Misingi ya wilayatul faqihi

Page 1

MISINGI YA WILAYATUL-FAQIHI Hoja na Majibu

Kimeandikwa na: Syed Jawad Naqvi

45_14_MISINGI YA WILAYA _29_Nov_2014.indd 1

12/12/2014 1:52:02 PM


‫ترجمة‬

‫والية الفقيه‬

‫تأ ليف‬ ‫السيد الجواد النقوي‬

‫من اللغة اإلنجليزية الى اللغة السواحلية‬

‫‪12/12/2014 1:52:02 PM‬‬

‫‪45_14_MISINGI YA WILAYA _29_Nov_2014.indd 2‬‬


©Haki ya kunakili imehifadhiwa na: AL-ITRAH FOUNDATION ISBN: 978 – 9987 – 17 – 099 – 9 Kimeandikwa na: Syed Jawad Naqvi Kimetarjumiwa na: Alhaj Ramadhani S. K. Shemahimbo Kimehaririwa na: Alhaj Hemedi Lubumba Selemani Kimepitiwa na: Mubarak A Tila Kimepangwa katika Kompyuta na: Al-Itrah Foundation Toleo la kwanza: Juni, 2015 Nakala: 1000 Kimetolewa na kuchapishwa na: Alitrah Foundation S.L.P. - 19701, Dar es Salaam, Tanzania Simu: +255 22 2110640 / 2127555 Barua Pepe: alitrah@yahoo.com Tovuti: www.ibn-tv-com Katika mtandao: www.alitrah.info

45_14_MISINGI YA WILAYA _29_Nov_2014.indd 3

12/12/2014 1:52:02 PM


Yaliyomo Neno la Mchapishaji........................................................................ 1 Wilayatul-Faqiih – Jambo lisilojulikana sana.................................. 5 Serikali ya Kiislam – Sharti la Kuielewa Wilayatul-Faqihi............. 4 Kipingamizi katika mfululizo wa masomo ya Seminari.................. 5 Dini na Siasa.................................................................................... 6 Upana wa Uislamu........................................................................... 9 Hukmu na Mfumo katika Uislamu................................................ 13 Kutokuielewa Misingi ya Dini....................................................... 13 Haja ya Dini................................................................................... 14 Misingi inayokosekana kwenye kiini cha Silabasi........................ 15 Mukhtasari wa Misingi ya Wilayatul-Faqihi................................. 18 Wilayat – Mfumo pekee wa Kimungu........................................... 20 Majibu juu ya Shaka na Mabishano....................... 23 Swali la Kwanza:........................................................................... 23 Swali la Pili:................................................................................... 32 Swali la Tatu:................................................................................. 38 Swali la Nne:.................................................................................. 41 Swali la Tano:................................................................................. 47 Swali la Sita:.................................................................................. 49 Swali la Saba:................................................................................. 51 Swali la Nane:................................................................................ 56 Swali la Tisa:.................................................................................. 58 Swali la Kumi:............................................................................... 62 Swali la Kumi na moja:.................................................................. 62 Swali la Kumi na mbili:................................................................. 62 Swali la Kumi na tatu:.................................................................... 63 Swali la Kumi na nne:.................................................................... 65

45_14_MISINGI YA WILAYA _29_Nov_2014.indd 4

12/12/2014 1:52:02 PM


MISINGI YA WILAYATUL-FAQIHI

َّ‫ب ْسم ه‬ ‫يم‬ َّ ‫الر ْح َم ِٰن‬ َّ ِ‫الل‬ ِ ‫الر ِح‬ ِ ِ NENO LA MCHAPISHAJI

K

itabu ulichonacho mikononi mwako asili yake ni cha lugha ya Kiingereza kwa jina la, Wilayat-e-Faqeeh, kilichoandikwa na Ustadh Syed Jawad Naqvi. Sisi tumekiita Misingi ya Wilayatul-Faqih – Hoja na Majibu. Suala la utawala au uwalii wa fakihi limezua maoni pinzani miongoni mwa Mashia; wako wanaoliunga mkono suala hili, na wako wanaolipinga na pia wako ambao hawalipingi wala kulikubali moja kwa moja. Lakini tatizo ni kwamba suala hili ni la kielimu zaidi, na huhitaji mtu kuwa na elimu ya kutosha kuweza kulielewa vizuri. Na kwa vile suala hili halikuwa likifundishwa katika vyuo vyetu vya kidini (kama ambavyo mwandishi anabainisha hili katika maelezo yake), basi limekuwa tata si kwa watu wa kawaida tu bali hata kwa wanazuoni wa dini. Hivyo, mwandishi wa kitabu hiki anajaribu kuelezea kwa utaratibu mzuri wa kielimu ili kulifanya suala hili lieleweke vizuri kwa watu wote bila ya kuleta mkanganyiko wowote katika jumuiya yetu. Kwa hiyo, watu wakisome kitabu hiki kwa nia njema ya kutaka kuelewa na kuondokana na dhana potofu juu ya suala hili. Ni matumaini yetu kwamba wasomaji wetu watazingatia maneno yetu hayo hapo juu na kufuatana na mwandishi wa kitabu hiki ili wapate kunufaika na yaliyomo humu. Mwisho wa kitabu hiki kuna maswali na majibu ambayo mwandishi ameyaweka makusudi kutokana na mazingira yaliyopo juu ya suala hili ili kujaribu kuondoa utata uliopo. 1

45_14_MISINGI YA WILAYA _29_Nov_2014.indd 1

12/12/2014 1:52:02 PM


MISINGI YA WILAYATUL-FAQIHI

Tunamshukuru ndugu yetu Alhaj Ramadhani S. K. Shemahimbo kwa kufanikisha tarjuma ya kitabu hiki katika lugha ya Kiswahili, pia na wale wote waliosaidia kwa njia moja au nyingine hadi kufanikisha kuchapishwa kwake na kuwa mikononi mwa wasomaji. Allah awalipe wote malipo mema hapa duniani na kesho Akhera pia. Amin! MCHAPISHAJI AL-ITRAH FOUNDATION

2

45_14_MISINGI YA WILAYA _29_Nov_2014.indd 2

12/12/2014 1:52:02 PM


MISINGI YA WILAYATUL-FAQIHI

‫بسم اهلل الرحمن الرحيم‬ WILAYATUL-FAQIIH JAMBO LISILOJULIKANA SANA

W

ilayatul-Faqih ni jambo geni lisilojulikana sana, sio tu kwenye ulimwengu wa kisiasa bali pia hata miongoni mwa Shi’ah. Duniani kote, Wilayatul-Faqihi sio sehemu ya silabasi ya somo lolote katika nyanja ya elimu ya siasa. Katika Seminari za Kiislam, Wilayatul-Faqihi haikujumuishwa kama somo la lazima katika mfululizo wowote ule wa masomo. Kama wanachuoni wote wa Kishi’ah na Kisunni hawana ufahamu mzuri wa mada hii, watu wa kawaida hawategemewi kwa kawaida kujua zaidi juu ya mada hii vilevile. Utekelezaji wa mfumo wa Wilayatul-Faqihi nchini Irani ulikuwa ni wa ghafla kwa ulimwengu, na uliachwa kwenye mkanganyiko na wasiwasi mkubwa juu yake. Katika akili za watu wa dunia, dhana hii haikuendelezwa taratibu, na mahusiano hayakujengwa kabla ya kuwa kwake halisia. Nadharia iliyotokeza ghafla, na kwamba pia ikawa inatekelezwa, ikawa ni suala linalokera na kutia wasiwasi kwa wengi. Katika miaka thelathini zama za baada ya Mapinduzi ya Kiislamu, vurugu hii na mkanganyiko huu ulipaswa kuwa umemalizika, lakini mpaka sasa bado haujaisha. Suala la Wilayatul-Faqihi linajitokeza tu katika baadhi ya majadiliano na picha inayoonekana katika akili zetu vilevile inakuwa ya utusitusi, yenye giza. Sote tuna heshima na mapenzi juu ya Wilayatul-Faqihi bali picha tuliyonayo katika akili zetu ni ya uvunguvungu sana. Haiko wazi na yenye kupambanuka na hili kwa kweli linaeleweka, kwani haikufanyika juhudi kubwa ya kulifafanua 3

45_14_MISINGI YA WILAYA _29_Nov_2014.indd 3

12/12/2014 1:52:02 PM


MISINGI YA WILAYATUL-FAQIHI

suala hili. Licha ya kuwa ni jambo muhimu sana na suala la msingi, linagusiwa ama kuzungumziwa kwa nadra sana. Ili kulielewa suala hili, tutapaswa kuanza na misingi yake. Hii ina maana ya kuelewa vile vipengele vya msingi vya dini ambavyo baada yake kuielewa Wilayatul-Faqihi kuje kufuatia.

Serikali ya Kiislam Sharti la Kuielewa Wilayatul-Faqihi Wilayatul-Faqihi ni sura ya Kishi’ah ya serikali ya Kiislam na ndio ufafanuzi hasa wa Serikali ya Kiislam katika kipindi cha Ghaibu Kubwa ya Imam al-Mahdi (atfs). Msingi halisi hasa ni al-Wilayat, lakini katika kipindi cha Ghaibu Kubwa (Ghaibat al-Kubra), inakuwa ni Wilayatul-Faqihi. Kwa vile hii ndio sura ya Kishi’ah ya serikali ya Kiislam, inamaanisha kwamba kwanza tutapaswa kugeukia kwenye dhana ya utawala wa Kiislam – kama hatuna elimu yoyote juu ya utawala wa Kiislam, basi suala la Wilayatul-Faqihi linakuwa halibebi maana yoyote ile. Katika nyingi ya tafsiri za kisasa za Uislamu, suala la serikali ya Kiislamu halijadiliwi kabisa. Kuna silabasi pana sana ya Uislamu ambayo kwa kawaida inafundishwa kwenye Seminari za Kishi’ah lakini somo hili halijumlishwi ndani yake. Kama tunavyotambua, ili mtu kuwa Faqihi, anapaswa kujitolea muhanga kwa miaka thelathini au arobaini ya maisha yake ili kufikia hadhi hii ya kupata ubingwa wa kung’amua Shari’ah (fiqhi) ya Kiislamu. Katika miaka hii thelathini au arobaini ya masomo ya Kiislamu, na pia katika mfululizo wa masomo (kozi) ya Kiislamu wa Shi’ah ambao unafundishwa kwenye seminari, hakuna kabisa mjadala kuhusu serikali ya Kiislamu. Kuna mwonekano mmoja wa Wilayatul-Faqihi katika fiqhi yetu ya 4

45_14_MISINGI YA WILAYA _29_Nov_2014.indd 4

12/12/2014 1:52:02 PM


MISINGI YA WILAYATUL-FAQIHI

kawaida (sheria tendani) chini ya mjadala wa sheria za mapatano ya kibiashara, katika mjadala wa kuuza bidhaa za mtu mwingine bila idhini yake. Katika mjadala huu, Marhum Sheikh Ansariy alichokonoa hoja ya Wilayatul-Faqihi. Katika mfululizo mzima wa masomo wa historia yetu ya miaka 1000 ya elimu ya seminari, mjadala kuhusu Wilayatul-Faqihi umefikia kiwango hiki tu basi. Utawala wa Kiislamu au Wilayatul-Faqihi (Utawala wa Mwanafikihi) wala sio somo katika kiwango cha juu cha masomo ya dini katika seminari za Kishi’ah, au sehemu ya mfululizo wa masomo wowote ule.

Kipingamizi katika mfululizo wa masomo ya Seminari: Allamah Tabatabai alionyesha wasiwasi kuhusu masomo yetu ya seminari jambo ambalo linaonekana kama ni nyeti na wanachuoni wengi hawapendi mambo kama hayo yajadiliwe hadharani, lakini tunapaswa kupata nadhari ya watu katika mambo kama haya. Katika juzuu ya 6 ya Tafsiir al-Miizan, Allamah Tabatabai anasema kwamba, kuanzia wakati mwanafunzi anapoingia kwenye seminari yetu, hadi miaka thelathini ya masomo yake, ambapo anafikia kiwango cha kuwa faqihi, anaweza akapata shahada ya sheria za Kiislamu bila kufungua Qur’ani japo hata kwa siku moja. Hii ni kwa sababu Qur’ani yenyewe haikuingizwa kama sehemu ya silabasi. Hivyo, licha ya kuwa mjinga wa kutokujua Qur’ani, mtu anaweza akahitimu masomo yake ya elimu ya Kiislamu. Jambo hilohilo linaibuka kuhusu suala la Wilayatul-Faqihi. Somo hili halionekani popote katika silabasi yetu, hivyo ni kawaida kwamba wote, wanachuoni na ummah kwa jumla hawana ufahamu juu ya jambo hili. Ikiwa Shi’ah mwenyewe anachanganyikiwa na kutatanishwa kuhusu WilayatulFaqihi, basi ni vipi atawalingania wengine kwenye jambo hili? Leo 5

45_14_MISINGI YA WILAYA _29_Nov_2014.indd 5

12/12/2014 1:52:02 PM


MISINGI YA WILAYATUL-FAQIHI

hii, wakati neno Wilayatul-Faqihi linapotokeza, akili zetu zinakimbilia Irani na tunaona kwamba hii ni serikali ya Irani. Haya ni matokeo ya shaka na wasiwasi uliopo kwenye akili zetu kuhusiana na suala hili. Tunadhani kwamba jina la pili la serikali ya Irani ni Wilayatul-Faqihi! Dini na Siasa: Wilayatul-Faqihi inakuja kwenye mjadala makhsusi juu ya uelewa wa Uislamu. Nadharia ya Wilayatul-Faqihi inatabiriwa juu ya mjadala juu ya Serikali ya Kiislamu. Kwanza kabisa, tunahitaji kujadili jambo hili kuhusiana na kipindi cha wakati wa kuwepo kwa Maimam (a.s.), na kisha tujadili jambo hili kwa kuhusiana na kipindi cha Ghaibu Kubwa. Kwanza, kwa kuwepo kwa Imam Maasumu (a.s.) ni aina gani ya Serikali inayotakikana na muundo wake unapaswa uwe vipi? Kama tunaamini kwamba hatuna haja ya serikali ya Kiislamu hata wakati wa kuwepo Imam Maasumu (a.s.) na inatosha kuwa na ubepari, udikteta, demokrasia au muundo wowote wa utawala, basi hakuna haja ya kujadili ni muundo gani wa utawala unaopendekezwa na Uislamu wakati huu wa kipindi cha Ghaibu Kubwa. Mjadala juu ya Serikali ya Kiislamu unaibuka tu pale kunapokuwepo na nafasi ya siasa katika Uislamu, wakati dini ikiwa na siasa ndani yake, au tunaweza kusema kwamba dini ni ya kisiasa. Lakini kama tumejifunza Uislamu ambao ndani yake hata kivuli cha siasa hakionekani, basi hakuna haja ya kuendeleza mbele mjadala huu. Imam Khomeini (r.a) wakati alipokuwa ameshikiliwa na SAVAK (S zem n-e Ettel’t va Amniyat-e Keshvar – Shirika la Kijasusi la Usalama wa Taifa) katika gereza lao, mkuu wa Savak alikuja na akamwambia: “Agha wewe ni mtu safi, mwaminifu, uliyejitoa na mchamungu. Hivyo kwa nini unajiingiza kwenye siasa, kwa sababu siasa ni shughuli ya watu washenzi.” Imam 6

45_14_MISINGI YA WILAYA _29_Nov_2014.indd 6

12/12/2014 1:52:02 PM


MISINGI YA WILAYATUL-FAQIHI

Khomeini akajibu kwamba maelezo haya ya siasa ni sawasawa kabisa na alivyosema, lakini kwake yeye Imam (r.a.) siasa ni dini. “Wewe unashauri niachane na siasa, ambayo kwa maneno mengine unanitaka niache dini yangu,” alisema Imam Khomeini. Akaendelea kusema: “Umewahi kumuona Faqihi yeyote akiacha dini yake na akaendelea kuwa Faqihi (mwanasheria wa Kiislam)? Utajiri wote wa Faqihi unatengenezwa na dini yake.” Dini kwa ujumla wake wote ni siasa kwa mujibu wa Imam Khomeini (r.a.). Wapo wanachuoni na Mafaqihi wanaosema kwamba hakuna siasa katika Uislamu na kwamba hawawezi kuiona siasa mahali popote katika mafundisho ya kidini, ambapo yeye Imam Khomeini (r.a) anasema kwamba yeye hawezi kuona chochote kile mbali na siasa katika dini hii tukufu. Dini inashirikisha siasa, bali sio haya maandiko ya kisiasa yaliyopo katika mataifa mengi leo hii. Dhulma, uongo, ulaghai, ughushi, udanganyifu, usaliti na kadhalika – yote haya sio siasa bali ni njia bainifu za kishetani. Huu ndio uliokuwa wito wa Imam Khomeini (r.a.) ambao aliuchukua kutoka kwa mwanachuoni mwingine: “Siasa ndio msingi wa dini yangu na dini ndio msingi wa siasa yangu.” Wajibu wote wa kidini juu ya ibada na mambo mengine yote ni ya kisiasa. Hivyo kwanza kabisa tunapaswa kusimamisha muunganisho kati ya dini na siasa, hapo tu ndipo mjadala huo unaweza kusonga mbele. Kama ilivyosemwa hapo mapema, hatuoni japo kiasi kidogo cha mjadala kuhusu Serikali ya Kiislamu katika silabasi yetu, na hata kama tutaona dalili ndogo, huwa inakuja chini ya mjadala wa suala la shughuli haramu. Hii ni kwa sababu hii dini tuliyonayo sasa haina uhusiano wowote na siasa. Kwanza kabisa uhusiano kati ya dini na siasa unapaswa kueleweka, baada ya hapo suala la serikali linaibuka. Imam Khomeini (r.a.) anasema moja ya msiba mkubwa kwa Uislamu ni kutenganishwa kwa dini na siasa. Anatoa analojia 7

45_14_MISINGI YA WILAYA _29_Nov_2014.indd 7

12/12/2014 1:52:02 PM


MISINGI YA WILAYATUL-FAQIHI

(ulinganisho kwa kufananisha vitu viwili) ya dini ambayo imetenganishwa na siasa kama ni ‘Tahajjur’ iliyodorora na kutuama kama jiwe. Tahajjur maana yake ni kudumaa, hali ya kuwa na akili finyu, yenye kuchukiza, dini yenye mipaka iliyofungika kwenye vitendo vichache vya kiibada. Imam Iqbal alitoa jina la “Khanqahaiyat” (tafsiri ya utawa au usufi ya Uislamu ambao wafuasi wake wamejitenga na jamii na mambo yake) kwa aina hii ya dini. Yeye anasema kwamba kama dini imetengwa na siasa, basi hapo siasa hugeuka kuwa ni ushenzi, ukatili; na kama siasa imetengwa na dini inageuka kuwa utawa. Leo hii katika bara kubwa la Hindi – India na Pakistan - ndani ya bara la Asia kuna ukatili kwa jina la siasa, na Usufi kwa jina la dini, uwe mwenye kuhusika tu na mambo yako binafsi ya kidini na usijichukulie kuwa mwenye wajibu na jambo lolote la kijamii. Wewe ushughulike tu na tasbihi yako. Huu ni mnong’ono wa Shetani kutaka kuwaondoa watu mbali na Uislamu – kwa kuutumia Uislamu wenyewe kama zana au chombo. Shetani hatakutaka wewe kwa dhahiri kuuacha Uislamu, bali atakuwasilishia muundo wa Uislamu uliopotolewa na kukushawishi na kukuvuta kuelekea huko. Uislamu huu wa kuvuta tasbihi na nyuradi katika nyakati na nafasi mbalimbali unamshughulisha sana mtu na kumchukulia muda wake kiasi kwamba hapati hata muda wa kujishughulisha kuhusu mambo ya watu wengine. Katika Uislamu ambao ni Tahajjur, uliokakamaa na kufanana na jiwe, huwa haiwezekani kuwa na mjadala wa Wilayatul-Faqihi. Kuna wanachuoni wengi ambao wamesoma fasihi ya Kiarabu tu (Sarf na Nahw) na wakawa wamepewa cheo cha “Hujjatul Islam” katika fasihi ambayo wameisomea, basi ni wapi watakapouona mjadala wa Wilayatul-Faqihi? Leo hii hakuna hoja za kielimu walizonazo wanachuoni wanaopinga Wilayatul-Faqihi, na hoja waliyonayo tu ni kwamba katika vitabu walivyosoma huko kwenye seminari zao 8

45_14_MISINGI YA WILAYA _29_Nov_2014.indd 8

12/12/2014 1:52:02 PM


MISINGI YA WILAYATUL-FAQIHI

hamkuwa na mada ya Wilayatul-Faqihi. Wako sahihi kwa sababu vitabu walivyosoma ni vya fasihi tu na ala zake – hawakuusoma Uislamu. Kama wangeusoma Uislamu, ni hapo tu ndipo wangekutana na mada ya Wilayatul-Faqihi. Hawakuwa na ujasiri wa kutosha wa kutumia muda wao wa ziada kujifunza Uislamu vilevile, baada ya kujifunza fasihi. Mtu aliyedumaa hawezi kujua uhalisia wa Wilayatul-Faqihi kwa sababu hakujifunza dini yote kwa ukamilifu wake.

UPANA WA UISLAMU Qur’ani tukufu kwa ukali kabisa inashutumu moja ya sifa za uovu wa Bani Israili, ambayo ni kwamba wao walichukua baadhi ya sehemu za dini na wakaacha sehemu yake iliyobakia. Walijifunza sehemu tu ya dini na sio dini yote. Walikuwa wakichagua baadhi ya mambo waliyoyapenda kutoka kwenye dini. Ni sawa na vyakula tulivyonavyo kwenye migahawa siku hizi ambamo wageni wanakaribishwa kuchukua chakula cha chaguo lao kutoka kwenye meza iliyopangwa vyakula. Hiki ndicho ambacho makhatibu wanachofanya: Wanachagua baadhi ya Aya kutoka kwenye Qur’ani na wanazitumia hizo tu kwenye hotuba zao ambamo juu yake wanaweza kupata sifa. Hawazigusi Aya za yaliyo halali na haramu kwa sababu hakuna atakayewasifia juu ya Aya hizo katika hotuba zao. Shahid Ayatullah Mutahhari anasema kwamba muundo wa Uislamu ni sawa na ule wa mwili wa binadamu, ambamo utaweza kuelewa kazi ya kiungo iwapo tu utaelewa kazi ya mwili mzima kwa ujumla wake. Huwezi kubobea katika kiungo kimoja tu kama vile jicho, moyo au ini bila kuelewa mifumo ya mwili mzima inavyofanya kazi. Mabingwa wa viungo vya mwili kwanza wanatakiwa wajifunze 9

45_14_MISINGI YA WILAYA _29_Nov_2014.indd 9

12/12/2014 1:52:02 PM


wanazitumia hizo tu kwenye hotuba zao ambamo juu yake wanaweza kupata sifa. Hawazigusi Aya za yaliyo halali na haramu kwa sababu hakuna atakayewasifia juu ya Aya hizo katika hotuba zao. MISINGI YA WILAYATUL-FAQIHI Shahid Ayatullah Mutahhari anasema kwamba muundo wa Uislamu ni sawa na ule wa mwili wa binadamu, ambamo utaweza kuelewa kazi ya kiungo iwapo tu utaelewa kazi ya mwili mzima kwa ujumla wake. Huwezi kubobea mfumo wa mwili mzima kwa jumla kwa sababu hawawezi kubobea katika kiungo kimoja tu kama vile jicho, moyo au ini bila kuelewa mifumo kwenye kiungo kimoja maalum bila kuelewa mfumo kamili wa ya mwili mzima inavyofanya kazi. Mabingwa wa viungo vya mwili kwanza mwili wajifunze wa binadamu, vivyo inavyokuwa kwa kwa Uislamu wanatakiwa mfumo wahivyo mwilindio mzima kwa jumla sababu ambamo huwezi kubobea kwenye sehemu mojabila ya kuelewa Uislamu bila hawawezi kubobea kwenye kiungo kimoja maalum mfumo mzima wa Uislamu. ukijifunza fiqhi bila kamili kuuelewa wa mwili mfumo wa binadamu, vivyo hivyo Kama ndio inavyokuwa kwatuUislamu kujishughulisha kuhusu ujumla wa Uislamu basiUislamu unajifunza ambamo huwezi kubobea kwenye sehemu moja ya bilasehemu kuuelewa moja ya kumi na mbili ya Uislamu, kwa sababu Aya zinazohusiana mfumo mzima wa Uislamu. Kama ukijifunza fiqhi tu bila kujishughulisha fiqhi zinachukua moja ya kumi na mbili zote kuhusuna ujumla wa Uislamusehemu basi unajifunza sehemu mojaya yaAya kumi nandani mbili ya Uislamu, sababu AyaSheria zinazohusiana na fiqhi zinachukua moja ya kwa Qur’ani nzima. za kiutendaji za fiqhi haziundisehemu Uislamu ya kumikwa na mbili ya Aya zote ndani ya Qur’ani nzima. Sheria za kiutendaji jumla yake, na endapo faqihi atajifunza sheria za kifiqhi tu, basi za fiqhi haziundi kwa sehemu jumla yake, atajifunza sheria za atakuwaUislamu amejifunza mojanayaendapo kumi faqihi na mbili ya Uislamu. kifiqhi Neno tu, basi atakuwa amejifunza sehemu moja ya kumi na mbili Faqihi lililotumika kwenye Wilayatul-Faqihi halina maana ya Uislamu. Faqihi lililotumika kwenye Wilayatul-Faqihi halina maana ya Neno mwanasheria wa fiqihi peke yake, bali linamaanisha Faqihi – ya mwanasheria wa fiqihi peke yake, bali linamaanisha Faqihi – Mwanasheria Mwanasheria wa dini kwa ujumla wake. Mwanasheria wa fiqihi ndio wa dini kwa ujumla wake. Mwanasheria wa fiqihi ndio istilahi ya istilahi ya wanachuoni, ambapo istilahi ya Qur’ani ya neno maana wanachuoni, ambapo istilahi ya Qur’ani ya neno maana yake ni Faqih wa yake ni Faqih wa dini kwa jumla. dini kwa jumla.

