TUPOMOJA MAGAZINE #6

Page 1

TOLEO No 6 JUL - SEP 2015

4,000

TSH

MITAZAMO TOFAUTI - SAUTI YA PAMOJA

Asili ya VINCENT KIGOSI unaijua kweli?

Ray

the

Greatest

UK 5

anatupa historia yake zaidi UK 10 UK 32 Kutana na

SANDRA

MUSHI

UK 30

Kumuanzia mwanamke

Pata mistari yenye swagga!

Jivunie kwa vazi la hijabu! Sara Shamsavari UK 17

Ajira, Gari, Vyumba na Vitu Mbali Mbali

Smartphone yako ni smart kweli? UK 34

EDUCATION - BUSINESS - LISTINGS - HEALTH - FASHION - LIFESTYLE - FOOD - SPORTS - LOVE - OPINION - TECHNOLOGY ELIMU - BIASHARA - ORODHA - AFYA - MITINDO - MAISHA - CHAKULA - MICHEZO - UPENDO - MAONI - TEKNOLOJIA


YALIYOMO

HABARI ZA TUPOMOJA

04 Tupomoja ni nini? 08 Angalia mtindo: Washindi wa Tupomoja Hair Model Contest Clara & James 17 Matangazo mapya ya Tupomoja

BURUDANI & MAISHA 09 09 31 35

Maajabu ya make up! Kabla na baada… Je unatambua kuwa nywele asili zinamvuto wa kipekee? Rangi zenye mvuto Hivi unajua kwamba...

MICHEZO & AFYA

12 Maisha ya Kiofisi zaidi 13 Kuelekea Afcon na Chan Tanzania

BIASHARA & ELIMU

36 Wewe ni Boss au Mfanyakazi mzuri? Jicheki! 37 Tupomoja CV Clinic: Hatua chache za kufaulu interview

UVUMBUZI & TEKNOLOJIA

34 Kipimo cha VVU kupitia Smartphone?? Inawezekana ndani ya muda wa dakika 15! 34 Vifaa 5 vya kuifanya smartphone yako iwe smart kweli, na kurahisisha maisha yako

UPENDO & MARAFIKI

14 Tamthiliya ya mapenzi: Ndoa yangu - Mwisho wa furaha ni huzuni 30 Wanaume wenye swagga wawe na mistari 38 Tupomoja leo: MICHEPUKO by Abdulmalik Siraj

MAONI & USHAURI

05 “Silaha yangu kubwa huwa ni hekima” - Ray the Greatest akihadithia maisha yake 08 Flora anaishangaa dunia: Cha Kiasili ni Kizuri?! 10 Msanii wa leo: Sara Shamsavari - Uzuri sio kitu cha kawaida kama 'pretty’. Uzuri ni kitu cha ukweli 32 Muelemishe mwanamke na utakuwa umeelimisha jiji zima: Sandra Mushi

KWA MAWASILIANO ZAIDI PUBLISHED BY Tupomoja Tanzania Ltd., P. O. Box 11493, Dar es Salaam, Reg. BRELA 90291, TIN 126-500-785

EDITORS

TOLEO No 6 JUL - SEP 2015

Julia Glei / Marry Msegelwa MITAZAMO TOFAUTI - SAU TI

PROOF & TRANSLATIONS Abdul Sykes

GRAPHIC DESIGN

Asili ya VINCEN T KIGOSI unaijua kweli?

YA PAMOJA

Ray the

Greatest

anatupa histor ia yake zaidi

UK 5

KEW Design UK 30

PICTURES

Kutana na

SANDRA

KEW Design Kristin Dorl

MUSHI

UK 36

GRATEFUL FOR THE SUPPORT OF

Kumuanzia mwanamke

Pata mistari

yenye swagga!

UK 10

Jivunie kwa vazi la hijabu

Sara Shamsavari UK 17

Ajira, Gari, Vyu mba na Vitu Mbali Mbali

Smartphone yak ni smart kweli? o UK 32

EDUCATION - BUSINESS - LISTINGS ELIMU - BIASH HEALTH - FASHI ARA - OROD ON HA - AFYA MITINDO - MAISH- LIFESTYLE - FOOD SPORT A - CHAKULA - MICHEZO - S - LOVE - OPINION - TECHN UPENDO - MAON I - TEKNOLOJ

Vincent Kigosi / Sandra Mushi Kipanya / Sara Shamsavari / Himco Flora Whitewings Interior Design / Shear Illusions Ltd. & Rehema / Clara & James / John Haule Abdulmalik Siraji / Mussa Ngwali / Kristin Dorl Mudy na Lawaa na Kundi lao zima

ADVERTISING Tupomoja is not responsible for products, content and range of services of their advertisers. We shall not be liable for the correctness of the information provided.

DISTRIBUTION Quarterly 5,000 copies | distribution points in Dar es Salaam, Zanzibar & other cities in Tanzania, Editorial deadline 4 weeks before publication

TUPOMOJA HOTLINES +255 776 77 12 12 / +255 773 13 13 32

UNI K AT W EZI YA M

MASOUD KIPANYA CARTOONIST


04

HABARI ZA TUPOMOJA

KARIBU / WELCOME TO THE

TUPOMOJA MAGAZINE

SW "Shauku yako itakuongoza“ Sisi tulis- EN: “Your passion will guide you” We were hangaa sana kuona kwamba kuna idadi kubwa ya vitabu kwenye soko ambavyo vinaongelea mada ya "Kuwa tajiri kwa haraka". Hivi kweli maisha yote ni kuhifadhi fedha, kununua vifaa ghali vya kisasa, majumba na magari na kuwaringishia wenzako? Au, zaidi ya hii, ni kukamilisha kitu maishani mwako? Kitu ambacho kina manufaa au madhara busara katika jamii, kuboresha ujuzi wako ambao unaweza kukuwezesha ufuate ndoto zako? Kila mtu ana vipaji, na kama wewe hujui vipaji vyako bado, kuna njia rahisi ya kuvitambua – fanya internship, jaribu vitu tofauti mapema iwezekanavyo, onyesha maslahi yako katika kazi za watu wengine, hata kama utaanza na familia yako! Kuwa na kipaji ni sehemu moja, soko la ajira ni sehemu nyingine. Jifunze kuhusu fursa zilizopo kwenye sekta mbali mbali. Watu wanafanya kazi gani? Ni wapi ambapo unaweza kujipatia nafasi ya kazi? Au unaweza kujitegemea. Endeleza bidhaa au huduma flani ambayo ni mpya na muhimu kwa maisha ya watu, jifunze kuhusu mikakati ya kuanzisha biashara yako kishwa watafute watu wajiunge nawe! Unahitaji kuwa na juhudi nyingi sana, shauku isioweza kutikisika na kiu ya kupata elimu – vitu hivi vitakuongoza kwa mafanikio yako. Tupomoja iko hapa kukusaidia ukiwa unaendelea hivi! Karibu katika toleo jingine la Tupomoja Magazine!

wondering about the amazingly high number of books which are on the market these days focusing on the topic “Get rich quickly”. Is life all about storing money and to buy expensive gadgets, houses and cars and to show off? Or is it more about to accomplish something in life, which has a beneficial or reasonable impact on the society, to improve my skills which can enable me to follow my dreams? Everyone has a talent, and if you don’t know yet what it is, there are easy ways to find out - do an internship, try things out as early as possible, show your interest in other peoples work, start with your family! Talent is one part, the employment market the other. Inform yourself about the chances in different sectors. Where are people needed? Where can you expect vacancies? Or get independently. Develop a product or a service which is new and useful, inform yourself about strategies how to start your own business and look for people to join! You need a big portion of effort, unshakeable passion and thirst for knowledge - they will guide you to success. Tupomoja is there to support you on this way! Welcome to another beautiful edition of the Tupomoja Magazine.

JULIA & MARRY EDITORS

NAWEZAJE KUINGIA SOKO LA TUPOMOJA?

Pata usaidizi kutoka Wakala wetu wa Tupomoja. Tuma SMS au tupigie simu ujue ni wapi karibu nawe walipo.

TUPOMOJA NI NINI?

Utapata vipi ajira? Utapata vipi wateja wapya kwa ajili ya kampun i yako au biashara yako? Unawezaje kutengeneza marafiki wapya au kupata mpenzi? Utawezaje kupangisha nyumba yako bila ya haja ya kumlipa dalali? Unawezaje kumchagua mtu wa kumpangisha kwenye nyumba yako? Yote haya na mengi zaidi inawezekana kwa urahisi kupitia Tupomoj a, soko jipya la kidijitali Afrika Mashariki! Sisi tunakuunganisha na watu na mabiashara, kukupa kile unachok ihitaji. Nunua, uza, na tangaza chochote kile – tangaza biashara yako , CV yako, nyumba ambayo unataka kupangisha, gari unalotaka kuliuza, marafiki amabao unataka kuwa nao , simu ambayo unaitafuta na vitu ving i sana vingine. Wasiliana nasi saa yoyote na pah ali popote!

BADILISHA MAISHA YAKO LEO!

Tuma SMS kwenda: +255 777 75 12 12 Tembelea tovuti yetu: www.tupomoja.co.tz Tuma barua pepe: karibu@tupomoja.com Tupigie kwenye hotline yetu: +255 776 77 12 12 au +255 773 13 13 32 Tembelea ukurasa wetu wa Facebook: facebook.com/tupomoja

#TAHARIRI

Ray the Greatest

VINCENT KIGOSI

“ SILAHA YANGU KUBWA HUWA NI HEKIMA”

by MARRY MSEGELWA

RAY AKIHADITHIA MAISHA YAKE

Baada ya kupiga msoto kwa muda wa miaka kadhaa kwenye vikundi mbali mbali vya Tamthilia zilizokuwa zikirushwa ITV anaamua kukomaa na kuanzisha kampuni yake Binafsi ya RJ Company.

Historia yako kwa ufupi ikoje? VK: Nimezaliwa mnamo mwaka 1980. Mimi ni mtoto wa mwisho kwenye familia ya watoto wanne. Kabila langu ni Mhehe na nimelelewa na kukulia katika maadili ya Kikristo. Mbali ya kufanya filamu pia ninacheza ngoma za asili kutoka makabila mbali mbali kama vile, Lizombe kutoka Songea, Mangàka kutoka Mtwara, Kiaso kutoka Pemba, Mdumange kutoka Dar es salaam n.k.

Hebu tuambie, jina la Ray lina historia gani? VK: Jina la Ray lilizaliwa kwenye michezo ya tamthilia enzi hizo katika kundi la nyota ambapo nilikuwa alimaarufu kama Ray Ray, baadae msani mwenzangu Singo Mtambaliki alimaarufu kama Rich Rich alinishauri nitumie jina moja la Ray pekee ili kufupisha, kwani jina likiwa fupi ni rahisi kueleweka na kukaririka. Halina usiri zaidi ya huo.

Kwa jumla, mpaka sasa umeshatengeneza na kucheza movie ngapi?

TOA MAONI YAKO

Wewe unafikiriaje? Tutafurahi kupata mchango wako! Tuma maoni yako kwenda 0779751212, anza na neno #tahariri

MAONI & USHAURI

VK: Mmmh! Mpaka sasa nimeshafanya movie zaidi ya 50 kwenye makampuni mbali mbali na kushirikishwa. Na movie zisizo pungua 33 nimecheza chini ya uandalizi na usimamizi wa kampuni yangu ya RJ.

CHANGING LIVES

05


06

MAONI & USHAURI

Ni kitu gani kinamsukumo mkubwa kwako kwa sasa? VK: Dhamira yangu kubwa ni kuingia soko la kimataifa, hivyo akili yangu na nguvu zote nimezielekeza kwenye kazi yangu. Uigizaji kwangu ni kazi, naipenda sana kazi yangu pia naifanya kwa passion. Nikiwa location napenda kufanya kazi nzuri yenye ubora. Kazi zetu tunafanya kwa bajeti ndogo sana hii ni kutokana na soko lilivyo ila bado najitahidi kuangalia mbele na ndo maana nafanya kila jitihada kutoa kazi nzuri.

Ni kitu gani kilikuvutia kuwa Ray wa sasa? VK: Shauku yangu na mapenzi ya sanaa ya uigizaji ndivyo vilivyonifanya niwe hivi nilivyo. Napenda kuigiza toka nikiwa shule, japo familia yangu ilipenda nisome tu, nije kuwa doctor au mwanasheria hivyo nikawa msindikizaji wa marafiki zangu JB na Rich wakienda mazoezini. Shukrani zangu za dhati kwa mama yangu mzazi aliyenipa sapoti ya kutosha kutimiza ndoto zangu. Aliiona passion yangu na akaniamini kwamba naweza. Haikuwa shida kutumia chumba chake kwa ajili ya shooting pale ninapohitaji.

MAONI & USHAURI

...IPENDE KAZI YAKO, JITUME, UVUMILIVU NA NIDHAMU KAZINI. Uko busy kama muigizaji, mtengenezaji na msimamizi wa kazi zako. Hebu tuambie msingi wa elimu yako uliegemea masomo gani na umejifunza wapi ujuzi wa mambo hayo. VK: Elimu yangu mimi ni ngazi ya chuo, na katika fani ya uigizaji nimejifunza kupitia uzoefu wangu kupitia vikundi mbali mbali na jitihada zangu mwenyewe. Kwa Tanzania hatuna vyuo maalumu kwa ajili ya kusomea directing, editing na hata kozi za uandaaji wa story. Nimejifunza zaidi kupitia internet na movie za wenzetu nchi zilizoendelea kama Marekani Nigeria na Ghana. Ahsante sana. Lengo na shauku ya RJ Company ni kukuwa na kutambulika zaidi katika soko la kimataifa. Vitu tulivyotamani sana kufanya miaka 10 iliyopita ni kutanua wigo zaidi na kufanya collaboration na wasanii kutoka Nigeria na Ghana ili tupate kuingia soko la international. Kitu kinachotubana zaidi wa sanii wa Bongo ni usambazaji wa kazi zetu. Kwa Tanzania mpaka sasa tunamsambazaji mmoja tu ambao ni Steps Entertainment ambaye ni monopoli na analipeleka soko anavyotaka yeye.

Je kuna ushindani mkubwa sana kwenye soko la movie? Wewe unafanya kitu gani tofauti? VK: Mshindani wangu mkubwa alikuwa ni Marehemu Steven Kanumba kwa sasa sina mshindani. Zipo kampuni nyingi tu na nzuri ambazo zinafanya movie ila bado hawajanipa challenge kwenye soko mpaka sasa. Kazi zetu ziko kwenye kiwango.

Unaushauri gani kwa mtu anayefikiria kuingia kwenye biashara hii ya Bongo movie ikiwa kama mwandishi, mhariri, muigizaji, mtu wa camera, msaidizi, mtu wa make-up n.k.? VK: Unapotaka kuingia kwenye fani yoyote, kwanza kabisa ipende kazi yako, jitume, uvumilivu na nidhamu kazini. Watu wengi wanamtazamo tofauti na kazi ya filamu. Wengi wao hudhani maisha yakiwahinda bora wakaingie kwenye uigizaji waonekane kwenye runinga watatoka kwa urahisi. Haiko hivyo, bidii yako ya kazi na kuifanya kwa moyo ndo itakayokufanya upige hatua.

Unapoandaa filamu, watu wengi hushiriki. Ni changamoto gani unazipata kwenye team work? VK: Kila binadamu amekulia katika mazingira tofauti, hivyo tabia na mienendo pia hutofautiana. Utakutana na watovu wa adabu, wastaarabu, wavivu, wachapa kazi wote unakuwa nao katika timu. Hivyo silaha yangu kubwa huwa ni hekima, panapotokea mgongano huwaweka pamoja na kufanya mazungumzo ya pamoja.

07

Unahitaji kitu gani kutengeneza filamu nzuri? VK: Movie nzuri inatokana na vifaa vizuri, uandalizi mzuri, usimamizi makini, story nzuri na wasanii wazuri. Vitu hivyo vinahitaji bajeti nzuri. Kikubwa zaidi ya vyote ambacho ni kilio kwetu.

Filamu gani unajivunia? VK: Kiukweli napenda na najivunia movie zangu zote nilizozifanya, hakuna inayonichosha kuangalia. Na zote zinafanya vizuri sokoni.

Msanii gani ungependa kumshirikisha kwenye kazi zako? VK: Msanii yoyote wa Afrika anayefanya vizuri kwa wakati huo na anaye endana na story yangu. Wapo wasanii wengi wanaofanya vizuri Afrika.

Kwa upande wa burudani - una ujumbe wowote kwa mashabiki wako? VK: Wito wangu mkubwa kwa mashabiki, wanunue kazi original, watupe sapoti ilitupate kukuza soko la Filamu Tanzania. Watu wa vibandani wauze kazi na sio kukodisha, wanadidimiza soko la movie na kutufanya tuzidi kuchelewa bila kusonga mblele na hii inasababisha kutuona tunafanya kile kile kila siku.

Je mmeweka mikakati ipi ya kuthibiti hati miliki ya kazi zenu? VK: Kwa upande wetu ni ngumu kwasababu sisi hatugongi copy wenyewe zaidi ya Steps Entertainment. Kosa kubwa tunalolifanya ni kuuza haki miliki yetu, yaani orignal copy kwa msambazaji wetu hivyo kwetu ni ngumu sana kudhibiti kwani hatujui hata ni copy ngapi hutolewa kwa mauzo. Inatulazimu kuuza haki yetu kwasababu hakuna pengine pa kukimbilia.

TOA MAONI YAKO

Tunahitaji kujua mawazo yako! Katika Tanzania ya filamu ni msanii gani wa kike au wa kiume unayempenda? Tuma jibu lako kwenda 0779751212, anza na neno #movie

#MOVIE


08

HABARI ZA TUPOMOJA

ANGALIA

MITINDO Washindi wa Tupomoja

BURUDANI & MAISHA

JE UNATAMBUA KUWA NYWELE ASILI ZINAMVUTO WA KIPEKEE?

HAIR CO N T E S T 2015

Raymond JAMES Chambo, 22, ARUSHA Computer Engineer

CLARA Raphael Nindi, 25

DAR ES SALAAM Mwanafunzi wa elimu ya juu

MAONI & USHAURI

FLORA ANAISHANGAA DUNIA:

? 1

Muonekano wako binafsi wa nywele ni upi?

Irene Natural kinky

2

by HIMCO FLORA

CHA KIASILI NI KIZURI?!

Umepata wapi hamasa?

Kila msichana anakumbuka ile siku ambapo mama yake alimuita jikoni na kumwambia kwamba wanaenda salon kunyoosha nywele. Anakumbuka jinsi alivyofurahi siku hiyo ya kwenda salon, siku ambaye aliipania maisha yake yote, siku ambapo atakuja kuwa mwanamke mrembo. Lakini zilikuwa ndoto tu. Anakumbuka cream ikiwekwa kwenye nywele zake…na jinsi ilivyomwunguza! Kama vile alikuwa amewashwa moto! Lakini alimwambia hairdresser kwamba anaweza kuvumilia zaidi kidogo, kumbe kichwa kimewaka. Kulikuwa hakuna cha kumzuia akinyosha nywele zake, ziwe nduri kama mrembo. Na sasa amekuwa mwanamke anayevutia wanaume. Anakumbuka jinsi marafiki zake walivyomsifia. Wao walikuwa hawajawai kunyoosha nywele, na walimsifia kwa jinsi nywele zake zilivyonyooka kama warembo wa kwenye TV. Lakini hakuwaambia kuhusu vidonda vya kichwani kwake, kuhusu jinsi nywele zake zilikuwa kavu na kukatika saa zote, kuhusu jinsi nywele zake zilikuwa zinaendelea kuwa fupi zaidi na zaidi. Na pia anakumbuka mara yake ya pili ya kwenda kuzinyoosha, mara yake ya tatu, nay a kumi. Nywele zake ziliendelea kuanzia juu zaidi kichwani, na kuanza kupoteza uweusi wake mpaka kuwa na rangi ya udongo. Kila ambacho alikijaribu lilikuwa halibadilishi hali yake.

4

Ni kiasi gani cha pesa unatumia kila mwezi kwa ajili ya kutibu na kutengeneza nywele zako?

Mercy

Kwa sasa Nyeusi, asilia nimesuka na ndefu weaving ndefu Zote natural na artifial, nabadilika kulingana na wakati na mahali ninapokwenda

Asili

Ipi unapenda zaidi? Asilia au artificial?

3

Cynthia

Asilia

Mimi binafsi, pia Nimepata huwa nafatilia hamasa kwa mitindo ya nywele katika mama yangu majarida na blogs mbalimbali

My mum

50,000 kwa mwezi

50,000100,000 kwa mwezi

Shampoo na mafuta ya nywele tu, 15,000

Jacqueline

Mariana

Nina nywele asilia (dreads)

Rasta (nimesokota rasta)

Nywele fupi kiasi, natural

Nywele ni upara

Asilia

Asili

Natural

Asilia

Mimi mwenyewe

Hamasa mwanamziki Nakaaya Sumari na Amber Rose kutoka Marekani

Laki moja kwa mwezi

3,000 kwa mwezi

Kwa naaziz

30,000 kwa mwezi

48,000 kila mwezi

Ellen

09

Carol

Himco Flor a

Mara kuna ile siku ambaye ikafika. Siku wapi alikuwa yuko kwenye intaneti, akiwa anacheki Facebook na Twitter, Instagram, na kuangalia televisheni. Siku wapi msichana mwenye nywele zake za kiasili, akiwa ameziachia kwenye afro na kuongelea jinsi amekuja kugundua uzuri wa kujitambua kwa njia za nywele zake za kiasili, kupenda uzuri wake, afya yake nzuri, jinsi zilivyojifunga, jinsi anavyoweza kuzitengeneza kwa style nyingi. Jina la wasichana hawa: NAPPY (Ufupisho wa “Natural Happy Hair”). Anakumbuka jinsi alikuwa anwaelewa yale waliyowapitia: Kuchagua kama hizo nywele ni za kukata na kuanza upya au kuacha kutumia dawa taratibu. Wengine wnakumbuka wakienda kwa kinyozi wa wanaume na kumwomba azikate zote. Wanakumbuka jinsi walikuwa wanajiuliza kama “je, hivi sasa mimi ni mbaya?”, wanakumbuka ugumu wa kupata mafuta kwa ajili ya nywele zao za kiasili, maneno ya wanaume na wanawake. Lakini kile ambacho wanakikumbuka kuliko vyote ni upendo, jinsi walivyoanza kujivunia na kujiona kwa kila sentimita nywele zao zilianza kukuwa na wao kuanza kujisikia tena. *Himco Flora ni msichana mwenye miaka 23 na ni mwandishi wa blog anayesoma chuo kikuu cha Dschang Cameroon. Anapenda miziki ya dini na mwenye nywele za kiasili miaka 4 mpaka sasa.

CHO KILA AMBAU ALIKIJARIB LILIKUWA ISHI HALIBADIL. HALI YAKE Wengine sisi bado tuko mwanzo kwenye njia hii, wengine tuko kati ya safari hii, na wengine tunaendelea. Lakini wote tunasikia hamu ya kurudia kwenye asili yetu. Nywele za afro sasa hivi ni mtindo tu, lakini zaidi ya hapo ni kuhusu siasa! Ni jinsi ya kutambua vile ambavyo Mungu amekuumba, na kuionyesha dunia nzima kwamba: Nywele za afro ni nzuri!

TOA MAONI YAKO Tunapenda kujua mawazo ya wasomaji wetu! Kitu gani unakipenda kutoka kwenye nywele zako? Tueleze kupitia 0779751212, anza na neno #nywele #NYWEL

E

Warda

Asia

aia kaw i ni w ake-up. s f a in gu b iwa na m mitinwan e kano sana nik a kweny kwaa, e n o Mu maju anks enda asa tok p a ji n a a ra B ma da. N ata ham a runing a Ty y ka ep Nim alimbali do kam tumia . a b in angu do m anamit emba. N ngozi y aida w d a kwa iriam O a ajili y Kwa kaw kea ri. M kw na sini u ni faha uweka m m a h k g i n u a lf m e w u bo k ika k Urem mia dak tu a in n soni. up u

na lip-gloss ila eye-liner Wa kawaida, nikiwa ny, ea . Inategem bila kukosa a asili ila w ku nda zaidi e-up. umbani nape napaka mak u im uh m i kwa mitoko zangu na rafik da da ni a Hamasa kubw si zaidi ya ia m tu na i mwez zangu. Kila rub. Urembo kununua sc elfu 20 kwa mwanamke. a kw ujasiri ni ishara ya a anapenbu m anayejita Mwanamke Mara nyingi e. muda wot ndelea kuvutia a 5 kwa kute kik da i id ziz ninatumia ha kutoka. ya a bl ka u yang geneza sura

Catty

Muonekano wang u na rangi yangu ni ya asili. Napend elea muonekano asilia. Favian Matat a na Miriam Od emba ni hamasa kubw a kwangu. Natum ia si zaidi ya 20,000 kila mwezi. Nape nda urembo na kuon ekana mrembo kw angu ina nafasi ya juu kuliko kitu cho chote. Ninatumia si zaidi ya dakika tan o kwa kutengeneza sura yangu kabla ya kutoka.

KABLA & BAADA MAAJABU YA MAKE UP! Kwa kushirikiana na Shear Illusions Ltd. info@shearillusions-africa.com | +255 222 774 730 www.shearillusions-africa.com

Marry

Kawaida, mimi nipo Napenda bila mak asili e-up. ngozi yang a zaidi, kwa afya na kulinda u. Mama yangu mza najitambu zi, tangu a mpaka sasa sija muona ku wah tumia vipo dozi na ng i kunyororo ya ozi yake ku natumia el vutia. Kwa mwezi, uwa nifu 20,000 . Kila wiki uso wangu nasa kwa kutu mia mchan fisha wa asali, may ganyiko muda mw ai, tango au parach ingine na ichi na tumia liw yangu ni a. Mafuta Vaseline. Urembo na kano kam muonea mwanam ke naupa mwanzo. nafasi ya Muoneka no Dakika ta wako ndo no zinani judge. tosha kw neza sura a ku yangu ka bla ya kuto tengeka.


10

MAONI & USHAURI

MAONI & USHAURI

Msanii wa leo: Sara Shamsavari

UZURI SIO KITU CHA KAWAIDA KAMA 'PRETTY' UZURI NI KITU CHA UKWELI

11

"Vile ambavyo vinatufanya kuwa tofauti ndo vile ambavyo vinatufanya tuwe wazuri..."

Story Yake

Sara Shamsavari ni msanii kutoka Uingereza na mwenye urithi wa Iran. Kazi zake za ubunifu zinahusiana na jinsi inabidi tuangalie upya jinsi tunachukulia na kuelewa utambulisho wetu na masuala ya kijamii na kiutamaduni. Picha zake zinahamasisha msimamo mpya katika masuala ya mambo ya maadili zisizo hukumu, usawa, umoja katika utofauti na uwajibikaji wa pamoja. Moja kati ya miradi yake maarufu ni picha za wanawake wakiwa wamevaa hijab. Alipiga picha za “hijabistas” hawa katika mitaa ya London, Paris, New York, Toronto, Philadelphia and Chicago.

