Dua za miezi mitatu

Page 1

DUA ZA MIEZI MITATU MITUKUFU (Rajabu, Shaabani na Ramadhani)

Kimetarjumiwa na: Sayyid Ahmed Aqyl

Kimehaririwa na: Al-Haj Ramadhani S. K. Shemahimbo

Dua za Miezi Mitatu 31Dec(h).indd 1

1/1/2013 6:17:50 PM


Dua za Miezi Mitatu 31Dec(h).indd 2

1/1/2013 6:17:50 PM


Yaliyomo Neno la mchapishaji .................................................................................v Utangulizi .................................................................................................. 6 Dua za Mwezi wa Rajabu ........................................................................... 9 Dua ya Kwanza .......................................................................................... 9 Dua ya Pili................................................................................................ 10 Dua ya Tatu ............................................................................................. 11 Dua ya Nne ............................................................................................. 12 Swala ya Mtume (s.a.w.w) katika ............................................................ 14 Mwezi wa Rajabu Munajaati wa Imam ‘Ali (a.s.) katika mwezi wa Shaabani –Munajaatish Shaabaniyyah Swala ya Mtume (s.a.w.w) katika mwezi ................................................ 18 wa Shaabani Soma dua hizi baada ya kila swala ya faradhi ......................................... 34 katika Mwezi wa Ramadhani Dua za Siku Maalumu za Mwezi Mtukufu .............................................. 39 wa Ramadhani alizokuwa akizisoma Bwana Mtume (s.a.w.w.)

iii

Dua za Miezi Mitatu 31Dec(h).indd 3

1/1/2013 6:17:50 PM


Š Haki ya kunakili imehifadhiwa na: Al-Itrah Foundation ISBN No: 978-9987-427-05-5 Kimetarjumiwa na: Sayyid Ahmed Aqyl Kimehaririwa na: Al-Haj Ramadhani S. K. Shemahimbo Toleo la kwanza: Machi 2013 Nakala:1000 Kimetolewa na kuchapishwa na: Al-Itrah Foundation S.L.P. 19701, Dar Es Salaam. Tanzania Simu: +255 22 2127555 / 2110640 Barua Pepe: alitrah@raha.com Tovuti: www.ibn-tv.com Katika mtandao: www.alitrah.info Kwa kushirikiana na: Idara ya Utamaduni Ubalozi wa Jamhuri wa Kiislamu wa Iran S.L..P 59595-00200 NAIROBI-KENYA Simu: (+255) (2) 2214353 (+254) 713 836041 Barua pepe: iranlib@yahoo.com Tovuti: http://www.nairobi.icro.ir

Dua za Miezi Mitatu 31Dec(h).indd 4

1/1/2013 6:17:50 PM


NENO LA MCHAPISHAJI Kitabu ulichonacho mikononi mwako ni mkusanyiko wa dua mbalimbali ambazo zimetokana na Maasumina 14 (a.s) watokanao na nyumba ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w). Bwana Mtume amesema: “Dua ni silaha ya muumini,� hivyo ni kinga kwake pia. Utaona kwamba dua ni kitu muhimu sana kwa waumini; na hiki ndicho kilichomsukuma ndugu yetu Sayyid Aqyl kuzikusanya dua hizi ambazo ni muhimu sana na kuzitarjumi kwa lugha ya Kiswahili, lakini pia bila kuiacha lugha yake ya asili ambayo ni ya Kiarabu kwenda sambamba na Kiswahili. Na hili kwa hakika litamrahisishia msomaji wa Kiswahili hali kadhalika na msomaji wa Kiarabu kuzielewa vizuri dua hizi. Si mara ya kwanza kwa Sayyid Aqyl kuandika kitabu cha dua, kabla yake alitarjumi dua mashuhuri iitwayo, Dua Kumayl. Tunamshukuru sana kwa juhudi zake hizi za kuwahudumia waumini wenzake. Tunamuomba Allah ampe wasaa zaidi katika juhudi zake hizi, na ampe afya njema ili aweze kutekeleza wajibu huu. Taasisi yetu ya Al-Itrah imeamua kukichapisha kitabu hiki kwa lugha ya Kiswahili kwa madhumuni yake yaleyale ya kuwahudumia Waislamu wazungumzaji wa lugha ya Kiswahili. Ni matumaini yetu kwamba kitabu hiki kitakuwa ni chenye manufaa makubwa kwao. Tunawashuku wale wote waliosaidia kwa njia moja au nyingine hadi kufanikisha kuchapishwa kwake. Allah awalipe wote malipo mema hapa duniani na huko Akhera pia. Amin! Mchapishaji: Al-Itrah Foundation Dar es Salaam v

Dua za Miezi Mitatu 31Dec(h).indd 5

1/1/2013 6:17:50 PM


DUA ZA MIEZI MITATU MITUKUFU

UTANGULIZI

D

ua, yaani maombi si matamshi ya kutamkwa kwa ulimi tu, bali ni hali ya uhitaji wa moyoni inayodhihirishwa na ulimi. Panapokosekana mapatano baina ya yaliyo moyoni na matamshi ya ulimini, dua hiyo hukosa dhamira na kuwa mbali na rehema za Muumba, inabaki ni mfano wa kiumbe kisichokuwa na roho. Dua kisheria ni njia bora ya mja kupata matakwa yake ya 足halali. Sheria za kimaumbile zinatuhimiza kutaka usaidizi kutoka kwa Muumba katika hali zote ziwazo. Hivyo nikusema kwamba hata katika zile hali ambazo mja mwenyewe anadhania anauwezo nazo, asifikirie kwamba hana haja ya maombi. Kwa upande mwingine, ni makosa mja kubaki kuomba na kuacha kutumia uwezo wa kawaida kufikia malengo na matilaba yake ya kila leo. Fikra hiyo ni ya kimakosa kwani huu ulimwengu umeumbwa juu ya kanuni zinazohukumu na kuendesha maisha ya mwanadamu. Mwenyezi Mungu pamoja na upeo wa uwezo Wake amekataa kuyapeleka mambo ila kwa kupitia sababu zake. Kinachoinuka hakiinuki ila kwa sababu zake, ingawa Mwenyezi Mungu anaweza kukiinua bila sababu hizo. Na kinachoanguka h 足 akianguki ila kwa sababu zake, ingawa Mwenyezi Mungu anaweza kukiangusha bila ya sababu. Dua ni ukumbi katika rehema za Mwenyezi Mungu na ina 足dauru kubwa katika maisha yetu. Umuhimu wa dua, mbali ya kuwa ni wa kiroho, pia ni ujenzi wa maadili mema. Kwa kutambua rehema ya Mwenyezi Mungu juu yetu, na sisi kimaadili tunawahurumia 足wenzetu na kuwaombea mema kutoka kwa Mwenyezi Mungu. 6

Dua za Miezi Mitatu 31Dec(h).indd 6

1/1/2013 6:17:50 PM


DUA ZA MIEZI MITATU MITUKUFU

Kupata majibu ya maombi yetu, inatakikana tuwe katika hali ya unyenyekevu na uwelekevu wa akili pale tunapomuomba M ­ wenyezi Mungu. Mfano mzuri ni ule Mola aliomfunza Nabii Isa (a.s.) alipomwambia: “Ewe Isa unyenyekeze moyo wako Kwangu, unapojitenga pekeo na unitaje kwa wingi. Tambua kwamba furaha Yangu ni usononekee Kwangu na kuwa hai usiwe maiti (mwangalivu na sio mtepetevu), unifanye niisikie sauti yako ya huzuni.” Dua hizi nilizozifasiri hapa, ni dua ambazo tumefunzwa na ­Ahlul-Bayt ambao Bwana Mtume (s.a.w.w.) alitutaka tushikamane nao. Rajabu, Shaabani na Ramadhani ni miezi ya fadhila nyingi. Bwana Mtume (s.a.w.w.) amepokewa akisema kwamba: “Rajabu ni mwezi mtukufu kuliko mwezi mwengine kwa heshima na fadhila. Katika mwezi huu Jihadi dhidi ya makafiri ni haramu. Rajabu ni mwezi wa Mwenyezi Mungu, Shaabani ni mwezi wangu na mwezi wa Ramadhani ni wa Umma wangu. Yeyote atakayefunga siku moja ya mwezi huu Mwenyezi Mungu atamuepusha mbali na adhabu, atakuwa radhi naye na atafungiwa mlango mmoja wa motoni.” Imam Kadhwim (a.s.) amepokewa akisema kwamba: “Atakayefunga siku moja ya Rajabu, ataepushwa na moto ­ wa J­ ahannamu kwa masafa ya mwaka mmoja. Na atakayefunga siku tatu basi ­wajibu wake ni kuingia Peponi.” Amepokewa tena kwamba amesema: “Rajabu ni jina la mto wa Peponi, weupe wake ­washinda weupe wa maziwa na utamu wake washinda asali, basi yeyote a­ takayefunga katika Rajabu ­atapata kunywa katika mto huo.” Bwana Mtume (s.a.w.w.) amepokewa kwamba amesema: ­“Rajabu ni mwezi wakuomba maghufira, ombeni msamaha kutoka kwa Mwenyezi Mungu s.w.t.” 7

Dua za Miezi Mitatu 31Dec(h).indd 7

1/1/2013 6:17:50 PM


DUA ZA MIEZI MITATU MITUKUFU

Kuna amali nyingi na dua za kusomwa katika mwezi huu wa R ­ ajabu, mimi hapa nimetabaruku kidogo tu, kwa rehema za M ­ wenyezi Mungu (s.w.t.). Atakaye zaidi aweza kuangalia katika vitabu vilivyokusanya dua na mafunzo ya Ahlul-Bayt kama vile Mafaatihul Jinaani na venginevyo.Mwisho kabisa natoa shukurani zangu kwa wale waliosaidia kukichapisha kijitabu hiki, Mwenyezi Mungu ­awabariki. Wabillahi tawfiq Sayyid Ahmed Aqyl (March 10, 2012)

8

Dua za Miezi Mitatu 31Dec(h).indd 8

1/1/2013 6:17:50 PM


DUA ZA MIEZI MITATU MITUKUFU

Dua za Mwezi wa Rajabu Dua ya kwanza

D

ua hii ya kwanza imependekezwa kusomwa baada ya kila swala ya faradhi katika mwezi huu wa Rajabu. Shaykh ­Abbas Qummi asema katika Mafaatihul Jinaani kwamba dua hii ilipatikana kutoka kwa Imam Ja’far as-Swadiq (a.s.).

‫ﺣﻴﻢ‬‫ﲪﻦ ﺍﻟﺮ‬‫ﺑﺴﻢ ﺍﷲ ﺍﻟﺮ‬ ‫ﻦ‬‫ﺎ ﻣ‬‫ ﻳ‬,‫ﺮ‬‫ ﻛﹸﻞﱢ ﺷ‬‫ﺪ‬‫ﻨ‬‫ ﻋ‬‫ﻄﹶﻪ‬‫ﺨ‬‫ ﺳ‬‫ﻦ‬‫ﺁﻣ‬‫ﺮﹴ ﻭ‬‫ﻴ‬‫ﻜﹸﻞﱢ ﺧ‬‫ ﻟ‬‫ﻮﻩ‬‫ﺟ‬‫ ﺃﹶﺭ‬‫ﻦ‬‫ﺎ ﻣ‬‫ﻳ‬ ‫ ﻟﹶﻢ‬‫ﻦ‬‫ ﻣ‬‫ﻂ‬‫ﻌ‬‫ ﻳ‬‫ﻦ‬‫ﺎ ﻣ‬‫ ﻳ‬,‫ﺄﹶﻟﹶﻪ‬‫ ﺳ‬‫ﻦ‬‫ ﻣ‬‫ﻂ‬‫ﻌ‬‫ ﻳ‬‫ﻦ‬‫ﺎ ﻣ‬‫ ﻳ‬,‫ﻞﹺ‬‫ﻴ‬‫ ﺑﹺﻠﹾﻘﹶﻠ‬‫ﺮ‬‫ﻴ‬‫ ﺍﻟﹾﻜﹶﺜ‬‫ﻂ‬‫ﻌ‬‫ﻳ‬ ‫ﻲ‬‫ﺄﹶﻟﹶﺘ‬‫ﺴ‬‫ﻨﹺﻲ ﺑﹺﻤ‬‫ﻄ‬‫ ﺃﹶﻋ‬.‫ﺔﹰ‬‫ﻤ‬‫ﺣ‬‫ﺭ‬‫ ﻭ‬‫ﻪ‬‫ﻨ‬‫ﻨﺎﹰ ﻣ‬‫ﻨ‬‫ﺤ‬‫ ﺗ‬,‫ﺮﹺﻓﹾﻪ‬‫ﻌ‬‫ ﻳ‬‫ ﻟﹶﻢ‬‫ﻦ‬‫ﻣ‬‫ ﻭ‬‫ﺄﹶﻟﹾﻪ‬‫ﺴ‬‫ﻳ‬ ‫ﻲ‬‫ﻨ‬‫ ﻋ‬‫ﺮﹺﻑ‬‫ﺻ‬‫ ﻭ‬,‫ﺓ‬‫ﺮ‬‫ﺮﹺ ﺍﹾﻵﺧ‬‫ﻴ‬‫ ﺧ‬‫ﻊ‬‫ﻴ‬‫ﻤ‬‫ﺟ‬‫ﺎ ﻭ‬‫ﻴ‬‫ﻧ‬‫ﺮﹺ ﺍﻟﹾﺪ‬‫ﻴ‬‫ ﺧ‬‫ﻊ‬‫ﻴ‬‫ﻤ‬‫ ﺟ‬‫ﺎﻙ‬‫ﺇﹺﻳ‬ ‫ﻘﹸﻮﺹﹴ‬‫ﻨ‬‫ ﻣ‬‫ﺮ‬‫ ﻏﹶﻴ‬‫ﻪ‬‫ ﻓﹶﺈﹺﻧ‬,‫ﺓ‬‫ﺮ‬‫ ﺍﹾﻵﺧ‬‫ﺮ‬‫ﺷ‬‫ﺎ ﻭ‬‫ﻴ‬‫ﻧ‬‫ ﺍﻟﹾﺪ‬‫ﺮ‬‫ ﺷ‬‫ﻊ‬‫ﻴ‬‫ﻤ‬‫ ﺟ‬‫ﺎﻙ‬‫ﻲ ﺇﹺﻳ‬‫ﺄﹶﻟﹶﺘ‬‫ﺴ‬‫ﺑﹺﻤ‬ .‫ﱘ‬‫ﺮ‬‫ﺎ َﻛ‬‫ ﻳ‬‫ﻚ‬‫ﻠ‬‫ ﻓﹶﻀ‬‫ﻦ‬‫ﻧﹺﻲ ﻣ‬‫ﺯﹺﺩ‬‫ ﻭ‬‫ﺖ‬‫ﻄﹶﻴ‬‫ﺎ ﺃﹶﻋ‬‫ﻣ‬ “Ewe ninayemtumainia kwa kila la kheri, na kusalimika na hasira Zake katika kila shari. Ewe Anayetoa kingi kwa kichache. Ewe Anayempa amuombaye, Ewe ambbaye humpatia asiyemuomba na asiyemtambua, yote ni kutokana na Yake

“Ewe ninayemtumainia kwa kila la kheri, na kusalimika na hasira Zake 9

katika kila shari. Ewe Anayetoa kingi kwa

Dua za Miezi Mitatu 31Dec(h).indd 9

kichache.

Ewe

Anayempa

1/1/2013 6:17:50 PM


DUA ZA MIEZI MITATU MITUKUFU

mapenzi na huruma. Niombalo Kwako Wewe tu ni unipe Kheri yote ya dunia na kheri yote ya akhera, na niombalo Kwako Wewe tu ni uniepshie shari yote ya dunia na akhera. Kwa amri na shani Yako, hakina upungufu Utoacho na nizidishie fadhila Zako, Ewe Mkarimu.” Hapa Imam Ja’far (a.s.) alishika ndevu zake kwa mkono wa kushoto na akatingisha kidole cha shahada cha mkono wa kulia na kuendelea kusema maneno haya:

‫ﻡ‬‫ﺮ‬‫ﻝﹺ ﺣ‬‫ﺍﻟﹾﻄﱠﻮ‬‫ ﻭ‬‫ﻦ‬‫ﺎﺫﹶﺍﻟﹾﻤ‬‫ ﻳ‬‫ﺩ‬‫ﻮ‬‫ﺍﻟﹾﺠ‬‫ﺂﺀِ ﻭ‬‫ﻤ‬‫ﻌ‬‫ﺎﺫﹶﺍﻟﹾﻨ‬‫ﺍﻡﹺ ﻳ‬‫ﺍﹾﻹِﻛﹾﺮ‬‫ﻼﹶﻝﹺ ﻭ‬‫ﺎﺫﹶﺍﻟﹾﺠ‬‫ﻳ‬ ‫ﺎﺭﹺ‬‫ﻠﹶﻰ ﺍﻟﹾﻨ‬‫ﻲ ﻋ‬‫ﺘ‬‫ﺒ‬‫ﻴ‬‫ﺷ‬ “Ewe Mwenye utukufu na ukarimu, Ewe Mwenye neema na upaji, Ewe Mwenye fadhila na muendeleza wema, uharamishe uzee wangu juu la moto.”

“Ewe Mwenye utukufu na ukarimu,

Ewe Mwenye neema na upaji, Ewe Dua ya pili Mwenye

fadhila

na

muendeleza

Dua hii ni ya kusomwa kila siku hii ilikuwa ikisomwa na Imam Zaynul Abidiin (a.s.)

wema, uharamishe uzee wangu juu la

moto.” ‫ﹸـﻞﱢ‬ ‫ﻜ‬‫ ﻟ‬,‫ﻦ‬‫ﻴ‬‫ﺘ‬‫ﺎﻣ‬‫ ﺍﻟﹾﺼ‬‫ﺮ‬‫ﻴ‬‫ﻤ‬‫ ﺿ‬‫ﻠﹶﻢ‬‫ﻌ‬‫ﻳ‬‫ ﻭ‬‫ﻦ‬‫ﻴ‬‫ﻠ‬‫ﺂﺋ‬‫ ﺍﻟﹾﺴ‬‫ﺞ‬‫ﺁﺋ‬‫ﻮ‬‫ ﺣ‬‫ﻚ‬‫ﻠ‬‫ﻤ‬‫ ﻳ‬‫ﻦ‬‫ﺎ ﻣ‬‫ﻳ‬ ‫ﻙ‬‫ـﺪ‬‫ﻴ‬‫ﻮﺍﹶﻋ‬‫ﻣ‬‫ ﻭ‬‫ﻢ‬‫ ﺍﹶﻟﻠﱠﻬ‬,‫ﺪ‬‫ﻴ‬‫ﺘ‬‫ ﻋ‬‫ﺍﺏ‬‫ﻮ‬‫ﺟ‬‫ ﻭ‬‫ﺮ‬‫ﺎﺿ‬‫ ﺣ‬‫ﻊ‬‫ﻤ‬‫ ﺳ‬‫ﻚ‬‫ﻨ‬‫ ﻣ‬‫ﺄﹶﻟﹶﺔ‬‫ﺴ‬‫ﻣ‬ ‫ ﺃﹶﻥﹾ‬‫ﺄﹶﻟﹸﻚ‬‫ ﻓﹶﺄﹶﺳ‬,‫ﺔﹸ‬‫ﻌ‬‫ﺍﺳ‬‫ ﺍﻟﹾﻮ‬Dua ‫ﻚ‬‫ﺘ‬‫ﻤ‬‫ﺣ‬ya ‫ﺭ‬‫ ﻭ‬,pili ‫ﻠﹶﺔﹸ‬‫ ﺍﻟﹾﻔﹶﺎﺿ‬‫ﻚ‬‫ﻳ‬‫ﺎﺩ‬‫ﺃﹶﻳ‬‫ ﻭ‬,‫ﻗﹶﺔﹸ‬‫ﺎﺩ‬‫ﺍﻟﺼ‬ Dua ‫ﺎ‬‫ﻴ‬‫ﻧ‬‫ﻠﹾـﺪ‬‫ ﻟ‬hii ‫ﺠﹺﻲ‬‫ﺍﺋ‬ni ‫ﻮ‬‫ ﺣ‬‫ﻲ‬ya ‫ﻘﹾﻀ‬‫ﺗ‬kusomwa ‫ﺃﹶﻥﹾ‬‫ ﻭ‬10,‫ﺪ‬‫ﻤ‬‫ﺤ‬‫ﺁﻝﹺ ﻣ‬‫ﻭ‬kila ‫ﺪ‬‫ﻤ‬‫ﺤ‬‫ﻣ‬siku ‫ﻠﹶﻰ‬‫ ﻋ‬‫ﻲ‬hii ‫ﻠﱢ‬‫ﺼ‬‫ﺗ‬ ilikuwa ikisomwa ‫ﺮ‬‫ﻳ‬‫ﺀٍ ﻗﹶﺪ‬na ‫ﻲ‬‫ﻞﱢ ﺷ‬Imam ‫ﻠﹶﻰ ﻛﹸ‬‫ ﻋ‬‫ﻚ‬‫ﺇﹺﻧ‬Zaynul ,‫ﺮﺓ‬‫ﺍﹾﻟﻶﺧ‬‫ﻭ‬ Abidiin (a.s.)

Dua za Miezi Mitatu 31Dec(h).indd 10

1/1/2013 6:17:51 PM


‫ﻜﹸـﻞﱢ‬‫ ﻟ‬,‫ﻦ‬‫ﻴ‬‫ﺘ‬‫ﺎﻣ‬‫ ﺍﻟﹾﺼ‬‫ﺮ‬‫ﻴ‬‫ﻤ‬‫ ﺿ‬‫ﻠﹶﻢ‬‫ﻌ‬‫ﻳ‬‫ ﻭ‬‫ﻦ‬‫ﻴ‬‫ﻠ‬‫ﺂﺋ‬‫ ﺍﻟﹾﺴ‬‫ﺞ‬‫ﺁﺋ‬‫ﻮ‬‫ ﺣ‬‫ﻚ‬‫ﻠ‬‫ﻤ‬‫ ﻳ‬‫ﻦ‬‫ﺎ ﻣ‬‫ﻳ‬ ‫ﻙ‬‫ـﺪ‬‫ﻴ‬‫ﻮﺍﹶﻋ‬‫ﻣ‬‫ ﻭ‬‫ﻢ‬‫ﻬ‬DUA ‫ ﺍﹶﻟﻠﱠ‬,ZA‫ﺪ‬‫ﻴ‬MIEZI ‫ﺘ‬‫ ﻋ‬‫ﺏ‬MITATU ‫ﺍ‬‫ﻮ‬‫ﺟ‬‫ ﻭ‬‫ﺮ‬MITUKUFU ‫ﺎﺿ‬‫ ﺣ‬‫ﻊ‬‫ﻤ‬‫ ﺳ‬‫ﻚ‬‫ﻨ‬‫ ﻣ‬‫ﺄﹶﻟﹶﺔ‬‫ﺴ‬‫ﻣ‬

‫ ﺃﹶﻥﹾ‬‫ﺄﹶﻟﹸﻚ‬‫ ﻓﹶﺄﹶﺳ‬,‫ﺔﹸ‬‫ﻌ‬‫ﺍﺳ‬‫ ﺍﻟﹾﻮ‬‫ﻚ‬‫ﺘ‬‫ﻤ‬‫ﺣ‬‫ﺭ‬‫ ﻭ‬,‫ﻠﹶﺔﹸ‬‫ ﺍﻟﹾﻔﹶﺎﺿ‬‫ﻚ‬‫ﻳ‬‫ﺎﺩ‬‫ﺃﹶﻳ‬‫ ﻭ‬,‫ﻗﹶﺔﹸ‬‫ﺎﺩ‬‫ﺍﻟﺼ‬ Unikidhie na‫ﺗ‬ ‫ﺎ‬‫ﻴ‬‫ﻧ‬‫ﹾـﺪ‬ ‫ﻠ‬‫ﺠﹺﻲ ﻟ‬‫ﺍﺋ‬‫ﻮ‬‫ ﺣ‬‫ﻲ‬‫ﻀ‬haja ‫ﻘﹾ‬‫ﺃﹶﻥﹾ ﺗ‬‫ ﻭ‬,zangu ‫ﺪ‬‫ﻤ‬‫ﺤ‬‫ﺁﻝﹺ ﻣ‬‫ﻭ‬za ‫ﺪ‬‫ﻤ‬‫ﺤ‬dunia ‫ﻠﹶﻰ ﻣ‬‫ ﻋ‬‫ﻠﱢﻲ‬‫ﺼ‬ Akhera, kwani‫ﺮ‬‫ﻳ‬‫ﺪ‬Wewe juu ‫ﺀٍ ﻗﹶ‬‫ﻲ‬‫ﻛﹸﻞﱢ ﺷ‬ni‫ﹶﻰ‬Muweza ‫ﻠ‬‫ ﻋ‬‫ﻚ‬‫ ﺇﹺﻧ‬,‫ﺮﺓ‬‫ﹾﻟﻶﺧ‬ ‫ﺍ‬‫ﻭ‬ ya kila kitu.”

“Ewe Unayezimiliki haja za waombaji na Unayezijua dhamiri za wanyamavu, Kila ombi Kwako hupata usikizi tayari na ufumbuzi madhubuti. Ewe Mwenyezi Mungu, nakuomba kwa haki ya ahadi Zako za kweli, na ubora wa vipawa Vyako na uenevu wa rehema Zako. Mrehemu Muhammad na aali Muhammad, Unikidhie haja zangu za dunia na Akhera, kwani Wewe ni Muweza juu ya kila kitu.”

“Ewe

Unayezimiliki haja za ya tatu dhamiri za waombaji naDua Unayezijua

wanyamavu, Kila ombi Kwako Dua hii Imam (a.s.) hupata usikiziJa’far tayarias-Swadiq na ufumbuzi Dua ya tatu

alikuwa akiisoma siku madhubuti. Ewekila Mwenyezi Mungu,

Dua hii Imam Ja’far as-Swadiq (a.s.) alikuwa akiisoma kila siku

nakuomba kwa haki ya ahadi Zako za ,‫ﻥﹶ ﺇﹺﻻﱠ ﻟﹶﻚ‬‫ﻮ‬‫ﺿ‬‫ﺮ‬‫ﻌ‬‫ﺘ‬‫ ﺍﻟﹾﻤ‬‫ﺴِﺮ‬‫ﺧ‬‫ ﻭ‬,‫ﺮﹺﻙ‬‫ﻠﹶﻰ ﻏﹶﻴ‬‫ﻥﹶ ﻋ‬‫ﻭ‬‫ﺪ‬‫ﺍﻓ‬‫ ﺍﻟﹾﻮ‬‫ﺎﺏ‬‫ﺧ‬ kweli, na ubora wa vipawa Vyako na ‫ﻊ‬‫ﺠ‬‫ﺘ‬‫ﻦﹺ ﺍﻧ‬‫ﻥﹶ ﺇﹺﻻﹶﱠ ﻣ‬‫ﻮ‬‫ﺠﹺﻌ‬‫ﺘ‬‫ﻨ‬‫ ﺍﻟﹾﻤ‬‫ﺏ‬‫ﺪ‬‫ﺃﹶﺟ‬‫ ﻭ‬,‫ﻥﹶ ﺇﹺﻻﹶﱠ ﺑﹺﻚ‬‫ﻮ‬‫ﻤ‬‫ﻠ‬‫ ﺍﻟﹾﻤ‬‫ﺎﻉ‬‫ﺿ‬‫ﻭ‬ uenevu wa rehema Zako. Mrehemu ,‫ﻦ‬‫ﺒﹺﻴ‬‫ﻠﹾﻄﱠﺎﻟ‬‫ﻝﹲ ﻟ‬‫ﺬﹸﻭ‬‫ﺒ‬‫ ﻣ‬‫ﻙ‬‫ﺮ‬‫ﻴ‬‫ﺧ‬‫ ﻭ‬‫ﻦ‬‫ﺒﹺﻴ‬‫ﺍﻏ‬‫ﻠﹾﺮ‬‫ ﻟ‬‫ﺡ‬‫ﻮ‬‫ﻔﹾﺘ‬‫ ﻣ‬‫ﻚ‬‫ﺎﺑ‬‫ ﺑ‬,‫ﻠﹶﻚ‬‫ﻓﹶﻀ‬ Muhammad na aali Muhammad, ‫ﻗﹸﻚ‬‫ﺭﹺﺯ‬‫ ﻭ‬,‫ﻦ‬‫ﻴ‬‫ﻠ‬‫ﻶﻣ‬‫ ﻟ‬‫ﺎﺡ‬‫ﺘ‬‫ ﻣ‬‫ﻚ‬25 ‫ﻠﹸ‬‫ﻴ‬‫ﻧ‬‫ ﻭ‬‫ﻦ‬‫ﻴ‬‫ﻠ‬‫ﺎﺋ‬‫ﻠﹾﺴ‬‫ ﻟ‬‫ﺎﺡ‬‫ﺒ‬‫ ﻣ‬‫ﻠﹸﻚ‬‫ﻓﹶﻀ‬‫ﻭ‬ ‫ﻚ‬‫ﺗ‬‫ﺎﺩ‬‫ ﻋ‬,‫ﺍﻙ‬‫ﻮ‬‫ ﻧ‬‫ﻦ‬‫ﻤ‬‫ ﻟ‬‫ﺮﹺﺽ‬‫ﺘ‬‫ﻌ‬‫ ﻣ‬‫ﻚ‬‫ﻠﹾﻤ‬‫ﺣ‬‫ ﻭ‬‫ﺎﻙ‬‫ﺼ‬‫ ﻋ‬‫ﻦ‬‫ﻤ‬‫ﻁﹲ ﻟ‬‫ﻮ‬‫ﺴ‬‫ﺒ‬‫ﻣ‬

‫ﻦ‬‫ﻳ‬‫ﺪ‬‫ﺘ‬‫ﻌ‬‫ﻠﹶﻰ ﺍﻟﹾﻤ‬‫ﻘﹶﺎﺀُ ﻋ‬‫ ﺍﻹِﺑ‬‫ﻠﹸﻚ‬‫ﺒﹺﻴ‬‫ﺳ‬‫ ﻭ‬,‫ﻦ‬‫ﻴ‬‫ﺌ‬‫ﺴِﻴ‬‫ﺎﻥﹸ ﺇﹺﻟﹶﻰ ﺍﻟﹾﻤ‬‫ﺴ‬‫ﺍﹾﻹِﺣ‬ 26

Dua za Miezi Mitatu 31Dec(h).indd 11

11

1/1/2013 6:17:51 PM


DUA ZA MIEZI MITATU MITUKUFU

,‫ﻦ‬‫ﻳ‬‫ﻬﹺﺪ‬‫ﺘ‬‫ﺠ‬‫ ﺍﻟﹾﻤ‬‫ﺎﺩ‬‫ﻬ‬‫ﺘ‬‫ﻗﹾﻨﹺﻲ ﺇﹺﺟ‬‫ﺯ‬‫ﺭ‬‫ ﻭ‬,‫ﻦ‬‫ﻳ‬‫ﺪ‬‫ﺘ‬‫ﻬ‬‫ﻯ ﺍﻟﹾﻤ‬‫ﺪ‬‫ﻧﹺﻲ ﻫ‬‫ﺪ‬‫ ﻓﹶﻬ‬‫ﻢ‬‫ﺍﹶﻟﻠﱠﻬ‬, ‫ﻦﹺ‬‫ﻳ‬‫ ﺍﻟﹾﺪ‬‫ﻡ‬‫ﻮ‬‫ﻲ ﻳ‬‫ﻟ‬‫ﺮ‬‫ﻏﹾﻔ‬‫ ﻭ‬,‫ﻦ‬‫ﻳ‬‫ﺪ‬‫ﻌ‬‫ﺒ‬‫ ﺍﻟﹾﻤ‬‫ﻦ‬‫ﻴ‬‫ﻠ‬‫ﺎﻓ‬‫ ﺍﻟﹾﻐ‬‫ﻦ‬‫ﻠﹾﻨﹺﻲ ﻣ‬‫ﻌ‬‫ﺠ‬‫ﻻﹶ ﺗ‬‫ﻭ‬ “Wamedata waliomfungia safari asiyekuwa Wewe, na wana hasara wadadisi ila kwa sababu Yako, wamepotea wanaojitolea ila kwa ajili Yako, na wamekaukiwa wenye kujifaidisha ila aliyefaidika kwa fadhila Zako. Mlango Wako uko wazi kwa wenye raghba, na kheri Yako hutolewa kwa wingi kwa wenye kuitaka. Fadhila Zako huwafikia wanaoziomba, tunu Zako humfikia kila anayezitazamia na riziki Yako huandaliwa wenye kukuasi pia. Upole Wako umewakinga ­ hata w ­ anaokufanyia uadui, ni ada Yako kuwafanyia wema waovu na mwenendo Wako ni kuwapa muhula wanaopituka ­ mipaka. Basi Eee Mwenyezi Mungu, niongoe uongofu wa w ­ alioongoka, Uniruzuku jitihada ya wenye juhudi, na ­Usinijaalie kuwa miongoni mwa walioghafilika waliotengwa, na Unighufirie Siku ya malipo.”