…….. Ç⎯ƒÏe$!$# ’Îû (#θßγ¤)xtGuŠÏj9 ×πxÍ←!$sÛ öΝåκ÷]ÏiΒ 7πs%öÏù Èe≅ä. ⎯ÏΒ txtΡ Ÿωöθn=sù *4 “Kwa nini kisitoke kikundi katika kabila miongoni mwaokujifunza kuji“Kwa nini kisitoke kikundi katika kila kila kabila miongoni mwao funza dini…..” (9:122) dini…..” (9:122) Aya inasema ‘Tafaqqahu fid-Diin’ ambayo ina maana ya mwenye Aya inasema ‘Tafaqqahu inakamili maanawa yadini. mwenye kuitambua dini, mtufid-Diin’ ambaye ambayo ana uelewa Siasakuitambua katika dini, mtu ambaye ana uelewa kamili wa dini. Siasa katika dini itaeleweka tu dini itaeleweka tu pale upana wa dini utakapokuwa umeeleweka, pale upana wa dini utakapokuwa umeeleweka, na upana huo utaeleweka na upana huo utaeleweka wakati tu falsafa ya dini itakapokuwa wakati tu falsafa ya dini itakapokuwa imeeleweka, huu ndio msingi wa imeeleweka, huu ndio msingi wa Wilayatul-Faqihi. Wilayatul-Faqihi.

Kwanza kabisa, tunapaswa kujifunza dini kwa ujumla wake, Kwanzandio kabisa, kujifunza kwahiiujumla wake, ndio hapo hapo tunapaswa tutakapoweza kuielewadini dhana ya Wilayatul-Faqihi. tutakapoweza kuielewa dhana hii ya Wilayatul-Faqihi. Tunakwenda Tunakwenda kuifuatilia riwaya moja au hadithi kuhusiana na kuifuatilia riwaya moja au hadithi kuhusiana na Wilayatul-Faqihi na vilevile 10

45_14_MISINGI YA WILAYA _29_Nov_2014.indd 10

10 12/12/2014 1:52:03 PM


MISINGI YA WILAYATUL-FAQIHI

Wilayatul-Faqihi na vilevile hadithi hii inategemea pia katika usahihi wa sanadi yake ya wapokezi. Hii inamaana kwamba mfumo mzima wa Uislamu unategemea juu ya tabia ama ukweli wa msimulizi mmoja. Kama mtu atadhoofisha hadhi ya msimuliaji huyo na kusema kwamba si wa kutegemewa, hii inamaana kwamba uthabiti umepotea. Kama uthabiti au uaminifu umepotea, hukmu zilizochukuliwa kutokana na msingi wake zinakuwa zimepotea. Kama hukmu zinapotea na utawala nao unapotea, Wilayat inapotea na Uislamu unapotea – yote haya kwa kudhoofisha na kuvunja tu hadhi ya msimulizi mmoja. Huu sio mtazamo madhubuti kwenye Uislamu. Kama mtu atajifunza Uislamu mkamilifu kama alivyofanya Imam Khomeini (r.a.) yale mapungufu kuhusiana na mada hii yatapotea, Faqihi au utawala wa Kiislamu akielezea kwamba Wilayatul-Faqihi ndio sura ya Ki-Shi’ah ya Serikali ya Kiislamu. Yeye anasema kwamba Wilayatul-Faqihi ni miongoni mwa Awwalliyaat (imara na dhahiri ambayo ni istilahi ya kitheolojia). Awwalliyaat ni yale mambo ambayo hayahitaji ushahidi au uthibitisho wowote ule na kwa kweli hakuna ushahidi wowote unaoweza kutolewa juu ya mambo haya. Ina maana kwamba haya ni mambo ya msingi ambayo yako wazi na dhahiri kabisa kiasi kwamba hayahitaji ushahidi au uthibitisho, na kama mtu atajaribu kuleta uthibitisho juu ya mambo haya, ataishia kwenye kukanganyikiwa. Imam Khomeini (r.a.) anasema kwamba Wilayatul-Faqihi sio miongoni mwa mambo ya baada (yaani ya kufuatia mengine). Bali ndio jambo la msingi na la mbele kabisa ambalo halihitaji ufafanuzi au ushahidi. Mambo kama haya hayahitaji uthibitisho pia, na kwa kuvuta taswira tu kichwani juu ya hili, linakuwa ni ushahidi. Ni kutoka wapi alikolipata hili Imam Khomeini? Kutoka kwenye kujifunza Uislamu kwa ujumla wake. 11

45_14_MISINGI YA WILAYA _29_Nov_2014.indd 11

12/12/2014 1:52:03 PM


MISINGI YA WILAYATUL-FAQIHI

Imam (r.a.) ameandika vitabu vitatu juu ya Swala: kimojawapo ni Tahrirurul-Wasiilah ambacho kina fiqhi juu ya swala; cha pili ni Aadabus-Swalaat ambacho kinaelezea adabu za swala na cha tatu ni Asraarus-Swalaat ambacho kinaelezea juu ya kipengele cha kifalsafa na kiroho cha swala. Ni nani anayeweza kuielezea swala kwa upana mkubwa kama huo? Ni yule tu ambaye amejifunza Uislamu kikamilifu kabisa. Lakini kwa yule ambaye amejifunza taratibu za kifiqhi tu kamwe hawezi kufikia kiwango cha kuweza kufyonza na kuelewa uhalisia kama ambacho amekifikia Imam Khomeini (r.a.). Imam Khomeini ni mwanairfaan (Gnostic) kamili, mwanafalsafa kamili, mtu wa maadili kamilifu, mwanafikra kamili, mtambuzi mahiri wa Qur’ani na hadithi. Zaidi ya yote, Imam (r.a.) alianzisha chanzo cha kipekee cha kupatia hukmu katika dini ambacho hakuna faqihi mwingine wa kabla yake aliyefanya hivyo. Chanzo hicho ambacho Imam (r.a.) alikianzisha kama chanzo kingine cha kupatia hukmu za Kiislamu ambacho hakuna mwingine aliyekitumia ni tabia ya Maasumina. Watu wengi wanatumia neno sira (tabia) lakini hasa ni Sunnah, hadithi na semi. Imam (r.a.) alianzisha serikali ya Kiislamu iliyoegemea juu ya sira ya Imam Ali (as), Imam Hasan (as) na mwenendo wa Bwana wa Mashahidi, Imam Huseini (as) ambaye huyu ndiye aliyekuwa msingi wa mapinduzi yake. Yeye anasema kwamba mwenendo wa Mtukufu Mtume (saww) ni wa kisiasa, mwenendo wa Imam Ali (as) ni wa kisiasa, mwenendo wa Imam Hasan na Imam Husein (as) ni wa kisiasa, na anayekataa utawala wa Kiislamu anakataa mwenendo wa Mtukufu Mtume (saww), anatilia shaka mwenendo wa Imam Ali (as) na anakadhibisha mwenendo wa Imam Hasan (as) na wa Imam Husein (as). Siasa ndio kiini cha mwenendo wa Maasumina (amani juu yao wote). 12

45_14_MISINGI YA WILAYA _29_Nov_2014.indd 12

12/12/2014 1:52:03 PM


MISINGI YA WILAYATUL-FAQIHI

HUKMU NA MFUMO KATIKA UISLAMU Faqihi kamili anauangalia Uislamu kwa muono mpana, ambao unavuka mipaka ya hukmu, na anavuta taswira ya picha kamili ya Uislamu kwa sababu upana wa fiqhi unachukua kila kipengele cha maisha ya mwanadamu. Nimemuona faqihi wa kwanza kwa Imam Khomeini (r.a.) ambaye amesema hakuna hukmu tu peke yake bali pia na nidhamu (mfumo) katika Uislamu. Sheria zimo ndani ya mfumo huo lakini tuliuacha mfumo na tukachukua sheria tu. Huu ndio uliokuwa mtindo wetu wa Kiislamu wa matumizi mabaya (buffet-style) ambamo tuliacha huo mfumo kwa sababu kutekeleza mfumo ni kugumu na kuzito. Ni vigumu kubeba vitu vizito. Kama utamwambia mwanachuoni atembelee mji wa nyumbani kwao akaanzishe mfumo huko, kama mfumo wa elimu, mfumo wa sharia za kifiqhi, mfumo wa utawala wa kisiasa, mfumo wa uchumi na kadhalika, huyo hatakwenda huko. Bali kama ataambiwa aende mjini kwao kufundisha hukmu za msingi za udhuu, tayammum (kutawadha kwa kutumia vumbi safi au mchanga) na swala pia hatakuwa na shauku ya kufanya hivyo. Vilevile, mwanachuoni huyo atataka azungumze tu bila kujali kama hapo mtu anajifunza ama hapana. Aina hii ya dini ni rahisi sana kujifunza, fundisha halafu na kutenda pia. Uislamu una namna mbili za upana: mmoja ni upana wa sheria na wa pili ni upana wa mfumo. Hili halikufikiriwa na mwingine yeyote mbali na Imam Khomeini (r.a.). Hatukuti maelezo ya Wilayatul-Faqihi katika hukmu kwa sababu hili linahusiana na mfumo.

KUTOKUIELEWA MISINGI YA DINI Mwanadamu ataielewa asili ya upana wa Uislamu pale tu atakapoielewa falsafa ya Uislamu na dini. Hii inamaanisha kupata majibu 13

45_14_MISINGI YA WILAYA _29_Nov_2014.indd 13

12/12/2014 1:52:03 PM


MISINGI YA WILAYATUL-FAQIHI

sahihi ya maswali kama ni kwa nini Uislamu au dini ilikuja? Nini haja ya kuwa na dini? Ni maradhi gani kwa binadamu ambayo Uislamu umekuja kuyatibu? Ni yapi kati ya matatizo ya binadamu umekuja kuyatatua? Majibu ya jumla ya maswali haya ni kwamba dini imekuja kwa ajili ya maboresho ya Akhera – maisha baada ya kifo. Hii ina maana kwamba unautekeleza Uislamu katika maisha haya na utakuja kukunufaisha katika maisha yajayo baada ya kufariki. Kama hii ndio tafsiri ya Uislamu ambao tunauamini, basi hakuna haja ya mfumo wowote au utawala. Katika aina hii ya Uislamu mtazamo bora ni upweke, yaani kujitenga mwenyewe au kufanya nyumbani kwako au msikiti kuwa umetengwa na ulimwengu, kisha kwa kutokuamiliana na wengine, ukae bila majukumu yoyote na uendelee tu kufanya ibada zako. Kiwango chetu kwa muumini bora ni yule anayebaki bila kujishughulisha na wengine. Mtu anayechukuliwa kuwa ndio muovu kabisa katika macho ya dini ndiye mtu bora kwa maoni yetu.

HAJA YA DINI Hebu tuangalie kwenye vyanzo vya dini tuitafute humo haja ya dini. Kama tukiangalia ndani ya Qur’ani na vyanzo vingine vya dini tunaweza kuona kwamba dini imekuja kutengeneza maisha ya kidunia ya mwanadamu pia. Neno dunia lina maana nyingi – mahali pengine linatumika kwa ajili ya mchezo na kifurahisho (Lahw wa Laa’b). Hii ni aina mojawapo ya dunia ambayo imelaaniwa. Maana moja nyingine ya dunia ni maisha kabla ya kifo. Dini imekuja kama katiba ya maisha ajili ya mwanadamu. Imekuja kutengeneza, kuendeleza na kuongoza kila kipengele cha maisha ya dunia ya mwanadamu. Dini sio tamko la mdomoni au imani tu. Qur’ani ndio katiba na tangazo la kanuni ya maisha kwa mujibu wa namna ambavyo tu14

45_14_MISINGI YA WILAYA _29_Nov_2014.indd 14

12/12/2014 1:52:03 PM


MISINGI YA WILAYATUL-FAQIHI

napaswa kuishi maisha yetu. Je ni vipi kuhusu Akhera? Hiyo Akhera ni matokeo ya maisha haya. Dini inatengeneza dunia kwanza halafu inafuata Akhera kama matunda ya dunia hii. Hakuna hata mmoja atakayekwenda Akhera kwa kuikwepa hii dunia. Kwanza kabisa dini huifanya dunia hii kuwa ni yenye fadhila na kama mtu atayafanya maisha yake ya kidunia yenye kufadhiliwa ndio hapo atakapoweza kuishi kwa heshima katika ulimwengu wa Akhera. Mtu ambaye hawezi kuyapata haya kutoka kwenye dini katika dunia hii hawezi kuwa mwenye fadhila huko Akhera vilevile. Dini ni sawa na biashara ya taslimu na sio ya mkopo. Watu wanasema kwamba sisi tuendelee tu kufanya dini katika dunia hii na tutakuja kujua huko Akhera kama vitendo vyetu vimekubaliwa. Hii yote imesimama kwenye msingi mkopo, kwa maana kwamba kama nitatekeleza swala hivi sasa nitapata thawabu za swala baadaye. Dini lazima iwe ni biashara ya taslimu, ninapaswa kupata matunda ya vitendo vyangu na amali zangu hapa hapa. Sio kwa namna kwamba matendo yangu yote yanahifadhiwa na kuja kulipwa tu hapo baadaye.

MISINGI INAYOKOSEKANA

KWENYE KIINI CHA SILABASI Mada ya Wilayatul-Faqihi haijitokezi kwenye vitabu vya fasihi, Tafsiir, Misingi ya Sharia au Fiqhi. Sio kwamba msiba huu umetokea kwenye Wilayatul-Faqihi pekee, bali kabla ya hili, umetokea pia kwenye suala la Uimamu. Imam Khomeini (r.a.) anasema kwamba Wilayatul-Faqihi ni mwendelezo wa hoja ya Uimamu. Tusishangae ni kwa nini mambo ya msingi yaliondolewa kwenye vitabu vya Fiqhi, kwa vile kuna mifano mingi ya mambo kama hayo kutokea na mojawapo ni kuondolewa kwa Uimamu. Leo hii hakuna utajo wa Uimamu katika vitabu vyetu vya fiqhi na Ahlus-Sunnah wao wako 15

45_14_MISINGI YA WILAYA _29_Nov_2014.indd 15

12/12/2014 1:52:03 PM


MISINGI YA WILAYATUL-FAQIHI

juu zaidi yetu katika maudhui hii kwani wao wamejadili upande wa kisharia wa Uimamu katika vitabu vyao vya fiqhi – sio ule upande wa kiitikadi, hata hivyo tunazo sehemu mbili za Uimamu: Sehemu moja ni ya itikadi na nyigine ni katika Fiqhi (Shariah). Hatutambui kabisa sheria za Uimamu, na Wilayatul-Faqihi inakuja kutokeza kwenye sehemu ya sharia (fiqhi) ya Uimamu. Kipimo hiki cha Uimamu sio sehemu ya silabasi yetu, na kama utachukua ile silabasi ya zamani za kale kabisa hutaukuta Uimamu humo. Mtu wa kwanza kuanzisha mada ya Uimamu katika silabasi ya seminari za Kiislamu, karibu miaka 1000 iliyopita hivi, alikuwa ni Khwaja Nasiiruddin Tuusi (asichanganywe na Sheikh Tuusi). Kabla ya hili sio seminari za Sunni wala Shi’ah ambazo zilikuwa na mada hii ya Uimamu katika silabasi ya masomo yao (ambayo ina maana ya Ilm-e-Kalaam). Hivyo, mshangao ambao tunao leo hii kuhusu Wilayatul-Faqihi ni sawa na uliokuwepo miaka elfu moja iliyopita wakati Uimamu ulipokuwa haupo katika Misingi ya Sharia, Fiqhi, na Aqiida. Alikuwa ni Khwaja Tuusi ambaye aliianzisha kwa mara ya kwanza mada ya Uimamu ambayo iliwashangaza watu wa zama hizo. Kuamrisha mema na kukataza maovu ni somo muhimu sana lililosisitizwa na Qur’ani na mafundisho ya Maasumina lakini lilipuuzwa katika Fiqhi yetu vilevile. Kuna hotuba yenye kuelimisha ya Bwana wa Mashahidi, Imam Husein (as) ambayo aliitoa hapo Mina mwaka mmoja kabla ya tukio la Karbala. Aliwakusanya wanachuoni na wasomi elfu moja takriban na akaitoa hiyo Hotuba ya Mina kwa wanachuoni wa Kiislamu. Yeye (as) alisoma Aya za Qur’ani ambamo Mwenyezi Mungu amewalaani ma-Rabbi (wanachuoni wa Kiyahudi), na kisha Abu Abdillah akawauliza kama walijua ni kwa nini ma-Rabbi (wanachuoni wa Kiyahudi) hao walilaaniwa na Mwenyezi Mungu. Hii ni kwa sababu wao hawakuamrisha mema na kukataza maovu. Maovu yalikuwa yakifanywa waziwazi na Mema 16

45_14_MISINGI YA WILAYA _29_Nov_2014.indd 16

12/12/2014 1:52:03 PM


MISINGI YA WILAYATUL-FAQIHI

yalikuwa yakikanyagwa mbele ya macho yao lakini walikuwa wakiinamisha vichwa vyao kwa ujinga. Dini ya Usufi, kujitenga na Tahajjur (kutulia kama jiwe) ndio dini ambamo hamna kuamrisha matendo mema, kulingania kwenye maadili matukufu na kukataza maovu. Katika hii dini ya Tahajjur hakuna kitu kama kuingilia kwenye mambo ya wengine. Wafuasi wake wanajishughulisha na kaburi tu. Kama ukimjulisha Sufi kuhusu mambo ya mtu mwingine, atakuuliza, “Hilo linanihusu nini mimi?” Na kama utamuuliza ni kwa nini anafanya jambo kwa kukosea, yeye atajibu, “Wewe linakuhusu nini?” Bwana wa Mashahidi (a.s.) aliwasomea Aya hizi na akawaelezea umuhimu wa kuamrisha mema na kukataza maovu na akawasilisha ujumbe kwa wanachuoni wa Kiislamu kwamba mtu ambaye hatatenda wajibu huu amelaaniwa. Katika hotuba hii yeye anasema kwamba kuamrisha mema na kukataza maovu ni miongoni wa wajibu wa msingi katika dini na kama hili likianzishwa na kuendelezwa basi ujenzi kamili wa dini umeanzishwa. Kama hili likitelekezwa, basi muundo wote wa dini unaporomoka. Hii ndio hadhi ya kuamrisha mema na kukataza maovu katika dini. Sasa hebu tuchukue silabasi na vitabu vya Madrassa zetu. Anza na vitabu vya hivi karibuni na urudi nyuma ukichambua tofauti zote za vitabu hivi. Utaona kwamba kwa karibu miaka 400 hadi 500 ule mlango wa kuamrisha mema na kukataza maovu ulikuwa unakosekana katika vitabu vya wote, Shi’ah na Sunni. Kwa nini? Hii ni kwa sababu ni kazi ngumu – unatishiwa na kushambuliwa. Ni nani atachukua jukumu la kufanya wajibu huo wa kidini ambamo mtu unapigwa? Huwa tunapenda kufanya yale mambo katika dini ambayo kwayo tunazawadiwa zawadi nono. Katika wasia wake kwa mwanawe, Hadhrat Luqman alimwambia mwanaye adumishe swala, afanye matendo mema, aamrishe mema 17

45_14_MISINGI YA WILAYA _29_Nov_2014.indd 17

12/12/2014 1:52:03 PM


MISINGI YA WILAYATUL-FAQIHI

na kukataza maovu, na baada ya hayo awe mwenye subira. Katika kuswali kila mtu atakusifu, lakini kuamrisha mema na kukataza maovu kunapofanyika watu hawatakusifu bali watakuwa wakali juu yako. Usiyumbe katika hali hiyo, badala yake kuwa na subira na uendelee na wajibu huu. Kuamrisha mema na kukataza maovu kulikuwa kumeepukwa kutoka kwenye vitabu vyetu kwa muda wa miaka 400, ambayo baada yake Imam Khomeini (r.a.) alikuja kuwasilisha mada ya kuamrisha mema na kukataza maovu katika kitabu chake, Tahriirul-Wasiilah. Kwa hiyo tunapaswa kutoshangaa pale fikra inapozuka ghafla baada ya karne kadhaa, kwa vile mambo mengi ya muhimu kimsingi kama hayo yalikuwa yametelekezwa hapo zamani kwa karne kadhaa na yalikuja kuwasilishwa upya kwa jamii katika vipindi vya baadaye.

MUKHTASARI WA MISINGI YA WILAYATUL-FAQIHI Kwa hiyo, mukhtasari wa misingi ya Wilayatul-Faqihi ni kwamba mada hiyo haijadiliwi katika kila aina ya silabasi ya kidini. Inatokeza katika yale masomo ya kidini ambayo yamevuka viwango vya daraja hizi: 1.

Falsafa ya dini iliyowasilishwa na dini haionekani kuwa ni kwa ajili ya Akhera tu, bali pia ni kama ilani kwa ajili ya maisha katika ulimwengu huu.

2.

Kama dini ikikubalika kama ilani ya maisha basi ni lazima iwe pana, ikienea kwenye kila kipengele cha maisha ya mwanadamu ambayo yanajumuisha maisha ya kijamii vilevile. 18

45_14_MISINGI YA WILAYA _29_Nov_2014.indd 18

12/12/2014 1:52:03 PM


MISINGI YA WILAYATUL-FAQIHI

3.

Kama dini ni pana, basi vilevile itakuwa na mfumo na mifumo yote inayohitajiwa na binadamu lazima iwemo katika dini hiyo.

4.

Katika ujumla wake, mifumo midogo midogo yote inapaswa kuwa imeunganishwa; kwa uhalisia dini na siasa zinapaswa kuwa na uhusiano.

Leo hii sisi tunahitaji mifumo zaidi ya sheria kwa sababu kuna sheria nyingi sana zilizo mbele yetu lakini zenyewe hizo haziwezi kutekelezwa. Hii ni kwa sababu kwamba, ili kutekeleza sheria hizi tunahitaji mfumo sahihi unaofaa. Sheria hizi zimetengenezwa kwa ajili ya mifumo kadhaa ambapo tumeukwepa huo mfumo wenyewe na tumekuwa Mujtahidi wa Shari’ah. Sasa hivi tunao Mujtahidi na Mukalidi, wote ni wa Shari’ah tu lakini hatujui ni nini cha kufanyika kwenye marundo yote haya ya hukmu. Kwa hiyo ni nini tunachokifanya? Tunaendelea kujifunza hukmu (Ahkam) na kuendelea kuzifundisha hukmu. Tunazichukua hukmu kutoka kwenye kitabu kimoja halafu tunaziingiza zizo hizo kwenye kitabu kingine kipya. Hukmu zimekusudiwa kutumika. Tunapaswa kutekeleza hukmu za Kiislamu zinazohusiana na mahakama, tunapaswa kutekeleza hukmu za kisiasa, na Uislamu una aina zote za mifumo. Unapaswa kuuliza na kudai juu ya mifumo. Na kwa ajili ya hili, tunahitaji Faqihi ambaye anaweza kuchimbua na kurejelea mifumo kutoka kwenye Uislamu. Imam Khomeini (r.a.), Shahiid Muttahhari, Shahiid Baqir as-Sadr waliichambua na kuitambua mifumo kutoka kwenye Uislamu. Shahiid Sadr alijaribu kuchambua mfumo wa uchumi. Kadhalika Shahiid Muttahhari aligundua mifumo lakini haikuwahi kuendelezwa na kutekelezwa. 5.

Wakati uhusiano kati ya dini na siasa utakapokuwa umeanzishwa, haja ya kuwa na serikali ya Kiislamu kama mfumo wa Kiislamu inajitokeza. 19

45_14_MISINGI YA WILAYA _29_Nov_2014.indd 19

12/12/2014 1:52:03 PM


MISINGI YA WILAYATUL-FAQIHI

6.

