wa miaka 26. Naishi Kiembe Samaki Zanzibar. Natafuta mchumba wakuoa. Awe mweupe, mnene lakini si sana, mrefu wastani, awe mpole na mkarimu. Mimi ni maji ya kunde, ni mrefu wastani na mcheshi sana.. #5.29272
TUSIKILIZANE NA TUPANGE YAJAYO Naitwa Rashid Khamis. Nina umri wa miaka 25. Naishi Amani Zanzibar. Natafuta marafiki wakike umri kuanzia miaka 22-25. Rafiki awe mpole, mstaarabu, mcheshi, mwenye upendo wa kweli na awe tayari kunisikiliza. Mimi ni mrefu na si mfupi, ni maji ya kunde, napenda kujishuhulisha na vitu mbali mbali na mvuto ninao. #5.28155 MIMI NI MREFU KIDOGO, RANGI MAJI YA KUNDE Natafuta mchumba mpole na mwenye kazi.
Naitwa Farhat. Ninaishi ZNZ Kwahani. Nina umri miaka 19. Mimi ni mtu wa kawaida ni mrefu kidogo na nina rangi ya maji ya kunde. Napenda sana kuchat. #5.26370
NAITWA SOPHY, NAPATIKANA MAHONDAZANZIBAR Naitwa Sophy Saidi. Nina umri wa miaka
20. Naishi Mahonda Zanzibar. Natafuta marafiki wa kike umri kuanzia miaka 18 na kuendelea. Sipendi marafiki wakorofi, wasio na heshima na wala wenye kupenda kugombana. Mimi ni mstaarabu na mpole sana. #5.25604
NIDHAMINI LEO, NIKUTHAMINI MILELE Naitwa Maryam. Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 23, natafuta group ya kujiunga au mdhamini. Mimi ni mwanamitindo. Napendelea sana urembo, uigizaji, kusoma magazine, kuimba, kubadilishana mawazo na watu tofauti na nachukia uongo. Naitwa Maryam kutoka Mikunguni. #5.19536 KISIWA TULIVU, BINTI MSTAARABU Naitwa Leticia Mligo. Nina umri wa miaka 19. Naishi Masingini Zanzibar. Natafuta mchumba. Mimi ni mfupi kiasi, napenda kuchat, na kusikiliza nyimbo za Diamond Platnumz. #5.17867 NIOE NIWE WAKO MAISHANI Naitwa Sabrina Omar. Nina umri wa miaka 19. Naishi Mtoni Zanzibar. Natafuta mchumba atakayenioa mwenye umri wa miaka 26-27. Sifa: Awe mzuri na tabia nzuri, awe na heshima na mwajiriwa wa kampuni au hotel. Mimi ni msichana mrembo na mpole mpenda watu na mstaarabu. #5.15420 NITAKUPENDA VILE ULIVYO Naitwa Hemed. Nina umri wa miaka 24. Naishi Zanzibar. Natafuta mchumba mwenye hali yeyote awe amesoma ama hajasoma, awe na kazi au hata hana kazi, anipende kiukweli, awe mpole, mwenye ukarimu na mwenye kujua kuthamini. Mimi ninafanya kazi na tutakuwa tukisaidiana mmoja akikwama kimaisha. #5.30698
MATANGAZO YA TUPOMOJA
JE, UNAHITAJI?
RAFIKI/MAPENZI TANGA NATAFUTA MARAFIKI WA KUCHATI NAO, SIBAGUI KWA RANGI, DINI WALA KABILA. NIDHAM NI MUHIMU Naitwa Michael Sikeni. Nina umri wa
miaka 18. Naishi Tanga. Natafuta marafiki wakuchat nao wenye ushauri mzuri, wapole, wakarimu, wastaarabu na wenye kujali utu. Mimi ni mpole na mcheshi. #5.29190
MARAFIKI NI KIUNGO MUHIMU KWANGU. USIOGOPE, SONGA TUBONGE Naitwa Ken Samb-
wagwi. Nina umri wa miaka 27. Naishi Tanga Tanzania. Natafuta marafiki wakike wenye umri kuanzia miaka 18 na kuendelea. Wawe wapole, wastaarabu, wacheshi, wenye ushauri, wenye nidhamu na wenye kujali. Mimi ni mpole, mtanashati na muelewa. Napenda mziki na mpira. #5.28016
KILEVI CHOCHOTE KWANGU NI SUMU Naitwa Saumu Suleiman. Nina umri wa miaka 24. Naishi Tanga Tanzania. Natafuta mume wakunioa. Awe na umri kati ya miaka 25 na 30. Asiwe anavaa kihuni wala asiwe anatumia kilevi chochote. Awe mstaarabu na mwenye hekima zake. Mimi ni mpole na mwenye heshima. Napenda sana dini. #5.19401 NATAFUTA RAFIKI MKWELI, MCHESHI NA MPOLE Kwa jina naitwa Mariam (19). Naishi Dar es
salaam Tegeta. Natafuta marafiki. Sifa: Mimi ni mcheshi na mpole. Napenda watu wote, sibagui kabila wala rangi. Jinsia yoyote iwe wa kike au wa kiume. Napenda rafiki mkweli asiwe mwongo. #5.31894
ARUSHA NJOO TUJADILI Naitwa Mabaraka Mgaya. Nina umri wa miaka 40. Naishi Arusha Tanzania. Natafuta watu wakujadili nao mjadala wa kimaisha kama vile kupeana ushauri kuhusu maisha, jamii na mambo ya maendeleo. #5.29163 UREMBO NIMEUMBIWA NAO, UPWEKE NIMECHOSHWA NAO Naitwa Jackline Scad. Nina
umri wa miaka 21. Naishi Arusha Tanzania. Natafuta mchumba awe mweusi, mrefu, mpole, mcheshi na mwenye ushauri mzuri. Mimi ni mrembo na mpole sana. #5.27164
MOROGORO KUNA JAMBO LINAKUSUMBUA? NI VYEMA TUUNGANE Naitwa Christopher John. Nina umri wa miaka
25. Naishi Morogoro. Natafuta rafiki wakubadilishana nao mawazo. Wawe wapole, wakarimu na wenye kujua maisha. #5.29024
NINAPATIKANA PANDE ZA MJI KASORO BAHARI Naitwa Halima Singano. Nina umri wa miaka 25.
Naishi Morogoro. Natafuta marafiki wakike na wakiume umri kuanzia miaka 18-30 Rafiki mstaarabu na mwenye nidhamu ambaye ana ushauri mzuri na mwenye hekima zake ndo namuhitaji katika maisha yangu. #5.17929
KILIMO KWANZA Naitwa Ashura. Nina umri wa miaka 46. Natafuta marafiki wa kike na wa kiume wakubadilishana mawazo. Mimi ni mkulima natafuta marafiki wakubadilishana mawazo na kupeana ushauri. Mimi naishi Morogoro na sipendi ugomvi. #5.17270 TUSIKILIZE NA KUANGALIA PAMOJA KWA SIMU YOYOTE Kwa jina naitwa Grace Chima. Nina
umri wa miaka 18. Naishi Modeco Morogoro. Natafuta marafiki wa kuchat wa kike au wa kiume, wenye tabia nzuri. Mimi napenda kusikiliza music na kuangalia movie. #5.16081
HABARI ZA TUPOMOJA 25
Tuma SMS kupitia 0777 75 12 12 na namba iliopo chini, pia na jina lako na ujumbe ungependa umfikishe mtangazaji!
Wanawake / Wanaume FARAJA YA MOYO WANGU Naitwa Neema Rajabu. Nina umri wa miaka 34. Naishi Morogoro. Natafuta rafiki mpole, mstaarabu na mkarimu mwenye ushauri na ambaye ataweza kunifariji kila siku katika maisha yangu. Mimi ni binti mrembo, mpole na mwenye hekima. #5.30126 SHINYANGA MAANDALIZI MAPEMA Naitwa Elizabeth Selasi.
