Utamaduni kufuatana na qur'an na utekelezaji wa kivitendo

Page 1

Utamaduni Kufuatana na Qur’ani Na Utekelezaji wa Kivitendo (SEHEMU YA KWANZA)

Kimeandikwa na: Mahdi Ja’far Sulail

10_15_Utamaduni Qurani_12_August_2015.indd 1

8/12/2015 6:42:02 PM


‫ترجمة‬

‫الثقافة القرآنية‬ ‫تطبيقات عملية‬

‫تأليف‬ ‫مهدي صليل‬

‫من اللغة العربية إلى اللغة السواحلية‬

‫‪8/12/2015 6:42:02 PM‬‬

‫‪10_15_Utamaduni Qurani_12_August_2015.indd 2‬‬


©Haki ya kunakili imehifadhiwa na: AL-ITRAH FOUNDATION ISBN: 978 – 9987 – 17 – 031 – 9 Kimeandikwa na: Mahdi Ja’far Sulail Kimetarjumiwa na: Abdul-Karim Juma Nkusui Barua Pepe: abdulkarimjuma@yahoo.com Kimehaririwa na: Haji Ramadhani S. K. Shemahimbo Kimepitiwa na: Ustadh Hemedi Lubumba Selemani na Mujahid Rashid Kupangwa katika Kompyuta na: Al-Itrah Foundation Toleo la kwanza: Mei, 2014 Nakala: 2000 Kimetolewa na kuchapishwa na: Alitrah Foundation S.L.P. - 19701, Dar es Salaam, Tanzania Simu: +255 22 2110640 / 2127555 Barua Pepe: alitrah@yahoo.com Tovuti: www.ibn-tv-com Katika mtandao: www.alitrah.info

10_15_Utamaduni Qurani_12_August_2015.indd 3

8/12/2015 6:42:02 PM


10_15_Utamaduni Qurani_12_August_2015.indd 4

8/12/2015 6:42:02 PM


َّ‫بِس ِْم ه‬ ‫َّح ِيم‬ ِ ‫للاِ الرَّحْ ٰ َم ِن الر‬ Kwa jina la Mwenyezi Mungu Mwingi wa rehema Mwenye kurehemu. Sifa zote njema anastahiki Mola Mlezi wa viumbe, na sala na salamu zimshukie bwana wetu Muhammad na kizazi chake kitukufu.

10_15_Utamaduni Qurani_12_August_2015.indd 5

8/12/2015 6:42:02 PM


Yaliyomo 1. Utamaduni Kwanza…………………………………………….2 2. Njia ya Utekelezaji……………………………………………..7 3. Baraka za Qur’ani Tukufu.......................................................... 8 4. Makutano Mazuri Pamoja na Mwenyezi Mungu..................... 12 5. Kujenga Utu Katika Sura al-Fatiha.......................................... 14 6. Wema kwa Wazazi Wawili....................................................... 16 7. Jukumu la Mtu Binafsi na la Kijamii....................................... 19 8. Kuepuka Upuuzi....................................................................... 21 9. Kujitolea Kurekebisha............................................................. 23 10. Neno Jema................................................................................ 25 11. Mbinu za Kulingania kwa Mwenyezi Mungu.......................... 25 12. Amani ya Ulimwengu.............................................................. 27 13. Miongoni mwa Adabu za Majadiliano..................................... 29 14. Utamaduni wa Umoja na Uvumilivu....................................... 31 15. Kufuata Sababu........................................................................ 33 16. Maudhui na Insafu.................................................................... 35 17. Nyayo za Shetani...................................................................... 37

10_15_Utamaduni Qurani_12_August_2015.indd 6

8/12/2015 6:42:02 PM


Utamaduni Kufuatana na Qur’ani Na Utekelezaji wa Kivitendo

DIBAJI

K

itabu hiki ni toleo la Kiswahili la taasisi ya Al Itrah foundation. Chapisho lake limelenga kukidhi mahitaji ya kiroho ya zama hizi pamoja na Ubongo na fikra zinazokuwa za Muislam. Jitihada kubwa zimefanywa na Taasisi kuweka chapisho hili la Kiswahili katika msingi wa haki na wenye kukubalika katika Uislam. Unaombwa kwa Taadhima ukisome kitabu hiki katika malengo yaliyokusudiwa. Pia Unaombwa kuwasilisha kwetu maoni yako huru juu ya chapisho letu hili, jambo ambalo tutashukuru sana. Kutangaza ujumbe wa Uislam ni kazi ambayo inahitaji ushirikiano wetu sote. Taasisi inakuomba kuungana na kushirikiana kama ilivyoagizwa katika aya ya Qur’an: (Surat Saba’ 34:46). Na rehma za Allah ziwe juu yako. Wako katika Uislam Al Itrah Foundation Barua Pepe: alitrah@yahoo.com SMS: +255 778 300 140

1

10_15_Utamaduni Qurani_12_August_2015.indd 1

8/12/2015 6:42:02 PM


Utamaduni Kufuatana na Qur’ani Na Utekelezaji wa Kivitendo

َّ‫بِس ِْم ه‬ ‫َّح ِيم‬ ِ ‫للاِ الرَّحْ ٰ َم ِن الر‬ Neno la Mchapishaji

K

itabu ulichonacho mikononi mwako asili yake ni cha lugha ya Kiarabu kwa jina la, ath-Thiqafatu 'l-Qur’aniyyah, Tatbiyqatu 'Amaliyyah, kilichoandikwa na Ustadh Mahdi Jaafar Sulail. Sisi tumekiita, Utamaduni Kufuatana na Qur’ani na Utekelezaji wa Kivitendo.

Qur’ani Tukufu ambayo ni Neno la Mwenyezi Mungu lisilo na shaka, ni utambulisho wa waumini wa ukweli na ni Mwongozo kwa wamchao Mungu. Kitabu hiki kinaimarisha imani ya mwanadamu kwa Mungu katika kuwaamini na kuwakubali Mitume wote waliotumwa na Mwenyezi Mungu na kuamini Vitabu Vitakatifu vilivyoteremshwa kabla ya Mtume Muhammad (s.a.w.w.) na kuamini Siku ya Ufufuo na Hukumu. Aidha Qur’ani humjenga mwanadamu katika kutekeleza kivitendo ibada zilizoamrishwa na Mola Wake, kama vile kuswali swala za faradhi za kila siku, kutoa zaka, khums na sadaka, kuhiji, kufunga, kuamrisha mema na kukataza maovu, n.k. Qur’ani imekusanya kila kitu anachohitajia mtu katika maisha yake, na ndio maana ikaitwa: ni mwongozo kwa watu na yenye kupambanua. Katika kitabu hiki mwandishi anaelezea baadhi ya maudhui na mada ambazo hupatikana ndani ya Qur’ani Tukufu. Sisi tumekiona kitabu hiki ni chenye manufaa sana, hususan wakati huu wa maendeleo makubwa ya kielimu ambapo uwongo, ngano za kale na upotoshaji wa historia ni vitu ambavyo havina nafasi katika akili za watu. Kutokana na ukweli huo, taasisi yetu ya al-Itrah Foundation imeamua kukichapisha kitabu hiki kwa lugha ya 2

10_15_Utamaduni Qurani_12_August_2015.indd 2

8/12/2015 6:42:02 PM


Utamaduni Kufuatana na Qur’ani Na Utekelezaji wa Kivitendo

Kiswahili kwa madhumuni yake yaleyale ya kuwahudumia Waislamu na wengineo wanaozungumza lugha ya Kiswahili. Tunamshukuru ndugu yetu al-Haj Abdul-Karim Juma Nkusui kwa kukubali jukumu hili la kukitarjumi kitabu hiki, pamoja na wale wengine wote walioshiriki kwa njia moja au nyingine hadi kufanikisha kuchapishwa kwake. Tunamuomba Allah Mwenye kujazi awalipe wote malipo mema kabisa ya hapa duniani na huko Akhera pia. Amin! Mchapishaji Al-Itrah Foundation

