Ponyo kutoka katika qur'ani

Page 1

PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:13 Page A

Ponyo kutoka katika Qur’an Kimeandikwa na:

Hadhrat Maulana Ashraf Ali Thanawi (r.a) Mukhtasari wa tafsiri ya Al-amaali Qur’ani

Kimetajumiwa na: Mganga Bakari Mnuve


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:13 Page B

ŠHaki ya kunakili imehifadhiwa na: AL-ITRAH FOUNDATION ISBN: 978 - 9987 - 427 - 27 - 7 Kimeandikwa na:

Hadhrat Maulana Ashraf Ali Thanawi (r.a) Kimetarjumiwa na: Mganga Bakari Mnuve Kimehaririwa na: Dr. M. S. Kanju Kimepangwa katika Kompyuta na:

Al-Itrah Foundation Toleo la kwanza: Julai 2006 Nakala: 2000 Toleo la Pili: Machi, 2015 Nakala: 1000 Kimetolewa na kuchapishwa na:

Al-Itrah Foundation S.L.P - 19701, Dar-es-Salaam, Tanzania Simu: +255 22 2110640/ 2127555 Barua Pepe: alitrah@yahoo.com Tovuti: www.ibn-tv.com Katika Mtandao: www.alitrah.info


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:13 Page C

YALIYOMO Kutimiza Mahitaji ya deni......................................................................... 2 Kufa katika hali ya kuwa na Imani..............................................................3 Kuomba msamaha kutoka kwa Allah.......................................................... 3 Shifaa/ kuomba msamaha na Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w).....4 Uimara wa Moyo....................................................................................... 5 Kuondoa dhana shaka..................................................................................6 Ucha Mungu................................................................................................6 Kukubaliwa kwa vitendo (Amal)................................................................6 Kuzuiliwa (kulindwa) na Moto wa Jahannama...........................................7 Kuwa na nuru usoni.....................................................................................8 Usalama katoka na adhabu ya kaburini......................................................8 Kuamka Usiku ...........................................................................................9 Elimu na Ujuzi (maarifa)..........................................................................10 Kurahisisha kuhifadhi Qur’an..................................................................10 Kumuona Mtume (s.a.w.w) katika ndoto..................................................10 Kuzilea itikadi sahihi................................................................................10 Kusahihisha imani na itikadi za mtu..........................................................11 Hamu ya kutaka kufanya toba ya kweli.....................................................11 Hamu ya kusali sala kwa nyakati zake.......................................................11 Hamu ya kufanya mambo (Matendo mema).............................................13 Kuondoa Tanga Balaa................................................................................14 Kutimiziwa Haja yoyote............................................................................16 Kuimarisha kumbukumbu.........................................................................17 Rizqi..........................................................................................................18 Furaha isiyokoma ( ya kudumu)...............................................................18 kuondoa hofu na huzuni......................................................................... 19


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:13 Page D

kulitambua lengo.......................................................................................19 kumfurahisha (au kumridhisha mume)......................................................21 Kupata mapenzi kutoka kwa mke.............................................................22 Kukata tamaa ya kupata mtoto /Mume.....................................................22 (Kupata) watoto wema...............................................................................22 Al-Baariy-ual-Muswawwiru................................................................... 23 Kuharibika mimba.................................................................................... 23 Machungu ya Uzazi...................................................................................24 Kuyaoongeza maziwa ya mama................................................................25 Kumwachisha ziwa mtoto.........................................................................25 Kupata watoto wa kiume...........................................................................25 Kuwalinda watoto dhidi ya magonjwa......................................................26 Kuwalinda watoto kutoka na nadhiri, woga na kula kupita kiasi.............26 Kuwalinda watoto dhidi ya wadudu wabaya.............................................27 Kwa kuzidishiwa Riziki............................................................................ 28 Kupata riziki bila ugumu...........................................................................29 Kwa kupata uwingi wa starehe.................................................................30 Baraka........................................................................................................30 Ulipaji wa madeni......................................................................................30 Kumridhisha mtu mwenye mamlaka ........................................................30 Kumzuia dhalimuu kutokana na kudhulumu.............................................32 Kumfukuza dhalimu kutoka kwenye mji ..................................................33 Kuikuza heshima ya mtu...........................................................................33 Dhul-Jalaal wal Ikraami (Mwenye utukufu na heshima)......................... 34 Kumfanya mtu ampende mtu mwingine...................................................34 Kupatikana mapenzi kati ya mke na mume...............................................35 Mtu kuipata Haki yake...............................................................................36 Ili ukubalike na kupendwa na watu...........................................................36 Al-Adlu (Muadilifu)..................................................................................37


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:13 Page E

Al-Kariymu(aliye mkarimu)......................................................................38 Watoto watukutu (wasio watiifu)...............................................................38 Mke asiye mtiifu pamoja na watoto...........................................................38 Kuziteka na kuzishinda nyoyo za watu......................................................39 Kufichuliwa siri.........................................................................................40 Kwa ukaidi na utobu wa Adabu................................................................ 41 Ulinzi dhidi ya watu wabaya na majini.....................................................42 Suratul- Falaq na Suratun- Naas................................................................43 Suratul Ikhlaas...........................................................................................43 Tiba kutokana na uchawi...........................................................................45 Tiba na kujilinda kutokana na uchawi nadhir na sumu...........................46 Kuwashinda watu na majini.....................................................................47 Kuondosha shaka na Imani potovu (ushirikina).......................................49 Kuondoa woga...........................................................................................49 Kuondoa woga, mshutuko wa Hofu na hali zote za mawazo yenye kuzuia kuwepo Amani...........................................................................................50 Ulinzi (Usalama) dhidi ya madhara yote................................................. 51 Kumponya mtu aliyepagawa na pepo mchafu (Jini ovu)..........................53 Imam Ibn Siriin (r.a) ba wezu................................................................... 61 Kulitoa jini ndani ya nyumba....................................................................62 Imam Auza’i (r.a) na jini baya (Pepo mchafu).........................................63 Kuwashinda wapinzani wake mtu katika mjadala.....................................64 Kumshinda adui katika shindano lolote au vita........................................65 Ya Muntaqimu (Mwenye kulipiza)............................................................67 Kupata baraka katika mazao yake mtu......................................................68 Kulinda shamba,Bustani,mazao n.k dhidi ya majanga aina zote...............69 Baraka kwa mazao, mifugo n.k.................................................................70 Kulifanya Tunda kuwa tamu.....................................................................71 Ulinzi wa mifugo.......................................................................................71


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:13 Page F

Baraka katika Biashara kilimo, mifugo nyumbani. n.k............................72 Amal- dua ya kuomba mvua..................................................................... 73 Kuwafukuza wadudu waharibifu...............................................................73 Wakati maziwa ya mnyama yanapopungua au maji kuwa machache/ kidogo zaidi ndani ya kisima au shimo lililochimbwa kutoka maji.................75 Kwa baraka na maendeleo katika biashara ...............................................76 Kwa maendeleo/ ustawi na ulinzi katika Biashara.....................................76 Kufanya maamuzi sana wakati wa kununua kitu fulani...........................77 Kwa kumpunguzia mu mzigo wake ..........................................................78 Wakati wa kuingia mji...............................................................................78 Wakati wa kupanda chombo chochote kile cha kusafiria /Kipando..........79 Wakati mnyama anapokuwa mkaidi..........................................................79 Kukilinda chombo cha kusafiria baharini..................................................80 Wakati Bahari zimechafuka.......................................................................80 Kwa kurejea nyumbani salama na afya njema...........................................81 Homa.........................................................................................................82 Dua kwa ugonjwa wowote ule.................................................................83 Kuondoa maumivu....................................................................................85 Dua ya kutibu ukosefu wa usingizi...........................................................85 Maelekezo zaidi kwa aina zote za maumivu..............................................85 Kwa kuondoa uzito wa majonzi moyoni na huzuni.................................85 Moyo kwenda mbio...................................................................................86 Maumivu ya moyo.....................................................................................87 Kuutia nguvu moyo...................................................................................88 Kuwa huru kutokana na matamanio ya kidunia........................................88 Kwa kutokaa sawa kwa misuli ya kitovu..................................................89 Kwa kutibu/ Bawasiri................................................................................89 Kwa (Kutibu) ugonjwa wa kutoka damu puani........................................90 Kwa maumivu bayana/dhahiri...................................................................91


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:13 Page i

Kupatia (ulinzi) mtoto mchanga (aliyekwisha zaliwa).............................93 Maumivu makali ya kichwa (Kipanda uso) “Migrane�............................94 Maumivu ya jino....................................................................................... 95 Maumivu ya sikio......................................................................................98 Kuumwa macho.........................................................................................98 Kuumwa macho.........................................................................................98 Kuvimba macho........................................................................................99 Kutia nguvu macho uwezo wa kuona......................................................101 Maumivu katika figo...............................................................................102 Kwa ajili ya mawe katika figo................................................................102 Kwa ajili ya mawe katika figo, kibofu, kibofu cha nyongo n.k..............102 Uvimbe katika mapafu.............................................................................102 Kwa maumivu ya tumbo..........................................................................103 Kifafa.......................................................................................................103 Msokoto wa tumbo..................................................................................104 Kiharusi cha uso......................................................................................105 Kupooza mwili (kiharusi) .....................................................................105 Ukoma ....................................................................................................106 Muwasho wa Mwili.................................................................................108 Mapunye na vipele...................................................................................108 Ndui.........................................................................................................109 Kifafa katika watoto wadogo..................................................................109 Sura Falaq na Sura Nnas........................................................................ 110 Udhaifu wa viungo( vya mwili)..............................................................110 Usahaulifu................................................................................................111 Kuondoa ugumu wa moyo...................................................................... 111 Kushindwa kutoa mkojo nje....................................................................112 Kutokwa na manii ( Usingizini)..............................................................112 Ndoto zenye kutisha (Jinamizi)...............................................................113


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:13 Page ii

Kukosa usingizi...................................................................................... 114 Kumfanya mtoto aweze kusema........................................................... 114 Kwa ulinzi dhidi ya wezi....................................................................... 115 Aayatul- Kursi (Sura 2:255)................................................................... 116 Surah Maryam (Sura 19 Juz.16)..............................................................116 Kwa ulinzi salama wa fedha na vitu........................................................117 Kukitafuta kitu kilichopotea....................................................................117 Kumkamata mwizi au kuvipata vitu (mali) vilivyoibiwa........................118 Kwa kumrudisha mtu aliyetoroka............................................................119 Kuihakikisha usalama wa familia na mali wakati haupo (nyumbani).....120 Ulinzi kwa aina zote za wanyama, wadudu na wanyama watambaao...............................................................................................120 Ulinzi dhidi ya nyoka na n’ge..................................................................121 Kuwazuia wanyama hatari, wadudu wanao dhuru na wanyama watambaao wasiingie ndani ya nyumba .....................................................................122 Wakati unapo hofu kushambuliwa na mnyama ..................................... 122 Ta’waaz kwa ulinzi dhidi ya wanyama wote wenye kudhuru................ 123 Wakati umeumwa na nyoka mwenye sumu au mdudu.........................123 Unapodungwa (umwa) na mdudu...........................................................124 Ulinzi wa jumla Al- Hafiydhwu ( mlinzi).............................................. 124 Kuwafukuza chungu chungu /Sisimizi, Inchwa/ siafu kutoka katika nyumba........................................................................................ 124 Kuwafukuza mbu, Inzi, n.k.....................................................................124 Kuachiliwa huru kutoka jela....................................................................125


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:13 Page iii

NENO LA MCHAPISHAJI Kitabu ulicho nacho mikononi mwako ni tarjuma ya kitabu cha Kiingereza: "REMEDIES FROM THE HOLY QUR'AN". iliyofanywa na: Muhammad Rafeeq Moulana Ahmed Hathurani kutoka kitabu chake cha asili kiitwacho: "A'maali Qur'an" kilichoandikwa na : Hadhrat Moulana Ashrat Ali Thanawi (r.a.). Sisi tumekiita "ponyo kutoka kwenye Qur'an". Mwandishi ametumia Ayah za Qur'an kama maombi kwa Allah swt. kwa shida, matatizo na maradhi mbali mbali, kwa hiyo haya ni maombi sio uganga huu tuujuao. Kwa vile hizi ni Ayah za Qur'an tunamuomba msomaji afanye taadhima na heshima juu ya kitabu hiki, na awe muangalifu anapotumia Ayah yoyote asije akaiweka kwenye vitu ambavyo ni najisi, na asitumie Ayah hizi kwa nia ya kuwadhuru watu wengine. Tumekitoa kitabu hiki kwa lugha ya Kiswahili ili wasomaji wetu wanufaike na maombi haya badala ya kuhangaika kwenda kwa waganga na kulanguliwa mapesa chungu nzima. Tunamshukuru ndugu yetu Mganga Bakari Mnuve kwa kukubali kukifanyia tarjuma kitabu hiki, na tunawashukuru wale wote ambao wameshiriki kwa njia moja au nyingine mpaka kuwezesha kuchapishwa kwa kitabu hiki. Mchapishaji: Al-Itrah Foundation.


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:13 Page 1


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:13 Page 2

Ponyo kutoka katika Qur’an

KUTIMIZA MAHITAJI YA DINI

Alif Lam Mym. Mwenyezi Mungu hakuna aabudiwaye kwa haki isipokuwa yeye – Mwenye uhai wa milele na Mwendeshaji wa mambo yote. {Sura 3:1-2} FAIDA: Kwa mujibu wa Hadith Jina Tukufu (na kubwa) Ismul – adhim – limo katika aya hii. Ni jina lenye maana na faida kubwa na lenye matokeo mema ya haraka kama litasomwa katika nyakati kutokeapo janga.

Hakuna aabudiwaye isipokuwa wewe, Mtakatifu, hakika mimi nilikuwa miongoni mwa wenye kudhulumu (nafsi zao).” {Sura 21: 87} FAIDA: Jina Tukufu/Kubwa (Ismul Adhwim) limo katika aya hiyo hapo juu. Mtu atanufaika sana kama ataisoma (aya hiyo) kwa makusudio (lengo au madhumuni) yoyote yale ya halali.

Yeye ndiye Mwenyezi Mungu ambaye hakuna aabudiwaye isipokuwa yeye tu. Anayajua yaliyo fichikana na yaliyo dhahiri. Yeye ndiye Mwingi wa rehema, Mwenye kurehemu. {Sura 59:22}

2


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:13 Page 3

Ponyo kutoka katika Qur’an FAIDA: Jina kubwa na Tukufu limo katika aya hiyo hapo juu. Yeyote ambaye ataisoma (aya hiyo) mara 7 wakati wa asubuhi, (basi) atawekewa malaika amwombee msamaha n.k. kwa niaba yake mpaka jioni. Kama itatokea yeye kufa katika siku hiyo (mtu) huyo atakufa kama shahidi. Na kama ataisoma mara 7 wakati wa jioni, malaika watamwombea msamaha (kwa Allah) kwa niaba yake mpaka asubuhi. Kama atatokea kufa wakati wa usiku, atakufa kama shahidi.

KUFA KATIKA HALI YA KUWA NA IMANI

“Mola Wetu! Usizipotoe nyoyo zetu baada ya (kwisha) kutuongoza, na utupe rehema itokayo kwako; hakika wewe ndiye Mpaji Mkuu.”{Sura. 3:8 } FAIDA: Yeyote ambaye ataisoma Dua hii (aya) baada ya kila sala, atakufa katika hali ya kuwa na imaan (imani kamili ya dini) Isha – Allah

KUOMBA MSAMAHA KUTOKA KWA ALLAH

“Mola Wetu! Tumedhulumu nafsi zetu; na kama hutusamehe na kuturehemu, bila shaka tutakuwa miongoni mwa wenye khasara (kubwa kabisa.)” {Sura 7:23 }

3


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:13 Page 4

Ponyo kutoka katika Qur’an FAIDA: Yeyote ambaye ataisoma Dua hii, (aya), mara moja tu baada ya kila sala ya faradhi (basi) Allah atampatia msamaha – Insha – Allah. Kwani hii ni dua ya Hadhrat Adam (A.S) aliyoisoma baada ya kuteremshwa (yeye na mkewe Hawa) hapa duniani.

SHIFAA/KUOMBEWA MSAMAHA NA MTUME WA MWENYEZI MUNGU (SAWW)

Hakia amekujieni Mtume aliye jinsi yenu na nyinyi, yanamhuzunisha yanayokutaabisheni, anakuhangaikieni. (Na) kwa waliomini ni Mpole na Mwenye huruma.” “Na wakidumu kukengeuka, sema: “Mwenyezi Mungu atanitoshea, hakuna wa kuabudiwa ila Yeye tu; namtegemea Yeye, naye ndiye Mola wa (hiyo) Arshi iliyo kubwa (kabisa).” {Sura 9:128-129.}

FAIDA: Yeyote atakaye zisoma aya hizi mara moja baada ya kila Sala (ya faradhi), atapata uombezi wa Mtume wa Allah (SAW) katika Siku ya Hukumu – Insha – Allah. Zaidi ya hayo, (dua hii) ni yenye manufaa mema sana na yenye matokeo ya haraka mno katika kuondoa dhara lolote lile.

4


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:13 Page 5

Ponyo kutoka katika Qur’an

UIMARA WA MOYO

Basi (ewe Mtume)! Endelea na Uongofu kama uliyvoamrishwa, (wewe) na wale wanaoelekea (kwa Mungu) pamoja nawe;… {Sura 11:112} FAIDA: Ili kuwa na uimara wa moyo, soma aya hiyo hapo juu mara 11 baada ya kila Sala.

KULETA NURU NDANI YA MOYO AN-NUUURU (Nuru) FAIDA:

Moyo hunawarika – kupata nuru kutamka jina la Allah hilo hapo juu kwa kuliruida rudia.

FADHILA: Yeyote yule atakaye soma sura Kahf (S. 18 Juz. 15) mara moja tu kila Ijumaa, moyo wake utabakia umejazwa nuru mpaka Ijumaa nyingine ijayo. Yeyote asomaye aya zila 10 za mwanzo za sura hii kila siku, atalindwa (na kusalimishwa) dhidi ya fitna (misuko suko) na wasiwasi wa Dajjal.

5


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:13 Page 6

Ponyo kutoka katika Qur’an

KUONDOA DHANA SHAKA

Na sema “Mola wangu! Najikinga kwako (Uniepushe) na wasiwasi wa mashetani. Na najikinga kwako, Mola wangu, ili wasinihudhurie.” {Sura 23:97-98}

FAIDA: Kuzisoma kwa mara nyingi aya hizo hapo juu huondoa dhana zote na mashaka yote.

UCHA MUNGU

“Mola Wetu! Tupe katika wake zetu na watoto wetu yaburudishayo macho (yetu) (nyoyo zetu), na utujaalie kuwa waongozi kwa wamchao (Mungu). {Sura 25:74} FAIDA: Yeyote yule anayetaka kupata watoto wema na mke mwema, anatakiwa aisome aya hiyo hapo juu mara moja tu baada ya kila Sala.

KUKUBALIWA KWA VITENDO (AMAL)

Kwake hupanda maneno mazuri; na kitendo kizuri huyapandisha (hayo maneno mazuri) Sura 35: 10

6


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:13 Page 7

Ponyo kutoka katika Qur’an FAIDA: Maulamaa (wanachuoni) wanafahamisha kwa ujuzi wa yakini kuhusu aya hiyo hapo juu kwamba yeyote aisomaye kalima ya nne (yaani WAL LAAHU AKBARU) mara tatu baada ya kila sala, matendo yake yote mema yatakubaliwa na Allah. KALIMA NNE: (1). SUBHAANA LLAH (2). WAL HAMDULILLAHI (3). WA LAA ILAAHA ILLA LLAAHA (4). WAL LAAHU AKBARU Yeyote yule asomaye AR-RASHYDU (Yule ambaye hupenda mema au Aongozaye kwenye mema) mara 100 baada ya kila sala ya Isha, matendo yake yote mema yatakubaliwa na Allah.

KUZUILIWA (KULINDWA) NA MOTO WA JAHANNAMA Aya: 5:40:1-2 HAA MYM: Kuteremshwa kwa kitabu (hiki) kunatokana kwa Mwenyezi Mungu, Mwenye nguvu, Mwenye kujua. Sura: 41:1-2 HAA MYM: Uteremsho (huu) umetoka kwa (Mwenyezi Mungu) Mwingi wa rehema, Mwingi wa Ukarimu. Sura: 42: 1-2 HAA MYM: ‘AYN SYN QAF Sura: 43:1-2 HAA MYM: Naapa kwa Kitabu (hiki) kinachobainisha (kila linalohitajiwa) Sura: 44: 1-3 HAA MYM: Naapa kwa kitabu (hiki) kinachobainisha (kila linalo hitajiwa). Kwa yakini tume-

7


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:13 Page 8

Ponyo kutoka katika Qur’an teremsha (Qurani) katika usiku uliobarikiwa – bila shaka sisi ni waonyaji. Sura: 45: 1-2 HAA MYM: Uteremsho wa kitabu (hiki) umetoka kwa Mwenyezi Mungu, Mwenye nguvu, (na) Mwenye hekima. Sura: 46: 1-2 HAA MYM: Uteremsho wa kitabu (hiki umetoka kwa Mwenyezi Mungu, Mwenye nguvu, (na) Mwenye hekima. FAIDA:

Yeyote yule ambaye atazisoma hizo HAA MIIMS saba (7) hapo juu kila siku (na kwa wingi), milango ya moto wa Jahannamu siku zote itabaki imefungwa kwa upande wake.

KUWA NA NURU USONI

Hakika yeye ndiye mwema, Mwenye rehema.” {Sura 52:28} FAIDA:

Yeyote asomaye aya hiyo hapo juu mara 11 (kumi na moja) na kisha akapulizia katika kidole chake na kisha akasugua nacho katika paji la uso, uso wake utang’ara siku ya Qiyama… Isha- Allah.

USALAMA KUTOKANA NA ADHABU YA KABURINI (Yeyote ambaye ataisoma Sura yote ya MULK (Sura 67 Juz. 29) kila siku atasalimishwa dhidi ya adhabu za kaburi.

8


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:13 Page 9

Ponyo kutoka katika Qur’an

KUAMKA USIKU

Na (kumbukeni habari hii) Tulipoifanya nyumba (ya Al-Kaaba) iwe mahali pa kuendewa na watu na mahali pa salama. Na mahali alipokuwa akisimama Ibrahima pafanyeni pawe pa kusalia. Na tulimuusia Ibrahim na Ismaili (tukawaambia): “Itakaseni (isafisheni) nyumba yangu kwa ajili ya kutufu (kuizunguuka) na wanaokaa hapo na (kwa ajili ya) wanao rukuu na kusujudu hapo pia.” {S. 2:125} Imekutwa imeandikwa katika kitabu cha kumbukumbu cha mtu mmoja mwenye hekima kwamba yeyote ambaye atasoma aya hiyo hapo juu kabla ya kwenda kulala, atawezeshwa kuamka wakati wowote autakao. Yeyote yule asomaye zile aya 5 za mwanzo wa karaa ya mwisho ya Aali Imran (Sura 3:190-194) kabla ya kwenda kulala, Imani yake (ya dini) itabakia imara na atawezeshwa kuamka usiku wakati wowote aupendao bila ya msaada wowote ule uwavyo. Aya zenyewe ni hizi zifuatazo: Sura 3: 190-194 – Hakika katika kuumbwa mbingu na ardhi na mfuatano wa usiku na mchana, ziko hoja (za kuonyesha kuwapo Mwenyezi Mungu mmoja) kwa wenye akili. Ambao humkumbuka Mwenyezi Mungu wakiwa wima na wakikaa na wakilala. Na hufikiri umbo la mbingu na ardhi (pia ‘Namna gani Mwenyezi Mungu alivy-

9


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:13 Page 10

Ponyo kutoka katika Qur’an oumba’ wakasema: “Mola Wetu! Hukuviumba hivi bure. Utukufu ni wako. Basi tuepushe na adhabu ya Moto. Mola Wetu! Wale ambao utawaingiza Motoni, basi itakuwa umewadhalilisha na hawatakuwapo wasaidizi kwa ajili ya madhalimu. Mola Wetu! Tumesikia mwitaji anayeita kwendea Uislamu kwamba: “Mwaminini Mola wenu.” Tumeamini. Mole Wetu! Tusamehe madhambi yetu na utufutie (aibu ya) makosa yetu (hayo) na utufishe pamoja na watu wema. Mola Wetu! Na utupe uliyotuahidi kwa (ndimi za) mitume yako, wala usitufedheheshe Siku ya Qiyama; bila shaka wewe huvunji miadi

ELIMU NA UJUZI (MAARIFA) Weka mkono kifuani kabla ya kulala na litamke jina zuri la Allah (ALBAATTHU – Mpeleka Mitume) mara 100. Insha- Allah, Allah atakijaza kifua chako kwa, Elimu na Hikima (yaani Elimu na Ujuzi – maarifa)

KURAHISISHA KUIHIFADHI QUR’AN Soma sura Muddaththiru (S. 74) kisha fanya Dua. Insha – Allah kuihifadhi Qur’an kutafanywa kuwa kwepesi.

KUMWONA MTUME (S.A.W) KATIKA NDOTO Soma mara 1000 Sura Kauthar (Sura 108 Juz. 30), kisha mara 1000 swala ya Mtume usiku wa kuamkia siku ya Ijumaa. Insha Allah, Mtume Mtukufu (S.A.W.) ataonekana katika ndoto.

KUZILEA ITIKADI SAHIHI. Usomaji wa sura IKHLAS (Sura 112) kwa wingi kutamwezesha mtu kuwa na (Imaan) Itikadi sahihi na atazilea na hivyo kujilinda na kusalimishwa dhidi ya Ushirikina.

10


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:13 Page 11

Ponyo kutoka katika Qur’an KUSAHIHISHA IMANI NA ITIKADI ZA MTU Soma sura IKHLAS (Sura 112) asubuhi na jioni. (Sura hii) ni muhimu sana na yenye matokeo mema na ya haraka) katika kumlinda mtu imani yake (ya dini) na Itikadi zake.

HAMU YA KUTAKA KUFANYA TOBA YA KWELI Imesimuliwa kutoka kwa Misr kwamba Mshirikina mmoja alimwendea Mwislamu mmoja na akamuuliza kama kuna kitu chochote kile ndani ya Qur’an Tukufu ambacho kitamwezesha aachane na ushirikina na awe Mwislamu (wa kweli). Yule Mwislamu akasema ndiyo. Baada ya hapo aliandika sura ALAM NASHRAH (Sura 94 Juz. 30) katika kipande cha karatasi na akakichovya ndani ya maji na akampa yule mtu ayanywe. Mara moja aliukubali Uislamu (akawa Mwislamu). Kulisoma mara kwa mara Jina la Allah (AL-MUUAKHKHIRU – Mwenye kuakhirisha) kutamfanya mtu aache kutenda matendo mabaya (dhambi). AT-TAWWAABU (Mwenye kukubali toba) FAIDA: Kulisoma Jina Zuri la Allah hilo hapo juu mara 300 baada ya Sala ya Dhuhaa (mwanzo ya mchana) kutampa mtu hamu ya kufanya toba ya kweli kwa Allah.