“Wamedata

waliomfungia

safari

asiyekuwa Wewe, na wana hasara

wadadisi ila kwa sababu Yako, Amesema Shaykh Mis’bah kwamba wamepotea wanaojitolea ila kwa ajili imepokewa kutoka kwa Al-Ma’ali b. Yako, na wamekaukiwa wenye Khunais kwamba Imam Ja’far askujifaidisha ila aliyefaidika kwa Swadiq (a.s.) amesema soma dua hii. fadhila Zako. Mlango Wako uko Dua ya amedokeza nne Na katika al-Iqbaal kuwa wazi kwa Mis’bah wenye raghba, nakutoka kheri Amesema imepokewa kwa dua hiiShaykh imebeba kwamba maombi mengi, na Al-Ma’ali b. Khunais kwamba Imam Ja’far as-Swadiq (a.s.) Yakosomahutolewa kwa wingi kwa amesema dua hii. Na katika al-Iqbaal amedokeza kuwa yafaa isomwe kila wakati. dua hii imebeba maombi mengi, na yafaa isomwe kila wakati. wenye kuitaka. Fadhila Zako ,‫ﻚ‬huwafikia ‫ﻨ‬‫ ﻣ‬‫ﻦ‬‫ﻴ‬‫ﻔ‬‫ﺎﺋ‬‫ﻞﹶ ﺍﻟﹾﺨ‬‫ﻤ‬‫ﻋ‬wanaoziomba, ‫ ﻭ‬,‫ ﻟﹶﻚ‬‫ﻦ‬‫ﺮﹺﻳ‬‫ﺎﻛ‬‫ ﺍﻟﹾﺸ‬‫ﺮ‬‫ﺒ‬‫ﻚ ﺻ‬ tunu ‫ﹶﺄﻟﹸ‬‫ ﹶﺃﺳ‬‫ﻲ‬Zako ‫ ﺇﹺﻧﹺ‬‫ﻬﻢ‬ ‫ﺍﹶﻟﱠﻠ‬ ‫ﻙ‬ ‫ﺪ‬humfikia ‫ﻋﺒ‬ ‫ﺎ‬‫ﺃﹶﻧ‬‫ ﻭ‬,‫ﻢ‬‫ﻈﻴ‬ ‫ﻌ‬ ‫ ﺍﻟﹾ‬kila ‫ﻲ‬‫ﻠ‬‫ ﺍﻟﹾﻌ‬‫ﺖ‬anayezitazamia ‫ ﺃﹶﻧ‬‫ﻬﻢ‬ ‫ ﺃﹶﻟﱠﻠ‬.‫ ﻟﹶﻚ‬‫ﻦ‬‫ﻳ‬‫ﺎﺑﹺﺪ‬‫ ﺍﻟﹾﻌ‬‫ﻦ‬‫ﻴ‬‫ﻘ‬na ‫ﻳ‬‫ﻭ‬ 12

27

‫ﻬﻢ‬ ‫ ﺍﹶﻟﱠﻠ‬.‫ﻞﹸ‬‫ﻟﻴ‬‫ ﺍﻟﹾﺬﱠ‬‫ﺪ‬‫ﺒ‬‫ﺎ ﺍﻟﹾﻌ‬‫ﺃﹶﻧ‬‫ ﻭ‬,‫ﺪ‬‫ﻤﻴ‬ ‫ﺤ‬  ‫ ﺍﻟﹾ‬‫ﻨﹺﻲ‬‫ ﺍﻟﹾﻐ‬‫ﺖ‬‫ ﺃﹶﻧ‬,‫ﺮ‬‫ﻘﻴ‬ ‫ ﺍﻟﹾ ﹶﻔ‬‫ﺋﺲ‬‫ﺎ‬‫ﺍﻟﹾﺒ‬

Dua za Miezi Mitatu 31Dec(h).indd 12

1/1/2013 6:17:51 PM


yafaa isomwe kila wakati. DUA ZA MIEZI MITATU MITUKUFU

,‫ﻚ‬‫ﻨ‬‫ ﻣ‬‫ﻦ‬‫ﻴ‬‫ﻔ‬‫ﺎﺋ‬‫ﻞﹶ ﺍﻟﹾﺨ‬‫ﻤ‬‫ﻋ‬‫ ﻭ‬,‫ ﻟﹶﻚ‬‫ﻦ‬‫ﺮﹺﻳ‬‫ﺎﻛ‬‫ ﺍﻟﹾﺸ‬‫ﺮ‬‫ﺒ‬‫ﻚ ﺻ‬  ‫ﹶﺄﻟﹸ‬‫ ﹶﺃﺳ‬‫ ﺇﹺﻧﹺﻲ‬‫ﻬﻢ‬ ‫ﺍﹶﻟﱠﻠ‬ ‫ﻙ‬ ‫ﺪ‬‫ﻋﺒ‬ ‫ﺎ‬‫ﺃﹶﻧ‬‫ ﻭ‬,‫ﻢ‬‫ﻈﻴ‬ ‫ﻌ‬ ‫ ﺍﻟﹾ‬‫ﻲ‬‫ﻠ‬‫ ﺍﻟﹾﻌ‬‫ﺖ‬‫ ﺃﹶﻧ‬‫ﻬﻢ‬ ‫ ﺃﹶﻟﱠﻠ‬.‫ ﻟﹶﻚ‬‫ﻦ‬‫ﻳ‬‫ﺎﺑﹺﺪ‬‫ ﺍﻟﹾﻌ‬‫ﻦ‬‫ﻴ‬‫ﻘ‬‫ﻳ‬‫ﻭ‬ ‫ﻬﻢ‬ ‫ ﺍﹶﻟﱠﻠ‬.‫ﻞﹸ‬‫ﻟﻴ‬‫ ﺍﻟﹾﺬﱠ‬‫ﺪ‬‫ﺒ‬‫ﺎ ﺍﻟﹾﻌ‬‫ﺃﹶﻧ‬‫ ﻭ‬,‫ﺪ‬‫ﻤﻴ‬ ‫ﺤ‬  ‫ ﺍﻟﹾ‬‫ﻨﹺﻲ‬‫ ﺍﻟﹾﻐ‬‫ﺖ‬‫ ﺃﹶﻧ‬,‫ﺮ‬‫ﻘﻴ‬ ‫ ﺍﻟﹾ ﹶﻔ‬‫ﺋﺲ‬‫ﺎ‬‫ﺍﻟﹾﺒ‬ ‫ﻚ‬‫ﻠﹾﻤ‬‫ﺑﹺﺤ‬‫ ﻭ‬,‫ﻠﹶﻰ ﻓﹶﻘﹾﺮﹺﻱ‬‫ ﻋ‬‫ﺎﻙ‬‫ﻨ‬‫ ﺑﹺﻐ‬‫ﻦ‬‫ﻨ‬‫ﻣ‬‫ ﻭ‬,‫ﻪ‬‫ﺁﻟ‬‫ﺪ ﻭ‬ ‫ﺤﻤ‬  ‫ﻠﹶﻰ ﻣ‬‫ﻠﱢﻲ ﻋ‬‫ﺻ‬ ‫ﻬﻢ‬ ‫ ﺍﹶﻟﱠﻠ‬.‫ﺰ‬‫ﻋ ﹺﺰﻳ‬ ‫ﺎ‬‫ ﻳ‬‫ﺎ ﻗﹶﻮﹺﻱ‬‫ ﻳ‬,‫ﻲ‬‫ﻔ‬‫ﻌ‬‫ﻠﹶﻰ ﺿ‬‫ﻚ ﻋ‬  ‫ﺗ‬‫ﻭﹺﺑﻘﹸﻮ‬ ,‫ﻲ‬‫ﻠ‬‫ﻬ‬‫ﻠﹶﻰ ﺟ‬‫ﻋ‬ ‫ﻨﹺﻲ‬‫ﻤ‬‫ﺎ ﺃﹶﻫ‬‫ ﻣ‬‫ﻨﹺﻲ‬‫ﻛﹾﻔ‬‫ ﻭ‬,‫ﻦ‬‫ﻴ‬‫ﻴ‬‫ﺿ‬‫ﺮ‬‫ﺎﺀِ ﺍﻟﹾﻤ‬‫ﻴ‬‫ﺻ‬‫ ﺍﹾﻷَﻭ‬‫ﻪ‬‫ﺁﻟ‬‫ﺪ ﻭ‬ ‫ﺤﻤ‬  ‫ﻠﹶﻰ ﻣ‬‫ﻠﱢﻲ ﻋ‬‫ﺻ‬ ‫ﻦ‬‫ﻴ‬‫ﻤ‬‫ﺍﺣ‬‫ ﺍﻟﹾﺮ‬‫ﻢ‬‫ﺣ‬‫ﺎ ﺃﹶﺭ‬‫ ﻳ‬,‫ﺓ‬‫ﺮ‬‫ﺍﹾﻵﺧ‬‫ﺎ ﻭ‬‫ﻴ‬‫ﻧ‬‫ﺮﹺ ﺍﻟﹾﺪ‬‫ ﺃﹶﻣ‬‫ﻦ‬‫ﻣ‬ 29 “Ewe

Mwenyezi Mungu, mimi nakuomba subira ya ­wenye shukurani Kwako na amali za wenye kuhofia Kwako, na ­yakini ya wenye kukuabudu. Ewe Mwenyezi Mungu! Wewe ndiwe Mtukufu Adhimu na mimi ni mja Wako masikini hoi, Wewe ndiwe Mkwasi Msifiwa na mimi ni mja mnyonge. Ewe Mwenyezi Mungu mrehemu Muhammad na aalize, Unifadhili kwa ukwasi Wako juu ya umasikini wangu na kwa upole Wako juu ya ujinga wangu, na kwa nguvu Zako juu ya udhaifu wangu, Ewe Mwenye nguvu Ewe Mshindi. Ewe Mwenyezi Mungu mrehemu Muhammad na aalize mawasii walioridhiwa, Unikifie mambo yanayonikera ya dunia na ya Akhera, Ewe Mwingi wa rehema Mwenye kurehemu.”

13

Dua za Miezi Mitatu 31Dec(h).indd 13

1/1/2013 6:17:51 PM


Swala ya Mtume (s.a.w.w.) katika mwezi wa Rajabu DUA ZA MIEZI MITATU MITUKUFU

Hii ni swala maalumu kwa ajilikaya Swala ya Mtume (s.a.w.w.) tika mwezi wa Rajabu kumtakia Bwana Mtume (s.a.w.w.) rehema mwezi huu:

H

ii ni swala maalumu kwa ajili ya kumtakia Bwana Mtume (s.a.w.w.) rehema mwezi huu:

‫ﺣﻴﻢ‬‫ﲪﻦ ﺍﻟﺮ‬ ‫ﺑﺴﻢ ﺍﷲ ﺍﻟﺮ‬Ewe Mwingi “Ewe Mwenyezi Mungu,

wa ,‫ﺔ‬‫ﻌ‬‫ﺍﺳ‬fadhila ‫ ﺍﻟﹾﻮ‬‫ﺔ‬‫ﻤ‬‫ﺣ‬‫ﺍﻟﹾﺮ‬‫ﻭ‬kubwa ,‫ﺔ‬‫ﺍﺯﹺﻋ‬‫ﺀِ ﺍﻟﹾﻮ‬kubwa ‫ﺍﹾﻻﹶﻵ‬‫ ﻭ‬,‫ﺔ‬‫ﺎﺑﹺﻐ‬na ‫ ﺍﻟﹾﺴ‬mipangilio ‫ﻦﹺ‬‫ﻨ‬‫ﺎ ﺫﹶﺍ ﺍﻟﹾﻤ‬‫ ﻳ‬‫ﻬﻢ‬ ‫ﺍﹶﻟﱠﻠ‬ ya ,‫ﺔ‬‫ﻤ‬‫ﻴ‬‫ﻈ‬kheri, ‫ﺐﹺ ﺍﻟﹾﻌ‬‫ﺍﻫ‬‫ﻮ‬na ‫ﺍﻟﹾﻤ‬‫ ﻭ‬rehema ,‫ﺔ‬‫ﻤ‬‫ﺴِﻴ‬‫ ﺍﻟﹾﺠ‬‫ﺔ‬‫ﻤ‬zilizosambaa ‫ﺍﻟﹾﻨﹺﻌ‬‫ ﻭ‬,‫ﺔ‬‫ﻌ‬‫ﺎﻣ‬‫ﺓ ﺍﻟﹾﺠ‬ ‫ﺭ‬ ‫ﺪ‬na ‫ﺍﻟﹾﻘﹸ‬‫ﻭ‬ uwezo wote, na .‫ﺔ‬neema ‫ﻠﹶ‬‫ﺰﹺﻳ‬‫ﺎ ﺍﻟﹾﺠ‬‫ﻄﹶﺎﻳ‬‫ﻌ‬za ‫ﺍﻟﹾ‬‫ ﻭ‬,‫ﺔ‬maana ‫ﺍﹾﻷ‬‫ﻭ‬ ‫ﻠﹶ‬‫ﻴ‬‫ﻤ‬‫ﻱ ﺍﻟﹾﺠ‬‫ﺎﺩ‬‫ﻳ‬na tunu za fakhari, na “Ewe Mwenyezi Mungu,na Ewevipawa Mwingi wavizuri fadhila kubwa ­ ubwa na mipangilio ya kheri, na rehema zilizosambaa na k uwezo wote, na neema za maana na tunu za fakhari, na vipawa vizuri na upaji wa kutosheleza.

upaji wa kutosheleza.

‫ﻦ‬‫ﺎ ﻣ‬‫ ﻳ‬,‫ﺮﹴ‬‫ ﺑﹺﻈﹶﻬﹺﻴ‬‫ﹶﻠﺐ‬‫ﻐ‬‫ﻻﹶ ﻳ‬‫ﺮﹴ ﻭ‬‫ﻴ‬‫ﻈ‬‫ ﺑﹺﻨ‬32 ‫ﻤﺜﱠﻞﹸ‬ ‫ﻻﹶ ﻳ‬‫ﻞﹴ ﻭ‬‫ﻴ‬‫ﺜ‬‫ﻤ‬‫ ﺑﹺﺘ‬‫ﻌﺖ‬ ‫ﻨ‬‫ ﻻﹶ ﻳ‬‫ﻦ‬‫ﺎ ﻣ‬‫ﻳ‬

‫ﺭ‬‫ﻗﹶﺪ‬‫ ﻭ‬,‫ﻔﹶﻊ‬‫ﺗ‬‫ﻠﹶﻰ ﻓﹶﺮ‬‫ﻋ‬‫ ﻭ‬,‫ﻉ‬‫ﺮ‬‫ ﻓﹶﺸ‬‫ﻉ‬‫ﺪ‬‫ﺘ‬‫ﺍﺑ‬‫ ﻭ‬,‫ﻄﹶﻖ‬‫ ﻓﹶﺄﹶﻧ‬‫ﻢ‬‫ﺃﹶﻟﹾﻬ‬‫ ﻭ‬,‫ﻕ‬‫ﺯ‬‫ ﻓﹶﺮ‬‫ﻠﹶﻖ‬‫ﺧ‬ ‫ﻄﹶﻰ‬‫ﺃﹶﻋ‬‫ ﻭ‬,‫ﻎﹶ‬‫ﺒ‬‫ ﻓﹶﺄﹶﺳ‬‫ﻢ‬‫ﻌ‬‫ﺃﹶﻧ‬‫ ﻭ‬,‫ﻠﹶﻎﹶ‬‫ ﻓﹶﺄﹶﺑ‬‫ﺞ‬‫ﺘ‬‫ﺍﺣ‬‫ ﻭ‬,‫ﻘﹶﻦ‬‫ ﻓﹶﺄﹶﺗ‬‫ﺭ‬‫ﻮ‬‫ﺻ‬‫ ﻭ‬,‫ﻦ‬‫ﺴ‬‫ﻓﹶﺄﹶﺣ‬ .‫ﻞﹶ‬‫ ﻓﹶﺄﹶﻓﹾﻀ‬‫ﺢ‬‫ﻨ‬‫ﻣ‬‫ ﻭ‬,‫ﻝﹶ‬‫ﺰ‬‫ﻓﹶﺄﹶﺟ‬ 14

“Ewe Asiyesifiwa kwa mifano na Dua za Miezi Mitatu 31Dec(h).indd 14

1/1/2013 6:17:52 PM


kunenesha,

Aliyezua

na

kuongoa,

Aliyetukuza na kuinua, Aliyekadiria na DUA ZA MIEZI MITATU MITUKUFU kupanga vizuri, Aliyetengeneza umbile

na kulimaizisha uyakini, Aliyetoa hoja

“Ewe Asiyesifiwa kwa mifano na hafananishwi na umbo, wala hashindwi kwa kutokewa. Ewe Aliyeumba na k ­ uruzuku, Aliyefahamisha na kunenesha, Aliyezua na kuongoa, Aliyetukuza na kuinua, Aliyekadiria na kupanga vizuri, Aliyetengeneza umbile na kulimaizisha uyakini, Aliyetoa hoja fika na upambanuzi, Akaneemesha na kuzieneza, Akatoa na Akakithirisha kusambaza, Akagawanyiza na kufadhilisha.”

fika na upambanuzi, Akaneemesha na

kuzieneza, Akatoa na Akakithirisha kusambaza,

Akagawanyiza

na

kufadhilisha.” ‫ ﺍﻟﹾﻠﱡﻄﹾﻒ‬‫ﻲ‬‫ﺎ ﻓ‬‫ﻧ‬‫ﺩ‬‫ ﻭ‬,‫ﺎﺭﹺ‬‫ﺼ‬‫ ﺍﻷَﺑ‬‫ﺮ‬‫ﺍﻇ‬‫ﻮ‬‫ ﻧ‬‫ ﻓﹶﻔﹶﺎﺕ‬‫ﺰ‬‫ ﺍﻟﹾﻌ‬‫ﻲ‬‫ﺎ ﻓ‬‫ﻤ‬‫ ﺳ‬‫ﻦ‬‫ﺎ ﻣ‬‫ﻳ‬ ‫ﻲ‬‫ ﻓ‬‫ ﹶﻟﻪ‬‫ ﻓﹶﻼﹶ ﻧﹺﺪ‬‫ﻠﹾﻚ‬‫ ﺑﹺﺎﻟﹾﻤ‬‫ﺪ‬‫ﺣ‬‫ﻮ‬‫ ﺗ‬‫ﻦ‬‫ﺎ ﻣ‬‫ ﻳ‬.‫ ﺍﹾﻷَﻓﹾﻜﹶﺎﺭﹺ‬‫ﺍﺟﹺﺲ‬‫ﻮ‬‫ ﻫ‬‫ﺎﺯ‬‫ﻓﹶﺠ‬ ‫ﻲ‬‫ ﻓ‬‫ ﹶﻟﻪ‬‫ﺪ‬‫ﺎﺀِ ﻓﹶﻼﹶ ﺿ‬‫ﺮﹺﻳ‬‫ﺒ‬‫ﺍﻟﹾﻜ‬‫ ﺑﹺﺎﻻﹶﻵﺀِ ﻭ‬‫ﺩ‬‫ﻔﹶﺮ‬‫ﺗ‬‫ ﻭ‬,‫ﻠﹾﻄﹶﺎﻧﹺﻪ‬‫ﺕ ﺳ‬  ‫ﻣﹶﻠﻜﹸﻮ‬ ‫ﻒ‬‫ ﻟﹶﻄﹶﺂﺋ‬‫ﻖ‬‫ﻗﹶﺂﺋ‬‫ ﺩ‬‫ﻪ‬‫ﺘ‬‫ﺒ‬‫ﻴ‬‫ﺎﺀِ ﻫ‬‫ﺮﹺﻳ‬‫ﺒ‬‫ ﻛ‬‫ﻲ‬‫ ﻓ‬‫ﺕ‬‫ﺎﺭ‬‫ ﺣ‬‫ﻦ‬‫ﺎ ﻣ‬‫ ﻳ‬.‫ﺄﹾﻧﹺﻪ‬‫ﺕ ﺷ‬  ‫ﻭ‬‫ﺒﺮ‬‫ﺟ‬ .‫ﺎﻡﹺ‬‫ﺎﺭﹺ ﺍﹾﻷَﻧ‬‫ﺼ‬‫ ﺃﹶﺑ‬‫ﺋﻒ‬‫ﻄﹶﺎ‬‫ ﺧ‬‫ﻪ‬‫ﺘ‬‫ﻈﹶﻤ‬‫ ﻋ‬‫ﺍﻙ‬‫ﺭ‬‫ ﹶﻥ ﺇﹺﺩ‬‫ﻭ‬‫ ﺩ‬‫ﺕ‬‫ﺮ‬‫ﺴ‬‫ﺤ‬‫ﺍﻧ‬‫ ﻭ‬,‫ﺎﻡ‬‫ﻫ‬‫ﺍﹾﻷَﻭ‬ 34

“Ewe Ambaye ni kilele cha utukufu, Aliyeyabandua maanga ya maono, na kwa mapenzi Akaafiki kuruhusu uchambuzi wa mawazo. Ewe Aliyepwekeka kwa ufalme, Asiye na mshirika katika utawala Wake, Asiye kifani kwa neema na Ukuu, na hana mpinzani kwa utenza wa jambo Lake. Ewe Aliyezipa uhuru dhana ndogondogo kwa ukuu wa haiba Yake, umeshindwa ukaguzi wa macho ya waja kuuona utukufu Wake.”

15

Dua za Miezi Mitatu 31Dec(h).indd 15

1/1/2013 6:17:52 PM


DUA ZA MIEZI MITATU MITUKUFU

,‫ﻪ‬‫ﺘ‬‫ﻈﹶﻤ‬‫ﻌ‬‫ ﻟ‬‫ﻗﹶﺎﺏ‬‫ ﺍﻟﹾﺮ‬‫ﺖ‬‫ﻌ‬‫ﻀ‬‫ﺧ‬‫ ﻭ‬,‫ﻪ‬‫ﺘ‬‫ﺒ‬‫ﻴ‬‫ﻬ‬‫ ﻟ‬‫ﻩ‬‫ﻮ‬‫ﺟ‬‫ ﺍﻟﹾﻮ‬‫ﺖ‬‫ﻨ‬‫ ﻋ‬‫ﻦ‬‫ﺎ ﻣ‬‫ﻳ‬ ‫ﻲ‬‫ﻐ‬‫ﺒ‬‫ﻨ‬‫ﻲ ﻻﹶ ﺗ‬‫ ﺍﻟﱠﺘ‬‫ﺔ‬‫ﺣ‬‫ﺪ‬‫ ﺍﻟﹾﻤ‬‫ﻩ‬‫ﺬ‬‫ﻚ ﺑﹺﻬ‬  ‫ﹶﺄﻟﹸ‬‫ ﹶﺃﺳ‬.‫ﻪ‬‫ﻔﹶﺘ‬‫ﻴ‬‫ ﺧ‬‫ﻦ‬‫ ﻣ‬‫ﺏ‬‫ ﺍﻟﹾﻘﹸﻠﹸﻮ‬‫ﺟﹺﻠﹶﺖ‬‫ﻭ‬‫ﻭ‬ ,‫ﻦ‬ ‫ﻣﹺﻨﻴ‬ ‫ﺆ‬‫ ﺍﻟﹾﻤ‬‫ﻦ‬‫ ﻣ‬‫ﻚ‬‫ﻴ‬‫ﺪﺍﹶﻋ‬‫ ﻟ‬‫ﻔﹾﺴِﻚ‬‫ﻠﹶﻰ ﻧ‬‫ ﻋ‬‫ ﺑﹺﻪ‬‫ﺖ‬‫ﺃﹶﻳ‬‫ﺎ ﻭ‬‫ﺑﹺﻤ‬‫ ﻭ‬,‫ﹺﺇﻻﱠ ﻟﹶﻚ‬ ‫ﻊ‬‫ﻤ‬‫ﺎ ﺃﹶﺳ‬‫ ﻳ‬.‫ﻦ‬‫ﻴ‬‫ﺍﻋ‬‫ﻠﹾﺪ‬‫ ﻟ‬‫ﻔﹾﺴِﻚ‬‫ﻠﹶﻰ ﻧ‬‫ ﻋ‬‫ﻪ‬‫ﻴ‬‫ ﻓ‬‫ﺔ‬‫ﺎﺑ‬‫ ﺍﹾﻹِﺟ‬‫ﺖ‬‫ﻨ‬‫ﻤ‬‫ﺎ ﺿ‬‫ﺑﹺﻤ‬‫ﻭ‬ ‫ﺓ‬ ‫ﺎ ﺫﹶﺍ ﺍﻟﹾﻘﹸﻮ‬‫ ﻳ‬,‫ﻦ‬‫ﺒﹺﻴ‬‫ﺎﺳ‬‫ ﺍﻟﹾﺤ‬‫ﻉ‬‫ﺮ‬‫ﺃﹶﺳ‬‫ ﻭ‬‫ﻦ‬‫ﺮﹺﻳ‬‫ﺎﻇ‬‫ ﺍﻟﹾﻨ‬‫ﺮ‬‫ﺼ‬‫ﺃﹶﺑ‬‫ ﻭ‬‫ﻦ‬‫ﻴ‬‫ﻌ‬‫ﺎﻣ‬‫ﺍﻟﹾﺴ‬ ‫ﺍﻗﹾﺴِﻢ‬‫ ﻭ‬,‫ﻪ‬‫ﺘ‬‫ﻴ‬‫ﻞﹺ ﺑ‬‫ﻠﹶﻰ ﺃﹶﻫ‬‫ﻋ‬‫ ﻭ‬‫ﻦ‬‫ﻴ‬‫ﺒﹺﻴ‬‫ ﺍﻟﹾﻨ‬‫ﻢ‬‫ﺎﺗ‬‫ﺪ ﺧ‬ ‫ﺤﻤ‬  ‫ﻠﹶﻰ ﻣ‬‫ﻞﱢ ﻋ‬‫ ﺻ‬,‫ﻦ‬‫ﺘﻴ‬‫ﻤ‬ ‫ﺍﻟﹾ‬ ‫ﺮ‬‫ﻴ‬‫ ﺧ‬‫ﻚ‬‫ﺂﺋ‬‫ ﻗﹶﻀ‬‫ﻲ‬‫ ﻓ‬‫ﻲ‬‫ ﻟ‬‫ﻢ‬‫ﺘ‬‫ﺍﺣ‬‫ ﻭ‬‫ﺖ‬‫ﻤ‬‫ﺎ ﻗﹶﺴ‬‫ ﻣ‬‫ﺮ‬‫ﻴ‬‫ﺬﹶﺍ ﺧ‬‫ ﻫ‬‫ﻲ‬‫ﻣ‬‫ﻮ‬‫ ﻳ‬‫ﻲ‬‫ ﻓ‬‫ﻲ‬‫ﻟ‬ ‫ﺎ‬‫ ﻣ‬‫ﻴﹺﻨﹺﻲ‬‫ﺃﹶﺣ‬‫ ﻭ‬,‫ﺖ‬‫ﻤ‬‫ﺘ‬‫ ﺧ‬‫ﻦ‬‫ ﻣ‬‫ﻲ‬‫ ﻓ‬‫ﺓ‬‫ﺎﺩ‬‫ﻌ‬‫ ﺑﹺﺎﻟﹾﺴ‬‫ﻲ‬‫ ﻟ‬‫ﻢ‬‫ﺘ‬‫ﺍﺧ‬‫ ﻭ‬,‫ﺖ‬‫ﻤ‬‫ﺘ‬‫ﺎ ﺣ‬‫ﻣ‬ ‫ﻲ‬‫ﺎﺗ‬‫ﺠ‬‫ ﻧ‬‫ﺖ‬‫ﻮﻝﱠ ﺃﹶﻧ‬ ‫ﺗ‬‫ﻭ‬ ,‫ﺭﺍﹰ‬‫ﻔﹸﻮ‬‫ﻐ‬‫ﻣ‬‫ﺭﺍﹰ ﻭ‬‫ﻭ‬‫ﺮ‬‫ﺴ‬‫ﻨﹺﻲ ﻣ‬‫ﺘ‬‫ﺃﹶﻣ‬‫ ﻭ‬,‫ﺭﺍﹰ‬‫ﻓﹸﻮ‬‫ﻮ‬‫ﻨﹺﻲ ﻣ‬‫ﺘ‬‫ﻴ‬‫ﻴ‬‫ﺃﹶﺣ‬ ‫ﺮﺍﹰ‬‫ﺸ‬‫ﺒ‬‫ ﻣ‬‫ﻲ‬‫ﻨ‬‫ﻴ‬‫ﺃﹶﺭﹺ ﻋ‬‫ ﻭ‬,‫ﺮﺍﹰ‬‫ﻴ‬‫ﻜ‬‫ﻧ‬‫ﻜﹶﺮﺍﹰ ﻭ‬‫ﻨ‬‫ﻲ ﻣ‬‫ﻨ‬‫ﺃﹾ ﻋ‬‫ﺭ‬‫ﺍﺩ‬‫ ﻭ‬,‫ﺥﹺ‬‫ﺯ‬‫ﺮ‬‫ ﺍﻟﹾﺒ‬‫ﺎﺀَﻟﹶﺔ‬‫ﺴ‬‫ ﻣ‬‫ﻦ‬‫ﻣ‬ ‫ﺮﺍﹰ‬‫ﺎ ﻗﹶﺮﹺﻳ‬‫ﺸ‬‫ﻴ‬‫ﻋ‬‫ﺮﺍﹰ ﻭ‬‫ﻴ‬‫ﺼ‬‫ ﻣ‬‫ﺎﻧﹺﻚ‬‫ﺟﹺﻨ‬‫ ﻭ‬‫ﺍﻧﹺﻚ‬‫ﻮ‬‫ﻲ ﺇﹺﻟﹶﻰ ﺭﹺﺿ‬‫ﻞﹾ ﻟ‬‫ﻌ‬‫ﺍﺟ‬‫ ﻭ‬,‫ﺮﺍﹰ‬‫ﻴ‬‫ﺸ‬‫ﺑ‬‫ﻭ‬ .‫ﺮﺍﹰ‬‫ﻴ‬‫ ﻛﹶﺜ‬‫ﻪ‬‫ﺁﻟ‬‫ﺪ ﻭ‬ ‫ﺤﻤ‬  ‫ﻠﹶﻰ ﻣ‬‫ﺻﻞﱠ ﺍﷲُ ﻋ‬  ‫ﻭ‬ .‫ﺮﺍﹰ‬‫ﻠﹾﻜﺎﹰ ﻛﹶﺒﹺﻴ‬‫ﻣ‬‫ﻭ‬ “Ewe Ambaye nyuso zimemkongowea kwa haiba Yake, shingo zimemuinamia kwa utukufu Wake, na nyoyo hushikwa ni kiwewe kwa utisho Wake. Nakuomba kwa sifa hizi ambazo hazielekei ila Kwako na kwa ahadi Uliyojiwekea juu ya nafsi Yako, kwa akuombae kati ya waumini na kwa uliyoyadhami-

“Ewe

Ambaye

nyuso

zimemkongowea kwa haiba Yake, 36

Dua za Miezi Mitatu 31Dec(h).indd 16

16

1/1/2013 6:17:52 PM


DUA ZA MIEZI MITATU MITUKUFU

ni juu ya nafsi Yako kuwaitika wanaokulingania. Ewe Mwingi wa kusikia, Mwingi wa kuona na Mwepesi wa kuhisabu, Ewe Mwenye nguvu madhubuti.� Mrehemu Muhammad, mwisho wa mitume na watu wa nyumba yake. Nigawie katika siku yangu hii kheri unayoigawa, na nifaradhie kwa uamuzi Wako bora ya faradhi, nihitimishe kwa furaha ya unaowahitimisha, na nihuishe maisha ya maridhawa, unifishe nikiwa ni mwenye furaha mwenye kughufiriwa. Unitawalie Wewe uokozi wangu nitakapoulizwa hapo barzakhi, univushe mbali na Munkari na Nakiri na Uyaonyeshe macho yangu mawili Bashiri na Bishara. Unijaalie nirejee katika radhi Zako na Pepo Yako na maisha ya utulivu na uwezo mkubwa. Rehema nyingi za Mwenyezi Mungu zimteremkie Muhammad na alize.

17

Dua za Miezi Mitatu 31Dec(h).indd 17

1/1/2013 6:17:52 PM


DUA ZA MIEZI MITATU MITUKUFU

Munajaati wa Imam Ali (a.s.) katika mwezi wa Shaabani maarufu - MunajaatishShaabaniyya

I

mepokewa kwamba Amiril Mu’miniin Imam Ali b. Abi Twalib (a.s.) pamoja na Maimamu wa kizazi chake (a.s.) walikuwa wakiisoma dua hii katika mwezi wa Shaabani.

‫ﺣﻴﻢ‬‫ﲪﻦ ﺍﻟﺮ‬‫ﺑﺴﻢ ﺍﷲ ﺍﻟﺮ‬ ‫ﻚ‬  ‫ﺗ‬‫ﻋﻮ‬ ‫ﺩ‬ ‫ﻲ ﺇﹺﺫﺍﹶ‬‫ﺎﺋ‬‫ﻋ‬‫ ﺩ‬‫ﻊ‬‫ﻤ‬‫ﺍﺳ‬‫ﺪ ﻭ‬ ‫ﺤﻤ‬  ‫ﺁﻝﹺ ﻣ‬‫ﺪ ﻭ‬ ‫ﺤﻤ‬  ‫ﻠﹶﻰ ﻣ‬‫ﻞﱢ ﻋ‬‫ ﺻ‬‫ﻬﻢ‬ ‫ﺃﻟﱠﻠ‬ ‫ﺖ‬‫ﺮﺑ‬ ‫ﻫ‬ ‫ﻚ ﻓﹶﻘﹶﺪ‬  ‫ﺘ‬‫ﺟﻴ‬ ‫ﺎ‬‫ ﺇﹺﺫﺍﹶ ﻧ‬‫ﻠﹶﻲ‬‫ﺃﹶﻗﹾﺒﹺﻞﹾ ﻋ‬‫ﻚ ﻭ‬  ‫ﺘ‬‫ﺩﻳ‬ ‫ﺎ‬‫ﻲ ﺇﹺﺫﺍﹶ ﻧ‬‫ ﻧﹺﺪﺍﹶﺋ‬‫ﻊ‬‫ﻤ‬‫ﺳ‬‫ﻭ‬ ‫ﺎ‬‫ﻤ‬‫ﺍﺟﹺﻴﺎﹰ ﻟ‬‫ ﺭ‬‫ﻚ‬‫ﻋﺎﹰ ﺇﹺﻟﹶﻴ‬‫ﻀﺮ‬  ‫ﺘ‬‫ﻨﺎﹰ ﻣ‬‫ﻴ‬‫ﻜ‬‫ﺴ‬‫ ﻣ‬‫ﻚ‬‫ﻳ‬‫ﺪ‬‫ ﻳ‬‫ﻦ‬‫ﻴ‬‫ ﺑ‬‫ﻭﹶﻗﻔﹾﺖ‬ ‫ﻭ‬ ‫ﻚ‬‫ﺇﹺﻟﹶﻴ‬ ‫ ﺛﹶﻮﺍﹶﺑﹺﻲ‬‫ﻚ‬‫ﻳ‬‫ﻟﹶﺪ‬ “Ewe Mwenyezi Mungu, mrehemu Muhammad na aali zake Muhammad, Unisikize ombi langu nikuombapo, niitikie wito wangu nikuitapo na geukia kwangu ninapokunong’oneza. Kwani nimekimbilia Kwako na nimesimama mbele Zako, nikiwa Kwako ni muhitaji mnyenyekevu, nikitaraji kutoka Kwako malipo mema.”

