Tupomoja Magazine #7

Page 1

TOLEO No 7

4,000

TSH

kiswahili | english

OCT - DEC 2015

MITAZAMO TOFAUTI - SAUTI YA PAMOJA

Jokate

Je, ndoa yako ni ndoa yenye furaha? UK 52 Marriage Quiz

”KIDOTI” MWEGELO

UK 5

MAFANIKIO KOTE KOTE

Success on all levels

UK 8

Wedding dresses Magauni ya harusi from

Eve Collections UK 46

Bongo Movie Star is going for Politics

Haji

FUMBA TOWN

UK 21

Ajira, Gari, Vyumba, Vitu & Huduma Mbali Mbali

UK 38

Maisha ya Kisasa Zanzibar Modern Living

EDUCATION - BUSINESS - LISTINGS - HEALTH - FASHION - LIFESTYLE - FOOD - SPORTS - LOVE - OPINION - TECHNOLOGY ELIMU - BIASHARA - ORODHA - AFYA - MITINDO - MAISHA - CHAKULA - MICHEZO - UPENDO - MAONI - TEKNOLOJIA



yaliyomo 04 Tupomoja ni nini? // What is Tupomoja? 21 Matangazo mapya ya Tupomoja

BURUDANI & MAISHA

08 Tunasema “Ndiyo” kwa Gauni za Harusi kutoka Eve Collections // We say "Yes!" to wedding dresses from Eve Collections 46 Ndoto ya Haji ni kuwa Mbunge // Haji is Going for Politics 48 Nyota Mbili ziko nasi: Tish & Batuli // Two Stars Among Us: Tish & Batuli

MICHEZO & AFYA

10 Kipaji cha Kimataifa kwenye Golf imepatikana Tanzania! // World Golf Talent Discovered in Tanzania 12 Mapishi: Zimua Juisi // Recipe: Hangover Juice 13 Je kwa soka letu la Tanzania tunaweza kuwavutia wawekezaji // Can we ever attract investors for our Tanzanian soccer? 37 Safiri Kwenda Udzungwa // Travel Special: Udzungwa

BIASHARA & ELIMU

44 Kutana na Mx Carter, Mwanzilishi wa Slide Visuals & Mpiga Picha Na.1 kwa Wasanii wa Kitanzania // Mx Carter - No.1 photographer of all Tanzanian Celebrities

UVUMBUZI & TEKNOLOJIA

38 Fumba Town: Maisha ya Kisasa Zanzibar // Modern Living in Zanzibar 50 what3words: Start Up za kushangaza // Amazing Start Ups 54 Vitu vitatu vya kutuletea maisha ya kisasa // 3 New Innovations that Could Change the World

UPENDO & MARAFIKI

18 Tamthiliya ya Mpenzi // Photo Love Story: Penzi la kweli haliwezi kufa?! 52 Je, ndoa yako ni ndoa yenye furaha? // How Happy is your Marriage?

MAONI & USHAURI

05 Jokate “Kidoti” Mwegelo - Mafanikio kote kote // Success on all levels 14 Mahojiano na Mrs. Amina // Meeting Mrs. Amina for tea

kwa mawasiliano zaidi Published by Tupomoja Tanzania Ltd., P. O. Box 11493, Dar es Salaam, Reg. BRELA 90291, TIN 126-500-785

EditorS

TOLEO No

7 OCT - DEC 2015

kiswahili | english

HABARI ZA TUPOMOJA

Julia Glei / Marry Msegelwa

MITAZAMO TOFAUTI - SAU TI

PROOF & Translations Abdul Sykes

Jokate EGELO MAFANIKIO KOTE KOTE

Je, ndo ni ndoa furaha? Marriag

Success on all leve

ls

GRAPHIC DESIGN

UK 8

KEW Design

Wedding dres Magauni ya ses haru

si from Eve Collection s

UK 46

Pictures

Bongo Movie

Star

is going Haji for Politics

KEW Design Kristin Dorl

YA PAMOJA

”KIDOTI” MW

UK 5

4

UK 21

Ajira, Gari, Vyum Vitu & Huduma ba, Mbali Mbali

GRATEFUL FOR THE SUPPORT OF

N UK 38

FUMBA TOW

Maisha ya Kisasa Zanz Modern Livinibar g

EDUCATION - BUSINESS - LISTINGS ELIMU - BIASH HEALTH - FASHIO ARA - ORODH N - LIFESTYLE A - AFYA - MITIND - FOOD - SPORT O - MAISHA S - LOVE - OPINIO - CHAKULA MICHEZO - UPEND N - TECHNOL O - MAONI TEKNOLOJIA

Kidoti / Amina S. Ali / Evelyn Rugemalra & Team of Eve Collection / Miriam Kinunda / Team of what3words / Tish & Batuli / Baba Haji / Stanley Sanga / Mx Carter / Kipanya & Kaka Bonda / Mussa Ngwali / Nasra, Biyam, Alex, Eddy Zungu & Mudi, Team of CPS live & Fumba Town Development / Kristin Dorl

advertising Tupomoja is not responsible for products, content and range of services of their advertisers. We shall not be liable for the correctness of the information provided.

distribution Quarterly 5,000 copies | distribution points in Dar es Salaam, Zanzibar & other cities in Tanzania, Editorial deadline 4 weeks before publication

TUPOMOJA HOTLINES +255 776 77 12 12 / +255 773 13 13 32

U NI KA T W EZI YA M

KAKA BONDA Cartoonist


04

HABARI ZA TUPOMOJA

karibu / welcome to the

tupomoja magazine

SW Wapendwa wasomaji, toleo letu jipya EN: Dear readers, our new edition is devoted linaongelea sana sana Maisha ya Kisasa! Tunafurahi kuwaletea maelezo kuhusu mradi mpya wa makazi na wadau wake waliyopo Zanzibar. Fikiria sehemu wapi utaweza kuendeleza maisha yako, sehemu wapi utaweza kuishi maisha ya jasiriamali na kuchukua fursa zote ambazo zitakuja kwako. Sehemu hii itakuwa na hadithi nyingi, na pia itakuwa sehemu wapi hadithi yako itakuja kuanza. Tunaweletea mada moja inayosisimua sana tukiwa tunahojiana na Kidoti, mtu anayoongelewa sana hivi sasa. Tunaweletea watu wapya na wa zamani wa Bongo Movie pamoja na wanasiasa na watu wengine maarufu. Na pia tunawaletea MX Carter kutoka Slide Visuals, mtu anayohusiana na watu wote hawa. Pata burudani kwa kusoma hadithi yetu ya picha kuhusu mapenzi na pia cheki kama mapenzi yako ni ya furaha! Jifahamishe na ubunifu na teknolojia mpya za mwaka huu. Furahia gauni za harusi kutoka Eve Collection na mengi zaidi! Basi wacha tuwaachie msome! Tunawaombea kila la heri, - Marry & Julia

to Modern Living! We are happy to introduce you to an outstanding residential housing project and its stakeholders on the island of Zanzibar. Imagine a place where you want your lifetime story to evolve, a place where you can live out the entrepreneur inside of you with unlimited opportunities. A place full of stories, a place like Fumba, where your story begins. Our key topic is framed by exciting interviews with Kidoti who is on everyone's lips, by new and old faces from the Bongo Movie Industry as well as political and word-for-word players. Meet Mx Carter from Slight Visuals, the one who knows them all. Entertain yourself with the new photo love story and check out if your own relationship is happy! Inform yourself about this year's most amazing technology innovations. Be inspired by our lovely selection of Wedding Dresses from Eve Collection and much more! Hold on, it is time to read now… Enjoy! With warm Regards - Marry & Julia

JULIA & MARRY EDITORS

Nawezaje kuingia soko la Tupomoja?

How can I enter the Tupomoja Market? Pata usaidizi kutoka Wakala wetu wa Tupomoja. Tuma SMS au tupigie simu ujue ni wapi karibu nawe walipo. // Get assistance from a Tupomoja Consultant. Send us an SMS or give us a call to get connected. Tuma SMS kwenda // Send an SMS to: +255 777 75 12 12

tupomoja ni nini?

Utapata vipi ajira? Utapata vipi wateja wapya kwa ajili ya kampun i yako au biashara yako? Unawezaje kutengeneza marafiki wapya au kupata mpenzi? Utawezaje kupangisha nyumba yako bila ya haja ya kumlipa dalali? Unawezaje kumchagua mtu wa kumpangisha kwenye nyumba yako? Yote haya na mengi zaidi yanawezekana kwa urahisi kupitia Tupomoj a, soko jipya la kidijitali Afrika Mashariki! Sisi tunakuunganisha na watu na mabiashara, kukupa kile unachok ihitaji. Nunua, uza, na tangaza chochote kile – tangaza biashara yako , CV yako, nyumba ambayo unataka kupangisha, gari unalotaka kuliuza, marafiki amabao unataka kuwa nao , simu ambayo unaitafuta na vitu ving i sana vingine. Wasiliana nasi saa yoyote na pah ali popote!

Badilisha maisha yako leo!

Tembelea tovuti yetu // Visit our website: www.tupomoja.co.tz Tuma barua pepe // Send an email: karibu@tupomoja.com Tupigie kwenye hotline yetu // Contact the Tupomoja Hotline: +255 776 77 12 12 au +255 773 13 13 32 Tembelea ukurasa wetu wa Facebook // Like us on Facebook: facebook.com/tupomoja

Toa maoni yako

Wewe unafikiriaje? Tutafurahi kupata mchango wako! Tuma maoni yako kwenda 0779751212, anza na neno #tahariri

#Tahariri

Changing lives


"Mungu hakutupa akili, mikono na miguu bure!" Jokate "Kidoti" Mwegelo - Mafanikio kote kote by JULIA GLEI

Ulisoma Political Science na Philosophy hapa Dar es Salaam. Kuna nini ambacho umejifunza wakati huu wa maisha yako? Ni vitu gani ambavyo unavikumbuka na vimechangia kukufanya wewe uwe kama wewe? J: Nilijifunza kuwa na subira, kufanya kazi kwa bidii na kutumia akili. Nilijifunza kuongoza nikiwa na lengo thabiti na kufanya kazi vizuri katika timu. Na pia kuwa mwaminifu. Kulikuwa kuna wakati wapi nilikuwa ninapanga mkutano wa wanafunzi. Ikafika wakati wapi yule ambaye alikuwa ananishari akaona kwamba mkutano huu hautawezekana. Lakini mimi nilisema kwamba “tokeo hili litakuwepo, iwe kwa usaidizi wako, au nikiwa pekee yangu”. Na kweli nilifanikiwa, nilifanya mkutano mkubwa ikiwashiriki wanafunzi kutoka vyuo vyote jijini Dar es Salaam. Ilikuwa ngumu sana. Ilikuwa vile vile nilivyoanza kampuni yangu. Watu walitucheka na kutuzomea lakini tulikuwa tunao msukumo wetu na kile ambacho kilikuwa kinatupa hamasa ya kufanikiwa. Wanasemaga kwamba mwishoni ni wewe na Mungu wako. Mungu anajua tu.

Mwaka 2006 ulishiriki kwenye Miss Tanzania Beauty Contest. Nani alikuhamasisha kipindi hicho na kukufanya ujiamini? J: Mmama mmoja anayeitwa Loveness alinihamasisha. Yeye ndiyo alikuwa mdhamini wangu. Bila yeye kusema kweli nisinge shiriki.

Kwako wewe, kuwa mzuri ni kitu gani? Mtu anakuwaje mzuri? J: Kuwa mzuri ni kitu cha ajabu kusema ukweli. Lakini kwangu mimi, ni ukamili. Ni kitu ambacho kinakupa mvuto kwa mtu mwengine, akiwa na moyo ambao ni mzuri, na unaovutia, na mwenye msimamo.

Familia yako ilikupa msukumo gani kwenye kazi hii? Walikupa ushauri gani wakati unakuwa? J: Wazazi wangu walinisomesha. Kwangu mimi, hilo ndilo jambo la umuhimu kuliko zote kwenye kunisaidia kuumba akili zangu na misimamo yangu. Lakini pia, mama yangu alikuwa anapenda sana kusoma na kununua vitabu. Kwahiyo nilikuwa msomi toka udogoni. Kaka yangu na dada yangu walikuwa wananisaidiaga na masomo nikiwa nyumbani pia. Ninayo msingi imara kwenye kuandika, kusoma na kutunga hadithi. Familia yangu inaniaminia sana kwahiyo hata mimi ninajiamini na kusonga mbele maishani nikiwa najuwa kwamba hakuna ambacho kinaweza kunikwamisha. Hicho ndicho kilinisaidia sana kwa sababu mafanikio inaanzia akilini. Ukiamini kitu flani, utaishi mpaka ukifanikishe. Na pia tunaomba sana. Kwetu sisi, Mungu ni kila kitu.

mAONI & USHAURI

"God didn't give us brains, hands, feet for nothing!" Jokate “Kidoti” Mwegelo Success on all levels

You’ve studied Political science and Philosophy in Dar es Salaam. What are the things you’ve learned from this phase in your life? Which memories are shaping you up to today? J: I learnt how to be patient, work hard and smart, how to lead with a strong vision, and team work. Having a strong conviction. There was a time I was organizing a students forum and our patron along the way told me he doesn't see it happening. I said that I will make it happen with or without you, and I did. I hosted a week of students from different universities and colleges at UDSM. It was tough, really tough. Just like with my business when we started people used to mock and discourage us but we knew our vision and what we stood to achieve. They say at the end of the day it's between you and God. God knows best.

In 2006 you took part in the Miss Tanzania Beauty Contest. Who encouraged you in those days or came this self-confidence from inside? J: A lady called Loveness encouraged me. She actually sponsored me throughout the event. Without her I wouldn't have done it really.

What does beauty mean to you? What makes someone beautiful? J: Beauty is a complex phenomenon to be honest. But to me it's wholesome. Something that attracts you to someone, the glow they have, the energy and a soul that is rich, giving, firm.

05


06

mAONI & USHAURI

Which role did your family play in your career? Which rules of life or advice have they given to you while growing up? J: My parents paid for my education. To me that stands to be the most important role that has really shaped my thinking and attitudes but again my mother loves books and buying them. So I've been reading books since I was young. My brother and sister used to tutor me at home. I have a very strong background when it comes to writing, reading, spelling, and composition. This even helped me in school. My entire family thinks highly of me so I charge into the world confidently knowing nothing will stop me and that has really helped me to be honest because success starts in the mind if you believe it you will live and achieve it. And we pray a lot. God is everything to us.

Wewe ni fashionista, na umeanzisha line yako ya nguo na nywele tayari. Ni nini ambacho unaweza kusema kwamba inafanya style yako kuwa ya kipekee? J: Style yangu inabadilika saa zote. Na pia napenda vitu vyenye kazi zake na vyenye mwonekano wa kiasili. Chukulia mfano wa jinsi nilivyoanzisha line yangu ya nywele, ilikuwa rahisi kuieleza kwa sababu nilikuwa kijana bado na sikutaka kutumia hela nyingi kwa ajili ya kutengeneza nywele, kwa hiyo nywele za kubandika zilinifaa kwasababu nilikuwa ninatengeneza nywele zangu pamoja na rafiki yangu Rehema ambaye pia ni mbunifu kwenye kutengeneza nywele. Na tulikuwa tunatesa nazo mpaka basi. Kwahiyo nilikuwa ninawaambia wateja wangu kwamba hakuna haja ya kutumia hela nyingi kwa ajili ya kupendeza. Na ilifanya kazi.

Siku hizi tunasoma mambo mengi kuhusu wajasiriamali, lakini tunahisi kwamba neno hili halijatafsiriwa vizuri. Si kila mtu aliyejiajiri ni jasiriamali. Kwako wewe, ni sifa gani ambazo mtu anazihitaji kuwa jasiriamali? J: Fanya kitu ambacho kinavutia na kuendeleza mambo. Mimi ninaamini kwamba kinabidi kiwe kitu cha kipekee, kitu kipya, kitu tofauti cha ushupavu. Kwa wajasiriamali, shauku ni kipaumbele, faida kwenye mapato haina umuhimu sana. Sisemi kwamba faida haina umuhimu kabisa, lakini shauku inahusiana na vitu ambavyo ni muhimu zaidi kama vile kufanya biashara. Ni maisha yenyewe. Inaridhisha moyoni na kubadilisha maisha ya watu.

Wewe kama mwanaharakati kwa haki za wanawake na watoto, ni nini kinachohitaji kubadilika nchini? J: Elimu, afya, na biashara. Wanawake wanahitaji kujihisi huru kwenye mambo ya fedha ili waweza kutunza familia zao. Lakini pia iwe inaendana na elimu pamoja na afya kuboresha maisha yao. Haswa afya ya uzazi. Pia kwenye afya na elimu kwa watoto, haya ni muhimu kwenye kujenga maisha yao toka udogoni na itaweka mpangilio mzuri maishani mwao na kwenye nchi. Kati ya mambo yote, haya ndo ya umuhimu zaidi.

You are a passionate fashionista, and you’ve launched These days we read a lot about entrepreneurship and we get your own clothing & hair line already. What would you the feeling, it is often misunderstood. Not every self-emplosay distinguishes your style from others? yed person is an entrepreneur. In you eyes, which characterisJ: My style is unpredictable, I'm a chameleon of sorts. Plus I'm very tic does someone need to actually earn this label? practical and organic. Say like when I launched my line of synthetic hair even communicating it was easy cause I was younger and I didn't want to spend a whole lot of money on hair, so synthetic hair worked for me cause I would style it with my long time friend and hair stylist Rehema and we would rock it like none other. So I would communicate to my buyers/the public why break bank to look amazing? It worked.

J: Do something that's really interesting and that is really taking things to the next level. I feel it should be groundbreaking, it should also be risk taking, innovative, courageous, passionate. Like with entrepreneurs it's always passion first then profit secondary not to render profits null but it's beyond just trading, transactions. It's a lifestyle. It's fulfilling.


mAONI & USHAURI

07

Ni nini ambacho kimekuhamasisha kuingilia mambo Tumesikia kwamba unataka kuingia kwenye fani ya haya ya haki kwa wanawake na watoto? Ni kitu am- muziki pia! Haya ni kweli? bacho kilikutokeaje? J: Ninao mwimbo na mwimbaji kutoka Nigeria anaitwa Ice J: Mimi uwa sipendagi kuona wanawake wakiwa wananyanyaswa na wanaume na kutokuwa na uhuru wa kufikia maamuzi yao wenyewe. Inasikitisha kuwaona wanawake kwenye hali hii, lakini yote ni kutokana na kuwa binaadamu. Mungu hakutupa akili, mikono, na miguu bure. Sote ni bindaadamu na tunahitaji kupewa usawa maishani. Wanawake wanahitaji kupewa uwezo wa kujilinda, wajitunze na wajiuhudumie bila wanaume.

Prince. Unaitwa Leo Leo. Inafanya vizuri sana. Nimefurahi sana kwamba video yake inakaribia kutoka.

Asante sana kwa kuongea na sisi Jokate. Tunakuombe kila la heri na mafanikio mengi kwa katika kila hatua!

Ninayo msingi imara kwenye kuandika, kusoma na kutunga hadithi // I have a very strong background when it comes to writing, reading, spelling, and composition Speaking to you as an activist for women and children rights, what would be important for you to change in the country? J: Education, health, Business/Trade. Women need to have financial freedom to tend to their families but also the education and health to enrich their lives. Especially maternal health. The same goes for children. Their health and education is key to how they are shaped mentally from birth and will eventually determine the kind of state we will have. Above all these stand to be their primary rights.

Does your interest for the rights of women and children come from a certain personal experience or observation? And if yes which one? J: Well I hate it when men abuse women and women end up not having options. But again it spurs from us all being human beings. It's sad that women have been disadvantaged but God didn't give us brains, hands, feet for nothing. We are all human and need to be given equal footing to make it in life. Women need to be well equipped to defend themselves, take care of themselves independent of men.

We heard some news that you are entering the music industry as well! Is that true and can you tell us more about your plans? J: I have a track out with Nigerian artist Ice Prince. It's called Leo Leo. It's actually doing well. I can't wait for the video to come out.

Thanks a lot for your time Jokate. We wish you much success at every level!!

Toa maoni yako

Tunahitaji kujua mawazo yako! Tuambie nani anaweza kuwa mfano wa kuigwa kwenye maisha yako? Tuma jibu lako kwenda 0779751212, anza na neno #idol

#IDOL


08 BURUDANI & MAISHA

Gauni za Harusi Tunasema “Ndiyo”kwa kutoka Eve CollectionS

“Yes, I will”

We say "Yes" to Wedding Dresses from Eve COLLECTIONS

Tunazipenda sana print na material za Kiafrika Kama unataka rangi ambazo zinang’ara na zilizo kolea, material ya kitenge ndo chaguo lenyewe. Linaongeza kitu flani cha kipekee kwenye outfit yako na haswa ikiwa kwamba umeamua kuweka kitenge kwenye gauni lako la harusi. Hii itaifanya iwe ya kipekee kabisa. Kushonesha vitambaa viwili tofauti kwenye gauni litafanya litokee vizuri sana – changanya vitambaa vya Kiafrika kama kitenge au kanga na chiffon, lace, satin, silk au pamba. Chagua urefu ambao unataka pamoja na jinsi itavyofunika mikono na shingo ili iwe inaendana na hali ya hewa kwenye siku yako ya ndoa. Hutakosa kupendeza! Kwani utakuwa na bridesmaids? Wacha na wao wawe na vipande vya kitambaa ulichokichagua, lakini kwa design tofauti! Lazima na wao wapendeze. Na bila kumsahau bwana harusi! Na yeye apewe kipande cha kitambaa chako ishoneshwe kwenye suti yake..kwani mtaendana kwa mavazi na kwa upendo wenu pia! We love african prints and materials! If you want vibrant & strong colours, Kitenge material is the winner. It adds that something extra to your outfit and will make your wedding dress 100% unique. Mixing two different fabrics will create a gorgeous dress - combine African fabrics like kitenge or kanga with chiffon, lace, satin, velvet, silk, cotton or jersey. Choose length and the kind of stripes or sleeves with regard to location and conditions on your big day. Do you have bridesmaids? Let them use the same fabric, but in another combination! They will look amazing - and you in the middle of it. Last but not least don't forget to also include a tiny detail from your fabric into your future husband's outfit! You belong together after all, in your dress and in your love for each other.

Evelyn Rugemalira – Professional Creative Director ambaye anajua anachokitaka Yule ambaye anaiendesha Eve Collections ni Evelyn Rugemalira. Aliingilia mambo ya fashion mwaka 2010 baada ya kutembelea Lagos, Nigeria na kuhamasishwa sana. Mwaka 2013 alipewa tuzo kwa kuwa Best Designer kwenye maonesho ya Swahili Fashion Week. Amezindua collection yake mpya siku chache zilizopita na anafahamika kwa kushonesha nguo kwa watu waliyo umbika tofauti tofauti. Eve Collections ni jina ambalo linawashonea wateja wengi tofauti tofauti na wanaopenda design aina nyingi. Zikiwa ni za kiasili zaidi au za kisasa, za kila siku, gauni za harusi au za siku maalum. Gauni zote zinashoneshwa kumtosha mteja aliyoiagiza na zinatokea kuwa za kipekee kila moja. Kipaumbele kwetu ni mteja wetu na tunafanya kazi kuhakikisha kwamba wamefaidika na kazi zetu. Kila nguo tunayoishona imetengenezwa kwa makini na ukamili. Kila moja pia inawekewa kitu flani kuifanya iwe ya kipekee, iwe ni shanga, lace au chochote kile ambacho mteja anakitaka. Tunatumia vitambaa kutoka kote duniani; United Kingdom, Dubai, Nigeria na Afrika Kusini.

Evelyn Rugemalira - Professional Creative Director who knows what she wants The face behind the brand is Evelyn Rugemalira. She ventured into the fashion business in 2010 after an inspirational trip to Lagos Nigeria. In 2013 she was declared the Best Designer during the Swahili Fashion Week. She released her new collection lately and is celebrated as a designer for all shapes. Eve Collections caters for a diverse range of clients with every style of dress, from traditional to contemporary, everyday dresses, wedding dresses as well as special occasion dresses. All dresses are made to measure and made to very high standards. Each dress is as unique and individual as the client themselves. Each client is treated as an individual with most respect and understanding of their needs. Our priority is our customer and we work hard to make sure that they are satisfied. All our garments are made with special care and attention to detail. Each piece is designed with that special touch whether it be beading, lace or whatever our clients desire. We source our fabrics from around the world; United Kingdom, Dubai, Nigeria and South Africa.


BURUDANI & MAISHA

09

Tupomoja: Kuna wanawake gani ambao ni maarufu waliovaa gauni za Eve Collections tayari? EVELYN: Mpaka hivi sasa tumebahatika kwa kumshonea Wema Sepetu, Madame Rita Paulsen, Shamim Nsembo na Lulu Michael na wengi zaidi. Kweli tumebarikiwa na tunashukuru kwa jinsi tunapewa support.

T: Which Tanzanian well known ladies have worn dresses from Eve Collections already? E: So far I have been fortunate enough to dress Wema Sepetu, Madame Rita Paulsen, Shamim Nsembo and Lulu Michael to name a few. We are really blessed and humbled by the support we have gotten.

EVE COLLECTIONS

ised gown Unique high end custom . Eve by d igne des 3/ 054 737 Tel. +25575 +255 672726722

gmail.com Email: evecollections@ se, Hou Arcade Mikocheni near KFC

T: Ni kitu gani ambacho kinafanya design zenu ziwe za kipekee? E: Design za Eve Collections ni za kipekee kwa sababu nyingi sana. Tunafanya kazi karibu sana na wateja wetu kuhakikisha kwamba tunashona kitu ambacho kinaendana na matakwa yao na zaidi. Tunahakikisha kwamba tunatumia vitambaa vya hali ya juu na vifaa ambavyo ni bora kabisa kwenye soko. Vifaa vingi ambavyo ninavitumia ninavipata kutoka sehemu tofauti duniani na ninajivunia kwa jinsi ninachagua kwa makini. Kila nguo inakuwa ya kipekee kabisa.

T: What makes your designs so unique ? E: Eve Collections designs are unique in many ways. We work with our clients very closely to make sure that we deliver the clients needs and exceed their expectations. We make sure that we use the best fabrics and accessories available in the market. Most of my materials have been sourced from different parts of the world by myself and I take a lot of pride in my choices. Every piece is unique and is custom made.

T: Na hivi sasa kuna shughuli gani nyingine unachokifanya? E: Hivi sasa ninashughuli nyingi tu zinazoendelea. Kitu kingine ambacho kinanifanya niwe busy ni kampuni yangu ya Eve Events wapi tunafanya kazi za kupamba. Saa zote niko na fanya kitu kimoja au kingine. Muda hauko mwingi kwa hiyo lazima nihakikishe kwamba natumia kila dakika.

T: On what are you working at the moment? I am working on quite a few projects at the moment. I have also been busy with my Decor business namely Eve Events. I am always busy doing one thing or the other. Time is precious and I always make sure that I use it efficiently.

T: Nguo zako unashonesha kwa ajili ya watu gani? E: Eve Collections inashonesha nguo kwa wanawake wa kisasa ambao wanataka kuwa na mwonekano wa kipekee. Yule mwanamke ambaye anataka asiwe anafanana na kila mtu. Tunashonesha nguo za kupendeza kwa wanawake wenye shepu tofauti kwa sababu kila mwanamke anastahili kupendeza.

T: For who do you create your fashion? E: Eve Collections creates fashion for modern woman who dare to look different. The type of woman who wants to stand out from the crowd. We create beautiful pieces for women of all sizes because every woman deserves to look beautiful.

Toa maoni yako Tungependa kujua mawazo ya wasomaji wetu! Ni rangi gani ya gauni la harusi unapandelea? Tueleze kupitia 0779751212, anza na neno #wedding #WEDDING


10

michezo & afya

Kipaji cha Kimataifa kwenye Golf KIMEPATIKANA Tanzania!

by MARRY Msegelwa

World Golf Talent discovered in Tanzania!

Kutana na Stanley Sanga akituambia jinsi shauku inaleta msukumo maishani // Meet Stanley Sanga and learn about how passion guides a life journey tanley alizaliwa wilaya ya Mufindi mkoa wa Iringa. Kiwanja cha Mufindi Gold Club kilikuwa sehemu ambayo iliachwa na wakoloni baada ya Tanzania kupata uhuru. Baba yake Stanley alikuwa meneja mkuu wa kiwanja hicho. Stanley alivyokuwa mdogo, alikuwa anapenda sana kuwaona wachezaji golf wakiwa wanafanya mazoezi. Alikuwa anataka sana kujifunza na yeye lakini baba yake hakutaka iwe hivi. Alikuwa anasema kwamba “Hakuna chochote kwenye mchezo huwo”.

Stanley alisema, “Nakumbuka nilikuwa na miaka tisa, hapo ndipo nilipoanza kujifunza kwa vitendo. Wahenga wanasema “mtoto wa nyoka ni nyoka”. Mazingira niliyozaliwa yalikuwa chachu tosha. Hata nilivyokuwa mdogo nilikuwa nikiwaona wazungu wakicheza golf. Nilitamani sana kuujua na kucheza japo sikupewa nafasi”. Stanley aliamua kuwa mbunifu na kuchonga fimbo inayofanana na fimbo maalumu ya golf. Kwa ajili ya mipira alitumia kibunzi au mifuko ya plastiki. “Niliombaga kuokota mipira ya wachezaji golf ikiwa wameipiga kwenda mbali, ilimradi nipate kuangalia mchezo kwa karibu zaidi. Baada ya muda nilikuwa vizuri kishabaha, nilijaribu kuomba kupiga mipira na fimbo za wachezaji. Nilifanya vizuri zaidi na kuwashangaza wengi”. Hapo ndipo safari ya Stanley ilipoanzia. Wachezaji walitaka kumshirikisha kwenye mazoezi na kuingia kwenye mashindano madogo madogo ya ndani. Ilikuwa ni furaha isiyo na kifani kwake Stanley! Mwaka 2001, Stanley alivyokuwa ana umri wa miaka 19, Baba yake alifariki. Alipewa jukumu la kutunza uwanja ule wa golf na kuusimamia. Ndipo hapo ndoto yake ya kuwa mchezaji bora ilizidi kukua ndani ya akili yake. “Mpaka muda huo sikujua manufaa ya mchezo huo. Furaha yangu na shauku ilikuwa ni kucheza golf maisha yangu yote.” Kijiji alichotoka hakikuwa na umeme, magazeti wala vyombo vya habari ambapo angepata msukumo ila msukumo wa moyo ulimfanya aipende golf na kuifanya iwe sehemu ya maisha yangu.

tanley was born in the district of Mufindi in the Iringa Region. The Mufindi Golf Club was one left behind by colonialists after Tanzania’s independence. Stanley’s father was the head manager and care-taker of it. When he was young he really loved watching people as they took golf lessons and wanted more than anything to learn the game, although his father didn’t want to teach him. He would say that no good could come of it. “I remember I was nine years old, that’s when I started practicing. As they say “the child of a snake is a snake” - the environment was just right. Even in my upbringing I would only see foreigners playing golf. I wanted more than anything to play although I wasn’t given a chance to.” He decided to be creative on his own and to carve a stick similar to a golf club. For a golf ball he used plastic bags that he burnt so that he could wrap them to form a ball. “I had asked to fetch the balls of players who hit their balls too far, as long as I was able to watch the game closely. After a while I became very good at targeting, I would beg to play using the players’ equipment. I would do really well and impress them.” That is where Stanley’s journey started. Players wanted to include him in practices and wanted him to enter small internal competitions - an incomparable joy for Stanley! In 2001 Stanley was 19 years old and his father passed away. He was given the responsibility of taking care of the golf course. With that his dream of becoming a great player continued to grow. “I still didn’t know what the advantages of the game were. But my joy and my passion were to play golf for the rest of my life.” The village he came from had no electricity, magazines or media that would inspire him, but in his heart he knew the love for golf will be a part of his entire life.


michezo & afya Stanley Sanga

Stanley hakubaki tena pale Iringa kwa muda mrefu kwani mambo hayakwenda sawa, hivyo akaamua kwenda Dar es Salaam na alibahatika kujiunga na Gymkhana Golf Club kama mfanyakazi wa kawaida kwaajili ya kubeba mizigo ya wachezaji. Kupitia pale mpaka sasa ameshacheza mashindano makubwa nchi mbali mbali kama vile South Africa, Kenya, Uganda, Zimbabwe, na pia ndani ya nchi. Na mpaka amekuwa kocha wa Timu ya Taifa ya Tanzania Golf Union Club! ”Nilibahatika kupata mfadhili mzuri, nikajiunga na mchezaji mtaalamu wa golf kutoka Kenya. Nikawa mwanachama wa klabu iliyoko Kenya. Walipoona kipaji changu walinipeleka South Africa na wakaendelea kunipa mafunzo. Mpaka sasa najivunia nilipofika.” Watu wengi wanafikiri kwamba golf ni kwa watu wazima na pesa zao. Lakini Stanley anahakika kwamba golf ni mchezo mzuri kwa umri wowote ule. Golf ni mchezo ambao hauhitaji uwe na nguvu nyingi au misuli mikubwa. Golf inakupa mazoezi bila kujijua kwamba sasa unafanya mazoezi. “Kwanini naipenda sana golf? Ni mchezo unatakiwa uwe na nidhamu ya hali ya juu. Kuanzia mavazi, maongezi hata upigaji wako wa mipira.” Mpaka sasa Stanley ameshaweka rekodi ambayo haitoweza kusahauliwa. Ameweza kuweka rekodi ya Low Score katika klabu ya Dar es Salaam Gymkhana Club. Kuanzia mwaka 2001 hadi 2003 pia ameweza kushinda mashindano ya Southern Highland kwa miaka mitatu mfululizo na kutwaa kombe moja kwa moja. “Nimejifunza mengi katika maisha. Kila mtu anasafari yake ya maisha. Historia zetu ni tofauti, hivyo usimpe mtu nafasi ya kukuvunja moyo kuzifikia ndoto zako, mtu asiye na furaha ya kukuharibia furaha ya safari yako ya maisha. Mungu hajakosea kukuumba hivyo ulivyo, watu wengi wanaweza kukupa majina mengi kulingana na uwoga wao wa safari ya maisha, hawa- jiamini, wako gizani, hawana upeo wa kuona mbali. Watasema huwezi kufanya hili kwa kuwa ni mfupi au mrefu, mpole, mkali na mengine mengi. Usiwajali hawo, fanya kweli kwa kile ukipendacho na moyo wako unafuraha jinsi ulivyo, songa mbele wala usirudi nyuma.”