Picha zako zingeweza kuzungumza na wale wanazozitazama, zingekuwa zinasema nini? SARA: Picha za kazi zangu zingeweza kuzungumza, zingesema:

“Muwe mnapendana, mkubaliane kwa jinsi mlivyo tofauti, muwe mnafundishana, muwe watu ambao mnaangaza badala ya kuwakwamisha wenzenu.” Ningependa sana kuleta mwungano kati ya watu, wawe wanaonana kama binaadamu, na sio tu kwa mipango ya jinsia, uraia, dini n.k. Vile ambavyo vinatufanya kuwa tofauti ndo vile ambavyo vinatufanya ni wazuri , na ni hivi vitu ambavyo inabidi tuishangilie. Mimi ninaamini kwamba hakuna ambacho kinafurahisha zaidi kama pale ambapo watu tofauti wanajaribu kuelewana. Kwangu mimi, usanii bora ni ule ambao unamaana kwa mida yake na inayo uwezo wa kutufanya tujiulize upya kuhusu maoni yetu, maamuzi yetu na jinsi tunachukulia vitu tofauti.

Kwa macho yako, mtu kuwa mzuri inachukua nini? SARA: Uzuri ni kitu cha ndani zaidi kuliko yale ambayo tunaweza kuona na macho pekee, huwezi ukailinganisha na umri, utamaduni, umaarufu kwenye jamii, rangi ya ngozi, umbo wa mwili, urefu, unene au mavazi. Mbali ya jinsi kote duniani tunatenganisha na kuachana na uzuri wa aina flani, uzuri uko kila sehemu. Hauwezi kuitafsiri wala kuieleza, inaamsha roho na kujionyesha kwa kila mtu na kila sehemu. Kila mtu anazo dosari zake, ndani na nje, na ni jinsi ambavyo kila binaadamu anavyokuwa na kujionyesha jinsi alivyo ni mzuri ndo inavutia kwa sababu ya ukweli ambao unajiuonyesha. Uzuri sio kitu cha kawaida kama ‚pretty’. Uzuri ni kitu cha ukweli.

SA SHAMSRA AVARI

www.s

arasha

"The modest sistas” - Tanzania

msavar i.com /sarash amsava ria sara_s hamsav rt ari

TOA MAONI YAKO Na wewe je? Ni mtindo upi wa hijabu unaupenda? Tutumie picha yako kupitia WhatsApp to 0779751212, na upate nafasi ya kuchapishwa toleo lijalo, anza na #hijab

#HIJAB


MICHEZO & AFYA

MICHEZO & AFYA

by JOHN HAULE

Ofisi ni mahali panapofanyika kazi zinazotumia ubongo zaidi. Hii hufanya mfanyakazi wa ofisi kuwa na wakati mgumu pale majukumu yanapozidi na kuuelemea ubongo wake. Ni mara ngapi umewahi kusahau namba za simu za wateja wa ofisi? Je, haijawahi pia kukutokea ukasahau ulipoweka funguo za gari, ofisi au ulipoweka simu yako? Kabla hujaulaumu usahaulifu wako, uzee wako au ukasingizia wingi wa majukumu ni bora ukajiuliza huwa unakula nini? Hapo utagundua kuwa mtindo mbaya wa kula chakula unafifiza fikra zako, akili yako hufifia mwisho wa kufikiri, ujanja wako hupungua, kumbukumbu hupotea, mzito kutoa maamuzi, lakini pia taratibu utagundua unauzeesha ubongo haraka. Hali hii hutokea kwa wengi wetu na chanzo ni kwamba ubongo ni asilimia thelathini (30%) ya chakula chote ulacho kutwa mzima. Ajabu hii!

Uhuru wa kweli.pdf

Ni ajabu ubongo kutumia theluthi nzima ya mlo wa siku nzima ila utashangaa zaidi kusikia pia ubongo ni kiungo kinachofanya kazi bila kusimama toka uzaliwe hadi utakapokufa. Iwe usiku au mchana. Hii ndio maana ubongo upo kazini unastahili kula zaidi. Sasa, iwapo wewe unafanya kazi ofisini basi elewa kuwa zana kubwa ya kazi zako ni ubongo na ili ifanikiwe kumudu kazi zako basi kitaalam unashauriwa kula kifungua kinywa kila siku asubuhi. Hakikisha unapata mlo mzito asubuhi na bila shaka hutachoka, hutachanganyikiwa, hutasahau vitu n.k. ila zoezi la kula vizuri asubuhi likiendelea kwa wiki tatu hadi nne, basi utashuhudia mabadiliko ya ajabu katika akili yako na hata nguvu za mwili mzima kwa ujumla. Hii itaimarisha pia mahusiano na mwandnai wako kwani bila kujitambua utagundua nguvu za kulikabili jukwaa la faragha zimerudi tena! Hakika maisha yenye furaha yataanza hapo. Je, ni chakula kipi kizito cha asubuhi kinachotibu ubongo?

1

7/6/15

Mlo wa asubuhi zaidi ni matunda kama vile: •

by MUSSA NGWALI

Embe, ndizi mbivu, papai, uji wa lishe kikombe 1, chungwa au nanasi. Epuka: Nyama, sambusa, bajia, chapati, supu, na chakula chochote kile chenye mafuta mengi.

Kwa wanaofanya kazi ngumu kama vile ya kulima, au ujenzi mnahitaji mlo mzito kabla ya kuanza kazi ili usiishiwe nguvu njiani. Huyo anaweza kula: Ugali na mboga ya majani, mihogo ya kuchemsha, wali maharage na matunda bila kukosa. Pia anashauriwa kula kwa kiasi, akizidisha kazi itamshinda kwa uchovu wa shibe. Yote haya ya kiwa na maji kama ni uti wa mgongo. Hivyo jitahidi kupata japo lita 2 kwa siku.

6:52 PM

Uhuru wa kweli

M

Kwa wengi wenu ambao mtakuwa hamlifahamu hili, Tanzania ilikuwa inatoka katika pinga la hali ngumu ya kimaisha, na tulikuwa tunatoka kwenye vita kubwa ya Kagera 1978. Uchumi wa nchi ulikuwa sio mzuri, TANZANIA NATIONAL lakini kocha mzalendo ambaye kwa TEAM 2009 sasa ni mkuu wa mkoa Mheshimiwa Joel Bendera alifanikiwa kutupeleka huko Tanzania ni nchi iliyojaliwa amani na utulivu katika bara la Afrika. Lakini kub- Surulele Lagos Nigeria katika michuano wa na la kushangaza bado tunayumba hiyo ya mataifa huru ya Afrika. sana kwenye michezo hasa kwenye ngazi za kimataifa.

MPAKA LEO HATUJAWAHI KUPATA NAFASI KAMA HII... KUSHIRIKI MICHUANO MIKUBWA YA AFCON.

Leo nitazungumzia hali halisi ya soka la Tanzania, katika medali ya michuano migumu ya Afrika. Ile ambayo inayofahamika kama kombe la mataifa ya Afrika AFCON na ile inayoshirikisha wachezaji wa ndani tu, yaani CHAN. Kwa bahati nzuri kwa mara ya kwanza tulishiriki kombe la mataifa huru ya Afrika, kipindi hicho ikifahamika hivyo katika miaka hiyo ya 1980.

Huna hofu ya kukosa yanayojiri jiunge na vifurushi VIPYA vya intaneti ujimwage sasa C

Piga *149*01# kujiunga

Y

CM

MY

CY

CMY

K

13

KUELEKEA AFCON NA CHAN TANZANIA

MAISHA YA KIOFISI ZAIDI…

12

JOEL BENDERA

Na ukichukulia timu yetu ya Taifa inaudhamini mzuri sana na mazingira mazuri kwa wachezaji wa sasa tofauti na wale walioshiriki miaka ile kutokana na kutokuwa na wadhamini lakini wao walijitahidi na kufanya vizuri zaidi. Lakini hadi leo tunaendelea kusua sua, pamoja na wachezaji kuwa na hali nzuri ya kifedha na kimaisha lakini hatujaweza kushiriki michuano mikubwa kama hiyo labda ile ya CHAN pekee ambayo nayo tulishiriki mara moja tu pale ilipo anzishwa na tulifanikiwa kushindana vyema na kocha wa kigeni Macio Maximo. Hata tukiwa na makocha kutoka katika mataifa mageni pamoja na wazalendo bado hawajaweza kutufikisha pale tunapohitaji. Ukichukulia ratiba ya AFCON imetoka na inaonyesha itakuwa ni ngumu sana, kulingana na timu ambazo tulokuwa nazo kundi moja kwa mfano nchi ya Nigeria na Misri ambao wote hawa wameshawahi kuwa mabingwa wa kombe la Afrika.

Tulifanikiwa kuiwakilisha vizuri nchi yetu ya Tanzania na kushindana kiukakamavu, lakini kwa bahati nzuri au mabaya hatukubahatika kufanya vizuri japo tulikuwa washindani wa kweli. Lakini tangu kipindi hicho mpaka leo hatujawahi kupata nafasi Je, tutahakikisha miamba hii ya soka la kama hii mpaka leo ya kushiriki michuano Afrika na kufanikiwa kucheza michezo ya AFCON mwaka 2017. Tusubiri tuone mikubwa ya AFCON. hakuna linaloshindikana.

Vodacom Kazi ni kwako

Bila mpaka kuanzia

1000

Tsh kwa siku

TOA MAONI YAKO

Tupe maoni yako! Unadhani timu gani ni nzuri zaidi kwa Tanzania? Tuma jibu lako kwenda 0779751212, anza na #simba, #yanga au #azam

#SIMBA, #YANGA AU #AZAM

MACIO MAXIMO


14

UPENDO & MARAFIKI

U NG YA OA ND MWISHO WA FURAHA NI HUZUNI

BAADA YA KUMALIZA PIRIKA ZOTE ANAAMUA KUMPIGIA SIMU RAFIKI YAKE SALHA.

ABASI ni kijana mtanashati, anafanya kazi ya utangazaji. Muda mwingi yuko busy, kukutana na wafanya kazi wenzake, marafiki, safari za hapa na pale na kuchati kwa sana. Haiba yake ilimfanya mkewe kumpenda zaidi na kumwamni kwa kila atalomwambia. Ila kuna siri kubwa imejificha ndani ya moyo wake.

1

Mke wangu hii ndo nyumba yetu na kuanzia sasa maisha yetu na watoto wetu yatazaliwa upya hapa.

UPENDO & MARAFIKI

ADILA ni mwanamke jasiri na mwenye kujitegemea, mwanamke aliye amua kuacha kila kitu na kumsikiliza mumewe. Akiwa na umri wa miaka 30 alianza kazi ya uana sheria katika kampuni ya Simama Imara. Baada ya kuolewa anaamua kuufwata moyo wake na kuanza ukurasa mpya huku akitumai kupata maisha yenye furaha na upendo.

2

Mwenzangu! sina honeymoon wala kimwezi. Bwana mkubwa yuko busy viba vibaya. Mie ndo niko nyumbani nabadili mikao tuu, mara nilale, nikae, au niangalie Tv ndo kazi zangu sasa hivi. Nimechokaje?

3 14

Wewe kwangu ni kama nuru, nyota na mwezi zingรกazo angani. Sintokubali kukupoteza kwa gharama yoyote.

Najivunia kupata mume kama wewe, wewe ndo ndo kila kitu kwangu. Furaha yangu kipimo chake hakuna.

Hey mumy, jamani umenisusa hata sms?

Hahaha, watu na ndoa zao, nimeuchuna ili ufurahie honeymoon yako mumy, ila nakumisi sana tuu. Haya lete mapya maana nakujua ukipiga simu basi unalako moyoni!

Mmmh! pole mumy maana na unavyopenda kazi si utaumwa wewe? ila kama vipi tutoke basi jumamosi tukacheki mitumba pale kijiweni kwetu. Anakata kila wiki ya ukweli.

Mume wangu hata sikuelewi siku hizi kauli na vitendo vyako. Umeingia nakuja kwa bashasha kukupokea umenipiga kikumbo, sasa hivi unanitlea maneno ya dharau. Hivi ni kwanini? Haya na wewe mwenzangu usiyeishwa na safari wapi tena na ndo kwanza umeingia?

16

15

Mume wangu jumamosi naenda shooping na Salha

ABASI ANAINGIA HUKU SURA KAIKUNJA, ADILA ANSOGEA KUMLAKI ANAMPITA KAMA UPEPO

Leo huondoki. Mimi ni mkeo, napaswa kujua nyendo zako, na kama safari za kikazi kwanini usinishirikishe.

15

3

17

ASUBUHI ABASI TAYARI KUELEKEA KAZINI 3 5

6

Baki salama mke wangu. Nakupenda sana, mwaaah

Nakutakia kazi njema mume wangu. Nakupenda pia

18

19

ABASI ANAFANIKIWA KUONDOKA, ADILA KWA UCHUNGU ANAAMUA KUMTUMIA SMS RAFIKI YAKE SALHA KUWA HATOWEZA KWENDA.

Mpenzi najua unaipenda sana kazi yako, ila nahitaji mke wangu apate muda mwingi wa kupumzika, hivyo ni vyema kuacha kazi. Mimi nitashughulikia mahitaji yote na wewe utafanya kazi za nyumbani tuu. Nafanya hivi kwa mapenzi mazito juu yako laazizi, naomba unielewe.

4

7

Mwanangu sina urithi zaidi ya elimu nilokuwezesha. Hali yangu unaijua na sasa naelekea uzeeni, kazi uliyoipata ishikilie tena kwa makini. Future ya watoto wako iko mikononi mwako, ndoa za sasa ni mtihani.

Adila, fikiria mara mbili si dhani kama unafanya maamuzi sahihi. Maisha ya sasa yamebadilika, wote wawili mkiwa na kazi ni rahisi kumkwamua mwenzio. Nakupa nafasi ya kurifikiri hilo. 8

ADILA ANARUDI KITANDANI, ANAVUTA MTO ANAWAZA MAISHA MAPYA. ANAKUMBUKA MUMEWE ALIVYOMSHAWISHI AACHEKAZI

BADO AKIWA KWENYE DIMBWI LA MAWAZO, ANAKUMBUKA MANENO YA BOSS WAKE

20

21

SALHA ANAKWENDA KUMTEMBELEA SHOGA YAKE.

Mumy am sorry, sinntaweza kuja leo sijisikii vizuri. Tutapanga siku nyingine.

Jamani best, karibu. Nimefurahi kweli ujio wako.

24

Ahsante bi mtawa. Umengara kama dodo la msimu wa masika hahaha 22

MANENO YA BUSARA KUTOKA KWA MAMA YAKE YALIJIRUDIA AKILINI.

Si vyote vingaavyo ukadhani ni dhahabu Salha. Mateso na maumivu nayajua mwenyewe. Ndoa yangu imenitumbukia nyongo, hata kuisikia sitamani.

Huyo Abasi wa zamani, sio wa leo maana kanibadilikia sina hamu nakwambia. Sijua muda wake wa kuingia wala kutoka, tena nisithubutu hata kuuliza, jibu lake moja tuu mimi hoi.

23

Hapa ninaujauzito, mwenzangu habari hapati. Najuta kuacha kazi, kesho na kesho kutwa nitakuwa mgeni wa nani mimi, na hichi kiumbe kitaishi mazingira gani! hata jibu sipati Salha

25

Usijali Adila, tuko pamoja. Nitakuwa na wewe bega kwa bega mumy acha kulia please.

Inaniuma sana Salha, mwanaume niliyempenda na nikawa tayari kuacha chochoe kwa ajili yake, Abasi leo wa kunitenda hivi jamai. mhmhmh

27

Vumilia best, mimi nimeachwa kisa sina kizazi. Afadhali wewe hata akikuacha utapata faraja yako mtoto, usijipe mawazo mengi ukahatarisha maisha ya mwanao bure. Yatakwisha.

28

BAADA YA MIEZI KADHAA KUPITA, ADILA ANAPATA MTOTO WA KIKE HUKU AKIVUMILA NA KUJARIBU KUTETEA NDOA YAKE. AKIZUNGUMZA NA MAMA YAKE AMBAE HAWAJAONANA KWA MUDA MREU ANAMUAHIDI KWENDA KUMTEMBELEA.

Mama samahani, mume wangu yko busy sana na kazi ndio maana hatukuweza kukutembelea mara kwa mara. Mjukuu wako pia amekua sasa ntakuja nae hivi karibuni ucheze nae hata uchoke mwenyewe.

Mtoto kwa kujitetea wewe, haya karibuni mimi nipo siku zote. Kama nyie hamtaki kuja nileteeni huyo mjukuu wangu tuu nyie kaeni huko huko.

13

12

ANAOSHA VYOMBO

Mmmh! Watu wanayaweza, haya muda wote kumbe kayaficha makucha yake sasa anataka kukuparua. Mwenzangu mbona hata sitaki kuamini.

Mmmh, yamekuwa hayo tena. Kulikoni jamani. 26

11

ANAFAGIA

Kumbe hunijui vizuri! Niachie kabla sijakuvuruga vuruga sura yako.

9

ADILA ANAINUKA KITANDANI NA KUANZA SHUGHULI ZAKE ZA NYUMBANI KAMA KAWAIDA.

10

Unataka kunipanda kichwani sio? kila ninapokwenda nikwambie, unaakili sawa sawa wewe?

So hiyo ndo salamu? Sijui nimeoa mwanamke gani asiye hata na maadili kwa mumewe. Looh! sina hata hamu na wewe.

ANAPIKA

ANANYOOSHA NGUO

29

30

31


UPENDO & MARAFIKI

16

ABASI ANAONDOKA TENA NA KUMWACHA ADILA AKIHUZUNIKA.

ANAINUKA KWA HASIRA NA KUMFWATA

ABASI ANARUDI IKIWA SIKU 3 HAJALALA NYUMBANI. ANAMKUTA ADILA NA MTOTO WAPO SEBULENI ANAAMUA KUPITILIZA CHUMBANI BILA HATA KUJALI.

Abasi nimechoshwa na tabia zako, kama kuvumilia hapa nilipofika panatosha. Sasa nisikilize kwa makini, kama utaendelea na tabia yako mwisho wake utauona, tena hauko mbali.

Bibii, Bibii Abasi mume wangu... Nini!

33

Kwanini mimi, nitafanya nini sasa. Sipendi kumlea mwanangu mbali na baba yake, ila nadhani sina budi kufanya hivyo. Maisha haya siwezi, bora nirudi nyumbani.

Mungu wangu, ni maisha gani haya.

IT / DESIGN / TECHNOLOGY BAGAMOYO VIWANJA VYA MAKAZI - BAGAMOYO MJINI

34

Viwanja vya Makazi vinauzwa Bagamoyo Mjini kwa BEI NAFUU kabisa. Viwanja hivi vimepimwa kwa ukubwa wa 900, 1000,1200 na 1400. Vipo eneo la Kitopeni, km 4 kabla hujaingia Bagamoyo Mjini, ukitolea DAR. Eneo ni zuri sana. Jirani kuna Hoteli ya kisasa, Chuo na Miradi mingine. Bei ni kuanzia SH. 9,000,000 Malipo ni kwa awamu mbili. Upimaji Umekamilika! Tuma SMS anza na #06.35527 kwenda 0777 751212.

36

Yaani wanaume wa sasa sijua hata pepo gani kawakumba, sielewi kabisaaa!

38

37

35

Kama huyo pepo nataka awe kimbunga, lakini sasa sirudi nyuma. Abasi kwake nanawa mikono, upendo wangu kwake nimekuwa fala.

ADILA ANAAMUA KUMPIGIA SIMU RAIKI YAKE KIPENZI SALHA

Salha mumy, mimi ndoa hii basi tena, siwezi, siwezi. Naomba uje haraka nyumbani.

Mumy, usiseme hivyo mapenzi hayazuiliki, mtu aliyeko moyoni utamkana kwa mdomo ila moyo ni ngumu kuachia. Saizi ni hasira tuu, zikipoa mwenyewe utatulia.

IT / DESIGN DAR ES /SALAAM TECHNOLOGY NINAKODISHA KIWANJA EKARI 3 KINYEREZI MWISHO Ninakodisha kiwanja kina ukubwa wa ek-

Yaani wanaume wa sasa sijua hata pepo gani kawakumba, sielewi kabisaaa!

39

ADILA ANAAMUA KUONDOKA NA KUACHA BARUA MEZANI

Best usinitulize kwa maneno laini hapa, au hutaki nije kwako?

Kwangu? Wala usitie shaka, tena na nguo nitakusaidia kupanga. Samahani kwa ushauri wangu kama nimekuudhi. 40

ADILA ANAAMUA KUANZA MAISHA MAPYA. ANATUPA LINE YAKE YA MWANZO KUPOTEZA MAWASILIANO NA ABASI.

Nadhani haya ni maamuzi sahihi kwa sasa. Umeamua kunitelekeza bila kosa kulijua. Nakutakia maisha mema.

Furaha yangu ni Suzan mwanangu kipenzi.

42

MAISHA YANAENDELEA AKIWA KWA RAFIKI YAKE MPENDWA SALHA. ANAAMUA KUMPIGIA SIMU BOSS WAKE WA ZAMANI ILI APATE KURUDI KAZINI.

Hello, shkamoo mheshimiwa. Mimi ni Adila, tafadhali tunaweza kuonana kwa mazungumzo kidogo?

46

Haiwezekani, ngoja nimpigie. Hata goti nitapiga ili anisamehe. Bado nampenda sana mke wangu

Hii mitandao siku hizi, 47 wizi mtupu hapatikani kaenda wapi? Mke wangu hawezi nizimia simu, au imepotea? na kama kaibiwa ADILA ANAKUTANA NA BOSS WAKE NA ntamkimbiza mwizi hadi ANAMWELEZA YALIYOMKUTA NA BOSS nimkamate. ANAKUBALI ARID KAZINI.

Ahsante sana Boss, nakuahidi nitakuwa mchapa kazi na wala sitakuangusha. Nimejfunza kwa kuona na vitendo sasa. 50

51

Oooh! Adila, bila shaka. Fika ofisini kwangu siku ya juma tatu saa saa nne asubuhi nitakuwa na nafasi, karibu sana.

45

52

48

Uko wapi Adila wangu kipenzi

Nyerere Road, 5 minutes drive from the airport high way. Great location at main road, Turmac. Paved compound with: Super Finishing, Medium house with 3 bedrooms, including one master bedroom, Security fence and car parking, Water storage facility/tank. TSH 500,000. Tuma SMS anza na #06.36802 kwenda 0777 751212.

MAISHA YA ADILA SASA NI YA FURAHA, MWANAE ANAENDELEA VIZURI, AMERUDISHWA KAZINI MAISHA YANAENDELEA.

ADILA ANARUDI KAZINI NA KUENDELEA NA KAZI. 54

Kila la kheri mwanangu

TOA MAONI YAKO

Angalau sasa ninafuraha.

53

Je unahitaji kuwa actor/ actress jarida lijalo? Tuma jina lako, umri na picha kupitia WhatsApp 0779751212, anza na #lovestory

SEA BREEZE RESIDENTIAL COMPLEX: 3BR AFRICANA MBEZI Al-HATIMY DEVELOPERS wana-

kodisha na kuuza nyumba: 3 bed room master. Nyumba za kisasa. Bei za kukodisha: full furnitures 1500 USD na unfurnished 1000 USD. Bei ya kuuza ni 180,000 USD with furnitures. Plot size: square metre 170 Location: Africana Mbezi Beach. Tuma SMS anza na #06.40875 kwenda 0777 751212.

NYUMBA INAKODISHWA TABATA: VYUMBA 3, SEBULE, UZIO Na-

49

Adila! uwezo na kipawa cha kazi unacho, hebu vitendee kazi. Ukizingatia kazi utafika mbali sana. Karibu sana na kesho unaweza kuanza kazi.

HOUSE FOR RENT DSM - 5 MIN DRIVE FROM AIRPORT Nyumba inapangishwa! - House for rent!

en, Store, Small separate house which includes a store, toilet and washroom. Enjoy also the lovely swimming pool. Location: Mbezi Beach - Church road. Price: 3000 USD Tuma SMS anza na #06.39391 kwenda 0777 751212.

41

44

ari 3 kimezungushiwa ukuta na kuna nyumba ya kuishi na banda. Kisima cha Maji (deep well), Tank ya maji. Kinyerezi Mwisho, Dar es salaam. Tuma SMS anza na #06.36797 kwenda 0777 751212.

HOUSE FOR RENT AT MBEZI BEACH, DAR ES SALAAM Four bedrooms, One master bedroom, Kitch-

BAADA YA MUDA ABASI ANAFUKUZWA KAZI KUTOKANA NA UVUMI WA KUITELEKEZA FAMILIA YAKE, AKIRUDI NYUMBANI MKE NA MTOTO HAWAPO, ANAAMUA KUNYWA POMBE KUPUNGUZA HASIRA. 43

JE, UNAHITAJI?

HABARI ZA TUPOMOJA 17

Tuma SMS kupitia 0777 75 12 12 na namba iliopo chini, pia na jina lako na ujumbe ungependa umfikishe mtangazaji!

NYUMBA/KIWANJA Unatikisa kiberiti sio?

32

MATANGAZO YA TUPOMOJA

#LOVE STORY

NYUMBA INAKODISHA CHANG'OMBE DSM 250,000 TSH Nyumba nzuri, ina umeme, maji

na ipo ndani ya uzio. Ina chumba kimoja na sebule. Chang'ombe, Dar es salaam - 250,000 TSH. Tuma SMS anza na #06.36801 kwenda 0777 751212.

NINAUZA NYUMBA MBILI TAZARA - TSH 320 MILLIONS Ninauza nyumba mbili kwa moja. Moja

inavyumba vinne na nyingine vyumba sita. Ni nzuri na gari inafika had nyumba ilipo. Bei TSH 320 millions. Eneo: Tazara vetenary taa nyekundu - Dar es Salaam. Tuma SMS anza na #06.40874 kwenda 0777 751212.

SEARCHING FOR A HOUSE TO RENT IN DAR, KINONDONI Searching for a house to rent. I'm looking

for a 1 bedroom house any where in Dar es Salaam (Kinondoni preferred most): good standard & good environment - Room with safe container or public toilet - master bed and sitting room - water and electricity must be available - no furnitures. I'm happy to receive your offers! Tuma SMS anza na #06.41008 kwenda 0777 751212.

PLOT FOR SALE AT MBEZI BEACH - TSHS. 650,000,000 A very good plot with 4600 sqm is for

sale. Clean tittle deed. Mbezi Beach Africana area. Ideal for any proposed project. Only Tshs. 650,000,000 only (650million). Tuma SMS anza na #06.42190 kwenda 0777 751212.

KIWANJA KINAUZWA CHANIKA Kiwanja kipo Chanika nauza million 7 ni hatua 25 kwa 18 mara mbili. Jina langu ni ANNA STEPHEN NANCHONA. Tuma SMS anza na #06.41541 kwenda 0777 751212. APARTMENT FOR RENT - KARIAKOO 3 bed-

rooms, one master room, cabinated kitchen, public toilet, parking, tiled, AC. New building facing Lumumba road. Electricity & water. Location: KARIAKOO. $700. Tuma SMS anza na #06.41122 kwenda 0777 751212. #6.41122

FURNISHED RESIDENTIAL OFFICE AT MIKOCHENI FOR RENT EXECUTIVE DOUBLE STORE

FOR RENT. Furnished residential cum office at Mikocheni Rose Garden road. - Self contained, 5 B/rooms with toilets - Staff house - Swimming pool - gym and standby generator - Big parking area. - Price Usd 7000 Per Month Negotiable. Tuma SMS anza na #06.39519 kwenda 0777 751212.