“Ewe Mwenyezi Mungu, mrehemu Muhammad na aali zake Muhammad,

Unisikize ombi langu nikuombapo,

18 niitikie wito wangu nikuitapo na

geukia kwangu ninapokunong’oneza. Dua za Miezi Mitatu 31Dec(h).indd 18

1/1/2013 6:17:52 PM


nikitaraji

kutoka

Kwako

malipo

mema.” DUA ZA MIEZI MITATU MITUKUFU ‫ﻔﹶﻰ‬‫ﺨ‬‫ﻻﹶ ﻳ‬‫ﺮﹺﻱ ﻭ‬‫ﻴ‬‫ﻤ‬‫ ﺿ‬‫ ﹺﺮﻑ‬‫ﺗﻌ‬‫ﻭ‬ ‫ﻲ‬‫ﺘ‬‫ﺎﺟ‬‫ ﺣ‬‫ﺮ‬‫ﺒ‬‫ﺗﺨ‬‫ﻭ‬ ‫ﻔﹾﺴِﻲ‬‫ ﻧ‬‫ﻲ‬‫ﺎ ﻓ‬‫ ﻣ‬‫ﹶﻠﻢ‬‫ﺗﻌ‬‫ﻭ‬ ‫ﻲ‬‫ﻘ‬‫ﻄ‬‫ﻨ‬‫ ﻣ‬‫ﻦ‬‫ ﻣ‬‫ َﺀ ﺑﹺﻪ‬‫ﺪﻱ‬ ‫ ﺃﹶﻥﹾ ﺃﹸﺑ‬‫ﺪ‬‫ﺎ ﺃﹸ ﹺﺭﻳ‬‫ﻣ‬‫ ﻭ‬‫ﺜﹾﻮﺍﹶﻱ‬‫ﻣ‬‫ﻘﹶﻠﹶﺒﹺﻲ ﻭ‬‫ﻨ‬‫ ﻣ‬‫ﺮ‬‫ ﹶﺃﻣ‬‫ﻚ‬‫ﻠﹶﻴ‬‫ﻋ‬ ‫ﻲ‬‫ﺘ‬‫ﺒ‬‫ﺎﻗ‬‫ﻌ‬‫ ﻟ‬‫ﻩ‬‫ﻮ‬‫ﺟ‬‫ﻭﹶﺃﺭ‬ ‫ﻲ‬‫ﺘ‬‫ﺒ‬‫ ﻃﹶﻠ‬‫ﻦ‬‫ ﻣ‬‫ﻩ‬‫ﺗ ﹶﻔﻮ‬‫ﹶﺃ‬‫ﻭ‬ “Walijua la moyoni mwangu na waielewa haja yangu na waitambua nia yangu, wala Kwako sio lakufitika langu jambo la marejeo yangu na makao yangu; na ambayo ningetaka niyadhihirishe kwa usemi wangu na kuelezea ya matokeo yangu ninayoyatarajia.

kuelezea ya matokeo yangu “Walijua la moyoni mwangu na ninayoyatarajia. waielewa haja yangu na waitambua

nia yangu, wala Kwako sio lakufitika ‫ﺮﹺ‬‫ﻲ ﺇﹺﻟﹶﻰ ﺁﺧ‬‫ﻨ‬‫ﻥﹸ ﻣ‬‫ﺎ ﹺﻳﻜﹸﻮ‬‫ ﻣ‬‫ﻲ‬‫ﻱ ﻓ‬‫ﺪ‬‫ﻴ‬‫ﺎ ﺳ‬‫ ﻳ‬‫ﻠﹶﻲ‬‫ﻙ ﻋ‬ ‫ﺮ‬‫ﺪﻳ‬ ‫ﻣ ﹶﻘ‬ ‫ﺕ‬‫ﺮ‬‫ ﺟ‬‫ﻗﹶﺪ‬‫ﻭ‬ langu jambo la marejeo yangu na ‫ﻲ‬‫ﺗ‬‫ﺎﺩ‬‫ ﺯﹺﻳ‬‫ﺮﹺﻙ‬‫ ﻏﹶﻴ‬‫ﺪ‬‫ ﻻﹶ ﺑﹺﻴ‬‫ﻙ‬‫ﺪ‬‫ﺑﹺﻴ‬‫ﻲ ﻭ‬‫ﺘ‬‫ﻼﹶﻧﹺﻴ‬‫ﻋ‬‫ﻲ ﻭ‬‫ﺗ‬‫ﺮ‬‫ﺮﹺﻳ‬‫ ﺳ‬‫ﻦ‬‫ﺮﹺﻱ ﻣ‬‫ﻤ‬‫ﻋ‬ makao yangu; na ambayo ningetaka ‫ﻱ‬‫ﺮ‬‫ﻭﺿ‬ ‫ﻲ‬‫ﻔﹾﻌ‬‫ﻧ‬‫ﻲ ﻭ‬‫ﻘﹾﺼ‬‫ﻧ‬‫ﻭ‬ niyadhihirishe kwa usemi wangu na “Na yamekwisha pita uliyonikadiria Ee Bwana wangu, yenye kunitukia mpaka mwisho wa umri wangu, yawe ni ya siri na ya dhahiri. Na ni kwa mkono Wako si kwa mkono wa 42 mwingine kupata kwangu la ziada au upungufu, la manufaa yangu au la madhara yangu.

upungufu, la manufaa yangu au la “Na yamekwisha pita uliyonikadiria madhara yangu. Ee Bwana wangu, yenye kunitukia

mpaka mwisho wa umri wangu, yawe ‫ ﺫﺍﹶ‬‫ﻦ‬ni‫ ﻓﹶﻤ‬ya ‫ﻨﹺﻲ‬‫ﺬﹶﻟﹾﺘ‬siri ‫ﺇﹺﻥﹾ ﺧ‬‫ﻭ‬na‫ﻗﹸﻨﹺﻲ‬‫ﺯ‬ya ‫ﺮ‬‫ﻱ ﻳ‬dhahiri. ‫ ﺫﺍﹶ ﺍﻟﱠﺬ‬‫ﻦ‬‫ﹺﻲ ﻓﹶﻤ‬ ‫ﻨ‬‫ﺘ‬‫ﻣ‬‫ﺮ‬‫ﺣ‬ni‫ ﺇﹺﻥﹾ‬kwa ‫ﺇﹺﻟﹶﻬﹺﻲ‬ Na

‫ﻚ‬‫ﻄ‬mkono ‫ﺨ‬‫ ﹺﻝ ﺳ‬‫ﻠﹸﻮ‬‫ﻭﺣ‬ Wako ‫ﺒﹺﻚ‬‫ ﻏﹶﻀ‬‫ﻦ‬‫ﻣ‬si19‫ ﺑﹺﻚ‬kwa ‫ﺫﹸ‬‫ﻮ‬‫ﻬﹺﻲ ﹶﺃﻋ‬mkono ‫ﻧﹺﻲ؟ ﺇﹺﻟﹶ‬‫ﺮ‬‫ﺼ‬‫ﻨ‬‫ﻱ ﻳ‬ ‫ﺍﻟﱠﺬ‬ wa ‫ﻠﹶﻲ‬‫ﻋ‬mwingine ‫ﺩ‬ ‫ﻮ‬‫ﺗﺠ‬ ‫ﻞﹲ ﺃﹶﻥﹾ‬‫ ﺃﹶﻫ‬kupata ‫ﺖ‬‫ ﻓﹶﺄﹶﻧ‬‫ﻚ‬‫ﺘ‬‫ﻤ‬‫ﺣ‬kwangu ‫ﺮ‬‫ﻫ ﹴﻞ ﻟ‬ ‫ﺘﺄﹾ‬‫ﺴ‬‫ ﻣ‬la ‫ﺮ‬‫ ﻏﹶﻴ‬ziada ‫ﺖ‬‫ﻜﹸﻨ‬‫ﹺﻲ ﹺﺇﻧ‬au ‫ﺇﹺﻟﹶﻬ‬ Dua za Miezi Mitatu 31Dec(h).indd 19

1/1/2013 6:17:52 PM


madhara yangu. DUA ZA MIEZI MITATU MITUKUFU

‫ ﺫﺍﹶ‬‫ﻦ‬‫ﻨﹺﻲ ﻓﹶﻤ‬‫ﺬﹶﻟﹾﺘ‬‫ﺇﹺﻥﹾ ﺧ‬‫ﻗﹸﻨﹺﻲ ﻭ‬‫ﺯ‬‫ﺮ‬‫ﻱ ﻳ‬‫ ﺫﺍﹶ ﺍﻟﱠﺬ‬‫ﻦ‬‫ﻨﹺﻲ ﻓﹶﻤ‬‫ﺘ‬‫ﻣ‬‫ﺮ‬‫ﺇﹺﻟﹶﻬﹺﻲ ﺇﹺﻥﹾ ﺣ‬ ‫ﻚ‬‫ﻄ‬‫ﺨ‬‫ ﹺﻝ ﺳ‬‫ﻠﹸﻮ‬‫ﻭﺣ‬ ‫ﺒﹺﻚ‬‫ ﻏﹶﻀ‬‫ﻦ‬‫ ﻣ‬‫ﺫﹸ ﺑﹺﻚ‬‫ﻮ‬‫ﻧﹺﻲ؟ ﺇﹺﻟﹶﻬﹺﻲ ﹶﺃﻋ‬‫ﺮ‬‫ﺼ‬‫ﻨ‬‫ﻱ ﻳ‬‫ﺍﻟﱠﺬ‬ ‫ﻠﹶﻲ‬‫ﺩ ﻋ‬ ‫ﻮ‬‫ﺗﺠ‬ ‫ﻞﹲ ﺃﹶﻥﹾ‬‫ ﺃﹶﻫ‬‫ﺖ‬‫ ﻓﹶﺄﹶﻧ‬‫ﻚ‬‫ﺘ‬‫ﻤ‬‫ﺣ‬‫ﺮ‬‫ﻫ ﹴﻞ ﻟ‬ ‫ﺘﺄﹾ‬‫ﺴ‬‫ ﻣ‬‫ﺮ‬‫ ﻏﹶﻴ‬‫ﺖ‬‫ﻜﹸﻨ‬‫ﺇﹺﻟﹶﻬﹺﻲ ﹺﺇﻧ‬ hasira Zako. Mola wangu iwapo si ‫ﻚ‬‫ﺘ‬‫ﻌ‬‫ﻞ ﺳ‬‫ﺑﹺﻔﹶَْﻀ‬ stahiki kupata rehema Zako, basi “Mola wangu iwapo utaninyima ni nani wa kuniruzuku; na iwapo utanitelekeza ni nani wakuninusuru? Mola wangu najilinda Kwako kutokana na ghadhabu Zako na kustahili kwangu kuteremkiwa na hasira Zako. Mola wangu iwapo si stahiki kupata rehema Zako, basi Wewe ni laiki Yako kunipa kwa fadhila za ukwasi Wako.”

Wewe ni laiki Yako kunipa kwa “Mola za wangu iwapo utaninyima ni fadhila ukwasi Wako.”

nani

wa

kuniruzuku;

na

iwapo

ni‫ﻳ‬‫ﺪ‬‫ﻳ‬nani ‫ﻲ‬‫ﻛﱡﻠ‬utanitelekeza ‫ﻮ‬‫ ﺗ‬‫ﻦ‬‫ﺴ‬‫ ﺃﹶﻇﹶﻠﱠﻬﺎﹶ ﺣ‬‫ﻗﹶﺪ‬‫ ﻭ‬‫ﻚ‬ ‫ﻦ‬‫ﻴ‬‫ﻔﹶﺔﹲ ﺑ‬‫ﻗ‬wakuninusuru? ‫ﻔﹾﺴِﻲ ﻭﺍﹶ‬‫ﻲ ﺑﹺﻨ‬‫ﺇﹺﻟﹶﻬﹺﻲ ﻛﹶﺄﹶﻧ‬ ‫ﺕ‬‫ﻮ‬Mola ‫ﻔﹶ‬‫ ﺇﹺﻟﹶﻬﹺﻲ ﺇﹺﻥﹾ ﻋ‬wangu ‫ﻔﹾﻮﹺﻙ‬‫ﻨﹺﻲ ﺑﹺﻌ‬‫ﺗ‬‫ﺪ‬‫ﻤ‬‫ﻐ‬‫ﺗ‬najilinda ‫ ﻭ‬‫ﻠﹸﻪ‬‫ ﹶﺃﻫ‬‫ﺖ‬‫ﺎ ﺃﹶﻧ‬‫ ﻣ‬‫ﺖ‬Kwako ‫ ﹶﻓﻘﹸﻠﹾ‬‫ﻚ‬‫ﻠﹶﻴ‬‫ﻋ‬ Zako ‫ﻚ‬‫ﻨ‬‫ﻣ‬kutokana ‫ﻧﹺﻨﹺﻲ‬‫ﺪ‬‫ ﻳ‬‫ﻟﹶﻢ‬‫ﻲ ﻭ‬‫ﻠ‬‫ﺃﹶﺟ‬na ‫ﻧﺎﹶ‬‫ ﺩ‬‫ﻗﹶﺪ‬ghadhabu ‫ﺇﹺﻥﹾ ﻛﺎﹶﻥﹶ‬‫ ﻭ‬‫ﻚ‬‫ ﺑﹺﺬﹶﻟ‬‫ﻚ‬ ‫ﻨ‬‫ﻟﹶﻰ ﻣ‬‫ ﺃﹶﻭ‬‫ﻦ‬na ‫ﻓﹶﻤ‬ kustahili‫ﻲ‬‫ﻠﹶﺘ‬‫ﻴ‬‫ﺳ‬kwangu ‫ ﻭ‬‫ﻚ‬‫ﺐﹺ ﺇﹺﻟﹶﻴ‬‫ﹺﺎﻟﹾﺬﱠﻣ‬kuteremkiwa ‫ ﺑ‬‫ ﺍﻹِﻗﹾﺮﺍﹶﺭ‬‫ﻌﻠﹾﺖ‬ ‫ﺟ‬ ‫ﻲ ﻓﹶﻘﹶﺪ‬‫ﻠ‬na ‫ﻤ‬‫ﻋ‬ 44

“Mola wangu ni kana kwamba pekee nafsi yangu imesimama mbele Zako, imesitiriwa kwa wema wa utegemevu wangu Kwako, nikatamka ya laiki Yako, na ukanitanda kwa msamaha Wako. Mola wangu ukinisamehe, hebu ni yupi aula wa hilo kuliko Wewe? Na iwapo ajali yangu imekaribia na amali yangu haikunikurubisha Kwako, basi nimejaalia kuungama kwangu dhambi zangu ni wasila wangu Kwako.

“Mola wangu ni kana kwamba pekee

nafsi yangu imesimama mbele Zako, imesitiriwa kwa wema wa utegemevu wangu Kwako, 20nikatamka ya laiki 45

Dua za Miezi Mitatu 31Dec(h).indd

20

1/1/2013 6:17:53 PM


“Mola nimeikosea nafsi dhambi wangu zangu ni wasila wangu yangu kuielekea, basi welewe! Kwako.kwa DUA ZA MIEZI MITATU MITUKUFU iwapo hutaisamehe. Mola wangu, ‫ ﻟﹶﻢ‬wema ‫ﻞﹸ ﺇﹺﻥﹾ‬‫ﻳ‬‫ﻬﺎﹶَ ﺍﻟﹾﻮ‬Wako ‫ﺎ ﻓﹶﻠﹶ‬‫ ﹶﻈﺮﹺ ﻟﹶﻬ‬muda ‫ﻲ ﺍﻟﻨ‬‫ﺴِﻲ ﻓ‬wa ‫ﻔﹾ‬‫ﻠﹶﻰ ﻧ‬uhai ‫ ﻋ‬‫ﺕ‬‫ﺮ‬‫ ﺟ‬wangu ‫ﺇﹺﻟﹶﻬﹺﻲ ﻗﹶﺪ‬ ‫ﻙ‬‫ﺑﹺﺮ‬haukukoma, ‫ﻘﹾﻄﹶﻊ‬‫ﻲ ﻓﹶﻼﹶ ﺗ‬‫ﻴﺎﹶﺗ‬‫ﻡ ﺣ‬ ‫ﹶﻳﺎﱠ‬basi ‫ ﺃ‬‫ﻠﹶﻲ‬‫ ﻋ‬‫ﻙ‬usinikatizie ‫ﻝﹾ ﺑﹺﺮ‬‫ﺰ‬‫ ﻳ‬‫ﺇﹺﻟﹶﻬﹺﻲ ﺇﹺﻥﹾ ﻟﹶﻢ‬wema ‫ ﻟﹶﻬﺎﹶ‬‫ﺮ‬‫ﻔ‬‫ﻐ‬‫ﺗ‬ kufa ‫ﺪ‬‫ﻌ‬‫ﺑ‬Wako ‫ﻲ‬‫ ﻟ‬‫ﻈﹶﺮﹺﻙ‬‫ ﻧ‬katika ‫ ﹺﻦ‬‫ﺴ‬‫ ﺣ‬‫ﻦ‬‫ ﻣ‬‫ﺲ‬ ‫ﻳ‬‫ ﺁ‬‫ﻒ‬‫ﻛﹶﻴ‬kwangu. ‫ﻲ ﺇﹺﻟﹶﻬﹺﻲ‬‫ﺎﺗ‬‫ﻤ‬‫ ﻣ‬Mola ‫ﻲ‬‫ﻲ ﻓ‬‫ﻨ‬‫ﻋ‬ wangu vipi juu ‫ﻲ‬‫ﻴﺎﹶﺗ‬‫ﺣ‬nitamauke ‫ﻲ‬‫ﻞﹶ ﻓ‬‫ﻴ‬‫ﻤ‬‫ﹺﻲ ﹺﺇﻻﱠ ﺍﻟﹾﺠ‬ ‫ﻟﱢﻨ‬‫ﻮ‬‫ ﺗ‬‫ﻢ‬ya ‫ ﻟﹶ‬‫ﺖ‬‫ﻧ‬ulinzi ‫ﺃﹶ‬‫ﻲ ﻭ‬‫ﻤﺎﹶﺗ‬‫ﻣ‬ Wako mwema baada ya kifo changu!

“Mola wangu nimeikosea nafsi yangu kwa kuielekea, basi welewe! iwapo hutaisamehe. Mola 46 wangu, wema Wako muda wa uhai wangu haukukoma, basi usinikatizie wema Wako katika kufa kwangu. Mola wangu vipi nitamauke juu ya ulinzi Wako mwema baada ya kifo changu! Na Wewe hukunipa ila mazuri katika uhai wangu.”

Na Wewe hukunipa ila mazuri katika uhai wangu.”

‫ﺐ ﻗﹶﺪ‬ ‫ﺬﹾﹺﻧ ﹴ‬‫ﻠﹶﻰ ﻣ‬‫ ﻋ‬‫ﻚ‬‫ﻠ‬‫ ﺑﹺﻔﹶﻀ‬‫ﺪ‬‫ﻋ‬‫ ﻭ‬‫ﻠﹸﻪ‬‫ ﹶﺃﻫ‬‫ﺖ‬‫ﺎ ﺃﹶﻧ‬‫ﺮﹺﻱ ﻣ‬‫ ﺃﹶﻣ‬‫ﻦ‬‫ﻮﻝﱠ ﻣ‬ ‫ﺗ‬ ‫ﺇﹺﻟﹶﻬﹺﻲ‬ ‫ﻮﺝ‬ ‫ﺎ ﹶﺃﺣ‬‫ﺃﹶﻧ‬‫ﻴﺎﹶ ﻭ‬‫ﻧ‬‫ﻲ ﺍﻟﹾﺪ‬‫ﺑﺎﹰ ﻓ‬‫ﻮ‬‫ ﺫﹸﻧ‬‫ﻠﹶﻲ‬‫ ﻋ‬‫ﺕ‬‫ﺮ‬‫ﺘ‬‫ ﺳ‬‫ ﺇﹺﻟﹶﻬﹺﻲ ﻗﹶﺪ‬‫ﻠﹸﻪ‬‫ﺟﻬ‬ ‫ﺮﻩ‬ ‫ﻤ‬ ‫ﹶﻏ‬ ‫ ﺇﹺﺫﹾ ﻟﹶﻢ‬‫ ﺇﹺﻟﹶﻲ‬‫ﺖ‬‫ﻨ‬‫ﺴ‬‫ ﺃﹶﺣ‬‫ ﺇﹺﻟﹶﻬﹺﻲ ﻗﹶﺪ‬‫ﺓ‬‫ﺮ‬‫ ﺍﻵﺧ‬‫ﻲ‬‫ ﻓ‬‫ﻚ‬‫ﻨ‬‫ ﻣ‬‫ﻠﹶﻲ‬‫ﺎ ﻋ‬‫ﺮﹺﻫ‬‫ﺘ‬‫ﺇﹺﻟﹶﻰ ﺳ‬ 47

‫ﺔ‬‫ﻴﺎﹶﻣ‬‫ ﺍﻟﹾﻘ‬‫ﻡ‬‫ﻮ‬‫ِﻲ ﻳ‬‫ﻨ‬‫ﺤ‬‫ ﻓﹶﻼﹶ ﺗﻔﹾﻀ‬‫ﻦ‬‫ﻴ‬‫ﺤ‬‫ﺎﻟ‬‫ ﺍﻟﹾﺼ‬‫ﻙ‬‫ﺒﺎﹶﺩ‬‫ ﻋ‬‫ﻦ‬‫ ﻣ‬‫ﺪ‬‫ﺄﹶﺣ‬‫ﻫﺎﹶ ﻟ‬‫ﻈﹾﻬﹺﺮ‬‫ﺗ‬

‫ﻬﺎﹶﺩ‬‫ﺱ ﺍﻷَﺷ‬ ‫ ﹺ‬‫ﻭ‬‫ﺅ‬‫ﻠﹶﻰ ﺭ‬‫ﻋ‬ “Mola Wangu yatawali mambo yangu kama ilivyo laiki Yako, na kwa fadhila Zako muhisabu mtenda dhambi, aliyefunikizwa niujinga wake. Mola Wangu duniani ulinisitiria

“Mola

Wangu

yatawali

mambo

21

yangu kama ilivyo laiki Yako, na kwa fadhila Zako muhisabu mtenda

Dua za Miezi Mitatu 31Dec(h).indd 21

1/1/2013 6:17:53 PM


DUA ZA MIEZI MITATU MITUKUFU

dhambi zangu, na mimi nimuhitaji zaidi wakusitiriwa hayo Kwako katika Akhera. Mola Wangu tayari umenitendea vizuri kwa kutoyadhihirisha mbele za awaye kati ya waja Wako wema, basi usinifedhehi Siku ya Kiyama mbele za wenye kunishuhudia.”

usinifedhehi Siku ya Kiyama mbele za wenye kunishuhudia.”

‫ﻧﹺﻲ‬‫ﺮ‬‫ﻲ ﺇﹺﻟﹶﻬﹺﻲ ﻓﹶﺴ‬‫ﻠ‬‫ﻤ‬‫ ﻋ‬‫ﻦ‬‫ﻀﻞﹸ ﻣ‬  ‫ﻙ ﹶﺃﻓﹾ‬ ‫ﻋﻔﹾﻮ‬ ‫ﻭ‬ ‫ﻲ‬‫ﻠ‬‫ﻂﹶ ﺃﹶﻣ‬‫ﺴ‬‫ﻙ ﺑ‬ ‫ﺩ‬‫ﻮ‬‫ﺇﹺﻟﹶﻬﹺﻲ ﺟ‬ ‫ﻙ‬‫ﺒﺎﹶﺩ‬‫ ﻋ‬‫ﻦ‬‫ﻴ‬‫ ﺑ‬‫ﻲ ﺑﹺﻪ‬‫ﻘﹾﻀ‬‫ ﺗ‬‫ﻡ‬‫ﻮ‬‫ ﻳ‬‫ﻚ‬‫ﻘﺎﹶﺋ‬‫ﺑﹺﻠ‬ “Mola

Wangu

upaji

Wako

“Mola Wangu upaji Wako umenipanulia tumaini langu, na msamaha Wako ni bora kuliko amali yangu. Mola Wangu basi nifurahisha nifikapo Kwako Siku ya kuhukumu baina ya waja Zako.”

umenipanulia

tumaini

langu,

na

msamaha Wako ni bora kuliko amali ‫ﻞﹾ‬‫ﻩ ﻓﹶﻘﹾﺒ‬ ‫ﺬﹾ ﹺﺭ‬‫ ﹺﻝ ﻋ‬‫ﻮ‬‫ ﹶﻗﺒ‬‫ﻦ‬‫ﻦﹺ ﻋ‬‫ﻐ‬‫ﺘ‬‫ﺴ‬‫ ﻳ‬‫ ﻟﹶﻢ‬‫ﻦ‬‫ ﻣ‬‫ﺬﺍﹶﺭ‬‫ﺘ‬‫ ﺇﹺﻋ‬‫ﻚ‬‫ﺬﺍﹶﺭﹺ ﺇﹺﻟﹶﻴ‬‫ﺘ‬‫ﺇﹺﻟﹶﻬﹺﻲ ﺇﹺﻋ‬ yangu. Mola Wangu basi nifurahisha ‫ﻲ‬‫ﺘ‬‫ﺣﺎﹶﺟ‬‫ﺩ‬‫ﺮ‬‫ﺌﹸﻮﻥﹶ ﺇﹺﻟﹶﻬﹺﻲ ﻻﹶ ﺗ‬‫ﺴِﻴ‬‫ ﺍﻟﹾﻤ‬‫ﻪ‬‫ ﺇﹺﻟﹶﻴ‬‫ِﺬﹶﺭ‬‫ﺘ‬‫ﻦﹺ ﺍﻋ‬‫ ﻣ‬‫ﻡ‬‫ﻋﺬﹾﺭﹺﻱ ﻳﺎﹶ ﺃﹶﻛﹾﺮ‬ nifikapo Kwako Siku ya kuhukumu ‫ﻲ‬‫ﻠ‬‫ﺃﹶﻣ‬‫ﻲ ﻭ‬‫ﺟﺎﹶﺋ‬‫ ﺭ‬‫ﻚ‬‫ﻨ‬‫ ﻣ‬‫ﻘﹾﻄﹶﻊ‬‫ﻻﹶ ﺗ‬‫ﻲ ﻭ‬‫ﻌ‬‫ ﻃﹶﻤ‬‫ﺐ‬‫ﻴ‬‫ﺨ‬‫ﻻﹶ ﺗ‬‫ﻭ‬ baina ya waja Zako.”

“Mola Wangu udhuru wangu Kwako ni udhuru wa asiye kuwa na udhuru wa kukubalika, basi hali iwavyo nikubalia udhuru wangu Ewe Mwingi wa ukarimu kwa watenda maovu wanaomtaradhia. Mola wangu usinikatalie haja yangu na usinikatishe tamaa yangu, na usiikate tamaa yangu na tumaini langu Kwako.”

“Mola Wangu udhuru wangu Kwako ni udhuru wa asiye kuwa na udhuru

wa kukubalika, basi hali iwavyo 49

nikubalia udhuru 22wangu Ewe Mwingi wa ukarimu kwa watenda maovu

Dua za Miezi Mitatu 31Dec(h).indd 22

1/1/2013 6:17:53 PM


DUA ZA MIEZI MITATU MITUKUFU

‫ﻢ‬ ‫ﻲ ﻟﹶ‬‫ﺘ‬‫ﻴﺤ‬‫ ﻓﹶﻀ‬‫ﺕ‬‫ﺩ‬‫ ﺃﹶﺭ‬‫ﻟﹶﻮ‬‫ﻧﹺﻲ ﻭ‬‫ﺪ‬‫ﻬ‬‫ ﺗ‬‫ﻮﺍﹶﻧﹺﻲ ﻟﹶﻢ‬‫ ﻫ‬‫ﺕ‬‫ﺩ‬‫ ﺃﹶﺭ‬‫ﺇﹺﻟﹶﻬﹺﻲ ﻟﹶﻮ‬ ‫ﻲ‬‫ﺮﹺﻱ ﻓ‬‫ﻤ‬‫ ﻋ‬‫ﺖ‬‫ﻴ‬‫ ﺃﹶﻓﹾﻨ‬‫ ﻗﹶﺪ‬‫ﺔ‬‫ﻲ ﺣﺎﹶﺟ‬‫ﺩﻧﹺﻲ ﻓ‬ ‫ﺮ‬‫ﻚ ﺗ‬  ‫ﻨﹺﻲ ﺇﹺﻟﹶﻬﹺﻲ ﻣﺎﹶ ﹶﺃﻇﹸﻨ‬‫ﻌﺎﹶﻓ‬‫ﺗ‬ ‫ﻚ‬‫ﻨ‬‫ﻃﹶﻠﹶﺒﹺﻬﺎﹶ ﻣ‬ “Mola Wangu ungetaka kunitweza usingeniongoza, na ungetaka kunifedhehi usingeniafu; Mola Wangu! hata sikudhanii, kuwa“Mola utanikatalia jambo ambalo nimelimalizia umri wangu Wangu ungetaka kunitweza kulitaka kutoka Kwako.”

usingeniongoza,

na

ungetaka

‫ﺐ‬‫ﺤ‬kunifedhehi ‫ﺗ‬ ‫ ﻛﹶﻤﺎﹶ‬‫ﺪ‬‫ﻳﹺﺒﻴ‬ ‫ﻻﹶ‬‫ ﻭ‬‫ﺪ‬‫ ﹺﺰﻳ‬‫ﺪﺍﹰ ﻳ‬‫ﻣ‬usingeniafu; ‫ﺮ‬‫ﻤﺎﹰ ﺳ‬‫ﺪﺍﹰ ﺩﺍﹶﺋ‬‫ ﺃﹶﺑ‬‫ﺪ‬‫ﻤ‬‫ ﺍﻟﹾﺤ‬‫ﻚ‬Mola ‫ﺇﹺﻟﹶﻬﹺﻲ ﻓﹶﻠﹶ‬ ‫ﻨﹺﻲ‬‫ﺬﹾﺗ‬Wangu! ‫ﺇﹺﻥﹾ ﺃﹶﺧ‬‫ ﻭ‬‫ﻔﹾﻮﹺﻙ‬‫ ﺑﹺﻌ‬‫ﻚ‬ ‫ﺬﹾﺗ‬‫ﻲ ﺃﹶﺧ‬‫ﻣ‬sikudhanii, ‫ﺮ‬‫ﻨﹺﻲ ﺑﹺﺠ‬‫ﺬﹾﺗ‬‫ﺇﹺﻟﹶﻬﹺﻲ ﺇﹺﻥﹾ ﺃﹶﺧ‬kuwa ‫ﻰ‬‫ﺿ‬‫ﺮ‬‫ﺗ‬‫ﻭ‬ hata ‫ﻲ‬‫ ﺃﹶﻧ‬utanikatalia ‫ﻠﹶﻬﺎﹶ‬‫ﺖ ﺃﹶﻫ‬  ‫ﻠﹶﻤ‬‫ ﺃﹶﻋ‬‫ﺎﺭ‬‫ﻨﹺﻲ ﺍﻟﹾﻨ‬‫ﻠﹾﺘ‬‫ﺧ‬‫ﺃﹶﺩ‬jambo ‫ﺇﹺﻥﹾ‬‫ ﻭ‬‫ﻚ‬‫ﺗ‬‫ﺮ‬‫ﻔ‬‫ﻐ‬‫ﻚ ﺑﹺﻤ‬  ‫ﺬﹾﺗ‬ambalo ‫ﺧ‬ ‫ﻮﺑﹺﻲ ﹶﺃ‬‫ﹺﺑﺬﹸﻧ‬ nimelimalizia umri wangu kulitaka ‫ﻚ‬  ‫ﺣﺒ‬ ‫ﺃﹸ‬ kutoka Kwako.” “Mola Wangu sifa njema zote ni Zako milele, daima, mfululizo zenye kuzidi zisokoma kama upendavyo na kuridhika. Mola Wangu ukinipatiliza kwa makosa yangu nitakushikilia kwa usamehevu Wako, na ukinipatiliza kwa dhambi zangu nitakushikilia kwa maghufira Yako, na unitiapo motoni, kwa ukweli nitawatangazia watuwe humo, mimi nakupenda.”

“Mola Wangu sifa njema zote ni

Zako milele, daima, mfululizo zenye

kuzidi zisokoma 51 kama upendavyo na

kuridhika. Mola Wangu ukinipatiliza 23

kwa makosa yangu nitakushikilia kwa

Dua za Miezi Mitatu 31Dec(h).indd 23

usamehevu

Wako,

na

1/1/2013 6:17:54 PM


nitawatangazia watuwe humo, mimi nakupenda.” DUA ZA MIEZI MITATU MITUKUFU ‫ﺐﹺ‬‫ﻨ‬‫ﻲ ﺟ‬‫ﺮ ﻓ‬ ‫ ﹶﻛﺒ‬‫ﻲ ﻓﹶﻘﹶﺪ‬‫ﻠ‬‫ﻤ‬‫ ﻋ‬‫ﻚ‬‫ﺘ‬‫ﺐﹺ ﻃﺎﹶﻋ‬‫ﻨ‬‫ﺮ ﻓﹶﻲ ﺟ‬ ‫ﺻﻐ‬  ‫ﺇﹺﻟﹶﻬﹺﻲ ﺇﹺﻥﹾ ﻛﺎﹶﻥﹶ‬ ‫ﻭﻣﹰﺎ‬‫ﺮ‬‫ﻣﺤ‬ ‫ﺔ‬‫ﺒ‬‫ﻴ‬‫ ﺑﹺﺎﻟﹾﺨ‬‫ﻙ‬‫ﺪ‬‫ﻨ‬‫ ﻋ‬‫ﻦ‬‫ ﻣ‬‫ﻠﺐ‬‫ ﹶﻘ‬‫ ﹶﺃﻧ‬‫ﻒ‬‫ﻲ ﺇﹺﻟﹶﻬﹺﻲ ﻛﹶﻴ‬‫ﻠ‬‫ ﺃﹶﻣ‬‫ﺟﺎﹶﺋﹶﻚ‬‫ﺭ‬ ‫ﻮﻣﹰﺎ‬‫ﺣ‬‫ﻣﺮ‬ ‫ﺠﺎﹶﺓ‬‫ﻨﹺﻲ ﺑﹺﻨ‬‫ﺒ‬‫ﻘﹾﻠ‬‫ ﺃﹶﻥﹾ ﺗ‬‫ﻙ‬‫ﻮﺩ‬‫ﻲ ﺑﹺﺠ‬‫ ﻇﹶﻨ‬‫ﻦ‬‫ﺴ‬‫ ﻛﺎﹶﻥﹶ ﺣ‬‫ﻗﹶﺪ‬‫ﻭ‬ “Mola Wangu ikiwa kuwiana na utwi’ifu wangu Kwako, ul“Mola Wangu ikiwa kuwiana na imchache wa vitendo, basi matumaini yangu kulingana na utaninusuru niwe Mola ni Wangu mwenye ninayoyatarajia Kwako yalimakubwa. vipi nionutwi’ifu wangu Kwako, ulimchache doke nikiwa nimetengwa na kufukuzwa kutoka Kwako, hali kurehemewa. nakutazamia kwa mazuri Yako utaninusuru niwe ni mwenye wa vitendo, basi matumaini yangu kurehemewa.

kulingana na ninayoyatarajia Kwako ‫ﺎﹶﺑﹺﻲ‬yalimakubwa. ‫ﺒ‬‫ ﺷ‬‫ﺖ‬‫ﹶﻠﻴ‬‫ﻭﹶﺃﺑ‬ ‫ﻚ‬‫ﻨ‬‫ﻮﹺ ﻋ‬‫ﻬ‬‫ ﺍﻟﹾﺴ‬‫ﺓ‬Mola ‫ﺮ‬‫ﻲ ﺷ‬‫ﺮﹺﻱ ﻓ‬Wangu ‫ﻤ‬‫ ﻋ‬‫ﺖ‬‫ﻴ‬‫ ﺃﹶﻓﹾﻨ‬‫ﻗﹶﺪ‬‫ﻭ‬vipi ‫ﺇﹺﻟﹶﻬﹺﻲ‬

‫ﺑﹺﻚ‬niondoke ‫ﺮﺍﹶﺭﹺﻱ‬‫ﻡ ﺍﻏﹾﺘ‬ ‫ﻘﻆﹸ ﺃﹶﻳﺎَﱠ‬nikiwa ‫ﺘﻴ‬‫ ﹶﺃﺳ‬‫ﻟﹶﻬﹺﻲ ﻓﹶﻠﹶﻢ‬nimetengwa ‫ ﺇﹺ‬‫ﻚ‬‫ﻨ‬‫ﺪ ﻣ‬ ‫ﺒﹶﺎﻋ‬‫ ﺍﻟﹾﺘ‬‫ﺓ‬‫ﻜﹾﺮ‬‫ ﺳ‬na ‫ﻲ‬‫ﻓ‬ ‫ﻞﹺ ﺳ‬‫ﺒﹺﻴ‬‫ﻧﹺﻲ ﺇﹺﻟﹶﻰ ﺳ‬hali ‫ﻛﹸﻮ‬‫ﻭﺭ‬ kufukuzwa kutoka‫ﻚ‬‫ﻄ‬‫ﺨ‬Kwako,

“Mola Wangu umri wangu nimeutumia kwa dhambi nakutazamia kwa mazuri Yakoya kukusahau, nikaudhuru ujana wangu kwa shibe nikajitenga Nawe. Mola Wangu sikuzindukia Kwako majira ya kughurika “Mola Wangu umri wangu kwangu, nikaelekea kupata ghadhabu Zako. 53

nimeutumia kwa dhambi ya ‫ﻚ‬‫ﻣ‬kukusahau, ‫ﺳﻞﹲ ﺑﹺﻜﹶﺮﹺ‬ ‫ﻮ‬ ‫ﺘ‬‫ ﻣ‬‫ﻚ‬‫ﻳ‬‫ﺪ‬‫ ﻳ‬nikaudhuru ‫ﻦ‬‫ﻴ‬‫ ﺑ‬‫ﻢ‬‫ ﻗﺎﹶﺋ‬‫ﻚ‬‫ﻳ‬‫ﺪ‬‫ﺒ‬‫ ﻋ‬‫ﻦ‬ujana ‫ﺍﺑ‬‫ﻙ ﻭ‬ ‫ﺪ‬‫ﻋﺒ‬ wangu ‫ﺃﹶﻧﺎﹶ‬‫ﺇﹺﻟﹶﻬﹺﻲ ﻭ‬

‫ﺔ‬ ‫ﻗﻠﱠ‬ kwa ‫ﻦ‬‫ ﻣ‬‫ﻚ ﺑﹺﻪ‬  shibe ‫ ﺃﹸﻭﹶﺍ ﹺﺟﻬ‬‫ﺖ‬nikajitenga ‫ﺎ ﻛﹸﻨ‬‫ﻤ‬‫ ﻣ‬‫ﻚ‬‫ﻞﹸ ﺇﹺﻟﹶﻴ‬‫ﻨﺼ‬‫ﺗ‬Nawe. ‫ ﹶﺃ‬‫ﺪ‬‫ﺒ‬‫ﻬﹺﻲ ﺃﹶﻧﺎﹶ ﻋ‬Mola ‫ ﺇﹺﻟﹶ‬‫ﻚ‬‫ﺇﹺﻟﹶﻴ‬ Wangu ‫ﻚ‬ ‫ﻣ‬‫ﻜﹶﺮ‬‫ ﻟ‬‫ﺖ‬‫ﻌ‬‫ ﻧ‬‫ﻮ‬sikuzindukia ‫ﻔﹾ‬‫ ﺇﹺﺫﹾ ﺍﻟﹾﻌ‬‫ﻚ‬‫ﻨ‬‫ ﻣ‬24‫ﻔﹾﻮ‬‫ ﺍﻟﹾﻌ‬‫ﺐ‬Kwako ‫ﻭﹶﺃﻃﹾﻠﹸ‬ ‫ﻈﹶﺮﹺﻙ‬‫ ﻧ‬‫ﻦ‬majira ‫ﻴﻤ‬‫ﻴﺎﹶﺋ‬‫ﺤ‬‫ﺘ‬‫ﺍﺳ‬

ya kughurika kwangu, nikaelekea Dua za Miezi Mitatu 31Dec(h).indd 24

1/1/2013 6:17:54 PM


‫ﻚ‬‫ﺳﻞﹲ ﺑﹺﻜﹶﺮﹺﻣ‬ ‫ﻮ‬ ‫ﺘ‬‫ ﻣ‬‫ﻚ‬‫ﻳ‬‫ﺪ‬‫ ﻳ‬‫ﻦ‬‫ﻴ‬‫ ﺑ‬‫ﻢ‬‫ ﻗﺎﹶﺋ‬‫ﻚ‬‫ﻳ‬‫ﺪ‬‫ﺒ‬‫ ﻋ‬‫ﻦ‬‫ﺍﺑ‬‫ﻙ ﻭ‬ ‫ﺪ‬‫ﻋﺒ‬ ‫ﺃﹶﻧﺎﹶ‬‫ﺇﹺﻟﹶﻬﹺﻲ ﻭ‬ DUA ZA MIEZI MITATU MITUKUFU