HAMU YA KUSALI SALA KWA NYAKATI ZAKE Amka kwa ajili ya sala ya Tahajjud katika usiku wa Alhamisi, yaani usiku wa kati ya Alhamisi na siku ya Ijumaa. Baada ya kutekeleza sala ya Rakaa mbili, andika aya zifuatazo katika bakulia kubwa la glasi, ukitumia zafarani iliyozimuliwa na maji ya waridi kama wino. Yaoshe maandishi

11


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:13 Page 12

Ponyo kutoka katika Qur’an kwa maji kidogo yaweke maji hapo ndani ya glasi au kikimbe. Baada ya (kusali) sala ya Asubuhi (Fajr Salaat) soma sura Alam Nashrah mara saba (7) na pulizia ndani ya maji hayo. Baada ya hapo fanya Dua kwa Mwenyezi Mungu kwamba auondoe uvivu na uchovu na kwamba yeye (Allah) akupe taufiq na hidaya kukuwezesha kufanya Sala kwa mapenzi na unyenyekevu. Baada ya hapo, kunywa maji hayo. Isha- Allah mtu atajazwa hamu ya kusimamisha sala kwa mapenzi na unyenyekevu katika wakati wake makuhususi (uliopangwa). Aya zinazotakiwa kuandikwa ni hizi: -

Sema: “Mwombeni (Mwenyezi Mungu) kwa (jina la) Allah au mwombeni (kwa jina la) Rahmaani; kwa jina lolote mnalomwita (katika haya itafaa); kwani ana majina mazuri mazuri. Wala usiiseme sala yako kwa sauti kubwa, wala usiiseme kwa sauti ndogo, bali shika njia baina ya hizo). (Katikati si kwa kelele wala kwa kimya). Na sema: “Sifa zote njema zinamstahikia Mwenyezi Mungu ambaye hakujifanyia mtoto wala hana mshirika (wake) katika ufalme wala hana rafiki (wa kumsaidia) kwa sababu ya udhaifu wa kuhitaji. Na mtukuze kwa mafukuzo makubwa (kabisa) (Sura 17:110-111 )

12


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:13 Page 13

Ponyo kutoka katika Qur’an HAMU YA KUFANYA MAMBO (MATENDO) MEMA) A. AL-BASWIYRU (Mwenye kuona vyote) FAIDA: Lisome jina la sifa la Allah hilo hapo juu mara 100 baada yaSala ya Ijumaa. Moyo utasafika na mtu atatiwa hamu ya (kupenda) kufanya matendo mema – Insha-Allah. AL-QAYYUUMU (Mwenye Uhai wa Milele) Kwa kulisoma Jina la Allah hilo hapo juu kwa wingi, uvivu na kupenda kulala sana kutatoweka. Kulisoma jina hilo hapo juu baada ya Sala ya Asubuhi (Fajr) mpaka kuchomoza jua kutampa mtu hamu ya kutii kwa dhati na kumwabudu Allah Ta’alaa kwa nguvu, kwa bidii kwa juhudi na kwa shauku kubwa. KUJIEPUSHA KUFANYA MAMBO MABAYA AL-MATIYNU (Aliye Imara, Madhubuti) FAIDA: Kama (Jina hilo hapo juu) litasomwa kwa mara nyingi na kisha akapuliziwa mwanamume au mwanamke afahamikaye/ajulikanaye kwa kutenda dhambi, (basi) mara moja ataacha kutenda kosa hilo. Insha – Allah.

RIDHAA YA ALLAH AL-AF-WWU (Mwenye Kusamehe dhambi) Kwa mtu kufutiwa dhambi na kupata radhi za Mwenye Nguvu zote (Allah), soma Jina hilo hapo juu la Mwenyezi Mungu kwa mara nyingi.

KUONDOA JANGA/BALAA. 13


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:13 Page 14

Ponyo kutoka katika Qur’an

“Mwenyezi Mungu anatutosha. Naye ni Mlinzi bora kabisa.” {Sura 3: 173} Kuendelea kuisoma aya hiyo hapo juu kunasaidia sana katika kuondoa matatizo yote na majanga.

(KWA) UHAKIKA KATIKA KUKUBALIWA MAOMBI (DUA) YETU

Hakika katika kuumbwa mbingu na ardhi na mfuatano wa usiku na mchana, ziko hoja (za kuonyesha kuwapo Mwenyezi Mungu mmoja) kwa wenye akili. Ambao humkumbuka Mwenyezi Mungu wakiwa wima na wakikaa na wakilala. Na hufikiri umbo la mbingu na ardhi (pia. namna gani Mwenyezi Mungu alivyoumba wakasema): Mola Wetu! Hukuviumba hivi bure. Utukufu ni wako. Basi tuepushe na

14


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:13 Page 15

Ponyo kutoka katika Qur’an adhabu ya Moto. Mola wetu! Wale ambao utawaingiza Motoni, basi itakuwa umewadhalilisha na hawatakuwapo wasaidizi kwa ajili ya madhalimu. Mola Wetu! Tumesikia mwitaji anayeita kwendea Uisilamu kwamba: “Mwaminini Mola wenu.” Tukaamini. Mola Wetu! Tusamehe madhambi yetu na utufutie (aibu ya) makosa yetu (hayo) na utufishe pamoja na watu wema. Mola wetu! Na utupe uliyotuahidi kwa (ndimi za) mitume yako, wala ustufedheheshe Siku ya Qiyama. Bila shaka wewe huvunji miadi.”{Sura 3:190-194} FAIDA: Mjumbe wa Mwenyezi Mungu (SAW) alikuwa akizisoma aya hizo hapo juu baada ya sala ya Tahajjud. Ukweli kwamba Mjumbe wa Mwenyezi Mungu (SAW) alikuwa akizisoma aya hizo baada ya sala ya Tahajjud ni ushahidi wa kutosha kama kuhakikishiwa kukubalika kwa Dua ambazo hutokea ndani yake (aya hizo). Dua yoyote ile itakayo ombwa baada ya kusoma aya hizi, Insha-Allah, pia zitakubaliwa na Allah.

Na zilipowafikia hoja husema: “Hatuwezi kuamini mpaka tupewe kama yale waliyopewa Mitume wa Mungu. Mwenyezi Mungu ndiye ajuaye mahala anapoweka ujumbe wake. {Sura 6:124} Dua zinauhakika wa kukubalika zinapoombwa kati ya majina mawili ya Allah yatokeayo katika aya hiiyo hapo juu.

15


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:13 Page 16

Ponyo kutoka katika Qur’an

Nikawaambia: Ombeni msamaha kwa Mola Wenu. Hakika Yeye ni Mwingi wa msamaha. Atakuleteeni mawingu yanyeshayo mvua nyingi. Na atakupeni mali na watoto, na atakupeni mabustani, na atakufanyieni mito. {Sura 71:10-12 } Dua kwa hakika hupokelewa baada ya kufanya istighfaar (kuomba msamaha) kama ilivyoeleweka kutoka aya hiyo hapo juu. Soma Aayatul-Kursi mara 70 baada ya Sala ya AL-ASR ya siku ya Ijumaa. Lakini kaa katika falagha wakati unafanya hivi. Hisia maalum itadhihirishwa moyoni. Dua yoyote itakayoombwa baada ya hii, kwa hakika kabisa itapokelewa na Allah – Insha-Allah. AL-MUJIYBU (Mwenye Kujibu) Ili dua zipokelewe kwa uhakika, mwite Allah kwa Jina la sifa Yake hapo juu mara nyingi wakati wa kufanya dua.

KUTIMIZIWA HAJA YOYOTE Kuisoma Sura ya Yasin (Sura 36) mara 41 ni mujarabu (ni yenye kufanya kazi sana na yenye maana) katika kutimiziwa haja yoyote. Hivyo, kama mfungwa ataisoma ataachiwa kuwa huru; kama mtu akiwa katika hofu (na wasiwasi) ataisoma, hofu yake (na wasiwasi wake) itaondolewa; kama mtu mgonjwa ataisoma, ataponyeshwa; kama mtu mwenye njaa ataisoma, atapata njia ya kuondoa njaa yake.

16


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:13 Page 17

Ponyo kutoka katika Qur’an

Na kama wakidumu kukengeuka, sema: “Mwenyezi Mungu atanitoshea, hakuna wa kuabudiwa ila Yeye tu. Na mtegemea Yeye, naye ndiye Mola wa (hiyo) Arshi iliyo kubwa (kabisa).” (Sura 9:129) Hadhrat Abu Dardaa (R.A,) anaeleza kwamba mtu yeyote ambaye ataisoma Aya hiyo hapo juu mara 100, haja zake zote za maisha ya duniani na zile haja zihusianazo na ulimwengu wa kesho (Akhera) zitatimizwa. Laith bin Sa’ad (R.A) anaeleza kwamba mtu fulani alivunja fupa la paja la mguu wake katika ajali. Mtu mmoja alimwambia katika ndoto yake: “Weka kidole chako katika sehemu iliyoumia na soma aya hii (yaani aya hiyo hapo juu).” Alipoamka, alifanya kama alivyoambiwa. (Fupa) paja lake lilipona katika kipindi cha muda mfupi. Imeelezwa pia kwamba mtu yeyote ambaye ataisoma Aya hiyo hapo juu mara 100, hatapoteza maisha yake kwa kufa maji, kuanguka au kwa kupigwa na chuma.

KUIMARISHA KUMBUKUMBU

(Musa) Akasema: “Ewe Mola wangu! Nipanulie (nikunjulie) kifua changu (niweze kustahimili balaa zitakazonifika). Na unifanyie sahali kazi yangu (hii uliyonipa). Na ufungue fundo lililo katika ulimi wangu. Wapate kufahamu maneno yangu (nitakayowaambia).” {Sura 20:2528}

17


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:13 Page 18

Ponyo kutoka katika Qur’an Kwa kuimarisha kumbukumbu na kuendelea katika elimu (kuzidisha elimu) soma aya hizo hapo juu mara 20 kila siku baada ya sala ya Asubuhi (Fajr Salaat).

RIZQI

Sema: “Hakika fadhila hizi katika mkono wa Mwenyezi Mungu, humpa amtakaye; na Mwenyezi Mungu ni Mwenye Wasaa (na) ajuaye.” Humchagua kwa (kumpa) rehema Zake amtakaye na Mwenyezi Mungu ndiye Mwenye fadhila kubwa.”{Sura 3: 73-74 } FAIDA: Kwa maendeleo na ustawi katika biashara ya mtu, aya hizo hapo juu ni vyema ziandikwe juu ya kipande cha nguo kilichokatwa kutoka katika “KURTA” ya mtu mcha Mungu. Kisha kitambaa hicho ni lazima kifungwe na kuning’inizwa katika ukuta wa nyumba au duka. Yote haya ni lazima yafanyike katika siku ya Alhamisi katika hali ya kuwa na udhu. Kwa kufanya hivi biashara ya mtu huyo itastawi na kuneemeka – Insha-Allah.

FURAHA ISIYOKOMA (YA KUDUMU)

Na Mwenyezi Mungu hakufanya haya ila iwe bishara (habari ya furaha) na ili nyoyo zenu zitue kwayo. Na hakuna msaada (wa kufaa) ila utokao kwa Mwenyezi Mungu. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye nguvu (na) Mwenye hekima. {Sura 8:10}

18


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:13 Page 19

Ponyo kutoka katika Qur’an FAIDA: Kuiandika aya hiyo hapo juu katika karatasi na kuiweka karatasi hiyo chini ya jiwe la pete kutamfanya mvaaji wa pete hiyo kuweza kulindwa au kuhifadhiwa kutokana na majanga yote na kuwa na furaha ya milele (ya kudumu) na kuwa mshindi (katika mambo yake) - Insha-Allah.

KUONDOA HOFU NA HUZUNI Kuisoma Sura NUHU (Sura 71) ni mujarabu mno (ina faida kubwa sana) katika kuondoa huzuni na hofu. Vilevile Sura Yaasin (Sura 36) ni yenye uwezo mkubwa sana na nguvu nyingi ki-matibabu katika kuondoa aina zote za hofu – hasa katika maisha ya mtu. Imeelezwa kutoka kwa Ibnul –Kalbi kwamba maisha ya mtu mmoja yalitishiwa Mtu huyo alipeleka malalamiko yake kwa Maalim ambaye alimshauri kusoma Sura Yaasin kila wakati aitokapo nyumba yake. Alifanya sawa sawa kama alivyoambiwa na matokeo yake ni kwamba kila wakati alipokutana na adui yake, hakuweza kumwona.

KURAHISISHA KAZI NGUMU Kama mtu atasema YAA ALLAHU mara 200 katika siku ya Ijumaa kabla ya sala ya Ijumaa baada ya kwisha kuoga na kuvaa nguo safi na nzuri kabisa, majukumu yake yote (na kazi zote ngumu) yatarahisishwa. Insha-Allah.

19


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:13 Page 20

Ponyo kutoka katika Qur’an

KULITAMBUA LENGO Kulisoma zaidi Jina la Allah (AL-MU’TWIY) yaani (mpaji) kutasababisha dhumuni na lengo kufahamika (au kutambulika). Kama jukumu fulani ni gumu kulitekeleza au jambo fulani maalum linakuwa taabu kulipata kutokana na vikwazo au vizuizi, kulisoma sana jina la Allah (AL-MAANIU – Mwenye kuzuia) kutahakikisha kuondoka kwa vizuizi hivyo. Usomaji huo ufanywe asubuhi na jioni.

UKAMILISHAJI WA NDOA

Wala usivikodolee macho yako Tulivyowastareheshea baadhi ya watu miongoni mwao (hao wabaya). Hivyo ni mapambo ya maisha ya dunia tu, ili Tuwafanyie mtihani kwa hivyo. Na riziki ya Mola wako (Akupayo ya halali) ni bora mno na iendeleayo. Na waamrishe watu wako kusali, na uendelee mwenyewe kwa hayo. Hatukuombi riziki bali sisi ndiyo Tunakuruzuku. Na mwisho mwema utawathubutikia wamchao Mungu. (Sura 20:131-132). Kama Aya hizo hapo juu zitaandikwa katika karatasi na kuvaliwa kama ta’wiidhi na (yule) mtu apendaye kuoa, basi ndani ya kipindi kifupi sana ataoa/ataolewa; kama mtu mgonjwa ataivaa (basi) katika kipindi kifupi atapona; na kama mtu aliye maskini atavaa basi punde tu atapata maisha mazuri Insha-Allah. Yeyote yule apendaye kukaribisha posa kwa ajili ya binti yake, (basi)

20


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:13 Page 21

Ponyo kutoka katika Qur’an naandike Sura Ahzaab (Sura 33) katika ngozi ya mbuzi dume au katika karatasi kisha hii izibwe ndani ya kopo ambalo ni lazima liwekwe mahali pa usalama ndani ya nyumba. Isha-Allah, posa nyingi zitaanza kuingia.

KUMFURAHISHA (AU KUMRIDHISHA) MUME Kama mume wa mke hakufurahishwa (hakuridhishwa) na mkewe kwa sababu yoyote ile iwayo (basi mke huyo) naasome aya ifuatayo mara moja tu na (halafu) apulizie kwenye chakula chochote kitamu kisha ampe mume ale. Insha-Allah, tabia yake hii baada ya muda mfupi itabadilika na kuwa nzuri zaidi.

Na katika watu kuna wanaofanya waungu wasiyekuwa Mwenyezi Mungu. Wanawapenda kama kumpenda Mwenyezi Mungu zaidi sana. Na laiti waliodhulumu nafsi zao wanajua (balaa itakayowapata) watakapoiona adhabu (Siku hiyo ya Qiyama), kwa kuwa nguvu zote ni za Mwenyezi Mungu (Siku hiyo – hakuna masanamu wa kuwashufaia wala mengineyo) na kuwa Mwenyezi Mungu ni mkali wa kuadhibu. {Sura 2:165}

21


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:13 Page 22

Ponyo kutoka katika Qur’an

KUPATA MAPENZI KUTOKA KWA MKE. Sura Yusufu (Sura 12) iandikwe katika karatasi na ivaliwe na mume kama ta’wiiz. Insha- Allah, mke huyo ataonyesha mapenzi (na mahaba) makubwa kwake yeye (mumewe). Kama Jina la sifa la Allah (AL-MUGHNIY – Mkwasi, Mwenye kutajirisha, Tajiri) litawekwa ndani ya mawazo wakati wa kujamiiana mume na mke katika tendo la ndoa, basi mke huyo atakifurahia kitendo hicho na kukifanya kwa mapenzi makubwa na mahaba mengi.

KUKATA TAMAA YA KUPATA MTOTO/MUME

“Mola Wangu! Nipe kutoka kwako mtoto mwema. Wewe ndiye usikiaye maombi (ya wanaokuomba).” {Sura 3:38} Kwa kuisoma aya hiyo hapo juu mara nyingi, Insha-Allah, mtu atapata mtoto/mume aliye mwema na mwenye kutenda haki.

(KUPATA) WATOTO WEMA

“Mola Wangu! Usiniache peke yangu na wewe ndiwe Mbora wa wanaorithi.” {Sura 21:89 } Soma aya hiyo hapo juu mara tatu baada ya kila sala. Watapatikana (toka kwa Mwenyezi Mungu) watoto wema na wenye haki.

22


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:13 Page 23

Ponyo kutoka katika Qur’an

UGUMBA (UTASA) Andika aya ifuatayo kwa wino wa zafarani juu ya ngozi ya mbuzi dume au paa na apewe mwanamke huyo aliye tasa aivae kama ta’wiiz shingoni mwake. Aya yenyewe ni Sura 13:31 Juz. 13 RK. 10

Na kama ingalikuwako Qur’an ambayo kwa Qur’an hiyo milima ingaliondoshwa (inaposomwa) au kwa (Qur’an) hiyo, ardhi ingalipasuliwa au wafu wangalisemeshwa kwa hiyo (Qur’an). Siyo! Mambo yote ni ya Mwenyezi Mungu {Sura 13:31}

AL-BAARIY-U AL-MUSWAWWIRU Kama mwanamke mgumba, aliye tasa, atafunga siku 7 na baada ya kuvunja saumu yake (kufuturu) kwa maji, akasoma Jina la Allah hilo hapo juu mara 21 basi karibuni atashika mamba, Insha-Allah. (Baada ya hapo anaweza kula chakula kama kawaida).

KUHARIBIKA MIMBA.

Mwenyezi Mungu anajua abebacho kila mwanamke (katika mimba yake) na yanavyoviza matumbo na yanayozidisha (pia anajua). Na kila kitu kiko kwake kwa kipimo (chake). { Sura 13:8}

23


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:13 Page 24

Ponyo kutoka katika Qur’an

Enyi watu! Mcheni Mola wenu, hakika mtetemeko wa Qiyama ni jambo kubwa (kabisa). {Sura 22:1 } Kama kuna wasiwasi na hofu ya kuharibika kwa mimba, aya mbili hizo hapo juu ni vizuri ziandikwe katika karatasi na kuvaliwa kama ta’wiiz kuzunguuka kiuno katika namna ambayo kwamba iwekwe kwa kulala juu ya tumbo. (Zitangia: Ta’wiiz hii ni lazima ifungwe katika kitambaa ili kwamba isije ikavunja hadhi au heshima na utukufu wa aya za Qur’ani)

MACHUNGU YA UZAZI

Je, hawakuona wale waliokufuru ya kwamba mbingu na ardhi vilikuwa vimeambatana, kisha tukaviambua (tukavipambanua): Na tukafanya kwa maji kila kitu kilicho hai. Basi jee hawaoni? {Sura 21:30} Wakati mwanamke yuko katika machungu ya uzazi, aya hiyo hapo juu ni vizuri isomwe na mtu fulani na kisha ipuliziwe katika tumbo au nyuma mgongoni kwa mwanamke huyo (mja mzito). Au njia nyingine, aya hiyo inaweza kuandikwa katika karatasi na kuvaliwa naye kama tawiiz. Hii itasababisha uzaaji kuwa mwepesi na bila maumivu zaidi – Insha-Allah.

24


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:13 Page 25

Ponyo kutoka katika Qur’an KURAHISISHA KUJIFUNGUA MTOTO Kama aya zifuatazo zitaandikwa katika karatasi na kuzunguushwa katika kitambaa (kama ta’wiiz) na kisha ikafungwa kuzunguuka paja la kushoto la mwanamke aliye na uchungu wa kuzaa, atamzaa mtoto kwa haraka na bila matatizo mengi – Insha- Allah.

Na kuvitoa vilivyokuwa ndani yake ikawa tupu. Na ikakinga sikio kwa Mola Wake; na imepasiwa (na kusikiliza){Sura 84:4 -5}

KUYAONGEZA MAZIWA YA MAMA Andika Sura Yaasin (Sura 36) kwa wino wa safarani katika sahani. Kisha ioshe sahani hiyo kwa kikombe kimoja au viwili vya maji. Mpe mama mzazi wa mtoto ayanywe maji hayo. Insha-Allah, maziwa yake yataongezeka.

KUMWACHISHA ZIWA MTOTO Kama wazazi wa mtoto wanataka mtoto wao aache kuendelea kunyonya maziwa ya mama, Sura Buruuj (Sura 85 Juz. 30) iandikwe katika karatasi na aivalishwe kama ta’wiiz. Insha-Allah, ataachishwa kunyonya ziwa bila matatizo makubwa.

KUPATA WATOTO WA KIUME Kama mwanamke anazaa watoto wa kike tu na anapenda kupata wa kiume, (pia) aya zifuatazo na maneno, (vyote), viandikwe katika ngozi ya mnyama dume (kama vile mbuzi n.k.) na mwanamke huyo apewe aivae

25


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:13 Page 26

Ponyo kutoka katika Qur’an kama ta’wiiz. Jambo hili lazima lifanywe kabla ya kupita miezi 3 baada ya kutungwa mimba. Insha-Allah mtoto wa kiume atazaliwa kwa mama huyo. Kama mbadala (njia nyingine), tengeneza duara la kuwazika mara 70 kuzunguuka tumbo la mwanamke huyo na kila wakati useme ALMATIYNU (Asiyevunjika). Mduara huo wa kuwazika lazima ufanywe kwa kidole.

KUWALINDA WATOTO DHIDI YA MAGONJWA YA WATOTO

“Mimi nimemtegemea Mwenyezi Mungu, Mola wangu na Mola wenu. Hakuna kiumbe yoyote isipokuwa (Mwenyezi Mungu) anamsarifu atakavyo. Bila shaka Mola Wangu yuko juu ya njia iliyonyooka.” {Sura 11:56 } Kumzuia mtoto kutokana na maradhi kama haya ambayo kwa kawaida hushambulia sana watoto, aya hiyo hapo juu iandikwe katika karatasi, na mtoto huyo aivalishwe kama ta’wiiz.

KUWALINDA WATOTO KUTOKANA NA NADHIRI, WOGA NA KULIA KUPITA KIASI. Andika Sura Ibrahimu (Sura 14) katika kitambaa cha hariri na mtoto avalishwe kama ta’wiiz.

26


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:13 Page 27

Ponyo kutoka katika Qur’an

KUWALINDA WATOTO DHIDI YA WADUDU WABAYA. Andika Sura Balad (Sura 90 Juz. 30) na watoto wavalishwe kama ta’wiiz.

KUWAKUZA WATOTO NA AFYA NJEMA Ili kumkuza mtoto na afya njema, baada ya mtoto huyo kufikia siku 70, aya zifuatazo ni vema ziandikwe katika sahani ya glasi (kioo) kwa kutumia (wino wa) zafarani. Kisha maandishi haya yaoshwe kwa maji ya mvua ambayo lazima yagawanywe tena katika sehemu mbili: moja ichanganywe na chakula cha mtoto (atakachokula wakati huo) na sehemu nyingine apewe mtoto kwa kipindi cha siku 7 mfululizo. Kiasi kingine cha maji haya lazima pia yapanguswe katika uso wake (mtoto).

Ambaye Ametengeneza umbo la kila kitu, na Akaanzisha umbo la mwanadamu kwa udongo. Na kisha Akakifanya kizazi chake kwa mchujo wa maji yaliyo madhalilifu. Kisha Akamtengeneza na Akampulizia roho Yake, na Akakupeni masikio na macho na nyoyo; ni kidogo tu shukurani yenu. (Sura 32:7-9).

KUPATA UWEZO WA KULIFANYA TENDO LA NDOA Hadhrat Hasan Basri (R.A) wakati fulani aliwahi kujulishwa juu ya mtu ambaye alikuwa ameoa lakini hakuwa na uwezo wa kulitenda tendo la

27


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:13 Page 28

Ponyo kutoka katika Qur’an ndoa. (Hadhrat) aliagiza yaletwe mayai mawili yaliyochemshwa, (yalipoletwa) akayaondoa maganda ya juu na akasoma aya ifuatayo na akapulizia katika yai moja na akataka lipewe huyo mwanaume: -

Na mbingu Tumezifanya kwa kudra (yetu); na hakika sisi ndiyo wenye uweza (wa kila kitu). { Sura 51:47 } Kisha akasoma aya ifuatayo na kupuliza katika yai la pili na akataka alipewe mke:-

Na ardhi Tumeitandaza; basi watandazaji wazuri walioje sisi! {Sura 51: 48} Wote wawili (mume na mke) waliambiwa kila mmoja ale yai lake (alilopewa) na (halafu) waendelee na lengo lao. Amal hii ilithibitisha mafanikio ya hali ya juu sana.

KWA KUZIDISHIWA RIZIKI

Mwenyezi Mungu ni Mpole kwa (waja) wake, anampa riziki amtakaye, naye ni Mwenye nguvu (au) ni Mwenye kushinda. {Sura 42:19 } Kwa ongezeko katika riziki ya mtu, soma aya hiyo hapo juu kwa wingi sana baada ya kila sala.

28


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:13 Page 29

Ponyo kutoka katika Qur’an Na anayemtegemea Mwenyezi Mungu, yeye humtoshea. Kwa yakini Mwenyezi Mungu anatimiza kusudi lake (lolote alitakalo; hakuna wa kumpinga). Hakika Mwenyezi Mungu amekwisha kiwekea kila kitu kipimo chake. (Sura 65:3) Usomaji kwa wingi wa aya hiyo hapo juu ni wenye maana sana na wenye matokeo mazuri ya haraka (mujarabu) katika kuondoa umasikini. Kama itasomwa kwa kusudio au lengo lolote lile, (basi) hilo litapatikana. Kuisoma Sura Nuun (Qalam, Sura 68) ndani ya sala huondoa umasikini. Usomaji mwingi wa Sura Qariah (Sura 101) kuna faida kubwa na kuwepo matokeo ya haraka katika kuongeza riziki ya mtu. Usomaji wa (Jina la Allah) AL-MUGHNIY (Aliye Mkwasi, Tajiri) mara 1100 na Sura Muzzammil (Sura 73) mara 40 (au mara 11kama itakuwa vigumu kusoma mara 40) ni bora sana (mujarabu) katika kupata utosheko wa moyo. Usomaji wa kuzidi mno wa (Jina la Allah) “AL-WAASI-U (Mwenye kukienea kila kitu) husababisha kutosheka na kujitosheleza na pia ni lenye faida sana (mujarabu) katika kuleta uthabiti na ujasiri ndani ya nafsi ya mtu.

KUPATA RIZIKI BILA UGUMU Soma Sura Fatiha mara 111 wakati wa mpevuko wa usiku (nusu ya mwisho ya usiku). Insha-Allah, riziki itapatikana bila ugumu (itapatikana kwa urahisi).

29


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:13 Page 30

Ponyo kutoka katika Qur’an KWA KUPATA UWINGI WA STAREHE Soma kwa wingi Jina la Allah MAALIKUL MULKI (Mola wa Ufalme wote) Anasa (starehe za halali) za maisha zitapatikana kwa wingi – InshaAllah.

BARAKA Weka nakala iliyoandikwa ya Sura Hijr (Sura 15) katika mfuko. Ni yenye maana sana na yenye matokeo mema ya haraka (mujarabu) katika kupata baraka katika mapato ya mtu. Zaidi ya hayo, hatafedheheshwa na mtu yeyote wakati atakapoingia katika shughuli za kibiashara na mtu huyo.

ULIPAJI WA MADENI

Sema: “Ewe Allah! Uliyemiliki Ufalme wote! Humpa umtakaye, na humwondolea ufalme umtakaye, na humdhalilisha umtakaye; kheri imo mkononi mwako. Bila shaka wewe ni Mwenye uwezo juu ya kila kitu.” {Sura 3:26 } Soma aya hiyo hapo juu mara 7 baada ya (sala ya) Asubuhi (Fajr) na mara 7 baada ya (sala ya) Maghrib. Insha-Allah, Allah ataleta visababisho vya madeni kuweza kulipwa.

KUMRIDHISHA MTU MWENYE MAMLAKA Soma aya ifuatayo mara tatu na kisha jipulizie mwilini mwako mwenyewe.