NAUZA NYUMBA KWA SHILLINGI MILLION 35.

Nauza nyumba kwa shillingi million 35. Ina vyumba vitano,jiko master na ina fensi umeme na maji yapo. Tuma SMS anza na #06.35844 kwenda 0777 751212.

NAUZA NYUMBA INA VYUMBA VITANO Nauza

kodisha nyumba nzuri ya kisasa. Tabata Dar es salaam: Vyumba 3 vya kulala, kimoja master, Sitting Room, Public Toilet, Uzio. Laki mbili na nusu kwa mwezi: 250,000/= Tuma SMS anza na #06.41646 kwenda 0777 751212.

nyumba ina vyumba vitano vya kulala viwili master choo cha ndani sebule dinning room,jiko store, kisima cha maji, umeme tayari na nazungushia fensi na jiko la nje lipo. hii ni kwa shillingi million 50. Tuma SMS anza na #06.35842 kwenda 0777 751212.

NYUMBA YA KUPANGA INATAFUTWA UBUNGO, SINZA, TABATA Ninatafuta nyumba ya kupanga,

NYUMBA INAUZWA MBAGALA YA VYUMBA 6 Nyumba inauzwa Mbagala (AZAM) Dar es Salaam.

3 Bedroom. Iwe maeneo ya Ubungo, Sinza, Tabata, na Makongo juu. Iwe na uzio. Umeme na luku ya kujitegemea. Bei isizidi 300,000 Tsh. Tuma SMS anza na #06.41966 kwenda 0777 751212.

Vyumba 6, store, dining, master 3. Umeme na ina kisima cha maji. Iko mtaa wa pili kutoka kwenye lami. Ni self. Bei: 55mil. Tuma SMS anza na #06.35335 kwenda 0777 751212.

NINAUZA KIWANJA ENEO LA TABATA - SH 120 MILLIONS Ninauza kiwanja kimezungushiwa ukuta na

APARTMENT FOR RENT AT SALASALA Directions: Salasala mwisho wa Rami. Fixed price: laki 3.5 Terms of payment: miezi 6. 3 Bedroom, 1 Bedroom, self contained. Sitting room, Maji yapo ya kisima, Cars parking space, Fenced, Kitchen, Alluminium windows, Paving Blocks, Dinning room. Tuma SMS anza na #06.39755 kwenda 0777 751212.

hakijawekwa geti. Lipo wazi. Pembezoni kuna nyumba na kipo karibu na barabara. Kipo eneo la Tabata karibu na St. Mary's Teachers College Dar es Salaam. Bei ni sh 120 millions.. Tuma SMS anza na #06.36926 kwenda 0777 751212.

HOUSE FOR RENT MIKOCHENI NYUMA YA KAIRUKI HOSPITAL Terms of payment: mwaka. Fixed

price: laki 2 chumba self, Sitting room, Alluminium Windows, maji yapo, Luku yako, parking, karibu na barabara, fenced, hakuna jiko. Location: Mikocheni nyuma ya KAIRUKI HOSPITAL. Tuma SMS anza na #06.38778 kwenda 0777 751212.

NYUMBA INAUZWA MAJI MATITU DAR Nyumba inauzwa maji matitu Dar. Ina hati miriki mita za mraba 7000, Bei: milioni 95. Tuma SMS anza na #06.35336 kwenda 0777 751212. 1ROOM FOR RENT AT SINZA KUMEKUCHA NEAR KKT CHURCH Bei laki 1.5 Terms of pay-

ment: miezi 3, 6 au mwaka. Chumba master, alluminium windows, maji yapo, haulipii, umeme luku yako, hakuna parking, karibu na barabara, fenced location: Sinza Kumekucha near KKT church. Tuma SMS anza na #06.38776 kwenda 0777 751212.

SINGLE BEDROOM SELF CONTAINED FOR RENT

Direction: Sinza Kijiweni. Terms of payment: mwaka. Fixed price: laki 3.5 per month. Single bedroom, self contained, Fanced, Car parking space, Kitchen, Sittingroom, Maji yapo,Tiles, Gypsum, Alluminium Window, Luku yako. Tuma SMS anza na #06.38764 kwenda 0777 751212.

1 BEDROOM FOR RENT AT KINONDONI VICTORIA One bedroom, master bedroom, sitting

room, kitchen, sliding window, tiles on floor, nice neighbourhood. 300,000 TSH Tuma SMS anza na #06.37920 kwenda 0777 751212.

FOR RENT NEW APARTMENTS Location: SINZA Mapambano. Terms of payment: mwaka. Asking price: laki 3.5 per month, neg. Single bedroom sio self Sitting room Kitchen Car parking Space Maji yapo Public toilet Tiles Gypsum Alluminium windows. Tuma SMS anza na #06.37515 kwenda 0777 751212. NINAUZA NYUMBA NA VYUMBA VITANO NA VARANDA Ina-

vyumba vitano vya kulala na varanda. Ina umeme na maji. Ina uzio na bei inapungua 80 millions. Maeneo: Pugu, Dsm. Tuma SMS anza na #06.43313 kwenda 0777 751212.

LINDI 3 ACRES BEACH PLOT FOR SALE TSHS. 400 MIL. Lindi 3 acres beach plot for sale TShs. 400 mil. For more information call. Tuma SMS anza na #06.38906 kwenda 0777 751212.

MOSHI RESTAURANT FOR SALE IN TOP LOCATION IN MOSHI Established Restaurant for sale in Moshi. It is

running and can be taken over as it is. The rent is paid until July 2015. It is located in a very nice Park in the heart of Moshi, surrounded by offices and shops. With an open kitchen and in a very nice atmosphere it attracts customers from everywhere. Tuma SMS anza na #06.37362 kwenda 0777 751212.

PWANI - KIBAHA SHAMBA FOR SALE, UKUBWA WAKE HEKA 4

Bei yake: million 4 kwa kila heka moja. Location: Kibaha kwa Mfipa kwa GARAGAZA. 4,000 000 TSH Tuma SMS anza na #06.37505 kwenda 0777 751212.

Tuma sms anza na #6.xxxx kwenda 0777 75 12 12.

Habari Tupomoja, nina nia na nyumba #6.xxxx tafadhali niunganisheni nayo!�


MATANGAZO YA TUPOMOJA

JE, UNAHITAJI?

NYUMBA/KIWANJA TANGA MODERN 4 BEDROOM HOUSE FOR SALE House

has: Electric fence - CCTV camera - 2 electric gates Tennis court (international standard) - Green garden - Swimming pool - 2 verandah - Car parking - 3 rooms has 2 sharing toilets - 1 room has private en suite toilet/ bathroom - 1 office room, - Kitchen - Dinning area - Living room - Big sun deck made by MVULE (hard wood) - Alarms & security button - DsTv - Standby generator - All bathrooms has hot shower - All wood made doors/ windows - 1 outside toilet/bathroom - All house has gypsum and wall and roof tiles - All walls has switch sockets - All doors and windows has glass, grill and mosquito nets. NOTE: This house has empty plot, you may build another house etc. and has permit for commercial and residential permit. If buyer want to buy with fully furniture will discuss for best rates. Price: 600,000$. Tuma SMS anza na #06.41416 kwenda 0777 751212.

ZANZIBAR LOVELY BEACH PLOT FOR SALE IN MICHAMVI, ZANZIBAR This lovely beach plot is lo-

cated in Michamvi, on Zanzibar's beautiful East coast. The plot is directly at the beach and measures 199 m in length and 140 m wide. All documents needed for leasing are available. 550,000$ Tuma SMS anza na #06.37001 kwenda 0777 751212.

FURNISHED APARTMENT COMPLEX 6BR FOR RENT MKUNAZINI Apartment House

with 6 rooms for rent. It is located in Zanzibar, Stone Town, Mkunazini. It is suitable to be used as hotel or to rent out the rooms as separate apartments. Each room offers: Kitchen, Toilet, Full Furniture, Air Condition, Mosquito net, Wifi, Sitting room, Fan. Rent: USD 20,000 for 6 months/ USD 40,000 for 12 months. Tuma SMS anza na #06.36981 kwenda 0777 751212.

NYUMBA INAUZWA BUBUBU KIJICHI - ZNZ 40,000,000TSH Ninauza nyumba nzuri na bei na-

fuu: Vyumba vinne - Jiko - Sitting and Dinning rooms Vyoo ndani na nje. Eneo: Bububu Kijichi - Zanzibar Bei: 40,000,000TSH Bei inapungua. Tuma SMS anza na #06.39062 kwenda 0777 751212.

4 BEDROOM HOUSE AVAILABLE FOR RENT IN ZNZ CHUKWANI Four Bedroom House with two ensuite available for rent in Zanzibar, Chukwani. It is fenced and includes furniture. 400$ Tuma SMS anza na #06.41975 kwenda 0777 751212.

NAHITAJI NYUMBA YA KUPANGA TSH:100,000 KWA MWEZI Nyumba iwe maeneo yoyote Zanzi-

bar. Muhim: Vyumba viwili au vitatu - Maji yawepo na Umeme wa kujitegemea - Ikiwa na fance ni bora zaidi,ila hata kama haina basi iwe na eneo la wazi ambapo naweza kuweka hata uzi wa makuti, isiwe uswahili saaaana, na eneo salama Maeneo mfano ni, Fuoni yote, Mwera, Mpendae, Kinuni nk. Tuma SMS anza na #06.41535 kwenda 0777 751212.

NYUMBA YA KUPANGA INATAFUTWA HARAKA

Natafuta nyumba ya laki moja iwe maeneo ya kwamchina, kiembe samaki, au bububu. Naitwa Bijou, naishi Zanzibar. 100,000 TSH Tuma SMS anza na #06.40021 kwenda 0777 751212.

Tuma SMS kupitia 0777 75 12 12 na namba iliopo chini, pia na jina lako na ujumbe ungependa umfikishe mtangazaji!

MOYO MPWEKE

NATAFUTA CHUMBA STONE TOWN, KWA MCHINA, K/SAMAKI Natafuta chumba cha kupanga

BABATI NATAFUTA MCHUMBA. AWE MUISLAMU NA MREFU KIASI Mimi ni Salma. Umri wangu ni miaka 20.

maeneo ya Stone Town au Kwa Mchina au K/Samaki au Mombasa. Kiwe master bedroom, kikubwa, maji na umeme. Tuma SMS anza na #06.38427 kwenda 0777 751212.

Kwa sasa ninaishi Babati kikazi. Mimi ni Mweupe, mrefu kiasi, nina mwili kidogo. Napenda kutembea sehemu mbalimbali, kuangalia series za Korea, nikiboreka au mtu akinikwaza nalia nalala. Natafuta mume awe muislamu, mwenye kazi au mfanyabiashara, mrefu, mwenyekifua, asiwe mweupe sana. Tuma SMS anza na #06.40866 kwenda 077 775 1212.

NYUMBA MBILI ZINAUZWA TUNGUU, ZANZIBAR Nyumba mbili zipo Tunguu Zanzibar zinauzwa.

Zipo plot jirani na kila moja inajitegenea. Kila moja ina vyumba 4 na vyoo 3. Eneo limepimwa na serikali na zina hati rasmi. Kila moja inauzwa kwa tshs 55 milioni. Iwapo mteja atanunua zote mbili anaweza kupunguziwa bei. Kwa mawasiliano tuma email kwangu! Tuma SMS anza na #06.38149 kwenda 0777 751212.

BAGAMOYO NATAFUTA RAFIKI WA KUNISHAURI MAISHA.

Naitwa Yasin Lichambole. Naishi Bagamoyo. Nina umri wa miaka 35. Mimi ni fundi kushona. Natafuta rafiki wa kunishauri maisha. Mwenye umri wa miaka kuanzia 30, awe na elimu ya secondary, mwenye busara, mwenye ushauri mzuri. Tuma SMS anza na #6.41624 kwenda 0777 751212.

PLOT 20,000 SQ.M. AVAILABLE IN TUNGUU, ZANZIBAR The plot is situated in Tunguu area a few

minutes off the main road. Tunguu is in 15-20min drive from town on the way to east coast. The plot has lots of stones which companies are now buying as a buiding material. So you can either sell them or use them for building. This plot is so huge you can also split it into small ones and sell them again for more. It is suitable for so many things! Tuma SMS anza na #06.37128 kwenda 0777 751212.

DAR ES SALAAM

NIGHT CLUB/BAR/RESTAURANT FOR SALE/ RENT Club Infinity is delighted to offer for sale/Long

term rent this late licence restaurant, bar and nightclub situated in a prime area in NUNGWI, Zanzibar. 6,468.71Sqm ( 3/4 undeveloped). Sound proof walls, terrazzo floors & power transformer. 1bar, dancefloor, Dj booth, VIP area, lounge couch seating, modern fog machines, lights & Disco music system, big screen TV’s. One storey 'Makuti" roofed building, 4 rooms. 2 bedroomed bungalow that is 80% complete. New bar and some "bandas" (Temporary Structures) have been constructed. All assets to remain, just requires taking on the lease. DJ equipment, lights, furniture, coffee machine, fridges, freezers, crockery and cutlery, facebook page, absolutely all to remain in place for new owners. This is a Late licence venue for alcohol, music and dancing. The club can operate any day from Tuesday to Sunday (8PM-dawn) as it meets all the necessary requirements in terms of sound pollution. Tuma SMS anza na #06.36416 kwenda 0777 751212.

NAHITAJI MARAFIKI WA KIKE TUU, KUANZIA MIAKA 19. Ninaitwa Anorde Kaijante. Nina umri wa miaka 21. Ninaish Madafu UKONGA. Natafuta marafiki wa kike kuchat nao wa miaka 19-25 Tuma SMS anza na #6.37893 kwenda 0777 751212.

DODOMA KIJANA MPOLE ANATAFUTA MARAFIKI WENYE USHAURI Naitwa Richard. Nina umri wa miaka 24. Nai-

shi Dodoma Tanzania Natafuta marafiki wenye elimu na ushauri mzuri. Mimi ni kijana mpole na mstaarabu. Tuma SMS anza na #6.34977 kwenda 0777 751212.

IFAKARA NATAFUTA RAFIKI KASOMA, NAPENDA KUCHAT Naitwa Michaer. Nina umri wa miaka19. Naishi

Ifakara. sifa bado nasoma nipo fom six, Natafuta rafiki kasoma, napenda kuchat. Tuma SMS anza na #6.42526 kwenda 0777 751212.

IRINGA NATAFUTA MSICHANA MWENYE UMRI WA MIAKA 20 Naitwa Yohanes. Naishi Tanzania Iringa

Njombe. Ina umri wa miaka 34. Natafuta msichana mwenye umri wa miaka 20, napenda awe mwenye mawazo mazuri, asiye vunja moyo wangu wautafutaji na waupendo. Tuma SMS anza na #6.42556 kwenda 0777 751212.

NATAFUTA RAFIKI WAKIUME ANAEJIELEWA MKRISTO Natafuta rafiki wa kiume anaejielewa, Mkris-

KILIMANJARO NATAFUTA MUME. MIAKA 31-40 Mimi ni msi-

Nina umri wa miaka 25 Natafuta rafiki yoyote, awe anaejitambua. Mimi nimezaliwa mwaka 1990 mwanza Tuma SMS anza na #6.42183 kwenda 0777 751212.

NATAFUTA RAFIKI MWENYE KUPENDA KUSOMA QURUAN Mimi naitwa RASHIDI. Napenda

chana mrembo, mwenye elimu ya kutosha. Nahitaji mume (mkristo mcha Mungu. Umri kuanzia 31 yrs na kuendelea 40). Tuma SMS anza na #6.31011 kwenda 0777 751212.

MBEYA NATAFUTA MARAFIKI WA KIKE KWA WAKIUME

Kwa jina naitwa Godfrey. Nina umri wa miaka 24. Naishi Boda Kazimuru Mbeya. Natafuta marafiki wa kike kwa wakiume. Mimi napendelea kuangalia Tv. Tuma SMS anza na #6.39490 kwenda 0777 751212.

MOROGORO NATAFUTA MCHUMBA ALIYEFIKA CHUO KIKUU

rafiki mwenye kupenda kusoma Quaruan na hadithi za kislamu. Mimi naishi DSM - MAGOMENI Kagera. Mimi ni dereva wa mitambo ya kujenga mabwawa na, mtumishi wa wakala uchimbaji visima na ujenzi mabwawa kwa sasa niko mkoani Ruvuma. Umri wangu ni miaka 57. Napenda amani, napenda kujiheshimu na kuwaheshimu watu. Kitu ninachopenda baada kazi michezo, dini, nk. Tuma SMS anza na #6.42215 kwenda 0777 751212.

Naitwa Said kutoka Mororgoro. Natafuta mchumba aliyefika chuo kikuu, mzuri, mrefu na mwembamba. Aliye tayari tuwasiliane sasa. Tuma SMS anza na #6.42439 kwenda 0777 751212.

NATAFUTA RAFIKI WA JINSIA ZOTE Naitwa Issa Salim. Naish Dar es salaam MBAGALA. Nina umri wa miaka 20. Natafuta rafiki wa jinsia zote. Mimi napendelea kusikiliza mziki. Tuma SMS anza na #6.41113 kwenda 0777 751212.

umri wa miaka 18. Naishi Moshi mkoa Kilimanjaro. Mimi ni mwanafunzi form four. Natafuta marafiki wa kuchat. Tuma SMS anza na #6.42234 kwenda 0777 751212.

NATAFUTA RAFIKI MCHESHI, MWENYE UPENDO. Naitwa Aly Said. Naishi MAGOMENI Zanzibar.

Habari Tupomoja, nina nia na nyumba #6.xxxx tafadhali niunganisheni nayo!

NATAFUTA MARAFIKI WAKUCHAT NAO Naitwa Hussein Bwana. Nina umri wa miaka 23. Naishi Dar es Salaam. Natafuta marafiki wakuchat nao na kubadilishana mawazo jinsia yeyote ile Tuma SMS anza na #6.35702 kwenda 0777 751212.

Ashura. Nina umri wa miaka 23. Naishi Dar es Salaam. Natafuta marafiki wakuchat nao, wapole wastaarabu, na wenye nidhamu. Tuma SMS anza na #6.30307 kwenda 0777 751212.

NATAFUTA RAFIKI YOYOTE, AWE ANAEJITAMBUA Naitwa Rose. Naishi Dar es salaam, TEMEKE.

Tuma sms anza na #6.xxxx kwenda 0777 75 12 12.

Tuma SMS kupitia 0777 75 12 12 na namba iliopo chini, pia na jina lako na ujumbe ungependa umfikishe mtangazaji!

BINTI MREMBO ANATAFUTA MARAFIKI Naitwa

to. Awe na umri 22 - 35. Asiwe mnene wa kawaida, rangi yoyote, awe mjasiliamali au muajiliwa na mchapa kazi. Tuma SMS anza na #6.40613 kwenda 0777 751212.

BEST BEACH PLOT WITH HOTEL FOR SALE IN PAJE This amazing Beach Hotel on the East Coast

HABARI ZA TUPOMOJA 19

Wanawake / Wanaume

Juma. Nina umri wa miaka 22, Nipo Arusha. Natafuta mchumba, awe mweupe ila sio sana, awe wastani wa kimo, umri kuanzia miaka 18 na kuendelea. Tuma SMS anza na #06.42732 kwenda 0777 751212.

skuli ya Kibele. Bei ni 3,500,000/= Tuma SMS anza na #06.39202 kwenda 0777 751212.

NATAFUTA NYUMA YAKUKODISHA Natafuta nyuma yakukodisha maeneo ya Mombasa, Kwerekwe au Mpendae. Chumba kimoja kiwe master au kawaida kwa gharama ya shillingi 50,000-60,000. Tuma SMS anza na #06.36520 kwenda 0777 751212.

JE, UNAHITAJI?

ARUSHA NATAFUTA MCHUMBA, AWE MWEUPE Naitwa

VIWANJA SIZE NI 60*70 FEETS KIBELE ZNZ 3,500,000 TSH Nina viwanja vilivyopimwa, size ni 60*70feets. Vipo eneo la KIBELE, nyuma kidogo na

of Zanzibar is now for sale and is located on the best beach front the Island has to offer. 60.000 sq. m., plenty of space for further expansion. The Hotel is operational and is booked by many operators. Sale can take place as Share Deal (by purchasing the shares of the investment company owning the Plot and the Hotel) or as Asset Deal, where the purchaser sets up a new company, which then purchases the plot and the hotel business. Please do not hesitate to contact me for a site visit! 2,000,000$ Tuma SMS anza na #06.41277 kwenda 0777 751212.

MATANGAZO YA TUPOMOJA

Nina umri wa miaka 21. Ni mwamafunzi wa kidato cha nne shule ya Fuoni Zanzibar. Napendelea sana kuangalia TV Natafuta rafiki mcheshi, mwenye upendo, asiwe na dharau, mwenye kujua fadhila, asiwe muongo, awe mwaminifu, anaependa kusoma, asiwe anapenda starehe.. Mimi binafsi sipendi kumdharau mtu, sipendi majivuno, sipendi starehe kwenda disko, napenda ushirikiano, napenda kumpenda anae nijali, napenda matembezi ya sehemu mbali mbali. Tuma SMS anza na #6.39088 kwenda 0777 751212.

MOSHI KIJANA KUTOKA MOSHI NAFUTA MARAFIKI WA KUCHAT Kwa jina naitwa Herminem Ulomi. Nina

MWANZA NATAFUTA RAFIKI WA KIUME ANAYEJIPENDA.

Mimi naitwa Ashant. Nina umri wa miaka 21. Naishi Mwanza, Tanzania. Natafuta rafiki wa kiume mwenye umri kuanzia miaka 22 hadi 28, Awe anajipenda kimavazi, mwenye kazi, mnene kiasi, awe mweupe kiasi.. Tuma SMS anza na #6.41272 kwenda 0777 751212.

NATAFUTA MSICHANA MREMBO NA TUZAE WATOTO Naitwa Steve, ninaishi Mwanza. Umri wangu

ni miaka 23. Natafuta msichana mrembo au awe halfcast wa kuzaa nae mtoto. aliye tayari anitafute kupitia namba yangu. Tuma SMS anza na #6.39192 kwenda 0777 751212.

NJOMBE NATAFUTA RAFIKI MCHA MUNGU JINSIA YEYOTE Naitwa Jabir. Nina umri wa miaka 20. Naishi Njombe

Airport. Natafuta rafiki mcha Mungu jinsia yeyote, kuanzia umri wa miaka 18 mpaka 27. Tuma SMS anza na #6.41719 kwenda 0777 751212.

PWANI - KIBAHA NATAFUTA MARAFIKI WA KIKE WA KUBADILISHANA MAWAZO Naitwa Jackson, nina umri wa

miaka 19, naishi Mlandizi Kibaha. Natafuta marafiki wa kike wa kubadilishana mawazo mwenye tabia njema. Mimi napenda sana kulala, pia najishughulisha na Music kama Dj kwenye maharusi. Mimi si mrefu wala mnene ni wawastani. Tuma SMS anza na #6.41391 kwenda 0777 751212.

SAME

NATAFUTA RAFIKI WA KIKE UMRI WA MIAKA 25-38 Kwa jina naitwa Kipimo. Nina umri wa miaka

36. Naishi Kisiwani Same. Natafuta rafiki wa kike kuanzia umri wa miaka 25 hadi 38. Mimi napenda kuangalia mpira na kucheza pia kuangalia TV. Tuma SMS anza na #6.41803 kwenda 0777 751212.

SHINYANGA

NATAFUTA MCHUMBA MUISLAM (MWANAMKE)

Natafuta Mchumba Muislam (MWANAMKE), umri kuanzia miaka 18-23. Aliyeajiriwa ktk company au sehemu yeyote ambapo hatokuwa tegemezi. Mm ni Mtumishi wa Serikali, kwa aliye tayari anitafute Jina langu kamili ni Mahmoud Ismail, naishi Shinyanga, Mimi ni mrefu wastani, mnene wastani, napendelea sana kucheza mpira, kuangalia movies. Tuma SMS anza na #6.38443 kwenda 0777 751212.

ZANZIBAR NATAFUTA RAFIKI WAKUCHAT NAE Naitwa Asnaa.

Naishi Shaurimoyo Zanzibar. Nina miaka 20. Natafuta rafiki wakuchat nae awe wakike au wakiume. Mimi ni mwanafunzi wa chuo kikuu Tungu. Tuma SMS anza na #6.39433 kwenda 0777 751212.

NATAFUTA MARAFIKI WENYE KUMCHA MUNGU

Kwa jina naitwa Yohan. Mimi ni mchungaji. Naishi Zanzibar FUONI. Natafuta marafiki, wachungaji na wenye kulipenda neno la Mungu, Mimi maono yangu ni kuhubiri Tanzania nzima bila kujali cheo, dini, kabila, nk Nimeagizwa kuhibiri kwa kila kiumbe aminie ataokoka, Hivyo rafiki aliye jasiri na shujaa na mcha Mungu. Tuma SMS anza na #6.37129 kwenda 0777 751212.

NATAFUTA MCHUMBA AWE MWEUPE AU MWEUSI Kwa jina Ally. Naishi AMAN Zanzibar. Nina

umri wa miaka 22. Natafuta mchumba awe mweupe au mweusi bora zaidi. umri kuanzia miaka 21. Mimi kazi yangu nu artist. Tuma SMS anza na #6.35322 kwenda 0777 751212.

NATAFUTA MARAFIKI WA KIKE Kwa jina naitwa Issa. Nina umri wa miaka 18. Natokea PEMBA Wete. Nahitaji marafiki wa kike wanaopenda michezo. Napendela kusikiliza mziki. Tuma SMS anza na #6.35081 kwenda 0777 751212.

Tuma sms anza na #6.xxxx kwenda 0777 75 12 12.

Hello mimi Juma kutoka Dar, miaka 23, mrefu, na napenda kusoma vitabu. Nahitaji kuchana na mwenye #6.xxxx.


MATANGAZO YA TUPOMOJA

JE, UNAHITAJI?

RESTAURANT & ACCOMMODATION RESTAURANT ARUSHA KHAN'S BARBEQUE ARUSHA SPECIALIST IN BAR-

BEQUE, CHICKEN ON THE BONNET. P.O.BOX 2I8I ARUSHA. Contact us: O7I3 754784, 0786 652747 or via khansbbq@yahoo.com #6.40598

RESTAURANT @ ARUSHA TOURIST INN We offer

different cuisines including continental, local dishes, and Indian. Contact: 0754 583455 Location: Sokoine Road P.O.BOX 1530 Arusha #6.40260

BRAVO PIZZA - TAKEAWAY AND DELIVERY PIZZA Takeaway and Delivery Pizza. Events and late

night pizza Thursday - Saturday. Location: Jandu Road Opposite AICC conference. Contact us on 0656 966449 to place your order! #6.42199

DAR ES SALAAM CHATTANOOGA IRANIAN BBQ RESTAURANT

We serve BBQ - Nyama Choma , Middle Eastern Food. Find us at: Msasani Kimweri Ave before Cape Town Fish Market no 1064 Block B Contact: 0684 321095, 0714 555548 #6.40251

MAMBOZ CORNER BBQ Bbq only Location: Corner of Libya and Morogoro road For take away call 0784 243735 #6.40253 MAMBOZ SIZGRILL We serve: BBQ, Indian, Chinese & Vegetarian food. Location: Corner of Maweni and Magore plot 212. For reservation and take away call 0784 243734 or 0657 270000 #6.40254

Tuma SMS kupitia 0777 75 12 12 na namba iliopo chini, pia na jina lako na ujumbe ungependa umfikishe mtangazaji!

