Afya ya mtoto ni jukumu la baba, mama na familia kwa ujumla!
FAHAMU JINSI YA KUMNYONYESHA
MTOTO
Uzalishwaji wa maziwa ya kutosha yenye virutubisho unategemea upatikanaji wa makundi matano ya vyakula katika mlo wa mama.Wanaume wahakikishe upatikanaji wa vyakula nyumbani. VIRUTUBISHI VILIVYOMO KWENYE MAZIWA YA MAMA. Virutubishi vilivyomo kwenye maziwa ya mama vinauwiano sahihi kwa ukuaji na maendeleo ya mtoto.
NA UMUHIMU WAKE
Punguza vifo vya mama na mtoto kwa kuboresha afya yao!
Huyeyushwa kiurahisi na hufyonzwa na mwili wa mtoto kwa ufanisi. Virutubishi vilivyomo katika maziwa ya wanyama Figo za mtoto mchanga haziwezi kutoa mabaki ya ziada mwilini yatokanayo na maziwa ya wanyama KUMBUKA Madhara yatokanayo na ukosefu wa lishe katika kipindi cha miaka miwili ya awali ya mtoto hayawezi kutibika au kurekebishika hata hapo baadaye!
World Vision Tanzania ENRICH Project Singida Regional Commissioner Office Compound P.O.Box 1573. Singida mwivano_malimbwi@wvi.org www.wvi.org/tanzania World Vision Tanzania twitter: wv_tanzania