Afya ya uzazi

Page 1

WAJIBU WA WADAU WA ELIMU YA AFYA YA UZAZI 1. Wazazi – Kuwa tayari kuongelea masuala ya elimu ya afya ya uzazi bila kificho kwa watoto wao. 2. Wahudumu wa afya- kutoa taarifa sahihi kuhusu afya ya uzazi na huduma rafiki kwa vijana na kwa jamii kiujumla. 3. Shule na taasisi za elimu- kutoa elimu na huduma za afya ya uzazi kwa wanafunzi 4. Serikali – Kurekebisha sheria zinazozuia upatikanaji wa huduma za afya ya uzazi na kusimamia utekelezwaji wa sera na mipango. 5. Mashirika yasiyo ya kiserikali – kushirikiana na serikali kuanziasha na kusimamia miradi ya utoaji wa huduma na elimu ya afya ya uzazi kwa jamii. 6. Jamii – Kutambua, kutafuta, kushiriki na kutumia na kuzilinda huduma. Vituo vinavyo toa huduma ya elimu ya afya ya uzazi ni vipi? Huduma nyingi za afya ya uzazi hupatikana bure katika vituo vya afya vya serikali, mashirika yasiyo ya kiserikali kama vile TAWLA, AMREF, UMATI na MARIE STOPES.


Turn static files into dynamic content formats.

Create a flipbook
Issuu converts static files into: digital portfolios, online yearbooks, online catalogs, digital photo albums and more. Sign up and create your flipbook.
Afya ya uzazi by BAKARI R. KACHEUKA ( +255 676510464 ) - Issuu