NELLY'S INN RESTAURANT We serve a La carte which blends the taste of local spices and flavors. Ideal place also open for lunch, serving salads & barbeques and romantic dinner with a soft garden breeze bustling through the trees and vegetation. Cuisines: BBQ - Nyama Choma, Breakfast, International - Continental, Swahili. Location: Mbezi Beach, near kwa Zena kawawa on the way from Kawe round-about heading towards White Sands route. Contact: 0716 460007 #6.42201

RESTAURANT 305 KARAFUU Cozy bistro-atmospheric restaurant warmly built and decorated, from Grilled Tuna to Salad nicoise, Lobster Thermidor, Spicy Crispy Prawns, and a variety of other meals, our menu promises not to disappoint. Contact us: 0754 277188 or via 305karafuu@gmail.com Location: Karafuu street, Plot 305, Kinondoni #6.40259

ZANZIBAR LUIS YOGHURT PARLOUR - INDIAN-GOAN RESTAURANT We serve Indian, Malaysian & Indonesian

TASTE OF MEXICO Restaurant - Take Away - Catering

Come grab a quick lunch at our shop, located on slipway road, just next to Leelawadee Thai massage. We serve freshly prepared burritos, empanadas, tacos, chimichangas, arepas, juices and more. Open everyday 10M-11PM Contact via 0756 879843 or 0656 612601. #6.40261

THAI KANI RESTAURANT The most authentic Thai

and Japanese Restaurant this side of Asia. Location: 86THA compound off Kahama Road, Msasani Peninsula. Contact: 0764 160378. Open: Tuesday - Sunday 12 noon to 10.30pm. #6.40262

VITU VYA KHADIJA FARMING & FOOD We pro-

vide services of fresh vegetables, fruits, fresh juices & smoothies, salads, swahili sweets, fruitty-nutty cupcakes & biscuits. Weekend breakfast & lunch buffet, Sunday swahili brunch and made to order tasty bites. Location: Kinondoni. Contact: 0773 551077. #6.42198

SAN DIEGO BAR Tunatoa huduma ya: vinywaji vya

kila aina na huduma vyakula vya kila aina. Jumapili: Mziki kutoka kwa J. MBETA JAZZ BAND Alhamisi: Muziki mchanganyiko kutoka kwa YA KWETU BAND Jumatatu, Jumanne, na Jumatano: DJ anapiga mziki mchanganyiko. Eneo: Tandika Sokoni Karibu na wanakouza mapipa. Bei zetu za vinywaji na vyakula ni nafuu sana na za kawaida. Mawasiliano: +255 755 879119 #6.36929

LOOKING FOR RESTAURANT/BAR STAFF We are looking for two english speaking employees to work at our bungalows in KIZIMKAZI. Please contact for more information. Tuma SMS anza na #06.40663 kwenda 0777 751212. JOB OFFER: EXPERIENCED BARTENDER FOR BEACH HOTEL Looking for experienced Bartender

with excellent English language skills for beach hotel, only apply if you are qualified! BUNGI Tuma SMS anza na #06.39499 kwenda 0777 751212.

JOB OFFER: KITCHEN ASSISTANT We are looking for you: Please contact us! BWEJUU Tuma SMS anza

MAKUTI RESTAURANT A multi-cuisine restaurant & bar at the open beach lawn offers buffet breakfast, lunch and dinner with aromas from Ala carte delicacies and tranquil atmosphere. The restaurant overlooks the breezy Indian Ocean, with vibrant sports bar for weekend games & matches. Huge open sandy beach for weekend live entertainments, children games and private functions. Location: Giraffe Ocean View Hotel. Mbezi Beach, DSM. Contact: 0715 534821, 26 478713 #6.42200

best Italian restaurant in central Tanzania. Enjoy: Italian pizza and Italian cuisine, BBQ, drinks, take away specialties. Open: Tuesday to Friday 5 pm to 10 pm Saturday , Sunday and Public Holidays 12 noon to 3 pm. Location: Dodoma Town - Area C direction to Royal Village Hotel. Contact: 0784 339265 #6.42208

food. Location: 156 Gizanga St., Opp. Mosque, Shangani. Contact: 0765 759579. 0784 339265 #6.40252

ACCOMODATION ARUSHA A SQUARE BELMONT HOTEL ARUSHA SPECIAL OFFER: TSH

35,000 INCL. BREAKFAST & DINNER!!! We have nice rooms and excellent service for business and budget travelers. Get the best and yet affordable! 24 hour service. Book your room now! Find us in Arusha, Stand Ndogo. Contact: +255 715 453515 / anold.lema@yahoo.com #6.42333

DAR ES SALAAM NJEKIL EXECUTIVE HOTEL Self-contained, Satel-

lite TV/DstV, AC, Minibar, Starndard room Tsh 35,000 - 40,000, Deluxe room Tsh 50,000 - 60,000, Suites Tsh 70,000 - 80,000. Location: Tabata kinyelezi karibu na kanisa la KKKT au mbuyuni. Wasiliana: +255 754 362777 #6.35984

Tuma sms anza na #6.xxxx kwenda 0777 75 12 12.

Habari Tupomoja, nahitaji kuwasiliana na resta #6.xxxx kupata huduma zao. Tafadhali tuunganishe!

NAFASI ZA KAZI VACANCY: KITCHEN ASSISTANT/COOK EXPERIENCED KITCHEN ASSISTANT/COOK/CHEF NEEDED IN ZANZIBAR, MICHAMVI. Please send your CV via email! Tuma SMS anza na #06.42634 kwenda 0777 751212.

taurant where you will experience fine cuisines. Our dishes use only the best local produce and combine classical and traditional recipes to create a true culinary experience. Our commitment to meet diverse needs has lead us to focus on combination of African traditional dishes, Authentic Continental dishes, tandoori flavours, and of course the Traditional Biryaani from the north and southern parts of India. 0653 297021 #6.42307

SALT RESTAURANT SALT is a new restaurant with Beautiful ocean views and funky modern menu that utilises only fresh natural ingredients. We offer the finest selection of wholesome, delicious snacks and meals. Location: Oysterbay, Dar es Salaam. Contact us via: 0783 180024 #6.40256

JE, UNAHITAJI?

FOOD SERVICE & HOSPITALITY

TARGET COMPLEX LTD. - PROFESSIONAL EVENT LOCATION We welcome you to Target Res-

DODOMA LEONE L’AFRICANO PIZZERIA Taste and rest at the

MATANGAZO YA TUPOMOJA

na #06.35420 kwenda 0777 751212.

JOB OFFER: FB MANAGER We are looking for you: For more infomation contact us! BWEJUU Tuma SMS anza na #06.35175 kwenda 0777 751212. ECO-CHIC RESORT LOOKING FOR WAITER (START: DEC) NEW ECO-CHIC RESORT, JAMBIANI,

opening December 2015 is looking for Waiters. The knowledge of english and swahili language will be appreciated. Please send your CV with photo via email! Tuma SMS anza na #06.31967 kwenda 0777 751212.

MSIMBATI LINE KWA USAFIRI SALAMA NA UHAKIKA

Mabasi yanayofanya safari zake kila Siku:

UBUNGO OFISI NO 15 TEMEKE NO 22 NA MBAGAL A

DAR ES SALAAM - MTWARA MTWARA - DAR ES SALAAM SAA za gari kuondoka Ubungo: Saa 12:00 asubuhi Temeke: Saa 01:30 asubuhi

Nauli ni tsh 23,000

ECO-CHIC RESORT LOOKING FOR CHEF (START DECEMBER) NEW ECO-CHIC RESORT, JAMBIANI,

opening December 2015 is looking for a Chef. The knowledge of english and swahili language will be appreciated. Please send your CV with photo via email! Tuma SMS anza na #06.31964 kwenda 0777 751212.

MANAGEMENT OFFER: PRODUCTION MANAGER - WATER BOTTLING COMPANY The candidate must be ex-

perienced especially in managing of all the production processes. At least diploma or degree with vast experience. The candidate must be ready to join immediately. Contact us now! ZANZIBAR Tuma SMS anza na #06.40612 kwenda 0777 751212.

MEDICAL & PUBLIC HEALTH SERVICES VACANCY: HOSPITAL MANAGER KIVUNGE COTTAGE HOSPITAL Seeking an experienced person

with administrative and management skills to lead a team that improves health at Kivunge Cottage Hospital in Zanzibar. Tuma SMS anza na #06.39197 kwenda 0777 751212.

JOB OFFER: MEDICAL DOCTOR Dr. Mehta's Hospital in ZANZIBAR is searching for a fully qualified medical doctor to start working full time. He/She should have strong communicational and organizational skills. Please send your application letter, CV and Certificates via email address. Tuma SMS anza na #06.42612 kwenda 0777 751212. HOSPITAL VACANCY ZANZIBAR: QUALIFIED NURSES We are looking for qualified Nurses to join us

in our multi-specialty hospital - Taskhtaa Vuga Zanzibar. The nurses must be fully registered and authorized to practice in Tanzania/Zanzibar. Extensive work experience. Passionate about the job caring and ready to deliver appropriately. At least diploma and degree and ready to work in ZANZIBAR. Please apply via email! Tuma SMS anza na #06.42611 kwenda 0777 751212.

HABARI ZA TUPOMOJA 21

Tuma sms anza na #06.xxxx kwenda 0777 75 12 12.

JOB OFFER: LAB TECHNICIAN Dr. Mehta's Hospital is looking for a full time Lab Technician, who can work independently in the laboratory, collecting specimen, performing lab tests and presenting the results to the doctor. Please send your application letter, CV and certificates to the via email address. ZANZIBAR Tuma SMS anza na #06.42610 kwenda 0777 751212. HOUSEKEEPING VACANCY: HOUSEKEEPING We are a boutique Hotel on the South East side of ZANZIBAR looking for English speaking housekeeping staff and well spoken servers. Only serious applicants need apply. Integrity, honesty and pride in a job well done is our requirement. Tuma SMS anza na #06.42218 kwenda 0777 751212. ECO-CHIC RESORT LOOKING FOR HOUSEKEEPER (DEC) NEW ECO-CHIC RESORT, JAMBIANI,

opening December 2015 is looking for Housekeeper. The knowledge of english and swahili language will be appreciated. Please send your CV with photo via email! Tuma SMS anza na #06.31966 kwenda 0777 751212.

ACCOUNTING OFFER: WE'RE LOOKING FOR ACCOUNT TRAINEES URGENTLY The candidate must have at

least diploma or degree in accounting. Only those who have finished their studies can apply. The selected candidates will be taken through training and the successful candidate may be considered for employment. The position is needed urgently. People can apply through email! Tuma SMS anza na #06.41340 kwenda 0777 751212.

MILITARY & SECURITY ISLAND STANDARD SECURITY INATAFUTA WAFANYAKAZI Je unaujuzi wa kazi ya ulinzi na ume-

sumbuka kwa muda mrefu bila mafanikio? ISLAND STANDARD SECURITY SERVICES, ndio jibu lako sasa. Tunahitaji watu 150 kwa ajili ya kazi ya ulinzi kwenye makampuni na taasisi mbali mbali. Inatafuta wafanyakazi kuanzia umri wa miaka 18. Elimu kuanzia darasa la saba na kuendelea. Ofisi zetu zipo Makadara Zanzibar. SIFA MWOMBAJI - Kuanzia miaka 18-40 - Wawe na afya njema - Waliopata mafaunzo ya uaskari watapata kipaumbele kama JKU, JKT, Mgambo, na wasataafu nk. Mafunzo na ujuzi utapatiwa mara tu utakapoajiriwa. - Wasichana kwa wanaume wote mnakaribishwa kutuma maombi yenu sasa. Tuma SMS anza na #06.6223 kwenda 0777 751212.

Habari za kazi Tupomoja, nahitaji kutuma maombi ya kazi tangazo #6.xxxx Naomba mwongzo.

FRONT OFFICE & RECEPTION JOB OFFER: RECEPTIONIST VACANCY Dr. Mehta's

Hospital is looking for a full time receptionist who can work independently and has strong organizational and communication skills. Please submit your application letter, CV and certificates via email address. Tuma SMS anza na #6.42609 kwenda 0777 751212.

HOTEL RESORT IN ZNZ NEEDS FRONT OFFICE MANAGER 5* well established hotel resort in Zanzi-

bar. Requirements: Must be fluent in Italian and English. Minimum 3 years Experience in similar positions. Please send your CV via email to us! KENDWA Tuma SMS anza na #06.31975 kwenda 0777 751212.

HOTEL RESORT IN ZNZ NEEDS GUEST RELATIONS MANAGER 5* well established hotel resort

in Zanzibar. Requirements: Must be fluent in Italian and English. Minimum 3 years Experience in similar positions. Please send your CV via email to us! KENDWA Tuma SMS anza na #06.31974 kwenda 0777 751212.

ECO-CHIC RESORT LOOKING FOR RECEPTIONIST (DEC) NEW ECO-CHIC RESORT, JAMBIANI, open-

ing December 2015 is looking for Receptionist. Knowledge of English and Swahili language will be appreciated. Please send your CV with photo via email! Tuma SMS anza na #06.31968 kwenda 0777 751212.

INSURANCES VACANCY: PRINCIPAL OFFICER FOR INSURANCE BROKER Our firm is called Tan Management

Insurance Broker Ltd. We are looking for someone for Zanzibar where we want to start our Insurance Broker office. Position – Principal Officer for Insurance broker. Qualification – Advanced Diploma in Risk Management and Certificate of Proficiency in Insurance. Skills – fluent English and Kiswahilli and computer literate. Contact us via email ! Tuma SMS anza na #06.43067 kwenda 0777 751212.

TRANSPORT JOB OFFER: AMBULANCE DRIVER Dr. Mehta's

Hospital is searching for an ambulance driver to work full time. Please send your application letter, CV and certificates via email address. ZANZIBAR Tuma SMS anza na #06.42611 kwenda 0777 751212.

ADVERTISING, MARKETING & PR TRAINING & JOB: ONLINE COMMUNICATION & MARKETING I am looking for a dynamic proactive per-

son, familiar with computer, social media, Online work, Communication and Marketing to aquire customers for a hotel. Languages: English & Italian. Contact me for further information, to apply and to schedule an interview. ZANZIBAR Tuma SMS anza na #06.43037 kwenda 0777 751212.

URGENT VACANCIES: RESERVATION & MARKETING OFFICER Vacancies at Ras MICHAMVI

Beach Resort: Reservation Marketing. Qualifications: Min. One Year Experience, Fluent English, Certificate / Diploma or experience that qualifies you for the job, Hard working, Reliable, Flexible. Serious applicants, please call or send an email with your application. Tuma SMS anza na #06.39640 kwenda 0777 751212.

EAST & CENTRAL AFRICAN

PALM READER FATE LINE: Ni Mstari wa Majanga. Sio kila mtu anao! Binadamu ni mnyama. Ila ana asili ya mimea na majani yake ni VIGANJA. Ipo pia mimea yenye majani yaitwayo VIGANJA au PALM TREE. Kwa kawaida, wataalamu wa mimea huchunguza majani ili kuubaini mmea. Hivyo ndivyo “Palmistry” huchunguza mistari ya kiganja cha binadamu na kubaini matatizo yake. Jiangalie. Kiganjani una FATE LINE? Huu ndio mstari wa Majanga. Ndio unaosababisha yote yanayokusibu, na sio watu wote wanao.Mtolee Mungu wa Jua ZAKA yako, uombewe na hakika matatizo yako yataisha. Tunatoa huduma Afrika ya mashariki na kati kwa simu na huduma hulipwa kwa M-PESA. Tupigie, Tukufungulie milango ya Mungu wa Jua.

+255 768 215956 Sema: HerbHunters!


MATANGAZO YA TUPOMOJA

JE, UNAHITAJI?

KAZI

Tuma SMS kupitia 0777 75 12 12 na namba iliopo chini, pia na jina lako na ujumbe ungependa umfikishe mtangazaji!

IT & COMPUTER

MEDICAL SERVICES

AM LOOKING FOR A JOB IN IT OR AS GRAPHIC DESIGNER My name is Daniel. Aged 22 years. I live in

KAZI YA UDAKTARI WA MIFUGO AU KUUZA DUKA LA DAWA Ninaitwa Oscar Mwachaumri, nina

Dar es Salaam. Am looking for a job in IT or as Graphic designer. Education: Open University certificate in Information Technology. Experience: Graphic Teacher at Skyblue learning Centre Design, ID cards for Usalama Kwanza Security Company, Design the Front picture and words for Kiboko Number plate. Languages: English and Swahili. I'm ready to work anytime. Am very hard-working and committed with good Computer skills. Tuma SMS anza na #06.36459 kwenda 077 775 1212.

LEGAL SERVICES EXPERIENCED WOMAN SEARCHES JOB AS A LEGAL OFFICER Gloria, Tanzanian woman of 29years.

I'm searching job in Dar es Salaam as a legal officer. I have a bachelor degree of law. I'm a Post graduate in practical legal studies at the Law School of Tanzania. Experience: I've worked as a project officer at Envirocare. I've worked as a secretary at Kinetics Attorneys in Arusha for four years. Other skills: writing project papers & supervise it, proposal write up, computer, communication skilled, problem solving & team work skilled. I'm hard working & a fast learner. Tuma SMS anza na #06.35985 kwenda 077 775 1212.

EXPERIENCED LAWYER LOOKING FOR VACANCY Name: Samwel, Advocate of High Court of

Zanzibar - Tanzania and Subordinate courts thereto. EXPERIENCE: Legal officer and Advocate at DIMOSO & CO ADVOCATES. QUALIFICATION: Holder of a degree in law and Shariah (LLB). OTHER COURSES: Theology and leadership; Associate Degree of Theology and leadership; Computer maintenance. RESEARCH: The contradition of muslim personal laws in the Tanzania marriage Act of 1971 (LLB Dissertation paper 2012-2013). PROFESSIONAL MEMBERSHIP: The Zanzibar Law Society (ZLS); The East Africa Law Society (EALS). LANGUAGE SKILLS: Kiswahili & English. I'm able to execute pressure to deadline & to work in a team. Tuma SMS anza na #06.37679 kwenda 077 775 1212.

HOUSEKEEPING JOB SEARCH: HOUSEKEEPER, SHOPKEEPER & SECRETARY Ninatafuta kazi kama Housekeeper, Chef,

Shopkeeper au Personal Assistant/ Secretary. Mimi ni Mtanzania, ninaishi Mwananyanala, Dar es Salaam. Elimu: Nina elimu ya darasa la saba. Najua kusoma na kuandika. Uzoefu: Nina uzoefu wa miaka minne wa kikazi. Nimesha kuwa mfanyakazi kwenye kiwanda cha Nguo Mutex. Nimefanya kazi na kampuni ya ulinzi Rampat kama personal secretary, na kazi ya upishi Kariakoo. Mimi ni mchapakazi, na napenda kujifunza vitu vipya ili niweze kuwa mfanyakazi bora. Tuma SMS anza na #06.39195 kwenda 077 775 1212.

SOCIAL SERVICES NATAFUTA KAZI YA USHAURI NASAHA - COUNSELING Lucky, 24, Machimbo, Dar es Salaam. Nina

tayari kwa kazi yoyote na popote. Mimi ni mwaminifu, mchapakazi na nyenyekevu. ELIMU: Kidato cha nne Certificate of HIV Aids Counseling - Diploma of HIV Aids Counseling credit 1. UZOEFU: Agent of clearing and forwarding one year. LUGHA: Kiingereza na Kiswahili. Tuma SMS anza na #06.35740 kwenda 077 775 1212.

NATAFUTA KAZI: SOCIAL WORK & SOCIAL ADMINISTRATION Farida, Mtanzania, ninaongea kiswa-

hili na kiingereza. Natafuta kazi ya Social work & Social administration sehemu yoyote Tanzania. Elimu: Bachelor ya Social Administration. Uzoefu: Access Medical na Dialyssis Center kama Assistant Administrator; Uchumi Supermarket kama Customer Service Attendant; Reproductive Health Uganda kama Team Leader in Counseling and Guidance, Kitebi Health Centre Uganda kama volunteer. Tuma SMS anza na #06.37770 kwenda 077 775 1212.

umri wa miaka 26. Ninatafuta kazi ya udaktari wa mifugo au kuuza duka la dawa za mifugo popote. Ninauzoefu wa kazi miaka miwili. Ninajua lugha ya kiswahili na kiingereza. Elimu yangu ni ngazi ya cheti. Tuma SMS anza na #06.35334 kwenda 077 775 1212.

CUSTOMER CARE JOB SEARCH: CUSTOMER CARE, HOUSEKEEPING OR STOREKEEPER My name is Rahel, I'm 28

years old and live in Dar es Salaam. I'm looking for a job as an assistant, customer care, housekeeper or storekeeper. Language skills: English & Swahili. Tuma SMS anza na #06.39981 kwenda 077 775 1212.

JOB SEARCH: HOSPITALITY, FRONT OFFICE, CLIENT CARE My name is Gloria. I'm from Tanzania

and 22 years old. I'm looking for a job in Basic Hotel Management, Front Office Operations or Customer Care. Education & Skills: Introduction to Catering & Hospitality - Basics in house keeping - Food and Beverage services - Basics in food preparation - Introduction to computer. Language skills: English & Swahili. Work area: everywhere in Tanzania. Tuma SMS anza na #06.40240 kwenda 077 775 1212.

NINATAFUTA KAZI: CUSTOMER CARE/ KUUZA DUKA/ SALES Nina langue ni Juliana. Nina umri 22.

Ninatafuta kazi kama customer care, kuuza duka au sales agent. Experience: miaka 3 katika sales of industrial products Lugha: Kiswahili & Kiingereza Nipo flexible, kazi iwe Dar es Salaam, Mwanza na Zanzibar. Mimi ni mchapakazi. Tuma SMS anza na #06.40464 kwenda 077 775 1212.

ADMINISTRATION JOB SEARCH: DATA KEEPING AND CUSTOMER SERVICE Josephine, 22, Tabata Segerea. I'm looking

for a job in data keeping or customer care. Education: Foundation Diploma in Business & Information Technology; Basic Technician Certificate of International Relations and Diplomacy Mozambique; Introductory Basic Communication & Computer Skills. Experience: Clerk at Alliance One Tobacco LTD Migori Count. Computer Skills: Microsoft Word, Microsoft Excel, Searching information on the Internet and Opening and Replying E-Mails. Languages: English & Kiswahili. References upon request. Tuma SMS anza na #06.35327 kwenda 077 775 1212.

JOB SEARCH: SOCIAL, MONITORING, ADMIN, SALES Felister, a Tanzanian lady of 26 years. I am cur-

rently looking for a job as as community development officer, monitoring and evaluation officer or in the fields of customer care, sales, administration. I am ready to work anywhere in Tanzania. Education Certificate & Diploma in development studies. Experience: Community development officer for 3 months; Customer care at CCTV camera for 1 year. Other skills: Computer, communication, management & entrepreneurship skills. Languages: Kiswahili, English. Tuma SMS anza na #06.39521 kwenda 077 775 1212.

SALES JOB SEARCH: SHOP ASSISTANT, SALES OR HOUSEKEEPER My name

is Miriam. I'm a Tanzanian lady, 25 years old. Eduction: O level at Majengo Secondary School, Kilimanjaro. Language skills: Swahili and English. Work Experience: 4 years as a shop assistant and sales person. I'm hardworking and ready to learn new things. I would like to work in Dar es Salaam. Tuma SMS anza na #06.39501 kwenda 077 775 1212.

JOB SEARCH CUSTOMER CARE, SALES, HOUSEKEEPING, ANY Naitwa Latifa (23). Elimu yangu ni

kidato cha nne. Nina uwezo wa kufanya kazi ngazi zifuatazo: msaidizi wa kuuza duka, huduma kwa wateja, kazi za majumbani. Naweza kufanya kazi sehemu yoyote Tanzania. Tuma SMS anza na #06.39523 kwenda 077 775 1212.

NATAFUTA KAZI: KUUZA DUKA, MAPOKEZI, KAZI YA SHELI Naitwa Tija Allan, umri wangu ni 18.

Naishi Dar es Salaam, Magomeni. Ninaitaji kazi yoyote kama kuuza duka, kwenye supermarket, mapokezi, kazi ya sheli na yoyote ile ambayo itakidhi mahitaji yake. Nina elimu ya kidato cha nne na niliwahi kufanya kazi kama agent wa gari. Language skills: English & Swahili Tuma SMS anza na #06.42920 kwenda 077 775 1212.

JOB SEARCH: MARKETING, SALES, SHOP ASSISTANCE Tanzanian lady, 27 years old. I am looking

for a job as marketer, sales person or shop assistant. Education: Diploma in marketing, Certificate of Marketing, Certificate of Education Training. Experience: Tanzania distilleries Ltd. for three month. Other skills: Computer, management, communication. Willingness to learn, work hard to contribute personal skills and knowledge to achieve any goals and objectives set. Tuma SMS anza na #06.37786 kwenda 077 775 1212.

RECORD MANAGER, CUSTOMER CARE, SALES

Tanzanian lady looking for a job as records manager or in the field of customer care/ sales. EDUCATION: Diploma in records management. EXPERIENCE: One year at Momeasy in selling department, Uchumi supermarket as supervisor. Other skills: good in management, communication, organisation, computer. Languages: Good at both swahili and english. I am hardworking, attentive, very competent and a good organiser. Tuma SMS anza na #06.38531 kwenda 077 775 1212.

SEARCH: SHOP ASSISTANT/ SALES, HOUSEKEEPER OR CHEF Naitwa Happy, 26. Ninatokea Ir-

inga. Ninatafuta kazi kama Shop assistant, Sales person, Housekeeper or Chef. Elimu: Standard seven. Lugha: Kiswahili. Uzoefu ya kazi: Miaka miwili kwenye supermarket, petrol station na kama housekeeper. Work area: sehemu yoyote Tanzania. Tuma SMS anza na #6.40654 kwenda 077 775 1212.

NATAFUTA AJIRA SUPERMARKET/ CUSTOMER CARE Ninaitwa Miriam, 22, kutoka Dar es Salaam.

Ninatafuta ajira Supermarket, Sheli, Mapokezi. Customer Care au Housekeeping. Kazi iwe popote Dar es Salaam au nje ya Dar hata nje ya Tanzania. Najua Kiswahili na Kingereza. Elimu wangu ni kidato cha 6. Nina uzuefo wa miaka 2 katika kampuni ya Dar Fresh. Mimi ni mchapakazi na mwaminifu pia naweza kufanya kazi zilizofanana na hizo nilozitaja. Tuma SMS anza na #6.41536 kwenda 077 775 1212.

TOURISM NINATAFUTA KAZI YA TOURISM & HOSPITALITY INDUSTRY Jina langu ni Mvisha Thomas Mwa-

chambi. Umri wangu ni miaka 23. Origin: Dodoma Nina level ya degree: Bachelor of Tourism and Culture heritage. Sina uzoefu mpaka sasa. Ninatafuta kazi ya tourism and hospitality industry. Lugha: Swahili & English. Tuma SMS anza na #6.35426 kwenda 077 775 1212.