30


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:13 Page 31

Ponyo kutoka katika Qur’an Baada ya kufanya hivi nenda kwa mtu mhusika aliyepewa mamlaka (kama vile chifu, hakimu n.k.). Insha-Allah (mtu huyo) ataonyesha huruma nyingi na upole.

Hoja ngapi zilizo wazi tulizowapa? Na anayezibadili neema za Mungu baada ya kumfikia, (Mungu atamwadhibu). Hakika Mwenyezi Mungu ni Mkali wa kuadhibu. {Sura 2-211}

Mwenyezi Mungu ameepukana na upungufu, na ametakasika na hao wawashirikishao (naye). Na Mola Wako ana yajua yanayoficha vifua vyao na wanayoyadhihirisha. Naye ndiye Mwenyezi Mungu, hakuna aabudiwaye kwa haki ila Yeye! Sifa zote njema – Mwanzoni na Mwisho (duniani na Akhera) ni zake tu. Na hukumu pia ni yake, nanyi mtarudishwa Kwake (kadhalika). (Sura 28:68-70) Aya hiyo hapo juu ni vema isomwe mara 7 wakati kuna wasiwasi kwamba mpinzani wa mtu atatoa ushahidi wa uongo mbele ya hakimu utakaomfanya atoe hukumu kimakosa. Baada ya kuzisoma (aya hizo) mara saba (7), aya ifuatayo (nayo) ni lazima isomwe mara tatu (3) kabla ya kutokea (kusimama) mbele ya hakimu. Insha-Allah msomaji (wa aya hizo) atasalimishwa na atalindwa kutokana na aina zote za ubaya au uovu.

31


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:13 Page 32

Ponyo kutoka katika Qur’an

Na Mwenyezi Mungu ndiye Mwenye kushinda juu ya jambo lake (alitakalo; lazima liwe);…… {Sura 12:21}

KUMZUIA DHALIMU KUTOKANA NA KUDHULUMU.

“Basi karibuni hivi mtayakumbuka ninayokuambieni. Nami ninamkabidhi (namwachia) Mwenyezi Mungu mambo yangu. Hakika Mwenyezi Mungu anawaona waja (wake wote).” {Sura 40:44 } Kuisoma aya hiyo hapo juu mbele ya mtu mwovu (na dhalimu) kutamlinda msomaji huyo kutokana na uonevu (na udhalimu) wake. Sema: JABBAARU (Mwenye Enzi) mara 216 wakati wa asubuhi na mara hizo hizo (yaani 216) wakati wa jioni. Hifadhi (ya Allah) kutokana na uonevu wa dhalimu ina uhakika wa kupatikana. Kuzidisha zaidi usomaji wa Jina la Mwenyezi Mungu – AL-KHABIYRU (Mwenye Habari) kwa siku 7 mfululizo hufuatia nyuma yake faida zifuatazo:(a). Jambo lolote lile lenye usiri lifatunuliwa (na kuwa wazi –bayana); (b). Mtu atakuwa huru kutokana na makucha dhalimu ya mtu mwovu. Usomaji mwingi wa Jina la Mwenyezi Mungu – AL-QAWIYYU (Mwenye Nguvu zote) kutamnufaisha msomaji (wa jina hilo) kiasi kwamba:(a). Mtu wa daraja la chini kiroho atapata daraja la juu kiroho;

32


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:13 Page 33

Ponyo kutoka katika Qur’an (b). Mtu mnyonge, dhaifu atakuwa jasiri; (na) (c). Mtu mwenye kuonewa au kukandamizwa atapata ushindi juu ya mkandamizaji na dhalimu.

KUMFUKUZA DHALIMU KUTOKA KWENYE MJI.

Na tulimtia mtihani Suleimani na tukauweka mwili (mwengine) juu ya kiti chake, kisha akarejea (mwenyewe). {38:34} Kumzuia mtawala mwovu na dhalimu au mtawala mmoja, pekee, kutokana na ufanyaji ukorofi wake na kumsababisha autoke mji, aya hiyo hapo juu ina takiwa isomwe mara moja na ipuliziwe kwenye punje 7 nyekundu za shairi. Kisha (punje) hizi zinatakiwa zitumbukizwe katika kisima cha maji. Zoezi hili linatakiwa lifanyike kwa siku 7 mfululizo. Mwenyezi Mungu akipenda, mtu huyo mwovu na dhalimu punde tu atautoka mji huo moja kwa moja. Na ili amal hii iwe mujarabu (yenye maana na matokeo mema) sharti 2 lazima ziwepo:(a) Kujizuia kutenda tendo la ndoa. (b) amal hii isifanywe dhidi ya mtu yeyote ambaye hastahili (‘amal hiyo), vinginevyo kuna uwezekano wa balaa kwa mtu ambaye hufanya hivi bila ya uhakika au uthibitisho.

KUIKUZA HESHIMA YA MTU

33


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:13 Page 34

Ponyo kutoka katika Qur’an Alif Lam Mym. Mwenyezi Mungu, hakuna aabudiwaye Kwa haki isipokuwa Yeye – Mwenye uhai wa milele, na Mwendeshaji wa mambo yote. Amekuteremshia kitabu kwa haki, kinachosadikisha yaliyokuwa kabla yake. Na aliteremsha Taurati na Injili. {Sura 3: 1-3} Kama aya hizo hapo juu zitaandikwa kwenye utando (ngozi nyembamba) wa mnyama dume (jamii ya mbuzi, kondoo n.k.) na uwekwe chini ya jiwe la pete na pete hiyo ikavaliwa na mtu katika hali ya kuwa na udhu, watu watampa heshima ya juu sana na atalindwa dhidi ya maadui zake.

DHUUL JALAALI WAL IKRAAMI (Mwenye Utukufu na Hishima). Soma Jina hilo hapo juu la Mwenyezi Mungu mara nyingi tu: hekima, ukuu na sifa njema vitapatikana. Insha-Allah.

KUMFANYA MTU AMPENDE MTU MWINGINE (Allah) Atawapenda, nao watampenda, wanyenyekevu kwa Waislamu (wenzao) wenye nguvu juu ya makafiri {Sura 5:54}. Soma aya hiyo hapo juu mara moja tu na pulizia kwenye nyama yoyote tamu au chakula chochote kitamu. Kisha mlishe yule ambaye mtu umeamua kumpenda, mtu (mwenye kupendwa) atajikuta naye mara anampenda mtu huyo.

34


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:13 Page 35

Ponyo kutoka katika Qur’an

“Yusufu! Yaachilie mbali haya (usiyasimulie nje). Na wewe (mwanamke) omba msamaha kwa dhambi zako. Hakika wewe ni katika wanaofanya makosa.” Na wanawake wa mji ule (wakapata habari hii) wakawa wanasema: “Mkewe waziri anamtamani mtumishi wake pasi na kutamaniwa naye. Hakika amemuathiri kwa mapenzi. Bila shaka sisi tunamwona (mke wa waziri) yumo katika upotofu (upotevu) ulio dhahiri.” {Sura 12:29-30 } Vifanywe (vifanyike) vivyo hivyo kama ilivyoelezwa hapo juu.

KUPATIKANA MAPENZI KATI YA MKE NA MUME.

Na tutaiondoa bughudha vifuani mwao (wawe wanapendana wote kweli kweli); mbele yao iwe inapita mito. Na watasema katika kushukuru kwao: “Sifa zote njema zinamstahikia Mwenyezi Mungu ambaye ametuongoza katika (neema) hizi. Na hatukuwa wenye kuongoka wenyewe kama asingetuongoza Mwenyezi Mungu. Mitume wa Mola Wetu wameleta haki. Na watanadiwa (wataambiwa) ya kwam-

35


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:13 Page 36

Ponyo kutoka katika Qur’an ba: “Hii ndio pepo mliyorithishwa kwa sababu ya yale mliyokuwa mkiyafanya.”(Sura 7:43) Aya hiyo hapo juu inatakiwa iandikwe kwa kuwazika tu kwenye nyama nzuri (tamu) kwa kutumia kalamu ya mwanzi iliyochongwa karibuni (mpya), na (nyama hizo) zipewe wote: mume na mke, wazile. Insha-Allah, baada ya muda mfupi wataanza kupendana, kila mmoja kumpenda mwenzie. (kwa dhati). AL-WALIYYU (Rafiki Mlezi) Usomaji wa kuzidisha sana wa Jina la Allah hilo hapo juu, alisomapo mume kutasababisha mke na mume wote kila mmoja kumpenda mwenzake mno. Insha-Allah.

MTU KUIPATA HAKI YAKE. AL-MUDHILLU (Mwenye Kutweza) Kama mtu anashindwa kupata haki yake (Kama vile pesa, milki n.k.) kutoka kwa (mtu) mwigine kwa sababu ya kukwepa au kuacha tu makusudi au kutoa sababu zisizio na msingi, anatakiwa asome Jina la Allah hilo hapo juu mara nyingi (labda mara 400 mpaka mara 500 na zaidi). Allah akipenda, haki yake itapatikana katika kipindi kifupi.

ILI UKUBALIKE NA KUPENDWA NA WATU.

36


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:13 Page 37

Ponyo kutoka katika Qur’an Na kama wakitaka kukukhadaa basi Mwenyezi Mungu atakutoshelezea. Yeye ndiye aliyekusaidia kwa nusura yake na kwa walioamini. Na akaziunga nyoyo zao (wakapendana wote hao masahaba zako); hata kama ungalitoa vyote vilivyomo ardhini usingweza kuziunga nyoyo zao, lakini Mwenyezi Mungu ndiye aliyewaunganisha. Hakika yeye ni Mbora na Mwenye hikima. {Sura 8:62-63} Mtu yeyote ambaye anataka akubalike na kupendwa na watu au aheshimiwe na watu katika daraja la hali ya juu, basi anatakiwa aziandike aya hizo hapo juu mara moja tu kwenye kila kitambaa ya vitambaa vitatu vyenye rangi tatu tofauti: kijani, njano na nyekundu. Uandikaji huo unatakiwa ufanyike katika hali ya kuwa na udhu katika siku ya Ijumaa ya kwanza ya mwezi wa Ramadhani, kati ya sala ya Ijumaa na Asr. Kisha vitambaa hivi vishonwe katika pindo la “topi” (kofia) na ivaliwe wakati wowote mtu huyo aendapo katika majlis yoyote au kusanyiko lolote lile. Insha-Allah, atapokelewa na watu kwa mapenzi, furaha, staha na heshima kubwa ndani ya nyoyo zao. Andika Sura yote ya Muhammad (Sura 47) katika sahani kwa kutumia maji ya zafarani. Ioshe (hiyo sahani) na kikombe cha maji ya ZamZam na uyanywe. Insha-Allah kwa kufanya hivi watu wataanza kukuwekea heshima ya hali ya juu. Na watakuonyesha upendo na furaha ya mahaba.

AL-ADLU (Muadilifu) Andika Jina la Allah hilo hapo juu kwenye vipande 30 vya mkate au “roti” na uvile. Watu wataanza kukupa heshima ya hali ya juu. Amal hii inatakiwa ifanywe usiku wa kuamkia Siku ya Ijumaa, yaani wakati wowote baada ya Magharibi Siku ya Alhamisi. (Iandikwe kwa kuwazia na kidole na katika hali ya kuwa na udhu).

37


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:13 Page 38

Ponyo kutoka katika Qur’an AL-KARIYMU (Aliye Mkarimu) Ili watu waweze kumheshimu mtu na wamweke katika staha ya hali ya juu, (basi) ni lazima asome jina la Allah hilo hapo juu kwa mara nyingi tu akiwa kitandani (kabla ya kulala).

WATOTO WATUKUTU (WASIO WATIIFU) “Na unitengezee watoto wangu; kwa yakini ninatubu kwako; na hakika mimi ni miongoni mwa waliosilimu (walionyenyekea).” (Sura 46:15 Juz. 26 RK.2) Mtu yeyote ambaye watoto wake wana utovu wa nidhamu (siyo watiifu) inatakikana aisome aya hiyo hapo juu (Dua) baada ya kila sala. InshaAllah watakuwa watoto watiifu karibuni. Lakini majina ya watoto hao yawe katika fikra za mtu wakati unalisoma neno “DHURRIYYATI.”

MKE ASIYE MTIIFU PAMOJA NA WATOTO. ASH-SHAHIYDU (Aliye Enea kila Mahali) Kwa kushika sehemu ya mbele ya kichwa cha mke asiye mtiifu au watoto wasio watiifu na ukasoma: “YAA SHAHIYDU” kwa mara nyingi au kwa kuisoma mara 1000 na kuwapulizia wao, watabadilikana kuwa watiifu. Insha-Allah.

38


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:13 Page 39

Ponyo kutoka katika Qur’an KUZITEKA NA KUZISHINDA NYOYO ZA WATU.

Alif Laam Miim. Hizi ni Aya za kitabu chenye hekima. Je! Ni ajabu kwa watu ya kwamba tumemfunulia (tumemletea wahyi) mtu miongoni mwao kuwa: “Waonye watu na wape walioamini habari njema ya kwamba watakuwa na cheo kikubwa mbele ya Mola wao?” Wakasema makafiri: “Hayakuwa haya ila ni kiini macho.” Bila shaka Mola Wenu ni Mwenyezi Mungu ambaye ameziumba mbingu na ardhi katika siku sita. Kisha akatawala juu ya Arshi (yake). Yeye ndiye anayepitisha mambo yote. Hakuna muombezi ila baada ya idhini yake (Mungu). Huyu ndiye Mwenyezi Mungu, Mola Wenu, basi Muabuduni Yeye. Je! Hamkumbuki (kuwa hayo mlio naya siyo mambo ya haki)? {Sura 10:1-3} Yeyote apendaye kuziteka na kuzipata nyoyo za watu, anatakiwa afanye yafuatayo: afunge siku ya 13, 14 na 15 ya mwezi wa Shabaan. Funga ya mwisho inatakiwa ifunguliwe kwa kula mboga za majani, siki, chumvi na mkate au “roti” uliotengenezwa kwa shairi. Muda wa kati ya Magharibi na Isha unatakiwa utumiwe katika kumkumbuka Allah (yaani kuleta Dhikr) na kuleta Salawaat (Duruud) juu ya Mtume wa Allah (s.a.w). Ule muda baada ya Sala ya Isha unatakiwa pia utumike katika (kusoma) Tasbiih na

39


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:13 Page 40

Ponyo kutoka katika Qur’an Taqdiis kwa kipindi kirefu kama mtu mwenyewe apendavyo. Kisha aya hizo hapo juu inatakiwa ziandikwe katika (karatasi hiyo) iwekwe chini ya mto ambao mtu hupenda kuutumia kwa kulalia. Baada ya kuitekeleza Sala ya Asubuhi (Fajr), kama mtu ataenda kwa mtu yeyote yule akiwa na karatasi hiyo mfukoni (mwake), atakaribishwa ataheshimiwa na mambo yatageuka kuwa ya kupendeza. Insha-Allah.

KUFICHULIWA SIRI

“Enyi kizazi cha Israeli (Nabii Yaaqub! Yaani Enyi Mayahudi!) Zikumbukeni neema zangu nilizokuneemesheni; na tekelezeni ahadi yangu (ya kuwa akija Mtume mtamfuata), nitatekeleza ahaadi yenu (ya kukupeni Pepo); na niogopeni Mimi tu. Na aminini niliyoyateremsha ambayo yanasadikisha yaliyo pamoja nanyi, wala msiwe wa kwanza kuyakataa. Wala msiyauze maneno yangu kwa ajili ya thamani ndogo tu (ya kilimwenguni); na niogopeni Mimi tu. Wala msichanganye haki na batili, na mkaficha haki, na hali mnajua.” {Sura 2:40-42} Kwa upande wa mwanamke. Kama mwanamke ametenda kwa siri tendo (kosa) lililokatazwa katika dini ya Kiislamu (yaani lililoharamu) na mtu anataka siri hiyo ifichuliwe (iju-

40


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:13 Page 41

Ponyo kutoka katika Qur’an likane) – basi yafuatayo yanatakiwa kufanywa: chukua nguo zivaliwazo na msichana (au binti yake) ambaye hajafikia balehe na katika usiku (ulio) kati ya Jumamosi na Jumapili, baada ya kupita masaa 5 baada ya kuzama (kuchwa) jua; andika aya hizo hapo juu katika nguo hizo na ziweke juu ya kifua cha mwanamke huyo wakati akiwa amelala. (Basi mwanamke huyo) atafichua kila kitu alichokwisha kukifanya. Lakini ufahamu kwamba hili linaruhusiwa tu kama uchunguzi huo unakubalika kwa mujibu wa sheria (vingine uchunguzi wa namna hiyo utaleta madhara). Kwa upande wa mwanaume na mwanamke:

Na (kumbukeni khabari hii inayotajwa sasa hivi): Mlipoiua nafsi, kisha mkakhitilafiana kwa hayo; na Mwenyezi Mungu ni Mtoaji wa hayo mliyokuwa mkiyaficha. Tukasema: “Mpigeni kwa baadhi (sehemu) yake (huyu ng’ombe).”Ndivyo hivi Mwenyezi Mungu huwahuisha wafu; na anakuonyesheni dalili zake ili mpate kufahamu. {Sura 2:7273} Yaliyofanyika katika A. yafanyike vivyo hivyo hapa katika B. kama ilivyotajwa hapo juu.

KWA UKAIDI NA UTOVU WA ADABU

“Mimi nimemtegemea Mwenyezi Mungu, Mola wangu na Mola wenu. Hakuna kiumbe yoyote isipokuwa (Mwenyezi Mungu) anamsarifu atakavyo. Bila shaka Mola wangu yuko juu ya njia iliyonyooka.” {Sura 11:56 }

41


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:13 Page 42

Ponyo kutoka katika Qur’an Kama mtu ana hatia ya kosa (dhambi) la ukaidii, (basi) nywele za paji lake la uso zikamatwe na aya hiyo hapo juu isomwe mara 3. Baada ya hapo apuliziwe (huyo mwanamume au mwanamke). Kwa kufanya hivi, InshaAllah, yeye (mwanaume au mwanamke) atakuwa mtiifu.

ULINZI DHIDI YA WATU WABAYA NA MAJINI.

Mwenyezi Mungu hakuna Mola ila Yeye, (na) ndiye Mwenye uhai wa maisha, msimamia kila jambo. Kusinzia hakumshiki wala kulala. Ni vyake (peka yake vyote) vilivyomo mbinguni na vilivyomo katika ardhi. Na nani huyo awezaye kuombea mbele yake (Mungu) bila ya idhini yake? Anayajua yaliyo mbele yao (viumbe) na (yaliyo) nyuma yao; wala (hao viumbe) hawalijui lolote katika (yaliyo katika) ilimu Yake (Mwenyezi Mungu) ila kwa alipendalo (Mwenyewe). Enzi Yake imeenea mbingu na ardhi; wala kuvilinda hivyo hakumshindi; na Yeye (peke yake) ndiye aliye juu na ndiye aliye Mkuu. {Sura 2: 255 }. Kuisoma Aayatul-Kursi mara moja (tu) baada ya kila sala kutamfanya Allah (S.W.T) kumlinda msomaji huyo dhidi ya madhara au fitina ya watu wabaya na majini. Kwa kweli kwa mujibu wa Hadithi moja, shetani alikiri kushindwa kwake

42


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:13 Page 43

Ponyo kutoka katika Qur’an kumdhuru au kumfitinisha mtu yeyote yule ambaye huisoma AayatulKursi.

SURATUL FALAQ NA SURATUN – NAAS: Sura 2 za mwisho za Qur’an Tukufu. Zisomwe kwa ulinzi dhidi ya magonjwa, uchawi, nadhir n.k. Ta’wiiz ya Sura hizi 2 ni yenye faida kubwa. Kusomwa kwao (sura hizi mbili) na kumpulizia mtu kuna msaada mkubwa kuzisoma kabla ya (kwenda) kulala kutampa msomaji ulinzi dhidi ya balaa au majanga yote.

SURATUL IKHLAAS Sura ya 3 ya mwisho ya Qur’an Tukufu. Kama itaandikwa katika utando wa ngozi ya paa dume na ikavaliwa kama ta’wiiz, mvaaji huyo atapatiwa ulinzi dhdi ya watu wabaya, majini mabaya, wanyama wenye kudhuru, wadudu wabaya na viumbe vyote vyenye madhara. Imesimuliwa kutoka kwa walii fulami kwamba wakati fulani alimwona mbwa mwitu akicheza cheza na mbuzi katika nyika (porini). Alishangazwa na yale aliyoyaona. Kwa shauku ya kutaka kudadisi (kujua) zaidi, na kama alivyojisogeza zaidi karibu na tukio hilo, mbwa mwitu yule alitoweka. Katika uchunguzi wa karibu (uchunguzi zaidi) aliona ta’wiiz ikining’inia kwenye shingo ya mbuzi yule. Aliifungua ta’wiizi ile na akakuta aya za Qur’an Tukufu zifuatazo zimeandikwa ndani yake:

Wala kuvilinda hivyo hakumshindi; na Yeye (peke yake) ndiye aliye juu na ndiye aliye Mkuu. (Sura 2:255)

43


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:13 Page 44

Ponyo kutoka katika Qur’an

Mwenyezi Mungu ndiye Mbora wa kulinda naye ndiye anayerehemu kweli kweli kuliko wenye kurehemu wote. (Sura 12:64)

Na kuilinda na kila shetani asi (Sura 37:7).

Na tumezilinda na kila shetani ambaye hufukuzwa (Sura 15:17)

Na kuulinda. Hiki ndicho kipimo cha Mwenye nguvu, Mwenye kujua Sura 41:12

(Naapa ya kuwa) hakuna nafsi yeyote ila inayo mchungaji juu yake, (anayetazama amali zake). (Sura 86:4)

Hakika kutesa kwa Mola wako ni kukali (sana). Yeye ndiye aliyeanzisha (viumbe) na Ndiye atakayewarejeza. Naye ni Mwingi wa msamaha. Mpenda (waja wake). Mwenye kiti cha enzi kitukufu. (Sura 85:12-15)

44


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:13 Page 45

Ponyo kutoka katika Qur’an Mwingi wa kutenda Alipendalo. Je, zimekuasilia habari za majeshi ya makafiri? Firauna na Thamudi? Lakini waliokufuru wamo katika kukadhibisha tu. Na Mwenyezi Mungu Amewazunguuka kote kote (hawawezi kuikimbia adhabu yake). Bali hii ni Qur’ani tukufu. (Iliyotolewa) katika huo ubao uliohifadhiwa, (wa Mwenyezi Mungu). Yeyote yule ambaye hujiwekea nakala ya maandishi ya aya hizo hapo juu kwake, hakuna dhara au balaa itakayo mpata.

TIBA KUTOKANA NA UCHAWI Walipotupa, Musa alisema:

“Mliyoleta ni uchawi; Mwenyezi Mungu sasa hivi ataubatilisha. Hakika Mwenyezi Mungu hastawishi vitendo vya waharibifu. Na Mwenyezi Mungu ataithubutisha haki kwa maneno yake. Ingawa watachukia (hao) wabaya.” {Sura 10:81-82} Aya hizo hapo juu ni mujarabu sana katika kuubatilisha uchawi ( na kuponya). Kama zikiandikwa na mtu aliyeathirika (kwa uchawi huo) akafanywa avae shingoni mwake kama ta’wiiz, haraka sana atapona kutokana na uchawi huo – Insha-Allah. Kwa njia nyingine (yaani badili yake), ingeweza kuandikwa katika sahani kwa kutumia maji ya zafarani na mtu aliyerogwa akapewa ayanywe. Punde tu mtu huyo atapona. Insha-Allah

45


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:13 Page 46

Ponyo kutoka katika Qur’an TIBA NA KUJILINDA KUTOKANA NA UCHAWI, NADHIR NA SUMU.

Enyi wanaadamu! Chukueni mapambo yenu wakati wa kila sala; na kuleni (vizuri) na Kunyweni (vizuri) lakini msipite kiasi tu. Hakika Yeye (Mwenyezi Mungu) hawapendi wapitao kiasi (wapindukiao mipaka). Sema: “Ni nani aliyeharamisha mapambo ya Mwenyezi Mungu ambayo amewatolea waja wake. Na (nani aliye harimisha) vitu vizuri katika vyakula?”Sema: “Vitu hivyo vimewahalalikia Waislamu (hapa) katika maisha ya dunia; (na) vitakuwa vyao peke yao siku ya Kiyama.” Namna hivi tunazieleza Aya kwa watu wajuao. Sema (uwaambie): “Mola wangu ameharimisha mambo machafu, yaliyodhihirika na yaliyofichika, na dhambi na kutoka katika taa (ya wakubwa) pasipo haki, na kumshirikisha Mwenyezi Mungu na ambacho hakukiteremshia dalili (ya kusema kishirikishwe naye) na (ameharimisha) kusema juu ya Mwenyezi Mungu msiyoyajua.” (Sura 7: 31-33) Ziandike aya hizo hapo juu katika sahani ukitumia aidha zafarani au maji ya matunda yaliyopatikana kutokana na zabibu kijani. Baada ya kuiosha

46


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:13 Page 47

Ponyo kutoka katika Qur’an sahani hiyo na maji kiasi, ya vijiwe vilivyo yeyushwa vya mvua ya mawe, mwache mgonjwa huyo aoge kwa maji hayo. Insha-Allah atapona katika muda mfupi.

KUWASHINDA WATU NA MAJINI

(Wakumbushe watu khabari hii): wakati Mola Wako alipowaambia Malaika: “Mimi nitamuweka Khalifa katika ardhi.” (yaani, wanaadamu). Wakasema: je, utamuweka humo atakayefanya uharibifu humo na kumwaga damu, hali sisi tunakutukuza kwa sifa zako na kukutaja kwa utakatifu wako?” Akasema (Mwenyezi Mungu): “Hakika Mimi nayajua msiyoyajua (ninyi).” Na (Mwenyezi Mungu) akamfundisha (Nabii) Adamu majina yote, kisha akaonesha mbele ya Malaika, na akasema (kuwaambia Malaika): “Niambieni majina ya hawa ikiwa mnasema kweli (kuwa nyinyi ndiyo wajuzi wa mambo).” Wakasema (Malaika): “Utakatifu ni wako! Hatuna ilimu isipokuwa ile uliyotufundisha; bila shaka wewe ndiye Mjuzi na ndiye Mwenye hekima.”{Sura 2:30-32}. Aya hizo hapo juu ni mujarabu (zinasaidia) sana kuwashinda watu waovu na majini wabaya.

47


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:13 Page 48

Ponyo kutoka katika Qur’an Vifaa (mahitaji): Kalamu yenye kiandiko kipana; sahani ya glasi (kioo), maji kidogo ya zafarani au maji uwaridi. Kiasi cha vikombe 7 vya maji yaliyopatikana kutokana na mvua ya mawe au maji ya barafu (theluji) udi, kwa kufukiza; (na) nyumba isiyo kaliwa (isiyo na wakaaji). Namna ya kufanya: Wakati siku ya kwanza ya mwezi wowote ule wa Kiislam ikiangukia katika siku ya Alhamisi, (basi) mtu anatakiwa afunge katika siku ile na wakati wa kufuturu aivunje swaumu hiyo kwa “roti” au mkate (uliotengenezwa kwa ngano), sukari na mboga zozote zile za majani. Baada ya (kusali Sala ya) Insha, nenda kitandani kama kawaida ya mtu afanyavyo. Wakati nusu ya usiku ikiwa imekwisha pita, amka, tia Udhu, simamisha sala ya rakaa 2 na bakia umekaa juu ya msala, ukiwa umeelekea kibla. Soma aya hizo hapo juu mara 33. Kisha ziandike mara moja tu katika sahani ya glass (kioo) ukitumia aidha maji ya uwaridi au zafarani iliyozimuliwa (iliyofifishwa) na maji kidogo. Ioshe sahani hiyo kwa kikombe kimoja (tu) cha maji yaliyopatikana kutokana na mvua ya mawe au theluji. Kisha maji haya yanywewe. Kisha nenda (kitandani) kalale tena. Taratibu hii ifanywe kwa siku 7 mfululizo. Katika siku ya mwisho aya hizo hapo juu zisomwe mara 70 na amali hiyo (tendo hilo) lazima lifanywe ndani ya nyumba ambayo haina wapangaji wengine kabisa. Pia nyumba hiyo lazima ifukizwe kwa vijiti vya udi. Baada ya (kufanya) haya, mtu lazima aende (kitandani) kulala bila ya kubadilisha nguo (alizovaa). Insha-Allah lengo na dhumuni la mtu litatimizika. (Angalia: Amali hii isifanywe kwa ajili ya utafitii tu au kujifurahisha tu. Kwa sababu inaweza ikasababisha madhara. Inatakiwa watu wenye afya njema tu – ya mwili na akili – ndiyo walifanye tendo hili (amal) kama wao ni wa kweli katika jambo lao).