Nina umri wa miaka 18. Naishi Shinyanga Tanzania. Natafuta mchumba, awe mrefu kiasi, mcheshi, si mnene wala mwembamba sana. Mimi napenda kuangalia movie, kushare ideas na kusikiliza music. Natafuta mchumba Mkristo. #5.18347
UMRI KWANGU SI KIGEZO SANA Naitwa Halima Kassim. Nina umri wa miaka 28. Naishi Kahama Shinyanga. Natafuta marafiki wa kike na umri kuanzia miaka 18-50. Awe rafiki ambaye tutashauriana na kupeana mawazo mbalimbali ya kimaisha. Mimi ni msichana mrembo na mtanashati sana. #5.24389 MTWARA MCHESHI, MSHAURI NA MSTAARABU, NJOO TUFURAHI PAMOJA Naitwa Yohanna George. Nina
umri wa miaka 25. Naishi Mtwara. Natafuta marafiki wa kike wa kuchat nao wenye umri kuanzia 25 mpaka 30. Rafiki awe na ushauri, kubadilishana mawazo na mstaarabu. Mimi binafsi ni mcheshi na wakati wa free huwa napenda kutunga nyimbo alafu nawapa watu waingie studio kurekodi. #5.16007
MWENYE MOYO WA UTU Naitwa Musa Kupela. Na-
ishi Mtwara Tanzania. Nina umri wa miaka 41. Natafuta rafiki anayependa amani na anayejali fukara na maskini. Anayependa kusaidia wajane na anayeishi kwa misingi ya kumjua Mungu. Vitu ninavyopenda ni kuangalia gemu pamoja na kusikiliza music. #5.30170
KIGOMA WEWE NI MSICHANA UNAYEJUA THAMANI YAKO? Naitwa Salma Mrisho. Nina umri wa miaka 20.
Naishi Kigoma Tanzania. Natafuta marafiki wa kike umri kuanzia miaka 18-25. Wawe wanafunzi, wajielewe na wajue thamani yao kama wanawake. Mimi ni mpole, mcheshi na ninapenda sana masomo. #5. 26077
LUSHOTO NYOTA NJEMA HUONEKANA ASUBUHI Naitwa Asha Ally. Nina umri wa miaka 18. Naishi Lushoto Tanzania. Natafuta rafiki wa kiume, mweupe, awe mcheshi, mwenye upendo, huruma, na mwenye pesa (mwenyekazi). Napenda kuchat. #5.15326 MOSHI AWE MCHESHI KIASI Naitwa Grayson Lyatuu. Nipo
shule, naingia kidato cha 6. Nina miaka 20, natafuta marafiki pia napenda kuwa actor. Ninaishi Moshi mjini, lakini nipo shule inaitwa Majengo Secondary. Mimi ni mcheshi kiasi na napenda kucheki muvi, kusikiliza mziki na pia napenda movie za Nigeria na Kikorea. Napenda rafiki awe mcheshi kiasi kama mimi, na awe ana future na malengo mazuri ya maisha! Na mengine alonayo yeye kama yeye. #5.31011
MSICHANA ASIYEZIDI MIAKA 22 Naitwa Jonex Mchome nina umri wa miaka 22. Naishi Moshi Kilimanjaro. Natafuta rafiki wa kike mwenye umri wa miaka 22, mpole, mstaarabu, mwenye nidhamu, anayejali na mwenye ushauri mzuri. #5.30310
KILIMANJARO MREMBO PIA MCHA MUNGU Mimi ni msichana mrembo, mwenye elimu ya kutosha. Nahitaji mume (Mkristo mcha Mungu. Umri kuanzia 31 na kuendelea 40). #5.31011
DODOMA MWENYE UPENDO WA DHATI Naitwa Peter
Mchomvu. Nina umri wa miaka 18. Naishi Dodoma Tanzania. Natafuta rafiki wa kike mpole, mcheshi, mstaarabu na mwenye upendo. #5.30831
KIPARA NDO STYLE YANGU Naitwa Innocent W. Mbyallu, naishi Dodoma eneo la Kisasa West. Nina umri wa miaka 39, ni kijana, napenda kuwa smart, najiheshimu pia. Ni mwembamba napenda kunyoa kipara kichwani. Natafuta marafiki, pia napendelea kuangalia mpira na simema za action na cinema za vita vita. #5.26574 WA KUBADILISHANA NAE MAWAZO Mimi naitwa Lekinado Stephano. Naishi Dodoma Mtumba. Nina umri wa miaka 42. Natafuta marafiki wa kike wa kubadilishana mawazo, kuanzia umri wa miaka 28. Wawe wapole na wanaopenda kujishughulisha. Mimi napenda mpira pia ni mfanyabiashara wa kujitegemea.#5.17699 GEITA SIPENDI MAJIVUNO Naitwa Kulwa Deus. Nina umri
wa miaka 20. Naishi Geita Tanzania. Mimi ni mrefu na mweusi. Natafuta rafiki mwanamke mrefu, asiwe mwenye majivuno, pia awe na elimu yoyote. #5.7860
IRINGA CHAGUO LANGU NI MNENE NA MFUPI KIASI
Kwa jina naitwa Josephat Goodluck. Naishi Iringa. Umri wangu ni miaka 33. Natafuta mchumba wa kuoa, awe mnene, mfupi wa wastani, mwenye umri miaka 24 mpaka 27. Awe mcha Mungu na Mkristo, mwenye tabia njema, na mwenye kujituma katika maisha na mpenda maendeleo. Sibagui kabila wa rangi. SMS na simu zote zitajibiwa. #5.24622
JE, UTANILINDA? Kwa jina naitwa Sixbella A Wihale. Nina umri wa miaka 21. Naishi Iringa Tanzania. Natafuta mchumba kuanzia umri wa miaka 21. Mchumba anayejiheshimu, anayejilinda, awe mnene kiasi, mrefu kidogo na mweupe. Mimi ni mweusi kidogo, mnenene si sana. Napenda kupiga story na marafiki zangu pamoja na kufanya mazoezi ya mwili. Mimi ni mcheshi nawapenda wenzangu. Mchumba asiwe mtu wa kununanuna. #5.14006 NIDHAMU NDIO TICKET YAKO Naitwa Anyway Kisagile. Nina umri wa miaka 22. Naishi Iringa Tanzania. Natafuta marafiki wa kike na wa kiume wakuchat nao umri kuanzia miaka 18 mpaka 22. Nahitaji marafiki wenye upendo na wenye nidhamu. #5.25274 MWANZA KUCHAT ZAIDI Naitwa Gabriel Lucas. Nina umri wa
miaka 18. Naishi Mwanza. Natafuta marafiki wa kike wapole wasikilivu, wenye huruma na wenye ushauri mzuri. #5.30820
AMOSI KUTOKA MLANDIZI Naitwa Amos Ezekiel. Nina umri wa miaka 45 na rangi maji ya kunde. Mimi si mrefu si mfupi, nina kitambi kiasi na makazi Mlandizi. Nahitaji rafiki jinsia ya kike umri 30, asiwe mrefu wala mfupi, si mnene, si mwembamba na si mweusi. Awe mpenda ibada za makanisa ya kiroho na ajue kusoma na kuandika mwenye kiasi katika kuongea. Naishi Mlandizi eneo la Mpakani mwa Janga la Msongora. Mie Msongora napenda mpira wa miguu na ni mshabiki wa Arsenal. Pia napenda kuimba nyimbo za kumsifu Mungu.#5.30174
MATANGAZO YA TUPOMOJA
JE, UNAHITAJI?