Baada ya hoja ya serikali ya Kiislamu, kunafuatia mjadala wa zama mbalimbali za utawala wa Kiislamu: zama za utawala wa Kiislamu wakati wa uhai wa Mtukufu Mtume (saww), zama za wakati wa uhai wa Maimamu Maasumina (as), utawala wa Kiislamu wakati wa zama za Ghaibu na kisha utawala wa Kiislamu wakati wa zama za Kudhihiri Imam (a.t.f.s.).

7.

Katika zama hizi za sasa, ambazo ni zama za Ghaib, jina la utawala wa Kiislamu ni Wilayatul-Faqihi.

Baada ya kupita awamu nyingi sana, njia mojawapo inafikia hatua ya Wilayatul-Faqihi. Baada ya kusoma vitabu vya fasihi na kutongoa Kiarabu katika seminari, hufikii Wilayatul-Faqihi. Kama kwa mfano, unapaswa kufikia kilele cha Mlima Everest, unahitaji kuwa na njia sahihi kwa ajili ya safari hiyo. Huwezi kuanza kutembea tu kuelekea upande wowote ule na halafu ukadai kwamba ungeweza kufikia kilele cha Mlima Everest baada ya kushindwa. Unawezaje kufikia mwisho huu baada ya kwenda kwa kuelekea upande tofauti? Kuna kisa cha Sheikh aliyekuwa anakwenda kwenye Kaaba kwa ajili ya Hijja na akafika Turkistan na akasoma Talbiyah ya Labbaik. Watu waliokuwa wamesimama karibu wakamwambia kwamba anasoma maneno sahihi lakini anasafiri kuelekea upande ambao siwo. Hivyo wakati tunapojaribu kupitia safari hii kwa hatua hizi za msingi na muhimu, ndio hapo tu tutakapoweza kuzingatia na kuilewa maudhui ya Wilayatul-Faqihi.

WILAYAT – MFUMO PEKEE WA KIMUNGU Leo hii katika zama za Ghaib Kubwa, tunahitajia mfumo na sio jambo la uchaguzi wa hiari. Kuna mfumo mmoja tu wa Mwenye20

45_14_MISINGI YA WILAYA _29_Nov_2014.indd 20

12/12/2014 1:52:03 PM


MISINGI YA WILAYATUL-FAQIHI

zi Mungu ulioamriwa, ambao ni Wilayat bila kujali ni zama zipi wewe ulizomo. Kama mfumo huu upo basi shukuru kwa ajili hiyo. Kama haupo, jitahidini kuuanzisha. Wajibu wetu sio tu kuimba sifa kwa ajili ya kusifia Wilayatul-Faqihi inayopatikana katika Jamhuri ya Kiislamu ya Iran. Isipokuwa haja yetu na juhudi inapaswa iwe ni ya kuanzisha mfumo huohuo hapa nchini kwetu. Kwa kawaida watu wanauliza swali lifuatalo: ikiwa kuna Wilayatul-Faqihi mmoja huko Iran, nini kitatokea endapo serikali nyingine ya Kiislamu na Wilayatul-Faqihi ikianzishwa katika Iraqi, Lebanoni au Pakistani? Hapawezi kuwa na viongozi wawili. Panaweza kuwa Marjaa Taqliid wawili, Qadhi wawili lakini Imam anaweza tu kuwa ni mmoja. Sasa mtu anapaswa kutafakari kuhusu ni nchi ipi ambayo ina uwezekano mkubwa zaidi na utayari kwa ajili ya mfumo huu baada ya Irani, na jumuiya hizo lazima zijaribu kuelewa na kujiandaa kwa ajili ya kumjibu Mwenyezi Mungu swt., kwamba Yeye amewaweka kwenye maeneo ambako wamekuwa ndio wengi lakini bado wameishi katika mifumo ya wengine na hawakuuanzisha mfumo huu mtukufu. Mwenyezi Mungu hakutubariki na fadhila zote hizi ili tumkimbilie Msamaria badala ya Musa (a.s.). Mfumo pekee ni Wilayat na wala sio demokrasia ama ubepari. Imam Khomeini (r.a.) alikuwa na Ashura moja tu, ambapo sisi tunazo Ashura mbili; Ashura moja ya Imam Husein (a.s.) na Ashura ya Mapinduzi ya Kiislamu, na bado tunawakimbilia akina Msamaria kwenda kujiunga na vyama vyao vya kidemokrasia. Lakini kumbuka kwamba siku moja Musa atadhihiri kutoka kwenye Ghaib na hii itakuwa kama mtihani kwa jumuiya hizo. Nabii Musa (a.s.) alikwenda ghaib kwa muda wa siku thelathini. Mwenyezi Mungu alikuwa amemwalika Nabii Musa kwenye Mlima Tuur ili aweze kuifundisha jamii jinsi ya kuishi wakati wa ghaib ya Imam. Musa (a.s) alikwenda huko kwa kumfanya Harun mrithi wake na baada ya siku thelathini 21

45_14_MISINGI YA WILAYA _29_Nov_2014.indd 21

12/12/2014 1:52:03 PM


MISINGI YA WILAYATUL-FAQIHI

ilirefushwa kwa siku kumi zaidi. Baadhi ya watu wanasema kwamba hii ilikuwa ni kwa sababu muda wa kumpatia Musa elimu ulikuwa hautoshi, hii sio kweli kwa sababu Mwenyezi Mungu ndiye mwalimu na Musa ndiye mwanafunzi, inachukua muda kidogo tu, na wala sio siku 40 kumfundisha. Musa (a.s.) alikuwa mwanafunzi aliyefuzu, nabii na binadamu mkamilifu kabisa. Haikuwa kwamba kazi ya Mwenyezi Mungu ilikuwa haikukamilika – hapana, ilikuwa ni Msamaria ambaye kazi yake ilikuwa haijakamilika. Musa (a.s.) aliitwa ili Samirii aweze kufanya kazi yake na jamii ipate kutahiniwa – ni nani jamii hii inayemfuata? Je, wanamfuata mrithi wa Musa (a.s.) au Msamaria? Kama ilivyoelezwa ndani ya Qur’ani, Msamaria alitengeneza ndama wa dhahabu kwa msaada wa wanawake. Waumini wanawake wa Bani Israili walichangia na kupendekeza juu ya ndama huyu. Wakati Musa aliporejea na kuona mandhari hayo aliona uchungu na akaitupa ile Taurat chini. Yeye hakukimbilia kwa Msamaria au kwa watu waliokuwa wakiabudu ndama huyo wa Msamaria. Alimwendea kwanza Harun na kama Qur’ani inavyosema kwamba Musa alimshika Harun (a.s.) ndevu na paji lake la uso na akamwangusha chini. Harun katika hatua hiyo aliomba na kusihi apatiwe fursa ya kusikilizwa. Aliporuhusiwa kuongea, Harun (a.s.) alieleza sababu ya kwa nini aliiruhusu jamii hiyo kuendelea kuabudu ndama huyo. Kwa vile sababu hiyo iliridhisha, Musa akamwachilia. Kadhia hii ni somo kwa ajili yetu sisi: pale Imam wa Bani Israili alipokwenda ghaibuni kwa siku 40 tu, alijitokeza Saamiri na kubadilisha njia ya watu kwa kuwafanya watu wafuate ndama wa kuchongwa badala ya Mwenyezi Mungu; na kwa vile Imam wetu yuko Ghaib kwa zaidi ya miaka 12,000 idadi kubwa mno ya wasamaria kama hao wanaweza kuwa wamejitokeza na ndama wao wa kuchongwa na kutukuzwa ili kutupotosha sisi. Sasa huu ndio mtihani wetu kama tunaabudu 22

45_14_MISINGI YA WILAYA _29_Nov_2014.indd 22

12/12/2014 1:52:03 PM


MISINGI YA WILAYATUL-FAQIHI

ndama yoyote yule – ndama huyo anaweza kuwa ametengenezwa kwa dhahabu au anaweza kuitwa demokrasia, baraza la halmashauri na kadhalika. Wale wanaoishi katika zama za Ghaib wanapaswa watambue kwamba siku moja Musa (a.s.) atadhihiri kutoka kwenye Ghaib. Ni nini kitachotokea wakati atakapodhihiri? Jambo la kwanza ambalo yeye (a.s.) atakalofanya ni kuwauliza warithi wake kuhusu jukumu na wajibu wao wakati wa kutokuwepo kwake. Mfumo mwingine wowote ambao umetengenezwa na yeyote asiyekuwa Mwenyezi Mungu huo ni yule ndama wa Msamaria. Ni kichekesho kwamba tunajiita wenyewe kuwa ni waumini lakini tunafuata mifumo isiyokuwa ya ki-Mungu. Tunamuomba Mwenyezi Mungu Mtukufu kwamba ardhi zote za Waislamu zipate kushuhudia kuanzishwa kwa mfumo wa Kiislamu na kwamba wakati Musa wa zama hizi atakaporejea tuwe hatuabudu ndama wa Msamaria, bali tumkabidhi yeye huo mfumo wa Kiislamu wa kusimamishwa kilimwengu.

MAJIBU JUU YA SHAKA NA MABISHANO SWALI LA KWANZA: Kwa nini fikra za Utawala wa Kiislamu na uongozi wa Kiislamu zimepuuzwa sana kwa karne nyingi sasa licha ya kuwa na umuhimu kiasi hicho? Dini ya Kiislamu ndio dini sahihi na ulinganiaji wake umefanywa na Mwenyezi Mungu kuwa ni wajibu kwa kila mwanaume na mwanamke. Imesimuliwa kwamba wakati Imam wa Zama hizi (a.t.f.s.) atakapokuja, yeye atakuwa na mapambano na vikundi mbalimbali, mojawapo likiwa ni lile la watu wasio na uelewa sahihi wa dini na kwa hiyo hawailinganii vilevile. Wale ambao wamesababisha upotovu na uharibifu wamekuwa wakati wote wapo wakipatikana. 23

45_14_MISINGI YA WILAYA _29_Nov_2014.indd 23

12/12/2014 1:52:03 PM


MISINGI YA WILAYATUL-FAQIHI

watu wasio na uelewa sahihi wa dini na kwa hiyo hawailinganii vilevile. watu wasio na uelewa sahihi wa dini na kwa hiyo hawailinganii vilevile. Wale ambao wamesababisha upotovu na uharibifu wamekuwa wakati wote Wale ambao wamesababisha upotovu uharibifu wamekuwa wakati ni shahidi juu ya nanainawaonyesha kama wote wapo Qur’ani wakipatikana. Qur’ani ni hili shahidi juu ya hili Wayahudi na inawaonyesha wapo jamii wakipatikana. Qur’ani ni dini. shahidi juu ya hili nadini, inawaonyesha iliyogeuza na kuiharibu Sio rahisi kuiharibu kwani Wayahudi kama jamii iliyogeuza na kuiharibu dini. Sio rahisi kuiharibu dini, kwa kazi unahitaji wanachuoni dini, narahisi wanachuoni wa dini, Wayahudi kamakama jamiihiiiliyogeuza na kuiharibuwa dini. Sio kuiharibu kwani kwa kazi kama hii unahitaji wanachuoni wa dini, na wanachuoni wa nafasi hii. Kadhalika,wa Ukristo haukugeuzwa kwaniKiyahudi kwa kaziwamechukua kama hii unahitaji wanachuoni dini, na wanachuoni wa Kiyahudi wamechukua nafasi hii. Kadhalika, Ukristo haukugeuzwa na na Wakristo bali kwanafasi kweli umeharibiwa na wachungaji na mapapa. na Kiyahudi wamechukua hii. Kadhalika, Ukristo haukugeuzwa Wakristo bali kwa kweli umeharibiwa na wachungaji na mapapa. Katika Katika Kiislamu na vilevile, uharibifu umekuwa Wakristo baliulimwengu kwa kweli wa umeharibiwa wachungaji na mapapa. Katika ulimwengu wa Kiislamu vilevile, uharibifu umekuwa ukifanywa na kundi ukifanywa na kundi hili la kisomi ambapo baadhi ya wanachuoni ulimwengu wa Kiislamu vilevile, uharibifu umekuwa ukifanywa na kundi hili la wasio kisominaambapo ya wanachuoni naQur’ani usahihiinawaita wanaingia usahihi baadhi wanaingia dini,wasio ambao hili la kisomi ambapo baadhi yakwenye wanachuoni wasio na usahihi wanaingia kwenyekama dini, wachuuzi ambao Qur’ani inawaita kama wachuuzi au wapenda dunia. au wapenda dunia. kwenye dini, ambao Qur’ani inawaita kama wachuuzi au wapenda dunia. ….. WξŠÎ=s% $YΨuΚrO ©ÉL≈tƒ$t↔Î/ (#ρçtIô±n@ Ÿωuρ ….. WξŠÎ=s% $YΨuΚrO ©ÉL≈tƒ$t↔Î/ (#ρçtIô±n@ Ÿωuρ

“…..Wala msiuze ishara Zangu kwa thamani ndogo…..” “…..Wala msiuze ishara Zangu kwa thamani ndogo…..” (2:41) “…..Wala msiuze ishara Zangu kwa thamani ndogo…..” (2:41) (2:41) Wale wanaouza ya Mwenyezi Mungu kwaMungu thamani ndogo na kwa jina la Wale dini wanaouza dini ya Mwenyezi kwa thamani ndogo Wale wanaouza dini ya Mwenyezi Mungu kwa thamani ndogo na kwa jina la dini wanachukua sana aufidia kwa maneno mengine tunaweza na kwa jina fidia la dinindogo wanachukua ndogo sana au kwa maneno dini wanachukua fidia ndogo sana au kwa maneno mengine tunaweza kusemamengine kwambatunaweza taaluma kusema yao ni ya kupatataaluma kipato yao kutoka kwenye kwamba ni ya kupata dini. kipatoWao kusema kwamba taaluma yao ni ya kupata kipato kutoka kwenye dini. Wao kutoka Wao wanakuwa ndio wa uharibifu kuvurugika wanakuwa ndiokwenye msingi dini. wa kuvurugika kwa dini na msingi kuanzisha ndani wanakuwa ndio msingi wa kuvurugika kwandani dini na kuanzisha uharibifu ndani kwa dini na kuanzisha uharibifu ya dini na kila watu ya dini na kila watu wanachosikia kutoka kwao wanakiona kama ni dini, hii ya dini na kila watukutoka wanachosikiawanakiona kutoka kwao wanakiona ni dini, hii wanachosikia ni dini, hawatatoa hiikama ina maana ina maana kwamba kwa vilekwao wanahubiri dini kama kwa kuiuza, ukweli ina maana kwamba kwa wanahubiri vile wanahubiri dini kuiuza, kwa kuiuza, hawatatoa ukweli kwamba kwa vile dini kwa hawatatoa ukweli kwani ukweli utawafanya watu wawe kinyume nao, lakini chochote kwanikwani ukweli utawafanya watu wawe kinyume nao, lakini chochote ukweli utawafanyakama watuni wawe lakini chochote wanachohubiri kinachukuliwa dini kinyume na watu,nao, na kwa vile watu hao wanachohubiri kinachukuliwa kamakama ni dini watu, na kwa vile hao wanachohubiri kinachukuliwa ni na dini na watu, kwa watu viledini wamekilipia basi wanakiona ni jambo lenye thamani zaidinakuikubali watu haobasi wamekilipia basi ni jambo lenye thamani zaidi dini wamekilipia wanakiona niwanakiona jambo lenye thamani zaidi kuikubali inayohubiriwa na wachuuzi hawa. Hivyo Qur’ani imewalaani na kuwauliza kuikubali na dini inayohubiriwa na wachuuzi Hivyo na Qur’ani inayohubiriwa wachuuzi hawa. Hivyo Qur’anihawa. imewalaani kuwauliza swali: swali:imewalaani na kuwauliza swali: È≅ÏÜ≈t7ø9$$Î/ Yysø9$# (#θÝ¡Î6ù=s? Ÿωuρ È≅ÏÜ≈t7ø9$$Î/ Yysø9$# (#θÝ¡Î6ù=s? Ÿωuρ “Wala msichanganye haki “Wala msichanganye hakinanabatili….. batili…..(2:42). (2:42). “Wala msichanganye haki na batili….. (2:42).

Jambo la pili hapa ni kwamba wao wanaficha haki, (wanaficha haki ingawaje 24 Jambo la pili hapa ni kwamba wao wanaficha haki, (wanaficha haki ingawaje wanajua kwamba hiyo ni kweli). Mwenyezi Mungu ameishusha haki ili wanajua kwamba hiyo ni kweli). Mwenyezi Mungu ameishusha haki ili iweze kuwafikia wale wanaostahiki. Hii ndio sababu ya kwa nini Mwenyezi iweze kuwafikia wale wanaostahiki. Hii ndio sababu ya kwa nini Mwenyezi Mungu amewalaani wanachuoni wa Wayahudi na Wakristo kwa ajili ya 45_14_MISINGI WILAYA _29_Nov_2014.indd 24 Mungu YAamewalaani wanachuoni wa Wayahudi na Wakristo kwa12/12/2014 ajili 1:52:04 ya PM


MISINGI YA WILAYATUL-FAQIHI

Jambo la pili hapa ni kwamba wao wanaficha haki, (wanaficha haki ingawaje wanajua kwamba hiyo ni kweli). Mwenyezi Mungu ameishusha haki ili iweze kuwafikia wale wanaostahiki. Hii ndio sababu ya kwa nini Mwenyezi Mungu amewalaani wanachuoni wa Wayahudi na Wakristo kwa ajili ya kuficha kwao haki, na moja ya tafsiri ya mazoea ya kuficha huku ilikuwa ni ile ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.). Qur’ani inasema kwamba wao walikuwa wanafahamu juu ya Mtukufu Mtume wa Mwenyezi Mungu kwa kiwango cha namna wanavyowafahamu watoto wao. tβθßϑçGõ3u‹s9 öΝßγ÷ΖÏiΒ $Z)ƒÌsù ¨βÎ)uρ ( öΝèδu™!$oΨö/r& tβθèùÌ÷ètƒ $yϑx. …çμtΡθèùÌ÷ètƒ |=≈tGÅ3ø9$# ãΝßγ≈uΖ÷s?#u™ t⎦⎪Ï%©!$# tβθßϑçGõ3u‹s9 öΝßγ÷ΖÏiΒ $Z)ƒÌsù ¨βÎ)uρ ( öΝèδu™!$oΨö/r& tβθèùÌ÷ètƒ $yϑx. …çμtΡθèùÌ÷ètƒ |=≈tGÅ3ø9$# ãΝßγ≈uΖ÷s?#u™ t⎦⎪Ï%©!$# ∩⊇⊆∉∪ tβθßϑn=ôètƒ öΝèδuρ ¨,ysø9$# ∩⊇⊆∉∪ tβθßϑn=ôètƒ öΝèδuρ ¨,ysø9$#

“Wale tuliowapa Kitabu wanamjua yeye kama wanavyowajua “Waletuliowapa tuliowapa Kitabu wanamjua yeye kama “Wale Kitabu wanamjua yeyewanaificha kamawanavyowajua wanavyowajua watoto wao. Na hakika kundi katika wao haki na hali watoto wao. Na hakika kundi katika wao wanaificha haki na na hali hali watoto wao.(2:146) Na hakika kundi katika wao wanaificha haki wanaijua.” wanaijua.” (2:146) wanaijua.” (2:146)

Inawezekana kwamba mtu mtu anaweza akakosea katika Inawezekana kwamba anaweza akakosea katikakumtambua kumtambua mtu Inawezekana kwamba mtu anaweza akakosea katika kumtambua mtu mwingine, lakini sio lakini katika sio kuwatambua watoto wake watoto mwenyewe. mtu mwingine, katika kuwatambua wakeKwa mwingine, sio sura katika kuwatambua watoto wake mwenyewe. Kwa kuangalia tulakini mtindo, na kusikiliza sauti kusema huyo ni kijana mwenyewe. Kwa kuangalia tu mtindo, suraanaweza na kusikiliza sauti anaweza kuangalia tu mtindo, sura kusikiliza sauti kama anaweza kusema huyo ni kijana wangu. Sasa pamoja na na utambuzi huu kusema huyo ni kijana wangu. sahihi Sasa pamoja na kuwepo utambuzipamoja sahihi nao wangu. Sasa pamoja na utambuzi sahihi kama huu kuwepo pamoja nao wakati Mtume (s.a.w.w.) aliposimamishwa, wanachuoni kamaMtukufu huu kuwepo pamoja nao wakati Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) wa wakati Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) aliposimamishwa, wanachuoni wa Wayahudi hawakuwafahamisha kwamba huyu ndiye yule Mtume aliposimamishwa, wanachuoniwatu wa Wayahudi hawakuwafahamisha Wayahudi hawakuwafahamisha watukadhaa, kwamba ndiye Mtume tuliyekuwa tukimsubiri kwa yule karne Hiihuyu ndio tukimsubiri sababuyule ya kwa Qur’ani watu kwamba huyu ndiye Mtume tuliyekuwa tuliyekuwa tukimsubiri kwa karne kadhaa, Hii ndio sababu ya Qur’ani kuwalaani: karne kadhaa, Hii ndio sababu ya Qur’ani kuwalaani: kuwalaani: ’Îû Ĩ$¨Ζ=Ï9 çμ≈¨Ψ¨t/ $tΒ Ï‰÷èt/ .⎯ÏΒ 3“y‰çλù;$#uρ ÏM≈uΖÉit7ø9$# z⎯ÏΒ $uΖø9t“Ρr& !$tΒ tβθßϑçFõ3tƒ t⎦⎪Ï%©!$# ¨βÎ) ’Îû Ĩ$¨Ζ=Ï9 çμ≈¨Ψ¨t/ $tΒ Ï‰÷èt/ .⎯ÏΒ 3“y‰çλù;$#uρ ÏM≈uΖÉit7ø9$# z⎯ÏΒ $uΖø9t“Ρr& !$tΒ tβθßϑçFõ3tƒ t⎦⎪Ï%©!$# ¨βÎ)

∩⊇∈®∪ šχθãΖÏè≈¯=9$# ãΝåκß]yèù=tƒuρ ª!$# ãΝåκß]yèù=tƒ y7Íׯ≈s9'ρé& É=≈tGÅ3ø9$# ∩⊇∈®∪ šχθãΖÏè≈¯=9$# ãΝåκß]yèù=tƒuρ ª!$# ãΝåκß]yèù=tƒ y7Íׯ≈s9'ρé& É=≈tGÅ3ø9$#

“Hakika wale wanaoficha tuliyoyateremsha, katika ubainifu na 25 “Hakika wanaoficha tuliyoyateremsha, katikaKitabuni, ubainifu hao na uongofu, wale baada ya Sisi kuyabainisha kwa watu uongofu, baada ya Sisi kuyabainisha kwa watu Kitabuni, hao anawalaani Mwenyezi Mungu, na wanawalaani wanaolaani.” anawalaani Mwenyezi Mungu, na wanawalaani wanaolaani.” (2:159) (2:159)

1:52:04 PM Kile ambacho kimeteremshwa kwa ishara za wazi za Mwenyezi12/12/2014 Mungu

45_14_MISINGI YA WILAYA _29_Nov_2014.indd 25


MISINGI YA WILAYATUL-FAQIHI

“Hakika wale wanaoficha tuliyoyateremsha, katika ubainifu na uongofu, baada ya Sisi kuyabainisha kwa watu Kitabuni, hao anawalaani Mwenyezi Mungu, na wanawalaani wanaolaani.” (2:159)

Kile ambacho kimeteremshwa kwa ishara za wazi za Mwenyezi Mungu kinapofichwa kwa watu, wafichaji wanalaaniwa na ni kosa kubwa mno kwamba wao hawakuwajulisha watu kuhusu Kiongozi huyo ambaye ametumwa na Mwenyezi Mungu kwa ajili ya ukombozi wa Ummah. Bwana wa Mashahidi (a.s.) amesema katika hotuba yake kule Mina kwamba siri ambayo nitawafichulieni sasa hivi sio kwa ajili ya kila mtu bali kwa wale wanaoistahiki, na chochote nitakachosema basi kizingatieni sana, sio kuitikia tu kibubusa. Katika sehemu ya awali, yeye alielezea uadilifu wa AmirulMu’minina Ali (a.s.) na halafu akaiwasilisha hali ya wakati huo ya ulimwengu wa Kiislamu (baba yake Yazid alikuwa ndiye mtawala wakati huo na Yazid bado hajaingia madarakani). Alieleza kuhusu ni nini kinachotokea katika dola kubwa ya Kiislamu kama hiyo, ni nini kituo kinafanya na nini kinachotokea ndani ya serikali. Kisha akasoma ile aya ya Qur’ani inayowashutumu marabi na wanachuoni wa Kiyahudi: $tΒ š[ø⁄Î6s9 4 |Mós¡9$# ÞΟÎγÎ=ø.r&uρ zΟøOM}$# ÞΟÏλÎ;öθs% ⎯tã â‘$t7ômF{$#uρ šχθ–ŠÏΨ≈−/§9$# ãΝßγ8pκ÷]tƒ Ÿωöθs9 ∩∉⊂∪ tβθãèoΨóÁtƒ (#θçΡ%x.