48


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:13 Page 49

Ponyo kutoka katika Qur’an KUONDOSHA SHAKA NA IMANI POTOFU (USHIRIKINA)

Na kama wasiwasi wa shetani ukikusumbua, basi (sema Audhu Billahi) jikinge kwa Mwenyezi Mungu. Bila shaka Yeye ndiye asikiaye na ajuaye. Wale wanaomwogopa (Mwenyezi Mungu) zinapowagusa pepesi za shetani (wakaasi) mara hukumbuka, tahamaki wamekwisha ona njia. {Sura 7: 200-201} Mtu yeyote yule ambaye ametumbukia katika vitimbi na vishawishi vya shetani, anatakiwa aziandike aya hizo hapo juu katika kila kipande ya vipande 7 (saba) vidogo vya karatasi katika siku yoyote ya Ijumaa zama za kuchomoza jua. Kuandika huko kuwe ni kwa kutumia wino uliotengenezwa kwa zafarani na maji ya waridi. Kila siku, kipande kimoja ni lazima kimezwe tumboni kikifuatiwa na kutu moja ya maji. Insha-Allah muathirika huyo baada ya muda si mrefu atapata nafuu. Amal hii vilevile inasaidia sana na ina matokeo mazuri ya haraka (mujarabu) katika kuondoa mawazo mabaya, fikra potofu za kiimani, dhana mbaya na kutetemeka kwa moyo.

KUONDOA WOGA

Mwenyezi Mungu ndiye Mbora wa kulinda, naye ndiye anayerehemu kweli kweli kuliko wenye kurehemu wote.� {Sura 12:64}

49


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:13 Page 50

Ponyo kutoka katika Qur’an Mtu yule ambaye anatishwa na adui yake au anaogopa kufikwa na janga (balaa) lolote lile, anatakiwa aisome aya hiyo hapo juu mara nyingi. InshaAllah wasiwasi wake (au hofu) utatoweka na uwezekano wowote ule wa kutokea janga au balaa utaepushwa, utaondolewa.

KUONDOA WOGA, MSHITUKO WA HOFU NA HALI ZOTE ZA MAWAZO YENYE KUZUIA KUWEPO AMANI

Na unaposoma Qur’ani (inakuwa kama kwamba) tumetia baina yako na baina ya wale wasioamini akhera pazia lililofunikwa (sana hata hawafahamu kinachosemwa). Na (kama kwamba) tumetia vifuniko nyoyoni mwao wasije wakaifahamu na (kama tumetia) katika masikio yao uzito (uziwi). Na unapomtaja Mola wako katika Qur’ani peke yake, basi wao hugeuza migongo yao kwa kuchukia. {Sura 17:45-46} Aya hizo hapo juu inapaswa zisomwe na kupuliziwa kwa mtu yeyote ambaye amehofishwa mno, ameshtushwa au kutishwa. Aya hizi ni mujarabu sana (zina msaada mkubwa) katika kuondoa mawazo yenye kuogofya na kushtusha vilevile.

50


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:13 Page 51

Ponyo kutoka katika Qur’an ULINZI (USALAMA) DHIDI YA MADHARA YOTE.

Mwenyezi Mungu ndiye Mola wetu na (pia) ni Mola wenu; vitendo vyetu ni kwa ajili yetu, na vitendo vyenu ni kwa ajili yenu (wenyewe); hakuna ugomvi baina yetu na nyiye; Mwenyezi Mungu atatukusanya pamoja, na marejeo ni kwake.” (Sura 42:15 ) Wakati mtu anahofia dhara kutoka kwa mtu yeyote au mnyama yoyote, aya hiyo hapo juu inapaswa isomwe na kupulizwa kuelekea upande aliko mtu au mnyama huyo. Insha-Allah, mtu afanyaye hivi atalindwa dhidi ya dhara lolote. B. Hadhrat Ka’ab bin Ahbaar anaelezewa akiwa amesema kwamba mtu yeyote ambaye atazisoma aya 7 zifuatazo kila siku, atakuwa hana sababu ya kuhofia aina yoyote ya dhara, kwa namna yoyote iwavyo. Sema: “Halitatusibu ila alilotuandikia Mwenyezi Mungu. Yeye ni Mola wetu.” Basi Waislamu nawamtegemee Mwenyezi Mungu tu. Sura 9:51:

Na kama Mwenyezi Mungu akikugusisha dhara, basi hakuna yeyote awezaye kuiondoa isipokuwa yeye (Mwenyewe). Na kama akikutakia kheri, basi hakuna awezaye kurudisha fadhila zake (Mwenyezi Mugu). Huzifikisha (fadhila hizo) kwa amtakaye katika waja wake (maadamu anajinyenyekeza kwake). Naye ni Mwingi wa kusamehe (na) Mwingi wa Kurehemu. ( Sura 10:107)

51


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:13 Page 52

Ponyo kutoka katika Qur’an

Na hakuna mnyama yoyote (yaani kiumbe chochote) katika ardhi ila riziki yake iko juu ya Mwenyezi Mungu. Na anajua makao yake ya milele na mahali pake pa kupita tu. (Napo ni hapa duniani). Yote yamo katika kitabu kinacho dhihirisha (kila kitu. Kitabu chake Mwenyezi Mungu anachokijua Mwenyewe hakika yake, si kama vitabu tunavyovijua sisi). (Sura 11:6)

“Mimi nimemtegemea Mwenyezi Mungu, Mola wangu na Mola wenu. Hakika kiumbe yoyote isipokuwa (Mwenyezi Mungu) anamsarifu atakavyo. Bila shaka Mola wangu yuko juu ya njia iliyonyooka.” (Sura 11:56)

Na wanyama wangapi hawawezi kujimilikia riziki zao; Mwenyezi Mungu Huwaruzuku wao na nyinyi pia; naye ndiye Asikiaye, Ajuaye.

(Sura 29:60) Rehema Anayoifungua Mwenyezi Mungu kwa watu, hakuna wa kuizuia; na anayoizuia hakuna wa kuipeleka mbele (isipokuwa Atake Atakapotaka). Naye ni Mwenye Nguvu, Mwenye Hekima. (Sura 35:2)

52


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:13 Page 53

Ponyo kutoka katika Qur’an

Na ukiwauliza: “Ni nani aliyeziumba mbingu na ardhi?” Bila shaka watasema: “Ni Mwenyezi Mungu.” Sema: “Je, mnawaonaje wale mnaowaomba kinyume cha Mwenyezi Mungu, kama Mwenyezi Mungu akitaka kunidhuru, wao wanaweza kuniondolea dhara yake (Sura 39:38). C. Sura Yaasin. Imeripotiwa kutoka kwa Ibn – Kalbi kwamba mtu mmoja ambaye alitishiwa maisha yake alienda kutaka ushauri kwa Maalimu (Mwanachuo) ambaye alimshauri kutanguliza kusoma Sura Yaasin kwanza kabla ya kutoka nyumbani kwake. Alifanya kama alivyoambiwa. Matokeo yake ni kwamba adui yake alishindwa hata kumuona.

KUMPONYA MTU ALIYEPAGAWA NA PEPO MCHAFU (JINI OVU)

“Je mlidhani ya kwamba tumekuumbeni bure na ya kwamba nyinyi kwetu hamtarudishwa?” Ametukuka Mwenyezi Mungu, Mfalme wa haki, hakuna aabudiwaye kwa haki ila yeye, Mola wa Arshi yenye heshima (kubwa kabisa). Na anayemwabudu – pamoja na Mwenyezi Mungu- mungu mwingine, yeye hana dalili ya (jambo) hili basi; bila shaka hisabu yake iko kwa Mola wako. Kwa hakika makafiri,

53


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:13 Page 54

Ponyo kutoka katika Qur’an hawafanikiwi. Nawe sema: “Mola wangu! Samehe na Rehemu, Nawe ndiwe Mbora wa wanaorehemu.” {Srua 23:115-118 } Mtu yeyote yule aliyepagawa na pepo mchafu (jina baya ovu Aasib) –kumponya, mtu yeyote yule yampasa asome aya hizo hapo juu mara tatu na kupulizia ndani ya glasi ya maji na kunyunyizia kidogo kidogo maji hayo katika uso wa mgonjwa. Njia nyingine, aya hizo zisomwe mara tatu karibu na masikio yake.Nafuu itaonekana kwa wakati huo huo (mara moja). Sura Jinn yote (Sura 72) inabidi iandikwe na mtu aliyeathirika (kuingiwa na pepo mchafu) aivalishwe kama ta’wiiz katika mkono wake. Au Sura hiyo hiyo isomwe mara moja (tu) na ipuliziwe kwake. Nafuu ya haraka sana itapatikana. Insha- Allah. AYA 33 MAARUFU Aya 33 zifuatazo zimethibitishwa kuwa ni mujarabu sana katika nyakati zote (zimethibitishwa) na watu wengi wenye hekima kama dawa inayozuia kwa aina zote za maradhi, hususan ukoma. Usomaji wake (aya hizo) humpatia msomaji (huyo) kinga dhidi ya wanyama wabaya wenye kudhuru, wadudu wabaya, wezi na pepo wachafu (mashetani). Usomaji wa (aya hizo) pia humpatia msomaji huyo ulinzi kuhusiana na maisha yake (uhai wake), milki yake na heshima yake. Ni kutokana na sababu hii kwamba (aya hizi) zafahamika pia kama Aayaatul Hirs yaani Aya za ulinzi wa kinga. Ni vyema zikisomwa hata mara moja tu kila siku wakati wowote (tu) ule. Nazo ni kama ifuatavyo: -

54


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:13 Page 55

Ponyo kutoka katika Qur’an ALIF LAAM MIIM. Hiki ni kitabu kisichokuwa na shaka ndani yake. Ni uongozi kwa wamchao Mwenyezi Mungu. Ambao huyaamini yasiyoonekana (maadamu yamesemwa na Mwenyezi Mungu na Mtume wake) na husimamisha Sala na hutoa katika yale Tuliyowapa. Na ambao wanaamini yaliyoteremshwa kwako, na yaliyoteremshwa kabla yako na wanaamini (kuwa iko) Akhera. Hao wako juu ya uwaongozi utokao kwa Mola wao, na hao ndiyo wenye kuongoka. {Sura: 2:1-5 }

Mwenyezi Mungu hakuna Mola ila yeye, (na) ndiye Mwenye uhai wa maisha, Msimamia kila jambo. Kusinzia hakumshiki wala kulala. Ni vyake (peke yake vyote) vilivyomo mbinguni na vilivyomo katika ardhi. Na nani huyo awezaye kuombea mbele yake (Mungu) bila ya idhini yake? Anayajua yaliyo mbele yao (viumbe) na (yaliyo) nyuma yao; wala (hao viumbe) hawalijui lolote (yaliyo katika) ilimu yake

55


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:13 Page 56

Ponyo kutoka katika Qur’an (Mwenyezi Mungu) ila kwa alipendalo (Mwenyewe). Enzi yake imeenea mbingu na ardhi; wala kuvilinda hivyo hakumshindi; na Yeye (peke yake) ndiye aliye juu na ndiye aliye Mkuu. Hakuna kulazimishwa (mtu kuingia) katika dini. Uongofu umekwisha pambanuka na upotofu.Basi anayemkataa shetani na akamwamini Mwenyezi Mungu, bila shaka yeye ameshika kishiko chenye nguvu kisichokuwa na kuvunjika. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusikia Mwenye kujua. Mwenyezi Mungu ni Mlinzi wa wale walioamini. Huwatoa katika giza na kuwaingiza katika mwangaza. Lakini waliokufuru, walinzi wao ni mashetani. Huwatoa katika mwangaza na kuwaingiza katika giza.Hao ndiyo watu wa Motoni, humo watakaa milele. {Sura 2:255-257}.

56


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:13 Page 57

Ponyo kutoka katika Qur’an (Vyote) vilivyomo mbinguni na vilivyomo ardhini ni vya Mwenyezi Mungu. Na kama mkidhihirisha yaliyomo katika nyoyo zenu, au mkiyaficha, Mwenyezi Mungu atakutakeni hisabu ya (yote) hayo; kisha amsamehe amtakaye (kwa kuwa katubia) na amuadhibu amtakaye (kwa kuwa hakutubia). Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye uwezo juu ya kila kitu. Mtume ameamini yaliyoteremshwa kwake kutoka kwa Mola wake, na Waislamu, (pia wameamini hayo). Wote wamemwamini Mwenyezi Mungu, na Malaika wake, na Vitabu vyake, na Mitume yake. (Nao hao Waislamu na Mtume wao husema): “Hatutofautishi baina ya yoyote katika Mitume yake (wote tunawaamini).” Na husema: “Tumesikia na tumetii. (Tunakuomba) msamaha, Mola wetu! Na marejeo ni Kwako.” Mwenyezi Mungu haikalifishi nafsi yoyote ila yaliyo sawa na uwezo wake. (Faida ya) yale iliyoyachuma (hiyo nafsi) ni yake na hasara ya yale iliyoyachuma ni juu yake. (Husema): “Mola Wetu! Usitutese kama tukisahau (tukaacha mabaya). Mola Wetu! Na usitubebeshe mzigo kama uliowabebesha wale waliokuwa kabla yetu. Mola Wetu! Usitutwike tusiyoyaweza, na utusamehe, na utughufirie, na uturehemu. Wewe ndiye Mlinzi wetu. Basi tusaidie juu ya watu makafiri.” { Sura 2:284286 }

57


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:13 Page 58

Ponyo kutoka katika Qur’an Hakika Mola Wenu ni Mwenyezi Mungu aliyeziumba mbingu na ardhi kwa siku sita. Kisha akatawala juu ya Arshi yake. Huufunika usiku kwa mchana, uufuatiao upesi, (na) huufunika mchana kwa usiku uufuatiao upesi upesi). Na (ameliumba) jua na mwezi na nyota. (Na vyote) vimetiishwa kwa amri yake (Mwenyezi Mungu viwe vya manufaa makubwa nanyi). Fahamuni kuumba (ni Kwake tu Mwenyewe Mwenyezi Mungu) na amri zote ni Zake (Mwenyezi Mungu). Ametukuka kabisa Mwenyezi Mungu, Mola wa walimwengu wote. Mwombeni Mola wenu kwa unyenyekevu na kwa siri kwa sauti ndogo bila ya kufanya kelele. Yeye (Mwenyezi Mungu) hawapendi wapitao mipaka. Wala msifanye uharibifu katika nchi baada ya kuwa imekwisha kutengenezwa. Na mwombeni kwa kuogopa na kwa kutumai. Bila shaka rehema ya Mwenyezi Mungu iko karibu sana na (wale waja wake) wanaofanya mema. {Sura 7:54-56 }

Sema: “Mwombeni (Mwenyezi Mungu) kwa (jina la) Allah au mwombeni (kwa jina lolote mnalomwita (katika haya, itafaa); kwani ana majina mazuri mazuri.” Wala usiiseme Sala yako kwa sauti kubwa wala usiiseme kwa sauti ndogo, bali shika njia baina ya hizo (katikati, si kwa kelele wala si kwa kimya). Na sema: Sifa zote njema zinamstahikia Mwenyezi Mungu ambaye hakujifanyia mtoto wala hana mshirika (wake) katika ufalme wala hana rafiki (wa kumsaidia) kwa sababu ya udhaifu wa kuhitaji. Na mtukuze kwa matukuzo makubwa (kabisa).Sura 17:110-111

58


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:13 Page 59

Ponyo kutoka katika Qur’an

Naapa kwa (wale Malaika) wajipangao safu safu. Tena kwa wale wanaokataza mabaya. Kisha kwa wale wasomao mawaidha (ya Mwenyezi Mungu). Kwa yakini Mungu wenu ni Mmoja tu. Mola wa mbingu na ardhi na yaliyomo kati yake, (yao); na ni Mola wa Mashariki zote (na Magharibi zake). Bila shaka sisi tumeipamba mbingu na karibu (hii) kwa pambo la nyota. Na kuilinda na kila shetani asi. Wasiweze kusikiliza (yanayosemwa na hao) viumbe watukufu (Malaika); na wanafukuzwa huko kila upande. Kwa hizaya; na wanayo adhabu (inayowazuia kufika huko) inayodumu kwao. Isipokuwa anayenyakuwa kitu kidogo hivi (katika maneno yanayosemwa huko); mara kikamfuata kimondo (kijinga cha moto) king’aracho (kikamuangamizilia mbali). Hebu waulize, “Je, wao (binaadamu) ni wenye umbo gumu zaidi au wale (wengine) tuliowaumba (kama tulivyokuumbeni nyinyi, kama Malaika na Majini…)? Bila shaka sisi tuliwaumba (wanaadamu) kwa udongo unaonata. (Wana nguvu gani za kujivunia)?{Sura 37:1:11}

59


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:13 Page 60

Ponyo kutoka katika Qur’an

Enyi jamii ya majini na watu! Kama mtaweza kupenya katika mbingu na ardhi (ili mkimbie nisikupateni), basi penyeni (nikuoneni)! Hamtapenya ila kwa nguvu (zangu. Nikikupeni nguvu hizo mtaweza). Basi ipi katika neema za Mola wenu mnayoikanusha (kuwa si neema yake)? Mtaletewa muwako wa moto na shaba (iliyoyayushwa); wala nyinyi hamtaweza kujilinda navyo. Basi ipi katika neema za Mola wenu mnayoikanusha (kuwa si neema yake)? {Sura 55:33-36}

Lau kama tungaliiteremsha hii Qur’ani juu ya mlima, ungaliuona ukinyenyekea (na) kupasuka kwa sababu ya hofu ya Mwenyezi Mungu. Na hii ni mfano tunawapigia (tunawaeleza) watu ili watafakari. Yeye ndiye Mwenyezi Mungu ambaye hakuna aabudi-

60


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:13 Page 61

Ponyo kutoka katika Qur’an waye kwa haki isipokuwa Yeye tu. Anayeyajua yaliyofichikana na yaliyo dhahiri. Mwenye kuneemesha neema kubwa kubwa na Mwenye kuneemesha neema ndogo ndogo. Yeye ndiye Mwenyezi Mungu ambaye hakuna aabudiwaye kwa haki isipokuwa Yeye tu; Mfalme, Mtakatifu, Mwenye salama, Mtoaji wa amani, Mwenye kuyaendesha Mwenyewe mambo yake, Mwenye shani, Anayefanya analolitaka, Mkubwa. Mwenyezi Mungu Yu mbali na hao wanaomshirikisha naye. Yeye ndiye Mwenyezi Mungu, Muumbaji, Mtengenezaji, Mfanyaji wa Sura (za namna na namna za viumbe); Mwenye majina (sifa) mazuri. Kinamtukuza kila kilichomo mbinguni na ardhini. Naye ni Mwenye nguvu, Mwenye hikima. {Sura 59:2124 }

Sema: Imefunuliwa kwangu ya kuwa kundi moja la majini lilisikia (Qur’an) likasema: Hakika tumesikia Qur’ani ya ajabu. Inaongoza katiak uongofu; kwa hivyo tumeiamini; wala hatutamshirikisha yeyote tena na Mola wetu. Na kwa hakika utukufu wa Mola wetu umetukuka kabisa, hakujifanyia mke wala mwana. {Sura 72:1-3}

IMAM IBN SIRIIN (R.A) NA WEZI Ibn Siriin (RA) anaeleza kisa kifuatacho. Wakati Fulani tulikuwa safarini. Tulikuta mto na tukaamua kuweka kambi pale. Baadhi ya wenyeji wa pale walijaribu kutushawishi tusipige kambi pale kwani wizi wa njiani umekuwa ni kawaida ya kila siku. (Na) kwa onyo hili wenzangu niliofuatana nao waliamua kuendelea mbele wakinisisitiza nami nifanye vivyo

61


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:13 Page 62

Ponyo kutoka katika Qur’an hivyo. Lakini nilikataa kwa kuwa nilikuwa siogopi kwa sababu ya usomaji wa Aayaatul-Hirs kila siku. Wakati usiku ulipoingia, niliwaona watu fulani wakiwa na panga wakinikaribia. Lakini hawakuweza kunifikia. Asubuhi yake nilikutana na mtu akiwa juu ya farasi. Aliniambia kwamba walijaribu kunifikia zaidi ya mara mia moja wakati wa usiku lakini hawakuweza kwa sababu ya kizuizi kilichokuwa mfano wa pazia la chuma. Nilisema: “Hii ilikuwa ni kwa sababu ya baraka ya aya hizo 33.” (Mtu yule) alitubia na akaapa kamwe kutolitenda kosa hili tena la jinai. Kwa mtu aliyepagawa na Aasib au Jini mchafu (shetani), soma sura Fatiha, Aayatul Kursi na aya 5 za mwanzo za Sura Jinn (Sura 72). Kisha pulizia katika maji safi na yanyunyizie kwenye uso wa mtu huyo aliyeathirika. Kama nyumba hiyo pia inatiliwa wasiwasi wa ushawishi wowote ule (wa shetani), maji hayo hayo yanaweza kunyunyizwa katika nyumba yote.

KULITOA JINI NDANI YA NYUMBA Inasimuliwa kwa Ibn Qutaiba (RA) kwamba mfanya biashara fulani alikwenda Basra kufanya biashara fulani ya kununua na kuuza tende. Katika kufika kwake mjini Basra alianza kuulizia kuhusu nyumba nzuri ya kupangisha lakini hakuweza kupata yoyote. Baada ya utafutaji sana alikuta nyumba moja tupu iliyojaa nyumba za buibui tu. Alipoulizia kwa watu sababu ipi ya kutokukaliwa na watu nyumba hiyo, aliambiwa na watu kwamba Jini linaaminiwa kukaa nyumba hiyo. Mfanya biashara huyo alipomtokea mwenye nyumba, mwenye nyumba hiyo alimshawishi (mgeni) kwa kusema: “Kwa nini unataka kuhatarisha maisha yako? Jinni lenye nguvu sana linakaa mle (ndani ya nyumba ile)! (Mtu) yeyote aliyekaa mle hakutoka naye akiwa hai!” Mfanya biashara yule alisisitiza kwa kusema: “Mwenyezi Mungu ni msaidizi wangu! Tafadhali, ni lazima niipate nyumba hiyo!”

62


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:13 Page 63

Ponyo kutoka katika Qur’an Vyovyote viwavyo, mwenye nyumba hakuwa na uchaguzi (wa kukataa) bali kulikubali ombi lake. Kutoka hapa simulizi hii inaendelezwa na mfanya biashara. Anasema: “Niliingia nyumba. Katika usiku mpevu (usiku wa manane) macho yangu yalifunguka kwa ghafla na niliona umbo la mtu mweusi likinijia. Macho yake ni mekundu kama damu, yakiwaka, kama vile miale mikali ya moto ilikuwa ikiruka kutoka humo. Mara moja nilianza kusoma Aayatul-Kursi. Kila sentenso niliyoisoma ilisomwa (pia) na Jini hilo (katika jaribio la kushambulia)… mpaka nilipofikia (sentenso hii):

Wala kuvilinda hivyo hakumshindi; na Yeye (peke yake) ndiye aliye juu na ndiye aliye Mkuu. {Sura 2:255} Sentenso hii ya mwisho (shetani) hakuweza kuitamka. Nilianza kuitamka sentenso (aya) hii kwa kurudia rudia mpaka nilipoliona umbo hilo likitoweka. Hakuna alama yoyote ya umbo hili kuonyesha kwamba aliwahi kuweko (kiumbe huyu). Nilitumia sehemu ya usiku iliyobaki katika utulivu na faraja kamili. Asubuhi niliichunguza sehemu ile ambapo Jini yule alionekana na nikaona tu mabaki yake katika hali ya kirundo kidogo cha majivu. Kisha, kutoka sehemu isiyojulikana sauti ilisikika ikisema: “Umemuunguza Jinni mwenye nguvu mpaka kuwa majivu! Niliuliza: “Kitu gani kilichomfanya kuungua?” Sauti hiyo ilijibu: “Ni aya hii:-

“Wala kuvilinda hivyo hakumshindi; na Yeye (peke yake) ndiye aliye juu na ndiye aliye Mkuu.” (Sura 2:255)

IMAM AUZA’I (R.A) NA JINI MBAYA (PEPO MCHAFU) Imamu Auza’I (R.A) inaelezewa alisema kwamba wakati mmoja Jinni mbaya ghafla alimkabili, akimtishia kwa kiasi kikubwa sana. Mara moja

63


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:13 Page 64

Ponyo kutoka katika Qur’an alisoma aya hii:-

“Najilinda kwa Mwenyezi Mungu kutokana na shetani mwenye kufukuzwa na kulaaniwa.” (Sura 16:98) Jinni yule alitoroka (huku) akilia: “Umetafuta ulinzi kutoka kwa yule Mmoja aliye Mkubwa (Allah)!

KUWASHINDA WAPINZANI WAKE MTU KATIKA MJADALA/MDAHALO

Enyi Watu! Imekufikieni dalili kutoka kwa Mola wenu, na tumekuteremshieni nuru iliyo dhahiri. Ama wale waliomwamini Mwenyezi Mungu na kumshika (sawasawa), basi hao atawaingiza katika rehema zake na fadhila (zake) na kuwaongoza kwake kwa njia iliyonyooka. (Sura 4:174-175) FAIDA: Kwa kumshinda adui (mpinzani) katika mjadala (mdahalao), mtu anatakiwa afunge (saumu) katika siku ya Jumapili yoyote kisha aziandike aya hizo hapo juu katika kipande cha ngozi na (halafu) akifunge katika mkono wake kama ta’wiiz.

64


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:13 Page 65

Ponyo kutoka katika Qur’an USALAMA KWA MAISHA YAKE MTU.

Hakika sisi ndiyo tulioteremsha mawaidha haya (hii Qur’ani) na hakika sisi ndio tutakao yalinda. (Sura 15:9). Iandike aya hiyo hapo juu katika kipande cha bati la fedha mfano wa sahani na isome aya hiyo mara 40 katika usiku wa kuamkia siku ya Ijumaa (yaani usiku uangukao kati ya siku ya Alhamisi na siku ya Ijumaa) na pulizia katika bati hilo lililosemwa. Kisha likunye bati hilo katika hali ya kwamba (mkunjo huo) ulingane na sehemu ya chini ya kito cha pete ya fedha. Kuivaa pete hiyo kutahakikisha usalama kwa maisha yake mtu, mali (milki) yake na afya njema kwa kudra na uwezo wa Allah. InshaAllah.