KUNUNUA & KUUZA ELECTRONICS ARE YOU TIRED OF GETTING THE RIGHT ANGLES WHILE TAKING YOUR SELFIES? Do you find
it exhausting by clicking the camera and not capturing the exact moment? Get a TOUCHMATE SELFIE STICK at Y and Z Technology Dar es Salaam #5.22,029
LENOVO 8GB TABLET KWA BEI BOMBA! INCL. MOBILE PHONE + MUSIC PLAYER @330,000 TSH. #5.26700 TWINMOS TABLET 7” KWA BEI BOMBA! 8GB 285,000TSH #5.26698 MINI NOTEBOOK AND TABLET IN ONE FOR SALE! Used Asus
Transformer Book T100 (10.1inch) available! - Mini Notebook and tablet in one for sale in Zanzibar - 650,000TSH #5.25391
LG FLEX - CURVED & FLEXIBLE PHONE PRICE: TSH 850,000/=
#5.30497
SAMSUNG GALAXY S SMARTPHONE WITH 4.00-INCH 480X800 DISPLAY
Powered by 1GHz processor alongside 512MB RAM and 5-megapixel rear camera. Price: Tsh 300,000/= #5.30950
SAMSUNG GALAXY EXPRESS - PRICE: TSH 400,000/= #5.30948 LG PRADA - PRICE: 320,000/= #5.30946
TSH
SONY ERICSSON XPERIA E15I PRICE: TSH 170,000/= #5.30746 ACER V370 - PRICE: TSH 290,000/=
#5.30758
SAMSUNG GALAXY S DUOS - 270,000 TSH Samsung Galaxy S Duos smartphone
with 4.00-inch 480x800 display powered by 1GHz processor alongside 768MB RAM and 5-megapixel rear camera.#5.30018
NAUZA SIMU AINA YA NOKIA-X. Imetumika kwa muda wa miezi mitatu iko kwenye hali nzuri naiuza kwa shillingi laki na 40 #5.30235 MOTOROLA MOTO G SMARTPHONE WITH 4.50-INCH 720X1280 DISPLAY
Powered by 1.2GHz processor alongside 1GB RAM and 5-megapixel rear camera. Price: Tsh 350,000/= #5.30234
HUAWEI ASCEND G300 - PRICE: TSH 280,000/= #5.30216 DELL I3 LAPTOP: I3 CORE, 500 GB HDD, 4 GB RAM, 14’ SCREEN - 695,000TSH #5.30014 LAPTOP ACER TOUCH SCREEN AVAILABLE 450,000TSH
#5.27744
BRAND NEW LAPTOP LENOVO FOR SALE TSHS. 850,000. #5.27460
Tuma SMS kupitia 0777 75 12 12 na namba iliopo chini, pia na jina lako na ujumbe ungependa umfikishe mtangazaji!
TRANSCEND 500GB EXTERNAL HDD - 103,000TSH A fast, rug-
ged and easy to use 500GB external hard drive for the average consumer #5.30015
POWER BANK 400 MAH - 23,000 TSH Stay powered & connected with
this Portable Power Bank. It has built-in rechargeable 4000mAh battery delivers charge for a long time. Charges and powers your smartphone, tablet, eReader or media player. #5.29957
FASHION & BEAUTY YELLOW HANDBAG AVAILABLE FROM KULSUMS ACCESSORIZZ
#5.30969
MK 2 IN 1 HANDBAGS. PRICE 50,000. CALL NASREEN KASSAM! #5.26103 HAND BAG MADE OF KIONDO / KATAN FROM FRANK CURIO SHOP ZANZIBAR #5.30725
NIKON D3100 CAMERA WITH LENS - 690,000 TSH #5.30008
ZIPPER TOTE HANDBAG - TSHS 65,000 FROM FASHION DESIRE STORE TZ #5.26607
LAPTOP YA TOSHIBA SATELLITE KWA BEI BOMBA! 525,000TSH #5.26701
OFFICE CITY BAG BLUE OR RED - 115,000TSH FROM FASHION DESIRE STORE TZ #5.25623
MATANGAZO YA TUPOMOJA
JE, UNAHITAJI?
HABARI ZA TUPOMOJA 27
Tuma SMS kupitia 0777 75 12 12 na namba iliopo chini, pia na jina lako na ujumbe ungependa umfikishe mtangazaji!
KUNUNUA & KUUZA MULTILAYER BRAIDED BRACELETS OF RETRO SILVER TONE FROM HOT COLLECTIONS TANZANIA 15,000TSH
#5.30939
MULTILAYER BRAIDED BRACELETS OF RETRO SILVER TONE “BELIEVE” FROM HOT COLLECTIONS TANZANIA 15,000TSH #5.30933 CASIO, MONTRE CARLO & GENEVA WATCHES BEI 45,000 #5.29702
100% HUMAN HAIR CAP WEAVE! SENNA - 130,000TSH #5.29938
SYNTHETIC WEAVES ELFU 30 KWA PACKET - DAR ES SALAAM, SINZA #5.25612 WHITE SLEEVELESS TOP & FLOWER PRINTED TIGHTS AVAILABLE AT SINZA MADUKANI - 20,000TSH #5.30875
SMART LED HEALTH SPORT BRACELET 40,000TSH #5.29960 SEKONDA ‘ENDURANCE CHRONO’ GENTS SPORTS CHRONOGRAPH WATCH 100 US $ #5.29934 25K COLLECTION BEI 25,000 TSH NECKLACE AND PENDANT IN GOLDEN COLOUR FROM TOTAL STYLES #5.28286
STRIPE COLORED TOP WITH RED TIGHTS AVAILABLE AT SINZA MADUKANI 20,000TSH #5.30858 ANN CHERRY WAIST TRAINING CINCHER CORSET - 180,000 TSH
#5.30317
PENCIL DRESS: COTTON, SIZE 14-16 UK. 40,000TSH AT IMALAIKAS FASHION SHOP #5.30231
CASSANDRA JEWELLERY & ACCESSORIES: GOLD LEAF STATEMENT NECKLACE 15,000 TSH #5.20819 NECKLACE AND EARING AVAILABLE FROM KULSUMS ACCESSORIZZ 7,500 TSH #5.30290
SLEEVELESS RED JUMPSUIT AVAILABLE IN UK SIZE 8-22 - 97,000TSH
#5.25625
LACE DRESS AVAILABLE IN UK SIZE 10-24 - 70,000TSH #5.25626
CREAM PEARL BOX CHAIN GOLD NECKLACE - 50,000TSH FROM FASHION DESIRE STORE TZ #5.14371 MKUFU MZURI WAKIASILI JIPATIE WAKO SASA HIVI - 12,000TSH
BLUE LINGERIE AVAILABLE FOR SALE ONLY FOR 30000/= #5.27108 BILL ROBINSON SHIRT & TIE BOX SET RED - 60,000 TSH #5.29482
#5.26171
PARFUME: BEYONCE HEAT 100ML - 100,000TSH #5.14551
VANITY FAIR BACK SMOOTHER FULL-FIGURE CONTOUR BRA - CUP SIZE A MPAKA G
EDP
FOREVER RED COLLECTION: FORVEVER RED PERFUME - 75ML BEI 90,000 #5.30628
#5.30108
PLAZO WOMEN TROUSERS IN DIFFERENT COLORS 20,000TSH #5.27389
VICTORIA’S SECRET BODY BUTTER - 30,000 TSH #5.30494
YELLOW WITH MIXED COLOUR INDIAN DRESS - 85,000 TSH
#5.26853
CLOCO SOAP” NG’ARING’ARI SPECIAL SOAP 4 MEN: Imetengenezwa
na Mafuta ya Nazi pamoja na unga wa Karafuu - 5,000 TSH #5.26074
KITAMBAA CHA DERA IN GREEN BLUE AND ORANGE - 25,000 TSH
#5.27384
COCOA BODY SCRUB - TSHS 30,000 #5.25597 KIMA CLASSIC LACE FRONT WIGS - LC 602 - 125,000 TSH #5.29428
MEN’S SHORT & LONG SLEEVED SHIRTS AVAILABLE - 30,000 TSH #5.15893
NI #5.25850
CASSANDRA LINGERIE LIMITED: GET UNDERWEAR@7000TSH ONLY AT OUR BRANCH MIKOCHE-
ANYALOV: AMAZING WHITE DRESS WITH GOLD DECORATION - 75,000 TSH #5.21283 CLASSIC MALE SUIT FOR SALE AT SANSIRO CLASSIC WEAR KINONDONI STUDIO - 300,000TSH #5.8021
ANYALOV: SHIRT FOR MEN IN GOLD & BLACK - 60,000 TSH
#5.21232
