uta-do?
huyu dem wa mtaa ni orphan anaye-raise bro wake, na huku anang’ang’ana na chuo. Ana-face challenges mob sana, Lakini hakubali anything kumzuia kuzima corruption. mafala pekee ndio hu-try kum-challenge. only the brave hujaribu kum-ask out!
Sasa Musa, karibu!
ahsante, lakini hata sikai... Mtoto wangu ameambiwa asirudi shule kama hajalipa pta fees...
kwa kaunda... unaweza nisaidia? Ukini-lend dooh kidogo, nitairudisha nikipata.
Musa, si uambie MP atusaidie na hii maneno ya fees? aii!! mp huwezi kumwona tu hivihivi... ana security kali!
Pole Musa, unajua sikuwagi na dooh mob. Umemuliza Kaunda? Maybe anaweza kuku-loan.
Si wewe ni wa kabila yake?
acha nitajaribu kumwambia, asante.
19