KUMSHINDA ADUI KATIKA SHINDANO LOLOTE AU VITA

Ambao hutoa katika (hali ya) wasaa na katika (hali ya) dhiki, na wazuiyao ghadhabu na wasamehe watu (na wawafanyiao ihsani); na Mwenyezi Mungu anawapenda wafanyao ihsani. Na ambao wanapo-

65


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:13 Page 66

Ponyo kutoka katika Qur’an fanya uchafu (kufanyadhambi kubwa) au kudhulumu nafsi zao (kwa dhambi zao ndogo) hukumbuka Mwenyezi Mungu na kuomba msamaha kwa dhambi zao. Na nani anayeghufuria dhambi ispokuwa Mwenyezi Mungu? Na hawaendelei na (maovu) waliyoyafanya, hali wanajua (kuwa hayo ni maovu) waliyoyafanya, hali wanajua (kuwa hayo ni maovu). Hao ndiyo ambao malipo yao yatakuwa msamaha kwa Mola wao na Bustani (Pepo) zinazopita mito mbele yake, ambamo watakaa milele. Nani wema ulioje ujira wa watendao (wema). (Sura 3: 134-136) Aya hizo hapo juu zinafanya kazi sana katika kuipata amani ya akili na moyo; (pia) kupata uwepesi katika kulipiza kisasi dhidi ya adui wa mtu; na kupata usalama dhidi ya ukorofi (ubaya) wa mtu dhalimu –awe mtu huyo ni mtawala pekee au adui mjinga. (Aya hizo) ziandikwe katika kipande cha karatasi katika usiku wa kuamkia Siku ya Ijumaa na kivaliwe kama ta’wiiz. Hakuna dhara litakalotokea kwa mvaaji hata kama anajikuta mwenyewe yuko katikati ya maadui wake. Insha-Allah.

Tumewawekea makongwa shingoni mwao, yakawafika videvuni; (hawawezi kugeuka); kwa hivyo vichwa vyao vimeinuliwa. Na (kama kwamba) Tumeweka kizuizi mbele yao na kizuizi nyuma yao na tumewafunika (macho yao); kwa hivyo hawaoni. {Sura 36:8-9} Kama aya hizo mbili (2) hapo juu zinaandikwa katika ngao kabla ya kufanya mashambulizi kwa maadui wa Uislamu, ushindi ni dhahiri kupatikana. Kuisoma Sura FIIL (Sura 105) kutawahakikishia ushindi wasomaji wa Sura hiyo wakati wa kupigana na adui

66


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:13 Page 67

Ponyo kutoka katika Qur’an Kama Aayatul Kursi itasomwa mara 313 kabla ya kuanza kupigana vita, ushindi ni wa dhahiri – Insha-Allah. Aya: Sura Jeshi la maadui litashindwa na watageuza migongo yao na kukimbia. Kuisoma aya hiyo hapo juu na kupulizia katika mchanga (ardhi) kisha kuutupa mchanga huo katika upande wa adui kutahakikisha kushindwa kwa adui.

YA MUNTAQIMU (Mwenye Kulipiza) Mtu yeyote asiyeweza kulipiza kisasi dhidi ya adui, atakiwa asome jina la Allah hilo hapo juu mfululizo. Mwenyezi Mungu Mtukufu atalipiza kisasi kwa niaba yake.

Basi nyinyi hamkuwau lakini Mwenyeezi Mungu ndiye aliyewaua, na hukutupa wakati ulipotupa, lakini Mwenyeezi Mungu ndiye aliyetupa, ili awape hidaya nzuri wale walioamini itokayo kwake, hakika Mwenyeezi Mungu ni Mwenye kusikia, Mjuzi. Sura 8:17

67


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:13 Page 68

Ponyo kutoka katika Qur’an Itakapotetemeshwa ardhi mtetemesho wake (huo mkubwa). Na itakapotoa ardhi mizigo yake (hiyo). Na binadamu akasema (wakati huo): “(Oh)! Ina nini (leo ardhi)?” Siku hiyo itatoa habari zake (zote). Kwa kuwa Mola wake ameifunulia (ameiamrisha kufanya hayo). Siku hiyo watu watatoka (makaburini) vikundi –vikundi…..{Sura 99:1-6} Ibnul – Kalbi anaeleza kwamba mtu wa kuaminika sana wakati fulani alimwelezea habari za Waislamu wa mji fulani waliozingirwa pande zote na (maadui wa) Makafiri. Mtu mmoja mcha Mungu miongoni mwa Waislamu alizisoma aya hizo hapo juu na akapulizia katika mchanga kiasi cha kujaa gao (kiganja) na akaufanya utawanyike katika viwanja walivyopigia mahema (yao) maadui. Matokea ni kwamba maadui walianza kupingana kati ya wao wenyewe kwa wenyewe na (hatimaye) kutawanyika.

KUPATA BARAKA KATIKA MAZAO YAKE MTU.

Na wabashirie walioamini na kufanya vitendo vizuri, kwamba watapata mabustani yapitayo mito mbele yake; kila mara watakapopewa matunda humo kuwa ni chakula, watasema: “Haya ndiyo yale tuliyopewa zamani (ulimwenguni).” Kwani wataletewa (matunda hayo) hali ya kuwa yamefanana (na yale waliyokuwa wakiyajua ulimwenguni. Wataletewa kwa sura hiyo; lakini utamu mwingine kabisa); na humo watapata wake waliotakasika (na kila mabaya na machafu); na watakaa humo milele. {Sura 2: 25}

68


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:13 Page 69

Ponyo kutoka katika Qur’an Kama mti hauzalishi matunda au una zaa matunda kidogo sana, kuufanya mti huo uzae matunda zaidi, mtu anatakiwa afunge (saumu) siku ya Alhamisi na afungue Saumu hiyo kwa boga au mumunye. Na baada ya Sala ya Magharibi aandike aya hizo hapo juu katika karatasi na bila kuongea na mtu yeyote nenda mpaka kwenye shamba la miti ya matunda na lining’inize karatasi hilo katika mti wowote katikati ya shamba hilo. Kama mti ambao ta’wiiz inaning’inizwa una tunda lolote lile, basin a liliwe. Kama hauna (tunda, mti huo) basi nalichukuliwe kutoka mti wowote ule na kisha kutu 3 (funda 3) za maji zinywewe. Insha-Allah. Baraka itonekana katika kipindi cha muda mfupi tu.

KULILINDA SHAMBA LAKE MTU, SHAMBA LA BUSTANI, MAZAO (MENGINE) N.K. DHIDI YA MAJANGA YA AINA ZOTE.

Kwa yakini Mwenyezi Mungu ndiye anayezuilia mbingu na ardhi zisiondoke, na kama zikiondoka hakuna yoyote wa kuzizuia isipokuwa yeye. Bila shaka yeye ni Mpole, Mwingi wa kusamehe. : {Sura 35: 41}

Na ni vyake (Mwenyezi Mungu vyote) vinavyotulia (na vinavyotaharaki) katika usiku na (katika) mchana. Naye ndiye asikiaye na ajuaye. (Sura 6:13:)

Na walikaa katika pango lao miaka mia tatu, na wakazidisha (miaka) tisa. {Sura 18:25 }.

69


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:13 Page 70

Ponyo kutoka katika Qur’an Hapana hila wala nguvu ila kwa kuwezeshwa na Mwenyezi Mungu aliye juu na Mkubwa. Andika aya hizo hapo juu katika karatasi na ifunge kama ta’wiiz katika tawi lolote la mti kwenye shamba au shamba la bustani. Shamba lote hilo au shamba lote la miti ya matunda litalindwa kutokana na aina zote za misiba (mikubwa na midogo).

Macho hayamfikii (kumuona), bali Yeye anayafikia macho (kuyaona na kuwaona hao wenye macho). Naye ni mwenye kujua yaliyofichikana na yaliyo dhahiri. (Sura 6:103) Usomaji wa kuendelea wa aya hiyo hapo juu wakati wa tukio la tufani (dhoruba) utasababisha tufani hilo kusimama.

BARAKA KWA MAZAO, MIFUGO N.K.

Mwenyezi Mungu ndiye aliyeziumba mbingu na ardhi na akateremsha maji kutoka mawinguni. Na kwa hayo akaotesha matunda kuwa riziki kwa ajili yenu. Na akakutiishieni majahazi ili yapite katika bahari kwa amri yake na akakutiishieni mito. Na akakutiishieni jua na mwezi maisha yao (yanafanya yaliyoamrishwa ya

70


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:13 Page 71

Ponyo kutoka katika Qur’an kuchomoza na kuchwa na mengineyo kwa ajili ya manufaa yenu). Na akakutiishieni usiku na mchana. Na akakupeni kila mlichomuomba (na msichomuomba). Na kama mkihisabu neema za Mwenyezi Mungu, hamtaweza kuzihesabu. Bila shaka mwanadamu ni dhalimu mkubwa asiye shukurani (mwizi wa fadhila) {Sura 14: 32-34} Kama (aya hizo hapo juu) zitasomwa mara moja wakati wa asubuhi, mara moja wakati wa jioni na mara moja wakati wa kwenda kulala, Alalh ataweka baraka katika mazao yake, mifugo yake n.k. kama zitasomwa kabla yakuanza safari Allah atamlinda yeye na vitu vyake kutokana na balaa zote.

KULIFANYA TUNDA KUWA TAMU “…Basi wakamchinja, na walikuwa mbali na kufanya hayo.”Aya: 2:71 Kama aya hiyo hapo juu itasomwa kabla ya kukata tunda lolote lile, litageuka kuwa tamu na lenye ladha. Insha –Allah.

ULINZI WA MIFUGO.

Naye (Mwenyezi Mungu) ndiye aliyeiumba miti inayotengenezwa (katika chanja katika kuota kwake), na isiyoegemezwa, na (akaumba) mitende na mimea yenye matunda mbalimbali, na (akaumba) mizeituni na mikomamanga inayofanana na isiyofanana. Kuleni matunda yake inapotoa matunda; na toeni haki yake siku ya kuvunwa kwke

71


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:13 Page 72

Ponyo kutoka katika Qur’an (kwa kuwapa masikini na jamaa na majirani na wengineo). Wala msitumie kwa fujo, hakika yeye (Mwenyezi Mungu) hawapendi watumiao kwa fujo. {Sura 6:141}

Kama (aya hiyo hapo juu) itaandikwa katika kipande cha ngozi iliyodubaiwa na ikavaliwa kama ta’wiiz katika shingo ya mnyama yoyote, mfugo huo utalindwa kutokana na balaa na majanga yote – ikiwa ni pamoja na wizi. Insha –Allah.

BARAKA KATIKA BIASHARA KILIMO, MIFUGO, NYUMBANI N.K.

Kwa jina la Mwenyezi Mungu, Mwingi wa Rehema, Mwenye Kurehemu. Alif, Lam Mym Ra. Hizi ni Aya za hiki kitabu (kilichokusanya kila kinachohitajiwa). Na yale yaliyoteremshwa kwako kutokwa kwa Mola wako ndiyo haki; lakini watu wengi hawaamini. Mwenyezi Mungu ndiye aliyeziinua mbingu bila ya nguzo; mnaziona hivi. Kisha akatawala juu ya Arshi (yake). Na akalitiisha (kwenu) jua na mwezi (akavifanya vitii). Kila kimoja kinaendelea mpaka muda uliowekwa. Yeye ndiye anayeliendesha (kila) jambo. Anazipambanua

72


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:13 Page 73

Ponyo kutoka katika Qur’an Aya hivi ili mpate yakini ya kukutana na Mola wenu. Na ndiye aliyeitandaza ardhi na akaweka humo majabali na mito na katika kila matunda akafanya humo namna mbili (dume na jike). Huufunika usiku juu ya mchana (na mchana juu ya usiku). Hakika katika haya zimo ishara (kubwa kuwa Mwenyezi Mungu yuko); kwa watu wenye kufikiri. {Sura 13: 1-3} Kwa maendeleo na baraka katika biashara yake mtu, mazao, mifugo, nyumbani n.k. aya hizo hapo juu ziandikwe (kwa wino usiofutika) katika majani 4 ya mkarafuu. Kisha kila jani lifukiwe/lizikwe katika kila pembe ya hizo pembe 4 za shamba linalo kusudiwa kulimwa, la eneo la biashara, eneo la nyumba n.k. Insha- Allah maendeleo makubwa yataonekana katika maisha ya mtu.

AMAL/DUA YA KUOMBA MVUA Na Tukazibubujisha maji chemchem zilizo katika ardhi; na maji (ya juu na chini) yakakutana kwa jambo lililokadiriwa (na Mungu). {Sura 54:12} Andika aya hiyo hapo juu katika kipande kidogo cha kigae cha chombo cha udongo kilichovunjika na ukifumba macho, kitupe kwa nguvu (kigae hicho) katika namna ambayo mtu haoni wapi kinaangukia.Insha-Allah, mtu anaweza kutegemea mvua kunyesha katika muda mfupi ujao.

KUWAFUKUZA WADUDU WAHARIBIFU Kama mazao yanaharibiwa na wadudu waharibifu kama vile panya, minyoo, nzige n.k. basi aya zifuatazo ziandikwe katika vipande 4 vya ubao wa kuandikia uliotengenezwa kutokana na Mzeituni. Kisha kila kipande kifukiwe (kizikwe) katika kila pembe ya ardhi, ambayo kwamba mimea ya

73


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:13 Page 74

Ponyo kutoka katika Qur’an mazao itapandwa. Wakati wa kuvifukia aya hizi ziwe zinasomwa mfululizo. Wadudu hao wabaya watatoweka mara moja. Insha-Allah.

Na wale waliokufuru wakawaambia Mitume yao: “Tutakutoeni katika nchi yetu au lazima mrudi katika mila yetu.” Basi Mola wao akawaletea wahai kuwa: “Tutawaangamiza madhalimu.” “Na tutakukalisheni (nyinyi) katika nchi (hizi) baada yao.” Watapata haya wale walioogopa kusimamishwa mbele yangu na wakaogopa maonyo yangu. Na walitafuta tafuta (kila njia za kuushinda Uislamu, wasizipate), na akashindwa kila jabari mkaidi. Ambaye mbele yake kuna (adhabu ya) Jahannamu na atanyweshwa (huko maji ambayo ni usaha (na damu yao wenyewe humo Motoni). Awe anayegugumiza wala hawezi kuyameza. Na (sababu za) mauti zitamjia kutoka kila mahali, naye hatakufa. Na zaidi ya hayo iko adhabu (nyingine) kali (vilevile). {Sura 14:13-17} Ili kuwaondoa mchwa kutoka kwenye nafaka na jamii ya kunde kama vile mchele, maharagwe, dengu n.k. Sura AL-MUTAFFIFIYNA (Sura 83, Juz. 30) isomwe na kupuliziwa katika vyakula hivyo. (Wadudu hao) watatoweka katika kipindi kifupi – Insha-Allah.

74


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:13 Page 75

Ponyo kutoka katika Qur’an MAZIWA YA MNYAMA YANAPOPUNGUA AU MAJI KUWA KIDOGO NDANI YA KISIMA AU SHIMO KUTOA MAJI.

Kisha nyoyo zenu zikawa ngumu baada ya hayo (yote); hata zikawa kama mawe au ngumu zaidi; kwani kuna mawe mengine yanayobubujika mito ndani yake na kuna mengine huanguka kwa sababu ya khofu ya Mwenyezi Mungu. Na Mwenyezi Mungu Si Mwenye kughafilika na mnayoyafanya. {Srua 2:74} Aya hiyo hapo juu iandikwe katika upande wa ndani (ukuta) wa bakuli jipya la shaba. Kisha (bakuli hilo) lijazwe maji na kusuguliwa ili kwamba maandishi hayo yayeyuke ndani ya maji (hayo). Kisha maji hayo yapewe mnyama huyo ayanywe. Insha-Allah ataanza kutoa maziwa mengi zaidi. Ama kuhusu maji (kupunguka), aya hiyo hapo juu iandikwe katika kipande cha kibao cha kuandikia kisha kitupwe ndani ya kisima. Insha-Allah maji yataongezeka.

75


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:13 Page 76

Ponyo kutoka katika Qur’an

KWA BARAKA NA MAENDELEO KATIKA BIASHARA.

Mwenyezi Mungu amenunua kwa Waislamu nafsi zao na mali zao (watoe nafsi zao na mali zao katika kupigania dini) ili na yeye awape Pepo. Wanapigana katika njia ya Mwenyezi Mungu; wanaua na wanauawa. Hii ndiyo ahadi aliyoilazimisha (Mwenyezi Mungu) katika Taurati, Injili na Qur’ani. Na ni nani atekelezaye zaidi ahadi yake kuliko Mwenyezi Mungu? Basi furahini kwa biashara mliyofanya naye (Mwenyezi Mungu). Na huko ndio kufuzu kukubwa. {Sura 9:111} Andika aya hiyo hapo juu katika karatasi na iweke katikati ya bidhaa. Baraka nyingi na maendeleo makubwa yataonekana/ yatashuhudiwa.

KWA MAENDELEO/USTAWI NA ULINZI KATIKA BIASHARA. Kama Aayatul-Kursi inasomwa na kupuliziwa katika bidhaa za mtu, faida zifuatazo zitapatikana:Bidhaa hizo zitaleta faida kwa mwenye biashara; Mtu atapata maendeleo mazuri (katika biashara yake). Mtu atalindwa kutokana na ukorofi/ubaya na vishawishi viovu vya shetani; Mtu (kama ni) masikini atakuwa tajiri;

76


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:13 Page 77

Ponyo kutoka katika Qur’an Riziki itapatikana kutoka sehemu ngeni na kutoka vyanzo visivyofahamika. Kama (Aayatul-Kursi) itasomwa wakati wa kuingia nyumbani na wakati wa kutaka kulala:Hakuna wezi watakao ingia nyumba hiyo; Msomaji (wa aya hiyo) hatakufa maji, (kufa kwa) kuungua au kufa kutokana na ajali; Atakuwa na afya njema na ataifurahia.

KUFANYA MAAMUZI SAWA WAKATI WA KUNUNUA KITU FULANI

Wakasema: “Tuombee kwa Mola Wako atupambanulie ni (wa umri) gani ng’ombe huyo)?” Akasema: “Hakika Yeye anasema kwamba ng’ombe huyo si mzee wala si mchanga, bali ni wa katikati baina ya hao. Basi fanyeni mnavyoamrishwa.” Wakasema: “Tuombee kwa Mola wako atupambanulie nini rangi yake.” Akasema: “Yeye anasema, kuwa ng’ombe huyo ni wa manjano, na rangi yake imewiva sana, huwapendeza wanaomtazama.” Wakasema: “Tuombee kwa Mola Wako atupambanulie ni vipi hali yake, hakika ng’ombe (waliotajwa kwa sifa hizo) wanafanana; (basi yupi)? Na kwa yakini kama akipenda (tutafuata) tuwe wenye kuongoka.” {Sura 2:68-70} Ili kufanya uchaguzi sahihi wakati wa kununua kitu chochote kile, kama vile mfugo (mnyama), nguo, tunda, gari, nyumba, n.k. aya hizo hapo juu zisomwe sana wakati wa kukiangalia na kukichunguza/ kuona uzuri na

77


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:13 Page 78

Ponyo kutoka katika Qur’an ubora wake. Insha-Allah kitu hicho kilichonunuliwa kitakuwa ni kwa mujibu wa alivyopenda (pendo la) mnunuzi.

KWA KUMPUNGUZIA MTU MZIGO WAKE.

Sasa Mwenyezi Mungu amekuhafifishieni, maana anajua ya kwamba kuna udhaifu (sasa) kwenu. Kwa hivyo wakiwa watu mia moja kwenu wenye subira na wawashinde watu mia mbili; kwa amri ya Mwenyezi Mungu. Na Mwenyezi Mungu yu pamoja na wanaosubiri. {Sura 8:66} Mtu afanyaye kazi ngumu za mikono au abebaye mizigo mizito mgongoni mwake au afanyaye kazi yoyote ile itakayo kutumia nguvu zaidi za viungo na kutumia akili zaidi kama anataka/anapenda kuupunguza zaidi mzigo wake huo na kurahisisha jukumu lake (basi) na asome aya hiyo hapo juu mara moja tu baada ya kila sala kwa kipindi cha juma (wiki) moja. Anatakiwa aanze (kusoma) siku yoyote ya Ijumaa baada ya Sala ya Asr (Laasiri) na kuendelea mpaka Ijumaa ifuatayo baada ya sala ya Ijumaa. Insha-Allah, majukumu yake yote yatakuwa mepesi.

WAKATI WA KUIINGIA MJI

“Mola wangu! Nishushe mashukio yenye baraka maana wewe ni Mbora wa washushaji.” {Sura 23:29}

78


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:13 Page 79

Ponyo kutoka katika Qur’an Soma aya hiyo hapo juu wakati wa kuiingia mji, jiji au kijiji. Ukaaji wa mtu huyo katika sehemu yoyote (katika hizo hapo juu) utakuwa ni wa furaha na wa kupendeza. Insha-Allah.

WAKATI WA KUPANDA CHOMBO CHOCHOTE KILE CHA KUSAFIRIA/KIPANDO

“…Ametukuka Mwenyezi Mungu aliyetutiishia haya na tusingeweza kutenda haya wenyewe.” {Sura 43:13} Kama aya hiyo hapo juu inasomwa kabla ya kupanda katika chombo, motokaa, gari moshi/treni, ndege, meli n.k. mtu atalindwa kutokana na aina zote za balaa. Insha-Allah.

WAKATI MNYAMA ANAPOKUWA MKAIDI

Je, Wanataka dini isiyokuwa ya Mwenyezi Mungu, na hali kila kilichomo mbinguni na ardhini kinamtii Yeye, kikipenda kisipende? Na kwake watarejeshwa wote. {Sura 3:83} Kama mnyama yoyote wa kubeba mizigo anakataa kumruhusu mtu kumpanda au anaonyesha ukaidi, (basi) mtu huyo naasome aya hiyo hapo juu mara tatu na apulizie katika sikio lake (mnyama huyo). Insha-Allah atageuka na kuwa mtiifu.

79


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:13 Page 80

Ponyo kutoka katika Qur’an

KUKILINDA CHOMBO CHA KUSAFIRIA BAHARINI

Kwa jina la Mwenyezi Mungu kuwe kwenda kwake na kusimama kwake. Hakika Mola Wangu ni Mwingi wa kusamehe (na) Mwingi wa kurehemu. {Sura 11: 41} Aya hiyo hapo juu isomwe kabla ya kuiingia katika meli au mashua. Meli hiyo pamoja na wote walioipanda watalindwa dhidi ya balaa zote na majanga yote. Insha-Allah.

Na akasema (Nuhu): “Pandeni humo, kwa jina la Mwenyezi Mungu kuwa kwenda kwake na kusimama kwake. Hakika Mola Wangu ni Mwingi wa kusamehe (na) Mwingiwa kurehemu. {Sura 11:41} Kama aya hiyo hapo juu inaandikwa na kunakshiwa juu ya kipande kirefu cha ubao uliopatikana kutokana na aina ya mti fulani uitwao “Saakhuu” na (kisha ubao huo) ukabandikwa sehemu ya mbele ya chombo (meli, mashua n.k.) chombo hicho kitalindwa dhidi ya aina zote za balaa. Insha-Allah. Aya hiyo pia (ni vizuri) isomwe kabla ya kupanda chombo hicho. Sura Luqman (Sura 31 Juz. 21), kama itasomwa kabla ya kupanda chombo, mtu atalindwa dhidi ya kufa maji. Insha-Allah.

WAKATI BAHARI ZIMECHAFUKA

80


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:13 Page 81

Ponyo kutoka katika Qur’an Je, huoni kwamba vyombo hupita baharini kwa neema ya Mwenyezi Mungu, ili Akuonyesheni Ishara (za neema) Zake (juu yenu)? Hakika katika hayo zimo Ishara kwa kila (walio wema, nao ni kila) mwenye ustahimilivu (anapokuwa taabuni) na mwenye shukrani (anapokuawa katika raha). (Sura 31:31) Kama bahari zimechafuka na kuna wasiwasi wa kutokea balaa na janga (la chombo kuzama na watu kupoteza maisha), (basi) aya hiyo hapo juu iandikwe katika vipande saba (7) vya karatasi na ukiwa unaangalia upande wa kusini vitupe (vipande hivyo) baharini kimoja kimoja (yaani kimoja baada ya kingine). Insha-Allah bahari hizo zitatulia.

KWA KUREJEA NYUMBANI SALAMA NA AFYA NJEMA Aya: ALIF LAM MIIM – ALIF LAM MIIM SWAD – ALIF LAM MIIM RA – KAF HA YE AYN SWAD – TA HA – TAA -SYN - TAA SYN MIIM – YAA SYN – SWAD –HE MIIM – HAA MIIM. AYN SYN QAF –NUUN. Kama mtu aliye katika safari anajiwekea mwenyewe nakala ya aya hizo hapo juu na akazisoma hali yuko ndani ya safari – mtu huyo atarejea nyumbani salama na akiwa na afya njema. Zaidi ya hapo atalindwa dhidi ya balaa zote (na majanga yote) pamoja na madhara yasababishwayo na maadui na wezi. Faida nyingine (zipatikanazo) ni:Atapa riziki Haja zake zitatimizwa Atalindwa kutokana na nyoka, nge na wadudu na viumbe wengine wote wenye kudhuru. Insha-Allah. Kama msafiri ataweka nakala ya Jina la Mwenyezi Mungu AL- ALIYYU (Aliye Juu) mtu huyo atarejea kwa watu wake katika kipindi cha muda mfupi. Insha-Allah. Zaidi ya hayo, kama ni muhitaji (mwenye shida),

81


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:13 Page 82

Ponyo kutoka katika Qur’an Allah atampa utajiri mwingi. Kama msafiri atasoma Jina la Allah – AL-AWWAL (Aliye wa Kwanza) mara 1000 kila Ijumaa, (mtu huyo) atarejea kwa watu wake salama salimini, Insha-Allah. HOMA

Wale wanaomwogopa (Mwenyezi Mungu) zinapowagusa pepesi za shetani (wakaasi) mara hukumbuka, tahamaki wamekwisha ona njia. {Sura 7:201} Aya hiyo hapo juu inaweza ikasomwa na kupuliziwa (kwa) mtu ambaye ana homa kutokana na joto. Kama si kwa njia hiyo, inaweza kuandikwa katika sahani kwa kutumia zafarini, kisha sahani hiyo ikaoshwa na kikombe kimoja cha maji na mgonjwa akapewa ayanywe maji haya. Insha-Allah (mgonjwa) ataponyeshwa haraka kwa baraka ya maneno ya Allah.

Tukasema: “Ewe moto! Kuwa baridi na salama juu ya Ibrahimu.” {Sura 21:69} Aya hiyo hapo juu inatakiwa iandikwe katika sahani, kwa kutumia zafarani, na baada ya kuiosha kwa maji (kiasi cha) kikombe kimoja mgonjwa apewe kuyanywa. Insha-Allah, homa hiyo itatulia (itapoa).

82


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:13 Page 83

Ponyo kutoka katika Qur’an

Kwa jina la Mwenyezi Mungu, Mwingi wa Rehema, Mwenye kurehemu. Sifa zote njema anastahiki Mwenyezi Mungu, Mola wa walimwengu wote. Mwingi wa Rehema, Mwenye kurehemu. Mwenye kumiliki Siku ya malipo. Wewe tu ndiye tunayekuabudu, na Wewe tu ndiye tunayekuomba msaada. Tuongoze njia iliyonyooka. Njia ya wale uliyowaneemesha; siyo (ya wale) waliokasirikiwa, wala (ya) wale waliopotea. ( Suratul FATIHA (Sura 1:1-7) Soma mara 11 Duruud (Salwat) kwa Mtume wa Mwenyezi Mungu (SAW) na mara 7 Sura Fatiha (hapo juu) na pulizia katika kipande cha sufi ya pamba na kiweke ndani ya sikio la kulia la mgonjwa (huyo). Kisha soma mara 5 Sura Fatiha na mara 11 Duruud (Salwaat) ya Mtume wa Mwenyezi Mungu (S.A.W) na baada ya kupulizia katika kipande kingine cha sufi ya pamba, kiweke ndani ya sikio la kushoto. Siku ifuatayo, wakati huo huo chukua sufi ya pamba ya sikio la kulia iweke ndani ya sikio la kushoto na sufi ya pamba ya sikio la kushoto iweke ndani ya sikio la kulia. InshaAllah, homa hiyo itapona mara moja.