JOB SEARCH: TOURISM & HOSPITALITY. BA IN TOURISM My name is Opportune Sebastian. I'm

24 years old and originally from Dodoma. I'm a degree holder: Bachelor of Arts in Tourism and Cultural Heritage. I have no experience up to now. I'm looking for work in the tourism and hospitality industry. Languages: Mambo Tupomoja, Swahili & English. Tuma SMS anza nim evutiwa na na#6.35428 kwenda 077 775 1212. mtahiniwa No #6.xxxx Tafadhali niunganishe nae!

6.xxxx Tuma sms anza na #0 . 12 kwenda 0777 75 12

MATANGAZO YA TUPOMOJA

JE, UNAHITAJI?

HABARI ZA TUPOMOJA 23

Tuma SMS kupitia 0777 75 12 12 na namba iliopo chini, pia na jina lako na ujumbe ungependa umfikishe mtangazaji!

KAZI TRANSPORT NATAFUTA KAZI YA UDEREVA MAGARI POPOTE TANZANIA Kwa jina naitwa Idrisa. Nina umri wa miaka

PROJECT MANAGEMENT NATAFUTA KAZI YA MIPANGO MIJI (RURAL DEVELOPMENT) Naitwa Neema Mawi. Umri wangu ni

19. Nina elimu ya darasa la saba. Ninauzoefu wa kazi ya udereva kwa muda wa miaka 2 na nusu. Ninatafuta kazi maeneo ya Dar. Natafuta kazi ya udereva wa magari popote Tanzania. Mimi ni Mtanzania, ninayejua kuongea kiswahili fasaha. Nikajiunga na elimu ya veta ya udereva keko (keko veta) nina leseni daraja C. Tuma SMS anza na #06.36148 kwenda 0777 751212.

27. Ninatafuta kazi ya mipango miji na niko tayari kufanya kazi yeyote. Nina diploma in rural planning and development. Sina uzoefu mpaka sasa. Najua kiswahili na kiingereza. Tuma SMS anza na #6.35427 kwenda 0777 751212.

PROFESSIONAL DRIVER WITH 10 YEARS EXPERIENCE Naitwa Shaffy. Umri

wangu ni miaka 30. Ninaishi Temeke-Dar es salaam. Fani yangu ni udereva, nina uzoefu wa miaka 10. Leseni yangu ni class A, B, C1, C2, C3, D na E. Ninatafuta kazi udereva ndani na nje ya Tanzania. Tuma SMS anza na #06.36148 kwenda 0777 751212.

24. I can work as project planner, reseacher, planner in population and development and monitor and evaluator. Languages: English and Kiswahili. Education: Bachelor degree holder in population and development planning (IRDP). Experience: Conduct research on assessing men knowledge, attitude and practice of modern contraceptive method; Participate in population and housing census; prepared kilosa socio-economic profile. Other skills: Communication, Organisational management & computer skills. Tuma SMS anza na #6.35318 kwenda 0777 751212.

JOB SEARCH: STORE/ DRIVER. EXPERIENCED HARD WORKER Mimi ni Khamisi. Umri wangu ni mi-

RESEARCHER, PROJECT PLANNER, ENVIRONMENTAL OFFICER Winnny, 24, looking for a job.

aka 30. Ninaishi Shaurimoyo mjini Zanzibar. Natafuta nafasi ya kazi kitengo cha store au udereva. Nimefanya kazi store kwa muda wa miaka 4 La Gemma Hotel, Nungwi Zanzibar na Bahari Beach Hotel. Fani ya udereva nina uzoefu nayo kwa muda wa miaka mitatu sasa. Ninauwezo wa kuendesha magari ya tani nne. Niko tayari kufanya kazi popote pale. Tuma SMS anza na #06.39500 kwenda 0777 751212.

JOB SEARCH: TRUCK DRIVER WITH 12 YEARS EXPERIENCE Nassor, 34, Zanzibar. Nina cheti cha

udereva kutoka Mwalasi Driving College. Leseni yangu ni class D1 na C. Ninauzoefu mkubwa wa kuendesha magari ya private car, Truck yenye uwezo wa Tani 1-15. Pia niauzoefu wa kutumia Boom Truck kwa kushusha na kupandisha kontena. Niko tayari kufanya kazi popote itapopatikana. Tuma SMS anza na #06.39498 kwenda 0777 751212.

VERY EXPERIENCED DRIVER LOOKING FOR A JOB Mustafa

(39), Tabata. Leseni yangu ya udereva ni daraja A, A2, B, C2, C3, D, E. Nina anauzoefu wa miaka 10. LUGHA: Kiswahili & English Basic. Ninatafuta kazi ya udereva popote Tanzania. Mimi ni msafi, mwenye bidii na mwaminifu. Tuma SMS anza na #06.37360 kwenda 0777 751212.

JOB SEARCH: FLEXIBLE TRUCK DRIVER AVAILABLE Mohamed, 37, Fuoni Meli Tano - Zanzibar. Nina

cheti cha udereva chuo cha VETA - Mororgoro. Ninauzoefu wa kazi kutoka kampuni tofauti: Gapco Zanzibar as a Truck Driver; SGA CO. LTD as a Truck Driver; Dala Dala Driver. Nina lessen ya Zanzibar class B, C, A, D na ya Tanzania Class A, A2, B, D, E. Nina uwezo wa kuendesha semi Trailer na independent Trailer. Tuma SMS anza na #6.39500 kwenda 0777 751212.

NINATAFUTA KAZI YA UDEREVA - POPOTE PALE NDANI YA TANZANIA Jina langu ni Lawi Grant. Umri

wangu ni 25. Ninaishi Ukonga, Dar es Salaam. Ninatafuta kazi ya udereva na nipo tayari kufanya kazi popote. Lugha: Swahil & English. Tuma SMS anza na #6.39527 kwenda 0777 751212.

I AM LOOKING FOR JOB AS DRIVER I am looking for job as driver. My name is Japhet Mashadi, I live in Dar es salaam. I am 30 years old. EDUCATION: standard seven, Collage (VETA) certificate Chang'ombe driving class E. EXPERIENCE: One year in the job as supplier of drinks. Work based on any route in Dar es salaam. Tuma SMS anza na #6.40653 kwenda 0777 751212.

JOB SEARCH: PROJECT PLANNER, RESEACHER, MONITORING My name is Nuru, Tanzanian lady,

Education: Bachelor degree holder in environmental planning & management. Experience: National Institute for medical research (NIMR) - TAZAMA PROJECT. Other skills: Communication skills, computer skills & uses of SPP. Languages: Kiswahili & English fluently. I'm hard working and able to cope with any challenge coming in my way based on my learning skills and my work experience, I am committed and a fast learner. Tuma SMS anza na #6.35321 kwenda 0777 751212.

JOB SEARCH DEVELOPMENT OFFICER: EXPERIENCE& DEGREE Meryna, 28, Gongo la Mboto, Dar

es Salaam. Education: Bachelor degree in development studies. I'm looking for a job as development officer in NGO's, companies and government. Experience: Customer care in Ison (Airtel) Quality Centre; Counselling at Sekuture Hospital (Mwanza). Languages: Good in both swahili and english. Other skills: Computer skills, communication, management skills. Tuma SMS anza na #6.37659 kwenda 0777 751212.

RESEACHER, ENVIRONMENTAL OFFICER/ PLANNER AVAILABLE Tanzanian lady of 24 years.

Looking for a job as researcher, environmental officer and environmental planner. Education: Bachelor degree of environmental planning and management. Experience: Data collector, Trainer of conservation agriculture, Conducting research of determinants of energy consumption pattern at household level, case study Mbagala Kuu. Skills: Target-oriented, Ability to organise, control and plan. Computer & management skills. Languages: Kiswahili and English. Tuma SMS anza na #6.38146 kwenda 0777 751212.

JOB SEARCH: PLANNING, PROJECT & EVALUATION OFFICER Charles, 28 years, Dar es Salaam, Bima.

I am a degree holder in project planning and management. Experience: Monitoring and evaluation officer at Rural Energy Agency for six month; Facilitator at Tmarc Mikocheni for one year. Other skills: computer, management, communication, report writing. I am hard working, a team player and I can meet the target within a reasonable time. I'm searching for a post as a planning officer, economist, monitoring and evaluation officer, or project officer. Tuma SMS anza na #6.38845 kwenda 0777 751212.

ACCOUNTING JOB SEARCH: CASHIER/ACCOUNTANT/BANKER

Maria, Tanzanian lady of 25 years, Dar es Salaam. I'm looking for a job as a cashier or banker in any banking industry. I can speak both swahili and english fluently. Education: Diploma in Business Administration. Experience: Tanroads, Eristic company and TBA as an accountant. Computer, administration & management skills. I'm very hard working, punctual and committed to my responsibilities. Tuma SMS anza na #6.36462 kwenda 0777 751212.

JOB SEARCH: EXPERIENCED STORE KEEPER IS AVAILABLE Naitwa Mohamed. Ninaishi Bububu, ZNZ.

Nina uzoefu wa miaka 10 kitengo cha store keeper. Elimu yangu ni kidato cha nne. Lugha: Kiswahili, Kitaliano & Kiingereza. Nimefanya kazi kampuni zifuatazo: La gema Hotel, Sultan Sand Hotel, White Sand Hotel, Z - Hotel. Tuma SMS anza na #6.37498 kwenda 0777 751212.

JOB SEARCH: EXPERIENCED ACCOUNTANT AVAILABLE Zahoro, 34, Bububu - Zanzibar. Elimu: Di-

ploma ya Business Management and Adminstration. Natafuta kazi popote pale, ila nitafurahi zaidi nikipata nafasi Zanzibar au Dar es Salaam. Uzoefu wa kazi: Mediterranean Restaurant, Kibatu Construction Company Ltd, Kibafu Building Construction. Ni nauwezo wa kufanya vitengo vifuatavyo: Muhasibu msaidizi - Preparation of payrolls - Preparation of petty cash vouchers - Bank reconciliation - Final accounts - Taxes payments - Report writing - Stock control - Taxation - Ms excel - Ms word - Ms publisher. Tuma SMS anza na #6.39933 kwenda 0777 751212.

JOB SEARCH: BANKER, PLANNER, COORDINATOR &DEVELOPER My name is Eliud Steward, 28

from Dar es Salaam. I'm looking for a job in the following fields: Economy, banking, planning, project coordination, development, and other related fields. Education: Bachelor degree of Arts in Economics. Experience: Project coordinator at MIBOS for one year. Other skills: computer skills - project writing - communication skills - entrepreneurship skills. Language skills: English & Swahili. My objective: My knowledge and skills in economics and other displine will provide helpful contribution in fulfilling the purpose and goals of your organization. Tuma SMS anza na #6.41489 kwenda 0777 751212.

PROCUREMENT & SUPPLY JOB SEARCH: MANAGEMENT, MARKETING, BANKING Tanzanian lady searching for job as banker,

procurement officer or marketing executive director in Dar es Salaam. I am able to speak both kiswahili and english. Education: Advanced diploma in Accountancy Experience: Supervisor manager at the Forever Living Company; Marketing networker at Infinity for 1 year. I've worked with Access Bank for 2 years. Other skills: Computer skills, Communication skills, Management skills, Designer experience, Good team worker. I'm work oriented, attentive and hard working. Tuma SMS anza na #6.37682 kwenda 0777 751212.

BA GRADUATE LOOKING FOR PROCUREMENT & SUPPLIES JOB Heaven, 26. Fluent in Swahili & English.

Education: Professional examination Level IV. Procurement & Supplies; BA in Procurement & Supplies management. Other skills: Computer. Experience: Field training at MUWSA; Internship in Procurement Management Unit at TACAIDS. PERSONAL STRENGTH: Time management, ability to work with minimum supervision. Tuma SMS anza na #6.35328 kwenda 0777 751212.

SEARCH: PROCUREMENT LOGISTICS/ STORE MANAGEMENT Naitwa IDDY HASSAN IDDY, umri

wangu ni 28. Ninatafuta kazi ya procurement logistics management or store management. Natafuta kazi mikoa ya Tanga, Arusha, Kilimanjaro, Dar es Salaam au Morogoro. Nipo flexible. Elimu: Diploma ya procurement Uzoefu: Ninauzoefu wa mwaka mmoja na nusu. Language skills: English & Swahili. Tuma SMS anza na #06.41420 kwenda 0777 751212.

JOB SEARCH: PROCUREMENT OFFICER & STOREKEEPER Ahlam, a Tanzanian lady, 26 years, is

looking for a job as a procurement officer, supplier assistant or/and store keeper. Education: Diploma & degree in procurement and logistic management. Experience: Storekeeper at National Bureau of Statistic 3 months, Storekeeper at Tanesco for 3 months, Cashier at Boama - Ansa Enterprises for 6 months. Other skills: Computer, Organiser & management. I'm hardworking, competitive and ready to learn. Tuma SMS anza na #6.38850 kwenda 0777 751212.


MATANGAZO YA TUPOMOJA

JE, UNAHITAJI?

GARI ISUZU NPR 4 TON CRANE TRUCK JUST IMPORTED ISUZU NPR, 4 TON CRANE TRUCK, TODANO

3 STAGES. Model: ELF Body type: pick up-4WD. Colour: White. Class: light load vehicle (GVM 3500kg or less). Year: 1991. Fuel: diesel. Seating capacity: 2. Imported from: Japan. Type: Manual driven car. Condition of the car: The truck has not been driven in Tanzania, it is just imported from Japan and it is a good condition (road worth). For more information contact me using the word TODANO. Price: 55,000,000 TSH. Tuma sms anza na #6.35601 kwenda 0777 751212.

TOYOTA COROLLA SUPER LIMITED Toyota Corolla Super Limited Year: 1991 Mileage: 125,000 km Condition: Used locally Petrol, 2WD, Automatic. Gari nzuri, bei maelewano na ipo maeneo ya Kitunda. It'a a good car, for a great Price: 3,500,000TSH Available in Kitunda.Tuma sms anza na #6.35601 kwenda 0777 751212. 1999 TOYOTA NOAH FOR SALE IN DAR - HALI NZURI SANA 1999 Toyota

Noah: Petrol, Used locally, 137,638km, Automatic, Color: Silver. Price on request: +255754710356 #6.37781

1999 TOYOTA PRADO FOR SALE 20,000,000TSH Price 20,000,000TSH Make: Prado

Model: Toyota, Fuel type: Petrol Condition: used overseas Milage: 103,000 Transmission: Automatic Drivetrain: 4WD Build year: 1999 Location: Kitunda, Dar es salaam. Tuma SMS anza na #06.38844 kwenda 0777 751212.

VOLKSWAGEN IN GOOD CONDITION FOR SALE

I am selling a used 2000 Volkswagen in good condition. The asking price is 14 million Tsh. Petrol, milage 30,000km, automatic, black color, 4WD. Location: Dar es Salaam. Tuma SMS anza na #06.41840 kwenda 0777 751212.

RAYMOTORS - PATA PIKIPIKI QUALITY! Nauza

pikipiki za kila aina kama Bajaji, Boxer, Honder. Ukitaka brand-new au used - unapata! Ninapatikana Makumbusho. Pia naweza kumfuata mteja popote pale. Saa za kazi: 08:00am - 06:00pm. Pata pikipiki quality kupitia Raymotors! Tuma SMS anza na #06.43070 kwenda 0777 751212.

2001 TOYOTA SPACIO NEW MODEL 7.5 MILLIONS TSH Bei: 7.5 millions TSH Make: Toyota. Model:

Spacio new model Fuel: Petrol. Condition: Used locally. Milage: 127,000. Transmission: Automatic. Drivetrain: 2WD. Build year: 2001. Location: Dar es Salaam, Buza. Tuma SMS anza na #06.43050 kwenda 0777 751212.

CAR DEALER: ISUZU, SUBARU & TOYOTA Jina langu ni GABRIEL. Nauza

magari ya aina mbali mbali: Isuzu Bighorn 7.9 Million TSH / Subaru 5.9 Million TSH / Carina Toyota 7.5 Million TSH. Zote zipo kwenye hali nzuri sana. Napatikana Tabata Dar es Salaam. Kwa mawasiliano zaidi wasiliana nami. Tuma SMS anza na #06.42919 kwenda 0777 751212.

NEXT DOOR AUTO SPARE PARTS

Tabata, Sigara or Balacuda, kota za Tazara. Spare za magari kama: engine oil, oil filter na vingine vingi. Tuna mafundi waliobobea kwenye kazi ya kutengeneza magari. Tunapatikana saa moja asubuhi hadi saa moja jioni. Nyote mnakaribishwa: +255 784 381802 / samsonngake@gmail.com" #6.41812

Tuma SMS kupitia 0777 75 12 12 na namba iliopo chini, pia na jina lako na ujumbe ungependa umfikishe mtangazaji!

UNIQUE CAR ACCESSORIES - QUALITY PRODUCTS &SERVICE We have all type of

car accessories available which are original and in good quality. We give out free consultation based on what is good for your car and improve your car as best as possible in an attractive way. Working hours: Monday - Saturday 08:00am-06:00pm Sunday 04:00am-03:00pm. We deliver quality product and services! Location: Rufiji street (Mwanza) P.O.Box 2253 Mwanza. Contact: +255 689 593780 / autounique15@gmail.com #6.42121

BINO AUTO ELECTRONICS

Ni wauzaji pekee wa sensa za magari aina yote, ikiwa ya Europe au Japan. Tunauza nosel mpya na mtumba. Auto Electronics & Spare Parts: Car Sensor, All Car Oil and Nozel, Car TV, Alarm System for Car Electronics, BMW, Peigiot, Subaru, Mazda, Ford Range, Range Rover, Audi, Rover, Scania, Toyota, Jeep, Mitsubish, Nissan, Suzaki. Eneo: Kampuni iko Ilala, Mtaa wa Lindi (Michinga Complex, Dar Business Park). Saa za kazi: Jumatatu hadi Jumamosi 2:30 asubuhi - 11:30 jioni. Wasiliana: +255 717 600300 #6.37021

GLOBAL VEHICLE TANZANIA LTD Vehicle of your

dream. We are dealing with importing, exporting and selling of new and used Japanese cars. Services: EXPORT OF USED VEHICLES | AUCTION BROKERAGE | SHIPPING. Meet us for nice cars in excellent condition. OFFICE HOURS: 09:00 - 17:30 Monday - Saturday. Find us: P.O. BOX- 19792 Urafiki Area, OPP. Tanzania-China Friendship Company Ltd. Along Morogoro Road, Shekilango, Dar-Es-Salaam. Contact: +255 717 271200 / Mukeshkin@gmail.com #6.42438

FASHION & BEAUTY NAUZA VITENGE AINA YA SUPER JAVA KWA - 45,000 TSH Naitwa ABELLA GATAHYA. Ninauza

vitenge vizuri! Nauza vitenge aina ya super java. Huduma natoa home/office na delivery. Bei: 45,000 TSH Eneo: Dar es Salaam Ubungo. Tuma SMS anza na #06.41957 kwenda 0777 751212.

NINAUZA VITENGE ORIGINAL KUTOKA CONGO - 30,000 TSH Ninauza vitenge original kutoka Congo. Gharama ni nafuu: Bei ya jumla ni sh 30,000 na rejareja sh 35,000. Vinakufikia sehemu yeyote ulipo. Tuma SMS anza na #06.41976 kwenda 0777 751212.

SOULCAL & CO JEANS SHOES 10 SIZE - 50,000 TSH MAULA USED SHOES SHOP

Location: Dar es Salaam - Kinondoni - Makumbusho. Tuma SMS anza na #6.41821 kwenda 0777 751212.

NICE REEBOK SHOES BLUE & YELLOW COLOR - 50,000 TSH MAULA USED SHOES SHOP Location: Dar es Salaam - Kinondoni - Makumbusho. Tuma SMS anza na #6.41816 kwenda 0777 751212.

FASHION SNEAKERS RED & BLACK COLOR 25,000 TSH Location: Dar es Salaam - Ubungo. Tuma SMS anza na #6.41275 kwenda 0777 751212.

SHINY POINTED FLAT SHOES IN YELLOW, BLACK & PINK - 25,000 TSH For

the best shoes, handbag, dress in Arusha contact me through whatsapp! Tuma SMS anza na #6.38582 kwenda 0777 751212.

#6.xxxx kwenda 0777 75 12 12.

Habari Tupomoja, nahitaji kuzungumza na muuzaji, tafadhali niunganishwe na #6.xxxx!

KUNUNUA & KUUZA VITU MBALI MBALI NUTRITION & HEALTH EDMARK - LOOSE WEIGHT & FEEL GOOD NOW

People helping people succeed in health, wealth and total wellbeing. 4 steps health & slimming program: Step1: Deloxify - SHAKE OFF PHYTO FIBER Step 2: Burn fat - MRT COMPLEX Step3: Balancing - SPLINA LIQUID CHLOROPHYLL Step4: Rejuvenate - EDMARK CAFE& RED YEAST COFFEE. No side effect. It's food suplement. It is registered internationally and accordingly e.g. Tanzania under TFDA. Money back guarantee!!! We deliver any place. Full package: 396,000 TSH Half package: 190,000tsh TSH. Feel good now! Contact: +255 65 381 5815 #6.41657

NINAUZA KUKU WA KIENYEJI - 20,000TSH Nau-

za kuku wa kienyeji, majogoo na matetea. Jipatie kitoeo sasa kwa bei nafuu. Maeneo: Pugu, Dar es Salaam. Tuma sms anza na #6.43312 kwenda 0777 751212.

JE, UNAHITAJI?

FASHION & BEAUTY TOTAL STYLES OFFERS ALL TYPES & STYLES OF WIGS AVAILABLE!!! 100% Vir-

gin Human Hair - the best selection & quality from America you can get! Tuma SMS anza na #6.27734 kwenda 0777 751212.

WATENGENEZAJI NA WAUZAJI WA VIATU VYA KITAMADUNI Mimi ni watengene-

zaji na wauzaji wa viatu vya kitamaduni. Vizuri sana na bei kuanzia sh 25,000. Ninauza jumla na reja reja. Watu wa pande zote za dunia wanakaribishwa. Kwa mawasiliano zaidi wasiliana nasi kwa njia ya kupika simu: +255 718 268299 #6.41832

BLACK & LONG EVENING DRESS WITH SILVER - 85,000 TSH For all types of ladies clothes. Visit MMJs Casual Boutique Located at Kimweri Avenue before the corner to BBQ village. Tuma SMS anza na #6.42084 kwenda 0777 751212.

MEN'S BOXER SHORTS UNDERWEAR AVAILABLE - 5,000 TSH Nguo nzuri ya ndani

kwa ajili ya wavulana inapatikana kwa bei poa. Fika sasa na ujipate toleo bora na jipya kabisa. Nyote mnakaribishwa. Tuma SMS anza na #6.41234 kwenda 0777 751212.

BLACK / SILVER DIAMANTE DESIGN EVENING FLAP OVER PARTY CLUTCH BAG 55,000 TSH Handbag

H & S FASHION FLAT SHOES SIZE 38 AVAILABLE NOW 25,000 TSH Tuma SMS anza na NAVY LEATHER COURT SHOES - 140,000 TSH

BLACK-DOUBLE-BUCKLE-CROSSBODY-BAG 80,000 TSH Tuma SMS anza

Heel height: 3" / 7.5cm. Tunauza nguo za kike kutoka UK kwa rejareja,unatoa order kwa whatsapp au kwenye website yetu. Any payments via MPESA. OFISI YETU IPO PLOT 304 GOIG ROAD, MBEZI BEACH, Dar Es Salaam. Tuma SMS anza na #6.36216 kwenda 0777 751212.

na #6.40489 kwenda 0777 751212.

COLOURFUL FLAT SHOES AVAILABLE FOR 35,000 Maelezo zaidi Whatsapp! Tut-

LIP GLOSS ANASTASIA BEVERLY HILLS - DATE NIGHT - 65,000 TSH Tuma SMS anza na

tyrahma Collection - Clothing Supply & Jewellery. Find our shop at Kinondoni, Dar es Salaam. Tuma SMS anza na #6.34774 kwenda 0777 751212.

DESIGNER: ASIAN DRESSES - 150$ We take all

pre orders and pay cash. We have different fashion design dress to offer. For more information don't hesitate to visit us or contact us directly for your requirement. Tuma SMS anza na #6.42833 kwenda 0777 751212.

MATERNITY DRESSES 40,000 TSH iMalaika has all kind of beautiful maternity dresses! For more info contact us via phone. Karibuni sana!! Tuma SMS anza na #6.42824 kwenda 0777 751212. FLOWERPRINT DRESS - 35,000 TSH For all types of ladies clothes. Visit

MMJs Casual Boutique Located at Kimweri Avenue before the corner to BBQ village. Tuma SMS anza na #6.42286 kwenda 0777 751212.

HABARI ZA TUPOMOJA 25

Tuma SMS kupitia 0777 75 12 12 na namba iliopo chini, pia na jina lako na ujumbe ungependa umfikishe mtangazaji!

KUNUNUA & KUUZA VITU MBALI MBALI

Store - TZ. We are the leading limited handbags store in Tanzania, selling a wide variety of handbags fro the United Kingdom Factory. Products: Handbags, Purses, Wallets, Clutch Bags, Mini Handbags. Shop located @ Sinza Mapambano before GBP Petro station. Tuma SMS anza na #6.41837 kwenda 0777 751212.

#6.37028 kwenda 0777 751212.

Tuma sms anza na

MATANGAZO YA TUPOMOJA

PINK HANDBAG SET - LEATHER Bei

zetu kwa jumla @65000 jumla reja na reja reja @80000. Tuma SMS anza na #6.40287 kwenda 0777 751212.

NATURAL OILS HAIR TREATMENT @ 55,000/-

Tuma SMS anza na #6.41613 kwenda 0777 751212.

#6.40295 kwenda 0777 751212.

NATURAL DREADLOCKS SET FOR 155,000 TSH Shampoo & conditioner @30,000

each, molding gel @30,000 na oil anti itch @30,000 each. Tuma SMS anza na #6.40061 kwenda 0777 751212.

ORGANIC OIL BODY BUTTER - 35,000 TSH Ni lotion ambayo inafanya ngozi kuwa

soft na nyororo vilevile hufanya ngozi kuwa na afya. Tuma SMS anza na #6.38944 kwenda 0777 751212.

DAWA YA ASILI - GILGAL PURE HERBS Dawa ya asili GILGAL PURE HERBS imetengenezwa kwa alovera, mwarubaini, msonobari, mlonge, saumu na karafu. Inatibu magonjwa mengi kama typhoid, malaria, maumivu ya viungo, kiuno, mgongo, gesi ya tumbo, kizazi, vidonda vya tumbo, kukosa hamu ya chakula, kuosha figo, kisukari, ugonjwa wa moyo, presha, amoeba, ugonjwa wa baridi, jipu la tambazi, kuwashwa miguu, kiungulia, nyongo, chango, fangasi unaletewa ulipo. Bei sh 7000/=. Matumizi ni kijiko1x2. Ina Ujazo wa 60ml. Tuma SMS anza na #6.36755 kwenda 0777 751212.

TECHNOLOGY & ELECTRONICS MACHINES ZA KUTOTOLESHA VIFARANGA (INCUBATOR) Nauza

machines za kutotolesha vifaranga (incubator). Zinatotolesha mayai yote, ni mpya kabisa. Tunapatikana Ubungo Dar es Salaam. Machine zinauzwa kwa shilingi 400,000/= kwa kila moja. Wa mikoani watatumiwa huko huko. Contact: +255 787 173 355 #6.41247

NINAUZA TV, AINA YA HITACHI, USED - 100,000TSH #6.43314 SONY VEGAS PRO 13 (VIDEO EDITING): 40,000 Tuma SMS anza na

#6.41356 kwenda 0777 751212.