Kila mtu anayo safari yake ya maisha. Everyone has THEIR own journey in life. Stanley did not stay in Iringa for much longer as things did not turn out well for him as planned, so he decided to move to Dar es Salaam and was fortunate enough to join the Gymkhana Golf Club as a caddy. Through that, he was able to play in various big tournaments: in South Africa, Kenya, Uganda, Zimbabwe, and within the country. He managed to be the coach of the Golf Union Club National Team! “I was lucky to get a great benefactor, a professional Kenyan golf player. I became a member of a club in Kenya. They saw my talent and took me to South Africa. They continued to coach me. Today, I’m very proud of where I’ve reached.” Many people think that golf is for old people with a lot of money. Stanley is convinced, golf is a great game for all ages! Golf is a game that doesn’t require a lot of strength or big muscles. Golf provides you with exercise without realizing it.

“Why I love golf so much? It’s a game that requires the highest form of discipline. From the dress code, to the talk to the way you hit the ball.” Stanley already set a record! He set the Low Score record at the Dar es Salaam Gymkhana Club. From 2001 to 2003 he was also able to win the Southern Highland competition three years in a row and to leave with the cup. “I’ve learnt many things in life. Everyone has his or her own journey in life. Our histories are different, so you shouldn’t give anyone the opportunity to break your spirit in reaching your dreams. God made no mistake in creating you as you are, people will call you all sorts of things but this is their fear of the journey of life, they don’t believe in themselves, they are in the dark and can’t see into the distance. They’ll say that you can’t do something because you’re short or tall, too timid or harsh. Don’t listen to them, do what you really love and your heart will be filled with joy, keep going and don’t look back.”

Big idol of Stanley: Tiger Woods

11


12

michezo & afya

Zimua Juisi

Nimepata wazo la kinywaji hiki kutokana na kupenda kunywa maji ya mchanganyiko wa kachumbari. // I thought of this drink as a result of my love for the juices that come from a kachumbari salad.

Hangover Juice by Miriam Rose Kinunda

Chumvi Salt Vijiko vya chai 2 | 2 tsp Pilipili Hot pepper Kijiko cha chai 1 |1 tsp Dhania Coriander Robo kikombe |1/4 cup

Miriam Rose Kinunda ni mwandishi wa kitabu cha mapishi “Taste of Tanzania: Modern Swahili Recipes For The West”. Mapishi yote ya Tanzania ameyarahisisha kwa watu wote hata waishio ulaya. Ms. Kinunda ni mzaliwa wa Tanzania. Alisoma Tanzania hadi kidato cha nne. Kidato cha tano hadi elimu ya juu alifanyia nje ya Tanzania. Sasa hivi anaishi Marekani na Mwanae. Ana kampuni ya viungo huko Marekani. Nia yake ni kuwaelimisha watu zaidi kuhusu mapishi ya Afrika Mashariki na kuendelea kuandika vitabu vya mapishi. Miriam Rose Kinunda is the author of a cookbook titled “Taste of Tanzania: Modern Swahili Recipes for the West”. What she has done is made Tanzanian cooking easier for people living abroad. Ms. Kinunda was born in Tanzania and studied here until Form 4. She owns an ingredients company in America as well. Her : Miriam at goal is to educate follow You can o ia.c m more people about ofTanzanda.com te s a .T w ww iamKinun East African cooking www.Mir inunda /MiriamK and to continue wrinzania & & /TasteofTa ia n anza ting cookbooks. @TasteofT nda

a Unawez a/ i l i kumfat

kinu

@miriam

Ndimu Lemon Juice Robo kikombe |1/4 cup Maji Water Vikombe 2 | 2 cups Matango Cucumbers Vikombe 2 | 2 cups Vitunguu Onions Vikombe 2 | 2 cups Nyanya zilizo iva vizuri Ripe tomatoes 1 kg

1

Kata nyanya vipande vitakavyotosha vizuri kwenye blender. Halafu weka kwenye blender. Usiwashe blender bado. // Chop the desired amount of tomatoes to fit into your blender then pour them into the blender. Do not blend just yet.

2

Vikoshe vitunguu kwenye maji. Ongeza chumvi kwenye maji, iminye kama mara kumi hivi, halafu vitoe toka kwenye maji. Viweke kwenye blender pamoja na nyanya. Usiwashe blender bado. // Soak your onions using water. Add salt in the water and squeeze the onions about 10 times then remove them from the water. Add them to the tomatoes in the blender.

3

Kwenye hiyo hiyo blender, ongeza viungo vyote vilivyobakia kasoro maji ya kunywa na maji ya limao. // In the same blender, place all the remaining ingredients except for the water and the lemon juice.

4

Washa blender. Saga vilainike kama uji kwa dakika 2 au zaidi kutokana na nguvu ya blender yako. Halafu ongeza maji ya kunywa na maji ya limao. Changanya kama sekunde tano. // Turn on the blender. Blend the ingredients to a paste for about 2 minutes or more depending on the strength of the blender. Add the lemon juice and the water. Mix for about 5 minutes.

5

Weka kwenye glasi ikiwa baridi. Tayari kunywa. //i Place in a glass. Enjoy! ya Afrika Mashariki. Na kuendelea kuandika vitabu vya mapishi.


michezo & afya

13

Je Kwa Soka Letu La Tanzania

Tunaweza Kuwavutia Wawekezaji

Can We Ever Attract Investors For Our Tanzanian Soccer?

by Mussa Ngwali

SW: Tanzania ni miongoni mwa nchi ambazo wananchi

EN: Tanzania is one counwake wanapenda kuangalia na kucheza soka. Lakini try among many where a jambo ambalo linagusa hisia za watu ni mwenenlarge number of its citizens do wa soka letu lilivyo hasa jinsi ilivyo sasa, mana love to watch and play sockiwango kinaporomoka kila siku kwa kasi ya ajacer. But the thing that toubu. Hii ni tofauti na ilivyokuwa miaka ya 1980 ches the people’s emotions mpaka 1995. Soka la Tanzania lilikua juu sana most is the way that soccer miaka ile. Wawekezaji wazalendo kama kina is going in the country, partiSAID SALIM bakhresa Abbas Gulamali na watu kama kina Mohammed cularly now, as in the rate in Virani waliinua sana soka ya which it is dropping Tanzania na kuleta ushindshockingly fast in standards every day. This is much different azim dewji ani mkubwa kwa vilabu. Kama je, kwa soka letu from the way it was between 1980 and 1995. Tanzanian vile jinsi Pan Africa ilikuwa na soccer was great in those years, particularly through the hili tunaweza kina Murtaza Dewji na huku Simba S.C. ikiwa efforts of patriotic investors such as Abbas Gulamali and kuwavutia na Azim Dewji. Hawa kwa pamoja walifanya people such as Mohammed Virani who raised Tanzanian soka la Tanzania liwe na ushindani na lakuvutia soccer way up high and brought success in the clubs, like in wawekezaji mpaka kufanikiwa kwa timu kama Simba kufithe Pan African Games along side the likes of Murtaza Dewji wawekeze ka katika hatua ya fainali kwa kombe la C.A.F. and while Simba had Azim Dewji. These were the guys who kwenye soka (enzi zile likijulikana kama Masoud Abiola Cup together made Tanzanian soccer competitive and attractive letu? / how we to the point of Simba reaching the finals for the CAF Cup au Kombe la Washindi Barani Afrika). Hapa can attract tunaongelea hili kwa sababu vilabu hivi vi(the known as the Masoud Aviola Cup or African Champions lipiga hatua kubwa sana. Kwa sasa, soka la Cup. We talk about this because these clubs took great investors to Tanzania linaishia kusifiwa kwenye magaazeti Tanzanian soccer? strides in their time. Nowadays, Tanzanian soccer ends up na baadhi ya waandishi kwa mapenzi ya vilabeing praised in the newspapers by a few writers and only bu vyao wanavyo vishabikia. Kwa kupenda kusifia vitu ambavyo through the love they have for the clubs they support anyway. As a havipo, hasa kwa vilabu hivi vikubwa vya Simba S.C. na Yanga. result they end up praising things that aren’t real. For the big clubs, Wanajikusanyia wachezaji ambao hawana mvuto, ilimradi watiSimba and Yanga, all they do is gather players who have no real star mize idadi ya wachezaji wa kigeni saba hata kama wanaviwango attraction, so long as they complete the number of 7 international vya kawaida au kuzidiwa uwezo kabisa na wachezaji wazalendo. players, even if they have no real high standard and can be easily Wakati umefika wapi ni lazima tujiulize “je, kwa soka letu hili tuoverpowered by local players. The time has come for us to ask ournaweza kuwavutia wawekezaji wawekeze kwenye soka letu?” Na selves how we can attract investors to Tanzanian soccer. And if the kama mwekezaji anawekeza tutaweza kufaidika na soka hii isilo investor is found and they come and invest, we should all benefit na usimamizi mzuri na kuporomoka kila siku? from this soccer which at the moment isn’t run properly and continues to fall. My cry is for the Tanzanian Football Federation to scout Mwisho ni mwito wangu kwa chama cha soka cha Tanzania kuat football academies and to select children at the ages of around pita kwenye maakademi ya soka na kuchagua watoto wa umri 12 years old and to agree with their families to pull wa miaka 12 na kuwatawanya kwa makubaliano na familia zao. them. They should then take at least Wawapeleke kwa uchache watoto 30 kwa nchi zilizo juu kiso30 children to countries that are more ka kuweka watoto wetu huko kila baada ya miaka 5. Natumaini developed and to put our children in kama tutafanya hivyo tutawavutia wawekezaji kuwekeza kwenye there every after 5 years. I believe that soka la nyumbani. if we do this, we will attract investors to invest in local soccer more.

Toa maoni yako

yusuf manji

Tupe maoni yako! Ni mchizaji mpira gani unayempenda kuliko wote? Tuma jibu lako kwenda 0779751212, anza na neno #footballstar

#FOOTBALL STAR


14

mAONI & USHAURI

"Nchi yetu inayo sifa nyingi kwa wawekezaji!”- Mahojiano na Mrs. Amina Salum Ali by JULIA GLEI

"Our country has great characteristics for investors!” Meeting Mrs. Amina Salum Ali for tea

Ni kwanini umechagua kuingia kwenye siasa? Je, unaweza kutuambia kuhusu kumbukumbu yoyote ambayo ilikushawishi kuchagua njia hii? Amina: Nakushukuru kwa kunipa nafasi ya kuzungumza kupitia kwenye gazeti hili. Siasa sikuifuata bali ndio ilionifuata japo kuwa ndani ya familia yangu kulikuwa na muamko mkubwa wa shughuli za siasa. Kumbukumbu moja iliyonisababisha niwe karibu na siasa ni baada ya viongozi wa Umoja wa wanawake Zanzibar katika kipindi cha miaka ya 80 kuniomba niwasaidie katika shughuli zao za kitaalam za kuendeleza jumuiya hiyo Zanzibar. Niliweza kuwa nao karibu na wao walinishauri niingie kwenye ubunge kupitia nafasi ya viti maalum kwa wanawake mwaka 1985.

Why have you chosen Politics as your field of profession? Can you tell us about one important memory which induced you to take this path? A: Thank you for giving me the opportunity to speak in your magazine. I didn’t seek politics, rather politics sought me. Although there was a big awakening in my family in regards to getting into politics. One memory that really drove me to be more into politics is the memory of when the Women’s Union of Zanzibar asked me to work with them in the 80s in helping them develop skills. I was able to work closely with them and they advised me to fill one of the women seats in 1985.

Changamoto kubwa katika maisha yako ya kila siku ni zipi? Na ni nini ambacho kinakupa furaha zaidi?

What challenges you the most in your daily work? And what gives you the most pleasure?

A: Katika maisha ya binaadam lazima kuwe na mabadiliko ndani ya maisha yako na pia ya watu wanao kuzunguka. Changamoto kubwa inakuwa ikiwa bado hujafikia kukamilisha matarajio ya wengi.Kwa binaadam mwenye uelewa mpana wa dhana ya maendeleo ya jamii hii ni changamoto kubwa sana. Kwa umri niliyofika naona kusikia furaha nikiona kwamba wanajamii wanapata majibu mazuri katika yale masuala yanayo wapa changamoto.

A: In every human’s life, there must always be some kind of change in their lives and of those around them. A great challenge is when you still haven’t been able to see the expectations of many met. For someone who has a wide scope of the tools for development in this community, it is a big challenge. At the age that I have been fortunate to reach, I feel happy when I see members of the community get positive results in the things that they find challenging.

Kipi kinapewa kipaumbele maishani mwako, kazi au familia? A: Hili ndilo tatizo kubwa analopata kiongozi mwanamke, walioko

What has highest priority in your life, work or family?

wengi, katika kuweka vipaumbele baina ya kazi na familia na mara nyingi familia ndio inayopata vipaumbele vya chini. Binafsi mara nyingi najaribu kuweka uwiano mzuri katika hilo ila bado ni changamoto kubwa.

A: This is a point of great difficulty for any woman leader who a lot of have familiy as a priority but have to put work first sometimes. Personally, I try to proportion it accordingly, although it is still a great challenge.

Kwenye kazi zako, ni jambo gani ambalo ni la umuhimu kabisa unataka kukikamilisha?

What is the most important thing you want to accomplish in your career?

A: Kikubwa kwa sasa ni kwamba nimefikia hatua nzuri ya maisha ndani ya siasa na pia katika jamii ninaaminiwa na kupewa heshima inayostahili hivyo kilichobakia kwangu ni kufanya kazi kwa ajili ya kuelimisha na kuwezesha wanajamii katika masuala ya misingi wanayoyategemea. Vitu ninavyotaka kuvitekeleza katika kipindi hiki cha maisha yangu ni kufanya kazi za jamii na ziweze kuleta mabadiliko.

A: What is big at the moment is that I have a reached a point in my life as a politician and also that I have become trusted in the community and been given the respect I deserve. All that is left for me is to ensure that I educate and empower the community on foundations that they depend on. Things I want to work on at this stage in life concern the community and enabling them to bring about change.


MAONI & USHAURI

15

Kwa kila binaadamu lazima kuwe na mabadiliko kwenye maisha yake // In every

Wewe ulikuwa mwanamke wa kwanza kuchukua fomu za wadhifa wa juu nchini Tanzania na wewe ni balozi mwanamke wa kwanza wa Umoja wa Afrika. Ni kitu gani ambacho kinakupa ujasiri na uwezo wa kujiamini na kuwa "wa kwanza“? A: Ni kweli nilikuwa wa mwanzo kabisa na wengine wakanifuata. Nilifurahi kufungua milango kwa shughuli hiyo ambayo wengi wetu tunaikhofu na kuona kuwa na vizingiti vingi sana vinavyo mkwamisha mwanamke. Namshukuru Mungu kwa kunipa uwezo ambao ninaweza kupambanua zuri na baya na pia kusimamia kile ambacho ninacho kiamini. Wengi wanahisi kwamba wanawake hatuna ujasiri lakini kimaumbile ni tofauti kabisa kwani hatukatishwi tamaa, tunasimamia maamuzi yetu na tunakuwa tayari kusimama kwenye haki. Watu walifurahia sana kusikia kwamba wanawake wawili waliwekwa katika duru ya mwisho ya kumchagua rais. Je, tunaweza kuwa na rais mwanamke nchini Tanzania? A: Tujipe muda kuona jamii inasemaje kuhusu hili na pia kwa vyombo vinavyosimamia haki za wanawake kufanya tathmini kwa siku za mbele. Wanawake waendelee kudai haki zao za jamii kwani kazi kubwa bado ipo mbele yetu. Kampuni yetu ya Tupomoja pia inasaidia wafanyabiashara wadogo-wadogo kuungana na masoko mapana zaidi waweze kuuza bidhaa na huduma zao. Ni jinsi gani siasa inaweza kusaidia sekta hii ili kuongeza ukuaji wa uchumi? A: Tanzania kama nchi zote za Afrika ina idadi ya wafanya biashara katika sekta isiyo rasmi na wengi wao ni wenye biashara ndogo ndogo na za kati, ipo haja kwa udhati kabisa sera za uchumi zijielekeze zaidi katika kuwabadilisha hawa wafanya biashara wa sekta hii na kuwapa nyenzo, elimu ya kufanya biashara, kufanya utafiti kujua ubora wa bidhaa na kujua hali ya masoko na uwezo wa kuyaingia masoko. Hilo litahusisha sera za fedha na pia sera za sekta zengine muhimu zikiwemo za usafiri, elimu, usafirishaji, viwango na masuala ya afya ya mazao ya kilimo, viwanda, bahari na maziwa nk. Hatua za makusudi zichukuliwe kuwawezesha wafanya biashara hao walioko kwenye sekta isiyo rasmi waweze kuingia katika sekta iliyo rasmi na kuweza kufanya uwekezaji na biashara ndani ya masoko ya ndani ya nchi, kikanda na hata nje ya nchi.Maendeleo ya hivi sasa ya nchi zinazoendelea pamoja na kwamba vipaumbele vimeelekezwa kwenye miradi mikubwa ni njia muhimu ya kuwafungulia na kuwawezesha kuingia katika mnyororo wa thamani wa viwanda ili wawe ni sehemu ya kukuza pato la taifa na kuongeza kipato chao na kuwemo katika kundi la wenye vipato vya kati.

human’s life, there must always be some kind of change

If I’m right, you are the first woman to collect the forms for the top post in Tanzania and you are African Union's first woman ambassador. What gives you the courage and selfconfidence to be the “first”? A: It’s true, I was the first and then thereafter others followed. I was very happy to open the door for others and overcome in a job that many fret over and feel that women cannot take post in. I thank God for giving me the capability to battle the good and the bad and be able to fight for what I believe in. Many think that women are not brave but the truth is absolutely different, we will not lose hope, we will stand behind our decisions and take a stand for our rights. People were really excited hearing about two women are placed in the last round of choosing the presidents nominee. Is it still unthinkable to have a female president in Tanzania? A: Let’s give it time and see what the community says about this and also for the entities that represent women’s rights to review what happens. Women should continue to demand their rights amongst the community as there is still a lot of work ahead. As a member of the Tupomoja Company we also support small businesses to connect to wider markets enabling them selling their products and services. How can politics support this sector in order to increase economic growth? A: Tanzania, like all African countries, has a number of traders who operate in the informal market and many of them are small and medium sized business owners. There is a need for absolute honesty in the economic policies so that they lean more towards changing these traders and provide sources, education to do business, to do research to know the quality of their product and to know the state of the markets as well as how to penetrate the markets. That would entail monetary policy and also other key sector policies, including transportation, education, and health standards of agricultural products, the factories, the port, and dairy products etc.


16

mAONI & USHAURI

Tukiongelea jinsi za kuimarisha uchumi wa Tanzania pamoja na wafanyabiashara wa ndani – kwa nini bado tunaona bidhaa nyingi kutoka nje madukani badala ya bidhaa za hapa hapa nyumbani? Kuna maendeleo gani ambayo ni muhimu kubadilisha hiki?

Thinking about strengthening the Tanzanian economy as well as local businesses - why we can still mainly see imported products in our shops instead of home grown and manufactured products? Which developments are necessary to change this course?

A: Tatizo kubwa liliopo nchini kwetu kwa kipindi tulichonancho ni kwamba tunategemea uagiziaji mkubwa wa bidhaa vya matumizi kutoka nje ya nchi .Katika miaka ya nyuma serikali zilikuwa na sera za kupunguza uagiziaji wa bidhaa kutoka nje ya nchi na iliweka kipaumbele kwa kujenga viwanda vya ndani kwa kuzalisha bidhaa zinazohitajika. Sera hiyo ni muhimu irudiwe kwa hali ya sasa hasa ukitizama suala zima la ajira na pia kuweza kutumia vizuri fedha za kigeni za nchini.Yapo maeneo ambayo uwekezaji unaweza kuendelezwa upya kwa kutoa motisha nzuri kwa wawekezaji wa ndani wa viwanda kama hivyo na pia masuala ya tizamwe kisekta ili kuwepo na uwiano na mategemeano katika uzalishaji wa bidhaa muhimu kwa taifa ili tuweze kupunguza matumizi ya fedha za kigeni kwa kufanya uagiziaji na kuongeza kazi na ajira nchi zengine.

A: A big problem in our country at the moment is that we depend quite heavily on the huge import of products from abroad. In previous years, the government had a policy of reducing the ordering of goods from abroad and prioritized the building of local industries to produce the goods required. That policy is important to be returned to in this current situation especially if you look at the whole matter of employment and to also be able to properly use foreign currency within the country. There are areas of investment that can be developed all over again to provide a good incentive for investors in such industries as well as issues to be looked at in the industries so that there is balance and interdependence in the production of essential goods for the nation. This is will allow us to reduce the use of foreign currency to import goods and increase employment and labour in other countries as opposed to ours.

Mada nyingine yenye umuhimu kwako ni usambazaji wa rasilimali na utoaji sawa wa huduma za jamii. Je, unaweza kutupa mifano yoyote?

Another leading topic for you is the distribution of resources and equitable provision of social services. Can you give us some examples?

A: Tanzania ni nchi yetu sote hivyo kila mmoja wetu anatarajia kuweza kupata haki sawa katika kutumia rasilmali za nchi na pia katika kupatiwa huduma za msingi. Kipindi hichi ambacho uchumi unaambiwa unakuwa vizuri wananchi wanataka nawao waongezewe kupatiwa huduma nzuri kama za afya kwa mlingano uliosawa na pia kupatiwa malipo ikiwemo mishahara na marupuru yanayolingana, pia kurahisihiwa malipo katika kupata huduma za msingi kama vile elimu, afya na mengineyo.Tofauti za hali za maisha baina ya mijini na vijini bado inaonesha utofauti wa kuweza kutumia rasilmali kwa ulinganifu mzuri.

A: Tanzania is a country that belongs to all of us, that means that each of us expects to get equal rights in using the resources of the country and to also be able to access basic services. At this moment where we feel that the economy is doing well, the people want to also see an increase in receiving services like comparably good health services and receiving equally growing salaries and donations. They also want to see an ease in costs for receiving basic services such as education, health and others. The diversity of life between urban and rural areas shows that there still room for improvement in the way we use resources.

Unajulikana sana kwa kuwa na nia ya kukuza haki za wanawake na watoto. Ni hali gani ambayo unayoilaani? A: Katika masuala ya afya za mtoto na mama kuna hatua nzuri zilizochukuliwa kwa baadhi ya maeneo bado kuna kazi ubwa inabidi zifanywe ili tujiridhishe kwamba tuko pazuri .Katika maeneo ya siasa hali ya wanawake ni nzuri na tuko mbali ukilinganisha na wengine,hata hivyo katika suala zima la maendeleo ya kiuchumi na huduma za jamii ndio hapo ninavyoona bado kuna haja ya kazi ya ziada.Mwanamke akipata kujitegemea katika kuongeza kipato chake mambo mengine mengi yanayomhusu ataweza kuyamudu .Tafiti mbali mbali zimetuonyesha kwamba wanawake wengi walioongeza kipato chao wameongeza pia maarifa na uwezo wa kuendeleza na kuwahudumia watoto wao na familia kwa ujumla .jambo linalisikitisha ni kuona bado wanawake hawajaingia kabisa katika masuala ya uchumi hata katika vyombo vinavyosimamia uchumi bado utawahesabu wanawake waliomo kwa kuweza kutoa ushawishi ili kubadilisha sheria na taratibu za kuendesha uchumi wa nchi .Uwingi wa wanasiasa wanawake ujenge hoja sasa ya kuwa sukuma wanawake wengi katika Nyanja za uchumi na pia wawemo kwenye maeneo ya kutoa maamuzi ya kurekebisha na kendesha uchumi na fursa zake.

You are known as very committed to promoting women's rights and children's issues. Which present conditions are you denouncing? A: In regards to infant and maternal health, there are good steps being taken in some areas, but there is still work to be done in other areas so that we can say that we are in a good place. Regarding political status, women are in a good place if you compare it with others. However, in terms of economic development and social services, I see that we still need to work harder. As a woman finds herself able to be independent in increasing their income, she is able to manage many more things that involve her. Various research has shown us that many women who have been able to increase their incomes have also increased their knowledge and ability to develop and serve their children and families in general. Something that is really disappointing is seeing women that still have not fully come in to the economy even in the instruments governing the economy. You can count the women who are in positions that allow them to lobby for the change of laws and regulations that conduct the country’s economy. A majority of women politicians are building arguments that have given a push to women in the field of economics and also be in positions of decision-making so that they can make adjustments to the economy and the opportunities it provides.


MAONI & USHAURI

Kwa kawaida, wanawake wa Kitanzania ndio wanajibika kwenye maswala ya nyumbani na kilimo. Wengi hawapewi fursa ya kufanya maamuzi juu ya maisha yao. A: Wengi wetu tunaona kwamba huu utaratibu wa mwanamke kuwa mfanya kazi wa nyumbani kuwa ni jambo la kawaida, hadi hapo uwezo wa mwanamke utakapoongezwa na kupewa fursa zaidi na vyombo vinavyosimamia maendeleo ya nchi itachukua muda mrefu kwa ndoto za watanzania wengi kuona nchi yetu inapiga hatua za maendeleo. Wanawake warahisihwe kazi zao wasogezewe huduma muhimu karibu na walipo na wawezeshwe kwa nyenzo, elimu na mitaji ni njia muafaka kwa maendeleo ya haraka kwani wao ni nguvu mtu na nguvu kazi ilyoachwa kutumiwa ipasavyo. Nchi nyingi zinazoendelea zimegundua hayo na vipaumbele vimeelekezwa kunakostahili.

17

Traditionally women in Tanzania are responsible for almost all domestic and - thinking about the environment of a village - also farm work. Not many are decision makers yet. How do you think, this inequality in the heads can be changed so that the whole country can benefit from it? A: Many of us see that having a woman as a home-keeper is a normal thing, but unless a woman’s ability is increased and is given more opportunities and instruments governing the development of the country, it will take a long time before we see the dream of the country making progress. Women should get some leniency in their household work so that they are given more essential services and are empowered with the tools, knowledge and capital that is more appropriate for rapid development. They are part of a labour force that till today has not been used adequately. Many developing countries have found this out to be true and priorities have been put where they need to be.

Wengi wetu tunaona kwamba huu utaratibu wa mwanamke kuwa mfanya kazi wa nyumbani kuwa ni jambo la kawaida // MANY OF US SEE THAT

HAVING A WOMAN AS A HOME-KEEPER IS A NORMAL THING

Toa maoni yako Tupe maoni yako! Cha kwanza kinachotakiwa kubadilishwa Tanzania? Tuma jibu lako kwenda 0779751212, anza na neno #change

#CHANGE


18

UPENDO & MARAFIKI

Penzi la kweli haliwezi kufa?!

Vanessa

Ndoa yenye furaha inajengwa na wanandoa wawili kwa kushirikiana. Kuvunjika au kudumu kwa ndoa yenye upendo ni jukumu la wote wawili. Zungumza, epusha ukimya na hasira kwani hivyo ni chachu ya kuvunaj na kuweka upendo mbali baina yenu.

Jonathan

Fuatilia kisa kizima cha wanandoa hawa. Jonathani anaamua kutoka na mkewe Vanessa, ni siku ya kumbu kumbu ya ndoa yao baada ya kuishi pamoja kwa muda wa miaka 5 sasa.

Wakiwa mezani kila mmoja yuko busy na simu yake ya mkononi.

Vanessa anakutana macho kwa macho na kijana mtanashati akiwa anamwangalia kwa huba, Vanessa anavutiwa naye.

Jonathani anatupa jicho na kuona wapenzi pembeni yao wakiwa wanafuraha, na kuingiwa na wivu sana.

1

Vanessa anashindwa kuzuia hisia zake na kujikuta anampa namba ya simu kijana yule punde mumewe alipotoka kwenda kaunta kwaajili ya malipo.

2

3

Jonathan akiwa kaunta anakutana na James ni rafiki yake waliopotezana miaka mingi iliyopita.

3

Nzuri kaka, maisha yanaendelea. Nimeoa sasa yapata miaka 5.

Oooh James! Ni miaka kumi sasa tangu tumepotezana. Vipi hali ya maisha inaendaje?

4

Naona mwenzangu na shem umefurahi, ni kila siku kama vile au, nimeumia sana nikiona wanandoa wanafuraha kama ya kwenu.

Ndo maisha ya ndoa yalivyo kaka. Chukua namba yangu ya simu, tuwasiliane tuone ni jinsi gani tunaweza kupeana mawazo, si unajua tena siwezi kumwacha wife muda mrefu peke yake. Andika ni 0656 712312.

Daah! Hata mimi na leo ndo naazimisha miaka 5 ya ndoa yetu. Ila wife hana furaha kabisa mpaka ananinyima raha ya siku ya leo. Labda upewe Dunia tena kaka, mtoto katulia black beauty, figure safi tena kaenda hewani. Daah kweli mwenye bahati habahatiki.

6

9

12

Asante sana James, nitakutafuta tukutane japo tupate kinywaji pamoja.

Nadhani itakuwa nzuri kuweka mwili sawa na mke wangu ataona mabadiliko.

Jonathani na James wanakuta GYM na kubadilishana mawazo.

Sio hivyo James. Mke wangu amekuwa mkali kwangu, hana furaha, muda mwingi kanuna tuu, hataki kuongea na mimi. Penzi naona liko hewani na wala sijui hata sababu ni nini, kwani kila anchohitaji mimi ninampa na kinachonishangaza ni kwamba hajawahi kunipa lalamiko la aina yoyote Ndoa yako huwezi kam anaumwa au anahitji kuiokoa kwa kuongeza mke lolote kifedha. wa pili kaka. Hilo ndio kosa kubwa ambalo wanaume wengi Kama hutofanya tunalifanya, onyesha kumjali mabadiliko, utapoteza ndoa mkeo, msaidie kazi za nyumbani, yako kizembe kabisa. Punguza msilize mawazo yake, mnunulie ubize, kaa na mwenzio muda zawadi kwa siri hasa ile ambayo ambao uko free, mthamini kwa unajua anaipenda sana, ukiwa kumsaidia vitu vidogo vidogo mbali naye wasiliana nae mara kama kazi za nyumbani, sio kwa mara na kumjulia hali kwamba hawezi kufanya ila yake. Wala hulipii kiasi ukimsaidia inaonyesha chochote kwa unamjali zaidi. kufanya hivyo.

Mmmh hiyo kali sasa.

7

Usijali. By the way mimi napenda sana mud ya jioni kwenda Stone Town GYM, unaonaje kama tukikutana pale?

Kaka hukosei, naona umeamua kuoa kisu. Shem wangu wa ukweli sana nimemkubali na kama ingekuwa sijaoa ningekwambia uwe macho sana. Hahaha! Wewe bado hujaacha maneno yako? Nakosa kitu kimoja toka kwake ambacho kinanipasua kichwa.

Daah inawezekana lakini, maana mke wangu hakuwa vile kabisa. Tena nahisi atafurahi sana, nadhani anajihisi mpweke sana muda mwingi nipo ofisini tuu, nikirudi muda mwingi nakuwa nimechoka napanda kitandani kama jiwe. Asante best.

10

5

8

11

Jonathan, we kumbe pia tabia yako ya ubeberu hujaacha? tuu? Kwenye mapenzi yote hayo ni bure, mapenzi yanaangalia nyie wawili mnaishi vipi, mnaweza mkawa mnapendana lakini je unamuonyesha mwenzi wako kwa vitendo? Maneno peke yake yanachosha, fanya kwelibwana unanitilia aibu.

13

14

Chelewa chelewa ukute mwana si wako, Utaibiwa?

James mimi kwangu mke ni faraja yangu, nikitoka kazini anifariji, anipikie msosi mzuri, anipeti peti kwa sana kwasababu nachoka kutafuta kutwa nzima. Cha ajabu ananuna nuna tuu, daah muda mwingine nafikiria kuongeza mke mwingine.

Acha kunipagawisha bwana, ngoja niwahi home kabisa kwani sikumuaga kama nitachelewa kurudi.


UPENDO & MARAFIKI Mke wangu mbona sijachelewa sana? Samahani sikukutaarifu mapema.

Jonathan anarudi nyumbani akitweta kijasho kwa hofu ya kuchelewa kurudi.

19

Jonathan anapika Vanessa anamwangalia kwa furaha moyoni.

Jonathani anaamua kumsaidia mkewe kupika chakula cha jioni, kam ishara ya kuomba msamaha.

3

15

Vipi tena mwenzangu? Umeona utafute kitu kingine cha kupotezea muda ili mradi usirudi nyumbani mapema, hongera.

Mke wangu navyokupenda wewe hujui tuu, leo ntakupikia chakula kitamu lazima utanikubali kama naweza.

Siku zote hukosi sababu, nishakuzowea. Mmmh ushakuwa msara.

16

Asubuhi wakipata chai kabla ya kwenda kazini.

Mke wangu chai ya leo ni tamu sana, wewe ni nomaaa!

Mmmh! Karibu 19

20

Vanessa anaamua kwenda kumuona daktari kuangalia kama kweli ataweza kushika mimba.

Baby jamani, basi hata kula hupendi, au tayari? Usinichukie hata kama ni mimba si mtoto wetu sisi sote kwanini mmoja tuu achukiwe? Hahaha!

Vanessa mpenzi, pumzika nikusaidie kuosha vyombo, usifanye kazi sana nakuonea huruma unachoka mke Jonathan anamsaidia wangu. mke wake kuosha vyombo.

Laiti ungejua nilivyo na hamu ya kushika hiyo mimba wala usingesema maneno hayo.

21

Mmmh! Siku zote ungekuwa hivi, ningejiona malkia.

17

Ndio tuko pamoja.

23

18

Mke wangu baki salama, mimi naenda kutafuta riziki yetu na watoto wetu wa baadae. Nakupenda sana.

Natamani tuwe na watoto sina hakika kama tutapata.

22

Ok, kizazi chako kiko mbali kidogo, hivyo mnahitaji muda mzuri wa kujiandaa hasa mkiwa faragha katika kutafuta mtoto. Ni vyema ikiwa wote wawili mko katika hali ya furaha na ya utulivu.