‫ﺔ‬ ‫ﻗﻠﱠ‬ ‫ﻦ‬‫ ﻣ‬‫ﻚ ﺑﹺﻪ‬  ‫ ﺃﹸﻭﹶﺍ ﹺﺟﻬ‬‫ﺖ‬‫ﺎ ﻛﹸﻨ‬‫ﻤ‬‫ ﻣ‬‫ﻚ‬‫ﻞﹸ ﺇﹺﻟﹶﻴ‬‫ﻨﺼ‬‫ﺗ‬‫ ﹶﺃ‬‫ﺪ‬‫ﺒ‬‫ ﺇﹺﻟﹶﻬﹺﻲ ﺃﹶﻧﺎﹶ ﻋ‬‫ﻚ‬‫ﺇﹺﻟﹶﻴ‬ ‫ﻚ‬‫ﻣ‬‫ﻜﹶﺮ‬‫ ﻟ‬‫ﺖ‬‫ﻌ‬‫ ﻧ‬‫ﻔﹾﻮ‬‫ ﺇﹺﺫﹾ ﺍﻟﹾﻌ‬‫ﻚ‬‫ﻨ‬‫ ﻣ‬‫ﻔﹾﻮ‬‫ ﺍﻟﹾﻌ‬‫ﻭﹶﺃﻃﹾﻠﹸﺐ‬ ‫ﻈﹶﺮﹺﻙ‬‫ ﻧ‬‫ﻦ‬‫ﻴﻤ‬‫ﻴﺎﹶﺋ‬‫ﺤ‬‫ﺘ‬‫ﺍﺳ‬ “Mola Wangu mimi ni mja Wako mtoto wa waja Zako wawili, nakuomba na kukuelekea kwa ukarimu Wako. Mola Wangu mja mimi nataka kujitoa makosani Kwako, kwa ambayo “Mola Wangu mimi ni mja Wako nilikuwajihi nayo mbele ya macho Yako kwa utovu wangu wa haya, na nakutaka msamaha kwani usamehevu ni moja mtoto wa waja Zako wawili, ya sifa za ukarimu Wako.

msamaha kwani usamehevu ni moja ya sifa za ukarimu Wako.

nakuomba na kukuelekea kwa ‫ ﹾﻗﺖ‬‫ﻲ ﻭ‬‫ ﹺﺇﻻﱠ ﻓ‬‫ﻚ‬‫ﺘ‬‫ﻴ‬‫ﺼ‬‫ﻌ‬‫ ﻣ‬‫ﻦ‬‫ ﻋ‬‫ﻘﻞﹸ ﺑﹺﻪ‬ ‫ﺘ‬‫ﻝﹲ ﹶﻓﹶﺄﻧ‬‫ﻮ‬‫ﻲ ﺣ‬‫ ﻟ‬‫ﻜﹸﻦ‬‫ ﻳ‬‫ﺇﹺﻟﹶﻬﹺﻲ ﻟﹶﻢ‬ ukarimu Wako. Mola Wangu mja ‫ﻚ‬  ‫ﺗ‬‫ﺸ ﹶﻜﺮ‬  ‫ ﹶﻓ‬‫ﺖ‬‫ ﹶﻥ ﻛﹸﻨ‬‫ ﺃﹶﻥﹾ ﹶﺃﻛﹸﻮ‬‫ﺕ‬‫ﻛﹶﻤﺎﹶ ﺃﹶﺭﹺﺩ‬‫ ﻭ‬‫ﻚ‬‫ﺘ‬‫ﺒ‬‫ﺤ‬‫ﻤ‬‫ﻨﹺﻲ ﻟ‬‫ﻘﹶﻈﹾﺘ‬‫ﺃﹶﻳ‬ mimi nataka kujitoa makosani ‫ﻨﻚ‬‫ ﻋ‬‫ﻔﹾﻠﹶﺔ‬‫ﺳﺎﹶﺥﹺ ﺍﻟﹾﻐ‬‫ ﺃﹶﻭ‬‫ﻦ‬‫ﺮﹺ ﻗﹶﻠﹾﺒﹺﻲ ﻣ‬‫ﻄﹾﻬﹺﻴ‬‫ﺘ‬‫ﻟ‬‫ ﻭ‬‫ﻚ‬‫ﻣ‬‫ﻲ ﻛﹶﺮ‬‫ﻲ ﻓ‬‫ﺧﺎﹶﻟ‬‫ﺑﹺﺈﹺﺩ‬ Kwako, kwa ambayo nilikuwajihi “Mola Wangu sikuwa na mbinu ya kujiepusha nisikuasi, “Mola Wangukwa na na mbinu ya nayo mbele yasikuwa macho ila pale unaponizindua mahaba Yako,Yako kamakwa ulivyo-

kujiepusha

nisikuasi,

ila

pale

taka niwe nimekuwa, basi nakushukuru kwa kunitia katika utovu wangu wa haya, nakutaka karama Zako, na kuutakasa moyo wanguna kuuondolea uchafu wa kughafilika Nawe.

unaponizindua kwa mahaba Yako, na

‫ﻚ‬  ‫ﺘ‬kama ‫ﻧ‬‫ﻮ‬‫ﻤﻌ‬ ‫ﻟ‬ ‫ﺘﻪ‬‫ﻤﻠﹾ‬ ‫ﻌ‬ulivyotaka ‫ﺘ‬‫ﺍﺳ‬‫ ﻭ‬‫ﻚ‬‫ ﻓﹶﺄﹶﺟﺎﹶﺑ‬‫ﺘﻪ‬‫ﺩﻳ‬niwe ‫ ﻧﹶﺎ‬‫ﻦ‬‫ ﻣ‬‫ﻈﹶﺮ‬nimekuwa, ‫ ﻧ‬‫ ﺇﹺﻟﹶﻲ‬‫ﻈﹸﺮ‬‫ﺇﹺﻟﹶﻬﹺﻲ ﺃﹸﻧ‬ 55

‫ﻦ‬‫ﻋ‬basi ‫ﺨﻞﹸ‬  ‫ﻳﺒ‬ ‫ﻻﹶ‬nakushukuru ‫ﻮﺍﹶﺩﺍﹰ‬‫ﻳﺎﹶ ﺟ‬‫ ﻭ‬‫ ﺑﹺﻪ‬‫ﺮ‬‫ﺘ‬‫ﻐ‬‫ﺍﻟﹾﻤ‬kwa ‫ﻦﹺ‬‫ ﻋ‬‫ﻌﺪ‬kunitia ‫ﺒ‬‫ﺒﺎﹰ ﻻﹶ ﻳ‬‫ﻳﺎﹶ ﻗﹶﺮﹺﻳ‬katika ‫ﻚ‬‫ﻓﹶﺄﹶﻃﺎﹶﻋ‬

‫ﹶﻓﻊ‬‫ﺮ‬karama ‫ﺴﺎﹶﻧﺎﹰ ﻳ‬‫ﻟ‬‫ ﻭ‬‫ﻗﹸﻪ‬‫ﺷﻮ‬Zako, ‫ﻚ‬‫ﻨ‬‫ﻪ ﻣ‬ ‫ﹺﻧﻴ‬‫ﺪ‬na ‫ﻗﹶﻠﹾﺒﺎﹰ ﻳ‬kuutakasa ‫ﻨﹺﻲ‬‫ﺒ‬‫ ﺇﹺﻟﹶﻬﹺﻲ ﻫ‬‫ﺑﻪ‬‫ ﺛﹶﻮﹶﺍ‬moyo ‫ﺟﺎﹶ‬‫ ﺭ‬‫ﻦ‬‫ﻣ‬

wangu

‫ﻪ‬ ‫ﺣﻘﱡ‬ ‫ﻚ‬‫ﻨ‬‫ ﻣ‬‫ﻪ‬‫ﺑ‬‫ﺮ‬uchafu ‫ ﹶﻘ‬‫ﻈﹶﺮﺍﹰ ﻳ‬‫ﻧ‬‫ ﻭ‬‫ﻗﹸﻪ‬‫ﺻﺪ‬  wa ‫ﻚ‬‫ﺇﹺﻟﹶﻴ‬ kuuondolea

kughafilika Nawe.25 “Mola Wangu niangalia kwa jicho la 56

Dua za Miezi Mitatu 31Dec(h).indd 25

1/1/2013 6:17:54 PM


DUA ZA MIEZI MITATU MITUKUFU

“Mola Wangu niangalia jicho la uliyemwita akakuitika, Kwako, na kwaulimi wa ukweli ukamtumisha na kwa muawana Wako akakutwii. Ewe wa karibu ukutukuze, Usiyembali kwa anayemtapia, Ewe Mpaji Usiyemkatalia na mtazamo hakika yake anayekutarajia kwa malipo mema. Mola Wangu nipe moyo wa shauku wa kuuvutia Kwako, na ulimi wa ukweli ukutukuni kunikuribisha Kwako. ze, na mtazamo hakika yake ni kunikuribisha Kwako.

‫ﺬﹸﻭﻝﹴ‬‫ﺒ‬‫ ﻣ‬‫ﺮ‬‫ ﹶﻏﻴ‬‫ ﻻﹶﺫﹶ ﺑﹺﻚ‬‫ﻦ‬‫ﻣ‬‫ﻮﻝﹴ ﻭ‬‫ﻬ‬‫ﺠ‬‫ ﻣ‬‫ﺮ‬‫ ﹶﻏﻴ‬‫ ﺑﹺﻚ‬‫ﻑ‬‫ﺮ‬‫ﻌ‬‫ ﺗ‬‫ﻦ‬‫ﺇﹺﻟﹶﻬﹺﻲ ﹺﺇﻥﱠ ﻣ‬ anaekutakasia moyo ni mwenye ‫ﺮ‬‫ﻨﹺﻴ‬‫ﺘ‬‫ﺴ‬‫ ﻟﹶﻤ‬‫ ﺑﹺﻚ‬‫ﺞ‬‫ﻬ‬‫ﺘ‬‫ ﺍﻧ‬‫ﻦ‬‫ﻠﹸﻮﻝﹴ ﺇﹺﻟﹶﻬﹺﻲ ﹺﺇﻥﱠ ﻣ‬‫ﻤ‬‫ ﻣ‬‫ﺮ‬‫ ﹶﻏﻴ‬‫ﻪ‬‫ﻠﹶﻴ‬‫ ﻋ‬‫ﻠﹾﺖ‬‫ ﺃﹶﻗﹾﺒ‬‫ﻦ‬‫ﻣ‬‫ﻭ‬ kuwa na nuru, na anayekutukuza ‫ﺐ‬‫ﻴ‬‫ﺨ‬‫ ﻳﺎﹶ ﺇﹺﻟﹶﻬﹺﻲ ﻓﹶﻼﹶ ﺗ‬‫ ﺑﹺﻚ‬‫ ﻟﹸﺬﹾﺕ‬‫ﻗﹶﺪ‬‫ ﻭ‬‫ﺮ‬‫ﺠﻴ‬ ‫ﺘ ﹺ‬‫ﺴ‬‫ ﹶﻟﻤ‬‫ ﺑﹺﻚ‬‫ﻈﹶﻢ‬‫ﺘ‬‫ ﺍﻋ‬‫ﻦ‬‫ﻭﹺﺇﻥﱠ ﻣ‬ amepata ukombozi. Mola Wangu, ‫ﻚ‬‫ﺃﹾﻓﹶﺘ‬‫ ﺭ‬‫ﻦ‬‫ﻨﹺﻲ ﻋ‬‫ﺒ‬‫ﺠ‬‫ﺤ‬‫ﻻﹶ ﺗ‬‫ ﻭ‬‫ﻚ‬‫ﺘ‬‫ﻤ‬‫ﺣ‬‫ ﺭ‬‫ﻦ‬‫ﻲ ﻣ‬‫ﻇﹶﻨ‬ Kwako tayari nimeuelekeza moyo “Mola Wangu hakika anayejitambulisha Kwako si wakuwangu, basi Yako usiniondolee rehema tojulikana, na anaeafiki si wakukaukiwa, na Unaemuelekea si wa kusumbuka. Mola Wangu hakika anaekutakasia “Mola hakika ninazozizingatia na usinikatalie moyoZako ni mwenye kuwa naWangu nuru, na anayekutukuza amepata ukombozi. Mola Wangu, Kwako tayari nimeuelekeza moyo anayejitambulisha Kwako uraufu Wako. rehema Zako wangu, basi usiniondolee ninazozizingatiasina usinikatalie uraufu Wako.

wakutojulikana, na anaeafiki Yako si

Unaemuelekea ‫ﻚ‬‫ﺘ‬wakukaukiwa, ‫ﺒ‬‫ﺤ‬‫ ﻣ‬‫ﻦ‬‫ﺓﹶ ﻣ‬‫ﻳﺎﹶﺩ‬‫ﺟﺎﹶ ﺍﻟﹾﺰ‬‫ ﺭ‬‫ﻦ‬‫ ﻣ‬na ‫ﻘﺎﹶﻡ‬‫ ﻣ‬‫ﻚ‬ ‫ﺘ‬‫ﻞﹺ ﻭﹺﻻﹶﻳ‬‫ﻲ ﺃﹶﻫ‬‫ﻨﹺﻲ ﻓ‬‫ﻤ‬‫ﻬﹺﻲ ﺃﹶﻗ‬si‫ﺇﹺﻟﹶ‬ ‫ﺡﹺ‬‫ﻭ‬wa ‫ ﺇﹺﻟﹶﻰ ﺭ‬kusumbuka. ‫ﻲ‬‫ﻤ‬‫ﻞﹾ ﻫ‬‫ﻌ‬‫ﺍﺟ‬‫ ﻭ‬‫ﻛﹾﺮﹺﻙ‬‫ﺫ‬Mola ‫ ﺇﹺﻟﹶﻰ‬‫ﻛﹾﺮﹺﻙ‬Wangu ‫ﻟﹶﻬﺎﹰ ﺑﹺﺬ‬‫ﻨﹺﻲ ﻭ‬‫ﻤ‬hakika ‫ﺃﹶﻟﹾﻬﹺ‬‫ﺇﹺﻟﹶﻬﹺﻲ ﻭ‬ ‫ﻨﹺﻲ‬‫ﻘﹾﺘ‬‫ ﹺﺇﻻﱠ ﺍﹶﻟﹾﺤ‬‫ﻚ‬‫ﻠﹶﻴ‬‫ ﻋ‬‫ ﺇﹺﻟﹶﻬﹺﻲ ﺑﹺﻚ‬58 ‫ﻚ‬  ‫ﺳ‬ ‫ﻞﱢ ﻗﹸﺪ‬‫ﺤ‬‫ﻣ‬‫ ﻭ‬‫ﻚ‬‫ﻤﺎﹶﺋ‬‫ﻲ ﺃﹶﺳ‬‫ﳒﺎﹶﺣ‬

‫ ﻓﹶﺈﹺﻧﹺﻲ ﻻﹶ‬‫ﻚ‬‫ﺎﺗ‬‫ﺿ‬‫ﺮ‬‫ ﻣ‬‫ﻦ‬‫ ﻣ‬‫ﻟﺢ‬‫ﺎ‬‫ﺍﻟﹾﺼ‬26‫ﺍﻱ‬‫ﹾﺜﻮ‬‫ﺍﻟﹾﻤ‬‫ ﻭ‬‫ﻚ‬‫ﺘ‬‫ﻞﹺ ﻃﺎﹶﻋ‬‫ﻞﱢ ﺃﹶﻫ‬‫ﺤ‬‫ﺑﹺﻤ‬ ‫ﻔﹾﻌﺎﹰ‬‫ ﻟﹶﻬﺎﹶ ﻧ‬‫ﻠﻚ‬‫ﻻﹶ ﹶﺃﻣ‬‫ﻓﹾﻌﺎﹰ ﻭ‬‫ﻔﹾﺴِﻲ ﺩ‬‫ ﻟﻨ‬‫ﺪﺭ‬ ‫ﹶﺃﻗﹾ‬ Dua za Miezi Mitatu 31Dec(h).indd 26

1/1/2013 6:17:55 PM


‫ﻚ‬‫ﺘ‬‫ﺒ‬‫ﺤ‬‫ ﻣ‬‫ﻦ‬‫ﺓﹶ ﻣ‬‫ﻳﺎﹶﺩ‬‫ﺟﺎﹶ ﺍﻟﹾﺰ‬‫ ﺭ‬‫ﻦ‬‫ ﻣ‬‫ﻘﺎﹶﻡ‬‫ ﻣ‬‫ﻚ‬‫ﺘ‬‫ﻞﹺ ﻭﹺﻻﹶﻳ‬‫ﻲ ﺃﹶﻫ‬‫ﻨﹺﻲ ﻓ‬‫ﻤ‬‫ﺇﹺﻟﹶﻬﹺﻲ ﺃﹶﻗ‬ ‫ﺡﹺ‬‫ﻭ‬‫ﻲ ﺇﹺﻟﹶﻰ ﺭ‬‫ﻤ‬‫ﻞﹾ ﻫ‬‫ﻌ‬‫ﺍﺟ‬‫ ﻭ‬‫ﻛﹾﺮﹺﻙ‬‫ ﺇﹺﻟﹶﻰ ﺫ‬‫ﻛﹾﺮﹺﻙ‬‫ﻟﹶﻬﺎﹰ ﺑﹺﺬ‬‫ﻨﹺﻲ ﻭ‬‫ﺃﹶﻟﹾﻬﹺﻤ‬‫ﺇﹺﻟﹶﻬﹺﻲ ﻭ‬ DUA ZA MIEZI MITATU MITUKUFU

‫ﻨﹺﻲ‬‫ﻘﹾﺘ‬‫ ﹺﺇﻻﱠ ﺍﹶﻟﹾﺤ‬‫ﻚ‬‫ﻠﹶﻴ‬‫ ﻋ‬‫ﻚ ﺇﹺﻟﹶﻬﹺﻲ ﺑﹺﻚ‬  ‫ﺳ‬ ‫ﻞﱢ ﻗﹸﺪ‬‫ﺤ‬‫ﻣ‬‫ ﻭ‬‫ﻚ‬‫ﻤﺎﹶﺋ‬‫ﻲ ﺃﹶﺳ‬‫ﳒﺎﹶﺣ‬ ‫ ﻓﹶﺈﹺﻧﹺﻲ ﻻﹶ‬‫ﻚ‬‫ﺎﺗ‬‫ﺿ‬‫ﺮ‬‫ ﻣ‬‫ﻦ‬‫ ﻣ‬‫ﻟﺢ‬‫ﺎ‬‫ ﺍﻟﹾﺼ‬‫ﺍﻱ‬‫ﹾﺜﻮ‬‫ﺍﻟﹾﻤ‬‫ ﻭ‬‫ﻚ‬‫ﺘ‬‫ﻞﹺ ﻃﺎﹶﻋ‬‫ﻞﱢ ﺃﹶﻫ‬‫ﺤ‬‫ﺑﹺﻤ‬ ‫ﻔﹾﻌﺎﹰ‬‫ ﻟﹶﻬﺎﹶ ﻧ‬‫ﻠﻚ‬‫ﻻﹶ ﹶﺃﻣ‬‫ﻓﹾﻌﺎﹰ ﻭ‬‫ﻔﹾﺴِﻲ ﺩ‬‫ ﻟﻨ‬‫ﺪﺭ‬ ‫ﹶﺃﻗﹾ‬ “Mola Wangu niweke pamoja na mawalii Wako, pamoja na anayetazamia kuzidishiwa mahaba Yako. Mola Wangu nipe ilhamu kwa ukumbusho Wako kwa shauku nikudhukuru, uifanye hamu yangu ni kufurahia 59 majina Yako matukufu na kupata pahala pa utakatifu Wako. Mola Wangu nikutakalo silengine ila kwa usaidizi Wako uniweke pamoja na wanaokutwii na makazi mema ya maridhia Yako, kwani mimi siwezi kuilinda nafsi yangu wala sina wasaa wa kuifalia jambo.

‫ ﻓﹶﻼﹶ‬‫ﺐ‬‫ﹺﻨﻴ‬‫ ﺍﻟﹾﻤ‬‫ﻚ‬‫ﻠﹸﻮﻛ‬‫ﻤ‬‫ﻣ‬‫ ﻭ‬‫ﺬﹾﹺﻧﺐ‬‫ ﺍﻟﹾﻤ‬‫ﻒ‬‫ﻴ‬‫ﻌ‬‫ﻙ ﺍﻟﹾﻀ‬ ‫ﺪ‬‫ﻋﺒ‬ ‫ﺇﹺﻟﹶﻬﹺﻲ ﺃﹶﻧﺎﹶ‬ ‫ﻔﹾﻮﹺﻙ‬‫ ﻋ‬‫ﻦ‬‫ ﻋ‬‫ﻩ‬‫ﻮ‬‫ﺳﻬ‬ ‫ﺒﻪ‬‫ﺠ‬  ‫ﺣ‬ ‫ﻭ‬ ‫ﻚ‬‫ﻬ‬‫ﺟ‬‫ ﻭ‬‫ﻪ‬‫ﻣﻨ‬ ‫ﻓﹾﺖ‬‫ﺮ‬‫ ﺻ‬‫ﻦ‬‫ﻤ‬‫ﻠﹾﻨﹺﻲ ﻣ‬‫ﺠﹴْﻌ‬‫ﺗ‬ ِ‫ﻴﺎﹶﺀ‬‫ﺑﹺﻨﺎﹶ ﺑﹺﻀ‬‫ ﻗﹸُﻠﹸﻮ‬‫ﺼﺎﹶﺭ‬‫ ﺃﹶﺑ‬‫ﺃﹶﻧﹺﺮ‬‫ ﻭ‬‫ﻚ‬‫ﻄﺎﹶﻉﹺ ﺇﹺﻟﹶﻴ‬‫ﻘ‬‫ﻲ ﻛﹶﻤﺎﹶﻝﹶ ﺍﹾﻹِﻧ‬‫ ﻟ‬‫ﺐ‬‫ﺇﹺﻟﹶﻬﹺﻲ ﻫ‬ ‫ﻞﹶ ﺇﹺﻟﹶﻰ‬‫ﺼ‬‫ﺭﹺ ﻓﹶﺘ‬‫ﻮ‬‫ﺐ ﺍﻟﹾﻨ‬  ‫ﺠ‬‫ﺏ ﺣ‬ ‫ ﹺ‬‫ ﺍﻟﹾﻘﹸﻠﹸﻮ‬‫ﺼﹶﺎﺭ‬‫ ﺃﹶﺑ‬‫ﺮﹺﻕ‬‫ﺨ‬‫ﻰ ﺗ‬‫ﺘ‬‫ ﺣ‬‫ﻚ‬‫ﻈﹶﺮﹺﻫﺎﹶ ﺇﹺﻟﹶﻴ‬‫ﻧ‬ ‫ﻚ‬  ‫ﺳ‬ ‫ ﻗﹸﺪ‬‫ﺰ‬‫ﻌﻠﱠ ﹶﻘﺔﹲ ﺑﹺﻌ‬ ‫ﻨﺎﹶ ﻣ‬‫ﻭﺍﹶﺣ‬‫ ﺃﹶﺭ‬‫ﺮ‬‫ﻴ‬‫ﺼ‬‫ﺗ‬‫ ﻭ‬‫ﺔ‬‫ﻈﹶﻤ‬‫ ﺍﻟﹾﻌ‬‫ﻥ‬‫ﺪ‬‫ﻌ‬‫ﻣ‬ “Mola Wangu mimi ni mja Wako

“Mola Wangu mimi ni mja Wako dhaifu mtenda dhambi, mtumwa Wako niliyerejea, basi usinijaalie kuwa ni yule uliyemgeuzia uso Wako, na ikamzuia sahau yake kutaka msamaha Wako. Mola Wangu nipe ukamilfu wa kufikia Kwako, yanawirishe maono ya nyoyo zetu kwa mwanga unaoangazia

dhaifu mtenda dhambi, mtumwa Wako niliyerejea, basi usinijaalie kuwa ni yule 27 uliyemgeuzia uso Wako, na ikamzuia sahau yake

Dua za Miezi Mitatu 31Dec(h).indd 27

1/1/2013 6:17:55 PM


yafikie asili ya utukufu, na roho zetu DUA ZA MIEZI MITATU ziwe zaning’inia kwa MITUKUFU ezi ya utakatifu

Wako.

Kwako, hadi kupenya mapazia ya nuru yafikie asili ya utukufu, na roho zetu ziwe zaning’inia kwa ezi ya utakatifu Wako.

‫ﻚ‬‫ﻼﹶﻟ‬‫ﺠ‬‫ ﻟ‬‫ﻖ‬‫ﻌ‬‫ ﻓﹶﺼ‬‫ﺘﻪ‬‫ﺣﻈﹾ‬ ‫ﻭ ﹶﻻ‬ ‫ﻚ‬‫ ﻓﹶﺄﹶﺟﺎﹶﺑ‬‫ﻪ‬‫ﺘ‬‫ﺩﻳ‬ ‫ ﻧﹶﺎ‬‫ﻦ‬‫ﻤ‬‫ﻠﹾﻨﹺﻲ ﻣ‬‫ﻌ‬‫ﺟ‬‫ﺇﹺﻟﹶﻬﹺﻲ ﻭ‬ ‫ﻲ‬‫ ﹺﻦ ﻇﹶﻨ‬‫ﺴ‬‫ﻠﹶﻰ ﺣ‬‫ﻠﱢﻂﹾ ﻋ‬‫ ﺃﹸﺳ‬‫ﺮﺍﹰ ﺇﹺﻟﹶﻬﹺﻲ ﻟﹶﻢ‬‫ﻬ‬‫ ﺟ‬‫ﻞﹶ ﻟﹶﻚ‬‫ﻤ‬‫ﻋ‬‫ﺍ ﻭ‬‫ﺮ‬‫ ﺳ‬‫ﺘﻪ‬‫ﺟﻴ‬ ‫ﻓﹶﻨﹶﺎ‬ ‫ﻚ‬‫ﻣ‬‫ﻞﹺ ﻛﹶﺮ‬‫ﻴ‬‫ﻤ‬‫ ﺟ‬‫ﻦ‬‫ﻲ ﻣ‬‫ﺟﺂﺋ‬‫ ﺭ‬‫ﻘﹶﻄﹶﻊ‬‫ﻻﹶ ﺍﻧ‬‫ ﻭ‬‫ﻮﻁﹶ ﺍﹾﻷَﻳﹶﺎﺱ‬‫ﻗﹸﻨ‬

kukata tamaa, sikuacha kutarajia “Mola wangu nijaalie kuwana ni Uliyemwita akakuitika, na Ukam“Mola wangu nijaalie kuwa ni tupia jicho akashangazwa kwa utukufu Wako, ukamnong’oneza wa ukarimu Wako. kwa wema siri akakutekelezea kwa jahara. Mola Wangu sikuusaliti Uliyemwita akakuitika, na wema wa dhana yangu kwa kuvunjika moyo na kukata tamaa, na sikuacha kutarajia wema wa ukarimu Wako. Ukamtupia jicho akashangazwa kwa ‫ﻲ‬‫ﻨ‬‫ﻋ‬utukufu ‫ﻔﹶﺢ‬‫ ﻓﺎﹶﺻ‬‫ﻚ‬Wako, ‫ﻳ‬‫ﻨﹺﻲ ﻟﹶﺪ‬‫ﻘﹶﻄﹾﺘ‬ukamnong’oneza ‫ ﺃﹶﺳ‬‫ﻄﺎﹶﻳﺎﹶ ﻗﹶﺪ‬‫ ﺍﻟﹾﺨ‬‫ﺖ‬‫ﺇﹺﻥﹾ ﻛﺎﹶﻧ‬kwa ‫ﺇﹺﻟﹶﻬﹺﻲ‬

‫ﺎﹶﺭﹺﻡﹺ‬siri ‫ﻜ‬‫ ﻣ‬‫ﻦ‬akakutekelezea ‫ ﻣ‬‫ﻮﺏ‬‫ﻨﹺﻲ ﺍﻟﺬﱡﻧ‬‫ﻄﹶَﱠﺘ‬‫ ﺇﹺﻥﹾ ﺣ‬kwa ‫ ﺇﹺﻟﹶﻬﹺﻲ‬‫ﻚ‬jahara. ‫ﻠﹶﻴ‬‫ﻛﱡﻞﹺ ﻋ‬‫ﻮ‬‫ﺗ‬Mola ‫ ﹺﻦ‬‫ﺴ‬‫ﹺﺑﺤ‬ ‫ﻨﹺﻲ‬‫ﺘ‬Wangu ‫ﺇﹺﻟﹶﻬﹺﻲ ﺇﹺﻥﹾ ﺃﹶﻧﺎﹶﻣ‬sikuusaliti ‫ﻚ‬‫ﻄﹾﻔ‬‫ﻡﹺ ﻋ‬‫ﺇﹺﻟﹶﻰ ﻛﹶﺮ‬wema ‫ﻦ‬‫ﻗﻴ‬‫ﺎ‬‫ ﺍﻟﹾﻴ‬‫ﻲ‬wa ‫ﻨﹺ‬‫ﻬ‬‫ِﺒ‬‫ ﻧ‬‫ﻘﹶﺪ‬dhana ‫ﻚ ﻓﹶ‬  ‫ﻔ‬ ‫ﻟﹸﻄﹾ‬

‫ﻚ‬‫ﺋ‬yangu ‫ﻡﹺ ﺃﹶﻵ‬‫ﺮﹺﻓﹶﺔﹶ ﺑﹺﻜﹶﺮ‬kwa ‫ﻌ‬‫ﻨﹺﻲ ﺍﻟﹾﻤ‬‫ﻬ‬‫ﺒ‬‫ﻧ‬kuvunjika ‫ ﻓﹶﻘﹶﺪ‬‫ﻚ‬‫ﻘﺂﺋ‬‫ﻠ‬‫ ﻟ‬‫ﺪﺍﹶﺩ‬‫ﻌ‬moyo ‫ﺘ‬‫ ﺍﹾﻹِﺳ‬‫ﻦ‬‫ﻠﹶ ﹸﺔ ﻋ‬na ‫ﻔﹾ‬‫ﺍﻟﹾﻐ‬ ‫ﺔ‬‫ﻨ‬‫ﻋﺎﹶﻧﹺﻲ ﺇﹺﻟﹶﻰ ﺍﻟﹾﺠ‬‫ ﺩ‬‫ ﻓﹶﻘﹶﺪ‬‫ﻘﺎﹶﺑﹺﻚ‬‫ ﻋ‬‫ﻢ‬‫ﻈﻴ‬ ‫ﻋ‬ ‫ﺎﺭﹺ‬‫ﻋﺎﹶﻧﹺﻲ ﺇﹺﱃﹶ ﺍﻟﻨ‬‫ﺇﹺﻟﹶﻬﹺﻲ ﺇﹺﻥﹾ ﺩ‬ 62

‫ﻞﹸ ﺛﹶﻮﺍﹶﺑﹺﻚ‬‫ﺟ ﹺﺰﻳ‬

“Mola wangu iwapo makosa yangu yamenidhili mbele Zako, basi niwelee radhi kwa wema wa utegemevu wangu Kwako. Mola Wangu iwapo dhambi zangu zimenitenga mbali na upole

“Mola wangu iwapo makosa yangu yamenidhili niwelee

Dua za Miezi Mitatu 31Dec(h).indd 28

28

mbele

radhi

kwa

Zako, wema

basi wa

1/1/2013 6:17:55 PM


yamenizindua maarifa kwa utukufu wa

neema

Zako.

Mola

Wangu

adhabu Yako kali inivutiapo motoni, DUA ZA MIEZI MITATU MITUKUFU

wa huruma basi wa imenizindua yakini kwa upenu bora basi Yako, wingi malipo Yako mema Wako. Mola Wangu iwapo imenilaza sahau yangu kutazamia kukutana Nawe, basi yamenizindua yamenivutia Peponi. maarifa kwa utukufu wa neema Zako. Mola Wangu adhabu Yako kali inivutiapo motoni, basi wingi wa malipo Yako mema yamenivutia Peponi.

‫ﺪ‬ ‫ﺤﻤ‬  ‫ﻠﹶﻰ ﻣ‬‫ﻲ ﻋ‬ ‫ﺼﻠﱢ‬  ‫ ﺃﹶﻥﹾ ﺗ‬‫ ﹶﻏﺐ‬‫ﻭﹶﺃﺭ‬ ‫ﺘ ﹺﻬﻞﹸ‬‫ ﹶﺃﺑ‬‫ﻚ‬‫ﺇﹺﻟﹶﻴ‬‫ﹶﺄﻝﹸ ﻭ‬‫ ﹶﺃﺳ‬‫ﺎﻙ‬‫ﺇﹺﻟﹶﻬﹺﻲ ﻓﹶﺈﹺﻳ‬ ‫ﻙ‬‫ﻬﹴْﺪ‬‫ ﻋ‬‫ﻘﹸﺺ‬‫ﻳﻨ‬ ‫ﻻﹶ‬‫ ﻭ‬‫ﻛﹾﺮﹺﻙ‬‫ ﺫ‬‫ﻢ‬‫ﺪﻳ‬ ‫ ﻳ‬‫ﻦ‬‫ﻤ‬‫ﻠﹶﻨﹺﻲ ﻣ‬‫ﻌ‬‫ﺠ‬‫ﺃﹶﻥﹾ ﺗ‬‫ﺪ ﻭ‬ ‫ﺤﻤ‬  ‫ﺁﻝﹺ ﻣ‬‫ﻭ‬ ‫ ﹺﺭ‬‫ﻮ‬‫ﻘﹾﻨﹺﻲ ﹺﺑﻨ‬‫ﺍﻟﹾﺤ‬‫ ﺇﹺﻟﹶﻬﹺﻲ ﻭ‬‫ﺮﹺﻙ‬‫ ﺑﹺﺄﹶﻣ‬‫ﻒ‬‫ﺨ‬‫ﺘ‬‫ﺴ‬‫ﻻﹶ ﻳ‬‫ﻙ ﻭ‬ ‫ﻜﹾ ﹺﺮ‬‫ ﺷ‬‫ﻦ‬‫ﻔﹸﻞﹸ ﻋ‬‫ﻳﻐ‬ ‫ﻻﹶ‬‫ﻭ‬ 64

‫ﹰﺎ‬ ‫ﻔ‬‫ ﺧﺎﹶﺋ‬‫ﻚ‬‫ﻨ‬‫ﻣ‬‫ﺮﹺﻓﺎﹰ ﻭ‬‫ﺤ‬‫ﻨ‬‫ ﻣ‬‫ﻮﺍﹶﻙ‬‫ ﺳ‬‫ﻦ‬‫ﻋ‬‫ ﻋﺎﹶﺭﹺﻓﺎﹰ ﻭ‬‫ ﹶﻥ ﻟﹶﻚ‬‫ﺞﹺ ﹶﻓﹶﺄﻛﹸﻮ‬‫ﻬ‬‫ ﺍﹾﻷَﺑ‬‫ﻙ‬‫ﺰ‬‫ﻋ‬ ‫ﺍﻹِﻛﹾﺮﺍﹶﻡﹺ‬‫ﻼﹶﻝﹺ ﻭ‬‫ﺒﹰﺎ ﻳﺎﹶ ﺫﺍﹶ ﺍﻟﹾﺠ‬‫ﺮﺍﹶﻗ‬‫ﻣ‬ “Mola Wangu nakuomba Wewe tu na kwa unyenyekevu nakutaka na napendekeza Umrehemu Muhammad na Aalize Muhammad, unijaalie niwe miongni mwa wenye kudumisha kujihofia kujichunga Ewe ukumbusho Wako, na na hawatangui ahadi Kwako zao Kwako na hawasahau kukushukuru wala hawadharau amri Yako. Mola Wangu niambatisha nuruna ya utukufu. enzi Yako inayong’ara nikujue Mwenyekwa ukuu Wewe nimkanushe asiyekuwa Wewe. Niwe ni mwenye kujihofia na kujichunga Kwako Ewe Mwenye ukuu na utukufu.