3.5 MM STEREO HEADPHONE JACK Tuma SMS anza na #6.41350 kwenda 0777 751212.

HP ELITEBOOK TABLET PC (USED) ON SALE

Hp Elitebook tablet pc (used). Core i5, 2gb ram, 160gb HDD, 12.1", 470,000tzs. For more information please Call or Whatsapp. Tuma SMS anza na #6.39162 kwenda 0777 751212.

PATCH CORDS IN DIFFERENT COLORS AND LENGTH Tuma

SMS anza na #6.39065 kwenda 0777 751212.

DO YOU ALWAYS THINK ABOUT WHAT TO GIFT YOUR KIDS? Y

And Z Technology brings up with an amazing children headphones. Give your kids best headphones with a known best brand "VCOM". Tuma SMS anza na #6.38862 kwenda 0777 751212.

GOPRO HERO3 CAMERA ON SALE GoPro Hero3+ Plus Black

Edition HD Camcorder Camera + 2 Battery + 64GB Top Kit. Buyers should contact with the details below for purchase. Tuma SMS anza na #6.38515 kwenda 0777 751212.

FOR SALE! FOR SALE! APPLE PRODUCTS Buy 2 units and get 1

unit FREE including shipping Buy 4 units and get 2 unit FREE including shipping Buy 5 units and get 3 unit FREE including shipping Delivery Time : 2-3 days through airway. Tuma SMS anza na #6.38329 kwenda 0777 751212.

APPLE IPHONE 5S WITH ALL ACCESSORIES ON SALE For Sale Brand New Apple Iphone 5s With All Ac-

cessories...Price cost:$ 350 USD. For more information please contact me. Tuma SMS anza na #6.37745 kwenda 0777 751212.

NEW HUAWEI G535 OFFER PRICE IN DAR ES SALAAM ANDROID 4.3 VERSION,

WIFI, 4G, 8GB INTERNAL MEMORY, I GB RAM, 5MP CAMERA, FLASH - 220,000 TSH. Tuma SMS anza na #6.41493 kwenda 0777 751212.

SAMSUNG GALAXY S DUOS 270,000/= Tuma SMS anza na #6.12688 kwenda 0777 751212.

SPY WATCH CAMERA HD 720P, 8GB & WATERPROOF FOR 185,000/= ANDROID

4.3 VERSION, WIFI, 4G, 8GB INTERNAL MEMORY, I GB RAM, 5MP CAMERA, FLASH - 220,000 TSH. Tuma SMS anza na #6.26147 kwenda 0777 751212.

HTC DESIRE C - 165,000/= ANDROID 4.3 VERSION, WIFI, 4G, 8GB INTERNAL MEMORY, I GB RAM, 5MP CAMERA, FLASH - 220,000 TSH."Tuma SMS anza na #6.12976 kwenda 0777 751212. LG OPTIMUS P769 - 325,000/=

Android 4.1.2 (Jelly Bean) operating system, Slim! only 36 inches in depth, 4.5 inch display, 1 GHz dual core processor. Tuma SMS anza na #6.13051 kwenda 0777 751212.

SONY XPERIA X10 - 250,000/= Tuma SMS anza na #6.13074 kwenda 0777 751212. HUAWEI IDEOS X5 - 160,000/= Ideos IDEOS X5 is a smarphone running Android 2.2 Froyo. It features a 3.8” WVGA touchscreen, 5-megapixel camera, HSPA connectivity, GPS, and Wi-Fi. Tuma SMS anza na #6.13122 kwenda 0777 751212. BRAND NEW SAMSUNG TV, UNOPENED FOR SALE Brand new Samsung TV, unopened, in its origi-

nal packaging. LED H6203 Series Smart TV – 55” Class (54.6” Diag.) 4.5691 (123) Write a review. SIZE: 65" 60" 55" 50" 46" 40" Full HD 1080p. Smart TV. Tuma SMS anza na #6.42627 kwenda 0777 751212.

LG LED 43INCH TV FOR SALE IN DAR Full HD, HDMI 2, USB, Built-in de-

coder, Free delivery. Tuma SMS anza na #6.42614 kwenda 0777 751212.

SONY BRAVIA LED 40 INCH TV FOR SALE IN DAR Clear Resolution Enhancer

Picture Engine, Full HD Screen, MHL for instant connection to your Xperia™, smartphone, Motionflow™ XR 100 for smoother on-screen movement, Sound Booster for pure audio enjoyment, FM Radio. Tuma SMS anza na #6.32018 kwenda 0777 751212.

PHILIPS TV 26 INCHES BLACK COLOR AVAILABLE - 350,000 TSH Tuma SMS anza na #6.40322

kwenda 0777 751212.

ENTERTAINMENT AMOUR GENIUS: WIMBO WANGU "WANIMALIZA" Burudika na ufurahie wimbo wangu mpya

WANIMALIZA. Icheki video yangu kupitia youtube: www. youtube.com/watch?v=rCmzFMg8ehc Wimbo umetengenezwa na combination sound mani water, video na director Adam Juma. Amour Genius ft Kadjanito QS Mhonda J Entertainment Dir: AJ Next Level Production 2015 Copyright. Tuma SMS anza na #06.36469 kwenda 0777 751212.

Tuma sms anza na #6.xxxx kwenda 0777 75 12 12.

Hi Tupomoja, nimevutiwa na bidhaa #6.xxxx tafadhali niunganishwe na muuzaji!


MATANGAZO YA TUPOMOJA

JE, UNAHITAJI?

KAMPUNI CARS, VEHICLES & TRANSPORT NGUZO EXPRESS LTD CARGO AGENCY & GENERAL SUPPLY General Cargos

| Diplomatic Cargos | Dangerous Cargo. We deal with general supply mainly stationaries and building materials, Air Cargo handling & packaging of goods to its esteemed customers or requested by cus- tomers. We also provide warehouse storage facilities. Our office: Airport on Nyerere Road opposite na Airwing Armee. Office hours: 08:30 - 17:00 Mon-Sat. Branch: Kilimanjaro International Airport. Contact: +255 715 252667 | tamim@nguzoexpress.com #6.37231

CENTRAL LINK COMPANY LTD. CLEARING & FORWARDING We are dealing with Clearing & For-

warding. Saa za kazi kiofisi: Saa 2 asubuhi - 2 usiku. Location: Kariakoo, Dar es Salaam. Tuma SMS anza na #6.42917 kwenda 0777 751212.

DEREVA TAXI YUPO TAYARI WAKATI WOWOTE

Mimi ni dereva taxi. Ninakodisha gari yangu na nipo tayari wakati wowote! Napatikana Quality Center, nafanya safari ndani ya Dar na nje ya Dar. Bei ni makubaliano. Gari ni nzuri na ina air condition. Mwasiliano: +255 65 2621615 #6.37769

CONSTRUCTION & MANUFACTURING JENGA NASI KWA UBORA NA UIMARA WA NYUMBA YAKO Naitwa Emmanuel Stephano. Nina

umri wa miaka 34. Ninaishi Singida. Ninaujuzi na shughuli za ujenzi, kuanzia msingi mpaka kukamilika kwa nyumba. Pia tunatoa huduma ya fitting ya umeme, gypsum, tiles au sakafu ya kawaida na kupaka rangi. Nina uzoefu wa kutosha. Wasilina nami muda wowote na ninafika mahali popote. Tuma SMS anza na #6.37824 kwenda 0777 751212.

LUPIMO CONTRACTORS (T) LTD LUPIMO CON-

TRACTORS (T) LTD ELECTRICAL AND MECHANICAL ENGINEERING (HVAC-Heat, Ventilation and Air Condition): Deals with Commercial installation, Industrial installation, Generator installation, Facility and Management in electrical and mechanical engineering. Address: Kinondoni Road (Tx market) adjacent Barclays Bank. Working Hours: All official days from 8:00am-4:00pm. Contact: +255 754 292955 / ilupimocont@yahoo.com #6.35602

SYLCON BUILDERS LIMITED Tuanajishughulisha na ujenzi wa nyumba. Maeneo: Magala, Kanisa, barabara na viwanda. Pia tunakarabati. Tunasanifu majengo. Tunafuatilia vibali vya ujenzi na ni wasambazaji wa vifaa vya ujenzi. Mawasiliano: sylconbuilders@gmail.com / +255 712 935483 #6.43311 CEILING DESIGN & RANGI - KUTENGENEZA & KUKARABATI Tunashughulika na Kutengeneza na Ku-

karabati Ceiling Designs na Gypsum powder, na pia upakaji rangi nyumba & sehemu tofauti kama mahotelini, maofisini nk. Tunapatikana Magomeni kwa Najim, Zanzibar. Tunafanya kazi muda wote na saa zote inategemea na mazingira tu. Kwa maelezo zaidi wasiliana nasi muda wowote. Kuwa huru bei zetu ni nafuu kinyume na wengine. Nyote mnakaribishwa. Tuma SMS anza na #6.38422 kwenda 0777 751212.

Tuma SMS kupitia 0777 75 12 12 na namba iliopo chini, pia na jina lako na ujumbe ungependa umfikishe mtangazaji!

KGG CIVIL & BUILDING CONSTRUCTION CO. LIMITED Tunashughulika na kazi za ujenzi wa majen-

go imara, barabara, ukarabati wa majengo, usanifu wa majengo na ushauri wa majengo. Saa za kazi: Saa 1:30 asubuhi - 9:30 jioni kila siku. Tunapatikana: NYERERE ROAD/BOHARI STREET, EAGT building second floor room no 225. Tuma SMS anza na #6.43017 kwenda 0777 751212.

MKAA MBADALA HAUTOKANI NA MITI NONWOODEN CHARCOAL Tunauza mkaa mbadala na

salama. Hautokani na miti ni rafiki na mazingira. SIFA YAKE: Hautoi moshi - Hauna harufu - Unatumika kidogo kwa kuivishia chakula kwa muda mchache. 2500 kwa kilo 1, Unapatikana kwa jumla na reja reja. Tunapatikana Sinza Darajani. Mawasiliano: +255 713 772566 #6.37116

FOOD INDUSTRY & HOSPITALITY KWARE NA MAYAI YAKE - QUAILS & QUAIL EGGS FOR SALE Mayai yanapatikana

Boko. Bei ya Tray - 20,000 TSH Mayai ya kutotolesha Tray - 25,000 TSH. Kware wanapatikana Bagamoyo. Kifaranga cha week 2 - 4,000 TSH, Kware mkubwa 8,000 TSH. Bei inapungua kila unaponunua Mayai mengi. Wanakuletea popote ulipo ndani ya Dar es Salaam. Wasiliana: +255 712 955009. #6.35536

D-PLUS DISTRIBUTORS LTD Distribu-

tion of drinks & beverages, Event management, Car dealership importation. Our office is located at: National Investment Centre (Kitega Uchumi) 6th floor Posta Dar es salaam. Open: Everyday from 08:00am - 05:00pm. Contact+255 787 007263 | dplusdistributors@gmail.com #6.36808

DOLFAM INVESTMENT AGRICULTURAL - GRAIN & LIVESTOCK Located at Kinondoni Ananasifu. We have experience of selling agricultural produce and livestock, especially different types of grain and cattle. Livestock: Cows, goats, poultry, ducks, sheep. Grains: Rice of all types, Okoro, green beans, beans, white millet, sorghum and millet. We are happy to take on orders from private persons, companies and restaurants/hotels. Working hours: Monday - Friday 8am 4pm. P.O. Box 4223 Dar es Salaam. Contact: +255 713 009888 | dolfarminvestment@gmail.com #6.36927

LLICKS POULTRY: TUNAUZA KUKU WA KIENYEJI & BROWLER Nauza kuku wa

kienyeji na broiler pamoja na mayai wa kuku wa kienyeji na ya kware. Bei za kuku wa kienyeji ni 20,000 kwa kuku mmoja na broiler 5,500. Mayai tray moja ya kuku wa kienyeji 15,000 na mayai ya kware 20,000. Bei hizo ni za kuanzia. Tunapatikana Mtoni Kijichi. Pia tunaweza kusafrisha kuku na mayai maeneo yote. Wasiilana: +255 718 730606 #6.37232

VEMMA NUTRITION Distributing 3 products: Verve, Bod.e & Vemma. Carton box of Verve - Tsh 200,000, Carton Box of Bod.e - Tsh 200,000, 2 bottles of 946 ml Vemma @ 160,000. Please contact me for all inquiries and orders within Tanzania. Also contact for any one interested in Distributorship of our product. Contact: +255 715 587570 #6.37458

SAGAI GENERAL ENTERPRISES TIBA & DAWA ZA ASILI Inatoa tiba asili. Tu-

JE, UNAHITAJI?

ANGELA CAKES Cooking and preparation of cakes. All types of cakes based on their occasion. We provide consultation services and delivery services. Location: Kinondoni Studio. Opening time: Mon - Sun 08:00am07:00pm. Prices 15,000 - 100,000 tsh. We are also taking different kind of oders. Contact: +255 782 297408 #6.42217 CR SHOP GRAIN AND SOFT DRINKS RETAIL & WHOLESALE Tunauza nafaka mbali mbali kama vile

Mahindi, Maharage, Ngano na unga wa mahindi. Vinywaji baridi pia vinapatikana. Huduma zetu zinapatikana kwa jumla na reja reja. Kuhusu usafiri ni makubaliano kati yetu na mteja, inategemea mzigo unapoelekea. Tuko wazi kuanzia saa 01:00 asubuhi hadi 03:00 usiku. Kwa maelezo zaidi piga simu: +255 769 900221 #6.36147

KUKU WA NYAMA Tunauza kuku wa nyama Bei

Mmoja tsh 5,000 Wale ambao wanahitaji na wako mbali usafir ni maelewano Kuku wanapatikana na ni wazuri Muda wa kuchukua /toa oda kuanzia asubuhi hadi jioni Temeke, Dar es Salaam. Mawasiliano: +255 719 175617 #6.37454

TURKEYS FOR SALE I BATA MZINGANinauza bata mzinga kwa bei nafuu. Ni wazuri kwa matumizi ya vitoeo. Wapo wengi na kwa wale wa mikoani wanakaribishwa. Tuma SMS anza na #6.39186 kwenda 0777 751212. MUSIC & ENTERTAINEMENT JOSEPH MUTAKUBWA: BLOG YA ELIMU YA UCHUMI josephmutakubwa.blogspot.com/ Ni blog ya

pekee inayohusika kutoa na kuandika habari za kiuchumi, burudani na matukio mbali mbali. Vyote utavipata kupitia Joseph Mutakubwa Blog. Karibuni na mfurahie! Translation This is blog about economics, entertainment and various events. You can get lots of information through Joseph Mutakubwa Blog. Welcome and enjoy! #6.35332

MOVIEW TANZANIA - CINEMA APP IN TZ Moview is an application dedicated to moviegoers in Tanzania. It offers a list of movies in major theaters with information on synopsis about movies, showtimes of different movies and more. Enjoy various movie trailers! Bringing a great cinema experience to Tanzania! Avalable on Google Playstore Visti us on Social Media Facebook Page: www.facebook.com/MoviewApp Twitter Page: twitter.com/Moview #6.36315 SHEMEJI INVESTMENT: PHONES, GAS, EVENTS & MC Located in Kagera (Mtulula). We are dealing with -

Sale of various phones - Preparation of different events (matamasha) - We have the best MC in Kagera ready to book - Transaction of money (m-pesa, tigopesa, airtel money) - and we offer the supply of gas bottles. Working hours: Everyday from Monday to Monday 07:00am to 07:00pm Our slogan is "We mind quality not quantity!" Contact: +255 715 480900 #6.37559

CEBER GENERAL SUPPLIES LTD. NGUO ZA VIWANDANI Tunashughulika na kusho-

na nguo za viwandani. Tunapokea sabuni kutoka kwenye makampuni, shule na ofisi. Saa za kazi: Saa 2 asubuhi - saa 11 jioni / Jumatatu - Jumamosi. Tuku Changombe Maduka Mawili, Dar es Salaam. Wasiliana: +255 754 021807 #6.35333

PRISCANA ENTERPRICES - DESIGN & TAILORING SERVICES Tailoring & de-

signing. Different types of styles like casual, wedding, official and African printing. We also offer professional consultation. Price range: Starting from 30,000tsh. Location: Kimara (Baruti). Open: Mon-Fri 9:00am 8:00pm. Contact: +255 717 784784 #6.37359

NINATENGENEZA & KUUZA: MIKOBA, VIKOI, HERENI Ninatengeneza na kuuza: Hand-

bags za asili (mikoba), 35,000 TSH hadi 50,000 TSH. Batiki aina zote / Vikoi 16,000 hadi 25,000 TSH. Hereni 1,500 TSH Mikufu 2,000 TSH. Sabuni za Maji na dawa za kusafishia vyoo na za kudekia ....kwa wale wa mikoani watafikishiwa huko huko. Ninapatikaka Ukonga Mazizini - DSM. Wasiliana: +255 762 081808 #6.37791

SALZMAN BOUTIQUE Nguo za kike na kiume | Viatu vya kike na kiume | Mikanda saa kofia na mikoba. Saa za kazi: Sa 2 asubuhi hadi saa 4 usiku. Siku zote za wiki. Duka letu lipo Mwanza mtaa wa Uhuru. Wasiliana: +255 713 209 814 #6.38049 TAMADUNI ART - PRINTED SHIRTS FROM 15,000TSH We are dealing with fine screen printing, fine art and graphics design. We are selling printed T-Shirts for 15,000/= and 17,000/= for Polo Shirts. Contact: Tamaduniart@gmail.com or +255 713 578506 #6.43073

Tuma SMS kupitia 0777 75 12 12 na namba iliopo chini, pia na jina lako na ujumbe ungependa umfikishe mtangazaji!

COMPUTER & ELECTRONICS VTELEMATICS - GPS TRACKING & DATA ACQUISITION Vtelemat-

ics is a GPS tracking and data acquisition company with its head quarters located in Mwanza City. Our solutions enable businesses to meet the challenges associated with managing local fleets, and improve the productivity of their mobile work forces by extracting actionable business intelligence from real-time and historical vehicle and driver behavioral data. Location: P O Box 10587, Liberty street. For more details contact us: +255 757 323982 / azizomar076@gmail.com #6.42189

MOYO MEDIA CO. LTD. Moyo Media Co. Ltd. is the media and ICT Company in Zanzibar; it was founded back in 2008. We are dealing with Web Solutions, ICT Solutions, Graphic Designing and Video Productions. We pride ourselves on outstanding customer service and from that point on we will work to make sure your business succeeds. Contact: mustaphamoyo@moyomedia.co.tz | +255 763 461783 | www. moyomedia.co.tz #6.35114 ELVIS ELECTRICAL SHOP: NI WAUZAJI WA VIFAA VYA UMEME ELVIS ELECTRICAL SHOP Tupo

maeneo ya Nalung'ombe na Sikukuu, Dar es salaam. Tunauza vifaa vya umeme kama stabilizer, cable. Duka linafunguliwa kuanzia 1:00 asubuhi hadi saa 12:00 jioni. WOTE MNAKARIBISHWA. Mawasiliano: +255 652 759080 #6.35307

IPF COMPANY - SOFTWARE, MOBILE & WEB DEVELOPMENT We are dealing with software devel-

opment: web design development - mobile phone application (android) - ICT consultation - ICT free lancing - desktop application & system. We operate 24 hours. Why choose us? Because - we are committed to our work - enormous creativity - we can serve you from any remort point. For more information please contact us: +255 712 288231 / ictproblemfixers@gmail.com P.O.Box 42041 Dar es salaam #6.35317

VODASHOP SINZA: SMARTPHONES & SIMU, CUSTOMER CARE Natangaza Vodashop iliopo Sinza

BAT COMPANY LTD: VIATU & TSHIRT Wauzaji wa wa viatu vya kiume na vya kike, tunapatikana maeneo ya Segerea. Huduma zetu ni kwa wateja wa jumla na reja reja. Viatu vyetu ni vipya kutoka South Afrika. Tunapokea oda kutoka mikoa yote ya Tanzania pia utaupata mzigo wako popote ulipo. Bei zetu ni poa, kuanzia elfu 20,000 mpaka 50,000/= Pia kampuni yetu inahudumia bustani na inauzwa maua na kupanda ukoka mzuri sana. Mawasiliano: +255 652 153748 / stacsivo@gmail.com #6.35579

(Kumekucha Kituoni). Tunatoa huduma ya kuuza smartphone na simu za kawaida, huduma ya wakala wa mpesa, renew lines, customer care services. Tunafufungua Monday to Friday from 08:30 am to 06:30pm and on Saturday from 09:00am to 03:00pm. Bei: 25,000tsh + Mteja ni mfalme na tunafika huduma husika kwa wakati na mahali husika. Mawasiliano: +255 765 959686 / stevenmwalughelo@yahoo.com #6.35330

NINAUZA MADHULIA YA CULTURE YALIYOTENGENEZWA KWA UZI Kazi yangu kubwa ni kuten-

ments and Furnitures Duka langu lipo wazi siku zote za wiki kuanzia: Saa 1 asubuhi - saa 2 usiku Duka langu lipo karibu na stand ya Sinza (Tandika). Mawasiliano: +255 766 673031 #6.37460

geneza mazuria mazuri ya kiasili yanafumwa kwa uzi. Ni mazuria mazuri na yenye mchanganyiko mzuri wa rangi na mengine ya rangi moja. Ninapatikana maeneo ya posta ardhi, mkabala na ofisi ya Tume na Mipango. Bei zangu ni nafuu, kwa zuria moja lenye ukubwa wa 1/2 mita ni ni tsh 50,000/= tuu za kitanzania. Pia ninatoa mafunzo kwa vijana wanaohitaji kujiajili kwa kazi za mikono kwa tsh 40,000/= kwa muda wa mwezi 1. Tuma SMS anza na #6.41279 kwenda 0777 751212.

EL-SHADAI SHOPPING CO. LTD Wauzaji wa pazia, mashuka,

Habari Tupomoja, nahitaji kuwasiliana na kampuni #6.xxxx kupata huduma zao. Tafadhali tuunganishe!

HABARI ZA TUPOMOJA 27

KAMPUNI CLOTHING INDUSTRY & CRAFTS

nashughulika na maradhi sugu, tiba za Imani, matatizo ya maisha na ushauri, kusindika dawa za asili. Watoto na wazee wanatibiwa bure. Saa za kazi: Saa 3 asubuhi hadi saa 12 jioni siku zote. Tunapatikana Segerea kwa bibi, karibu na baa ya katavi - DSM. Wasiliana: +255 655 331772 #6.37653

Tuma sms anza na #6.xxxx kwenda 0777 75 12 12.

MATANGAZO YA TUPOMOJA

taulo, maua, saa za ukutani, picha za ukutani, fimbo za pazia, meza za maharusi, vyombo vya ndani, vitanda, net za mbu, carpet, donates, viti vya ukumbini, meza za chakula, sabuni za usafi nk. Tupo Dar, Morogoro, Dodoma. Mawasiliano: naimanwayo@gmail. com / + 255 717 226274 #6.43316

FINANCES & INSURANCE ELMERY INSURANCE AGENCY (T) LTD Kampuni yangu inahusika na bima

aina zote. Saa za kazi kuanzia saa 2:00 asubuhi hadi saa 11:00 jioni. Maeneo ya Chagga street near Chef Pride Ltd Dar es salaam. Wasiliana: +255 754 021807 #6.36468

EDSEN INSURANCE AGENCY & RISK CONSULTANTS Consultation of

risk on how to manage, control, minimize, and prevent; Offer the coverage of insurance products; Solve the claims from the beginning to indemnification in a short period of time; Provide grace period of two weeks for the purpose of renewing the contract after expiry date; Provide mobile services at the right time and on time. Working hours: Mon-Sun 06:00am-09:00pm. Location: Plot No. 45C 1 st floor Makumbusho Complex P.O. Box 75382, Dar es Salaam. Contact: +255 784 534444 / edseninsuranceagency@gmail.com #6.39734

PEOPLE'S INSURANCE AGENCY Deals with non life insurance services & (Bima) consultation like: giving sound financial advisory services and customer support to the client; ensure the insurance product and services to our customer; mobile services (meet the customer to where they are); work with claims so that the customer can be able to receive our services on time. Working Hours: Monday - Saturday 08:00am to 06:00pm. Location: Dar es salaam - Sinza Mori / Moshi - Rengua Street / Rombo - Boma Road. Contact: +255 655 809758 / etondi2011@gmail.com #6.40093 GLORIOUS BUSINESS CONSULTANTS We are dealing with consulting businesses and organizations. We are specialized in financial statements preparation, VAT preparation and filing, entrepreneurs trainings, research and consultancy. Operating hours: 24 hours Please contact us for further details: +255 713 356143 / mwadarapha@gmail.com #6.35779 EDUCATION & TRAINING AN EXPERIENCED TUITION TEACHER IS AVAILABLE Does your child need help with his/her school

work? Do you need to see him/her making significant progress academically? An experienced tuition teacher is available. We also correct and edit proposals and documents. Call Jeremiah or email us: +255 652 323722 / jeremia_kasibante@yahoo.com #6.41488

BARAKA TUTORIAL COLLEGE - TUITION & DRIVING SCHOOL Inatoa mafunzo ya computer kozi

MASSAWE ELECTRONICS, EQUIPMENTS & FURNITURE Massawe Electronic Appliances, Equip-

zote, repairs and maintenance..bei za kozi kwa kila kozi Tsh 15000/= - QT miaka miwil kwa O-level na wanaorudia mitihani - QT kwa A-level mwaka mmoja pia tuition kwa masomo yote - driving school mwezi mmoja unajua kuendesha gari. Mawasiliano: +255 787 662200 / shoo@adonaitz.com #6.35316

HEALTH CARE, BEAUTY & WELLNESS

BAYEYE DEFENSIVE DRIVING SCHOOL Kwa kushirikiana na jeshi la police wanaendesha mafunzo ya udereva wa kujihami na ulio salama. Mafunzo hayo ni ya siku mbili kwa waendesha pikipiki na magari ya aina yote kwa bei nafuu. Mawasiliano: +255 786 786835 / renatus@globaldefensive.co.tz #6.43109

ORIFLAME COSMETIC PRODUCTS

I'm selling Oriflame products, give out consultation service, recruiting people & give the opportunity to change your live for better. Products are for skin care, personal & hair care, Fragrance and Body care. I can deliver the services at any place. Oriflame can change you from university graduate into the successful person. If you want to fulfill your dreams, welcome! Tuma SMS anza na #06.42741 kwenda 0777 751212.

ASTON MAWIVING SALON Kusuka - kupamba ma-

harusi - kuweka kucha, bonding, tongs, dreads, rough, straws - na cutting. Bei zetu ni nafuu sana na za kawaida. Saa za kazi: Saa 2 asubuhi hadi saa 6 usiku. Tupo wazi siku zote. Mawasiliano: +255 784 466533 #6.37617

Tuma sms anza na #6.xxxx kwenda 0777 75 12 12.

Habari Tupomoja, nahitaji kuwasiliana na kampuni #6.xxxx kupata huduma zao. Tafadhali tuunganishe!


MATANGAZO YA TUPOMOJA

JE, UNAHITAJI?

Tuma sms anza na #6.xxxx kwenda 0777 75 12 12.