3

10_15_Utamaduni Qurani_12_August_2015.indd 3

8/12/2015 6:42:02 PM


Utamaduni Kufuatana na Qur’ani Na Utekelezaji wa Kivitendo

َّ‫بِس ِْم ه‬ ‫َّح ِيم‬ ِ ‫للاِ الرَّحْ ٰ َم ِن الر‬ UTANGULIZI

M

wenyezi Mungu anataka kwa mwanadamu katika maisha haya uongofu na mafanikio, wema na maisha mazuri, na kwa hiyo amemneemesha kwa akili na akampa njia za maisha:

‫َولَقَ ْد َك َّر ْمنَا بَنِي آ َد َم َو َح َم ْلنَاهُ ْم فِي ْالبَرِّ َو ْالبَحْ ِر‬ ‫ير ِم َّم ْن‬ ِ ‫َو َر َز ْقنَاهُ ْم ِم َن الطَّيِّبَا‬ ٍ ِ‫ت َوفَض َّْلنَاهُ ْم َعلَ ٰى َكث‬ ‫ضيل‬ ِ ‫َخلَ ْقنَا تَ ْف‬ “Hakika tumewatukuza wanadamu na tumewabeba nchi kavu na baharini na tumewaruzuku vitu vizuri na tumewafadhilisha kwa fadhila kubwa kuliko wengi miongoni mwa tuliowaumba.” (Surat al-Israi: 70).

Kama ambavyo Mwenyezi Mungu alituma Manabii na Mitume ili kumkumbusha huyu mwanadamu na kumzindua na kumtoa katika hali za kughafilika na ujinga:

‫اس َعلَى‬ َ ‫ين لِئَ اَّل يَ ُك‬ َ ‫ين َو ُم ْن ِذ ِر‬ َ ‫ُرس اًُل ُمبَ ِّش ِر‬ ِ َّ‫ون لِلن‬ َّ‫ان ه‬ َّ‫ه‬ ‫للاُ َع ِزي ًزا َح ِكي ًما‬ َ ‫للاِ ُح َّجةٌ بَ ْع َد الرُّ س ُِل ۚ َو َك‬ “Mitume wabashiri na waonyaji, ili watu wasiwe na hoja juu ya Mwenyezi Mungu baada ya Mitume. Na Mwenyezi Mungu ni mwenye nguvu mwenye hekima.” (Surat an-Nisai: 165). 4

10_15_Utamaduni Qurani_12_August_2015.indd 4

8/12/2015 6:42:02 PM


Utamaduni Kufuatana na Qur’ani Na Utekelezaji wa Kivitendo

Na mwisho wa Manabii na mbora wao alikuwa ni Nabii mtukufu Muhammad (s). Mwenyezi Mungu alimtuma na Kitabu bora zaidi kati ya Vitabu vya mbinguni (Qur’ani tukufu). Amemteremshia katika kila tukio na msimamo, akaamiliana pamoja na maisha, akamuwekea mwanadamu ratiba ya mafanikio kwa utaratibu mzuri na wa hali ya juu. Na Mtume (s) alikuwa anawaelekeza Waislamu na anawabainishia wao umuhimu wa Qur’ani tukufu na dharura ya kuisoma na kuitambua. Tunasoma katika hadithi kutoka kwa Mtume (s): “Jifunzeni Qur’ani hakika ni mazungumzo mazuri na tambueni humo haki na uamsho wa nyoyo. Jiponyeni kwa nuru yake hakika ni ponyo la nyoyo, na isomeni vizuri hakika ni visa vyenye manufaa sana.” Na kutoka kwake (s): “Kama mkitaka maisha ya wema, kufa kifo cha mashahidi, kufaulu siku ya majuto, kivuli siku ya jua kali, uongofu katika siku ya upotovu, basi isomeni Qur’ani hakika ni maneno ya Mwenyezi Mungu na ni kinga dhidi ya shetani na ni uzito katika mizani.” Mwanadamu katika mwenendo wa maisha yake anahitajia mtazamo ulio wazi, unaomuwezesha kupanga malengo yake na kuratibu madaraja ya vipaumbele vyake ambavyo ni wajibu kuvizingatia, na ambayo inasapa kuyaepuka ili apate mafanikio katika dunia na mafanikio katika akhera. Na ambayo ni wajibu kwa mtu binafsi ni wajibu kwa jamii na umma, na kwa ajili hii Qur’ani tukufu mara nyingi inaelekeza mazungumzo yake kwa umma: “Na kama hivyo tumewafanya kuwa umma wa wastani, ili muwe mashahidi juu ya watu wote, na mtume awe shahidi juu yenu.” (Surat al-Baqarah: 143). “Na liwepo miongoni mwenu kundi lenye kulingania kwenye kheri, na kuamrisha mema na kukataza maovu na hao ndio weye kufaulu.” (Surat Imran: 104). “Mmekuwa ni umma bora ulioletwa kwa watu, mnaamrisha mema na kukataza maovu.” (Surat Imran: 110). 5

10_15_Utamaduni Qurani_12_August_2015.indd 5

8/12/2015 6:42:02 PM


Utamaduni Kufuatana na Qur’ani Na Utekelezaji wa Kivitendo

Lakini Waislamu leo wamekuwa mbali na Qur’ani na wameihama, na hivyo nafasi yao ikasogea nyuma katika umma, na wamekuwa kama ilivyosema hadithi tukufu: “Vipi nyinyi umma zitakapokusanyika dhidi yenu kama vile mkusanyiko wa chakula katika sahani.” Wakasema: Je, sisi tutakuwa ni wachache ewe Mtume wa Mwenyezi Mungu? Akasema: “Hapana, bali mtakuwa wengi, lakini ni povu kama povu la mafuriko.” Na nimeandaa kurasa hizi ili ziwe ni ratiba ya utekelezaji katika kutafakari na kufikiri katika Aya za Qur’ani katika majadiliano na mijadala baina ya washiriki katika ratiba. Mahdi Sulail Shaaban 1435 Hijiria.

6

10_15_Utamaduni Qurani_12_August_2015.indd 6

8/12/2015 6:42:02 PM


Utamaduni Kufuatana na Qur’ani Na Utekelezaji wa Kivitendo

NJIA YA KUTEKELEZA RATIBA

K

urasa hizi ni ibara ya mwangaza wa Qur’ani. Zinamuonyesha mwanadamu majukumu yake ya kimsingi katika maisha na zinafungua kwake upeo wa kutafakari, ili kuwepo na mkakati wa kivitendo, ambao unamhakikishia mafanikio katika kutimiza malengo yake. Na nimeshauweka ili uwe ni ratiba ya utamaduni na malezi ya Qur’ani kwa makundi ya vijana, kiasi kwamba inakuwa kwa washiriki katika ratiba ni kozi ya kutafakari na kutoa rai, na ni malezi ya kivitendo katika kutafakari na mjadala, kwa yale ambayo yanaboresha umahiri wake wa kutafakari na kuimarisha fikira kupitia mjadala wenye malengo. Njia ya kutekeleza ratiba: 1. 2. 3. 4. 5.