T-SHIRT FROM H & A DESIGN MEN WEAR MANI 24, THE GENTLEMAN’S COUTURE. #5.26127 BABY & KIDS LIFE JACKET FOR BABY AVAILABLE AT R&B CLASSIC WEAR SHOP 22,000 TSH #5.7057 SMART AND CUTE: GIRLS PINK& BLACK POLKA DOTS COMBINATION 50,000 #5.28209 4 PIECE SUIT FOR BABY BOYS: PANTS, SHIRT, VEST NA TIE - BEI 50,000 #5.29650
BABY & BEYOND DAR ES SALAAM: SKIRT & SHIRT FOR BABY GIRL 28,000 #5.28441 BABY & BEYOND DAR ES SALAAM: MATERNITY NURSING /FEEDING BRA
#5.27916
NEWBORN BABY FEEDING BOTTLE 340ML - PRICE: 20,000 TSHS #5.28433 BMX BABY BIKE RED & BLACK COLOR FOR SALE IN ZANZIBAR 45,000 TSH #5.28672 BABY SEAT FOR KIDS UP TO 12 KG 175,000TSH #5.28424 BABY CARRIER 75,000TSH AVAILABLE IN DAR ES SALAAM
#5.28422
DISNEY CROCS 15,000TSH #5.27,918 SHAYMUN CAKES: CAKES SPECIAL FOR YOUR BABY’S BIRTHDAY #5.25992 BABY BED AVAILABLE - 250,000 TSH MWENGE NEAR MLIMANI CITY DAR ES SALAAM #5.25640 NABILA’S BAKERY: KIDS BIRTHDAY CAKE “IN THE SKY” #5.28511 SKINNY
JEANS
FOR KIDS 75,000TSH #5.15613
28
MAONI & USHAURI
"NIMEKUSAMEHE, LAKINI SITOKUSAHAU" - HADITHI YA UKWELI KUHUSU UNYANYASAJI YA MTOTO
Nimekusamehe, lakini sitokusahau kwa ukatili ulionifanyia. Ni miaka kumi na tano imepita ila akilini mwangu bado haujafutika. Picha yako hunijia pale uliponivua nguo bila ya huruma na kuniingilia kimwili kwa nguvu bila kusikiliza kilio changu cha uchungu kilichosababishwa na maumivu niliyoyapata. Sipati mnyama wa kukufananisha nae. Ilikuwa mishale ya saa kumi na mbili joini. Nikiwa na umri wa miaka 13 siku ambayo haiwezi kufutika akilini mwangu. Nikiwa njiani kuelekea mtaa wa pili kwa ajili ya kununua dawa za Bibi yangu aliyekuwa akisumbuliwa na maradhi ya moyo. Ghafla nilijikuta nimefumbwa macho na mdomo na mtu ambae alitokea nyuma yangu. Alikuwa mtu mwenye nguvu sikuweza kufurukuta wala kupiga kelele mpaka aliponifikisha kichakani ambapo kuna umbali wa mita kadhaa kutoka kwenye makaazi ya watu. Alinionya nisithubutu kupiga kelele kama nilihitaji kunusuru maisha yangu. Alinivua nguo na kuniingilia kimwili kwa lazima. Aliniziba mdomo kusudi nisipige kelele kwa maumivu niliyokuwa nayo. Alipomaliza haja yake aliniacha nikigaragara kwa maumivu makali aliyonisabishia na akaelekea kijijini.
„
Sikuwa na nguvu ya kuinuka lakini nilijitahidi kupiga kelele za kuomba msaada. Kwa bahati nzuri mama mmoja mpita njia alisikia kilio changu na kufuata sauti ilipotokea, alinikuta hali yangu taabani na muda ule sikuweza kabisa kuzungumza zaidi ya kulia kwa maumivu makali. Baada ya kuniona mwili wangu umetapakaa damu alinibeba na kunipeleka nyumbani. Nilipofikishwa nyumbani Bibi yangu aliponiona na ile hali alizimia. Shangazi alimwomba yule mama anipeleke kituo cha polisi ili nipate kibali cha kwenda hospitali kwa matibabu. Daktari alinifanyia vipimo na kuwaamuru polisi wafanye uchunguzi na wamtie mikononi mtuhumiwa. Sura yake haikunipotea kwasababu ni kijana niliyemwona mara kwa mara mtaani kwetu akipita kwenda shule.
ALINIVUA NGUO NA KUNIINGILIA KIMWILI KWA LAZIMA.
Baada ya tukio, alitoweka kwa muda wa wiki mbili. Kwa ushirikiano wa mama yake na polisi walifanikiwa kumkamata na kumhoji. Alikubali kosa lake na kuhukumiwa kifungo cha miaka thelathini jela (30). Mama yake alionyesha ushirikiano na mimi hata aliposikia kwamba nina ujauzito baada ya tukio hilo. Aliendelea kuja nyumbani kunijulia hali. Kwa umri wangu na mazingira niliyokulia sikutambua kama ni mjamzito japo kuwa siku zilipozidi kwenda nilihisi mabadiliko makubwa mwilini mwangu. Nilipomwuliza shangazi yangu alinidanganya kuwa mabadiliko yale ni kawaida tu, kwahiyo sikutia hofu.
MAONI & USHAURI Siku ilipowadia nilihisi maumivu makali ambayo sikuweza kuyaelezea, nililia huku nikishindwa kujua hasa wapi panapouma. Shangazi alinishauri nijikaze huku akimwomba jirani anipakie kwenye baiskeli kuelekea hospitalini. Daktari alinipima na kugundua njia zangu hazikuwa tayari kufunguka, hivyo upasuaji ulihitajika kufanywa kwa haraka ili kuokoa maisha yangu na ya mtoto. Nilipata watoto wawili mapacha. Kwa kuwa akili yangu ilikuwa bado changa, sikutambua thamani ya watoto kwa hivyo shangazi alinielekeza utaratibu wa kulea.
Nilipata pigo jingine baada ya kusikia mtuhumiwa ameachiwa huru na yuko Marekani kwa dada yake. Nilipata hofu kubwa juu ya usalama wa maisha yangu na watoto. Japokuwa kwa kipindi chote mama yake aliendelea kuwa karibu na mimi lakini hakuniambia hali halisi. Nilitamani nimuonye yule mtuhumiwa akae mbali na wanangu. Mwaka 2006 wanangu walikuwa na miaka 4 aliporudi kijijini. Alikuja nyumbani shirika na mama yake na dada yake.. Nilipomwona mwili uliingia baridi ghafla. Hasira nilizokuwa nazo laiti angekuwa peke yake sijui ni hatua gani ningechukua dhidi yake. Moja kwa moja nilifikiri wamekuja kwa lengo la kunipokonya wanangu. Kwa hivyo sikumpa hata dakika moja ya kujielezea. Mama yake alinisihi kwamba nimsamehe kwa yaliyotokea na tuweze kuoana. Sikuwa na majibu mawili zaidi ya “hapana” na “nisingependa kumwona tena machoni mwangu”.
Wanangu walipofikia umri wa miaka saba mama yake alikuja na dada yake na kuniomba awasafirishe watoto ili wakapate elimu bora. Moyoni nilisita japo kuwa sikupenda wanangu wawe na maisha magumu. Mimi mama yao sikuweza kuendelea na masomo zaidi ya darasa la sita. Waliniahidi kutowatenganisha na mimi kwa hiyo kwa shingo upande niliwaruhusu kusafiri kuelekea nje ya nchi. Nilipenda wapate elimu bora japo sikupata uvumilivu wa kukaa mbali nao. Kutokana na ugumu wa mawasiliano sikuwa na budi zaidi ya kusubiri taarifa kutoka kwa bibi yao kuwa ni wazima.