“Mbona maulamaa wao waohawawakatazi hawawakatazimaneno manenoyao yao “Mbonawatawa watawa wao wao na na maulamaa ya dhambi na uadui na ulaji wao wa haramu? Hakika ni mabaya ya dhambi na uadui na ulaji wao wa haramu? Hakika ni mabaya waliyokuwa wakiyafanya.” (5:63) waliyokuwa wakiyafanya.” (5:63) 4 zΟtƒötΒ Ç⎯ö/$# ©|¤ŠÏãuρ yŠ…ãρ#yŠ Èβ$|¡Ï9 4’n?tã Ÿ≅ƒÏ™ℜuó Î) û_Í_t/ .⎯ÏΒ (#ρãxŸ2 t⎦⎪Ï%©!$# š∅Ïèä9 26

∩∠∇∪ šχρ߉tF÷ètƒ (#θçΡ%Ÿ2¨ρ (#θ|Átã $yϑÎ/ y7Ï9≡sŒ 12/12/2014 “Walilaaniwa wale waliokufuru miongoni mwa wana wa Israili

45_14_MISINGI YA WILAYA _29_Nov_2014.indd 26

1:52:05 PM


Ÿ öθs9 $tΒ š[ø⁄Î6s9 4 |Mós¡9$# ÞΟÎγÎ=ø.r&uρ zΟøOM}$# ÞΟÏλÎ;öθs% ⎯tã â‘$t7ômF{$#uρ šχθ–ŠÏΨ≈−/§9$# ãΝßγ8pκ÷]tƒ ω ∩∉⊂∪ tβθãèoΨóÁtƒ (#θçΡ%x. ∩∉⊂∪ θãèθãoΨèóÁ tƒ tƒ(#θç(#Ρθç%xΡ.%x. ∩∉⊂∪tβtβ oΨóÁ

“Mbona watawa wao na maulamaa wao hawawakatazi maneno yao “Mbona watawa wao na wao hawawakatazi maneno yao MISINGI YA WILAYATUL-FAQIHI “Mbona watawa wao namaulamaa maulamaa wao hawawakatazi yao ya dhambi na uadui na ulaji wao wa haramu? Hakikamaneno ni mabaya yayadhambi na uadui na ulaji wao wa haramu? Hakika ni mabaya dhambi na uadui na ulaji wao wa haramu? Hakika ni mabaya waliyokuwa wakiyafanya.” (5:63) waliyokuwa waliyokuwawakiyafanya.” wakiyafanya.”(5:63) (5:63) 4 zΟtƒötΒ Ç⎯ö/$# ©|¤ŠÏãuρ yŠ…ãρ#yŠ Èβ$|¡Ï9 4’n?tã Ÿ≅ƒÏ™ℜuó Î) û_Í_t/ .⎯ÏΒ (#ρãxŸ2 t⎦⎪Ï%©!$# š∅Ïèä9 4Ο z 4 zΟ tƒötƒtΒötΒÇ⎯Ç⎯ ö/$#ö/$#©|©| ¤¤ ŠÏãŠÏã uρ uρyŠ…ãyŠρ…ã#yρŠ#yŠÈβÈβ $|¡ Ï9 Ï94’4’ n?tãn?tãŸ≅Ÿ≅ ƒÏ™ƒÏℜu™ó Î) Î)û_ Í_t/Í_t/.⎯.⎯ ÏΒ ÏΒ(#ρã(#ρãxŸ2 ⎪Ï%⎪Ï©!%$#©!$#š∅ Ïèä9Ïèä9 $|¡ ℜuó û_ xŸ2t⎦t⎦ š∅ ∩∠∇∪ šχρ߉tF÷ètƒ (#θçΡ%Ÿ2¨ρ (#θ|Átã $yϑÎ/ y7Ï9≡sŒ ∩∠∇∪ ρ߉ tF÷ètFtƒ÷ètƒ(#θç(#Ρθç%ŸΡ2 ¨ρ ¨ρ(#θ|(#Á tãtã$yϑ$yϑ Î/ Î/y7y7 Ï9≡sŒÏ9≡sŒ ∩∠∇∪šχ šχ ρ߉ %Ÿ2 θ|Á

“Walilaaniwawale walewaliokufuru waliokufuru miongoni mwa wana Israili “Walilaaniwa miongoni mwa wana wa wa Israili kwa “Walilaaniwa wale waliokufuru miongoni mwa wana wa “Walilaaniwa wale miongoni mwa wana waIsraili Israili kwa ulimi wa Daudi na Isa mwana wa Maryam. ni kwa ulimi wa Daudi na wawaliokufuru Isa wa mwana wa Maryam. Hayo niHayo kwa sababu kwa wa na wa mwana Maryam. Hayo kwaulimi ulimi waDaudi Daudi na waIsa Isa mwanawa wamipaka. Maryam. Hayoninikwa kwa waliasi, naowalikuwa walikuwa wakiruka (5:78) sababu waliasi, nao wakiruka mipaka. (5:78) sababu sababuwaliasi, waliasi,nao naowalikuwa walikuwawakiruka wakirukamipaka. mipaka.(5:78) (5:78) ∩∠®∪ šχθè=yèøtƒ (#θçΡ$Ÿ2 $tΒ š[ø⁄Î6s9 4 çνθè=yèsù 9x6Ψ•Β ⎯tã šχöθyδ$uΖoKtƒ Ÿω #( θçΡ$Ÿ2 Ψ•ΒΨ•Β⎯t⎯t ããšχ öθyδ $uΖ$uoKΖtƒoKtƒŸωŸω(#θç#( Ρθç$ŸΡ2 ∩∠®∪ θè=θèyè=øyètƒøtƒ(#θç(#Ρθç$ŸΡ2 ø⁄Î6ø⁄s9Î6s94 çν4 θèçν=θèyè=sùyèsù9x6 9x6 šχ öθyδ $Ÿ2 ∩∠®∪šχ šχ $Ÿ2$tΒ$tΒš[ š[

“Walikuwa hawakatazani mambo mabaya waliyokuwa “Walikuwa hawakatazani mambo mabaya waliyokuwawaliyokuwa wakiyafanya. “Walikuwa hawakatazani mambo “Walikuwa hawakatazani mambo mabaya mabaya waliyokuwa wakiyafanya. Hakika ni maovu waliyokuwa wakiyafanya. (5:79) Hakika ni maovu waliyokuwa wakiyafanya. (5:79) wakiyafanya. Hakika ni maovu waliyokuwa wakiyafanya. (5:79) wakiyafanya. Hakika ni maovu waliyokuwa wakiyafanya. (5:79) βr& öΝåκߦàΡr& óΟçλm; ôMtΒ£‰s% $tΒ }§ø⁄Î6s9 4 (#ρãxŸ2 t⎦⎪Ï%©!$# šχöθ©9uθtGtƒ óΟßγ÷ΨÏiΒ #ZÏVŸ2 3“ts? βrβr & &öΝöΝ åκߦ àΡrà&Ρr&óΟóΟ çλm;çλm;ôMôM tΒ£‰ s% s%$tΒ$tΒ}§ ø⁄Î6ø⁄s9Î6s94 (#4 ρã(#ρãxŸ2 ⎪Ï%⎪Ï©!%$#©!$#šχ öθ©9öθuθ©9tGuθtƒtGtƒóΟóΟ ßγ÷ΨßγÏiΒ÷ΨÏiΒ#Z#ZÏVÏŸ2 ts?ts? 3 3“ åκߦ tΒ£‰ }§ xŸ2t⎦t⎦ šχ VŸ2“ ∩∇⊃∪ tβρà$Î#≈yz öΝèδ É>#x‹yèø9$# ’Îûuρ óΟÎγøŠn=tæ ª!$# xÝÏ‚y™ $# $#xÝxÝ Ï‚Ï‚ y™y™ ∩∇⊃∪ ρà$ρàÎ#$≈yÎ#z≈yzöΝöΝ èδèδÉ>É> #x‹#x‹ yèø9yè$#ø9$#’Î’Î ûuρûuρóΟóΟ ÎγøŠÎγn=øŠtæn=tæª!ª! ∩∇⊃∪tβtβ

“Utawaona wengi katika wao wanawafanya marafiki wale “Utawaona wengi katika wao wanawafanya marafiki wale “Utawaona wengi katika wao wanawafanya marafiki wale “Utawaona wengi katika wao wanawafanya marafiki wale waliokuwaliokufuru. Kwa hakika ni mabaya waliyotanguliziwa na waliokufuru. Kwa hakika ni mabaya waliyotanguliziwa na furu. Kwa hakika ni mabaya waliyotanguliziwa na nafsi zao; ya waliokufuru. Kwa hakika ni mabaya waliyotanguliziwa nafsi zao; ya kwamba Mwenyezi Mungu amewakasirikia na nafsi zao; ya kwamba Mwenyezi Mungu amewakasirikia na kwamba Mwenyezi Mungu amewakasirikia na watadumu katika nafsi zao; ya kwamba Mwenyezi Mungu amewakasirikia na watadumu katika adhabu.” (5:80) adhabu.” (5:80) watadumu katika adhabu.” (5:80) watadumu katika adhabu.” (5:80) Imam Husein (a.s.) anaeleza kwamba Mwenyezi Mungu katikakatika aya hizi Imam Husein (a.s.) anaeleza kwamba Mwenyezi Mungu Imam Husein (a.s.) anaeleza kwamba Mwenyezi Mungu katika aya hizi Imam Husein (a.s.) anaeleza kwamba Mwenyezi Mungu katika hizi hakuwalaani Wayahudi kwaWayahudi sababu ya kwa kuwasababu kwao niyaWayahudi baliaya badala aya hizi hakuwalaani kuwa kwao ni hakuwalaani Wayahudi kwa sababu ya kuwa kwao ni Wayahudi bali badala hakuwalaani kwa sababu ya kuwa kwaofulani Wayahudi bali badala yake ni kwaWayahudi sababu ya yake baadhi mambo ambayo walikuwa Wayahudi bali badala ni ya kwa sababu yanibaadhi ya mambo yake ni kwa sababu ya baadhi mambo fulani ambayo walikuwa yake ni kwa sababu ya baadhi ya mambo ambayo walikuwa hawayafanyi. Moja lilikuwa ni kwamba walikuwa hawaamrishani mema, fulani ambayo walikuwa hawayafanyi. Mojafulani lilikuwa ni kwamba hawayafanyi. Moja lilikuwa ni kwamba walikuwa hawaamrishani mema, hawayafanyi. Moja lilikuwa ni kwamba walikuwa hawaamrishani mema, watu walikuwa wanajishughulisha na maovu mbele ya macho yao lakini walikuwa hawaamrishani mema, watu walikuwa wanajishughulisha watu walikuwa wanajishughulisha na maovu mbele ya macho yao lakini watu wanajishughulisha na maovu mbele ya hawawakatazi macho yao mbele lakini walikuwa hawawakatazi hayo.walikuwa Haki ilikuwa dhahiri na walikuwa maovu mbele ya kutenda macho maovu yao lakini walikuwa hawawakatazi kutenda maovu hayo. Haki ilikuwa dhahiri mbele walikuwa hawawakatazi kutenda hayo. Haki ilikuwayao dhahiri mbele yaokutenda lakini hawakuweza kuidhihirisha. Walikuwa wameunganika na lakini mabaraza maovu hayo. Haki maovu ilikuwa dhahiri mbele yao lakini hawakuweza kuidhihirisha. Walikuwa wameunganika nanamabaraza yao lakini hawakuweza kuidhihirisha. Walikuwa wameunganika mabaraza ya Wafalme na serikali zao na walikuwa wakipata pesa kutoka kwa wafalme yayaWafalme nanaserikali zao wakipata pesa kwa serikali zaonanawalikuwa walikuwa pesakutoka kutokaukweli kwawafalme wafalme hao,Wafalme hivyo walikuwa wanahofia kwamba wakipata endapo watauelezea mapato hao, hivyo walikuwa wanahofia kwamba endapo watauelezea ukweli mapato 27 hao, hivyo walikuwa kwamba endapo watauelezea mapato yao yatakoma. Halafuwanahofia Imam (a.s.) akawahutubia wanachuoni ukweli wa zama zake yao yatakoma. Halafu Imam (a.s.) akawahutubia wanachuoni wa zama zake yao yatakoma. Halafu Imam (a.s.) akawahutubia wanachuoni wa zama zake

45_14_MISINGI YA WILAYA _29_Nov_2014.indd 27

21

12/12/2014 1:52:06 PM


MISINGI YA WILAYATUL-FAQIHI

hawakuweza kuidhihirisha. Walikuwa wameunganika na mabaraza ya Wafalme na serikali zao na walikuwa wakipata pesa kutoka kwa wafalme hao, hivyo walikuwa wanahofia kwamba endapo watauelezea ukweli mapato yao yatakoma. Halafu Imam (a.s.) akawahutubia wanachuoni wa zama zake na akasema heshima ya mtu katika jamii imeegemea katika elimu yake na heshima hii ilikuwa kwa kiasi kwamba endapo mtu atasema anaishi katika mtaa wa mwanachuoni huyu basi watu watamheshimu hata mtu huyo pia. Mwanachuoni aliyeheshimiwa kwa kiwango hiki, kutokana na yeye tu hata majirani zake wataheshimiwa vilevile. Kisha akasema kwamba mbele ya macho yenu mipaka ya dini inapitukwa; haki inafichwa, dini inageuzwa nanyi hamjali hata kidogo kuhusu hilo. Yeye (a.s.) alisema kwamba kama mila mojawapo kati ya mila za mababu zenu ikiguswa, basi mnafanya kila linalowezekana. Mtu yeyote ambaye ana sifa kama hizi nafsini mwake, bila kujali kama ni mwanachuoni wa Kiyahudi ama mwanachuoni wa Kiislamu, basi laana hii ipo juu yake. Laana hizi za Mwenyezi Mungu ni kama maji ambayo yanafika pale yanapopaswa kufika. Upotovu ambao unatokeza kwa sababu ya ufichwaji wa haki haufidiwi kwa karne kadhaa, ambapo tumeona katika ulimwengu wa Kiislamu kwamba baada ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), yule kiongozi (Walii) ambaye aliteuliwa na Mwenyezi Mungu alifichwa na sisi hadi leo hii tunateseka na kuhangaika kutokana na pigo hili. Bado tunahangaika kutafuta kiongozi. Haikuwa kwamba watu walikuwa hawakumtambua kiongozi aliyeteuliwa na Mwenyezi Mungu. Kila mmoja alimtambua Mtukufu Mtume (s.a.w.w.); je tunaweza kusema kwamba alikuwepo mtu yeyote pale Ghadir Khum ambaye hakumjua Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) wakati alipotoa hotuba muhimu ya kitendaji katika safari yake ya kurejea kwenda Madina akitokea Hija? Katikati ya mkusanyiko ule, mara tu baada tu ya 28

45_14_MISINGI YA WILAYA _29_Nov_2014.indd 28

12/12/2014 1:52:06 PM


MISINGI YA WILAYATUL-FAQIHI

kutoa tangazo la urithi, mtu mmoja alitunga shairi kumsifia Ali (a.s.) na akapata sifa kutoka kwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.). Mtukufu Mtume alimwambia alisome kwa ajili ya watu wote wasikie. Lakini miezi miwili baadaye ulipofika wakati wa kutoa ushuhuda juu ya uteuzi huu, na pale Bibi Fatimah Zahra (s.a.) alipomtaka kila mtu hapo Madina kurudia kile kilichosemwa pale Ghadiir, mshairi huyu hakulisoma tena shairi hilo wala hakukiri Uwalii wa Imam Ali (a.s.), na mshairi huyu huyu hakutoa kiapo cha utii kwa AmirulMu’miniina (a.s.) hata pale Amirul-Mu’miniina alipopewa Ukhalifa na watu miaka ishirini na tano baadaye. Walikuwepo watu wengi wa namna hiyo ambao hawakumkubali Amirul-Mu’miniin kama Imam wa kwanza au hata Khalifa wa nne lakini badala yake wakaenda kutoa kiapo cha utii miguuni kwa Hajjaj ibn Yusuf. Haya ni masomo ya huzuni na msiba ya historia ambayo huwa yanarudiwa katika kila zama. Qur’ani inaeleza kwamba kuna makundi ya watu ambayo unapaswa kuyaacha kama yalivyo yenyewe kwa sababu haitakuwa na maana yoyote kuwafanya waelewe: ∩⊇⊃∪ tβθãΖÏΒ÷σムŸω öΝèδö‘É‹Ζè? óΟs9 ôΘr& öΝßγs?ö‘x‹Ρr&u™ öΝÍκön=tã í™!#uθy™uρ ∩⊇⊃∪ tβθãΖÏΒ÷σムŸω öΝèδö‘É‹Ζè? óΟs9 ôΘr& öΝßγs?ö‘x‹Ρr&u™ öΝÍκön=tã í™!#uθy™uρ “Ni sawa kwao ukiwaonya au usiwaonye, hawataamini.” (36:10). “Ni sawa kwao ukiwaonya au usiwaonye, hawataamini.” (36:10). “Ni sawa kwao ukiwaonya au usiwaonye, hawataamini.” (36:10). …… öΝÎγÏèôϑy™ 4’n?tãuρ öΝÎγÎ/θè=è% 4’n?tã ª!$# Ν z tFyz …… öΝÎγÏèôϑy™ 4’n?tãuρ öΝÎγÎ/θè=è% 4’n?tã ª!$# zΝtFyz “Mwenyezi Mungu amepiga muhuri juu juu ya ya nyoyo zao na juu ya ya “Mwenyezi Mungu amepiga muhuri nyoyo juu “Mwenyezi Mungu amepiga muhuri juu ya nyoyo zao zao nana juu ya masikio yao…..” (2:7) masikio yao…..” (2:7) masikio yao…..” (2:7)

Qur’ani inamwambia Mtukufu Mtumekwamba (s.a.w.w.) kwamba Qur’ani inamwambia Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) usipoteze muda Qur’ani inamwambia Mtukufu (s.a.w.w.) usipoteze usipoteze muda wako juu yaMtume kundi hili la watu;kwamba kuna kundi jingine muda wako juujuu yaya kundi hilihili la la watu; kuna kundi jingine bora kuliko wao; wewe wako kundi watu; kuna kundi jingine bora kuliko wao; wewe nenda ukawalinganie hao nao watakubali mwito wako. nenda ukawalinganie hao nao watakubali mwito wako. 29

Imam Husein (a.s.) baadaye katika hiyo hotuba yaya Mina anasema kwamba Imam Husein (a.s.) baadaye katika hiyo hotuba Mina anasema kwamba Mwenyezi Mungu aliwalaani marabi wa Bani Israili kwa sababu ya vitendo Mwenyezi Mungu aliwalaani marabi wa Bani Israili kwa sababu ya vitendo 45_14_MISINGI WILAYAakaelezea _29_Nov_2014.indd 29 ya zama hizo na akawauliza kuhusu tabia 12/12/2014 vyao na YA kisha hali zao.1:52:07 PM


MISINGI YA WILAYATUL-FAQIHI

bora kuliko wao; wewe nenda ukawalinganie hao nao watakubali mwito wako. Imam Husein (a.s.) baadaye katika hiyo hotuba ya Mina anasema kwamba Mwenyezi Mungu aliwalaani marabi wa Bani Israili kwa sababu ya vitendo vyao na kisha akaelezea hali ya zama hizo na akawauliza kuhusu tabia zao. Wale ambao hawatambui hawaangukii kwenye kundi hili (kulaaniwa kwa ukimya wao na kuficha haki) lakini bado wanapaswa kufanywa waelewe kuhusu hali ya mambo. Kwa sababu ya mapinduzi ya Kiislamu ya Iran, kila mmoja anatambua kuhusu haki, lakini hata hivyo wengi hawaitaji, na Qur’ani inasema kwamba watu kama hao wamelaaniwa kwa sababu hawakudhihirisha mwongozo muhimu sana wa dini. Wanachuoni wa Kiyahudi walikuwa wanamtambua Mtukufu Mtume (s.a.w.w.); yeye alikuwa ametajwa katika vitabu vyao vitakatifu, miujiza yake ilikuwa imetajwa na kama Qur’ani inavyodokeza, kwamba wanachuoni wa Kiyahudi walikuwa kwa namna ambayo kwamba, kwa kuuangalia tu uso wa Mtume (s.a.w.w.) wao waliweza kutambua kwamba yeye alikuwa ni Mtume wa Mwenyezi Mungu lakini hawakuwa tayari kumkubali yeye. Hii ni aina ya udhalimu ambao ni mkubwa sana, udhalimu ambao umebomoa Ummah wote mzima. Wayahudi na Wakristo wako vilevile hadi leo hii na hawaitafuti ile njia ya haki. Baada ya kukubali Uwalii wa Amirul-Mu’miniina (a.s.) ni muhimu kuufuata Uwalii huo, na mwendelezo wa Uwalii huo katika kipindi cha ghaibu ni Wilayatul-Faqiih. Kwa mukhtasari, suala la Uwalii kama mfumo wa utawala wa Kiislamu limebaki limefichwa, kimsingi hasa kwa sababu ile dini ya kweli haikulinganiwa na wahalifu wakuu wa uovu huu wamekuwa ni wanachuoni, kama inavyowasilishwa na Qur’ani na kama inavyoainishwa makhsusia na Imam Husein (a.s.) katika hiyo hotuba ya Mina. Hivyo leo hii vilevile Wilayatul-Faqiih imebakia 30

45_14_MISINGI YA WILAYA _29_Nov_2014.indd 30

12/12/2014 1:52:07 PM


MISINGI YA WILAYATUL-FAQIHI

imetelekezwa katika sehemu nyingi kwa sababu wanachuoni wameificha. Sio kwa sababu kwamba hawatambui – kama vile tu Qur’ani inavyosema wao wana habari juu ya Uwalii kwa namna wanavyowatambua watoto wao. Ni kwa sababu ya maslahi na mapato binafsi kutoka kwenye dini ambayo mahali pake yanakuja kwenye tishio kwa kuudhihirisha huo mfumo mtukufu wa uongozi ambao umeegemea kwenye uadilifu na haki.

31

45_14_MISINGI YA WILAYA _29_Nov_2014.indd 31

12/12/2014 1:52:07 PM


MISINGI YA WILAYATUL-FAQIHI

SWALI LA PILI: Kwa nini Wilayatul-Faqiih Haikukubaliwa na Kuzungumziwa na Watu Watukufu wa Hapo Zamani?