DUA KWA UGONJWA WOWOTE ULE Na avipoze vifua vya Waislamu. Sura 9:14:

Na (hii Qur’ani) ni ponyo kwa maradhi yaliyoko katika nyoyo.17-82 Aya: Sura16:69: Kinatoka katika matumbo yao kinywaji (asali) chenye rangi mbali mbali; ndani yake kina ponyo (poza) kwa wanadamu.

83


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:13 Page 84

Ponyo kutoka katika Qur’an

Na tunateremsha katika Qur’ani (hayo mafundisho yake) ambayo ni ponyo (poza la nyoyo) na rehema kwa wanaoamini. Sura 17:82

“Na ninapougua, yeye (Allah) ndiye anayeniponyesha.”Sura 26:80 Sema kuwaambia (Ewe Muhammad): kwa wale ambao wameamini, yenyewe (hii Qur’ani) ni mwongozo na ponyo. Aya hizo hapo juu ziandikwe katika sahani kwa kutumia zafarani, na mgonjwa apewe maji hayo ambayo yameoshea sahani hiyo, anywe. Kwa njia nyingine, (aya hizo) ziandikwe katika karatasi na mgonjwa avalishwe kama ta’wiiz. Insha-Allah, mgonjwa ataponyeshwa hata kama ni ugonjwa mzito.

Na tunateremsha katika Qur’ani (hayo mafundisho yake) ambayo ni ponyo (poza la nyoyo) na rehema kwa walioamini {Sura 17:82} Aya hiyo hapo juu inaweza, aidha ikasomwa na kupuliziwa mgonjwa, au inaweza kuandikwa kwa zafarani katika karatasi au sahani na mgonjwa apewe kuyanywa.

84


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:13 Page 85

Ponyo kutoka katika Qur’an Sura Muhammad (Sura 47) inaweza kuandikwa kwa aina yoyote ya wino usio na madhara, katika, aidha sahani au karatasi. Kisha (maandishi haya) yasafishwe kwa maji ya Zam Zam na mgonjwa (aoge au) aogeshwe kwa maji hayo. Ni tiba nzuri sana kwa magonjwa yote.

KUONDOA MAUMIVU Kumwondolea mgonjwa ugonjwa wowote ule, nakala iliyoandikwa ya Sura Yaasin (Sura 36) iwekwe katika mfuko (wa mgonwa), au ivaliwe kama ta’wiiz.

DUA YA KUTIBU UKOSEFU WA USINGIZI Ili kumwezesha mgonjwa apate usingizi mzuri na mnono, Sura Mujaadila (Sura 58 Juz. 28) isomwe karibu na mgonjwa.

MAELEKEZO ZAIDI KWA AINA ZOTE ZA MAUMIVU AS-SALAAMU (Mwenye kuleta Amani) Simama karibu na upande wa kichwa cha mgonjwa na ukiinua mikono kama vile katika kuomba dua, litamke jina hilo hapo juu la Mwenyezi Mungu mara 39 katika hali ambayo kwamba mgonjwa anasikia (linapotajwa). Insha-Allah, mgonjwa atapona mara moja. Kutamka AL-ADHWIYMU (Aliye Mkubwa kabisa) kwa mara nyingi kutaondoa ugonjwa wowote ule uwavyo. Jina zuri la Mwenyezi Mungu (AL-HAYYUL = Aliye wa Milele) latakiwa aidha lisomwe mara nyingi au liandikwe katika karatasi kwa (wino wa) zafarani na baada ya kuliosha (kwa maji), maji hayo yanywewe.

85


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:13 Page 86

Ponyo kutoka katika Qur’an AL-GHANIYYU (Mkwasi, Tajiri, Mwenye kujitosheleza). Lisomwe mara nyingi katika wakati kukiwa kumetokea balaa lolote lile au ugonjwa. Nafuu itegemewe kupatikana katika kipindi kifupi. Insha-Allah.

KWA KUONDOA UZITO WA MAJONZI MOYONI NA HUZUNI A. Sura 8:11 Kuzipa nguvu nyoyo zenu na kuimarisha miguu yenu. Aya hiyo hapo juu ina matokeo mema ya haraka sana katika kuondoa majonzi mazito ya moyoni na huzuni.Ni vyema iandikwe na kuvaliwa kama ta’wiiz katika shingo kwa namna ambayo ta’wiiz hiyo ibaki imekamatishwa sehemu iliyo upande wa moyo. Kikamatisho (plasta) kinaweza kikatumika kuizuia (ta’wiiz hiyo) isisogee. Ni wale walioamini na zikatulia nyoyo zao kwa kumkumbuka Mwenyezi Mungu. Sikilizeni! Kwa kumkumbuka Mwenyezi Mungu nyoyo hutulia. (Sura 13:28 Juz.13 RK. 10) Maagizo kwa ajili ya kutumika ayah ii ni kama ilivyoelezwa katika A hapo juu.

86


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:13 Page 87

Ponyo kutoka katika Qur’an MOYO KWENDA MBIO Je, Wanataka dini isiyokuwa ya Mwenyezi Mungu, na hali kila kilichomo mbinguni na ardhini kinamtii Yeye, kikipenda kisipende? Na kwake watarejeshwa wote. Sema: “Tumemwamini Mwenyezi Mungu, na yale tuliyoteremshiwa na aliyoteremshiwa Ibrahimu na Ismail na Is-haka na Ya’kubu na watoto (wake), na yale aliyopewa Musa na ‘Isa na Manabii (wengine) kutoka kwa Mola wao. Hatubagui baina yao hata mmoja, na sisi tunanyenyekea Kwake. Na anayetaka dini isiyokuwa ya Kiislamu basi haitakubaliwa kwake. Naye Akhera atakuwa katika wenye khasara (kubwa kabisa {Sura 3:83-85} Aya hizo hapo juu zinasemekana kwamba zina matokeo ya haraka sana kuleta nafuu kutokana na moyo kwenda mbio. Zinatakiwa ziandikwa katika ukuta wa upande wa ndani wa chombo kipya cha udongo wa mfinyanzi. Wino usio sumu unatakiwa utumike. Wino wa zafarani ndiyo unaofaa kabisa. Kisha sahani hiyo ioshwe kwa maji ya mvua kiasi cha kikombe kimoja au viwili au kwa maji yaliyopatikana kutoka kwenye kisima ambacho maji yake hayakuachiwa kupigwa na miale ya jua (kisima, maji yake huvutwa kwa mipira au mirija mikubwa au kisima kilichopatikana kwa kuchimba shimo refu sana, ndiyo sharti zuri kabisa la mtu). Mgonjwa apewe maji haya ayanywe. Insha-Allah nafuu itapatikana.

MAUMIVU YA MOYO Soma Sura Alam Nashrah (Sura 94 Juz. 30) na mpulizie mgonjwa. Na tukaondoa katika nyoyo zao chuki. Andika aya hiyo hapo juu katika chombo kipya kilichotengenezwa kwa

87


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:13 Page 88

Ponyo kutoka katika Qur’an udongo wa mfinyazi ukitumia aidha zafarani au maji ya uwaridi. Ioshe (hiyo sahani) na kunywa hayo maji. Insha-Alalh, maumivu hayo yataondoka.

KUUTIA NGUVU MOYO Kama Jina hili Zuri la Allah AL-MAAJIDU (Aliye Mbora kabisa) litasomwa kwa mara kadhaa na kupuliziwa katika tonge kabla ya kulila, moyo utatiwa nguvu. Insha-Allah.

KUWA HURU KUTOKANA NA MATAMANIO YA KIDUNIA. AL-WAAHIDU L’ AHADU (Aliye Mmoja na Wapekee) Ili kuupata uhuru katika moyo soma Jina hilo hapo juu la Allah mara 100. hamu ya vitu vya anasa itaondoka ndani ya moyo wa msomaji (huyo).

UGONJWA WA BANDAMA

Kwa yakini Mwenyezi Mungu ndiye anayezuilia mbingu na ardhi zisiondoke, na kama zikiondoka hakuna yoyote wa kuzizuia isipokuwa yeye. Bila shaka yeye ni Mpole, Mwingi wa kusamehe. {Sura 35: 41 Juz 22 KR.17} Andika aya hiyo hapo juu katika karatasi na ifungwe katika sehemu

88


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:13 Page 89

Ponyo kutoka katika Qur’an (upande) liliko bandama. Insha-Allah ugonjwa utapona. (plasta inaweza ikatumiwa kuibana ta’wiiz hiyo).

KWA KUTOKUKAA SAWA KWA MISULI YA KITOVU

Hiyo ni tahafifu itokayo kwa Mola wenu na ni rehema {Sura 2:178} Iandike aya hiyo hapo juu katika karatasi na ibane katika kitovu kama ta’wiiz, (plasta inaweza kutumiwa kuibana ta’wiiz hiyo).

KWA KUTIBU BAWASIR

Na (kumbukeni habari hii) Ibrahima alipoinua kuta za nyumba (hii ya Al-Kaaba) na Ismail (pia); (wakaomba wakasema): “Ee Mola wetu! Tutakabalie. Hakika Wewe ndiye Mwenye kusikia, na Mwenye kujua. Ee Mola wetu! Utufanyie tuwe wanyenyekevu kwako. Na utuonyeshe njia ya ibada na utusamehe. Bila shaka Wewe ndiye Mwenye kusamehe na Mwenye kurehemu.” “Ee Mola wetu! Waletee Mtume anayetokana na wao, awasomee Aya zako, na kuwafundisha kitabu

89


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:13 Page 90

Ponyo kutoka katika Qur’an (chako) na hekima (nyingine) na awafundishe kujitakasa (na kila mabaya). Hakika wewe ndiye Mwenye nguvu, na ndiye Mwenye hekima.” {Sura 2:127-129} Baadhi ya wacha Mungu (Mawalii) wanasema kwamba aya hizo hapo juu ziandikwe katika sahani iliyotengenezwa kwa kioo, kwa kutumia wino uliotengenezwa kutokana na zafarani na maji ya uwaridi. Kisha maandishi hayo yaoshwe (yafutwe) kwa maji ya matunda (juisi) yaliyominywa kutokana na zabibu nyeusi – kiasi cha kikombe 1 au 2. Unga kidogo, kafuri na sukari pia viongezwe katika maji hayo ya matunda (juisi) na (kisha) juisi hiyo unywewe. (njia) hii ni ponyo nzuri sana kwa matatizo ya kuvuja damu kunakosababishwa na bawasiri. (kikundu, futuri)

KWA (KUTIBU) UGONJWA WA KUTOKA DAMU PUANI

Na hakuwa Muhammad ila ni Mtume tu. Wamepita kabla yake Mitume (wengi kabisa). Akifa au akiuawa ndiyo mtarudi nyuma (kwa visigino vyenu), muwe makafiri kama zamani? {Sura 3: 144} Kuzuia kutoka damu puani, aya hiyo hapo juu iandikwe katika karatasi. Kisha ibandikwe (kama ta’wiidh) kati ya macho mawili, juu ya pua. (kwa lengo hili kipande chembamba cha utepe au plasta kinaweza kutumika ili kuzuia).

90


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:13 Page 91

Ponyo kutoka katika Qur’an Kwa yakini Mwenyezi Mungu ndiye anayezuilia mbingu na ardhi zisiondoke, na kama zikiondoka hakuna yoyote wa kuzizuia isipokuwa yeye. Bila shaka yeye ni Mpole, Mwingi wa kusamehe. {Sura 35:41}

Na ikasemwa: “Ewe ardhi! Meza maji yako. Na Ewe mbingu! Jizuie (na kuteremsha mvua).” Basi maji yakadidimia chini na amri ikapitishwa (ya kuangamizwa makafiri), na (jahazi) likasimama juu ya (jabali linaloitwa) Judi. Na ikasemwa: “Wameangamiliziwa mbali watu madhalimu.” {Sura 11: 44} Weka mkono wa kuume katika paji la uso la mgonjwa huyo na soma aya mbili hizo hapo juu. Kisha sema: “Ewe pua unaetoka damu! Simama (acha) kutoka damu kwa amri ya WAAHIDUN, QAHHAAR; AZIYZUN; JABBAAR* * Waahidun: Mshindi. Qahhaar: Mwenye Nguvu; Aziyzun: Mola Mwenye Kushinda Jabbaar: Mwenye kushurutisha.

KWA MAUMIVU BAYANA/DHAHIRI

Na kwa haki tumeiteremsha (Qur’an) na kwa haki imeteremka. Na hatukukuleta ila uwe mtoaji wa khabari njema na muonyaji. {Sura 17: 105 }

91


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:13 Page 92

Ponyo kutoka katika Qur’an Weka mkono katika sehemu (upande) ambayo maumivu yanasikika na soma aya hiyo hapo juu mara moja tu na pulizia mara tatu katika sehemu yenye kuuma. Insha-Allah maumivu hayo yatatoweka.

Kwa jina la Mwenyezi Mungu, Mwingi wa Rehema, Mwenye kurehemu. Sifa zote njema zinamthubutikia Mwenyezi Mungu aliyeumba mbingu na ardhi, na akafanya giza na nuru. Na juu ya haya wale waliokufuru wanamsawazisha Mola wao. {Sura 6:1 } Mtu ambaye ataisoma aya hiyo hapo juu mara saba (7) wakati wa asubuhi na mara 7 wakati wa jioni, kisha akapulizia katika mikono yake na kujipangusa katika mwili wake wote, atalindwa (na kusalimika) dhidi ya maumivu yote na majanga ya mwili.

“Na tuna nini tusimtegemee Mwenyezi Mungu, na hali ametuonyesha njia zetu. Na tutayavumilia mnayotuudhia. Basi kwa Mwenyezi Mungu tu wategemee wategemeao.” {Sura 14: 12} Mtu yeyote yule ambaye viganja vyake vya mikono, mikono yake na miguu huwa vinamuuma mfululizo, inatakiwa aya hiyo hapo juu iandikwe katika karatasi na aivae kama ta’wiiz. Insha-Allah, atapona haraka sana.

92


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:13 Page 93

Ponyo kutoka katika Qur’an (Aya hii pia na taratibu zake hizo hapo juu) ina faida sana kwa kuondoa matokea ya nadhiri. Kama Sura: AL-LAHAB (Sura 111 Juz. 30) inaandikwa katika karatasi na kufungwa katika upande (sehemu) ambako maumivu yanasikika, yataondoka.

KUMPATIA (ULINZI) MTOTO AMBAYE HAJAZALIWA(YUKO TUMBONI) Kama Sura: AL-HAQQA (Sura 69 Juz. 29) inaandikwa na kuvaliwa kama ta’wiiz na mwanamke anayetarajia kuzaa (mja mzito), mtoto ambaye bado haja zaliwa atalindwa dhidi ya majanga yote na balaa zote) za kimwili, kiakili na za kiroho. Insha-Allah.

(KUMPATIA) ULINZI MTOTO MCHANGA (ALIYEKWISHA ZALIWA) Kama Sura: AL-HAQQA (Sura 69 Juz. 29) itasomwa na kupuliziwa katika maji ya wastani ambayo yanatumika kulainishia mdomo wa mtoto mchanga aliyezaliwa, yeye (mtoto) atalindwa (na kusalimishwa) dhidi ya magonjwa yote ambayo huwashambulia watoto. Zaidi ya hayo, akili ya mtoto (watoto) itafanywa kuwa nyingi (kifikra) na kuwa na ufahamu mkubwa (baadaye). Inaaminika pia kwamba kama, baada ya kusoma Sura AL-HAQQAH, itapuliziwa katika mafuta ya karafuu, yeye (mtoto) atalindwa (na kusalimishwa) dhidi ya wanyama wote wenye kudhuru na wadudu. Mafuta hayo hayo ni ponyo zuri sana kwa aina zote za maumivu katika mwili. Sehemu iliyoathirika lazima isuguliwe kwa mafuta hayo.

MAUMIVU YA KICHWA 93


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:13 Page 94

Ponyo kutoka katika Qur’an

Hawataumwa na vichwa kwa (kuvinywa vinywaji) hivyo wala hawatatokwa na akili Sura 56:19 Soma aya hiyo hapo juu mara tatu na mpulizie mgonjwa. Kuumwa kichwa huko kutatoweka – Insha-Allah.

Kwa jina la Mwenyezi Mungu Mwingi wa Rehema, Mwenye Kurehemu. (Sura 1:1) Imeelezwa kwamba Mfalme wa Roma wakati fulani alimnung’unikia Sayyidna Umar (R.A) kuhusu maumivu ya kichwa chake yenye kuendelea kumuumiza. Khalifa huyo alikuwa na kofia iliyoshonwa (maalum) kwa ajili yake. Wakati mfalme kila alipoivaa kofia hii, maumivu ya kichwa chake yalitoweka. Na wakati kila alipoivua maumivu yalimrudia. (Mfalme) alishangazwa sana (na matukio haya). Udadisi wa kutaka kujua kuhusu kofia hii, ulimfanya afumue mshono wa kofia, hii na hakuona chochote ila tu maneno: “Bismillah” yakiwa yameandikwa chini ya mishono.

MAUMIVU MAKALI YA KICHWA (KIPANDA USO) “MIGRAINE” Soma Sura Takaathur (Sura 102 Juz. 30) baada ya sala ya Asr (Laasiri) na pulizia katika kichwa cha mgonjwa huyo. Hii ni tiba inayosaidia sana kuponyesha maumivu makali ya kichwa (kipanda uso).

94


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:13 Page 95

Ponyo kutoka katika Qur’an

Sema: “Ni nani Mola wa mbingu na ardhi?” Sema: “Ni Mwenyezi Mungu.” Sema: “Je, mnafanya wa Mola wengine badala yake, ambao hawamiliki kwa ajili ya nafsi zao (kujivutia) nafuu wala (kujiondolea) dhara;…(Sura 13:16 Juz, 13 KR. 8) Soma aya hiyo hapo juu na kumpulizia mgonjwa. Inshallah, kipanda uso hicho kitatoweka.

MAUMIVU YA JINO Mtu mmoja aliyesifika sana kwa kutibu maumivu ya meno anasemekana aliishi mjini Basra (nchini Iraki). Kamwe mtu huyu hakuifumbua siri hii ya mafanikio yake kwa mtu yeyote yule ili asije mtu mwingine akamzidi katika sanaa (uganga) hii ya kuponyesha maumivu haya. Ilikuwa tu wakati alipokuwa amelala juu ya kitanda chake alichofia, ndipo alipoamua atengane na elimu yake. Aliandika maneno matukufu yafuatayo ya Qur’ani (Tukufu) ambazo kwazo humsomea mgonjwa. ALIF LAM SAD – TAA SYN MYM – KAAF HAA YAA AYN SAD HAA MYM – AYN SYN QAF – ALLAHU LAA ILAAHA ILLA HUWA RABBUL ARSHIL ADHWIYMU. USKUN BI – KAF HA YA AYN SADA. DHIKRU RAHMATI RABBIKA ABDAHU ZAKARIYYA. USKUN BI-LLADHIY IN YYASHAA-U YUSKINI RRIYHA FADHWLALNA RAWAAKIDA ALAA DHWAHRIHII. USKUN BI-LLADHIY SAKANA LAHUU MAA FIS-SAMAAWAATI WA MAA FIL ARDHI WA HUWA SSAMIY-UL ALIYMU Angalia: Namna ya kumsmea mgonjwa ni kulishika jino lililoathirika kwa kutumia dole gumba na kidole cha shahada na (kisha) kuzisoma aya hizo

95


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:13 Page 96

Ponyo kutoka katika Qur’an hapo juu.

Kila khabari (iliyotajwa hapa) ina wakati (maalum kwa kufika). Na hivi karibuni mtajua (haya). (Sura 6:67). Andika aya hii katika kipande kidogo cha karatasi na kikandamize kati ya jino, lililoathirika na ukuta wa ndani wa mdomo. Kwa maneno mengine liweke karatasi hilo katika shina la jino hilo lililoathiriwa. Acha sehemu ya ndani ya ukuta wa shavu liweke (karatasi hilo) katika sehemu yenyewe. Wakati mtu anaponung’unikia kuhusu ugonjwa wa kuumwa jino fanya yafuatavyo: Muwezeshe mgonjwa alikamate jino lililoathirika kwa kidole gumba na kidole cha shahada vya mkono wa kulia. Mshauri asiuachie mkono wake kuondoka hapo ulipokamata wakati yeye (mgonjwa) anapojibu maswali yako. Sasa soma Sura Fatiha pamoja na Bismillah mara 7. Muulize (mgonjwa): Jina lako (unaitwa) nani? Baada ya kujibu, Soma Sura Fatiha pamoja na Bismillahi mara 7 tena. Kisha muulize: Jina la mama yako ni nani? Wakati akisha jibu, rudia usomaji wa Sura Fatiha pamoja na Bismillah mara 7. Sasa muulize: Maumivu unayasikia wapi? Atajibu: katika jino (ndani ya jino). Tena soma Sura Fatiha pamoja na Bismillah mara 7. Kisha muulize: Je, nilifunge (maumivu yake) kwa uwezo (na ridhaa) ya Mwenyezi Mungu? Atasema: Ndiyo! Sasa kwa mara ya mwisho soma Sura Fatiha pamoja na Bismillah mara 7 na muambie aenda akapumzike, au vilivyo vizuri zaidi, akapate usingizi kidogo. Insha-Allah, maumivu hayo ya jino yatatoweka katika muda mfupi. Kama mtu ana maumivu ya jino upande wa kuume, sugua shavu lake la kulia kwa gao (kiganja) la mkono wa kulia huku ukiwa unazisoma aya za Qur’ani Tukufu zifuatazo:

96


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:13 Page 97

Ponyo kutoka katika Qur’an

“Mwanadamu hatambui kwamba tumemuumba kwa tone la manii? Amekuwa hasimu yetu aliye dhahiri (sasa)! “Sura 36:77

Mwenyezi Mungu hakuna Mola ila Yeye, (na) ndiye Mwenye uhai wa maisha, Msimamia kila jambo. Kusinzia hakumshiki wala kulala. Ni vyake (peke yake vyote) vilivyomo mbinguni na vilivyomo katika ardhi. Na nani huyo awezaye kuombea mbele yake (Mungu) bila idhini yake? Anayajua yaliyo mbele yao (viumbe) na (yaliyo) nyuma yao; wala (hao viumbe) hawalijui lolote (yaliyo katika) ilmu yake (Mwenyezi Mungu) ila kwa alipendalo (Mwenyewe). Enzi yake imeenea mbingu na ardhi; wala kuvilinda hivyo hakumshindi; na Yeye (peke yake) ndiye aliye juu na ndiye aliye Mkuu. (Sura 2: 255)

Na ni vyake (Mwenyezi Mungu vyote) vinavyotulia (na vinavyotaharaki) katika usiku na (katika mchana, naye ndiye asikiaye na ajuaye. {Sura 6: 13}.

97


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:13 Page 98

Ponyo kutoka katika Qur’an

Na tunateremsha katika Qur’ani (hayo mafundisho yake) ambayo ni ponyo (poza la nyoyo) na rehema kwa wanaoamini. {Sura 17:82} Kama maumivu yako katika upande wa kushoto, sugua shavu la kushoto, huku ukiwa unazisoma aya hizo hapo juu.

MAUMIVU YA SIKIO

Sema: “Ni nani anayekuruzukuni kutoka mbinguni (kwa kuleta mvua) na katika ardhi (kwa kuotesha mimea)? Au ni nani anayemiliki masikio (yenu) na macho (yenu)? Na nani amtoaye mzima katika mfu na kumtoa mfu katika mzima? Na nani atengenezaye mambo yote?” Watasema: “Ni Mwenyezi Mungu.” Basi sema: “Je! Hamuogopi? {Sura 10:31} Sahani mpya ya shaba na kijiko cha chai kilichojaa maji ya matunda (juisi) iliyokamuliwa kutokana na kitunguu mwitu (ndivyo) vinavyohitajika kwa amal hii. Andika aya hiyo hapo juu kwa (wino) wa juisi kutokana na mkamuo wa kitunguu mwitu katika upande (sehemu) wa ndani wa sahani hiyo

98


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:13 Page 99

Ponyo kutoka katika Qur’an ya shaba (dish). Futa maandishi hayo kwa asali halisi kiasi ya kijiko cha chai. Ikusanye asali hiyo katika kijiko hicho cha chai. Ipashe moto kwa polepole (wastani) na weka matone (3) matatu katika (ndani ya) sikio linalouma. Insha-Allah maumivu hayo yatatoweka mara moja (wakati huo huo).

KUUMWA MACHO Soma Sura Fatiha mara 41 kati ya sala za Sunna na za Faradhi. Kisha pulizia sehemu ya nyuma ya madole gumba yote na sugua katika macho yote. Hii inasemekana kuwa ni ponyo nzuri sana ya kiroho kwa kuumwa macho – kwa sharti kwamba inafanywa kwa imani kamili.

KUVIMBA MACHO

99


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:13 Page 100

Ponyo kutoka katika Qur’an Mwenyezi Mungu ni nuru ya mbingu na ardhi; mfano wa nuru Yake (anayoongozea waja wake) ni kama shubaka (lenye kuwekwa) ndani yake taa: taa (ile imo) katika tungi, (chemli) tungi (lile ni) kama nyota ing’arayo; inayowashwa (taa hiyo kwa mafuta yanayotoka) katika mti uliubarikiwa wa mzeituni, usio (upande) wa mashariki wala wa magharibi, (ukawa unapigwa na jua sana linapopinduka na linapotoka); yanakaribia mafuta yake kung’aa (wenyewe) ingawa moto haujayagusa – Nuru juu ya nuru – Mwenyezi Mungu humuongoza katika nuru Yake Amtakaye, na Mwenyezi Mungu hupiga mifano kwa watu; na Mwenyezi Mungu ni Mjuzi wa kila kitu. (Waonekane kwa kusali nyakati tano) katika nyumba ambazo Mwenyezi Mungu Ameamrisha zitukuzwe, na humo litajwe jina Lake, (yaani misikiti); humtukuza humo asubuhi na jioni. Watu ambao biashara wala kuuza hakuwashughulishi (hakuwasahaulishi) kumkumbuka Mwenyezi Mungu, na kusimamisha Sala na kutoa Zaka; wanaiogopa Siku ambayo nyoyo zitadahadari, na macho (pia yatadahadari). Ili Mwenyezi Mungu Awalipe (malipo) mazuri kwa yake waliyoyafanya, na kuwazidishia katika fadhila Zake. Na Mwenyezi Mungu Humruzuku Amtakaye pasipo hisabu. {Sura 24”35-38} Mtu ambaye anaendelea mfululizo kuugua kutokana na kuvimba macho na kuuma, basi anatakiwa asome aya hizo hapo juu mara tatu kila siku baada ya Sala ya Alfajiri (asubuhi) na apulizie sehemu ya nyuma ya madole gumba yote mawili na asugue katika macho yote mawili. (Mgonjwa) atapona katika kipindi kifupi. Insha-Allah. Andika Sura Haa Mym Sajda (Sura 41) katika sehemu ya ndani ya sahani. Maandishi hayo yanaweza yakafanyika kwa kutumia maji halisi ya uwaridi. Kisha futa maandishi haya kwa maji halisi, ya mvua kiasi cha glasi moja au mbili. Kisha maji haya yatumike kwa kuyaosha macho. Maji hayo hayo pia yanasemekana kuwa ni ponyo nzuri sana kwa tongotongo za macho, na mtoto wa jicho ambaye wakati mwingine hutokea katika mboni ya jicho.

100


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:13 Page 101

Ponyo kutoka katika Qur’an

Sura Mulku (Sura 67) isomwe mara tatu kila siku kwa siku 3 mfululizo. Baada ya kuisoma mara 3 pulizia katika macho ya mgonjwa. Maumivu hayo yataondoka. Insha-Allah. Andika aya hizi mbili (2) zifuatazo katika karatasi na ifunge kama ta’wiidh katika shingo:

“Nendeni na kanzu yangu hii na muiweke mbele ya uso wa baba yangu: naye atafunika macho aone. Na nijieni (nyote) pamoja na watu wenu wote.” {Sura 12:93}

“Basi tumekuondolea (leo) pazia yako; kuona kwako leo kumekuwa kukali.” {Sura 50:22}

KUTIA NGUVU MACHO UWEZO WA KUONA

“Basi tumekuondolea (leo) pazia yako; kuona kwako leo kumekuwa kukali.” {Sura 50:22} Isome aya hii mara tatu baada ya kila sala, pulizia katika vidole na vipanguse (visugue) katika macho. Kwa kufanya hivi uwezo wa macho kuona kamwe hautadhoofika. Kwa hakika udhaifu (mwingine) wowote ule utatoweka pia.