Vanessa mumy inaonyesha una hamu na mtoto, ila bado na pia nimegundua kuna tatizo kidogo ambalo linaweza kufanyiwa ufumbuzi na ukashika mimba. Je mume wako mnaishi pamoja?

Yangu macho tuu.

Dawa hizi utatumia kwa muda, zitakusaidia, wala usihofu mtapata tuu mtoto.

Mmmh! Huyo mume wa mimi alivyo busy kama mafuta ya taa, sijui?

Asante Daktari. Nitafuatilia ushauri wako.

24

25

Usiku wakiwa wamelala Vanessa anachati na Hassan kijana waliokutana mgahawani wiki chache zilizopita.

HASSAN

“Tunda rangi ile ile mwenyewe ulolipenda, utatamani ulile usitupe lake ganda…” Wimbo huu babu yangu alinambia kwamba, tunda ulipendalo hata liwe na rangi gani utalila wala ganda lake la nje hutatamani kulitupa. Vanessa mke wangu nakupenda hata tusipojaaliwa watoto utabaki kuwa wangu.

26

“Wako walobahatika wakashindwa kuyalinda, matunda wakayabeza nao wakafanya hinda.” Wewe kwangu ni tunda nilipendalo siwezi kukubeza wala kukufanyia hinda.

Habari mrembo, daah nimeshindwa kulala bila kukutakia usiku mwema. Haaha, jamani, asante sana, mimi niko kitandani tayari. Mume wangu amekwisha lala fofo.

27

Asubuhi imefika tayari kwa majukumu ya kazi.

Mke wangu, hakika unanipendeza machoni mwangu. Muda mwingine natamani hata nisiende kazini tushinde pamoja tuu, nakuwa na wasi wasi kuibiwa?

HASSAN Duuh! natamani mimi ndio niwe pembeni yako sasa hivi, nisingelala usingizi mpaka malkia wangu usinzie ubavuni kwangu.

Jonathan anaingia ofisini na kuona kipeperushi cha salsa dance anaamua kujiunga na mkewe. Anapiga simu kwaajili ya usahili.

Hello, naitwa Jonathan, nahitaji card mbili za usahili na salsa dance, majina ni Mr & Mrs Jonathan Sanga.

Mmmh, sielewi muda mwingine nahisi uko karibu na mimi na muda mwingine nahisi upendo wako uko mbali na mimi.

32

Ok bila shaka, unaweza kufanya malipo cash ukija kuchukua fomu yako. Tupo wazi saa 2 asubuhi hadi 12 jioni. Karibu sana.

Napenda ukivaa shati hilo, linakupendeza sana.

Mmmh jamani, mbona unanipagawisha hivyo. 29

28

30

31

33


20

UPENDO & MARAFIKI Vanessa na Jonathan wanaangaliana kwa huba.

Jonathan anarudi mapema kazini na kumsaidia mkewe kufua ili muda wa jioni apate muda mwingi wakukaa nae pamoja.

Jioni tulivu anamshawishi Vanessa waangalie movie pamoja, ikiwa ni muda mrefu tangu wafanye hivyo.

Mume wangu amebadilika sana, mpaka najisikia vibaya kutoongea nae kwa muda.

34

35

Mapenzi hayahitaji kanuni, wote wawili wanajikuta wamekaribiana na kufurahi pamoja.

36

Jonathan akiwa kazini anampigia simu Vanessa kumjulia hali.

Hello malkia wangu, unaendeleaje? Nakumisi sana mke wangu. Fungua droo ya dressing table kuna zawadi yako, natumai utaipenda. 38

37

Naendelea vizuri, miss you too. Mmmh! zawadi?

Wooh! Baby, nimeipenda sana!!

Nilijua utaipenda mke wangu. Tunaweza kuanza hata leo baada ya kazi. Nakupenda sana mke wangu.

39

Baada ya Jonathani kuwa karibu zaidi na mkewe, penzi linarudi kwenye mstari na wanafanikiwa kuirudisha ndoa yao kwenye furaha tena. 38

Surprise, Surprise!

42

Nisamehe mume wangu kwa kutokuwa muwazi kwako, bila wewe jitihada zako sijui ndoa yetu ingekuwaje. Asante sana kwa kupigania penzi letu. Nilikosea sana kukununia bila kukwambia nini sababu, najua nilikuumiza sana, sintorudia tena mume wangu.

46

Vanessa anacheka kwa furaha.

Hahahah, siku Mke wangu, zote una kila leo nahisi kama ule sababu ya usiku wa harusi yetu, kunifanya niwe tulikuwa kama hivi, na furaha. tabasamu lako la huba, nakupenda sana Vanessa. hakuna mwanamke anayeweza kuchukua nafasi yako ndani ya moyo wangu, wewe kwangu ni sehemu 43 44 45 kubwa ya maisha Nakupenda yangu. mke wangu, Wakicheka kwa pamoja. nafurahi kuona unafuraha tena. Niliumia sana ila sasa umeupoza Mume wangu, moyo wangu. nimekaa muda mrefu nyumbani bila kazi nadhani pia ilichangia kujiona mpweke sana. Unaonaje kama nikikupa sapoti kwenye biashara zako kama marketing, sipendi profession yangu ipotee bure.

47

Wanakumbatiana.

41

Hahaha! Na ulivyokuwa unamwogopa Baba yangu ushasahau eeh? Ninavyokupenda akitokea mwanamke lazima nimtoe pua kwa meno. Ulivyokuwa busy muda mwingi, ukirudi umechoka huna muda na mimi, nilikuwa na wivu na hasira na laiti ingekuwa ni kimada anakuvizia hee sijui ningemfanyaje.

Ndo maana nakupenda mke wangu, siku zote unafikiria future yetu, nitafurahi kuwa team moja na genius kama wewe. Wanapiga picha ya selfia.

Sina hofu kabisa, kila kitu kitakuwa sawa.

48

Hahaha! Ndio maana ulikuwa umevimba kwa kununa kama simba jike analinda nyama isiibiwe.

40

39

Toa maoni yako

49

Nini kinaweza kukuletea mshangao wa kukufurahisha? Tueleze kupitia 0779751212, anza na neno #surprise

#SURPRISE


MATANGAZO YA TUPOMOJA

Tuma SMS kupitia 0777 75 12 12 na namba iliopo chini, pia na jina lako na ujumbe ungependa umfikishe mtangazaji!

JE, UNAHITAJI?

MOYO MPWEKE

Wanawake / Wanaume

DAR ES SALAAM NATAFUTA MCHUMBA & RAFIKI, AWE MKRISTO NA ELIMU Naitwa Vincent. Ninaishi Tabata, Dar es salaam.

Umri wangu ni miaka 29. Natafuta marafiki wa kuchati nao na mchumba. Elimu yangu ni ngazi ya chuo. Nahitaji marafiki kutoka ndani ya nchi na nje ya nchi, awe Mkristo, umri usiozidi miaka 40, awe na elimu kuanzia kidato cha sita na kuendelea. Tuma SMS anza na #7.45480 kwenda 0777 751212.

NATAFUTA MARAFIKI WAWE WAPENDA MAENDELEO Kwa jina naitwa Khalifa. Naishi Kimara Dar es salaam.

Nina umri wa miaka 30. Natafuta marafiki wa kuchati nao wawe wastaarabu na wapenda maendeleo hasa katika maisha. Tuma SMS anza na #7.45478 kwenda 0777 751212.

NINATAFUTA RAFIKI WA KIKE & KIUME AWE MJASIRIAMALI Abdul wa Magomeni. Umri wangu ni miaka 22.

Bado ninasoma form six. Ninatafuta rafiki wa kike na wa kiume awe mcheshi. Ninapenda watu awe anapenda ushauri na awe mjasiriamali. Tuma SMS anza na #7.45369 kwenda 0777 751212.

LEILA MPOLE & MTIIFU ANATAFUTA RAFIKI NDANI YA TZ Leila kutoka Kimaraar, Dar es Salaam: Natafuta

marafiki, kuanzia umri wa miaka 20 hadi 25, sichagui dini, wawe ndani ya Tanzania. Mimi ni mpole, mtiifu. Sipendi marafiki wasumbufu. Tuma SMS anza na #7.45366 kwenda 0777 751212.

MUSSA (28) ANATAFUTA MCHUMBA POPOTE DUNIANI Natafuta mchumba popote Duniani Natafuta

ROZI MWENYE UKIMWI ANATAFUTA MCHUMBA

Naishi Dar es Salaam. Nina miaka 26, kwa jina naitwa Rozi. Mimi ni mkristu. Mimi nahitaji mchumba ambye anahali kama yangu. Mimi nina virusi vya ukimwi, ninaafya nzuri huwez nijuwa. Nahitaji mwenye hali kama yangu ili tuweze kushauriana vema. Samahan ambaye yupo sirious nido awasiliane na mimi mana wengine wanakejer tu. Tuma SMS anza na #7.46034 kwenda 0777 751212.

GODEFREY ANATAFUTA MPENZI AMBAYE ANAJIHESHIMU Godefrey kutoka Kurasini-DSM. Nina umri wa

33. Natafuta mpenzi na rafiki ndani au nje ya Tanzania, umri 20-25, mweupe au mweusi, kazi si lazima. Napenda michezo, na kusoma magazeti. Mimi ni mweusi, mrefu, mpana kidogo. Najieshimu hivyo napenda msichana mstaarabu ambaye anajiheshimu, ambaye yuko tayari kuwa na mimi. Mimi nimeajiriwa pia. Tuma SMS anza na #7.43665 kwenda 0777 751212.

MBEYA MICHAEL KUTOKA MBEYA ANATAFUTA MWANAMKE MZURI Hi naitwa Michael Thomas. Naishi Mbeya.

Natafuta mwanamke anayejua maisha ni nini kutoka Mbeya kwa aliyetayari awasiliane nami. Sifa zangu: Mimi ni mrefu, mwembambana, rangi nyeusi. Natafuta mwanamke mwenye umri wa miaka 22 na kuendelea, awe mzuri, awe na mapenzi ya dhati. Napendelea kuangalia movies, kucheza basketball na kusoma vitabu. Tuma SMS anza na #7.45901 kwenda 0777 751212.

MWANZA

mpenzi/mchumba mzungu popote duniani. Awe na umri wa miaka 20 - 33. Mimi napenda kuogelea na kusafiri. Mimi ni Mweusi, mwembamba, mpole, mcheshi, handsome. Kwa mpenzi sina masharti awe yeyote (Mzungu). Tuma SMS anza na #7.43924 kwenda 0777 751212.

sichagui dini, elimu, kabila na umri, awe na mapenzi ya kweli aliye tiyari tuwasiliane. Tuma SMS anza na #7.46038 kwenda 0777 751212.

NATAFUTA MPENZI (MIAKA 20-22) AWE ANATOKEA SINGIDA Naitwa Aman, 25, kutoka Makumbusho

VERONICA KUTOKA MWANZA ANATAFUTA RAFIKI YEYOTE Mimi ni mwanafunzi. Naitwa Veronica Gaspary.

Dar es Salaam. Natafuta mpenzi awe anatokea Singida, awe na umri kati ya miaka 20-22, mweupe, mwembamba, awe na hofu ya Mungu. Mimi napenda kucheza, mimi ni mwembamba, mpole pia nina hofu ya Mungu. Tuma SMS anza na #7.43821 kwenda 0777 751212.

NATAFUTA MARAFIKI WA KUBADILISHANA MAWAZO. NAITWA MARYAM ABUU NA UMRI 19, NI

MTANZANIA NAISHI KIJITONYAMA SAYANSI. SIFA YA KUOMBA URAFIKI NAPENDA MARAFIK IWAKUSAIDIANA MAWAZO YA MSING KIPI KIZURI KIPI KIBAYA NA VILE VILE KUFANIKIWA KUPATA MAMBO MUHMU KUWA NA MARAFIKI KUKSAIDIA MAMBO YA MSINGI. Tuma SMS anza na #7.45973 kwenda 0777 751212.

NATAFUTA MCHUMBA SICHAGUI DINI WALA KABILA Naitwa Vincent John. Naishi Mwanza. Natafuta Mchumba

Napenda rafiki yeyote yule. Naishi Mwanza Sengelema. NINA MIAKA 18 napendelea uxhaul na mawazo kuhusu elimu Call me now!! Tuma SMS anza na #7.45851 kwenda 0777 751212.

ZANZIBAR MOYO MPEKWE. NAHITAJI UWE MKE WANGU WA MAISHA Naitwa Issac. Ninaishi Zanzibar. Natafuta mchum-

ba wa kumuoa. Napenda zaidi awe na sifa hizi, Mweupe wastani, Aliye na hofu ya Mungu, Awe na elimu angalau kidato cha nne, Umri kuanzia miaka 18-25, Awe anajitambua na kuelewa maisha ni nini, Awe mkristo na kama ni muislam awe tayari kubadili dini. Mimi ndo kwanza naanza maisha karibu tuanze pamoja. Aliye tayari tuwasiliane. Tuma SMS anza na #7.44170 kwenda 0777 751212.

NATAFUTA MAFAFIKI WA JINSIA YOYOTE. Naitwa Ashrafu. Naishi Kwahani Zanzibar. Nina umri wa miaka 23. Mimi ni mnenne kidogo, mweusi,napenda kubadilishana mawazo na vijana wenzangu. Natafuta mafafiki wa jinsia yoyote. Tuma SMS anza na #7.46112 kwenda 0777 751212. NATAFUTA RAFIKI WA KIKE MUELEWA NA MSTAARABUKE Naitwa Ally Seif. Nina umri wa miaka 22. Naishi

Zanzibar Mombasa Mbuyu Mnene. Nafanya kazi ya Clearing ya magari Napenda mwanamke ambae ni muelewa na mstaarabu. Tuma SMS anza na #7.46018 kwenda 0777 751212.

NATAFUTA MCHUMBA YOTOTE ANAETAKA KUOLEWA Naitwa Khamis Hassan. Naishi Zanzibar Machui. Nana

miaka 45. Natafuta mchumba yotote anaetaka kuolewa nakukaa na mumuwe kuanzia miaka 30-40, awe muislamu. Tuma SMS anza na #7.45947 kwenda 0777 751212.

NATAFUTA MSICHANA, MKARIMU NA MPOLE

Naitwa Ashrak. Nina umri wa miaka 18. Naishi Mwembeladu Zanzibar. Natafuta msichana, mkarimu na mpole, napendelea kuchati na kusikiliza muziki. Tuma SMS anza na #7.45946 kwenda 0777 751212.

NATAFUTA RAFIKI, WENYE KUJIELEWA NA WENYE UPENDO Naitwa Mbaraka Rashid. Nina umri wa miaka 23.

Naishi Nyerere Zanzibar. Ninasoma Customer Care and Public Relation Diploma Natafuta rafiki, wenye kujielewa na wenye upendo na jamii. Napenda kuangalia mpira mimi ni Real Madrid damu. Tuma SMS anza na #7.45906 kwenda 0777 751212.

NATAFUTA MCHUMBA KUANZIA MIAKA 20 AWE MKRISTO Nelson costantino. Naish Ubungo Dar es sa-

laam. Nina miaka 22. Mimi ni mchapa kazi, najiheshimuji, napenda kusoma vitabu vya hadithi na kuangalia move, Natafuta mchumba awe na miaka20. Awe mkristo na mchamungu na mchapa kazi. Tuma SMS anza na #7.46114 kwenda 0777 751212.

Tuma sms anza na #7.xxxx kwenda 0777 75 12 12.

Hello mimi Juma kutoka Dar, miaka 23, mrefu, na napenda kusoma vitabu. Nahitaji kuchana na mwenye #7.xxxx.

MOYO MPEKWE. NAHITAJI UWE MKE WANGU WA MAISHA Naitwa Issac. Ninaishi Zanzibar. Natafuta

mchumba wa kumuoa. Napenda zaidi awe na sifa hizi, Mweupe wastani, Aliye na hofu ya Mungu, Awe na elimu angalau kidato cha nne, Umri kuanzia miaka 18-25, Awe anajitambua na kuelewa maisha ni nini, Awe mkristo na kama ni muislam awe tayari kubadili dini. Mimi ndo kwanza naanza maisha karibu tuanze pamoja. Aliye tayari tuwasiliane. Tuma SMS anza na #7.44170 kwenda 0777 751212.

NATAFUTA MKE AWE NA UMRI KUANZI 19-24

Naitwa Samson Komba, naishi Kigamboni Dar, nina umri wa miaka 25. Natafuta mke awe na umri kuanzi 19-24, dini yoyote, awe mweusi, mnene wastani, mrefu kiasi mwenye mapenzi ya dhati mimi wa Dar watapewa kipaumbele. Tuma SMS anza na #7.46207 kwenda 0777 751212.

NATAFUTA MCHUMBA MNENE KIASI, ASIWE MLEVI Naitwa Renatus Mgaya. Nina umri wa miaka 25.

Naishi Dar es salaam. Mimi ni si mrefu sana na si mfupi, nina rangi ya maji ya kunde, situmii kilevi cha aina yoyote. Mimi ni mkristo. Natafuta mchumba mnene kiasi, asiwe mlevi, dini yoyote. Tuma SMS anza na #7.46131 kwenda 0777 751212.

50 $

Welcome to Pumzika Hotel Dar es Salaam An oasis in the hustle and bustle of Dar es Salaam. We are a small boutique hotel in Mikocheni.

per room

We are unique in offering excellent service, a relaxing environment, pool, ambient cocktail bar and restaurant. For travellers on a low budget. Double Triple Room

Garden Cocktail

Shuttle Service

Mikocheni Area, Kawe, Dar es Salaam | +255 658279485 | info@pumzika.co.tz web: www.pumzika.co.tz | facebook: pumzika hotel


MATANGAZO YA TUPOMOJA

JE, UNAHITAJI?

KAMPUNI

COMPUTER & ELECTRONICS SMILE INTERNET 4G - SUPER FAST & RELIABLE In-

ternet ya kizazi cha nne, up to 21mb/s Devices Midi - 149,000 Tshs Connect 10 devices at once. One monthly bundle free. Free simcard. Wifi router 240,000 Tshs. Connect up to 32 devices. Warranty is 1 year. Up to 100 metres range. Contact me on +255 659 636 868

TUNAUZA POWERBANKS AINA YA PISEN NA BASHLEY Uwezo wa kuchaji mara 5-7 kwa siku. Uwezo wa

mAh. Tunapatikana Kariakoo mtaa wa Pemba pia unaweza kutupata instagram (@bashleypowerbank). Pia zina kioo cha LED kinachoonyesha kiwango cha chaji kilichobaki kwenye powerbank yako ya Pisen na Bashley. Powerbanks zetu zinatengenezwa na kampuni inayouza bidhaa nyingi duniani hasa Ulaya. Bidhaa zetu zina warranty ya mwaka. Tunauza kwa rejareja 55,000/=Tshs. Kwa wateja wa Dar es salaam tunakuletea mpaka ulipo. +255653155696

SMARTPHONE USED ZINAPATINA MAGOMENI KWA BEI NAFUU Smartphone used zinapatina Magomeni

kwa bei nafuu. // Used smartphone for sale at Magomeni for cheap price. +255784594275

SKYMARK IMPEX - VIFAA MBALIMBALI VYA SIMU

Chaja, betry, memory card, earphones, makava ya simu, screen protector, powerbanks, adapter, USB cables, portable speakers, modulater na kadhalika, flash disk, AV cables na power cables, balbu za solar. Tunapatikana maeneneo ya Kariakoo mtaa wa Aggrey karibu na Valentino Hotel au Akiba Bank. Tunauza bidhaa zetu jumla & rejareja. Bidhaa zetu zote zina warranty ya wiki moja. +255 657 528 481 wmushi@ yahoo.com

VIFAA VYA SIMU UBORA & ORIGINAL Tunauza vifaa vya simu vye ubora wa hali ya juu na ni original. Tupo maeneo ya fuatayo: Posta NIC life house posta Sinza Kumekucha Makumbusho. Muda wa kazi: saa 2 asubuhi - saa 12 jioni. Mobile Phones: Nokia, Samsung, HTC, iPhone, LG, Tecno, Flash, Huawei, External. Electronics & Equipment Phone Covers for all types of phones: +255 718 281 858 POWERBANKS 25,000 - 60,000 TSH. 1 YEAR WARRANTY mAh

Tuma SMS kupitia 0777 75 12 12 na namba iliopo chini, pia na jina lako na ujumbe ungependa umfikishe mtangazaji!

MWARIKO STORE - VYOMBO VYA NYUMBANI VYA KISASA Wauzaji wa vyombo vya nyumbani vya kisasa, ima-

ra na Original kabisa. Tunapatikana Iringa, Mhindini, Tanzania. Translation Mwaliko Store: We are selling all kind of home appliances. Our products are modern and in good quality. We are located at Iringa, Mhindini, Tanzania. +255757719559 mwalikostore@yahoo.com

fuu. Huduma zetu zitakukuta sehemu yeyote // I sell timber of various types at affordable prices. You can get our service anywhere. +255756603979

NADIA ELECTRONICS - IMPORTER OF USED ELECTRONICS We are dealing with Sales and Import of used

duma za kitaalamu zinazokidhi mahitaji ya wateja wetu. Tunapatikana maeneo ya Kimara Mwisho Dar, mtaa wa Matangini karibu na Shule ya Sekondari ya Midland. Tunatoa huduma za ufungaji wa umeme, tunafunga na kutengeneza Majenereta, Matransifoma, Switch Gear, UPS, tunajenga Substation, tunafanya majaribio ya Substation na Umeme mkubwa kama laini za umeme kama grid za taifa. Pia tunasambaza vifaa mbalimbali: Majenereta, Matransifoma, Switch, Vifaa vya Mabomba ya maji na kadhalika. Tunatoa huduma zetu hapa Dar es salaam, mikoani na hata nje ya nchi. +255 716 311 105 asten.tanzania@gmail.com

electronics: FLAT SCREEN TV, RADIO, SUBWOOFER, HOMETHEATER, DVD PLAYERS, TAILORING MACHINES, BICYCLES, EXERCISE BICYCLES AND FRIDGES. Monday - Saturday open. We are available at Magomeni, Uwalani, Dar es Salaam. +255715361800 kaugange68@yahoo.com

MIKOBA CLASSIC - MIKOBA NA NGUO ZA KIKE Tunauza nguo za wakubwa na mikoba na mabuibui kwa bei nafuu. Bidhaa zetu ni kutoka China India Uganda na Pakistani. Tunapatikana Kinondoni Studio. Saa za kufungua ni saa 2:00 asubuhi - saa 2:30 usiku. // We’re selling Handbags and Clothes for women. Location: Kinondoni Studio Opening Hours: 8 am - 8:30 pm. +255782617098 CONSTRUCTION & HOME SUPPLIES SKOL BUILDING CONTRACTORS LTD INATOA HUDU-

MA ZIFUATAZO: Inauza makokoto na zege iliyo changanywa. Inatanganeza barabara na kurekebisha barabara. Inatoa huduma ya kujenga nyumba. Inauza cheapping nyeusi. Tunapatikana Plot 715/46 Shekilango Road Adjacent to Africa Sana. // SKOL BUILDING CONSTRUCTION - We offer all kinds of Civil & Building Construction. Metal Works, Electrical & Mechanical Installations, Selling of Gravel, Granite aggregates, ready mix concrete, plaster material. +255768440240

MBAO ZA MVINJE I CYPRESS WOOD & OTHERS

Jipatie mbao nzuri na madhubuti itokanayo mti wa mvinje. Ninauza mbao kama vile za kujengea linta, kuchongea thamani mbali mbali, ukubwa tofauti kulingana na mahitaji ya mteja. Napatikana Zanzibar. Bei ni maelewano. // Get very good quality cypress wood & all types of timber! Located in ZNZ. +255655462392

BIDHAA & FURNITURE ZOTE ZA MATERIAL YA CHUMA Tunauza bidhaa

16400 - 60,000Tshs unaweza ukacharge mpaka mara 6 simu yako. mAh 12,000 kwa - 50,000tsh Tshs na mara 4 na nusu. mAh 8400 - 40,000Tsh na mara 3. mAh 5600 - 30,000Tsh mara mbili. mAh 2800 - 25,000Tsh mara 1. Utapata warranty ya mwaka mzima na huduma baada ya mauzo utakapohitaji huduma hizo. Tunapatikana Kibamba Hospitali baada ya Mbezi ya Kimara. +255714305001

mbalimbali kama: Hangar, Dresing, Table, Meza Za TV, Furniture zote za material ya chuma. Tunatengeneza Vitanda vya Chuma Tunapatikana Kinondoni Mkwajuni. // We produce & sell metal furniture: Hangers, Dressing Tables, Tables, TV Tables & Sideboards, Metal Beds. We’re located at Kinondoni Mkwajuni. +255 653 930 814

GEOMODEL SURVEY CO. LTD We provide the follow-

WINGO ENTERPRISES: UMEME, METAL Wauzaji

ing items: Hand hold GPS devices. We sell and rent the products at a great price. We’re Located at Segerea Mwisho. Near the Daladala Stand. Opening Hours: 8 am - 4.30 pm // Ni wauzaji wa Hand hold GPS. Tunapatikana Segerea Mwisho karibu na Stand ya daladala. +255769590596

OBI MOBILES: 50,000 350,000 TSH Available at

Uchumi Supermarket Quality Center, Nyerere Road. Price from 50,000 to 350,000tsh. This phone can keep charge up tp 8 days and is a power bank at the same time - it can charge other phones! It also has a radio and can record. Great & powerful Mobile Phones produced by OBI Mobiles. +255712778648 dorrylotty@gmail.com

MBAO AINA MBALIMBALI ZINAPATIKANA KWA BEI NAFUU Nauza mbao za aina mbalimbali kwa bei na-

UJENZI,

MABOMBA,

wa vifaa vya ujenzi. Pia sisi ni mafundi mabomba, iron, umeme, ujenzi, aluminium. Tunapatikana Kigamboni Kibada kwa Mwafika. Muda wa kazi: saa 1 asubuhi - 1 jioni, Jumatatu - Jumamosi. // We offer building materials. We are Technicians & Fundis in the following fields: Plumbing & Pipes, Iron & Welding, Electrical Installation, Building & Construction, Aluminium. +255 719 188 949 wingoenterprises@gmail.com

MKAA MKAA MKAA KWA NYUMBANI, RESTA & HOTELI Nauza mkaa mzuri kwa mahitaji ya nyumbani &

restaurant - ni kwa kupikia ni mzuri na hausumbui kuwaka. Napatikana Temboni mtaa wa Hillside. // Charcoal for domestic and commercial use for sale. Available at: Temboni Hillside Street. +255756864295

KWA HUDUMA BORA ZA UMEME ZA KISASA VIWANDANI Sisi ni makandarasi wa umeme, tunaotoa hu-

NDEWIS INVESTMENT - LIQUID SOAP Ndewis Investment Tunauza liquid soap kwa ajili ya kuoshea vyombo na kusafisha vyoo Bei nafuu elfu 15000/kiasi cha lita 5 Tunapatikana Masaki, Dar es Salaam. // We are selling liquid soap for washing dishes and cleaning the toilet & bathroom. You can find us at Masaki, Dar es Salaam. +255754203680 HOUSEWARE TANZANIA - INTERIOR DESIGN We are dealing with: - Interior design (3D) - Office / Home Branding - Painting / Wallpaper Floors tiles, marbles office and home furnitures Working hours 9:00 am - 6:00pm Monday to Sunday. We are location at Machinga Complex 4th Floor. +255716470812 esmwansele@gmail.com KAPINGA FURNITURE Tunauza furniture za majumbani na ofisini. Kwa mfano: makabati ya nguo, vyombo, sofa seti, vitanda vya mbao na chuma. Tunazotengenezwa hapa nchini kwa bei nafuu kabisa pia tunapeleka mpaka nyumbani. Tunapatikana Tabata, Aroma. +255653707370 MKENYA/SHANGAI WORKSHOP - EXPERTS IN GRILLS & IRON Watengenezaji wa

mageti, madirisha, vitanda, standi za viatu na standi za mabegi. Eneo: Polisi- ufundi karibu na sheli ya puma // We produce iron gates, windows, beds, shoes stand and handbags stand. Specializing in grills and iron works Location: Polisi- ufundi near the Puma petrol station. +255717726397

ENVIRONMENT SAVING TECHNOLOGY CENTRE

Based in Arusha. The center develops bioenergy related technologies. Energy saving technologies incl. improved cooking stoves (wood & charcoal), biogas, and improved baking ovens. Use of locally available materials to make stoves that use less wood or charcoal, emit less smoke, save up to 70% of total energy consumed compared to traditional stoves. // ESTEC ni watengenezaji na wauzaji wa Majiko ya manyumbani, hoteli, shule, kantine na taasisi mbalimbali. www.estectanzania.com +255658875810

JENGA NYUMBA YA NDOTO YAKO NA HARUNA SULEIMAN Je, unahitaji kujengewa nyumba ambayo imekuwa

ndoto yako kwa muda mrefu na haujapatafundi wa kuaminika? Tatizo lako limefika mwisho wake leo. Naitwa Haruna, mkazi wa Iringa. Ninauzoefu kwa muda wa miaka 14 sasa katika kazi ya ujenzi. Ninapokea oda ya nyumba nzima kuanzia hatua za mwanzo mpaka makabidhiano ya nyumba ikiwa imeisha kila kitu. Niko tayari muda wowote na mkoa wowote. +255756439729


MATANGAZO YA TUPOMOJA

JE, UNAHITAJI?

KAMPUNI

CLOTHING INDUSTRY & CRAFTS FOOTSTEP - BRINGING STYLE & COMFORT Step

into the nearest... Footstep... bringing style & comfort to all walks of life! Along with international brands, Footstep also manufactures its own footwear under the Altro brand that provides genuine leather formal shoes at extremely reasonable prices. Locations: Mlimani City | Myfair Plaza | Quality Center | Head Office: Samora Avenue, City Center, Dar es Salaam http://www.footsteptz. com mail@footsteptz.com +255 655 783 744

MSUMBIJI VITENGE & VITAMBAA: VIZITO NA HAVICHUJI Bei nafuu sana - Jumla na Rejareja ni maele-

wano! Kama mteja ataitaji ataletewa sehemu alipo popote. // Kitenge & Kitambaa from Msumbiji - Strong Material which keeps its color!!! Great Price - Retail & Wholesale available Delivery possible to wherever you are! +255719360502

PURITY BOUTIQUE: TUNAUZA NGUO ZA AINA ZOTE Nguo za kike aina zote, nguo za kiume aina zote,

nguo za watoto wa na wa kiume aina zote, mikoba na vipodozi, Tunapokea order kutoka Mikoani tunauza bei nafuu. Tupo Mwenge mkabala na jengo la taasisi ya elimu. +255719341003

NGUO ZA KITAMADUNI, VIATU & PETE ZA DHAHABU Nauza nguo za kitamaduni, viatu vya kike vya ofisini, pete

za dhahabu, mikufu, make up... Bei ni maelewano na ni nafuu Bidhaa zinatoa China, Malysia na Dubai. Duka lipo Ubungo Liverside. // Traditional clothes, shoes, gold rings, chains/necklaces and make up. The shop is located in Ubungo Liverside. +255716163492

REHEMA BOUTIQUE: MIKOBA NA NYWELE KUTOKA DUBAI Duka la nywele na mikoba ya kike, duka lipo

Mtoni Mtongani Dar es salaam. Bidhaa zake ni bora na anazichukulia Zanzibar na Dubai na bei zake ni poa sana. // Hair store and handbags , shop is located in Mtoni Mtongani Dar es Salaam. Its products are excellent and they are from Zanzibar and Dubai. +255755446192

NAUZA SHANGA, VIATU NA NGUO ZA KIKE Nauza shanga, viatu vya wanawake na nguo za kike za watu wazima. Ninauza shanga za mkononi, za shingoni na hereni za masikioni ninazotengeneza mwenyewe na nyingine ninasambaza - 3,000 - 10,000Tshs. Viatu vya kike vya ngozi kutokea Kenya na Tanzania - 8,000 - 30,000Tshs. Ninauza nguo za kike za watu wazima kuanzia 15,000 - 40,000Tshs. +255769305007 EVELIN FASHION: NAUZA MIKOBA YA KIKE NA VIATU Nauza mikoba ya kike na viatu vya jinsia zoke kutoka

China na Dubai kwa bei nafuu. Duka linapatikana Ubungo External // We sell handbags as well as men’s & women’s shoes from China and Dubai for a cheap price. The shop is located at Ubungo External. +255784213781

MASHAA_LLAH VITENGE: DUKA LA VITENGE KUTOKA DUBAI Duka la vitenge kutoka Dubai, china, vitenge

vyenye ubora wenye kuvutia. Duka lipo Kinondoni Studio, Dar es Salaam. Wote mnakaribishwa. // Kitenge store from Dubai, China. We offer Kitenge in high quality and attractive designs. You can find our Shop at Kinondoni Studio, Dar es Salaam. +255716760503

SHAMIM FASHION: DUKA LA VIATU KUTOKA DUBAI Duka la viatu kutoka Dubai. Tunauza viatu vya aina

zote vya wakubwa vya ofisini na wadogo. Tunapatikana Karume Dar es salaam. // Shoe store from Dubai. We sell all kinds of shoes, for kids and adults. We are available Karume Dar es Salaam. +255755446192

WAASILI ASILI: WATENGEZAJI WA VIATU, MIKOBA, CHENI Tunatengeneza viatu vya kike na kiume, mikoba,

pochi za kiume, cheni na bangili. Tunatumia ngozi, soli, shanga na gundi. Tunapatikana Mbezi Salasala mabanda mengi uwanja wa magofuni. Pia tunauza kwa bei ya jumla. // We produce shoes for women and men, handbags, wallets, necklaces and bracelets. +255713222956

Tuma SMS kupitia 0777 75 12 12 na namba iliopo chini, pia na jina lako na ujumbe ungependa umfikishe mtangazaji!