“Mola Wangu nakuomba Wewe tu na kwa

unyenyekevu

nakutaka

na

napendekeza Umrehemu Muhammad ‫ﻤﺎﹰ‬‫ﻴ‬‫ﻠ‬na ‫ﺴ‬‫ﻢ ﺗ‬Aalize ‫ﺳﻠﱠ‬ ‫ﻭ‬ ‫ﻦ‬‫ﺮﹺﻳ‬‫ﱠﺎﻫ‬Muhammad, ‫ ﺍﻟﹾﻄ‬‫ﻪ‬‫ٍﺁﻟ‬‫ ﻭ‬‫ﻪ‬‫ﻟ‬‫ﻮ‬‫ﺳ‬‫ﺪ ﺭ‬ ‫ﺤﻤ‬ unijaalie ‫ﻠﹶﻰ ﻣ‬‫ﱠﻰ ﺍﷲ ُﻋ‬niwe ‫ﻠ‬‫ﺻ‬‫ﻭ‬ .‫ﺮﺍﹰ‬‫ﻴ‬‫ﻛﹶﺜ‬ miongni mwa wenye kudumisha

ukumbusho Wako, na hawatangui

“Mwenyezi Mungu amteremshie Mtume Wake Muhammad na aali zake watakatifu rehema nyingi na amani kamili.” 29 ahadi zao Kwako naamteremshie hawasahau “Mwenyezi Mungu kukushukuru hawadharau amri Mtume Wakewala Muhammad na aali

Dua za Miezi Mitatu 31Dec(h).indd 29

1/1/2013 6:17:56 PM


DUA ZA MIEZI MITATU MITUKUFU

‫ﺣﻴﻢ‬‫ﲪﻦ ﺍﻟﺮ‬‫ﺑﺴﻢ ﺍﷲ ﺍﻟﺮ‬

Swala ya Mtume (s.a.w.w.) ‫ﻊﹺ‬‫ﻮﺿ‬ ‫ﻣ‬‫ ﻭ‬‫ﺓ‬‫ﺒﻮ‬‫ﭐﻟﻨ‬mwezi ‫ﺓ‬‫ﺮ‬‫ﺠ‬‫ﺪ ﺷ‬ ‫ﺤﻤ‬  wa ‫ﺁﻝﹺ ﻣ‬‫ﻭ‬Shaabani ‫ﺪ‬ ‫ﺤﻤ‬  ‫ﻠ ٰﻰ ﻣ‬‫ﻞﱢ ﻋ‬‫ ﺻ‬‫ﻬﻢ‬ ‫ﺃﹶﻟﻠﱠ‬ katika

‫ﻲﹺ‬‫ﺣ‬‫ ﭐﻟﹾﻮ‬‫ﺖ‬‫ﻴ‬‫ﻞﹺ ﺑ‬‫ﺃﹶﻫ‬‫ﻠﹾﻢﹺ ﻭ‬‫ ﭐﻟﹾﻌ‬‫ﻥ‬‫ﺪ‬‫ﻌ‬‫ﻣ‬‫ ﻭ‬‫ﻜﹶﺔ‬‫ﻒ ﭐﳌﹶﻶﺋ‬  ‫ﻠ‬‫ﺘ‬‫ﺨ‬  ‫ﻭﻣ‬ ‫ﺳﺎﹶﻟﹶﺔ‬‫ﭐﻟﺮ‬

H

ii ni swala ya kumtakia Bwana Mtume rehema katika mwezi wa Shaabani. Imepokewa kwamba Imam Zaynul Abidiin alikuwa akiisoma katika kipindi cha zawaal ( jua kichwani) kila siku na pia akiisoma usiku wa Nisfus-Shabaan.

“Ewe Mwenyezi Mungu mrehemu ‫ﺣﻴﻢ‬‫ﺮ‬na ‫ﲪﻦ ﺍﻟ‬Aalize ‫ ﺑﺴﻢ ﺍﷲ ﺍﻟﺮ‬Muhammad Muhammad

ukoo ‫ ﹺﻊ‬‫ﺿ‬ ‫ﻮ‬‫ﻣ‬‫ ﻭ‬‫ﺓ‬‫ﻮ‬wa ‫ﺒ‬‫ ﭐﻟﻨ‬‫ﺓ‬‫ﺮ‬Utume, ‫ﺠ‬‫ﺪ ﺷ‬ ‫ﺤﻤ‬  ‫ ﻣ‬makao ‫ﺁﻝﹺ‬‫ﺪ ﻭ‬ ‫ﺤﻤ‬  ‫ﻣ‬ya‫ﻠ ٰﻰ‬‫ﻋ‬Ujumbe, ‫ﻞﱢ‬‫ ﺻ‬‫ﻬﻢ‬ ‫ﺃﹶﻟﻠﱠ‬ makutano ‫ﻲﹺ‬‫ﺣ‬‫ ﭐﻟﹾﻮ‬‫ﺖ‬‫ﻴ‬‫ﻞﹺ ﺑ‬‫ﺃﹶﻫ‬ya ‫ﻠﹾﻢﹺ ﻭ‬‫ﻌ‬Malaika, ‫ ﭐﻟﹾ‬‫ﻥ‬‫ﺪ‬‫ﻌ‬‫ﻣ‬‫ ﻭ‬‫ﻜﹶﺔ‬‫ﹶﻶﺋ‬na ‫ﻒ ﭐﳌ‬  chimbuko ‫ﻠ‬‫ﺘ‬‫ﺨ‬  ‫ﻭﻣ‬ ‫ﺳﺎﹶﻟﹶﺔ‬‫ﭐﻟﺮ‬ la ilimu, na watu wa nyumba ya

“Ewe Mwenyezi Mungu mrehemu Muhammad na Aalize Muhammad ukoo wa Utume, makao ya Ujumbe, makutano ya Malaika, na chimbuko la ilimu, na watu wa nyumba ya “Ewe Mwenyezi Mungu mrehemu Wahyi.

Wahyi.

Muhammad na Aalize Muhammad ‫ﺞﹺ‬‫ﻲ ﭐﻟﻠﱡﺠ‬‫ ﻓ‬‫ﺔ‬‫ﺎﺭﹺﻳ‬‫ ﭐﻟﹾﺠ‬‫ﺪ ﭐﻟﹾﻔﹸﻠﹾﻚ‬ ‫ﺤﻤ‬  ‫ﺁﻝﹺ ﻣ‬‫ﺪ ﻭ‬ ‫ﺤﻤ‬  ‫ﻠ ٰﻰ ﻣ‬‫ﻞﱢ ﻋ‬‫ﻢ ﺻ‬‫ﺃﹶﻟﻠﱠﻬ‬ ukoo wa Utume, makao ya Ujumbe, ‫ﺎﺭﹺﻕ‬‫ﻢ ﻣ‬‫ ﻟﹶﻬ‬‫ﻡ‬‫ﺘ ﹶﻘﺪ‬‫ ﭐﻟﹾﻤ‬,‫ﺎ‬‫ﻛﹶﻬ‬‫ﺮ‬‫ ﺗ‬‫ﻦ‬‫ ﻣ‬‫ﺮﻕ‬ ‫ﻳﻐ‬‫ﻭ‬ ‫ﺎ‬‫ﻬ‬‫ﻛﹶﺒ‬‫ ﺭ‬‫ﻦ‬‫ ﻣ‬‫ﻣﻦ‬ ‫ﻳﺄﹾ‬ ‫ﺓ‬‫ﺮ‬‫ﺎﻣ‬‫ﭐﻟﻐ‬ makutano ya Malaika, na chimbuko ‫ﻖ‬‫ ﻻﹶﺣ‬‫ﻢ‬‫ ﻟﹶﻬ‬‫ﭐﻟﹾﻼﱠ ﹺﺯﻡ‬‫ ﻭ‬‫ﻖ‬‫ﺍﻫ‬‫ ﺯ‬‫ﻢ‬‫ﻬ‬‫ﻨ‬‫ ﻋ‬‫ﺮ‬‫ﺘﹶﺄﺧ‬‫ﭐﻟﹾﻤ‬‫ﻭ‬ la ilimu, na watu wa nyumba ya “Ewe Mwenyezi Mungu mrehemu Muhammad na Aal68 Wahyi. ize Muhammad, safina inayoelea juu ya mawimbi ya ba 30

‫ﺞﹺ‬‫ﻲ ﭐﻟﻠﱡﺠ‬‫ ﻓ‬‫ﺔ‬‫ﺎﺭﹺﻳ‬‫ ﭐﻟﹾﺠ‬‫ﺪ ﭐﻟﹾﻔﹸﻠﹾﻚ‬ ‫ﺤﻤ‬  ‫ﺁﻝﹺ ﻣ‬‫ﺪ ﻭ‬ ‫ﺤﻤ‬  ‫ﻠ ٰﻰ ﻣ‬‫ﻞﱢ ﻋ‬‫ﻢ ﺻ‬‫ﺃﹶﻟﻠﱠﻬ‬ Dua za Miezi Mitatu 31Dec(h).indd 30

1/1/2013 6:17:56 PM


wakughariki ni anayeiyepuka, na mwenye

kuwatangulia

mbele

MIEZI MITATU MITUKUFU atapotea DUA naZA mwenye kusalia nyuma

yao atangamia, na mwenye kuwa na

hari iliyotanda na kina kirefu, wakuokoka ni aliyeipanda na wakughariki ni anayeiyepuka, na mwenye kuwatangulia wao ameunga. mbele atapotea na mwenye kusalia nyuma yao atangamia, na mwenye kuwa na wao ameunga.

“Ewe Mwenyezi Mungu mrehemu

Muhammad na aalize Muhammad, ‫ﺙ‬ngome ‫ﻴﺎﹶ‬‫ﻏ‬‫ ﻭ‬,‫ﲔﹺ‬‫ﺼ‬‫ﺤ‬iliyo ‫ ﭐﻟﹾ‬‫ﻒ‬‫ﻜﹶﻬ‬madhubuti, ‫ﺪ ﭐﻟﹾ‬ ‫ﺤﻤ‬  ‫ﺁﻝﹺ ﻣ‬‫ﺪ ﻭ‬ ‫ﻤ‬muokozi ‫ﺤ‬  ‫ﻠ ٰﻰ ﻣ‬‫ﻞﱢ ﻋ‬‫ ﺻ‬‫ﻢ‬wa ‫ﻬ‬ ‫ﺃﹶﻟﱠﻠ‬

‫ﲔ‬  ‫ﻤ‬ ‫ﺼ‬  ‫ﺘ‬‫ﻌ‬‫ﻟﹾﻤ‬mashakani ‫ ﭐ‬‫ﺔ‬‫ﻤ‬‫ﺼ‬‫ﻋ‬‫ ﻭ‬‫ﺎﺭﹺﺑﹺﲔ‬‫ﺈﹺ ﭐﻟﹾﻬ‬‫ﺠ‬wanaobeheneka. ‫ﻠﹶ‬‫ﻣ‬‫ ﻭ‬,‫ﲔ‬ ‫ﻜ ﹺ‬ ‫ﺘ‬‫ﺴ‬‫ ﭐﻟﹾﻤ‬‫ﻄﹶﺮ‬‫ﻀ‬‫ﭐﻟﹾﻤ‬ walio

Hamio la kuwasitiri wakimbizi na pa

“Ewe Mwenyezi Mungu mrehemu Muhammad na aalize Muhammad, ngome iliyo69 madhubuti, muokozi wa walio mashakani wanaobeheneka. Hamio la kuwasitiri wakimbizi na pa usalama kwa wenye kujihifadhi.

usalama kwa wenye kujihifadhi.

‫ﻢ‬‫ﻜﹸﻮﻥﹸ ﻟﹶﻬ‬‫ ﺗ‬‫ﺓ‬‫ﲑ‬‫ﻼﹶﺓﹰ ﻛﹶﺜ‬‫ﺪ ﺻ‬ ‫ﺤﻤ‬  ‫ﺁﻝﹺ ﻣ‬‫ﺪ ﻭ‬ ‫ﺤﻤ‬  ‫ﻠ ٰﻰ ﻣ‬‫ﻞﱢ ﻋ‬‫ ﺻ‬‫ﻬﻢ‬ ‫ﺃﹶﻟﱠﻠ‬ ‫ﺓ‬ ‫ﻭﻗﹸﻮ‬ ‫ﻨﻚ‬‫ﻮﻝ ﻣ‬‫ﺎﺀً ﺑﹺﺤ‬‫ﻗﹶﻀ‬‫ﺍﺀً ﻭ‬‫ﺪ ﺃﹶﺩ‬ ‫ﺤﻤ‬  ‫ﺁﻝ ﻣ‬‫ﺪ ﻭ‬ ‫ﺤﻤ‬  ‫ ﻣ‬‫ﻖ‬‫ﺤ‬‫ﻟ‬‫ﺎ ﻭ‬‫ﺭﹺﺿ‬ ‫ﲔ‬‫ ﭐﻟﹾﻌﺎﹶﻟﹶﻤ‬‫ﺏ‬‫ﺎﺭ‬‫ﻳ‬ “Ewe Mwenyezi Mungu mrehemu Muhammad na Aalize Muhammad, rehema nyingi mno zenye kuwaridhisha, na ni haki ya Muhammad na Aalize Muhammad kulipwa na kutimiziwa, kwa namna na uweza Wako, Ewe Bwana Mlezi wa viumbe vyote pia.

“Ewe Mwenyezi Mungu mrehemu

Muhammad na Aalize Muhammad, 70

31

Dua za Miezi Mitatu 31Dec(h).indd 31

1/1/2013 6:17:56 PM


na uweza Wako, Ewe Bwana Mlezi wa viumbe vyote pia.

DUA ZA MIEZI MITATU MITUKUFU

‫ﺎﺭﹺ‬‫ﻴ‬‫ﺍﺭﹺ ﭐﻻﹶﺧ‬‫ﺮ‬‫ﲔ ﭐﻻﹶﺑ‬  ‫ﹺﺒ‬‫ﺪ ﭐﻟﻄﱠﻴ‬ ‫ﺤﻤ‬  ‫ﺁﻝﹺ ﻣ‬‫ﺪ ﻭ‬ ‫ﺤﻤ‬  ‫ﻠ ٰﻰ ﻣ‬‫ﻞﱢ ﻋ‬‫ ﺻ‬‫ﻬﻢ‬ ‫ﺃﹶﻟﱠﻠ‬ ‫ﻢ‬ ‫ﺘﻬ‬‫ﻳ‬‫ﻭ ﹺﻭ ﹶﻻ‬ ‫ﻢ‬‫ﺘﻬ‬‫ﻋ‬ ‫ ﻃﹶﺎ‬‫ﺖ‬‫ﺿ‬‫ﻓﹶﺮ‬‫ ﻭ‬‫ﻢ‬‫ﻘﹸﻮﻗﹶﻬ‬‫ ﺣ‬‫ﺖ‬‫ﺒ‬‫ﺟ‬‫ ﺃﹶﻭ‬‫ﻳﻦ‬‫ﭐﻟﱠﺬ‬ ukafaradhisha kutwiiwa wao na

“Ewe Mwenyezi Mungu mrehemu Muhammad na Aalize Muhammad, wema watendawao. mema walio bora. Ambao umekufuata uongozi wajibisha haki zao, na ukafaradhisha kutwiiwa wao na ku“Ewe Mwenyezi Mungu mrehemu fuata uongozi wao.

Muhammad na Aalize Muhammad, ‫ﻚ‬‫ﺘ‬‫ ﻗﹶﻠﹾﺒﹺﻲ ﺑﹺﻄﺎﹶﻋ‬‫ﺮ‬‫ﻤ‬‫ﭐﻋ‬‫ﺪ ﻭ‬ ‫ﺤﻤ‬  ‫ﺁﻝﹺ ﻣ‬‫ﺪ ﻭ‬ ‫ﺤﻤ‬  ‫ﻠ ٰﻰ ﻣ‬‫ﻞﱢ ﻋ‬‫ ﺻ‬‫ﻬﻢ‬ ‫ﺃﹶﻟﱠﻠ‬ wema watenda mema walio bora. ‫ﻦ‬‫ ﻣ‬‫ﻠﹶﻴﻪ‬‫ ﻋ‬‫ﺕ‬‫ﺮ‬‫ ﻗﹶﺘ‬‫ﻦ‬‫ﻮﺍﹶﺳﹶﺎ ﹶﺓ ﻣ‬‫ﻗﹾﻨﹺﻲ ﻣ‬‫ﺯ‬‫ﭐﺭ‬‫ ﻭ‬‫ﻚ‬‫ﺘ‬‫ﻴ‬‫ﺼ‬‫ﻌ‬‫ﺰﹺﻧﹺﻲ ﺑﹺﻤ‬‫ﺨ‬‫ﻻﹶﺗ‬‫ﻭ‬ Ambao umewajibisha haki zao, na ‫ﻚ‬‫ﻟ‬‫ﺪ‬‫ ﻋ‬‫ﻦ‬‫ ﻣ‬‫ﻠﹶﻲ‬‫ ﻋ‬‫ﺕ‬‫ﺮ‬‫ﺸ‬‫ﻧ‬‫ ﻭ‬‫ﻚ‬‫ﻠ‬‫ ﻓﹶﻀ‬‫ﻦ‬‫ ﻣ‬‫ﻠﹶﻲ‬‫ ﻋ‬‫ﺖ‬‫ﻌ‬‫ﺳ‬‫ﺎ ﻭ‬‫ ﺑﹺﻤ‬‫ﻚ‬‫ﻗ‬‫ﺭﹺﺯ‬ fadhila

Zako

na

71

‫ﻠﱢﻚ‬‫ ﻇ‬‫ﺖ‬‫ﺤ‬‫ﻨﹺﻲ ﺗ‬‫ﺘ‬‫ﻴ‬‫ﻴ‬‫ﺃﹶﺣ‬‫ﻭ‬ ukanifungulia

“Ewe Mwenyezi Munguukanipa mrehemu Muhammad Aalize uadilifu Wako maisha na chini Muhammad, uimarishe moyo wangu uwe mtwiifu Kwako, walaya usinihizi Kwako kwa kukuasi. Uniruzuku wasaa wa riziki kivuli Chako. “Ewe Mwenyezi Mungu iliyonifinyikia, kama ulivyonipanulia fadhila mrehemu Zako na ukanifungulia uadilifu Wako ukanipa maisha chini ya kivuli Chako.

Muhammad na Aalize Muhammad, ‫ﻚ‬uimarishe ‫ﻨ‬‫ ﻣ‬‫ﺘﻪ‬‫ﺣ ﹶﻔﻔﹾ‬ ‫ﻱ‬‫ﭐﻟﱠﺬ‬moyo ‫ﺎﻥ‬‫ﺒ‬‫ﻌ‬‫ﻚ ﺷ‬ wangu ‫ﻠ‬‫ﺳ‬‫ ﺭ‬‫ﺪ‬‫ﺳﻴ‬ uwe ‫ﻚ‬‫ﺒﹺﻴ‬‫ ﻧ‬mtwiifu ‫ﺮ‬‫ﺷﻬ‬ ‫ﻫٰﺬﺍﹶ‬‫ﻭ‬ ‫ﻪ‬‫ﺁﻟ‬‫ﻭ‬Kwako, ‫ﻠﹶﻴﻪ‬‫ ﻋ‬‫ﻠﱠﻰ ﭐﻟﻠﱠﻪ‬‫ﺻ‬wala ‫ﻪ‬ ‫ﻮﻝﹸ ﭐﻟﻠﱠ‬usinihizi ‫ﺳ‬‫ﻱ ﻛﺎﹶﻥﹶ ﺭ‬‫ ﭐﻟﱠﺬ‬Kwako ‫ﻮﺍﹶﻥ‬‫ﺿ‬‫ﭐﻟﺮ‬‫ ﻭ‬‫ﺔ‬‫ﻤ‬kwa ‫ﺣ‬‫ﺑﹺﭑﻟﺮ‬ ‫ﻲ‬‫ﻓ‬kukuasi. ‫ﺎ ﻟﹶﻚ‬‫ﻮﻋ‬‫ﺠ‬‫ﻪ ﻧ‬ ‫ﻣ‬Uniruzuku ‫ﺃﹶﻳﺎﱠ‬‫ ﻭ‬‫ﻴﻪ‬‫ﺎﻟ‬‫ﻲ ﻟﹶﻴ‬‫ ﻓ‬‫ﻪ‬‫ﺎﻣ‬‫ﻴ‬‫ﻗ‬wasaa ‫ ﻭ‬‫ﻪ‬‫ﺎﻣ‬‫ﻴ‬‫ﻲ ﺻ‬wa ‫ ﻓ‬‫ﹶﺃﺏ‬‫ﺪ‬riziki ‫ﻳ‬ ‫ﻢ‬ ‫ﺳﻠﱠ‬ ‫ﻭ‬ ‫ﻪ‬32‫ﺎﻣ‬‫ﻤ‬‫ﻞﱢ ﺣ‬ulivyonipanulia ‫ﺤ‬‫ﱃ ﻣ‬ ٰ ‫ ﺇﹺ‬‫ﻪ‬‫ﻈﹶﺎﻣ‬‫ﺇﹺﻋ‬‫ ﻭ‬‫ﻪ‬‫ﺍﻣ‬‫ﺇﹺﻛﹾﺮ‬ iliyonifinyikia, kama 72

Dua za Miezi Mitatu 31Dec(h).indd 32

1/1/2013 6:17:56 PM


‫ﻨﻚ‬‫ ﻣ‬‫ﺘﻪ‬‫ﺣ ﹶﻔﻔﹾ‬ ‫ﻱ‬‫ ﭐﻟﱠﺬ‬‫ﺎﻥ‬‫ﺒ‬‫ﻌ‬‫ﻚ ﺷ‬  ‫ﻠ‬‫ﺳ‬‫ ﺭ‬‫ﺪ‬‫ﻴ‬‫ ﺳ‬‫ﻚ‬‫ﺒﹺﻴ‬‫ ﻧ‬‫ﺮ‬‫ﺷﻬ‬ ‫ﻫٰﺬﺍﹶ‬‫ﻭ‬ yeye na Aalize, alijitahidi kuufunga ‫ﻪ‬‫ﺁﻟ‬‫ ﻭ‬‫ﻠﹶﻴﻪ‬‫ ﻋ‬‫ﻠﱠﻰ ﭐﻟﻠﱠﻪ‬‫ﻪ ﺻ‬ ‫ﻮﻝﹸ ﭐﻟﻠﱠ‬‫ﺳ‬‫ﻱ ﻛﺎﹶﻥﹶ ﺭ‬‫ ﭐﻟﱠﺬ‬‫ﻮﺍﹶﻥ‬‫ﺿ‬‫ﭐﻟﺮ‬‫ ﻭ‬‫ﺔ‬‫ﻤ‬‫ﺣ‬‫ﺑﹺﭑﻟﺮ‬ ZA MIEZI MITATU MITUKUFU kwa ajiliDUAYako na kusimama (kwa ‫ﻲ‬‫ ﻓ‬‫ﺎ ﻟﹶﻚ‬‫ﻮﻋ‬‫ﺠ‬‫ﻪ ﻧ‬ ‫ﻣ‬ ‫ﺃﹶﻳﺎﱠ‬‫ ﻭ‬‫ﻴﻪ‬‫ﺎﻟ‬‫ﻲ ﻟﹶﻴ‬‫ ﻓ‬‫ﻪ‬‫ﺎﻣ‬‫ﻴ‬‫ﻗ‬‫ ﻭ‬‫ﻪ‬‫ﺎﻣ‬‫ﻴ‬‫ﻲ ﺻ‬‫ ﻓ‬‫ﹶﺃﺏ‬‫ﻳﺪ‬ ‫ﻢ‬ ‫ﺳﻠﱠ‬ ‫ﻭ‬ ibada) katika nyusiku zake na ‫ﻪ‬‫ﺎﻣ‬‫ﻤ‬‫ﻞﱢ ﺣ‬‫ﺤ‬‫ﱃ ﻣ‬ ٰ ‫ ﺇﹺ‬‫ﻪ‬‫ﻈﹶﺎﻣ‬‫ﺇﹺﻋ‬‫ ﻭ‬‫ﻪ‬‫ﺍﻣ‬‫ﺇﹺﻛﹾﺮ‬ michana yake. Alipenda kuweka “Na huu ni mwezi wa Mtume Wako Bwana wa Mitume, athari nzuri akiutukuza na Shaabani ambao umeutandazia rehema na maridhawa kutoka Kwako. Ambapo Mtume wa Mwenyezi Mungu rehema kuuadhimisha kwa ajili Yako mpaka zimshukie yeye na Aalize, alijitahidi kuufunga kwa ajili Yako na kusimama (kwa ibada) katika nyusiku zake na michana kufikia mauti yake. Alipendakituo kuwekacha athari nzuri yake. akiutukuza na kuuadhimisha kwa ajili Yako mpaka kufikia kituo cha mauti yake.

“Na huu ni mwezi wa Mtume Wako Bwana wa Mitume, Shaabani ambao

umeutandazia rehema na maridhawa

‫ﻬﻢ‬kutoka ‫ ﺃﹶﻟﱠﻠ‬‫ﻪ‬‫ﻳ‬‫ ﻟﹶﺪ‬‫ﺔ‬‫ﻔﺎﹶﻋ‬Kwako. ‫ﻴﻞ ﭐﻟﹾﺸ‬‫ﻧ‬‫ ﻭ‬‫ﻴﻪ‬‫ ﻓ‬Ambapo ‫ﻪ‬ ‫ﺘ‬‫ﻨ‬‫ ﹺﺑﺴ‬‫ﺎﻥ‬‫ﻨ‬‫ﺘ‬‫ﭐﻹِﺳ‬Mtume ‫ﻠ ٰﻰ‬‫ﺎ ﻋ‬‫ﻨ‬‫ ﻓﹶﺄﹶﻋ‬‫ﻢ‬wa ‫ﻬ‬ ‫ﺃﹶﻟﱠﻠ‬ ‫ﺎ‬‫ﺒﹺﻌ‬‫ﺘ‬Mwenyezi ‫ ﻣ‬‫ﻠﹾﻨﹺﻲ ﹶﻟﻪ‬‫ﻌ‬‫ﭐﺟ‬‫ﺎ ﻭ‬‫ﻌ‬‫ﻴ‬‫ﻬ‬Mungu ‫ ﻣ‬‫ﻚ‬‫ﻘﹰﺎ ﺇﹺﻟﹶﻴ‬‫ﻃﹶﺮﹺﻳ‬rehema ‫ﺎ ﻭ‬‫ﻔﱠﻌ‬‫ﺸ‬‫ﺎ ﻣ‬‫ﻌ‬zimshukie ‫ﻴ‬‫ﻔ‬‫ﻲ ﺷ‬‫ ﻟ‬‫ﻠﹾﻪ‬‫ﻌ‬‫ﭐﺟ‬‫ﻭ‬

‫ﺎ ﻗﹶﺪ‬‫ﻴ‬‫ﻮﺑﹺﻲ ﻏﹶﺎﺿ‬‫ ﺫﹸﻧ‬‫ﻦ‬‫ﻋ‬‫ﺎ ﻭ‬‫ﻴ‬‫ﺭﺍﹶﺿ‬73 ‫ﻲ‬‫ﻨ‬‫ ﻋ‬‫ﺔ‬‫ﺎﻣ‬‫ﻴ‬‫ ﭐﻟﹾﻘ‬‫ﻡ‬‫ﻮ‬‫ ﻳ‬‫ ٰﻰ ﺃﹶﻟﹾﻘﹶﺎﻙ‬‫ﺘ‬‫ﺣ‬ ‫ﻞﱢ‬‫ﺤ‬‫ﻣ‬‫ﺍﺭﹺ ﻭ‬‫ ﭐﻟﹾﻘﹶﺮ‬‫ﻨﹺﻲ ﺩﺍﹶﺭ‬‫ﻟﹾﺘ‬‫ﺰ‬‫ﺃﹶﻧ‬‫ ﻭ‬‫ﻮﺍﹶﻥ‬‫ﺿ‬‫ﭐﻟﺮ‬‫ﺔﹶ ﻭ‬‫ﻤ‬‫ﺣ‬‫ ﭐﻟﺮ‬‫ﻚ‬‫ﻨ‬‫ﻲ ﻣ‬‫ ﻟ‬‫ﺖ‬‫ﺒ‬‫ﺟ‬‫ﺃﹶﻭ‬ ‫ﻴﺎﹶﺭﹺ‬‫ﭐﻷَﺧ‬

“Ewe Mwenyezi Mungu basi tusaidie humo tuitekeleze Sunnah yake, na kunali shafaa kutoka kwake. Ewe Mwenyezi Mungu nijaaliye shufaa nafuu na njia ya kukufikia iwe ni mapitio maarufu na mapana.74 Na nijaalie nishikamane naye mpaka nikutane Nawe Siku ya Kiyama uwe umeridhika nami na madhambi yangu umeyasitiri. Umeniwajibishia rehema na radhi, na ukanipokea katika nyumba ya makao ya watu bora.” 33

Dua za Miezi Mitatu 31Dec(h).indd 33

1/1/2013 6:17:57 PM


Dua za Mwezi wa Ramadhani Dua za Mwezi waya Ramadhani Dua zadua Mwezi wa Ramadhani Soma hizi baada kila Swala ya DUA ZA MIEZI MITATU MITUKUFU

Soma duakatika hizi baada kila Swala ya Faradhi Mweziyawa Ramadhani Somakatika dua hizi baada ya kila Faradhi Mwezi wa Ramadhani Swala ya Faradhi katika Mwezi wa ­Ramadhani

‫ﻴ ﹺﻢ‬‫ﺣ‬‫ ٰﻤﻦﹺ ﭐﻟﺮ‬‫ﺣ‬‫ﻢﹺ ﭐﷲ ﭐﻟﺮ‬‫ﺑﹺﺴ‬ ‫ﻴﻢﹺ‬‫ﺣ‬‫ ٰﻤﻦﹺ ﭐﻟﺮ‬‫ﺣ‬‫ﻢﹺ ﭐﷲ ﭐﻟﺮ‬‫ﺑﹺﺴ‬ ‫ﻱ‬‫ ﭐﻟﱠﺬ‬‫ﻴﻢ‬‫ﻈ‬‫ﺏ ﭐﻟﻌ‬  ‫ ﭐﻟﺮ‬‫ﺖ‬‫ ﺃﹶﻧ‬‫ﻴﻢ‬‫ﺣ‬‫ ﻳٰﺎ ﺭ‬‫ ﻳٰﺎ ﻏﹶﻔﹸﻮﺭ‬‫ﻴﻢ‬‫ﻈ‬‫ ﻳٰﺎ ﻋ‬‫ﻲ‬‫ﻠ‬‫ﻳٰﺎ ﻋ‬ ‫ﻱ‬‫ ﭐﻟﱠﺬ‬‫ﻴﻢ‬‫ﻈ‬‫ﻌ‬‫ﭐﻟﺮ‬‫ﺼﻴ‬  ‫ﺒ‬‫ﭐﻟ‬‫ﭐﻟﺮ‬‫ﻊ‬‫ﻴ‬‫ﺖ‬ ‫ﻈ‬‫ﻋ‬‫ ﻳٰﺎ ﻟﹶﻴ‬‫ﻲ‬‫ﻠ‬‫ﻳٰﺎ ﻋ‬ ‫ﺏ‬ ‫ﻤ‬ ‫ﺴ‬‫ﭐﻟﺃﹶﻧ‬‫ﻮﻢ‬‫ﻴ‬‫ﺣ‬‫ﻫ‬‫ﻭﺭ‬ ‫ﻳﺀٌٰﺎ‬‫ﻲ‬‫ﺭ‬‫ﻔﹸﻮﺷ‬‫ﻏﹶﻪ‬‫ﺜﹾﻠ‬‫ﻛﹶﻳٰﺎﻤ‬‫ﻴﻢ‬‫ﺲ‬ ‫ﻮﺭﹺ‬‫ﻬ‬‫ﻠﹶ ٰﻰ ﭐﻟﺸ‬‫ ﻋ‬‫ﺘﻪ‬‫ﻠﹾ‬‫ﻭﹶﻓﻀ‬ ‫ﺘﻪ‬‫ﻓﹾ‬‫ﺷﺮ‬ ‫ﻭ‬ ‫ﺘﻪ‬‫ﻣ‬‫ﻭ ﹶﻛﺮ‬ ‫ﺘﻪ‬‫ﻋﻈﱠﻤ‬ ‫ﺮ‬‫ﻬ‬‫ﺬٰﺍ ﺷ‬‫ﻫ‬‫ﻭ‬ ‫ﺮ‬‫ﺼﻴ‬  ‫ﺒ‬‫ﭐﻟ‬Ewe ‫ﻊ‬‫ﻤﻴ‬ ‫ﺴ‬Mkuu, ‫ﻮ ﭐﻟ‬ ‫ﻭﻫ‬ Ewe ٌ‫ﺀ‬‫ﻲ‬‫ﺷ‬Msamehevu, ‫ﻪ‬‫ﺜﹾﻠ‬‫ ﻛﹶﻤ‬‫ﺲ‬‫ ﻟﹶﻴ‬Ewe Mrehe“Ewe Mtukufu,

mevu. Ndiwe Bwana Mlezi Mkuu, Asiyefanana na chochote, Yeye ni Mwenye kusikia Mwenye kuona.