S

iku hizi, baadhi ya watu wanasema kwamba Wilayatul-Faqiih haikukubaliwa na watu watukufu wengi na kwamba hawakusema lolote huko nyuma kuhusu muono huu, na wanauliza kwamba ni kwa nini watu hawa watukufu hawakulileta suala hili kama kweli lilikuwa ni muhimu kiasi hicho. Kama unataka kulinganisha hili na Uwalii wa Amirul-Mu’miniin (a.s.) basi tunaweza kuona kwamba walikuwepo watu wazima waliohudhuria pale Ghadiir na miongoni mwao ni Abdullah ibn Mas’ud. Wakati Bibi Fatimah (s.a.) alipomtaka aje na asimulie tu kile kilichotangazwa pale Ghadiir mwanzoni alibakia kimya tu, na pale Fatimah (s.a.) alipokwenda nyumbani kwake na kubisha hodi mlangoni kwake, yeye alijibu kwamba: ‘Mimi sikumbuki chochote; kumbukumbu yangu imekuwa dhaifu.’ Bibi Fatimah (s.a.) akasema kama unadanganya basi upatwe na ukoma, na kesho yake madoa meupe yalitokeza kwenye mwili wake. Mpaka leo hii, ndugu zetu Sunni wanatoa hoja hii katika mazingira ya uongozi wa Amirul-Mu’miniina (a.s.) kwamba kama Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alilitangaza hili, basi imekuwaje Masahaba zake wakawa hawatambui kuhusu hili? Kila mtu mzima alikuwa na utetezi na sababu zake za kubakia kimya na wakati wote hawakuwaruhusu Maimamu (a.s) kuifikia nafasi yao ya kutekeleza uongozi juu ya Ummah. Bani Umayyah na Bani Abbas waliweka kila juhudi kubwa kuhakikisha kwamba Ahlul-Bayt (a.s.) hawakubaliwi kama viongozi wa watu; hadhi ya hali ya juu kabisa ambayo wangeweza kuipata ni kuonekana kama 32

45_14_MISINGI YA WILAYA _29_Nov_2014.indd 32

12/12/2014 1:52:07 PM


MISINGI YA WILAYATUL-FAQIHI

kizazi kitukufu cha kuheshimika cha Mtukufu Mtume (s.a.w.w.). Wakati wowote walipoona mwelekeo wa watu kuelekea kwa Imamu unaongezeka, hilo lilikuwa ni tishio kwenye uongozi wao wenyewe na haraka sana walimuua Imam huyo. Maasumina wanasema kwamba hakuna yeyote kati yetu ambaye hakuuliwa ama kwa upanga au kwa sumu. Baadhi ya watu wajinga wanasema kwamba Maimamu hao hawakuhusika na mambo ya kisiasa na walikuwa wakijishughulisha tu na ibada zao. Kwa hili, Imam Khomeini (r.a.) anauliza kwamba ikiwa Maimam hao hawakuhusika na siasa na usimamizi wa mambo ya dola basi ni kwa nini waliuliwa? Hakuna mtu anayekuja na kuuwa mtu asiyehusika. Wakati Waingereza walipoikalia Iraqi mwanzoni kabisa, afisa mmoja wa Kiingereza alisikia sauti ya Adhana katika kasri la Baghdad. Akauliza kuhusu sauti hiyo na akapata majibu kwamba huo ulikuwa ni mwito wa Swala. Huyo aliyekuwa anajibu akaanza kutoa maelezo juu ya Adhana; yule afisa akamtaka aeleze kwa kifupi kama wito huu kwa ajili ya Swala ni tishio kwa serikali yao au hapana. Majibu kwa hili yalikuwa kwamba hakuna tishio kwenye wito wa Swala, na hivyo yule afisa wa Kiingereza akasema kwamba ni sawa tu kuendelea na Adhana nyingi kiasi itakiwavyo. Kwa mujibu wa Iqbal: “Desturi ya Adhaana bado inaendelea lakini moyo wa Bilal haupo tena.� Mnaweza mkaendelea kutoa Adhana zisizo na roho wala uhai kila mahali, lakini haitaleta tofauti yoyote. Kwa mujibu wa Iqbal, kuna tofauti kati ya Adhana ya Mujahid (mpiganaji katika njia ya Mwenyezi Mungu), Kiongozi na ile ya Mullah (mhubiri aliyekaa tu Msikitini). Adhana ya Kiongozi inatingisha na kutetemesha maadui. Kama mabaraza ya wafalme yalikuwa hayana tishio lolote kutoka kwa Maimamu basi kulikuwa hakuna haja ya wao kuharibu majina 33

45_14_MISINGI YA WILAYA _29_Nov_2014.indd 33

12/12/2014 1:52:07 PM


MISINGI YA WILAYATUL-FAQIHI

ya falme zao kwa kuuwa mtu aliyekuwa kimya. Kuna mambo fulani ya kihistoria ambayo sisi hatuelezwi na hii pia ni sehemu ya ufichaji ambayo kwamba ile dini sahihi haiwasilishwi kwetu; ile dini ambayo itatupeleka kuelekea kwa kiongozi wa haki. Kwa nini watu hao watukufu hawakuwasilisha Wilayatu-Faqiih? Wana majibu kama haya haya, kwamba hili sio jambo geni na limekuwa likitokea tangu mwanzoni kabisa. Utume wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) haukuwasilishwa na watu wazima hawa wa Wayahudi na Wakristo, Uwalii wa Amirul-Mu’miniina (a.s.) ulifichwa na Masahaba na watu wengine wakubwa, sio watu wa kawaida tu. Kutokueleza kwao hili kumekuwa ni hoja kwa wengi wa Waislamu. Kila aina ya ugeuzaji, mila za kishirikina na fitna mbalimbali viliendelezwa lakini uongozi wa Kiislamu haukuendelezwa. Haikuwa kwamba walikuwa hawatambui; walilifahamu vyema kabisa na walikuwa pia na ruhusa ya kuchukua Khums iliyotolewa na Imam Ridhaa (a.s.) lakini bado walikuwa hawazungumzi juu ya haki za Uimamu. Imam Ridhaa (a.s.) aliwaita hao Mamtuura (mbwa jike aliyeloweshwa katia maji, anayetikisa mwili wake na kusambaza najisi kila mahali) kwa ajili ya sababu hii tu kwamba licha ya kujua kila kitu wao walikuwa wanaificha haki na kueneza mawazo hasi na potofu. Kiongozi wa kundi hili ambalo Imam (a.s.) ameliita Mamtuura (mbwa jike anayeeneza uchafu dhidi ya Uwalii) alikuwa ni mtu mkubwa maarufu ambaye aliikataa Uimamu wa Imam Ridhaa (a.s.), na mtu huyu alikuwa ameteuliwa na Imam Musa al-Kadhim (a.s.) kama mwakilishi kwenye eneo fulani kwa ajili ya kukusanya Khums. Jina lake lilikuwa ni Ali ibn Hamza Butaini. Kwa vile Imam Musa alKadhim (a.s.) alitumikia muda muhimu ndani ya magereza, aliteua wawakilishi (mawakili) kwa ajili ya ukusanyaji wa Khums, na pale Imam Musa al-Kadhiim alipouawa kishahidi na Imam Ridhaa (a.s.) akaja kuwa ndiye Imam na akawaandikia barua wale wawakilishi 34

45_14_MISINGI YA WILAYA _29_Nov_2014.indd 34

12/12/2014 1:52:07 PM


MISINGI YA WILAYATUL-FAQIHI

kuja kukutana naye wakiwa pamoja na ile Khums waliyoikusanya tayari. Ali ibn Hamza Butaini hakuja na alipofuatiliwa ili aje majibu yake yalikuwa kwamba: mimi sikutambui wewe kama Imamu, ingawa alikuwa anajua wazi kabisa kwamba Imam Ridhaa (a.s.) alikuwa ndiye Imamu wa wakati huo, na kwa kweli Imamu Musa al-Kadhim (a.s.) alikuwa amekwisha kumjulisha juu ya hilo. Lakini bado aliendelea kukataa na akaunda kundi lililoitwa ‘Waqfia’ katika kumpinga Imam Ridhaa (a.s.). Yeye alitangaza kwamba Imam Musa al-Kadhim hakuwa ameuawa bali alikuwa amekwenda ghaibuni na kwamba yeye alikuwa akiwasiliana naye, kwamba yeye alikuwa ndio hujja yake na Imam juu ya watu. Madhehebu hii iliendelea kuwepo hadi wakati wa Imam az-Zamaan (a.t.f.s.). Aliukataa Uimamu wa Imamu Ridhaa kwa sababu kukubali kwake kulimaanisha kwamba zile pesa zote alizokusanya zilikuwa ziwakilishwe kwa Imamu (a.s.), na inawezekana kwamba Imamu Ridhaa (a.s.) asiendeleze uwakilishi wake. Hawa ndio wale watu wanaouza dini kwa ajili ya dunia hii. Wale wanachuoni na hususan wale Mujtahidiin ambao wanaikataa Wilayatul-Faqiih basi, sisi tunapaswa tuwaulize kuhusu ni kwa nini wanakusanya Khums? Je, Khums sio haki ya Imam Ma’suum? Hivyo katika kipindi cha Ghaib wanaona kwamba Faqiih anastahiki kukusanya Khums ambazo ni haki za Imam lakini hawaoni kwamba Faqiih anastahiki uongozi wa ummah wa kijamii na kisiasa na kulisukumia hilo kwa Imam Ma’suum (a.t.f.s.). Kama mnafikiria kwamba katika kipindi cha Ghaib hakuna haki za Imam Ma’suum (a.t.f.s.) zinazohamishiwa kwa Faqiih basi ni kwa nini mnaiondoa Khums katika kufikiria huku (mkaihamishia kwa Faqiih). Je, hii sio hoja sahihi yenye nguvu kwa wale wanaotoa swali hili kwamba Wilayatul-Faqiih inasemekana kuwa ndio mfumo sahihi wa Kiislamu, kwa nini basi watu wengine wa kuheshimika kabisa hawakuukubali? Endapo hoja hii inaweza kukubalika, kwamba 35

45_14_MISINGI YA WILAYA _29_Nov_2014.indd 35

12/12/2014 1:52:07 PM


MISINGI YA WILAYATUL-FAQIHI

kwa sababu wazee hawakukubali Wilayatul-Faqiih, basi na ile hoja wanayoitoa Masunni kuhusu Uwalii wa Imam Ali (a.s.) inakubalika pia, kwamba Masahaba hawakuikubali vilevile. Kwa kanuni hii tunapaswa kuikubali hoja hii vilevile. Kutokuukubali Uwalii wa Amirul-Mu’miniin (a.s.) hakuiondoi ile hadhi halisi ya Uwalii kutoka kwa Imam Ali (a.s.). Walikuwepo wachungaji wengi wa Kiyahudi na Kikristo ambao hawakukubali utume wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.). Kwa hoja hii Maimamu wote (a.s.) watakuwa ni wenye kuulizwa kwa vile wao pia hawakupata ukubalikaji kwa sababu hawakukubaliwa na wengi wa watu. Kama baadhi ya watu hawaikubali WilayatulFaqiih, na hii ikawa ndio hoja yetu ya msingi, basi mantiki hiyo hiyo itatumika kwa Uimamu wa Maasumu (a.s.) na halafu kwa utume wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.). Watu wa kuheshimika walikuwepo wakati ule pia na hawakukubali Uimamu na kwa sababu yake leo hii watu wengi hawawakubali Maimam Maasumiina (a.s.). Ulikuwepo wakati ambapo kulikuwa na mtu mmoja tu pamoja na AmirulMu’miniina (a.s.) na wengine wote walibakia kimya. Ule ukimya wa wengi hawa peke yake ulikuwa ni uthibitisho juu ya uadilifu wa Imam Ali (a.s.) na kwa hilo tunajua wapi iliko haki. Upinzani wa Bibi Fatimah juu ya suala la Uwalii wa Imam Ali (a.s.) ni hoja kwetu sisi dhidi ya Waislamu wengine ingawa alikuwa ni yeye peke yake aliyekuwa akijitahidi kwa ajili ya haki za kisiasa za Walii. Sasa inakuwaje uasi na jitihada za mtu mmoja tu, Imam Khomeini (r.a.) kwa ajili ya kusimamisha Wilayatul-Faqiih inakuwa ni shughuli, ubishani na lisilokubalika kwetu sisi? (Angalizo: Majibu yanayotolewa na Ustadh Syed Jawad Naqvi hapa yapo kwenye muktadha wa kwenye hoja kwamba wingi wa watu wanaobakia kimya katika suala hili kihistoria unakuwa ni ushahidi kwetu sisi wa kuipuuza Wilayatul-Faqiih. Hoja hii inanukuliwa katika njia ya ki36

45_14_MISINGI YA WILAYA _29_Nov_2014.indd 36

12/12/2014 1:52:07 PM


MISINGI YA WILAYATUL-FAQIHI

jumla na wapinzani wa Wilayatul-Faqiih. Hata hivyo kuna kadhia pana za baadhi ya watu mashuhuri wa Shi’ah ambao kwa uwazi kabisa wameukubali mfumo wa WilayatulFaqiih. Baadhi ya watu mashuhuri ambao wameonyesha uthibitisho wao wa kukubali Wilayatul-Faqiih ni Sheikh al-Mufid – aliyefariki mwaka 1022; Muhaqiq al-Hilli – aliyefariki mwaka 1277; Muhaqiq al-Karaki – aliyefarika mwaka 1561; Ahmad Muqadda Ardabili – aliyefariki mwaka 1585; Jawad ibn Muhammad Husayni al-Amili – aliyefarika mwaka 1811; Mullah Ahmad Naraqi – aliyefariki mwaka 1829; Mir Fattah Abd al-Fattah – aliyefariki mwaka 1857; Sheikh Muhammad Hassan Najafi, Sahibe Jawahir – waliofarika mwaka 1849; Sheikh Murtadha Ansari, Hajj Aqa Ridha Hamidani – waliofariki mwaka 1904; Sayyid Muhammad Bahr al-Ulum – aliyefariki mwaka 1908; Ayatullah Burjuridi – aliyefariki mwaka 1962; Ayatullah Sheikh Murtadha Hairi, na Imam Khomeini – waliofariki mwaka 1989).

37

45_14_MISINGI YA WILAYA _29_Nov_2014.indd 37

12/12/2014 1:52:07 PM


MISINGI YA WILAYATUL-FAQIHI

SWALI LA TATU Ni Faida Gani ya Mfumo wa Wilayatul-Faqiih wa Iran Kwa Wale Walioko Nje ya Iran?

M

oja ya maswali ambalo limeibuliwa ni kwamba, kwa wakati huu wa sasa, huu mfumo wa Wilayatul-Faqiih unatekelezwa katika Jamhuri ya Kiislamu ya Iran peke yake, na kwa hiyo ni faida gani ya mfumo huu kwa wale ambao wako nje ya Iran? Swali hili linajitokeza kutokana na uelewa usio sahihi wa mfumo wa WilayatulFaqiih na kutokana na maelezo yasiyo sahihi au yasiyokamilika. Hata ndani ya Iran yenyewe, tafsiri au maelezo ya Wilayatul-Faqiih kwa kiwango kinachotakikana kufanyika, na hili sio wajibu wa kiongozi (yaani Waliyul-Faqiih) mwenyewe wa kulielezea hili kwa watu. Wajibu wake yeye ni kuchukua uongozi na kuulinda Uislamu. Bali wajibu huu, wa kuelezea uko mikononi mwa wanachuoni na taasisi za kidini. Kama taasisi hizi na wanachuoni wangekuwa wamefanya na kutoa maelezo na tafsiri sahihi ya dini, kwamba hakuwezi kuwa na njia mbili zinazopingana katika dini, hii sintofahamu ya namna hii isingejitokeza. Hakuna mtu anayesafisha uchafu ambao unaenezwa na Mamtuura (majibwa wanaofanya propaganda ya kiovu dhidi ya Wilayatul-Faqiih) leo hii. Sasa, huko Iran kuna serikali ya kiraia na mfumo wa WilayatulFaqiih wenye muono wa mbali na wa kiitikadi. Vilevile ndani ya Iran kuna makaburi ya Bibi Fatimah Masuuma (s.a.) lililoko Qum na kaburi la Imam Ridhaa (a.s.) huko Mash’had. Je, mtu anaweza kuuliza swali kuhusu ni umuhimu gani makaburi haya yalionao kwa watu nje ya Iran? Ni hoja gani ambayo kwayo mnamkubali Imam Ridhaa (a.s.) kama Imam wenu? Hii ni kwa sababu baadhi ya 38

45_14_MISINGI YA WILAYA _29_Nov_2014.indd 38

12/12/2014 1:52:07 PM


MISINGI YA WILAYATUL-FAQIHI

mahusiano hayategemei juu ya jiogorafia, badala yake yanahusiana na wafuasi wa imani. Qur’ani inatueleza kwamba miongoni mwa Wayahudi na Wakristo kulikuwa na mgogoro juu ya iwapo kwamba Nabii Ibrahim (a.s.) alikuwa ni Myahudi au Mkristo? Kwa hili, Qur’ani inajibu kwa umadhubuti kabisa kwamba Uyuda na Ukristo vilikuja baadaye kabisa wakati ambapo Nabii Ibrahim (a.s.) alikuja kabla ya dini hizo. Rais wa Irani ni kwa ajili ya Iran tu na sio kwa ajili ya ulimwengu wa Kiislamu na sheria yoyote itakayofanywa na Rais wa Iran au Bunge ni kwa ajili ya Iran peke yake. Na hata upigaji kura za Urais unaendeshwa kwa Irani tu. Hata hivyo, Imam Ridhaa (a.s.) licha ya kuwa yupo kwenye ardhi ya nchi hii, yeye ni wa kilimwengu na kwa ajili ya wote. Kwa zaidi ya miaka mia moja, waumini huko India, Pakistani Afrika, Ulaya, Marekani na duniani kote watu wanakalidi (ufuasi katika mas’ala ya kifiqihi – Sharia) Marjaa wa kutoka Iraqi ama Irani. Kuna baadhi ya ma-Marjaa wa Pakistani kadhalika. Hivyo ni vipi kwa watu wanaoishi Pakistani ama India wanakalidi Marjaa wa Iraq au Iran kisha wanachanganyikiwa kuhusu Uongozi wa kisiasa na kijamii, ambao ni Wilayatul-Faqiih. Unaweza kumkalidi Marjaa wa Kiirani lakini ukawa huukubali uongozi wa Waliyul-Faqiih wa Irani? Hili ni jambo lililokwisha kuamuliwa, kwamba kama Umarjaa wa Iraq au Iran unaweza kukubalika, na ukawa hauna mipaka na masharti ya kijiogorafia, basi na uongozi wa Kiislamu haupaswi kufungwa na jiogorafia. Na hili haliishii hapa wakati Imamu wa zama hizi (a.t.f.s.) atakapodhihiri, yeye hatakuwa ni Mhindi au Mpakistani, lakini wafuasi kutoka India na Pakistani watapaswa kumkubali yeye. Kanuni za msingi za Kiislamu hazishirikishwi na nchi yoyote maalum, kama vile Utume, Uimam haviko makhsusia kwenye jiogorafia yoyote. Sisi tumeikubali ile mipaka iliyowekwa na binadamu ya kijiogorafia miongoni mwetu. Mpaka wa Waislamu 39

45_14_MISINGI YA WILAYA _29_Nov_2014.indd 39

12/12/2014 1:52:07 PM


MISINGI YA WILAYATUL-FAQIHI

ni itikadi na sio jiogorafia, na wakati Imam (a.t.f.s.) atakapodhihiri tena, mipaka yote ya namna hiyo itakuja kuondolewa. Utapaswa tumkubali Yeye (a.t.f.s.) popote atakapokuwa kama Kiongozi. Jiogorafia haiwezi kutugawanya sisi. Kanuni hii sio ya kipekee kwetu sisi kama Waislamu bali inatumika katika kila jamii, kama vile kwa Wayahudi ambao wanapatikana duniani kote na wameikalia kidhalimu Palestina na kuanzisha Israili pale. Kiongozi wao anaishi Ulaya lakini leo hii Wayahudi wote duniani kote wanajichukulia kwamba wanahusiana naye. Wa-Ismailia wameenea duniani kote na bado kiongozi wao anaishi Ufaransa. Hivi jiogorafia imekuwa ni kikwazo kwao? Kama mwanadamu atafikiri japo kidogo, yeye mwenyewe anaweza kupata majibu.

40

45_14_MISINGI YA WILAYA _29_Nov_2014.indd 40

12/12/2014 1:52:07 PM


MISINGI YA WILAYATUL-FAQIHI

SWALI LA NNE Ni tofauti gani kati ya Uwalii wa Imam Maasumu na Uwalii wa Faqiih?

K

una aina nne za Uwalii, au tunaweza kusema namna nne za kawaida za Uwalii:

1.

Uwalii wa kawaida (Wilayat-e-A’amma) – (yaani urafiki)

2.

Uwalii wa Irfaan (Wilayat-e-Irfani) – (yaani ukaribu na Allah)

3.

Uwalii wa Kitheolojia (Wilayat-e-Kalami) – (yaani ile nafasi ya Mitume, ambayo pia inafahamika kama Uwalii wa kiitikadi au ya kinafasi)

4.

Uwalii wa Kisiasa (Wilayat-e-Hukumat) – (yaani ya ­utawala)

Unapaswa kwanza kuwauliza wale wanaotilia shaka kuhusu Uwalii kuhusu kwamba ni nini maana ya Uwalii? Imam Khomeini (r.a.) anasema kwamba baadhi ya watu wanajadili kuhusu Uislamu lakini hawajui kama Uislamu unatamkwa kwa tahajia ya ‘Siin’ au kwa ‘Swadi.’ Wengi wa watu wamesikia tu hili neno Uwalii lakini kwa ukweli halisi hawajui hata tahajia za neno Uwalii. Sunni wanasema kwamba lile tangazo ambalo lilitolewa pale Ghadiir ni huu Uwalii wa kawaida (Wilayat-e-A’amma) yaani Uwalii wa urafiki ambao umo pia katika Qur’ani ambapo inasemwa kwamba Awliyaullah, ambayo Uwalii wa kawaida (Wilayat-e-A’amma) ina ngazi, na mlango wa Uwalii huu uko wazi kwa binadamu wote lakini nafasi zake tukufu ni maalum na katika muktadha huu hata Bibi Fatimah (s.a.) ni Walii wa Mwenyezi Mungu. 41

45_14_MISINGI YA WILAYA _29_Nov_2014.indd 41

12/12/2014 1:52:07 PM


MISINGI YA WILAYATUL-FAQIHI

Uwalii wa Kitheoloja (Wilayat-e-Kalami) ambao ni uteuzi wa kwenye nafasi, inaashiria kwamba Mwenyezi Mungu amewateua baadhi ya watu kwa ajili ya nafasi ya Uimamu Maasumu (yaani Uongozi) wa Ummah na amejaalia cheo na hadhi kwao wao. Uwalii huu ni makhsusia kwa watu hawa na unatolewa na Allah hivyo pamoja na juhudi yote anayoweza kufanya mwanadamu, hawezi kufikia cheo hiki cha Uwalii wa Kitheolojia. Mwanadamu anaweza akafikia nafasi hii ya Uwalii wa Irfan, lakini hawezi akafikia hadhi ya Uwalii wa Kitheolojia (sababu ya kuitwa Uwalii wa Kitheolojia ni kwa sababu mjadala wa sayansi ya theolojia unahitajika hapa). Uwalii wa Kisiasa (Wilayat-e-Hukumat) (Ulezi katika Utawala) ina maana ya kuendesha mambo ya jamii ambayo pia tunaiita Uwalii wa Shari’ah za Kiislam (Wilayat-e-Tash’arii). Hii ina maana kwamba Mwenyezi Mungu amejaalia haki ya utawala kwa baadhi ya watu kwa idhini Yake. Uwalii huu ni sawa na ule Uwalii ambao wazazi wanao juu ya watoto wao. Hii hairejelei kwenye urafiki kwa sababu watoto wapo chini ya mamlaka ya wazazi. Pale Mwenyezi Mungu anaposema kwamba Yeye ndiye Walii wenu, neno hilo Walii linatumika kwa maana zote mbili, ya rafiki na mtawala. Wakati Imam Ali (a.s.) anaposema mimi ni Walii wenu, hiyo inarejelea kwenye mfumo wa Mwenyezi Mungu ambayo ni Uwalii (kalima ya Aliyun Waliyullah haimaanishi kwamba Ali ni rafiki wa Mwenyezi Mungu, bali ina maana kwamba yeye ameteuliwa kama kiongozi) na mifumo iliyobakia ni mifumo ya ma-Saamirii. Ndama wa Saamirii ni chochote kile ambacho kipo dhidi ya mifumo ya kimungu, ikirejelea kwenye yule ndama aliyetengenezwa kwa dhahabu, wa kuabudiwa kwa mtindo wa Saamirii wakati Nabii Musa (a.s.) aliposafiri kwenda mlimani kuzungumza na Mwenyezi Mungu. Imeelezwa kwenye Qur’ani kwamba yeyote ambaye hataishi maisha yake kwa mujibu ya mfumo wa Mwenyezi Mungu yupo nje ya dini ya Mwenyezi Mungu. 42

45_14_MISINGI YA WILAYA _29_Nov_2014.indd 42

12/12/2014 1:52:07 PM


MISINGI YA WILAYATUL-FAQIHI

Imam as-Sadiq (a.s.) anasema kwamba msizifuate zile serikali za kidhalimu ambazo zimeunda mifumo nje ya mfumo wa Uwalii. Wao ni mataghuti ambao wametengeneza mifumo tofauti ambapo mfumo ambao Mwenyezi Mungu ameutengeneza kwa ajili ya binadamu ni mfumo wa Uwalii. Hivyo nyumba yako inapaswa kuendeshwa kwa mfumo wa Uwalii lakini huko nako tumeuacha mfumo wa Uwalii vilevile. Wazazi badala ya kutwaa Uwalii wamegeuka kuwa madikteta. Kama wazazi wetu wangejizoesha mfumo wa Uwalii majumbani mwetu, leo hii tusingeweza kuwa wageni na WilayatulFaqiih. Wao walituonyesha udikteta na sisi nasi pia tukawa na tabia za kidikteta na halafu pale tulipotoka pamoja na mfumo huu huu wa kinyumbani na tukautekeleza kwa kiwango cha hali ya juu kiasi inavyowezekana katika jamii. Hivyo wakati ummah unapokimbia, unapaswa kukimbia chini ya mfumo wa Uwalii, Mwenyezi Mungu ametoa haki ya utawala lakini sio kwa kila mtu. Kama ambavyo tu mama hana haki za Uwalii kwa vile hizo ni kwa ajili ya baba tu, ingawa heshima iliyotolewa kwa mama ni zaidi sana kuliko baba. Kadhalika, hata kaka mkubwa hana Uwalii, ule wa utawala. Anao Uwalii katika maana ya urafiki. Uwalii wa utawala ni kwa ajili ya baba tu, na kama baba akiwa hayupo basi babu anakuwa ndiye Walii. Mwenyezi Mungu amechagua ni nani anapaswa awe ndiye Walii. Kama mama atahoji kwamba yeye amemvumilia mtoto huyo kwa muda wa miezi tisa katika tumbo lake la uzazi na amemlea mtoto bado yeye sio Walii kwa sababu Mwenyezi Mungu anajua ni nani anayepaswa kufanywa kuwa Walii. Uongozi ni hitajio la msingi ambalo haliwezi kukataliwa hata na mwendawazimu, na vivyo hivyo kwa uongozi wa Kiislamu. Mwenyezi Mungu anayo njia maalum ya kutoa cheo cha Uwalii kwa Maimam (a.s.). Imam Musa al-Kadhim (a.s.) alikuwa na watoto wengi lakini haki za Uwalii zilitolewa kwa Imam Ridhaa (a.s.) 43

