Kipeperushi cha tawla

Page 1

Chama cha Wanawake Wanasheria Tanzania (TAWLA) kilianzishwa mnamo mwaka 1989 na kusajiliwa rasmi mwaka 1990 chini ya sheria ya vyama vya hiari sura ya 337 kama sheria zilivyorekebishwa mwaka 2002. Chama kilianzishwa kwa lengo la kuwaleta pamoja na kuwawezesha kujiendeleza kitaaluma wanawake wanasheria. Lengo kuu la chama hiki ni kutetea haki ya usawa wa kijinsia,utu na haki kwa kufanya uchemuzi wa mabadiliko ya sheria na sera ambazo ni kandamizi, kuhamasisha jamii na kutoa elimu kwa umma kupitia vyombo vya habari.


Turn static files into dynamic content formats.

Create a flipbook
Issuu converts static files into: digital portfolios, online yearbooks, online catalogs, digital photo albums and more. Sign up and create your flipbook.