DUKA LA HIJABU Ni wauzaji wazuri sana wa hijabu na vifaa vya kike kama: Mitandio, Madera, Nikabu. Na vifaa vingi vya kike. Bei zetu ni nzuri na nafuu zaidi. Fika sasa bado hujachelewa na ujipatie bidhaa nzuri za kike zinazokwenda na wakati. Tunapatikana Kariakoo mtaa wa Uhuru. // We are selling Hijabs and Women’s Items. Visit our Store at Kariakoo, Uhuru Streeet. +255685983553 MASHA ALLAH SHOP - VIATU VYA KIUME NA WATOTO Duka zuri la viatu vya kiume na watoto. Hasa

NINAUZA MIKOBA NA WALETI NATENGENEZEA KWA VITENGE Nauza handbag na wallet. Ninaitengeneza

mwenyewe kwa kutumia vitenge na kwa kutumia vitambaa. Ni mikoba ya kuvutia na yenye ubora. Nunua kwa bei nafuu. Kila mkoba unagharama yake na utafikishiwa mahali ulipo kwa gharama ulizonunuliya. Ninapatikana Mjimwema kwa Mwingira Kigamboni DSM. +255713254674

MSHONAJI NA MBUNIFU WA NGUO ZA KIKE

hasa vya maofisini, mashuleni nk. Bidhaa zetu ni nzuri na za uhakika. Fika sasa na ujipatie bidhaa bora na nzuri kwako na kwa watoto wako. Tunapatikana Manzese - Bakhresa DSM. // Perfect Shop for Men’s and children’s shoes, ManzeseBakhresa DSM. +255756298925

Mshonaji wa nguo za kike & mbunifu wa mitindo mbalimbali wa nguo. Ninapatikana DSM Kigamboni Tuamoyo Mtaa wa Pikoli, mkabala na Mganga Chande. Mimi ni mshonaji wa muda mrefu na mwenye kuaminika kwa wateja juu ya kazi ninazozifanya. Bei zangu ni nafuu. Ninafanya kazi kuzingatia makubaliano kati yangu na mteja. +255716399595

MIKOBA CLASSIC - MIKOBA NA NGUO ZA KIKE Tunauza nguo za wakubwa na mikoba na mabuibui kwa bei nafuu. Bidhaa zetu ni kutoka China India Uganda na Pakistani. Tunapatikana Kinondoni Studio. Saa za kufungua ni saa 2:00 asubuhi - saa 2:30 usiku. // We’re selling Handbags and Clothes for women. Location: Kinondoni Studio Opening Hours: 8 am - 8:30 pm. +255782617098

NYEMOSHIRI COMPANY - BIDHAA ZA VIKOI Tuna bidha bora: Vikoi vya batiki 10,000 - 15,000 and 7,000 30,000 Vikapu vya shanga - 30,000 Vikoi vya mshumaa 30,000 Vipochi vya nguo - 2,000 - 10,000 Shanga za nguo - 15,000 Bangili 2,000 Cheni - 15,000 Laptop Cover - 10,000 - 20,000 Tunapatikana: Pugu Kajiungeni, DSM Free Market Posta Akiba. +255755887974

MAKATE SHOP - VIATU KWA BEI POA Wauzaji wa viatu vya kike na kiume kwa bei poa. Tuna viatu vya wakubwa na wadogo vya saizi zote. Bei zetu ni poa. Tunapatikana Tegeta Nyuki Stand ya daladala. Saa za kazi kuanzia saa 2:00 asubuhi - 2:30 usiku. // We sell shoes for men and women. Great Price. Location: Tegeta Nyuki Daladala Stand. +255657555432

BYERA FASHION TZ Wauzaji wa: Handbag za vitenge, Back cross, Wallet, Jeans, Vitenge, Beach bag. Tunauza jumla na rejareja. Wa mikoani watafikishiwa // We are selling Kitenge Handbags, Wallets, Jeans. Delivery is offered. +255768032485

NANKACHANGA GENERAL SUPPLY TRENDY WOMEN’S HANDBAGS NGS ni wauzaji wa

Handbag za kike. Karibu ujipatie Handbag Imara na mpya kwa bei ni nafuu kabisa Tunapatikana Makumbusho Stand kabla ya kuingia stand ndani. Nyumba namba 30 Kwa maelezo zaidi wasiliana nasi: +255652000810

CEBER GENERAL SUPPLIES LTD. NGUO ZA VIWANDANI Tunashughulika na kushona

nguo za viwandani. Tunapokea zabuni kutoka kwenye makampuni, shule na ofisi. Saa za kazi: saa 2 asubuhi - saa 11 jioni Jumatatu - Jumamosi. Tuko Changombe Maduka Mawili, Dar es Salaam. Mfano: Shuka 2 + Foronya 2 size 6 by 6 pure cotton=20,000 TSH tu. // Industrial sewing of clothes & other products. +255754021807 sifael2004@yahoo.com

KIKWENI ENTERPRISES Kikweni Enterprises ni watengenezaji wa bidhaa hizi: Batiki, Vikoi, Magauni, Mikufu, T-Shirt zilizotengenezwa kwa batiki, Mikoba, Vikapu, Masherti ya batiki na culture, Viatu vya culture, Sabuni ya kipande, Shampoo, Dawa za kusafisha choo, Sabuni za maji za kufulia. Tunapatikana Machinga Complex - Dar es Salaam Saa 12 asubuhi - saa 12 jioni. +255718212149 LULU FASHION Lulu Fashion ni wauzaji wa nguo. Tunauza: Nguo za kike, Nguo za kiume, Nguo za watoto, Viatu vya kike, Viatu vya kiume, Handbags. Duka letu inapatikana Mikocheni, Dar es Salaam, Mwai Kibaki Road. Tunafungua saa 2:30 asubuhi mpaka saa 2 usiku. +255713611533 carokirita@ yahoo.com VIATU AINA MAKUBAZI (NGOZI YA NG’OMBE NA MBUZI) Tunatengeneza viatu aina makubazi. Yanatengene-

zwa na ngozi ya ng’ombe na mbuzi. Tunapatikana Pemba - Chake Chake Vinauzwa kwa jumla na reja reja ka bei ya 18,000 TSh na 20,000 TSh. // We produce leather shoes (cow and goat leather). Our office is at Chake Chake - Pemba. We sell retail and wholesale for prices from 18,000 TSh - 20,000 TSh. +255777493592

KOKOLIKO FASHION DESIGNING Tunatengeneza mikoba, pochi, mabegi kwa kutumia matirio ya batiki, vitenge, khanga, gunia, shanga. Tupo Tanga Indian street Dar es salaam. Pia tupo Tegeta kwa ndevu. Tunachukuwa order pia tunauza na kwa jumla. // We produce bags, wallets using material of batic, vitenge, khanga, gunni bags and perls. +255713510530 kokolikofashion@gmail.com MARY SHANGA: WATENGEZAJI NA WAUZAJI WA CHENI&HEREN Tunatengeneza: Shanga, Cheni 8,000

TSH, Hereni 2,000 TSH, Bangili 1,500 TSH. Tunauza ya rejareja na kwa bei ya jumla. Tupo TABATA KAMANGA karibu na SHULE YA SEKONDARI KAMENE. // Beads & Pearls, Necklaces, Earrings, Bracelets. You can find us at Tabata Kamanga High School near Kamene. +255763255208

WAUZAJI WA VIFAA VYA WATOTO Mabegi ya watoto bei tsh 30,000 - 95,000. Viatu vya watoto 30,000 - 45,000. Vitanda vya watoto 150,000 - 250,000/=. Baby Walker 50,000 - 250,000/=. Soksi na vest za watoto 3,000 hadi 15,000. Tunapatikana Mbezi Beach, Africana. Saa za kazi 3:30 Asubuhi- 2:00 Usiku. +255686700002 KABANGA WOMEN CROSS THE BORDER Tunauza vifaa vya asili vilivyo tengenezwa kwa mkono na viwandani kama: vitenge, pawa, vikapu, vikapu vitokanavyo na nyasi, unga wa lishe, mashuka yalioshonwa kwa mikono. Maeneo: Kagera ndara kabanga mjini // We are selling cultural product produced by hand: Vitenge - Basket - Basket made by grass - nutrition meal - Bed sheets. +255689015372 IJEN WEDDING DRESSES & FASHION Tunashuhulika na kuuza:

Mashela, Magauni, Suti, Viatu, Nguo za watoto, Urembo wa maharusi / matukio. Tunapatikana Mikocheni kwa Mwalimu Nyerere karibu na duka la bingwa. Tunapokea oda ya design yoyote unayopendelea kwa muda mfupi na kwa bei nafuu. SAA ZA KAZI: jumatatu - jumapili saa 2:00 asubuhi - saa 2:00 usiku. Instagram: IJENWEDDING DRESSES. +255713362119 jwjen@gmail.com

TAJ ASILIA ENTERPRISES: HANDCRAFT & NGUO

Tunatengeneza na kuuza vipodozi asili na handcraft pamoja na kuuza nguo za watoto na za wakubwa (wanawake.) Wote mnakaribishwa, hata wa mikoani watafikishiwa. Vipodozi kuanzia tsh 3,000 na nguo tsh 10,000. +255656377955

CHANGING LIVES


MATANGAZO YA TUPOMOJA

JE, UNAHITAJI?

KAMPUNI

CONSTRUCTION & HOME SUPPLIES INATO FURNITURE: FURNITURE ZA UTAMADUNI

Tunatengeneza furniture za utamaduni kwa kutumia frame ya chuma inasukwa kwa kamba za honzerani (rattan). Furniture za aina zote: Sofa, Dining Table, Kitchen, Furniture za ofisini nk. Bei ni nafuu! Saa za kazi: kila siku Eneo: Kigamboni. +255754759613 frankchiza@yahoo.com

KINGDOM GROUP - DAWA KUSAFISHA MASINKI

Watengenezaji na wauzaji wa dawa kusafisha masinki (tiles na wash beseni). Tunauza jumla na reja reja. Bei ya kuanzia ni 5,000 TSh - 10,000 TSh. Arusha Makao Mapya, Ofisi ipo Florida lakini tunapatikana pia Mbeya na Dar es Salaam. Saa za kazi: saa 2 asubuhi - saa 12 jioni. // Kingdom Group is producer and seller of ceramic and tiles cleaners for sinks. +255787808201 antisepticusafi@yahoo.co.uk

ZENJI MNAZI FURNITURE Wachongaji na wauzaji wazuri

wa furniture za aina zote. Ila kwa asilimia 90 tunatumia mbao za mnazi. Tunachonga vifaa vya utamaduni zaidi zaidi ya Zanzibar. Kama: Vitanda, Viti, Meza, Makabati na furniture zote za ndani. Bei zetu ni nafuu sana. Mabata School ya Nyerere Zanzibar. // Zenji Mnazi Furniture are carpenters and seller of all kinds of coconut wood furniture. +255777464878

GT WORKSHOP - PAINTERS, CARPENTERS, ALUMINIUM Inshuhulikia na Colour Painting, Carpenter, Alu-

minium partition windows and doors, Gypsum board na majengo. Tunapatika Mwanza Pasiansi lakini tuko tayari kuenda mikoa mengine. Saa za Kazi: Saa 1 asubuhi - saa 12 jioni. +255754361321

TUNATENGENEZA NYUMBA, MAGARI, MASHINE

Tunatengeneza: Nyumba za kuchonga kuanzia 200,000 TSh Magari 1,500,000 TSh Mashine 200,000 TSh Tunatumia Box, Karatasi, Kitambaa Tupo buza eneo la mama Kibonge. +255762990405

AL-TTAL DRILLING CO.(T) LIMITED Dealers in water drilling, plumbing, and pump installation. Mikoani hasa mikoa ya kusini wanafika eneo DSM Algeria street na Samora. +255713400582 mgadam@live.com GILI-GALI INVESTMENT COMPANY Tunauza bidhaa za usafi wa choo: Sabuni ya kusafisha choo 45,000 kwa lita, Shower gel 5000 kwa lita, Dawa ya meno 10,000, Toilet Water 4500 kwa lita, Tiles cleaner 4500 kwa lita Tunapatikana Kimara stop over. Ulizia Moshi bar Mkabala na Sativa lodge. +255713293508 XTREME FUEL TREATMENT Reduces Emissions, Improves Fuel Economy, Prolongs Engine Life, Increases Horse Power. Based in Dar es Salaam. Delivery Possible to whole Tanzania! Ml 5 - 8,000 TSH Ml 10 - 15,000 TSH Ml 30 - 45,000 TSH Ml 60 - 90,000 TSH Ml 120 - 180,000 TSH. +255715851598 mag.uhwelo@yahoo.com MAZIKU FURNITURE - QUALITY SOFAS Maziku furniture is making sofas & sofa beds of all kind. We offer good quality to our customer. We are flexible and deliver everywhere. Working Hours: Mon - Sat from 08:00am - 06:00pm. Price Range: Min 700,000 - Max 2,500,000 tsh. Location: Tegeta Kibaoni opposite Kibo. +255714075900 cmaziku@gmail.com

Tuma SMS kupitia 0777 75 12 12 na namba iliopo chini, pia na jina lako na ujumbe ungependa umfikishe mtangazaji!

MAZIKU FURNITURE - QUALITY SOFAS Maziku furniture is making sofas & sofa beds of all kind. We offer good quality to our customer. We are flexible and deliver everywhere. Working Hours: Mon - Sat from 08:00am - 06:00pm. Price Range: Min 700,000 - Max 2,500,000 tsh. Location: Tegeta Kibaoni opposite Kibo. +255714075900 cmaziku@gmail.com EDUCATION & TRAINING FIND INSPIRATION & MOTIVATION WITH @UCHY_ TU Ukweli: Get Inspiration + Motivation. 1hr/ $100 (Sunday

only) Find me on instagram @uchy_tu You want to start a business, but you don’t have capital? You want to solve your relationship troubles? Si vitabu vyote vinavyozungumzia success tricks ni vya kweli. Vingine ni biashara tu. THERE IS ONLY ONE PRINCIPLE. BE HAPPY. KUWA NA FURAHA! Tuma SMS anza na #7.45877 kwenda 0777 751212.

BAYEYE ACADEMY PROJECT: LOOKING FOR SPONSORS Junatafuta sponsor/

investors kwa ajili ya project ya shule (high school) 9+6.6 ekari (63117.6 Sq) Shule inauwezo wa kuaccomodate wanafunzi 1000. Kuna: bweni za wasichana na wavulana, laboratory, administration block, cafeteria and function hall, play grounds Mkuranga mkoa wa pwani (vianzi). // We are looking for Sponsors / investors for our school project (high school) which can accommodate up to 1000 students. Tuma SMS anza na #7.45823 kwenda 0777 751212.

NAFUNDISHA KIINGEREZA CHA KUONGEA NA KUANDIKA Jina langu ni Banira Abdul. Nafundisha kiinger-

eza cha kuongea na kuandika kwa mda mfupi. Ninauzoefu wa miaka 3. Ninatoa hata kwa watu wazima atakayehitaji huduma ya kujifunza anitafute. Garama ni maelewano. +255756624136

ENGLISH & KISWAHILI LESSONS AT GREAT PRICE IN DAR My name is Grace, I’m a teacher of English & Kiswa-

hili for beginners and onwards. I’m teaching Kiswahili to students from China, Japa, Korea, America and the UK. I’m available at any time. Price: $12 per section // Mimi ni mwalimu wa lugha ya kiswahili na kiingereza. Ninapatikana asubuhi na mchana karibuni sana bei na dola 12 kwa kila section. +255756486336

NAMANDITI SOUTH SECONDARY SCHOOL: KWA ELIMU BORA Tunapokea wanafunzi wa kudato cha kwan-

za hadi cha nne. Nafasi za masomo kwa kidato cha kwanza, cha pili na cha tatu na cha nne 2016 zipo. Shule ni ya Kutwa na Bweni kwa wasichana. Shule ipo manispaa ya Songea km 8, njia ya kuelekea Peramiho. +255716518435

LEARNIN - BUSINESS, FINANCE & IT TRAINING

Learnin ni elimu kwa njia ya mtandao, tunakupa fursa ya kujifunza kuhusu teknolojia na biashara kupitia simu yenye mtandao, tablet au kompyuta. Kozi zetu zipo katika mfumo wa Kiswahili na hasa katika njia ya video na vitabu: Msingi wa kujua kutumia kompyuta, matumizi ya MS Word, MS Excel uandishi wa programu za kompyuta, utengenezaji grafik nk. Lipia 8,500/- kwa mwezi na ujifunze. www.learnintz.com info@learnintz.com +255714061234

TRUEMAISHA - PROFESSIONAL TRAININGS AND ADVISORY We are

offering professional trainings, advisory and retreat programs for employees, entrepreneurs and individuals who want to take positive action in their working life. P.O. Box 13186 Urafiki Flats, Block E, No. 11, Ubungo Dar es Salaam. Working hours 8am-3pm Mon-Fri +255653808032 chrispinerick@truemaisha.com

FINANCES & INSURANCE JAYC INSURANCE CONSULTANT: WAKALA WA BIMA Tunatoa

huduma zifuatazo Insurance agent. Insurance Msimbazi Street/ Kisangani General Enterprises. P. O Box 4438 Dar es Salaam. Jayinsurance15@gmail.com +255714733175

SAIV INSURANCE AGENCY: VEHICLE INSURANCE IMOBMONEY Tunatoa huduma zifuatazo. Insurance za

magari ya aina yote, Huduma za Mpesa, Tigo pesa, airtel money. Pia tunatoa huduma za vinywaji mbalimbali kwa rejareja. Tunapatikana Bamaga mkabala na Kebbs Hotel. +255715265171

PCA ACCOUNTANCY AND LEGAL CONSULTANCY We are offering advisory services on corporate affairs, taxation, Asset Management and business Legal Issues. Our fees are negotiable. Our office is at Azikiwe Street, CRDB Headquarter Building, Ground Floor, Dar es Salaam. www.pclem.org +255754270681 info@pclem.org SIB TAX CONSULTANTS We focus on a wide range of tax issues, from domestic to international tax compliance and tax plannin, Income tax for cooperations and individuals, Payroll accounting & tax compliance, VAT accounting & training, Tax dispute resolution. Office at Nexus Attorneys - Msasani Tower, Ground Floor. 8:00 am - 8:00 pm. +255767554452 beatus.idama@sibtaxconsultants.co.tz


MATANGAZO YA TUPOMOJA

JE, UNAHITAJI?

KAMPUNI

FOOD PRODUCTION & HOSPITALITY KUKU WA KISASA WANAUZWA Nauza kuku wakisa-

sa kwa bei nafuu kuanzia sh 4900, napatikana maeneo ya Charambe, Majimatitu mtaa wa Chasimba, Ukitaka kufika unapanda magari yanawekwenda Mbagala unashuka rangi tatu, ukishuka unachukua magari yanayoenda Chasimba unaweza shuka kituo kinachoitwa Foma. +255717683826

POLOPOLO FARM: NI WAFUGAJI NA WAUZAJI WA SAMAKI Samaki, ng’ombe, mbuzi na kuku, samaki wado-

go (tilapia/sato), vifaranga vya kuku na maziwa fresh ya ng’ombe. Tuna mabwawa mazuri na yakisasa. Mashine za kuwafanya samaki wakue vizuri. Maabara ya kisasa kwaajili ya uzalishaji vifaranga. Pia tuna vifaa vya kupimia maji kama yamechafuka au yana joto linalotosheleza. Mfumo mzuri wa umeme unaofika kwenye mabwawa ya samaki. Tunatoa mafunzo ya ufugaji wa samaki. Njoo upate mafunzo sasa na ufaidike. Tunapatikana Kisarawe. +255755200335

ASALI MBICHI NA SAFI KUTOKA TABORA INAPATIKANA Asali mbichi na safi kutoka Tabora inapatikana.

Duka linapatikana Mbezi Temboni. Kwa watu wanaohitaji hitaji nawapelekea. Nauza jumla na reja reja. Bei kwa lita 1 ni Tsh 10000 kwa wateja wa jumla ni Tsh 8000. // Honey from Tabora Great quality, incredibly delicious. The shop is located at Mbezi Temboni. +255654916628

J.M CATERING, KWA CHAKULA KITAMU NA KIZURI

Tunatoa huduma za kupikisha chakula kwaajili ya sherehe mbali mbali kama vile: Harusi - Maofisini - Birthday - kitchen party na Sherehe coyote ile. Tunakiwango cha hali ya juu na oda nyingi tunazozipokea ni kupeleka chakula maofisini. Karibu sana kwa mazungumzo. Tunapatikana Upanga - Dar es Salaam. Ofisi yetu inajulikana kwa jina la J.M Catering. +255768163147

ZAYDAT & BASAMA GROUP - VIPODOZI ASILIA

Tuma SMS kupitia 0777 75 12 12 na namba iliopo chini, pia na jina lako na ujumbe ungependa umfikishe mtangazaji!

TRAIRAM INVESTMENT Wauzaji wa incubator machine, drinkers na feeders kwa ufugaji. Incubator zinapatikina kwa 300,000 - 850,000 TSh. Drinkers zinapatikana kwa 3,000 - 7,500 TS. Feeders zinapatikana kwa 3,000 - 7,500 TSh Tunapatikana Mtaa wa Ungoni na Livingstone Kariakoo - Dar es Salaam. Tunawezakawapatia pia watu Mikoani. +255654099957 NYUMBA YA NYUKI SINGIDA (WAFUGAJI WA NYUKI ASILI) Asali ya nyuki wakubwa na wadogo wasiouma. Kg

1 = 30,000TSH. Kg 1 = 10,000 TSH Asali iliyotengenezwa kwa maua asili. Kg 1 = 10,000 TSH Tuna inta iliyotengezwa na masega ya nyuki wakubwa. Kilo 1 = 10,000 TSH. Tunapatikana: Singida Wilaya ya Ikungi / Puma / Nkuninkana. +255765749772 nyumbayanyuki@yahoo.com

BD FOOD PRODUCTS: MAWENZI COFFEE Tunatengeneza: Kahawa aina ya Arabic inaitwa “MAWENZI COFFEE”, Ujazo wa kilo 16,000. Nusu 8,000. Robo 4,000. Tunapatikana Arusha na pia tunatuma popote Tanzania na nje ya Tanzania. // We produce Arabic coffee called “MAWENZI COFFEE”. You can find us in Arusha! We also sent our coffee anywhere. +255769150150 JAMBO SPICE - WAUZAJI WA VIUNGO AINA ZOTE

Tunatengeneza viungo vya: Chai, Pilau, Samaki, Kuku, Mchuzi mix. Tunayo pia: Hiliki ya Unga, Tangawizi ya unga mdalasini, Karafuu na pilipili manga, zote zimetengezwa kwa unga na spice nzima pia tunazo. Tunapatikana: Zanzibar Makadara Dar es Salaam - Kigamboni. +255713469854

MWISCBITA - VITU VYA KITAMADUNI Ninafanya

biashara ndani na nje ya nchi. Vitu vya kitamaduni kabisa kama vile virungu aina ya vikabu, dagaa la kigoma, unga wa muhogo, maharage, mashuka ya kufuma na hotpot za kiasili. Napatikana Maeneo ya: Kigoma Kasulu. +255754674231 bakelibertha@yahoo.com

KIDICHI SPICES - WATENGEZAJI WA SPICE ZENYE UBORA Kutengeneza ya aina tofauti tofauti za spices

Vipodozi asilia: Tunazalisha sabuni zisizo na kemikali. Tuna sabuni zifuatazo sabuni ya manjano, liwa, karafuu, mkaratusi, habasoda, mwarabaini, mchaichai. Pia tuna sabuni ya wanawake. Scrabu zinapatikana. Bei zetu ni: 1,500=/ Clove Herbal Soap 1,500=/ Sandal Wood Scrub 3,000=/ Sohipa Hair Oil 3,000=/Scrub Powder 5,000=/ Massage Oil. zaidatoils@gmail.com +255658907217

pamoja na kuzipeki kwenye vyomo maalum vinaviyo acha uhalisia wa spice zote. Imeanza mwaka 1992 inawanachana sita wanaume wawili wanawake 4 na wote ni familia moja. Bei zinaanzia 1000 TSH - 2500 TSH ukihitaji zaidi ya hapo unapatiwa. +255777463072 kidichispices@hotmail.com

GOOD ORANGE CATERING AND ENTERTAINMENT SERVICES Tunatoa chakula kwa: Harusi, Send off, Kitchen

viungo asilia aina kumi na moja ndani yake. Ni kinywaji pia ni ni tiba ya magonjwa mbalimbali. Somo Power: Kwa ajil ya wanaume kuongeza nguvu na kuongeza mbegu Face Scrub: Kwa ajili ya kungarisha uso. Ipo aina ya Zambarau na Parachichi. Mafuta ya nywele ya mbuyu: yanaotesha na kulainisha nywele na kutoa mba. Ana mafuta safi ya Ubuyu na sabuni za ngozi. Kwa maelezo zaidi wasiliana nasi. +255777478144

Party, Seminars / Workshops, Misiba nk. Tunapatikana: Tabata, Chang’ombe Dar es Salaam Bei kwa kuanzia TSH 8,000 na kuendelea. // We offer food for: Weddings, Send off, Kitchen Party - Seminars, Workshops, Funeral etc. +255784326418 goodorangecatering@gmail.com

SHELATO RESTAURANT Tunauza: Vinywaji baridi, Maziwa fresh, Maziwa mtindi, Sambusa & Chapati, Donut & Mandazi, Pizza & Burger, Egg chop, Meat chop & Kababu, Cake za kawaida & Cake za Harusi. Tunapika aina yote ya chakula: Biriani, Pilau, Wali, Ndizi nk. Tunatoa huduma za oda za masherehe kwa fano harusi, semina, birthday nk. Saa za kazi: Kila siku. Tunapatikana Mrimba, Morogoro. +255654465992 NYUKI NA KUUZA ASALI YA NYUKI Nafuga nyuki na kuuza asali ya nyuki wakubwa na wadogo na nta. Natunza mazingira, vyanzo vya maji, upandaji miti na ufugaji wa samaki na utalii ecologia mambo ya asili (ya kale) Yanayopatikana ndani ya msitu na maendeleo. Msikii kata ya mughamo halmashauri ya Singida. Natoa shamba darasa, wageni mbalimbali wanakaribishwa. +255752045988 YCK GENERAL SUPPLIES Supplier in: Mbao (wood), Asali (honey), Ufuta (oil), Spices, Mbaazi (beans), Wax Office: Sam Nujoma Road Plot 15 - Ubung Karibu na Mawasiliano Tower. +255713271383 mwakitosiclara@yahoo.com PELUNA CATERING - WATU 300 NA KUENDELEA

Tunahusika na mapishi ya vyakula mbalimbali. Tunapokea oda kwa: Harusi, kitchenparty, send off, mikutano, vikao na tunatoa huduma za kimgahawa. Tunatoa huduma: ya vyakula kwenye maofisi & za nyama choma. Tunatoa huduma zetu hapa Dar na mikoa ya karibu. Tunapatikana maeneo ya Sinza Mugabe. Tunatoa huduma kwa shughuli zenye watu kuanzia 20 - 300. Gharama zetu kwa sahani moja ni kuanzia 10,000 - 30,000Tshs. +255658723636

MELINNE HERBAL - TIBA ASILI KWA KUTUMIA SPICES Majani ya chai ya subia: Majani ya chai ya subia yana

NINAUZA KUKU WA NYAMA & VIFARANGA Nina biashara ya kuku wa nyama. Pia ninauza vifaranga. Wanapatikana Tazara kwa bei nafuu. Ikiwa mteja anahitaji nina delivery service (huduma ya kuwaletea). // My company sells Chicken and we also offer chicks. Great Price. Location: Dar es Salaam, Tazara Delivery service available. +255777199367 SIERRA TRADERS CO.LTD Ninajishughulisha na Food

processing, Catering services, Spice, Nyama okwa ni nyama ya kukausha (haina mafuta). Wote mnakaribishwa. // We are dealing with Food processing, Catering services, Spices, Baked & dried meat. Your are all welcome. +255714492575

B & G DRINKS SUPPLY Wauzaji na wasambazaji wa vinywaji baridi vyote kwa bei ya jumla na reja reja. Huduma ya usafiri inapatikana kwa walio karibu. Eneo: Kinondoni mtaa wa Chadema. +255654136919 CATERING SERVICES: KWA MAPISHI BORA YA SHEREHE Inayopatikana sehemu yeyote ndani ya Dar, hu-

duma yangu ni nzuri, na ninawapishi waliohitimu food and catering. Bei zetu ni kuanzia Tsh 12,000/= hadi 20,000/= kwa sahani. Tunatoa huduma katika sherehe, msiba, shughuli, birthday parties. Bei ndogo maelewano. +255655388984

ASALI MBICHI YA NYUKI WAKUBWA KUTOKA TABORA Asali mbichi ya nyuki wakubwa kutoka Tabora, kuanza

lita moja na kuendelea. Lita ni shilingi 10000. Napokea oda na kutuma popote pale. Unaletewa hapo ulipo. // Honey from Tabora. Size: 1 litre and more Price: 1l = 10,000 TSH Delivery available! +255719906893

HEALTH CARE, BEAUTY & WELLNESS TREVO’S VIRUTUBISHO INAYOTIBU MAGONJWA SUGU Nauza virutubisho aina ya Trevo’s. Inasaidia mwili

kuondokana na Magonjwa sugu. Kwa maelezo zaidi wasiliana nami na kwa wanaohitaji uanachama pia unakaribishwa Chupa 1 Tsh 165,000 // Trevo’s Supplements & Nutrients: It helps the body eliminate chronic diseases. 1 bottle Tsh 165,000. +255686198407

FOREVER LIVING: KWA AFYA BORA Tunatangaza bidhaa yake inayotibu yafuatayo: Kupunguza unene, Ngozi kulainika, Kansa, Kisukari, Vidonda vya tumbo. Bei ni nafuu na maelewano. Tupo Manzese, Dar es salaam. +255657751109

ORIFLAME PRODUCTS BY SIMA Oriflame Products by Sima Tunauza: Skin Care Set 42,000 - 260,000, Fragrance for her 54,000 - 99,000, Fragrance for him 54,000 - 99,000, Make-Up Set 13,000, Personal and Hair Care. Tunapatikana Victoria na Morroco. Tunatizamana na jengo la iliokuwa AAR Hospital. +255782949039 JIKOMBOE ENVIRONMENT GROUP - WAUZAJI WA DAWA Jikomboe Environment Group Tunapatikana Kinyer-

ezi Mwisho wa Daladala. Tunatibu: vidonda vya tumbo, matatizo ya miguu, mgongo, kiuno magoti, mfumo wa uzazi wanawake na wanaume, matatizo ya moyo, tunadhibiti sukari Pia tunauza kwa bei za jumla. Tunaweza kutuma mikoani! +255713226149

SALUNI YA KIKE - TUNASUKA MITINDO YOTE Ipo Mabibo Mwisho inatazamana na mabwawa Saba. Tunasuka mitindo yote. Tunaweka dawa aina zote. Tunapamba maharusi. Tunabandika nyusi. Tunauza rasta na maweaving. Huduma zote bei ni maelewano. Kauli mbiu “You are beautiful, we make you look like it!” +255713394570 AIKA NATURAL PRODUCT Watengenezaji wa bidhaa bora zilizothibitishwa na TBS kwa kutumia mimea asili. Aika Shampoo, Aika Tiles Cleaner, Aika Natural Soap, Aika Detergent (sabuni ya maji), Mafuta ya ngozi, Mafuta ya nywele. Bidhaa zote zinapatikana mtaa wa mafia na Jangwani, Kariakoo, Dar es Salaam na maduka yote ya vipodozi nchini. +255784836634 aikanaturalproduct@gmail.com DODOJAR GENERAL INVESTMENT: SABUNI MBALI MBALI Ni watengenezaji wa sabuni za kuogea, kufua na

kusafisha choo, kwa kutumia mafuta ya mmea wa chikichi (mawese/mise). Kisaru natural soap, Disinfectant, Handwash soap, Magadi, Kisaru sabuni ya kufulia ya kipande. +255718586850 mpapasingo@yahoo.com

EFA PRODUCT SOLUTION: LOTIONS & CREAMS

Watengenezaji wa lotion, petroleum jelly na cream. Tunauza jumla na rejareja. Tunapatikana dar es Salaam, Singida, Tabora, Mwanza, Arusha na Mbeya. Saa za kazi 2:00 asubuhi hadi saa 12:00 jioni. Ni bidhaa za asili zaidi. // Lotion and cream. Our products are 100% natural. +255767582101 efaproductsolution@gmail.com

STATIONARY, SHIRTS, SIGNS & GRAPHIC DESIGN SERVICE Stationary suppliers, cosmetics, Tshirt-printing,

signs, graphic design. Sisi tunaweza kusupply bidhaa za stationaries na cosmetics. Pia tuna fanya tshirt printing, bango na kazi za graphics. Tunapatikana Mkuranga, Dar es Salaam. Saa za kazi: 1:30 asubuhi - saa 2:00 usiku Jumatatu na jumamosi. +255657256256 mzeeayoub@gmail.com

MCHUMBAKA PRODUCT - DAWA YA ASIILI MITI SHAMBA Mchumbaka Product inatibu vidonda vyz tumba,

sukari maumivu ya mwili mgongo, miguu na viungo, Pressure au madhara yoyote ya mwili isipokuwa. Ukimwi ila tunaweza kuongeza CD4. Pia nina dawa ya mapenzi ya kuvuta mtu na mtu atulie kwenye ndoa. Tunatapatika Chamanzi Magegeni, Dar es Salaam, saa 2 asubuhi - saa 12. Tunapatikani Mwanza Kirumba Mtaa wa Muringa, Saa 2 asubuhi - saa 12. +255767911954


MATANGAZO YA TUPOMOJA

JE, UNAHITAJI?

KAMPUNI

Tuma SMS kupitia 0777 75 12 12 na namba iliopo chini, pia na jina lako na ujumbe ungependa umfikishe mtangazaji!