101


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:13 Page 102

Ponyo kutoka katika Qur’an

Hakika Tumeiteremsha (Qur’ani) katika Laylatul-Qadr (Usiku wenye hishima kubwa), (Usiku wa mwezi wa Ramadhani). Na jambo gani litakalo kujulisha (hata ukajua) ni nini huo usiku wa Laylatul Qadr? Huo usiku wa hishima (huo) ni bora kuliko miezi elfu. Huteremka Malaika na roho (za viumbe watakatifu) katika (usiku) huo kwa idhini ya Mola wao kwa kila jambo. Ni amani (usiku) huo mpaka mapambazuko ya alfajiri. {Sura 97: 1-5} Mtu yeyote atakayetazama juu mbinguni kwa kukazia macho akiwa katika hali ya kuwa na udhu na akaisoma Sura hiyo hapo juu, uwezo wa macho yake kuona kamwe hautadhoofika – Insha-Allah.

MAUMIVU KATIKA FIGO Soma Sura Quraish (Sura 106 Juz. 30) na pulizia katika chakula chochote kabla ya kukila. Maumivu hayo yatatoweka. Insha-Allah.

KWA AJILI YA MAWE KATKA FIGO, KIBOFU, KIBOFU CHA NYONGO N.K. Andika Sura ALAM NASHRAH (Sura 94) katika karatasi, ukitumia zafarani au wino wa aina yoyote usio sumu. Lichovye karatasi hilo ndani ya chupa ya maji ili kwamba maandishi hayo yayeyuke ndani ya maji. Kuyanywa maji haya kutasababisha kokoto kupasuka katika vipande vipande na kutoka nje (ya mwili) kwa taratibu ya kawaida. Insha-Allah.

102


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:13 Page 103

Ponyo kutoka katika Qur’an

UVIMBE KATIKA MAPAFU

Na kama Mwenyezi Mungu akikugusisha madhara (taabu), basi hakuna yoyote awezaye kuyaondoa ila Yeye; na kama akikugusisha kheri (hakuna wa kuweza kuondoa ila Yeye tu peke yake). Yeye ndiye Mwenye uwezo juu ya kila kitu. Naye ni Mshindaji (amewatawala) waja wake (wote); naye ndiye Mwenye hikima na Mwenye Khabari zote. {Sura 6:17-18} Andika aya hizo mbili (2) hapo juu katika karatasi katika wakati wa sehemu ya mwisho ya usiku na ifunge katika mkono kama ta’wiidh. Hii ni ponyo nzuri sana kwa uvimbe katika mapafu. Vilevile ni ponyo nzuri sana kwa matatizo ya moyo na maumivu yenye kuendelea (mfululizo) ya mikono. Andika Sura Ankabuut (Sura 29 Juz. 20) katika karatasi au sahani. Maandishi nayafutwe (kwa maji) na kunywa maji hayo. Matatizo hayo au misukosuko hiyo itatoweka. Insha-Allah.

KWA MAUMIVU YA TUMBO Andika Sura Luqman (Sura 31) katika karatasi au sahani. Yayeyushe maandishi hayo katika maji aidha kwa kulowesha hiyo karatasi ndani ya chupa iliyojazwa maji au kwa kuiosha hiyo sahani na maji kidogo. Kuyanywa maji hayo ni ponyo (tiba) bora sana kwa maumivu yote ya tumbo.

103


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:13 Page 104

Ponyo kutoka katika Qur’an

KIFAFA

Imesimuliwa kuhusu (juu ya) mtu fulani mwenye hekima kwamba mtumishi wake wa nyumbani (wa ndani) alikuwa na vipindi vya kuanguka kifafa vinavyoendelea. Katika tukio moja kama hilo aliyasoma maneno yafuatayo ya Qur’ani Tukufu katika masikio yake (mgonjwa). Mwanamke (mtumishi) huyo mara moja alirudia katika hali ya kawaida na kamwe hakupata shambulio hilo katika maisha yake yote (baada ya hapo). Aya hizo ni kama hivi zifuatavyo: BISMILLAHIR RAHMAANIR RAHIYM – ALIF MYM SAD – TAA SYN MYM – KAF HAA YAA AYN SAD – YAA SYN WAL QUR’ANIL HAKIYM - HAA MYM – AYN SYN QAF – NUUN. WAL QALAMI WA MAA YASTWURUUNA. Kuisoma Sura ASH-SHAMS (Sura 91 Juz. 30) katika sikio la mgonjwa inaaminika kuwa ni yenye manufaa sana kwa ugonjwa wa kifafa.

MSOKOTO WA TUMBO

104


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:13 Page 105

Ponyo kutoka katika Qur’an Kwa yakini tumeona unavyogeuza geuza uso wako mbinguni. Basi tutakugeuza kwenye kibla ukipendacho. Basi geuza uso wako upande wa Msikiti Mtakatifu (Al-Kaaba); na popote mnapokuwa zielekezeni nyuso zenu uliko (Msikiti huo); na hakika wale waliopewa kitabu wanajua kwamba hiyo ni haki itokayo kwa Mola wao; na Mwenyezi Mungu si Mwenye kughafilika na yale wanayoyatenda. (Sura 2:144) Aya hiyo hapo juu inasaidia sana kwa msokoto wa tumbo na vichomi vya tumbo. Aya hiyo iandikwe katika upande wa ndani wa chombo cha shaba baada ya kusafishwa vizuri. Maji ya uwaridi au miski yanaweza kutumika kama wino. Kijiti cha kutolea uchafu kwenye meno kinaweza kutumika kama kalamu (ya kuandikia). Yeyusha maandishi kwa kumwaga maji kiasi cha kikombe kimoja katika chombo hicho na kukisugua kwa kidole. Mgonjwa aambiwe aoshe (au aoshwe) uso wake kwa maji haya na kisha aangalie ndani ya chombo hicho kwa masaa 3 mfululizo. Amal hii ifanywe kwa siku 3 mfululizo. Inasemekana kuwa ni ponyo iliyo bora sana kwa wagonjwa wanaosokotwa na matumbo.

KIHARUSI CHA USO Tiba (ponyo) ni sawa sawa kama ilivyo kwa msokoto wa tumbo (hapo juu). Andika Sura Zilzal (Sura 99 Juz. 30) katika kipande cha karatasi kwa kutumia wino usio sumu na iloweshe ndani ya chombo kipya kilichojazwa maji. Maji hayo ni tiba nzuri sana kwa kiharusi cha uso, kama yatanywewa.

KUPOOZA MWILI (KIHARUSI) Ibn Qutaiba (R.A) anasimulia kwamba wakati fulani aliulizia kutoka kwa mtu (mmoja) ambaye aliponyeshwa kabisa kutokana na ugonjwa wa kupooza mwili (kiharusi), siri ya kupona kwake. Alijibu kwamba aliandika katika upande wa ndani wa sahani au bakuli, haya yafuatayo:

105


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:13 Page 106

Ponyo kutoka katika Qur’an

Kwa jina la Mwenyezi Mungu, Mwingi wa Rehema, Mwenye Kurehemu. Yeye ndiye Mwenyezi Mungu ambaye hakuna aabudiwaye kwa haki isipokuwa Yeye tu. Anayejua yaliyofichikana na yaliyo dhahiri. Mwenye kuneemesha neema kubwa kubwa na Mwenye kuneemesha neema ndogo ndogo. Yeye ndiye Mwenyezi Mungu ambaye hakuna aabudiwaye kwa haki ila Yeye tu; Mfalme, Mtakatifu, Mwenye salama, Mtoaji wa amani, Mwenye kuyaendesha mwenyewe mambo yake, Mwenye shani, Anayefanya analolitaka, Mkubwa. Mwenyezi Mungu Yu mbali na hao wanaomshirikisha naye. Yeye ndiye Mwenyezi Mungu, Muumbaji, Mtengenezaji, Mfanyaji wa sura (za namna namna za viumbe); Mwenye majina (sifa) mazuri. Kinamtukuza kila kilichomo mbinguni na ardhini. Naye ni Mwenye nguvu, Mwenye hekima. {Sura 59:22-24}

Na tunateremsha katika Qur’ani (hayo mafundisho yake) ambayo ni ponyo (poza la nyoyo) na rehema kwa wanaoamini. Wala hayawazidishi madhalimu ila khasara tu. {Sura 17:82}

106


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:13 Page 107

Ponyo kutoka katika Qur’an Kisha aliyayeyusha maandishi hayo kwa (kutumia) maji ya Zam Zam na akayanywa. (Basi) alitibika kabisa kabisa kutokana na ugonjwa wake wa kiharusi.

UKOMA Ibnu Qutaiba (R.A) anaelezea kwamba mkoma mmoja ambaye nyama ya mwili wake ilikuwa karibu kumong’onyoka (kuachana, kujitenga), alimtaka ushauri mtu mmoja wa hekima kuhusu tiba. Mtu huyo wa hekima alisoma aya ifuatayo na akampulizia mwilini mwake. Kufanya hivi kulisababisha ngozi mpya kutokea katika mwili wake na (hivyo) akawa ametibika na kupona kabisa kabisa. Aya iliyosomwa na mtu huyo wa hekima ni: -

Na (Mtaje) Ayyubu, alipomwita Mola wake (akasema) “Mimi imenipata dhara, nawe ndiwe Unayerehemu kuliko wote wanao rehemu.” {Sura 21:83} AL-MAJIYDU (Mwenye ushindi na Utukufu wote) Kama mtu mkoma atafunga mwezi 13, 14 na 15 ya mwezi wowote ulioandama na akasoma Jina Zuri la Mwenyezi Mungu hilo hapo juu (lenye maana Mwingi wa ushindi na Utukufu wote ) kwa mara nyingi kila siku wakati wa kufungua saumu yake (kufuturu), (basi) atatibika ugonjwa huo na kupona – Insha-Allah. Imesimuliwa kutoka kwa Kalbi kwamba mtu mmoja ambaye aliathirika (alishikwa, na ugonjwa huo (wa ukoma) alimweleza kwamba ugonjwa huo umechukua nafasi (sehemu) yake kubwa kiasi kwamba ameona inamfadhaisha kukaa karibu na yeyote kutokana na harufu mbaya kali iliyotolewa na mwili wake. Lakini, siku moja alikutana na mtu mmoja mcha Mungu na akamnung’unikia juu ya ugonjwa wake. Mcha Mungu huyo alisoma

107


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:13 Page 108

Ponyo kutoka katika Qur’an baadhi ya aya kutoka Qur’ani na akamtaka (mgonjwa) aachame (afungue) mdomo wake. (Mgonjwa) alipofanya hivyo, alimtemea mate ndani ya mdomo wake. Ndani ya siku chache tu alitibika na kupona. Aya (yenyewe) iliyosomwa na mtu huyo wa hekima (Mcha Mungu) ni: -

Na (atamfanya) mtume kwa wana wa israil, (awaambie) “hakika mimi nimekujieni na hoja kutoka kwa Mola wenu, ya kwamba nakuumbieni katika udongo, kama sura ya ndege, kisha nampuliza, mara anakuwa ndege, kwa idhini ya Mwenyezi Mungu. Na nawaponesha vipofu na wenye mbalanga, na ninawafufua (baadhi ya) waliokufa, kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, na nitakwambieni mtakavyovila na mtakavyoweka akiba katika nyumba zenu. Bila shaka katika haya imo hoja kwenu ikiwa nyinyi ni watu wa kuamini!”{Sura 3:49}

MUWASHO WA MWILI Imesimuliwa kwamba mwili wa mtu mmoja uliwasha kiasi kikubwa kutokana na aina fulani ya ugonjwa wa mlipuko wa ngozi aliowahi kuugua. Kwa muda mrefu alijaribu tiba zote za kumponya, lakini bila mafanikio. Hatimaye, siku moja aliamua kujiunga na msafara unaokwenda Makka. Na wakati msafara huu ulipolifikia Kuba (kaburi) la Hadhrat Aliy (R.A) mtu huyu alichoka kiasi kikubwa kwamba aliamua kubakia katika Kuba (kaburi) lile. Msafara uliondoka bila yeye. Usiku ule alimwona Sayyidina Aliy (R.A) katika ndoto yake (iliyomjia). Alisoma aya ifuatayo:

108


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:13 Page 109

Ponyo kutoka katika Qur’an

Na mifupa tukaivika nyama, kisha tukamfanya kiumbe kingine. Basi ametukuka Mwenyezi Mungu Mbora wa waumbaji. {Sura 23: 14} Wakati alipoamka asubuhi hakuwa na athari hata iliyo ndogo kabisa kabisa ya ugonjwa huo.

MAPUNYE NA VIPELE

Na mfano wa neno baya ni kama mti mbaya ambao umeng’olewa katika ardhi, hauna imara {Sura 14: 26} Soma aya hiyo hapo juu mara tano na tengeneza fundo 3 katika kipande cha uzi wa pamba. Kisha ufunge uzi huo kuzunguushia mkono wa kuume wa mgonjwa huyo. Insha-Allah atatibika (mgonjwa huyo) na kupona katika kipindi cha muda mfupi sana.

NDUI Takriban kama nusu mita ya uzi wa pamba rangi ya kijani unahitajika kwa ponyo hii. Soma Sura Ar-Rahmaan (Sura 55) na kila ukifika “Basi ipi katika neema za Mola wenu mnayoikanusha (kuwa siyo neema yake)?” Piga fundo na ulipulizie. Baada ya kuimaliza (Sura hiyo) ufunge uzi huo kuzunguuka shingo ya mgonjwa huyo. Insha-Allah, atapona katika muda mfupi tu.

KIFAFA KWA WATOTO WADOGO 109


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:13 Page 110

Ponyo kutoka katika Qur’an

Kwa jina la Mwenyezi Mungu, Mwingi wa Rehema, Mwenye Kurehemu. ALIF LAM MYM. Mwenyezi Mungu, hakuna aabudiwaye kwa haki isipokuwa Yeye – Mwenye uhai wa milele, na Mwenendeshaji wa mambo yote. Amekuteremshia kitabu kwa haki kinachosadikisha yaliyokuwa kabla yake. Na aliateremsha Taurati na Injili. Zamani – ziwe uongozi kwa watu. Na akateremsha {Sura 3:14} Ziandike aya hizo hapo juu katika kipande cha karatasi kwa wino uliotengenezwa kwa zafarani iliyochanganywa na “musk” safi na maji ya waridi. Kisha iweke karatasi hii katika shimo la kipande kidogo cha unyasi (Kama sm. 4-5 urefu). Ziba mdomo wa unyasi huu kwa nta na uwache uning’inie katika shingo ya mtoto kwa (msaada wa) kipande cha uzi. Hii inasemekana inaleta nafuu ya haraka sana katika kutibu maradhi ya kifafa, nazr na magonjwa mengine yote ambayo kwa kawaida huwashambulia sana watoto. Angalia kwamba unyasi huo LAZIMA ukatwe kutoka shina lake kabla ya kutoka jua (mawio)

Sura FALAQ na Sura NNAS Kuzisoma Sura hizo mbili (2) na kupulizia watoto ni yenye manufaa sana katika kuwalinda (watoto) dhidi ya magonjwa yote – pamoja na kifafa.

UDHAIFU WA VIUNGO (VYA MWILI)

110


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:13 Page 111

Ponyo kutoka katika Qur’an Wanaokubali ni wale wanaosikia. Na (ama) watu (hawa) wasiotaka kusikia chochote Mwenyezi Mungu atawafufua, kisha watarejeshwa kwake. {Sura 6: 36} Kuondoa udhaifu katika kiungo chochote au sehemu ya mwili yoyote kama vile macho, moyo, n.k., mtu anatakiwa afunge kwa siku 3 mfululizo. Futari itengenezwe kwa sukari na maziwa. Mtu huyo anatakiwa aamke katikati ya usiku na baada ya kutia udhu aandike katika gao (fumba la mkono) lake la kulia aya hiyo hapo juu, na ilambe. (Taratibu) hii lazima ifanywe kwa mausiku 3 mfululizo, yaani mausiku yafuatiayo kila funga. Ni lazima kutumia kiandikio (nibu) cha shaba na wino uliotengenezwa kwa zafarani iliyozimuliwa (fifishwa) katika maji ya waridi. Pia, mgonjwa hahitajiki kuiandika (aya hiyo) yeye mwenyewe. Mtu mwingine yeyote yule anaweza akaiandika kwa niaba yake.

Na kama wakidumu kukengeuka sema: “Mwenyezi Mungu atanitoshea (atanikifia balaa yenu), hakuna wa kuabudiwa ila yeye tu, na mtegemea Yeye, naye ndiye Mola wa (hiyo) Arshi iliyo kubwa (kabisa).” (Sura 9:129) Laith bin Sa’ad (R.A) anasimulia kwamba mtu mmoja alipata jeraha ambalo kutokana na hilo fupa la nyonga ya paja lake lilivunjika. Mtu mmoja alimtokea ndani ya ndoto yake. Aliweka mkono wake katika paja lililoathirika na kasoma aya hiyo hapo juu. Paja lake lilipona katika kipindi cha muda mfupi. Aya hiyo hapo juu inasemekena pia kuwa ni muhimu sana kwa kumpatia msomaji wake (aya hiyo) usalama dhidi ya kuanguka kutoka sehemu ya juu, kuzama maji (na kufa), na kupigwa na chuma. Hadhrat Abud-Darda

111


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:13 Page 112

Ponyo kutoka katika Qur’an (R.A) anaripotiwa kuwa amesema kwamba mtu anayeisoma (aya) hiyo mara 100 kila siku, haja zake zote za ulimwengu wa kidunia na haja zinazohusiana na ulimwengu ujao (Akhera) zitatimizwa. Mtu yeyote aiandikaye (aya hii) katika karatasi kama ta’wiiz kabla ya kupeleka ombi kwenye mamlaka, (ombi hilo) litakubaliwa kwa Rehema za Mwenyezi Mungu. – Isha-Allah.

USAHAULIFU AR-RAHMAANU (Mwingi wa Rehema). Soma Jina zuri la Mwenyezi Mungu, hilo hapo juu (maana yake Mwingi wa Rehema) mara 100 baada ya kila sala. Usahaulifu, uzembe na hali ya kujiwa na kuzimia, kutaondoka. Insha-Allah.

KUONDOA UGUMU WA MOYO AR-RAHIYMU (Mwenye Kurehemu) Soma Jina la Sifa ya Mwenyezi Mungu hapo juu (maana yake Mwenye Kurehemu) mara 100 kila siku. Ugumu wa moyo utabadilishwa na kuwa na upendo, ulaini, upole na huruma – Insha-Allah.

KUSHINDWA KUTOA MKOJO NJE Ibnul-Kalbi anasimulia kwamba mtu fulani alishindwa kukojoa. Mwanachuo mmoja alimwandikia aya zifuatazo katika karatasi na akampa kuvaa kama ta’wiidh. Alifanya hivyo na alitibikana kupona katika muda mfupi.

112


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:13 Page 113

Ponyo kutoka katika Qur’an Mara Tukaifungua milango ya mbingu kwa maji yanayomiminika (kwa nguvu kabisa). Na Tukazibubujisha maji chemchem zilizo kaitka ardhi; na maji (ya juu na chini) yakakutana kwa jambo lililokadiriwa (na Mungu). {Sura 54: 11-12 }

KUTOKWA NA MANII (USINGIZINI)

Kwa jina la Mwenyezi Mungu, Mwingi wa Rehema Mwenye Kurehemu. Naapa kwa mbingu na kwa kijacho usiku. Na nini kitakacho kujulisha kipi hicho kijacho usiku! Ni nyota ing’arayo sana! (Naapa ya kuwa) hakuna nafsi yoyote ila inayo mchungaji juu yake (anayetazama amali zake). Hebu naajitazame mtu, ameumbwa kwa kitu gani. Ameumbwa kwa maji yatokayo kwa kuchupa. Yatokayo katikati ya mifupa ya mgongo na kifua (mbavu). Kwa yakini Yeye ana uwezo wa kumrudisha. Siku zitakapodhihirishwa siri. Basi hatakuwa na nguvu wala msaidizi. {Sura 86: 1-10} Soma aya hizo hapo juu kabla ya kupanda kitandani kulala. Ni chanzo muhimu sana kwa kulindwa dhidi ya ndoto za kutokwa na umaji maji. Kuisoma Surat Nuhu (Sura 71 Juz. 29 KR. 9) yote kabla ya kupanda kitan-

113


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:13 Page 114

Ponyo kutoka katika Qur’an dani kulala ina umuhimu ulio sawa.

NDOTO ZENYE KUTISHA (JINAMIZI) Soma Sura AL-MA’ARIJ (Sura 70 Juz. 29) yote kabla ya kwenda kitandani kulala. Hii ni hatua salama dhidi ya ndoto mbaya zenye kutisha (jinamizi) na ndoto (nyingine) zisizopendeza. Vile vile inasemekana (Sura hii) ni hadhari salama dhidi ya ndoto kutokwa na manii (au umaji maji)

Wao wana mema katika maisha ya duniani na katika Akhera. Hakuna mabadiliko katika maneno ya Mwenyezi Mungu. Huku ndiko kufuzu kukubwa. {Sura 10:64} Aya hiyo hapo juu inaweza ikaandikwa katika karatasi na kuvaliwa kama ta’wiidh na yule ambaye hujiwa na jinamizi mfululizo.

KUKOSA USINGIZI Kuipiga vita hali ya kukosa usingizi na kuwa na usingizi mzuri wa usiku, soma aya ifuatayo kwa wingi: -

Hakika Mwenyezi Mungu anamteremshia rehema Mtume; na Malaika Wake (wanamwombea dua kwa vile vitendo vizuri alivyovifanya). Basi; enyi Waislamu (mlioamini) msalieni (Mtume, muombeeni rehema) na muombeeni amani. {Sura 33: 56}

114


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:13 Page 115

Ponyo kutoka katika Qur’an

KUMFANYA MTOTO AWEZE KUSEMA Andika Sura Bani Isra’ili {Sura 17}katika sahani ukitumia zafarani kama wino. Ioshe sahani hiyo kwa vikombe 3 mpaka 4 vya maji na mpe mtoto ayanywe kwa muda wa siku chache. Amali (tendo) hii itamwezesha mtoto kusema. Amali hii hii pia inasemekana kuwa ni ponyo nzuri sana kwa khutuba zenye upungufu (zenye kasoro) na kugugumiza.

MAJINA MAZURI 99 YA ALLAH Kuhifadhi na kuyasoma Majina Mazuri 99 ya Mwenyezi Mungu (Allah) ni kitendo cha ustahili mkubwa na sifa njema. Habari za kufurahisha (habari njema) za kukubaliwa kuingizwa katika pepo hutolewa. Dua yoyote itakayofanywa (itakayoombwa) baada ya usomaji wake, (majina hayo) itahakikisha kupokelewa. Kuisoma (Dua hii) huleta nyuma yake ukubaliko uliohakikishwa na Dua hizo na mvuto wa rehema za Mwenyezi Mungu . Namna ya kusoma ni kusema: “Jalla Jalaaluhuu” baada ya kila Jina Zuri la sifa ya Allah.

KWA ULINZI DHIDI YA WEZI

115


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:13 Page 116

Ponyo kutoka katika Qur’an Mtume ameamini yaliyoteremshwa kwake kutoka kwa Mola wake, na Waislamu, (pia wameamini hayo): wote wamemwamini Mwenyezi Mungu, na Malaika wake na Vitabu vyake, na Mitume yake; (nao hao Waislamu na Mtume wao husema): “Hatutafautishi baina ya yeyote katika Mitume yake (wote tunawaamini).” Na husema: “Tumesikia na tumetii. (Tunakuomba) msamaha, Mola wetu! Na marejeo ni kwako.” Mwenyezi Mungu haikalifishi nafsi yeyote ila yaliyo sawa na uwezo wake. (Faida ya) yale iliyoyachuma (hiyo nafsi ni yake na hasara ya yale iliyoyachuma ni juu yake. (Husema): “Mola Wetu! Usitutese kama tukisahau (tukaacha yaliyo mema) au tukikosa (tukafanya mabaya). Mola Wetu! Na usitubebeshe mzigo kama ulio wabebesha wale waliokuwa kabla yetu. Mola Wetu! Usitutwike tusiyoyaweza, na utusamehe, na utughufirie, na uturehemu. Wewe ndiye Mlinzi wetu. Basi tusaidie juu ya watu makafiri.” {Sura 2: 285-286} Mtu yeyote ambaye atazisoma aya hizo hapo juu kabla hajaenda kulala, mali yake, milki yake na uhai wake (vyote) vitalindwa dhidi ya majanga yote.

AAYATUL-KURSI {Sura 2:255} Mtu ambaye huisoma Aayatul-Kursi baada ya kila Sala, na katika wakati wa asubuhi na jioni, na wakati wa kuingia ndani ya nyumba yake, na wakati wa kwenda kulala, (huyo) atakuwa mwenye kujitosheleza; Mwenyezi Mungu (Allah) atampa riziki; kutoka mahali asipo pafikiria; mali yake, vitu vyake na milki yake vitalindwa kutokana na wavunjaji (wezi); riziki yake itaongezeka; na kamwe hatashambuliwa (hataathiriwa) na umasikini. Na itakapokuwa inasomwa, wavunjaji nyumba (wezi) hawatathubutu kutembelea sehemu hiyo.

116


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:14 Page 117

Ponyo kutoka katika Qur’an

SURAH MARYAM (Sura 19 Juz. 16) Kama nakala iliyoandikwa ya sura hii itatengenezewa fremu (kuzunguushiwa mbao) na fremu hiyo ikatundikwa (ikawekwa) katika ukuta wa nyumba, wakazi wake watalindwa dhidi ya majanga yote hususan wizi wa uvunjaji nyumba. Imesemekana pia kwamba kama nakala iliyoandikwa ya Sura hiyo hiyo ikawekwa ndani ya chupa ya glasi safi ndani ya nyumba, itakuwa ni njia ya (kupatia) baraka na kuongezewa maslahi ya maisha kwa wenye nyumba au wapangaji wa nyumba hiyo. Zaidi ya hayo, mtu alalaye karibu kabisa na chupa hiyo mahali ilipo atajiwa na kuona ndoto zinazopendeza na kufurahisha. Na (mtu) huyo (wa kwanza), naye pia ataona ndoto nzuri.

Basi utakapotulia, wewe na walio pamoja nawe humo merikebuni, sema: “Tunamshukuru Mwenyezi Mungu aliyetuokoa na watu mad halimu.” Na (wakati wa kushuka) sema: “Mola wangu! Niteremshe mteremsho wenye baraka maana wewe ni Mbora wa wateremshaji.” {Sura 23: 28-29} Usomaji wa aya hizo hapo juu humpatia msomaji (wake) na familia yake ulinzi dhidi ya wezi, maadui na majini.

117


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:14 Page 118

Ponyo kutoka katika Qur’an

KWA ULINZI SALAMA WA FEDHA NA VITU (VINGINE) VYA THAMANI. Kwa uwekaji fedha salama, Soma Sura Asr (Sura 103 Juz. 30) wakati wa kuiweka benki au unapoiweka katika sehemu (nyingine) ya usalama au unapoificha tu mahali pengine popote pale. Vivyo hivyo haya hufanyika kwa vitu vya thamani pia.