“Ewe Mtukufu, Ewe Mkuu, Ewe “Na huu ni mwezi umeuadhimisha na “Ewe Mtukufu, Ewe Mkuu, Ndiwe Ewe Msamehevu, Ewe Mrehemevu. ‫ﺭ‬ ‫ﹺ‬ ‫ﻮ‬ ‫ﻬ‬ ‫ﺸ‬  ‫ﭐﻟ‬ ‫ﻰ‬ ٰ ‫ﻠ‬ ‫ﹶ‬ ‫ﻋ‬   ‫ﻪ‬ ‫ﺘ‬  ‫ﻠ‬ ‫ﹾ‬ ‫ﻀ‬  ‫ﻓ‬ ‫ﹶ‬ ‫ﻭ‬   ‫ﻪ‬ ‫ﺘ‬  ‫ﻓ‬ ‫ﹾ‬ ‫ﺮ‬  ‫ﺷ‬  ‫ﻭ‬   ‫ﻪ‬ ‫ﺘ‬  ‫ﻣ‬  ‫ﺮ‬  ‫ﻛ‬ ‫ﹶ‬ ‫ﻭ‬   ‫ﻪ‬ ‫ﺘ‬  ‫ﻤ‬  ‫ﱠ‬ ‫ﻈ‬ ‫ﻋ‬  ‫ﺮ‬  ‫ﻬ‬  ‫ﺷ‬  ‫ٰﺍ‬ ‫ﺬ‬ umeutukuza, umeuthaminisha ‫ﻫ‬‫ ﻭ‬na Msamehevu, Mrehemevu. Ndiwe Bwana MleziEwe Mkuu, Asiyefanana na “Na huu ni mwezi kuliko umeuadhimisha umeutukuza, umeufadhilisha miezi na yote. Bwana Mlezi Mkuu, Asiyefanana umeuthaminisha na umeufadhilisha kuliko miezikusikia yote. na chochote, Yeye ni Mwenye “Na huu ni mwezi umeuadhimisha na chochote, Yeye ni Mwenye kusikia Mwenye kuona. ‫ﻥ‬ ‫ﹶ‬ ‫ٰﺎ‬ ‫ﻀ‬ ‫ﻣ‬  ‫ﺭ‬   ‫ﺮ‬ ‫ﻬ‬  ‫ﺷ‬  ‫ﻮ‬ ‫ﻭﻫ‬ ‫ﻠﹶﻲ‬‫ﻋ‬umeuthaminisha ‫ﻣﻪ‬ ‫ﻴٰﺎ‬‫ ﺻ‬‫ﺖ‬‫ﺿ‬‫ﻱ ﻓﹶﺮ‬‫ﺮ ﭐﻟﱠﺬ‬ ‫ﻬ‬‫ﻮ ﭐﻟﺸ‬ ‫ﻭﻫ‬na umeutukuza, Mwenye kuona. Nao ni mwezi ambao umenifaridhia kufunga, nao ni mwe76 umeufadhilisha kuliko miezi yote. zi wa Ramadhani

76 Nao ni mwezi ambao umenifaridhia ‫ﻀٰﺎﻥﹶ‬‫ﻣ‬‫ ﺭ‬‫ﺮ‬‫ﺷﻬ‬nao ‫ﻮ‬ ‫ﻭﻫ‬ ni ‫ﻠﹶﻲ‬‫ﻋ‬mwezi ‫ﻣﻪ‬ ‫ﻴٰﺎ‬34‫ ﺻ‬‫ﺖ‬‫ﺿ‬ ‫ﻱ ﻓﹶﺮ‬ ‫ﺮ ﭐﻟﱠﺬ‬ ‫ﻬ‬‫ﻮ ﭐﻟﺸ‬ ‫ﻭﻫ‬ kufunga, wa Ramadhani

Dua za Miezi Mitatu 31Dec(h).indd 34

1/1/2013 6:17:57 PM


Nao ni kuwaongoa mwezi ambao yenye watuumenifaridhia na yenye kufunga, nao ni wazi mwezi wa Ramadhanina kudhihirisha DUA ZA MIEZI MITATU uwongofu MITUKUFU “Ambamo umeiteremsha humo Qur’ani upambanuzi. ‫ﺪٰﻯ‬‫ ﭐﻟﹾﻬ‬‫ﻦ‬kuwaongoa ‫ﺕ ﻣ‬  ‫ﻨٰﺎ‬‫ﺑﻴ‬‫ﻭ‬ ‫ﺎﺱﹺ‬‫ﻠﻨ‬‫ﻯ ﻟ‬‫ﺪ‬‫ﻫ‬watu ‫ﺁﻥﹶ‬‫ ﭐﻟﹾﻘﹸﺮ‬‫ﻪ‬‫ﻴ‬‫ﻓ‬na ‫ﻟﹾﺖ‬‫ﺰ‬‫ﺃﹶﻧ‬yenye ‫ﻱ‬‫ﭐﻟﱠﺬ‬ yenye ‫ﺮﹴ‬‫ﻬ‬‫ ﺷ‬‫ ﺃﹶﻟﹾﻒ‬‫ﻦ‬‫ﺍ ﻣ‬‫ﺮ‬‫ﻴ‬‫ﺧ‬wazi ‫ﻬٰﺎ‬‫ﻥ‬‫ٰﺎﻠﹾﺘ‬‫ﻗﻌ‬‫ﺟ‬‫ﻔﹸﺮ‬‫ﭐﻟﹾﻭ‬‫ﺭﹺﻭ‬‫ﻘﹶﺪ‬uwongofu ‫ﹶﻠﺔﹸ ﭐﻟﹾ‬‫ ﹶﻟﻴ‬‫ﻪ‬‫ﻴ‬‫ ﻓ‬‫ﻠﹾﺖ‬‫ﻌ‬‫ﺟ‬‫ ﻭ‬na kudhihirisha “Ambamo umeiteremsha humo Qur’ani yenye kuwaongoa upambanuzi.

watu na yenye kudhihirisha wazi uwongofu na upambanuzi. 77

“Na umejaalia humo Usiku wa Cheo na ‫ﺮﹴ‬‫ﻬ‬‫ ﺷ‬‫ ﺃﹶﻟﹾﻒ‬‫ﻦ‬kuwa ‫ﺍ ﻣ‬‫ﺮ‬‫ﻴ‬‫ﻬٰﺎ ﺧ‬‫ﺘ‬ni ‫ﻠﹾ‬‫ﻌ‬‫ﺟ‬‫ﻭ‬bora ‫ﺭﹺ‬‫ﹶﻠﺔﹸ ﭐﻟﹾﻘﹶﺪ‬kuliko ‫ ﹶﻟﻴ‬‫ﻪ‬‫ﻴ‬‫ ﻓ‬‫ﻠﹾﺖ‬‫ﻌ‬‫ﺟ‬miezi ‫ﻭ‬ umejaalia

“Na umejaalia humo Usiku wa Cheo na umejaalia kuwa ni elfu. bora kuliko miezi elfu. “Na umejaalia humo Usiku wa Cheo na “Basi ‫ﺎﺭﹺ‬‫ ﭐﻟﻨ‬‫ﻦ‬‫ﻲ ﻣ‬‫ﺘ‬Ewe ‫ﻗﹶﺒ‬‫ﺭ‬kuwa ‫ﻜٰﺎﻙ‬‫ ﺑﹺﻔ‬‫ﻲ‬Mwenye ‫ﻠﹶ‬ni ‫ ﻋ‬‫ﻣﻦ‬bora ‫ﻚ‬‫ﻠﹶﻴ‬‫ ﻋ‬‫ﻦ‬kuliko ‫ﻳﻤ‬kuneemesha ‫ ٰﻻ‬‫ ﻭ‬‫ﻦ‬‫ﭐﻟﹾﻤ‬miezi ‫ﻓﹶﻴٰﺎ ﺫﹶﺍ‬ umejaalia usiyeneemeshwa, kwa ‫ﻪ‬‫ﻠﹶﻴ‬‫ ﻋ‬‫ﻤﻦ‬ ‫ﺗ‬nineemeshe ‫ﻦ‬‫ﻤ‬‫ﻴ‬‫ﻓ‬ elfu. kuniachilia huru mbali na Moto nikiwa

“Basi Ewe Mwenye kuneemesha usiyeneemeshwa, nineemeshe kwaunaowaneemesha. kuniachilia huru mbali na Moto nikiwa pamoja na ‫ﺭ‬ ‫ﹺ‬ ‫ﺎ‬ ‫ﻨ‬ ‫ﭐﻟ‬ ‫ﻦ‬  ‫ﻣ‬  ‫ﻲ‬ ‫ﺘ‬ ‫ﺒ‬  ‫ﻗ‬ ‫ﹶ‬ ‫ﺭ‬  ‫ﻙ‬  ‫ٰﺎ‬ ‫ﻜ‬‫ ﺑﹺﻔ‬‫ﻠﹶﻲ‬‫ ﻋ‬‫ﻣﻦ‬ ‫ﻚ‬‫ﻠﹶﻴ‬‫ ﻋ‬‫ﻦ‬‫ﻳﻤ‬ ‫ ٰﻻ‬‫ ﻭ‬‫ﻦ‬‫ﻓﹶﻴٰﺎ ﺫﹶﺍ ﭐﻟﹾﻤ‬ pamoja na unaowaneemesha.

‫ﻪ‬ ‫ﻠﹶﻴ‬‫ ﻋ‬‫ﻦ‬78 ‫ﻤ‬ ‫ ﺗ‬‫ﻦ‬‫ﻤ‬‫ﻴ‬‫ﻓ‬ .‫ﻦ‬‫ﻴ‬‫ﻤ‬‫ﺍﺣ‬‫ﻢﹺ ﭐﻟﺮ‬‫ﺣ‬‫ ٰﻳﺎ ﺃﹶﺭ‬‫ﻚ‬‫ﺘ‬‫ﻤ‬‫ﺣ‬‫ﺔﹶ ﺑﹺﺮ‬‫ﻨ‬‫ﻠﹾﻨﹺﻲ ﭐﻟﹾﺠ‬‫ﺧ‬‫ﺃﹶﺩ‬‫ﻭ‬

“Na uniingize Peponi kwa rehema Zako Ee Mwingi wa rehema Mwenye kurehemu.”

78 kwa rehema Zako “Na uniingize Peponi

Ee

Mwingi

kurehemu.” Dua za Miezi Mitatu 31Dec(h).indd 35

wa

35

rehema

Mwenye

1/1/2013 6:17:57 PM


‫ﻴﻢﹺ‬‫ﺣ‬‫ ٰﻤﻦﹺ ﭐﻟﺮ‬‫ﺣ‬‫ﻢﹺ ﭐﷲ ﭐﻟﺮ‬‫ﺑﹺﺴ‬ DUA ZA MIEZI MITATU MITUKUFU

‫ﻭﺭ‬‫ﺮ‬‫ﻮﺭﹺ ﭐﻟﺴ‬‫ﻞﹺ ﭐﻟﹾﻘﹸﺒ‬‫ﻠﹶ ٰﻰ ﺃﹶﻫ‬‫ﻞﹾ ﻋ‬‫ﺧ‬‫ ﺃﹶﺩ‬‫ﻬﻢ‬ ‫ﭐﻟﱠﻠ‬

‫ﻴ‬‫ﺣ‬‫ﻦﹺ ﭐﻟﺮ‬hii ‫ ٰﻤ‬‫ﺣ‬‫ﭐﻟﺮ‬kila ‫ﻢﹺ ﭐﷲ‬‫ﺴ‬baada ‫ﺑﹺ‬ Pia soma‫ﻢﹺ‬dua ya Swala za Faradhi katika mwezi wa Ramadhani. Ewe Mwenyezi ‫ﻭﺭ‬‫ﺮ‬‫ﻴﭐﻟﻢﹺﺴ‬‫ﻮﺭﹺﺣ‬‫ﺮ‬‫ﺣ ٰﻤﻞﹺﻦﹺﭐﻟﹾﻘﹸﭐﻟﺒ‬Mungu ‫ﺃﹶﻫ‬‫ﭐﷲﻠﹶ ٰﻰﭐﻟﺮ‬ ‫ﻢﹺﻞﹾ ﻋ‬‫ﺧ‬‫ﺴ‬‫ﺩ‬waingizie ‫ ﺃﹶﺑﹺ‬‫ﻬﻢ‬ ‫ﭐﻟﱠﻠ‬ furaha waliomo makuburini,

‫ﻭ‬‫ﺮ‬‫ﻮﺭﹺ ﭐﻟﺴ‬‫ﻞﹺ ﭐﻟﹾﻘﹸﺒ‬‫ﻫ‬Mungu ‫ﻠﹶ ٰﻰ ﺃﹶ‬‫ﻞﹾ ﻋ‬‫ﺧ‬‫ﺩ‬waingizie ‫ ﺃﹶ‬‫ﻬﻢ‬ ‫ﭐﻟﱠﻠ‬ Ewe ‫ﺭ‬Mwenyezi ‫ﺮﹴ‬‫ﻴ‬‫ ﺃﹶﻏﹾﻦﹺ ﻛﹸﻞﱠ ﻓﹶﻘ‬‫ﻬﻢ‬ ‫ﭐﻟﱠﻠ‬ Ewe Mwenyezi Mungu waingizie furaha waliomo makubufuraha waliomo makuburini,

rini,

Ewe Mwenyezi Mungu waingizie Ewe Mwenyezi kila ‫ﺮﹴ‬‫ﻴ‬‫ ﻓﹶﻘ‬Mungu ‫ﺃﹶﻏﹾﻦﹺ ﻛﹸﻞﱠ‬makuburini, ‫ﻬﻢ‬Mtajirishe ‫ﭐﻟﱠﻠ‬ furaha waliomo fakiri, Ewe Mwenyezi Mungu Mtajirishe kila fakiri,

‫ﺮﹴ‬‫ﻴ‬‫ﻞﱠ ﻓﹶﻘ‬Mungu ‫ ﺃﹶﻏﹾﻦﹺ ﻛﹸ‬‫ﻬﻢ‬ ‫ﱠﻠ‬Mtajirishe ‫ﭐﻟ‬ Ewe Mwenyezi kila Ewe Mwenyezi Mungu mshibishe kila ‫ﻊﹴ‬‫ ﻛﹸﻞﱠ ﺟٰﺎﺋ‬‫ﺒﹺﻊ‬‫ ﺃﹶﺷ‬‫ﻬﻢ‬ ‫ﭐﻟﱠﻠ‬ fakiri, mwenye njaa, Ewe Mwenyezi Mungu mshibishe kila mwenye njaa, Ewe Mwenyezi Mungu Mtajirishe kila ‫ﻊﹴ‬‫ ﺟٰﺎﺋ‬fakiri, ‫ ﻛﹸﻞﱠ‬‫ﺒﹺﻊ‬‫ ﺃﹶﺷ‬‫ﻬﻢ‬ ‫ﭐﻟﱠﻠ‬ ‫ﻳٰﺎﻥ‬‫ﺮ‬‫ﻛﹸﻞﱠ ﻋ‬80 ‫ ﭐﻛﹾﺲ‬‫ﻬﻢ‬ ‫ﭐﻟﱠﻠ‬

Ewe Mwenyezi Mungu mvishe kila aliyeuchi,

‫ ﹴﻊ‬‫ ﻛﹸﻞﱠ ﺟٰﺎﺋ‬‫ﺒﹺﻊ‬‫ ﺃﹶﺷ‬‫ﻬﻢ‬ ‫ﭐﻟﱠﻠ‬ Ewe Mwenyezi Mungu mvishe kila 80

Dua za Miezi Mitatu 31Dec(h).indd 36

36 aliyeuchi,

80

1/1/2013 6:17:58 PM


Ewe Mwenyezi kila ‫ﻦﹴ‬‫ﻳ‬‫ﺪ‬‫ ﹸﻛﻞﱢ ﻣ‬‫ﻦ‬Mungu ‫ﻳ‬‫ ﭐﻗﹾﺾﹺ ﺩ‬‫ﻬﻢ‬mvishe ‫ﭐﻟﱠﻠ‬ Ewe Mwenyezi Mungu Mfariji kila aliyeuchi, DUA ZA MIEZI MITATU MITUKUFU mwenye dhiki, EweMwenyezi MwenyeziMungu MunguMkidhie Mfariji deni kila Ewe ‫ﻦﹴ‬‫ﻳ‬‫ﺪ‬‫ ﹸﻛﻞﱢ ﻣ‬‫ﻦ‬‫ﻳ‬‫ ﭐﻗﹾﺾﹺ ﺩ‬‫ﻬﻢ‬ ‫ﭐﻟﱠﻠ‬ mwenye dhiki, kila ‫ﺐﹴ‬‫ﻏﹶﺮﹺﻳ‬mdaiwa, ‫ ﻛﹸﻞﱠ‬‫ﺭﺩ‬ ‫ﻬﻢ‬ ‫ﭐﻟﱠﻠ‬ Ewe Mwenyezi Mungu Mkidhie deni kila mdaiwa,

EweMwenyezi Mwenyezi Mungu‫ ﭐﻟ‬Mfariji deni kila Ewe ‫ﻭﺏﹴ‬‫ﺐﹴ‬ ‫ﻜﹾﺮ‬‫ﻳ‬‫ﻞﱢﻏﹶﺮﹺﻣ‬Mungu ‫ﻛﹸﻞﱠﹸﻛ‬‫ﻦ‬‫ﻋ‬‫ﺭﺩ‬‫ﺝ‬‫ﻢ‬‫ﻬﺮ‬‫ﱠﻠ ﻓﹶ‬Mkidhie ‫ﻬﻢ‬ ‫ﭐﻟﱠﻠ‬ Ewe Mwenyezi Mungu mrejeshe kila mwenye dhiki, kila mdaiwa, Ewe Mwenyezi Mungu Mfariji kila mwenye dhiki, aliye ugenini, 81 Ewe Mwenyezi Mungu mrejeshe kila ‫ﻭﺏﹴ‬‫ﻜﹾﺐﹴﺮ‬‫ﻳ‬‫ﻛﹸﻞﱠﹸﻛﻞﱢﻏﹶﺮﹺﻣ‬‫ﻦ‬‫ﻋ‬‫ﺭﺩ‬‫ﺝ‬‫ﻢ‬‫ﻬﺮ‬‫ﱠﻠ ﻓﹶ‬‫ﻬﭐﻟﻢ‬ ‫ﭐﻟﱠﻠ‬ aliye ugenini, ‫ﺮﹴ‬‫ﻴ‬‫ﻞﱠ ﺃﹶﺳ‬mrejeshe ‫ ﻛﹸ‬‫ ﹸﻓﻚ‬‫ﻬﻢ‬kila  ‫ ﭐﻟﱠﻠ‬aliye ugenini, Ewe Mwenyezi Mungu 81 Ewe Mwenyezi Mungu mfungue kila ‫ﺮﹴ‬‫ﻴ‬‫ ﻛﹸﻞﱠ ﺃﹶﺳ‬‫ ﹸﻓﻚ‬‫ﻬﻢ‬ ‫ﱠﻠ‬mrejeshe ‫ﭐﻟ‬ mfugwa aliye ugenini, Ewe Mwenyezi Mungu mfungue mfugwa Ewe Mwenyezi Mungukila mfungue kila Ewe Mwenyezi Mungu yatengeneze mfugwa ‫ﻤﻴ‬ ‫ﻠ‬‫ﺴ‬‫ﻮﺮﹴﺭﹺ ﭐﻟﹾﻤ‬ ‫ﹸﻓٰﺎﺳ‬katika ‫ﻞﱠ ﻓ‬‫ﻬﻛﹸﻢ‬ ‫ﭐﻟﱠﻠ‬‫ﺢ‬‫ﻠ‬‫ﺻ‬mambo ‫ ﺃﹶ‬‫ﻬﻢ‬ ‫ ﭐﻟﱠﻠ‬ya kila ‫ﻦ‬yaliyoharibika ‫ﻴ‬‫ ﹶﺃﹸﻣﺳ‬‫ﻞﱠﻦ‬‫ ﻛﹸﻣ‬‫ﺪ‬‫ﻚ‬ Ewe Mwenyezi Mungu yatengeneze kila yaliyoharibika Waislamu, Ewe Mwenyezi Mungu katika mambo ‫ﻦ‬ ‫ﻤﻴ‬ ‫ﻠ‬‫ﺴ‬ya‫ﭐﻟﹾﻤ‬Waislamu, ‫ﻮﺭﹺ‬‫ ﺃﹸﻣ‬‫ﻦ‬‫ ﻣ‬‫ﺪ‬‫ ﻛﹸﻞﱠ ﻓٰﺎﺳ‬mfungue ‫ﺢ‬‫ﻠ‬‫ ﺃﹶﺻ‬‫ﻬﻢ‬ ‫ ﭐﻟﱠﻠ‬kila mfugwa ‫ﻳﺾﹴ‬‫ﺮﹺ‬‫ﻛﹸﻞﱠ ﻣ‬82 ‫ﻒ‬‫ ﭐﺷ‬‫ﻬﻢ‬ ‫ﭐﻟﱠﻠ‬

‫ﻦ‬ ‫ﻤﻴ‬ ‫ﻠ‬‫ﺴ‬‫ﻮﺭﹺ ﭐﻟﹾﻤ‬‫ ﺃﹸﻣ‬‫ﻦ‬‫ ﻣ‬82 ‫ﺪ‬‫ ﻛﹸﻞﱠ ﻓٰﺎﺳ‬‫ﺢ‬‫ﻠ‬‫ ﺃﹶﺻ‬‫ﻬﻢ‬ ‫ﭐﻟﱠﻠ‬ 37 Ewe Mwenyezi Mungu mponye kila

Ewe Mwenyezi Mungu mponye kila mgonjwa

mgonjwa Dua za Miezi Mitatu 31Dec(h).indd 37

1/1/2013 6:17:58 PM


Ewe Mwenyezi Mungu mponye kila ‫ﻨٰﺎﻙ‬‫ﻧٰﺎ ﺑﹺﻐ‬‫ ﻓﹶﻘﹾﺮ‬‫ﺳﺪ‬ ‫ﻬﻢ‬ ‫ﭐﻟﱠﻠ‬ mgonjwa DUA ZA MIEZI MITATU MITUKUFU ‫ﻨٰﺎﻙ‬‫ٰﺎ ﺑﹺﻐ‬Mungu ‫ﻧ‬‫ ﻓﹶﻘﹾﺮ‬‫ﺳﺪ‬ ‫ﻬﻢ‬ ‫ﱠﻠ‬tuzibie ‫ﭐﻟ‬ Ewe Mwenyezi ufakiri

wetu kwa utajiri Wako,

Ewe Mwenyezi Mungu tuzibie ufakiri wetu kwa utajiri Wako,

Ewe Mwenyezi Mungu tuzibie ufakiri ‫ﻚ‬‫ﹺﻦ ﺣٰﺎﻟ‬kwa ‫ﺴ‬‫ٰﺎ ﹺﺑﺤ‬utajiri ‫ﻨ‬‫ﻮﺀَ ﺣٰﺎﻟ‬‫ ﺳ‬‫ﺮ‬‫ ﻏﹶﻴ‬‫ﻬﻢ‬ ‫ﭐﻟﱠﻠ‬ wetu Ewe Mwenyezi Mungu Wako, ubadilishe uovu

83 Ewe Mwenyezi Mungu ubadilishe uovu wa hali zetu kwa wa hali zetu kwa wema wa hali Yako, wema wa hali Yako,

‫ﻚ‬‫ ﹺﻦ ﺣٰﺎﻟ‬‫ﺴ‬‫ﻨٰﺎ ﹺﺑﺤ‬‫ﻮﺀَ ﺣٰﺎﻟ‬‫ ﺳ‬‫ﺮ‬‫ ﻏﹶﻴ‬‫ﻬﻢ‬ ‫ﭐﻟﱠﻠ‬

ٍ‫ﺀ‬‫ﻲ‬‫ﻠﹶ ٰﻰ ﹸﻛﻞﱢ ﺷ‬‫ ﻋ‬‫ﻚ‬‫ ﭐﻟﹾﻔﹶﻘﹾﺮﹺ ﺇﹺﻧ‬83 ‫ﻦ‬‫ﺃﹶﻏﹾﻨﹺﻨٰﺎ ﻣ‬‫ ﻭ‬‫ﻦ‬‫ﻳ‬‫ﺎ ﭐﻟﺪ‬‫ﻨ‬‫ ﭐﻗﹾﺾﹺ ﻋ‬‫ﻬﻢ‬ ‫ﭐﻟﱠﻠ‬ ‫ﺮ‬‫ﻳ‬‫ﻗﹶﺪ‬

Ewe Mwenyezi Mungu tukidhie deni zetu, Na ututajirishe Ewe Mwenyezi Mungu tukidhie deni tutoke kwenye umasikini, Hakika wewe Unauweza juu ya kila kitu

zetu, Na ututajirishe tutoke kwenye

umasikini, Hakika wewe Unauweza juu ya kila kitu

38

Dua za Miezi Mitatu 31Dec(h).indd 38

1/1/2013 6:17:58 PM


Dua za Siku Maalumu za Mwezi MtukufuDUAwa Ramadhani alizokuwa ZA MIEZI MITATU MITUKUFU akizisoma Bwana Mtumeza (s.a.w.w.) Dua za Siku Maalumu Mwezi

Dua za Siku Maalumu za Mtukufu wa Ramadhani alizokuwa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani alizokuwa akizisoma akizisoma ‫ﺍﻟﺮﺣﻴﻢ‬ Bwana ‫ﺍﻟﺮﲪﻦ‬Mtume ‫( ﺑﺴﻢ ﺍﷲ‬s.a.w.w.) Bwana Mtume (s.a.w.w.)

‫ﺑﺴﻢ ﺍﷲ ﺍﻟﺮﲪﻦ ﺍﻟﺮﺣﻴﻢ‬ Dua Ya Siku Ya 1 kuwe ni wafungao, kusimama kwangu Ya Siku Ya 1 msimamo Dua vilivyo wafanyi ibada, na ‫ﺎﻡ‬‫ﻴ‬‫ ﻗ‬‫ﻴﻪ‬‫ﻲ ﻓ‬‫ﻴٰﺎﻣ‬‫ﻗ‬‫ ﻭ‬Dua ‫ﻦ‬‫ﻴ‬‫ﻤ‬‫ﺎﺋ‬na ‫ﺼ‬Ya ‫ ﭐﻟﹾ‬usingizi ‫ﻡ‬Siku ‫ﻴٰﺎ‬‫ ﺻ‬‫ﻪ‬‫ﻴ‬‫ ﻓ‬Ya ‫ﻲ‬wa ‫ﻴٰﺎﻣ‬1‫ ﺻ‬wavivu. ‫ﻞﹾ‬‫ﻌ‬‫ ﭐﺟ‬‫ﻬﻢ‬ ‫ﺍﹶﻟﱠﻠ‬ Nitanabahisha

‫ﺎ‬‫ ﻳ‬‫ﻴﻪ‬‫ﻲ ﻓ‬‫ﻣ‬‫ﺮ‬‫ﻲ ﺟ‬‫ﻟ‬makosa ‫ﺐ‬‫ﻫ‬‫ ﻭ‬‫ﻦ‬‫ﻴ‬‫ﻠ‬‫ٰﺎﻓ‬yangu, ‫ ﭐﻟﹾﻐ‬‫ﺔ‬‫ﻣ‬‫ﻮ‬‫ ﻧ‬‫ﻦ‬Ewe ‫ ﻋ‬‫ﻪ‬‫ﻴ‬‫ﹺﻲ ﻓ‬Mola ‫ﻨ‬‫ﻬ‬‫ﺒ‬‫ﻧ‬‫ ﻭ‬‫ﻦ‬‫ﻴ‬wa ‫ﻤ‬‫ﭐﻟﹾﻘٰﺎﺋ‬ Nisamehe ‫ﺠ‬ ‫ ﭐﻟﹾﻦﹺ‬‫ ﻋ‬‫ﺎﻡ‬‫ﻴﻴٰﺎ‬‫ﻓ‬‫ٰﺎ ﻋٰﺎﺻ‬‫ ﻳﻪ‬‫ﻲﻴ‬ ‫ﭐ‬‫ﻞﹾ ﻭ‬‫ﻦ‬‫ﻌ‬‫ﻴ‬‫ﺟ‬‫ﭐﻟﹾ ٰﻌﭐﻠﹶﻤ‬‫ﻢ‬‫ﻬﻪ‬ ۤ‫ﺍﹶﻟﺇﹺﱠﻠﻟ‬ ‫ﺎﻡ‬‫ﻴ‬‫ ﻗ‬‫ﻴﻪ‬‫ﻲ ﻓ‬‫ﻴٰﺎﻣ‬‫ﻗ‬‫ﻦﻭ‬‫ﻣﻴ‬‫ ﹺﺮﻦ‬na ‫ﻴ‬‫ﻤ‬‫ﻤ‬‫ﺎﺋ‬‫ ﭐﺼﻟﹾ‬uniafu, ‫ﻨ ﻓ‬‫ﻲﻋ‬‫ﻣ‬‫ﻴٰﺎﻒ‬‫ﺻ‬‫ﻋ‬Mwenye walimwengu Ewe ‫ﺎ‬“Ewe ‫ ﻳ‬‫ﻴﻪ‬‫ﻲ ﻓ‬ ‫ﻣ‬‫ﺮ‬‫ﺟ‬wakosaji.” ‫ﻲ‬‫ ﻟ‬‫ﺐ‬Mungu, ‫ﻫ‬‫ ﻭ‬‫ﻦ‬‫ﻴ‬‫ﻠ‬‫ﻓ‬ijaalie ‫ ﭐﻟﹾﻐٰﺎ‬‫ﺔ‬‫ﻣ‬katika ‫ﻮ‬‫ ﻧ‬‫ﻦ‬‫ ﻋ‬siku ‫ﻪ‬‫ﻴ‬‫ﹺﻲ ﻓ‬hii‫ﻨ‬‫ﻬ‬‫ﺒ‬funga ‫ﻧ‬‫ ﻭ‬‫ﻦ‬‫ﻴ‬‫ﻤ‬yan‫ﭐﻟﹾﻘٰﺎﺋ‬ Mwenyezi kuwaafu gu ni saumu ya wafungao, kusimama kwangu kuwe ni msi‫ﻦ‬ ‫ﻣﻴ‬ ‫ ﹺﺮ‬‫ﺠ‬ibada, ‫ﻦﹺ ﭐﻟﹾﻤ‬‫ﻋ‬na‫ﺎ‬‫ﻴ‬‫ٰﺎﻓ‬Nitanabahisha ‫ﻲ ﻳٰﺎ ﻋ‬‫ﻨ‬‫ ﻋ‬‫ﻒ‬‫ﭐﻋ‬‫ﻭ‬na‫ﻦ‬‫ﻴ‬usingizi ‫ ﭐﻟﹾ ٰﻌﻠﹶﻤ‬‫ﺇﹺﻟۤﻪ‬ mamo vilivyo wafanyi “Ewe Mwenyezi Mungu, ijaalie katika wa wavivu. Nisamehe makosa yangu, Ewe Mola wa walimSiku Ya siku hii Dua fungaYayangu ni 2 saumu ya

wengu na uniafu, Ewe Mwenye kuwaafu wakosaji.”

Dua Ya Siku Ya 2

85 “Ewe Mwenyezi Mungu, ijaalie katika

‫ﻚ‬siku ‫ﻄ‬‫ﺨ‬‫ﻦ ﺳ‬hii ‫ ﻣ‬‫ﻪ‬‫ﻴ‬‫ﻓ‬funga ‫ﻨﹺﻲ‬‫ﺒ‬‫ﻨ‬‫ﺟ‬‫ ﻭ‬yangu ‫ﻚ‬‫ﺿٰﺎﺗ‬‫ﺮ‬‫ٰﻰ ﻣ‬ni ‫ ﺇﹺﻟ‬‫ﻪ‬‫ﻴ‬‫ﻓ‬saumu ‫ﻨﹺﻲ‬‫ﺑ‬‫ ﻗﹶﺮ‬‫ﻬﻢ‬ ya ‫ﺍﹶﻟﱠﻠ‬ ‫ﻴﻦ‬‫ﻤ‬‫ﺍﺣ‬‫ﻢﹺ ﭐﹾﻟﺮ‬‫ﺣ‬‫ ﻳٰﺎ ﺍﹶﺭ‬‫ﻚ‬‫ﺘ‬‫ﻤ‬‫ﺣ‬‫ ﺑﹺﺮ‬‫ﻚ‬‫ﺗ‬85 ‫ ﺁﻳٰﺎ‬‫ﺮٰﺍﺋﹶﺔ‬‫ﻘ‬‫ ﻟ‬‫ﻪ‬‫ﻴ‬‫ّﻘﹾﻨﹺﻲ ﻓ‬‫ﻓ‬‫ﻭ‬‫ ﻭ‬‫ﻚ‬‫ﻧﹺﻘﹾﻤٰﺎﺗ‬‫ﻭ‬

39 “Ewe Mwenyezi Mungu, Nikurubishe

katika siku hii kwenye radhi Zako, Dua za Miezi Mitatu 31Dec(h).indd 39

1/1/2013 6:17:59 PM


kwa rehema Zako, Ewe Mwingi wa kurehemu.” DUA ZA MIEZI MITATU MITUKUFU “Ewe Mwenyezi Mungu, Nikurubishe katika siku hii kwenye radhi Zako, niepushie hasira Zako na ghadhabu Zako na uniwafikie nizisome Aya Zako, kwa rehema Zako, Ewe Mwingi wa kurehemu.”

Dua Ya Siku Ya 3 Dua Ya Siku Ya 3

upumbavu, na unijaalie kupata fungu la ‫ﺔ‬‫ﻔٰﺎﻫ‬‫ ﭐﹾﻟﺴ‬‫ﻦ‬‫ ﻣ‬‫ﻪ‬‫ﻴ‬‫ﻧﹺﻲ ﻓ‬‫ﺪ‬‫ﺑٰﺎﻋ‬‫ ﻭ‬‫ﻪ‬‫ﺒﹺﻴ‬‫ﻨ‬‫ﭐﻟﹾﺘ‬‫ ﻭ‬‫ﻦ‬‫ ﭐﻟﹾﺬﱢﻫ‬‫ﻪ‬‫ﻴ‬‫ﻗﹾﻨﹺﻲ ﻓ‬‫ﺯ‬‫ ﭐﺭ‬‫ﻬﻢ‬ ‫ﺍﹶﻟﱠﻠ‬ kila kheri inayoteremka humo kwa ‫ﻙ ﻳٰﺎ‬ ‫ﺩ‬ ‫ﻮ‬‫ ﹺﺑﺠ‬‫ﻪ‬‫ﻴ‬‫ ﹺﺰﻝﹸ ﻓ‬‫ﻨ‬‫ﺮﹴ ﺗ‬‫ﻴ‬‫ ﻛﹸﻞﱠ ﺧ‬‫ﻦ‬‫ﺒﺎﹰ ﻣ‬‫ﻴ‬‫ﺼ‬‫ﻲ ﻧ‬‫ﻞﹾ ﻟ‬‫ﻌ‬‫ﭐﺟ‬‫ ﻭ‬‫ﻪ‬‫ﻮﹺﻳ‬‫ﻤ‬‫ﭐﻟﹾﺘ‬‫ﻭ‬ ukarimu Wako, Ewe Mwingi wa ‫ﻦ‬‫ﻳ‬‫ﺩ‬‫ﻮ‬‫ ﭐﻟﹾﺄﹶﺟ‬‫ﺩ‬‫ﻮ‬‫ﺍﹶﺟ‬ ukarimu.”

“Ewe Mwenyezi Mungu, niruzuku katika siku hii uekevu na uzinduko, uniepushie mbali ubaradhuli na upumbavu, na unijaalie kupata fungu la kila kheri inayoteremka humo kwa ukarimu Wako, Ewe Mwingi wa ukarimu.”

“Ewe

Mwenyezi Mungu, Dua Ya Siku Ya 4 niruzuku katika sikuDua hii Ya uekevu na4 uzinduko, Siku Ya

uniepushie ‫ ﹾﻛﺮﹺﻙ‬‫ﺓﹶ ﺫ‬‫ﻼﻭ‬ ٰ ‫ ﺣ‬‫ﻪ‬‫ﻴ‬‫ﻨﹺﻲ ﻓ‬mbali ‫ﻗﹾ‬‫ﺃﹶﺫ‬‫ ﻭ‬‫ﻣﺮﹺﻙ‬ ‫ ﺃﹶ‬‫ﺔ‬‫ﻣ‬ubaradhuli ‫ﻠﹶ ٰﻰ ﺇﹺﻗٰﺎ‬‫ ﻋ‬‫ﻪ‬‫ﻴ‬‫ﻧﹺﻲ ﻓ‬‫ ﻗﹶﻮ‬‫ﻢ‬na ‫ﻬ‬ ‫ﺍﹶﻟﱠﻠ‬ ‫ﻚ‬‫ ﹾﻔﻈ‬‫ ﺑﹺﺤ‬‫ﻪ‬‫ﻴ‬‫ﻔﹶﻈﹾﻨﹺﻲ ﻓ‬‫ﭐﺣ‬‫ ﻭ‬‫ﻚ‬‫ﻣ‬‫ﺮ‬87 ‫ﻙ ﺑﹺﻜﹶ‬ ‫ﻜﹾ ﹺﺮ‬‫ ﻷَﺩٰﺍﺀِ ﺷ‬‫ﻪ‬‫ﻴ‬‫ﻨﹺﻲ ﻓ‬‫ﺯﹺﻋ‬‫ﺃﹶﻭ‬‫ﻭ‬

‫ﻦ‬‫ﺮﹺﻳ‬‫ﺎﻇ‬‫ ﭐﻟﹾﻨ‬‫ﺮ‬‫ﺼ‬‫ ﻳٰﺎ ﺃﹶﺑ‬‫ﺮﹺﻙ‬‫ﺘ‬‫ﺳ‬‫ﻭ‬ “Ewe Mwenyezi Mungu, niwezesha katika siku hii kushika amri Zako, unionjeshe utamu wa utajo Wako, na uniwezeshe kutekeleza wajibu wa kukushukuru kwa ukarimu Wako. Ni-

“Ewe Mwenyezi Mungu, niwezesha 40

katika siku hii kushika amri Zako, unionjeshe utamu wa utajo Wako, na

Dua za Miezi Mitatu 31Dec(h).indd 40

1/1/2013 6:17:59 PM


Yako,

Ewe

Muona

zaidi

ya

wanaoangalia.” DUA ZA MIEZI MITATU MITUKUFU hifadhi kwa ulinzi Wako na sitara Yako, Ewe Muona zaidi ya wanaoangalia.”

wanaoomba Duamaghufira Ya Siku Yana5 uniweke

Dua waja Ya Siku Ya wema 5 miongoni mwa Wako walio

wanyenyekevu. ‫ﻙ‬‫ﺒٰﺎﺩ‬‫ﻦ ﻋ‬ ‫ ﻣ‬‫ﻪ‬‫ﻴ‬‫ﻠﹾﻨﹺﻲ ﻓ‬‫ﻌ‬‫ﭐﺟ‬‫ﻦ ﻭ‬ Na ‫ﻔ ﹺﺮﻳ‬ ‫ﺘﻐ‬‫ﺴ‬‫ﻟﹾﻤ‬unijaalie ‫ ﭐ‬‫ﻦ‬‫ ﻣ‬‫ﻪ‬‫ﻴ‬‫ﻠﹾﻨﹺﻲ ﻓ‬‫ﻌ‬‫ﺟ‬niwe ‫ ﭐ‬‫ﻬﻢ‬ ‫ﺍﹶﻟﱠﻠ‬ miongoni ‫ﻚ‬‫ﹾﺃﻓﹶﺘ‬‫ﻦ ﺑﹺﺮ‬ ‫ﹺﺑﻴ‬‫ ﹶﻘﺮ‬‫ ﭐﻟﹾﻤ‬mwa ‫ﻚ‬‫ﻴٰﺎﺋ‬‫ﻟ‬‫ ﺃﹶﻭ‬mawalii ‫ﻦ‬‫ ﻣ‬‫ﻪ‬‫ﻴ‬‫ﻠﹾﻨﹺﻲ ﻓ‬‫ﻌ‬‫ﺟ‬Wako ‫ﭐ‬‫ ﻭ‬‫ﻦ‬‫ﻴ‬‫ ﭐﻟﹾﻘٰﺎﻧﹺﺘ‬karibu ‫ﻦ‬‫ﻴ‬‫ﺤ‬‫ﺎﻟ‬‫ﭐﻟﹾﺼ‬ Nawe, kwa huruma Yako Ewe ‫ﻦ‬‫ﻴ‬‫ﻤ‬‫ﺣ‬Mwingi ‫ ﭐﻟﹾﺮ‬‫ﻢ‬‫ﺣ‬‫ﻳٰﺎ ﺃﹶﺭ‬ wa kurehemu.”