DESIGN & MEDIA ROBINA INVESTMENT - STATIONARY Robina Investment Stationery: lipo roundabout ya kigogo njia ya kwenda jagwani. Ninauza bidhaa za shule na maofisini, card za mialiko, natoa copy nahuduma za internet na n.k. Duka lipo kwenye hali nzuri. Karibuni sana na nawapenda wateja wangu. Bei ni nafuu sana. +255716700690 LOGO DESIGN SERVICE IN DAR ES SALAAM Biashara ni matangazo, hasa vikiambatana na jina la kampuni kuitambulisha kwa wateja! Kama wewe ni mmoja kati ya wajasiriamali unayehitaji kuitangaza biashara au kampuni yako ili uweze kuwavutia wateja wako. “Nemanya Logo Makers” ipo kwa ajili ya kukusaidia kutimiza lengo lako kwa kukuandalia “Nembo (Logo)” ya biashara au kampuni yako kwa bei ya maelewano. Ninapatikana Dar es salaam Vingunguti. Tupo wazi Jumatatu-jumapili. nyangasin@yahoo.com +255714335222

BAYANGO TOURS & SAFARIS Mount Kilimanjaro &

EJICHO STUDIO Our services: We are shooting videos

and still pictures. We have a mobile studio. We create photo albums. We are offering editing and cover design. We create and design wedding cards & invitation cards. We rent video projectors and plasma flat screens. Please get in contact with us! +255713350613 hamachiki90.hm@gmail.com

PUBLIC SERVICES KIWEMBA CLEANING SERVICES & FUMIGATION

Tunatoa huduma za Cleaning and Fumigation kwa ofisi au nyumba. Vifaa vyetu ni vya kisasa na tuna uzoefu wa kutosha. Tunapatikana Mbagala. // We offer cleaning and Fumigation for companies office or for the home/ private people. We have modern equipment and can boast lots of experience. Located at Mbagala. +255659717676

PENTEKOSTAI EVANGELICAN CHURCH INATAFUTA MARAFIKI Tunatafuta marafiki /wafadhili. Tunatafuta

marafiki na wafadhili kwa ajili ya kutangaza dini kutoka USA, Canada, Ujerumani, Sweden, Uingereza, Korea Kusini. Tupo Morogoro mjini pangawe nje ya nji kidogo. +255786086594 patricklwekamwa@yahoo.com

CHRISTIAN

MISSION

FELLOWSHIP

Mount Meru trekking, Private day tours, Helicopter tours, Climbing Kilimanjaro, Zanzibar beach holiday, Honeymoon holidays, Camping adventures & Standard lodge Safaris, East Africa wildebeest migration tours & the best Wildlife safari. Suitable for Luxury & Budget travelers. We are located in Moshi, Kilimanjaro, Tanzania. For Trekking Mount Kilimanjaro & Serengeti Safaris contact us! http://bayangotours.com +255 764 622 669 bayangotours@gmail.com

ES

ROS

Roses now in Zanzibar! Easy to order Reliable Delivery For: Events, Decorations, Hotels, Your Special Ones SMS or Call: 0778 629 641 Email: t-roses@tupomoja.com Website: http://t-roses.tupomoja.com

MSIMBATI LINE MABASI DAR ES SALAAM - MTWARA MSIMBATI LINE kwa usafir salama na uhakika: Dar

From Tanzania With Love

es salaam - Mtwara, Mtwara - Dar es salaam. Wanatoa juice, maziwa, pipi, cake. Kwa abiria wote. Ticket unaweza kukata hata ukiwa mbali: Ubungo ofisi no 15 Temeke no 22 na mbagala Nauli ni tsh 23,000 SAA za gar kuondoka Ubungo: Saa 12:00 asubuhi Temeke: Saa 01:30 asubuhi. +255717141415

AVIATION TANZANIA BLOG WWW.AVIATIONTZ. COM Aviation Tanzania is the first aviation blog in Tanzania.

It is dedicated to aviation and aeronautical news and information from Tanzania and the rest of the world. Check out our website Like us on facebook: https://www.facebook.com/AviationTanzania/timeline Follow us on Twitter. Tuma SMS anza na #7.43907 kwenda 0777 751212.

SEGEREA

Mch Msafiri Kimbute Samwel Christian mission fellowship Segerea kwa ushauri na maombezi ya Kibiblia. Ninawakaribisha watu wote wanaohitaji ushauri na Maombi ya kibiblia. Kila Jumatano na ijumaa Saa 4:00 asubuhi - 12:30 jioni. Kila Jumapili ibada kuu saa 3:30 asubuhi - 7: 00 mchana. Tupo Segerea nyuma ya Uchumi Supermarket. +255766588306

TANGO SAFARI TOUR We operate fromt the most exclusive Safari Platform in Tanzania and tailor make each safari to suit individual group’s needs. We are experts in Wildlife Adventures & Photographic Safari, Mountain Climbing & Trekking, Beach Holiday, Camp Adventures, Narure Studies & Trails, Cultural Tourism. // Tango Safari Tour Kampuni inayojishuhulisha na utalii Inajishuhulisha na kutembeza wageni na wenyeji katika mvuga za wanyama. Tunapatikana Chang’ombe Dar es Salaam safaritango@gmail.com +255713620182

SUZASO - STUDENT ORGANISATION State University of Zanzibar Student Organisation SUZASO: Tunatafuta marafiki wasomi ikiwa mmoja mmoja au organisations ya vyuo nje ya nchi. Tunapatikana Tunguu, Zanzibar. // The Student Organisation SUZASO of the State University of Zanzibar is looking for educateded friends and members to join our group or any University. +255655465024

TRAVEL & TOURISM ZANZIBAR GET AWAY WITH SHAMY TOURS Shamy Tours & Travel offers a large variety of services in different areas of tourism. All our packages are developed on the basis of careful selection of hotels, a privileged system of reservations, and professional customer service founded on impeccable operational standards throughout our entire staff base. Location: Malindi Zanzibar www.shamytours.co.tz +255777820203 info@shamytours.co.tz


MATANGAZO YA TUPOMOJA

JE, UNAHITAJI?

KAMPUNI

HEALTH CARE, BEAUTY & WELLNESS SHANTALLE NATURAL COSMETICS AND HAIR OIL

Tunatengeneza: SHANTALLE shampoo 10,000 TSh 7,000 TSh, Hair Oil 15,000 TSh, Hair Food 15,000 TSh, Hair Treatment 15,000 TSh, Body Lotions 5,000 TSh, Mafuta ya Kuchua Viungo 10,000 TSh, Scrab 10,000 TSh, Unga wa kachiri 15,000 TSh. +255766291947

DR. MJEMAH CLINIC Ni kampuni inayojishuhulisha na kuzalisha dawa kwa kutumia miti shamba. Wanatengeneza dawa kama vile: Booster, Dawa ya vidonda vya tumbo, Acacia, Double power, Mfuleta. Tunapatikana Sinza Stend Dar es salam na Mbagala Mgeni nani. +255658103420 LUKINGA HERBALIST CLINIC Vimepitishwa na Taa-

sisi ya Madawa Asilia Muhimbili (Muhaz) Dar es salaam. Dawa ya Presha ya Kupanda na Kushuka, Dawa vya Vidonda vya Tumbo. Dawa ya kisukari, Dawa ya Nguvu Kiume. +255714598354

UWASAMI - SABUNI YA VIUNGO Tunatengeneza sabuni ya vuingo ya kila aina. Sabuni ya Karafuu, Mkaratusi, Manjano, Liwa. Bei ya reja reja: 1,000 TSh Bei ya jumla: 700 - 800 TSh. Tunapatikana Pemba - Micheweni Konde Pia tuna Wakala wetu Dar es Salaam na tunaweza kusafirisha kila bidhaa mpaka Dar es Salaam. +255773055099 ZANZIBAR HERITAGE GROUP Vipodozi asilia kama: Lu Coco - 5,000=/ Luu Coco Mix Coconut - 6,000=/ Luu A3 Ointment - 3,000=/ Luu Cream - Luu Q2 Hair Food - 6,000=/ Luu E.Globlus - 3,500=/ Luu Face Care - 6,000=/ Mafuta na sabuni inayesaidia akina mama kwa kuondoa mwasho, fangas na harufu mbaya. Sabuni za maji kwa kufulia, kuogea na kuoshea vyombo. Haya husaidia kwa matatizo kama nywele, ngozi na pia kwa kuchua. +255714986536 ORIFLAME SWEDEN: VIPODOZI VYA NGOZI ASILIA

Je ungependa kubaki na urembo halisia? Ngozi yako inamadoa doa yanayoharibu muonekano wako? Umekuwa na ngozi kavu? ORIFLAME SWEDEN wanakupa vipodozi vya ngozi asilia, perfumes, lipstick, eye pencil, mascara, dawa za meno, shampoo, conditions na make up. Vyote ni vya asiliasili kwa bei nafuu kabisa, wote mnakaribishwa, Kwa mawasiliano zaidi tunapatikana Bagamoyo road jengo la Bay ports floor no 2 au wasiliana na Beatrice Mwingira. +255658295809

SPORTS & LEISURE SPEARHEAD SKATE SCHOOL Spearhead Skate School offers a skateboard camp - Skateboarding lessons with Nataka for beginners & more advanced skaters. What to bring: Skateboard, water, hat, sunscreen, safety gear (especially helmet) Who: Boys and Girls 4 years to 15years Our experienced instructor has taught over 300 kids already! +255782522489 Bbishota@Yahoo.com

Tuma SMS kupitia 0777 75 12 12 na namba iliopo chini, pia na jina lako na ujumbe ungependa umfikishe mtangazaji!

REAL ESTATE & INVESTMENT

LOGISTICS & TRANSPORT

NATAFUTA MTU WA KUSHIRIKIANA NAE KUFANYA SACLE TRADING CO. LTD - CLEARING & FORWARDBIASHARA Ninatafuta mtu wa kushirikiana nae kufanya bi- ING Inashughulika na Wakala wa forodha. Ofisi zetu zinapa-

ashara. Awe na vigezo vifatavyo Awe na mtaji kuanzia laki 9 au nusu yake. Awe popote Tanzania Umri kuanzia miaka 22 na kuendelea Kwa maelezo zaidi wasiliana na mimi // I am a business man and I am looking for someone who can join with me to make a partnership in a business. Capital Tshs 900000/=, Nationality - Tanzanian. Tuma SMS anza na #7.44928 kwenda 0777 751212.

tikana Bibi Titi Mohamed na Jamhuri - Mnazi Mmoja DSM karibu na NBC Mnazi Mmoja - King Palace Building, Second Floor, room 005 Saa za kazi: Saa 2 asubuhi - saa 2 usiku. // Our Office is at Bibi Titi Mohamed Jamhuri Street - Mnazi Mmoja DSM near the NBC Mnazi Mmoja - King Palace Building, Second Floor, room 005. +255754360023 sacletrading@hotmail.com

SEARCH: BUSINESS PARTNER FOR IMPORTING MSS LOGISTICS CO. LTD AFFORDABLE PRICE & BEST GOODS TO SA Our company has entered into an agree- SERVICES We deal with: Lo-

gistics, Consolidation, Transportation, Clearing & Forwarding. Getting your goods through customs promptly and efficiently is vital to your business. We can help you! MSS Logistics is a dynamic Logistics Company based in Dar es Salaam, Tanzania. Working INVEST IN ULAYA HYDRO & WINDMILL TECHNOL- Hours: Saa 2 Asbh - Saa 2 Usiku. +255714813582 info@ OGY Tunatafuta investors! ULAYA HYDRO AND WINDMILL msslogistic.com TECHNOLOGY LTD wanatafuta investors/ sponsor wa MUSIC, ART & ENTERTAINMENT project zao na hati zote zipo. Miradi yao 1: NKWILO SMALL HYDRO POWER 2.9 MW 2: UZIA SMALL HYDROPOWER HUDUMA YA KUKODISHA MUZIKI KWENYE SHU1 MW 3: KALUMBALEZA SMALL HYDRO POWER 1.2MW. GHULI MBALI Natoa huduma ya kukodisha muziki kwenye shughuli mbali mbali ndani na nje ya Dar es salaam. +255755802948 georgeulaya@yahoo.com Kwa maelezo zaidi wasiliana nami Barnaba David. // I do JUKUNUM - ASALI SAFI YA NYUKI Jumuiya ya kuen- rental for music services for various occasions and events deleza ufugaji nyuki inatoa huduma na mbinu za ufugaji nyuki inside and outside of Dar es Salaam. Contact Barnabas David kwa kutumia banda na uvunaji wa asali iliyosalama kwa mtu+255717336610 miaji. Ufugaji wa Nyuki ni kazi ya asili tokea enzi za watu wa kale. Ufugaji nyuki ni endelevu na ni rafiki na mazingira ambao unatupatia tija kubwa kama Asali, NTA, Sumu ya Nyuki, Gundi ya Nyuji n.k. Matumizi ya NTA Hutengenezea mishumaa Hutengeneza masega Hutengeneza madawa n.k Tunaptikana Vitongo-Kibokoni Chake - Pemba. +255777431376 ment with a seaweed & cashew nuts buying industry in South Africa, which are currently looking for tonnes of these products. I’m looking for any one who would like to partner with us or to give the whole tender of supplying the products. For more details contact or visit our office at Airport road Unguja Zanzibar. sylvesterjulius@gmail.com

MLOKOLE REAL ESTATE AGENCY Je unahitaji kazi kama hotel, supermarket, dukani, wafanya usafi maofisini, secretary, sales & marketing, house girls/ boys au wafanya kazi? Na viwanja maeneo ya Mbezi, Kimara, Kitunda, Chanika, Mbagara, Bunju, Kibamba, Kibaha, Mlandizi, Tabata kwa bei ya kuanzia milion mbili? Kutana na MLOKOLE REAL ESTATE AGENCY MANZESE TIPTOP. +255717342414 josephjaphet923@gmail.com


MATANGAZO YA TUPOMOJA

JE, UNAHITAJI?

NYUMBA/KIWANJA BAGAMOYO

SHAMBA LA HEKA MOJA LINAUZWA, 500M KUTOKA BAGAMOYO ROAD Ndani ya shamba kuna minazi 15,

miembe 3. Umeme na maji vipo karibu, pia Barabara inapita karibu na shamba. Bei ni maelewano. // Farm/Plot for Sale, 500 meters from Bagamoyo road, 1 hectare, 15 coconut trees, 3 mango trees, Electricity and water connection are close. Tuma SMS anza na #7.45768 kwenda 0777 751212.

DAR ES SALAAM VIWANJA VINAUZWA KIGAMBONI - MWASONGA (KIBADA) Vipo karibu na barabara, mita 35x35 square me-

ter 1225 kwa tsh 8 millions. Eneo ni nzuri, tambarare kuna miembe na migomba. // Plot for sale in Kigamboni - Mwasonga (Kibada), located near the main road, 35x35meter (1225 sqm). Price: 8 millions. It is located in a good environment with mango & banana trees. Tuma SMS anza na #7.45886 kwenda 0777 751212.

KIWANJA CHENYE UKUBWA WA 2.2 ACRES KINA APARTMENTS

Tuma SMS kupitia 0777 75 12 12 na namba iliopo chini, pia na jina lako na ujumbe ungependa umfikishe mtangazaji!

3 BEDROOM HOUSE FOR RENT - MIKOCHENI B

House for rent, 1 self contained, 3 bed rooms, Sitting, Dining, Kitchen, Toilet, Bath, Water, Electricity and Parking area. Rent: 650 USD Location: Mikocheni B - Dar es Salaam Call me! Tuma SMS anza na #7.44177 kwenda 0777 751212.

BEAUTIFUL HOUSE FOR RENT, FURNISHED MIKOCHENI B Beautiful house for rent, furnished, on

sheard compound, 1 self contained, Sitting room, Kitchen, AC, Water, Electricity, Parking & Garden. Rent: 600 USD Location: Mikocheni B - Dar es Salaam Call me! Tuma SMS anza na #7.44176 kwenda 0777 751212.

APARTMENT FOR RENT (FULLY FURNISHED) MIKOCHENI B Nice apartment full furnished, 1 self con-

tained, Sitting room, Dinning, Kitchen, AC, Security, Generator, Free water & parking for rent. Rent: 800 USD Location: Mikocheni B - Dar es Salaam Call me! Tuma SMS anza na #7.44175 kwenda 0777 751212.

NATAFUTA CHUMBA DSM SINZA AU KINONDONI

Kiwanja kipo Kurasini Valley inn karibu na baraza la maaskofu. // Compound 2.2 acres with apartments. The compound is in Kurasini Valley inn near the Bishops. Tuma SMS anza na #7.45546 kwenda 0777 751212.

Ninatafuta chumba moja DSM Sinza au Kinondoni. - Eneo tulivu - Kiwe na umeme na maji - Kiwe na choo ndani - Vizuri zaidi kama kitakuwa ndani ya geti. // I’m looking for a room in Dar es Salaam, Sinza or Kinondoni. Quiet & peaceful with electricity & water, within a fenced compound. Tuma SMS anza na #7.43906 kwenda 0777 751212.

KIWANJA CHA FT 20 KWA FT 20 KINAUZWA BUNJU B. Kiwanja kinauzwa kipo Bunju B. Kina ukubwa wa ft 20 kwa

TUNAUZA KIWANJA KIPO BUYUNI SQM 1,439 Tsh

20. Umeme umeshafika na maji yapo karibu na kiwanja. Bei ni milioni nne na nusu. Kipo karibu na barabara. // I’m selling a Plot located at Bunju B. The size is 20x20 ft. The price is 4,5million TSH. It is located near the street. Tuma SMS anza na #7.45365 kwenda 0777 751212.

VIWANJA VINAUZWA KILWA ROAD KISEMVULE KWA BEI POA Viwanja vinapatikana Kilwa Road Kisemvule

kutoka kiwanda cha cement cha RHINO 2km kuingia ndani kama unaenda Mkuranga mkono wa kushoto, kitongoji cha TOPE. Ukubwa wa viwanja ni: 50ft*50ft 1.5million, 50ft*60ft 1.7million, 50ft*75ft 2.0million. // Plots at Kilwa Road Kisemvule. The sizes are: 50ft*50ft 1.5million, 50ft*60ft 1.7million, 50ft*75ft 2.0million. Tuma SMS anza na #7.45360 kwenda 0777 751212.

NYUMBA YA VYUMBA VITANO INATAFUTWA IWE TABATA Natafuta nyumba ya kupanga ya vyumba vita-

no, iwe Tabata Segerea. Bei iwe kuanzia 250,000 hadi laki 300,000/= // I am looking for 5 bedroom house for rent at Tabata Segerea. Price range: 250,000 up to 300,000/= Tuma SMS anza na #7.45222 kwenda 0777 751212.

NAUZA SHAMBA. KONGOWE MTAA WA VIKUGE. 15MIL Linaukubwa wa heka 1, lina miti ya mikorosho na

frem ambazo hazijakamilika. Bara bara inapitika na umeme umefika. Lipo Kongowe mtaa wa vikuge (DSM Mbagala) Bei million 15 na inapungua. // Farm land for sale: Size 1 hectare. Accessible by road and connected to electricity. Located at Kongowe, Mtaa wa Vikuge (Mbagala) 15 million TSH. Tuma SMS anza na #7.44694 kwenda 0777 751212.

NAUZA NYUMBA MBILI MTONGANI RELINI, DAR 50 MIL. Nyumba kubwa inavyumba 5 na nyumba ya uani ina

vyumba 4 na public toilet. Bei 50 million na ni maelewano pia. Maeneo: Mtongani Relini, Dar es Salaam // I’m selling houses. 5 rooms and 4 rooms with public toilet. Price: 50 million negotiable Location: Mtongani Relini, Dar es Salaam. Tuma SMS anza na #7.44693 kwenda 0777 751212.

NYUMBA YA VYUMBA VINNE INAPANGISHWA MBEZI BEACH Nyumba inapangishwa Mbezi Beach karibu

na TTCL Nyumba ina vyumba vinne. Kimoja ni masterbadroom, pia ina air condition, umeme na maji, nimezungushiwa uzio, na pia inasehemu ya gereji Kodi ya mwaka au miezi 6, ambayo ni laki 8 kwa mwezi. Bei itapunguwa kwa atakae itaji // 4 BR house for rent at Mbezi Beach near TTCL, Rent 800,000 per month. Tuma SMS anza na #7.44406 kwenda 0777 751212.

PLOT FOR SALE AT KAWE JOSEPH - 80 MILLIONS TSH Plot with title deed for sale for the Price of 80 millions

in Kawe Joseph. Tuma SMS anza na #7.44178 kwenda 0777 751212.

13,000,000/= Tunauza kiwanja kipo Buyuni kama unaenda Chanika karibu na Maghorofa ya Wachina. Kina ukubwa square metre 1,439. Kimepimwa. // 1439 square metre plot for sale at Buyuni Chanika road near the Chinise house. Tuma SMS anza na #7.43887 kwenda 0777 751212.

MOROGORO NATAFUTA MUWEKEZAJI KATIKA KIWANJA, MOROGORO Natafuta mtu ambae atawekeza katika kiwanja

changu, iwe kampuni au mtu binafsi na hata taasisi mbali mbali. Kiwanja kina ukubwa usio pungua nusu heka. Ambacho kinapatikana Morogoro Kihonda Magorofani. Kipo laini ya pili barabarani. Maeneo ya kota za polisi. // Looking for someone who is ready to invest in my property. Size: half acre. Location: Morogoro, Kihonda Magorofani. Tuma SMS anza na #7.43801 kwenda 0777 751212.

MOSHI NAUZA SHAMBA INA NYUMBA YENYE VYUMBA KUMI MOSHI Nauza shamba ina nyumba yenye vyumba

10. Nyumba hiyo na kiwanja hicho iko Mkoa wa Moshi ipo Panda Road maeneo ya Katanini karibu na ofisi za Chadema. Ukubwa wa shamba hilo ni acre mbili na nusu. Nina hati pia kuna chemchem tatu na maji ya serekali. Nyumba hiyo ina choo ndani na viumba vinne ila sio self contained. Nyumba nyingine ya viumba 6 na choo chake cha kujitegemea. Ina parking ya gari, ina muonekano mzuri na masingira mazuri yenye miti ya kivuli. Bei ya maelewano. Tuma SMS anza na #7.43990 kwenda 0777 751212.

KIBAHA NATAFUTA KIWANJA CHA KUNUNUA MAENEO YA KIBAHA Natafuta kiwanja/ I am looking for a plot: Natafuta

kiwanja cha kununua maeneo ya Kibaha Kongowe. Kiwe nje kidogo na bara bara. Kiwe na ukubwa wa hekta 2. Aliyenacho tuwasiliane. // I am looking for a plot at Kibaha-Kongowe. Little bit away from main road. The size must be minimum 2 hekta. Tuma SMS anza na #7.44505 kwenda 0777 751212.

NAUZA NYUMBA YA KISASA TABATA - SEGEREA

Nyumba ya kisasa iIpo Tabata Segerea Dar es Salaam. Ina vyumba vitatu, study room, 1 master na jiko la ndani. 70x35meter ukubwa wa kiwanja. Full tiles, public toilet ndani, AC katika sitting room, master bedroom na dining room. Imezungushwa na fence ndefu imepigwa rangi. Full paving ndani. Bei 350,000 million TSh. Tuma SMS anza na #7.43884 kwenda 0777 751212.

KIWANJA HEKTA 7 + NYUMBA YENYE VYUMBA 9

Kiwanja kipo Kisemvule Kilometre 30 toka katikati ya miji Kinaukubwa wa hekta 7 Kipo umbali wa mwendo wa dakika kumi kutoka barabarani Pia ndani ya kiwanja kuna nyumba yenye vyuma tisa ikiwemo Master bedroom Vyoo vya wageni viwilli Kinauzwa millioni mia nane 800,000,000 TSH. Tuma SMS anza na #7.43875 kwenda 0777 751212.

NATAFUTA CHUMBA DSM MAGOMENI, KINONDONI, MWANYAMAL Natafuta Chumba Eneo: DSM Ma-

gomeni, Kinondoni, Mwanyamala Kiwe na choo ndani Maji na Umeme Kiwe na ukubwa wa wastani. Tuma SMS anza na #7.43874 kwenda 0777 751212.

NEW 5 BEDROOMS 2 STORY HOUSE FOR RENT IN TWANGOMA Completely new 5 bedrooms 2 story house,

all of them ensuite. Servant quarters with kitchen, bedroom and store. Water and electricity available. Nice garden with mango trees and flowers. Decorated wit Tanga Stone. Rentable for 2,000 USD Location: Twangoma. Tuma SMS anza na #7.43872 kwenda 0777 751212.

KIWANJA & NYUMBA 4BDR, MAJI NA UMEME. KINONDONI Omary: Ninauza kiwanja chenye nyumba ndani

yake kwa bei ya million 230. Ukubwa wa kiwanja ni sqm 363. Na ndani yake kuna nyumba ya vyumba 4, sebule, jiko na choo. Maji na umeme vinapatikana. Eneo linapatikana laini ya pili kutoka barabarani, mtaa wa Kinondoni Vijana Dar es salam. Karibu sana. Tuma SMS anza na #7.37213 kwenda 0777 751212.

KEREGE KINAUZWA KEREGE

KIWANJA BAGAMOYO 32,801SQM Kinaukubwa wa 32,801sqm. Its also available

in plot size (23 plot available) Price per sqm is 12,000TSH. Also available as a whole. Units have been approved on all legal documentation. Its has a gentle slope with vegetation and trees. The Zingo River flows beside it. Price: 11,950 TSH/ sqm. Tuma SMS anza na #7.43870 kwenda 0777 751212.

Tuma sms anza na #7.xxxx kwenda 0777 75 12 12.

Habari Tupomoja, nina nia na nyumba #7.xxxx tafadhali niunganisheni nayo!



MATANGAZO YA TUPOMOJA GARI

JE, UNAHITAJI?

GARI AINA YA 2000 HARRIER INAUZWA - 18 MILLION Km 10,067. Price: 18,000,000 TSH. Gari ipi Kigamboni

Dar es salaam. Make: Toyota. Fuel: petrol. Condition: used overseas Transmission: automatic. Color: silver. Drive train: 2WD. Build year: 2000. Location: Kigamboni. Tuma SMS anza na #7.45711 kwenda 0777 751212.

NAKODISHA NOAH NA CARINA Nakodisha magari mawili: Toyota Noah na Toyota Carina. Ninapatikana Mbagala Kizuiani - Dar es Salaam Tembelea Gari kwa bei nafuu. Wasiliana nami sasa. // Toyota Noah and Toyota Carina for rent. I am in Mbagala Kizuiani - Dar es Salaam Drive a good car for a affordable price. Tuma SMS anza na #7.44988 kwenda 0777 751212. TOYOTA ESTIMA FOR SALE - 8,500,000 TSH Toyota Estima, silver, automatic, katika hali nzuri sana, 2 WD, petrol Bei 8,500,000 TSh. Tuma SMS anza na #7.43883 kwenda 0777 751212. HONDA ACCURA FOR SALE - 8,500,000 TSH NEG.

Honda Accura, green, petrol, automatic, 2 WD Bei 8,500,000 TSh negotiable. Tuma SMS anza na #7.43882 kwenda 0777 751212.

RANGE ROVER LIGHT BLUE 4WD FOR SALE AT SEGEREA I am selling a Range Rover. Great Price and the

car is in very good condition. Nauza gari bei maelewano na ipo kwenye hali nzuri sana. Make: Range Model: Rover Fuel: Petroli Condition: Used locally Transmission: automatic Color: light blue Drivetrain: 4WD Location: Segerea opposite na Lake Oil Segerea. +255713409281 komanga66@yahoo.com

TOYOTA CORROLA, MODEL 110 FOR SALE - 6,000,000 TSH Toyota Corrola, Model 110, petrol,

automatic, 2WD, katika hali nzuri kabisa, rangi nyeupe. Bei 6,000,000 TSh. Tuma SMS anza na #7.43881 kwenda 0777 751212.

FUNDI MAKINI WA INJECTOR PUMP ANAPATIKANA Je, gari yako ina matatizo ya pump? Kutana na Ramson.

Tuma SMS kupitia 0777 75 12 12 na namba iliopo chini, pia na jina lako na ujumbe ungependa umfikishe mtangazaji!

CRANE, FORK LIFT & TRANSPORTATION Tunashu-

ghulika na kukodisha mitambo aina zote: Crane & Fork lift na Transportation. Tunafanya kazi masaa 24. Wako tayari hata mikoani! +255713645332

SUPER CAR FOR SALE - VOLKSWAGEN PASSAT ESTATE SUPER CAR FOR SALE - Volkswagen Passat Es-

tate,2001, Automatic, 2.0L Sport Variant 80K (miles). Good condition - big boot - super comfy for long road trips too. Email me for more photos and London garage service docs. Price: $6,000 Tuma SMS anza na #7.46084 kwenda 0777 751212.

GARI AINA ALTEZZA - TSH 7,5 MIL. Nauza Gari Aina Altezza. T818BQD. Bei: 7,500,000 TSH. Msasani, Dar es Salaam. Kwa maelezo zaidi wasiliana na mimi. Tuma SMS anza na #7.46055 kwenda 0777 751212. NISSAN MARCH T INAUZWA Nauza gari Nissan March T 401BPC ina 48 kilometer ya mwaka 2000, inatumia gasoline(petrol) bei ni Tsh 5,000,000 milioni negotiatable yes (maongezi yapo). Tuma SMS anza na #7.46022 kwenda 0777 751212. TUNAUZA GARI YA KUTEMBELEA NOAH Tunauza gari

ya kutembelea NOAH PF Plate number. Engine 3s, Colour: silver, Model: Noah 2000cc. BEI nafuu Tsh m 6.5 nyote mnakaribisha kwa maelezo zaidi piga simu Tuma SMS anza na #7.46021 kwenda 0777 751212.

NAUZA GARI AINA YA MORANO CCH Nauza gari aina ya Morano CCH. Bei ni shilingi milioni nne za kitanzania. Tuma SMS anza na #7.46017 kwenda 0777 751212. NATAKA GARI AINA YA TAX CRESTA 2000 AU 1998

Tuma SMS anza na #7.46016 kwenda 0777 751212.

SUZUKI CARRY INAUZWA MILLIONI 6.5 C NUMBER

Tuma SMS anza na #7.46013 kwenda 0777 751212.

GARI AINA YA CENER MITSUBISHI 1999 INAUZWA

Nimepata mafunzo ya kuendesha gari pamoja na ufundi kutoka chuo cha VETA. Nina uwezo wa kutengeneza Injectotor pump kwa gari yoyote ile. Ninauzoefu kwa muda wa miaka 5. Nimefaya kazi kampuni ya Tanloading kwa muda wa miaka 2. Natafuta kazi ya udeva na tenda za wanaohitaji kutengenezewa injector pump wanakaribishwa sana. Tuma SMS anza na #7.45782 kwenda 0777 751212.

Tuma SMS anza na #7.46007 kwenda 0777 751212.

NG’OLO COMPANY LTD: KWA MAHITAJI YA SPARE ZOTE Tunauza spare za aina zote: magari, pikipiki, baiskel,

na uuzaji wa magari na vipuri. Tunauza gari za kila aina, vipuri pamoja na kukata magari kwa ajili ya kuuza vipuri. Tunapatikana Ilala Msaada Gereji. Kwa mahitaji yako tafadhali wasiliana nasi: azizomar076@gmail. com +255785252383

bajaji. Muda wetu wa kazi ni kuanzia saa 1.00 asubuhi mpaka saa 12.00 jioni. Nyote mnakaribishwa. Duka linapatikana Kariakoo mtaa wa Swahili na Donge. // We’re selling Spare Parts for any kind of Vehicles. We are located at Kariakoo, Swahili & Donge Street. +255657492129

CAROLINE MWAKABUNGU USED CARS Ninauza magari

kwa bei nafuu kabisa za CIF. Passo new model 2010 - 12,617,000 Ractis 2006, Cc 1490, mileage 127,000km - 10,663,400 Raum new model 2004, Cc 1490, mileage 102,000km - 10,502,800 Spacio new model 2004, Cc 1790, mileage 116,000km - 11,787,600 Wasiliana na Caroline via Facebook au Instagram ”Caroline mwakabungu used cars”. mwakabungucaroline@gmail.com +255767370006

Tuma sms anza na #7.xxxx kwenda 0777 75 12 12.

Habari Tupomoja, nahitaji kuzungumza na muuzaji, tafadhali niunganishwe na #7.xxxx!

GARI YA KUTEMBELEA NOAH PF PLATE NUMBER KWA BEI NAFUU TSH M 6.5A Tuma SMS anza na

#7.45977 kwenda 0777 751212.

RIDERS AVENUE - MAGARI & VIPURI NInayojishughulisha

NINAUZA TOYOTA RAV 4, 1998 MODEL - TSHS 7,000,000 Ninauza Toyota Rav 4, 1998 model, manual

drive, blue in colour, 120,000km. Nipo Kahama bei TSHS 7,000,000. Tuma SMS anza na #7.46015 kwenda 0777 751212.

KUNUNUA & KUUZA VITU MBALI MBALI ICE CREAM MACHINE INAUZWA KWA BEI NAFUU SANA. Ice cream

machine inauzwa kwa bei nafuu sana. Inatumia umeme mdogo sana. Inagandisha ndani ya dk 3. Imetumika kwa wiki 3 tu. Imetengenezwa Italy. Ipo Ubungo. Bei tsh 3millions na mazungumzo yapo. Tuma SMS anza na #7.45825 kwenda 0777 751212.

SAMSUNG GALAX S5 INAUZWA 100,000TSH SAMSUNG GALAX S5 Inauzwa kwa tsh. 100,000 /= Inauwezo wa internet, whatsapp nk. // SAMSUNG GALAX S.5 Sold for 100,000tsh It has internet, whatsapp and more. Tuma SMS anza na #7.45824 kwenda 0777 751212.

MY NUMBER ONE WORLD GADGETS ORIGINAL PRODUCTS NMobile Phones:

Nokia, Samsung, HTC, iPhone, LG, Tecno, Flash, Huawei. Phone Covers, Charger, USB, Power bank,s Memory cards, Headphones/ Earphones, Protector, Flash disc, Betri, Bluetooth speakers, Mp3/mp4, Selfie stick, camera, monopod, Adapter, Connector. Bidhaa zetu ni original epuka matapeli wanaotumia jina letu. Njoo katika maduka yetu au piga simu yetu hii ni hotline wakati wowote: +255 718 281 858

NATAFUTA TV YA 22INCH FLATSCREEN Natafuta TV ya inch 22 flatscreen. Rangi nyeus Kabila au aina ya LG, Hitachi, Philips, HP, Panasonic au especially Sony Iwe Dar es Salaamau sehemu yoyote ila aniletee DSM Iwe laki 2 thamani au laki tatu na nusu. Tuma SMS anza na #7.43857 kwenda 0777 751212. USED HUAWEI Y 530 FOR SALE - TSH 150,000 Used HUAWEI Y 530 for sale... It is in good condition. Price: tsh 150000 (negotiable) // HUAWEI Y 530 ya mtumba inauzwa, iko kwenye hali nzuri Bei ni Tsh 150,000/= pia inazungumzika. Tuma SMS anza na #7.42316 kwenda 0777 751212. NINAUZA UBUYU ULIO TENGENEZWA NA USIO TENGENEZWA Ninauza ubuyu ulio tengenezwa na usio

tengenezwa. Pata ubuyu safi kwa bei poa tunakufikia popote ulipo Tanzania. Bei inategemea na kilogram. Ubuyu uliotengenezwa kwa kilo 1 ni Tsh 4000 Ubuyu hujatengenezwa kilo 1 Tsh 1500. +255759391444


MATANGAZO YA TUPOMOJA KAZI

JE, UNAHITAJI?