KAMPUNI DOCTORS & MEDICAL SERVICES JEMSA DISPENSARY - INAPATIKANA MASAA 24 SIKU ZOTE Huduma: Maabara, Matibabu magonjwa mbali mbali, Dawa & Pharmacy, Clinic ya baba, mama na mtoto, Huduma zinapatikana masaa 24 siku zote!!! Segerea, mwisho yanapogeuza magari inatazamana na shule ya sekondari Migombani, Dar es Salaam. Contact: +255 713 270014 #6.37020

FAMILY EYE CARE: WAPIMAJI WA MACHO FAMILY EYE CARE: Wapimaji wa macho na watengenezaji wa miwani za macho. We have specialised doctors and modern equipment. We offer consultation regarding: lenses, frames, contact lenses. Appointment: 10,000TSH Consultation: 5,000TSH. Opening Times: Mon - Sat 8.30am - 8.00pm, Sun & Public Holidays 9:30am - 5.00pm. We offer the best service and accept insurances! We have an office in Dar es Salaam, Mwanza and a clinic in Morogoro (Misufini). Contact: +255 715 222622 #6.40876 DR. MAHANYU - TIBA MBADALA Ipo Ilala Ukonga Kipunguni. Inashughulika na kutoa tiba ya kutoa na kukemea mapepo wabaya. Kama mtu ana tatizo la kizazi kuongea CD4 mwilini pia tiba mbadala. DR. Amesajiliwa kisheria na serikali kupitia wizara ya Afya. Saa za kazi kuanzia saa 3 asubuhi - saa 2 usiku kasoro. Ijumaa hawapo kazi. Nafanya ushauri nyumbani yangu (Ukonga, Dar es salaam) au nyumbani ya mteja. Ushauri bure. Mawasiliano: +255 673 579870 / atamnamungu@gmail. com #6.36807 HOUSEWARE & FURNITURE STAM HOUSEWARE SHOP Stam houseware shop at

Tabata (Bima) deals with selling all kind of utensils like: cups, glasses, blenders, dinner sets, tea sets, microwave oven, jugs, pressure cooker, rice cookers, and other kitchen utensils. Wholesale and retail. Working hours: Monday to Friday 08:00am- 09:30pm Saturday to Sunday 12:00am - 09:30pm. Minimal price 500 and maximum price 250,000TSH. Location: Tabata Bima P.O.Box 75822, Dar es Salaam. Contact: +255 773 848515 | mamenstam@yahoo.com #6.39191

BENHAM INTERNATIONAL Suppliers of Qual-

ity Baking systems, Catering Equipments, Laundry & Dry Cleaning Systems as well as Refrigeration & Cold Room systems in East and Central Africa. Professional Designing, Quality Supply, Installation, After sale service. We provide you with complete systems. Locations: Benham Industrial Park Dar es Salaam Off Julius Nyerere Road (Near SuperDoll Trailer) / c/o I.B.S. Zanzibar Forodhani Zanzibar. Contact: +255 752 911999 | info@benhaminternational.com #6.39196

OFUN: TRENDY HIGH-QUALITY FURNITURE

Quality Furniture kutoka China: ni kampuni ya kuuza na kutengeneza furnitures za maofisini. Maelezo zaidi wasaliana na Doreen kupitia +255 712 778648 / dorrylotty@gmail.com #6.38536

PUBLIC SERVICES MAYOCOO - SOCIAL NETWORK, MESSAGING, INFO SHARING MAYOCOO as Tanza-

nians first social network that has an aim of improving flow and access of information among members of the society, businessmen, government and other sectors. Product & Services: Profile Base, News Feed, Instant Messages, Social Media Activities, Internet Marketing, Advertising Platforms ADS, Photo & Video Sharing, Online Diary, Personal Notebook, Phone Contact Backup, Document & Files Store, Website & Software Development, IT Consultancy and more. Contact: +255 686 698821 #6.39063

MERIKAI COMPANY Inayojishughulisha na Music

production, Dancing, Hair Design (Dread Locks), Modeling, Video production, Shirt Printing. Tunapatikana Ukonga Mombasa Transformer - Dar es Salaam. Contact: +255 766 199203 / nmudiguza@gmail.com #6.40961

MASAIGANAH PHOTO STUDIO'S Studio ya video na Photograph. Huduma: indoor & out door wedding, graphic designing, wedding photograph & videos, Passport size. Tunapatikana Fery Kigamboni karibu na Ofisi za Tigo Center. Tanauwezo mkubwa na uzoefu katika kazi hiyo. Tunafanya kazi ndani ya mkoa, nje ya mkoa hadi nje ya nchi. Gharama zetu ni nafuu. Mawasiliano: +255 712 261101 / masaiganaphotostudio's@gmail.com #6.41280 MAOMBEZI & MAFUNDISHO YA IMANI & UFALME WA MUNGU Kwa

huduma ya maombezi na mafunzo ya imani na ufalme wa mungu. Fika maeneo ya Makumbusho mbele ya chuo cha uandishi wa habari. Pata msaada wa kujengeka kiimani kwa kusikiliza youtube:kingdom faith all Nation, pia utapata maombezi kwa njia ya simu No: +255 754 637324 pia unaweza kutuma barua pepe kupitia akabunduguru@gmail.com #6.35320

HUDUMA YA MAOMBI KITUO CHA NYUMBA YA MAOMBI BETHEL Kwa wale wasumbukao na shida

mbali mbali, Bethel Nyumba ya Mungu ndio suluhisho lako. Tunatoa huduma za maombezi majumbani, maofisini, mahospitalini, na vituo vya watoto yatima. Tunamfuata mtu popote pale. Soma Saa ya kufunguliwa luka 13: 10-16, ukiamini yote yanawezekana marko 9:23. Watu wote wanaopenda kufunguliwa na kupata uponyaji, Mawasiliano: 0652 992078 #6.41645

PR, MARKETING & SALES ADMARK ADVERTISING SOLUTIONS Indoor &

Outdoor signboard designs & production | Branding | Logo Development & Designing | Graphic Design | Print Design i.e. brochures, print catalogs, flyers, posters and Tshirts. Location: Ilala Imara & Sinza. Our operating hours are based on the customers request. Contact us today and get visual and creative inspiration: +255 713 973654 | admarktz@gmail.com #6.37768

TRAVEL & TOURISM RANESSA TRAVEL & TOURS ASSISTANCE CO. LTD We offer

the following services: Organisation of any Tour & Travel, Bookings of Ticket & Visa, 24/7 assisting at the airport, Handling groups, Hotel bookings, Car rentals. Office Hours: 8:00am-6:00pm. Location: Tabata Shule/ Muslim P.O. Box 7916 Ilala - Dar es Salaam Tanzania. Contact: +255 766 606030 | ranessatravel1@gmail.com #6.37558

Habari Tupomoja, nahitaji kuwasiliana na kampuni #6.xxxx kupata huduma zao. Tafadhali tuunganishe!

REAL ESTATE & INVESTMENT THE LAND OPTIONAL INVESTMENT CO LTD. We deal with real

estate, and property management incl. transfer of ownership, mortgage finance, title subdivisions, title registration, valuation of various property, drafting of lease agreement, facilitation of residential license, registration of offers. Office: Urafiki textile industry nearby police station, Dar es salaam. Working Hours: Monday to Friday 8:30 am - 16:00 pm / Saturday 8:30 am - 12:00 pm. Conatct: +255 713 818975 #6.37358

DIZELE ARCHITECTURAL WORKS - FREE CONSULTATIONS Architectural

works | Construction | Renovation | Finishing | Gardening | Landscaping | Water well drilling. The office is located at Kigamboni, Dar es salaam. Opening hours: Everyday from Monday to Monday from 07:00am - 06:00pm. We focus on quality! Get free consultation through WhatsApp, Instagram, our website or via phone call: +255 713 246913 #6.37779

SEARCHING FOR BUSINESS PARTNER TO DEVELOP A CLINIC I'm looking for a bussi-

ness partner who can invest time in developing a modern clinic. Available resources for the bussiness are: Three rooms with 10 beds, Laboratory, Doctor's room, Therapy room, Gym & massage room, Training hall, Cancelling room, Good environment. Location: Kunduchu Beach. We are happy to hearing from you! Contact: +255 765 680598 / emalekia@gmail.com #6.41111

NEW RENOVATION PROJECT IN STONETOWN ZANZIBAR To all education & entrepreneurship stake-

holders! Karibukwetu Edventures announces a new renovation building project in Stonetown Zanzibar: International HOSTEL, LIFESKILL & EDUCATION CENTER in Zanzibarian style & design. The building will become a focal point for life long learners, students and Eduventures to lodge, meet & share and develop a new culture of learning in Zanzibar. All organizations and stakeholders interested in this project will have 1st choice preferences in floor/room assignment. Contact: +255 787 125404 / oneamour@gmail.com #6.36417

KAV INVESTMENT CO. LTD KAV INVESTMENT CO. LTD Tunatangaza viwanja na mashamba. Viwanja vipo Kinyerezi, Kibaha, Kigamboni, Bagamoyo, Chanika, Kisarawe. Tunapatikana: Tabata, Segerea, Dar es Salaam. Mawasiliano: +255 713 589706 / gbinamungu2004@ yahoo.com #6.37459 PROJECT YA SHULE (HIGH SCHOOL) WA WANAFUNZI 1000

BAYEYE ACADEMY PROJECT: Tunatafuta sponsor/ investors kwa ajili ya project ya shule (high school) 9+6.6 ekari (63117.6 Sq) Shule inauwezo wa kuaccomodate wanafunzi 1000. Kuna: bweni za wasichana na wavulana - laboratory - administration block - cafeteria and function hall - play grounds. Mkuranga mkoa wa pwani (vianzi). Tuma SMS anza na #6.39986 kwenda 0777 751212.

SPORT & LEISURE DAR ES SALAAM ZOO Mtu mzima: tsh 5000 / Watoto: tsh 2000 / Family package: 16,000 kwa mtu mzima na watoto 12,500 Yaan kiingilio pamoja na chukula kwa wageni mtu mzima 20 USD na watoto 10 USD. Call: 0754 332 488

MATANGAZO YA TUPOMOJA

JE, UNAHITAJI?

HABARI ZA TUPOMOJA 29

Tuma SMS kupitia 0777 75 12 12 na namba iliopo chini, pia na jina lako na ujumbe ungependa umfikishe mtangazaji!

EDUCATION & TRAINING INSTITUTS ARUSHA INSTITUTE FOR BUSINESS ENTREPRENEURSHIP AND SOCIAL & PEDAGOGICAL STUDIES

Our programme: Day Care & Nursery - Working with Children in Children’s Homes - Nanny Training - African First Aid Course - Counseling HIV children - Discipline and Behaviour - Interactive English - Computer lessons. IBES Institute of Business, Entrepreneurship Social & Pedagogical Studies, PO Box 341 Usa river, Tanzania. Contact: 076 7690431 / www.ibes.co.tz / info@ibes. co.tz #6.2791

DAR ES SALAAM FOUNDATION INTERNATIONAL SCHOOL Foun-

dation International School - Every child deserves the best start in life. Location: Mbezi Beach, Dar es Salaam. For more information please contact us via +255 754 502969 #6.11993

GOLDENRULE SECONDARY SCHOOL Masomo Yanayofundishwa: Commerce, Book Keeping, Basic Mathematics, English, Geography, Biology, Kiswahili, Civics, Physics, Chemistry, Bible knowledge. Fomu zinapatikana katika ofisi zifuatazo: Mbagala Rangitatu iliyoko barabara ya tatu nyuma ya zahanati ya serikali, Mbagala Zakhem. Mawasiliano: +255 784 316570 #6.42734 EVIN SCHOOL OF MANAGEMENT The Evin School of Management is an approved awarding body with extensive experience in the field of leadership & management training. Contact: +255 782 392919 / info@ evinschools.com / hwww.evinschools.com Location: Mikocheni, Dar es salaam. #6.14713 INSTITUTE OF MANAGMENT & INFORMATION TECHNOLOGY The Institute of Management & Infor-

mation Technology (IMIT) is the Training Institute based under CATS Tanzania Limited. Its principal aim consists of rendering training services in areas of Business Management and Information Technology. Contact: www.imit. co.tz +255 713 242122, +255 714 022853 / imit@ cats-net.com #6.42735

LUJI COLLEGE OF BUSINESS AND TECHNOLOGY Courses: 1-Year Certificates in: Sales, Marketing &

Advertisement; Entrepreneurship & Business Growth. 3-months Certificate in: Marketing, Advertisement, Sales; Entrepreneurship & English Course. Contact: 0717 997216, 0762 997219 / www.Lujicollege.com TegetaKibaoni, Chanika Stand | PO Box 66537 | Dar Es Salaam #6.42736

REGIONAL AVIATION COLLAGE Providing students with skills, knowledge and experience they need to enjoy educational, career and personal success in AVIATION and ALLIED BUSINESS. Courses: Basic Certificate - Aircraft Maintenance Engineering, Basic Certificate in Operations, Basic Certificate - Flight Operation, Certificate Maintenance Engineering, Diploma - Aircraft Maintenance Engineering Dangerous Goods & Regulations Air travel (Ticketing) & Tour Operations, Tour operations / Guiding and Administration Customer Care/Public Relations. Contact: +255 22 2842186, 075 475 0632 / aviationcollegetz@yahoo.com #6.16166 RAIDA SCHOOL OF JOURNALISM AND MEDIA STUDIES Courses: Basic Technician Certificate of Jour-

nalism – NTA Level 4 Technician Certificate of Journalism – NTA Level 5 Ordniary Diploma in Journalism – NTA Level 6 Short Courses: Radio Broadcasting, Television Broadcasting, Video & Television Production, Documentary Production, Photography, Public Relations & Marketing, News Writing & Grassroots Reporting, News Analysis & Reporting, How to Deal Media. Mawasiliano: P.O. Box 35128 Dar es Salaam, Tanzania / +255 788 499556, 0718 586887 / info@raida.ac.tz / www.raida. ac.tz #6.42740

GEITA GEITA PUBLIC HEALTH NURSING SCHOOL

The school offers Certificate in Public health Nursing and Certificate in Midwifery. Address: P.O. Box 136 Geita Mwanza - Tanzania. Contact: +255 282 520 085 #6.13032

IFAKARA THE TANZANIAN TRAINING CENTRE FOR INTERNATIONAL HEALTH We provide quality train-

ing programs, facilities and support services for the strengthening of human resource development in Tanzania and the international health sector. Courses: Assistant medical officer course, Clinical officer refresher course, Integrated Management of Childhood Illnesses (IMCI), Swiss TPH Advanced Studies in International Health, Averting maternal death and disability, Disaster medicine and health crisis management, Malaria course Ifakara 2014. Contact: Mlabani Passage, P.O. BOX 39, Ifakara, Tanzania. +255 773 071037 / info@healthtrainingifakara.org #6.42742

IRINGA TUMAINI UNIVASITY The University of Iringa cur-

rently has six faculties, Faculty of Arts and Social Sciences, Faculty of Business, Faculty of Law, Faculty of Science and Education, Faculty of Theology and Faculty of Counselling and Psychology. We offer undergraduate and postgraduate degree programmes, as well as shorter diploma and certificate programmes. Contact: +255 262 720900 / iuco@tumaini.ac.tz #6.14430

KIBAHA GILI SECONDARY SCHOOL The school is located at

KIBAHA MAILMOJA. To join just download the form from our website www.gilisecondary.ac.tz Contact: 0714 477216, 0787 320522 / Email: Gilisecondary@gmail. com #6.40246

MWANZA DAR ES SALAAM INSTITUTE OF JOURNALISM & MASS COMM - MWANZA CAMPUS DIJMC produc-

es professionals who has perfection and quality which match available positions in any media and mass communication organization. Adress: c/o Jason Wambele, P. Box 5050, Mwanza Contact: 0755 037079, 0686 492940 / dijmcmwanza@yahoo.com, wambele@yahoo.com / www.dijmc.ac.tz Location: Muccobs Building, Balewa Road, Isamilo. #6.42737

NJOMBE KAYE COMMERCIAL COLLEGE Courses: Certificate

and diploma level in procurement & supply management and accounts. Location: 2km from Njombe Town Centre along Songea Road. Contact: +255 712 805 460 #6.42743

ROYAL COLLEGE ROYAL COLLEGE of Tanzania, branch in Njombe, is training bridging courses, reviews for NBAA and NBMM. Location: Behind SHIPO (near airport) in Njombe. Contact: +255 712 805 460, 255 754 623 376 #6.42747 TABORA TANZANIA PUBLIC SERVICE COLLAGE TPSC of-

fer Postgraduate Diploma Programmes in the areas of Public Service Management, Public Courses: Sector Financial Management, Records & Information Archives Management, Leadership & Governance and Public Procurement & Supply Management. Contact: +255 262 604537, +255 754 296782 / www.tpsc-tabora.go.tz #6.42748

SUMBAWANGA ST. BAKHITA HEALTH TRAINING INSTITUTE

SULLIVAN PROVOST BOYS SECONDARY SCHOOL - BOARDING We teach Science, Art and

Certificate Courses: Certificate in nursing and midwifery 2-years programme, Certificate in medical Laboratory Sciences 2-years programme / Diploma Courses: Diploma in Nursing, Diploma in Clinical Medicine. Contact: +255 755 354500, +255 689 70 050 / info@stbakhiwww.tpsc-tabora.go.tz #6.42754

MBEYA MBEYA INSTITUE OF SCIENCE & TECHNOLOGY

laam, Arusha, Dodoma, Mbeya, Mwanza. University Computing Centre (UCC) is an 'ICT ' company owned by the University of Dar es Salaam. Training includes short courses in popular business applications like word processor, spreadsheet, databases, presentations software, desktop publishing, project management, web design and similar other courses. Contact: +255 22 2410641 / training@udsm.ac.tz #6.14601

Commercial subjects as compulsory studies for form I & II and specialization starts in Form III. Adress: P.O Box 22642, DSM Contact: 0763 120420, 0754 210812. Location: Kibaha kwa Mathias, Pwani Region, near to the HQ of Open University of Tanzania, SOGA Road, Mikongeni Village. For more information contact the Headmaster Mr Jacob Isack Mkumbo via email admin@sullivanprovostschools.ac.tz #6.40250

Mbeya University of Science and Technology (MUST) provides Technical Education, Research and Consultancy services. Contact: www.mist.ac.tz / +255 252 503016, 075 318 3672 #6.42738

MOSHI KILIMAHEWA EDUCATIONAL CENTRE Students

can learn English, Math and Computer skills. The Centre provides tuition to students during school breaks, a QT program, and specialized education for struggling students who cannot read or write. The Centre also creates classes for businesses, organizations and schools interested in learning Computers or English based around their need and schedules. Contact: +255 757 551975, +255 713 401595 / KIWOCE@gmail.com #6.42745

Tuma sms anza na #6.xxxx kwenda 0777 75 12 12.

Habari Tupomoja, nahitaji kuwasiliana na chuo #6.xxxx kupata huduma zao. Tafadhali nitumie namba ya simu na anwani!

TANZANIA UNIVERSITY COMPUTING CENTRE Dar Es Sa-

ZANZIBAR THE SKY VIEW COMMUNITY CENTER Small local

private institution which offers courses in English language, both Oral and Speaking for students of varying ages. Located at Meli Nne – Taveta East Coast Road which is about 63 kilometers from Stone Town about five to six minutes on the road. Contact: +255 777 424 274, +255 715 424274 / skyviewcommunity@gmail. com #6.36784


30

UPENDO & MARAFIKI

O T U V M E Y N E Z I G N A R

WANAUME WENYE WAWE NA a g g a Sw

MISTARI

Naomba nikupige picha, manake marafiki zangu hawataamini kwamba nilikutana na malaika.

Dah! Nafikiri simu yangu mbovu. Mbona haina namba yako??

ifall kwako. Nilijitahidi sana nis mefeli. Ni Lakini unajua nini?

Kuna kitu kimoja tu ambacho ninataka kukibadilisha kuhusu wewe. Nataka nikupe jina langu la ukoo. Unanikumbuka? [Hapana.] Ah ndio, tumeonana kwenye ndoto zangu tu.

Naomba unifinye. [Kwanini] Yani wewe ni mzuri mpaka naona ninaota vile.

ka kwako. ime busu kuto Naomba niaz rudishia.. ku I promise nita

Hivi umelalia gunia la sukari jana? [Hapana. Kwanini?] Manake unaonekana mtamu!

mjini. Mimi ni mgeni hapa kwenu. Naomba unielekeze

wa, kwahiyo leo ni ia ni saa ngapi) 9:15? Sa mb ua ak u mt e mb wo (M nataka nikumbuke 2015, saa 9:15. Ahsante, tarehe June 20, mwaka ndoto zangu. imwona mwanamke wa mpaka muda ambapo nil

WAKALA WA TUPOMOJA

WANAPATIKANA SASA DAR ES SALAAM KATIKA UCHUMI SUPERMARKET! WAHI SASA UPATE TANGAZO LAKO! • • • • •

Uchumi Quality Centre Uchumi Segerea Uchumi Shekilango Uchumi Makumbusho Uchumi Mbezi Kawe

TOA MAONI YAKO

Je unamaneno matamu ya kumwambia msichana? Tushirikishe basi, tuma mistari yako kwenda 0779751212 Maneno matamu zaidi yatachapishwa toleo li#MREMBO jalo. Anza na #mrembo

Kwa kuwa wapenzi wengi wa Whitewings Home Decoration wamekuwa wakifuatilia masuala mbalimbali ya upambaji na jinsi ya kuchagua design mbalimbali za furniture za nyumba zao, tumeona bado kuna kitu muhimu cha kuzingatika katika kila hatua yakuifanya nyumba yako kwa ujumla kuwa na mwonekano mzuri, moja wapo ya hili ni uchaguzi sahihi wa rangi ambayo italeta mwonekano tofauti na uliyo ni mzuri katika vyumba vya nyumba yako.

Whitewings Home Decoration imekuwa msaada mkubwa sana katika kusaidia suala la upambaji hasa kwa kupitia blog yao katika ukurasa wa Color Trend, na hivyo Leo tumeona ni mhimu kupanua ujuzi wetu wa rangi ambazo ni nzuri kwa sebule na ni kwanini tuchague hiyo/hizo. Sebule ni sehemu kuu ya nyumba ambayo huingiwa na kila mtu, tukimaanisha wageni na wenyeji. Rangi za sebule zinatakiwa ziwe zenye kuleta mwanga wa kutosha na sio zenye kulete giza mfano, rangi Nyeupe, Kijivu, Summer Blue, na nyinginezo.

Uchaguzi wa rangi na upambaji siku hizi unazingatiwa kulingana na aina ya chumba. Kwa mfano, chumba cha mtoto wa kike huwa unapakwa rangi ya Pink, Purple na Red. Ila inatakiwa kwamba ukiwa katika uchaguzi wa rangi hizi zingatia kuchagua rangi zilizopoa, kwa Kiswahili kizuri; rangi mpauko. Zikiwa zimetulia, zitamfanya mtoto apate usingizi mzuri na tulivu.

Ila ni Muhimu kujua uchaguzi wa rangi ya sebule, pia inategemea aina ya furniture ulizonazo, taa za nyumba yako, ukubwa wa chumba na mengineyo. Vyote hivi vikizingatiwa vitasaidia kuleta mwonekano mzuri wa vitu vyako ndani ya nyumba.

BURUDANI & MAISHA

31

WHITE

HOME DECW I N G S ORATION by FELLIST ER JOSEP Creative Dir H ector .dec

Founder & whitewings

or@gmail.c om

Vivyo hivyo kwenye rangi ya chumba cha kulala, ni vyema iwe na rangi tulivu na sio rangi kali yenye kuleta mwanga wa kuumiza macho kwani kile ni chumba ambacho hutumika kupumzika. Unahitaji rangi ambazo zikipata mwanga wa taa hazitakuwa kali sana, ni vizuri kuchagua rangi kama Cream, Off White, Kijivu, au changanya rangi kulingana na ukuta na zisizidi rangi mbili kwani zitamkosesha mtu uwezo wa kupumzika vizuri.

Kwanini basi tunachagua rangi za nyumba kwa uangalifu? Kuna aina nyingi za rangi ila mwisho wa yote ni kupata rangi ambazo zitafanya nyumba kupendeza na kuvutia. Uchaguzi mzuri wa rangi huleta mwonekano wa tofauti, chumba ambacho kilikuwa kidogo kukipa mwonekano wa kuwa kikubwa. Yote haya ni kwa kuwa umechagua rangi nzuri yenye kuleta mwanga wakutosha.


32

MAONI & USHAURI

MUELEMISHE MWANAMKE NA UTAKUWA UMEELIMISHA JIJI ZIMA

MAONI & USHAURI

Unayo mpenzi wako sasa hivi? Mimi ninayo mpenzi wangu siku zote, Julia – Mungu wangu, mimi binafsi, maisha yangu, familia yangu na marafiki zangu. Ukiwa umejaliwa, huwezi ukakosa mapenzi maishani mwako.

by JULIA GLEI

Timu ya Tupomoja Magazine imezungumza na Sandra Mushi kuhusu maisha, kazi na upendo

Sandra, wewe unajulikana kama Mwandishi na Designer wa Vyumba. Siku kamili inaendaje maishani mwako?

ILIMRADI NIKO MACHO, NIKO HAI, NA NIMEFURAHI, BASI HIYO SIKU IKO KAMILI!

Enzi zile, mimi nilikuwa mwanafunzi mweusi peke yake au mmoja kati ya watoto wawili weusi darasani. Mimi kwa ubabe wangu na kuonyesha uasi, nilitaka niwaonyeshe sasa ni nani ambaye ni mtoto mweusi. Jioni hiyo, nilienda nyumbani na kupaka kila kitu ambacho ni changu rangi ya nyeusi … na ndio hapo nilianza kuwa ninavaa rangi nyeusi tu. Niliamua kwamba nilibidi kuwa na trademark kama msanii kwasababu kwangu mimi, sanaa sio kazi tu, ni maisha – kwahiyo kwenye kutaka kuwa na mwonekano wa kipekee ambao utatambulika na jinsi mimi nilivyo na upekee wangu na ubunifu wangu, niliamua kuwa na mwonekano ambao utakuwa wangu MIMI kama mwanamke KIJANA wa Kiafrika mwenye hamasa nyingi. Kuanza kunyoa kipara pia ilikuja kuanzia baada ya muda mfupi na kuweka rangi kwenye nywele kuwa blonde. Hii ilikuwa mwaka 1997.

Familia yako ilikuwa inayo umuhimu sana kwenye kazi yako? Kuna ushauri gani ambayo walikupa wakati unakuwa?

Ni muda gani wa elimu ambao mpaka leo unaukumbuka sana? Niliendaga Afrika Kusini peke yangu kwa ajili ya kusoma kwenye shule ya Interior Design. Kabla ya kuwasilisha mradi mmoja, wakosaji walipewa nafasi ya kuzunguka na kuangalia miradi ya watu ambazo zilikuwa zimetandikwa kwenye ukuta za pale. Tulikuwa tumeambiwa tusiandike majina yetu kwenye kazi zetu ili kusiwe na upendekezaji wowote kwenye kuzipia maksi. Nikasikia wakosaji wale wakiulizana, “kati ya hizi, ni ipi unafikiri ni ya yule mtoto mweusi?”