“Ewe Mwenyezi Mungu, nijaalie katika siku hii niwe miongoni mwa wanaoomba maghufira na uniweke miongoni mwa waja Wako wema walio wanyenyekevu. Na unijaalie niwe miongoni mwa mawalii Wako karibu Nawe, kwa huruma Yako Ewe Mwingi wa kurehemu.”

“Ewe Mwenyezi Mungu, nijaalie katika Ya Siku Ya 6 siku hii Duaniwe miongoni mwa Dua Ya Siku Ya 6 89

‫ﻨﹺﻲ ﺑﹺﺴِﻴٰﺎﻁ‬‫ﺮﹺﺑ‬‫ﻀ‬‫ ٰﻻ ﺗ‬‫ ﻭ‬‫ﻚ‬‫ﺘ‬‫ﻴ‬‫ﺼ‬‫ﻌ‬‫ﺽﹺ ﻣ‬‫ﺮ‬‫ﻌ‬‫ﺘ‬‫ ﻟ‬‫ﻪ‬‫ﻴ‬‫ﺬﹸﻟﹾﻨﹺﻲ ﻓ‬‫ﺨ‬‫ ٰﻻ ﺗ‬‫ﻬﻢ‬ ‫ﺍﹶﻟﱠﻠ‬

‫ﻳﻚ‬‫ٰﺍ ﻳٰﺎﺩ‬‫ ﻭ‬‫ﻚ‬‫ﻨ‬‫ ﺑﹺﻤ‬‫ﻚ‬‫ﻄ‬‫ﺨ‬‫ﺕ ﺳ‬  ‫ﻮﺟﹺﺒٰﺎ‬‫ ﻣ‬‫ﻦ‬‫ ﻣ‬‫ﻪ‬‫ﻴ‬‫ﻨﹺﻲ ﻓ‬‫ﺰﹺﺣ‬‫ﺣ‬‫ﺯ‬‫ ﻭ‬‫ﻚ‬‫ﺘ‬‫ﻤ‬‫ﻘ‬‫ﻧ‬ ‫ﻦ‬‫ﺒﹺﻴ‬‫ﺍﻏ‬‫ ﭐﻟﺮ‬‫ﺔ‬‫ﻏﹾﺒ‬‫ﻬٰﻰ ﺭ‬‫ﺘ‬‫ﻨ‬‫ﻳٰﺎ ﻣ‬ “Ewe Mwenyezi Mungu, usinidhalilishe katika siku hii hata nimili kukuasi, na wala usinichape kwa mbati za adhabu Yako, uniepushie mbali yanayonitakia hasira Zako; kwa neema Zako na vipawa Vyako Ewe Mkusudiwa maombi ya waombaji.” 41 90

Dua za Miezi Mitatu 31Dec(h).indd 41

1/1/2013 6:17:59 PM


Mkusudiwa maombi ya waombaji.” “Ewe Mwenyezi Mungu, Nipe katika siku

DUA ZA MIEZI MITATU MITUKUFU

hii Dua nguvu za Ya kuifunga na Ya Siku 7 Dua Ya Siku Ya 7 kuisimama kwa ibada na uniepushe na ‫ﻪ‬makosa ‫ﻔﹶﻮٰﺍﺗ‬‫ﻦ ﻫ‬ ‫ ﻣ‬‫ﻪ‬‫ﻴ‬‫ ﻓ‬na ‫ﻨﹺﻲ‬‫ﺒ‬‫ﻨ‬‫ﺟ‬‫ ﻭ‬madhambi, ‫ﻪ‬‫ﻴٰﺎﻣ‬‫ﻗ‬‫ ﻭ‬‫ﻪ‬‫ﻴٰﺎﻣ‬‫ﻠﹶ ٰﻰ ﺻ‬‫ ﻋ‬‫ﻪ‬uniruzuku ‫ﻴ‬‫ﻲ ﻓ‬‫ﻨ‬‫ ﺃﹶﻋ‬‫ﻬﻢ‬ ‫ﺍﹶﻟﱠﻠ‬ ukumbusho Wako ‫ﻦ‬ ‫ﻀﻠﱢﻴ‬  ‫ ﭐﻟﹾﻤ‬‫ﻱ‬‫ ﻳٰﺎ ﻫٰﺎﺩ‬‫ﻚ‬ ‫ﻘ‬‫ﻴ‬‫ﻓ‬‫ﻮ‬‫ ﺑﹺﺘ‬‫ﻪ‬‫ٰﺍﻣ‬daima ‫ﻭ‬‫ ﺑﹺﺪ‬‫ﻛﹾﺮﹺﻙ‬‫ ﺫ‬‫ﻪ‬kwa ‫ﻴ‬‫ﻗﹾﻨﹺﻲ ﻓ‬‫ﺯ‬‫ﺭ‬taufiki ‫ﭐ‬‫ ﻭ‬‫ﻪ‬‫ﺁﺛﹶﺎﻣ‬‫ﻭ‬ Yako,

Ewe

mwenye

kuwaongoa

“Ewe Mwenyezi Mungu, Nipe katika siku hii nguvu za kui-

wapotevu.” funga na kuisimama kwa ibada na uniepushe na makosa na madhambi, uniruzuku ukumbusho Wako daima kwa taufiki Yako, Ewe mwenye kuwaongoa wapotevu.” 91

Dua Ya Siku Ya 8 Dua Ya Siku Ya 8

‫ﻼﻡﹺ‬ ٰ ‫ﺇﹺﻓﹾﺸٰﺎﺀِ ﭐﻟﺴ‬‫ ﭐﻟﻄﱠﻌٰﺎﻡﹺ ﻭ‬‫ﺇﹺﻃﹾﻌٰﺎﻡ‬‫ﺘٰﺎﻡﹺ ﻭ‬‫ﺔﹶ ﭐﻷَﻳ‬‫ﻤ‬‫ﺣ‬‫ ﺭ‬‫ﻪ‬‫ﻴ‬‫ﻗﹾﻨﹺﻲ ﻓ‬‫ﺯ‬‫ ﭐﺭ‬‫ﻬﻢ‬ ‫ﺍﹶﻟﱠﻠ‬ ٍ‫ﻦ‬‫ﻴ‬‫ﻠ‬‫ﺄﹶ ﭐﻵﻣ‬‫ﻠﹾﺠ‬‫ ﻳٰﺎ ﻣ‬‫ﻚ‬‫ﻟ‬‫ﺮٰﺍﻡﹺ ﺑﹺﻄﹶﻮ‬‫ﺒ ﹶﺔ ﭐﻟﹾﻜ‬‫ﺤ‬‫ﻭﺻ‬ “Ewe Mwenyezi Mungu, Niwezeshe katika siku hii niwarehemu mayatima na nilishe vyakula, Nitoe salamu na nisuhubiane na watu wema kwa ukunjufu Wako, Ewe Makimbilio ya wahitaji.” 92

42

Dua za Miezi Mitatu 31Dec(h).indd 42

1/1/2013 6:17:59 PM


wahitaji.” Ewe Mwenyezi Mungu, Nijaalie katika DUA ZA MIEZI MITATU MITUKUFU Dua Ya Siku YaZako 9 siku hii fungu la rehema enevu, Dua Ya Siku Ya 9

uniongoze kwa buruhani Yako ‫ﻪ‬inayong’ara ‫ﻴ‬‫ﻧﹺﻲ ﻓ‬‫ﺪ‬‫ﭐﻫ‬‫ ﻭ‬‫ﺔ‬‫ﻌ‬‫ ﭐﻟﹾﻮٰﺍﺳ‬‫ﻚ‬ ‫ﻦ‬‫ﺒﺎﹰ ﻣ‬‫ﻴ‬‫ﺼ‬‫ ﻧ‬‫ﻪ‬‫ﻴ‬‫ﻲ ﻓ‬‫ ﻟ‬kwenye ‫ﻞﹾ‬‫ﻌ‬‫ ﭐﺟ‬‫ﻬﻢ‬ ‫ﺍﹶﻟﱠﻠ‬ na‫ﺘ‬‫ﻤ‬‫ﺭﺣ‬uniendeshe ‫ﺔ‬mkusanyo ‫ﻌ‬‫ ﭐﹾﻟﺠٰﺎﻣ‬‫ﻚ‬‫ﺿٰﺎﺗ‬‫ﺮ‬‫ ﻣ‬wa ‫ﻲ ﺇﹺﻟٰﻰ‬ ‫ﺘ‬‫ﻴ‬‫ﺬﹾ ﺑﹺﻨٰﺎﺻ‬‫ﺧ‬‫ ﻭ‬‫ﺔ‬Yako, ‫ﻌ‬‫ﺎﻃ‬‫ ﭐﻟﺴ‬‫ﻚ‬kwa ‫ﻨﹺ‬‫ﻴ‬‫ﺮٰﺍﻫ‬‫ﺒ‬‫ﻟ‬ maridhia ‫ﻦ‬‫ﻴ‬‫ﺘٰﺎﻗ‬‫ﺸ‬‫ﻞﹶ ﭐﻟﹾﻤ‬la ‫ٰﻳﺎ ﺃﹶﻣ‬wenye ‫ﻚ‬‫ﺘ‬‫ﺒ‬‫ﺤ‬‫ﺑﹺﻤ‬ mahaba Yako, Ewe Tumaini shauku.” Ewe Mwenyezi Mungu, Nijaalie katika siku hii fungu la rehema Zako enevu, uniongoze kwa buruhani Yako inayong’ara na uniendeshe kwenye mkusanyo wa maridhia Yako, kwa mahaba Yako, Ewe Tumaini la wenye shauku.”

Dua Ya Siku Ya 10 93

Dua Ya Siku Ya 10

‫ﻦ‬‫ ﻣ‬‫ﻴﻪ‬‫ﻠﹾﻨﹺﻲ ﻓ‬‫ﻌ‬‫ﭐﺟ‬‫ ﻭ‬‫ﻚ‬‫ﻠﹶﻴ‬‫ﻦ ﻋ‬ ‫ﻠﻴ‬‫ﻮﻛﱢ‬ ‫ﺘ‬‫ ﭐﻟﹾﻤ‬‫ﻦ‬‫ ﻣ‬‫ﻪ‬‫ﻴ‬‫ﻠﹾﻨﹺﻲ ﻓ‬‫ﻌ‬‫ ﺍﺟ‬‫ﻬﻢ‬ ‫ﺍﹶﻟﱠﻠ‬ ‫ ﻳٰﺎ‬‫ﺣﺴٰﺎﻧﹺﻚ‬ ‫ ﺑﹺﺈﹺ‬‫ﻚ‬‫ﻦ ﺇﹺﻟﹶﻴ‬ ‫ﹺﺑﻴ‬‫ ﹶﻘﺮ‬‫ ﭐﻟﹾﻤ‬‫ﻦ‬‫ ﻣ‬‫ﻪ‬‫ﻴ‬‫ﻠﹾﻨﹺﻲ ﻓ‬‫ﻌ‬‫ﭐﺟ‬‫ ﻭ‬‫ﻚ‬‫ﻳ‬‫ ﻟﹶﺪ‬‫ﻦ‬‫ﺰﹺﻳ‬‫ﭐﻟﹾﻔٰﺎﺋ‬ ‫ﻦ‬‫ﺒﹺﻴ‬‫ﺔﹶ ﭐﻟﹾﻄﱠﺎﻟ‬‫ﻏٰﺎﻳ‬ “Ewe Mwenyezi Mungu, nijaalie katika siku hii niwe ni mwenye kukutegemea, Unijaalie ni mwenye kufuzu Kwako na Unijaalie niwe miongoni mwa wanao kurubishwa Kwako, 94 kwa Yako hisani, Ee Kusudio la wahitaji.”

43

Dua za Miezi Mitatu 31Dec(h).indd 43

1/1/2013 6:18:00 PM


Ee Kusudio la wahitaji.” DUA ZA MIEZI MITATU MITUKUFU

Dua Ya Siku Ya 11 Dua Ya Siku Ya 11 unifanye nichukie upotovu na uasi, ‫ﻴٰﺎﻥﹶ‬‫ﺼ‬‫ﭐﻟﹾﻌ‬‫ﻕ ﻭ‬  ‫ﻮ‬‫ ﭐﻟﹾﻔﹸﺴ‬‫ﻪ‬‫ﻴ‬‫ ﻓ‬‫ ﺇﹺﻟﹶﻲ‬‫ﻩ‬‫ﻛﹶﺮ‬‫ﺴٰﺎﻥﹶ ﻭ‬‫ ﭐﻹﺣ‬‫ﻪ‬‫ﻴ‬‫ ﻓ‬‫ ﺇﹺﻟﹶﻲ‬‫ﺐ‬‫ﺒ‬‫ ﺣ‬‫ﻬﻢ‬ ‫ﺍﹶﻟﱠﻠ‬ Nikinge na hasira Zako na Moto kwa ‫ﻦ‬ ‫ﺜﻴ‬‫ﻐ‬ ‫ﺘ‬‫ﺴ‬‫ﻴٰﺎﺙﹶ ﭐﻟﹾﻤ‬‫ ﻳٰﺎ ﻏ‬‫ﻧﹺﻚ‬‫ﻮ‬‫ﺮٰﺍﻥﹶ ﺑﹺﻌ‬‫ﻴ‬‫ﭐﻟﹾﻨ‬‫ﻂﹶ ﻭ‬‫ﺨ‬‫ ﭐﻟﹾﺴ‬‫ﻪ‬‫ﻴ‬‫ ﻓ‬‫ﻠﹶﻲ‬‫ ﻋ‬‫ﻡ‬‫ﺮ‬‫ﺣ‬‫ﻭ‬ muawana Wako Ewe Msaidizi wa “Ewe Mwenyezi Mungu, nipendekeshe katika siku hii kuwaombao usaidizi.” tenda mema na unifanye nichukie upotovu na uasi, Nikinge na hasira Zako na Moto kwaMungu, muawana Wako Ewe Msaidizi wa “Ewe Mwenyezi nipendekeshe waombao usaidizi.”

katika siku hii kutenda mema na Dua Ya Siku Ya 12 Dua Ya Siku Ya 12 95

‫ﻉ‬ ‫ ﹺ‬‫ﻮ‬‫ﺒٰﺎﺱﹺ ﭐﻟﹾﻘﹸﻨ‬‫ ﺑﹺﻠ‬‫ﻪ‬‫ﻴ‬‫ﻧﹺﻲ ﻓ‬‫ﺮ‬‫ﺘ‬‫ﭐﺳ‬‫ ﻭ‬‫ﻔٰﺎﻑ‬‫ﭐﻟﹾﻌ‬‫ﺮﹺ ﻭ‬‫ﺘ‬‫ ﺑﹺﭑﻟﹾﺴ‬‫ﻪ‬‫ﻴ‬‫ﻨﹺﻲ ﻓ‬‫ﻳ‬‫ ﺯ‬‫ﻬﻢ‬ ‫ﺍﹶﻟﱠﻠ‬ ‫ﻦ‬ ‫ ﻣ‬‫ﻴﻪ‬‫ﻲ ﻓ‬‫ﻨ‬‫ﺁﻣ‬‫ ﻭ‬‫ﺼٰﺎﻑ‬‫ﭐﻹِﻧ‬‫ﻝﹺ ﻭ‬‫ﺪ‬‫ﻠﹶ ٰﻰ ﭐﻟﹾﻌ‬‫ ﻋ‬‫ﻪ‬‫ﻴ‬‫ﻠﹾﻨﹺﻲ ﻓ‬‫ﻤ‬‫ﭐﺣ‬‫ ﻭ‬‫ﭐﻟﹾﻜﹶﻔٰﺎﻑ‬‫ﻭ‬ ‫ﻦ‬‫ﻴ‬‫ﻔ‬‫ﺔﹶ ﭐﻟﹾﺨٰﺎﺋ‬‫ﻤ‬‫ﺼ‬‫ ﻳٰﺎ ﻋ‬‫ﻚ‬‫ﺘ‬‫ﻤ‬‫ﺼ‬‫ ﺑﹺﻌ‬‫ﹸﻛﻞﱢ ﻣٰﺎ ﺃﹶﺧٰﺎﻑ‬ “Ewe Mwenyezi Mungu, nipambe katika siku hii kwa sitara na utakatifu, na unisitiri kwa vazi la ukinaifu na kutosheka, na unisimamishe juu ya uadilifu na usawa, unisalimishe na kila niogopalo kwa hifadhi Yako, Ewe Mhifadhi wa wenye kuogopa.”

“Ewe

Mwenyezi

Mungu,

nipambe

katika siku hii kwa sitara na utakatifu, na unisitiri kwa vazi la ukinaifu na 44

96 Dua za Miezi Mitatu 31Dec(h).indd 44

1/1/2013 6:18:00 PM


DUA ZA MIEZI MITATU MITUKUFU

“Ewe

Dua Ya Siku Ya 13 nitakase Mwenyezi Mungu, Dua Ya Siku Ya 13

katika siku hii na uchafu na taka, unipe ‫ﺕ‬ ‫ﻨٰﺎ‬‫ﻠﹶ ٰﻰ ﻛٰﺎﺋ‬‫ﻋ‬juu ‫ﻪ‬‫ﻴ‬‫ﻧﹺﻲ ﻓ‬ya ‫ﺮ‬‫ﺒ‬‫ﺻ‬‫ﻭ‬matukio ‫ﭐﻷَﻗﹾﺬٰﺍﺭﹺ‬‫ﺲﹺ ﻭ‬‫ﻧ‬‫ﺪ‬na ‫ ﭐﻟﹾ‬‫ﻦ‬‫ ﻣ‬kadura, ‫ﻪ‬‫ﻴ‬‫ﻧﹺﻲ ﻓ‬‫ ﻃﹶﻬﹺّﺮ‬‫ﻬﻢ‬na ‫ﺍﹶﻟﱠﻠ‬ subira ‫ﹺﻦ‬uniwafikie ‫ﻴ‬‫ ﹶﺓ ﻋ‬‫ ﻳٰﺎ ﻗﹸﺮ‬‫ﻧﹺﻚ‬‫ﻮ‬‫ﺑﹺﻌ‬hadhari ‫ﺮٰﺍﺭﹺ‬‫ﺔ ﭐﻷَﺑ‬ ‫ﺒ‬‫ﺤ‬‫ﺻ‬ ‫ﻘﹶ‬‫ﻠﺘ‬‫ ﻟ‬‫ﻪ‬‫ﻴ‬‫ﻓﱢﻘﹾﻨﹺﻲ ﻓ‬‫ﻭ‬‫ٰﺍﺭﹺ ﻭ‬na ‫ﭐﻷَﻗﹾﺪ‬ na‫ﻭ‬ ‫ٰﻰ‬nisuhubiane ‫ﺴٰﺎ‬‫ﭐﻟﹾﻤ‬ watu wema kwa usaidizi Wako,‫ﻦﹺ‬‫ﻴ‬‫ﻛ‬Ewe “Ewe Mwenyezi Mungu, nitakase katika siku hii na uchafu Mburudisha macho ya masikini.”

na taka, unipe subira juu ya matukio na kadura, na uniwafikie hadhari na nisuhubiane na watu wema kwa usaidizi Wako, Ewe Mburudisha macho ya masikini.” 97 Dua Ya Siku Ya 14

Dua Ya Siku Ya 14

‫ﻄٰﺎﻳٰﺎ‬‫ ﭐﻟﹾﺨ‬‫ﻦ‬‫ ﻣ‬‫ﻪ‬‫ﻴ‬‫ﻠﹾﻨﹺﻲ ﻓ‬‫ﺃﹶﻗ‬‫ ﻭ‬‫ﺜﹶﺮٰﺍﺕ‬‫ ﺑﹺﭑﻟﹾﻌ‬‫ﻪ‬‫ﻴ‬‫ﺧﺬﹾﻧﹺﻲ ﻓ‬ ‫ ٰﺆ‬‫ ﻻﹶ ﺗ‬‫ﻬﻢ‬ ‫ﺍﹶﻟﱠﻠ‬ ‫ﺰ‬‫ ﻳٰﺎ ﻋ‬‫ﻚ‬‫ﺗ‬‫ﺰ‬‫ ﺑﹺﻌ‬‫ﭐﻵﻓٰﺎﺕ‬‫ﻼﻳٰﺎ ﻭ‬ ٰ ‫ﻠﹾﺒ‬‫ﺿﺎﹰ ﻟ‬‫ ﻏﹶﺮ‬‫ﻪ‬‫ﻴ‬‫ﻠﹾﻨﹺﻲ ﻓ‬‫ﻌ‬‫ﺠ‬‫ﻻﹶ ﺗ‬‫ ﻭ‬‫ﻔﹶﻮٰﺍﺕ‬‫ﭐﻟﹾﻬ‬‫ﻭ‬ ‫ﻦ‬ ‫ﻤﻴ‬ ‫ﻠ‬‫ﺴ‬‫ﭐﻟﹾﻤ‬ “Ewe Mwenyezi Mungu, Usinipatilize katika siku hii nikisepetuka, na Nififishie makosa na telezi, na Usinijaalie kuwa na shabaha ya kuzuwa balaa na maafa, kwa Ezi Yako, Ewe Utukufu wa Waislamu. 98 45

Dua za Miezi Mitatu 31Dec(h).indd 45

1/1/2013 6:18:00 PM


Utukufu wa Waislamu. DUA ZA MIEZI MITATU MITUKUFU

Dua Ya Siku Ya 15 Dua Ya Siku Ya 15

‫ﺔ‬‫ﺪﺭﹺﻱ ﺑﹺﺈﹺﻧٰﺎﺑ‬ ‫ ﺻ‬‫ﻪ‬‫ﻴ‬‫ ﻓ‬‫ﺡ‬‫ﺮ‬‫ﭐﺷ‬‫ ﻭ‬‫ﻦ‬‫ﻴ‬‫ﻌ‬‫ ﭐﻟﹾﺨٰﺎﺷ‬‫ﺔ‬‫ ﻃٰﺎﻋ‬‫ﻪ‬‫ﻴ‬‫ﻗﹾﻨﹺﻲ ﻓ‬‫ﺯ‬‫ ﭐﺭ‬‫ﻬﻢ‬ ‫ﺍﹶﻟﱠﻠ‬ ‫ﻦ‬ ‫ﻴ‬‫ﻔ‬‫ ﻳٰﺎ ﺃﹶﻣٰﺎﻥﹶ ﭐﻟﹾﺨٰﺎﺋ‬‫ﻦ ﺑﹺﺄﹶﻣٰﺎﻧﹺﻚ‬ ‫ﺘﻴ‬‫ﹺﺒ‬‫ﺨ‬‫ﭐﻟﹾﻤ‬ na unipanue kifua changu kwa majuto “Ewe Mwenyezi Mungu, Niruzuku katika siku hii utwiifu ya wanyenyekevu, kwa amani Yako, wa wanaochelea, na unipanue kifua changu kwa majuto ya “Ewe Mwenyezi Mungu, Niruzuku wanyenyekevu, kwa amani Yako, Ewe Amani kwa wenye Ewe Amani kwa wenye kuogopa. kuogopa.

katika siku hii utwiifu wa wanaochelea, Dua Ya Siku Ya 16 Dua Ya Siku Ya 16 99

‫ﺮٰﺍﺭﹺ‬‫ﺮٰﺍﻓﹶﻘﹶﺔﹶ ﭐﻷَﺷ‬‫ ﻣ‬‫ﻪ‬‫ﻴ‬‫ﻨﹺﻲ ﻓ‬‫ﺒ‬‫ﻨ‬‫ﺟ‬‫ﺮٰﺍﺭﹺ ﻭ‬‫ ﭐﻷَﺑ‬‫ﻮٰﺍﻓﹶﻘﹶﺔ‬‫ﻤ‬‫ ﻟ‬‫ﻪ‬‫ﻴ‬‫ﻓﱢﻘﹾﻨﹺﻲ ﻓ‬‫ ﻭ‬‫ﻬﻢ‬ ‫ﺍﹶﻟﱠﻠ‬ ‫ﻦ‬‫ﻴ‬‫ ﭐﻟﹾ ٰﻌﻠﹶﻤ‬‫ ﻳٰﺎ ﺇﹺﻟۤﻪ‬‫ﻚ‬‫ﺘ‬‫ ﺇﹺﻟﹶ ٰﻰ ﺩٰﺍﺭﹺ ﭐﻟﹾﻘﹶﺮٰﺍﺭﹺ ﺑﹺﺈﹺ ٰﻟﻬﹺﻴ‬‫ﻚ‬‫ﺘ‬‫ﻤ‬‫ﺣ‬‫ ﺑﹺﺮ‬‫ﻪ‬‫ﻴ‬‫ﺁﻭﹺﻧﹺﻲ ﻓ‬‫ﻭ‬ “Ewe Mwenyezi Mungu, niwafikie katika siku hii niwe sawa na watu wema na unitenge na kuwarafiki waovu, Uni“Ewe Mwenyezi niwafikie pokee kwa rehema Zako katikaMungu, nyumba ya utulivu kwa Uungu Wako, Ewe Mwenyezi Mungu wa viumbe vyote.”

katika siku hii niwe sawa na watu wema na unitenge na kuwarafiki waovu, Unipokee kwa rehema Zako katika nyumba ya utulivu46kwa Uungu Wako,

Dua za Miezi Mitatu 31Dec(h).indd 46

1/1/2013 6:18:00 PM


vyote.” DUA ZA MIEZI MITATU MITUKUFU

Dua Ya Siku Ya 17 Dua Ya Siku Ya 17

vifua vya walimwengu, Mteremshie ‫ﺞ‬‫ﻮٰﺍﺋ‬‫ ﭐﹾﻟﺤ‬‫ﻴﻪ‬‫ﻲ ﻓ‬‫ﭐﻗﹾﺾﹺ ﻟ‬‫ﻤٰﺎﻝﹺ ﻭ‬‫ﺢﹺ ﭐﻷَﻋ‬‫ﺼٰﺎﻟ‬‫ ﻟ‬‫ﻪ‬‫ﻴ‬‫ﻧﹺﻲ ﻓ‬‫ﺪ‬‫ ﭐﻫ‬‫ﻬﻢ‬ ‫ﺍﹶﻟﱠﻠ‬ rehema Muhammad na Aali zake ‫ﻲ‬‫ﻤﺎﹰ ﺑﹺﻤٰﺎ ﻓ‬‫ﺆٰﺍﻝﹺ ﻳٰﺎ ﻋٰﺎﻟ‬‫ﭐﻟﹾﺴ‬‫ ﻭ‬‫ﺮ‬‫ﻔﹾﺴِﻴ‬‫ ﺇﹺﻟﹶ ٰﻰ ﭐﻟﹾﺘ‬‫ﺘٰﺎﺝ‬‫ﺤ‬‫ ٰﻻ ﻳ‬‫ﻦ‬‫ﭐﻵﻣٰﺎﻝﹺ ﻳٰﺎ ﻣ‬‫ﻭ‬ watakatifu.” ‫ﻦ‬‫ﺮﹺﻳ‬‫ ﭐﻟﹾﻄٰﺎﻫ‬‫ﻪ‬‫ﺁﻟ‬‫ﺪ ﻭ‬ ‫ﺤﻤ‬  ‫ﻠﹶ ٰﻰ ﻣ‬‫ﺻﻞﱠ ﻋ‬  ‫ﻦ‬‫ﻴ‬‫ﻭﺭﹺ ﭐﻟﹾ ٰﻌﻠﹶﻤ‬‫ﺪ‬‫ﺻ‬ “Ewe Mwenyezi Mungu, niongoze katika siku hii kwa amali njema na nitimizie haja zangu na matumaini yangu, Ewe usiyehitajia maelezo na hoja. Ewe Mjuzi wa yaliyomo katika vifua vya walimwengu, Mteremshie rehema Muhammad na Aali zake watakatifu.”

“Ewe Mwenyezi Mungu, niongoze

katika siku hii kwa amali njema na Dua Ya Siku Ya 18 nitimizie Dua haja Ya zangu na 18matumaini Siku Ya

yangu, Ewe usiyehitajia maelezo na ‫ﻧﻮٰﺍﺭﹺﻩ‬‫ﻴٰﺎﺀِ ﺃﹶ‬‫ ﺑﹺﻀ‬‫ﻪ‬‫ﻴ‬‫ ﻗﹶﻠﹾﺒﹺﻲ ﻓ‬‫ﺭ‬‫ﻮ‬‫ﻧ‬‫ ﻭ‬‫ﺤٰﺎﺭﹺﻩ‬‫ ﺃﹶﺳ‬‫ﺍﻛٰﺎﺕ‬‫ﺮ‬‫ﺒ‬‫ ﻟ‬‫ﻪ‬‫ﻴ‬‫ﻨﹺﻲ ﻓ‬‫ﻬ‬‫ﺒ‬‫ ﻧ‬‫ﻬﻢ‬ ‫ﺍﹶﻟﱠﻠ‬ hoja. Ewe Mjuzi wa yaliyomo katika ‫ﺭ ﻗﹸﻠﹸﻮﺏﹺ‬ ‫ﻨﻮ‬‫ ﻳٰﺎ ﻣ‬‫ﻮﺭﹺﻙ‬‫ ﺑﹺﻨ‬‫ ٰﺒﺎﻉﹺ ﺁﺛٰﺎﺭﹺﻩ‬‫ﻲ ﺇﹺﻟﹶ ٰﻰ ﭐﻟﹾﺘ‬‫ﻀٰﺎﺋ‬‫ﺬﹾ ﺑﹺ ﹸﻜﻞﱢ ﺃﹶﻋ‬‫ﺧ‬‫ﻭ‬ 101

‫ﻦ‬‫ﻴ‬‫ﭐﻟﹾﻌٰﺎﺭﹺﻓ‬

“Ewe Mwenyezi Mungu, nitanabahishe katika siku hii nipate baraka za nyusiku zake na unawirishe moyo wangu humo kwa mwangaza wa nuru yake. Na Vipatilize viungo vyangu vifuate athari zake, kwa nuru Yako, Ewe Mnawirisha nyoyo za wajuzi.

“Ewe Mwenyezi Mungu, nitanabahishe

katika siku hii nipate baraka za nyusiku 47 102

Dua za Miezi Mitatu 31Dec(h).indd 47

1/1/2013 6:18:01 PM


nyoyo za wajuzi. DUA ZA MIEZI MITATU MITUKUFU

Dua Ya Siku Ya 19 Dua Ya Siku Ya 19

‫ ٰﻻ‬‫ ﻭ‬‫ﻪ‬‫ﺮٰﺍﺗ‬‫ﻴ‬‫ﻲ ﺇﹺﻟﹶ ٰﻰ ﺧ‬‫ﻠ‬‫ﺒﹺﻴ‬‫ﻞﹾ ﺳ‬‫ﻬ‬‫ﺳ‬‫ ﻭ‬‫ﻪ‬‫ﻛٰﺎﺗ‬‫ﺮ‬‫ ﺑ‬‫ﻦ‬‫ﻈﱢﻲ ﻣ‬‫ ﺣ‬‫ﻪ‬‫ﻴ‬‫ ﻓ‬‫ﻓﱢﺮ‬‫ ﻭ‬‫ﻬﻢ‬ ‫ﺍﹶﻟﱠﻠ‬ ‫ﻦ‬ ‫ﹺﺒﻴ‬‫ ﭐﻟﹾﻤ‬‫ﻖ‬‫ﻳﺎﹰ ﺇﹺﻟﹶ ٰﻰ ﭐﻟﹾﺤ‬‫ ﻳٰﺎ ﻫٰﺎﺩ‬‫ﻪ‬‫ﻨٰﺎﺗ‬‫ﺴ‬‫ﻮﻝﹶ ﺣ‬‫ﻨﹺﻲ ﻗﹶﺒ‬‫ﺮﹺﻣ‬‫ﺤ‬‫ﺗ‬ “Ewe Mwenyezi Mungu, likuze katika “Ewe Mwenyezi likuze katikakwenye siku hii fungu langu zake, Ewe Mungu, Muongoaji haki la baraka zake na unisahilishie njia ya kuyafikia mema yake siku hii fungu langu la baraka zake na na usininyime kabuli ya njema zake, Ewe Muongoaji kwenye iliyobayana. haki iliyobayana. unisahilishie njia ya kuyafikia mema Dua Ya Siku Ya 20 Dua Ya Siku Ya 20ya njema yake na usininyime kabuli ‫ﺮٰﺍﻥ‬‫ﻴ‬‫ ﭐﻟﹾﻨ‬‫ﻮٰﺍﺏ‬‫ ﺃﹶﺑ‬‫ﻪ‬‫ﻴ‬‫ﻲ ﻓ‬‫ﻨ‬‫ ﻋ‬‫ﻖ‬‫ﺃ!ﻏﹾﻠ‬‫ﻭ‬103 ‫ ﭐﻟﹾﺠﹺﻨٰﺎﻥ‬‫ﻮٰﺍﺏ‬‫ ﺃﹶﺑ‬‫ﻪ‬‫ﻴ‬‫ﻲ ﻓ‬‫ﻠ‬‫ﺤ‬‫ ﭐﻓﹾﺘ‬‫ﻬﻢ‬ ‫ﺍﹶﻟﱠﻠ‬

‫ﻦ‬ ‫ﻣﹺﻨﻴ‬ ‫ﺆ‬‫ ﻓﹶﻲ ﻗﹸﻠﹸﻮﺏﹺ ﭐﻟﹾﻤ‬‫ﺔ‬‫ﻨ‬‫ﻜﻴ‬‫ﺔ ﭐﻟﹾﺴ‬ ‫ ﹺﺰﹶﻟ‬‫ﻨ‬‫ﺁﻥﹶ ﻳٰﺎ ﻣ‬‫ ﭐﻟﹾﻘﹸﺮ‬‫ﺓ‬‫ﻼﻭ‬ ٰ ‫ﺘ‬‫ ﻟ‬‫ﻪ‬‫ﻴ‬‫ﻓﱢﻘﹾﻨﹺﻲ ﻓ‬‫ﻭ‬‫ﻭ‬ “Ewe Mwenyezi Mungu, nifungulie katika siku hii milango ya Peponi na unifungie milango ya Motoni na niwafikie kusoma Qur’ani, Ewe Mteremsha utulivu nyoyoni mwa Waumini.

“Ewe Mwenyezi Mungu, nifungulie katika siku hii milango ya Peponi na unifungie

milango

niwafikie

kusoma

Qur’ani,

Ewe

48

nyoyoni

mwa

Mteremsha Waumini.