ACCOUNTING & SHOPKEEPING NATAFUTA KAZI YA CASHIER Jane, 22, kutoka Makumbusho, Dar es salaam: Kidato cha nne, Diploma ya accountancy. UZOEFU: Miezi sita. SKILLS: Computer. // Jane with Form Four certificate & Diploma in Accountancy and 6 months experience & Computer skills ready to work. Tuma SMS anza na #7.45800 kwenda 0777 751212. NATAFUTA KAZI YA SHOPKEEPER NDANI YA DAR

Hilda, 23, kutoka Mbezi: ELIMU - Kidato cha nne. UZOEFU: Mwaka mmoja. Natafuta kazi ya shopkeeper ndani ya Dar. // Hilda with 1 year experience would like to work as a shopkeeper. Tuma SMS anza na #7.45781 kwenda 0777 751212.

JOB SEARCH: MARKETING, ACCOUNTANT AND CASHIER Shafii, 22, kutoka Temeke, Dar es salaam: ELIMU -

Kidato cha sita. LUGHA: Kiswahili & English. UZOEFU - Miaka 2. Natafuta kazi ya marketing na ya uhasibu na cashier. // Shafii with 2 years experience is looking for a job in the field of marketing, accountant and cashier. Tuma SMS anza na #7.45779 kwenda 0777 751212.

NATAFUTA KAZI KAMA SHOPKEEPER AU WAITRESS Furaha, 23 kutoka Sinza, Dar es salaam: ELIMU - Ki-

dato cha nne. UZOEFU: Mwaka mmoja. Natafuta kazi kama shopkeeper au waitress. // Furaha is looking for work as a shopkeeper or waitress. Tuma SMS anza na #7.45767 kwenda 0777 751212.

NINATAFUTA KAZI YA STATIONERY, UZOEFU MIEZI MITATU Naitwa AMINA. Ninaishi GONGO LA MBOTO, Dar es

Salaam. Ninatafuta kazi ya stationery. Ninauzoefu wa miezi mitatu wa kazi hiyo. Lugha: Kiswahili na Kingereza Eneo: Sehemu yoyote Tanzania. Tuma SMS anza na #7.45479 kwenda 0777 751212.

JOB SEARCH: ACCOUNTANT, BANK, CASHIER Jack-

line, 23: Ninatafuta kazi kama Accountant, Sales Officer, Bank Teller au kama Cashier. Nipo tayari kufanya kazi Iringa, Dar au Mbeya. Lugha: Kiswahili & Kiingereza. Mimi ni mchapakazi na ninaweza kufanya kazi na watu wengine na tofautitofauti. // Jackline is looking for a job as an Accountant, Sales Officer, Bank Teller or as a Cashier. Tuma SMS anza na #7.45368 kwenda 0777 751212.

ACCOUNTANT WITH BACHELOR LOOKING FOR POSITION Lilian, 25, from Tabata Segerea, Dar es Salaam.

EDUCATION: Bachelor Degree of accountancy. EXPERIENCE: 3 months at Ilala Municipal Council. LANGUAGE: Swahili & Kiengereza // Lilian: Bachelor Degree ya Acountancy. Anatafuta kazi ya accountant. Tuma SMS anza na #7.44652 kwenda 0777 751212.

JE, UNATAFUTA MTU WA KUUZA DUKA? TUWASILIANE Jackson, 20, kutoka Moshi. Uzoefu miezi 5. Elimu

yangu ni kidato cha nne. Natafuta kazi ya kuuza duka la vifaa vya ujenzi au duka la jumla na reja reja. Mimi ni kijana mchapa kazi, mwenye kujituma na mwaminifu. Nina uwezo wa kuzungumza kiswahili na kiingereza. Mshahara 65,000 /= Nipo tayari kufanya kazi muda wowote. // Jackson is looking for a job as a shop keeper. Tuma SMS anza na #7.44403 kwenda 0777 751212.

ADMINISTRATION & FRONT OFFICE NATAFUTA KAZI YA SECRETARY & ADMINISTRATION Mariamu, 20, kutoka Buguruni, Dar es salaam: Elimu

yangu ni kidato cha nne, Cheti cha computer. Natafuta kazi ya usecretary // Mariamu with Form four certificate & Computer certificate is looking for a job as secretary. Tuma SMS anza na #7.45805 kwenda 0777 751212.

Tuma SMS kupitia 0777 75 12 12 na namba iliopo chini, pia na jina lako na ujumbe ungependa umfikishe mtangazaji!

SALES, MARKETING & ADMIN JOB SEARCH. EXP. 2YRS Agnes, 22, kutoka Mbezi, Dar es salaam: ELIMU - Ki-

dato cha nne, Graphical design certificate. LUGHA - Kiswahili & English. UZOEFU - 2 years as a secretary & receptionist at Hifadhi Builders. Natafuta kazi ya sales and marketing, ndani ya Dar. // Agnes with Graphical design certificate and 2 years experience as a secretary & receptionist ready to work. Tuma SMS anza na #7.45778 kwenda 0777 751212.

Nina degree ya human resource managment (St. Lawrence University in Uganda). Natafuta kazi yeyote, Nina uzoefu wa miaka miwili. LUGHA - kingereza & kiswahili. Tuma SMS anza na #7.45544 kwenda 0777 751212.

NATAFUTA KAZI YA CUSTOMER CARE Natafuta kazi ya Customer Care. Naongea Eng & Swa. Nina elimu ya Certificate in Social Work and Social Admininistration. Nina uzoefu wa mwaka mmoja. // I am looking for work in the field of customer care. I speak English & Swahili. I have a certificate in Social Work & Social Administration. Experience: 1 year. Tuma SMS anza na #7.45827 kwenda 0777 751212.

JOB SEARCH: ADMINISTRATION. EDUCATION: CERTIFICATE TJUMANNE from Dar es Salaam: QUALIFICATION

NATAFUTA KAZI YOYOTE I CHETI CHA UALIMU WA AWALI Fransisca, 28, kutoka Bunju B, Dar es salaam: ELIMU

NATAFUTA KAZI YEYOTE, NINA UZOEFU WA MIAKA MIWILI Naitwa Shamimu, naishi Magomeni Dar es salaam.

- CERTIFICATE OF PARTICIPATION FAWE (Forum for Africa Women Educationalist), Sec/Education CERTIFICATE, CERTIFICATE in BUSINESS ADMINISTRATION. LANGUAGE - English basic, Kiswahili. INDIVIDUAL STRENGTHS - Hard working - Self-motivated - Team player - Ability to work under minimum supervision - Analytical skills. Tuma SMS anza na #7.45290 kwenda 0777 751212.

- Kidato cha nne, Cheti cha ualimu wa awali. Natafuta kazi ya yoyote. Pia nipo radhi kufanya kazi yoyote ikiwa sales. // Fransisca with Certificate of nursery teacher looking for any job, for example in the field of sales. Tuma SMS anza na #7.45793 kwenda 0777 751212.

JOB SEARCH: BANK MESSENGER. EDUCATION: HR & TV Kiva Michael, 24, kutoka Ukonga. ELIMU: Certificate ya

dato cha nne. LUGHA - Kiswahili & Kingereza. Natafuta kazi ya sales. Nina uzoefu wa mwaka mmoja kama sales dukani Kariakoo. // Mariam with 1 year experience is looking for a job in the field of sales. Tuma SMS anza na #7.45792 kwenda 0777 751212.

human resources management, Diploma of TV Production (IAMCO), Form four Certificate. LUGHA: Kiswahili & Kingereza. Natafuta kazi ya Bank messenger. // Kiva Michael is looking for a job as a Bank messenger. Tuma SMS anza na #7.45212 kwenda 0777 751212.

NINATAFUTA KAZI YA MAENDELEO YA JAMII AU SECRETARY Ninaitwa ELICE, 22, na ninatokea Iringa. Nina-

tafuta kazi ya maendeleo ya jamii (social development) au secretarials duties. Nina uzoefu wa mwaka mmoja kwenye kampuni ya COMT Enterprise. Elimu yangu ni certificate in Social Development. Ninapenda kujituma kwa kazi zangu. Lugha: Kiswahili & Kiingereza kiasi. Tuma SMS anza na #7.44696 kwenda 0777 751212.

FADHILA ANATAFUTA KAZI SECRETARY /CUSTOMER CARE Natafuta kazi Secretary / Customer Care. Mimi

naitwa Fadhila, umri wangu ni 32. Natafuta kazi ya kwenya sekta ya Secretary na Customer Care Service. Uzoefu: Mwaka mmoja kwenye NGO inayohusika na maswala ya HIV. Elimu: Kidato cha nne. Lugha: Kiswahili & Kiingereza. // Fadhila is looking for work as a Secretary or in Costumer Care. Tuma SMS anza na #7.43934 kwenda 0777 751212.

CUSTOMER CARE & SALES NATAFUTA KAZI YA USECRETARY/HOTEL/CUSTOMER SERVICE Neema, 22, kutoka Tabata Kinyerezi, Dar:

ELIMU Certificate full secretary, Computer certificate & hotel management. Natafuta kazi ya usecretary/ hotel /customer service/ supermarket. Nina uzoefu wa kutosha. // Neema with Certificate full secretary, Computer & hotel management certificate is looking for a job as Secretary / in a Hotel / as customer service / in a supermarket. Tuma SMS anza na #7.45881 kwenda 0777 751212.

JOB SEARCH: SALES & MARKETING, PROCUREMENT, ADMIN Jackson: BA in Business Administration. Ex-

perience: Sumbawanga Muniscipal - Field practical training. Objectives: Finding a job in the field of Sales and Marketing officer, Business Adminstration / Adviser or Procurement Officer as well as HR and accountancy, finance officer or loan officer. Preferred location: Mbeya, Iringa, Katavi, Sumbawanga Language Skills: Kiswahili & English. Tuma SMS anza na #7.45848 kwenda 0777 751212.

NINATAFUTA KAZI YA CUSTOMER CARE NA SALES

Ninatafuta kazi ya customer care na sales. Elimu wangu ni form four. Nina uzoefu wa mwaka mmoja katika kampuni ya Tigo. Ninajua kuongea kingereza na kiswahili. // Looking for a job as customer care or sales. Education: form 4. I have 1 year experience of work at Tigo. English & Swahili. Tuma SMS anza na #7.45830 kwenda 0777 751212.

CHANGING LIVES

NINATAFUTA KAZI YA SALES Ninatafuta kazi ya sales, kazi ya kuuza na kutangaza matangazo ya biashara. Nina ujuzi huo. Elimu: Form four. Nina uwezo wa kuongea kiswahili. // Looking for a sales job. I want a job in selling and advertising advertisement options to companies. I have experience in that field. Eductation: form 4. I speak swahili. Tuma SMS anza na #7.45829 kwenda 0777 751212.

NINA UZOEFU WA MWAKA MMOJA. NATAFUTA KAZI YA SALES Mariam, 22, kutoka Mbagala: ELIMU - Ki-

JOB SEARCH: MARKETING OFFICER I BACHELOR BA

Idrisa ,29, kutoka Dar es salaam: ELIMU - Bachelor of business administration. LUGHA - Kiswahili & English. UZOEFU miaka 2 at Baraka pharmacy, Field Mahenge district council & Morogoro district council. Natafuta kazi ya marketing officer. // Idrisa is looking for a job as a marketing officer. Tuma SMS anza na #7.457756 kwenda 0777 751212.

NATAFUTA KAZI YA SHOPKEEPER, SUPERMARKETS, WAITRES Rahma, 23, kutoka Ubungo Dar es sa-

laam. Elimu yangu ni form six, nimesoma London High School Kampala Uganda. Natafuta kazi ya shopkeeper, supermarkets, waitress, shells, ndani ya Dar-es-salaam. Nina uzoefu wa kazi kwa muda wa miaka 2 LUGHA - kingereza na kiswahili. Tuma SMS anza na #7.45545 kwenda 0777 751212.

NATAFUTA KAZI YA MAMBO YA KILIMO / SUPERMAKERT Naitwa Emmanuel, nina umri wa miaka 27. Naishi

Mbagala Dar es salaam. Elimu certificate ya kilimo kutoka Morogoro Natafuta kazi ya mambo ya kilimo / supermarket popote. Uzoefu wa kazi miaka miwili ndani ya super market lugha - Kiswaili & Kingereza. Tuma SMS anza na #7.45487 kwenda 0777 751212.

NATAFUTA KAZI: SALES/SHOPKEEPER, UJUZI WA COMPUTER Naitwa Lilian. Nina umri wa miaka 20. Naishi

Mabibo Dar es salaam. Elimu yangu ni ngazi ya cheti. Natafuta kazi yoyote. Nina ujuzi wa computer pia, kazi kwa mfano sales, supermarket, stationary, shopkeeper. Tuma SMS anza na #7.45486 kwenda 0777 751212.

NATAFUTA KAZI: CUSTOMER CARE, SALES AU MAPOKEZI Zaujia, 20, kutoka Mburahati Dar es salaam. ELIMU:

Kidato cha nne. Nina uzoefu wa kutosha. LUGHA: Kiswahili & Kingereza. Natafuta kazi ya customer care, sales, mapokezi. // Zaujia is looking for a job as customer care, sales, receptionist. Tuma SMS anza na #7.45229 kwenda 0777 751212.

Tuma sms anza na #7.xxxx kwenda 0777 75 12 12.

Mambo Tupomoja, nimevutiwa na mtahiniwa No #7.xxxx Tafadhali niunganishe nae!


MATANGAZO YA TUPOMOJA KAZI

JE, UNAHITAJI?

Tuma SMS kupitia 0777 75 12 12 na namba iliopo chini, pia na jina lako na ujumbe ungependa umfikishe mtangazaji!

CUSTOMER CARE & SALES

FUNDI, ENGINEERING & MECHANICS

HOSPITALITY & TOURISM

NATAFUTA KAZI YA MASOKO - SALES AGENT Bray-

NATAFUTA KAZI YA TECHNICIAN KATIKA INDUSTRY MINING JUMA, 22, kutoka Mbezi Louis: ELIMU - mwaka wa

NATAFUTA KAZI HOTELINI Theresia kutoka Tabata,

son, 24, Ukonga, Dar es salaam. ELIMU: Kidato cha nne, Certificate ya Clinical Medical. UZOEFU: Niliwahi kufanya kazi katika Hospitali ya The Walter Hospital ilioko Tandika kama field kwa miezi 3. LUGHA: Kiswahili na Kiingereza // Brayson with Certificate of Health and field experience ready to work. Tuma SMS anza na #7.44648 kwenda 0777 751212.

pili (Ordinary Diploma in mining Engineering), cheti cha kidato cha nne. LUGHA - Kiswahili & English. Natafuta kazi ya Technician katika industry mining kama part time. UZOEFU - Field katika kampuni ya Tancoal Energy ltd sonfes. Tuma SMS anza na #7.45794 kwenda 0777 751212.

NATAFUTA KAZI YA SALES & MARKETING Dominic from Gongo La Mboto, Dar es salaam, 21: Ninaeongea kiswahili na kiengereza. ELIMU - Form 4. UZOEFU - Nilishawahi fanya kazi ya ujasiriamali kwa miezi 6 kazi ya kuuza dawa za kuulia wadudu. Ninatafuta kazi popote ndani ya East Africa. // Dominic is looking for a job in Sales & Marketing any where in East Africa. Tuma SMS anza na #7.44639 kwenda 0777 751212.

JOB SEARCH: CIVIL ENGINEER Frank, 28, from TabataBima: I speak Kiswahili & English. Experience as LTD assistant, Structural engineer & material engineer, Field practical training, Bachelor Degree in Civil Engineering, Excellent computer skills, Open minded, brilliant with an entrepreneurial mindset, Excellent communication and interpersonal skills. MEMBERSHIP: Institution of Engineers Tanzania. Tuma SMS anza na #7.45774 kwenda 0777 751212.

NATAFUTA KAZI: KUUZA DUKA (NGUO/SUPERMARKET) USAFI Ninaitwa ELLY, umri wangu ni 26. Ninai-

NATAFUTA KAZI YA UFUNDI MAGARI, UZOEFU WA MIAKA 7 ATWIYA, 27 kutoka Dar es Salaam, Mbagala. Nina-

shi Dar es Salaam. Ninatafuta kazi ya kuuza duka la nguo au vipodozi, Supermarket, Usafi kwenye office au kampuni. Elimu yangu ni kidato cha nne. Lugha: Kiswahili. // ELLY is looking for work as Seller in a clothes shop, supermarket or as a Cleaner in an office or company. Tuma SMS anza na #7.44612 kwenda 0777 751212.

tafuta kazi ya ufundi magari hasa maroli upande wa matela. Elimu yangu ni darasa la saba. Ninauzoefu wa miaka saba katika kazi hiyo. Lugha: Kiswahili. Tuma SMS anza na #7.45655 kwenda 0777 751212.

JOB SEARCH: MARKETING & BUSINESS ADMINISTRATION Jina langu ni NASIR. Umri wangu ni 28. Ninatafuta

Dar es Salaam. Mimi ni fundi umeme mwenye uzoefu. Nipo tayari kufanya kazi popote. Elimu: Certificate of electrical installation Uzoefu: Miaka 2. // BRUNO, experienced Electrician, ready to work anywhere. Tuma SMS anza na #7.44987 kwenda 0777 751212.

kazi ya Marketing. Iwe mkoa wa Dar es Salaam. Kiwango chake cha elimu ni bachelor of Business Administration. Ninanauzoefu wa miaka pia ninazungumza Kiswahili na English vizuri. Tuma SMS anza na #7.43900 kwenda 0777 751212.

NATAFUTA KAZI YA KUUZA DUKA / SUPERMARKET

Flora, 34, kutoka Vingunguti, Dar es Salaam. Elimu yangu ni darasa la saba. Natafuta kazi ya kuuza duka / supermarket. Nipo tayari kufanya kazi ndani ya Dar es Salaam. // Flora is looking for a job in sales in a supermarket or as shopkeeper. I’m able to work anywhere. Tuma SMS anza na #7.43787 kwenda 0777 751212.

JOB SEARCH: MARKETING, PR, ADVERTISING, SALES My name is

Secilia. I am looking for work in Marketing and Public Relations I can work in the following fields: Sales, commercial, customer relation management, entrepreneurship, advertising. I am ready to work anywhere in Tanzania Languages English and Kiswahili. Tuma SMS anza na #7.43469 kwenda 0777 751212.

EDUCATION NATAFUTA KAZI YA UALIMU: ECONOMICS & GEOGRAPHY JOEL, 26, kutoka Magomeni, Dar es Salaam. Nina-

tafuta kazi. Natafuta kazi ya ualimu pia niko flexible. Elimu yangu ni Degree of art in Education (economics, geography & research). Uzoefu wangu nimepata field mwaka wa kwanza na wa pili. // JOEL is looking for work as a teacher. Tuma SMS anza na #7.44558 kwenda 0777 751212.

NINATAFAUTA MDHAMINI KWA KUSOMA DEGREE YA MEDICINE Ninatafauta wadhamini

as full Scholarship kwa kusoma degree ya medicine. Mimi ni mtanzania. Ninatafuta mtu yoyote ambaye anaweza kunnilipia hiyo ada. Ninaomba nafasi ya kusoma Tanzania au nje na Tanzania. Ninajua vizuri kingereza na kiswahili. Sasa hivi nina degree ya education. Tuma SMS anza na #7.43923 kwenda 0777 751212.

FUNDI UMEME MWENYE UZOEFU ANATAFUTA KAZI Ninaitwa BRUNO, umri wangu ni 23, ninaishi Yombo,

23: Certificate ya hotel management - Computer certificate LUGHA: Kiswahili, Kingereza Natafuta kazi hotelini, Dar es salaam Tanzania. Nina uzoefu field miezi 3. // Theresia with Certificate of hotel management & Computer certificate and 3 months field experience is looking for job in a hotel. Tuma SMS anza na #7.45882 kwenda 0777 751212.

NATAFUTA KAZI YA WAITRESS WA HOTEL, SHOPKEEPER Naitwa Shamila, 27, naishi Kijitonyama Dar es sa-

laam. Elimu yangu ni kidato cha sita. Natafuta kazi ya waitress wa hotel, shopkeeper na casheer. Ndani ya Dar-es-salaam, nina uzoefu wa kufanya kazi kwa muda wa miaka miwili. LUGHA - kiingereza & kiswahili. Tuma SMS anza na #7.45543 kwenda 0777 751212.

JOB SEARCH: STOREKEEPER OR HOT KITCHEN CHEF Abdallah from Zanzibar, Amani. EDUCATION: Zanzi-

bar Institute of Tourism Development, Secondary School. EXPERIENCE: Kae Funk (responsible chef), Paje by Night (assistance chef & responsible chef), Chapwani Private island (cook), Ocean Paradise Research (assistance Fb controller), Mtoni Marine Center (cook), Halcyon Hotel Zanzibar (food preparation employee), Office Attendant. LANGUANGE: Kiswahili - English. Tuma SMS anza na #7.45288 kwenda 0777 751212.

KIJANA MCHAPAKAZI ANATAFUTA KAZI YA MV MECHANICS Anthony, 20, kutoka Tabata Kinyerezi Dar es sa-

laam. ELIMU: Darasa la saba. UZOEFU: Ninauzoefu wa miaka 3. Mimi ni mchapakazi. // Hardworking Anthony with experience for 3 years is looking for work as a mechanical. Tuma SMS anza na #7.44985 kwenda 0777 751212.

FUNDI UJENZI - UZOEFU MIAKA 19 - ANATAFUTA KAZI Natafuta kazi ya ujenzi (mason.) Naseti myimba, ku-

jenga, kupauwa, kufunga body, na upakaji wa rangi. Nazungumza lugha ya kishwahili. Elimu: Nimesomea Tabora Tanzania katika Chuo cha VETA. Uzoefu: Nina uzoefu usiopungua miaka 19. Nipotayari kufanya kazi ndani ya Tanzania na East Afrika kwa ujumla. Wasiliana na mimi muda wowote saa yoyote. Tuma SMS anza na #7.43959 kwenda 0777 751212.

NATAFUTA KAZI: MECHANICAL MAINTENANCE & WELDING Natafuta ajira: Mechanical Maintenance, Welding

& Metal fabrication. Ninaitwa Hamisi, 29. Naishi Temeke Dar es Salaam. Elimu Form 4, Chuo Veta Level 3. Mimi ni professional na ninatafuta ajira: Mechanical Maintenance, Welding & Metal fabrication, Tank and pipe election. Uzoefu: Maweni Lime Stone, Tanga Cement, MMK. Lugha: Kiswahili & Kiingereza. // Hamis is looking for work in the field of: Mechanical Maintenance, Welding & Metal fabrication. Tuma SMS anza na #7.43930 kwenda 0777 751212.

I’M LOOKING FOR WORK IN CIVIL ENGINEERING

Naitwa Nyanswe (26). Ninatafuta kazi ya civil engineer iwe mkoa wowote TZ. Ninajua lugha ya kiswahili na kingereza. Baada ya kumaliza form four nilijiunga na chuo cha ufundi Chang’ombe kilichopo Dar. Ninauzoefu wa kazi wa miaka 4. // Nyanswe looking for work as a civil engineer in any region of Tanzania, 4 years experience. Tuma SMS anza na #7.43527 kwenda 0777 751212.

SECURITY NATAFUTA KAZI YA SECURITY GUARD POPOTE PALE Shaame, 29, kutoka Chumbuni Zanzibar. ELIMU: Ulti-

mate Security, JKU, Cheti cha secondary. Natafuta kazi ya security guard popote pale, nina uzoefu wa miaka 5. // Shaame is looking for a job as Security Guard any where. Tuma SMS anza na #7.45287 kwenda 0777 751212.

Tuma sms anza na #7.xxxx kwenda 0777 75 12 12.

Mambo Tupomoja, nimevutiwa na mtahiniwa No #7.xxxx Tafadhali niunganishe nae!


MATANGAZO YA TUPOMOJA KAZI

JE, UNAHITAJI?

HOSPITALITY & TOURISM JOSEPHINE WITH 4YRS EXP. SEARCHES HOSPITALITY JOB I am looking for a hospitality job in East Africa.

My name is Josephine, I’m 28 years old. I’m a Tanzanian lady looking for a hospitality job. I’m speaking swahili, english and french. I have a degree of Hotel Management. I gained experience for 3 years in Arusha and 1 year at Exploreans in Ngorongoro. Tuma SMS anza na #7.43903 kwenda 0777 751212.

DEGREE HOLDER IS READY TO WORK IN HOSPITALITY IND. Mimi ni mtanzania, umri wangu ni miaka 26.

Ninatafuta kazi zinazohusiana na hospitality. Ninaongea lugha ya kiswahili, kiengereza, na french. Nina elimu ya degree ya hotel management. Ninauzoefu wa kazi wa miaka 3 katika kampuni ya Jefferji. // Tanzanian man is looking for a job in the Hospitality Industry. Languages: Kiswahili, English & French. 3 years experience. Tuma SMS anza na #7.43902 kwenda 0777 751212.

NATAFUTA KAZI YA CASHIER NA WAITRESS YA HOTEL Mimi ni msichana wa kitanzania kwa jina naitwa

Sharifa. Naishi Manzese. Nina elimu ya kidato cha nne. Natafuta kazi ya cashier na waitress ya hotel. Nina uzoefu wa miaka miwili. LUGHA - kiingereza & kiswahili. Tuma SMS anza na #7.45488 kwenda 0777 751212.

IT & COMPUTER NINATAFUTA KAZI YA INFORMATION TECHNOLOGY Naitwa ISIHAKA, ninaishi Dar es Salaam, Tabata. Umri

wangu ni 24. Ninatafuta kazi ya Information Technology. Ninauzoefu wa miezi mitatu. Nilioupata kupitia field niliyoifanya chuo kikuu cha Dar-es-salaam katika idara ya IT. // ISIHAKA is looking for work in the field of Information Technology. Tuma SMS anza na #7.45363 kwenda 0777 751212.

NATAFUTA KAZI ZINAZOHUSIANA NA IT Natafuta

kazi inayohusiana na mambo ya IT ndani ya Tanzania au East Afrika. Lugha: Kiswahili & Kiengereza. Nina Bachelor Degree ya Computer Science. Nina uzoefu wa kazi mkubwa tu: Anglicana Nabii Ester kwa miaka 2,5. Na pia niliwahi kufanya Kongwa Halmashauri Manispal kwa miezi 6. Nitatoa mashorikiano yote na kufuata utaratibu wa kazi. Tuma SMS anza na #7.43866 kwenda 0777 751212.

LOGISTICS, PROCUREMENT & SUPPLY JOB SEARCH IN PROCUREMENT FIELD EDUCATION BACHELOR Richard, 25, from Makumbusho, Dar es Sa-

laam. I am looking for a job in procurement & procurement management EDUCATION: Bachelor of Procurement and Logistics Management. EXPERIENCE: Mocrops Tanzania Ltd (Store Keeper), GRIPRO (Field work). SKILLS: computer application, Inventory Control, Public Procurement Procedures. LANGUAGES: Kiswahili & English. Tuma SMS anza na #7.44926 kwenda 0777 751212.

JOB SEARCH: LOGISTICS, STORE MANAGEMENT, SERVICE Mimi ninaitwa Amina Natafuta kazi ya logistics,

store management, customer care na pia niko flexible. Elimu: Nina bachelor of logistics and transport management // My name is Amina. I am looking for a job in logistics, store management, customer care and I am also flexible. Education: Bachelor of logistics & transport management. Tuma SMS anza na #7.43863 kwenda 0777 751212.

PROCUREMENT AND SUPPLY OFFICER IS READY TO WORK My name is Faudhia, 23 years old, I live in

Ubungo, Dar es Salaam. I’m looking for a job as a procurement & supply officer or any job related to this field. Education: Diploma in procurement & supply from the CBE Dar es Salaam. Language Skills: English & Swahili. Experience: 1 year at Uchumi Supermarket as a Cashier. Skills: Computer & communication skills. Tuma SMS anza na #7.42122 kwenda 0777 751212.

NIMESOMEA CLEARING AND FORWARDING - NATAFUTA KAZI Judith, 19, kutoka Dar es salaam: Natafuta

kazi ya clearing and forwarding Dar es Salaam. ELIMU: Cheti clearing & forwarding. Referees on request. Tuma SMS anza na #7.45970 kwenda 0777 751212.

Tuma SMS kupitia 0777 75 12 12 na namba iliopo chini, pia na jina lako na ujumbe ungependa umfikishe mtangazaji!

JOB SEARCH: SAILOR AND CLEARING & FORWARDING My name is Emmanuel. I am available for any job as a

sailor, or in clearing & forwarding. I am 25 years old. EDUCATION: Certificate Sailor at Dar es Salaam Maritime Institute. EXPERIENCE: Clearence Agent at Best Ocean Air, Machine operator at Azam, Cashier and supervisor at Uchumi Supermarket. Skills: Computer, Communication & Customer care, Management. Tuma SMS anza na #7.41386 kwenda 0777 751212.

MUSIC, ART & ENTERTAINMENT MTUNZI MUIMBAJI NATAFUTA DHAMINI Natafuta mdhamini wakunisi-

mamia kimziki. Nina uwezo wakutunga nyimbo na kuimba. Mpaka sasa nina nyimbo tano ambazo sijarekodi na mpaka sasa sjarekodi hata wimbo mmoja lakini nimewahi kushiriki mashindano ya muziki mara mbili. Tuma SMS anza na #7.45367 kwenda 0777 751212.

JOB SEARCH: JOURNALISM RADIO/TV, SALES&MARKETING Mumba Faraji, 29: Natafuta kazi ya

Radio presenter/ Television presenter or in sales & marketing. Ninauzoefu wa kutosha (cooperate sales & marketing 4 yrs na 2 yrs as a journalist). Elimu: Diploma in General Journalism. Mimi ni mchapakazi na napenda kujituma. // Mumba is looking for a job as a Radio presenter / Television presenter or in cooperate sales & marketing. Tuma SMS anza na #7.45358 kwenda 0777 751212.

NATAFUTA KAZI YA UANAMITINDO WA KUONYESHA MAVAZI Naitwa Faith. Naishi Tabata Dar es salaam.

Elimu yangu ni kidato cha sita. Natafuta kazi ya uanamitindo wa kuonyesha mavazi (modelling). // Faith is looking for a work as a model in a modelling agency. Tuma SMS anza na #7.45296 kwenda 0777 751212.

NATAFUTA KAZI YA UCHORAJI KWENYE MABANGO & SHIRTS YUSUF,25, ninaishi Kinondoni, Dar es Salaam.

Ninatafuta kazi ya uchoraji kwenye mabango na t-shirts. Nina uzoefu wa miaka miwili. Nipo tayari kufanya kazi popote ndani ya Tanzania. // YUSUF is looking for work as a drawer/ painter, both signboards/signs and on T-shirts. I have experience of 2 years. Tuma SMS anza na #7.44835 kwenda 0777 751212.

MWAANDISHA WA FILAMU ANATAFUTA PROJECTS

Mimi ni mwaandisha wa filamu (Scriptwriter). Ninatafuta mdhamini wa kufanya kazi zangu. Nina Diploma wa uwalimu na certificate wa Script Writing. Nina uzoefu wa kazi hiyo wa miaka kumi. Kati ya kazi nilizofanya ni: - Zitto Entertainment - Mbuzi wa Shuhuri (Comedy) - Kosa la familia - Fountain Gate Academy - Nadi, the hidden Parent. Tuma SMS anza na #7.43913 kwenda 0777 751212.

PROJECT MANAGEMENT JOB SEARCH: DEVELOPMENT/PROJECTS BACHELOR DEGREE Joseph, 27, kutoka Dar es salaam. ELIMU:

Holder of Bachelor of rural development. Natafuta kazi kama project development, project evaluator, planning, analyst, monitoring, gender awareness, agricultural development project, human resource, banker & livelihood enhancement activities in rural areas. Tuma SMS anza na #7.44986 kwenda 0777 751212.

JOB SEARCH: ECONOMY, HUMAN RESOURCE AND PLANNING Frank, 31, kutoka Chanika, Dar es salaam.

ELIMU: Degree Mipango - Diploma Uchumi, Human resource, Afisa mipango. Natafuta kazi. // Frank looking for a job in the field of Planning, Economy and Human resource. Tuma SMS anza na #7.44924 kwenda 0777 751212.

MARKETING, COMMUNITY MOBILIZATION, SOCIOLOGY JOB My name is Benta. I am looking for work in

the areas of Marketing / Community Development / Sociology. Languages: Fluent in speaking and writing both Swahili & English. I’m holding a Bachelor degree of Rural Development from Sokoine University of Agriculture. EDUCATION: Degree of Rural Development. Leadership experienced. VSLA Management skilled, computer literate. Tuma SMS anza na #7.43528 kwenda 0777 751212.

NAFASI YA KAZI NATAFUTA MSICHANA WA KAZI NA UZOEFU Nata-

futa msichana wa kazi: Awe na umri wa miaka 18. Awe anajua kusoma na kuandika. Atoke mkoa wowote kasoro Dodoma, Geita. Awe Mtanzania na awe na uzoefu. Tuma SMS anza na #7.45844 kwenda 0777 751212.

HOTEL IN ZANZIBAR IS LOOKING FOR A STORE KEEPER Planhotel Mapenzi Beach is looking for a good and

experienced store keeper. English speaking and good computer knowledge. Tuma SMS anza na #7.46082 kwenda 0777 751212.