Washiriki wanajigawa katika makundi yanayolingana Mhadhiri anatoa fikira juu ya maudhui Inatolewa fursa kwa kila kundi katika kujadili na kutoa rai Mmoja wa wanakikundi anazungumza juu ya rai ya kundi Mhadhiri anafafanua kwa washiriki yale anayoyaona yanafaa. Hapa ni lazima kuashiria umuhimu wa kushajiisha juu ya kushiriki na kutoa rai na kukumbusha juu ya kuheshimu rai mbalimbali ili yatimie malengo ya ratiba katika hali ya majadiliano tulivu na mazuri. Kuelimisha kwanza: Sambamba na kutengenezwa kalamu, umezaliwa ustaarabu, na hapa zinaanzia harakati za kustawi kwa mwananchi yeyote kati ya wa7

10_15_Utamaduni Qurani_12_August_2015.indd 7

8/12/2015 6:42:02 PM


Utamaduni Kufuatana na Qur’ani Na Utekelezaji wa Kivitendo

nanchi, kiasi kwamba mwananchi ambaye hasomi anasifika kwa kutokuendelea. Na vivyo hivyo umekuja ujumbe wa mbinguni; unalingania elimu, na kupuuza ujinga nao ndio umeandikwa katika ujumbe wa Muhammad (s) ambapo wahyi ulishuka kwa Aya za Qur’ani Tukufu:

‫ق‬ َ ‫ال ْن َس‬ َ َ‫ق َخل‬ َ َ‫ك الَّ ِذي َخل‬ َ ِّ‫ا ْق َر ْأ بِاس ِْم َرب‬ ٍ َ‫ان ِم ْن َعل‬ ِ ْ‫ق إ‬ ‫ك أْالَ ْك َر ُم الَّ ِذي َعلَّ َم بِ ْالقَلَ ِم‬ َ ُّ‫ا ْق َر ْأ َو َرب‬ “Soma kwa jina la Mola Wako aliyeumba. Amemuumba mwanadamu kwa pande la damu. Soma na Mola Wako ni Mkarimu sana. Ambaye amefundisha kwa kalamu.” Surat Al A’laq 96:1-4

Na tangu siku ya kwanza ambayo humo kalamu imeanza kuandika katika uso wa ardhi, mwenendo wa mwanadamu umekuwa unasonga mbele kielimu; unahimizwa na mrundikano wa tamaduni mbalimbali na silaha yake katika hilo ni kalamu. Tunapoandika fikira katika karatasi tunakuwa kama yule aliyepanda mbengu katika ardhi, na tunapoiacha bila ya kuiandika tunakuwa kama yule aliyeitupa angani haijulikani je, itachukua nafasi yake katika ardhi au itapeperushwa na upepo kama utakavyo. Na mbegu ambayo imepandwa katika udongo, kama itapata uangalizi na mazingatio basi itamea na kutuletea matunda. Vile vile fikira wakati inapochukua nafasi yake katika mzunguko na harakati, inaendelea kumea hadi kufikia hatua ya kustawi katika uhalisia. Maarifa Maarifa ni sababu ya msingi kati ya sababu za maendeleo na mafanikio katika maisha ya mtu binafsi na jamii, na kwa sababu hiyo 8

10_15_Utamaduni Qurani_12_August_2015.indd 8

8/12/2015 6:42:02 PM


Utamaduni Kufuatana na Qur’ani Na Utekelezaji wa Kivitendo

Mwenyezi Mungu Mtukufu amejaalia Aya za mwanzo za Qur’ani Tukufu (soma), kulingania kusoma, na humo kuna msisitizo wa kalamu na umuhimu wake katika elimu, kujifunza na heshimu kutoka kwa Muumba Mtukufu katika neno hilo muhimu katika maisha ya binadamu. Thaqafa (maarifa) ni nini? Thaqafa ni kupata maarifa mbalimbali, kutokana na kufunguka katika maarifa mbalimbali, uelewa wenye kuendelea katika kila kipya katika ulimwengu, kinachopelekea kusawazisha mwenendo. Ni nani muthaqafu (msomi) halisi? Muthaqafu (msomi) ­halisi ni:

• • • • •

Mwenye kushikamana na kusoma, uelewa na maarifa Ambaye anajua thamani ya fikira na anathamini thamani ya kitabu na kalamu. Ambaye anatumia wakati wake katika manufaa yenye kunufaisha nafsi yake na jamii yake Ambaye yuko mbali na mambo ya kipuuzi, mwenye kujua ukamilifu katika sifa na tabia njema Ambaye anafuata elimu kivitendo na anakwenda mbio kuuhudumia umma wake na kujenga jamii yake, na kisha muthaqafu sio mkusanyiko wa maalumati bali na vitendo pia.

Wakati kwa muthaqafu (msomi): Kati ya sifa muhimu kwa msomi ni kujali kwake wakati na kuupangilia, yeye anakwenda na wakati kana kwamba yuko katika mashindano muhimu haachi katu, msomi anaona wakati una thamani ya uzalishaji na utumiaji. 9

10_15_Utamaduni Qurani_12_August_2015.indd 9

8/12/2015 6:42:02 PM


Utamaduni Kufuatana na Qur’ani Na Utekelezaji wa Kivitendo

Baada ya kupita saa tokea sasa jiulize katika nafsi yako: Umefanya nini ndani ya muda huu? Je, umefaidika na dakika hizi ambazo zimepita? Hakika wakati wetu mwingi unakwenda bure bila ya kuzalishwa humo chochote au kupata faida yoyote! Hakika hiyo haimaanishi mmoja wetu kubadilika na kuwa zana ya uzalishaji bila ya hisia na huruma (kwani nyoyo zinachoka kama inavyochoka miili basi tafuteni hekima nzuri), na msomi mwelewa, anaiburudisha nafsi yake kwa halali naye anajua ni kitu gani anafanya, hivyo siku yake haipiti bure kwa kisingizio cha kustarehesha nafsi yake. Baraka za Qur’ani Tukufu: “Hiki ni Kitabu tumekuteremshia wewe, kimebarikiwa, ili wazizingatie aya zake na wawaidhike wenye akili.” (Surat Swad: 29). Qur’ani tukufu ni Kitabu kilichobarikiwa, humo kuna kheri ya dunia na ya akhera na inawezekana kuzungumzia juu ya baraka ya Qur’ani katika pande mbili: Kwanza: Baraka za dhati za ghaibu. Na tunakusudia katika baraka za ghaibu: Kwamba kila anayesoma Qur’ani anapata fungu la baraka za Qur’ani tukufu na thawabu, kitulizo na utulivu. Pili: Mifumo, kanuni na maelekezo ambayo yanaratibu maisha ya watu na kuwaongoza. Na ili tufaidike na Qur’ani tukufu na kupata kheri zake na baraka zake ni lazima sisi tuwe na: Mafungamano ya kimoyo na kushikamana kiroho. Kuweza kusoma kwa usahihi, kutafakari maana, kutekeleza mifumo na kuamiliana na maelekezo na kuyafanyia kazi. Kama alivyosema Mwenyezi Mungu Mtukufu: “Na hakika tumeifanya Qur’ani kuwa nyepesi kwa kuikumbuka. Basi je, yupo anayekumbuka” kwani 10

10_15_Utamaduni Qurani_12_August_2015.indd 10

8/12/2015 6:42:02 PM


Utamaduni Kufuatana na Qur’ani Na Utekelezaji wa Kivitendo

imefanywa nyepesi kwa ajili ya kunufaika na kupata mazingatio na mawaidha. Soma Qur’ani kisomo cha kutafakari na kudadisi, kwa kutafuta kheri, kuwa tayari na kuathirika na kutekeleza. Nini sababu za sisi kuwa mbali na Qur’ani Tukufu? 1. ........……………………………………………….………… 2. ................................................................................................. 3. ................................................................................................. Vipi tutaboresha muamala wetu na Qur’ani Tukufu? 1. ........……………………………………………….………… 2. ................................................................................................. 3. ................................................................................................. “Hiki kitabu tumekuteremshia wewe, tumekibariki ili wazizingatie aya zake na ili wakumbuke wenye akili.”

Nini uhusiano baina ya tadaburi na kutafakari? .......................................................................................................... .......................................................................................................... .......................................................................................................... .......................................................................................................... ..........................................................................................................

11

10_15_Utamaduni Qurani_12_August_2015.indd 11

8/12/2015 6:42:02 PM


Utamaduni Kufuatana na Qur’ani Na Utekelezaji wa Kivitendo

MAKUTANO MAZURI PAMOJA NA MWENYEZI MUNGU MTUKUFU

H

akika swala kwa waumini ni faradhi iliyowekewa wakati maalumu.”