Dua za Miezi Mitatu 31Dec(h).indd 48

utulivu

ya

Motoni

na

1/1/2013 6:18:01 PM


DUA ZA MIEZI MITATU MITUKUFU

Dua Ya Siku Ya 21 Dua Ya Siku Ya 21

‫ﻴﻪ‬‫ ﻓ‬‫ﻴﻄٰﺎﻥ‬‫ﻠﺸ‬‫ﻞﹾ ﻟ‬‫ﻌ‬‫ﺠ‬‫ ٰﻻ ﺗ‬‫ﻼﹰ ﻭ‬‫ﻴ‬‫ﻟ‬‫ ﺩ‬‫ﻚ‬‫ﺿٰﺎﺗ‬‫ﺮ‬‫ ﺇﹺﻟﹶ ٰﻰ ﻣ‬‫ﻪ‬‫ﻴ‬‫ﻲ ﻓ‬‫ﻞﹾ ﻟ‬‫ﻌ‬‫ ﭐﺟ‬‫ﻬﻢ‬ ‫ﺍﹶﻟﱠﻠ‬ ‫ﺞﹺ‬‫ﻮٰﺍﺋ‬‫ ﺣ‬‫ﻲ‬‫ﻼﹰ ﻳٰﺎ ﻗٰﺎﺿ‬‫ﻴ‬‫ﻘ‬‫ﻣ‬‫ﺰﹺﻻﹰ ﻭ‬‫ﻨ‬‫ﻲ ﻣ‬‫ﺔﹶ ﻟ‬‫ﻨ‬‫ﻞﹾ ﭐﻟﹾﺠ‬‫ﻌ‬‫ﭐﺟ‬‫ﻼﹰ ﻭ‬‫ﺒﹺﻴ‬‫ ﺳ‬‫ﻠﹶﻰ‬‫ﻋ‬ ‫ﻦ‬‫ﺒﹺﻴ‬‫ﭐﻟﹾﻄﱠﺎﻟ‬ “Ewe Mwenyezi Mungu, nionyesha katika siku hii njia ya kupata radhi Zako na usimpe Shetwani uweza juu yangu, uijaalie Pepo ni mashukio na mapumziko yangu, Ewe Mtekeleza haja za waombaji.”

“Ewe Mwenyezi Mungu, nionyesha

katika siku hii njia ya kupata radhi Zako Dua Ya Siku Ya 22

na usimpe Shetwani uweza juu yangu, uijaalie ‫ﻚ‬ ‫ﻛٰﺎﺗ‬‫ﺮ‬‫ ﺑ‬‫ﻴﻪ‬‫ ﻓ‬‫ﻠﹶﻲ‬Pepo ‫ﺰﹺﻝﹾ ﻋ‬‫ﺃﹶﻧ‬‫ ﻭ‬‫ﻚ‬ni‫ﻠ‬‫ ﻓﹶﻀ‬mashukio ‫ﻮٰﺍﺏ‬‫ ﺃﹶﺑ‬‫ﻪ‬‫ﻴ‬‫ﻲ ﻓ‬‫ ﻟ‬‫ﺢ‬‫ﻓﹾﺘ‬na ‫ ﭐ‬‫ﻬﻢ‬ ‫ﺍﹶﻟﱠﻠ‬ mapumziko ‫ﻚ‬ ‫ﺘ‬‫ﻨ‬‫ﺕ ﺟ‬  ‫ﻮﺣٰﺎ‬‫ﺒ‬‫ﺤ‬‫ ﺑ‬‫ﻪ‬‫ﻴ‬yangu, ‫ﻲ ﻓ‬‫ﻨ‬‫ﻜ‬‫ﺃﹶﺳ‬‫ ﻭ‬Ewe ‫ﻚ‬‫ﺿٰﺎﺗ‬‫ﺮ‬‫ﻣ‬Mtekeleza ‫ﺕ‬  ‫ﻮﺟﹺﺒٰﺎ‬‫ﻟﻤ‬ ‫ﻪ‬‫ﻴ‬‫ﹺﻲ ﻓ‬haja ‫ﻓﱢﻘﹾﻨ‬‫ﻭ‬‫ﻭ‬ za waombaji.”

‫ﻦ‬‫ﻳ‬‫ﻄﹶﺮ‬‫ﻀ‬‫ ﭐﻟﹾﻤ‬‫ﺓ‬‫ﻮ‬‫ﻋ‬‫ﺐ ﺩ‬  ‫ﺠﻴ‬ ‫ ﹺ‬‫ﻳٰﺎ ﻣ‬

“Ewe Mwenyezi Mungu, nifungulie katika siku hii milango ya fadhila Zako na uniteremshie baraka Zako, Niwafikie yanayonileta kwenye radhi Zako na unituze katika ustawi wa Pepo Yako Ewe Mwitikia maombi ya walio mashakani.”

Dua Ya Siku Ya 22nifungulie “Ewe Mwenyezi Mungu, 105 katika siku hii milango ya fadhila Zako 49 na uniteremshie baraka Zako, Niwafikie

yanayonileta kwenye radhi Zako na Dua za Miezi Mitatu 31Dec(h).indd 49

1/1/2013 6:18:01 PM


‫ﻦ‬ ‫ﺬﹾﹺﻧﹺﺒﻴ‬‫ ﭐﻟﹾﻤ‬‫ﺜﹶﺮٰﺍﺕ‬‫ ﹶﻞ ﻋ‬‫ﻘﻴ‬ ‫ﻘﹾﻮٰﻯ ﭐﻟﹾﻘﹸﻠﹸﻮﺏﹺ ﻳٰﺎ ﻣ‬‫ ﺑﹺﺘ‬‫ﻪ‬‫ﻴ‬‫ ﻗﹶﻠﹾﺒﹺﻲ ﻓ‬‫ﻦ‬‫ﺤ‬‫ﺘ‬‫ﭐﻣ‬‫ﻭ‬ DUA ZA MIEZI MITATU MITUKUFU

“Ewe

Mwenyezi

Mungu,

Dua Ya Siku Ya 23

nitakase

katika siku hii nitoke dhambini, ‫ﻮﺏﹺ‬‫ﻴ‬‫ ﭐﻟﹾﻌ‬‫ﻦ‬‫ ﻣ‬‫ﻪ‬‫ﻴ‬‫ ﻓ‬mbali ‫ﻧﹺﻲ‬‫ﺮ‬‫ﻃﹶﻬ‬‫ﺏﹺ ﻭ‬ ‫ ﭐ‬‫ﻦ‬‫ ﻣ‬‫ﻪ‬‫ﻴ‬na ‫ﻠﹾﻨﹺﻲ ﻓ‬ukague ِ‫ ﭐﻏﹾﺴ‬‫ﻬﻢ‬ ‫ﺍﹶﻟﱠﻠ‬ unitakase na‫ﻮ‬‫ﻟﹾﺬﱡﻧ‬aibu ‫ﻦ‬ ‫ﺬﹾﹺﻧﹺﺒﻴ‬‫ﻤ‬wangu ‫ ﭐﻟﹾ‬‫ﺜﹶﺮٰﺍﺕ‬‫ ﹶﻞ ﻋ‬‫ﻘﻴ‬humo ‫ﻟﹾﻘﹸﻠﹸﻮﺏﹺ ﻳٰﺎ ﻣ‬kwa ‫ﻘﹾﻮٰﻯ ﭐ‬‫ ﺑﹺﺘ‬‫ﻪ‬nyoyo ‫ﻴ‬‫ ﻗﹶﻠﹾﺒﹺﻲ ﻓ‬‫ﻦ‬‫ﺤ‬‫ﺘ‬za ‫ﭐﻣ‬‫ﻭ‬ moyo takwa, EweMungu,Mwenye “Ewe Mwenyezi nitakase katikakuyapuuza siku hii nitoke dhambini, unitakase mbali na aibu na ukague moyo wangu humo kwa nyoyo za takwa, Ewe Mwenye kuyapuuza madhambi ya wenye kuteleza.”

madhambi ya wenye kuteleza.” “Ewe Mwenyezi Mungu, nitakase Dua Ya Ya 24dhambini, katika siku hii Siku nitoke “Ewe Mwenyezi Mungu, Dua Ya Siku Ya 24nakuomba unitakase mbali na aibu na ukague katika siku hii yanayokuridhisha na ‫ﻚ‬  ‫ ﹶﺫﻳ‬‫ﺆ‬‫ﺎ ﻳ‬‫ﻤ‬‫ﻣ‬wangu ‫ﻮﺫﹸ ﺑﹺﻚ‬‫ﺃﹶﻋ‬‫ ﻭ‬humo ‫ﻚ‬  ‫ﺿﻴ‬  ‫ﺮ‬‫ﻣٰﺎ ﻳ‬kwa ‫ﻪ‬‫ﻴ‬‫ﻚ ﻓ‬  nyoyo ‫ﹶﺄﻟﹸ‬‫ ﺇﹺﻧﹺﻲ ﹶﺃﺳ‬‫ﻢ‬za ‫ﻬ‬ ‫ﺍﹶﻟﱠﻠ‬ moyo najilinda Kwako na yanayokuudhi, ‫ﻴﻦ‬‫ﻠ‬‫ﺎﺋ‬‫ ﭐﹾﻟﺴ‬‫ﻮٰﺍﺩ‬‫ ﺟ‬Ewe ‫ ﻳٰﺎ‬‫ﻚ‬‫ﻴ‬‫ﺼ‬‫ٰﻻ ﺃﹶﻋ‬Mwenye ‫ﻚ ﻭ‬  ‫ﻌ‬ ‫ﻃﻴ‬ ‫ ﻷَﻥﹾ ﺃﹸ‬‫ﻪ‬‫ﻴ‬‫ﻓ‬kuyapuuza ‫ﻖ‬‫ﻴ‬‫ﻓ‬‫ﻮ‬‫ﻚ ﭐﻟﹾﺘ‬  ‫ﹶﺄﻟﹸ‬‫ﻭﹶﺃﺳ‬ takwa, nakuomba uniwafikie nikutii nisikuasi; “Ewe Mwenyeziya Mungu, nakuomba katika siku hii yanayokumadhambi wenye kuteleza.” Ewe Mpaji waKwako wanaoomba.” ridhisha na najilinda na yanayokuudhi, nakuomba uniwafikie nikutii nisikuasi; MpajiYa wa wanaoomba.” Dua YaEweSiku 24 107 Dua Ya Siku Ya 25 Dua Ya Siku Ya 25

‫ﻚ‬  ‫ ﹶﺫﻳ‬‫ﺆ‬‫ﺎ ﻳ‬‫ﻤ‬‫ ﻣ‬‫ﻮﺫﹸ ﺑﹺﻚ‬‫ﺃﹶﻋ‬‫ﻚ ﻭ‬  ‫ﺿﻴ‬  ‫ﺮ‬‫ ﻣٰﺎ ﻳ‬‫ﻪ‬‫ﻴ‬‫ﻚ ﻓ‬  ‫ﹶﺄﻟﹸ‬‫ ﺇﹺﻧﹺﻲ ﹶﺃﺳ‬‫ﻬﻢ‬ ‫ﺍﹶﻟﱠﻠ‬ ‫ﺔ‬ ‫ﻨ‬‫ﹰﺎ ﹺﺑﺴ‬‫ﺘﻨ‬‫ﺴ‬‫ ﻣ‬‫ﻚ‬‫ﺪٰﺍﺋ‬‫ﻳﹰﺎ ﻷَﻋ‬‫ﻌٰﺎﺩ‬‫ﻭﻣ‬ ‫ﻚ‬‫ﻴٰﺎﺋ‬‫ﻟ‬‫ﹰﺎ ﻷَﻭ‬‫ﺤﺒ‬  ‫ ﻣ‬‫ﻪ‬‫ﻴ‬‫ﻠﹾﻨﹺﻲ ﻓ‬‫ﻌ‬‫ ﭐﺟ‬‫ﻬﻢ‬ ‫ﺍﹶﻟﱠﻠ‬ ‫ﻴﻦ‬‫ﻠ‬‫ﺎﺋ‬‫ ﭐﹾﻟﺴ‬‫ﻮٰﺍﺩ‬‫ ﻳٰﺎ ﺟ‬‫ﻚ‬‫ﻴ‬‫ﺼ‬‫ ٰﻻ ﺃﹶﻋ‬‫ﻚ ﻭ‬  ‫ﻌ‬ ‫ﻃﻴ‬ ‫ ﻷَﻥﹾ ﺃﹸ‬‫ﻪ‬‫ﻴ‬‫ ﻓ‬‫ﻖ‬‫ﻴ‬‫ﻓ‬‫ﻮ‬‫ﻚ ﭐﻟﹾﺘ‬  ‫ﹶﺄﻟﹸ‬‫ﻭﹶﺃﺳ‬ ‫ﲔ‬‫ﺒﹺﻴ‬‫ ﻗﹸﻠﹸﻮﺏﹺ ﭐﻟﹾﻨ‬‫ﻢ‬‫ ﻳٰﺎ ﻋٰﺎﺻ‬‫ﻚ‬‫ﺒﹺﻴٰﺎﺋ‬‫ﻢﹺ ﺃﹶﻧ‬‫ﺧٰﺎﺗ‬ 50 “Ewe Mwenyezi Mungu, nijaalie katika

107 siku hii niwe ni mwenye kuwapenda

Dua za Miezi Mitatu 31Dec(h).indd 50

1/1/2013 6:18:02 PM


DUA ZA MIEZI MITATU MITUKUFU

“Ewe Mwenyezi Mungu, nijaalie katika siku hii niwe ni Wako wa mwisho, Ewe Muhifadhi

mwenye kuwapenda mawalii Wako, na niwachukie maadui Zako, nikifuata mwendo wa Mtume Wako wa mwisho, Ewe Muhifadhi nyoyo za Mitume.”

nyoyo za Mitume.”

Dua Ya Siku Ya 26 Dua Ya Siku Ya 26

‫ﻴﻪ‬‫ﻲ ﻓ‬‫ﻠ‬‫ﻤ‬‫ﻋ‬‫ﻔﹸﻮﺭﹰﺍ ﻭ‬‫ﻣﻐ‬ ‫ﻪ‬‫ﻴ‬‫ﺒﹺﻲ ﻓ‬‫ﺫﹶﻧ‬‫ﻜﹸﻮﺭﹰﺍ ﻭ‬‫ﻣﺸ‬ ‫ﻪ‬‫ﻴ‬‫ﻴﹺﻲ ﻓ‬‫ﻌ‬‫ﻞﹾ ﺳ‬‫ﻌ‬‫ ﭐﺟ‬‫ﻬﻢ‬ ‫ﺍﹶﻟﱠﻠ‬ ‫ﲔ‬‫ﻌ‬‫ﺎﻣ‬‫ ﭐﻟﹾﺴ‬‫ﻊ‬‫ﻤ‬‫ﻮﺭﹰﺍ ﻳٰﺎ ﺃﹶﺳ‬‫ﺘ‬‫ﻣﺴ‬ ‫ﻪ‬‫ﻴ‬‫ﺒﹺﻲ ﻓ‬‫ﻴ‬‫ﻋ‬‫ﻮﻻﹰ ﻭ‬‫ﻘﹾﺒ‬‫ﻣ‬ “Ewe Mwenyezi Mungu, Ijaalie katika siku hii hima yangu ni ya kuthaminiwa, na dhambi zangu ni za kusamehewa, na amali zangu ni za kukubaliwa na aibu zangu ni za kusitiriwa; Ewe Msikizi zaidi ya wanaosikiza.”

“Ewe Mwenyezi Mungu, Ijaalie katika

siku hii hima yangu ni ya kuthaminiwa,

Yani Siku Ya 27 na dhambiDua zangu za kusamehewa, na

amali zangu ni za kukubaliwa na aibu ‫ﺮﹺ‬‫ﺴ‬‫ ﭐﻟﹾﻌ‬‫ﻦ‬‫ ﻣ‬‫ﻪ‬‫ﻴ‬‫ﻮﺭﹺﻱ ﻓ‬‫ ﺃﹸﻣ‬‫ﺮ‬‫ﻴ‬‫ﺻ‬‫ﺭﹺ ﻭ‬‫ﻠﹶﺔﹶ ﭐﻟﹾﻘﹶﺪ‬‫ﻞﹶ ﻟﹶﻴ‬‫ ﻓﹶﻀ‬‫ﻪ‬‫ﻴ‬‫ﻗﹾﻨﹺﻲ ﻓ‬‫ﺯ‬‫ ﭐﺭ‬‫ﻬﻢ‬ ‫ﺍﹶﻟﱠﻠ‬ zangu ni za kusitiriwa; Ewe Msikizi ‫ﻓﺎﹰ‬‫ﺅ‬‫ ﻳٰﺎ ﺭ‬‫ﺯﺭ‬ ‫ﭐﻟﹾﻮﹺ‬‫ ﻭ‬‫ﺐ‬‫ﻲ ﭐﻟﹾﺬﱠﻧ‬‫ﻨ‬‫ﻂﱠ ﻋ‬‫ﻭﺣ‬ ‫ﻳﺮﹺﻱ‬‫ﻌٰﺎﺫ‬‫ﻞﹾ ﻣ‬‫ﭐﻗﹾﺒ‬‫ﺮﹺ ﻭ‬‫ﺴ‬‫ﺇﹺﻟﹶ ٰﻰ ﭐﻟﹾﻴ‬ zaidi ya wanaosikiza.” ‫ﲔ‬‫ﺤ‬‫ﺎﻟ‬‫ ﭐﻟﹾﺼ‬‫ﻩ‬‫ﺒٰﺎﺩ‬‫ﺑﹺﻌ‬ Dua Ya Siku Ya 27 “Ewe Mwenyezi Mungu, niruzuku katika siku hii fadhila “Ewe Mwenyezi Mungu, niruzuku

za Laylatul Qadri na nipindulie mambo yangu mazito yawe 109 katika siku hii fadhila za Laylatul Qadri 51

na nipindulie mambo yangu mazito yawe

mepesi,

Dua za Miezi Mitatu 31Dec(h).indd 51

Nikubalie

nyudhuru

1/1/2013 6:18:02 PM


DUA ZA MIEZI MITATU MITUKUFU

mepesi, Nikubalie nyudhuru zangu na nifutie madhambi na makosa, Ewe Mpole kwa waja Wake wema.”

Dua Ya Siku Ya 28

‫ﻞﹺ‬‫ﺴٰﺎﺋ‬‫ﻀٰﺎﺭﹺ ﭐﹾﻟﻤ‬‫ ﺑﹺﺈﹺﺣ‬‫ﻴﻪ‬‫ﻨﹺﻲ ﻓ‬‫ﺃﹶﻛﹾﺮﹺﻣ‬‫ﻞﹺ ﻭ‬‫ﻮٰﺍﻓ‬‫ ﭐﻟﹾﻨ‬‫ﻦ‬‫ ﻣ‬‫ﻪ‬‫ﻴ‬‫ﻈﱢﻲ ﻓ‬‫ ﺣ‬‫ﻓﱢﺮ‬‫ ﻭ‬‫ﻬﻢ‬ ‫ﺍﹶﻟﱠﻠ‬ ‫ ﺇﹺﻟﹾﺤٰﺎﺡ‬‫ﻐﻠﹸﻪ‬ ‫ﻳﺸ‬ ‫ ٰﻻ‬‫ﻦ‬‫ﻞﹺ ﻳٰﺎ ﻣ‬‫ﺳٰﺎﺋ‬‫ﻦﹺ ﭐﻟﹾﻮ‬‫ﻴ‬‫ ﺑ‬‫ﻦ‬‫ ﻣ‬‫ﻚ‬‫ ﺇﹺﻟﹶﻴ‬‫ﻠﹶﺔ‬‫ﻴ‬‫ﺳ‬‫ ﻭ‬‫ﻪ‬‫ﻴ‬‫ ﻓ‬‫ﺏ‬‫ﻗﹶﺮ‬‫ﻭ‬ ‫ﲔ‬  ‫ﻠﺤ‬‫ﭐﻟﹾﻤ‬ “Ewe Mwenyezi Mungu, lizidishe katika siku hii fungu langu kwa naafila na unikirimu, niyashughulikie majukumu yangu na unifanyie karibu njia ya kukufikia kwa njia mbalimbali, Ewe Usiyeshughulishwa na himiza za wenye kuhimiza.”

“Ewe

Mwenyezi

Mungu,

lizidishe

Siku Ya 29 katika sikuDua hii Ya fungu langu kwa naafila na

Dua Ya Siku Ya 29

unikirimu,

niyashughulikie

‫ﺮ‬ ‫ﻃﹶﻬ‬‫ﺔﹶ ﻭ‬‫ﺼﻤ‬  ‫ﭐﻟﹾﻌ‬‫ ﻭ‬‫ﻖ‬‫ﻴ‬yangu ‫ﻓ‬‫ﻮ‬‫ ﭐﻟﹾﺘ‬‫ﻪ‬‫ﻴ‬‫ﹺﻲ ﻓ‬na ‫ﻗﹾﻨ‬‫ﺯ‬‫ﭐﺭ‬‫ﻭ‬unifanyie ‫ﺔ‬‫ﻤ‬‫ﺣ‬‫ ﺑﹺﭑﻟﹾﺮ‬‫ﻪ‬‫ﻴ‬‫ﻨﹺﻲ ﻓ‬karibu ‫ ﻏﹶﺸ‬‫ﻬﻢ‬ ‫ﺍﹶﻟﱠﻠ‬ majukumu ‫ﲔ‬  ‫ﻣﹺﻨ‬ ‫ﺆ‬‫ ﭐﻟﹾﻤ‬‫ﻩ‬‫ﺒٰﺎﺩ‬‫ﺑﹺﻌ‬kwa ‫ﻤﺎﹰ‬‫ﻴ‬‫ﺣ‬‫ ﺭ‬njia ‫ ﻳٰﺎ‬‫ﺔ‬‫ﻤ‬‫ﻬ‬‫ﺘ‬mbalimbali, ‫ﺐﹺ ﭐﻟﹾ‬‫ ﻏﹶﻴٰﺎﻫ‬‫ﻦ‬‫ﻗﹶﻠﹾﺒﹺﻲ ﻣ‬ njia ya kukufikia Ewe Usiyeshughulishwa na himiza za “Ewe Mwenyezi Mungu, nitande katika siku hii kwa rehewenye kuhimiza.” “Ewe Mwenyezi Mungu, nitande katika

ma, na uniruzuku tawfiki na hifadhi, na utakase moyo wangu kutokamana na giza la shaka, Ewe Mrehemevu wa waja Wako Waumini.”

siku hii kwa rehema, na uniruzuku 52

tawfiki na hifadhi, na utakase moyo wangu kutokamana na giza la shaka,

Dua za Miezi Mitatu 31Dec(h).indd 52

1/1/2013 6:18:02 PM


DUA ZA MIEZI MITATU MITUKUFU

Dua Ya Siku Ya 30

‫ﺿٰﺎﻩ‬‫ﺮ‬‫ﻠﹶ ٰﻰ ﻣٰﺎ ﺗ‬‫ﻮﻝﹺ ﻋ‬‫ﭐﻟﹾﻘﹶﺒ‬‫ﻜﹾﺮﹺ ﻭ‬‫ ﺑﹺﭑﻟﹾﺸ‬‫ﻪ‬‫ﻴ‬‫ﻲ ﻓ‬‫ﻴٰﺎﻣ‬‫ﻞﹾ ﺻ‬‫ﻌ‬‫ ﭐﺟ‬‫ﻬﻢ‬ ‫ﺍﹶﻟﱠﻠ‬ ‫ﺪ‬ ‫ﺤﻤ‬  ‫ ٰﻧﺎ ﻣ‬‫ﺪ‬‫ﻴ‬‫ ﺳ‬‫ﻖ‬‫ﻮﻝﹺ ﺑﹺﺤ‬‫ ﺑﹺﻸُﺻ‬‫ﻪ‬‫ﻭﻋ‬‫ﻤ ﹰﺔ ﻓﹸﺮ‬ ‫ ﹶﻜ‬‫ﺤ‬‫ﻮﻝﹸ ﻣ‬‫ﺳ‬‫ ﭐﻟﹾﺮ‬‫ﺿٰﺎﻩ‬‫ﺮ‬‫ﻳ‬‫ﻭ‬ ‫ﲔ‬‫ ﭐﻟﹾﻌٰﺎﻟﹶﻤ‬‫ﺏ‬‫ﻪ ﺭ‬ ‫ﻟﻠﱠ‬‫ﺪ‬‫ﺤﻤ‬  ‫ﭐﻟﹾ‬‫ﻦ ﻭ‬ ‫ﺮﹺﻳ‬‫ ﭐﻟﹾﻄﱠﺎﻫ‬‫ﻪ‬‫ﺁﻟ‬‫ﻭ‬ Ee Mwenyezi Mungu, Ijaalie katika siku hii saumu yangu ni yenye kutambuliwa na kukubaliwa kwa namna unayoridhia na inayomridhisha Mtume, iwe na matawi thabiti kwa mashina kwa haki ya Bwana wetu Muhammad na kizazi chake kitakatifu.

Ee Mwenyezi Mungu, Ijaalie katika siku

hii

saumu

yangu

ni

yenye

Walhamdu Lillahi Rabbil Aalamiina. kutambuliwa na kukubaliwa kwa

namna unayoridhia na inayomridhisha Mtume, iwe na matawi thabiti kwa mashina kwa haki ya Bwana wetu Muhammad na kizazi chake kitakatifu. Walhamdu Lillahi Rabbil Aalamiina.

53

113

Dua za Miezi Mitatu 31Dec(h).indd 53

1/1/2013 6:18:02 PM


DUA ZA MIEZI MITATU MITUKUFU

ORODHA YA VITABU VILIVYO CHAPISHJI AL-ITRAH FOUNDATION 1.

Qur’an Al-Kariim - Tafsir Al-Kashif Juzuu ya kwanza mpaka Thalathini 2. Uharamisho wa Riba 3. Uharamisho wa uwongo Juzuu ya Kwanza 4. Uharamisho wa uwongo Juzuu ya Pili 5. Hekaya za Bahlul 6. Muhanga wa Imamu Husein (A.S.) 7. Mikingamo iliyomzunguka Imamu Ali (A.S.) 8. Hijab vazi Bora 9. Ukweli wa Shia Ithnaashari 10. Madhambi Makuu 11. Mbingu imenikirimu 12. Abdallah Ibn Saba 13. Khadijatul Kubra 14. Utumwa 15. Umakini katika Swala 16. Misingi ya Maarifa 17. Kanuni za Ndoa na maadili ya Familia 18. Bilal wa Afrika 19. Abudharr 20. Usahihi wa Historia ya Uislamu na Waislamu 21. Salman Farsi 22. Ammar Yasir 23. Qur’an na Hadithi 24. Elimu ya Nafsi 25. Yajue Madhehebu ya Shia 26. Ukusanyaji na Uhifadhi wa Qur’an Tukufu 54

Dua za Miezi Mitatu 31Dec(h).indd 54

1/1/2013 6:18:02 PM


DUA ZA MIEZI MITATU MITUKUFU

27. Al-Wahda 28. Ponyo kutoka katika Qur’an. 29. Uislamu mfumo kamili wa maisha ya kijamii 30. Mashukio ya Akhera 31. Al Amali 32. Dua Indal Ahlul Bayt 33. Udhuu kwa mujibu wa Kitabu na Sunna. 34. Haki za wanawake katika Uislamu 35. Mwenyeezi Mungu na sifa zake 36. Kumswalia Mtume (s) 37. Nafasi za Ahlul Bayt (a.s) 38. Adhana. 39 Upendo katika Ukristo na Uislamu 40. Tiba ya Maradhi ya Kimaadili 41. Maana ya laana na kutukana katika Qur’ani Tukufu 42. Kupaka juu ya khofu 43. Kukusanya swala mbili 44. Bismillah ni sehemu ya Qur’ani na husomwa kwa Jahara 45. Kuwaongoza vijana wa kizazi kipya 46. Kusujudu juu ya udongo 47. Kusheherekea Maulidi Ya Mtume (s) 48. Tarawehe 49. Malumbano baina ya Sunni na Shia 50. Kupunguza Swala safarini 51. Kufungua safarini 52. Umaasumu wa Manabii 53. Qur’an inatoa changamoto 54. as-Salaatu Khayrun Mina -’n Nawm 55. Uadilifu wa Masahaba 56. Dua e Kumayl 55

Dua za Miezi Mitatu 31Dec(h).indd 55

1/1/2013 6:18:02 PM


DUA ZA MIEZI MITATU MITUKUFU

57. 58. 59. 60.

Sauti Ya Uadilifu wa Binadamu Umaasumu wa Mitume — Faida Zake Na Lengo Lake Umaasumu wa Mitume — Majibu Ya Aya Zenye Utata Umaasumu wa Mitume — Umaasumu wa Mitume Muhammad (s) 61. Nahju’l-Balaghah — Juzuu ya Kwanza 62. Nahju’l-Balaghah — Juzuu ya Pili 63. Kuzuru Makaburi 64. Maswali Na Mishkili Elfu — Sehemu ya Kwanza 65. Maswali Na Mishkili Elfu — Sehemu ya Pili 66. Maswali Na Mishkili Elfu — Sehemu ya Tatu 67. Maswali Na Mishkili Elfu — Sehemu ya Nne 68. Maswali Na Mishkili Elfu — Sehemu ya Tano 69. Maswali Na Mishkili Elfu — Sehemu ya Sita 70. Tujifunze Misingi Ya Dini 71. Sala ni Nguzo ya Dini 72. Mikesha Ya Peshawar 73. Malezi Ya Mtoto Katika Uislamu 74. Ubora wa Imam ‘Ali Juu ya Maswahaba Na Ushia ndio njia iliyonyooka 75. Hukumu za Kifikihi zinazowahusu Wanawake 76. Liqaa-u-llaah 77. Muhammad (s) Mtume wa Allah 78. Amani na Jihadi Katika Uislamu 79. Uislamu Ulienea Vipi? 80. Uadilifu, Amani na Mtume Muhammad (s) 81. Mitala na Ndoa za Mtume Muhammad (s) 82. Urejeo (al-Raja’a ) 83. Mazingira 84. Utokezo (al - Badau) 85. Hukumu ya kujenga juu ya makaburi 56

Dua za Miezi Mitatu 31Dec(h).indd 56

1/1/2013 6:18:02 PM


DUA ZA MIEZI MITATU MITUKUFU

86. Swala ya maiti na kumlilia maiti 87. Uislamu na Uwingi wa Dini 88. Mtoto mwema 89. Adabu za Sokoni 90. Johari za hekima kwa vijana 91. Maalimul Madrasatain Sehemu ya Kwanza 92. Maalimul Madrasatain Sehemu ya Pili 93. Maalimul Madrasatain Sehemu ya Tatu 94. Tawasali 95. Imam Mahdi katika Usunni na Ushia 96. Hukumu za Mgonjwa 97. Sadaka yenye kuendelea 98. Msahafu wa Imam Ali 99. Ngano ya kwamba Qur’ani imebadilishwa 100. Idil Ghadiri 101. Kusoma sura zenye Sijda ya wajibu 102 Hukumu zinazomuhusu mkuu wa kazi na Mfanyakazi 103. Huduma ya Afya katika Uislamu 104. Sunan an-Nabii 105. Historia na sera ya viongozi wema (Sehemu ya Kwanza) 106. Historia na sera ya viongozi wema (Sehemu ya Pili) 107. Shahiid Mfiadini 108. Kusalia Nabii (s.a.w) 109. Ujumbe -Sehemu ya Kwanza 110. Ujumbe - Sehemu ya Pili 111. Ujumbe - Sehemu ya Tatu 112. Ujumbe - Sehemu ya Nne 113. Mariamu, Yesu na Ukristo kwa mtazamo wa Kiislamu 114. Hadithi ya Thaqalain 115. Maarifa ya Kiislamu 57

Dua za Miezi Mitatu 31Dec(h).indd 57

1/1/2013 6:18:02 PM


DUA ZA MIEZI MITATU MITUKUFU

116. 117. 118. 119. 120. 121. 122. 123. 124. 125. 126. 127. 128. 129. 130.

Ukweli uliopotea sehemu ya Kwanza Ukweli uliopotea sehemu ya Pili Ukweli uliopotea sehemu ya Tatu Ukweli uliopotea sehmu ya Nne Ukweli uliopotea sehmu ya Tano Johari zenye hekima kwa vijana Safari ya kuifuata Nuru Fatima al-Zahra Myahudi wa Kimataifa Kuanzia ndoa hadi kuwa Wazazi Visa vya kweli sehemu ya Kwanza Visa vya kweli sehemu ya Pili Muhadhara wa Maulamaa Mwanadamu na Mustakabali wake Imam Ali (‘a) Ndugu wa Mtume Muhammad (s) (Sehemu ya Kwanza) 131. Imam Ali (‘a) Ndugu wa Mtume Muhammad (s) (Sehemu ya Pili) 132. Khairul Bariyyah 133. Uislamu na mafunzo ya kimalezi 134. Vijana ni Hazina ya Uislamu. 135. Yafaayo kijamii 136. Tabaruku 137. Taqiyya 138. Vikao vya furaha 139. Shia asema haya Sunni asema haya Wewe wasemaje? 140. Visa vya wachamungu 141. Falsafa ya Dini 142. Azadari-Kuhuzunika na Kuomboleza 143. Sunna katika Kitabu Fiqhi al-Sunnah 144. Mtazamo Mpya — Wanawake katika Uislamu 58

Dua za Miezi Mitatu 31Dec(h).indd 58

1/1/2013 6:18:03 PM


DUA ZA MIEZI MITATU MITUKUFU

145. Kuonekana kwa Allah 146. Tabia njema kwa Mujibu wa Ahlul-Bayt (Sehemu ya Kwanza) 147. Tabia njema kwa Mujibu wa Ahlul-Bayt (Sehemu ya Pili) 148. Ndugu na Jirani 149. Ushia ndani ya Usunni 150. Maswali na Majibu 151. Mafunzo ya hukmu za ibada 152. Ahlul Bayt ndani ya tafsiri za Kisusunni No 1 153 Ahlul Bayt ndani ya tafsiri za Kisusunni No 2 154. Ahlul Bayt ndani ya tafsiri za Kisusunni No 3 155. Abu Huraira 156. Vipengee kadhaa katika Swala ya Jamaa na Msikiti. 157. Mazingatio kutoka katika Qur’an — Sehemu ya Kwanza 158. Mazingatio kutoka kaitka Qur’an — Sehemu ya Pili 159. Mazingatio kutoka katika Uislamu — Sehemu ya kwanza 160. Mazingatio kutoka katika Uislamu — Sehemu ya Pili 161. Qur’ani Tukufu — Pamoja na Tarjuma ya Kiswahili 162. Falsafa ya Mageuzi ya Imam Husein (a.s) 163. Amali za Mwezi Mtukufu wa Ramadhani 164. Elimu ya Tiba za Kiislamu — Matibabu ya Maimamu 165. Uislamu Safi 166. Majlisi za Imam Husein Majumbani 167. Mshumaa. 168. Uislam wa Shia 169. Amali za Makka 170. Amali za Madina 171. Asili ya Madhehebu katika Uislamu 172. Sira ya Imam Ali kuhusu Waasi 59

Dua za Miezi Mitatu 31Dec(h).indd 59

1/1/2013 6:18:03 PM


DUA ZA MIEZI MITATU MITUKUFU

173. Ukweli uliofichika katika neno la Allah 174. Uislamu na Mifumo ya Uchumi 175. Umoja wa Kiislamu na Furaha 176. Mas’ala ya Kifiqhi 177. Jifunze kusoma Qur’ani 178. As-Sahifatul Kamilah as-Sajjadiyyah 179. Hayya ‘Alaa Khayri’l-’Amal Katika Adhana 180. Ukweli kuhusu Funga ya Siku ya Ashura 181. Dua za Miezi Mitatu Mitukufu (Rajabu, Shaabani na Ramadhani) 182. Uadilifu katika Uislamu 183. Mahdi katika Sunna 184. Jihadi ya Imam Hussein (‘as) 185. Kazi na kujituma ni njia ya maendeleo 186. Abu Talib — Jabali Imara la Imani 187. Ujenzi na Utakaso wa Nafsi 188. Vijana na Weledi juu ya Mustakabali 189. Usalafi — Historia yake, maana yake na lengo lake 190. Ushia — Hoja na Majibu 191. Mateso ya Dhuria wa Mtume (saww)

Kopi NNE ZIFUATAZO ZIMETAFSIRIWA KWA LUGHA KINYARWanda 1. 2. 3. 4.

Amateka Na Aba’Khalifa Nyuma yaho naje kuyoboka Amavu n’amavuko by’ubushiya Shiya na Hadithi

60

Dua za Miezi Mitatu 31Dec(h).indd 60

1/1/2013 6:18:03 PM


Turn static files into dynamic content formats.

Create a flipbook
Issuu converts static files into: digital portfolios, online yearbooks, online catalogs, digital photo albums and more. Sign up and create your flipbook.