VACANCY: RECEPTIONIST Seeking a receptionist with excellent English language skills and experience in tourism, immediate start for the right candidate. Tuma SMS anza na #7.46035 kwenda 0777 751212. BAKERY IS OFFERING 30 SALES JOBS IN ZANZIBAR

Captain Bakery located in Mwera, is offering 30 sales jobs in Zanzibar. No experience necessary! What you need? Motivation, Creativity, Commitment. If you are serious & honest, contact me! Tuma SMS anza na #7.45934 kwenda 0777 751212.

LILIS GARDEN RESTAURANT INATAFUTA WAITRESS, BARMAN & MPICHI Tunapatikana Dar es sa-

laam Mikocheni Lilis garden restaurant. Tuma SMS anza na #7.45898 kwenda 0777 751212.

MFANYAKAZI WA SALOON ANATAFUTWA Natafuta kijana wa kazi kwa ajili ya saloon. Awe na wadhamini. Elimu kuanzia darasa la saba. Jinsia yoyote. Kituo cha kazi ni Mpwapwa. Tuma SMS anza na #7.45797 kwenda 0777 751212. SEEKING FOR RESERVATION MANAGER Remote Hotel is looking for an experienced waitress who also has skills or training in massage therapy. Fluent English. Tuma SMS anza na #7.46128 kwenda 0777 751212. SEEKING FOR RESERVATION MANAGER Hotel group in ZNZ is urgently looking for a Reservation Manager to lead & reorganize the reservation office, must have a min. of 2yrs experience in the same role, good customers portfolio, wide knowledge of local and intern. TO, strong communication & organizing attitude, perfect knowledge of Engl. spoken and written, verifiable references. Send application letter, CV, head to shoulders picture and eventual certificates to via email. Tuma SMS anza na #7.46208 kwenda 0777 751212.


MATANGAZO YA TUPOMOJA KAZI

JE, UNAHITAJI?

Tuma SMS kupitia 0777 75 12 12 na namba iliopo chini, pia na jina lako na ujumbe ungependa umfikishe mtangazaji!

HOUSEKEEPING NATAFUTA KAZI ZA USAFI MAJUMBANI AU MASHULENI Paulina, 37: Ninauzoefu wa miaka 10 kusafisha na

kulea watoto kutoka katika shule mbali mbali za binasfi na jumbani kwa watu binafsi. Natafuta kazi ndani ya Zanzibar. Ni matarajio yangu kufanya kazi na wewe. Lugha: Kiswahili & Kiingereza Kidogo. Mimi ni mchapa kazi, napenda kujituma na mwaminifu. // Paulina with 10 years experience in cleaning and taking care of kids is looking for a job anywhere within Zanzibar. Tuma SMS anza na #7.45456 kwenda 0777 751212.

NATAFUTA KAZI YOYOTE NDANI NA NJE YA DAR ES SALAAM Kwa jina naitwa Zulfa. Naishi Magomeni. Nina

elimu ya kidato cha nne Reginald Mengi. Natafuta kazi yoyote ndani na nje ya Dar es salaam. Nina uzoefu wa miaka miwili. // Zulfa is looking for any job within and outside Dar es Salaam. I have experience of two years. Tuma SMS anza na #7.45361 kwenda 0777 751212.

ELIZABETH ANATAFUTA KAZI: KUFANYA USAFI MAOFISINI Naitwa Elizabeth. Naishi Mbagala Dar es sa-

laam. Nina umri wa miaka 22. Elimu yangu ni darasa la saba. Natafuta kazi ya kufanya usafi maofisini. Nina uwezo wa kuongea kiswahili. Ninauzoefu wa kazi kwa miaka mitatu kutoka kampuni ya black Tanzania. Tuma SMS anza na #7.45355 kwenda 0777 751212.

NATAFUTA KAZI YA KUUZA DUKA AU USAFI KWENYE OFISI Naitwa Rehema. Naishi Airport Dar es salaam.

Nina umri wa miaka 21. Elimu yangu ni kidato cha nne. Natafuta kazi ya kuuza duka au usafi kwenye ofisi. // Rehema is looking for a job as a Shopkeeper or Housekeeper. Tuma SMS anza na #7.44780 kwenda 0777 751212.

KAZI YA HOUSEKEEPING. NINAUZOEFU WA MIAKA 5 Mimi naitwa Sylvia. Ninatafuta kazi ya housekeeping seh-

emu yoyote Tanzania. Mimi ni mchapakazi na mwaminifu. Uzoefu: Nimefanya kaz katika shule ya watoto ya awal ya Alvida pre primary school 5 yrs Precious Vision English medium school Naongea Kiswahili na Kiigereza kidogo. Tuma SMS anza na #7.42216 kwenda 0777 751212.

NATAFUTA KAZI YA HOUSEKEEPING AU SUPERMARKET Naitwa Daniel. Nina umri wa miaka 22. Naishi Dar

es Salaam. Natafuta kazi ya Housekeeping au supermarket. Elimu: Kidato cha nne. Uzoefu wa kazi: Chuo cha ardhi mwaka mmoja wakala wa Tigo pesa, airtel money na mpesa. Natafuta kazi Dar es es Salaam nipo tayari kufanya kazi muda wowote. Tuma SMS anza na #7.36288 kwenda 0777 751212.

Tuma sms anza na #7.xxxx kwenda 0777 75 12 12.

Mambo Tupomoja, nimevutiwa na mtahiniwa No #7.xxxx Tafadhali niunganishe nae!


11 luxury villas located on the beachfront of Paje Beach, overlooking the turquoise and crystalline waters of the Indian Ocean. An authentic experience culminated by a fine-dining restaurant and spa, offering a holistic approach to your well-being. Indulge in the comfort of your villa with private pool, indoor and outdoor bathrooms as well as 1500 m 2 of privacy including recreational area. Contact us to find out about East African Resident rates, available seasonally.


MATANGAZO YA TUPOMOJA KAZI

JE, UNAHITAJI? TRANSPORT

NATAFUTA KAZI YA UDEREVA WA MAROLI Iddi, 29, kutoka Buguruni, Dar

es salaam: ELIMU - Darasa la saba. LUGHA - kiswahili. UZOEFU - Ninauzoefu wa miaka 6 kutoka kampuni ya Swift motors, Natafuta kazi ya udereva wa maroli. Ninauzoefu wa miaka 6 katika kazi hiyo. Tuma SMS anza na #7.45748 kwenda 0777 751212.

NATAFUTA KAZI YA UDEREVA, NINAUZOEFU WA MIAKA 20 Kwa jina naitwa Mustapha. Naishi Mburahati Dar es salaam. Natafuta kazi ya udereva kokote ndani ya Tanzania. Ninauzoefu wa miaka 20 wa kazi hiyo. // Mustapha with 20 years experience is looking for work as a driver anywhere in Tanzania. Tuma SMS anza na #7.45477 kwenda 0777 751212. NINATAFUTA KAZI: UDEREVA, HANDYMAN, KUBEBA MZIGO FRANCIS, 26, ninaishi Mbezi Beach. Ninatafuta kazi. Elimu yangu ni kidato cha nne. Kazi iwe maeneo ya Dar es Salaam. Kazi ninazotafuta ni: udereva, usafi kwenye ofisi, messenger, kazi ya kubeba mizigo kwenye kampuni au kiwanda. // FRANCIS is looking for work as a driver, cleaner, handyman or carrier. Tuma SMS anza na #7.44557 kwenda 0777 751212.

MSIMBATI LINE KWA USAFIRI SALAMA NA UHAKIKA Mabasi yanayofanya safari zake kila Siku:

UBUNGO OFISI NO 15

TEMEKE N O 22 NA MBAGA LA

DAR ES SALAAM - MTWARA MTWARA - DAR ES SALAAM SAA za gari kuondoka Ubungo: Saa 12:00 asubuhi Temeke: Saa 01:30 asubuhi

Nauli ni tsh 23,000

Tuma SMS kupitia 0777 75 12 12 na namba iliopo chini, pia na jina lako na ujumbe ungependa umfikishe mtangazaji!


michezo & afya

Likizo ya bei nafuu kwa familia nzimo:

37

Affordable Holidays for the whole Family:

Udzungwa Mountains National Park

Udzungwa ni eneo moja ya Tanzania iliyo ni bora na kusisimua kwa jinsi eneo hili la nyikani lilivyopendeza. Inathaminiwa sana kwa jinsi ilivyojaa na aina nyingi za wanyama na ndege. Eneo hili, likiwa linajulikana kama Eastern Arc Mountains, ni asilimia 2 tu katika eneo zima la nchini ya Tanzania, lakini linalo asilima kati ya 30 na 40 ya wanyama na mimea inayopatika nchini. Kimo cha msitu huu unao mwinuko wa mita 250 na kuwa na eneo la mita 2,000 mfululizo. Udzungwa si sehemu ya kawaida ya kwenda kuangalia wanyama, lakini watu wanaipenda sana kwa ajili ya hiking. Kati ya aina sita za nyanyi zinazojulikana pale, manyanyi wa Iringa Red Colobus na Sanje Crested Mangabey wanapatikana maeneo haya tu kote duniani. Kwenye mbuga hii, kuna baadhi ya miporomoko ya maji, moja wapo ikiwa ni Sanje Waterfalls, mporomoko wa maji wenye urefu mkubwa kuliko wote kati ya mibuga ya maji nchini Tanzania. Baada ya safari ndefu kwa miguu, kuogelea kwenye visima vya maji yaliyopo karibu na mporomoko huu inafurahisha sana!

Jina hili la Udzungwa ni tokana na neno la Kihehe Wadzungwa, ambalo ni neno linalomaanisha watu ambao wanaishi kwenye milima hii. / The name Udzungwa comes form the Kihehe word "Wadzungwa" which means the people who live on the sides of the mountains.

Ukubwa / Size: 1,990 sq km Eneo / Location: Masaa matano (au 350km) nje ya Dar es Salaam; umbali wa 65km kutoka Mikumi ukielekea kusini magharibi. / Five hours (350 km/215 miles) from Dar es Salaam; 65 kms (40 miles) southwest of Mikumi.

Udzungwa is one of Tanzania's most outstanding and exciting wilderness areas. It is treasured for the high level of biodiversity of birds and animals. Known collectively as the Eastern Arc Mountains, this archipelago of isolated massifs covers less than 2% of Tanzania's area, but hold 30-40% of the country's plants and mammal species. Its closed-canopy forest spans altitudes of 250 metres to above 2,000 metres without interruption. It is not a conventional game viewing destination, Udzungwa is a magnet for hikers. Of six primate species recorded, the Iringa red colobus and Sanje Crested Mangabey both occur nowhere else in the world. The park has a number of impressive waterfalls, including Sanje Waterfalls, the highest waterfall in the National Parks system in Tanzania. Swimming in the plunge pools of the waterfalls is extremely refreshing following a hot hike!

oko Safari ya nusu siku kufika Mporom wa Maji wa Sanje: kuKuna njia nyingi zinazopitia misitu e. Sanj ya Maji ya oko fikia Miporom m 170 wa u uref unao huu oko rom Mpo kusiukiwa umezungukwa na msitu wa simua sana. 1/2 day ramble to Sanje Waterfall:

s to An excellent network of forest trail 170 ges plun h whic ll, erfa Wat e the Sanj y spra y mist metres (550 feet) through a w. belo y into the forested valle

Kulala siku 2 kupitia kwenye Njia ya Mwanihana: Njia ya Mwanihana inakufikisha kwenye uwanda wa juu. Sehemu hii inakupa uwezo wa kuona eneo kubwa la mkoa huu na kuona mashamba ya sukari na kukufikisha sehemu ya Mwanihana. Eneo hili ni la pili kwa mnyanyuko kwenye mkoa huu. 2-night Mwanihana Trail:

Wakati wa Kwenda / When to go: September - December Sehemu za Kukaa / Accommodation:

Unaweza kukaa katika camp ndani ya mbuga ya wanyama. Leta vyakula na vifaa vyako mwenyewe. Pia kuna nyumba za kulala wageni zenye ukaribu wa 1km mpaka sehemu ya kuingilia mbuga. / Camping inside the park. Bring all food and supplies. Two simple lodges with en-suite rooms within 1km of the park entrance.

Bei / Price:

Kiingilio kwa Watanzania / Masaa 24: 1000 Tsh kwa watu wazima, 500 Tsh kwa watoto / Entrance Citizens / 24 hours: 1000 Tsh for adult, 500 Tsh for child | Camping kwa Watanzania / Masaa 24 / 1000 Tsh kwa watu wazima, 500 Tsh kwa watoto / Camping Citizens / 24 hours: 1000 Tsh for adult, 500 Tsh for child

Toa maoni yako Wapi unapendelea kusafiri? Tuma jibu lako kwenda 0779751212, anza na neno #safari

#safari

The more challenging Mwanihana Trail leads to the high plateau, with its panoramic views over surrounding sugar plantations, before ascending to Mwanihana peak, the second-highest point in the range. Eneo la Udzungwa linalo ndege aina 400 waliyomo pale, wengi wakiwa wanapatikana pale tu. Kwa wale wanayopenda kutazama ndege, lazima wakodishe boti ndogo na kwenda kwenye mto wa Kilombero. Ni rahisi sana kuona ndege kama Kilombero Weaver, Bee Eaters, Pelican na ndege wa maji. Ukibahatika unaweza ukaona viboko, mamba, na kenge pia. Hii ni njia nzuri ya kustarehe wakati wa mchana. Udzungwa is home to approximately 400 species of bird, many of which are endemic to the area. For bird watchers, taking a dug out canoe along the Kilombero river is a must. It's easy to spot the endemic Kilombero Weaver, bee eaters, pelicans and other seasonal water-birds. You might just see hippos, crocodiles and Nile monitor lizards. This is a great way to spend a relaxing afternoon, enjoying a picnic lunch.


38

Advertorial

Modern Living In Zanzibar This is where your story begins “The idea is to grow a sustainable, dynamic and active community and to open doors to a higher and more conscious life standard.” Fumba Town Development introduces a new way of life Fumba Town offers a comprehensive environment for you to live, work and relax. Creating opportunities for personal and professional growth, it is a place where you and your family can live healthy, safe and comfortable. The culture of the project introduces traditional values into the heart of modern life, both, enriching the spirit of ethnicity, and opening doors to new opportunities. Enjoy a modern lifestyle within your comprehensive community.

The stakeholders behind…

This isn’t aimed at the privileged few – it’s for you! Fumba Town is in every aspect the first-of-its-kind affordable gated community in Zanzibar. Located in Fumba, only 5 km from the international airport and less than 20 minutes drive from the commercial centre Stone Town, it’s a 160-acre project that’s designed to become your habitat. The idea is to grow a sustainable, dynamic and active community and to open doors to a higher and more conscious life standard.

A new way of building houses The Prefab House System - The houses are built with long lasting, innovative and renewable materials that are completely adapted to Zanzibar’s climate and environmental conditions. All materials are chosen according to German quality standards, complying with the requirements of the local ecosystem and treated for complete safety against parasites.

The concrete manufacture - The same house designs have been CPS live Ltd., supported by Environmental Systems Ltd., together translated into conventional concrete manufacture build according to with a group of German engineers, architects, urban designers and the highest quality standards. permaculture specialists developed a master plan for this comprehensive residential housing project on a 1.5km stretch of breath-taking seashore of the west coast of Zanzibar. The project is promoted by ZIPA (Zanzibar People Care, Nature Care & Fare Share Investment Promotion Authority) and enjoys full support of the Clean, filtered drinking water within the entire complex, rainwater government of Zanzibar and Tanzania. harvesting, proper waste disposal and recycling management, regular maintenance and an overall thoughtfully designed infrastructure are the pillars Fumba Town is built on. The driveways, parks and serene walkways are all designed by a team of permaculture specialists to create a holistic ecosystem based on three principles: people care, nature care and fair share. We are using sustainable resources for a healthy living environment, while keeping and improving the biodiversity of the area.

Your home from $ 45,900!

Move your business to Fumba Town The residential areas in Fumba Town are framed with commercial spaces for your business development. Together with professional urban designers, the Fumba Town team has conceptualised a vibrant mix of small industry, retail, office space and gastronomy. Our goal is to support the local economy with settling local companies, suppliers and producers as well as opening the market for such as modern home ware suppliers, well stocked supermarkets and international cuisine. Do you see yourself in there? Move your business along with your family to Fumba Town, start your own construction project or let us support you with our team.

Commercial plots are available from USD 65,00 per square meter.


Maisha ya Kisasa Zanzibar Maisha yako yanaanzia hapa

“Lengo ni kujenga jamii ambayo ni endelevu, yenye uwezo wa kufanya shughuli nyingi tofauti. Pia kufungua fursa za kuwa na maisha yenye kiwango cha juu zaidi kwa wote.“ Fumba Town Development inakuletea maisha mapya

Mbinu mpya ya kujenga nyumba Prefab House System – Vifaa ambavyo vimetumiwa kujenga nyumba hizi ni vya kudumu, vya kisasa na vimetengenezwa kuendana na hali ya hewa na mazingira ya Zanzibar kabisa. Vifaa vyote vimechaguliwa kwa viwango bora vya Ujerumani ili kutekeleza mahitaji na kuambatana na mazingira ya hapa. Vifaa hivi ni salama kwa viumbe hai na mimea ya eneo hili pia. Utengenezaji wa nyumba kwa matofali – Baadhi ya nyumba za eneo hili zimejengwa kwa kutumia matofalii ya kawaida yakiwa na viwango vya ubora wa juu kabisa.

Fumba Town inakupa mazingira ya kina ya kuishi, kufanya kazi na kustarehe. Inakutengenezea fursa za kukua kibinafsi na kitaaluma, ni Huduma kwa Watu, kwa Mazingira na pahala ambapo wewe na familia yako mtaweza kuishi kwa afya, usalama na starehe. Mradi huu utatambulisha maadili ya jadi kwenye maisha yako Kusawazisha. ya kisasa. Utaboresha utamaduni na kufungua milango ya kuleta fursa Ni muhimu sana kwa Fumba Town kuwa na maji masafi ya kunywa mpya kwa wote. Furahia maisha ya kisasa ndani ya jamii yako ya kina. na yatapatikana kwenye eneo lote hili, maji ya mvua yatavunwa na kuhifadhiwa vizuri, ukarabati wa mara kwa mara na ujenzi mzuri wa miundombinu.

Wadau wa Mradi Huu

CPS kuishi Ltd, ambayo ni mkono wa Environmental Systems Ltd, CPS kuishi Ltd, ambayo ni mkono wa Environmental Systems Ltd, pamoja na kundi la wahandisi kutoka Ujerumani, wasanifu, wabunifu wa miji na wataalamu wa permaculture wameunda mpango maalum wa mradi huu wa makazi katika eneo la pwani lenye urefu wa 1.5km unao pendeza sana pwani ya magharibi mwa Zanzibar. Mradi huu unakuzwa na ZIPA (Zanzibar Investment Promotion Authority) na unafurahia kupokea msaada zaidi kutoka serikali ya Zanzibar na Tanzania.

Huu si kwa matajiri – ni kwa ajili yako! Fumba Town ni mji wenye makazi ya bei nafuu ya kipekee na ya kwanza Zanzibar. Yakiwa katika kijiji cha Fumba, umbali wa 5km kutoka uwanja wa ndege wa kimataifa na chini ya dakika 20 kutoka Stone Town kwa gari. Ni eneo lenye ukubwa wa eka 160 na limejengwa kuwa makazi yako. Lengo ni kujenga jamii ambayo ni endelevu, yenye mchanganyiko wa watu tofauti wenye uwezo wa shughuli nyingi. Pia kufungua milango ya kuwa na maisha ya kujitambia zaidi.

Barabara na sehemu za kutembelea zimejengwa na wataalam wa permaculture ili kuwa na mazingira yenye kanuni tatu: Kutumia rasilimali endelevu kwa ajili ya mazingira mazuri ya kuishi, kutunza na kuboresha viumbe hai vya eneo hili.

Leta biashara yako Fumba Town Eneo la makazi katika Fumba Town limezungukwa na maeneo ya kibiashara kwa ajili ya maendeleo ya biashara yako. Pamoja na wabunifu wa miji wataalam, timu ya wajenzi wa Fumba Town imejenga sehemu yenye mchanganyiko wa sekta, kwa biashara ndogo, maduka ya rejareja, maofisi na mambo ya gastronomy. Lengo letu ni kuboresha uchumi wa ndani kwa kuhamasisha kampuni za kitaifa zinazofanya biashara hapa, wauzaji, wazalishaji na pia kufungua soko la wauzaji vifaa vya kisasa vya nyumba, supermarket na sehemu za kupata vyakula vya kimataifa. Je, unajiona ukiishi hapa? Hamishia biashara yako na familia yako Fumba Town, anza ujenzi wako mwenyewe au utuachie tukusaidie kwa timu yetu.

Eneo la biashara linapatikana kwanzia Dola za kimarekani 65 kwa sqm.


40

Advertorial

Sebastian, who can actually buy a house in Fumba Town?

a business plan or concept and we will assist to find the best location as well as a developer or consultant in case professional help is needed. Sebastian: Everybody can buy a house Prices for commercial plots start at only USD in Fumba. This project is focused on people 65 per square meter. from Zanzibar, as well as people from Dar and Diaspora. Everyone is welcome to buy a new Do you have space for home in Fumba Town or open a business in individual residential our commercial areas with full connection to a developments in Fumba Town? state-of-the-art infrastructure. S: Yes, Fumba Town has defined prime locations at the seafront for personal residential development with full connection to the infrastructure, profiting from modern and reliable town services like 24/7 security, drinking water, street lights, rain water harvesting, waste collection and many more.

What makes you so excited about Fumba Town? S: What I really love about the project is to meet all the wonderful people who are already part of Fumba Town, starting to build our wholesome community - this will truly be a big step towards a modern How long do I have to wait until lifestyle. We are very excited about the support from our clients, confirming the sustainable I can move in? idea, the layout of the homes and the general S: We are guaranteeing to deliver your new concept behind Fumba Town. home within 30 months from the 1st instalment paid. Construction will start this year in November with the implementation of the infrastructure, followed by the construction of the homes and commercial concepts. We will Sebastian, ni nani ambaye anaopen the comprehensive Phase 1 only after full weza kununua nyumba Fumba completion to guarantee full use of the facilities Town? Fumba Town will offer. Sebastian: Kila mtu anaweza kununua

nyumba Fumba Town. Mradi huu ni kwa ajili ya watu wa Zanzibar, pamoja na watu wa Dar es Salaam na Watanzania wanaoishi nje. Kila mtu anakaribishwa anunue nyumba mpya Fumba Town au S: Our payment plan spreads over 18-20 kufungua biashara zao kwenye maeneo months, divided in 5 instalments following the yetu ya biashara wakijuwa kwamba tunao construction period. By spreading it over such miundombinu ya hali ya juu kabisa.

Which financing possibilities can help interested clients to fulfil their dream?

a long period, we are trying to give as many clients as possible the chance to buy the houses directly with us. For those, who need more time Inaibidi tusubiri muda gani to make their dream come true, most major kabla hatujaweza kuhamia pale? banks are offering mortgage financing. Please get in touch with our sales office to get more S: Tunakuhakikishia kwamba utaweza kuhamia nyumba yako mpya ndani ya miezi information and contacts.

30 kuanzia siku ya kupokea malipo yako kwanza. Ujenzi utaanda mwezi wa 11 What kind of commercial plots ya mwaka huu kwa kuanza na miundombinu, do you offer? na baada ya hapo tutajenga nyumba za pale na sehemu za biashara. Tutaanzisha S: We offer plots of different sizes and prices, Awamu ya Kwanza pale tu tukikamilisha which will be connected to the Fumba Town shughuli zetu ili tuhakikishe kwamba infrastructure and will allow you to develop Fumba Town itatumika kwa ukamilifu. your business. Interested clients may apply with

Kuna mifumo gani ya malipo kuwawezesha watu wanunue nyumba za ndoto zao? S: Tunao mpango wa malipo wapi unalipa mara tano ndani ya miezi 18 au 20 kuanzia ujenzi. Kwa kusambaza malipo kwa muda mrefu kama hivyo, tunajitahidi kuwapa wateja wengi iwezekanavyo fursa ya kununua nyumba kutoka sisi moja kwa moja. Kwa wale wanaotaka kupewa muda mrefu zaidi, mabenki mengi makubwa wanatoa mikopo ya fedha kwa ajili ya nyumba.

Tunawaomba muwasiliane na ofisi zetu za mauzo mpate taarifa zaidi kuhusu maelezo na jinsi ya kuwasiliana nasi.

Mnazo maeneo gani kwa ajili ya mdauka na biashara? S: Tunazo sehemu zenye ukubwa tofauti na bei tofauti, zote zitakuwa zinazo miundombinu za Fumba Town yenyewe ili muweze kuendeleza biashara zenu. Kwa wale waliyotaka kufungua biashara zao, wanaweza kuja kwetu na mipango ya biashara zao na tutawasaidia wapate viwanja za kufaa kabisa pamoja na msanifu na mshauri ikiwa watahitaji. Bei za viwanja hivi vinaanza kwa bei ya USD 65 kwa kila mradi wa mita moja.

Viwanja vya kibinafsi vinapatikana kwa ajili ya ujenzi Fumba Town? S: Ndiyo, Fumba Town imeweka viwanja maalum ambazo ziko karibu na pwani kwa ajili ya watu kujijengea wenyewe, yote ikiwa inatumia miundombinu ya kisasa ikiwa ni pamoja na ulinzi wa masaa 24, maji ya kunywa, taa za barabarani, utunzaji wa maji ya mvua, ukusanyaji wa taka na mengi zaidi.

Ni nini kinakufurahisha sana kuhusu Fumba Town? S: Kitu ambacho kinanifurahisha sana kuhusu mradi huu ni kukutana na watu wote ambao tayari ni wa pale Fumba Town na wameanza kujenga jamii ya pale. Hii kweli itakuwa hatua kubwa kuelekea kwenye maisha ya kisasa. Tumefurahia jinsi wateja wetu wametuunga mkono, wamependa uendelevu wa wazo letu, jinsi nyumba zilivyopangwa na lile ambacho linafanya Fumba Town kuwa la kipekee.


Fumba’s Residential Homes Home type

Living area

Plot size

Price USD

2 Bedroom

66 sqm

155 sqm

45,900.00

3 Bedroom

86 sqm

177 sqm

55,900.00

3 Bedroom Patio

89 sqm

171 sqm

59,900.00

3 Bedroom Top

138 sqm

177 sqm

96,900.00

3 Bedroom Plus

153 sqm

310 sqm

99,900.00

4 Bedroom Plus

153 sqm

310 sqm

105,900.00

5 Bedroom Top

140 sqm

155 sqm

82.900,00

6 Bedroom Top

140 sqm

155 sqm

84.900,00

6 Bedroom Plus

187 sqm

355 sqm

119.900,00

Please contact our sales team for the detailed specifications and individual payment plans for each home. Luxury plots for your personal residential development are available for USD 200,00 per square meter.

Express Yourself Your new house comes with plenty of empty rooms, white walls and open spaces waiting to be filled with memories, colours and life. We have found a selection of international home-ware suppliers to create a catalogue with an abundance of possibilities to creatively personalize your home! From furniture and decoration to kitchen ware and the latest technology – choose whatever you adore from our modular packages and receive your house readily setup to begin your story.

Jionyeshe!

Nyumba yako mpya itakuwa na vyumba vitupu, ukuta zote zitakuwa nyeupe na sehemu wazi wapi wewe unakaribishwa kuijaza rangi na kumbukumbu za maisha yako. Tumepata wazalishaji wa kimataifa wenye fanicha za aina nyingi sana. Wataweza kukupa wewe uwezo wa kuipamba nyumba yako jinsi wewe unavyotaka. Fanicha hizi ni za kisasa na zenye rangi tofauti sana za kuvutia. Wakiwa wanazo fanicha, mapambo na vifaa vya jikoni vya kisasa, unaweza kuchagua vitu vyote hivi kwa upamoja ili nyumba yako iwe imeshapambwa tayari kwa wewe kuishi maisha marefu pale.


42

Advertorial

Reserve today Visit our show site in Fumba and talk directly to one of our sales agents or come to our office in Mazizini, Kibaha to discuss further details. If you are not in Zanzibar, find us online: www.fumba.town or get in touch via email or telephone. sales@fumba.town +255 777 893 220 +255 774 275 648 +255 656 275 648

Toa maoni yako Tungependa kujua mawazo ya wasomaji wetu! Tungependa kujua ndoto ya nyumba yako inafananaje? Tueleze kupitia 0779751212, #MODERN anza na neno LIVING #modern living


PBZ MORTGAGE FINANCING “Misingi ya Maisha Bora Huanza na Makaazi Bora”

Get your modern house through financing via The People’s Bank of Zanzibar Ltd The People’s Bank, The People’s Choice The People’s Bank of Zanzibar Ltd Head Office, Darajani PO Box 1173, Zanzibar. T: +255 24 223 1118/9/20 F: +255 24 2231121 E: customercare@pbzltd.com facebook.com/pbzbank pbzbank@twitter.com www.pbzltd.com


44

Biashara & Elimu

"Nikila, nikilala, nikiota hata nikipumua, ni kwa ajili ya kupiga picha" Kutana na Mx Carter, Mwanzilishi wa Slide Visuals & Mpiga Picha Na. 1 kwa Wasanii wa Kitanzania

by MARRY Msegelwa

“I eat, sleep, dream and breathe photography� Mx Carter, Founder of Slide Visuals & No.1 photographer of all Tanzanian Celebrities

Vipi mambo, Kaka! Ahsante kwa kukaa na sisi leo. Tunaomba ujitambulishe kwa wasomi wetu. MX: Jina langu halisi ni Michael, japo nimezoeleka sana kama MX Carter. Nimezaliwa Mororgoro.

Kazi yako ya kwanza ilikuwa ni ipi? MX: Kazi yangu ya kwanza kufanya ilikuwa ni kuajiriwa kwenye kampuni ya kuuza miito ya simu. Nilipokuwa pale nilijifunza mengi kuhusu mziki wa Bongo Flava na Mx carter nikapata msukumo mkubwa wa kutaka kuwasaidia wasanii wa mziki huu wa Ni kitu gani ambacho kilikufaBongo Flava kujulikana au kutambulisha nya uingie kwenye kupiga picha? kazi zao. Unaikumbuka kamera yako ya

kwanza?

MX: Nakumbuka camera yangu ya

kwanza nilinunua mwaka 2001, ilikuwa ni Nicon ndogo tuu ya kawaida na nikawa napiga picha for fun tu kwasababu toka zamani napenda tu kupiga picha. Naweza kusema nimekuwa hivyo kwasababu nimezaliwa kwenye familia inayopenda sana picha.

Kuanzisha kampuni yako mwenyewe ilikuwa ngumu sana? Ulifanikiwa vipi kwenye hili? MX: Nilibahatika kukutana na Akbar Thabeet ambaye na yeye ni mpiga picha na tukaamua kufanya kazi zetu pamoja. Tulianzia nyumbani tu na hatukuwa na nguvu ya kukodi ofisi au kuwa na studio yetu. Huku tukiwa bado tunajipanga tukaamua kuweka nia na kukusanya pato letu la kazi na kuamua kujenga studio yetu wenyewe ambayo imekwisha kamilika mwaka huu 2015 na tumehamia rasmi.

Mpaka sasa tunamshukuru Mungu watu wengi wanaikubali kazi yetu, tunapata kazi nyingi kutoka kwa wasanii mbali mbali. Wengi zaidi wanapenda ubora wa picha zetu, japo kuwa tunafanya na videos ila sisi tunapenda kazi ya picha zaidi. Kila wiki tunakuwa bize na kazi za wasanii wa Bongo Flava, movie kidogo, kazi za watu maarufu kwaajili ya single cover hasa wasanii wakubwa kwa hapa Tanzania.

Baada ya hapo nikaona kwanini nisitambulishe kitu kinachoitwa single cover. Hii ni picha inayoitambulisha albamu ya msanii. Kwa Tanzania kilikuwa ni kitu kipya kwasababu hakijawahi tokea na wasanii hawakuwa wanafahamu kabisa umuhimu wa kuwa na single cover kwenye kazi zao. Basi nikaanza na wasanii wachache kama vile FidQ, AY na Mwana FA wakaipenda sana. nikaona kwanini nisifanye kweli, ndipo nilipoanza kutia nguvu kubwa sasa.

Naweza kusema nimekuwa hivyo kwasababu nimezaliwa kwenye familia inayopenda sana picha.


Biashara & Elimu

45

Michael, known as MX Carter, was born in Morogoro. He first worked in a company that sells ring tones. While he was there he learnt a lot about Bongo Flava music and got inspired and motivated to help Bongo Flava artists to be known and identifiable. The idea arose to create an identity for those artists through the design of single covers. These are the pictures that go on the covers of artist albums. Mx remembers: “For Tanzania, this was something quite new and artists didn’t know at all the importance of having a single cover on their work.“ So he started with a few artists such as FidQ, AY and Mwana FA and they really liked it. He decided to get serious and that is where he started to give in all he had.

People really believe in our work Mx remembers that the first camera he bought was in 2001: “It was just a small, regular Nicon that I used to take pictures for fun because from a long time ago I just like taking pictures.” He was fortunate enough to meet Akbar Thabeet who is also a photographer. They decided to start a joint venture. They worked from home, since they weren’t able to rent an office or have a studio yet. But they saved all their income, succeeded to build their own studio and finally moved in this year.

Mx is very thankful: “Up until now we thank God that people really believe in our work. We get a lot of work from many different artists. Most of them like the quality of our photography. We’re busy every week with Bongo Flava artists, a few movie stars, we work with celebrities, we are doing single covers, particularly for artists here in Tanzania.” We take a bow to a great artist, who knows what quality and hard-work means and wish all the best for the future!

Slide Visuals slidevisuals.tumblr.com facebook.com/SlideVisuals @slidevisuals @slidevisuals


46 BURUDANI & MAISHA

Ndoto ya Haji ni

by MARRY Msegelwa

kuwa Mbunge wa Pangani-Tanga

Haji is going for politics!

Ahsante kwa kuonana nasi. Hebu tupe picha nzima kuhusu mpango mzima wa kazi. Ni project gani unaifanya kwa sasa?

Thank you for meeting with us. Please give us a complete picture of your work. What project are you currently working on?