33

Sandra na wazazi wa na Stan kwenye birthday ya 37 ke ya baba yake

Hali ambayo unapenda kabisa kufanya kazi ni ipi? Mara nyingi ninahitaji sehemu ambapo nitajisikia kama nyumbani na nimetulia – milango yote ya kuhisi iwe wazi – kusikia sauti, kuona rangi, kunusa, kugusa vitu. Yote haya ili niwe na uwezo wa kujenga maulimwengu. Yule ambaye ananihamasisha ni diva. Anapenda sana starehe. Kila nikiwa kwa wazazi wangu Moshi ninaandika, pia nikiwa ninatembelea nchi za bara la Afrika. Ninafikiri hii ni kwasababu kuna mazingira ya kiasili mengi na utamaduni mkubwa wa Kiafrika ambao unanihamasisha sana. Bado sijawahi kukaa na kuandika nikiwa nyumbani kwangu Mikocheni wapi ninaishi toka mwaka 2006. Bado ninatafuta sehemu flani ambayo inanihamasisha kiivo – labda hii ni sababu ya mimi kukwama na kushindwa kuandika saa nyingine – labda nikishaipata ule upande wangu ambao unahamasishwa utaiandaa na kuipamba mpaka ifae.

Kwenye upande wa ushauri, jambo moja ambalo wazazi wangu wote wawili walikuwa wanalisisitiza ni thamani ya kazi na urithi pekee ambao Ulishawahi kuandika barua kwa mpenzi? Ilikuwa inahusiana nini? wanaweza kutuachia ni elimu. Nyingi tu! Kwani nani hajawahi? Haswa enzi zile za kuandika kwa mkono na kuipulizia barua hiyo perfume ili mpenzi huyo akiifungua tu anatambua harufu yako. Na kama ulikuwa na uwezo wa kupata roses, ulikuwa ukimwekea petali chache umo ndani. Na ile kupaka lipstick na kuibusu barua hiyo! “Sealed with a kiss and scented”, tulikuwa tunasema. Ninazimiss sana hizo siku, wapi nilikuwa ninaamini kwamba kuna kitu kama upendo wa ukweli. Na tulikuwa siyo wavivu, na kuwa na ubunifu. Inasikitisha kwamba an St e ak siku hizi kitu kama hicho hakipo tena na w go do m Sandra na kuendelea kuondoka.

Tanzania siyo nchi ambayo inajulikana kuwa na utamaduni mkubwa wa usomaji. Unafikiri kwamba ni muhimu kwamba watoto wawe wanajifunza kusoma mapema, kama ndiyo, kwa nini? Na zaidi ya hapo, wazazi wanawezaje kuwahamasisha wanao?

STAINS ON MY KHANGA:

Inapatikana Dar es Salaam kwenye maduka ya A Novel Idea Slipway, Soma Café Regent, duka la vitabu la TPH Samora Avenue, CDEA Centre Mikocheni; jijini Arusha – A Novel Idea TPA Complex; jijini Cape Town – kwenye duka la The Book Lounge Roeland Street; jijini Johannesburg – kwenye maduka ya Readers Warehous, Love Books iliyopo Rustenburg Road Melville; online kwenye tovuti za Hadithi Media na Amazon (toleo la Kindle).

Kabisa! Utamaduni wa usomaji lazima uingizwe toka udogoni ili tuwe tunafahamiana na vitabu. Na vile vile, vitabu lazima viwe rahisi kupatikana. Lakini kwa bahati mbaya jamii yetu ni ile ambayo haithamini usomaji sana. Na pia hatuna sana utamaduni wa kununua vitabu, au ya kuona kitabu kama kitu mali. Kama wazazi, badala ya kuwapa watoto wao gemu za kompyuta au toy, watoto wawe wanapewa vitabu kama zawadi. Kusoma inafungua akili na kuongeza mwamko, inajenga jinsi mtoto anavyojiona na kujitambua, wanaongeza ujuzi na jinsi ya kujieleza.

UTAMADUNI WA USOMAJI LAZIMA UINGIZWE TOKA UDOGONI ILI TUWE TUNAFAHAMIANA NA VITABU. Tukiangalia utamaduni wa Kitanzania na jinsi wanaume na wanawake wanazo sehemu zao kwenye familia, wewe kama mwanamke unayo maoni gani kuhusu hiki na wewe unaona sehemu yako iko wapi? Mimi ninafikiri kwamba msemo wa “mwanamke hajakamilika bila mwanaume” ni msemo ambao umeingizwa kwenye vichwa vyetu mpaka hatuna uwezo wa kufikiri vingine. Kila mwanamke anatakiwa kuwa na mwanaume, lakini mwanaume huyo asiwe pale ili kumkamilisha, anatakiwa kuwa pale kumimarisha na kumsaidia. Mwanamke asiwe anamtaka mwanaume huyo kwasababu atapewa makazi au chakula; na saingine inakuwaga gari, au safari ya kwenda shopping Paris; au ni kwamba atamwondolea aibu; mwanamke anatakiwa awe anamtaka mwanaume huyo kwasababu wanaendana pamoja.

Ni nini ambacho wewe unafikiri kinastahili kukigombania? Haki na ukweli. Ukigombania ukweli, unaongeza mwamko na kupitia haya ndo mtu anakuja kujua haki zake. Usawa na demokrasia lazima zihakikishwe kwa wanaume na wanawake wote na wasichana na wavulana pia – wote.

STAINS ON MY KHANGA pia ipo kwenye Good Reads wapi unaweza kutoa maoni yako. Kuwasiliana na Sandra, tafadhali tembelea tovuti ya www.creativestudios.co.tz (akiwa kama interior designer) na/au www.sandeasden.com (akiwa kama mwandishi).

Sandra, baada ya miaka 10 tutakukuta kwenye hali gani? Ningependa sana kuwa na shule ya ufundi na sanaa wapi wanafunzi wa kike watafundishwa ufundi ambao utawasaidia na kuwawezesha ili waweze kusimama na kujitegemea. Ninamwomba Mungu kwamba nitakuwa nimeweza kuandika angalau vitabu vitatu na kutumia ufanisi wa kuzifanya ziwe filamu, pia ninaomba kwamba nitakuwa nimerudia kwenye uchoraji na kuanza kujifunza kwenye kutengeneza filamu na kupiga picha pia.

Sandra ak

ikaribia m

iaka 20

TOA MAONI YAKO

na Sandra akiwa kija

Ni aina gani ya kitabu ukipendacho? Tuambie! Tuma jibu lako kwenda 0779751212, anza na #kitabu

#KITABU


34

UVUMBUZI & TEKNOLOJIA

BURUDANI & MAISHA

KIPIMO CHA VVU KUPITIA SMARTPHONE? I N AW E Z

E

ANA NDANIKY MUDA W A A D

AKIKA

15

Modem hii ya kuweka kwenye smartphone inaweza kupima damu kuangalia kama inayo maambukizi matatu – ikiwa ni pamoja na VVU na kaswende (au syphilis) – yote haya ndani ya muda wa dakika 15 baada ya kutoa damu kwenye kidole. Teknolojia hii inatengenezwa na kujaribiwa na maenjinia wa biomedicine kutoka chuo kikuu cha Colombia University School of Engineering and Applied Science huko Marekani. Kifaa hichi kidogo na cha bei rahisi inafanya kazi haraka na kutumia umeme mdogo sana. Haihitaji betri, chaji yako ya simu inatosha. Teknolojia hii inayo uwezo wa kubadilisha maisha ya watu wengi sana na afya ya jamii kwa ujumla. Kupitia uwezo wa kutoa majibu kuhusu VVU mapema, maisha ya watu wengi inaweza kuokolewa na kuwapa maisha marefu zaidi. Unataka kupima kiambukizi flani? Ingiza tu cartridge onayotakiwa, toa tone ya damu kutoka kidole chako kisha subiri dakika chache... Uwezo wa kutoa majibu kuhusu viambukizi vingi vingine uko karibu na inawezekana. Haya ni mambo ya kisasa!

5

VIFAA

VYA KUIFANYA SMARTPHONE YAKO IWE SMART KWELI,

Hone: Kila mtu uwa anajikuta na tatizo hili na kujiuliza: "Hivi je, funguo zangu nimeziacha wapi?" Hapo ndo Hone inakusaidia! Ni kifaa cha Bluetooth ambacho kinaendana na iPhone au iPod na inakupa uwezo wa kutafuta funguo zako kwa urahisi zaidi. Unachotakiwa kukifanya ni kukifunga kifaa hichi kwenye funguo zako na ukiwa unataka kuzipata, unabonyeza tu 'Find' kwenye iPhone yako. Basi!

1

NA KURAHISISHA MAISHA YAKO

2

4

Tōd: Mtoto wako anaweza akawa ameenda kucheza mtaani bila kuaga, mbwa wako anaweza akawa amepenya chini ya geti na kukimbilia kwa jirani, mwanao anawaweza akawa kachukua gari na kwenda kujirusha na wewe hauna habari. Kwa kutumia vifaa hivi vinavyoitwa Tōd, unaweza kujua sehemu ambapo mtoto wako, mbwa wako na gari lako lilipo. Kupitia email au text, utapata taarifa pale mtu au kitu kikienda mbali na eneo la nyumbani au sehemu ambapo wewe upo.

Misfit Shine: Iwe kama unataka kupunguza uzito au unataka kuona kama kweli uko fiti, Misfit Shine inakusaidia kuangalia na kufwatilia mwili wako na jinsi unavyofanya kazi. Kiweke kifaa hichi kwenye mwili wako na itasoma vietendo vya mwili wako na kukupa ripoti mwisho wa kila siku na kukupa taarifa kama kweli mwili wako uapata mazoezi ya kutosha na kukuweka fiti. Twende kazi!

Chanzo: http://www.hongkiat.com/blog/innovative-smartphone-gadgets/

3

Pico Genie A100: Hii ni projector ndogo yenye speaker yake! Na kifaa hichi unaweza kujisikia kama uko cinema mahali popote ukiwa pamoja na familia yako au marafiki zako. Yote haya kupitia simu yako! Unachokipata ni picha ya inchi 60 na sauti iliyo kubwa zaidi. Hii pia inakupa uwezo wa kucheza michezo ya simu yako kwa mwonekano mkubwa zaidi. 1, 2, 3, Action!

5

Deeper Fishfinder: Hii ni kwa wale wasomi wetu ambao wanapenda kwenda fishing! Deeper Fishfinder inakupa uwezo wa kuwatafuta samaki wakiwa kwenye maji! Kwa kutumia sona (chombo cha kugundua vitu vilivyomo ndani/chini ya maji kwa mawimbi ya sauti) kampuni ya The Friday Lab inaweza kusoma samaki wakiwa wanasogea chini ya maji kwa umbali wa hadi 50m. Taarifa hii kisha inaoneaka kwenye screen ya smartphone yako. Tuandae boti zetu na twende!

BAHATI NASIBU

Shiriki na ushinde Samsung Galaxy Tab 4! Tuma neno #galaxy kwenda 0779751212 na ubahatike!

#GALAXY

35

HIVI UNAJUA KWAMBA... Ulimwengu ambao dunia ilipo inayo nyota zaidi ya Trilliarden 10. Namba hiyo inayo herufi ya namba moja na sifuri 22.

uga kubwa waliyoko kwenye mb a, Ruaha te wo o mb te ya su Nu Afrik ama kwenye bara la kuliko zote ya wany ani ya mwaka nd i gil jan wa na a aw National Park, waliu hao ni zaidi ya 4000. o mb te ya di Ida . oja mm

Mwaka 2009, asilimia 44 ya utajiri ilikuwa mali ya asilimia 1 ya idadi ya watu duniani. Mwaka 2014 asilimia hii ilishapanda mpaka asilimia 48. Mwaka 2016 itafika mpaka asilimia 50 kwa mara ya kwanza.

Nchini Tanzania, ni asilimia 23 ya watoto wote amba wananyonyeshwa maziwa ya mama zao miezi sita ya okwanza ya maisha yao.

Wanawake karibia 8,000 wanakufa kila mwaka wakiwa wajawazito au wanazaa. Hii ni kutokana na hali mbaya ya vitu ambavyo vingeweza Idadi ya iPhone ambazo zinauzwa kuepukwa au kutibiwa. inayo intaneti leo.ba i an ni du u at w watu ya ya zaidi ni i (402,000) am kila siku idad ribia asilimia 40ayachini ya asilimia 1. Hii inamaanisha kw Ka ambao wanazaliwa kila siku duniani Mwaka 1995, ilikuw umia intaneti. at an w 3 ni lio bi u at zaidi ya w (300,000).

Idadi ya watu ambao wanat umia Facebook ni sawa na idadi ya watu ambao wanai shi nchini China. Mwanzo wa mwaka 2015 ilihesabiw a kwamba watu zaidi ya bilioni 1,393 walikuwa wan azo akaunti zinazotumika.

Karibia asilimia 40 za ndoa zinaanzia kutokana na watu kukutana online.

ania Kuanzia Januari mpaka Juni mwaka 2012, Tanz a kuuw na ni bara bara za 63 11,1 Bara ilikuwa na ajali a Juml a. uhiw kujer ine weng 5 9,15 watu na 8 watu 1,80 ni bara bara za ya idadi ya majeruhi kutokana na ajali ka. Tanzania ni kati ya 20,000 na 25,000 kila mwa

Watu waliyo kwenye ndoa kwa wastani uwa ni wanene zaidi kuliko wale ambao hawajaona.

Kwa saa zote, kuku anataka awe na mayai 12. Ukiibia yai lake moja, atajiwekea yai lingine kukamilisha idadi hii tena. Tanzania Swimming Association imewachagua waogeleaji watatu kwenda kuhudhuria kwenye mashindano ya 2015 FINA World Aquatics Championships. Hilal Hilal, Ammaar, Ghadiyali, na Magdalene Mushi wataenda kuwakilisha nchi yetu Kaza, Russia Julai mwishoni.

Kuangali movie inayotisha inatumia kalori 184!

Kwenye maisha ya mwanamke wastani, atamiliki gauni 620, viatu pea 434, sketi 310, makoti 248 na blouse 1,116!

Kuna watu milioni 91 duniani ambao wanatumia app za dating. Milioni 61 ya hawa (watu wa 2 kati ya kila wa 3) ni wanaume na milioni 64 (watu wa 7 kati ya kila wa 10) wana umri kati ya 16 na 34.

Papa ni samaki ambao walikuwepo duniani tok a miaka milioni 400 iliyop ita. Wao walikuwepo kabla hata madinosaria.

Malala Yousafza kutoka aka nchi ya Pakistan ana mi bel No 17 na ni mshindi wa Kwa ujumla, asilimia 5.1 iwa ni ya Watanzania wenye umri Peace Prize. Ak wa miaka 15-49 wanaishi mwanaharakati wa haki za na VVU. Maambukizi ya na mshindi VVU ni kubwa zaidi katika watoto, haku ace maeneo ya mijini kwa mwingine wa Nobel Pe wanawake na wanaume ogo Prize mwenye umri md kuliko vijijini. kama yeye.


36

BIASHARA & ELIMU

=

WEWE NI BOSS MZURI?

MAJIBU YAKO KWA NUSU YA MASWALI HAYA YAKIWA NI ‘NDIYO’, UNAELEKEA VIZURI..

1

Unaelewa kwamba wafanyakazi wanafaa kukoselewa na kusifiwa kwa siri. Hii inaweza kuwahamasisha na kuwapa msukumo kwa wakati uaotakiwa.

3

Wewe ni mtu ambaye anasikiliza vizuri na una uwezo wa kuuliza maswali mazuri ya kumsababisha mwenzako ajadiliane nawe

4

Unajua kwamba milipuko ya hasira si vizuri na inayo madhara hasi ambayo ni muafaka kabisa

9

5 6 7 8

Haudharau akili za wafanyakazi wako na kuwaonyesha imani yako Unaonyesha heshima kwa kila mwanachama wa timu yako, wa kila cheo, nafasi na kiwango Unawahamasisha wafanyakazi wako si kwa kuwapatia motisha ya fedha tu bali kwa kutambua sifa zao Unaweza kutoa maoni binafsi mara kwa mara

Unatoa maelezo sahihi kuhusu maamuzi yako

10

Unaachia nafasi ya kutoa mawazo ya watu binafsi kati ya wafanyakazi wako na kuwapa motisha kwa ajili ya kubadilishana mawazo na wewe

WEWE NI

TUPOMOJA CV CLINIC:

MAJIBU YAKO KWA NUSU YA MASWALI HAYA YAKIWA NI ‘NDIYO’, UNAELEKEA VIZURI..

KUFAULU INTERVIEW

1 2 3 4

Kila mara, unafikiri na kutenda kitu kwa akili ya ujasiriamali

HATUA CHACHE ZA

asilimia Huku miongoni mwao . 38 hawatabasamu kabisa

Epuka majibu ya ‘labda’, ‘sijui’ au ‘nadhani’

Unaonyesha motisha wako na shauku kwa kazi unayoifanya

Kama huna uhakika na unachokihitaji, usipoteze muda na gharama bure kupita kila ofisi kupeleka maombi ya kazi. Kama unafanya interview ukaulizwa kwanini unahitaji kufanya kazi ya ukarani na sio mkurugenzi? Moja kwa moja ukasema ‘ndani ya miaka kumi napenda kuwa na nyumba tatu na magari ya kifahari’.

Unafanya kazi yako kwa ufanisi na kwa namna ya kujilimbikizia na kwa uendelevu Wewe ni wa umakini, wa uaminifu, na boss wako anaweza kukutegemea

5

Jiamini Unaweza kufanya kazi ukiwa pekee yako na unao uwezo wa kutambua jinsi na wakati ya kutenda vitendo vyote

6 7 8 9 10

Unaelewa uhusiano wa kazi yako mwenyewe na jinsi inalingana na malengo ya kampuni Unao uwezo wa kupendekeza na kuhimiza mawazo mapya

Unawasaidia wale ambao ni wadogo au wasio na uzoefu kati ya timu yako

Unaonyesha jitihada ili kuwa mkarimu na mwenye heshima bila kujali hali yako binafsi Unajitahidi kuwa wa ukweli na kuwa wazi kwenye mawasiliano na boss wako na kuwajulisha kuhusu mtazamo wako

TOA MAONI YAKO

Wewe unafikiri vipi juu ya hili? Nini kinapelekea kuwa boss mzuri au mwajiriwa mzuri? Tuma maoni yako kwenda 0779751212, anza na #kazi Ujumbe mzuri utachapishwa toleo lijalo.

#K A Z I

,

Wakati wa interview akili kimwili na kiakili vinatakiwa kuwa pale. Onyesha tabasamu lenye shauku na furaha kufanya kazi na kampuni husika. Onyesha utayari wa kufanya kazi.

Ijue kampuni kaba hujaitwa kwaajili ya interview Mimi kama boss wake nitapenda sana kusikia mtu anaijua kampuni yangu iwe ameiona kwenye matangazo au kaisikia kwa ndugu jamaa na marafiki. Baadhi ya shughuli tunazofanya, nini kimekupelekea kutuma maombi yako, nafasi ipi itakufaa zaidi na kwanini?

Google First

l

Usikurupuke, chukua dakika chache za muda wako, fanya uchunguze wa kampuni unayohitaji kupeleka maombi yako ya kazi kabla hujachukua hatua. Zijue baadhi ya shughuli zinaofanywa, nafasi unayohitaji ina perform vipi? Hii itakusaidia kumshawishi boss wako kuwa unajua unachokihitaji na umejiandaa kabla ya kuonana nae. Wapendwa hizo smart phone tusizitumie kwaajili ya kuchati Facebook na Instagram tu, bado kuna mitandao mingine. Tumia kwa manufaa, just Google unachokihitaji na uelimike zaidi.

Fuatilia

Q

2

Huna haraka ikiwa inahusiana na wafanyakazi wako

= MFANYAKAZI MZURI?

BIASHARA & ELIMU

Watu wengi tunafeli kipengele hiki pia. Unatuma leo maombi yako, kwa njia ya email, sanduku la posta au ana kwa ana. Baada ya hapo unakata mawasiliano eti boss akupigie simu. Ndugu, wakuerugenzi wanamajukumu mengi. Njia ya kujiwekea nafasi kubwa ya kujibiwa maombi yako ni ufuatiliaji wako. Usione shida kutuma email ya kwanza ya maombi, siku kadhaa tuma na kuuliza “Nilituma email, je, uliipata?” Kama ulibahatika kupata namba ya simu, piga au tuma SMS, lakini yote haya yafanye muda wa siku za kazi pekee.

Mwisho wa mahojiano uliza maswali uliyonayo

5

Watu wengi huzani kuwa kuuliza maswali kuhusu kampuni ni kosa. Ukipata mwanya utumie vizuri, unaweza kuuliza malengo ya kampuni ni kufikuia hatua ipi, na je, vipi kuhusu washindani wao?

aonyesha Takwimu zin 67 ia kuwa asilim kwenda no ya watu wa iew ya rv kufanya inte li kazi wanafe na kwa aa kutazaman a maswali. ana na mto

TOA MAONI YAKO

Je unahitaji msaada zaidi? Ni changamoto zipi unakumbana nazo wakati wa interview? Tutumie maoni yako kwenda 0779751212, anza na #CV

#CV

by MARRY MSEGELWA

37

TUPOMOJA CV CLINIC

Jiachie Kampuni nyingi zinahitaji mtu ambae ni multi-purpose. Mtu mwenye kipaji, uwezo na shauku ya kufanya vitu tofauti tofauti. Wengi wetu tunajisahau na kudhani kuwa ukiwa na degree au masters ya fani fulani basi ushapata tiketi ya kazi. Ndugu, utachina na vyeti vyako vitaliwa na panya.

Ujuaji mwingi mbele kiza Andaa kopi za document muhimu kwaajili ya kumwachia boss. Kwa mfano, kama unaomba kazi ya kupiga picha, maombi yako ambatanisha na moja kati albamu ya kazi zako ulizofanya vizuri zaidi. Bila kusahau mashahidi wa kazi zako na anwani zao, kama namba ya simu au email ni muhimu sana. Katika hili wajulishe wadhamini wako lile unalotarajia kufanya ili wasije kupigiwa simu wakashindwa kujibu maswali kwa kuwa hawajui na hawakujiaandaa kwa hilo.

Wasi wasi

1

Wasi wasi ni chachu ya kuonyesha kweli unahitaji kupewa nafasi, ila ukimezwa na wasi wasi, unasahau muongozo wa mazungumzo, unatoka nje ya swali na kujibu kitu kingine kabisa. Basi ushapoteza key nzima na umefeli kabisa. Kupunguza wasi wasi, ni vizuri kushika kitu kidogo mkononi kama vile peni, hii itakusaidia kuifanya mikono yako itulie na kuepuka kujipapasa au kujikuna muda wote wa interview.

Ikiwa asilim ia hawafaham 47 u inahusika n kampuni a nini.


“Mmmh..jamani haaya ngoja nikachukue kipimo basi.”

“Haya njoo unipime ila ufanye haraka maana kiraruraru kisha nipanda.”

“Umeanza mambo yako yani lini utaniamini mke wangu?...Kila tukitaka kukutana lazima unipime Ukimwi….Haya harakisha basi.”

“Upo salama…ila tufanye haraka basi.”

“Mmmh ….Sidhani kama nitaweza kufanya hivyo…Nikikuangalia naona unalingana kabisa na baba yangu, itaniwia vigumu kwa kweli.” “Utazoea tu, halafu mjini hamna wazee hujawahi kusikia kuwa uzee mwisho Chalinze?....Tuachane na hayo hivi unajua Salome wewe ni mrembo sana, yani sijui kwanini niliwahi kuoa…yani leo nimeamka ghafla kutoka usingizini mara ghafla nikaiona ile sura ya zimwi lililokuwa likinikimbiza ndotoni ipo mbele yangu, nikaruka kutoka kitandani mpaka chini! Nilipofika chini nikatupa macho yangu pale kitandani ndio nikagundua kumbe mke wangu ndo alikuwa amelala pale kitandani yani sikudanganyi sura yake na ile ya lilezimwi hazina utofaut! Salome ukikubali kutembea na mimi usiku wa leo nitakupa shilingi milioni moja na nitakuongezea mshahara.”

 Mbezi Kawe (Oilcom)

“Sawa nimekubali ila itabidi nikupime kwanza damu yako.”

“Hiyo salamu za watoto wa shule ya msingi bwana….Inabidi uniambie ‘Mambo Kipala?”

 Segerea (Bus stand)

“Mke wangu rungu linataka kumchapa mwizi, amka tafadhali.”

“Shikamo bosi..”

 Makumbusho (Bus Stand)

“Tafadhali mzee naomba usianze hayo mambo, mimi ni mke wa mtu halafu nina mtoto na ninaiheshimu ndoa yangu….Ninampenda sana mume wangu pamoja na mwanangu.”

Ilipofika saa 12:00 za jioni kila mmoja alikuwa kishafika katika eneo lake la kazi.

 Quality Center

by ABDULMALIK SIRAJ

Ilikuwa ni saa 11:00 za jioni ambapo katika chumba kimoja alikuwemo Salome na Kizito ambao ni mke na mume. Salome alikuwa akifanya kazi ya uuguzi katika hospitali ya binafsi iliyomilkiwa na Mzee Kipala, naye Kizito alikuwa anafanya kazi ya ulinzi katika hoteli moja maarufu katikati ya mji wa Dar es Salaam.

“Lazima nikupime ni kwa usalama wetu mimi wewe na mwanangu…Haya, upo salama, njoo ujimwayemwaye…”

 Shekilango

MICHEPUKO

Branches:

TUPOMOJA LEO

“Kama hutaki kuanzia sasa kazi huna, naelekea ofisini kwangu ukimaliza kujifikiria utakuja kunipa majibu.” Ilikuwa ni saa 2:15 za usiku, Salome akamfuata Mzee Kipala ofisini kwake na kumwambia;

Ilipofika saa 9:00 za usiku mlinzi wa getini ajulikaye kama Kopo akaingia ofisini kwa Salome.

TAFADHALI MZEE NAOMBA USIANZE HAYO MAMBO, MIMI NI MKE WA MTU HALAFU NINA MTOTO NA NINAIHESHIMU NDOA YANGU… “Karibu Kopo nikusaidie nini?” “Nataka na mimi unionjeshe tunda lako kama ulivyo mpa Mzee Kipala, ukikataa nitamuonesha mumeo video niliowakamata wakati mnafanya mambo yenu na kama haitoshi nitaisambaza kwenye mitandao ya kijamii.” “Usifanye hivyo ila leo nimechoka sana nitakupa kesho…tutapanga tukutane wapi?” “Muda si mrefu kunapambazuka nataka unipe sasa hivi, mwenzangu atakuja kunipokea sasa hivi.” “Haaya basi njoo ila tufanye haraka basi.” “Usijali mimi napiga kamoja tu.”

Muda huo huo naye Kizito akatoroka kazini kwake na kwenda kwenye kituo cha madada poa: “Jeni njoo huku chumbani basi tuharakishe, chukua elfu kumi hii hapa.” Baada ya siku kadhaa kupita Salome na Kizito wakakubaliana waende kupima na majibu yakaonesha kuwa wote wameathirika kwa ugonjwa wa UKIMWI. Wakakubaliana na hali zao na wakaanza maisha mapya.



Turn static files into dynamic content formats.

Create a flipbook
Issuu converts static files into: digital portfolios, online yearbooks, online catalogs, digital photo albums and more. Sign up and create your flipbook.