HII NI SAFARI ILIYOBADILI MWELEKEO WA MAISHA YANGU NA IMEGHARIMU NDOTO ZANGU ZOTE.
„
Wanangu wana umri miaka 14 sasa, nimekuwa mbali nao kwa muda wa miaka 7. Nawapenda sana na ninatamani wajue historia yangu japo kwa ufupi, lakini je itakuwa na picha gani kwao? Wataniamini? Nitaanza vipi kuwasimulia? Maswali mengi hujiuliza bila kupata majibu. Hii ni safari iliyobadili mwelekeo wa maisha yangu na imegharimu ndoto zangu zote. Ukurasa wa mapenzi kwangu umefungwa na sijui nani mwenye funguo sahihi. Nani wa kumwamini na kumkabidhi ufunguo wa moyo wangu? Sijui nini maana ya mapenzi zaidi ya maumivu na karaha nilizozipata. Shida,Tabu na Mateso niliyoyapitia ni mengi na ninatamani siku moja niwe na amani, furaha na vicheko kama wenzangu lakini imekuwa vigumu sana kuamini kuwa ipo siku nitapata faraja.
29
30 MUZIKI, MITINDO & MAISHA
JINSI ZA KUWAPANGIA FUN & WATOTO CHUMBANI KWAO FUNCTIONAL Haijali chumba kikiwa kikubwa au kidogo, kuna jinsi nyingi za ubunifu ambazo ni bei nafuu za kupanga chumba kiwe kinavutia kwa watoto wadogo na wewe pia. Hebu tuanze na ubunifu wetu! LOFT & DOUBLE BUNK BEDS
Hii ni kwa ajili ya mapacha! Vitanda viwili ambavyo vimejengwa kwenye kabati. Meza mbili za kufanyia masomo, shelf za kupangia vitabu au toy zao, kila kitu kikiwa kinaendana kwa rangi za kijani na blu.
Pink Dreams. Kitanda cha juu chenye rangi ya pink ya kuvutia ikiwa na ngazi imara ya kupandia pamoja na kapeti yenye rangi za kuvutia na kabati inayoendana vizuri.
Nani atalala kwenye gorofa la 3? Bunk Beds za mbao ya kawaida zinafaa kabisa kwa vyumba vidogo. *Kama watoto wako bado ni wadogo, wawekee mpaka kwenye vitanda vyao!
Bunk Bed ya kisasa yenye kitanda cha 3 la chini kabisa ambalo linavutwa kutoka chini ya kitanda cha chini. Hii inafaa kabisa watoto wakialika marafiki zao kuja kulala!
WALLPAPERS & MAPAMBO MENGINE Watoto wanapenda kukusanya vitu! Wape sehemu isiyo ya kawaida kuhifadhi vitu vyao! Haitumii nafasi nyingi na inavutia kwao. Ni mwaka wa kwanza wa shule kwa mwanao? Wafurahishe kwenye elimu yao kwa kuwapa wallpaper na picha ambazo zinawafundisha pamoja na kuwafurahisha – elimu inaweza kuwa ina raha!
Je, unao watoto wanne kwenye chumba moja? Haina shida! Watengenezee Bunk Beds za mbao, zote nne zikitumia ngazi moja na kila mmoja na taa yake ya kusomea vitabu.
Kuna mtoto mchanga nyumbani, hongera! Panga sehemu ambayo inayo rangi zinazovutia na kufurahisha, weka taa ambazo sio kali pamoja na michoro ukutani ambazo ni rahisi na za kuvutia. Wote tunazipenda ubao – unaweza kuacha ujumbe, kuweka kumbukumbu, kuchora picha na kuzibadilisha kila siku. Jitihada ndogo – faida kubwa!
UPENDO & MARAFIKI
SEHEMU 5
CHACHU YA PENZI
Walikubali kutulia kidogo ndipo yule kijana akampanda Suzi kwa juu na kuanza kuraruararua shati ya Suzi. Ghafla alishtuka na kupigwa na bumbuazi huku akitazama kifua cha Suzi chenye mvuto wa ajabu, kinachomeremeta kutokana na uzuri wa matiti pamoja chuchu zilizo simama, yani chuchu saa sita! Yote hayo yalizidi kumpandisha midadi kijana yule akajikuta anaanza kuzitomasa zile chuchu kwa uchu na kwa fujo. Wakati Suzi anafanyiwa hayo alijitahidi kufurukuta lakini alishindwa nguvu na vijana wale. Yule aliyenogewa na kale kamchezo ila ghafla akashtuka kuona wenzake wanainuka na kuanza kukimbia huku wakisema “DUDE! DUDE! DUDE! DUDE!”.
„
NDIPO SUZI AKAAMUA KUITOA ILE SHATI ILIYO CHANWACHANWA
matatizo ndio nikaanza kukusaka vichakani!” Wakaanza kutembea taratibu kutoka kichakani. Ile wanatoka kichakani Erick akiwa kifua wazi alihisi anaguswa kwa nyuma na alipogeuka akakutana na kofi zito mashavuni mwake. Mara akaanza kushambuliwa kwa mangumi na mateke huku akisikia maneno “LEO NIMEKUKAMATA PUMBAVU MWANAHARAMU MKUBWA UMETOKA KUFANYA NINI NA MWANANGU!?” Suzi alipojaribu kumzuia Mzee Kyashama akapewa na yeye kibao kimoja akaruka upande wa pili wa barabara. Mzee Kyashama kawa mbogo anagawa dozi hamsikilizi Suzi wala Erick. Ndipo suzi akaamua kuitoa ile shati iliyo chanwachanwa na wale vijana na kuanza kumuelezea kwa sauti ya juu huku akilia jambo lililo mfanya Mzee Kyashama kusimama na kuanza kutafakari anayoambiwa na
31
by ABDULMALIK SIRAJ
Kesho yake Suzi alipofika shuleni aliambiwa anaitwa na Mkuu wa Shule, akaingia ndani ya ofisi ya mkuu wa shule akashangaa kuona anapewa barua ampelekee mzazi wake! Ndipo Suzi akaipokea ile barua huku mikono ikitetemeka, akijiuliza maswali mengi kichwani mwake, “nini kilichomo ndani ya ile barua?” Akaanza kutembea kwa hatua za taratibu huku amenyong’onyea kuelekea nyumbani. Alipofika maeneo ya nyumbani akamkuta Mzee Kyashama yupo pale kwa nje akiendelea na shughuli zake za uselemara. Mzee Kyashama alipoinua macho akamuona kwa mbali mwanae anakuja jambo ambalo lilimtia hofu huku akihisi bila shaka mwanae amepatwa na tatizo hasa kwa jinsi alivyokuwa akitembea kwa unyonge. Vilevile uso wa Suzi ulikuwa umeshuka
Kuangalia mbele akaona bonge la DUDE jeusi zaidi ya mkaa! likikunja sura kama moto upo mbele, ukimwangalia unazimika, akicheka utadhani anakuzomea! Akaona anakuja kama kifaru kaona moto, ikabidi na yeye aanze kuzichanja mbuga kuelekea vichakani huku akiangukaanguka kwa uoga akijua Dude lijulikanalo kama MUILIMA au ERICK bado linamfukuza. Erick alisogea mpaka pale alipokuwa Suzi akamkuta amejikunyata anatumia mikono kuziba matiti yake huku akilia kwa uchungu. Erick akavua shati lake na kumuinua Suzi kisha akalimvalisha Suzi. Hapo hapo akamwambia.'' POLE SANA SUZI VIPI WAMEFANIKIWA KUKUBAKA?'' Suzi akatikisa kichwa kiupande upande akimaanisha “Hapana”. Erick akashusha pumzi nakusema “Laiti kama wangekubaka ningewaua..!” Wakasimama kwa pamoja, mara Suzi akamkumbatia kwa nguvu Erick. Erick alihisi kama anaota vile hakuamini kama itatokea siku Suzi atafanya hivyo na akazidi kuamini kwamba ipo siku Suzi atakuwa wake. Ndipo Suzi akamuuliza Erick “Umejuaje kama nipo huku?”