“Simamisha swala linapopinduka jua mpaka giza la usiku, na Qur’ani ya alfajiri hakika Qur’ani ya alfajiri imekuwa ni yenye kushuhudiwa.” ▪ Duluki shamsi: Kupinduka kwa jua ▪ Ghasaqi layl: kudhihiri giza lake au wingi wa giza lake ▪ Qur’anil-fajir: swala ya alfajiri ▪ Mashuhudan: ni yenye kushuhudiwa na Malaika wa usiku na malaika wa mchana.

Malezi ya Qur’ani ni katika kushikamana na swala katika wakati wake uliopangwa, na hili linataka kwa mwanadamu muumini ajiandae na aiandae nafsi yake ili asishughulishwe na mambo ya maisha. Nayo ni malezi ya Kiislamu juu ya kuheshimu ahadi na kuzitekeleza. Kila swala ina muda wake maalumu, haijuzu kuupuuza. Hakika swala ni makutano matukufu ni wajibu mwanadamu muumini ajiandae, na kupitia daraja la umuhimu kwa makutano haya, inawezekana mwanadamu kugundua uhalisia wa imani yake, na ukweli wa kushikamana kwake na Mola Wake. Shughuli za maisha haziishi, lakini kupanga na kuratibu kazi kunampa mwanadamu fursa ya kufanya wajibu wake bila ya kugongana au kuzembea. 12

10_15_Utamaduni Qurani_12_August_2015.indd 12

8/12/2015 6:42:02 PM


Utamaduni Kufuatana na Qur’ani Na Utekelezaji wa Kivitendo

Ni upi Muonekano wa kuzingatia Swala? 1. ............……………………………………………….………… 2. ..................................................................................................... 3. ..................................................................................................... 4. ..................................................................................................... Vitendo vya swala na nyuradi zake vina malengo ya kimalezi yenye kuathiri; kwa mfano: Kuinama katika rukuu inamaanisha unyenyekevu na udhalili, na unyenyekevu unafikia kilele chake katika hali ya kusujudu. Tafakari baadhi ya vitendo vya Swala na nyuradi zake ........................................................................................................... ........................................................................................................... ........................................................................................................... ........................................................................................................... ........................................................................................................... ...........................................................................................................

13

10_15_Utamaduni Qurani_12_August_2015.indd 13

8/12/2015 6:42:02 PM


Utamaduni Kufuatana na Qur’ani Na Utekelezaji wa Kivitendo

KUJENGA UTU KATIKA SURAT ­AL-FATIHA

S

urat al-Fatiha ni Sura tukufu zaidi katika Kitabu cha Mwenyezi Mungu na Mwenyezi Mungu amewajibisha kwa mwanadamu Mwislamu kuisoma mara kumi usiku na mchana kwa umuhimu ilionao na athari zake katika maisha ya mwanadamu na kujenga utu wake. Na tunaweza kuona nukta muhimu katika kujenga utu kupitia Aya za Sura hii tukufu. 1.

Lengo tukufu katika maisha ya mwanadamu ni Mwenyezi Mungu Mtukufu, ni wajibu Mwenyezi Mungu Mtukufu awe ndio kitovu cha maisha katika kila harakati na utulivu, na mwanadamu aikumbushe nafsi yake kwa lengo hili kwa kuanza kila amali kwa Bismillahi.

2.

Kumtambua Mwenyezi Mungu kwa fadhila na kwamba Yeye ndiye Mwenye kuneemesha, ambaye ametupa neema ya kuwepo. Kila tunapomhimidi kwa vitendo vyetu vyema hakika chanzo chake ni Mola Mlezi Mwingi wa rehema, asili ya shukrani ni kwa Mwenyezi Mungu Mola Mlezi wa walimwengu.

3.

Kujiandaa kwa maisha ya akhera.

4.

Matumaini na matarajio daima ni kwa kurejea kwenye nguvu kuu katika ulimwengu.

5.

Kutangaza unyenyekevu na udhalili kwa Mwenyezi Mungu katika ibada.

6.

Uwazi wa mtazamo katika maisha kupitia kufuata njia ya wema ambao unaonekana katika uongozi wa Mtukufu Mtume (s) na Ahlulbait wake. 14

10_15_Utamaduni Qurani_12_August_2015.indd 14

8/12/2015 6:42:03 PM


Utamaduni Kufuatana na Qur’ani Na Utekelezaji wa Kivitendo

7.

Kuamiliana kwa uzuri pamoja na jamii na kujali mambo ya watu, na yanadhihirika hayo wazi katika tamko la wingi katika Aya (Na’abudu), (Nastainu) na (Ihdinaa).

8.

Kurejea kusawazisha ili kuwa na uhakika wa usalama wa mwenendo na kutotumbukia katika kosa.

Kwa nini tunaanza kila jambo kwa Bismillahi? 1. ............……………………………………………….………… 2. ..................................................................................................... 3. ..................................................................................................... Kwa nini aya (Iyyaka na’abudu wa iyyaka nastainu) zimekuja kwa tamko la wingi? 1. ............……………………………………………….………… 2. ..................................................................................................... 3. ..................................................................................................... Mwanadamu Mwislamu ameongoka kwenye haki na njia iliyonyooka, kwa nini anamuomba Mwenyezi Mungu uongofu kila siku? (Tuongoze njia iliyonyooka) 1. ............……………………………………………….………… 2. ..................................................................................................... 3. .....................................................................................................

15

10_15_Utamaduni Qurani_12_August_2015.indd 15

8/12/2015 6:42:03 PM


Utamaduni Kufuatana na Qur’ani Na Utekelezaji wa Kivitendo

WEMA KWA WAZAZI WAWILI

‫ك أَ اَّل تَ ْعبُ ُدوا إِ اَّل إِيَّاهُ َوبِ ْال َوالِ َدي ِْن إِحْ َسانًا‬ َ ُّ‫ض ٰى َرب‬ َ َ‫َوق‬ ْ‫ك ْال ِكبَ َر أَ َح ُدهُ َما أَ ْو ِك اَلهُ َما فَ اَل تَقُل‬ َ ‫إِ َّما يَ ْبلُ َغ َّن ِع ْن َد‬ ٍّ ُ‫لَهُ َما أ‬ ‫ف َو اَل تَ ْنهَرْ هُ َما َوقُلْ لَهُ َما قَ ْو اًل َك ِري ًما‬ ْ ‫َو‬ ِّ‫اخفِضْ لَهُ َما َجنَا َح ال ُّذ ِّل ِم َن الرَّحْ َم ِة َوقُلْ َرب‬ ‫ص ِغيرًا‬ َ ‫ارْ َح ْمهُ َما َك َما َربَّيَانِي‬ “Na Mola wako amepitisha kuwa msimwabudu yoyote ila Yeye tu, na kuwatendea wema wazazi wawili. Mmoja wao akifikia uzee naye yuko kwako au wote wawili, basi usiwaambie Ah! Wala usiwakemee. Na sema nao kwa msemo wa heshima. Na uwainamishie bawa la unyenyekevu kwa kuwaonea huruma na useme: Mola Wangu! Warehemu kama walivyonilea utotoni.” (Surat Bani Israel 17: 23-24)

Kipaumbele cha kwanza katika Qur’ani tukufu ni (wema kwa wazazi wawili) kuwapa uangalizi maalumu, kujali na kulingania, kusimamia, kuzingatia na kujihadhari, na tunaona hayo kupitia: 1.

Neno (Qadhwa) ni la daraja la juu katika amri

2.

Kuambatana maudhui na wajibu mkubwa kushinda wajibu zote, nao ni ibada ya Mwenyezi Mungu Mtukufu.

16

10_15_Utamaduni Qurani_12_August_2015.indd 16

8/12/2015 6:42:03 PM


Utamaduni Kufuatana na Qur’ani Na Utekelezaji wa Kivitendo

3.

(Wabil-waldaini) ni neno la jumla, halihusu wazazi wawili waumini tu.

4.

(Ihsanaan) ni nakra mutlaq bila ya kudhibiti aina ya ihsani

5.

(Ufin) ni neno la chini sana katika vitendo vya kukemea

6.