45_14_MISINGI YA WILAYA _29_Nov_2014.indd 43

12/12/2014 1:52:07 PM


MISINGI YA WILAYATUL-FAQIHI

peke yake. Walikuwepo watoto wengi wa Imam Ali (a.s.) lakini Uwalii ulikabidhiwa kwa Imam Hasan (a.s.). Kadhalika Uwalii wa uongozi sio wa kila mtu. Hapa kuna swali: Je, kila Faqiih, mwenye uelewa mpana wa Shariah, anafaa au anastahiki, kwa sifa kwa cheo cha Wilayatul-Faqiih? Kuelewa shariah kwa mapana hakutoshi kuwa Walii. Tofauti hapa ni kwamba mtu anapaswa kuteuliwa, sio kustahiki kwa kuhitimu. Unaweza ukawa umebobea kwenye mambo mengi lakini usiteuliwe kwa kila kitu. Yule ambaye ameteuliwa ndio Walii, sio yule anayechaguliwa. Hilo ni suala tofauti ambalo linaweza kujadiliwa baadaye, juu ya ni vipi uteuzi unavyofanyika. Sasa, watu wanasema kwamba Wilayat ni Tak-wiin (inayotafsiriwa kama iliyojaaliwa na Mwenyezi Mungu kwa kuzaliwa nayo) na Tash’arii (ina maana ya kupatikana kwa kutafutwa) na Maimam ni Mawalii kwa Tak-wiin hivyo ni vipi Faqiih awe ndiye Walii? Mtu anayesema hivyo huyo haijui maana ya Tak-wiin. Unaweza ukamuuliza nini maana ya Tak-wiin na akawa haijui kabisa. Huu ni ukweli na wala sio kashfa au tusi. Mwenyezi Mungu ametukataza kuzungumza juu ya yale mambo ambayo hatuna elimu nayo, hata kwa kiasi kwamba, juu ya tawhiid, kama huna elimu juu ya tawhiid basi hupaswi kuijadili bali ukae kimya. Amirul-Mu’miniina (a.s.) anasema kwamba kama wale wasiojua wangekaa kimya, nusu ya matatizo ya dunia ingekuwa imetatuliwa kiufumbuzi. Tunaposema Wilayatul-Faqiih ni katika maana na maudhui ya uongozi, na kwa ajili ya hili kuna mfumo ulioko mahali pake. Pale tunaposema kwamba Imam Maasumu ndiye Walii basi kuna mawalii katika mielekeo yote minne. Kuhusiana na urafiki vilevile wao ni Mawalii pia. Wao ni Mawalii wa Kijumla, kwa maana ya kwamba wao ni marafiki kwa viumbe vyote. Wanao Uwalii wa ki-Irfaan vilevile, ambao ni ule ukaribu walionao kwa Mwenyezi Mungu hanao mtu mwingine yoyote yule. Wana Uwalii wa 44

45_14_MISINGI YA WILAYA _29_Nov_2014.indd 44

12/12/2014 1:52:07 PM


MISINGI YA WILAYATUL-FAQIHI

kitheolojia vilevile kwa sababu Mwenyezi Mungu amewateua kwa ajili ya cheo cha Uimam (Uongozi) na hakuna wa kulinganishwa na wao. Na wana Uwalii wa Uongozi, ambao inamaana kwamba wao ni watawala wa jamii kadhalika. Hivyo wakati wakiwepo hawa Maimamu Maasumiin, wao ndio Mawalii. Lakini ni nini cha kutokea wakati wa kutokuwepo Imam Maasumu? Wakati Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alipofariki, Ali (a.s.) akawa ndiye Walii na hilo liliendelea hadi kwa Imam al-Hujjat (a.t.f.s.) lakini wakati wa ghaibu yake ni nani Walii? Huo Uwalii wa kitheolojia anao Imam al-Hujjat (a.t.f.s.) na hakuna mrithi katika huo. Kadhalika Uwalii wa ki-Irfaan ni wa kila mtu ingawa ngazi zake za juu kabisa ni za Maimamu (a.s.) tu peke yao. Uwalii wa jumla, ambao ni urafiki baina ya waumini, huo unakuwepo hata wakati wa kipindi cha ghaibu. Kadhalika, Uwalii katika uongozi unakuwa upo wakati wa vipindi vyote, kile cha ghaibu na cha kuwepo kwa Imam (a.s.), Uwalii katika uongozi ni kwa ajili ya nchi zote na zama zote. Pale wanapokuwepo Maimam Maasumiin wanaidhinishwa kwa ajili ya cheo hiki lakini wakati wanapokuwa hawapo, basi kinaangukia kwa Mafaqihi waliobobea. Suala la ni yupi kati ya Mafaqihi wabobezi wanaostahiki litakuja kujadiliwa baadaye. Watakuwepo wengi wanaostahiki cheo hiki cha Uongozi lakini hasa Walii atakuwa ni yule anayeteuliwa, na kwa hilo pia unakuwepo mchakato. Tunahitaji kwanza kuuelewa mfumo huu na kisha kuueleza kwa wengine. Watu ni wasafi, wazuri, Fitrah na nyoyo zao ni safi lakini baadhi ya watu wengine wamewaundia shaka na wasiwasi juu yao. Hivyo kile tunachokusudia kutoka kwenye Uwalii ni ule Uwalii wa Uongozi. Imam Khomeini (r.a.) anasema kwamba lile tangazo la Uwalii ambalo lililofanyika pale Ghadir halikuwa lile la Uwalii wa Jumla, ambao ndugu zetu Sunni wanasema ndio yenyewe (yaani ya urafiki). Wengi wa Shi’ah wanasema kwamba lilikuwa ni la 45

45_14_MISINGI YA WILAYA _29_Nov_2014.indd 45

12/12/2014 1:52:07 PM


MISINGI YA WILAYATUL-FAQIHI

Uwalii wa kitheolojia na ki-Irfan. Imam Khomeini (r.a.) anasema lilikuwa ni tangazo la Uwalii wa Kisiasa kwa sababu Uwalii wa Kiirfan ulikuwa umekwisha kutangazwa kabla ndani ya Qur’ani na Uwalii wa kitheolojia pia umeelezwa ndani ya Qur’ani. Hii ni kwa sababu ule Uwalii uliokuwa ukihitajika kwa haraka mara baada ya kifo cha Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) ulikuwa ni Uwalii wa Kisiasa na migogoro unaanzia kwenye hili peke yake. Masunni vilevile hawaikubali hii aina ya Uwalii wa Kisiasa ya Amirul-Mu’miniina (a.s.), ambapo kama ukiwaangalia Masufi, wote wanachukua nasaba yao ya kiroho, nguzo ya Uongozi kwa Ali (a.s.). Masufi wote hawa wanaona mwalimu wao wa utawa kama ni Ali (a.s.). Hii ina maana kwamba wanaukubali ule Uwalii wa ki-Irfan, na inaonekana kwamba baadhi yao wanaukubali Uwalii wa Kitheolojia wa Maimam (kama vile Sunni Barelvi) lakini ule wanaoukataa ni ule Uwalii wa Kisiasa. Wanasema hiyo ni juu ya watu wenyewe, yeyote watakayemteua kuwa mtawala wa dola. Itikadi ya ki-Shi’ah ni kwamba Uwalii wa Kisiasa vilevile unatoka kwa Mwenyezi Mungu ambapo ina maana kwamba Mwenyezi Mungu atamsimamisha huyo atakayekuwa kiongozi wa kisiasa wa dola. Hivyo, tunaposema Wilayatul-Faqiih, ni ule Uwalii katika muktadha wa utawala au uongozi wa kisiasa wa Ummah. Ingawa Faqiih huyo anaweza akawa amepata Uwalii wa ki-Irfan pia lakini bado hataweza kufikia kiwango kama kile cha Imam Maasumu (a.s.). Faqiih huyo hana Uwalii wa Kitheolojia na Uwalii wa Jumla ni wenye kutumika kwa kila muumini.

46

45_14_MISINGI YA WILAYA _29_Nov_2014.indd 46

12/12/2014 1:52:07 PM


MISINGI YA WILAYATUL-FAQIHI

SWALI LA TANO Je, sio sahihi kwamba kila mwanachuoni ni Faqiih na kwamba kila Faqiih ni Walii?

H

ebu tupige hatua juu zaidi ya waumini, endapo Mitume 124,000 ingekuwepo juu ya mgongo wa ardhi katika nchi na sehemu mbalimbali za dunia na kila mmoja angekuwa ni mtume katika sehemu yake na akawa anapokea wahyi moja kwa moja kutoka kwa Mwenyezi Mungu, ni ipi ingekuwa njia yao ya kufanya kazi? Juu ya hili, Mtume wetu Mtukufu (s.a.w.w.) naye angekuwa miongoni mwa hawa 124,000. Ni akili ya kawaida na jambo linalokubalika kilimwengu na Waislamu wote kwamba katika mazingira haya, mitume wote wangekuwa chini ya utii kwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.). Kama katika zama za Nabii Ibrahim (a.s.) walikuwepo mitume wengine pia kama Nabii Lut; kadhalika wakati wa zama za Nabii Isa vilevile walikuwepo manabii wengine waliokuwa hai wakati huohuo. Wakati Malaika walipokuja kwa ajili ya Nabii Lut (a.s.) walifika kwanza kwa Nabii Ibrahim (a.s.) na wakasema kwamba watawaangamiza kaumu ya Nabii Lut. Hawakwenda kwa Nabii Lut moja kwa moja, walifikia kwenye mamlaka kuu kwanza. Ni akili ya kawaida kwamba pakikosekana kituo, kila kitu pamoja na dini na jamii vitaharibiwa. Wala huna haja ya kulithibitisha hili. Hata mtoto mdogo anajua kwamba bila kuwepo na kituo mambo hayatakwenda sawasawa. Huu ulimwengu wote unashughulika kutoka kwenye kituo, kama ukiuangalia mfumo wa jua na sayari zake huwa unazunguka jua. Je sayari nyinginezo hazina umuhimu? Hii ni kwa sababu, kwa ajili ya uhai wa mfumo huo, unahitaji kuwa na kituo. Kama kungekuwa hakuna kituo cha kati, basi sayari hizo zingegongana na kubomoka. 47

45_14_MISINGI YA WILAYA _29_Nov_2014.indd 47

12/12/2014 1:52:07 PM


MISINGI YA WILAYATUL-FAQIHI

Imam ar-Ridhaa (a.s.) anasema kwamba nafasi ya Imam ni sawa na ile ya jua, anamaanisha kwamba ndio kituo cha kati kama kile cha jua na vilevile kuhusiana na mwanga. Wakati wote panapokuwepo na mfumo basi kutakuwa na uwekaji wa kituo cha katikati (makao makuu). Leo, sisi tunagongana wenyewe kwa sababu ya ugatuaji (upokonyaji) madaraka. Lut (a.s.) ni Nabii na Ibrahim (a.s.) ni Nabii vilevile, lakini Lut yuko chini ya Ibrahim. Yahya naye pia ni Nabii na Isa ni Nabii pia, lakini Nabii Yahya yuko chini ya Uwalii wa Nabii Isa (amani iwe juu yao wote). Hivyo hili lilikwisha kutokea katika historia. Nitalirudia lile swali tena, endapo Manabii 124,000 wangekuwepo duniani leo hii, hivi wangekuwa chini ya uongozi na Uwalii wa nani? Jibu lisilopingika ni kwamba: ni chini ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.). Hivyo kama wanachuoni 124,000 watakusanyika, hivi ni kila mmoja atapaswa kuwa ni kiongozi. Hata kama Manabii 124,000 watakuwa hai kwa wakati mmoja, basi sio kila mmojawao atakuwa ni kiongozi. Ni mmoja tu anayebakia kuwa ndiye Kiongozi. Ikiwa hata katika kundi la hali ya juu kama hilo, Mwenyezi Mungu hakuruhusu uongozi wa wengi na kwamba mamlaka makuu, ya kati yanapaswa kuwa chini ya mmoja tu. Kama vile ambavyo Maasumina watano wamewahi kuwepo katika zama moja; Mtukufu Mtume Muhammad, Ali, Fatimah, Hasan na Husein (amani juu yao wote). Ingawa wote walifuzu na kustahiki kama Mawalii, lakini bado Walii alikuwa ni Mtukufu Mtume (s.a.w.w.). Mmeleta kutoka wapi madai haya kwamba kila Faqiih ni Walii? Leo hatuna mamlaka makuu ya kati (centralization) na ndio maana tunatawanyika na kusambaratika. Shia anapigana na Shia, Sunni anagombana dhidi ya Sunni. Dini na akili haviyaruhusu haya.

48

45_14_MISINGI YA WILAYA _29_Nov_2014.indd 48

12/12/2014 1:52:07 PM


MISINGI YA WILAYATUL-FAQIHI

SWALI LA SITA Kwa nini Sisi Tunahitaji Uongozi Wakati Ambapo Tunaishi Katika Nchi Tofauti?

K

ama hamhitaji uongozi wa Kiislamu wa Faqiih basi mkubalini kiongozi au mtawala wa nchi yenu hiyo kama kiongozi wenu kwa sababu hakuna njia nyingine bila ya kuwa na Walii. Hamuwezi kuukwepa Uwalii, mnapaswa kuteua Walii. Kama Mwenyezi Mungu sio Walii wenu, basi ni Taghuut ndiye walii wenu. Wale wanaoukataa Uwalii badala yake wamekubali Uwalii wa majenerali, madikteta, watawala madhalimu na vyama vya kisiasa. Ni dhahiri na wazi kwamba hakuna ukwepaji kwenye uongozi, ama unamkubali Walii aliyeteuliwa na Mwenyezi Mungu au na Shetani. Mwenyezi Mungu Ndiye Walii wa waumini na wale wasiomkubali Mwenyezi Mungu kama Walii basi Twaghuut ndiye Walii wao. Mmemkubali mtu kama Walii na anatawala mambo yenu ya kijamii. Kama hamko tayari kumkubali Faqiih ambaye anatimiza masharti yote mapana ya Uwalii, basi mtapaswa kumkubali mtu mwingine kabisa kama Walii, ambaye hafikii kigezo. Wakati ninapopaswa kumchagua mtu fulani kama Walii, basi kwa nini nisimchague yule anayestahiki, yule ambaye Mwenyezi Mungu amemteua? Baada ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) kutawafu, hawakuukubali Uwalii wa Imam Ali (a.s.), lakini hivi hawakukubali Uwalii wa mtu mwingine vilevile? Hawakuukubali Uwalii wa yule anayestahiki lakini waliukubali Uwalii wa mtu asiyestahiki wala kufaa kamwe. Sehemu yoyote ya dunia ambayo unaishi, wewe unahitaji kuunganishwa na kuhusishwa na kile kituo cha kati. Hii ni kwa sababu wewe ni muumini, hivyo uhusiano wako na wengine ni ule wa imani. 49

45_14_MISINGI YA WILAYA _29_Nov_2014.indd 49

12/12/2014 1:52:08 PM


MISINGI YA WILAYATUL-FAQIHI

Ummah wa muumini ni imani yake na kile kinachotenganisha muumini na wengine ni imani. Sio sahihi kujiita wenyewe Wahindi, Wapakistani, Wairani, Waarabu na sio kutokuwa sahihi tu, bali pia hii ni ushirikina (Shirk) na ukafiri (Kufr). Tumechonga masanamu ya uzalendo na ubaguzi na tumejitiisha kwayo na kuchukulia mbali na mataifa kama Walii wetu. Tumetengeneza masanamu kutoka kwenye uzalendo/utaifa kwa mikono yetu wenyewe na kuukubali Uwalii wao, lakini yule ambaye Mwenyezi Mungu amempa Uwalii sisi hatumkubali. Uwalii wa nchi unakubaliwa lakini sio ule wa Mwenyezi Mungu. Unaweza ukaishi sehemu yoyote ya dunia lakini unahitaji kukikubali kituo. Ni nini kitakachotokea wakati Imam wa Zama (a.t.f.s.) atakapodhihiri. Mimi nitatoa kisingizio kilekile kwamba ninaishi nchini Australia na sasa siwezi kufuata sharia na amri zako kwa sababu mifumo na sheria nchini Australia ni tofauti na zinazopingana na hiki unachokisema wewe! Kama mtu atasema hivi, itaonekana ni upuuzi kwa Imam wa zama hizi (a.t.f.s.). Hilo hilo linatumika kwa mwakilishi wa Imam wa zama hizi (a.t.f.s.) vilevile.

50

45_14_MISINGI YA WILAYA _29_Nov_2014.indd 50

12/12/2014 1:52:08 PM


MISINGI YA WILAYATUL-FAQIHI

SWALI LA SABA Kuna Tofauti gani kati ya Uongozi na Marjaiyah

K

atika nyakati za zamani kulikuwa hakuna madaktari katika vijiji hivyo watu walikuwa wakienda kwa wataalamu wa tiba ya mitishamba na kadhalika. Vilevile inajitokeza sasa hivi kwamba katika baadhi ya vijiji vidogo vya mbali, ambako hakuna madaktari, unaweza ukampata mchanganya madawa ambaye unaweza ukamwendea na kuchukua madawa kutoka kwake kwa sababu hivyo ni bora kuliko kufa bila ya matibabu yoyote yale. Kuna aina na viwango vya sifa bobezi. Wakati Mtume anapokuwepo ni nani atakayekuwa kiongozi? Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) ndiye kiongozi kwa vile yeye atakuwa ndiye bora zaidi anayepatikana. Mwenyezi Mungu amejaalia ufumbuzi kwa hali zote zinazoweza kujitokeza. Hali ya kwanza na bora kabisa ni ile ya kwamba Mtume anakuwepo miongoni mwa watu na pale Mtume anapokuwepo basi mwingine yeyote hawawezi kuwa Imam. Wakati Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alipokuwa yupo, Imam Ali (a.s.) hakuwa ndiye Imam. Wakati Mtukufu Mtume anapokuwa hayupo, namna inayofuatia. Katika kuchukua uongozi ni Imam Maasumu (a.t.f.s.), na anapokuwepo Imam Maasumu basi uongozi wa asiyekuwa maasumu hauwezi kukubalika. Sasa wakati Maasumu anapokuwa hayupo na yuko ghaibuni ni nani awe kiongozi? Ni lazima uwe ni uongozi wenye upeo mpana wa kijamii na kisiasa wa Faqiih. Kama aina hii ya Faqiih ikiwa haipo basi Faqiih mwadilifu ndio awe kiongozi na kama Faqiih mwadilifu akikosekana vilevile basi muumini wa kawaida ambaye ni mwadilifu atastahiki. Kama inakuwa muumini mwadilifu hapatikani pia basi muumini wa kawaida anaweza kuwa kiongozi. 51

45_14_MISINGI YA WILAYA _29_Nov_2014.indd 51

12/12/2014 1:52:08 PM


MISINGI YA WILAYATUL-FAQIHI

Uongozi lazima uwepo na hauwezi kupuuzwa. Hata muumini wa kawaida anaweza akachukua uongozi kwenye mazingira kama hayo. Kwa mfano, kama kuna mtoto yatima, na hakuna Mtume, wala Imam maasumu, wala Faqiih au muumini mwadilifu (ambao ndio wanapaswa kumlea yatima huyo) basi kunakuwa na kipingamizi chochote kwa mtu mwingine yoyote kumlea mtoto huyu au hapana? Hili litaangukia mikononi mwa muumini wa kawaida tu, bila shaka yoyote. Muumini wa kawaida ambaye anakuwa mlezi wa mtoto huyu yatima anaweza kuachana na wajibu huu tu pale anapokuwepo muumini mwadilifu. Muumini mwadilifu pia anayo haki ya kuwa ndiye mlezi inapokuwa hakuna Faqiih mwadilifu, na anaweza pia kufanya hivyo wakati kiongozi (Rahbar) anapokuwa hayupo, na Kiongozi anaweza vilevile kuwa mlezi inapokuwa hakuna Imam Maasumu, na Maasumu anaweza kuwa mlezi wakati kama Mtume hayupo. Hizi ndio namna zenyewe na wakati namna moja inapokuwepo basi wajibu kwa aliye wa chini haujitokezi hapo. Kama ukiiangalia mifumo ya kijamii, utaikuta inafanya kazi kwa namna hiyo hiyo. Kama kiongozi wa idara anakuwa yupo, basi umiliki unakuwa ni wa kwake, lakini anapokuwa hayupo unaendelea kushuka chini kwa daraja na mwishowe unafikia kwenye kiwango cha karani. Hivyo huyu karani ambaye ana baadhi ya mamlaka wakati hakuna mkubwa yeyote aliyepo, vilevile huanza kutekeleza mamlaka yaleyale, wakati anapokuwapo mkubwa ni nini kitakachotokea? Hakuna mbadala kwa kiongozi wakati anapokuwa yupo. Kwa kila nyanja huwa anakuwepo mtaalamu mbobezi na ni jambo la akili ya kawaida kwamba ni lazima umwendee mtaalamu huyo kama huelewi juu ya jambo fulani. Tunasema kwamba tunaye mhandisi pamoja nasi hivyo kwa nini tuhitaji kiongozi. Mhandisi 52

45_14_MISINGI YA WILAYA _29_Nov_2014.indd 52

12/12/2014 1:52:08 PM


MISINGI YA WILAYATUL-FAQIHI

anatakiwa kubuni muundo wa majengo na hawezi kuwa ndiye badala ya Kiongozi. Unahoji kwa nini tunahitaji kiongozi wakati tunao madaktari na hao madaktari wana uwezo wa kutibia magojwa. Unaweza kuhoji haja ya Rais katika nchi wakati ambapo kuna madaktari, wahandisi, maprofesa na wanamichezo katika nchi hiyo? Lakini Mamtuura wamefanya hivi na wameliweka hili katika akili zetu. Kazi ya profesa ni kufundisha ambapo Rais anapaswa kusimamia na kuendesha mambo ya nchi hiyo na kulilinda taifa. Profesa hawezi kukaa kwenye nafasi ya Rais. Dini sio ngumu, inatokana kwenye umbile. Wewe liulize umbile lako tu. Tunamuweka profesa mahali badala ya Rais. Kiongozi anapaswa kuihami dini na anapaswa kuukusanya Ummah mahali pamoja, yeye anapaswa kuilinda dini ambapo Marjaa anakuwa anazihitimisha sheria na kutoa fatwa. Baada ya kutoa fatwa basi wajibu wa Marjaa umekwisha, hivyo hata ukiacha kumkalidi huyo Marjaa, haileti tofauti kwa Marjaa huyo kama utamkalidi mtu mwingine. Wala sio wajibu juu ya Marjaa kwamba mtu lazima amkalidi yeye na kuna Mujtahid wengi walioko huko Qum ambao wamefuzu kuwa Marjaa lakini hawajatangaza Umarjaa wao au kuwataka watu wengine kuwafuata wao. Na vilevile sio wajibu wa Mujtahidi kuwaambia watu wamfuate. Lakini kiongozi hawezi kufanya hivyo na hawezi kusema kwamba sio wajibu juu yake kutoa hukmu. Kama vile ambavyo Marjaa wengi hawatoi fatwa yoyote katika mas’ala zenye ubishani, lakini kama ukirejea kwa huyo Kiongozi, yeye hawezi kusema mimi sitaki kusema lolote. Kwa mfano, kama kuna masuala ya ugaidi yanayotokea kwenye jimbo moja katika nchi, na kama ukimuuliza Profesa wa chuo kikuu kuhusu maoni yake anaweza akasema kwamba hawezi kutoa maoni yake juu ya hili. Sasa, kama ukimuuliza Rais, hawezi kusema kwamba yeye hahusiki. Huyo Profesa anaweza kubakia hahusiki lakini sio kwa Rais. 53

45_14_MISINGI YA WILAYA _29_Nov_2014.indd 53

12/12/2014 1:52:08 PM


MISINGI YA WILAYATUL-FAQIHI

Kwa hiyo Marjaa ni cheo cha kisomi ambapo ni chaguo la hiari yake kutoa fatwa, na wale wanaomchukulia yeye kama wafuasi wake watazitendea kazi. Lakini wala sio wajibu juu yake kutoa fatwa katika mas’ala hayo. Hata wewe unaweza ukasoma na ukafikia kiwango cha ijtihadi ambacho baada yake taklidi itakuwa inakatazwa kwa ajili yako. Kuna wanachuoni wa kidini wakubwa mjini Qum ambao wako juu sana kielimu wakiliinganishwa na baadhi ya Marjaa lakini hawajatangazi Umarjaa wao na hawatoi fatwa zozote. Na hata wakitoa fatwa, wala sio wajibu kuilazimisha au kuitekeleza. Kwa mfano, unaweza ukalazimisha adhabu za Kiislamu za kumpiga mtu viboko ukiwa kama Marjaa? Jukumu lako ni kuwafahamisha wengine kwa kutoa fatwa, lakini wajibu wa Kiongozi hauishii hapo kwa kutoa fatwa hiyo tu. Yeye anapaswa kuzitekeleza sheria hizi. Hivi Faqiih yoyote anaweza kuingilia kati katika mas’ala yoyote ya kisharia ya dola? Je anaweza kumkata mtu shingo kama adhabu? Yeye hawezi, lakini Kiongozi anaweza, na anapaswa kutekeleza. Marjaiyah ni cheo cha kisomi na wakati ikiwa Uwalii hautekelezwi basi wajibu mwingi unaangukia mabegani mwa Marjaa na anakuwa atekeleze mambo mengi lakini kama Uongozi unakuwepo basi bado unaweza ukamfuata Marjaa katika masuala ya binafsi, lakini katika masuala ya kijamii na kidunia unapaswa kumfuata Kiongozi. Ni wajibu wa Marjaa vilevile kumfuata Kiongozi – namna ambavyo Amirul-Mu’miniina (a.s.) ni Imam lakini anapaswa kumfuata Mtukufu Mtume (s.a.w.w.). Imam Hasan na Husein (a.s.) ni wadogo lakini pia ni Maimam lakini wanapaswa kumfuata Imam Ali (a.s.) kwa sababu yeye ndiye Kiongozi. Imam Zainul-Abidiin (a.s.) alikuwa pia ni Imam lakini alipaswa kumfuata Imam Husein (a.s.) kwa vile alikuwa ndio kiongozi. Kama mtu angekwenda kwa Imam Zainul-Abidiin (a.s.) kuulizia hukumu ya kidini katika mas’ala ya Fiqhi ya binafsi hivi asingemjibu? Kwa hakika angejibu, 54

45_14_MISINGI YA WILAYA _29_Nov_2014.indd 54

12/12/2014 1:52:08 PM


MISINGI YA WILAYATUL-FAQIHI

na yeye anapojibu ina maana kwaamba anakuwa kama Marjaa wa kurejelewa, lakini kama mtu anakuja kuulizia juu ya ni ipi iwe ni mbinu ya mkakati wa kusimama dhidi ya Yazid anapaswa kurejelea kwa Imam Husein (a.s.) kwa vile ndiye aliyekuwa kiongozi (hata ingawa Imam Zainul-Abidiin (a.s.) alikuwa anatambua vyema ni nini cha kufanywa). Hivyo endapo mfumo wa Uwalii ukitekelezwa basi hata Marjaa anapaswa kuufuata huo. Takriban Marajii wote wa Qum, ingawa wanayaelewa masuala ya kidini na vilevile wana ufahamu mzuri juu ya mambo ya kisiasa, bado wao wapo chini ya utii kwa Kiongozi (Walii al-Faqiih). Wao hawampingi Kiongozi na kudai kwamba wanajua mengi na hawana haja ya kumsikiliza huyo Kiongozi. Vilevile haina maana kwamba wameziacha fikra na maoni yao. Wao hawamkalidi kiongozi (Walii al-Faqiih) lakini wanamfuata kiongozi huyo. Hairuhusiwi na imekatazwa kumkalidi mtu mwingine akiwa mtu ni Marja lakini bado anapaswa kumfuata huyo Kiongozi Mkuu (Walii al-Faqiih). Hakuna mashimo katika dini kiasi kwamba watu wanaweza kuachwa katika hali zao wenyewe, kwa namna ndugu zetu Sunni wanavyosema kwamba baada ya kufariki Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) Ummah uliachwa wenyewe (kujiamulia mambo ya uongozi). Kama Ummah ukiachwa wenyewe basi unaweza kuona ni nini kinachotokea, na nini wao Waislamu wanachofanyiana wenyewe kwa wenyewe. Mfumo kamili unahitaji kituo ambacho karibu yake Ummah wote unajiunganisha.