KUKITAFUTA KITU KILICHOPOTEA “Hakika sisi ni wa Mwenyezi Mungu na kwake Yeye tutarejea (atatupa jaza yake)” Aya: {Sura 2:156} Soma aya hiyo hapo juu na tafuta kitu kilichopotea. Insha-Allah kitaonekana. Kama sivyo, kitu kingine kilicho kizuri zaidi ya hicho kilichopotea kwa thamani, kitapatikana. Soma Sura Dhuhaa (Sura 93 Juz. 30) mara saba (7). Kitu hicho kilichopotea kitaonekana- Insha-Allah. Imeelezewa kwamba pete ya Ja’far Khalid ilianguka ndani ya Mto uitwao Dajjah. Alisoma dua ifuatayo: - “Ee Allah! Mkusanyaji wa watu katika Siku ambayo haina shaka ndani yake! Naomba unirudishie kitu changu kilichopotea (Pete). Baada ya siku chache (kupita), aliiona wakati akifungua kurasa za kitabu. Soma Sura Dhuhaa (Sura 93 Juz. 30) mara moja tu. Lakini aya “Na Akakukuta hujui kuongoza njia, akakuongoza? (Sura 93: 7) Isome

118


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:14 Page 119

Ponyo kutoka katika Qur’an mara tatu. Kitu hicho kilichopotea kitapatikana – Insha-Allah.

KUMKAMATA MWIZI AU KUVIPATA VITU (MALI) VILIVYOIBIWA.

Na kila uma ulikuwa na kibla walichokielekea. Basi jitahidini kufanya mema. Popote mtakapokuwa, Mwenyezi Mungu atakuleteni nyote pamoja (Siku ya Kiyama), kwa yakini Mwenyezi Mungu ni Muweza wa kila kitu (Sura 2:148) Andika jina la mtu huyo (anayehisiwa) (anayeshukiwa) juu ya kipande cha nguo ambacho ni kipya kabisa (ukubwa wake kama sentimeta 10 za mraba). Kisha andika aya hiyo hapo juu chini ya jina la huyo mtu anayeshukiwa. Kikunje kipande hicho cha nguo na kukitumbukiza ndani ya kifurushi kidogo na kipigilie kwa msumari katika ukuta wa nyumba iliyo vunjwa. Aidha mwizi atakamatwa au vifaa (vilivyoibiwa) vitapatikana. Insha-Allah.

119


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:14 Page 120

Ponyo kutoka katika Qur’an Sema: Je, tuwaabudu wasiokuwa Mwenyezi ambao hawatupi faida wala hawawezi kutudhuru, na turudishwe nyuma baada ya Mwenyezi Mungu kutuongoza, (tuwe) sawa na wale ambao mashetani wamewapoteza; wakiwaya katika ardhi? Wanao marafiki wanawaita katika uwongofu (wakisema): “Njooni kwetu,” (na hawasikii). Sema: “Uuongozi khasa ni Uongozi wa Mwenyezi Mungu, na tumeamrishwa tumnyenyekee (Yeye) Mola wa walimwengu wote.” (Sura 6:71 Juz. 7 KR. 15) Kwa kutumia bikari, tengeneza duara (mviringo) katika mfuko wa maji wa ngozi ya zamani (kuukuu) au katika ganda kavu la buyu. Andika aya hiyo hapo juu ndani ya duara hilo, na jina la mshukiwa huyo na jina la mama yake (yaandikwe) nje ya duara. Kisha fukia (zika) mfuko huo au buyu hilo katika sehemu ambayo watu hawatembelei (hawapitipiti). Insha-Allah, mwizi huyo atachanganyikiwa kiakili kiasi kwamba atajionyesha (atajitoa) mwenyewe (na kufahamika). Kwenye mlango ambao kwamba vitu vilivyoibiwa vilipitishiwa hapo na kutolewa nje ya jingo (eneo). Aidha vitu hivyo (vilivyoibiwa) vitapatikana au muelekeo (maelekezo) utapatikana katika ndoto. Soma Sura Taariq (Sura 86 Juz. 30): KWA KUMRUDISHA MTU ALIYETOROKA Ni sawasawa na taratibu zilizotumika hapo juu. Soma Sura Dhuhaa mara 7. Insha-Allah mtu huyo aliyekimbia (mtoro) atarudi.

Hakika Yeye aliyekulazimisha (kufuata) Qur’ani, kwa yakini atakurudisha mahali pa kurejea! (Sura 28: 85 ).

120


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:14 Page 121

Ponyo kutoka katika Qur’an

Sali Sala ya rakaa 2 ya Sunna (Nafila) na soma aya hiyo hapo juu mara 119 kila siku kwa siku 40 mfululizo. Insha-Alalh, mtoro huyo atarudi.

KUIHAKIKISHIA FAMILIA YA MTU USALAMA NA MALI YAKE (MILKI) WAKATI HAYUPO (NYUMBANI) Kabla ya kuianza safari weka mkono katika shingo ya kila mtu wa familia na soma jina hii zuri la sifa ya Mwenyezi Mungu (Allah) mara 7: AR-RAQIYBU (Mwenye kulinda –Mwangalizi) kwa kufanya hivi hakutakuwa na haja ya kuwa na wasiwasi kuhusu usalama wao mpaka mtu atakaporejea (atakaporudi) nyumbani.

ULINZI DHIDI YA AINA ZOTE ZA WANYAMA, WADUDU NA WANYAMA WATAMBAAO Wakati mbwa analeta tishio: Aya ifuatayo isomwe wakati mbwa anaponguruma au yuko karibu kutaka kushambulia. Taratibu hii hii hutumika kwa mnyama mwitu mwingine yoyote yule kama vile simba, chui n.k. Aya hiyo ni:

Na mbwa wao kanyoosha mikono yake kizingitini. {Sura 18:18 }

121


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:14 Page 122

Ponyo kutoka katika Qur’an

ULINZI DHIDI YA NYOKA NA NGE

Hakika Mola wenu ni Mwenyezi Mungu aliyeziumba mbingu na ardhi kwa siku sita. Kisha akatawala juu ya Arshi yake. Huufunika usiku kwa mchana, uufuatiao upesi upesi, (na huufunika mchana kwa usiku uufuatiao upesi upesi). Na (ameliumba) jua na mwezi na nyota. (Na vyote) vimetiishwa kwa amri Yake (Mwenyezi Mungu viwe vya manufao makubwa nanyi). Fahamuni kuumba (ni kwake tu Mwenyewe Mwenyezi Mungu). Ametukuka kabisa Mwenyezi Mungu, Mola wa walimwengu wote. Mwombeni Mola wenu kwa unyenyekevu na kwa siri kwa sauti ndogo bila ya kufanya kelele. Yeye (Mwenyezi Mungu) hawapendi wapitao mipaka. Wala msifanye uharibifu katika nchi baada ya kuwa imekwisha kutengenezwa. Na mwombeni kwa kuogopa na kutumai. Bila shaka rehema ya Mwenyezi Mungu iko karibu sana na (wale waja wake) wanaofanya mema. (Sura 7: 54-56 Juz. 8 KR. 14) Andika aya hizo hapo juu katika karatasi kwa kutumia zafarani na maji ya

122


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:14 Page 123

Ponyo kutoka katika Qur’an waridi kama wino. Ivae kama ta’wiiz. Nyoka na nge hawatakuwa na uwezo wa kufanya madhara – Insha-Allah.

KUWAZUIA WANYAMA HATARI, WADUDU WANAODHURU NA WANYAMA WATAMBAAO WASIINGIE NDANI YA NYUMBA

“Mimi nimemtegemea Mwenyezi Mungu, Mola wangu na Mola wenu. Hakuna kiumbe yoyote isipokuwa (Mwenyezi Mungu) anamsarifu atakavyo. Bila shaka Mola wangu yuko juu ya njia iliyonyooka.” {Sura 11:15 } Soma aya hiyo hapo juu kwa wingi sana – hasa wakati wa kwenda kulala na wakati wa kuamka.

WAKATI UNAPO HOFU KUSHAMBULIWA NA MNYAMA

Mwenyezi Mungu ndiye Mola wetu na (pia) ni Mola wenu; vitendo vyetu ni kwa ajili yetu, na vitendo vyenu ni kwa ajili yenu (wenyewe); hakuna ugomvi baina yetu na nyie; Mwenyezi Mungu atatukusanya pamoja;… (Sura 42:15 Juz. 25 KR. 3)

123


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:14 Page 124

Ponyo kutoka katika Qur’an Soma aya hiyo hapo juu na pulizia upande aliko mnyama huyo. Hataweza kushambulia – insha-Allah.

TA’WAAZ KWA ULINZI DHIDI YA WANYAMA WOTE WENYE KUDHRU Andika Sura Furqaan (Sura 25 Juz. 18) mara tatu katika karatasi na ivae kama ta’wiidh. Hakuna mnyama hatari au wadudu watakao fanya dhara lolote. Inasemekana kwamba kama maadui fulani wamejikusanya wote pamoja ili kumdhuru mtu, (basi) kuivaa ta’wiidh hii na kwenda ukapita katikati yao kutawafanya kutawanyika mara moja. Vile vile, mipango yao au njama zao na hila zao hazitamdhuru mtu mwingine yeyote isipokuwa wao wenyewe tu.

WAKATI UMEUMWA NA NYOKA MWENYE SUMU AU MDUDU

“Na mnaposhambulia mnashambulia kwa jeuri, (uadui mkubwa.” {Sura 26:130} Zunguushia kidole katika sehemu iliyong’atwa (iliyoumwa) na soma aya hiyo hapo juu mara 7 ndani ya pumzi ya mvuto mmoja. Mgonjwa atapona katika muda mfupi sana. Insha-Allah.

124


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:14 Page 125

Ponyo kutoka katika Qur’an UNAPODUNGWA (UMWA) NA MDUDU Soma Sura ALAM NASHRAH (Sura 94 Juz. 30) na mpulizie mgonjwa. Maumivu yatapungua mara moja – Insha-Allah.

ULINZI WA JUMLA AL-HAFIYDHWU (Mlinzi). Soma AL-Hafidhu (Mwenye Ulinzi) mara nyingi. Hakutakuwa na dhara litakalosababishwa kwa msomaji hata kama alale katika sehemu (eneo) ambayo wanyama pori wapo wengi.

KUWAFUKUZA CHUNGUCHUNGU/SISIMINZI/MCHWA/ SIAFU KUTOKA KATIKA NYUMBA

“Enyi wadudu chungu! ingieini majumbani mwenu asikupondeni suleimani na majeshi yake bila ya wao kutambua.” Andika aya hiyo hapo juu katika kipande cha karatasi na kiweke katika shimo la wadudu chungu. Wataingia ndani ya shimo lao kwa muda mfupi tu.

KUWAFUKUZA MBU, INZI NK

125


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:14 Page 126

Ponyo kutoka katika Qur’an “Na tuna nini tusimtegemee Mwenyezi Mungu, na hali ametuonyesha njia zetu. Na tutayavumilia mnayotuudhia. Basi kwa Mwenyezi Mungu tu wategemee wategemeao.” (Sura 14:12 Juz. 13 KR. 14) Kuwafukuza mbu, viroboto, n.k. kutoka katika nyumba au chumba cha kulala, soma aya hiyo hapo juu mara saba (7) na pulizia katika maji (kiasi cha kikombe kimoja au viwili). Kisha sema mara 7: “Enyi mbu na viroboto! Kama mnamwamini Mwenyezi Mungu, (basi) msitusumbue!” Kisha nyunyizia maji hayo ndani ya nyumba na kuizunguukia. Usiku huo utapita bila usumbufu (au kughashiwa) wowote – Insha-Allah.

KUACHILIWA HURU KUTOKA JELA Kama mtu amefungwa bila haki, kwa uonevu, (basi) aandikiwe aya hizi zifuatazo na azivae kama ta’wiiz katika mkono wake wa kuume. Vilevile ni lazima azisome (aya hizo) kwa wingi. Insha-Allah kuwachiliwa kwake kutapatikana karibuni sana.

Na walipoingia kwa Yusufu aliwakumbatia wazazi wake na akasema: “Ingieni Misri, Insha-Allah, mumo katika amani.” Aliwainua wazazi wake na kuwaweka katika kiti (chake) cha ufalme. Na wote waka-

126


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:14 Page 127

Ponyo kutoka katika Qur’an poromoka kumsujudia. Na (Yusufu) akasema: “Ewe babaangu! Hii ndiyo (tafsiri) hakika ya ndoto yangu ya zamani. Bila shaka Mola wangu ameihakikisha. Na amenifanyia ihsani; akanitoa gerezani na akakuleteni nyinyi kutoka jangwani; baada ya shetani kuchochea baina yangu na ndugu zangu. Hakika Mola wangu ni Mwenye kulifikia alitakalo. Bila shakaYeye ni Mjuzi na Mwenye hikima.” {Sura 12: 99-100} Soma Sura Fatiha mara 11 na pulizia katika pingu za mikononi. Kuachiliwa kutapatikana mara moja – Insha-Allah.Aya: {Sura 4:75 }

“Mola Wetu! Tutoe katika mji huu ambao watu wake ni madhalimu na tujaalie tuwe tuna mlinzi anayetoka kwako, na tujaalie tuwe na wa kutunusuru anayetoka kwako.” {Sura 4:75} Kama mtu amenaswa (amezuilika) katika nchi au mji kutokana na nchi hiyo au mji huo kuwa chini ya kuzingirwa (au kuzunguukwa) na maadui au kutokana na sababu nyingine yoyote ile kama vile kuzuiliwa watu wasitembee nje usiku (amri ya serikali – utawala) kwa sababu ya vita au hatari fulani n.k., (basi) ni lazima (mtu huyo) asome aya hiyo hapo juu kwa wingi. Si kipindi kirefu atapata njia ya kutokea. Insha-Allah.

MWISHO AL-HAMDULILLAH

127


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:14 Page 128

Ponyo kutoka katika Qur’an ORODHA YA VITABU VILIVYO CHAPISHWA NA AL-ITRAH FOUNDATION 1. i) Qur’ani Tukufu – Pamoja na Tarjuma ya Kiswahili ii) Qur'an Al-Kariim - Tafsir Al-Kashif Juzuu ya kwanza mpaka Thelathini 2. Uharamisho wa Riba 3. Uharamisho wa uwongo Juzuu ya Kwanza 4. Uharamisho wa uwongo Juzuu ya Pili 5. Hekaya za Bahlul 6. Muhanga wa Imamu Husein (A.S.) 7. Mikingamo iliyomzunguka Imamu Ali (A.S.) 8. Hijab vazi Bora 9. Ukweli wa Shia Ithnaashari 10. Madhambi Makuu 11. Mbingu imenikirimu 12. Abdallah Ibn Saba 13. Khadijatul Kubra 14. Utumwa 15. Umakini katika Swala 16. Misingi ya Maarifa 17. Kanuni za Ndoa na maadili ya Familia 18. Bilal wa Afrika 19. Abudhar 20. Usahihi wa Historia ya Uislamu na Waislamu 21. Salman Farsi 22. Ammar Yasir 23. Qur'an na Hadithi 24. Elimu ya Nafsi 25. Yajue Madhehebu ya Shia 26. Ukusanyaji na Uhifadhi wa Qur'an Tukufu 27. Al-Wahda 128


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:14 Page 129

Ponyo kutoka katika Qur’an 28. Ponyo kutoka katika Qur'an 29. Uislamu mfumo kamili wa maisha ya kijamii 30. Mashukio ya Akhera 31. Al Amali 32. Dua kwa Mujibu wa Ahlulbayt (a.s) 33. Udhuu kwa Mtazamo wa Qur’ani na Sunna 34. Haki za wanawake katika Uislamu 35. Mwenyezi Mungu na sifa zake 36. Kumswalia Mtume (s) 37. Nafasi za Ahlul Bayt (a.s) 38. Adhana 39. Upendo katika Ukristo na Uislamu 40. Qur’ani na Kuhifadhiwa Kwake 41. Maana ya laana na kutukana katika Qur’ani Tukufu 42. Kupaka juu ya khofu 43. Kukusanya Sala Mbili 44. Bismillah ni sehemu ya Qur’ani na husomwa kwa Jahara 45. Kuwaongoza vijana wa kizazi kipya 46. Kusujudu juu ya udongo 47. Kusheherekea Maulidi Ya Mtume (s) 48. Tarawehe 49. Malumbano baina ya Sunni na Shia 50. Kupunguza Swala safarini 51. Kufungua safarini 52. Umaasumu wa Manabii 53. Qur’an Yatoa Changamoto 54. as-Salaatu Khayrun Mina -'n Nawm 55. Uadilifu wa Masahaba 56. Dua e Kumayl 57. Sauti Ya Uadilifu wa Binadamu 58. Umaasumu wa Mitume - Faida Zake Na Lengo Lake 59. Umaasumu wa Mitume - Majibu Ya Aya Zenye Utata 129


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:14 Page 130

Ponyo kutoka katika Qur’an 60. Umaasumu wa Mitume - Umaasumu wa Mtume Muhammad (s) 61. Nahju’l-Balaghah - Juzuu ya Kwanza 62. Nahju’l-Balaghah - Juzuu ya Pili 63. Kuzuru Makaburi 64. Maswali Na Mishkili Elfu - Sehemu ya Kwanza 65. Maswali Na Mishkili Elfu - Sehemu ya Pili 66. Maswali Na Mishkili Elfu - Sehemu ya Tatu 67. Maswali Na Mishkili Elfu - Sehemu ya Nne 68. Maswali Na Mishkili Elfu - Sehemu ya Tano 69. Maswali Na Mishkili Elfu - Sehemu ya Sita 70. Tujifunze Misingi Ya Dini 71. Sala ni Nguzo ya Dini 72. Mikesha Ya Peshawar 73. Malezi Ya Mtoto Katika Uislamu 74. Ubora wa Imam 'Ali na Ushia ndio njia iliyonyooka 75. Hukumu za Kifikihi zinazowahusu Wanawake 76. Liqaa-u-llaah 77. Muhammad (s) Mtume wa Allah 78. Amani na Jihadi Katika Uislamu 79. Uislamu Ulienea Vipi? 80. Uadilifu, Amani na Mtume Muhammad (s) 81. Dhana ya Ndoa ya Mitala na Ndoa za Mtume Muhammad (s) 82. Urejeo (al-Raj’ah) 83. Mazingira 84. Utokezo (al - Badau) 85. Hukumu ya kujenga juu ya makaburi 86. Swala ya maiti na kumlilia maiti 87. Uislamu na Uwingi wa Dini 88. Mtoto mwema 89. Adabu za Sokoni Na Njiani 130


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:14 Page 131

Ponyo kutoka katika Qur’an 90. Johari za hekima kwa vijana 91. Maalimul Madrasatain Sehemu ya Kwanza 92. Maalimul Madrasatain Sehemu ya Pili 93. Maalimul Madrasatain Sehemu ya Tatu 94. Tawasali (AT- TAWASSUL) 95. Imam Mahdi katika Usunni na Ushia 96. Hukumu za Mgonjwa 97. Sadaka yenye kuendelea 98. Msahafu wa Imam Ali 99. Maimamu wa Ahlul Bait – Ujumbe na Jihadi 100. Idi Al-Ghadir 101. Kusoma sura zenye Sijda ya wajibu 102. Hukumu zinazomuhusu mkuu wa kazi na Mfanyakazi 103. Huduma ya Afya katika Uislamu 104. Sunna za Nabii Muhammad (saww) 105. Historia na sera ya viongozi wema (Sehemu ya Kwanza) 106. Historia na sera ya viongozi wema (Sehemu ya Pili) 107. Shahiid Mfiadini 108. Mwanamke Na Sharia 109. Ujumbe -Sehemu ya Kwanza 110. Ujumbe - Sehemu ya Pili 111. Ujumbe - Sehemu ya Tatu 112. Ujumbe - Sehemu ya Nne 113. Mariamu, Yesu na Ukristo kwa mtazamo wa Kiislamu 114. Hadithi ya Thaqalain 115. Ndoa ya Mutaa 116. Ukweli uliopotea sehemu ya Kwanza 117. Ukweli uliopotea sehemu ya Pili 118. Ukweli uliopotea sehemu ya Tatu 119. Ukweli uliopotea sehemu ya Nne 120. Ukweli uliopotea sehemu ya Tano 131


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:14 Page 132

Ponyo kutoka katika Qur’an 121. 122. 123. 124. 125. 126. 127. 128. 129. 130.

Mkutano wa Maulamaa wa Baghdad Safari ya kuifuata Nuru Fatima al-Zahra Myahudi wa Kimataifa Kuanzia ndoa hadi kuwa Wazazi Visa vya kweli sehemu ya Kwanza Visa vya kweli sehemu ya Pili Elimu ya Ghaibu ya Maimamu Mwanadamu na Mustakabali wake Imam Ali (‘a) Ndugu wa Mtume Muhammad (s) (Sehemu ya Kwanza) 131. Imam Ali (‘a) Ndugu wa Mtume Muhammad (s) (Sehemu ya Pili) 132. Khairul l’Bariyyah 133. Uislamu na mafunzo ya kimalezi 134. Vijana ni Hazina ya Uislamu 135. Adhana ni Ndoto au ni Wahyi? 136. Tabaruku 137. Saada Kamili – Kitabu cha Kiada cha Maadili 138. Vikao vya furaha 139. Shia asema haya Sunni asema haya Wewe wasemaje? 140. Visa vya wachamungu 141. Falsafa ya Dini 142. Kuhuzunika na Kuomboleza 143. Sunna katika Kitabu Fiqhi al-Sunnah 144. Mjadala wa Kiitikadi 145. Kuonekana kwa Allah 146. Tabia njema kwa Mujibu wa Ahlul-Bayt (Sehemu ya Kwanza) 147. Tabia njema kwa Mujibu wa Ahlul-Bayt (Sehemu ya Pili) 148. Ndugu na Jirani 132


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:14 Page 133

Ponyo kutoka katika Qur’an 149. Ushia ndani ya Usunni 150. Maswali na Majibu 151. Mafunzo ya hukmu za ibada 152. Ahlul Bayt ndani ya tafsiri za Kisunni No 1 153. Ahlul Bayt ndani ya tafsiri za Kisunni No 2 154. Ahlul Bayt ndani ya tafsiri za Kisunni No 3 155. Abu Huraira 156. Vipengee kadhaa katika Swala ya Jamaa na Msikiti. 157. Mazingatio kutoka katika Qur’an - Sehemu ya Kwanza 158. Mazingatio kutoka kaitka Qur’an - Sehemu ya Pili 159. Mazingatio kutoka katika Uislamu - Sehemu ya kwanza 160. Mazingatio kutoka katika Uislamu - Sehemu ya Pili 161. Shia na Qur’ani – Majibu na Maelezo 162. Falsafa ya Mageuzi ya Imam Husein (a.s) 163. Amali za Mwezi Mtukufu wa Ramadhani 164. Elimu ya Tiba za Kiislamu - Matibabu ya Maimamu 165. Uislamu Safi 166. Majlisi za Imam Husein Majumbani 167. Je, Kufunga Mikono 168. Uislam wa Shia 169. Amali za Makka 170. Amali za Madina 171. Asili ya Madhehebu katika Uislamu 172. Sira ya Imam Ali kuhusu Waasi 173. Ukweli uliofichika katika neno la Allah 174. Uislamu na Mifumo ya Uchumi 175. Umoja wa Kiislamu na Furaha 176. Mas’ala ya Kifiqhi 177. Jifunze kusoma Qur’ani 178. as-Sahifatul Kamilah as-Sajjadiyyah 179. Hayya ‘Alaa Khayri’l-’Amal Katika Adhana 180. Ukweli kuhusu Funga ya Siku ya Ashura 133


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:14 Page 134

Ponyo kutoka katika Qur’an 181. Dua za Miezi Mitatu Mitukufu (Rajabu, Shaabani na Ramadhani) 182. Uadilifu katika Uislamu 183. Mahdi katika Sunna 184. Maswali Ya Uchunguzi Kuhusu Uislam 185. Kazi na Bidii ni njia ya maendeleo 186. Abu Talib – Jabali Imara la Imani 187. Ujenzi na Utakaso wa Nafsi 188. Vijana na Matarajio ya Baadaye 189. Historia maana na lengo la Usalafi 190. Ushia – Hoja na Majibu 191. Mateso ya Dhuria wa Mtume (saww) 192. Maombolezo – Msiba wa Bwana wa Mashahidi (a.s.) 193. Shahidi kwa Ajili ya Ubinadamu 194. Takwa 195. Upotoshaji Dhahiri katika (Turathi) Hazina ya Kiislamu 196. Amirul Muuminina (‘as) na Makhalifa 197. Tawheed Na Shirki 198. Kuvunja hoja iliyotumika kutetea Uimamu wa AbuBakr 199. Adabu za vikao na mazungumzo 200. Hija ya Kuaga 201. Uwazi baina ya Maslahi na Vikwazo 202. Fadhila za watukufu watano katika Sahih Sita 203. Mdahalo baina ya Mwanachuoni wa Kisunni na Kishia (Al- Muraja’aat) 204. Utawala na Uendeshaji katika Sera ya Imam Ali (as) 205. Imam Husain ni Mfumo wa Marekebisho na Mageuzi 206. Mtazamo kuhusu msuguano wa Kimadhehebu 207. Nchi na Uraia – Haki na wajibu kwa Taifa 208. Mtazamo wa Ibn Taymiyyah juu ya Imam Ali (as) 209. Uongozi wa Kidini – Maelekezo na Utekelezaji wa Kijamii 134


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:14 Page 135

Ponyo kutoka katika Qur’an 210. Maadili ya Ashura 211. Mshumaa – Shahidi na Kifo cha Kishahidi 212. Mizani ya Hekima – Hadithi za Ahlul Bait (as) – Sehemu ya Kwanza 213. Imam Ali na Mambo ya Umma 214. Imam Ali na Mfumo wa Usawa 215. Uimamu na Tamko la Kutawazwa 216. Mfumo wa Wilaya 217. Vipi Tutaishinda Hofu? 218. Kumswalia Mtume ni Ufunguo wa Utatuzi wa Matatizo 219. Maeneo ya Umma na Mali Zake 220. Nahju ‘L-Balagha – Majmua ya Khutba, Amri, Barua, Risala, Mawaidha na Semi za Amirul-Muuminin Ali bin Abu Talib (a.s.) 221. Mukhtar – Shujaa aliyelipiza kisasi dhidi ya wauaji wa Imam Husein (as) hapo Karbala 222. Mazingatio Katika Swala 223. Imam Hasan na Mfumo wa Kujenga Jamii 224. Vyakula Na Vinywaji 225. Kuelewa Rehema ya Mwenyezi Mungu 226. Tiba ya Maradhi ya Kimaadili 227. Yafaayo kijamii 228. Shia Na Hadith - Majibu na Maelezo 229. Mkakati wa Kupambanana Ufakiri 230. Mtazamo Mpya - Mwanamke katika Uislamu 231. Taqiyya Kwa Mujibu Wa Sheria Ya Kiislamu 232. Imam Mahdi Na Bishara Ya Matumaini 233. Jihadi 234. Majanga Na Jukumu La Jamii 235. Muhadhara wa Maulamaa 236. Mashairi ya Kijamii 135


PonyoFinal Edit.mubarak:PonyoFinal Edit.qxd 02/10/2014 10:14 Page 136

Ponyo kutoka katika Qur’an 237. Ngano ya kwamba Qur’ani imebadilishwa 238. Mwanamke Katika Harakati Za Mageuzi 239. Shia Na Sahaba - Majibu na Maelezo 240. Yusuf Mkweli 241. Hotuba Za Kiislamu Juu ya Haki Za Binadamu 242. Ugaidi wa Kifikra katika Medani ya Kidini KOPI NNE ZIFUATAZO ZIMETAFSIRIWA KWA LUGHA KINYARWANDA 1. Amateka Ya Muhammadi (s.a.w.w) Na Aba’ Khalifa 2. Nyuma yaho naje kuyoboka 3. Amavu n’amavuko by’ubushiya 4. Shiya na Hadithi ORODHA YA VITABU VILIVYO CHAPISHWA NA AL-ITRAH FOUNDATION KWA LUGHA YA KIFARANSA 1. Livre Islamique

136


Turn static files into dynamic content formats.

Create a flipbook
Issuu converts static files into: digital portfolios, online yearbooks, online catalogs, digital photo albums and more. Sign up and create your flipbook.