(Karimaan) ni nakra mutlaq bila ya kudhibitiwa katika kauli tu

Yote hayo ili mwanadamu ajitahidi katika kuwaangalia wazazi wake na awatendee wema kwa kauli, vitendo na hisia, na hususani wakati umri unapokuwa mkubwa na kuongezeka mahitaji yao ya uangalizi. Wazazi wawili wanawajali watoto wao, nini muonekano wa mazingatio haya? 1. ............……………………………………………….………… 2. ..................................................................................................... 3. ..................................................................................................... 4. ..................................................................................................... 5. ..................................................................................................... Namna gani utakuwa mwema kwa wazazi wako, kwa ajili ya kupata radhi za Mwenyezi Mungu Mtukufu? 1. ............……………………………………………….………… 2. ..................................................................................................... 3. ..................................................................................................... 17

10_15_Utamaduni Qurani_12_August_2015.indd 17

8/12/2015 6:42:03 PM


Utamaduni Kufuatana na Qur’ani Na Utekelezaji wa Kivitendo

4. ..................................................................................................... 5. ..................................................................................................... Nini matokeo ya kuwatendea wema wazazi wawili? 1. ............……………………………………………….………… 2. ..................................................................................................... 3. .....................................................................................................

18

10_15_Utamaduni Qurani_12_August_2015.indd 18

8/12/2015 6:42:03 PM


Utamaduni Kufuatana na Qur’ani Na Utekelezaji wa Kivitendo

JUKUMU LA MTU BINAFSI NA JAMII “Ewe mwanangu simamisha swala na amrisha mema na kataza maovu na subiri kwa yaliyokusibu hakika hiyo ni kati ya mambo ya kuazimiwa.”

Al-azim ni juhudi, (Lisanul-Arabi) Aya hii tukufu inatunukulia sehemu ya wasia wa Luquman mwenye hekima kwa mwanae, na katika kutafakari humo tunafaidika na faida zifuatazo: 1.

Jukumu la baba katika malezi ya watoto wake, kuwalea katika wema na mafanikio

2.

Kuimarisha kujiamini katika kusimamia jukumu la kijamii

3.

Kujiandaa kukabiliana na magumu na kuvumilia adha

Kama ambavyo tunasoma katika aya tukufu: Umuhimu wa kujitahidi na kuazimia kutimiza malengo, haiwezekani kwa mwanadamu kufaulu katika maisha yake naye anaishi katika hali ya uzembe au anavunjika moyo wakati anapokabiliana na vikwazo na magumu. Katika wasia wa Imamu Ali (‘a) kwa Imamu Hasan (‘a): “Amrisha mema utakuwa miongoni mwa watu wake.” Hivi ndivyo inapasa kuwalea watoto wetu na kuwazoeza kubeba majukumu binafsi na ya kijamii. Ni yapi majukumu ya mwanadamu katika jamii yake? 1. ............……………………………………………….………… 2. ..................................................................................................... 19

10_15_Utamaduni Qurani_12_August_2015.indd 19

8/12/2015 6:42:03 PM


Utamaduni Kufuatana na Qur’ani Na Utekelezaji wa Kivitendo

3. ..................................................................................................... 4. ..................................................................................................... 5. ..................................................................................................... Nini athari za kubeba jukumu la kijamii? 1. ............……………………………………………….………… 2. ..................................................................................................... 3. ..................................................................................................... Katika ugumu wa kuamrisha mema na kukataza maovu ni kuandaa upande mwingine kukubali nasaha, namna gani utamwandaa rafiki yako kukubali nasaha? 1. ............……………………………………………….………… 2. ..................................................................................................... 3. ..................................................................................................... 4. ..................................................................................................... 5. .....................................................................................................

20

10_15_Utamaduni Qurani_12_August_2015.indd 20

8/12/2015 6:42:03 PM


Utamaduni Kufuatana na Qur’ani Na Utekelezaji wa Kivitendo

KUEPUKA UPUUZI “Na wanaposikia upuuzi hujitenga nao na husema: Sisi tuna vitendo vyetu na nyinyi mna vitendo vyenu, amani iwe juu yenu, hatuwataki wajinga.”

Katika Lisanul-Arabi: Laghau wa laghaa: Ni maneno ya upuuzi na ambayo hayazoeleki katika maneno na mengineyo, na wala haipatikani kwayo faida wala manufaa. Mwanadamu muumini anatofautiana kwa uelewa na upeo wa wigo ambao unamwezesha kujiepusha kuingia katika upuuzi na mijadala ambayo haina faida kabisa. Matokeo ya upuuzi 1.

Kupoteza wakati

2.

Kuharibu hali ya hewa

3.

Kuzalisha uadui

Na ili mwanadamu atimize katika nafsi yake utukufu na kujiepusha na upuuzi inahitajia: 1.

Kutilia mkazo juu ya lengo

2.

Kudhibiti hasira

3.

Kuwahurumia wajinga

Na kwa kila mkazo itapita kwako misimamo inayokuudhi na utasikia maneno yanayokukera, lakini uwazi wa mtazamo na utayari wa kinafsi uliotangulia unakuwezesha kuvuka kwa usalama. Ni zipi sababu za ugomvi katika umri wa ujana?

21

10_15_Utamaduni Qurani_12_August_2015.indd 21

8/12/2015 6:42:03 PM


Utamaduni Kufuatana na Qur’ani Na Utekelezaji wa Kivitendo

1. ............……………………………………………….………… 2. ..................................................................................................... 3. ..................................................................................................... 4. ..................................................................................................... Namna gani tutaepuka kuingia katika ugomvi? 1. ............……………………………………………….………… 2. ..................................................................................................... 3. ..................................................................................................... 4. ..................................................................................................... Mara nyingi mwanadamu anaathirika kwa maneno ya wengine dhidi yake, namna gani tutavuka hali hii na kujiepusha na upuuzi? 1. ............……………………………………………….………… 2. ..................................................................................................... 3. ..................................................................................................... 4. .....................................................................................................

22

10_15_Utamaduni Qurani_12_August_2015.indd 22

8/12/2015 6:42:03 PM


Utamaduni Kufuatana na Qur’ani Na Utekelezaji wa Kivitendo

KUJITOLEA KATIKA KUREKIBISHA

“M

ema na maovu hayawi sawa. Zuia uovu kwa lililo jema zaidi. Mara na yule ambaye baina yako na yake pana uadui atakuwa kama rafiki mkubwa.” Kati ya dalili za imani: ni usamehevu na kusamehe, na kujitolea kuzuri ambako kunafunga kurasa za kuhitalafiana. Swali: Je, adui anaweza kubadilika na kuwa rafiki? Jawabu: Ndio, bali ni zaidi ya hivyo (rafiki mkubwa). Watu wengi wanadhani kwamba kumalizana na uadui ni jambo gumu, lakini Aya tukufu inakiri kinyume cha hivyo na inatilia mkazo kwamba sababu muhimu sana ni kujitolea kwa yaliyo mazuri zaidi. Kuwepo kwa matakwa ya suluhu kunaondosha visingizio vya uadui. Unaponuia kuwa karibu na ndugu yako basi usimjadili katika makosa yake. Ukitaka kusuluhisha baina ya wagomvi wawili basi usimhukumu msababishaji ugomvi, nafasi ya msuluhishi inatofautiana na nafasi ya kadhi. Ni zipi sababu za uadui baina ya watu? 1. ............……………………………………………….………… 2. ..................................................................................................... 3. ..................................................................................................... 4. .....................................................................................................

23

10_15_Utamaduni Qurani_12_August_2015.indd 23

8/12/2015 6:42:03 PM


Utamaduni Kufuatana na Qur’ani Na Utekelezaji wa Kivitendo

Namna gani tutamaliza uadui? 1. ............……………………………………………….………… 2. ..................................................................................................... 3. ..................................................................................................... 4. ..................................................................................................... Ni zipi hatua za kivitendo ambazo unazipendekeza katika kusuluhisha baina ya marafiki wawili kati ya marafiki uliosoma nao? 1. ............……………………………………………….………… 2. ..................................................................................................... 3. ..................................................................................................... 4. .....................................................................................................