55

45_14_MISINGI YA WILAYA _29_Nov_2014.indd 55

12/12/2014 1:52:08 PM


MISINGI YA WILAYATUL-FAQIHI

SWALI LA NANE Nini Kitatokea Iwapo Kuna Wilayatul-Faqiih Mbili Zilizoanzishwa Kwa Wakati Mmoja?

N

ini kitatokea iwapo kuna viongozi wawili kama hao waliosimamishwa kwa wakati mmoja huohuo? Je wataanzisha dola mbili huru zinazojitegemea? Kama wakifanya hivyo, basi mmoja wao sio Imam. Kwanza kabisa, huyo Imam Maasumu hatafanya hivyo, lakini kama watataka kufanya hivyo basi watukuwa hawana haki. Watakachokifanya ni kuanzisha kituo kimoja na kisha kisimamisha haki binafsi na vilevile haki kuu. Yote haya yanawezekana na yatatokea, lakini ambacho kimepangwa na ambacho hakibadilishiki ni uwekaji wa makao makuu ambayo yatakuwepo hapo na kwamba kutakuwa na kituo kimoja tu. Mifumo miwili iliyo sambamba haiwezi kuanzishwa. Mmoja anapaswa kuwa ndio kituo na mwingine atapashwa kufuata. Majibu kwa maswali yote haya yanapatikana – acha maswali hayo yaulizwe na watu. Usiseme ‘kifo kiwashukie wanaokataa Wilayatul-Faqiih’ endapo mtu ataleta upinzani. Kama yeye ni Mamtuura basi mlaani, lakini kama mtu analeta swali kwa sababu ya ujinga wa kutokujua, basi hilo linaleta changamoto kwako, ya kuyajibu maswali yake. Unahitaji kuuelewa mfumo huo wewe mwenyewe, kinaganaga, na hapo tu ndipo utaweza kuuelezea kwa wengine. Ni muhimu kujifunza, kuelewa na kuchukua faida kutoka kwenye fursa. Baada ya Mapinduzi ya Kiislam haya, imekuwa rahisi sana kwetu sisi kuelewa. Ingawa hakuna fursa nyingi na vyanzo kwa ajili ya kujifunza mfumo huu, hata hivyo sio kama ule ukame uliokuwepo kabla ya Mapinduzi ya Kiislamu. Kama unayo kiu ya 56

45_14_MISINGI YA WILAYA _29_Nov_2014.indd 56

12/12/2014 1:52:08 PM


MISINGI YA WILAYATUL-FAQIHI

kutaka kujua, basi Insha’Allah utampata mtu wa kuizima na kuikata kiu yako hiyo.

57

45_14_MISINGI YA WILAYA _29_Nov_2014.indd 57

12/12/2014 1:52:08 PM


MISINGI YA WILAYATUL-FAQIHI

SWALI LA TISA Tunawezaje Kusema Kwamba Huyo Waliyul-Faqiih na Imam Maasumu (a.s.) Wako Sawa Wakati Huyo Imam ni Maasumu?

S

wali la kwamba ni vipi Walii al-Faqiih achukuliwe kuwa ni sawa na Imam, wakati huyo Imam ni Maasumu na huyo mwingine sio Maasumu huwa linaulizwa mara kwa mara. Sasa, ni jambo linalokubalika kwamba tangu miaka 1200 iliyopita hatuna Imam Maasumu (a.s.) miongoni mwetu. Hivyo vizazi vinavyofuata vije kufanya nini? Hebu fikiria kimantiki, kwamba tunapaswa kumfuata Maasumu kwa msingi wa maisha ya kila siku na hatunaye huyo Imam Maasumu miongoni mwetu na pia hatujui atadhihiri lini. Usije ukafanyiwa hila na udanganyifu na wale wanaokisia wakati wa kudhihiri. Hatujui ni lini atakuja. Pili, katika suala la Uongozi wa Kiislamu tuna shauku kuhusu Umaasumu lakini katika mambo mengine hatujisumbui? Hivi maisha yetu hayaendi katika mambo mengine yote bila ya Maasumu? Wakati Maasumu huyo akiwa hayupo lakini tunapokea Khums ingawa hii ni shughuli ya Maasumu. Kwa nini hamsemi kwamba huyu asiye Maasumu hawezi kugawa pesa za Khums inavyofaa kwa hiyo tunamhitaji Maasumu tu wa kumpa Khums? Kwa nini mnachukua Khums? Wana wa Israili waliambiwa katika Qur’ani kwamba mnafanya jambo la kiovu sana, kwamba pale tunapowapelekea Nabii kwenu mnachukua baadhi ya yale mambo mnayoyataka kutoka kwake na kukataa baadhi ya mambo. Hivyo ni yaleyale hapa, kwa vile mnapenda kuchukua Khums hamtaji lolote kuhusu Umaasum hapa na mnapokea tu Khums. Mnapoiondoa Khums na kuitoa kwa asiyekuwa Maasumu haiwapitii akili zenu kwamba huyu 58

45_14_MISINGI YA WILAYA _29_Nov_2014.indd 58

12/12/2014 1:52:08 PM


MISINGI YA WILAYATUL-FAQIHI

sio Maasumu na kwamba Khums hiyo inaweza ikatumika vibaya, hivyo kwa nini mnampa yeye huyo. Hii ni kwa sababu utaratibu na njia hii imeonyeshwa na Maasumu mwenyewe. Sasa hebu mchukue Malik al-Ashtar, inafahamika wazi kwamba yeye sio Maasum. Amirul-Mu’miniin (a.s.) alimteua kuwa Walii Misri, je kumtii ilikuwa ni wajibu kwa watu wa Misri au hapana? Yeye alikuwa sio Maasumu hivyo angeweza kufanya makosa vilevile. Ikiwa katika sehemu ya kijiogorafia, katika kipindi cha kuwepo Imam Maasumu, ikiwa mtu asiyekuwa Maasumu anateuliwa kama mwakilishi, na utii juu yake unakuwa ni wajibu, je, utii huo hauwi wajibu wakati Maasumu anapomteua mwakilishi kwa ajili ya zama maalum? Mnaliona hilo kuwa ni tatizo kumtii yeye? AmirulMu’miniin Ali (a.s.) anasema mtu atakayemkaidi Malik al-Ashtar amemkaidi yeye Ali (a.s). Imam Mahdi (a.t.f.s.) wakati akiwateua Mafaqihi kama wawakilishi wake anasema: “Mtu anayewakana hawa anatukana sisi, na anayetukana sisi anamkana Mwenyezi Mungu.” Maimam wanasema kwamba tunawateua Mafaqihi kama mawalii juu yenu wakati wa kipindi cha ghaibu. Wale wanaoleta upinzani huu, hivi wao ni wajuzi wa dini zaidi kuliko hao Maasumu (a.s.)? Wao ni Maasumu zaidi kuliko hao Maimam Maasumu? Kwanza kabisa wao wanafanya kila kitu bila ya Maasumu yoyote. Hakuna sehemu katika maisha yao ambayo kuna ukanushaji. Madaktari, wahandisi, maraisi, mawaziri wakuu, mameneja, wake, wakwe wa kiume na kila kitu na kila mfumo unafanya kazi na wasiokuwa Maasumu, lakini inapokuja kwenye uongozi mnakataa mnasema huyo sio Maasumu. Kama hali ni hiyo, basi ishini maisha yenu yote kwa ajili ya Maasumu. Mnatoa na kupokea Khums, mkila kutokana nayo na kufanya kila mnalotaka kwayo hiyo bali inapokuja kwenye uongozi mnakuwa na upingaji. Ni huyo Maasumu ambaye ameteua Faqiihi 59

45_14_MISINGI YA WILAYA _29_Nov_2014.indd 59

12/12/2014 1:52:08 PM


MISINGI YA WILAYATUL-FAQIHI

wakati wa uhai wake lakini sio kila Faqiih, kuna masharti fulani ambayo yanahitaji kufikiwa na huyo Faqihi. Anapaswa awe ni mtu kama Malik al-Ashtar na sio mtu yoyote wa kawaida tu. Kadhalika, katika kipindi cha ghaibu, huyo mwakilishi lazima awe kama hivyo. Sio kila mtu anayeweza kutoa fatwa anayeweza kuwa mwakilishi wa Imam Maasumu (a.s.) na kiongozi wa Ummah wa Kiislamu. Masharti haya pia yamefafanuliwa na Maimam Maasumu (a.s.). “Mmoja miongoni mwa mafaqihi ambaye ameilinda nafsi yake, mhifadhi wa dini yake , mwenye kupingana na matamanio yake, mwenye kutii amri za Mwenyezi Mungu, watu wanapaswa kumfuata yeye huyo.” (Wasa’il-ushi’ah, Jz. 18, uk. 35) Na kisha inapatikana ndani ya riwaya nyinginezo vilevile, kwamba masharti haya ambayo tunayafafanua pia yanasema kwamba Mafaqihi wote hawafuzu kwenye kigezo hiki. Mnapaswa kumtambua ni Faqihi gani anayetimiza masharti haya na kisha yeye atakuwa ndiye Walii wenu kutoka kwetu.

60

45_14_MISINGI YA WILAYA _29_Nov_2014.indd 60

12/12/2014 1:52:08 PM


MISINGI YA WILAYATUL-FAQIHI

SWALI LA KUMI

A

yatullah Sistani ni Marja wa Taklidi maarufu anayefuatwa na wengi huko India na Pakistani, na hivyo yeye ndiye kiongozi wetu. Kwa nini tumchukulie Ayatullah Khamenei (d.a.) kama kiongozi wetu? Badala ya kwenda kwa hoja ambazo tayari zilikwisha kutolewa mapema, tunatoa jibu jepesi juu ya hili, kwamba hivi Agha Sistani anajichukulia yeye mwenyewe kama ndiye Kiongozi? Hajadai kamwe kwamba yeye ni kiongozi lakini bado wafuasi wake wanatangaza kwamba yeye ndiye kiongozi na Walii al-Faqiih. Angalau yule mnayemuona kama ndiye kiongozi wenu angepaswa kujiona kwamba ni kiongozi wenu. Cheo cha Agha Sistani kinaheshimiwa na kiko wazi kabisa katika suala hili. Yeye ni miongoni mwa wafuasi wa huyo Walii al-Faqiih (kiongozi) na sio kwenye mashindano dhidi ya kiongozi huyo. Haya ni makosa ambayo Mamtuura (majibwa) wamefanya kwa sababu hakuna mahali popote ambapo Agha Sistani amekwenda kinyume na hukmu au maagizo ya kiongozi huyo (Ayatullah Khamenei). Na kuna mas’ala mengi, ambayo wakati yanapopelekwa kwake yeye huwa anajibu kwamba haya ni mas’ala yanayohusiana na Walii al-Faqiih. Ninyi mnaweza kumtembelea yeye, na mnapokwenda Ziyara muulizeni yeye kwa umakhsusi kabisa iwapo yeye anamkubali Ayatullah Khamenei kama Walii al-Faqiih, yeye atawajibu kwa kukubali. Kuna mas’ala mengi ambayo yanahusiana na uongozi ambayo wakati anapoulizwa yeye huwa anasema haya hayahusiani na mimi.

61

45_14_MISINGI YA WILAYA _29_Nov_2014.indd 61

12/12/2014 1:52:08 PM


MISINGI YA WILAYATUL-FAQIHI

SWALI LA KUMI NA MOJA

K

una mtu yeyote katika India na Pakistani ambaye anatimiza masharti haya?

Hakuna mtu yoyote katika bara hili kubwa anayetimiza masharti yote haya na kufuzu kuwa Faqiih. Hakuna hata mtu mmoja ambaye anafuzu hata kuwa Marjaa, hata kama mtu atadai kwamba yeye ni Marjaa. Kuna wadai wa cheo hiki wengi tu katika bara letu hili. Kwa kweli, kila mtu katika sehemu hii ya dunia anadai kwamba yeye ni Mujtahid.

SWALI LA KUMI NA MBILI

J

e, huu Mfumo wa Wilayatul-Faqiih unaweza kutekelezwa nchini Pakistani?

Mfumo wa Wilayatul-Faqiih ambao upo kwa sasa nchini Iran hauwezi kutekelezwa nchini Pakistani kama ulivyo kwa sababu wengi wa watu wa Pakistan ni Sunni na wao hawataukubali. Kwa hilo, muundo mpya utapaswa kuandaliwa wa kuweza kuingiza madhehebu zote, lakini hili halina maana kwamba tutakatwa na kutolewa kwa huyo Walii al-Faqiih. Uwekaji kituo kwa ajili yetu bado unabakia kwa Walii al-Faqiih peke yake. Kama tunajaribu kuanzisha mfumo wa Kiislam katika nchi kama hizo basi hiyo haina maana kwamba huu utakuwa ni mfumo ulioachanishwa. Huyo Kiongozi mwenyewe atatuongoza juu ya ni vipi tutaanzisha mfumo huo. Kwa sasa hivi Kiongozi huyo anatuongoza kwamba tuwe na umoja na Sunni. Huu ndio ufuasi na utii kwa Kiongozi huyo. Wakati Kiongozi huyo ana62

45_14_MISINGI YA WILAYA _29_Nov_2014.indd 62

12/12/2014 1:52:08 PM


MISINGI YA WILAYATUL-FAQIHI

potutaka sisi tuungane na ndugu zetu Sunni basi hatuwafuati Sunni bali tunakuwa watiifu kwa Walii al-Faqiih huyo. Yeye ndiye Mamlaka Kuu kwa ajili yetu sisi. Mfano kama huo unaweza kuonekana ndani ya Hizbullah. Hawawezi kufanya Wilayatul-Faqiih na kuulazimisha mfumo huo juu ya Wakristo wa Lebanoni. Kiongozi huyo ametengeneza mfumo kwa ajili ya Hizbullah na akautoa huu kwao ili kuutekeleza nchini Lebanoni. Kadhalika Kiongozi huyo ataamua mfumo wa Pakistani na nchi nyinginezo pia. Kama huko Iran, kuna baadhi ya majimbo ambamo kuna Sunni wengi lakini hilo pia liko chini ya Walii al-Faqiih.

SWALI LA KUMI NA TATU

W

ilayatul-Faqiih kama inavyoeleweka kutokana na majibu yako ni jambo jepesi la akili ya kawaida tu, basi ni kwa nini katika baadhi ya makundi ya Shia hili linaokana kama ni suala la ubishani na ushindani? Hii ni mbinu ya kisaikolojia, ambamo maadui na wapinzani wa Wilayatul-Faqiih wanalianisha hili kama jambo la ubishani. Pindi mtu anaposikia kwamba hili ni jambo lenye kuleta ubishani, inashusha nguvu yake, hususan pale wanachuoni wanaoheshimika wakisema hivyo. Watu hapo ndipo wanafikiria kwamba kwa vile wanachuoni wanatofautiana katika hili basi hakuna haja ya kulijua ama kujiingiza humo kwenye suala hili. Kuna kauli ya Sahib Jawaahir, Mwanafiqhi, kwamba Faqiih ni yule ambaye vitabu vyake ni lazima kuvisoma kwa ajili ya wengine wanaokuja kuwa mafaqihi. Yeye anasema kwamba yule ambaye hayuko tayari kuikubali WilayatulFaqiih bado hajaionja fiqhi hata kidogo. Baada ya kuyajua yote haya bado wanakuja na kusema kwamba hili ni jambo lenye kuleta ubis63

45_14_MISINGI YA WILAYA _29_Nov_2014.indd 63

12/12/2014 1:52:08 PM


MISINGI YA WILAYATUL-FAQIHI

hani. Kwanza kabisa hatuzungumzii kuhusu Uwalii (makhsusi hasa ule Uwalii wa zama zetu, ambao ni Uwalii wa al-Faqiih), halafu wanapokuja kuzungumza vilevile watasema ni jambo lenye kuleta ushindani ambamo baadhi wanaliamini na baadhi hawaliamini. Sasa kama hii ndio mantiki inayotumika kukimbia kutoka kwenye Wilayatul-Faqiih, jua kwamba jambo hili limekuwepo tangu mwanzoni kabisa. Ni wachache tu walioukubali Uwalii baada ya Ghadiir – wengi wao waliutelekeza. Huu ulikuwa ndio msiba wa “Uwalii” kuanzia ile siku ya kwanza ya kutangazwa kwake. Kama ukiambiwa kwamba “Uwalii” ni jambo la kuleta ubishani tangu mwanzoni mwake kabisa, hivi basi wewe utauacha ule Uwalii wa Amirul-Mu’miniin Ali (a.s.)? Utajibu kwamba basi hata kama dunia yote ikiuacha Uwalii huo sisi hatutauacha. Hizi ndio haki za Uwalii vilevile, kwamba hata kama dunia yote ikiiacha sisi hatutaiacha kamwe. Mantiki hiyo hiyo inatumika kwa Wilayatul-Faqiih, wale wanaoteuliwa na Maasumu (a.s.), hata kama dunia nzima itasema kwamba ni suala lenye ubishani basi pia utapaswa kusema kwamba hata kama dunia yote italikataa, sisi hatutalikataa suala hilo. Leo hii ukichukulia kwamba kati ya Waislamu 1.2 billioni duniani kote, ni asilimia ngapi wanaamini katika Uwalii wa AmirulMu’miniina Ali (a.s.) na ni wangapi wanaoliona kama ni jambo lenye kuleta ubishani? Idadi ya hawa wa mwisho ni kubwa zaidi, Kama hutaki kukaribia kwenye jambo ambalo ndio msingi wa Uislamu kwa sababu tu linatangazwa kama ni lenye ubishani na wengi wa watu, basi ukae mbali na Uwalii wa Amirul-Mu’miniin Ali (a.s.) ambao nao ni wenye ubishani, na tangu miaka 1400 iliyopita kuna wanachuoni wanaoandika vitabu na wanawasilisha hoja juu ya hili. Haya ndio mazingira magumu kabisa, wakati wafuasi wa Ghadir wanakuwa wazembe hivyo na wasiojali chochote kwenye WilayatulFaqiih. Hii ndio hofu aliyokuwa nayo Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) 64

45_14_MISINGI YA WILAYA _29_Nov_2014.indd 64

12/12/2014 1:52:08 PM


MISINGI YA WILAYATUL-FAQIHI

mnamo ile siku ya Ghadir na ambayo kwayo aliagizwa na Mwenyezi Mungu kwamba asiogope vile watu watakavyoliitikia tangazo hili; lakini amuogope Mwenyezi Mungu tu na autangaze ujumbe huo. Hivyo sisi tunapaswa bila ya kuogopa pia tuzungumzie kuhusu Wilayatul-Faqiih.