Suzi. Ndipo hapo akagundua amekosea, akaanza kuona aibu huku ameinamisha kichwa chini na kumwambia “Nisameheni wanangu sikujua.” Akainua macho na kumshika Erick begani na kumwambia “Nakushukuru sana Erick kwa kumlinda mwanangu. Ama kweli wewe ni shujaa!”.
sana kwa huzuni pia haikuwa kawaida yake Suzi kurudi nyumbani mapema kiasi kile.
Yote hayo yalimfanya Mzee Kyashama kuacha shughuli aliyokuwa akiifanya na kuanza kuuchapa mwendo kwa harakaharaka kuelekea anakotokea Suzi. Wakaianza safari ya kwenda nyumbani Alimfikia akamshika mabega na kumwuhuku Suzi akiwa amepanga kesho ku- liza “Vipi, mbona uko hivo? Kuna tatizo Erick akamjibu “Nimelikuta begi lako pale washitaki wale vijana kwani alikumbuka shuleni?” barabarani halafu madaftari yalikuwa kwamba mmoja kati ya wale vijana ni Je, ni kweli Suzani amefukuzwa shule? yamemwagika njiani nikajua umepata mtoto wa Mkuu wa Shule.
FUATILIA TOLEO LIJALO...
32 MICHEZO, AFYA & CHAKULA
ACHA UVIVU! MAZOEZI YA DAKIKA 10 KILA SIKU YATAKAYOKUPA MOTISHA TUMEKAA NA KUONGEA NA MWALIMU WA MAZOEZI KUTOKA FITNESS CENTER YA DAR ES SALAAM:
1
Umuhimu wa kufanya mazoezi kila siku ni nini? Faida zake ni nini? Kuepukana na maradhi haswa ya moyo, ambayo yanatokana kuwa na uzito mwingi (Lifestyle Diseases) pia kufanya mweli kuwa na nguvu.
2
Ni mazoezi gani ambayo ungesema yangemfaa mtu ambaye anayo unene mwingi? Kitu cha kwanza cha kukielewa ni kwamba, jinsi unavyokula inaathiri mwili wako zaidi kuliko mazoezi (60% kutokana na chakula, 40% kutokana na mazoezi). Mbali na mazoezi, inabidi ujipangie chakula ambacho kitakuwa bora zaidi kwa afya yako. Kupunguza uzito zaidi, itabidi ufanye mazoezi kwa muda mrefu zaidi. Nenda ukatembee kwa kasi, kimbia, nenda ukaogelee au ukaendeshe baisikeli zaidi ya mara 2 kwa wiki, kwa muda usiyo pungua dakika 30.
3
4
Maneno yako ya wito maishani ni nini?
FANYA MAZOEZI YAWE MAISHANI MWAKO KILA SIKU! 1 Mazoezi ya kuchuchumaa
Wasomaji wetu wengi ni watu ambao wako busy sana ofisini au darasani na hawana muda mwingi kwa siku kufanya mazoezi. Kuna mazoezi ya dakika 10 ambayo wanaweza kuyafanya?
DAKIKA
2
10
NDIO.
1. Mazoezi ya kuchuchumaa
x20
2. Kuruka na mikono juu
x30
3. Sit Up
x10
4. Push Up
x15
5. Hatua ndefu za mpaka chini
x15
6. Kuruka kisha kuchuchumaa
x15
7. Kunyanyua mikono kwa upande
x30
Kuruka na mikono juu
4 PUSH UP 3 SIT up 5
Hatua ndefu za mpaka chini
7 Kunyanyua mikono kwa upande
6
Kuruka kisha kuchuchumaa
MICHEZO, AFYA & CHAKULA 33
KUPANDA NA KUSHUKA KWA SOKA YA AFRIKA by MUSSA NGWALI
mmoja alikua anasubiri matokeo kwa hamu huku wakijua leo Cameroon itafanya mambo, enzi hizo zilikuwa za Thomas N’kono, Emil Egbo, Stephen Tataw, Cyrille Makanaki, Emmanuel Kunde, Francois Omam-Biyik na Andre Kana-Biyik bila ya kumsahau mkongwe wa Roger Albert KWAMBA TAIFA HILI Milla na baadae kina Marehemu MarcLINAANZA KUPOTEZA Vivien Foe na Patrick M’Boma. Wachezaji MWELEKEO KUTOKANA hawa kila mmjo alikua anajua wanapigana kwa ajili ya soka la Afrika, sasa hivi NA SIASA CHAFU imebakia Cameroon ambayo usishangae Hii ni aibu kwa Afrika kuliona taifa ambalo ukisikia imefungwa na Uganda au Sisi lilipiga hatua nzuri kwa soka likaporomoka Tanzania haitashangaza sana kulingana na kiwango walichonacho. kwa aibu ya uroho tu wa madaraka.
Afrika ni bara ambalo limejaliwa kuwa Mohamed Aboutrika, Mohamed Zidan na na rasilimali watu, na wengi wao ni vija- golikipa shujaa El Haidar. na ambao wamejaliwa na kipaji kikubwa cha soka na ndio maana vijana wengi wa Kiafrika wamejaa katika Bara la Ulaya na LA KUSIKITISHA NA kwengineko Duniani. LA KUSHANGAZA NI
„
Ila inasikitisha sana kuona umasikini wakulazimishwa na mipango isio endelevu na inalirejesha nyuma sana bara letu la Afrika katika medani ya soka.
Mfano mzuri uko katika nchi ya Misri. Kila mpenda soka atakubaliana na mimi kwamba Misri ndio mabingwa wetu mara nyingi katika midani ya soka letu la Bara la Afrika. Kwa kumbukumbu zangu, Misri imechukua ubingwa wa mataifa huru ya Afrika kwa mara 7 ikiwemo mara tatu mfululizo kuanzia mwaka 2006-20082010. Na ndio taifa pekee la Afrika ambalo hutumia wachezaji wengi wanaocheza ligi za ndani ya nchi yao, yenye vilabu vyenye mafanikio na ndio vinavyoongoza pia kwa kubeba ubingwa wa vilabu ndani ya Wote tunajua kwamba Misri Afrika, vilabu kama Zamalek na El-Ahal na inawamaliza na siasa. Lakini mashujaa wa kupata mafanikio hayo makubwa. Afrika kwenye miaka ya tisini na 2000 kutoka taifa ya Cameroon, nchi hii nalo kwa Utaona jinsi gani taifa hili kubwa kwa soka sasa limekuwa la kusikitisha kulingana na lilivyo tikisa soka la Afrika. La kusikitisha kiwango chake cha soka kilivyo poromona la kushangaza ni kwamba taifa hili lika. Katika miaka iyo ya tisini ilikua ikitajwa naanza kupoteza mwelekeo kutokana na Cameroon ilivyokua ikitisa kwa siasa chafu za nchi yao kuingia kwenye soka lake la nguvu na machafuko ya kisiasa na inaviangamiza lakuvutia. Kila vipaji vingi vya soka na nguvu kazi ya nchi yao. Ninatamani kuwaona kina Muhamed Barakat, Hossam Hassan, Ibrahim Hassan, Wael Gomaa, Hany Ramzi,
Inasikitisha kuliona Bara la Afrika lilokua likiuza ma mia ya wachezaji Barani Ulaya kupungua kila siku na sio kuzidi kama ilivyo kua zamani. Narudi kwa rais wetu wa soka Barani Afrika raia wa Cameroon Bwana Issa Hayatou na uongozi wa soka wa bara letu la Afrika wataisaidia vipi bara la Afrika kuondoa tatizo hili la kupanda na kushuka kwa soka letu haswa kwa zile nchi ambazo zilikua juu kisoka.