24

10_15_Utamaduni Qurani_12_August_2015.indd 24

8/12/2015 6:42:03 PM


Utamaduni Kufuatana na Qur’ani Na Utekelezaji wa Kivitendo

NENO ZURI “Na waambie waja Wangu waseme maneno mazuri. Kwani shetani huchochea baina yao. Hakika shetani ni adui aliye dhahiri kwa watu.”

M

sisitizo dhahiri juu ya umuhimu wa neno katika maisha ya mwanadamu. Katika kuzungumza na wengine anakuwa na hiyari baina ya ibara na njia mbalimbali zenye madaraja baina ya mbaya, nzuri na nzuri zaidi, na Mwenyezi Mungu Mtukufu analingania waja Wake kuchagua yaliyo mazuri zaidi miongoni mwa kauli, na hii inahitajia kwa mwanadamu mazingatio, kutafakari na kurejea. Neno baya ni kati ya njia kuu za shetani katika kufarakisha baina ya watu. Rejea mazungumzo yako pamoja na wengine ili uvumbue wigo wa utekelezaji wake katika makusudio ya Aya tukufu. Ni zipi athari za neno zuri katika nafsi na katika jamii? 1. ............……………………………………………….………… 2. ..................................................................................................... 3. ..................................................................................................... 4. ..................................................................................................... 5. ..................................................................................................... Mbinu za kulingania kwa Mwenyezi Mungu: “Kwa hekima,” ni ishara katika upande wa mantiki na dalili za kielimu. “Mawaidha mazuri” ni ishara ya upande wa kihisia na wa kinafsi. 25

10_15_Utamaduni Qurani_12_August_2015.indd 25

8/12/2015 6:42:03 PM


Utamaduni Kufuatana na Qur’ani Na Utekelezaji wa Kivitendo

Kati ya majukumu ya mwanadamu muumini katika maisha ni kulingania kwenye kheri na mafanikio. Haitoshi mwanadamu kubeba lengo zuri na fikira sahihi ili afaulu katika kulingania kwake, bali ni lazima kuchunga mbinu nzuri na njia zinazofaa. Mubalighi au mwelekezaji wa kidini akimiliki umahiri wa kuwasiliana na wengine kunamwezesha kuamiliana pamoja na watu mbalimbali. Mubalighi au mlinganiaji hawezi kufaulu ikiwa hasira itamshinda au akiwa anaanza kwa kulipiza kisasi. Taja baadhi ya nususi za Qur’ani na Hadithi katika nyanja za kulingania 1. ............……………………………………………….………… 2. ..................................................................................................... 3. ..................................................................................................... 4. ..................................................................................................... 5. ..................................................................................................... Ni zipi mbinu zinazofaa katika kulingania katika zama hizi? 1. ............……………………………………………….………… 2. ..................................................................................................... 3. ..................................................................................................... 4. ..................................................................................................... 5. .....................................................................................................

26

10_15_Utamaduni Qurani_12_August_2015.indd 26

8/12/2015 6:42:03 PM


Utamaduni Kufuatana na Qur’ani Na Utekelezaji wa Kivitendo

AMANI YA ULIMWENGU “Enyi watu hakika sisi tumewaumba kutokana na mwanaume na mwanamke na tumewafanya mataifa na makabila ili mjuane, hakika mtukufu wenu zaidi mbele ya Mwenyezi Mungu ni mchamungu wenu zaidi, hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kujua, Mwenye habari.”

Ujumbe wa Kiislamu ni kwa watu wote. “Enyi watu,” unawalingania kujuana na kupuuza mfarakano, na kuwakumbusha asili ya uwepo wa ushirikiano (tumewaumba mwanaume na mwanamke). Na kisha ni wito kwa Waislamu wa leo kubeba ujumbe wa amani katika ulimwengu wote. Anasema Imamu Ali A: “Watu wako aina mbili: Ama ni ndugu yako katika dini au ni mwenzako katika maumbile.” Na katibu mkuu wa zamani wa umoja wa mataifa anasema: “Ibara hii ni wajibu itundikwe katika kila taasisi, nayo ni ibara inayopasa kuheshimiwa na binadamu.” Kujuana inachukua uhalisia wake katika pande mbili: 1.

Upande wa kibinadamu na kijamii

2.

Upande wa kielimu na wa kimaendeleo

Na hii inahitajia mkusanyiko wa sifa za kibinadamu na ratiba ya kielimu. Na ikiwa dini yetu ina upana huu na inapendeza kiasi hiki kwa nini tunaishi katika mfarakano, mizozo na hitalifu ndogo ndogo? Hakika kutafakari katika aya za Qur’ani Tukufu inatudhihirishia tofauti kubwa iliyopo baina ya ukweli wa Uislamu na vitendo vya Waislamu. 27

10_15_Utamaduni Qurani_12_August_2015.indd 27

8/12/2015 6:42:03 PM


Utamaduni Kufuatana na Qur’ani Na Utekelezaji wa Kivitendo

Ni upi mwonekano wa kulingania katika amani katika Qur’ani Tukufu? 1. ............……………………………………………….………… 2. ..................................................................................................... 3. ..................................................................................................... 4. ..................................................................................................... 5. ..................................................................................................... Ni zipi hatua za kusambaza amani na usalama katika ulimwengu? 1. ............……………………………………………….………… 2. ..................................................................................................... 3. ..................................................................................................... 4. ..................................................................................................... 5. .....................................................................................................

28

10_15_Utamaduni Qurani_12_August_2015.indd 28

8/12/2015 6:42:03 PM


Utamaduni Kufuatana na Qur’ani Na Utekelezaji wa Kivitendo

MIONGONI MWA ADABU ZA ­MAJADILIANO “Sema ni nani anayewaruzuku kutoka mbinguni na ardhini? Sema ni Mwenyezi Mungu na hakika sisi au nyinyi bila shaka tuko kwenye uongofu au upotovu ulio wazi.”

“Sema nyinyi hamtoulizwa kwa makosa tuliyofanya wala sisi hatutoulizwa kwa mnayoyatenda.”

K

atika Aya mbili hizi na Aya nyingine zinatilia mkazo juu adabu ya majadiliano, hivyo haitoshi mwanadamu kuwa anaamini haki na kuilingania, bali ni lazima kushikamana na kanuni za mantiki katika kueleza, tabia njema na mbinu. Katika Aya ya kwanza: Ni kutilia mkazo juu dalili ya kielimu, na kuwepo mgawanyo wa kimantiki wa dhana ya uongofu na upotovu kunadhamini unyenyekevu na insafu kwa mwingine. Na katika aya ya pili: Ni kutilia mkazo juu ya mbinu ya hali ya juu, Mtume (s) ana yakini na usahihi wa itikadi yake na usahihi wa vitendo vyake, lakini yeye anatumia neno “tuliyokosea,” na ana yakini na upotovu wa wapinzani wake lakini yeye anasema: “Mnayoyafanya.” Kati ya kanuni muhimu za mjadala: Ni kuchunga njia zinazofaa ambazo zinakinaisha kwa upande mmoja, na kuuhusisha upande mwingine kwa kuheshimu upande wa pili. Kanuni mbili: 1.

Mwenye kufaulu ni yule anayebeba ndani mwake ikhilasi kwa ajili ya kunufaisha upande mwingine, hivyo maneno 29

10_15_Utamaduni Qurani_12_August_2015.indd 29

8/12/2015 6:42:03 PM


Utamaduni Kufuatana na Qur’ani Na Utekelezaji wa Kivitendo

yake na njia yake inaathirika kwa ikhilasi yake kwa namna ya otomatiki. 2.

Ni makosa mwenye kujadili kuchukua nafasi ya kadhi ambaye anatoa hukumu kwa anayejadiliana naye, na hivyo mazungumzo yake kumlenga mtu na kuwa mbali na mjadala wa kifikira.