Haji: Kwa sasa project inayoniweka busy ni kutayarisha

kipindi kiitwacho Kengele. Maudhui ya kipindi cha Kengele ni kuwaamsha watu na kuwapa hamasa ya kuhangaikia mafanikio yako. Pia kinajaribu kuwakumbusha kuwa mafanikio ni nguvu zako, jitume ili upate mtaji.

Umeanza lini kazi ya sanaa, na je, ulikuwa unajua kwamba kuigiza ni kitu unachohitaji kufanya? Haji: Kazi ya sanaa rasmi nilianza mwaka 1998 japo kuwa nilifikiri kuwa muigizaji muda mrefu uliopita. Nilipata zaidi msukumo nilipokuwa nafuatilia tamthilia ya "Days Of Our Lives” iliyokuwa ikirushwa Channel Ten toka miaka 1961. Mtu niliyokuwa nampenda ni Jack na mzee Stephano Jamel.

Haji: Right now the project that is keeping me busy is producing a program called Kengele. The moral of Kengele is to inspire people to work on their success. It’s also to remind people that success is about hard work, sacrifice to get the capital you need.

When did you get into being an artist, did you always know that acting is what you wanted to do? Haji: I got exclusively into art in 1998 although I had always thought of being an actor for a long time. I really got the drive to do it when I’d follow the soap opera called ‘Days of Our Lives” that would be shown on Channel Ten since 1961. The characters I really liked were Jack and Mr. Stephano Jamel.

MIMI PIA NI MKULIMA. Nalima mpunga na kuuza kama zao la biashara. I'm also a farmer. I FARM RICE AND SELL IT AS A CASH CROP.

Nani alikuwa role model wako katika makuzi yako? Haji: Babu Mzee Rajabu Ali Mgaza ndo msingi wa mimi kuwa hivi. Alikuwa na kipaji cha kuimba na kucheza ngoma japokuwa hakupenda kidhihirike, alinijenga kuipenda sanaa hata mara nyingine akisikia muziki na ngoma mimi nimelala ndani aliniamsha na kuniamba „Vipi husikii vitu vinapigwa huko? Shauri yako utapitwa na Dunia!“

Ni level ipi ya elimu ambayo kichwani mwako haifutiki na inakufanya wewe usimame kama Haji? Haji: Mpaka sasa nina Diploma ya Maigizo, ila bado sijafika kikomo. Mwaka huu mwezi wa kumi nitarudi tena chuo kuanza Degree ya International Relations & Diplomacy.

Ni movie ngapi umezifanya mpaka sasa? Haji: Kwa jumla mpaka sasa nimefanya movie 33 ambazo nimeshirikishwa na waongozaji mbali mbali wa filamu na movie pia kuna movie ambazo nimetengeneza mimi mwenyewe kuanzia uandishi, uandaaji na uongozaji.


BURUDANI & MAISHA

47

Who was your role model in your nurturing? Haji: Babu Mzee Rajabu Ali Mgaza was the foundation in my being who I am now. He had great talent in singing and playing the drum although he didn’t get into it. He really got me into the arts, so much so that sometimes when he would hear music while I was sleeping he would wake me up and say “You don’t hear those beats? The world will you pass you by!”

Which educational experience has stayed with you forever and made you who you are as Haji? Haji: Up until now I have a diploma in acting, but I haven’t reached my limit. In October, this year, I’ll be going back to university to get a degree in International Relations & Diplomacy.

How many movies have you made till today? Haji: Till now I’ve worked in 33 movies that have been made by various directors. There are also some movies that I myself have made, from the writing, the producing and the directing.

Ukiachilia mbali movie industry, ni kitu gani kingene ungependa kufanya na kipi hungependa kukifanya?

Besides work in the movie industry, what work would you like to do or would never like to do?

Haji: Ningependa zaidi kuwa kocha wa mpira wa miguu. nikiwa free muda wangu mwingi hupitia habari za michezo kwa kusoma magazeti, kuangalia Sports News kwenye TV na hata ukiniona niko busy na smartphone yangu basi nacheki habari za michezo. Kitu ambacho sintapenda kukifanya ni kuacha kila kitu na kurudi mtaani kuokota makopo ya kuuza. Sina maana mbaya ila naomba mungu isifike huko.

Unafanya kitu gani ukiwa nje ya location? Kuna siku za mapumziko kwako au mwanzo mwisho kazi tuu?

Haji: I would prefer to be a football Haji: Mimi pia ni mkulima. Nalima mpunga na kuuza kama zao la biashara. Ila pia napata muda mwingi coach. In my free time I really like to wa kupumzika na kuwa karibu zaidi na familia yangu. read the sports news in the newspaNdoto zako za baadae ni nini? pers or watch Sports News on TV. Even when you see me busy on my phone, I’m Haji: Ndoto zangu baada ya miaka 10 ijayo ni kugombea ubunge jimbo la Pangani Tanga usually reading sports highlights. One thing ili kuokoa uchumi wa pangani. Tuna vitu vingi vya kuvutia ila uchumi uko chini sana. I would never want to do is to leave everything Nitarudi kutumika nyumbani, inaniuma sana kuona wananchi wa Pangani waand to go back to collecting cans in the streets to nataabika kimaisha kwa kusosa fursa ya kujitengenezea kipato kupitia sell. I don’t mean that in a bad way, I just pray to rasilimali walizonazo. God that it doesn’t get to that.

What do you do while you’re not on location? Do you get rest days or is it work from start to finish? Haji: I’m also a farmer. I farm rice and sell it as a cash crop. But I also get a lot of rest time and spend it getting to be close with my family.

What are your dreams for later on? Haji: My dream is that in the next 10 years to run for Member of Parliament for Pangani, Tanga so that I can save the economy in Pangani. We have many attractive things but the economy is really low. I’ll go back and be a messenger for my home, it really hurts me to see the people of Pangani suffer in life because they don’t have the opportunities to income through the resources they have.

Mwaka huu mwezi wa kumi nitarudi tena chuo kuanza Degree ya International Relations & Diplomacy. In October, this year, I’ll be going back to university to get a degree in International Relations & Diplomacy.


48 BURUDANI & MAISHA

Nyota mbili ziko nasi

Two stars AMONG US

by MARRY Msegelwa

Kutana na Tish & Batuli, wachapakazi kwenye kuigiza // Meet Tish & Batuli, hard workers in acting

Tish & Batuli

Tish wewe ni mzawa wa wapi na mapenzi ya sanaa yalianzaje kwako?

Mambo vipi mdada, Ahsante kwa kufika na hongera kwa kupendeza.

T: Aaah! Mimi nimezaliwa Morogoro na nilianza kuipenda sanaa baada ya kumaliza elimu yangu ya msingi, nikiwa tuu nyumbani nikaamua kujiunga na vikundi vidogo vidogo pale mtaani ilimradi muda uende. Cha ajabu siku zilivyozidi kwenda nikajikuta nazidi kuipenda sanaa.

B: Ahsante sana, nimefurahi pia kukutana na nyie.

Kuna mafunzo maalumu mliyokuwa mkipewa kwa muda huo?

Batuli, ulianzia wapi tasnia hii ya sanaa ya maigizo? B: Kiukweli sikuanza kuigiza moja kwa moja. Nilikuwa na passion ya kuandika story mbali mbali. Watu wangu wa karibu waliokuwa wakizisoma wakanishawishi kwanini nisiingie kwenye tasnia ya maigizo.

T: Kiukweli ilikuwa imeegemea upande wa mazoezi ya hisia kama vile, kuonyesha hasira, huzuni, kulia, upole, ukali nk. Nilianza kupata mafunzo maalumu nilipojiunga na kundi la Shirikisho pale ndipo nilipolelewa na kuwa Tishi wa sasa.

B: Mmmh mwanzo kabisa nilianza na tamthilia ya Hatia mwaka 2002 ilikuwa ikirushwa kituo cha ITV. Sikuishia hapo niliendelea na nyingine kama vile Wimbi, Darubini, Chozi nk.

Changamoto zipi ulizipitia unapoanza?

Na katika tamthilia hizo uliigiza kama nani?

T: Changamoto ni nyingi, hasa upande wa wazazi wangu

B: Hatia nilicheza kama muhusika mkuu, na nyingine nilishirikishwa

hakuna aliyetaka hata kusikia naongelea swala la sanaa ya kuigiza. Nashukuru kwa sasa kidogo wameanza kuelewa ni kitu gani nakifanya, najitahidi kupeleka kazi zangu ninazozifanya nyumbani na wao wapate kuziona, na kile ninachokipata najitahidi kuwashirikisha ili waamini kwamba sanaa sio uhuni kama wanavyodhani.

Mbali na sanaa, unafanya kitu gani? T: Ni hair dresser, nasuka nywele mitindo mbali mbali, na set na kubana mitindo pia.

Kwa sasa unafanya kazi na kundi gani? T: Jakaya Sanaa Group.

Kuna kazi yoyote ambayo umefanya na kundi la jakaya mpaka sasa? T: Zipo nyingi tuu, na kwa sasa nafanya tamthilia ya Kamusi ya Maisha. Hii inarushwa ITV kila siku ya juma tano saa 2:00 usiku.

Filamu ngapi mpaka sasa umecheza? T: Tatu, ya kwanza Ndondo, Tahamaki, ambayo iko madukani sasa na Mimi Siyo Boya.

"Wasiniangali e mim nikoje kama mim i i, waangalie kazi nilizozifanya" - Tish

Unaikumbuka kazi yako ya kwanza kuifanya?

Kati ya kazi zote ulizocheza mpaka sasa, ipi ilikuonyesha mafanikio ya kufika pale unapopataka? B: Nikianza na Hatia, ilinipa image na kunitambulisha, na ya pili ni Wimbi pia ilikuwa na neema kwangu.

Umesema ulianza na kuandika, je kuna story yako yoyote ambayo umeifanya mwenyewe au msanii mwingine kuifanya? B: Story ninazo nyingi ila sijawahi ziuza, ila kwa sasa kuna moja inaitwa Mwana ikiwa nimeicheza na hivi karibuni itakuwa hewani.

Ndoto zako ni nini kwenye tasnia hii ya maigizo? B: Kiukweli ndoto zangu ni nyingi, shauku yangu kubwa ni kuona sanaa inakuwa na kutambulika kimataifa. Na nina imani tunaweza japokuwa kuna watu wanaingia kwenye sanaa pasipo na malengo na upendo wa sanaa. Fursa zikitolewa pasipo kuangalia ukubwa wa majina, tutafika pale watazamaji wanapopataka.

u kubwa "Shauku yang akuwa in ni kuona sanaa ka na kutambuli atuli kimataifa" - B


BURUDANI & MAISHA Tish hapo baadae ukipata nafasi ya kufanya interview na Kituo kibwa cha Television kama BBC, utazunguzia kitu gani juu ya sanaa? T: Heshima. Wasanii wengi tukipata umaarufu tunalewa

na kufanya vitu vya ajabu, bado sijapata jina kubwa lakini naona madhara ya kutumia umaarufu vibaya. Inakuwa aibu kujiita masanii, unaonekana muhuni, hii tu ni kwasababu ya watu wachache wasiojitambua kuchafua jina la sanaa. Watu wanajisahau kwamba wao ni kioo cha jamii, badala yake wanafanya mambo ambayo yanapotosha na kutengeneza picha mbaya kwa jamii. Hili linaniuma sana.

Kilio chako cha watazamaje ni nini? T: Wasiangalie nikoje, waangalie kazi ikoje. Je, nimewaburudisha na kuwaelimisha? Ujumbe umewafikia? Kwangu ndio kilio changu kikubwa. Napenda kukosolewa ili nikuwe na kuwa imara katika sanaa, makosa yangu ndio kujengeka. Sapoti yenu muhimu kukuza wasanii kama mimi.

Tish was born in Morogoro and started getting into art

when she finished primary school. She was just at home and decided to join small groups in the neighborhood just to pass the time. As days went by she found out that she was starting to love art. The lessons were mostly about practicing emotions like anger, sadness, tenderness, harshness etc. Tishi says: “I started getting proper training when I joined the Shirikisho group. That is where I was nurtured and became the Tishi of today.” At the moment she is working with the Jakaya Sanaa Group. Besides being an actor Tishi is also a professional hairdresser and has a very good eye for style. The biggest challenge she had to face was from her parents. None of them wanted to hear about the art of acting. “I’m thankful that they’re now starting to understand what it is that I do.” Tishi includes her family in her earnings to show that art isn’t the hooliganism that they thought. Being seen as a hooligan hurts her a lot and respect is very important to Tishi. She explains: “A lot of artists get famous and do lots of strange things. I haven’t gotten a big name yet but I see the effects of using fame badly. It’s embarrassing to call yourself an artist sometimes, you’re seen as a hooligan, all this is because of a few who are ruining the name of art. People forget that they are a reflection of their community, instead they ruin the image of the community.” Asking Tish about her newest releases, she tells us: “Right now there is a TV series called Kamusi ya Maisha. This is broadcasted on ITV every Wednesday at 8:00pm.” Her biggest success was being part of Siri ya Mtungi. She says: “I wasn’t on the show for long but that’s what made me feel like a real artist. There were auditions for over 100 people and they only needed one, and I was the one that got it. Daah! I won’t forget that day.” In total Tishi acted in 3 movies up to now. “Ndondo” was the first, then “Tahamaki” which is in stores now and “Mimi Siyo Boya”. What Tish wants to tell her audience, is, they shouldn’t look at her as a person, they should look at her work. She wants to entertain and educate people. Her great wish is that the message of the story, of the character gets through and reaches the audience. She says “I like adversity so that I grow and become strong in my art, my mistakes build me up. Your support is important in nurturing artists like me.” We wish her much success!

Tukienda mataifa mengine yanayofanya filamu, nani unamkubali zaidi? B: Omotola Jane kutoa Nigeria, kila nikiangalia kazi zake, ananipa shauku ya kufanya bidii zaidi. Jinsi anvyokuwa location, ni kama maisha yake halisi na wala sio kuigiza. Nampenda sana.

Ni nini ombi lako kwa watazamaji? B: Ombi langu ni kuwa wazalendo na kununua kazi zetu. Tuna vitu vingi vya kuwaelimisha na kuwaburudisha. Mimi naamini tunaweza kufanya vizuri zaidi, tunachohitaji ni muda na sapti tuu.

"A great ambition of mine is to see the arts be properly identified internationally " - Batuli

Batuli surprises us! She didn’t get into acting right away.

She rather had the passion of writing stories. People close to her would read the stories and they were the ones who inspired her to enter this industry. Asking Batuli about her first job, she tells us: “I played the starring role in a drama series called “Hatia” in 2002. It used to be aired on ITV. This role gave me my image and really identified me.” From there she kept getting into other featuring roles like in “Wimbi”, “Darubini”, “Chozi” etc.” Batuli has a lot of stories written down and many still in her head. One called “Mwana”, in which she acted herself, will soon be released. In the beginning, Batuli's mother wasn’t so happy about the way her daughter had chosen for herself, but she found a great supporter in her uncle. He gave her the heart to say, “I can do it!” She is very thankful that up until now her family gives her the strength she needs. Batuli admires Omotola Jane from Nigeria the most. She is her role model. “Every time I see her work, she motivates me to work harder at what I do.” Talking about her ambitions, Batuli explains: “I want to see the arts be properly identified internationally. I believe we can do it even though there are some people who get into it without any goals and love for the art. If opportunities are given without worrying about ‘big names’, we will get to show what the viewers want.” Her message to the audience is connected to Tanzanian movie industry: “Be patriotic and support us with buying our work. We have a lot of things to teach and entertain you. I believe we can do better and better, what we need is time and your support!”

"They shouldn’t look at me as a person, they should look at my work" - Tish

the

49


50

Advertorial

Start Up za kushangaza: Anuwani kwa wote!

Watu wote kutoka kote duniani watapata anuwani kupitia what3words Umeshawahi kujaribu kumwelezea mtu kusubiria mfumo uliyowekwa na taifa. Ni pale ulipo, unapoishi, mkutane wapi, au bure kwa watu kuitumia na wanao uwezo wa kuitumia kupitia tovuti yao na apps pale ambapo biashara yako iliyopo? kwenye simu za iOS na Android. Startup moja kutoka UK inayoitwa What3Words inafanya shughuli amba- Mtumiaji anachotakiwa kukifanya ni kuzo zitafanya swala hilo kuwa kitu cha weka tu pini kwenye ramani ya kifaa chake na atapewa anuwani ya maneno kizamani. matatu. Maneno hayo kisha yanatumika Walichokifanya ni kuigawanywa dunia kwa njia za SMS, Whatsapp, email, kunzima katika gridi ya viwanja trilioni 57, andikwa kwenye karatasi au kutamkwa vyote vikiwa na ukubwa wa mita 3 kwa mkiwa mnaongea na simu. Maneno hayo mita 3. Kila moja pia imehusishwa mane- yatakuwa yanaweza kutumiwa na kamno matatu. puni inayosafirisha mizigo, makampuni Tokeo lake ni kwamba mtu ambaye ya teksim wakulima, marafiki, watoa huanatembelea London anaweza kuse- duma za afya wowote ambao wanataka ma “casino.kochi.baiskeli” kumaanisha kupata anuwani sahihi. kwamba umkute “mbele ya sanamu ya Simba iliyopo upande wa magharibi wa Nelson’s Column kwenye eneo la Trafalgar Square.” Inapatikana kwa lugha nyingi ikiwa ni pamoja na Kiingereza, Kifaransa na Kiswahili. Inarahisisha sana kazi za kutafuta marafiki zako wakiwa wako mjini, katika maonesho makubwa, hata eneo la pwani. Lakini kazi mahsusi ya app hii ni uwezo wa kuweka mpango kwenye ma- App hii inajiunga na GPS kama kawaisoko yasiyo na anuwani yenye mpangilio da, lakini inatumia mfumo ambao ni rahisi na sahihi kuiwezesha ifanye kazi. sana. What3Words pia imeendeleza kodi fupi Asilimia 75 ya dunia haina mpangilio ya mistari miwili ambayo inatumika na mzuri kwenye anuwani, hii ikiwa pamomafundi ili watengeneze app zao wenyja na Tanzania. Hali hii inafanya kazi ya ewe kwa ajili ya kutoa huduma za ramakununua vitu kupitia mitandano, kutoa ni na anuwani. Kama kampuni nyingine huduma za afya wakati wa dharura, na zinazotoa huduma za kupata ramani na kutoa huduma za jamii ziwe ngumu sana. anuwani, What3Words inapata kipato kiWhat3Words inayo uwezo wa kuipa dogo kwa kila mtu anapotafuta anuwani sehemu anuwani sahihi bila ya haja ya ya kitu kupitia huduma zao.

What3words imejiunga na washirika kadhaa ikiwa ni pamoja na; Navmii, app inayotoa huduma ya ramani; Carteiro Amigo, kampuni kutoka Brazil inayosafirisha mizigo; Kartverket, kampuni ya kutoa anuwani kutoka Norway’ na PollinateEnergy, kampuni kutoka India inayotoa huduma za nishati ya jua mwanga. Mfumo wa maneno matatu kwa ajili ya anuwani mpia inatumika na watu na makampuni yaliyopo Tanzania. Kampuni ya In2care inatumia mfumo huu kwa ajili ya kuweka mitego ya mbu ili waweza kuitafuta tena na kuitengeneza. Restless, kampuni ya maendeleo inatumia mfumo wa maneno matatu kwa ajili ya anuwani ili waweze kutoa ripoti kuhusu matokeo ya uchaguzi wa mwaka 2015 mwezi wa kumi, na READ International inatumia What3Words kuwaelekeza wafanyakazi wakujitolea waweza kufikia maktaba ambazo zinahitaji kukarabatiwa na kuongezewa vitabu. Anuwani za maneno matatu zinawapa watu wote, waliyopo maeneo yote, anuwani rahisi kwa ajili ya kila kitu. Mfumo huu unahakikisha kwamba watu wasipotee, mizigo ifike, marafiki wakutane, na biashara zipatikane. Itafuta app ya what3words kwenye app store au tembelea tovuti ya w3w.co/map Kama ungependa kuzungumza na anayeweza kukusaidia utumia What3Words kwa ajili ya biashara yako, tafadhali nenda kwenye tovuti ya w3w.co/sw


Advertorial

51

Amazing Start Ups: Addressing the world! Everyone and everywhere now has an address with what3words Have you ever struggled to explain to so- This makes receiving goods bought onmeone exactly where you are, where you line, servicing getting aid or emergency live, where to meet or where your busi- services very difficult. ness is? what3words can provide a precise UK startup what3words has made that addressing without having to wait for a state-run system to be developed. It is problem a thing of the past. free for individuals to use and they have It has divided up the entire world into a a web site and apps for iOS and Android grid of 57 trillion small 3mx3m plots of phones. land, each associated with a sequence of All users do is place the pin on the map three random words. and it will deliver a 3 word address. So a visitor to London can use “casino. The 3 words can easily be sent by text, coach.bikes” as shorthand for “meet me Whatsapp, email or written down or spoon the nose of the lion sculpture at the ken over the phone. These can be then south-west side of Nelson’s Column in used by a delivery company, taxi company, farmer, friend or aid agency to locate Trafalgar square.” that place precisely It is available in multiple languages incluIt links, of course, to GPS coordinates, but ding English, French and Swahili. uses an extremely simple and memorabYes it’s handy to locate friends, land- le mechanism to communicate them. marks or festival tents, but the app’s real value lies in its ability to transform mar- what3words have also developed a kets that lack the rigorous postcode or API, a small 2-line piece of code that is being used by developers to build precise street address system. addressing into their own apps and serSome 75% of the world suffers from in- vices. Like other address look-up compaadequate addressing, including Tanzania. nies, what3words takes a small cut for each address query made through its platform. what3words has signed up a number of partners including navigation app Navmii, Brazilian delivery franchise Carteiro Amigo, Norwegian mapping agency Kartverket, Indian Solar Light distributors Pollinate-Energy.

3 word addresses are also being used by individuals and business in Tanzania. In2care are addressing mosquito traps when they are installed so they can be found again and serviced. Restless, a development organization are using 3 word addresses to report issues in the run up to the 2015 elections in October and READ international are using what3words to direct volunteers to libraries so they can be rehabilitated and restocked with books. 3 word address give everyone, everywhere and everything a simple address. The system means people don’t get lost, packages are delivered, friends are met and businesses are found. Search what3words in the app store or visit w3w.co/map If you would like to talk about using what3words for your business please go to w3w.co


52

UPENDO & MARAFIKI

Je, ndoa yako ni ndoa yenye furaha? Pata jibu hivi sasa.. Na hata kama majibu siyo mazuri, fursa ya kuimarisha ndoa yako zipo

How happy is your marriage? Find out now‌ and if your result is downing, don’t forget there is always room to make it great

1. Mkiwa kwenye kutokubaliana mkoje?

1. How do you both handle a disagreement?

A. Mmoja wetu au wote wawili tunakuwa wakali na kupiga makelele. Hatupeani nafasi ya kuongea na hatusikilizani.

A. One or both of us are loud and volatile. We talk over each other, without listening properly.

B. Tunaongelea yale ambayo hatukubaliani nayo, tunasikilizana na kutafuta maelewano kwa ustaarabu. C. Mmoja wetu au wote wawili tunakataa kuongelea swala hili na tunapeana ukali.

B. We discuss our differences, acknowledge if they have a point and try to calmly work it out. C. One or both of us bottles it up and we become slightly passive aggressive as a result.

2. Mmeridhika na kiasi ambacho mnajamiiana?

2. Are you both happy with the amount of sex you have?

A. Hapana, ningependa kujamiiana na mwenzi wangu zaidi.

A. No, I want more sex than my partner.

B. Mwenzi wangu anataka kujamiiana zaidi kuliko mimi.

C. Yes, we are both happy with the amount we are having.

C. Ndio, tumeridhika na kiasi ambacho tunajamiiana.

3. Kuna vitu vingi ambavyo wewe na mwenzi wako mnavipendelea pamoja? A. Ndio, sisi ni kama marafiki wazuri na kuna vingi ambavyo tunavipendelea pamoja. B. Hapana, kuna vitu vichache ambavyo tunavipendelea pamoja. C. Kuna vitu vichache ambavyo tunavipendelea pamoja, lakini ingekuwa vizuri kama kungekuwa na vingi zaidi.

B. My partner wants more sex than I do.

3. Do you and your partner have a lot of interests and hobbies in common? A. Yes, we are best of friends and have a lot of similar interests. B. No, we really don't have that much in common. C. We have some things in common, but it would be nice to have more.


UPENDO & MARAFIKI

53

4. Je, unavyoendelea kuwa na mwenzi wako unajihisi kwamba:

4. The longer that you are with your partner, do you feel that:

A. Ndoa yenu inaendelea kuvunjika?

A. Your relationship is growing apart?

B. Mnaendelea kukua na kuboreka mkiwa pamoja?

B. You are naturally growing and evolving together?

C. Mara nyingine mnakuwa mmekoseana kwa muda, lakini baada ya muda mnajitahidi na kurudiana?

C. Sometimes you grow apart temporarily, but you tend to put in effort in order to grow together again?

5. Baada ya kuwa hamjaonana siku nzima, mkionana:

5. After being apart for the day when you see each other do you:

A. Mnakumbatiana na kupeana mabusu?

A. Immediately kiss or hug when you see each other?

B. Mnapeana ‘hi’ ya kwa mbali na kuendelea na shughuli zenu?

B. Mumble "hi" then get on with other things?

C. Mara nyingine mnasalimiana kwa mapenzi, mara nyingine sio kwa mapenzi, inategemea na mood yako?

Kama pointi zako zilikua kati ya:

C. Sometimes give a warm welcome and sometimes not, depending on your mood?

If You Scored: 1. A=2 B=3 C=1 2. A=1 B=2 C=3 3. A=3 B=1 C=2 4. A=1 B=3 C=2 5. A=3 B=1 C=2

12-15 – Inaelekea kwamba ndoa yako inayo hali nzuri ambayo ni sawa. Ukiendela kuipa kipaumbele itaendelea kuwa hivi. Mkiwa mnayo makabiliano hakikisha kwamba mtaelewana vizuri na kuombeana msamaha kabla ya kuendelea na maisha yenu. Kumbukeni kuonyeshana upendo kila siku. Vitu vidogo vidogo vya kila siku ndo inaonyesho upendo mkubwa zaidi. Kutaarishana chai, kushikana mikono na kupeana kipaumbele saa zote. Mnafurahishana na kuimarishana, ndoa yenu inaendela kukua. Kumbukeni kwamba kila muda ambapo mpo pamoja inathamani kubwa.

12-15 – You seem to have a good and balanced relationship. Keep working on it as a priority and it will stay that way. When you have disagreements always make sure that you come to an agreement and can easily say sorry and let go. Remember to give to each other at every opportunity. It's the daily little things that count. Buttering each other's toast, holding each other's hands and generally putting each other first. You obviously bring out the best in each other and your relationship is growing and evolving over time. Remember that every moment together is precious.

6-11 – Ndoa yenu inahitaji ishughulikiwe kidogo kuhakikisha kwamba iwe ni bora zaidi. Mkiwa mnakabiliana kwenye jambo, hakikisheni kwamba mnasikilizana. Ongeeni kuhusu mahitaji yenu ya kwenye kujamiiana na hakikisheni kwamba mnakubaliana kwenye yale ambayo mngeyapenda. Hakikisheni mnajitahidi kwenda kwenye date na kutoka pamoja na kufanya vitu vya kuwafurahisha. Kwa urahisi, mnaweza kufanya ndoa yenu irudie hali ya kuwafurahisha tena. Mnachohitaji ni kukazana ili mfanikiwe.

6-11 – Your relationship probably needs a bit of work to take it from good to great. When you are in a disagreement make sure that you listen to what each other is really saying. Chat about your sexual needs and make sure that you're both able to come to an agreement on what you both need. Make an effort to go out on dates together and do things that are fun. You can easily make your relationship fantastic again you just need to focus on making it happen.

1-5 – Itabidi mkae pamoja na kuongelea kama kweli mnataka ndoa yenu iendelee. Kama mngependa kuendelea kuwa pamoja, huu ni muda wa kuanza kusikiliza mahitaji yenu na kuona kama mnaweza kupeana mahitaji hayo. Ndoa yenu itahitaji kazi nyingi kufanikiwa. Lakini kama mnaona kwamba hakuna njia, basi inawezekana kwamba ni bora mwachane ili wote mweze kupata nafasi ya kukutana na yule ambaye atawafaa maishani. Lakini kama mnapendana kweli, uwezekano wa mgeuko upo. Kama ndoa yenu ilikuwa nzuri wakati mmoja, mnaweza kuifanya iwe hivyo tena, lakini kazi iko kwenu mkiwa pamoja kwenye jambo hili. Kila la kheri.

1-5 – You both need to have a serious chat to see if you really want this relationship to work. If you do, then it is time to really start listening to each other's needs and to see if you can help fulfill them together. Your relationship will need a lot of effort to make it work. If, on the other hand, you can't see a way through, then it might be time to part ways so that you both meet someone who you are more suited to. But if you are both really committed, there is always that possibility of a complete turn around. If your relationship was once great, you could potentially make it great again, so long as you are both prepared to put in a huge amount of effort. Good luck.


54

Uvumbuzi & Teknolojia

Vitu Vitatu vya Kutuletea Maisha ya Kisasa 3 new Innovations that

could change the world

1

3D-Printing - Hatua moja inayopeleka ujenzi mbele (Upatikanaji – Hivi sasa)

Mwaka 2015 mauzo ya 3D-Printers itaongezeka kwa 98%! Kwani hujawahi kuisikia 3D-Printer? 3D printing au „ujenzi wa nyongeza“ ni jinsi ya kujenga kitu chenye umbo lolote kutoka faili ambayo ni dijitali. Kujenga kitu kwa njia ya 3D printing inawezekana kupitia mfumo wa ujenzi wa nyongeza, yani ‚additive process’. Kwenye ujenzi wa nyongeza, kitu kinakuwa kinajengeka kwa kulaze pande juu ya pande mpaka kitu chenyewe kikamilike na kuchukua umbo lake. Hivi karibuni, hata smartphone zitakuwa na scanner za 3D! Uwezo wa kupata picha ya dijitali ya 3D cha kitu chochote kitakuwa rahisi kama vile unapiga picha ya kawaida. Umeshaipata hiyo? Hii itabadilisha dunia!

3D-Printing - One step further in an automatised world (AvailabLE: now)

2015 the sale of 3D-Printers will increase 98%! Never heard about a 3D-Printer? 3D printing or “additive manufacturing” is a process of making three dimensional solid objects of an shape from a digital file. The creation of a 3D printed object is achieved using additive processes. In an additive process an object is created by laying down successive layers of material until the entire object is created. In the near future even smartphones will have integrated 3D scanners! Digitizing real objects into 3D models will become as easy as taking a picture. Got it? Surely this will change the world!

3

2

Project Loon - Maputo ambaye inarusho mtandao wa intaneti kote (Upatikanaji – Miaka 1-2) Asilimia 60 ya watu duniani bado hawako kwenye mtandao. Karibu na sasa, dunia nzima itakuwa kwenye mtandao! Kampuni maarufu ya Google inataka kurusha maputa iliyojaa helium ifikie sehemu ambazo nguzo za kawaida hazifikii na kuwapa mabilioni za watu uwezo wa kwenda kwenye mtandao kwa mara ya kwanza. Project Loon ni huduma ambayo inaaminika na inawezeka kwa bei nafuu kurusha mtandao kutoka hewani. Kampuni ya Google imesharusha maputo haya ya helium hewani kufikia mwinuko wa kilomita 20. Kwa wale ambao ni mafundi zaidi: Kila puto limebeba boksi ambalo limejaa vifaa vya umeme vya solar. Vinajiunga na mitandao ya telecommunications ambazo ziko kwenye ardhi kupitia mawimbi ya redio na kurusha mtandao wa intaneti ifikie simu na vifaa mbali mbali. Haya ni maendeleo makubwa sana kwani uwezo wa kuingia kwenye mtandao unaleta uwezo wa kusambaza elimu na fursa za kiuchumi!

PROJECT LOON - Internet balloons provide internet access everywhere (AvailabLE: 1-2 years)

60% of the world are not online yet. Soon the whole world will be connected!! Thanks to helium balloons that Google will send over many places cell towers don’t reach, billions of people will get online for the first time. Project Loon is a reliable and cost-effective way to beam Internet service from the sky. Google has launched hundreds of these balloons into the sky, lofted by helium in an altitude of around 20 kilometers. For our tech-freaks: Each balloon supports a boxy gondola stuffed with solar-powered electronics. They make a radio link to a telecommunications network on the ground and beam down high-speed cellular Internet coverage to smartphones and other devices. This is a powerful development, because internet access has the power to expand also educational and economic opportunities!

Mafanikio ya Teknolojia Mawasiliano kati ya magari itaokoa maisha (Upatikanaji – Miaka 1-2)

(AvailabLE: 1-2 years)

Watu zaidi ya milioni kote duniani wanapoteza maisha yao kutokana na ajali za barabarani. Kifaa kidogo cha kiteknolojia kitahakikisha kwamba uendeshaji utakuwa na usalama zaidi. Kama magari itakuwa na uwezo wa kuwasiliana, ajali zitaepukwa sana. Mawasiliano kati ya magari itaruhusu magari iambiane wapi ilipo, mwendo ambao inaenda, usukani zimekaa vipi, hali za breki, na maelezo mengi zaidi kwa magari iliyopo karibu. Magari itakuwa inaweza kusoma mazingira yao na kuepuka hatari yoyote ambayo hata dereva maarufu anaweza kukosa. Usalama barabarani kweli utaongezeka!

More than a million people are killed on roads worldwide every year. A simple wireless technology promises to make driving much safer. If cars can talk to each other, crashes are easy to avoid. The car-to-car communication let cars broadcast their position, speed, steering-wheel position, brake status, and other data to other vehicles within a few hundred meters. The other cars can use such information to build a detailed picture of what’s unfolding around them, revealing trouble that even the most careful and alert driver, or the best sensor system, would miss or fail to anticipate. Soon our streets could be a safer place!

Breakthrough Technology - Car-toCar Communication will save lives




Turn static files into dynamic content formats.

Create a flipbook
Issuu converts static files into: digital portfolios, online yearbooks, online catalogs, digital photo albums and more. Sign up and create your flipbook.