34 UVUMBUZI NA TEKNOLOJIA
IPENDWE ISIPENDWE
SELFIE STICK IMEFIKA
by KRISTIN DORL
“Subiri...hebu sogea hapo kidogo..dah, wewe mrefu, hautoshi kwenye picha�
Wale ambao wanapenda kutumia simu zao na camera zao kupiga picha wanajua situation hii vizuri sana: Unajaribu kunyoosha mkono mpaka mwisho lakini bado, mkono wako sio mrefu wa kutosha ili wote wewe na marafiki zako mtoshe kwenye selfie. Itabidi marafiki zako wa Facebook wakose kuona picha yako wewe na marafiki zako 6 mlioko kwenye party, na wewe utakosa Like zao zote.
Ndio maana sasa kuna teknolojia mpya iliyozinduliwa, kukusaidia wewe ukiwa unataka kukamata ile selfi ya ukweli! Inaitwa Selfie Stick! Selfie Stick ni kama fimbo ndefu (monopod) ambayo inakuwezesha uweke simu yako upande wa pili na kuifikisha mbali zaidi ya mkono wako wakati ukipiga selfie. Uwa inakuja na sehemu ya kubonyeza ili uweze kupiga picha bila ya haja ya kubonyeza kwenye simu kwenyewe.
wanataka kuweka usanii wa kwenye makumbusho hayo na watu ambayo wanazitembelea salama, cha pili ni kwamba mara nyingi walikuwa wanawaziba wenzao wakiwa wanapiga picha zao.
Dah, afadhali! Ile picha ya wewe na marafiki zako inaweza kukamatwa, na zile Like lazima uzipate. Iko freshi lakini, au sio? Hata Obama anayo yake. Au ni kati ya vitu ambavyo vinatamba mitaani halafu hupotea kabisa? Kuna watu wengi ambao wameshaichoka kwa sababu ya jinsi watu wanarusha picha zao 5 kwa siku kila siku. Watu pia wanaona kwamba ni jinsi ya watu kujiona sana, na ni ya ujinga na hatari. Tayari ziko sehemu kama makumbusho ya Australia na sehemu za mpira Marekani wapi wamezipiga marufuku. Sababu ya kwanza ni kwamba
Sasa hivi tayari zinapatikana kwenye maduka ya Tanzania, kwa hiyo inabidi tujiulize, tutazichangamkia au tutazichukia? Wewe ni mshangiliaji wa Selfie Stick au nikitu cha kupita tu?
Tupe maoni yako kupitia SMS +255 777 75 12 12 au email info@tupomoja.com Kama wewe ni mshabiki wa Selfie Stick, nenda ukaangalie ukurasa wa uk 26
UVUMBUZI NA TEKNOLOJIA 35
Kukanyaga mafuta, breki, kukata kona, kuwasha indiketa – haya yote yatakuwa yanafanyika na gari pekee yake bila ya haja ya kuwa na dereva tena! Unafikiri inawezekana? Ni kweli! Mwezi wa 1 mwaka 2014, maonyesho ya teknolojia inayoitwa Electronic Trade Show CES ilifanyika Las Vegas, Marekani. Kwenye maonesho haya, sekta za magari na teknolojia wanakuja na kuonesha maendeleo kwenye magari ambayo yanajielekeza. Kwani wewe ulifikiri kwamba nguvu ya enjini na futumiaji wa petroli ni cha umuhimu zaidi? Kwa vizazi vijao, utaamulia gari kwa teknolojia yake na mtandao ambao umeunganishwa. Gari sio tu chombo cha usafiri tena, itakuwa kama sebule ambayo inakusafirisha kutoka sehemu moja kwenda kwengine. Hebu angalia gari la tarakibu la Mercedes! Linalo mwonekano wa wa siku za mbele sana, kwa nje na kwa ndani: Kiti cha mbele kinaweza kurudishwa mpaka nyuma, kwenye sehemu ya dereva hakuna mambo mengi ya kubonyeza, yote yanafanyika kwa kutumia teknolojia ambayo inasoma macho yako yanapoangalia, jinsi unavyosogeza mikono yako na wapi unapogusa. Utaweza kuendesha gari popote pale unapokaa ndani ya gari na kujipa muda wa kustarehe, kusoma, au kufanya kazi zako.
www.spiegel.de/fotostrecke/elektronik-messe-ces-autonom-fahrende-autos-digitalisierte-cockpits-fotostrecke-122585.html
KWENYE WAKATI UJAO, HII NDIO GARI TUTAKAYOIENDESHA!
ONGEA NA SAA YAKO KAMA VILE JAMES BOND – SMART WATCH YA KWANZA YA APPLE Smartphone ziko sehemu zote siku hizi. Lakini umeshawahi kusikia Smart Watch? Saa hizi ni kama kompyuta ambazo unazivaa! Saa ya Apple Watch inakuja kwa aina tofauti: Iko Apple Watch (iliyotengenezwa na chuma), Apple Watch Sport (iliyotengenezwa na aluminium) na Apple Watch Edition (iliyotengenezwa na carat 18 za dhahabu). Kutumia Apple Watch yako, unahitaji iPhone 5, 5C, 5S, 6 au 6 Plus. Saa zote hizi zinakuja kwa saizi kubwa au ndogo pamoja na aina nyingi za mikanda. Apple Watch hizi zinakuruhusu ujiunganishe na simu yako, contacts zako na apps nyingi tofauti. Unaweza kupiga na kupokea simu kwenye mkono wako, na pamoja na yote hayo, inaonesha muda wa saa! Siku ya Apple Watch kuzinduliwa ilikuwa tarehe 9 Machi na ilianza kupatikana madukani kuanzia tarehe 10 Aprili. Itakuwa na betri ya masaa 18 na itapatikana kwa bei ya $349. Sasa wewe unaweza kumwigiza “Mr. Bond. James Bond”!
36 BIASHARA, ELIMU & MAFUNZO
IDRIS SULTAN: $300,000
NI ZAWADI YA WATANZANIA! by MARRY MSEGELWA
I: “Kuwa wewe”! Ni kauli tata kidogo ila hiyo ndo iliyonipa umaarufu na kunifanya nifike hapa nilipo sasa. Nilikuwa na shauku ya kushiriki BBA kabla hata ya miaka 20, kwa hamu na shauku niliyokuwa ninayo nilianza kufuatilia show mbali mbali zinazohusu maisha ya BBA na kujipa mazoezi mimi mwenyewe. Interview ilikuwa ngumu na changamoto mbali mbali, ila sikurudi nyuma na kuhakikisha nafanya vizuri. Siku ya matokeo nilipigiwa simu nikiwa bado niko ofisini, daah! Nilifurahi sana na kujiona nimeshashinda shindano la BBA na hakuna mpinzani. Hatua zote hizo nilikuwa najieleza kwa ufasaha bila kuficha hisia zangu na kufeki uhalisia.
UMEJINYAKULIA KITITA CHA DOLA 300,000. PLANI YAKO NI KUZIFANYIA KITU GANI? I: Hahaha! Kiukweli ninaposhiriki BBA sikufikiria kabisa kuhusu pesa nitakayoipata nikiwa mshindi niifanyie kitu gani. Wazo langu kubwa ilikuwa kupata umaarufu na exposure, ila kwa sasa nina mambo mengi tu ya kufanya, nimeamua kutembelea miji na mikoa mbali mbali ya Afrika Mashariki kutoa shukrani zangu za dhati kwa mashabiki kwa sapoti yao. Na kupitia tour hiyo ninajaribu kuwaweka vijana karibu zaidi nakuzungumza nao pamoja kuhusu changamoto za kimaisha, kuwatia moyo na kuwashauri nini au kipi kifanyike ili kufikia lengo lao.