Taja baadhi ya mifano ya mjadala katika Qur’ani Tukufu? 1. ............……………………………………………….………… 2. ..................................................................................................... 3. ..................................................................................................... 4. ..................................................................................................... 5. ..................................................................................................... Ni zipi kanuni za mjadala wenye kufaulu? 1. ............……………………………………………….………… 2. ..................................................................................................... 3. ..................................................................................................... 4. ..................................................................................................... 5. .....................................................................................................

30

10_15_Utamaduni Qurani_12_August_2015.indd 30

8/12/2015 6:42:03 PM


Utamaduni Kufuatana na Qur’ani Na Utekelezaji wa Kivitendo

UTAMADUNI WA UMOJA NA ­UVUMILIVU “Na shikamaneni na kamba ya Mwenyezi Mungu na wala msifarikiane na kumbukeni neema ya Mwenyezi Mungu juu yenu ambapo mlikuwa maadui, naye akaziunganisha nyoyo zenu, hivyo kwa neema yake mkawa ndugu.”

Kati ya mafanikio makubwa ya Mtukufu Nabii Muhammad (s) ni kuisafisha jamii hiyo yenye kupigana na kuinusuru na hali ya uadui, na kuipeleka kwenye uelewano na udugu, nayo ni kati ya neema kubwa sana za Mwenyezi Mungu Mtukufu kwa waja Wake katika jamii yoyote. Pamoja na kutofautina fikira na kutofautiana daraja ya imani baina ya Waislamu bado Mwenyezi Mungu Mtukufu anaelekeza mazungumzo kwa wote, nao ni wajibu ambao Waislamu wa leo wanapaswa kuutambua, kwani tofauti ya kifikira haizuii kushikamana na kamba ya Mwenyezi Mungu. Hali ambayo umma wa Kiislamu unaishi leo, miongoni mwa ugomvi na mapigano ya umwagaji damu, yanatilia mkazo wa umuhimu wa kueneza utamaduni wa umoja, usamehevu na kukubali rai ya mwingine, kwani utamaduni ndio ambao unatengeneza tabia na mwenendo wake. Kuwepo kwa ikhitilafu katika ufafanuzi wa kiitikadi na kifiqihi haizuii kutengeneza jamii moja inayotawaliwa na uelewano na upendo. Nini vikwazo vya umoja na uvumilivu katika jamii? 1. ............……………………………………………….………… 2. ..................................................................................................... 31

10_15_Utamaduni Qurani_12_August_2015.indd 31

8/12/2015 6:42:03 PM


Utamaduni Kufuatana na Qur’ani Na Utekelezaji wa Kivitendo

3. ..................................................................................................... 4. ..................................................................................................... 5. ..................................................................................................... Namna gani tutaleta hali ya uvumilivu na kuisambaza? 1. ............……………………………………………….………… 2. ..................................................................................................... 3. ..................................................................................................... 4. ..................................................................................................... 5. .....................................................................................................

32

10_15_Utamaduni Qurani_12_August_2015.indd 32

8/12/2015 6:42:03 PM


Utamaduni Kufuatana na Qur’ani Na Utekelezaji wa Kivitendo

KUFUATA SABABU

ُ‫ك َع ْن ِذي ْالقَرْ نَي ِْن ۖ قُلْ َسأ َ ْتلُو َعلَ ْي ُك ْم ِم ْنه‬ َ َ‫َويَسْأَلُون‬ ‫ض َوآتَ ْينَاهُ ِم ْن ُكلِّ َش ْي ٍء‬ ِ ْ‫ِذ ْكرًا إِنَّا َم َّكنَّا لَهُ فِي أْالَر‬ ‫َسبَبًا فَأ َ ْتبَ َع َسبَبًا‬ “Na wanakuuliza kuhusu Dhil- Qarnain. Waambie nitawasomea baadhi ya habari zake. Hakika sisi tulimmakinisha katika ardhi na tukampa sababu ya kila kitu. Basi fuata sababu. (Sura al- Kahfi: 83 – 85).

Aya tukufu katika Sura al-Kahfi zinazungumzia kuhusu kisa cha Dhil- Qarnain na utukufu wa jambo lake na kukariri “Kisha fuata sababu” (Aya ya 89) “Kisha fuata sababu” (Aya ya 92), hadi kuuliza: Kwa nini? Hakika ni utamaduni wa Qur’ani ambao unamlea muumini juu ya kufuata sababu ili kutimiza malengo. Mwenyezi Mungu amejaalia maisha haya yasimame kwa kanuni (sababu) au sababu na kisababishi, na anayetaka kufaulu katika maisha yake ni lazima afuate sababu, na kutafuta sababu za kufaulu. Hakika watu wengi ndani mwao wanabeba matarajio na wanasubiri kutimia kwake bila ya kufanya juhudi, na Mwenyezi Mungu anasema: “Na kwamba hatopata mtu isipokuwa aliyoyahangaikia.” Miongoni mwa kanuni za kufuata sababu ni kumwelekea Mwenyezi Mungu kwa dua, “Na amesema Mola Wenu; niombeni nitawajibu.” Hivyo ni lazima kukusanya baina ya dua na jitihada. Kwa kadiri ya bidii yako na juhudi yako unakaribia kutekeleza ma33

10_15_Utamaduni Qurani_12_August_2015.indd 33

8/12/2015 6:42:03 PM


Utamaduni Kufuatana na Qur’ani Na Utekelezaji wa Kivitendo

lengo yako. Namna gani tutakusanya baina ya dua na kufuata sababu? 1. ............……………………………………………….………… 2. ..................................................................................................... 3. ..................................................................................................... 4. ..................................................................................................... 5. ..................................................................................................... Taja baadhi ya mifano ya mafanikio kwa sababu ya kufuata sababu 1. ............……………………………………………….………… 2. ..................................................................................................... 3. ..................................................................................................... 4. ..................................................................................................... 5. .....................................................................................................

34

10_15_Utamaduni Qurani_12_August_2015.indd 34

8/12/2015 6:42:03 PM


Utamaduni Kufuatana na Qur’ani Na Utekelezaji wa Kivitendo

MAUDHUI NA INSAFU

ْ ‫ك‬ َ ‫ار يُ َؤ ِّد ِه إِلَ ْي‬ ِ ‫َو ِم ْن أَ ْه ِل ْال ِكتَا‬ ٍ َ‫ب َم ْن إِ ْن تَأ َم ْنهُ بِقِ ْنط‬ ْ ‫ك إِ اَّل َما‬ َ ‫ار اَل يُ َؤ ِّد ِه إِلَ ْي‬ ٍ َ‫َو ِم ْنهُ ْم َم ْن إِ ْن تَأ َم ْنهُ بِ ِدين‬ َ ‫ُد ْم‬ ‫ت َعلَ ْي ِه قَائِ ًما‬ “Na katika watu wa kitabu yuko ambaye ukimwamini na mrundo wa mali atakurudishia. Na katika wao yuko ambaye ukimpa amana ya dinari moja hakurudishii, isipokuwa ukimsimamia.” (Surat Aal-Imran 3: 75)

Qur’ani inapozungumzia juu ya manaswara haiwakusanyi wote katika kundi moja, bali inawagawanya ili iwafanyie insafu. Na katika aya nyingine inasema:

‫ين قَالُوا إِنَّا‬ َ ‫ين آ َمنُوا الَّ ِذ‬ َ ‫َولَتَ ِج َد َّن أَ ْق َربَهُ ْم َم َو َّدةً لِلَّ ِذ‬ ‫ين َو ُر ْهبَانًا َوأَنَّهُ ْم اَل‬ َ ‫ِّيس‬ َ ِ‫صا َر ٰى ۚ ٰ َذل‬ َ َ‫ن‬ ِ ‫ك بِأ َ َّن ِم ْنهُ ْم قِس‬ ‫ُون‬ َ ‫يَ ْستَ ْكبِر‬ “Na utawakuta walio karibu zaidi kwa mapenzi na waumini ni wale waliosema: Hakika sisi ni manaswara. Hayo ni kwa sababu wako miongoni mwao makasisi na watawa na kwamba wao hawafanyi kiburi.” (Surat Al-Maida 5: 82) Nalo ni somo zuri sana kwa Waislamu kwamba wasifanye haraka kuainisha na kujumuisha katika hukumu juu ya watu na makundi. 35

10_15_Utamaduni Qurani_12_August_2015.indd 35

8/12/2015 6:42:03 PM


Utamaduni Kufuatana na Qur’ani Na Utekelezaji wa Kivitendo

Hakika kujihadhari kuwazungumzia wengine ni mwanzo muhimu sana wa amani na tabia njema. Unapotofautiana na mtu ­katika rai basi chunga sana kumfanyia insafu. “Wala kule kuwachukia watu kusiwapelekee kutofanya uadilifu, fanyeni uadilifu ndiko kunakokukurubisheni kwenye uchamungu.”