SWALI LA KUMI NA NNE

H

ivi huu upinzani tunaouona dhidi ya Wilayatul-Faqiih miongoni mwa Shia leo hii ni sawasawa na upinzani dhidi ya Maimamu Maasumu vilevile? Maimamu (a.s.) walilipokeaje hili? Sababu juu ya upinzani ambao tunauona leo hii dhidi ya Wilayatul-Faqiih zimeelezewa katika majibu kwa swali lako la kwanza. Ngoja nielezee ni matatizo gani Maimamu walilazimika kukabilana nayo, hususan pale ilipokuja kwenye suala la haki zao za utawala wa kisiasa wa dola na jinsi wale ambao walidai kuwa ni Shia walivyosababisha matatizo. Wakati wa zama za Imam al-Haadi (a.s.) kulikuwa na madhehebu mbalimbali. Uliberali – mfumo wa kutaka mabadiliko – ulikuwepo, Usufi ulikuwepo na matapo mengine pia yalikuwepo. Kulikuwepo na madhehebu nne au tano zilizokuwa na nguvu katika zama zake ambayo yaliundwa, yakiungwa mkono na kupewa nguvu na Bani Abbasi ili kwamba Ushia ukandamizwe na kuzimwa kabisa sambamba na muono wa Uimam. Walifanya yote haya kwa ushari mkubwa kabisa na wakaanzisha ma-Mullah wakubwa na wasemaji hodari wengi ili wajitokeze kupiga makelele, na ndani ya makelele haya, ile njia halisi na ya kweli iweze kupata kuzimwa kabisa. Miongoni mwa makundi yaliyoundwa yalikuwa ni Usufi mpotofu na 65

45_14_MISINGI YA WILAYA _29_Nov_2014.indd 65

12/12/2014 1:52:08 PM


MISINGI YA WILAYATUL-FAQIHI

jingine ni la wapiga chuku, wakuza mambo (Ghaali). Inapasa kuzingatiwa kwamba katika uwepo wa Imam (a.s.) walikuwepo watu ambao walikuwa wanakuza kupita kiasi sifa za Imam (a.s.). Halafu walikuwepo wale wanaojifanya ni wenye kujinyima dunia (Zuhd) ambao walizua upinzani kwa Imam (a.s.) na kumshutumu kuwa ni mtu wa kupenda dunia, kwamba hajizuii na maisha ya kidunia. Shutuma nyingi kama hizo ziliwekwa juu ya Imam huyo (a.s.). Mbali na haya, upotofu mwingine ambao ulikuwa unaendelea kwa nguvu sana wakati ule na ambao dhidi yake Imam (a.s.) alionyesha upinzani ulikuwa ule wa Naasibiyat. Tapo hili lilikuwa ni urithi wa Bani Umayyah lakini Bani Abbasi hawakuwaondoa. Ingawaje Bani Abbasi walikuwa karibu sana na Ahlul-Bayt (a.s.) ukiwalinganisha na Bani Umayyah, bado hawakuwaangamiza maadui wa Ahlul-Bayt (a.s.). Kundi hili liliundwa na Bani Umayyah, na hao Bani Abbasi badala ya kuwaondosha, wao waliwabakisha na kwa kweli waliwatumia katika kadhia nyingi. Ni kama vile tu wanasiasa wa zama zetu hizi wanavyofanya: wanatumia baadhi ya vikundi vya kiitikadi vya kidini kwa kuviweka mbele katika baadhi ya matukio. Hivyo hawa Nasibi walitumia manufaa ya Bani Abbasi na wakawatesa vibaya sana Mashia wakati wa zama za Imam al-Haadi (a.s.). Kiwango cha mateso walichokifanya wao na matatizo waliyoyasababisha kwa Imam (a.s.) yalikuwa kwa kiasi kwamba hata kama Imam (a.s.) angeacha majukumu mengine yote na akabaki kupingana nao tu kulithibitisha uhalali wake. Kulikuwa pia na tapo jingine ambalo lilikuwa ni matokeo ya fikra za kisiasa za Bani Abbasi na lilikuwa ni tapo potofu la Shia. Tapo hili lilikuwa ni lile la Waqfia ambalo lilizaliwa wakati wa zama za Imam al-Ridhaa (a.s.). Tapo hili liliundwa na mmoja wa wawakilishi wa Imam Musa al-Kadhiim (a.s.) baada ya kuuwawa kwake (a.s.) kishahidi. Tapo hili lilikataa kumkubali Imam ar-Ridhaa (a.s.) kama Imam na likadai 66

45_14_MISINGI YA WILAYA _29_Nov_2014.indd 66

12/12/2014 1:52:08 PM


MISINGI YA WILAYATUL-FAQIHI

kwamba Imam al-Kadhiim alikuwa hajafariki na hajauliwa kishahidi bali badala yake amekwenda kwenye ulimwengu usioonekana (Aalam al-Ghaib). Yeye (a.s.) atakuja kudhihiri tena, kwa hiyo hatumkubali Imam ar-Ridhaa (a.s.) kama Imam wetu. Walikuja kukabiliana na Imam ar-Ridhaa (a.s.) kwa kuunda kundi la kidini kwa jina la Waqfia na likapata nguvu za kutosha hadi kwenye zama za Imam al-Haadi (a.s.). Imam al-Haadi (a.s.) alitumia jina maalum kwa kundi hili. Jina hilo lilikuwa ni Mamtuura. Neno Mamtuura linakuja kutoka kwenye neno la Kiarabu Mutir ambalo lina maana ya mvua. Mamtuura lina maana ya mtu aliyedondokewa na maji ya mvua; kitu ambacho kimelowa katika maji ya mvua yanayodondoka kinaitwa Mamtuura. Jina hili Mamtuura katika lugha ya Kiarabu linatumika kwa Jibwa jike ambalo limesimama mahali pa wazi, linalowa kwa maji ya mvua yanayodondoka, kisha linatafuta kivuli ambapo linakwenda chini yake na kutikisa mwili wake ambapo maji yanayotoka mwilini mwake yanaruka na kukienea kila kilicho karibu. Jibwa ni najisi na ungeliona hili wakati mbwa anapolowa, kwa lengo la kukauka kwake, anatikisa na kuzungusha mwili wake. Yale maji yanayoruka kutoka kwenye mwili wa mbwa yanakifanya kila kitu kilicho karibu yake kuwa najisi. Hili jibwa lililolowa maji ya mvua linaitwa Mamtuura. Irani imelihifadhi jina hili kwa ajili yao na wale wafuasi waliomzunguka Imam (a.s.) walikuwa wakilirejelea kundi hili la Waqfia kama Mamtuura. Hawa ni wale watu najisi wenye mawazo machafu ambao kila wanapoingia kwenye mkusanyiko wowote wa waumini na kufunua madomo yao wanaufanya huo mkusanyiko wote kuwa najisi. Mamtuura hawa wanaanzisha shaka, wasiwasi na mambo ya kudhani kwenye akili za watu waaminifu, hususan kuhusu Uimam na Mfumo wa Uwalii. Hii ni kwa sababu fikra zao zilikuwa kwam67

45_14_MISINGI YA WILAYA _29_Nov_2014.indd 67

12/12/2014 1:52:08 PM


MISINGI YA WILAYATUL-FAQIHI

ba baada ya Imam Musa al-Kadhiim (a.s.) hakuna Imam mwingine tena. Ni sawa na Imam Khomein (r.a.) ambaye ni mwakilishi wa Imam al-Mahdi (a.t.f.s.), mwakilishi wa msimamizi wa mambo (Uluul-Amr) lakini bado kuna wanaokuja kuuliza eti ni kwa nini mnatumia neno Imam kwa Imam Khomeini (r.a.)? Hili pia ni swali sahihi ambalo tunalihusisha kwa mtu asiye Maasumu kama Imam na tunapaswa kuwa na jibu juu ya hili na jibu hilo lipo. Lakini haya madhehebu ya Waqfia yalikuwa yanauliza swali hilohilo la kwa nini watu wanawaita Imam Ridhaa (a.s.), Imam Jawad (a.s.) na Imam alHaadi (a.s.) kama Maimam? Hii ilikuwa miongoni mwa uenezi na mahubiri ya madhehebu ya Waqfia kwamba kwa nini wawaite hawa Maimam? Wao walikuwa wakisema kwamba Uimamu umeishia kwa Imam Musa al-Kadhiim (a.s.) na sasa cheo hiki cha Imam hakimfai mtu yeyote tena. Huwezi kumuita mtu mwingine yeyote tena kwa jina la Imam. Hii ndio sababu ambayo kwayo Imam (a.s.) aliweka jina hili la Mamtuura kwa ajili yao na wakati wowote kulipofanyika mjadala kuwahusu wao walikuwa wakirejelewa kwa jina hili na sio kwa jila lao halisi la madhehebu ya Waqfia. Endapo mtu atauliza kuhusu ni nini tukifanye kuhusu hawa Mamtuura, ni ipi iwe tabia yetu kwao? Msimuliaji mmoja anasema kwamba: nilimuuliza Imam (a.s.) iwapo kama ningepaswa kuwalaani hao Mamtuura wakati wa du’a yangu ya kunuti? Imam (a.s.) alinijibu kwamba unapaswa hasa kuwalaani hao. Unapaswa kuwalaani Mamtuura, jibwa hili lililolowa. Kwa nini? Hili lilikuwa ni kwa sababu madhehebu ya Mamtuura yalikuwa ni tishio kubwa mno kwenye Mfumo wa Uwalii (utawala wa Kiislam), Uimam na njia ya Uwalii. Hii ni madhehebu chafu mno na popote wanapokwenda hawa Mamtuura wanaeneza uchafu. Madhehebu hii imesababisha mkanganyiko mkubwa na mkali sana katika vichwa vya watu kuhusu Uimam. Ni muhimu kuzingatia kwenye ukweli kwamba madhe68

45_14_MISINGI YA WILAYA _29_Nov_2014.indd 68

12/12/2014 1:52:08 PM


MISINGI YA WILAYATUL-FAQIHI

hebu hii ya Waqfia ilikuwa ni kundi la Shia ambapo hapo zamani yalikuwepo madhehebu ya ziada ya Kishia vilevile kama Ismailia, Zaidiya, Fathiya, Sufiya, Ghaali na matawi mengine mengi ya kiShia, na yote yalikuwepo katika zama za Imam al-Haadi (a.s.) yakieneza upotofu na udanganyifu wao. Zilipokuja zama za Imam al-Haadi (a.s.) madhehebu zote hizi zilikuwa zikitema sumu zao na walikuwa wanakubaliana katika jambo la kwamba Imam al-Haadi (a.s.) sio Imam. Zaidiya walisema vivyo hivyo, Ismalia walisema vivyo hivyo, Fathiya, Sufiya na hata Ghaali walisema vivyo hivyo, kwamba Imam al-Haadi (a.s.) sio Imam. Wote Bani Umayyah na Bani Abbasi walikuwa na maoni hayohayo kwamba Maasumu hawa sio Maimam. Inapaswa kuzingatiwa kwamba uadui kati ya Bani Umayyah na Bani Abbasi ulikuwa kwa kiasi kwamba wasingeweza hata kukaa katika meza moja na wakanywa bilauri ya maji, lakini inapokuja kwenye kuukana Uimamu wao wanakubaliana kwamba Imam al-Haadi sio Imam. Mpangilio kama huohuo unajitokeza leo hii, ambapo makundi yote tofauti ndani ya madhehebu ya Shia ambayo yana chuki binafsi na tofauti kati ya kila mojawapo yanakuwa yameungana inapokuja kwenye kuushambulia Mfumo wa Uwalii (Dola ya Kiislamu amabayo imekuja kuwepo baada ya Mapinduzi ya Kiislam) na hususan suala la Uongozi – yaani Wilayatul-Faqiih. Hivyo mambo yaleyale ambayo tunayaona leo hii dhidi ya Wilayatul-Faqiih yalikuwepo kwa Imam Maasumu (a.s.) vilevile, na Imam (a.s.) amewaita watu kama hao ambao wanatia sumu akili za watu kuhusiana na Wilayatul-Faqiih kuwa ni Mamtuura (Majibwa yanayoeneza najisi kila mahali).

69

45_14_MISINGI YA WILAYA _29_Nov_2014.indd 69

12/12/2014 1:52:08 PM


MISINGI YA WILAYATUL-FAQIHI

ORODHA YA VITABU VILIVYO CHAPISHWA NA AL-ITRAH FOUNDATION 1.

i) Qur’ani Tukufu – Pamoja na Tarjuma ya Kiswahili ii) Qur’an Al-Kariim - Tafsir Al-Kashif Juzuu ya kwanza mpaka Thelathini 2. Uharamisho wa Riba 3. Uharamisho wa uwongo Juzuu ya Kwanza 4. Uharamisho wa uwongo Juzuu ya Pili 5. Hekaya za Bahlul 6. Muhanga wa Imamu Husein (A.S.) 7. Mikingamo iliyomzunguka Imamu Ali (A.S.) 8. Hijab vazi Bora 9. Ukweli wa Shia Ithnaashari 10. Madhambi Makuu 11. Mbingu imenikirimu 12. Abdallah Ibn Saba 13. Khadijatul Kubra 14. Utumwa 15. Umakini katika Swala 16. Misingi ya Maarifa 17. Kanuni za Ndoa na maadili ya Familia 18. Bilal wa Afrika 19. Abudhar 20. Usahihi wa Historia ya Uislamu na Waislamu 21. Salman Farsi 22. Ammar Yasir 23. Qur’an na Hadithi 24. Elimu ya Nafsi 25. Yajue Madhehebu ya Shia 26. Ukusanyaji na Uhifadhi wa Qur’an Tukufu 27. Al-Wahda 28. Ponyo kutoka katika Qur’an 70

45_14_MISINGI YA WILAYA _29_Nov_2014.indd 70

12/12/2014 1:52:08 PM


MISINGI YA WILAYATUL-FAQIHI

29. Uislamu mfumo kamili wa maisha ya kijamii 30. Mashukio ya Akhera 31. Al Amali 32. Dua kwa Mujibu wa Ahlulbayt (a.s) 33. Udhuu kwa Mtazamo wa Qur’ani na Sunna 34. Haki za wanawake katika Uislamu 35. Mwenyezi Mungu na sifa zake 36. Kumswalia Mtume (s) 37. Nafasi za Ahlul Bayt (a.s) 38. Adhana 39. Upendo katika Ukristo na Uislamu 40. Qur’ani na Kuhifadhiwa Kwake 41. Maana ya laana na kutukana katika Qur’ani Tukufu 42. Kupaka juu ya khofu 43. Kukusanya Sala Mbili 44. Bismillah ni sehemu ya Qur’ani na husomwa kwa Jahara 45. Kuwaongoza vijana wa kizazi kipya 46. Kusujudu juu ya udongo 47. Kusheherekea Maulidi Ya Mtume (s) 48. Tarawehe 49. Malumbano baina ya Sunni na Shia 50. Kupunguza Swala safarini 51. Kufungua safarini 52. Umaasumu wa Manabii 53. Qur’an Yatoa Changamoto 54. as-Salaatu Khayrun Mina -’n Nawm 55. Uadilifu wa Masahaba 56. Dua e Kumayl 57. Sauti Ya Uadilifu wa Binadamu 58. Umaasumu wa Mitume - Faida Zake Na Lengo Lake 59. Umaasumu wa Mitume - Majibu Ya Aya Zenye Utata 60. Umaasumu wa Mitume - Umaasumu wa Mtume Muhammad (s) 61. Nahju’l-Balaghah - Juzuu ya Kwanza 62. Nahju’l-Balaghah - Juzuu ya Pili 71

45_14_MISINGI YA WILAYA _29_Nov_2014.indd 71

12/12/2014 1:52:08 PM


MISINGI YA WILAYATUL-FAQIHI

63. Kuzuru Makaburi 64. Maswali Na Mishkili Elfu - Sehemu ya Kwanza 65. Maswali Na Mishkili Elfu - Sehemu ya Pili 66. Maswali Na Mishkili Elfu - Sehemu ya Tatu 67. Maswali Na Mishkili Elfu - Sehemu ya Nne 68. Maswali Na Mishkili Elfu - Sehemu ya Tano 69. Maswali Na Mishkili Elfu - Sehemu ya Sita 70. Tujifunze Misingi Ya Dini 71. Sala ni Nguzo ya Dini 72. Mikesha Ya Peshawar 73. Malezi Ya Mtoto Katika Uislamu 74. Ubora wa Imam ‘Ali na Ushia ndio njia iliyonyooka 75. Hukumu za Kifikihi zinazowahusu Wanawake 76. Liqaa-u-llaah 77. Muhammad (s) Mtume wa Allah 78. Amani na Jihadi Katika Uislamu 79. Uislamu Ulienea Vipi? 80. Uadilifu, Amani na Mtume Muhammad (s) 81. Dhana ya Ndoa ya Mitala na Ndoa za Mtume Muhammad (s) 82. Urejeo (al-Raj’ah) 83. Mazingira 84. Utokezo (al - Badau) 85. Hukumu ya kujenga juu ya makaburi 86. Swala ya maiti na kumlilia maiti 87. Uislamu na Uwingi wa Dini 88. Mtoto mwema 89. Adabu za Sokoni Na Njiani 90. Johari za hekima kwa vijana 91. Maalimul Madrasatain Sehemu ya Kwanza 92. Maalimul Madrasatain Sehemu ya Pili 93. Maalimul Madrasatain Sehemu ya Tatu 94. Tawasali (AT- TAWASSUL) 95. Imam Mahdi katika Usunni na Ushia 96. Hukumu za Mgonjwa 72

45_14_MISINGI YA WILAYA _29_Nov_2014.indd 72

12/12/2014 1:52:08 PM


MISINGI YA WILAYATUL-FAQIHI

97. 98. 99. 100. 101. 102. 103. 104. 105. 106. 107. 108. 109. 110. 111. 112. 113. 114. 115. 116. 117. 118. 119. 120. 121. 122. 123. 124. 125. 126. 127. 128. 129. 130.

Sadaka yenye kuendelea Msahafu wa Imam Ali (as) Maimamu wa Ahlul Bait – Ujumbe na Jihadi Idi Al-Ghadir Kusoma sura zenye Sijda ya wajibu Hukumu zinazomuhusu mkuu wa kazi na Mfanyakazi Huduma ya Afya katika Uislamu Sunna za Nabii Muhammad (saww) Historia na sera ya viongozi wema (Sehemu ya Kwanza) Historia na sera ya viongozi wema (Sehemu ya Pili) Shahiid Mfiadini Mwanamke Na Sharia Ujumbe -Sehemu ya Kwanza Ujumbe - Sehemu ya Pili Ujumbe - Sehemu ya Tatu Ujumbe - Sehemu ya Nne Mariamu, Yesu na Ukristo kwa mtazamo wa Kiislamu Hadithi ya Thaqalain Ndoa ya Mutaa Ukweli uliopotea sehemu ya Kwanza Ukweli uliopotea sehemu ya Pili Ukweli uliopotea sehemu ya Tatu Ukweli uliopotea sehemu ya Nne Ukweli uliopotea sehemu ya Tano Mkutano wa Maulamaa wa Baghdad Safari ya kuifuata Nuru Fatima al-Zahra Myahudi wa Kimataifa Kuanzia ndoa hadi kuwa Wazazi Visa vya kweli sehemu ya Kwanza Visa vya kweli sehemu ya Pili Elimu ya Ghaibu ya Maimamu Mwanadamu na Mustakabali wake Imam Ali (‘a) Ndugu wa Mtume Muhammad (s) (Sehemu ya Kwanza) 73

45_14_MISINGI YA WILAYA _29_Nov_2014.indd 73

12/12/2014 1:52:08 PM


MISINGI YA WILAYATUL-FAQIHI

131. Imam Ali (‘a) Ndugu wa Mtume Muhammad (s) (Sehemu ya Pili) 132. Khairul l’Bariyyah 133. Uislamu na mafunzo ya kimalezi 134. Vijana ni Hazina ya Uislamu 135. Adhana ni Ndoto au ni Wahyi? 136. Tabaruku 137. Saada Kamili – Kitabu cha Kiada cha Maadili 138. Vikao vya furaha 139. Shia asema haya Sunni asema haya Wewe wasemaje? 140. Visa vya wachamungu 141. Falsafa ya Dini 142. Kuhuzunika na Kuomboleza 143. Sunna katika Kitabu Fiqhi al-Sunnah 144. Mjadala wa Kiitikadi 145. Kuonekana kwa Allah 146. Tabia njema kwa Mujibu wa Ahlul-Bayt (Sehemu ya Kwanza) 147. Tabia njema kwa Mujibu wa Ahlul-Bayt (Sehemu ya Pili) 148. Ndugu na Jirani 149. Ushia ndani ya Usunni 150. Maswali na Majibu 151. Mafunzo ya hukmu za ibada 152. Ahlul Bayt ndani ya tafsiri za Kisunni No 1 153. Ahlul Bayt ndani ya tafsiri za Kisunni No 2 154. Ahlul Bayt ndani ya tafsiri za Kisunni No 3 155. Abu Huraira 156. Vipengee kadhaa katika Swala ya Jamaa na Msikiti. 157. Mazingatio kutoka katika Qur’an - Sehemu ya Kwanza 158. Mazingatio kutoka kaitka Qur’an - Sehemu ya Pili 159. Mazingatio kutoka katika Uislamu - Sehemu ya kwanza 160. Mazingatio kutoka katika Uislamu - Sehemu ya Pili 161. Shia na Qur’ani – Majibu na Maelezo 162. Falsafa ya Mageuzi ya Imam Husein (a.s) 163. Amali za Mwezi Mtukufu wa Ramadhani 164. Elimu ya Tiba za Kiislamu - Matibabu ya Maimamu 74

45_14_MISINGI YA WILAYA _29_Nov_2014.indd 74

12/12/2014 1:52:09 PM


MISINGI YA WILAYATUL-FAQIHI

165. Uislamu Safi 166. Majlisi za Imam Husein Majumbani 167. Je, Kufunga Mikono 168. Uislam wa Shia 169. Amali za Makka 170. Amali za Madina 171. Asili ya Madhehebu katika Uislamu 172. Sira ya Imam Ali kuhusu Waasi 173. Ukweli uliofichika katika neno la Allah 174. Uislamu na Mifumo ya Uchumi 175. Umoja wa Kiislamu na Furaha 176. Mas’ala ya Kifiqhi 177. Jifunze kusoma Qur’ani 178. as-Sahifatul Kamilah as-Sajjadiyyah 179. Hayya ‘Alaa Khayri’l-’Amal Katika Adhana 180. Ukweli kuhusu Funga ya Siku ya Ashura 181. Dua za Miezi Mitatu Mitukufu (Rajabu, Shaabani na Ramadhani) 182. Uadilifu katika Uislamu 183. Mahdi katika Sunna 184. Maswali Ya Uchunguzi Kuhusu Uislam 185. Kazi na Bidii ni njia ya maendeleo 186. Abu Talib – Jabali Imara la Imani 187. Ujenzi na Utakaso wa Nafsi 188. Vijana na Matarajio ya Baadaye 189. Historia maana na lengo la Usalafi 190. Ushia – Hoja na Majibu 191. Mateso ya Dhuria wa Mtume (saww) 192. Maombolezo – Msiba wa Bwana wa Mashahidi (a.s.) 193. Shahidi kwa Ajili ya Ubinadamu 194. Takwa 195. Upotoshaji Dhahiri katika (Turathi) Hazina ya Kiislamu 196. Amirul Muuminina (‘as) na Makhalifa 197. Tawhiid Na Shirki katika Qur’ani Tukufu 198. Kuvunja hoja iliyotumika kutetea Uimamu wa AbuBakr 75

45_14_MISINGI YA WILAYA _29_Nov_2014.indd 75

12/12/2014 1:52:09 PM


MISINGI YA WILAYATUL-FAQIHI

199. Adabu za vikao na mazungumzo 200. Hija ya Kuaga 201. Uwazi baina ya Maslahi na Vikwazo 202. Fadhila za watukufu watano katika Sahih Sita 203. Mdahalo baina ya Mwanachuoni wa Kisunni na Kishia (Al- Muraja’aat) 204. Utawala na Uendeshaji katika Sera ya Imam Ali (as) 205. Imam Husain ni Mfumo wa Marekebisho na Mageuzi 206. Mtazamo kuhusu msuguano wa Kimadhehebu 207. Nchi na Uraia – Haki na wajibu kwa Taifa 208. Mtazamo wa Ibn Taymiyyah juu ya Imam Ali (as) 209. Uongozi wa Kidini – Maelekezo na Utekelezaji wa Kijamii 210. Maadili ya Ashura 211. Mshumaa – Shahidi na Kifo cha Kishahidi 212. Mizani ya Hekima – Hadithi za Ahlul Bait (as) – Sehemu ya Kwanza 213. Imam Ali (as) na Mambo ya Umma 214. Imam Ali (as) na Mfumo wa Usawa 215. Uimamu na Tamko la Kutawazwa 216. Mfumo wa Wilaya 217. Vipi Tutaishinda Hofu? 218. Kumswalia Mtume ni Ufunguo wa Utatuzi wa Matatizo 219. Maeneo ya Umma na Mali Zake 220. Nahju ‘L-Balagha – Majmua ya Khutba, Amri, Barua, Risala, Mawaidha na Semi za Amirul-Muuminin Ali bin Abu Talib (a.s.) 221. Mukhtar – Shujaa aliyelipiza kisasi dhidi ya wauaji wa Imam Husein (as) hapo Karbala 222. Mazingatio Katika Swala 223. Imam Hasan na Mfumo wa Kujenga Jamii 224. Vyakula Na Vinywaji 225. Kuelewa Rehema ya Mwenyezi Mungu 226. Tiba ya Maradhi ya Kimaadili 227. Yafaayo kijamii 228. Shia Na Hadith - Majibu na Maelezo 229. Mkakati wa Kupambana na Ufakiri 230. Mtazamo Mpya - Wanawake katika Uislamu 231. Taqiyya Kwa Mujibu Wa Sheria Ya Kiislamu 76

45_14_MISINGI YA WILAYA _29_Nov_2014.indd 76

12/12/2014 1:52:09 PM


MISINGI YA WILAYATUL-FAQIHI

232. Imam Mahdi Na Bishara Ya Matumaini 233. Jihadi 234. Majanga Na Jukumu La Jamii 235. Muhadhara wa Maulamaa 236. Mashairi ya Kijamii 237. Ngano ya kwamba Qur’ani imebadilishwa 238. Mwanamke Katika Harakati za Mageuzi 239. Shia Na Sahaba - Majibu na Maelezo 240. Yusuf Mkweli 241. Hotuba Za Kiislamu na Haki Za Binadamu 242. Ugaidi wa Kifikra katika Medani ya Kidini 243. Imam Mahdi (as) – Imam wa zama hizi na Kiongozi wa Dunia 244. Imam Mahdi (as) ni Tumaini la Mataifa 245. Imam Husein (as) ni Utu na Kadhia 246. Talaka Tatu 247. Uswalihina Dhahiri na Batini yake 248. Upotofu ndani ya kitabu cha mitaala kwa Shule za Sekondari juu ya Uislamu 249. Imam Husein (as) ni Kielelezo cha kujitoa Muhanga na Fidia 250. Uislamu wa Shia

KOPI NNE ZIFUATAZO ZIMETAFSIRIWA KWA LUGHA KINYARWANDA 1. 2. 3. 4.

Amateka Ya Muhammadi (s.a.w.w) Na Aba’ Khalifa Nyuma yaho naje kuyoboka Amavu n’amavuko by’ubushiya Shiya na Hadithi

ORODHA YA VITABU VILIVYO CHAPISHWA NA AL-ITRAH FOUNDATION KWA LUGHA YA KIFARANSA 1.

Livre Islamique 77

45_14_MISINGI YA WILAYA _29_Nov_2014.indd 77

12/12/2014 1:52:09 PM


Turn static files into dynamic content formats.

Create a flipbook
Issuu converts static files into: digital portfolios, online yearbooks, online catalogs, digital photo albums and more. Sign up and create your flipbook.