„
HONGERA KWA KUSHIRIKI NA KUSHINDA SHINDANO LA KIPEKEE LA BIG BROTHER 2014. HEBU TUAMBIE NI KITU GANI KILICHOKUFANYA UWE MAARUFU KWENYE TV SHOW HII?
FANYA KITU SAHIHI KWA WAKATI SAHIHI.
WEWE PIA NI MPIGA PICHA KWA WELEDI. HEBU TUELEZE KAZI YAKO ILIKUWAJE KABLA YA KUSHIRIKI BBA. I: Kabla ya hapo nilichukua masomo ya medicine na kusomea udaktari, baada ya muda niliamua kuacha baada ya kugundua haikuwa fani yangu. Sikuwa connected kabisa na masomo hayo, ndipo nilipoamua kuingia kwenye fani ya ubunifu. Safari yangu ilianzia kwenye kupiga picha za kawaida, pia nilijiunga na Model Continental. Nilifanya shughuli za modelling kwa muda na baada ya hapo nilifanya kazi na High View Studio kama mpiga picha, kwa muda wa mwaka mmoja na nusu na kuchaguliwa kuwa kiongozi wa photographer designer. Siku zote napenda kuwa top, nilifanya kazi kwa bidii na kufanikiwa kufungua kampuni yangu mwenyewe inayohusu photograph design na kuendeleza shughuli zangu mimi mwenyewe.
BIASHARA, ELIMU & MAFUNZO 37
ILIKUWAJE KWAKO KUJUA KILA UNACHOKIFANYA KAMERA IKO MBELE YAKO. ULIJISIKIAJE? I: Mimi ni photographer by profession, ila hii ilikuwa ngumu sana na ilinichukua takribani wiki na nusu kuanza kuzoea kucheza na camera. Ilifika wakati nikaamua kukubali matokeo kwasababu hakuna njia nyingine ya kukwepa. Pale ndipo maisha halisi na feki yanapodhihirika, kwasababu kama ulivaa uhusika wa mtu fulani kuna mambo yataishia njiani tuu. Nilikata shauri na kuplay pati yangu kama Idrisa.
ULIPATA UMAARUFU MUDA WOTE NDANI YA JUMBA LA BBA KUTOKANA NA WANAWAKE WENGI KUTOWEZA KUJIZUIA KUKUKATAA, JE USHAMPATA UMPENDAE? NA NI VIGEZO VIPI MUHIMU ZAIDI KWAKO? I: Maisha yangu katika jumba la BBA yalibeba uhusika zaidi, mimi ni mtu social, napenda kuwapa marafiki kipaumbele zaidi kuliko kuelezea matatizo yangu. Mimi ni mcheshi na ni wa kilodi. Ule utamaduni wetu wa Kianzania wa upendo, amani, ushirikiano na ukarimu ndo vilinipa upekee ndani ya nyumba ile na kila mtu alitamani awe karibu na mimi. Sifa za mwanamke ni ngumu kuzitaja kama sina hisia na mtu huyo.
NI MIRADI GANI UNATARAJIA KUANZISHA, PIA NI KITU GANI KINACHOKUWEKA BUSY KWA SASA? I: Kwa sasa tour yangu ndo nimeipa kipaumbele, kupitia tour hiyo nataka kuwahamasisha vijana kwa jinsi ya kukabiliana na changamoto za kimaisha na jinsi ya kutunza fedha. Nasimamia kampuni yangu ya photograph design, pia kuna foundation ambayo ni Sultani Foundation. Nimeianzisha special kwa vijana, walemavu na wanaoishi kwenye mazingira magumu. Hivyo ndivyo vitu vinavyoniweka busy kwa sasa.
JE, KUNA MABADILIKO GANI TOKA UTOKE JUMBA LA BBA? I: Mabadiliko yapo, mwanzo nilijulikana na watu mamia na sasa ni maelfu kutokana na umaarufu nilioupata. Pia kwa sasa nimekuwa kioo cha jamii zaidi, jamii inatarajia mambo mengi sana kutoka kwangu. Ninafikiri kwamba sina uwezo wa kutoa cash kwa kila muhitaji bali natafuta njia sahihi ya kuwasaidia vijana, walemavu na wanaoishi kwenye mazingira magumu.
NINI USHAURI WAKO KWA VIJANA? I: Kama kijana usipende kuridhika kirahisi, kuwa na shauku ya kufanya zaidi na zaidi, unapofanikisha jambo moja amini kuwa na la pili unaliweza. Acheni kubweteka na kulalamika maisha magumu, hakuna kitu rahisi kama hujasimama kidete na kukipigania. Tuache ile dhama ya kusema tajiri wa Tanzania anaanzia miaka 35, hiyo si kweli ukiamua unaweza hata ukiwa na miaka 18. Fanya kitu sahihi kwa wakati sahihi. La mwisho tujifunze matumizi mazuri ya pesa, kijana akiwa hana pesa anakuwa na malengo mengi na mazuri, akipata tu malengo yote anasahau na kuzitumia kinyume, akija kushtuka hana kitu tena na kuanza moja.
BONGO
MOVIE RELEASES
Steps Entertainment: Mkurugenzi wa Steps Entertainment ameeleza kuwa soko la Bongo Movie linakuwa tofauti na mwanzo kwa jinsi wasanii walipokuwa wakiuza na kutangaza kazi zao wao wenyewe. Steps Entertainment ilianzishwa mwaka 2007 na mpaka sasa wamepata mafanikio makubwa, wanauhakika kuwa asilimia ya 90 ya Watanzania wanaangalia Bongo Movie kuliko movie za Hollwood na Bollywood. Mkurugenzi huyo amekiri kwamba filamu yao ya kwanza ni Jeraha la Moyo na sasa wameshafanya filamu 1400 na wasanii mbali mbali. Pia ameongezea kuwa kila mwezi wanatengeneza filamu sita (6) zenye hadhi tofauti ikiwa vichekesho, mapenzi na maisha.
1
3
5
DOGO MASAI - Tunatamaa nyingi za shida, tabu na mateso lakini tunatamani vivyo hivyo vingekuwa vya kwa amani, furaha na vicheko. Kupitia shida zote hizi tunazozipata, inakuwa ngumu sana kuamini ipo siku tutapata faraja.
CHICKEN HEAD/KICHWA CHA KUKU - Unajua katika maisha siku
zote mwanamke anatakiwa kujiamini, na unachokifanya usidhani kama unafanya ushujaa bali unaonyesha udhaifu. Na inawezekanaje ukamuachia mtu aendelee kufaidi raha na mumeo!?
BEGGARS - "Kama ningekuwa
na uwezo, ningekubali vitu vyote katika dunia hii, lakini sio kitu kinachoitwa umasikini. Umasikini ni kitu kibaya sana". Fuatilia kisa hiki cha kijana James aliyetoka kijijini na kwenda mjini kutafuta maisha na hatimaye mambo yakawa ndivyo sivyo.
2
4
6
KITORONDO - Ajali ndio chanzo cha kumpeleka Fernando (Hemedy Suleiman) Uswahilini kutafuta passport yake. Anakutana na maisha ambayo hajawahi kuishi, na wenyeji wake pia wanamuona ni mtu wa tofauti. Ni sawa na KITORONDO kwenye kundi la kunguru.
WAJANJA WA MJINI - Ni ujanja
na usanii wa hapa mjini unaowaweka watu hapa mjini. Katika harakati za kupata riziki, akili ya ziada inahitajika ili siku ziende.
HISIA POTOFU - Sio kila mwe-
nye macho anaona na sio kila mwenye masikio basi anasikia, la Hasha. Haya yamemkuta Mr. Funga Funga baada ya kumuhisi mkewe ana mahusiano ya kimapenzi na kijana aliyekuwa mgonjwa wa akili. Hakika hii ni HISIA POTOFU.