Ni zipi hoja za kimaudhui katika mfumo wa Kiislamu? 1. ............……………………………………………….………… 2. ..................................................................................................... 3. ..................................................................................................... 4. ..................................................................................................... 5. ..................................................................................................... Ni yapi matokeo ya kujipamba kimaudhui katika kiwango cha kiulimwengu? 1. ............……………………………………………….………… 2. ..................................................................................................... 3. ..................................................................................................... 4. ..................................................................................................... 5. .....................................................................................................

36

10_15_Utamaduni Qurani_12_August_2015.indd 36

8/12/2015 6:42:03 PM


Utamaduni Kufuatana na Qur’ani Na Utekelezaji wa Kivitendo

NYAYO ZA SHETANI

I

“Msifuate nyayo za shetani”

bara hii imepokewa katika Qur’ani Tukufu mara nne katika sura tatu.

‫ض َح اَل اًل طَيِّبًا‬ ِ ْ‫يَا أَ ُّيهَا النَّاسُ ُكلُوا ِم َّما فِي أْالَر‬ ٌ ِ‫ان ۚ إِنَّهُ لَ ُك ْم َع ُد ٌّو ُمب‬ ‫ين‬ ِ ‫َو اَل تَتَّبِعُوا ُخطُ َوا‬ ِ َ‫ت ال َّش ْيط‬ “Enyi watu kuleni viliyomo ardhini halali na vizuri, wala msifuate nyayo za shetani. Hakika yeye kwenu ni adui dhadhiri.” (Surat al-Baqarah 2:168).

‫ين آ َمنُوا ا ْد ُخلُوا فِي الس ِّْل ِم َكافَّةً َو اَل‬ َ ‫يَا أَيُّهَا الَّ ِذ‬ ٌ ِ‫ان ۚ إِنَّهُ لَ ُك ْم َع ُد ٌّو ُمب‬ ‫ين‬ ِ ‫تَتَّبِعُوا ُخطُ َوا‬ ِ َ‫ت ال َّش ْيط‬ “Enyi mlioamini ingieni katika Uislamu nyote, na wala msifuate nyayo za shetani. Kwa hakika yeye kwenu ni adui dhahiri.” (Surat al-Baqarah: 208).

َّ‫َو ِم َن أْالَ ْن َع ِام َح ُمولَةً َوفَرْ ًشا ۚ ُكلُوا ِم َّما َر َزقَ ُك ُم ه‬ ُ‫للا‬ ٌ ِ‫ان ۚ إِنَّهُ لَ ُك ْم َع ُد ٌّو ُمب‬ ‫ين‬ ِ ‫َو اَل تَتَّبِعُوا ُخطُ َوا‬ ِ َ‫ت ال َّش ْيط‬ “Na kati ya wanyama wapo wale wabebao na wakutoa matandiko. Kuleni katika alivyowaruzuku Mwenyezi Mungu, wala msifuate 37

10_15_Utamaduni Qurani_12_August_2015.indd 37

8/12/2015 6:42:03 PM


Utamaduni Kufuatana na Qur’ani Na Utekelezaji wa Kivitendo

nyayo za shetani hakika yeye ni adui yenu dhahiri.” (Surat al-An’am: 142).

ۚ ‫ان‬ َ ‫يَا أَيُّهَا الَّ ِذ‬ ِ ‫ين آ َمنُوا اَل تَتَّبِعُوا ُخطُ َوا‬ ِ َ‫ت ال َّش ْيط‬ ‫ان فَإِنَّهُ يَأْ ُم ُر بِ ْالفَحْ َشا ِء‬ ِ ‫َو َم ْن يَتَّبِ ْع ُخطُ َوا‬ ِ َ‫ت ال َّش ْيط‬ َّ‫َو ْال ُم ْن َك ِر ۚ َولَ ْو اَل فَضْ ُل ه‬ ‫للاِ َعلَ ْي ُك ْم َو َرحْ َمتُهُ َما َز َك ٰى‬ َّ‫للاَ يُ َز ِّكي َم ْن يَ َشا ُء ۗ َو ه‬ َّ‫ِم ْن ُك ْم ِم ْن أَ َح ٍد أَبَ ًدا َو ٰلَ ِك َّن ه‬ ُ‫للا‬ ‫َس ِمي ٌع َعلِي ٌم‬ “Enyi mlioamini msifuate nyayo za shetani na atakayefuata nyayo za shetani basi yeye huamurisha machafu na maovu. Na lau si fadhila za Mwenyezi Mungu juu yenu na rehema Yake asingelitakasika miongoni mwenu yeyote kabisa. Lakini humtakasa amtakaye na Mwenyezi Mungu ni Msikizi Mjuzi.” (Sura tan-Nuur: 21).

Na jambo la kulitazama kwa makini ni kwamba hali nyingi za upotoshaji wa shetani haziwi kwa sura ya moja kwa moja. Ni lazima kuzinduka na kuwa na tahadhari na kutokuwa mwepesi katika hatua ya kwanza, na ambayo kwa kawaida sura yake inakuwa haina makosa. Na miongoni mwa mifano hiyo: Ni kudharau rai ya mwingine, kisha kumchezea shere mwenye rai hiyo, na kumporomosha, na linafuatia katika hilo kumtoa katika duara la haki. Na miongoni mwa mifano katika hilo: (Mtazamo wa kwanza), (ni kwa ajili ya maslahi ya umma), (ni kufahamu tu na wala sio zaidi). 38

10_15_Utamaduni Qurani_12_August_2015.indd 38

8/12/2015 6:42:03 PM


Utamaduni Kufuatana na Qur’ani Na Utekelezaji wa Kivitendo

Na katika kukabiliana nayo ni lazima: - Kuchunga aliyoharamisha Mwenyezi Mungu - Kuituhumu nafsi na kuomba msamaha kwa mwingine - Msamaha na usamehevu Katika uzoefu wa maisha kuna hazina kubwa miongoni mwa mambo ambayo tunaweza kukabiliana na hila za shetani “Hakika hila za shetani ni dhaifu.” (Sura an-Nisaa: 76). Ni zipi mbinu za shetani katika kumpoteza mwanadamu? 1. ............……………………………………………….………… 2. ..................................................................................................... 3. ..................................................................................................... 4. ..................................................................................................... 5. .....................................................................................................

39

10_15_Utamaduni Qurani_12_August_2015.indd 39

8/12/2015 6:42:04 PM


Utamaduni Kufuatana na Qur’ani Na Utekelezaji wa Kivitendo

Namna gani tutakabiliana na vishawishi vya shetani a­ liyelaaniwa? 1. …………………………………………………………………… 2. ....................................................................................................... 3. ....................................................................................................... 4. ....................................................................................................... 5. ....................................................................................................... Taja mifano ya hatua za shetani katika kumpoteza ­ wanadamu? m 1. …………………………………………………………………… 2. ....................................................................................................... 3. ....................................................................................................... 4. ....................................................................................................... 5. .......................................................................................................

40

10_15_Utamaduni Qurani_12_August_2015.indd 40

8/12/2015 6:42:04 PM


Turn static files into dynamic content formats.

Create a flipbook
Issuu converts static files into: digital portfolios, online yearbooks, online catalogs, digital photo albums and more. Sign up and create your flipbook.